Emu tujifunze na hili na ikiwezekana tulijadiri kwa pamoja Najua ni ukweli usiopingika wote linatuhusu Kwanini Wanawake Warembo Hupenda Kuolewa na Wanaume Wenye Sura Mbaya???? WANAWAKE wengi walio wazuri wa sura huwa wanapenda kuolewa na wanaume wabaya wa sura. Hii inatokana na ukweli kwamba wanawake wenye sura nzuri hupenda kuolewa na wanaume wenye sura mbaya ili kulinda uzuri wao kwani wanaamini kuwa iwapo ataolewa na mwanaume mwenye sura nzuri, uzuri wake hautaonekana kwa watu kwani mwanaume pia ataonekana mzuri jambo ambalo litamupunguzia mwanamke kuonekana mzuri katika jamii. Hii ndio maana wanawake wengi wenye sura nzuri wanapenda kuolewa na wanaume wenye sura mbaya. Dr. Linda Mtaalamu wa masuala ya Mapenzi na Uhusiano anasema kwamba "Wanawake wengi wenye sura nzuri wana tabia ya kutaka waonekane kuwa ni warembo muda na wakati wote, jambo ambalo linawapelekea kuolewa na wanaume wenye sura mbaya ili waendelee ku-shine katika jamii". Pia wanaume wenye sura mbaya wanapenda kuoa wanawake wenye sura nzuri ili kulinda heshima yao kwa kupitia wake zao. Kwa hili ndugu msomaji naomba ujaribu kufanya uchunguzi wa kina kwa kuangalia wanaume wenye sura mbaya, utagundua kuwa wengi wao wanapenda kuoa wanawake wazuri na wengi wao tayari wameshaoa wanawake warembo. Je, kwa upande wa wanawake weusi; je, wanapenda wanaume wa aina gani? Na kwa upande wa wanaume weusi pia wanapenda wanawake wa aina gani? Pia na wewe kama unajitambua kuwa uko hivi au vile je, unapenda sweetheart wako aweje?. Sasa tujadili.........................!!!!! #Barikiwa COPY & PASTE LIKE & SHARE

at 1:18 AM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top