Home → ushauri
→ DAWA ZA FANGASI NA JINSI YA KUZITUMIA VIZURI
Fangasi ni miongoni mwa vijidudu vya magonjwa vinavyosumbua watu wengi. Magonjwa ya fangasi ni mengi sana na mengine ni hatari sana kiasi cha kuweza kusababisha vifo, hususan kwa watu wenye kinga ndogo ya mwili. Magonjwa yao huwa kwenye ngozi, kwenye damu, kwenye kucha, kichwani, kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.
Tatizo kubwa zaidi kwa watu walio wengi ni fangasi wa kwenye ngozi, kucha na nywele. Husababisha mapunye, mashilingi, muwasho, michubuko, vidonda, vipele, harufu mbaya, nywele kutoota vizuri, kucha kukatika au kutoota nk
Tatizo la fangasi ni kubwa zaidi kwa watoto, wanawake na wakazi wa maeneo yenye joto na unyevu unyevu.
DAWA ZA KUTIBU MAGONJWA YA FANGASI
Tuna dawa nyingi za kutibu magonjwa ya fangasi. Dawa hizi zinatofautiana sana kwa uwezo na aina ya fangasi zinazoweza kuwadhibiti vizuri. Kwa hiyo, sio kila aina ya fangasi inaweza kutibiwa kwa dawa yoyote ya fangasi.
Dawa za fangasi ni pamoja na
1. Clotrimazole
2. Fluconazole
3. Ketoconazole
4. Griseofulvin
5. Nystatin
6. Itraconazole
7. Econazole
8. Terbinafin
9. Tolnaftate
Dawa hizo zipo katika mitindo mbalimbali kama vile vidonge, krimu, losheni, poda, sindano, kimiminika nk.
Muhimu : Dawa hizi zinatakiwa kutumika baada ya uchunguzi wa daktari na kushauriwa na daktari na mfamasia. Pia hapa tumeziorodhesha kwa lengo la kukuelimisha tu, kwa hiyo usiende kununua dawa yoyote wala kutumia dawa yoyote kati ya hizo bila kupata ushauri wa daktari.
Ni muhimu kutambua kwamba ushauri wa daktari na mfamasia ni muhimu sana kabla ya kununua na kutumia dawa yoyote. Na ukitaka matokeo mazuri hakikisha unatumia dawa vizuri.
JINSI YA KUTUMIA VIZURI DAWA ZA FANGASI
Fangasi wana tabia ya kuondoka pole pole. Kwa hiyo unaweza ukahisi umepona baada ya kuona muwasho, harufu, majimaji, michubuko, mapunye au mashilingi yamepungua au kupotea. Ukweli ni kwamba inawezekana fangasi bado wapo na ukiwahi kuacha dawa wanajitokeza tena baadae.
Fangasi wanaweza kuwepo nje ya mwili na ndani ya mwili. Ni vyema kupata matibabu yanayosaidia kuondoa fangasi sehemu zote ili ukipona upone kabisa na ugonjwa usijirudie au kuwa sugu.
Kwa dawa za kupaka na fangasi wa kwenye ngozi hakikisha unaendelea kupaka dawa kwa wiki moja hadi mbili baada ya dalili za fangasi kupotea na kuhisi umepona. Hii inakusaidia wewe kuwamaliza kabisa na kuwazuia wasije wakaibuka tena.
Kwa ugonjwa unaohitaji vidonge basi hakikisha unatumia vidonge na unatumia vizuri. Ukitumia ya kupaka peke yake unaweza usipone vizuri, tumia vidonge kama utakavyoshauriwa na daktari na mfamasia wako.
Baadhi ya fangasi matibabu yake huchukua muda mrefu. Mifano ni fangasi wanaoathiri kucha na nywele, matibabu yake huweza kuchukua mwezi mmoja au zaidi. Kuwa mvumilivu na maliza dawa zote.
Kama una ujauzito ambao ni ngumu kujulikana na daktari au mfamasia wafahamishe kwamba wewe ni mjamzito. Hii itasaidia kukukinga wewe na mtoto dhidi ya dawa ambazo hazifai kwenu.
Kama una matatizo ya ini, figo, magonjwa mengine au unatumia dawa zingine ni vyema ukamfahamisha daktari na mfamasia wako pia. Hii ni kwa sababu kuna muingiliano mkubwa sana kati ya dawa za fangasi na magonjwa na dawa zingine kiasi cha kuweza kukuathiri wewe, afya yako na matibabu yako.
Tumia dawa zote kama utakavyoshauriwa. Hii ndiyo tiketi ya kupona kwako.
DAWA ZA FANGASI NA JINSI YA KUZITUMIA VIZURI Fangasi ni miongoni mwa vijidudu vya magonjwa vinavyosumbua watu wengi. Magonjwa ya fangasi ni mengi sana na mengine ni hatari sana kiasi cha kuweza kusababisha vifo, hususan kwa watu wenye kinga ndogo ya mwili. Magonjwa yao huwa kwenye ngozi, kwenye damu, kwenye kucha, kichwani, kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili. Tatizo kubwa zaidi kwa watu walio wengi ni fangasi wa kwenye ngozi, kucha na nywele. Husababisha mapunye, mashilingi, muwasho, michubuko, vidonda, vipele, harufu mbaya, nywele kutoota vizuri, kucha kukatika au kutoota nk Tatizo la fangasi ni kubwa zaidi kwa watoto, wanawake na wakazi wa maeneo yenye joto na unyevu unyevu. DAWA ZA KUTIBU MAGONJWA YA FANGASI Tuna dawa nyingi za kutibu magonjwa ya fangasi. Dawa hizi zinatofautiana sana kwa uwezo na aina ya fangasi zinazoweza kuwadhibiti vizuri. Kwa hiyo, sio kila aina ya fangasi inaweza kutibiwa kwa dawa yoyote ya fangasi. Dawa za fangasi ni pamoja na 1. Clotrimazole 2. Fluconazole 3. Ketoconazole 4. Griseofulvin 5. Nystatin 6. Itraconazole 7. Econazole 8. Terbinafin 9. Tolnaftate Dawa hizo zipo katika mitindo mbalimbali kama vile vidonge, krimu, losheni, poda, sindano, kimiminika nk. Muhimu : Dawa hizi zinatakiwa kutumika baada ya uchunguzi wa daktari na kushauriwa na daktari na mfamasia. Pia hapa tumeziorodhesha kwa lengo la kukuelimisha tu, kwa hiyo usiende kununua dawa yoyote wala kutumia dawa yoyote kati ya hizo bila kupata ushauri wa daktari. Ni muhimu kutambua kwamba ushauri wa daktari na mfamasia ni muhimu sana kabla ya kununua na kutumia dawa yoyote. Na ukitaka matokeo mazuri hakikisha unatumia dawa vizuri. JINSI YA KUTUMIA VIZURI DAWA ZA FANGASI Fangasi wana tabia ya kuondoka pole pole. Kwa hiyo unaweza ukahisi umepona baada ya kuona muwasho, harufu, majimaji, michubuko, mapunye au mashilingi yamepungua au kupotea. Ukweli ni kwamba inawezekana fangasi bado wapo na ukiwahi kuacha dawa wanajitokeza tena baadae. Fangasi wanaweza kuwepo nje ya mwili na ndani ya mwili. Ni vyema kupata matibabu yanayosaidia kuondoa fangasi sehemu zote ili ukipona upone kabisa na ugonjwa usijirudie au kuwa sugu. Kwa dawa za kupaka na fangasi wa kwenye ngozi hakikisha unaendelea kupaka dawa kwa wiki moja hadi mbili baada ya dalili za fangasi kupotea na kuhisi umepona. Hii inakusaidia wewe kuwamaliza kabisa na kuwazuia wasije wakaibuka tena. Kwa ugonjwa unaohitaji vidonge basi hakikisha unatumia vidonge na unatumia vizuri. Ukitumia ya kupaka peke yake unaweza usipone vizuri, tumia vidonge kama utakavyoshauriwa na daktari na mfamasia wako. Baadhi ya fangasi matibabu yake huchukua muda mrefu. Mifano ni fangasi wanaoathiri kucha na nywele, matibabu yake huweza kuchukua mwezi mmoja au zaidi. Kuwa mvumilivu na maliza dawa zote. Kama una ujauzito ambao ni ngumu kujulikana na daktari au mfamasia wafahamishe kwamba wewe ni mjamzito. Hii itasaidia kukukinga wewe na mtoto dhidi ya dawa ambazo hazifai kwenu. Kama una matatizo ya ini, figo, magonjwa mengine au unatumia dawa zingine ni vyema ukamfahamisha daktari na mfamasia wako pia. Hii ni kwa sababu kuna muingiliano mkubwa sana kati ya dawa za fangasi na magonjwa na dawa zingine kiasi cha kuweza kukuathiri wewe, afya yako na matibabu yako. Tumia dawa zote kama utakavyoshauriwa. Hii ndiyo tiketi ya kupona kwako.
Artikel Terkait
*SIMULIZI DARASA* *STORY FUPI* *USIMDHARAU USIYEMJUA* Msichana mmoja alikuwa amempenda kijana mmoja mtanashati na mcha Mungu.. Malengo yao ilikua waje kuoana baada ya muda. Kijana huyu alijitoa sana kwa binti huyu hadi wenzie wakamuona mjinga, lakini ukweli ni kuwa alimpenda msichana yule kwa dhati. Alimtafutia kazi alipomaliza chuo, alimshauri kuhusu mipango ya maisha na alikua akimuombea kila alipopata nafasiya kuomba. Siku moja binti alikua anasherehekea siku yake ya kuzaliwa…hivyo akaalika marafiki zake, na watu wengine muhimu akiwemo mpenzi wake. Wageni wote walifika kwa wakati isipokua yule kijana alichelewa kidogo… Hivyo msichana akatumia muda ule ambao mpenzi wake hajafika kuwaeleza wageni namna yule kijana alivyokua wa muhimu kwake.. Akamsifia sana, akasema atamvalisha pete ya uchumba soon, na akasema siku hiyo ya birthday yake anategemea zawadi kubwa sana kutoka kwa huyo mpenzi wa nafsi yake. Baadae kijana akaingia na kuketi high table.. Muda wa zawadi ulipofika watu wakamtunza binti zawadi mbalimbali na kijana akawa wa mwisho… Hivyo wageni wote wakawa na hamu ya kutaka kujua zawadi aliyoleta hasa baada ya yule msichana kumsifia sana. Kijana akaamka na kutoa mfuko.. kila mtu akataka kujua kilichokua ndani ya mfuko..mara kijana akafungua mfuko na kutoa mkate..!! Lahaula… watu wote wakastaajabu.. mkate??? Lakini kabla hajasema lolote kuhusu ule mkate, yule msichana akaanza kulia.. akapandwa hasira kwa kuwa mpenzi wake amemuaibisha..!! Akiwa analia kwa kwikwi, akamkwida shati na kumvua tai yake, akamwagia juisi, kisha akauchukua ule mkate na kuutupa.!! Maskini..yule kijana akaukimbilia ule mkate na kuuokota.. Kisha akarudi high table na kusema “baby nakushukuru kwa yote..Huenda umenidharau kwa kuwa nimekuletea zawadi hii ndogo kwenye siku yako muhimu kama hii. Lakini kama ungetambua thamani ya zawadi hii, usingefanya haya..” Kisha akafungua ule mkate na kutoa vitu viwili alivyoficha ndani ya mkate.. Kwanza akatoa ufunguo wa gari, ambalo alikuwa amemnunulia mpenzi wake na alitaka amkabidhi siku hiyo ya birthday. Kisha akatoa pete ya uchumba na kusema “Nilimuomba Mungu anipe mwanamke atakayenipenda katika hali yoyote. Nilipanga leo nikuvalishe pete hii ili kuelekea ndoto yetu ya ndoa.. ..Lakini kwa kuwa uliangalia nje, uliona mkate, badala ya pete hii ya thamani iliyokua ndani.. Naamini mwanamke niliyemuomba kwa Mungu bado sijampata.. Nashukuru kwa yote uliyonifanyia, nimekusamehe, nawe naomba unisamehe kama nimekukwaza..” Kisha akachukua mkate wake, huyoo akaondoka. Msichana akaomba msamaha lakini ilikua too late.. MORAL OF THE STORY..! Usidharau kitu/mtu kwa kumtizama nje.. Mungu huangalia thamani ya kitu ndani lakini Wanadamu huangalia nje.. Thamani ya kitu/mtu ipo ndani na si rahisi kuonekana.. Usiwe mwepesi wa kuhukumu kwa kutizama umbo la nje.. Wale wanaokudharau leo na kukuona mkate, ipo siku watagundua haukua mkate wa kawaida… kuna vingi vya thamani ndani yako. Wote wanaokudharau leo ipo siku watakusalimia kwa heshima..!! 🌹TUELIMISHANE MEMA🌹 Subra ndio inayotakiwa katika maisha. *akida* ... Read More
Kuto0Ombana Ukiwa Na Mimba  Kufanya mapenzi wakati wa mwanamke kuwa mja mzito ni jambo la kawaida. Mambo mengi yamesemwa kulingana na swala la kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito. Mwanamke pia hujiskia hajiamani kwa umbo lake na hujiskia hapendizi machoni mwa bwanake ama mpeziwe. Hii haina maana kwamba mwanamke aliye na mimba hawezi kujifurahisha kwa ngono kama wanawake wenzake. Kwa kusema hivyo, wanandoa wanaweza kufanya mapenzi wakati mwanamke mwenyewe yupo na mimba. Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba hakuwezi kumdhuru mtoto. Mfuko wa uzazi humkinga mtoto kutokana na madhara yoyote yanayoweza kutokana na kufanya mapenzi mwanamke akiwa mja mzito. Hata kama kufanya mapenzi huwa kitu kinachopendwa kwa utamu wake, wataalamu wanahimiza mwanamke mja mzito asifanye mapenzi kama amewahi kuwa na mambo yafuatayo; Kuvuja damu. Kama mwanamke amewahi kuvuja damu wakati akiwa mja mzito, ni muhimu asijaribu kufanya mapenzi hata kidogo. Kufanya ngono kunaweza kuzidisha uvujaji wa damu ambayo sio nzuri kwa hali ambayo yupo.Kama mwanamke ako na historia ya kuwa na mfuko wa uzazi dhaifuKama pia mwanamume ako na malengelenge sehemu za siri.Kama mwanamke amewahi poteza mtoto wakati wa kuzaa. Kama mwanamke ana historia ya kupoteza mimba, ni muhimu kukosa kujaamiana na mwanamume wake.Kama mwanamke hana hali nzuri ya kiafya ama ni mdhaifu.Kama maji ya uzazi yamepasuka Kufanya ngono na mwanamke wakati yupo na mimba huwa na umuhimu wake pia. Baadhi ya umuhimu wa kukula uroda wakati mwanamk yupo mja mzito ni kama; Kufanya ngono humsaidia mwanamke kulala vizuri. Wanawake huwa na uchovu mwingi wakati wa uja uzito na hutaka kupumzika sana. Kufanya mapenzi humsaidia yeye kulala usingizi mnono.Kutombana wakati wa uja uzito pia husaidia kupunguza uchungu wakati wa kuzaa. Kukula uroda husaidia kuongeza kiasi cha uuke na huongeza maji ya uuke ambayo husaidia wakati wa kuzaa.Kufanya mapenzi wakati wa uja uzito husaidia kuongeza mahaba kati ya wapenzi hao. Mapenzi huongezeka kwa kufanya ngono wakati huu.Utamu wa ngono hukaa kwa mda mrefu wakati mwanamke yupo na mimba. Mwanamume anapompenya mwanamke, na wanapokula uroda, utamu huwa tele kuliko wakati mwingine.Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba huongeza kinga ya mwili kutokana na magonjwa. Kwa kuongeza kinga ya mwili, mwanamke yule atakuwa hawezi kuambukiwa magonjwa haraka.Kutombana wakati wa uja uzito hupa mama na mtoto wake furaha na kuwafanya wawe wametulia na kupumzika.Kufanya mapenzi husaidia pia kupunguza kalori mwilini. Kwa kupunguza kalori, mwanamke huwa katika hali nzuri ya kinga kutokana na magonjwa.Kufanya mapenzi pia husaidia kwa uzazi. Wakati mwanamke anatarajia kupata mtoto huwa ako na maumivu ambayo hukaa sana. Ngono wakati wa uja uzito husaidia kupunguza wakati huo wa uzazi. Kama mwanamume ukitaka kumtomba mwanamke wako aliye na mimba na kumfanya afurahie unaweza fanya mitindo ifuatayo; 1- Mwanamke akiwa juu Mtindo mmoja ambao ni mzuri wa kufanya mapenzi na mwanamke aliye na mimba ni kama yuko juu ya mwanamume. Mwanamume anafaa kulala kwa mgogo wake na amwachie mwanamke kukaa juu ili aweze kupenya uuke wake. Hii husaidia ili mwanamume asimfinye mwanamke tumbo. Mwanamke pia atafurahia kwa vile atakuwa hatachoka sana. 2- Kuto0mbana kama mmelala na upande Mtindo mwingine wa kufanya mapenzi na mwanamke mwenye mimba ni kama mmelala kwa upande. Hapa mwanamume huwa nyuma ya mwanamke. Mwanamume huweza kupenya uuke wa mwanamke yule kutoka nyuma karibu na tako. Mtindo huu ni mzuri kwani huhakikisha kwamba mwanamume anapenya mwanamke ule kidogo tu sio kwa sana. 3- Kut00ombana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo. 4- Kuto00mbana kama mmeketi Kufanya mapenzi kama mmeketi pia ni aina ya mtindo ambao wapendanao wanaweza tumia. Hii aina husaidia mfuko wa uzazi usifinywe wakati wa ngono. Mwanamume ataketi kitini naye mwanamke atamkalia na kumwezesha mwanamume kupenya uuke wake. Mwanamke hapa atachukua usukani ili aweze kuzingatia kiasi cha uume unaompenya. 5- Kuto00mbana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo. 6- Kwa kutumia mikono kwa uuke wa mwanamke Mwanamke anaweza kuwa na uoga wa uume wa mwanamume kumpenya. Kwa sababu hii mwanamume anaweza kutumia vidole vyake na kwa taratibu akasungua na kuupapasa uuke wa mwanamke wake. Anaweza pia kupapasa kinembe cha mwanamke yule pole pole na kuzidi kasi mwanamke anapopata hamu. 7- Kwa kutumia midoli ya kufanya mapenzi Mwanamume pia anaweza kutumia midoli ya mapenzi kwa kufanya mapenzi na mwanamke wake aliye na mimba. Kwa kutumia midoli hii, mwanamume anaweza mpenya mwanamke kwa utaratibu na kwa kupapasa kinembe cha mwanamke yule na kumpa raha zaidi. Kutumia midoli itamsaidia mwanamke ambaye ako na uoga wa mwanawe kuadhiriwa wakati wa ngono. 8- Kwa kupeana punyeto Wapenzi wanaweza kupeana punyeto kama njia yao ya kufanya mapenzi. Mwanamke anaweza kupapasa uume wa mwanamume wake naye mwanamume akampapa uuke wake. Kwa kufanya hivi wote watapeana raha na wataridhika katika kukula uroda. Hii husaidia kama mwanamke ako na tashwishi kutokana na mwamanume kumtomba na uume wake. Kufanya mapenzi ama kutombana kunafaa kuchukuliwe kama kitu muhimu hususan wakati mwanamke yupo na uja uzito. Kufanya ngono katika uja uzito ni kitu cha kawaida na wapenzi wanafaa kufanya hima kuhakikisha wanajaribu ngono kwani ina manufaa makubwa kwao wawili, kwa mtoto na kwa mwanamke mwenyewe. Ngono husaidia kwa uzazi, kwa kuongeza mapenzi kati ya wapenzi wawili, kupanuua uuke kati ya mengineo. Hata ingawa kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito ni jambo la manufaa, tahadhari inafaa ichukuliwe pia. Mwanamke ambaye anavuja damu, ambaye ana historia ya kupoteza mimba na ambaye mfuko wake wa uzazi ni hafifu, hafai kujihusisha katika kutombana hata kidogo. Kwani kwa kujihusisha katika kutombana huwa anadhuru mimba yake. Pia cha muhimu kuzingatia ni mitindo ambayo wapenzi wale watatumia katika kushiriki ngono ili pia wasije wakadhuru mimba ama hali ya mtoto na pia mwanamke asiweze kuchoka wakati wa ngono. Kwa yote tisa, kumi ni kuhakikisha kwamba mwanamume anavalia mpira wakati wa ngono ili pia kuzuia maambukizi. Kumbukumbu ... Read More
Jinsi ya Kuomba Msamaha MACHAGUO YA UPAKUAJI Podikasti Makala Nyinginezo SOMA KATIKA Amkeni! | Septemba 2015 UNAWEZA KUWA NA FAMILIA YENYE FURAHA Fuata Mwongozo wa Mungu ili Uwe na Ndoa Yenye Furaha Kujiuliza maswali mawili rahisi kunaweza kuisaidia ndoa yako. AMKENI! Viwango Vinavyomfaa Kila Mtu, Nyakati Zote—Upendo Upendo unaotajwa mara nyingi katika Biblia si ule wa kimahaba au kimapenzi. HABARI NJEMA KUTOKA KWA MUNGU! Kanuni za Biblia Zinatunufaishaje? Yesu alieleza kwa nini tunahitaji mwongozo na ni kanuni gani mbili za Biblia zina umuhimu mkubwa. Kuwafundisha Watoto Unyenyekevu Je, Inafaa Kujihatarisha Kwa Kusudi la Kujisisimua? Watoto Wanapoondoka Nyumbani Umuhimu wa Kazi za Nyumbani Kuomba msamaha kunaweza kuzuia ugomvi CHANGAMOTO Muda mfupi tu uliopita wewe na mwenzi wako mmetoka kubishana. Kisha unajiambia hivi: ‘Sihitaji kumwomba msamaha. Kwa sababu si mimi niliyeanzisha ugomvi!’ Mmeacha kuzungumzia jambo hilo, lakini hali si shwari. Unafikiria kuomba msamaha lakini unaona huwezi kusema, “samahani.” KWA NINI HILO HUTUKIA Kiburi. “Wakati mwingine si rahisi kusema ‘samahani’ kwa sababu sitaki kujishushia heshima,” anakiri mume anayeitwa Charles. * Kiburi kinaweza kukufanya uone aibu kukubali kwamba umechangia tatizo. Mtazamo. Unaweza kuhisi kwamba kuomba msamaha kunahitajika tu pale unapokosea. Mke anayeitwa Jill anasema hivi: “Ni rahisi kwangu kusema ‘samahani’ ninapojua kwamba nimesababisha tatizo. Lakini, ikiwa sote tulisema mambo yasiyofaa, ni vigumu kufanya hivyo. Kwa nini niombe msamaha ikiwa sote tuna makosa?” Unaweza kujitetea ikiwa unahisi kwamba mwenzi wako ndiye mwenye makosa. “Unapoamini kabisa kwamba hujafanya kosa lolote, unaonyesha huna hatia kwa kukataa kuomba msamaha,” anasema mume anayeitwa Joseph. Malezi. Huenda ulilelewa katika familia ambayo halikuwa jambo la kawaida kuomba msamaha. Ikiwa ndivyo, huenda hukujifunza kukubali makosa yako. Kwa kuwa hukuzoea kufanya hivyo tangu utotoni, ni vigumu kwako kuomba msamaha ukiwa mtu mzima. MAMBO UNAYOWEZA KUFANYA Mfikirie mwenzi wako. Jaribu kukumbuka jinsi ulivyohisi vizuri ulipoombwa msamaha na mtu fulani. Kwa nini basi usimfanye mwenzi wako ahisi hivyo? Hata ikiwa huamini kwamba ulikosea, unaweza kuomba msamaha kwa ajili ya maumivu ambayo mwenzi wako amepata au kwa sababu ya usumbufu wowote uliotokana na matendo yako. Maneno hayo yanaweza kumsaidia mwenzi wako ahisi vizuri.— Kanuni ya Biblia: Luka 6:31 . Zingatia ndoa yako. Ona kuomba msamaha kuwa ushindi katika ndoa yako na si kushindwa. Zaidi ya yote, mtu anayeendelea kukasirika ni “mgumu kuliko mji wenye nguvu,” inasema Methali 18:19 . Inaweza kuwa vigumu kurudisha amani katika hali hiyo. Pia, unapoomba msamaha unazuia kosa kuwa kikwazo. Ukifanya hivyo, unatanguliza ndoa yako badala ya hisia zako.— Kanuni ya Biblia: Wafilipi 2:3 . Uwe mwepesi kuomba msamaha. Ni kweli kwamba ni vigumu kuomba msamaha ikiwa hujakosea. Lakini makosa ya mwenzi wako hayapaswi kuwa kisingizio cha kuendelea kuwa na tabia mbaya. Hivyo, usisite kuomba msamaha ukifikiri kwamba muda ukipita kosa hilo litasahaulika. Unapoomba msamaha unafanya iwe rahisi pia kwa mwenzi wako kuomba msamaha. Na kadiri unavyoomba msamaha ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kufanya hivyo tena wakati mwingine.— Kanuni ya Biblia: Mathayo 5:25 . Onyesha kwamba unajali hisia za mwenzi wako. Kutetea kosa lako si sawa na kuomba msamaha. Kusema kwa kejeli, “samahani kwa kuwa naona unakwazika haraka kwa sababu ya jambo hili,” si njia ya kuomba msamaha hata kidogo! Kubali makosa yako na utambue kwamba umemuumiza mwenzi wako, hata kama unaona hakuwa na sababu ya kukwazika. Tambua ukweli. Kubali kwamba utafanya makosa. Kwa kweli, kila mtu hukosea! Hata kama unafikiri huna hatia, tambua kwamba kuna uwezekano umechangia jambo hilo. Biblia inasema hivi: “Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu, mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.” ( Methali 18:17 ) Itakuwa rahisi kwako kuomba msamaha ikiwa una maoni yaliyosawazika kuhusu mapungufu yako ... Read More
AINA 10 ZA WANAUME AMBAO WANAWAKE HUJUTIA WAKIWA NAO  1. Wanaojiona Kama Wafalme (King Husband). HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea. 2. Wanaume Wanaojihisi Bado Hawajaoa (Bachelor Husband). Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa, hutumia muda wao mwingi na marafiki zao wakifanya mambo ambayo mke hata hayajui mke anaweza kustukizia tu mume kanunua gari bila kumshirikisha na mume haonyeshi hata kujali kuweza kumshirikisha. Hajali kama ana mke na mda mwingi huutumia akiwa na marafiki kufanya mambo yasiyo na msingi ambayo hayana mnanufaa yoyote katika ndoa yake. 3. Wanaume Wenye Gubu (Acidic Husband). Hawa hukasirika kila mara tena bila kua na sababu ya misngi, mambo hayaishi, kosa la mwaka juzi anaweza kukukasirikia leo. Wamemuudhi kazini hataki kusemeshwa na mnanuniwa nyinyi, mwanamke akiomba hela ya chakula ni shida ni kununa kutwa nzima, wanahasira na nirahisi kumpiga mke. 4. Mume Wa Kila Mtu (Genarel Husband). Hawa wanajifanya wasamaria wema, wanajali kila mwanamke, wanajali marafiki wakike wa mke na wakwao kuliko wanavyowajali wake zao. Mke anaweza kuwa na shida akasema hana hela lakini rafiki akampa. Wana marafiki wengi wakike na mara nyingi huwa hawaachani kabisa na ma X wao, wakiwalalamikia wanawasaidia kuliko hata wanavyowasidia wake zao wakati wakiwa na shida. 5. Wanaume Wanaojifanya Wagumu (Dry Husband). Hawa wanajifanya wagumu sana, hawana yale mambo ya kimahaba na wao hujua kuwa ndoa ni kuleta chakula tu na kushughulika kitandani. Hakuna kuongea na hawajali hata hisia za mke, mke akiongea kwao wala hawajali wanajifanya ni vidume sana na wanaona mambo kama vizawadi, kupiga simu, kutuma sms, kusema nakupenda, kununua maua ni mambo ya kike, yaani hawaonyeshi juhudi yoyote kuwafurahisha wekea zao. 6. Wanaume Wanaopenda Kutumia Wake Zao (Panadol Husband). Hawa huwa wanaume pale tu wanapokuwa na shida, wanakuwa na wake wazuri wanaowajali lakini wao wala hawajali. Wanapomhitaji mwanamke, wanapotaka mwanamke awafanyie kitu flani basi huja na maneno mazuri na hata kuleta vizawadi, wanajua udhauifu wa wake zao na huutumia kuwalaghai kuwatimizia mahitaji yao lakini wanapotimiziwa tu basi husahau hata kama wanawake, hawajali tena. 7. Wanaume Ambao Hawataki Kukua (Baby Husband). Bado wanatabia za kitoto, hawawezi kufanya maamuzi yao wenyewe mpaka kuuliza kwa ndugu zao, mtu kaoa lakini kila siku humpigia simu Mama yake kuuliza hiki na kile. Yaani wakiongea kitu na mke nilazima aulize ndugu kwanza ndiyo kipitishwa na mke akifanya kosaa kidogo kazi nikulinganisha mke na ndugu zake, mbona flani alifanya hivi, flani anaweza fanya zaidi na mambo kama hayo. Kwakifupi hawawezi kufanya maamuzi na mkewe, ndugu zake hasa Mama yake anakuwa kama shemeu ya ndoa. 8. Mume Mtalii (Visiting Husband). Hawa wanakuja nyumbani kama wageni vile, mume ataihudumia familia yake kwa kila kitu lakini hawezi kuipa muda wake. Akirudi mke na watoto wamelala ni kugonga na hana sababu za msingi za kuchelewa, hata mwisho wawiki hupenda kutumia na marafiki au ndugu lakini si na mke. Hakuna kitu cha pamoja ambacho anafanya na mkewe au watoto wake, kila akiingia tu anakua na safari ya kutoka yaani hata atoke akakae nnje tu lakini si kukaa na mke au watoto. 9. Wanaume Wanaofuatilia Kila Kitu (Stalking Husband). Hii ni aina ya wanaume ambao hufuatilia kila kitu, huchunguza kila kitu mwanamke anachofanya na hawampi pumzi. Akienda sehemu atachunguza anaenda na nani na alikutana na nani, huwa na wivu wa ajabu ajabu na kila saa huhisi wake zao ni wasaliti. Kila mtu mwanamke anayeongea naye wa jinsia tofauti huhisi ni mchepuko na hata marafiki wa mke wakike pia huhisi wanamkuwadia, kwakifupi hampi pumzi mwanamke. 10. Mwanaume Mbahili (Miserly Husband). Huyu anaweza kuwa na hela lakini mbahili ajabu. Akimpa mwanamke hela atafuatilia matumizi yake mpaka senti ya mwisho, anafuatilia mpaka mambo ya jikoni. Sukari ikiisha naataka ajue iliisha ishaje na kila mara huhisi mke anamuibia hela labda akajenge kwao, huwa msumbufu sana na mgumu kutoa hela. Mwanamke akifikiria mchakato wa kuomba hela kwa mume hukata tamaa na wakati mwingine kuamua tu kukaa kimya na matatizo yake. ... Read More
NAOMBA MSIJE KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YANGU, NJOONI KWENYE MSIBA WANGU. Baada ya kukaa kwenye ndoa takriban miaka 10 kasoro miezi miwili wakafanikiwa kupata watoto wawili wa kwanza angel na wa pili baraka. jamaa akakaa na mkewe wakapanga mipango mizito sana kuhusiana na tukio lingine zito baada ya tukio lao la harusi.yaani kusheherekea miaka 10 ya ndoa yao. Lakini akajisemea, ngoja nipime kiwango cha uaminifu alichonacho mke wangu kabla ya hiyo sherehe haiwezekani kwamba kuna usalama kabisa maana ktk miaka yote nimekuwa MTU wa kazini,safarini in short sina muda mwingi wa kukaa na familia yangu....na kama atavuka hili jaribu basi naweka nadhiri mbele za mbingu nitamtafutia zawadi nzuri ambayo hajawahi kuona na hatokuja kuisahau Akawaambia marafiki zake nataka nifanye party ya kusheherekea miaka kumi ya ndoa yangu nahitaji kampani yenu,walifurahi sana marafiki zake hususani wafanyakazi wenzake. Kamati zikaundwa mara moja,lakini baba angel aliendelea na upelelezi wa kumjaribu mkewe pasipo kujua huyo mkewe aitwaye Elizabeth. Mama angel aliendelea kualika marafiki zake,wazazi wake wakawa wanasubiria kwa hamu kubwa hilo tukio wakimbariki mwenyezi Mungu kwa kuendelea kustawisha ndoa ya mtoto wao.huku asijue mmewe ana nini ndani ya moyo wake. Baba angel akafanya usajili wa line mpya ya tigo asiyoijua mkewe. Akasajili kwa kubuni jina la #Asajile_mwasilu ambaye alikuwa anahisi anatembea na mkewe maana mara kadhaa alishazikuta msg za ajabu kwenye simu ya mkewe kama za mtu na mpenzi wake na alipoichunguza kwenye tigo pesa usajili ukaonyesha jina la Asajile mwasilu. akawa akichat na mkewe mara kwa Mara, kupitia hiyo namba mpya...... siku moja mkewe akaangalia hiyo namba kwenye usajili akaona jina la "Asajile mwasilu" waooooo ooh my dear,akafurahi basi mwenyewe! Akaamua kupiga simu,mumewe hakupokea akakata akamwambia nitext niko mahali hatutaweza kuelewana. Kumbuka Wakati huo mumewe yupo kazini........akamwambia tuendelee kuchat My nikupendae uko wapi mpenzi wangu nikufuate sasa hivi,maana nilivyofrahi kuona SMS yako mungu anajua!namba zako zote baba angel alifuta kwenye simu yangu,na wewe ndio hujanitafuta tena..... baba angel akajibu, we taratibu,si unajua umeolewa wewe unifuate wapi? mumeo alinipigiaga simu kwamba angenifanya kitu kibaya Sana iwapo ningeendelea kuwa na mawasiliano na wewe basi nikaogopa mwenyewe ndio maana nikajikaliaga kimya. Ooh pole my sweet, ndio walivyo wanaume wasiojitambua hawa,yaani yeye anadhani anaweza kunichunga eti! Anasahau kwamba uanaume sio kuchunga mke uanaume ni kumhudumia vzur mkeo kitandani huo ndio ulinzi tosha. Yaani kusema ule ukweli,sijawahi kupata mwanaume wa kunihudumia vile nitakavyo zaidi yako,uko wapii? Mama angel akaendelea kufunguka. Mh!baba angel akajikuta anaishiwa pozi vibaya mno huku mapigo ya moyo yanayoambatana na ghadhabu yakikitesa kifua chake ambacho hata pumzi ilikuwa ni shida kutoka hakuamini kwamba huyo anaechat naye ni mkewe.......akamjibu kwa kicheko cha uongo Hahaaaaaa ina maana unataka kusema jamaa hayuko vzur kitandani?? Na vipi angel hajambo??? Ndio maana nakuuliza uko wapi this time nikufate?maana umelandisha mtoto mpaka sio vizuri,wewe mwanaume una damu kali,wakati mwingine mpaka naona aibu kumwita mume wangu baba angel maana ukweli Mimi ndio naujua....ila yeye hajui kitu anajua ni wake. Baba angel akawazaa wee huku mipango ya sherehe akiona ikiyeyuka taratibu kadri alivyokuwa akiendelea kuchati na mkewe... Akakaa katibu dakika 10 bila kusema chochote akiwaza je ni kweli angel sio wangu???mh! Hawa wanawake vipii?? akatazama saa yake akaona ni saa 8 za mchana akajisemea pale ofsini "hivi mke wangu ana roho mbaya kiasi hiki Kumbe nalea mtoto asie wangu?? Akafungua kwenye gallery akatazama picha za mtoto wake huyo mzur akaendelea kujipa moyo......... Akamrudia mkewe akamwambia Wacha buana uko naye angel hapo?? Mama angel akajibu yes, jamaa akajibu tena "Mi mwenyewe nimekumiss sana na nimemmis sana mwanangu natamani nimwone tu lakini naangalia usawa wa mfuko hauko sawa sana...... Mkewe akajibu hebu ngoja nipe dakika sifuri......... Haraka haraka mama angel akampigia simu mumewe kwa namba yake ya siku zote. "Samahani baby unamkumbuka neema msimamizi wa send off yangu?? Jamaa kwa unyonge huku akijikaza kusikiliza uongo wa mkewe akajibu ndio namkumbuka amefanya nini? Nilikuwa nampa taarifa ya party yetu kumbe alipata ajar yuko nyumbani, sasa nimeona wacha nikamwangalie kabisa sasa hivi naomba hela kidogo..........jamaa akamtumia tsh. laki moja na nusu na msg juu akimhimiza kuwahi kurudi. Vipi uko na angel hapo?? Mama akajibu ndio nikupe uongee naye?? basi akampa simu wakaongea na baba yake...... Akachukua simu mama yake akamwambia mumewe " halafu naenda nae angel mara moja! Jamaa akajibu hamna shida. Upesi mama angel akamwandikia sms anaedhani ni Asajile mchepuko wake kumbe ni mumewe huyo huyo akamtext sasa enda mahali tafuta guest nzur nakutumia elfu 80 sasa hivi Jamaa akajibu waooo ndio maana sijawahi kuacha kukupenda Elizabeth wangu.....basi ntakwambia nikipata. Ila uje na angel Baada ya dakika kama 30 Elizabeth akawa amejiandaa na kumuandaa mwanaye huku akimuahidi house girl kana kwamba atarudi saa 2 usiku....... Jamaa mida kama ya saa 10 jioni akamtext wife njoo hapa...........kuna Lodge inaitwa shelisheli unaijua?wife akaitikia yes.....basi njoo ni chumba namba 6 ghorofa ya 6 ila usimwache mtoto pls. Muda wote huo baba angel alikuwa ameshika kitambaa mkononi maana haipiti sekunde asipojifuta machozi machoni alikuwa akilia tu kwa jinsi alivyokuwa akimpenda mkewe.akajifikiria kuwa ,kwanini Mungu alimficha hilo jambo lililo moyoni mwa mkewe??kwanini Mungu ameruhusu alee mtoto asiye wake?? Kufika hapo Ni kama mwendo wa dakika 20 kwa toyo,basi Mama angel akaona achukue hiyo bodaboda awahi na kweli akawa amewahi.......akaingia hiyo hotel akaenda sehemu ya lift akafika chumba gorofa ya 6 akaenda chumba namba 6 Taratibu akafungua mlango mgongoni akiwa na angel akakuta hakuna mtu kumbe jamaa kaingia kidogo uani Dakika mbili hivi jamaa akawa anatokea kutoka uani Ile kufungua mlango Mama angel hakuamini alichokikuta maana tayari kwenye ubongo wake alikuwa amemtengeneza Asajile.....lakini sio Asajile aliyemkuta........ aligongana USO kwa USO na mumewe wanaetarajia kufanya sherehe ya ndoa yao wiki kama mbili zijazo. Mama angel alipiga yowe yesuuuuu huku akitaka kukimbia kutoka nje........mumewe akamkamata mkono wake akamtuliza na kumwambia "usiogope uko kwenye mikono salama ya baba wa watoto wako kaa utulie! Ooh my god sijui nimefanya nini Mimi!?mkewe alijisemea huku akionyesha kuchanganyikiwa. Wakati huo angel yuko kwa baba yake akistaajabu kuhusu kinachoendelea......... Ilimchukua kama dakika 20 mpaka kutulia mama angel Mumewe akaongea maneno mafupi tu..... MKE WANGU, USIJE UKADHANI MIMI NIPO GIZANI KABISA NISIJUE HATA HATA KIDOGO ULICHONACHO MOYONI MWAKO. AKAONGEA KILUGHA KUMKWEPESHA MTOTO ASIELEWE......LAKINI AKIWA NA MAANA KWAMBA TANGU HUYU MTOTO AMEZALIWA,MOYONI MWANGU NILIJUA SIO MTOTO WANGU,HATA WIFI ZAKO, shemeji zako WAZAZI WANGU WALINIAMBIA HILI JAMBO,NA LISEMWALO LIPO.......mama angel akazidi kupigwa butwaa Akaendelea kumsimulia mkewe....... SIKU MOJA NILIOTA NDOTO MTOTO ANAUMWA,NA TULIPOENDA HOSPITALI ETI KATIKA VIPIMO IKAONYESHA WANAPIMA DNA NIKAKASIRIKA,MBONA MNAMPIMA DNA WAKATI HUYU NI MGONJWA ANAHITAJI VIPIMO VINGINE? YULE DR AKANIAMBIA NITULIE KWANI ANAJUA AFANYACHO NIIKAMKA,NILIPOMPIGIA SIMU MTUMISHI WA MUNGU MMOJA AKANIAMBIA MTOTO SI WANGU LAKINI NISICHUKUE UAMUZI WOWOTE MBAYA BADALA YAKE NIENDELEE KULEA MAANA MALIPO NI KWA MUNGU. Elizabeth, umenitonesha tena kidonda mke wangu, Asante umemleta angel kwa baba yake Asajile lakini hayupo,bado nabaki Mimi ndiye baba yake Mungu atanilipa kwa uaminifu wangu......nashkur kwa uongo wako,asante kwa hela uliyonitumia ya chumba, nataka nikwambie nimefanya kama ulivyonipa maelekezo....... Wakati huo mama angel analia tu hakuna mfano,anaona hata aibu kusema nisamehe,alichojibu ktk kulia kwake ni "Naona nafsi yangu inahukumiwa mno kuliko maneno unayoniambia.....najua mwisho wa ndoa yangu ni hapa hakuna jinsi,siwezi kujitetea mume wangu!naiona jehanamu hii hapa,ninauona ubaya wa kufuga dhambi sasa,hapa ndio naamini hakuna siri duniani,haiwezekani ukafanya kitu ukajua haitajulikana. Niko tayari uniambie chochote na sitapinga,nimeaibika mbeke ya mwanangu Mwanangu nimeaibika mbele ya mume wangu anipendaye na nimeaibika mbele za mbingu na dunia..........nitaficha wapi USO wangu mie?? Jamaa akamwambia mkewe najuta kukujaribu mke wangu najuta kuupima uaminifu wako,ila namshukuru Mungu amenipa kifua kikubwa cha kukabiliana na mambo MAZITO. Lakini wakati mwingine namshukuru Mungu tu maana kila jambo lina makusudi....... Wakatoka pale hotelini wakaingia ndani ya gari ambayo baba angel alikuja nayo wakarudi nyumbani. Usiku mzima mwanamke hakulala usingizi akidhani labda mumewe angemuua hata mtoto........asubuhi kulipokucha jamaa alipowahi kazini mwanamke akaanza kupitia message walizokuwa wanachat na mmewe akaona ni kama yupo uchi tu.......akaenda kununua vidonge duka la dawa baridi akameza akafa huku akiacha ujumbe usemao KUHUSU KUFA KWANGU ASILAUMIWE MTU YEYOTE ILA NILAUMIWE MIMI NAPENDA NIWEKE HADHARANI KILA KITU,KUHUSU MTOTO WANGU ANGEL SIO WA MUME WANGU,JAPO KWA KIPINDI CHOTE ALIKUWA ANAJUA NI WAKE.......BABA YAKE ANAITWA ASAJILE MWASILU......ALINIPA MIMBA NIKIWA NDANI YA NDOA YANGU....... NATUBU KWA WAZAZI WANGU NA WAZAZI WA MUME WANGU MNIOMBEE NIENDAKO NIPUNGUZIWE ADHABU YA KABURI,MWISHO NAWAOMBA MSIJE KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YANGU,NJOONI MSIBANI. Mwisho sitaki kueleza nini kilitokea kwenye mazishi na msiba kwa ujumla wake Lakini jamaa anaendelea kulea mtoto asiye wake na mtoto wake. Kwenye mazishi alisikika akilia akisema najuta kwanini nilipima uaminifu na msimamo wa mke wangu,yamkini mpaka leo angekuwa hai............... BAADA YA MAZISHI MAKABURINI BABA ANGEL ALIMPELEKEA KARATASI KAKA YAKE AMBAYE NDIYO ANGETOA SHUKRANI KWA WATU NA MATANGAZO MACHACHE YA NINI KINGEENDELEA BAADA YA PALE,BASI AKASOMA ILE KARATASI KWAMBA "TUNAPENDA KUWATAARIFU KWAMBA ILE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YA BABA ANGEL PAMOJA NA MKEWE AMBAYE NI MAREHEMU SASA ILE TAREHE IPO PALEPALE ATAFANYA NA WATOTO WAKE ITAAMBATANA NA KUMSHUKURU MUNGU KATIKA YOTE MAANA IMEANDIKWA "SHUKURUNI KWA KILA JAMBO"........... Siku ya sherehe yenyewe watu walifika kwa wingi sana hamna mfano na miongoni mwao ni baba angel original yaani Asajile....... Itaendelea next time Ila jueni kuwa shetani yuko kaz ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comments:
Mi natumia ya kupaka wakati unanifanyia usafi wa sehem z a sili nikajijeruhi me nikiendelea kupaka kuna máscara ikiingia nilipojichanja