Usiku mwema. *πŸ’•UTAMU WA NDOA KATIKA UISLAMπŸ’•* *Samahani ni neno dogo Sana lakini thamani yake ni kubwa Sana kwa Wanandoa* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Ukimkosea mwenza wako haraka muombe Msamaha* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Ukiishi kwa kujishusha pale unapokosea jua utaishi kwa amani kwenye ndoa yako* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Usione aibu kuomba msamaha* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Msamaha humaliza matatizo katika ndoa, humfanya anayeombwa akuone kweli unajutia Kosa lako, pia unamuheshimu* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Kuomba msamaha sio utumwa bali unaomba ili kumuonyesha mwenza wako kuwa unamjali, unampenda pia haupo tayari kumpoteza* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Kama unampenda mwenza wako muombe Msamaha pale unapomkosea* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Ukiwa mtu wa kuomba Msamaha jua ndoa yako itakuwa tamu Sana maana ibilisi hatopata nafasi ya kuiyumbisha ndoa yenu* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Jitahidi kuishi kwa kuliweka Mbele neno Samahani ili kumfanya mwenza wako azidi kukupenda zaidi* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Msiishi kwa kushindana katu sio Sifa nzuri kwa Wanandoa* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Ukiwa jeuri, hujui kuomba Msamaha jua ndoa yako itakuwa haina furaha* πŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„πŸΎπŸŽ„ *Jishushe Kisha omba Msamaha ili kuifanya ndoa yako iwe yenye furaha na utulivu.* πŸŒΉπŸ€πŸŒΉπŸ€πŸŒΉπŸ€πŸŒΉπŸ€πŸŒΉπŸ€πŸŒΉπŸ€

at 11:36β€―AM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright Β© 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top