Home → ushauri
→ WAKE ZETU HAWAPENDI HII KITU.
*Mpo Kwenye Ndoa Kwa Takribani Miaka Mi3 Au Zaid. Bahati Nzuri Mungu Kawajalia Mtoto/Watoto So Ndoa Inafuraha Coz Mmeongeza Familia.
KWANZA TUJUE HILI WANANDOA.
*Ktk Maisha Ya Ndoa Huwa Inafika Kipindi Wenza Huonana Kama Mbwa Na Paka Kiasi Cha Kutamani Kuachana Na Wakat Mwingine Hata Kudiriki Kusema Bora Nisingeoa Au Kuolewa Na Huyu.
*Wanandoa Wanaishi Maisha Yasiyo Na Amani Ndani Ya Ndoa Na Kufanya Hata Maendeleo Kukosekana Ktk Familia.
Matatizo Haya Ya Ndoa Huletwa Na Wanandoa Wenyewe Anawezakuwa Mume Au Mke. Leo Ningependa Kuzungumzia Baadhi Ya Matatizo Yale Yanayoletwa Na Wanaume.
SHIDA YA WANAUME IKO HAPA.
1. MAJIBU YA KUUDHI.
Hili Ni Tatzo Kubwa Sana Tulilonalo Wanaume. Mwanamke Akishazaa Huwa Tunamwona Kama Ameshuka Thamani Kiasi Cha Kudharau Hata Mambo Ya Msingi Akwambiayo.
2. KUTOJALI SAUTI YA MKEO.
Utakuta Mwanaume Anasikiliza Shida Za Watu Wa Nje Na Kuzitekeleza Kuliko Hata Za Mkewe Ambaye Ndio Familia Yake.
Wanaume Wengi Si Rahisi Kumuona Anaongea Kwa Sauti Ya Mahaba Na Mkewe, Bila Kujali Ni Directi Au Indirect Yani Kwa Njia Ya Simu.
Mkeo Anakuuliza Jambo La Msingi Lakn Unavyomjibu Anakosa Kabisa Amani Na Kujiona Kama Vile Sio Mkeo Bali Malaya Mmoja Tu.
3. HESHIMA.
Wakezetu Wanahitaji Kuheshimiwa Na Kupendwa Ili Waone Kwamba Wao Ni Wake Hasa Na Si WapitaNjia.
4. MAPENZI & MAJUKUMU.
Kunatofauti Kubwa Kati Ya Majukumu Ya Kifamilia Na Majukumu Ya Kimapenz.
Waume Wengi Tunafikiri Kutimiza Majukumu Ya Kifamilia Nyumbani Kama Chakula, Malazi, Mavazi, Elimu, Afya Na Mengineyo, Ni Mapenzi Tosha. . . . !! Lah Hasha, Wakezetu Hutazama Zaidi Na Huhitaji Zaidi Ya Hapo.
Mke Anahitaji Apate Mapenzi Matamu Kuanzia Sebuleni Hadi Chumbani (Show Kali) Lakn Pia Mkifanya Outing Huwa Anahitaji Uwe Karibu Naye Hata Kama Uko Na Washiji Zako.
Sasa Unamkuta Mume Ana Special Outing Zake Bila Mke Lakn Siku Wakitoka Pamoja, Mume Anakuwa Busy Sana Simu Android Yake Au Busy Na Washikaji Hata Story Wanazopiga Nyingi Ziko Nje Ya Himaya Ya Mwanamke.
Utakuta Wao Wanazungumzia Mpira Au Ishu Za Kazini Kwao Pekee Kiasi Cha Kumfanya Mkeo Awe Kimya Kabisa.
Penda Sana Kufanya Outing Na Mkeo Hata Mara1 Kwa Mwezi Sio Mbaya. Wengi Tunaamini Outing Ni Mpaka Uwe Na Pesa Nyingi, Hii Si Kweli. Dhumuni La Outing Ni Kubadili Mazingira Ili Muweze Ku'Refresh.
Mnaweza Kuwa Na Elfu10 Au Zaidi Mkaenda Kiwanja Cha Karibu, Mkanywa Peps Zenu Na Azam Cola Mkamezea Na Clips Za Mihogo Cku Ikaisha, Lakn Outing Hiyo Ikaongeza Afya Ya Mapenzi Na Afya Ya Akili Ktk Ndoa Yenu.
UDHAIFU.
Udhaifu Wa Mwanamke Ujuu Ya Shetani Lakn udhaifu Wa Mwanaume, Ujuu Ya Mwanamke.
HITIMISHO.
Wanaume Tuwapende Wake Zetu Na Tuwathamini Lakn Wanawake Watiini Waume Zenu.
Wanawake Kuweni Wasafi Muda Wote Sio Kisa Unamtoto Au Watoto Basi Muda Wote Uko Rafu Tu Hata Nyumba Hufagii Au Vitu Fulani Vipo Mahala Ambapo Si Sehemu Yake.
Usafi Na Utii Kwa Mumeo Huongeza Thamani Na Utamu Wa Ndoa Maana Hata Mwanaume Mchafu Hupenda Mwanamke Msafi.
NB: KUCHEPUKA SIO SULUHU YA NDOA BALI NI KUONGEZA TATIZO.
SULUHU NI KUMWOMBA MUNGU AWE KINGA YA NDOA YAKO.
WAKE ZETU HAWAPENDI HII KITU. *Mpo Kwenye Ndoa Kwa Takribani Miaka Mi3 Au Zaid. Bahati Nzuri Mungu Kawajalia Mtoto/Watoto So Ndoa Inafuraha Coz Mmeongeza Familia. KWANZA TUJUE HILI WANANDOA. *Ktk Maisha Ya Ndoa Huwa Inafika Kipindi Wenza Huonana Kama Mbwa Na Paka Kiasi Cha Kutamani Kuachana Na Wakat Mwingine Hata Kudiriki Kusema Bora Nisingeoa Au Kuolewa Na Huyu. *Wanandoa Wanaishi Maisha Yasiyo Na Amani Ndani Ya Ndoa Na Kufanya Hata Maendeleo Kukosekana Ktk Familia. Matatizo Haya Ya Ndoa Huletwa Na Wanandoa Wenyewe Anawezakuwa Mume Au Mke. Leo Ningependa Kuzungumzia Baadhi Ya Matatizo Yale Yanayoletwa Na Wanaume. SHIDA YA WANAUME IKO HAPA. 1. MAJIBU YA KUUDHI. Hili Ni Tatzo Kubwa Sana Tulilonalo Wanaume. Mwanamke Akishazaa Huwa Tunamwona Kama Ameshuka Thamani Kiasi Cha Kudharau Hata Mambo Ya Msingi Akwambiayo. 2. KUTOJALI SAUTI YA MKEO. Utakuta Mwanaume Anasikiliza Shida Za Watu Wa Nje Na Kuzitekeleza Kuliko Hata Za Mkewe Ambaye Ndio Familia Yake. Wanaume Wengi Si Rahisi Kumuona Anaongea Kwa Sauti Ya Mahaba Na Mkewe, Bila Kujali Ni Directi Au Indirect Yani Kwa Njia Ya Simu. Mkeo Anakuuliza Jambo La Msingi Lakn Unavyomjibu Anakosa Kabisa Amani Na Kujiona Kama Vile Sio Mkeo Bali Malaya Mmoja Tu. 3. HESHIMA. Wakezetu Wanahitaji Kuheshimiwa Na Kupendwa Ili Waone Kwamba Wao Ni Wake Hasa Na Si WapitaNjia. 4. MAPENZI & MAJUKUMU. Kunatofauti Kubwa Kati Ya Majukumu Ya Kifamilia Na Majukumu Ya Kimapenz. Waume Wengi Tunafikiri Kutimiza Majukumu Ya Kifamilia Nyumbani Kama Chakula, Malazi, Mavazi, Elimu, Afya Na Mengineyo, Ni Mapenzi Tosha. . . . !! Lah Hasha, Wakezetu Hutazama Zaidi Na Huhitaji Zaidi Ya Hapo. Mke Anahitaji Apate Mapenzi Matamu Kuanzia Sebuleni Hadi Chumbani (Show Kali) Lakn Pia Mkifanya Outing Huwa Anahitaji Uwe Karibu Naye Hata Kama Uko Na Washiji Zako. Sasa Unamkuta Mume Ana Special Outing Zake Bila Mke Lakn Siku Wakitoka Pamoja, Mume Anakuwa Busy Sana Simu Android Yake Au Busy Na Washikaji Hata Story Wanazopiga Nyingi Ziko Nje Ya Himaya Ya Mwanamke. Utakuta Wao Wanazungumzia Mpira Au Ishu Za Kazini Kwao Pekee Kiasi Cha Kumfanya Mkeo Awe Kimya Kabisa. Penda Sana Kufanya Outing Na Mkeo Hata Mara1 Kwa Mwezi Sio Mbaya. Wengi Tunaamini Outing Ni Mpaka Uwe Na Pesa Nyingi, Hii Si Kweli. Dhumuni La Outing Ni Kubadili Mazingira Ili Muweze Ku'Refresh. Mnaweza Kuwa Na Elfu10 Au Zaidi Mkaenda Kiwanja Cha Karibu, Mkanywa Peps Zenu Na Azam Cola Mkamezea Na Clips Za Mihogo Cku Ikaisha, Lakn Outing Hiyo Ikaongeza Afya Ya Mapenzi Na Afya Ya Akili Ktk Ndoa Yenu. UDHAIFU. Udhaifu Wa Mwanamke Ujuu Ya Shetani Lakn udhaifu Wa Mwanaume, Ujuu Ya Mwanamke. HITIMISHO. Wanaume Tuwapende Wake Zetu Na Tuwathamini Lakn Wanawake Watiini Waume Zenu. Wanawake Kuweni Wasafi Muda Wote Sio Kisa Unamtoto Au Watoto Basi Muda Wote Uko Rafu Tu Hata Nyumba Hufagii Au Vitu Fulani Vipo Mahala Ambapo Si Sehemu Yake. Usafi Na Utii Kwa Mumeo Huongeza Thamani Na Utamu Wa Ndoa Maana Hata Mwanaume Mchafu Hupenda Mwanamke Msafi. NB: KUCHEPUKA SIO SULUHU YA NDOA BALI NI KUONGEZA TATIZO. SULUHU NI KUMWOMBA MUNGU AWE KINGA YA NDOA YAKO.
Artikel Terkait
UNAJUA KUMPAGAWISHA MPENZI WAKO????  Kama inavyoeleweka, mapenzi ni sehemu muhimu ya afya ya binadamu. So, katika peruzi zangu, nikakutana na hili somo la "Tantric Sex." Kama inavyoelewaka, mapenzi ni sehemu muhimu ya afya ya binadamu. So, katika peruzi zangu, nikakutana na hili somo la “Tantric Sex.” As if hii duinia, especially hii century haiko overloaded na information kuhusu mambo ya mapenzi, jinsi ya kufanya mapenzi and whats hot in the bedroom, whats in and whats not. So, lately nimeona a lot of tzmoms readers wamekuwa wakitembelea sana na kusoma page ya “mapenzi baada ya ujauzito” na “kufanyamapenzi wakati wa ujauzito.” And I thought well, writing about Tantric Sex will be nyongeza kwa kila mmoja, aliye mama na mbaye bado damu inachemka katika mambo ya mapenzi. Anyhu, kama “SEX/MAPENZI” yangekuwa yanaweza kuyu-nite the world/countries/makabila/people I think hii fani ingeshinda. Well, so kama umeshawahi kujifungua ama kama wewe ni mama, you definitely understand ni jinsi gani ni vigumu kuwa upbeat kuhusu mapenzi ama kumfurahisha mumeo/mpenzio everyday. Well, once in a while maybe but not everyday. Ila kama we ni mdada/binti ambaye hujazaa bado well, damu yako bado inachemka so energy bado ipo nyingi ya kukurupushana na mpenzio. Having said that, si maanishi mtu ukishazaa ndo fani ya kuenjoy mapenzi imekwisha but nguvu zinapungua for sure however, kuna vitu vingi tuu ambavyo vinaweza kusaidia kuleta nguvu ya kutaka kukurupushana chumbani lol. Kukosa nguvu/energy to wanna work it all the time its not because mwanamke ni mvivu but hutokana na kuwa na mambo mengi sana ya kutend nyumbani i.e. kuhakikisha watoto wako taken care of, labda kazini pia unahitajika, etc una kuta hupati muda wa kujifurahisha mwenyewe ama na mpenzi wako. Therefore, mara nyingi before you know mupenzi anaanza kulalamika or hata mwanamke mwenyewe unaweza kufeel like you are not doing enough so mambo ndo hivyo yanaanza kwenda south chumbani. Hivyo basi, lets dig in tuone Tantric Sex inatoa msaada wa aina gani ili kurevamp mapenzi. Kwanza kabisa, FYI tantric sex can be weird at the beginning ila nitajitahidi kutoingia so indepth ili kusave miyoyo ya watu wengine. Kwamaana hii ni soft porn “according to me.” Lol. so usishtuke ama kushangaa sana. Well, anythign “sex” can be unconfortable anyways. Okay, so, kwanza kabisa, with Tantric Sex, mtu na mpenziwe wanatakiwa kuwa; SPIRITUALLY CONNECTED (usishtuke sio kidini lol).. Hii inamaainisha kwamba wewe na patner wako kwa pamoja mnajua mnataka nini emotionally and physically. Kwa kufanya hivi inasaidia kuwafanya kwa pamoja kuwa “FREE” na kuondoa wasiwasi wa labda mwenzangu atanijudge kwamba labda mimi ni malaya ama fuska etc. In other words hii process inaitwa “Dropping the Veil, between “Self” and “Other/patner.” THE ENVIRONMENT/mazingira. Wakati mnapractice tantric sex of course, just like when you are in the bedroom unaweza ukavaa lingerie/kuo za ndani zinazovutia or “kuwa kama mlivyotoka tumboni mwa mama zenu” (you know what i mean). Tatu, wapenzi wanaanza kupapasana lol, but in a way kwamba you are feeling the energy of the other person. Na hii energy unaweza kuifeel kwasababu mko free hamna anayemjudge mwingine/there are no worries. You are just in your own created world. Nne, wakati wa kufeel energy ya mwingine lazima wapenzi wawe wana pumua heavely yaani just feeling every move made but the other person mpaka mnapofikia mahali were you are breathing so hard and you are feeling each other. then you start kissing the lips, and then deeper for minutes even hours. Then mengineyo yanaweza kuendelea. So, all this time kumbuka its not about going straight into sex with your partner rather its about getting high by touching and feeling connected with each other. hivyo basi, once in a while take that time and revamp your intimacy, dress good, feel sexy and heey have fun!!. By 🅱 ... Read More
NJIA RAHISI 13 ZA KUWA NA FURAHA KILA SIKU  Mabadiliko yalio mepesi kwenye tabia zako za kila siku yatakuweka kwenye mstari wa furaha unayoitaka Umejikuta uko kwenye siku tofauti, story hizo hizo, imekuwa ni kawaida yako? Basi muda huu , sio kesho , sio wiki ijayo, ni wakati wa kubadilisha historia yako. ni za haraka, rahisi na hazina gharama unapofanya hivyo na matokeo yatakupa furaha unayoitaka. 1.Pata masaa 7 mpaka 8 ya kulala usiku. Kulala usingizi wa kutosha unapata furaha, utaweza kuwa na nguvu ya kufanya kazi zako , na utakuwa na mahusiano mazuri. weka simu yako mbali unapoenda kulala, usitumie chakula kingi wakati wa jioni. 2.Amka mapema , dakika 30 kabla . Kama wewe ni mfanya kazi wa kuajiriwa na una tabia ya kuchelewa kazini, jaribu kuamka mapema dakika 15 au 30 kila siku kwa ajili ya kujiandaa vizuri na kukumbuka vitu vyote vya kufanya, kuchukua siku hio. utaona tofauti ya tabia yako. 3.Meditate. Hii ni kubwa. meditate kwa muda wa dakika 10 au 20, utapata faida nyingi zaidi ya furaha, pamoja na kuwa muwazi, kuwa na malengo ya siku nzima. Anza siku yako na meditation. utajiepusha na tress na wasiwasi na hutachanganyikiwa na kazi zako. 4.Jipe nafasi wengi wetu huwa tunajaza vitu nyumbani, ofisini hata vile ambavyo havina kazi, hatuvitumii. inaharibu mfumo mzima wa akili yako, hisia zako, na mwili wako. Ondoa vitu ambavyo huvitumii, tupa nje au gawia watu ambao wanahitaji kuwa navyo, hali yako ya furaha itaboreka. Na hutalemewa na kazi nyingi. 5.Jifunze kitu kipya Jitahidi kujifunza kitu kipya kila siku, kwa sababu hio ndio changamoto itakayokupa furaha, kujifunza kitu kipya inaboresha afya yako ya mwili na akili, kujifunza utajenga ujasiri pia na utakuwa sharp. 6.Tembea mara kwa mara Kutembea kwa dakika 30 kwa siku moyo wako utakuwa unafanya kazi vizuri, utapunguza hasira, hutakuwa na chuki. Kama unaona ni ngumu kwako kutembea , hasa kama una gari , jifunze kupaki gari yako mahali mbali na ofisi , tembea . anza kutumia maji ya kutosha. utapata faida nyingi . 7.Usijihusishe na mambo ya mitandao. Ni rahisi kuingia instagram, facebook na zingine, lakini wachunguzi wanasema kwamba ukizidisha kujihusisha na mitandao unaweza kuharibu afya yako ya akili. badala ya kutumia nusu saa kwenye mitandao, unaweza kufanya kitu kingine unachokipenda, au kusoma kitabu, kujifunza mafunzo mbalimbali kwa ajili ya kujiboresha mwenyewe kuwa mwenye afya. 8.Kuwa mwema. Ukarimu unakuongoza kwenye furaha yako mwenyewe na utakuwa mwenye afya bora. vitu ambavyo vinavyo chochea furaha ni kutoa , na kuwa mkweli , utapata faida , na utajisikia vizuri kuwa sehemu ya baraka kwa mtu fulani. kujitolea kufanya kitu, au kumwachia mtu kiti kwenye daladala. Sehemu ngumu? lakini nzuri. 9.Kaa na watu wenye furaha. Angalia watu unaoshinda nao, unaofanya nao kazi, ni watu wa aina gani. kwa sababu kuna msemo unasema kuwa ukikaa na ua rose utanukia hata kama ulikuwa hunukii. Fanya hivyo na utaweza kufungua mlango mpya kwa ajili yako maishani. utaiona furaha ikitiririka kama mto. 10.Don’t gossip. Kuseng’enya, umbeya, itakusababishia maradhi ya misongo na kukosa furaha. mtu mmbeya hawezi kusaidia kitu. wakati mwingine jitenge na watu kama hawa, au unapoona kuna kutoelewana na wafanya kazi wenzako, jaribu kutulia kwanza , badilisha negative to positive. Sema kitu kizuri kuhusu mtu. ni vizuri. kwa sababu utajiwekea alama nzuri kwako. 11.Tumia muda wako na watu unaowapenda Unapoongea na familia au marafiki kwenye simu , inatia moyo. mawasiliano hayo yanakupa afya na furaha.Fikiri ilivyo vizuri kama utaenda kula na rafiki yako mahali fulani, au kuamua kupika nyumbani , au kucheza na watoto wako kitu kama game, mpira, inafurahisha. 12.Journal Kuandika vitu vya kufanya kwa siku, au kuandika vitu unavyotaka kuvipata, Lengo hili dogo litaongeza IQ yako na kuleta utulivu wa kuboresha ujasiri wako, ukiwa na tabia hii kila siku , furaha haitakosekana kwako na utapata faida ya akili na hisia zako zitakuwa bora. 13.Jizoeze kujijali. Unapojijali ,Utaona faida zake, pamoja na kuondoa stress na wasiwasi, utakuwa mtu wa kuwaza mazuri na utaboresha immunity.pata muda kila siku kufanya kitu kwa ajili ya furaha, kama vile mazoezi, kupika chakula kizuri, kusoma . utaanza kushangaa jinsi ilivyo rahisi kuwa na furaha unapojijali na utaboresha akili yako na mwili wako, na roho yako. Kama unavyojua , kuna njia nyingi zinazotushambulia kwa siku, Ondoka mahali ambapo panaharibu ratiba yako. sasa, kama kitu kingine chochote,mafanikio ni kufanyia kazi. kwa hio pick one, and let the fun begin! ... Read More
MWANAUME ANAPOSEMA HATAKI KUKUOA: MWAMINI  Naandika hii makala kwa sababu nimekutana na maswali mengi ambayo yanaumiza wanawake wengi. Swali linakuwa hivi. Nimekuwa na huyu mwanaume kwa muda mrefu na tumekuwa tukishirikiana mambo mengi. Sijawahi kuwa na hisia kama nilizo nazo kwa mwanaume huyu kwa mtu yeyote. Na nilijua tutakuwa pamoja maisha yetu yote. Tatizo ni kwamba anasema hataki kunioa? Nitafanyaje ili aweze kujua kuwa nampenda na tunaendana vizuri pamoja na tunatakiwa tuoane? Wanaume wengi huwa wanaogopa kuweka ahadi kama hawana uhakika na upendo walio nao kwa mwanamke. Semeni ukweli wanaume. Je ameongelea kuhusu maisha ya baadae? Kuna mpango gani? Ni rahisi kubadilisha mwanaume? Unawezaje kumlazimisha akuoe? Kitu gani cha kufanya kama amesema hawezi kukuoa? Kama amesema hatakuoa, Mwamini . Elewa. Najua tayari jibu umepata kwenye maandiko yangu ya juu, lakini napenda kurudia, huwezi kumlazimisha mwanaume akuoe kama amesema hataki kukuoa. Hataweza. Sasa basi sisemi kama haiwezekani kweli. Kuna wanaume ambao husema hawatakuoa na hubadili mawazo yao na kuamua kuoa mwanamke ambaye alikuwa hapendi kumuoa. Lipo hilo. Mwanaume anayesema hatakuoa na wakati anaishi na wewe, mara nyingi anakupotezea muda na atakwenda kuoa mtu mwingine anayempenda kuliko wewe. Tuangalie kwa nini iko hivyo. Ina maana gani anapokuwa anaongea kuhusu kuchukia ndoa Aina ya mwanaume ambaye atakuambia hatakuoa ni yule ambaye anachukizwa na taasisi ya ndoa au sheria yake. Mwanaume huyo hafikirii kama wazo la kuoa ni zuri kwa kila mtu- anaona hata wanandoa ambao wako pamoja hawaonyeshi kama wana upendo wa kutosha, hawana upendo wa kweli ( anaweza kuwa haamini hata kama kuna upendo) Anafikiria hata kama ataona, mbona ndoa nyingi hazifiki mwisho, au mbona ugomvi ndani ya ndoa hauishi. Vyovyote vile , kwa sababu zozote zile, lakini mwanaume huyu anaonyesha kuchukia taasisi ya ndoa, na hataki kuingia huko, ndio maana hataki kuoa. Kama utasikia akisema hivyo mwamini. Haonyeshi kama atatafuta mwingine ambaye ataweza kubadili mawazo yake kuhusu kuoa.hata kama mnakaa pamoja na mnapendana sana , lakini hatafunga ndoa. Ina Maana Gani Anaposema Muda Wa kuoa Bado. Huyu ni aina nyingine tena.Anasema muda bado, anakuwa na sababu nyingi.Kama hali yake ya maisha haijakaa sawa, hajajenga nyumba, hana gari, na sababu kibao. Mwanaume huyu hana tatizo katika kuoa , Ila wakati bado , hataweza kuoa wakati unaotaka wewe, hata kwa sababu zipi hataweza. Unachotakiwa kufanya ni kumwamini anachokisema. Sababu zake hazina msingi. Kitu cha msingi ni Ukweli anaokuambia.Inaumiza lakini ndio ukweli.Inavunja moyo lakini ndio ukweli, Amini hilo na itaokoa muda wa kwako kusubiri.Na wakati huo huo utakuwa unafanya maamuzi ya kusubiri, kukubali jinsi ilivyo. Lakini kumbuka kuwa ndoa ni kitu cha muhimu sana. Wanaume wanaosema hawataoa huongea ukweli.Kama anakuambia hatakuoa Amini tu. Wanaume wanajua ni mwanamke wa aina gani atakayeishi nae maisha yake yote, uwe makini asije akawa anakutumia huku ana mipango yake .Yapo mambo wanaume huyapenda kwa mwanamke, vile vile yapo mambo ambayo wanawake wanapenda kwa mwanaume. Kama unaona unamlazimisha jambo fulani hataki , kuwa makini. ... Read More
HESABU YA KUONGEZA Niwapo hisabatini, Hufikiri akilini, Kuongeza umakini, Jawabu kulibaini. Jawabu hilo halani, Hukaa makinikoni, Linafaa maishani, Hapa hapa duniani. Ingawa jana nyumbani, Siku niliyobaini, Hata leo furahani, Nakuweka pongezini. Kijana huyu nyikani, Akiwa hisabatini, Kanuniye mkononi, Kaifikiri kichwani. Ndipo nilipobaini, Kafika hisabatini, Kasogea nyongezani, Hapa hapa duniani. Kafika hisabatini, Kashikilia kanuni, Kuingia umrini, Kakaa makinikoni. Hesabuye kabaini, Kamjalia Manani, Kaingia furahani, Yamfaa maishani. Nyongezaye umrini, Hapa hapa duniani, Ufurahi maishani, Singie ubazazini. Sivutwe hisabatini, Duara kulibaini, Ukaidai kanuni, Ukokotozi pupani. Sivutwe hisabatini, Maumbo kuyabaini, Kuchora karatasini, Ukafika ushenzini. Hari yako maishani, Tuliza kichwa nyumbani, Makinika ubwabwani, Ukishibishe tumboni. Busara zako kichwani, Ziongeze kwa makini, Ufike makinikoni, Utulie furahani. Nyongezayo umrini, Ikufae maishani, Hapa hapa duniani, Sichenge msikitini. Wasalamu tamkoni, Nalitoa mdomoni, Ukae mshawashani, Vilevile moralini. Sijiweke haramuni, Kulazimisha kanuni, Iliyo hisabatini, Ukae makinikoni. Na kwa kheri tamkoni, Naitoa mdomoni, Naenda zangu nyumbani, Nikae pumzikoni. UJUMBE Shamsa Cyprian ... Read More
NI JINSI GANI UNAMWOMBA MPENZIO MSAMAHA, JE NI KWA KUMPA ZAWADI? Msamaha una nafasi kubwa sana katika mapenzi. Hamna mtu aliyemkamilifu ndiyo maana neno samahani lipo. Ila neno hili linaweza kutumika sahihi au isiwe sahihi. Hivyo ni vizuri ukawa makini katika matumizi ya neno hili. Kuna baadhi ya watu hawawezi kabisa kutamka hilo neno na badala yake hutumia maneno yafuatayo (mbadala) kama ; yaishe,basi samahani,umeshinda,sorry(kama njia yakupunguza makali na wakati lugha iliyokua ikitumika ni kiswahili). Jinsi yakutumia samahani kiusahihi Unapotoa samahani kutoka katika kilindi cha moyo wako ina maana sana zaidi ya chochote. Samahani itumike tu pale unapotenda kosa moja kwa mara ya kwanza, hapo ni rahisi kusamehewa na kuaminiwa zaidi.Heshima, pendo na mapenzi yatakuwa kama awali na utaheshimika nakuonekana unajali. Hakikisha hauombi samahani zaidi ya mara moja kwa kosa moja ndo mana wanasema, “kosa sio kosa ila ukirudia kosa ndio kosa’’. Kama ulikua haufahamu ni vizuri ujifunze na ikiwezekana rudisha kumbukumbu zako katika matukio yanayohitaji msamaha kwenda kwa mpenzi wako na ulinganishe na hatua ulizozifanya. Kiri kosa ndiyo msamaha wako uweze kukubalika.Usiombe msamaha huku unasema lakinii…… ila……. Siamini kama haya yangetoa……… aina hizi za midokezo inapotumika katika kuomba msamaha ujue unataka kuonesha ulichokifanya sio kosa… Its simple, admit your mistake for the heartest forgiviness .Utapelekea upande wa pili (uliokosewa kukuamini tena na ni rahisi kusamehe na kusahau) tofauti na kuwa na maneno meeengi yakujitetea ilihali umetenda kosa. Sasa nije kwenye suala la zawadi, Jamani zawadi isiwe ndiyo silaha ya kudai msamaha. Zawadi inatumika wakati wowote kuimarisha mapenzi kwa kuonesha unamjali mwenzi wako nakumfanya ahisi faraja wakati wote na uwepo wake katika maisha yako. Epuka tabia ya kutoa sana zawadi wakati unamplease mpenzi wako.Kwa wakati mwingine utamjengea fikra za kosa pindi tu unapomletea zawadi. Hivyo asiifurahie ile zawadi na badala yake atakua na shauku kufahamu msamaha wa siku hiyo ni wa kitu gani au umetenda kosa gani tena. Wakati mwingine zawadi inapotumika katika kuomba msamaha itakua ni kama KUMBUKUMBU YA KOSA ulilomfanyia mwenzi wako, hivyo kumfanya akumbuke mara kwa mara kosa ulilolifanya. Kuwa makini sana katika njia za kuomba msamaha. Njia nzuri ya kuomba msamaha na ukubaliwe kwa upesi Kubali kosa pale ambapo umetenda,(note; Usikiri kosa kwa sababu tu unampenda na hutaki kumpoteza ,au hutaki malumbano. Ukifanya hivo ndo unaweza haribu uhusiano wako kabisa) Badili mazingira ya maongezi yaani tofauti na eneo la nyumbani/mlilozoea kukaa Omba msamaha wakati hasira zimepungua na ukiwa sio mlevi (hasa kwa wale wenye hasira au wanywaji wa pombe) Usilazimishe kusamehewa ,yaani mwenzako anapokua haridhii tumia njia nyingine mfano kumshirikisha mtu wenu wa karibu saana (kwa wote wawili) ila hapa uwe makini kwa sababu sio wote wanapenda siri zao za uhusiano kujulikana na wengine.Hapa itategemea na jinsi mlivyo Anayeomba msamaha ahakikishe sio mtu wa kukumbuka makosa ya mwenzie yaliyofanyika kipindi cha nyuma.Hapa na maanisha wale wenye tabia yakusamehe wenzao ila niwakukumbuka, endapo atakosewa kwa kitu kingine hata kwa bahati mbaya.Mfano akikosewa huwa ni mtu wakusema; ''hiyo ni kawaida yako'' that means anashikilia vitu moyoni.Itamuwia vigumu mwenzako kukubalia msamaha kwa urahisi, kutokana na tabia yakumshikilia bango kwa kumkumbusha yaliyopita endapo yeye atakukosea. Ni vizuri kujitahidi katika kufanya mambo mazuri kwenye uhusiano wako.Usitegemee zawadi kuwa ni kitu kizuri katika kuomba msamaha. Timiza malengo yako,jiheshimu,kuwa mwaminifu na kumthamini mwenzio na kumpenda kwa dhati. Bila kusahau kusikilizana na kufanya maamuzi kwa pamoja. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: