Home → ushauri
→ FANGASI SEHEM ZA SIRI. (Vaginal candidiasis)
Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za SIRI.
Share na like page hii. Nimekuwa nipoa sim nyingi na kuwasaidia watu wengi haswa wanawake katika tatizo hili nimeona kunahaja kubwa ya kuongelea swala hili kiundan ili watu wote mpate elimu hii iwasaidie na kwa ambao hawafaham nini chakufanya wapate mwanga sasa endelea. Kati ya maambukizi yanayowasumbua
wanawake na wanaume wengi duniani ni maambukizi ya
fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake
wote duniani hupata maambukizi haya
katika kipindi cha uhai wao.
Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri
za mwanamke husababishwa na uwepo wa
fangasi wanaojulikana kitaalamu kama
Candida albicans. Maambukizi haya pia
hujulikana kama yeast infection au thrush.
Fangasi hupatikana kama vimelea vya
kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha
chakula sehemu inayojulikana kama
pharynx, katika kibofu cha mkojo, uume na
hata kwenye uke.
Mfumo mzuri wa kinga wa mwili pamoja aina
fulani za bakteria wanaoishi pamoja na
fangasi hawa husaidia sana katika kuthibiti
maambukizi yanayoyosababishwa na aina hi
ya fangasi.
Nini hutokea?
Kwa kawaida, Candida albicans huishi
kwenye uke na sehemu nyingine (kama
zilivyoelezewa hapo juu) bila kusababisha
madhara yoyote yale isipokuwa pale
mazingira ya eneo husika yanapobadilika
kama vile mabadiliko katika hali ya pH ya
eneo husika (ifahamike ya kwamba pH ya
kawaida ndani ya uke ni 4.0 - 4.5) au
uwiano wake na vimelea (microorganisms)
wengine unapoharibiwa kutokana na sababu
mbalimbali kama vile matumizi ya madawa
aina ya antibiotics, kupungua kwa kinga
mwilini kutokana na magonjwa mbalimbali.
Maambukizi haya ya fangasi yanaweza
kugawanywa katika sehemu kuu mbili
Maambukizi yasiyo makali yaani
uncomplicated thrush: Katika kundi hili,
mgonjwa hupatwa na maambukizi mara
moja hadi nne kwa mwaka na dalili zake
huwa si mbaya sana na maambukizi haya
husababishwa na fangasi wa jamii hii ya
Candida albicans.
Maambukizi makali yaani complicated
thrush: Katika kundi hili, mgonjwa
hupatwa na maambukizi zaidi ya mara
nne kwa mwaka, dalili zake kuwa mbaya
zaidi au kama maambukizi yatakuwa
yametokea kipindi cha ujauzito, ugonjwa
wa kisukari, upungufu wa kinga mwilini.
Aina hii kusababishwa na vimelea vya aina
nyingine tofauti na Candida albicans.
Vihatarishi
Watu walio katika hatari ya kupata
maambukizi ya fangasi hawa ni wale wenye
• Kutumia sana dawa aina ya detergents
kwenye sehemu za siri au douches (vifaa
vinavyotumiwa kusafishia uke kwa kutumia
maji yaliyochanganywa na siki au antiseptic
yoyote ile) kwa sababu hali husababisha
kuharibika kwa uwiano wa fangasi na aina
nyingine ya vinyemelezi kama bakteria aina
ya lactobacilli
• Kutumia sana madawa aina ya antibiotics,
steroids ambayo yana tabia ya kushusha
kinga ya mwili
• Mabadiliko ya mfumo wa homoni mwilini
ambayo husababisha mabadiliko katika sehemu za siri na hivyo kufanya kuwepo kwa
ukuaji wa kasi wa fangasi hawa
• Ujauzito (kutokana na kubadilika kwa
mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa
kinga ya mwili). Hata hivyo ieleweke hapa
kuwa si kila mjamzito hupatwa na
maambukizi haya.
• Matumizi ya dawa za kupanga uzazi
(vidonge vya majira)
• Upungufu wa kinga mwilini kutokana na
magonjwa sugu kama kisukari, saratani aina
yoyote ile, ugonjwa aina ya mononucleosis
na nk.
• Ugonjwa wa ukimwi (HIV/AIDS)
• Matibabu ya homoni (hormonal
replacement therapy) kutokana na sababu
mbalimbali
• Matibabu ya kusaidia kushika mimba kwa
wale wenye matatizo ya uzazi (infertility
treatment)
• Msongo wa mawazo (stress)
• Utapia mlo (malnutrition)
• Kuvaa nguo au mavazi yanayoleta joto
sana sehemu za siri kwa muda mrefu kama
nguo za kuogelea (swimwear), nguo za ndani
(chupi) zilizotengenezwa kwa kitambaa aina
ya nylon, nguo za ndani zinazobana sana
nk.
• Kujamiana kwa njia ya kawaida mara tu
baada ya kujamiana kupitia njia ya haja
kubwa (anal sex) au matumizi ya vilainishi
venye glycerin wakati wa kujamiana pia
yamehusishwa na maambukizi haya.
• Kuvimba kwa tezi la koo (goiter)
• Saratani ya tezi la koo (thyroid cancer)
• Wanawake wenye umri wa miaka kati ya
ishirini na thelathini wapo kwenye hatari
kubwa ya kupata maambukizi haya wakati
wale ambao wameshaacha kupata hedhi au
wale ambao hawajaanza kupata hedhi kabisa
hawako kwenye hatari kubwa.
Kwa wanaume vihatarishi vya maambukizi
haya ni
• Kujamiana na mwanamke mwenye tatizo
hili au maambukizi haya
• Upungufu wa kinga mwilini
• Matumizi ya madawa aina ya antibiotics
kwa muda mrefu bila ushauri wa daktari
• Magonjwa sugu kama kisukari, saratani ya
aina yoyote ile na nk.
Dalili na viashiria kwa wanawake
• Kuwashwa sehemu za siri (kwenye tupu ya
mwanamke)
• Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri (burning
sensation)
• Kufanya kama vidonda katika sehemu za
siri (soreness)
• Maumivu wakati wa kujamiana (superficial
dyspareunia)
• Maumivu au usumbufu wakati wa kujisaidia
haja ndogo (wakati mtu anakojoa)
• Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwa
mdomo wa nje wa tupu ya mwanamke (labia
minora)
• Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au
nyeupe kijivu, unaoweza kuwa mwepesi,
majimaji au mzito na ambao umefanana na
jibini (cottage cheese like discharge) wenye
muonekano unaojulikana pia kama curd-
like appearance. Kwa kawaida, uchafu huu
haumbatani na harufu yoyote isipokuwa
panapokuwa na tatizo la ziada kama
ugonjwa wa zinaa aina ya Bacteria vaginosis.
Uchafu huu unaotoka hapa unaweza kuenea
kwenye maeneo mengine yaliyokaribu na
tupu ya mwanamke kama kwenye mitoki
(groin area) au perineum na kusababisha
kuharibika kwa ngozi katika sehemu hizo.
Dalili na viashiria hivi huwa mbaya zaidi
wakati mwanamke anapokaribia kupata
hedhi.
Dalili na viashiria kwa wanaume ni
• Kuwashwa sehemu za siri
• Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwenye
ncha ya uume
• Kuwepo kwa uchafu wa rangi nyeupe (kama
nilivyoeleza hapo juu) kwenye sehemu ya juu
ya uume.
• Kuwa na vidonda vidogo kwenye uume (sore
on the glans)
Hata hivyo, mara nyingi wanaume
hawaoneshi dalili zozote zile, ni vizuri kwa
mwanamke kumueleza mwenza wake pale
anapopata maambukizi haya ili naye pia
apate kutibiwa.
Vipimo vya uchunguzi
Kabla ya vipimo vya uchunguzi, ni muhimu
kwa daktari kuchukua historia ya mgonjwa
kwa usahihi kabisa. Vipimo vitahusisha:
Uchunguzi wa uke (per Vaginal Examination
(PV exam)
Daktari huvaa gloves, na kuzilainisha gloves
hizi kwa jelly maalum, mgonjwa hulala
kwenye kitanda na kutanua miguu yake ili
njia itanuke na kumrahisishia daktari
kumfanyia uchunguzi, wakati akiwa tayari,
daktari ataingiza vidole vyake viwili (cha
shahada na cha kati) ukeni kwa dhumuni la
Kuhisi kama kuna uvimbe wowote ndani ya
tupu ya mwanamke
Kuangalia kama anapata maumivu wakati
wa kujamiana
Kuangalia kama kuna uchafu wowote
unaotoka, wingi wake, rangi yake, harufu
yake, uzito wake (mwepesi, majimaji au
mzito), na aina ya uchafu unaotoka kama
ni sahihi kutokana na maelezo ya
mgonjwa au ni tofauti
Kuangalia kama sehemu ya siri ipo
kawaida
Kuangalia kama kuna uvimbe wowote wa
tezi za sehemu ya siri (mitoki)
Kuangalia nywele za sehemu za siri zilivyo
na jinsi zilivyokaa
Kuangalia shingo ya kizazi, bartholin
glands nk.
Kuangalia sehemu ya haja kubwa kama
kuna skin tags, bawasiri (haemorrhoids)
nk.
Kuangalia kwenye kinembe (clitoris) kama
kuna tatizo lolote lile.
Hayo ni baadhi tu ya malengo na faida za
kipimo hiki kwa vile humuwezesha daktari
kugundua tatizo au maradhi mengine ya
ziada ambayo hayajaanza bado kuonesha
dalili zake kwa mgonjwa au mgonjwa
mwenyewe hafahamu kama hali aliyo nayo
ni tatizo. Hata hivyo inashauriwa sana kabla
ya kufanya kipimo hiki, daktari amjulishe
mgonjwa aina ya kipimo, lengo lake na jinsi
kitakavyofanyika ili kumuandaa mgonjwa
kisaikolojia. Aidha ni muhimu pia
kumtaarifu wakati anapoanza kuingiza
vidole.
Kuchunguza uchafu unaotoka kwa kutumia
hadubini (microscope).
Mara tu baada ya kuchukua sehemu ya
uchafu kwa kutumia swab, kipimo hicho
humwagiwa tone la 10% potassium hydroxide
ambayo huyeyusha chembechembe za ngozi
na kubakisha seli za Candida albicans.
Kuwepo kwa pseudohyphae (mfano wa aina
fulani ya mizizi au miguu ya fangasi hawa)
pamoja na budding yeast cells (yaani seli za
fangasi zinazojigawa kwa ajili ya kuzaliana)
ni uthibitisho wa maambukizi ya fangasi aina
ya Candida albicans.
Kuchukua kipimo na kuotesha kwenye
maabara
ili kuangalia aina ya uoto huo kama ni wa
fangasi aina ya Candida albicans, ama la.
Kipimo cha mkojo (Urinalysis)
Vipimo vingine hufanyika kulingana na dalili
zinazoashiria uwepo wa magonjwa mengine
kama vile ugonjwa wa kisukari, HIV/AIDS,
ugonjwa wa kuvimba tezi la koo (goiter),
saratani ya tezi koo (thyroid cancer) nk.
MATIBABU
Kama umeshapitia vipimo hivyo au hata vipimo mbali mbalI na bado tatizo linaendelea au linajiludia mara kwa mara wakati mwingine linaweza kuwa sugu unashauliwa kutumia njia za asili.
kwa maelezo zaidi na msaada wa kimatibabu piga 0767421678 au 0655148030 unaweza kutuma sms za aina zote utajibiwa kupitia 0767421678. ASANTE. Share na like page yetu AFYA KWA WANAUME na AFYA YA WANAWAKE Facebook. https://www.facebook.com/hamad1199/
FANGASI SEHEM ZA SIRI. (Vaginal candidiasis) Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za SIRI. Share na like page hii. Nimekuwa nipoa sim nyingi na kuwasaidia watu wengi haswa wanawake katika tatizo hili nimeona kunahaja kubwa ya kuongelea swala hili kiundan ili watu wote mpate elimu hii iwasaidie na kwa ambao hawafaham nini chakufanya wapate mwanga sasa endelea. Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake na wanaume wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida albicans. Maambukizi haya pia hujulikana kama yeast infection au thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu inayojulikana kama pharynx, katika kibofu cha mkojo, uume na hata kwenye uke. Mfumo mzuri wa kinga wa mwili pamoja aina fulani za bakteria wanaoishi pamoja na fangasi hawa husaidia sana katika kuthibiti maambukizi yanayoyosababishwa na aina hi ya fangasi. Nini hutokea? Kwa kawaida, Candida albicans huishi kwenye uke na sehemu nyingine (kama zilivyoelezewa hapo juu) bila kusababisha madhara yoyote yale isipokuwa pale mazingira ya eneo husika yanapobadilika kama vile mabadiliko katika hali ya pH ya eneo husika (ifahamike ya kwamba pH ya kawaida ndani ya uke ni 4.0 - 4.5) au uwiano wake na vimelea (microorganisms) wengine unapoharibiwa kutokana na sababu mbalimbali kama vile matumizi ya madawa aina ya antibiotics, kupungua kwa kinga mwilini kutokana na magonjwa mbalimbali. Maambukizi haya ya fangasi yanaweza kugawanywa katika sehemu kuu mbili Maambukizi yasiyo makali yaani uncomplicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi mara moja hadi nne kwa mwaka na dalili zake huwa si mbaya sana na maambukizi haya husababishwa na fangasi wa jamii hii ya Candida albicans. Maambukizi makali yaani complicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi zaidi ya mara nne kwa mwaka, dalili zake kuwa mbaya zaidi au kama maambukizi yatakuwa yametokea kipindi cha ujauzito, ugonjwa wa kisukari, upungufu wa kinga mwilini. Aina hii kusababishwa na vimelea vya aina nyingine tofauti na Candida albicans. Vihatarishi Watu walio katika hatari ya kupata maambukizi ya fangasi hawa ni wale wenye • Kutumia sana dawa aina ya detergents kwenye sehemu za siri au douches (vifaa vinavyotumiwa kusafishia uke kwa kutumia maji yaliyochanganywa na siki au antiseptic yoyote ile) kwa sababu hali husababisha kuharibika kwa uwiano wa fangasi na aina nyingine ya vinyemelezi kama bakteria aina ya lactobacilli • Kutumia sana madawa aina ya antibiotics, steroids ambayo yana tabia ya kushusha kinga ya mwili • Mabadiliko ya mfumo wa homoni mwilini ambayo husababisha mabadiliko katika sehemu za siri na hivyo kufanya kuwepo kwa ukuaji wa kasi wa fangasi hawa • Ujauzito (kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili). Hata hivyo ieleweke hapa kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya. • Matumizi ya dawa za kupanga uzazi (vidonge vya majira) • Upungufu wa kinga mwilini kutokana na magonjwa sugu kama kisukari, saratani aina yoyote ile, ugonjwa aina ya mononucleosis na nk. • Ugonjwa wa ukimwi (HIV/AIDS) • Matibabu ya homoni (hormonal replacement therapy) kutokana na sababu mbalimbali • Matibabu ya kusaidia kushika mimba kwa wale wenye matatizo ya uzazi (infertility treatment) • Msongo wa mawazo (stress) • Utapia mlo (malnutrition) • Kuvaa nguo au mavazi yanayoleta joto sana sehemu za siri kwa muda mrefu kama nguo za kuogelea (swimwear), nguo za ndani (chupi) zilizotengenezwa kwa kitambaa aina ya nylon, nguo za ndani zinazobana sana nk. • Kujamiana kwa njia ya kawaida mara tu baada ya kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) au matumizi ya vilainishi venye glycerin wakati wa kujamiana pia yamehusishwa na maambukizi haya. • Kuvimba kwa tezi la koo (goiter) • Saratani ya tezi la koo (thyroid cancer) • Wanawake wenye umri wa miaka kati ya ishirini na thelathini wapo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi haya wakati wale ambao wameshaacha kupata hedhi au wale ambao hawajaanza kupata hedhi kabisa hawako kwenye hatari kubwa. Kwa wanaume vihatarishi vya maambukizi haya ni • Kujamiana na mwanamke mwenye tatizo hili au maambukizi haya • Upungufu wa kinga mwilini • Matumizi ya madawa aina ya antibiotics kwa muda mrefu bila ushauri wa daktari • Magonjwa sugu kama kisukari, saratani ya aina yoyote ile na nk. Dalili na viashiria kwa wanawake • Kuwashwa sehemu za siri (kwenye tupu ya mwanamke) • Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri (burning sensation) • Kufanya kama vidonda katika sehemu za siri (soreness) • Maumivu wakati wa kujamiana (superficial dyspareunia) • Maumivu au usumbufu wakati wa kujisaidia haja ndogo (wakati mtu anakojoa) • Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwa mdomo wa nje wa tupu ya mwanamke (labia minora) • Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au nyeupe kijivu, unaoweza kuwa mwepesi, majimaji au mzito na ambao umefanana na jibini (cottage cheese like discharge) wenye muonekano unaojulikana pia kama curd- like appearance. Kwa kawaida, uchafu huu haumbatani na harufu yoyote isipokuwa panapokuwa na tatizo la ziada kama ugonjwa wa zinaa aina ya Bacteria vaginosis. Uchafu huu unaotoka hapa unaweza kuenea kwenye maeneo mengine yaliyokaribu na tupu ya mwanamke kama kwenye mitoki (groin area) au perineum na kusababisha kuharibika kwa ngozi katika sehemu hizo. Dalili na viashiria hivi huwa mbaya zaidi wakati mwanamke anapokaribia kupata hedhi. Dalili na viashiria kwa wanaume ni • Kuwashwa sehemu za siri • Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwenye ncha ya uume • Kuwepo kwa uchafu wa rangi nyeupe (kama nilivyoeleza hapo juu) kwenye sehemu ya juu ya uume. • Kuwa na vidonda vidogo kwenye uume (sore on the glans) Hata hivyo, mara nyingi wanaume hawaoneshi dalili zozote zile, ni vizuri kwa mwanamke kumueleza mwenza wake pale anapopata maambukizi haya ili naye pia apate kutibiwa. Vipimo vya uchunguzi Kabla ya vipimo vya uchunguzi, ni muhimu kwa daktari kuchukua historia ya mgonjwa kwa usahihi kabisa. Vipimo vitahusisha: Uchunguzi wa uke (per Vaginal Examination (PV exam) Daktari huvaa gloves, na kuzilainisha gloves hizi kwa jelly maalum, mgonjwa hulala kwenye kitanda na kutanua miguu yake ili njia itanuke na kumrahisishia daktari kumfanyia uchunguzi, wakati akiwa tayari, daktari ataingiza vidole vyake viwili (cha shahada na cha kati) ukeni kwa dhumuni la Kuhisi kama kuna uvimbe wowote ndani ya tupu ya mwanamke Kuangalia kama anapata maumivu wakati wa kujamiana Kuangalia kama kuna uchafu wowote unaotoka, wingi wake, rangi yake, harufu yake, uzito wake (mwepesi, majimaji au mzito), na aina ya uchafu unaotoka kama ni sahihi kutokana na maelezo ya mgonjwa au ni tofauti Kuangalia kama sehemu ya siri ipo kawaida Kuangalia kama kuna uvimbe wowote wa tezi za sehemu ya siri (mitoki) Kuangalia nywele za sehemu za siri zilivyo na jinsi zilivyokaa Kuangalia shingo ya kizazi, bartholin glands nk. Kuangalia sehemu ya haja kubwa kama kuna skin tags, bawasiri (haemorrhoids) nk. Kuangalia kwenye kinembe (clitoris) kama kuna tatizo lolote lile. Hayo ni baadhi tu ya malengo na faida za kipimo hiki kwa vile humuwezesha daktari kugundua tatizo au maradhi mengine ya ziada ambayo hayajaanza bado kuonesha dalili zake kwa mgonjwa au mgonjwa mwenyewe hafahamu kama hali aliyo nayo ni tatizo. Hata hivyo inashauriwa sana kabla ya kufanya kipimo hiki, daktari amjulishe mgonjwa aina ya kipimo, lengo lake na jinsi kitakavyofanyika ili kumuandaa mgonjwa kisaikolojia. Aidha ni muhimu pia kumtaarifu wakati anapoanza kuingiza vidole. Kuchunguza uchafu unaotoka kwa kutumia hadubini (microscope). Mara tu baada ya kuchukua sehemu ya uchafu kwa kutumia swab, kipimo hicho humwagiwa tone la 10% potassium hydroxide ambayo huyeyusha chembechembe za ngozi na kubakisha seli za Candida albicans. Kuwepo kwa pseudohyphae (mfano wa aina fulani ya mizizi au miguu ya fangasi hawa) pamoja na budding yeast cells (yaani seli za fangasi zinazojigawa kwa ajili ya kuzaliana) ni uthibitisho wa maambukizi ya fangasi aina ya Candida albicans. Kuchukua kipimo na kuotesha kwenye maabara ili kuangalia aina ya uoto huo kama ni wa fangasi aina ya Candida albicans, ama la. Kipimo cha mkojo (Urinalysis) Vipimo vingine hufanyika kulingana na dalili zinazoashiria uwepo wa magonjwa mengine kama vile ugonjwa wa kisukari, HIV/AIDS, ugonjwa wa kuvimba tezi la koo (goiter), saratani ya tezi koo (thyroid cancer) nk. MATIBABU Kama umeshapitia vipimo hivyo au hata vipimo mbali mbalI na bado tatizo linaendelea au linajiludia mara kwa mara wakati mwingine linaweza kuwa sugu unashauliwa kutumia njia za asili. kwa maelezo zaidi na msaada wa kimatibabu piga 0767421678 au 0655148030 unaweza kutuma sms za aina zote utajibiwa kupitia 0767421678. ASANTE. Share na like page yetu AFYA KWA WANAUME na AFYA YA WANAWAKE Facebook. https://www.facebook.com/hamad1199/
Artikel Terkait
NIFANYE NINI ILI MUME WANGU AWE NA HAMU NAMI?  Mume wangu anasema ananipenda sana, nami nampenda sana. Tuna watoto wawili wa kiume. Nimejaribu kila kitu cha kumfurahisha, kama vile kuvaa vizuri, kuandaa chakula kizuri akipendacho na kinywaji lakini Lakini mwenzangu haonekani kuridhishwa na jitihada zangu. Baada ya chakula cha usiku huwa tunakaa na kuangalia Luninga huku tukiwa na vinywaji. Lakini cha ajabu nikimsogelea na kutaka niwe karibu naye ananiepuka. Yaani HATAKI hata nimguse ni kama NINANUKA au ninamsumbua vile. Je, tatizo ni nini hasa, Je nanuka? Najiuliza na jibu sipati….Alimalizia kusema huyu mama huko chozi likimdondoka…...... Naam mara nyingi hivyo ndivyo inavyokuwa kwa sisi wanawake pale tukutanapo, si jambo geni sana kwa sisi wanawake kushirikiana kihisia. Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mwanamke akimsimulia shoga yake anayemuamini juu ya madhila yake. Yote hiyo ni katika kutafuta nafuu na kuondokana na msongo wa mawazo. Mara nyingi simulizi nyingi zinazowakutanisha wanawake ni zile zinazohusiana na mambo ya Ndoa, mahusiano, watoto au mambo ya kifamilia kwa ujumla, mara nyingi tunatamani kupata mahali pa kulinganishia, ili kutaka kujua kama tatizo nililo nalo lina ukubwa kiasi gani. Ni hivi majuzi nikiwa kazini na mfanyakazi mwenzangu ndipo aliponieleza kile kinachomsibu kwa muda mrefu sasa, inavyoonekana, ni jambo ambalo alikaa nalo muda mrefu akijaribu kupambana nalo kimya kimya huku likiendelea kumtafuna, dada huyu wa Kiswidish. Ili kujiridhisha na kutaka kujua ukweli halisi nikamuuliza kama amemuuliza mume wake jambo hili akajibu amefanya hivyo na jawabu alilolipata ni kwamba, mume wake huwa anachoka. Yaani kazi zake ni nyingi pia malezi ya watoto yanamchosha. Nikamuuliza kama hawawezi wakati wa wikiendi watoke ili kuwa peke yao? Hapo nikapata jibu ambalo sikutegemea. Alidai kwamba akisema hivyo mume wake anaona kama yeye anaamua nini wafanye. Huyu mama akaendelea kusema, mimi ni binadamu Yasinta.,,,,,,,,,, Na nahitaji tendo la ndoa na sitaki kutoka nje kwani nampenda sana mume wangu. Nami sikuachia hapo kama mnavyonifahamu na u-Kapulya wangu nikamuuliza kama tatizo hilo lina muda gani au limeanza siku za karibuni? Mama yule akashusha pumzi, akaniangalia kwa jicho la huzuni, kisha akajibu kuwa inatokea wanafanya tendo la ndoa mara moja kwa mwezi na hapo ni ile ya haraka haraka na halafu baada ya hapo mume wake anampa mgongo na kulala . Hapo….akasita kidogo …nikamuuliza ulitaka kusema nini? Akaendelea unajua Yasinta mwanamke anahitaji kuandaliwa kwanza, mimi huwa siandaliwi kabisa........ Mweh! Nikaona makubwa haya ......nilikosa Jawabu la kumpa kwa kweli, nikabaki kuguna tu. Hata hivyo nilijaribu kumshauri aende kwa washauri nasaha wa masuala ya Ndoa na mahusiano, lakini akadai kuwa mumewe ni mkaidi na hawezi kukubali. Mwenzenu swala hili limenishinda maana sijui nimsaidieje! Je Wewe kama msomaji unaweza kunisaidia ni ushauri gani nimpe mama huyu, ili awe na furaha katika Maisha ya ndoa yake? Ushauri tafadhali........... ... Read More
Kwanii Wanaume Waaminifu Kwenye Uhusiano Huachwa.....  Kuachwa na mpenzi kwa sababu umekuwa ni muaminifu sana yaonekane ni jambo lisiloingia akilini lakini linatokea. Moja ya mambo ya ajabu unayoweza kuwa ushawahi kuyasikia ni kwamba mara nyingine uamuzi wako wa kuwa mwanaume mwema sana na unayejitahidi kufanya uhusiano wako wa kimapenzi uwe mzuri muda wote unaweza kukugharimu na kujikuta unaachwa kabisa. Haitakiwi kuwa hivyo lakini mara nyingine inatokea, na inatokea kwa sababu wazo la mwenza wako kuhusu uhusiano wa kimapenzi laweza likawa tofauti na ulionao wewe. Wengine wana mawazo hasi kuhusu jinsi uhusiano/ndoa inavyotakiwa kuwa. Hii ndio sababu hutakiwi kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na mtu asiye na vipaumbele sawa na vya kwako au asiye na mtazamo mmoja wa kimaisha kama ulionao wewe. Usipozingatia hilo, utajikuta unaingia kwenye uhusiano na mtu ambaye hatakujali vya kutosha kwakuwa labda humfokei au kumpiga anapokukosea – au utajikuta ameshakupanda kichwani na kuanza kukudai mambo ambayo huwezi kuyatimiza lakini ukajikuta unajitutumua kumtimizia kwa sababu unataka kumfurahisha mpenzi wako na analijua jambo hilo. Kwa sababu baadhi ya wanaume wanapenda kulinda siri na kuwaachia uhuru wapenzi wao, wanajikuta wakiwapa ruhusa wanawake zao kwenda popote wanapojisikia bila kuwafatilia wanachofanya. Nini kinafata baada ya hapo? Mwanamke anatoka, anatafuta mchepuko na kukusaliti. Mwisho inakufanya wewe mwanaume uonekane mjinga mbele ya wengine. Tatizo ni kwamba tabia hii inaibuka kutokana na mazoea ya watu kuingia kwenye uhusiano wakiwa wameficha tabia zao halisi na kuja kufungua makucha yao baada ya kuona ameshaishi na wewe kwa muda mrefu kiasi kwamba huwezi tena kumuacha. Hii inasababisha wanaume walioathirika kutokana na tabia kama hizi kutoka kwa waliokuwa wapenzi wao wasiweze kuwaamini wanawake wengine tena kwa kuona kwamba wote ni sawa na wale waliowaumiza na kusababisha wasiweze kuwaonesha wenza wao wapya mapenzi kwa kiwango cha juu wakihofia kuumizwa tena. Kuwa mpole, mkarimu na mwenye upendo wa hali ya juu kwa mpenzi wako ndio jambo linalotarajiwa kwenye uhusiano. Mtu hatakiwi kufanywa ajisikie vibaya kwa kumuonesha mapenzi ya kweli mwenza wake. Kama wewe unakuwa muaminifu na mwema kwa mpenzi wako lakini umekuwa unadharauliwa au ukaachwa kutokana na tabia hiyo, kaa ukiwa na amani kabisa kwamba lawama za kuvunjika kwa uhusiano huo hazikuhusu wewe – lawama ni za mpenzi wako aliyeshindwa kujua wewe umekuwa mwema kiasi gani kwake. ... Read More
Tatizo la Ugumba kwa wanawake  Ugumba ni hali ya mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Linaweza kuwa tatizo pia kwa mwanaume lakini katika makala hii tutaona nini kinasababisha tatizo hili kwa upande wa wanawake. Nini husababisha ugumba kwa wanawake? Mayai kutokomaa ipasavyo: Tatizo la mayai kutokukomaa vema ndilo chanzo na sababu kuu ya wanawake wengi kushindwa kushika ujauzito na hii inachukua karibu asilimia 30 ya wanawake wote wagumba. Habari njema ni kuwa tatizo hili linaweza kurekebishwa kirahisi ikiwa mwili utapewa vile viinilishe mhimu vinavyokosekana hadi kupelekea mayai kutokomaa vizuri. Vinavyosababisha mayai ya mwanamke kutokomaa vema: (1) Matatizo ya kihomoni Matatizo katika homoni ndicho chanzo kikuu cha mayai kutunga bila kukomaa vizuri. Hatua za ukomaaji wa mayai zinategemea uwiano mzuri wa homoni na namna zinavyotegemeana katika kufanya kazi. Jambo lolote linalovuruga homoni kubaki katika uwiano wake sawa na wa kutegemeana na wenye kufanya kazi ipasavyo linaweza kupelekea utungaji wa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Kuna sababu kuu mbili zinazosababisha matatizo katika homoni: Ufanyaji kazi usioridhisha wa hypothalamus Hypothalamus ni sehemu ya mbele ya ubongo ambayo ina jukumu la kutuma ishara (signals) kwenda katika tezi ya pituitari ambayo yenyewe tena hutuma uchochezi wa kihomoni kwenda kwenye ovari katika mfumo wa F.S.H na L.H ili kuanzisha ukomaaji wa mayai. Ikiwa hypothalamus inashindwa kufanya kazi zake vizuri kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa ndiyo kutakuwa ni matokeo yake. Tatizo hili linachukuwa asilimia 20 katika kesi za mayai kushindwa kukomaa kiasi kinachohitajika. Ufanyaji kazi usioridhisha wa tezi ya pituitari Kazi kubwa ya tezi ya pituitari ni kuzarisha na kutoa homoni mbili maalumu kwa ajili ya mfumo wa uzarishaji kufanya kazi zake vizuri ambazo zinajulikana kitaalamu kama ‘Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ na ‘Luteinizing hormone (L.H)’. Mayai yatashindwa kukomaa vizuri ikiwa ama L.H au F.S.H zinatengenezwa chache sana au nyingi sana kuliko inavyohitajika. Hili linaweza kutokea kama sababu ya ajari, uvimbe au kama usawa usio sawa wa kikemikali katika pituitari. (2) Kovu katika Ovari Uharibifu au ajari katika ovari unaweza kupelekea kuzalishwa kwa mayai ambayo hayajakomaa. Kwa mfano, upasuaji mkubwa, uvamizi au upasuaji wa mara nyingi wa uvimbe katika ovari unaweza kusababisha kapsuli ya ovari kupata majeraha au makovu na hivyo kwa namna moja ama nyingine kuweza kuzuia utungwaji wa mayai ambayo hayajakomaa vema. Pia maambukizi katika njia ya uzazi yanaweza kupelekea tatizo hili. (3) Dalili za mwanzo za kukaribia kufunga kuzaa (Menopause) Hii huchangia kwa asilimia chache na kwa sasa halielezeki kisawasawa. Kwamba wanawake wengi wanapokaribia umri wa kuacha kuzaa kuanzia miaka 40 kwenda juu baadhi yao hutokewa na tatizo la kutunga mayai ambayo hayajakomaa vema. Baadhi ya wanawake wanaacha kupata siku zao mapema kabla ya umri uliozoeleka yaani miaka 40 kwenda juu. Kwa sababu hiyo inadhaniwa kwamba uwezo wao wa asili katika kuzalisha mayai unakuwa umepunguwa na wengi wao huwa ni wale walikuwa wakijihusisha zaidi na michezo ya kukimbia au wale wenye historia ya muda mrefu ya kuwa na uzito pungufu na wafanyaji sana wa mazoezi. Tatizo hili pia linaweza kuwa ni la kurithi. (4) Matatizo kwenye kijishimo yai (follicle) katika ovari: Ingawa kwa sasa bado hili nalo halielezeki, hiki kijishimo yai kwa kitaalamu kinajulikana kama ‘’follicle’’ ndicho hupasuka na yai kutoka. Kuna baadhi ya kina mama wanapata dalili za kijishimo yai kutokupasuka “unruptured follicle syndrome” na matokeo yake kila mwezi mama anazalisha yai kama kawaida lakini hiki kijishimo yai kinashindwa kupasuka. Hivyo yai linabaki ndani ya ovari na utungaji wa mimba unashindwa kufanyika. Kinachosababisha ufanyaji kazi dhaifu wa mirija ya uzazi (Fallopian Tubes): Magonjwa katika mirija ya uzazi yanahusika na ugumba kwa karibu ya asilimia 25 ya wanawake wote wagumba. Hali yenyewe inatofautiana toka kwa mmoja hadi kwa mwingine kutoka kugandana au kunatana kidogo hadi kuzibika kabisa kwa mirija. Matibabu ya mirija iliyozibika huhusisha upasuaji au usafishaji wa mwili kwa kula vyakula na vinywaji maalum kwa muda wa majuma kadhaa. Sababu kubwa zinazopelekea kuzibika au kunatana kwa mirija ya uzazi ni pamoja na zifuatazo: (A) Maaambukizi Maambukizi katika njia ya uzazi ambayo yamesababishwa ama na bakteria au virusi na ambayo kwa kawaida ni magonjwa ya kuambukizana kwa njia ya tendo la ndoa, maambukizi haya kwa kawaida husababisha muwasho au kuungua na kupelekea makovu na uharibifu. Magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na mengineyo yanaweza kuwa chanzo cha ugumba kwa wanawake wengi hasa ikiwa hayatatibiwa mapema. (B) Magonjwa yasiyo ya kawaida Magonjwa yasiyo ya kawaida ni pamoja na ugonjwa wa kidole tumbo (appendicitis) na uvimbe katika utumbo mpana (colitis), magonjwa ambayo husababisha muwasho au kuungua chini ya uvungu wa utumbo mkubwa na kuiathiri mirija ya falopiani na kama matokeo yake makovu na kuzibika kwa mirija ya uzazi hutokea. (C) Upasuaji uliopita Upasuaji una chukua nafasi kubwa katika kusababisha ugumba kutokana na matokeo yake ya kusababisha magonjwa ya mirija ya uzazi na uharibifu utokanao na huo upasuaji. Upasuaji katika utumbo mkubwa unaweza kupelekea kunatana au kugandana kwa mirija ya uzazi kutakakopelekea mayai kushindwa kusafiri kirahisi katika mirija hiyo ya uzazi. (D) Mimba kutungwa nje ya mji wa uzazi: Hii ni wakati mimba inapotungwa katikati ya mirija ya uzazi yenyewe. Katika hali kama hii hata kama kutatokea bahati kiasi gani bado kunaweza kusababisha uharibifu katika mirija na hali hii ni moja ya hali mbaya sana kiafya na kimaisha. (E) Hali ya kurithi Kwa nadra au kwa asilimia fulani ndogo baadhi ya wanawake huzaliwa na hali ya kuwa na mirija isiyo ya kawaida kwa uzazi na kwa kawaida hali hii huambatana na mji wa uzazi usio wa kawaida pia. . (5) Sababu za kitabia: Inajulikana wazi kwamba baadhi ya tabia na namna tunavyoishi kunaweza kupelekea wanandoa wakashindwa kupata mtoto. Kwa bahati nzuri nyingi kama si zote ya hizo tabia zinaweza kurekebishika au kuachwa kabisa na kupelekea siyo tu kuwa na uwezo wa kuzaa bali pia kuwa na afya nzuri kwa ujumla. Sababu hizo za kitabia ni pamoja na zifuatazo: Lishe na mazoezi Ili mfumo wa uzazi uwe na uwezo mzuri unahitaji vitu viwili mhimu, lishe kamili na mazoezi. Wanawake wenye uzito uliozidi sana au wenye uzito pungufu sana wanaweza wakapatwa na tatizo la kutopata ujauzito kirahisi. Uvutaji sigara Uvutaji wa sigara una mchango mkubwa na ugumba. Uvutaji sigara husababisha uzarishwaji wa mbegu chache kwa mwanaume (lower sperm count) kwamba mwanaume anatoa mbegu chache sana ama pungufu wakati huo huo uvutaji sigara huchangia katika tatizo la kutoka kwa mimba, kuzaa kabla ya miezi 9 (njiti), na kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo kwa wanawake. Unywaji pombe Unywaji pombe kupita kiasi una mchango mkubwa sana katika ugumba na hii hata ikitokea mama akapata ujauzito kama bado anaendelea kunywa pombe inaweza kupelekea matatizo hata kwa mtoto mtarajiwa. Unywaji pombe pia huchangia uzarishwaji wa mbegu chache kwa wanaume. Madawa ya kulevya Utumiaji a madawa ya kulevya kama bangi na mengine ya kujidunga kwa sindano kunaweza kuwa sababu ya kuzalisha mbegu chache kwa wanaume. Utumiaji wa dawa za kulevya kama ‘Cocaine’ kwa mama mjamzito kunaweza kusababisha mtindio wa ubongo na matatizo katika figo kwa mtoto mtarajiwa. Matumizi ya madawa ya kulevya inafaa yaepukwe wakati wa kutafuta ujauzito na wakati wa ujauzito. Utowaji mimba Utowaji mimba wa mara kwa mara pia unahusika sana na tatizo la ugumba kwa karibu ya asilimia 20. Utowaji mimba unaweza kusababisha makovu katika mji wa uzazi na hata kuharibika kabisa kwa mji wa uzazi ikiwa utowaji huo haukufanyika kitaalamu au unafanyika mara kwa mara. (6) Sababu za ugumba za kimazingira: Uwezo wa kushika ujauzito unaweza pia kuathiriwa kutokana na kuwa karibu na baadhi ya kemikali au sumu katika maeneo ya kazi au makazi. Vitu viwezavyo kusababisha mabadiliko, dosari za kuzaliwa, utokaji mimba, au utasa huitwa ‘Sumu kwa mfumo wa uzazi’. Kamikali zifuatazo zinahusishwa na ugumba au utasa: Risasi (Lead) Kuwa karibu na kemikali au sumu zinazounda risasi kunaweza kuwa sababu ya ugumba. Risasi hupelekea kuzalishwa kwa mbegu zisizo za kawaida kwa wanaume zijulikanazo kwa kitaalamu kama ‘teratospermias’ na inafikirika pia kuhusika na utokaji mimba kusiko kwa asili (artificial abortion). Baadhi ya matibabu na madawa ya hospitalini Kuwekwa kwenye matibabu yanayohusisha mionzi (x-rays), mionzi ya kawaida au hata ile ya kutibia kansa (chemotherapy), kunaweza kusababisha matatizo katika uzarishwaji wa mbegu kwa mwanaume na wakati huo huo kuchangia kwa sababu kadhaa zinazopelekea kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Pia matumizi ya dawa za kuzuia ujauzito kwa muda mrefu yamekuwa yakihusishwa na ugumba kwa miaka ya hivi karibuni ingawa bado kuna mjadala mkubwa katika hili. Ethylene Oxide Hii ni kemikali inayotumika kusafishia vifaa vya upasuaji, pia hutumika katika kutengeneza baadhi ya sumu za kuua wadudu. Ethylene oxide inaweza kupelekea matatizo katika uzazi hasa katika miezi ya mwanzo mwanzo ya ujauzito na inahusishwa sana na tatizo la utokaji mimba katika miezi ya mwanzo ya ujauzito (early miscarriage). Dibromochloropropane (DBCP) Hii pia ni kemikali au dawa inayotumika katika kuua wadudu, ikiwa unafanya nayo kazi kila mara inaweza kusababisha kutungwa kwa mayai yasiyokomaa vizuri, kuelekea mapema kwa ukomo wa kutokuzaa kabla hata ya miaka 40 au 45 (early menopause) na kadharika. (7) Sababu zingine zinazoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke: Karibu asilimia 10 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya mji wa uzazi usio wa kawaida (abnormal uterus). Hali zingine ni pamoja na uvimbe katika kizazi, kugandana au kunatana kwa mji wa uzazi na mirija ya uzazi. Karibu asilimia 3 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya matatizo ya ute usio wa kawaida katika mlango wa kizazi (femaleís cervical mucus). Ute ute huu unahitaji kuwa na hali fulani maalumu kwa mbegu za kiume kuweza kuogelea kirahisi katikati yake. Chanzo kikubwa cha tatizo hili ni usawa usio sawa wa homoni za kike ambapo homoni ya uzazi ya kike iitwayo ‘estrogen’ yaweza kuwa ni chache sana au homoni nyingine iitwayo ‘progesterone’ yaweza kuwa ni nyingi sana tofauti na inavyohitajika. Vitu vya kuepuka kwa mtu mwenye tatizo la ugumba: ChipsiVinywaji baridiKaffeinaNyama nyekunduVilevi ... Read More
HESABU YA KUONGEZA Niwapo hisabatini, Hufikiri akilini, Kuongeza umakini, Jawabu kulibaini. Jawabu hilo halani, Hukaa makinikoni, Linafaa maishani, Hapa hapa duniani. Ingawa jana nyumbani, Siku niliyobaini, Hata leo furahani, Nakuweka pongezini. Kijana huyu nyikani, Akiwa hisabatini, Kanuniye mkononi, Kaifikiri kichwani. Ndipo nilipobaini, Kafika hisabatini, Kasogea nyongezani, Hapa hapa duniani. Kafika hisabatini, Kashikilia kanuni, Kuingia umrini, Kakaa makinikoni. Hesabuye kabaini, Kamjalia Manani, Kaingia furahani, Yamfaa maishani. Nyongezaye umrini, Hapa hapa duniani, Ufurahi maishani, Singie ubazazini. Sivutwe hisabatini, Duara kulibaini, Ukaidai kanuni, Ukokotozi pupani. Sivutwe hisabatini, Maumbo kuyabaini, Kuchora karatasini, Ukafika ushenzini. Hari yako maishani, Tuliza kichwa nyumbani, Makinika ubwabwani, Ukishibishe tumboni. Busara zako kichwani, Ziongeze kwa makini, Ufike makinikoni, Utulie furahani. Nyongezayo umrini, Ikufae maishani, Hapa hapa duniani, Sichenge msikitini. Wasalamu tamkoni, Nalitoa mdomoni, Ukae mshawashani, Vilevile moralini. Sijiweke haramuni, Kulazimisha kanuni, Iliyo hisabatini, Ukae makinikoni. Na kwa kheri tamkoni, Naitoa mdomoni, Naenda zangu nyumbani, Nikae pumzikoni. UJUMBE Shamsa Cyprian ... Read More
Kwa Wanawake tu..Fahamu Mbinu Kuntu za Kummaliza Mumeo Ndani ya Sita kwa Sita Hadi Akapagawa   Weekend hii nimeona ni vyema tuzungumzie kidogo kuhusu masualaya mahusiano pia kutokana na sekta hiyo kuwa na umuhimu wake pia katika maisha ya mwanadamu. Katika masuala haya ya mapenzi nimeona ni vyema niaanze kuongea na wanawake kuhusu namna ya kuweza kufanikisha kummaliza mwanaume katika sita kwa sita. Jambo la kwanza wanamke unapaswa kuwa jasari na mwenye kuamini katika kile unachofanya katika mapenzi, ambapo wewe mwanamke unatakiwa mkishafika katika uwanja wenu wa zoezi husika katika sikiu hiyo, Hakikisha unajitahidi wewe kuanza kumvua nguo mwanaume, huku ukimshika baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili wake ambazo unaamini zitamsababishia msisimko mkubwa. Baada ya zoezi hilo nawe pia (mwanamke)unaweza kutoa nguo zako kisha mkumbatie mmeo , huku mkigusanisha ngozi za miili yenu. Tambua ya kwamba ngozi huwa na mishipa midogo midogo yenye ufahamu ambayo hutoa taarifa mbalimbali za mwili kwenye ubongo, hivyo kitendo cha miili yenu kugusana huchangia kuibua hisia za kimapenzi zaidi. Unapoona tayari mwanaume yupo tayari katika hali ya hisia kali za kimapenzi kabla ya kumruhusu akuingilie unaweza kuendelea kumshika baadhi ya sehemu za mwili mfano ndevu, sehemu zake za siri na mkune kwenye viganja vyake na mapaja na nk. Fahamu ya kwamba mapaja ya mwanaume huwa na hisia kali, hivyo unaweza kuyashika zaidi kwa ustadi mkubwa, huku ukitumia vidole vyako na utaona akisisimka zaidi. Sehemu nyingine ambayo itakusaidia wewe mwanamke kuweza kumsisimua vizuri mwanaume ni kwa kumshika maeneo ya kifuani kuelekea tumboni maeneo hayo huwa na msisimko mkubwa kwa wanaume walio wengi. Eneo jingine lenye hazina kubwa na ya msisimko wa mapenzi kwa wanaume ni sehemu ya uume ambapo mwanamke huweza kushika ile sehemu ya mbele (kichwa cha uume) ambapo humfanya mwanaume kupata msisimko wa kimapenzi kwa haraka zaidi. Uwapo katikati ya tendo hakikisha unkuwa serious na zoezi hilo, huku ukijitahidi kuepuka kucheka kwa jambo lolote lile hata pale mwenzi wako anapotoa sauti za kufurahisha wakati wa katikati ya tendo. Pamoja na hayo, mwanamke uwapo katikati tendo hilo na mwenzi wako jitahii sana kujiachia maungo yako kwa mmeo, kwani kwenye tendo hilo la ndoa huwa hakuna uheshimiwa hivyo ni vyema ukajiachia. Katika tendo la ndoa pia sauti na maneno ya kimahaba ni muhimu sana wakati wa tendo la ndoa kwani huongeza hamasa katika tendo hilo. Baada ya kumaliza tendo hilo kumbuka kusema asante na mpe pole mwenzi wako kwa kazi pevu, kisha chukuwa kitambaa na mkaushe kijasho cha utamu wa penzi kwa taulo uliloandaa maalum. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: