Home → simulizi
→ JAMANI BABA
Sehemu 08
ILIPOISHIA :
Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi
chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango
polepole. Mwaija alishtuka ...
“Haa! Baba !”
“Shiiii .”
SASA ENDELEA .. .
“Mama yuko wapi?”
“Amelala. ”
“Akiamka je ?”
“Hizo ni kazi za shetani lakini sitarajii kama
ataweza kuamka muda huu , usingizi wake yule
unakuaga mkubwa sana. ”
“Kwa hiyo?”
“Kwa hiyo nini ? Mimi ndiyo nimekuja hapa sasa .”
“Lakini baba .. .”
“Lakini baba nini Mwaija? We tufanye yetu
mambo yaishe, sawa ?”
“Sawa , basi funga mlango , lakini usizime taa ,”
alisema Mwaija kwa sauti ya kutetemeka kwa
mbali. Alishapanda joto la mahaba , alichokuwa
akikihitaji ni mapenzi tu.Wakati Huo Mwaija Alikuwa Amevalia Khanga Moja Tu Iliyofanya Umbo Lake Lakuvutia Lionekane Vizuri Kabxa,Masilinde Alianza Kumtoa Khanga Iliyoacha Mapaja Ya Mwaija Wazi Kabxa Huku Masilinde Akiyashika Kwa Ustadi Mkubwa Sana Huku Mikono Ikichuruzika Mpk Matakoni Mwa Mwaija Ambae Alikuwa Akilalama Kwa Hisia Kali "Aaaaasshhhhhh,Aaannnnnnh"Masilinde Aliendelea Kumtomasa Vizuri Safari Hii Akichezea Kitovu Cha Mwaija Hali Iliyomfanya Ajibinue Kama Samaki Anaepiga Mbizi.Masilinde Alimlaza Vizuri Kitandani Wakati Huo Chuchu Za Mwaija Zilikuwa Zimevimba Kwa Nyege Na Kuwa Ngumu Na Nyekundu Ndipo Masilinde Alipoanza Kuzibugia Mdomoni Na Kuzinyonya Kama Embe Nyonyo Mwaija Hoi Kabxa Akiwa Ameishiwa Nguvu Alipanua Miguu Kuashiria Yuko Tayari Kwa Lolote Huku Ute Ukianza Kumwagiwa Kumani Ukiashiria Upo Tayari Kupokea Mboo Kutoka Kwa Masilinde...Masilinde Mboo Ilikuwa Imedinda Imevimba Kwa Hasira Huku Misuli Imekakamaa Hali Iliyomfanya Kutokupoteza Muda Wa Kuivua Chupi Ya Mwaija Na Badala Yake Akafanya Kuisogeza Tu Pembeni Na Kuanza Kuigusisha Mboo Yake Juu Ya Mashavu Ya Kuma Ya Mwaija Iliyojaa Utelezi,Alikichezesha Kwata Kisimi Cha MwaijaNa Kumfanya Aanze Kulia Kama Mtoto Mdogo Huku Akimvuta Masilinde Kifuani Na Kumkandamiza Kiunoni Hali Iliyofanya Mboo Izame Kumani Yote Huku Akirudi Nyuma Na Kuanza Kulia Kimahaba "Uuuuuuh'Aaaaaah'Ba...Ba'Taaaaaamu'Mmmmmmmh'Iiiiissssshhh'
Masilinde Hakujali Kelele Hizo Aliendelea Kupiga Mikito Kisawasawa Kama Anamtomba Mwanamke Wa Rika Lake Vile.Alihakikisha Mboo Inasugua Kuta Zote Za Kuma Ya Mwanae Huyo Wa Kambo.Aliongeza Spidi Na Kuanza Kwenda Slow Huku Akikata Viuno Kwa Utamu Wa Kuma Ya Mwaija Kwani Ilikuwa Inabana Na Kuifanya Mboo Ya Masilinde Iweze Kufit Vizury.Mwaija Alikuwa Hoi Huku Akijing'ata Midomo Jicho Likiwa Legelege Kama Mtu Anaeingiza Pamba Masikioni.
Masilinde
alikuwa akimfumba kinywa Mwaija kwani
alizidisha kelele za mahaba
jambo ambalo aliamini lingeweza kumwamsha
mkewe.
Mlio uliokuwa ukitamba sasa ni wa kitanda
ambapo wakati mwingine kililia kwa staili ya
kusulubiwa sana.
“Kwachakwachakwacha. ..”
Ilifika mahali sasa, Mwaija akawa anatoa mlio na kuanza kujibinua Ovyo kitandani akiashiria kuwa anataka kukojoa huku akimvuta Masilinde ambae nae raha zilikuwa zimemzidia na alikuwa anakaribia kukojoa pia.Alianza Mwaija "Sssssssssh"Uuuuuuuuuuh"Baba Nakojoa Mwenzio'Nashindwa Kujizuia Mmmmmmh Nasikia Utamu Aaaaaah"Akawa Tayari Ameshakojoa Na Kumsubiri Masilinde Nae Akojoe Huku Akigugumia Kwa Utamu Na Kufumba Macho Aaarrghhhhh"Asante,Asante Huku Akimbusu Kwny Paji La Uso Na Kwny Maziwa!
***
Masilinde alitoka kitandani, akavaa bukta na
kutimua huku akimwachia denda moja zito
Mwaija.
Mwaija alibaki peke yake sasa , alikuwa akijisifia
moyoni kwamba kiu iliyokuwa ikimsumbua
imekwisha na alijiona ana bahati kubwa ya
kupendwa na baba yake wa kufikia.. .
“Atanisaidia sana . Kama si kunipenda
angenichukia na kama angenichukia
angenifukuza nyumbani kwake ,” alisema moyoni
Mwaija akiwa anausaka usingizi.
***
Masilinde alienda chumbani akijisemea moyoni
kwamba amekuwa mwepesi kupita alivyokuwa
wakati akienda chumbani kwa Mwaija. ..
“Da ! Mtoto anajua mambo yule. Kama kwa
kuibaiba tu ni hivi je siku tukipata nafasi ya
wazi?” alijiuliza akaweka nia kwamba iko siku
atampangia safari mke wake ili yeye na Mwaija
wajimwage kwa nafasi .
***
Kulikucha siku iliyofuata , mama Mwaija aliamka
na hasira fulani siku hiyo ...
“Wee Mwaija. ..”
“Abee mama. ..”
“Mbona umepitisha fagio juujuu tu kwenye
uwanja. .?”
“Nimefagia mama.. .”
“Wee! Usinifanye mimi sina macho .”
Moyoni Mwaija alisema.. .
“Ungekuwa una macho si ungejua mumeo
hayupo kitandani .”
Lakini kwa sauti alisema. ..
“Kweli mama , nimefagia kwa usahihi kabisa .”
Masilinde alitoka nje akiwa ameshajiandaa
kwenda kazini kwake , akaangalia huo uwanja
ambao mama Mwaija alikuwa akimfokea binti
yake kwamba hajafagia sawasawa na
kushangazwa kwani ulifagiliwa vizuri sana .. .
“Nitakubutua makofi sasa hivi , usiniletee ujinga
hapa,” alifoka mama mtu huyo ...
“Mama Mwaija, mbona unamfokea mtoto wakati
uwanja ni msafi sana tena kuliko unavyofagiaga
wewe.”
“Unamtetea siyo?”
“Siyo namtetea , kwa macho tu uwanja
unaonekana umefagiliwa vizuri .”
“Haya we mtetee tu, sijui unamtetea kwa ajili ya
nini!” alisema mwanamke huyo huku akizama
ndani.
Wakati huo , Mwaija alikuwa amesimama
uwanjani hapo, alivaa gauni na kanga moko juu
yake lakini mzigo ulikuwa mzigo kweli ...
“Mwaija mimi nakwenda kazini, baadaye
mama... ”
“Haya baba , hebu chukua namba zangu za simu
unipigie baadaye kuna kitu nataka kukwambia,”
alisema Mwaija huku akizitaja namba zake za
simu.. .
“Kwani una simu?” aliuliza Masilinde kwa vile
hakuwahi kumuona binti huyo akiwa na simu .. .
“Oke, baadaye nitakutumia meseji, sitapiga,”
alisema Masilinde.
Ile anaachana na Mwaija , mama Mwaija
anatokea. ..
“Wewe njoo huku sebuleni, unafanya usafi halafu
unaacha vitu bila kupangapanga , una kichaa
leo?” alifoka mama mtu huyo ...
“Mh ! Au mama amejua baba alikuja chumbani
kwangu nini ? Mbona si kawaida yake, tena
sijawahi kumsikia akimwambia baba ananitetea .
Itakuwa kuna kitu .”
***
Baada ya kufika kazini, Masilinde alimtumia
meseji Mwaija . Hakutaka kupiga akiamini mlio
wa simu unaweza kumfikia mkewe akataka
kujua nani aliyepiga .. .
“Mwaija ,” aliandika hivyo .
Ilikuwa wakati Mwaija anavaa baada ya kuoga,
meseji ikaingia kwenye simu yake ...
“Baba !” alijibu Mwaija .. .
“Uko poa ? Nimekumisi sana!”
“Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba ,
niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani
kwangu?” Itaendeleaaa..
JAMANI BABA Sehemu 08 ILIPOISHIA : Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango polepole. Mwaija alishtuka ... “Haa! Baba !” “Shiiii .” SASA ENDELEA .. . “Mama yuko wapi?” “Amelala. ” “Akiamka je ?” “Hizo ni kazi za shetani lakini sitarajii kama ataweza kuamka muda huu , usingizi wake yule unakuaga mkubwa sana. ” “Kwa hiyo?” “Kwa hiyo nini ? Mimi ndiyo nimekuja hapa sasa .” “Lakini baba .. .” “Lakini baba nini Mwaija? We tufanye yetu mambo yaishe, sawa ?” “Sawa , basi funga mlango , lakini usizime taa ,” alisema Mwaija kwa sauti ya kutetemeka kwa mbali. Alishapanda joto la mahaba , alichokuwa akikihitaji ni mapenzi tu.Wakati Huo Mwaija Alikuwa Amevalia Khanga Moja Tu Iliyofanya Umbo Lake Lakuvutia Lionekane Vizuri Kabxa,Masilinde Alianza Kumtoa Khanga Iliyoacha Mapaja Ya Mwaija Wazi Kabxa Huku Masilinde Akiyashika Kwa Ustadi Mkubwa Sana Huku Mikono Ikichuruzika Mpk Matakoni Mwa Mwaija Ambae Alikuwa Akilalama Kwa Hisia Kali "Aaaaasshhhhhh,Aaannnnnnh"Masilinde Aliendelea Kumtomasa Vizuri Safari Hii Akichezea Kitovu Cha Mwaija Hali Iliyomfanya Ajibinue Kama Samaki Anaepiga Mbizi.Masilinde Alimlaza Vizuri Kitandani Wakati Huo Chuchu Za Mwaija Zilikuwa Zimevimba Kwa Nyege Na Kuwa Ngumu Na Nyekundu Ndipo Masilinde Alipoanza Kuzibugia Mdomoni Na Kuzinyonya Kama Embe Nyonyo Mwaija Hoi Kabxa Akiwa Ameishiwa Nguvu Alipanua Miguu Kuashiria Yuko Tayari Kwa Lolote Huku Ute Ukianza Kumwagiwa Kumani Ukiashiria Upo Tayari Kupokea Mboo Kutoka Kwa Masilinde...Masilinde Mboo Ilikuwa Imedinda Imevimba Kwa Hasira Huku Misuli Imekakamaa Hali Iliyomfanya Kutokupoteza Muda Wa Kuivua Chupi Ya Mwaija Na Badala Yake Akafanya Kuisogeza Tu Pembeni Na Kuanza Kuigusisha Mboo Yake Juu Ya Mashavu Ya Kuma Ya Mwaija Iliyojaa Utelezi,Alikichezesha Kwata Kisimi Cha MwaijaNa Kumfanya Aanze Kulia Kama Mtoto Mdogo Huku Akimvuta Masilinde Kifuani Na Kumkandamiza Kiunoni Hali Iliyofanya Mboo Izame Kumani Yote Huku Akirudi Nyuma Na Kuanza Kulia Kimahaba "Uuuuuuh'Aaaaaah'Ba...Ba'Taaaaaamu'Mmmmmmmh'Iiiiissssshhh' Masilinde Hakujali Kelele Hizo Aliendelea Kupiga Mikito Kisawasawa Kama Anamtomba Mwanamke Wa Rika Lake Vile.Alihakikisha Mboo Inasugua Kuta Zote Za Kuma Ya Mwanae Huyo Wa Kambo.Aliongeza Spidi Na Kuanza Kwenda Slow Huku Akikata Viuno Kwa Utamu Wa Kuma Ya Mwaija Kwani Ilikuwa Inabana Na Kuifanya Mboo Ya Masilinde Iweze Kufit Vizury.Mwaija Alikuwa Hoi Huku Akijing'ata Midomo Jicho Likiwa Legelege Kama Mtu Anaeingiza Pamba Masikioni. Masilinde alikuwa akimfumba kinywa Mwaija kwani alizidisha kelele za mahaba jambo ambalo aliamini lingeweza kumwamsha mkewe. Mlio uliokuwa ukitamba sasa ni wa kitanda ambapo wakati mwingine kililia kwa staili ya kusulubiwa sana. “Kwachakwachakwacha. ..” Ilifika mahali sasa, Mwaija akawa anatoa mlio na kuanza kujibinua Ovyo kitandani akiashiria kuwa anataka kukojoa huku akimvuta Masilinde ambae nae raha zilikuwa zimemzidia na alikuwa anakaribia kukojoa pia.Alianza Mwaija "Sssssssssh"Uuuuuuuuuuh"Baba Nakojoa Mwenzio'Nashindwa Kujizuia Mmmmmmh Nasikia Utamu Aaaaaah"Akawa Tayari Ameshakojoa Na Kumsubiri Masilinde Nae Akojoe Huku Akigugumia Kwa Utamu Na Kufumba Macho Aaarrghhhhh"Asante,Asante Huku Akimbusu Kwny Paji La Uso Na Kwny Maziwa! *** Masilinde alitoka kitandani, akavaa bukta na kutimua huku akimwachia denda moja zito Mwaija. Mwaija alibaki peke yake sasa , alikuwa akijisifia moyoni kwamba kiu iliyokuwa ikimsumbua imekwisha na alijiona ana bahati kubwa ya kupendwa na baba yake wa kufikia.. . “Atanisaidia sana . Kama si kunipenda angenichukia na kama angenichukia angenifukuza nyumbani kwake ,” alisema moyoni Mwaija akiwa anausaka usingizi. *** Masilinde alienda chumbani akijisemea moyoni kwamba amekuwa mwepesi kupita alivyokuwa wakati akienda chumbani kwa Mwaija. .. “Da ! Mtoto anajua mambo yule. Kama kwa kuibaiba tu ni hivi je siku tukipata nafasi ya wazi?” alijiuliza akaweka nia kwamba iko siku atampangia safari mke wake ili yeye na Mwaija wajimwage kwa nafasi . *** Kulikucha siku iliyofuata , mama Mwaija aliamka na hasira fulani siku hiyo ... “Wee Mwaija. ..” “Abee mama. ..” “Mbona umepitisha fagio juujuu tu kwenye uwanja. .?” “Nimefagia mama.. .” “Wee! Usinifanye mimi sina macho .” Moyoni Mwaija alisema.. . “Ungekuwa una macho si ungejua mumeo hayupo kitandani .” Lakini kwa sauti alisema. .. “Kweli mama , nimefagia kwa usahihi kabisa .” Masilinde alitoka nje akiwa ameshajiandaa kwenda kazini kwake , akaangalia huo uwanja ambao mama Mwaija alikuwa akimfokea binti yake kwamba hajafagia sawasawa na kushangazwa kwani ulifagiliwa vizuri sana .. . “Nitakubutua makofi sasa hivi , usiniletee ujinga hapa,” alifoka mama mtu huyo ... “Mama Mwaija, mbona unamfokea mtoto wakati uwanja ni msafi sana tena kuliko unavyofagiaga wewe.” “Unamtetea siyo?” “Siyo namtetea , kwa macho tu uwanja unaonekana umefagiliwa vizuri .” “Haya we mtetee tu, sijui unamtetea kwa ajili ya nini!” alisema mwanamke huyo huku akizama ndani. Wakati huo , Mwaija alikuwa amesimama uwanjani hapo, alivaa gauni na kanga moko juu yake lakini mzigo ulikuwa mzigo kweli ... “Mwaija mimi nakwenda kazini, baadaye mama... ” “Haya baba , hebu chukua namba zangu za simu unipigie baadaye kuna kitu nataka kukwambia,” alisema Mwaija huku akizitaja namba zake za simu.. . “Kwani una simu?” aliuliza Masilinde kwa vile hakuwahi kumuona binti huyo akiwa na simu .. . “Oke, baadaye nitakutumia meseji, sitapiga,” alisema Masilinde. Ile anaachana na Mwaija , mama Mwaija anatokea. .. “Wewe njoo huku sebuleni, unafanya usafi halafu unaacha vitu bila kupangapanga , una kichaa leo?” alifoka mama mtu huyo ... “Mh ! Au mama amejua baba alikuja chumbani kwangu nini ? Mbona si kawaida yake, tena sijawahi kumsikia akimwambia baba ananitetea . Itakuwa kuna kitu .” *** Baada ya kufika kazini, Masilinde alimtumia meseji Mwaija . Hakutaka kupiga akiamini mlio wa simu unaweza kumfikia mkewe akataka kujua nani aliyepiga .. . “Mwaija ,” aliandika hivyo . Ilikuwa wakati Mwaija anavaa baada ya kuoga, meseji ikaingia kwenye simu yake ... “Baba !” alijibu Mwaija .. . “Uko poa ? Nimekumisi sana!” “Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba , niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani kwangu?” Itaendeleaaa..
Artikel Terkait
Story - - - - - NI WEWE TU PENINA. BY GIVAN IVAN PHONE & WHATSAPP____0769673145 Karibuni tuianze story yetu hii mpya yenye kusisimua iliyojaa visa mbali mbali kuhusu mapenzi. Sehemu ya kwanza (1) Mapenzi ya vijana wawili walionza kupendana toka wakiwa wadogo mpaka Sasa wakiwa na umri wa miaka 25 kila mmoja, yalikuwa yakizidi kukolea kila siku na kuwa matamu zaidi na zaidi. Vijana Hawa ni Frank pamoja na Penina. "nahisi kuvurugwa nahisi kufa kufa yaani najiona kama napepea juu juu kwa jinsi navyompenda mpenzi wangu Penina." alikuwa frank akiongea maneno hayo mbele ya wazazi wake pamoja na mdogo wake Wa kike aitwaye Angel. "na siku si nyingi utakuwa chizi wewe sio kwa kupenda huko kaka yangu." akaongea Angel kumuambia Frank. "acha niwe chizi tu mdogo wangu, lakini sio chizi wa kutembea uchi barabarani bali chizi wa kupenda." akaongea Frank maneno hayo na kuwafanya wazazi wake wacheke sana. "lakini mwanangu Sasa inabidi mfanye taratibu mfunge ndoa Sasa." aliongea baba yake Frank. "Hamna shida baba usijali yote hayo yatafanyika muda mfupi ujao. " Akaongea Frank ambaye muda wote furaha ilijaa usoni mwake. *wakati huo huo Penina mpenzi wake Frank naye alikuwa katika moja saloon akitengeneza nywele zake ikiwa ni maandalizi ya kwenda kukutana na mpenzi wake Frank. " Dada nitengeneze vizuri tafadhali maana napenda muda wote niwe navutia mbele ya mpenzi wangu." aliongea Penina kumwambia mwanadada aliyekuwa akimtengeneza nywele. "usijali dada nitakutengeneza vizuri mpaka mwenyewe ufurahi." Dada yule akamjibu Penina na kumfanya atabasamu. Baada ya dakika kadhaa Penina alimaliza kutengenezwa nywele zake na moja kwa moja akazama kwenye pochi yake na kutoa simu yake, kisha akatafuta Jina lililoandikwa my love Frank na moja kwa moja akazipiga namba hizo. * Frank akiwa bado anaongea na wazazi wake ghafla simu yake ilianza kuita, akatoa na kuangalia mpigaji ni Nani. Frank alianza kutabasamu baada ya kukuta mpigaji ni Penina kipenzi cha moyo wake. "haloo mke wangu mtarajiwa mambo vip?" akaongea Frank baada ya kupokea simu. "poa tu mpenzi wangu nimekumiss hadi nahisi kizunguzungu." akajibu Penina. "Asante mpenzi wangu yaani kuachana Jana tu ndio kunimiss hivyo?" " yeah nimekumis sana hebu jiandae nakupitia Sasa hivi tukale bata kidogo. " akaongea Penina kumwambia Frank. " waoow ok najiandaa Sasa hivi utanikuta tayari my love." akajibu Frank na simu ikakatwa. Frank aliwaacha wazazi wake pale sebuleni kisha yeye akaenda kujiandaa kwa ajili ya kutoka na mpenzi wake. Penina naye baada ya kukataa simu aliingia kwenye gari yake nyeupe aina ya rava4 na kuanza kuelekea nyumbani kwa Frank. Tumfahamu Penina vizuri. Penina ni mwanamke mrembo sana aliyebarikiwa na Mungu kuwa na kila kitu kizuri katika mwili wake. Popote pale Penina alipopita aliacha gumzo kwa wanaume ambao walikuwa wakimmezea mate. Penina ametoka katika familia ya kitajiri yenye watoto watatu, wawili wa kike na mmoja wa kiume ambao ni Nolan, Penina na Irene. Penina amefanikiwa kusoma mpaka elimu ya juu kabisa na kufanikiwa kuwa mfanyabiashara mdogo anayechipukia kwa kasi sana. Penina alianza uhusiano wa kimapenzi akiwa kidato cha tatu, na alianza uhusiano na kijana aliyeitwa Frank ambao mpaka Sasa wapo pamoja. Lakini kitu kimoja ambacho kanalitia dosari penzi tamu kabisa la Penina na Frank, ni baba yake Penina kutopenda mwanawe aolewe na Frank. Baba yake Penina hakutaka kabisa mtoto wake aolewe na Frank, yeye alitaka mtoto wake aolewe na mzungu kutokana na uwezo wao wa kipesa. Mama yake Penina pamoja na Nolan kaka yake Penina ndio Watu pekee waliokuwa wanayaunga mkono mapenzi ya Penina na Frank katika familia yao. Lakini Irene mdogo wake Penina pamoja na baba yake Penina ndio watu pekee ambao walikuwa hawataki kabisa kuyaona mapenzi ya Penina na Frank yakiendelea. * Frank yeye anatoka katika familia yeye hali ngumu kimaisha, hawakuwa na uwezo hata wa kuwa na nyumba nzuri kama wenzao. Frank aliishia kidato cha pili kutokana na wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumuendeleza zaidi. Kadhalika pia Angel mdogo wake Frank naye aliishia darasa La saba kutokana na Wazazi wao kutokuwa na uwezo wa kuwaendeleza zaidi. * Baada ya dakika kadhaa Penina aliwasili nyumbani kwa kina Frank, akapaki gari yake pembeni na kushuka Kisha akaingia katika nyumba ya kina Frank ambayo ilikuwa imechoka Sana. "waoow mkwe wetu karibu Sana." mama yake Frank ndio alimpokea Penina kwa furaha Sana. "Asante Sana mama yangu nimekaribia." akajibu Penina huku akiketi pembeni ya mama yake Frank. "eeh mwanetu lete habari." akaongea mama yake Frank. "Sina hata mpya nimekuja kumchukua mtoto wenu." akajibu Penina. Na Muda huo huo Frank akajitokeza akiwa tayari ameshajiandaa. Licha ya umaskini uliopo katika familia Yao, bado Frank alijitahidi Sana katika kuupendezesha mwili wake ili aweze kuendana na mpenzi wake Penina ambae Muda wote alikuwa mtu wa kupendeza tu. "waoow my love mwaaa." Penina ndio alinyanyuka na kumkumbatia Frank na kumuachia busu Zito la shavu. Frank naye hakuwa nyuma alimpokea mpenzi wake kwa furaha pia. Penina pamoja Na Frank waliaga na kutoka nje, wakaingia kwenye gari na kuondoka. "tunaelekea wapi Sasa mpenzi wangu?" akahoji Frank. "surprise my love sikuambii tunaelekea wapi." Penina akamjibu Frank huku akitabasamu. "haya bhana bas nafunga macho mpaka tufike." akaongea Frank na kumfanya Penina azidi kutabasamu.* Katika bar moja iliyopo maeneo ya sinza kikao kimoja kilikuwa kikiendelea, na huku kilichokuwa kikipangwa Katika kikao kile ni namna ya kulivunja na kuliharibu penzi la Penina na Frank. Mzee Joel ambaye ni baba yake Penina, pamoja na Angel ambaye ni mdogo wake Penina pamoja na vijana wengine watatu wa kiume na mmoja wa kike, ndio waliokuwa wahusika wakuu wa kikao kile. .... Itaendelea ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi (10) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp...... 0769673145 Ilipoishia...... Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ***********Endelea ********* Mlango ulifunguliwa na mama yake Frank na kukutana uso kwa uso na Penina. "ooh mwanangu hujambo?" akauliza mama yake Frank. "sijambo mama shikamoo." akasalimia Penina "marahaba karibu ndani." mama yake Frank akamkaribisha Penina. "Asante mama ila nataka nikufanyie surprise." Penina akamwambia mama yake Frank. "hii ipi tena mwanangu usije ukaniue kwa presha." akaongea mama yake Frank, na Muda huo huo baba yake Frank naye akajitokeza sehemu pale na kuungana na mama yake Frank. Penina alisogea pembeni na hapo hapo Frank akajitokeza mbele ya Wazazi wake. Mama yake Frank alijikuta akishindwa kuongea na kumrukia Frank kwa furaha isiyo na kifani. Frank pamoja na Wazazi waliingia ndani huku wakiwa na furaha tele kwa kumuona tena Frank ambaye alitoweka kwa siku kadhaa. Lakini kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kujua ni nini kilimtokea Frank. Frank ilibidi awaeleze kilichomtokea mwanzo mpaka mwisho. Kila mtu alihuzunika kwa hicho kilichomtokea Frank. Lakini pia Penina aliwaeleza pia kilichomkuta kaka yake Nolan na Mpaka Muda ule kaka yake alikuwa bado yupo hospitalini. Lakini hata hivyo furaha ilirejea upya usoni mwa Penina pamoja na Wazazi wake Frank baada ya kumuona Frank kwa Mara nyingine tena. Frank alienda kuoga na kubadilisha nguo Zake zile zilizochakaa na kuvaa nguo zingine nzuri ambazo ziliendana vizuri na yeye. Frank aliondoka na Penina na kuelekea moja kwa moja mpaka Katika hospital aliyopo Nolan kwa ajili ya kumjulia hali. * Lakini kumbe Katika hospital ile, Nolan baada ya kujua kuwa baba yake ndio alimfanyia mchezo ule. Nolan hakubaki tena pale hospitalini alitoroka bila hata kuruhusiwa na daktari na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwao. Penina na Frank baada ya kufika hospitalini pale. Walistaajabu kuambiwa kuwa Nolan hayupo pale hospitalini na hawajui alipoelekea. Penina na Frank waliondoka na kuelekea nyumbani kwa kina Penina wakihisi labda Nolan ameelekea huko. Na kweli baada ya kufika nyumbani kwa kina Penina walimkuta Nolan akiwa ameketi nje ya geti lao huku akionekana kuwa na mawazo tele. "Nolan vip ndugu yangu mbona mawazo tele?" alikuwa Frank akimuuliza Nolan baada ya kumkaribia. Nolan alinyanyua kichwa chake na hakuamini baada ya kumshuhudia Frank akiwa amesimama mbele ya macho yake akiwa pamoja na Frank. "oooh Frank ni wewe?" akauliza Nolan kama vile haamini, Kisha akanyanyuka na kumkumbatia Frank kwa furaha Sana. "nimefurahi Sana kukuona tena Frank, hakika wewe ndio furaha ya mdogo wangu Penina karibu tena Frank." akaongea Nolan kumuambia Frank. Na hapo hapo Nolan akamtaka Frank amueleze ni nini kilichomkuta mpaka akatoweka Muda wote ule. Frank Bila kusita alimuelezea Nolan mkasa mzima uliomkuta wa kutekwa na watu asiowafahamu. Nolan alimhurumia akampa moyo na kumtaka ajikaze kwasababu wana vita nzito mbele yao. Lakini pia Nolan akawaelezea jinsi baba yake mzee Joel alivyomtumia watu waje wamuue kwasababu ya kutetea penzi La Penina na Frank. "ina maana baba anataka akuue?" Penina akamuuliza Nolan kwa mshangao. "ndio nadhani ndio nia yake kwasababu ameona mimi ndio niliyeamua kusimama na kulitetea penzi lenu." akaongea Nolan kwa huzuni Sana. Penina pia alihuzunika Sana mpaka machozi yakaanza kutiririka usoni mwake baada ya kugundua baba yake ndio alipanga njama ya kummaliza Nolan. "lakini msijali kuweni na amani mimi nawakikishia lazima mtaoana na kuwa mume na mke." akaongea Nolan kwa kujiamini. "tunashukuru kusikia hivyo hata sisi tutakuwa pamoja na wewe kwa lolote lile." akaongea Frank naye kwa kujiamini. "Sasa sikilizeni niwaambie, nataka niwasafirishe muende mkakae nchi nyingine kwa miezi miwili alafu mimi nitabakia hapa Tanzania nikifanya taratibu za nyie kufunga ndoa na kila kitu kikiwa tayari nitawajulisha na mtarejea Tanzania kwa ajili ya kufunga ndoa yenu." akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Bila kipingamizi chochote Penina na Frank walikubaliana na wazo la Nolan na kilichotakiwa ni kwenda kujiandaa na kuondoka. "ngoja bas nikajiandae Mara moja." akaongea Penina, lakini Nolan akamzuia na kumwambia. "usiingie ndani tena, sitaki uonane na baba kuanzia Sasa kila kitu utakachahitaji nitakutimizia mimi, katafuteni hoteli yoyote mkae hapo mkijianda na kama na pesa au kitu chochote mtaniambia mimi." aliongea Nolan kwa msisitizo. "ok tumekuelewa tupo pamoja." akajibu Frank Kisha wakaondoka pamoja na Penina. Nolan alinyanyuka pale chini akagonga geti na kufunguliwa na mlinzi na bila kusema kitu Nolan akaelekea moja kwa moja mpaka sebuleni ambapo alimkuta baba yake mzee Joel akiwa ameketi huku akionekana kuwa na mawazo. "Niko sambamba na wewe kwa chochote kile utakachokifanya, sitajali kama wewe ni baba yangu au nani wangu lakini nachotaka utambue Frank lazima amuoe Penina." akaongea Nolan kumwambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake bila kusikiliza baba yake atasema nini. "wewe lazima nikuue wewe hata kama mimi ni baba yako huwezi kuniingilia Katika mambo yangu." akajisemea mzee Joel na kutoka nje kwa kasi mpaka kwenye gari Lake. Mlinzi alifungua geti na moja kwa moja mzee Joel akatoka kwa kasi mpaka Katika hospital waliyolazwa wakina Zaza. Mzee Joel alishuka kwa kasi kwenye gari Lake na kuelekea mpaka Katika chumba walicholazwa wakina Zaza. "Zaza mlifanya nini mbona mmeniangusha kias hiki?" akaongea mzee Joel kwa jazba. "mzee Joel yule mwanao ni hatari Sana hebu ona tulivyovunjwa vunjwa." akaongea Zaza huku akionesha jinsi walivyopigwa na Nolan . "ni bora mlivyopigwa kuliko hichi kingine kilichoibuka." akaongea mzee Joel na kushika kiuno. "nini tena mzee wangu?" akahoji Zaza huku akiwa anajinyanyua pale kitandani alipokuwa amelala. "Frank amerudi" akajibu mzee Joel na kuwafanya wakina Zaza washangae. "yaani kwa kweli mmeniangusha Sana alafu isitoshe Nolan ameshaanza kuota mapembe na kama nyie mmemshindwa bas itabidi nitafute wababe wengine zaidi yenu na nyie lazima nitawaua pesa niliyowapa ni nyingi Sana lakini hakuna cha maana mlichokifanya pumbavu nyie. " akaongea mzee Joel kwa hasira Kisha akageuka na kuondoka. * Penina na Frank waliwasili kwenye hoteli moja ya kifahari na kufanya taratibu zote na kuchukua chumba kwenye hoteli Ile na kulipia kukaa hapo kwa siku tatu. Lakini Frank aliwapa taarifa Wazazi wake ya jinsi mipango inavyofanyika hivyo akawataka wasiwe na hofu yoyote kuhusu yeye.* Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. ............. Itaendelea ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na mbili (12) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp.... 0769673145 Ilipoishia.......... Penina na Frank walishangazwa Sana na maamuzi ya Nolan lakini hata hivyo Nolan hakutaka wamuulize swali lolote, alimwamuru dereva wa tax ile awashe gari na kuondoka. Kisha Nolan naye akaingia kwenye gari yake na kugeuza kuwafuata vijana wale wa the killer na wakati huo walikuwa tayari wameshaungana wote kwa maana ya kikosi kile cha kwanza kilichokuwa kikimtafuta Nolan na kile cha pili kilichokuwa kikimtafuta Frank. *********Endelea ********* Vikosi vile viwili ambavyo vilikuwa kwenye magari mawili viliweza kumuona Nolan akiwa anarudi kule alikotoka. Vikosi vile navyo haraka haraka vikageuza magari yao na kuanza kumfuata Nolan. Nolan aliweza kuwaona wakimfuatilia na ndio kitu ambacho Nolan alikitaka, lakini kilichomshangaza Nolan ni kwamba Sasa anafuatiliwa na magari mawili tofauti na mwanzo walipokuwa wakimfuatiliwa na gari moja. Lakini Nolan hakujali hilo, akaacha barabara na kukataa kushoto na kuingia kwenye njia moja ya vumbi ambayo haikuwa ikipita watu Mara kwa Mara. Nolan baada ya kuingia kwenye barabara ile akasimamisha gari na kushuka ndani ya gari lile. Na sekunde hiyo hiyo magari mawili ya vijana wale wa the killer wakawasili pale alipo Nolan na kusimamisha magari yao Kisha wote wakashuka kwenye magari yao ambao kwa pamoja walikuwa Nane. Vijana wale wa the killer walishaangaa baada ya kufika na kumkuta Nolan peke yake badala ya kuwakuta wote Nolan pamoja na Frank. Nolan alikuwa amesimama pembeni ya gari yake huku akiwatazama vijana wale waliokuwa wakimsogelea taratibu. "mwenzako yuko wapi?" kijana mmoja wa the killer akamuuliza Nolan huku akijaribu kumkamata Nolan kwenye shingo. Kijana yule alijikuta akipokea ngumi Nzito ya tumbo kutoka kwa Nolan ambayo ilimfanya adondoke chini kwa magoti. Wale vijana wengine walishtuka kuona mwenzao alivyotandikwa ngumi ya tumbo. Lakini hata hivyo bado vijana wale waliamini Nolan hawawezi kwasababu wako wengi na wote wana silaha. Vijana wale kwa pamoja wakaanza kumfuata Nolan, Nolan naye akapiga hatua kadhaa na kurudi nyuma na kuwasubiri. Vijana wale walipomkaribia Nolan kwa pamoja wakaanza kurusha ngumi na mateke kumvamia Nolan. Lakini Nolan alikuwa akiwakwepa tu bila kumgusa mtu yoyote, ndani ya dakika tano Nolan alikuwa akiwakwepa vijana wale waliokuwa wakimshambulia bila mafanikio. Lakini Nolan alizubaa kidogo na kujikuta akipokea ngumi Nzito ya uso kutoka kwa mmoja wa vijana wale. Lakini hata hivyo kijana yule aliyembahatisha Nolan ngumi ya uso ikawa ndio mwisho wake wa kuishi duniani, kwani Nolan alimkamata na kuanza kumshambulia kwa ngumi za haraka haraka na kummaliza kwa kumvunja shingo. Wale vijana wengine ndio walishtuka vibaya mno na kuona huyu mtu sio wa kawaida, wakaamua wamshambulie kwa silaha zao baada ya kuona hawatamuweza kwa mkono. Vijana wale walichomoa bunduki zao na kuziweka tayari kummaliza Nolan. Lakini Nolan alikuwa tayari ameshaingia kwenye gari na kuondoka kwa spidi kali na kuwaachia vumbi kali Vijana wale. Nolan aliamua kukimbia baada ya kuona vijana wale wakitoa bunduki zao, hivyo asingewaweza kwa sababu yeye hakuwa na silaha yoyote. Vijana wale nao hawakumuacha waliingia kwenye gari na kuanza kumfuatilia Nolan. Lakini mpaka pale Nolan alikuwa tayari ameshawapoteza vijana wale na yeye Sasa alikuwa ameshika njia ya kuelekea nyumbani. * Mzee Joel akiwa ameketi sebuleni kwake akisubiri majibu ya kuuwawa kwa Frank na Nolan simu yake ilianza kuita na alipoangalia mpigaji ni nani alikutana na Jina la Dickson, kijana ambaye mzee Joel ndio anataka amuoe mtoto wake Penina. Mara moja mzee Joel akaipokea simu ile. "mzee Joel habari yako?" akauliza Dick baada ya simu yake kupokelewa na mzee Joel. "salama kijana wangu habari ya huko"? Akajibu mzee Joel na kuuliza. " huku Safi tu, Sasa mimi nilikuwa nataka nije kumchukua Penina moja kwa moja nahitaji kuwa na familia Sasa. " akaongea Dick kumwambia mzee Joel. " kijana wangu usiwe na haraka tunaweka mambo Sawa na Muda wowote tutakuita uje umchukue mke wako. " akaongea mzee Joel kumpa moyo Dick. " unaweka mambo Sawa unaweka mpaka lini kama ni pesa nikekupa za kutosha mbona unanizungusha zungusha tu au nikuongezee pesa zingine? " akaongea Dick huku akionesha kuchoshwa na namna mzee Joel anavyomzungusha. "kijana wangu tafadhali naomba utulie Penina ni wako usiogope." mzee Joel akamwambia Dick. "nitulie nitulie mpaka lini nakuja Tanzania kujua Kwanini unanichelewesha kumuoa Penina na wakati nimeshakupa pesa nyingi Sana." akaongea Dick na kukataa simu. Mzee Joel alihisi kuchanganyikiwa hakujua afanye nini ili aweze kumuunganisha Penina na Dick. Na wakati huo huo mlango ulifunguliwa na akaingia Nolan huku akiwa amechafuka kwa vumbi. "Wewe mbwa mbona unaingia ndani kwangu bila hodi?" mzee Joel akamuuliza Nolan huku akiwa amevimba kwa hasira. "mzee tulia huu mchezo umeutaka mwenyewe lazima Frank amuoe Penina." akaongea Nolan maneno hayo ambayo yalizidi kumpandisha hasira mzee Joel na kujikuta akimrushia Nolan glass ya maji iliyokuwa kwenye Meza. Nolan aliigonga ngumi glass ile na kuipasua pasua. "ukiniletea upuuzi na wewe nitakupasua pasua kama hiyo glass." Nolan akamwambia baba yake mzee Joel na kuelekea chumbani kwake. * Frank na Penina baada ya kufika uwanja wa ndege walifuata taratibu zote na hatimaye wakafanikiwa kuingia ndani ya ndege na dakika chache baadae walikuwa angani wakielekea South Africa. "kama tukifanikiwa kufunga ndoa nitafurahi Sana yaani furaha nitakayokuwa nayo sidhani kama itaelezeka." aliongea Penina huku akiwa amejiegemeza kwenye kifua cha Frank. "usijali mpenzi kila kitu ambacho kinatokea kimepangwa na Mungu na vitakavyotokea mbele ni Mungu pia anajua, hakuna mwanadamu asiyependa furaha." akaongea Frank kwa upole kumuambia Penina. "ni kweli mpenzi wangu." akajibu Penina na safari ikaendelea kwa masaa kadhaa na hatimaye wakawasili South Africa Katika jiji la Johannesburg na kuchukua chumba Katika hoteli moja ya kifahari. Baada ya kupumzika kwa dakika kadhaa Penina na Frank waliwasiliana na Nolan na kumjulisha jinsi safari yao ilivyokuwa. Nolan aliwataka wakae kwa amani na wasiwe na hofu yoyote yeye anaweka mambo Sawa na yakiwa tayari bas atawajulisha. * Vijana wa the killer bado walikuwa wakimtafuta Nolan na Sasa waliwasili nyumbani kwa kina Nolan na kukutana na mzee Joel ambaye aliweza kuwaambia Nolan yupo ndani na akawaelekeza chumba chake wakammalizie huko. Vijana wale taratibu walianza kuelekea Katika chumba cha Nolan, lakini kwa bahati mbaya ama nzuri Nolan aliwaona. "mmeamua kunifuata mpaka nyumbani nyie mmeisha." akajisemea Nolan Kisha akatoka chumbani kwake akiwa kifua wazi na kukutana na vijana wale sebuleni. Kilikuwa kitendo cha kushtukiza vijana wale hawakutarajia kukutana na Nolan sehemu Ile. Kitambo waseme waweke silaha zao tayari Nolan alianza kuwashambulia, na baada ya dakika chache Nolan aliwaweka vijana wale wote chini kwa kuwavunja vunja sehemu za miili yao. Mzee Joel ndio hakuamini baada ya kuingia ndani na kukuta vijana wote wamelazwa chini alafu kidogo hivi akatokeza Nolan akiwa amepigilia suti nyeusi Kisha akamwambia baba yake ambaye ni mzee Joel, "naenda kwenye kikao cha harusi ya Penina na Frank na kama utahitaji kadi unijulishe nikuletee ya kwako." ....... Itaendelea. ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 03* Sehemu Ya Tatu (3) Baada ya kusema vile aliingiza mkono mfukoni na kutoa pochi alihesabu noti tatu za kumi kumi na kunipa. “Mpelekee hizi mwambie nitakuja.” Nilizipokea na kufunga kazi zangu, pamoja na penzi letu kufa bado nilipelekwa na kurudishwa nyumbani na gari. Nilipofika nyumbani nilikwenda chumbani kwangu, kabla ya kufanya kitu chochote nilivua nguo zangu na kubakia mtupu kama nilivyozaliwa mbele ya kioo kikubwa na kujitazama upya kasoro katika mwili wangu. Nilituliza macho na kuyazungusha taratibu mwilini mwangu kuangalia nina kasoro gani inayonifanya kila kukicha nipoteze wanaume. Kila hatua niliyokuwa nikipiga katika kusafirisha macho yangu nilijigundua nina sifa kubwa sana ya kuitwa mwanamke mrembo tena mwenye kumtia hamu ya mapenzi mwanaume rijali. Umbile langu kwa mimi mwenyewe kama ningekuwa mwanaume na kukutana na mwanamke mwenye umbile kama langu ningemganda kama ruba, lakini kwangu ilikuwa na tofauti kubwa sana. Baada ya kujigundua sina kasoro mwilini nilijikuta nikilia huku nikisema kwa sauti ya chini. “Hali hii mpaka lini?” ”Hali ipi?” Sauti ya Bi Shuu iliuliza nyuma yangu ilionesha Bi Shuu alikuwa ameingia kitambo bila mwenyewe kujua. Niligeuka na kwenda kujitupa kifuani kwake huku nikilia kwa uchungu. “Vipi tena mwali?” “Bi Shuu huu mkosi.” “Wa nini?” “Na Mateja kanimwaga.” “Kwa nini unasema hivyo?” Nilimweleza yaliyotokea ofisini huku nikilia. “Ulimwambia namwita?” “Amesema atakuja wikiend.” “Basi kazi hiyo niachie mimi.” “Siamini kama atakusikiliza.” “Ngoja aje, nitajua mbichi na mbivu.” “Mmh, sina matumaini.” “Hebu kaoge nikupe michapo.” Nilikwenda kuoga ili nipate michapo ya Bi Shuu ambaye alinihakikishia kunipigania mpaka mwisho. Nini kitaendelea? Tukutane wiki ijayo. Mwisho wa wiki Mateja alikuja kuonana na Bi Shuu, alipofika waliingia kwa Bi Shuu. Nilikuwa na hamu ya kusikia alitaka kumuuliza nini juu yangu, nilijitahi kusikiliza dirisha la sebuleni la Bi Shuu lakini sauti walizokuwa wakizungumza zilikuwa za chini sikuweza kusikiliza waliyokuwa wakizungumza japo kuna muda nilisikia Mateja akisema. “Ilikuwa vigumu kuja kuyasema haya kwako, kwa vile mpaka anafikia umri alionao niliamini ni vigumu kubadilika.” “Mmh kama ni hivyo nina kazi nzito, naomba unipe muda vinaonesha chukuchuku havijaungwa.” “Hapana Bi Shuu nakuheshimu sana, lakini tumechelewa ungeniita mapema tungeweza kulipatia ufumbuzi. Sasa hivi nipo katika mipango ya harusi na kila kitu kipo katika hatua za mwisho,” kauli ile ilinikata maini. “Mmh, sawa nimekuelewa.” “Basi bibie wacha nikuache tutaonana,” nilimsikia Mateja akiaga ili aondoke. “Lakini naomba usimfukuze kazi mjukuu wangu.” “Bi Shuu suala la kazi haliingiliani na mapenzi, sitamgusa katika kazi hilo usihofu.” “Kama ni hivyo nashukuru, lakini Manka kapoteza dume la haja.” “Kila kitu mipango ya Mungu.” Nilimshuhudia Mateja akihesabu nyekundu tano na kumpatia Bi Shuu ambaye alishukuru nusra amlambe viguu Mateja kwa pesa aliyompa. “Asante bwana yangu,” Bi Shuu alishukuru. “Kawaida Bi Shuu ukiwa na shida mtume Manka usiogope.” Mateja aliaga ili aondoke, nilitoka haraka dirishani kwa Bi Shuu na kukimbilia chumbani haraka. Nilijikuta nikiangua kilio kutokana na niliyoyasikia nusu kwa Bi Shuu, niliamini nilikuwa nimechelewa kuyasikia ya mwanzo kuhusu tatizo langu. Niliamini kosa lilikuwa langu nilitakiwa nimueleze mapema Bi Shuu kuhusiana na mabadiliko ya Mateja. Kwa kauli ya Mateja kama ningewahi ningeweza kulikoa penzi langu. Nikiwa nimejiinamia kitandani nilikia nilishtushwa na mlango kugongwa. Nilijua ni Bi Shuu ambaye hakutakiwa kugonga, lakini sikutaka kumlazimisha nilipaza sauti yangu ya kilio. “Ingia mlango upo wazi.” Mlango ulifunguliwa macho yangu yalimshuhudia Mteja akiingia ndani mwangu baada ya miezi sita toka alipokata mawasiliano na mimi. Alikuwa wa kwanza kuniuliza baada ya kukutana na michirizi ya machozi kwenye mashavu yangu. “Vipi Manka unaumwa?” “Ndiyo,” nilidanganya kwa vile sikuwa na cha kumwambia. “Nini tena?” “Kichwa.” “Ooh, pole sana, umemeza dawa?” “Bado.” “Basi nyanyuka nikupeleke hospital.” “Kitapoa tu.” “Basi kama utazidiwa utakwenda hospitali.” Mateja alisema huku akinisogelea mkononi alikuwa ameshikilia pochi na kunikabidhi elfu hamsini huku akisema. “Kama utazidiwa zitakusaidia kwenda hospital.” Nilitaka kuzikataa zile pesa kwa vile shida yangu haikuwa pesa bali yeye mwenyewe. Nilitaka kumuuliza tatizo langu nini lakini niliamini nilikuwa nimechelewa nilitakiwa kuuliza mapema na si muda ule ambao alinionesha mpenzi wake mbele ya macho yangu. Nilipokea zile pesa Mateja aligeuka na kuondoka akiniacha nilikilia kilio cha kwikwi, baada ya kuondoka Bi Shuu aliingia na kunisimamia kama jini la kutumwa mkono kiunoni. “Manka kwenu hakuna unyago?” Lilikuwa swali la kwanza bila kujali kilio changu. “Unyago! Ndio nini?” “Mafunzo ya msichana kujitambua na jinsi ya kumridhisha mwanaume kitabia na kimapenzi?” “Sikuwahi kuyasikia.” “Mmh, ndiyo maana.” “Una maana gani kusema hivyo?” “Umepoteza wapenzi kwa kutojua mwanamke anatakiwa kumridhisha vipi mwanaume.” “Kwani kuna kitu gani amekueleza Mateja?” “Tutazungumza na kulifanyia kazi.” Baada ya kusema vile alitoka na kuniacha na mawazo kibao juu ya maswali yake na kitu alichoambiwa na Mateja. Nilijiuliza kutopata mafunzo ya usichana yanahusiana vipi na kukataliwa na wanaume. Nilijikuta nikijizoazoa hadi kwa Bi Shuu kutaka kujua Mateja kamwambia nini. Nilipofika nilimkuta akizurudia kuzihesabu pesa alizopewa na Mateja, aliponiona aliziweka pembeni na kunitupia macho. “Mmh, mwali una jipya gani?” “Bi Shuu naomba unieleze ulichopelezwa na Mateja juu yangu?” “Nitakueleza kwa vitendo si la maneno.” “Matendo! Una maana gani?” “Nimepata sababu ya wewe kukorofishana na wanaume, inaonesha wazi hukupitia mafunzo ya usichana. Nina kazi na wewe, mi ndo Bi Shuu bwana kila mwali aliyepitia mikononi mwangu kila aliyeonja hakutema. Najua wanakutema kwa vile unawalisha vya chukuchuku.” “Vya chukuchuku! Una maana gani?” “Utajua baada ya kuviunga kisha uwaonjeshe kama hukuolewa narudi kijijini kwetu japo toka nitoke kwetu kumebakia magofu. Lakini nakuhakikishia nakutia mikononi mwangu halafu nisikie, eti bwana bwana kaniacha,” Bi Shuu alishikilia pua na kusemea puani. “Nakwambia najua kuviunga vya chunguni mpaka vya mwilini, wala hujachelewa sasa hivi mtu akigusa amenasa.” “Utafanyaje?” “Nataka uombe likizo ya mwezi mmoja tena nitakuombea mimi kwa Mateja ili niviunge viwe vitamu.” “Vitamu! Vipi hivyo?” “Nataka ukiguswa usisimke, ujue mwiko upo katika chungu au upo juu ya mfuniko, kumpa mwanaume mpaka asuse. Usilale kama gogo uoneshe basi upo safarini na si kukapua macho kama kibaka akimvizia mtu.” “Mmh, mbona umeniacha njia panda.” “Leo nataka kumbadili Mchaga awe kama Mmakonde.” Mmh, kila alilozungumza kwangu lilikuwa geni, nilisubiri niungwe ili niwe mtamu kwa mwanaume. Niliendelea na kazi yangu huku moyo ukiniuma kulipoteza penzi la Mateja, na mpenzi wake kutaka sifa kila muda wa chakula cha mchana lazima ampitie na wakitoka walikumbatiana na kuzidi kuniumiza. Lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokeo. Wiki moja baadaye Bi Shuu alinituma nimwite Mateja, kama kawaida nilimfikishia ujumbe wake, naye hakuwa na hiyana alikubali wito. Ilikuwa ajabu katikati ya wiki Mateja kukubali kwenda kumsikiliza Bi Shuu, tena aliniomba nikitoka kazini niongozane nae. Baada ya muda wa kazi niliongozana na Mateja hadi nyumbani, tulipofika aliingia kwa Bi Shuu na kuniacha nikiingia chumbani kwangu. Nilijikuta nikijawa na mawazo juu ya wito ule Bi Shuu alikuwa na kitu gani ambacho alichomuitia Mateja. Niliamini kabisa kama kutaka kumrudisha kwangu itakuwa ngumu kutokana na kila kitu kujionesha juu ya Mateja na mpenzi wake mpya. Nilipofika ndani hata hamu ya kuvua nguo iliniisha na kujikuta nikitoka na kujipitisha jirishani ili nisikie alichoitiwa na Bi Shuu. Lakini sauti ya Bi Shuu ilinishtua kwa kuniita, moyo ulinishtuka kutaka kujua naitiwa nini? Niliingia sebuleni na kumkuta Mateja amekaa kwenye kochi akiwa ametulia. Bi Shuu aliponiona aliniambia. “Manka kwenye friji yako kuna soda?” “Mmh, jana nilimalizia nilikuwa na mpango wa kuweka leo.” “Basi nifuatie dukani.” “Bi Shuu si lazima achana nayo,” Mateja aliingilia kati. “Hapana babu lazima unywe soda.” Siku zote Mateja hakuwa na makuu alimkubalia Bi Shuu, baada ya kupewa pesa nilipitia chupa na kwenda dukani haraka ili niwahi mazungumzo yao. Nilipofika dukani nusra nipasuke kwa hasira baada ya kukuta wateja wengi kwenye duka la Mpemba. Sikutaka kusubiri nilikimbilia kwenye grosary iliyokuwa mbali kidogo. Nilinunua soda haraka haraka na kurudi hadi karibu na nyumba na kuanza kunyata hadi dirishani ili nisikilize wanazungumza nini. Nilipofika dirishani nilimsikia Mateja akisema. “Hakuna tatizo Bi Shuu kila kitu kitakwenda kama unavyotaka.” “Kama hivyo nitashukuru.” Baada ya mazungumzo yale palipita ukimya mfupi huku sauti za nyayo zikielekea mlangoni, nilichepua mwendo hadi mlangoni na kukutana uso kwa uso na Bi Shuu. “Vipi mwali mbona umechelewa?” “Dukani kwa Mpemba kumejaa watu ilibidi nisogee mbele kwenye grosary.” Bi Shuu aliipokea soda na kuingia nayo ndani, nilibakia mlangoni nikijiuliza niingie au niende chumbani kwangu. Kupata jibu la nifanye nini lilinifanya nisimame kwa muda pembeni ya mlango. Kabla sijapata jibu nilishtushwa na sauti ya Mateja. “Manka kumbe upo hapa?” “Ndi..ndi..yo,” maskini nilipata kugugumizi cha ghafla. “Wacha niondoke zangu.” “Haya, karibu,” nilijibu kwa aibu huku nikiangalia chini. Mateja kweli alinichoka bila kuongeza neno alinitipa na kuelekea kwenye gari lake, Bi Shuu alimsindikiza mpaka kwenye gari. Nilibakia nikimsindikiza kwa macho. Baada ya Mateja kuondoka Bi Shuu alirejea, alipofika alinishangaa kunikuta nimetawaliwa na simanzi usoni mwangu. “Vipi mwali?” “Aah, kawaida tu.” “Acha kujitia ukiwa, kila kitu kina wakati wake na wakati ndio unakuja.” “Kwani Mateja kasemaje?” “Aseme nini?” “Kwa hiyo amekubali?” “Akubali nini?” “Kwani ulimuitia nini?” “Kuhusu likizo yako.” “Kasemaje?” “Amekubali.” “Naanza lini?” “Sijajua lakini amekubali.” “Mmh, haya.” Niliachana na Bi Shuu na kwenda chumbani kwangu kujiandaa na kujimwagia maji ili nipumzike. ********* Siku ya pili nikiwa ofisini niliitwa na Mateja kunitaarifu kukubaliwa likizo yangu ambayo ingeanza wiki itakayofuata kwa kukamilisha kazi zangu zote muhimu. Nilipewa pesa ya likizo na kujiandaa kwenda kwenye unyago wa kiutu uzima ili niugwe niwe mtamu mwanaume akigusa anate. Baada ya kumalizia kazi za ofisi kwa wiki niliyopewa, niliruhusiwa kurudi nyumbani kuanza likizo. Nilirudi nyumbani na kumkuta Bi Shuu ambaye kabla ya kuweka makalio chini aliniuliza. “Mmh, umepewa likizo?” “Nimepewa.” “Basi kazi yote niachie mimi.” Siku ile nilipumzika bila kugusiwa kitu chochote, lakini alfajiri niliamshwa na kupelekwa kuogeshwa maji baridi kisha nilifungwa upande wa kanga bila nguo ingine ndani. Aliniongoza hadi katika chumba kimoja cha ndani kilichokuwa kitupu. Chini kwenye sakafu kulikuwa na maji kuonesha amemwagwa, baada ya kuingizwa mule ndani wakati huo kibaridi kilikuwa kikinichanyata. Bi Shuu alifunga mlango kwa nje na kuniacha nimesimama nikijiuliza ameleta mule ndani nifanye nini? Ajabu muda ulikatika nikiwa nimesimama, miguu ilichoka na kujiuliza mbona harudi ameniweka mule ndani ili iwe nini. Kukaa chini nilishindwa kutokana chini kuwa na maji na muda ule ubaridi kilikuwa kikali sana. Niliposhika mlango ulikuwa umefungwa kwa nje nilijaribu kuita kwani nilikuwa nimechoka kusimama zaidi ya saa moja. Hakukuwa na jibu la mtu yoyote. Nilijawa na mawazo juu ya kuwekwa chenye chumba chenye maji kisha kusimamishwa kwa muda mrefu. Nilijiuliza unyago wenyewe kama ndio ule kwangu niliamini nitashindwa. Niliamua kukaa kwenye maji huku kibaridi kikizidi kunichonyota, kutokana na uchovu nilijiegemeza kwenye ukuta na usingizi ulinipitia. Nilishtushwa na maji ya baridi niliyomwagiwa ndoo nzima, Bi Shuu alikuwa mbele yangu akiwa amekunja uso kwa hasira na kunifokea kwa sauti ya juu. “Haya ndiyo yanakufanya ukose wanaume kila kukicha, mwanamke mvivu kama nini, kukuacha muda mfupi umeshindwa kuvumilia na kuuchapa usingizi kwenye maji.” “Samahani Bi Shuu.” “Haya fanya usafi haraka,” alisema huku akinitupia tambara kukausha maji. Nilichukua tambara na kuanza kufanya usafi kwa kukamilia maji kwenye ndoo mpaka nilipokausha, Bi Shuu alirudi na mkeka ambao aliutandika kisha alitoka na kurudi na chai. Tulikunywa chai kisha aliniacha nipumzike kwa kuniacha na kipande cha kanga tu. Jioni ilipofika Bi Shuu aliingia ndani na kuniketisha kitako na kuanza kuniuliza maswali. “Manka kitu gani wakati wa mapenzi hukipendi?” “Mmh, vingi lakini tabia ya wanaume kunisumbua wakati wa kilimo huna sikupendi.” “Mmh, kingine?” “Ni hilo hilo tu.” “Nimekuelewa, kuna vitu vingi vya kike vimekupita kushoto, siku hizi wanaume hawapendi mwanamke anayelala kama gogo, husisimki wala hutingishiki.” “Bi Shuu nitikisike vipi au nisisimke vipi?” “Ndiyo maana leo umo humu ndani, ukitoka utajua unasisimka vipi na unatikisika vipi?” “Mmh, haya.” Mmh, hukuwepo ila malaika wako alikuwepo, sikujua alichonipa Bi Shuu kilikuwa adhabu au mateso. Niliwekwa mikao ambayo haikuwa tofauti na ile niliyokuwa nikiwakatalia wanaume, kila nilipotegea nilitandikwa bakora ya mgongo iliyotua sawia kwenye mgongo mtupu. Kila siku nilikuwa nikifanyishwa mazoezi yagumu ya viungo ambayo yalikuwa mateso mazito, kuna kipindi nilifikiria kumwambia bora aniache nilivyo kuliko mateso yale. Lakini Bi Shuu alikuwa mkali kama pilipili hakutaka mchezo hata kidogo hata nilipochoka bado alinilazimisha huku akisema. “Kushinda kuchoka ndiyo siri ya kumkata kiu mwanaume.” Nilibebeshwa mzigo kichwani nikiwa mtupu na kuanza kuchomwa na sindano kiunoni kitu kilichinifanya nishtuke kwa kuchezesha kiuno. Haikuishia hapo nililazwa chini na kubebesha mzigo kiunoni na kuendelea kuchomwa na kitu cha ncha ambacho kilinifanya nijinyonge nyonge bila kupenda. Niliendelea na mazoezi makali chini ya kungwi wangu Bi Shuu huku akinipa mbinu nyingi za kumchanganya kimapenzi mwanaume. Kuna mambo mengine siwezi kuyasema gazetini lakini Bi Shuu koma. Toka nizaliwe sikuwahi kukutana na mwanamke Shankupe kama yeye. Mtoto wa kike nilifundishwa maneno ya kusema mtu akiwa juu ya mnazi wangu, pumzi za kutoa wakati mwiko upo ndani ya chungu na akianza kugeuza maini nilitakiwa nilegee vipi huku macho na pumzi nizifanye vipi. Najua mwenzangu mie mwenye viuno kama vimefungwa mbao na wakati wa mapishi unatulia unasubiri mtu amwage mzigo akimaliza anyanyuke. Lakini ukikutana na bibi huyu lazima bwana akutaje jina. Mwezi mmoja mtoto wa kike nilipikwa nikapikika, baada ya mafunzo mazito Bi Shuu kwa ushambenga wake alinitafutia mwanaume ili kutaka kunipima baada ya mazoezi. Sikukataa kwa vile nilijua kile ndicho kipimo, mtoto wa kike nilijiandaa kuonesha kilichoniweka ndani kwa mwezi mzima. Cha ajabu Bi Shuu alitaka mchezo ule nichezee chumbani kwake, mmh, makubwa madogo yana nafuu. Sikutaka kumbishia kwa vile nilikuwa na usongo na mafunzo ya Bi Shuu ambayo yalinifanya nijiamini na kumtamani mwanaume nimtoe kamasi nyembamba. Baada ya kijana aliyechaguliwa na Bi Shuu kufika alikaribishwa chumbani kwa Bi Shuu, nilijikuta nikiwa na usongo na yule kijana ambaye alikuwa mmoja wa vijana walioninanga sijui kucheza nilipokutana naye siku ya kwanza. Baada ya kuingia ndani nilimpokea juu juu na kumtoa nguo maungoni kama kuku aliyechinjwa na kunyonyolewa manyoya. Baada ya kumuandaa mtoto wa kike huku mwili ukinisisimka baada ya kukiona kijiti cha kupokezana kwenye mbio fupi. Mtoto wa kike nikiwa nataka kufanya mtihani wangu wa kwanza kwa umakini mkubwa huku nikipitia hatua moja baada ya nyingine. Nilimlamba mwili mzima kama mama mbuzi akimsafisha mwanaye baada ya kumzaa, nilijua kutumia ulimi wangu. Nilipofika kwenye shina la mnazi mtoto wa kike nilitulia kwa muda huku vidole laini na ulimi ukifanya kazi yake. Mara nilimuona kijana wa watu akitetemeka kama amekunywa coka ‘ngriiiiiiiiii’, maskini kumbe alikuwa akilia chozi lisilo na msiba. Kijana wa watu naye akabadili upepo na kunirudishia mashambulizi. Mtoto wa kike nilipoguswa nililegea na kuzitoa pumzi huku jicho likipoteza kiini cheusi. Kwa mara ya kwanza niligundua kumbe mwili kila sehemu una raha yake kuishinda nyingine. Kama nilivyofundishwa na Bi Shuu kila nilipoguswa nilisema neno lake. Baada ya mshike mshike wa maandalizi cha chakula, hatimaye kiliiva na kutengwa mezani. Nilimpokea juujuu huku nilionesha jinsi gani mtoto wa kike nilivyoshikika, mtoto wa kike sikuwa na haraka nilifuata mwiko ulivyogeuza maini ili kumfanya mpigaji na mwimbaji wasitofautiane. Mtoto wa kike nilimaliza maneno yote mdomoni, sikuamini kutatalika kama bisi kwenye chungu cha moto. Mpaka mchezo unakwisha nilikuwa nipo hoi kwani niliamini vilikuwa vitamu kijana wa watu kila alipomaliza alileta sahani aongezewe. Nami nilimpakulia naye alijilia huku akigugumia kama dume la njiwa lenye wivu. Huku nikilia mara nne kwa utamu wa msiba. Lazima niseme ukweli kuna kipindi nilitaka kunyanyua mikono, maji yalikuwa shingoni, nyonga iligoma kutokana na kutokuwa na uzoefu wa kuyakata mawimbi. Bi Shuu alinieleza kumfurahisha mwanaume si nyonga tu, hata kujua kuyapangilia maneno hasa kumsifia hakuna mwanaume kama yeye pia anajua kumshikisha punda adabu kwa kumtandika bakora balabala. Baada ya nyonga kugoma na kukiona kiuno kikiwaka moto, nilitumia sauti kumsindikiza mwenzangu mpaka alipofika juu ya mnazi. Kijana wa watu hakuamini ilibidi aniulize. “Manka, kumbe mambo unayaweza mbona ulikuwa uninikatili, mambo haya ungenipa tokea zamani sasa hivi ungekuwa mke wangu.” “Nilikulisha vya chukuchuku lakini sasa vimeungwa ndio maana unaviona vitamu.” Kijana wa watu bila kutegemea alinipa elfu 50 kama asante ya kumpa penzi tamu ambalo alikiri hakuwahi kulipata kwa mwanaume yoyote. Baada ya kuondoka na kuniacha nimejilaza baada ya kuhisi uchovu kila kona ya mwili kutokana na mshike mshike wa kufanya majaribio ya vitendo. Bila ya kujigeuza usingizi mzito ulinipitia juu ya kitanda cha Bi Shuu. Nilishtuka baada ya masaa matatu nikiwa nausikia mwili mchovu kila kona, Bi Shuu aliniamsha na kukuta ameniandalia maji ya kuoga. Nilioga kupunza uchovu na kurudi ndani ambako chakula kilikuwa tayari. Tulikula pamoja kisha tulipumzika sebuleni, cha ajabu niligundua Bi Shuu akiniangalia kwa kuniibia kitu kilichonifanya nimuulize. “Bi Shuu vipi?” “Kuhusu nini?” “Naona kama unanivizia kunitazama kuna nini si uniambie.” “Mmh, kweli ulikuwa na usongo.” “Wa nini Bi Shuu?” “Kazi umeifanya vizuri japo kuna kipindi ulichemsha.” “Ulijuaje?” “Nilikuwepo muda wote toka unaanza mpaka unamaliza, kwenye maandalizi nakupa mia kwenye sauti na pumzi sabini kwenye mchezo wenyewe hamsini.” “Jamani Bi Shuu kujitahidi kote unanipa hamsini.” “Manka kwanza nashangaa mtu ulikuwa hujui lolote umeweza kupata hamsini wengi huwa chini ya hapo.” “Bi Shuu kama nina hamsini nimeweza kupewa zawadi nikipata mia itakuwaje?” “Mia kupata ni kazi kwa vile maungo yako yalikakamaa muda mrefu lakini utaweza kufika hata sabini kwa bidii yako.” “Mapungufu yangu ni nini?” “Kutumia nguvu nyingi ambazo hukufanya upumue kwa kasi sana kitu kinachokufanya uchoke sana, pia papala ya kukata nyonga. Mwanzo uliweza kwenda sawa lakini ulipoanza kuchoka alifanya bora liende. Lakini mwanzo ni mzuri. Kwa uwezo wako huo na kuonesha ulikuwa makini kwa kuyashika mafunzo, inaonesha nikikuongezea matirio kama kwenye mpira ni ujanja wa kuweza kumsoma mwanaume. Kila mwanaume ana amambile tofauti na mwenzake na wengine wana nguvu kama kirafu unatakiwa kufanya nini.” “Bi Shuu nitashukuru nimeteseka sana, kwa nini sikuyapata mafunzo haya mapema ili kuweza kumdhibiti Mateja,” Nilijikuta nikidondosha chozi kulikumbuka penzi la Mateja nililolipoteza kutokana na kutokujua sheria za kitandani na kunifanya niendeshe ovyo na kusababisha ajali za kutoelewa alama za kitandani. “Manka usiwe kama kipofu aliyefumbua macho na kumuona chura na kuamini hakuna kama chura chini ya jua, mbona kuwa wanaume zaidi ya Mateja” “Bi Shuu ni kweli usemayo lakini Mateja niliamini ni mwanaume sahihi kwangu.” “Ni kweli, lakini kisicho riziki hakiliki we jipange ukikolea utamu nakuhakikishia nitakutafutia bwana Mateja cha mtoto. Kwanza nataka niyafanyie kazi makosa madogo madogo ambayo yatakufanya kila atakaye gusa atangaze ndoa. Nataka umlize mwanaume kama mtoto mdogo, umeisha ona mtoto akinyang’anywa ziwa jinsi anavyolia?” “Ndiyo.” “Basi nataka mwanaume chozi limtoke, kuna vitu vidogo wanawake hawajui, vitu hivyo ukimfanyia mwanaume kama ameoa lazima aitelekeze nyumba yake. Mchele mmoja lakini unatofautiana katika mapishi, hii nyumba jasho la mwili wangu pale nilipompata mume wa mtu. Leo hii naishi kwangu nawe nataka uwe mara mbili yangu.” “Bi Shuu mbona wasichana hatuna vitu hivi?” “Siku hizi uzungu umetawala na kujikuta wakipoteza vitu vingi vya kumfurahisha mwanaume. Kumfurahisha mwanaume kitandani si kigezo pekee cha kuilinda nyumba yako. Kuna vitu vingi ambavyo vipo nje ya kitanda. “Kuna wasichana wengi wana nyonga laini kama unakula keki lakini wana mapungufu kama chujui la nazi ambayo hayawezi kumfanya atulie kwa kwenye ndoa yake. Kama tabia yako nzuri ulichanganya na machejo ya kitandani hata utakita hata ndege utanunuliwa japo mwenzio hana uwezo wa kununua baskeri.” “Mbona hujanifunda na hivyo?” “Siwezi kukuichanganya kimoja kimoja, kwanza tunatengeneza mtego akiingia anase, ukimaliza mafunzo ya mwili tunarudi tena kilingeni ili mumeo aone tofauti ya magumegume na mwanamke.” “Bi Shuu mbona nimechoka sana.” “Umelia mara ngapi?” “Mara nne.” “Mara ya mwisho ulilia mara ngapi ulipokutana na mwanaume kabla ya leo?” “Mara mbili sijawahi kulia zaidi ya hapo.” “Ndio maana, lazima uchoke umeukamua mwili sana na shughuli haikuwa ya kitoto kuna kipindi kidogo nisimamishe mpambano mlikuwa kama mnataka kutoana roho.” “Bi Shuu umejuaje?” “Nikuambie mara ngapi nilikuwa nafuatilia toka mwanzo mpaka mnamaliza” “Jamani Bi Shuu kumbe ulikuwa unanipiga chabo,” Mbona niliona aibu mtoto wa kike, jamani bibi huyu ana mambo kumbe mwenzie nahenyeka yeye anapiga chabo. “Sasa ningejuaje mapungufu yako.” “Mmh, makubwa madogo yana nafuu.” “Na hayo mengine lini maana muda wa kurudi kazini umekaribia.” “Wiki iliyobakia inatosha, kapumzike jioni kama kawa mpaka kieleweke.” “Wacha nikalale naona mwili sio wangu, kwenye pesa hiyo chukua nusu niachie nusu” “Asante mwali, nina imani sasa umeamini nilichokisema kinatimia” “Wee mwisho Bi Shuu je, ungenikamata ndio unavunja ungo naona kila aliyenionja angeniganda kama ruba.” Baada ya mazungumzo nilimuomba Bi Shuu nikapumzike mwili ulikuwa na uchovu, nilikwenda chumbani kwangu kulala kwa kulifungulia feni mpaka mwisho mtoto wa kike nilijiachia kitanda kizima. ******* Kama kawaida Bi Shuu aliniamsha kwenye chakula cha mchana na baada ya chakula cha mchana nilioga na kupanda tena kitandani. Sikuamini mwili kuchoka kiasi kile, Bi Shuu alinieleza ni kutokana na kuzoea kulala kama gogo kitandani lakini siku ile niliushughulisha mwili hata kumwaga machozi manne kitu ambacho hakikuwa kawaida yangu. Nilipogusa kitandani usingizi haukuchelewa kunichukua, Bi Shuu aliniamsha saa mbili za usiku nilikwenda kuoga kisha nilipata chakula cha usiku. Baada ya chakula nilipumzika kidogo na kuingizwa unyagoni kumalizia muda ulipobakia kwa kunipa mbinu za kummiliki mwanaume kwa sauti na matendo huku tabia ikiwa ndiyo uliyochukua sehemu kubwa. Katika mafunzo siku moja alinipa nipike chakula baada ya kupika tulikula wote, kesho yake alinipa nipike tena chakula kilekile, lakini hakunipa chumvi. Nilipomuuliza alisema nipike vile vile na muda wa kula nilishindwa kumuelewa baada ya kunieleza nipakue, nilipakua na kukila bila chumvi. Tulikula wote bila kujua chakula kile kwa nini tulikila bila chimvi. Sikutaka kumuuliza kwa vile hakikuwa kingi tulikuwa na kukimaliza wote. Baada ya chakula usiku Bi Shuu akiwa ameniweka chini aliniuliza. “Manka kuna tofauti gani ya chakula ulichopika jana na leo?” “Tofauti yake cha jana kina chomvi lakini cha leo hakina chimvi.” “Kipi chakula kizuri?” “Cha jana.” “Kwa sababu gani?” “kina chumvi lakini cha leo hakina chimvi.” “Mbona umekila.” “Nilishindwa kuelewa ulikuwa na maana gani.” “Lakini bila hivyo usingekula?” “Nisingekula.” “Unajua nilikuwa nina maana gani?” “Hata sijui” “Hii nakuonesha yaisha ya ndani ya ndoa, wanawake wengi wanawalisha wanaume chakula kisicho na chumvi. Wapo wanaokosa uvumilivu huvunja ndoa lakini wanaoburuzwa na mapenzi hula chakula kisicho na chumvi kila siku na kuishia kunung’unika moyoni.” “Lakini Bi Shuu kama mkewe hamuwekei chumvi anashindwa vipi kuchukua mwenyewe kuweka kwenye chakula” “Swadakta swali zuri, ndio maana kukuweka huku ndani vitu vingi huvifanya kwa mafumbo jibu lake huwa ndio maisha yako ndani ya mahusiano yako. Chakula na chumvi sikuwa na maana hiyo bali kukueleza matatizo ndani ya nyumba nyingi wanawake wengi ndoa zao uziondoa chumvi bila wao wenyewe kujua” “Kivipi?” “Nyumba nyingi mwanzo wa mapenzi huwa moto moto kama kumpokea mpenzio akirudi kumtengea chakula kula pamoja kuoga pamoja kuwa karibu yake kumpoza uchovu wa kutwa nzima ambao ndiyo tiba ya mwanaume kutoitafuta faraja nje ya ndoa yake. “Wengi baada ya muda baadhi ya vitu hundoka kabisa na ndoa kuendeshwa kimazoea, moyoni lazima utasema hivi nisivyofanya kuna nini kwani hawezi kufanya mwenyewe. Kuacha kuyafanya hayo ni sawa kuondoa chumvi kwenye mahusiano yako na kumfanya mpenzio kula chakula kisicho na chumvi. “Wengi huvumilia na kuumia moyoni lakini wasio na uvumilivu huitafuta chumvi hiyo nje ya ndoa. Hapo ndipo tatizo linapoanza na kuipoteza ndoa yako bila kujua tatizo ni wewe mwenyewe. Kuondoa baadhi ya vitu ndani ya ndoa yako kama kutompokea mumeo au kutokula na kuoga pamoja ni vitu vinavyo mwanaume huona vya kawaida lakini ni ufa mkubwa katika ndoa. “Penzi halizeeki bali mwili ndio unazeeka, vyote nilivyokueleza usikipunguze hata kimoja ukiingia katika ndoa yako. Nakuhakikishia bwana atakaye kuoa watu watasema umemuwekea libwata, limbwata mwali ni kumlea mumeo kama mtoto. Nina imani umenielewa” “Mmh, kweli nimekubali Mungu kakujalia kumtengeneza mwanamke, nina imani ungenieleza kwa maneno ningekuelewa nusu lakini kwa vitendo nimekuelewa zaidi. Asante Bi Shuu” “Nashukuru kuonesha ni muelewa na mtu mwenye usongo na mafunzo” “Lazima Bi Shuu niwe na usongo nimeteseka sana” Nilimalizia mafunzo huku akilekebisha mapungufu aliyoyaona kwenye mtihani wangu wa kwanza.” Nilikuwa sijawahi kula kungu mtoto wa kike nilikula kungu jicho ukiniangalia utanionea huruma. Nilimaliza mafunzo salama, kabla ya kuanza kazi alinitafutia tena mwanaume mwingine naye alikuwa mmoja wa wale walioninanga mwanzo. Nilikuwa na imani alikuja akijua ni yule Manka wa mwaga msigo babangu kisha uondoke. Mafunzo niliyopata ya mwisho mtoto wa kiume chozi lilimtoka, kwenye maandalizi tu alilia zaidi ya mara tatu. Mtindo huu nilifundishwa kama sitaki kutumika sana kwanza namchosha mwanaume mwenye maandalizi. Hata ulipoingia baharini nusra anifie maji baada ya kushikwa na pumu katikati ya safari, machejo yalimfanya aifukuze Land Curuser VX kwa bajaj. Ilibidi niingie kazi ya kumpepea asinifie, baada ya kurudi katika hali yake ya kawaida aliniangalia mara mbili. “Ni wewe Manka au naota” “Kwani vipi?” “Hata siamini, kumbe ulikuwa unafanya makusudi” “Ulikuwa vya chukuchuku sasa vimeungwa” ”Una maana gani?” “Si umeona mwenyewe si la kusimuliwa” “Nimekubali lazima nirudie” ”Mmh, cha kunifia kifuani hapa namefungulia injini moja katika injini nne si ungebadilika jina.” “Manka naomba nikuoe.” “Ni haraka sana vuta subra” “Lakini niwe mmoja wa watu wa mbele kufikiriwa.” “Hakuna tatizo” Yule kijana ambaye alikuwa kama mlevi aliniachia laki moja ya asante” Baada ya kuondoka Bi Shuu kama kawaida yake alitoa tathimini yake. “Mwali japo mpinzani wako hakuonesha upinzani lakini umejitahidi sana tena sana, sasa nina uwezo wa kukueleza kapambane na mtu yoyote. La muhimu kuzingatia niliyokueleza hakika kila atakayehusa lazima anate sasa hivi mwili wako ni asali yenye ulimbo” Maneno ya Bi Shuu yalinifanya nijiamini nimeanza kuiva kimapigano, kwa vile muda ulikuwa umekwisha jumatatu ilipofika nililipoti kazini kwangu. Nilimkuta aliyekuwa amenishikia, baada ya kunipokea alinielekeza kazi za kufanya na yeye kuendelea na majukumu mengine. Kuna kitu kimoja nilisahau kukueleza baada ya kukaa ndani kuchezwa nilipotoka nilitakata na kunawili mtoto wa kike. Nikiwa naendelea na kazi bosi wangu dear zilipendwa aliingia ofisini, ilionesha hakujua kama naanza kazi siku ile. Alipofika hakuniangalia alinisalimia. “Za saizi?” “Nzuri” “Ile kazi tayari?” “Ndiyo namalizia” ’Baada ya muda gani” ”Dakika kumi” “Ok, fanya haraka.” Baada ya kusema vile aliingia ofisini kwake, ilionesha hakujua kama nipo mimi. Baada ya kumaliza kazi niliyoikuta niliprinti na kumpelekea, alikuwa bado ameinama nilipofika mbele yake nilisema. “Bosi kazi tayari” Sauti yangu ilimshtua na kunyanyua macho, kwa mshangao wa ajabu alisema. “Ha! Manka umekuja saa ngapi?” “Toka asubuhi” “Ina maana nimekupita kwenye ofisi yako?” “Ndiyo bosi” “Ooh, samahani sana” “Kawaida tu bosi wala usijisikie vibaya,” mtoto wa kike nilikuwa nimekwenda kimitego na kumuomba Mungu Mateja ajichanganye sijui aonje kidogo. Niliapa ningefanya aliyofundishwa na mengine nisiyo yajua ili kuhakikisha anakutana na vitu vipya katika medani ya mapenzi. Mtoto jicho lilikuwa limelegea kidogo jicho lilionekana kwa kujipaka wanja chini na juu na kuongeza uzuri wangu. Japo nilijijua mi mzuri, lazima mzuri ujijue kabla hujasifiwa na watu, lakini mapungufu yangu Bi Shuu aliyamaliza mengi niliyokuwa nayo. Mateja ilionekana kama kuchanganyikiwa kuniona nimebadika nimependeza na ninavutia tena kimitego ya kike hasaa. “Manka ulikuwa unakula nini?” “Kwa nini bosi?” nilimuuliza kwa sauti laini huku nikimchanulia tabasamu ya kufa mtu huku jicho nalo likizungumza. “Hapana, umependeza na unavutia” “Nashukuru kwa hilo ila moja umesahau” “Lipi hilo?” “Sasa hivi si Manka chukuchuku ila Manka huyu kaungwa akaungika” “Una maana gani?” “Bosi nitakuomba kesho nikukaribishe chakula cha usiku” “Mmh, hakuna tatizo kwa vile wiki hii ni ya mwisho baada ya hapo nitakuwa katika maandalizi ya harusi.” “Hakuna tatizo kazi njema.” “Na wewe pia.” Baada ya kumkabidhi kazi yake nilirudi kuendelea na kazi yangu, moyoni niliapa kama kweli atakubali mwaliko wangu amekwisha.Muda wa mchana Mchumba wake alimuijia kama kawaida na kwenda naye kupata chakula cha mchana. Japo moyo uliniuma lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokeo kutokana na makosa kuyafanya awali. Jioni niliporudi nilimueleza Bi Shuu mwaliko niliompa Mateja kuja kula chakula cha usiku. “Mwali akiingia amekwisha, hakikisha anaisahau ndoa yake” “Bi Shuu la kuuliza hilo” “Nakuaminia mtu wangu.” “Naiona kama kesho inachelewa” “Itafika punguza munkari, usije yakakamia maji” “Si hivyo Bi Shuu nakuhakikishia kuyafanya yote kwa umakini mkubwa labda asije.” ***** Siku ya pili nilikwenda ofisini na kuendelea na kazi bosi alipokuja alinisalimia. “Mrembo hujambo” “Sijambo bosi simshindi wifi” “Manka mbona umefika mbali salamu umeijibu sivyo” “Samahani bosi, za nyumbani” “Mmh, salama sijui zako.” “Nami namshukuru Mungu, haya nipo ndani” “Sawa bosi” Kabla ya kuingia ofisini aligeuka na kuniuliza. “Mwaliko wa usiku upo vile vile au kuna mabadiliko” “Hakuna mabadiliko” “Haya,” alisema huku akifungua mlango na kuingia ofisini kwake. Baada ya kuingia ofisi nilibaki nilikuwa siamini kama nimesikia vizuri kuulizia mwaliko, niliona dalili njema zimeanza asubuhi jioni ni kumalizia tu. Huwezi amini siku hiyo nilifanya kazi kwa furaha ya ajabu kama Mateja amenikubali nirudiane naye. Jioni kabla ya kuondoka aliniaga na kuniahidi angekuja usiku. “Kweli Mateja utakuja?” “Kama siji ningekuambia” “Karibu sana mpe..” Mungu wangu nilitaka kujisahau kumwita mpenzi wakati tuliisha achana long time a go. “Niite tu mpenzi wala usijisikie vibaya,” “Hapana bosi” “Haya baadae” Mateja aliondoka na kuniacha nikipanga vizuri vitu vyangu kabla ya kurudi nyumbani. ********* Nilkipofika nyumbani Bi Shuu aliniomba siku ile aandae chakula cha mgeni, sikuwa na hiyana mtoto wa kike nilimuacha afanye mambo yake. Nilikiandaa chumba changu na kukiweka katika hali ya usafi wa hali ya juu, kama kawaida Bi Shuu alinipatia mafusho ya manukato mazuri. Baada ya kuhakikisha chumba changu kinapendeza niliingia kuoga mtoto wa kike na kujifusha utuli huku nikipaka wanja wa sina mume ambao lazima mwanaume barabarani akusalimie. Baada ya kusimama mbele ya kioo kujitathimini, nilizidi kujisifia mtoto wa kike kwa upendeleo niliopewa na mwenyezi. Baada ya kuhakikisha nipo sawa, nilikunywa kungu na kuanza kujisikia nikisisimka mtoto wa kike kama mamba mwenye njaa. Nikiwa nimekaa mkao wa kula kumsubiri Mateja, mara aliingia Bi Shuu na kuniongezea mambo fulani ya muhimu pindi Mateja akiingia chumbani kwangu. “Mwali nilitaka kusahau kwa vile anajua anakuja kula chakula na kuondoka cha kufanya akiingia tu, ukimvamia kwa kumkumbatia huku akimbusu hakikisha mikono yako inafanya kazi ya haraka kumvua nguo bila kuchelewa mpatie upande wa kanga. Wakati huo mimi nitakuwa tayari nimepeleka maji ya kuoga bafuni niliyoyawekea viungo. Nani alikuambia wanawake wa Tanga ndio wanajua mahaba, nataka Mateja akiondoka kila kitakachokuja mbele yake akione shombo.” “Nimekuelewa Bi Shuu.” “Sio umenielewa bahati hairudi mara mbili, itumie kubadili matokeo.” “Matokeo ya nini Bi Shuu?” “Ukimaliza kilicho tupotezea muda nitakwambia.” “Nitafuata maelekezo yako.” Baada ya kutoa maelekezo Bi Shuu alirudi kumalizia kutengeneza maajumati ya mgeni rasmi. Majira ya saa moja na nusu gari la Mateja lilisimama mbele ya nyumba yetu, ajabu usongo wote niliokuwa nao uliyeyuka kama donge la mafuta katika kikaango cha moto. Nilijikuta nikijawa na hofu juu ya nilichokipanga kumpa Mateja kama ataingia katika mtego wangu. Nilijihisi kupoteza ujasiri niliokuwa nao kabla ya Mateja hajaja, niliikandamiza mikono yangu kifuani na kubana pumzi na kukaa kwa muda kuvuta ujasiri kisha niliitoa na kushusha pumzi nzito. Baada ya kujipa ujasiri nilijitengeneza haraka haraka ili kujiweka sawa japo nilikuwa nimejiweka kimitego ya kike hasa. Ndani nilivalia kufuri la bikini la rangi nyekundu juu nilivalia kanga nyepesi ukituliza macho unaona kila kitu cha ndani. Wakati huo chumba kilikuwa kikinukia utuli kila kona mimi mwenyewe nilikuwa kama Hululaini malaika wa daraja la juu. Jicho mtoto lilikuwa lemelegea kwa kungu huku mwili ukisisimka kama nyoka mwenye hasira aliyepandisha sumu kwa ajili ya kumgonga mtu. Wakati nikifanya matayarisho ya mwisho kabla ya kumpokea Mateja mbele ya kioo, Bi Shuu muda huo alikuwa amempokea. “Wawooo mwanaume huyo.” “Niambie kipenzi changu?” Sauti ya Mateja ilisikika. “Niseme nini mkeo nawe umetupa jongoo na mti wake.” “Bi Shuu kama ningetupa leo ningeonekana hapa?” “Mateja kula nisishibe heri nisipewe.” “Bi Shuu heri nusu shari kuliko shari kamili na kidogo si haba kuliko kukosa kabisa.” “Nitakuwezea wapi mtoto wa Kisukuma aliyejifanya Mzaramo kwa kujifanya unajua kuyageuza maneno.” “Vipi nimewakuta?” Mateja aliuliza mimi ndani kiroho paa! “Umewakuta wamejaa tele wewe tu,” mmh, maneno ya Bi Shuu yalijaa nahau na misemo na kuzidi kuniweka njia panda. Wakati nikijua hodi itapigwa wakati wowote nilipandisha tena pumzi na kuzishusha kisha nilijiandaa kumpokea. Mara mlango uligongwa. “Hodi ndani?” “Karibu,” nilimkaribisha huku nikikaa mkao wa chura kuruka. Mara mlango ulifunguliwa na Mateja aliingia, mtoto wa kike nilijizoazoa na kumkumbatia. “Ooh, karibu mpenzi.” “Asante za hapa?” “Nzuri.” Mtoto wa kike niliutambaza mdomo wangu na kutua kwenye mdomo wa Mateja ambaye alikuwa bado amepigwa na butwaa, nikihema kama mgonjwa wa pumu. Mateja alinipokea na kubadilishana mate, mikono yangu alipata nafasi ya kumvua shati. Baada ya kumvua shati nilimsukumia kitandani na kumlalia juu, kwa haraka nilimalizia na vilivyokuwa vimebaki chini kisha nilimpatia upande wa kanga. Kila nililolifanya siku ile kwa Mateja kilikuwa kigeni kwake niliamini alijua bado Manka wa mwaka 47 hohehahe asiyejua chochote. Niliamini muda huo Bishuu alikuwa ameisha peleka maji yaliyochanganywa na viungo bafuni. Nilimshika mkono Mateja na kutoka naye nje kumpeleka bafuni kuoga, Bi Shuu kweli alikuwa amepania mlangoni nilikuta kuna ndala mpya. Mateja alivaa na kuongozana naye hadi bafuni. “Karibu mpenzi uoge.” “Asante.” Nilimwacha Mateja bafuni na kurudi ndani kujiandaa kumlisha vilivyoungwa na Bi Shuu. Kabla sijaweka tako chini Bi Shuu aliingia bila hodi na kusema kwa sauti ya juu. “Wee mwana, ndio unafanya nini?” Kauli ile ilinishtua sana. Kutokana na makosa ya kuruka baadhi ya sehemu katika hadithi ya wiki iliyopita kufikia hatua ya kuwachanganya wasomaji. Leo tutaelezea kwa ufupi toka Mateja alipomuona Manka ofisini mpaka kufikia hatua ya kumsubiri chumbani. Baada ya Mateja kushtuka kumuona Manka jinsi alivyopendeza kwa muda ambao hakuwepo kazini alimsifia kuwa amependeza mara dufu. Naye Manka alitumia nafasi ile kumkaribisha Mateja chakula cha jioni kwake. Mateja alimkubalia na kumuahidi angefika jioni kwa ajili ya chakula. Manka aliporudi nyumbani alimueleza Bi Shuu kuwa Mateja amekubali kuja kula chakula cha jioni. Bi Shuu alimueleza asiipoteze nafasi ile adimu ahakikishe kama atakubali kuvila vilivyoungwa basi achanganyikiwe. Bi Shuu alimuomba kazi ya kupika chakula aifanye yeye ya kuandaa chakula cha ujanani kwake pale alipokuwa akimtengenezea mpenzi wake. Baada ya makubaliano na Bi Shuu Manka aliingia ndani kujiandaa kwa ajili ya kumpokea Mateja kwa kufanya usafi wa mwili na chumba huku akifusha udi na asumini kumwagia kitandani. Yalikuwa mafunzo tosha ya Bi Shuu ambayo Manka aliyafanyia kazi. Baada ya kila kitu kuwa tayari Manka alimsubiri kwa hamu Mateja mpaka alipofika. Baada ya kumuandalia maji na kumuacha aoge peke yake ndipo Bi Shuu alipomfuata na kumuuliza amefanya nini. Ili kujua kosa lake nina imani mpaka sasa tupo pamoja, haya tuserereke pamoja… Kauli ya Bi Shuu ilinishtua na kujiuliza nimefanya kosa gani tena. “Bi Shuu nimefanya nini?” “Manka haya ndiyo makosa mnayafanya sana wanawake wengi, kwa nini umuache aoge peke yake. Nenda kaoge naye ikiwezekana anza kumliza kilio cha raha bafuni.” Mmh, mtoto wa kike haraka nilitelemsha nguo ya ndani na kubakia na upande wa kanga nyepesi na kumuwahi Mateja kabla hajajipaka sabuni. Nilipokaribia bafuni Mateja alikohoa kumaanisha kuna mtu. “Mm..mm..mmh.” Nilisukuma mlango na kumkuta amejipaka sabuni usoni, alipofumbua macho aliniona nipo mbele yake. “Aah, kumbe wewe?” “Ulidhani nani?” “Nilifikiri kuna mtu kaingia kwa bahati mbaya.” “Nilikwenda kutoa nguo ili tuje tuoge wote,” nilidanganya. “Sasa mbona hukuniambia kama tunaoga wote uliondoka kimya kimya.” “Nilijua nakuwahi.” “Haya tuoge.” ITAENDELEA ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU! Nilikua mgeni katika ile nyumba, ingwa haikua mara yangu ya kwanza kufanya kazi za ndani lakini bado nilikua ninaogopa ogopa Dada (Mama mwenye nyumba) alionyesha mkali sana kwani ile kuingia tu alishanipa mashariti elfu kidogo. Nilishaambiwa sehemu ambazo siruhusiwi kukanyaga, vitu ambavyo siruhusiwi kugusa na majina ya kuwaita wote mule ndani. “Sitaki unite Mama unanizeesha unafikiri mimi naweza kuzaa kinyago kama wewe!” Hiyo ndiyo ilikua kauli yangu ya kwanza kukaribishwa nayo mara tu baada ya kumsalimia na kumuita Mama. Kweli hakua mtu mzima, lakini kwakua katika nyumba niliyoondoka nilikua nimezoea kumuita bosi wangu Mama nilijua ni heshima nayeye atapenda kuitwa hivyo. “Huko ulikotoka kwanini ulifukuzwa?” Aliniuliza kwa hasira, sijui hata nilimfanya nini lakini alionekana na kisirani chake tu. “Sikufukuzwa dada niliamua tu kuondoka, walikua …” “Eeeeh! Mimi si shoga yako kuanza kuniambia matatizo yako, nyamaza nishakuambia sitaki kukusikia, nenda jikoni huko! Unajua kupiga au niwakufundishwa kila kitu!” Alinikatisha kabla ya kujielezea kisha kuendelea kufoka. Nilimuambia najua akaniambia niingie jikoni kuanza kazi. Ulikua mchana kwani niliondokea kwa Shangazi yangu (si Shangazi kweli ni mtu ambaye alinilete tu mjini). Niliingia jikoni na kukuta lundo la vyombo, sikua na haja ya kuelekezwa, nilishakua House Girl mzoefu hivyo nilijua nini cha kufanya. Nilianza kuosha na ulipofika wakati wa kupika nilimuuliza tunapika nini. Nashukuru safari hii alinijibu vizuri hivyo nilichukua kile nilichelelekezwa na kumpikia. Kutokana na kelele za nyumba niliyotoka na uzungu wa Bosi wangu wa zamani nilikua najua kupiga si kitoto, ile milenda milenda yangu ya kijijini niliiacha huko huko hivyo nilipompikia tu na kuweka chakula mezani, alikifurahia ingawa hakusema chochote lakini hakulalamika, hiyo ilikua dalili njema kwangu. Katika nyumba niliyotoka baada ya kuwatengea chakula nilikua nasubiri mpaka wamalize kula, hii ni kwasababu kama kikitokea kitu cha kutumwa basi niwepo kuwasikiliza. Huwa nasimama pembeni kama wale madhouse girl wa kwenye TV kusubiria mpaka mabosi wangu wamalize kula ndiyo huingia jikoni na kujitengea chakula changu. Nilishazoea hivyo na kwakua ilikua ndiyo nyumba yangu ya kwanza nilijua labda mjini kote ndiyo hali ilivyo. “Unasubiri nini hapo si uende jikoni huko ukajipikie au wewe huli?” Aliniuliza kwa hasira, nilitaka kumjibu kumuelezea nilivyozoea lakini hakutaka kusikiliza, jicho alilonikata niliondoka kama chizi nikikimbia. Nilifika jikoni na kupakua chakula, nilikaa chini ili kula. Lakini kabla hata sijafikisha tonge mdomoni alikuja, alikua kasimama pembeni yangu. “Ndiyo unafanya nini?” Aliniuliza, macho yake yalikua katika chakula. “Nakula ma…dada…” Kidogo nisahau na kumuita Mama. “Pumbavu unakula nini? Yaani unakula chakula ambacho ninakula mimi! Hivi una akili kweli unataka kuwa sawa na mimi, nikulipe elfu thelathini na chakula ule kama mimi!” Aliongea kwa hasira, alikipiga teke chakula kisha kutoka, alirudi na ndoo ya dagaa na kunirushia. “Kuna ndoo ya dona iko hapo, pika ugali wako ule. “Aliongea kwa hasira huku anaondoka, alienda kwa sekunde kadhaa na kurejea. “Upike mwingi kuna mwenzako anatoka shule atakuja kula na wewe!” aliondoka na kuniacha pale. Nilianza kuchambua Dagaa ambao wengi walikua wameoza, unakutana na wadudu kabisa. “Haya mapya! Nimeruka mkojo nimekanyaga mavi!” Niliendelea kujiongelesha huku nikichambua dagaa ambao walishaanza kunitia kichefuchefu. Huko nilikotoka nilikua nanyanyaswa lakini angalau nilikua nakula chakula cha mabosi wangu hata kama nilikua nalia jikoni! *** Jioni jioni hivi kama saa kumi na nusu watoto wake walikuja, walikua watatu. Mmoja mkubwa kuliko wenzake Jackline na wengine wadogo Joan na John, hawa walilingana kwani walikua mapacha. Baada ya kubadilisha nguo niliambiwa niwatengee chakula, nilifanya hivyo kwa kuweka sahani tatu mezani. Lakini Jackline ambaye alikua na miaka kumi hakukaa mezani, alikuja jikoni ambapo nilikua naandaa chakula cha usiku. “Wewe ndiyo Dada mpya, shikamoo…” Alinisalimia tena kwani alishanisalimia wakati nawafungulia geti ili waingie. Niliitikia kwa wasiwasi kwani nilishaambiwa nisiongee na wanae hivyo niliogopa hata kumjibu salamu. “Chakula changu kiko wapi?” Aliuliza, huku akikaguakagua vyombo. “Chakula si nimeshawatengea sebuleni?” Niliuliza kwa mshangao, hasira zilinipanda kidogo kwani nilishajua kuwa kumbe mbali na kudili na Bosi kichomi basi ningedili na mtoto mdogo kama yule ambaye ana kisirani. “Baba amesafiri mimi siruhusiwi kula sebuleni nnatakiwa kula na wewe!” Sikumuelewa niliuliza mata mbilimbili ndipo kwa utulivu kabisa alinieleza kuwa yule hakuwa Mama yake mzazi bali ni Mama wa kambo hivyo kila Baba yake anaposafiri yeye haruhusiwi kula chakula sebuleni na wengine mpaka anaporejea. Chakula anachokula ni cha Dada wa kazi. Kusema kweli hilo lilikua jingine jipya, labda kwakua nilikua sijafanya kazi katika nyumba ambayo Bosi ana mtoto wa kambo. Niliwaza kile chakula ambacho nilipika kwaajili yangu, nikawaza wale dagaa kisha nikamuangalia yule mtoto na kumuambia. “Jack, si unaitwa Jack… “Nilimuuliza. “Ndiyo Dada!” Alijibu kwa upole. “Huwezi kula kile chakula, hata mimi kimenishinda, hembu ngoja nikutengee kingine, mbona kiko kingi tu watamwaga hawa!” Niliongea huku nikimtafutia sahani ili kumpakulia chakula lakini alikataa katakata, aliniambia nitapigwa sana kama nikila chakula kingine. Alinionea huruma mimi pia nakuniambia hata Dada mwingine alifukuzwa kazi kwakua alikua ananipakulia chakula cha wengine. Alionyesha kuogopa mpaka na mimi nikaogopa kwa namna alivyokua anaogopa. “Huyu ni mwanamke wa namna gani mbona yuko hivi!” Niliwaza nikimuangalia Jackline, alikua kachoka lakini alijitahidi kuonyesha yuko sawa, mara kwa mara alikua akitabasamu huku akijilazimisha kucheka. Aliniongelesha ongelesha kutaka urafiki, kweli nilimuonea huruma machozi yalinilengalenga. Kwangu ule ulikua ni mtihani mpya ambao sikujua nitaumalizaje. *** Siku mbili baadaye Baba mwenye nyumba alikuja, huyu yeye niliambiwa nimuite Baba na nilifanya hivyo bila kuuliza maswali. Alikua ni kijana tu wa makamo au sijui niseme mtu mzima mwenye muonekano wa kijana. Alikua mchangamfu na alipokuja kila mtu alikua na furaha, si Jackline au watoto wake wengine nyumba ilikua kama imemwagiwa gunia la furaha. Hakukua na kupika mara mbilimbili, hata mimi niliambiwa nikae kwenye meza kubwa, hakukua na kutumwa tumwa kwani Baba akiwepo wakati wa kula ni kula na wote alituchukulia kama wanae. Ilikua ni kama unaishi katika nyumba nyingine tofauti kabisa, Dada alikua mchangamfu akiongea kwa kucheka mara kadhaa akimkumbatia Jackline. Hata mimi alinitambulisha kwa bashasha akinisifia kwa ufanyaji kazi wangu. Kweli nilishangaa “Mbona sielewe, huyu Mama yako wa kambo mbona kama anabadilika sana kama si yeye?” Nilimuuliza Jackline, alijiibaiba kukaa jikoni wakati wenzake wakiangalia TV, Baba yake akiwepo alikua haruhusiwi kufanya kazi yoyote. “Nimeshamzoea, anaigiza tu Baba akiwepo?” “Kwahiyo Baba yako hajui chochote?” “Hapana, nilishamuambiaga zamani lakini hakuniamini, niliishia kupigwa tu. Nilimuambia Mama kwanza aliposema kwa Baba akaambiwa nina wivu hivyo kukatazwa hata kuja kuniona, ilileta ugomvi mkubwa siku hizi kila nikilalamika naambiwa nimetumwa na Mama kuja kumfitinisha Mama Mdogo…” “Mama yako wewe yuko wapi? Kwanini huendi kuishi na Mama yako?” Yuko kijijini, waligombanaga na Baba zamani, hawakuoana, Baba alinichukua nikiwa mdogo na kunileta hapa, mimi sijui mambo hayo ila Mama yangu naongea naye tu kwenye simu mara moja moja lakini simkumbuki hata sura, hata sijui mimi mambo yao.” Aliongea kana kwamba ni mtu mzima, alionyesha kupitia mambo mengi na hakukua na mtu wa kumsikiliza. Nilipokuja kufuatilia nilikuja kugundua kuwa Mama yake na Baba yake hawakua wapenzi, ni watu tu walikutana na mimba ilipotokea basi Mama yake alivyokua akidai matumizi kipindi hicho ashaoa aliamua kumnyang’anya mtoto kwa nguvu. Kwao ni Iringa hivyo alimnyang’anya na kumchukua kipindi akiwa na miaka minne na tangu wakati huo alikua akiwasiliana naye kwa simu tu. Ana Mama yeka mkubwa, Dada wa Mama yake ambaye yuko Dar lakini naye haruhusiwi kumuona kwani ndiyo alimuambia kuhusu manyanyaso na kumuambia Mama yake ambaye alipoongea na Baba yake ukawa ugomvi mkubwa. Sikua na la kuongea zaidi ya kunyamaza tu kwa namna alivyokua akiongea ni kama alishakata tamaa ya maisha muda mrefu, sikujua ni kwa namna gani naweza kumsaidia kwani hata mimi nilikua na matatizo yangu. Usiku wakati wa kulala sikuolazwa stoo kama kawaida, hapana, niliambiwa natakiwa kulala katika chumba kimoja na Jack. Ulikua ni utaratibu wao, Baba akiwapo na mimi nakua mtoto na lala chumba kimoja na Jack. Usiku baada tu ya kuingia Jack alizima taa, nilishangaa kwani hata kitandani nilikua sijafika, nilimuuliza kwanini anazima, nikihisi labda ni Mama yake hapendi. Nilisogea na kuwasha, alishtuka, ni kitu amcho hakukitegemea. Alikua anavua nguo ili kuvaa nguo za kulalia, nilipowasha taa tu alianza kujificha kama vile anaona aibu. Nilishangaa kwani mimi ni mwanamke mwenzake, “Dada zima taa, zima taaaa!” Alipiga kelele, alionyesha kushtuka akijificha, lakini badala ya kuficha hata sehemu za siri alikua anaficha mgongo wake. Nilitaka kuzima lakini kabla ya kufanya hivyo macho yangu yalitua katika mgongo wake, ulikua kama ramani ya Tanzania, ulijaa makovu mengi ya fimbo, mengine mabichi kabisa kama vidonda. Sikuzima, sasa nilijua sababu ya yeye kuzima taa hakutaka nione makovu. Nilisogeza macho mpaka kwenye mapaja na sehemu za siri huko ndipo kuliharibika zaidi. Hapo ndiyo nilijua ni kwanini mara kwa mara huwa anakunja uso hata akiegemea sehemu au kugusa mapaja yake. Nilimsogelea na kumkalisha chini, alianza kulia kabla ya kusema chochote. “Kwanini humuambii Baba yako, kwanini humuonyeshi haya makovu? Akiona atakuamini!” Niliongea kwa hasira, sikua na muda pale lakini kwa upendo aliokua nao yule Baba sidhani kama angeweza kumuona mwanae katika hali ile na kunyamaza kimya. “Namuambia Baba yako, hii kazi ishanishinda, ngoje nifukuzwe lakini niondoke na huyu Sherani!” Niliongea huku nikinyuka kwenda kumgongea Baba yake, tayari walishaingia chumbani kulala. Jack alinifuata akilia kunibemebeleza ili nisiende akiogopa kuwa atamuua lakini sikujali, nilijua ni uoga ambao mimi kama mtu mzima nisingeweza kuuruhusu. Ushahidi alikua nao na hakukua na haja ya kuendelea kuteseka hata siku moja katika nyumba ya Baba yake. Alinisihi sana lakini sikumsikiliza, nilitoka mpaka sebuleni, alinifuata akiwa vilevile uchi kasahau kuvaa nguo, analia, nilielekea mpaka mlangoni kwa wazazi wake. Bado alikua analia, huku akiongea kwa kunong’ona. “Dada Raya, Dada Raya usimuambie, usiongee chochote, mimi niko sawa niliumia Shuleni, sio Mama aliyenipiga, ni ukorofi wangu tu!” Alipiga kelele kuniomba nisiseme. ITAENDELEA… (Hiki ni kisa cha kweli ingawa majina yaliyotumika hapa hayahusiani na wahusika. Hii ni sehemu tu ya simulizi kutoka kwa wadada wakazi “House girls” ambazo nitakua nikiwaletea. Je unadhani kama Raya atagonga mlango na kumshitaki Mama wa kambo, je Baba Jack akiambiwa atachukua hatua gani, kesho si mbali sana tukutane kwa sehemu ya pili hapahapa kwenye ukurasa huu…” ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: