*MUHIMU*``` ➡Kuna siku marafiki tutatengana💔 hatutaonana tena wala kuwasiliana.💌 ➡Wengine umri utakuwa umeenda🕢 sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.😢😰 ➡Tutakumbuka🙇 tulivyokuwa tunachat💌 tutakumbuka tulivyokuwa tunapendana ❤na kushirikiana👯 tutakumbuka tulivyokuwa vijana wenye nguvu💪 tukikimbizana💃 huku na kule lkn hatutaweza kuwa pmj tena.💔 ➡Labda bado tutakuwa na picha 👤za marafik zetu tutaziangalia na kukumbuka mengi.🙇💬 ➡Watoto na wajukuu zetu watatuuliza "Ni kina nani hawa👉👭?" ➡Kwa maskitiko tutawaambia "Ni wapendwa wetu tulioshirikiana na kupendana nao" ❤❤❤💋 ➡Huzuni zitatufunika maana hakutakuwa na njia ya kuonana tena zaidi ya kukumbuka enzi zetu!💏 ➡Huu ni wakati wa kufurahi na marafiki 👫 💃🏃 💑 👭 na kutendeana mema ili tusije kujuta baadae.🙇 ➡Huu ni wakati wa kupendana na kila aliye karibu na wewe.❤❤ ➡Onyesha upendo ❤ na moyo❤ wa furaha kwa kila unaechat nae kwa sasa.💞💋 ➡Tunza kumbukumbu za yale mazuri unayotendewa na marafiki zako🙆 ➡Tunza picha zake kwa bidii👥👤 ➡Kama unakubaliana na mimi wakumbushe marafiki zako wote kuwa upendo ❤ni kitu cha thamani sana!!❤❤❤❤ ➡ _Mkumbushe_ _kila_ _unayechati naye kuwa hataendelea kuchat na wewe milele hivyo autumie huu wakati_ 🌄 _vizuri_. 💋 ➡```Kama na mimi ni mmojawapo nikumbushe kukuthamini na kukutendea mema``` 💗💋🌸❤💐💕💞💓🌹🌷💐🌺

at 9:39 AM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top