Home → simulizi
→ Riwaya : ROHO YA GIZA
SEHEMU YA KWANZA(01)
Hahahaha huu ni ujinga uliokithiri.. yawezekana vipi kuabudu na kuamini kitu usichokijua... eti Mungu Mungu,, ebu niambie wewe umeshawahi kumuona?
yalisikika maneno akiyaongea kijana mmoja aitwae, FUNDIKILA,,,akiwaambia wenzake,,,Fundikila hakuwa na imani kuwa Mungu yupo,,, badala yake yeye aliamini kuwa kazaliwa tu,, hajaumbwa na Mungu kwa mfano wake! watu walimshangaa sanaa, waengine walimuita Mpagani,, (mtu asiye na dini)
Maisha yalizidi kusonga,,Fumdikila alikuwa na maisha mazuri,, alikuwa anamiliki magari ya kifahari pamoja na majumba ya kifahari.. lakini hakuna hata mmoja aliyefahamu kazi anayoifanya Fundikila!
Kumbe Dundikila alikuwa anamuabudu Shetani(satan) kwa kumtumikia kimatendo na kimwili... kwa kuyafuata yale yasiyompendeza Mungu..
Siku moja Fundikila,, alidamka majira ya saa tisa za usiku.. akatoweka kimiujiza na kwenda kwenye dini yake anayoiamini kuwa ndiyo dini sahihi...dini ya kishetani(satan)
wafuasi wote wa dini hiyo walikuwa wanakutana usiku wa manane kuanzia saa tisa na dakika moja.(Mid night) katika jumba moja kubwa...jumba hilo huwezi kuliona nyakati za mchana,,, linaonekana nyakati za usiku tu.. ambapo Fundikila pamoja na wafuasi wenzake,,nyakati za usiku kwao ni mchana.
walikutana ndani ya jumba hilo kila jumatatu,, jumatano na jumamosi....kwa ajili ya vikao na mikakati ya mioango yao ya kuzimu.
siku ya leo kilikuwa ni kikao maalumu.. akaonekana kiongozi mkuu wa dini hiyo ya kishetani akizipiga hatua na kusimama mbele yao... wakanyanyua mikono yao kwa kufanya ishara ya kumsujudia... kisha akasema,, usiku wa leo ni lazima kila mtu atoe kafara la damu.... pia kwa wale wakongwe wa dini hii waliowahi kutoa kafara zaidi ya mara 29... wao hawatausishwa na kafara tena.....
Kumbe miongoni mwa wafuasi wapya na Fundikila alikuwemo. hivyo kafara linamuhusu!
ilipofika saa tisa na dakika 59 kikao kikafungwa na wafuasi wote wakatoweka kimiujiza kurudi majumbani mwao! isipokuwa wale wafuasi wageni wanahitajika kutoa kafara kabla jua halijachomoza.... hivyo Fundikila akajitokeza nje ya club(kumbi ya starehe) moja ambayo huwa inatumbuiza mziki kuanzia siku ya ijumaa jumamosi na jumapili..
jumamosi ya leo wapenda starehe walikuwa wengi sana ndani ya club hiyo(kumbi ya starehe)
kwa mbali akaonekana mwanaume mmoja akitokea mdani ya club hiyo, akiwa kaongozana na mwanamke mmoja,,watu hao walionekana wamezidiwa na ulevi! walitembea huku wanayumba yumba,, yawezekana wamekunywa pombe kupita kiasi!
wakaingia ndani ya gari,, na kuondoka zao!
Fumdikila alikuwa anawatazama tangu walipotoka ndani ya club mpaka wanavyoingia ndani ya gari.... akajisemea moyoni,, "watu hawa ni halali ya kafara ninalohitajika nilifanye kabla jua halijachomoza.....Fundikila akatoweka kimiujiza,,,
Wale walevi wawili walionekana wamo ndani ya gari,, mwanaume huyo alikuwa analiendesha gari kwa mwendo wa kasi ya ajabu... punde si punde Fundika akajitokeza katikati ya barabara,, yule dereva alipojaribu kukwepa gari likayumbayumba likatoka barabarani,,ikatokea ajali mbaya ya kutisha hakuna aliyepona...
Fundikila akatabasamu kisha akatoweka kimiujiza,,akajitokeza nyumbani kwake... akapanda kitandani na kuanza kuutafuta usingizi.
siku zilizidi kusonga,, utajiri wa Fundika ukazidi kuongezeka kila kukicha...
Sikumoja nyakati za usiku,, wakiwa katika kikao.... Fundikila akawasilisha ombi.. kuwa anahitaji kuoa.!
kiongozi mkuu akasema,, "ni wazo zuri lakini kunamasharti.... nyakupasa umwage damu ya watu 11 ndani ya siku 11..namaanisha kila siku na usiache hata siku moja mpaka siku 11 zitimie. macho yakamtoka Fundika! akajisemea moyoni ,,"mbona masharti magumu kiasi hiki.. nitaweza kweli?
akajipa imani kuwa ataweza.... kisha akamtazama kiongozi wao na kusema,, "bila shaka nitatekeleza masharti.
kesho yake palipokucha.. Fundikila akatafuta mtu wa kumtoa kafara,,..akafanikiwa akamtoa jirani yake kwa kumuita nyumbani kwake.. kisha akampa chakula chenye sumu inayouwa ndani ya masaa 12.
kesho yake pia akamuuwa jirani yake mwingine aliyekuwa anaishi nyumba ya nyuma kutoka nyumbani kwake!
siku iliyofuata pia akamtoa kafara mmoja kati ya watoto wanaoishi mtaani hapo!
watu wakastaajabu sanana kuona vifo vya mfululizo.... kila siku.....Fundikila aliendelea kutoa kafara kila siku.
hatimae wakatimia watu tisa wakabaki wawili.....
wiku ya leo akiwa kwenyeharakati za kutafuta mtu wa kumi amtoe kafara akakutana na mwanamke mrembo kupita kiasi.. akajikuta amezama kifikra juu ya mwanamke huyo... akamuita,,
mwanamke huyo akaitikia wito,,, bila kuchelewa Fundikila akaanza kumchombeza...
mwanamke huyo akajikuta anakubali pasipokujitambua.. alikubali kila neno aliloliongea Fundikila............ wakabadilishana namba za simu,,,kisha Fundikila akasema nitakutafuta keshokutwa. mwanamke huyo akaondoka zake.
ilipofika majira ya saa moja za usiku.. Fundikila akiwa ndani ya gari lake... akaona watoto wanacheza kando ya barabara..... akajisemea moyoni.. wacha nirahisishe kazi.
mojawapo kati ya watoto hao wawili ni halali ya kafara langu.
Bila huruma Fundikila akaliendesha kwa kasi gari lake na kumgonga mmoja kati ya wale watoto wawili!
mtoto huyo akapoteza maisha papohapo.l!
Fundikila hakupunguza mwendo wa gari lake aliliendesha kwa kasi mpaka nyumbani kwake.......
alipofika akaliegesha gari lake la kifahari ndani ya uzio wa ngumna yake.. akashuka na kuingia ndani ya jumba lake la kifahari... akajisemea moyoni,, "nimebakiza kafara moja.. hii ni kazi ndogo... nimekula ng'ombe mzima nitashindwa mkia?
kesho yake Fundikila alidamka akaingia ndani ya gari lake na kuondoka.... aliwa matembezini.. wazo likamjia akajisemea moyoni,, "leo nitaifanya kazi ya kutoa kafara usiku...
ilipofika majira ya saa moja za jioni... Fundikila akaliendesha gari lake mpaka nje ya mji,, akaliegesha kando ya barabara akisubiri mawindo ya kafara la mwisho.. ili watimie watu 11 aliyoimwaga damu yao kwa ajili ya kafara.
************************************
Upande mwingine alionekana Mchungaji ndani ya gari akiwa na familia yake ...mchungaji huyo alikuwa ametokea kwenye mahuburi ya injili takatifu....
kumbe barabara anayopita ndio ile barabara aliyokuwepo Fundikila kwenye mawindo ya kafara la mwisho... Fundikila akasikia mngurumo wa gari likiendeshwa kwa kasi..
akajisemea moyoni,, wacha nikamilishe kafara...
gari la mchungaji lilipo karibia eneo hilo alilokuwepe Fundikila,,, akajitokeza kimiujiza katikati ya barabara akajibadilisha kuwa jiwe kubwa kiasi,, mchungaji akaona jamba hilo akaanza kusali owa imani pasipo kukwepa akaligonga jiwe hilo likaruka kando.. punde si punde likabadilika na kuwa binadamu! ambaye ni Fundikila
Fundikila aliumia sana akavunjika mguu.. na kupotza fafamu.....Mchungaji akaliegesha gari lake kando akashuka kutoka ndani ya gari na kuelekea pale alipokuwa amedondoka Fundikila.
ITAENDELEA............
wingi wa like zenu ndizo zitafanya niilete hadithi hii ya bure kwa wakati....
Like pia share na marafiki.
Riwaya : ROHO YA GIZA SEHEMU YA KWANZA(01) Hahahaha huu ni ujinga uliokithiri.. yawezekana vipi kuabudu na kuamini kitu usichokijua... eti Mungu Mungu,, ebu niambie wewe umeshawahi kumuona? yalisikika maneno akiyaongea kijana mmoja aitwae, FUNDIKILA,,,akiwaambia wenzake,,,Fundikila hakuwa na imani kuwa Mungu yupo,,, badala yake yeye aliamini kuwa kazaliwa tu,, hajaumbwa na Mungu kwa mfano wake! watu walimshangaa sanaa, waengine walimuita Mpagani,, (mtu asiye na dini) Maisha yalizidi kusonga,,Fumdikila alikuwa na maisha mazuri,, alikuwa anamiliki magari ya kifahari pamoja na majumba ya kifahari.. lakini hakuna hata mmoja aliyefahamu kazi anayoifanya Fundikila! Kumbe Dundikila alikuwa anamuabudu Shetani(satan) kwa kumtumikia kimatendo na kimwili... kwa kuyafuata yale yasiyompendeza Mungu.. Siku moja Fundikila,, alidamka majira ya saa tisa za usiku.. akatoweka kimiujiza na kwenda kwenye dini yake anayoiamini kuwa ndiyo dini sahihi...dini ya kishetani(satan) wafuasi wote wa dini hiyo walikuwa wanakutana usiku wa manane kuanzia saa tisa na dakika moja.(Mid night) katika jumba moja kubwa...jumba hilo huwezi kuliona nyakati za mchana,,, linaonekana nyakati za usiku tu.. ambapo Fundikila pamoja na wafuasi wenzake,,nyakati za usiku kwao ni mchana. walikutana ndani ya jumba hilo kila jumatatu,, jumatano na jumamosi....kwa ajili ya vikao na mikakati ya mioango yao ya kuzimu. siku ya leo kilikuwa ni kikao maalumu.. akaonekana kiongozi mkuu wa dini hiyo ya kishetani akizipiga hatua na kusimama mbele yao... wakanyanyua mikono yao kwa kufanya ishara ya kumsujudia... kisha akasema,, usiku wa leo ni lazima kila mtu atoe kafara la damu.... pia kwa wale wakongwe wa dini hii waliowahi kutoa kafara zaidi ya mara 29... wao hawatausishwa na kafara tena..... Kumbe miongoni mwa wafuasi wapya na Fundikila alikuwemo. hivyo kafara linamuhusu! ilipofika saa tisa na dakika 59 kikao kikafungwa na wafuasi wote wakatoweka kimiujiza kurudi majumbani mwao! isipokuwa wale wafuasi wageni wanahitajika kutoa kafara kabla jua halijachomoza.... hivyo Fundikila akajitokeza nje ya club(kumbi ya starehe) moja ambayo huwa inatumbuiza mziki kuanzia siku ya ijumaa jumamosi na jumapili.. jumamosi ya leo wapenda starehe walikuwa wengi sana ndani ya club hiyo(kumbi ya starehe) kwa mbali akaonekana mwanaume mmoja akitokea mdani ya club hiyo, akiwa kaongozana na mwanamke mmoja,,watu hao walionekana wamezidiwa na ulevi! walitembea huku wanayumba yumba,, yawezekana wamekunywa pombe kupita kiasi! wakaingia ndani ya gari,, na kuondoka zao! Fumdikila alikuwa anawatazama tangu walipotoka ndani ya club mpaka wanavyoingia ndani ya gari.... akajisemea moyoni,, "watu hawa ni halali ya kafara ninalohitajika nilifanye kabla jua halijachomoza.....Fundikila akatoweka kimiujiza,,, Wale walevi wawili walionekana wamo ndani ya gari,, mwanaume huyo alikuwa analiendesha gari kwa mwendo wa kasi ya ajabu... punde si punde Fundika akajitokeza katikati ya barabara,, yule dereva alipojaribu kukwepa gari likayumbayumba likatoka barabarani,,ikatokea ajali mbaya ya kutisha hakuna aliyepona... Fundikila akatabasamu kisha akatoweka kimiujiza,,akajitokeza nyumbani kwake... akapanda kitandani na kuanza kuutafuta usingizi. siku zilizidi kusonga,, utajiri wa Fundika ukazidi kuongezeka kila kukicha... Sikumoja nyakati za usiku,, wakiwa katika kikao.... Fundikila akawasilisha ombi.. kuwa anahitaji kuoa.! kiongozi mkuu akasema,, "ni wazo zuri lakini kunamasharti.... nyakupasa umwage damu ya watu 11 ndani ya siku 11..namaanisha kila siku na usiache hata siku moja mpaka siku 11 zitimie. macho yakamtoka Fundika! akajisemea moyoni ,,"mbona masharti magumu kiasi hiki.. nitaweza kweli? akajipa imani kuwa ataweza.... kisha akamtazama kiongozi wao na kusema,, "bila shaka nitatekeleza masharti. kesho yake palipokucha.. Fundikila akatafuta mtu wa kumtoa kafara,,..akafanikiwa akamtoa jirani yake kwa kumuita nyumbani kwake.. kisha akampa chakula chenye sumu inayouwa ndani ya masaa 12. kesho yake pia akamuuwa jirani yake mwingine aliyekuwa anaishi nyumba ya nyuma kutoka nyumbani kwake! siku iliyofuata pia akamtoa kafara mmoja kati ya watoto wanaoishi mtaani hapo! watu wakastaajabu sanana kuona vifo vya mfululizo.... kila siku.....Fundikila aliendelea kutoa kafara kila siku. hatimae wakatimia watu tisa wakabaki wawili..... wiku ya leo akiwa kwenyeharakati za kutafuta mtu wa kumi amtoe kafara akakutana na mwanamke mrembo kupita kiasi.. akajikuta amezama kifikra juu ya mwanamke huyo... akamuita,, mwanamke huyo akaitikia wito,,, bila kuchelewa Fundikila akaanza kumchombeza... mwanamke huyo akajikuta anakubali pasipokujitambua.. alikubali kila neno aliloliongea Fundikila............ wakabadilishana namba za simu,,,kisha Fundikila akasema nitakutafuta keshokutwa. mwanamke huyo akaondoka zake. ilipofika majira ya saa moja za usiku.. Fundikila akiwa ndani ya gari lake... akaona watoto wanacheza kando ya barabara..... akajisemea moyoni.. wacha nirahisishe kazi. mojawapo kati ya watoto hao wawili ni halali ya kafara langu. Bila huruma Fundikila akaliendesha kwa kasi gari lake na kumgonga mmoja kati ya wale watoto wawili! mtoto huyo akapoteza maisha papohapo.l! Fundikila hakupunguza mwendo wa gari lake aliliendesha kwa kasi mpaka nyumbani kwake....... alipofika akaliegesha gari lake la kifahari ndani ya uzio wa ngumna yake.. akashuka na kuingia ndani ya jumba lake la kifahari... akajisemea moyoni,, "nimebakiza kafara moja.. hii ni kazi ndogo... nimekula ng'ombe mzima nitashindwa mkia? kesho yake Fundikila alidamka akaingia ndani ya gari lake na kuondoka.... aliwa matembezini.. wazo likamjia akajisemea moyoni,, "leo nitaifanya kazi ya kutoa kafara usiku... ilipofika majira ya saa moja za jioni... Fundikila akaliendesha gari lake mpaka nje ya mji,, akaliegesha kando ya barabara akisubiri mawindo ya kafara la mwisho.. ili watimie watu 11 aliyoimwaga damu yao kwa ajili ya kafara. ************************************ Upande mwingine alionekana Mchungaji ndani ya gari akiwa na familia yake ...mchungaji huyo alikuwa ametokea kwenye mahuburi ya injili takatifu.... kumbe barabara anayopita ndio ile barabara aliyokuwepo Fundikila kwenye mawindo ya kafara la mwisho... Fundikila akasikia mngurumo wa gari likiendeshwa kwa kasi.. akajisemea moyoni,, wacha nikamilishe kafara... gari la mchungaji lilipo karibia eneo hilo alilokuwepe Fundikila,,, akajitokeza kimiujiza katikati ya barabara akajibadilisha kuwa jiwe kubwa kiasi,, mchungaji akaona jamba hilo akaanza kusali owa imani pasipo kukwepa akaligonga jiwe hilo likaruka kando.. punde si punde likabadilika na kuwa binadamu! ambaye ni Fundikila Fundikila aliumia sana akavunjika mguu.. na kupotza fafamu.....Mchungaji akaliegesha gari lake kando akashuka kutoka ndani ya gari na kuelekea pale alipokuwa amedondoka Fundikila. ITAENDELEA............ wingi wa like zenu ndizo zitafanya niilete hadithi hii ya bure kwa wakati.... Like pia share na marafiki.
Artikel Terkait
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA 28 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. endelea sasa nilitoka pale kitandani na kuelekea mlangoni ile nafungua tu nilikuatana na yule Dada wa kazi tekla akiwa hoi yaani kazidiwa na nyege mana nilimuona akiwa ana jitia vidole kwenye ikulu yake kitendo cha kuniamsha mashetani yangu.nika mwambia atangulie chumbani kwake nakuja mana nilikua uchi na nguo zipo chumbani kwa rose.nililudi chumbani na kumwambia rose tekla alikua natupiga chabo inabidi na yeye nikampe dozi ili asitangaze kama kawaida natembeza formula yangu.alinikubalia nika mpe dozi na yeye mpaka akome kuchungulia wakubwa wakifanya yao mana tekla alikua anacheza kwenye range ya 16-17. huku akinishukuru sana mana nimemkwangua nyege zote.nilichukua nguo zangu ila sikuweza kuzivaa kutokana na maumivu ya dude langu lililo kakamaa likiwa bado lina hasira.niliamini Yale maneno ya rose aliyo niambia ile dawa inabidi nipige bao tano.nilitoka chumbani kwa rose na luelekea chumba cha yule Dada wa kazi tekla nayeye kumkuna kitumbua chake kinacho muwasha nilipo toka kwenye korido nilimwona tekla akinipa ishara nimfate chumbani kwake. wakati naenda nilisikia kurupushani ikiendelea chumba cha yule Dada na mjomba ni mwendo wa miguno tu.nilifika mpaka chumba cha tekla na kumkuta mtoto kajilaza kitandani huku mguu mmjoja kautupa huku na mwingine huku sikutaka kumlemba sana mana maumivu niliyo kua nayasikia kama kawada yangu cha kwanza ni kupima oil lakini safari hii sikupima na kidole nilipima na mashine yangu niliisogeza kwenye kitumbua chake mzigo ukapitiliza moja kwa moja mpaka tekla akarudi kwa nyuma mana mzigo haukua saizi yake na kuanza kutoa kilio cha mahaba. “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,,,,,,,tia yote oooooooh ........ashiiiiiiii tamuuuuuu" niliendelea kumpampu nilishangaa kuona tofauti kwa telka nilianza kupiga bao kabla ya yeye.sasa nikabakina wazo moja tu nimalizie hicho cha tano nitulie zangu mana nitakufa si kwa kutom** huku kidume nili mbadilisha style na kumweka chuma mboga heee asikwambie MTU hii style kiboko bwana mtoto alikua mbishi kukuojoa alianza kutoa miguno “a,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,weweeeeeeeeeewww,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,chomoaaaa nataka kujoaaaaaaaaaaaaa kwanzaaaaa,," nilimwambia kojoa humo humo.nikaendelea kutembeza dozi.nilishangaa kumuona tekla akinivuta kwa nguvu na kunibana kiasi kwamba kama tunagombana vile alinibana kisawasawa huku akizungusha kiuno nami nilikua nakaribia kukojoa nika mbana kwa nguvu huku wote tukilia kilio cha furaha ooooooooooooooohhhhh............mmmmmmmmmmhhhh aaaaaaiiiiiiiiiii........!!!!! nilimaliza ule mchezo nilivyo taka kuchomoa dude langu tekla alinizuia na kuniambia usichomoe tuendelee nikaona huyu anataka iue kutembeza mb** nyumba nzima masiara nilichomoa na kuona mzigo ukianza kurudi kwenye hali yake ya kawaida.sikua na hata mda wa kuoga nilivaa zangu nguo na kumuaga naludi nyumbani mana mjomba akiamka asije akanikuta hapa ilikua mida ya SAA 10 usiku.nilipofika getini mlinzi alianza kunizingua kwa kunikatalia kufungua geti nika mdanganya naenda kuchukua tax kuna mgonjwa ndani sijui alidanganyika vipi wakati mle mdani kuna gari zaidi ya mbili.alinifungulia na nikaanza safari ya kuelekea nyumbani uzuri wa jiji la dar watu awalali niliona boda boda zimepaki nikawafata nikawapa hi na kuwaelekeza wanipeleke nyumba namba 116. hicho ndio kilicho niokoa mana ningesema nimwelekeze angenipeleka nyumba gofuti.nilipanda kwenye pikipiki na safari ikaanza.yule boda boda aliniuliza swali moja. "mtoto wa kishua usiku huu unatoka wapi ?." si unajua tulikua tuna patty alafu gari limenizimikia njiani.sikumaliza kumdanganya tulikua tumesha fika uzuri mfukoni linikua na 20000 nikamwachia 10000 nikampa tu abaki nayo mana aliniambia 2000 mpaka home.jamaa alishukuru sana nikabisha hodi na kumkuta babu akiwa macho huku akinywa kahawa. "aaaa kijana jiangalie mana maisha yako yapo hatarini mjomba wako akijua mchezo unayo ifanya"poa poa babu nimechoka sana acha nipumzike tutaongea vizuri kesho...... nilimwacha mzeee na kuingia ndani.miguu ilikua inatetemeka kiasi kushindwa kupiga hatua nikaanguka chini huku nikipiga kelele waje wanisaidie alitoka manka na errycah............. nilikua nimeishiwa nguvu kabisa mana ile dawa ilimaliza nguvu zangu zote.errycah alipo niona aligundua nimeishiwa nguvu.sikutambua nini kilitokea zaidi ya kujikuta hospitani niliwa nime tundikiwa drip ya maji.nilipo jaribu nilizuiwa na nurse.huku akiniambia "subiri mpaka drip hili liishe mana uletwa hapa ulikua hoi hata ujielewi hivi hao ulio lala nao walikubaka au ? mana hatujawai kupata mgonjwa namna hii na unaonekana upo vizuri.kizazi cha sasa mtu kupiga mechi mpaka kuishiwa kabisa nguvu ni ajabu walikua wangapi hao ?" nilimtazama yule nesi sikumpa jibu nikamuuliza walio nileta wapo wapi ? "wameenda kukuchukulia nguo na chakura" "wanajua Nina umwa tatizo gani ?" "apana bado atujawaambia tulisubiri uamke tuwape taarifa na wewe ukiwepo" naomba uniitie doctor nitaka niongee nae.akaenda nje kuniitia doctor alikua ni doctor wa kike tena mzuri balaa alafu mweupe yupo kama shombe shombe hivi sema umri wake unacheza kwenye 30-31.nilipo mwona tu nilihisi kupata nafuu nilimwomba yule nesi atoke nataka kuongea na doctor.tulisalimiana na kunipa pole. "samahani doctor Nina ombi moja naomba unifichie siri yangu kwa ugonjwa huu nilio upata wakija ndugu zangu naomba uwaambie niliishiwa maji mana itakua aibu kama mjomba akisikia nilikua kwa wanawake ilibidi nitumie na kauongo licha ya hivyo familia yetu INA msimamo mkali wa kidini please doctor nitakupa kiasi chochote cha fedha ukitakacho." "alicheka sana kisha akaniambia we we kijana una nichekesha sana kwa hela gani uliyo kua nayo utanipa.Mimi ni doctor bingwa tena hapa nimekuja kwa mda wa mwezi mmjo tu kwa ajiri ya kutibu maradhi ya wanaume natembea nchi zote za Africa mashariki naishi Kigali nina familia yangu kiufupi sina shida na hela.alafu huo umalaya wako wa kufanya mpaka uishiwe nguvu ni nyege au tamaa na kama ulilala na msichana mmoja ukampiga izo bao 5 sijui yupo kwenye hali gani uko ya nini kujiumiza mtoto mdogo kama wewe tafuta mtu mmoja tulia nae alafu hata kama una pepo basi walau Mara moja kwa wiki sio kila Siku mana nilivyo kuona umeishiwa kabisa sperm/shahawa na cell zake zinaweza kufa kabisa mana zilikua zikijizalisha wewe unazitoa nataka nikusaidie nitakupa dawa utatumia kwa Siku tano ili uzijaze ziludi kwenye hari yake ya kaida na ndani ya sikuizo tano usikutane na mwanamke.na utabaki hapa hapa hospitali nitaendelea kukusimamia mpaka umalize dozi.dawa yenyewe ni sindano tano kila siku nitakua nakuchoma moja." sikua na lakusema zaidi ya kumwambia asimwambie mjomba asije akanijazia vibaya kwenye report yangu ya kurudisha shirikani. aliniuliza "kwani wewe ni mseminali ?" "ndio" "mbona una Fanya mambo ya ajabu sana.upo shirika gani ?." "nipo st Vincent ya pale Rwanda" yani kwa nidhamu mbovu uliyo onyesha siwezi kika kusaidia tena nitaenda kuku report mana hatutaki mapadri wasio kua na maadili. nilihisi kupalalaizi mana doctor alizidisha ukari Mara mbili zaidi.nilishangaa baada ya kuona manka na errycah wanakuja huku wakiangua kilio. "mbona mnalia" errycah alinijibu huku akibubujikwa na machozi "ba...........ba ame.......farikiiiiiii" "what kafa kwa nini" ""amefumaniwa na mke wa mtu amekatwa sehemu zake ya siri amevuja damu nyingi sana ndio sababu iliyo pelekea kupoteza maisha ila police wamesha mkamata aliye fanya unyama huu wa kumuondoa mumewangu "" manka alijalibu Ku nyoosha maelezo ambayo bado yalikua na maswali mengi sana kwangu "na huyo mwanamke aliye fumaniwa nae yupo kwenye hari gani"niliuliza kinafiki huku nikijifanya kama sielewi "mwanamke aliye fumaniwa nae kachomwa chomwa visu yupo muhimbili sijui kama atapona sijui baba alikosa nini mpaka kutembea na mkewamtu" kweli mungu bado ananipenda nilijisemea moyoni mwangu mana hili zali linge nikuta mimi nilijiapiza kwa Mara nyingine sitokuja kufanya mapenzi tena mpaka mwisho wa uhai wangu. manka aliongea "inabidi uamke tuanze kufanya maandalizi ya msiba"wakati huo doctor alikua pembeni anatusikiliza aliamua kutoa la moyoni mwake "poleni sana wadogo zangu naombeni mjipange upya mana maisha bado yapo yanendelea cha umuhimu mtumainini mungu na mumuombee marehemu apumzuke kwa amani." hakuimaliza sentesi aliingia merry huku akicheka kwa kwa dhalau.niliamua kumuuliza merry "unacheka nini hauoni tupo kwenye matatizo makubwa." "yametimia mwisho wa ubaya ni aibu hatimaye mwenyezi Mungu kaamua kutenda haki.na kufichua mabaya yake na bado sasa tutaona mengi baada ya msiba huu mficha maradhi kifo humuumbua.... PUMZIKENI KWA AMANI BABA. NA MAMA YANGU."maneno ya Merry yalikua ukweli mtupu hakukua na mtu wa kumpinga mana kila mtu alikua najua madhambi ya mjomba.nilijikaza kiume huku doctor akinifungua ile mipira ya maji niliyo tundukiwa na kuanza safari ya kwenda nyumbani kufanya kikao cha familia kwa ajiri ya kuzika msiba wa mjomba doctor aliniambia nikimaliza msiba niludi ili anipe matibabu mana mfumo wangu wa shahawa unamatatizo inabidi niwai nipate matibabu nisije nikawa mgumba.nika mwitikia kwa ishara mana nilikua nusu ya chizi mambo kibao yana nichanganya kifo cha wazazi wangu sijui wamezikwa wapi dereva aliye niambia atanipa siri zote kawa kichaa.nikipata matumaini baada ya kukumbuka chumba cha siri lazima nika kifungue ili nijue ukweli wa mambo yote. tuliingia kwenye gari na safari ya kwenda nyumbani ikaanza tukiwa njiani errycah yeye alikua anaangua kilio tu asikwambie mtu msiba ni msiba tu hata akifa mbaya wako kama ume share naye damu lazima uumie.ila msiba wa shoga sizani kama kuna mtu atatoa machozi yake. nilitumia busara yangu kumpa maneno matam matam ya kumpooza huku moyoni nikiwa na amani mana mbaya wangu kashavuta kamba. manka ali drive kwa mwendo wa kawaida mpaka nyumbani.tuliposhuka kwenye gari tulisikia taarifa ya kifo cha mjomba kwenye radio ya mlinzi aliyo kua ameifungulia kwamba (BHG) brotherhood gang ""inasikitika kutangaza kifo cha member no #966.x.112 bwana Theophile .s. mluku kilichotokea leo majira ya SAA 2 asubuhi.mwili wa merehemu utasafirishwa mpaka makao makuu yao nchini Nigeria.Taalifa iwafikie wafuasi wote wa (BHG) waliopo Tanzania na nchi nyingine""" wote tulisikia tangazo hilo lililo tangazwa na shirika LA utangazaji nchini TBC. Tulizidi kushtuka zaidi pale tuliposikia mwili utasafirishwa kuelekea makao yao makuu nchini Nigeria. hatukua na mda wa kufanya kikao ilibidi tuelekee monchwari moja kwa moja ili tuuzuie mwili wa mjomba usije ukachukuliwa na (BHG).Tunataka mwili uzikwe hapa hapa. Tulitoka wote nyumba nzima hadi mlizi na kuelekea muhimbili.tulipo kua tuna karibia tulikutana na msafara wa magari ya kifahari yakiingia pale hospitalini tulishtuka zaidi kuona watu wamevalia suti za blue na miwani mwekundu ilibidi tupaki gari pembeni nakuelekea ndani wale watu walinikazia sana macho huku wakino ng'onezana wengine wali diriki hata kuninyooshea vidole nilipo watazama kwa umakini niliwakumbuka ndio wale nilio waonaga horena hoteli.kama unavyojua seminarini tunafundishwa mbinu nyingi hasa ujasiri.nilipita karibu yao na kuelekea monchwari.tulipofika tulieleza tulishangaa walivyo tujibu.mbona mnatuchanganya huyu mtu anakuja kuchukuliwa na (BHG) na wamesha jaza kila kitu na malipo wamesha yafanya pia tumeonyeshwa na mkataba wake kwamba akifa asizikwe na familia yake azikwe na kikundi chake tulionyeshwa baadhi ya copy za mkataba alio ingia mjomba. ""why daddy.........!!! kwanini umeamua kufanya hivi tungekua masikini tusinge ishiii ona sasa yaliyo kukuta sita kuona tena baba yang....uuuu please nisaidieni......jamani baba azikwe hapa hapa nyumbaniiii ......."" aliongea errycah kwa uchungu mkubwa. akachukua simu yake na kumpigia mwanasheria wa mjomba simu haikuita.na baada ya mda mfupi tuliwaona wale (BHG) wakiingia ndani huku wakiwa wamepanga foreni walikua wengi sana.wake kwa waume nilipo jaribu kuwachunguza wengine niliwafahamu kabisa.kuna baadhi ya wasanii wa dini,bongo fleva,hiphop wa hapa nchini wachungaji matajiri wakubwa wandishi wa habari watangazaji wanasiasa hata baadhi ya wanafunzi wa vyuo walikwepo.tuliwekwa pembeni na police ili kuwapisha wale (BHG) kufanya ibada ya kumtoa ndugu yao jeneza la dhahabu lilitolewa mle ndani na likawa linapita mikononi mwao huku kila aliye libeba alilitemea mate.sikuelewa wana maanisha nini ila mlinzi alituambia ile ndo ibada yao ya mwisho ya kumuaga mwenzao na wakioka hapa wanapanda ndege na kwenda kuzika. errycah na manka wao ulikua ni mwendo wa kilio tu.Mimi na merry hatukuumia hata kidogo kutokana na madhambi aliyo tufanyia mjomba.kwa kutuondolea wazazi wetu.walipeleka jeneza kwenye gari na wote kwa mstari ulio nyooka waliingia kwenye magari yao na safari ya kuelekea airport iliianza tulibaki na viulizo kichwani huku mlizi akiendelea kutupa stori "wote unao waona hapo wanaenda Nigeria moja kwa moja hiyo ndio sheria yao lazima mwenzao akifariki wamzike na hao wote watazikwa Nigeria cha msingi nacho washauri wanangu. kaeni meza moja muongee myamalize na mjue mtaanza vipi maisha ""ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO."" "ama kweli mshahara wa dhambi ni mauti"alimalizia errycah huku tukielekea kwenye gari.tulipokua njiani tuliendelea kukumbushana mambo tuliyo yaona kule hospitali.mpaka tukaanza kubishana na Merry.ubishi wenyewe merry alisema kwenye ule msafara amemuona mwandishi wa story ya utamu wa kitumbua chas360tz nilimkatalia kwa sababu chas360 namfahamu vizuri Jamaa hapendi mambo ya kijinga kwanza saizi yupo zake studio anaanda kitabu chake.ubishi ule uliisha pale mlizi alipo ingilia kati na kusema chas360 ni baba yangu mdogo msimsingizie mambo ya ajabu ajabu.tushuka kwenye gari na kuingia ndani moja kwa moja huku wote nia ikiwa moja kwenda kufungua chumba cha siri.kabla ya kwenda kufungua simu ya mezani iliita tulitazamana huku tukisakiziana kila mtu apokee.kidume nikajitosa nika pokea na kuanza kusikiliza maelezo unaongea na OLOMO IGWE kutoka (BHG) samahani naongea na KENNY .J. SIMBULI nilishanguu kuona kalijuaje jina langu nika mjibu ndio. "nadhani unatambua mjomba wako kafariki kuna baadhi ya document zake tumezipitia na tumeona kakuandika wewe ndie mrithi wake.unatakiwa kufika Nigeria kesho ili tukufanyie usajiri na kama ukikataa basi ukoo mzima mtakufa na Mali zote mtanyang'anywa mana ni Mali ya brotherhood gang (BHG). kuhusu usafiri na kupata utaratibu wote nenda horena hotel chumba namba #966 utakutana na agent wetu atakuelekeza kila kitu." uzuri simu niliweka loudspeaker kila mtu akasikia nili mjibu kwa dhalau "sikia bro nikwambie siogopi kufa mana hamna uwezo wa kuondoa maisha yangu hamuwezi kuiteteresha imani yangu.na kuacha kumua budu mungu wangu aliye juu.kama Mali njoeni mchukue bora nife masikini kuliko kua na Mali nyingi sio halali.kwa imani ya Mwenyezi Mungu hii vita nitaishinda na hamniwezi kwa chochote kile." "sikia kijana naona ume panic sana bora uishi naisha mafupi yenye raha kuliko maisha marefu yenye shida.kama umekataa cha moto utakiona wewe na ndugu zako nikimaliza kuzungumza na wewe nakupa masaa 48 mkusanye kilicho chenu wewe na ndugu zako na mtoke kwenye nyumba.ila kitu chochote cha mjomba wako naomba chumba namba #966 msikifungue........nadhani nimeeleweka."alikata simu tulianza kujadiliana kutokana na ile simu iliyo pigwa.nikaonyesha msimamo wangu kama mwanaume hapa tunaenda kufungua kile chumba ili tujue kuna kitu gani tukitoka hapo tubebe kilicho chetu tuhame uzuri wa Mali za kishirikina kama ukichukua kabla ya marehemu ajafariki hiyo Mali ni yako ila ukichukua baada ya marehemu kasha kufa utakacho kutana nacho ni juu yako.zile million hamsini ndo zitakua Mali yetu ya uhalali mana tulichukua kabla ya mjomba hajafariki ukiangalia erycah na yeye alikua amewekewa hela toka utotoni mwake kuyumba hatuto weza.maumivu yalikua kwa manka yeye hakulipwa chochote kibaya zaidi alicho jiharibia ni ile tabia yake ya kutoa Tigo ningeweza kumuoa alijiharibia CV alicho kiomba yeye ni nauli arudi Rwanda akaanze maisha.mlizi hatuwezi kumuacha tumezoeana naye sana hata tukisema arudi kijijini tuta mtesa tu. errycah alileta ufanguo wa chumba cha siri nikauchukua na kwenda kukifungua.nilifika mlangoni wote walikusanyika pale kutaka kushuhudia kitu gani kipo kwenye chumba kile.nilianza kufungua kufuri la kwanza nikatekenya kitasa kitu kikajibu.nilifungua taratibu na kuona chumba kipo tupu tena kuna Giza Nene nilitangulia kwanza peke yangu nikawapa ishara waje ndani waliingia hatukufanikiwa kuona kitu chochote nisogea kwenye ukutu nilishangaa kuona kama mlango ukutani nilipo ugusa ulifunguka.kumbe kule ndio chumba chenyewe namba #966 tulipo ingia tuliona vitu vya ajabu tulikuta kabati mikufu ya dhahabu vibuyilu chungu na kiti cha kifalme errycah alifungua lile kabati tukaanza kusikia harufu mbaya nilipo mulika na vizuri na tochi ya simu yangu.oooooooh mungu wangu sikuamini nilicho kiona niliona mafuvu ya vichwa nilipo mulika vizuri niliona fuvu LA kwanza likiwa likeandikwa jina la baba na lingine jina LA mama nilianza kutokwa na machozi niliumia sana..hakukua na mtu wa kuvumilia wote tulianza kuangua kilio.hiyo ilikua ni flem ya kwanza. flem ya pili ya kabati tulikuta fuvu moja kuangalia pale juu kwenye paji LA uso lilikua limeandikwa jina LA shangazi mama yake mzazi errycah. errycah baada ya kuona vile aliishiwa nguvu kabisa alikaa kimya huku akitoa kilio... huku akisema ""baba kumbe ulimuua mamaaaaa....."" nikafungua flem ya 3 tukakuta mafuvu ma tano yaliyo wekwa pamoja kumulika vizuri tuliona majina kwenye mafuvu yale lilikua fuvu la vannesa nasma husna yule shangazi na dereva....... ""mungu wangu huyu dereva kafariki lini nakumbuka sikuile tulimkuta mwanza akiwa anaokota makopo.jamani duniani kuna watu wabaya.""aliongea manka kwa majonzi tukaendelea na fkemu ya 4 tutakuta viperushi vya majina yetu inaonesha na sisi tulikwepo kwenye list. mlinzi alituamuru tuvichukue kisha tukavichome moto ili hata wenzake wakija kuchukua madude yao majina yetu yasiwepo... uwezi kuamini nilisahau utamu wa vitumbua nilivyo kula na kujuta kuzaliwa mana si kwa vitu hivi. kutupa macho pembeni niliona nyele zikiwa kwenye kindoo na hapo ndipo nilipo gundua kwa nini mjomba hakua na nywele na sikuwai kumuona akienda saloon kunyoa.nilisogea mpaka pale kwenye kiti cha kifalme nikakuta bahasha niliichukua na tukatoka kwenye kile chumba.nilikifunga kama nilivyo kikuta tukaenda sebreni kuifungua ile bahasha na kukutaa ma dhambi yote aliyo yafanya mjomba kama kafara ya kuongeza Mali ameyaandika.kweli mjomba amewaua wazazi wangu mkewake (mapacha) husna na nasma na dereva ......... karatasi ya pili tulikuta majina yetu yakiwa yameandikwa kwa rangi nyekundu.........niliumia sana ila nilijikaza kiume tukiwa bado tunasoma zile karatasi.walikuja ma agent wa (BHG) wakatumbia tubebe kila kilicho chetu na tuondoke la sivyo tujisajiri na chama chao wote tuligoma kila mtu akaingia chumbani kwake na kupaki nguo.nilifika ndani na kuanza kupanga kila kilicho changu nilipofungua kabati LA chumbani kwangu nilishangaa kuiona ile bahasha niliyo achiwa na sethi kule horena hoteli.sikupata mda wa kuifungua niliweka kwenye begi na kutoka nje kuwapisha wale ma agent wa BHG.kibaya zaidi tulimwona na yule wakili wa mjomba akiwa nao sambamba wale ma agent. alijifanya kama hamjui errycah.ama kweli MWISHO WA MAWINDO MBWA HANA THAMANI. hatuweza kuondoka na gari tulipotoka nje nilimwona yule boda boda aliye nileta juzi.tuka salimiana nika muulizia hamna nyumba inayo uzwa ? "bro hapa umefika Mimi ndo dalali wa mijengo sema ikifika mida kama hii napiga boda boda jina langu naitwa dalali kiongozi kuna mjengo masaki hii hii unauzwa million 450 kama upo vizuri unaingia leo leo." nilidata kuisikia ile bei.nilishangaa kuona errycah akidakia ok twende hela ipo.ndo ikawa nafuu yetu alimwita mwenye nyumba baada ya lisaa limoja tulikamilisha kila kitu na kuingia kwenye nyumba mpya huku zile million 50 tulizo mwibiaga mjomba alikua Nazo merry.niliingia ndani na kufungua begi langu ili nipange vitu vyangu niliiona tena ile bahasha nilipo ifungua sikuamini macho yangu nilikuta majibu ya hospitali ya sethi ya kipimo cha damu na kuonyesha ni mwathilika nilihisi Ku data mana yeye alikua msichana wangu wa kwanza Ku lala nae ukiangalia sikutumiaga condom. """ina maana na mimi nimeathilika Mungu nionee huruma Mimi sito ludia tena kwaiyo kama Nina HIV inamaana wote nilo lala nao na wenyewe wanao oooohh mungu wangu nimekwisha nikianza kulia kwa sauti mamaaaaaaaa.........nimekwishaaaaaa.............sethi..........umeniponza........ .kwanini...........Mimi.....nimesha......upoteza u padri........na nimewaua ndugu zangu..........nime muua mpaka mdogo wangu..........bora nife siwezi kuendelea kuishi kama nimewaua ndugu zanguuuuuu""" kumbe kina merry walikua wana nisikiliza lakini hawakuelewa walipo fika waliniuliza sikua na mengi ya kuongea zaidi ya kuwaonyesha Yale matokeo na kuwaambia Huyo ndo alikua msichana wangu wa kwanza kutembea nae........ "Kenny kwaiyo umetuua woteeee"wote watatu waliniuliza kwa Mara moja niliumia sana niliwaomba samahani ila mlinzi alitushauri twende hospitali tuka hakikishe hatukua na mda wa kupoteza tulienda hospitali kwa yule doctor wa Rwanda bahati nzuri tulimkuta yupo zamu ya usiku nilimwelezea akachukua vipimo vyetu.akatuambia turudi baada ya wiki tatu hapo ndo tutapata majibu ya uhakika alinichana ukweli mda ule ule na kuniambia hauto kua na uwezo wa kumpa mimba mwanamke yoyote yule labda muujiza wa mwenyezi mungu niliona dunia ngumu na kujilaumu sana kwa kunogewa na UTAMU WA KITUMBUA............... ************** MWISHO WA SIKU KENNY NA WALE WOTE ALIO FANYA NAO MAPENZI WALIPATA UKIMWI (NGOMA) ILA MAISHA HAYAKUISHIA HAPO YALISONGA MBELE KENNY HAKU BAHATIKA KUPATA MTOTO ALISHINDWA KURUDI SEMINALINI ALIMRUDIA MUNGU ALIFUNGUA KANISA LAKE NA KUA MCHUNGAJI.......!!!! ERRYCAH NA MERRY WALIOLEWA MANKA ALILUDI NCHINI KWAO NA MLINZI ALIRUDI KIJIJINI KUANZISHA BIASHARA YAKE *************MWISHO********** ... Read More
*LOVE BITE EP 04* ILIPOISHIA…… Aliongea Jothan huku machozi yakimlenga lenga. Hakika ni uamuzi mgumu aliouchukua kwakua aliamini ilikuwa ni mtihani mkubwa katika mapokezi ya mlengwa. Alipoinua macho yake kumtazama Prisca, tayari mashavu ya prisca yalishalowana kwa machozi huku macho yakiwa mekundu. Kilio cha kwiki kilianza kusikika na kumfanya Jothan kuingiwa na imani baada ya kumtaza mpenzi wake huyo anaye amua kumuacha bila kosa lolote. SONGA NAYO…………….. Machozi na kilio cha kwikwi kiliendelea kwa dakika kadhaa, Prisca alimuangalia Jothan ambaye alikua ana muonea aibu wakati huo. Hakuamini kuwa ndiye yeye aliyetamka maneno yale,. “kwanini mimi?…. kwanini Jothan umeamua kuzichezea hisia zangu kwa miaka yote hiyo niliyokuwa na wewe kumbe ulikuwa huna malengo ya kuwa na mimi. Kwanini Jothan umeamua kunifanyia hivyo?” aliongea Prisca huku analia. “sorry Prisca. Unafikiri ningefanyaje kwa hali niliyokuwa nayo hivi sasa. Sina jinsi japokuwa bado nakupenda sana. Ningekuwa mtu mwengine hivi sasa ningeendelea kuwachanganya wote wawili. Ila roho huwa inanisuta kufanya hivyo kwakua hata mimi sihitaji kuchezewa hisia zangu. Naomba kubaliana tu na maamuzi yangu japokuwa unaumia.” Aliongea Jothan huku na yeye akijifuta machozi yaliyomdondoka kutokana na hali aliyokuwa nayo Prisca inavyosikitisha. “thank you for everything.” Aliongea Prisca na kunyanyuka na kuondoka. Alimuacha Jothan ambaye alijiinamia na kujilaumu kwa alichokifanya. Akili nyingine ilimwambia kama mwanaume wa ukweli na mwenye msimamo basi alifanya maamuzi sahihi na ya busara. Alirudi nyumbani na kumkuta Shani amejaa tele nyumbani kwake. Alipofika tu, Shani alimfuata na kumkumbatia. Ingawaje Jothan alijichekesha, lakini Shani aligundua kuwa hakuwa sawa. “una nini mume wangu?. Aliuliza Shani baada ya kumuangalia usoni Jothan. “kawaida tu mke wangu.. kwani naonyesha nina tatizo?” aliuliza Jothan kuhakikisha alichokisikia kutoka kwa Shani. “sura yako inaonyesha kama ullikuwa unalia au ulikuwa unahuzunika muda si mrefu.” Aliongea Shani na kumfanya Jothan kumuangalia usoni Shani. “kichwa kilikua kinanigonga sana, hata hivyo sasa hivi niko sawa.” Aliongopa Jothan “pole mume wangu, kama bado kinaendelea we niambie nikununulie panadol au nikusindikize hospital… usidharau mume wangu.” Aliongea Shani huku akionyesha kwa alikua anajali sana afya ya mwenzi wake. “usijali, niko sawa tu.” Aliongea Jothan na kuingia chumbani kwake. Alijilaza na kuwaza yaliyotokea muda mfupi uliopita. Aliamua kupiga moyo konde na kuona yote yalikuwa ni majaribu tu. Maisha yalikuwa mazuri huku kila mmoja akifurahia uwepo wa mwenzake. Hata Jothan mwenyewe alikiri kuwa uamuzi wake ulikuwa sahihi sana kumchagua Shani katika maisha yake badala ya Prisca ambaye mpaka kipindi hicho alikuwa ameshakatisha mawasiliano naye. Shani naye alijitahidi kuhakikisha anafanya yale yote apendayo Jothan na kumteka Jothan kisawa sawa. Ilkuwa akiongelewa mwanamke bora basi Jothan alilipitisha jina la Shani bila kuangalia kuwa alikuwa na nani au alizungukwa na wasichana wazuri. Alitumia muda mwingi kuwa karibu na Shani. Hata kama alikua anataka kwenda kutanua, basi Shani alikuwa ubavuni kila walipoenda. Siku moja ambayo ilikua ni mwisho wa wiki, Jothan aliamua kulala tu Jumaapili hiyo kutokana na uchovu aliokuwa nao wa jana yake kwakua walienda club yeye na Shani na kurudi asubuhi kabisa. Nyumbani kwake aligonga hodi mgeni mmoja wa kike na kufunguliwa mlango na Shani ambaye alishaamka na alikuwa anfanya usafi nyumbani kwake. “za saa hizi dada.” Alisalimia yule mgeni ambaye alionyesha wazi kuwa alikua amechoka kutokana na mimba kubwa aliyokuwa nayo. “salama tu.” Alijibu Shani na kumsikiliza huyo msichana shida yake. “sijui nimemkuta mwenye nyumba hii?” aliuliza yule dada na kumuangalia Shani aliyekuwa makini akimsikiliza. “mwenyewe kalala, ila naweza kukusaidia kama hutajali kunieleza shida yako.” Aliongea Shani na kumuangalia yule dada. “ni vyema kama nita onana nae mwenyewe.” Aliongea yule dada na kumfanya Shani amkaribishe ndani. Kwakua Shani alikua anaandaa chai, hakuona ubaya kuandaa ya kutosha na kumkaribisha yule mgeni aliyekunywa chai kama anafukuzwa kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Shani aligundua njaa aliyokuwa nayo mgeni huyo na kumuongezea vyakula mpaka alipohakikisha ameshiba ndio akaamua kumfuata na kumuuliza maswali machache wakati wanamsubiri bwana mkuwa aamke. “tunsubiri aamke, si unajua alikesha jana kwa hiyo sio vizuri kumuamsha mtu akiwa katika uchovu kama huo.” Aliongea Shani na wazo hilo likapitishwa na yule mgeni. Jothan aliamka na kwenda kuoga. Alivaa nguo zake nyepesi na kwenda sebuleni na kumkuta mgeni aliyekuwa anamsubiri. Yule dada alipogeuza shingo kumuangalia Jothan, macho yalimtoka na kujikuta mshangao mkuu umempata. “wewe, umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Jothan kwa hasira. Yule mgeni hakua na la kujibu zaidi ya kujiinamia. “na wewe unawakaribishwa watu humu ndani wengine ni nyoka kama huyu mwanamke.” Aliongea Jothan na kumuweka Shani kwenye bumbuwazi. “mbona sielewi, maana mimi aliniambia ni mgeni wako ndio maana nikaona si vibaya kumkaribisha ndani.” Alijitetea Shani. “mimi simjui huyu, .. kwani wewe msichana unaitwa nani?” aliuliza Jothan na kwenda kukaa kwenye moja ya sofa za pale sebuleni. “BAHATI.” Alijibu yule mgeni kwa aibu na kuangalia chini. “WHO A BAHATI BAY THE WAY??” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati kupiga magoti mbele yake na kuanza kulia kwa uchungu. “sihitaji kupigiwa magoti mama, mpigie magoti mungu wako na umuombe msamaha kwa ulichokitenda kwangu mimi.” Aliongea Jothan na kumuinua Shani pale chini. “naomba unisamehe, nimehadaika tu na jiji na hivi sasa limeshanifunza Jothan.” Aliongea Bahati huku analia. “leo hii unamjua Jothan wewe?.. si ulikua hunijui wewe?.. nani kakutajia jina langu?” aliuliza Jothan maswali mfulumizo yaliyomshinda Bahati kujibu na kubaki analia tu. “nyamaza kulia dada, kwani tatizo ni nini?.. niewekeni wazi jamani.” Aliongea Shani baada ya kukaa kimya muda mrefu. “sikiliza mke wangu, huyu dada ni mpumbavu na hana akili hata kidogo. Alikuwa na matatizo ya macho yaliyomsababishia upofu na hakuwa anaona hapo mwanzo. Mimi kwa imani yangu nikamchukua kutoka kwa mama yake Arusha na kuja naye hapa Dar kwa nia njema ya kumtibu. Sikuhitaji chochote kutoka kwake. Ila malipo aliyokuja kunilipa haki ya mungu kanifanya moyo wangu uwe na sugu na kuwa mgumu kuwasaidia wengine. Yaani alipopata macho ndio akaniona mimi takataka baada ya bosi wangu kumtaka. Siku niliyokutana naye akajifanya sauti yangu kaisahau. Yaani hata nilipojitambulisha bado akijifanya hanijui. Nikasamehe na kuachana naye, bado akaona haitoshi akaamua kunifanyia fitina mpaka nikafukuzwa kazi bila kosa. Sasa huyu utamuita mtu au kiatu tena kisichokuwa na kamba?” Aliongeea Jothan maneno yaliyomchoma Bahati na kumfanya aanze kulia kwa sauti kubwa zaidi ya aliyokuwa analia. “msamehe mume wangu, mungu kakujaalia umepata kazi nyingine. Na hujui kakuepusha na nini kukutoa kule. Na huyu adhabu yake ndio hii. Maana amepewa mimba na ametimuliwa. Hana msaada mwingine zaidi yako wewe. Msamehe tu mume wangu.” Aliongea Shani na kumsogelea Jothan aliyekuwa kafura kwa hasira na kuanza kumshika shika. Jothan alivuta pumzi ndefu kisha akamuangalia Bahati. “ni msaada gani unaotaka kutoka kwangu?” aliuliza Jothan na kumfanya Bahati kufuta machozi. “naomba unisaidie kunipeleka tu Arusha kwa mama yangu.” Aliongea Bahati huku analia. Kauli hiyo iliwaigia wote wawili. Ghafla walishangaa kumuona Jothan machozi yanamtoka kwa jinsi alivyokuwa anamuonea imani msichana mzuri walivyomtumia vibaya na kuwa kama kituko. Hakua Bahati yule kipofu mwenye bashasha usoni kila wakati. Sasa hivi mashavu yalimuingia ndani, nywele zake hazitazamiki mara mbili. Ngozi yake ilijaa makovu ya kupigwa kila sehemu. Jothan alijikuta ameguswa na kuanza kulia kwa sauti. Alinyanyuka huku analia na kumfuata Bahati na kumuinua kichwa chake na kuitazama sura yake iliyokuwa imelowa machozi na kuvimba kutokana na kulia kwa muda mrefu. “utakaa hapa mpaka utakapojifungua na kurudisha afya yako… pole sana kwa yaliyo kukuta.” Hatimaye aliongea maneno hayo yaliyomfanya Bahati kumkumbatia Jothan bila kujali uwepo wa mke wake pale. Wali muhurumia Bahati na kumpa chumba mule ndani. Siku tatu baadae, Bahati alipatwa na uchungu na kumuwahisha hospitali ya kulipia iliyopo kinondoni. Uchungu ulidumu kwa siku mbili mfululizo na kwa bahati nzuri Bahati alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike. Aliwashukuru sana Shani na Jothan kwa utu wao waliouonyesha juu yake, maana walikuwa nae bega kwa bega na kuhakikisha kuwa anajifungua salama. Baada ya miezi mitatu kupita, Jothan aliamua kumsafirisha Bahati na kumrudisha kwao Arusha. Alilazimika kwenda naye kwakua Bahati hakua anapajua kutokana na hali yake ya upofu aliyokuwa nayo mwanzo. Walipofika Arusha mjini, Jothan alikodi taksi iliyowafikisha mpaka nyumbani kwa kina Bahati. Ilikuwa zaidi ya furaha kwa mama yake Bahati baada ya kumuona mwanaye akiwa anaona . alimfuata na kumkumbatia. “karibuni…. Karibuni nyumbani.” Alikaribisha mama huyo kwa Furaha. “ahsante, tumeshakaribia.”aliongea Jothan na kuingia ndani. Kwa furaha ya ajabu, mama huyo alikuwa anatabasamu kila muda kutokana na kumkumbuka mwanaye. Wakati wanaendelea na stori za kawaida. Ghafla mlango ulianza kugongwa kwa nguvu. Mama yake Bahati alitoka na kwenda kumsikiliza mtu anayegonga mlango. Alikaa huko kwa dakika kadhaa. Na baadae alirudi huku akiwa hana furaha kama aliyokuwa nayo mwanzo. “samahani baba, namchukua huyu tukatete kidogo.” Aliongea mama yake Bahati. “hamna shida mama.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati anyanyuke na kumfuata mama yake.. “mwanangu, aliyekuja kugonga ni mwenye nyumba. Amesema kuwa ametuchoka kutokana na kutomlipa kodi yake kwa muda mrefu. Yaani nimechanganyikiwa hata sijui tutafanyaje.” Aliongea mama yake Bahati baada ya kumuita mwanaye chemba. “usijali mama, nililijua hili ndio maana nikamuelezea Jothan mapema. Ametuahidi kutusaidia.” Aliongea Bahati na kumfanya mama yake amuangalie. “kwani, wewe na huyo Jothan mkoje?” Alijikuta mama yake Bahati anauliza swali lile kutokana na kutoelewa mazingira na makubaliano ya kumponyesha mtoto wake macho na kumrudisha akiwa na mtoto. “ni story ndefu mama, ila kifupi ni mkombozi wangu na wewe pia. Naweza sema hivyo.” Aliongea Bahati. “kwa hiyo unataka kusema kuwa hata huyu mtoto si wa kwake.” Aliuliza mama yake Bahati. “ndio mama.” Aliongea Bahati kimkato huku akitaka kumuonyesha mama yake ni jinsi gani asivyotaka kuaonngelea ile mada kwa muda ule. Baada ya muda Bahati alirudi sebuleni alipomuacha Jothan na mama yake akaenda kuandaa chakula cha jioni. “mbona hivyo, kwema?” aliuliza Jothan baada ya Bahati kurejea pale. “sio kwema, kama nillivyokuambia siku ile. Mama kashindwa kulipa kodi hivyo mwenye nyuumba anataka hela yake au tuhame.” Aliongea Bahati na kumuangalia Jothan. Baada ya chakula cha usiku, Jothan alimkabidhi mama yake Bahati fedha tasilimu shilingi laki saba kwa ajili ya kulipa deni la laki nne analodaiwa na hiyo nyengine kwa ajili ya mkataba mpya. Mama yake Bahati alifurahi kidogo machozi yamtoke na kumuombea sana dua za mafanikio Jothan. “naomba niwaache, naenda kulala Hotel na mungu akipenda kesho ndio safari yangu ya kurudi Dar-es-salaam” aliongea Jothan baada ya kuangalia saa yake ya mkononi na kumuonyesha kuwa ilishatimu saa tatu kamili. “sawa mwanangu. Mungu akutangulie katika kila jambo lako.” Aliongea mama yake Bahati na jothan akatoka huku Bahati akimsindikiza. “nakushukuru kwa yote ulioamua kuyafanya katika maisha yangu. Nakuomba usichoke kuwasaidia wasiojiweza kama nilivyokuwa mimi japokuwa nilikuumiza… kwa mungu kuna fungu lako Jothan.” Aliongea Bahati walipokuwa njiani wakisindikizana. “usijali, hata mimi naamini mambo yangu yananinyookea kwakua nakigawa kidogo kwa wenzangu wenye shida. Yale yalikuwa maneno tu tena kwa sababu nilikuwa na hasira. Mimi sina kinyongo na wewe. Moyo wangu mweupe na nakuombea pia maisha mazuri na ya furaha na mtoto wako. Naamini hutofanya makosa tena kwakua umeshajifunza.” Aliongea Jothan huku wakiikaribia bara bara. Baada ya kufika kituoni, waliagana huku Bahati machozi yanamtoka kwakujua kuwa ule ulikuwa mwisho wa kuonana na mwanaume huyo wa ajabu maishani mwake. Aliondoka huku kila baada ya hatua moja akigeuka nyuma kumtazama Jothan. Kwa mbali kulikuwa na gari linakuja spidi upande aliokuwa Bahati. Jothan alipotupa macho yake kuitazama ile gari ilikaribia kabisa kumgonga Bahati ambaye wakati huo Bahati hakuiona ile gari kwakua likua bize kumuangalia Jothan. Aliamua kutupa begi lake na kumkimbilia Bahati, alipofika tu alimsukuma na kwa bahati mbaya ile gari ilikuwa inajaribu kumkwepa Bahati na kumgonga Jothan. “MAAAMAAAAAA!” Alipiga kelele Bahati baada ya kumshuhudia Jothan akianguka chini baada ya kugongwa. Damu nyingi zilikuwa zinamtoka puani na mdomoni. Yule dereva aliyemgonga Jothan, alisimamisha gari na kumuingiza Jothan pamoja na Bahati na safari ya kuelekea hospitali kwa ajili ya kujaribu kuokoa maisha ya Jothan ilianza mara moja.. Walipofika hospitali, walipokelewa haraka na Jothan akakimbizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “jamani kwa hali ya mgonjwa wenu, anatakiwa kufanyiwa operation haraka iwezekanavyo ili kuokoa maisha yake.” Aliongea daktari na wote wakakubaliana kuwa tendo lile lifanyike. Bahati alikuwa mtu wa kulia tu usiku nzima. Alijua yeye ndio sababu iliyomsababishia Jothan kugongwa na lile gari.. Alilia na kumuomba mungu asimchukue Jothan. Alirudi nyumbani asubuhi na kumtaarifu mama yake juu ya kilichotokea. Mama yake alisikitika sana na kwenda hospitali ambapo walikaa kwa masaa manne bila kuruhusiwa kumuona mgonjwa. Walirudi nyumbani na kurudi tena hospitalini jioni ambapo waliruhusiwa kuingia ndani na kumkuta yule mtu aliyemgonga Jothan akwa pale hospitalini. Bahati alimuelekeza mama yake kwa yule mtu aliyeonekana na moyo wa pekee kwa kukubali kuisimamia afya ya Jothan kwa kipindi chote atakacholazwa pale hospitalini. “kwa maelezo ya dokta, amesema kuwa atarejewa na fahamu kiasi katikati ya wiki hii,.. ila itachukua muda mrefu kurudiwa na kumbukumbu.” Aliongea yule jamaa alyemgonga baada ya kujitambulisha kwa jina la Saimon. Baada ya taarifa zile, walikubaliana na kuondoka huku zoezi la kumuangalia Jothan likiwa linaendelea kila siku. Baada ya wiki mbili jothan alifumbua macho. Lakini hakuweza kuongea na hakuwa na kumbukumbu yoyote. “kwa hiyo dokta tunaruhusiwa kuondoka naye” aliuliza Saimon baada ya daktari kuridhika na maendeleo ya Jothan. “mnaruhusiwa, ila kwa masharti. Msimsumbue kwa kumlazimisha akumbuke kitu chochote. Maana kumbukumbu zake zitakuja taratibu kutokana na mazingira katika ubongo wake.” Aliongea dakrari katika moja ya kuwapa maangalizo juu ya mgonjwa wao. “sawa, sasa inaweza kuchukua muda gani hadi kurudiwa na fahamu zake sawa sawa?” aliuliza Bahati. “inaweza kuchukua miezi sita, nane au mwaka mzima kutokana na ukubwa wa tatizo lenyewe.” Aliongea daktari na kuwafanya wote waliokuwa pale waishiwe nguvu. Walikubaliana waondoke naye na kwenda kukaa kwa kina Bahati huku Simon akiwaambia kuwa atakuwa pamoja nao katika kila hali. Kutokana na kuchanganyikiwa siku aliyopata ajali Jothan, Bahati hakuokota kitu chochote alichokuwa amebeba Jothan siku ile. Hivyo hakuwa na mawasiliano angalau amjulishe Shani juu ya ajali iliyompata mpenzi wake. Siku zilikatika kwa kasi bila Jothan kuonyesha dalili zozote za kukumba yaliyokuwa nyuma. Hata jina lake tu alianza kulizoea baada ya Shani na mama yake kulitamka kila mara. Kwa upande wa Bahati alijisikia raha kumuuguza Jothan kwakua alikua analipa fadhila kwa yale aliyomtendea. Alihakikisha kuwa kila alichokihitaji mgonjwa wake basi alikua anakipata kwa wakati. Aliamua kurudia kazi yake ya kuuza maua ili alishe familia inayomkabili. Baada ya miezi sita kupita, Jothan alianza kuonekana kukumbuka kidogo kidogo. Aliweza hata kuuliza kuwa yupo wapi na ni nini kilichomleta pale. Alitamani kwenda kazini tena kama zamani. “PRISCA…… PRISCA” Alisikika Jothan usiku akilitaja jina la mwanamke huyo mara kadhaa. Bahati ambaye alikua amekaa kimya wakati wote, aliamka kutoka kwenye godoro la chini alipolala na mtoto wake na kumsogelea Jothan. Alishangaa kumuona Jothan akitokwa machozi. “mimi ni Bahati “ alijitambulisha Bahati mbele ya Jothan ambaye alikua macho usiku huo huku akitokwa na machozi. “yupo wapi Prisca.” Aliuliza Jothan na kumfanya Bahati ashtuke kidogo kwakua hakulifahamu jina hilo.. “Prisca mimi simjui… au ndio Shani ana majina mawili?” aliuliza Bahati na kumfanya Jothan afikirie kwa muda mrefu. “Shani.. Shani… ndio nani huyo?” aliuliza Jothan huku akionyesha kutokuwa na kumbukumbu nae. “si yule aliyekuwa unaishi nae kabla ya kuja huku ?” aliongea Bahati na kumfanya Jothan avute taswira juu ya mtu huyo aliyekuwa anamzungumzia Bahati. “huyo simkumbuki, yupoje kwani?” aliuliza Jothan na kumuangalia Bahati ambaye wakati huo alikuwa mbele yake akiongea kwa sauti ya taratibu kwa kuwa usiku ulikuwa tayari ni mkubwa. Hivyo sauti zao zilipea na kusikika kila mahali mule ndani. “ni mnene kiasi, mweupe na ana shepu Fulani hivi .. anapenda kuvaa ma wigi ya rihanna.” Alijaribu kumkumbusha Jothan kwa kumtajia muonekana halisi wa mtu huyo. “huyo simukumbuki,….. ninaye mkumbuka mimi ni msichana mzuri niliyeanza naye mapenzi toka tukiwa shuleni. Ni msichana mzuri sana. Na kila siku zilivyozidi kujongea, basi uzuri wake ulikua unaongezeka kila siku iendayo kwa Mungu. Nalikumbuka jina lake huyo dada. Anaitwa Prisca. Ila sijui muonekano wake kwa sasa. Labda ikitokea kuonana nae.” Aliongea Jothan huku akijaribu kuvuta hisia zake juu ya msichana huyo anaye mkumbuka kwa machache tu. “daktari alituambia kuwa tusikusumbue kwa kukumbusha ya nyuma. Ila utakumbuka taratibu. Ni vyema ulale Jothan ili uipumzishe akili yako.” Aliongea Bahati na Jothan akakubaliana nae. Kila siku ambayo Bahati alikua anarudi kutoka katika mihangaiko yake, aliutumia muda huo kupiga stori mbali mbali na Jothan. Wakati mwengine alimtembeza sehemu kadhaa maarufu. Kila akipata fedha nyingi, basi humchukua Jothan na kumpeleka shooping kwa ajili ya kumnunulia nguo. Baada ya miezi miwili kupita, Jothan alirejewa na fahamu zake kamili. Alikumbuka kila kitu. Hata siku aliyokuwa anataka kurudi Dar na kupata ajali ya gari pia aliikumbuka. Alimkumbuka pia Bahati ambaye wakati huo alikuwa naye bega kwa bega wakishirikiana na Simon ambaye alikua anakuja kumtembela mara kwa mara na kumuachia chochote kitu. Siku moja Jothan akiwa barazani anapunga upepo, alifuatwa na Bahati aliyekuwa amebeba Juice glasi mbili na kumkabidhi moja. Aliipokea na Bahati akakaa karibu yake. “lete story” aliongea Jothan baada ya kumuona Bahati kama alikua ana kitu Fulani alichokuwa anataka kumwambia. “nina mpya basi, zaidi kama hutojali. Nilikuwa nahitaji ushauri kutoka kwako.” Aliongea Bahati na kumtazama Jothan. “ulikuwa au unahitaji ushauri kutoka kwangu.” Aliongea Jothan kimzaha. “naomba unishauri,.. Simon ameniambia kuwa ananipenda na yupo tayari kufunga ndoa na mimi. Wewe kama wewe unamuonaje Simon. Anafaa kuwa mume wangu?” alifunguka Bahati na kumuangalia Jothan aliyekuwa anamuangalia pia. “kwa muda mfupi toka nimfahamu huyo mtu, sina shaka naye hata kidogo. Maana alikuwa na uwezo wa kukimbia siku ile aliyonisababishia ajali au hata kunikimbia hospitali. Lakini mpaka sasa ametupa hela nyingi kwa ajili yangu. Huwezi jua Bahati, si ajabu Mungu kamkutanisha na wewe kupitia mgongo wangu. Cha msingi zisikilize hisia zako maana wewe ndio utakuwa naye kipindi hicho mimi nitakapokuwa mbali na wewe. Kama na wewe unampenda na yeye yupo tayari kumlea mtoto wako ni dhahiri shahiri kuwa na yeye anakupenda pia.” Jothan aliongea maneno yaliyomkuna sawasawa Bahati. Alibaki anatabasamu na kumuangalia Jothan ambaye naye alikua anatabasamu pia. “nilikuwa nampenda muda mrefu sana, sema nashukuru sana kuwa hata yeye kumbe alikua ananifikiria.” Alingea Bahati. “hongera. Nilitaka kurudi Dar wiki hii, ila kama ndoa iatapangwa mapema basi nitasubiria mpaka muoane.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati afurahi kupita kiasi. Siku ya harusi kati ya Bahati na Simon iliwadia na maharusi walionekana kupendeza kupita kiasi. Jothan alilifurahia tukio lile baada ya Bahati kuonekana kubadilika na kuwa mwema na mtu mwenye jitihada kama alivyokuwa zamani. Baada ya siku mbili, Jothan aliaga na kurudi Dar. Kwakua hakuwa mgeni wa jiji, alitambua magari ya kinondoni na kuelekea kwake. Alifika nyumbani kwake na kukuta kufuli nje ya geti lake. Hakuwa na jinsi zaidi ya kukaa pembeni kwenye Café iliyokuwa inatazamana na geti lake ili Shani atakaporudi aweze kukutana naye. Alikaa mpaka saa mbili usiku, lakini hakukuwa na dalili za mtu yeyote kufika pale. Aliamua kwenda kulala Gesti kutokana na uchovu wa safari aliokuwa nao. Aliamka asubuhi na kupata chai, baada ya hapo akaelekea nyumbani kwake. Pia alikuta geti likiwa limepigwa kufuli kama ilivyokuwa jana yake. Aliamua kumfuata dalali mmoja aliyekuwa ameweka benchi lake pembeni ya nyumba yake na kumuuliza. “samahani mzee Sadi, hivi huyu mke wangu ana muda gani toka afunge hili geti?” aliuliza Jothan baada ya kusalimiana na mzee huyo aliyemzoe kwa muda mrefu akiwa pale nje na kufanya shughuli zake za udalali wa nyumba,viwanja na vyumba vya kupangisha. “hivi hauna habari?” aliongea mzee Sadi na kumshangaa sana Jothan kwakua alikua anajua kila kitu. “sina habari yoyote mzee wangu. Nimeingia jana tu kutoka Arusha, hivyo sina habari yoyote mie!!.” Aliongea Jothan kwa mshangao mkuu. Alianza kuhisi jambo baya linaweza kuwa lilimkumba Shani kipindi ambacho alikuwa hayupo. “mbona hii nyumba imeshauzwa miezi miwili iliyopita?… tena matangazo yalibandikwa muda mrefu. Sema wenye nyumba bado hawajahamia. Si unajua watu wenye fedha zao bwana?.” Aliongea yule dalali na kumfanya Jothan apigwe na bumbu wazi. “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA ... Read More
*Love bite* Sehemu Ya Kwanza (1) Ni siku ya jumapili iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbali mbali walionekana kwenye kumbi za starehe. Wengi ambao walikua wanapenda taarab basi walijazana travertine hotel kuwaangalia jahazi. Kwa wengine wanaopenda bongo flavour basi walikutana bills,maisha,masai..Dar live na kumbi zingine zilikuwa na wasanii pendwa waliokuwa wanaburudisha week end hiyo. JOTHAN alikua anapendelea sana mixing za ma dj mbali mbali. Hivyo jumapili hiyo aliamua kwenda coco beach usiku huo. Upepo mwanana uliokuwa ukipuliza huko coco beach na ukichanganya na big screen iliyokuwa inaenda sambamba na mixing za maana alizokuwa anazipiga dj huyo aliyezikonga roho za watu wengi waliokuwa pale, iilikuwa burudani tosha kwa waliohudhuria usiku ule. Jotham alipaki gari yake pembeni, alichagua kiti kilichukokuwa karibu na meza ya mwisho na kuagiza kinywaji alichokipendelea na kuendelea kufurahia mziki uliokuwa unaonyeshwa kwenye screen hiyo. Mara kwa mara madada poa walikuwa wanajipitisha pale alipo, lakini aliwachora tu na hakuwa na mpango nao. Baada ya dakika kadhaa, walitokea madada watatu waliokuwa wameingia pale coco beach na kuanza kutafuta mahali pa kukaa. Waliangaza meza nyingi zilikua na nafasi ya mtu mmoja au wawili tu na wao walikuwa na lengo la kukaa wote watatu kwenye meza moja. Baada ya kuangaza kwa muda, waliiona meza aliyokaa Jothan ikiwa na nafasi tatu za kukaa. Waliisogelea ile meza na walipokaribia tu kuifikia ile meza. Walishuhudia jamaa mmoja akiwa ameenda kukaa pale. “wewe kaka sogea sehemu yetu.” Aliongea mmoja kati ya wale wadada watatu baada tu ya kuifikia ile meza. “mbona hakuna alama yoyote kuwa mlikaa hapa. Hakuna vinywaji wala kitu chochote.” Aliongea yule jamaa huku akionyesha wazi kuvutiwa na ile sehemu iliyokuwa chemba lakini ikiwa inaonyesha vizuri ile tv. “ni vyema uwapishe kwa sababu waongeacho sio uongo.” Aliongea Jotham kumwambia yule jamaa. Hakuwa anapenda makelele ambayo alijua yatatokea baada ya mvutano huo wa kugombania ile sehemu. Yule jamaa akaamua kunyanyuka na kuwapisha wale warembo na yeye kwenda kukaa meza nyingine. “ahsante sana kaka, maana yule jamaa alitaka atubanie wakati sisi tumehangaika kutafuta meza tutakayokaa wote watatu”. Aliongea yule dada aliyeonekana kama kiongozi wao. Mavazi waliyovaa yalitosha kumshawishi mvulana yeyote rijali na kufanya iwe lazima macho ya matamanio kumtoka. Uzuri wa mabinti hao likuwa unashinda lakini huyo aliyekuwa kiongozi wao aliwazidi wenzake kwa kila kitu. Macho ya Jotham yaliona kila kitu kutoka kwa binti huyo mbichi. Chuchu zilitokeza kwa kujichora kwenye gauni ile nyepesi ambayo haikuwa na nguo nyingine ndani. “sikiliza oda zao, ziingize kwenye bili yangu” aliongea Jotham baada ya kumuita muhudumu aliyekuwa anamuhudumia toka afike pale. “ahsante.” Waliitikia wale madada baada ya kupewa ofa hiyo. Waliagiza vyakula na vinyaji walivyopendelea. Walipiga story za kawaida huku wakigongeana glass za vinywaji na kucheka. Jotham alikuwa kimya wakati wote huku akiwa bize kuangalia na kusikiliza mixing ambazo ndizo zilizomleta pale. Baada ya masaa kadhaa, alimuita muhudumu na kulipia bili yake. “ahsante kwa ofa yako.” Aliongea yule kiongozi wao baada ya Jotham kuwaaga. Jotham aliingia kwenye gari yake aina ya opah na kuondoka eneo hilo. Njiani alimkumbuka yule dada lakini aliishia kucheka tu kwakua hakuwa na hisia zozote za mapenzi juu yake. Zaidi alimtamani kuwa nae japo kwa usiku mmoja kwa jinsi alivyotoka. Hakika alikuwa na kila aina ya uchochezi wa kufanya ngono. Alifika kwake usiku mnene na kwenda kulala fofofo kutokana na usingizi uliojaa wakati huo. Asubuhi aliamka na uchovu tele na kwenda kuoga ili kujaribu kuupunguza uchovu aliokuwa nao. Alipomaliza kuoga. Alijiandaa tayari kwa kwenda kazini. Alisumbuka sana kuwasha gari lake lakini halikuwaka. Alipoangalia mafuta, aligundua kuwa wese lilikuwa limekata. Kwa kuhofia kuchelewa zaidi kazini, aliamua kwenda kituoni na kupanda daladala. Alifika kazini huku macho yake yakiwa mekundu yaliyoashiria kuwa bado alikuwa na usingizi. “mshikaji bora ukapate supu, maana hiyo harufu ya pombe uliyamka nayo ni noma. Utaongea vipi na bosi?” alishauri mmoja wa wafanyakazi wenzake aliyekuwa karibu naye. “poa, ngoja nielekee canteen basi.” Aliongea Jothan na kwenda canteen kupata supu ya mbuzi na chapati. Baada ya kunywa chai, alirudi na kuendelea na kazi. Saa nane ndio muda waliokuwa wanatoka kazini. Alienda kupata chakula cha mchana canteen na kuondoka zake kuelekea kituo cha daladala ambacho hakikuwa mbali na ofisini kwao. Alisubiri daladala kwa muda na kupanda gari iliyokuwa inaelekea mwenge kwa malengo ya kushuka kinondoni anapoishi. Usingizi ulichukua nafasi yake baada ya kupanda tu lile gari lililokuwa likisubiri abiria kwa dakika kadhaa pale kituoni Baada ya muda mrefu kidogo kupita, aliamka na kuangalia gari lilikuwa limefika wapi. Wakati akiwa anaanga angaza, macho yake yaligongana na yule mrembo aliyekuwa naye kwenye meza moja siku ya jana yake. Wote walikumbukana na kila mmoja akamuachia mwenzake tabasamu. Hapo alifanikiwa kumuona vizuri huyo msichana mwenye kila sifa ya uzuri. Usingizi uliendelea kumzonga Jotham na kujikuta anapitiwa na usingizi bila kuongea chochote na yule msichana. Gari lilifika mpaka mwenge na kupitiliza kituo alichokua anashuka Jothan. Aliamshwa na konda baada gari kushusha abiria wote. “tuko wapi hapa.” Aliuliza Jothan baada ya kuamka na kuangalia nje ambapo kulikua tofauti na mazingira anayoishi. “tumeshafika mwenge kaka.” Alijibu yule konda. Jothan aliangalia huku na kule na hakuona abiria yeyote aliyekuwa kwenye lile gari zaidi yake. Hakusikitika kupitishwa kituo, bali alisikitika sana kutochukua namba wala kujua jina la yule msichana aliyevutika naye zaidi baada ya kuonana nae kwa mara ya pili. Hakua na budi Jotham, zaidi ya kubaki ndani ya daladala na kugeuza nalo. Alipofika kinondoni kwa manyanya alishuka na kufuata njia ilyoelekea shule ya kambangwa secondary school na kupita chuo cha tumaini na kuingia nyumbani kwake ambapo hapakuwa mbali na pale. Hakuwa na hela nyingi sana, ila uwezo wa kula anachokitaka na kubadilisha nguo alikuwa nao. Alifika nyumbani na kujilaza kitandani kwake. Aliamka sa tatu usiku na kutoka kwenda sheli kununua mafuta kwenye kidumu kisha akaenda bar ya jirani na kupata chipsi kuku kisha akarudi nyumbani na kufungua tv na kuangalia yaliyomo. Saa tano usiku alianza kunyemelewa na usingizi,. Alizima tv yake na kwenda kulala. Alijikuta yupo na msichana yule mzuri kwenye fukwe za bahari wakipanga maswala yao ya kuoana. Alitoa pete na kumvisha mwanamke huyo mwenye kila aina ya sifa zilizompeleka Jotham kudata juu yake. Alikurupuka asubuhi na kugundua kuwa hali ile haikuwa halisi, bali alikua anaota.. aliangalia Alarm yake ambayo ilikuwa inalia wakati huo na kuizima. Alijiandaa na kupanda gari yake ambayo alishainunulia mafuta na kwenda nayo kazini kama kawaida. Baada ya mwezi mmoja kupita, Jothan alipata uamisho kikazi kwa miezi sita huko Morogoro. Alilaani ila hakua na jinsi kukubaliana na matakwa ya kazi. Ile ndoto ya kukutana tena na yule msichana iliyeyuka kwakua alijua kabisa kuwa kukaa kwake huko marogoro utakuwa mwisho wa kukutana tena na yule msichana kwa miezi mingi. Siku ya safari ilipofika. Alijiandaa na kupitiwa na gari la ofini kwao na kusafiri pamoja na wenzake waliopata uhamisho huo wa muda huko morogoro. Alifanya kazi huko kwa miezi mitatu na kupelekwa Arusha kwa ajili ya kumalizia miezi hiyo mitatu iliyobakia. Nia na madhumuni ni kuwafundisha kazi wafanyakazi wa mikoa hiyo kwakua ofisi yao ilikua imefungua matawi mapya katika mikoa hiyo. Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya kurudi Dar, Jothan alipita barabara moja na kumkuta msichana mzuri akiwa ameshika tenga anauza maua. Moyo ulimlipuka ghafla na kujikuta anamsogelea yule dada bila kujitambua. “unauzaje maua” aliuliza Jothan huku akimuangalia binti yule mzuri ambaye alikua anatabasamu baada ya kumuona yeye pale. “shilingi elfu moja kwa kila moja.” Aliongea yule dada bila kumuangalia Jothan usoni. “nikitaka yote utaniuzia shilingi ngapi?” aliuliza Jothan huku akizidi kumtathmini binti yule huku akionyesha kufurahi na muonekano mzuri aliokuwa nao msichana huyo. “nisaidie kuhesabu, kisha nitajie idadi ili nikuuzie kwa bei ya jumla.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kushangaa. Alijiuliza maswli ya haraka . labda hyule msichana hajui kusoma au alikua anamtega. “kwanini usiniambi tu, maana siyo mengi yaliyobaki.” Aliongea Jothan kwa sauti ya upole. “mi sioni kaka yangu.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kupigwa na butwaa. “kweli???” aliuliza Jothan huku akiwa haamini alichoambiwa na yule dada. Kwa kumuonyeshea kuwa haoni, yule dada alivua miwani na kumuonyesha macho yake ambayo yalikuwa na watoto ndani. Aliingiwa na roho ya imani Jothan na kukiri moyoni kuwa yule dada alikua nahitaji msaada kwakua tatizo lake linatibika ila matibabu yake yalikuwa ghali sana. “unaishi mbali na hapa?” aliuliza Jothan baada ya kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuyachukua maua sita yaliyobakia. “si mbali na hapa, ni mtaa watatu hapo mbele.” Aliongea yule dada mwenye asili ya kichaga lakini asiyekuwa na lafudhi hiyo wala meno yake kuharibika. Ngozi yake ilikubali baridi na kuwa nyeupe yenye mvuto. “unaonaje kama nikikusindikiza?” aliuliza Jothan. “sawa” Alijibu yule dada na safari ya kuelekea kwao ilianza. Mwendo wa kuupapasa kwa fimbo ndio uliomfanya Jothan kuamini kuwa ni kweli huyo dada alikua kipofu. Alikaribishwa mpaka ndani na kukutana na mama yake huyo binti. “karibu baba,”alikaribisha mama yake yule dada na kuwapisha. “huyo ndio mama yangu wa peke, sina msaada mwengine zaidi yake.” Aliongea yule dada huku anatabasamu. Hakua anamuona Jothan ambaye wakati huo alikua anaumia juu ya msichana huyu ambaye alionyesha hali aliyokuwa nayo ameizoea. Aliaga baada ya kuongea na kupiga stori mbili tati ikiwemo maisha yao kwa ujumla. Alirudi kwenye nyumba waliyopangiwa na kumpa story rafiki yake anayekaa naye kwenye nyumba hiyo. “kwa hiyo unataka ufanyaje ndugu yangu,” aliuliza rafiki yake huyo baada ya kumpa mkanda mzima. “nitajitahidi kwa uwezo wangu wote ili BAHATI apone kabisa.” Aliongea Jothan na kumuonyesha rafiki yake ni jinsi gani ameguswa na mdada huyo. “kwa hiyo unampango wa kumchukua na kwenda naye Dar?” aliuliza rafiki yake huyo huku wakiendelea kula bisi zilizokuwa kwenye meza yao. “exactly” alijibu Jothan kiingereza kuonyesha msisitizo. Asubuhi ya siku ya pili, Jothan aliamka na kwenda tena kwa kina Bahati. Kabla hajafika, tayari alishamuana dada huyo mwenye juhudi na kazi yake akiwa barabarani kama kawaida yake akiuza maua. “mambo Bahati.” Alisalimia Jothan Kwakua sauti ya Jotham alikua ameshaijua, alimng`amua na kuachia tabasamu mwanana lililomuacha hoi Jotham. “safi” alijibu Bahati. Waliongea mengi na kubwa zaidi ni juu ya Jothan kumsaidia Bahati swala lake la macho. Bahati alifuraha sana na wote wakaenda kwa mama yake na kumpa taarifa zile njema. “nitashukuru sana mwanangu..mungu akuzidishie.” Aliongea mama yake Bahati na zoezi la kujiandaa kwa ajili ya safari ya Dar-es-salaam lilianza mara moja kwa kufua nguo zake chafu na kupanga zingine kwenye mabegi. “tutakupitia kesho saa kumi na mbili asubuhi.” Aliongea Jothan na kuaga. Bahati alipanga kila kitu chake akisaidiwa na mama yake tayari kwa safari ya kesho yake ambayo ilikuwa na matumaini makubwa kwake. Alisali na kumuomba mungu afike Dar salama na lengo la kufanyiwa upasuaji lifanikiwe kwa nguvu zake mungu wa viumbe vyote. Asubuhi na mapema gari ya kina Jothan ilimpitia Bahati na safari ya kuitafuta Dar-es-salaam ilianza. Njiani walipiga story na kucheka kama vile walikuwa wamezoeana muda mrefu au walikuwa wameshakutana kabla. Uchangamfu wa Bahati uliwapendeza watu wote waliokuwemo kwenye lile basi. Bahati alipendelea kukaa dirishani kwa ajili ya upepo. Lakini Jothan aliamini kuwa Bahati alikua anatamani pia kuona vilivyokuwa nje. Saa nane mchana walifika mombo na kupaki gari lao kwa ajili ya kupata chakula cha mchana. Waliokwenda haja walienda ilimradi safari ikiendelea pasiwe na usumbufu kati yao. “unapendelea chakula gani?” aliongea Jothan baada ya kuingia naye Bahati kwenye mgahawa huo. “kama kuna wali huwa napenda hata ikiwa na mboga yoyote.” Aliongea Bahati. Jothan alimuagizia wali na nyama ya kuku. “ahsante kwa chakula.” Aliongea Bahati baada ya kumaliza kula kile chakula. Baada ya hapo safari iliendelea na kufika ubungo saa kumi na mbili jioni. Safari ya kuwapeleka makwao ilianza na Jothan na Bahati walishuka kinodoni na kuingia ndani. Kutokana na uchovu wa safari, Jothan alimpeleka Bahati chumba atakachokuwa analala na kutoka nje kununua chakula watakachokula usiku huo. Baada ya kiza kutawla, Jothan alimpelekea chakula Bahati na kumuonyesha choo na bafu ambavyo vyote vilikua mule ndani kwenye kile chumba. Baada ya mapumziko ya siku mbili, Jothan alimpeleka Bahati kwenye hospitali kubwa ya macho CCBRT kwa ajili ya upasuaji. Vipimo vilileta majibu mazuri kuwa kulikowa na uwezekano mkubwa wa kutolewa hivyo vitoto vya jicho na Bahati kona tena. Tarehe ya upasuaji ilipangwa kwa ajili ya upasuaji huo na Jothan alimpeleka Bahati ili apate huduma hiyo ambayo kama itafanikiwa itakuwa imempa maisha mengine kabisa mrembo huyo ambaye alikuwa haoni toka alipozaliwa.. Muenendo mbaya wa utendaji kazi huko marogoro ndio uliomfanya Jothan kurudishwa tena mkoani humo. Alisikitika kumuacha mgeni wake katika hospitali kabla hajashuhudia matokeo ya upasuaji huo, lakini hakuwa na jinsi kwakua aliuachia uongozi jukumu la kumuangalia mgonjwa wake huyo. Miezi sita ilikatika akiwa huko Morogoro huku mawasiliano yakikosekana kati yake na Bahati. Hata alipouuliza uongozi wa kampuni yao walimwambia kuwa walikuwa wamempa kiasi cha hela baada ya kupona na tokea wamkabidhi hawakupata mawasiliano naye. Mawazo yalimsonga Jothan na hakujua kwanini Bahati aliamua kufanya vile. Baada ya uchumi wa kampuni hiyo kutengamaa na kupata uongozi uliokuwa ukipiga kazi kama ipasavyo, Jothan alirudi Dar kuendelea na majukumu yake ya kila siku. Alipofika nyumbani kwake palikuwa pamefungwa kama alivyo paacha. Aliingia ndani na kuikagua nyumba yake kwa macho kisha akaenda kulala kutokana na uchovu aliokuwa nao. Usiku wa jumamosi, aliamua kwenda club kwakua ni muda mwingi alikosa kwenda. Hivyo aliamua kwenda kupata mixing za ma dj wakubwa ambao wanajua kubadilisha nyimbo na kumfanya mtu aburudike na mpangilio wa nyimbo wanazoziweka kulingana na wakati. Wakati akiwa anaburudika na kinywaji chake huku akipata burudani nyingine akiwa kwenye kiti, mzuka alkampanda na kujikuta anaingia kati na kuucheza wimbo ulimvutia zaidi. Style alizocheza ziliwavutia wengi hadi baadhi ya wasichana walimfuata na kucheza nae. Aliifurahia sana hiyo siku na kurudi nyumbani akiwa na hamu ya kwenda tena siku ya jumapili. Kwakua alikua na likizo ya mwezi mzima kazini, hakuona tabu kulala mchana ili usiku akeshe tena kutokana na kuwa mziki ni starehe kubwa anayoipenda japokuwa siyo muimbaji. Siku hiyo alifika mapema na kutulia kwenye meza kwanza za nyuma na kuendelea kupata kinywaji na nyama choma kwa wingi. Wasichana wengi walimshobokea na kuomba ofa za bia. Kwakua Jothan alikuwa akiingia sehemu yoyote ya starehe huwa anakua amependeza mfukoni, basi hakuona shida kumwaga ofa mbali mbali kwa wanaomuomba bila kujali jinsia. Wakati disco likizidi kuchanganya. Kwa mbali kwenye mwanga hafifu Jothan alimuona msichana aliyemfananisha. Hakujiuliza mara mbili, alinyanyuka na kumfuata pale pale kwenye meza yao. Kadri alivyozidi kumsogelea, ndipo sura ya yule binti iliyozidi kumjia kichwani. Alimsogelea na kumuangalia kwa ukaribu zaidi. “kaka,tukusaidie nini?” aliuliza yule dada baada ya kumuona Jothan akiwa mbele ya meza yao amesimama na kumuangalia kupita kiasi. “sijui ndio wewe au nakufananisha?” aliongea Jothan huku akiwa haamini baada ya kumuona yule binti aliyekuwa kapendeza kupita kiasi. “kaka hizo swaga za kizamani kweli, za kuaza kufananishana mara sijui nilikuona wapi, achana na sisi bro” aliongea yule dada na kuwafanya wenzake kucheka. Kutokana na hadhi aliyokuwa nayo Jothan, alifedheheka kiasi na kumfanya akubali matokeo. Aliwaacha wale mabinti huku wakiwa wanamjadili na yeye kurudi kwenye siti yake. Ladha ya club ilipotea na kuamua kurudi nyumbani kwake. Alijitupa kitandani na kuwaza sana. Kwa jinsi alivyotekoa kufurahi kumuona tena yule msichana na majibu aliyopewa hata kabla hajajitambulisha yalimtia simanzi. “naweza kusema kuwa hawezi kunifahahamu, lakini hata sauti kashindwa kuitambua?… au kwa sababu sauti yangu ilikuwa ya kilevi?” Alijiuliza Jothan maswali mengi bila ya kuwa na majibu. Asubuhi ya siku ya pili alienda kupata supu maeneo ya karibu na kwao. Aliporudi alijitupa kitandani na usingizi ukamchukua mpaka saa kumi jioni. Njaa ilikuwa ina muuma sana. Aliamua kutoka na gari lake na kwenda kwenye Bar kubwa iliyokuwa msasani kwa ajili ya kupata chakula ambacho siku hiyo kilikuwa kinapikwa kwa ustadi mkubwa. Aliagiza oda yake na kuletewa baada ya muda kama wa dakika tano. Kabla hajaanza kula, kwa mbali aliisikia sauti ya yule mmsichana aliyekutana naye Club usiku wa jana yake. Alinyanyuka na kwenda kwenye ile meza ambayo alimkuta akiwa na rifiki yake mmoja wa kike. “samahani, wewe sio BAHATI!!!?” Aliuliza Jothan huku akiwa na uhakika asilimia zote kwakua alikua anafahamu fika kuwa yule ndiye mwenyewe kutokana na sauti yake na muanekano wake ingawaje kwa sasa alikuwa anavutia zaidi. “ndio mimi, umenijuaje?” aliuliza yule dada na Jothan aliachia tabasamu huku akitikisa kichwa chake. “ina maana Bahati hata sauti yangu huikumbuki?” aliuliza Jothan huku akiwa haamini kumuona Bahati akiwa na macho mazuri tena yaliyoongezewa uzuri na kope za bandia alizo bandika. “ningekuwa nakujua nisingekuuliza umenijuaje?” alijibu yule dada na kuendelea kuifyonza juice yake iliyosindikizwa na chpsi pamoja na nyama choma waliyokuwa wanakula yeye na rafiki yake. “nitakushangaa sana ukisema kuwa sauti ya Jothan hauikumbuki.” Aliongea Jothan na kubaki kumuangalia Bahati aliyepigilia mapigo ya ki sister duu. “WHO A JOTHAN BY THE WAY????” Aliuliza yule dada na kumfanya Jothan aondoke bila kuaga. Alienda counter na kulipia oda yake bila kuigusa na kuondoka zake. Hakuamini kuwa Bahati angewaza kuongea yale maneno mbele yake tena kwa nyodo wakati ni yeye ndie aliyemleta mjini na kumpa msaada wa kuyatibu macho yake baada ya yeye kuikubali hali ya ukipofu kutokana na kuwa kulikuwa na uhaba wa pesa nyumbani kwao. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. ITAENDELEA ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 02* Sehemu Ya Pili (2) Lakini pamoja na yote sikuwa na sifa ya kumteka mwanaume kimapenzi zaidi ya kunionja na kuniacha. Wasiwasi wangu huenda mwili wangu hauna asali itakayo mfanya mwanaume yoyote atakaye nionja anirudie mara mbili. Basi baada ya kupokea aligeuka na kuondoka kurudi ofisini kwangu. Nilipofika mlangoni nilikumbuka kitu nilitaka kumuuliza bosi, niligeuka ili nimuulize kitu. Niligeuka ghafla na kukutanisha macho na bosi ambaye kumbe nyuma yangu alikuwa akinifuatia. Maskini kaka wa watu alishtuka mpaka akadondoka chini, nilijikuta namuonea huruma. Nilirudi hadi chini alipokuwa amekaa bila kuonesha kujinyanyua, mwili wake haukuwa mkubwa sana nilimshika mkono ili kumnyanyua. “Hapana Manka nitanyanyuka mwenyewe.” “Hapana bosi naomba unipe mkono,” nilimwambia kwa sauti ya huruma yenye kubembeleza. Alinipa mkono na kumnyanyua, baada ya kunyanyuka nilitoa kitambaa changu na kumfuta sehemu yenye vumbi. “Tosha Manka sehemu zingine nitafuta mimi.” “Hapana bosi ni wajibu wangu kufanya hili.” Aliniacha nimfute kisha nilimtengenezea kiti na kumuomba akae. “Unaweza kukaa.” Bila kuongeza neno alikaa kwenye kiti chake huku uso wake ukionesha aibu imemtawala. “Pole bosi,” nilimwambia kwa sauti ya chini. “Asante.” “Hukuumia?” “Nipo sawa.” “Pole sana.” “Asante Manka, nipo sawa kaendelee na kazi.” Niligeuka na kuondoka hata nilichotaka kumuuliza nilikiacha na kupanga kumuuliza kupitia simu yangu ya mezani. Nilitoka hadi ofisini kwangu kuendelea na kazi, kabla ya kuanza kazi nilijikuta nikijiuliza kilichomdondosha bosi wangu ni nini. Wasiwasi ulikuwa uleule bosi kapagawa na mimi, kitu ambacho sikutaka kinitokee kwa muda ule kwani ilikuwa mapema sana. Niliamini kabisa bosi kwa mtazamo wa nje alikuwa amepata bonge la mwanamke, lakini ndani sikuwa na sifa zile za kukaa na mwanaume kwa muda mrefu. Niliyapuuza na kuendelea na kazi, nilikumbuka kuna kazi nilitaka kupata maelekezo kwa bosi. Nilimnyanyua simu kumpigia baada ya kuita kwa muda ilipokelewa. “Haloo bosi.” “Ooh..Aah…Nani Manka,” maskini bosi wangu alionesha kiwewe bado hakijamtoka. “Bosi mbona hivyo?” “Aah, kawaida tu, unasemaje?” “Ok, bosi nilikuwa nauliza hii kazi ya malipo kuna maandishi ya mkono nayo niyaandike?” “Hakuna tatizo, yaandike kama ilivyoandikwa.” Nilikata simu na kuendelea ka kazi yangu kama kawaida, baada ya muda nikiwa bize simu ya mezani iliita, nilinyanyua na kupokea. “Haloo bosi.” “Ndiyo Manka jiandae tukapate lunch.” “Nashukuru bosi.” Baada ya kukata simu, niliangalia saa kubwa ya ukutani iliyokuwa mbele yangu, ilionesha ni saa saba kasoro kumi mchana. Nilimalizia kazi yangu ili nipate muda wa kwenda kula, nikiwa bado nimeinama nikirekebisha tatizo la kisarufi nilishtuliwa na sauti ya bosi. “Manka tunaweza kwenda.” “Hakuna tatizo bosi, namalizia kurekebisha sarufi.” “Utamalizia tukirudi.” Nilisave kisha nilizima computer na kunyanyuka, nilijitengeneza vizuri nguo niliyovaa. Kwa chati nilimuona bosi wangu koo likimcheza kama mtu mwenye kiu kikali. Baada ya kuhakikisha nipo sawa tulitoka hadi kwenye gari lake kisha tulikwenda kwenye moja ya hoteli ya kifahari ambayo ilinikumbusha mbali enzi nipo kwenye ndoa yangu. Tulipofika Mateja alionesha kutojiamini sana kwangu kitu ambacho sikuamini mwanaume kama yeye kuwa katika hali ile. Sikuwa na sifa kubwa zaidi ya mwanamke aliyepoteza matumaini ya kupata hadhi mbele ya mwanaume. Niliamini kaniona kwa nje hanijui ndani nilivyo ndio maana ananipapatikia. Nilijua akikipata anachokitafuta kwangu pengine ndiyo siku ya kunifukuza kazi, lakini sikuwa na jinsi kila mwanaume mwenye pesa aliamini mwanamke sahihi wa kukaa naye ni mimi. Baada ya kuketi kwenye viti vyetu muhudumu alifika na kutaka oda zetu. “Manka agiza chochote ukitakacho kwa bei yoyote.” “Asante, nataka kula unachokipenda wewe,” utanishangaa kwa nini nimesema vile, nilifanya vile ili kumtoa wasiwasi na kumfanya awe huru kwangu japo si katika suala la mapenzi. “Hapana Manka nataka wewe leo ndio uchague chakula tutakacho kula.” “Sawa,” nilichagua chakula ambacho wote tulikuwa. Baada ya chakula wakati wa kunywa vinywaji Shaka aliniuliza. “Samahani.” “Bila samahani.” “Manka, umeolewa?” “Sijaolewa.” “Una mchumba sina?” “Sina.” “Rafiki wa kiume?” “Sina.” “Manka mbona unanidanganya.” “Kweli bosi.” “Hivi Manka kwa umbile alilokujali muumba usiwe na mwanaume?” “Si kwamba sijawahi mwanaume ila kwa sasa sina.” “Kweli?” “Kweli kwa nini nikufiche ili iwe nini?” “Mara nyingi watu wamekuwa si wakweli.” “Huo ndio ukweli wangu.” “Kwa nini mrembo kama wewe huna rafiki wa kiume?” “Sina bahati nimeamua kuishi peke yangu.” “Ina maana hata ombi langu litagonga ukuta?” “Ombi gani?” “Kwa vile huna mtu nilifikili unafaa kuwa mke wangu.” “Aaah, bosi,” kauli ile ilinishtua sikupenda kuisikia masikioni mwangu. Sikuwa na jibu la moja kwa moja, moyo mapigo ya moyo walinienda mbio na machozi yalinitoka. Mateja alishtuka kuniona nikitoka machozi badala kumpa jibu lake. “Manka vipi?” “Hataa,” nilitikisa kichwa. “Mbona machozi yanakutoka.” “Kauli yako imenishtua.” “Kivipi?” “Sikutegemea kuniambia neno hilo mapema kiasi hiki.” “Manka, penzi limuingiapo mtu huwa kama kichaa aliyekatikiwa na mishipa ya fahamu. Niyasemayo si mimi ni moyo wangu naomba unihurumie.” “Ni kweli, lakini sina bahati kila siku mapenzi limekuwa likinitesa.” “Kivipi?” “Mpaka leo sijajua sababu ya kuachwa na wanaume.” “Ni wazi wote waliopita walikuwa na tamaa ya kukujua ulivyo na si mapenzi ya dhati. Lakini nakuamini mimi ndiye mwanaume sahihi kwako.” “Hiyo kauli kwangu nimeizoea, lakini mwisho wa siku mambo huwa kinyume.” “Niamini Manka, nitakuwa mume mwema.” “Mmh nitashukuru, lakini usinitende utaniumiza.” “Siwezi.” Baada ya chakula tulirudi ofisini, hatukufanya sana kazi Mateja alikuwa na uchu wa fisi. Aliniomba tufunge ofisi twende tukastarehe, sikuwa na pingamizi nilifunga kazi na kuongozana naye kwenye gari lake. Mateja alinipeleka kwenye hoteli ya kifahari ya nyota tano. Kwa vile shida yake niliijua sikushtuka kumsikia akiuliza chumba cha VIP, baada ya kulipia tulikwenda kwenye chumba kilichokuwa ghorofa la pili. Chumba kilichokuwa cha kifahari, ambacho kilikuwa kipo katika hadhi ya juu. Katika maisha yangu sikuwahi kuingia kwenye chumba kizuri kama kile. Chumba nilikiona kilikuwa kinapendeza lakini wasiwasi wangu bosi wangu atakipata alichokifikilia kukipata mwilini mwangu. Sikutaka nami kijiweka nyuma kwani nilikumbuka kauli za Bi Shuu mama mlezi wangu shangingi mstaafu, kuwa niwapo mbele ya mwanaume nijionesha nipo tayari kumpa kile anachokitaka. Siku zote aliniambia nijiamini ili kumfanya mwanaume naye ajiliuze mara mbili mbili ataniingiaje. Sikupoteza wakati baada ya kuingia tu chumbani nilivua nguo zote na kubakia kama kuku aliyenyonyolewa. Sikuchelewa kumsaula na yeye tukawa sale sale maua. Nilitembea kama miss kuelekea kwenye kabati kuchukua taulo kwa makusudi nimuoneshe umbile langu ambalo mwanzo huwa utata kwa wanaume. Lakini wakiisha nipata nakuwa kama Big G iliyotafunwa na kuisha utamu mwisho wake hutemwa. Kwa kweli sikupenda kutongozwa siku moja na siku hiyo hiyo kumvulia mwanaume nguo ya ndani. Niliamini kabisa kujilahisi vile lazima thamani yangu ingepungua lakini kama ningemzungusha, kidogo thamani yangu kwake ingepanda. Nilijua lazima ataniona maharage ya Msanga maji nusu kijiko. Lakini sikuwa na jinsi kutokana na njia aliyotumia kwa kweli nilijikuta siwezi kuuruka mtego wake mwepesi. Sikuwa ndege mjanja lakini nilinaswa kijinga sana, japo sikujua tatizo langu lakini nilipokuwa natembea na kumuachia umbile la nyuma lililokuwa linawatesa wanaume wengi. Niliinama makusudi kama najikuna mguu ili tu nizidi kumpagawisha. Kitu kilichofanya Mateja azidi kuwa katika wakati mgumu, wakati nafungua kabati nitoe taulo Mateja alikuwa tayari yupo nyuma yangu na kunikumbatia kwa nyuma. Nilijua uzalendo ulikuwa umemshinda, mambo yalianzia pale. Tulianza kubadilishana mate palepale kwenye kabati, baada ya muda aliona anachelewa, mwanaume alinibeba juujuu mpaka kitandani. Kwa vile mchicha ulikuwa umeishakolea nazi tuliumwaga juu ya ubwabwa na kuanza kujimegea tataribu. Mateja alionekana ana pupa kama mamba mwenye njaa, hakuchelewa kukifikisha chombo ukingoni mwa bahari. Baada ya mapumziko mafupi tulirudi ndani ya ngarawa kuendelea na safari, katika vitu ambavyo katika maisha yangu nilikuwa sivipendi ni usumbufu ndani safari. Ooh geuka hivi, lala hivi, inama hivi, nyanyuka hivi, kwa upande wangu niliona usumbufu lakini nilivumilia kwa vile ndiyo ilikuwa siku yetu ya kwanza kukutana. Kama ningekuwa nimemzoea ningempasha, kwani hakuna starehe ya mapenzi mpaka kusumbuana kumgeuza mwenzako kituko,ile kwangu sikuona mapenzi zaidi ya adhabu. Siku zote niliamini baada ya safari ndefu mtu humwaga mzigo na kutelemka. Siku ile tulikaa kaa mpaka saa tatu usiku baada ya kuoga na kula alinirudisha nyumbani. Kabla ya kuondoka Mateja aliniahidi vitu vingi ikiwemo kunijengea nyumba kuninunulia gari na kuyabadili maisha yangu kwa ujumla. Siku ile moja tu alinipatia laki tano taslimu, sikuamini niliona miujiza kupata raha na kiasi kikubwa cha pesa kama kile. Nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu yupo chumbani kwake, Nilifungua mlango wa chumba changu na kuingia ndani. Nilipowasha taa nilishtuka kumuona Bi Shuu kanisimamia nyuma, akuzungumza chochote ila alinikata jicho kali. “Shikamoo Bi Shuu” “Hainisaidii kitu” “Mbona hivyo mama yangu” “Kazi gani ya kutoka saa moja asubuhi kurudi saa tano za usiku?” Mmh, makubwa nimekuwa mtoto mdogo wa kuwa chini yake kwa kila kitu. Nilijua uchawi wa Bi Shuu ni nini, niliinama na kuchukua mkoba wangu na kufungua. Nilihesa nyekundu tano na kumpa. “Za nini?” “Katumie tu” “Za kodi?” “Walaa, nimekutunuku tu mama yangu.” “Kweli!?” “Kweli unafili uliyonifikiza madogo” Bi Shuu alifurahi na kunikumbatia na kusahau aliyobwatuka muda mfupi, baada ya kunipandisha na kunishusha alisema. “Weee mwana kulikoni” “Kaa chini nikupashe kazi imekuwa kaziiiii” “Usiniambie” “Habari ndiyo hiyo shilingi moja kwa sekunde ndio mpango” “Wacha wee leo Mchaka kawa mzaramu” “Umenifundisha wewe, ngoja nikaoge nikupashe upashike” Nilimuacha Bi Shuu chumbani kwangu akizirudia kuzihesabu pesa nilizompa mimi nikaenda kujimwagia maji. Nilipotoka kuoga nilimkuta akinisubiri kwa hamu kubwa. “mmhu, hebu nipe raha” “Bi shuu nitakueleza yote kesho” “Mwana wee siwezi kulala mpaka unipe siri ya rangi nyekundi kupendeza na kusikitisha” Huku nikijifuta maji nilimueleza yote bila kumficha hata moja, mwisho wa yote nilielezea masikitiko yangu ya bahati ya kupendwa na mkosi wa kuachwa. “Bi Shuu, japo nimepata lakini wasiwasi wangu sichelewi kumwagwa” “Kwani una tatizo gani?” “hata silijui hakuna hata mwanaume mmoja aliyenieleza tatizo langu” “Mmh, kuna umuhimu wa kulifanyia kazi” “Siamini kama tatizo langu litaisha” “Hebu kila ukiwa na huyu bwana msikilie na muulize an apenda nini chochote usimnyime” “mmh, Bi Shuu wanaume wengine waharibifu ukimchekea anakuharibu” “Sio unavyo fikiria’ “Kuna nini wanaume wanacho taka zaidi ya kuwaharibu wanawake, sijazaa babu wee cha kuwekewa matambala” “Sina maana hiyo si wote wana penda mchezo huo.” “mmh, nitamsikiliza” “Sasa mwana wee lala nakuomba muheshimu mpenzio kama Mungu wako huoni muda si mrefu nasi tutatembelea gari” “Ndicho ninachokiomba, sijui yatakuwa yale yale.” “Basi mwali lala usingizi unono.” “Nawe pia Bi shuu” Bi Shuu aliniaga na kuondoka na kuniacha nikimalizia kujifuta maji ili nilale. ****** Siku ya pili wakati namalizia kujipodoa kabla ya kwenda kujifusha udi kwa Bi Shuu simu ya Mateja iliingia, niliipokea na kuzungumza naye. “Haloo ma’ Sweet.” “Ooh, ma honey girl.” “Ni mimi, mhu baba nipe habari naona simu za asubuhi asubuhi?” “Aah, kawaida ila kuna dereva nimemtuma atakupitia muda si mrefu.” “Hakuna tatizo Sweet.” Baada ya Mateja kukata simu, kwa vile nilikuwa tayari nimeisha jipodoa nilikwenda chumbani kwa Bi Shuu. Kabla ya kuingia nilikutana na moto uliokuwa ukinukia vizuri, harufu ya asubuhi ile ilikuwa zaidi na ya jana yake Niliingia na kumkuta akiweka udi kwenye kitezo, aliponiona alitabasamu na kusema. “Haya mwali jifushe uwahi kazini.” Niliinama na kufunikwa shuka ili moshi wote wa harufu nzuri uishie kwenye nguo na mwilini, baada ya muda alifunua shuka na kuninusa kama mbwa anayesaka chakula jaani. Asikuambie mtu Bi Shuu havumi lakini yumo, mtu mzima lakini ovyooo. “Umevaa kufuri gani?” Bi Shuu aliniuliza swali ambalo sikufikiria kuniuliza. “Nyeupe.” “Hebu nione.” Mmh, makubwa nilinyanyua gauni na kuiona nilikuwa nimevaa kufuli la mikanda ‘Bikini’. “Mwali ndio nini?” Bi Shuu alishtuka. “Mbona umeshangaa?” “Unakwenda kwenye starehe au kazini?” “Kazini.” “Sasa mbona umevaa kufuri kama unakwenda kwenye kilimo cha mihogo.” “Babu weee kwenda na wakati.” “Acha ushamba vaa kufuri la kawaida, hilo kufuri unalivaa siku unayokutana na mpenzi ukitoa nguo tu akiona anaingia kimuhemuhe.” Mmh, sikutaka kubishana naye nilirudi hadi chumbani kubadili kufuri, wakati namaliza kuvaa honi ya gari ilipigwa nje nilijua mtu aliyetumwa kunifuata amefika. Nilikimbilia chumbani kwa Bi Shuu kumuaga. “Bi Shuu naondoka.” “Umebadili kufuri?” “Ndiyo.” “Hebu nione.” Nilinyanyua tena gauni na kunitazama, nilikuwa nimevaa ya kawaida tena ya rangi nyekundu, alipoiona alisema. “Ewaaa, sasa hapo ndipo nilipopataka.” “Basi nawahi kuna mtu ananisubiri hapo nje katumwa na mzee,” nilisema huku nikiteremsha gauni ili niwahi nje. “Wee Manka ndio nini?” “Vipi tena Bi Shuu mwenzio nachelewa kazini.” “Hebu jifushe na hiyo kufuri linukie.” Nilirudi haraka na kuchutama kwenye kitezo kwa kulitanua gauni langu moshi wote uingie chini. Baada ya kufanya yote niliyoelekezwa na Bi Shuu nilimuaga kwa kumbusu kisha nilipitia mkoba wangu na kutoka nje. Nilimkuta gari likinisubiri, niliingia kwenye gari na gari liliondoka. “Mambo?” “Poa, sijui yako?” “Hata mimi ipo poa.” Safari iliendelea hadi ofisini, nilipofika nilipita moja kwa moja hadi ofisini kwa Mateja, alivyokuwa ameisha ingia ofisini. Baada ya kufungua mlango wa ofisi niliingia huku nikiachia tabasamu pana na kutanua mikono yangu, Mateja aliponiona alizunguka meza yake kunipokea. Tulikutana katikati na kukumbatiana. Tuliporomosheana mabusu moto moto huku tukigandisha midomo kwa muda na kubadilisha mate. “Mmh, tosha,” nilisema huku nikijitoa mikononi kwa Mateja. “Mhu, za nyumbani?” “Mmh, mzuri sijui kwako?” “Kwangu ilikuwa ngumu kidogo kutokana na kuwa na wakati mgumu baada ya kukuota tupo pamoja niliposhutuka nilijikuta nipo peke yangu.” “Pole sana, basi ndio ufanye haraka kunichukua.” “Kwa mateso ya jana kuna umuhimu wa kufanya hivyo.” “Basi mengine baada ya kazi.” “Haya mama, mimi niseme nini.” Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Pamoja na furaha ile bado wasiwasi wangu ulikuwa nini hatima yangu kwake, nitaendelea naye au ndiyo atanitosa kama waliotangulia. Wazo la awali lilikuwa kuomba msaada kwa Bi Shuu ili niweze kumdhiniti. Niliendelea na kazi zangu kama kawaida, muda wa mchana tulikwenda kula pamoja kama wapenzi wasiojificha. Siku ile baada ya kurudi nyumbani aliniomba tuwe wote usiku wa siku ile, sikumkatalia kwa vile ndiye aliyekuwa mmiliki wa mwili wangu. Usiku alinipitia na kuondoka kwenda kulala naye mpaka asubuhi, kaonja kaona tamu sasa anataka kula kabisa. … Ni kweli nilifurahi kulala na Mateja mpaka asubuhi kuonesha jinsi gani alivyopagawa kwangu, lakini usiku kwangu ulikuwa wa karaha sana yaani mambo nisiyoyapenda ya kusumbuana wakati wa mapenzi yalijirudia tena. Nilishindwa kumkatalia kwa vile alikuwa bosi wangu kwa kuogopa kufukuzwa kazi na maisha ya kutangatanga yalinichosha. Usiku mzima kugeuzwa kama chapati ooh geuka hivi, lala hivi fanya hivyo, basi kero mtindo mmoja. Nilijiuliza bila kunisumbua vile hawezi kukidhi haja zake, mpaka kunakucha nilikuwa nimekasirika mtoto wa kike kila kona ya mwili iliniuma hayakuwa mazoezi bali adhabu ya mapenzi. Asubuhi Mateja alifurahi sana na kuniahidi kabla ya yote kukibadili chumba changu kwa kuninunulia sofa za nguvu, alinipa pesa nyingi za kutumia na kunirudisha nyumbani. Huwezi amini nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu akinisubiri, kutokana na uchovu nilimsalimia na kuingia ndani nijilaze. Kabla sijabadili nguo na kuvaa kanga nyepesi Bi Shuu aliingia. “Mankaaaaa,” aliniita kimbea. “Unasemaje Bi Shuu,” nilimuuliza huku nikimuangalia jicho zito la usingizi. “Mmh, sikuwezi.” “Kwa nini Bi Shuu?” “Mambo yako mazito.” “Mmh kawaida tu, vipi ushakunywa chai?” “Nilikuwa nakusubiri wewe.” “Mimi kwa sasa hivi siwezi nimechoka sana.” “Eeeeh Manka weee, mlikuwa mnakomoana.” “Wee Acha tu,” niliona kama ananichelewesha kulala kutokana na umbea wake wa utu mzima. Nilivuta pochi na kutoa noti kadhaa za kumi kumi na kumpatia Bi Shuu bila kuzihesabu. “Za nini?” “Za kwako.” Bi Shuu alichanganyikiwa na kunivamia kwa furaha na kujitahidi kunibeba japo uzito wangu ulikuwa mkubwa. Kweli pesa sabuni ya roho Bi Shuu alipagawa na kuniona kama malaika niliyetumwa kuja kumpa furaha ya asubuhi ile. “Bi Shuu niache nipumzike.” “Mwali weee lala, tena utakutana nimekuandalia chakula kizuuuri.” Bi Shuu alitoka na kuniacha nikimalizia kuondoa nguo mwili kisha kuchukua kanga nyepesi kisha kujitupa kitandani. Nililala kwa muda wa saa zaidi ya nane kutokana na uchovu wa mbilinge za Mateja usiku kucha. Majira ya jioni Mateja alifanya kweli kwa kuleta sofa za nguvu kitu kilichofanya Bi Shuu kunipa chumba kikubwa cha nyumba kubwa. Niliamini ule ulikuwa mwaka wangu wa mimi kurudi katika maisha ya kutanua. Niliamini muda si mfupi lazima niwe na gari langu mwenyewe. Baada ya kukipamba chumba changu na kupendeza Bi Shuu aliniweka chini na kunipa somo. “Manka Mungu akupe nini, ukishikwa shikamana mwali wee.” “Hata mimi najua Bi Shuu.” “Unaonekana mwanzo ulikuwa ukifanya makusudi mbona sasa hivi mwanaume kapagawa muda si mrefu utakuwa dunia ya wenye nazo.” “Ndio maana yake.” “Basi Manka nitakuongezea vikorombwezo akigusa amenata.” “Usiniambie!” “Kwanini wazee wenzangu pamoja na umri wangu wakionja wanapagawa itakuwa wewe ukioga maji yanatelemka.” “Tena kweli ufanye haraka maana ameisha tangaza ndoa.” “Basi hiyo kazi niachie.” Mateja alinipigia simu kuwa siku ile angekuja kulala ili jumatatu twende kazini pamoja nami sikumkatalia. Kweli usiku alikuja kulala kwenye chumba changu kilichokuwa na hadhi kubwa kwa mtu yoyote. Kama kawaida ya usiku wa jana yake yalijirudi ya kusumbuliwa lala hivi geuka hivi fanya hivi, basi taabu mtindo mmoja. Na siku ile nilivumilia lakini moyoni nilijisemea siku nyingine nitampasha kweli wake hawezi kunigeuza kama mwanasesele na kunichezea apendavyo. Nikajikuta siyachukia mapenzi na kuyaona kwangu ni karaha na si starehe, mwanaume alikuwa akipanda juu ya mnazi hashuki mpaka nahisi kichefuchefu. Niliamini kabisa alitaka kunikomoa kwa vitu alivyonipa, kwangu sikuona mapenzi zaidi ya mateso. Uvumilivu uliponishinda nilianza kuwa mkali kwa kumgomea kwa usumbufu wake kwa kumueleza makavu kuwa sitaki kama hawezi kifo cha mende tuache. Mateja alinielewa na kustarehe bila usumbufu, nilishangaa kumbe anaweza kukwea mnazi bila kujifunga kamba za miguu. Kilichonishangaza ndani ya mapenzi yetu yaliyochukua miezi minne, Baadhi ya mambo yalianza kutoonesha dalili zozote za kutimiza ahadi yake. Siku zilivyozidi kwenda mbele ndivyo uhusiano na Mateja ulivyozidi kulega, hata kuwa pamoja baada ya kazi ikafutika kila muda alionekana yupo bize. Kitendo cha kutokuwa karibu na Mateja kilimshtua sana Bi Shuu kwani hata vizawadi navyo vilikatika. Siku moja aliniweka chini na kuniuliza. “Manka kulikoni?’ ”Hata mimi sijui.” “Manka kila siku hujui wakati unaharibu.” “Bi Shuu unanilaumu bure.” “Hivi kama na huyu atakuacha unafikiri utampata nani?” “Bi Shuu nimejitahidi kwa kila ulilonifundisha nililifanya lakini matokeo yake ndio hayo lazima kuna mkono wa mtu.” “Manka kuna kitu gani alichokipenda Mateja hukumpa?” “Mmh, kila kitu nimempa.” “Kweli?” “Kweli kabisa, nikudanganye ili iweje.” “Sasa itakuwa nini?” “Hata mimi sijui, huu utakuwa ni mkosi tu” “Basi naomba kesho ukienda kazini niitie Mateja.” “Mmh, sijui kama atakuja, lakini nitafikisha ujumbe.” Siku ya jumatatu nilikwenda kazini kama kawaida huku nikifikilia jinsi ya kufikisha wito kwa Mateja wa kuitwa Bi shuu. Hakuwa Mateja niliyekuwa namfahamu. Ilionesha mapenzi yalikwisha kabisa. Kila alipoingia ofisini alinisalimia lakini hakuna kilichoendelea. Nilipomuuliza alinijibu kwa kifupi “Nipo bize,” nilijikuta nikiiona kazi ngumu kama si Bi Shuu ningeacha kazi kutokana na kujiona sina thamani tena kwa Mateja. Siku moja roho iliniuma sana baada ya msichana mmoja kuingia ofisini kwa Mateja bila kumuulizia kwangu kama ilivyokuwa kwa wateja wengine. Niliacha kazi zangu na kumfuata ndani, nilipoingia ofisini mbona lilinishuka mtoto wa kike. Niliwakuta wamekumbatiana na Mateja huku midomo yao ikiwa imegandiana. Nilitamani ardhi ipasuke inimeze, nilisimama kama sanamu nisijue cha kufanya, machozi yalinitoka bila kizuizi, pamoja na kuniona hawakushtuka ndio kwanza walizidisha kutomasana kimahaba. Niliona wazi kabisa penzi langu na Mateja limefika ukingoni. Nilirudi ofisini kwangu na kukaa chini kazi ilikuwa chungu nilijikuta nikilia peke yangu, nilitamani kuondoka niiache kazi. Lakini niliyakumbuka maneno ya Bi Shuu kuwa siku zote penzi tamu ni lile lisilo sukumwa ninalosukumwa lina kasoro. Nikiwa nimeinama nafuta machozi nilishtushwa na sauti ya Mateja. “Manka.” Bila kuitika nilinyanyua uso kumuangalia huku kitambaa kikiwa karibu na macho kufuta machozi. Mateja alikuwa amesimama mbele ya meza yangu akiwa ameshikana kimahaba mmoja alimshika mwenzake mkono shingoni na mwanaume kiunoni. “Vipi mbona unalia?” Mateja aliniuliza kwa kunikujeli, sikumjibu niliendelea kufuta machozi. “Manka huyu ndiye mke wangu mtalajiwa.” Sikumjibu niliinama chini na kulia kilio cha kwikwi ambacho Mateja na mpenzi wake hawakukijali. Niliwasikia wakiondoka, niliwasindikiza kwa macho mpaka walipotoweka, baada ya kutoweka machoni mwangu nilijikuta nikijiuliza nalia nini kwani tukio lile halikuwa la kwanza upande wangu kutendewa. Ni kweli lazima moyo uniume kutokana na ahadi nzuri za Mateja ambazo nilijua zitanibadilisha katika maisha yangu. Ndoto yangu ya mchana ya kumiliki gari na nyumba iliyeyuka kama bonge la mafuta katika kikaango cha moto. Baada ya muda Mateja alirudi na kunipita kuingia ofisini kwake bila kunisemesha jambo lolote. Nilikumbuka wito niliopewa na Bi Shuu wa kwenda kuzungumza naye juu ya matatizo yangu, kila nilipotaka kumwambia moyo ulisita na kuamua kuipotezea tu. Muda wa kutoka nilijikuta nikijikaza kike na kumueleza. “Samahani bosi.” “Bila samahani,” Mateja alinijibu kistaarabu. “Bi Shuu alikuwa anakuita.” “Bi shuu naye ana shida gani tena?” “Hata sijui.” “Mmh, yule bibi na umri wake yuko vile wakati wa usichana wake alikuwaje?” “Mmh, sijui.” “Basi mwambie nitamtembelea wikiendi.” Jamani kauli ya Mateja ilinipa matumaini labda atarudisha moyo wake, siku zote nilimuamini Bi Shuu kwa maneno yake matamu yaliyojaa misemo nahau na methani ili kumlainisha mtu. “Jamani bosi kwa nini usiende leo?” “Manka nipo bize sana atanisamehe, lakini mwambie sijamdharau nitaitikia wito wake.” ITAENDELEA ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na moja (11) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp....... 0769673145 Ilipoishia......... Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. *********Endelea ******** Nolan alivunja kibubu chake cha kuhifadhia pesa na kugundua pesa iliyopo huko ni ndogo Sana na haitatosha kutimiza mipango aliyoipanga. Nolan aliamua kuwa mwizi wa ghafla kwa ajili tu ya kutimiza anachokitaka. Lakini hata hivyo hakuenda kuiba sehemu nyingine yoyote, aliamua kumuibia baba yake ikiwa ni njia moja wapo ya kumkomesha baba yake. Nolan alikuwa anajua baba yake ana tabia ya kuhifadhi pesa chumbani kwake. Na baada ya Nolan kugundua kuwa baba yake hayupo haraka akaamua kwenda chumbani kwake na kumuibia pesa kiasi cha shilingi million hamsini. Baada ya zoezi hilo, Nolan alichukua kiasi cha fedha kati ya zile alizomuibia baba yake na Kisha zingine akazificha sehemu ambayo mtu mwingine hawezi kuziona. Kisha Nolan akatoka nje na kuchukua gari Lake na kuondoka nyumbani Muda ule ule. * Mzee Joel alitia nanga Katika kikosi kimoja kilichojulikana kwa Jina la the killer (wauaji) Baada ya kufika mzee Joel alielezea shida Zake zilizompwleka pale na Sasa akitaka Frank pamoja na Nolan wauwawe Mara moja. Mzee Joel alitoa picha ya Nolan pamoja na ya Frank na kumkambidhi mkuu wa kikosi kile cha the killer. "mzee tunahitaji pesa kiasi cha shilingi million thelathini ili kuitimiza kazi yako." akaongea mkuu wa kikosi kile kumwambia mzee Joel. "hakuna tatizo kuhusu pesa nyie fanyeni kazi niliyowapa." akaongea mzee Joel. "Sawa kuanzia Sasa kazi imeanza na tutakuletea majibu Muda si mrefu." mkuu yule wa kikosi cha the killer akamwambia mzee Joel. Mzee Joel aliweza kuondoka huku akiwa na uhakika wa Kaz yake kufanyika kwa ufasaha Sasa. Mkuu wa kikosi kile cha the killer aliwateua vijana wanne kwenda kuanza kazi ya kummaliza Nolan na Kisha wengine wanne akawatuma kwa Frank. * Katika hoteli ile ya kifahari Penina na Frank wakiwa wameketi kitandani wakitizama tv, ghafla bila kutarajia walishtukia kumuona Nolan akigonga mlango. "Eeh kaka mbona umekuja bila taarifa?" akauliza Penina kwa mshangao baada ya kufungua mlango. "lazima nije ghafla na taarifa zangu ziwe za ghafla kwasababu nataka nifanye kitu cha kuwafurahisha, na hivi nimekuja kuwaambia mjiandae tuondoke tayari nimeshawakatia tiketi za kwenda South Africa (Afrika kusini)" akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Zilikuwa taarifa za ghafla kwa kina Penina na Frank, lakini hata hivyo hawakuwa na namna ilibidi waanze kujiandaa kwa ajili ya safari yao waliyoandaliwa na Nolan. * Vijana wanne waliopewa kazi ya kumuangamiza Frank walichunguza wakachunguza na hatimaye wakafinikiwa kupajua nyumbani kwa kina Frank. Na bila kupoteza muda wakavamia nyumbani kwa kina Frank na kuwaweka chini ya ulinzi Wazazi wake Frank pamoja na mdogo wake Frank. Vijana wale wakawaamuru Wazazi wake Frank waseme sehemu alipo Frank la sivyo watawaangamiza. Wazazi wake Frank kwa kuogopa kuuwawa wakajikuta wakitaja sehemu aliyopo Frank. Vijana wale bila kuchelewa waliachana na Wazazi wake Frank wakaingia kwenye gari na kuanza safari ya kuelekea sehemu aliyopo Frank ambapo ni Katika hoteli moja ya kifahari. * Frank pamoja na Penina walimaliza kujiandaa na moja kwa moja wakatoka ndani ya chumba kile na kuelekea mpaka nje ya hoteli ile na kuingia kwenye gari la Nolan. Lakini wakati huo huo vijana wale wanne wa the killer walikuwa tayari wameshawasili kwenye gari lile na waliweza kumuona Frank pamoja na Nolan ambao ndio walikuwa wakiwatafuta wawamalize. Mmoja kati ya vijana wale wanne wa the killer alitoa simu yake na kuwapigia wale vijana wengine wanne waliokuwa wakimtafuta Nolan, na kuwaeleza sehemu aliyoonekana Nolan pamoja na Frank. Vijana wale waliokuwa wakimtafuta Nolan nao walianza safari ya kutoka sehemu nyingine waliyokuwa wakimtafuta Nolan na kushika njia ya kuelekea Katika hotel waliyoelekezwa na wenzao. Wakati huo huo Nolan aliliondoa gari pale hotelini na kuanza safari ya kuelekea Katika uwanja wa ndege. Vijana wale wanne wa the killer nao wakawasha gari Lao na kuanza kuwafuatilia ili waweze kujua wanaelekea wapi na kama ikiwezekana wakaulie huko huko. Safari ikiwa inaendelea, ghafla Nolan aliona gari moja nyekundu ikiwa nyuma na kuitilia mashaka kuwa inawafuatilia. Nolan aliamua kufanya kitu ili apate uhakika kama gari lile linawafuatilia au haliwafuatilii. Nolan alipunguza mwendo wa gari Lao ili lile gari jekundu lililokuwa nyuma yao liwapite. Lakini cha kushangaza gari lile halikuwapita nalo pia lilipunguza mwendo na kwenda taratibu pia. Nolan akaamua kuongeza mwendo wa gari Lao ili kuliacha gari lile, lakini pia gari lile liliongeza mwendo na kuwa Sawa Sawa kabisa na gari la kina Nolan. Nolan hapo Sasa ndio akapata jibu kuwa asilimia Mia moja hilo gari jekundu linawafuatilia vibaya mno. "hawa hawanijui ngoja niwaoneshe mimi ni nani." akajisemea Nolan kimoyo moyo na hapo hapo akaongeza mwendo wa gari Lao ili kuliacha gari lile lililokuwa likiwafuatilia. Wakati huo huo kile kikosi cha pili cha the killer kiliwasili pale hotelini na kuwapigia wenzao simu ambao ni wale wanaowafuatilia wakina Nolan, na kuwatarifu kuwa tayari wameshafika. Kikosi kile cha kwanza kikawapa maelekezo ya sehemu walipo wakiwa bado wanawafuatilia wakina Nolan. Kikosi kile cha pili bila kupoteza Muda nacho kikatoka pale hotelini na kuanza kuwafuatilia wakina Nolan pia. Wakati hayo yote yanaendelea Frank na Penina walikuwa wakicheka na kufurahi kwenye gari bila kufahamu chochote kinachoendelea, na hata Nolan hakutaka kuwaambia chochote kwa kutokutaka kuwavuruga Katika safari yao. Nolan bado alizidi kujaribu kulipoteza gari lile lakini bado hakufanikiwa. Nolan alifika kwenye mataa ya kuongozea magari na baada ya Nolan kuvuka tu kwenye mataa yale, zikawaka taa nyekundu kuashiria magari yaliyokuwa yakitoka upande ule wa kina Nolan yasimame kwa dakika kadhaa. Lakini Nolan wao walikuwa tayari wameshavuka lakini vijana wale wa the killer walikuwa bado hawajavuka hivyo ikawabidi wasimame. Nolan aliweza kugundua kuwa gari lililokuwa likiwafuatilia limesimamishwa kwenye mataa. Lakini Nolan akataka kuwafahamu ni wakina walikuwa wanawafuatilia. Nolan alipaki gari pembeni Kisha akawashusha Frank na Penina na kuwapakiza kwenye tax iliyokuwa pembeni yao, na kuwakabidhi kila kitu kilichostahili kwenye safari yao na kuwataka watangulie na kuanza safari yao. Penina na Frank walishangazwa Sana na maamuzi ya Nolan lakini hata hivyo Nolan hakutaka wamuulize swali lolote, alimwamuru dereva wa tax ile awashe gari na kuondoka. Kisha Nolan naye akaingia kwenye gari yake na kugeuza kuwafuata vijana wale wa the killer na wakati huo walikuwa tayari wameshaungana wote kwa maana ya kikosi kile cha kwanza kilichokuwa kikimtafuta Nolan na kile cha pili kilichokuwa kikimtafuta Frank. ............ Itaendelea ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: