Sex kwa wanandoa haipo kwa ajili ya kutengeneza watoto tu. Kama mke, kila mara lazima uwe tofauti kwa mumeo. Mshawishi mumeo, usiruhusu mumeo akuombe sex, usiwe na ratiba ya sex. Kuwa mbunifu, na wala usitabirike. Mpe ile anayostahili..kama ukipoteza mvuto kwa mumeo, basi umepoteza thamani yako kama mwanamke. Kuwa sehemu ya mipango ya mume wako. Hakuna kitu mume wako atakipenda kama kumuomba sex, toa aibu....huyo ni mume wako..mmehararishwa mbele za Mungu, penis yake ni mali yako pia... Inashangaza kuna baadhi ya wanawake hata hawajui penis za waume zao zikoje. Ichezee unavyotaka, usiku usilale na suruli au jinsi...acha ngozi yako laini imguse mumeo...kuna raha kubwa mwanaume anavyoguswa na ngozi yako laini...msisimuko wake ni wa kiwango cha PhD. Mwanaume anavyokuwa satsfied na sex siku zote anakuwa stable kiakili na kimwili...anafurahia maisha na atatamani kurudi nyumbani kila mara... Msikariri kwamba sex lazima iwe usiku tu, fanyeni hata mchana...kama uko nyumbani na mumeo yupo kazini...mwite hata muda wa lunch aje nyumbani...fanyeni tendo hata la nusu saa tu...huo ndio ubunifu na ndoa haitaboa. Mtii mumeo kwa moyo mmoja, kamwe usimweleze kwamba upo hapo kwa ajili ya watoto..kumbuka ulianza kumjua yeye kabla watoto hawajaja. Mbembeleze mumeo, weka kichwa chake kwenye kifua chako. Muombee...mpe kiss ya kibabe...mmmhwwwwaaa....usijihisi vibaya kumkiss mbele ya public...yeye ni mumeo..mali yako halali kabisa hata malaika mbinguni wanajua. Kuwa romantic uwapo nyumbani, vaa nguo laini za mitego....usivae mivitenge na magauni magumu kama bibi yangu wa kule kwetu Ivilikinge, Makete..... Kuwa msafi kila muda...Nukia kwa manukato yenye mvuto, usinukie mapilipili hoho na mavitunguu swaumu....kama vipi nunua sex lingarie halafu vaa kila muda uwapo na mumeo peke yenu. Usionekane kama una miaka 50 wakati hata 40 hujafikisha...fanya mazoezi, acha bia, nyama choma, chips mayai, mapizza, na mavyakula mengine yenye wanga mwingi. Tunza vizuri mwili wako, mwanamke ni pambo ndani ya nyumba na fahari ya macho ya mume...sasa ukipoteza mvuto umefanya kosa kubwa sana. Fanya jitihada kupigania kuwa na mwili uliokuwa nao mwanzo. KWA WANAUME. Usimchukulie poa mwanamke anayefanya hayo kwa ajili yako. Mbembeleze, mpe moyo, mpende, mpe support, na mfanye ajisikie kuwa na bahati ya kupata mume kama wewe. Natamani niongee mambo mengi ya kikubwa sema humu fb watoto wengi sana. Mungu aibariki ndoa yako. Nia yangu ya dhati ni kuwaona ninyi nyote rafiki zangu at the Top. Share.

at 9:02 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top