...
Home → Arsip Untuk July 2017

KWANINI ZAWADI NI MUHIMU KATIKA MAHUSIANO NA NDOA KWA UJUMLA? Kumekuwa na tabia mbaya kwa wanaume wa sasa Yaani akiishajuwa mkewe ama Mpenzi wake anayo fursa ya kujihudumia wao hukwepa majukumu na kumtelekeza Mwanamke huyo juu ya MAHITAJI YAKE... Ni ukweli usiopingika kuwa MWANAMKE HUYAFURAHIA ZAIDI MAHUSIANO YAKE AMA NDOA YAKE IKIWA MWANAUME WAKE NI MTU WA KUMBEBEA ZAWADI na kumhudumia kwa ujumla, Ni kweli anao uwezo wa kujinunulia kila kitu JE HUONI SONI KUMWAMBIA AMEPENDEZA KWA MAVAZI AMBAYO HUJANUNUA WALA HUJUI BEI YAKE? Kama huwezi kumpa ZAWADI mwanamke wako ujue DOWEZI wapo Karibu kumbadilisha akili yake, Jiulize tangu umemuoa hata BIKINI hujanunua halafu wewe ni bingwa wa kumvua BIKINI! Badilika mwanaume, Zawadi huimarisha upendo, Zawadi kuitengeneza akili ya mwanamke, Zawadi hurahisisha UPENDO... Halafu nakudokeza ZAWADI yako ina thamani kubwa kuliko hata alonunua yeye kwa gharama kubwa, Mpe zawadi mchana halafu uone vile Usiku utategwa mwenyewe utasema Elista ulisema😅😅😅.

Nazungumza na wale WANAWAKE ambao huruhusu akili yao kuchotwa na TAMAA ZA DUNIA! Vile ambavyo MUNGU amemuumba mwanamke ni wazi kabisa yeye ndiye aliye na jukumu la kulea watoto lakini wako wanawake wao wanajiita wa kisasa HUZITELEKEZA FAMILIA ZAO NA KUANGUKIA KATIKA ANASA... Mwanamke mwenye akili kamwe hawezi kumuacha mtoto wake na kuambatana na DUNIA laa kama mtoto huyo amejitambuwa Yaani kufikia miaka 18, Vile ambavyo umeweza kuikimbia FAMILIA yako ndivyo ambavyo laana itakuwa juu yako, Unamuachiaje watoto wako mwanaume hata kama ni baba yao? Mwanaume kuitunza familia ni andiko lakini Swala la kulea ni la mama, ndo maana hata Biblia imesema MWANA MPUMBAVU NI MZIGO WA MAMAYE... Hata wahenga nao walisema ASIYE FUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU yote haya huyajui? Nikiri kabisa NDOA iko na changamoto lakini hupashwi kuwaza UBAYA wa baba yao bali inua huruma juu ya uzao wa tumbo lako laa kama uliwanunua watoto hao na hukuwabebea mimba miezi 9, ukajifungua kwa uchungu halafu unasahau mateso yale ila unayatazama mateso yahusuyo NDOA? Mungu akusaidie urejeshe akili yako maana kwa akili hiyo nikukosee adabu WEWE NI KILAZA! MITHALI 14:1 Biblia inasema; "Kila mwanamke aliye na HEKIMA hujenga nyumba yake, Bali aliye MPUMBAVU huibomoa kwa mikono yake mwenyewe" Mungu awabariki wanawake wote wanaosimamia nafasi yao na heshima kwao kuitwa mama, Kuujuwa umuhimu wako kama mwanamke ni rehema maana wapo wasoijuwa heshima hiyo.
...

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa tendo) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 3 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo la ndoa. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/tendo la ndoa (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Mwanaume hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi anaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine wasijue hata utamu huo ukoje (well ule wa kipele ni tofauti kabisa na ule wa kisimi) lakini sio mbaya kama utapata hata huo wa juu kwa juu ambao ni wa kisimini. Sehemu pekee ambayo itakufanya wewe mwanamke ufike kileleni kwa haraka ni kwa kufanyiwa kazi kwenye kisimi chako. Kuna wanaume ambao ni “wajanja” na hawaoni tabu kutumia ndimi zao kuwaridhisha wapenzi wao, wengine hutumia vidole na wengi hutumia uume wao. Ndugu zangu! Lakini ngoja nikuambie, fanya yote lakini kama unaweza kutumia ulimi ni mwisho wa mambo ikiwa ulimi huo utachezea kisimi katka mitindo ya a-z, mzunguuko, #8, pembe 2 pembe. Sio wajilambia kama “ice cream”, anatakiwa kutumia ncha ya ulimi kulamba na midomo ya nje + ulimi kukinyonya kisimi.
...

UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO ATACHANGANYIKIWA NA KUKUPENDA ZAIDI JIFUNZE Na Njenjema Barnabas "Kwenye mahusiano ya kimapenzi ni vizuri uzito wa mahusiano uwe pande zote mbili, mapenzi huwa matamu zaidi iwapo umpendae naye anakupenda kwa kiwango umpendacho wewe, na si vinginevyo maana tofauti na hapo mapenzi huwa kama kero au mzigo na hisia hukupelekea kujiumiza moyo na kujiharibu kisaikolojia".Wewe ni mtu mzuri na unampenda sana msichana wako, kiasi kwamba unamkubali sana mpaka unampa dunia yako kumuonyesha unavyomjari, ndani ya muda mrefu mliopo kwenye uhusiano umeshajitoa kwa mengi, kimuda na hata kifedha, unamchukua kutoka kazini kila siku ndani ya juma ili tu asije kuchosha miguu yake mizuri na laini. Unamsaidia kwa kila jambo analohitaji na umeacha kutumia muda wako na marafiki zako ili kusudi uwe na muda mwingi zaidi wa kutumia naye, umemnunulia gauni la gharama na vingine vingi ili apendeze bila kuchoka huwa unabadilisha ratiba zako ili ziweze kuendana na za kwake ili muwe pamoja na kumuonyesha jinsi gani alivyo na nafasi kubwa ndani ya moyo wako, na unafanya yote haya bila ya kumtaka kitu chochote kutoka kwake. Na hata hivyo ni mara moja tu siku ule ulipokua unaumwa ambapo ulimuomba akupikie ugali na akakuchukulie mishikaki unayoipenda pale uswazi teki awei, ambapo alikataa kwa upole na kukwambia hajui kupika vizuri ugari na wewe ulikubali kwa roho safi maana hupendi kuwa kero kwake. Sasa turudi kwenye uhalisia. Rafiki sijui nikuambieje ili unielewe, kaka hapa unatiketi moja tu inayokwenda bila kurudi ambayo kupeleka kwenye nchi ya mvunjiko wa moyo ambapo wapo wapenzi wake wa zamani aliowaacha. Ni muda wa kumuuliza, "Hivi ni kipi umenifanyia mimi hivi karibuni?". Kila ukiwa unamfanyia kitu kizuri nahisi labda unaona kama unajiongezea pointi nyingine za ziada, lakini kiukweli ni kwamba kama yeye hatojihusisha na kuchangia kwa kukufanyia wewe hayo mambo mazuri unayomfanyia yeye kwenye uhusiano wenu, jua kabisa nguvu zako zitakua hazina faida yeyote ile, ni kama maji mtaroni yanayopita tu, na hapa ndipo kiumeni.com tunapokwambia kwanini!. Kikawaida tunaweza kuwapa ushauri wanaume wengi wanaokutana na haya wavunje uhusiano tu pale mwanamke anapomtumia mwanaume bila kurudisha upendo wowote ule anaofanyiwa, hapa simaanishi yale mambo yetu mengine ya kitandani. Lakini kama kweli umejiweka kwenye huu uhusiano kwa roho yote na unataka uhusiano uendelee kuwa wa muda mrefu lazima ufanye na yeye awekeze hisia zake na hata pesa zake kwenye huu uhusiano hata kama ni asilimia 50%. Hapa haijarishi wewe ni tajiri kiasi gani, ni mzuri kiasi gani au ni mwanaume mwenye mahaba yote duniani kiasi gani, kama mwanamke hana kitu chochote alichowekeza kihisia, iwe ki muda au ki fedha lazima atakuacha iwapo mtu mwingine ambaye yuko zaidi ya wewe akitokea. Kama sheria za kiumeni.com zinavyosema(kama msomaji utakua unazijua), "Mtu mpya na ambaye ni zaidi yako huwa yuko nyuma anakuja, anasubiri ukosee kidogo tu", na kama hata jiwekeza kwako likija dili ambalo ni zaidi ya wewe unalompa lazima ataondoshwa tu Bado hujaniamini tu? Kama ukiwekeza kiasi fulani cha muda na fedha kwenye mpango flani, iwe kununua nyumba au kuanzisha biashara, utakua unajua uchungu na uzito wa kitega uchumi chako tofauti na ukiwa umepewa bure. Sheria hizi hizi ndizo zinazofanya kazi kwenye mapenzi, ni ubinadamu kuona uzito na uchungu kwenye kitu ambacho umekiwekeza, sasa nini swali kwako, "Ni nani anayechangia sa kwenye uhusiano wenu?, ni wewe au ni malaika wako mrembo? Fikiria kwa umakini maana uhalisia wa jibu lako tayari limeshafanya kazi kubwa kuutengeneza uhusiano wako jinsi ulivyo sasa. Mwachie baadhi ya malipo afanye yeye... Inabidi uwe kama vocha isiyorudishwa, fikiria kila saa msichana wako akienda kununua mahitaji yake, analipia kwa vocha na anapata muda wa maongezi, atafanya hivi kwa kipindi kirefu mpaka ndani ya muda atakuwa na muda wa maongezi ambao anaweza kuutumia kuongea kwa miaka mingi, sasa vipi kampuni nyingine ya vocha ikiingia na kumpa ofa nzuri zaidi?, kwa unavyofikiria anaweza kubadilisha kampuni? Kama hata kuwa na muda wa maongezi mwingi na wewe, basi kuna nafasi kubwa atabadilisha kampuni bila kujiuliza na kwa upande mwingine kama atakua na muda wa maongezi mwingi wa miaka kumtosheleza maongezi yake kutokana na jinsi alivyowekeza, hawezi kubadilisha kampuni. Umeipata pointi yamgu, Rafiki? Kazi yako... Ni kazi yako kumfanya msichana wako awekeze muda na hela kwenye kampuni yako ya vocha ili ikija kampuni nyingine isiweze kumchukua akili kwa ofa nzuri itakazokuja nazo. Kwa kuwa sasa hivi nimeshakuelewesha umuhimu wa kumfanya msichana wako awekeze kwenye uhusiano, sasa utafanyaje ili aanze kuwekeza? Omba misaada: Kitu muhimu cha kuangalia sasa hivi ni misaada, kama akikupa msaada atajishauli amefanya hivyo kwa sababu unamvuto kwake na unastahili kufanyiwa hicho alichokifanya, acha sasa hivi akuhudumie vizuri, mwache sasa hivi akupikie, saa zingine mwombe aje akupitie kazini na mwache alipie baadhi ya vitu ambavyo vipo ndani ya uwezo wake. Ukiishiwa vocha usione aibu kumtumia tafadhari niongezee salio mara moja moja. Hii ni moja ya sababu hutakiwi kuweka mayai yote kwemye kapu moja, na ndio maana huwezi kumwacha mwanamke ambaye hakujali kwa sababu wanaume wengi wanakuwa wamewekeza muda mwingi na fedha kwa huyo mwanamke. Muda ni pesa: unaweza kumwongezea hamasa zake kwako kwa kumfanya atumie muda mwingi na wewe kwa kufanya vitu unavyovipenda na sio anavyovipenda, hii itamuonyesha uzito wako kwake. Sio mbaya kumbeba mwanamke kama dhahabu, ila hakikisha ndani ya uhusiano kila mmoja anawekeza na sio uhusiano uwe unaegemea upande mmoja tu, kama kweli anahisia na wewe basi hisia zake zitamwendesha na yeye akujali wewe kama ambavyo zinakuendesha wewe.
...

WEWE UNAPENDA KUMKUMBATIA AU KUKUMBATIWA??? JIFUNZE HAYA Kitendo cha kukumbatiana sio tu kinaleta upendo na kuileta jamii pamoja bali kina faida kubwa za kiafya na kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa, watu hushauriwa kukumbatiana angalau mara 8 kwa siku. Nimekusogezea hapa faida 10 za kukumbatiana. 1- Husaidia kupumzisha ubongo. Kumkumbatia mtu unayemjali au kumpenda kunasaidia ubongo kuzalisha homoni inayojulikana kama OXYTOCIN ambayo huusaidia ubongo kufikia kiwango kikubwa cha kupumzika, pia homoni ya OXYTOCIN humsaidia mwanamke mwenye ujauzito kujifungua kwa usalama zaidi kwani hufanya mfumo wa uzazi kupanuka. 2 – Husaidia mwili kupambana na magonjwa Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali watu wengi hasa wazee wanaokumbatiwa mara nyingi huwa na asilimia chache za kukumbwa na magonjwa kuliko wale ambao hawakumbatiwi, hivyo watu hushauriwa kukumbatia wazazi wao kwani hii itawasaidia miili yao kuzalisha kinga ya kupambana na magonjwa. 3 – Kukumbatiana husaidia kupunguza maumivu Madaktari hushauri kuwakumbatia wagonjwa wetu kwani kitendo hicho kidogo kinasaidia ubongo kuachia homoni inayojulikana kama endorphinsambayo husaidia kufunga njia zote katika ubongo ambazo hutuma taarifa ya kuwepo kwa maumivu kwenye mwili. 4 – Husaidia watu kuwa na mood nzuri Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali watu wenye hasira au mood mbaya kila siku huzalisha homoni chache sana za Dopamine na Serotonin ambazo zinasaidia kufanya ubongo kuwa na uchovu na kukosa furaha hivyo kumkumbatia mtu unayempenda inasaidia kuzalisha homoni hizi kwa wingi. 5 – Kukumbatiana huongeza ufahamu kwenye ubongo Watu wanashauriwa kuwakumbatia watu wenye uzito wa kuelewa mambo kwa haraka hasa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa kama Autismna Dementia kwani kitendo hiki husaidia ubongo kuzalisha homoni yaoxytin inayosaidia ubongo kuelewa jambo kwa haraka na kutatua maswali magumu. 6 – Hupunguza msongo wa mawazo Kukumbatiana kunasaidia kupunguza uzalishaji wa homoni inayoitwaCortiso ambayo husaidia ubongo ku-relax. Homoni hii ikizalishwa kwa wingi kwenye ubongo wa binadamu husababisha hutawaliwa na mawazo hasi yanayopelekea msongo wa mawazo. 7 – Humsaidia mtu kupunguza hofu Tafiti iliyofanywa na Psychological Science Journal imeeleza umuhimu wa kumkumbatia mtu mwenye hofu kwani inasaidia ubongo kupuuza taarifa hasi zinazotumwa kwenye ubongo pia husaidia mtu kuzalisha homoni zitakazomfanya ajiamini. 8 – Huepusha mtu kupata magonjwa ya akili Kukumbatiana kunasaidia kuzalisha kwa wingi homoni ya Dopamineambapo uzalishwaji wa homoni hii husaidia ubongo kupambana na magonjwa ya akili kama Depression, Bipolar pamoja na Dementia pia homoni hii inasaidia mtu kujiamini na kuwa mkweli. 9 – Husaidia kuepusha magonjwa ya moyo Utafiti uliofanywa North Carolina umesema kuwa watu ambao hawajaonana na wapenzi wao kwa muda mrefu mapigo ya moyo huongezeka kwa mapigo 90 kwa dakika ambapo hali hii sio nzuri kwani binadamu mwenye afya imara hupata mapigo 40 kwa dakika moja. 10 – Husaidia kupumzisha misuli ya mwili Kukumbatiana kunasaidia kupumzisha misuli ya mwili ambapo watu wengi wanapokumbatiana hulegeza misuli yote iliyokaza na kusaidia mwili kupumzika. Hii ndiyo maana wazazi wengi hushauriwa kuwakumbatia watoto wao wanapoamka asubuhi na kabla hawajalala
...

Mke wangu anataka Tufanye ngono kila siku nifanyejeeee??? Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama 3 zilizopita amekuwa akinilazimisha nile mzigo kila siku hapa nilipo kichwa kinaniuma kutokana na mabao nitoayo kila siku na jana nimeona nivunje ukimya baada ya kuniamsha usiku wa ma8 nile mzigo nikamueleza mke wangu utaniua naomba tupumzike hata siku 3 mbele target yangu ni kuwa baada ya siku 3 anatarajia kuingia kwenye siku zake so ntapata mapumziko ya kutosha,cha ajabu mke wangu kaanza kulia na kulalamika kuwa haamini kauli yangu ya kukataa kula mzigo, ilinibidi nimmbeleze kisha nikampoza na kamoja hapa nilipo nipo njian natoka job ameshanitumia sms ananiambia eti niwahi Anahamu ya dudu langu nimekaa kimya sikumjibu kanipigia simu anasisitiza alichokiandika kwenye sms yake tena kwa sauti ya majonzi.Nampenda mke wangu ila ananichanganya kwa vile tabia hii hakuwa nayo mi ndio nilikuwa initiator wa mchezo wetu. Hebu wadau naombeni mnisaidie itakuwa kapatwa na nini hadi amekuwa hivi? Tabia hii kaanza tangu niliporudi kutoka safarini ambapo nilikaa kule kwa miezi 3 bila kushiriki nae..
...

SIRI YA KUMDHIBITI MWENZA WAKO ASICHEPUKE. #1HAKIKISHA UPENDO unatawala wakati wote pasipo kujari ni nyakati ipi unapitia ama ni changamoto gani uko nayo kwa wakati huo.Na ukifanya hivyo itakusaidia kuwa na maamuzi sahihi wakati wote. #2FURAHA ukiweza kuwa na upendo wakati wote furaha huja bira kulazimisha kwani upendo ndio nguzo ya kila jambo litokalo moyoni.Lakini unaweza ukaingeza furaha ya mwenza wako kwa kumnunulia vijizawadi,kumsifia mara kwa mara,kujitahidi kurudi nyumbani mapema na TENA KUNA SIRI KUBWA SANA YA KURUDI NYUMBANI MAPEMA kama ukifanikiwa hili basi mwenza wako hatokuwa na wasiwasi na wewe kabisa. #3TENDO LA NDOA hapa sasa ndio kwenye kizaizai wahenga wanasema MWANAUME HASIFIWI KULA wengine husema MWANAUME MASHINE sasa tukutane wakati mwingine kwa somo hili usisahau ku like page hii kwa mambo mengine mengi mazuri.
...

Fahamu Sifa za Wanawake Wanaopenda Sana Pesa Hongereni wanawake kwa siku yenu. Tunawapenda Sana kwani ninyi ndio furaha yetu, amani yetu, utulivu wetu. Bila ninyi dunia hatujui ingekuwaje. Basi baada ya machache hayo nirejee kunako mada. Siku hizi kumekuwa na ongezeko kubwa la mamilioni ya wanawake wanaopenda Sana pesa kuliko kitu chochote. Jambo hili lilianza Kama mzaha lakini kwa sasa hakuna wakuuzima moto huu. Kupenda pesa sio vibaya Bali kuipenda Sana kiasi kwamba mtu yupo radhi auze utu wake na kuudharau kabisa uanamke wake. Kama hiyo haitoshi wanawake wengi wanaopenda pesa ndio huwa chanzo cha maangamizi katika familia. Zifuatazo ni sifa bainifu za wanawake wanaopenda Sana pesa;- 1. Huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima. Wanawake wengi wapendao pesa huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima, mambo ambayo hayagusi maisha moja kwa moja. Hata nilipokuwa chuo wanawake wengi waliokuwa wanapenda pesa Sana walikuwa na tamaa za kusikitisha ambazo zilipofusha fahamu zao. Unakuta mwanamke anaomba laki tano kwaajili tuu ya kununua Simu nyingine kubwa wakati akiwa bado na simu mpya. Katika maisha ni bora uingie jehanam kuliko kukutana na mwanamke mpenda pesa kwani utateseka Sana kwa ajili yake na bado hata ona msaada wako. Sio rahisi kujenga familia bora na mwanamke mpenda pesa. 2. Wengi hutoka familia masikini. Wanawake wengi Kama sio wote ambao hupenda pesa kuliko utu wao hutoka familia kame Sana. Ukame wa kiuchumi mpaka kiakili. Wengi wao huweza kutoa hata rushwa ya ngono ili tuu wapate pesa wasijue miili yao inathamani zaidi ya zile karatasi. Hata humu jukwaani wapo wengi Sana na comments zao zinajulikana. Wengi huweka matamanio yao hapa jamvini matamanio waliyoyakosa. Mtu ni masikini unandoto za kuwa na mwanaume mwenye pesa nani alikuambia wenye pesa wanataka masikini. Umasikini wako usikufanye ujidharau au mtu akudharau. Ndio maana wanawake pamoja na mchango wenu katika dunia hii lakini bado mpaka wanyama hawawaheshimu. Lipo kundi dogo la wanawake wanaojitahidi kutetea thamani ya jinsia yao lakini wengi wao ni wakuonewa huruma tuu. 3. Wengi wao hawana elimu ya kutosha. Mwanamke aliesoma akaelimika hawezi hangaika na pesa ya mtu. Ndio maana wanawake wachache huhangaika kwajili ya kujitegemea na sio kumtegemea mwanaume. Wanawake wengi wenye elimu na vipato vizuri huwezi msikie akiongelea pesa Kama kigezo muhimu kwa mwanaume anayemuhitaji awe mume wake. Wengi wa wanawake humu jamvini ambao hujipa matumaini na comments zao za kujiliwaza iwe wanakazi zenye mishahara duni au elimu ndogo sambamba la kutelekezwa na wanaume kwa ukame wao wa akili. 4. Ni wavivu na wasio na mawazo. Wanawake wote wanaopenda pesa ni wavivu kupita kiasi. Uvivu wao umeanzia akilini kiasi kwamba hawana mawazo ya maendelo. Utakuta mwanamke anawaza mambo mepesi kabisa Kama urembo, nguo, mtoko, n.k. Wanawake wapenda pesa ni hatari kwa ustawi wa familia. Huwezi kuwa na familia kubwa ukiingia katika bahari ya viumbe hawa. 5. Hawana shukrani wala uvumilivu. Wanawake wapenda pesa huwezi msikia akikushukuru zaidi ya kujichekesha tuu na kubinua makalio. Kwa mfano amekuomba milioni moja then ukampa laki tano basi utamsikia akisema sasa hii nitafanyia nini, au niongezee tena mume wangu huku akikushika kifua au ndevu. Wanawake wenye hekima hushukuru mpaka mwanaume anasikia aibu. Suala la uvumilivu halipo kwa hawa viumbe. Shida ikitokea ukishindwa kuitatua kwa wakati huo basi hesabu umeliwa. Yaani kwao kukusaliti ni jambo lisilo na mashaka. Babu aliwahi kunambia; Usimpe mwanamke pesa yote aombayo. Wenye wake mmenielewa.
...

Hivi Mungu Aliweka Nini Kwenye Ubongo wa Mwanamke? Am just thinking loudly. siku mbili zilizopita nilisafiri kwa shughuli za kiofisi. Kama mjuavyo mambo ya serikali yetu hii, unajaza imprest, hela ya safari inachelewa kutoka, au unaweza kulipwa hata baada ya wiki au mwezi tangu urudi toka safari. Sasa mimi ndo yakanikuta. Ikabidi nijiongeze tu ili kuokoa ratiba zangu. Na kumbuka ni tarehe za karibia na mishahara. Nikaacha hela ya mahitaji, nikasisitiza kuwa tusifanye manunuzi yasiyo ya lazima kwa sababu tuko kwenye ujenzi na mafundi hivi wanatudai, hivyo mshahara ukitoka tu tuwalipe. Leo ndo nimerudi kutoka safarini na leo ndo mshahara umetoka. Nilikuwa nimechoka sana leo. Asubuhi nilikunywa kikombe cha maziwa na maandazi mawili, nikashinda nayo njia nzima mpaka nimefika home mida ya saa kumi na nusu. Tangu asubuhi nilijihisi siko vizuri kichwa kinaniuma, najisikia kuchoka. Nikiwa nimekaribia home nikampigia wife kuwa nakaribia kufika. Nashukuru nilifika salama. Njiani nikanunua vitu mbalimbali kama matunda na mboga. Sasa kilichonifanya niwaze sana kuhusu hawa viumbe wanawake, nilipofika nilisalimia walio nje, then nikaingia ndani. Nikamkuta yuko chumbani amelala. Baada ya salamu, nikarudi nje binti wa kazi alikuwa anaosha vyombo. Nikakaa sebuleni kama dakika 10 nikaona hakuna anayekuja siyo yeye wala msichana. Nikachukua glasi nikanywa maji, nikarudi kukaa kwenye sofa. Nikaona watu wako bize na ratiba zao, Nikatoka nje binti bado anaosha vyombo. Nikarudi ndani chumbani. Nilipoingia nilikutana na swali, "mshahara wako umetoka?"Nikajibu ndiyo. Akasema "hata mimi wa kwangu umetoka, sasa naomba niongezee laki mbili niende mjini sasa hivi kuna nguo nataka nikanunue". Niliwaza tuu haraka hata sijapewa maji ya kunywa, wala sijaoga niko na jasho la safari, hata sijapumzika, kichwa kinaniuma, njaa inaniuma (maana huwa sipendi sana kula hovyo hovyo njiani), hata hajaniuliza safari ilikuwaje; Nilijisikia kizunguzungu flani cha ghafla, nikatoka nikafunga mlango, nikaondoka zangu nikawasha gari kwenda mjini kutafuta sehemu ya kupumzika walau nipate hata uji au supu nipashe tumbo. Mpaka sasa sijarudi nyumbani, nasubiria muda uende nikifika naoga nalala tuu. Inaniuma sana, hivi vitendo siyo mara ya kwanza. Mpaka sasa ana masanduku matatu makubwa yote yamejaa nguo zake bado anaona hana nguo, eee Mungu uwarehemu hawa viumbe. Mimi nawaza tumalizie ujenzi tuachane na nyumba ya kupanga, yeye wala haoni kama kuna shida. Alafu sisi wanaume tukichepuka tunalaumiwa sana na hawa wanawake kuwa tunatelekeza familia. Anyway, nafikiria kitakachotokea nikirudi nyumbani
...

Wanawake Tunakuwa na Thamani Pale Tunapokuwa Nguo Napenda kuzungumzia thamani ya mwanamke mbele ya mwanaume. Nimejifunza mengi kupitia kwa marafiki zangu na hata dada zangu na ndugu wa Karibu. Thamani ya mwanamke mbele ya mwanaume ni pala anapokuwa amevaa nguo na si vinginevyo. Mwanaume akishakuvua nguo haoni thamani yako tena huendelea kumuwazia yule ambae bado hajamvulia. Nimeshudia wanawake wengi wakiishia kuumizwa kwasababu ya kukubali kuwavulia nguo wanaume kirahisi. Binafsi baada ya kuushuhudia waliofanyiwa wanawake wenzangu nimeamua kutomvulia nguo mwanaume asiye mume wangu, na hii imenipa thamani kubwa sana. Wanawake tusijirahisishe kwa hawa viumbe tutaendelea kuumizwa daima.
...

Kama na wewe ni waina hii huu mchambo unakuhusu. HUU MCHAMBO UTAWAHUSU WENGI AMBAO HAWAJAOLEWA NA WACHACHE WALIOOLEWA WENYE TABIA ZA AINA HII MWANAMKE UMEKUA NA MWANAUME KWANZIA MWAKA MMOJA MPAKA MIAKA KUMI UBOYFRIEND TUUUUU HATA BARUA HUJATOLEWA, WALA KUTAMBULISHWA RASMI HUJATAMBULISHWA HATA KUONYESHWA GETI LA NYUMBA YAO HUJAWAHI UMEKAA KABISA UNARIDHIKA ETI SIKU TU ATANIOA HIVI HUSHTUKI WEWE, MWANAUME MIAKA YOTE HIYO HATA HAJAKUTAMKIA KUHUSU NDOA, AMA KAMA UNAPENDEZA KUA MKEWE AMA HATA KAMA UNACHEMBE TU KIDOGO CHA KUMFANYA ABADILISHE MAWAZO YAKE YA KUTOKA UBACHELA KUJA KWENYE KUOA MARA GHAFLA ANAKUJA KUKWAMBIA NIMEAMUA KUOA KWASABABU WAZAZI WANGU WANATAKA NIOE KABILA LETU, AU WANATAKA NIOE FAMILIA FULANI, KWAHIYO NIACHE NIOE LAKINI MIMI NA WEWE TUTAENDELEA NA WEWE KWA UJINGA WAKO UNAKUBALI ETI CHA MUHIMU MMEJUANA SIKU NYINGI UMESHALIZOEA DYUDYU LAKE UNAWAZIMU NINI WEWE, MBONA YEYE HAJAZOEA KIFUU CHAKO AKAAMUA ATAFUTE DAFU TEKETEKE...MFYUUUU ULIVYOKUA HUNA AIBU WALA ADABU UNAENDA KABISA KWENYE HARUSI YA HUYO BWANA YAKO ANAYEOA UMEKAA HAPO KWENYE KITI UNAMNYALI MTOTO WA WATU ALIYEOLEWA, HUNAA AIBU WEWE WAKATI MWANAUME ANAKUNYALI WEWE ULIVYOKUWA MJINGA ANAKUTUMIA NA KUKUCHAKAZA, WAKATI KAOA MTOTO MZURI WEWE GUUMEGUME LA KUTUMIKA UPO TU KILA MWANAUME AKITAKA KIFUU UNAKIPANUA TU JAMAA ANACHUKA NAZI ANAITUMIA UNAMPA NGUVU YA KUMFIKISHA MKEWE KILELENI KWAKO ANATANGULIZA KWA MKEWE ANAMALIZA... UNAMSEMA MSICHANA WA WATU MKE WAKE MWENYEWE HATA SIO MZURI KAMA MIMI KAMA WANAUME WANAFWATA SURA NA WEWE MZURI MBONA MPAKA LEO UMEKUA MAHARAGE YA MBEA UMELIWA UMEACHWA MARA BAADA YA KUOA MWANAUME SIKU ANAKUTAFUTA OOHH MPENZI LEO NIMEKUMISS SANA TUONANE, SHOGA TENA UKISIKIA TU YALE MANENO KIFUU CHOTE KINALOA, SAWA MPENZI HATA MIMI NILIKUMISS HUJIULIZI KWANINI KAOA NA BADO ANAKUTAFUTA, HUJIULIZI KABAKISHA NINI KWANGU LEO ANACHOKIONA CHA MAANA NA SIO CHA MKEWE, HUYOOO UNAENDA MPAKA GESTI AMA SEHEMU MLIPOPANGA MKUTANE, UKIFIKA PALE ANAKICHOKONOAAA WEWEEE KIFUU KINABAKI CHEUPE KIMEVIMBA KAMA KALIMATI WEWE MOYONI UNAWAZA LEO NIMEMPA HUYU NA MKOMOA MKEWE WAKATI MWENZIO MOYONI MWAKE ANAWAZA NGOJA NIPITIE SEHEMU NIKWANYWE SUPU YA PWEZA MAANA MKE WANGU AKITAKA LEO NIKISHINDWA KUMPA SIJUI ITAKUWAJE YANI KWAKO ANAKUTAKA KWA TAMAA, MOYONI BADO ANAMTAKA MKEWE KWA HAMU NA KUMUWAZIA ASIPOWEZA KUMTIMIZIA HAMU YAKE SIJUI ITAKUWAJE.. OOHHH TUKUTANE TENA SIKU NYENGINE MPENZI BASI UKIONDOKA NAKWAMBIA UNAENDA KUJIFUNZA KILA AINA YA CHEJO UTAMPA CHEJO GANI WEWE MUME WA MTU ASILOMPA MKEWE HIVI UNAJUA KAMA KULALA NA MTU SIKU 365 NDANI YA KILA MWAKA WALIOPO PAMOJA SIO MCHEZO KAMA NI STYLE KASHAMPA ZOTE ZIMEISHA SASA HIVI BABA ANABUNI STYLE MPYA TU ZA KUMPA RAHA MKEWE KWAHIYO SHOGA WEWE UKIJA NA MPYA USIDHANI UNAMKOMOA MKEWE KAMA MUME KANOGEWA NAYO ATAENDA KUMFUNDISHA NA MKEWE, NA KWATAARIFA YAKO WAKE SIKU HIZI SIO KAMA KAZAMANI WANAJIFUNZA KILA KUKICHA KILA UKISIKIA KUNAFUNDWA AMA SEMINA ZA NDOA WAKE WAPO KIBAO NA PETE ZAO MKONONI KWAHIYO SHOGA UTAHANGAIKA SANAAAAAA..... ULIVYOKUA HUNA HAYA WALA ADABU KILA KUKICHA OOHHH MIMI MUME WA MTU SIWEZI KUMUACHA, NA LAANA YA MKEWE NA MAOMBI YOTE ANAYOYAFANYA MKEWE KWA MWANAMKE ANAYELALA NA MUMEWE NJE YA NDOA UJUWE HAZIWEZI KUKUACHA KILA SIKU UTAKUA NA MIKOSI, HUTAKAA NA FURAHA KILA SIKU WEWE UTAKUWA WA OVYOOVYO TU, UTADHARAULIKA NA WATU WA KARIBU NA WANAOKUSIKIA..UNAMJUA FATUMA NDIO SI YULE MLA WAUME ZA WATU YANI WAUME ZA WATU NDIO WANAMUWEKA MJINI, SHOGA KWAKO UNAJIONA SIFA NZURI WAKATI HAMNA SIFA MBAYA KAMA MWANAMKE ANAYESHINDWA KUWA NA MWANAUME WAKE AKAMLEA AKAWEKWA NDANI KWA HESHIMA NA KUTUNZWA...UTABAKI KUWA JALALA HIVYOHIVYO WAKUTUPIWA KILA TAKA NYEPESI, NGUMU ZOTE ZAKO SURA MPAKA INAKUFUBAAA UNAZEEKA KWA KUBEMBELEA VYA WATU.. MTOTO WA KIKE NYEGRYEEEE HAZIKUISHI KILA SIKU, UNACHEKACHEKA TU KILA SAA UKIONA WANAUME HUISHI KUSHOBOKA, UKITEKENYWA KIDOGO TU HATA KAMA UNATANIWA UNAJIPELEKA MPAKA GESTI, NYEGRYEEE ZITAKUISHAJE WEWE WAKATI MWANAUME WAKO HUNA HATA WA KUZUGIA UNAGANDANA NA WA WATU TU, WATAKUMALIZAJE NA UNAWINDA UNASUBIRI LEO NA MKEWE HAVIELEWEKI UKAPEWE JAPO CHA JUU JUU, AMA MKEWE KASAFIRI NDIO PONEPONEA YAKO UTAMBANA MWANAUME MPAKA SAA SABA USIKU..POLE SANA MIMI NAKASIRIKA SANA KUONA WANAWAKE WANAOJIRAHISISHA KWA WAME ZA WATU YANI NAKASIRIKA, TENA WANANIJUA MARAFIKI ZANGU IKIFIKA HIZO ISHU HATA KAMA WEWE SHOGA YANGU USHOGA UNAISHIA HAPO SIPENDI KABISA UJINGA, KAMA WEWE UNAJIONA MZURI SANA SIUNGEMUDU WA KWAKO PEKE YAKO KWANINI UDANDIE GARI UMEKUA KONDA??? YANI KWA HIZI SIKU MUNGU ALIZONIPA HUMU DUNIANI, SHOGA UTAISOMA NAMBA YANGU JAPO KWA KUZIPAPASA NITAKUCHAMBAA NA TABIA ZAKO ZOTE, NITAKUA BEGA KWA BEGA KUIMARISHA NDOA ZOTE ZA WATU KAMA NYIE MNAOTAKA KUZIBOMAOA, HAZIBOMOKI NA HATA KAMA KWA TALAKA ATATOA MOJA YA KUPEANA NAFASI TATU KWA ANEYEPITA HUMU HAKUNA.. NA HATA KAMA ULIACHIKA KABLA YA KUNIJUA BIBI UTAPATA PENGINE UTADUMU, NA HATAKAMA HUJAPATA UTADUMU NA USINGLE MAMA WAKO, HUTAKUWA CHAMBO LA KUPITIWA KULIWA URODA OVYOOOO... KAMA HILI LAKO LINYWE, KAMA LA SHOGA YAKO MPELEKEE HABARI ZAKE, KAMA LA WIFI YAKO HATA KWA SIMU FANYA KAMA UMEKOSEA NAMBA ZIMFIKIE, UKISHAKUNYWA LIKUSUKUTUE MWILI UKALIKOJOE CHOONI...NUNA LIA PASUKA HABARI NDIO HIYO, SEMA, CHAMBA, TUKANA, LIA, NYALI..UJUMBEE UKUFIKIE MAHALI ULIPO. HAHAHAHA HALOOOO NGOJA NITEME MATE JUU MIYE CHINI YATAKAUKA UPATE KUYASIGIDA.. ****END*****
...

Tofauti 8 Kati ya Wasichana na Wanawake...!!! 1. Wasichana wanatafuta wanaume wenye pesa ila Wanawake wanatafuta wanaume wanaojali na kupenda. 2. Wasichana hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia ukubwa wa mifuko yao ila Wanawake hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia kiwango cha busara na hofu ya mungu na kwa vipi wanajiheshimu mbele ya wapenzi wao. 3. Wasichana huvunja mahusiano kwa sabubu zisizo na mashiko ila Wanawake wana uvumilivu wakifahamu kwamba kila jambo hutokea kwa sababu. 4. Wasichana hufikilia kuhusu mambo yaliyopo sasa ila Wanawake hufikilia kuhusu yajayo. 5. Wasichana wanapenda kuwa na wanaume wengi wanaowafuata ila Wanawake wanafahamu sheria ya uhitaji (Vitu rahisi vina wateja wengi). 6. Wasichana wanahitaji pesa ili kununua make-ups ila Wanawake wanahitaji pesa kwa ajili ya kufanyia mipango ya maendeleo. 7. Wasichana huumizwa na mwanaume mmoja na kuwa na kinyongo na wanaume wote ila Wanawake wanajua kwamba wanaume wote sio sawa. 8. Msichana "anajifunza" ila Mwanamke "anajua"
...

MWANAMKE UNAJUA HAYA HILI UOLEWE AMA USIOLEWE?? Kuoa au kuoelwa ni jambo ambalo watu wengi hutamani kwani ni miongoni mwa hatua kubwa katika maisha ya kila mmoja. Ukifanya utafiti kwa watu ambao hawajaoa wengi watakwambia wanatamani siku moja wawe na familia bora na yenye furaha, kwani kila mmoja anaamini hayo ni mafanikio kwenye maisha. Licha ya kuwa kuolewa au kuoa ni jambo jema, baadhi ya watu huwa hawaoi au hawaolewi. Kuto kuoa au kuolewa kunaweza kuelezewa na sababu nyingi sana. Leo tutazungumzia suala la mwanamke kuolewa, na tutaweka bayana baadhi ya tabia chache ambazo zinaweza (zinachangia kwa kiasi kikubwa) mwanamke kuto kuolewa. Utumiaji mbaya wa mitandao ya kijamii- Hili najua si kwa wanawake tu, lakini kwa sababu leo wao ni walengwa wa mada, tutazungumzia upande wao tu. Baadhi ya wanawake hutumia vibaya mitandao ya kijamii ambapo huchati tangu asubuhi hadi jioni, wakiinua macho basi wanaangalia Tv na akimaliza channel hii atahamia nyingine, akimaliza mtandao huu atahamia mwingine. Kutwa nzima unakuta anafuatilia staa huyu alifanya nini usiku, huyu alipiga picha gani, kikapanda kikashuka. Mwisho wa siku mwanamke kama huyu atakuwa hana cha maana alichojifunza kwenye mitandao au kutazama Tv zaidi ya kuanza kuiga yale aliyoyaona. Na hakuna mwanaume muoaji anayetaka mwanamke ambaye akili yake imetawaliwa na mitandao ya kijamii hakumbuki hata kufanya usafi ndani. Kutokupenda kufanya kazi za nyumbani- Wanawake wengi wa ki-Afrika kwa vile wamekwenda shule wakatambua mambo ya haki sawa kwa wote na wengine kuona kwenye filamu wanaume wakifanya kazi ambazo mara nyingi hufanywa na wanawake, basi na wao ndio wameweka nukta kufanya kazi za nyumbani. Kuto kana na hali hii, wanawake wamekua wakujiremba tangu mawio hadi machweo, ukitazama kucha zao zilivyondefu unajiuliza hutu anafua kweli? wengine wame amua kuajiri watu wa kuwafulia hadi nguo za ndani. Kwa hali hii isitarajie mwanaume akuoe kwa sababu anajua ni matatizo anapeleka nyumbani. Kujipara hadi sura yako ya asili inasahaulika- Ni kweli wanaume hupenda mwanamke mrembo na mwenye kupendeza. Lakini hii haimaanishi ndio ujipodoe hadi uchukize. Kila kitu kwa kiasi chake kwa sababu kitu chochote kikizidi huwa ni sumu. Jirembe kwa kiasi, hili litavutia watu walio-serious kutaka kukuoa, lakini ukiwa ni wa kujiremba hadi ukapindukia, hakuna muoaji atakaye kuta. Tena ikumbukwe kuna baadhi ya wanaume wao hupenda mwanamke asiyejiremba (wenyewe huita natural) Hizi ni baadhi tu, na wewe unaweza kuongezea ili kuwakumbusha wasichana wanaotaka kuolewa.
...

Kama umewahi kuumizwa kwenye mapenzi uenda hizi ndiyo sababu SOMAHAPA kuvunjika moyo ni moja ya jambo zito na ambalo mtu hupitia na inahitaji sana moyo kwasababu ya kupitia wakati mgumu,fikra,mawazo,maumivu,kujiona huna thamani,jamani mtu kaamua kukuacha wa nini kumganda,let him or her go kama alivotaka,duniani hayuko pekeyake, mbona wamejaa kama yy ,na unaweza kupata mzuri zaid yake ,na ufurahie sana na kumshukur mungu mana mpaka anakuacha manake kajionesha ngozi yake asili kua not your type and he/she does not deserve to be wid u.kwaiyo never give up maisha yenyew mafupi,wacha aende utapata bora kuliko yeye. jaribu kukaa na familia,marafiki na watu wako wa karibu ,cheka, furahia existence yako,io ni moja ya kuanza kumsahau na kutoa mawazo taratibu. kua makini kwa kutokua muwazi,namaanisha kua sio kisa umeumizwa uko nyuma ,ndo usiwaamini ke/me wote ,binadamu hatufanani,unahis umependa for the second time achilia toa la moyoni kuliko kukaa nalo,kua free kufanya lolote unaloona its good for you. baada ya kuumizwa sio unaenda na ww kufanya vitu vya kipuuzi.fanya vitu ambavo vitakavokufanya utoe mawazo na kukupungizia stress ,unafanya ili uwe na furaha na sio depression ukaja kufa bure siku sio zako ndugu. jikite katika mazoez mfano kukimbia au jiweke busy na kazi yoyote ili kukuweka busy na kupoteza attention ktk kichwa ya yule aliekuumiza,usijiumize kabisa,unajiona maumiv yanazid ,zidisha kujiweka busy na jiweke kama hujawah kuumizwa na jipe moyo be u as u, kua duniani hayuko pekeake. ukijiweka karibu sana na watu,kua na furaha cheka nao,nao watafurahia uwepo wako,nakuhakikishia unaweza kujipatia apoapo mwngn hahaha,just be u. badala ya kuangalia mabaya ya kuvunjika uhusiano ,wewe tizama yale mazuri tu uloyafanya,usiseme labda nlifanya baya flani ndo mana nkatendwa,mana skuizi unaweza kutendwa kweupee na huna kosa ulilolifanya,unajishangaa unakaushiwa tu,usijitie mnyororo wa roho buree ukasema hata nkitongoza naweza nsikae nae sana kama wa mwanzo ,no no no,hamna kitu kama iko,ndo mana tukaambiwa binadamu tunatofautiana,just move one,kua huru na nafsi yako,fanya roho yako kitu kinachojiskia ipate faraja for the second time. toka mitoko ya hapa na pale,tafuta marafiki zako wa karibu,kua na ile tabia ya kutoka out kuspend kuenjoy ,pia itakusaidia kutoa mawazo. unajua ni bora kua single kuliko kua katika uhusiano m,baya.unaweza pia kupost story yako ktk jukwaa husika ili kupata msaada zaid wa kimawazo ,it ll help too. Wanaume wameumbiwa wanawake,na wanawake wameumbiwa wanaume,so hata ukiumizwa haifai kusema sitopenda tena,ohh sjui stokuja kutafuta mwenza tena,inamaana utaweza kukaa ivo pekeako mpk uzeeni mpk kufa,mara ohh stopenda tena bali ntawachezea tu na kuwaacha kama nlivoachwa mm,jamani jamani jamani,we chezeaaa mwisho wake uchezewe,chezea wee mwisho wake unajikuta umekondeana kwenda kupima ngoma unayo,utamlaumu aliekuacha au utajilaumu na nafsi yako. Nmemaliza.love u ol.
...

ULISHAWAHI KUMNYOA MPENZI WAKO MAVUUUUZI?? SOMA HAPA Binadamu akifikia miaka 9 – 14 mwili huanza kubadilika. Hiki ni kipindi ambacho msichana au mvulana hubadilika kutoka utoto na kuwa mtu mzima na hiki kitendo huitwa balehe na moja ya dalili ni kuota kwa nywele kwenye makwapa, sehemu za siri nk. Leo tunazungumzia nywele za sehemu za siri yaani mavuzi. Hizi nywele kawaida huwa na rangi tofauti na nywele za sehemu zingine kama kichwani, zingine huwa na rangi nzito zaidi, zingine huwa ngumu zaidi, zingine hunyoka (straight), zingine hujisokota (curl) Linapokuja suala kunyoa hizi nywele ni preference ya mtu, pia jambo la kushangaza ni kwamba wanawake ndio huzungumziwa zaidi kuliko wanaume ni kama vile wanaume hawana hizi nywele. Imefika wanaume hujiuliza wenyewe je, mwenzangu unapenda mke kuwa na forest au kuwa na jangwa la sahara? Kila mwanaume au mwanamke ana jibu lake. Baadhi ya wanawake hujisikia more attractive wakiwa wamenyoa wakati wengine hujisikia raha wakiwa na thick forest. Hata hivyo kama lilivyo suala la matiti au makalio (matako) wapo wanaume hufurahia na kujisikia excited zaidi kwa mwenzi wake kuwa na msitu wa asili wa uhakika wakati huohuo wapo wanaume ambao kwa mwanamke kuwa na msitu mnene kwake huona ni mwanamke mchafu na asiyejitunza kama anshindwa kujinyoa sehemu muhimu kama hiyo basi yupo careless na hajipendi. Kunyoa au kutokunyoa ni suala la hiari yako na mpenzi wako hakuna sababu ya Kujiona upo sahihi au hupo sahihi pia wapo ambao hunyoana na nyakati kama hizo kwao ni faragha na kujuana. Kutokupata information zinazotakiwa wakati mwingine huweza kusababisha mtu kuchukua hatua ambazo zinaweza kushangaza hata mpenzi wake. FAIDA ZA KUACHA KUNYOA (Kuwa na msitu)Hizi nywele huwa zonashika homoni za pheromones ambazo zikisambaa huweza kuvutia mtu wa jinsi tofauti (attraction) Huweza kuzuia msuguano (friction) wakati wa tendo la ndoa, Kumbuka viungo vya uzazi vipo delicate sana. Husaidia kufanya maeneo ya sehemu za siri kuwa jotojoto (warm) Huzuia na Kulinda sehemu za siri kama hasa vitu vidogo kama mavumbi Kuingia sehemu nyeti hasa wanawake kama zilivyo nywele za kawaida zinavyolinda kichwa. Huonesha kukua kwa mtu (sexual maturity) FAIDA ZA KUNYOA (Kipara)Huboresha tendo la ndoa hasa kwa wale wanaopenda Kipara. Huboresha usafi; hizi nywele hushika harufu (odor) na kuweza kupelekea kutoridhishana kimapenzi, au kama muhusika hajaoga vizuri anaweza kukufukuza kwa harufu. Kujisikia vizuri, kujiamini na kujisikia safi. KUNYOA AU KUTOKUNYOA KATIKA NDOAKuwa na maeneo ambayo yanatunzwa ni moja ya njia ambayo mke na mume huweza kujisikia vizuri kwa mwenzake. Wengine hujisikia vizuri zaidi kwa kila mmoja kuwa kipara na kufanya degree of intimacy kuwa juu zaidi (ngozi kwa ngozi hunoga zaidi) Wanandoa wengi hukubaliana kunyoa au kunyoana kuliko kuacha msitu, sababu kubwa zikiwa Kunyoa huleta ukaribu (intimacy) Kuwa kipara (mwanamke) ni zaidi ya kuwa uchi kwani unakuwa kama umeondoa kile kinafuka uke hivyo mume huweza kuona kwa macho na kwa kugusa uzuri na jinsi Mungu alivyokuumba. Pia wanandoa ambao hunyoana kuanzia honeymoon huwafanya kuwa karibu zaidi kwa kujuana zaidi. Kunyoa ni usafi. Agano la kale ilikuwa ni ishara ya kujitakasa. Kunyoa mwanamke huonesha amejitoa kwa mumewe. (Hesabu 8:7)Katika Agano la kale ishara mojawapo ya kujitakasa ilikuwa ni kunyoa nywele zote katika mwili. JE, KUNA STYLE ZA KUNYOA?Wengine wanaponyoa huweka style mbalimbali just for fun. Wengine hupunguza (trimming) na si kunyoa Kipara kabisa. Wengine hunyoa pembetatu ili wakivaa bikini nywele zisionekane. Wengine hutengeneza mstatili ambao huitwa “Chaplin Moustache” kwa raha zao mke na mume. Wengine hupaka rangi nyekundu na kuchora umbo la moyo kama zawadi kwa mwenzi wake.
...

FUNGULIWA NA KISA HIKI CHA NDEGE Kulikuwa na ndege aliyekua akiishi Jangwani; ndege huyo alikuwa mgonjwa, manyoya yamepukutika, hakuna chakula, maji ya kunywa wala kiota. Siku moja malaika alipita hapo jangwani, ndege yule akamsimamisha malaika na kumuuliza, "unaelekea wapi?" malaika akamjibu "naenda kuonana na Mungu" Hivyo ndege akamwambia malaika, 'tafadhali sana muulize Mungu, ni lini matatizo yangu yataisha' Malaika akamwambia 'sawa nitamuuliza na akamuaga. Malaika alipofika kwa Mungu akamshirikisha Mungu ule ujumbe alopewa na yule ndege . Malaika akamuelezea Mungu ni jinsi gani alivyomkuta yule ndege akiwa na hali mbaya. Mungu akamjibu malaika na kumwambia "Kwa muda wa wiki saba ndege huyo ataendelea kuhangaika hivyo hivyo, hatakuwa na furaha mpaka atakapofariki". Malaika akasema ndege atakaposikia haya ataumia sana roho, unaweza ukamsaidia kupata suluhisho la matatizo yake? Mungu akajibu: Mwambie awe anarudia rudia maneno haya " Asante Mungu kwa kila kitu". Malaika akaonana na yule ndege na kumueleza ni nini Mungu anahitaji. Baada ya wiki saba, malaika alipita tena na kumuona ndege akiwa na furaha, manyoya yamemuota, nyasi zimeota ktk sehemu ya jangwa lile, kijito kidogo cha maji, na kiota ktk mti uliopo pembeni, na ndege alikuwa akiruka ruka kwa furaha huku akiimba. Malaika alishangaa imekuaje kuaje, 'Mungu alisema kwa wiki saba ndege hatakuwa na furaha, sasa hii imekuaje tena' huku akiwa na maswali haya malaika akapita na kwenda kumuuliza Mungu. Mungu akamjibu malaika kwamba, "imeandikwa kwamba ndege hatakuwa na furaha kwa wiki saba, lakini ndege huyo amejawa na shukrani kwa kusema Asante Mungu kwa kila hali anayopitia, pale alipoanguka ktk mchanga wa moto wa jangwani alishukuru, pale aliposhindwa kuruka alishukuru, alipokosa kabisa chakula alishukuru kwa kusema Asante Mungu kwa kila kitu. Kwa hizo wiki saba niliingiwa na huruma na kumtengenezea mazingira mazuri ikiwemo na kuihuisha afya yake ndege huyu mwenye uvimilivu aliejaa shukrani. SOMO KWETU SOTE katika hali yoyote unayopitia usishau kumkumbuka Mungu wako. Mshukuru Mungu ktk mahusiano yako, uchumi wako, biashara yako, rafiki zako, wafanyakazi wenzako na kwa kila hali unayopitia. Lengo la ku share nanyi story hii ni kukumbusha jinsi gani Shukrani zilivyo na nguvu. Acha kulalamika, tengeneza furaha yako huku ukimshukuru Mungu Namalizia kwa kusema, kuwa na shukrani ushuhudie kubadilika kwa attitude yako, kuwa na subira na baraka zako. Nashukuru sana kwa kusoma! Asante Mungu kwa kila kitu. Ijumaa njema yenye Baraka! share
...

S E X I N M A R R I A G E. 18+ "Aaahh!" Alikua akifikia kilele cha tendo la ndoa, akajisukuma zaidi kwa mke. Akaganda juu ya mkewe kwa dakika kadhaa akimalizia ule utamu. Baada ya hapo akatoka juu ya mkewe na kugeukia upande mwingine. Amesharidhika. Akavuta blanket na kujifunika, kuutafuta usingizi. "Kweli unalala mume wangu?" Mkewe akamuuliza. "Ndio nalala. Usiku mwema." Mume akajibu kimkato. "Vipi kuhusu mimi, hunifikirii..sijaridhika bado.." mke akaongea. Mume akabaki kimya huku akianza kukoroma. Mke akafunua blanket, na kumtikisa. "Baba J, nataka tuongee amka" Mke akaongea.. Mume akageuka kumtazama. "Unataka tuongee nini? Me nimechoka". Mume akauliza. "Kuhusu kuniridhisha kwenye tendo la ndoa. Kwanini nyie wanaume mnajifikiria wenyewe tu katika tendo la ndoa? Wanaume kama nyie mnatufanya wake zenu tuhisi tunatumiwa kwa ajili ya kuwaridhisha na kuwazalia watoto tu.... ...Ona umefika kileleni ndani ya muda mfupi tu, na hauna haja na mimi tena..umeacha mwili wangu ni wa baridi, hata kunifunika blanket umeshindwa...wewe umekumbuka kuvuta upande wako na kupiga usingizi tena ukigeukia upande mwingine usitake hata kuniona...". Mke akaongea. Mume akamuangalia mkewe. Mke akaendelea kuongea... "Unafikiri na sisi wanawake hatuhitaji sex? Nahitaji sex. Nahitaji kufika kileleni. Na mimi nahitaji nipate raha. Moja ya sababu ya kuolewa na wewe ni Sex. Ndio, nilikubali kuolewa na wewe kwa sababu ya upendo, companionship, kujenga familia, kukusaidia vilevile na kwa sababu ya sex..." Mume akaamka na kukaa vizuri kitandani.. Mke nae akaamka na kukaa huku akimtizama na akaendelea... "Sitakuonea aibu katika hilo. Napenda sex na wewe. Siwezi nikawa nimeolewa na nisifurahie tendo la ndoa. Come on mume wangu hii ni ndoa..nimehalalishiwa na Mungu tendo la ndoa na wewe bila mipaka... ..Nimekua muaminifu kwako, nahitaji kufurahia tendo, nisipopewa na wewe unatarajia ni nani anipe? Ndio naweza kusema umekuwa muaminifu kwangu ila huo uaminifu peke yake hautoshi, nahitaji kufurahia hili tendo mume wangu.." Mume akamuonesha mkewe penis yake na kumwambia, "Lakini mke wangu si unaona mwenyewe commando amesinyaa. Amelala kabisa." "So what? Kama amelala ndio huwezi kunifanyia mengine..huwezi kunikumbatia? Huwezi kuniambia jinsi nilivyo sexy? Hauwezi ninyonya hata maziwa yangu? ...Huwezi nisugua taratibu hata huku chini, huwezi ninyonya hata shingo? Huwezi hata kupitisha ulimi wako taratibu kwenye masikio yangu? Mbona najitahidi kujiweka safi kila muda kwa ajili yako.. Hata hivyo mbona ziko trick za kufanya uchelewe kufika kileleni kama ukiwaza kuhusu kuniridhisha na mimi pia.." Mke akaongea. "Kama trick gani kwa mfano?" Mume akamuuliza mkewe. "Tulia. Acha ku-pump ukiona unakaribia kufika kileleni. Toa nje nanii yako ukihisi unakaribia na anza kuninyonya maziwa yangu, nifanye nilowe, buy yourself a time. Usi-pump kwa kasi utafikiri unashindana na Usain Bolt kwenye mbio za Marathon ili uvunje rekodi ya Dunia..hii nanii yangu ni yako..ni halali yako haraka ya wapi?.." Mme akacheka. "Baba J! Unacheka wakati mwenzako nina njaa ya tendo..take time. Tendo la ndoa ni kama usanii...kuwa msanii wangu basi...chora mwili wangu kwa ulimi wako, vidole vyako na commando wako...nanii yangu inakuhitaji.. ..Natamani wanaume wote wangejua jinsi gani sisi wanawake tunapata tabu tunapokuwa na hamu halafu tusiridhishwe; ni vigumu sana kukabiliana na hiyo hali...hua tuna hasira na majuto. Ila endapo tukaridhishwa kitandani hua tunafuraha, hua tunapendeza na kuvutia.." Mke akaongea. "Eeeh Mama J leo umeamua kufunguka..aisee" Mume akamwambia mkewe. "Ndio natakiwa nifanye hivyo. Nisipokuambia nitaendelea kuumia mpaka lini? Siku moja nitazeeka, sex kwangu itakuwa haiwezekani. Ninao muda mfupi wa kujua jinsi sex na mume wangu ilivyo tamu. Mbinguni sidhani kama watu wataoa na kuolewa, hivyo hakutakuwa na tendo la ndoa mbinguni...nipe hiyo mbingu ndogo katika ndoa yangu. Drive my body crazy..uchezee utakavyo.." Mke akasisitiza. "Nimiependa sana hiyo mke wangu; sexually aggressive. Mwanamke ambae anathubutu kumueleza mumewe mahitaji yake ya tendo la ndoa ni jasiri na nia yake ya kuimarisha ndoa inaonekana dhahiri..nafikiri ni kweli sisi wanaume tusijifikirie sisi peke yetu kwenye tendo la ndoa... ...Wake wengi wana aibu kwa waume zao, wanabaki wanalala na maumivu yao...lakini kama ukiongea kwa utaratibu kama hivi..naanza kukutamani upya tena.." Mume akamalizia. Mke akalala kitandani, akatanua miguu yake na kusema..; "Safi mume wangu, sasa maneno kdogo vitendo kwa sana...nina hamu na mume wangu...usiku huu nipeleke ulimwengu mwingine..." Mume akamsogelea katika ya miguu yake, akapeleka mkono wake taratibu kunako, kwa utaratibu akaanza kukuchezea...akachezea mwili wa mke wake vya kutosha...na commando akazidi kutunisha misuli tayari kwa mashambulizi ya anga. Kadiri alivyozidi kutalii mwili wa mkewe na mkewe kutalii mwili wa mumewe, ndivyo commando alivyozidi kupata hasira kwa kutunisha misuli...mke akamkalia commando na kuanza kumuendesha vilivyo bila leseni..kwa pamoja wakafurahia round ya pili kwa kufika pamoja. ____________________________________ Kuna kila sababu ya wanandoa kuwa wawazi katika masuala yanayohusu ustawi wa maisha yao ya ndoa hasa sekta ya tendo la ndoa, haipendezi kila siku ulale na hamu zako...katika ndoa haitakiwi kila mtu apambane na hali yake. Bali kila mmoja atimize haja ya mwenzake. May your marriage have a healthy sex life. Enjoy it while your wetness and hardness lasts. GOD BLESS YOu __________________________ INUKA MWANAMKE ni kitabu ambacho kinamlenga mwanamke wa rika lolote ni kitabu kinachoongelea MAHUSIANO, ELIMU
...

S E X I N M A R R I A G E . This post Contains Explicit contents, Readers guidance is recommended. 18+. "Nitumie picha ya maziwa yako" Mwanaume mwingine akamtumia sms kupitia WhatsApp. Mwanamke kimya kimya akaenda bafuni. Akajifungia, akavua night dress yake akajipiga picha za maziwa yake na akamtumia huyo mwanaume. "Kesho utayagusa na kuyanyonya haya" akatuma hiyo sms kusindikizia picha alizotuma. Akatoka bafuni akiwa anatabasamu na akaingia kitandani alipokua amelala mume wake. Kesho anaenda kuonana na mwanaume anayetoka nae kisirisiri waliekutana kwenye moja ya mitandao ya kijamii. Huyo mwanaume amemuahidi atampa sex ambayo hajawahi kupata kwa mtu yeyote yule. Ofcourse amempa guarantee ya kumfikisha kileleni. Mke ameshamueleza huyo jamaa kwa jinsi gani mumewe ni dhaifu kwenye tendo la ndoa, kimoja tu cha dakika mbili yuko hoi. Huyu jamaa amemuondoa hofu kwa kumuahidi kumfikisha kunako. Mke amefurahi..anahitaji sex. Good sex. Jamaa akamtumia huyu mke picha ya sehemu zake nyeti. Mke akainua simu yake atizame vizuri picha ya nyeti za jamaa. "Nani huyo anakusumbua usiku huu" Mume akaamka na kumuuliza mkewe. "Ni Jane. Alikuwa ananithibitishia kuwa kesho jioni tutaenda kwenye mkesha kanisani" Mke akamwambia mumewe. Ulikuwa ni uongo. Haendi kwa Jane kesho jioni wala hakuna mkesha. Anaenda kukutana na yule jamaa hotelini kufanya zinaa. Hakuna anaejua. Ni siri yake peke yake. "Mume wangu, ngoja nimtumie sms Jane nimwambie nitakutana nae jioni" akamdanganya tena mumewe. "Sawa, mwambie namsalimia" Masikini mumewe asie na hatia akamueleza hayo pasina kujua siri iliyojificha nyuma yake. "Oh hiyo nanii yako kubwaa sijawahi ona. I cant wait kuiona ikiingia kwangu. Unanifanya nijisikie hot...naisubiri kwa hamu" Mke akamtumia sms yule jamaa. Mke akapitisha vidole vyake katikati ya miguu yake. Ameshanyoa. Tayari kwa shughuri ya kesho na jamaa. Mumewe akaanza kumgusa na kumpapasa, akajisogeza akitaka kumbusu ili apewe haki yake ya ndoa. Mke akamsukuma pembeni. Akamnyima mumewe mwili wake. "Mke wangu nini tatzo, nina hamu na wewe" "Siko katika mood, nimechoka" Mke akamwambia mumewe. "Nakupenda mke wangu" mumewe akasema na kugeuka upande wa pili. Akavuta shuka na kulala. Mke akajisikia vibaya moyoni mwake. Anafanya nini? Amegeuka kuwa muongo na mzinifu. Ndoa yake inaenda kuanguka kwa sababu ya mwanaume mwingine. Ataanzaje kuishughurikia ndoa yake kama yuko busy na ku-focus na nyeti za mwanaume mwingine? Akatizama ukuta. Hakuweza kulala. Akafikiri. Kwaio kesho baada ya kufanya hiyo ngono nini kitafuata? Huyu jamaa anataka sex tu hata kama anafahamu kuwa mimi ni mke wa mtu. Anataka sex tu. Hakuna jingine. Wanawake wengine wangapi atakuwa ameshawatumia picha za nyeti zake? Wanawake wangapi ameshafanya nao ngono? Je kama nikipata ujauzito bila shaka hatataka kuwa baba na ataikana na kusema ni ya mume wangu. Huyu jamaa hajali kuhusu malengo yangu, hofu yangu, watoto wangu, future yangu, uhusiano wangu na Mungu. Yeye anachotaka ni mwili wangu tu. Hajihangaishi ma mengime kuhusu mimi. Kwa upande mwingine mume wake ni mtu mkarimu kupitiliza. Amemuoa yeye mbali ya wanawake wengine wazuri. Ni baba bora kwa watoto wake. Anampenda. Anamsupport..na anajitahidi kumpa furaha mkewe..ndio kwenye tendo la ndoa hayuko vizuri lakini kwa huo muda mchache anaodumu kwenye temdo anamfanya mkewe ajisikie kupendwa. Mke baada ya kuwaza hayo akalia sana. Akamuomba Mungu msamaha. Akachukua simu yake. Akafuta picha za uchi za yule jamaa kwenye simu yake. "Siwezi kufanya haya. Tunachokifanya hakifai mbele za Mungu hata kwa wanadamu. Nampenda Mume wangu. Siwezi kumsaliti. Usiwasiliane tena na mimi. Sina nachotaka kutoka kwako" akamtumia hiyo sms yuke jamaa na ku-block pamoja na kufuta namba yake ili asimsumbue tena. Akazima simu yake. Akavua night dress yake. Akapitisha vidole vyake kwenye kifua cha mumewe na kuanza kuvisugua Mumewe akaamka. Akashusha mkono wake mpaka kwenye ikulu ya mumewe. Akaishika na kuiondoa nje ya boxer. Ikaanza kusimama na kuwa ngumu. "Nakuhitaji mume wangu" akamnong'oneza sikioni kimahaba. Ikulu ya mumewe ikazidi kuwa ngumu zaidi. Akainuka na kukaa juu yake..wakafanya tendo lililohalalishwa kwao. Alipohisi mumewe anakaribia kufika mwisho, akamuwahi, akasimama na kujiondoa na kumuonesha mumewe maziwa yake. Akashuka juu ya mumewe, akalala chali, kwa sauti ya mahaba akamwambia mumewe.."niko tayari kwa ajili yako mume wangu" Mume akainuka na kulala juu ya mkewe..wakaendelea na tendo la ndoa..it was so sweet.. Mke akamfanya mumewe alirelax na kwa hilo mume akakaa muda mrefu. Alimsaidia kukaa muda mrefu kwenye tendo. Kilele kitamu wakakifikia kwa pamoja Ulikuwa ni utamu wa hali ya juu ambao wao kama mume na mke hawajawahi kuupata kwa pamoja. Mke hajawahi kujihisi vile hapo kabla. Wakakumbatiana kwa muda mrefu zaidi. "Nakupenda" mke akamwambia mumewe. "Nakupenda pia" mume nae akamjibu. "Ni kweli nakupenda sana mume wangu. Asante kwa kuwa mume mzuri kwangu na baba bora kwa wanangu" mke akasisitiza. "Uko na good mood eeh" mumewe akaongea huku akitabasamu. "Mimi ni mke niliebarikiwa, ndio maana. Nimeamua kesho jioni nibaki nyumbani. Nitabaki na wewe tuombe na kuimba pamoja. Wacha tuwe na mkesha kama mume na mke." Mke nae akaongea. "Nimeipenda hiyo mke wangu, niko tayari" mume akajibu. Wakabadilishana ndimi zao kwa muda mrefu zaidi. Mke akamsaidia mumewe tena kuingia kipindi cha pili. Wakalala hoi..huku wakiwa na amani na furaha. "The greatest sex is not outside your marriage, it is at home, with your spouse. The kind of sex that comes with love, joy, peace, fulfilment and
...

SIMULIZI FUPI : BUSU KABLA YA KIFO John alimshika mkono mchumba wake Alice wakitoka nje ya ofisi za Paroko wa kanisa la Mt. Francis Ksaveri la Nyakahoja kuelekea walikoegesha gari lao pembezoni mwa kanisa hilo. Kanisa la Nyakahoja ni moja ya parokia maarufu zaidi mkoani Mwanza na ilijulikana kama parokia ya watu mashuhuri. Mtaani wengine waliita parokia ya mabishoo. Ukienda Nyakahoja siku ya Jumapili usishangae ukipigana vikumbo na Mkuu wa Mkoa, Majaji, Makamanda wa Polisi n.k kwani wakatoliki wengi mashuhuri walikuwa wanasali kanisani hapo. Zaidi ya yote ni parokia pekee iliyokuwa na misa ya kiingereza, na kihindi. Jinsi ilivyo Parokia ya Mt. Petro ya Oysterbay kwa watu wa Dar, ndivyo ilivyo Parokia ya Mt. Francis kwa watu wa Mwanza. Kanisa hilo lipo pembezoni mwa ziwa Victoria limezungukwa na ukuta uliolitenganisha na ziwa hilo kati yake na ziwa kukiwa na barabara ya kwenda Airport. Upande wa pili wa barabara hiyo kulikuwa kumetanda vibanda kadhaa vya wauza mbao na kwa mbali uliweza kuona eneo la Mwaloni ambako wavuvi na mitumbwi yao walikuwa wakibahatisha bahati zao kwenye hilo ziwa la maji baridi. Jioni hiyo upepo ulipunga taratibu huku sauti za milio ya gari zikisikika lakini kutokana na ule ukuta basi makali ya sauti hayakuwa makubwa kufika kanisani. Kwenye moja ya vibanda vya kupumzikia vilivyoko nje ya kanisa hilo kulikuwepo na kwaya ya vijana wakifanya mazoezi, huku vijana wengine wakicheza mpira wa nyavu kwenye uwanja ulio upande wa kushoto wa Kanisa hilo. John na Alice walikuwa ni miongoni mwa wachumba kadhaa waliokuwepo hapo Nyakahoja kwa mafundisho ya ndoa siku hiyo ya Jumamosi. Walitarajia kufunga ndoa mwezi wa nane kwenye Kanisa hilo Katoliki la Kiroma. Kama kawaida baada ya mafundisho wapenzi hao wawili walipata muda wa kukaa na kuzungumza mawili matatu kuhusu maandalizi ya harusi kabla ya kwenda kwenye hoteli ya Victoria katikati ya Jiji kupata chakula cha jioni. “Baba anataka kuzungumza na wewe” Alice alisema huku akimminya mkono John kwa hali ya mahaba. Hisia kubwa ya mapenzi ilimuingia John, na dakika ile alijua kuwa uamuzi wa kumuoa Alice ulikuwa ni sahihi na alikuwa tayari kuahidi mbele ya Mungu na wanadamu kufanya lolote kumpa maisha mazuri binti huyo wa watu. “Kuna tatizo gani?” John aliuliza huku akisimama kwa sekunde chache kumuangalia Koku. Pole pole na kwa mwendo wa kusuasua waliendelea kuelekea walikoegesha gari kwenye ukingo wa ukuta wa barabara, chini ya mti mkubwa. Kulikuwa na magari mengine matatu yameegeshwa eneo hilo. John alikuwa ameshika ufunguo wa gari kwa mkono mwingine huku akiurusha rusha hewani. Ilikuwa ni ajabu kwa Mzee Patrick kutoa mwito wa kumuona John, kwani wakati wowote ule John alikuwa anakaribishwa nyumbani kwa mzee huyo maeneo ya Igoma nje kidogo ya Jiji la Mwanza kwenye barabara ya kwenda Musoma. Nyumbani kwa Mzee Patrick palikuwa ni nyumbani kwa John; alienda bila mwaliko. Mzee Patrick Rutashobya, alikuwa ni mkimya na asiyependa sana kufuatilia mambo ya vijana wake na katika uzee wake amejikuta anapenda zaidi kukaa nyumbani na kuangalia wajukuu zake. Katika miaka ya utumishi wake aliwahi kuitumikia Tanzania kama balozi katika nchi kadhaa zikiwemo Zimbabwe, Ufaransa, Ubelgiji na Ujerumani. Mwaka 1997 mke wake aliyedumu naye kwa miaka 32 alifariki dunia kitu kilichomfanya mzee Rutashobya kuamua kustaafu toka katika ajira ya serikali. Hata hivyo, mzee huyo hakujifunga na huzuni au kukubali kugubikwa na majonzi bali aliendelea na shughuli zake binafsi ikiwemo kufungua hoteli mpya na ya kisasa iliyoko pembezoni mwa uwanja wa CCM Kirumba, iliyojulikana kwa jina la Paradiso. “Hakuna tatizo lolote” Alice alimjibu na kumwambia kuwa wakitoka Kanisani kesho basi aende kumuona mzee nyumbani huko Igoma. Walikubaliana kwa hilo na John alimfungulia Alice mlango na akaingia garini huku sketi yake fupi ya kijivu iliyombana mapajani ikijikunja na kuonyesha mapaja yake yaliyopendeza na kunona. John aliangalia kwa sekunde chache na kuombea ile siku ifike ile ale vya “kwake” pasipo kuiba. John alizunguka mbele ya gari na kuingia upande wa dereva. Harufu ya manukato mazuri ya Paradise ya Chanel aliyekuwa amejipulizia Koku ilijaza gari hilo. John alijihisi yuko karibu na pepo. “Alice, nakupenda sana” John alisema kabla hajawasha gari huku akimwangalia Alice aliyekuwa akijiweka vizuri kwenye kiti na kujifunga mkanda wa usalama. Koku alichukua mkoba wake na kutafuta rangi yake ya mdomoni. Alice alimgeukia John na kumvuta karibu, alimwangalia machoni na kumuambia kuwa na yeye anampenda zaidi. Wakiwa bado wamekaa ndani ya gari hilo aina ya Toyota Sequoia la rangi nyeusi iliyokuwa na vioo vya giza John alimmwagia busu zito tena la nguvu. Alice naye alirudisha busu hilo na kwa dakika chache walipeana busu motomoto; sauti za miguno zikiwatoka. Waliachiana na kuamua kutoka hapo kabla Padre Massawe hajawazukia. John alirudisha gari nyuma hadi alipopata nafasi ya kuweza kuligeuza kuelekea getini na nje ya eneo la kanisa hilo. Mawazoni alikuwa anamfikiria Alice, mapenzi yake kwake na zaidi ya yote jinsi uhusiano wao ulivyokuwa. Alimshukuru Mungu kuwa amempa mwenzi ambaye atakuwa ni mke mwema na mama wa watoto wake. Kati ya wanawake wote aliowahi kuwa na urafiki nao John hakuwahi kuwa karibu na yeyote kama alivyo kwa Koku. Akiwa na Koku alijihisi yuko huru kusema chochote, na hakuficha hisia zake. Koku alikuwa ni binti anayejua kusikiliza, na ni mcheshi. Wakati mwingie kile kicheko chake tu kilimtuliza John na kumuhakikishia kuwa mambo yatakuwa poa. Alipofika getini akiwa katika dimbwi la mawazo John aliangalia kulia na tena kushoto na kumtazama Koku aliyekuwa anang’aa utadhania malkia. John alisubiri viexpress na magari kadhaa yapite ili apate nafasi ya kuingia barabarani. “Unakumbuka tulipofanya mapenzi mara ya kwanza” John alimuuliza, huku akiangua kicheko cha kinafiki. “Nisahau nichekwe!” Alice alijibu. John alijisemea moyoni, “kweli asahau achekwe”. Wakiwa bado hapo, akili ya John na mawazo yake yakazima kuikumbuka siku ile waliyokutana kimwili kwa mara ya kwanza na mpenzi wake. Ilikuwa kinyume kabisa na mafundisho yao ya dini yaliyowataka kusubiri kukutana hadi wawe mume na mke. Ilikuwa ni siku ambayo majaribu waliyafungulia mlango na yakapita hadi chumbani. Bila ya shaka Alice naye alikuwa amepotelea kwenye mawazo hayo hayo. Walishikana mikono huku wakisubiri zamu yao kwani magari yalikuwa yakienda kwa kasi kutoka Uwanja wa CCM Kirumba ambako timu ya Simba ilikuwa imecheza na timu ya SC Villa ya Uganda. Walizama katika mawazo. * * * Ilikuwa siku ya Jumapili jioni John na Alice walielekea eneo la Nyegezi nje kidogo ya Jiji la Mwanza kwenda kuangalia kiwanja ambacho mzee Rutashobya amewanunulia ili wajenge nyumba yao. Barabara ya nyegezi ilikuwa ni ya vumbi kubwa na licha ya mvua iliyonyesha jana yake, ardhi ilikuwa kavu utadhani haijawahi kulowa. John alikata kona kwenye makutano ya barabara ya Shinyanga na ile ya kuelekea kwenye Chuo cha Jamii cha Nyegezi na baada ya mwendo kidogo alikata kona kulia tena kueleke kiliko chuo cha Uvuvi Nyegezi. Eneo hilo zaidi lilikuwa na viunga vya mpunga, na upande wa kulia kulikuwa na viwanja ambavyo vingine vilishaanzwa kujengwa. Kiwanja chao kilikuwa kwenye kona ya vilima viwili vya mawe. Waliegesha gari lao kwenye kibanda cha mafundi, na baada ya dakika chache za kuangalia angalia hapo na kumsalimia mlinzi, waliamua kwenda juu ya vilima vile vya mawe kuangalia jua linavyozama. Walifika kileleni na waliweza kuona vizuri mandhari ya ziwa Victoria likiangazwa kwa mionzi ya dhahabu ya jua linaloanza kuzama. Mawe makubwa yaliyojipanga utadhani matofali yaliwazunguka wapenzi hao wawili na kuwaficha na mtu yeyote yule huku yakiwapa kivuli kizuri na upepo mwanana wenye harufu ya Sangara toka ziwani ukiwapepea. Ndege aina ya mbayuwayu walikuwa wakiruka huku na kule huku kundi la nyangenyange likipepea angani kama herufi ya v. John alikuwa ameketi chini huku miguu yake ikining’inia kwenye jiwe, Alice aliamua kulala chali huku akiwa amekunja miguu yake, kichwa chake akiwa amekiagamia kwenye mapaja ya John. “Hivi unafikiri watamaliza kujenga kabla ya harusi?” Alice alimuuliza John huku akimuangalia kwa macho yake yenye upole wa njiwa lakini yenye kuashiria ujanja wa sungura. “Natumaini hivyo, sitaki kuendelea kupanga tukishafunga ndoa” John alijibu. John aliacha kuzichezea nywele za Alice na kuanza kufungua vifungo vya blauzi yake. Kifua cha Alice kilikuwa kimetuna siyo tu kwa kujaliwa maziwa yapendezayo, bali hata sidiria aliyovaa ni ile inayonyanyua matiti na hivyo kuyafanya yaonekane kama maembe dodo yanayoning’inia mtini. Alice alijinyanyua na kuiteremsha sidiria yake hadi tumboni bila kuifungua. Alirudi na kuendelea kuegama kwenye mapaja ya mpenzi wake. John, huku mkono wake wa kushoto ukiwa unampa egemezo kwenye mwamba, mkono wake wa kulia ulinza kuyachezea matiti ya Alice, na kwa upole kama anayegusa almasi alizichezea chuchu za binti huyo wa Kihaya. Alice hakusema kitu bali alifumba macho na kufurahia mikono migumu ya mpenzi wake iliyompa raha isiyo kifani. Jua lilikaribia kuzama kabisa na rangi ya mionzi yake ilibadilika toka ile ya dhahabu na kuwa nyekundu ya damu. Ndege walianza kutoweka angani na kurudi kwenye viota vyao. Alice alikuwa fundi wa mapenzi. Hakumbakishia wala kumpa kwa kibaba alimpa yote huku John na yeye akijibu mapigo kiufundi. Walikuwa wamelowa jasho walipofika kilele kwenye miamba ya jiji la Mwanza. Kwa karibu dakika chache waliendelea kukumbatiana huku wakitaka muda usiende au kesho isije. Walipomaliza kiza kilikuwa kimeshaingia. Bila ya haraka wakavaa nguo zao, kuanza kuteremka kutoka vilele vyote viwili; kuelekea walikopaki gari lao. Mlinzi alisema alianza kuingiwa na wasiwasi lakini John alimhakikishia kuwa walitaka tu kuona jua “linavyozama” kando ya “ziwa Victoria”. Mzee wa Kimakonde hakujua walimaanisha nini. Waliondoka na kurudi nyumbani. * * * “John, angalia gari hilo!” Alice alipiga kelele kumzindua John aliyekuwa bado amezama kwenye dimbwi la kumbukumbu ya tendo la mapenzi siku kule Nyegezi. John alishtuka na kuzinduka. Alikuwa ameishaanza kuingia barabarani na hakupata nafasi ya kuliona lori la Scania lilikokuwa linakuja kwa kazi likitokea Pasiansi. Licha ya jitihada zake za kukata kona na kuongeza kasi kuokoa maisha yake na ya mpenzi wake hakuweza kulizidi mwendo lori hilo. Sauti ya breki zilisikika huku matairi ya gari yakisugua barabara hiyo ya lami. Wapenzi hao hawakuwa na nafasi! Kwani lori la Scani hilo lililokuwa limesheheni magunia ya dagaa liliwaparamia kwa nguvu zote na kusababisha mlio mkubwa wa mgongano uliosika hadi maeneo ya Hospitali ya Sekou Toure. Lori hilo liliwaburuza kwa karibu mita mia moja hadi kwenye lango la shule ya Nyakahoja huku gari lao la Toyota likiwa limekunjwa kunjwa kama karatasi! Magari hayo mawili yalipoweza kusimama, matokeo yalikuwa ni dhahiri. Miili ya wapenzi hao ilikuwa imepondwa pondwa huku baadhi ya viungo vyao vikiwa vimetupwa kando ya barabara na damu ikiwa imesambaa ndani ya gari lao. Ndoto ya maisha yao baada ya ndoa ilifutiliwa mbali kama jani linavyopeperushwa na upepo. Kwa dakika na muda wa karibu miaka miwili tangu wakutane, wapenzi hao wawili wakawa wameiunganishwa milele kwa damu. Msiba wa John na Alice ulikuwa mkubwa; uliouma wengi na ulioacha kumbukumbu za kudumu katika parokia ya Nyakahoja. Walizikwa pamoja kama wachumba; hawakupata nafasi ya kufunga ndoa katika maisha haya; lakini mauti iliwafunga pingu ya mwisho. MWISHO
...

UTAFITI: HAKUNA MWANAUME MPOLE NA MNYENYEKEVU KAMA ANAECHUMBIA #inasikitisha , poleni sana wanawake Huenda binti akahisi anachumbiwa na malaika au shemasi kwa namna kijana anaechumbia anavyoonesha nizamu na unyenyekevu wakati anamchumbia kumbe ndani ni fisi asiye na hata chembe ya huruma. Ikishafungwa ndoa tu ndio inakua kama kipyenga cha ubabe, vipigo, usaliti na kila aina ya ubaya kimepulizwa, ni wanaume wachache mno wanaoenzi ndoa na viapo walivyoapa kwa wake zao, wengi huwakumbuka wake zao warudipo nyumbani, wamewafanya kuwa ni vyombo vya starehe na kuzalishia watoto, inasikitisha sana kuona wanawake thamani yao imekua ikilinganishwa na soda barid au viburudisho. Wanaume wengine wanawageuza wake zao kua punda wa kazi zao za nyumbani na kuwalelea watoto wakati wao wapo vijiweni wanakunywa kahawa na kupiga soga. Laiti kama wanaume wote wangedumisha tabia zao walizoonesha kwa wake zao kipindi cha uchumba leo hii kusingekua na haja ya kua na Taasisi za kutetea haki za wanawake. Wanawake wangezifurahia ndoa zao, visa kama kupigwa, kuachwa, kutelekezwa na watoto, kuuawa, kukatwa mapanga, kusalitiwa n. k visingekuepo katika jamii. Hivyo ndivyo ambavyo ingekua kama WANAUME wangedumisha tabia walizoonesha wakati wa uchumba, Ila kitendawili ni kwamba wanaume wa namna hiyo utawapata wapi miaka hii ya digitali? Wanawake wengi wamekua wakiumizwa sana na kulia kutokana na visa vya waume zao, ila cha ajabu ni kwamba hakuna hata mwanamke mmoja anaekiri kuwa mmewe alikua hivyo toka wanakutana kwa mara ya kwanza. Tabia mbaya za mwanaume ikiwemo ubabe, ukatili, wivu, ugomvi n. k huwa zinajificha anapokua anamfuatilia binti. Utafiti nilioufanya mwenyewe (mimi B professional love) nimegundua wanaume wengi ni kama vinyonga, hubadilika kulingana na mazingira, hivyo ni vigumu sana mwanaume yeyote kuonesha madhaifu yake kipindi cha uchumba ndio maana mwanaume anaweza hata kuazima gari la rafiki yake ili aendee kumchumbia binti ilimradi tu asionekane mtu wa dhiki. Naamini nitakua nimewachoma wanaume wengi ila huo ndio UKWELI, yabidi wanaume kutafakari kiwango cha upendo na mapenzi kwa wake zao je! Ndio kile walichoonesha tangu uchumba au kimeshuka!? Kisha kubadilika itasaidia kuwatua mzigo wake zenu wa kulia na kujutia ndoa kila siku, itasaidia pia kupunguza majanga yasiyo ya lazima katika jamii ikiwemo watoto wa mitaani, mauaji ya wanawake n. k TAFADHALI SHARE IWAFIKIE WENGI ZAIDI Nakutakia siku Njema, Mungu Akubariki na kukulinda Usisahau ku LIKE
...

BUSARA ZA AJABU ZA BABA KWA KIJANA WAKE Kijana baada ya kuoa na kuingia rasmi katika maisha ya ndoa, alimtembelea baba yake na kumuambia, "BABA NATAMANI KUWA MUME BORA KWA MKE WANGU, NAOMBA UNIPE SIRI, NI TABIA ZIPI HASA MWANAMKE HUZICHUKIA TOKA KWA MMEWE ILI NIJIEPUSHE NAZO" Baba yake alitabasamu akamwambia, "Hakika mwanangu umeuliza swali mubashara wakati muafaka, zifuatazo ni tabia mbaya za wanaume ambazo wanawake huzichukia mno, 1. UBAHILI: tabia ya ubahili waliyonayo wanaume wengi imekua kero kubwa mno kwa wanawake wao hususani kipindi hiki ambapo ela imekua adimu mtaani. Wanawake wengi hawapendi ubahili wa waume zao, wapo wanaofikia kuchepuka ili kupata wanavyovitaka kutokana na waume zao kuwa na mkono wa birika, UBAHILI. 2. UBINAFSI: Wakati fulani mwanaume hupendelea kufanya mambo kwa ubinafsi bila kuzingatia hisia za mkewe au familia yake na mahitaji yao. Wakati mwingine mwanamke anashindwa kuvumilia tabia hii yenye kuudhi na humpendelea mwanaume anajitoa kwa ajili ya furaha ya familia yake. 3. AHADI ZISIZOTIMIZWA: Mwanamke anamchukia mwanaume anayeahidi bila kutekeleza alichokiahidi. 4. UBABE: Mwanamke hapendi kuishi na mwanaume mbabe na anayetumia mabavu katika maisha yake yote. Daima mwanamke humpenda mwanaume anayemheshimu na kumuunga mkono katika maisha, sio mwanaume mbabe, mbinafsi na anayetaka kutumia mabavu yake. 5. WIVU ULIOPITILIZA: Mwanamke hapendi kuishi na mwanaume ambaye muda wote anamuonea wivu na kumshuku kupitia kiwango. Sifa na tabia hii inaweza kuzorotesha uhusiano wa kindoa. 6. UONGO : Mwanamke hampendi mwanaume dhaifu anayeogopa kusema ukweli, na anayemuongopea ili kuficha makosa na kasoro zake. Hivyo, inapendeza zaidi mume akiwa muwazi kwa mke, japo wakati fulani huwa na ugumu, kwa sababu hilo litamfanya apate kuheshimiwa na mkewe. Kama ambavyo ukweli husaidia kuondosha mikingamo baina ya wanandoa, kadhalika uongo huyafanya matatizo yao kuwa magumu zaidi. 7.USALITI Hii ni tabia inayowaudhi mno wanawake hususani pale inapotokea anakupenda kwa dhati toka moyoni na kukuamini mwishowe anakuja kugundua unamsaliti. Hakika moyo wake huumia mno na huweza kupelekea kubadilika na kufanya maamuzi magumu juu yako au ndoa yenu ikiwemo kujiua, kukuua, kurudi kwao au kuwakubalia wote waliokua wakimtaka ili kulipiza kisasi. 8.KUTORIDHIKA inapotokea mwanamke amejitoa kwa moyo wake wote kukupenda na kukutimizia kila hitaji la moyo wako jifunze KURIDHIKA, hata kama hakutimizii kwa asilimia 100 maana hakuna binadamu aliyekamilika, tosheka, mfunde ili kuongeza ufanis wake na kujenga ndoa yenu. Mwisho kabisa jitahidi kufuatilia makala murua na mafunzo mbalimbali ya ndoa na maisha anayotoa 🅱 professional love hakika utajifunza mengi mno katika kufanikisha ndoa imara na familia bora yenye amani, furaha na mafanikio tele". Kama unakubaliana na busara za Baba hapo juu SHARE POST HII IWAFIKIE WENGI ZAIDI Nakutakia siku Njema, Mungu Akubariki na kukulinda Usisahau ku LIKE
...

MKASA WA KUSISIMUA: HAKUNA LAANA MBAYA KAMA KUMKANA MAMA YAKO MZAZI #inasikitisha pole sana binti *🌹Binti mmoja ambaye alitokea katika familia masikini alifanikiwa kusoma kwa shida mpaka kufanikiwa kuwa mwanasheria. Alipata kazi nzuri, akiishi katika nyumba nzuri ya kifahari.* *🌹Pamoja na maisha mazuri lakini binti aliwasahau kijijini kwao, alikua akituma pesa kidogo lakini hakutaka kwenda. Alitaka kuyasahau maisha yake yote ya mateso ya kijijini.* *🌹Hata kwa marafiki zake alijitambulisha kama kazaliwa Dar huku akidanganya kuwa wazazi wake wamefariki nayeye alikua ndiyo mtoto pekee, hii ni kwasababu marafiki zake wote walikua wakitoka katika familia za kitajiri.* *🌹Baada ya kukaa muda mrefu bila kufika kijijini kwao wazazi wake walipata wasiwasi, huku wakiwa na wasiwasi kuwa kuna kitu kimempata, walichangisha nauli na Mama yake ambaye alikua mzee sana alipanda gari na kwenda kumuona mjini.* *🌹Alipelekwa na jirani yao mmoja ambaye alikua akifahamu alipokua akiishi yule binti. Mama alifika na kukuta binti akiwa na afya nzuri, hana tatizo lolote. Binti alikasirika sana kumuona Mama yake kwani alikuja bila taarifa.* *🌹Hakumsalimia vizuri na kila saa alikua akimlaumu kwanini hakupiga simu kwanza na kama ni hela si angesema amtumie. Mama huku akitokwa na machozi ya furaha alisema shida yake haikuwa hela bali kumuona mtoto wake baada ya muda mrefu.* *🌹Binti alimdanganya Mama yake kua ile nyumba ni nyumba ya kampuni hivyo haruhusiwi kuishi na mtu yoyote kutokana na kazi aliokuwa anaifanya hivyo yeye asingeweza kuishi pale.* *🌹Mama hakuwa na maneno, alimuambia hamna shida yeye kwakua ashamuona mwanae roho yake imetulia kwani hakuenda kukaa pale alienda tu kumuona.* *🌹Binti alimuacha Mama yake apumzike siku ile na kesho yake ili siku inayofuata apande gari kurudi kijijini. Siku iliyofuata baada ya kutoka kazini rafiki zake walikuja, kulikua na sehemu ambayo walishapanga kwenda.* *🌹Walimkuta Mama yake akiwa nnje akipunga upepo. Walimsalimia vizuri na binti alipowaona aliwakimbilia kuwawahi ili Mama asijitambulishe kwao, alifika na kuwaharakisha rafiki zake ili waondoke.* *🌹Walipotaka kujua ni nani, alijikuta anadanganya “ Huyo Mama amepotea njia, alipita hapa alikua anamtafuta mtoto wake akakosea nyumba, sasa ndiyo namsaidia, aligonga kwangu kuomba simu, kwani alikua na namba ya mwanae kwenye kikaratasi.* *🌹Nimeshampigia mwane atakuja kumchukua. Binti alionge akiamini kuwa kesho yake anamuondoa Mama yake mule ndani hivyo rafiki zake hawatamuona tena.* *🌹Wakati akiongea yale maneno hakujua kuwa Mama yake anasikiliza, alistuka baadaye alipogeuka wakati anafungua mlango wa gari ili aingie. Mama yke alikua anatokwa na machozi, binti alijikaza kama vile hakumuona akaingia kwenye gari na kuondoka.* _____________________ *🌹Baada ya mizinguko yake binti alirudi nyumbani, hakumkuta Mama yake, alimuuliza mfanyakazi wa ndani akasema hajui, alijua wameondoka wote kwani alimuacha nnje wakati yeye anatoka na gari.* *🌹Binti alianza kupaniki, alisubiria mpaka usiku wa mamnane lakini Mama yake hakurejea. Hapo alianza kuchanganyikiwa, kichwa kikikumbuka maisha ya shida waliyopitia, namna ambavyo Mama yake alivyoteseka kwaajili yake.* *🌹Machozi yalinza kumtoka akijutia mambo aliyomfanyia Mama yake. Alimtafuta yule Kaka ambaye alimleta Mama yake pale lakini hakuwa akijua chochote. Usiku ulipita akiwa macho, asubuhi alilazimika kwenda kazini kwani alikua na kikao.* *🌹Lakini mchana alishindwa kuvumilia, ilibidi kwenda Polisi na kuanza kumtafuta Mama yake lakini hakupatikana. Siku moja ilipita na hatimaye yapili ilipita bila kumuona Mama yake, alianza kuwa na wasiwasi.* *🌹Akiwa ofisini hajui hili wala lile rafiki yake mmoja alikuja, walianza kuongea akiwa hana raha kabisa. Rafiki yake alimuuliza tatizo lilikua nini akaamua kumuambia, lakini kabla hajaanza kuonge arafiki yake alisema.* *🌹“Halafu shogaa nilitaka kusahau, unamkumbuka yule Bibi ambaye tulimkuta kwako jana?”* *``Ndiyo namkumbuka! Amefanya nini? Umemuona wapi?” Alijikuta anadakia kwa haraka kutaka kujua.* *Basi jana wakati natoka kazini nikapita sehemu, nimekuta watu wamezunguka, kumbe kagongwa na bodaboda kaumia kichwani, watu wakawa wanakimbia kukwepa ushahidi.* *🌹Namimi nikapita, sasa baadaye narudi kumbe watu walimuacha pale Bibi wawatu mpaka Polisi wanakuja lisaa lizima baadaye basi Bibi wawatu kashafariki. Kusema kweli roho iliniuma sana kwa kumpita bila kumsaidia…”* *🌹Rafiki yake aliongea kwa masikitiko, lakini kabla hajamalizia yule binti alidondoka na kupoteza fahamu. Alizinduka yuko hospitali kazungukwa na marafiki zake na mchumba wake.* *🌹Walimuuliza sababu ndipo alipoamua kuwaelezea, kila mtu alimshangaa kwa kumficha Mama yake, walihangaika kumtafuta wakakuta maiti yake, wakamsaidia kusafirisha maiti mpaka Kijijini.* *🌹Walizika salama lakini baada ya kurudi mchumba wake alimuacha, marafiki zake wote aliokuwa akiwaona wa maana walimtenga kutokana na tabia zake. Binti alishikwa na msongo wa mawazo.* *🌹Kila siku ilikua mtu wa kulia tu, alishindwa kufanya kazi vizuri, jambo lililopelekea *afukuzwe kazi*. *Kafukuzwa nyumba ya kifahari aliyokua akiishi na sasa yuko mtaani akitafuta ajira huku akiona hata aibu kurudi nyumbani kuwaona ndugu zake.* Kama kisa hiki kimekugusa na unampenda sana Mama yako, unakumbuka asili yako #SHARE na marafiki zako, kuna mtu atajifunza kitu hapo😑 Nakutakia Siku Njema, Mungu Akubariki na kukulinda Usisahau ku LIKE
...

NENO #KUNTU LA LEO " Mwanamke bora huwa anajiamini ndani ya ndoa yake, humuamini mmewe sio kila siku hofu kibao mme akichelewa tu kidogo kurudi ugomvi, hofu ya mumeo kuchepuka inatokana na ukweli kuwa hujasimama katika nafasi yako kama mkewe sawasawa ndio maana unajihisi kama mtu anayeogea nje. Iwapo unatekeleza wajibu wako kikamilifu ikiwemo kumshauri, kumfariji, kumuombea Mungu, kumtia moyo katika kazi zake na kumuunga mkono katika jitihada zake kimaendeleo huna haja ya kuingia hofu ya kusalitiwa" FUNZO Ni vema mwanamke ukatafakari nafasi yako kwa mmewe, kabla hujamlaumu kwa kuchelewa kurudi nyumbani, kuchepuka, kusifia wake za watu n. k jitafakari amekosa nini kwako hadi afikie kufanya matukio kama hayo kisha jirekebishe. Tambua sababu ya yeye kuchepuka nje ya ndoa ni kwenda kutafuta vile anavyovimis kutoka kwako ikiwemo faraja, aman, mapenzi moto moto, ushauri wenye tija kimaendeleo, ukarimu, ucheshi, heshima, upendo, upole, unyenyekevu, usafi na shukrani UPO?👌🏿 Kama umenielewa SHARE ujumbe huu uwafikie watu wengi zaidi katika jamii andika IMEPENYA HIYO kisha SHARE mara nyingi uwezavyo Nakutakia siku Njema, Mungu Akubariki na kukulinda Usisahau ku LIKE
...

MADA YA LEO NI MAANDALIZI YA MKE KWA MUME. WALENGWA NI MWANAMKE. By B professional love Ni matumaini yangu mmeamka salama, wadau wa ukurasa huu. Leo tena nimeamua kuirudia Mada ya MAANDALIZI, ingawa leo nitaizungumza katika upande wa pili! Leo nitaogelea katika bahari ya Maandalizi ya Mwanamke kumfanyia Mwanaume, kadiri Mungu atakavyoniwezesha. Baada ya jana, kugusa umuhimu wa maandalizi kwa wote, leo nakuja tena na maandalizi Ila leo yatakuwa kwa Wanawake kuwafanyia Wanaume zao. Mwanamke unatakiwa uwe mbunifu katika nyumba yako, wewe unapokuwa au kurudi nyumbani, hakikisha Bwana/Mume akirudi akukute upo safi na upo tayari kwa mchezo, Ufanye uradi wako kumsinga bwana, kwani singo huamsha hisia sana za mapenzi, kwani misuli ikisuguliwa damu hutembea kwa kasi kubwa na kuifanya itume haraka mawasiliano katika ubongo na katika uume! Pia harufu ya Msio itamburudisha bwana/mume sana. Ukifanya hivyo itamfanya Mwanamme ahemkwe na uchu umuingie atake kufanya tendo la ndoa. Yaani Mwanamke unapotoka kuoga usiku na mapema, tafadhali jipodoe uwezavyo kama unataka kwenda harusini au katika shughuli pambe, kisha vaa nguo nyepesi kama kanga moja au Night dress inayoonesha hadi ndani! Wakati huo usivae chupi kabisa, Hakikisha shanga au cheni zako kutegemea na uwezo wa mtu, zisikosekane kiunoni, kwani kiuno kisishovaliwa shanga, au cheni huwa hakivutii kukishika! Pia hakikisha chumba chako kiwe safi kimetandikwa shuka ya gharama, chumba kinanukia uturi, mtoto wa kike ushakula vitu vyako macho yasharembuka kabla bwana hajaingia home, Yaani upo jicho nyanya! Amini akija akikukuta hivyo hakuachi asilani abadani. Atataka mambo umpe hata kama amechoka! Kwani wanaume wanaotoka nje ya ndoa/wenza wao, huko nje wanakutana na wezi wa waume za watu wakiwa na mbinu hizi, sasa ni bora ukazifanya wewe ili kumdhibiti mumeo! Sasa mume/Bwana anarudi kazini labda saa nne usiku, anakukuta bado hujaoga, akikuuliza “Umeshaoga?” Unamwambia eti “Nimeoga jioni hii hii!!!” Wakati umeoga tangu saa tisa alasiri. Wewe tangu ulipoamka asubuhi, ulichojua ni kupiga mswaki ukanawa uso, ukaanza na chai na mambo yako mengine! Mbaya zaidi hata mavazi yako, bado umeng’ang’ania matenge yako, gauni au suruali toka asubuhi, unanuka jasho upo hovyohovyo, Nywele timtim hayo matamanio huyo bwana yatatoka wapi? Chakula kizuri humvutia mlaji kwa kukitazama tu, kikamtamanisha ndiyo akakila, zinduka mwana ndoa/mahusiano! Jizoeshe kumnyoa Mavuzi mpenzi wako, kwani unakaa na Mume, wewe hujawahi kumnyoa hata siku moja, lakini huyaoni Mavuzi kwa mpenzi wako, basi tambua yupo anaemnyoa! Hakikisha usiku umepiga mswaki kabla ya kulala, hata ukimpa ulimi bwana anaupokea tena ukiwa safi, lakini kinywa kinachopigwa mswaki mara moja, tena husugui ulimi, wala kaa la juu la mdomo, wewe umeng’ang’ana na meno ya mbele na magego umemaliza! Hee, huo mdomo utanuka, kisha utasema mie mtu wangu hapendi kabisa kula denda! Aaa wapi denda anakula nje huyo, badilika mwanamke! Au mwanamke unavaa chupi moja siku mbili au tatu, ukienda kunawa huko chini hutii kidole na kutoa utoko wewe unasugua mashavu ya uke tu, kisha unataka unyonywe uke, weeeee nani unataka kumuumiza koo lake umpe fangasi?! Kwani uke usiotiwa vidole wakati wa kuuosha na kuuchokoa ndani, kuna Bakteria wanaitwa TRAKOMONAS, hupelekea kuwashwa kwa uke, na mtu atakaeunyonya uke huu, muda wowote asishangae akipata mafindofindo! Au kukaukwa midomo. Weka safi uke wako mwanamke, kwani mapenzi ni Uchafu unaotokana na Usafi! Mwanamke wakati wa majambo acha kutumia kitanda peke yake kufanyia tendo la ndoa, utamchosha huyo mwanaume! Tena wewe unajua kulala chali tu, ukijitahidi sana umebadilisha Style unalala ubavu, umemaliza kabisa ndiyo umemkalia juu bwana! Hebu kifanye chumba kizima ni sehemu ya mapenzi, yaani wewe kuwa mwehu wa mapenzi, fanya ngono chini, kitini, bafuni, sebuleni, wima, jikoni, shika ukutani, kaa mkao wa kiduku, inama, ilimradi fanya mapenzi kila penye falagha! Hapo mwanamke nyonga ndiyo mahala pake, nyonga minyato nyonga kasi, Tena usiwe bubu katika jambo hilo! Zungumza, Lia mtoto wa kike, legea, nyegezeka, badilisha sauti hiyo, mtazame usoni mwenzio kwa jicho la mahaba, kataa kufumba macho utawaza vitu vingine bure! Muulie “Vipi Honey unaenjoi kama mimi? Nambie nikupe nini, nambie mpenzi wangu nikuridhishe, Niambie nikaeje unavyopenda wewe?” Hapo utamsikia mwanaume anakujibu, “Naridhika mpenzi, tena kuliko wewe unavyoinjoi, sikuachi mpenzi wangu raha hizi nitazipata wapi mie?!” Sasa wewe fanya haya kisha huyo mwanaume wako atoke nje, thubutu miaka mia nane, hatoki nje! Vitu vyake sanjari na pesa, utazizoa, mshahara utaweka wewe, na matumizi utapanga wewe! Lakini ukisema aende tu huko nje, hapa atakuja kulala, unabweteka kisa eti umeolewa, au ushavishwa pete! Weee haya weee wacha wanawake wenzako wamfaidi huyo bwana, mwisho aje kuhamisha mashati na suruali ahamishie nyumba ndogo huku akikunanga! Mwanamke unapomaliza majambo na mwenzio, hakikisha unamfuta vizuri, huku unampa pole, na hongera kwa kukojoa! Mbusu mdomoni, mbusu mashavuni, mbusu kwenye paji la uso! Kwa kufanya vivyo, utakuwa umejenga ngome imara sana, bwana akiwa mywaji, amini mtatoka wote, au atakuja mnywee nyumbani, akenda kuangalia mpira kabla filimbi ya mwisho utamuona anambwelambwela anataka kuwahi nyumbani! Kwa haya machache, leo nakomea hapa.
...

MBINU ZA KUMWOMBA MSAMAHA MPENZI WAKO Marafiki zangu kukosea katika maisha ya binadamu ni kawaida. Ni sehemu ya maisha yake. Tena inaaminika kwamba, kukosea ni kujifunza, maana kosa utakalofanya leo ni funzo la kesho. Hii ipo pia hata katika uhusiano na wapenzi wetu, mara kadha wa kadha tumejikwaa na kuwakosea. Hakuna cha ajabu. Ni kawaida kabisa, lakini jambo la msingi hapo ni kwa namna gani tunajifunza kupitia makosa. Ni kwa jinsi gani tunamaliza tofauti hizo. Maana unaweza kuwa hodari wa kukosea au ukawa bingwa wa kusamehe, lakini wimbo huo ukaendelea kubaki hivyo hivyo kila siku. Lakini pia, wapo ambao kwa bahati mbaya, bila matarajio yao, wanajikuta wakiwa wamewaudhi wapenzi wao. Ni bahati mbaya na yawezekana kabisa wanaumia sana mioyoni mwao, lakini wakashindwa jinsi ya kumaliza ‘bifu’ hilo katika penzi lake. Siku zote mkosewa hukosa raha, hupoteza hamu ya kukutana na mpenzi wake lakini kubwa zaidi, hujishusha/hukushusha thamani ya mapenzi yake kwako. Lakini mkosewa huyo huyo, akioneshwa kwamba makosa yaliyofanyika hayakuwa ya makusudi na kutumia njia bora za kufikisha hisia zako kwake, hujisikia amani na hali yake kurejea kawaida. Rafiki zangu, yawezekana ukawa upo katika kipindi cha matatizo na mpenzi wako na hujui jinsi ya kuweka mambo sawa. Wakati mwingine huna tatizo, lakini kwasababu upo kwenye uhusiano basi si ajabu mambo kwenda mrama siku moja. Hapa chini, nimekuandalia mambo matano muhimu ya kuzingatia unapokuwa umekwenda kinyume kidogo kwa mpenzi wako. Weka ubongo wako wazi, kuruhusu somo hili kichwani mwako, ambalo litakuwa hazina yako na mwongozo katika uhusiano wako. KOSA LINA UKUBWA GANI? Hapa tayari umeshagundua kwamba umemkosea mpenzi wako na ni kweli kwamba unaumizwa sana na kosa lako, lakini kwasababu hujamwambia chochote, naye hana raha na wewe. Hana amani ya moyo. Hapa unashauriwa kutulia na kutafakari ukubwa wa tatizo. Kufahamu ukubwa wa tatizo kutakupa muongozo mzuri sana wa jinsi ya kutatua tatizo hilo. Angalia ulimfanyia nini na kwa kiwango gani? Mathalani unaweza kuwa ulimuudhi kwasababu alikupigia simu zaidi ya mara kumi bila kupokea, akakasirika. Hili ni kosa dogo. Lakini yawezekana alikuta sms ya mapenzi kwenye simu yako au alikufumania; haya ni makosa makubwa. Tafakari na ujue ukubwa wa kosa lako. ONESHA UNAVYOJUTA Hii ni kwa ajili yako wewe mwenyewe. Rafiki zangu, kutakuwa hakuna maana yoyote kuomba msamaha wa kinafiki au kuomba msamaha ili kumaliza mambo, kama msamaha wako haujatoka moyoni. Ukiwa peke yako, jiaminishe kwamba umekosea na kwa hakika unahitaji kusamehewa. Jutia ndani ya moyo wako, kwa dhati kabisa ukiwa na ahadi kwamba hutarudia tena. Hili ni zoezi la Kisaikolojia, ambalo litakusaidia baadaye wakati ukikutana na mpenzi wako kwa ajili ya kuomba msamaha. KUWA MKWELI Omba kukutana naye. Yawezekana hata mawasiliano si mazuri sana, lakini hapa jitahidi kumuomba mkutane, ikishindikana, tumia mtu wa karibu sana na yeye. Omba kutoka naye kwa ajili ya kuzungumza. Mweleze ukweli wa kosa lako, onesha jinsi linavyokutesa na kukusumbua. Usijaribu kuongea uongo wowote katika suala hili. Kuwa mkweli. Jutia kwa moyo, aone majuto yako usoni mwako. Mwambie jinsi unavyoteseka na jinsi msivyo katika maelewano mazuri. Kauli yako ya ukweli, hisia zako wakati wa kuzungumza, ndivyo vitakavyokuweka katika mazingira mazuri ya kuweka mambo sawa. MHAKIKISHIE HUTARUDIA Bila shaka, kama utakuwa umefuata taratibu zote hizo kwa umakini, uwezekano wa kusamehewa ni mkubwa sana. Hili ndiyo matarajio yangu, naamini hata wewe pia, lakini ili msamaha huo ukamilike, mhakikishie mpenzi wako kuwa hutarudia tena. Mwambie kwa kumaanisha, kwamba umegundua udhaifu wako na haupo tayari kumfanya tena asiwe na furaha tena. Hakuna uchawi ni maneno tu! FANYA KITU MAALUM Hapa unatakiwa kufanya kitu maalumu kwa ajili ya mpenzi, ukionesha kwamba umekubaliana na msamaha wake na mambo yameisha. Kitu utakachokifanya hapa utalinganisha na ukubwa wa kosa kama nilivyosema awali. Mathalani unaweza kutoka naye na kwenda kulala naye hotelini, ukihakikisha unampa mahaba mazito kama shukrani kwake. Yapo mengi ambayo unaweza kuyafanya kulingana na uwezo wako kifedha. Fanya vyovyote ili kosa lile lisahaulike moja kwa moja! Nimeeleweka? Ahsanteni sana marafiki zangu, hadi wiki ijayo tena kwa mada nyigine nzuri zaidi itakayokupa mwanga mpya katika maisha yako ya kimapenzi.
...

UNGEFANYA NINI? Mwanamke alimkimbia mumewe na akamuachia mtoto mwenye miaka mitatu. Sababu kubwa ya kumkimbia mumewe ni kwamba alipata boyfriend mwenye hela ambaye alikuwa akiishi Michigan huko Marekani. Huyo Boyfriend au mchepuko wake walijuana kupitia mitandao ya kijamii. Walizoeana sana na mwisho yule boyfriend wake akamuahidi kumtafutia viza ya kuishi Marekani. Na kweli baada ya miezi kadhaa yule mwanamke alimtoroka mumewe na kutokomea Marekani, huku akiacha taarifa kwamba asitafutwe tena, anaenda kuanza maisha mengine mapya. (mumewe alifirisiwa kutokana na kutuhumiwa ubadhirifu wa mali za kampuni alikokuwa akifanya kazi). Kutokana na msongo wa mawazo na upweke kwa kipindi kirefu tokea mkewe amtoroke, yule mwanaume akaamua kuoa mke mwingine. Kwa bahati mbaya yule mwanamke mwingine aliyeolewa hakuweza kushika mimba. Hata hivyo yule mwanamke mwingine alimtunza vema mtoto wake wa kambo kama mwanae vile. Miaka michache baadae, yule mume alifariki kwa ajali ya gari alilokuwa akisafiri nalo kwenda kijijini kufanya biashara ya mazao. Mke wake wa pili alifanya kila jitihada kwa uwezo wale wote kumsomesha yule mtoto, na Mungu hakunyimi vyote kwani yule mtoto alikuwa na uwezo mkubwa wa kiakili. Mwanamke aliuza nyanya sokoni, alitembeza ndizi, alichoma mahindi barabarani na kadharika ilimradi aweze kujitunza yeye na yule mtoto wake wa kufikia. Yule mtoto alijua kwamba yule ndiye mama yake halisi na ndiye aliyekuwa akimuita mama. Mama yake halisi aliyetorokea Michigani, Marekani, hakuwahi hata siku moja kutuma salamu au kuwasiliana na mtoto wake, ingawa alipata habari kwamba mumewe wa zamani alifariki kwa ajali. Miaka mingi ilisonga na kijana alikuwa kwa akili na kimo, alikuwa Chuo kikuu akisomea Uhandisi wa mafuta na gesi (Bachelor of science in petroleum Engineering). Mama yake halisi aliyeko Marekani hakuweza kupata mtoto tena na yule mwanaume mwingine aliyemuoa, na kwa hilo yule mume wake mpya aliamua kumtimulia mbali. Kwa kutambua kuwa alifanya kosa kumkimbia mwanae, aliamua kurudi nyumbani kumtafuta mwanae na kumkabidhi utajiri alioupata akiwa Marekani (gawiwo la nusu kwa nusu la mali baada ya kutalikiana na mumewe wa Marekani) Bahati mbaya alifika na kumkuta mwane akipigania kati ya uhai na kifo kutokana na kufeli kwa figo zake. Madaktari walikuwa wakihitaji pesa nyingi kwa ajili ya upasuaji, pesa ambazo mama yake wa kambo alishindwa kabisa kuzipata. Mama yake halisi kutoka Marekani aliingilia hilo suala na kulipa pesa zote za hospitali kwa ajili ya matibabu, pia akatoa figo yake moja na maisha ya kijana yakawa yameokolewa. Baada ya matokeo ya mwisho ya chuo kikuu kutoka, kijana alipata ufaulu wa hali ya juu (first class degree) na akapewa ufadhili wa kwenda kusomea shahada ya uzamili (master's degree) na baada ya hapo udaktari wa falsafa (phd) huko Burnley, Uingereza. Katika kupokea cheti chake siku ya mahafali chuoni kwao, makamu mkuu wa chuo alimpa kipaza sauti kijana na kumwambia amuite mama yake katika stage na kupokea cheti cha heshima. Baada ya makamu mkuu wa chuo kusema hayo, mama yake halisi aliyemkimbia alisimama na kujiweka sawa kusubiri kuitwa na mwanae, wakati mama yake wa kambo aliyemlea tokea mdogo akiwa bado amekaa huku machozi mengi yakimtoka huku akimuangalia mwanae wa kufikia kule mbele. Jibu naliacha hewani......................... Fikiria wewe ndio huyo mtoto, utamuita nani aje kule stejini kupokea hicho cheti? A) Mama wa kambo B) Mama mzazi Nahitaji majibu yenu, kama huna share kwa wengine waje na majibu.
...

KWELI NI MTAMU, SHAPE MZURI , LAKINI KWA JAMBO HILI NIMEAMUA KUMUACHA asikwambie mtu, mi ni mroho wa shape za kibantu zilizojaaliwa kalio la kutosha kumtoa nyoka pangoni. Sikosi kugeuka nikiona sampuli ya hivyo ikipita nasindikiza kwa macho hadi anakoishia ama kumfuata na kufanya application kabisa. Juzi kati nimefanikiwa kunasa mdada mmoja mwenye vigezo kama hivyo ni nikafanikiwa kupiga naye show ya kikubwa kunako 6x6. Aisee ni mtamu ile mbayaaaa. Baada ya kukolea nami akataka kujenga uhusiano wa kudumu japo hata kwa mchepuko ama nyumba ndogo! Kwa jinsi hata mi nilivyokolea kwake nikamkubalia. Kitakachofanya nimuache pamoja na vigezo vyake vizuri, ni kwamba ana majini na kaniambia yeye mwenyewe , kanitajia idadi na majina ya hayo majini hadi nikaogopa. Yaani hapo nawaza hivi siku yakicharuka hayo madude yake japo sijui huwa yanafanyaje, si itakuwa balaa. Aisee kwa kweli naachia ngazi huku bado nalitamani hilo dada la kibantu lilioumbika vizuri, limeenea kila idara.
...

WANAWAKE WENGI WANADANGANYA KUWA WAMEFIKA KILELENI , KUWA MAKINI SANA Haya mambo ya mapenzi yana uwanja mkubwa sana. Na kila mtu ana mapito yake kwenye hili swala. Kufika kileleni kwa mwanamke imegundulika sio wote wanafika kileleni, niwachache sana wanaofika japo ni wengi wanaosema nimefika kileleni kwa kudanganya, waongo. Unajua kufika kileleni ni sifa katika maswala ya mapenzi na mwanaume anajisikia special kama amemfikisha kileleni mwenza wake na mwanamke anafurahi sana afikapo kileleni na kuona mwanaume amefurahia penzi lake so atafanya kila jitihada kuhakikisha anamfurahisha Mwanaume ikiwemo kujifanya analia eti anaumia japo wapo wanao umia kweli. Wanawake wanajua wakifika kileleni mwanaume anafurahi sana. So ili kumfurahisha mwanaume ataact kufika. Wajanja sana na wanatupenda jamani dah!!. Hata hivo kuna baadhi ya sabau zinazosababisha adanganye awe ajifanye kufika kileleni. yaani unakuta mwanamke anajinyonganyonga, anapiga kelele, anakukumbatia kwa nguvu kama mtu anayetaka kufikia mshindo kumbe ni mbwembwe tu. Baadhi tu ya sababu chache ni:- 1. Wanafanya hivo ili kumlidhisha mpenzi wake wa kiume ili ajisifie kafanya kazi. anamtia moyo ili asijioni hawezi kitu. Kwana mwanamme inatakiwa umfikishe mpenzio. 2.Mwanamke anakua hayupo kwenye mood ya kufanya mapenzi so anaamua kujifanya anamaliza ili usiendelee kumsumbua. So atajifanya kafika kileleni na kukushukuru asante mpenzi wangu. yaani nmechoka hata siwezi kurudia tena. so anajifanya kafika ili kumfanya mpenzi wake amalize haraka/anamuongezea presha ya kumaliza. 3. Kama anaumia. Mwanamke kama anaumie atajifanya anafika kileleni ili kumuwahisha mpenzi wake kumaliza. 4.Akiwa amekasirika. Mwanamke akiwa amekasirika hawezi kufanya mapenzi kabisa, ndo maana wanashauri mfanye mapenzi miwa katika hali nzuri ya furaha. Hata hivo mwanamke anaweza kufanya mapenzi ili asimuudhi mpenzi wake. hata akifanya atajitahidi anahakikisha mwanamme unamaliza haraka kwa kukupa presha kana kwamba anafiaka kileleni. 5.Kukosa mbinu za mapenzi. Unapokua kwenye uwanja wa mapenzi au sita kwa sita wenyewe wanavoita, mwanamke ndie kocha. mwanamme cha kufanya ni kumsikiliza na kuchokua hints. Akikuambia nenda haraka haraka basi fanya, akikuambia punguza supidi fanya hivo, akikuambia tufanye hivi msikilize kwa makini vinginevo utamuudhi. Na ukishamuudhi ili akuage kwa uzuri atakuambia namaliza. akishamaliza mchezo umeisha. 6.Kuchoka. Mwanamke akiona mwanamme kachoka na bado anaforce basi atajifanya anamaliza ili kukufanya upumzike coz anajua akikuambia pumzika utajisikia vibaya ataonesha dalili za kufika kileleni. na wewe utaamini kweli kumbe wapi. hawa viumbe wajanja sana. 7.Sio wote wanaofikishwa kieleleni na uume hata ukeshe. So ni vizuri kumjua mpenzi wako. Kuna wanaofika kileleni just kwa kuchezewa sehemu zao, kunyonywa, kupapaswa n.k. Zipo sababu kibao zinazo sababisha japo kwa leo nimewaelezea hizi chache. Japo nyingine ni za kiwizi wizi. Ushauri wangu. Mwanmke na mwanaume ni vizuri kuwa muwazi kwa mpenzi wako. Sema kile unachotaka kufanyiwa. huna haja ya kufake. Wiki ijayo nikipata nafasi ntawaelezea mikao mizuri ya kufanya mapenzi ambayo itawanya kila mmoja afurahie na kufika Kileleni bila tabu. Asante sana. Kumbuka, Women can fake an orgasm, Men can fake a whole relationship .
...

KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI? Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha.  Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day. Aliandika hivi: “Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nimekaa kwa muda mrefu bila kuwa na mpenzi. Si kwamba napenda lakini nina kila sababu ya kusema, sina bahati ya kupendwa. “Niliwahi kumpenda kaka mmoja ambaye alikuwa akiutesa moyo wangu kwa muda mrefu. Nilishindwa kujizuia na siku moja nilipokutana naye nilimueleza bayana kilichokuwa kikiusumbua moyo wangu. “Huwezi kuamini aliniambia wazi kuwa mimi siyo taipu yake, niliumia sana baada ya kugundua kuwa nilimpenda lakini hakuwa na mapenzi na mimi. “Sikuishia hapo, nikatokea kumpenda kijana mwingine, naye alinipotezea. Sielewi nina kasoro gani. Mwenyewe nikijiangalia najiona ni msichana ninayestahili kuwa na mpenzi lakini simpati wa kunipa faraja. Naomba unisaidie anko.” Ujumbe huo uliniumiza sana. Nikajua wapo wasichana wengi huko mtaani wanaohitaji wapenzi lakini hawawapati. Pia kuna wanaume wanaotokea kuwazimikia wasichana f’lani lakini kila wakijaribu kueleza hisia zao wanajikuta wanatolewa nje. Kimsingi hali hiyo imekuwa ikiwatesa wengi lakini sasa swali la kujiuliza, ni kwa nini inatokea hivi? Inakuwaje mimi natokea kumpenda msichana f’lani lakini yeye hana taimu na mimi? Wanaojiuliza swali hilo ni wengi na kupata jibu kwa haraka ni ngumu hasa kama huna elimu ya kutosha kuhusu mapenzi. Iko hivi, mapenzi yana kitu f’lani cha ajabu. Unaweza kushangaa inatokea mtu f’lani anakupenda sana lakini wewe huna taimu naye ila yupo ambaye na wewe unampenda lakini wala hakujali. Wataalam wa mapenzi wanaeleza kuwa, ni wachache sana waliopata bahati ya kuwapata watu wanaowapenda na ndiyo maana wengi wamebaki wakiumia kwa kutopendwa na watu waliotokea kuwapenda. Watu kama hawa ndiyo wale ambao unawasikia wanaolewa na watu ambao hawawapendi, wanakubali tu kwa kuwa hawana jinsi. Matokeo yake sasa akiwa ndani ya ndoa kisha yule ambaye anampenda akajitokeza, ni rahisi sana kusaliti. Hata hivyo, wale wasio na bahati ya kupendwa kama ilivyo kwa Joanitha wanatakiwa kujua kwamba, mapenzi yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Unaweza kukaa muda mrefu bila kuwa na mpenzi lakini huwezi kujua Mungu ana sababu gani. Huenda hao ambao wewe unawapenda lakini wao wanakupotezea, siyo wale walipangiwa kuwa na wewe na endapo utalazimisha utakuja kujuta baadaye.Hatukatazwi kueleza hisia zetu kwa wale tuwapendao lakini tutarajie pia majibu hasi. Ujue kwamba huna haki ya kupendwa na kila utakayetokea kumpenda hivyo ikitokea umekosa uliyempenda, huna sababu ya kuumia. Chukulia ni jambo la kawaida na huenda hiyo ndiyo safari ya kuelekea kumpata mtu atakayekupenda kwa dhati.Tuepuke kulazimisha kupendwa. Ukiona dalili kwamba unampenda lakini yeye hana chembe ya mapenzi kwako, kuwa mpole na muache. Nasema hivi kwa kuwa, wapo ambao wakitokea kupenda watafanya wawezavyo wafurahishe nafasi zao. Hiyo ni hatari na nakuhakikishia kwamba, huwezi kupata penzi la kweli na badala yake utakuwa ni mtu wa kutendwa kila siku. Utasalitiwa, utaudhiwa na kamwe hutapata kile ulichokitarajia. Kwa nini? Kwa sababu uliyelazimisha awe na wewe, hakupendi kabisa.
...

MAPENZI: TAMBUA AINA YA WANAUME WENYE MVUTO ZAIDI KWA WANAWAKE, IPO HAPA Kuna aina kuu mbili zinazo wafanya wanaume wawe na mvuto mkubwa kwa wanawake, ambazo ni:-  RICH AND SUCCESSFULL MAN:- hawa kwa sasa ndiyo habari ya mujini......... ukijijua wewe mambo yako swaaafi, kuanzia kwenye pochi,,,,, nice house,,,,,,,, expensive cars....... Jua kwamba unatamaniwa mbayaaaaa, yaani hapo ukimbeep tu tayari unae!!!!! (ila kuweni makini hapa wenye mapenzi ya dhati ni robo/kilo wengine wanatafuta watu wakuwang'arisha kimaisha tu) GOOD SEX:- Hapa kama kitandani hujiwezi jua tayari umeshapoteza mvuto kwa mwanamke, hata kama una large penis halafu ubanjukaji ni ziro jua itabaki kuwa urembo tu hapo kati!!!!!!! You must have a right way to turn your woman on, discover her 'hot spots' and make sure she finishes first............ Atakupendajeeeeee!!!!!!!!!!!!! SIFA NYINGINE ZA ZIADA ZINAZO MVUTIA MWANAMKE =>mwanamme ambaye yuko strong and healthy body =>good haircut (sio wale wahuni waviduku,,,,, kwangu naona kama uchafu) =>wanaume warefu nao wanamvuto wake jamani, hasa pale unapoongozana nae au pale anapokukiss.....daaaaaaaah!!!! !!!! =>A man's cloth; mwanaume anaweza akawa anamvuto zaidi machoni pa mwanamke endapo atatupia vyema kabisa zile 'bring bring' sio mguuni una kiatu cha pink, trouser ya njano na shati lako jekundu mweeeeeee....... Hata salamu yako haita itikiwa!!!!!!!! =>sensitive lips and kind eyes (hasa wale wenye dark eyes hao wanamvuto sana) muscular, a six pack men, mwenye sauti nzito kiasi yakubembeleza, mwenye pua nyembamba kiasi (sio pua imezagaaa mpaka karibia na mashavu).
...

JINSI WANAWAKE WANAVYOSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA WANAUME ZAO  1: KAULI Miongoni mwa mambo ambayo mwanaume hataki kuyasikia yakitoka kwenye kinywa cha mwanamke ni kuambiwa HAWEZI TENDO LA NDOA. Mwanamke akimwambia mwanaumewakati au baada ya tendo kuwa hawezi, atakuwa amemsababishia tatizo kubwa la kisaikolojia ambalo litampelekea kupotea nguvu za kiume taratibu. Msaada unaohitajika kwa mwanamke anayekutana na mwanaume dhaifu kwenye tendo si kumwambia hawezi, bali ni kumtia moyo na kumsaidia kuweza. Wanawake wamewasababishia waume zao upungufu wa nguvu za kiume kwa kuwaambia maneno kama haya: “Yaani siku hizi sijui umekuwaje, yaani huwezi kazi kabisa!” 2 : UJUZI Wanawake wengi hasa waliopo kwenye ndoa, wanapuuza ujuzi kwenye tendo la ndoa. Hawajishughulishi kumsaidia mwanaume ‘kuwika’, si wabunifu na watundu, jambo hili humfanya mwanaume kushiriki tendo kwa kutegemea kupanda kwa hisia zake mwenyewe, hivyo anapokuwa amechoka au ana mawazo, hawezi kusisimka kwa vile hapati ushirikiano toka kwa mwenzake. Pamoja na wengi kutokuwa wajuzi, lakini wapo wengine ambao ni watundu mno kwenye sita kwa sita kiasi cha kumfanya mwanaume ajione kama mgeni wa mchezo huo. Kimtazamo, wanaume hupenda sana ushindi wakati wa ‘kazi’, lakini pale wanapogeuzwa ‘chekechea’ hupunguza uwezo wa kujiamini na kuruhusu hofu kuongezeka mawazoni mwao, hivyo kuwasababishia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Inashauriwa kwamba, mwanamke anapokuwa na uelewa mkubwa wa masuala ya mapenzi hasa wakati wa tendo, asioneshe kiwango kikubwa kwa haraka bali amchukulie mwenzake kama mwanafunzi, asiwe na maneno kama: “Leo nakuja kukupa vitu adimu kuliko vya juzi, hakuna kulala kasi mtindo mmoja.” Kauli hizi huwaogopesha wanaume na kuwafanya wapungukiwe na nguvu. 3:USAFI Mwanamke anapokuwa si msafi, huweza kumsababishia mwanaume matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume. Sote tunafahamu umuhimu wa usafi wa mwili na kero za uchafu wakati wa tendo, hivyo ni wazi kuwa mwanamke akiwa mchafu atamfanya mwanaume apoteze msisimko na uwezo wa tendo la ndoa. Unadhifu wa mavazi na mwili ni muhimu sana katika mapenzi. 4:GUBU Jambo lingine linaloweza kumsababishia mwanaume upungufu wa nguvu za kiume ni gubu au karaha za maneno ya uchokozi yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Uchokonozi wa mambo, ugomvi, usaliti na hali ya kutokuwa na staha ni mambo yanayosababisha tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Mwanamke anapokuwa mwingi wa maneno ya kashfa, dharau na matusi huweza kumfanya mume amchukie na kutopenda kushiriki naye tendo. Uchunguzi unaonesha kwamba wanawake walioolewa wenye tabia hii, huwafanya waume zao wawe na msisimko wa kimapenzi kwa wanawake wa nje kuliko wake zao hao. 5:USALITI Tabia ya usaliti kwa mwanamke ni chanzo kingine cha mwanaume kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Mwanaume anapoona, kuhisi au kubaini kuwa anasalitiwa, huumia sana moyoni, maumivu ambayo hatimaye humfanya muhusika kuwa na mawazo mengi ambayo humuondolea hamu ya tendo.
...

HAYA NDO MAMBO YA KUYAEPUKA SIKU YAKO YA HARUSI ILI NDOA YAKO IDUMU KATIKA FURAHA NA AMANI SIKU ZOTE Habari za wakati huu wadau,nayazungumza haya kwa uzoefu. Inasemekana kwamba asilimia kubwa ya wanaondoa hawa-enjoy maisha yao ya ndoa kwa sababu kadha wa kadha, wengine wakidai kuwa ndoa nyingi za karne hii zimetawaliwa na usaliti hasa kwa wanaume, kwa lugha ya mtaani wanaita "michepuko" na kadhalika na kadhalika. Huenda kuna ukweli ndani yake, lakini hebu tutazame nini hasa kinaweza kusababisha hiyo michepuko.Kumbuka unapooa/kuolewa, wewe unakua sio mwanamke wa kwanza kwa huyo anayekuoa au sio mwanaume wa kwanza kwa huyo unayemuoa, wote hao walishakua na mahusiano ya awali. Na mbaya zaidi huenda hao waliokua nao awali walitamani ndoa wakakataliwa, hapa namaanisha mwanamke wa awali wa huyo ambaye kwa sasa ni mumeo alitamani sana ndoa na huyo mumeo lakini ukabahatika wewe au mwanaume wa awali wa huyo ambaye sasa ni mkeo alitamani ndoa na huyo mkeo lkn ukachaguliwa wewe. Katika mazingira kama haya, ile siku ya harusi yako especially kwenye ile segment ya kuwashika mkono maharusi na kutoa zawadi.Usikubali huyu mwanamke ambaye hakubahatika ndoa na mumeo au huyu mwanaume ambaye hakubahatika ndoa na mkeo akukumbatie anapokuja kukushika mkono wakati wa tafrija ya ndoa yako, kwasababu inasemekana anapokukumbatia hukuachia madawa ya kuharibu ndoa yako wengi wao ni washirikina. Lakini pia inawezekana ukawa hujui kwamba fulani ndio alikua mpenzi wa zamani wa huyo mumeo au wa huyo mkeo, njia salama hapa ni kuwashika mkono tu wageni waalikwa wote na kuwakumbatia wale ambao ni ndogo zako wa karibu ingawa pia sio wa kuwaamini sana kwasababu huwezi kujua nani anakuombea maisha mema ya ndoa. Wanasema "kumbato/kumbatio" ndio njia nyepesi sana ya kulogea, so kama ameenda kwa mganga akikukumbatia tu dawa inakamata saa hiyohiyo. Zawadi: Hakikisha zile zawadi zote utakazopata siku ya harusi yako zinaobewa kabla hujaanza kuzitumia cause nyingine zina malimbwata. So usije ukamuona mumeo/mkeo anachepuka sana ukaanza kusema Mungu hajakupa mume/mke bora, wakati mwingine ni nguvu za kibinadamu (kishirikina) zinaharibu ndoa yako.Nimeshatimiza wajibu wangu, usije sema hukuambiwa.
...

NIMEZALISHWA NA KUTELEKEZWA JE NAWEZA KUPATA MWANAUME WA KUNIPENDA MIMI NA MWANANGU? NINI CHA KUFANYA? kumpata mwanaume ambaye atampenda huyo mwanao kuliko hata kawaida na ukawa na furaha. lakini hembu usikae na kusubiri mwanaume wa kukusaidia kulea mwanao, hapana hembu anza kusema hapana namlea mwenyewe. Anzisha familia yako, kama bado unaishi kwenu basi tafuta kazi, tafuta biashara anza kujitegemea na huko wakati ukiendelea na maisha yako basi ndiyo utakutana na huyo mwanaume unayemtaka wewe na atakua mume wako. Lakini ni namna gani utakutana na mwanaume wa namna hiyo? Ni namna gani wewe utapata mwanaume wakati wale ambao hawajazaa tu kupata wanaume ni shida? Kitu cha kwanza unatakiwa kujua kuwa, kupata mume hakuna uhusiano na kua na mtoto au la? Lakini jambo la pili nikua kama utajiamini na kuanza kumuona mtoto wako kama baraka na si laana basi itakua rahisi kwako kumpata mwanaume. Hembu jiamini, unapokutana na mwanaume, wakati wa mazungumzo hembu jivunie kuwa na mtoto. Ndiyo sio upite ukitangaza hapana, lakini wakati wa mazungumzo akikuuliza kuhusu wewe muambie, mimi ni mtu flani nafanya kazi flani au biashara, nina mtoto mmoja wa kiume au wakike au nina watoto wawili. Baba yao tulishindwana kidogo ila now ana maisha yake na mimi nina yangu. Usiongelee alivyo kutenda, alivyokuumiza, alivyokutelekeza hapana, haimhusu na hakuna mtu anayetaka mtu aliyetelekezwa. Muambie tu unamlea mwanao mwenyewe na unafuraha, ndiyo usilielie kama una matatizo, msongo wa mawazo au nini, hakuna mtu anayependa watu wenye matatizo. Unaweza hata kuenda mbali kidogo na kutoa picha ya mwanao kwenye wallet na kumuonyesha, ndiyo jivunie kuwa na mtoto na wengine hawataona shida. Lakini kama ukimficha ficha, ukaficha ficha kama una mtoto basi hata huyo mwanaume hatampenda kama wewe mwenyewe humpendi na unamuona kama ni kikwazo badala ya baraka. Muhimu nikuwa usimuonyeshe kila mwanaume kama una mtoto, hapana muonyeshe yule ambaye kakuvutia na unaangalia unasema hapana huyu naweza kuwa naye kama mume. Achana na wale wa siku moja, kanyaga twende, wale usiwaambie mambo mengi ila kama unaona ni mtu ambaye umemtamani hata kama yeye huoni kama anataka kitu siriasi kama moyo wako umemdondokea basi muamini na muambie. Hii ikimaanisha kuwa hata kama akikukataa sababu ya mtoto akukatae kabla hujampa moyo wako. Lakini hata kama akija kukukataa huko mbeleni, au mkavunjana na kisha akakupotezea wala usiwaze kama ni sababu ya mtoto, kuna wengi sana ambao huachwa na bikira zao wapya kabisa hivyo kuachwa na mwanaume kusiipeleke akili yako kuwa ni sababu una mtoto. Furahia mahusiano yako furahia kuwa na mtoto na utona wengine nao hufurahia. Usmsingizie mtoto kwa kushindwa kuwa na mtu, hapana wapo wengi ambao hawana wati na wala hata hawajaanza mapenzi na wapo wenye watoto mpaka watatu na wanaume wanawahangaikia kila siku. Muhimu acha kuwa mtu wahuzuni, kukatakata tamaa na kulia lia hapana ukiwa mtu wa majonzi basi utawakimbiza wanaume, badilika. #SHARE #ShuleRafiki #ChaguaFuraha
...

MWANAUME NDIYE MWENYE NAFASI YA KULINDA PENDO! HABARI wadau wa safu yetu, tupo tena pamoja katika kujuzana jinsi gani maisha ya kimapenzi yalivyo. Leo nitakuwa tofauti kidogo na mara zote ambazo nimekuwa nikiwasiliana nanyi, kwani mara nyingi nimekuwa nikizungumzia kuhusu nafasi ya mwanamke, kuwa ili iwe hivi, basi afanye hivi na kadhalika. Maandiko mengi yamekuwa ni kama ya kuonyesha kuwa mwanamke ndiye mwenye dhamana kubwa ya kuamua juu ya penzi au ndoa aliyomo. Ingawa ni kweli kuwa kuna umuhimu mkubwa wa mama kuwa mshirika muhimu katika ndoa, lakini amini usiamini, mwanaume ndiye hasa mwenye kushika turufu ya penzi linalohusika. Na ninasema hivi hasa kutokana na ukweli ambao nafsi zote mbili zinakubaliana kuwa mwanaume ndiye kichwa cha nyumba. Usemi huu unaweza kuonekana ni mwepesi kama utaangaliwa kwa upande mmoja tu, ambao kimsingi unabeba maana ya uwajibikaji juu ya majukumu ya kuilea na kuilinda familia. Na unapozungumzia kuhusu jambo hili, akili ya kawaida na haraka, ni juu ya wajibu wa mume au baba katika kuhakikisha familia inapata huduma zote muhimu kama chakula, malazi, matibabu, masomo na kadhalika. Ni kweli. Lakini maana halisi ya kichwa cha nyumba ni kuwa huyu ndiye kila kitu. Wote tunajua, binadamu anaweza kukosa mikono na miguu, lakini akaendelea kuitwa mtu kwa sababu tu, anacho kichwa. Bila kichwa, kiumbe hicho kitaitwa jina lingine lisilo binadamu. Uzoefu unaonyesha, uharibifu wa ndoa au uhusiano mwingi wa kimapenzi, huanza kupata msukosuko baada ya baba kuanza kutoka nje ya mstari. Nje ya mstari hakumaanishi kushiriki mapenzi, bali hata kuacha kutekeleza baadhi ya majukumu yake. Baba, kwa sababu zozote, anapozembea au kukataa kulipa ada ya mtoto, ni wazi kuwa atamfanya mama kuanza kuwaza mambo mengi hata yaliyo nje ya uwezo wake. Lakini hata ile ya mapenzi yenyewe, ni mwanaume ndiye mwenye wajibu mkubwa. Kama baba atakuwa ni mtu mwenye furaha muda wote, litakuwa ni jambo la kushangaza sana kumuona mama akinuna. Yapo makosa madogomadogo ambayo wote huyafanya, wakati mwingine kwa bahati mbaya au kutojua. Lakini kinachotokea kuharibu hali ya hewa ni kwa mmoja wao kuamua kulichukulia jambo hilo dogo kwa tafsiri yake, lakini kwa ubaya na inakuwa mbaya zaidi kama huyu atakuwa ni mwanaume. Imetokea kwa mfano, mmoja wa wapenzi amekwazwa na tabia ya mmoja wa wazazi wa mwenzake. Katika kulizungumzia jambo hili, yule ambaye wazazi wake wanatuhumiwa, kwa makusudi au kwa bahati mbaya, anaweza kusema; ‘kama huwapendi wazazi wangu basi achana na mimi’. Hii ni kauli ambayo hakuna yeyote angependa kuisikia, lakini kwa kuwa kulikuwa na mazungumzo yaliyotangulia, ni wazi kuwa kitu kikubwa kinachotakiwa ili kuondoa mzozo, ni busara. Kama mnunaji ni mama, ni rahisi baba kumbembeleza na pengine kwa kutumia mamlaka yake, anaweza kulipooza jambo hilo. Lakini naona kabisa jinsi gani suala hilo linaweza kuwa kubwa kama baba ndiye atavimba mashavu kwa hasira baada ya kauli kama hii. Na labda ieleweke kuwa siyo nia yangu kutetea nafasi ya mwanaume katika uhusiano wa kimapenzi, lakini kama tunataka mambo yetu kwenda sawa, daima lazima tuwe tayari kukubaliana na ukweli, hata kama unatuumiza. Kwa hiyo, nimalizie tu kwa kuwasihi wababa, kama wenyewe hawawezi kusoma hapa na kuelewa ujumbe ninaowatumia, basi akina mama waonyesheni hapa wasome, kwamba wao ndiyo wenye nafasi kubwa ya kulilea na kulienzi penzi tulilomo!
...

ANAOMBA USHAURI...AFANYE NN ILI AWEZE KUACHA TABIA YA KUPENDA MAJIMAMA? Mimi ni kijana wa Miaka 21 , Na umri wangu huu mdogo lakini nimesha experience vitu vingi katika mapenzi...mwanamke wangu wa kwanza alikuwa na miaka 41 mimi nikiwa namiaka 19, toka kipindi hicho mimi nimekuwa nikipenda wanawake wazima wenye umri mkubwa...na cha ajabu kila nikiwatongoza wanakubali wengi wao ni wake za watu ...Sasa imenikaa akilini nikimpata msichana mdogo siridhiki kabisa na mwishowe namuacha natafuta Mwanamke aliye nizidi umri...Tatizo wengi wao wameolewa sasa tunafurahishana tu alafu wanawahi kwa wanaume wao..Naombeni ushauri..Je nifanyenje hizi feelings za kupenda majimama ziiishe?
...

Ni mwanaume mjinga asotambuwa thamani ya mtoto wakike hata anafikia kusema MTOTO WA MWENZIO MKUBWA MWENZIO ila mtoto alomzaa yeye ndiye MTOTO... Dunia ni mahala pa kukosea lakini hapa hapa ndipo tunalipwa kabla ya kwenda umauti, Matukio ya watoto wakike kubakwa ni wazi yanapashwa kupingwa sana lakini zaidi ya yote MUNGU AWAPE KIFO KABLA YA KUTEKELEZA ADHIMA YAO WANAUME WOTE AMBAO HUPANGA KUWABAKA WATOTO WAKIKE! Mwanaume ambaye ni mwenye akili HUMLINDA MTOTO WAKIKE na kamwe hawezi kufikiria majaaliwa alojaaliwa mtoto huyo, Raha ya Mwanamke ni moja tu YEYE MWENYEWE KURIDHIA KUSHIRIKI NAWE TENDO LA NDOA sasa iweje kwa mtoto wakike ambaye hajui hata maana ya hilo TENDO? Wanaume wa namna hiyo natamani kama wawe wanahukumiwa na wamama wa watoto Maana mama ndiye ajuaye hasa ADHA YA KUFANYA TENDO LA NDOA BILA MAANDALIZI! Tuwalinde WATOTO WAKIKE bila kuangalia uhusiano wetu Kwani MTOTO WA MWENZIO NI MTOTO WAKO. 👭👭👑
...

#Mwanaume akiwa unafanya haya usilalamike kwa mkeo Ikifikia mke kukusaliti kwanza unahitaji kujiuliza kuna tatizo gani mpaka akafikia kukusaliti? Mwanamke anaekupenda sio rahisi kumsaliti ampendae hata akitongozwa na Sharobaro, Mzee Yussuf, Diamond hata Reginal Mengi. Ikitokea mkeo kakusaliti kuna kitu nyuma ya pazia lako, ingawa wengi wetu tunasema hela na Gari vinawalainisha wanawake. Wengi waliosalitiwa basi hizi ndio kasoro zao:- 1 Kaowa mwanamke wa mtu (mwanamke alikuwa na mpenzi wake lakini jamaa kaingia wakati mwanamke anatamani ndoa) 2 Alikuwa na hela sasa kafulia hana kitu au alijifanya alikuwa na hela lakini baada ya kuowa mke anagutuka mume mchovu. 3 Humtoshelezi kwenye tendo la ndoa( humkojozi) kama umeowa mke ameshawahi kufikishwa kilima cha kilimanjaro pole yako fanya maujuzi umpeleke kilima cha Everest. 4 Ubahili hapa wengi wa wanaume ndio hupigiwa sana wake zao, mke anahitaji matumizi yake binafsi sio kula na kulala tu au kumnunulia madira na chocolate za kichina. kuna matozi wanahonga mpaka malaki na milioni halafu unawacha hela ya ugali unapikiwa pilau ukimaliza kula unakwenda kulala, bwege kama wewe lazima uchapiwe dadeki zako. 5 Huna muda wa maongezi na mkeo hujui hata nini anapenda,nini leo kimemkuta,wala huna future plan kwenye familia wewe ukali,mpira,vijiwe,kazi na marafiki tuu wakati rafiki yako wa kweli(mkeo) huna muda wa maongezi nae. 6 Kuwaachia marafiki kuzoweana sana na shemegi yao, sio kama vibaya kutaniana na shemegi yao lakini kuna mataani mengine hupitiliza. utakuta mpaka baadhi ya rafiki wanampigia simu shemegi yao wanaongea kwa masaa na vicheke kibao. 7 Kujifanya mkali kila wakati wewe uso umeukunja kama ngozi za pumb..u hujulikani kijana au mzee hujulikani leo umefurahi au umenuna. Tokea umuowe mkeo hujawahi kumtania hata siku moja. 8 Kuchepuka kuna baadhi ya wanaume walioowa nishawahi kuwauliza kwanini wanachepuka jibu lao kubwa wanasema hawajui. HUbaki kumalizia kusema eti hawa wanawake watakuwa na sumaku Kuna baadhi ya mambo husababisha sisi wenyewe wake zetu kufikia kuchukua uamuzi wa kutusaliti, Kama ukali unafanya kazi mbona simba na ukali wake lakini kazungukwa na mabebez kibao
...

Fahamu Sifa za Mwanamke Asiyefaa Kuolewa Asilani SUALA la kuoa lipo tu licha ya kwamba wapo wanaochelewa kuingia kwenye maisha hayo wakihisi inaweza kusitisha furaha ya maisha yao. Nasema hivyo kwa kuwa najua wapo wanaoamini kuoa ama kuolewa ni kujiingiza kwenye matatizo. Dhana hiyo haina mashiko kiviile, asikuambie mtu unapoingia kwenye ndoa na mtu anayekupenda na wewe unampenda kwa dhati, karaha hakuna licha ya kwamba kugombana kwa hapa na pale hakuwezi kukosekana. Hata hivyo, nikiri tu kwamba, zipo ndoa ambazo ni ndoano. Yaani unakuta mtu kaingia kwenye ndoa na mtu ambaye hakuwa amedhamiria, matokeo yake kadiri siku zinavyokwenda anahisi ameingia chaka na anaishia kuomba ndoa isiwepo. Leo nataka kuwazungumzia wanawake ambao ni majanga na ukijichanganya ukaingia nao kwenye maisha ya ndoa, utakiona cha mtemakuni. 10. Asiyeridhika na penzi unalompa Wapo wanawake ambao wewe unaweza kujitahidi kumpatia mapenzi kadiri unavyoweza lakini yeye hatosheki. Anakuchukulia wewe ni dhaifu sana na wakati mwingine kuhisi yupo mwingine anayeweza kumpa zaidi ya kile unachompa, huyu ni tatizo. 9. Wivu kupindukia Hatukatai, wivu ni muhimu sana kwenye suala la mapenzi lakini kuna ule wivu uliopindukia kiasi cha kuwa kero. Walio kwenye ndoa wananielewa namaanisha nini. Kwa kifupi mtu mwenye mapenzi ya dhati na mwenziye lazima awe na wivu lakini ukiwa na ule wa kupinduki ni tatizo linaloweza kuitibua ndoa. 8. Anaona unamsaliti kila mara Huku kunatokana na kutokujiamini tu. Ukioa mwanamke ambaye kila wakati unapokuwa mbali naye anahisi unamsaliti, huyo hakuamini na kamwe hamuwezi kudumu. Mara kadhaa mtakuwa mkigombana akihisi una mwingine kumbe hakuna ukweli katika hilo. 7. Anahisi amekosea kuwa na wewe Wapo wanawake ambao wanapoingia kwenye ndoa baada ya muda wanahisi wamekosea kuolewa na mwanaume huyo. Unakuta mke wa mtu anahisi fulani ambaye zamani alikuwa kwenye uhusiano naye angekuwa sahihi zaidi baada ya kuona upungufu fulani kwa huyo aliyemuoa. 6. Yuko kimasilahi zaidi Kuna wanawake ambao ukiwaoa wanakuwa na furaha na wewe ukiwa unazo tu, ukiishiwa wanaanza kununa na kuleta visirani vya hapa na pale. Hawa ni tatizo, mwanamke wa kweli ni yule anayeridhika kuwa na wewe kwenye shida na raha 5. Yuko tayari kuachana na wewe Hivi hujawahi kumsikia mke wa mtu akimwambia mumewe; ‘Kama vipi tuachane, kwanza kwetu sijafukuzwa na nilikuwa nakula, nalala, navaa.” Mwanamke anayeweza kumtamkia mume wake maneno haya, huyo si mke na kamwe hawezi kukufanya uwe na furaha. 4. Hapendi ndugu zako Waswahili wanasema ukipenda boga, penda na ua lake. Kama utatokea kuoa mwanamke ambaye anakupenda wewe tu lakini akija ndugu, rafiki au mtu mwingine wa karibu yako anabadilika, huyo ana matatizo kwani atakufanya utengwe na jamii yako. 3. Anajali mafanikio binafsi Siku zote wawili waliotokea kupendana wakioana wanakuwa mwili mmoja hivyo lazima watakuwa wanawaza na kufanya maamuzi pamoja. Ogopa sana mwanamke anayependa kutumia kipato chake kufanya mambo binafsi tena kwa siri. Kwa mfano kusaidia kwao, kujenga nyumba kwao, kuanzisha miradi yake bila kukushirikisha. 2. Eti akizaa utamzeesha Hili kwa wale wanaopenda kuoa masistaduu. Wapo ambao wakitajiwa suala la kuzaa mara baada ya kuingia kwenye ndoa wanagoma wakidai eti watazeeshwa hivyo waachwe kwanza wale ujana. Wakati huo unaweza kukuta mwanaume anataka mtoto ili apate ile heshima, mke anagoma kwa sababu hiyo isiyo na msingi, hili ni tatizo. 1. Anataka awe na sauti Mwanaume siku zote atabaki kuwa kiongozi wa familia lakini wapo baadhi ya wanawake hawataki kukubaliana katika hilo. Wengi wanalazimisha usawa na wengine wakitaka wao ndiyo wawe na sauti kuliko wanaume zao
...

Mada ya Leo ..Je..Ngono Ndiyo Silaha ya Mapenzi?...!!! KARIBUNI wapenzi wasomaji wa safu hii ya mahusiano ambayo huwajia kila Jumanne na Jumamosi, ikilenga kufahamishana hili au lile kuhusiana na mambo ya mapenzi, wengine wakiita mahaba. nigeukie mada ya leo ambayo inajadili suala zima la uhusiano baina ya ngono na mapenzi ambayo ilianzia Jumamosi iliyopita. Leo nimewaletea maoni ya wasomaji wangu kuhusiana na mada hiyo kama ifuatavyo: Juliana Mgulu wa Same, Kilimanjaro: Kwa upande wangu, siamini kuwa ngono ni silaha ya mapenzi na kamwe sitaamini kwasababu muhimu mi naelewa ilo tendo la ndoa si tendo la wachumba, mi nimesimama katika imani na mbona niko katika mahusiano muda mrefu na ninafurahia uhusiano wangu. Rama wa Kimara kwa Komba, Dar es Salaam: Kwangu ngono ndoyo silaha ya mapenzi. Doa Vitras wa Dar es Salaam: Unaweza ukawa na mwenzio na msifanye ngono na mambo yakawa sawa, siku zote ngono ni haja ya kimwili na si ugonjwa ukamfanya mtu akafa, mapenzi ni hisia na si matamanio ya mwili. Mujuni wa Ubungo, Dar es Salaam: Kama mnapendana kwa dhati, tendo la ngono lazima ndio kiunganishi. Nuru Shariff wa Tabata Matumbi, Dar es Salaam: Ngoni sio silaha ya kukupenda mtu. Hisia za mtu anayekupenda utazijua kwa vitendo vyake na si tabia. Ngono si mapenzi, wangapi wapo kwenye madanguro na kujirusha na watu, ina maana wanawapenda? Bakari wa Kondoa: Ngono ni tendo lakini mapenzi ni zaidi ya ngono, kama wawili wana mapenzi toka moyoni, ngono si lolote si chochote. Ngoni ni sawa na kiu ya maji, ukinywa tu basi inakatika. Mapenzi ni mwili na roho. Raymond Matenga: Kuwa na mwanamke au mpenzi anayekukatalia kufanya tendo la ngono eti mpaka muoane ni sawa na kusubiri meli uwanja wa ndege. Maleck wa Sinza, Dar es Salaam: Mtu mwenye mapenzi ya kweli atakuwa tayari kwa chochote kwa mwenza wake kama anakuwa hataki, basi ujue anaye wake sio wewe. Ukiangalia hali ya sasa huwezi ukawa unamuhudumia mwenzio halafu haja zako hakutimizii, huyo hakufai. Atambue kuwa manjonjo yake na mahaba atakayonifanyia tukiwa faragha, ndio zitanifanya name ninogewe nimng’ang’anie. Sasa kama hataki nitajuaje kuwa ni mwanamke aliyekamilika? Au atanijuaje kuwa mume aliyenaye yupo sawa? Aliye na malengo nawe atakufanyia utakavyomuomba. Tatizo la madada zetu wa siku hizi wana tamaa sana, pesa mbele kuliko utu ndio maana kuna anayemfaidisha kimwili na wengine wa kuwachuna. Hata mimi nimeachana na mwenzangu kwa jambo hilo, hataki kukutana na mimi kila muda ni mtu ambaye hana muda, siwezi kutoka. By Lydia wa Same, Kilimanjaro: Ngono sio silaha ya mapenzi kinachotakiwa ni upendo wa dhati, kama mtu hujampenda kutoka moyoni ni bora ukamwambia kuliko kumpotezea muda. Baba Rooney wa Mbalizi Mbeya: Si kweli kuwa mpenzi ambaye hakupi mapenzi ndio hana mapenzi na wewe. Mbona wapo ambao anakupa mapenzi lakini hana maepnzi na wewe? Sylvia Lucas wa Maduka Tisa, Mwanza: Ni kweli mtu akikataa kukutana kimwili huyo hakupendi, yupo anayempenda anakupotezea muda tu. Athanas K wa Mbande, Dodoma: Ngono ni silaha kubwa katika mahusiano na ndio msingi wa halisi wa mapenzi kwa wawili waliokubaliana. Wewe unamoani gani?tafadhali tuandikie hapo chini ,zingatia lugha nzuri
...

UKIWA NA SIFA HIZI BASI WEWE NI LIMBUKENI WA MAPENZI =>Kushika mimba ukadhani ni mtego ili uolewe. => Kutafuta mkamilifu wakati tabia zako tunakuvumilia tu. => Kutafuta msichana mrembo wakati huna pesa. =>Kutafuta mke mwema mskitin au kanisani wakati we unaenda kanisani au mskitin wakati iddi na wakat wa Christmas tu. =>Kusema wanawake/wanaume wote wapo sawa. =>Kuendelea kuchagua wanaume/wanawake wakati unajua waoaji siku hizi wachache. =>Kuishi na mpenzi wako kabla ya ndoa, unamfulia, unampikia na unampa penzi wakati unajua hujui kwao, ukiachwa unatafuta ushauri mitandaoni. =>Kusema umeokoka au umesilim lakini unazini na mchumba kama kawaida kwa kisingizio kwamba soon mtakuwa mke na mume! =>Kuogopa kuongozana na msichana au mvulana eti mtaingia majaribuni, unajua kutamani tu ni uzinzi pia? =>Kufikiri kwamba utampata mtu mwenye sifa mia nane unazozitaka wakati wewe huna sifa hata moja ya kuitwa mke/mume labda umuumbe mwenyewe! =>Kujifanya Nkurunzinza eti unapendwa wakati moyoni unajua wazi mtu kakuchoka, na amekwambia kabisa anatafuta mtu mwingine! =>Kumhonga mwanaume ili akuoe! =>Kudhani kwamba kutoolewa ni laana, hii ni bangi mbaya ni afadhali ya kiroba! =>Kumtongoza mchumba au mke wa rafiki yako! =>Kuwahi Kuoa wakati huna kazi /chanzo cha kipato cha kuweza kuendesha maisha yako huku ukitegemea mbeleni yatanyooka kuna wenzio yalijikunya hadi mauti yao! =>Kufikiri eti wanaume wa kiafrika wanaweza kufanya mambo ya kwenye tamthiliya za kifilipino wewe ni nyumbu mwenye matege. =>Kumsomesha mtu ili uje umuoe wewe ni mjinga kuliko fisi! =>Kumng'ang'ania mtu asiyekupenda, utazimia ukialikwa harusini amka ndugu! =>Kuwaeleza mashosti zako 'utam' anaokupa mtu wako! =>Kumwambia bebi wako anunue gari wakati amepanga chumba kimoja kana kwamba mnaishi stoo ya kutunzia mashudu ya alizeti..... FUNZO 1.Usiruhusu kile ambacho hauwezi kufanya kuingiliana na kile unachoweza kufanya. 2.Wakati wako ni mdogo, hivyo usiipoteze muda wako kuishi maisha ya mtu mwingine. 3.Uliopita hauna nguvu juu ya wakati huu anza sasa 4.Kuacha kuwa mfungwa wa mambo yaliyopita bali Kuwa mbunifu wa mambo yajayo
...

Raha ya NGOMA uingie ucheze... Muda mwingine kuona mwenzio akicheza inaleta burudani lakini ili burudani hiyo iukonge moyo hebu ingia kacheze! Kuna wakati unaweza kubaki unacheka tu ukiyawaza MAPENZI😅😅 Yaani waloyaanzisha MAPENZI wao hawakuumizana zaidi ya kumkosea MUNGU lakini sisi vizazi vyao lol👌. Unakuta mwanaume ameoa na kujaaliwa watoto lakini aonapo ndoa yake inamtatanisha hukimbilia kwa marafiki ambao hawana ndoa wala hawajawahi mmiliki mwanamke kwa mwezi mmoja maana wao ni WAZEE WA TAKE AWAY... Ukiyasoma maandiko ya 1 WAKORINTHO 15:33 Biblia inasema; "Msidanganyike, Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema" Ninachoweza kusema katika Swala la mahusiano ama ndoa ni kwamba ZAWADI KUU KATIKA MAISHA YA MWANAMKE AMBAYO UKIMPA NA AKAISHI KWA KUJIAMINI NA AKAFURAHIA UWEPO WAKO NI UPENDO! Zaidi ya hapo hakuna chenye thamani ambacho utamfanya mwanamke wako ajione ni mwanamke kuliko mwanamke mwenzie, Maana kama ni nguo mwanaume yeyote aweza kumnunulia, Je Unadhani ni gari ama nyumba? Vyote hivyo si kipaumbele hasa kwa wanawake wa sasa wanajuwa kujihudumia Kwani wanajituma sana, Ukitaka kumuweza mwanamke wewe bwana WEKEZA UPENDO WA DHATI KWAKE hata ndugu zake watasema sio bure pengine umemroga ndugu yao kumbe MAHABA.
...

#AFYA: JE! WAJUA SABABU KUU ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA? Vyanzo vikubwa vinavyoweza kusababisha kuharibika kwa mimba {miscarriage} ni kama vifuatavyo; . 1.Chromosome abnormalities, >mimba nyingi ambazo huharibika hadi wiki ya ishirini husababishwa na tatizo hili la chromosomes, na chromosomes huwa zinabeba genes ambazo huyatambulisha maumbile ya mwanadamu kwa nje, yaani jinsia yake, ngozi yake itakuaje, macho yake na vitu vingine vingi nisingependa tuingie ndani sana lakini matatizo haya ya chromosomes huchangia sana kuharibika kwa mimba. . 2.Maambukizi katika mji wa uzazi wa mwanamke {Infections}, >>kuna kitu kinaitwa Pelvic Inflammatory Diseases {PID} yaani kuvimba kwa kuta za mji wa mimba au kuvimba kwa mirija ya uzazi nayo pia huchangia sana kuharibika kwa mimba kwa mwanamke, lakini pia Candida au fangasi nazo pia huchangia sana kuharibika kwa mimba. . 3.Chanzo kingine kikubwa ni utoaji wa mimba za mara kwa mara, wanawake au wasichana wenye tabia ya kutoa mimba moja au mbili au tatu basi nao pia hukutwa na tatizo hili la kuharibika kwa mimba kwani uingizaji wa vyuma ndani huweza kuharibu shingo ya kizazi ya mwanamke na pia kukumbwa na tatizo hili la miscarriage au kuharibika kwa mimba. . 4.Chanzo kingine kikubwa ni magonjwa ya zinaa {sexually transmitted diseases}, magonjwa kama gonorrhea, kaswende mara nyingi sana huathili mfumo wa uzazi wa mwanamke na hasa hasa kwenye mji wa mimba na kuufanya kuwa legevu na hata ujauzito unapotunga basi huweza kutoka kwa haraka zaidi na hivyo kusababisha tatizo hili la kutoka kwa mimba {Miscarriage}. . 5.Chanzo kingine cha mimba kuharibika ni tatizo la kisukari kwa mwanamke, hii nayo huchangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibika kwa mimba na mtu ambaye hafanyi uangalizi wa karibu wa tatizo la sukari basi husababisha glucose isitumike kama energy na hivyo kuleta madhara katika kizazi hasa ujauzito. . 6.Kitu kingine ni hormones {homoni} kuvurugika, kwa mfano hormone ya progesterone mara nyingi hufanya ile kazi ya kutunza mimba iendelee kukuwa, na kama kunatokea unbalance au kuvurugika kwa homoni hii basi mara nyingi tatizo hili la mimba kuharibika hutokea. . DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA (Miscarriage) 1.Dalili kubwa kabisa ya kwanza ni damu nyepesi kutoka kwa mwanamke mwenye mimba. . 2.Dalili kubwa ya pili ni mwanamke kutokwa na damu yenye mabonge mabonge na inakuwa nzito. . 3.Dalili nyingine kubwa ni uchovu na maumivu makal ya mgongo na kiuno. . 4.Maumivu makali ya tumbo, wakati mwanamke anapokuwa ni mjamzito lakini wakati huo huo anapatwa na maumivu makali ya tumbo ya mara kwa mara yakiambatana na maumivu ya kiuno pamoja na kutokwa na damu nyepesi au nzito basi ujue ujauzito wako uko kwenye hatari ya kutoka, ni vizuri ukawasiliana na kituo cha karibu cha afya au ukawasiliana na mtabibu . Kama unakumbwa na moja ya mambo kama haya na usingependa kupatwa na tatizo hili la kutokwa kwa mimba basi ni vema kama ukawasiliana na wataalamu wa afya kwa msaada zaidi Ili kuwaokoa wanawake wengi ambao kwa namna moja au nyingine hawajui chochote kuhusiana na chanzo, dalili au namna ya kuepuka tatizo hili la kuharibika kwa mimba tafadhali hakikisha una SHARE post hii kadri uwezavyo elimu iwafikie wengi zaidi katika jamii Nakutakia siku Njema, Mungu Akubariki na kukulinda Usisahau ku LIKE
...

Nchi Kumi Zinazoongoza Kwa Kuwa na Wasichana Warembo Barani Afrika Afrika ni miongoni mwa Bara lililobarikiwa tamaduni, lugha na watu tofauti wenye tabia zinazoshabihiana ikiwamo ukarimu. Miongoni mwa watu wa Bara hili wapo wasichana warembo wa kuvutia tofauti na wengine, katika hili kuna mjadala mpana huku baadhi wakikubali kuwa kuna watu wanaovutia kuliko wengine huku baadhi yao wakidai kuwa uzuri, urembo wa mtu unatafsiriwa kulingana na anayemtizama. Lakini katika hili tukubali tukatae miongoni mwa wanawake wa Afrika bila kujali wanatizamwa na nani ni wazuri na warembo na wanavutia kuliko wengine. Ifuatayo ni orodha ya nchi 10 zenye wanawake wenye mvuto barani Afrika, mwaka jana Tanzania ilishika nafasi ya 10 mwaka huu imepanda nafasi moja na inashika nafasi ya tisa. 10: Ghana Nchi ya Ghana inashika namba 10 kwa kuwa na wanawake wazuri Barani Afrika kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa Machi mwaka huu na tovuti mbalimbali za masuala ya urembo ikiwamo Afrojuju, Urbanviralmedia. Jambo wanalolingana wanawake wa Ghana kuwa wana mvuto wa asili ambao huuongezea kwa kujiremba. Mwaka jana Ghana ilishika namba nane, mwaka huu imeshuka nafasi mbili na kushika nafasi ya 10. 9: Tanzania Nafasi ya tisa mwaka huu imeshikiliwa na Tanzania iliyokuwa inashikilia nafasi ya 10 mwaka jana hivyo imepanda nafasi moja. Miongoni mwa sifa za wanawake wa Tanzania ukiachilia mbali uzuri wa asil ni ni pamoja na kutunza nyumba, ujuzi wa kukisafisha chumba na kukipamba. Katika orodha hii wametajwa kuwa wanawake bora wachapa kazi na wanaojali familia. 8: Kenya Imepanda nafasi moja kwa kuwa mwaka jana ilishika nafasi ya tisa. Sifa za wanawake wa nchi hiyo ni pamoja na kuwa wajuzi katika mapenzi, wachapa kazi na watuamiaji wa pombe, jambo linalowatofautisha na watu wengine ni rangi yao ya kuvutia. 7: Nigeria Kwa miaka miwili mfululizo warembo wa Nigeria wanashikilia nafasi ya saba. Wanawake wa Nigeria licha ya kuwa na rangi za kuvutia, pia wana maumbo ya yaliyojazia na wamejaaliwa kuwa na uwezo wa kuzaa watoto wengi, kati ya 1970 na 2011 Nigeria iliongezeka idadi ya watu mara tatu na kuifanya kuwa nchi yenye wakazi wengi barani Afrika. Kama unataka mwanamke mzuri na atakayekuzaliwa watoto wengi Nigeria inakuhusu. Kwa wale wanaotaka mwanamke mwenye sifa za kuwa mke, wa nchi hiyo wanafaa. Sifa ya kipekee wanajua kupika na kutunza familia. 6: Ivory Coast Mwaka huu namba sita imeshikiliwa na Ivory Coast ambayo mwaka jana haikuwepo kabisa, hivyo imeingia kwenye 10 bora kwa mara ya kwanza, nafasi hiyo mwaka jana ilishikwa na nchi ya Afrika Kusini. 5: Afrika Kusini Nchi hii imewapa jina warembo wake “Upinde wa Mvua wa Taifa”. mwaka huu imepanda nafasi moja kutoka nafasi ya sita iliyoshika mwaka jana. Ni miongoni mwa nchi zenye wasichana warembo wa kuvutia katika Bara la Afrika. Miji ya Cape Town, Johannesburg, Pretoria na Durban ndiyo yenye wanawake wenye mvuto. Wanawake wa Afrika Kusini wanang’aa na kuvutia kutokana na ngozi zao nyororor. Unapofika nchini humo hasa katika Jiji la Pretoria kuwa makini kwa sababu unaweza kugongwa na gari kutokana na kuwashangaa warembo hao ambao kwa kawaida huvaa tofauti kidogo, nguo zao huwa fupi. 4: Rwanda Wanaume wao hujivunia kwa kuwaita “Tufaa Lililojificha”, mwaka jana nchi hiyo ilishika nafasi ya kwanza kwa kuwa na wanawake warembo, mwaka huu imekamata nafasi ya nne. Wanawake wa nchi hii sifa ya kipekee ikiwamo urefu unaopendeza, shepu ya Kiafrika kabisa, wasomi na wanaotaka kufahamu kila jambo. Kitu kinachowafanya wawe juu licha ya kuwa warembo, ni wachapa kazi wanaojali muda na kupigania wanachokitaka bila kujali wanapambana na nani na ana nafasi gani ikiwamo kutoogopa mashindano na wanaume katika nyanja mbalimbali ikiwamo za kisiasa, kielimu au kiutendaji. 3: Somalia Sifa yao maarufu na wanayopendwa kuitwa na wanaume wa nchi yao ni “Vita Aiharibu Urembo”, mwaka jana walishika nafasi ya pili. Licha ya urembo na kuwa karibu maeneo mengi katika Bara la Afrika bado wana utamaduni wa kuoana wao kwa wao. Wanatajwa pia kuwa miongoni mwa wanawake wanaoamini katika ndoa na kuitendea haki. 2: Eritrea Ni miongoni mwa nchi zenye wanawake wenye mvuto barani Afrika, licha ya asilimia kubwa ya wanawake wake kujihifadhi kwa kuvaa ushungi na mavazi marefu bado asili ya urembo wao ipo pale pale. 1: Ethiopia Wanawake wa nchi hii huitwa “Asili ya Ubinadamu”. Huo ni utambulisho wao mbele ya macho ya dunia. Inaelezwa kuwa ustaarabu kwa wanawake ulianzia katika Ethiopia, hivyo inatajwa kuwa ni nchi yenye wanawake wenye mvuto zaidi barani Afrika. Wengine wanasema matokeo ya mvuto wao yanatokana na mchanganyiko wa watu wa kale wa Yemen na Ethiopia. Wakati mwingine inakuwa ngumu kuwatofautisha kutokana na baadhi yao kufanana sana, maumbile, sura na uzungumzaji.
...

MY True Story: Alichonifanya Huyu Mrembo Kwenye Daladala Kinaniuguza..!!! By B professional love Ukiona ndege ametua kwenye ulimbo, kanasa lakini hana wasiwasi, anachambua tu mbawa zake mithili ya mrembo aliye mbele ya dressing table, basi fahamu kuwa ndege huyo amegundua amenasa kwenye ulimbo uliotegwa bahati mbaya na ‘Rasta Man’ asiyekula nyama. Vinginevyo yatakuwa ‘mang’ana’. Hebu fuatilia kilichonikuta, cha ajabu na cha kushangaza kilichoniuguza… ni mapenzi gani haya au uchawi, au ni wizi gani huu!!! Juzi nilikuwa katika mizunguko yangu ya kila siku, ila ilipofika majira ya saa mbili usiku hivi ilibidi nielekee kituo cha daladala ili nirejee kwenye kiota changu. Nilikuwa na uchovu mwingi hata honi za daladala nilihisi zinanipigia kelele. Kama unavyojua jiji la Dar es Salaam, adha ya usafiri ni kubwa. Licha ya kuwa na rundo la daladala, bado abiria wanafunika wingi wa daladala hizo. Kwahiyo panahitaji msuri wa maana kupata gari hasa majira ya jioni. Bahat nzuri siku hiyo nimefika pale Mawasiliano (Simu 2000), daladala nayo ndo ikawa inaingia kwahiyo ikabidi niwahi haraka ili nipate seat, japo kwa uelekeo wetu watu sio wengi sana ila kwa kiasi fulani kulikuwa na kambanano kidogo. Lakini kwa muda huo upande wetu gari ilikuwa wazi kidogo, so nilifika nikapata seat nikakaa. Nikiwa hata sijatulia vizuri alikuja dada fulani akiwa kasi sana kama alikuwa anawahi seat wakati gari bado ilikuwa na seat za kutosha! Alikuja hadi pale nilipokuwa nimekaa akanambia, “samaha ni sogea kidogo tukae wote”. “Bila samahani dada, pita ukae upande wa dirishani,” nilimjibu kwa sababu ilikuwa seat ya watu wawili. Nilimpisha akakaa upande wa dirishani mkono wa kulia ule upande wa dereva Lakini muda mfupi tu gari likiwa ndo linaanza kuondoka. Ghafla, nilimuona anatapatapa kuangalia kwenye mkoba. Mara ajikague kama anatafuta kitu. Baadae, nikamsikia anajisemesha kwa huruma, “mmmm simu yangu jamani” huku zoezi la kujipekuapekua likiendelea. Mimi nilikuwa nimechoka, natamani hata kusinzia, nikaanza kuwaza, “sasa huu msala wa simu tena..” Akiwa anafanya hayo nilikuwa nimetulia kama simuoni hivi wala simsikii… Sikuonesha ushirikiano wala kumsikiliza. Alishindwa kutulia, mara akanigeukia na kuniambia, “kaka samahani, unaweza kunibipia simu yangu hapo mara moja”. Basi mtoto wa watu hata sikuuliza kitu nilishika simu na akanitajia namba zake kisha nikapiga simu kwa ile namba. Punde simu ilianza kuita ikiwa kwenye mkoba wake…, ni uleule mkoba aliokuwa anausachi. Hapo hapo akasema “heee afadhali kumbe iko humu!!!! nilikuwa nimeshaogopa… asante sana kaka.” Sikuwa na maneno mengi nikamjibu, “usijali.” Safari yetu ikaendelea huku yowe la konda la vituo likiendelea. Niliifuta ile namba palepale, najua fujo za mpenzi wangu akiishika simu yangu huko nyumbani halafu aone namba mpya ambayo sina maelezo yake. Lakini kupitia hiyo “oparesheni saka simu” nilipata nafasi ya kumuangalia vizuri usoni. Nilimuona binti mrembo halafu kama wa kishua sana. Nilihisi alipaki gari lake sehemu akapanda daladala. Lakini kwa udadisi wa jicho langu niliona kama tayari ameshazaa. Si ujaua tena jicho linatuma taarifa nyingi kwenye ubongo. Pua zangu zilisia harufu nzuri ya marashi. Yaani ile seat ilikuwa na hali nzuri muda ule. Sio marashi makali, ni laini ila yanavutia, nikaanza kuhisi raha kwa mbali. Sio rahisi kuisikia ile harufu uswahilini kwetu. Lakini cha ajabu kipindi kondakta anatangaza kituo kinachofuata yule dada aliomba ashushwe pale…nilishtuka kidogo maana ni karibu sana na pale tulipopandia yaani hata mtu akisamama anaweza kumuita mtu wa kituo cha pili. Kama unavyojua vituo vya town. Nikasema kimoyomoyo kikwetu, “bhono mbosari bhwa sihera”. Yaani huu ni uharibifu mkubwa wa fedha. Aliposimama, kwa kweli jicho lilimuangalia kidogo… eeh, alikuwa amejaliwa, mwembamba hivi ila nyuma alikuwa na minofu. Basi, niliishia kumuangalia hadi mlangoni. Basi nikaendelea na mambo yangu. Nikawa nafikiria kwa mbali..”huyu vipi!?” Baada ya kuwa ameshuka na safari imeendelea kondakta alianza kukusanya nauli na alianzia kwangu lakini baada ya kunipa chenji aliniuliza “huyo dada mnafahamiana?” “Dada yupi?” nikamuuiliza Konda. “Huyo aliyeshuka hapo” nikamwambia, “hapana!” Yule konda akaguna kama mtu anayetahadhalisha jambo. Konda akaniuliza “kwani unashukia wapi” nikamwambia mwisho wa daladala, basi akasema ngoja achukue kwanza nauli kwa abiria kisha tuongee..Yale maneno yake yalinishtua kidogo ikabidi nianze kujikagua labda kuna kitu nimepoteza lakini sikuwa na kitu chochote nilichopoteza so ikabidi nimsubiri kwa hamu na maswali mengi sana kichwani. Nikiwa nasubiri konda amalize kukusanya nauli ili anambie nini kinaendelea, mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio kidogo nikijiuliza mambo mengi kuhusu huyo mtu. Kubwa likiwa nini nimepoteza. So niliendelea kujikaguakagua kwa kila nilichokuwa nafikiria lakini kwa kadIri nilivyojitathimini nilijiridhisha kuwa sijapoteza chochote hivyo ikabidi nisubiri maneno toka kwa kondakta. Basi kondakta baada ya kumaliza kuchukua nauli alirudi kukaa kwenye kiti kilichokuwa mlangoni nami nilivyoona hivyo ikabidi nisogee siti ya mbele kidogo ili niwe karibu naye wakati huo baadhi ya siti zilikuwa wazi maana abiria wengi walikuwa wameshuka..kwahiyo nikakaa upande ule wa dereva yaani kulia mwa gari huku konda akiwa upande wa kushoto kule mlangoni. Nilinyoosha mkono nikamgusa kondakta begani alipogeuka nikamwambia “hebu nambie mkuu, kuna nini?” Jamaa aligeuka na aliponiona ni mimi akasema “aaaaah!! nilikuwa nishasahau boss.” Basi akaweka sarafu na noti zake vizuri kwenye koti na akaanza kunisimulia. Kama unavyojua konda na mlango…so jamaa akanambia kipindi gari linafika katika kituo akiwa pale mlangoni , alimuona huyo dada akiwa na wenzake wawili wakiwa wamesimama miongoni mwa kundi kubwa la abiria. Waliokuwa pale kituoni ambapo licha ya baadhi ya abiria kukimbia kuja katika daladala hiyo wao walibakia wamesimama..jambo ambalo ni la kawaida tu. Akahisi sio gari walilokuwa wanasubiri. Lakini ghafla mimi nikiwa nakimbia kuelekea katika hilo gari, Konda anasema aliwaona wanaoneshea kidole yaani mmoja kati yao alikuwa ananisontea kidole ishara ya kuwaonesha wenzie (nadhani hapo nitakuwa nimeeleweka vizuri) na hasa aliyekuwa anaelekezwa ni huyu aliyekuja kwenye gari. Katika zoezi hilo ilionekana wale wengine wawili wanamshinikiza yule dada anifuate ambapo naye alionekana kusitasita. Nikiwa ndo ile naingia tu kwenye daladala hatimaye alipochomoka mbio kuja katika ile gari. Hii movie yote kumbe yule kondakta aliiona….alianza kujiuliza kuwa pengine tunafahamiana lakini pia mawazo yake yalimtuma labda kuna jambo wanataka kulifanya kwangu. Kwahiyo, kwa kiasi fulani alianza kuweka kuangalia kwa makini hasa kwa yule mtu hata pale gari alipokuwa linaondoka. Kumbe hata katika zile harakati za “oparesheni saka simu” kondakta alikuwa anatupimia tu ki-wiziwizi ili kama kutatokea shida yoyote basi aweze kubanana naye. Kumbe hata kile kitendo cha yule dada kushuka mapema ndo kilimshtua zaidi, akahisi kuna tukio lishafanyika tayari. Kwahiyo pale nje alimcheleweshea chenji kidogo ili kama kutasikika mtu analalamika humo ndani ya daladala basi aweze kumdandia lakini ilikuwa haina namna alimpa chenji na tukaendelea na safari. Ndo maana aliporudi ndani ya gari tu akaanzia kwangu na kuniuliza kama nafahamiana naye. So, kondakta baada ya kunisimulia haya yote mwishoni tena alirudia kuniuliza swali lile lile “vipi wewe humfahamu kabisa?” Nikamjibu, “hapana mzee wala sijawahi kumuona hata mara moja, ndo hivi leo tu”. Basi konda aliniuliza tena “vipi vitu vyako vyote viko sawa?” “Naona kila kitu kiko sawa.” Basi aliyafunga mazungumzo yetu lakini maneno aliyomaliza nayo ndo yalinishtua sana, aliguna kisha akasema “inabidi uje ujichunguze vizuri maana huo ujio wake sio wa kawaida halafu siku hizi kuna vimambo vya ajabu ajabu huku, basi tu.” Basia akaendelea na kazi yake. Daaaah!!!! Kusikia hili neno akili ilianza kufikiria maneno mengine mazito kidogo…yaani mbali na akili ya kupoteza kitu nilianza kujichunguza labda kuna kitu kisicho cha kawaida nimeachiwa au hata kupakwa. Lakini yule msichana mbona anaonekana wa kishua..! Nilijitazama sana upande wa kulia maana alikuwa amekaa kulia kwangu. Lakini kila nilipotaza sikugundua kitu akili ikanituma nigeuke nyuma nitazame pale kwenye siti tulipokuwa tumekaa naye. Lakini niliposimama tu kutazama kule kwenye siti..moyo ukashtuka mithili ya mvunjiko wa ‘bawaba’. Nikakumbuka wakati anatafuta simu yake aliniomba nimbeep…na baada ya kumbeep simu yake aliipata katika mkoba wake hivyo akili ikanituma haraka haraka labda shida kubwa ilikuwa ni mawasiliano yangu na ile njia ya kuvunga kapoteza simu ilikuwa ni gia tu ya kupata namba yangu. Kweli nilijidharau kwa muda nikajiona mimi bata kweli..yaani mtoto wa kike kanizidi ujanja kiulaini namna hiyo!!. Basi nikaona haina shida nisubiri hicho kitakachojili na kama sio hivyo nilivyofikiri basi liwalo na liwe..kwa muda huo sikushtuka kuangalia namba yake katika simu yangu maana baada ya kuipata simu yake tu, namba yake niliifuta. Baada ya daladala kufika kituoni nilishuka na kuanza kutembea mdogo mdogo kuelekea home huku njiani nikiwa natafakari nini dhima ya yule dada. Lakini nilipofika nyumbani wakati wa kuvua viatu na soksi ndo “nilistajabu ya Musa kabla sijaona ya Filauni” Mwanzoni nilipoitazama niliona kama suluali yangu imedondokewa na vitu vyeupe mithili ya unga au poda katika mguu wa kulia karibu na viatu….ambapo nilitumia dekio la mlangoni kufuta uchafu huo na ukatoka kawaida lakini nilipokuwa najifuta, nilikuta suluali yangu imekatwa ka-kipande kadogo kiasi usawa wa pindo la suluali chini kabisa katika mguu wa kulia. Nilianza kujiuliza ni wapi nilipopita hadi suluali yangu kuchafuka namna hiyo sikupata jibu lakini nilipo iona ile sehemu iliyochanwa na kuondolewa kabisa sehemu ya kipande cha suluali nilipatwa na hofu sana na akili ikanituma moja kwa moja kuwa hiyo ni kazi ya yule dada aliyekuwa katika daladala. Ndipo nilipokumbuka muda flani nikiwa mle kwenye daladala muda mfupi baada ya kupata simu yake nilimuona akifungua mkoba na kutoa kitana, kioo na vitu vingine ambavyo sikuvichunguza vizuri kisha akainama kidogo katika seati akawa kama anaseti nywele si unajua tena mambo ya wanawake wa town. Lakini katika harakati ile nilimsikia kama kadondosha kitu, halafu akainama chini kwenye siti kukiokota ambapo aliinamana kwa sekunde kadha kisha akainuka na kuchukua vitu vingine na kuvirejesha katika mkoba….mimi kwa wakati huo nilikuwa simzingatii sana tena nilikuwa namwangalia kiwiziwizi. Ndipo nilipopata jibu kwamba muda huo ndo aliutumia kufanya kitendo hicho..lakini swali linabaki “nini haswa kusudi la kitendo hiki?” Na je, mimi nitaathilika kwa namna gani kuhusu hilo?. “kwanini mimi?”. Maana ilionekana walisonteana kidole kisha mmoja akaniwahi katika gari…haya yote yanaendelea kunichanganya sana. Lakini kila napofikiria na kusubiri kuona hicho kitakachotokea nikijiuliza nini tena matumizi ya namba yangu ambayo aliipata kiujanja ujanja.. “kweli sipati jibu”, kwa bahati mbaya mimi yake niliifuta ningeweza kumtafuta lakini pia kwa upande mwingine najipa matumaini kwamba kama alichukua namba basi atanitafuta….japo kwa nafasi hii nahisi labda ni kwa matumizi yake. Nafikiria mambo mengi sana lakini sipati jibu kuwa ni ushirikiana wa kunidhuru, ni ushirikina wa kuweka mambo yake sawa? Au ndo nalogwa nidate kwenye mapenzi mazito ya mtoto wa kishua? Lakini kakosa nini hadi mimi.. tena kwenye daladala, hajawahi kuniona hata siku moja? Nguo yangu inahusikaje? Nimebaki na maswali sipati jibu, najuta kuifuta ile namba bora ningempigia mapema nimuulize. Hapa sina jinsi zaidi ya kusubiri kitakachonikuta… ila hofu yenyewe inanikondesha kila kukicha na namuogopa kila ninaekaa naye kwenye daladala.. Nasubiri na bado sina jibu! Kilichobaki ni maombi tu.
...

Wanaume Hii Kitu ni Mbaya Sana...Msiwafanyie Wanawake 👉Mungu anasema si vyema mtu (Mwanaume) awe peke yake. (Mwanzo 2:18), na ni kweli Mwanaume hakuumbwa kuwa peke yake eti jeshi la mtu mmoja hata Mungu anajua, upweke unaleta disorder. Lakini wakati unasubiri au ukiwa kwenye mchakato wa kutafuta mwenzi wa maisha usitumie wanawake kama magazine za waiting room Airport ukiwa unasubiri muda wa kupanda ndege. Usijiingize kwenye mahusiano na mtu eti unavuta-vuta muda kupata mtu sahihi. Ni mbaya sana. 👉Unamtongoza dada wa watu na kumsumbua mpaka anajiaminisha kuwa unampenda kumbe hayuko hata kwenye ndoto zako, unataka tu mtu wa kupotezea mawazo. Yeye (Msichana) anajenga imani kwako na kuanza kukuingiza kwenye mawazo ya hatima (future) yake. Anakubwagia limoyo lake lote, kumbe wewe hata hisia huna. Inaumiza sana. Bora utumie hiyo nafasi kujikita kwenye michezo au gym au mchakato wa kibiashara, au online courses ili uvute muda ukiwa unajiandaa kupata mtu sahihi wa maisha yako. Kwa nini umwambie mtu unampenda sana na uko tayari kufa kwaajili yake, wakati unajua unamtamani tu na sio kweli kuwa unampenda? Kwanini uumize hisia za mtu kwa makusudi? Kwa nini ujiingize kwenye maisha ya mtu na kumvurugua utaratibu wake kumpotezea muda wake? Huenda usingakaba hiyo nafasi angekuwa huru kupata mtu wake wa maisha. Lakini we umekaa kwenye maisha yake kama jiwe kwenye mlango wa kaburi la Lazaro, mbele hasogei nyuma harudi, kila siku unamuumiza tu. Umekuwa kitunguu kwenye maisha ya mtu haishi kulia kwa sababu hisia zako haziko kwake. 👉🏻Hii ni tabia mbaya sana. Kama unasoma post hii na uko kwenye mahusiano na mtu ambaye unampotezea wakati tu huna malengo naye nakusihi umuache mara moja. Kumbuka utapata watoto wa kike najua hautapenda mtu awe kwenye maisha ya mwanao akimpotezea muda. Haya mambo tunafanya wanaume hata Mungu hapendi. Watu wanafeli masomo, watu wanakunywa sumu, wengine wanafia vitandani mahospitalini wakitoa mimba tulizokataa, wengine wamepata magonjwa ya mioyo kwa sababu ya hayo maumivu tumesababisha. Hayana faida hayo maisha, unajiwekea tu laana na mikosi itakayosakana maisha yako. Na ni utoto na upumbavu kutumia uanaume wako, uongo na ujanja ujanja kuchezea hisia za mtu. Amua kubadilika. Huu sio ujanja ni ufala. TUKUMBUKE MUNGU ANAONA NA UNACHOKIFANYA NI MBEGU UNAPANDA. #USIJE_KUSEMA_HUKUAMBIWA.
...

WAKE ZETU HAWAPENDI HII KITU. *Mpo Kwenye Ndoa Kwa Takribani Miaka Mi3 Au Zaid. Bahati Nzuri Mungu Kawajalia Mtoto/Watoto So Ndoa Inafuraha Coz Mmeongeza Familia. KWANZA TUJUE HILI WANANDOA. *Ktk Maisha Ya Ndoa Huwa Inafika Kipindi Wenza Huonana Kama Mbwa Na Paka Kiasi Cha Kutamani Kuachana Na Wakat Mwingine Hata Kudiriki Kusema Bora Nisingeoa Au Kuolewa Na Huyu. *Wanandoa Wanaishi Maisha Yasiyo Na Amani Ndani Ya Ndoa Na Kufanya Hata Maendeleo Kukosekana Ktk Familia. Matatizo Haya Ya Ndoa Huletwa Na Wanandoa Wenyewe Anawezakuwa Mume Au Mke. Leo Ningependa Kuzungumzia Baadhi Ya Matatizo Yale Yanayoletwa Na Wanaume. SHIDA YA WANAUME IKO HAPA. 1. MAJIBU YA KUUDHI. Hili Ni Tatzo Kubwa Sana Tulilonalo Wanaume. Mwanamke Akishazaa Huwa Tunamwona Kama Ameshuka Thamani Kiasi Cha Kudharau Hata Mambo Ya Msingi Akwambiayo. 2. KUTOJALI SAUTI YA MKEO. Utakuta Mwanaume Anasikiliza Shida Za Watu Wa Nje Na Kuzitekeleza Kuliko Hata Za Mkewe Ambaye Ndio Familia Yake. Wanaume Wengi Si Rahisi Kumuona Anaongea Kwa Sauti Ya Mahaba Na Mkewe, Bila Kujali Ni Directi Au Indirect Yani Kwa Njia Ya Simu. Mkeo Anakuuliza Jambo La Msingi Lakn Unavyomjibu Anakosa Kabisa Amani Na Kujiona Kama Vile Sio Mkeo Bali Malaya Mmoja Tu. 3. HESHIMA. Wakezetu Wanahitaji Kuheshimiwa Na Kupendwa Ili Waone Kwamba Wao Ni Wake Hasa Na Si WapitaNjia. 4. MAPENZI & MAJUKUMU. Kunatofauti Kubwa Kati Ya Majukumu Ya Kifamilia Na Majukumu Ya Kimapenz. Waume Wengi Tunafikiri Kutimiza Majukumu Ya Kifamilia Nyumbani Kama Chakula, Malazi, Mavazi, Elimu, Afya Na Mengineyo, Ni Mapenzi Tosha. . . . !! Lah Hasha, Wakezetu Hutazama Zaidi Na Huhitaji Zaidi Ya Hapo. Mke Anahitaji Apate Mapenzi Matamu Kuanzia Sebuleni Hadi Chumbani (Show Kali) Lakn Pia Mkifanya Outing Huwa Anahitaji Uwe Karibu Naye Hata Kama Uko Na Washiji Zako. Sasa Unamkuta Mume Ana Special Outing Zake Bila Mke Lakn Siku Wakitoka Pamoja, Mume Anakuwa Busy Sana Simu Android Yake Au Busy Na Washikaji Hata Story Wanazopiga Nyingi Ziko Nje Ya Himaya Ya Mwanamke. Utakuta Wao Wanazungumzia Mpira Au Ishu Za Kazini Kwao Pekee Kiasi Cha Kumfanya Mkeo Awe Kimya Kabisa. Penda Sana Kufanya Outing Na Mkeo Hata Mara1 Kwa Mwezi Sio Mbaya. Wengi Tunaamini Outing Ni Mpaka Uwe Na Pesa Nyingi, Hii Si Kweli. Dhumuni La Outing Ni Kubadili Mazingira Ili Muweze Ku'Refresh. Mnaweza Kuwa Na Elfu10 Au Zaidi Mkaenda Kiwanja Cha Karibu, Mkanywa Peps Zenu Na Azam Cola Mkamezea Na Clips Za Mihogo Cku Ikaisha, Lakn Outing Hiyo Ikaongeza Afya Ya Mapenzi Na Afya Ya Akili Ktk Ndoa Yenu. UDHAIFU. Udhaifu Wa Mwanamke Ujuu Ya Shetani Lakn udhaifu Wa Mwanaume, Ujuu Ya Mwanamke. HITIMISHO. Wanaume Tuwapende Wake Zetu Na Tuwathamini Lakn Wanawake Watiini Waume Zenu. Wanawake Kuweni Wasafi Muda Wote Sio Kisa Unamtoto Au Watoto Basi Muda Wote Uko Rafu Tu Hata Nyumba Hufagii Au Vitu Fulani Vipo Mahala Ambapo Si Sehemu Yake. Usafi Na Utii Kwa Mumeo Huongeza Thamani Na Utamu Wa Ndoa Maana Hata Mwanaume Mchafu Hupenda Mwanamke Msafi. NB: KUCHEPUKA SIO SULUHU YA NDOA BALI NI KUONGEZA TATIZO. SULUHU NI KUMWOMBA MUNGU AWE KINGA YA NDOA YAKO.
...

Sex kwa wanandoa haipo kwa ajili ya kutengeneza watoto tu. Kama mke, kila mara lazima uwe tofauti kwa mumeo. Mshawishi mumeo, usiruhusu mumeo akuombe sex, usiwe na ratiba ya sex. Kuwa mbunifu, na wala usitabirike. Mpe ile anayostahili..kama ukipoteza mvuto kwa mumeo, basi umepoteza thamani yako kama mwanamke. Kuwa sehemu ya mipango ya mume wako. Hakuna kitu mume wako atakipenda kama kumuomba sex, toa aibu....huyo ni mume wako..mmehararishwa mbele za Mungu, penis yake ni mali yako pia... Inashangaza kuna baadhi ya wanawake hata hawajui penis za waume zao zikoje. Ichezee unavyotaka, usiku usilale na suruli au jinsi...acha ngozi yako laini imguse mumeo...kuna raha kubwa mwanaume anavyoguswa na ngozi yako laini...msisimuko wake ni wa kiwango cha PhD. Mwanaume anavyokuwa satsfied na sex siku zote anakuwa stable kiakili na kimwili...anafurahia maisha na atatamani kurudi nyumbani kila mara... Msikariri kwamba sex lazima iwe usiku tu, fanyeni hata mchana...kama uko nyumbani na mumeo yupo kazini...mwite hata muda wa lunch aje nyumbani...fanyeni tendo hata la nusu saa tu...huo ndio ubunifu na ndoa haitaboa. Mtii mumeo kwa moyo mmoja, kamwe usimweleze kwamba upo hapo kwa ajili ya watoto..kumbuka ulianza kumjua yeye kabla watoto hawajaja. Mbembeleze mumeo, weka kichwa chake kwenye kifua chako. Muombee...mpe kiss ya kibabe...mmmhwwwwaaa....usijihisi vibaya kumkiss mbele ya public...yeye ni mumeo..mali yako halali kabisa hata malaika mbinguni wanajua. Kuwa romantic uwapo nyumbani, vaa nguo laini za mitego....usivae mivitenge na magauni magumu kama bibi yangu wa kule kwetu Ivilikinge, Makete..... Kuwa msafi kila muda...Nukia kwa manukato yenye mvuto, usinukie mapilipili hoho na mavitunguu swaumu....kama vipi nunua sex lingarie halafu vaa kila muda uwapo na mumeo peke yenu. Usionekane kama una miaka 50 wakati hata 40 hujafikisha...fanya mazoezi, acha bia, nyama choma, chips mayai, mapizza, na mavyakula mengine yenye wanga mwingi. Tunza vizuri mwili wako, mwanamke ni pambo ndani ya nyumba na fahari ya macho ya mume...sasa ukipoteza mvuto umefanya kosa kubwa sana. Fanya jitihada kupigania kuwa na mwili uliokuwa nao mwanzo. KWA WANAUME. Usimchukulie poa mwanamke anayefanya hayo kwa ajili yako. Mbembeleze, mpe moyo, mpende, mpe support, na mfanye ajisikie kuwa na bahati ya kupata mume kama wewe. Natamani niongee mambo mengi ya kikubwa sema humu fb watoto wengi sana. Mungu aibariki ndoa yako. Nia yangu ya dhati ni kuwaona ninyi nyote rafiki zangu at the Top. Share.
...

Riwaya : ROHO YA GIZA SEHEMU YA KWANZA(01) Hahahaha huu ni ujinga uliokithiri.. yawezekana vipi kuabudu na kuamini kitu usichokijua... eti Mungu Mungu,, ebu niambie wewe umeshawahi kumuona? yalisikika maneno akiyaongea kijana mmoja aitwae, FUNDIKILA,,,akiwaambia wenzake,,,Fundikila hakuwa na imani kuwa Mungu yupo,,, badala yake yeye aliamini kuwa kazaliwa tu,, hajaumbwa na Mungu kwa mfano wake! watu walimshangaa sanaa, waengine walimuita Mpagani,, (mtu asiye na dini) Maisha yalizidi kusonga,,Fumdikila alikuwa na maisha mazuri,, alikuwa anamiliki magari ya kifahari pamoja na majumba ya kifahari.. lakini hakuna hata mmoja aliyefahamu kazi anayoifanya Fundikila! Kumbe Dundikila alikuwa anamuabudu Shetani(satan) kwa kumtumikia kimatendo na kimwili... kwa kuyafuata yale yasiyompendeza Mungu.. Siku moja Fundikila,, alidamka majira ya saa tisa za usiku.. akatoweka kimiujiza na kwenda kwenye dini yake anayoiamini kuwa ndiyo dini sahihi...dini ya kishetani(satan) wafuasi wote wa dini hiyo walikuwa wanakutana usiku wa manane kuanzia saa tisa na dakika moja.(Mid night) katika jumba moja kubwa...jumba hilo huwezi kuliona nyakati za mchana,,, linaonekana nyakati za usiku tu.. ambapo Fundikila pamoja na wafuasi wenzake,,nyakati za usiku kwao ni mchana. walikutana ndani ya jumba hilo kila jumatatu,, jumatano na jumamosi....kwa ajili ya vikao na mikakati ya mioango yao ya kuzimu. siku ya leo kilikuwa ni kikao maalumu.. akaonekana kiongozi mkuu wa dini hiyo ya kishetani akizipiga hatua na kusimama mbele yao... wakanyanyua mikono yao kwa kufanya ishara ya kumsujudia... kisha akasema,, usiku wa leo ni lazima kila mtu atoe kafara la damu.... pia kwa wale wakongwe wa dini hii waliowahi kutoa kafara zaidi ya mara 29... wao hawatausishwa na kafara tena..... Kumbe miongoni mwa wafuasi wapya na Fundikila alikuwemo. hivyo kafara linamuhusu! ilipofika saa tisa na dakika 59 kikao kikafungwa na wafuasi wote wakatoweka kimiujiza kurudi majumbani mwao! isipokuwa wale wafuasi wageni wanahitajika kutoa kafara kabla jua halijachomoza.... hivyo Fundikila akajitokeza nje ya club(kumbi ya starehe) moja ambayo huwa inatumbuiza mziki kuanzia siku ya ijumaa jumamosi na jumapili.. jumamosi ya leo wapenda starehe walikuwa wengi sana ndani ya club hiyo(kumbi ya starehe) kwa mbali akaonekana mwanaume mmoja akitokea mdani ya club hiyo, akiwa kaongozana na mwanamke mmoja,,watu hao walionekana wamezidiwa na ulevi! walitembea huku wanayumba yumba,, yawezekana wamekunywa pombe kupita kiasi! wakaingia ndani ya gari,, na kuondoka zao! Fumdikila alikuwa anawatazama tangu walipotoka ndani ya club mpaka wanavyoingia ndani ya gari.... akajisemea moyoni,, "watu hawa ni halali ya kafara ninalohitajika nilifanye kabla jua halijachomoza.....Fundikila akatoweka kimiujiza,,, Wale walevi wawili walionekana wamo ndani ya gari,, mwanaume huyo alikuwa analiendesha gari kwa mwendo wa kasi ya ajabu... punde si punde Fundika akajitokeza katikati ya barabara,, yule dereva alipojaribu kukwepa gari likayumbayumba likatoka barabarani,,ikatokea ajali mbaya ya kutisha hakuna aliyepona... Fundikila akatabasamu kisha akatoweka kimiujiza,,akajitokeza nyumbani kwake... akapanda kitandani na kuanza kuutafuta usingizi. siku zilizidi kusonga,, utajiri wa Fundika ukazidi kuongezeka kila kukicha... Sikumoja nyakati za usiku,, wakiwa katika kikao.... Fundikila akawasilisha ombi.. kuwa anahitaji kuoa.! kiongozi mkuu akasema,, "ni wazo zuri lakini kunamasharti.... nyakupasa umwage damu ya watu 11 ndani ya siku 11..namaanisha kila siku na usiache hata siku moja mpaka siku 11 zitimie. macho yakamtoka Fundika! akajisemea moyoni ,,"mbona masharti magumu kiasi hiki.. nitaweza kweli? akajipa imani kuwa ataweza.... kisha akamtazama kiongozi wao na kusema,, "bila shaka nitatekeleza masharti. kesho yake palipokucha.. Fundikila akatafuta mtu wa kumtoa kafara,,..akafanikiwa akamtoa jirani yake kwa kumuita nyumbani kwake.. kisha akampa chakula chenye sumu inayouwa ndani ya masaa 12. kesho yake pia akamuuwa jirani yake mwingine aliyekuwa anaishi nyumba ya nyuma kutoka nyumbani kwake! siku iliyofuata pia akamtoa kafara mmoja kati ya watoto wanaoishi mtaani hapo! watu wakastaajabu sanana kuona vifo vya mfululizo.... kila siku.....Fundikila aliendelea kutoa kafara kila siku. hatimae wakatimia watu tisa wakabaki wawili..... wiku ya leo akiwa kwenyeharakati za kutafuta mtu wa kumi amtoe kafara akakutana na mwanamke mrembo kupita kiasi.. akajikuta amezama kifikra juu ya mwanamke huyo... akamuita,, mwanamke huyo akaitikia wito,,, bila kuchelewa Fundikila akaanza kumchombeza... mwanamke huyo akajikuta anakubali pasipokujitambua.. alikubali kila neno aliloliongea Fundikila............ wakabadilishana namba za simu,,,kisha Fundikila akasema nitakutafuta keshokutwa. mwanamke huyo akaondoka zake. ilipofika majira ya saa moja za usiku.. Fundikila akiwa ndani ya gari lake... akaona watoto wanacheza kando ya barabara..... akajisemea moyoni.. wacha nirahisishe kazi. mojawapo kati ya watoto hao wawili ni halali ya kafara langu. Bila huruma Fundikila akaliendesha kwa kasi gari lake na kumgonga mmoja kati ya wale watoto wawili! mtoto huyo akapoteza maisha papohapo.l! Fundikila hakupunguza mwendo wa gari lake aliliendesha kwa kasi mpaka nyumbani kwake....... alipofika akaliegesha gari lake la kifahari ndani ya uzio wa ngumna yake.. akashuka na kuingia ndani ya jumba lake la kifahari... akajisemea moyoni,, "nimebakiza kafara moja.. hii ni kazi ndogo... nimekula ng'ombe mzima nitashindwa mkia? kesho yake Fundikila alidamka akaingia ndani ya gari lake na kuondoka.... aliwa matembezini.. wazo likamjia akajisemea moyoni,, "leo nitaifanya kazi ya kutoa kafara usiku... ilipofika majira ya saa moja za jioni... Fundikila akaliendesha gari lake mpaka nje ya mji,, akaliegesha kando ya barabara akisubiri mawindo ya kafara la mwisho.. ili watimie watu 11 aliyoimwaga damu yao kwa ajili ya kafara. ************************************ Upande mwingine alionekana Mchungaji ndani ya gari akiwa na familia yake ...mchungaji huyo alikuwa ametokea kwenye mahuburi ya injili takatifu.... kumbe barabara anayopita ndio ile barabara aliyokuwepo Fundikila kwenye mawindo ya kafara la mwisho... Fundikila akasikia mngurumo wa gari likiendeshwa kwa kasi.. akajisemea moyoni,, wacha nikamilishe kafara... gari la mchungaji lilipo karibia eneo hilo alilokuwepe Fundikila,,, akajitokeza kimiujiza katikati ya barabara akajibadilisha kuwa jiwe kubwa kiasi,, mchungaji akaona jamba hilo akaanza kusali owa imani pasipo kukwepa akaligonga jiwe hilo likaruka kando.. punde si punde likabadilika na kuwa binadamu! ambaye ni Fundikila Fundikila aliumia sana akavunjika mguu.. na kupotza fafamu.....Mchungaji akaliegesha gari lake kando akashuka kutoka ndani ya gari na kuelekea pale alipokuwa amedondoka Fundikila. ITAENDELEA............ wingi wa like zenu ndizo zitafanya niilete hadithi hii ya bure kwa wakati.... Like pia share na marafiki.
...

MKE WANGU AMEBADILIKA. Akapokea sms kwenye simu yake. Sms kutoka kwa mkewe. Sms ilisomeka hivi; "Hi my love, niko katika mood ya maombi. Kuna jambo lolote unataka niliombee?" Mume akaisoma sms mara mbili mbili kwa mshangao. Mkewe hajamuita kwa jina la "my love" kwa kipindi kirefu sana. Na zaidi mkewe hajawahi kumuuliza jambo la kuombea. Ughafla huu ukamshangaza! Mume akaona amjibu tu hivyo hivyo..akamrudishia sms kwa kuandika; "Fanya maombi ya shukrani, mshukuru Mungu kwa ajili ya promotion niliyopata kazini". "Umepanda cheo? Lini?" Mkewe akamtumia sms ya kumuuliza. Mume akakukumbuka kuwa hakumwambia mkewe kwamba amepanda cheo. Kwa sababu mkewe ni jeuri huwa hawezi ku-appreciate jitihada zake na kazi ngumu anazofanya. Yeye hua ni kulalamika tu. Hivyo alivyopanda cheo aliona akimwambia mkewe ataishia kulalamika. "Ni mwezi, niko na ofisi mpya hivi sasa. Samahani, sikukwambia mapema". Mume akajibu. Dakika nne zikapita bila mkewe kumjibu sms ya mwisho. Mume akajua mkewe ameshakasirika kama kawaida yake. Simu yake ikaita. Mkewe alikuwa anapiga. Mume akaguna. Hiki ni kimbembe, anahofia drama za mkewe. "Hello" mume akapokea simu. "Hi my love" mke akaongea upande wa pili. "Mmh" Mume akaguna baada ya kuitwa 'my love'. Sio kawaida hii. Mke akaendelea kuongea kwenye simu.. "Samahani mume wangu, nilikua na-drive nimetoka shule kwa binti yetu Monalisa kwenye siku yao ya vipaji shuleni. Oh, tumebarikiwa na Mungu kuwa na huyu binti wa ajabu. Anakipaji kikubwa cha kuimba. Ameshinda tuzo shuleni. Shule imemtunuku nishani". Mke akamwambia mumewe kwenye simu kwa furaha. Mume akashikwa na mshangao. Hakutarajia mke ataongea na yeye kwa ustarabu na kwa furaha kiasi kile. "Ameshinda tuzo ya uimbaji? Oh my God. Hongera sana kwa binti yetu Mona." Mume nae akajibu kwa furaha. "Ndio ameshinda tuzo, amekuwa wa kwanza. Inabidi tuanze kumpeleka kwenye darasa la muziki pia. Natamani na wewe ungekuwepo. Ila usijali nimerekodi video alivyokua akiimba" Mke akaongea. Mume akawa bado amechangamyikiwa. Kwa kawaida mkewe angeanza kumlaumu kwa namna gani alivyo baba mbaya kwa vile hashiriki kwenye shughuri za shuleni kwa watoto wao wawili. Mfano siku za wazazi na siku za vipaji vya watoto shuleni. Ingawa mkewe anafahamu kabisa kazi zinambana na kazi ya mkewe kidogo inao unafuu hivyo mke anaweza kwenda. Mume angependa kweli kuhudhuria lakini kazi sio rafiki kwake. Licha ya hayo mkewe alikua akimlalamikia. "Anyway my love, nilikupigia simu kukupongeza kwa kupanda cheo. Ninajivunia sana kuwa na wewe. Najua uko busy na kazi, je naweza kuomba na wewe kwenye simu?" Mke akaongea. Mume akakohoa kidogo kwa mshangao. "Ndio, ndio tuombe tu haina shida" mume akaongea. Kwa mara ya kwanza kama wanandoa wakasali pamoja kupitia simu. Ilikuwa ni sala fupi lakini yenye faraja. "Amen" mke akamaliza. "Amen" mume nae akaitikia. "Ok my love. Nikuache uendelee na kazi. Tutaonana baadae nyumbani. Nakupenda eeh!". Akakata simu. Mume akaangalia kwenye screen ya simu yake. Akaona picha ya kwake, mkewe na watoto wao wawili. Picha ya muda kama mwaka mmoja hivi uliopita na akai-save kama wallpaper na screensaver. Akajikuta akitabasamu huku akiangalia screen. "Mambo mazuri" akawaza kichwani mwake. Akajikuta akiwa na mood nzuri na akafanya kazi vizuri zaidi. Akawa na furaha pamoja kujiamini fulani hivi baada ya kuongea na ile simu ya mkewe. Akawa akicheka na kufurahi zaidi na wafanyakazi wenzake pale ofisini. Akapokea sms kutoka WhatsApp. Alikuwa ni mkewe. Amemtumia ile video ya binti yake Mona akiimba shuleni kwenye siku ya vipaji. "Muangalie binti yetu. Awww..inafurahisha na inatia moyo" ilikuwa ni caption ya hiyo video aliyotuma. Mume akaidownload video na kuangalia binti yake akiimba kwenye stage. "Nimemiss vingi mke wangu" mume akamjibu mkewe baada ya kuiangalia video. "Oh ndio. Ila nimemwambia Mona kwamba baba hajaweza kuja kukuona ukiimba kwa sababu amebanwa na kazi. Na kwamba wewe ni baba bora" Mke akamjibu mumewe. Mume akajihisi kusisimka mwili. Akaweka simu yake mezani. Akatafakari. Mkewe ambae mara kwa mara amekuwa akimtuhumu kuwa hawajibiki kama baba bora, leo amemsifia na kusema yeye ni baba bora?? "Asante sana mke wangu. Hayo maneno yamenipa faraja na kuniongezea nguvu". Mume akamjibu sms baada ya kuichukua mezani tena. "Mona ana macho kama yako" mke akamjibu mumewe. "Hahaa hahaa. Asante mama. Mona analips na nywele kama zako" Mume nae akamjibu. "Kweli? Natamani niwe na nywele kama za Mona. Hata hivyo leo wakati naoga niliona unywele mweupe. Naanza kuota mvi sasa hivi" Mke akamtumia sms mumewe. "Karibu kwenye ulimwengu wa mvi. Mimi nimeshaona mvi tatu mpaka saa hizi" mume nae akamjibu. "Ukirudi kazini utaungana na mimi kuoga leo usiku? Then uniangalie huenda nina mvi nyingi tu huku nyuma ya kichwa..wink wink.." mke akatuma tena sms. Mume akajawa na furaha. Hakumbuki ni lini yeye na mkewe kwa mara ya mwisho wame-chat kwa furaha hivi kwenye simu. Wakawa wana-chat huku mume akifanya kazi. Mpaka muda wa kuondoka ulipofika. Mume Akajipiga selfie akiwa katika ofisi yake mpya na akamtumia mkewe aione ofisi. Hajawahi kufanya hivi. Kupiga picha sehemu alipo na kumtumia mkewe. Ila muda huu kutokana na sms nzuri za mkewe, amejikuta akifanya yale aloshindwa kufanya hapo kabla. Akaendesha gari kuelekea nyumbani. Huku akitabasamu na kusikiliza muziki mzuri. Mume akafika nyumbani. Akafungua mlango na kukuta watoto wake wawili wakifanya homework. "Hello love" mke akamuita mumewe na kumbusu kwenye shavu. Nini kinaendelea? Mke wake hajawahi kumsalimia kwa style hiyo ya kimahaba. Mara nyingi hata hua hamjali...hua wanasalimiana utafikiri masela wa Kigogo sambusa. "Habari za kazi Mume wangu" mke akauliza. "Nzuri tu love. Unaonekana mzuri" mume automatically akajikuta akisukumwa kueleza ukweli wa jinsi anavyomuona mkewe. Hajawahi kumsifia kwa kipindi kirefu sasa. Mke na mume wakaangaliana kwa muda kidogo kwa macho ya kutamaniana. Mke akaelekea jikoni, alikuwa anapika. Mume akaenda mezani kwa watoto wake. Mona akamsimulia baba yake kuhusu tuzo aliyoipata shuleni kwa kipaji cha kuimba na mwanae mdogo wa kiume Piere akamsimulia kuhusu kuwika katika kikosi cha soka cha shule yao na kuwa nyota wa mchezo (man of the match). Mume akagundua watoto wake wanafuraha kubwa sana tofauti na siki zingine huko nyuma. Ni kama wamechukua mood ya mama yao leo. "Babe, umekumbuka kununua chumvi niliyokwambia?" Mkewe akamuuliza mumewe huku akipika jikoni. Mumewe alisahau. Hapa matatizo yataanza sasa. Siku zote mkewe hulalamika na kuropoka mbele ya watoto kama mumewe akisahau jambo aliloombwa na mkewe. Mume akasimama na kuelekea jikoni. "Samahani mama. Nilisahau kupitia supermarket" mume akaongea. "Honey, usijali" mke akaongea kwa upole. "Nimejisahau Mama Mona. I'm sorry" Mume akaomba samahani. Mke akampapasa mkono na kumwambia, "Usijali nitajua nini cha kufanya" "Kuna duka la Mangi kule chini, ngoja niende nikanunue pale" mume akaongea huku akielekea mlangoni. "Hapana usijali" mke akamjibu mumewe. Lakini kwa sababu ya jinsi mkewe anavyom-treat leo mume akataka kufanya lolote kwa ajili ya mkewe. "Baba, tununulie na lollipops" Mona na Piere wakamueleza baba yao. Baba akaondoka nyumbani. Akipiga mluzi huku akiwa na furaha. Akarudi nyumbani na kukuta suprise. Mkewe na wanawe wawili wakampa keki ndogo. "Hongera baba" yalikuwa maneno ya Mona na Piere yakiwa yameandikwa kwenye kadi mbili walizompa baba yao. "Hongera kwa kupandishwa cheo baba" yalikuwa maneno ya mkewe huku akimbusu kwenye shavu. Mume akajihisi kupendwa na watu wa nyumbani mwake. Na akajivunia utendaji kazi wake. Mke akamaliza kupika, then yeye na watoto wake wawili wakaandaa chakula mezani; kitu kingine ambacho si cha kawaida pale nyumbani kwao. Chakula kikaandaliwa. Kwa pamoja wakala kwa furaha. Ni muda wa watoto kulala. "Ngoja tupige selfie ya familia" mume akatoa ombi. Wakaja kwa pamoja, wakakumbatiana na kupiga selfie kadhaa huku wakiwa na furaha. Mke akaomba wanawe waongoze sala. Watoto wakasali na kwenda kulala. Mke akaanza kufuta meza. Mume akajikuta nae akisaidia. Akaenda hatua zaidi na kusaidia kuosha vyombo huku wakiongea kuhusu watoto wao na mambo mengine. Mume akambusu mkewe katika lips. "Nakupenda" mume akamwambia mkewe huku akiwa ameshika kiuno. Mke akamtiza mumewe kwa macho ya mahaba. Ni muda mrefu toka mumewe amemueleza kwamba anampenda. Nae akambusu kwenye lips za mumewe. "Mke wangu, leo umenikimbusha mwanamke niliyemuoa. Umenikumbusha ile sababu ya kukuoa wewe na kuwaacha wengine. Umenionesha kwamba mke ndiye anaebeba furaha ya nyumba na familia kiujumla. ...Unapokuwa mwanga, nami natoa mwanga, nyumba yetu inamulikwa na mwanga. Umenikumbusha zile siku tulipikuwa tuna-date" Mume akamwambia hayo mkewe na kumbusu. Mke akamtizama mumewe machoni, akaweka mikono yake kwenye mabega ya mumewe. Na akamueleza haya; "Nimesoma katika kitabu kwamba mwanamke hata atakapoolewa, abaki kuwa yule yule wa kipindi alipokuwa kwenye uchumba au mahusiano. Natakiwa nikitunze na kujipenda na kuwapenda walio wangu..... ..kuna vitu ambavyo vilikuvutia mpaka ukaonelea niwe girlfriend wako na mwishoe kuwa mkeo. Qualities zangu ulizoziona namna navyoongea na wewe na jinsi ninavyokujali. Sikutakiwa nipoteze hizo qualities baada ya kunioa. Nimerudi mume wangu...nipokee tena. "Na kama hivyo mke wangu, umenifanya nikupende tena...natamani nikutongoze upya" mume akamwambia mkewe. Mke akamvuta mkono mumewe, wakaelekea chumbani na kumwambia, "Honey, tulikubaliana leo tunaoga wote" Wakaingia bafuni...kilichofanyika humo mimi na wewe hakituhusu...ni cha wanandoa tu! Ila walitoka wakiwa na furaha tele na ndio mwanzo wa ndoa yao kuanza upya tena! Busara yangu; "A successful marriage requires falling in love many times, always with the same person". Share
...

*JINSI YA KUMTULIZA MKE* 1-💞🙏🏻Muombee dua Allah amtulize. Muonye mukiwa chumbani peke yenu. 2-💞🙏🏻Mpe muda wa kujirekebisha. 3-💞🙏🏻Yasahau makosa yake yaliyo pita. 4-💞🙏🏻Umsikilize na Umjali. 5-💞🙏🏻Mueleze jinsi unavyompenda. 6-💞🙏🏻Msaidie kazi ndogo ndogo. (Kama kumkunia nazi, nakadhalika) 7-💞🙏🏻Kuwa na mtindo unaporudi nyumbani kumletea zawadi japo pipi. 8-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kum'busu na kumkumbatia. 9-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kumsifu kwa uzuri na utamu wake katika tendo la ndoa. 10-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kuwajali wazazi wake na ndugu zake. 11-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kumchagulia nguo za ndani za kuvaa kama chupi na kadhalika. 12-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kuoga pamoja na mkeo. 13-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kula kwako na kurudi nyumbani mapema. 14-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kumtoa out mara kwa mara. 15-💞🙏🏻Namengi mazuri kuliko hayo umfanyie mkeo. Wallahu Aalam. *Mola ajaalie mapenzi na kuoneana huruma kati yako na Wako mpenzi ( Mke/Mume) #
...

Nawaandikieni nyie waume, maana Mungu amewapa hekima na busara ya kuwa kichwa na kutawala yale yaliyo chini yenu. Unafahamu kwamba vitu unavyovifanya wakati mwanamke wako anapokua mjamzito vina-influence afya ya mama na mtoto aliye tumboni? Brothers nisikilizeni hua nashangaa sana mnavyokua mnawasumbua wake zenu wakiwa wajawazito na kushindwa kuendana na mabadiliko wanayopitia. Ni miezi tisa tu ile wala sio ndio milele watakua vile. Mimba hainunuliwi sokoni, wala sio software kwamba utaipakua kwenye internet. Ile ni mbegu iliyopandwa na wewe. Na lazima awepo mtu wa kuibeba ikue vema na kuweza kuzaa kile kilicho bora. Na wanawake wamepewa uwezo huo wa kuibeba hiyo mbegu Mimba ni maandalizi ya kumkaribisha member mpya katika familia. Ujauzito ni adventure safari ..iliyojaa furaha, faraja, na kila aina ya disappointment. Wanawake wanatofautiana katika mabadiliko ya mwili na tabia wawapo wajawazito. ■ Kuna kipindi atakuwa ni mlalamikaji sana ■ Kuna kipindi atakuwa akikuomba vitu ambavyo ni vya ajabu mfano chai iliyowekwa nazi au supu ya miguu ya mbuzi. ■ Kuna kipindi atakuwa mvivu kukupikia chakula. ■ Kuna kipindi atatamani umkande miguu na kumbembeleza kama mtoto mdogo. Tafadhali sana brother msikilize wala usimpotezee...kubeba mtoto sio kazi ndogo eti. Ninauhakika ungehamishiwa ubebe wewe hata kwa siku moja ungeona jinsi ilivyo tabu. Tafadhali sana, vumilia hiyo hali..hata hivyo mbona ni wakati mzuri sana...hakuna kipindi kizuri kama mwanamke akiwa mjamzito..kadiri utakavyomtunza ndivyo atakavyozidi kuonekana bomba na wa kuvutia ZINGATIA HAYA. 1. Siku zote observe miguu ya mkeo wakati akiwa mjamzito, mara nyingi miguu huvimba. Tafadhali chukua maji na kitambaa mkande miguu mara kwa mara, ni kitu ambacho wanawake hukipenda sana pindi wawapo wajawazito. 2. Muuluze mara kwa mara anajisikiaje na mtoto tumboni yukoje. Yeye ndie amembeba anafahamu movement za mtoto tumboni. 3. Mueleze ni kwa jinsi gani alivyo mzuri kipindi akiwa na ujauzito..mfano "Honeylove ukiwa na mimba unaonekana mzuri kweli ntakua nakupa mimba kila siku" au "Hivi ni mwanangu ndio anakufanya uonekane mzuri hivi"..kwa vitu vidogo kama hivi mkeo atajisikia faraja sana na atajivunia kukubebea mtoto wako tumboni mwake. 4. Usikasirike pale anapokuamsha usiku wa manane na kumsaidia anavojisikia vibaya. Unatakiwa nawe ujali maumivu yake. Hatakiwi kuugulia maumivu peke yake...ni mtoto wako pia mnatakiwa muumie pamoja. 5. Hakuna sheria inayozuia tendo la ndoa wakati wa ujauzito. Kiufupi ndio kipind ambacho sex ni good kama ukiifanya kwa utaratibu mzuri. 6. Usijisikie fedheha kutoka out na mkeo mjamzito..mpeleke maeneo mazuri ambayo ulikuwa unampeleka kipindi unamfukuzia..she will love you to death... Muda mwingine nashangaa mambo wanayoyawaza wanaume pindi wake zao wakiwa wajawazito. Kubeba mtoto kwa kpindi cha miezi tisa sio kazi ndogo. Wanaume wote tuwe karibu na wake zetu pindi wakiwa wajawazito...ni kipindi ambacho wanatuhitaji sanaa. Heko kubwa kwa wanaume wote ambao wanasimama kidete kuhakikisha mwana member mpya wa familia aliyepo tumboni anahudumiwa vizuri kupitia aliyembeba. Mungu awabariki sana. “A baby will make love stronger, days shorter, nights longer, bankroll smaller, home happier, clothes shabbier, the past forgotten and the future worth living for.” Share
...

MAMBO AMBAYO HUPASWI KUMFANYIA MWANAMKE ANAEKUPENDA KWA DHATI 1. Usimuumize moyo wake 2. Usi 'pretend' unampenda ili ufanikiwe kufanya yako. 3. Mtukane vyovyote vile ila sio wazazi wake na kumwambia kuwa yeye ni mbaya. 4. Usimfananishe na wanawake zako waliopita. 5. Usimchukulie kirahisirahisi (Never take her love for granted) 6. Usimpige 7. Usimsaliti na kuonyesha kabisa dharau ajue kuwa una 'cheat' 8. Usimvunjie heshima kwa kumgombeza mbele za watu. 9. Usimpotezee muda wake kama hauna mpango wa kumuoa, unamchelewesha kupata mume bora. 10. Usimfanye ajione hapendwi na ana mkosi hapa ulimwenguni, huo ni ujuha. 11. Usimbake 12. Kamwe usisahau kumwambia unampenda na yeye ni mzuri hiyo haipunguzi nguvu za kiume. 13. Usimpe mimba na kumkimbia au kumwambia aitoe, kama huna nia ya kumuoa achana na hayo mambo, nadhani unajua kabisa matokeo ya kufanya ngono. Sometimes sisi wanaume ni pasua kichwa vilevile, unakuta tunapata mwanamke anaekupenda kwa dhati, mwanamke ambae ni potential, mwanamke ambae hakodoi macho pochi yako, ila masikini ya Mungu anaishia kuumizwa na kulia kila siku na kujilaumu kwanini alikupenda. Wewe fanya hivyo ukidhani unamkomoa, ila siku na wewe ukibananishwa na mwanamke mjasiriamwili utaisoma namba, nakwambia utauza hadi boxer. Baadae unakuja kulalamika hapa 'wanawake wanapenda pesa, wanawake wanapenda pesa.' ukishikwa shikamana. Na kama humpendi usimtongoze! SHARE NA RAFIKI WENGI
...

DEAR LADIES IT MIGHT BE A REMEDY......... 1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu. 2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko! 3. Uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa. Uzuri huvutia wanaume, ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe. 4. Pesa kiukweli ina faida sana na ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha na maisha. 6. Kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukakupa mume bora, sana sana utapata Boyfriends na wanaume za watu. 6. Tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo. Sex ni zao la mapenzi, mapenzi sio zao la sex. 7. Sex inaweza kufanya mwanaume alale na wewe usiku kucha, na asubuhi akaondoka zake ila upendo hufanya mwanaume aishi na wewe daima. 8. Kuna mambo mengine pesa haiwezi nunua kama tabia na heshima, kama ulikubali kuolewa nae kisa pesa zake. Usidhani kupitia pesa zake ataweza badilika. 9. Uvaaji wako siku zote ndio utakaoamua ni nini wanaume wazungumze na wewe! Ni ukweli fulani hivi ambao ni mchungu!
...

UPENDO USIOSHINDWA! - WIFE'S UNFAILING LOVE..! MIAKA MITANO NYUMA. Mimi Anitha Daniel nakubali kukuchukua wewe Thomas Ben kama mume wangu halali wa ndoa, naahidi mbele ya mashahidi waliopo nitakupenda katika uzima na hali ya ugonjwa mpaka kifo kitakapotutenganisha" "Sasa unaweza kumbusu bibi harusi Mr. Thomas Ben" mchungaji akaongea. Mapigo ya moyo ya Thomas yakaenda mbio wakati akimfunua bibi harusi usoni. Anitha alionekana ni mrembo haswa. Akainamisha shingo na kumbusu kwenye lips za bibi harusi. Anitha nae akamkumbatia Thomas kwa nguvu huku machozi ya furaha yakimtiririka usoni mwake. "Kamwe usiniache Anitha" Thom akamnong'oneza Anitha kwenye sikio. "Sitakuacha mpenzi wangu Thom" Anitha nae akamnong'oneza Thom. Na taratibu wakaachiana baada ya kukumbatiana. "Ninyi mmekua mashahidi wa kiapo hiki ambacho vijana wetu wameweka mbele yenu, sasa natambulisha kwenu ndoa mpya ya Bwana na Bibi Thomas Ben". Mchungaji akaongea huku akiwa nyuma ya maharusi. Kanisa zima likalipuka kwa shangwe na vigeregere na Anitha akalia zaidi huku akiwa ameshikwa mkono na mume wake halali Thomas. MIAKA MITANO BAADAE. Anitha kimya kimya akanyata kufuata alipo mume wake Thomas. Thom alikuwa kwenye meza ya maktaba yake ndogo iliyopo pale nyumbani kwao akisoma kitabu kiitwacho "Tutarudi na roho zetu" kilichoandikwa na mwandishi nguli Ben R. Mtobwa. Anitha akatabasamu kimya kimya na akiwa nyuma yake akamfumba macho Thom kwa mikono miwili. "Ni mimi na wewe tu ndio tunaishi kwenye hii nyumba, Anitha nimeisikia harufu yako ulivyoingia tu huku." Anitha akaondoa mikono machoni mwa Thom, akahema kwa nguvu na akakaa juu ya ile meza ya kusomea. "Kwanini unanigundua mapema hivyo Thom lakini? Yaani siwezi hata kuku-suprise, mimi sipendiii". Anitha akaongea huku akiizungusha mikono yake kwenye kichwa cha Thom. "Ila umekua unasoma huku muda mrefu mno, umeniacha peke yangu mimi niko bored" Anitha akamwambia Thom huku akizungusha macho yake" "Ehee Annie kwaio unataka tufanye nini cha kufurahisha pamoja?" Thomas akaanza kumtekenya Anitha.. "No! Hapana Thom sio hivyo bhana" Annie akamwambia Thomas huku akicheka kweli. Thomas akakunja mikono yake kifuani, na akamtazama Anitha machoni huku aktabasamu. "Kwaio unataka tufanye nini?" "Sio tufanye nini, mimi nataka nicheze play station yako umeificha tena! Naomba nipe nicheze na wewe endelea kusoma kitabu chako pleaaaasee" Anitha akamwambia mumewe.. "Hapana Anitha" Akarudi kwenye kiti chake cha kusomea. "Hapana Anitha, siwezi kukupa play station yangu.." "Kwanini! Kila siku hutaki hata niiguse...ni kama mtoto wako" Anitha akaongea kwa kukata tamaa. "Yes, Thom akazungusha macho yake, Ndio kama mtoto wangu..maana wewe hujanipa mtoto mpaka leo hii mwaka wa tano wa ndoa..". Anitha akapigwa na mshangao kwa muda. Ni Thom ndiye aliyezungumza hayo? Maneno hayo yakamuumiza mno Anitha. "Usingeniambia hayo Thomas..." Anitha akaongea kwa masikitiko makubwa..... "Lakini ni kweli...mimi hapa naongea ukweli Anitha" akageuza uso wake huku akiwa bado amekaa kwenye kiti. "Ukweli? Unafikiri na mimi sipendi tuwe na watoto?" "Usinifikirie vibaya Anitha, mimi simaanishi hivyo..." Thomas akasimama na kumtizama Anitha. "Kwa hiyo unamaanisha nini Thom, niambie..unamaanisha nini?" "Basi yaishe Anitha, unaweza ukachukua play station na cheza utakavyo mwenyewe. Funguo zipo kwenye kabati la nguo" "Sitaki Thom.. kila siku unaniumiza na maneno yako ya kejeli" "Tafadhali Anitha usianze hayo please". "Niambie Thom kwanini umezungumza hayo maneno? Nataka kujua!" "Kwasababu nimechoka! Nataka kuwa baba! Nataka kuwa na watoto wangu Anitha..." "Kwaio unafikiria mimi sihitaji watoto Thom? Anitha akauliza huku machozi yakimlenga lenga! "Sasa kwanini haushiki mimba Anitha? Huu ni mwaka wa tano Annie bado tunajaribu tu." Akapiga meza na kuondoka kwenye chumba cha kusomea. Anitha akawa katika shock. Akakaa kwenye kiti kwa sekunde chache, akainuka na kukaa tena...muda huu akaanza kulia, machozi mengi yakimtiririka. WIKI MBILI BAADAE. "Thomas, amka please" Anitha akawa akimuamsha mumewe. Taratibu Thom akafungua macho yake na kutazama saa iliyokua pembeni mwa kitanda. "Saa hizi ni saa nane Anitha" "Ndio, ni muhimu Thom" "Nakusikiliza Annie" Thom akamjibu kivivu. "Mama amesema twende Mwanza kwa ajili ya vipimo. Amesema amezungumza na daktari wake na amemueleza kwamba twende.." "Nini?" Thom sasa akafungua macho yake, mama yako yuko Mwanza na sisi huku kazi tumwachie nani?" "Tufanye twende Thom. Tunaweza kwenda hata weekend." "No Annie. Hizo gharama saa hizi hapana na..." "Ni siku yangu ya kuzaliwa leo Thom na kitu pekee ninachohitaji kutoka kwako ni hii safari tu ya kwenda Mwanza" Thom akakaa kimya. Kwa miaka miwili sasa amekua akiisahau kabisa siku ya kuzaliwa ya mkewe. "Nisamehe Anitha...nilisahau tena birthday yako." "Nimeshakuzoea Thom" Anitha akamjibu huku akigeukia upande mwingine wa kitanda. Thom akazungusha mkono wake kwenye kiuno cha Anitha na akamwambia.."Nimekuomba msamaha Anitha" Anitha hakujibu lolote. Thomas akapumua kwa nguvu, "sawa basi tutaenda Mwanza weekend". "Kweli Thom?" Akageuka haraka. "Ndio, kama itakufanya uwe na furaha leo" "Asante sana baby" Anitha akamkumbatia Thom. WIKI MOJA BAADAE. Simu ya Anitha ikaita...akaichukua na kuangalia, mama yake ndio alikuwa anapiga. "Mama shikamoo" akaweka simu yake sikioni huku akiibana na bega na mikono ikiendelea kuosha vyombo. "Mwanangu...." "Kuna nini mama?" Akaiweka simu vizuri sikioni huku bega likiibana. "Matokeo ya vipimo vyenu mwanangu..." Mama akasikika akilia... Anitha akaangusha sahani aliyokua akiiosha kwa mshtuko. "Mama niambie...kuna tatizo gani juu ya vipimo vyetu tulivyoacha?," USIKU WAKE. "Sina uwezo wa kushika mimba Thom.." Anitha akamwambia Thom huku akilia. Thom akahisi ulimwengu wote ukimuangukia.."Nini??" "Mama amenipigia leo...amepewa majibu ya vipimo vyetu tulivyoenda kupima Mwanza" "Mungu wangu" Thom akasimama, akaweka mikono yake kichwani... "Ila uliniambia uko sawa kabla sijakuoa Anitha, uliniambia kwamba daktari alisema ulivyotoa mimba mfuko wako wa uzazi haukuharibika" "Thom usizungumzie yaliyopita hapa" Anitha akaongea kwa hasira na Thom akacheka kwa dharau na kuwa serious muda huo huo. "Wewe ni kichaa. Nilioa mwanamke kichaa!" Anitha akamtazama Thom kwa mshangao...ni kama amechanganyikiwa. "Vipimo vinasema hauwezi kupata ujauzito na wote hapa tunajua hili limesababishwa na ulivyotoa mimba hata kabla hatujaonana...umefurahi sasa? Unajua tumeumia ee..hakuna watoto? Tutauambia nini ulimwengu Anitha?" "Thomas tunaweza tuka-adopt mtoto"...Anitha akaongea huku akilia. "Kuasili mtoto? Wow," Thom akacheka tena, "Nimeoa mwanamke kituko pia..." Akawa serious tena, "hata tukiasili hatakua mtoto wetu wa damu" "Wewe ni muongo Anitha...umejawa na uongo najuta kukuoa Anitha" Anitha akashindwa kujizuia machozi yasimtoke. "Thomas stop...unaniumiza Thom..." Anitha akakaa chini na kuangua kilio. "Unataka kujua ninawaza nini saa hizi?" Thom akamuangalia Anitha kwa dharau. "Nafikiria itakuaje kwangu kuendelea kutazama sura yako ya uongo maisha yangu yote". Anitha akaangua kilio zaidi, "usikate tamaa Thomas...bado ninalo tumbo la uzazi...bado ninao uwezo wa kubeba mtoto..." "Anitha mimi sijakata tamaa kuwa na mtoto wangu ila nimekata tamaa kuwa na wewe" Thomas akageuka na kuondoka. "Thomas!" Akamshika miguu, naumia pia Thom" Akaondoa mikono ya Anitha miguuni mwake na akaondoka nyumbani bila kusema neno lingine lolote......Anitha akalia mno. MWEZI MMOJA BAADAE. "Mama, Thom hataki kuongea na mimi. Ghafla tumekuwa wageni ndani ya nyumba yetu. Hali chakula changu, anarudi kwa kuchelewa...ananichukia kweli na hii inaniumiza mama...ninazidi kuchanganyikiwa...naumia mama yangu..." "Utamficha mpaka lini Binti yangu? Nadhani imetosha tu...mwambie ukweli...muache ajue..hauwezi kubeba msalaba wake...." Kukawa na muungurumo wa gari na baadae honi ikapigwa... "Mama nitakupigia kesho, naona huyo anarudi...." "Sawa Mwanangu, sasa nakuomba umwambie ukweli. Inaweza ikasaidia kama wote wawili mkiwa na wazo moja..." "Bye mama" mama akakata simu. Thom akaingia ndani ya nyumba, akawa anataka kupitiliza bila hata ya kumsalimia Anitha. "Thomas" Anitha akamshika koti lake. "Nimechoka Anitha niache" Hakutaka kumuangalia mkewe usoni. "Najua....tunaweza ongea kwa dakika chache?" Akawa akimsaidia kuvua koti la suti. "Niache basi Anitha" Thom akagomba. "Unanichukia kiasi hiki Thom!!..kiasi hutaki hata kuniangalia usoni...kwamba hata kuongea mbele yangu hutaki...Thom mimi ni Anitha, rafiki yako na mke wako...". Macho ya Thom yakawa madogo kwa hasira.. "Siko katika mood kwa hayo maongezi saa hizi" Akageuka na kutaka kuondoka..... "Usiondoke wakati naongea na wewe Thom!" Akamvuta zaidi ili asiondoke. Hapo hapo makaratasi aliyokua amebeba Thom yakaanguka. Anitha akainama haraka kuyaokota...mikono yake ikaanza kutetemeka na mwili wake ukafa ganzi. "Ta...Talaka? Thomas?" Akamtazama Thom "Nijibu Thom goddammit!" Akamshika collar za shati lake, huku akilia.... "Ndio ni talaka zako! Unahitajika kusaini. Nataka tuachane" Thom akamwambia Anitha. "Nini..? Kwanini Thom?" Taratibu akaanza kumuachia collar zake... "Haitaweza kusaidia Annie, wewe hauoni?" "Thom siamini kama ungekuja kufikiria suala la talaka na ukaenda mbali kiasi hiki...kwanini u mdhaifu hivyo!" Anitha akaanza kulia kwa hasira. "Hapana! Wewe ndio dhaifu na muongo.." akamjibu. "Fikiria kuhusu mimi hata mara moja. Mimi ni mwanaume. Wanangu ndio cha kujivunia! Na wewe ndio hivyo huwezi kunipa mtoto katika maisha yangu yote kwa sababu ya upumbavu wako ulioufanya ukiwa binti mdogo!" "Vipi kuhusu mimi! Umeshafikiria hata mara moja na kujiuliza napitia kipindi gani navyoona wanawake wenzangu wakiwa na watoto wao?" "Huo ni msalaba wako Anitha, kila mmoja atabeba msalaba wake" Thom akamjibu mkewe huku akimuangalia kwa hasira. "Hapana, sio msalaba wangu ni wetu sote...na hizo talaka mimi sweki saini yangu! Tulishaweka agano kanisani kwamba hatutaachana!" "Si vema ukasaini mwenyewe Anitha ili uepukane na kuumia zaidi kuliko nije nilete mwanamke mwingine ndani ya nyumba hii?" Thom akaongea kwa msisitizo. Moyo wa Anitha ukamuuma mno. "Nini?" "Umenisikia Anitha, mwanamke mwingine atakuja humu ambae ataweza kunizalia na kulea watoto wangu. Hivyo okoa nafsi yako na stress kwa kutia saini hizo talaka. Nazihitaji kesho" akageuka na kutaka kuondoka tena. "Hataweza kukubebea mimba pia" Anitha akamjibu Thom. "Sio wanawake wote wametoa mimba. Na sio kila mwanamke ni kama wewe." Thomas akageuka. "Unamaanisha nini Anitha" "Wewe ndio mwenye tatizo Thomas, huna uwezo wa kunipa mimba Thom.." Anitha akamwambia Thom huku akilia. Thom akasimama, akageuka na kumsogelea Anitha. ."Kila unachopanga saa hizi hakitasaidia" "Thom Nilikwambia siwezi kupata mtoto kwa sababu ni wewe ndio huna uwezo wa kunipa mtoto..." "Shut up! Shut up Anitha! Unaongea nini hapa" akamshika mabega Huku akimtikisa. "Una matatizo Thom...daktari amesema unatatizo la primary infertility....Hivyo sio rahisi kwako kumpa mimba mwanamke..." Anitha akamwambia Thom huku akilia mno.... Thomas akashtuka, na kupoteza balance... "Mama alinipigia simu kunipa taarifa. Nilichanganyikiwa, nilihisi kama dunia ndio imeisha lakini zaidi nilifikiri kuhusu wewe Thom. Nikafikiri ni kwa kiasi gani taarifa zile zitakuumiza. Nikafikiri namna ya kukwambia....hata siku moja sikufikiria kuhusu kukuacha. Nilikubali unitukane, unidhalilishe kuhusiana na makosa yangu ya kutoa mimba ambayo baadae niliyajutia na kutubu kwa Mungu wangu. Ilikua rahisi sana kwako kinijaji mimi na kujifikiria wewe zaidi. Mimi ndiye naeumia. Mimi ndiye nilikuwa wa kukuletea karatasi za talaka...ila nilifikiri zaidi kuhusu wewe...niliamimi katika matumaini, imani na miujiza...niiafikiri kuhusu kiapo nikichoahidi mbele ya Mungu kwamba nitakuwa na wewe katika uzima na ugonjwa unakumbuka?" Anitha akatabasamu huku akilia,..."Ila yote hayo Thom umekua mdhaifu kama mtoto mdogo...nikikuangalia machoni naona kukata tamaa...wewe n dhaifu mno Thom..." "Anitha..." Thom akaanguka miguuni kwa Anitha. "Hapana!" Nae akaanguka chini... "Hapana Thom..." Hakutaka kushuhudia mumewe akilia "Mimi....mi ni infertile...sina uwezo wa kuzalisha ooh...Thom akalia kwa uchungu mwingi..."nimebakiza nini sasa...me sio mwanaume.." akamtazama mke wake kwa macho ya kujutia... "Thom pleaseeeee..." Anitha akanyanyua sura ya Thom ili amwangalie usoni,.... "Thom nafahamu...imekuwa ngumu mno kwangu...nikijaribu kuvaa viatu vyako kwanza tokea nimepata taarifa...sikutaka nikwambie moja kwa moja kuwa wewe ndio mwenye tatizo..." "Anitha mrembo wangu...haustahili haya...unastahili zaidi....sitaki kuamini jinsi gani nilivyokutenda vibaya...aibu kubwa nimeibeba....please naomba nikuache...sifai kuwa mume wako..." "Hapana Thom..." Akamshika kichwa chake tena.... "Wewe ni mume wangu Thom...siwezi nikakuacha. Sitaruhusu wewe uniache mimi. Bado ninaamini katika miujiza...Mungu yuko upande wetu...hatatuacha yatima.." "Me ni mpumbavu Anitha...ni mpumbavu....ooh Thomas mimi.." Akaacha mkewe amkumbatie kwenye kifua chake na akambembeleza kama mtoto mdogo... ASUBUHI YAKE. Anitha taratibu akafumbua macho yake, akatizama pembeni mwa kitanda...palikuwa tupu. Akainuka na kukaa...Thom hakuwepo...akaona kikaratasi juu ya mahali alipokua amelala Thom. Huku mikono ikimtetemeka, akafungua ike karatasi na kuanza kusoma... "Anitha... Siwezi kuibeba huu mzigo wa aibu. Nimeku-treat visivyo na bado umenonesha kunipenda, uko na mimi hata kwa hali ambayo nimekutwa nayo. Kipindi chote umejua kwamba tatzo ni langu lakini bado ukabeba mzigo wangu kama wako...hilo linanifanya nijione sina thamani tena mbele yako. Ninakupenda sana kiasi cha kukuacha ujenge maisha na mwanaume mwingine bila ya mimi. Nimekukosea sana Anitha...nachoomba ni msamaha tu kutoka kwako. Siku zote nimekupenda na wewe kama unanipenda basi anza maisha yako upya bila ya mimi....samahani sana kwa kuku-disappoint. Thomas. Anitha akashindwa kuzuia machozi kumtoka. Akashindwa kufikiri vizuri tena. Akachukua simu yake huku mikono ikimtetemeka. "Hello Mr. Thom's office tafadhali..." "Hi sara...." Anitha huku akilia... "Umemuona mume wangu Thom amefika ofisini?" "Hapana mama, tunamngoja yeye mwenyewe hapa kazini...kuna kazi anatakiwa afanye presentation sio chini ya dakika tano kuanzia sasa lakini bado hajafika...." "Oh Mungu wangu.." Anitha akashusha pumzi kwa nguvu. "Mama kila kitu kipo sawa..?" "Asante sara" Anitha akakata simu. Haraka haraka akatoka kitandani na akiwa amevaa nguo ya kulalia akaenda haraka kwenye gari yake...akapiga namba ya mumewe huku akiwa anaendesha gari lakini hakuna jibu lolote alilopata... SAA NANE MCHANA. Anitha alikua amefika nyumbani kwa rafiki yake Thom aitwae Fred. "Fred!" Anitha akabamiza mlango akionekana kuchanganyikiwa..... "Mungu wangu....Anitha..nini tatzo?" Fred akawa akimshangaa.... "Ni.....ni Thomas..Fred...umemuona leo? Yuko hapa?" "Hapana...sijamuona wiki sasa" "Mungu wangu."..akashika nywele zake..... "Kuna tatizo gani shemeji?" Lakini tayari alikuwa ameshaondoka na kuelekea kwenye gari yake.. "Anitha...." Fred akamwita lakini tayari alikuwa ameshatokomea... SAA KUMI NA NUSU JIONI. "Mama, baba...simpati Thomas. Simpati mtoto wenu...." Anitha alikua amekaa mbele ya wazazi wa Thom huku akilia kwa uchungu "Unatakiwa utulie na utuambie kinaga ubaga nini kimetokea" Mama yake Thom akaongea huku akimshika mikono Anitha. Anitha ndio akazidi kulia zaidi, "tafadhali baba mpigie simu wewe, labda atapokea simu yako!!" "Umeenda ofisini kwake?" Baba akauliza huku akichukua simu yake na kutafuta namba ya mtoto wake..... "Nimeenda kila sehemu baba, sijampata..." "Sawa mwanangu tulia basi, usile tutampata.." mama akawa akimbembeleza Anitha. "Aisee huyu mtoto hapokei simu. Ni nini mmefanya nyie watoto?" Baba yake Thom akauliza huku akimtizama Anitha machoni. SAA MOJA JIONI. Anitha alikua bado amevaa nguo za kulalia na alikuwa barabarani akirudi nyumbani huku akiwa na mawazo mengi juu ya mume wake aliko...siku nzima amemtafuta bika mafanikio. Alikuwa yupo kwenye foleni akisubiri taa za barabarani ziruhusu. Alikuwa ameshaawambia wazazi wa Thom kila kitu kuhusu wao. Anitha akainamia usukani wa gari, akalia sana na hakugundua kuwa taa za kijani zilishawaka kuruhusu magari yaondoke. "Oyaa acha uboya...ondoa gari yako, unatuwekesha huku nyuma..." Dereva wa gari ya nyuma akamkoromea..... "Mungu naomba umuongoze mume wangu asijiumize wala jambo lolote baya lisimtokee....muweke salama na muongoze..." Akakanyaga mafuta na kuondoka.... Ghafla akakumbuka kanisani alikofungia ndoa na walipokula kiapo cha ndoa. Kutoka hapo mpaka hilo kanisa liliko ilikua ni mwendo wa masaa mawili; akafanya maamuzi ya kwenda kanisani akiwa na matumaini ya kupata amani ya nafsi. Akageuza gari na kuelekea kanisani...... Kiuvivu akashuka kwenye gari na kuelekea mlango wa kuingilia kanisani. Akapatwa na mshtuko kwa muda. Akasimama..alikuwa mumewe Thomas akiwa amepiga magoti madhabahuni kanisa zima akiwa peke yake. "Thomas! Akaanza kukimbia kumfuata mumewe alipo, huku akiwa na furaha ya kumuona mumewe. "Anitha?" Haraka haraka akasimama na kumfuata Anitha.."Anitha......" Wote wakakutana na kukumbatiana kwa nguvu. "Nimekutafuta siku nzima mume wangu....Ni mungu mwenyewe ndio amenifunulia kukuta hapa....ninafuraha sana kukuona mume wangu kipenzi...." Anitha akaongea huku akimshika uso mumewe. "Sikujua niende wapi Anitha...ni kama siwezi kuutizama ulimwengu tena Annie...." "Nishike mkono wangu Thomas"...Thom akasita... "Nishike Thom pleaseeee" Akamshika Thom mkono na akaongozana nae mpaka madhabahuni. "Miaka mitano iliyopita Thomas, wote mimi na wewe tulisimama mbele ya madhabahu hii. Unakumbuka? "Kumbuka ulininong'oneza kwenye sikio langu kwamba kamwe nisikuache...unakumbuka? Nilikujibu kwamba sitaweza kukuacha kamwe..... .....Ndio maana niko hapa. Mimi ni mke wako Thom. Nilimaanisha kuwa na wewe daima katika raha, shida na matatizo till the death do us apart...kwanini nikuache? No way Thom. ....Ninachohitaji kutoka kwako ni imani tu kwamba unaweza kunipa mtoto, lisilowezekana mbele ya macho ya binadamu kwa Mungu linawezekana kabisa. "Nataka uamini katika muujiza.." akamshika uso na kuendelea kumwambia...."unakumbuka ulivyoniambia mimi ni muujiza ktk maisha yako?...watoto wetu watakua ni muujiza pia katika maisha yetu.... "Muamini Mungu katika hili, usikate tamaa mapema, hivi karibuni watoto wataizunguka meza yetu kwa upendo na furaha....hivi karibuni mume wangu! "Mungu wangu, Anitha...wewe ni mwanamke wa aina gani mama....." Thom akaongea huku chozi likimtoka... "Ni mimi Anitha mkeo, yule ambae niliapa hapa mbele kwamba nitakuwa na wewe mpaka mwisho. "God....i love you so much Anitha...." Akamkumbatia mkewe kwa nguvu. "Kwaio sasa unarudi nyumbani na mimi au sio?" Anitha akamtizama Thom machoni..... "Ndio mke wangu, ni mwanaume gani atakayekataa kuongozana na mwanamke mwenye moyo wa almasi kama wako?" Anitha akambusu mumewe kwenye paji la uso.... MIAKA MIWILI BAADAE... Thomas na Anitha walikuwa kwenye sofa wakiangalia movie. Anitha alikuwa amelala kwenye kifua cha mumewe wakati alipohisi tumbo likicheza... "Thom, Thom....kanacheza tena...usipitwe sasa ni muda wako wa kugusa umsikie...." Taratibu akashika mkono wa Thom na kuuweka tumboni kwake...wote wakahisi kucheza cheza kwa mtoto wao tumboni. "Ninahisi akizunguka....i can feel him" Thom akaweka sikio lake tumboni kwa mkewe.... "Yes Thom, Ninamuhisi akikua kila siku ndani ya tumbo langu....." "Unafikiri huko kuzunguka kwake kunamaanisha nini?" "Hapo ujue kanasema asante baba kwa kuniamini" Wote wakacheka..... Anitha akaegama tena kwenye kifua cha mumewe.... "Thom miezi mitatu ijayo utaitwa baba, sasa umepata muujiza wako..." Thom akamuinua mkewe na kumshika uso wake huku akimuangalia machoni..... "Anitha wewe ni muujiza niliokua nautaka siku zote....asante kwa kutoniacha nipotee.." Anitha akagusisha pua yake na ya mumewe, "Nakupenda sana mume wangu...na siku zote itakua hivyo..." "Angalia kule sasa Movie imetupita...." "Achana na movie Mama kijacho, movie inaweza kusubiri lakini hili haliwezi kusubiri....." Akambusu mkewe kwa huba zito....na taratibu wakapeana haki yao ya ndoa pale pale kwenye uwanja wa sofa...... M W I S H O. . Share
...

TATIZO NI NINI MKE WANGU.............. Aliingia ndani ya nyumba na kukuta mkewe akiwa na huzuni, hasira iliyochanganyikana na jazba. "Hey babe" alimuita huku akiweka gazeti lake katika meza iliyokuwepo pale sebuleni. " Sema" mke alimjibu kimkato huku akivua viatu vyake. "Na wewe ndio umeingia mida hii?" Mume alimuuliza mkewe huku mkewe akielekea lilipo jokofu kuchukua maji ya kunywa. "Ndio" mke alijibu. "Watoto je?" Mume aliuliza tena. "Wako chumbani kwao kuoga na kubadili nguo" mke alimjibu huku akichukua vile viatu vyake na kuweka sehemu ya kutunzia viatu karibu na mlango. "Uko sawa?" Mume alimuuliza. "Ndio" mke alijibu. " Hapana hauko sawa. Unaonekana kabisa hauko sawa babe. Tafadhali ongea na mimi tatizo ni nini mpenzi" mume alimwambia huku akimsogelea mkewe karibu zaidi. "Aah! Wewe nawe na maswali yako mengi mimi nimeshayachoka. Hauwezi kuniacha hivi bwana? Leo nimekua na siku mbaya sana siko sawa wewe niache tu!" Mke alimjibu mumewe. Mume akamtazama mkewe akielekea jikoni. Akaanza kusikia sauti za vyombo vikioshwa ktk sink na kuwasha moto ili aanze kupika. Unataka kuanza kupika? Mume akauliza huku nae akimfuata mkewe jikoni. "Wewe unaona ninafanya nini? Maswali yako mengine ni ya kitoto kweli Baba James. inatosha sasa" mkewe alimueleza. "Usianze kupika saa hizi. Njoo. Twende chumbani" mume alimwambia mkewe huku akimshika mkono waondoke. "Muda umeenda sana. Natakiwa nipike haraka vinginevyo watoto watachelewa kula na hvyo kuchelewa kulala. Sina muda" mke alimgomea mumewe. "Please wife, wewe twende. Mimi nitakusaidia" mume aliongea. " Kama ni tendo la ndoa, siko katika mood kabisa." Mke aliongea huku akichukua mchele uliokuwemo kwenye kabati. "Mpenzi wangu please" mume aliongea huku akimshika mkono mkewe. Mkewe alimpa mkono na mume akazungusha mkono kiunoni kwa mkewe na kuanza kuelekea chumbani kwao. Wakaingia chumbani. Mume akafunga mlango. "Unaweza kuungana na mimi kumuabudu Mungu kidogo? tafadhali naomba tupige magoti tumuombe Mungu kwa dakika chache mpenzi wangu" Mume alimwambia mkewe huku akiwa ameegemea mlango. Wote wakapiga magoti na wakaanza kumuabudu Mungu. Mume akaanza kuimba na mkewe nae akajiunga nae. Wakaanza kusali kwa pamoja. Mke akaanza kuinua mikono juu huku akiomba na kuongea na Mungu wake. Mume akamnong'oneza mkewe na kumwambia "ni muda wako huu sasa wa kuongea na Mungu kuhusu ya kuudhi yaliyokutokea leo, yeye ni muaminifu atakurudishia tena furaha yako" Midomo ikawa ikicheza. Sauti haitoki. Macho yakiwa yamefumbwa. Machozi yakitelemka mashavunu mwake. Tabasamu likiwa kwa mbali. mke akainua mikono juu na kuanza kuomba; "Asante baba yangu wa mbinguni kwa neema na rehema. Kwa kubeba mizigo yangu yote, kwa kuwa mwamba wangu usiotikisika. Asante kwa kunipa mume bora anaenikumbusha kukuabudi na kukusifu wewe pale ninapokua na furaha hata ninapokuwa nimelemewa na maudhi ya binadamu. "Mume ambae ananirudisha kwenye mstari pale ninapokuwa busy na haya ya kupita ya duniani hapa kazi na biashara ambayo si kitu bila ya wewe. Ndio maana ninalitukuza jina lako kwani ninavyokuabudu wewe unanirudishia furaha yangu. "Nisamehe Mungu wangu kwa kumuonyesha hasira mume wangu, kila alichokuwa akikifanya leo ni kuonyesha jinsi gani ananijali mkewe. Sikutakiwa kumjibu kwa hasira kwani sio yeye alionikosea. Juu ya jina lako lipitalo majina yote ninaomba nikiamini AMEN!! Mume akainuka na kumbusu mkewe kwenye paji la uso na kumwambja haya; "Saa hizi unaonekana ukiwa poa. Nimekusamehe mke wangu. Maisha yana mabonde na milima. Unaweza ukajikuta hutaki kuongea na mtu kabisa kwa sababu ya kuudhiwa, lakini tafadhali sana ongea na Mungu. Acha mambo mnengine yote yasubiri, ongea na Mungu. Usiwe busy sana mpaka umsahau Mungu, kwani kwa kufanya hivyo unamkaribisha shetani kuja kukuharibu. Mke akajisogeza kwa mumewe na kumbusu mdomoni kimahaba zaidi. Akamkumbatia na kujilaza kifuani kwa mumewe. Mumewe akaanza kumchezea nywele zake huku mke akimsimulia jinsi gani alivyokua na siku ngumu, hasara aliyoipata baada ya mali aliyonunua kuharibika, kuibwa kwa 'power window' ya gari yake na purukushani zingine za siku nzima. Mke akajisikia akiwa salama mikonon mwa mumewe. Akacheka..akatabasamu. "Ok honey, twende tukapike. Nitakusaidia kupika. Wewe utapika wali mimi nitapika mboga" mume akaongea. Wakainuka na kuelekea jikoni, wakaanza kupika huku wakiimba na kutaniana. Watoto wakawa wakiwatazama wazazi wao wakicheka na kuimba kwa pamoja. Chakula kikawa tayari haraka na ilikua ni furaha kukitengeneza kwa pamoja, wakaungana na watoto wao kwenye meza. Wakala kwa furaha kama familia. Wakaenda kuwalaza watoto wao, na wao wakaelekea kulala. Usiku ule Wakapeana chakula cha wanandoa kwa furaha na amani tele. 1 Wakorintho 11:3 “Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.” Mungu abariki ndoa yako, Mungu abariki mahusiano yako yakawe yenye kuleta tija, ukajenge familia yenye amani, mshikamano na upendo. #AMEN Share
...

Usiku mwema. *💕UTAMU WA NDOA KATIKA UISLAM💕* *Samahani ni neno dogo Sana lakini thamani yake ni kubwa Sana kwa Wanandoa* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Ukimkosea mwenza wako haraka muombe Msamaha* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Ukiishi kwa kujishusha pale unapokosea jua utaishi kwa amani kwenye ndoa yako* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Usione aibu kuomba msamaha* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Msamaha humaliza matatizo katika ndoa, humfanya anayeombwa akuone kweli unajutia Kosa lako, pia unamuheshimu* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Kuomba msamaha sio utumwa bali unaomba ili kumuonyesha mwenza wako kuwa unamjali, unampenda pia haupo tayari kumpoteza* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Kama unampenda mwenza wako muombe Msamaha pale unapomkosea* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Ukiwa mtu wa kuomba Msamaha jua ndoa yako itakuwa tamu Sana maana ibilisi hatopata nafasi ya kuiyumbisha ndoa yenu* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Jitahidi kuishi kwa kuliweka Mbele neno Samahani ili kumfanya mwenza wako azidi kukupenda zaidi* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Msiishi kwa kushindana katu sio Sifa nzuri kwa Wanandoa* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Ukiwa jeuri, hujui kuomba Msamaha jua ndoa yako itakuwa haina furaha* 🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄🐾🎄 *Jishushe Kisha omba Msamaha ili kuifanya ndoa yako iwe yenye furaha na utulivu.* 🌹🍀🌹🍀🌹🍀🌹🍀🌹🍀🌹🍀
...

WANAUME huwa tunatamani sana kupata WIFE MATERIAL lakini cha ajabu tukiwapata tunawatafutia visa vya ajabu visivyoeleweka wakati tuliwatafuta wenyewe... Ukiona Mwanamke ana WIVU NA WEWE,anakufuatilia mambo yako,uko wapi,umekula,umekula nini,umekula saa ngapi,kwanini hujalala,kwanini umepiga picha na mdada asiyemjua,kwanini hujamtafuta nusu saa,kwanini uko Online Whatsapp lakini haumtext, TUNAANZA KULALAMIKA,"Oh huyu Mwanamke ana wivu sana mi siwezi" Mwanamke mwenye Wivu SHE IS IN LOVE...SHE IS LOYAL..SHE IS FAITHFUL Hawa makurumbembe tunaowapenda kisa hawatusumbui wote WEZI NA WAONGO TU,they are after something,Kwao Mapenzi ni rahisi kama kuagiza RED BULL BARIDI Wanawake FAITHFUL hapa Tanzania wako 16 tu,kama umempata mmoja kati ya hawa MSHIKILIE, NA MPENDE SANA,USIMTIBUE...Akiondoka huyo utapata Bata la Uswahilini,hata uuchune SIKU 2 na yeye hakutafuti,utabakia na Majuto while She is Gone na amempata aliyeona thamani yake... WANAUME HATA HATUELEWEKI TUNATAKA NINI SOMETIMES,Hata mnune mpige mawe UKWELI NDIO HUU!
...

MANENO MUME ALIYOMWAMBIA MKE WAKE USIKU BAADA YA SHEREHE YA HARUSI YAO. "Mke wangu, watu wote wameenda nyumbani kwao , mziki umezimwa, shamrashamra zimeisha. Harusi yetu ilikua nzuri mno ila sasa imepita. Tumemaliza harusi sasa ni muda wa kujenga familia yetu. Tuliobaki baada ya harusi hii ni mimi na wewe tu peke yetu. Hatma ya kesho huanza leo. Maisha yetu sasa sio kama ya nyuma. Nakumbuka kuna kipindi ulivaa gauni jekundu, lilikupendeza sana, siku ile nlitaman kukugusa, tulikua kwenye maonyesho ya sinema nilikua na shauku kubwa sana kwako. Nilitamani japo kukusogeza upande wa chooni ili nikakubusu tu ila haikuwezekana. Niliumia sana moyoni. Ila sasa wajua nini siri ya furaha yangu? Jibu la siri ya furaha yangu ni kuwa sasa nimekupata, niko na wewe pamoja milele, naweza sasa kukubusu kila siku. Kabla sijakuvua nguo na kufanya mapenzi na wewe kwanza ngoja nikuambie vitu vichache vya muhimu mno......... Sina cha kukuficha, kuanzia leo simu yangu waeza kuitumia kama yako pia waeza tumia account na profile zangu Facebook, whatsapp na instagram kama zako. Kuanzia leo nimekua mtoto. Miaka mitano iliyopita maishani mwangu nilikua mwanaume, niliamka asubuhi mapema mwenyewe, siku nyingine nililala na njaa, nilifanya kila kitu nilivyojisikia, nilirudi nyumbani mda niliotaka, ila yote hayo YAMEISHA LEO. Kuanzia leo umekua MAMA yangu ambaye atanikemea nitakapochelewa kurudi nyumbani, atakayeniamsha asubuhi mapema niwahi kazini na kuhakikisha silali na njaa hata siku moja. Nina furaha kuu kuwa sasa ninaye MAMA ndani yako. Natumaini utakua mama mwema. Usiwe mkali nami nakuahidi sitokua msumbufu. Mda mwingine nitakuudhi ila nakuahidi nitakua mfariji wako na kuirejesha furaha yako. Wakati wazazi wangu walipofariki, niliwalea wadogo zangu, nilikua kama BABA kwao. Hivyo sitokua mbaya kuwa BABA kwako. Kuanzia leo nitakulea nikikujali na kukupigania kama BABA yako nawe ukinitunza kama MAMA yangu. Nakupenda sana, tuvumiliane na kudumisha upendo wetu daima hadi pale Mungu atakapotutenganisha" Funzo: Katika ndoa mwanamke ni MAMA kwa mme wake na Mume ni BABA kwa mke wake. Timizeni wajibu wenu kila mmoja, kumbukeni "KAZI SI KUPATA MTOTO, KAZI NI KUMLEA" usipokua makini uzinzi, ulevi, uhuni, uchafu na anasa za kila aina ndio yatageuka kuwa maisha yake mwisho akuletee magonjwa, UKIMWI na kilio cha maisha yako yote. Kama umeipenda LIKE & SHARE na marafiki zako wapate funzo hili. MUNGU AKUBARIKI. SHARE
...

*KUOLEWA NI NDOTO KUU YA KILA MWANAMKE ALIYEKAMILIKA ILA KAMA UNA TABIA HIZI UTAZEEKEA NYUMBANI* *1. Tamaa ya utajiri* fedha na mali nyingi pasipo kutambua kuwa vitu hutafutwa, hapa wengi hupoteza nyota zao kwa kukataa wengi wenye kipato cha kawaida na kujirahisisha kwa wenye nazo ambao kwa bahati mbaya wengi wao sio waoaji bali ni wahuni tu na watu wa anasa na kula bata mjin. *2. Dharau,* maringo, kiburi na mashauzi yaani we kila mtu akikusogelea na kujaribu kuzungumza na wewe unaanza kumpandisha na kumshusha kisha una msonya. Wengi huishia kukupotezea wakijua either umewadharau au tayari una mtu wako ndio maana nyodo nyingi. *3. Husali* hakika lazima wahuni watapata nafasi kwako na kukuchezea mpaka uchakae kama mtumba wa uvira. MWENYEZI MUNGU ndo anaetoa BARAKA ukimuomba hakika atakuepushia kuingia midomon mwa dubu na fisi wanaokuwa wakikuvizia na kuja kama MALAIKA. Atakupa ufahamu wa kuwatambua na kuwashtukia mapema. *4. Kuvaa nguo za ajabu ajabu kama changudoa* . Sijui ni nani aliyewaambia kuwa mkivaa hivyo mnapendeza! Unakuta binti unavaa kama mcheza show za Casino yaani ukipita nguo yaonyesha kila kitu ukiinama ndio balaa kabisa yaani kimin kinafunuka kila kitu nje nje kwa style hiyo nani atakupeleka kwao? *5. Kujipaka marangi ya ajabu ajabu usoni kama mwali wa kibembe* au kizaramo kwanza mnatutisha tu. *6. Kupenda kujirahisisha au kujipendekeza pendekeza kwa wanaume,* yani ukiguswa kidogo tu twende. *7. Kuwa na picha karibia 500 Facebook,* Twitter nk halafu picha zenyewe hazieleweki yani zimepigwa katika mavazi au mapozi ya ajabu ajabu, mara umebinua makalio, mara tumbo, mara mdomo, *8. Kila unachofanya basi unakimbilia kupost mfano kwenye Facebook* na kadhalika nyinginezo hata ukienda haja basi lazima upost. *9. Ni mtu wa maneno maneno* yani we kila unachokiona unaongea na kuropoka ropoka tu hauna break! mwanamke gani? *10. Huna mawazo ya malengo* endelevu yani we kwenye kichwa chako kumejaa umbea tu sijui leo Wema Sepetu amefanya nini? Sijui Kim, Lupita amefanya vile na upuuzi mwingine. *11 Mizinga.* Yani siku ya pili tu baada ya kukutongoza unaanza " honey nataka galaxy" Htc" Huawei" mara baby nimeona nguo nzuri mara ooh baby yaani njaa inauma'' , utasindikiza harusi za wenzio hadi upigwe alama.. Waswahili husema, "Kama mzuri, Olewa" Jihadhari na tabia hizi. _Maneno makali ila ujumbe umefika. #SHARE NA RAFIKI YAKO
...

Fahamu Wanawake Wenye Hips naShida Wanazokabiliana Nazo Kila Siku! L Wanawake wengi wenye hips , ni wanawake ambao si kwa mwanaume tu hata kwa wanawake wenzie husifia kuwa fulani kajaliwa, ki maumbile, ni kweli wana mvuto wapekee, humwagiwa sifa nyingi za urembo, lakini pia kwa upande mwingine wa shillingi nimatatizo tupu. Sifa: 1. Huwatesa sana wakina baba wanapokuwa katika vyombo vya usafiri kama daladala, treni, meli na ngalawa, mababa wengi hujawa na hisia kali za mahaba kiasi kwamba hupata mfadhaiko. 2. Hawana haraka sana kwani mwendo wao, hutembea kwa maringo, hata daladala likisimamia mbali hawawezi kukimbia kuwahi. 3. Hutongozwa wanaume watano kwa siku, hata wanaume wasiposema kitu angalau ukonyeza. 4. Ni wasikivu sana wakati wa kudatemaana wengi ni warefu hupenda sana kukuinamia kusikia zaidi uliongealo. Matatizo. 5. Kwa kuwa huwa wanavutia sana nirahisi kurubuniwa kwani mwanamke yeye duniani hawezi kutongozwa watu elfu 2000 asimpendemmojawapo. 6. Hawana raha kwani ukodolewa sana machona watu, si wanawake wala wanaume. 7. Upata magonjwa sana asa fungus kwani sehemu zao za siri hazipati hewa ya kutosha kufatana na kubanana kwa nyama na msuguano kila watembeapo. 8. Wana gharama sana kuwatunza kwa sababu hawatakiwi kutembea kwa muda mrefu kuogopa msuguanahivyo umuoapo ni lazima ughalimike usafiri au unatakiwa kumunulia skin taiti kila mara kwa kuwa zinahariibikamuda mfupi sehemu ya mapaja.
...

Nikinywa Pombe na Kuvuta Bangi ndio Napata Raha Sana Wakati wa Kufanya Mapenzi Nadhani wapenzi wa hayo mambo hapo juu watakubaliana nami kuwa ukinywa pombe au kuvuta bangi na ukamkamata mwanamke hakika kunastarehe ya ajabu isiyo na mfano, konyagi ndio kiboko ya yote, kunywa konyagi halafu ugegede ndio mwanamke atalijua jiji. Hata kama ni mgumu kiasi gani kufika kileleni lazima siku hiyo ataomba poo. Kuna mwanamke wa kijaluo trembling alikuwa kila akienda na mwanaume haridhiki, Siku hiyo akaingia kwenye anga zangu nikiwa nimekunywa nusu mzinga wa konyagi na safari mbili, wee wee, alishinda anaongea kijaluo, hadi leo hataki kuniacha najiliavijisent vyake. Kwa kweli konyagi na mapenzi ni sawa na pikipiki na petrol. Wasiokunywa pombe wana hasara kubwa sana hapa duniani na hawajui mautamu tunayopata Je wewe Kwako ikoje ? By b professional love
...

Kuoa Mwanamke Kutoka Uswahilini au Alieishi Maisha Duni ni Kujichimbia Kaburi na Kujipa Umaskini Kuna jamaa yangu amezua hoja nzito kwamba kamwe hawezi kuoa mwanamke anaetoka familia ya kimaskini maana wengi wao hawana shukrani maishani.. anakwambia angalau watoto wa kishua japokuwa wavivu kazi za ndani ndogo ndogo but wanajua kupenda na hata cheating ni ngumu sana. But mwanamke anaetoka familia yenye dhiki wengi wao vigeu geu mwepesi sana kubadilika badilika.. na ametoa mifano hai mingi tu ya ndoa za tunaowafahamu.. Pia wengi wanaamini sana mambo ya Ushirikina kwenye mapenzi Wadau hii mnaonaje? Je kuna ukweli wowote hapo?
...

ALL ABOUT LOVE----GAME 'TAMU' HUCHUKUA DAKIKA 3 HADI 13 TU...!!USIDANGANYIKE ....SOMA ZAIDI HAPA UFUNGUKE... Jamani ni hivi wataalamu wanasema kuwa eti inachukua dakika tatu tu, kumridhisha mtu kimpenzi! Tangu juzi wanatangaza hizi habari kwenye taarifa ya habari hapa Marekani. Chini ya dakika tatu hakuna raha kwa mwanamke. Hizi dakika tatu hadi 13 hazihusishi foreplay, yaani mambo mnaofanya kabla ya tendo eneyewe. Na huyo mwanaume anayefanya dakika 13 bila kupumzika ana kazi. Wanasema ni vigumu kwa wanaume wenye umri mkubwa na wanaume wenye umri mdogo kufanya tendo kwa muda mrefu kabla ya kumaliza
...

Aweka Sumu Ukeni ili Kumuua Mumewe Akizima Chumvini.... Mwanamke mmoja wa nchini Brazili amefikishwa mahakamani kufuatia jaribio lake la kumuua mumewe kwa kuweka sumu kwenye sehemu zake za siri na kisha kumtaka mumewe azamie kuziramba sehemu zake za siri kabla hawajafanya tendo la ndoa. Mume wa mwanamke mwenye umri wa miaka 43 mkazi wa mji wa Sao Jose do Rio Preto nchini Brazili aliamua kumfikisha mahakamani mkewe baada ya kunusurika jaribio la kuuliwa kwa sumu iliyowekwa kwenye sehemu za siri za mkewe. Soma Zaidi Chini: Taarifa zilisema kuwa mwanamke huyo ambaye jina lake limewekwa kapuni, alipakaza sumu kwenye sehemu zake za siri na kisha kumhadaa mumewe wafanye mapenzi. Mwanamke huyo ili kukamilisha azma yake ya kumuua mumewe alimtaka mumewe azirambe rambe sehemu zake za siri kabla hawajaanza tendo la ndoa. Lakini mumewe akiwa kwenye jaribio la kukamilisha ombi hilo la mkewe alishtuka kusikia harufu ya ajabu ikitokea kwenye sehemu za siri za mkewe. Alikatisha zoezi hilo na kumchukua mkewe na kumpeleka hospitali ambapo madaktari walimfanyia vipimo na kugundua kuwa mkewe alijipakaza vitu vyenye sumu kali kwenye sehemu zake za siri. Mume wa mwanamke huyo amemfungulia kesi mkewe mahakamani kufuatia jaribio lake hilo la kumuua.
...

MREMBO HIMANA (Full story ) Jana usiku niliamka mida ya saa nane, na kama kawaida yangu, nikalia sana. Ni ajabu kwa mwanaume kulia, lakini kwangu imekuwa kitu cha kawaida sana. Nadhani ninapolia huwa najihisi nafuu kiasi, na kwa namna fulani napunguza uchungu ulio ndani yangu. Nimekuwa nikifanya hivyo kwa muda wa mwaka mzima sasa, lakini usiku wa jana ulikuwa tofauti kidogo. Baada ya kulia sana, niliamua kwamba huu ndio utakuwa mwisho. Mwaka 2007 tarehe kama ya jana nilikutana na binti mmoja nikiwa masomoni Arusha. Huyu binti ni mmang’ati kwa kabila, ana urefu wa wastani, rangi ya ngozi nyeupe inayofanana mwili mzima, yaani si kama rangi za mabinti wa siku hizi za kuchanganya na kutafutiza. Ni mzuri mno kwa sura, kama unavyojua wadada wengi wa mkoa huo. Ngozi yake ni laini na nyororo kama ya mtoto mdogo, na ni mwenye macho mazuri. Yaani kwa kifupi hana kasoro ya kuonekana kwa macho. Tulikutana kituo kimoja cha daladala wilayani Monduli, mimi nikiwa naelekea Arusha mjini. Nilimkuta amekaa, kama ana huzuni, japo hilo halikuficha uzuri wake. Nilimsogelea na kumuuliza kwa kuonesha kujali, “Mrembo, nini tatizo? Unaonekana una huzuni”. Alinitazama na kujibu kwa upole sana,”Hapana, niko sawa”. Niliamua nitatumia fursa hiyo kuongea naye, na kweli alinionesha ushirikiano mzuri tuu. Tulizungumza kwa kifupi, nikimuuliza maswali ya hapa na pale, kasha likaja gari tukapanda. Uelekeo wetu ulikuwa mmoja, na kwa nasibu tulikaa siti moja. Tuliendelea na mazungumzo na huyo binti, aliyejitambulisha kwa jina la Himana, na kiukweli niliifurahia safari yangu. Kufika mjini, mahala ambapo sote tulishuka, tayari tulishajenga urafiki kiasi cha kukubaliana kuonana tena na hata kupanga siku ya kuonana. Sidanganyi, wakati huo nilikuwa tayari kwenye mahusiano, na binti ambaye tulipendana sana. Huyo mpenzi wangu naweza sema hatukuwahi kukosana kwa miaka mitatu yote tuliyokuwa pamoja, ukiacha mikwaruzo kidogo sana ya mara chache. Nilimpenda sana mpenzi niliyekuwa naye, Hilda, na nilimuahidi tungeoana mara tuu baada ya kumaliza masomo yangu ya muda mfupi huko Arusha. Tayari nilishajitambulisha kwao, na kwa uwezo wa wastani niliokuwa nao, nilijitoa kwake kwa kiwango kikubwa kiasi cha kumuaminisha kwamba mimi ndiye mume wake. Sikuwahi kuvutiwa na msichana mwingine yeyote zaidi ya Hilda, mpaka nilipokutana na Himana. Tulianza mawasiliano ya kasi sana na Himana, kiasi cha kunifanya nianze kumpuuza Hilda. Nilijihisi kuvutiwa na Himana, na kila mara mawazo yaliponijia kuwa nina mpenzi anayeniamini na kunithamini, akili yangu haikunipa hiyo fursa kwa muda mrefu bali ilinielekeza kwa Himana ambaye wakati huo penzi kubwa lilianza kushamiri kati yetu. Binti huyu, aliyepata umri wa miaka 21 tu wakati huo, alinionesha mapenzi nisiyowahi kuona kabla. Hapa niwe muwazi zaidi, kwa miaka mitatu niliyokuwa kwenye mahusiano na Hilda, hatukuwahi kukutana kimwili, isipokuwa mwezi mmoja kabla ya safari yangu ya kwenda Arusha. Hilda alikuwa na misimamo binafsi ya kutofanya mapenzi kabla ya ndoa, na niliweza kumvumilia kwa miaka mitatu huku nikiwa muaminifu kwa asilimia 100. Baada ya kujitambulisha kwao rasmi, na kuanza hatua za kuoana, ndipo alikubali tukutane kimwili, na alifanya hivyo kunihakikishia kuwa hata ninapokwenda kusoma, nijue kwamba mimi ndiye mwanaume wake pekee, na alinipenda kwa dhati, hivyo nisimpe msichana mwingine moyo wangu. Kwa bahati mbaya sana, Himana alinisahaulisha hayo yote. Tuliingia kwenye mahusiano kwa kasi sana, alinifuata popote, aliniletea vyakula, alizungumza nami maneno ya mahaba na hakutaka kujua kama nina uhusiano au la. Alinipa raha kiasi cha kupuuza ahadi zote tulizowekeana na Hilda, na sikukumbuka tena gharama nilizoingia kwa ajili yake wala heshima niliyokuwa nayo kwa familia yake. Hilda alianza kulalamika kuwa nimepunguza mapenzi kwake, lakini nilimpuuza. Sikujali tena hisia zake, nilidharau hata bikira yake ambayo mimi ndiye niliitoa, na sikuona tena uthamani wake kama hapo awali. Mapenzi na Himana yalishamiri sana, nikamaliza shule yangu lakini sikutamani kurudi Dar es Salaam nilipoishi. Niliamua kufatilia uhamisho kazini kwangu, na kwa vigezo ambavyo nilitoa, haikuwa ngumu kupata. Nilijaribu kutoa vigezo vya msingi kuhusu uhutaji wa mtu wa taaluma yangu katika ofisi zetu za Arusha. Sikumjulisha Hilda juu ya uamuzi wangu wa kuhama, isipokuwa nilipopata uhamisho nilimwambia kuwa ofisi imeamua kunihamisha. Mara kadhaa nikiwa nasoma na hata baada ya kumaliza masomo alinitaka tuonane, kwa kuniomba niende Dar es Salaam walau mara moja, au hata yeye aje Arusha, lakini nilimpa sababu kadhaa na kumkatalia. Mawasiliano kati yetu yalizidi kuwa hafifu na muda nilioahidi tungeoana ulipita. Hilda alikuwa na asili ya ukimya, lakini nilimfanya awe mtu wa kulalamika. Hata hivyo, malalamiko yake hayakuisumbua akili yangu ngaa kidogo. Nilimpuuza, na kuendeleza mahusiano yangu motomoto na Himana. Siku zilipita, miezi ikasogea, nikaona nahitaji kuwa na huyu binti Himana, kwenye maisha yangu yote. Nilimueleza kuhusu suala la kumuoa, akakubali, lakini akawa kana kwamba ananipiga chenga kunipeleka kwao. Baada ya kulazimisha kwa muda mrefu, alinipeleka kwa familia aliyoitambulisha kama ya wazazi wake, familia inayojiweza kiasi. Alinitambulisha kwa binti mwingine mkubwa ambaye alisema ni dada yake wa pekee. Wakati huo tayari tuliishi pamoja, na pamenzi yalizidi kushamiri kati yetu. Hilda aliendelea kunitafuta, na mara hii ni yeye ndiye alisababisha tuwasiliane kwani bila kunipigia basi nisingethubutu kumtafuta. Tulipanga harusi ndogo na Himana, tukaamua tuifanyie huko huko Arusha, nikaenda kwao kutoa mahari, lakini nilishangaa kwamba hakukuwa na shamrashamra za mahari au za kuolewa kwake tofauti na familia nyingi za kitanzania. Tulioana, nikafanya kuwaalika wazazi ambao mwanzo walipingana namimi sana juu ya suala hilo, lakini hawakuwa na namna zaidi ya kumkubali yule niliyemchagua. Taarifa zilimfikia Hilda kuwa nimeoa, na naumia sana ninapoandika hii habari kuwa mpenzi wangu aliamua kujiua kwa kunywa sumu. Moyo wake mdogo haukuweza kustahimili kusalitiwa na mwanaume aliyemuamini sana. Labda kwa miaka mitatu yote nilimuonesha mimi ni malaika, hivyo ikawa vigumu kwa akili yake kuamini kuwa malaika amekuwa shetani. Habari ya kifo chake ilinifanya nimwambie Himana ukweli kuhusu mimi na Hilda, lakini cha kunishangaza, hakujali bali alinipa pole na kunifariji sana. Baada ya harusi, mapenzi yalizidi kushamiri, tukapata mtoto mmoja wa kike. Tumekaa kwenye ndoa miaka sita, lakini sikuwahi kujua ndugu zaidi wa Himana mpaka mwaka huo wa sita ambapo alikuja nyumbani kwetu mzee, aliyedai kuwa ni baba yake. Huyu ni tofauti kabisa na mzazi wake niliyemfahamu kabla. Mzee yule alikuja akilia na kumuomba binti yake arudi kwao japo akamuone mama yake mzazi aliye kwenye hali mbaya ya afya. Hata hivyo Himana hakukubali na aliishia kumfukuza kama mbwa. Miezi michache baadaye walikuja wanaume wawili, mmoja alijitambulisha kama kaka yake na mwingine kama mume wake. Niliogopa sana, nikaanza kuhisi kuna mengi yamejificha, japokuwa baada ya tukio la yule mzee, Himana alikataa katakata kuwa ni baba yake. Mara hii tena aliwakana hawa wanaume, akidai hawajui wala hajawahi kuwaona, jambo ambalo nililitilia mashaka sana. Nilianza kufanya uchunguzi wa chini kwa chini, bila mke wangu kujua. Kuna mengi nilianza kugundua mabayo singependa kuyaeleza, lakini kikubwa niligundua kuwa ile familia aliyonipeleka Himana haikuwa yake bali ya rafiki yake. Niligundua pia kuwa aliolewa, kijijini alipoishi, akiwa na miaka 18 tena kwa hiari yake mwenyewe, kwani kabla ya kuolewa alijiingiza kwenye mahusiano kadhaa pale kijijini. Mwanaume aliyemuoa hakuwa wa kijijini, hivyo alimleta mjini, lakini mwaka mmoja tuu baada ya ndoa yake hakuwa anashikika tena. Alichukuliwa na mwanaume mwingine mtu mzima na kuishi naye, na mpaka tunaonana alikuwa kwenye mahusiano na huyo mtu mzima. Nilijitahidi kutomuonesha kuwa nimejua ukweli huo. Ilinigharimu kufanya utafiti wa kina, kusingizia safari kadhaa, kuonana na rafiki zake na hata kwenda nyumbani kwao pasipo yeye kujua. Nakumbuka siku moja, baada ya uchunguzi wangu kukamilika, nilikusudia kuwa ningemwambia ukweli. Moyo wangu uliuma mno, nilimpenda sana huyu mwanamke na nilitamani kuwa yale yote niliyoyajua juu yake yawe ni uongo. Nilitumai kuwa huenda angekana na kunipa uhakika kuwa yote ni uongo, lakini haikuwa hivyo. Alinisikiliza nikiongea naye, na kasha kunijibu kwa kujiamini kuwa ni kweli yote ninayosema. Niliumia, kupita kiasi, nikatamani ajitetee lakini hakufanya hivyo. Nilitamani hata aniombe msamaha lakini pia hakufanya hivyo na badala yake aliendelea kuishi kana kwamba hakuna kilichotokea. Nikiwa bado naugulia maumivu, na wakati huohuo najaribu kumsamehe ili tuendelee kuishi kwa amani, siku moja usiku aligonga hodi mwanaume mmoja pale nyumbani. Tulimkaribisha ndani, lakini mke wangu alionekana mwenye kustuka sana. Yule mwanaume alimsalimia Himana kama watu wanaofahamiana, kisha alianza kumlaumu na kumuhukumu mbele yangu. nilibaki nashangaa, sijui nini cha kufanya, na mke wangu akabaki kimya kabisa, asiyeweza kujitetea. Baada ya muda yule mzee alitoa pisto ndogo kiunoni na kwa hasira alimpiga mtoto wangu aliyekuwa amejilaza miguuni mwa mama yake, akampiga na Himana mwenyewe kichwani. Nikiwa nimechanganyikiwa, nilipiga nilikaa chini na kuanza kulia. Yule mtu alinipiga mimi pia risasi maeneo ya shingoni ambapo nilipoteza fahamu na kuja kujikuta niko hospitali. Hapa ninapoongea nina mwaka mzima, siwezi kutembea, mwili umepooza kuanzia miguuni kwani inasemekana nilijeruhiwa mishipa inayohusika na uwezo wa kutembea, ya uti wa mgongo. Nimeshatibiwa sana bila mafanikio. Mbaya zaidi nilikuja kupata fahamu na kupewa taarifa kuwa mke wangu na binti yangu walifariki na kuzikwa nikiwa sijitambui. Yule muuaji alijisalimisha polisi na sasa anatumikia kifungo cha maisha, lakini haiondoi uchungu niliopitia na ambao ninao mpaka sasa. Najilaumu, najuta, naumia lakini sina cha kufanya. Inavyoonekana jamaa alifiwa na mkewe, na aliamua kumuoa Himana ambaye alikuja kumtoroka baada ya kukutana namimi. Himana, binti mwenye kila sifa ya kuitwa mrembo, ameujeruhi moyo wangu. Sasa namkumbuka Hilda, aliyenipenda kwa dhati, aliyejitoa kwa ajili yangu. najutia kumfupishia maisha yake, naona Mungu amenilipa mara mia. Nimepoteza binti yangu kipenzi na wa pekee, nimepoteza familia na mbaya zaidi nimepoteza thamani ya maisha yangu. nimelia kwa muda wa mwaka sasa lakini imefika mahala nimefika mwisho wa kulia, na hapo nikaamua niandike hadithi hii fupi kunihusu iwe fundisho kwa wengine. Si kuwa ni kosa kubwa kuachana na mpenzi wako na kuwa na mtu mwingine, lakini Je, unamuachaje? Alikuamini kiasi gani? Na sababu hasa ya kumuacha ni ipi? Ulimpa ahadi zipi? Machozi tunayowaliza wapendwa wetu ipo siku nasi tutayalia. Namuomba Mungu anisamehe, na ninaamini kuna siku nitainuka tena. ……………………….MWISHO………………………..
...

Kwa wanawake tu: Jinsi ya kunyonya uume uwapo kitandani Ukiwa umeShika koni yako kwa kutumia mkono wa kushoto na kuendelea kuila endelea kufanya kama ifuatavyo: 1)-Pale jichoni kwa chini kidogo kama unaelekea pumbuni ukipafanyia kazi vema kwa kutumia kidole ambacho kitakuwa kinaute unaojitokeza pale mpenzi atapata raha. Vilevile wakati unanyonya unaweza mpagawisha mpenzi wako lakini unapaswa kuwa mwangalifu usiingize ncha ya ulimi wako kwa ndani kwani anaweza kuwa uncomfortable kwani ni too sensitive kimtindo. 2)-Kwenye uume ukiangalia vema kwa nyuma chini kidogo ya jicho pia nishingoni (pale kwenye ring) ilipokatwa ngozi/gozi/mkono wa sweta yaani pale panapotenganisha kichwa na Shaft kwa nyuma lakini..... enhee hapo hapo, unapomnyonya uume mpenzi wako basi hakikisha mdomo unafunika na kufanyia kazi kichwa wakati huohuo ulimi ufanyie kazi hapo mahali nilipokuambia(kama sio atakaza misuli ya miguu na matako, atakunja vidole vya miguuni au kukushikilia kichwa basi atatoa sauti fulani hivi zinazokuambia "ooh ni utamu please endelea"). 3)-Ukishikilia uume vema ukiwa umesimama, angalia kwa nyuma utaona kijimshipa fulani well sio mshika lakini ni kama mshipa ila mnene kiasi (wakati mwingine hauonekani) lakini kumbuka kama unaujua uume vema basi haitokuwa shida kuona kona hiyo hataka kama kijimshipa hicho hakijatokeza. Ushikilie vema Uume kisha uangalie vema na ugawanye mara mbili (nusu) kwa kuangalia/kwa macho na pale kati kati ndio kipele chenyewe nakizungumzia. Sasa panyonye mahali hapo kuanzia chini ya kichwa kuelekea chini kwenye pumbu....hakikisha ulimi unapitishwa pale wakati midomo (lips) zina funika zile nusu mbili za Shaft.
...

WANAWAKE HUANGALIA NINI KWENYE FIRST DATE? Je Wanawake huangalia nini kwenye "first date"? Sio wote, bali wengi wao huwa wanaangalia mambo haya siku ya kwanza kukutana (au mtoko) 1. Kwanza wanatazama tembea yako, kisela au kiheshima ili wajue kama una kazi au la. 2. Kama viatu vina vumbi moja kwa moja wanajua gari huna. 3. Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki moja hujawahi kushika (miliki). 4. Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa. 6. Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia. 7. Ukiongea naye muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujamtongoza, basi anajua umempenda. 8. Usipomtazama usoni au machoni, yawezekana ni muongo au hujiamini na unamuogopa. Je vitu gani vingine huwa wanaangalia?
...

Utafiti wangu: 'Massage Parlour' ni Z'aidi ya Maduka ya Ngono Wakuu niliamua kwa mara nyingine kujipa kazi ya kufanya "Utafiti" katika maeneo ya "Massage Parlour" katika jiji la Dsm na vitongoji vyake.Raha ya utafiti wa aina hii ni kujivika "uhusika" haswaa ili upate mambo ya ndani ya kujifunza hasa undani wa jambo lenyewe,ama hakika nimejifunza mengi na kwa kweli hii ndio Dsm,mambo ni motomoto ndani ya kuta nne za vyumba. Nilianza kwa kutembelea "Massage Parlour" za mitaa ya Sinza(Sitataja majina kwa sababu maalumu).Humu nimejionea mambo mengi sana na mazito,ama hakika mji huu una mambo.Hizi si Massage Parlour tena bali ni maduka ya ngono yasiyo rasmi yenye leseni ya "Massage Centres" Nilianza mitaa fulani ya Sinza ambapo pale nilikuta Massage yenye bei mbili tofauti,moja ya Tsh 25,000/= na nyingine ni 35,000/=,yaani hiyo ya elfu 25 haina choo na bafu la ndani kwa ndani wakati hiyo ya elfu35 maanake unapata chumba chenye choo ndani,huna haja ya kutoka kwenye korido kwenda kuoga au msalani.Ndani ya chumba unakutana na huduma kadha wa kadha,kwanza unaambiwa unataka huduma ya aina gani?Maana kuna 1)Soft Massage 2)Hard Massage 3)Medium Massage 4)Body to body Massage 5)Honey Massage nk Huduma hizi zote zinapatikana humo ndani,yaani kama hiyo ya body to body maanake mtoa huduma anatoa kila kitu halafu anakupaka mafuta na kuanza kuusugua mwili wako akiwa mtupu,hiyo hard ni kwa wale wenye kutaka kunyoosha misuli,medium inakuwa kati ya soft na hard na wakati soft hiyo ni hatari sana maana inaamsha mambo yote ya dunia ya mwili. Kifupi wakati wa kuingia unakuta wadada wamekaa kama sebuleni,na ukiingia pale wanaitana wooote na wanapanga foleni,hairuhusiwi kukubaliana na mmoja wakati wenzake hawapo pale sebuleni/mapokezi.Wakikusanyika wote unaambiwa uchaguwe wa kwenda kukuhudumia.Sasa ukiwa kauzu unapitia mmoja baada ya mwingine then unachaguwa.Yaani wakati wa kuchaguwa kila mtu analegeza macho na madoido ili achaguliwe yeye,inakuwa kama "ng'ombe mnadani". Baada ya hapo ni kwenda kupata huduma,huko ndani kwenye huduma ni balaa tupu,yaani ukitoka salama ni bahati,yaani ni kama bahati ya UKAWA kuanzisha maandamano mbele ya Central Polisi bila kibali cha maandamano halafu wakaachwa.Kiukweli hii ni aina ya biashara ambayo wale wadada wasioweza kujipanga foleni pale Sinza Ambiance basi wanakuwa huku,na pia kwa wale wasioweza kuopoa pale wanahamia huku.Nimejifunza kuwa biashara hii ni ngumu sana kupambana nayo moja kwa moja sbb binadamu wana mbinu nyingi sana. Katika utafiti wangu nikagundua wateja wengi ni waume za watu ambao pengine wake zao hwafanyi au hawajui namna ya kufanya hizi massage.Wahudumu wengi wanakiri kuhudumia waume za watu hasa siku za weekend na mida ya jioni baada ya kazi,kwani watu wengi hawapendi kuingia mchana huku wakionekana.Na huduma hizi zinazotafutiana kutokana na mazingira na mazingira.Huko Mikocheni,Mbezi na Masaki bei zake ni kubwa sana.Wachina na Wafilipino wengi wanafanya baishara hii na ile "extra" kwa mgongo wa Massage Parlour. Kuna centres nyingine wapo kikazi haswaa,hii ni kwa sababu kuna watu wenye matatizo ya neuros(?),migongo na wameshauriwa na madaktari wanatumia sehemu hizi kwa ajili ya matibabu ya migongo na viuno.Hiivyo si wote wapo kwa ajili ya ile "biashara". Mashoga wengi hushinda na hawa wadada,na hukaa humu na kufanya kazi hiyo,pia wavutaji wa shisha na madawa pia humu ndio centres zao.Mtu anaingia anajidunga anasinzia mpaka anaamka ndio anatoka.Kifupi kila unapozuia hili binadamu anavumbua hili,kila kitu kina majibu yake.Humu ndani ya Masage Parlour ni hatari wakuu...Kuingia bure kutoka lazima uwe umakauka. Hii ni sehemu ya kwanza ya muendelezo wa utafiti wangu ndani ya hizi Massage Centres...Nipatapo wasaa nitakuja tena hapa kumalizia. Muwe na siku Njema Wakuu
...

MOYO ULIOJERUHIWA DAWA YAKE NI FARAJA kama huwezi kuwa faraja kwa mwenzi wako basi ujue husitahili kupewa nafasi hata ya kumwambia HABARI... Maana halisi ya mahusiano ni wawili kunia mamoja, Huwezi kuwa MUME wake kama huwezi kuwa rafiki kwake, Kuifikia heshima ya MUME ipo ngazi inayokubidi kuipanda nayo ni "HURUMA" Mtu ambaye hana huruma hawezi kujuwa vile mwenza wake anaumia, Mtu asiye na huruma hawezi kujikosoa, Mtu asiye na huruma hawezi kujifunza maumivu ya mwingine, Mtu asiye na huruma hajui kabisa KUHESHIMU! Na mtu huyo hata mwenza wake akilia mbele yake yeye hufurahia na kujiona mshindi, Mtu asiye na HURUMA NI KATILI tena amejawa dharau na majigambo, ni mwenye kujihesabia haki muda wote... lakini pamoja na yote hayo MWANAMKE NI MVUMILIVU wala asiyekata tamaa akijenga tumaini kuwa MUMEWE ATABADILIKA wakati huo akiendelea kuumia na kulia kila kukicha, Baadaye unakuta Mwanaume huyo amemuolea Mwanamke mwingine lakini mwanamke huyo anahamia kanisani kumlilia MUNGU ili amrejeshe mumewe, Lakini mumewe hubeza na kumwambia anapoteza muda huko makanisani mnakwenda kujifunza umbea, Still Mwanamke huyo yupo tu! MOYO wa Mwanamke ni MTAMBO... Wallah wakiungana wanawake wanne kwa uvumilivu wao ni KIWANDA😅😅😅
...

JE Wajua Uzuri wa Mwanamke na Utamu Kwenye Tendo la Ngono si Chochote? HUU NDIO USHAURI WANGU KWAKO “UZURI WA MWANAMKE UNAWEZA UKAMPELEKEA MWANAUME AKATHUBUTU KUMUOA, LAKINI TABIA YAKE NDIO ITAKAYO MUAMURU ADUMU KWA MUDA GANI NA HUYU MWANAMKE KATIKA NDOA”. Kuna Mambo Mengine Pesa Haiwezi Kununua Vitu Kama Heshima, Busara Na Upendo NDUGU YANGU, “KUWA MTAMU KWENYE TENDO LA NGONO INAWEZA IKAMFANYA MWANAMUME ALALE NA WEWE USIKU KUCHA, LAKINI ASUBUHI AKAONDOKA ZAKE, LAKINI KUWA MTAMU KWENYE TENDO LA TABIA, KUNAWEZA KUMFANYA MWANAMUME AKUOE NA ADUMU NA WEWE MPAKA KUFA.” By B professional love
...

MBINU MPYA ZA WANAWAKE WA SIKU HIZI WANAO SAKA NDOA KWA NGUVU...NI NOMA SANA Siku ya kwanza atakuja na chupi 2, moja anaifua anaacha bafuni,nyingine anavaa asubuhi anaondoka... Siku ya 2 anakuja na khanga,anaivaa usiku,asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka... Siku ya 3 anasahau pete na hereni juu ya meza anakwambia 'Hny nitunzie nimesahau hereni zangu mezani Siku ya 4 anakuja na nguo 2 na vipedo vya kubadilisha na viatu pea 2,anavua high heels anaweka kwenye Shoe rack,asubuhi anaondoka na flat shoes kwenda chuo. Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha,na ole wako uvihamishealipoacha,kesi zinaanza... Hao ndo Wanawake wa kileo,akija na begi zima si utamuuliza Vipi mwenzangu na utamkimbiza...Anahamia taratibu.. Mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa ina perfume na mafuta ya Rays inakuwa imejaa hereni na 'Foundation'... My Brother,huna haja ya kuuliza,NDO KASHAHAMIA HUYO.... Kifuatacho utaambiwa,''Honey I miss my days',Zamaninilijua ni Simu za mkononi tu ndo zina Missed Calls, Siku hizi kuna Missed days,ukiambiwa hivi tu ju imekula kwako, inawindwa ndoa...
...

MWANAMKE JIFUNZE HAYA. (Imeongezwa) 1. Ukiwa Kama mwanamke, pale panapotokea maudhi dhidi ya mpenzi wako, nyamaza kimya, ukimya wa mwanamke humsumbua akili mwanaume. Atahisi kuna jambo fulani kichwani mwako na kama anabusara atatafuta njia ya kusuruhisha. Usiwe mtu wa tit-for-tat. 2. Kama atakutumia ujumbe wa maudhi katika simu, usimjibu kwa maneno ya kuudhi pia. Muandikie "Samahani" au "Asante sana." 3. Hakuna mwanaume anapenda mwanamke anaemrudishia maneno, kama wewe ni mke uliye na busara, funga mdomo wako. Pale atakapokuwa ametulia ongea nae mmalize mgogoro. 4 Usilingie uzuri wako. Hujawaona wanawake wazuri wengi tu bado wako single, lakini wanaishia kuwa wezi wa waume za watu na uzuri wao kama wameshushwa toka mbinguni? Tabia yako itakuhifadhi katika moyo wake. 5. Kamwe usimfananishe na EX wako au mwanaume mwingine, huwezi jua huyo mwanaume nae ana mapungufu gani katika mahusiano yake. Binadamu hatuko 'perfect' 6. Usiwe wa kupokea tu, mnunulie chochote, haijalishi kama anavyo vingi au ni kidogo sana, ila kilichotoka kwako siku zote kina umuhimu mkubwa kwake. 7. Kuwa mwanamke mwenye mawazo 'mtambuka' usifikirie jambo moja tu, mshauri masuala ya maendeleo, miradi, kununua viplonga na mengineyo. Usiwaze habari za kucha, nywele, mapochi na shopping za kibabe pekee. Hayo mambo kwa mwanaume yamepita kushoto. Na ni ya ziada tu. 8. Mheshimu yeye pamoja na familia yake, usidharau wadogo zake, dada zake na kaka zake, hana namna hao ndio ndugu zake na kimbilio alilo nalo, hata kama hawana hali nzuri. 9. Mambo madogo ila yana maana kubwa, mpigie simu, kamwe usisubiri yeye ndio akutafute. Mapenzi ni 'two way traffic' 10. Jithamini wewe kwanza na yeye atakuthamini. 11. Kwa kuwa hana ukwasi leo, haimfanyi kuonekana ndio atakuwa na ukata milele, tizama sana ni nini kinamuendesha kichwani mwake. Tizama sana mawazo yake chanya na njaa ya kutafuta mafanikio. Ila kama yeye awaza ngono na pombe tu, hilo ni jipu uchungu. 12. Kama utashindwa kuibadili tabia yake hivi sasa mkiwa kwenye mahusiano, am sorry katika ndoa itakuwa vigumu sana kumbadili, au utatumia maisha yako yote kumbadili. Hapa inahitaji moyo kweli kweli! 13. Kama mpo katika mahusiano tu na amekuwa akikupiga ukikosea jambo fulani. Sorry pale utakapoolewa nae chumba chenu kitageuka kuwa ulingo wa masumbwi. 14. Kila muda amekua akikutishia kukuacha, unalia na kumwambia kama akikuacha utakufa...hahahaaa nani amekwambia? Mtu sahihi kwako kutamka maneno kama hayo ni vigumu kinywani mwake. Huyo hakufai anakuchukulia faida. 15. Jiulize nafsini mwako, tokea umeanza mahusiano nae, kuna mchango wowote chanya katika maisha yako amekuleta? Aitha kiroho, kiakili, na kiuchumi. Kama bado hebu tafakari tena upya kama anakufaa. Mwenyezi Mungu akufungue macho katika mahusiano yako, na kama bado hujapata akuongoze vema ukampate yule aliye sahihi, maana lengo la mahusiano sio kuumizana kihisia, bali ni kuziunganisha furaha zetu tulizokuwa nazo hapo mwanzoni kabla ya mahusiano na kutengeneza furaha kubwa zaidi.....AMEN!! Ombeni sana. Share
...

Emu tujifunze na hili na ikiwezekana tulijadiri kwa pamoja Najua ni ukweli usiopingika wote linatuhusu Kwanini Wanawake Warembo Hupenda Kuolewa na Wanaume Wenye Sura Mbaya???? WANAWAKE wengi walio wazuri wa sura huwa wanapenda kuolewa na wanaume wabaya wa sura. Hii inatokana na ukweli kwamba wanawake wenye sura nzuri hupenda kuolewa na wanaume wenye sura mbaya ili kulinda uzuri wao kwani wanaamini kuwa iwapo ataolewa na mwanaume mwenye sura nzuri, uzuri wake hautaonekana kwa watu kwani mwanaume pia ataonekana mzuri jambo ambalo litamupunguzia mwanamke kuonekana mzuri katika jamii. Hii ndio maana wanawake wengi wenye sura nzuri wanapenda kuolewa na wanaume wenye sura mbaya. Dr. Linda Mtaalamu wa masuala ya Mapenzi na Uhusiano anasema kwamba "Wanawake wengi wenye sura nzuri wana tabia ya kutaka waonekane kuwa ni warembo muda na wakati wote, jambo ambalo linawapelekea kuolewa na wanaume wenye sura mbaya ili waendelee ku-shine katika jamii". Pia wanaume wenye sura mbaya wanapenda kuoa wanawake wenye sura nzuri ili kulinda heshima yao kwa kupitia wake zao. Kwa hili ndugu msomaji naomba ujaribu kufanya uchunguzi wa kina kwa kuangalia wanaume wenye sura mbaya, utagundua kuwa wengi wao wanapenda kuoa wanawake wazuri na wengi wao tayari wameshaoa wanawake warembo. Je, kwa upande wa wanawake weusi; je, wanapenda wanaume wa aina gani? Na kwa upande wa wanaume weusi pia wanapenda wanawake wa aina gani? Pia na wewe kama unajitambua kuwa uko hivi au vile je, unapenda sweetheart wako aweje?. Sasa tujadili.........................!!!!! #Barikiwa COPY & PASTE LIKE & SHARE
...

MWANAMKE NI NANI (SIYO MSICHANA TAFADHALI) Mwanamke ni binadamu wa pili kuumbwa na Mungu kutokana na ubavu wa Adamu. -: Mwanamke ni yule ambae huijua thamani yake angali bado mdogo aidha kwa kufundishwa na wazazi wake au kwa utashi wake binafsi. -: Mwanamke ameumbiwa mwanaume mmoja tu, mwanamke hatakiwi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja, hutulia na mwanaume mmoja hata pale mahusiano yake yasipoenda sawia, husubiri muda muafaka wa kupata mwanaume atakaempenda na sio kuwapanga foleni. -: Hujua thamani ya mume wake na nafasi yake ya usaidizi kwa mwanaume wake. -: Tumbo lake la uzazi li tayari kubeba mimba, nyonga zake zi tayari kupokea kashikashi za uchungu na kujifungua, Mikono yake na moyo wake u tayari kulea uzao wake. -: Humnyonyesha mwanae na si kumpa maziwa ya kopo akihofia kuharibu maziwa yake. -: Hufanya kazi zote za nyumbani, ikiwemo na kumhudumia mumewe. -: Kwake tendo la ndoa ni hisia zaidi na hulifurahia afanyapo na yule anae mpenda na sio zawadi kwa vile amefanyiwa jambo fulani na mwanaume yeyote. WASICHANA HUWA HIVI.... -: Wamewapanga foleni wanaume, wanaume za watu pamoja na wavulana mithili ya enzi za kupokea mishahara dirishani au kudraw pesa ATM mara baada ya kutoka. -: Hawana muda wa kuwaza future, wao ni kuponda raha kufa kwaja. -: Kucha zao zina thamani, kuliko hata nguo zao za ndani. -: Kwao mwanaume ni kitega uchumi swadakta kabisa, ambacho kinahitaji ili kupata wakitakacho ni kuwekeza miili yao. -: Hufanya ngono kwa kutegemea mrejesho wa pesa, kitu au ahadi walizopewa na watu wao..! -: Hutumia muda wa dakika mbili kuoga lakini hutumia lisaa lizima katika kujiremba na kujipiga picha nzuri za kuweka Instagramu, facebook, Snapchat huku wakilembua macho na kutoa ndimi zao nje mithili ya nyoka aonae kitu au mwenye kiu...! -: Miaka ikikatika na akifikisha umri wa miaka 30+ na bado bila bila, husema anahitaji mtoto tu na hana haja ya mume, lakini akiwa mwenyewe chumbani kwake, anajijua na nafsi yake jinsi anavyotamani maisha mema ya ndoa. -: Utetezi wao mkubwa wao husema ndoa kitu gani, watu wanaoana leo na wanaachana kesho, pasina kujua kwamba Ndoa inahitaji msingi imara ikiwemo na uvumilivu na Mungu juu ya vyote. NDUGU YANGU TAMBUA KUWA:- Ni vigumu sana kushindana na asili, kuna wakati utafika na kusema bora ningefanya hivi. Amua njia ile iliyo sahihi ambayo kwayo unajiona hutakua na majuto nayo hapo baadae. Siku zote kuna manufaa katika kusubiri, ila kuna majuto mengi katika kukurupuka. Mungu awabariki 'wanawake' wote katika magumu yote mnayopitia akawafanyie wepesi, na pia awabariki 'wasichana' watambue ni nini wanapaswa kufanya, kwa wakati walionao na wajitambue na waweze huko waendako....! KWA JINSIA YA KIKE...! VIPI WEW NI MSICHINA AU MWANAMKE.......!? PRINCE NAAHJUM ALSINA
...

Mara kadhaa amejitahidi kukwambia "Nakupenda, usiniache please", ila sasa hawezi kusema tena. Ametaka kusema "Kwanini hauelewi jinsi navyoumia moyoni", ila amejua kwamba hawezi kukulazimisha umpende. Ametaka kujaribu kusema "sijali tena", ila ametambua haitasaidia tena kukurudisha kwake. Ametaka kusema "samahani" ila amejua kwamba hajakutendea kosa lolote kupelekea usimpende tena!k Ametaka kusema, "Mbona umebadilika, haukua hivi", ila ametambua kwamba hawezi kukuomba au kukulazimisha ubadilike. Ametaka kusema "tujaribu kukaa chini, tujadiliane na kurudisha mapenzi yetu", ila ametambua hataweza kwani wewe hauko serious hata kidogo. Amejitahidi kuonesha kila aina ya upendo, ila wewe umeshindwa kumpenda. Amekupigia simu mara kwa mara hupokei. Amefikiria labda utakuwa busy, lakini siku nzima inapita wala hupati call yake kuonyesha aliona missed call zako! Amekupigia simu usiku, amekukuta busy ukiongea na simu, na ulipomaliza kuongea wala hukumpigia tena simu. Amekutumia messages watsapp zinaonesha kabisa tick ya blue lakini hukuhangaika hata kumjibu, busy ukichati na watu wengine! Mapenzi yanauma asikwambie mtu, hufika hatua ukachukia kila mtu na kila kitu. Ukatamani Dunia ikumeze japo kwa dakika chache usahau maumivu unayopitia. Mtu hutamani uwe na uwezo wa kuteka mawazo ya mpenzi wako na kujua nini anachokiwaza kichwani mwake. Watu wengi wanapitia magumu katika mapenzi, sio masikini, tajiri au wa daraja la kati. Mahusiano yameteka akili za binadamu. Badili gia angani, kubaliana na hali halisi, mwaka mzima mtu habadiliki, utakumbatia mti wenye miba mpaka lini? Mtu akikupenda ni vigumu sana kukusababishia maumivu moyoni! Labda hilo halikuwa fungu lako. Moyo ukipenda ni vigumu sana kubishana nao, ila utafanya nini sasa? Najua maumivu ni makali, moyo unauma, akili haifanyi kazi, inauma zaidi ukikumbuka nyakati zile zilizo njema, kipindi mapenzi yakiwa mapenzi kweli! Nyakati alipokuwa mtu wa kweli kwako...ila sasa mambo yamebadilika, ni kama kibatari kilichozimika ghafla katika kiza kinene penye uhitaji wa mwanga. Busara yangu, "one of the happiest moments in life is when you find the courage to let go of what u can not change" Tuache masihara mapenzi yanauma asikwambie mtu, Mungu wangu aliye muaminifu akakuvushe katika gumu unalopitia, akakusaidie kurudisha furaha yako uliyoipoteza. Ukiona ugumu nitafute unishirikishe tuliite jina la Mungu wetu aliye mkuu teso hilo litaondoka na mungu atakurehemu mahali ulipokosea.
...

HII NI KWA NDUGU ZANGU WANAUME VITASA! MFANYE AJIHISI MWANAMKE! Iko hivi mwanamke kutaka umhudumie haina uhusiano na pesa wala shida. Hapana ili mwanamke ajihisi anapendwa nilazima awe na mwanaume ambaye anajali mahitaji yake, mwanaume ambaye anafahamu kuwa ana mahitaji na anamhudumia. Ndiyo nazungumzia kuhudumia kwani ni wanaume wachache ambao wanaweza kuhonga (kuhonga ni kama kumnunulia gari, ukamjengea, shopping dubai, ukatoa laki tano za kusuka na vitu kama hivi) sisi wengine tunahudumia kama kununua vichupi chupi na vi braa, kununua chakula na vocha, kumtoa out ya elfu ishirini. Ndiyo mwanamke hata kama ana hela vipi lakini ni mwanamke anahitaji mwanaume wa kumhudumia, hata kama si wa kumnunulia gari na kumlipia kodi lakini angalau ajue kua nayeye ana siku zake ampe hata hela ya Pedi! Sasa wewe ndugu yangu hata hujiongezi, ukatuma hata vocha, unaona anabadilisha tu underwear hujiongezi hata ukatafuta ka dazeni kamoja ukampelekea, ukajipinda na vimanukato kidogo. Yaani hembu mpe kitu cha kuringishia kwa marafiki zake. Kwamba wakimsifu unanukia vizuri hii perfyume umenunulia wapi ajishaue hata kama anajua aseme hii kaniletea Baby hata sijui kanunulia wapi! Tena unajisifia kabis ayule ni “Demu Wangu” wakati underwear aliyovaa kanunuliwa na Mzee wa umri wa Baba yako! Acha kujisemea kua yule anafanya kazi anajiweza ndugu yangu mbona wewe bafu lipo unaweza maliza mambo yako lakini unamfuata yeye? #BADILIKA #SHARE
...

*_💖FAIDA ZA KUMKUMBATIA MUMEO _ * 💝❤💚💙💜 _Umewahi kufikiria faida zinazopatikana kwa kumkumbatia mkeo mkiwa mumelala? _ _Famasia yako ya Ndoa Maridhawa inakuletea faida 6⃣ za kukumbatiana kitandani _ _1⃣ HUPUNGUZA SHINIKIZO LA KISAIKOLOJIA: _ _Unapomkumbatia mkeo mkiwa mmelala husaidia kuzalisha kichocheo (homoni) cha furaha kiitwacho oxytocin. Homoni hii hufanya kazi ya kupunguza hatari ya kupatwa na maradhi ya moyo na kupunguza shinikizo la kisaikolojia. Hilo pia hupelekea kupunguza hatari ya kupatwa na maumivu ya kichwa na maradhi mengine. _ _2⃣USINGIZI MARIDHAWA: _ _Wanandoa wanapokumbatiana husaidia kulala vizuri. Tafiti mpya zimeonesha kuwa kumbatio hupunguza cortisol na hivyo kupunguza shinikizo la kisaikolojia. Pindi cortisol inapopungua mwilini, moja kwa moja usingizi huwa mzuri na mwanana. _ _3⃣ Unapomkumbatia inaweza kusababisha raha, hasa mambo yanapofikia kwenye hatua ya kucheza, lakini kabla ya hapo furahia ladha ya mgusano wa ngozi zenu kabla ya kusonga mbele… Moyo wako unatakiwa kuuhudhurisha katika eneo na muda wa mgusano huo ili kujenga uaminifu na hisia za ushirika. _ _4⃣ Kukumbatiana huwapa fursa ya kuwasiliana bila kuongea. Na hili ni jambo maridhawa kabisa kwa wanandoa kuzidi kuwa karibu. _ _5⃣ NI DAWA YA FADHAA: _ _Kimbilia kitandani. Kumbuka kuwa kitanda kipo kwa ajili hiyo. Achana na kitabu, televisheni, simu, tablet na mambo mengine kama hayo. Kumbatio litakusaidia kumakinika na kupata utulivu. _ _6⃣ HUWAPA HISIA ZA KURIDHIANA NA KUTOSHEKA: _ _Mnapokumbatiana bila kuwa na lengo la kuingia kwneye tendo la ndoa, mtapata hisia kubwa ya kuridhika na ndoa yenu. Tafiti mbalimbali zimeonesha kuwa wanandoa wanaokumbatiana wanaridhika sana na ndoa zao kuliko wale wasiokumbatiana _ _Nawatakia mkumbatiano mwema nyote. _ *🅱 professional love*
...

DAWA YA ASILI YA FANGASI UKENI Fangasi ukeni ni muwasho sehemu ya ndani ya uke ambao unaweza kuambatana pia na kuvimba kwa uke. Leo sitaongelea sana juu ya nini kinasababisha hizi fangasi sehemu ya uke bali tutaona dozi kamili ya asili inayoweza kutibu kabisa tatizo hili linalosumbuwa wanawake wengi miaka sasa. Tumia dawa hizi 3 zote kwa pamoja ili kupata matokeo mazuri na usiache kuleta mrejesho hapa namna unavyoendelea: 1. LEMONADE Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limau na asali na mdalasini ya unga kidogo, nayo inaandaliwa hivi: * Chukua asali nusu Lita *Chukua limau kubwa 12, zikate katikati kila moja. Tumbukiza ndani ya sufuria na weka maji Lita 3, chemsha mpaka limau ziive (zisiive sana), ipua utowe zile nyama nyama za ndani za liamau moja baada ya nyingine, ganda la nje tupa na uchuje kupata juisi ambayo itakuwa na ujazo wa lita 2 na nusu hivi. Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya ile asali nusu Lita na hiyo juisi ya limau Lita 2 na nusu, ongeza maji Safi ya kawaida Lita 2 ili kupata lemonade ya ujazo wa lita 5 Kunywa robo Lita kutwa mara 2 kwa siku 10 hadi 11 hivi. Unaweza kuongeza vijiko vikubwa vitatu vya mdalasini ya Unga ndani ya hii juisi ya LEMONADE 2. MAZIWA YA MTINDI Mtindi au bidhaa zitokanazo na maziwa ya mtindi, ni tiba ya kuaminika ya fangasi wa ukeni. Unaweza kutumia njia yeyeote kuweka maziwa ya mtindi au yogati kiasi kidogo labda kijiko kidogo cha chai ukeni wakati wa kulala na asubuhi unajisafisha kama kawaida. Pia inashauriwa kula tu huu mtindi kiasi cha kutosha kila siku. Uke wenyewe una uwezo wa kuondoa mabaki yote ya mtindi na kubakisha kiwango kikubwa cha bakteria wazuri (lactobacillus) pamoja na hali ya tindikali yenye uwezo wa kuzuia kujitokeza na kukua kwa fangasi. Bakteria hawa wanaopatikana katiaka mtindi hukusanywa viwandani na huuzwa kama bidhaa ijulikanayo kwa kitaalamu kama “Supplements of Acidophiles”. 3. KITUNGUU SWAUMU Kitunguu swaumu kina sifa na uwezo wa kuua bakteria na hata virusi mwilini. *Chukuwa kitunguu swaumu kimoja *Kigawanyishe katika punje punje *Menya nusu yake (punje 8 au 10 hivi), *Menya punje moja baada ya nyingine *Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo na kisu Meza kama unavyomeza dawa na maji vikombe 2 kila unapoenda kulala na asubuhi ukiamka tu. Fanya hivi kila siku kwa wiki 2 hadi tatu. Mama mjamzito chini ya miezi 4 ni vema asitumie, kwa ujumla tu mjamzito uwe makini utakapotumia kitunguu swaumu kwa namna hii kama wewe ni mjamzito. 4. MAFUTA YA NAZI Kama fangasi hao wa ukeni wanajitokeza hadi sehemu kidogo ya nje ya uke na unapata muwasho pia, hakikisha unapakaa mafuta ya asili ya nazi yaliyotengenezwa nyumbani. Hii dawa tosha kwa fangasi wowote juu ya ngozi. MAMBO MHIMU YA KUZINGATIA: Fangasi hii inaweza ikachelewa kupona au ikawa inajirudia hata baada ya kupona kama hutazingatia yafuatayo: *Kunywa maji mengi kila siku kuanzia glasi 8 hadi 10 *Punguza vyakula vyenye wanga *Acha kutumia sukari na badala yake tumia asali *Acha vinywaji baridi, acha pia chai ya rangi na kahawa *Acha matumizi ya pafyumu hasa maeneo ya huko *Acha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango, hii ni kwa sababu vidonge hivi vinasemwa huwa vinasababisha kushuka kwa kinga ya mwili na kukufanya mrahisi kupata maambukizi ya fangasi.
...

DAWA ZA FANGASI NA JINSI YA KUZITUMIA VIZURI Fangasi ni miongoni mwa vijidudu vya magonjwa vinavyosumbua watu wengi. Magonjwa ya fangasi ni mengi sana na mengine ni hatari sana kiasi cha kuweza kusababisha vifo, hususan kwa watu wenye kinga ndogo ya mwili. Magonjwa yao huwa kwenye ngozi, kwenye damu, kwenye kucha, kichwani, kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili. Tatizo kubwa zaidi kwa watu walio wengi ni fangasi wa kwenye ngozi, kucha na nywele. Husababisha mapunye, mashilingi, muwasho, michubuko, vidonda, vipele, harufu mbaya, nywele kutoota vizuri, kucha kukatika au kutoota nk Tatizo la fangasi ni kubwa zaidi kwa watoto, wanawake na wakazi wa maeneo yenye joto na unyevu unyevu. DAWA ZA KUTIBU MAGONJWA YA FANGASI Tuna dawa nyingi za kutibu magonjwa ya fangasi. Dawa hizi zinatofautiana sana kwa uwezo na aina ya fangasi zinazoweza kuwadhibiti vizuri. Kwa hiyo, sio kila aina ya fangasi inaweza kutibiwa kwa dawa yoyote ya fangasi. Dawa za fangasi ni pamoja na 1. Clotrimazole 2. Fluconazole 3. Ketoconazole 4. Griseofulvin 5. Nystatin 6. Itraconazole 7. Econazole 8. Terbinafin 9. Tolnaftate Dawa hizo zipo katika mitindo mbalimbali kama vile vidonge, krimu, losheni, poda, sindano, kimiminika nk. Muhimu : Dawa hizi zinatakiwa kutumika baada ya uchunguzi wa daktari na kushauriwa na daktari na mfamasia. Pia hapa tumeziorodhesha kwa lengo la kukuelimisha tu, kwa hiyo usiende kununua dawa yoyote wala kutumia dawa yoyote kati ya hizo bila kupata ushauri wa daktari. Ni muhimu kutambua kwamba ushauri wa daktari na mfamasia ni muhimu sana kabla ya kununua na kutumia dawa yoyote. Na ukitaka matokeo mazuri hakikisha unatumia dawa vizuri. JINSI YA KUTUMIA VIZURI DAWA ZA FANGASI Fangasi wana tabia ya kuondoka pole pole. Kwa hiyo unaweza ukahisi umepona baada ya kuona muwasho, harufu, majimaji, michubuko, mapunye au mashilingi yamepungua au kupotea. Ukweli ni kwamba inawezekana fangasi bado wapo na ukiwahi kuacha dawa wanajitokeza tena baadae. Fangasi wanaweza kuwepo nje ya mwili na ndani ya mwili. Ni vyema kupata matibabu yanayosaidia kuondoa fangasi sehemu zote ili ukipona upone kabisa na ugonjwa usijirudie au kuwa sugu. Kwa dawa za kupaka na fangasi wa kwenye ngozi hakikisha unaendelea kupaka dawa kwa wiki moja hadi mbili baada ya dalili za fangasi kupotea na kuhisi umepona. Hii inakusaidia wewe kuwamaliza kabisa na kuwazuia wasije wakaibuka tena. Kwa ugonjwa unaohitaji vidonge basi hakikisha unatumia vidonge na unatumia vizuri. Ukitumia ya kupaka peke yake unaweza usipone vizuri, tumia vidonge kama utakavyoshauriwa na daktari na mfamasia wako. Baadhi ya fangasi matibabu yake huchukua muda mrefu. Mifano ni fangasi wanaoathiri kucha na nywele, matibabu yake huweza kuchukua mwezi mmoja au zaidi. Kuwa mvumilivu na maliza dawa zote. Kama una ujauzito ambao ni ngumu kujulikana na daktari au mfamasia wafahamishe kwamba wewe ni mjamzito. Hii itasaidia kukukinga wewe na mtoto dhidi ya dawa ambazo hazifai kwenu. Kama una matatizo ya ini, figo, magonjwa mengine au unatumia dawa zingine ni vyema ukamfahamisha daktari na mfamasia wako pia. Hii ni kwa sababu kuna muingiliano mkubwa sana kati ya dawa za fangasi na magonjwa na dawa zingine kiasi cha kuweza kukuathiri wewe, afya yako na matibabu yako. Tumia dawa zote kama utakavyoshauriwa. Hii ndiyo tiketi ya kupona kwako.
...

JINSI YA KUCHEZEA MATITI YA MWANAMKE NA KUYANYONYA K Kuna baadhi ya wanaume tena wengi hawajui kunyonya au kuchezea matiti ya wanawake badala yake wanakuwa wanawaumiza wanawake bila kujua. Kila k2 kinataka ujanja na utaalamu ili ukifanye kwa ufasaha sana bac leo tunafundishana jinsi ya kunyonya matiti au maziwa kama wengi wenu mnavyoita na kama una maujanja mengne waweza kutupia hapa maana lengo ni kufundishana wote maujanja ya kimapenz humu kwenye APPLE TUNDA LA MAPENZI K Ili mwanamke asikie raha sana lazima ujue kuyachezea maziwa yake kwa ustadi wa hali ya juu,huku ukiyapapasa kwa mbali sasa cha kufanya hapa ni kitu kidogo sana na wala hutakiwi kutumia nguvu katika sekta hii. Mweke mkao wa kula mpenz wako ambapo unajua utakuwa rahis kucheza na maziwa yake, anza kwa kuyashika shika maziwa ya mpenz wako taratbu huku unayapapasa kwa mbali na kuyabinya binya kama vile unabinya embe dodo kuckia kama limeiva na wakat unafanya hivyo usisite kuyacfia matiti ya mpenz wako, endelea kuchezea titi moja huku moja lingne anza kwa kulinyonya ziwa moja huku ukicheza juu ya chuchu taratibu na kuzungusha ulimi wako juu ya chuchu ya mpenz wako na wakat huo mkono mmoja unachezea ziwa lingne, ingiza mdomo wote huku ukiwa unamung'unya ziwa la mpenz wako kisha toa mdomo wako na ufunge na kisha weka lips zako juu ya chuchu ya mpenz wako anza kusugua lips zako juu ya chuchu huku ukizungusha lips zako juu ya chuchu na wakati huo huo ule mkono moja utakuwa unachezea ziwa moja na baada ya hapo waweza kuhamia ziwa lingne huku ukifanya kama hapo awali nilvyokueleza na ule mkono ambao ulikuwa unachezea ziwa sasa uhamishie kwenye ziwa ambalo lilkuwa linanyonywa na kisha endelea kufanya hivyo ila epuka sana kutumia meno maana meno yatamkera mpenz wako. K Kama mwanaume ni mwepesi sana wakati unanyonya ziwa moja waweza panda juu ya shingo ya mpenz wako na kuanza kuilamba huku ukiimung'unya kwa kutumia lips zako na meno kwa mbali ili kumuongezea raha mpenz wako na kisha waweza panda juu ya masikio yake na kuingiza ncha ya ulimi na kuuzungusha taratibu huku ukiyapuliza mackio ya mpenz wako kwa sauti fulan ya mihemo ya kimapenz ili kumpa raha zaid beb wako. K
...

faida za shahawa kwa mwanamke (1) Humtengeza mwanamke shepu yake. Shahawa zinapozunguka katika mwili huwa na virutubisho vingi vya protini. (2) Humsaidia mwanamke kutengeneza ngozi yake kwa virutubisho vya shahawa na sio kupaka usoni. (3) Humuongezea mwanamke urembo zaidi hasa wa macho. Macho yanakuwa meupe na mazuri zaidi. (4) Husaidia mwanamke kuwa na sauti nzuri zaidi kwa kuwa shahawa hutengeneza ala nzuriiii za sauti katika mfumo wa sauti. (5) Husaidia mwanamke kuwa na akili nyingi zaidi katika mfumo wa fahamu. Shahawa hukimbilia katika muundi wa mgongo na kumfanya mwanamke kuwa na mgongo na mifupa imara na milaini. (6) Humfanya mwanamke kutokuwa na tatizo la kupoteza fahamu na maradhi ya kuchekacheka.. (7) Husaidia kizazi cha mwanamke kisiwe na maumivu ya mara kwa mara, hasa kinapoingia barid
...

MWANAMKE MWEUSI NI MTAMU KULIKO MWANAMKE MWEUPE Kumekuwa na mizozano ya hapa na pale kwenye vijiwe vya kahawa, mabwenini, barabarani, kazini, magetoni na sehemu nyingine kama hizo ambazo huwapa wanaume mwanya wa kujadili mapenzi, wanawake na uzuri wao. Leo Mzee wa Makopaz amekutana na mada flani inayohusiana na utamu wa mwanamke katika maeneo ya Chang`ombe, Dar Salaam kipindi ambacho wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) walipokuwa wanarudishia nguzo ya umeme iliyokuwa imeharibika. Mada ilikuwa ni tamu sana kiasi kwamba walishindwa kumaliza kazi kwa muda muafaka. Unajua tena, na matusi ya hapa na pale ndio kachumbari kwa wafanyakazi hao!! Kundi lao lililokuwa na watu wapatao 8 ambalo liligawanyika katika sehemu mbili: wafanyakazi 6 kati yao walidai kuwa wanawake weusi ni watamu isivyo kawaida, na 2 waliobakia wao wakadai kuwa mwanamke mweupe ndiyo hatari kabisa! Mzee wa Makopaz alisikiliza hoja zao kwa makini sana, hivyo kaamua kuzileta kwenu ili mwangalie wenyewe zipi zenye mashiko: (a) Waliodai kuwa wanawake weusi ni watamu zaidi kuliko wale weupe walishikilia hoja hizi: Wanawake weusi ni wa motoooooo! Hivyo ukiingiza tuu, inakuwa kama Mashine inaungua hivi. Moto huo hufanya wanaume wengi kulegea kabisa na kujikuta wakipiga kelele kama wanawake kwenye mazishi ya kipenzi cha wengi. Waliongezea kuwa huwa mashimo yao pia hayatepeti kirahisi kwa sababu eti, mtu mweusi anaweza kuvumilia kashikashi zaidi ya mwanamke mweupe. Pia walidai kuwa, staili ya Kichuma mchicha kama ambavyo mrembo mweusi kwenye picha anavyoonekana, huwa ndiyo huwafanya waonekane watamu zaidi!!! Walimalizia kwa kudai kuwa mwanamke mweusi huwa haurumiwi kabisa wakati wa ANAMGONGA kwa sababu huwa mwili wake hauwi mwekundu ukishikwa na kubinywa binywa sana kama ilivyokuwa kwa wanawake weupe. Kwa hiyo, inakuwa ni manyama nje manyama ndani bila huruma mpaka mashine inawaka moto! (b) Wale wawili waliodai kuwa mwanamke mweupe ndiye mtamu zaidi, walidai kuwa: Huwa stimu za kutiana hazikatiki mapema sana kwa sababu huwa wanavutia sana. Ukiona vichuchu vilivyo veupe ama vekundu, pia tako jeupeeee... na mapaja meupee... yanaongeza kitu flani kwa mwanaume na hivyo kutokuchoka kumpiga nao kwa muda mrefu. Walimalizia kwa hoja ya kuwa eti, mwanamke mweupe akionesha kudeka huwa inamaana zaidi kuliko mwanamke mweusi kwasababu huwa mwanamke mweusi anaonekana ngangari sana, na hivyo anajifanya tuu. Lakini ata kama huyo mweupe akiigizia tuu, huonekana kweli mtoto analalamika!!!!! HAHAHAHAHAHAHAHAHA!!!!!! HIZO NDIZO ZILIKUWA STORI ZA PALE!!!!!!!!! KULIKOBAKI NIKUACHIE WEWE MDAU WA MAMBO HAYA, PENGINE NA WEWE UNAMSIMAMO WAKO JUU YA UHUSIANO ULIOPO KATI YA RANGI ZA WANAWAKE NA UTAMU WAO WAKATI WANATIWA!
...

FAHAMU SIRI NZITO KUHUSU FRENCH KISS (DENDA) WAKUBWA TU PLZ Kama unadhani busu linalohusisha ndimi na mate ni kitu kidogo na cha kawaida basi fikiria mara mbili, yamkini unatenda tendo hili lakini hujui undani wake. Mtaalam mmoja alisema “In the mating game, a kiss is more than a kiss, it is a taste test”. Mate ya binadamu yanahusisha chembechembe “molecules” kutoka maeneo mbalimbali ya mwili wako, mara ndimi zenu zinapokutana “molecules” hizi hutuma ujumbe katika ubongo wa mwanaume na mwanamke. Watafiti wamegundua kwamba kuna wingi wa “bioactive testosterone” katika mate ya mwanaume kuliko kwa mwanamke, hali hii huyapa mate ya mwanaume uwezo mkubwa wa kuamsha ndani ya ubongo wa mwanamke hamu na hisia kubwa za kufanya tendo la ndoa. Hii ndiyo sababu inayofanya wanawake wengi kushindwa kujizuia kufanya tendo la ndoa mara tu wanaporuhusu mwanaume kugusanisha ndimi “tongue/French kiss”.
...

SIFA ZA MWANAMKE MNENE AWAPO KITANDANI NA RAHA YAKE. 🅱 professional love Mwanamke mnene ni mtamu sana, ana joto kali sana ndani ya uke, ana nyamanyama ambazo hazimuumizi mwanaume wakati wa kutoa mastyle, mwanamke mnene akikaa style ya chuma mboga basi lile sponji la nyuma loooote lasababisha maangamizi ya muda mfupi kwa abdalah kichwa wazi, mwanamke mnene ana degree ya kwenda miondoko ya r ...N b kitandani ambayo huwa so romantic na haitoi jasho, mwanamke mnene akivua nguo akalala kifudifudi basi mkaka hata kama anaangalia mpira lzm atadata, mwanamke mnene ana sifa ya kukojoa bila kumwaga maji mengi. Watu wanasema eti wanawake wanene wananuka na huwa na fangasi? Aliewaambia wanene wananuka nani? wanaonuka ni kwa sababu hawajui kujisafisha.Kama mwanamke hajisafishi au sio msafi kiujumla ndio ananuka na hata kupata fungus. Mkubali mkatae wanaume nao wana machaguo yao, kama ni wembamba ua unene, kila mtu ana chaguo lake...ila ziwa na tako ndio mpango mzima. ukiwa kimbau mbau hata ukipita hustui watu. Subirini sifa ya wanawake wembamba asanteni sana sifa kwenu wanene.
...

Style Za Kumkojolesha Na Kumfikisha Mwanamke Kileleni Haraka Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachilia mbali swala la kukeketwa. Baadhi ya wanawake hufikia kilele mara moja tu (tena kwa shugulikiwa kisimi sio ule uhondo wa kumani) kila wanapofanya mapenzi/ngono na wachache wamejaaliwa na hupata uhondo wote wa kufanya mapenzi yaani wanaweza kufika kileleni zaidi ya mara mbili katika tendo/mzunguuko mmoja. Ujuzi au utundu wa mwanaume hausaidii ikiwa mwanamke mwenyewe hajiamini na vilevile hajui ni kitu gani kina “kunyegesha”. Mwanamke anasehemu mbili maalum zinazopelekea kufikia kilele ikiwa zitafanyiwa kazi vyema sehemu hizo ni Kisimi na “kipele G” Wanawake wengi tunakasumba ya kukimbilia “mikao” migumu tukiwafikiria wanaume wetu, sasa mimi nasema hivi; ikiwa unamatatizo ya kufika kileleni hakikisha mnaanza na “mkao” ambao unajua wazi unakufikisha ktk dakika chache badala ya kukimbilia “doggy” ukijua wazi mumeo/mpenzi wako ana mboo fupi au hajui/hujui “kipele G” kiko wapi? Kifo cha mende #1. Huu ni “mkao” wa kizamani au kilokole (kufanya mingine ni dhambi hahhahaha) ila mimi binafsi na ufagilia sana. “Mkao” huu umeboreshwa na unaweza kuufanya katika “pembe” tofauti inategemeana na wepesi wako, Ila hizi pembe mbili nakupa hapa ni maalum kumuwezesha mwanamke afikie kilele. Kama kawaida lala chali huku miguu imepanuliwa, wakati Jamaa yuko juu yako, kunja sehemu ya magoti kueleke kifuani, kisha egesha miguu yako kwenye mabega yake. Hii itazidisha kina cha uke na kufanya uume uende chini zaidi na “kukandamiza” mwisho wa uke na ukitoka huko unasugua sugu “kipele G” kabla haujatoka kabisha na kulamba kisimi na midomo ya K na hivyo utapata raha katika sehemu zote za uke wako. Kifo cha mende #2. Mwanamke juu….ukiwa tayari kalia “mzingo” kisha mpe ile ya 1-10 na fanya hii kwa ajili yako ondoa maswali yako kuwa “sijui anasikia raha, sijui sio hivi sijui nini” mh-mh wewe jifikirie mwenyewe kwanza, unajua hawa viumbe sio lazima wafike ndio wawe wamefurahia tendo bali kitendo cha wewe kuonyesha unafurahia au jinsi unavyoteseka kufika yeye anapata raha….. Mara baada ya kufika sasa ndio anza kumfikiria yeye na hapo ndio anza kumpa mauno, mpe mbele-nyuma, huku na kule, juu-chini huku wakaza mboo yake namisuli ya uke…..vyovyote uwezavyo na kama umeumbwa ka’ mimi basi unaweza pata bao la pili na mzunguuko haujaisha pao! Real entry (a.k.a Doggie). Hii ni tofauti kiduchu na ile ambayo wengi huwa mnaifikiria/fanya ambayo mwanamke huwa hafiki kiurahisi na hapo “fake kilele” hujitokeza kwa vile ama inauma au kachoka. Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa “chuma mboga/mbuzi kagoma” wanawake wengi huwa haiwafikishi kileleni na huwa tunafanya hivyo kwa ajili ya wanaume na wanaume huwafikisha haraka kutokana na kile kitendo cha kuona inaingia na kutoka na uzuri wa matako yako yanavyo “lindimika” ka’ jelly hahahahaha. Wewe mwanamke ili ufike kileleni basi inakuwa hivi mwanaume analala chali huku kichwa kikiwa juu ya mto (ili aweze kuangalia kazi yako). Wewe unatakiwa umpe mgongo alafu ingiza uume kisha “support” uzito wako kwa kushikilia godoro, Wakati wewe unaenda juu- chini, yeye akusaidie kwa kukushika kiuno au matako, hakikisha uume wote unaingia hadi mwishoni kwenye makende/pumbu pale alafu usiwahi kurudi juu hakikisha unajisugua kiaina ili kuona wapi panakunika alafu jiweke kwenye pembe hiyo. Kumbuka wewe ndio “dereva” hapo kwa hiyo endesha vema kwani ukikosea kidogo tu atakuacha (kutokana na anachokiona). Ukiona haiji haraka basi nyoosha miguu yako bila uume kutoka ukeni na hapo utakuwa umelalia tumbo kwenye mapaja yake na miguu yako inatazama uso wake, panua miguu yako vema kisha mpe “pumps” (rafiki yangu mmoja husema mpige tako hahahahaha)…..hapo lazima utafika tu….. Vilevile unaweza simamia magoti na mikono (kama mnyama) panua miguu kidogo na Jamaa atapiga magoti nyuma yako na kuingiza uume kwenye uke, unapaswa kujituma kama ni ndani-nje, huku na kuko, mbele- nyuma, kuzunguusha kiuno chaguo ni lako, lakini ukifanya vyote ndio raha zaidi. Chap-chap#1. Hii inaweza ikafanywa bila kuondoa nguo zote unashusha kidogo hadi magotini “kitu na Box”, nah ii lazima wote muwe naminyege lundo. Alafu ikiwa wewe ni mfupi itakuwa ni kituko kwani itabidi upande juu ya “kistuli” au upange matofali kama sio kubebwa (inategemea mko ktk mazingira gani) ili uume uingie vyema na kwenda “kukandamiza” uke wako kwa ndani na wakati wa kutoka basi upitie vema kisimi. Chap-chap#2. Anataka wewe akili iko kwenye kuosha vyombo n.k. Mpenzi wako kwanini umnyime ei? Simama alafu uiname kidogo, pitisha mate kidogo juu ya uke wako alafu ingiza na kidole ili mate hayo yalainishe njia…kisha panua mguu mmoja ili kuuwezesha uume uingie vizuri, ukishaingia rudisha mguu kidogo ili uume “usichomoke”, wakati jamaa anakwenda juu-chini mikono yake ichezee kisimi ili kuongeza raha ya mnachokifanya . Ubavu #1(a.k.a 11). Lalia ubavu na ugeukie upande wa pili, jamaa akiwa nyuma yako ataingiza uume ndani ya uke kwa kupitia nyuma, “mkao” huu hufanyika katika mitindo tofauti kama ilivyo kifo cha mende ila huu ni wa kivivu zaidi lakini itakufikisha kunako uhondo. Ubavu#2(a.k.a 14).Yeye analala kama #1, wewe jishushe kiasi kisha jikunje kama nne alafu rudisha matako yako kwa nyuma uswa wa uume wake kisha inua mguu wako ili aingize uume ukeni mwako, rudisha mguu chini kisha anza kujiangaisha kwa kukata kiuno au vyovyote uwezavyo wakati yeye anakupa nje-ndani…. Kitendo cha mapaja yako kubanana kitakupa raha kwenye kisimi na hata utamu na uume nao utakuwa umeubana na hivyo kusugua kona zako huko ndani. Vyura. Lala kifudifudi huku umepanua miguu alafu Jamaa alale juu yako na kuingiza uume kwenye uke kupitia nyuma, kwa kufanya hivyo uume wake utalenga vema “kipele G” kama unacho. Wakati akienda nje-ndani mwili wako utakuwa unacheza cheza na kusugua kisimi ambacho kwa wakati huo kitakuwa kimegusa godoro na hivyo utapata utamu mara mbili kwa wakati mmoja wa “kipele G” na kisimi. Toroli. Lala kifudifudi mwishoni mwa kitanda ning’iniza miguu huku umeipanua , Jamaa asimame katikati ya miguu yako, arudi chini kidogo ili aweze kuulenga uke. Jamaa atakwenda nje-ndani na wakati huohuo mwili wako utakuwa unacheza na kusugua kisimi na unaweza kubahatisha bao mbili kwa mzunguuko mmoja kama umejaaliwa. KIDOKEZO KWA WANAUME. Baadhi ya wanaume huwa na bidii na kufanikiwa kufika “Eneo la hatari” ambako ni ndani yaani karibu na njia ya uzazi. Unapofika huko mwanamke atakuwa akilia kwa maumivu na wakati huohuo kutaka zaidi, pia utahisi misuli ya uke inakubana na kujaribu “kusukuma” mboo hiyo haina maana kuwa mwanamke amefika bali anakaribia hivyo ni wajibu wako kuzidisha “speed” badala ya kupunguza. Jinsi unavyofanya hivyo ndivyo unavyozidi kumpa raha mwenzio na hatimae kufika…..baada ya kutoka uume unaweza ukawa na vijidamu kiasi au damu hasa kama vile yuko hedhini hapo inamaana umejeruhi kwa vile kule ni laini sana na hupona yenyewe tu. Tahadhari: Ruhusu mtu afike mbali kiasi hicho ikiwa mko kwenye mahusiano ya kuaminiana, huna mimba (inaweza kuleta matatizo), huna mpango wa kupata mimba (akiteleza kidogo tu pale imenasa). Mazoezi ni muhimu ili kufanikiwa kujaribu baadhi ya mikao ya kiujumla ambayo ni BAB-KUBWA. Mikao mingine nitaendelea kukurushia hapa inategemea zaidi na matakwa yako. Kila la kheri katika kutukuza utukufu tuliojaaliwa.....samahani kiswahili changu kibovu. Tags:
...

Mbinu za kumfikisha mwanamke mwenye makalio makubwa kileleni kwa haraka Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine wasijue hata utamu huo ukoje (well ule wa kipele ni tofauti kabisa na ule wa kisimi) lakini sio mbaya kama utapata hata huo wa juu kwa juu ambao ni wa kisimini. Sehemu pekee ambayo itakufanya wewe mwanamke ufike kileleni kwa haraka ni kwa kufanyiwa kazi kwenye kisimi chako. Kuna wanaume ambao ni “wajanja” na hawaoni tabu kutumia ndimi zao kuwaridhisha wapenzi wao, wengine hutumia vidole na wengi hutumia uume wao(katerero). Lakini ngoja nikuambie, fanya yote lakini ulimi ni mwisho wa mambo ikiwa ulimi huo utachezea kisimi katka mitindo ya a-z, mzunguuko, #8, pembe 2 pembe. Sio wajilambia kama “ice cream”, anatakiwa kutumia ncha ya ulimi kulamba na midomo ya nje + ulimi kukinyonya kidude. NB: FANYA YOTE HAYA KWA MTU MNAYEAMINIANA NA MKIWA MMEPIMA HAMNA UKIMWI NA MAGONJWA YOYOTE YA ZINAA!!!
...

_*Hii inawaahusu sana wanawake*_ 👇👇👇👇👇 *MATUMIZI YA MAFUTA YA NDIMU UKENI* 🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋 Chezea mafuta ya ndimu weye..👌 Mafuta ya ndimu katika mwili wa mwanamke husaidia kuusafisha uke na kutoa bacteria zote zilizopo mule, namaanisha nini wanawake sisi huwa ukeni kunapitia mambo mengi sana ukiacha uume tuna bleed, huwa tunajifukiza huko, tunatumia sijui madawa gani ya kuoshea huko yani vurugu kibao 🍋🍋🍋🍋🍋 Mafuta ya ndimu ni mazuri sana katika kusafishia huko ukeni na kukata harufu mbaya hata mmeo akitaka kitu yake unakuwa na harufu nzurii ya kupendeza upo hapo? 👌👌 ➡Pia shoga zangu mafuta haya yanasaidia kutaiti uke wako kama huko chini pametanuka 👌kwaiyo ukipaka mafuta haya utakuwa mdogo kama bikra upoo 🍋🍋 Endelea kutumia mafuta ya ndimu mara kwa mara utaona kama utalalamika mambo ya UTI au fangasi vitakwisha vyotee 🍋🍋🍋🍋🍋🍋 *JINSI YA KUTUMIA MAFUTA* 🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋 ➡Ukishamaliza kuoga na kujiswafIsha kitumbua na umejikausha vizuri. 🍋🍋 ➡Chukuwa kitambaa chako kisafi na kilaini kichovye katika yale mafuta yako ya ndimu 🍋🍋 ➡kisha anza kusafisha uke na kupaka hayo mafuta ya ndimu kwa kutumia kile kitambaa kilaini na kisafi kuzunguka mashavu yote ya kitumbua na kwa ndani kidogo utaratibu usitumie nguvu. 🍋🍋 ➡Ukimaliza usinawe kwa maji vaa chupi yako endelea na kazi zako mpaka jioni ukiwa unaoga ndio upasafishe ulale ukiwa fresh baada ya kuoga jioni usipake tena kitu chochote kile lala hivyohivyo. 🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋🍋 *Teacher* *🅱 professional love* *Mwenyezi Mungu anatibu* *Sisi ni sababu* _*Kwa wale wenye kuyahitaji mafuta ya Ndimu wawasiliane nami kwa simu zifuatazo*_ *0756229093* *0684225037*
...

Unapo mzungumzia MAMA unataja jinsia ya MWANAMKE... Mwanamke ni nguzo katika maisha ya kila kiumbe kiitwacho BIN ADAM! Sikatai wapo wanawake wachache wamejaribu kuimega heshima ya Mwanamke, lakini pamoja na hilo Mimi huwaita wanawake wa mwendo kasi, Maana nimjuavyo Mwanamke ni mtu ambaye ana Maono, Mipango, Uthubutu, kujiamini na mengine mengi tu na mwanamke wa aina hiyo huyo ndo MKE... Mizani ya Mwanamke huwezi kuilinganisha na mizani ya Mwanaume, Nafasi ya Mwanamke katika jamii ni kubwa sana japo imemezwa na mfumo dume, Nikijiuliza HIVI HUO MFUMO DUME KWANINI UENDELEE NA HUKU TUNAJUWA VILE MAMA ZETU WALIVYOISHI KWA TAABU KATIKA NDOA ZAO? Mwanaume yeyote ambaye anampenda mama yake na kukumbuka vile Mama huyo alipitia changamoto katika ndoa yake ili kumlinda yeye ikiwa anazo akili timamu YAMBIDI AMPENDE MKEWE NA KUMPA HESHIMA ili pendo hilo liwe kama ushuhuda wa malezi ya mama kwake, Mama aliyepitia magumu katika ndoa yake ombi lake la kwanza ni kuuona uzao wake ukiwa wenye furaha sasa wewe ukijiona kidume na ukafuata vijitabia vya baba yako na ukamtesa mkeo ujue HUPATI RADHI YA MAMA.
...

SIRI YA GIZANI NO 12 Kipindi Ibra na wazazi wake wameishiwa nguvu pale sebreni, hakuna ata mmoja alie weza kugundua kama kuzidiwa nguvu kule ni bibi Nasra alisababisha, na alifanya vile kusudi wasiweze kugundua kuwa kaburi la Nasra alionekani usiku. Mama nasra alilia sana siku hiyo kwasababu ule mguu ulimuuma sana, baba nasra alikuwa anasema, "vumilia mke wangu utapona mama Nasra" ibra akasema "baba hamka tukaangalie kaburi sasa" baba Nasra akasema nimechoka sana mwanangu tuta angalia kesho" kweli walilala pale mpaka saa 2 asubui, bibi Nasra alipo toka chumbani kwake akajifanya kama haelewi akasema, "vipi wanangu mbona kama mmelala hapa sebreni tatizo nini" wote wakajishangaa wakaamka na kuendelea na shughuri zingine. Ibra hakulizika kabisa na maisha ya pale nyumbani kwao akakaa na kuwaza kwamba "mhh hivi kwanini bibi anatufanyia hivi lakini, ata kama yeye ndiyo mzizi baba anavyo sema, lakini kwanini anatuloga, hatuishi kwa raha kama zamani tunateseka tu ngoja nimfate nimueleze, kama atanipiga sawa" ibra akaenda mpaka chumbani kwa bibi yake bila kugonga hodi, alivyo ingia tu masikini, akamkuta Nasra amepakwa dawa nyingi sana usoni na anasukwa nywere na bibi yake, bibi alikuwa bado hajamuona Ibra, ila kutokana na ibra kuona mambo kama yale alishindwa kuvumilia kabisaa, akapiga kelele, "bibiii unamsuka dada Nasra kwanini unafanya hivi lakini" bibi aligeuka kwa hasila jicho lekunduu, akasema "We ibra kwanini unaingia bila kugonga" Ibra akasema, "namtaka dada Nasra huyo hapo unamsuka" bibi nasra akasema naona umezidi kunifanyia ushenzi lazima nikukomeshe" Nasra hakuweza kuongea chochote yeye alikuwa kimya tu, ila ibra alishangaa tena kuona Nasra haonekani maana bibi yake alimficha kishirikina, Ibra hakukaa kimya akawafata wazazi wake kisha akawambia "baba na mama nataka kuwambia jambo" mama yake akasema, "twambie" kipindi Ibra ana achama mdomo anataka kusema alivyo muona Nasra, wazazi wake walishangaa, kuona ibra anashindwa kutoa sauti kabisa mdomoni mwake, ibra alijitahidi kuongea ila ikashindikana, kumbe tayari bibi yake alikuwa ameisha mfanya Ibra bubu, na asinge weza kuongea katika maisha yake yote, na bibi Nasra akapanga kumpofua macho Ibra ili asione na kusema chochote tena.... USIKOSE YA#13
...

SIRI YA GIZANI NO 11 Sasa Nasra alivyo vutwa kighafla na bibi yake kutoka chumbani, bibi yao alikasilika akasema, "hivi we Nasra kwanini hutulii, unataka nikudhoofishe mwili mzima usiweze kusimama au, sasa toka tena umo uone" Nasra alipo ambiwa vile alikuwa analia tu, maana yale mateso yalikuwa mazito sana, kwasababu alikuwa hatoki ndani na asingeweza kuonekana n'je kama zamani. Bibi Nasra alikuwa amenuna mpaka jicho likawa jekunduuu, akasema, "hivi unajua mwanangu akinigundua mimi ni mchawi nita aibika sana, sasa huyo kaka yako lazima na yeye nimkomeshe atakiona cha moto" Kumbe chumbani mwa ibra wazazi walikuwemo bado wanalia tu, maana kila walipo jitahidi kusahau kifo cha mtoto wao, Ibra alikuwa ana wakumbusha tu kwa matukio ya ajabu ajabu tu, mama Nasra akasema, "mme wangu hii ni mikosi gani jamani, nitazame mguu wangu ulivyo haribika, nusa harufu initokayo sehemu zangu za siri, haya sasa ebu kumbuka mtoto wangu Nasra alivyo fariki kimaajabu tu, hivi tutaishi kwa amani kweli jamani, alafu kila tukio linatokea usiku kuna siri gani za giza humu baba Nasra" Ibra akasema, "wazazi wangu mimi nateseka sana, maana kila ninapo lala tu dada nasra ananitokea ndotoni analia, na bibi ndiye amemficha dada Nasra yaani dada yangu hajafa mama" baba Nasra akasema, "weee husimtaje mama yangu katika hili nakuomba sana, alafu wewe mtoto umeisha kuwa muhuni sana, hivi hutambui kuwa yule bibi yako, ni kama mzazi wako, ata kama hajakuzaa lakini yeye ndiye mzizi bila yeye kunizaa mimi, tungekuzaa vipi sasa" mama Nasra akasema, "mme wangu tatizo lako humsikilizi mtoto unazalau maono yake mme wangu" Ibra akasema "wazazi wangu kama mnataka kuamini kuwa Nasra hajafa, twendeni kabulini kwake, mkiliona kaburi lake usiku mjue amekufa, na msipo liona muamini ninacho wambia hajafa, kipindi wanapanga kutoka nje kumbe bibi nasra alikuwa anawasikia tu, akapuliza dawa haraka sebureni! Sasa wakati wanafungua mlango wa sebreni kutoka nje, hakuna alie weza kufungua, maana baba alijikuta anachoka ghafla tu, Ibra alilala kabisa pale mlangoni na mama Nasra uvimbe wa mguu ulizidi maumivu ata kutembea alishindwa, kwa sababu ya dawa iliyo pulizwa na bibi Nasra . USIKOSE YA 12
...

👯MWALI JINSI YA KUKATA KIUNO KWA RAHA ZAKO MBOO IKIWA NDANI YA KUMA YAKO👌👌 👯👯👯 mwanamke👩👩:Unatakiwa kukata kiuno wakati wowote utakapojisikia kufanya hivyo au pale unapotaka kufika kileleni haraka. Namna ya ukataji wa kiuno huu ni tofauti na ule wa jukwaani pia ni tofauti na ule wa kumsaidia mwanaume amalize haraka (kwamba anapata utamu kiasi kwamba anahisi kutaka kufika mapema).... 😄👩👩👩 Mwanamke unatakiwa kukata kiuno kitakachokufanya uhisi kuwa unauzunguuka uume ukiwa ndani ya uke wako, kaza misuli yako ya tumbo kisha aanza kukizunguusha wakati yeye mwanaume anaendelea na nje-ndani kama kawaida...hilo moja. 👌👌 👌👌Pili, wakati mnaendelea kufanya mapenzi, mwanamke unatakiwa kutafuta kona nzuri ya uke wako na kuubana uume kona hiyo na kuanza kukizunguusha kiuno. Vilevile unaweza kuwasiliana na mumeo/mpenzi wako wakati tendo linaendelea mtegee mpenzi akifika mwisho wa uke....shikilia kiuno/ makalio yake fanya kama unamkandamiza chini zaidi....panua miguu alafu kata kiuno kwa. Kwa kufanya hivyo utasikia utamu kila kona ya uke wako kwani uume ukiwa fully ndani na yeye mwanaume katulia wewe unakuwa na nafasi ya kucheza na uume huko kwa kubadilisha ukataji wa kiuno chako nahivyo kona zako zote za uke kuguswa vile utakavyo wewe. Ukataji wa kiuno kwa ajili ya mwanaume: Hapa mwanamke unatakiwa kujua timing, sio akiingiza tu wee unaanza kukata kiuno...inaboaaaaa😁😁😁 alafu by the time unatakiwa kufanya hivyo utakuwa umejichokea.....🙆🙆 Pia inategemea na ufanyaji wa mwanaume husika kwani kuna wanaume wengine huwa hawatoi nafasi kwa mwanamke kukata kiuno kwani kuna mikunjo mingine kwakeli inakuwa ngumu sana kufanya chochote zaidi ya kutoa mihemo na sauti za raha kama sio discomfort! Ukataji wa kiuno ili kumpa mwanaume raha zaidi na hatimae utamu wa tendo unatakiwa kukatwa ktk mtindo wa kubana na kuachia na wakati unafanya hivyo kwa kutumia kiuno pia unatakiwa kushirikisha misuli yako ya uke. Ukataji wa kiuno huu sio rahisi kwa kila mko, ila kuna mikao inayokufanya uweze kukata kiuno hiki kwa urahisi zaidi. style kama pekecha pekecha hii mnakaa mfano wa dog style afu mwanaume anakua kasimamisha tu uume wake huku ametulia we mwali ndo unakata kiuno kuizunguka ile mboo yake taratibu huku unakaza misuli ya kuma yako hii aweza kulia kwa utamu,mikao mingine ni mwanaume/mke juu/chini (kifo cha mende), Kipepeo, vijiko, kisusio, mbuzi kagoma/miguu minne, kuogelea (mwanamke chini), Kumi na 7/4 na mkao wowote utakao buni ambao unakuwezesha wewe mwanamke kukata kiuno ktk mtindo huu. Natumaini maelezo yangu yamesaidia kuelewa tofauti ya ukataji wa kiuno. Kila lililojema!😄😄😄👯👯👯👯👯👯👯 🅱 proffesional💞❤
...

Hongereni wanawake kwa siku yenu. Tunawapenda Sana kwani ninyi ndio furaha yetu, amani yetu, utulivu wetu. Bila ninyi dunia hatujui ingekuwaje. Basi baada ya machache hayo nirejee kunako mada. Siku hizi kumekuwa na ongezeko kubwa la mamilioni ya wanawake wanaopenda Sana pesa kuliko kitu chochote. Jambo hili lilianza Kama mzaha lakini kwa sasa hakuna wakuuzima moto huu. Kupenda pesa sio vibaya Bali kuipenda Sana kiasi kwamba mtu yupo radhi auze utu wake na kuudharau kabisa uanamke wake. Kama hiyo haitoshi wanawake wengi wanaopenda pesa ndio huwa chanzo cha maangamizi katika familia. Zifuatazo ni sifa bainifu za wanawake wanaopenda Sana pesa;- 1. Huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima. Wanawake wengi wapendao pesa huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima, mambo ambayo hayagusi maisha moja kwa moja. Hata nilipokuwa chuo wanawake wengi waliokuwa wanapenda pesa Sana walikuwa na tamaa za kusikitisha ambazo zilipofusha fahamu zao. Unakuta mwanamke anaomba laki tano kwaajili tuu ya kununua Simu nyingine kubwa wakati akiwa bado na simu mpya. Katika maisha ni bora uingie jehanam kuliko kukutana na mwanamke mpenda pesa kwani utateseka Sana kwa ajili yake na bado hata ona msaada wako. Sio rahisi kujenga familia bora na mwanamke mpenda pesa. 2. Wengi hutoka familia masikini. Wanawake wengi Kama sio wote ambao hupenda pesa kuliko utu wao hutoka familia kame Sana. Ukame wa kiuchumi mpaka kiakili. Wengi wao huweza kutoa hata rushwa ya ngono ili tuu wapate pesa wasijue miili yao inathamani zaidi ya zile karatasi. Hata humu jukwaani wapo wengi Sana na comments zao zinajulikana. Wengi huweka matamanio yao hapa jamvini matamanio waliyoyakosa. Mtu ni masikini unandoto za kuwa na mwanaume mwenye pesa nani alikuambia wenye pesa wanataka masikini. Umasikini wako usikufanye ujidharau au mtu akudharau. Ndio maana wanawake pamoja na mchango wenu katika dunia hii lakini bado mpaka wanyama hawawaheshimu. Lipo kundi dogo la wanawake wanaojitahidi kutetea thamani ya jinsia yao lakini wengi wao ni wakuonewa huruma tuu. 3. Wengi wao hawana elimu ya kutosha. Mwanamke aliesoma akaelimika hawezi hangaika na pesa ya mtu. Ndio maana wanawake wachache huhangaika kwajili ya kujitegemea na sio kumtegemea mwanaume. Wanawake wengi wenye elimu na vipato vizuri huwezi msikie akiongelea pesa Kama kigezo muhimu kwa mwanaume anayemuhitaji awe mume wake. Wengi wa wanawake humu jamvini ambao hujipa matumaini na comments zao za kujiliwaza iwe wanakazi zenye mishahara duni au elimu ndogo sambamba la kutelekezwa na wanaume kwa ukame wao wa akili. 4. Ni wavivu na wasio na mawazo. Wanawake wote wanaopenda pesa ni wavivu kupita kiasi. Uvivu wao umeanzia akilini kiasi kwamba hawana mawazo ya maendelo. Utakuta mwanamke anawaza mambo mepesi kabisa Kama urembo, nguo, mtoko, n.k. Wanawake wapenda pesa ni hatari kwa ustawi wa familia. Huwezi kuwa na familia kubwa ukiingia katika bahari ya viumbe hawa. 5. Hawana shukrani wala uvumilivu. Wanawake wapenda pesa huwezi msikia akikushukuru zaidi ya kujichekesha tuu na kubinua makalio. Kwa mfano amekuomba milioni moja then ukampa laki tano basi utamsikia akisema sasa hii nitafanyia nini, au niongezee tena mume wangu huku akikushika kifua au ndevu. Wanawake wenye hekima hushukuru mpaka mwanaume anasikia aibu. Suala la uvumilivu halipo kwa hawa viumbe. Shida ikitokea ukishindwa kuitatua kwa wakati huo basi hesabu umeliwa. Yaani kwao kukusaliti ni jambo lisilo na mashaka. Babu aliwahi kunambia; Usimpe mwanamke pesa yote aombayo. Wenye wake mmenielewa. 3 days ago  Ili mwanaume aweze kufanya tendo la ndoa na andelee kufanya tendo la ndoa, ni lazima uume wake upitie hatua kuu mbili kama ifuatavyo : Hatua ya kwanza, ni lazima uume wake uweze kusimama barabara na kuwa mgumu kama msumari. Na hatua ya pili ni lazima, uume wake uendelee kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa. Hatua zote mbili zinapo kamilika, ndipo tunapo pata kitu kinaitwa STRONGER AND LONGER ERECTION JINSI HATUA ZA KUSIMAMA KWA UUME ZINAVYO TOKEA. 1. HATUA YA KWANZA: DAMU KUTIRIRIKA KWA KASI KUINGIA NDANI YA MISHIPA YA UUME NA KUUFANYA UUME KUSIMAMA NA KUWA MGUMU. Unapopata wazo la kufanya tendo la ndoa, mishipa ya fahamu iliyopo kwenye ubongo, hupeleka ishara kwenye mishipa ya uti wa mgongo, ambayo nayo hupeleka taarifa hadi kwenye mishipa ya uume. Taarifa inapofika kwenye mishipa ya uume huifanya mishipa hiyo ku-relax na hatimaye kufanya mishipa ya ateri kufunguka na kutanuka. Mishipa ya ateri inapo tanuka na kufunguka, huruhusu damu kuingia kwa kasi ndani ya mishipa ya uume na hivyo kuufanya huume kusimama. Ni muhimu kujua kuwa, mishipa ya uume inapo relax hupelekea kuisukuma na hatimaye kuiziba mishipa ya vena iliyo karibu na mishipa ya uume na hivyo kuiondolea uwezo wa kunyonya damu iliyomo ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka sehemu nyingine za mwili. N.B: Kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kunyonya damu iliyomo ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka katika sehemu nyingine za mwili. Au kwa lugha nyingine unaweza kusema, kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya uume. 2. HATUA YA PILI : DAMU KUENDELEA KUHIFADHIWA KATIKA UUME WAKATI UUME UKIWA UMESIMAMA NA HIVYO KUUFANYA UUME UENDELEE KUDUMU KATIKA TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU. Uume ulio simama, ili uendelee kusimama, ni lazima mishipa ya vena isiwe na uwezo wa kunyonya damu kutoka katika mishipa ya uume na kuipeleka katika sehemu nyinginezo za mwili. . Mishipa ya Vena ndio inayo husika na kunyonya damu kutoka kwenye mishipa ya uume na kupeleka sehemu nyingine za mwili. Ili uume uendelee kusimama lazima mishipa hii ya vena iwe imezibwa. Ili iweze kuzibwa ni lazima misuli laini ya kwenye uume iwe - ime relax na hivyo kuifanya mishipa ya vena kushindwa ku nyonya damu kutoka kwenye uume. Endapo mishipa ya vena itazibuka , basi itanyonya na kutoa damu yote kutoka kwenye mishipa ya uume uliosimama na kuipeleka sehemu nyinginezo za mwili na hatimaye uume huo ulio simama na utasinyaa mara moja. JINSI UUME UNAVYO SIMAMA NA KUSISIMKA. Tumeisha zifahamu hatua mbili muhimu katika kusimama kwa uume Jinsi Uume unavyo simama: Katika uume kuna chemba yenye mishipa laini sana, ambayo ndio huufanya uume kusimama. Mishipa hii ipo kama sponji hivyo huweza kunyauka na kutanuka. Damu inapoingia ndani ya mishipa hii huufanya uume kusimama na kuwa mgumu kama msumari. Damu inapoendelea kuhifadhiwa ndani ya mishipa hii wakati wa tendo la ndoa, huufanya uume uendelee kusimama. Mwanaume unapo patwa na wazo la kufanya tendo la ndoa, mishipa ya fahamu iliyo kwenye ubongo hupeleka ishara kwenye uti wa mgongo, ambao nao hufikisha taarifa kwenye mishipa ya uume. Taarifa ikisha fika kwenye mishipa ya uume, huifanya mishipa ya uume ku-relax na mishipa ya uume inapo relax, hufanya mambo makuu mawili; i. Kwanza hufanya mishipa ya ateri kufunguka na hivyo damu kutiririka kwa kasi sana kuingia kwenye mishipa ya uume ( Mishipa ya ateri ndio inayo tumika kama njia ya kuingiza damu kwenye uume. Bila mishipa ya ateri imara na yenye afya, damu haiwezi kuingia kwenye mishipa ya uume, na damu isipoweza kuingia kwenye mishipa ya uume, basi uume hauwezi kusimama ) ii. Pili huibana mishipa ya vena na hivyo kuizuia kunyonya damu kutoka kwenye uume na kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. Matokeo yake kuufanya uume uendelee kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa. Kumbuka ,kazi kubwa ya mishipa ya neva iliyo karibu na mishipa ya uume, ni kunyonya damu kutoka ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. Kwa lugha nyingine, kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya uume ulio simama. Kadri damu inavyo zidi kuingia ndani ya mishipa ya uume, ndivyo uume unavyo zidi kuwa mgumu na kukakamaa. Na kadri damu inavyo hifadhiwa ndani ya mishipa ya uume, ndivyo uume unavyo endelea kusimama wakati wa tendo la ndoa kwa muda mrefu. Baada ya kumaliza kufanya tendo la ndoa,mishipa ya uume inarudi katika hali yake ya kawaida (inanyauka ), ikisha nyauka, mishipa ya ateri inanyauka pia, vena zinafunguka na kunyonya damu katika mishipa ya uume na kuirejesha katika sehemu nyinginezo za mwili na hatimaye uume kurudi katika hali ya kawaida ( Flaccid ). Hali hii itaendelea kujirudia kwa kadri utakavyo kuwa ukiendelea kufanya tendo la ndoa. Mambo Muhimu Katika Kuufanya Uume Usimame na Kuendelea kudumu katika kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa. Ili uume uweze kusimama imara kama msumari na uendelee kusimama imara na kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa, ni lazima mambo yafuatayo yawepo. 1. Mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema. 2. Mfumo mzuri wa damu katika mwili mzima. 3. Mtiririko imara wa damu kuingia na kutoka ndani ya mishipa ya uume. 4. Ushirikiano wenye afya kati ya mishipa ya fahamu ya kwenye ubongo (nerves), mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na mishipa ya kwenye uume. Ili mwanaume aweze kuwa imara katika tendo la ndoa, ni lazima mambo manne niliyo yataja hapo juu yawe sawa sawa bila hitilafu yoyote. Kinyume chake, mwanaume hawezi kuwa na nguvu za kiume.
...

DAWA MBADALA YA VIDONDA VYA TUMBO Hapo kabla tumejifunza mengi kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo. Tuliona maana ya vidonda vya tumbo, dalili za vidonda vya tumbo na tuliongelea kwa kirefu ni vitu gani husababisha vidonda vya tumbo mwilini. Leo tutaangalia dawa mbadala 8 zinazotibu au kuzuia kabisa vidonda vya tumbo. Tafadhali wasiliana na daktari au mganga wako kabla ya kuanza kuzitumia hizi dawa ili akupe muongozo na maelezo mengine mhimu kulingana na hali na historia ya ugonjwa wako wa vidonda vya tumbo. Katika kutibu vidonda vya tumbo, mara nyingi ni lazima kupunguza uzalishaji wa asidi tumboni au mwilini kwa ujumla. Matibabu ya vidonda vya tumbo hujumuisha lishe na kubadilisha mitindo ya maisha na kutumia dawa maalumu. Ikiwa matatizo kama kuvuja damu au vitobo sehemu ya kidonda yatatokea, basi hapo upasuaji huwa ni muhimu. Vidonda vya tumbo kwa ujumla hupona ndani ya wiki 4 mpaka 6 za matibabu kutegemea na hali ya ugonjwa ilipofikia. Mtu mwenye vidonda vya tumbo ni mtu mwenye asidi nyingi mwilini kuliko alkalini, hivyo anatakiwa kupendelea zaidi kula matunda na mboga za majani. Anahitaji zaidi ukijani mwilini mwake. Pia apendelee kula ugali wa dona kuliko ugali wa sembe na inashauriwa pia kupunguza kula wali. Kitu kingine mhimu kuliko vyote kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo ni maji. Hakikisha unakunywa kila siku maji glasi 8 hadi 10. Kunywa maji glasi 3 asubuhi, glasi 4 mchana na glasi 3 tena jioni. Dawa mbadala zinazotibu vidonda vya tumbo Kitu kimoja kitakachokushangaza hapa ni kuwa mojawapo ya hizi dawa unazo tayari hapo hapo nyumbani!. 1. KABEJI Kabeji ni moja ya dawa bora za asili zinazoweza kutibu vodonda vya tumbo. Kabeji inayo ‘lactic acid’ na husaidia kutengeneza amino asidi ambayo huhamasisha utiririkaji wa damu kwenda kwenye kuta za tumbo jambo linalosaidia kuuongezea nguvu ukuta wa tumbo na hatimaye kutibu vidonda vya tumbo. Kabeji pia ina kiasi kingi cha vitamini C ambayo imethibitika kuwa na faida kubwa kwa watu wenye vidonda vya tumbo vilivyosababishwa na maambukizi ya bakteria aitwaye ‘H. pylori. Pia majaribio yamethibitisha kuwa juisi ya karoti freshi inayo vitamini U mhimu kwa ajili ya kudhibiti vidonda vya tumbo. . Kata kabeji nzima mara mbili na uchukuwe nusu yake, chukuwa karoti mbili na ukatekate vipande vidogo vidogo na utumbukize vyote kabeji na karoti kwenye blenda na uvisage ili kupata juisi yake. . Kunywa kikombe kimoja cha juisi hii kila nusu saa kabla ya chakula cha asubuhi, mchana na jioni na kikombe kimoja kabla hujaingia kulala. Rudia zoezi hili kila siku kwa wiki kadhaa na hakikisha unatumia juisi freshi pekee na siyo ukanunue juisi ya kabeji au karoti ya dukani. 2. NDIZI Ndizi zilizoiva na hata ambazo hazijaiva zote ni nzuri kwa ajili ya kudhibiti vidonda vya tumbo. Kuna aina maalumu ya muunganiko wa vimeng’enya vilivyomo kwenye ndizi ambavyo huzuia kuongezeka au kuzaliana kwa bakteria wa vidonda vya tumbo ‘H. Pylori’. Ndizi pia huulinda mfumo wa kuta za tumbo kwa kuiondoa asidi iliyozidi tumboni na hivyo kusaidia kuuondoa uvimbe au vidonda tumboni na pia kuuongezea nguvu ukuta wa tumbo. • Ili kutibu vidonda vya tumbo, kula walau ndizi zilizoiva 3 kwa siku. • Au menya ndizi 2 au 3 na uzikate katika vipande vidogo vyembamba (slices) na uanike juani mpaka zikauke kabisa. Kisha saga vipande hivyo ili kupata unga na uchanganye vijiko vikubwa viwili vya unga huu na kijiko kikubwa kimoja cha asali na ulambe mchanganyiko huu mara 3 kwa siku kwa wiki 2 hivi. 3. NAZI Nazi ni nzuri sana katika kutibu vidonda vya tumbo sababu ya sifa yake na uwezo wa kuua bakteria. Nazi huziua bakteria zinazosababisha vidonda vya tumbo. Pia tui la nazi na maji ya nazi (dafu) vyote vina sifa na uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo. • Kunywa vikombe kadhaa vya tui freshi la nazi au maji ya nazi kila siku. Pia unaweza kuitafuana nazi yenyewe mara kwa mara. Fuatisha mlolongo huu walau kwa wiki 2 ili kupata matokeo chanya. • Au kunywa kijiko kikubwa kimoja cha mafuta ya asili ya nazi asubuhi kabisa na kingine usiku kwa wiki 2 hivi. 4. UWATU Uwatu unajulikana sana kwa uwezo wake wa kutibu maradhi mengi mwilini. Unaweza pia kuutumia katika kutibu vidonda vya tumbo. Kwakuwa uwatu inayo gundi maalumu au ulimbo ambayo huulinda ukuta wa tumbo kwa kuufunga au kuufunika kama utando na hivyo kurahisisha hatua za kutibu vidonda vya tumbo. • Chemsha mbegu za uwatu kijiko kidogo cha chai ndani ya vikombe viwili vya maji, chuja na uongeze asali kidogo na unywe kwa pamoja kutwa mara 2 kwa wiki 2 au zaidi. • Unaweza pia kutumia kijiko kidogo kimoja cha chai cha unga wa mbegu za uwatu ukichanganya kwenye kikombe cha maziwa ya moto. Ingawa maziwa hayashauriwi sana kutumika kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo, hivyo unaweza kutumia maji ya uvuguvugu badala ya maziwa kama vidonda vyako vimeshakuwa sugu sana au ikiwa unahitaji upate nafuu ya haraka na hatimaye kupona. • Au unaweza kuchemsha kikombe kimoja cha majani freshi ya uwatu, ongeza asali kidogo na unywe mara 2 kwa siku kwa wiki 2 au zaidi. 5. ASALI Asali mbichi, ile nzuri kabisa ambayo haijachakachuliwa inao uwezo mkubwa katika kutibu vidonda vya tumbo. Kama ujuavyo asali ni dawa karibu kwa kila ugonjwa. Kuna kimeng’enya kilichomo kwenye asali kijulikanacho kama ‘glucose oxidase’ ambacho huizalisha ‘hydrogen peroxide’ ambayo yenyewe inayo uwezo wa kuuwa bakteria wabaya mwilini ambao husababisha vidonda vya tumbo. Pia hii ‘glucose oxidase’ huulainisha ukuta wa tumbo na kupunguza muwako au vidonda tumboni. Lamba vijiko vikubwa viwili kila siku asubuhi mapema tumbo likiwa tupu. Itasaidia kusafisha tumbo, itaimarisha ukuta wa tumbo na kuzuia na kutibu vidonda vya tumbo. 6. KITUNGUU SWAUMU Kitunguu swaumu pia husaidia kutibu vidonda vya tumbo. Watafiti katika kituo cha utafiti wa kansa cha 'Fred Hutchinson Cancer Research Center' waligundua kuwa uwezo ambao kitunguu swaumu unacho katika kudhibiti na kuua bakteria mbalimbali mwilini unaweza kudhiti pia bakteria anayesababisha vidonda vya tumbo ajulikanaye kama Helicobacter Pylori (H. pylori). Chukuwa punje 6 hadi 10 za kitunguu swaumu, menya na ukate vipande vidogo vidogo kisha umeze pamoja na maji vikombe viwili kutwa mara 2 kwa wiki 2 au 3. 7. MKAA WA KIFUU CHA NAZI Mkaa pia hutibu vidonda vya tumbo hasa mkaa utokanao na vifuu vya nazi. Chukua vifuu vya nazi vitano au kumi vilivyokauka, viweke juu ya jiko la mkaa (hakikisha umemwaga majivu yote kabisa ili ukishachoma ubakie na majivu ya kifuu cha nazi tu) na uvichome moto. Mwishoni chukua mkaa wake usage kupata unga, kisha chota kijiko kikubwa kimoja na uweke ndani ya kikombe kimoja cha maji, changanya vizuri na unywe kutwa mara 3 kwa wiki 2 au 3. 8. Unga wa majani ya mlonge Mlonge ni mti mhimu sana katika utabibu kama tiba mbadala, majani, maua, mbegu na mizizi yake hutumika sana katika kutibu magonjwa mbalimbali. Mlonge una kiasi kingi cha vitamin C, Madini ya chuma, protini, Vitamini A na potasiamu. Ongeza kijiko kimoja cha chakula kwenye bakuli ya mboga kila unapokula chakula cha mchana na jioni. Unaweza pia kuunywa unga huu wa majani ya mlonge pamoja na juisi, au unaweza kuuchanganya kwenye chakula kama vile wali na hivyo ukajiongezea kinga zako dhidi ya vidonda vya tumbo. Ili kuongeza kasi ya uondowaji au upunguzaji wa asidi iliyozidi mwilini wakati unaendelea kutumia dawa pia nakushauri ufanye mazoezi yafuatayo; MAZOEZI MAALUMU KWA ANAYESUMBULIWA NA MIGUU KUWAKA MOTO AU ASIDI KUZIDI MWILINI Unalala chali, nyoosha mikono chini. Kisha nyanyua mguu mmoja juu unyooke, shusha chini mguu na unyanyuwe wa pili hivyo hivyo juu kisha chini. Endelea hivyo hivyo kwa mara kumi kumi kwa round 5. Zoezi lichukuwe dk 10 Kisha simama, chuchumaa simama, chuchumaa simama, hivyo hivyo mara 15 kwa round 5 Pia unasimama wima, nyoosha mikono yote juu na uishushe mabegani. Hivyo hivyo mikono juu mikono mabegani mara 15 kwa round 5 Mwisho jipigie saluti mwenyewe ukianzia mkono wa kulia mara 15 hamia mkono wa kushoto mara 15 tena kwa round 5 Fanya hivi mara 4 mpaka 5 kwa wiki. Kama una swali linalohusiana na somo hili liulize hapo chini sasa hivi. Pia usiache kunijulisha hali yako inaendeleaje kadri siku zinavyoend
...

VIDONDA VYA TUMBO Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea iwapo kidonda cha ukubwa wa angalau wa nusu sentimita kitatokea kwenye sehemu yeyote ya ukuta wa tumbo au utumbo wa binadamu. Kwa kawaida tatizo hili huleta maumivu makali sana ya tumbo ingawa si lazima kila maumivu ayapatayo mgonjwa husababishwa na vidonda vya tumbo. Tafiti zimeonesha kwamba karibu asilimia 70 mpaka 90 ya vidonda vya tumbo husababishwa na aina ya vimelea vya bakteria wajulikanao kama . Aidha matumizi ya baadhi ya dawa za kutuliza maumivu za jamii ya kama au huweza kusababisha au kuongeza uwezekano wa kupata ugonjwa huu. Kuna dhana iliyozoeleka kuwa vidonda vya tumbo huathiri zaidi mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo ( ). Dhana hii si kweli kwani sehemu inayoadhiriwa zaidi na tatizo hili ni sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo ijulikanayo kama Makundi ya PUD Kuna makundi makuu yafuatayo ya ugonjwa huu 1. Vidonda vinavyotokea kwenye mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo 2. Vidonda vinavyotokea kwenye sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo 3. Vidonda vinavyotokea kwenye koo 4. Vidonda vijulikanavyo kama Visababishi vya PUD Vidonda vya tumbo husababishwa na Maambukizi ya bakteria aina ya Imeonekana kuwa zaidi ya asilimia 50 ya watu duniani wana vimelea hivi katika utumbo. Aidha, miongoni mwao, karibu asilimia 80 huwa hawaoneshi dalili yeyote ya kuugua ugonjwa wa vidonda vya tumbo. Aina hii ya vimelea vya bacteria husababisha karibu asilimia 60 ya vidonda vinavyotokea kwenye tumbo ( ) na zaidi ya asilimia 90 ya Hali hii husababishwa zaidi na kushindwa kwa mfumo wa kinga mwilini kuwaua na kuwaondoa kabisa vimelea hawa ndani ya mwili. Matokeo ya kushindwa huku husababisha kuwepo kwa uambukizi wa kudumu katika kuta za tumbo ( ), uambukizi ambao huharibu mfumo na uwezo wa kuta za tumbo kutunza homoni ya ambayo ni muhimu katika kuhakikisha mazingira ya tumbo yanakuwa na kiwango salama cha tindikali. Kwa kawaida, kazi ya ni kuchochea utolewaji wa tindikali ( ) kutoka kwenye seli za ukuta wa tumbo zijulikanazo kama Iwapo bacteria hawa watashambulia na kuharibu ukuta wa tumbo, mfumo wa pia uharibika, na hivyo kusababisha kuzalishwa kwa wingi hali ambayo pia huchochea uzalishaji wa kwa wingi. Matokeo ya kuzalishwa kwa wingi kwa tindikali hii hupelekea kuchubuka kwa ukuta wa tumbo na hivyo kusababisha vidonda vya tumbo. Matumizi ya muda mrefu ya dawa za kuondoa maumivu za kundi la NSAIDs: Ukuta wa utumbo hujilinda na madhara yatokanayo na tindikali ya utumbo ( ) kwa kuwa na utando laini ( ) ambao hutolewa na vichocheo vijulikavyo kama Dawa hizi za kundi la huharibu mfumo wa kutengeza vichocheo hivi yaani na hivyo kufanya kuta za tumbo kukosa utando wa kuzilinda na mashambulizi ya tindikali hali ambayo hupelekea kutokea kwa vidonda vya tumbo. Uvutaji wa sigara: Uvutaji sigara sambamba na maambukizi ya bakteria aina ya huongeza madhara ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo. Ifahamike tu kuwa uvutaji sigara pekee hausababishi vidonda vya tumbo. Vyakula au viungo vya chakula vyenye uchachu: Kinyume na dhana iliyozoeleka miongoni mwa watu wengi, baadhi ya vyakula vyenye uchachu na upilipili kama vile pilipili, ndimu, limao na masala havina uhusiano na uwezekano wa kupata vidonda vya tumbo. Watu walio katika kundi la damu la O: Imeonekana pia kwamba kundi la damu lijulikanalo kama , halina uhusiano wa kusababisha vidonda vya tumbo. Unywaji wa pombe: Unywaji wa pombe pekee hausababishi vidonda vya tumbo. Hata hivyo, unywaji wa pombe sambamba na maambukizi ya vimelea vya huongeza madhara ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo. Vitu vingine: Vitu vinavyohusishwa na uongezaji wa madhara ya vidonda vya tumbo ni pamoja na upasuaji wa tumbo ), kuungua kwa moto ( ), ugonjwa wa figo; na kubadilishwa kwa viungo vya mwili kama figo au ini. Dalili au viashiria vya PUD Maumivu makali au kiungulia maeneo ya chembe moyo ( ): Maumivu juu kidogo ya tumbo mara nyingi huendana na muda wa kula chakula. Mtu mwenye vidonda kwenye tumbo ( ) hupata maumivu makali sana kipindi anapokula au mara tu baada ya kumaliza kula wakati aliye na vidonda kwenye sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo ( ) hupata maumivu makali anapokuwa na njaa na hupata nafuu pindi anapokula. Kuvimbiwa au tumbo kujaa gesi. Hali hii pia yaweza kuendana na kubeua au kujamba mara kwa mara. Kucheua na kuongezeka kwa mate yanayoshuka tumboni baada ya kucheua. Kichefuchefu na kutapika Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito Kutapika damu Kupata haja kubwa cha rangi nyeusi au kahawia chenye harufu mbaya sana. Hii humaanisha mgonjwa anapata haja kubwa au choo kilichochanganyika na damu kwa mbali Uwepo wa dalili kama kiungulia cha muda mrefu, kucheua na kutapika baada ya kula na historia ya kutumia dawa za kupunguza maumivu ( kwa muda muda mrefu bila kufuata ushauri wa daktari ni ishara tosha ya kumfanya mgonjwa kumuona daktari kumpima na kumfanyia uchunguzi ili kujiridhisha kuwa hana tatizo la vidonda vya tumbo. Vipimo vya kutambua Ugonjwa wa vidonda vya tumbo Vipimo vinavyotumika katika kutambua tatizo la vidonda vya tumbo ni pamoja na 1. Vipimo vya kuangalia ndani ya utumbo ambavyo ni pamoja na Kipimo cha au au . Kwa kutumia kipimo hiki, daktari huangalia moja kwa moja ndani ya utumbo wa mgonjwa kuona sehemu iliyo na vidonda pamoja na ukubwa wa tatizo lake. Aidha vipimo hivi humuwezesha daktari kuchukua sehemu ya utumbo iliyoathiriwa kwa ajili ya kuchunguza zaidi maabara ili kutambua uwepo wa vidonda au tatizo jingine linalomsumbua mgonjwa tofauti na vidonda vya tumbo. Kipimo kingine kijulikanacho kama kina uwezo pia wa kuthibitisha uwepo wa ugonjwa wa vidonda vya tumbo. 2. Vipimo vya kutambua uwepo wa uambukizi wa bakteria aina ya kama Kipimo kiitwacho Kipimo cha kuotesha kinyama kilichochukuliwa kutoka katika kipimo cha ( Kipimo kinachoitwa ambacho hufanywa kwa kutumia kinyama kilichochukuliwa kutoka kwenye utumbo wakati wa kufanya . Kipimo hiki huangalia tabia ya vimelea hawa wa Kipimo cha damu kwa ajili ya kutambua kiwango cha maambukizi ya vimelea wa ). Kipimo cha haja kubwa kwa ajili ya kutambua kama bacteria wapo hai au wamekufa ( ). Kipimo hiki ni cha uhakika zaidi na nafuu kuliko kipimo cha Kipimo cha kimaabara cha kuchunguza kinyama kilichochukuliwa wakati wa kipimo cha 3. Vipimo vingine maalum vya kitaalamu zaidi kama Kiwango cha homoni ya katika damu Kipimo cha kuangalia uzalishaji wa homoni ya ambayo uhusika katika uchocheaji wa homoni ya Kupima kiwango cha tindikali inayozalishwa katika tumbo. Hata hivyo vipimo hivi ni vya gharama zaidi na ni aghalabu hutumika mara kwa mara. Matibabu ya Ugonjwa wa vidonda vya tumbo Habari nzuri ni kuwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo unatibika. Hata hivyo tabia ya baadhi ya wagonjwa wengi kuacha kumalizia dawa au kutumia dawa chini ya kiwango tofauti na walivyoshauriwa na madaktari husababisha kujirudia kwa tatizo au kufanya tatizo kuwa sugu zaidi. Iwapo itagundulika uwepo wa tiba inayotumika ni kuchanganya dawa za antibayotic ( ) za aina tofauti kama au na dawa zenye uwezo wa kupunguza uzalishaji wa tindikali kwa wingi au kwa kitaalamu Wakati mwingine daktari anaweza pia kuongeza dawa ya . 1. Kwa wagonjwa sugu, dawa za antibioc za aina tatu tofauti zinaweza kutumika. Dawa hizi ni pamoja na ambazo hutumika sambamba na dawa yeyote moja kutoka kundi la kama vile au pamoja na . 2. Kwa mgonjwa wa kawaida ambaye si sugu tiba bora inayoshauriwa ni kuchanganya dawa za antibiotic za aina mbili kama sambamba na dawa yeyote moja ya jamii ya kama 3. Iwapo hakuna ushahidi wa kuwepo kwa uambukizi wa bacteria, dawa yeyote moja ya jamii ya yaweza kutumika kwa muda mrefu zaidi bila kuchanganya na antibiotic yeyote. Kwa kawaida kitendo cha kutibu na kuwaondoa humaliza na kuponyesha kabisa vidonda vya tumbo. Hata hivyo, inawezekana kabisa ugonjwa huu kujirudia tena, hali ambayo hulazimisha kurudiwa tena kwa matibabu kwa kutumia aina nyingine ya antibiotics. Aidha msomaji, inashauriwa si vyema kwa mgonjwa kujitibu mwenyewe bila kufuata ushauri wa daktari ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea iwapo dawa hazitatumiwa inavyopaswa. Ni kweli Maziwa ya ng’ombe yanaponyesha vidonda vya tumbo? Kinyume na dhana iliyozoeleka ndani ya jamii, maziwa ya ng'ombe hayaponyeshi vidonda vya tumbo, bali huongeza madhara yatokanayo na ugonjwa huu. Hii ni kwa sababu, maziwa huwa na tabia ya kutengeneza aina fulani ya kinga au ukuta ( ) kwa vimelea vya ambayo huvikinga vimelea hivi dhidi ya mashambulizi ya dawa na hivyo kufanya dawa kushindwa kuwaua na kuwaondoa kabisa vimelea hivi. Kinachotokea ni kuwa, maziwa huondoa tu kwa muda maumivu ya tumbo kwa kupunguza makali ya tindikali iliyopo tumboni. Pindi maziwa haya yanapoisha, maumivu hurejea tena na kuwa makali kama hapo awali. Matibabu ya vidonda vya tumbo kwa njia ya upasuaji Zipo aina nyingi ya upasuaji unaofanywa ili kutibu ugonjwa huu. Kuvuja damu ndani ya mwili kupitia vidonda vya tumbo ni sababu mojawapo ya kufanyiwa upasuaji kwa vile ni hatari sana hata kupelekea kifo iwapo mgonjwa hatapata tiba haraka. 1. ni njia inayotumika kutibu uvujaji wa damu unaotokana na vidonda vya tumbo. Aina hii ya tiba hutegemea sana aina na sehemu vilipo vidonda vya tumbo. Tiba hii yaweza kufanyika kwa kuchoma sehemu inayovuja damu ndani ya tumbo au utumbo kwa lengo la kusitisha uvujaji wa damu ( ) au kwa kuvifunga vidonda kwa kutumia vifaa maalum ( ). Aidha tiba hii ni nzuri na haina madhara yeyote yale. 2. Madaktari wengi hupendelea upasuaji ujulikanao kitaalamu kama sambamba na tiba ya kuondoa bakteria. Aidha, mgonjwa pia hushauriwa kuacha matumizi ya dawa za kwa ajili ya kuondoa uwezekano wa damu kuendelea kutoka kwa vile kama ilivyoonekana hapo awali, matumizi ya dawa hizi huweza kusababisha uvujaji wa ndani kwa ndani ya mwili. 3. Wagonjwa sugu, hufanyiwa baadhi ya upasuaji ambao huitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuondoa neva na mishipa ya fahamu yenye kuhusika na uzalishaji wa tindikali katika tumbo. Madhara ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo 1. Uvujaji wa damu ndani ya utumbo: Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja. Hali hii ni hatari sana na inahitaji tiba ya dharura. 2. Vidonda vya tumbo huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo ( ) Hali hii huitwa na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura. Aidha, kuenea huko kunaweza pia kuathiri tezi kongosho na kusababisha madhara katika tezi hiyo, ugonjwa unaojulikana kama . 3. Vidonda vya tumbo vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani kama vile ini au kongosho ( ) 4. Kuvimba kwa kuta za tumbo pamoja na makovu yasababishwayo na vidonda hivi huweza kusababisha kuziba kwa njia ya kupitishia chakula kutoka kwenye tumbo ( ) kwenda sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo ( ) hali ambayo kitaalamu huitwa 5. Iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na , kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo ( PEPTIC ULCERS Ulcers of the stomach (gastric ulcers) and the duodenum (the first part of the intestines after the stomach) are together known as peptic ulcers. Symptoms Although most peptic ulcers are quite small, they can be incredibly painful. This pain tends to be: A constant gnawing or burning pain. Located in the upper, central abdomen (but may penetrate into the back). Worse at night or in the early morning. Worse if you miss a meal. Relieved by food or 'white medicine' such as antacids or milk. Other symptoms include: Tiredness. Nausea and vomiting. Indigestion or heartburn, vomiting blood or passing blood in the stools (this may be the only sign of an ulcer). Anaemia, caused by blood loss, resulting in paleness and shortness of breath. However, some people have no symptoms at all. If left untreated, peptic ulcers may cause rapid internal bleeding, which can be very dangerous, or a perforation or obstruction in the intestines. Causes and risk factors Peptic ulcers occur when the membrane lining the digestive system breaks down or erodes. This membrane normally stands up to some fairly tough challenges, containing and churning up food particles while resisting the effects of the stomach's powerful digestive juices. The discovery that the bacteria is the main cause of these ulcers has been one of the great success stories of modern medicine. Several mechanisms protect the digestive membrane, but under certain conditions these fail, allowing acid and digestive enzymes to cause damage. These conditions include: Infection with - many people carry this bacteria, and while not everyone with develops an ulcer, almost everyone with an ulcer has . Non-steroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs) - these include aspirin, ibuprofen and many painkillers used for conditions such as arthritis. Ulcers and haemorrhage are a common problem with these drugs. Smoking. Excessive amounts of alcohol. Other factors that increase the risk of an ulcer include a family history of ulcers and being blood group O. It used to be thought that high levels of stress could cause ulcers, but many doctors now think emotional stress simply accentuates the pain of an existing ulcer and may interfere with healing. Events that put mmense physical stress on the body, such as severe burns, major surgery or a major trauma, do seem to be linked to peptic ulcers. Tests to confirm the diagnosis of an ulcer include: Gastroscopy - a thin tube or endoscope is passed into the stomach to look at the digestive membrane. Barium studies - a substance called barium is swallowed and then highlights ulcers on an x-ray. Tests will also look for the presence of . These may involve a blood test, breath test or biopsy of the digestive membrane. Treatment and recovery If is detected, The main treatment is eradication therapy. This usually means taking a combination of two antibiotics and a drug that suppresses stomach acid production for a week. It's commonly known as 'triple therapy'. It's also important to cut down on factors that can aggravate an ulcer, such as smoking, and stop taking any NSAIDs. Although medical treatments usually cure the ulcer, an operation is still required in some cases. This may involve cutting the main nerve that controls acid production in the stomach (the vagus nerve) or removing part of the stomach itself. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi. Version: Mobile Web Helicobacter pylori Non Steroid Anti-inflamatory Drugs Aspirin Diclofenac stomach duodenum. (Gastric ulcers) (Duodenal Ulcers) (Oesophageal ulcers) Merckel’s Diverticulum ulcer
...

FANGASI SEHEM ZA SIRI. (Vaginal candidiasis) Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za SIRI. Share na like page hii. Nimekuwa nipoa sim nyingi na kuwasaidia watu wengi haswa wanawake katika tatizo hili nimeona kunahaja kubwa ya kuongelea swala hili kiundan ili watu wote mpate elimu hii iwasaidie na kwa ambao hawafaham nini chakufanya wapate mwanga sasa endelea. Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake na wanaume wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida albicans. Maambukizi haya pia hujulikana kama yeast infection au thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu inayojulikana kama pharynx, katika kibofu cha mkojo, uume na hata kwenye uke. Mfumo mzuri wa kinga wa mwili pamoja aina fulani za bakteria wanaoishi pamoja na fangasi hawa husaidia sana katika kuthibiti maambukizi yanayoyosababishwa na aina hi ya fangasi. Nini hutokea? Kwa kawaida, Candida albicans huishi kwenye uke na sehemu nyingine (kama zilivyoelezewa hapo juu) bila kusababisha madhara yoyote yale isipokuwa pale mazingira ya eneo husika yanapobadilika kama vile mabadiliko katika hali ya pH ya eneo husika (ifahamike ya kwamba pH ya kawaida ndani ya uke ni 4.0 - 4.5) au uwiano wake na vimelea (microorganisms) wengine unapoharibiwa kutokana na sababu mbalimbali kama vile matumizi ya madawa aina ya antibiotics, kupungua kwa kinga mwilini kutokana na magonjwa mbalimbali. Maambukizi haya ya fangasi yanaweza kugawanywa katika sehemu kuu mbili Maambukizi yasiyo makali yaani uncomplicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi mara moja hadi nne kwa mwaka na dalili zake huwa si mbaya sana na maambukizi haya husababishwa na fangasi wa jamii hii ya Candida albicans. Maambukizi makali yaani complicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi zaidi ya mara nne kwa mwaka, dalili zake kuwa mbaya zaidi au kama maambukizi yatakuwa yametokea kipindi cha ujauzito, ugonjwa wa kisukari, upungufu wa kinga mwilini. Aina hii kusababishwa na vimelea vya aina nyingine tofauti na Candida albicans. Vihatarishi Watu walio katika hatari ya kupata maambukizi ya fangasi hawa ni wale wenye • Kutumia sana dawa aina ya detergents kwenye sehemu za siri au douches (vifaa vinavyotumiwa kusafishia uke kwa kutumia maji yaliyochanganywa na siki au antiseptic yoyote ile) kwa sababu hali husababisha kuharibika kwa uwiano wa fangasi na aina nyingine ya vinyemelezi kama bakteria aina ya lactobacilli • Kutumia sana madawa aina ya antibiotics, steroids ambayo yana tabia ya kushusha kinga ya mwili • Mabadiliko ya mfumo wa homoni mwilini ambayo husababisha mabadiliko katika sehemu za siri na hivyo kufanya kuwepo kwa ukuaji wa kasi wa fangasi hawa • Ujauzito (kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili). Hata hivyo ieleweke hapa kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya. • Matumizi ya dawa za kupanga uzazi (vidonge vya majira) • Upungufu wa kinga mwilini kutokana na magonjwa sugu kama kisukari, saratani aina yoyote ile, ugonjwa aina ya mononucleosis na nk. • Ugonjwa wa ukimwi (HIV/AIDS) • Matibabu ya homoni (hormonal replacement therapy) kutokana na sababu mbalimbali • Matibabu ya kusaidia kushika mimba kwa wale wenye matatizo ya uzazi (infertility treatment) • Msongo wa mawazo (stress) • Utapia mlo (malnutrition) • Kuvaa nguo au mavazi yanayoleta joto sana sehemu za siri kwa muda mrefu kama nguo za kuogelea (swimwear), nguo za ndani (chupi) zilizotengenezwa kwa kitambaa aina ya nylon, nguo za ndani zinazobana sana nk. • Kujamiana kwa njia ya kawaida mara tu baada ya kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) au matumizi ya vilainishi venye glycerin wakati wa kujamiana pia yamehusishwa na maambukizi haya. • Kuvimba kwa tezi la koo (goiter) • Saratani ya tezi la koo (thyroid cancer) • Wanawake wenye umri wa miaka kati ya ishirini na thelathini wapo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi haya wakati wale ambao wameshaacha kupata hedhi au wale ambao hawajaanza kupata hedhi kabisa hawako kwenye hatari kubwa. Kwa wanaume vihatarishi vya maambukizi haya ni • Kujamiana na mwanamke mwenye tatizo hili au maambukizi haya • Upungufu wa kinga mwilini • Matumizi ya madawa aina ya antibiotics kwa muda mrefu bila ushauri wa daktari • Magonjwa sugu kama kisukari, saratani ya aina yoyote ile na nk. Dalili na viashiria kwa wanawake • Kuwashwa sehemu za siri (kwenye tupu ya mwanamke) • Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri (burning sensation) • Kufanya kama vidonda katika sehemu za siri (soreness) • Maumivu wakati wa kujamiana (superficial dyspareunia) • Maumivu au usumbufu wakati wa kujisaidia haja ndogo (wakati mtu anakojoa) • Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwa mdomo wa nje wa tupu ya mwanamke (labia minora) • Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au nyeupe kijivu, unaoweza kuwa mwepesi, majimaji au mzito na ambao umefanana na jibini (cottage cheese like discharge) wenye muonekano unaojulikana pia kama curd- like appearance. Kwa kawaida, uchafu huu haumbatani na harufu yoyote isipokuwa panapokuwa na tatizo la ziada kama ugonjwa wa zinaa aina ya Bacteria vaginosis. Uchafu huu unaotoka hapa unaweza kuenea kwenye maeneo mengine yaliyokaribu na tupu ya mwanamke kama kwenye mitoki (groin area) au perineum na kusababisha kuharibika kwa ngozi katika sehemu hizo. Dalili na viashiria hivi huwa mbaya zaidi wakati mwanamke anapokaribia kupata hedhi. Dalili na viashiria kwa wanaume ni • Kuwashwa sehemu za siri • Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwenye ncha ya uume • Kuwepo kwa uchafu wa rangi nyeupe (kama nilivyoeleza hapo juu) kwenye sehemu ya juu ya uume. • Kuwa na vidonda vidogo kwenye uume (sore on the glans) Hata hivyo, mara nyingi wanaume hawaoneshi dalili zozote zile, ni vizuri kwa mwanamke kumueleza mwenza wake pale anapopata maambukizi haya ili naye pia apate kutibiwa. Vipimo vya uchunguzi Kabla ya vipimo vya uchunguzi, ni muhimu kwa daktari kuchukua historia ya mgonjwa kwa usahihi kabisa. Vipimo vitahusisha: Uchunguzi wa uke (per Vaginal Examination (PV exam) Daktari huvaa gloves, na kuzilainisha gloves hizi kwa jelly maalum, mgonjwa hulala kwenye kitanda na kutanua miguu yake ili njia itanuke na kumrahisishia daktari kumfanyia uchunguzi, wakati akiwa tayari, daktari ataingiza vidole vyake viwili (cha shahada na cha kati) ukeni kwa dhumuni la Kuhisi kama kuna uvimbe wowote ndani ya tupu ya mwanamke Kuangalia kama anapata maumivu wakati wa kujamiana Kuangalia kama kuna uchafu wowote unaotoka, wingi wake, rangi yake, harufu yake, uzito wake (mwepesi, majimaji au mzito), na aina ya uchafu unaotoka kama ni sahihi kutokana na maelezo ya mgonjwa au ni tofauti Kuangalia kama sehemu ya siri ipo kawaida Kuangalia kama kuna uvimbe wowote wa tezi za sehemu ya siri (mitoki) Kuangalia nywele za sehemu za siri zilivyo na jinsi zilivyokaa Kuangalia shingo ya kizazi, bartholin glands nk. Kuangalia sehemu ya haja kubwa kama kuna skin tags, bawasiri (haemorrhoids) nk. Kuangalia kwenye kinembe (clitoris) kama kuna tatizo lolote lile. Hayo ni baadhi tu ya malengo na faida za kipimo hiki kwa vile humuwezesha daktari kugundua tatizo au maradhi mengine ya ziada ambayo hayajaanza bado kuonesha dalili zake kwa mgonjwa au mgonjwa mwenyewe hafahamu kama hali aliyo nayo ni tatizo. Hata hivyo inashauriwa sana kabla ya kufanya kipimo hiki, daktari amjulishe mgonjwa aina ya kipimo, lengo lake na jinsi kitakavyofanyika ili kumuandaa mgonjwa kisaikolojia. Aidha ni muhimu pia kumtaarifu wakati anapoanza kuingiza vidole. Kuchunguza uchafu unaotoka kwa kutumia hadubini (microscope). Mara tu baada ya kuchukua sehemu ya uchafu kwa kutumia swab, kipimo hicho humwagiwa tone la 10% potassium hydroxide ambayo huyeyusha chembechembe za ngozi na kubakisha seli za Candida albicans. Kuwepo kwa pseudohyphae (mfano wa aina fulani ya mizizi au miguu ya fangasi hawa) pamoja na budding yeast cells (yaani seli za fangasi zinazojigawa kwa ajili ya kuzaliana) ni uthibitisho wa maambukizi ya fangasi aina ya Candida albicans. Kuchukua kipimo na kuotesha kwenye maabara ili kuangalia aina ya uoto huo kama ni wa fangasi aina ya Candida albicans, ama la. Kipimo cha mkojo (Urinalysis) Vipimo vingine hufanyika kulingana na dalili zinazoashiria uwepo wa magonjwa mengine kama vile ugonjwa wa kisukari, HIV/AIDS, ugonjwa wa kuvimba tezi la koo (goiter), saratani ya tezi koo (thyroid cancer) nk. MATIBABU Kama umeshapitia vipimo hivyo au hata vipimo mbali mbalI na bado tatizo linaendelea au linajiludia mara kwa mara wakati mwingine linaweza kuwa sugu unashauliwa kutumia njia za asili. kwa maelezo zaidi na msaada wa kimatibabu piga 0767421678 au 0655148030 unaweza kutuma sms za aina zote utajibiwa kupitia 0767421678. ASANTE. Share na like page yetu AFYA KWA WANAUME na AFYA YA WANAWAKE Facebook. https://www.facebook.com/hamad1199/
...

MAPENZI YA KWELI # Daaaah inasikitisha Kijana na msichana mmoja walikuwa katika mahusiano. Baada ya miaka kadhaa ya mahusiano yao, kijana alimaliza chuo kikuu na kuamua kujiongezea maarifa kwa kwenda kusoma nje ya nchi. Kabla ya kuondoka nchini, alitoa mapendekezo ya uchumba kwa yule binti. "Yule kijana alimwambia binti, mimi sio muongeaji, ila ninachojua ninakupenda sana, kama utaniruhusu kukuoa, nitakua mwanaume wa maisha yako yote. Msichana alikubaliana nae na wakaenda kutambulishana kwa wazazi. Wazazi wa pande zote walikubaliana vijana wao waoane kwani ni kweli walionesha kupendana sana. Ila kabla ya kuondoka kijana alimvisha pete ya uchumba na kuahidi kufunga ndoa pindi atakaporudi nchini. Binti aliendelea na kazi yake huku kijana nae akipaa kwenda ng'ambo kujiendeleza kielimu. Walikuwa wakiwasiliana mara kwa mara kupitia emails na kupigiana simu. Ingawa mapenzi ya mbali yalikuwa magumu kwao, ila kamwe hakuna aliyeonesha kukata tamaa. Siku moja wakati msichana akielekea kazini, aligongwa na gari lililokua limepoteza mwelekeo. Alipoteza fahamu palepale na siku alipoamka aliwakuta wazazi wake wakiwa karibu yake. Akatambua kwamba yupo hospitali na ameumia vibaya. Alipomwona mama yake akilia, akataka aongee kitu lakini akagundua hakuna sauti iliyokua inatoka..alipoteza sauti yake. Daktari akatoa ripoti kuwa ubongo umepata madhara na hvyo kupoteza uwezo wa kuongea. Baada ya kutoka hospitali, binti aliendelea kuuguzwa huku mchumba wake akipiga simu kila siku. Binti hakupokea wala hakutaka mtu yeyote amwambie yule kijana hali yake. Hakutaka awe mzigo kwa yule kijana. Hivyo alimwandikia barua na kumwambia kua ameshindwa kusubiri hvyo aendelee na maisha yake. Katika barua aliambatanisha na ile pete ya uchumba aliyovishwa kabla yule kijana hajaondoka. Baada ya kupata ile barua Kijana alijitahidi kutuma barua na kupiga simu mara kwa mara kumbembeleza lakini binti alikuwa akilia tu na kutojibu lolote. Wazazi wa binti wakaamua kumhamishia mbali wakitaraji kwamba atasahau kila kitu na kuwa na furaha tena. Katika mazingira mapya, binti alijifunza kuongea kwa vitendo (sign language). Huku akijiambia nafsini mwake atamsahau yule kijana. Siku moja rafiki yake alimtembelea na kumweleza kuwa yule kijana amerudi nchini. Yule binti alimwomba sana rafiki yake asimwambie yule kijana kwamba yupo pale na asimweleze chochote kuhusiana na yaliyomtokea. Baada ya hapo hakukua na taarifa tena juu ya yule kijana. Mwaka mmoja ukapita, na siku moja yule rafiki yake akaja kwa yule binti na kumpa bahasha iliyokua na kadi ya mwaliko wa harusi ya yule kijana. Yule binti aliumia sana moyoni mwake. Lakini baada ya kufungua bahasha, aliona jina lake kwenye ile kadi. Alipotaka tu kumuuliza yule rafiki yake kwa saini za vitendo, alimuona kijana akiingia ndani. Yule kijana akatumia lugha ya vitendo na kumwambia "Nimetumia mwaka mzima kujifunza lugha ya vitendo ili niweze kuwasiliana na wewe na kukueleza kwamba, ingawa umepatwa na matatizo makubwa, bado sijasahau ahadi yangu kwako. Nipe nafasi mimi niwe sauti yako. Nakupenda sana..." Yule binti na Kijana walioana, Mungu amewabariki na watoto watatu, wanaishi kwa upendo huku vicheko na tabasamu ukiwa wimbo wa taifa wa ndoa yao. TAFAKARI ni vijana wangapi siku ya leo wenye mapenzi ya dhati kama haya, je! Ni vijana wangapi wanaotunza ahadi zao walizowekeana katika uchumba wao? Hakika utagundua mapenzi ya kweli miaka hii yamefifia na kupotea, wengi wanadanganyana, ndio maana kuachana imekua kawaida, john akiwa chuo anatoka na mary, akiwa mtaani likizo anatoka na Catherine na wote kawaahidi ndoa, unafikiri kuna mapenzi ya kweli hapo? Ni wazi kuwa pale unapofikiri umepoteza matumaini kabisa, ndipo kipindi ambapo msaidizi wako atakapotokea. Haijalishi tatizo gani mwenzio anakumbana nalo, kamwe usimuache peke yake. Kuweni kama timu yenye kiu ya mafanikio. Kuwa sauti yake pale anapopoteza sauti, kuwa mwanga wake pale anapopoteza matumaini na panapo mafanikio basi furahini pamoja. Mwenyezi Mungu akubariki wewe uliyesoma ujumbe huu, akujalie mtu ambae utakua nae bega kwa bega katika hatua za kimaisha na kamwe asikuache..!! AMEN! Tafadhali SHARE mkasa huu uwafikie watu wengi zaidi katika jamii. Nakutakia siku Njema, Mungu Akubariki na kukulinda
...

MKASA WA KUSISIMUA: KILIO NA MAOMBI YAKO KWA MUNGU SIO BURE, ATAKULINDA NA KUWAADHIBU ADUI ZAKO # inasikitisha sana Pamoja na upendo wa dhati na mapenzi yote aliyokua nayo Magdalena kwa mumewe ila usaliti ilikua tabia ya siri ndani ya mmewe. Japo alimuamini sana ila ukweli ni kwamba mwanaume alikua hatosheki ndani ya ndoa, alikua na mchepuko mmoja aitwae Aisha shangingi wa saloon ambae alikua kamteka zaidi, jamaa alitaman hata kumuoa ila kutokana na aibu kuwa ana mke tayari ilibidi siku moja amwambie ukweli. jamaa akamkalisha chini huyu mdada na kumpa misimamo yake. "Mpaka tumekuwa kwenye mahusiano maana yake nimekupenda Nilikwambia tangu awali nina mke na watoto. Nampenda mke wangu ndio maana nilifunga nae ndoa..... Sitamani hata siku moja aje kuumia eti kwasababu yako Sina malengo yoyote na wewe hususani ya kindoa maana tayari niko na ndoa.....nakuhe shimu pia kwa nafasi yako lakini kuwa na nidhamu kwenye ndoa yangu......kukupenda wewe haina maana kwamba mke wangu simpendi no,ni udhaifu wa wanaume tulionao Sitaki uwasiliane na mke wangu hata mara moja Sitaki ajue nina hawara nje,mke wangu anasali anamuomba Mungu. Hata mahusiano yetu najua ataonyeshwa kwenye ndoto tu! Ni afadhari akawa ana hisia tu lakini sio ajue. Aisha akajibu " ina maana huna malengo kabisa na Mimi Ko una mpango wa kunichezea tu? "Kwani ulitaka nini ziada kutoka kwangu?jamaa akamuuliza. Nataka unizalie watoto namimi nataka ndoa hata mke wa pili Haa eti nini!?kama ni hivyo tuishie hapa ,dini yetu hairuhusu kawatafute wakina mzee Yusufu sihitaji stress ndio maana nimekwambia mapema misimamo yangu kama utaiweza,huiwezi tuishie hapa.... Haya nimekuelewa ntafuata huu utaratibu kwasababu nakupenda.alijibu dada.....poa una amani lakini?aliuliza jamaa Yes usijari...... Naomba ninapokuwa nyumbani usinitext wala nisiione call yako ni mpaka iwe ninapokuwa kazini tu..... He sasa si uweke password kama hutaki mkeo asione simu yako? Hapana sitaki kuonekana kutokuaminiwa na wife...na usichati na Mimi kwa msg za kawaida au Whatsap wala messenger,tutumiane email tu. Aisha akajibu "sawa" Uhusiano wao uliendelea lakini Aisha hakuwahi kuwa na amani kwa mapenzi yenye mashart kama yale ,ilikuwa inamuuma akikumbuka maneno ya jamaa na vile anavyo mheshimu mkewe na si yeye.....alivumilia tu kwakuwa jamaa ana hela,chochote alichotaka alipewa. Alitumia kila mbinu ili kumvutia jamaa,alijaribu kumuuliza kitu anachokipenda huyo buana ili amfanyie mfano chakula anachopenda,lakini jamaa hakuwa muwazi Sana kwake. Alitamani sana kumjua huyo mke wa jamaa lakini hakuweza Alijaribu kutafuta hakufanikiwa,ila mara kadhaa alimskia jamaa akiongea nae kwenye simu anamuita Magdalena.....au mama Francisco. Siku moja akiwa saluni kwake aliyofunguliwa na jamaa akiwa na msichana wake wa kazi Akaanza kupitia Facebook akaingia kwenye profile ya jamaa aone marafiki zake , Akasearch jina la Magdalene akalipata,akafungua profile yake akakuta ni kweli ni mkewe jamaa,kwanza alimuweka mumewe Picha yake ya wasifu. Akamuomba urafiki,muda huo huo mag akaacept......akamshukuru kwa kumkubalia urafiki mag akamwambia "karibu my" Akajibu asante.... Wakachat sana siku ile.....huyu Aisha akajisemesha "nimemmaliza tayari.....usiku ule hakulala usingizi akimtafakari yule mwanamke....amfanyie nini maana ndio kikwazo kikubwa chake. Kulipokucha mchana akiwa nyumbani kwake akamtext msichana wake " nimeongea na huyu mshamba nimemkaribisha saluni nimemwambia tunampa ofa aje,sasa naomba akija hapo wewe endelea kumfumua hizo nywere zake Mimi nitamnunulia soda ntamuwekea na pilipili atajuta kunifahamu"! Dada pilipili!!?aliuliza huyo binti Wewe nawe baki na hilo ilo ,namaanisha sumu!alijibu Aisha Anhaà hapo sawa,ko nisimuwahishe niende nae taratibu? No wewe Fanya kawaida Mimi dakika chache ntakuwa hapo...alijibu aisha Mag dakika 20 akawa amefika na gari yake Akamjulisha Aisha akampa maelekezo msichana wake akawa amemwona akampokea.....wakaanza kazi Dakika 10 mbele Aisha akawa amefika ,story zikaendelea Magdalene hamjui Aisha, Aisha anamjua Magdalena. Baada ya kumsuka nywere akiwa karibu na kumaliza Aisha akamwambia ngoja nikununulie na soda japo ukanywe hata nyumbani,soda gani vile? "Yoyote nichukulie my dear nashkur sana"alijibu mag Aisha akazuga kama anaenda dukani lkn alikuwa kazunguka nyuma ya saluni yake akatoa chupa ya take away kwenye pochi yake, na akapita dukani akaagiza zingine mbili za kwao na binti yake. Akampa Magdalena soda aina ya pepsi,akashukur u akawasha gari akaondoka.....akionyesha kufurahishwa na Huduma zao na upendo au ukarimu wao asijue mtego wa muwindaji. Huku nyuma walianza kupongezana wakiamini zoezi lao limefanikiwa walijua kwa vyovyote vile angekunywa njiani Na iwapo angekunywa tu asingefika mbali kutokana na ujazo wa paketi aliyomimina kwenye chupa...... "sikutaka kumpa mapema halafu afie hapa sitaki mizoga ya watu hapa akafie mbele huko pumbavu kabisa" alijisemesha Aisha. Kumbe Magdalena ile soda hakunywa kwenye gari. Akawa amefika nayo mpka home..... na kwasababu ilikuwa imepoa akaingia nayo ndani akaiweka kwenye friji akazichanganya na zingine. Ikawa imelala kwenye friji. Mchana wa kesho yake jamaa akarudi nyumbani kula chakula Alipokuwa anaondoka kurudi ofisini,akamwomba mkewe ampe soda,na soda yake kubwa ni pepsi akampa ile ya kina Aisha pasipo kujua . Patamu hapo...... Akiwa anaondoka akaona kuna email imeingia ,kucheki anakutana na text ya Aisha "uko wapi my?" Natoka nyumbani naenda ofisini, OK basi nipitie saluni Nina shida kidogo.......... Anataka amuulize maendeleo ya familia yake ,ana wasiwasi je soda ilinyweka?au ile sio sumu kadanganywa? Jamaa alipofika Aisha akaingia kwenye gari akamkiss jamaa Wakaondoka wote kuelekea ofisini kwa jamaa. Aisha akalalamika njaa ikabidi ampitishe mahali akala akamsubiri. walipokuwa wakiondoka akiwa kwenye gari akaona soda akamwomba anywe,jamaa bila ajizi yoyote akampa....kumbe ni ile yenye pilipili! Na kwakuwa alikuwa kakaukiwa akaanza nayo hapo hapo! akakata kama nusu hivi Huku wakipiga story........ Dakika tano peke zilikuwa ni nyingi akaanza kuskia maumivu makali hamna mfano,moja kwa moja akajua ni ile soda.....ha! Akajishika tumbo akatoa macho akamuuliza "hii umeitoa wapi?jamaa akajibu" nyumbani kwenye friji langu" Ooooooh my god mkeo ameniua jamani! Mkeo ameniua niwahishe hospital plz! Mke wangu amekuua? kivipi hebu niambie!!! Dah!Kweli mkeo anasali....... Aisha anaongea huku akilia kwa uchungu mkubwa akatamka neno la mwisho akasema "Nakufa kwa upumbavu wangu mwenyewe, niwahishe hospital labda ntapona mimi! Jamaa dakika 15 akawa amefanikiwa kufika hospital akaingia nae ,jopo la madaktari wakiwa wanamhangaikia yeye akawa amewasha gari akatoroka kukwepa msala.......huku nyuma Aisha ikawa ndio kwa heri bye bye! Kuchunguzwa ikaonekana amekufa kwa kula chakula au kinywaji chenye sumu. Kumtafuta aliyemleta hospital wakashangaa hawamwoni.na bahati nzuri simu ya marehemu akawa ameondoka nayo. Taarifa ikafika police. Na ilipotangazwa iwapo angetokea ndugu wa marehemu ,wa kwanza akawa ni binti wa saluni. Police ilibidi waanze nae yeye kuchunguza simu yake,Bahati nzuri au mbaya kwake,zile Meseji walizochati na dada hakuzifuta......... binti akawa ni mtuhumiwa namba moja ilionekana kuna MTU walimpa sumu na marehemu lakini ninani?na mbona Aisha ndiyo amekufa tena?wakaenda kuirenew ile line ya marehemu. Upelelezi ulipokuwa ukiendelea tayari yule binti akabanwa mpaka akakiri kuhusu mpango waliousuka na marehemu dhidi ya mke wa jamaa aitwaye japhert..... Walipomtafuta akaja japhert pamoja na mkewe. Magdalena akahojiwa kama anamfahamu Aisha akaeleza vile walivyojuana kupitia Facebook kama wiki tatu tu. Akaeleza vile walivyompa na ofa ya kwenda kusuka na "huyu binti ndiye aliyenisuka na wakaninunulia soda" lakini ile soda sikuinywa nikaenda nayo nyumbani.....................akasimulia kama hapo juu. Mume akawa anashangaa anaona ni kama move baadae mahakama ikamtia hatiani yule binti. Walipofika nyumbani Magdalena ilibidi ambane mumewe "Vipi Mume wangu marehemu kumbe alikuwa hawara wako?" Ilibidi mumewe awe muwazi tu kwake,akamwelez a Kisa kizima huku akilia kwa uchungu mkubwa....... Ni kweli Mimi ndio nilitaka kukuua kwa upumbavu wangu,naomba unisamehe,sijui kwanini wanaume haturidhiki na hatutosheki?hakuna chochote ninachokikosa kwako lakini tamaa tu! Usimwache Mungu unayemtumikia mke wangu,ningefanyaje Mimi kukupoteza wewe!? ningefanyaje na watoto hawa? Mama akamfuata mkewe akamkumbatia miguu huku akilia Jamaa akawa ameishiwa maneno ya kuongea zaidi ya "nisamehe".......wakaangua kilio cha kumshukuru Mungu. Mwishoni mama Francisco mwili wote ulikuwa kama unachemka,akasema nyamaza nimshukuru Mungu: "EEH MWENYEZI MUNGU,BABA WA REHEMA,MUNGU UTULINDAYE, BIBLIA IMESEMA WEWE USIPOULINDA MJI WAULINDAO WAKESHA BURE....... USIPOILINDA NDOA,HATUWEZI KUFANYA CHOCHOTE....... ASANTE KWA UAMINIFU WAKO KWANGU, ULINIAHIDI IWAPO NIGEKUWA MWAMINIFU KWAKO,USINGENIACHA WALA KUNIPUNGUKIA HATA SEKUNDE TANO! NA KWAMBA MAADUI ZANGU WANGEKUWA ADUI ZAKO. NA UMESHATIMIZA AHADI YAKO KWANGU. ASANTE KWA KUHAKIKISHA NAZIDI KUWA SALAMA. UMETULINDA MIMI NA MUME WANGU NA WATOTO. ILE SODA PAMOJA NA KWAMBA IMEINGIA MPAKA NDANI KWANGU,LAKINI HAKUNA ALIYEKUNYWA NAJUA NI UWEZA WAKO LAKINI HATA MMOJA WETU ANGEKUNYWA ASINGEDHURIKA MAANA UMESEMA " TUKILA VYA KUFISHA HAVITATUDHURU............TULINDE TUTUNZE ZAIDI KWA UTUKUFU WA JINA LAKO AMENI. Baba Francisco yupo ametulia na mkewe sasa hivi na ameshika sana mambo ya imani,anasali balaa. Anajuta kwanini alijiingiza kwenye matatizo eti kwasababu ya hawara.......hataki kabisa kuisikia michepuko. Funzo Mwanamke usihangaike kulinda ndoa yako kwa mbinu zako mwenyewe, mkabidhi Mwenyezi Mungu, omba ulinzi wake usimame akutetee dhidi ya wote wanaotaka kuharibu ndoa yako hakika Mungu atawaadhibu na kuwaaibisha adui zako wote. Nakutakia Jumapili Njema, Mungu Akubariki na kukulinda
...

Hapa ndipo ambapo Mwanaume huishusha heshima yake kwa mkewe, Ni kweli MACHO HAYANA PAZIA lakini Yapo mambo ya kutazama na mengine sio ya kutazama uwapo na mwenza wako, Unajuwa macho yanaweza kuona ila usikubari macho yakayumbisha akili yako hata ukajikuta unaaibika mbele ya mkeo, Kwani ni gauni ama viatu alivyovaa mwanamke huyo ndo vikukoseshe UAMINIFU KWA MKEO? Wanaume sisi acha tutukanwe kuwa tuna vichwa viwili na kichwa kimoja hakina ubongo ila kina nguvu ya kuharibu akili ya kichwa kingine ... Maana sio kwa udhaifu huo jamani, Kama umependa gauni ama viatu si uendage kwa duka umnunulie mkeo avae aendane na vile macho yako yanatakagaa? Unakuta umezuzuliwa na nguo pamoja na viatu mwenzio alinunua hata elfu 50 hazifiki, Wewe mkeo pengine hujawahi kumuuliza anapenda mavazi gani ila kulingana na ubabe wako nae anakunyamazia ili kuendana na hali halisi, Unajikuta umehonga laki moja kwa ajili ya mavazi SI MBADILISHIE MAVAZI MKEO kuendana na upendavyo ili akunusuru na kichaa cha macho ulicho nacho? USIONE VYAELEA BABU VIMEUNDWAAAA! Ukitaka kudandia vya wenzio utapaliwa.
...

Walimwengu ndivyo walivyo, Mwenye shibe hamjui mwenye njaa... Alikuja na kiu na sasa ametosheka hana budi tena kujuwa utalipokeaje, Swala la yeye kukuacha wala lisikuumize moyo, Najuwa kinachokuumiza ni marengo uliyoyaweka kwake pamoja na UPENDO uliouwekeza kwake, JE UNAWEZA KUMLAZIMISHA AKUPENDE? Najuwa majibu yako ni HAPANA na hata Mimi najuwa hivyo, Sasa basi nakusihi ondosha hicho kitu akilini mwako, na ujipange kukabiliana na upweke ambao tayari upo mbele yako ili uweze kuruhusu Mawazo mapya, Penzi jipya, Mtu mpya lakini pia FURAHA MPYA! Uwezo wa hayo yote upo ndani yako , Maana kama ni funzo umepata sasa unalialia nini ? Jiamini na uwe na hakika kuwa WEWE NI MZURI ndo maana yeye alikupenda, unajuwa kabisa MUNGU hakukuumba kwa bahati mbaya ila kwa makusudi sasa unajikunyata kwa hudhuni kwa lipi au ameondoka na sababu ya wewe kuitwa mwanamke? Mwache aende maana kilichompata ni ulevi wa MAHABA imempelekea kukuona wewe wa kawaida, Ulevi huo ukimlaza doro ATAKUTAFUTA... Nakushauri USIKUBARI KUENDESHWA NA MLEVI WA MAPENZI! Kutoijuwa thamani yako inatosha sana wewe kujuwa HAKUFAI.
...

KWANINI WIVU NI HATARI KWA BIN ADAM? Kuna aina nyingi za wivu lakini hapa napenda nitofautishe aina mbili za wivu; 1. WIVU WA MAPENZI 2. WIVU WA MAFANIKIO Nianze na wivu wa Mapenzi, wivu huo ni rafiki kwa Mapenzi ili kuileta maana ya neno NAKUPENDA... Mtu mwenye upendo wa DHATI anao wivu kwa huyo aliyempenda japo nitoe angalizo UKIZIDISHA WIVU UNAHARIBU MAANA YA PENDO LENYEWE maana kuwa na kiasi ni kuitengeneza taswira ya mahusiano husika, Huwezi kumpenda mtu halafu unasikia wivu mpaka UNAMPIGA AMA KUMTUKANA! Jizuie wivu usihame moyoni ukakimbilia akilini nakwambia huwezi kufurahia, Jifunze kuwa na wivu ambao utakulindia penzi lako na kutoingilia UHURU wa mwenzi wako, Mungu ametuumbia UPENDO lakini akatuwekea wivu ili kuutetea moyo ila USIVUKE MIPAKA husika Kwani utaimarisha furaha yako kila siku, Kwa upande wa pili Yaani wivu wa MAFANIKIO hapa ndipo nataka niwakumbushe ndugu zangu, Kila bin adam anao wivu wa mafanikio Kwani ndiyo UBIN ADAM... Kuona wivu wa mafanikio ni chanzo cha mafanikio ikiwa unao uthubutu lakini usipende kutaka kujilinganisha na mwingine Kwani kwa kufanya hivyo UNATENDA DHAMBI! Ukisoma maandiko kitabu cha ZABURI 37:7-8 Biblia inasema; "Ukae kimya mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa saburi, Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu afanyaye hila, Ukomeshe hasira, uache ghadhabu, usikasirike mwisho wake ni kutenda mabaya" Maana kila mtu kwa karama yake, Unayo BARAKA kuwa bin adam ni jukumu lako kujuwa Unataka nini na kwa wakati gani huku ukimtumainia Mungu, Mashindano pamoja na majivuno hudhoofisha Baraka zako, Maandiko katika kitabu cha WAFILIPI 2:3 Biblia inasema; "Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno bali kwa unyenyekevu, Kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake" Na ndivyo utakapoziona BARAKA ZAKO kuliko kuishi kwa wivu kwa mafanikio ya mwenzio, Kama ambavyo Mungu anawanyeshea mvua watu wote Basi ujue jambo moja UMTUMAINIE MUNGU KULIKO CHOCHOTE maana yeye ndiye ajuaye haja yako, Maandiko katika kitabu cha MHUBIRI 7:14 Biblia inasema; "Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri, Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijuwa neno lolote litakalofuata baadaye" Kwa hayo nakuasa kujitenga na wivu mbaya ila uwe na wivu ambao una Baraka ndani yake, BARIKIWA KWA NENO HILI.
...

Nakuuliza Mwanamke "NI KWANINI WANAUME HAWARIDHIKI NA MWANAMKE MMOJA?" Nakuona unavyojitengeneza usome UDAKU Wanaume kwa asilimia 75 hawaridhiki na mwanamke mmoja, Na katika hili naomba niseme kuwa HAWARIDHIKI KWAKUWA HAWAJUI NINI HASA HITAJI LAO KWA MWANAMKE ndo maana wanaume wa aina hiyo hata awe na mwanamke mzuri na mkamilifu kama BIKRA MARIAM kamwe hawezi kuishi bila kuchepuka, Sina maana nawatukana ama nawatolea siri zetu laa hasha! Ni katika kuweka uwiano wa furaha katika mahusiano na Mapenzi kwa ujumla, Asilimia 25 ni wanaume wajuao mahitaji yao kwa mwanamke, Wanaume hawa huzitunza familia zao lakini pia wanayo bidii kuzijenga ndoa zao. NINI KIFANYIKE KATIKA HILI? Hakuna bin adam awezaye kumbadilisha bin adam mwenzie ila mamlaka na nguvu zipo kwa MUNGU... Waweza kuwa mzuri na mwenye mvuto hata wanawake wenzio wakakutamani lakini kwa mwanaume mzinzi wewe ni PITIO TU maana hajui haja yake kwako, Amini nakwambia ndo maana hata mtume Paulo katika kitabu cha 1 WAKORINTHO 7:8-9 Biblia inasema; "Lakini nawaambia wale wasiooa Bado na wajane, Ni heri wakae kama Mimi nilivyo, Lakini ikiwa hawawezi kujizuia na waoe, Maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa" Mungu awasaidie wanawake maana mko na changamoto.
...

💞💞💞💞KITANDA CHA NDOA KIPOJEE💞💞💞💞 💞💞💞 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞 kwanza kitanda chako kama ni cha mbao chapaswa ziwe mbao zile ngumu mwali wangu sio mbao nyepes ukilalia tu siku mbili tatu kinaachia👌👌pili kitanda cha mwanamke aloolewa mda wotee chatakiwa kiwe smart👌👌naposema smat nadhani waelewa kitandikwe vizuri kwa shuka zenye rangi nzuri inayong'aa sio kijishuka cheusi tii utafeliii👌pia shuka isiwe na matobo wala madowa nduguyangu Kitanda cha ndoa unatakiwa ulale bila nguo labda kwa heshima ya watoto kwa wale waliopanga chumba na ambao watoto chumba cha baba na mama ni kama chao ndio unavaa khanga ukijifunika ili hata wakiingia ghafla umesahau kufunga mlango wasione walipotokea lakini ikifika wakati wa kulala chumba kikiwa kimefungwa khanga tupa huko na ulale kama ulivyo Kitanda cha ndoa mwiko kulala mzungu wa nne, yani wanandoa mimi nashangaa unalala na mumeo mzungu wa nne halafu iweje?nitaandika mada kuhusu madhara ya mzungu wa nne, unatakiwa kile kitanda mlale hata kama hamuongei mmegombana lala tu wote mmegeukia upande mmoja hata kama hamtashikana usiku kucha lakini usiruhusu kulala mzungu wa nne kwenye kitanda chako cha ndoa.pia kitanda cha ndoa ni marufuku kumnyima unyumba mpenz wako hata kama mmenuniana kumbuka mboo na kuma havinuniani👌👌peaneni mkimaliza endeleeni na mnuno wenu lkn kumbuka ukiwa kama mwanandoa unapaswa kongelea matatizo yenu na kuyamaliza kabla ya kupanda kitandani maana kitanda ndo sehemu ya kupeana faraja na kujenga nahusano yenu Wanawake wengi wanapoolewa hata mimi nikiwa mmoja wapo unapewa godoro, unalijuwa maana yake ya kwamba umeshakuwa nenda kaanze nyumba yako na wewe ukifika sio lile godoro kisa mnachumba cha wageni ndio ukalipeleke kule hapana, lile godoro unatakiwa mlalie nyie, kama umeolewa na mumeo alikuwa anagodoro lake utalitoa na kupeleka chumba cha wageni halafu lile ulilopewa ndio utandike kwenye kitanda chenu mlalie hiyo ndio maana ya lile godoro yani mmeanza upya katika kila kitu mpaka kulala.💘 💋💋ni marufuku narudia tenaaa kwa herufi kubwa NI MARUFUKU kumleta shogaako ndani kwako alafu akakaa juu ya kitanda chako mwali ni matusi makubwa pia huwez jua maana marafiki wengi huvuruga ndoa za mashoga zao kupitia vitanda had inapelekea mumeo ama wewe mwenywwe mkifika kitandani kunakuwa hakuna maelewano👌👌 Kama hulikuwa ulijui ilooo shoga HAbari ndo iyooo👌 🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀
...

Naaaam tumalizie na hii kisha mkayafanyie kazi kuanzia leo asiache mmoja wenu wanawake kumkatikia mwenzie chumbani akiwa na dela likilo mgandia gandiaa hahahaaaaa mambo ya kitaalam hayooo👌🏼👌🏼👌🏼 💥💥💥💥💥💥 _Kiuno kizingatieni, wakati mwingine nyie mwaona mwakata kumbe mwawaumiza tu waume zenu au mnakata steam mnaanza upya, alafu mwisho wamlaumu "dear mbona mapema umechoka mie bado". Wakati liuno lako limemuumiza. Samahami kwa kukera._ 💥💥💥💥💥💥💥💥 💥💥💥💥💥💥MWANAMKE NYONGA NA HASWA UWE NAYO💥💥💥💥 Ukataji wa kiuno ndio unaokupa raha ktk jimai...kuifanya ndizi🍌 yako..kuingia👙 yote...bila kubakia ktk mlingoti 👙👌🏼...na kumpagawisha ...na kumpa raha.... Ipasavyo mwenza wakooo. Jamani raha ya jimai ni kupeana raha kwa kila mmoja hadi atosheke na kiu yake sio mmoja ametosheka na mwengine bado yupo na nyege kibao sio ivooo👌🏼 Mukajihisi km muko angani..... Kumbe muko kwenye sita kwa sita.. 👌🏼 hahahaa Na mimi niishie hapa nadhani somo mtalifanyia kazi ipasavyo pea neni raha jamaniiii hahahaaaaa unasmbiwa mganga hajigangi bali hugangwaaaa🍌👌🏼 Ulikuwa nami mtayarishaji wa raha hizi za jioni njema ni mimi mwandishi wako *🅱 professional love* tukutane tena wakati mwengineeee. 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
...

💥💥💥💥💥💥 _Kisha ukataji wa kuachiana yaani dudubaya anapokuja juu wamuacha anapokuja chini wamkatia, au anakuja juu wamkatia anashuka chini wa muacha. Lakini umakini na werevu unahitajika, mapenzi ya kifo cha mende ya kila siku ndio yanayofanya mume anapopata changu wa nje ahisi bora kuliko wewe wakati hayohayo ndio uliokuwa wampa mwanzomwanzo wa ndoa. Endeleza utamu wa mwanzo alio kukuta nawo acha kujitia umemzoeyaaaaa👌🏼 utakuja kulia siku akikuletea msaidizi wakooo maaana anakuona unamchoshaaa kila siku staili moja tuuu wampa akikupindua hupinduki unashindwa kujishughulishaaaaa _ 💥💥💥💥💥💥
...

💥💥💥💥💥 _Kiuno kizuri kwa wanaume na kinawavutia, bahati mbaya wanawake wengi wanajua kiuno ni kwa ajli ya kitanda tu. Mmekosea, nyie ndio mnatusababishia kukodoa macho barabarani kutazama watingishao kwa kututega, mwanamke tingisha nyonga kwa mumeo, itingishe hasa mkiwa wawili chumbani kabla hamjaanza maham ham mwambie leo nataka nikuonyeshe enzi za utoto wangu nyonga yangu ilivyokuwa imara._ 💥💥💥💥💥
...

💥💥💥💥💥 _Jitahidi mwanamume anapokuwa safirini dudu baya asichomoke kwa kiuno chako jamanieeeee ukisikia safari sio kuwa ameenda kupanda gari ameenda hukoooo mbaliii hapanaaa👌🏼, lazima nisemeeee maana wengine washa dhani nisafari ya kwenda kupanda gari hapanaa ni 🍌 ikiwa imesha zama kwenye kitumbua👙 chakeeee naama unajua kuna wanafunzi wengine ni wagumu eeeeehe hahahaaa hapo woooote mumeelewa sasaaaa👌🏼 we ya mumeo waijua vipi kujifarangua utafikiri wakimbiza mwizi. Hata waichomoa kila wakati._ _Mwanamume huwa anakata kiuno kulingana na steam zake, ni vizuri na wewe kujitahidi kufata steam hizo wakati mwingine mume hataki kiuno chako hasa pale anapokaribia kilele utamuona anajaza pampu kwa kasi ya hali ya juu, hapo watakiwa uwe makini, ukimchomoza hapo, hatokusahau si kwa kukupenda ni kwa kumkosesha rahaa._
...

❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 🅱 professional love Mwanaume mwenzangu MWANAMKE YEYOTE NI TULIZO LAKO ikiwa tu UTAMBEBA KATIKA HISIA ZAKO! Wanaume wengi wameoa mke kwa mtazamo na sio kwa hitaji la kujenga familia, Udhaifu huo umepelekea wanaume wengi kukosa maana ya MKE pale mwanamke anapobadilika kuendana na maisha halisi hata kupelekea ule muonekano ambao ulimpa mtazamo mwanaume wake kuona kama AMESHUKA KIWANGO... Kiwango cha mwanamke hakishuki ikiwa MWANAUME utajuwa namna ya kuishi na mkeo, Mwanamke yeyote duniani hitaji lake ki bin adam ni KUPENDWA NA MWANAUME WAKE na hilo ni tofauti sana na sisi wanaume maana MWANAUME HITAJI LAKE KWA MKEWE NI AAMINIWE! Tofauti hiyo ni kubwa kwa watu ambao hawajui kusoma mienendo ya wenzi wao Kwani mwisho wake ni kuona mwenza wake hafai, Nisikilize Mwanaume nikwambie; ¤ USITAFUTE SURA NZURI, siku moja itazeeka. ¤ USITAFUTE NGOZI NZURI, siku moja itakunjamana. ¤ USITAFUTE NYWELE NZURI, siku moja zitakuwa nyeupe. ¤ USITAFUTE UMBO NAMBA NANE, siku moja laweza kukosa mvuto. ¤ USITAFUTE UBORA WA RANGI, siku moja maisha yataipausha. Badala yake tafuta MOYO MKARIMU ambao utakupa amani pamoja na kuishi maisha yenye furaha siku zote, Waswahili na misemo yao MCHAGUA JEMBE SIO MKULIMA😅😅😅 Mtaje mwanamke kwa HEKIMA ZAKE wala usimtaje mwanamke kwa UREMBO WAKE... Sikufichi vile alivyoumbwa mwanamke ni HESHIMA hayo Mengine hutajwa kama mapambo tu na siku moja hutoweka. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Dr Luv🤓🤓🤓
...

Nini unachotakiwa kufanya unapokosa hamu ya kujamiiana Masanja na mke wake Saumu wameishi kwenye ndoa kwa miaka kumi sasa. Hapo awali, kila kitu kilikuwa sawa katika uhusiano wao, lakini katika miaka ya karibuni, Masanja amekuwa hana matamanio tena na Saumu; hana hamu kabisa ya tendo la ndoa. Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi hapa nchini na hata duniani kote. Haliwaathiri wanaume pekee kama ilivyo kwa Masanja, bali hata wanawake nao hukumbwa na tatizo hilo. Utafiti uliofanyika nchini Uingereza , Ulaya na Marekani, ukijumuisha wanawake wa rika zote, ulibaini kuwa asilimia kati ya 30 na 50 ya wanawake wanakumbwa na tatizo la kukosa hamu ya kujamiiana. Wakati huo utafiti huo ukiweka bayana hilo kutokana na tatizo la uzazi au kukoma kwa hedhi, tafiti nyingne zinaonyesha kuwa karibu robo tatu ya wanawake hawafikii kilele cha tendo hilo au wanapata maumivu. Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa kukosa hamu ya tendo la ndoa kunatibika, iwapo hatua muhimu na za msingi zitachukuliwa. Ni vyema kufika mapema katika huduma za afya ukiwa na mwenza wako kwa ajili ya uchunguzi na matibabu. Nini suluhisho la kukosa hamu ya kujamiiana Kwanza kabisa, inashauriwa kitaalamu kubadilisha mfumo wa maisha kwa mfano, kubadili ratiba za kazi, matembezi au ratiba za wenza. Kingine ni kufanya mazoezi mara kwa mara kwa sababu mazoezi huongeza ufanisi, lakini pia kupunguza uzito na humfanya mtu kuwa na umbile zuri, furaha na kuongeza ufanisi wakati wa kujamiiana. Kupunguza msongo wa mawazo kwa kukubali kwamba tatizo lipo baina ya wanandoa na hivyo kutafuta suluhu pamoja na kuacha ugomvi. Matatizo ya kimaisha lazima yatafutiwe ufumbuzi. Kufanya mazoezi ya misuli ya kiuno kwa kufanya kama unazuia mkojo wakati unahisi haja ndogo na kuhesabu kutoka moja hadi tano, baada ya tano pumzika na halafu rudia. Haya mazoezi (kegel exercise) huongeza uwezo wa kujamiiana kwa wanawake Kubadilisha mfumo wa maisha kwa wapenzi Zungumza na mwenza wako – Malumbano na matatizo ni vitu vya kawaida katika uhusiano wowote, ni vizuri kwa wenza kukaa pamoja na kuzungumza matatizo yao, kuwa wa kweli, waaminifu, kuaminiana, kujaliana na kuzungumza juu ya tendo la ndoa kwa pamoja. Ni vizuri kila mmoja kuainisha vitu anavyopenda na asivyopenda kufanyiwa wakati wa kujamiiana. Pale inapotokea mmoja hajapendezwa au kufurahishwa na uwajibikaji au ufanisi wa mwenzie basi hana budi kutumia lugha nzuri kutafuta kiini cha tatizo na kulitafutia ufumbuzi. Weka mazingira mazuri na muda wa kufanya tendo la ndoa na mwenza wako ili mpate kudumisha uhusiano wenu. Ongeza msisimko katika uhusiano wenu kwa kujaribu aina au staili mbalimbali wakati wa kujamiiana, kubadilisha muda wa kufanya mapenzi (sio usiku tu hata asubuhi, mchana) au sehemu tofauti na ile mliyoizoea wakati wa kufanya mapenzi (sio kila siku kitandani). Kupata ushauri nasaha kutoka kwa wataalamu wa mambo ya uhusiano, ndoa na hata madaktari wa magonjwa ya akili kwani hawa ni weledi zaidi katika kazi yao. Tiba ya dawa Kutibu ugonjwa ambao ni kiini cha tatizo hili – Kisukari, magonjwa ya moyo, magonjwa ya zinaa nk. Daktari kumbadilishia mgonjwa dawa zinazosababisha madhara kama ya msongo wa mawazo na sonona. Kutibu tatizo la sonona na wasiwasi. Kutumia dawa au vilainishi vya ukeni wakati wa tendo la ndoa kwa wale wanaopata maumivu au kupunguza uke kuwa mkavu au kuwasha. Tiba ya vichocheo (homoni) Dawa za kitaalamu za kuongeza hamu au nguvu atakuandikia daktari baada ya kufahamu kiini cha tatizo. Haishauriwi kutumia bila ushauri wa daktari kwani dawa hizi zina madhara. Vyakula vinavyosaidia kupunguza tatizo hili Ikumbukwe ya kwamba vyakula hivi sio tiba mbadala bali husaidia tu kupunguza ukubwa wa tatizo hili la kupungua au kukosa hamu ya kujamiiana na kuboresha kwa wale ambao hawana tatizo hili na hivyo kudumisha uhusiano. Kitunguu swaumu – Kitunguu swaumu kina kemikali ambayo huongeza mzunguko wa damu kwenda kwenye uume, huongeza hamu ya kufanya mapenzi na utolewaji wa mbegu za kiume. Habat al soda – Mafuta, mbegu, au unga wa habat soda kama wengi wanavyoiita na ambazo zimetumika kwa miaka mingi sana kupunguza tatizo hili na waandishi wengi wa tiba ya nguvu za kiume wameeleza umuhimu wake. Tumia kidogo kwenye chai au maji ya uvuguvugu mara mbili kila siku. Mbegu hizi hupatikana kwa wingi katika nchi za asia kama Saudi Arabia, Syria, Iran, Dubai (UAE), na hata Misri, Tanzania-maeneo ya pwani hupatikana. Giligilani – Hii huchochea hamu ya tendo la ndoa kutokana na uwepo kwa wingi wa kichocheo aina ya androsterone. Ndizi – kuwepo kwa wingi kwa kimeng’enyo aina ya ‘bromelain’ na madini ya potashiam, huongeza msisimko wa tendo kwa wanaume. Potassium pia hupatikana kwenye tikiti maji ambalo pia lina kemikali aina ya ‘arginine’ ambayo huongeza wingi wa damu katika mishipa ya damu na hivyo kusaidia katika kusimika kwa uume. Parachichi – Huwa na kiwango kikubwa cha madini ya folic acid ambayo huvunjavunja protini. Vitamini B6 kwenye parachichi huchochea kutengeza vichocheo vya kiume kwa wingi. Mayai – Mayai yana kiwango kikubwa sana cha vitamini aina ya B5 na B6, ambazo husaidia kuleta usawa wa viwango vya vichocheo mwilini na kupunguza msongo wa mawazo. Nyanya – Zina kiwango kikubwa cha virutubisho aina ya bio-active phyto-nutrients, lycopene, na beta carotene ambazo husaidia kuleta damu kwa wingi kwenye uume na hivyo kusaidia kusimika kwa uume ‘Chocolate’ – Ina kiwango kikubwa cha kemikali ambazo huongeza hamu ya tendo. Vitamin A – Husaidia katika kuweka usawa wa vichocheo vya mapenzi. Vyakula venye wingi wa vitamin hii ni pamoja na karoti, maini,tikiti maji, spinach, maziwa nk. Vitamin B complex – Huongeza kiwango cha kichocheo cha testerone ambacho husaidia katika kuongeza ufanisi wa tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake. Vitamini B complex hupatikana kwa wingi kwenye ndizi, viazi tamu, lentils mboga za majani, parachichi, mayai, samaki aina ya jodari (tuna), bata mzinga, maini nk. Mdalasini na Asali– Mchanganyiko wa vitu hivi viwili husaidia sana katika kuongeza ufanisi kwa wale wenye tatizo hili
...

Related News SABABU YA WANAWAKE KUTOTAMANI TENDO LA NDOA Na JOACHIM MABULA, KUKOSA hamu ya ngono ni tatizo ambalo wengi huona aibu kulizungumzia ingawa ni kitu kinachowanyima raha wanawake wengi. Inakadiliwa kuwa asilimia 40 ya wanawake hupatwa na tatizo hili katika maisha yao, hata hivyo tatizo hili huwapata zaidi wanawake wenye umri kati ya miaka 45 na 65. Wataalamu wengi wa afya huwaambia wanawake wenye tatizo hili kuwa wana matatizo ya homoni. Kuwa na homoni za kutosha katika mwili ni muhimu kwa tendo la ndoa. Homoni iitwayo istrojeni huhamasisha damu kwenda kwenye uke na kusaidia kulainisha uke wakati homoni iitwayo testosteroni huchochea hamu ya ngono. Hata hivyo, hamu ya ngono kwa wanawake ni kitu chenye utata mwingi kwa maana msongo wa mawazo, mkazo, afya yake na uhusiano aliopo huchangia kuwa na hamu au kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa. Wanawake wengi mwanzo wanakuwa wanafanya ngono mara tano kwa wiki na baadae hamu hupotea na kuanza kufanya ngono mara moja kwa mwezi tena kwa kujilazimisha. Tatizo hili linaweza kuanza kwa mwanamke kukosa msisimko (raha ya tendo), kutofikia kileleni au kufika kileleni na kushindwa kuendelea na tendo la ndoa baada ya mzunguko mmoja. Wanawake walio katika hatari ya kupata tatizo hili Wanawake ambao waliwahi kupatwa na tatizo la kupungua hamu ya kujamiiana hapo mwanzo wanaweza kupatwa na tatizo hili kwa mara ya pili. Wale ambao wamefanyiwa upasuaji wa kuondoa mayai yao ya uzazi kutokana na sababu mbalimbali kama magonjwa au uzazi wa mpango. Wanawake ambao waliofika umri wa kukoma hedhi mara nyingi huanzia kati ya miaka 45 na 55 ingawa kuna wachache huanza kabla ya umri huo. Matatizo ya homoni si chanzo pekee cha kukosa hamu ya ngono. Sababu zingine ni pamoja na: Mzunguko mbovu au kukosa kabisa hedhi Ikiwa mwanamke ana mzunguko wa kati ya siku 24 hadi 34 ni dalili kuwa ovari na homoni zake zinafanya kazi vizuri. Mzunguko mbovu wa hedhi au kutopata kabisa hedhi huwa ni ishara kuwa homoni za mwanake haziko vizuri. Kukosa hedhi kwa zaidi ya miezi sita ni ishara kwamba hakuna uwiano mzuri wa homoni ya istrojeni. Tatizo hili linaweza kuathiri tendo la ndoa hivyo ni vyema kumuona daktari kwa msaada zaidi. Kukoma hedhi (Menopause) Baada ya hedhi kukoma, ovari za mwanamke huacha kutengeneza homoni, hivyo kiasi cha homoni ya istrojeni na istrojeni hupungua na wakati mwingine huisha kabisa. Wanawake wengi katika kipindi hiki hupatwa na shida ya uke kukauka (kukosa ute wa kutosha) na kupungua hamu ya tendo la ndoa. Kupungua kwa homoni ya istrojeni husababisha nyama ya uke kuwa nyembamba na kukauka hivyo kusababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa. Ikiwa tendo la ndoa litasababisha maumivu kwa mwanamke hatataka kufanya tendo hilo mara kwa mara na jinsi anavyofanya mara chache ndivyo tatizo linavyozidi kukua. Wakati mwingine tatizo la uke kukauka linaweza kutatuliwa kwa kupaka mafuta ya kulainisha uke au mafuta ya nazi. Matumizi ya virutubishi vya homoni ya testosterone yanaweza kusaidia na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake waliokaribia kukoma hedhi na wale waliokoma, ingawa virutubisho hivi huweza kusababisha chunusi, kuota nywele mwilini na huongeza kiwango cha lehemu (cholesterol) kitu ambacho kinaweza kusababisha matatizo ya moyo. Matatizo ya kihisia Kuwa na wasiwasi, msongo wa mawazo na mikazo katika maisha ambayo huchangiwa na matatizo ya uchumi, matatizo katika uhusiano kama ugomvi, kutoelewana, kutoaminiana huathiri mwili na kufanya homoni muhimu kwa ajili ya tendo la ndoa kutotengenezwa kwa kiwango cha kutosha. Pia mzunguko wa damu katika tupu ya mwanamke hupungua na hivyo kusababisha maumivu wakati wa kujamiiana. Historia ya kubakwa au kupata maumivu wakati wa kujamiiana hapo awali kutokana na mwanamke kutokuwa tayari au kutotayarishwa vyema husababisha uke kuwa mdogo kuruhusu uume kupita, tatizo ambalo kitaalamu huitwa vaginismus. Matumizi ya vilevi Matumizi ya dawa za kulevya na unywaji pombe kupita kiasi hupunguza hamu ya tendo la ndoa, ingawa kuna baadhi ya watu huamini kuwa unywaji pombe kali huongeza hamu ya kujamiiana au kupunguza uzito. Pombe kali au kilevi cha aina yoyote vikitumiwa kupita kiasi hupunguza hamu ya kujamiiana na pombe huongeza uzito na kusababisha utapiamlo hasa kitambi. Maradhi Magonjwa kama kisukari, magonjwa ya mifupa (arthritis), magonjwa ya moyo, saratani ya aina yoyote ile, matatizo ya kupungua kwa homoni ya tezi la koo (hypothyroidism) ambayo hutokea zaidi kwa wanawake kuliko wanaume husababisha kupungua hamu ya tendo la ndoa. Vilevile madhara ya dawa mbalimbali kama za kushusha shinikizo la damu na za saratani. Ujauzito, kujifungua na kunyonyesha Mwanamke anaweza kukosa hamu ya tendo la ndoa kutokana na mabadiliko katika mfumo wa homoni au vichocheo wakati wa ujauzito. Pia kutokana na mabadiliko ya maumbile ya wanawake wakati huo na kufanya mwanamke kutojiamini kufanya tendo la ndoa. Mwanamke akijifungua na kuanza kunyonyesha homoni ya prolactin huwa katika kiwango cha juu. Homoni hii hufanya kazi ya kumfanya mtu kuridhika baada ya ngono/tendo la ndoa, hushirikiana na homoni/kichocheo nyingine iitwayo dopamine inayofanya mtu kufikia kilele wakati wa tendo la ndoa. Hata hivyo, homoni ya prolactin inaweza kuongezeka wakati mtu akiwa kwenye usingizi mzito hasa wakati wa alfajiri, baada ya kufanya mazoezi, kula, baada ya tendo la kujamiana, baada ya upasuaji mdogo na hata baada ya kupata degedege. Sababu zingine za kuongezeka kiwango cha homoni hii ni kuwa na saratani ya ubongo. Vidonge vya uzazi wa mpango Vidonge vingi vya uzazi wa mpango hugandisha homoni ya testosteroni kwenye mwili na huweza kusababisha kupungua kwa hamu ya ngono kwa baadhi ya wanawake. Ikiwa una hofu juu ya njia ya uzazi ya mpango yenye homoni ni vyema kuzungumza na daktari juu ya njia nyingine isiyokuwa na homoni. Usiache tu kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa kuhisi ndio sababu ya wewe kutopata hamu ya tendo la ndoa bila kuzungumza na mtaalamu wa afya. Mambo Mengine Uharibifu wa neva inayohusika na kuongeza msisimko wakati wa kujamiana (pudendal nerve) wakati wa upasuaji wa kuondoa mfuko wa uzazi kwa mwanamke mwenye matatizo ya uzazi au katika mfuko wa kizazi. Uchovu mwingi baada ya majukumu ya kulea mtoto/watoto, kazi na kumhudumia mume wake. Matumizi ya vifaa vya kieletroniki kupita kiasi hasa uraibu wa mitandao ya kijamii kama Facebook & Instagram. Kupenda kuchat au kutumia intaneti kupita kiasi na hivyo kusababisha msisimko kupotea kati ya wenza wawili mwishowe kupungua uwezo au hamu ya kujamiiana. Ikiwa unapata hedhi katika mpangilio mzuri, husikii maumivu ukifanya tendo la ndoa na hautumii njia yoyote ya uzazi wa mpango yenye homoni basi tatizo lako la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa linaweza lisiwe tatizo la homoni moja kwa moja. Ni vyema kumuona daktari kwa msaada zaidi By 🅱 professional love
...

🅱professional love Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi humpata mwanamke yeyote aliye katika umri wa kuzaa. Tatizo hili huanza ghafla au taratibu ambapo awali mwanamke alikuwa anapata siku zake katika utaratibu unaoeleweka lakini mama haelewi au hajielewi jinsi mzunguko wake unavyoenda. Tunaposema mzunguko unavurugika ni kwamba tarehe maalumu hazieleweki kwa hiyo mwanamke anashindwa kutimiza malengo yake kwa kutumia mzunguko huo. Unaweza kujikuta unapata hedhi ghafla mahali usipotarajia hivyo unabaki na wasiwasi hujui la kufanya kwa kuwa hukujiandaa. Vilevile inaweza kutokea ukapoteza kabisa siku zako, mfano endapo ulitarajia tarehe fulani uingie, mara hakuna dalili na wala huingii. Malengo katika mzunguko wa hedhi au faida za kuufahamu mzunguko huo ni kwamba; kwanza utakusaidia kuepuka kupata mimba usiyoipangilia, pili utakusaidia kupata mimba uliyoipangilia na tatu utaweza kupanga upate mtoto gani kama ni wa kike au wa kiume. JINSI TATIZO LINAVYOTOKEA Kuvurugika kwa mzunguko utagundua endapo utafahamu vizuri mzunguko wako, ili kufahamu mzunguko inabidi ujue siku uliyoanza kuona damu hadi utakapoona tena.Mzunguko daima huwa unatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke. Tatizo linapotokea linaweza kuwa kwa kurukaruka siku, kupoteza siku yaani mwezi mwingine unaona na mwingine hauoni, au unaingia mara mbili kwa mwezi au unaona damu ya hedhi kwa siku zaidi ya arobaini.Damu ya hedhi inaweza kutokea kidogo kidogo au nyingi huku ikiambatana na mabongemabonge na maumivu. Maumivu wakati wa hedhi husambaa chini ya tumbo hadi miguuni na kiunoni. CHANZO CHA TATIZO Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi husababishwa na mabadiliko ya mazingira ambapo mfumo wa mwili pia hubadilika hasa unapotoka sehemu ya joto kwenda mikoa ya baridi au toka mikoa ya baridi kwenda mikoa ya joto. Matatizo mengine ni hofu, woga, mabadiliko ya kisikolojia, uwepo wa uvimbe kwenye kizazi, matatizo katika mfumo wa homoni, matatizo katika vifuko vya mayai na tabaka la ndani la kizazi pia ni mojawapo ya chanzo cha tatizo hili. Kuharibika kwa mimba pia huchangia tatizo hili kwa kiasi kikubwa ambapo unapata damu bila ya mpangilio na maumivu makali. Maambukizi sugu ya kizazi pia ni mojawapo ya sababu. Dalili ya maambukizi sugu ya kizazi ni maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara ambapo kila ukipimwa unaambiwa ni ugonjwa wa Yutiai kumbe siyo, kutokwa na uchafu ukeni na maumivu wakati wa tendo la ndoa. UCHUNGUZI NA TIBA Hufanyika katika kliniki za magonjwa ya akina mama ambapo baada ya vipimo mbalimbali ambavyo daktari ataona vinafaa tiba itafanyika. Vipimo vya damu, Ultrasound na vingine vitafanyika kadiri daktari atakavyoona inafaa. Athari za kuvurugika mzunguko ni kutopata ujauzito, maambukizi ya kizazi na kuziba mirija. Wahi hospitali unapopata mabadiliko katika mzunguko wako wa hedhi. KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI
...

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI NA MWANAMKE WAKATI WA HEDHI. On 5:21 AM By Emmanuel Kikoti Tweet 7 SOCIAL HALL Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi...Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}.. MADHARA KWA MWANAUME. 1.Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu. 2.Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume. 3.Kuziba kwa njia ya mkojo. 4.Utasa au ugumba. 5.Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume. 6.Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke ni mchafu.Pia hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi. MADHARA KWA MWANAMKE. 1.Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi kama vile shingo ya kizazi,mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID( PELVIC INFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi. 2.Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi.(Dysmenorrhea). 3.Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake. 4.Utasa au Ugumba. 5.Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa. 6.Athari mbaya ya kisaikolojia:Mwanamke atahisi kuwa mumewe hamjali wala mpendi bali anajali hisia zake za kingono na kwamba yeye anatumika kingono tu.Pia kuona kuwa mumewe ajali afya yake pamoja na maumivu anayoyapata lakini bado huyu mume anataka KU-DO. NOTE Hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.
...

❤FAIDA 15 ZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA❤ Tendo la ndoa tangu uumbaji lililengwa kati ya mwanaume na mwanamke waliofunga ndoa, sasa hivi dunia imebadilika sana kiasi kwamba tendo hili sio lazima kuliita la ndoa tena. watu wengi wamekua wakishiriki tendo la ndoa bila kufungua ndoa .. vile vile kutokujua faida zake.lakini tendo la ndoa lina faida nyingi sana kiafya na kisaikolojia. Hivyo kama wewe una mke, mchumba au mpenzi halafu kila siku unampa sababu za kutoshiriki basi huenda hujui faida zake. hebu tuzisome kama ifuatavyo.. 👉🏿 HUONDOA MSONGO WA MAWAZO; kipindi cha tendo la ndoa mwili hutoa hormone inayoitwa kitaalamu kama endophirn ambayo huleta furaha.kila aliyeshiriki tendo la ndoa atakua shahidi kama una msongo wa mawazo sana ukaenda kufanya tendo hili utajikuta unajisikia vizuri sana, 👉🏿 HUPUNGUZA PRESHA YA DAMU; wakati wa tendo la ndoa damu inapita kwa kasi sana kwenye mishipa ya damu na kuondoa vikwazo kama mafuta, lehemu na kunyoosha mishipa iliyosinyaa.utafiti unaonyesha tendo la ndo hushusha presha ya chini kitaalamu kama diastolic pressure. 👉🏿 HUONGEZA KINGA YA MWILI; askari wa mwili kwa jina immunoglubin hutolewa na mwili kupambana na magonjwa wakati wa tendo la ndoa, kama huamini basi shiriki tendo la ndoa ukiwa na mafua na baadae utashindwa kuelewa mafua yameenda wapi. 👉🏿 HUIMARISHA MAHUSIANO; kuna homoni ya furaha na uzazi inaitwa oxytocin homoni, homoni hii hutengenezwa na mwili kipind cha tendo la ndoa.kama umekaa kwenye mahuasiano muda mrefu utagundua kwamba ikitokea umegombana na mpenzi wako halafu mkafanya tendo la ndoa basi ugomvi unaisha bila hata kuongelea swala lililowagombanisha. 👉🏿 HUPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA KANSA YA TEZI DUME; utafiti uliofanyika nchini australia uligundua kwamba wanaume wanaoshiriki tendo la ndoa angalaua mara 21 kwa mwezi wako kwenye hatari ndogo sana ya kupata kansa ya tezi dume kuliko wale wasioshiriki hivyo kama mpenzi au mke wako hakupi ushirikiano basi atakuletea kansa. 👉🏿 HUSAIDIA KUPATA HEDHI KWA WAKATI; tendo la ndoa huweka homone za uzazi kitaalamu kama oestrogen na progesterone kwenye kiwango sawa. hii husaidia kupata siku zako kwa wakati na bila maumivu.kimsingi tendo la ndoa husaidia sana kuliko vidonge vya uzazi ambavyo humezwa na watu ambao hawaoni siku zao. 👉🏿 HULETA USINGIZI WA KUTOSHA; hii haihitaji ubishi au ushahidi mara nyingi baada ya kushiriki tendo la ndoa hata kama ni mchana kila mtu hupata uchovu fulani na kujikuta unapitiwa na usingizi kwa muda mrefu. 👉🏿 NISEHEMU YA MAZOEZI; tendo la ndoa lina faida zote ambazo mtu anayefanya mazoezi anazipata ikiwemo kupungua uzito, kua na afya bora hata kuondoa kitambi kwani wakati wa tendo la ndoa mapigo ya moyo huongezeka, kasi ya upumuaji hua juu na kua sawa na mtu wa mazoezi. 👉🏿 HUKUFANYA UISHI MUDA MREFU; moja ya sababu kuu zinazofanya watu wafe mapema ni kukosa furaha ya maisha, na kua na afya ambayo sio nzuri.watu wanaoshiriki tendo la ndoa wanapata faida za kua na afya bora na furaha. 👉🏿 HUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA UWEZO WA KUFANYA TENDO; watu wengi wenye umri zaidi ya miaka 40 huanza kupungukiwa nguvu za kiume. hii ni sababu ya damu kidogo ambayo inafika kwenye uume. tendo la ndoa mara kwa mara hupeleka damu nyingi kwenye uume na kukufanya ue na uume imara na wenye nguvu. 👉🏿 HUKIFANYA UONEKANE MDOGO KIUMRI; tendo la ndoa mara kwa mara hukufanya mwili uwe bize kumwaga homoni mbalimbali mwilini ambazo humfanya mtu aonekane mdogo kwa miaka kumi ukilinganisha na umri wake halisi. 👉🏿 HUIMARISHA AFYA YA MOYO; tendo la ndoa huchoma mafuta ambayo ni sumu kwa moyo, mafuta mengi huweza kuziba mishipa ya moyo na kusababisha shambulio la moyo kitaalamu kama heart attack. 👉🏿 HUONGEZA NGUVU KWENYE MISULI YA NYONGA; katika umri fulani mkubwa wanawake hupata matatizo ya kushindwa kuzuia mkojo sababu ya kuzaa mara kwa mara. kipindi cha tendo la ndoa wakati mwanamke anafika kileleni uke wake unabana sana na kufanya misuli yake ya nyonga kua na nguvu. 👉🏿 HUPUNGUZA MAUMIVU; utafiti uliofanywa na madaktari bingwa wa mifupa umegundua kwamba wagonjwa wa baridi yabisi au athritis ambao wanashiriki tendo la ndoa mara kwa mara hawasumbuliwi sana na maumivu kama hao wasio shiriki.
...

NI VEMA UKAYAJUA HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA: 1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote. 2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa. 3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema. 4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote. 5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu. 6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi. 7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa: (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wagomvi. Aina tano za wanawake wa kuepukwa; (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wachawi (d) Wagomvi (e) wasio tii 8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha. 9. Maneno matatu yanayojenga amani katika Ndoa: (a) Nakupenda. (b) Samahani. (c) Asante. 10. Kupiga punyeto kwa mwanaume na kujichua kwa mwanamke ni kuharibu mwili wako mwenyewe. 11. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta. Hamuwezi kufika popote. 12. Mafanikio ya Ndoa siku zote ni pembetatu: >Mungu mmoja > Mume mmoja > Mke mmoja. 13. Furaha ya kudumu maishani hutegemea na chaguo lako la mwenzi ktk Ndoa. 14. Usioe/kuolewa na pesa au mali. Oa/Olewa na mtu. Pesa/Mali hufilisika lakini utu hudumu milele. 15. Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko Ndoa isiyo na amani wala furaha. 16. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano mzuri wa mwanamke. Hakuna mwanamke mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa. 17. Mapenzi si upofu. Upofu ni kuoa ama kuolewa na mwanamume/mwanamke kwa sababu tu anakidhi haja zako kingono. 18. Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki wema. Vivyo hivyo kwa marafiki wabaya (Bad company corrupt good character) 19. Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali. 20. Iepuke Ndoa mbaya kabla haijaanza... ""Mungu awabariki Sana"". Watumie na wengine wajifunze.!
...

_*UKIAMBIWA "GOOD NIGHT" SAA MBILI UJUE KUNA MWENZAKO ANAAMBIWA HAYA "NIAMBIE"*_ _*Hapo ndo utajua Mapenzi safari na wewe huna Nauli*_ 👣👣👣👣👣👣👣👣👣 ⭐💞⭐💞⭐💞⭐💞⭐💞 _Wewe ndie nyota yangu,usiku wamulikia Uniachi peke yangu ukanacha ninalia Nikabaki peke yangu mbali ukanikimbia Nakupenda ewe wangu💋kwengine siwezi kwenda_ ⭐💞⭐💞⭐💞⭐💞⭐💞 💞🌙💞🌙💞🌙💞🌙💞🌙 _Wewe ndie mwezi wangu,usiku waangazia Ewe ndie taa yangu mwanga wanimulikia Wewe ndie nuru yangu wewe ndo langu pazia Nakupenda ewe wangu💋kwengine siwezi kwenda_ 💞🌙💞🌙💞🌙💞🌙💞🌙 🍯💞🍯💞🍯💞🍯💞🍯💞 _Wewe ni asali wangu nyuki sitowafukuza Kuvunja mzinga wangu ni jambo nisiloweza Nikabaki peke yangu,ulimwengu kuniweza Nakupenda ewe wangu💋kwengine siwezi kwenda_ 🍯💞🍯💞🍯💞🍯💞🍯💞 🌂💞🌂💞🌂💞🌂💞🌂💞🌂 _Ewe ndio shuka langu,lanilinda kwa baridi Wewe ndie koti langu daima sitokaidi Takulinda vazi langu,ili nije kufaidi Nakupenda ewe wangu💋kwengine siwezi kwenda_ 🌂💞🌂💞🌂💞🌂💞🌂💞 *🅱 professional love* ......♥......................♥...♥ ..........♥.............♥............♥ ..............♥.....♥...................♥ ...................♥.....................♥ ................♥......♥..............♥ ..............♥.............♥....♥ .............♥ ...........♥ ..........♥ .........♥ .........♥ ..........♥ ..............♥ ...................♥ ..........................♥ ...............................♥ .................................♥ .................................♥ ..............................♥ .........................♥ ..................♥ .............♥ ......♥ ...♥ .♥.............................♥....♥ ♥..........................♥...........♥ .♥......................♥................♥ ..♥...................♥..................♥ ...♥....................................♥ .....♥................................♥ ........♥..... ....................♥ ...........♥...................♥ ..............♥..............♥ ..................♥.......♥ .....................♥..♥ .......................♥ ''''''''''''''''❤❤*
...

🌹NASAHA KWA WANANDOA WOTE🌹 1. Amueni kupendana hata katika nyakati za changamoto. Upendo ni kushikamana na mwenzako, sio hisia tu. 2. Daima pokea simu ya mumeo/mkeo anapokupigia na ikiwezekana izime simu yako au ondoa mlio unapokuwa pamoja naye. 3. Upe kipaumbele muda wa kukaa naye. Fanya utaratibu wa kuwa na USIKU WA MUME/MKE kama tulivyofundisha kwenye madarasa yetu ya WhatsApp. Muda ndio “sarafu ya ndoa” hivyo wekeza muda kwenye ndoa yako. Hakikisha uwekezaji wako unakuwa endelevu. 4. Shikamana na marafiki watakaoifanya ndoa yako iwe imara, achana na wale watakaokufanya uwe na MTAZAMO HASI. 5. Lifanye tabasamu na kicheko kuwa ala ya ndoa yenu. Furahini pamoja, na hata katika nyakati ngumu tafuteni sababu ya kufurahi na kucheka. Wale wanaocheka pamoja, hudumu pamoja. 6. Katika kila mabishano, kumbuka kuwa hakuna “mshindi” na “mshindwa”. Nyinyi ni washirika katika kila kitu, hivyo nyote mtakuwa washindi au nyote mtashindwa. Unganeni kutafuta suluhisho la tatizo. 7. Kumbuka kuwa ndoa imara ni nadra kuwa na watu wawili imara kwa wakati mmoja. Utakuta mume na mke wanapeana zamu ya kuwa imara pindi mmoja wao anapokuwa dhaifu. 8. Yape kipaumbele maisha ya kitandani. Ili kuwa na ndoa imara unahitaji zaidi ya tendo la ndoa, lakini ni vigumu kujenga ndoa imara bila tendo la ndoa. 9. Kumbuka kuwa ndoa sio 50-50, talaka ni 50-50. Ndoa inatakiwa kuwa 100-100. Ndoa sio kugawa kila kitu nusu kwa nusu, bali kila mmoja anatakiwa kila kitu kwa mwenzake. 10. Mpe mwenza wako kitu bora kabisa, sio mabaki baada ya kumpa kizuri mtu mwingine. 11. Jifunze kutoka kwa watu wengine, lakini usiyalinganishe maisha yako au ndoa yako na watu wengine. Kila mtu ana maisha yake ya kipekee kabisa. 12. Usiipe likizo ndoa yako wakati ukiwalea watoto wako, vinginevyo unaweza kutoka kapa. 13. Msifichane mambo ya msingi. Usiri ni adui wa mahabba ya kweli. 14. Msiongepeane. Urongo huvunja uaminifu na uaminifu ndio msingi wa ndoa imara. 15. Unapofanya kosa, kubali na uombe msamaha kwa njia nzuri. Unatakiwa kufanya haraka kusema: “Nilikosea. Kumradhi. Tafadhali nisamehe.” 16. Mumeo/mkeo anapokukosea, fanya haraka kumsamehe. Hilo litakupatia tiba ya moyo na kutengeneza fursa ya kujenga upya upendo wenu. Fanya haraka kusema: “Ninakupenda. Tusonge mbele.” 17. Vumilianeni. Mwenza wako daima ni muhimu zaidi kuliko ratiba zako. 18. Tengeza ndoa ambayo itawafanya watoto wako wa kiume wapende kuwa waume wazuri na mabinti zako wapende kuwa wake wazuri. 19. Unatakiwa kuwa mhamasishaji mkuu wa mwenza wako, badala ya kuwa mkosoaji wake mkuu. Unatakiwa kuwa mwenye kumfuta machozi badala ya kuwa mwenye kumsababishia machozi. 20. Kamwe usimzungumzie vibaya mwenza wako kwa watu wengine au kumtia kasoro au kumkosoa hadharani au mtandaoni. Mlinde mwenza wako nyakti zote na mahala popote. 21. Mnatakiwa kusali pamoja. Kila ndoa huwa imara zaidi pindi mnapokuwa karibu na Mungu wenu. 22. Usifikirie talaka kama chaguo lako. Kumbuka kuwa “ndoa bora” hutengenezwa na watu wawili ambao sio wakamilifu na ambao hawako tayari kuachana. *🥀🅱 professional love 🥀*
...

TREVO NI NINI? TREVO NI NINI? 1. Trévo ni mchanganyiko wa jumla ya virutubisho 174 ambavyo vinatokana na mimea, mboga mboga na matunda yaliyokusanywa toka sehemu mbalimbali duniani. Mchanganyiko huo uliozaa kirutubisho cha Trévo umetengenezwa nchini Marekani na Billionaire aitwaye Mark Stevens na Mkewe Holli. Ukweli ni kuwa Trévo ni zao la kazi ya utafiti wa zaidi ya miaka 4 na pia utafiti wa zaidi ya miaka 2 wa matumizi yake na kukifanya kuwa kimiminika cha virutubisho bora vilivyokusanywa toka mabara yote ya dunia hii. Trévo imejitanabaisha kuwa kirutubisho pekee duniani chenye mchanganyiko wa virutubisho vingi vya vitamins, madini muhimu ya mwili, matunda ya kutoa sumu mwilini (antioxidants), madini mbalimbali na mimea yenye uwezo wa kutibu magonjwa (herbs). Trévo ina nguvu tatu inazofanya katika cell ya mwanadamu: kufanya upya (Renew), kufufua (Revive) na kurejesha uwezo (Restore). 2. Sifa nyingine kubwa ya Trévo ni kuwa imetengenezwa kwa vichembe chembe vidogo sana (micro ionized) vinavyoiwezesha Trévo kufyonzwa kwa urahisi na cell na kuanza kutumika hapo hapo mtu anapoinywa. Hii ina maana kwamba mtu anapokunywa Trévo inaanza kufyonzwa ndani ya cell sekunde kadhaa inapoingia mdomoni na inaingia tumboni huku ikiendelea kufyonzwa. 3. Trévo ina Amino Acids zinazohitajika katika mwili. Amino Acid ni muhimu kwa maisha, na huwa na majukumu mengi katika umetaboli (metabolism). Kazi moja muhimu hasa ni kutumika kama miundo msingi ya ujenzi wa protein. Sehemu kubwa ya cells za binadamu, misuli na tissue imejengwa na amino acids ambazo pia ndio zinazounda sehemu kubwa ya proteins. 4. Trévo ina mchanganyiko unaoifanya kuwa anti oxidant yenye nguvu sana. Seli za mwili huhitaji hewa ya oxygen ili ziweze kufanya kazi. Hewa ya oxygen hutumika kuunguza vyakula tunavyokula ili kuupatia mwili nguvu. Ili hewa ya oxygen isilete madhara mwilini ni lazima itumike yote kwa ufanisi kwani ikibaki mwilini inaweza sababisha kutengenezwa kwa free radicals zinazoweza kupelekea mtu kupata saratani (cancer), cell kufa (necrosis), watoto kuzaliwa na matatizo yasiyo ya kawaida (mutation), n.k. Free radicals ni atoms zenye namba witiri za elektron ambazo zinauwezo wa kuungana na element kama mercury, shaba ( heavy metals ) pamoja na madawa mengine kutengeneza kemikali zinazoweza kusababisha madhara kwenye chembechembe za urithi ( DNA). Pamoja na uwezekano wa kupelekea saratani, atom hizi zinaweza zikasababisha: Uchovu wa mwili, Kuzeeka mapema, Matatizo ya akili, Ukosefu wa kumbukumbu, Kizunguzungu, Kichefuchefu, n.k. Mchanganyiko ulioko ndani ya Trévo unaipa nguvu kubwa sana ya kutoa sumu mwilini kwa kuwa imekuwa na antioxidant kubwa kupambana na maradhi mbalimbali ndani ya mwili wa mwanadamu. Ikumbukwe pia miili yetu inapata magonjwa mbalimbali tena kwa urahisi kukiwa na ukosefu wa virutubisho. Trévo inasaidia magonjwa yafuatayo: 1. Kisukari 2. Kansa 3. Presha (BP) 4. Magonjwa ya Macho 5. Magonjwa ya Ngozi 6. Changamoto za kukosa watoto kwa wanaume na wanawake 7. Matatizo yote ya kipindi cha Hedhi kwa wanawake 8. Kuongeza CD4 haraka kwa wanaoishi na virusi vya ukimwi 9. Magonjwa ya Moyo 10. Kupooza (stroke) 11. Watoto wasiopenda kula 12. Asthma 13. Allergy 14. KUPUNGUZA UZITO 15. Kutoa sumu mwilini kwa hali ya juu sana kwa kiwango cha ORAC (Oxygen Radical Absorbance Capacity) cha 373,000 antioxidant. Pia Trévo imegundulika kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutoa sumu katika mwili kwa kutumia kipimo cha CAP-e (Cell-based Antioxidant Protection in Erythrocytes – njia ya kisasa ya kubaini uwezo wa kutoa sumu katika cell za mwili wa viini lishe vya asili). 16. Changamoto ya kubalance homoni (hormones) za mwili kwa wale wanawake wanaopata mimba bila mpangilio 17. Kuleta brain focus (kutoa stress) 18. Kukupa usingizi unaostahiki bila kuamka amka na bila uchovu 19. Kuwapa umakini wa akili watoto katika ukuaji wao 20. Vidonda vya tumbo na kujaa gesi tumboni 21. Mifupa na joints kwa wale wenye umri mkubwa 22. Matatizo ya mgongo 23. Viungo kupata ganzi 24. Kuimarisha na kukuepusha na maradhi kwa ujumla na mengine mengi sana ambayo hayajatajwa hapo juu. Pia Trévo imethibitishwa na mashirika makubwa ya afya duniani. 1. KOSHER. ni shirika la Waisraeli ambalo hutoa certificate na nembo ktk vyakula ambavyo ni sahihi kutumiwa na mtu mwenye imani ya Kikristo au Myahudi. Hii inamaana kirutubisho hiki kinafaa kuliwa na watu wa imani hizo kwa kuwa hakina mchanganyiko unao pingana na imani hii 2. ORAC- ni maabara kubwa inayotumika kupima uwezo wa utoaji sumu mwilini katika vyakula. Maabara hii iliipatia Trévo kiasi kikubwa sana cha antioxidant cha 373,000. Ni kiasi cha juu sana kulinganisha na virutubisho vingine vilivyopo au vilivyowahi kuwepo sokoni 3. HALAL ni shirika la Kiarabu kwa wale wenye imani za Kiislamu. Walithibitisha kuwa Trévo ni salama kwa mtumiaji mwenye imani hiyo na haina mchanganyiko wa kwenda kinyume na imani hiyo 4. VEGETARIAN . Ni shirika la watu wasio kula mazao ya mnyama bali wana kula mboga mboga, mimea, matunda na mizizi 5.TFDA- Shirika la Chakula na Dawa Tanzania. Shirika hili liliithibitisha Trévo kuwa ni sahihi kwa matumizi ya Mtanzania na hivyo wakaipa Certificate mnamo tarehe 11/11/2014
...

*INAMAANA GAN?* watu watatu walipata *ajali* ya gari na hawakujitambua kabisa. Raia mwema akatokea sehem ya ajali na akataka kupiga simu *kwa msaada* bahati mbaya hakuwa na simu. Kwenye ajali kulikuwa na *simu 6* lakin zote zilikuwa na _*PASSWORD.*_ Mwisho wa wakakosa msaada wa kuwahishwa hospitali na hatimae wakafariki wote. . . *Mama Mjamzito* alianguka ghafla nyumban kwake akiwa na mwanae mdogo wa kike, alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie *baba yake* kwa msaada zaidi, kwa bahati mbaya simu ilikuwa na _*PASSWORD*_ yule akachelewa kuwahi kupata huduma na mwisho *akapoteza maisha.* . . *Nani mwenye makosa?* *USHAURI*. Wewe una *thamani* sana kuliko *taarifa* unazoziwekea usalama katika simu. Weka _*PASSWORD*_ katika _*WhatsApp, Facebook, Message, Gallery n.k*_ Acha upande wa *Phonebook* na *Calls* bila *_PASSWORD,_* siku moja yawezekana ukaokoa *maisha* yako au ya wapendwa wako. *_PASSWORD_* katika simu yako yaweza pelekea *umauti* wako. *Fikiria mara mbili*
...

SIRI ZA GIZANI NO 8 Ibra alipo muona ndugu yake anaogeshwa na bibi yake usiku kama ule, kiukweli hakuamini kabisa ikabidi asogeze jicho vizuri ili amuone kama kweli ni Nasra anaogeshwa na wakati kila mtu ameisha msahau akijua ni marehemu tayari. Ibra alipo mtazama vizuri kwa ukaribu akamuona kweli ndugu yake, dahhh alichoka maana Nasra alikuwa amekonda sana, sababu ya chakula kibaya, alafu zile nywere zake alizo kuwa amesuka kipindi anakufa ndo hizo hizo alizo kuwa nazo bado na zimechakaa kweli kweli. Sasa bibi Nasra alihisi kama kuna mtu anamchungulia mlangoni, hapo hapo akamrudisha Nasra kwenye diaba haraka sana. Kumbe Ibra alikimbia kuwa amsha wazazi wake waamke ili waje kumuona Nasra chumbani kwa bibi, Ibra akasema, "baba, baba, babaaa amka njoo umuone Nasra yupo chumbani anaogeshwa na bibi, baba amka nasra wetu hajafa baba", baba yake alitoka akaanza kumchapa Ibra akimwambia, "hivi we mtoto unamatatizo gani kwanini unapenda kutusumbua tukiwa tumelala lakini, mi nina mawazo yangu kibao hapa, mama yako anaumwa kansa naangaika na mawazo bado na wewe unaniletea za kuleta, mshezi kweli, kalaleee" kipindi baba yake anaongea vile, mke wake akasema "mme wangu unaweza kumchapa mtoto bila kujua labda mambo anayo yasema niya ukweli, ebu tumruhusu atwambie alicho kiona usiku wa leo" baba yake akasema, "umeona nini kwani" Ibra akasema, "baba bibi yetu ni mchawi, maana Nasra hajafa bibi ndiye anae chumbani" baba yake akasema, "we mtoto unawazimu gani lakini, hivi hizi laani utaziweka wapi wewe, yaani unamuita bibi yako mchawi una akili kweli" mke wake akasema " mme wangu usikasilike unajua watoto wetu hatukuwazoesha kukaa na bibi zao, labda wakiwaona walivyo zeeka wana hisi ni uchawi au uganga labda tumuelekeze aelewe na sio kumkalipia" Ibra akasema, "baba bibi ni mchawi, kama sio mchawi kwanini anaishi na Nasra peke yake, mwambie amtoe nasra nataka kucheza nae na mimi, kila siku yeye tu anacheza nae" mama Nasra akasema "yaweza kuwa kweli mme wangu" baba nasra akasema "we we we! Naomba msirudie kumuita mama yangu mchawi, yeye amenizaa mimi kama angekuwa mchawi si angeniua nikiwa mdogo, iweje aiteketeze familia yangu, acheni kumsingizia mama yangu bhana, Ibra akasema...ITAENDELEA YA 9 *Utaka mwendelezo 1000 tu njo 📩* *Asnteni sana wadau WA Team B professional lov*
...

NI VEMA UKAYAJUA HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA: 1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote. 2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa. 3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema. 4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote. 5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu. 6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi. 7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa: (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wagomvi. Aina tano za wanawake wa kuepukwa; (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wachawi (d) Wagomvi (e) wasio tii 8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha. 9. Maneno matatu yanayojenga amani katika Ndoa: (a) Nakupenda. (b) Samahani. (c) Asante. 10. Kupiga punyeto kwa mwanaume na kujichua kwa mwanamke ni kuharibu mwili wako mwenyewe. 11. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta. Hamuwezi kufika popote. 12. Mafanikio ya Ndoa siku zote ni pembetatu: >Mungu mmoja > Mume mmoja > Mke mmoja. 13. Furaha ya kudumu maishani hutegemea na chaguo lako la mwenzi ktk Ndoa. 14. Usioe/kuolewa na pesa au mali. Oa/Olewa na mtu. Pesa/Mali hufilisika lakini utu hudumu milele. 15. Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko Ndoa isiyo na amani wala furaha. 16. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano mzuri wa mwanamke. Hakuna mwanamke mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa. 17. Mapenzi si upofu. Upofu ni kuoa ama kuolewa na mwanamume/mwanamke kwa sababu tu anakidhi haja zako kingono. 18. Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki wema. Vivyo hivyo kwa marafiki wabaya (Bad company corrupt good character) 19. Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali. 20. Iepuke Ndoa mbaya kabla haijaanza... ""Mungu awabariki Sana"". Watumie na wengine wajifunze.!
...

Habari zenu wakuu, Leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana. Njia ya kwanza; Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na moto vua nguo zako za chini kua kama unafukiza uke wako hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia katika uke wako. Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufurahia. Njia ya pili: Chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba. Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa
...

Mazoezi ya msuli wa PC ufanya uke kuwa (mnato) na usaidia misuli ya uume 🅱 professionallove kwa muda sasa nimekuwa nikiona post mbalimbali zinazoomba msaada hasa kwa wanawake kutoridhika wakiwa faragha na hivyo lawama kutumiwa wanaume kwa kutowaridhisha pia wanaume wengi huwa tunaathirika kisaikolojia mara baada ya kufanya mapenzi na kukuta uke wa (mkeo/mpenzi) ni mkubwa na unakupwaya. Mfano kuna kijana mmoja aliniambia amemwacha mpenzi wake eti kwa sababu amekuta kisima, akimaanisha uke mkubwa mimi nikaamua kufanya reserch kutoka vitabu mbalimbali na kufahamu kuna musuli unaoitwa musuli wa PC huu ni msuli unaobana uke na kuufanya uwe (mnato). Kila mwanamke anapaswa kufanya mazoezi ya PC. Msuli huu wa PC uwasaidia kwa kiasi kikubwa mke na mume kufurahia mapenzi pia ufanya uzazi wa mama na mtoto kuwa salama zaidi. Kama mwanamke ana musuli imara wa PC uke wake utaweza kuubana sawasawa uume wa mumewe. Jambo hili litawafanya waweze kujisikia raha zaidi wakati wa kufanya mapenzi. Lakini kama msuli wa PC ni dhaifu, uke uwa mkubwa mno na hivyo wote kushindwa kupata msisimko wakati wa kufanya mapenzi. Wanawake wengi wana musuli wa PC iliyodhaifu kwa sababu hawajui namna ya kufanya mazoezi. Namna rahisi ya kuutambua msuli wa PC ni pindi pale mwanamke anapozuia mkojo kwani msuli huo ukaza uke na kuzuia mkojo hivyo mwanamke anaweza kujifunza kwa urahisi namna ya kufanya mazoezi ya msuli huu kwa kufanya mazoezi ya kubana mkojo pindi anapokuwa anakojoa panua mapaja na kisha zuia mkojo kwa muda wa sekunde tatu na achia sekunde 3,- Baada ya hapo endelea kufanya hivyo kufunga na kufungua hadi kibofu chako kiishe mkojo kila unapobana mkojo unabana msuli wako wa PC. Kadri utakavyofanya mazoezi ya kuzuia mkojo kutoka, utajifunza -namna ya kufanya mazoezi ya musuli wa PC. Baada ya kuutambua msuli wa PC sasa unaweza kuubana muda wowote. Kila mwanamke anapaswa kufanya mazoezi ya aina hii si chini ya mara 40 kwa siku. Hii inamaana unabana kwa sekunde 3 na kuachia kwa sekunde 3 fanya hivyo mpaka ifike mara 40 au zaidi kam utaweza kwa siku. Mazoezi ya musuli wa PC unaweza kuyafanya mahali popote pale kwasababu hakuna atakayejua unafanya mazoezi haya iwe ofisini, jikoni,wakati wa kufua,chooni au ukiwa kitandani kabla na baada ya kulala na kwingineko. Mara utakapoanza kufanya mazoezi ya Musuli wa PC itachukuwa takribani wiki mbili tu kuanza kuona mabadiliko makubwa. Ongeza radha ya mapenzi kwa kufanya maxoezi haya bure tu na sio kununua madawa yenye chemical kwa gharama kubwa. Pia mazoezi haya yanafaa hata kwa wanaume hasa wale wanaowahi kufika kilele mazoezi haya yanasaidia sana na ufanya misuri ya ume kuwa imara sana mfurahie mwenzio ndani ya ndoa yako sasa.
...

Kulegea kwa misuli ya uke (Vaginal prolapse) Tatizi hili huwatokea zaidi wanawake walio kaika umri mkubwa ingawa pia linaweza kutokea katika umri mdogo.Tunapozungumzia kulegea kwa misuli ya uke hapa kuna tofauti kidogo na kutanuka kwa misuli hiyo.Tukizungumzia kulegea ina maana misuli ya ukeni inashindwa kubcana na kuachia njia.Hapa misuli inayoachia njia inapolegea hata ukichuchumaa uhisi nyama zimejaa ukeni. Chanzo cha tatizo Kulegea kwa misuli ya uke kutokana na matatizo mbalimbali na hasa uzazi wa karibu karibu,mama anayezaa kwa vipindi viwili vifupi vifupi kwa njia ya kawaida hupatwa na tatizo hili,kulegea kutokana na matatizo ya vichocheo (Hormones) za kike,kulegea kunaweza kusababishwa na magonjwa sugu kama kansa,TB na maambukizi ya HIV,Magonjwa ya zinaa haswa kawende pia huchangia. Kulegea kwa misuli ya uke kutokana na matatizo mbalimbali na hasa uzazi wa karibu karibu,mama anayezaa kwa vipindi viwili vifupi vifupi kwa njia ya kawaida hupatwa na tatizo hili,kulegea kutokana na matatizo ya vichocheo (Hormones) za kike,kulegea kunaweza kusababishwa na magonjwa sugu kama kansa,TB na maambukizi ya HIV,Magonjwa ya zinaa haswa kawende pia huchangia. Mama anayeongezwa njia, baada ya uke kutanuka pia misuli pia inalegea,ingawa uke pia unaweza kutanuka hata bila hata ya misuli kulegea.Tatizo hili la kulegea misuli pia huchangiwa na umri mkubwa kwahiyo kwa wabibi hali hii inapojitokea ni kawaida hasa kuanzia umri wa miaka 70 na kuendelea. Dalili za tatizo Mama mwenye tatizo hili wakati wa kujisafisha ukeni atahisi kama tundu limeziba au limejaa nyama na inabodi atumie muda kujisafisha mara kwa mara atakuwa anasumbuliwa na muasho na uchafu wa mara kwa mara wakati wa kufanya tendo la ndoa, maumivu wakati wa tendo la ndoa ambayo hutokea pale tu inapotokea michubuko na maumivu wakati wa tendo la ndoa. Mama mwenye tatizo hili wakati wa kujisafisha ukeni atahisi kama tundu limeziba au limejaa nyama na inabodi atumie muda kujisafisha mara kwa mara atakuwa anasumbuliwa na muasho na uchafu wa mara kwa mara wakati wa kufanya tendo la ndoa, maumivu wakati wa tendo la ndoa ambayo hutokea pale tu inapotokea michubuko na maumivu wakati wa tendo la ndoa. Tatizo ambalo huambatana na uambukizo wa muda mrefu ukeni,pamoja na mama kutojisikia wakati wa tendo la ndoa,maumivu wakati wa tendo la ndoa ambayo hutokea pale tu inapotokea michubuko,uambukizi huweza kupanda hadi kwenye mlango wa uzazi,tumbo la uzazi,mirija na vifuko vyo mayai. Maambukizo yanapofikia huko mama huumwa na tumbo chini ya kitovu mara kwa mara,mwenendo wa siku za hedhi huvurugika kupata ujauzito. Hali ya kulegea kwa misuli ya uke pia humuathiri hata mume kwani naye hushindwa kufurahia tendo la ndoa,kulegea na kutnuka kwa uke yote huathiri mahusiano ya kimapenzi kwani mama hafurahii na baba yake hafurahii tendo la ndoa. Katika kutanuka kwa uke tumeona kuwa uke unatanuka zaidi ya kipenyo chake cha halali ambacho ni sentimeta nne,hivyohivyo kipenyo cha uume ni sentimeta nne. Utawezaje kujua kama unatatizo? Mama mwenye tatizo la kutanuka kwa uke au kulegea kwa misuli ya uke anaweza kujigundua kwa kufuatilia dalili zote.Njia nyingine pitisha vodole viwili ukeni kama vitapwaya ongeza view vitatu vikiweza kuingia vitatu au zaidi bila shida yoyote sambamba na dalili ambazo tumekwisha ziona basi ujue unatatizo hili la kulegea kwa misuli ya uke inapolegea kama tulivyoona hapo awali utahisi kitu kinajaa au kuvimba au nyama zinajitokeza ukeni unapochuchumaa. Mama mwenye tatizo la kutanuka kwa uke au kulegea kwa misuli ya uke anaweza kujigundua kwa kufuatilia dalili zote.Njia nyingine pitisha vodole viwili ukeni kama vitapwaya ongeza view vitatu vikiweza kuingia vitatu au zaidi bila shida yoyote sambamba na dalili ambazo tumekwisha ziona basi ujue unatatizo hili la kulegea kwa misuli ya uke inapolegea kama tulivyoona hapo awali utahisi kitu kinajaa au kuvimba au nyama zinajitokeza ukeni unapochuchumaa. Uchunguzi Muone daktari wa magonjwa ya akina mama kwa uchunguzi na ushauri wa tiba.Vipimo mbalimbali vitafanyika kubainisha tatizo kama kipimo cha damu,vipimo vya ukeni mfano kipimo cha speculum examination,kuotesha uchafu wa ukeni,kama mama ana maumivu ya tumbo vipimo vya ultrasound pia vitafanyika,mwenendo wa mfumo homoni na historia ya tatizo kwa ujumla itafanyiwa tathimini,vilevile itasaidia kujua kama tatizo ni la kuzaliwa nalo,uzazi wa karibu karibu au ni nini.Uchunguzi huu ufanyika ili kuweza kupanga tiba ambayo huwa zaidi ya umoja ili kuweza kufanikisha. Muone daktari wa magonjwa ya akina mama kwa uchunguzi na ushauri wa tiba.Vipimo mbalimbali vitafanyika kubainisha tatizo kama kipimo cha damu,vipimo vya ukeni mfano kipimo cha speculum examination,kuotesha uchafu wa ukeni,kama mama ana maumivu ya tumbo vipimo vya ultrasound pia vitafanyika,mwenendo wa mfumo homoni na historia ya tatizo kwa ujumla itafanyiwa tathimini,vilevile itasaidia kujua kama tatizo ni la kuzaliwa nalo,uzazi wa karibu karibu au ni nini.Uchunguzi huu ufanyika ili kuweza kupanga tiba ambayo huwa zaidi ya umoja ili kuweza kufanikisha. Matibabu na ushauri Tiba hutolewa katika Hospitali kubwa au katika cliniki maalum za magonjwa ya akinamama,tiba ni kurekebisha misuli hiyo kwa njia ya upasuaji mdogo na baadhi ya dawa ili kumrudisha mama katika hali ya kawaida. Mwanamke aepuke vyanzo mbalimbali mojawapo ni uzazi wa karibu karibu hivyo afuate uzazi wa mpango uwe wa kalenda,sindano,vidole au vijiti au kitanzi. Tiba hutolewa katika Hospitali kubwa au katika cliniki maalum za magonjwa ya akinamama,tiba ni kurekebisha misuli hiyo kwa njia ya upasuaji mdogo na baadhi ya dawa ili kumrudisha mama katika hali ya kawaida.Mwanamke aepuke vyanzo mbalimbali mojawapo ni uzazi wa karibu karibu hivyo afuate uzazi wa mpango uwe wa kalenda,sindano,vidole au vijiti au kitanzi. Epuka kupata magonjwa au maradhi ya ukeni mara kwa mara kwa kujisafisha vizuri na unapohisi tu unatatizo ukeni haraka muone daktari anayeshugulika na magonjwa ya kinamama kwa msaada mkubwa. Chakula bora hasa mboga za majani na matunda mara kwa mara kwa kulinda na kuimarisha mwili mojawapo ni kuweka sawa mwenendo wa mfumo wa homoni kuimarisha muonekano wa mwili na viungo vya uzazi na upevushaji wa mayai.Wahi hospitali kwa uchunguzi By 🅱 professional love
...

JINSI YA KUKAZA MISULI YA UKE/UUME KWA NJIA YA ASILI.. @Hasa kwa wanawake wale ambao wamezaa huwa misuli ya uke hulegea,. Jinsi ya kufanya. UNAPO AMKA ASUBUHI PINDI UNAPOBRASH KINYWA CHAKO KWA MSWAKI.. UKISHA SUGUA KINYWA VIZURI,.CHUKUA MSWAKI WAKO FANYA KAMA UNASUGUA ULIMI KWENDA KWENYE KOO.UKIFANYA HIVYO UTAHISI KAMA KUTAPIKA LAKINI HUTAPIKI.. PINDI UNAVYOJIGOA HUWA UNATUMIA NGUVU HII INAFANYA MISULI YA UKE/UUME KUBANA PINDI UNAPOJIGOA..FANYA HIVI MARA MOJA KWA SIKU.. "USIFANYE UKIWA UMETOKA KULA"
...

(ngoja niseme maana wanaume wengine wanaona aibu kusema) Ukweli ni kwamba uke uliolegea hupunguza ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume wengi Tatizo la uke kulegea au kutepeta ni tatizo linalotokana na kulegea kwa misuli ya uke, hali hii husababisha Uke kulegea au wanaita Kutepeta(unanipata bibieee!!!!!) Mara nyingi wanaume waliooa wake au kuwa na wapenzi ambao wana matatizo ya uke uliolegea au kutepeta hua mara nyingi inatokea wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi na hao wake zao au wapenzi wao au hata mwanaume kushindwa kumudu vyema tendo hilo kwa maana ya kutokuweza kurudia bao la pili ikiwa atajitahidi kumaliza kushusha bao la kwanza na kujikuta mzuka wooooooooote umekwisha SABABU ZA UKE KULEGEA AU KUTEPWETA Baadhi ya sababu zinazopelekea misuli ya uke kulegea na kusababisha mwanamke kua na uke uliolegea au kutepeta nazo ni hizi zifuatazo; (a) Magonjwa ya uke (b) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara (c) Kujifungua (d) Usagaji DAWA YA UKE ULIOLEGEA AU KUTEPWETA Chukua kokwa za embe za kutosha zianike juani mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini MATUMIZI Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku Fanya zoezi hilo kila siku mpaka bibi awe mnatoooo ZINGATIA Uke utaanza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia dawa. Ukipenda SHARE wengine pia wapate faida hii Jifunze Jinsi ya Kufanya Uke Uliolegea Uwe Mnato.. By 🅱 professional love
...

MWANAMKE FANYA MAZOEZI YA KUKAZA MISURI YA UKE Kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wanawake kuwasema na kuwacheka wanaume wenye “vibamia” hali kadhalika na wao huwa wanacheka na kusema wanawake wenye “Kuma” kubwa/pana wakidai kuwa hawafurahii kwa vile haibani na kupoteza ule msuguano ambao ndio chanzo cha raha na hatimae utamu. Natambua kuwa ni jambo linalotia aibu kama ilivyokua kwenye suala zima la ngono lakini hili ni tatizo ambalo linasumbua wanawake wengi. Hili tatizo mara nyingi hutokea au kujitokeza mara baada ya kuzaa watoto 2 na kuendelea. Hakuna sababu ya wewe kuona aibu ikiwa una tatizo hili hasa pale unapokwenda kumuona daktari wako kwani wanatambua kabisa nini huwa kinatokea baada ya kuzaa. Ukiwa mtu wa kufanya mazoezi au ulikuwa mtu kwa kufanya mazoezi kabla hujapata mtoto huwa rahisi kurudisha u-tight wa misuli ya uke wako kwa kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo pamoja na yale maalumu kabisa yanayoitwa Kegel. Zoezi hili limepewa jina la Kegel baada ya Dr.Arnold Kegel ambae ni “Obstetrician” alietambulisha zoezi hili kama sehemu ya kuwasaidia akina mama wajawazito kuboresha na kukaza misuli ya uke ambao huwasababishia kuvunjwa kwa mkono pale wanapocheka, kohoa, piga chafya n.k. mara baada ya kujifungua. Baada ya miaka michache imegundulika kuwa zoezi hilo lijulikanalo kama Kegel husaidia kurudisha “mnato” wa uke pia na wengi hufanikiwa kurudisha ule “u-tight” wa uke hali inayowafanya wajiamini wanapofanya mapenzi na vilevile kuwafanya wapenzi wao na wao wenyewe kufurahia kama ilivyokuwa awali (kabla ya kuzaa). Misuli inayofanyiwa zoezi hili ni ile iliyozunguuka uke, njia ya mkojo na sehemu ya haja kubwa(mkundu). Unajua unapokunya (toa haja kubwa) ile ngumu au hata ya kawaida huwa huliachii mpaka liwe reefu kama na mara nyingi unakata kimba hilo, ukilikata lile "javi " sehemu yako ya nyuma (mkundu) inakuwa kama vile ina "hema" au "inamwenyua-mwenyua" samba-mba na ile ya mbele....sasa unatakiwa kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo ukiwa mahali popote na sio wakati unakunya. Lakini kumbuka ku-hold na kuachia....sio unafanya haraka-haraka ili uwahi kumaliza. Hali hiyo ya mkundu na Kuma "kuhema" pia hujitokeza wakati ukisikilizia utamu wa kufanya mapenzi mara tu baada ya uume unapotolewa haraka ukeni pale unapofika.....hasa ikiwa Mpenzi anataka kumaliza lakini kwa nje. Vilevile unaweza ukalifanya zoezi hilo kila unapokwenda kukojoa, jaribu kuzuia mkojo usitoke kwa kutumia misuli yako ya uke kwa muda wa dakika fulani....kwamba uzuie kisha hesabu 1....2....3....4...5...6 kisha uachie na rudia tena mpaka mkojo wote uishe. Zoezi hili halifanywi na wenye uke mpana na wenye maji-maji mengu tu bali na mwanamke yeyote ili kuboresha maisha yake ya kingono na mpenzi wake. Ikiwa unafanya haya mazoezi mara kwa mara yatakusaidia kumpatia mpenzi wako kilele cha maana kwa kubana-vuta na kukamua uume wake kila unapo ingia deep inside na vile vile kunaendeleza mnato wako na ikiwa wewe ni kati ya wale wanawake wenye maji-maji mengi basi unaweza kutumia misuli yako hiyo kuubana uume na kumpatia utamu na raha mpenzi wako ambayo hajawahi kuipata toka umaji-maji ujitokeze. Nitajuaje kama nimepatia? Ni rahisi, ingiza kidole kisha fanya Kegel na utahisi kidole chako kikibanwa na kuachiwa. Fanya zoezi hili kila siku, mahali popote na utapata matokea(utaona mabadiliko) ndani ya miezi miwili hadi minne kwa wale wenye uke mpana. Ikiwa wewe uke wako uko sawa (sio mpana)na unafanya Kegel ili kuongeza raha ya kufanya mapenzi basi itakuchukua wiki moja. Hakikisha unafanya zoezi hili kila wakati unapofanya mapenzi na hakikisha anapokaribia mbane-mwachie na kamua "cream" yote. Pia Kegel inaweza ikafanywa kwa kulala chali, weka mikono huku nahuku kisha ipumzishe kwenye sakafu alafu kunja miguu yako sehemu ya magoti na vikanyagio viwe sambamba kwenye sakafu kisha inua kiwili-wili chako kwenda juu baki hapo juu (huku ukiwa umebana msuli ya uke kama vile unazuia mkojo usitoke) kwa muda kisha rudi chini na rudia tena kadiri uwezavyo. 🅱p rofessional love
...

DAWA YA KUBANA UKE ULIO REGEA By 🅱 professional love Tatizo la uke kuregea hupunguza hamu na ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume Uke kuregea ni tatizo linalotokana na kuregea kwa misuli ya uke hali hii husababisha Uke kuregea (Kutepeta). Maranyingi wanaume wenye wake au wapenzi ambao wana matatizo ya uke ulio regea hua wanapoteza hamu ya kuwaingilia hao wake au wapenzi wao au kushindwa kumudu vyema hilo tendo la ndoa kwa maana ya kutokuweza kurudia goli la pili ikiwa atamaliza la kwanza. SABABU ZA UKE KUREGEA Zipo sababu zinazopelekea misuli ya uke kuregea hivyo kusababisha mwanamke kua na uke ulio regea nazo ni hizi zifuatazo; (1) Magonjwa ya uke (2) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara (3) Kujifungua (4) Usagaji DAWA YA UKE KUREGEA Chukua kokwa za embe za kutosha zianike jua mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini MATUMIZI Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku fanya zoezi hilo kila siku kwa muda wa mwezi mmoja. NB: uke utaaza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia hiyo dawa.
...

DAWA YA KUONDOA HARUFU MBAYA NA MAJI MENGI UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA By 🅱 professional love Kuondoa harufu mbaya Japo wengi wanazipuuza lakini Afrika bado tunajivunia miti shamba, tiba na dawa asili kutokana na uwezo wake wa kutibu bila kua na madhara kwa afya zetu. Penda afrika na ujivunie kua muafrika. Kuna dawa mmoja inaitwa Mfuleta ni dawa ya unga itokanayo na mti shamba unaoitwa mfuleta. Dawa hii ni maarufu saana katika maduka yetu ya dawa za asili hasa afrika mashariki. Uendapo dukani uliza tu, nataka Mfuleta muuzaji atakupatia bei yake ni kati ya Tsh 500 mpaka 1000 kwa pakiti sawa na 0.5 USD. MAANDALIZI Chemsha maji safi katika chombo safi ujazo wa lita 2. Hakikisha maji yako yamechemka vizuri. Epua chombo cha maji hayo toka jikoni, chota dawa yako ya Mfuleta vijiko 3 vikubwa vya chakula na uweke ndani ya maji hayo. Funika chombo hicho chenye maji ya moto uliochanganya na vijiko 3 vya Mfuleta kwa mfuniko mzuri usiopitisha hewa mpaka dawa hiyo ipowe na iwe vuguvugu. MATUMIZI Tumia dawa hiyo kwa kunawia sehemu za siri kutwa mara 2. Tumia vidole vyako kuosha sehemu ya nje na ndani ya uke. Dawa hii hutumiwa ikiwa vuguvugu kwa maana unatakiwa kuipasha joto kila siku mara tu kabla ya kutumia. Itikise na uzungushe mkono wako katika chombo chenye dawa ili kufanya maji yachanganyikane na dawa vizuri wakati wa kunawa. Tumia dawa hii kwa muda wa siku 30 mpaka 60 kwa matatizo yafuatayo; 1. Huondoa harufu mbaya ukeni itokayo hasa wakati wa tendo la ndoa 2. Kupunguza maji mengi wakati wa tendo la ndoa. 3. Huondoa muwasho na maji meupe au yanjano yatokakayo ukeni. 4. Husaidia kupunguza maumivu ya tumbo wakati wa hedhi 5. Husaidia kupunguza muda wa hedhi kwa wale wenye kupitiliza. ZINGATIA Mfuleta ni dawa ya unga yenye rangi ya weupe, ukiilamba ladha yake ni ya muwasho kidogo kama pilipili, ukitia katika tundu za pua itakufanya upige chafya.
...

DAWA YA KUAMINIKA KWA MATATIZO YA PRESHA By 🅱 professional love Kipimo cha kisasa cha matatizo ya presha Ugonjwa wa Presha mara nyingi husababishwa na mambo yafutayo; 1. Msongo wa mawazo 2. Mafuta mengi mwilini 3.Matumizi ya ulevi 3. Kula chumvi nyingi n.k. Hivyo kama wewe tayari unatatizo la ugonjwa wa presha kabla ya kutumia dawa zingatia mambo yafuatayo; I) Punguza msongo wa mawazo kwa ☆ Kuwa bize na shughuli mbali mbali za kila siku ☆ Omba ushauri kwa mtu wa karibu yako unapokua na tatizo ☆ Jishughulishe na michezo. Mfano mpira wa miguu. II) Punguza mafuta kwa kiasi kikubwa katika chakula unachokula hii ni pamoja na kuupatia mazoezi ya kutosha mwili wako. III) Acha ulevi na tumia chumvi kwa uangalifu ndani ya chakula chako. Ukifanikiwa kua makini ndani ya mambo haya sasa unaweza kuandaa dawa yako kama ifuatavyo; A) Ponda ponda vitunguu thaumu kwa wingi kisha tengeneza juisi kutokana na maji. Vitunguu thaumu MATUMIZI. Kunywa juisi ya vitungu thaumu vijiko vya chakula 3 kutwa mara 3 kwa muda wa siku 21 hadi 30. ANGALIZO: usitumie dawa hii kama wewe ni mgonjwa wa Sukari na unatumia Sindano au Vidonge vya Insulini badala yake tumia dawa B) hapo chini. B) Ponda ponda vitunguu maji ili upate juisi yake bila kuchanganya na maji, changanya na asali kulingana na wingi wa juisi ya kitunguu maji mfano; Juisi ya vitunguu lita moja na asali lita moja. Vitunguu maji MATUMIZI. Kunywa vijiko 3 vya chakulaku kutwa mara 3 kwa muda wa siku 21 mpaka 30. NB: Fuata hatua tulizo eleza hapo juu kwa matokeo mazuri na yaharaka zaidi.
...

DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA KUPUNGUZA MAFUTA TUMBONI By 🅱 professional love Mafuta tumboni Tatizo na nguvu za kiume husababishwa na mambo mengi ikiwa ni pamoja na tatizo la mrundikano wa mafuta tumboni, kiunoni na katika via vya uzazi. Mtu mwenye tatizo la mrundikano wa mafuta anadalili zifutazo; 1) kukosa hamu ya tendo la ndoa 2) kuwahi kumaliza haraka wakati wa tendo la ndoa na kupata mchoko 3) kushindwa kurudia mara baada ya kumaliza raundi ya kwanza ya tendo la ndoa. Ukiwa na tatizo hilo nenda Duka la Dawa Asili na ununue dawa inayoitwa SANAMAKI. muuzaji anaweza kukuliza iwapo unataka Sanamaki ya majani au ya unga (poda), mwambie unataka ya unga. Sanamaki ya unga inafanana rangi na Sanamaki ya majani kama inavyo onekana. Weka Sanamaki vijiko 3 vikubwa vya chakula vya kujaa ndani ya lita 5 maji. Weka jikoni na iyache ichemke sawa sawa mpaka iyoneshe alama ya mstari wa kukauka katika kingo za sufuria, ndipo itoe jikoni na uhifadhi sehemu nzuri. Tumia dawa hiyo kwa kunywa ujazo wa glasi moja asubuhi baada ya kuamka na usiku kabla ya kulala unaweza kutumia dawa hiyo kwa muda wa siku 15 na kuendelea hutegemeana na ukubwa wa tatizo. Tikisa dawa ichanganyike vizuri na uichemshe iwe vugu vugu kila siku kabla ya kunywa. ANGALIZO: Dawa hii huondoa mafuta kwa kumfanya mtu aharishe bila maumivu ya tumbo. MAPENDEKEZO: 1) Ni vizuri kucha kufanya tendo la ndoa siku 7 za mwanzo wa kuanza kunywa dawa 2) Ni vizuri kunywa chai ya tangawizi au kutia pilipili kidogo katika chakula chako wakati unatumia dawa. Tumia dawa hiyo kwa utaratibubuone nilio ueleza uone maajabu.
...

MAMBO YA PWANI 💝💝💝💝RAHA YA KHANGA KWENYE MAPENZI💝💝💝💝💝 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 Unaambiwa mwanamke khanga kitenge umbea khanga laini haichubui shoga kitenge kigumu kinachubua unalijuwa hilo..shaurilo.💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 Wanawake hivi hizo khanga mnazonunua matumizi yake mnayajuwa vizuri? ama utakuta kwenye kitchen party mwali katunzwa khanga kibao matumizi yake mnayajuwa manaelezwa vyema kama hukujuwa chukuwa hilo... 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺 Khanga ndio maana ina pc mbili ukishaipinda ukiwa nyumbani na mumeo mmejisikia kuchuma tunda mwanamke ingia chumbani andaa chumba chako tayari kwa majamboz, tena miye nakushauri kama mumeo unampenda sana hutaki kumpa shida ya kuinukainuka baada ya mchoko wa mzunguko ukiwa unaanda chumba usikose kibeseni kidodo ama kindoo kidogo cha chumbani. 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷 Kila mwanamke mwenye kuelewa uwanamke lazima chumbani kwako utakuwa na kindoo kidogo cha bafuni hiki hutumika kwa kazi mbili jamani, kwanza kufulia chupi za mumeo, ndio mwanamke lazima ufue chupi za mumeo hilo ni jukumu mwanaume kupendeza na kuvutia mpaka atamaniwe nje unadhani anataka maneno mwanaume anataka matendo anataka kutunzwa bibi.. 💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟 Basi kile kindoo kinatumika kufulia chupi za mumeo kama umeshazifua unakiosha vizuri cha matumizi ya usiku ukiwa unaandaa unatia maji kwenye kile kindoo ama kibeseni chako huku pembeni mwa kitana umeweka khanga zako tik tik tak tak mnachuma tunda kwa raha na mapenzi tele, wote mkishafika kileleni baba anakuwa amechoka jamani basi wewe mwanamke utachukuwa upinde mmoja wa khanga utauweka pale kwa bibi huku umebana miguu ili zile shahawa zishukie mule baada ya kujiwekea wewe utachukuwa upinde mwengine wa khanga chovya kwenye maji yako muoshe mumeo vizuri atakate tena wakati unamuosha unamwambia pole mume wangu na ahsante kwa kunifikisha kileleni.. 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺 Yule mtu mzima kumuosha uume wake dhahama jamani sio kitu cha mchezo lazima umpe pole na samahani nakuosha mume wangu, ukimaliza mtwange busu muache apumzike baba wa watu ajenge mwili unadhani mwili unajengwa na tofali usione mume wa mtu kapendeza ukamtolea macho kujigongesha aku.....shoga anagharamiwa huyo..na mwanamke👌�👌�👌�👌� aliyefundwa ndio anaweza bibi kufanya hayo wewe ulikuwa unayajuwa hujafundwa ndio maana tunaandaa vitu kama hivi wanawake unashauriwa kuja ujifunze jamani kulea ndoa sio mchezo kila mtu angekuwa nayo. 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
...

SIRI ZA GIZANI No_6 Kaka yangu hakufanikiwa kabisa kuona ule uvimbe kwenye sehemu nyeti za mke wake, hivyo kaka hakutaka kabisa kumlazimisha mke wake maana alikuwa anampenda sana mkewe na kwakuwa alikuwa anaumwa akaona sio vyema kumlazimisha kitu ambacho hataki. Siku hiyo ikapita bila mafanikio yoyote, sasa kesho yake usiku mida ya saa nane kamili, mkwe wa shemeji aliamka mida hiyo kukiwa na giza sana akaenda kwenye chumba cha mjukuu wake wa kike binti Nasra, alipo fika chumbani akiwa amejifunga kitambaa chekundu kichwani, akafungua mkono wake wa kushoto kisha akapuliza unga alio kuwa ameushikilia kuelekea kwenye uso wa mjukuu wake, palepale nasra akaamka na kupanda kwenye mgongo wa bibi yake akiwa hajitambui na hasikii chochote, mama alimbeba Nasra watu wote wakiwa wamelala ndani, kisha akamuweka kwenye diaba chumbani kwake alafu akaweka na dawa mule kwenye diaba ili Nasra asiweze kabisa kuongea, sasa kulipo kucha kila mtu aliamka lakini cha kushangaza Nasra siku hiyo hakuamka, na wakati Nasra alizoeleka kuamka mapema kila siku pale nyumbani. Ikabidi waende chumbani kwake kumuangalia, walipo fika wakamkuta amelala, akiwa amejinyoosha, alafu akiwa na unga unga usoni, shemeji alijaribu sana kumuamsha binti yake lakini alikuwa haamki, kumbe mwili wa Nasra ulikuwa umewekwa kwenye diaba chumbani kwa bibi yake, na ule ulio onekana umelala hakuwa yeye Nasra mwenyewe bali ilikuwa ni kama egesho tu kuonekana Nasra amefariki, mama Nasra alijaribu kumuamsha Nasra ila ikashindikana ndipo mkwe wake akasema "mkwe usilie hii ni mipango ya mungu tu, huyu mtoto ameisha fariki tayari" shemeji alianguka chini hapohapo mpaka akajitonesha vidonda vya mguu wake, alilia akasema, "hii ni mikosi gani jamani nani anatufanyia hivi, binti yangu bado mdogo hajaona hata ndoto zake wameisha mchukua tayari, ehh mungu wangu nisaidie, bora nife ata leo lakini watoto wangu wasife, nime wazaa kwa uchungu sana" dahh kaka yangu alipo ona mke wake analia na mtoto kafariki alichoka sana, ilimuuma mnoo, kumbe hakujua ubaya wote ule alikuwa anaufanya mama yetu mzazi. Nasra alizikwa lakini kumbe hakufa yeye ni egesho tu, yeye alikuwa kwenye diaba chumbani na amekatwa ulimi alafu analishwa unga tu na bibi yake..#7 USIKOSE YA 7
...

SIRI ZA GIZANI NO 7 Nasra aliendelea kulishwa unga wa ugali tu mule kwenye diaba, na kila ilipo fika saa nane za usiku mda alio chukuliwa na bibi yake, Nasra alikuwa anatolewa kwenye diaba kisha anaanza kucheka na kuimba na bibi yake, na mala tu baada ya kuimba na kucheka bibi yake anamrudisha kwenye diaba kama kawaida. Ila kaka yake Nasra yaani Ibra kila alipo kuwa akilala alikuwa anaota ndoto za ajabu sana, na mala nyingi alikuwa anaota kuwa mdogo wake yupo hai hajafa, lakini kila alipo kuwa akimwambia baba na mama yake walikuwa hawamuelewi kabisa maana mtoto walimzika na msiba ulifanyika, mda mwingine Ibra alikuwa anachapwa kwa sababu ya usumbufu wake wa kila siku kwamba "dada Nasra hajafa, dada nasra hajafa uwa namsikia akiimba usiku, yaani namsikia kabisaa, akiimba usiku" hayo maneno alikuwa anayataja sana mpaka mama yake akaanza kumgombeza, lakini ibra kila siku alikuwa anaongea hivyo, maana kumbe bibi yake alivyo kuwa anaimba na kucheza usiku na nasra, ibra alikuwa anasikia maana yeye na nasra wote walizaliwa tumbo moja hivyo damu ilikuwa nzito, siku moja Ibra akiwa amelala aliota sauti ya dada yake imemuijia ikisema, "kaka ibra nenda kwenye kabuli langu" Ibra alikuwa muoga sana kutoka nje usiku, lakini ile ndoto ilimsumbua sana Ibra ikabidi afungue mlango aende nyuma ya nyumba yao kuangalia kabuli la mdogo wake maana ndipo walipo kuwa wamemzika kule kwa nyuma. Ibra alipo fika kwenye kabuli alishangaa sana maana alikuta ile sehemu ipo tambalale kabisa na hakuna kabuli lolote mda ule, ndipo Ibra akakimbia haraka kuingia ndani, akiwa analia huku watu wote wamelala, isipo kuwa bibi yake maana walikuwa ndani na Nasra wanacheza na kuimba ila hakuna alie kuwa anasikia zile sauti zaidi yao wawili. Siku moja usiku sana bibi yake nasra alikuwa anamuogesha nasra ili asitoe harufu mbaya chumbani maana tangu amfungie hakuwai kuoga ata siku moja. Sasa wakati anamuogesha ibra akawa amesikia sauti za maji kutoka kwenye chumba cha bibi yake huku bibi akisema kwamba "nasra geuka nikusugue na mgongoni kuchafu" ibra alipo chungulia vizuri kwenye kitasa cha mlango akawa amemuona Nasra anaogeshwa kama mtoto mdogo wakati ni dada tu anaeweza kuoga mwenyewe. USIKOSE YA 8...
...

SIRI YA GIZANI NO 10 Ibra alikuwa anakosa raha sana pale nyumbani, maana wazazi wake walijua kuwa Nasra kafariki lakini yeye kilicho kuwa kina muuma ni pale alipo kuwa akimuona dada yake anaogeshwa na usiku kaburi la Nasra alionekani bali linaonekana mchana tu. Siku moja mida ya saa nane usiku, Ibra alianza kusikia joto kali sana kwenye mwili wake, yaani ni usiku lakini joto lake ni kama la mchana hivi. Ibra alikosa usingizi kabisa masikini aka amka kisha akakaa kitandani. Joto lilipo zidi Ibra akaamua kuamka ili achukue kitambaa ajifute jasho, wakati amesimama sakafuni akasikia mtu anamshika begani, "wehh wehh" alipo geuka haraka akaona sura ya bibi yake mala ghafla ikaja sura ya mdogo wake, ibra akamwambia " dada Nasra mbona siku hizi utaki kucheza na mimi" Nasra akaachama mdomo wake kisha akamuonyesha ibra kuwa hawezi kuongea bibi yake tayari ameisha mkata ulimi kwa mbele, ibra aliogopa kumtazama dada yake akiwa vile akaamua kumshika kwanguvu Nasra alafu akaanza kupiga kelele "mamaaaa, babaaa, Nasra huyu hapa nimemkamata njooni" wazazi wake waliamka upesi kisha wakaenda chumbani kwa Ibra ili waweze kumuona Nasra mwenyewe, sasa kilicho washangaza ni kwamba, wanamuona Ibra kama kashika mtu kwa nguvu lakini mtu mwenyewe alie shikwa hawamuoni, wakamuuliza, "Ibra mbona kama umeshika hewa mwanetu, nasra yuko wapi" ibra akasema "baba si huyu hapa nimemshikilia" baba akasema, "hatumuoni sisi mtu mwenyewe ebu acha ndoto za kishirikina rudi ulale", Ibra akasema, "mama njoo umshike Nasra bibi atamchukua, mama nisaidie kumshika" mama nasra alikuwa analia tu, "mwanangu simuoni nasra, simuoni kweli baba angu" Nasra alikuwa kawekewa madawa mengi sana na bibi yake hivyo kuonekana kwake kulikuwa kwa shida sana masikini, ila nasra alikuwa anawaona wazazi wake lakini hasingeweza kuwaongelesha maana ata ndimi yake ilikuwa imepunguzwa tayari, Ibra aliendelea kumvuta dada yake bila kumuachia huku akiwa analia na Nasra pia analia maana hawawezi kucheza tena masikini, sasa kumbe nasra alitoroka bibi akiwa amelala, bibi alipo shituka akakuta nasra ameingia kwa Ibra hapo hapo akamvuta kichawi nasra akapotea ghafla tu, ibra akasema "mama, Nasra amepotea tena" wazazi wa Nasra walilia sana mule ndani.. USIKOSE YA 11
...

SIRI YA GIZANI NO 9 Ibra akasema "baba usibishe nimemuona dada Nasra kwa macho yangu akiogeshwa na bibi chumbani kwake", baba yake akasema "yaani kumbe wewe na mama yako sio watu wazuri kabisa hivi mnathubutu kumuita mama yangu mchawi" shemeji akasema, "mme wangu sio kwamba tunamuita mchawi jamani, mbona unataka ukuze maneno baba watoto lakini, uwezi jua ya mungu mengi labda mtoto kweli kaona, tufatilie zaidi" baba nasra akasema, "weeeeh, koma uchunguzi wa nini, mama yangu hawezi kuwa mchawi bhana sijawai ata kumuona na mzizi tangu nikiwa mdogo mimi, iweje mseme ni mchawi alafu wewe Ibra nikifanya uchunguzi nikakuta unaleta uongo uongo wako hapa naweza ata kukuua, sipendi masihala na mzazi mimi" baada ya kaka kuongea vile ndipo akamwambia mke wake amuitie bibi nasra ili wamwambie kuhusu tatizo lililo tokea. Kweli bibi nasra alitoka akiwa amevaa kanga zake mwilini. Baba nasra akamwambia, "mama habari za usiku, samahani mama yangu tumepata habari za kusikitisha, eti kwamba Nasra hajafa na wewe ndiyo upo nae ndani unamuogesha na kucheza nae humo chumbani kwako" bibi nasra alipo ambiwa hivyo akaanza kulia akisema, "mwanangu nimekuzaa na kukuweka tumboni miezi 9 leo hii unaniita mchawi kisa familia yako hii, kama ningekuwa mchawi ningekulea mpaka umri huu, sawa najua m'menichoka mi naondoka kijijini usiku huu huu na sitorudi tena hapa kwenu" baba nasra alipo sikia yale maneno alipiga magoti chini akasema, "mama yangu naomba msamaha tafadhali, ni huyu ibra katuamsha usiku usiku anatwambia huu upuuzi, kwamba kamuona Nasra chumbani kwako na amesisitizia kweli kwamba amekuona unamuogesha ndiyo maana nikakuuliza mama yangu, nakuomba sana usiondoke kwangu mama yangu" bibi Nasra akasema, "we ibra kwanini unakua muongo namna hiyo we Nasra umemuona kwangu lini, Nasra si ameisha fariki mjukuu wangu" ibra akasema, "bibi wewe ni mchawi, Nasra unae ndani, kama kweli hayupo ndani turuhusu tukakukague" bibi nasra akasema, "Mama nasra huyu mtoto unamleaje mbona hana heshima kabisa masikini" Ibra alichapwa sana siku hiyo kisha wakaenda kulala bila kugundua chochote.Bibi Nasra aliwaza sana jinsi ya kumzuia Ibra asigundue siri zake za usiku, ndipo akapata wazo la kumpofua macho ibra ili asione tena katika maisha yake.....ITAENDELEA. 10
...

SIRI ZA GIZANI NO 8 Ibra alipo muona ndugu yake anaogeshwa na bibi yake usiku kama ule, kiukweli hakuamini kabisa ikabidi asogeze jicho vizuri ili amuone kama kweli ni Nasra anaogeshwa na wakati kila mtu ameisha msahau akijua ni marehemu tayari. Ibra alipo mtazama vizuri kwa ukaribu akamuona kweli ndugu yake, dahhh alichoka maana Nasra alikuwa amekonda sana, sababu ya chakula kibaya, alafu zile nywere zake alizo kuwa amesuka kipindi anakufa ndo hizo hizo alizo kuwa nazo bado na zimechakaa kweli kweli. Sasa bibi Nasra alihisi kama kuna mtu anamchungulia mlangoni, hapo hapo akamrudisha Nasra kwenye diaba haraka sana. Kumbe Ibra alikimbia kuwa amsha wazazi wake waamke ili waje kumuona Nasra chumbani kwa bibi, Ibra akasema, "baba, baba, babaaa amka njoo umuone Nasra yupo chumbani anaogeshwa na bibi, baba amka nasra wetu hajafa baba", baba yake alitoka akaanza kumchapa Ibra akimwambia, "hivi we mtoto unamatatizo gani kwanini unapenda kutusumbua tukiwa tumelala lakini, mi nina mawazo yangu kibao hapa, mama yako anaumwa kansa naangaika na mawazo bado na wewe unaniletea za kuleta, mshezi kweli, kalaleee" kipindi baba yake anaongea vile, mke wake akasema "mme wangu unaweza kumchapa mtoto bila kujua labda mambo anayo yasema niya ukweli, ebu tumruhusu atwambie alicho kiona usiku wa leo" baba yake akasema, "umeona nini kwani" Ibra akasema, "baba bibi yetu ni mchawi, maana Nasra hajafa bibi ndiye anae chumbani" baba yake akasema, "we mtoto unawazimu gani lakini, hivi hizi laani utaziweka wapi wewe, yaani unamuita bibi yako mchawi una akili kweli" mke wake akasema " mme wangu usikasilike unajua watoto wetu hatukuwazoesha kukaa na bibi zao, labda wakiwaona walivyo zeeka wana hisi ni uchawi au uganga labda tumuelekeze aelewe na sio kumkalipia" Ibra akasema, "baba bibi ni mchawi, kama sio mchawi kwanini anaishi na Nasra peke yake, mwambie amtoe nasra nataka kucheza nae na mimi, kila siku yeye tu anacheza nae" mama Nasra akasema "yaweza kuwa kweli mme wangu" baba nasra akasema "we we we! Naomba msirudie kumuita mama yangu mchawi, yeye amenizaa mimi kama angekuwa mchawi si angeniua nikiwa mdogo, iweje aiteketeze familia yangu, acheni kumsingizia mama yangu bhana, Ibra akasema...ITAENDELEA YA 9
...

SIRI ZA GIZANI NO 7 Nasra aliendelea kulishwa unga wa ugali tu mule kwenye diaba, na kila ilipo fika saa nane za usiku mda alio chukuliwa na bibi yake, Nasra alikuwa anatolewa kwenye diaba kisha anaanza kucheka na kuimba na bibi yake, na mala tu baada ya kuimba na kucheka bibi yake anamrudisha kwenye diaba kama kawaida. Ila kaka yake Nasra yaani Ibra kila alipo kuwa akilala alikuwa anaota ndoto za ajabu sana, na mala nyingi alikuwa anaota kuwa mdogo wake yupo hai hajafa, lakini kila alipo kuwa akimwambia baba na mama yake walikuwa hawamuelewi kabisa maana mtoto walimzika na msiba ulifanyika, mda mwingine Ibra alikuwa anachapwa kwa sababu ya usumbufu wake wa kila siku kwamba "dada Nasra hajafa, dada nasra hajafa uwa namsikia akiimba usiku, yaani namsikia kabisaa, akiimba usiku" hayo maneno alikuwa anayataja sana mpaka mama yake akaanza kumgombeza, lakini ibra kila siku alikuwa anaongea hivyo, maana kumbe bibi yake alivyo kuwa anaimba na kucheza usiku na nasra, ibra alikuwa anasikia maana yeye na nasra wote walizaliwa tumbo moja hivyo damu ilikuwa nzito, siku moja Ibra akiwa amelala aliota sauti ya dada yake imemuijia ikisema, "kaka ibra nenda kwenye kabuli langu" Ibra alikuwa muoga sana kutoka nje usiku, lakini ile ndoto ilimsumbua sana Ibra ikabidi afungue mlango aende nyuma ya nyumba yao kuangalia kabuli la mdogo wake maana ndipo walipo kuwa wamemzika kule kwa nyuma. Ibra alipo fika kwenye kabuli alishangaa sana maana alikuta ile sehemu ipo tambalale kabisa na hakuna kabuli lolote mda ule, ndipo Ibra akakimbia haraka kuingia ndani, akiwa analia huku watu wote wamelala, isipo kuwa bibi yake maana walikuwa ndani na Nasra wanacheza na kuimba ila hakuna alie kuwa anasikia zile sauti zaidi yao wawili. Siku moja usiku sana bibi yake nasra alikuwa anamuogesha nasra ili asitoe harufu mbaya chumbani maana tangu amfungie hakuwai kuoga ata siku moja. Sasa wakati anamuogesha ibra akawa amesikia sauti za maji kutoka kwenye chumba cha bibi yake huku bibi akisema kwamba "nasra geuka nikusugue na mgongoni kuchafu" ibra alipo chungulia vizuri kwenye kitasa cha mlango akawa amemuona Nasra anaogeshwa kama mtoto mdogo wakati ni dada tu anaeweza kuoga mwenyewe. USIKOSE YA 8...
...

SIRI ZA GIZANI No_6 Kaka yangu hakufanikiwa kabisa kuona ule uvimbe kwenye sehemu nyeti za mke wake, hivyo kaka hakutaka kabisa kumlazimisha mke wake maana alikuwa anampenda sana mkewe na kwakuwa alikuwa anaumwa akaona sio vyema kumlazimisha kitu ambacho hataki. Siku hiyo ikapita bila mafanikio yoyote, sasa kesho yake usiku mida ya saa nane kamili, mkwe wa shemeji aliamka mida hiyo kukiwa na giza sana akaenda kwenye chumba cha mjukuu wake wa kike binti Nasra, alipo fika chumbani akiwa amejifunga kitambaa chekundu kichwani, akafungua mkono wake wa kushoto kisha akapuliza unga alio kuwa ameushikilia kuelekea kwenye uso wa mjukuu wake, palepale nasra akaamka na kupanda kwenye mgongo wa bibi yake akiwa hajitambui na hasikii chochote, mama alimbeba Nasra watu wote wakiwa wamelala ndani, kisha akamuweka kwenye diaba chumbani kwake alafu akaweka na dawa mule kwenye diaba ili Nasra asiweze kabisa kuongea, sasa kulipo kucha kila mtu aliamka lakini cha kushangaza Nasra siku hiyo hakuamka, na wakati Nasra alizoeleka kuamka mapema kila siku pale nyumbani. Ikabidi waende chumbani kwake kumuangalia, walipo fika wakamkuta amelala, akiwa amejinyoosha, alafu akiwa na unga unga usoni, shemeji alijaribu sana kumuamsha binti yake lakini alikuwa haamki, kumbe mwili wa Nasra ulikuwa umewekwa kwenye diaba chumbani kwa bibi yake, na ule ulio onekana umelala hakuwa yeye Nasra mwenyewe bali ilikuwa ni kama egesho tu kuonekana Nasra amefariki, mama Nasra alijaribu kumuamsha Nasra ila ikashindikana ndipo mkwe wake akasema "mkwe usilie hii ni mipango ya mungu tu, huyu mtoto ameisha fariki tayari" shemeji alianguka chini hapohapo mpaka akajitonesha vidonda vya mguu wake, alilia akasema, "hii ni mikosi gani jamani nani anatufanyia hivi, binti yangu bado mdogo hajaona hata ndoto zake wameisha mchukua tayari, ehh mungu wangu nisaidie, bora nife ata leo lakini watoto wangu wasife, nime wazaa kwa uchungu sana" dahh kaka yangu alipo ona mke wake analia na mtoto kafariki alichoka sana, ilimuuma mnoo, kumbe hakujua ubaya wote ule alikuwa anaufanya mama yetu mzazi. Nasra alizikwa lakini kumbe hakufa yeye ni egesho tu, yeye alikuwa kwenye diaba chumbani na amekatwa ulimi alafu analishwa unga tu na bibi yake..#7 USIKOSE YA 7
...

Kwa wanawake tu: Jinsi ya kunyonya uume uwapo kitandani 2 days ago Ukiwa umeShika koni yako kwa kutumia mkono wa kushoto na kuendelea kuila endelea kufanya kama ifuatavyo: 1)-Pale jichoni kwa chini kidogo kama unaelekea pumbuni ukipafanyia kazi vema kwa kutumia kidole ambacho kitakuwa kinaute unaojitokeza pale mpenzi atapata raha. Vilevile wakati unanyonya unaweza mpagawisha mpenzi wako lakini unapaswa kuwa mwangalifu usiingize ncha ya ulimi wako kwa ndani kwani anaweza kuwa uncomfortable kwani ni too sensitive kimtindo. 2)-Kwenye uume ukiangalia vema kwa nyuma chini kidogo ya jicho pia nishingoni (pale kwenye ring) ilipokatwa ngozi/gozi/mkono wa sweta yaani pale panapotenganisha kichwa na Shaft kwa nyuma lakini..... enhee hapo hapo, unapomnyonya uume mpenzi wako basi hakikisha mdomo unafunika na kufanyia kazi kichwa wakati huohuo ulimi ufanyie kazi hapo mahali nilipokuambia(kama sio atakaza misuli ya miguu na matako, atakunja vidole vya miguuni au kukushikilia kichwa basi atatoa sauti fulani hivi zinazokuambia "ooh ni utamu please endelea"). 3)-Ukishikilia uume vema ukiwa umesimama, angalia kwa nyuma utaona kijimshipa fulani well sio mshika lakini ni kama mshipa ila mnene kiasi (wakati mwingine hauonekani) lakini kumbuka kama unaujua uume vema basi haitokuwa shida kuona kona hiyo hataka kama kijimshipa hicho hakijatokeza. Ushikilie vema Uume kisha uangalie vema na ugawanye mara mbili (nusu) kwa kuangalia/kwa macho na pale kati kati ndio kipele chenyewe nakizungumzia. Sasa panyonye mahali hapo kuanzia chini ya kichwa kuelekea chini kwenye pumbu....hakikisha ulimi unapitishwa pale wakati midomo (lips) zina funika zile nusu mbili za Shaft.
...

Kuoa Mwanamke Kutoka Uswahilini au Alieishi Maisha Duni ni Kujichimbia Kaburi na Kujipa Umaskini 2 weeks ago  Kuna jamaa yangu amezua hoja nzito kwamba kamwe hawezi kuoa mwanamke anaetoka familia ya kimaskini maana wengi wao hawana shukrani maishani.. anakwambia angalau watoto wa kishua japokuwa wavivu kazi za ndani ndogo ndogo but wanajua kupenda na hata cheating ni ngumu sana. But mwanamke anaetoka familia yenye dhiki wengi wao vigeu geu mwepesi sana kubadilika badilika.. na ametoa mifano hai mingi tu ya ndoa za tunaowafahamu.. Pia wengi wanaamini sana mambo ya Ushirikina kwenye mapenzi Wadau hii mnaonaje? Je kuna ukweli wowote hapo?
...

SIRI ZA GIZANI NO 5 Harufu ya shemeji ilipo zidi kwenye kikao, ndugu na jamaa wakashindwa kuvumilia ikabidi waongee tu, "shemeji hiyo harufu mbaya inatokea wapi, yaani kama mizoga ya wafu kunanuka sana hapa" mkwe wake shangazi alie mfanya shemeji awe vile akaanza kucheka "hahahah, ata mimi nahisi harufu mbaya",mme wake shemeji yaani kaka, akasema, "hii harufu kila siku nikiwa nimelala na mke wangu uwa nahisi kwa mbali, sijui ni kitu gani kimeoza maeneo ya hapa nyumbani" shemeji akauliza "mke wangu kitakuwa nini hicho maana balaa zimezidi kwenye familia yetu" shemeji akaanza kulia maana ukweli alikuwa anaujua yeye kwamba harufu inatokea sehemu zake za siri, kaka akasema, "mke wangu unalia nini mbona hatukuelewi" shemeji akasema, "mimi najua wote mnajua kuwa mimi ndiye nanuka, maana n'zi wamenijaa na kunizunguka mimi" kila mtu akaguna, "mhhh" shemeji akasema tena, "mme wangu kwa sasa hivi hatua niliyo fikia ni bora tu nife, maana nimepata kidonda cha ghafla sehemu zangu za siri, na hii harufu mbaya mnayo hisi nyie inatoka kwenye hichi kidonda changu kwa ndani, nakosa raha ya maisha nakosa amani, maana kila mda mimi naenda bafuni, na kinacho nikwaza, ni pale ninapo waona wadudu wadogo aina ya funza wanatembea kwenye kidonda, sijui ni nani ananifanyia hivi, maana natembelewa na funza kabla sijafa, nikifa je?" wakati wanaongea mda ule na hewa pia ilikuwa inaendelea kuchafuka, hivyo shemeji akaomba aende bafuni kujimwagia maji kwanza. Wale walio kuwa wamebaki kwenye kikao wakamwambia kaka kwamba, "itabidi ukamuangalie mke wako hicho kidonda kina fananaje ili utwambie tujue jinsi ya kumsaidia, maana sio kwa harufu hiyo, hiyo harufu sio ya kawaida kwenye mwili wa binadamu alie hai"ikabidi kaka aende chumbani kumuangalia mke wake amekuwaje, wakati huo mkwe wa shemeji amekaa kimya tu na anaonyesha sura ya huzuni uwezi ata kumgundua kama ni yeye anafanya mabaya hayo usiku gizani tena kisiri. Kaka alipo ingia chumbani akamkuta mke wake anajipulizia marashi kwa ndani ili harufu isije kwa ulahisi, kaka akamwambia, "mke wangu naomba nione hicho kidonda kilivyo" shemeji akaogopa na akakataa katakata, maana alihisi mme wake akiona tu jinsi alivyo oza, anaweza kumuacha na akaoa mke mwingine....usikose ya 6
...

SIRI ZA GIZANI 2 Wageni walipo mtembelea mke wa kaka yangu, baada ya mda wakaitaji kuondoka, kwasababu ilikuwa tayari ni usiku mida ya kama saa mbili hivi. Shemeji akaamua kuwa sindikiza ili awatoe nje kidogo kisha waendelee na safari yao. Sasa wakati shemeji yangu anarudi nyumbani bahati mbaya kiatu chake cha kushoto kikakatika, maana kilikuwa ni kiatu cha wazi, shemeji hakuwa na jinsi hivyo akaamua kukibeba ili arudi nacho nyumbani kisha kipelekwe kwa fundi kushonwa. Sasa wakati shangazi anatembea mguu ukiwa peku, bahati mbaya akakanyaga mdudu bila kujua ila alihisi kama amekanyaga kitu kisha kikabonyea, ila kutokana na lile giza hakuweza kuangaika kutazama amekanyaga nini wakati ule. Sasa kumbe ulikuwa ni uchawi tu, majirani zake wamemtumia kusudi tu ateseke na familia nzima iwe katika majonzi, kipindi kaka amerudi kutoka kazini akakuta familia yake ipo na furaha na walikuwa na upendo sana. Kibaya zaidi ni pale ilipo fika saa nane usiku sasa, yule mdudu ambae shemeji alimkanyaga ndiyo akaanza kufanya kazi, huwezi kuamini shemeji yangu alianza kuchemka sana mwili, yaani jasho lina mtiririka sana, kaka akajaribu kumkanda na maji ya baridi ila hari iliendelea kuwa mbaya, kipindi shemeji analia maana alikuwa anaogopa sana ugonjwa, kakidonda kadogo tu, kakaanza kujitokeza mguuni, shemeji hakuhisi chochote akaendelea kukaa tu anajua labda kidonda ni kidogo kitapona, lakini kila kulipo kuwa kunakucha mguu unauma, unawasha, anapata maumivu makali mpaka akaacha kwenda kazini, kaka akaamua kumpeleka mke wake hospitali, alipo fika wakampa dawa na kumchoma sindano, kumbe hapo pia ndipo wakawa wamearibu kila kitu, maana uchawi ukichanganya na madawa ya kawaida unakuwa unaua kabisa, mguu wa shemeji ulianza kuvimba, ulivimba sana ukawa mkubwa kuzidi ata mwili wake, ata watoto wakaanza kuogopa! kaka yangu akashangaa kumuoa mke wake vile, ikabidi arudi hospitali, alipo fika huko, daktari akasema "hii itakuwa kansa hivyo itabidi tumkate mguu wake ili asiendee kuvimba hivi maana anaweza akafariki tukiendelea kusubilia". Shemeji alipo ambiwa kukatwa mguu alianza kulia sana akasema, "mme wangu ni bora tu nife, siwezi kutazama nakatwa mguu, nimemkosea mungu mimi nimekosa nini jamani ehh" USIKOSE 3
...

SIRI ZA GIZANI NO 4 Shemeji yangu alikata tamaa na maisha, maana ule uozo wa mguu ulianza kupanda juu kwenye goti, hivyo unge enea mpaka mapajani. Mama mkwe wake akamwambia "mwanangu usilie utapona nitajitahidi upone tafadhali nakuomba usiwe na mawazo" shemeji akajibu "sawa mama" shemeji alihisi labda mama ni msaada mkubwa kwake, ila kumbe mama yetu alikuwa anafurahia kumuona mkwe wake katika ile hali na alipanga aangamize familia nzima. Siku moja usiku wakiwa wote wamelala taa zimezimwa kuna gizaaa, mama akaamka polepole kisha akachukua mkojo wa shemeji alafu akatoka nao n'je kisiri bila mtu yoyote kujua. Kwasababu ule mkojo ulikuwa kwenye kopo ndipo mkwe wake shemeji akaka juu ya lile kopo kisha akaanza kucheka kichawi, haha! Haha! Huku akiwa anaimba nyimbo zisizo tambulika, baada ya hapo akatema mate kwenye ule mkojo alafu akaumwaga mlangoni, sasa wakati yupo nje ya nyumba ana ruka ruka, mtoto wa kaka mmoja yule Ibra akasikia kama kuna kitu kwa nje, ikabidi achungulie dirishani, alipo chungulua akaona kuna mtu yupo uchi kabisa arafu anarukaruka, kiukweli yule mtoto aliogopa kutazama mambo kama yale, hapo hapo akarudi kitandani kisha akajifunika shuka kabisa ili asione tena, maana ilimshtua na kibaya zaidi hakuweza kugundua kama ni bibi yake, kumbe masikini, yale mambo aliyo yafanya mama yalikuwa mabaya maana yalipelekea sehemu nyeti ya shemeji yetu kubadilika na kupata vidonda na akikaa nusu saa tu bila kuoga anatoa harufu mbaya sana, shemeji alihisi labda ni kansa imepanda hadi kwenye umbile lake, hivyo akawa anaogopa kusema, ila walikuwa wanamshangaa sana maana alikuwa anapenda kuoga yaani kila mda yeye anaenda bafuni tu. Mkwe wake alikuwa anajua kuwa yeye ndiyo kafanya vile lakini alikuwa anacheka tu na kufurahia maovu yake. Ndugu na jamaa wa shemeji kila walipo kuwa wanakuja kumtazama ndugu yao wanakuta hali inaendelea kuwa mbaya, kila siku haponi tu. Ikabidi ndugu na shemeji wakae kikao kuangalia ni jinsi gani wanaweza kumsaidia, sasa kwasababu kikao kilikuwa kimechukua mda, hivyo shemeji asinge weza kuoga kila mda,kama kawaida yake, ikabidi ajikaze tu ili asigundulike, sasa kutokana na kukaa sana kwenye kikao, harufu mbaya ikaanza kumtoka shemu mbele za watu. USIKOSE_5
...

SIRI ZA GIZANI 3 Shemeji alilia sana pale hospitalini, maana alihisi kukatwa mguu wake itakuwa ni kama kapoteza kitu kikubwa sana katika maisha yake na isitoshe alikuwa ni mwanamke mrembo alie vutia sana na alipenda kupendeza mda wote, hivyo ilikuwa inamuuma sana. Kaka akamwambia, "mke wangu, naomba ukubali tu ukatwe huo mguu, kwani wewe hujioni mguu ulivyo kuwa, kila siku mguu unaoza, kila siku unauma, usiku hatulali mke wangu unalia tu ndani, naomba ukubali tu kukatwa, mimi siwezi kukuacha nitakuwa na wewe kwenye changamoto zozote za dunia" huwezi kuamini shemeji alikataa kabisa kukatwa ule mguu, sasa kutokana na ule ugonjwa ikabidi kaka amuite mama kutoka kijijini aje kukaa nyumbani kwake ili amuuguze mke wake, maana biashara zao zilianza kuyumba kutokana na kukosa mda wa kuziangalia, maana walitumia mda mwingi kumuuguza shemeji. Mama yetu alisafiri kutoka kijijini akaenda kukaa pale nyumbani kwa kaka kumuuguza shemeji. mama alienda na kuku wawili moja jogoo nyingine kuku wa kutaga kawaida. Watoto wa kaka yaani Ibra na Nasra walifurahi sana kumuona bibi yao. Ila kumbe bibi yao alikuwa mchawi na alitoka amefungasha dawa za kutosha kutoka kijijini akaja nazo mjini, kuisumbua familia ya kaka, sisi hatukujua kama ni mchawi maana alitulea vizuri tu tangu tukiwa wadogo. Alafu na wale kuku wawili, kumbe jogoo alikuwa ni Ibra, alafu kuku wakutaga kawaida alikuwa ni Nasra, hivyo kuku ambayo ingechinjwa kwanza basi mtoto wa kaka mmoja angekufa na kama zinge chinjwa zote pia wangefariki wote. Hakuna alie fahamu kabisa kama mama angeweza kufanya mambo kama yale, maana tulikuwa tuna muheshimu sana sisi. kaka alipo kuwa anaenda kazini, mama alikuwa anaonyesha upendo sana mchana kwa mkwe wake, wakawa marafiki sana, lakini kumbe mama hakupenda ata mkwe wake apone alitamani kuona ata anakufa tu, Sasa kwa sababu ya ule mguu kumuuma sana shemeji, hivyo ata kujisaidia kwake ilikuwa ni ngumu sana, sasa bibi alicho kuwa anafanya ni kuchukua kopo kisha analiweka karibia na sehemu nyeti za shemeji ili aweze kujisaidia, lakini ilikuwa aisadii kabisa maana mkojo wake wote ulikuwa unaishia chini. Shemeji alikuwa analia tu, maana hakuamini kama angeweza kujikojolea na utu uzima wake wote, USIKOSE_4
...

SIRI ZA GIZANI 2 Wageni walipo mtembelea mke wa kaka yangu, baada ya mda wakaitaji kuondoka, kwasababu ilikuwa tayari ni usiku mida ya kama saa mbili hivi. Shemeji akaamua kuwa sindikiza ili awatoe nje kidogo kisha waendelee na safari yao. Sasa wakati shemeji yangu anarudi nyumbani bahati mbaya kiatu chake cha kushoto kikakatika, maana kilikuwa ni kiatu cha wazi, shemeji hakuwa na jinsi hivyo akaamua kukibeba ili arudi nacho nyumbani kisha kipelekwe kwa fundi kushonwa. Sasa wakati shangazi anatembea mguu ukiwa peku, bahati mbaya akakanyaga mdudu bila kujua ila alihisi kama amekanyaga kitu kisha kikabonyea, ila kutokana na lile giza hakuweza kuangaika kutazama amekanyaga nini wakati ule. Sasa kumbe ulikuwa ni uchawi tu, majirani zake wamemtumia kusudi tu ateseke na familia nzima iwe katika majonzi, kipindi kaka amerudi kutoka kazini akakuta familia yake ipo na furaha na walikuwa na upendo sana. Kibaya zaidi ni pale ilipo fika saa nane usiku sasa, yule mdudu ambae shemeji alimkanyaga ndiyo akaanza kufanya kazi, huwezi kuamini shemeji yangu alianza kuchemka sana mwili, yaani jasho lina mtiririka sana, kaka akajaribu kumkanda na maji ya baridi ila hari iliendelea kuwa mbaya, kipindi shemeji analia maana alikuwa anaogopa sana ugonjwa, kakidonda kadogo tu, kakaanza kujitokeza mguuni, shemeji hakuhisi chochote akaendelea kukaa tu anajua labda kidonda ni kidogo kitapona, lakini kila kulipo kuwa kunakucha mguu unauma, unawasha, anapata maumivu makali mpaka akaacha kwenda kazini, kaka akaamua kumpeleka mke wake hospitali, alipo fika wakampa dawa na kumchoma sindano, kumbe hapo pia ndipo wakawa wamearibu kila kitu, maana uchawi ukichanganya na madawa ya kawaida unakuwa unaua kabisa, mguu wa shemeji ulianza kuvimba, ulivimba sana ukawa mkubwa kuzidi ata mwili wake, ata watoto wakaanza kuogopa! kaka yangu akashangaa kumuoa mke wake vile, ikabidi arudi hospitali, alipo fika huko, daktari akasema "hii itakuwa kansa hivyo itabidi tumkate mguu wake ili asiendee kuvimba hivi maana anaweza akafariki tukiendelea kusubilia". Shemeji alipo ambiwa kukatwa mguu alianza kulia sana akasema, "mme wangu ni bora tu nife, siwezi kutazama nakatwa mguu, nimemkosea mungu mimi nimekosa nini jamani ehh" USIKOSE 3
...

SIRI ZA GIZANI 1 Naitwa Awa, mtoto wa kwanza katika familia ya mzee Shaheem, mama yangu mzazi alifariki dunia nikiwa mdogo sana hivyo nilikuwa katika malezi ya mzazi mmoja yaani baba yangu tu. Ila nilikuwa namshangaa sana baba kipindi nipo mdogo! maana baba alikuwa anapenda sana kuswali, yani alikuwa hapitwi na swala maana kila baada ya mda anaenda msikitini, sasa kilicho kuwa kina niumiza zaidi ni zile swala za jioni ambazo baba alipenda tuswali pamoja kabla ya kulala, sasa hapo ndipo nilikuwa sipendi kabisaaaa, yaani nili tamani kujifungia chumbani na kulala mapemaaa ili asiniite. Uvumilivu ulinishinda ikabidi niwe muwazi tu, ili kumuuliza baba kwanini ana swali kila siku, anafaidika nini sasa? maana mimi nilikuwa naona kama upotezaji wa mda. Nikamuuliza kwamba, "baba hivi kwanini unapenda kuswali faida gani unaipata baba yangu" baba akasema, "weee, unaongea nini hicho, kwahiyo wewe hupendi kuswali au" baba akasema, "mwanangu kuswali ni muhimu, unapo mkumbuka mungu na yeye pia anakukumbuka na anakuepusha na mengi sana, maana dunia ya sasa ni ya laana, ushetani, uzinzi, na matukio mengi ya ajabu na sio hivyo tu, ndugu zangu wengi nimewapoteza kishirikina tu kwa sababu ya uzembe wao wa kumkumbuka mungu, maana mfano kama baba yako mkubwa alie fariki mwaka jana, yeye huyo angekuwa ana swali kwa imani yeye na familia yake nzima wasinge fariki kizembekizembe vile" nikamuuliza baba kwamba, "kizembekizembe kivipi baba" baba akasema ni hadithi ndefu sana hatuwezi kuimaliza sahivi maana tayari ni usiku ila kesho mapema nikumbushe nikusimulie. Kweli kesho yake mapema nikam'bana sana baba anisimulie nijue kwanini baba mkubwa alifariki kizembe. Baba akasema "dahh Awa binti yangu, usahau tu, haya sawa ebu keti kwenye kiti nikusimulie" nilipo kaa ndipo baba akaanza kunisimulia kwamba. "baba mkubwa wako alikuwa anaitwa Abdaal, yeye alikuwa na mke wake pamoja na watoto wawili, sasa kaka Abdaal pamoja na mke wake walikuwa wasomi sana na wote walikuwa wanajiweza kifedha, hivyo familia yao ilikuwa ya upendo sana na furaha pia, walikuwa na nyumba nzuriii, magari matatu na biashara mbalimbali, siku moja, Afra yaani mke wa kaka Abdaal, alikuwa ametembelewa na wageni nyumbani kwake.. itaendelea
...

USHAURI WANGU WEEKEND HII. Rafiki zako wanaolewa kila weekend lakini wewe hujui hata uhusiano ulionao unaelekea wapi, kwa sababu umechagua kufumba macho yako juu ya mambo ya msingi na mahusiano yaliyo mwiba kwako. Ni muda mrefu sasa mpo katika mahusiano hajawahi kukukutanisha na mtu yeyote muhimu kwake. Watu anaokukutanisha nao ni rafiki zake anaokula nao bata, Ma DJs, madereva taxi, boda boda na bajaji, wahudumu wa lodge, na waiters/waitresses. Hajawahi hata kujisumbua kukuongelea katika social networks kwa sababu anapenda maisha yake binafsi ya kimya kimya kuficha ufilauni wake. Dada yangu fumbua macho yako yote mawili na funga miguu yako, acha kuitanua. Ficha kabisa na muulize ni nini mustakabali wa mahusiano yenu. Dada zangu ni vema mfanye hivyo, kwa sababu nyie mnacho kitu kinaitwa Saa ya kibailojia. Na pale saa hii inapokukamata, utakua umeshachelewa sana. Utaolewa na mseja, mtalaka, kua mama wa kambo, au kua mchepuko wa babu mstaafu wa bodi ya korosho. Control hali hii ukiwa bado binti mbichi unaevutia, thamini utu wako, thamini your precious body. Wewe ni wa thamani mno. Vinginevyo atakutumia tu, atamuoa mwanamke mwingine na atakutumia wewe kama hadibu za rejea katika mahusiano yake yaliyopita. Fumbua macho na funga miguu yako. Weekend njema na Mungu awabariki!
...

*HII ORODHA YA WAPENZI NI PASUA KICHWA ISEE* *1. VIPWENTE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anaweza Akakumiss Hadi Anahisi Network Zinakatika...Lakini Hakutafuti Ng'ooo Iwe Ni Kwa Message Au Laivulaivu, Kwasababu Hataki Kuonekana Wakwanza Kukutafuta._ *2. VIMBUNDU* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Hakuonyeshi Kama Yuko Deep Kwako Hata Kiduchu, Lakini Olewako Akuone Unaongea Na Kidemu/ Kiblazameni Kingine, "Kazi Mbona Unayo"....Hawa Huaga Wanapenda Ndani Kwandani Kama Meli Za Kivita._ *3. VISHOKOMZOBE -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Ukihesabu Muda Ambao Mmeanza Kuvunja Amri Ya Sita Yaani Tangu 2014 Mwezi Wakwanza Hadi Lao, Hajawahi Kukupa Hata Kijizawadi Japo Hata Pafyumu Ya Kurusumu._ *4. VINJUNJIO* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anakuonyesha Tabasamu Pale Tu Anapokabwa Na Ukame,_ _Mkishapandiliana Ukame Ukimuisha Hana Taimu._ *5. ATOMBILE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anamichepuko Kama_ _6 Ivi...Lakini Ole Askie Kunamtu Anakunyemelea Wewe, Hio Vitayake Bora World War. Hawa Nao Wanapendaga Ndani Kwandani._ *6. VISHUMUNDU -* _Hawa Ninoma, Ni Aina Ya Wapenzi Ambao We Uwe Na Michepuko, Umpige, Umfungie Nje, Umfokee Kila Mda, Ukatae Kumtambulisha...Yeye Ndo Kwanza Anazidisha_ _Malavidavi...Fanya Ufanyao, Hakuachi Ng'ooo! (Ukikutana Na Wahivi Oa/ Olewa Fasta...Au Hadi Mungu Akwambie Laivu Kwamba Ye Ndo Kakuletea?)_ . *7. MANDONYA -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi _Ambao Yeye Kukuvalisha Pete Sio Kazi Kwake, Tabu Kuoa! Atakuvisha Chuma Lake Utakaa Nalo 3Years, Mwisho_ _Wasiku Unaskia Kamuoa Ntombi Mwakipesile Wa Mtoni Kijichi._ *8. VIBINUZI* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Ukiwanae Muda Wote Anachati, Ukimuuliza Unachati Nanani? Kinawaka._ *9. KIBUMBUSWA -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Hipiti Siku_ _Hamjagombana. Yani Mnaweza Kwenda Kulala, Ukaweka Pozi La Kulala_ _Kiubavuubavu...Utashangaa Anakwambia,_ _"Yaani Mimi Sipendagi Ukilala Hivo Kwasababu Naota Ndoto_ _Mbayambaya"...Basi Tu Mradi Mgombane._ *10. VITUSU AMAZING* _- Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Mapenzi Yao_ _Yamepitiliza Yaani Nizaidi Ya Mapenzi Ya Mchepuko...Yeye Hata Ukijamba Utaskia,_ _"Pole Baby, Haujaumia?"_ *Kwani We Wako Aina Gani?*
...

MAMBO AMBAYO HUPASWI KUMFANYIA MWANAMKE ANAEKUPENDA KWA DHATI 1. Usimuumize moyo wake 2. Usi 'pretend' unampenda ili ufanikiwe kufanya yako. 3. Mtukane vyovyote vile ila sio wazazi wake na kumwambia kuwa yeye ni mbaya. 4. Usimfananishe na wanawake zako waliopita. 5. Usimchukulie kirahisirahisi (Never take her love for granted) 6. Usimpige 7. Usimsaliti na kuonyesha kabisa dharau ajue kuwa una 'cheat' 8. Usimvunjie heshima kwa kumgombeza mbele za watu. 9. Usimpotezee muda wake kama hauna mpango wa kumuoa, unamchelewesha kupata mume bora. 10. Usimfanye ajione hapendwi na ana mkosi hapa ulimwenguni, huo ni ujuha. 11. Usimbake 12. Kamwe usisahau kumwambia unampenda na yeye ni mzuri hiyo haipunguzi nguvu za kiume. 13. Usimpe mimba na kumkimbia au kumwambia aitoe, kama huna nia ya kumuoa achana na hayo mambo, nadhani unajua kabisa matokeo ya kufanya ngono. Sometimes sisi wanaume ni pasua kichwa vilevile, unakuta tunapata mwanamke anaekupenda kwa dhati, mwanamke ambae ni potential, mwanamke ambae hakodoi macho pochi yako, ila masikini ya Mungu anaishia kuumizwa na kulia kila siku na kujilaumu kwanini alikupenda. Wewe fanya hivyo ukidhani unamkomoa, ila siku na wewe ukibananishwa na mwanamke mjasiriamwili utaisoma namba, nakwambia utauza hadi boxer. Baadae unakuja kulalamika hapa 'wanawake wanapenda pesa, wanawake wanapenda pesa.' ukishikwa shikamana. Na kama humpendi usimtongoze!
...
![Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba (kwa
Kiingereza "Fertility Awareness", kifupi FA) unahusu mbinu zinazotumika kutambua wakati
mwanamke anapoweza kushika mimba na asipoweza kushika mimba katika mzunguko wa
hedhi . Mbinu hizo zinaweza kutumika ili kuzuia mimba isiyotamaniwa na vilevile kupata mimba iliyotamaniwa, lakini pia kama njia ya kusimamia afya ya uzazi wa mwanamke.
Mbinu kadhaa za kubaini siku ambazo mwanamke hawezi kupata mimba zinajulikana tangu zamani, lakini ujuzi wa ki sayansi uliopatikana katika karne ya 20 umeongeza sana idadi na hasa usahihi wa mbinu hizo.
Kutoka mwaka 1930 hadi 1980 , utafiti na ukuzaji wa uelewa huo wa masuala ya uzazi ulifanywa hasa na wataalamu wanaohusika na
Kanisa Katoliki kwa lengo la kusaidia kupanga uzazi watu wa ndoa wanaokataa mbinu za
teknolojia kwa msingi wa maadili au kwa kuzingatia ma dhara yake.
Kwa kiasi kikubwa mashirika yanayotafuta na kueneza ufahamu wa uwezo wa kushika mimba yanaendelea kuongozwa na Wakatoliki, lakini baadhi ya mashirika ya kawaida sasa yapo.
Mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hutegemea uchunguzi wa mabadiliko ya ishara za msingi yanayoashiria uwezekano wa kutunga mimba (kama vile joto la mwili , ute wa uke , na mkao wa seviksi ) kwa kufuatilia mzunguko wote wa hedhi na hivyo kubaini wakati ambapo inawezekana kushika mimba.
Ishara nyingine pia zinaweza kuzingatiwa: hizo ni pamoja na ulaini wa ma titi na uchungu wakati kijiyai kinapoachiliwa, uchunguzi wa
mkojo kwa vifaa vya kubashiri udondoshwaji wa vijiyai, na uchunguzi wa ki hadubini wa ute au ugiligili wa seviksi (yaani mlango wa kizazi). Isitoshe, ipo njia ya kufuatilia uwezo wa kushika mimba kwa tarakilishi .
Istilahi
Mbinu zinazotegemea dalili zinafuatilia moja au zaidi kati ya ishara tatu za msingi za kuweza kutunga mimba - joto la msingi la mwili, ute wa uke na mkao wa seviksi. [1]
Mbinu zinazotegemea ute wa uke tu ni pamoja na Mbinu ya Billings ya Kutambua Kijiyai Kuachiliwa, The Ovulation Method , Mbinu ya Creighton, na Mbinu ya Siku Mbili.
Mbinu za dalili ya joto la mwili hujumuisha pia uchunguzi wa joto la msingi la mwili (basal body temperature = BBT), ute wa uke, na wakati mwingine mkao wa seviksi.
Mbinu zinazotegemea kalenda hufuatilia mzunguko wa hedhi ya mwanamke na kwa kuzingatia urefu wa mzunguko wake kutambua anapoweza kupata mimba. Mbinu maarufu zaidi kati ya hizo ni Mbinu ya Siku Sanifu.
Mbinu ya Urari-Kalenda pia huhesabiwa njia ya kutegemea kalenda, ingawa haijafafanuliwa vizuri na ina maana nyingi tofauti kwa watu tofauti.
Mbinu hizo za kupanga uzazi zinaweza kuitwa Mbinu za Uzazi Zinazotegemea Ufahamu (wa uwezo wa kuzaa), [2] Jina "Mbinu ya Uelewa wa Uzazi" (kwa Kiingereza Fertility Awareness Method = FAM) linatumika hasa kwa mfumo uliofundishwa na Toni Weschler. Jina "Mbinu Asili ya Uzazi wa Mpango" (kwa Kiingereza natural family planning = NFP) wakati mwingine hutumiwa kutaja mbinu yoyote inayotegemea Ufahamu wa Uzazi. Hata hivyo, msamiati huo ni mahsusi kuhusu mbinu zile zinazokubaliwa na Kanisa Katoliki: mbali ya uwezekano wa kutopata mimba wakati wa kunyonyesha (kwa Kiingereza Lactational amenorrhea method = LAM), ni kutofanya tendo la ndoa siku ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba. Hapo mbinu za FA zinaweza kutumika ili kutambua nyakati hizo zinazoweza kuleta mimba.
Wanawake ambao wananyonyesha na wanapenda kukwepa mimba wanaweza kutegemea kukatizwa kwa hedhi wakati wa kunyonyesha. Hiyo ni tofauti na ufahamu wa uzazi, lakini kwa sababu haihusishi vifaa wala kemikali, mara nyingi hutajwa pamoja na FA kama njia asili ya uzazi wa mpango.
Historia
Ukuaji wa mbinu zinazotegemea kalenda
Haijulikani kwa hakika lini iligunduliwa kwa mara ya kwanza kuwa wanawake wana vipindi vya kutunga mimba na visivyo vya kutunga mimba vinavyoweza kutabirika. Mwaka 388
Agostino wa Hippo aliandika kuhusu kuepuka mara kwa mara tendo la ndoa ili kuzuia mimba akiwalaumu Wamani kwa kutumia njia hiyo ili kubaki bila watoto. [3]
Kitabu fulani kinasema kuacha ngono kwa muda kulipendekezwa na "watu wachache wasio wa dini tangu katikati ya karne ya 19", [4] lakini katika karne ya 20 ushawishi mkuu uliohamasisha mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ulitoka katika Kanisa Katoliki.
Mwaka 1905 Theodoor Hendrik van de Velde,
mwanajinakolojia wa Uholanzi, alionyesha kuwa wanawake hutoa kijiyai mara moja tu kila mzunguko wa hedhi. [5] Miaka ya 1920
Kyusaku Ogino , mwanajinakolojia wa Ujapani , na Hermann Knaus , kutoka Austria , wakifanya kazi bila ushirikiano waligundua kwamba kijiyai hutokea siku kumi na nne hivi kabla ya kipindi cha hedhi kinachofuata. [6] Ogino alitumia uvumbuzi wake kutengeneza hesabu ya kuwasaidia wanawake wasiopata mimba kwa kufanya tendo la ndoa kwa wakati mwafaka kupata mimba. Mwaka 1930 John Smulders , daktari Mkatoliki kutoka Uholanzi, alitumia uvumbuzi huo kuunda mbinu ya kuepuka mimba. Smulders alichapisha kazi yake chini ya Chama cha Matabibu Wakatoliki wa Uholanzi, na hiyo ilikuwa mbinu sanifu ya kwanza ya kuepuka mimba kwa kuacha kujamiiana kwa kipindi fulani - mbinu ya kalenda. [6]
Uanzilishi wa mbinu za dalili za joto na ute wa mlango wa uzazi
Katika miaka ya 1930, Wilhelm Hillebrand , padri Mkatoliki nchini Ujerumani , alitunga mbinu ya kuzuia mimba kwa kutegemea joto la msingi la mwili. [7] Mbinu hiyo ya joto ilionekana kuwa na ufanisi mkubwa zaidi katika kuwasaidia wanawake kuzuia mimba kuliko mbinu ya kutegemea kalenda. Katika miongo michache iliyofuata, mbinu hizo mbili zikawa zinatumika sana miongoni mwa wanawake Wakatoliki. Hotuba mbili zilizotolewa na Papa Pius XII mwaka 1951 zilitoa kibali cha hali ya juu kutoka Kanisa Katoliki kwa mbinu hizo kutumiwa na mume na mke waliohitaji kuzuia mimba. [4][8]
Mwanzo mwa miaka ya 1950 , John Billings aligundua uhusiano kati ya ute wa mlango wa uzazi na uwezekano wa kutunga mimba alipokuwa akifanya kazi katika Shirika Katoliki la Ustawi wa Jamii mjini Melbourne , Australia . Billings na madaktari wengine kadhaa, akiwemo mke wake Evelyn , walifanyia utafiti ishara hiyo kwa miaka kadhaa, na kufikia mwishoni mwa miaka ya 1960 walikuwa wamefanya majaribio ya kitabibu na kuanzisha vituo vya kufundishia mbinu yao duniani kote. [9]
Mashirika ya kwanza ya ufundishaji mbinu zilizozingatia dalili
Japo awali akina Billings walifundisha pamoja mbinu za dalili ya joto na ya ute wa uke, walipata shida katika kufundisha ishara ya joto kwa idadi kubwa ya watu wasiojua kusoma na kuandika katika nchi zinazoendelea . Hivyo katika miaka ya 1970 walibadilisha mbinu ili kutegemea ute tu. [7] Taasisi ya kimataifa iliyoanzishwa na Billings sasa inajulikana kama "Shirika la Kimataifa la Mbinu ya Kudondosha Kijiyai ya Billings" (kwa Kiingereza World Organization Ovulation Method Billings = WOOMB).
Shirika la kwanza kufundisha mbinu ya dalili za joto lilianzishwa mwaka 1971 . John na Sheila Kippley , walei Wakatoliki, walijiunga na Konald Prem katika kufundisha mbinu iliyotegemea dalili zote tatu: joto, ute na mkao wa mlango wa uzazi. Taasisi yao sasa inaitwa "Shirika la Kimataifa la Wanandoa kwa Wanandoa" (kwa Kiingereza "Couple to Couple League International"). [7]
Muongo uliofuata ulishuhudia kuanzishwa kwa mashirika mengine ya Kikatoliki ambayo sasa ni makubwa - "Familia ya Amerika" (kwa Kiingereza "Family of the Americas") iliyoundwa mwaka 1977 na kufundisha mbinu ya Billings, [10] halafu "Taasisi ya Papa Paulo VI " ( 1985 ), inayofundisha mbinu mpya ya ute pekee iitwayo Creighton Model. [11]
Hadi miaka ya 1980 , habari kuhusu ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ulipatikana tu kutoka vyanzo vya Kikatoliki. [12] Shirika la kwanza lisilo la kidini la kutolea mafundisho hayo ya uzazi lilikuwa Kituo cha Uelewa wa Uzazi cha New York, lililoanzishwa mwaka
1981 . [13] Toni Weschler alianza kufundisha mwaka 1982 na kuchapisha kitabu kilichouzwa sana cha Taking Charge of Your Fertility mwaka
1995 . [14] "Justisse" ilianzishwa mwaka 1987 huko Edmonton, Kanada . [15] Mashirika hayo yote yasiyo ya kidini yanafundisha mbinu ya dalili za joto. Ingawa mashirika ya Kikatoliki yanayoeneza uelewa wa uzazi ni makubwa sana kuliko hayo ya wanaharakati yasiyo ya kidini, walimu wasiotegemea dini wamezidi kuongezeka katika miaka ya 1990 na milenia mpya .
Maendeleo ya sasa
Ustawi wa mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaendelea. Mwishoni mwa miaka ya 1990, "Taasisi ya Afya ya Uzazi " katika Chuo Kikuu cha Georgetown ilianzisha mbinu mbili mpya. [16][17] Mbinu ya Siku Mbili, inayotegemea ute tu, na CycleBeads , ambayo inafuata mbinu ya Siku Sanifu na ina pia toleo la kieletroniki, iCycleBeads), zimeundwa ili kuwa na ufanisi na urahisi mkubwa zaidi katika kufundisha, kujifunza, na kutumia.
Ishara za uwezo wa kushika mimba
Mizunguko mingi ya hedhi huwa na siku kadhaa za mwanzo ambapo mimba haiwezi kupatikana (muda wa kutoshika mimba kabla ya kudondosha kijiyai), halafu siku ambazo mimba inaweza kutungika, na kisha siku kadhaa tu kabla ya hedhi ambazo mimba haiwezi kutungika ( muda wa kutoshika mimba baada ya kijiyai kudondoshwa). Siku ya kwanza ya kuvuja damu inahesabiwa kuwa siku ya kwanza ya mzunguko wa hedhi. Mbinu mbalimbali za kufahamu uwezo wa kushika mimba huhesabu kwa njia tofauti kidogo kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba, yaani hutumia ishara za msingi za uwezekano huo, historia ya mzunguko, au zote mbili.
Ishara za msingi za kuweza kupata mimba
Ishara tatu za msingi za uwezekano wa kushika mimba ni joto msingi la mwili, ute wa uke na mkao wa seviksi. Mwanamke anayetumia dalili hizo ili kujua uwezo wake wa kupata mimba anachagua kutumia ishara moja, mbili, au zote tatu pamoja. Wanawake wengi hung'amua pia ishara nyingine za ziada kulingana na mzunguko wa hedhi, kama vile maumivu na uzito tumboni, maumivu mgongoni, ulaini wa matiti na maumivu ya kudondosha kijiyai.
Joto la msingi la mwili
Joto la msingi la mwili ni joto la mwili wa mtu linalopimwa wakati wa kwanza anapoamka asubuhi (au baada ya usingizi wa muda mrefu zaidi katika siku). Miongoni mwa wanawake, kudondoshwa kijiyai husababisha joto kupanda kwa 0.3°C hadi 0.9° C (0.5°F hadi 1.6°F) na kubakia hivyo kipindi chote hadi wakati wa hedhi ijayo. Mabadiliko hayo ya joto yanaweza kutumika kubaini mwanzo wa kipindi cha kutoweza kutungika mimba kabla ya kudodosha kijiyai.
Ute wa uke
Ute wa uke
Kuonekana kwa ute wa uke na mwasho wake ni ishara zinazoelezwa kwa kawaida pamoja kama njia za kubaini ishara hiyohiyo. Ute wa uke huzalishwa na seviksi, ambayo huunganisha mji wa mimba na mfereji wa uke. Ute wa uke wenye uwezo wa kushika mimba hukuza maisha ya manii kwa kupunguza uasidi wa uke, na husaidia kuongoza manii kupitia seviksi na kuelekea ndani ya mji wa mimba. Uzalishaji wa ute wa uke wenye uwezo wa kupata mimba husababishwa na homoni ileile ( istrojeni ) ambayo huandaa mwili wa mwanamke kwa udondoshwaji wa kijiyai . Kwa kuangalia ute wa uke wake, na kuzingatia hisia pindi unapopita ukeni, mwanamke anaweza kubaini wakati mwili wake unapojiandaa kudondosha kijiyai, na wakati ambapo udondoshwaji wa kijiyai umepita. Kijiyai kikidondoshwa, uzalishwaji wa istrojeni hupungua na projesteroni huanza kuongezeka. Kupanda kwa kiwango cha projesteroni husababisha mabadiliko maalumu katika wingi na hali ya ute wa uke. [18]
Mkao wa seviksi
Seviksi hubadilisha mkao kutokana na homoni zilezile zinazosababisha ute wa uke kutolewa na kukauka. Wakati mwanamke yuko katika awamu ya kutoshika mimba katika mzunguko wa hedhi, seviksi hushuka chini katika mfereji wa uke, ikiguswa huwa ngumu (kama ncha ya
pua ya mtu), na upenyu (mlango wa seviksi) unakuwa mdogo ukilinganishwa na wakati mwingine, au umefungika. Kadiri mwanamke anavyozidi kuwa na uwezo wa kushika mimba ndivyo seviksi inavyopanda juu katika mfereji wa uke, inakuwa laini ikiguswa (kama mdomo wa mtu), na upenyu unakuwa wazi zaidi. Baada ya kudondoshwa kwa kijiyai, seviksi itarejea mkao wake wa wakati usio wa kushika mimba.
Historia ya mzunguko
Mbinu zinazotegemea kalenda hubainisha uwezekano wa kutopata mimba kabla na baada ya kudondosha kijiyai kulingana na historia ya mzunguko. Zinapotumika vizuri kuzuia mimba, mbinu hizo si madhubuti kama mbinu zinazotegemea dalili, hata hivyo umadhubuti wake unalingana na mbinu zuizi kama vile
kiwambo na kizibo cha seviksi .
Mbinu za kuepuka mimba zinazotegemea ute wa uke na joto la mwili kubainisha uwezo wa kutunga mimba baada ya kijiyai kudondoshwa, hushindikana mara chache sana zinapotumika vizuri. [19] Hata hivyo, mbinu hizo huwa na upungufu fulani katika kubaini uwezo wa kutotunga mimba kabla ya kudondosha kijiyai. Rekodi ya joto la mwili pekee haitoi mwongozo kuhusu uwezekano wa mimba kutungwa au kutotungwa kabla ya kijiyai kudondoshwa. Kubaini uwezekano wa kutoshika mimba kabla ya tukio hilo kunaweza kufanywa kwa kuchunguza ute wa uke; hata hivyo, njia hii inafanikiwa kwa kiwango cha chini kuliko ule unaoshuhudiwa katika kipindi baada ya kudondosha kijiyai. [20] Kutegemea uchunguzi wa ute pekee pia ina maana kwamba tendo la ndoa haliruhusiwi wakati wa hedhi, kwa sababu ute wowote hautakuwa dhahiri. [21]
Matumizi ya sheria fulani za kalenda katika kutambua urefu wa kipindi cha kutoweza kutunga mimba kabla ya kijiyai kudondoshwa huruhusu siku chache za ngono mwanzoni mwa mzunguko wa hedhi huku kukiwa na kiwango cha chini sana cha uwezekano wa kupata mimba. [22] Kwa kutumia mbinu ya ute pekee, kuna uwezekano wa kukosea kwa kudhani ni hedhi damu inapotoka katikati ya mzunguko wa hedhi au wakati ambapo kijiyai halikudondoshwa. Kuweka chati sahihi ya joto la msingi la mwili huwezesha utambuzi wa hedhi, wakati ambapo sheria za kalenda kuhusu kipindi kabla ya kudondosha kijiyai zinaweza kutumiwa kwa usahihi. [23] Katika mbinu za joto pekee, sheria ya kalenda inaweza kutegemewa pale tu kutambua uwezekano wa kutoshika mimba kabla ya kudondosha kijiyai. Katika mbinu za joto na ishara, sheria ya kalenda huthibitishwa na rekodi za ute: uchunguzi wa ute wa uke unaoashiria uwezo wa kupata mimba unapewa kipaumbele kuliko mbinu yoyote ya kalenda ya kubainisha uwezo wa kushika mimba. [22]
Sheria za kalenda zinaweza kuweka idadi mahsusi ya siku, ikibainisha kwamba (kulingana na urefu wa mizunguzo iliyopita ya hedhi ya mhusika) siku tatu hadi sita za kwanza katika kila mzunguko wa hedhi huchukuliwa kuwa hazina uwezo wa kupata mimba. [24] Au, sheria ya kalenda inaweza kuhitaji hesabu, kwa mfano lazima iwe kwamba urefu wa kipindi kisicholeta uzazi kabla ya kudondosha kijiyai ni sawa na urefu wa mzunguko mfupi zaidi wa mwanamke huyo ukiondoa siku ishirini na moja. [25] Badala ya kutegemea urefu wa mzunguko, sheria ya kalenda inaweza kuhakikishwa kutokana na siku ya mzunguko ambapo mwanamke ameshuhudia badiliko la joto la mwili. Mfumo mmoja unasema urefu wa kipindi cha kutoweza kutunga mimba kabla ya kudondosha kijiyai unalingana na siku ya kwanza ambapo mwanamke alishuhudia kupanda joto la mwili ondoa siku saba. [26]
Mbinu nyingine
Vifaa vya kubashiri udondoshwaji wa kijiyai (kwa Kiingereza Ovulation predictor kits = OPKs) vinaweza kutambua udondoshwaji unaokaribia kutokea kwa kutegemea wingi wa homoni ya kuandaa ukuta wa chupa ya kizazi (kwa Kiingereza "lutenizing hormone" = LH) katika mkojo wa mwanamke. Kwa kawaida ubashiri wa kufana wa undondoshwaji huo hufuatiwa na udondoshwaji ndani ya saa 12-36.
Uchunguzi wa mate kwa hadubini, ukifanyika kwa usahihi, unaweza kugundua vijidutu maalum katika mate ambavyo hutangulia udondoshwaji wa kijiyai. Vijidutu hivyo kwa kawaida huonekana siku tatu kabla ya udondoshwaji na kuendelea mpaka udondoshwaji utokee. Katika kipindi hiki, vijidutu hivyo hutokea katika ute wa uke pamoja na mate.
Vichunguza uzazi vya kieletroniki vinapatikana kwa majina mbalimbali ya ki biashara . Vichunguzi hivyo vinaweza kutumia mifumo ya Joto la Msingi la Mwili pekee, au kuchambua vitepe vya kupimia mkojo, au kufuatilia dalili mchanganyiko au kuchunguza ukinzani umeme wa mate na ugiligili wa uke, au kwa pamoja baadhi ya mambo hayo mbalimbali .
Manufaa na mapungufu
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba una kiwango fulani cha sifa bainifu:
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika kudhibiti afya ya uzazi. Mabadiliko katika mzunguko wa hedhi yanaweza kumtahadharisha mtumiaji kuhusu kujitokeza kwa matatizo ya kiginakolojia. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba pia unaweza kutumika kusaidia katika kuagua matatizo yanayojulikana ya kijinakolojia kama vile kutoweza kushika mimba.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ni uwanda mpana: unaweza kutumika kuzuia mimba au kusaidia katika kutunga mimba.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumiwa na wanawake wote katika kipindi chote cha uzazi, bila kujali ikiwa anakaribia kumaliza kuzaa, ananyonyesha, au anapata mzunguko wa hedhi usio wa kawaida kwa sababu zingine.
Matumizi ya ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutoa ufahamu kuhusu jinsi mwili wa mwanamke unavyofanya kazi, na unaweza kuwaruhusu wanawake kuwa na udhibiti mkubwa wa uzazi wao wenyewe.
Aina fulani ya mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba zinazotegemea dalili ya uzazi zinahitaji uchunguzi au kugusa ute wa uke, matendo ambayo baadhi ya wanawake hawafurahii. Baadhi ya wahudumu wanapendelea kutumia neno "majimaji ya seviksi" badala ya ute wa uke, katika juhudi ya kuwafanya wanawake kama hao kuhisi huru kidogo.
Baadhi ya dawa, kama vile ya kupunguza kupaliwa mapafuni, yanaweza kubadili ute ya kizazi. Kwa wanawake wanaotumia dawa hizi, ishara ya ute huenda isionyeshe kisahihi uwezo wa kutunga mimba . [27]
Baadhi ya mbinu zinazotegemea dalili huhitaji ufuatiliaji wa joto la kimsingi ya mwili. Kwa sababu usingizi usiokuwa na utaratibu unaweza kuvuruga usahihi wa joto la kimsingi la mwili, wafanyakazi wa kubadilisha zamu na walio na watoto wadogo sana, kwa mfano, huenda wasiweze kutumia mbinu hizo. [27]
Kama njia ya kupanga uzazi
Kwa kufanya tendo kamili la ndoa siku zile tu ambapo katika mzunguko wa hedhi mimba haiwezi kutungwa, maharusi wanaweza kuzuia mimba isipatikane. Wakati ambapo katika mzunguko wa hedhi mimba inaweza kutungwa, wanaweza wakaacha ngono ili kuwa na hakika ya kutoitunga. Wengine siku hizo wanatumia mbinu mbadala za kuzuia mimba ingawa pengine hazifai kwa sababu mbalimbali. [28] Kinyume chake maharusi wanaweza kulenga uzazi kwa hakika zaidi wakifanya tendo la ndoa kwa kutumia vizuri siku zinazouwezesha.
Manufaa
Katika kutumia ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hakuna madhara yanayotokana na teknolojia inayotumiwa na mbinu nyingine. Kwa jumla hakuna madhara yoyote ya utumiaji, isipokuwa yanayoweza kutokea kwa kuingiza vidole ndani ya uke ili kuchunguza seviksi (kama inavyopendekezwa na baadhi ya mbinu).
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza ukatumika pamoja na vifaa vya kuzuia mimba ili kuendelea kujamiiana katika kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba. Tofauti na utumiaji wa vifaa hivyo bila ufahamu wa uwezo wa kushika mimba, ufahamu huo unawezesha kutumia vizuiamimba siku chache tu, na hivyo kupunguza madhara yanayoletwa navyo.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hauna gharama au ni nafuu sana. Watumiaji wanaweza wakahitaji kununua chati, kalenda,
kipimajoto , au tarakilishi, au pengine kumlipa
mkufunzi . Kwa vyovyote gharama ni ya chini ikilinganishwa na mbinu nyingine.
Tofauti na mbinu nyingine mbalimbali ambazo zina athari za muda mrefu, ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unawezesha kubadili mara moja kutoka uamuzi wa kuzuia mimba hadi ule wa kuilenga.
Mapungufu
Wasipotumia vifaa vya kizuia mimba katika kipindi ambapo mimba inaweza kutungwa, wanandoa wanalazimika waache ngono. Ila kupunguza uwezekano wa kupata mimba uwe chini ya 1% kwa mwaka, katika kila mzunguko kuna takriban siku 13 ambapo lazima waache ngono. [29] Kwa wanawake wenye mzunguko unaobadilikabadilika sana - kama ilivyo kawaida wakati wa kunyonyesha, karibu na hedhi kwisha kabisa, au kwa wenye magonjwa ya homoni (kama vile Polycystic ovary syndrome = PCOS) kuacha kujamiiana au kutumia vizuizi kunaweza kuhitajika miezi mfululizo. Wengi hawana motisha au nidhamu ya kutosha wafanye hivyo kwa muda mrefu. Wanaposhindwa kufuata masharti, ni rahisi kupata mimba isiyopangwa.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba haukingi dhidi ya maradhi ya zinaa. [30] Ndiyo maana inafaa zaidi kati ya watu ambao ni waaminifu wao kwa wao, kama watu wa ndoa.
Ufanisi
Ufanisi wa ufahamu ya uzazi, kama ulivyo kwa mbinu nyingi za uzazi wa mpango, unaweza kutathminiwa kwa njia mbili zifuatazo. Kwa kawaida mfumo wa Pearl Index hutumika kukokotoa viwango vya ufanisi, lakini baadhi ya tafiti hutumia majedwali ya mapunguzo. [31]
Kwa kawaida viwango hupimwa katika mwaka wa kwanza wa matumizi. [32] Viwango vya
matumizi kamili ni kwa wale tu wanaofuata sheria zote, wakitambua kwa usahihi kipindi ambapo kuna uwezekano wa kutunga mimba, na wanaacha ngono isiyo na kinga siku walizotambua kuna uwezekano wa kuitunga. Viwango vya matumizi halisi au matumizi ya kawaida ni kwa wale wote wanaotegemea ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ili kuizuia, wakiwa ni pamoja na wasioweza kutimiza vigezo vya "matumizi kamili".
Kiwango cha kufeli kwa ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hutofautiana pakubwa kulingana na mbinu iliyotumika kubaini uwezekano wa kupata mimba, njia ya mafundisho, na idadi ya wanaotafitiwa. Baadhi ya tafiti zimekuta viwango halisi vya kufeli vya 25% kwa mwaka au zaidi. [33][34][35] Angalau utafiti mmoja umepata kiwango cha kufeli cha chini ya 1% kwa mwaka kukiwa na mafundisho endelevu na mapitio ya kila mwezi, [36] na tafiti kadhaa zimegundua viwango vya kufeli halisi vya 2-3% kwa mwaka. [29][37][38][39]
Inapotumika kwa usahihi, na kuandamana na mafundisho endelevu ya mara kwa mara, baadhi ya tafiti zimeonyesha kuwa mbinu fulani za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba huwa na 99% za ufanisi, [36][40][41][42]
Kitabu Teknolojia ya Uzazi kinaripoti hivi: [43]
Mbinu za baada ya kudondosha kijiyai (yaani kuacha ngono kuanzia wakati wa hedhi mpaka baada ya kudondoshwa) inafeli kwa 1% kwa mwaka.
Mbinu ya dalili na joto la mwili inafeli kwa 2% kwa mwaka.
Mbinu ya ute wa uke pekee inafeli kwa 3% kwa mwaka.
Mbinu ya urari wa kalenda inafeli kwa 9% kwa mwaka.
Mbinu ya Siku Wastani inafeli kwa 5% kwa mwaka.
Sababu za ufanisi mdogo katika matumizi ya kawaida
Sababu kadhaa zinachangia kufanya ufanisi wa matumizi ya kawaida uwe wa chini kuliko ule wa matumizi kamili:
watumiaji kutotii kwa makusudi maelezo (kushiriki ngono bila kinga siku ambapo wanajua mimba inaweza kutungwa): ndiyo sababu ya kawaida zaidi [29][42]
makosa ya watoa maelezo ya jinsi ya kutumia mbinu (mkufunzi kutoa taarifa isiyo sahihi au isiyo kamili)
makosa ya mtumiaji (kutoelewa sheria, kutunza kumbukumbu vibaya)
Kama njia ya kupata mimba
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika pia kwa lengo la kupata mimba kwa urahisi zaidi.
Kupanga wakati wa kujamiiana
Utafiti uliofanywa na Barrett na Marshall umeonyesha kuwa vitendo vya ngono visivyopangwa huwa na uwezekano wa 24% kutungisha mimba katika mzunguko wa hedhi. Utafiti huo pia uligundua kuwa ngono inayolenga wakati maalumu kulingana na ufahamu unaotokana na mbinu ya joto la msingi la mwili pekee huongeza viwango vya mimba hadi 31% -68%.
Utafiti wa mbinu ya ute wa uke umegundua viwango vya mimba vya 67%-81% katika mzunguko wa kwanza ikiwa kujamiiana kutatokea katika Siku ya Kilele cha ishara za ute. [44][45]
Kwa sababu ya viwango vya juu vya mimba kutoka mapema sana (25% za mimba hupotea katika wiki sita za kwanza tangu hedhi ya mwisho ya mwanamke), mbinu zinazotumika kuchunguza uwepo wa mimba zinaweza kusababisha upendeleo katika viwango vya utungaji mimba. Mbinu tofauti na hizo zinaweza kuonyesha viwango vya chini kwa sababu tu huwa zinakosa kugundua mimba zilizotoka mapema. Utafiti mmoja nchini China kati ya wanaoshiriki ngono bila mpangilio ili kutungisha mimba ulitumia mbinu bora za kugundua mimba, ikapata kiwango cha 40% cha kutungwa mimba kwa kila mzunguko katika kipindi cha utafiti cha miezi 12. [46]
Uchunguzi wa tatizo
Mizunguko ya kawaida ya hedhi wakati mwingine huchukuliwa kuwa ushahidi kwamba mwanamke anadondosha vijiyai kawaida, na mizunguko isiyo ya kawaida kuwa ushahidi kuwa udondoshaji wa kijiyai si wa kawaida. [47] Hata hivyo, wanawake wengi ambao mizunguko yao si ya kawaida hudondosha vijiyai kama kawaida, na baadhi ya wenye mizunguko ya kawaida kwa kweli hawadondoshi vijiyai au wana matatizo katika utayarishaji wa ukuta wa chupa cha uzazi. Hasa rekodi za joto la msingi la mwili, lakini pia rekodi za ute wa uke na mkao wake, zinaweza kutumika kwa usahihi kung'amua ikiwa mwanamke anadondosha kijiyai, na kama urefu wa kipindi cha baada ya kudondosha kijiyai cha mzunguko wa hedhi unatosha kwa ujauzito.
Ute wa uke unaoweza kutunga mimba ni muhimu katika kujenga mazingira ambayo yanaruhusu manii kupiti mlango wa uzazi na katika viriba vya falopu ambako husubiri kudondoshwa kwa kijiyai. [48] Chati za uwezo wa kupata mimba zinaweza kusaidia kugundua ute hasimu kwa mimba kutungwa, ambao ni sababu ya kawaida ya kutopata mimba. Ikiwa hali hii itagunduliwa, baadhi wanapendekeza matumizi ya guaifenesini katika siku chache kabla ya udondoshwaji wa kijiyai ili kupunguza uzito wa ute. [49]
Upimaji mimba na umri wa ujauzito
Vipimo vya ujauzito si sahihi mpaka wiki 1-2 baada ya kudondoshwa kijiyai. Kujua tarehe inayokisiwa ambayo kijiyai kitadondoka kunaweza kukamzuia mwanamke asipate matokeo yasiyo sahihi kutokana na upimaji wa mapema mno. Pia, siku 18 mfululizo za joto la juu zinamaanisha mwanamke ni mjamzito karibu bila shaka. [50]
Makadirio ya tarehe ya kudondosha kijiyai kutokana na chati za uwezo wa kuzaa ni njia sahihi zaidi ya kukadiria umri wa ujauzito kuliko mbinu za jadi za kupima mimba au mbinu ya kuchunguza hedhi ya mwisho katika utaratibu wa kufuatilia hedhi. [51]
Kama njia ya kupanga jinsia ya mimba
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika pia kwa lengo la kupata mimba ya jinsia inayotamaniwa zaidi. [52] Maharusi wanaweza kuchagua mtoto wa kiume au wa kike kwa 85% ya hakika wakifanya tendo la ndoa kwa kupanga kulingana na ute wa uke kuwa wa kuvutika na kuteleza au siyo. Ni kwamba jinsia ya mimba inategemea tu kromosomu za mbegu za baba ambazo ni nusunusu: X kwa kuzaa watoto wa kike na Y kwa kuzaa watoto wa kiume. Mbegu zenye kromosomu X ni dhaifu kidogo nazo huogelea polepole, lakini zinaishi muda mrefu. Kumbe zenye kromosomu Y zina nguvu zaidi na kuogelea upesi, lakini hufa upesi.
Ili kupata mtoto wa kiume
Kwa kuzingatia tabia hizo mbili tofauti, maharusi wakitaka mtoto wa kiume wanatakiwa kufanya tendo la ndoa siku ya kwanza baada ya kilele (kujisikia kuteleza) na kuendelea kwa miandamo 6 ya hedhi. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miandamo 6, waanze kuonana siku ya kilele na siku inayofuata. Kama mwanamke amekosa siku ya kilele, yaani kama utelezi wa ute unaendelea siku inayofuata, waonane tena siku inayofuata. Kwa njia hiyo mbegu zenye kromosomu Y tu zitafikia kijiyai kilichochopoka, kwa sababu mbegu zenye kromosomu X zinaogelea polepole tu.
Ili kupata mtoto wa kike
Kinyume chake, wakitaka mtoto wa kike wanatakiwa kufanya tendo la ndoa siku ya kwanza ya ute wa uzazi. Halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa siku ya kwanza na ya pili ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa pia siku ya tatu ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kwa njia hiyo mbegu zenye kromosomu Y zitakufa kabla ya kuweza kuungana na kijiyai, na hivyo zitabaki zenye kromosomu X kuwa na nafasi hiyo. Siku nzuri ya kupata mtoto wa kike ni kufanya tendo la ndoa siku mbili kabla ya kilele.
Tazama pia
Uzazi wa mpango
Uzazi wa mpango kwa njia asilia
Tanbihi
1. ↑ Weschler, Toni (2002). Taking Charge of Your Fertility , Revised, New York: HarperCollins, 52. ISBN 0-06-093764-5 .
2. ↑ Medical Eligibility Criteria for Contraceptive Use:Fertility awareness-based methods . Fourth edition. World Health Organization. 2010. http://www.who.int/reproductivehealth/publications/family_planning/9789241563888/en/index.html . Retrieved 2012-12-11.
3. ↑ Saint, Bishop of Hippo Augustine; Philip Schaff (Editor) (1887). A Select Library of the Nicene and Post-Nicene Fathers of the Christian Church, Volume IV . Grand Rapids, MI: WM. B. Eerdmans Publishing Co., On the Morals of the Manichæans , Chapter 18 .
4. ↑ 4.0 4.1 Yalom, Marilyn (2001). A History of the Wife , First, New York: HarperCollins, 297–8, 307. ISBN 0-06-019338-7 .
5. ↑ A Brief History of Fertility Charting .
FertilityFriend.com . Iliwekwa mnamo 2006-06-18.
6. ↑ 6.0 6.1 Singer, Katie (2004). The Garden of Fertility . New York: Avery, a member of Penguin Group (USA), 226–7. ISBN 1-58333-182-4 .
7. ↑ 7.0 7.1 7.2 Hays, Charlotte. "Solving the Puzzle of Natural Family Planning" . Holy Spirit Interactive. http://www.holyspiritinteractive.net/features/prolife/article_05.asp . Retrieved 2012-02-15.
8. ↑ [18] ^ Moral Questions Affecting Married Life: Addresses given October 29, 1951 to the Italian Catholic Union of midwives 26 Novemba 1951 to the National Congress of the Family Front and the Association of Large Families, National Catholic Welfare Conference, Washington, DC.
9. ↑ Billings, John (Machi 2002). "THE QUEST — leading to the discovery of the Billings Ovulation Method" . Bulletin of Ovulation Method Research and Reference Centre of Australia 29 (1): 18–28. http://www.woomb.org/omrrca/bulletin/vol29/no1/thequest.shtml . Retrieved 2007-03-18.
10. ↑ About us . Family of the Americas (2006). Iliwekwa mnamo 2007-03-18.
11. ↑ About the Institute . Pope Paul VI Institute (2006). Iliwekwa mnamo 2012-02-21.
12. ↑ Singer (2004), p.xxiii
13. ↑ About us . Fertility Awareness Center (2006). Iliwekwa mnamo 2007-03-18.
14. ↑ Weschler (2002)
15. ↑ About Us . Justisse (2002). Jalada kutoka ya awali juu ya 2006-11-16. Iliwekwa mnamo 2007-03-18.
16. ↑ Arévalo M, Jennings V, Sinai I (2002).
"Efficacy of a new method of family planning: the Standard Days Method." (PDF).
Contraception 65 (5): 333–8. doi: 10.1016/S0010-7824(02)00288-3 .
PMID 12057784 . http://pdf.dec.org/pdf_docs/PNACQ416.pdf .
17. ↑ Jennings V, Sinai I (2001). "Further analysis of the theoretical effectiveness of the TwoDay method of family planning".
Contraception 64 (3): 149–53. doi: 10.1016/S0010-7824(01)00251-7 .
PMID 11704093 .
18. ↑ James B. Brown (2005). Physiology of Ovulation . Ovarian Activity and Fertility and the Billings Ovulation Method . Ovulation Method Research and Reference Centre of Australia.
19. ↑ Kippley (2003), uk.121-134, 376-381
20. ↑ Kippley (2003), uk.114
21. ↑ Evelyn, Dr. Billings, Ann Westinore, (1998). The Billings Method: Controlling Fertility Without Drugs or Devices . Toronto: Life Cycle Books, 47. ISBN 0-919225-17-9 .
22. ↑ 22.0 22.1 Kippley (2003), uk.108-113
23. ↑ Kippley (2003), uk.101 sidebar na Weschler (2002), uk.125
24. ↑ Kippley (2003), uk.108-109 na Weschler (2002), uk.125-126
25. ↑ Kippley (2003), uk.110-111
26. ↑ Kippley (2003), uk.112-113
27. ↑ 27.0 27.1 How to Observe and Record Your Fertility Signs . Fertility Friend Handbook . Tamtris Web Services (2004). Iliwekwa mnamo 2005-06-15.
28. ↑ Manhart, MD; Daune, M; Lind, A; Sinai, I; Golden-Tevald, J (January–February 2013).
"Fertility awareness-based methods of family planning: A review of effectiveness for avoiding pregnancy using SORT." . Osteopathic Family Physician 5 (1): 2–8. doi : 10.1016/j.osfp.2012.09.002 . http://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S1877573X12001542 .
29. ↑ 29.0 29.1 29.2 Frank-Herrmann P, Heil J, Gnoth C, et al. (2007). "The effectiveness of a fertility awareness based method to avoid pregnancy in relation to a couple's sexual behaviour during the fertile time: a prospective longitudinal study". Hum. Reprod. 22 (5): 1310–9. doi: 10.1093/humrep/dem003 .
PMID 17314078 .
30. ↑ Fertility Awareness Method . Brown University Health Education Website . Brown University (2012). Iliwekwa mnamo 2012-12-11.
31. ↑ Kippley, John; Sheila Kippley (1996).
The Art of Natural Family Planning , 4th addition, Cincinnati, OH: The Couple to Couple League, 141. ISBN 0-926412-13-2 .
32. ↑ Hatcher, RA; Trussel J, Stewart F, et al. (2000). Contraceptive Technology , 18th, New York: Ardent Media. ISBN 0-9664902-6-6 .
33. ↑ Wade ME, McCarthy P, Braunstein GD, et al. (Oktoba 1981). "A randomized prospective study of the use-effectiveness of two methods of natural family planning".
American journal of obstetrics and gynecology
141 (4): 368–376. PMID 7025639 .
34. ↑ Medina JE, Cifuentes A, Abernathy JR, et al. (Desemba 1980). "Comparative evaluation of two methods of natural family planning in Colombia". American journal of obstetrics and gynecology 138 (8): 1142–1147.
PMID 7446621 .
35. ↑ Marshall J (Agosti 1976). "Cervical-mucus and basal body-temperature method of regulating births: field trial". Lancet 2 (7980): 282–283. doi : 10.1016/S0140-6736(76)90732-7 . PMID 59854 .
36. ↑ 36.0 36.1 Evaluation of the Effectiveness of a Natural Fertility Regulation Programme in China : Shao-Zhen Qian, et al. Reproduction and Contraception (English edition), in press 2000.
37. ↑ Frank-Herrmann P, Freundl G, Baur S, et al. (Desemba 1991). "Effectiveness and acceptability of the sympto-thermal method of natural family planning in Germany". American journal of obstetrics and gynecology 165 (6 Pt 2): 2052–2054. PMID 1755469 .
38. ↑ Clubb EM, Pyper CM, Knight J (1991).
"A pilot study on teaching natural family planning (NFP) in general practice" .
Proceedings of the Conference at Georgetown University, Washington, DC . http://www.fertilityuk.org/nfps822.html .
39. ↑ Frank-Herrmann P, Freundl G, Gnoth C, et al. (Juni-Septemba 1997). "Natural family planning with and without barrier method use in the fertile phase: efficacy in relation to sexual behavior: a German prospective long-term study". Advances in Contraception 13 (2-3): 179–189. doi: 10.1023/A:1006551921219 . PMID 9288336 .
40. ↑ Ecochard, R.; Pinguet, F.; Ecochard, I.; De Gouvello, R.; Guy, M.; Huy, F. (1998). "Analysis of natural family planning failures. In 7007 cycles of use". Fertilite Contraception Sexualite 26 (4): 291–6. PMID 9622963 .
41. ↑ Hilgers, T.W.; Stanford, J.B. (1998). "Creighton Model NaProEducation Technology for avoiding pregnancy. Use effectiveness".
Journal of Reproductive Medicine 43 (6): 495–502. PMID 9653695 .
42. ↑ 42.0 42.1 Howard, M.P.; Stanford, J.B. (1999). "Pregnancy probabilities during use of the Creighton Model Fertility Care System".
Archives of Family Medicine 8 (5): 391–402.
doi : 10.1001/archfami.8.5.391 .
PMID 10500511 .
43. ↑ James Trussell et al. (2000) "Contraceptive effectiveness rates",
Contraceptive Technology - 18 Edition, New York: Ardent Media. On-press.
44. ↑ Ryder R (1993). ""Natural family planning": effective birth control supported by the Catholic Church". BMJ 307 (6906): 723–6.
doi : 10.1136/bmj.307.6906.723 .
PMC 1678728 . PMID 8401097 .
45. ↑ Hilgers T, Daly K, Prebil A, Hilgers S (Oktoba 1992). "Cumulative pregnancy rates in patients with apparently normal fertility and fertility-focused intercourse". J Reprod Med 37 (10): 864–6. PMID 1479570 .
46. ↑ Wang X, Chen C, Wang L, Chen D, Guang W, French J (2003). "Conception, early pregnancy loss, and time to clinical pregnancy: a population-based prospective study". Fertil Steril 79 (3): 577–84. doi: 10.1016/S0015-0282(02)04694-0 .
PMID 12620443 .
47. ↑ "Infertility fact sheet" . womenshealth.gov, U.S. Department of Health and Human Services, Office on Women's Health. http://www.womenshealth.gov/publications/our-publications/fact-sheet/infertility.cfm#f . Retrieved 2012-12-11..
"Some signs that a woman is not ovulating normally include irregular or absent menstrual periods."
"Female Infertility" . Adult Health Advisor . 2012. http://www.ihacares.com/index.cfm/HealthAdvisors/AdultHealthAdvisor/crs-aha-aha_obg_female.infertility/ .. "A woman who is not ovulating normally may have irregular or missed menstrual periods."
"Is Clomid Right For You?" .
JustMommies.com . 2007. http://www.justmommies.com/articles/clomid-and-ovulation.shtml .. "If you have an irregular cycle there is a good chance you are not ovulating normally."
48. ↑ Ellington, Joanna (2004). Sperm Transport to the Fallopian Tubes . Frequently Asked Questions with Dr. E . INGfertility Inc. Iliwekwa mnamo 2008-04-27.
49. ↑ Weschler (2002), uk. 173.
50. ↑ Weschler (2002), uk.316
51. ↑ Weschler (2002), uk.3-4 ,155-156, Insert p.7
52. ↑ Ursula Birgitta Schnell OSB (2011).
Uimarishaji wa Familia - Mpango wa uzazi kwa njia ya asili Billings Ovulation Method , 15th, Ndanda, Tanzania: Benedictine Publication Ndanda-Peramiho. ISBN 9976-63-132-4 .
Marejeo
Kwa Kiswahili
Ursula Birgitta Schnell OSB (2011).
Uimarishaji wa Familia - Mpango wa uzazi kwa njia ya asili Billings Ovulation Method , 15th, Ndanda, Tanzania: Benedictine Publication Ndanda-Peramiho. ISBN 9976-63-132-4 .
Kwa Kiingereza
Toni Weschler (2006). Taking Charge of Your Fertility , 10th Anniversary, New York: Collins.
ISBN 0-06-088190-9 .
John F. Kippley and Sheila K. Kippley (1996). The Art of Natural Family Planning , Fourth, Cincinnati, OH: Couple to Couple League International. ISBN 0-926412-13-2 .
Léonie McSweeney (2006). Love & Life, Billings Method of Natural Family Planning , Ninth, Ibadan, Nigeria: African Universities Press. ISBN 978-148-092-0 .
Nakala inapatikana chini ya Creative Commons Attribution/Share-Alike License ; masuala ya ziada yanaweza kukubalika. Tazama Masharti ya Utumiaji kwa maelezo zaidi. Wikipedia ni nembo iliosajiliwa na Wikimedia Foundation, Inc. , asasi isiyokuwa ya kifaida.
Faragha • Dawati Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba (kwa
Kiingereza "Fertility Awareness", kifupi FA) unahusu mbinu zinazotumika kutambua wakati
mwanamke anapoweza kushika mimba na asipoweza kushika mimba katika mzunguko wa
hedhi . Mbinu hizo zinaweza kutumika ili kuzuia mimba isiyotamaniwa na vilevile kupata mimba iliyotamaniwa, lakini pia kama njia ya kusimamia afya ya uzazi wa mwanamke.
Mbinu kadhaa za kubaini siku ambazo mwanamke hawezi kupata mimba zinajulikana tangu zamani, lakini ujuzi wa ki sayansi uliopatikana katika karne ya 20 umeongeza sana idadi na hasa usahihi wa mbinu hizo.
Kutoka mwaka 1930 hadi 1980 , utafiti na ukuzaji wa uelewa huo wa masuala ya uzazi ulifanywa hasa na wataalamu wanaohusika na
Kanisa Katoliki kwa lengo la kusaidia kupanga uzazi watu wa ndoa wanaokataa mbinu za
teknolojia kwa msingi wa maadili au kwa kuzingatia ma dhara yake.
Kwa kiasi kikubwa mashirika yanayotafuta na kueneza ufahamu wa uwezo wa kushika mimba yanaendelea kuongozwa na Wakatoliki, lakini baadhi ya mashirika ya kawaida sasa yapo.
Mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hutegemea uchunguzi wa mabadiliko ya ishara za msingi yanayoashiria uwezekano wa kutunga mimba (kama vile joto la mwili , ute wa uke , na mkao wa seviksi ) kwa kufuatilia mzunguko wote wa hedhi na hivyo kubaini wakati ambapo inawezekana kushika mimba.
Ishara nyingine pia zinaweza kuzingatiwa: hizo ni pamoja na ulaini wa ma titi na uchungu wakati kijiyai kinapoachiliwa, uchunguzi wa
mkojo kwa vifaa vya kubashiri udondoshwaji wa vijiyai, na uchunguzi wa ki hadubini wa ute au ugiligili wa seviksi (yaani mlango wa kizazi). Isitoshe, ipo njia ya kufuatilia uwezo wa kushika mimba kwa tarakilishi .
Istilahi
Mbinu zinazotegemea dalili zinafuatilia moja au zaidi kati ya ishara tatu za msingi za kuweza kutunga mimba - joto la msingi la mwili, ute wa uke na mkao wa seviksi. [1]
Mbinu zinazotegemea ute wa uke tu ni pamoja na Mbinu ya Billings ya Kutambua Kijiyai Kuachiliwa, The Ovulation Method , Mbinu ya Creighton, na Mbinu ya Siku Mbili.
Mbinu za dalili ya joto la mwili hujumuisha pia uchunguzi wa joto la msingi la mwili (basal body temperature = BBT), ute wa uke, na wakati mwingine mkao wa seviksi.
Mbinu zinazotegemea kalenda hufuatilia mzunguko wa hedhi ya mwanamke na kwa kuzingatia urefu wa mzunguko wake kutambua anapoweza kupata mimba. Mbinu maarufu zaidi kati ya hizo ni Mbinu ya Siku Sanifu.
Mbinu ya Urari-Kalenda pia huhesabiwa njia ya kutegemea kalenda, ingawa haijafafanuliwa vizuri na ina maana nyingi tofauti kwa watu tofauti.
Mbinu hizo za kupanga uzazi zinaweza kuitwa Mbinu za Uzazi Zinazotegemea Ufahamu (wa uwezo wa kuzaa), [2] Jina "Mbinu ya Uelewa wa Uzazi" (kwa Kiingereza Fertility Awareness Method = FAM) linatumika hasa kwa mfumo uliofundishwa na Toni Weschler. Jina "Mbinu Asili ya Uzazi wa Mpango" (kwa Kiingereza natural family planning = NFP) wakati mwingine hutumiwa kutaja mbinu yoyote inayotegemea Ufahamu wa Uzazi. Hata hivyo, msamiati huo ni mahsusi kuhusu mbinu zile zinazokubaliwa na Kanisa Katoliki: mbali ya uwezekano wa kutopata mimba wakati wa kunyonyesha (kwa Kiingereza Lactational amenorrhea method = LAM), ni kutofanya tendo la ndoa siku ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba. Hapo mbinu za FA zinaweza kutumika ili kutambua nyakati hizo zinazoweza kuleta mimba.
Wanawake ambao wananyonyesha na wanapenda kukwepa mimba wanaweza kutegemea kukatizwa kwa hedhi wakati wa kunyonyesha. Hiyo ni tofauti na ufahamu wa uzazi, lakini kwa sababu haihusishi vifaa wala kemikali, mara nyingi hutajwa pamoja na FA kama njia asili ya uzazi wa mpango.
Historia
Ukuaji wa mbinu zinazotegemea kalenda
Haijulikani kwa hakika lini iligunduliwa kwa mara ya kwanza kuwa wanawake wana vipindi vya kutunga mimba na visivyo vya kutunga mimba vinavyoweza kutabirika. Mwaka 388
Agostino wa Hippo aliandika kuhusu kuepuka mara kwa mara tendo la ndoa ili kuzuia mimba akiwalaumu Wamani kwa kutumia njia hiyo ili kubaki bila watoto. [3]
Kitabu fulani kinasema kuacha ngono kwa muda kulipendekezwa na "watu wachache wasio wa dini tangu katikati ya karne ya 19", [4] lakini katika karne ya 20 ushawishi mkuu uliohamasisha mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ulitoka katika Kanisa Katoliki.
Mwaka 1905 Theodoor Hendrik van de Velde,
mwanajinakolojia wa Uholanzi, alionyesha kuwa wanawake hutoa kijiyai mara moja tu kila mzunguko wa hedhi. [5] Miaka ya 1920
Kyusaku Ogino , mwanajinakolojia wa Ujapani , na Hermann Knaus , kutoka Austria , wakifanya kazi bila ushirikiano waligundua kwamba kijiyai hutokea siku kumi na nne hivi kabla ya kipindi cha hedhi kinachofuata. [6] Ogino alitumia uvumbuzi wake kutengeneza hesabu ya kuwasaidia wanawake wasiopata mimba kwa kufanya tendo la ndoa kwa wakati mwafaka kupata mimba. Mwaka 1930 John Smulders , daktari Mkatoliki kutoka Uholanzi, alitumia uvumbuzi huo kuunda mbinu ya kuepuka mimba. Smulders alichapisha kazi yake chini ya Chama cha Matabibu Wakatoliki wa Uholanzi, na hiyo ilikuwa mbinu sanifu ya kwanza ya kuepuka mimba kwa kuacha kujamiiana kwa kipindi fulani - mbinu ya kalenda. [6]
Uanzilishi wa mbinu za dalili za joto na ute wa mlango wa uzazi
Katika miaka ya 1930, Wilhelm Hillebrand , padri Mkatoliki nchini Ujerumani , alitunga mbinu ya kuzuia mimba kwa kutegemea joto la msingi la mwili. [7] Mbinu hiyo ya joto ilionekana kuwa na ufanisi mkubwa zaidi katika kuwasaidia wanawake kuzuia mimba kuliko mbinu ya kutegemea kalenda. Katika miongo michache iliyofuata, mbinu hizo mbili zikawa zinatumika sana miongoni mwa wanawake Wakatoliki. Hotuba mbili zilizotolewa na Papa Pius XII mwaka 1951 zilitoa kibali cha hali ya juu kutoka Kanisa Katoliki kwa mbinu hizo kutumiwa na mume na mke waliohitaji kuzuia mimba. [4][8]
Mwanzo mwa miaka ya 1950 , John Billings aligundua uhusiano kati ya ute wa mlango wa uzazi na uwezekano wa kutunga mimba alipokuwa akifanya kazi katika Shirika Katoliki la Ustawi wa Jamii mjini Melbourne , Australia . Billings na madaktari wengine kadhaa, akiwemo mke wake Evelyn , walifanyia utafiti ishara hiyo kwa miaka kadhaa, na kufikia mwishoni mwa miaka ya 1960 walikuwa wamefanya majaribio ya kitabibu na kuanzisha vituo vya kufundishia mbinu yao duniani kote. [9]
Mashirika ya kwanza ya ufundishaji mbinu zilizozingatia dalili
Japo awali akina Billings walifundisha pamoja mbinu za dalili ya joto na ya ute wa uke, walipata shida katika kufundisha ishara ya joto kwa idadi kubwa ya watu wasiojua kusoma na kuandika katika nchi zinazoendelea . Hivyo katika miaka ya 1970 walibadilisha mbinu ili kutegemea ute tu. [7] Taasisi ya kimataifa iliyoanzishwa na Billings sasa inajulikana kama "Shirika la Kimataifa la Mbinu ya Kudondosha Kijiyai ya Billings" (kwa Kiingereza World Organization Ovulation Method Billings = WOOMB).
Shirika la kwanza kufundisha mbinu ya dalili za joto lilianzishwa mwaka 1971 . John na Sheila Kippley , walei Wakatoliki, walijiunga na Konald Prem katika kufundisha mbinu iliyotegemea dalili zote tatu: joto, ute na mkao wa mlango wa uzazi. Taasisi yao sasa inaitwa "Shirika la Kimataifa la Wanandoa kwa Wanandoa" (kwa Kiingereza "Couple to Couple League International"). [7]
Muongo uliofuata ulishuhudia kuanzishwa kwa mashirika mengine ya Kikatoliki ambayo sasa ni makubwa - "Familia ya Amerika" (kwa Kiingereza "Family of the Americas") iliyoundwa mwaka 1977 na kufundisha mbinu ya Billings, [10] halafu "Taasisi ya Papa Paulo VI " ( 1985 ), inayofundisha mbinu mpya ya ute pekee iitwayo Creighton Model. [11]
Hadi miaka ya 1980 , habari kuhusu ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ulipatikana tu kutoka vyanzo vya Kikatoliki. [12] Shirika la kwanza lisilo la kidini la kutolea mafundisho hayo ya uzazi lilikuwa Kituo cha Uelewa wa Uzazi cha New York, lililoanzishwa mwaka
1981 . [13] Toni Weschler alianza kufundisha mwaka 1982 na kuchapisha kitabu kilichouzwa sana cha Taking Charge of Your Fertility mwaka
1995 . [14] "Justisse" ilianzishwa mwaka 1987 huko Edmonton, Kanada . [15] Mashirika hayo yote yasiyo ya kidini yanafundisha mbinu ya dalili za joto. Ingawa mashirika ya Kikatoliki yanayoeneza uelewa wa uzazi ni makubwa sana kuliko hayo ya wanaharakati yasiyo ya kidini, walimu wasiotegemea dini wamezidi kuongezeka katika miaka ya 1990 na milenia mpya .
Maendeleo ya sasa
Ustawi wa mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaendelea. Mwishoni mwa miaka ya 1990, "Taasisi ya Afya ya Uzazi " katika Chuo Kikuu cha Georgetown ilianzisha mbinu mbili mpya. [16][17] Mbinu ya Siku Mbili, inayotegemea ute tu, na CycleBeads , ambayo inafuata mbinu ya Siku Sanifu na ina pia toleo la kieletroniki, iCycleBeads), zimeundwa ili kuwa na ufanisi na urahisi mkubwa zaidi katika kufundisha, kujifunza, na kutumia.
Ishara za uwezo wa kushika mimba
Mizunguko mingi ya hedhi huwa na siku kadhaa za mwanzo ambapo mimba haiwezi kupatikana (muda wa kutoshika mimba kabla ya kudondosha kijiyai), halafu siku ambazo mimba inaweza kutungika, na kisha siku kadhaa tu kabla ya hedhi ambazo mimba haiwezi kutungika ( muda wa kutoshika mimba baada ya kijiyai kudondoshwa). Siku ya kwanza ya kuvuja damu inahesabiwa kuwa siku ya kwanza ya mzunguko wa hedhi. Mbinu mbalimbali za kufahamu uwezo wa kushika mimba huhesabu kwa njia tofauti kidogo kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba, yaani hutumia ishara za msingi za uwezekano huo, historia ya mzunguko, au zote mbili.
Ishara za msingi za kuweza kupata mimba
Ishara tatu za msingi za uwezekano wa kushika mimba ni joto msingi la mwili, ute wa uke na mkao wa seviksi. Mwanamke anayetumia dalili hizo ili kujua uwezo wake wa kupata mimba anachagua kutumia ishara moja, mbili, au zote tatu pamoja. Wanawake wengi hung'amua pia ishara nyingine za ziada kulingana na mzunguko wa hedhi, kama vile maumivu na uzito tumboni, maumivu mgongoni, ulaini wa matiti na maumivu ya kudondosha kijiyai.
Joto la msingi la mwili
Joto la msingi la mwili ni joto la mwili wa mtu linalopimwa wakati wa kwanza anapoamka asubuhi (au baada ya usingizi wa muda mrefu zaidi katika siku). Miongoni mwa wanawake, kudondoshwa kijiyai husababisha joto kupanda kwa 0.3°C hadi 0.9° C (0.5°F hadi 1.6°F) na kubakia hivyo kipindi chote hadi wakati wa hedhi ijayo. Mabadiliko hayo ya joto yanaweza kutumika kubaini mwanzo wa kipindi cha kutoweza kutungika mimba kabla ya kudodosha kijiyai.
Ute wa uke
Ute wa uke
Kuonekana kwa ute wa uke na mwasho wake ni ishara zinazoelezwa kwa kawaida pamoja kama njia za kubaini ishara hiyohiyo. Ute wa uke huzalishwa na seviksi, ambayo huunganisha mji wa mimba na mfereji wa uke. Ute wa uke wenye uwezo wa kushika mimba hukuza maisha ya manii kwa kupunguza uasidi wa uke, na husaidia kuongoza manii kupitia seviksi na kuelekea ndani ya mji wa mimba. Uzalishaji wa ute wa uke wenye uwezo wa kupata mimba husababishwa na homoni ileile ( istrojeni ) ambayo huandaa mwili wa mwanamke kwa udondoshwaji wa kijiyai . Kwa kuangalia ute wa uke wake, na kuzingatia hisia pindi unapopita ukeni, mwanamke anaweza kubaini wakati mwili wake unapojiandaa kudondosha kijiyai, na wakati ambapo udondoshwaji wa kijiyai umepita. Kijiyai kikidondoshwa, uzalishwaji wa istrojeni hupungua na projesteroni huanza kuongezeka. Kupanda kwa kiwango cha projesteroni husababisha mabadiliko maalumu katika wingi na hali ya ute wa uke. [18]
Mkao wa seviksi
Seviksi hubadilisha mkao kutokana na homoni zilezile zinazosababisha ute wa uke kutolewa na kukauka. Wakati mwanamke yuko katika awamu ya kutoshika mimba katika mzunguko wa hedhi, seviksi hushuka chini katika mfereji wa uke, ikiguswa huwa ngumu (kama ncha ya
pua ya mtu), na upenyu (mlango wa seviksi) unakuwa mdogo ukilinganishwa na wakati mwingine, au umefungika. Kadiri mwanamke anavyozidi kuwa na uwezo wa kushika mimba ndivyo seviksi inavyopanda juu katika mfereji wa uke, inakuwa laini ikiguswa (kama mdomo wa mtu), na upenyu unakuwa wazi zaidi. Baada ya kudondoshwa kwa kijiyai, seviksi itarejea mkao wake wa wakati usio wa kushika mimba.
Historia ya mzunguko
Mbinu zinazotegemea kalenda hubainisha uwezekano wa kutopata mimba kabla na baada ya kudondosha kijiyai kulingana na historia ya mzunguko. Zinapotumika vizuri kuzuia mimba, mbinu hizo si madhubuti kama mbinu zinazotegemea dalili, hata hivyo umadhubuti wake unalingana na mbinu zuizi kama vile
kiwambo na kizibo cha seviksi .
Mbinu za kuepuka mimba zinazotegemea ute wa uke na joto la mwili kubainisha uwezo wa kutunga mimba baada ya kijiyai kudondoshwa, hushindikana mara chache sana zinapotumika vizuri. [19] Hata hivyo, mbinu hizo huwa na upungufu fulani katika kubaini uwezo wa kutotunga mimba kabla ya kudondosha kijiyai. Rekodi ya joto la mwili pekee haitoi mwongozo kuhusu uwezekano wa mimba kutungwa au kutotungwa kabla ya kijiyai kudondoshwa. Kubaini uwezekano wa kutoshika mimba kabla ya tukio hilo kunaweza kufanywa kwa kuchunguza ute wa uke; hata hivyo, njia hii inafanikiwa kwa kiwango cha chini kuliko ule unaoshuhudiwa katika kipindi baada ya kudondosha kijiyai. [20] Kutegemea uchunguzi wa ute pekee pia ina maana kwamba tendo la ndoa haliruhusiwi wakati wa hedhi, kwa sababu ute wowote hautakuwa dhahiri. [21]
Matumizi ya sheria fulani za kalenda katika kutambua urefu wa kipindi cha kutoweza kutunga mimba kabla ya kijiyai kudondoshwa huruhusu siku chache za ngono mwanzoni mwa mzunguko wa hedhi huku kukiwa na kiwango cha chini sana cha uwezekano wa kupata mimba. [22] Kwa kutumia mbinu ya ute pekee, kuna uwezekano wa kukosea kwa kudhani ni hedhi damu inapotoka katikati ya mzunguko wa hedhi au wakati ambapo kijiyai halikudondoshwa. Kuweka chati sahihi ya joto la msingi la mwili huwezesha utambuzi wa hedhi, wakati ambapo sheria za kalenda kuhusu kipindi kabla ya kudondosha kijiyai zinaweza kutumiwa kwa usahihi. [23] Katika mbinu za joto pekee, sheria ya kalenda inaweza kutegemewa pale tu kutambua uwezekano wa kutoshika mimba kabla ya kudondosha kijiyai. Katika mbinu za joto na ishara, sheria ya kalenda huthibitishwa na rekodi za ute: uchunguzi wa ute wa uke unaoashiria uwezo wa kupata mimba unapewa kipaumbele kuliko mbinu yoyote ya kalenda ya kubainisha uwezo wa kushika mimba. [22]
Sheria za kalenda zinaweza kuweka idadi mahsusi ya siku, ikibainisha kwamba (kulingana na urefu wa mizunguzo iliyopita ya hedhi ya mhusika) siku tatu hadi sita za kwanza katika kila mzunguko wa hedhi huchukuliwa kuwa hazina uwezo wa kupata mimba. [24] Au, sheria ya kalenda inaweza kuhitaji hesabu, kwa mfano lazima iwe kwamba urefu wa kipindi kisicholeta uzazi kabla ya kudondosha kijiyai ni sawa na urefu wa mzunguko mfupi zaidi wa mwanamke huyo ukiondoa siku ishirini na moja. [25] Badala ya kutegemea urefu wa mzunguko, sheria ya kalenda inaweza kuhakikishwa kutokana na siku ya mzunguko ambapo mwanamke ameshuhudia badiliko la joto la mwili. Mfumo mmoja unasema urefu wa kipindi cha kutoweza kutunga mimba kabla ya kudondosha kijiyai unalingana na siku ya kwanza ambapo mwanamke alishuhudia kupanda joto la mwili ondoa siku saba. [26]
Mbinu nyingine
Vifaa vya kubashiri udondoshwaji wa kijiyai (kwa Kiingereza Ovulation predictor kits = OPKs) vinaweza kutambua udondoshwaji unaokaribia kutokea kwa kutegemea wingi wa homoni ya kuandaa ukuta wa chupa ya kizazi (kwa Kiingereza "lutenizing hormone" = LH) katika mkojo wa mwanamke. Kwa kawaida ubashiri wa kufana wa undondoshwaji huo hufuatiwa na udondoshwaji ndani ya saa 12-36.
Uchunguzi wa mate kwa hadubini, ukifanyika kwa usahihi, unaweza kugundua vijidutu maalum katika mate ambavyo hutangulia udondoshwaji wa kijiyai. Vijidutu hivyo kwa kawaida huonekana siku tatu kabla ya udondoshwaji na kuendelea mpaka udondoshwaji utokee. Katika kipindi hiki, vijidutu hivyo hutokea katika ute wa uke pamoja na mate.
Vichunguza uzazi vya kieletroniki vinapatikana kwa majina mbalimbali ya ki biashara . Vichunguzi hivyo vinaweza kutumia mifumo ya Joto la Msingi la Mwili pekee, au kuchambua vitepe vya kupimia mkojo, au kufuatilia dalili mchanganyiko au kuchunguza ukinzani umeme wa mate na ugiligili wa uke, au kwa pamoja baadhi ya mambo hayo mbalimbali .
Manufaa na mapungufu
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba una kiwango fulani cha sifa bainifu:
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika kudhibiti afya ya uzazi. Mabadiliko katika mzunguko wa hedhi yanaweza kumtahadharisha mtumiaji kuhusu kujitokeza kwa matatizo ya kiginakolojia. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba pia unaweza kutumika kusaidia katika kuagua matatizo yanayojulikana ya kijinakolojia kama vile kutoweza kushika mimba.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ni uwanda mpana: unaweza kutumika kuzuia mimba au kusaidia katika kutunga mimba.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumiwa na wanawake wote katika kipindi chote cha uzazi, bila kujali ikiwa anakaribia kumaliza kuzaa, ananyonyesha, au anapata mzunguko wa hedhi usio wa kawaida kwa sababu zingine.
Matumizi ya ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutoa ufahamu kuhusu jinsi mwili wa mwanamke unavyofanya kazi, na unaweza kuwaruhusu wanawake kuwa na udhibiti mkubwa wa uzazi wao wenyewe.
Aina fulani ya mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba zinazotegemea dalili ya uzazi zinahitaji uchunguzi au kugusa ute wa uke, matendo ambayo baadhi ya wanawake hawafurahii. Baadhi ya wahudumu wanapendelea kutumia neno "majimaji ya seviksi" badala ya ute wa uke, katika juhudi ya kuwafanya wanawake kama hao kuhisi huru kidogo.
Baadhi ya dawa, kama vile ya kupunguza kupaliwa mapafuni, yanaweza kubadili ute ya kizazi. Kwa wanawake wanaotumia dawa hizi, ishara ya ute huenda isionyeshe kisahihi uwezo wa kutunga mimba . [27]
Baadhi ya mbinu zinazotegemea dalili huhitaji ufuatiliaji wa joto la kimsingi ya mwili. Kwa sababu usingizi usiokuwa na utaratibu unaweza kuvuruga usahihi wa joto la kimsingi la mwili, wafanyakazi wa kubadilisha zamu na walio na watoto wadogo sana, kwa mfano, huenda wasiweze kutumia mbinu hizo. [27]
Kama njia ya kupanga uzazi
Kwa kufanya tendo kamili la ndoa siku zile tu ambapo katika mzunguko wa hedhi mimba haiwezi kutungwa, maharusi wanaweza kuzuia mimba isipatikane. Wakati ambapo katika mzunguko wa hedhi mimba inaweza kutungwa, wanaweza wakaacha ngono ili kuwa na hakika ya kutoitunga. Wengine siku hizo wanatumia mbinu mbadala za kuzuia mimba ingawa pengine hazifai kwa sababu mbalimbali. [28] Kinyume chake maharusi wanaweza kulenga uzazi kwa hakika zaidi wakifanya tendo la ndoa kwa kutumia vizuri siku zinazouwezesha.
Manufaa
Katika kutumia ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hakuna madhara yanayotokana na teknolojia inayotumiwa na mbinu nyingine. Kwa jumla hakuna madhara yoyote ya utumiaji, isipokuwa yanayoweza kutokea kwa kuingiza vidole ndani ya uke ili kuchunguza seviksi (kama inavyopendekezwa na baadhi ya mbinu).
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza ukatumika pamoja na vifaa vya kuzuia mimba ili kuendelea kujamiiana katika kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba. Tofauti na utumiaji wa vifaa hivyo bila ufahamu wa uwezo wa kushika mimba, ufahamu huo unawezesha kutumia vizuiamimba siku chache tu, na hivyo kupunguza madhara yanayoletwa navyo.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hauna gharama au ni nafuu sana. Watumiaji wanaweza wakahitaji kununua chati, kalenda,
kipimajoto , au tarakilishi, au pengine kumlipa
mkufunzi . Kwa vyovyote gharama ni ya chini ikilinganishwa na mbinu nyingine.
Tofauti na mbinu nyingine mbalimbali ambazo zina athari za muda mrefu, ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unawezesha kubadili mara moja kutoka uamuzi wa kuzuia mimba hadi ule wa kuilenga.
Mapungufu
Wasipotumia vifaa vya kizuia mimba katika kipindi ambapo mimba inaweza kutungwa, wanandoa wanalazimika waache ngono. Ila kupunguza uwezekano wa kupata mimba uwe chini ya 1% kwa mwaka, katika kila mzunguko kuna takriban siku 13 ambapo lazima waache ngono. [29] Kwa wanawake wenye mzunguko unaobadilikabadilika sana - kama ilivyo kawaida wakati wa kunyonyesha, karibu na hedhi kwisha kabisa, au kwa wenye magonjwa ya homoni (kama vile Polycystic ovary syndrome = PCOS) kuacha kujamiiana au kutumia vizuizi kunaweza kuhitajika miezi mfululizo. Wengi hawana motisha au nidhamu ya kutosha wafanye hivyo kwa muda mrefu. Wanaposhindwa kufuata masharti, ni rahisi kupata mimba isiyopangwa.
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba haukingi dhidi ya maradhi ya zinaa. [30] Ndiyo maana inafaa zaidi kati ya watu ambao ni waaminifu wao kwa wao, kama watu wa ndoa.
Ufanisi
Ufanisi wa ufahamu ya uzazi, kama ulivyo kwa mbinu nyingi za uzazi wa mpango, unaweza kutathminiwa kwa njia mbili zifuatazo. Kwa kawaida mfumo wa Pearl Index hutumika kukokotoa viwango vya ufanisi, lakini baadhi ya tafiti hutumia majedwali ya mapunguzo. [31]
Kwa kawaida viwango hupimwa katika mwaka wa kwanza wa matumizi. [32] Viwango vya
matumizi kamili ni kwa wale tu wanaofuata sheria zote, wakitambua kwa usahihi kipindi ambapo kuna uwezekano wa kutunga mimba, na wanaacha ngono isiyo na kinga siku walizotambua kuna uwezekano wa kuitunga. Viwango vya matumizi halisi au matumizi ya kawaida ni kwa wale wote wanaotegemea ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ili kuizuia, wakiwa ni pamoja na wasioweza kutimiza vigezo vya "matumizi kamili".
Kiwango cha kufeli kwa ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hutofautiana pakubwa kulingana na mbinu iliyotumika kubaini uwezekano wa kupata mimba, njia ya mafundisho, na idadi ya wanaotafitiwa. Baadhi ya tafiti zimekuta viwango halisi vya kufeli vya 25% kwa mwaka au zaidi. [33][34][35] Angalau utafiti mmoja umepata kiwango cha kufeli cha chini ya 1% kwa mwaka kukiwa na mafundisho endelevu na mapitio ya kila mwezi, [36] na tafiti kadhaa zimegundua viwango vya kufeli halisi vya 2-3% kwa mwaka. [29][37][38][39]
Inapotumika kwa usahihi, na kuandamana na mafundisho endelevu ya mara kwa mara, baadhi ya tafiti zimeonyesha kuwa mbinu fulani za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba huwa na 99% za ufanisi, [36][40][41][42]
Kitabu Teknolojia ya Uzazi kinaripoti hivi: [43]
Mbinu za baada ya kudondosha kijiyai (yaani kuacha ngono kuanzia wakati wa hedhi mpaka baada ya kudondoshwa) inafeli kwa 1% kwa mwaka.
Mbinu ya dalili na joto la mwili inafeli kwa 2% kwa mwaka.
Mbinu ya ute wa uke pekee inafeli kwa 3% kwa mwaka.
Mbinu ya urari wa kalenda inafeli kwa 9% kwa mwaka.
Mbinu ya Siku Wastani inafeli kwa 5% kwa mwaka.
Sababu za ufanisi mdogo katika matumizi ya kawaida
Sababu kadhaa zinachangia kufanya ufanisi wa matumizi ya kawaida uwe wa chini kuliko ule wa matumizi kamili:
watumiaji kutotii kwa makusudi maelezo (kushiriki ngono bila kinga siku ambapo wanajua mimba inaweza kutungwa): ndiyo sababu ya kawaida zaidi [29][42]
makosa ya watoa maelezo ya jinsi ya kutumia mbinu (mkufunzi kutoa taarifa isiyo sahihi au isiyo kamili)
makosa ya mtumiaji (kutoelewa sheria, kutunza kumbukumbu vibaya)
Kama njia ya kupata mimba
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika pia kwa lengo la kupata mimba kwa urahisi zaidi.
Kupanga wakati wa kujamiiana
Utafiti uliofanywa na Barrett na Marshall umeonyesha kuwa vitendo vya ngono visivyopangwa huwa na uwezekano wa 24% kutungisha mimba katika mzunguko wa hedhi. Utafiti huo pia uligundua kuwa ngono inayolenga wakati maalumu kulingana na ufahamu unaotokana na mbinu ya joto la msingi la mwili pekee huongeza viwango vya mimba hadi 31% -68%.
Utafiti wa mbinu ya ute wa uke umegundua viwango vya mimba vya 67%-81% katika mzunguko wa kwanza ikiwa kujamiiana kutatokea katika Siku ya Kilele cha ishara za ute. [44][45]
Kwa sababu ya viwango vya juu vya mimba kutoka mapema sana (25% za mimba hupotea katika wiki sita za kwanza tangu hedhi ya mwisho ya mwanamke), mbinu zinazotumika kuchunguza uwepo wa mimba zinaweza kusababisha upendeleo katika viwango vya utungaji mimba. Mbinu tofauti na hizo zinaweza kuonyesha viwango vya chini kwa sababu tu huwa zinakosa kugundua mimba zilizotoka mapema. Utafiti mmoja nchini China kati ya wanaoshiriki ngono bila mpangilio ili kutungisha mimba ulitumia mbinu bora za kugundua mimba, ikapata kiwango cha 40% cha kutungwa mimba kwa kila mzunguko katika kipindi cha utafiti cha miezi 12. [46]
Uchunguzi wa tatizo
Mizunguko ya kawaida ya hedhi wakati mwingine huchukuliwa kuwa ushahidi kwamba mwanamke anadondosha vijiyai kawaida, na mizunguko isiyo ya kawaida kuwa ushahidi kuwa udondoshaji wa kijiyai si wa kawaida. [47] Hata hivyo, wanawake wengi ambao mizunguko yao si ya kawaida hudondosha vijiyai kama kawaida, na baadhi ya wenye mizunguko ya kawaida kwa kweli hawadondoshi vijiyai au wana matatizo katika utayarishaji wa ukuta wa chupa cha uzazi. Hasa rekodi za joto la msingi la mwili, lakini pia rekodi za ute wa uke na mkao wake, zinaweza kutumika kwa usahihi kung'amua ikiwa mwanamke anadondosha kijiyai, na kama urefu wa kipindi cha baada ya kudondosha kijiyai cha mzunguko wa hedhi unatosha kwa ujauzito.
Ute wa uke unaoweza kutunga mimba ni muhimu katika kujenga mazingira ambayo yanaruhusu manii kupiti mlango wa uzazi na katika viriba vya falopu ambako husubiri kudondoshwa kwa kijiyai. [48] Chati za uwezo wa kupata mimba zinaweza kusaidia kugundua ute hasimu kwa mimba kutungwa, ambao ni sababu ya kawaida ya kutopata mimba. Ikiwa hali hii itagunduliwa, baadhi wanapendekeza matumizi ya guaifenesini katika siku chache kabla ya udondoshwaji wa kijiyai ili kupunguza uzito wa ute. [49]
Upimaji mimba na umri wa ujauzito
Vipimo vya ujauzito si sahihi mpaka wiki 1-2 baada ya kudondoshwa kijiyai. Kujua tarehe inayokisiwa ambayo kijiyai kitadondoka kunaweza kukamzuia mwanamke asipate matokeo yasiyo sahihi kutokana na upimaji wa mapema mno. Pia, siku 18 mfululizo za joto la juu zinamaanisha mwanamke ni mjamzito karibu bila shaka. [50]
Makadirio ya tarehe ya kudondosha kijiyai kutokana na chati za uwezo wa kuzaa ni njia sahihi zaidi ya kukadiria umri wa ujauzito kuliko mbinu za jadi za kupima mimba au mbinu ya kuchunguza hedhi ya mwisho katika utaratibu wa kufuatilia hedhi. [51]
Kama njia ya kupanga jinsia ya mimba
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika pia kwa lengo la kupata mimba ya jinsia inayotamaniwa zaidi. [52] Maharusi wanaweza kuchagua mtoto wa kiume au wa kike kwa 85% ya hakika wakifanya tendo la ndoa kwa kupanga kulingana na ute wa uke kuwa wa kuvutika na kuteleza au siyo. Ni kwamba jinsia ya mimba inategemea tu kromosomu za mbegu za baba ambazo ni nusunusu: X kwa kuzaa watoto wa kike na Y kwa kuzaa watoto wa kiume. Mbegu zenye kromosomu X ni dhaifu kidogo nazo huogelea polepole, lakini zinaishi muda mrefu. Kumbe zenye kromosomu Y zina nguvu zaidi na kuogelea upesi, lakini hufa upesi.
Ili kupata mtoto wa kiume
Kwa kuzingatia tabia hizo mbili tofauti, maharusi wakitaka mtoto wa kiume wanatakiwa kufanya tendo la ndoa siku ya kwanza baada ya kilele (kujisikia kuteleza) na kuendelea kwa miandamo 6 ya hedhi. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miandamo 6, waanze kuonana siku ya kilele na siku inayofuata. Kama mwanamke amekosa siku ya kilele, yaani kama utelezi wa ute unaendelea siku inayofuata, waonane tena siku inayofuata. Kwa njia hiyo mbegu zenye kromosomu Y tu zitafikia kijiyai kilichochopoka, kwa sababu mbegu zenye kromosomu X zinaogelea polepole tu.
Ili kupata mtoto wa kike
Kinyume chake, wakitaka mtoto wa kike wanatakiwa kufanya tendo la ndoa siku ya kwanza ya ute wa uzazi. Halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa siku ya kwanza na ya pili ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa pia siku ya tatu ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kwa njia hiyo mbegu zenye kromosomu Y zitakufa kabla ya kuweza kuungana na kijiyai, na hivyo zitabaki zenye kromosomu X kuwa na nafasi hiyo. Siku nzuri ya kupata mtoto wa kike ni kufanya tendo la ndoa siku mbili kabla ya kilele.
Tazama pia
Uzazi wa mpango
Uzazi wa mpango kwa njia asilia
Tanbihi
1. ↑ Weschler, Toni (2002). Taking Charge of Your Fertility , Revised, New York: HarperCollins, 52. ISBN 0-06-093764-5 .
2. ↑ Medical Eligibility Criteria for Contraceptive Use:Fertility awareness-based methods . Fourth edition. World Health Organization. 2010. http://www.who.int/reproductivehealth/publications/family_planning/9789241563888/en/index.html . Retrieved 2012-12-11.
3. ↑ Saint, Bishop of Hippo Augustine; Philip Schaff (Editor) (1887). A Select Library of the Nicene and Post-Nicene Fathers of the Christian Church, Volume IV . Grand Rapids, MI: WM. B. Eerdmans Publishing Co., On the Morals of the Manichæans , Chapter 18 .
4. ↑ 4.0 4.1 Yalom, Marilyn (2001). A History of the Wife , First, New York: HarperCollins, 297–8, 307. ISBN 0-06-019338-7 .
5. ↑ A Brief History of Fertility Charting .
FertilityFriend.com . Iliwekwa mnamo 2006-06-18.
6. ↑ 6.0 6.1 Singer, Katie (2004). The Garden of Fertility . New York: Avery, a member of Penguin Group (USA), 226–7. ISBN 1-58333-182-4 .
7. ↑ 7.0 7.1 7.2 Hays, Charlotte. "Solving the Puzzle of Natural Family Planning" . Holy Spirit Interactive. http://www.holyspiritinteractive.net/features/prolife/article_05.asp . Retrieved 2012-02-15.
8. ↑ [18] ^ Moral Questions Affecting Married Life: Addresses given October 29, 1951 to the Italian Catholic Union of midwives 26 Novemba 1951 to the National Congress of the Family Front and the Association of Large Families, National Catholic Welfare Conference, Washington, DC.
9. ↑ Billings, John (Machi 2002). "THE QUEST — leading to the discovery of the Billings Ovulation Method" . Bulletin of Ovulation Method Research and Reference Centre of Australia 29 (1): 18–28. http://www.woomb.org/omrrca/bulletin/vol29/no1/thequest.shtml . Retrieved 2007-03-18.
10. ↑ About us . Family of the Americas (2006). Iliwekwa mnamo 2007-03-18.
11. ↑ About the Institute . Pope Paul VI Institute (2006). Iliwekwa mnamo 2012-02-21.
12. ↑ Singer (2004), p.xxiii
13. ↑ About us . Fertility Awareness Center (2006). Iliwekwa mnamo 2007-03-18.
14. ↑ Weschler (2002)
15. ↑ About Us . Justisse (2002). Jalada kutoka ya awali juu ya 2006-11-16. Iliwekwa mnamo 2007-03-18.
16. ↑ Arévalo M, Jennings V, Sinai I (2002).
"Efficacy of a new method of family planning: the Standard Days Method." (PDF).
Contraception 65 (5): 333–8. doi: 10.1016/S0010-7824(02)00288-3 .
PMID 12057784 . http://pdf.dec.org/pdf_docs/PNACQ416.pdf .
17. ↑ Jennings V, Sinai I (2001). "Further analysis of the theoretical effectiveness of the TwoDay method of family planning".
Contraception 64 (3): 149–53. doi: 10.1016/S0010-7824(01)00251-7 .
PMID 11704093 .
18. ↑ James B. Brown (2005). Physiology of Ovulation . Ovarian Activity and Fertility and the Billings Ovulation Method . Ovulation Method Research and Reference Centre of Australia.
19. ↑ Kippley (2003), uk.121-134, 376-381
20. ↑ Kippley (2003), uk.114
21. ↑ Evelyn, Dr. Billings, Ann Westinore, (1998). The Billings Method: Controlling Fertility Without Drugs or Devices . Toronto: Life Cycle Books, 47. ISBN 0-919225-17-9 .
22. ↑ 22.0 22.1 Kippley (2003), uk.108-113
23. ↑ Kippley (2003), uk.101 sidebar na Weschler (2002), uk.125
24. ↑ Kippley (2003), uk.108-109 na Weschler (2002), uk.125-126
25. ↑ Kippley (2003), uk.110-111
26. ↑ Kippley (2003), uk.112-113
27. ↑ 27.0 27.1 How to Observe and Record Your Fertility Signs . Fertility Friend Handbook . Tamtris Web Services (2004). Iliwekwa mnamo 2005-06-15.
28. ↑ Manhart, MD; Daune, M; Lind, A; Sinai, I; Golden-Tevald, J (January–February 2013).
"Fertility awareness-based methods of family planning: A review of effectiveness for avoiding pregnancy using SORT." . Osteopathic Family Physician 5 (1): 2–8. doi : 10.1016/j.osfp.2012.09.002 . http://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S1877573X12001542 .
29. ↑ 29.0 29.1 29.2 Frank-Herrmann P, Heil J, Gnoth C, et al. (2007). "The effectiveness of a fertility awareness based method to avoid pregnancy in relation to a couple's sexual behaviour during the fertile time: a prospective longitudinal study". Hum. Reprod. 22 (5): 1310–9. doi: 10.1093/humrep/dem003 .
PMID 17314078 .
30. ↑ Fertility Awareness Method . Brown University Health Education Website . Brown University (2012). Iliwekwa mnamo 2012-12-11.
31. ↑ Kippley, John; Sheila Kippley (1996).
The Art of Natural Family Planning , 4th addition, Cincinnati, OH: The Couple to Couple League, 141. ISBN 0-926412-13-2 .
32. ↑ Hatcher, RA; Trussel J, Stewart F, et al. (2000). Contraceptive Technology , 18th, New York: Ardent Media. ISBN 0-9664902-6-6 .
33. ↑ Wade ME, McCarthy P, Braunstein GD, et al. (Oktoba 1981). "A randomized prospective study of the use-effectiveness of two methods of natural family planning".
American journal of obstetrics and gynecology
141 (4): 368–376. PMID 7025639 .
34. ↑ Medina JE, Cifuentes A, Abernathy JR, et al. (Desemba 1980). "Comparative evaluation of two methods of natural family planning in Colombia". American journal of obstetrics and gynecology 138 (8): 1142–1147.
PMID 7446621 .
35. ↑ Marshall J (Agosti 1976). "Cervical-mucus and basal body-temperature method of regulating births: field trial". Lancet 2 (7980): 282–283. doi : 10.1016/S0140-6736(76)90732-7 . PMID 59854 .
36. ↑ 36.0 36.1 Evaluation of the Effectiveness of a Natural Fertility Regulation Programme in China : Shao-Zhen Qian, et al. Reproduction and Contraception (English edition), in press 2000.
37. ↑ Frank-Herrmann P, Freundl G, Baur S, et al. (Desemba 1991). "Effectiveness and acceptability of the sympto-thermal method of natural family planning in Germany". American journal of obstetrics and gynecology 165 (6 Pt 2): 2052–2054. PMID 1755469 .
38. ↑ Clubb EM, Pyper CM, Knight J (1991).
"A pilot study on teaching natural family planning (NFP) in general practice" .
Proceedings of the Conference at Georgetown University, Washington, DC . http://www.fertilityuk.org/nfps822.html .
39. ↑ Frank-Herrmann P, Freundl G, Gnoth C, et al. (Juni-Septemba 1997). "Natural family planning with and without barrier method use in the fertile phase: efficacy in relation to sexual behavior: a German prospective long-term study". Advances in Contraception 13 (2-3): 179–189. doi: 10.1023/A:1006551921219 . PMID 9288336 .
40. ↑ Ecochard, R.; Pinguet, F.; Ecochard, I.; De Gouvello, R.; Guy, M.; Huy, F. (1998). "Analysis of natural family planning failures. In 7007 cycles of use". Fertilite Contraception Sexualite 26 (4): 291–6. PMID 9622963 .
41. ↑ Hilgers, T.W.; Stanford, J.B. (1998). "Creighton Model NaProEducation Technology for avoiding pregnancy. Use effectiveness".
Journal of Reproductive Medicine 43 (6): 495–502. PMID 9653695 .
42. ↑ 42.0 42.1 Howard, M.P.; Stanford, J.B. (1999). "Pregnancy probabilities during use of the Creighton Model Fertility Care System".
Archives of Family Medicine 8 (5): 391–402.
doi : 10.1001/archfami.8.5.391 .
PMID 10500511 .
43. ↑ James Trussell et al. (2000) "Contraceptive effectiveness rates",
Contraceptive Technology - 18 Edition, New York: Ardent Media. On-press.
44. ↑ Ryder R (1993). ""Natural family planning": effective birth control supported by the Catholic Church". BMJ 307 (6906): 723–6.
doi : 10.1136/bmj.307.6906.723 .
PMC 1678728 . PMID 8401097 .
45. ↑ Hilgers T, Daly K, Prebil A, Hilgers S (Oktoba 1992). "Cumulative pregnancy rates in patients with apparently normal fertility and fertility-focused intercourse". J Reprod Med 37 (10): 864–6. PMID 1479570 .
46. ↑ Wang X, Chen C, Wang L, Chen D, Guang W, French J (2003). "Conception, early pregnancy loss, and time to clinical pregnancy: a population-based prospective study". Fertil Steril 79 (3): 577–84. doi: 10.1016/S0015-0282(02)04694-0 .
PMID 12620443 .
47. ↑ "Infertility fact sheet" . womenshealth.gov, U.S. Department of Health and Human Services, Office on Women's Health. http://www.womenshealth.gov/publications/our-publications/fact-sheet/infertility.cfm#f . Retrieved 2012-12-11..
"Some signs that a woman is not ovulating normally include irregular or absent menstrual periods."
"Female Infertility" . Adult Health Advisor . 2012. http://www.ihacares.com/index.cfm/HealthAdvisors/AdultHealthAdvisor/crs-aha-aha_obg_female.infertility/ .. "A woman who is not ovulating normally may have irregular or missed menstrual periods."
"Is Clomid Right For You?" .
JustMommies.com . 2007. http://www.justmommies.com/articles/clomid-and-ovulation.shtml .. "If you have an irregular cycle there is a good chance you are not ovulating normally."
48. ↑ Ellington, Joanna (2004). Sperm Transport to the Fallopian Tubes . Frequently Asked Questions with Dr. E . INGfertility Inc. Iliwekwa mnamo 2008-04-27.
49. ↑ Weschler (2002), uk. 173.
50. ↑ Weschler (2002), uk.316
51. ↑ Weschler (2002), uk.3-4 ,155-156, Insert p.7
52. ↑ Ursula Birgitta Schnell OSB (2011).
Uimarishaji wa Familia - Mpango wa uzazi kwa njia ya asili Billings Ovulation Method , 15th, Ndanda, Tanzania: Benedictine Publication Ndanda-Peramiho. ISBN 9976-63-132-4 .
Marejeo
Kwa Kiswahili
Ursula Birgitta Schnell OSB (2011).
Uimarishaji wa Familia - Mpango wa uzazi kwa njia ya asili Billings Ovulation Method , 15th, Ndanda, Tanzania: Benedictine Publication Ndanda-Peramiho. ISBN 9976-63-132-4 .
Kwa Kiingereza
Toni Weschler (2006). Taking Charge of Your Fertility , 10th Anniversary, New York: Collins.
ISBN 0-06-088190-9 .
John F. Kippley and Sheila K. Kippley (1996). The Art of Natural Family Planning , Fourth, Cincinnati, OH: Couple to Couple League International. ISBN 0-926412-13-2 .
Léonie McSweeney (2006). Love & Life, Billings Method of Natural Family Planning , Ninth, Ibadan, Nigeria: African Universities Press. ISBN 978-148-092-0 .
Nakala inapatikana chini ya Creative Commons Attribution/Share-Alike License ; masuala ya ziada yanaweza kukubalika. Tazama Masharti ya Utumiaji kwa maelezo zaidi. Wikipedia ni nembo iliosajiliwa na Wikimedia Foundation, Inc. , asasi isiyokuwa ya kifaida.
Faragha • Dawati Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba](http://lh4.googleusercontent.com/-wR9X2Ir5tN8/URsTis2yuWI/AAAAAAAAAhk/peKQZDOLiVM/s320/no-img.png)
Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba (kwa Kiingereza "Fertility Awareness", kifupi FA) unahusu mbinu zinazotumika kutambua wakati mwanamke anapoweza kushika mimba na asipoweza kushika mimba katika mzunguko wa hedhi . Mbinu hizo zinaweza kutumika ili kuzuia mimba isiyotamaniwa na vilevile kupata mimba iliyotamaniwa, lakini pia kama njia ya kusimamia afya ya uzazi wa mwanamke. Mbinu kadhaa za kubaini siku ambazo mwanamke hawezi kupata mimba zinajulikana tangu zamani, lakini ujuzi wa ki sayansi uliopatikana katika karne ya 20 umeongeza sana idadi na hasa usahihi wa mbinu hizo. Kutoka mwaka 1930 hadi 1980 , utafiti na ukuzaji wa uelewa huo wa masuala ya uzazi ulifanywa hasa na wataalamu wanaohusika na Kanisa Katoliki kwa lengo la kusaidia kupanga uzazi watu wa ndoa wanaokataa mbinu za teknolojia kwa msingi wa maadili au kwa kuzingatia ma dhara yake. Kwa kiasi kikubwa mashirika yanayotafuta na kueneza ufahamu wa uwezo wa kushika mimba yanaendelea kuongozwa na Wakatoliki, lakini baadhi ya mashirika ya kawaida sasa yapo. Mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hutegemea uchunguzi wa mabadiliko ya ishara za msingi yanayoashiria uwezekano wa kutunga mimba (kama vile joto la mwili , ute wa uke , na mkao wa seviksi ) kwa kufuatilia mzunguko wote wa hedhi na hivyo kubaini wakati ambapo inawezekana kushika mimba. Ishara nyingine pia zinaweza kuzingatiwa: hizo ni pamoja na ulaini wa ma titi na uchungu wakati kijiyai kinapoachiliwa, uchunguzi wa mkojo kwa vifaa vya kubashiri udondoshwaji wa vijiyai, na uchunguzi wa ki hadubini wa ute au ugiligili wa seviksi (yaani mlango wa kizazi). Isitoshe, ipo njia ya kufuatilia uwezo wa kushika mimba kwa tarakilishi . Istilahi Mbinu zinazotegemea dalili zinafuatilia moja au zaidi kati ya ishara tatu za msingi za kuweza kutunga mimba - joto la msingi la mwili, ute wa uke na mkao wa seviksi. [1] Mbinu zinazotegemea ute wa uke tu ni pamoja na Mbinu ya Billings ya Kutambua Kijiyai Kuachiliwa, The Ovulation Method , Mbinu ya Creighton, na Mbinu ya Siku Mbili. Mbinu za dalili ya joto la mwili hujumuisha pia uchunguzi wa joto la msingi la mwili (basal body temperature = BBT), ute wa uke, na wakati mwingine mkao wa seviksi. Mbinu zinazotegemea kalenda hufuatilia mzunguko wa hedhi ya mwanamke na kwa kuzingatia urefu wa mzunguko wake kutambua anapoweza kupata mimba. Mbinu maarufu zaidi kati ya hizo ni Mbinu ya Siku Sanifu. Mbinu ya Urari-Kalenda pia huhesabiwa njia ya kutegemea kalenda, ingawa haijafafanuliwa vizuri na ina maana nyingi tofauti kwa watu tofauti. Mbinu hizo za kupanga uzazi zinaweza kuitwa Mbinu za Uzazi Zinazotegemea Ufahamu (wa uwezo wa kuzaa), [2] Jina "Mbinu ya Uelewa wa Uzazi" (kwa Kiingereza Fertility Awareness Method = FAM) linatumika hasa kwa mfumo uliofundishwa na Toni Weschler. Jina "Mbinu Asili ya Uzazi wa Mpango" (kwa Kiingereza natural family planning = NFP) wakati mwingine hutumiwa kutaja mbinu yoyote inayotegemea Ufahamu wa Uzazi. Hata hivyo, msamiati huo ni mahsusi kuhusu mbinu zile zinazokubaliwa na Kanisa Katoliki: mbali ya uwezekano wa kutopata mimba wakati wa kunyonyesha (kwa Kiingereza Lactational amenorrhea method = LAM), ni kutofanya tendo la ndoa siku ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba. Hapo mbinu za FA zinaweza kutumika ili kutambua nyakati hizo zinazoweza kuleta mimba. Wanawake ambao wananyonyesha na wanapenda kukwepa mimba wanaweza kutegemea kukatizwa kwa hedhi wakati wa kunyonyesha. Hiyo ni tofauti na ufahamu wa uzazi, lakini kwa sababu haihusishi vifaa wala kemikali, mara nyingi hutajwa pamoja na FA kama njia asili ya uzazi wa mpango. Historia Ukuaji wa mbinu zinazotegemea kalenda Haijulikani kwa hakika lini iligunduliwa kwa mara ya kwanza kuwa wanawake wana vipindi vya kutunga mimba na visivyo vya kutunga mimba vinavyoweza kutabirika. Mwaka 388 Agostino wa Hippo aliandika kuhusu kuepuka mara kwa mara tendo la ndoa ili kuzuia mimba akiwalaumu Wamani kwa kutumia njia hiyo ili kubaki bila watoto. [3] Kitabu fulani kinasema kuacha ngono kwa muda kulipendekezwa na "watu wachache wasio wa dini tangu katikati ya karne ya 19", [4] lakini katika karne ya 20 ushawishi mkuu uliohamasisha mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ulitoka katika Kanisa Katoliki. Mwaka 1905 Theodoor Hendrik van de Velde, mwanajinakolojia wa Uholanzi, alionyesha kuwa wanawake hutoa kijiyai mara moja tu kila mzunguko wa hedhi. [5] Miaka ya 1920 Kyusaku Ogino , mwanajinakolojia wa Ujapani , na Hermann Knaus , kutoka Austria , wakifanya kazi bila ushirikiano waligundua kwamba kijiyai hutokea siku kumi na nne hivi kabla ya kipindi cha hedhi kinachofuata. [6] Ogino alitumia uvumbuzi wake kutengeneza hesabu ya kuwasaidia wanawake wasiopata mimba kwa kufanya tendo la ndoa kwa wakati mwafaka kupata mimba. Mwaka 1930 John Smulders , daktari Mkatoliki kutoka Uholanzi, alitumia uvumbuzi huo kuunda mbinu ya kuepuka mimba. Smulders alichapisha kazi yake chini ya Chama cha Matabibu Wakatoliki wa Uholanzi, na hiyo ilikuwa mbinu sanifu ya kwanza ya kuepuka mimba kwa kuacha kujamiiana kwa kipindi fulani - mbinu ya kalenda. [6] Uanzilishi wa mbinu za dalili za joto na ute wa mlango wa uzazi Katika miaka ya 1930, Wilhelm Hillebrand , padri Mkatoliki nchini Ujerumani , alitunga mbinu ya kuzuia mimba kwa kutegemea joto la msingi la mwili. [7] Mbinu hiyo ya joto ilionekana kuwa na ufanisi mkubwa zaidi katika kuwasaidia wanawake kuzuia mimba kuliko mbinu ya kutegemea kalenda. Katika miongo michache iliyofuata, mbinu hizo mbili zikawa zinatumika sana miongoni mwa wanawake Wakatoliki. Hotuba mbili zilizotolewa na Papa Pius XII mwaka 1951 zilitoa kibali cha hali ya juu kutoka Kanisa Katoliki kwa mbinu hizo kutumiwa na mume na mke waliohitaji kuzuia mimba. [4][8] Mwanzo mwa miaka ya 1950 , John Billings aligundua uhusiano kati ya ute wa mlango wa uzazi na uwezekano wa kutunga mimba alipokuwa akifanya kazi katika Shirika Katoliki la Ustawi wa Jamii mjini Melbourne , Australia . Billings na madaktari wengine kadhaa, akiwemo mke wake Evelyn , walifanyia utafiti ishara hiyo kwa miaka kadhaa, na kufikia mwishoni mwa miaka ya 1960 walikuwa wamefanya majaribio ya kitabibu na kuanzisha vituo vya kufundishia mbinu yao duniani kote. [9] Mashirika ya kwanza ya ufundishaji mbinu zilizozingatia dalili Japo awali akina Billings walifundisha pamoja mbinu za dalili ya joto na ya ute wa uke, walipata shida katika kufundisha ishara ya joto kwa idadi kubwa ya watu wasiojua kusoma na kuandika katika nchi zinazoendelea . Hivyo katika miaka ya 1970 walibadilisha mbinu ili kutegemea ute tu. [7] Taasisi ya kimataifa iliyoanzishwa na Billings sasa inajulikana kama "Shirika la Kimataifa la Mbinu ya Kudondosha Kijiyai ya Billings" (kwa Kiingereza World Organization Ovulation Method Billings = WOOMB). Shirika la kwanza kufundisha mbinu ya dalili za joto lilianzishwa mwaka 1971 . John na Sheila Kippley , walei Wakatoliki, walijiunga na Konald Prem katika kufundisha mbinu iliyotegemea dalili zote tatu: joto, ute na mkao wa mlango wa uzazi. Taasisi yao sasa inaitwa "Shirika la Kimataifa la Wanandoa kwa Wanandoa" (kwa Kiingereza "Couple to Couple League International"). [7] Muongo uliofuata ulishuhudia kuanzishwa kwa mashirika mengine ya Kikatoliki ambayo sasa ni makubwa - "Familia ya Amerika" (kwa Kiingereza "Family of the Americas") iliyoundwa mwaka 1977 na kufundisha mbinu ya Billings, [10] halafu "Taasisi ya Papa Paulo VI " ( 1985 ), inayofundisha mbinu mpya ya ute pekee iitwayo Creighton Model. [11] Hadi miaka ya 1980 , habari kuhusu ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ulipatikana tu kutoka vyanzo vya Kikatoliki. [12] Shirika la kwanza lisilo la kidini la kutolea mafundisho hayo ya uzazi lilikuwa Kituo cha Uelewa wa Uzazi cha New York, lililoanzishwa mwaka 1981 . [13] Toni Weschler alianza kufundisha mwaka 1982 na kuchapisha kitabu kilichouzwa sana cha Taking Charge of Your Fertility mwaka 1995 . [14] "Justisse" ilianzishwa mwaka 1987 huko Edmonton, Kanada . [15] Mashirika hayo yote yasiyo ya kidini yanafundisha mbinu ya dalili za joto. Ingawa mashirika ya Kikatoliki yanayoeneza uelewa wa uzazi ni makubwa sana kuliko hayo ya wanaharakati yasiyo ya kidini, walimu wasiotegemea dini wamezidi kuongezeka katika miaka ya 1990 na milenia mpya . Maendeleo ya sasa Ustawi wa mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaendelea. Mwishoni mwa miaka ya 1990, "Taasisi ya Afya ya Uzazi " katika Chuo Kikuu cha Georgetown ilianzisha mbinu mbili mpya. [16][17] Mbinu ya Siku Mbili, inayotegemea ute tu, na CycleBeads , ambayo inafuata mbinu ya Siku Sanifu na ina pia toleo la kieletroniki, iCycleBeads), zimeundwa ili kuwa na ufanisi na urahisi mkubwa zaidi katika kufundisha, kujifunza, na kutumia. Ishara za uwezo wa kushika mimba Mizunguko mingi ya hedhi huwa na siku kadhaa za mwanzo ambapo mimba haiwezi kupatikana (muda wa kutoshika mimba kabla ya kudondosha kijiyai), halafu siku ambazo mimba inaweza kutungika, na kisha siku kadhaa tu kabla ya hedhi ambazo mimba haiwezi kutungika ( muda wa kutoshika mimba baada ya kijiyai kudondoshwa). Siku ya kwanza ya kuvuja damu inahesabiwa kuwa siku ya kwanza ya mzunguko wa hedhi. Mbinu mbalimbali za kufahamu uwezo wa kushika mimba huhesabu kwa njia tofauti kidogo kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba, yaani hutumia ishara za msingi za uwezekano huo, historia ya mzunguko, au zote mbili. Ishara za msingi za kuweza kupata mimba Ishara tatu za msingi za uwezekano wa kushika mimba ni joto msingi la mwili, ute wa uke na mkao wa seviksi. Mwanamke anayetumia dalili hizo ili kujua uwezo wake wa kupata mimba anachagua kutumia ishara moja, mbili, au zote tatu pamoja. Wanawake wengi hung'amua pia ishara nyingine za ziada kulingana na mzunguko wa hedhi, kama vile maumivu na uzito tumboni, maumivu mgongoni, ulaini wa matiti na maumivu ya kudondosha kijiyai. Joto la msingi la mwili Joto la msingi la mwili ni joto la mwili wa mtu linalopimwa wakati wa kwanza anapoamka asubuhi (au baada ya usingizi wa muda mrefu zaidi katika siku). Miongoni mwa wanawake, kudondoshwa kijiyai husababisha joto kupanda kwa 0.3°C hadi 0.9° C (0.5°F hadi 1.6°F) na kubakia hivyo kipindi chote hadi wakati wa hedhi ijayo. Mabadiliko hayo ya joto yanaweza kutumika kubaini mwanzo wa kipindi cha kutoweza kutungika mimba kabla ya kudodosha kijiyai. Ute wa uke Ute wa uke Kuonekana kwa ute wa uke na mwasho wake ni ishara zinazoelezwa kwa kawaida pamoja kama njia za kubaini ishara hiyohiyo. Ute wa uke huzalishwa na seviksi, ambayo huunganisha mji wa mimba na mfereji wa uke. Ute wa uke wenye uwezo wa kushika mimba hukuza maisha ya manii kwa kupunguza uasidi wa uke, na husaidia kuongoza manii kupitia seviksi na kuelekea ndani ya mji wa mimba. Uzalishaji wa ute wa uke wenye uwezo wa kupata mimba husababishwa na homoni ileile ( istrojeni ) ambayo huandaa mwili wa mwanamke kwa udondoshwaji wa kijiyai . Kwa kuangalia ute wa uke wake, na kuzingatia hisia pindi unapopita ukeni, mwanamke anaweza kubaini wakati mwili wake unapojiandaa kudondosha kijiyai, na wakati ambapo udondoshwaji wa kijiyai umepita. Kijiyai kikidondoshwa, uzalishwaji wa istrojeni hupungua na projesteroni huanza kuongezeka. Kupanda kwa kiwango cha projesteroni husababisha mabadiliko maalumu katika wingi na hali ya ute wa uke. [18] Mkao wa seviksi Seviksi hubadilisha mkao kutokana na homoni zilezile zinazosababisha ute wa uke kutolewa na kukauka. Wakati mwanamke yuko katika awamu ya kutoshika mimba katika mzunguko wa hedhi, seviksi hushuka chini katika mfereji wa uke, ikiguswa huwa ngumu (kama ncha ya pua ya mtu), na upenyu (mlango wa seviksi) unakuwa mdogo ukilinganishwa na wakati mwingine, au umefungika. Kadiri mwanamke anavyozidi kuwa na uwezo wa kushika mimba ndivyo seviksi inavyopanda juu katika mfereji wa uke, inakuwa laini ikiguswa (kama mdomo wa mtu), na upenyu unakuwa wazi zaidi. Baada ya kudondoshwa kwa kijiyai, seviksi itarejea mkao wake wa wakati usio wa kushika mimba. Historia ya mzunguko Mbinu zinazotegemea kalenda hubainisha uwezekano wa kutopata mimba kabla na baada ya kudondosha kijiyai kulingana na historia ya mzunguko. Zinapotumika vizuri kuzuia mimba, mbinu hizo si madhubuti kama mbinu zinazotegemea dalili, hata hivyo umadhubuti wake unalingana na mbinu zuizi kama vile kiwambo na kizibo cha seviksi . Mbinu za kuepuka mimba zinazotegemea ute wa uke na joto la mwili kubainisha uwezo wa kutunga mimba baada ya kijiyai kudondoshwa, hushindikana mara chache sana zinapotumika vizuri. [19] Hata hivyo, mbinu hizo huwa na upungufu fulani katika kubaini uwezo wa kutotunga mimba kabla ya kudondosha kijiyai. Rekodi ya joto la mwili pekee haitoi mwongozo kuhusu uwezekano wa mimba kutungwa au kutotungwa kabla ya kijiyai kudondoshwa. Kubaini uwezekano wa kutoshika mimba kabla ya tukio hilo kunaweza kufanywa kwa kuchunguza ute wa uke; hata hivyo, njia hii inafanikiwa kwa kiwango cha chini kuliko ule unaoshuhudiwa katika kipindi baada ya kudondosha kijiyai. [20] Kutegemea uchunguzi wa ute pekee pia ina maana kwamba tendo la ndoa haliruhusiwi wakati wa hedhi, kwa sababu ute wowote hautakuwa dhahiri. [21] Matumizi ya sheria fulani za kalenda katika kutambua urefu wa kipindi cha kutoweza kutunga mimba kabla ya kijiyai kudondoshwa huruhusu siku chache za ngono mwanzoni mwa mzunguko wa hedhi huku kukiwa na kiwango cha chini sana cha uwezekano wa kupata mimba. [22] Kwa kutumia mbinu ya ute pekee, kuna uwezekano wa kukosea kwa kudhani ni hedhi damu inapotoka katikati ya mzunguko wa hedhi au wakati ambapo kijiyai halikudondoshwa. Kuweka chati sahihi ya joto la msingi la mwili huwezesha utambuzi wa hedhi, wakati ambapo sheria za kalenda kuhusu kipindi kabla ya kudondosha kijiyai zinaweza kutumiwa kwa usahihi. [23] Katika mbinu za joto pekee, sheria ya kalenda inaweza kutegemewa pale tu kutambua uwezekano wa kutoshika mimba kabla ya kudondosha kijiyai. Katika mbinu za joto na ishara, sheria ya kalenda huthibitishwa na rekodi za ute: uchunguzi wa ute wa uke unaoashiria uwezo wa kupata mimba unapewa kipaumbele kuliko mbinu yoyote ya kalenda ya kubainisha uwezo wa kushika mimba. [22] Sheria za kalenda zinaweza kuweka idadi mahsusi ya siku, ikibainisha kwamba (kulingana na urefu wa mizunguzo iliyopita ya hedhi ya mhusika) siku tatu hadi sita za kwanza katika kila mzunguko wa hedhi huchukuliwa kuwa hazina uwezo wa kupata mimba. [24] Au, sheria ya kalenda inaweza kuhitaji hesabu, kwa mfano lazima iwe kwamba urefu wa kipindi kisicholeta uzazi kabla ya kudondosha kijiyai ni sawa na urefu wa mzunguko mfupi zaidi wa mwanamke huyo ukiondoa siku ishirini na moja. [25] Badala ya kutegemea urefu wa mzunguko, sheria ya kalenda inaweza kuhakikishwa kutokana na siku ya mzunguko ambapo mwanamke ameshuhudia badiliko la joto la mwili. Mfumo mmoja unasema urefu wa kipindi cha kutoweza kutunga mimba kabla ya kudondosha kijiyai unalingana na siku ya kwanza ambapo mwanamke alishuhudia kupanda joto la mwili ondoa siku saba. [26] Mbinu nyingine Vifaa vya kubashiri udondoshwaji wa kijiyai (kwa Kiingereza Ovulation predictor kits = OPKs) vinaweza kutambua udondoshwaji unaokaribia kutokea kwa kutegemea wingi wa homoni ya kuandaa ukuta wa chupa ya kizazi (kwa Kiingereza "lutenizing hormone" = LH) katika mkojo wa mwanamke. Kwa kawaida ubashiri wa kufana wa undondoshwaji huo hufuatiwa na udondoshwaji ndani ya saa 12-36. Uchunguzi wa mate kwa hadubini, ukifanyika kwa usahihi, unaweza kugundua vijidutu maalum katika mate ambavyo hutangulia udondoshwaji wa kijiyai. Vijidutu hivyo kwa kawaida huonekana siku tatu kabla ya udondoshwaji na kuendelea mpaka udondoshwaji utokee. Katika kipindi hiki, vijidutu hivyo hutokea katika ute wa uke pamoja na mate. Vichunguza uzazi vya kieletroniki vinapatikana kwa majina mbalimbali ya ki biashara . Vichunguzi hivyo vinaweza kutumia mifumo ya Joto la Msingi la Mwili pekee, au kuchambua vitepe vya kupimia mkojo, au kufuatilia dalili mchanganyiko au kuchunguza ukinzani umeme wa mate na ugiligili wa uke, au kwa pamoja baadhi ya mambo hayo mbalimbali . Manufaa na mapungufu Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba una kiwango fulani cha sifa bainifu: Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika kudhibiti afya ya uzazi. Mabadiliko katika mzunguko wa hedhi yanaweza kumtahadharisha mtumiaji kuhusu kujitokeza kwa matatizo ya kiginakolojia. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba pia unaweza kutumika kusaidia katika kuagua matatizo yanayojulikana ya kijinakolojia kama vile kutoweza kushika mimba. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ni uwanda mpana: unaweza kutumika kuzuia mimba au kusaidia katika kutunga mimba. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumiwa na wanawake wote katika kipindi chote cha uzazi, bila kujali ikiwa anakaribia kumaliza kuzaa, ananyonyesha, au anapata mzunguko wa hedhi usio wa kawaida kwa sababu zingine. Matumizi ya ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutoa ufahamu kuhusu jinsi mwili wa mwanamke unavyofanya kazi, na unaweza kuwaruhusu wanawake kuwa na udhibiti mkubwa wa uzazi wao wenyewe. Aina fulani ya mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba zinazotegemea dalili ya uzazi zinahitaji uchunguzi au kugusa ute wa uke, matendo ambayo baadhi ya wanawake hawafurahii. Baadhi ya wahudumu wanapendelea kutumia neno "majimaji ya seviksi" badala ya ute wa uke, katika juhudi ya kuwafanya wanawake kama hao kuhisi huru kidogo. Baadhi ya dawa, kama vile ya kupunguza kupaliwa mapafuni, yanaweza kubadili ute ya kizazi. Kwa wanawake wanaotumia dawa hizi, ishara ya ute huenda isionyeshe kisahihi uwezo wa kutunga mimba . [27] Baadhi ya mbinu zinazotegemea dalili huhitaji ufuatiliaji wa joto la kimsingi ya mwili. Kwa sababu usingizi usiokuwa na utaratibu unaweza kuvuruga usahihi wa joto la kimsingi la mwili, wafanyakazi wa kubadilisha zamu na walio na watoto wadogo sana, kwa mfano, huenda wasiweze kutumia mbinu hizo. [27] Kama njia ya kupanga uzazi Kwa kufanya tendo kamili la ndoa siku zile tu ambapo katika mzunguko wa hedhi mimba haiwezi kutungwa, maharusi wanaweza kuzuia mimba isipatikane. Wakati ambapo katika mzunguko wa hedhi mimba inaweza kutungwa, wanaweza wakaacha ngono ili kuwa na hakika ya kutoitunga. Wengine siku hizo wanatumia mbinu mbadala za kuzuia mimba ingawa pengine hazifai kwa sababu mbalimbali. [28] Kinyume chake maharusi wanaweza kulenga uzazi kwa hakika zaidi wakifanya tendo la ndoa kwa kutumia vizuri siku zinazouwezesha. Manufaa Katika kutumia ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hakuna madhara yanayotokana na teknolojia inayotumiwa na mbinu nyingine. Kwa jumla hakuna madhara yoyote ya utumiaji, isipokuwa yanayoweza kutokea kwa kuingiza vidole ndani ya uke ili kuchunguza seviksi (kama inavyopendekezwa na baadhi ya mbinu). Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza ukatumika pamoja na vifaa vya kuzuia mimba ili kuendelea kujamiiana katika kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba. Tofauti na utumiaji wa vifaa hivyo bila ufahamu wa uwezo wa kushika mimba, ufahamu huo unawezesha kutumia vizuiamimba siku chache tu, na hivyo kupunguza madhara yanayoletwa navyo. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hauna gharama au ni nafuu sana. Watumiaji wanaweza wakahitaji kununua chati, kalenda, kipimajoto , au tarakilishi, au pengine kumlipa mkufunzi . Kwa vyovyote gharama ni ya chini ikilinganishwa na mbinu nyingine. Tofauti na mbinu nyingine mbalimbali ambazo zina athari za muda mrefu, ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unawezesha kubadili mara moja kutoka uamuzi wa kuzuia mimba hadi ule wa kuilenga. Mapungufu Wasipotumia vifaa vya kizuia mimba katika kipindi ambapo mimba inaweza kutungwa, wanandoa wanalazimika waache ngono. Ila kupunguza uwezekano wa kupata mimba uwe chini ya 1% kwa mwaka, katika kila mzunguko kuna takriban siku 13 ambapo lazima waache ngono. [29] Kwa wanawake wenye mzunguko unaobadilikabadilika sana - kama ilivyo kawaida wakati wa kunyonyesha, karibu na hedhi kwisha kabisa, au kwa wenye magonjwa ya homoni (kama vile Polycystic ovary syndrome = PCOS) kuacha kujamiiana au kutumia vizuizi kunaweza kuhitajika miezi mfululizo. Wengi hawana motisha au nidhamu ya kutosha wafanye hivyo kwa muda mrefu. Wanaposhindwa kufuata masharti, ni rahisi kupata mimba isiyopangwa. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba haukingi dhidi ya maradhi ya zinaa. [30] Ndiyo maana inafaa zaidi kati ya watu ambao ni waaminifu wao kwa wao, kama watu wa ndoa. Ufanisi Ufanisi wa ufahamu ya uzazi, kama ulivyo kwa mbinu nyingi za uzazi wa mpango, unaweza kutathminiwa kwa njia mbili zifuatazo. Kwa kawaida mfumo wa Pearl Index hutumika kukokotoa viwango vya ufanisi, lakini baadhi ya tafiti hutumia majedwali ya mapunguzo. [31] Kwa kawaida viwango hupimwa katika mwaka wa kwanza wa matumizi. [32] Viwango vya matumizi kamili ni kwa wale tu wanaofuata sheria zote, wakitambua kwa usahihi kipindi ambapo kuna uwezekano wa kutunga mimba, na wanaacha ngono isiyo na kinga siku walizotambua kuna uwezekano wa kuitunga. Viwango vya matumizi halisi au matumizi ya kawaida ni kwa wale wote wanaotegemea ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ili kuizuia, wakiwa ni pamoja na wasioweza kutimiza vigezo vya "matumizi kamili". Kiwango cha kufeli kwa ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hutofautiana pakubwa kulingana na mbinu iliyotumika kubaini uwezekano wa kupata mimba, njia ya mafundisho, na idadi ya wanaotafitiwa. Baadhi ya tafiti zimekuta viwango halisi vya kufeli vya 25% kwa mwaka au zaidi. [33][34][35] Angalau utafiti mmoja umepata kiwango cha kufeli cha chini ya 1% kwa mwaka kukiwa na mafundisho endelevu na mapitio ya kila mwezi, [36] na tafiti kadhaa zimegundua viwango vya kufeli halisi vya 2-3% kwa mwaka. [29][37][38][39] Inapotumika kwa usahihi, na kuandamana na mafundisho endelevu ya mara kwa mara, baadhi ya tafiti zimeonyesha kuwa mbinu fulani za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba huwa na 99% za ufanisi, [36][40][41][42] Kitabu Teknolojia ya Uzazi kinaripoti hivi: [43] Mbinu za baada ya kudondosha kijiyai (yaani kuacha ngono kuanzia wakati wa hedhi mpaka baada ya kudondoshwa) inafeli kwa 1% kwa mwaka. Mbinu ya dalili na joto la mwili inafeli kwa 2% kwa mwaka. Mbinu ya ute wa uke pekee inafeli kwa 3% kwa mwaka. Mbinu ya urari wa kalenda inafeli kwa 9% kwa mwaka. Mbinu ya Siku Wastani inafeli kwa 5% kwa mwaka. Sababu za ufanisi mdogo katika matumizi ya kawaida Sababu kadhaa zinachangia kufanya ufanisi wa matumizi ya kawaida uwe wa chini kuliko ule wa matumizi kamili: watumiaji kutotii kwa makusudi maelezo (kushiriki ngono bila kinga siku ambapo wanajua mimba inaweza kutungwa): ndiyo sababu ya kawaida zaidi [29][42] makosa ya watoa maelezo ya jinsi ya kutumia mbinu (mkufunzi kutoa taarifa isiyo sahihi au isiyo kamili) makosa ya mtumiaji (kutoelewa sheria, kutunza kumbukumbu vibaya) Kama njia ya kupata mimba Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika pia kwa lengo la kupata mimba kwa urahisi zaidi. Kupanga wakati wa kujamiiana Utafiti uliofanywa na Barrett na Marshall umeonyesha kuwa vitendo vya ngono visivyopangwa huwa na uwezekano wa 24% kutungisha mimba katika mzunguko wa hedhi. Utafiti huo pia uligundua kuwa ngono inayolenga wakati maalumu kulingana na ufahamu unaotokana na mbinu ya joto la msingi la mwili pekee huongeza viwango vya mimba hadi 31% -68%. Utafiti wa mbinu ya ute wa uke umegundua viwango vya mimba vya 67%-81% katika mzunguko wa kwanza ikiwa kujamiiana kutatokea katika Siku ya Kilele cha ishara za ute. [44][45] Kwa sababu ya viwango vya juu vya mimba kutoka mapema sana (25% za mimba hupotea katika wiki sita za kwanza tangu hedhi ya mwisho ya mwanamke), mbinu zinazotumika kuchunguza uwepo wa mimba zinaweza kusababisha upendeleo katika viwango vya utungaji mimba. Mbinu tofauti na hizo zinaweza kuonyesha viwango vya chini kwa sababu tu huwa zinakosa kugundua mimba zilizotoka mapema. Utafiti mmoja nchini China kati ya wanaoshiriki ngono bila mpangilio ili kutungisha mimba ulitumia mbinu bora za kugundua mimba, ikapata kiwango cha 40% cha kutungwa mimba kwa kila mzunguko katika kipindi cha utafiti cha miezi 12. [46] Uchunguzi wa tatizo Mizunguko ya kawaida ya hedhi wakati mwingine huchukuliwa kuwa ushahidi kwamba mwanamke anadondosha vijiyai kawaida, na mizunguko isiyo ya kawaida kuwa ushahidi kuwa udondoshaji wa kijiyai si wa kawaida. [47] Hata hivyo, wanawake wengi ambao mizunguko yao si ya kawaida hudondosha vijiyai kama kawaida, na baadhi ya wenye mizunguko ya kawaida kwa kweli hawadondoshi vijiyai au wana matatizo katika utayarishaji wa ukuta wa chupa cha uzazi. Hasa rekodi za joto la msingi la mwili, lakini pia rekodi za ute wa uke na mkao wake, zinaweza kutumika kwa usahihi kung'amua ikiwa mwanamke anadondosha kijiyai, na kama urefu wa kipindi cha baada ya kudondosha kijiyai cha mzunguko wa hedhi unatosha kwa ujauzito. Ute wa uke unaoweza kutunga mimba ni muhimu katika kujenga mazingira ambayo yanaruhusu manii kupiti mlango wa uzazi na katika viriba vya falopu ambako husubiri kudondoshwa kwa kijiyai. [48] Chati za uwezo wa kupata mimba zinaweza kusaidia kugundua ute hasimu kwa mimba kutungwa, ambao ni sababu ya kawaida ya kutopata mimba. Ikiwa hali hii itagunduliwa, baadhi wanapendekeza matumizi ya guaifenesini katika siku chache kabla ya udondoshwaji wa kijiyai ili kupunguza uzito wa ute. [49] Upimaji mimba na umri wa ujauzito Vipimo vya ujauzito si sahihi mpaka wiki 1-2 baada ya kudondoshwa kijiyai. Kujua tarehe inayokisiwa ambayo kijiyai kitadondoka kunaweza kukamzuia mwanamke asipate matokeo yasiyo sahihi kutokana na upimaji wa mapema mno. Pia, siku 18 mfululizo za joto la juu zinamaanisha mwanamke ni mjamzito karibu bila shaka. [50] Makadirio ya tarehe ya kudondosha kijiyai kutokana na chati za uwezo wa kuzaa ni njia sahihi zaidi ya kukadiria umri wa ujauzito kuliko mbinu za jadi za kupima mimba au mbinu ya kuchunguza hedhi ya mwisho katika utaratibu wa kufuatilia hedhi. [51] Kama njia ya kupanga jinsia ya mimba Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika pia kwa lengo la kupata mimba ya jinsia inayotamaniwa zaidi. [52] Maharusi wanaweza kuchagua mtoto wa kiume au wa kike kwa 85% ya hakika wakifanya tendo la ndoa kwa kupanga kulingana na ute wa uke kuwa wa kuvutika na kuteleza au siyo. Ni kwamba jinsia ya mimba inategemea tu kromosomu za mbegu za baba ambazo ni nusunusu: X kwa kuzaa watoto wa kike na Y kwa kuzaa watoto wa kiume. Mbegu zenye kromosomu X ni dhaifu kidogo nazo huogelea polepole, lakini zinaishi muda mrefu. Kumbe zenye kromosomu Y zina nguvu zaidi na kuogelea upesi, lakini hufa upesi. Ili kupata mtoto wa kiume Kwa kuzingatia tabia hizo mbili tofauti, maharusi wakitaka mtoto wa kiume wanatakiwa kufanya tendo la ndoa siku ya kwanza baada ya kilele (kujisikia kuteleza) na kuendelea kwa miandamo 6 ya hedhi. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miandamo 6, waanze kuonana siku ya kilele na siku inayofuata. Kama mwanamke amekosa siku ya kilele, yaani kama utelezi wa ute unaendelea siku inayofuata, waonane tena siku inayofuata. Kwa njia hiyo mbegu zenye kromosomu Y tu zitafikia kijiyai kilichochopoka, kwa sababu mbegu zenye kromosomu X zinaogelea polepole tu. Ili kupata mtoto wa kike Kinyume chake, wakitaka mtoto wa kike wanatakiwa kufanya tendo la ndoa siku ya kwanza ya ute wa uzazi. Halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa siku ya kwanza na ya pili ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa pia siku ya tatu ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kwa njia hiyo mbegu zenye kromosomu Y zitakufa kabla ya kuweza kuungana na kijiyai, na hivyo zitabaki zenye kromosomu X kuwa na nafasi hiyo. Siku nzuri ya kupata mtoto wa kike ni kufanya tendo la ndoa siku mbili kabla ya kilele. Tazama pia Uzazi wa mpango Uzazi wa mpango kwa njia asilia Tanbihi 1. ↑ Weschler, Toni (2002). Taking Charge of Your Fertility , Revised, New York: HarperCollins, 52. ISBN 0-06-093764-5 . 2. ↑ Medical Eligibility Criteria for Contraceptive Use:Fertility awareness-based methods . Fourth edition. World Health Organization. 2010. http://www.who.int/reproductivehealth/publications/family_planning/9789241563888/en/index.html . Retrieved 2012-12-11. 3. ↑ Saint, Bishop of Hippo Augustine; Philip Schaff (Editor) (1887). A Select Library of the Nicene and Post-Nicene Fathers of the Christian Church, Volume IV . Grand Rapids, MI: WM. B. Eerdmans Publishing Co., On the Morals of the Manichæans , Chapter 18 . 4. ↑ 4.0 4.1 Yalom, Marilyn (2001). A History of the Wife , First, New York: HarperCollins, 297–8, 307. ISBN 0-06-019338-7 . 5. ↑ A Brief History of Fertility Charting . FertilityFriend.com . Iliwekwa mnamo 2006-06-18. 6. ↑ 6.0 6.1 Singer, Katie (2004). The Garden of Fertility . New York: Avery, a member of Penguin Group (USA), 226–7. ISBN 1-58333-182-4 . 7. ↑ 7.0 7.1 7.2 Hays, Charlotte. "Solving the Puzzle of Natural Family Planning" . Holy Spirit Interactive. http://www.holyspiritinteractive.net/features/prolife/article_05.asp . Retrieved 2012-02-15. 8. ↑ [18] ^ Moral Questions Affecting Married Life: Addresses given October 29, 1951 to the Italian Catholic Union of midwives 26 Novemba 1951 to the National Congress of the Family Front and the Association of Large Families, National Catholic Welfare Conference, Washington, DC. 9. ↑ Billings, John (Machi 2002). "THE QUEST — leading to the discovery of the Billings Ovulation Method" . Bulletin of Ovulation Method Research and Reference Centre of Australia 29 (1): 18–28. http://www.woomb.org/omrrca/bulletin/vol29/no1/thequest.shtml . Retrieved 2007-03-18. 10. ↑ About us . Family of the Americas (2006). Iliwekwa mnamo 2007-03-18. 11. ↑ About the Institute . Pope Paul VI Institute (2006). Iliwekwa mnamo 2012-02-21. 12. ↑ Singer (2004), p.xxiii 13. ↑ About us . Fertility Awareness Center (2006). Iliwekwa mnamo 2007-03-18. 14. ↑ Weschler (2002) 15. ↑ About Us . Justisse (2002). Jalada kutoka ya awali juu ya 2006-11-16. Iliwekwa mnamo 2007-03-18. 16. ↑ Arévalo M, Jennings V, Sinai I (2002). "Efficacy of a new method of family planning: the Standard Days Method." (PDF). Contraception 65 (5): 333–8. doi: 10.1016/S0010-7824(02)00288-3 . PMID 12057784 . http://pdf.dec.org/pdf_docs/PNACQ416.pdf . 17. ↑ Jennings V, Sinai I (2001). "Further analysis of the theoretical effectiveness of the TwoDay method of family planning". Contraception 64 (3): 149–53. doi: 10.1016/S0010-7824(01)00251-7 . PMID 11704093 . 18. ↑ James B. Brown (2005). Physiology of Ovulation . Ovarian Activity and Fertility and the Billings Ovulation Method . Ovulation Method Research and Reference Centre of Australia. 19. ↑ Kippley (2003), uk.121-134, 376-381 20. ↑ Kippley (2003), uk.114 21. ↑ Evelyn, Dr. Billings, Ann Westinore, (1998). The Billings Method: Controlling Fertility Without Drugs or Devices . Toronto: Life Cycle Books, 47. ISBN 0-919225-17-9 . 22. ↑ 22.0 22.1 Kippley (2003), uk.108-113 23. ↑ Kippley (2003), uk.101 sidebar na Weschler (2002), uk.125 24. ↑ Kippley (2003), uk.108-109 na Weschler (2002), uk.125-126 25. ↑ Kippley (2003), uk.110-111 26. ↑ Kippley (2003), uk.112-113 27. ↑ 27.0 27.1 How to Observe and Record Your Fertility Signs . Fertility Friend Handbook . Tamtris Web Services (2004). Iliwekwa mnamo 2005-06-15. 28. ↑ Manhart, MD; Daune, M; Lind, A; Sinai, I; Golden-Tevald, J (January–February 2013). "Fertility awareness-based methods of family planning: A review of effectiveness for avoiding pregnancy using SORT." . Osteopathic Family Physician 5 (1): 2–8. doi : 10.1016/j.osfp.2012.09.002 . http://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S1877573X12001542 . 29. ↑ 29.0 29.1 29.2 Frank-Herrmann P, Heil J, Gnoth C, et al. (2007). "The effectiveness of a fertility awareness based method to avoid pregnancy in relation to a couple's sexual behaviour during the fertile time: a prospective longitudinal study". Hum. Reprod. 22 (5): 1310–9. doi: 10.1093/humrep/dem003 . PMID 17314078 . 30. ↑ Fertility Awareness Method . Brown University Health Education Website . Brown University (2012). Iliwekwa mnamo 2012-12-11. 31. ↑ Kippley, John; Sheila Kippley (1996). The Art of Natural Family Planning , 4th addition, Cincinnati, OH: The Couple to Couple League, 141. ISBN 0-926412-13-2 . 32. ↑ Hatcher, RA; Trussel J, Stewart F, et al. (2000). Contraceptive Technology , 18th, New York: Ardent Media. ISBN 0-9664902-6-6 . 33. ↑ Wade ME, McCarthy P, Braunstein GD, et al. (Oktoba 1981). "A randomized prospective study of the use-effectiveness of two methods of natural family planning". American journal of obstetrics and gynecology 141 (4): 368–376. PMID 7025639 . 34. ↑ Medina JE, Cifuentes A, Abernathy JR, et al. (Desemba 1980). "Comparative evaluation of two methods of natural family planning in Colombia". American journal of obstetrics and gynecology 138 (8): 1142–1147. PMID 7446621 . 35. ↑ Marshall J (Agosti 1976). "Cervical-mucus and basal body-temperature method of regulating births: field trial". Lancet 2 (7980): 282–283. doi : 10.1016/S0140-6736(76)90732-7 . PMID 59854 . 36. ↑ 36.0 36.1 Evaluation of the Effectiveness of a Natural Fertility Regulation Programme in China : Shao-Zhen Qian, et al. Reproduction and Contraception (English edition), in press 2000. 37. ↑ Frank-Herrmann P, Freundl G, Baur S, et al. (Desemba 1991). "Effectiveness and acceptability of the sympto-thermal method of natural family planning in Germany". American journal of obstetrics and gynecology 165 (6 Pt 2): 2052–2054. PMID 1755469 . 38. ↑ Clubb EM, Pyper CM, Knight J (1991). "A pilot study on teaching natural family planning (NFP) in general practice" . Proceedings of the Conference at Georgetown University, Washington, DC . http://www.fertilityuk.org/nfps822.html . 39. ↑ Frank-Herrmann P, Freundl G, Gnoth C, et al. (Juni-Septemba 1997). "Natural family planning with and without barrier method use in the fertile phase: efficacy in relation to sexual behavior: a German prospective long-term study". Advances in Contraception 13 (2-3): 179–189. doi: 10.1023/A:1006551921219 . PMID 9288336 . 40. ↑ Ecochard, R.; Pinguet, F.; Ecochard, I.; De Gouvello, R.; Guy, M.; Huy, F. (1998). "Analysis of natural family planning failures. In 7007 cycles of use". Fertilite Contraception Sexualite 26 (4): 291–6. PMID 9622963 . 41. ↑ Hilgers, T.W.; Stanford, J.B. (1998). "Creighton Model NaProEducation Technology for avoiding pregnancy. Use effectiveness". Journal of Reproductive Medicine 43 (6): 495–502. PMID 9653695 . 42. ↑ 42.0 42.1 Howard, M.P.; Stanford, J.B. (1999). "Pregnancy probabilities during use of the Creighton Model Fertility Care System". Archives of Family Medicine 8 (5): 391–402. doi : 10.1001/archfami.8.5.391 . PMID 10500511 . 43. ↑ James Trussell et al. (2000) "Contraceptive effectiveness rates", Contraceptive Technology - 18 Edition, New York: Ardent Media. On-press. 44. ↑ Ryder R (1993). ""Natural family planning": effective birth control supported by the Catholic Church". BMJ 307 (6906): 723–6. doi : 10.1136/bmj.307.6906.723 . PMC 1678728 . PMID 8401097 . 45. ↑ Hilgers T, Daly K, Prebil A, Hilgers S (Oktoba 1992). "Cumulative pregnancy rates in patients with apparently normal fertility and fertility-focused intercourse". J Reprod Med 37 (10): 864–6. PMID 1479570 . 46. ↑ Wang X, Chen C, Wang L, Chen D, Guang W, French J (2003). "Conception, early pregnancy loss, and time to clinical pregnancy: a population-based prospective study". Fertil Steril 79 (3): 577–84. doi: 10.1016/S0015-0282(02)04694-0 . PMID 12620443 . 47. ↑ "Infertility fact sheet" . womenshealth.gov, U.S. Department of Health and Human Services, Office on Women's Health. http://www.womenshealth.gov/publications/our-publications/fact-sheet/infertility.cfm#f . Retrieved 2012-12-11.. "Some signs that a woman is not ovulating normally include irregular or absent menstrual periods." "Female Infertility" . Adult Health Advisor . 2012. http://www.ihacares.com/index.cfm/HealthAdvisors/AdultHealthAdvisor/crs-aha-aha_obg_female.infertility/ .. "A woman who is not ovulating normally may have irregular or missed menstrual periods." "Is Clomid Right For You?" . JustMommies.com . 2007. http://www.justmommies.com/articles/clomid-and-ovulation.shtml .. "If you have an irregular cycle there is a good chance you are not ovulating normally." 48. ↑ Ellington, Joanna (2004). Sperm Transport to the Fallopian Tubes . Frequently Asked Questions with Dr. E . INGfertility Inc. Iliwekwa mnamo 2008-04-27. 49. ↑ Weschler (2002), uk. 173. 50. ↑ Weschler (2002), uk.316 51. ↑ Weschler (2002), uk.3-4 ,155-156, Insert p.7 52. ↑ Ursula Birgitta Schnell OSB (2011). Uimarishaji wa Familia - Mpango wa uzazi kwa njia ya asili Billings Ovulation Method , 15th, Ndanda, Tanzania: Benedictine Publication Ndanda-Peramiho. ISBN 9976-63-132-4 . Marejeo Kwa Kiswahili Ursula Birgitta Schnell OSB (2011). Uimarishaji wa Familia - Mpango wa uzazi kwa njia ya asili Billings Ovulation Method , 15th, Ndanda, Tanzania: Benedictine Publication Ndanda-Peramiho. ISBN 9976-63-132-4 . Kwa Kiingereza Toni Weschler (2006). Taking Charge of Your Fertility , 10th Anniversary, New York: Collins. ISBN 0-06-088190-9 . John F. Kippley and Sheila K. Kippley (1996). The Art of Natural Family Planning , Fourth, Cincinnati, OH: Couple to Couple League International. ISBN 0-926412-13-2 . Léonie McSweeney (2006). Love & Life, Billings Method of Natural Family Planning , Ninth, Ibadan, Nigeria: African Universities Press. ISBN 978-148-092-0 . Nakala inapatikana chini ya Creative Commons Attribution/Share-Alike License ; masuala ya ziada yanaweza kukubalika. Tazama Masharti ya Utumiaji kwa maelezo zaidi. Wikipedia ni nembo iliosajiliwa na Wikimedia Foundation, Inc. , asasi isiyokuwa ya kifaida. Faragha • Dawati Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba
...

JINSI YA KUPATA MIMBA YA MTOTO WA KIUME Kupata mtoto wa kiume ni jambo muhimu sana kwa baadhi ya wazazi. Ndio maana kwa njia yoyote ile wengi hufanya juu chini kufanikisha jambo hili, wengine hudiriki kwenda kwa waganga wa kienyeji na wenye imani zao kusali sana. Lakini kitaalamu hii inaitwa uchaguzi wa jinsia *gender selection. Na inaweza kufanyika kwa mtoto wa kike au wa kiume, Ingawa kupata mimba ya mtoto wa kiume mara nyingi ni tofauti kidogo. Jambo hili sio jipya sana katika jamii zetu lilifanywa toka enzi za mababu zetu. Zamani jambo hili liliangaliwa sana na wanawake kwa sababu haikueleweka kwamba mwanaume anahusika zaidi katika jambo hili. Lakini sasa kulingana na kukua kwa teknolojia na busara wanaume wanahusika zaidi, licha ya kua imani kama madawa ya kienyeji na mila bado zinaendelea. Lengo la kuchagua jinsia ya kijacho limekua likikua siku hadi siku, baadhi ya watafiti wameonyesha asilimia 90 ya wazazi wamesema wangependa kuchagua jinsia kama ingekua rahisi. Matakwa ya mtoto wa kike au wa kiume yamekua yakitofautiana kulingana na maeneo. Jinsi ya kuchagua mtoto wa kiume Kila mzazi huchangia nusu ya virutubishi vinavyounda mtoto. Kibaiolojia mama anamayai aina XX, kwa hiyo kama atachangia yai moja ili kupata mtoto, anao uwezo wa kuchangia yai X tu. Baba ana mayai XY na kama atachangia kuunda mtoto, anaweza kuchangia yai X au yai Y. Hii inamaanisha shahawa/ mayai ambayo wazazi watachangia ndio huamua jinsia gaani mtoto atatokea. Mama akitoa X na baba X = XX (mtoto wa kike) Mama akitoa X na baba Y = XY (mtoto wa kiume) Kama mama anaouwezo wa kuchangia yai X tu ina maana swala ni baba atoe yai Y iwe XY ili kupata mtoto wa kiume. Kama ni hivyo usije ukadhani swala hilo ni juu ya baba peke yake, inahitaji ushirikiano kufanikisha jambo hilo, kama nitakavyo ainisha hapa chini; Zaidi ya shahawa milioni mia mbili huingia ukeni mwanaume akikojoa/ piga bao mara moja, ikiwa ni mchanganyiko wa mayai X na Y. Lakini mara nyingi kati ya shahawa hizo milioni mia mbili, ni moja tu hupenya mpaka kwenye mfuko wa uzazi ili kukutana na yai la mama na kuunda mimba, nyingine ni uchafu na hutoka mwanamke akisafisha uke. Kabla haujajua chakufanya ili kufanikisha zoezi la kupata mtoto wa kiume zijue sifa za shahawa, X na Y ambazo baba anaweza kuzalisha. Shahawa X ina spidi ndogo ukilinganisha na Y lakini inauwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kusubir yai la mama kama lilikua halijafika kwenye mfuko wa uzazi bado . Shahawa Y ina speed kali zaidi kushinda X kuelekea kwenye mfuko wa uzazi llakini haina uwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kama yai la mama litachelewa kufika kwenye mfuko wa uzazi. Hivyo basi, ili kupata mtoto wa kiume inabidi ujifunze utaalamu wa kuvizia au kupanga jinsi gani ufanye ili wakati yai la mama linapofika kwenye mfuko wa uzazi likutane na shahawa Y ya baba kabla haijafa…….. Nini kifanyike; Lenga kujamiiana masaa 24 kabla, mpaka 12 baada ya yai la mama kufika kwenye mfuko wa uzazi. Hii inamaanisha wakati yai la mama linafika katika mfuko wa mama inatakiwa kuwe na shahawa Y kwa wingi au kusiwe na shahawa kabisa lakini mara tu baada ya kufika kwa yai, mama anatakiwa kujamiiana ili kupanda shahawa nyingi ambazo ni Y kama nilivyokwambia shahawa Y zina spidi sana hivyo ni rahisi kuwahi na kulikuta yai pale. Jinsi ya kufanikisha hilo; · Kwanza mwanamke aujue vizuri mzunguko wake wa mwezi, anaweza kwenda vituo vya afya kuelekezwa vizuri jinsi ya kuuelewa mzunguuko wake wa mwezi(hedhi) · Baada ya kuuelewa vizuri mzunguko huo, yuko tayar kwa uwindaji wa jambo hili. Baada ya kutoka hedhi siku kama tatu hadi tano yai jingine huwa limefika kwenye mfuko wa uzazi kusubiri kurutubishwa. Ina maana baada ya kutoka hedhi subiri kwa siku 4 hadi tano kabla ya kujamiiana. · Mwanaume hatakiwi kua amepiga bao kwa njia yoyote siku 4-5 kabla ya kujamiiana siku mliyopanga. · Huwa kuna mabadiliko ya joto la mwanamke kujua kama yai limeshafika kwenye mfuko wa uzazi, ni vyema kama umeuelewa vizur mfumo wako wa uzazi wa mwezi uweze kujipima na kujua wakati yai la mwanamke limefika kwenye mfuko. Ukiweza jambo hilo ni vyema zaidi basi na mjitahidi kujamiiana masaa kumi na mbili baada ya yai kufika kwenye mfuko. · Kaeni mikao ya kuhakikisha uume umeingia ndani sana ili kupunguza umbali wa shahawa kusafiri. · Ni muhimu mwanamke aandaliwe vizuri ili akojoe/afike kileleni kwa sababu shahawa za mwanamke husaidia kusafirisha mayai ya mwanaume. Mlo. Tunaamini pia mlo unaopata husaidia sana kukufanya upate mtoto wa kike au wa kiume, ili kupata mtoto wa kiume vyakula vifuatavyo husaidiia: · Nyama, hasa nyama nyekundu. · Vyakula vya chips chips zenye chumvi · Mayai, maharagwe,mikate na mazao ya mahindi · Caffeine; umhimize mwenza wako kunywa vinywaji vyenye caffeine kama koka na pepsi kabla ya kujamiiana kwa sababu vinasaidia kuchangamsha shahawa Y · Kunywa dawa ya kikohozi kabla ya kujamiiana kwa sababu dawa hizo huwa na guaifenesin inayosaidia nguvu za usafirishwaji wa shahawa Y. soma juu ya dawa kuhakikiasha ina guaifenesin kabla ya kunywa. Mambo mengine yanayoweza kusaidia; · Mwanaume afike kileleni/akojoe kwanza. · Mwanaume awe juu au akae · Mjamiiane huku mmesimama · Mjamiiane usiku. · Epuka kujamiiana wakati mwezi unatoka au wakati wa mwezi mzima, fanya mwezi ukiwa robo zaidi.
...

Ni kwamba, kuna njia kadhaa za kitaalamu zinazoweza kutumiwa na wazazi ili kujipatia watoto wanaoweza kujiamulia kuwa wawe wa kiume au wa kike. Uchunguzi wa Nipashe uliohusisha mahojiano na madaktari kadhaa wakiwamo mabingwa wa masuala ya uzazi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, umebaini kuwa sasa wazazi wanaweza kufanikisha ndoto ya kupata watoto wa kiume au wa kike kadri watakavyo kwa njia rahisi inayotoa matokeo chanya kwa asilimia 80 au nyingine ya kitaalamu zaidi inayopatikana pia nchini na ambayo matokeo yake huwa na uhakika wa takribani asilimia 100. Kupitia mahojiano hayo na wataalamu, Nipashe imebaini kuwa karibu wote humtanguliza Mwenyezi Mungu katika kufanikisha jambo hilo. Akizungumza na Nipashe katika mahojiano maalum yaliyofanyika Alhamisi, Daktari Bingwa wa Wanawake katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Living Colman, alisema jambo hilo linawezekana lakini kuna mambo muhimu ya kuzingatia kabla wazazi kupata mtoto wa jinsia waitakayo. Alisema wahusika ni lazima wawe na afya njema na pia mbegu kutoka kwa mwanaume lazima ziwe na ubora unaotakiwa katika kufanikisha utungaji wa mimba. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Tanzania ina watu milioni 45, huku wanawake wakiwa milioni 23, sawa na asilimia 51. NJIA KUPATA MTOTO WA KIUME, KIKE Wakizungumza na Nipashe, baadhi ya madaktari waliitaja njia ya upandikizaji wa mbegu kuwa ndiyo kubwa na ya uhakika zaidi kufanikisha utungaji wa mimba ya mtoto wa jinsia waitakayo wazazi. Hata hivyo, Dk. Colman aliiambia gazeti hili kuwa mbali na njia hiyo inayohusisha matumizi ya maabara, ipo njia nyingine rahisi inayotokana na ufuatiliaji makini wa kalenda ya mzunguko wa hedhi wa mama. “Hii ni rahisi zaidi na haihusishi upandikizaji wa mbegu kwenye maabara… hata hivyo, njia hii inahitaji wahusika kuwa makini zaidi katika kufuatilia mzunguko wa hedhi wa mama kwa sababu kinyume chake matokeo huwa hafifu,” alisema Dk. Colman. Akieleza zaidi, Dk. Colman alisema wengi hujaribu kufuata njia hiyo ya kalenda na kupata matokeo hasi kwa sababu ya kutozingatia maelekezo, lakini ukweli ni kwamba yenyewe hutoa matokeo ya uhakika kwa asilimia 80. “Kati ya watu 10 wanaokuja kwangu na kuomba ushauri wa namna ya kupata watoto wa jinsi waitakayo, nane wamefanikiwa… kwa hiyo hii inawezekana kabisa,” alisema Dk. Colman. UFAFANUZI NJIA YA KALENDA Wakati baadhi ya madaktari wakitilia shaka njia ya kalenda, Dk. Colman anasisitiza kuwa huleta mafanikio chanya kwa kiasi kikubwa na kwamba, lililo muhimu ni kwa wazazi kuwa na utimamu wa kiafya na kubwa zaidi ni kuzingatia muda sahihi wa kushiriki tendo la ndoa kwa nia ya kupata mtoto. Akifafanua, Dk. Colman alisema daima, mwanamke huzalisha mbegu aina moja zinazotambulika kama ‘XX’ na hizo huendeleza ukike. Kwa wanaume, mbegu zinazozalishwa huwa ni za aina mbili ambazo ni ‘X’ (kike) na ‘Y’ (kiume). Alisema kuwa mbegu yoyote ya mwanamke (X) ikichavushwa na mbegu ‘X’ ya mwanaume hutengeneza muunganiko wa ‘XX’ ambao mwishowe huwa ni kutungwa kwa mimba ya mtoto wa kike. Hata hivyo, inapotokea mbegu ya mwanamke ikakutana na mbegu ‘Y’ hutokea muunganiko wa ‘XY’ ambao mwishowe huwa ni mimba ya mtoto wa kiume. Akieleza zaidi, Dk. Colman alisema kuwa sifa ya mbegu ‘X’ huwa ni uimara wake kulinganisha na mbegu ‘Y’, lakini pia huwa na mwendokasi mdogo kulinganisha na mbegu ‘Y’ ambazo zenyewe huwa hazidumu muda mrefu kabla ya kuharibika kwa vile siyo imara kulinganisha na ‘X’, na zina mwendokasi mkubwa zaidi. “Mbegu X ipo imara lakini inapotoka huenda taratibu wakati mbegu Y ni dhaifu, lakini mwendo wake huwa ni wa kasi zaidi,” alisema. Kwa sababu hiyo, Dk. Colman alisema wazazi wanapaswa kuzingatia kalenda ya mzunguko wa hedhi ili kufanikisha mimba ya mtoto wa kiume au wa kike kulinga na na vile watakavyo. “Ni lazima ujue mzunguko wa mwanamke husika ni wa aina gani… kwa maana kuna mizunguko ya wastani wa siku 28 ambayo hii yai lake hutoka siku ya 14, kuna mzunguko mfupi wa siku 21 na yai hutoka siku ya 10 na pia wale wa mzunguko mrefu wa siku 36 ambao yai hutoka katika siku ya 18,” alisema. "Kwa kawaida, yai hutoka katikati ya mzunguko wa mwanamke kulingana na mzunguko wake. Hivyo, mbali ya kujua hilo la mzunguko, ni lazima wazazi watambue tabia za mbegu X inayosafiri taratibu na Y inayosafiri haraka… hilo ni muhimu kwa sababu ndilo husaidia katika kufanikisha ndoto ya kuchagua jinsia ya mtoto," alisema. Aliongeza kuwa wahusika wakishiriki tendo la ndoa siku mbili au tatu karibu na yai la mama kutoka, maana yake kutakuwa na uwezekano mkubwa wa kutungwa kwa mimba ya mtoto wa kiume kwa vile kutokana na tabia ya mbegu Y ya kusafiri kwa kasi, maana yake ndiyo itakayotangulia na hivyo kukutwa na mbegu ya mama wakati nyingine ya X ikiwa imeachwa kwa vile kasi yake ni ndogo. Alisema kwa sababu hiyo, wazazi wanaoota kupata mtoto wa wa kiume watalazimika kushiriki tendo la ndoa wakati zikiwa zimebaki siku mbili au tatu kabla ya yai la mama kutoka. Aidha, Dk. Colman alisema ikiwa wazazi watakuwa na ndoto ya kupata mtoto wa kike, watalazimika kushiriki tendo la ndoa siku nyingi, kati ya 9, 10 au 11 kabla ya siku inayotarajiwa kuwapo kwa yai la mama katika mzunguko wake. Alisema hilo ni muhimu kuzingatiwa kwa sababu kutokana na tabia ya mbegu X (kike), maana yake mwendo wake utakuwa wa taratibu na itadumu kwa siku hizo nyingi kabla ya kukutwa na kukutana na mbegu itokayo kwa mama huku mbegu Y ikiwa tayari imeshaharibika kutokana na kutangulia kwake mbele haraka na kukosa uimara wa kusubiria siku zote hizo. “Mkishiriki tendo la ndoa mapema kidogo, kama siku mbili au moja hivi karibu na yai kutoka, mtapata mtoto wa kiume. Lakini ikiwa ni siku nyingi kabla ya hapo kuna uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kike,” alisema Dk. Colman kabla ya kutahadharisha kwa kuongeza: “Ila hizi zote siyo kanuni za kudumu maana mwili wa binadamu hubadilika… lazima hili lifanyike kwa kuzingatia mzunguko wa mwanamke na hiyo ni kwa mujibu wa matokeo ya tafiti.” Aidha, Dk. Colman alisisitiza kuwa msingi wa mafanikio ya mpango huo wa kuchagua jinsia ya mtoto kwa kuratibu mzunguko wa hedhi ya mama ni kujua kwa usahihi siku za mzunguko huo. “Kikubwa ni mwanaume na mwanamke kujua yai linatoka lini ili mbegu X au Y zikutane na yai la mwanamke na kufanikisha utungwaji wa mimba ,” alisema Dk. Colman. Aliongeza kuwa, endapo kuna wazazi wanapenda kuwa na watoto wa jinsia tofauti, ni vyema wakazingatia njia hiyo isiyogharimu chochote ya kuzingatia vyema mzunguko wa hedhi wa mwanamke kama ni wa kawaida, mrefu au mfupi. Alisema eneo hilo ndilo huwashinda wengi na kupata matokeo tofauti na yale wanayoyatarajia. “Hapa wengi huchanganya sana. Unakuta mwanamke mzunguko wake ni wa siku 28 na hivyo yai hutoka siku ya 14, lakini wawili hao wanatumia kanuni nyingine ya mzunguko mfupi wa siku 21 ambayo yai hutoka siku ya 10. Ni lazima pia kuzingatia muda wa kushiriki tendo la ndoa kulingana na tabia nilizozitaja za X na Y,” alisema Dk. Colman. “Hadi sasa, katika watu 10 walionifuata na kuniomba ushauri wa kupata watoto wa jinsia waitakayo, nane wamefanikiwa (asilimia 80). Kwa hiyo utaona kwamba jambo hilo linawezekana, ila muhimu ni kuzingatia masuala hayo ya mzunguko wa mama na siku ya kushiriki tendo la ndoa,” alisema. NJIA YA UPANDIKIZAJI Mbali na njia ya kuzingatia mzunguko wa mama kabla ya kushiriki tendo la ndoa ambayo haileti mafanikio kwa asilimia 100, Dk. Colman aliitaja njia nyingine inayotoa fursa kwa wazazi kuchagua jinsia ya mtoto kuwa ni ile ya upandikizaji mbegu kwa mama kuwa ndiyo ya uhakika zaidi katika kuchagua jinsia ya mtoto. Hata hivyo, Dk. Colman alisema teknolojia hiyo ya upandikizaji ni ghali na kwa hapa Tanzania bado ni ngeni na haipo katika hospitali za Serikali. “Upandikizaji mbegu unaanzia kwa kutolewa mbegu mwanaume na baadaye kupelekwa maabara. Huko hupimwa magonjwa yote ili kujua ubora wake. Pia ni huko maabara ndipo wazazi wanapoweza kujua jinsia ya mtoto wao kwa asilimia 100. Na hii ndiyo njia sahihi na ya uhakika zaidi,” alisema Dk. Colman. Aliongeza kuwa katika siku zijazo, anaamini kuna wakati hospitali yao (Muhimbili) itatimiza lengo la kuanzisha Kitengo Maalum cha Matatizo ya Ujauzito na Uzazi ambako humo, watakuwa na fursa ya kuwasaidia watu wanaohitaji huduma ya upandikizaji wa mbegu kwa ajili ya kupata watoto. KLINIKI YA UPANDIKIZAJI DAR Katika uchunguzi wake, mwandishi wa Nipashe alipata bahati ya kutembelea kituo cha tiba kilichoanzishwa miaka ya hivi karibuni katika maeneo ya Mikocheni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushughulikia matatizo ya uzazi huku pia kikiwa na teknolojia ya kupandikiza mbegu kiitwacho Dar IVF and Fertilizing Clinic. Mkurugenzi wa Tiba wa kituo hicho, Dk. Tamale Sali, alizungumzia pia uwezekano wa wazazi kupata watoto wa jinsia watakayo kwa kutumia teknolojia ya upandikizaji na kuleta matokeo sahihi ya asilimia 100. “Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa hii njia ya kuchagua jinsia ya mtoto kwa mzunguko wa hedhi hutoa matokeo ya asilimia 50 kwa 50. Siyo ya uhakika sana kwa sababu wazazi wanaweza wanaweza kufanikiwa au wasifanikiwe. Lakini ya upandikizaji maabara ina uhakika zaidi katika kupata mtoto wa jinsia wanayoitaka wazazi,” alisema Dk. Sali. Akieleza zaidi, Dk. Sali alisema kinachoweza kufanyika kwa wale wanaotaka kuwa na watoto wa kiume au wa kike kadri watakavyo ni kuchukuliwa kwa mbegu za mwanaume, kupelekwa maabara na huko ndiko uamuzi kuhusu jinsia ya mtoto unaweza kutolewa na wahusika. Aidha, Dk. Sali aliongeza kuwa mbali na uamuzi kuhusu jinsia ya mtoto, wazazi hupata fursa pia ya kupata mtoto asiyesumbuliwa na maradhi kama ya kisukari na moyo. “Mbali ya kupimwa jinsia ya mtoto, mbegu ya baba hupimwa pia magonjwa mengine kama ya moyo na kisukari… kama itabainika kuwa mbegu ina tatizo, inaachwa na kuchukuliwa mbegu nyingine,” alisema. Dk. Sali alisema kuwa hadi sasa, tangu waanze kutoa huduma zao nchini, tayari wameshasaidia wazazi tofauti 15 kupata watoto wa jinsia waitakayo kwa njia ya upandikizaji huku wastani wa watoto wanaozaliwa nchini Uganda kwa mwaka kupitia njia hiyo katika kliniki yao iliyopo nchini humo ni 30. Alisema wanaopaswa kutumia njia ya upandikizaji katika kupata watoto ni wanawake ambao mirija yao ya uzazi imeziba, wale walio na utasa na baadhi ya wagojwa wenye uvimbe kwenye ‘ovari’, vivimbe vya vimeleo kuzunguka mfuko wa uzazi, wanawake waliomaliza hedhi na bado wanahitaji mchango wa mayai, waliotolewa mfuko wa uzazi lakini ovari zao zimebaki na sababu nyingine za kijamii ikiwamo mume kusafiri kwenda masomoni au vitani. Alisema kwa kawaida, wao hutoa matibabu kwa njia ya upandikizaji pale tu inapowalazimu wanandoa kufanya hivyo ikiwa ni njia ya mwisho baada ya njia nyingine zote za kupata mtoto kugonga mwamba. MSIMAMO WA SERIKALI KUHUSU JINSIA ZA WATOTO Baadhi ya watu hutamani kuwa na mchanganyiko wa jinsia katika orodha ya watoto wao na hivyo huwa tayari kufuata njia mbalimbali ili kuwapata watoto wa jinsia waitakayo ili kukidhi matakwa yao. Hata hivyo, Nipashe imebaini kuwa baadhi ya njia haziruhusiwi nchini ikiwamo ile ya kukatisha uhai wa mimba ya mtoto wa jinsia wasiyoitaka wazazi wakati wa kutungwa kwake. Mkurugenzi wa Uhakiki wa Ubora wa Huduma katika Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Mohamed Mohamed, alisema ni kosa kisheria kwa mama kutoa mimba baada ya kujua jinsia ya mtoto anayetarajia kumzaa. Kuhusu upandikizaji alisema sheria inatambua wale wenye matatizo ya uzazi, wenye umri mkubwa na ukomo wa hedhi kuwa hawakatazwi kupandikiza lakini siyo wanandoa wenye afya njema na uwezo wa kupata watoto kwa njia ya kawaida.
...

USIPOJIPANGA UTAPANGWA Bila shaka upo uhusiano mkubwa kati ya pesa na muda.. -Ndio maana nauli ya ndege ni kubwa kuliko ya basi, why..? Because ndege hutumia mda mchache (mf. Ukitoma dar kwenda moshi ni dk45 tu kwa ndege bt kwa gari ni takriban masaa 7-8) *Linapokuja suala la MUDA NA PESA, duniani kuna makundi manne ya watu...! 1. wapo wenye muda wa kutosha bt hawana pesa mf watu wasio na kazi maalum au wa kijiweni(ukimwambia akusindikize mahali yuko tayari muda wowote) 2. wapo wenye pesa lakini hawana muda. Unaweza kumualika ktk harusi akaacha kuja lakini akakuchangia hela ya maana tu.. hili ni kundi la madirector na mameneja wa vitengo muhimu ktk makampuni (ndio hawa JPM amewataka walipwe sio zaidi ya 15mil kwa sasa) 3. wapo wasio na PESA wala MUDA.. takwimu zinaonyesha kuwa hawa ni 95% ya watu wote ulimwenguni. Hili ni kundi la wafanyakazi na vibarua ( unaweza ukamualika ktk shughuli yako na akakosa nafasi lakini pia hana hela ya kukuchangia) Yaani mtu yuko busy 24/7 bt ukimwomba hata elfu 50,000/= hana..Why..? Mtu huyo unakuta ana mshahara mdogo halafu ana mikopo mingi mf kakopa nyumba, gari, mtaji wa biashara ambapo kutokana na kukosa usimamizi makini napo hakuna pesa, hivyo neno MAREJESHO ndio msamiati mkuu kwao. 4 wapo watu wana PESA na MUDA wakutosha.. Ndio matajiri au watu waliofanikiwa sana. Why..? Hawa wameandaa mfumo ambao hata wasipokuwepo pesa inaingia (mf Mengi au Bakhresa akienda likizo hata miezi mitatu bado akirudi biashara znaendelea vizuri) Hapa unakuta yeye ndio CEO na pengine asbh yuko anawaandaa na anawapeleka wanae shule huku mm na ww ndio tunakomaa na mafoleni tukielekea kufanya kazi za kujenga ndoto za hao watu kwa masaa mengi na tunalipwa kidogo.. -Wapo watu wanasema, usipoitengeneza FUTURE yako mtu mwingine atakutengenezea kadiri atakavyoona inakufaa AU usipojenga ndoto zako kuna mtu atakuchukua(kukuajiri) ukajenge ndoto zake...! JE WEWE UPO KUNDI GANI? WASWAHILI HUSEMA, USIPOJIPANGA UTAPANGWA.. C&P
...

Je , unamtamani msichana mrembo ambae kwa sasa ni kama marafiki ? au unavutiwa na yule demu unayemuona kila siku mtaani na unashidwa kujizuia sema hujui uanzaje ? Haijalishi kama unamjua au hamjuani , ila inapokuja kwenye kumtongoza mwanamke unachotakiwa kujua ni uelewa wa vitu kadhaa kuhusu jinsi kutamani kunavyokua na jinsi ya kufanyia kazi ili ufanikiwe . Kumtongoza demu na vitu unavyotakiwa kujua kwanza kabisa kama unataka kumtongoza msichana au kumfanya tu akupende tu , inabidi uwe mtu poa ambae anaweza kuvuta macho ya wasichana. Kama hautaweza kua mtu anayeweza kumvutia msichana kirahisi , utakua bado unauwezo wa kumtongoza mwanamke unayempenda lakini itakua ngumu kuwezesha yeye akukubali . Kiufupi fatisha njia hizi 11 rahisi na kiukweli kabisa utakua vizuri katika kutongoza na hata kwa mambo mengine yatakayofuata baada ya hapo. Tumia njia hizi moja baada ya nyingine na ijapokua utacheza karata zako vizuri basi lazima umpate mrembo yoyote unayemtaka hata kama kuna watu wengine kibao wanamfukuzia . 1 . Kua karibu nae Siku zote , kama unataka kumtokea msichana njia muhimu kabisa ni kuweza kumjua kwa undani .Usikurupuke kurupuke tu ukaanza kutongoza , msichana ataogopa au atakuona mtu rahisi kua nae na mwisho wa siku utaishia kumboa tu . Ongea nae na upate kumjua vizuri . Mtumie message na usiwe na mzuka , mfanye awe kama rafiki kwanza . Usimtokee kwanza sema pia usisubiri sana maana ataanza kukuchukulia poa . 2 . Kua mtu unayependeka Hii ni hatua muhimu sana . Na huu ndio wakati utagundua kama anahisia na wewe kweli au anakuchezea akili . Pia unapoongea nae mara kwa mara jaribu kugundua vitu anavyovipenda. Jaribu kuweka ukaribu nae kwenye kitu ambacho wote mnakipenda. 3 . Usilale Usiku Ndio maana mitandao mingi ya simu ikawapa ofa za usiku watu kama nyie muongee usiku kucha . Usiku ndio muda sahihi wa kuweza kutoa ya moyoni na kueleza hisia zako kwa msichana . Anza kwa kuweka maongezi ya kawaida na kadiri unavyoendelea weka vionjo fulani vitakavyomfanya aanze kuingia line bila kugundua kama unamtokea. 4 . Ishi Maisha mawili Unapoongea nae usiku , mwaga sera zako na funguka kuhusu mambo ya mapenzi sema mkikutana ana kwa ana mchana usiongelee mambo ya mapenzi kabisa labda aanze yeye na hivyo kumaanisha ashaingia line na anapenda maongezi hayo . Pia epuka kuongelea kuhusu mambo yenu ya kimapenzi mnapokua na marafiki wengine bali fanyeni hivyo mkiwa wawili . Kwa kufanya hivyo unamfanya aamini kuna uhusiano motomoto wa siri unapikika kati yenu. 5 . Usimfanye ajue unampenda Wanaume wengi ufanyaga kosa hili kubwa . Wanawaambia wanawake wanawapenda au wanahisia za kimapenzi kwao . Ni kweli unampenda , anajua hivyo tayari . Au hajui ? Unampigia simu kila saa , mnataniani kimapenzi na anaona uhusiano wenu kabisa . Kwahiyo japokua anahisi unampenda , usije kuonyesha hivyo kwani anahitaji kusikia kutoka kwako ili ajihakikishia hisia zake . Chukulia poa na usifunguke kuhusu hisia zako kwake , kitendawili alichonacho ndicho kitamfanya azidi kukunata na kutaka kujua mwisho wa mambo
...

*MUHIMU*``` ➡Kuna siku marafiki tutatengana💔 hatutaonana tena wala kuwasiliana.💌 ➡Wengine umri utakuwa umeenda🕢 sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.😢😰 ➡Tutakumbuka🙇 tulivyokuwa tunachat💌 tutakumbuka tulivyokuwa tunapendana ❤na kushirikiana👯 tutakumbuka tulivyokuwa vijana wenye nguvu💪 tukikimbizana💃 huku na kule lkn hatutaweza kuwa pmj tena.💔 ➡Labda bado tutakuwa na picha 👤za marafik zetu tutaziangalia na kukumbuka mengi.🙇💬 ➡Watoto na wajukuu zetu watatuuliza "Ni kina nani hawa👉👭?" ➡Kwa maskitiko tutawaambia "Ni wapendwa wetu tulioshirikiana na kupendana nao" ❤❤❤💋 ➡Huzuni zitatufunika maana hakutakuwa na njia ya kuonana tena zaidi ya kukumbuka enzi zetu!💏 ➡Huu ni wakati wa kufurahi na marafiki 👫 💃🏃 💑 👭 na kutendeana mema ili tusije kujuta baadae.🙇 ➡Huu ni wakati wa kupendana na kila aliye karibu na wewe.❤❤ ➡Onyesha upendo ❤ na moyo❤ wa furaha kwa kila unaechat nae kwa sasa.💞💋 ➡Tunza kumbukumbu za yale mazuri unayotendewa na marafiki zako🙆 ➡Tunza picha zake kwa bidii👥👤 ➡Kama unakubaliana na mimi wakumbushe marafiki zako wote kuwa upendo ❤ni kitu cha thamani sana!!❤❤❤❤ ➡ _Mkumbushe_ _kila_ _unayechati naye kuwa hataendelea kuchat na wewe milele hivyo autumie huu wakati_ 🌄 _vizuri_. 💋 ➡```Kama na mimi ni mmojawapo nikumbushe kukuthamini na kukutendea mema``` 💗💋🌸❤💐💕💞💓🌹🌷💐🌺
...

❤❤❤❤❤❤❤ JE WEWE NI MIONGONI MWA WALE WANAWAKE AMBAO WAMEBEBA DHAMANA YA NDOA KULINDA MAHARI ULIYOLIPIWA? Ni kweli unalinda ndoa iliyojaa machungu na mateso mengi kisa ukitunza heshima ya mzazi wako ambaye alipokea mahari ya Mumeo na ukiitazama mahari hiyo huioni machoni pako nawe unakosa namna ya kujiokoa katika kifungo cha mahari? Mwanamke wewe sio kama mnyama ambaye ananunuliwa kwa manufaa fulani, Mahari ni HESHIMA kulinda tamaduni zetu katika kuileta maana ya NDOA... Ndoa yoyote ikibebwa kwa mahari ama mashuhuda wa ndoa mara nyingi hutawaliwa na UVUMILIVU wala sio UPENDO TENA! Thamani yako mwanamke hailinganishwi na MBEGE wala NG'OMBE ila thamani yako mwanamke ni moja tu WEWE NI PUMZIKO LA MUMEO na katika hilo hakuna mbadala wake na likitokea Basi ujue HAKUNA HAKIKA YA FURAHA ila Kuna uvumilivu kiasi mtu hukosa namna na kujikuta akikosa tumaini ila sio kwa kulitaja PENDO ila tuseme TAMAA... Usikubari woga ukakutawala hata ukashindwa kujitetea mbele za nafsi yako pamoja na hisia zako, Yaani usiruhusu kuolewa na mtu ambaye MOYONI MWAKE ANALINDWA NA MAHARI ALIYOKULIPIA! Kataa kuolewa na mtu ambaye siraha yake ni mahari, Yaani ubora wako pamoja na heshima yako kuumbwa mwanamke eti uolewe na Mwanaume ambaye AKILINI MWAKE ANAJIVUNIA KUKULIPIA MAHARI... Kumbuka MAHARI ni vitu na kwa vyovyote vile juhudi yaweza kuvileta hivyo lakini FURAHA HAITENGENEZWI KWA MAHARI bali mtu huitengeneza FURAHA YAKE ikiwa atampata mtu aijuaye thamani yake. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Dr Luv🤓🤓🤓
...

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA SULUHISHO LAKE Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa na vijana wa kuanzia miaka 18 na kuendelea tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Katika kipengele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa, ni sherehe inayopatikana katika tendo la ndoa. ili furaha hiyo ipatikane ni lazima tendo hilo liwe limefanyika katika hali ya afya kwa wanandoa wote wawili. Nguvu za kiume ni neno linalotumika mara nyingi sana kumaanisha ‘Uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa’. Na inapokuwa tofauti na hivi, tunaita ni ‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’. Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana toka mtu mmoja hadi mwingine. Inaweza kuwa ni hali ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume, au hali ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda mzuri wa kutosha. Pamoja na hayo yote, elimu mhimu ambayo mwanaume anatakiwa kuwa nayo, ni kuwa nguvu za kiume hazipatikani kwa kutumia madawa ya kemikali bali zinatokana na vyakula tunavyokula kila siku. vyanzo vya Wanaume kuishiwa nguvu za kiume: kupungua nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni kushindwa kwa uume kudumu kusimama kisawasawa kwa ajili ya tendo la ndoa. Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume huongezeka sababu ya umri. Tafiti (research) mbalimbali zinasema wanaume wa umri kuanzia miaka 50 na kuendelea ndiyo wanapatwa na tatizo hili zaidi kuliko wanaume wenye umri wa miaka 40 Kushuka chini. Wanaume wenye elimu ndogo juu ya utendaji kazi wa mwili na afya ndio wanaokabiliwa sana na tatizo hili. Hii ni kutokana na kwamba wengi wao wanakuwa hawaelewi aina ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume na za mwili, namna wanavyotakiwa kuishi ili kupunguza tatizo hilo, wanakunywa pombe na hawajishughulishi na mazoezi ya viungo. Mazoezi ya viungo hupunguza tatizo la kuishiwa nguvu za kiume kwa asilimia kubwa sana. Kupungukiwa nguvu za kiume kunaweza pia kuwa kumetokana na mambo ya kihisia, kwa kiingereza ‘emotional causes’. Vitu vingine vinavyoweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume ni pamoja na magonjwa kama vile ugonjwa wa Kisukari na Shinikizo la juu la damu. Asilimia 45 mpaka 65 ya wanaume wanaosumbuliwa na kisukari wanapatwa na tatizo la uume kushindwa kusimama vizuri, wagonjwa wa kiharusi na wale waliotekwa na ulevi nao ni miongoni mwa watu wanaoweza kupatwa kirahisi na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Walevi wengi wa pombe kwa mfano wanakabiliwa na tatizo la uzalishaji mchache wa mbegu za kiume (manii). Wengine wenye hatari ya kupatwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni pamoja na wanaume wenye shinikizo la juu la damu, wenye matatizo ya tezi, waliowahi kufanya upasuaji katika viungo vya uzazi wakabaki na majeraha, watu wanaotumia dawa zenye kemikali kiholela bila kushauriwa na wataalamu na wale wanaougua maradhi yanayodhoofisha msukumo wa damu kwenda katika mishipa ya uume. TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME LINAWEZA KUTIBIKA KWA WATU WA RIKA ZOTE Kuwa na mtaalamu mzuri ni njia ya kwanza katika kupata uponyaji sahihi. Ni mhimu wewe kujisikia vizuri na kuwa na imani na daktari wako. Kwa kufanya hivi utakuwa umepiga hatua nzuri kelekea kwenye ufumbuzi wa tatizo lako. SABABU ZA UUME KUSHINWA KUSIMAMA KWA MDA MLEFU Kushindwa kwa uume kusimama pia hutambulika kama kuishiwa nguvu za kiume. Ni kitendo cha mtu kushindwa kusimamisha uume au kudumisha usimamaji wa uume kwa muda wa kutosha kufanya tendo la tendo na MKE wake. Pamoja na ukweli kuwa mara zote Mwanaume lazima atafika kileleni, hali huweza kuwa tofauti kwa upande wa pili kwani mwanamke anahitaji mwanaume achelewe zaidi ili na yeye (mwanamke) aweze kufika kileleni. KAMA UNATATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HAUKO PEKE YAKO. Asilimia 35% hadi 45% ya wanaume wa rika zote wanakabiliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni au kupungukiwa kwa nguvu za kiume. Hata hivyo KUFAHAM tu kwamba wanaume wengine pia wana tatizo kama lako siyo sababu ya wewe kukaa tu bila kutafuta suluhisho la tatizo lako. Habari njema ni kuwa zipo njia zinazoweza kuleta matokeo mazuri na hatimaye kulimaliza tatizo hili bila madhara mabaya hapo baadaye. call 0767421678 Wakati mwingine uume kushindwa kusimama inaweza kuwa si tatizo, lakiini jambo hilo linapojitokeza kila mara na kwa kipindi kirefu inaweza kuleta msongo wa mawazo kwa mume na hata kwa mke. Sababu nyingine amabzo zinaweza kupelekea uume usisimame vizuri ni pamoja na matatizo ya mhemko kama; - Wasiwasi - Hasira - Msongo wa mawazo (Stress) - Huzuni - Hofu na mashaka - Kukosa hamu ya tendo la ndoa - uchovu ILI UUME USIMAME VIZURI NI RAZIMA Mfumo wako wa neva uwe na afya nzuri inayopelekea mpwito neva (nerve impulses) katika ubongo, uti wa mgongo na uume. Mishipa ya ateri iliyo na afya ya ndani na iliyo karibu na corpora cavernosa Misuli laini yenye afya na tishu za ufumwele (fibrous tissues) ndani ya corpora cavernosa Kiwango sahihi cha oksidi nitriki (nitricoxide) ndani ya uume. Uume kshindwa kusimama vizuri kunaweza kusababishwa pia kama kipengele kimojawapo hapo juu hakifanyi kazi vizuri. Mambo mengine yanayopelekea kupunguwa kwa nguvu za kiume, uume kushindwa kusimama vizuri na kuwahi kufika kileleni ni: Uzee Kisukari Kujichua/Punyeto (master pretion) Uzinzi Kukosa Elimu ya vyakula Kutokujishughulisha na mazoezi Shinikizo la juu la damu Ugonjwa wa moyo Uvutaji sigara/tumbak Kudhurika kwa neva au uti wa mgongo Madawa ya kulevya Kupungua kwa homoni ya testerone Athari kutoka kwa baadhi ya dawa Pombe UMUHIMU WA MZUNGUKO WA DAMU Mzunguko wa damu wenye afya bora husambaza damu ya kutosha katika viungo vyote vya mwili ikijumuisha pia damu iliyo katika mishipa ya uume. Hivyo, hata kama utagusana na mwanamke hautaweza kufanya lolote ikiwa damu haizunguki katika viungo vyako kama inavyotakiwa. chochote ambacho kinazuia mtiririko wa damu kwenda kwenye uume kinaweza kuzuia kusimama kwa uume. Kama mishipa ya vena na ateri imeziba, mwili wako hautaweza kusimamisha uume vizuri. Hii ni kutokana na kwamba uume hautapata damu ya kutosha. Mara nyingi vena zilizoziba kutokana na mzunguko dhaifu wa damu ni sababu ya kushindwa kusimama uume kwa wanaume wengi wenye miaka 50 kwenda juu, wanaume wenye kisukari na pia wanaume wenye hali ya kukauka kwa vijiateri vya ateri, na wenye maradhi ya moyo. Pia ni mhimu sana kuwaona wataalamu wa tiba kuhusu unavyojisikia na jinsi unavyohisi kuwa pengine unaweza kuwa na tatizo katika mishipa yako ya ateri. Jaribu kujiwekea utaratibu wa kujichunguza afya yako mara kwa mara kama utahisi kunyemelewa na tatizo hili. Baadhi ya watu hufanya maradhi kuwa sugu kwa sababu ya kuacha kujichunguza mara kwa mara hadi wauguwe, huku ni kukosa kuelewa na kushindwa kujithamini na kujipenda mwenyewe. JITIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Katika kujitibu tatizo hili jambo la kwanza ni kuelewa ni nini kimesababisha tatizo hilo kwa upande wako. NJIA 12 ZA KUJITIBU TATIZOLA KUPUNDUKIWA NDUVU ZA KIUME: 1. Acha mawazo Mawazo na mfadhaiko huondoa mtiririko mzuri wa damu kwenda kwenye uume na kusababisha nguvu kupungua nguvu za kiume na hata uume wenyewe. Ikiwa unasumbuliwa na mfadhaiko au stress uangalifu mkubwa unahitajika kabla ya kuamua kutumia dawa yoyote. 2. Jitibu magonjwa yafuatayo Kama tatizo limesababishwa na magonjwa kama kisukari, vidonda vya tumbo, shinikizo la juu la damu au uzito kupita kiasi ni vema ukajitibu kwanza maradhi haya. Tatizo ni kuwa watu wameaminishwa kwamba maradhi haya hayana dawa jambo ambalo si kweli. call 0767421678 au 0745476030 au unaweza kutuma ujumbe yaan sms, hata kama n ujumbe wa whataspp 3. Acha vilevi Kama tatizo linatokana na matumizi ya vilevi, hatua ya kwanza ni kuviacha kwanza hivyo vilevi. Ndiyo kuviacha kwanza, unatakiwa ujiulize mwenyewe kipi ni mhimu kwako ndoa yako au hivyo vilevi? Mtu anayejali vilevi kuliko hata afya yake hafai. Kuna watu wanajidanganya kwamba ukitumia sijuwi kilevi fulani nguvu zinaongezeka, ni kweli zitaongezeka hapo mwanzoni mwa matumizi ya hicho kilevi lakini kadri siku zinavyoenda ndivyo utakavyoendelea kuwa mtegemezi wa hicho kilevi na itafika siku hata hicho kilevi hakitasaidia kitu na hapo ndipo hatari zaidi ya kutotibika tatizo lako itakapojitokeza. 4. Fanya mazoezi ya viungo Zingatia sana umhimu wa mazoezi ya viungo. Bila kujishughulisha na mazoezi ya viungo kila siku itakuwa ni vigumu sana kwako kupona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. 5. Tumia kitunguu swaumu Chukuwa punje 6 za kitunguu swaumu, menya na uzikate vipande vidogo vidogo kisha meza na maji vikombe 2 kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja. 6. Kula tikiti maji Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi, Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C. Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na Virutubisho vingine vingi. 7. Kula ugali wa dona 8. Tumia chumvi ya mawe 9. Kunywa maji mengi kila siku 10. Tafuna mbegu za maboga 11. Tumia asali yenye mdalasini 12. Kunywa chai ya tangawizi KWA UHALAKA NA UHAKIKA Tumia dawa zilizoandaliwa kwa njia za kiasili na za kisasa zaidi. kwa maelezo zaidi call 0767421678 au 0655148030 TAHAZARI au ANGALIZO unaweza kutumia vitu ambavyo nimevitaja hapo juu na visikusaidie au kuonesha matokeo mazuri kwako kumbuka siku hizi ni ngumu kupata mazao ambayo ni halisi kwan mazao mengi hulimwa na kuandaliwa kwa kutumia mbolea za kemikali na kutunzwa kwa kutumia kemikali. Nakuondolea hofu inawezekana kupata kilocho halisi na kilichoandaliwa kwa utaalamu mkubwa na kutumia kwamaelekezo maalumu na a ya uhakika kabisa maelezo zaidi jinsi ya kupata hayo yote piga 0767421678 na 0655148030 au tuma ujumbe mfupi. https://www.facebook.com/hamad9911/ tembelea page zetu Facebook kwa maelezo zaidi na yakina kwa jina *afya kwa wanaume* na *afya ya wanawake*
...

PUNYETO. Ni kitendo cha kusugua sehemu ya siri ya uzazi kwa kutumia mkono au sabuni na kufika kileleni. MADHARA 36 YA PUNYETO. 1.Ni chanzo kikubwa cha kupoteza kumbukumbu na kukufanya ushindwe kufanya vitu kwa umakini. 2.Kitendo hiki huondoa baraka na neema za Allaah kwani kinamuudhi sana Allaah. 3.Huuwa na kumaliza nguvu za kiume kabisa. 4.Husababisha uchovu muda wote. 5.Humfanya mtu kupoteza nguvu za mwili na kumfanya kuwa legevu na mvivu. 6.Husababisha mwanaume kutoa mbegu haraka wakati wa tendo la ndoa. 7.Husababisha msongo mkubwa wa mawazo.(mawazo kuwa mengi) 8.Husababisha mtu kukosa hamu kabisa Ya tendo la ndoa hata akiwa na mke wake. 9.Husababisha ukhanithi (ugumba). 10.Humfanya mtu ambae hajaowa ashindwe kuowa 11.Husababisha mtu kuathilika kisaikolojia. 12.Huzidisha woga kwa wanawake.(kuogopa wanawake). 13.Humfanya mtu ashindwe kuona umuhimu wa wanawake. 14.Inaweza kumfanya mtu kukonda na mifupa ya mashavu kutokeza. 15.Humfanya mtu kuwa mtumwa wa kitendo hicho. 16.Ni maasi na athari ya kudumu inayouwa afya ya mwili na akili. 17.Kushindwa kusimamisha uume zaidi ya mara 1 na uume kuwa legevu. 18.Maumivu ya mgongo. 19.Kusinyaa kwa nywele. 20.Maumivu ya makende. 21.Maumivu ya kiuno. 22.Pia inaweza kusababisha umasikini kwa sababu mtu hupoteza nguvu,kumbukumbu, na kuwa mlegevu na mvivu. 23.Inachangia kushindwa kufikia malengo kwa sababu huuwa mfumo wa fahamu na uwezo wa kufanya jambo kwa makini. 24.Inadhoofisha mwili na kuufanya jalala la maradhi 25.Huondoa nuru ya macho. 26.Huzidisha mapigo ya moyo kama mtu mwenye presha. 27.Hufanya ngozi ionekane kama ya mzee. 28.Husababisha kuvunjika kwa ndoa. 29.Humfanya mtu kutazama na kuwaza sana wanawake, na pia kutazama sana picha na video za ngono. 30.Kuumwa ma kichwa mara kwa mara. 31.Kukosa nguvu kwenye jointi za magoti. 32.Kupungukiwa mbegu katika mfuko wa uzazi. 33.Kuharibika kwa mishipa ya fahamu na uti wa mgongo. 34.Humfanya mtu kusinzia ovyo kila anapomaliza punyeto. 35.Mpiga punyeto hana uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni. 36.Ni aibu kubwa sana kwa jamii.
...

Matatizo ya matiti huwasumbua wanawake wengi na hata wanaume. Matatizo haya yapo ya aina nyingi, mfano uvimbe wa matiti, maumivu ya matiti au matiti kutoa maziwa au majimaji au damu. Tatizo hili hutokea katika umri wote kuanzia pale mwanamke anapovunja ungo hadi anapofikia ukomo wa hedhi. Matatizo ya matiti katika umri mkubwa kuanzia miaka 35 mara nyingi huambatana na saratani ya matiti. Jinsi tatizo linavyotokea Uvimbe wa matiti upo wa aina mbili. Kwanza ni vivimbe vidogo katika matiti na pili ni uvimbe mmoja mkubwa. Vivimbe vidogo au mkubwa vinaweza kuwa katika titi moja au yote mawili. Uvimbe huu unaweza kuwa na maumivu au usiwe na maumivu na huwa unazunguka kama utaupapasa, endapo uvimbe utakuwa mgumu na hautembei kuna uwezekano mkubwa wa uwepo wa saratani. Maumivu ya matiti hutokana na uvimbe kuwa mkubwa, kuvimba mishipa ya damu (Fibrocystic Breast Disease) na maambukizi ya matiti. Maambukizi na matatizo ya mishipa ya damu huwatokea zaidi wanawake wanaonyonyesha ambapo matiti huvimba na huwa na maumivu makali. Tatizo la matiti kutoa maziwa au maji maji huwatokea zaidi wanawake ambao wamekatisha kunyonyesha, mfano mtoto amefariki au mimba imeharibika. Matiti yana maumbile tofauti kutokana na mtu na mtu, yanaweza kuwa makubwa au madogo, au makubwa wakati wa ujauzito au baada ya kujifungua. Dalili za matatizo Matatizo ya matiti huonyesha dalili tofauti tofauti kama tulivyoona hapo awali. Dalili hizi zinaweza kujitokeza kwa pamoja au mbili kwa pamoja au moja peke yake. Mfano mtu anaweza kuwa na maumivu na uvimbe au uvimbe na matiti kutoa maziwa. Pia unaweza kuwa na dalili mojawapo ya hizo nilizoelezea, mfano maziwa kutoka pekee. Matatizo ya matiti huwa na uhusiano mkubwa na masuala ya uzazi, mfano mwanamke unaweza kuhisi matiti yanauma na yamejaa kipindi cha upevushaji mayai au unapokuwa mjamzito, pia endapo matiti yatakuwa yanatoa maziwa na huna mimba wala historia ya ujauzito, basi ni matatizo ya mfumo wa homoni na uwezekano wa kushika mimba hupotea au haupo. Ni vema endapo una tatizo la matiti kutoa maziwa na unatafuta ujauzito hupati uwaone madaktari wa akina mama kwa uchunguzi wa kina. Saratani ya matiti Tatizo hili huanza taratibu kama kivimbe kwenye titi moja au yote mawili. Uvimbe huu huendelea kukua taratibu na huwa sehemu moja ya titi. Katika hatua za awali, uvimbe hutembea yaani ukibonyeza unasogea sehemu nyingine na hauna maumivu. Baada ya kuendelea kukua, uvimbe huwa mgumu kama ubao na hutanuka zaidi na kusababisha ngozi ya juu ya uvimbe huo kuwa na matundu au kama ganda la chungwa, tezi huvimba kwapani na wakati mwingine chuchu huanza kutoa damu. Uchunguzi Matatizo ya matiti hufanyika katika vituo vya afya ambapo mgonjwa huchunguzwa kufuatana na jinsi tatizo linavyojitokeza. Vipimo vya damu, Ultrasound, X-ray na vingine vitafanyika kadiri daktari atakavyoona inafaa. Matibabu na ushauri Tiba hutegemea na jinsi vipimo vinavyoonyesha. Mgonjwa atatibiwa kadiri daktari atakavyomchunguza. Dawa za homoni na ufuatiliaji katika mfumo wa uzazi pia utafanyika. Wahi hospitali kwa uchunguzi na tiba. Afya Yetu NINI KINASABABISHA MATATIZO KATIKA MATITI...SOMA HAPA
...

JINSI YA KUPUNGUZA MAJI MAJI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI WA MWANAMKE Nina umri wa miaka 28 na nina watoto 2. Tatizo nililonalo sasa ni uke kuwa na majimaji yaani sio mkavu, japo haukuwa mkavu sana hapo awali nilikuwa wa kawaida. Tatizo lilianza mwaka jana baada ya kujifungua mtoto wa pili uke umekuwa na majimaji hata kunifanya nisifurahie tena tendo la ndoa japo mume wangu hajawahi kuongelea jambo hili ila nahisi hata yeye hafurahii kama hapo awali. Naombeni msaada kwa yeyote mwenye kujua dawa ama nini cha kufanya ili uke uwe mkavu ili ninusuru ndoa yangu jamani. USHAURI Umesema uke wako una majimaji na hivyo haufurahii tendo la ndoa, unahisi pia mume wako hafurahii, na hivyo unaomba dawa ili kuinusuru ndoa yako. Kwa kawaida kwa wanawake ambao wameshavunja ungo na bado hawajaingia uzeeni (menopause) ukeni mwao huwa si kukavu,(na kama wakipatwa na ukavu ukeni basi wanahitaji tiba) na umajimaji au unyevunyevu huo ni muhimu sana na unakazi yake maalum, na huzidi vipindi fulani Fulani - nitaeleza. Hata hivyo kwa kuwa wanawake wanatofautiana ni vigumu kusema ni kiasi gani cha umajimaji huo ni wa kawaida na upi umezidi. Hata hivyo namiini mwanamke ambae anahitaji kuvaa pad wakati hayuko kwenye menses hali hiyo inahitaji kuchunguzwa. (Wewe hukusema ni kiasi gani) Kiutalaamu zipo sababu nyingi zinazofanya uke uwe na unyevunyevu, sababu zingine ni za kibaologia (za kimaumbile) na hivyo hazihitaji tiba, zingine zinaletwa na maradhi, na sababu nyinginezo. • kibiologia , hutokea mara baada ya kuvunja ungo, unyevunyevu wake huwa haunuki, hauwashi, haunguuzi na haufanani kabisa na usaha. Unyevunyevu huo huzidi wakati wa msisimko wa ngono, na au wiki ya pili au ya tatu baada ya siku zako, na au kama unatumia baadhi ya dawa za majira nk. • Maradhi: majimaji yake huwa yanaharufu, kama usaha,au ya kijani au kama maziwa yaloganda au kama povupovu. Husababishwa na uambukizo wa trichomonas, fungus, kisonono nk , pia maradhi kama fistula (nasuri), au polyps yaweza sababisha hali hiyo. Pia maradhi kama kisukari yaweza leta hali hiyo. • Sababu nyingine, Douches ( kujipiga bomba ukeni), kusafisha uke kwa sabuni au kemikali nyingine, kuingiza manukato ukeni, kutumia condom (baadhi ya wanawake),kuvaa nguo zinazobana sana na hivyo maeneo hayo kukosa hewa nk. Kwa kuwa sababu ni nyingi nakushauri nenda hospitalini ukachunguzwe kabla hujatumia dawa yoyote kwa sababu huenda ni kawaida au huenda ni maradhi. Na kama ni ugonjwa kila ugonjwa una tiba yake. Na wakati unajiandaa kwenda hospitali nakushauri usifanye douches, usijisafishe ukeni na sabuni au kemikali yoyote, vaa nguo za pamba ambazo hazikubani.
...
![B professional love
SABABU ZA KUTOKA HARUFU MBAYA UKENI NA NAMNA YA KUJIKINGA
Tarehe September 8, 2014
Wanawake na watu wengi huzani kuwa harufu mbaya itokayo ukeni ni matokeo ya uchavu na kutojisafisha vizuri… Matokeo yake huongeza jitihada katika kujisafisha bila mafanikio ya kuondokana na tatizo hili… Kihalisi, badala kusuluhisha, unapojisafisha zaidi ni unaongeza tatizo badala ya kutatua… Japokuwa ni kweli mara nyingine inaweza ikawa ni sababu ya uchafu… Ila mimi naamini walio wengi huwa wanazingatia usafi… Ndo maana nimeona leo tupeane mawazo juu ya tatizo hili, na kujua namna ya kujikinga
VISABABISHI
i. Bacteria
Tatizo hili husababishwa na Bakteria kwa asilimia kubwa. Kwa asili, ukeni huishi jamii ya bacteria waitwao Lactobacillus ambao jukumu lao kubwa ni kufanya mazingila ya uke kuwa katika hali nzuri. Kutokana na njia mbaya za kusafisha uke, hasa kujisafisha kupindukia, ama kwa kutumia sabuni zenye dawa, husababisha bacteria hawa kufa kwa wingi na mahala pake kuchukuliwa na aina zingine za bacteria ambao huzaana kwa wingi na kusababisha tatizo hili.
Pia kwa wale wanaojamiiana kinyume na maumbile, kuna hatari ya kuhamishia bacteria wanaoishi kwenye njia ya haja kubwa na kuwaamishia ukeni ambapo watazaliana na kukuletea madhala haya.
ii. Kuvu(fungus)
Hii mara nyingi huambatana na uchafu mzito utokao ukeni mfano wa maziwa mgando(mtindi)
iii. Magonjwa ya zinaa(STIs)
Kwa asilimia kubwa husababisha na Chlamyidia na kisonono(gonorrhoea). Yote mawili hutibika kirahisi, ila husababisha madhala makubwa zaidi yasipotibiwa kwa wakati. Tukio baya ni kuwa mwanamke anaweza akawa na magonjwa haya na asione dalili yoyote. Ila mara nyingine mwanamke anaweza kujisikia maumivu anapokojoa, na mara nyingine mkojo unakuwa kama una ukungu, vikiambatana na harufu mbaya.
iv. Maambukizi ya via vya uzazi vilivyo ndani ya nyonga[Pelvic Inflammatory Diseases(PID)]
Hii husababishwa na bacteria waambukizwao kwa njia ya ngono wanapofanikiwa kufika kwenye tumbo la uzazi na hata pia mirija ya mimba na hata kokwa(ovaries), hasa chlamydia. Mara nyingi mwanamke anaweza asijisikie chochote hadi pale atakapojisikia maumivu yasiyokwisha ya tumbo(chini ya kitovu), au itakapoingiliana na utungaji wa mimba. Na kama atajisikia, mara nyingi huwa ni maumivu ya nyonga, harufu mbaya, uchafu mzito ukeni, homa, maumivu wakai wa kukojoa na hata maumivu wakati wa kujamiiana.
Tatizo hili lisipotibiwa mapema laweza kusababisha utasa, ama mimba kutunga nje ya mji wa mimba.
v. Kansa ya uke na kansa ya shingo ya kizazi
Asilimia chache sana ya wanawake inaweza ikawa ni kutokana na kansa ya shingo ya kizazi ama ya uke. Hapa ndipo inapoonyesha kuwa tatizo hili siyo la kufumbia macho, na umuhimu wa kuwahi kwa wataalam wa tiba kwa uchunguzi wa mapema na kabla tatizo halijawa kubwa.
vi. Uchafu
Usipokuwa msafi kwa kiwango kikubwa utakuwa unakaribisha wadudu kuzaliana na kukuletea madhala. Pia unatakiwa kuwa makini wakati wa hedhi, na pia uchaguzi wa pedi, kwani kuna pedi ambazo zina kemikali za kukata harufu zinaweza kukudhulu.
JINSI YA KUJIKINGA
• Usiwe unaosha ukeni kupita kiasi kwani husababisha kuondoa bacteria wa asili wa ukeni(Lactobacilli) na kukaribisha bacteria wenye madhala.
• Pia epuka sabuni zenye dawa(antibacterial soap) usafishapo ukeni, kwani hii pia huua bacteria wa asili wa ukeni.
• Hii haimaanishi usiwe unasafisha ukeni. Usafi ni muhimu, kwani uchafu pia hukaribisha vimelea vya magonjwa.
• Kama tatizo limeshajitokeza, wahi haraka kwa wataalam wa tiba wakufanyie uchunguzi na kujua ni kipi kati ya vilivyotajwa hapo juu kilichosababisha. Daktari atakuchunguza na kujua kama ni bacteria, fungus ama ni dalili za awali za kansa na kuchukua hatua mapema kuepusha madhala zaidi.
• Kumbuka kujisafisha kupindukia si suluhisho kama tatizo limeshajitokea, kwani kunaweza kuzidisha tatizo badala ya kusuluhisha. B professional love
SABABU ZA KUTOKA HARUFU MBAYA UKENI NA NAMNA YA KUJIKINGA
Tarehe September 8, 2014
Wanawake na watu wengi huzani kuwa harufu mbaya itokayo ukeni ni matokeo ya uchavu na kutojisafisha vizuri… Matokeo yake huongeza jitihada katika kujisafisha bila mafanikio ya kuondokana na tatizo hili… Kihalisi, badala kusuluhisha, unapojisafisha zaidi ni unaongeza tatizo badala ya kutatua… Japokuwa ni kweli mara nyingine inaweza ikawa ni sababu ya uchafu… Ila mimi naamini walio wengi huwa wanazingatia usafi… Ndo maana nimeona leo tupeane mawazo juu ya tatizo hili, na kujua namna ya kujikinga
VISABABISHI
i. Bacteria
Tatizo hili husababishwa na Bakteria kwa asilimia kubwa. Kwa asili, ukeni huishi jamii ya bacteria waitwao Lactobacillus ambao jukumu lao kubwa ni kufanya mazingila ya uke kuwa katika hali nzuri. Kutokana na njia mbaya za kusafisha uke, hasa kujisafisha kupindukia, ama kwa kutumia sabuni zenye dawa, husababisha bacteria hawa kufa kwa wingi na mahala pake kuchukuliwa na aina zingine za bacteria ambao huzaana kwa wingi na kusababisha tatizo hili.
Pia kwa wale wanaojamiiana kinyume na maumbile, kuna hatari ya kuhamishia bacteria wanaoishi kwenye njia ya haja kubwa na kuwaamishia ukeni ambapo watazaliana na kukuletea madhala haya.
ii. Kuvu(fungus)
Hii mara nyingi huambatana na uchafu mzito utokao ukeni mfano wa maziwa mgando(mtindi)
iii. Magonjwa ya zinaa(STIs)
Kwa asilimia kubwa husababisha na Chlamyidia na kisonono(gonorrhoea). Yote mawili hutibika kirahisi, ila husababisha madhala makubwa zaidi yasipotibiwa kwa wakati. Tukio baya ni kuwa mwanamke anaweza akawa na magonjwa haya na asione dalili yoyote. Ila mara nyingine mwanamke anaweza kujisikia maumivu anapokojoa, na mara nyingine mkojo unakuwa kama una ukungu, vikiambatana na harufu mbaya.
iv. Maambukizi ya via vya uzazi vilivyo ndani ya nyonga[Pelvic Inflammatory Diseases(PID)]
Hii husababishwa na bacteria waambukizwao kwa njia ya ngono wanapofanikiwa kufika kwenye tumbo la uzazi na hata pia mirija ya mimba na hata kokwa(ovaries), hasa chlamydia. Mara nyingi mwanamke anaweza asijisikie chochote hadi pale atakapojisikia maumivu yasiyokwisha ya tumbo(chini ya kitovu), au itakapoingiliana na utungaji wa mimba. Na kama atajisikia, mara nyingi huwa ni maumivu ya nyonga, harufu mbaya, uchafu mzito ukeni, homa, maumivu wakai wa kukojoa na hata maumivu wakati wa kujamiiana.
Tatizo hili lisipotibiwa mapema laweza kusababisha utasa, ama mimba kutunga nje ya mji wa mimba.
v. Kansa ya uke na kansa ya shingo ya kizazi
Asilimia chache sana ya wanawake inaweza ikawa ni kutokana na kansa ya shingo ya kizazi ama ya uke. Hapa ndipo inapoonyesha kuwa tatizo hili siyo la kufumbia macho, na umuhimu wa kuwahi kwa wataalam wa tiba kwa uchunguzi wa mapema na kabla tatizo halijawa kubwa.
vi. Uchafu
Usipokuwa msafi kwa kiwango kikubwa utakuwa unakaribisha wadudu kuzaliana na kukuletea madhala. Pia unatakiwa kuwa makini wakati wa hedhi, na pia uchaguzi wa pedi, kwani kuna pedi ambazo zina kemikali za kukata harufu zinaweza kukudhulu.
JINSI YA KUJIKINGA
• Usiwe unaosha ukeni kupita kiasi kwani husababisha kuondoa bacteria wa asili wa ukeni(Lactobacilli) na kukaribisha bacteria wenye madhala.
• Pia epuka sabuni zenye dawa(antibacterial soap) usafishapo ukeni, kwani hii pia huua bacteria wa asili wa ukeni.
• Hii haimaanishi usiwe unasafisha ukeni. Usafi ni muhimu, kwani uchafu pia hukaribisha vimelea vya magonjwa.
• Kama tatizo limeshajitokeza, wahi haraka kwa wataalam wa tiba wakufanyie uchunguzi na kujua ni kipi kati ya vilivyotajwa hapo juu kilichosababisha. Daktari atakuchunguza na kujua kama ni bacteria, fungus ama ni dalili za awali za kansa na kuchukua hatua mapema kuepusha madhala zaidi.
• Kumbuka kujisafisha kupindukia si suluhisho kama tatizo limeshajitokea, kwani kunaweza kuzidisha tatizo badala ya kusuluhisha.](http://lh4.googleusercontent.com/-wR9X2Ir5tN8/URsTis2yuWI/AAAAAAAAAhk/peKQZDOLiVM/s320/no-img.png)
B professional love SABABU ZA KUTOKA HARUFU MBAYA UKENI NA NAMNA YA KUJIKINGA Tarehe September 8, 2014 Wanawake na watu wengi huzani kuwa harufu mbaya itokayo ukeni ni matokeo ya uchavu na kutojisafisha vizuri… Matokeo yake huongeza jitihada katika kujisafisha bila mafanikio ya kuondokana na tatizo hili… Kihalisi, badala kusuluhisha, unapojisafisha zaidi ni unaongeza tatizo badala ya kutatua… Japokuwa ni kweli mara nyingine inaweza ikawa ni sababu ya uchafu… Ila mimi naamini walio wengi huwa wanazingatia usafi… Ndo maana nimeona leo tupeane mawazo juu ya tatizo hili, na kujua namna ya kujikinga VISABABISHI i. Bacteria Tatizo hili husababishwa na Bakteria kwa asilimia kubwa. Kwa asili, ukeni huishi jamii ya bacteria waitwao Lactobacillus ambao jukumu lao kubwa ni kufanya mazingila ya uke kuwa katika hali nzuri. Kutokana na njia mbaya za kusafisha uke, hasa kujisafisha kupindukia, ama kwa kutumia sabuni zenye dawa, husababisha bacteria hawa kufa kwa wingi na mahala pake kuchukuliwa na aina zingine za bacteria ambao huzaana kwa wingi na kusababisha tatizo hili. Pia kwa wale wanaojamiiana kinyume na maumbile, kuna hatari ya kuhamishia bacteria wanaoishi kwenye njia ya haja kubwa na kuwaamishia ukeni ambapo watazaliana na kukuletea madhala haya. ii. Kuvu(fungus) Hii mara nyingi huambatana na uchafu mzito utokao ukeni mfano wa maziwa mgando(mtindi) iii. Magonjwa ya zinaa(STIs) Kwa asilimia kubwa husababisha na Chlamyidia na kisonono(gonorrhoea). Yote mawili hutibika kirahisi, ila husababisha madhala makubwa zaidi yasipotibiwa kwa wakati. Tukio baya ni kuwa mwanamke anaweza akawa na magonjwa haya na asione dalili yoyote. Ila mara nyingine mwanamke anaweza kujisikia maumivu anapokojoa, na mara nyingine mkojo unakuwa kama una ukungu, vikiambatana na harufu mbaya. iv. Maambukizi ya via vya uzazi vilivyo ndani ya nyonga[Pelvic Inflammatory Diseases(PID)] Hii husababishwa na bacteria waambukizwao kwa njia ya ngono wanapofanikiwa kufika kwenye tumbo la uzazi na hata pia mirija ya mimba na hata kokwa(ovaries), hasa chlamydia. Mara nyingi mwanamke anaweza asijisikie chochote hadi pale atakapojisikia maumivu yasiyokwisha ya tumbo(chini ya kitovu), au itakapoingiliana na utungaji wa mimba. Na kama atajisikia, mara nyingi huwa ni maumivu ya nyonga, harufu mbaya, uchafu mzito ukeni, homa, maumivu wakai wa kukojoa na hata maumivu wakati wa kujamiiana. Tatizo hili lisipotibiwa mapema laweza kusababisha utasa, ama mimba kutunga nje ya mji wa mimba. v. Kansa ya uke na kansa ya shingo ya kizazi Asilimia chache sana ya wanawake inaweza ikawa ni kutokana na kansa ya shingo ya kizazi ama ya uke. Hapa ndipo inapoonyesha kuwa tatizo hili siyo la kufumbia macho, na umuhimu wa kuwahi kwa wataalam wa tiba kwa uchunguzi wa mapema na kabla tatizo halijawa kubwa. vi. Uchafu Usipokuwa msafi kwa kiwango kikubwa utakuwa unakaribisha wadudu kuzaliana na kukuletea madhala. Pia unatakiwa kuwa makini wakati wa hedhi, na pia uchaguzi wa pedi, kwani kuna pedi ambazo zina kemikali za kukata harufu zinaweza kukudhulu. JINSI YA KUJIKINGA • Usiwe unaosha ukeni kupita kiasi kwani husababisha kuondoa bacteria wa asili wa ukeni(Lactobacilli) na kukaribisha bacteria wenye madhala. • Pia epuka sabuni zenye dawa(antibacterial soap) usafishapo ukeni, kwani hii pia huua bacteria wa asili wa ukeni. • Hii haimaanishi usiwe unasafisha ukeni. Usafi ni muhimu, kwani uchafu pia hukaribisha vimelea vya magonjwa. • Kama tatizo limeshajitokeza, wahi haraka kwa wataalam wa tiba wakufanyie uchunguzi na kujua ni kipi kati ya vilivyotajwa hapo juu kilichosababisha. Daktari atakuchunguza na kujua kama ni bacteria, fungus ama ni dalili za awali za kansa na kuchukua hatua mapema kuepusha madhala zaidi. • Kumbuka kujisafisha kupindukia si suluhisho kama tatizo limeshajitokea, kwani kunaweza kuzidisha tatizo badala ya kusuluhisha.
...

Jinsi ya kusafisha Uke wako! Awali nilikuwa nikidhani kuwa kila mwanamke anapaswa na anafahamu jinsi ya kujisafisha ndani ya uke mara tu baada ya kuondolea bikira (kuanza mahusiano ya kimapenzi na hatimae ngono), lakini nimekuja kugundua ukweli kwamba wanawake wengi hawajui uke unasafishwa vipi? Baadhi huofia kuwashwa na sabuni na wengine hudhani utokwaji wa utoko ni kawaida hivyo hawana budi kuacha kama ilivyo na badala yake hutumia “pads” ndogo au “wipes” zenye manukato ili kuzuia harufu/shombo ya uke na vilevile kuzuia uchafukwaji wa “vyupi” vyao. Huitaji kuficha(Bali punguza) harufu ya asilia ya uke kwa kutumia bidhaa zenye mahukato hasa ukiwa na mpenzi wako kwani hiyo harufu ndio uanamke wenyewe na ikikutana na ile ya kiume ndio raha ya kufanya mapenzi na ikiwa mpenzi wako ni “aliyejaaliwa” atakuwa akiipenda harufu hiyo na hubaki akilini mwake hali inayoweza kumfanya akupende zaidi au kutoweza kufanya ngono na mtu mwingine bali wewe. Hujawahi kusikia wanaume wanashindwa kutoka (date) wanawake wengine baada ya wapenzi wao kufariki dunia? Au mwanaume kushindwa kuendelea na maisha yake ya kimapenzi bila wewe na matokeo yake hata mkiachana lazima atarudi tu kwako….sababu moja wapo ni hiyo. Kujiswafi ili kupunguza ukali wa shombo/harufu ya uanamke: Utoko hujikusanya ikiwa mwili umetulia (usiku) hivyo hakikisha unajisafisha kila asubuhi kabla hujaanza kuoga. Wengi wanatumia maji ambayo usalama wake ni wa utata, sasa ili kuepuka maambukizo hakikisha maji ya kujisafishia sehemu zako za siri yamechemshwa vizuri. Unaweza kutenganisha maji ya kuoga na ya kusafishia uke ukitaka. *Kabla hujaguza uke wako hakikisha umesafisha mikono yako vizuri kwa sabuni (ukiweza tumia sabuni yenye dawa) na wakati huo huo pitisha sabuni juu ya uke wako ili kuondoa vijidudu kama vilikuwepo, safisha mahali hapo(juu ya uke kwa maji na hakikisha hakuna sabuni). *Kisha kwa kutumia kidole chako cha kati, ingiza taratibu pale ambapo uume unaingia, kwa kuanzia huitaji kwenda mbali sana. Zunguusa kidole hicho taratibu huku ukijimwagia maji kwa kutumia mkono wa pili, kisha kitoe (kitatoka na weupe mzito) safisha kidole na maji yako. *Rudia tena na sasa kiingize ndani zaidi na ukizunguushe tena (huku ukijimwagia maji) na kukitoa utaona “utoko” mwingi zaidi kidoleni, rudia hatua hizo mpaka uhakikishe kidole kinatoka bila weupe(utoko) na utahisi hali ya usafi, hakuna utelezi. Unapojimwagia maji ukeni huku kidole kiko ndani maji huingia pia ukeni na ndio maana mwishoni kabisa utahisi umesafishika vema kabisa na utoko huo hautotoka tena siku nzima na uke wako hautokuwa na shombo kali kama ambavyo siku zote ambazo ulikuwa hujisafishi. Kwa wale wanaotumia “bath” au “shower” unafanya kama nilivyoeleza ila tofauti ni kuwa maji yataingia vizuri zaidi ikiwa unapata “bath” hivyo hakikisha “bath” sio ya kuchangia, maji ni salama(safi), usiweke sabuni (bath cream) au bidhaa yoyote yenye kemikali kwenye “bath” yako ili kuepuka matatizo ya kiafya na maambukizo mengine. Uke na Kusafisha Utoko Kwa kawaida wanawake huwa wanatoa majimaji yenye uzito tofauti hali inayotegemeza zaidi mzunguuko wako wa hedhi. Majimaji hayo hujulikana kama "utoko", Utoko huu huwa ni mweupe kama maziwa na huwa na harufu ya uanamke. Utoko huanza kutoka pale unapokaribia ukuaji/ mabadiliko/kubalehe, kutokana na umri mdogo wanaokuwa nao wakati huo (hawaruhusiwi kujisafisha zaidi ya pale juu kuondoa mkojo) utoko huo husababisha rangi mbaya ya chupi zao hasa kama ni nyeupe au zina rangi ng'avu kama nyeupe n.k. pale katikati. Jinsi siku zinavyokwenda mtoko wa utoko huongezeka uwingi. Utoko ni muhimu kwa wanawake na una kazi yake ambayo ni kusafisha njia ya uzazi na uke kwa ujumla lakini kusema hivyo sina mana basi uyaache hayo mautoko yakae chupini ei? Usafishaji hufanyika kwa ndani na unapotoka ina maana hauna kazi tena na hivyo huna buni kuundoa kwa kujisafisha kama ambavyo wanawake wote wanafahamu jinsi ya kujiswafi. Unapofikia umri mkubwa na kujiingiza kwenye swala la mahusiano na hatimae kuanza kufanya ngono, huo ndio wakati muafaka wa wewe kuanza kujisafisha uke wako na kuondoa utoko ili kuwa huru (shombo free), kupunguza shombo ya "uanamke" kule chini wakati wa kufanya mapenzi, kupunguza siku za hedhi (kwa kawaida unakwenda siku saba lakini kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa unakwenda siku nne tu) na vilevile kupunguza maambukizo ambayo yanaweza kusababishwa na ufujaji wa utoko ndani ya uke wako.
...

JINSI YA KUSAFISHA UKE (KUM*) Kama kuna kitu kinachomkera mwanamme katika uwanja wa sita kwa sita basi ni harufu chafu katika mwili wa mwanamke hasa uke. Na mimi hapa nitazungumzia usafi wa uke peke yake kwani hii ndo sehemu muhimu sana katika mahusiano na inayohitaji usafi wa hali ya juu sana pengine kuliko sehemu nyingine yoyote ya mwili wa mwanamke. Jinsi ya kusafisha uke Njia bora ya kusafisha uke ni yakutumia maji safi bila kutumia sabuni ya aina yoyote. Mara nyingi wanawake hutumia sabuni kusafisha si vibaya lakini ni vizuri ukatambua kuwa iwapo utatumia sbuni hakikisha kuwa haiingii sehemu ya ndani ya uke iishie sehemu za juu ya uke pekee, iwapo sabuni itaingia ndani ya uke huleta bacteria wabaya ambao baada ya muda mfupi huleta madhara makubwa ikiwemo na harufu mbaya. sabuni ni muhimu katika usafishaji wa miili yetu lakini si sehemu ya ndani ya uke bali shemu nyingine za mwili najua wanawake wengi hutumia sabuni kujisafisha uke watashangaa kusikia kutumia sabuni kusafisha uke kuna hatari lakini sabuni huondoa mafuta ya asili ya ndani ya kum* na kusababisha ukavu ukeni kitu ambacho si kizuri hasa ukizingatia kuwa aina nyingi za sabuni zina dawa iitwayo chlorophenol ambayo huondoa aina zote za bacteria katika uke wakiwemo bacteria wazuri kitu ambacho hutoa nafasi ya bacteria wabaya kumea kwa kasi hivyo baada ya muda mfupi harufu mbaya au uchafu mzito sehemu za uke hivyo unapoosha uke hakikisha unaeepuka kuingiza maji yenye sabuni ndani ya uke, chukua maji safi osha uke bila kuingiza ndani ya mpasuko. HATUA TATU ZA KUOSHA UKE Hatua ya kwanza-ingia bafuni hakikisha kuwa bafu ni safi ikiwezekana lifanyie bafu usafi kiasi ambacho utalizika nacho wewe kwani bafuni pia ni sehemu ambayo imekuwa ukiwaletea magonjwa mbalimbali wanawake hasa ikiwa chafu magonjwa ambayo huambatana na harufu mbaya ukeni, wakati wa usafi unaweza kujisafisha ukiwa umesimama wima au umechuchumaa. Hatua ya pili-polepole anza kusafisha uke wako kwa kidole cha pili toka dole gumba, kidole cha kati au chanda(kidole kiwekwacho pete ya ndoa) fanya hivyo kwa maji safi.Hii itakusaidia kuondoa uchafu wote mzito uliopo ukeni Hatua ya tatu na ya mwisho - Suuza uke kwa kumwagia maji uke wako kuanzia mbele kurudi nyuma unaweza kutumia kikombe au kopo la plastiki hii pia itazui kupata ugonjwa na njia ya mkojo yaani UTI.
...

Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha maswali kama kutoa huko sauti ni jambo la asili au ni mwanamke mwenyewe anaamua hapa atoe sauti na kwingine asitoe. Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo. Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri kati ya miaka 18 na 48 ambao hushiriki mapenzi mara kwa mara juu ya utoaji wa sauti wakati wa kujamiiana. Katika utafiti huo ulibaini kuwa wanawake wengi huto sauti hizo lakini sio pale tu wanapokuwa wamefika kileleni. Asilimia 66 walisema kuwa hutoa sauti wakati wa kujamiina ili kuwasaidia wenza wao kufika kileleni haraka, wakati asilimia 87 walisema kuwa hutoa sauti hizo ili kuwaongezea wenza wao kujiamini kwa kile wanachokifanya kuwa wapo sawa. Wanawake walieleza kuwa mara nyingi hutoa sauti wakati wenza wao wanapofika kileleni. Baadhi pia walieleza kuwa sauti hizo huwasaidia kuwaondolea uoga walionao, hali ya kutojisikia kuwa sawa, wakati mwingine kuondoa maumivu lakini pia kama njia ya kufurahia raha anayokuwa anaipata. Aidha, wataalamu hao walisema kuwa kwa vile wanaume wengi huhusisha utoaji wa sauti na mwanamke kufika kileleni, basi baadhi ya wanawake hutoa sauti hizo kwa uongo ili tu kuwaridhisha wenza wao waone kila kitu kipo sawa. Kwa upande mwingine, imegundulika kuwa wanawake si jamii ya wanyama pekee ambao hutoa sauti wakati wa kujamiiana kwani hata nyani (baboons) wana aina zao za sauti ambazo huzitoa wakati wakijamiiana. Imeelezwa kuwa wakati mwingine huwa ni vigumu sana kuelezea kila kinachotokea wakati wa kijamiiana kwa sababu kila mtu huwa na utashi wake. Lakini kitu wataalamu walichokubaliana ni kuwa sauti hizo zinaweza kumsaidia mwenza kujua kama anachofanya ni sasa hivyo aendelee au aache, aongeze au apunguze. Andika Maoni yako Hapo Chini Utuambie nini Kinamfanya Mpenzi Wako Apige Kelele Wakati wa Kuhondomola au Kama Wewe ni Mwanamke Tueleze Sababu ya Nini Kinapelekea Hadi mnapiga kelele wakati wa game,Zingatia Lugha yenye tafsida isiyokuwa na matusi.
...

*MWANAMKE MBWEMBE* _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ _mwanamke mbwembwe mfanyie mumeo haswaa ukiwa chumbani tena kitandani jiachie mtoto wa kike sio inje majuba ndani majuba ukiwa na mumeo bibi👌🏼juba weka pembeni vaa hata kimini pedo au kikanga chako kimoja Sharti vinukie tu_ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ _ukivaa kikanga hakikisha kinaonesha jipitishe kwa mumeo huku unajibinua vitako hata kama huna bibi👌🏼lakukalia hukosi....jifanye kama unatafuta kitu unamuuliza mume wangu et ile remot ya king'amzi iko wapi yaan mbwembwe tu mwanamke ubunifu bibi._ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ _kila siku vitu vipya bibi sio Jana dera na Leo tena dera linachosha onyesha ujuzi wako uliyopewa na somo yako zidisha mbwembwe umeweke mumeo kiganjani mume ni kama mtoto tu Leo mpe pipi kesho biscuit atakupenda popote unapoenda atakulilia basi na wanaume wapo hivyo Leo vaa kimini kesho vaa pedo_ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ _muanze mumeo kwa mbwembwe anza kukata kiuno huku unamsogelea tena unanyonga taratibu kiyoo hakidanganyi mama na jicho la kurembua unatafuna tafuna mdomo Mara unaJipapasa mwili unajishika maziwa hapo ndo penyewe_ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ _wakati wakumuanza msogelee jifanye kama unamuegemea kisha teremsha mkono taratibu chini ya ile sehemu husika iwapo kavaa suluali utaanza kwa juu na kama kavaa msury hadi ndani utashika shika utapapasa ile sehemu upo_ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ _huku unamtizama usoni aibu weka pembeni bibi👌🏼muite kwa majina matamu mpe maneno ya kumtoa ngoja pangoni mpaka mpandishe mzuka ukiona ushamuweza bibi Jilegeze tena zidisha mbwembwe hapo subiri kuvuliwa chupi tu_ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟_ _mwanamke mbwembwe kwa mumeo sio barabarani tena uwe mbinifu haswaa Leo utamu seburen sio kila siku chumbani wala haihusian_ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ _ongeza maujuzi kuwa na mambo matam muache bwana afanye yake kwani wa halili kwako mpe miguno la kilio cha mapenzi mwambie hapo mume wangu ubanikuna vizuri na sauti ya kunong'ona ukizidiwa wala usione aibu mwambie mume wangu kipenzi utaniuwa ingiza yote hapo ndio penyew _NDOA HUWA TAMU IKIPATA WATAALAM_ _💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹💟🌹_ 💞MAMBO YA PWAN 💞
...

❤❤❤ *Mwanaume Ukimfanyia Mwanamke Wako Mambo Haya 10 Basi Hawezi Kukuacha Kamwe !* Utangulizi Moja ya makosa makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na wanaume,ni kujifunza mbinu mbalimbali za kufanya mapenzi wanawake zao wakidhania kuwa kujua namna na staili mbalimbali, ndio kunawafanya wanawake zao kufikia kileleni. Nasema ni makosa kwasababu, wakati mwanaume yeye anapokuwana mwanamke akili yake mara nyingi huwa ni kutaka kumtomba hadi amkojoleshe, wanawake kwa upande wao, wameumbwa kutaka kuridhika na sio kukojoa tu. Na ndio maana, katika makala hii, hatutagusia mbinu za kutombana hadi umkojoleshe mwanamke, bali mambo ambayo wanawake wanayataka (wanataka kufanyiwa wakiwa kitandani), ili waweze kutosheka na raha wanazopewa na wenza wao. Inawezekana kabisa kuwa yapo mengi sana ambayo wanayataka, sohaimaanishi kuwa nilichoandika hapa ndio iwe katiba yenu katika kutombana, bali ni mwongozo na ambao umegusia yale yaliyo ya muhimu sana ambayo aghalabu wanawake wote ndio wanayataka. Kwa yale ambayo yamepungua, wanawake wenyewe watafunguka hapa na kuyaeleza, na kwa yale ambayo wanadhani hayako sawa....ruksa kuyarekebisha pia. Otherwise, hapa ni mambo 11, ambayo mwanaume ukiyafanya kwamwanamke wako, hakika utakuwa umejijengea ulinzi wa yeye mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje. #1 – Mfanye akojoe kabla hujamuingia Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakiniukweli ndio uko hivyo. Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi. Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye kuma, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo. Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke akojoe kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la kutiana zaidi na kukuweka miongonimwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake. Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tukuingia kwa mboo yako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kukojoa haraka sana. Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!! #2 – Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, kisimi, kiharage, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu. Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo. Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atakojoa namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke. Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa aukuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa. Tumezoea G-Sport kwa mfano, lakini ni wangapi tunajua kuhusu U-Spot katika uchi wa mwanamke? Wangapi tunajua kuhusu A-Spot?..... ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kurahatupuika naye, na hakika utakuwa shujaa wake. Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke! #3 – Usiwe kama kuku Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke akojoe kabla ya kumuingilia, unamjengea mazingira ya kukojoa haraka pindi unapomuingilia, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika. Mwanaume kumudu kudumu kwenye kutiana kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwayu shujaa. Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao? Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hutombana kwa minajili ya kukojoa, ilhali wanawake hutombana kwa minajili ya kustarehe. So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini piausiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa. Nusu saa hadi dakika 50 nimuda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa. #4 – Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji Ndio, wapo wanaume wengi tu, hatahumu Darasa La Watu wazima wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwawanajua kuwanyonya visimil kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo. Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya kutiana, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia. Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia nyege hadi ikiwezekana aanze kuililia mboo. Jidai kama unataka kumnyonya kisimi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa kuma yake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe kwenye tundu la kuma....... haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee. Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji....cheki namba 5 hapa chiniTumichezo kama hutu twa tunasaidia... #5 – Kutiana kwa ulimi/mdomo Inashangaza sana kwa kweli...wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao. Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutoshakuwaingilia. Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa. Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania? Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya aseme "Oh...am going crazy" #6 – Msisimue kwa kauli zako Wanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati wanatombana nao...lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao? Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha? Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu....hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake.....wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kutiana, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake. Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa. Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti yakipekee akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha".... Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani. Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza.... #7 – Jenga mahusiano ya macho yenu Hivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa? Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa? Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezeakwa maneno. Mawasiliano ya macho wakati wa kutombana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaumeambaye wakati wanatiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwakuna ulichomnyima. Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnatiana, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia. Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya,akizoea hakika atakuwa akikufurahiazaidi. #8 – Mzingatie baada ya kumaliza kurahatupuika Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza kutiana. Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule. Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kutombwa.So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya. Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji. #9 – Mpe fursa ya kuliongoza jahazikwa niaba yako Wanaume wengi sana wameumbwakutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kutiana, hupenda wao ndio waongoze kila move. Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka. Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo. Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mboo yangu unavyotaka,laa...atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu. Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu. Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji. Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyinya mboo za wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha ilaakikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache? Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa? Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umtombe, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu. Hata kama akitaka "akutombe" mruhusu tu...!!! #10 – Ondoa mazoea Wanaume ni watu wa ajabu sana. Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kutombana. Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo. Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game.Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea. Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza ! #11 – Kuwa mwenye shukrani Kama ulidhani kuwa shukrani kwa mwenzako ni asante tu, basi ulikosea. Hivi, unadhani wale makahaba wanaouza miili yao kule huwa hawaambiwi asante kwa huduma zao? Wanaambiwa sana tu,lakini mbona hawawakubali wale wote wenye kuwashukuru? Shukranikwa mwenza wako inatakiwa iwe ya kivitendo zaidi. Ufanye mwili wako uonyeshe kuwa unashukuru kwa vile anavyokupa mwenzako, kabla hata ya kutamka kwa mdomo wako kumshukuru. Kushukuru kwa mwili ni pamoja na kuwa "gentle" wakati wa kutombana kwenyewe, na sio unakuta mtu unakazana kumsugua mwanamke wako utadhani unadhamiria kuhakikisha kuwa unafidia bia ulizomnywesha, au mahari kubwa waliyokulipisha wazazi wake wakati wanakukabidhi (kama ni mkeo wa ndoa) Natumaini somo umelielewa ndugu msomaji. *B professional love * ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Dr Luv🤓🤓🤓
...
![NDANI YA CHUMBA CHA BINTI WA KAZI [house girl]
Baba anavamiwa na pepo wa ngono anajikuta anawaka tamaa kwa binti wa kazi ambaye ni kama mtoto wake wa kumzaa.
Baada ya hiyo hali kumchosha house girl akaona isiwe tabu wacha akae na mama amueleze yote yanayoendelea baina yake na baba ili kunusuru ndoa ya huyu mama.
Ilikuwa ni jioni kama ya saa 9 alasiri
mama akijianda kwenda kwenye ibada,binti akatoka chumbani akamwambia mama
"Samahani mama naweza kuongea nawewe kitu sasa?"
"Ndiyo ondoa shaka japo niko na ratiba ya kwenda ibadani"alijibu mama
"Mama,baba ananitongoza ananitaka kimapenzi,sasa ni kama mwezi mzima sasa,
Siku ya kwanza nilidhani amepitiwa tu lakini inavyoonekana amedhamilia....
naumia nakosa amani hasa nikimwangalia baba na mimi naona kabisa ni kama baba kwangu,au babu yangu kabisa.nisaidie mama nakosa sana amani nikiona SMS zake kwenye simu yangu,
nakuheshimu na namuheshimu sana baba,sitaki tuje kuingia ugonvi na wewe mama mimi nafanya kazi hapa kwa malengo makubwa,sitaki nije nipoteze kazi kwa mambo ya kipumbavu......
na isitoshe pia mimi nina mchumba ambaye nilishamwambia ikiwa yuko sirious aje nyumbani awaone ninyi kama wazazi wangu mnaonilea.....na tangu nipoteze wazazi wangu naona kama majeraha yangu yameshapona kwa sababu Mungu amenipa wazazi wanaonijari na kunitimizia mahitaji yangu muhimu.....
"Binti alimweleza mama kwa hisia kali sana huku akionyesha kulengwa na machozi....."Naomba usinifukuze mama nakuomba!"
Mama alijikuta anampenda sana yule binti
Na yeye akajikuta analengwa na machozi akachukua muda wa kufkir kama dakika 10 pasipo kusema chochote
Binti akamwonyesha kila kitu kwenye simu yake
Mama akaona msg za ajabu na za aibu toka kwa mumewe.....akamhurumia,akajisemea moyoni
" hivi hawa wanaume wanataka nini jamani?"
Ni kitu gani kakikosa kwangu ambacho msichana wangu anavyo?
Nimemkosea nini hasa??
Basi kwa unyonge mama akaona hana hata hamu ya kwenda ibadani, akamjibu yule binti "ntaanzaje kukufukuza Mwanangu! Nakuhakikishia kwamba siwezi kukuondoa,mpaka pale utakapotimiza malengo yako.....
Baada ya muda mama akaona hakuna haja ya kwenda hata ibadani wakati tayari ako na shida moyoni mwake,akaingia chumbani kwake akawa amejipumzisha akifikiria mambo mengi yahusuyo ndoa yake......akajisemea " kwanini shetani anataka tumalize vibaya kwenye ndoa yetu?"
SAA za jioni msichana akapokea message toka kwa mzee:
"usiku nitachelewa kuingia na kabla sijaingia chumbani ntakuja kwako usifunge mlango sawa!"
Ilikuwa ni text iliyoingia kwenye simu ya binti
Moja kwa moja akampelekea mama kumwonyesha ili wajue wanafanyaje maana ni mtihani mzito kwa house girl.......
Lkn mama akamuuliza kama anaweza kumwachia ile simu kwa muda ule akae nayo chumbani kwake, binti akasema hakuna shida na mama akaingia nayo kuchat na mumewe.
Ile SMS iliyotoka kwa mumewe akaijibu akasema
[Hakuna shida]
Mzee akajibu;
{Ngoja nimwandikie wife sms kama ntachelewa,nikuletee zawadi gani mwanangu?}
Mama akijibu;
[Niletee skin tite]
{Size gani?}
[Kama anazovaa mama tunavaa size moja]
{Sifahamu anavaa size gani sijawahi kumnunulia}
[Haaaaaa!baba hujui size ya mkeoooo are you sure?]
Kukawa na ukimya kidogo mzee nafkir akashtuka kuona zile chatting utafkir ni mkewe akaruka hewani ili ajiridhishe.........
mama haraka akamwita binti akamwambia pokea mwambie mama yupo saizi tuendelee kuchat.....akafanya hivyo na mzee akakata.
Akamwendea Whatsap mkewe akamwandikia ujumbe
"Ntachelewa kurudi Leo kuna mpira wa Manchester na arsenal unaisha saa 6:45 mkewe akaijibu haraka akasema"sawa mume wangu"
Akarudi kuchat na house girl fake na hajui kama simu zote ziko na mkewe
{"Ndio sijui size ya mke wangu kwani lazima?}
Mama akamtajia size yake ya tait.
Usiku saa 4 na nusu,jamaa akamwandikia message anaedhani ni msichana wake wa kazi akisema
"Dakika 10 ntakuwa hapo acha mlango wazi"
Mama akajibu "poa" akaenda kufungua mlango akaingia chumbani kwa msichana wake kulala akimsubiri kwa hamu kubwa mumewe akazima taa akaingia ndani ya neti akajifunika shuka........wakati huo binti usiku huo amelala chumba cha wageni.
Saa tano kasoro dakika 20 mzee akafika,akafungua mlango wa nje taratiibuuu akaanza kunyata akiingia chumbani kwa house girl kuvunja amri ya 6 {usizini}
Alipofungua mlango kwa taratibu sana,akaufunga kwà ndani akachojoa nguo zote akitumia mwanga wa simu akaingia ndani ya neti akazima simu yake akaingia ndani ya shuka.....
Haraka haraka akatua mkono wake kwenye kiuno cha mkewe
Mh!ni kama alishtuka kidogo baada ya kuona matuta fulani kiunoni,akaanza kupapasa mkono wake ukatua kwenye maziwa ya mkewe.....hapo ndipo alipochoka.....maana aliona yale maziwa yamelala kabisa kama ya mkewe.......alikuwa ameshajua tayari kwamba amewekewa tego,stim zote zikawa zimekata ni mdogoo kama piliton......
Na mkewe baada ya kuona jamaa kashtukia ishu
Akaanza nae ukorofi wa kumpapasa mumewe huyo halali......jamaa alikuwa ameshanyong'onyea kila kiungo kimelala hakuna ushirikiano wowote!
Sikiliza neno la mzee kwa mkewe "habari za leo mke wangu?
"Salama mume wangu kuwa huru,hapa huibi uko na mkeo halali twende kazi".alijibu mama kwa sauti ya mahaba.....vp mpira umeisha,nani kaibuka kidedea?au ulikuwa unamaanisha mechi ya kitandani?
Hahaaaaa mwandishi anacheeka!!!
Unaambiwa mzee alinyong'onyea akajigeuza akaangalia juu hajui atatoka kwa njia gani,mama akatoa mkono wake nje ya neti akawasha taa akamgeukia mumewe akaanza kumwimbia kwa sauti ya chini
Kabla hajaanza kusema mzee akasema " samahani mke wangu..... Mama akajibu "usijari,bila hata samahani nimekusamehe,lakini naomba kukuuliza mwenzangu;-
Ulikuwa unataka nini kwa msichana ambacho mimi sina?
Najua kitu cha kwanza ulichotambua kama ni mimi mkeo,ni matiti yangu yalivyolala......
lakini umesahau kama na mimi wakati wa ujana wangu nilikuwa kama huyu binti nilikuwa mzuri nilikuwa nang'ang'aniwa na vijana wengi lakini miongoni mwao nikakuchagua wewe uwe mume wangu,
siku hazigandi mwenzangu!
Umri umesogea,kubaliana na hali iliyopo!!
Unataka nini kwa house girl?
Wenzio wakina Ibrahim walikuwa wanataka watoto......Mbona nimekuzalia watoto watano wote unataka nini kwa house girl??
Mwache Mtoto wa watu usimvurugie malengo yake
Nakuomba nakuombea kwa Mungu tuumalize uzee wetu vzur tafadhari.......mzee hakuna na neno lingine zaidi ya samahani mke wangu".
Nimekusamehe, naomba zawadi yangu....akamwonyesha kwa ishara rambo iliyokuwa chini.......mama akafungua akakuta skin title 12 akamwambia asante sana....sasa nimekusamehe tumalizie usingizi hapa hapa si ndio?
Mzee akasema twende kwetu wakatoka kwenda kulala
House girl anasema ilipita miezi mitatu hawakuwahi kuonana na dadii ijapokuwa wako wote ndani na sasa yupo kwake alishaolewa.
Wanaume mpone kwa kweli
By Kuhani Mlawi NDANI YA CHUMBA CHA BINTI WA KAZI [house girl]
Baba anavamiwa na pepo wa ngono anajikuta anawaka tamaa kwa binti wa kazi ambaye ni kama mtoto wake wa kumzaa.
Baada ya hiyo hali kumchosha house girl akaona isiwe tabu wacha akae na mama amueleze yote yanayoendelea baina yake na baba ili kunusuru ndoa ya huyu mama.
Ilikuwa ni jioni kama ya saa 9 alasiri
mama akijianda kwenda kwenye ibada,binti akatoka chumbani akamwambia mama
"Samahani mama naweza kuongea nawewe kitu sasa?"
"Ndiyo ondoa shaka japo niko na ratiba ya kwenda ibadani"alijibu mama
"Mama,baba ananitongoza ananitaka kimapenzi,sasa ni kama mwezi mzima sasa,
Siku ya kwanza nilidhani amepitiwa tu lakini inavyoonekana amedhamilia....
naumia nakosa amani hasa nikimwangalia baba na mimi naona kabisa ni kama baba kwangu,au babu yangu kabisa.nisaidie mama nakosa sana amani nikiona SMS zake kwenye simu yangu,
nakuheshimu na namuheshimu sana baba,sitaki tuje kuingia ugonvi na wewe mama mimi nafanya kazi hapa kwa malengo makubwa,sitaki nije nipoteze kazi kwa mambo ya kipumbavu......
na isitoshe pia mimi nina mchumba ambaye nilishamwambia ikiwa yuko sirious aje nyumbani awaone ninyi kama wazazi wangu mnaonilea.....na tangu nipoteze wazazi wangu naona kama majeraha yangu yameshapona kwa sababu Mungu amenipa wazazi wanaonijari na kunitimizia mahitaji yangu muhimu.....
"Binti alimweleza mama kwa hisia kali sana huku akionyesha kulengwa na machozi....."Naomba usinifukuze mama nakuomba!"
Mama alijikuta anampenda sana yule binti
Na yeye akajikuta analengwa na machozi akachukua muda wa kufkir kama dakika 10 pasipo kusema chochote
Binti akamwonyesha kila kitu kwenye simu yake
Mama akaona msg za ajabu na za aibu toka kwa mumewe.....akamhurumia,akajisemea moyoni
" hivi hawa wanaume wanataka nini jamani?"
Ni kitu gani kakikosa kwangu ambacho msichana wangu anavyo?
Nimemkosea nini hasa??
Basi kwa unyonge mama akaona hana hata hamu ya kwenda ibadani, akamjibu yule binti "ntaanzaje kukufukuza Mwanangu! Nakuhakikishia kwamba siwezi kukuondoa,mpaka pale utakapotimiza malengo yako.....
Baada ya muda mama akaona hakuna haja ya kwenda hata ibadani wakati tayari ako na shida moyoni mwake,akaingia chumbani kwake akawa amejipumzisha akifikiria mambo mengi yahusuyo ndoa yake......akajisemea " kwanini shetani anataka tumalize vibaya kwenye ndoa yetu?"
SAA za jioni msichana akapokea message toka kwa mzee:
"usiku nitachelewa kuingia na kabla sijaingia chumbani ntakuja kwako usifunge mlango sawa!"
Ilikuwa ni text iliyoingia kwenye simu ya binti
Moja kwa moja akampelekea mama kumwonyesha ili wajue wanafanyaje maana ni mtihani mzito kwa house girl.......
Lkn mama akamuuliza kama anaweza kumwachia ile simu kwa muda ule akae nayo chumbani kwake, binti akasema hakuna shida na mama akaingia nayo kuchat na mumewe.
Ile SMS iliyotoka kwa mumewe akaijibu akasema
[Hakuna shida]
Mzee akajibu;
{Ngoja nimwandikie wife sms kama ntachelewa,nikuletee zawadi gani mwanangu?}
Mama akijibu;
[Niletee skin tite]
{Size gani?}
[Kama anazovaa mama tunavaa size moja]
{Sifahamu anavaa size gani sijawahi kumnunulia}
[Haaaaaa!baba hujui size ya mkeoooo are you sure?]
Kukawa na ukimya kidogo mzee nafkir akashtuka kuona zile chatting utafkir ni mkewe akaruka hewani ili ajiridhishe.........
mama haraka akamwita binti akamwambia pokea mwambie mama yupo saizi tuendelee kuchat.....akafanya hivyo na mzee akakata.
Akamwendea Whatsap mkewe akamwandikia ujumbe
"Ntachelewa kurudi Leo kuna mpira wa Manchester na arsenal unaisha saa 6:45 mkewe akaijibu haraka akasema"sawa mume wangu"
Akarudi kuchat na house girl fake na hajui kama simu zote ziko na mkewe
{"Ndio sijui size ya mke wangu kwani lazima?}
Mama akamtajia size yake ya tait.
Usiku saa 4 na nusu,jamaa akamwandikia message anaedhani ni msichana wake wa kazi akisema
"Dakika 10 ntakuwa hapo acha mlango wazi"
Mama akajibu "poa" akaenda kufungua mlango akaingia chumbani kwa msichana wake kulala akimsubiri kwa hamu kubwa mumewe akazima taa akaingia ndani ya neti akajifunika shuka........wakati huo binti usiku huo amelala chumba cha wageni.
Saa tano kasoro dakika 20 mzee akafika,akafungua mlango wa nje taratiibuuu akaanza kunyata akiingia chumbani kwa house girl kuvunja amri ya 6 {usizini}
Alipofungua mlango kwa taratibu sana,akaufunga kwà ndani akachojoa nguo zote akitumia mwanga wa simu akaingia ndani ya neti akazima simu yake akaingia ndani ya shuka.....
Haraka haraka akatua mkono wake kwenye kiuno cha mkewe
Mh!ni kama alishtuka kidogo baada ya kuona matuta fulani kiunoni,akaanza kupapasa mkono wake ukatua kwenye maziwa ya mkewe.....hapo ndipo alipochoka.....maana aliona yale maziwa yamelala kabisa kama ya mkewe.......alikuwa ameshajua tayari kwamba amewekewa tego,stim zote zikawa zimekata ni mdogoo kama piliton......
Na mkewe baada ya kuona jamaa kashtukia ishu
Akaanza nae ukorofi wa kumpapasa mumewe huyo halali......jamaa alikuwa ameshanyong'onyea kila kiungo kimelala hakuna ushirikiano wowote!
Sikiliza neno la mzee kwa mkewe "habari za leo mke wangu?
"Salama mume wangu kuwa huru,hapa huibi uko na mkeo halali twende kazi".alijibu mama kwa sauti ya mahaba.....vp mpira umeisha,nani kaibuka kidedea?au ulikuwa unamaanisha mechi ya kitandani?
Hahaaaaa mwandishi anacheeka!!!
Unaambiwa mzee alinyong'onyea akajigeuza akaangalia juu hajui atatoka kwa njia gani,mama akatoa mkono wake nje ya neti akawasha taa akamgeukia mumewe akaanza kumwimbia kwa sauti ya chini
Kabla hajaanza kusema mzee akasema " samahani mke wangu..... Mama akajibu "usijari,bila hata samahani nimekusamehe,lakini naomba kukuuliza mwenzangu;-
Ulikuwa unataka nini kwa msichana ambacho mimi sina?
Najua kitu cha kwanza ulichotambua kama ni mimi mkeo,ni matiti yangu yalivyolala......
lakini umesahau kama na mimi wakati wa ujana wangu nilikuwa kama huyu binti nilikuwa mzuri nilikuwa nang'ang'aniwa na vijana wengi lakini miongoni mwao nikakuchagua wewe uwe mume wangu,
siku hazigandi mwenzangu!
Umri umesogea,kubaliana na hali iliyopo!!
Unataka nini kwa house girl?
Wenzio wakina Ibrahim walikuwa wanataka watoto......Mbona nimekuzalia watoto watano wote unataka nini kwa house girl??
Mwache Mtoto wa watu usimvurugie malengo yake
Nakuomba nakuombea kwa Mungu tuumalize uzee wetu vzur tafadhari.......mzee hakuna na neno lingine zaidi ya samahani mke wangu".
Nimekusamehe, naomba zawadi yangu....akamwonyesha kwa ishara rambo iliyokuwa chini.......mama akafungua akakuta skin title 12 akamwambia asante sana....sasa nimekusamehe tumalizie usingizi hapa hapa si ndio?
Mzee akasema twende kwetu wakatoka kwenda kulala
House girl anasema ilipita miezi mitatu hawakuwahi kuonana na dadii ijapokuwa wako wote ndani na sasa yupo kwake alishaolewa.
Wanaume mpone kwa kweli
By Kuhani Mlawi](http://lh4.googleusercontent.com/-wR9X2Ir5tN8/URsTis2yuWI/AAAAAAAAAhk/peKQZDOLiVM/s320/no-img.png)
NDANI YA CHUMBA CHA BINTI WA KAZI [house girl] Baba anavamiwa na pepo wa ngono anajikuta anawaka tamaa kwa binti wa kazi ambaye ni kama mtoto wake wa kumzaa. Baada ya hiyo hali kumchosha house girl akaona isiwe tabu wacha akae na mama amueleze yote yanayoendelea baina yake na baba ili kunusuru ndoa ya huyu mama. Ilikuwa ni jioni kama ya saa 9 alasiri mama akijianda kwenda kwenye ibada,binti akatoka chumbani akamwambia mama "Samahani mama naweza kuongea nawewe kitu sasa?" "Ndiyo ondoa shaka japo niko na ratiba ya kwenda ibadani"alijibu mama "Mama,baba ananitongoza ananitaka kimapenzi,sasa ni kama mwezi mzima sasa, Siku ya kwanza nilidhani amepitiwa tu lakini inavyoonekana amedhamilia.... naumia nakosa amani hasa nikimwangalia baba na mimi naona kabisa ni kama baba kwangu,au babu yangu kabisa.nisaidie mama nakosa sana amani nikiona SMS zake kwenye simu yangu, nakuheshimu na namuheshimu sana baba,sitaki tuje kuingia ugonvi na wewe mama mimi nafanya kazi hapa kwa malengo makubwa,sitaki nije nipoteze kazi kwa mambo ya kipumbavu...... na isitoshe pia mimi nina mchumba ambaye nilishamwambia ikiwa yuko sirious aje nyumbani awaone ninyi kama wazazi wangu mnaonilea.....na tangu nipoteze wazazi wangu naona kama majeraha yangu yameshapona kwa sababu Mungu amenipa wazazi wanaonijari na kunitimizia mahitaji yangu muhimu..... "Binti alimweleza mama kwa hisia kali sana huku akionyesha kulengwa na machozi....."Naomba usinifukuze mama nakuomba!" Mama alijikuta anampenda sana yule binti Na yeye akajikuta analengwa na machozi akachukua muda wa kufkir kama dakika 10 pasipo kusema chochote Binti akamwonyesha kila kitu kwenye simu yake Mama akaona msg za ajabu na za aibu toka kwa mumewe.....akamhurumia,akajisemea moyoni " hivi hawa wanaume wanataka nini jamani?" Ni kitu gani kakikosa kwangu ambacho msichana wangu anavyo? Nimemkosea nini hasa?? Basi kwa unyonge mama akaona hana hata hamu ya kwenda ibadani, akamjibu yule binti "ntaanzaje kukufukuza Mwanangu! Nakuhakikishia kwamba siwezi kukuondoa,mpaka pale utakapotimiza malengo yako..... Baada ya muda mama akaona hakuna haja ya kwenda hata ibadani wakati tayari ako na shida moyoni mwake,akaingia chumbani kwake akawa amejipumzisha akifikiria mambo mengi yahusuyo ndoa yake......akajisemea " kwanini shetani anataka tumalize vibaya kwenye ndoa yetu?" SAA za jioni msichana akapokea message toka kwa mzee: "usiku nitachelewa kuingia na kabla sijaingia chumbani ntakuja kwako usifunge mlango sawa!" Ilikuwa ni text iliyoingia kwenye simu ya binti Moja kwa moja akampelekea mama kumwonyesha ili wajue wanafanyaje maana ni mtihani mzito kwa house girl....... Lkn mama akamuuliza kama anaweza kumwachia ile simu kwa muda ule akae nayo chumbani kwake, binti akasema hakuna shida na mama akaingia nayo kuchat na mumewe. Ile SMS iliyotoka kwa mumewe akaijibu akasema [Hakuna shida] Mzee akajibu; {Ngoja nimwandikie wife sms kama ntachelewa,nikuletee zawadi gani mwanangu?} Mama akijibu; [Niletee skin tite] {Size gani?} [Kama anazovaa mama tunavaa size moja] {Sifahamu anavaa size gani sijawahi kumnunulia} [Haaaaaa!baba hujui size ya mkeoooo are you sure?] Kukawa na ukimya kidogo mzee nafkir akashtuka kuona zile chatting utafkir ni mkewe akaruka hewani ili ajiridhishe......... mama haraka akamwita binti akamwambia pokea mwambie mama yupo saizi tuendelee kuchat.....akafanya hivyo na mzee akakata. Akamwendea Whatsap mkewe akamwandikia ujumbe "Ntachelewa kurudi Leo kuna mpira wa Manchester na arsenal unaisha saa 6:45 mkewe akaijibu haraka akasema"sawa mume wangu" Akarudi kuchat na house girl fake na hajui kama simu zote ziko na mkewe {"Ndio sijui size ya mke wangu kwani lazima?} Mama akamtajia size yake ya tait. Usiku saa 4 na nusu,jamaa akamwandikia message anaedhani ni msichana wake wa kazi akisema "Dakika 10 ntakuwa hapo acha mlango wazi" Mama akajibu "poa" akaenda kufungua mlango akaingia chumbani kwa msichana wake kulala akimsubiri kwa hamu kubwa mumewe akazima taa akaingia ndani ya neti akajifunika shuka........wakati huo binti usiku huo amelala chumba cha wageni. Saa tano kasoro dakika 20 mzee akafika,akafungua mlango wa nje taratiibuuu akaanza kunyata akiingia chumbani kwa house girl kuvunja amri ya 6 {usizini} Alipofungua mlango kwa taratibu sana,akaufunga kwà ndani akachojoa nguo zote akitumia mwanga wa simu akaingia ndani ya neti akazima simu yake akaingia ndani ya shuka..... Haraka haraka akatua mkono wake kwenye kiuno cha mkewe Mh!ni kama alishtuka kidogo baada ya kuona matuta fulani kiunoni,akaanza kupapasa mkono wake ukatua kwenye maziwa ya mkewe.....hapo ndipo alipochoka.....maana aliona yale maziwa yamelala kabisa kama ya mkewe.......alikuwa ameshajua tayari kwamba amewekewa tego,stim zote zikawa zimekata ni mdogoo kama piliton...... Na mkewe baada ya kuona jamaa kashtukia ishu Akaanza nae ukorofi wa kumpapasa mumewe huyo halali......jamaa alikuwa ameshanyong'onyea kila kiungo kimelala hakuna ushirikiano wowote! Sikiliza neno la mzee kwa mkewe "habari za leo mke wangu? "Salama mume wangu kuwa huru,hapa huibi uko na mkeo halali twende kazi".alijibu mama kwa sauti ya mahaba.....vp mpira umeisha,nani kaibuka kidedea?au ulikuwa unamaanisha mechi ya kitandani? Hahaaaaa mwandishi anacheeka!!! Unaambiwa mzee alinyong'onyea akajigeuza akaangalia juu hajui atatoka kwa njia gani,mama akatoa mkono wake nje ya neti akawasha taa akamgeukia mumewe akaanza kumwimbia kwa sauti ya chini Kabla hajaanza kusema mzee akasema " samahani mke wangu..... Mama akajibu "usijari,bila hata samahani nimekusamehe,lakini naomba kukuuliza mwenzangu;- Ulikuwa unataka nini kwa msichana ambacho mimi sina? Najua kitu cha kwanza ulichotambua kama ni mimi mkeo,ni matiti yangu yalivyolala...... lakini umesahau kama na mimi wakati wa ujana wangu nilikuwa kama huyu binti nilikuwa mzuri nilikuwa nang'ang'aniwa na vijana wengi lakini miongoni mwao nikakuchagua wewe uwe mume wangu, siku hazigandi mwenzangu! Umri umesogea,kubaliana na hali iliyopo!! Unataka nini kwa house girl? Wenzio wakina Ibrahim walikuwa wanataka watoto......Mbona nimekuzalia watoto watano wote unataka nini kwa house girl?? Mwache Mtoto wa watu usimvurugie malengo yake Nakuomba nakuombea kwa Mungu tuumalize uzee wetu vzur tafadhari.......mzee hakuna na neno lingine zaidi ya samahani mke wangu". Nimekusamehe, naomba zawadi yangu....akamwonyesha kwa ishara rambo iliyokuwa chini.......mama akafungua akakuta skin title 12 akamwambia asante sana....sasa nimekusamehe tumalizie usingizi hapa hapa si ndio? Mzee akasema twende kwetu wakatoka kwenda kulala House girl anasema ilipita miezi mitatu hawakuwahi kuonana na dadii ijapokuwa wako wote ndani na sasa yupo kwake alishaolewa. Wanaume mpone kwa kweli By Kuhani Mlawi
...

🌺🌺🌺MAHABA_PROFESSIONAL🌺🌺🌺UMUHIMU WA SHANGA NA MATUMIZI YAKE KWENYE MAPENZI💏 👗 Shosti asikwambie mtu kwa wanaume wengi wa Kiafrika wanapenda sana mwanamke kuwa na chachandu kwani wanakwambia zinawapa raha na utulivu wanapokuwa faragha. 🌸Chachandu zinapaswa kuvaliwa wapi?, ⏩🌸shosti si kila sehemu unavaa chachandu angalia na sehemu ya kuzivaa kwa sababu ukizivaa eneo la kazi utatafsiriwa vibaya, zile zinafaa kuvaliwa chumbani ukiwa na mpenzi wako tu. ⏩Unajua zile zinatungwa na uzi huenda ukazivaa na ikatokea zikakatika hivi utajisikiaje ukiwa sokoni halafu zikakatika lazima utaona aibu na wengine hudiriki kuziacha hapohapo. Cha kufanya shosti yangu vaa kwa raha zako wakati unahisi mumeo anataka kurudi nyumbani, ukishaoga na umeshajiandaa kwa kumpokea mume unaweza kuvaa chachandu kwani zitachangia kumuweka tayari mumeo. 🌹UMUHIMU WA KUVAA SHANGA 💏😍😍😘 ⏩Kiuno cha mwanamke💁👼👗 hupendeza zaidi na kuvutia kama kikipambwa kwa kukivalisha shanga,👙👙👙Nami nakupa maana na kazi ya shanga hizo 1: UNAWEZA UKAZIVAA KAMA UREMBO👙👙 🌻Kuna baadhi ya wanawake 👗siku hizi wanapenda kuvaa shanga 👙kama urembo,na kusema kweli kiuno cha mwanamke kikivalishwa shanga kinapendeza 👙👙na kuongezeka mvuto,Sio tu kwa wanaume bali hata kwa wanawake pia,ukivaa shanga kiuno chako kitapendeza😍😘😘 2. HUONGEZA HAMU 😍NA MZUKA WA KUKATA KIUNO WAKATI WA KUPEANA RAHA😍💏♋ 🌻baadhi ya wanawake👗 tunapocheza ngoma,👯kiunoni huvaa kitu kinachoitwa kibwebwe ambacho hutufanya tufeel wepesi wa kukata miuno💃vivyo hivyo tunatakiwakuvaa shanga ya kufanya iwe rahisi kwetu kukatika na viuno vionekane kweli vinakatika.💃💃Na pia wanasema sio tu zinasaidia kukata kiuno vizuri lakini pia zinaongeza mvuto mwanaume😍😍👶 akiangalia kiuno kilichovalishwa shanga kikikatika.💏💏💏 3. UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUMPA HAMU YA KUPATA RAHA MUMEO/MPENZI WAKO😍😍😍 ➡.Ki ukweli ukiziona shanga zipo kiunoni lazima upate hamu kama wewe ni mwanaume wa ukweli, ⏩Kwahiyo kama huna mazoea ya kuzivaa,👙na ulikuwa unapenda kufanya au kuongeza kitu kipya kwenye uwanja wenu wa kupeana raha na utamu,💋😘💏basi nenda kanunue shanga,kisha uzivae ukiwa peke yako kwa ajili ya kumsuprise mpenzi wako.💏❤❤ Utajua kama anazipenda kwa jinsi atakavyokuwa bize kuzishikashika na kuzitomasa muda wote mkiwa mnapeana raha.❤😍💏😘 4. UNAWEZA UKAZIVAA UKIWA UNAMAANISHA KITU👌👌👌UPOOO💃 🌻Kuna baadhi ya wanawake wanazivaa shanga kwa kutumia rangi ambazo zitaleta maana au ujumbe ambao anataka umfikie yule aliyemvalia💏💏 5. UNAWEZA UKAZIVAA ILI UJIONGEZEE RAHA WEWE MWENYEWE WAKATI WA KUPEANA RAHA 🌸Kiuno cha mwanamke kimeumbwa na hisia za mahaba mwanaume akitomasa zile shanga lazima upateraha JINSI YA KUTUMIA SHANGA KITANDANI 💏💏💏💏💏💏💏💏💏💏 *Cheni/shanga hizi hutumika kuchezewa kwa ustadi na wanaume waliobobea katika haya majamboz hasa pale wanapotumia ndimi zao kuzungusha kiunoni mwa wapenzi wao huku shanga/cheni hiyo ikiwa mdomoni na ulimi ukitumika ipasavyo katika kugusa na kutekenya ngozi ya mpenzwake na mazingira yote ya jirani ilipopita shanga hizo kama vile kwenye kinena,na hata kumani. Mtekenyo huu ukifanywa kwa ustadi hakika mwanamke hujihisi burudani sana kifaa chake hicho cha kiunoni kilivyopata mtumiaji. 😍😍😍😍😍😍 *Shanga/cheni hutumika katika kuamsha uume pale unapoonekana kuanza kulala. Kwa kutumia cheni wanawake wataalam huchukua uume wa mpenz wake na kuupenyeza au kuuviringisha juu ya shanga/cheni hiyo mithili ya mtu anayesukuma chapatti hivyo hufanya uume wa mtu wake kupata nguvu na amsha amsha ndani ya muda mfupi na hivyo iwapo tayari imesimama huingizwa taratibu kumani tayari kufanya shughuli yake ya kukuna sehemu husika mpaka pale mwanamke anapokiri kweli hakuna raha kama kutiwa pale unapompata mtiaji👌👌💃💃💃 👯👯 RANGI ZA SHANGA NA MAANA ZAKE👯👯 1.NYEKUNDU🌹 Kama ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyekundu🌹,basi ujue yupo kwenye siku zake ( Hedhi ). Kwa hiyo unaweza kumuuliza ili upate uhakika zaidi usije ukaingiza mashine ukaishia kujichafua.Kwaiyo uvaaji wa shanga nyekundu kwa mwanamke ni kiashiria cha alama ya hatari hada ukiwa kwenye siku zako👌👌👌ingawa rangi nyekundu hunogesha kiuno na kukufanya uvutie lkn ukikutana na mwanaume mwenye kujua maana ya hii rangi itakula kwako bibi eemaana utaachwa na minyege yako uhangaike💃💃👌kuwa makini na hii rangi upooooo👌👌 2.NYEUPE ➡Ukikuta mwanamke👗 amevaa shanga za rangi nyeupe👙👙 basi ujue kuwa kwa muda huo,Hana tatizo lolote litakalomzuia kukupa wewe raha,💏💏💏kwahiyo upo free kufanya chochote kwenye mwili wake mpe raha mwanamke wako. ⏩Mwanamke pia uwe free kwenye mwili wa mpenzi wako mpe mahaba yote haswaa ukivaa shanga za rangi nyeupe kiuno kitakua mwaa😘😘👌.nani asiejua rangi nyeupe ni alama ya usafi na amani?uwiii mpe mmeo kiuno kikiwa kimevaa shanga nyeupe safiiii👌👌u sio?mpe manbo matam kama haya sawa eeeeee👌💃💃💃💃 3..NYEUSI ⏩Ukikuta mwanamke amevaa shangaza rangi nyeusi,basi ujue kuwa yupo tayari kukupa raha,lakini tatizo bado hajanyoa nywele zake za sehemu za siri kwa hiyo waweza kumnyoa kama kweli upo romantic au ukaacha siku hiyo ipite ili anyoe baadaye au kama hamu imekuzidia sana unaweza ukaendelea kama kawaida 💏💏💏alafu baada ya kula raha ukamnyoa/mkanyoana mavuzi.mwanamke👗usafi bibi eeh hasa kunyoa kyuma na mbooo ili mjipe rahaaaa kunako sita kwasita(bed)sio mnapeana raha mavuzi yanachana mboo badala ya raha inakua karaha ya kuuguza vidonda inahuuu?👌👌💃💃limenifika apaaaa mnyoe sawa eeeehhh😝😝😝 KAMA UKIONA MPENZIO HAFURAHII SHANGA,UNAWEZA KUVAA CHENI,IWE YA GOLD AU SILVER...sababu ni kuwa ni raha sana kukipamba kiuno😋😋😋😋😋👯😜ili baby dady afurahie 👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯mahaba_proffesional👯
...

NI VEMA UKAYAJUA HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA: 1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote. 2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa. 3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema. 4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote. 5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu. 6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi. 7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa: (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wagomvi. Aina tano za wanawake wa kuepukwa; (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wachawi (d) Wagomvi (e) wasio tii 8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha. 9. Maneno matatu yanayojenga amani katika Ndoa: (a) Nakupenda. (b) Samahani. (c) Asante. 10. Kupiga punyeto kwa mwanaume na kujichua kwa mwanamke ni kuharibu mwili wako mwenyewe. 11. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta. Hamuwezi kufika popote. 12. Mafanikio ya Ndoa siku zote ni pembetatu: >Mungu mmoja > Mume mmoja > Mke mmoja. 13. Furaha ya kudumu maishani hutegemea na chaguo lako la mwenzi ktk Ndoa. 14. Usioe/kuolewa na pesa au mali. Oa/Olewa na mtu. Pesa/Mali hufilisika lakini utu hudumu milele. 15. Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko Ndoa isiyo na amani wala furaha. 16. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano mzuri wa mwanamke. Hakuna mwanamke mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa. 17. Mapenzi si upofu. Upofu ni kuoa ama kuolewa na mwanamume/mwanamke kwa sababu tu anakidhi haja zako kingono. 18. Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki wema. Vivyo hivyo kwa marafiki wabaya (Bad company corrupt good character) 19. Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali. 20. Iepuke Ndoa mbaya kabla haijaanza... ""Mungu awabariki Sana"". Watumie na wengine wajifunze.!
...

*💘💘SASA NIMEFAHAMU*💘💘 *💘MANENO YATOAYO MACHOZI💘* 💘"Mama anaongea na mwanawe na kumpa *Usia"* 💘Mwanangu mpenzi: 💘Kuna siku utanikuta uzee, sitafanya mambo yangu kwa akili; 💘Yakitokea hayo nakuomba tafadhali nipe muda na *subira ili unifahamu !!* 💘Pale mikono yangu itakapotetemeka, na chakula changu kikaangukia kifuani pangu, na nisipoweza kuvaa nguo zangu; 💘Jifunge na *kusubiria, na kumbuka miaka imepita nilikuwa nakufunza ambayo leo siwezi kuyafanya!!* 💘Ikiwa leo si maridadi na sina harufu nzuri; usinilaumu.. kumbuka udogoni kwako nikijitahidi sana nikufanye uwe maridadi mwenye harufu nzuri!! 💘Usinicheke utakapoona ujinga wangu na kutofahamu mambo ya wakati wenu huu, lakini wewe kuwa jicho na akili yangu ili niyapate niliyoyakosa!! 💘Mimi ndiye niliyekufunza adabu na mimi ndiye niliyekufunza vipi ukabiliane na maisha; *💘Sasa inakuaje leo unanifundisha yaliyo wajibu na yasiyo wajibu?* 💘Usinichoke kwa udhaifu wa kumbukumbu yangu, na uchelewaji wa *maneno yangu na fikra zangu* wakati ninapozungumza nawe, kwani furaha yangu wakati huu ni kuwa pamoja nawe tu!! *💘Wewe nisaidie tu kupata ninachohitaji;* kwani bado najua ninachotaka!! 💘Miguu yangu ikikataa kunipeleka sehemu ninayotaka kwenda; *nihurumie* na kumbuka kwamba mimi nilikushika sana mkono ili uweze kutembea!! *💘Usione haya abadan kunishika mkono wangu leo;* kwani kesho utatafuta wa kukushika mkono wako!! 💘Katika umri wangu huu; elewa kuwa mimi siyaelekei maisha kama wewe; lakini kwa ufupi nangojea mauti; kwa hiyo *kuwa pamoja nami wala usinitupe!!* 💘Pale ukikumbuka makosa yangu; jua kuwa mimi nilikuwa sitaki ila maslahi yako!! 💘Na mimi napenda sana unayonifanyia hivi sasa kwa *kunisamehe matelezo yangu na kusitiri aibu zangu..* *💘💘NAWE MOLA AKUGHUFIRIE NA AKUSTIRI!!💘💘* 💘Bado *vicheko na tabasamu zako vinanipa furaha* kama ulivyokuwa mdogo... kwa hiyo usininyime suhuba yako!! 💘Nilikuwa nawe wakati *unazaliwa;* kuwa nami pale *nitakapofariki!!* *💘Maneno bora yaliyopitia katika maisha yangu, na hata nikiyarudia mara elfu moja sichoki kuyasoma..* "Mola wangu warehemu wazazi wangu kama walivyonilea nilipokuwa mdogo"(Rabbi Arhamu humma kama rabayan swakhira) *💘MANENO MAZITO KWA MWENYE AKILI💘* *💘💘SASA NIMEFAHAMU💘💘*
...

MAMBO AMBAYO HUPASWI KUMFANYIA MWANAMKE ANAEKUPENDA KWA DHATI 1. Usimuumize moyo wake 2. Usi 'pretend' unampenda ili ufanikiwe kufanya yako. 3. Mtukane vyovyote vile ila sio wazazi wake na kumwambia kuwa yeye ni mbaya. 4. Usimfananishe na wanawake zako waliopita. 5. Usimchukulie kirahisirahisi (Never take her love for granted) 6. Usimpige 7. Usimsaliti na kuonyesha kabisa dharau ajue kuwa una 'cheat' 8. Usimvunjie heshima kwa kumgombeza mbele za watu. 9. Usimpotezee muda wake kama hauna mpango wa kumuoa, unamchelewesha kupata mume bora. 10. Usimfanye ajione hapendwi na ana mkosi hapa ulimwenguni, huo ni ujuha. 11. Usimbake 12. Kamwe usisahau kumwambia unampenda na yeye ni mzuri hiyo haipunguzi nguvu za kiume. 13. Usimpe mimba na kumkimbia au kumwambia aitoe, kama huna nia ya kumuoa achana na hayo mambo, nadhani unajua kabisa matokeo ya kufanya ngono. Sometimes sisi wanaume ni pasua kichwa vilevile, unakuta tunapata mwanamke anaekupenda kwa dhati, mwanamke ambae ni potential, mwanamke ambae hakodoi macho pochi yako, ila masikini ya Mungu anaishia kuumizwa na kulia kila siku na kujilaumu kwanini alikupenda. Wewe fanya hivyo ukidhani unamkomoa, ila siku na wewe ukibananishwa na mwanamke mjasiriamwili utaisoma namba, nakwambia utauza hadi boxer. Baadae unakuja kulalamika hapa 'wanawake wanapenda pesa, wanawake wanapenda pesa.' ukishikwa shikamana. Na kama humpendi usimtongoze!
...

*KINACHO MVUTIA MWANAUME* Kuna aina za wanawake ukijiuliza kwann wanaume wanapagawa hal ya kua mwanamke sio mzur wala hana kalio kubwa lakin mwanaume anakufa anaoza kwa mwanamke huyo ukichunguza utaona mwanamke huyo ana sifa flan ambazo humfanya mwanaume kumpenda *TABASAM* mwanamke anapo tabasam huvutia mno kwan huzun na uoga wa mwanaume unayeyuka kuna kua na harufu ya aman tofaut na mwanamke alie nuna na yupo serious mda wote huvunja hamasa ya mwenzie hata kama unazawad mfukon unaweza usiitoe *WANAO JICHUNGA* kuna wanawake wapole sana na hawafungui miguu yao kwa kila mwanaume tatizo hua mwanaume akisha tembea na mwanamke huwa mwepes kuwaambia wenzie kua hadija nimeshapita binafs yangu nampenda sana mwanamke alie tulia hata awe mbaya vip ila akijua kutunza zawad yake na kunipa mim tu ntampenda sana *MWANAMKE* ndio mwanaume humpenda mwanamke sana yaan mwanamke ni yule mwenye huruma kwake haswa akiwa katika kipind kigumu mskivu kwakua anajua mwanaume ni kiumbe mtawala kutokana na nature ya dunia bas anampa nafas yake kama kiongoz yeye anakua mshaur na mskivu anae pendeza wanasayans wanasema mwanamke anae vaa _NGUO NYEKUNDU_ huvutia sana lakin ni kwel wanaume weng hatupend makeup sana kama mwanamke akiwa natural haswa uson na anae nukia kama ua Mwanamke ni yule anae jua mume nyumban ni sehem yake ya kupata utulivu sio sehem ya maneno ya kwann hukufanya haya na midomo kuandamana *KIUNO* wanawake weng hudhan wanaume hupenda makalio makubwa kumbe sio kwel tunacho kiangalia mara nying ni kiuno kiwe ratio na makalio mfano wa kiuno cha nyigu hii hutupa tafsir ya hali yako ya uzaz na utunzaj wa mimba na mtoto kama vile tunavyo angalia nywele za mwanamke kujua kuhusu habar zake za uzazi 💕💕 *ILINDE NDOA YAKO* 💦💐
...

❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ *Kwa wanawake tu: Jinsi ya kunyonya uume uwapo kitandani* Ukiwa umeShika koni yako kwa kutumia mkono wa kushoto na kuendelea kuila endelea kufanya kama ifuatavyo: 1)-Pale jichoni kwa chini kidogo kama unaelekea pumbuni ukipafanyia kazi vema kwa kutumia kidole ambacho kitakuwa kinaute unaojitokeza pale mpenzi atapata raha. Vilevile wakati unanyonya unaweza mpagawisha mpenzi wako lakini unapaswa kuwa mwangalifu usiingize ncha ya ulimi wako kwa ndani kwani anaweza kuwa uncomfortable kwani ni too sensitive kimtindo. 2)-Kwenye uume ukiangalia vema kwa nyuma chini kidogo ya jicho pia nishingoni (pale kwenye ring) ilipokatwa ngozi/gozi/mkono wa sweta yaani pale panapotenganisha kichwa na Shaft kwa nyuma lakini..... enhee hapo hapo, unapomnyonya uume mpenzi wako basi hakikisha mdomo unafunika na kufanyia kazi kichwa wakati huohuo ulimi ufanyie kazi hapo mahali nilipokuambia(kama sio atakaza misuli ya miguu na matako, atakunja vidole vya miguuni au kukushikilia kichwa basi atatoa sauti fulani hivi zinazokuambia "ooh ni utamu please endelea"). 3)-Ukishikilia uume vema ukiwa umesimama, angalia kwa nyuma utaona kijimshipa fulani well sio mshika lakini ni kama mshipa ila mnene kiasi (wakati mwingine hauonekani) lakini kumbuka kama unaujua uume vema basi haitokuwa shida kuona kona hiyo hataka kama kijimshipa hicho hakijatokeza. Ushikilie vema Uume kisha uangalie vema na ugawanye mara mbili (nusu) kwa kuangalia/kwa macho na pale kati kati ndio kipele chenyewe nakizungumzia. Sasa panyonye mahali hapo kuanzia chini ya kichwa kuelekea chini kwenye pumbu....hakikisha ulimi unapitishwa pale wakati midomo (lips) zina funika zile nusu mbili za Shaft. * ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Dr Luv🤓🤓🤓
...

MIZIGO TULIYOIBEBA AMBAYO HAINA ULAZIMA WALA FAIDA💥:- 1.💥Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako. 2.💥Umebeba vinyongo na visasi moyoni vinavyokufanya uwafikirie waliokuumiza zaidi kuliko kufikiria furaha na maendeleo yako. 3.💥 Una marafiki wengi ambao ni kama kupe, wapo kukutumia tu na hawachangii lolote katika maendeleo zaidi ya kujifanya ndio watu wako karibu lakini kumbe wapo kwa maslahi yao! 4.💥Umeweka mbele zaidi "watu watanichukuliaje" kuliko kuangalia maisha yako.Watu ndio wanakuchagulia aina ya maisha unayoishi na unajilazimisha kuishi kama wao hata kama huna uwezo huo. 5.💥Unaongea zaidi ya kasuku lakini vitendo hakuna. Unatamani mafanikio tu moyoni lakini huna mipango ya kuyafikia. 6.💥Maisha yako yote umeyaweka kwenye mitandao ya kijamii. Huna siri hata moja! Hivyo unalazimika kuishi aina ya maisha ambayo yataendelea kufanana na yale uliyoyaweka kwenye mitandao ya jamii kwa sababu ukibadilika tu watasema "umefulia" 7.💥Kila aliefanikiwa ni rafiki yako au utasema ni mtu wako wa karibu na unaishia kuwasifia tu na kupiga nao picha lakini hujifunzi kutokana na mafanikio yao na wala hutumii fursa hiyo ya kujuana nao. 8.💥Upo sahihi kila siku(you are always right). Huambiliki, hushauriki na kila wazo atakalotoa mwenzako basi si zuri ila la kwako ndio sahihi na utataka litekelezwe hilo hilo. Mwisho wa siku kila mtu anakukimbia hakuna wa kukuambia "hapa umekosea" kwa sababu ya ujuaji wako. 9.💥Hujifunzi maarifa mapya.Mara ya mwisho kusoma kitabu ilikuwa ni "Ngoswe, penzi kitovu cha uzembe" Tena ni kwa sababu ilikuwa ni kwa ajili ya kujibia mtihani. Hujifunzi "life skills" wala ujuzi mwingine. 10.💥Unazurura mno mitandaoni bila faida. Kwako wewe intaneti ni kwa ajili ya kuchati tu na kufuatilia habari za mjini ambazo tangu umeanza kuzifuatilia hujawahi kuingiza hata shilingi moja, zaidi unateketeza tu hela yako ya vocha. Jitathimini kisha ubadili mwelekeo ili ufanye mambo ya maana yenye faida kwako.
...

🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 THAMANI NI YAKO MWANAMKE! Usimuache mtu yeyote akushushe chini kiasi hicho mpaka uwachukie wanaume wote, Mwanaume ni BABA, KAKA, MJOMBA, BINAM na mwingine aweza kuwa jilani huna sababu ya kuhukumu kwa ujumla, Wapo wanaume waijuao THAMANI YAKO japo kukutana nae unahitaji utulivu wa akili na kujitenga na mawazo, Wengi wameangamia kwa kusongwa na mawazo mwisho wa siku anakuwa kama ANAOKOTA KITU KILICHO KATIKA MFUKO ASIJUE NI NINI KILICHOMO... Waondoe wao pale walopokishikilia na uendelee na amani ambayo unaweza kuitengeneza kwa kujitambuwa kwako, Maisha ni mafupi na sio thamani kupoteza muda wako ukijaribu kuwatambuwa watu ama kuwathibitishia chochote, Mtu pekee ambaye unatakiwa kumthibitishia chochote ni WEWE MWENYEWE ili nafsi yako ipone, Pambana kuwa BORA uwezavyo kuwa... Kuwa IMARA na ujitenge na kuwafikiria watu ambao hawakufikirii, Kushikilia jambo lolote ni uchungu na kuitengeneza hasira mwisho wa hayo UTAIRUDISHA NYUMA FURAHA YAKO! Maisha yako ni mazuri zaidi kuitumia dakika nyingine kumhofia mtu ambaye hajawahi kuletea furaha kwako, Baada ya hayo wamekufanya kuwa mtu IMARA maana umejifunza mengi, Ukikataa KUKANDAMIZWA utajawa nguvu za KUWAKANDAMIZA WAO. 🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 Dr Luv🤓🤓🤓
...

*JE,WAZIJUA SIRI KUMI ZA NDOA* 1. *KILA UNAEMUOA AU KUOLEWA NAE ANA UDHAIFU WAKE* *Mungu* pekee ndio haana udhaifu, Kila ua waridi lina chimbuko lake. 2. *KILA UNAEMUOA AU KUOLEWA NAE ANA HISTORIA YAKE MBAYA* Hakuna mtu ambae ni malaika,epuka kuchunguza mambo ya mtu ya nyuma samehe na usahau. 3. *KILA NDOA INA CHANGAMOTO ZAKE* Ndoa sio kitanda cha maua waridi yanayomeremeta kila muda,kila ndoa yenye mafanikio imepitia misukosuko mingi. 4. *KILA NDOA INA HATUA ZAKE KATIKA MAFANIKIO* Hatuwezi kuwa sawa, kuna watakaokuwa mbele kidogo na watakaokuwa nyuma kidogo. Kupunguza stress, kuwa mtulivu, fanya kazi kwa bidii na kwa muda muafaka ndoto za ndoa yako zitatimia. 5. *KUOA AU KUOLEWA NI KUTANGAZA VITA* Ukishaoa au kuolewa ni kuingia katika uwanja wa mapambano,Kuwa tayari kupambana kuulinda ukanda wa ndoa yako. 6. *HAKUNA NDOA ILIYOKAMILIKA* Hakuna ndoa ambayo imetimilika,Ndoa ni kazi ngumu,jitolee mwenyewe na ufanye kazi ya kuijenga ndoa yako iwe kamilifu. 7. *MUNGU HAWEZI KUKUPA MTU KAMILI UNAYEMTAKA* Mungu atakupa mtu ili wewe umtengeneze jinsi wewe unavyohitaji yeye awe. 8. *KUOA NI KUJIINGIZA KATIKA HATARI* Huwezi jua nini kitatokea baada ya ndoa, hali inaweza badilika,hivyo achia nafasi ya marekebisho. 9. *NDOA SIO MKATABA WA MUDA BALI NI MKATABA WA KUDUMU* Ndoa inahitaji ahadi ya kudumu,mapenzi ni gundi ambayo huwafanya wanandoa kuwa pamoja daima..Talaka huanza katika mawazo. 10. *KILA NDOA HUHITAJI KUJITOA* Hakuna mapenzi rahisi katika ndoa,huwezi kupenda au kupendwa bila kujitoa nafsi yako kwa dhati. *Vijana karibuni sana katika familia za wanandoa ila unatakiwa utoe uoga*
...

UVUMILIVU KATIKA NDOA Mume na Mke wote wanatakiwa kuvumiliana na kusubiriana. Hakuna mwanaadamu aliyekamilika. Kama walivyo na udhaifu wanawake, Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: "Kuweni wema kwa wanawake kwani wameumbwa kutokana na sehemu ya juu ya ubavu, na sehemu iliyopinda kuliko zote katika ubavu ni sehemu ya juu. Kwa hiyo kama utataka kuinyoosha utaivunja, na kama utaiacha hivyo hivyo itaendelea kupinda. Kwa hiyo wawaidhini wanawake (waonyeni) kwa kadiri iwezekanavyo." (Bukhari na Muslim). Hadithi hii inathibitisha kuwa hapana mtu atakayedumu na mkewe, kama hapatakuwa na uvumilivu. Mwanaume asitegemee mkewe kuwa na msimamo kama ule wake, ajue kuwa kila mmoja, kulingana na nafasi yake ana umbile tofauti. Vile vile wanaume wana udhaifu wao. Takriban kila mtu hakosi udhaifu ambao si wenye kumpendezesha mwenziwe. Kama wanaume walivyosisitizwa kuwavumilia wake zao kwa udhaifu kama huu na wanawake pia hawana budi kuwavumilia waume zao endepo watakuwa na udhaifu usiipendeza. Hivyo ifahamike kuwa Maisha ya ndoa yanahitaji subira ya hali ya juu na kujitoa au kujitolea kwa namna ya kipekee. Ubinafsi na umimi ndio chanzo kikubwa sana cha kusambaratisha ndoa. Ndoa inaweza kufanya maisha yakawa mepesi au magumu kutegemeana na wahusika wenyewe. Wepesi huja pale kila mmoja anapojitahidi kutekeleza wajibu wake ipasavyo. Hata hivyo wanandoa hawapaswi kuingia kwenye ndoa na mategemeo makubwa sana kiasi ambacho yasipofikiwa inakuwa ndio chanzo cha migogoro. ⏬⏬ In shaa Allah 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
...

💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺 💞💞_UPOZE MOYO WANGU._💞💞 Kutafsiri wazo la kichwa na kuwa neno litamkwalo mdomoni ni rahisi, kuliko kulitafsiri neno litokalo moyoni na kuwa hisia zenye thamani kwa yule atakayelisikia. Asili ya upendo na mapenzi ni amani, wanawake wanapenda kupendwa na wanaume tunapenda kuheshimiwa. Ni muhimu kwamba wanawake wa Kiislam waelewe thamani ya heshima kwa wanaume, wanaume wanafundishwa tangu umri mdogo kwamba wanapaswa kuwa washindi na watunza familia zao. Unaweza kufikiria jinsi gani mwanaume anaumia moyoni hasa ambaye anajitahidi sana kutunza familia yake, kisha mwanamke amuheshimu? Anaweza kukubali na kusema kwamba anakupenda, lakini bila heshima yako, (Heshima ya mwanamke) Mwanaume ni rahisi kujivua upendo huo. Wazo hili juu ya mwanamke kumtii mumewe linathibitisha kwenye quran sura ya 4 aya ya 34 (Surat An-Nisa) "Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa sababu Mwenyezi Mungu amewafadhili baadhi yao kuliko wengine na kwa sababu ya mali zao wanazozitoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kutii na kujilinda hata katika siri, kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnaogopa unashiza wao, basi wanasihini na muwahame katika vitanda na wapigeni. Watakapowatii msiwatafutie njia. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mtukufu Mkubwa" Mwanaume ni rahisi kubadili mtazamo wa mwanamke kama hutomuonesha upendo kwa vitendo, mwanamke anamchango mkubwa kwenye maendeleo ya familia, mwanamke ndio hukufariji mpaka unafanya kazi ukiwa na furaha. Mwanamke ndio hukuondoshea hasira kwa heshima yake pindi utakapokwazwa kazini, mwanamke ndio pumbazo la nafsi zetu,hupendeza, tunakuwa watanashati kwasababu yao, wake ndio kimbilio pale tunaposhikwa au kuwa na shahawati, wao ndio hutupoza. Wanawake ndio nusu ya dini pindi tutakapowaoa kwa ndoa halali na ya kisheria. Tusiwapende ili watuheshimu na msituheshimu ili mtupende, bali tupendane kutaka radhi za Allah, ili kesho kwakushikamana na kitabu chake na kufuata muongozo wa kipenzi, ya habiby, mbora wa viumbe vyote mtume wetu Muhammad (S.W.S) peace be upon him. Tuweze kukutana tena Jannah Amin. Ewe riziki yangu popote ulipo, nipoze moyo wangu kwa maneno na matendo mzuri, Nipoze moyo wangu kwa kunisomea quran pindi nipandwapo na hasira, Nipoze moyo wangu kwa Aya za mwenyezi mungu pale nitakapoteleza, Mola tujaalie wanaume wote tupate wanawake wema, Mola wajaalie wote waliokuwa kwenye ndoa, ndoa zao zidumu, Mola tujaalie kujiepusha na fitna za sheitwani na uzinifu. Utamu wa ndoa subra, Utamu wa ndoa uvumilivu, Utamu wa ndoa kuelemishana, _Mwana falsafa ndio mtetezi wa wanawake_✍✍ 🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺💞🌺
...

🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸 🌱TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA JINSI YA KULITIBU 💔💔💔💔 Wanaume wengi wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, hali inayo afanya washindwe kufurahia tendo la ndoa na wenzi wao wa kike. Hizi ni baadhi ya sababu zinazo sababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. 1. Msongo wa akili. 2. Ulevi kupita kiasi. 3.Kupooza kwa mwili 4. Presha na ugonjwa wa kisukari. 5.Wasiwasi wa kutekeleza tendo la ndoa 6. Uoga wa kufanya tendo la ndoa. 7.Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyumaa 8. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa. 10.mahusiano mabaya na mwenza wako Zipo sababu nyingi sana 🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀 TIBA MBALIMBALI ZA ASILI ZA KUTIBU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀 1. MLONGE/ NAZI. Chukua nusu kikombe cha unga wa maua ya mlonge, ongeza kijiko kimoja cha chai cha vumbi la machicha ya nazi. Chemsha katika nusu lita ya maji kwa muda wa dakika 15, kutengeneza aina ya supu. Chuja na baada ya kupoa kila jioni kunywa nusu glasi, saa moja kabla ya kwenda kulala. Endelea na tiba hii kwa muda wa mwezi mmoja. 🔵🌿🌿🌿🌿🌿 2. KITUNGUU MAJI/ASALI. Ponda ponda kitunguu maji cheupe cha ukubwa wa kati ( gramu 50) . Kaanga ndani ya mafuta ya samli, baada ya kupoa changanya na kijiko kimoja cha asali. Kula nusu saa kabla ya kwenda kulala. Endelea na tiba kwa muda wa mwezi mmoja. 🔴🌿🌿🌿🌿 3. ZABIBU NYEUSI ( BLACK RAISINS ). Chukua zabibu kavu nyeusi. Zioshe vizuri na maji ya moto. Kula gramu 40 za zabibu ikifuatiwa na glasi moja ya maziwa. Fanya hivyo mara tatu kwa siku. Endelea na tiba kwa muda wa mwezi mmoja. 🔵🌿🌿🌿🌿🌿 4. TANGAWIZI/ ASALI. Chukua nusu kijiko cha chai cha juisi (au unga) ya tangawizi. Changanya vizuri na kijiko kimoja cha asali. Tumia pamoja na nusu yai lililochemshwa kila jioni kabla ya kwenda kulala. Endelea na tiba kwa muda wa mwezi mmoja. 🔴🌿🌿🌿🌿 5. KAROTI. Saga au pondaponda gramu 200 za karoti. Weka asali. Changanya kwa pamoja. Kula nusu saa kabla kwenda kulala . Endelea na tiba kwa muda wa mwezi mmoja. 🔵🌿🌿🌿🌿🌿 6. MIZIZI YA BAMIA Chukua gramu kumi za unga wa mizizi ya bamia. Chemsha katika glasi moja ya maziwa kwa muda wa dakika tano. Kunywa asubuhi na jioni saa moja kabla ya kwenda kulala. Endelea na tiba hii kwa mwezi mmoja. Hii ni tiba rahisi ya vyakula kwa wale ambao wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume 7.MCHELE, MAZIWA, TENDE NA SAMLI Ikiwa utapikwa mchele kwa maji ya tende (yaani tende zilowekwe ndani ya maji), na ikiwa zitalowekwa zikiwa zinapondwapondwa kidogo ni bora zaidi,, tende hizo kiaasi cha robo kilo zilowekwe kwenye maji kiasi cha masaa 12, yachukuliwe maji hayo yachanganywe na maziwa flesh ya ng’ombe jazo sawa na ndio yafanywe maji ya kupikia mchele huo na mafuta yake ni samli, basi chakula hicho kikiliwa kutwa mara moja kwa muda wa siku kumi na tano basi huongeza manii kwa kiwango cha juu kabisa. 🐾🍀🐾🐾 8ANISUNI Chemsha Anisuni kiasi cha gram 100 kwa maji lita moja na nusu, hakikisha nusu lita inapotea kwa kuchemsha. Matumizi ni ujazo wa kikombe cha kahawa moja kutwa mara 2 hadi maji hayo yaishe. Inshaaallah hii ni dawa nzuri sana. 🐾🐾🍀🍀🍀 9.MBEGU ZA TIKITI MAJI Chukua mbegu za tikiti maji kisha zikaushe kwa jua, baada ya kukauka zisage vizuri kabisa hadi upate unga wake, upime una huo upate gwam 100, unga huo uchanganye na asali ya nyuki kiasi cha lita moja. Matumizi ni kijiko kimoja cha chakula asubuhi kimoja, jioni kimoja hadi dawa yote iishe. Inshaallah ni mujarabu. 🍀🐾🍀🐾 10.HABBAT THUFA Chukua habbat thufa unga kiasi cha gram 100 changanya na unga wa hina kiasi cha gram 50 kisha changanya na asali kiasi cha lita moja. Dawa hii iache juani ichanganyike vizuri kwa masaa 24 ndipo uitumie. Matumizi: Vijiko viwili vya chakula kutwa mara tatu au mbili hadi iishe, Inshaallani mujarabu. 🍀🐾🍀🐾 11UWATU Chukua uwatu kiasi cha gram 100 kisha chemsha kwa maji lita moja na nusu, hakikisha nusu lita inaisha kwa kuchemsha, kisha iondoe kwenye moto, baada ya hapo changanya na asali lita moja na nusu. Matumizi: Vijiko 3 vya chakula asubuhi, mchana na jioni. 🍀🐾🍀🐾🍀🐾 12HIMSWI (AL-HAMZA) Chukua Himswi (al-hamza) kiasi cha gram 100 kisha changanya na maji kiasi cha lita moja na nusu, chemsha hadi nusu lita ipotee kw kuchemsha, kisha toa kwenye moto, changanya na asali lita moja na ziada kidogo. Matumizi: Vijiko vitatu asubuhi na jioni hadi dawa iishe utaona ajabu yake. 🐾🍀🐾 13.KITUNGUU THAUMU Ponda robo kilo ya kitunguu thaumu kisha kichemshe kw litamoja ya maziwa ya kondoo na nusu lita ya mafuta ya samli kisha baada ya kuchemka ondosha kwenye moo kisha utie asali kiasi cha lita moja. Matumizi: Kijiko cha chakul kimoja kutwa mara tatu, Inshaallah dawa hii kwa habari hizo hailinganishwi na dawa zingine. 🍀🌿🔴🍀🌿🍀🔷🍀🌿🔵🍀🍀🔷🔵🔴🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀Mahaba proffesional🍀🍀🍀🍀🍀🍀🌿🌿🔴🔵🍀🌿🍀🌿🍀🔴
...

🍒🍌🍒🍌 *MFANYIE USAFI MUMEO* *_Inty Nuru_*✍ Mpoo Team ndoa Leo nmeona niwakumbushe Usafiwa waumezetu wanatia huruma wallah Utadhani hana mke AstaghfruAllah 🍌🍒🍌🍒 🍌🍒🍌🍒 Leo Usafi wamwili kwanzia kichwani mpaka chini ya nyayo Mahitaji 1 Nail Cater yakukatia kucha 2 Kama huna Tumia kijembe 3 Gilet Machine ya kunyolea nywele za kichwa na Pia ipo ya kunyolea ndevu na Sehemu za Siri 5 Makasi ya kupunguzia nywele za kichwani na kichana 6 Machine ya kusugulia nyayo au foot 🍌🍒🍌🍒🍌 🍒🍌🍒🍌🍒 Akiwa ana lea ndevu Bismillah Ma shaa Allah Punguza baadhi ya sehemu ili zitokee shape nzuri kama hiyo picture picha Akiwa halei ndevu Tumia Gilet Machine Kuzi nyoa Lakn Kua makin kuna Gilet Feki usnunue zile hufanya atoke pele na kufura Mashavu Mume mtamu Akiwa mgonjwa yy Sina raha Tamu ya mume wangu naijua mwenyewe hahaha 🍒🍌🍒🍌🍒 🍌🍒🍌🍒🍌 Mkate kucha mumeo Kutumia Neil cater au kijembe Lakn Mimi spendi Kutumia kijembe naogopa naeza mkata kidole. Mume mtamu 💘🍌 Jaman Baby wangu Mume ukimuita Baby hujiskia Fakhari sana na huskia kama vile yupo Peponi Baby honey Darling Cwertyy Swertyy Sweetheart my Love MUONEE HURUMA MUMEO ANA KUHAKAIKIA WW NA WANAO MUPATE RIZK YA HALALI MPENDE AJISKIE RAHA ukimuonesha makuruhu ya kumuudhi nafsi yake Atakuchukia Jifunze kubembeleza My Dear Sister 🍌🍒🍌🍒🍌 🍒🍌🍒🍌🍒🍌 Mvue Boxer Mumeo taratibu mume mtamu Chukua Gillette machine Mnyoe nyele za chini huko kwenye Utamu Upo Bibi Taratibu Basi sio kutumia nguvu Enua Zile 🍒 Chini yake Pia hua kuna vinyele vinyoe Maana vikipata jasho hutoa harufu mbaya 🍒🍌🍒🍌🍒 🍌🍒🍌🍒🍌🍒 Ukiwa wamnyoa Utaona Ndizi inaanza kusmama Nawe jiandae ukimaliza ifute ndizi na maji ya uvugu vugu kiasi Chukua ndizi Inyonye taratibu Nakisauti chatamuu kwambali USITOE SAUTI UKAWAKERA MAJIRANI UPO BIBI 🍌🍒🍌🍒🍌 🍌🍒🍌🍒🍌🍒 kuna wana wake wengne wanapo Kua kwenye Sex wanatoa sauti mpaka wanakera majirani. Acheni hiyo tabia Utamu ule ww Raha uipate ww Uudhi wenzio Acha Utoto 🍒🍌🍒🍌🍒 🍌🍒🍌🍒🍌 Kwa vile huu ni wakati wa Joto sana Huku Lebanon saii nikipindi cha joto sjui huko Africa Wakati wala ndizi mama Tumia Feni Namba 1 Usieke speed sana Maana utakua narud mwili wako na waume hawataki wana wake wabaridi Upoo Swahiba. 🍒🍌🍒🍌🍒🍌 🍌🍒🍌🍒🍌🍒 Mnyonye mwenzio Apate Raha Tena kisawa sawa Njoo juu Mnyonye Vititi vyake. Nyonya taratibu kisaut toa Ililie uzidi kumtia nyege Ya kukupa Utamu. Nyonye lips zake Mpaka uhakikishe analia kwa raha Mke wangu Ashiii####@#@@@#**@#* 🍒🍌🍒🍌🍒🍌 🍒🍌🍒🍌🍒🍌 Ukiwa wanyonya ndizi utajiona na we waitaka Mpe mumeo mwambie mume wangu chukua nyote hii yako Akupe raha kisawa sawa usione hara mwambie mume wangu Yani washa sana Mpandishe nyege 🍒🍌🍌🍒🍌 🍒🍌🍒🍌🍒 Enusha kiguu chako aingie Tratibu Toa sauti Nzuri atalewa pale hata htojijua Mume wanguuu mume wangu Babyyy Baby #@#@@##@#@Ashiiiii Yaingia vizuri Nikatikie Kiuno mume wangu nikatikie Babyyy Nawe nyonga yako Izungushe. Taratibu Lisha zidisha Speeeed kisha pole pole Ukimuona analia kwautamu zidisha sauti Ililie Ndizii Mpooooo 🍒🍌🍒🍌🍒🍌 🍒🍌🍒🍌🍒🍌🍌 Ukimaliza mfute mumeo taratibu na maji ya uvugu vugu Mshike mkono mwambie mkaoge huko Bafuni pia mfanyie vituko kama vile una wazimu Fungua nyele zako za kichwani Anza kujishika shika mume wangu nkune hapa shingoni. Sio hapo hapa kwenye shavu. No sio hapo kiunoni. Shuka chini panya paja Tia mkono hapo karbu na kisambusa nkune taratibu mume wangu Jipanue mapaja mwambie aingize mkono mpaka kwenye kisambusa mwambie hapo Baby hapoooo Lia jilize kusudi kisa muenue Anza kupapasa kifua mwambie mumewangu unakifua kizuri pandisha paja juu ya mwili wake Mwambie Leo na washes sana Sweetheart babyy nakupa chukua Mpe vitu hukoooo hahhah Byeee Byeee B professional love *MPE MUMEO MANENO MAZURI* 🍒🍌🍒🍌🍒🍌🍒🍌
...

💞💞💞💞KITANDA CHA NDOA KIPOJEE💞💞💞💞 💞💞💞 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞 👪💑Jamani wanandoa hivi kitanda chako unakijuwa vizuri? haswa wanaume ama kwa vile sio jukumu lako kutandika na kununua mashuka hujui kabisa kitanda chako kipo vipi wewe ukija umechoka ulale ukitaka mzunguko ukitumie lakini hukijui kabisa.👌👌haya mwali naja kwako heheheiyaa mwanamke shurti ujali kitanda chako upo nyonyo👌. unajuwa ni godoro gani zuri kulalia unajuwa ni mbao gani murua ngumu za kitanda cha ndoa, mashuka je unajuwa kama kunamashuka yana maana yakiwa kitandani?leo kungwi wako wa mahaba proffesional ninayo majibu yotee ya kitanda chako cha ndoa👌👌kwanza kitanda chako kama ni cha mbao chapaswa ziwe mbao zile ngumu mwali wangu sio mbao nyepes ukilalia tu siku mbili tatu kinaachia👌👌pili kitanda cha mwanamke aloolewa mda wotee chatakiwa kiwe smart👌👌naposema smat nadhani mwali waelewa kitandikwe vizuri kwa shuka zenye rangi nzuri inayong'aa sio kijishuka cheusi tii utafeliii👌pia shuka isiwe na matobo wala madoa madoa yasofaa 👌hakikisha kitanda unatandika kiasi kwamba hata ukilala na mmeo pamoja na fujo zoote za mke na mme wakati wa kufanya mapenz hakiwezi kuvurugika na shuka kutoka👌👌 👪tatu💑mwali wangu Sharti kuu la kitanda cha ndoa lazima ulale bila nguo yani mtupu uchii kabisaa kama ulivyozaliwa kwa waliofundwa haya wanayajuwa lakini kwakuwa ndoa za siku hizi tunazichukulia poapoa tu wanawake hawataki kabisa kufundwa kabla hawajaolewa wanafanya tu wanavyojuwa wao na wayaoangalia kwenye tv wakidhani hayo ndio maisha wakati mwanamke mweusi wa kiafrica unatofauti nyingi na mahaba tele unayotakiwa kuyafanya chumbani ukijitambua.💏💘 👪💑Kitanda cha ndoa unatakiwa ulale bila nguo labda kwa heshima ya watoto kwa wale waliopanga chumba na sebule ambao watoto chumba cha baba na mama ni kama chao ndio unavaa khanga ukijifunika ili hata wakiingia ghafla umesahau kufunda mlango wasione walipotokea lakini ikifika wakati wa kulala chumba kikiwa kimefungwa khanga tupa huko na ulale kama ulivyo 👪nne💑Kitanda cha ndoa mwiko kulala mzungu wa nne, yani wanandoa mimi nashangaa unalala na mumeo mzungu wa nne halafu iweje?nitaandika mada kuhusu madhara ya mzungu wa nne, unatakiwa kile kitanda mlale hata kama hamuongei mmegombana lala tu wote mmegeukia upande mmoja hata kama hamtashikana usiku kucha lakini usiruhusu kulala mzungu wa nne kwenye kitanda chako cha ndoa.pia kitanda cha ndoa ni marufuku kumnyima unyumba mpenz wako hata kama mmenuniana kumbuka mboo na kuma havinuniani👌👌peaneni mkimaliza endeleeni na mnuno wenu lkn kumbuka ukiwa kama mwanandoa unapaswa kongelea matatizo yenu na kuyamaliza kabla ya kupanda kitandani maana kitanda ndo sehemu ya kupeana faraja na kujenga nahusano yenu👌👌💏💘 💑👪Wanawake wengi wanapoolewa hata mimi nikiwa mmoja wapo unapewa godoro, unalijuwa maana yake ya kwamba umeshakuwa nenda kaanze nyumba yako na wewe ukifika sio lile godoro kisa mnachumba cha wageni ndio ukalipeleke kule hapana, lile godoro unatakiwa mlalie nyie, kama umeolewa na mumeo alikuwa anagodoro lake utalitoa na kupeleka chumba cha wageni halafu lile ulilopewa ndio utandike kwenye kitanda chenu mlalie hiyo ndio maana ya lile godoro yani mmeanza upya katika kila kitu mpaka kulala.💏💘 tano💋💋ni marufuku mwali narudia tenaaa kwa herufi kubwa NI MARUFUKU kumleta shogaako ndani kwako alafu akakaa juu ya kitanda chako mwali ni matusi makubwa pia huwez jua maana marafiki wengi huvuruga ndoa za mashoga zao kupitia vitanda had inapelekea mumeo ama wewe mwenywwe mkifika kitandani kunakuwa hakuna maelewano👌👌 Kama hulikuwa ulijui ilooo shoga HAbari ndo iyooo👌 🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀L🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀
...

💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 *```WANAWAKE NAOMBA LEO N0IZUNGUMZE NANYI NIWADOKEZEE JINSI YA KUMTULIZA HASIRA MUMEO AKIKASIRIKA 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Kama umemkasirisha mumeo mfano asubuhi jitahidi uwe mpole usiwe muongeaji Sana kama ameenda kazini hakikisha saa nne unatumia sms msalimie Kisha mtakie kazi njema..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ alafu mida ya saa saba ivi mwambie pole na kazi laazizi wangu, nimemiss sana uwepo wako, nipo mpweke tu apa, natamani ungekuwa karibu yangu Muda huu, kwa sms hii itamfanya hasira zipungue ata tamani muda ufike arudi nyumbani mapema...... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Siku hiyo mpikie chakula akipendacho, Pamba nyumba ivutie, fukiza udi chumbani, Oga, vaa nguo nzuri, jipambe upendeze, Siku hiyo tafuta na Kungu manga itafute uile mapema..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Kisha akirudi mumeo mvue viatu au mpokee alichobeba huku wamuambia karibu mume wangu...... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Akikaa msalimie Kisha mwambie pole na uchovu wa kazi laazizi wangu. Kwa mapokezi hayo hasira zitayayuka mlangoni alipokuona, maana atajisikia furaha kwa mapokezi aliyoyakuta kwako...... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Akitulia mpelekee maji ya kuoga Kisha mwambie twende nikakuogeshe mume wangu..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 Mtengee chakula vizuri ulichomuandalia, kisha mnawishe mikono, akimaliza mlishe tonge mbili tatu Kisha wamuacha aendelee kula mwenyewe taratibu..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Akimaliza mnaweza kuhamia chumbani huko jiachie ili uweze kumtega vizuri, Mkipanda kitandani tu mkafanya mambo yetu Yaleeeee hapo utakuwa umezimaliza kabisa hasira zake..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Cheza na akili za mumeo, changamka mwanamke usikubali siku ipite mumeo akiwa na hasira. Mfanyie mambo mazuri hata mkipanda kitandani hasira ziwe zimemuisha..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Wanaume wengi sio watu wa kuwekea vitu moyoni sie tu hatujui jinsi ya kuwashusha hasira..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Kuazia leo usipate tabu ya kuwaza tumia uanamke wako kumfurahisha mumeo..... 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 ☞ Mwanaume Mbele ya mkewe hapindui, kwetu ni jambo na mkate ukiutia kwenye chai unalainika na Kuwa mdogo. 💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜 Wanawake zingatieni hayo, ili kuweka ndoa yako murua na maridhawa nduguyangu 💜💜💜💜💜
...

❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ KAMA SIO FURAHA NA AMANI HAPAKUWA NA SABABU YA MAHUSIANO! Kuwa na mahusiano na mtu mwenye nia na wewe, Namuongelea mtu ambaye analo pendo lililojaa huruma juu yako, Mtu ambaye anajuwa kusoma PAJI YA USO WAKO kama hauko Sawa atapambana kukurejesha katika Furaha, Simzungumzii mtu ambaye anakupenda kwa sababu fulani, Kwamba wewe ni mzuri wa mwili na sura nzuri ama ni vile ambavyo unamuwezea kwa kitanda, Namaanisha mtu ambaye anataka kujuwa kila taarifa muhimu kuhusu wewe, Mtu anayetaka kusoma kila neno ulilomuandikia, Mtu anayetaka kusikia kila neno la wimbo uupendao ili aweze kupokea ujumbe kwa hisia... Mtu anaetaka kutafuta kila kovu mwilini mwako na kujuwa kila moja limetokana na nini! Ukimpata MTU MWENYE HISIA NAWE huyo ndiye atatamani mchangie kila ambacho kinaleta furaha lakini dhiki ikija awe nawe kwa huruma, Mtafute MTU anaependa kujifunza kila haja yako ya moyo na kuzishiriki kwa wakati... Haina maana kuwa katika mahusiano ambayo muda mwingi unautumia KUTATUA MIGOGORO! Itengeneze njia yako kuelekea katika MAHUSIANO rafiki ambayo yatakutenga na UPWEKE ili ufurahie maana ya MAHUSIANO. * ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Dr Luv🤓🤓🤓
...

M🅰🆎🅰🌀🌀🌀🌀PR🅾FESSI🅾N🅰L💏💏💏 🌸💏JINSI YA KUMTULIZA MWANAUME KICHECHE💏🌸 . iyo yuleyule mfundaji wako. Nitakuwa hapa kila siku kwa uwezo wa Mungu ili kukupa somo, vilevile kujibu maswali yako. Lengo langu ni moja tu, kukuwezesha wewe mwanamke mwenzangu kutulia kwenye ndoa au penzi lako. ⏩💏Mwanamke ndiyo dira ya mwanaume. Ukiona mumeo hatulii, mwanaume wako anakuwa na hulka ya kurukaruka, jiangalie mwenyewe mara mbili👌 ❤❤❤ ⏩💏Katika kila uhusiano wenye migogoro, ukiuchunguza kwa makini unabaini uwepo wa upungufu mkubwa wa mwanamke katika ‘kumhendo’ mwanaume wake.👌 ❤❤❤ ⏩💏. Shoga yangu, nataka kuanzia leo utambue kuwa mwanaume si malaika. Kwa maana hiyo, unatakiwa ujue jinsi ya kucheza naye kama binadamu.👌 ❤❤❤ 💋MAMBO YA KUACHA UNAPOTAKA MUMEO ATULIE👌 🌸KIBURI Kuna baadhi ya wqnawake wqna viburi kwa waume zao,ujue shoga angu mwanaume afanyiwi kiburi mwanaume ni kama mtoto unatakiwa umpe heshima ya kiume shoga👌 🌸DHARAU binadamu yeyote hapendi kudharauliwa👌sasa shoga ukimdharau mmeo ndio unampa chance ya kutafuta mwanamke atakaempa heshima zote kama mume kwako atakua anarudi tu kutimiza wajibu wa mume lkn uanaume wake wote atauacha nyumba ndogo upoo👌👌💘💘💘limewachoma eeh💉💉💉💉 sizubae, msome vizuri kisha mpatie. Atatulia tu.Mikononi mwako👌💃💃 ❤❤❤ ⏩💏🌸Shost, kumbuka kuwa unatakiwa kumbembeleza mumeo kwa njia yoyote mpaka atulie. Mwanaume hauzwi dukani, ‘supermarket’ wala hana bei. Ingekuwa anauzwa na bei yake inajulikana, kila mtu angekuwa naye. 👌Angetumia jeuri ya fedha kumpata anayemtaka upo👌 ❤❤❤ ⏩💏🌸 shoga yangu kaa na mshangao sasa, wanawake wengi tu tena wana fedha nyingi, wanaumia upweke, hawana waume wa kutulia nao. Kama wewe unaye wako, tena bahati nzuri mmefunga ndoa, hakikisha unamtuliza ili ufurahie maisha yako ya kimapenzi.💏💏👌💃💃 🍁TUMIA NJIA HIZI KUMWEKA SAWA MWANAUME WAKO👌 ⏩🌹Kwanza kabisa, unapoona mwanaume wako amekuwa kiguu na njia, yaani hatulii, tafuta sababu zinazomfanya awe hivyo. Je, sababu ni wewe mwenyewe? Una wivu sana, una mdomo mchafu, kiburi, huelekei anavyokuelekeza? Labda una roho mbaya kwa ndugu zake. Tazama mambo hayo. ❤❤❤ ⏩💏🌹hatua ya pili; Ukishajichunguza, muombe mwanaume wako kikao ili mzungumzie matatizo yenu. Usikae kimya wala usimwogope. Katika kikao hicho, mwache aongee ya moyoni, nawe sema yako, mwisho utajua nani mwenye matatizo. Baada ya hapo, fanyeni masahihisho. Ulipokosea omba msamaha. ❤❤🍁 ⏩💏🌷Hatua ya tatu; ikiwa katika mazungumzo umegundua mwanaume wako ndiye tatizo, mweleweshe taratibu mpaka aelewe makosa yake. Achana na maneno ya watu wasiojua thamani ya mume ambao hudiriki kusema: “Atajijua akitaka atasema na mimi asipotaka aache mimi nd’o mkewe.” ❤❤❤ ⏩💏Kasoro nyigine ni kwamba wapo wanawake hutaka kuishi kwa mashindano na wanaume zao. Nawaombeni mashoga zangu msifanye hivyo, mwanamke akiwa kicheche /kiguu na njia, aibu yake ni kubwa zaidi ya mwanaume. Uchafu wako, utamfanya yeye aonekane Msafi e wakati ukweli naye hajatulia. ❤❤❤ ⏩💋pengine mwanaume wako hatulii nyumbani lakini si kwa sababu ana wanawake wengine. Inawezekana ni mtu wa kuwaendekeza marafiki, kwa hiyo wanakaa baa au maeneo mengine, wanazungumza mpaka usiku wa manane ndiyo anarudi nyumbani. Sasa ikiwa nawe utaanza kuzurura halafu mna watoto, mtawalea saa ngapi? Nani atamrekebisha mwenzake? Nakuhakikishia shoga, wewe ukiamua, mwanaume wako atatulia nyumbani. 👌 ❤❤❤ ⏩💏Maneno yako mazuri na tabia yako njema, ni silaha kubwa kwa mwanaume kicheche mpe maneno mazuri ya kumtoa nyoka pangoni👌 ⏩💏Mpe mapenzi motomoto tenga mda kwaajili ya mmeo weka ratiba nyumbani kwako ya kumfanyia mambo adimu mumeo nakwambia shoga ukifanya hivyo hatobanduka 👌utakua ushamtia kwapani👌hafurukuti,maana akitoka kazini lazima arudi home kwa mcheouko ataenda mda gani kila kitu wamfanyia?👌👌💉 ❤❤❤ 💋WANAWAKE TUNAPOTEA💋 Bibie, sisi wanawake wa siku hizi ni tatizo. Angalieni ndoa za zamani zilikuwa zinadumu kwa sababu wanawake walikuwa wakifuata taratibu. Mke anamuomba mume wake wakae na kutafuta suluhu pasipo hata jirani kujua. Siku hizi, rafiki au shoga ndiyo wa kwanza kwenda kumhadithia na kumuomba ushauri na mashoga wengi wa town utaadhirishwa mchana kweupe navmmeo atabeba👌ndio atambeba si ushamuadisia mapungufu ya mmeo?ye atayarekebisha ili ammiliki vizuri 👌 ❤❤❤ Ikiwa mtaweka vikao, hamtapigana hata kama mmoja wenu atakuwa na jazba. Vizuri pia kuweka vikao kipindi ambacho kila mmoja hasira zake zimepungua. Bila mazungumzo hamtapata ufumbuzi, wanaume wengine siyo waongeaji ila akishakasirika utaona tu amebadilika. Sasa basi, kwa nini usimshawishi akwambie? Hiyo ni kazi yako, atakwambia tu. Ukienda kumsimulia rafiki ndiyo utapata jawabu?Ongea na mmeo taratibu uliza nini anakikosa kwako kama mwanaume muelewa atakwambia mapungufu yako kazi yako kuyalekebisha tu 👌 💋💋💋 💝MWANAMKE NDIYO SERIKALI YA MWANAUME 💝 💋⏩Mwisho kabisa nakutaka mwanamke ujitambue na uelewe nafasi yako ndani ya nyumba. 💋💋💋 💋⏩ Mwanamke ndiyo serikali ya mume, usijaribu kukaribisha shetani ndani ya nyumba. Endapo utampa maneno mazuri mumeo, wazimu wake wote utaondoka👌💏 💋💋 ⏩💋Shoga mwanaume ni kama mtoto. Ukimdekeza atadeka, ukimbembeleza anabembelezeka, ukimchapa, atakuchukia.👌 💋💋 ⏩💏Hata kama una kazi, jaribu kupanga muda wa kumpikia mumeo,👌 kumfulia nguo na kumwandalia mambo megine muhimu ili ajisikie raha na ajivune kuwa na mwanamke mzuri👌 💋💋💋 ⏩💏💋. Ukimwachia kila kitu afanye dada wa kazi, matokeo yake hali ya hewa kuchafuka ndani ya nyumba👌 Hakuna mtaalamu wa mapenzi kukuzidi shoga ni mbinu na ujuzi tu👌💃mwanaume ukimjulia hakupi tabu👌👌 💘💘💘💘💘💘💘💘Mahaba profesional💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘
...

,🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 JINSI YA KUMFANYIA MWANAUME USAFI WA MAPUMBU👌❤💏 Nakuja kwa wanaume sasa na hii pia kama wewe ni mwanamke na umeolewa 💏💏💏💍uilewe na kumchunguza mumeo na umsaidie na wanaume msiwe wabishi yani mwanaume mwengine ukimwambia hili kama kasikia sijui ni nini mbishi wakati ni kwa manufaa yake.😖😖ukiona hivyo wala usimwambie we fanya kimya kimya inahusu kunyonya huku pua umeweka pembeni shoga angu? ⏩⏩👢baadhi ya wanaume sio wote jamani huwa wananuka pia sehemu zao za siri haswa kwenye gololi zao yani utakuta mwanaume akivua nguo yake ya ndani hali ya hewa inabadilika sana au kwanini unadhani wanawake wanashindwa kuwanyonya,,ni kwasababu ya harufu mnazo nuka huko kwenye pumbu jamani.😷😷😷 ⏩⏩👌Kwenye hizo gololi kuna vinyweleo haswa nyie mnaojinyoa ama kwa mwanaume anayenyolewa na mkewe na labda wewe mwanamke hukujuwa, vile vinyweleo katika mihangaiko ya kila siku inazalisha jasho na lile jasho baadae huwa kama mafuta hivi meupe ndio yanayotoa harufu maana wanaume wengi hawachukui muda kujisafisha🚽🚽 vizuri uumeni na wakinyoa wengi hawanyoi vizuri zile nywele za kwenye gololi ndio matokeo yake hayo.👌 ⏩cha kufanya shoga zangu nunua mafuta ya ndimu kwasababu mafuta ya ndimu huondoa kabisa ile shombo ya gololi na humfanya unukie vizuri ukishaoga🛀🛀🛀 unampaka kwenye mapumbu kwenda chini na mistari ya mapaja, ukifanya zoez hilo siku kadhaa utakuja kuniambia kama utaliona hilo tatizo tena.kipindi unampaka hayo mafuta paka huku una massage mapumbu,binyabinya maeneo hayo utasikia mmeo anaweweseka kwa raha anayoisikia hata kwenye ule mstari wa kuelekea mkunduni hakikisha unachezea pale kwa hayo mafuta huku unanyonya mboo👌raha atakazokuwa anasikia hazisimuliki ➡➡Tatizo ni kwamba mambo mengi tunafichwa siku hizi hatuambiwi ukweli anyways mimi ndio huwaga tu namwaga mambo hadharani na nashukuru wengi wamenufaika nayo.USAFI NI MUHIMU sana jamani.👌👌kiarufu sio mpango 💃💃💃👌MAHABA PROFESSIONAL HAACHIKI MTU ,,👍HAKUNA UCHAWI KWENYE KISIWA CHA MALOVIDAVI💑❤❤❤❤❤ 💖
...

🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌 NAMNA YA KUGUSA MAENEO YOTE NDANI YA MAUMBILE YA MWANAMKE! (KUMTOMBA VYEMA) 👄👄👄👄 1.kila mboo ikiwa imesimama/kudinda inaweza fanya kazi hiyo labda kama unazungumzia kugusa ndani kabisa if not kwenye kizazi au hapo kwenye kizazi..kama ni hapo ni hivi..hapo ukiwa na mboo ndefu ni rahisi sana kugusa ila pia sio lazima uwe na mboo ndefu ndio upaguse ila inategemea na mkao uliomuweka mwanamke..kuna mikao a.k.a mikunjo ya kutiana yaani ukipress mboo vizuri lazima uguse kizazi...mfano mbuzi kagoma afu mwanamke asiwe na tako kubwa kwani coming from behind kama mwanamke anatako kubwa lazima uwe na mboo ndefu kugusa kizazi..au wee ukilala akiikalia kwa juu ni rahisi kugusa kuleee..pia ukimuweka chini mkunje na miguu yake aiweke kwenye mabega yako na wewe uwe kama umechuchumaa hapo unapata ile tunaita deep penetration yaani uboo unazama woote na kila kona utaigusa ukitaka hata kizazi hii hata kama una mboo ndogo au yeye anakuma kubwa lazima utagusa cha msingi hakikisa mboo inasimama barabara na inakuwa👌👌👌👌 pia anatakiwa kukatika ili uume wake ukune sehemu zote za bustani ya bibi yake. Jaribu kukuna kushoto, kulia, juu na chini ya uke kama vile mtu anayesafisha glasi/bilauri/kikombe kwa movement ya kuanzia juu kwenda chini ya kikombe kila upande. Pia fanya movement kama vile ya "kinyamkera" lakini kuanzia juu ya uke kwenda chini.Jaribu kuchanganya moves za taratibu kama vile unaipapasa kuma kwa uume wako kila sehemu na moves za kutwanga kama vile mtu anayetwanga nafaka katika kinu. Badili staili.wanawake wengi wana sehemu zao nyeti (g spot) ambayo hukunwa vizuri wakati wa staili ya chuma mboga (doggy style); wengine huridhishwa zaidi wakati unapomweka chini ukaiinua miguu yake mpaka magoti yake yaguse mabega yake huku umemshika barabara mafundo (ankles) zake. Kama mwanamke ni msafi 100% na hana maradhi mtayarishe kwa kumyonya kuma yake na kisimi chake. Fanya mapenzi na mwanamke ambaye unampenda kwa dhati tu au mke wako ili uwe na focus zaidi kwa kuchanganya ngono na mapenzi ya dhati. 👄👄👄👄 3. kwa ukweli style 2 ni nzuri sana km unataka kumgusa ktk kila kona ya kuma, iwe ndogo au kubwa, dogy style na ile mke kukalia mboo na kujipimia mwenyewe huwa ni hodari ktk kuifukua kuma sawasawa, lkn pia kunyonya kinembe ni muhimu huku kidole kikikupa sapoti. 👄👄👄👄👄👄 ili umridhishe na umkune mwanamke kisawa sawa lazima muwe wasafi na wawazi ktk kutombana ndo mwanamke ataona raha ya kutombwa na mwanaume ataona raha ya kutomba👌👌👌👌 🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌 👄👄👄👄👄👄 mahaba👄👄👄proffesional👄👄👄👄👄👄
...

*MUHIMU*``` ➡Kuna siku marafiki tutatengana💔 hatutaonana tena wala kuwasiliana.💌 ➡Wengine umri utakuwa umeenda🕢 sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.😢😰 ➡Tutakumbuka🙇 tulivyokuwa tunachat💌 tutakumbuka tulivyokuwa tunapendana ❤na kushirikiana👯 tutakumbuka tulivyokuwa vijana wenye nguvu💪 tukikimbizana💃 huku na kule lkn hatutaweza kuwa pmj tena.💔 ➡Labda bado tutakuwa na picha 👤za marafik zetu tutaziangalia na kukumbuka mengi.🙇💬 ➡Watoto na wajukuu zetu watatuuliza "Ni kina nani hawa👉👭?" ➡Kwa maskitiko tutawaambia "Ni wapendwa wetu tulioshirikiana na kupendana nao" ❤❤❤💋 ➡Huzuni zitatufunika maana hakutakuwa na njia ya kuonana tena zaidi ya kukumbuka enzi zetu!💏 ➡Huu ni wakati wa kufurahi na marafiki 👫 💃🏃 💑 👭 na kutendeana mema ili tusije kujuta baadae.🙇 ➡Huu ni wakati wa kupendana na kila aliye karibu na wewe.❤❤ ➡Onyesha upendo ❤ na moyo❤ wa furaha kwa kila unaechat nae kwa sasa.💞💋 ➡Tunza kumbukumbu za yale mazuri unayotendewa na marafiki zako🙆 ➡Tunza picha zake kwa bidii👥👤 ➡Kama unakubaliana na mimi wakumbushe marafiki zako wote kuwa upendo ❤ni kitu cha thamani sana!!❤❤❤❤ ➡ _Mkumbushe_ _kila_ _unayechati naye kuwa hataendelea kuchat na wewe milele hivyo autumie huu wakati_ 🌄 _vizuri_. 💋 ➡```Kama na mimi ni mmojawapo nikumbushe kukuthamini na kukutendea mema``` 💗💋🌸❤💐💕💞💓🌹🌷💐🌺 wenu ndugu machata iddy iston
...

*_JINSI YA KUKANDA (KU MASSAGE)SEHEMU ZENYE VIPELE VYA KUMNYEGESHA MWANDANI WAKO_* _Vipele vya kumyegesha mwanaume viko vingi na sehemu tofauti na hutegemea zaidi na mwanaume mwenyewe na vilevile jinsi wewe utakavyo vitumia/chezea ili kumfurahisha mwenzi wako au"kumnyegesha" (turn on)._ _Pamoja na utofauti wao wanaume kwa ujumla wanapenda sana kukandwa sehemu zenye vipele vya nyege ambavyo ni juu ya mgongo, kiunoni, makalio yao, miguu(hasa vikanyagio) sehemu ya nyuma ya mapaja, ile sehemu ya ndani ya mapaja bila kusahau Mapumbu na Hogo._ 💋 _Kama mara kwa mara unamkanda a.k.a "massage" mpenzi wako(mwanaume) lakini hata siku moja hajawahi kunyegeka (na wewe ungependa kumnyegesha kwa massage) basi jaribu hii na ninakuhakikishia mambo yatakuwa mazuri kabisa._ 💋 _Mlaze kifudi-fudi.....kisha mkalie kiunoni na anza kufanyia kazi sehemu ya kichwa (pembeni kule karibu na macho) huku ukimpa maneno mazuri yakumfanya asahau matatizo yaliyojitokeza kazini au kwenye shughuli zake nyingine za kuendesha kimaisha na kuhamishia akili yake hapo alipo._ 💋 _Hamishia viganja vyako taratibu sehemu ya shingo...usikae sana hapa.....baadae hamia mabegani na moja kwa moja mgononi tumia muda wa dakika 20 hivi kumkanda mabega na mgongo na wakati huu utapaswa kujiinua kidogo ili uweze kupitisha viganja vyako kiunoni)._ 💋 _Ukimaliza jiondoe hapo juu yake na kisha jiweke katikati ya miguu yake na ipanua miguu hiyo ili upate nafasi ya kufanya shughuli yako. Kwa kutumia mafuta maalum kwa ajili ya "massage" au unaweza kutumia baby oil au lotion yeyote yenye asili ya mafuta (yenye asili ya maji hukauka haraka)._ 💋 _Mwagia kiasi mafuta yao juu ya makalio yake na pitisha viganja vyako kama vile unampaka mtoto (sio kwa nguvu) ukisha eneza sehemu nzima sasa endelea kumkanda makalio yake taratibu na tumia kama dakika 15-20 halafu shuka taratibu kwenye sehemu ya nyuma ya mapaja yake fanyia kazi paja moja baada ya lingine._ 💋 _Hongera kwa kumaliza hatua hiyo.....sasa tumia mikono yako laini yenye mafuta kupenyeza pale yalipo mapumbu (akiwa kalalia tumo utayaona) hivyo yakande taratibu usiyavute ikiwa hayajajitokeza sana kwa nyuma...._ 💋 _Kwa kufanya hivyo kutamfanya mpenzi wako aanza kusikia raha zaidi na hivyo atainua sehemu yake hiyo ya nyuma ili kukupa nafasi wewe kuyafanyia kazi mapumbu yake......wewe endelea kuyakanda taratibu huku ukipitisha viganja vyako sehemu ya ndani ya mapaja yake pia(wakati huu itakuwa rahisi kuyafikia kwa vile atakuwa kajiinua)....._ 💋 _Sasa nenda mpaka kwenye uume na ushike kama vile unavyoshikilia "kitwangio" wengine huita Mchi halafu endelea kumkanda sehemu yote hiyo kisha mgeuze taratibu na uendelee na kazi yako ya mikono mpaka atakapo omba mambo fulani au endelea na mkono mpaka amwage👌hapo utakuwa umegusa vipele muhimu na mwanaume atasikia raha ambazo atakukumbuka kila anapokuona hubby wake_ *_@alhinawy@_*
...

🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 💘💘💘💘Mahaba profesional💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 🌸MAENEO THABIT YENYE NYEGE KWENYE MWILI WA MWANAUME NA NAMNA YA KUYACHEZEA 🌸 , . 🌸💏Mwanaume ana sehemu 12, ambazo nyege zake hulala pahala hapo. Wapo baadhi ya wanaume wamegawanyika katika makazi ya nyege zao, ila wapo baadhi yao maeneo nitakayoyataja na wao mote humo wananyege!👌💏 🎀🎀🎀Haya ndiyo maeneo ambayo Nyege za mwanaume zilipo. 1. Kwenye Mboo.😋🍌🍌 2. Mkunduni 3. Kwenye chuchu/Kifuani 4. Mdomoni 5. Masikioni 6. Puani 7. Shingoni 8. Mgongoni kwenye uti wa mgongo 9. Mapajani 10. Kwapani 11. Nyayoni 12. Kwenye viganja vya mikono. ❤❤❤❤❤❤❤ Hizo ndizo sehemu ambazo zina raha 😋na ukizishika vizuri na hupandisha haraka nyege za wanaume Lakini napenda nizungumzie zaidi maeneo manne ambayo ukijua kuyachezea mtakesha mkitombana 1. Mboo; 💏🍌🍌 Nyege za kwenye mboo huamshwa kwa kuanza kupapaswa na kunyonywa, hapo ndipo zilipo nyege nyingi sana, ambapo kuna baadhi ya wanaume dhaifu kwa hisia wanaweza kumaliza kwa kumwaga Shahawa zao, kwa kushikwa Uboo tu hata Kuma wasiiguse! Ila hata kwa wanaume Marijali,wakichezewa na kunyonywa kwa ufundi, mwanaume atakojoa na kupunguza nyege. Kuna baadhi ya wanawake wakiwa katika siku zao wanalala tu hata kama mpenzi wake ameshikwa na nyege😳 hajui namna ya kumsaidia kisa yupo mwezinKula koni mwanamke👌akojoe huyo mwenzio, kwani akishamwaga hayo maji mazito meupe, hatofikiria tena kutoka njeupooo shost Siyo ww mwanamke uanze “Mimi naumwa nipo mwezini”inahuuu👌 Hapana mtoto wa kike, kuwa mbunifu, kama umejaaliwa manyonyo👙 makubwa, chukua mboo uiweke kwenye manyonyo yabane hapo kati huku ukiwa umepakaa mafuta ya Gel kisha mbanie mwenzio Mboo yake, nae awe kama anapiga nje ndani, ulaini na joto la matiti atamwaga tu.🍌🍌 2. Mkunduni💏 hapo wanaume wengi hawajui kama kuna hazina ya nyege,matokeo yake wapenzi wao wenye kujua, wanapotaka kuwagusa hapo, wanaruka na kutoa lugha ya kumtisha mwenzake. “Ahaa michongo gani hiyo unaniletea, mie siyo Msenge bwana!”😂 Heee wewe kwani unapomchezea mwanamke mkundu wake umesikia yeye ni Msenge?! 😳 Wanawake hufanya kila jambo kwa wapenzi wao, kwa vile wanaupendo kwa wapenzi wao💃Ni kawaida unapokuwa katika kuta nne, jiachie kabisa mkabidhi mwenzio mwili wako, na yeye akukabidhi mwili wake ili mtalii nakupeana mambo adimu. Hivyo naomba mfahamu kuwa Mkundu, una njia moja ya mawasiliano na Mboo, na kwa mwanamke mkundu upo na Kuma! Ili ujue kuwa hapo kuna mawasiliano, angalia wakati wa kutoa shahawa, lazima mkundu ulainike, uwe wa mwanaume au mwanamke!upoo apoo👌💋 Pia tazama ukiwa unakwenda haja kubwa mwanaume, utaona Uboo unasimama, hujiulizi kwa nn?! Au ukiwa unakojoa mkojo wa kawaida basi utakujia Ushuzi “Paaaaah” na mwanamke hivyohivyo akikojoa mishuzi itakuja labda aibane, kitu ambacho kiafya siyo sahihi kuubana ushuzi, kwani ile ni hewa chafu ambayo haitakiwi kukaa tumboni, Mkundu uchezewe kwa kutiwa ulimi, au kupitishiwa kidole, ambacho kisiwe kikavu kwani utaweza kuchubuka. Sijasema mwanaume kutiwa kidole hapo no, nimesema kidole kiwe kinapiga brashi tu, au labda kama mwenyewe akiona burudani yake ipo ndani zaidi hapo 3.SIKIO👂 utumie ulimi wako katika sikio la mpenzi wako kwa kuuzungusha taratibu kwenye tundu la sikio huku ukifanya kama unamng'ata ng'ata kwa kutumia lips zako usitumie meno na sio umng'ate kweli tumia lips na ulimi pia njia nyingine ya kumletea nyege mpenzi wako katika masikio ni kumkiss 4.KWENYE UTI WA MGONG💏 mgeuze mpenzi wako na umlaze kifudi fudi yani tumbo chini mgongo uwe juu baada ya kumlaza hivyo toa ulimi wako anza kuupitisha taratibu kwenye uti wake wa mgongo ukianzia kuutembeza ulimi wako tokea shingoni unashuka kwenye mstari mpaka kwenye matako yake. Fanya zoezi hili la kupitisha ulimi wako katika round kama mbili au3 💏💏💏💏 Ukichezea sehemu hizo kiusahihi kabisa unaweza kufanya mmeo arudie kukufanya hata bao 5 kwa siku👌ama mkasex zaidi ya kawaida kwasababu hayo ni maeneo yenye hadhina ya nyege kwa mwanaume💏 💘💘💘💘💘💘💘💘hakuna mtaalamu wa mapenxi kukushinda wewe bali ni kujua mbinu tu za kufanya💘💘Mahaba💘💘💘💘💘💘proffesional💘💘💘💘💘💘 * Cuty💋
...

🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 *_Maalum kwa kina Dada, Sheria 5 za Kumridhisha mwanaume wako kimapenzi_* 💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝 Mtaalam wa mapenzi, Bi. Layla Quinn, anasema wamaume ni viumbe rahisi sana kuridhishwa tunapokuja katika suala la unyumba. Mwanzoni, kitu kinachomhamasisha mwanaume kujamiiana ni muonekano wako (mwanamke) tu wakimahaba, lakini kadri siku zinavyokwenda ndani ya mahusiano, inakuwa ngumu kupandisha munkari wake, hata kama wewe ni mwanamke mrembo barabara! Bi. Layla anaendelea kusema kuwa, kumridhisha mwanaume wako kitandani inaweza ikawa rahisi kama tu utakumbuka kuweka mambo katika hali ya mvuto ( Remember to keep things intereting!). Tafuta namna ya kuleta hamasa, iliyokuwepo siku za mwanzo mwanzo, na kwa hakika utakamata usukani. Sasa swali linakuja…..Nini unatakiwa kufanya, ili kumridhisha mwanaume wako kitandani? Kujibu swali hilo, Bi. Layla amekuja na sheria 10 zifuatazo, ambazo kama zitazingatiwa kwa makini, basi mwanamke hatokuwa na shida ya kumridhisha mwanaume wake kitandani na nyanja nyingine muhimu za mahaba. 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞 # 1 Vaa vizuri. Utamu wa kujamiiana unaweza ukawa kwenye tendo lenyewe, lakini matamanio ya kufanya tendo hilo, yanategemeana na mambo mengine mengi. Vaa vizuri wakati wa kulala wakati wote, na sio tu wakati wa usiku, ambao unataka kufanya mapenzi. Vaa nguo nyororo, yenye mtelezo unaomwagika mwilini. Kwa vazi hili na mtembeo wa kimahaba chumbani, mwanaume wako hatotaka kutoa mikono yake mwilini mwako. 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞 #2 Usiwe mtu wa aibu aibu linapokuja suala la kujamiiana. Mwaume anaweza akakupenda kwa mapozi yako na aibu kwanza (lugha iliyotumika hapa ni “innocence”), lakini hamna mwanaume atakaye endelea kuvumilia mwanamke, ambaye anastushwa kirahisi na kila kitu (mitindo ya kujamiiana), isipokuwa mtindo wa kifudi fudi, maarufu kama “Kifo cha Mende”. Wanaume wanapenda wanawake, ambao ni wataalam kitandani. Wanaume wanapenda wanawake, ambao wanajiamini na wanabuni manjonjo mbalimbali wakati wa shughuli. Kama unataka kumridhisha mwanaume wako kitandani, basi soma mbinu mbalimbali, ambazo zinatumiwa na wapenzi mbalimbali. ❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣ #3 Fanya mazoezi na onekana Bomba. Wanaume ni watu wakujali sana muonekano wa mwanamke. Kwahiyo, sio lazima kuonekana kama walimbwende wa vichupi, lakini mtazamo wa karibu na hapo, utakuongezea mvuto zaidi kitandani. Ndio, mwanaume wako “anakupenda kama ulivyo” na tila lila nyingiiiii…..lakini lazima tuukabili ukweli kwamba watu wenye kufanya mazoezi wanaonekana na mvuto zaidi, hakuna kupinga hilo. Hata kwetu Bongo katika nyakati hizi za utandawazi, wakina kaka wengi wanawaona wanawake kama wakina Naomi Campbell na Jennifer Lopez, ambao wanatamani kuwa nao. Lakini hauhitaji kuwa kama wakina Naomi na Jennifer kumridhisha mwanaume wako, bali hakikisha tu upo katika umbo zuri la kumpelekesha kirahisi kitandani, Basi! ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ #4 Kuwa Mchokozi. Hapa haimaanishi ule uchokozi wa kuleta ugomvi, lahasha! Bali, ni ule uchokozi, ambao kwa lugha ya kingereza unafahamika kama “Tease”, kwa maana hiyo basi tunasema “Tease him”. Cheza nae michezo mbalimbali na burudika nae ipasavyo, na michezo isiwe ya kitandani tu, kama karata na kadhalika, bali michezo ya hata nje ya kitanda kama kukimbia na kucheza kidali po! Kama unataka kuwa mjuzi kitandani, basi unatakiwa umfanye mwanaume wako akutake wakati wote na popote pia. Kujamiiana sio kitasa ambazo unawasha na kuzima mnapokuwa chumbani tu. Mchokoze chokoze wakati mnasakata muziki jukwaani, na mchokoze chokoze (katika mitindo ya kimahaba, bila kuvuka mipaka) wakati yupo na marafiki zake. 🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 #5 Jiamini na Jipende. Ndio, utaonekana vizuri zaidi ukipunguza maunene, lakini hiyo haimaanishi kwamba haupo bomba. Hakuna kinacho kera wanaume, kama mwanamke, ambae anauonea aibu mwili wake mwenyewe wakati anafanya mapenzi. Jiamini kuhusu mwili wako wakati upo mtupu, na jaribu mambo mbalimbali na mwanaume wako. 🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 Dr Luv🤓🤓🤓
...

💏💏💏Mahaba_professional💏💏💏 💝💝KUNYONYA KUMA KWA KUTUMIA PIPI KIJITI🍬🍭🍭😋😋 ⏩Unajua kila mwanamke👰 anapenda mpenzi 💏wake awe mbunifu hasa katika mapenzi maana mwanaume ukiwa mbunifu mpenzi wako atakuona mpya kila cku.💃💃🍭🍭 ⏩💏Unajua wanaume walio wengi mnapenda sana raha katika mapenzi yaaan mnapenda mfanyiwe v2 vingi sana katika mapenzi ila nyie hamtaki kuwafanyia wapenzi wenu mpaka waienjoy,basi leo natoa darasa kwa wanaume namna ya kunyonya😋😋 kuma kwa kutumia pipi ya kijiti.🍭🍭🍭 💏JINSI YA KUNYONYA KUMA 😋😋KWA KUTUMIA PIPI KIJITI😘👌🍭 ⏩💏raha ya kunyonya kuma mwanamke anatakiwa awe msafi👰🚿 maana si kila mwanamke anatakiwa kunyonywa kuma kuna wengne sio wasafi 😏😷bt kama co msafi unaweza ukimwogesha🛁🚿 kabla ya kumnyonya kuma ili asipitwe na hii raha.😋🍭🍭 ⏩💏Hakikisha mpenzi wako yuko uchi tayari kwa ajili ya kupata hiyo raha 😋🍭 maana kunyonywa kuma kuna raha yake hasa umpate mwanaume anayejua kunyonya kuma😋👌 sio wale wanaotumia meno 😁😁mpaka mwanamke anahisi karaha,😏😏👌 ⏩💏Kuna mikao mingi tu ambayo unaweza kuitumia kwa ajili ya kunyonya kuma ili mradi isikupe shida pale unapomnyonya mpenzi wako kwa mfano,mwanamke anaweza kulala chali akapanua miguu au kuinua miguu juu,mwanamke anaweza kukaa style ya mbuzi kagoma kwenda huku mwanaume akapiga magoti kama vile ndama inanyonya maziwa ya mama yake i mean ngombe ila kwangu me kwa kuwa unatumia pipi ya kijiti🍭🍭 basi style nzuri inayofaa ni ile ya mwanamke kulala chali huku akapanua miguu au kuinua juu ndo itakuwa raha sana na haitamsumbua mwanaume kujinafasi.😋😋👌 ⏩Hakikisha pipi ya kijiti🍭👌 uliyonayo iwe ngumu ngumu kidogo pale juu maana ikiwa imel;egea mwanamke hatafurahia hili zoezi,kabla ya yote ilambe 😋hiyo pipi au mpatie mpenzi wako ainyonye kwa ajili ya kulainisha pale juu kwan kama unavyojua pipi ikiwa mpya inakuwa kama inakwaruza so kitendo cha kuilamba ni kwa ajili ya kuilainisha.🍭😋👌 ⏩💏mkalishie mpenzi wako huo mkao niliokuambia anza na romance taratibu nyonya masikio 👂shuka mpaka shingoni lamba lamba hilo shingo kama vile unalibana na lips zako shuka mpaka kifuani anza kunyonya moja huku pipi ya kijiti🍭 ikizunguka juu ya chuchu ya mwanamke na baada ya hapo sasa kazi inaanza kama ifuatavyo,👌👌🍭👇👇 ⏩Ingiza ncha ya ulimi wako kumani huku pipi ya kijiti ikisugua kwenye kisimi ama kinembe kama wanavyoita wengine na hakikisha ile sehemu ya kunyonya kwenye pipi 🍭ndo inagusa hichom kisimi huku unakuwa unatembeza hiyo pipi ya kijiti juu ya kinembe,lamba kuma yote kama unapiga deki hivi,sugua lips zako kwenda kushoto na kulia huku ukitoa miguno ya kimahaba au kusifia kuma ya mpenz wako,👌baada ya hapo anza kuutembeza ulimi wako kwenye kisimi kwa njia kama unaupalaza kiubapa huku pipi ya kijiti ukiwa umehamishia kwenye kuma unakuwa unaiingiza kwa pozi kumani kama unaizungusha taratibu sana 🍭sio kwa fujo maana ukiizungusha kwa fujo inaweza kuchomoka kile kifundo chake,fanya hivyo kwa muda wa dk kadhaa.👌🍭😋 ⏩💏Baadae unarudi kwenye kuma ila safari hii ilambe 😋kuma kama vile mbwa analamba sahani chakula huku pipi ya kijiti 🍭ikiwa inasugua kinembe maana atakuwa anakaribia kukojoa.baada ya hapo weka pipi pembeni anza kulamba kuma yote alafu mfanye mapenzi sasa .💏❤ Nakuhakikishia mpenzi wako ataenjoy kupita maelezo.Mapenzi ni sanaa na ubunifu sio kila siku mambo yale yale inachoshaa 👌👌 Na kwa wanawake wenzangu mwambie baby dad akufanyie hivi utafurahi kwa mautam haya👌🍭🍭🍭😋 🎀🎀🎀Mahaba_professional🎀🎀🎀 🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸
...

💏💏💏Mahaba_professional💏💏💏 💝💝KUNYONYA KUMA KWA KUTUMIA PIPI KIJITI🍬🍭🍭😋😋 ⏩Unajua kila mwanamke👰 anapenda mpenzi 💏wake awe mbunifu hasa katika mapenzi maana mwanaume ukiwa mbunifu mpenzi wako atakuona mpya kila cku.💃💃🍭🍭 ⏩💏Unajua wanaume walio wengi mnapenda sana raha katika mapenzi yaaan mnapenda mfanyiwe v2 vingi sana katika mapenzi ila nyie hamtaki kuwafanyia wapenzi wenu mpaka waienjoy,basi leo natoa darasa kwa wanaume namna ya kunyonya😋😋 kuma kwa kutumia pipi ya kijiti.🍭🍭🍭 💏JINSI YA KUNYONYA KUMA 😋😋KWA KUTUMIA PIPI KIJITI😘👌🍭 ⏩💏raha ya kunyonya kuma mwanamke anatakiwa awe msafi👰🚿 maana si kila mwanamke anatakiwa kunyonywa kuma kuna wengne sio wasafi 😏😷bt kama co msafi unaweza ukimwogesha🛁🚿 kabla ya kumnyonya kuma ili asipitwe na hii raha.😋🍭🍭 ⏩💏Hakikisha mpenzi wako yuko uchi tayari kwa ajili ya kupata hiyo raha 😋🍭 maana kunyonywa kuma kuna raha yake hasa umpate mwanaume anayejua kunyonya kuma😋👌 sio wale wanaotumia meno 😁😁mpaka mwanamke anahisi karaha,😏😏👌 ⏩💏Kuna mikao mingi tu ambayo unaweza kuitumia kwa ajili ya kunyonya kuma ili mradi isikupe shida pale unapomnyonya mpenzi wako kwa mfano,mwanamke anaweza kulala chali akapanua miguu au kuinua miguu juu,mwanamke anaweza kukaa style ya mbuzi kagoma kwenda huku mwanaume akapiga magoti kama vile ndama inanyonya maziwa ya mama yake i mean ngombe ila kwangu me kwa kuwa unatumia pipi ya kijiti🍭🍭 basi style nzuri inayofaa ni ile ya mwanamke kulala chali huku akapanua miguu au kuinua juu ndo itakuwa raha sana na haitamsumbua mwanaume kujinafasi.😋😋👌 ⏩Hakikisha pipi ya kijiti🍭👌 uliyonayo iwe ngumu ngumu kidogo pale juu maana ikiwa imel;egea mwanamke hatafurahia hili zoezi,kabla ya yote ilambe 😋hiyo pipi au mpatie mpenzi wako ainyonye kwa ajili ya kulainisha pale juu kwan kama unavyojua pipi ikiwa mpya inakuwa kama inakwaruza so kitendo cha kuilamba ni kwa ajili ya kuilainisha.🍭😋👌 ⏩💏mkalishie mpenzi wako huo mkao niliokuambia anza na romance taratibu nyonya masikio 👂shuka mpaka shingoni lamba lamba hilo shingo kama vile unalibana na lips zako shuka mpaka kifuani anza kunyonya moja huku pipi ya kijiti🍭 ikizunguka juu ya chuchu ya mwanamke na baada ya hapo sasa kazi inaanza kama ifuatavyo,👌👌🍭👇👇 ⏩Ingiza ncha ya ulimi wako kumani huku pipi ya kijiti ikisugua kwenye kisimi ama kinembe kama wanavyoita wengine na hakikisha ile sehemu ya kunyonya kwenye pipi 🍭ndo inagusa hichom kisimi huku unakuwa unatembeza hiyo pipi ya kijiti juu ya kinembe,lamba kuma yote kama unapiga deki hivi,sugua lips zako kwenda kushoto na kulia huku ukitoa miguno ya kimahaba au kusifia kuma ya mpenz wako,👌baada ya hapo anza kuutembeza ulimi wako kwenye kisimi kwa njia kama unaupalaza kiubapa huku pipi ya kijiti ukiwa umehamishia kwenye kuma unakuwa unaiingiza kwa pozi kumani kama unaizungusha taratibu sana 🍭sio kwa fujo maana ukiizungusha kwa fujo inaweza kuchomoka kile kifundo chake,fanya hivyo kwa muda wa dk kadhaa.👌🍭😋 ⏩💏Baadae unarudi kwenye kuma ila safari hii ilambe 😋kuma kama vile mbwa analamba sahani chakula huku pipi ya kijiti 🍭ikiwa inasugua kinembe maana atakuwa anakaribia kukojoa.baada ya hapo weka pipi pembeni anza kulamba kuma yote alafu mfanye mapenzi sasa .💏❤ Nakuhakikishia mpenzi wako ataenjoy kupita maelezo.Mapenzi ni sanaa na ubunifu sio kila siku mambo yale yale inachoshaa 👌👌 Na kwa wanawake wenzangu mwambie baby dad akufanyie hivi utafurahi kwa mautam haya👌🍭🍭🍭😋 🎀🎀🎀Mahaba_professional🎀🎀🎀 🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸
...
![NATAMANI MAHOUSEGELI WOTE WANGEKUA HIVI. ..
NDANI YA CHUMBA CHA BINTI WA KAZI [house girl]
Baba anavamiwa na pepo wa ngono anajikuta anawaka tamaa kwa binti wa kazi ambaye ni kama mtoto wake wa kumzaa.
Baada ya hiyo hali kumchosha house girl akaona isiwe tabu wacha akae na mama amueleze yote yanayoendelea baina yake na baba ili kunusuru ndoa ya huyu mama.
Ilikuwa ni jioni kama ya saa 9 alasiri
mama akijianda kwenda kwenye ibada,binti akatoka chumbani akamwambia mama
"Samahani mama naweza kuongea nawewe kitu sasa?"
"Ndiyo ondoa shaka japo niko na ratiba ya kwenda ibadani"alijibu mama
"Mama,baba ananitongoza ananitaka kimapenzi,sasa ni kama mwezi mzima sasa,
Siku ya kwanza nilidhani amepitiwa tu lakini inavyoonekana amedhamilia....
naumia nakosa amani hasa nikimwangalia baba na mimi naona kabisa ni kama baba kwangu,au babu yangu kabisa.nisaidie mama nakosa sana amani nikiona SMS zake kwenye simu yangu,
nakuheshimu na namuheshimu sana baba,sitaki tuje kuingia ugonvi na wewe mama mimi nafanya kazi hapa kwa malengo makubwa,sitaki nije nipoteze kazi kwa mambo ya kipumbavu......
na isitoshe pia mimi nina mchumba ambaye nilishamwambia ikiwa yuko sirious aje nyumbani awaone ninyi kama wazazi wangu mnaonilea.....na tangu nipoteze wazazi wangu naona kama majeraha yangu yameshapona kwa sababu Mungu amenipa wazazi wanaonijari na kunitimizia mahitaji yangu muhimu.....
"Binti alimweleza mama kwa hisia kali sana huku akionyesha kulengwa na machozi....."Naomba usinifukuze mama nakuomba!"
Mama alijikuta anampenda sana yule binti
Na yeye akajikuta analengwa na machozi akachukua muda wa kufkir kama dakika 10 pasipo kusema chochote
Binti akamwonyesha kila kitu kwenye simu yake
Mama akaona msg za ajabu na za aibu toka kwa mumewe.....akamhurumia,akajisemea moyoni
" hivi hawa wanaume wanataka nini jamani?"
Ni kitu gani kakikosa kwangu ambacho msichana wangu anavyo?
Nimemkosea nini hasa??
Basi kwa unyonge mama akaona hana hata hamu ya kwenda ibadani, akamjibu yule binti "ntaanzaje kukufukuza Mwanangu! Nakuhakikishia kwamba siwezi kukuondoa,mpaka pale utakapotimiza malengo yako.....
Baada ya muda mama akaona hakuna haja ya kwenda hata ibadani wakati tayari ako na shida moyoni mwake,akaingia chumbani kwake akawa amejipumzisha akifikiria mambo mengi yahusuyo ndoa yake......akajisemea " kwanini shetani anataka tumalize vibaya kwenye ndoa yetu?"
SAA za jioni msichana akapokea message toka kwa mzee:
"usiku nitachelewa kuingia na kabla sijaingia chumbani ntakuja kwako usifunge mlango sawa!"
Ilikuwa ni text iliyoingia kwenye simu ya binti
Moja kwa moja akampelekea mama kumwonyesha ili wajue wanafanyaje maana ni mtihani mzito kwa house girl.......
Lkn mama akamuuliza kama anaweza kumwachia ile simu kwa muda ule akae nayo chumbani kwake, binti akasema hakuna shida na mama akaingia nayo kuchat na mumewe.
Ile SMS iliyotoka kwa mumewe akaijibu akasema
[Hakuna shida]
Mzee akajibu;
{Ngoja nimwandikie wife sms kama ntachelewa,nikuletee zawadi gani mwanangu?}
Mama akijibu;
[Niletee skin tite]
{Size gani?}
[Kama anazovaa mama tunavaa size moja]
{Sifahamu anavaa size gani sijawahi kumnunulia}
[Haaaaaa!baba hujui size ya mkeoooo are you sure?]
Kukawa na ukimya kidogo mzee nafkir akashtuka kuona zile chatting utafkir ni mkewe akaruka hewani ili ajiridhishe.........
mama haraka akamwita binti akamwambia pokea mwambie mama yupo saizi tuendelee kuchat.....akafanya hivyo na mzee akakata.
Akamwendea Whatsap mkewe akamwandikia ujumbe
"Ntachelewa kurudi Leo kuna mpira wa Manchester na arsenal unaisha saa 6:45 mkewe akaijibu haraka akasema"sawa mume wangu"
Akarudi kuchat na house girl fake na hajui kama simu zote ziko na mkewe
{"Ndio sijui size ya mke wangu kwani lazima?}
Mama akamtajia size yake ya tait.
Usiku saa 4 na nusu,jamaa akamwandikia message anaedhani ni msichana wake wa kazi akisema
"Dakika 10 ntakuwa hapo acha mlango wazi"
Mama akajibu "poa" akaenda kufungua mlango akaingia chumbani kwa msichana wake kulala akimsubiri kwa hamu kubwa mumewe akazima taa akaingia ndani ya neti akajifunika shuka........wakati huo binti usiku huo amelala chumba cha wageni.
Saa tano kasoro dakika 20 mzee akafika,akafungua mlango wa nje taratiibuuu akaanza kunyata akiingia chumbani kwa house girl kuvunja amri ya 6 {usizini}
Alipofungua mlango kwa taratibu sana,akaufunga kwà ndani akachojoa nguo zote akitumia mwanga wa simu akaingia ndani ya neti akazima simu yake akaingia ndani ya shuka.....
Haraka haraka akatua mkono wake kwenye kiuno cha mkewe
Mh!ni kama alishtuka kidogo baada ya kuona matuta fulani kiunoni,akaanza kupapasa mkono wake ukatua kwenye maziwa ya mkewe.....hapo ndipo alipochoka.....maana aliona yale maziwa yamelala kabisa kama ya mkewe.......alikuwa ameshajua tayari kwamba amewekewa tego,stim zote zikawa zimekata ni mdogoo kama piliton......
Na mkewe baada ya kuona jamaa kashtukia ishu
Akaanza nae ukorofi wa kumpapasa mumewe huyo halali......jamaa alikuwa ameshanyong'onyea kila kiungo kimelala hakuna ushirikiano wowote!
Sikiliza neno la mzee kwa mkewe "habari za leo mke wangu?
"Salama mume wangu kuwa huru,hapa huibi uko na mkeo halali twende kazi".alijibu mama kwa sauti ya mahaba.....vp mpira umeisha,nani kaibuka kidedea?au ulikuwa unamaanisha mechi ya kitandani?
Hahaaaaa mwandishi anacheeka!!!
Unaambiwa mzee alinyong'onyea akajigeuza akaangalia juu hajui atatoka kwa njia gani,mama akatoa mkono wake nje ya neti akawasha taa akamgeukia mumewe akaanza kumwimbia kwa sauti ya chini
Kabla hajaanza kusema mzee akasema " samahani mke wangu..... Mama akajibu "usijari,bila hata samahani nimekusamehe,lakini naomba kukuuliza mwenzangu;-
Ulikuwa unataka nini kwa msichana ambacho mimi sina?
Najua kitu cha kwanza ulichotambua kama ni mimi mkeo,ni matiti yangu yalivyolala......
lakini umesahau kama na mimi wakati wa ujana wangu nilikuwa kama huyu binti nilikuwa mzuri nilikuwa nang'ang'aniwa na vijana wengi lakini miongoni mwao nikakuchagua wewe uwe mume wangu,
siku hazigandi mwenzangu!
Umri umesogea,kubaliana na hali iliyopo!!
Unataka nini kwa house girl?
Wenzio wakina Ibrahim walikuwa wanataka watoto......Mbona nimekuzalia watoto watano wote unataka nini kwa house girl??
Mwache Mtoto wa watu usimvurugie malengo yake
Nakuomba nakuombea kwa Mungu tuumalize uzee wetu vzur tafadhari.......mzee hakuna na neno lingine zaidi ya samahani mke wangu".
Nimekusamehe, naomba zawadi yangu....akamwonyesha kwa ishara rambo iliyokuwa chini.......mama akafungua akakuta skin title 12 akamwambia asante sana....sasa nimekusamehe tumalizie usingizi hapa hapa si ndio?
Mzee akasema twende kwetu wakatoka kwenda kulala
House girl anasema ilipita miezi mitatu hawakuwahi kuonana na dadii ijapokuwa wako wote ndani na sasa yupo kwake alishaolewa.
Wanaume mpone kwa kweli NATAMANI MAHOUSEGELI WOTE WANGEKUA HIVI. ..
NDANI YA CHUMBA CHA BINTI WA KAZI [house girl]
Baba anavamiwa na pepo wa ngono anajikuta anawaka tamaa kwa binti wa kazi ambaye ni kama mtoto wake wa kumzaa.
Baada ya hiyo hali kumchosha house girl akaona isiwe tabu wacha akae na mama amueleze yote yanayoendelea baina yake na baba ili kunusuru ndoa ya huyu mama.
Ilikuwa ni jioni kama ya saa 9 alasiri
mama akijianda kwenda kwenye ibada,binti akatoka chumbani akamwambia mama
"Samahani mama naweza kuongea nawewe kitu sasa?"
"Ndiyo ondoa shaka japo niko na ratiba ya kwenda ibadani"alijibu mama
"Mama,baba ananitongoza ananitaka kimapenzi,sasa ni kama mwezi mzima sasa,
Siku ya kwanza nilidhani amepitiwa tu lakini inavyoonekana amedhamilia....
naumia nakosa amani hasa nikimwangalia baba na mimi naona kabisa ni kama baba kwangu,au babu yangu kabisa.nisaidie mama nakosa sana amani nikiona SMS zake kwenye simu yangu,
nakuheshimu na namuheshimu sana baba,sitaki tuje kuingia ugonvi na wewe mama mimi nafanya kazi hapa kwa malengo makubwa,sitaki nije nipoteze kazi kwa mambo ya kipumbavu......
na isitoshe pia mimi nina mchumba ambaye nilishamwambia ikiwa yuko sirious aje nyumbani awaone ninyi kama wazazi wangu mnaonilea.....na tangu nipoteze wazazi wangu naona kama majeraha yangu yameshapona kwa sababu Mungu amenipa wazazi wanaonijari na kunitimizia mahitaji yangu muhimu.....
"Binti alimweleza mama kwa hisia kali sana huku akionyesha kulengwa na machozi....."Naomba usinifukuze mama nakuomba!"
Mama alijikuta anampenda sana yule binti
Na yeye akajikuta analengwa na machozi akachukua muda wa kufkir kama dakika 10 pasipo kusema chochote
Binti akamwonyesha kila kitu kwenye simu yake
Mama akaona msg za ajabu na za aibu toka kwa mumewe.....akamhurumia,akajisemea moyoni
" hivi hawa wanaume wanataka nini jamani?"
Ni kitu gani kakikosa kwangu ambacho msichana wangu anavyo?
Nimemkosea nini hasa??
Basi kwa unyonge mama akaona hana hata hamu ya kwenda ibadani, akamjibu yule binti "ntaanzaje kukufukuza Mwanangu! Nakuhakikishia kwamba siwezi kukuondoa,mpaka pale utakapotimiza malengo yako.....
Baada ya muda mama akaona hakuna haja ya kwenda hata ibadani wakati tayari ako na shida moyoni mwake,akaingia chumbani kwake akawa amejipumzisha akifikiria mambo mengi yahusuyo ndoa yake......akajisemea " kwanini shetani anataka tumalize vibaya kwenye ndoa yetu?"
SAA za jioni msichana akapokea message toka kwa mzee:
"usiku nitachelewa kuingia na kabla sijaingia chumbani ntakuja kwako usifunge mlango sawa!"
Ilikuwa ni text iliyoingia kwenye simu ya binti
Moja kwa moja akampelekea mama kumwonyesha ili wajue wanafanyaje maana ni mtihani mzito kwa house girl.......
Lkn mama akamuuliza kama anaweza kumwachia ile simu kwa muda ule akae nayo chumbani kwake, binti akasema hakuna shida na mama akaingia nayo kuchat na mumewe.
Ile SMS iliyotoka kwa mumewe akaijibu akasema
[Hakuna shida]
Mzee akajibu;
{Ngoja nimwandikie wife sms kama ntachelewa,nikuletee zawadi gani mwanangu?}
Mama akijibu;
[Niletee skin tite]
{Size gani?}
[Kama anazovaa mama tunavaa size moja]
{Sifahamu anavaa size gani sijawahi kumnunulia}
[Haaaaaa!baba hujui size ya mkeoooo are you sure?]
Kukawa na ukimya kidogo mzee nafkir akashtuka kuona zile chatting utafkir ni mkewe akaruka hewani ili ajiridhishe.........
mama haraka akamwita binti akamwambia pokea mwambie mama yupo saizi tuendelee kuchat.....akafanya hivyo na mzee akakata.
Akamwendea Whatsap mkewe akamwandikia ujumbe
"Ntachelewa kurudi Leo kuna mpira wa Manchester na arsenal unaisha saa 6:45 mkewe akaijibu haraka akasema"sawa mume wangu"
Akarudi kuchat na house girl fake na hajui kama simu zote ziko na mkewe
{"Ndio sijui size ya mke wangu kwani lazima?}
Mama akamtajia size yake ya tait.
Usiku saa 4 na nusu,jamaa akamwandikia message anaedhani ni msichana wake wa kazi akisema
"Dakika 10 ntakuwa hapo acha mlango wazi"
Mama akajibu "poa" akaenda kufungua mlango akaingia chumbani kwa msichana wake kulala akimsubiri kwa hamu kubwa mumewe akazima taa akaingia ndani ya neti akajifunika shuka........wakati huo binti usiku huo amelala chumba cha wageni.
Saa tano kasoro dakika 20 mzee akafika,akafungua mlango wa nje taratiibuuu akaanza kunyata akiingia chumbani kwa house girl kuvunja amri ya 6 {usizini}
Alipofungua mlango kwa taratibu sana,akaufunga kwà ndani akachojoa nguo zote akitumia mwanga wa simu akaingia ndani ya neti akazima simu yake akaingia ndani ya shuka.....
Haraka haraka akatua mkono wake kwenye kiuno cha mkewe
Mh!ni kama alishtuka kidogo baada ya kuona matuta fulani kiunoni,akaanza kupapasa mkono wake ukatua kwenye maziwa ya mkewe.....hapo ndipo alipochoka.....maana aliona yale maziwa yamelala kabisa kama ya mkewe.......alikuwa ameshajua tayari kwamba amewekewa tego,stim zote zikawa zimekata ni mdogoo kama piliton......
Na mkewe baada ya kuona jamaa kashtukia ishu
Akaanza nae ukorofi wa kumpapasa mumewe huyo halali......jamaa alikuwa ameshanyong'onyea kila kiungo kimelala hakuna ushirikiano wowote!
Sikiliza neno la mzee kwa mkewe "habari za leo mke wangu?
"Salama mume wangu kuwa huru,hapa huibi uko na mkeo halali twende kazi".alijibu mama kwa sauti ya mahaba.....vp mpira umeisha,nani kaibuka kidedea?au ulikuwa unamaanisha mechi ya kitandani?
Hahaaaaa mwandishi anacheeka!!!
Unaambiwa mzee alinyong'onyea akajigeuza akaangalia juu hajui atatoka kwa njia gani,mama akatoa mkono wake nje ya neti akawasha taa akamgeukia mumewe akaanza kumwimbia kwa sauti ya chini
Kabla hajaanza kusema mzee akasema " samahani mke wangu..... Mama akajibu "usijari,bila hata samahani nimekusamehe,lakini naomba kukuuliza mwenzangu;-
Ulikuwa unataka nini kwa msichana ambacho mimi sina?
Najua kitu cha kwanza ulichotambua kama ni mimi mkeo,ni matiti yangu yalivyolala......
lakini umesahau kama na mimi wakati wa ujana wangu nilikuwa kama huyu binti nilikuwa mzuri nilikuwa nang'ang'aniwa na vijana wengi lakini miongoni mwao nikakuchagua wewe uwe mume wangu,
siku hazigandi mwenzangu!
Umri umesogea,kubaliana na hali iliyopo!!
Unataka nini kwa house girl?
Wenzio wakina Ibrahim walikuwa wanataka watoto......Mbona nimekuzalia watoto watano wote unataka nini kwa house girl??
Mwache Mtoto wa watu usimvurugie malengo yake
Nakuomba nakuombea kwa Mungu tuumalize uzee wetu vzur tafadhari.......mzee hakuna na neno lingine zaidi ya samahani mke wangu".
Nimekusamehe, naomba zawadi yangu....akamwonyesha kwa ishara rambo iliyokuwa chini.......mama akafungua akakuta skin title 12 akamwambia asante sana....sasa nimekusamehe tumalizie usingizi hapa hapa si ndio?
Mzee akasema twende kwetu wakatoka kwenda kulala
House girl anasema ilipita miezi mitatu hawakuwahi kuonana na dadii ijapokuwa wako wote ndani na sasa yupo kwake alishaolewa.
Wanaume mpone kwa kweli](http://lh4.googleusercontent.com/-wR9X2Ir5tN8/URsTis2yuWI/AAAAAAAAAhk/peKQZDOLiVM/s320/no-img.png)
NATAMANI MAHOUSEGELI WOTE WANGEKUA HIVI. .. NDANI YA CHUMBA CHA BINTI WA KAZI [house girl] Baba anavamiwa na pepo wa ngono anajikuta anawaka tamaa kwa binti wa kazi ambaye ni kama mtoto wake wa kumzaa. Baada ya hiyo hali kumchosha house girl akaona isiwe tabu wacha akae na mama amueleze yote yanayoendelea baina yake na baba ili kunusuru ndoa ya huyu mama. Ilikuwa ni jioni kama ya saa 9 alasiri mama akijianda kwenda kwenye ibada,binti akatoka chumbani akamwambia mama "Samahani mama naweza kuongea nawewe kitu sasa?" "Ndiyo ondoa shaka japo niko na ratiba ya kwenda ibadani"alijibu mama "Mama,baba ananitongoza ananitaka kimapenzi,sasa ni kama mwezi mzima sasa, Siku ya kwanza nilidhani amepitiwa tu lakini inavyoonekana amedhamilia.... naumia nakosa amani hasa nikimwangalia baba na mimi naona kabisa ni kama baba kwangu,au babu yangu kabisa.nisaidie mama nakosa sana amani nikiona SMS zake kwenye simu yangu, nakuheshimu na namuheshimu sana baba,sitaki tuje kuingia ugonvi na wewe mama mimi nafanya kazi hapa kwa malengo makubwa,sitaki nije nipoteze kazi kwa mambo ya kipumbavu...... na isitoshe pia mimi nina mchumba ambaye nilishamwambia ikiwa yuko sirious aje nyumbani awaone ninyi kama wazazi wangu mnaonilea.....na tangu nipoteze wazazi wangu naona kama majeraha yangu yameshapona kwa sababu Mungu amenipa wazazi wanaonijari na kunitimizia mahitaji yangu muhimu..... "Binti alimweleza mama kwa hisia kali sana huku akionyesha kulengwa na machozi....."Naomba usinifukuze mama nakuomba!" Mama alijikuta anampenda sana yule binti Na yeye akajikuta analengwa na machozi akachukua muda wa kufkir kama dakika 10 pasipo kusema chochote Binti akamwonyesha kila kitu kwenye simu yake Mama akaona msg za ajabu na za aibu toka kwa mumewe.....akamhurumia,akajisemea moyoni " hivi hawa wanaume wanataka nini jamani?" Ni kitu gani kakikosa kwangu ambacho msichana wangu anavyo? Nimemkosea nini hasa?? Basi kwa unyonge mama akaona hana hata hamu ya kwenda ibadani, akamjibu yule binti "ntaanzaje kukufukuza Mwanangu! Nakuhakikishia kwamba siwezi kukuondoa,mpaka pale utakapotimiza malengo yako..... Baada ya muda mama akaona hakuna haja ya kwenda hata ibadani wakati tayari ako na shida moyoni mwake,akaingia chumbani kwake akawa amejipumzisha akifikiria mambo mengi yahusuyo ndoa yake......akajisemea " kwanini shetani anataka tumalize vibaya kwenye ndoa yetu?" SAA za jioni msichana akapokea message toka kwa mzee: "usiku nitachelewa kuingia na kabla sijaingia chumbani ntakuja kwako usifunge mlango sawa!" Ilikuwa ni text iliyoingia kwenye simu ya binti Moja kwa moja akampelekea mama kumwonyesha ili wajue wanafanyaje maana ni mtihani mzito kwa house girl....... Lkn mama akamuuliza kama anaweza kumwachia ile simu kwa muda ule akae nayo chumbani kwake, binti akasema hakuna shida na mama akaingia nayo kuchat na mumewe. Ile SMS iliyotoka kwa mumewe akaijibu akasema [Hakuna shida] Mzee akajibu; {Ngoja nimwandikie wife sms kama ntachelewa,nikuletee zawadi gani mwanangu?} Mama akijibu; [Niletee skin tite] {Size gani?} [Kama anazovaa mama tunavaa size moja] {Sifahamu anavaa size gani sijawahi kumnunulia} [Haaaaaa!baba hujui size ya mkeoooo are you sure?] Kukawa na ukimya kidogo mzee nafkir akashtuka kuona zile chatting utafkir ni mkewe akaruka hewani ili ajiridhishe......... mama haraka akamwita binti akamwambia pokea mwambie mama yupo saizi tuendelee kuchat.....akafanya hivyo na mzee akakata. Akamwendea Whatsap mkewe akamwandikia ujumbe "Ntachelewa kurudi Leo kuna mpira wa Manchester na arsenal unaisha saa 6:45 mkewe akaijibu haraka akasema"sawa mume wangu" Akarudi kuchat na house girl fake na hajui kama simu zote ziko na mkewe {"Ndio sijui size ya mke wangu kwani lazima?} Mama akamtajia size yake ya tait. Usiku saa 4 na nusu,jamaa akamwandikia message anaedhani ni msichana wake wa kazi akisema "Dakika 10 ntakuwa hapo acha mlango wazi" Mama akajibu "poa" akaenda kufungua mlango akaingia chumbani kwa msichana wake kulala akimsubiri kwa hamu kubwa mumewe akazima taa akaingia ndani ya neti akajifunika shuka........wakati huo binti usiku huo amelala chumba cha wageni. Saa tano kasoro dakika 20 mzee akafika,akafungua mlango wa nje taratiibuuu akaanza kunyata akiingia chumbani kwa house girl kuvunja amri ya 6 {usizini} Alipofungua mlango kwa taratibu sana,akaufunga kwà ndani akachojoa nguo zote akitumia mwanga wa simu akaingia ndani ya neti akazima simu yake akaingia ndani ya shuka..... Haraka haraka akatua mkono wake kwenye kiuno cha mkewe Mh!ni kama alishtuka kidogo baada ya kuona matuta fulani kiunoni,akaanza kupapasa mkono wake ukatua kwenye maziwa ya mkewe.....hapo ndipo alipochoka.....maana aliona yale maziwa yamelala kabisa kama ya mkewe.......alikuwa ameshajua tayari kwamba amewekewa tego,stim zote zikawa zimekata ni mdogoo kama piliton...... Na mkewe baada ya kuona jamaa kashtukia ishu Akaanza nae ukorofi wa kumpapasa mumewe huyo halali......jamaa alikuwa ameshanyong'onyea kila kiungo kimelala hakuna ushirikiano wowote! Sikiliza neno la mzee kwa mkewe "habari za leo mke wangu? "Salama mume wangu kuwa huru,hapa huibi uko na mkeo halali twende kazi".alijibu mama kwa sauti ya mahaba.....vp mpira umeisha,nani kaibuka kidedea?au ulikuwa unamaanisha mechi ya kitandani? Hahaaaaa mwandishi anacheeka!!! Unaambiwa mzee alinyong'onyea akajigeuza akaangalia juu hajui atatoka kwa njia gani,mama akatoa mkono wake nje ya neti akawasha taa akamgeukia mumewe akaanza kumwimbia kwa sauti ya chini Kabla hajaanza kusema mzee akasema " samahani mke wangu..... Mama akajibu "usijari,bila hata samahani nimekusamehe,lakini naomba kukuuliza mwenzangu;- Ulikuwa unataka nini kwa msichana ambacho mimi sina? Najua kitu cha kwanza ulichotambua kama ni mimi mkeo,ni matiti yangu yalivyolala...... lakini umesahau kama na mimi wakati wa ujana wangu nilikuwa kama huyu binti nilikuwa mzuri nilikuwa nang'ang'aniwa na vijana wengi lakini miongoni mwao nikakuchagua wewe uwe mume wangu, siku hazigandi mwenzangu! Umri umesogea,kubaliana na hali iliyopo!! Unataka nini kwa house girl? Wenzio wakina Ibrahim walikuwa wanataka watoto......Mbona nimekuzalia watoto watano wote unataka nini kwa house girl?? Mwache Mtoto wa watu usimvurugie malengo yake Nakuomba nakuombea kwa Mungu tuumalize uzee wetu vzur tafadhari.......mzee hakuna na neno lingine zaidi ya samahani mke wangu". Nimekusamehe, naomba zawadi yangu....akamwonyesha kwa ishara rambo iliyokuwa chini.......mama akafungua akakuta skin title 12 akamwambia asante sana....sasa nimekusamehe tumalizie usingizi hapa hapa si ndio? Mzee akasema twende kwetu wakatoka kwenda kulala House girl anasema ilipita miezi mitatu hawakuwahi kuonana na dadii ijapokuwa wako wote ndani na sasa yupo kwake alishaolewa. Wanaume mpone kwa kweli
...

WAKUBWA TU Mahaba profesional MAENEO THABIT YENYE NYEGE KWENYE MWILI WA MWANAUME NA NAMNA YA KUYACHEZEA , . Mwanaume ana sehemu 12, ambazo nyege zake hulala pahala hapo. Wapo baadhi ya wanaume wamegawanyika katika makazi ya nyege zao, ila wapo baadhi yao maeneo nitakayoyataja na wao mote humo wananyege! Haya ndiyo maeneo ambayo Nyege za mwanaume zilipo. 1. Kwenye Mboo. 2. Mkunduni 3. Kwenye chuchu/Kifuani 4. Mdomoni 5. Masikioni 6. Puani 7. Shingoni 8. Mgongoni kwenye uti wa mgongo 9. Mapajani 10. Kwapani 11. Nyayoni 12. Kwenye viganja vya mikono. Hizo ndizo sehemu ambazo zina raha na ukizishika vizuri na hupandisha haraka nyege za wanaume Lakini napenda nizungumzie zaidi maeneo manne ambayo ukijua kuyachezea mtakesha mkitombana 1. Mboo; Nyege za kwenye mboo huamshwa kwa kuanza kupapaswa na kunyonywa, hapo ndipo zilipo nyege nyingi sana, ambapo kuna baadhi ya wanaume dhaifu kwa hisia wanaweza kumaliza kwa kumwaga Shahawa zao, kwa kushikwa Uboo tu hata Kuma wasiiguse! Ila hata kwa wanaume Marijali,wakichezewa na kunyonywa kwa ufundi, mwanaume atakojoa na kupunguza nyege. Kuna baadhi ya wanawake wakiwa katika siku zao wanalala tu hata kama mpenzi wake ameshikwa na nyege hajui namna ya kumsaidia kisa yupo mwezinKula koni mwanamke akojoe huyo mwenzio, kwani akishamwaga hayo maji mazito meupe, hatofikiria tena kutoka njeupooo shost Siyo ww mwanamke uanze “Mimi naumwa nipo mwezini”inahuuu Hapana mtoto wa kike, kuwa mbunifu, kama umejaaliwa manyonyo makubwa, chukua mboo uiweke kwenye manyonyo yabane hapo kati huku ukiwa umepakaa mafuta ya Gel kisha mbanie mwenzio Mboo yake, nae awe kama anapiga nje ndani, ulaini na joto la matiti atamwaga tu. 2. Mkunduni hapo wanaume wengi hawajui kama kuna hazina ya nyege,matokeo yake wapenzi wao wenye kujua, wanapotaka kuwagusa hapo, wanaruka na kutoa lugha ya kumtisha mwenzake. “Ahaa michongo gani hiyo unaniletea, mie siyo Msenge bwana!” Heee wewe kwani unapomchezea mwanamke mkundu wake umesikia yeye ni Msenge?! Wanawake hufanya kila jambo kwa wapenzi wao, kwa vile wanaupendo kwa wapenzi wao Ni kawaida unapokuwa katika kuta nne, jiachie kabisa mkabidhi mwenzio mwili wako, na yeye akukabidhi mwili wake ili mtalii nakupeana mambo adimu. Hivyo naomba mfahamu kuwa Mkundu, una njia moja ya mawasiliano na Mboo, na kwa mwanamke mkundu upo na Kuma! Ili ujue kuwa hapo kuna mawasiliano, angalia wakati wa kutoa shahawa, lazima mkundu ulainike, uwe wa mwanaume au mwanamke!upoo apoo Pia tazama ukiwa unakwenda haja kubwa mwanaume, utaona Uboo unasimama, hujiulizi kwa nn?! Au ukiwa unakojoa mkojo wa kawaida basi utakujia Ushuzi “Paaaaah” na mwanamke hivyohivyo akikojoa mishuzi itakuja labda aibane, kitu ambacho kiafya siyo sahihi kuubana ushuzi, kwani ile ni hewa chafu ambayo haitakiwi kukaa tumboni, Mkundu uchezewe kwa kutiwa ulimi, au kupitishiwa kidole, ambacho kisiwe kikavu kwani utaweza kuchubuka. Sijasema mwanaume kutiwa kidole hapo no, nimesema kidole kiwe kinapiga brashi tu, au labda kama mwenyewe akiona burudani yake ipo ndani zaidi hapo 3.SIKIO utumie ulimi wako katika sikio la mpenzi wako kwa kuuzungusha taratibu kwenye tundu la sikio huku ukifanya kama unamng'ata ng'ata kwa kutumia lips zako usitumie meno na sio umng'ate kweli tumia lips na ulimi pia njia nyingine ya kumletea nyege mpenzi wako katika masikio ni kumkiss 4.KWENYE UTI WA MGONG mgeuze mpenzi wako na umlaze kifudi fudi yani tumbo chini mgongo uwe juu baada ya kumlaza hivyo toa ulimi wako anza kuupitisha taratibu kwenye uti wake wa mgongo ukianzia kuutembeza ulimi wako tokea shingoni unashuka kwenye mstari mpaka kwenye matako yake. Fanya zoezi hili la kupitisha ulimi wako katika round kama mbili au3 Ukichezea sehemu hizo kiusahihi kabisa unaweza kufanya mmeo arudie kukufanya hata bao 5 kwa siku ama mkasex zaidi ya kawaida kwasababu hayo ni maeneo yenye hadhina ya nyege kwa mwanaume hakuna mtaalamu wa mapenxi kukushinda wewe bali ni kujua mbinu tu za kufanya Mahaba proffesional
...

💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕 Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear... •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕
...

🌸🌸🌸MAMBO YA PWAN🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸 🌷🌷SAHANI YENYE MAFUNZO🌷🌷 Leo tutafahamisha mafunzo yanayotakikana kupewa kwa biharos mtarajia, kwa kuanza tutaanzia na vtu vifuatavyo; 🌷🌷MSUWAKI ➖➖➖➖➖ Usafi wa kinywa ni lazima tupige mswaki mara tano kwa siku kama alivyotuusia mtume s.a.w na tuwe na misuaki miwili wa jiti na wa brush wa jiti usugulie meno na kuondoa ugaga ulioganda menoni na brush itachokoa vyakula viloganda pia ulimi wako usugulie mswaki vizuri hapo utakua fresh kinywa chako bdae tafuna kitango ili kuwa mzuri mdomo wako na kuondoa harufu mbaya. Pia unapopiga msuwaki hakikisha upo chooni, unafanya mambo yako hadi unamaliza. Ni aibu au Tabia mbaya kwa mke kupiga msuwaki nje, Hii humaanisha ; Msuwaki ni mme na mdomo wk ni mke, nahivo ukisugua maana mke na mume wanafanya hatharan. Pia humaanisha mambo yk yandani unayatoa nje. Tuwe na hadhar na msuwak kutokuupga mbele ya mtu. 🎀🎀SABUNI ➖➖➖➖➖➖ Nivyema kila unapooga uwe mwenye kutumia maji na sabuni, ili utowe uchafu wa mwili. 🎀🎀KINYOLEO ➖➖➖➖➖➖ unapokua ushaolewa nimarufuku mume kujinyoa mwenyewe, bali inatakikana, kwasiku utakayomsinga ,ukishammaliza chukua kkinyoleo chako eels kisahani na hengachefu juu Anza kwa kumnyoa mmeo taratibu. 🎀🎀BRUSHI YA KIATU. ➖➖➖➖➖➖ Inapifika asubuhi na mapema Anza kwakumtayarishia chai mmeeo, kumpigia pasi pamoja na viatu vyake kumpigia brush, ni wajbu wako mke kumng'arisha mumeo. 🎀🎀PIKO ➖➖➖➖➖➖ HAKIKISHA kilainapo toka hina usiwe mvivu wskumtilia hina mumeo Kwani hili ni pambo zuri sanaa kwa m.mke kumpambia mumewe, na isiwe harua had harusi ndio watia hinaa. Mwanamke urembo. 🎀🎀PADI ➖➖➖➖➖ unapo kua kwenye ada yako hakikisha mume asikuskii hata harufu,uwe upo msafi ,unanukia vzuri wakati Wote. 🌹🌹SHANGA ➖➖➖➖➖ KUVAA SHANGA 🌹Kuvaa shanga ni ktk mambo mazur sana. Ni vizuri na muhimu sana mmke kuvaa shanga. Shanga zisipungue 4, 5, 7 na kuendelea, moja iwe juu ya tumbo hii inaitwa funga tumbo na nyengine zining'inie ning'inie (zisibane) 🌹Mwanamke akivaa shanga huleta tofaut kat ya kiuno cha mume na mke. Shanga huleta athar kwa kushikwa shikwa 🌹Huleta msisimko kwa sbb kiuno ndio chenyewe chenye mamba kwa hiyo ukikipamba kwa shanga kinakuwa kizur mnooooo, na kinakuwa na shepu nzuri. 🌹Mwanamke jipambe kwa shanga. Kuna baadhi ya wanawake wanasema waume zao hawapendi shanga💚💜 Usiseme hivyo sio hapendi hujamzoesha mzoeshe azipende. Zivae shanga azione kila mara inaweza kuwa sababu ya kuvutiwa na akazipenda muhimu ubadilishe rangi inaweza kuwa rangi ikaleta athari kwake na kuingia kuzipenda. 🌹Shanga zilivyo nzuri kiunoni zinashinda mkufu shingoni .👌🏾👌🏾 💖💖UDI ➖➖➖➖➖➖ Mwanamke kunukia, kuanzia nyumba yako,nguo zako na mume na mwili wako water kwaujumla. Wengi wetu tumezowea udi lurks usiku hadu usiku...laa udi huekwa wakati wowote haswa mume anapokuwepo ndani. 💖LIWA ➖➖➖➖➖ Itumee liwa kwa kujitakatisha ww mwenyewe na mume, kuni mume asie singwa hujulikanwa na anae sigwa na kushuhulikiwama mkewe pia hujulikanwa, Ni vyema ukawa na desturi kila inapofka alhami uwe mwenye kumsinga mume. Tandika busati lako,mueke mumeo mapajani na umuanza kunsinga kwa kuanzia kifuani, kisha mgeuze umsugue mgongoni na mikononi, halafu mgeuze kichwa akiweke ktk mto, mapaja yk ayaweke ktk mapaja yk. Msugue taratibu, mtakapo maliza na hatua Hiyo. Muache ajar na liwa kwa muda wa dakika5. Huku unachukua kisahani chako na hengachifu, Anza kwa kumshevu polee pole. Mtakapo malizana hapo mpeleke chooni mkosha km mtoto mdogo.... Kisha muandalie chai yk special kwa siku Hiyo. 🌺HANGACHIFU. ➖➖➖➖➖➖ Hivi hutumika kwa kumsafisha mumeo baada maingiliano, utachukua kitambaa chako na kumsafisha taratibu bila ya kumsababishia maumivu, huku ukimrembulia macho nakumpiga mabusu mepesi mepesi ktk Ule umme wake...huku ulimwambia..,.nimefuraa honeyy na penzi lakoo hakika mm nimefika kwakooo mmwaa love baby . Pia kitambaa hutumika kwakumpangusia jasho bwana pindi anaporudi Nyumbani. 💖💖KINU NA MCHII ➖➖➖➖➖➖ Biharus anapokua anafunzwa ; Huchukuliwa kinu na mchi pakatwangwaa. Italia koo koo. Kisha yanamiminwa maji ktk kinu. Patatwangwa tn.. kinu kitaliaa pwaaa pwaaah Hapo tunajifunzann❓ Ume wa mwanamke unatakiwa always uliie Ule mlio wa mwanzoo koo koo, maana uke upo mkavu na msafi. Na Ule mlio wa pili pwaaaa pwaaah. Uke upo mchafu na chapwaa kwa mume, haitakikani kwa mke uke wk kua ktk hali hiyo.... .. usafi wa hali ya juu unanahitajika na kufanyika haraka sana, Je vip utajisafisha uke wako❓ Ukiwa msalani chutama kwa kusimamia kwa vdole vyako vya kumba, Tia kidole chsko cha Kati jisafishe kwa maji safi baridi, Mara nyingi mpaka uhakikishe kidole chako hakipiti tena.... Hapo Itakua umeshajisafisha ipashwavyo. 💖💖SUFURIA NA MWIKO ➖➖➖➖➖➖ Sufuria linamaana kua ni mke na mwiko na mume, unapokua wakoroga ni Sawa mke na mme wanatenda tendo la ndoa, Kwaiyo inakua na matusi makubwa sana kwa mke pindi anapo maliza kupka akauwacha mwiko mchafu bila ya kuufanyia usafi. Hii inamaana hata mumeo chumbani mnapomaliza mambo yenu unamuacha hivohivo humsafishi, Kitendo cha kuuwacha mwiko mchafu ni aibu kubwa kwa mke... Ni sawa na kumkashifu mmeo. Jihadhari na hili👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻. 💖💖YAI ➖➖➖➖➖➖ Kwaile sku ya mafunzoo mwari hufundwa ; Lile yai linavunjaa na kupewe huyo mwari alile ....akiliwezaa kulila inamaana atawe kunyonya umee wa mumeo...Huwa pia wanafundisha kua... Uume pia unanyonywaa na kurabwa km ice cream au pipi🍦🍭🍭 Unyonyaji unata tecnic ya hali ya juu na kuhakikisha meno yk hayamgusi ukiusugua taratibu kwa mkono wk na ulimi ukiuzungusha zungusha.B2B 💖💖UNGO ➖➖➖➖➖➖ Ungo Huwa na maa na nyingi moja wapo ile siku ya singo huchukuliwa ungo na kutiwa unga wa sembe na kupepwaa. Yale makapi yanayotoka yanamaana yk na yanayobaki pia yanamaana; Unga unaobaki ktk ungo humaanisha wakwe, mawifi na jamaa zake wote wa mume. Wapende wajali na uwaheshim. Na Yale makapii ni jaama zako....usijejiona kwakua ushaolewa ukawasahau ndugu na jamako, usiwatupe na kuwasahau. Pia maana nyingine humaanisha ni kiuno chako kikatika ummzungushiie bwana ,ukichezeshee hadi ajisikiie rahaa. Baadhi ya wakati unaweza kukata kiuno ukiwa umelala chali )kifo cha mende) Na hapa ukiwa katika tendo la jimai . Mume akiingiza uume usikatike kiuno hata kidogo, muache apige makalio yako na ukihisi anapunguza speed ndio wakati muafaka wa kuanza kumpa kiuno taratibuu . Utaona anaanza kuchangamka . Endeleea na hakikisha unabadilisha movement yaani kulia na kushoto halafu,kulia juu chini (kama una bell dancing) Utausikia Mume ananungunika kwa utamu kwa kutoa sauti/ na miguno ya ajabu . Wakati mume anapokuwa juu wee uko chini , Zungusha kiuno , Wanaume wengine huwa na pupa hapa ya kutaka kuingiza dhakar yake yoote. Mtulize kwanza Kwa kurudi yuu kama unanyayuka hivi,kama unaitoa halafu rudia tena ni juu ya kichwa cha dhakar tuu na zungusha kiuno tena chukuwa time hapa kidogo!! tena akitaka kuingiza dhakari yake rudi chini iingize dhakar yoote huku ukizungusha zungusha . 💖💖KIKUBA ➖➖➖➖➖➖ Kikuba ni pambo moja wapo ambali ni muhimu sana kumpambia mumeo, huleta mvuto kiunoni na hutoa harufunzuri . 💖💖VINYOLEO ➖➖➖➖➖➖ Mwanamke usafi, hakikisha unavitumia vinyoleo kwa kumnyoa mume pamoja na ww mwenyewe, ni aibu kubwa sana kwa mke kulala na mumewe akiwa u ke wake haukunyolewa...ni uchafu ktk mapenzi (Mufti Mbarak Munir El Kindy )
...

💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕 Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃💕🍃
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 10 mwisho By brayton starpoz Tukiwa sebuleni nilianza kumueleza Getruda. Moyo uliniuma kila nilipo kumbuka aliyonifanyia “Mke wangu kama ingenipasa kusema, nini kinacho ikera nafsi yangu ni kuni dhalilisha ndani ya kadamnasi, sio wafanyakazi wangu wa wageni, wote wanafahamu ulilolifanya, na isitoshe ile ni hotel yangu unadiriki kufanya mapenzi ukitoa kashfa ili kuinufaisha jamii, kumbuka aibu si yangu pekee, ni yetu wote.” Sijui ni mkate sikio au nimpe kilema kwenye via vya uzazi ni mchome na moto wa umeme (hita)asiweze kufanya tendo la ndoa maisha?.Ndio itakuwa fundisho,kiherehere kitamuisha”wakati na waza cha kumfanyia, nilikatishwa na sauti. “Mume wangu kumbuka wewe ndio uliyenitafutia mwanaume wa kuniridhisha kimapenzi, ilinijisikie nina mume, basi kama ni hivyo nami sitaki penzi la mtu mwingine wa nje. Nataka penzi lako nilikubali kwa kukuheshimu. Mwanamke kawaida hatafutiwi mume, anatafuta mwenyewe, hisia zote nilizoweka kama nipo na wewe, iweje useme na kudhalilisha, kama utashindwa leo kesho nataka talaka yangu,asubuhi na mapema, umenielewa?”Getrudaalinisemesha kwa ukali. “Sio nimekukataza usiwe naye, kinachonikera ni kunidhalilisha na kutoa siri ya unyumba wetu, sina wivu na mapenzi yako.Ninachotaka unihifadhie siri moyoni mwako”niliinamisha kichwa chini kama kobe. “Mume wangu nakutunzia heshima kuliko mtu yeyote duniani, nashangaa!unapo sema nainfaisha jamii. Kama angekuwa msichana mwingine asinge vumilia hata wiki moja, na washukuru wazazi kunifundisha uvumilivu ndani ya nyumba”Aliendelea kuongea,asijue nina mawazo nini moyoni. Tukiwa kwenye mazungumzo,nilisikia simu ikiita,nilijipapasa kama ilikuwa simu yangu.Nilipotizama pembeni nilimuona Getruda akitoa simu yake kwenye pochi ndogo ya rangi nyeusi iliyojaa nakishi nyingi. “Hallo, uko wapi?”Getruda alipokea tu,baada ya kuona jina juu ya kioo cha simu.Niligutuka nikahisi mtu huyo anamfahamu,ndio maana alimuuliza aliko. “Aaaa..nipo Makutano bar hapa napata moja baridi moja moto.Vipi mume bwege yupo?” “Yupo anakusalimia”Getruda alisema na kunitupia jicho ,akacheka kidogo na kuendelea, “Utakuja kutusalimia?”Getruda aliongea akiniongoa wasi wasi. “Ninani huyo unaongea naye?”Nilijikuta nikisema wakati Getruda anaongea na simu. “Wivu umekuzidi mume wangu.Kila kitu unataka kujua hebu chukua basi uongee naye”Getruda aliibadilikia kwa ghafla,alinyoosha mkono wake akitakakunikabidhi simu. “Sihitaji kuongea nae,nimekuuliza kwani vibaya?.Nilifikiri ni mama amekupigia simu” “Hapana.Nirafiki yangu”Kisha akaendelea kuongea nae. “Samahani kwa usumbufu uliojitokeza.Mume wangu anwivu ilembaya” “Sasa wivu wanini wakati hayawezi?”Sauti nzito upande wa pli ilisikika ikisema. “Hata mimi nashangaa!”Getruda alidakia na kuangua kicheko kikubwa. “Mpenzi sikia…..naomba ufike sasa hivi hapa Makutano bar” “Mama anaumwa sana!.Ehhe mmempeleka hospitali?”Getruda aliongea maneno hayo akiwa tayari kesha kata simu.Aliendelea kuongea simu ikiwa imekatika ilimradi anipumbaze “Ana umwa na nini hasa?” alitulia sekunde mbili hivi akaendelea, “Ooo! My god .Kuna uwezekana wa kupona?” alitulia tena sekunde kadhaa hivi, “Sawa.Ninakuja sasa hivi huko”Akajidai kukata simu. “Vipi mbona jasho linakutoka?.Mama anaumwa na nini?” Nilimwuliza sekunde chache alipokata simu. “Mama alidondoka ngazi akiingia kanisani”Getruda aliongea kiupole kabisa, akionekana kujizuia kulia. “Kanisani?” “Ndio.Na hivi sasa yupo amepelekwa hospitali ya Kcmc kwa matibabu” Safari hii alifura na alifanya kulalamika chini chini. “Ooo! Pole sana mke wangu.Unaonaje nikaoga tukaenda wote?” “Utanichelewesha sana” “Basi siogi tena. Ngoja nivae twende,tena nina siku nyingi sijaenda kumsalimu”Niliongea nikiamka kitini, tayari kwa safari. “Hapana.Nitakuletea taarifa ya hali yake.Nyumba tutamuachia nani?” “Hilo halina shida.Nisubiri” “Sitaki bwana. Wee kila mahali unataka kuongozana na mimi.Nimeshachoka, ngoja niende kisha kesho nikirudi nitakuja kukuchukua kwani hata kupajua hupajui.Unapafahamu pale tulipokuwa tukiishi zamani” Nilisimama kama mlingoti ,nikavuta pumzi na kuzishusha kwa nguvu.Nikatikisa kichwa na kusema “Sawa.Kama hutaki nikapajua kwenu leo ….hata kesho nitapajua” Niliona Getruda akitoa tabasamu kubwa ,hakuishia hapo alinifuata nakunibusu shavuni “Mwaaaa”Kisha akaokota kipima joto chake,na kutoka kwa haraka akionekana mwenye wasi wasi mkubwa.Alipofika mlangoni aligeuka na kunitizama kama akinihurumia vile,sikugundua kitu ,nilibaki nimeduwaa.Akanipungia mkono na kusema “Bye bye”Nami nikapunga kono langu zito kigoigoi bila tabasamu. Getruda alimpigia simu mteja wetu wa kila siku katika usafi,si mwingine bali Jangala. “HalloJangala tafadhali naomba unichukue hapa nyumbani”alisema baada ya simu kupokelewa. “Sawa.Namshusha abiria hapa mjini nakuja” “Ok”Alijibu na kukata simu. Kama kawaida yake Jangala huwa hakaidi na hana tamaa.Aliingia na kusimama mbele ya Getruda binti Kimario. “Shem vipi.Wapi leo pa kula kuku.Si unaelewa wiki end”Jangala alimtania Getruda. “Ndio. Wiki end lakini kwangu imenijia vibaya .Nimepata taarifa mama yangu mgonjwa.Naomba unifikishe karibu na Makutano bar nikampe taarifa shangazi yangu.Kisha utaendelea na safari yako.Mimi nitakupigia kama nitakuhitaji tena”Getruda alidanganya. “Sawa.Riziki ndogo ndogo hizi usininyime shem.Pole sana kwa kuuguliwa na mama yako” “Nishapoa shem”Alimjibu kiunyonge.Getruda hakuuguliwa wala nini.Alipokuwa akienda ni Makutano bar kukutana na Mzee Jophu Kundy. Katika mazungumzo yao walijikuta kufika Makutano bar, “Tafadhali nishushe hapa.Kuna uchochoro gari haliwezi kuingia huko.Shilingi ngapi?” “Elfu nne zinatosha shem”Jangala alisema akimtizama Getruda. “Punguza shem.Hujui mimi mteja wako?” “Petroli imepanda bei sana shem. ‘Any way’ nipe tatu unusu”Jangala alisema . Getruda alimpatia Jangala elfu tatu na mia tano,akashuka garini. “Usihaike shem.Nitafunga mwenyewe mlango.Mteja kwangu ni mtukufu”Jangala alisema baada ya kumuona Getruda anataka kufunga mlango. Getruda alijidai kama anaingia uchochoroni ili Jangala aondoke zake.Alipogeuka aliona gari la Jangala likiishia bali kabisa.Aligeuka na kurudim kuelekea kule Makutano bar. ***************** Ndani ya makutano bar,alionekana mwanaume wa makamo.Kwa kumtizama ungeweza kukisia anamiaka hamsini ama hamsini na tano.Kichwa chake kilikuwa na mvi za kuhesabika.Uso wake ulisha anza kuwa na makunyanzi ya uzee.Alivaa suti ya kahawia,na viatu vya pembe nne ‘Four angile’.Shingoni alinyonga tai ya bluu iliyozidi kumfanya maridadi.Mkononi alivaa saa ya seiko 5 ya dhahabu.Meza aliyoketi ilijaa vyakula na vinywaji. Mara kwa mara aliinua mkono wake wa kushoto akitizama muda,alipomaliza aligugubia glasi ya bia mdomoni na kuirudishia glasimezani.Pia muda wa kuiacha pombe ishuke vema tumboni alitupa macho yake lako la kuingilia wateja.Safari hii ilikuwa mara ya kumi kutizama lango hilo,alipohamisha macho aliyapeleka kwenye glasi ya kinywaji,akaona kama bia ilishaisha glasini,alikamata chupa ya bia na kumimina kiasi kwenye glasi ya bia.Hakuchelea aligugubia kama mikupuo miwili bila kuishusha mezani,alipomaliza akacheua kama mara tatu hivi,alihisi kilevi kikipanda vema ndani ya ubongo.Akajikuta akicheka mwenyewe “Mimi ndiye.Mwingine hakuna”Alisema nakutizama simu yake.Aliiokota nakujaribu kupiga,simu aliyopiga iliita bila kupokelewa. “Shiit.Kwanini hapokei?”alipayuka kwa ghadhabu. Hakuchoka akapiga mara ya pli,iliita tena,akasikia ikipokelewa “Hallo Prety girl.Uko wapi mbona hupokei simu yangu?” “Nakaribia jengo la Makutano hapa” “Sawa. Nakusubiri kwa hamu wa moyo”Walikata simu.Mzee Jophu akawa habandui macho lango la kuingilia,alitaka kumwona Getruda akiingia kwa madaha.Ghafla aliona mlimbwende akiingia kwa mapana na kumfanya kila aliyeko mle ndani kumtupia jicho.Getruda hakuwa mzuri sana wa sura,lakini umbo lake na makalio ndio kichochezi kwa wanaume rijali.Kila alipovuta hatua ,makalio yake yalitikisika mithili ya mawimbi baharini.Nafiki jambo hilo ndilo lililomfanya Mzee Jophu ammezee mate mke wangu.Si kwamba na msifia kwa vile ni mke wangu,hapana.Njoo kwangu Arusha ushuhudie, ukweli wangu.Lakini kwa sasa ni mzee sana. “Kaaaa, kakaka!”alionekana kijana mmja aliyeko nyuma ya mzee Jophu akihamaki,mfdomo ukiwa wazi kwa mshangao na mkono ukiwa umeshika mdomo wa chini,Jicho likiwa limemtoka kama ndulele iliyoiva. “Mkindu wavona ilo ibora ledha aho”Kijana huyu alimwambia mwenzake kwa kilugha. Akimaanisha “Mkindu umeona lisichana hilo linalo kuja hapo?” “Nikirumo ilo!”Mkindu alijibu. “Hilo ni balaa!” Wakacheka. Mzee Jophu alimsindikiza Getruda kwa macho ya matamanio hadi alipomkaribia kabisa. “Vipi.Mbona umechelewa ?” “Mume bwege alikuwa akinichelewesha”Getruda aliongea akivuta kiti kilicho wazi. “Achana nae.Ukisha mkabidhi fisi bucha unamatarajio gani?” “Kuokota mifupa”Getruda alidakia. “Hakuna kinachobaki.Fisi gani anakuachia mfupa!”Wakacheka na kupigana mabusu.Kisha akagonga meza. “Muhudumuuu”aliita. “Nakuja”sauti ilisikika kwa mbali kidogo. “Kuja haraka.Watu wanapesa zao hazina pakwenda”Alisema akijiamini kabisa.Getruda alimtizama akagundua mzee Jophu alishaanza kulewa. “Mpati wa moyo wangu kinywaji chochote anachotaka upesi”Muhudumu akaitikia sawa. “Dada nikupatie kinywaji gani?” “Henken ya kopo.Usisahau mrija tafadhali” “Ya baridi au moto?” “Aaaa! Vuguvugu.Nitapata?” “Usihofu,utapata”Muhudumu aliondoka. “Mpenzi nimekuita nina jambo muhimu la kukueleza,hivyo basi naomba uwemsikivu”Alitulia kidogo na kuokota glasi ya bia,hakuchelewa alimimina bia yote na kurudisha glasi tupu.Akacheua mara mbili nakuendelea “Kwanza kabla ya yote. Napenda unihakikishie kwamba unanipenda” “Nakupenda sana mpenzi inamaana hujagundua bado?” “Ninyi wanawake mnabadilika sana.Lazima kila tunapokutana tuulizane jambo hili” “Si wote bwana.Unajua ninyi wanaume mkionyeshewa kama mnapendwa sana vichwa huvimba na kujiona mna matilaba ya kufanya lolote juu ya mwanamke” “Ni baadhi ,si mimi Jophu”Akasema na kusogeza kiti jirani na Getruda.Kabla hajaendelea tayari vinywaji vililetwa,Henken ya Getruda na safari ya Mzee Jophu. “Karibuni”Muhudumu alisema. “Ahsante”Getruda akajibu. “Wee binti mwite mchoma nyama tafadhali”Hakukawia kufika mchoma nyama. “Kata nyama ya kidari,ile laini…umeelewa?” “Ndio,bosi” “Haya futikaa”Alisema kiulevi ulevi.Akamgeukia Getruda, “Wife,sasa tuendelee na mazungumzo yetu” “Kama umenidhihirishia unanipenda utakuwa upande wangu kwa lolote lile,si ndivyo” “Ndivyo” “Nikisema kitu kwa manufaa yetu lazima tusaidiane,sivyo?” “Ndivyo”alijibu kiupole hakujua ni jambo gani anataka kuelezwa wakati huo.Kwa sasa Mzee Jophu akapunguza sauti akamweleza Getruda kwa sauti ya chini kabisa.Nafikiri alihofu watu kung’amua maneno yake. “Getruda naomba iwe siri kubwa sana.Nataka tumuondoe Sweedy Duniani”Getruda alishituka sana kama aliyeamshwa usingizini. “Heee!” “Usishituke laazizi wangu.Nimeamua hivyo kwa manufaa yetu pia.Kila siku kujiiba iiba ,tutajiiba mpaka lini?.Heri afe tupate uhuru….” “Haiwezekani Jophu.Unajua dhambi ya kuua lakini?”Getruda aliuliza. “Acha ujinga, nani kakuambia kuna dhambi.Nani aliyeenda akarudi akasema kuna adhabu kali?.Niambie” “Kwenye maandiko takatifu,maneno hayo yapo.”Getruda alijibu akimtizama Jophu. “Kumbe nimaandiko yaliyotungwa kama hadithi tu.Nitajie nani alikufa akafufuka na kutuonyeshea adhabu alizopata ahera?” “Bwana acha mizengwe yako.Uhusiano wetu hauwezi kuzuilika kwa sababu ya Sweedy” “Nitakupa chochote lakini tumuue Sweedy.Uko tayari?”Getruda alikaa kimya,safari hii alishindwa kijibu. “Nijibu basi?”Mzee Jophu alimhimiza. “Nikujibu nini?” “Kwani hujui.Sina jibu lolote.”Akamtizama Mzee Jophu ,na kuvutakumbukumbu ya siku ya kwanza tulipokuwa kanisani,alikumbuka maneno mengi ya mchungaji.Akanikumbuka nilipompiga busu la kwanza nikiwa namvisha pete ya ndoa.Pia akakumbuka maneno ya mama yake akimweleza juu ya unyumba wetu.Machozi yakamtiririka mashavuni bila kujijua.Akapandisha mkono wa kuume ulioshika leso na kujifuta. Mzee Jophu alinyoosha mkono na kumpatia funguo Getruda. “Kuanzia dakika hii.Land cruiser iliyoko nje ni mali yako.”Getruda alishangaa hakuamini kile alichokuwa akikiona wakati huo. “Mpenzi ni kweli ama ni mipombe inakusumbua akili?” “Sijalewa wa moyo.Ninachohitaji sasa hivi, ni kutoa uhai wa huyu hanithi”Akatulia kama nukta tano hivi ,kisha akasema,“Sawa sawa?” “Sawa”Getruda alijibu mapigo ya moyo yakimwenda mbio.Alifikiri na kuona kwanza alishachoka kukodi teksi kila siku.Naye alitaka kutembelea gari la kifahari.Alitamani akawatambishie mabinti wenziye aliosoma nao pale Mkuu Rombo.Watajuaje kwamba naye nitajiri pasipo kutembea na gari la kifahari?.Aliamini mtu akiwa na pesa huheshimika kuliko hata kitu chochote duniani.Akajikuta moyo ukipamba na furaha kali, “Acha afe bwana kwani nini bwana. Mtu kama furushi la nguo, heri afe , wangapi wameuawa na kuwaacha wake zao na mapesa kibao.Mungu nisamehe”aliwaza akilini. Waliendelea kunywa na kula nyama choma pale.Getruda alimaliza bia yake na kuongezwa zingine mbili,tayari ubongo ukafa ganzi.Alianza kuongea sana,tena bila kujali kwamba alisikiwa na watu. “Mpenzi wangu nasema hivi…nitamuua kwa mikono yangu mwenyewe.Haina haja ya kuishi wakati hana sifa ya kumfanya hai. Eti mume, mume gani bwege kilasiku hapandi kitandani mpaka nishikwe na usingizi ndio nae apande!!!!” “Hatakama ingelikuwa mimi.Ningetumia akili hiyo hiyo.Unafikiri ni kazi ndogo hiyo…fedheha bwana!” Mzee Jophu na Getruda alikunjwa na kuondoka zao.Walielekea nyumba moja ya wageni ambako waliingiza gari la Gertuda na kujipumzisha. ************** Katika maisha yangu nina kijitabia fulani cha kutotoka siku za mwisho wa wiki,isipokuwa jioni tena nikiwa na mke wangu ,Getruda. Huwa natoka katika matembezi mafupi na kurudi nyumbani.Juma pili hii ilikuwa ngumu kwangu.Kwanza mke wangu hakuwepo,usishangae nikimuita mke wangu japo sikufanikiwa kufanya tendo la ndoa.Ni mke wangu kwa sababu nimefunga ndoa kanisani. Mawazo bado yalinizonga sana akilini,niliwaza safari ya ghafla ya mke wangu.Nilitamani sana nijue maendeleo ya wazazi wake huko mkuu Rombo.Kingine ni tatizo linaloniletea utata ndani ya ndoa yangu.Nilizidi kuwaza ,kwanini ugonjwa huo uwe kwangu tu.Kwanini usiwe kwa fulani?.Nilitamani kunywa bia lakini lakini nikaona si kutatua tatizo zaidi ya kuliongeza. Nikiwa kwenye dimbi la mawazo,nilisikia simu ikiita,nilishituka sana.Kwa haraka nikaiendea simu ambayo niliiacha Varandani juu ya meza.Nilifikiri mambo mengi ,nikahisi aliyepiga simu alikuwa mke wangu akinipa habari za mama yake,nilitegemea kupata habari mbaya kutokana na maneno aliyoniacha nayo Getruda jana alipokurupuka akionekana wazi kuchanganywa na hali ya mama yake.Nilipofika nikaiokota simu upesi na kuipokea , “Hallo mume wangu.Umzima ?” “Ndio.Vipi kuhusu hali ya mama.Anaendeleaje?”Nilimwuliza. “Kidogo amepata ahueni.Kuna uvimbe gotini unamsumbua” “Utakuja lini?” “Aaa kesho jioni.Namsaidia kumuuguza hospitalini” “Sawa.Nimebaki mwenyewe kama mkiwa” “Usijali mpenzi.Upo nyumbani, na hutoki leo?” “Ndio,nipo sitoki bila wewe.Kwanza najisikia vibaya kabisa sijui ni kwanini mpenzi” “Pole sana mume wangu,bye” Getruda akakata simu. ********************* Kulikuwa na kundi la patao watu watano,aliyekuwa msemaji mkuu akiwa mzee Jophu.Pembeni aliketi Getruda na kushoto kwake mwanaume mmoja mwanye umbo kubwa,unaweza ukamfananisha na mcheza mweleka.Mikono yake minene iliyojaa na kujengeka misuli.Kushoto kwa mwanaume yule alikuwepo kijana mwingine,mrefu mwembamba lakini anasura ya kukatili.Ukimuona lazima ungemtambua kama ni muuaji.Huyu aliweka bastola kibindoni,bastola aina ya Revolver.Aliyebaki alionekana mdogo sana,ukitadhimini umri wake ni miaka kumi na tano,alionekana alikulia mitaani.Huyu ni kibaka mzoefu ,achilia mbali bangi ,sigara na dawa za kulevya, kuvuta petroli na gundi ya viatu kwake si tatizo.Mtoto huyu walimtumia sana katika matukio ya ujambazi na upelelezi wa wapi kuna pesa ,wapi tukaibe leo. Walicheka muda mfupi tu baada ya Getruda kukata simu, “Anasemaje huyo maiti”Mzee Jophu aliuliza akiwa anamtizama Getruda kwa udadisi. “Anasema leo yupo nyumbani hatoki,ni jambo ambalo liko wazi bila mimi habandui mguu wake.Hivyo kazi yake imeisha” “Patamu sana hapo.Naomba vijana wangu waingie kazini.Kama nilivyo waelekeza na mfanye kwa tahadhari sana msije kubainika kama ninyi ndio mlioua.Mmenisikia?” “Mzee usitufundishe hii ndio kazi yetu kama kazi nyingine.Tumeua sana na tutaendelea kuua.Pesa ya kazi mbele”Alisema jambazi mmoja nene lenye kifua kama pipa,lilitambulika kwa jina moja tu ‘Man Kaugo’Man Kaugo ana kasumba moja hataki kufundisha kazi ya uuaji,nasema anaielewa vema na ujuzi huo kwake ume komaa. “Naona mchukue lita arobaini za petroli.Mzungushie nyumba yake yote na muitie kiberiti” “Eeee!kuna vitu vyangu vya muhimu.Kwanini msimuue bilakuchoma nyumba” “Vitu vyako nitakulipa.Tatizo ni nini?” “Nyumba yamgu.Nilitaka mumuue nibaki na nyumba” “Nyumba nitakununulia njiro” “Haya, usinidanganye mpenzi” “Sikudanganyi.Mimi na wewe kwani wa tani?” “Hapana” “Sasa kumbe…” akatulia kidogo kisha akasema, “Nafikiri tumemaliza makomando wangu” “Pesa zetu bado.” “Kiasi gani ?” “Milioni tatu kwa kichwa kimoja” “Ok,subirini kidogo nakuja.” Mzee jophu alitia gari moto na kuondoka zake.alielekea benki ambako alichukua milioni tano na kuzihifadhi.Hakuchelewa alirudi. “Kamata milioni tatu hizi.Naomba mharakishe tafadhali” “Sawa mzee.Utasikia mwenyewe mambo yakijibu”Wale vijana waliondoka zao. Nilisikia kama watu wakiongea nje ya jengo langu,kila nilipojaribu kutega sikio kwa makini,nilishindwa kun’gamua mazungumzo yao.Nilitunguza redio kabisa ,japo nilikuwa macho lakini nilihisi bado kiko usingizini,watu hao walinikaribia dirishani ,kwambali nikasikia mmoja wapo akisema “Hili ndilo dirisha lake” Mwingine akasema “Basi hapa tumwage petroli nyingi iliafe haraka”kilikuwa kitendo cha haraka nilisikia petroli ikimwagwa dirishani,nilikurupuka na kushituka ,nilipofungua macho kumbe nilikuwa nikiota njozi mabaya kabisa.Kukurupuka kwangu hata mke wangu Suzan ambaye tulibahatika kupata mtoto wa kiume aitwaye Samji ,alinisikia nikipiga kelele, “Nakufaaaaa” “Nini mume wangu?”Suzan, mke wangu aliniuliza akiwa na masalio ya usingizi.Nilihisi mapigo ya moyo yakinienda mbio utadhani nilikimbia umbali mrefu bila kupumzika. “Baba samji,ni nini mbona umepiga kelele kiasi hicho?” “Ndoa yangu inanitesa”Niliropoka nikipikicha macho, sikuamini yale niliyoyaona nikiwa usingizini. “Ndoa yako inakutesa kivipi?” “Nafikiri nilikuwa nikiota ndoto ya mateso kabisa” “Ndoto?.Nilikusikia hata wakati mwingine ukilia ukiwa usingizini.Nilikutingisha lakini huku shituika, ulikuwa ukisema Getruda Getruda .Getruda ninani?”Nilitulia kidogo nikajaribu kumkumbuka, “Getruda ni huyo mwanamke niliyemuoa, akawa ananitesa” “Usinidanganye mume wangu.Madhambi unayofanya na mahawara wako ,ndio unayaota usiku?” “Basi nisamehe mke wangu,ni ndoto tu.Sina mtu nimpendaye zaidi yako.Sijui njozi ya ajabu namna hii imetokea wapi.Yote niliyoota hakuna hata kimoja kilichowahi kunitokea” Ilikuwa usiku ,majira ya saa kumi na moja.Suzan, mke wangu alinisamehe na tukaanza kusali. MWISHo By brayton starpoz Master
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 9 By brayton starpoz Nilionekana kuchanganyikiwa badala ya kuingia chumbani nilijikuta naingia chooni nilistuka ndipo akili ilipo rejea vema. Nilichomoa bastola yangu na kuelekezea mbela tayari kwa vitachumba walichochukua kilikuwa cha mwisho kabisa. Nilipokaribia chumba, nilisikia sauti za kilio kikubwa chumbani humo. “Oooooo! Jophu unaniumiza unaniua jamani!niachecheeeee!…nakufa!”Sauti ilikuwa nzito ilioitikia “Tulia mpenzi niku………kuku…….tengeneze.Unana……najua….wewe ..ni mzuri sana lazima nikuoe”Mzee Jophu alikokoteza maneno kwa kigugumizi kikali akiwa kifuani mwa Getruda. Sauti hiyo ilinilegeza viungo,nikajikuta kuishiwa na nguvu.Machozi yalianza kuchururuzika kwa kasi nilijaribu kuyafuta kwa leso lakini bado haya kukoma.Nilipitisha mkono kuhakikisha kwenye mpini wa bastola kuhakikisha kwamba ipo.Nilipoigusa nikahisi ipo,nikaitoa na kuitizama kwa uchungu sana.Nikasogeza risasi kwanye kifyatuo cha kuruhusu itoke,ilipoitikia ‘Katan’g..katan’g’Nilitikisa kichwa kwa fuhara ya kukusudia kufanya lile nililofikiri kulifanya kwa wakati huo.Nilitembea kwa hadhari mpaka dirishani walimo Getruda na Mzee Jophu.Nilijaribu kuchungulia lakini sikufanikiwa kuona ndani kwakuwa kulikuwa na pazia nzito.Lakini kwa kelele zile ,nilifikiri nikipiga risasi kwa kuhisi ningewaua kwa pamoja.Nilipozidi kusikiliza kelele zao ,niligundua walikuwa karibu na lile dirisha niliposimama.Niliuelekeza mdomo wa bastola yangu aina ya G3 rafles dirishani.Nikaingiza kidole ambacho nilitegemea kuwaulia .Kabla sijafyatua risasi,nilishikwa mkono na mtu aliyekuwa nyuma yangu. “Kaka usiwaue.Utajiingiza matatani bure.Nenda kapumzike nyumbani,hasira hasara kaka” Mtu huyo alinisihi akiwa ameing’ang’ania bastola.Kwanza aliniomba nitoe risasi zote zilizomo ndani ya bastola.Nilipofikiri nikaona hakukuwa na ulazima wa kubishana nae.Nilizitoa,akasema “Kaka naomba unipatie hizo risasi .Najua unahasira unaweza kufanya lolote”Nilimpatia nikijua kama ni kujiua basi naweza kutumia njia nyingine.Nilipompatia alizihifadhi mfukloni mwake. Kila nilipofikiria, niliona kuwa sio suluhisho heri kufa mimi kwa aibu niliondoka eneo lile, wahudumu walikusanyika wakinitazama kwa huruma, wengine waliniomba niende niachane nao. Waliendelea kuvuta raha na wote waliyafurahia mapenzi yao, hasa Getruda aliamini amepata mwanaume bora, ambaye asingemdhulumu haki ya unyumba. Alitumaini na alitamani kuzaa na mzee Jophu ili kuondoa maneno ya mtaani kuwa ni mgumba, alitegemea msaada mkubwa na juhudi za Mzee Jophu ili naye aitwe mama. Niliona Dunia chungu mithili ya shubira, kila nilipo kumbuka maneno ya Getruda na Mzee Jophu nilitamani nisitishe uhai wangu, sikuwa njia nyingine ya kuwepuka aibu ile, wakati na waza nafasi nyingine ilininyima kufanya uamuzi huo na kunitaka niwe na subira. Niliamua kunywa pombe ili kupunguza mawazo lakini mawazo yalizidi kutawala ubongo wangu kadri nilivyokunywa, niliamua kusitisha kilevi, Sononeko liliendelea kunitawala, nikajiona ni mtu dhaifu kuliko watu dhaifu wote duniani. Muda mwingine nilijaribu kufariji kuwa ipo siku mungu atasikia kilio changu na kunipa nguvu za ajabu,Maneno, “MUNGU UNAJUA MATESO YANGU” yakawa gumzo akilini kila siku. “Yaani mke wangu ananidhalilisha kiasi hiki? Kweli yote haya ni kwasababu ya udhaifu wangu,naamini mungu atasikia kilio cha mja wake na ataniponya gonjwa hili na kunipa nguvu ili kuinusuru ndoa yangu isivunjike”Niliongea huku nikiwa nimefumba macho, kichwa nikiwa nimekiinamisha, kikiwa kina saidiwa kushikiliwa na viganja vya mikono. Pamoja na mawazo, hasira za kudhalilishwa. Bado nilikuwa na mpenda mke wangu, nilimsubiri aje tukajipumzisha chumbani na kuongea utofauti uliojitokeza. Kila nilipotizama saa ya ukutani, niliona mshale kama unaenda mbele na kurudi nyuma, hali ile iliniadhiri kisaikolojia. Nilikuwa nikiingia chumbani na kutoka, chooni na kutoka bila kufanya chochote. Nilitamani kulala lakini sikupata hata tepe la usingizi. Nilijikuta kutomlaumu tena mke wangu,kwani yote ni kwa sababu sikuweza kumtimizia haki yake, nafsi nyingiune ilipinga na kusema “Matendo aliyofanya ni ukosefu wa adabu na kutoheshimu unyumba, kwanini asifanye siri?”.Kila nilipokumbuka macho yalijaa machozi. ***************** Ulikuwa usiku wa saa sita na nusu, usiku mzito,Mwezi ukiwa umefunikwa na wingu zito na ukungu mkubwa ukiwa mbele yake, mwili wake ulionekana kuchoka mno!,akiwa anachechemea,mwendo ambao ulikuwa tofauti toka kumuoa.Alinyanyua mkono sambamba na jiwe alilookota na kuanza kugonga mlango kwa kishindo.Sikugonga tu pia kinywa chake kilipayuka maneno machafu bila kujali alionitende. “Wewe mlinda nyumba umelala au upo macho?. Katika wasio na faida mmojawapo ni wewe,wajanja wameondoa boma la mapenzi. Wewe unafananishwa na shoga, mlinda nyumba. Funguaaaa” Dharau na maneno ya kashfa niliyasikia kwa usikivu wa masikio yote mawili, maneno yalikuwa angali ya moto, nilihisi homa kali ikinitetemesha mwili, nafsi ikakata tama ya kuishi kwa maisha ya manyanyaso, udhalilishaji na matusi. Nilifikiria na kumfungulia mlango na kumuamuru aingie ndani, Getruda aliingia kwa miondoko ya maringo huku akivumilia maumivu aliyoyasikia kwenye via vya uzazi. Macho ya dharau yalinitizama kuanzia unyayo hadi kichwani na kunipindulia midomo iliyojaa dharau kem! Kem!, hakuishia hapo alinisonya na kutema mate pembeni, akijifanya anasikia kinyaa kunitizama. “Mambo baba wa nyumba”, akimaanisha mimi ni kama mlinzi wa kulinda nyumba, sina mamlaka na penzi lake wala siwezi kutia neno kuhusu kuchelewa kwake kufika nyumbani. Niliitikia salamu yake kwa shingo upande, sikupenda kumuudhi mke wangu, nilitambua jinsi gani mtu anavyoumia pindi apatapo sononeko la roho. Kwa sauti ya chini na ya upweke, hasira ikiwa imenikaba kooni. “Mke wangu umetoka wapi saa hizi, na ulikuwa unafanya nini?” Nilijizuia ili mke wangu asijue kuwa nilikuwa na hasira, hata hivyo nilishindwa kujizuia kulia, mwili mzima ulitetemeka, macho yakabadilika rangi kuwa mekundu. “Nimetoka SEA BREEZ INN HOTEL kukagua mahesabu ya leo”. Getruda alijaribu kuongea uwongo mtupu!, bila kupepesa macho, mboni wala kope za macho, macho maangavu yasio na siri hata chembe. “Nakubali umetoka SEABREEZ INN, lakini sio kukagua mahesabu, bali umeenda kwa mambo ya ufuska.” Hasira ilizidi kupanda kila nilipomtizama, mwili ulizidi kutuna kwa hasira na jasho lilitoka kila sehemu yenye vitobo vya vinyweleo mwilini. “Hapana mume wangu sikuwa nafanya ufuska” maneno yake yalinichanganya, nikaamua kuchukua uamuzi ambao haukuwa akilini, niliamua kumuua mke wangu na nilikuwa na sababu za kumuua, sikuwa tayari kutupiwa jicho na jamii kwa udhaifu wangu. Nilitoka nilipokuwa, nikaingia ndani upesi, sikupenda kupoteza muda niliokota jambia lenye makali kila upande, lenye kuwaka waka hata gizani, nililitizama na kuamini kwamba ningelipitisha mara moja ningeachanisha kichwa na kiwiliwili cha Getruda. “Hakuna tena kumuuliza. Sio matangazo ya vifo.Nikifika ni kuachanisha kichwa chake”. Niliondoka nikimfuata alipo. “Lazima nimuue Malaya huyu.Tukose wote, siwezi kujiua lazima nimuue leo leo”. Nilipofungua mlango, aliniona nikiwa na jambia lenye makali, aliamini kunusurika na kifo ni asilimia mbili na zilobaki zilikuwa kifo, hapakuwa na upenyo wowote wa kukimbilia kujinasua na mauti, “Haaaa!” Alihamaki na kujikuta anapiga kelele za kuomba msamaha.Ili nisitishe zoezi la kumuua bila mafanikio yoyote, sana sana niliongeza mwendo nikimfuata, jambia nikiwa nimeliinua juu tayari kutawanyisha shingo na kiwiliwili. “Mume wangu naomba unipe nafasi ya mwisho nikueleze yote yaliyotokea. Naomba unisamehe usitoe uhai wangu, naamini utaridhika na matokeo. Kumbuka kuna Mungu nae anayaona unayotaka kunifanyia” aliendelea kulia, akiomba msamaha huku akirudi kinyume nyume taratibu. Nilikusudia kumuua na sura yangu ilibadilika na kuonyesha dalili za kuua tu!, moyo wa huruma uliondoka; kwania ya kumchinja kama kuku anavyochinjwa na kisu chenye makali. Nilizidi kumfuata alivyokuwa anarudi nyuma, hasira ilitawala machoni. Ilikuwa si rahisi kumsamehe kamwe!. Wakati Getruda anarudi nyuma aliikwaa kwa nyuma na kudondoka chini kwa chali, hakuwa na njia nyingine ya kujinasua na mauti, aliamua kusubiri mauti yamfike. Nililikamata jambia vizuri kwenye mpini wake kwa mikono miwili.Kitendo chakutakakulishusha Getruda alishituka na kuzirai pale pale, aligeuza macho, nilisitisha kumuua.Nilitaka kumuua akiwa na nguvu zake zote na nilitaka afe kifo cha mateso.Nikaweka jambia pembeni na kuinama kuhakikisha kama alizirai kweli ama ilikuwa janja ya nyani.Niliposikilizia mapigo yake ya moyo yalikuwa mbali sana. Sikutaka kumpeleka hata hospitali nilitaka afe mwenyewe, si tena kumtibu, nilimchukia Getruda kwa mambo aliyonitendea. Nililiokotajambia langu nakulirudisha chumbani.Nilimuacha pale sakaruni akiwa kalala chali.Nililitupa uvunguni kwa kitanda na kikajitupa kitandani kifudi fudi. Muda mfupi usingizi ulinichukua, niliposhtuka ni ndege waliokuwa wakiimba alifajiri. Niliamka na kufungua mlango waVarandani. Nilipochunguli niliona bado Getruda alikuwa vile vile alivyodondoka usiku. Nilishindwa kujua kuwa alikwisha kufa au laa!.Kwa vile nilikuwa mbali kidogo. Sikupenda hata kumsogelea, nilifunga mlango, nikakiendea kitanda kuendelea na usingizi. Nikiwa usingizini nilishituliwa na mlio wa simu, nilipoipokea nilisikia sauti ya mwanaume na sauti hiyo haikuwa ngeni masikioni mwangu. “ Hallo, vipi Bw. Sweedy?”alisema tu baada ya kusikianimepokea. “Poa, nani unaongea”Nilimwuliza. “Mimi Jophu, nauliza jana mkeo amerudi salama?” Sikujibu kitu zaidi ya kuikata simu. Baada ya saa moja hasira ilipungua, moyo wa huruma uliniingia, nilitoka na kumfuata Getruda alipo, hali yake ilizidi kuwa mbaya, damu zilimtoka puani, mapovu mdomoni. Nilimpigia simu mteja wangu Jangala aje nimpeleke Getruda hospitali,Kama kawaida Jangala hachelewi alifika na tukampakiza Getruda. “Vipi?.Mkeo ana matatizo gani?”Jangala aliniuliza wakati akifunga mlango wa nyuma alipo Getruda. “Anasumbuliwa na shinikizo la damu” “Oooo! Pole sana Bw, Kachenje” “Nishapoa” “Tunampeleka hospitali gani?” “Naona tumpeleke Hospitali ya rufaa Mount Meru” “Poa”Alijibu na kuondoa gari kwa kasi,huku likiwa limeacha vumbi zito nyuma. Nilimfikisha hospitali ya Mount Meru kwa matibabu. Aliingizwa chumba maalum cha wagonjwa waliozidiwa ACU na muda mfupi aliwekewa mashine ya kumsaidia kupumua. Walipomaliza walimtundikia maji ya mwili. Daktari walijitolea kuokoa maisha ya Getruda kadri walivyoweza. Muda mfupi nikiwa kwenye benchi, niliona mlango ukifunguliwa, alitoka nesi mmoja mwenye asili ya kiarabu, kwa haraka nilijikuta moyo ukinipasuka. Nilimfananisha na Jenifer niliyekutana nae nchini Thailand. Alinifuata pale nilipokuwa, kitu kilichokuwa tofauti ni kwamba yeye alivaa magwanda meupe, “ Halo, kaka wewe ndiye muuguzi wa Getruda Kimario?” nilishindwa kumjibu midomo ilibaki wazi, niliamini kwa hali mbaya ya Getruda nesi aliniletea taarifa mbaya. “Kwani kuna nini nesi!…naomba unieleze!”niliongea mwili ukinitoka jasho pamoja na mambo mabaya Getruda aliyo nitendea lakini nilimpenda sana. “Usiogope kaka. Niambie wewe ni muhusika?” Alisema tena kwa sauti ya chini.Nibaki nimeduwaa kama sekunde kadhaa. “Ninani kwako?”Aliuliza tena ,lakini safari hii alionekana kukasirika. Nilishindwa kumwambi nilibaki machozi ya kinichuruzika, “Hata nikisema ni mke wangu sijawahi kukutananae kimwili, sasa ni mwambie mimi ninani wake?.Nikiwa nawaza, nikajikuta naropoka. “Ni dada yangu” niliongopa “Ok, pole sana mungu amemsaidia. Sasa ananafuu”akatulia kidogo na kunitupia tabasamu pana lililoshiba midomoni mwake.Kisha akasema “Tunategemea kumpa ruhusa kesho. Mungu akipenda”Nilipandisha pumzi na kuishusha kwa nguvu”oooophhhh!” nikajifuta jasho. Kesho yake Getruda aliruhusiwa kurudi nyumbani.
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 8 “Oke nimeamini umeumbika sawa, kama asingekuwa Sweedy basi ningekuoa mimi. Bado sija chelewa. Nina nafasi kubwa ya kukuoa”Huo ndio ulikuwa mwanzo wa usaliti wa ndoa. “Hata mimi nakiri umbo lako ni zuri na lakuvutia. Najuta kuolewa na huyu mchovu asiye na umuhimu wowote ndani ya ndoa” Mzee Jophu alidakia “Ni kweli, sio vyote ving’aavyo dhahabu. Vingine aluminiamu ama bati,”alitulia kidogo na kumkodolea macho yaliyojaa ubembe, kisha akanyanyua mkono wa Getruda na kumbusu kiganjani, akakohoa kidogo na kusema “Sawa, tupange tukutane wapi?”Ilikuwa ni sauti ya nzito ya Jophu ikinguruma varandani kwangu. “Mimi naona tukutane Hoteli yake Sweedy mwenyewe, pale sea breez inn hotel ili tuwaonyeshe watu na hata wafanyakazi wake kuwa Sweedy ni dhaifu”Mke wangu alianza dharau akitaka wakutane kwenye hotel yangu, ili kunidhalilisha. “Kesho saa kumi jioni, nafikiri utakuwa muda muafaka wa kujipumzisha,”Getruda alizungumza huku akimtolea Jophu macho ya kurembua na ya unyenyekevu. “Aaaa!, kesho mbali. Ok kumbe saa hizo karibu giza. Sawa usikose mpenzi”Walipigana mabusu ya kuagana na Mzee Jophu alimalizia . “Niote njozi njema usiku. Tena zilizo jaa mahaba” “Usijali mpenzi, zote nzuri zitakuwa juu yako”Mzee Jophu alitoka na mke wangu alirudi na kunifuata kule chumbani, kwa kusema kweli moyo wangu ulipata sononeko la roho, nilibaki nikiyaganga maumivu ya moyoni. Walipanga sehemu ya kukutana bila ya kukosa, wote walikuwa na shauku moja. Ilikuwa jioni tulivu watu walikuwa wana kunywa na kula. Alionekana Mzee Jophu akiingia na mke wangu SEA BREEZ INN HOTEL. Waliongozana hadi mapokezi, na kuandika jina la kunikashfu kwenye kitabu cha wageni, bila aibu mbele ya wafanyakazi wangu. Hata kama walifanya hivyo wasingefanya kwenye hoteli yangu, wangeenda sehemu wasio julikana.Yote walionifanyia ni kunidhalilisha. “Jina tuandike nani Mzee” muhudumu aliongea kwa wasiwasi, baada ya kumwona mke wangu, ambaye alikuwa kama bosi wake.Mzee Jophu aligeuza shingo kumtizama Getruda, Kabla hajajibu kitu mke wangu alidakia “Andika Sweedy dhaifu” “Hapana bosi, anatakiwa kuandika jina lake kamili .Hilo sio jina kamili” aliongea kwa sauti ya chini huku akitetemeka. Alihisi mawili, kupokea tusi ama kibao. “Sio jina kamili.Unafahamu jina lake?” “Sifahamu” “Kama hufahamu , mbona unasema si jina lake kamili?”Yule kijana akaanza kutizama chini kwa hofu. “Nimekuambia uandike jina nililokutajia,upesi” “Mama .Siwezi kuandika jina hilo” “Wee, mpumbavu nini!.Nimekuambia andika, kama hutaki huna kazi. Fungasha virago uondoke,”Getruda alizidi kumuamrisha sambamba na kidole alichoelekeza jichoni. Ilimbidi akubaliane na matakwa ya bosi wake, kwa kuwa hakuwa na sauti na alijua Getruda ni mke wangu, asingefanya hivyo kibarua kingeota nyasi haraka.Walichukua chumba, kila aina ya vinywaji viliingizwa chumbani humo bila ya aibu.Kijana alishindwa kuvumilia yote aliyoyaona.Aliumia rohoni na kuona kama yaliyotendwa alitendewa yeye.Hakupenda kuona mke wa tajiri yake akifanya mambo ya kishenzi, tena ofisini kwake bila aibu. Chumba changu kilijaa utulivu uliovunjwa na muziki wa taratibu uliosikika redioni.Nilikuwa nimejipumzisha kitandani chali, nikiwa nasikilisa mwambao ambao uliniwezesha kusikia mtu ambaye angeponyeza kitufe cha kengele getini. Mawazo yangu yalilenga matatizo yaliokabili mwilini mwangu.Hasa gonjwa ambalo limenifanya nimruhusu mke wangu awe na bosi wangu. Mara simu ilianza kuita,nilishituka na kutizama mahala nilipoiweka.Nilipoiona, nikanyoosha mkono kwenye droo ya kitanda na kuiokota upesi.Sikutizama hata kwenye kioo kuona namba za aliyepiga,niliipokea mara moja na kuipeleka sikioni. “Hallo Sweedy hapa. Nani mwenzangu?” Nilisikia upande wa pili ukijibu kwa kuhemea juu juu.“Mimi John naongea, Mzee nimemuona mama amechukua chumba yupo na Mzee mmoja, ameandika jina la mgeni Sweedy dhaifu” sauti ya John iliingia lakini hata hivyo nilihisi masikio kuchuja herufi.Nilishituka na kubaki mdomo wazi nikiwa nimetoa macho kwa mshangaa mkubwa.Nilihisi mapigo ya moyo yakienda kasi zaidi. “Umesema umemuona mke wangu wapi?” Sikuamini nilirudia kwa ukali kidogo. “Hapa hotelini kwako,mzee” “Khaa,nisubiri nakuja.Wala usiwashitue” “Sawa,mzee” Nilikata simu kwa ghadhabu kali.Sikupenda kupoteza muda, nilichukua bastola na kuificha kibindoni. Nilifungua mlango kwa upesi na kutoka varandani, nilionekana kuchanganyikiwa .Nilipofika varandani nikajikuta sikuwa nimevaa viatu.Ndipo niliporudi kuvaa.Nikiwa nje ya jengo ,nilimpigia simu dereva wa teksi niliyefahamiana nae aje kunichukua.Haikuchukua muda , niliona gari jeupe lililo pigwa msitari mweusi katikati likiegeshwa nje kwangu,nilitambua ni gari la bwana Jangala, yule dereva mashuhuri wa teksi pale soko kuu Arusha. “Bw.Jangala naomba unifikishe hotelini kwangu.Nimesahau kidogo,hivi nikiasi gani?” “Mzee,umsahaulifu kweli.Unaonekana mwenye mawazo mengi.Kutoka hapa njiro mpaka pale Sakina ni sh,elfu tano tu,mzee” “Hakuna tabu.Washagari twende.Samahani nina haraka,hivyo ikakupasa kutembea mwendo wa kasi” “Sawa, mteja kwangu ni mtukufu”Jangala alisema akikanyaga mafuta, wakati huo gari likizunguka ‘Kiplefti’ ya kwanza kutoka kijenge juu.Nilielekea moja kwa moja ilikushuhudia uzalilishaji. “Ama zangu ama zao, heri niwaue nami nife”Nilitulia kidogo nikitafakari ,nimbinu gani nitumie ilikuwa kuwanasa wote kwa mpigo.Yaani kumkabidhi Jophu imekuwa nongwa.Ajabu ni kwamba hazijapita hata siku mbili ananidhalilisha? Kweli rafiki mkia wa fisi. By brayton starpoz
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 7 Nilitulia kidogo nikaendelea, “Moyo wangu unasononeka sana. Laiti ningelijua nisingeoa, maisha gani haya yananitesa kiasi hiki?”Nilijikuta nikilia ovyo kama toto jinga lenye kudeka ovyo.Kilio changu lilikuwa rohoni.na aliyejua alikuwa muumba pekee.Getruda alikuja kunibembeleza kwa hofu kwamba ningechukua maamuzi ya kijinga tena. Aliniandalia chakula mezani.Tulisali kisha tukala . Saa nane mchana baada ya kupata mlo wa mchana nilimuaga Getruda nikiwa naelekea ofisini kumueleza Mzee Jophu yaliyosibu katika unyumba wangu. Lakini cha kushangaza Mzee Jophu baada ya kumueleza kila kitu,nilimuona uso ukiwa umejawa furaha badala ya kunionea huruma. Hali hiyo aliisubiri kwa hamu hata hivyo alishanga kuona mimi kuchelewa kumuelezea shida zangu toka mwanzoni.Alijifanya kama hataki kuchangia mapenzi ilinimuone mtu mwema, “Sasa Jophu unakataa nini na wakati nimekuambia mke wangu hajaguswa” “Inamaana siku zote hizo mlikuwa mkilala tu?” “Ndio”nilimjibu nikahisi machozi yakinilengalenga, hata hivyo nilijikaza kiume. “Matatizo haya yalikupata muda gani?” “Siku ya kwanza toka nifunge ndoa na mke wangu” “Usinitanie Sweedy. Ulijaribu kwenda hospitali?” “Ndio.Nilichunguzwa kwa makini.Daktari alinieleza kwamba nilipigwa sindano yenye sumu.Nilikataa kwani sijawahi kupigwa sindando yeyote toka uliponiajiri. Na sasa ni miaka karibu ishirini na tano. Nakumbuka sindano ya mwisho nilichomwa nikiwa na chuoni. Na siku nyingine niile nilipokuja kutolewa damu” “Kutolewa damu si kupigwa sindano labda una matatizo mengine kiafya.Vipi kuhusu chango?” “Sina chango,mzee”Nilimjibu nikiwa nimetizama chini. “Mzee, naomba unisaidie kuokoa jahazi la ndoa yangu”Nilimweleza nikimpigia magoti.Sikuwa najua kwamba mzee Jophu ndiye aliyetuma watu wanipige sindano ya kuua uume wangu.Wakidai wana nitoa damu ilinikapimwe virusi vya ukimwi.Hata hivyo ilikuwa kazi kumgundua mbaya wangu,jinsi alivyoonyesha kutokutaka kuchukua jukumu la kumridhisha mke wangu. “Mkeo atakubali kwenda kupima damu zetu?” “Sina uhakika kama atakubali au laa. Ni vizuri kimpigie simu”Nilitoa simu yangu ya kiganjani na kubonyeza namba za Getruda, mke wangu. “Hallo, mpenzi”alipokea tu baada ya kuona namba zangu juu ya kioo cha simu yake. “Oooo!, vipi upo salama.” “Ndio. Sijui wewe” “Shwari kabisa.Mmmm…utakubali kupima Virusi vya ukimwi?” “Tangu lini kigori akawa na Ukimwi?” “Sijambo la ajabu kwani ukimwi unaambukizwa kwa kujamiana tu?”Getruda aitafakari akajiona kweli alibugi sana. “Sawa, nimekubali kupima afya kwa manufaa yetu sote” “Ok, jiandae nakuja sasa hivi nyumbani” “Ok, bye bye”Alinaga na kukatasimu. “Nilimtizama mzee Jophu na kumwambia, “Amekubali kupima” Kwambali niliona tabasamu la mzee Jophu lililonifanya nione meno yake ya rangi rangi, nafikiri kutokana kunywa maji ya Arusha tokea utotoni mwake. “Sasa Sweedy”Alitulia kidogo na kukohoa kinafiki,nilimtizama kwa makini niwezekujua alichotaka kusema,aliendelea “Kwa vile wewe ni rafiki yangu sina budi kukusaidia.Ila nakuomba usimweleze mtu yeyote ‘Especial my wife’,Umenielewa. Narudia tena naomba iwe siri moyoni mwetu” “Sawa, mzee.Usihofu kitu”nilimjibu kwa upole kabisa. Mzee Jophu aliongea moyoni akiwa amejawa furaha kubwa mno, “Kile nilichokitaka kimekamilika. Sasa kazi kwangu kurina asali nitakavyo”” Mzee Jophu kunajambo la muhimu nimelikumbuka. Nilimdanganya kuwa nilimwagikiwa na tindikali. Akikuuleza mueleze ni kweli”Nilitulia kidogo, ingawa alijaribu kuficha furaha niliiona , Nikatulia kama niliyewaza kitu ,Machozi yakaniwakia pale nilipokumbuka nguvu zangu nilipokuwa Nchini Thailand “Lakini boss na shindwa kujua ugonjwa huu niliupata wapi na nani aliyeniletea” “Usijali muombe mungu akuondolee. Hatamimi ninafanya tu, kwa vile wewe rafiki yangu wa damdam, lakini kwa maulana ni dhambi kuzini nje ya ndoa,” Mzee Jophu aliongea ilinimuone mtu wa busara kama alivyoonekana kuwa ni mtu wa busara kumbe ni muungwana wa ngozi tu, lakini rohoni ni muuwaji. Maneno yake ilikuwa vigumu kumgundua kuwa yeye ndiye mbaya wangu, aliyeamua kunitesa iliamfanye mke wangu wake. Mazungumzo yetu ya ofisi yalikuwa ya muda mrefu. Tulipo maliza jioni iliwadia tuliongozana na Mzee Jophu moja kwa moja hadi nyumbani kwangu. “Lakini Sweedy kama ameoa mke mwenye uso wa mbuzi mimi sitamkubali atakuwa wako mwenyewe” “ Hakika mke wangu utamkubali. Amekamilika kila idara. Utamsahau mama Jacob nakuambia” Nilimueleza. “Yote tisa, kumi tutaona. Nitaamini unajua kuchagua,” “Lako jicho, yanini ni kusifie?” Niliposema, nilitamani Mzee Jophu ardhike na ombo la Getruda, lakini kitu kilichoniuma zaidi ni jinsi gani ningemuunganisha mwanaume mwenzangu na mke wangu niliyemlipia mahari. “Inawezekana huyu mshenzi akamkataa mke wangu. Midomo yake imejaa dharau”nilijisemea kimoyomoyo huku nikibonyeza kitufe cha geti. Getruda Kimario alifika getini na kufungua, mtu wa kwanza kuingia akiwa Mzee Jophu.Shauku yake haikufichika ,alimtupia Getruda jicho la lilo jaa ubembe.Ni hapo ndipo nilipohisi Mzee Jophu kumkubali mke wangu. Alikuwa na shauku ya kumbusu Getruda, nikipindi kirefu toka wapoteane pale ofisini kwake, na Getruda alimkumbuka kuwa yule alikuwa yule aliyempa mama yake mzazi shilingi laki tano za kitanzania iliamuowe yeye. Walitupiana macho yaliyojaa furaha macho ya matamanio ya Getruda yalizidi kumchanganya Jophu. Aliyekuwa na shauku kuupitisha usiku mwanana na binti aliyemlipia shilingi laki tano. Aliamini alikuwa na haki yakujivinjari jasho lake. Mwanzoni nilihisi hawakumbukani,kumbe kumbukumbu alikuwa nazo na alishuhudia mama yake akipokea hizo hela. Ulifikia muda muafaka wakuweka mambo hadharani ili nitatuliwe shidayangu. Kabla sijazungumza chochote nilipandisha pumzi na kushusha kwa nguvu kama mtu aliyechoka na pilika pilika za kutwa nzima ,”ooooooophhhh!”Kisha nikasema kwa sauti ya chini kama mgonjwa,ni kweli niliyotaka kusema yaliniuma sana. “ Nafikiri mke wangu nilisha wahi kukutajia jina la rafiki yangu kipenzi. Ila ni vema nikalirudia leo ukiwa una muona . Aliye kaa hapa mbele ndiye Mzee Jophu. Sio Mzee kweli ni kwaajili ya mali zake ndio maana watu wanampa jina la heshima ya mzee. Huyu ndiye mwa ndani wangu ukimuona yeye ndio umeniona mimi. Shida zake ni zangu, zangu ni zake,”Nilikohoa kidogo ni kumgeukia mzee Jophu. Kijasho kilizidi kuchuruzika kwa kasi kuliko mwanzoni, nilihisi midomo kufa ganzi na kuwa mizito, nilijikuta sauti ikipotea ghafla pale nilipofikiria kumuachia mzee Jophu mke wangu.Tena hajawahi kuguswa na mtu yeyeto maishani. Kwa kweli inatia uchungu sana heri ningekuwa nimezaliwa na udhaifu huo kuliko kunikuta nikiwa mtu mzima. “Mzee Jophu huyu ni mke wangu, kwa upande mwingine naweza kusema ni mkeo. Nina matatizo ya,,,,,,” hasira kali iliniingia moyo nikashindwa kumaliza, nilijikuta nikiangua kilio. Moyo uliuma sana. “Kweli kweli na muachia Jophu kigoli wangu?”Nilimtizama Getruda kama vile nikimuaga, sikuweza kukwepa jambo hilo tena.Kwa kuwa lilishakuwa kero katika familia yetu. “Naomba uwe karibu na mke wangu, kama ulivyo karibu na mkeo, lakini,,,,,,,,,,naomba unifichie siri yangu, heshima iwepo msije mkachukulia muda huo kunidharau, nami sikupenda kuwa hivi,,,”Nilikokoteza maneno kwa ujasiri . “Ok, nashukuru kumfahamu mkeo, na nitaendelea kumfahamu vizuri, zaidi kadri siku zinavyo zidi kwenda” Mzee Jophu aliongea huku akinyanyuka kuelekea alipo Getruda. Alinishika mkono na kuunyanyua usawa wa midomo yake, hakuchelewa nilisikia sauti ya busu kwenye kiganja cha mke wake wangu. Busu hilo lilimchanganya mke wangu na kujikuta mwili ukimsisimka, vinyweleo na nywele zilisimama kwa shoti ya busu la mzee Jophu.Nilibaki nimeduwa, midomo ikiwa wazi kama sekunde kadhaa.Bila hofu wala haya, walijikuta wamekumbatiana na Mzee Jophu alisogeza midomo yake karibu kabisa na sikio akimnong’oneza. “Kweli kwenye miti hakuna wajenzi, nitakutunza kama mlima Kilimanajaro unavyotunza Seluji yake, nitakupa chochote unachotaka, ikiwezekana nitakuoa kabisa, nakupenda siko tayari kukuacha, naamini unanipenda” Sauti ya Mzee Jophu ilizidi kumtekenya Getruda, alijikuta akitikisa kichwa ishara ya kukubali.Alishindwa kujizuia kutoa sauti za kizizima, taratibu kwa jinsi maneno ya Jophu yaliyokuwa yakipenyeza sikioni angali yana uvuguvugu, kwa wimbi lenye joto nadhifu.Mzee Jophu alimwachia na kuketi karibu nae. Mambo yote niliyaona. Kwa jinsi roho ilivyoguguna niliondoka sehemu ile na kuingi chumbani, nilimpenda sana mke wangu, sikupenda awe mke wa shirika wala sikupenda kuona akishikwa shikwa na mtu zaidi yangu. Japo nilikuwa na wivu lakini nilishindwa kwa sababu nilipata udhaifu, ikanilazimu kuvumilia na kuhamisha macho, na kutizama pembeni.Pia hilo lilinishinda nikaamua kujiondokea kiunyonge kama kifaranga asiye na mama. Kuondoka kwangu, ulikuwa mwanya wa Jophu na mke wangu kupanga mambo yao. By brayton starpoz
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 6 “Kuna rafiki yangu mpenzi ambaye tupo karibu .Yeye ndie mwandani wangu, siri zangu ni zake na zake ni zangu nitamueleza kilio changu. Naamini atakisikiliza na kulichukulia kama kilio chake na atanisaidia shida ndogo ndogo za unyumba wetu. Mtu huyo ni tajiri yangu anayeitwa Mzee Jophu. Itakubidi unihifadhie aibu hii moyoni mwako. Ndiye ambaye siku ile ulivyoletwa na Baba niliwaacheni nae nikiwa na maongezi ya faragha na Baba.” Nilijaribu kumueleza mke wangu kuwa pengine angekubali kutembea na rafiki yangu mkubwa badalaya ndugu , na aendelee kinitunzia heshima yangu kama mumewe. Japo roho ilikuwa inauma kumkabidhi mwenzangu boma langu. Wala sikuweza kugundua kuwa mzee Jophu ndiye aliye panga na Daktari anipige sindano ya sumu. “Kama una matatizo ndoa ya nini?.Suluhisho ni kuivunja ndoa kwa amani sitaki kujidhalilisha kwani wanaume wameisha duniani? Isitoshe nilishakutaarifu kwamba sijawahi kuguswa, bado nina nafasi kubwa ya kuolewa, wameolewa machangudoa sembuse mimi kigoli. Siwezi kukuelewa kabisa ninachotaka ni talaka yangu. Kuishi na wewe ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi” Mke wangu alinibadilikia ghafla, sikuweza kuamini maneno hayo yaliyotoka kinywani mwake . Hali hiyo ilininyima amani na kijikuta nikilia kama mtoto mchanga aliye hitaji ziwa la mama yake baada ya kulikosa kutwa nzima bila kunyonya. “ Sijali kulia kwako kwani mimi ndiye niliye kumwagia tindikali? Mlaumu aliye kumwagia na sio mimi.Kweli ving’aavyo vyote si dhahabu. Najuta kuolewa na watu waliochelewa kuoa, huenda ni matatizo uliokuwa nayo toka zamani”. Getruda alizidi kuniumiza moyo. “Sawa najua sina faida ya kuishi duniani,nitawaachia ninyi wenyewe umuhimu na hii dunia, lazima nife …….sio muda mrefu utaniita marehemu sio Sweedy tena ,” Nilijikuta shetani mbaya akiniingia kichwani na kuiteka akili yangu, nikaamua kujiua tu, sikupenda kuishi na mateso. Niliondoka na kuingia chumbani kwetu, nilijifungia kwandani na kutafuta kamba tayari kutoa uhai wangu. Nilikusudia kujiua na niliamua kufanya kama mawazo yalivyo nituma, sikupenda kuishi kwa manyanyaso, mateso ya unyumba. Nilikuwa chumbani na tafuta kamba ya kujinyonga, Getruda, mke wangu muda mfupi tu, angeniita marehemu badala ya Sweedy. Getruda akiwa kwenye mtiririko wa mawazo alisikia sauti yangu, (LORD YOU KNOW MY TRIBLES)” “Mungu unajua mateso yangu”Wakati nasema maneno yale ,nilishafunga kitanzi juu ya paa la numba.Nilikuwa nimepanga stuli mbili zikiwa zimebebana,nikaanza kuingiza shingo kitanzini, nilihakikisha kamba haitakatika. Iliyofuatiwa sauti nyingine nikimuaga. “Getuuuuu! Kwa heri niagie ndugu wote, nimeamua kufa sipotayari kunyanyaswa na udhaifu wangu, hata mungu anajua”. Taratibu nilianza kusukuma stuli nilioikanyaga ili idondoke na nijinyonge, Muomba kifo hakosi basi stuli ilidondoka kamba ikaninyonga. “Ahiiiii”nilitoa sauti moja kwa shida sana.Kutoa neno la zaidi,nilijijigeuza na nikawa natapatapa kama mfa maji. “Haraka Getu aliamka na kuekekea sauti ilipotoka, aliamini nilikuwa nianajiua akajuta na kujilaumu kwanini alinipa maneno ya ukali badala ya kunifariji. “Dhambi zote ni mimi, isingekuwa mimi asingejiua, yanipasa nijitahidi kumnusuru na kifo,” Getu alianza kuniita kwa sauti ya huruma, “Sweedy…Sweedy… naomba unisikilize mkeo naongea. Niwie radhi nilikuwa na kutania nimekubali kuwa na rafiki yako. Naomba unielewe mpenzi nitalitunza penzi lako na siri yako. Kama nikujiua basi nisubiri tuongee nitakuacha uendelee kujiua.” Getu aliendelea kuniita bila ya kupata kujibiwa. Kilikuwa kitendo cha haraka alichukua uamuzi wa kuvunja mlango na kuingia ndani, alinikuta nikiwa nimeningia mapovu ya kitoka puani.Aliona kisu kilichokuwa mezani,Hakupendakupoteza muda ,kwa mwendo wa umeme alikata kamba na nikadondoka chini kama gunia la maharage, aliponigusa alipeleka mkono kifuani kuona kama nilikuwa hai. Ajabu ni kwamba hakusikia mapigo ya moyo ya kienda. Miguu ndio ilikuwa nikiitupatupa huku na kule, ulimi ukiwa nje kama wa kenge. Hali iliyomfanya asijidanganye kuwepo hai tena na kuamini zisingepita dakika kumi ningepoteza uhai. Uzito wangu haukuwa kigezo kikubwa cha kumfanya Getruda ashindwe kunibeba, alijitahidi alivyo weza kunitoa nje ambako alipiga simu kwa dereva teksi aliyemfahamu. Dakika takribani mbili ,alisikia gari likiegeshwa nje ya jengo letu. “Vipi shem. Imekuwa je?”Dereva teksi aliuliza. “Wee achatu.Hebu tumuwahishe hospitali mazungumzo baadaye” Walinibeba juu juu hadi kwenye gari, dereva akafungua mlango wa nyuma ambako walinilaza chali na kufunga mlango.Hawakukawia kufika hospitali ya rufaa Mount meru kwa matibabu zaidi.Getruda aliniingiza ofisi ya dakitari wa zamu. “Anasumbuliwa hasa na nini?” “Amevamiwa na majambazi ambao walimnyonga kwa kutumia kamba”Getruda alidanganya wazi wazi.Huku akiuma mdomo wa chini kana kwamba alijawa na dhahabu kali. “Sasa umeripoti polisi?” “Daktari mbona unaniuliza maswali ya sio na msingi kabisa.Wewe unataka ripoti ama kumtibu mgonjwa?” “Hatuwezi kutibu bila kupokea karatasi ya PF3 kutoka polisi” “Dokta kipi bora .Kuokoa maisha ya mgonjwa ama kumwacha afe kwa sababu ya PF3?” “Kuokoa maisha yake”Dokta akajibu akichukua vipimo vyake. “Basi kumbe unajua. PF3 baadae, nisamehe kama nimekuudhi”Getruda alimwomba radhi Dokta. Dokta alinishughulikia kwa haraka.Nilitibiwa kwa makini na baada ya saa nzima nilipata ahuen.Ila kooni nilihisi maumivu kwa ndani. ********** Zikawa zimepita Siku mbili toka nilipookolewa na Mke wangu,Getruda pale nilipokuwa najiua kifo cha taabu. “Mume wangu nilikuwa nikikutania . Tafadhali usijaribu kujiua tena. Nimekubali mlete huyo rafiki yako leo nimuone kama sura yake ina tapisha au laa!” Getruda hakupenda kufanya hivyo aliamua kukubali ili kuninusuru kifo. Sauti ya Getruda ilipenyeza kwenye ngoma ya masikio yangu fundo kali la sononeko liliingia moyoni.Nikajivuia kulia kwa nguvu zote lakini nilijikuta machozi yakichuruzika taratibu bila kujua. “Sawa mke wangu utamuona nitakapomleta jioni,” Ilikuwa asubuhi na mapema, majira ya saa moja na nusu. “Mmmm! Lakini Getruda unanipenda.Isingekuwa wewe basi nilikuwa mfu”Nilimweleza Getruda. “Kumbe unalijua.Mkojo ulishaanza kukutoka” “Masihara hayo.Inamaana nilikikojolea kama mtoto” “Ndio”Getruda alinijibu akainuka kitini na kuelekea kwenye jokofu ambako alilifungua na kunipatia Juisi baridi ya machungwa. “Karibu mpenzi” “Ahsante mpenzi”Niliipokea na kumtolea tabasamu,lakini nilipokumbukla kwamaba nahitajika kumtambulisha bosi wangu.Moyo ulisingaa na kunyauka kama jani la tumbaku lililosubiri kusagwa. “Mpenzi nataka kwenda kujipumzisha kidogo” “Sawa,ila usisahau kwenda kumleta rafiki yako jioni”Nilishituka na kutulia kama sekunde kadhaa ,kisha nikageuka kumtizama mke wangu. “Utaniamsha baada ya saa moja. Ok, bye”Nilijikaza kutoa tabasamu ambalo pengine lilionekana dhahiri la kulazimisha, huku moyo ukiniuma kama kutu inavyokula chuma taratibu na kukiozesha chote. “Nije tujipumzishe wote?”Getruda alinieleza wakati nikiwa nimempa mgongo. “Poa. Ukipenda”Nilimjibu damu zikienda mbio ,ungeweza kuhisi nimekimbia umbali mrefu bila kupumzika. Getruda alinifuata chumbani kama alivyoomba.Nilijitupa kitandani kiuvivu uvivu nae akajibweteka kwenye sofa moja lililomo chumbani.Ingawa nilifumba macho lakini sikuwa hata na lepe la usingizi, mawazo yangu yalimezwa na taswira ya maisha ya unyumba.Nilijiuliza bila kupata jawabu sahihi kwamba ugonjwa huwa niliupata wapi na nani aliyenipa?. Nikiwa nimelala nilihisi vidole laini zikitalii mwilini mwangu.Hata hivyo sikushituka kwani nilihiosi alikuwa mke wangu.Vidole hivi vilizunguka huku na kule bila kupumua,nilihisi kama kero ama mdudu fulani akinitembelea akini kwarua. Sikuona raha zaidi za mateso tu. “Hallo Sweedy” “Na..a.amu”Nilikokoteza maneno,nikiwa nimetulia utadhani mbwa anayetolewa kupe. “Unanipenda?” “Saaana tu” “Kwanini hunipi haki yangu kama kweli unanipenda?” “Haki ipi?.Si una jua matatizo yangu sasa unataka nini tena” Nilihisi Getruda akinitibua akili yangu.Niliinukla na kutoka nje. “Getruda unanitesa. Tumepanga nini na wewe unataka nini?” By brayton starpoz
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 5 “Leo lazima, sijali kuumwa kwako au laa!,Kila siku unalalamika, tumbo, kichomi, kutapika, mara uchovu, leo ni leo”. Taratibu alianza kunitomasa wakati huo nilikuwa nimetulia kama yule mdudu kifaulongo na minong’ono ya kuweweseka kama mgojwa niliendelea kuitoa. “Mume wangu amka basi tufanye.” Getruda alinihimiza huku akiwa amenishika mkono wangu kidogo akininyanyua . “Subiri kidogo naumwa na homa” “Imekuwa homa leo” kwa kweli mke wangu alichoka na idadi ya magonjwa niliokuwa nikimtajia kila leo. “Eti homa, utashaa leo, sikusikilizi ninachotaka ni penzi tu, usiniletee hadithi za riwaya, zile hadithi ndefu za kubuni, sizihitaji kabisa!, wewe mwanaume gani? Hivyooo!” Getruda mke wangu alianza kunidharau baada ya kuona sina lolote. Nilianza kulia nikilaumu ugonjwa ulioniingia nikiwa na ndoa yangu, niliulaani ugonjwa huo nilitamani nikatwe vidole kuliko kuwa na udhaifu wa nguvu za kiume. Kilio changu kilikuwa chungu mwenye na roho yangu. Pamoja na kunywa dawa za mitishamba kutoka kwa wamasai aina ya mchuma mbele bado nizidi kupata mateso ya unyumba. “Mke wangu unadiriki kunikashifu. Kunitukana mtusi ya nguoni!, kweli umenichoka” nilijaribu kumlaumu mke wangu, lakini haikusaidia kitu. “Ndio, nimekuchoka, naomba talaka yangu asubuhi hii hii, longolongo sitaki” mke wangu alibadilika ghafla na kunitizama kwa hasira kali, kama kungekuwa na uwezekano wa kuniadhibu basi angeniadhibu ipasavyo. Niliona bila kuwa mpole ndoa ingekuwa ndoano, ingesambaratika na ningekuwa mseja. “Mke wangu naomba upunguze jazba nikueleze…” niliongea kwa sauti ya unyonge iliyona lengelenge la machozi kunitoka, nikiwa na wasiwasi mkubwa wa kumkosa Getruda. Sikupenda niachane na Getruda mke niliyepewa na wazazi, mke mwenye hali ya ubikira, ambaye hajawahi kuguswa. “Nimeshachoka na mambo yako ya ajabu, unataka kunieleza nini?” “Najua utanichukia nikikueleza kilichonisibu pia hutaamini yaliyonikuta mwenzio”. Niliongea machozi yakinilengalenga machoni, roho iliniuma na kujiona nisiye na faida wala umuhimu kuishi duniani, nilitamani kufa ilinisiendelee na mateso. Kilio changu kilikuwa cha huzuni mno!, moyo wa huruma ukamuingia mke wangu, masikini akaniomba nimuelezee. “Mume wangu haya nielezee kilicho kusibu, usiogope kuwa wazi usinifiche chochote kama kuna uwezekano nitakusaidia mpenzi” sauti ya mke wangu niliisikia na kuifananisha na sauti ya malaika wa neema. Nikajikaza huku nikiwa na churuzika machozi yaliyolowanisha kope machoni. “Mke wangu hujafa hujaumbika, nisikilize kama mtu asikilizavyo maneno ya Mungu, nilikuwa kiwandani kwenye uchanganyaji wake Kemikali, bahati mbaya kemikali yatindikali ilinidondokea kwenye ngozi karibu na uume wangu na kunisababishia udhaifu mwilini, naomba usiniache mpenzi, naomba unisamehe kama nimekukosea mpenzi, naamini nimekukosea. Sikuyataka bali yametokea bahati mbaya” Niliongea uwongo uliofanana na ukweli, kadri nilivyozungumza ndivyo nilivyozidi kulia, sikupenda kuongea uwongo bali ilinibidi niongee uwongo mtupu ilikuinusuru ndoa na aibu yangu , sikumwangikiwa na tindikali, ni ugonjwa ulionitokea ambao sikujua ulitokea wapi na nani aliyeniletea ugonjwa huo, je ni Jenipher au ni nani?” “Sasa kama ulikuwa unajua unamatatizo kwanini ulinioa mpenzi?, unanitesa, umepoteza muda wangu bure” Getruda alizidi kulalamika japo alinionea huruma. “Kumbe ndio maana kila siku ana lalamika na kunitajia magonjwa mengi yote hayo ni kukwepa…” Getruda aliwaza akilini. “Mke wangu matatizo yalitokea siku tatu kabla ya ndoa, wala sikujua nimeadhirika na tindikali hiyo, ningejua ningehairisha kufunga ndoa ili upate mume rijali” maneno yangu yalimuingia Getruda mke wangu na kuamini kuwa ni kweli nilipata ajali ya kumwagikiwa na tindikali. “Nitaishi vipi bila kupata matunda ya ndoa, naomba uniambie nitaishi vipi?, nitaishi hivi mpaka lini, sijawahi kukutana na mwanaume, nilitegemea wewe ndiye ungevunja boma langu, sasa itakuwa vipi? Naomba mawazo yako” macho ya huruma yalitua usoni mwangu, niliyekuwa nimetulia kama mtuhumiwa aliyesubiri hukumu ya kunyongwa. “Mke wangu hilo usitie shaka. Hakuna kinachoharibika nivumilie kidogo” “Siwezi kukuvumilia tena mume wangu. Naomba talaka haraka”Nilitamani kuondoka , ikiwezekana kuihama nyumba yangu,nikifikiri jambo hilo lingenisaidia lakini nikajikuta nikikatisha mawazo na nafsi.Nilitulia kama sekunde kadhaa hivi nikijaribu kuganga maumivu. “Uliapa mbele ya mchungaji kwamba utaishi na mimi kwa uvumilivu…”Kabla sijamalizia maneno yangu , nikakatishwa na sauti ya ukali . “Ndio. Nimevumilia nimechoka, naomba uelewa kwamba namimi nina homoni”Getruda akasema akinitizama kama mtu alieniandalia tusi. “Nataka niende nchi za nje kwenda kufanyiwa uchunguzi zaidi” “Nchi gani?” “Uingereza….” Nilipumua kidogo kisha nikaendelea kumweleza, wakati huu nikimueleza, nilikuwa siamini kwamba angeweza kulielewa lile nililotaka alifahamu na kulitii “Getruda nakupenda na kiliwaahidi wazazi wangu nitaishi na wewe hadi mungu atakapo chukua roho zetu” “Sweedy unajua maana ya ndoa kweli?”Getruda akaniuliza akiwa amenitumbulia macho. “Ndio”Nikajibu kwa sauti ndogo na ya upole kabisa,nikiwa nimeinamisha kicha kama kondoo. “Kama unajua maana yake.Mbona sioni nini maana ya ndoa kati yangu na wewe?”Hapo nikavuta pumzi ndefu na kuziachia kwa nguvu, “Ooooopphhhh”.Ikafikia wakati mwingine hata kujionea mwenyewe huruma. “Si nishakuambia tatizo langu?”Nilizidi kutukutika moyoni. “Basi kama unataka nisivunje ndoa yetu nitafutie ndugu yako aniridhishe kimapenzi mpaka utakapo pona” “Sina ndugu yangu wakiume mke wangu.Kwa nini usiwe na subira?”Machozi sasa yakaanza kunidondoka kama maji ya dripu, nilihisi kudhulumiwa haki yangu , ingawa nilitaka njia ya amani kati yangu na mke wangu. “Ngoja ngoja yaumiza matumbo”nilimtizama Getruda, mke wangu nikagungua hakuwa na nafasi tena ya kunisubiri. Macho yake tu, yalikuwa jawabu tosha kwamba angeondoka kwenda kutafuta mume mwingine. “Nasubiri unijibu upesi, sitaki mzaha tena. Ushanipotezea muda mwingi sana Sweedy”Sauti ya kupaza niliisikia ikigonga ngoma za masikio yangu, nilijaribu kumtupia macho ya huruma,kuwa pengine angepunguza maneno. Sikuweza kumjibu chochote,badala yake nikabaki kimya kama niliyeletewa habari ya msiba wa ndugu yangu wa karibu. “Dharau yako itakuponza. Wala sitaki talaka yako.Naondoka, narudi kwetu mwili wangu bado unaniruhusu kuolewa.Kama ni bikra bado ninayo kama ni kuzaa ndio kabisaa.Kwanini nikose mume.Uzuri wangu tosha nishahidi kwamba sitokaa kwetu mwezi bila kuolewa”Getruda aliongea na kunyanyuka kitini ambako alielekea chumbani. Nilibaki nikimtizama bila kunena neno juu yetu.Sikutarajia kuona kile kilichopo mbele yangu wakati huo.Nilimuona Getruda akiwa kabeba begi kubwa languo akitoka nalo nje varandani. “Mke wangu tafadhali naomba uweke begi chini tuongee.Unapochukua uamuzi huo si suluhisho. Ni busara kusuluhisha mgogoro ili kuhuisha uhusiano mwema ,tangu kuumbwa kwa familia hakuna hata moja isiyopata ubishi na mgogoro ndani ya nyumba…..”nilivuta pumzi ndefu na kuzishusha taratibu ,ni dhahiri nilichoka kuitetea ndoa yangu isianguke.Wakati huo Getruda alinitupia jicho, begi lake akiwa kalishikilia mkononi.Nikavuta hatua na kumfikia karibu, nilimshika mkono nikijaribu kumbembeleza, “Tafadhali usinishike.Muda wa kuishi nawewe umeisha.Mume gani usiye…”Nilimkatisha maneno yake, “Ni samehe mke wangu,nitaendelea kukuita mke wangu kwa sababu nakupenda, naomba uwe na subira. Unyumba nikuvumiliana, kuna leo na kesho, kumbuka hujafa hujaumbika, jambo hili linaweza kukukuta hata wewe,pengine ukapata ajali.Sikupenda kuwa hivi mpenzi…. hili ni jambo la kawaida, muhimu ni jinsi ya kutatua mikwaruzo hii.Mfano ungekuwa wewe mwenye matatizo haya ungelifanya nini?” Niliongea taratibu na kwa busara nikijaribu kumshauri Getruda , mke wangu. Alivuta pumzi na kuzishusha. “Naomba unipe uhuru.Utakubali niwe naingiza mume mwenzio ndani?” “Hapana. Utakuwa ni unyanyapaa wakijinsia.Getruda unataka kuniumiza moyo wangu.Nakupenda na nimekuomba uwe na subira,pengine nimajaribu ya mungu”Nilivumilia kulia ikashindikana,machozi yalinitoka bila kutegemea.Nilitamani nibaki peke yangu ,ingawa sikuweza kuamini kama kweli Getruda angenihifadhia siri yangu.Angeenda kuwaeleza nini wazazi wake.Kuna mtu anaweza kuvunja ndoa bila kufarakana, migogoro ya kiunyumba?.Mawazo hayo yalizidi kuniumiza na kunikera moyoni. “Chagua moja….”Alitulia , akalamba midomo yake kisha kunitizama kwa dharau.Dharau hiyo niliigundua kwamba nikwa vile aliniona si lolote si chochote kwake. “Unasema unanipenda sana?” “Kwani hujui hilo?” “Sijui kwa sababu wewe mwenyewe hujanionyeshea upendo wako kwangu” “Hivi umesema unanipenda vile?” “Ndio…najua umekuwa wimbo” “Naomba unichagulie maisha nitakayoishi kuanzia sasa” “Basi nitakuacha uchague unachotaka mpenzi bora usinidhalilishe.” “Sina chaguo lingine zaidi ya kunitafutia ndugu yako yeyote”Alisema tena akionekana siriasi. By brayton starpoz
...
SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 4 Kwa ujumla maisha ya ndoa niliyaona machungu kama shubiri na pengine machungu kama mitishamba. Nilishindwa kuelewa ugonjwa huo ulitokea wapi na umesababishwa na nini? Nyumbani kwangu nilipaona kama jehanamu, sikuona raha kuwa nyumbani kwani mke wangu alikuwa ananilalamikia kila siku , kila dakika kuhusu ndoa yetu. Tofauti na ndoa nyingine zikiwa changa, watu huwa wanatamani wapate hata likizo ya miezi kadhaa ili wawe pamoja na wandani wao, hapo nasemea kwa wale wafanyakazi kama mimi.Mimi Sweedy kama mtu mwenye uwezo wa kutunga uongo basi nilijitahidi kumridhisha kwa maneno matamu niliyoamini yangemfariji. Uwongo una mwisho wake kumbuka hapo. Lakini hata hivyo ni mtu gani atasikiliza uwongo kila siku. “Kuumwa kuumwa ni kuumwa gani hukokusikoisha?”. Nilikuwa natoka kazini saa kumi jioni, lakini cha ajabu nilikuwa nikitafuta sehemu ya kupoteza muda ili mradi nirudi nyumbani usiku. Nikiamini mke wangu atakuwa amelala. Siku zote nilitumia njia hiyo, hata kunywa pombe nikajifunza ilimradi nikwepe kugungulika udhaifu wangu.Si mitishamba wala hospitali za kawaida kote nilienda bado ikawa si kitu. Siku moja mke wangu aliamua kuelekea kazini kuuliza kuhusu ratiba ya kazi zangu. Alimkuta Mzee Jophu mwenyewe. “Shikamoo baba” Mke wangu akamsalimu pale alipofungua mlango wa Mzee Jophu. “Marahabaa mchumba mzuri”Mzee Jophu akaitikia salamu kamavile anamuona mke wangu mtoto mdogo. Hata hivo Getruda ,mke wangu hakujali aliona ni utani tu kwani anajua dhahiri ni shemeji yake. “Shemeji nimekuja ninashida”Getruda akasema na kusubiri kitu ambacho angeelezwa. Mzee Jophu alionekana kutingwa na shughuli nyingi pale ofisini. Aliinua kichwa chake na kumtizama Getruda kwa macho ya huba. “Shida gani shemeji?” “Wala usishituke ni shida ndogo tu”Getruda akasema akiweka pete yake ya ndoa vema. “Shemu sema kama ni pesa. Nikupatia au nimambo ya familia unataka kunieleza?” “Ndio, ulijua je?” “Najua maana nyie wanawake mmeumbwa na aibu sana. Jambo dogo unaweza ukaogopa kumueleza mwanaume” “Nijambo dogo kwa kulitizama lakini kwa undani nijambo kubwa” “Sawa ulitaka tukalizungumzie faragha kidogo?” “Hapana shem. Naomba nikueleze hapa hapa” “Sawa nimekuruhusu. Lakini nilipendelea tutoke tukazungumze nje ya ofisi kwani mambo ambayo haya husiani na ofisi tunayazungumzia nje ya ofisi” “Naomba nizungumzie hapa , ni kwamba sitatumia hata dakika tatu” “Ok, sema” “Naomba unieleze, mume wangu anatoka kazini saa ngapi?” “Wewe kwani kakuambia anatoka saa ngapi?”Mzee Jophu hakujibu swali kama alivyoulizwa bali nae aliligeuza swali upande wa Mke wangu. “Anasema saa tano usiku” “Basi inawezekana, kwani mama unaweza kuniambia, maana ya kazi?” Mzee Jophu alimuuliza swali kwa mtego wa kasa “Kazi kama ninavyoifahamu ni kitu au ni shuhuli inayoniletea kipato,” “Ahaa kumbe unajua, mama nenda nitakuambia, maana yake siku nyingine ukiwa na muda.” “Lakini bado hujanijibu mume wangu hutoka saa ngapi kazi kwako?” “Saa kumi jioni?” “Kaaa!. Saa kumi jioni halafu hufika nyumbani saa sita usiku?” “Inamaana Sweedy hurudi nyumbani usiku?”Mzee Jophu alimtolea Getruda macho ya mshangao, huku akishika kiuno kana kwamba haamini maneno ya Getruda. “Ndio shemeji” “Siamini kabisa. Siku zingine huwa na mruhusu saa tisa na siku za jumamosi anatoka saa sita mchana”Mzee Jophu alizidi kuongezea chumvi.Nia yake ni kuvunja ndoa yangu ili afaidi yeye.Alipania kuvuruga ndoa yangu.Siku jua hata nguvu zangu ya kiume zilipoisha ni kwasababu yake.Yeye ndiye alituma watu ambao walivaa kama Daktari kuja kunipiga sindano ya kuua nguvu ya kiume. “Shemeji inamaana maneno yako niyakweli kabisa” “Shem nikudanganye iliiweje?.Sitaki kukuvunjia ndoa yako lakini ukweli mumeo hakupendi. Anasema sana kila siku hapa kazini kwamba mpaka sasa hajawahi kufanya tendo la ndoa na wewe.Eti mke gani wa kutafutiwa na wazazi.Anampango wa kukufanya kijakazi pale nyumbani kwake….” “Eti nini?.Shemeji naweza kuyaamini maneno yako kwani ni miezi miwili sasa hajanigusa kabisa. Kila siku anasingizia kuchoka na kuumwa.Raha ya ndoa iko wapi shem?.Naomba unipe ushauri nimechoka kuvumilia na mateso haya” “Usichoke shemeji vumilia tabia itabadilika. Yule bwana anapenda watoto wa shule sana na mshahara wake mwingi huishia huko.Juzi tu kashikwa ugoni na mtoto wa shulwe ambapo alitolea faini laki saba, huwezi kuamini lakini ndivyo ilivyotokea. Mumeo ni mkware kweli…Naomab ausije ukamueleza maneno haya naomba ufanye siri, nitakueleza mengi siwezi kuvumilia ukateseka bure binti wa watu” “Ahsante sana. Leo atanikoma nyumbani”Getruda aliondoka akiwa na mawazo chungu zima.Machozi yalimlenga lenga machoni.Moyo uliuuma sana. Waliagana na Getruda, lakini moyoni Mzee Jophu alibaki na sononeko la upendo kwa mke wangu, Na aliamini kumpata, kwa jinsi alivyo nitumia Daktari wanipige sindano ya kuuwa nguvu za kiume, aliamini njia hiyo aliyotumia ya kuuwa nguvu za uume,wangu ungeshindika kumpata Mke wangu basi angeniuwa kabisa “Yaani Sweedy ndivyo alivyo?.Nimemtunzia boma langu iliawe wa kwanza kulibomoa lakini hataki, anapambana na watoto wa shule?.Haipiti hata siku moja haachi kusema naumwa sijui kichomi mara nimechoka kumbe anachoshwa na hao makahaba wa shule?”Getruda alizidi kuwaza njia nzima .Hakuwa anaelewa sehemu alipokuwa alisha pita nyumba yetu. Ilikuwa siku ya juma mosi siku hii aliyotokea kazini,hakuweza kuzungumza chochote na mimi.Alionekana mwenye ghadhabu kali . Hakutaka hata kunikaribia, alikwenda kujipumzisha kitandani.Macho yake fika yalinijulisha kwamba alikasirika sana. Nami niliogopa kumuuliza kwani nilijua lazima alichukia kutokana na matatizo yangu.Sikuwa nalingine kichwani.Wakati wa kulala ulipofika ,nilitoka sebleni ambako nilikuwa nikitizama mkanda wa dini, na kuelekea chumbani.Nilijawa na wasiwasi kwamba usiku huo kungekuwa na kitimtim kikali, dalili niliiona toka mapema kabisa.Sikuwa na amani na maisha yangu, hofu kubwa ilikuwa kwa mke wangu ambaye hakuwa na raha kila aliponiona.Sasa hasira yake ikawa kubwa pale alipopewa maneno ya uchochezi na tajiri yangu.Nilitembea kwa kunyata ilitu asisikie kwamba naelekea kitandani.Kwa sasa nikajongea na kukifikia kitanda.Nilipandisha mguu wa kushoto kwa hadhari sana asishituke. Pia nilihakikisha kitanda hakichezi, jambo hilo nililifanya kwa makini zaidi.Wakati huu napandisha mguu macho yangu yalitizama usoni kwamba mke wangu angeshituka ama vipi. Nilifanikiwa kupandisha mguu wa kwanza, sasa nikajaribu wa pili kuupandisha kitandani. Laiti ningekuwa na uwezo ningejitafutia kitanda changu.Ukweli ndoa yangu niliiona chungu na iliyojaa mateso makubwa sana. Nilikuwa mtu wa wasiwasi tupu.Kitu kingine, nilijiona nisiye na dhamani duniani, nilitamani nife kuliko kuishi kwa shida lakini wasiwasi wangu ukawa huko ahera nikukimbiliako je? Ni kwema aba ndio nitakimbilia mateso mengine?.Nilizidi kuzama kwenye dimbi la mawazo. Nikafanikiwa kupanda kitandani bila mkewangu kushituka,nilihisi angeshituka angetaka tendo la ndoa wakati huo huo.Sikutaka kulala zaidi ya kulala macho wazi, nilijua nikishikwa na usingizi ningeweza kukoroma ambapo mke wangu angeamka, kwani nilijijua toka niliwa shuleni kwamba nimkoromaji mkubwa hata mtu nyumba ya jirani angesikia. Sikulala kabisa, nilihakikisha simgusi hata kwa shuka ambapo angeamka na kunisumbua.Saa kumi na robo nilisikia jooo za jirani zikiwika nikajua kwamba kunakaribia kupambazuka. Nikiwa kitandani nilishuhudia miale ya mwanga ikiingia kupitia dirishani.Nikajua tayari palisha kucha.Mpaka wakati huo mke wangu hajazugumza kitu chochote na mimi. Ilikuwa siku ya Jumapili,siku ya mapumziko,nilikuwa nyumbani na Mke wangu lakini maongezi yetu yalikuwa juu ya unyumba wetu,si kuhusu maendeleo. “Hivi mume wangu umenioa ili niwe pambo lako au kama TV unitizame tu au laa!.Naomba unieleze nimevumilia vya kutosha”Getruda alisema kwa hasira baada ya kunitengea chai mezani. Nilishindwa hata kuokota kikombe nikabaki nimeduwaa. Nikanyamaza kimya, nilishindwa niongee uwongo gani,kwani kila siku nilikuwa muongo wa kupindukia,mara naumwa, mara nimechoka kazini, mara sijisikii,zote hizo zilikuwa njia za kukwepa aibu. “Sema”Mke wangu alifoka kwa kunihimiza. “Kwani baada ya ndoa ni haki kunitendea hivi?Kila siku hupandi kitandani mpaka mimi nishikwe na usingizi………” Nilinyamaza kwa muda dakika tatu, kichwa nikiwa nimekiinamisha kama kondoo, kisha nikameza mate na kulamba mdomo, kila nilipotaka kuongea nilijikuta machozi yakitiririka kwa kasi,nilihisi labda nililogwa na walimwengu,kweli imani ya kishirikina ilitawala ndani ya ubongo.Niliamua kujikaza na kuanza kuongoa uwongo. “Mke wangu shughuli zangu nzito sana, halafu ni za usiku mno!huwa nachoka nashindwa kufanya tendo la ndoa na wewe”. “Eti nini? kwa hiyo kuna wengine unaofanya nao?. Si ndio, hao machangu wa shule ndio wanakusababishia unione kama mboga zilizochacha eee!.Eti nashindwa kufanya tendo la ndoa na wewe”.Mke wangu aliongea kwa kufoka huku akibana sauti na pua akiniigiza nilivyo sema. “Hapana mke wangu” nilimjibu kwa sauti ya kidhaifu iliojaa uwoga na simanzi. Nilikuwa niiingia baa na kunywa, niliporejea nyumbani uliku usiku wa manane nikiwa chakari. Mke wangu hakuweza kugundua mapema, hata mimi mwenyewe sikujua ugonjwa huu niliupata wapi. “Mume wangu” “Naam mke wangu”Nilimwitikia nikiwa nimeangalia chini,kwa mbali mapigo ya moyo yalinidunda. “Eti unasubutu kuniitikia.Wewe mwanaume kweli?” Sikutegemea maneno hayo.Nikahisi mwili kufa ganzi.Nilijiona ninaye dhalilisha hapa ulimwenguni. “Unafurahia nikuite mume wangu,sivyo?” “Ndio”Nikaitikia kwa sauti ambayo hata mimi mwenyewe sikuisikia vizuri. Nikanyamaza,nilijikuta machozi yakinitoka.Kwa kweli moyo uliniuma lakini sikuwa na lakufanya. “Sasa unataka nikuite mume wangu wakati huwezi?” “Getruda siwezi nini?” “Kwani umenioa ilinikupikie tu?” “Hapana”Nilijibu kwa hofu. “Sasa unategemea mimi nitaishi vipi?”Safari hii Getruda alishika kiuno. “Mke wangu vuta subira,nitapona” “Kwani unaumwa?” “Ndio, sin’shakuambia naumwa?”Nilikuwa na kila sababu ya kumnyenyekea. “Hivi Sweedy unataka kunifanya mtoto.Kwa taarifa yako nimeshajua siri zako.Juzi umeshikwa ugoni na mwanafunzi ukatozwa laki saba.Na nimepata tetesi kwamba unapenda hawa wa kusoma”Getruda alinishikia kibwebwe. “Huu ni uzushi wa watu wasipenda niwe nawe.Naomba usisikilize maneno ya wafitini” “Sio wafitini.Niwatu wanaokujua kwa ukaribu tabia yako” Zogo lilikuwa kubwa ambalo lilichukua masaa sita.Baada ya hapo mke wangu akaondoka kwenda mjini. Hakuwa na safari bali aliamua kwenda mjini kununua gazeti la Mwanasport, lililoandikwa mwongozo wa kumridhisha mwenzi kiunyumba, na kuliweka kwenye meza makusudi ilinilione. “Haya nakuuliza umesoma gazeti nililokuwekea kwenye meza?” “Gazeti lipi mke wangu?” nilimuuliza kwa sauti ya chini. “Hili hapa” mke wangu alinionyesha huku akinipatia nisome. “Mwongozo wa njia za kumridhisha mwenzi kiunyumba” “Aaaaa! Gazeti hili, kipengele hiki nisha soma….” Nilijaribu kuchangamka kijanja, lakini huzuni ilibaki pale pale. “Uongo” Getruda alinishupalia “Haki ya Mungu, nimesoma kipengele hicho tena kinasisitiza swala la unyumba, mume amtendee haki mkewe na mkewe amtendee mume haki yake, tena hii hapa….” Nilijaribu kujitetea kwa unafiki. Nilichukuwa gazeti lile na kupitisha macho juu juu kwa haraka na kumwambia nimesoma ndani vizuri. Nilifahamu sana nia yake haswa ilikuwa ni nini? Nilimtizama mke wangu kwa masikitiko na kumuonea huruma, lakini ningefanya nini ili kumridhisha, nae aridhike japo mara moja. “Samahani mke wangu siku hizi na choka kwa shughuli nzito si mchana wala usiku, hata nimesahau kufanya mapenzi nawe” “Hivi wewe unavyosema siku hivi, ina maana toka tufunge ndoa, tumeshafanya chochote na sasa karibu miezi miwili na nusu?” “Basi ni samehe mke wangu” “Nikusamehe kwa lipi?. Usinipotezee muda ninachoomba ni haki yangu bwana” “Naomba unipe muda wa wiki nzima” “Sitaki, ninacholilia ni haki yangu.Kwani kanisani uliapa kwamba utanitendea hivi. Ulinioa wanini kama hukunipenda, naomba talaka yangu haraka…” “Umeenda mbali sana mke wangu…” “Mimi sio mkeo kuanzia sasa. Naomba uelewe. We mwanaume gani?”Getruda alionekana mwenye hasira ,nikaamua kutulia kama niliyenyeshewa na mvua. Akrabu za saa zilionyesha saa tisa na robo usiku, mke wangu alijawa na fukutiko la moyo lililokuwa zito, japo alikuwa na hasira lakini alijitahidi kuiondoa ili kunitamanisha. Muda mfupi aliingia chumbani na kufuata kabati lake lenye makorokoro yote ambayo yanampendezesha mwanamke kuwa kivutio mumewe au mchumba au mwanaume rijali. Alichukua muda kidogo akijipodoa na kujipara, mafuta sijui lotion, cream, manukato, wanjaa lipshine nk. Hakuishia hapo alivaa sketi fupo, ambayo wanaita kimini kilichoonyesha mapaja yaliyonona, na kibilauzi kifupi, wengi huita “kitopu” chenye kuonyesha kitovu kilichoumbika sawia, usoni alipaka poda kwa mbali na kujipulizia manukato yenye harufu ya mahaba. Mke mwenye sura mufti, nyororo kwa macho ya kuita japo mke wangu alijitahidi kwa vitu vyote hivyo lakini ilikuwa sawa na kupiga kinyago ukwenzi, nilibaki kama zoba na mbege. Juhudi zote za kujipara manukato, tabasamum nono! Nilibaki kuwa sikuuwona uzuri ule, kumbe ni kwasababu nilikuwa siyawezi. Uzalendo nae ulimshinda, ndipo alipaanza kuuliza. “Mume wangu urembo wote nilonao bado hunitamani? niambie unanipenda au hunipendi” “Nakupenda” “Sasa kama unanipenda mbona hunifa…” alizidi kulalama kila siku, kila dakika, kila sekunde. “Nisamehe mke wangu ongea taratibu jirani watasikia”. Niliongea kwa sauti ya chini nikiwa nimempigia magoti mke wangu, sikupenda jirani watambue udhaifu nilionao. “Nirahisi kupata msamaha wangu, lakini nataka ufanye ninachokuambia, umenielewa mume wangu” mke wangu alipunguza ukali kidogo na kuanza kupitisha mkono wake wa kushoto akipapasa kifuani mwangu. “Haya twende tukatizame mkanda wa X kwenye video ya chumbani” mke wangu aliongea kwa kunibembeleza, aliamini yeye kama mwanamke lazima ambembeleze mumewe,amfanyie vile vitu anavyopenda ili penzi likomaa na kufika kileleni. Tulifika chumbani nilijitupa kitandani kigoigoi, roho ikiniuma “Ugonjwa huo wa kuuwa nguvu za kiume niliupata wapi? Au huyu mke ni jini nini? Mbona nimemuoa na uume wangu kukosa nguvu, kwanini? Mbona jenifer nilimridhisha vya kutosha. Mama mkwe kaniloga nini?. Hataki niwe na mwanae” Alitoa mkanda kwenye droo za kanda kisha akasema “Mkanda huu nimeaununua kwa ajili yako. Najitahidi kila namana kukuvuta jirani nami mpenzi” Getruda aliongea huku akitoa tabasamu nono. “Halafu baada ya kuangalia nini kiendeleee?” niliongea kwa wasi wasi mkubwa tena kwa kuropoka, nilihisi kuchanganyikiwa. “Kwani wewe umenioa niwe nani kwako, au nifanye nini. Niambie sio kuropoka maneno yasiona maana” Getruda alizidi kufoka. “Vitu vingine vinaleta kero, sijui huyu ni mzigo, au nini?” Getruda alijisemea kimoyo moyo. “Basi yaishe mpenzi, punguza hasira” “Ooo! Kumbe ulikuwa unataka tujifunze kitu” “Ndio, ili tujifunze wazungu wanavyoridhishana”. Getruda alipunguza hasira kidogo yote hayo ni kunifanya nisisimke. “Kaaa! Pamoja nami?” Kwa kweli nilichanganyikiwa kabisa, nilikkuwa nikiropoka maneno yasiona msingi, hata nilivyomjibu aliniona limbukeni. “Kwani ajabu, ndio nikae nawe!” Getruda alizidi kushikwa na hasira usiku mzima hatuku lala ni kukoromeana, maneno ya lawama na mengine ya kuomba msamaha. “Nikae na wewe tu?” nilizidi kumyumbisha kwa maneno ya ajabu ilimradi papambazuke niondoke mikononi mwake. Nilitamani pakuche niondoke niende kazini. “Hukubali eee!, niambie hutaki?” “Aaaaa! Na kubali kabisa bila hofu” jibu hilo lilimfurahisha Getruda mke wangu aliamini ningefanya mapenzi muda mfupi. “Basi vizuri, nitashukuru mume wangu, na nitakupa unachotaka, japo sijawahi kufanya ngono lakini nitakuachia ufanye utakavyo taka.” Mara moja alianza kuimba “Basi mume wangu Sweedy, wewe ni wewe sina mwingine, kama ni kundi la ndege msituni basi wewe ndio chaguo langu, wengine sioni, nakupenda peke yako naomba uangaze pendo letu ling’are giza,…” Alitunga wimbo wa muda mfupi. Getruda, mke wangu alinifuata kitandani baada ya kuweka mkanda wa mapenzi, alinikumbatiam tukaanza kuviringishana huku na kule. Lakini wasi wasi ulinijaa pale nilipo kumbuka mapenzi na mke wangu, niliamini hakuna chochote kingeendelea zaidi ya kumtesa Getruda. Wala sikuwa tayari ajue udhaifu wangu, nilihofu pindi angejua basi angeomba talaka, hata hivyo siri ingekuwa hadharani, kila kona ya dunia. Baada ya kuchoka mabusu, alilala kwa chali akiwa ananitizama, kwa hofu nilitizama pembeni, sikuweza kumuangalia usoni. “Niangalie basi nijue unanipenda” nilipomtizama kwa kujikaza, nilisikia akisema (Ooooohhh! Honey you look at me, without uttering any word”) “Ooooohhh! Mpenzi unanitizama bila kunena neno!” Nilituliza macho uso mwa Getruda, uso ulijaa ubembe. Ingawa nilifahamu shauku ya mke wangu lakini nilishindwa nimfanyie nini ili nionekane kidume na mume hodari, sio sifa ya kuoa tu ndoa Kanisani. Lakini lazima nimburudishe mke wangu hata kwa kumshika shika maungo yake, ili kumtuliza asionekane mwenye sikitiko moyoni. Hata hivyo mke wangu hakuchoka na vitimbi vyangu, aliendelea kunishika shika, ili kuniondoa uchovu. Aliona muhimu na dawa ni kwenda na mimi bafuni kuoga, tulienda bafuni na kuanza kuoga pamoja, lakini hakuona uume wangu ukisisimka hata kidogo. Hofu ilianza kumuingia hakuamini alivyonihisi aliona ni uchovu tu wa kawaida. Hakuwa na roho ya kukata tamaa, kule bafuni alijitahidi kuushika na kupapasa maungo yangu, sikuonyesha dalili yeyote ile. Getruda akaniogesha nami nikamuogesha.Tulipomaliza akachukua sabuni na bush la kuogea tukaelekea chumbani tukiwa tumefunga taulo. Getruda alionekana kuwa na hasira kali moyoni. “Mume wangu naona hunipendi kutoka rohoni, Bali ulilazimishwa na wazazi wako sio hivi hivi ni miezi miwili sasa inatimia toka unioe hutaki kufanya tendo la ndoa. Heshima ya ndoa iko wapi? Naomba unieleze kama hinitaki niondoke au nini kimekusibu?” Wakati ananielezea machozi yalikuwa yanambubujika, aliamini kulia sio suluhisho, taratibu alifuta machozi kwa lesso, alinisogelea karibu na kunizungushia mikono kiunoni, huku akininong’oneza “Sweedy kuna kitu chochote nisichokuridhisha mume wangu. Naomba unieleze niweze kujirekebisha. “Tafadhali niambie sasa hivi. Nahitaji kujua, nitaishi vipi bila mapenzi yako?” “Kila kitu unaniridhisha ila ni…ni…nina…ni….” nilikokoteza maneno yaliyochanganyikanana kigugumizi, nilishindwa kutamka vizuri nilihisi homa kali, nilijua ndoa ingeingia dosari. “Ila una nini?. Sema mbona humaliziii?” alinikaripia kwa sauti. “Unaumwa?” aliniuliza. “Aaaa!, hata kidogo,” nilimjibu kwa sauti ya chini, “Au…..penginenimekuudhi bila mimi kufahamu…., maana mama husema mimi ni mkaidi na sijui namna ya kumtunza mtu, ni kweli?” Getruda alizidi kunidadisi. “Hapana” niliitikia kwa sauti ya majonzi. “Oke, hivi ni kusema kwa sababu ya kazi ndio umenisogeza pembeni?” “Hivyo ni vibaya mke wangu, nakuahidi nitajitahidi kukupa penzi nono!, ambalo litafuta kumbukumbu zote nilizo kukera” “Kama sivyo, basi naomba unibusu, nijisikie furaha moyoni” mke wangu aliongea huku akinisogelea karibu zaidi. Nilisita kidogo kisha nikainamisha kichwa na uso kutokeza upande wa midomo yake na kumbus kwa uvivu uvivu (Kigoigoi). Nilipomgusa tu midomo yake, mara alinikumbatia vilivyo, kwa mikono yake na kuning’ang’ania na mabusu ya mfululizo na muda mrefu na hata aliponiachia hilihisi joto lenye uvuguvugu nikilikosa. Mwanzoni nilimbusu kwa wasi wasi na shingo upande, lakini baadae nikaadhiriwa na mabusu motomoto ya Getruda nikajikuta ashiki zikiwa zimesisimua mwili mzima, nilijibu mashambulizi kwa mabusu ya nguvu huku nikihema roho juu juu. Baada ya mabusu yaliotuweka hali ya mapenzi, kwani ashiki zilimpanda na kutaka penzi wakati huo huo bila kucheleweshwa. Akrabu ya saa ya ukutani ilionyesha saa kumi na moja na nusu, karibu na kupambazuka. Majogoo yalikuwa yakiwika kila kona ya wafugaji wa kuku. “Mume wangu sikiliza” Getruda aliniambia, usoni macho yalikuwa yamelegea na kurembua rembua. “Eee! Sema mama watoto” nilikohoa kinafiki na kusema. “Karibu kunapambazuka. Nataka uondoe mawazo ya biashara, madeni, sijue kazi mawazo yako yote weka kuhusu penzi langu na wewe, naomba uniridhishe kwa penzi motomoto.Kwani siku sitini sasa toka unioe hujafanya tendo la ndoa na mimi. Hivyo leo ni mwisho, usipofanya tendo la ndoa, talaka yangu naomba, siwezi kukaa kama pambo, katuni ndani ya nyumba yako. Sijaja kukupikia hapa tumbo liende mbele, mimi sio kijakazi wako, uelewe leo, mimi ni mkeo tena wa ndoa” Getruda alibadilika ghafla na hakutaka kucheka na mimi, alikua anahitaji haki yake. “Hayo yote uliyosema nimeyatia akilini ila naomba unipe mu….” Kabla sijamalizia maneno, nilikatishwana sauti ya ukali ya Getruda. “Nikupe nini?, mbona sikuelewi?” “Fahamu kwamba ninahitaji kuwa na mtoto . Nataka nami niitwe mama Fulani, si jina langu Getruda” Getruda alizidi kunifokea, nilishindwa kuelewa ninani aliyekuwa ananitesa kiasi hicho.Niliwafikiria wabaya wangu wote akilini sikupata aliyenitendea ushenzi huo. “Ndio…” niliitikia kwa sauti ndogo na ya huruma hata mimi mwenyewe sikuamini ilitoka kwenye kinywa changu, wasi wasi ulinijaa moyoni, nilihisi kuumbuka niliwalaumu wazazi walionitafutia mke. Laiti ningelijua kuwa nina matatizo hayo nisinge Kubali kuoa. “Haya nenda ukazime taa basi basi mpenzi” Getruda alizidi kunifanya miguu ilegee na kukosa nguvu ya kutembea, nafsi ilinyauka kama jani la tumbaku lililosubiri kusagwa, jasho la woga lilinichuruzika. Sehemu ya kuzima taa ilikuwa karibu kama hatua tatu lakini niliona umbali wa kilometer ishirini. Nilijikamua kikakamavu na kuinuka kwenye kitanda, kwa uvivu nikajongea kwenye swichi ya taa. Kilikuwa kitendo cha sekunde tano lakini nilifanya dakika saba.nilipofika kwenye swichi nilizima taa, mwili ulikuwa ukitetemeka sio kwa baridi bali ni hofu juu ya kufanya tendo la mapenzi na Mke wangu. Nilitamani kumfukuza mke wangu kwa kero nilizopata si usiku wala mchana, lakini nilishindwa nianzie wapi na niishie wapi?. Licha ya kushindwa kumfukuza,niliogopa siri ingefichuka na kila mwanadamu angenitupia jicho la lawama. Nilibuni haraka haraka mbinu za kuinusuru ndoa yangu,ili Mke wangu asigundue matatizo niliyo nayo,nilirudi kitandani na kijisogeza ukutani mwa kitanda,taratibu niliingiza vidole vya mkono wa kulia kwenye mkono wangu,mwisho wa kinywa karibu na koromeo,na hazikupita sekunde nane,nilitapika mfululizo. Sehemu ile ya ubavu wangu kwenye kitanda.Niliamini kwa kufanya hivyo mke wangu angeanini kuwa mimi ni mgonjwa. Lakini cha ajabu alianza kunivua nguo zangu badala ya kufikiri njia ya kuondoa matapishi kitandani, alianza kunivua suruali. Alichoka na maneno yangu ya kila siku nikilalamika, kuumwa,mara tumbo, kichomi, kutapika, kichwa nk. Baada ya kunivua nguo, alivua na za kwake pia. “Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga”alisema kwa sauti iliojaa hasira na mahaba. Mapigo ya moyo wa Getruda yalianza kwenda kasi na mwili mzima ulisisimka baada ya kunivua nguo zote. By brayton starpoz
...
SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 3 Kesho yake ilikuwa siku ya mimi kupimwa afya ikiwemo na kupimwa virusi vya Ukimwi, sikuwa na wasiwasi nilisubiri waje kunipima kwani nilijiamini sikuwa na virusi, japo nilifanya mapenzi na Jennifer kule Thailand bila kutumia kinga yoyote.Na hata mapenzi niliyofanya yenyewe yalimfurahisha na kumridhisha Jennifer na kukiri mimi ni miongoni mwa wanaume wanaojua mapenzi. Sikupenda Jennifer anidharau kwa upande wa kutomridhisha kimapenzi. Waliingia Daktari waliovaa magwanda meupe wakiwa na vipimo vyao. Waliongozana moja kwa moja ofisini kwangu, cha ajabu baada ya kusalimiana nao walitaka nivue nguo nibaki na kaptula, jambo hilo nilipinga. “Kama kunipima damu ninatolewa damu kwenye mkono sio karibu na uume wangu. Nyie ni daktari kweli?” “Ndio sisi ni daktari unataka vitambulisho?”. “Sina shida na vitambulisho vyenu. Nyie chukueni damu mkaipime, mkileta majibu mabaya nitarudia hospitali nyingine niliwaeleza waziwazi bila kuwaficha kitu.”Nikiwa nimeketi kitini,wao walikuwa wamesimama. Haraka haraka daktari mmoja alitoa sindano iliyokuwa na kitu kama maji, sijui ilikuwa sumu au ilikuwa nini!. Maji hiyo ilikuwa ndani ya bomba la sindano. Kama cc 200. Sikuweza kuona nilikuwa nimegeuka kwa upande mwingine ili nisione sindano inavyopenya na kuingia kwenye nyama za mwili wangu. Kwa kifupi nilikuwa muoga wa sindano japo nilikuwa mtu mzima. Wakati sindano ipo kwenye mshipa wa damu nilisikia kitu kama maji yenye uchungu wa dawa, nilipata maumivu makali nilipogeuka ndipo niliona akigandamiza bomba la sindano kwa haraka ili nisione kitu, lakini niliona kitu kilichoingizwa kwenye mshipa wa damu. Nilishindwa kujua kilikuwa ni kitu cha kuniletea matatizo ama kunijenga ndani ya mwili wangu. “Dakitari wewe unanipiga sindano au umekuja kunitoa damu ili upime Virusi vya Ukimwi?. Iweje unipige sindano?”. Nilimuuliza daktari kwa hasira baada ya kusikia ile sindano mwili mzima, nilihisi kizunguzungu mwili ukakosa nguvu. Tofauti na kabla ya kuingiza sindano yao, halafu walikuwa bado hawajatoa damu. “Usijali Sweedy sijakupiga sindano, nataka kutoa damu” alisema huku akivuta damu kwenye bomba la sindano. Na muda mfupi waliniaga, alionekana nesi mmoja kati ya wale waliokuja kunitoa damu mwenye majonzi. Alinitazama kama mtu aliyenionea huruma sana, machozi yalimlenga lenga lakini hakutaka niyaone aligeuka upande wa pili na kujifuta na kitambaa alichokuwa nacho mkononi. Nahisi alikuwa anajua kila kitu kilichotendeka kwa muda ule na sura yake ilikuwa sio ngeni machoni mwangu, lakini nilishindwa kumkumbuka vizuri. Alijua mipango yangu yote hasa ile ya kufunga pingu za maisha. Alijaribu kuwa wa mwisho kuniaga. Nilisikia akiniambia “Pole sana Sweedy, moyo unaniuma Mungu akubariki maishani. Nenda kanywe maziwa mengi yatakusaidia”. Nesi huyo aliondoka taratibu, huku akigeuka nyuma na kunitazama kwa macho ya huruma. Nilishindwa kumjibu, nilibaki nikiyaganga maumivu ya sindano niliyochomwa mara ya kwanza, ambayo sikuweza kuielewa ilikuwa ya nini mwilini mwangu. Robo saa baada ya wale daktari kuondoka mkono niliopigwa sindano na kutolewa damu nilihisi unakufa ganzi, kila nilipotafakari yale maneno ya yule nesi na kilio chake nilishindwa kumuelewa zaidi ya kujilaumu kwa nini nimekubali kupimwa pengine wamenipiga sindano yenye sumu ambayo itanidhuru. Kwa upande mwingine sikuamini niliona yule nesi alinipenda bure, na Mzee Jophu asingeweza kuwatuma watu wanipige sindano yenye sumu . Nilimuamini sana tajiri yangu. **************** Wiki tatu zilitimia na siku ile ya harusi iliwadia. Kila mtu aliisubiri kwa hamu sana siku hiyo hasa wazazi wangu kwani walijisikia furaha kwa mtoto wao wa kiume pekee kufunga pingu za maisha. Nadhani moyoni mwao walijisemea, sasa ule wakati wa kuwaona wajukuu toka kwa mtoto wetu Sweedy umewadia. Mzee Jophu ndiye alikuwa mtu wa kwanza kwa watu walionichangia mchango mkubwa katika kuifanikisha harusi yangu. Sherehe ilipendeza sana, watu walikula na kunywa hadi wakasaza. Namshukuru Mungu sikupata lawama yoyote ya kuhusu sherehe yangu. Getruda ambaye ndiye ubavu wangu sasa aligubikwa na furaha isiyo kifani. Sherehe iliyopendeza kwa shamrashamra na vifijo, DJ alitumbuiza kwa muziki wa taratibu wa wapendanao hasa kibao kilichopigwa na mwanamuziki Bob rudala nadhani msomaji unaupatapata ule wimbo vilivyo . Utajisikia vipi ukipigwa siku ya harusi yako? “NIMEKUCHAGUA WEWE” nakumbuka baadhi ya maneno yake, “Nimekuchagua wewe uwe wangu, wangu wa maisha wa kufa na kuzikana”msomaji sitaki nikumalizie uhondo tafuta wako na wewe awe wa maisha ili ujiepushe na mengi hasa janga la Ukimwi. MC au Msema chochote watu wa mjini wanavyoita alikuwa anaitwa MR.Kicheche ni kicheche kweli si mchezo ukumbi haukuruhusiwa kukaa kimya siku hiyo watu wote walikuwa wakicheka na kutabasamu kwa wale wasio na bandama. Kwa ufupi sherehe ilipendaza mno, hatukuwa matajiri lakini watu wailiridhika na kila idara ya sherehe. Sherehe ilipoisha, tulichukuliwa na gari maalumu siku hiyo kwa bwana na bibi harusi na tukaelekea kwenye hotel moja iliyoitwa NGORONGORO HOTEL kujipumzisha. Tulipofika tulikwisha andaliwa kila kitu, chumba kilinukia harufu nzuri za manukato, choo na bafu ndani kwa ndani ilipendeza kwa kweli. Washenga waliondoka tukabaki mimi na mke wangu Getruda Kimario. Nilikuwa na shauku kubwa ya kukabiliana na binti ambaye alikuwa kigoli, ambaye hakuwahi kuguswa, nilitamani kupata ukweli wa maneno ya baba aliyenieleza kuwa mke niliyeoa alikuwa bikira, na mimi nilitamani kumtoa mwenyewe yaani kama ni gari lilikuwa jipya ‘New model’ na sio mtumba. Tuliongozana bibi mbele bwana nyuma, wote tukiwa tumefunga taulo tuliingia bafuni na kuanza kuoga. Kweli uzuri wa mke wangu niliufananisha na lulu au tunda Apple. Alikuwa na umbo dogo lenye figa, ambalo lilinifanya nimtamani zaidi na zaidi. Si kifuani, usoni na umbo lote lilinivutia sana. Nilimuogesha nae aliniogesha, tulipomaliza tulijifuta na taulo na kuelekea chumbani. Tulijitupa kitandani, “Samahani mpenzi nikumbatie, nahisi baridi…nahitaji…..” Ilikuwa sauti ya Getruda iliyojaa mahaba na iliyonisisimua mwili na kuhisi joto . “Usihofu kila kitu kitakuwa shwari, nitakupa kila kitu unachokitaka” nilimjibu kwa sauti nzito iliyomuingiza kwenye ulimwengu wa mahaba. “Lakini mpenzi unajua nakupenda sana” Getruda aliongea macho ya udadisi yakiwa yametuwa usoni mwangu. “Naamini unanipenda mke wangu ndio maana ukaamua tuoane, lakini nahisi mimi ndiye nimezimika kwako zaidi” nilimweleza na hapo hapo tulikumbatiana na mabusu motomoto yalishamiri, si mashavuni, mdomoni na kwenye paji la uso kote tulipeana mabusu ya upendo. Niliyasikia mapigo ya moyo wake yakienda kwa kasi jasho jepesi lilimchuruzika taratibu nilishindwa kuelewa kwani AC au ‘kipupwe’Kiyoyozi kwa jina letu la kiswahili kilikuwa kinafanya kazi yake kama kawaida. Kila nilipomshika kwenye kona za mapenzi nilimsikia akizizima kwa sauti za mahaba, si kwikwi wala kuweweseka zote zilimburudisha. Niliamua kutulia kidogo baada ya kuona mambo yote nilikuwa namfanyia uume wangu hausisimka hata kidogo, tofauti na siku za nyuma busu moja kila kitu kimesisimka, leo mambo yote sikuona hata dalili. “Oooh.!!! Sweedy unajua mimi sijawahi kuguswa kabisa!” “Eti!, samahani sijakuelewa mke wangu” “ Sijawahi kufanya mapenzi toka kuzaliwa. Naomba unifundishe” sauti nyororo na ya simanzi ya Getruda ilinifanya nilie mwenyewe, sikuwa na nguvu za kiume, bali nilitamana kumkabili mke wangu nilishindwa kujua Ugonjwa wa kupooza kwa uume wangu ulitoka wapi na nitamuambia nini mke wangu, na je atanielewa na wakati nishamchezea kila sehemu, nilizidi kulia sikuwa na la kufanya. “Unalia nini tena mume wangu?” Getruda aliniuliza akiwa kalala chali, kama mgonjwa aliye mahututi . Mweupe mwili wake ulipendeza na kuzidi kung’ara kila nilipomtazama usiku ule, kwa ufupi alikamilika kila idara,nilitamani nimrukie lakini jogoo wangu hakutaka kuwika kabisa. Nilidanganya “Mke wangu nimeshikwa na kichomi cha tumbo sijui ni hiyo AC “kipupwe” niliongea kidhaifu nikiwa nimeshika tumbo, machozi yakiendelea kuchuruzika taratibu, niliamini kwa maneno ya kusema “Naumwa” Getruda angeridhika na kunionea huruma, aliniangalia kwa huruma na kusema “Basi mume wangu tuzime usije ukapata matatizo zaidi”. Nikaona duh! Acha nizidi kujitetea “Labda upunguze kidogo”Nilisema nikiwa nimekunja sura na kushika maeneo ya tumbo. “Pole mpenzi” mke wangu alisema kwa sauti ya utulivu. “Usiku huu tutapata wapi dawa?. Jikaze usilie”Mke wangu alinionea huruma. “Usijali mama watoto.Huwa natokewa na tatizo la kichomi ninapofikia hatua ya kufanya tendo la ndoa” “Kwa hiyo utafanya je?” “Daktari aliniambia tatizo hili litaisha baada ya kuzoea mwanamke” “Mwanamke gani, mbona sikuelewi?” “Wewe, Usijali tatizo hili litaisha”Nilizidi kumpa motisha mke wangu.Lakini moyoni bado wasiwasi ulitanda kuhusu jambo hili geni kabisa mwilini mwangu. Maneno hayo ndio yaliyomfanya Getruda, mke wangu ainamishe kichwa magotini mwangu kama mtu aliyekuwa akisujudu. Sikujua aliwaza nini akilini mwake, lakini nikahisi yote yalikuwa juu ya matatizo niliyonayo.Muda wa dakika takribani tano nilihisi kitu kama maji maji angali yenye uvuguvu yakidondoka gotini kwa tone moja na moja.Matone hayo nilihisi ni machozi ,nikaamua kuinua uso wake kutizama kwamba ni nini hasa.Kila nilipojaribu kumuinua alikaza shingo.Wazo ambalo nilihisi kwamba alikuwa akilia likajidhatiti akilini na kuhisi sikukosea.Pia nilijaribu kwa mara nyingine kumuinua uso wake, safari hii akanisemesha akionekana kukasirika. “Mume wangu umeamua kunitesa angali unajua unamatatizo. Kwanini usingenieleza kabla, umenitesa naunaendelea kunitesa. Utafanya nini ilikunisaidia, najisikia vibaya sana mwenzio” aliongea kwa sauti ya chini akiwa anadondosha machozi, mwili wake ulikuwa umelegea, macho mekundu na ya kurembua, hakuweza kuvumilia zaidi ya kulia kwa kwikwi, alitamani niondoe hali ya ubikira na kumpeleka kwenye utu uzima. Maneno ya Getruda yaliniumiza moyo wangu, nilimuonea huruma alivyokuwa akijigaragaza kitandani. Machozi yalichuruzika kwa kasi nilizidi kuwaza. “Au ni kwa vile ndio mara ya kwanza kukutana naye nini?. Lakini hapana sijapaniki” labda ni uzuri wake unanichanganya nini? . Au ni chango la tumbo limesababisha nini?.Sasa tatizo hili litaniumbua” Nilijiuliza bila kupata muafaka wala sikuweza kuhisi kitu chochote zaidi ya ugonjwa wa kawaida. Tuliupitisha usiku huo usio na ladha ya mapenzi, si mimi wala Getruda wote tulihuzunika. By brayton starpoz
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 2 Nilipofika kazini, nilikabidhi pesa kwa Tajiri yangu Mzee Jophu tukiwa katika maongezi ya mabadiliko ya kibiashara. Tulisikia mlango ukigongwa kwa nje, bila kujali wala kujua ni nani mtu huyo, Mzee Jophu aliamuru aingie, Aliingia na alikuwa sekretari wa Mzee Jophu. “Boss, samahani kuna wageni wa Sweedy wanamuhitaji” sekretari aliongea akijikanyaga kanyaga na kuuma vidole.Alionekana kumuogopa sana bosi wake. “Sawa waambie wasubiri kidogo” Mzee Jophu alijibu kwa kifupi na kuendelea na mazungumzo nami. Tuliongea na kumaliza, Mzee Jophu alikuwa wa kwanza kutoka kinyume na mashariti yake, tuliongozana kujua nani alikuwa ananiita. Kwenye viti vya mapokezi ya wageni, nilimuona baba na mama, mama mwingine wa makamo ambaye simfahamu, pembeni ya yule mama nisiye mfahamu nilimuona binti mwingine mrembo. Kwa haraka ubongo ulifanya kazi yake kwa bidii na kukumbuka kuwa niliwapa kazi wazazi wangu kunitafutia mchumba baada ya kuzunguka kila kona ya dunia bila mafanikio. Kumbukumbu hiyo iliutesa moyo wangu kwani nilishapata mchumba mwingine, tena mzuri kuliko yule niliyeletewa na wazazi, japo nae alikuwa mzuri lakini kamwe asingefurukuta kwa Jennifer.Ndivyo nilivyo hisi moyoni na wasiwasi ukawa umejidhatiti akilini. “Baba shikamoo, mama shikamoo!, Mama shikamoo!, Dada habari yako! Niliwasalimia wote nikipita kwa mstari huku nikiwashika mikono. Pia mzee Jophu naye alifanya hivyo hivyo nilivyofanya mimi. Lakini cha ajabu aliposhikana mkono na binti yule akabaki amemshika muda mrefu, macho ya upendo yakiwa yanatambaa usoni mwake. Nilishtuka pale yule binti alipovuta kujinasua mikononi mwa Mzee Jophu. Baba hakupenda kufanya mambo kwa siri, alizungumza yote mbele ya mzee Jophu mama na yule mama mwingine na binti yule. “Mwanangu unayemuona pembeni ya mama yako ni mama mkweo na msichana unae muona hapo ni mkeo kazi uliyotutuma tumeikamilisha. Sidhani kuna la ziada zaidi ya kuhitimisha ndoa kanisani” Baba alizungumza na alitegemea kuona furaha, lakini furaha yangu ilifunikwa na uzuri wa Jennifer niliyeonja penzi lake Nchini Thailand. “Mbona huongei wala huonyeshi furaha” Baba aliniuliza kwa mshangao. “Baba ningeomba tuzungumze faragha kidogo. Kuna mambo mengine hayafai kuzungumza mbele ya mama na watu wengine, nilipoongea hivyo baba alikiri na kujikuta akitikisa kichwa kuafiki yale niliyoyasema. Tuliondoka eneo lile na kulizunguka nyuma ya jengo la kazini. “Baba nimekuita mazungumzo ya pembeni nina jipya lililojitokeza” “Jipya lipi zaidi ya hili nililo kuletea? Baba alizidi kunikazia macho ya ukali. “Ndio hilo ni jipya ulilolileta wewe nashukuru. Lakini hata mimi nina jipya nililopata nikiwa Nchini Thailand kikazi”Baba alionekana mwenye furaha iliyotoka moyoni, alihisi pengine nimemletea zawadi, kumbe asijue ni ujumbe wa kumkataa binti walionitafutia. “Umeniletea suti nini mwanangu Sweedy?” Baba aliuliza huku akiwa ametoa tabasamu zito la kupokea zawadi. “Hapana baba, ila ninaomba radhi kwa usumbufu.” “Usumbufu gani?. Sema” “Nimewasumbua kunitafuti mchumba. Baba nikiwa Bangkok Nchini Thailand nimebahatika kupata mchumba ninayetegemea kufunga naye ndoa.” “Eti nini”? usinichezee naona unataka radhi ya wazazi, hatuelewi kila kitu tumemaliza. Mahari tumeshalipa tunachosubiri ni ndoa tu. Halina mjadala” Baba aliongea kwa ukali, mishipa ya shingoni ilimtoka, ghafla macho yake yalibadilika rangi na kuwa mekundu. “Naomba uniambie sasa hivi. Unamuoa yule binti au laa! Sitaki uniambie nikupe muda” Baba alizidi kufoka kwa sauti. Sauti yake ilienda mpaka alipokuwa mama na mama wa yule binti na binti. “Baba nisamehe sauti hiyo inasafiri naomba yaishe”Mara anakuja mama akikimbia huku kanga zikimdondoka alikwapua kanga na kufika pale nilipokuwa na baba. “Baba Sweedy kuna nini? Mama aliuliza kwa kudadisi . “Mwanao anataka kututia aibu.”Baba alisema akinikazia jicho la ghadhabu. “Aibu gani tena?”Mama akauliza akiwa anamtumbulia macho Baba. “Mwanao hataki tena kuoa.Anasema binti tuliyemtafutia hajampenda.Na ameshapata mchumba huko alikotoka” Baba aliongea kwa sauti ya taratibu iliyojaa uchungu. “Hakuna pingamizi lazima aoe la sivyo atazunguka hii dunia wakumwoa hatamuona. Hata huyo anayesema amempata pia atamkataa. Kama sisi sio…… nilimkatisha mama aliyekuwa anaongea kama kuniachia radhi. “Mama sasa naona mnaniachia laana, basi nitamuoa binti huyo.” Muda mfupi niliona maneno hayo yalirudisha furaha zao. Hawakupenda nichelewe kuoa, mipango ya harusi ilifanyika na tarehe ya harusi ilipangwa. Wiki tatu kabla ya kusafiri kwenda nchini Thailand. Nilipokubali wazazi wote walirudi kule tulipowaacha mama wa binti, binti mwenyewe ambaye ndiye mke wangu mtarajiwa na mzee Jophu. Lakini tukiwa katika mazungumzo mimi na wazazi wangu, huku nyuma Mzee Jophu alikuwa akiongea na mama wa binti aliongea kuwa anamuhitaji yule binti amuoe yeye na sio mimi tena mambo hayo yalifanyika haraka na kwa siri, si tu kwa maneno bali Mzee Jophu alimpatia hela nyingi kuliko zile za wazazi wangu walizolipa. “Mama kamata laki tano hizi ni zako bado nitakuongeza” kwa shida ya mwanamama yule alizipokea na kuziweka kibindoni kwa haraka huku akimuahidi kuvunja ndoa isifungwe, aliniamini angetumia njia yoyote ya kukwamisha ndoa. Ni mambo ya kusikitisha, mzee Jophu pamoja na kuwa baba wa familia ya watoto watatu, bado alihitaji mke wa pembeni aliamini kwa pesa zake nisingeweza kufurukuta “Pesa inazungumza. Pesa ni kila kitu.Haki pasipo haki kwa tajiri ni haki” mzee Jophu alizidi kuzungumza. Tuliporudi pale nilishangaa kumuona Mzee Jophu akiwa na hasira alikunja ndita aliponiona tofauti na mwanzoni. Nilijiuliza nina kosa gani, kama ni mazungumzo yetu yalikuwa mazuri nimemfanya nini boss mbona ananitupia jicho la ukali, nilishindwa kujua kilichoendelea kwa wakati huo.Mama mkwe mtarajiwa nae alipindua midomo yake na kuibetua kama iliyoteguka jicho la dharau lilinitizama kuanzia chini ya unyayo hadi juu ya nywele, kisha kabla ya yote nilisikia akisema “Kijana wenu hana hadhi ya kumuoa mwanangu. Kwa jinsi ninavyomuona” nilistaajabu kusikia sauti iliyoambatana na kusonywa. “Kwa nini mama Getu?. Amefanya nini mwanangu?” Mama alimuliza kwa sauti ya chini. “Mwanao hana nidhamu. Uso wake umetawaliwa na dharau. Hawezi kumuoa mwanngu” aliongea kama kawaida alinitupia macho ya kunitazama kama mtu aliyejinyea japo maneno yake niliona na niliyasikia yakinichoma moyoni mwangu. Nilikabwa na fundo kali la ghadhabu nikaamua kumuheshimu tu, kama si heshima basi ningeropoka neno lolote baya nae limkere moyoni. Mzee Jophu alikuwa kimya pembeni , macho yakipepesa kwa kuibia na furaha iliyojificha ilionekana usoni mwake, lakini sikuweza kugundua kwanini mama yule alibadilika yeye na Mzee Jophu. Mama na baba walimuomba radhi awasamehe kuzaa mtoto asiye na nidhamu na anisamehe, walijua pengine hasira ile ni kile kitendo cha mimi kumuambia baba siko tayari kumuoa mwanae kwani nilipata mchumba Thailand. Lakini mama mkwe mtarajiwa msimamo wake ulikuwa pale pale, hakutaka nimuoe mwanae, na alitaka arudishe mahari, kwa kile kitendo cha kusema “Mtoto wenu hana nidhamu” hata alipoulizwa nidhamu gani alishindwa na kubaki akisema. “Sitaki nasema basi. Chukueni hela zenu na ng’ombe zenu nne, sikotayari kumuozesha mwanangu” Aliendelea kuwa na msimamo wake. Kwa maneno ya mama yule yalikuwa ni furaha kwangu, kwani ningemkosa basi ningeenda kumuoa Jennifer na kwa upande mwingine yalinikera sana, hasa alipozidi kusema sina hadhi ya kumuoa mwanae. Eti nina dharau, nilishindwa kumuelewa alikuwa na maana gani?. Baba na mama yangu walinivuta pembeni na kuzungumza kama dakika takribani tatu, kisha wakarudi na kuomba waondoke wakayazungumze nyumbani. Waliondoka wote, baba, mama, mama Getruda na Getruda. Hawakutaka kuyazungumza pale kwani ilikuwa sio sehemu yake. Tulibaki mimi na mzee Jophu, lakini sikumuona akiwa na furaha kama nilivyomzoea, hakutaka kuongea na mimi. “Boss mbona unaonekana una hasira nini hasa nilichokukosea. Nimeona umebadilika” kimya kilitanda sikupata jibu lolote zaidi ya kunitazama na kuondoka zake. Kesho asubuhi nilipowasili kazini, nilifanya kazi vizuri kama kawaida nikiwa naongea na baba na mama kwenye simu. Mara Boss Mzee Jophu anaingia na wakati huo nilimaliza maongezi na kukata simu, nilipomsalimia hakuitikia salamu yangu, bali alinitupia barua mezani, na kusema “Sina shida na salamu yako. Barua hiyo na unijibu haraka iwezekanavyo.Nakupa nusu saa” aliondoka na kufunga mlango kwa kishindo kikubwa. Nilishindwa kumuelewa, lakini kwa matendo yake nilihisi na kuamini barua ile ilikuwa ya kufukuzwa kazi, lakini nilishindwa kuelewa kosa hasa lilikuwa lipi?. Homa ya kufukuzwa kazi ikaniingia, nilishindwa kuisoma ile barua, niliinamisha kichwa nikiwaza. “Hivi kama nitakuwa nimefukuzwa kazi nitaenda wapi? Nitamuonaje Jennifer tena? Nauli sina ya kwenda Bangkok” Ghafla mawazo yakanijia nilikumbuka kuwa boss alinipa muda wa nusu saa kuijibu barua yake. Ndipo nilipoanza kuifungua barua huku mikono na vidole vyote kwa pamoja vikitetemeka kama mgonjwa wa degedege. Nilifanikiwa kufungua Barua. Kitu cha kwanza kukutana nacho ni maneno yaliyoandikwa kwa herufi kubwa. YAH: UPIMAJI WA AFYA KWA AFISA MAUZO, JOPHU MINING TRANSPORT CO.LTD. Moyo wangu ulipasuka kwa furaha “nilihisi ni ridandasi kumbe ni kupima afya hilo halina shida. Ngoja niendelee kusoma” nilijisemea kimoyomoyo. HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU, TUMEPATA BARUA KUWA WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YETU WANAHITAJIKA KUPIMA AFYA ZAO, HASA UKIMWI NA AFISA MAUZO AWE WA KWANZA . BODI ILIPANGA KIKAO CHA SIRI. MKURUGENZI WA KAMPUNI JOPHU KUNDY. Nilimaliza kusoma barua, lakini hata hivyo moyoni nilijiuliza “Kwanini Mzee Jophu na msalimia haniitikii, halafu akanipa barua ya kwenda kupima afya yangu, au anahisi nina virusi nini?. Ama anataka kunitafutia kosa ili anifukuze kazi nini?. Kwanini ananikasirikia, ni kwa vile wazazi wangu wamekuja kuongelea maswala ya kuoa hapa kazini au ni nini?.” Nilizidi kutumbukia kwenye kisima cha mawazo kem kem, bila kupata jibu muafaka. Kwa ujumla nilishindwa kuelewa wazo halisi la Boss kunitaka nikapime afya yangu, na nikiwa mtu wa kwanza kazini kupima virusi na kwa nini alinikasirikia. Muda niliopewa na Mzee Jophu ulitimia, hakupenda kupoteza muda, aliingia ofisini kwangu na kuniuliza, “Sweedy umeisoma barua niliyokupatia?. Naomba majibu. Utaenda kupima au hutakwenda?” “Nitakwenda boss, lakini kwani ni lazima kupima?” “Ndio, ni lazima hasa wewe” Mzee Jophu alinijibu kwa uhakika. “Kwa nini mimi iwe lazima, asiwe mfanyakazi mwingine. Boss unanitisha sana hasa unaposema ni lazima mimi, na cha kushangaza boss hutaki kuitikia salamu zangu. Nimekukosea nini, naomba uniambie, ndipo nami nikujibu kuhusu jibu la kupima” Niliongea nikilalamika kidhaifu kwa boss, niliogopa mabadiliko ya boss. “Ok, usihofu kuhusu kutoitikia salamu yako. Nilijaribu kukutingisha tu unajua Sweedy mimi na wewe dam dam. Pia watu wanatufananisha kama mtu na mdogo wake, wengine wanajua dhahiri kuwa wewe ni mdogo wangu wa toka nitoke. Nilikuwa nakupima imani yako, hivi wewe hushangai toka nikuajiri kazi hatujawahi kukasirikiana iwe sasa? Wewe ndiye ninaye kuamini katika kampuni yangu, hata nikifa leo, wewe ndiye utakaye shikilia mali mpaka watoto wangu watakapokomaa kiakili. Umenielewa Sweedy? Ondoa shaka yale yote ni matani.” Mzee Jophu aliamua kuficha ukweli uliopo moyoni mwake, alinichukia mno! kwa muda mfupi tu toka amuone Getruda, binti mrembo, hakutaka nijue nini kilichotaka kuendelea, alizidi kunifumba kwa maneno ya uwongo na kunifanya nimuamini kuliko siku za nyuma. Nilipandisha pumzi na kushusha kwa nguvu “oophhhh!” “Ni kweli boss lakini ilinifanya niwe na alama ya kuuliza ndani ya ubongo wangu, hata hivyo sikuamini kuwa ni wewe ulinibadilikia kiasi hicho. Kuhusu kupima nani kakupa wazo hili?”. “Ok, swali zuri, nilipata barua kutoka mamlaka ya Uhamiaji, kwamba si ruhusa mtu kutoka nje ya Nchi bila kupima afya, hivyo wewe kama Afisa mauzo bila kupima hutaenda Nchini Thailand lakini utakapopima utaendelea na kazi yako kama kawaida.” “Hakuna shida boss mimi nitapima virusi najiamini sina kitu, mimi sio mkware” Nilimjibu. Furaha yangu nikutaka kwenda nchini Thailand nikaonane na Jennifer . “Kesho asubuhi watakuja Daktari kukutoa damu. Hutaenda huko hospitalini, cheo chako kinakulinda na sitaki uhangaike. Watakuja na kukupima na wiki ya tatu utaenda Nchini Thailand kama hutakuwa na virusi. Sio sheria yangu hapana ni serikali”Akasema Boss akizunguka zunguka pale ofisini.Alionekana mwenye furahabaada yakukubali kuopimwa. “Nitakuongezea mshaharaasilimia hamsini wa mwanzoni”Alizidi kunipa motisha. “Nitafurahi Bossi” . Tukiwa kwenye maongezi nilisikia simu ikiita. Nilipoitoa mfukoni niliona namba za baba juu ya kio cha simu. Niliipokea na kuanza kuongea . “Shikamoo baba.Mama hajambo?” “Marahaba!. Wote wazima wanakusalimu. Jiandae kwa harusi yule mama amekubali umuoe mwanae. Ni baada ya kwenda kwenye mila na desturi, amepewa faini ya kutaka kurudisha mahari. Umenielewa mwanangu?” “Ndio baba. Kweli amekubali nimuoe mwanae?. Hata siamini nitajitahidi kukusanya mchango wa harusi” “Sawa jitahidi mwanangu” Tulimaliza maongezi na kukata simu. Nilipomtizama Mzee Jophu alinitupia macho ya lawama, lakini hata hivyo nilichukulia usemi wa kupima imani kumbe yeye maneno ya yule mama kukubali nimuoe mwanae yalimuumiza roho sana, na alikiri kumuua mama Getruda kwa kumsaliti na kumchukulia laki zake tano, lakini kwa upande wa mama Getruda hakula wala hakuzitumia hata senti tano yoyote, alipanga kumrudishia baada ya kushindwa kuzuia ndoa isifanyike. By brayton starpoz
...

SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 1 😭😭😭😭😭😭😭😭 Nilikuwa nikifanya kazi katika kampuni moja ya usafirishaji wa madini kutoka Tanzania kupeleka Bang kok nchini Thailand. Kampuni yetu ikiwa ya mtu binafsi na ilikuwa Mkoani Arusha. Mimi Sweedy Kachenje ndiye niliyekuwa idara ya usafirishaji, nikiwa afisa mauzo. Katika maisha yangu yote nilitegemea sana na nilihitaji kuwa na mwenzi wa kuishi naye, kama vile familia nyingine bora ambazo kila siku zina furaha na ridhaa. Kwa kila mmoja kuwa mwanandani wa mwenzake. Pia nilimuomba mungu kwa kila hali si kanisani na hata nikiwa katika mapumziko yangu, anipatie mwanamke ambaye angenifaa katika maisha yangu.Kila siku palipokucha,niliamka nikiwa na wazo la kumpata nimpendaye na anipendaye.Niliamini hivyo japo sikuwa na uhakika kama kweli ningepata mtu kama huyo maishani mwangu. Siku zote nilijibidisha kuwa mfano bora ili niweze kupata mchumba, nilikuwa mtiifu, nikiwa heshimu wenzangu na kushirikiana nao vema kujenga Taifa.Kujaribu kuwa na marafiki wengi wa jinsia tofauti. Nilijitahidi nikihisi pengine wale marafiki wangenifaa kumbahatisha wa ubani wangu. Pamoja na yote hayo sikuweza kubahatika kupata niliyempenda kutoka moyoni, na aliyenipenda. Nilizidi kumuomba Mungu anishushie neema ya kumpata wa ubani wangu. Ikafikia wakati nikaomba ushauri, lakini wale niliowaomba ushauri walionekana kuwa fukara wa mawazo.Walinishauri wakisema kuoa ni kuoa.Eti mwanamke ningemfunza kama angekuwa na tabia mbaya.Nikafikiri mara mia mia ushauri wao nikaona haukuwa na maana zaidi ya upofu. “Bw. Kachenje inamaana uwingi wa wanawake ulimwenguni umekosa umpendaye?”Lilikuwa swali nililoulizwa na rafiki yangu.Hatahivyo nilishinda kumjibu na hatimaye nikamdharau. “Inamaana kuchagua mke wa kuishinae ni sawa na kuokota fungu la samaki sokoni ama vipi?”Nilijiuliza bila kujijibu kwa wakati huo. Nilishindwa kuokota mke ilimradi mke kama vile mtu anavyookota nyanya sokoni na kulipa pesa, nafikiri hata anayeokota nyanya nae huchagua. Japo kuna usemi usemao mchagua nazi hupata koroma usemi huo niliupinga na kuutupilia mbali. Niliamini usemi wa kuoa ni kuoa pengine ningefanya hivyo basi ndoa yangu isinge kuwa na ladha ya unyumba na isingedumu maishani. Nilijawa na imani kuwa mke mwema hupewa na Mungu, niliishi kwa matumaini ya Mungu na nilitegemea msaada mkubwa kutoka kwake. Wazazi wangu Mungu aliwapa baraka walikuwa hai wakinisubiri nioe wamuone mkwe na wajukuu wao kabla ya kufa. Kwa bahati mbaya sikuweza kupewa upeo wa kuona mchumba mwema ambaye angekuwa mke wangu, japo nilikuwa na kazi nzuri na nafasi yangu kazini ilinifanya nionekane maridadi saa zote. Watu wengi walioniona walinishangaa sana, kwani sikuwahi kuonekana na mwanamke yoyote niliyeongozana naye katika maisha yangu. Si kwamba nilikuwa na hitilafu yoyote mwilini!. Hapana nilikuwa mwanaume rijali, na sikupenda kujihusisha na ngono,kwani magonjwa yamezagaa kama inzi kwenye mzoga.Licha ya magonjwa, ni dhambi kubwa kuzini nje ya ndoa.Nilitambua kwamba jambo hilo halimfurahishi muumba hata kidogo.Siku zote nilikuwa nikijilaumu,ikafikia wakati nikitaka kuokota mwanamke hata baa, moyo ukasita ukinitaka niwe na subira zaidi.Lakini subira gani huumiza matumbo. Je subira hii itazaa matunda ama nikunizidishia bala uzeeni?.Nikayatupilia mbali mawazo potofu. Nilihitaji kuwa na subira nikihisi pengine ningempata atakaye nipenda na mimi kumpenda. Umri wangu ulisogea kufikia miaka arobaini. Hali ambayo iliwaogopesha sana wazazi wangu, waliokuwa wazee wa kujikongoja. Nilizaliwa mtoto pekee wa kiume na dada zangu watatu. Wazazi wangu walichoka na maneno yangu. “Bado umri wa kuona. Nitaoa Mungu akipenda, mke mwema hupewa na Mungu” Miaka yote huwa nilikuwa najitetea hivyo . Ulifika wakati baba na mama walitaka kuniachia laana baada ya kuwadanganya zaidi ya miaka kumi toka nipate pesa na kuwajengea nyumba. Walitaka wawaone wajukuu wao kabla ya kufariki, walijua umri walio kuwa nao,wasingeishi miaka mitano ama saba mbeleni wangepoteza maisha. Kwa kuwaridhisha na kukwepa radhi za wazazi niliwaomba wanitafutie Mke. Niliamini mke ambaye ningepewa na wazazi angenifaa maishani. “Baba akimpenda binti, hata mimi sina budi kumpenda” nilijisemea mwenyewe baada ya kuwapa kazi ya kunichagulia msichana mwenye sifa zote zile mwanamke anatakiwa kuwa nazo. Ni miongoni mwa nidhamu kwa mume. Nilikuwa na furaha kidogo, kwani nilijiona niliyejaa Ukungu wa kutopendwa na kutopenda. Kwa ujumla sikujua ilikuwa ni mitihani ya Mungu kwani mimi ni miongoni mwa vijana waliokuwa wakicheka vijana waliochaguliwa wachumba na wazazi wao, hakuna kitendo nilichokichukia kama kuchaguliwa msichana na wazazi. Nilikuwa na imani ya kijana akichaguliwa mke basi hata ndoa ingejaa migogoro isiyoisha na pengine ikavunjika. ********** Kampuni yetu iliitwa JOPHU MINING TRANSPORT CO LTD, mwenye Kampuni yetu, alijulikana kwa jina la Mzee Jophu Kundy . Ndiye alikuwa Mkurugenzi na mmiliki wa Kampuni. Kipindi cha miaka ya sabini kulikuwa hakuna gonjwa la Ukimwi, kama lilikuwepo basi ilikuwa halijajulikana kama sasa. Nilikuwa nikienda Nchi Thailand kila wiki kuuza madini aina ya Tanzanite. Siku zote nilikuwa na urafiki wa karibu na mmiliki wetu Mzee Jophu. Hakuna hata mtu mmoja aliyethubutu kuongea na mzee Jophu aliyeonekana mwenye uso wa ukali saa zote. Haikuwahi kupita siku bila mzee Jophu kuita “Sweedy njoo” nk.Alikuwa kazoea jina langu , pia alinipenda kama mwanae. Siku moja niliondoka katika uwanja wa Kia (Kilimanjaro International Airport) nikielekea Nchini Thailand, Bang kok.Vaaa yangu toshani kielelezo kwa mtu asiyenifahamu,kusema mimi ni mtu mwenye pesa za kunifanya niitwe tajiri. Nilivaa suti ya kijivu,chini nilivalia viatu vya mchongoko,vijana wa sasa huviita ‘Mkuki moyoni’,mkono wa kushoto nilishikilia ‘breefcase’lililojaa madini ya Tanzanite.Pia nilivalia miwani ya jua,iliyosababisha vigumu kuona macho yangu. Nilikuwa nimebeba madini gram 5000gm. Sawa sawa na kilo tano Kg 5. Kilo mbili ilikuwa ni rangi ya blue colour A na kilo tatu (3kg) yalikuwa ni rangi ya mkojo, kwa wale wakazi wa Mererani wanajua vizuri wakiona na rangi ya coke ile maji ya kunywa ilikuwa (gm 50). Ndege iliacha aridhi ya Tanzania mnamo saa nne unusu asubuhi, ambako ilichanja mawimbi angani saa mbili na sekunde ya kumi iltua uwanja wa kimataifa Bang kok.Nilifanikiwa kushuka salama nikiwa mtu wa tano. Sikuweza kwenda kwenye soko siku hiyo, nilielekea kwenye maegesho ya gari za kukodi amabako nilikodi gari. “Halo.kutoka hapa hadi Care lodge ni kiasi gani cha pesa?” “Dola tano.Karibu” “Sikuweza kubishana sana kwani niliamini kauli ya ‘nipunguzie bwana’ ni huku kwetu.Alinifungulia mlango wa mbele, nilivuta mguu wangu wa kulia na kuingia ndani mlango wa mbele kulia mwa dereva.Gari hilo lilikuwa ‘Left hand’.Nilienda moja kwa moja kwenye hoteli iliyoitwa CARE LODRGE .Dereva alitumia kama dakika nne kuingia lango la hoteli hiyo.Nilipofika, nilimlipa ujira wake, nikaelekea ofisi za kupokelea wageni(Mapokezi). Sikutaka kwenda kufanya biashara kwa wakati huo. Niliamua kujipumzisha kutokana na uchovu wa safari, jambo la kushangaza nilichokiona mbele ya macho yangu sikuweza kuamini macho yangu kama yalikuwa sawa sawa ama vipi, nilijaribu kupikicha macho pengine ni ule ukungu wa kutokuwahi kupenda. Lakini cha ajabu moyo wangu ulisimama kama sekunde kadhaa, kisha ukaendelea mapigo yake yakawa ya taratibu mno, ambayo sikuweza hata kuyasikia. Nilihisi jasho jepesi likitiririka, kwanza nilijitazama kisha nikamtazama mtu huyo, hata hivyo sikuamini kwamba kwa uzuri wake kamwe ningependwa mtu mweusi tena Mtanzania?. Niliona mwanadada mmoja aliyekuwa amekaa karibu na muhudumu wa mapokezi katika hoteli hiyo, msichana huyo alikuwa Mzungu si mzungu, muhindi si muhindi, mwarabu si mwarabu hata kwenye weusi hakuwepo. Baada ya dakika tano, nikiwa nimemtumbulia jicho la matamanio, alinisalimia . “Kaka habari yako” “Nzuri, sijui nyie”nilijibu salamu kwa wote,nikiwa bado sijabandua jicho usoni mwake.Sikushughulika na huyu mwingine,macho yangu tayari yalishapata chakula.Nilimtizama hamu haikuniisha nikatabani abaki pale pale macho yangu ya shibe. “Mimi mzima”aliitikia msichana huyo na aliyefuata ni wamapokezi. “Hata mimi mzima pia” walinisalimia. Sikupenda kukaa na ule mzigo wenye thamani kubwa niliandikisha jina langu na kuchukua chumba namba kumi.Kila nilipotaka kuondoka kuelekea chumba nilicholipia ,nilisita na kubakia mdomo wazi,mwili ulibweteka nikitamani kufahamiana zaidi na mwanadada yule.Niliamua kujilazimiza kuondoka ingawa nafisi ilitukutika,nilipofungua mlango wangu,niligeuka kumtizama yule mlimbwendekama vile nikihakikisha kama atakuwa pale.Nilimuona nae akinitizama. “Mtoto mtoto,Duu!.Tembea uone mengi”Niliongea akilini nikiwa nafungua mlango,katika kuzungusha funguo mlango ukatii sheria ,ukanipa nafasi ya kuingia.Nilihifadhi Breefcase yangu haraka na kufungua mlango kutoka nje.Nilikuwa nimeshikilia funguo,nikajikuta nikiziachia bila kujijua.Yote ni baada ya kumwona yule binti akiwa ametoka chumba kilichokuwa mkabala na changu. “Kumbe chumba nilichochukua kilikuwa karibu na chumba cha Binti yule niliyesalimiana nae muda mfupi tangu nifike pale.”Nilijisemea moyoni kiwa nimeacha mdomo wazi ,nikimtizama ,alikuwa kajifunga taulo nyepesi kabisa.Tayari kwa sasa alikuwa kanipa mgongo,kila alipovuta hatua , makalio yake yalitikisikia kama mawimbi ya maji baharini.Miguu yake minene iliyobeba umbile la wastani lilijivuta kwa madaha.Nilijikuta nikimtizama hadi alipoishia. Kwa kweli nilimpenda na niliamini angenifaa kuwa mwezi wangu na pambo la ndani. Hata hivyo niliumia moyoni je kama akinikubali nitafanya nini kama baba na mama watakuwa wamenipatia mchumba wa kumuoa?.Wazo hilo lilinijia na nikaamua kulitupilia mbali. Lakini ngoja nisiumize kichwa sijui nitakubaliwa au laa! Kwani nitese nafsi yangu? Nilizidi kuwaza wakati namalizia kufunga chumba. Pasipo kutegemea mara nambona tena akiwa kashikilia mafuta ya lotion. Safari hii alikuwa anakuja kwa mbele,niliweza kufaidi kuisawiri sura yake vema, ilioonyesha umahiri wa muumba.Tembe yake ungeweza kudhania kachoka vile,lakini hapana ukweli halisi.Ule ndio mwendo wake halisi,ikafikia hatua nikadhani hakanyagi chini, kwa jinsi alivyotembea utafikiri anaionea aridhi huruma. Nikajikuta moyo ukinipasuka “paaa” nikiwa na mshangaa nae alinitolea tabasamu nono! lililoshamiri usoni mwake.Tena likiwa limeambatana na mwanya mzuri.Nilishikwa na butwaa kama dakika kadhaa, nikajikuta ubongo ukifa ganzi. Tulibaki macho pima, hapo nilijua dhahiri kama kunapimana hivi.Nikajitizama na kumtizama kwa mara ya pili. Mapigo y a moyo yakaanza kupungua.Hata hivyo nilishindwa kuvumilia yote niliyoyaona kwa safari hii. “Samahani dada naweza kujua jina lako”alikuwa kesha nikaribia. “Yaa!. Jina langu ni Jeniffer John” “Sawa . Ahsante unajina zuri. Naitwa Sweedy Kachenje” nilijitambulisha nikilamba midomo yangu kuua aibu flani iliyochomoza kama mshale wa sekunde na kupotea. Tuliongea mengi na Jeniffer nae hakuwa mvivu wa kujibu maswali na chochote nilichomuelezea, niliamini ndoto yangu ilitimia, yule mwanamke niliyempata angeweza kufunika pengo kubwa maishani mwangu. Hata hivyo katika mazungumzo yetu alinitamkia kwa kinywa chake kuwa nae ananipenda sana, kuliko hata mimi ninavyompenda. Ni binti aliyeukonga moyo wangu na kuuteka kila sehemu ya viungo vya mwili wangu, “Kweli subira huvuta heri” niliongea kimya kimya kwenye mtiririko wa mawazo. Jennifer alikuwa ni mchanganyiko wa Mzungu na mwafrika (chotara) na ni msichana aliyetoka Bara la Africa kama mimi, tofauti ni kwamba yeye alitokea Africa ya kusini, na mimi nilitokea Tanzania. Wala hakujali Nchi niliyotoka kuwa ilikuwa ya kimaskini, inamaana alinipenda na umasikini wangu. Tuliongea na kujikuta mawazo yetu yakiwa sawa, kwa kutaka kunionyesha upendo alikubali ombi langu la kutaka anisindikize kuupitisha usiku uliojaa raha za kila aina. Alidiriki kuacha chumba chake na kuja kulala na mimi, nilimgusia suala la ndoa nalo alilikubali alikuwa tayari kubadili uraia kuwa Mtanzania. Lakini kama angekuwa Mtanzania aliyekuwa Afrika ya Kusini umwambie arudi aolewe Tanzania, angeruka hata futi mia. Kwa upande wa mapenzi nilikoga na penzi motomoto, hakuwa mvivu wa kujishughulisha, tulisaidiana kupitisha usiku huo mwanana uliojaa mahaba ya kila aina, si mlimani tulipanda vichochoroni tulipita kwa nia imara ya kumridhisha Jeniffer aliyeonekana mgeni kwenye ulimwengu huo. Asubuhi kulipopambazuka nilimuaga Jennifer na kuelekea soko la madini ya Tanzanite, lililoitwa King Life. Kabla ya kuondoka nilimuachia namba ya simu email address yangu kwa mawasiliano. Na niliamua kufanya hivyo ili kuwahi na kuwaeleza wazazi habari mpya, wasihangaike kunitafutia mchumba kwani nilishampata mrembo. Nilifanikiwa kuuza madini yote kwa bei nzuri na kurudi Tanzania.
...
Subscribe to:
Posts (Atom)