Home → ushauri
→ UPENDO USIOSHINDWA! - WIFE'S UNFAILING LOVE..!
MIAKA MITANO NYUMA.
Mimi Anitha Daniel nakubali kukuchukua wewe Thomas Ben kama mume wangu halali wa ndoa, naahidi mbele ya mashahidi waliopo nitakupenda katika uzima na hali ya ugonjwa mpaka kifo kitakapotutenganisha"
"Sasa unaweza kumbusu bibi harusi Mr. Thomas Ben" mchungaji akaongea.
Mapigo ya moyo ya Thomas yakaenda mbio wakati akimfunua bibi harusi usoni. Anitha alionekana ni mrembo haswa. Akainamisha shingo na kumbusu kwenye lips za bibi harusi.
Anitha nae akamkumbatia Thomas kwa nguvu huku machozi ya furaha yakimtiririka usoni mwake.
"Kamwe usiniache Anitha" Thom akamnong'oneza Anitha kwenye sikio.
"Sitakuacha mpenzi wangu Thom" Anitha nae akamnong'oneza Thom. Na taratibu wakaachiana baada ya kukumbatiana.
"Ninyi mmekua mashahidi wa kiapo hiki ambacho vijana wetu wameweka mbele yenu, sasa natambulisha kwenu ndoa mpya ya Bwana na Bibi Thomas Ben". Mchungaji akaongea huku akiwa nyuma ya maharusi.
Kanisa zima likalipuka kwa shangwe na vigeregere na Anitha akalia zaidi huku akiwa ameshikwa mkono na mume wake halali Thomas.
MIAKA MITANO BAADAE.
Anitha kimya kimya akanyata kufuata alipo mume wake Thomas. Thom alikuwa kwenye meza ya maktaba yake ndogo iliyopo pale nyumbani kwao akisoma kitabu kiitwacho "Tutarudi na roho zetu" kilichoandikwa na mwandishi nguli Ben R. Mtobwa.
Anitha akatabasamu kimya kimya na akiwa nyuma yake akamfumba macho Thom kwa mikono miwili.
"Ni mimi na wewe tu ndio tunaishi kwenye hii nyumba, Anitha nimeisikia harufu yako ulivyoingia tu huku."
Anitha akaondoa mikono machoni mwa Thom, akahema kwa nguvu na akakaa juu ya ile meza ya kusomea.
"Kwanini unanigundua mapema hivyo Thom lakini? Yaani siwezi hata kuku-suprise, mimi sipendiii". Anitha akaongea huku akiizungusha mikono yake kwenye kichwa cha Thom.
"Ila umekua unasoma huku muda mrefu mno, umeniacha peke yangu mimi niko bored" Anitha akamwambia Thom huku akizungusha macho yake"
"Ehee Annie kwaio unataka tufanye nini cha kufurahisha pamoja?"
Thomas akaanza kumtekenya Anitha..
"No! Hapana Thom sio hivyo bhana" Annie akamwambia Thomas huku akicheka kweli.
Thomas akakunja mikono yake kifuani, na akamtazama Anitha machoni huku aktabasamu.
"Kwaio unataka tufanye nini?"
"Sio tufanye nini, mimi nataka nicheze play station yako umeificha tena! Naomba nipe nicheze na wewe endelea kusoma kitabu chako pleaaaasee" Anitha akamwambia mumewe..
"Hapana Anitha"
Akarudi kwenye kiti chake cha kusomea. "Hapana Anitha, siwezi kukupa play station yangu.."
"Kwanini! Kila siku hutaki hata niiguse...ni kama mtoto wako" Anitha akaongea kwa kukata tamaa.
"Yes, Thom akazungusha macho yake, Ndio kama mtoto wangu..maana wewe hujanipa mtoto mpaka leo hii mwaka wa tano wa ndoa..".
Anitha akapigwa na mshangao kwa muda. Ni Thom ndiye aliyezungumza hayo?
Maneno hayo yakamuumiza mno Anitha.
"Usingeniambia hayo Thomas..." Anitha akaongea kwa masikitiko makubwa.....
"Lakini ni kweli...mimi hapa naongea ukweli Anitha" akageuza uso wake huku akiwa bado amekaa kwenye kiti.
"Ukweli? Unafikiri na mimi sipendi tuwe na watoto?"
"Usinifikirie vibaya Anitha, mimi simaanishi hivyo..." Thomas akasimama na kumtizama Anitha.
"Kwa hiyo unamaanisha nini Thom, niambie..unamaanisha nini?"
"Basi yaishe Anitha, unaweza ukachukua play station na cheza utakavyo mwenyewe. Funguo zipo kwenye kabati la nguo"
"Sitaki Thom.. kila siku unaniumiza na maneno yako ya kejeli"
"Tafadhali Anitha usianze hayo please".
"Niambie Thom kwanini umezungumza hayo maneno? Nataka kujua!"
"Kwasababu nimechoka! Nataka kuwa baba! Nataka kuwa na watoto wangu Anitha..."
"Kwaio unafikiria mimi sihitaji watoto Thom? Anitha akauliza huku machozi yakimlenga lenga!
"Sasa kwanini haushiki mimba Anitha? Huu ni mwaka wa tano Annie bado tunajaribu tu." Akapiga meza na kuondoka kwenye chumba cha kusomea.
Anitha akawa katika shock. Akakaa kwenye kiti kwa sekunde chache, akainuka na kukaa tena...muda huu akaanza kulia, machozi mengi yakimtiririka.
WIKI MBILI BAADAE.
"Thomas, amka please" Anitha akawa akimuamsha mumewe.
Taratibu Thom akafungua macho yake na kutazama saa iliyokua pembeni mwa kitanda.
"Saa hizi ni saa nane Anitha"
"Ndio, ni muhimu Thom"
"Nakusikiliza Annie" Thom akamjibu kivivu.
"Mama amesema twende Mwanza kwa ajili ya vipimo. Amesema amezungumza na daktari wake na amemueleza kwamba twende.."
"Nini?" Thom sasa akafungua macho yake, mama yako yuko Mwanza na sisi huku kazi tumwachie nani?"
"Tufanye twende Thom. Tunaweza kwenda hata weekend."
"No Annie. Hizo gharama saa hizi hapana na..."
"Ni siku yangu ya kuzaliwa leo Thom na kitu pekee ninachohitaji kutoka kwako ni hii safari tu ya kwenda Mwanza"
Thom akakaa kimya. Kwa miaka miwili sasa amekua akiisahau kabisa siku ya kuzaliwa ya mkewe.
"Nisamehe Anitha...nilisahau tena birthday yako."
"Nimeshakuzoea Thom" Anitha akamjibu huku akigeukia upande mwingine wa kitanda.
Thom akazungusha mkono wake kwenye kiuno cha Anitha na akamwambia.."Nimekuomba msamaha Anitha"
Anitha hakujibu lolote.
Thomas akapumua kwa nguvu, "sawa basi tutaenda Mwanza weekend".
"Kweli Thom?" Akageuka haraka.
"Ndio, kama itakufanya uwe na furaha leo"
"Asante sana baby" Anitha akamkumbatia Thom.
WIKI MOJA BAADAE.
Simu ya Anitha ikaita...akaichukua na kuangalia, mama yake ndio alikuwa anapiga.
"Mama shikamoo" akaweka simu yake sikioni huku akiibana na bega na mikono ikiendelea kuosha vyombo.
"Mwanangu...."
"Kuna nini mama?" Akaiweka simu vizuri sikioni huku bega likiibana.
"Matokeo ya vipimo vyenu mwanangu..." Mama akasikika akilia...
Anitha akaangusha sahani aliyokua akiiosha kwa mshtuko.
"Mama niambie...kuna tatizo gani juu ya vipimo vyetu tulivyoacha?,"
USIKU WAKE.
"Sina uwezo wa kushika mimba Thom.." Anitha akamwambia Thom huku akilia.
Thom akahisi ulimwengu wote ukimuangukia.."Nini??"
"Mama amenipigia leo...amepewa majibu ya vipimo vyetu tulivyoenda kupima Mwanza"
"Mungu wangu" Thom akasimama, akaweka mikono yake kichwani...
"Ila uliniambia uko sawa kabla sijakuoa Anitha, uliniambia kwamba daktari alisema ulivyotoa mimba mfuko wako wa uzazi haukuharibika"
"Thom usizungumzie yaliyopita hapa" Anitha akaongea kwa hasira na Thom akacheka kwa dharau na kuwa serious muda huo huo.
"Wewe ni kichaa. Nilioa mwanamke kichaa!"
Anitha akamtazama Thom kwa mshangao...ni kama amechanganyikiwa.
"Vipimo vinasema hauwezi kupata ujauzito na wote hapa tunajua hili limesababishwa na ulivyotoa mimba hata kabla hatujaonana...umefurahi sasa? Unajua tumeumia ee..hakuna watoto? Tutauambia nini ulimwengu Anitha?"
"Thomas tunaweza tuka-adopt mtoto"...Anitha akaongea huku akilia.
"Kuasili mtoto? Wow," Thom akacheka tena, "Nimeoa mwanamke kituko pia..." Akawa serious tena, "hata tukiasili hatakua mtoto wetu wa damu"
"Wewe ni muongo Anitha...umejawa na uongo najuta kukuoa Anitha"
Anitha akashindwa kujizuia machozi yasimtoke.
"Thomas stop...unaniumiza Thom..." Anitha akakaa chini na kuangua kilio.
"Unataka kujua ninawaza nini saa hizi?" Thom akamuangalia Anitha kwa dharau.
"Nafikiria itakuaje kwangu kuendelea kutazama sura yako ya uongo maisha yangu yote".
Anitha akaangua kilio zaidi, "usikate tamaa Thomas...bado ninalo tumbo la uzazi...bado ninao uwezo wa kubeba mtoto..."
"Anitha mimi sijakata tamaa kuwa na mtoto wangu ila nimekata tamaa kuwa na wewe" Thomas akageuka na kuondoka.
"Thomas!" Akamshika miguu, naumia pia Thom"
Akaondoa mikono ya Anitha miguuni mwake na akaondoka nyumbani bila kusema neno lingine lolote......Anitha akalia mno.
MWEZI MMOJA BAADAE.
"Mama, Thom hataki kuongea na mimi. Ghafla tumekuwa wageni ndani ya nyumba yetu. Hali chakula changu, anarudi kwa kuchelewa...ananichukia kweli na hii inaniumiza mama...ninazidi kuchanganyikiwa...naumia mama yangu..."
"Utamficha mpaka lini Binti yangu? Nadhani imetosha tu...mwambie ukweli...muache ajue..hauwezi kubeba msalaba wake...."
Kukawa na muungurumo wa gari na baadae honi ikapigwa...
"Mama nitakupigia kesho, naona huyo anarudi...."
"Sawa Mwanangu, sasa nakuomba umwambie ukweli. Inaweza ikasaidia kama wote wawili mkiwa na wazo moja..."
"Bye mama" mama akakata simu.
Thom akaingia ndani ya nyumba, akawa anataka kupitiliza bila hata ya kumsalimia Anitha.
"Thomas" Anitha akamshika koti lake.
"Nimechoka Anitha niache" Hakutaka kumuangalia mkewe usoni.
"Najua....tunaweza ongea kwa dakika chache?"
Akawa akimsaidia kuvua koti la suti.
"Niache basi Anitha" Thom akagomba.
"Unanichukia kiasi hiki Thom!!..kiasi hutaki hata kuniangalia usoni...kwamba hata kuongea mbele yangu hutaki...Thom mimi ni Anitha, rafiki yako na mke wako...".
Macho ya Thom yakawa madogo kwa hasira..
"Siko katika mood kwa hayo maongezi saa hizi"
Akageuka na kutaka kuondoka.....
"Usiondoke wakati naongea na wewe Thom!"
Akamvuta zaidi ili asiondoke. Hapo hapo makaratasi aliyokua amebeba Thom yakaanguka. Anitha akainama haraka kuyaokota...mikono yake ikaanza kutetemeka na mwili wake ukafa ganzi.
"Ta...Talaka? Thomas?" Akamtazama Thom
"Nijibu Thom goddammit!" Akamshika collar za shati lake, huku akilia....
"Ndio ni talaka zako! Unahitajika kusaini. Nataka tuachane" Thom akamwambia Anitha.
"Nini..? Kwanini Thom?" Taratibu akaanza kumuachia collar zake...
"Haitaweza kusaidia Annie, wewe hauoni?"
"Thom siamini kama ungekuja kufikiria suala la talaka na ukaenda mbali kiasi hiki...kwanini u mdhaifu hivyo!" Anitha akaanza kulia kwa hasira.
"Hapana! Wewe ndio dhaifu na muongo.." akamjibu.
"Fikiria kuhusu mimi hata mara moja. Mimi ni mwanaume. Wanangu ndio cha kujivunia! Na wewe ndio hivyo huwezi kunipa mtoto katika maisha yangu yote kwa sababu ya upumbavu wako ulioufanya ukiwa binti mdogo!"
"Vipi kuhusu mimi! Umeshafikiria hata mara moja na kujiuliza napitia kipindi gani navyoona wanawake wenzangu wakiwa na watoto wao?"
"Huo ni msalaba wako Anitha, kila mmoja atabeba msalaba wake" Thom akamjibu mkewe huku akimuangalia kwa hasira.
"Hapana, sio msalaba wangu ni wetu sote...na hizo talaka mimi sweki saini yangu! Tulishaweka agano kanisani kwamba hatutaachana!"
"Si vema ukasaini mwenyewe Anitha ili uepukane na kuumia zaidi kuliko nije nilete mwanamke mwingine ndani ya nyumba hii?" Thom akaongea kwa msisitizo.
Moyo wa Anitha ukamuuma mno. "Nini?"
"Umenisikia Anitha, mwanamke mwingine atakuja humu ambae ataweza kunizalia na kulea watoto wangu. Hivyo okoa nafsi yako na stress kwa kutia saini hizo talaka. Nazihitaji kesho" akageuka na kutaka kuondoka tena.
"Hataweza kukubebea mimba pia" Anitha akamjibu Thom.
"Sio wanawake wote wametoa mimba. Na sio kila mwanamke ni kama wewe." Thomas akageuka.
"Unamaanisha nini Anitha"
"Wewe ndio mwenye tatizo Thomas, huna uwezo wa kunipa mimba Thom.." Anitha akamwambia Thom huku akilia.
Thom akasimama, akageuka na kumsogelea Anitha. ."Kila unachopanga saa hizi hakitasaidia"
"Thom Nilikwambia siwezi kupata mtoto kwa sababu ni wewe ndio huna uwezo wa kunipa mtoto..."
"Shut up! Shut up Anitha! Unaongea nini hapa" akamshika mabega Huku akimtikisa.
"Una matatizo Thom...daktari amesema unatatizo la primary infertility....Hivyo sio rahisi kwako kumpa mimba mwanamke..." Anitha akamwambia Thom huku akilia mno....
Thomas akashtuka, na kupoteza balance...
"Mama alinipigia simu kunipa taarifa. Nilichanganyikiwa, nilihisi kama dunia ndio imeisha lakini zaidi nilifikiri kuhusu wewe Thom. Nikafikiri ni kwa kiasi gani taarifa zile zitakuumiza. Nikafikiri namna ya kukwambia....hata siku moja sikufikiria kuhusu kukuacha. Nilikubali unitukane, unidhalilishe kuhusiana na makosa yangu ya kutoa mimba ambayo baadae niliyajutia na kutubu kwa Mungu wangu. Ilikua rahisi sana kwako kinijaji mimi na kujifikiria wewe zaidi. Mimi ndiye naeumia. Mimi ndiye nilikuwa wa kukuletea karatasi za talaka...ila nilifikiri zaidi kuhusu wewe...niliamimi katika matumaini, imani na miujiza...niiafikiri kuhusu kiapo nikichoahidi mbele ya Mungu kwamba nitakuwa na wewe katika uzima na ugonjwa unakumbuka?"
Anitha akatabasamu huku akilia,..."Ila yote hayo Thom umekua mdhaifu kama mtoto mdogo...nikikuangalia machoni naona kukata tamaa...wewe n dhaifu mno Thom..."
"Anitha..." Thom akaanguka miguuni kwa Anitha.
"Hapana!" Nae akaanguka chini...
"Hapana Thom..." Hakutaka kushuhudia mumewe akilia
"Mimi....mi ni infertile...sina uwezo wa kuzalisha ooh...Thom akalia kwa uchungu mwingi..."nimebakiza nini sasa...me sio mwanaume.." akamtazama mke wake kwa macho ya kujutia...
"Thom pleaseeeee..." Anitha akanyanyua sura ya Thom ili amwangalie usoni,....
"Thom nafahamu...imekuwa ngumu mno kwangu...nikijaribu kuvaa viatu vyako kwanza tokea nimepata taarifa...sikutaka nikwambie moja kwa moja kuwa wewe ndio mwenye tatizo..."
"Anitha mrembo wangu...haustahili haya...unastahili zaidi....sitaki kuamini jinsi gani nilivyokutenda vibaya...aibu kubwa nimeibeba....please naomba nikuache...sifai kuwa mume wako..."
"Hapana Thom..." Akamshika kichwa chake tena....
"Wewe ni mume wangu Thom...siwezi nikakuacha. Sitaruhusu wewe uniache mimi. Bado ninaamini katika miujiza...Mungu yuko upande wetu...hatatuacha yatima.."
"Me ni mpumbavu Anitha...ni mpumbavu....ooh Thomas mimi.."
Akaacha mkewe amkumbatie kwenye kifua chake na akambembeleza kama mtoto mdogo...
ASUBUHI YAKE.
Anitha taratibu akafumbua macho yake, akatizama pembeni mwa kitanda...palikuwa tupu. Akainuka na kukaa...Thom hakuwepo...akaona kikaratasi juu ya mahali alipokua amelala Thom. Huku mikono ikimtetemeka, akafungua ike karatasi na kuanza kusoma...
"Anitha...
Siwezi kuibeba huu mzigo wa aibu. Nimeku-treat visivyo na bado umenonesha kunipenda, uko na mimi hata kwa hali ambayo nimekutwa nayo. Kipindi chote umejua kwamba tatzo ni langu lakini bado ukabeba mzigo wangu kama wako...hilo linanifanya nijione sina thamani tena mbele yako. Ninakupenda sana kiasi cha kukuacha ujenge maisha na mwanaume mwingine bila ya mimi.
Nimekukosea sana Anitha...nachoomba ni msamaha tu kutoka kwako. Siku zote nimekupenda na wewe kama unanipenda basi anza maisha yako upya bila ya mimi....samahani sana kwa kuku-disappoint.
Thomas.
Anitha akashindwa kuzuia machozi kumtoka. Akashindwa kufikiri vizuri tena. Akachukua simu yake huku mikono ikimtetemeka.
"Hello Mr. Thom's office tafadhali..."
"Hi sara...." Anitha huku akilia...
"Umemuona mume wangu Thom amefika ofisini?"
"Hapana mama, tunamngoja yeye mwenyewe hapa kazini...kuna kazi anatakiwa afanye presentation sio chini ya dakika tano kuanzia sasa lakini bado hajafika...."
"Oh Mungu wangu.." Anitha akashusha pumzi kwa nguvu.
"Mama kila kitu kipo sawa..?"
"Asante sara" Anitha akakata simu.
Haraka haraka akatoka kitandani na akiwa amevaa nguo ya kulalia akaenda haraka kwenye gari yake...akapiga namba ya mumewe huku akiwa anaendesha gari lakini hakuna jibu lolote alilopata...
SAA NANE MCHANA.
Anitha alikua amefika nyumbani kwa rafiki yake Thom aitwae Fred.
"Fred!" Anitha akabamiza mlango akionekana kuchanganyikiwa.....
"Mungu wangu....Anitha..nini tatzo?" Fred akawa akimshangaa....
"Ni.....ni Thomas..Fred...umemuona leo? Yuko hapa?"
"Hapana...sijamuona wiki sasa"
"Mungu wangu."..akashika nywele zake.....
"Kuna tatizo gani shemeji?"
Lakini tayari alikuwa ameshaondoka na kuelekea kwenye gari yake..
"Anitha...." Fred akamwita lakini tayari alikuwa ameshatokomea...
SAA KUMI NA NUSU JIONI.
"Mama, baba...simpati Thomas. Simpati mtoto wenu...." Anitha alikua amekaa mbele ya wazazi wa Thom huku akilia kwa uchungu
"Unatakiwa utulie na utuambie kinaga ubaga nini kimetokea" Mama yake Thom akaongea huku akimshika mikono Anitha.
Anitha ndio akazidi kulia zaidi, "tafadhali baba mpigie simu wewe, labda atapokea simu yako!!"
"Umeenda ofisini kwake?" Baba akauliza huku akichukua simu yake na kutafuta namba ya mtoto wake.....
"Nimeenda kila sehemu baba, sijampata..."
"Sawa mwanangu tulia basi, usile tutampata.." mama akawa akimbembeleza Anitha.
"Aisee huyu mtoto hapokei simu. Ni nini mmefanya nyie watoto?" Baba yake Thom akauliza huku akimtizama Anitha machoni.
SAA MOJA JIONI.
Anitha alikua bado amevaa nguo za kulalia na alikuwa barabarani akirudi nyumbani huku akiwa na mawazo mengi juu ya mume wake aliko...siku nzima amemtafuta bika mafanikio.
Alikuwa yupo kwenye foleni akisubiri taa za barabarani ziruhusu. Alikuwa ameshaawambia wazazi wa Thom kila kitu kuhusu wao.
Anitha akainamia usukani wa gari, akalia sana na hakugundua kuwa taa za kijani zilishawaka kuruhusu magari yaondoke.
"Oyaa acha uboya...ondoa gari yako, unatuwekesha huku nyuma..." Dereva wa gari ya nyuma akamkoromea.....
"Mungu naomba umuongoze mume wangu asijiumize wala jambo lolote baya lisimtokee....muweke salama na muongoze..."
Akakanyaga mafuta na kuondoka....
Ghafla akakumbuka kanisani alikofungia ndoa na walipokula kiapo cha ndoa. Kutoka hapo mpaka hilo kanisa liliko ilikua ni mwendo wa masaa mawili; akafanya maamuzi ya kwenda kanisani akiwa na matumaini ya kupata amani ya nafsi.
Akageuza gari na kuelekea kanisani......
Kiuvivu akashuka kwenye gari na kuelekea mlango wa kuingilia kanisani. Akapatwa na mshtuko kwa muda. Akasimama..alikuwa mumewe Thomas akiwa amepiga magoti madhabahuni kanisa zima akiwa peke yake.
"Thomas! Akaanza kukimbia kumfuata mumewe alipo, huku akiwa na furaha ya kumuona mumewe.
"Anitha?" Haraka haraka akasimama na kumfuata Anitha.."Anitha......"
Wote wakakutana na kukumbatiana kwa nguvu.
"Nimekutafuta siku nzima mume wangu....Ni mungu mwenyewe ndio amenifunulia kukuta hapa....ninafuraha sana kukuona mume wangu kipenzi...." Anitha akaongea huku akimshika uso mumewe.
"Sikujua niende wapi Anitha...ni kama siwezi kuutizama ulimwengu tena Annie...."
"Nishike mkono wangu Thomas"...Thom akasita...
"Nishike Thom pleaseeee"
Akamshika Thom mkono na akaongozana nae mpaka madhabahuni.
"Miaka mitano iliyopita Thomas, wote mimi na wewe tulisimama mbele ya madhabahu hii. Unakumbuka?
"Kumbuka ulininong'oneza kwenye sikio langu kwamba kamwe nisikuache...unakumbuka? Nilikujibu kwamba sitaweza kukuacha kamwe.....
.....Ndio maana niko hapa. Mimi ni mke wako Thom. Nilimaanisha kuwa na wewe daima katika raha, shida na matatizo till the death do us apart...kwanini nikuache? No way Thom.
....Ninachohitaji kutoka kwako ni imani tu kwamba unaweza kunipa mtoto, lisilowezekana mbele ya macho ya binadamu kwa Mungu linawezekana kabisa.
"Nataka uamini katika muujiza.." akamshika uso na kuendelea kumwambia...."unakumbuka ulivyoniambia mimi ni muujiza ktk maisha yako?...watoto wetu watakua ni muujiza pia katika maisha yetu....
"Muamini Mungu katika hili, usikate tamaa mapema, hivi karibuni watoto wataizunguka meza yetu kwa upendo na furaha....hivi karibuni mume wangu!
"Mungu wangu, Anitha...wewe ni mwanamke wa aina gani mama....." Thom akaongea huku chozi likimtoka...
"Ni mimi Anitha mkeo, yule ambae niliapa hapa mbele kwamba nitakuwa na wewe mpaka mwisho.
"God....i love you so much Anitha...." Akamkumbatia mkewe kwa nguvu.
"Kwaio sasa unarudi nyumbani na mimi au sio?"
Anitha akamtizama Thom machoni.....
"Ndio mke wangu, ni mwanaume gani atakayekataa kuongozana na mwanamke mwenye moyo wa almasi kama wako?"
Anitha akambusu mumewe kwenye paji la uso....
MIAKA MIWILI BAADAE...
Thomas na Anitha walikuwa kwenye sofa wakiangalia movie. Anitha alikuwa amelala kwenye kifua cha mumewe wakati alipohisi tumbo likicheza...
"Thom, Thom....kanacheza tena...usipitwe sasa ni muda wako wa kugusa umsikie...."
Taratibu akashika mkono wa Thom na kuuweka tumboni kwake...wote wakahisi kucheza cheza kwa mtoto wao tumboni.
"Ninahisi akizunguka....i can feel him" Thom akaweka sikio lake tumboni kwa mkewe....
"Yes Thom, Ninamuhisi akikua kila siku ndani ya tumbo langu....."
"Unafikiri huko kuzunguka kwake kunamaanisha nini?"
"Hapo ujue kanasema asante baba kwa kuniamini"
Wote wakacheka.....
Anitha akaegama tena kwenye kifua cha mumewe....
"Thom miezi mitatu ijayo utaitwa baba, sasa umepata muujiza wako..."
Thom akamuinua mkewe na kumshika uso wake huku akimuangalia machoni.....
"Anitha wewe ni muujiza niliokua nautaka siku zote....asante kwa kutoniacha nipotee.."
Anitha akagusisha pua yake na ya mumewe, "Nakupenda sana mume wangu...na siku zote itakua hivyo..."
"Angalia kule sasa Movie imetupita...."
"Achana na movie Mama kijacho, movie inaweza kusubiri lakini hili haliwezi kusubiri....."
Akambusu mkewe kwa huba zito....na taratibu wakapeana haki yao ya ndoa pale pale kwenye uwanja wa sofa......
M W I S H O. .
Share
UPENDO USIOSHINDWA! - WIFE'S UNFAILING LOVE..! MIAKA MITANO NYUMA. Mimi Anitha Daniel nakubali kukuchukua wewe Thomas Ben kama mume wangu halali wa ndoa, naahidi mbele ya mashahidi waliopo nitakupenda katika uzima na hali ya ugonjwa mpaka kifo kitakapotutenganisha" "Sasa unaweza kumbusu bibi harusi Mr. Thomas Ben" mchungaji akaongea. Mapigo ya moyo ya Thomas yakaenda mbio wakati akimfunua bibi harusi usoni. Anitha alionekana ni mrembo haswa. Akainamisha shingo na kumbusu kwenye lips za bibi harusi. Anitha nae akamkumbatia Thomas kwa nguvu huku machozi ya furaha yakimtiririka usoni mwake. "Kamwe usiniache Anitha" Thom akamnong'oneza Anitha kwenye sikio. "Sitakuacha mpenzi wangu Thom" Anitha nae akamnong'oneza Thom. Na taratibu wakaachiana baada ya kukumbatiana. "Ninyi mmekua mashahidi wa kiapo hiki ambacho vijana wetu wameweka mbele yenu, sasa natambulisha kwenu ndoa mpya ya Bwana na Bibi Thomas Ben". Mchungaji akaongea huku akiwa nyuma ya maharusi. Kanisa zima likalipuka kwa shangwe na vigeregere na Anitha akalia zaidi huku akiwa ameshikwa mkono na mume wake halali Thomas. MIAKA MITANO BAADAE. Anitha kimya kimya akanyata kufuata alipo mume wake Thomas. Thom alikuwa kwenye meza ya maktaba yake ndogo iliyopo pale nyumbani kwao akisoma kitabu kiitwacho "Tutarudi na roho zetu" kilichoandikwa na mwandishi nguli Ben R. Mtobwa. Anitha akatabasamu kimya kimya na akiwa nyuma yake akamfumba macho Thom kwa mikono miwili. "Ni mimi na wewe tu ndio tunaishi kwenye hii nyumba, Anitha nimeisikia harufu yako ulivyoingia tu huku." Anitha akaondoa mikono machoni mwa Thom, akahema kwa nguvu na akakaa juu ya ile meza ya kusomea. "Kwanini unanigundua mapema hivyo Thom lakini? Yaani siwezi hata kuku-suprise, mimi sipendiii". Anitha akaongea huku akiizungusha mikono yake kwenye kichwa cha Thom. "Ila umekua unasoma huku muda mrefu mno, umeniacha peke yangu mimi niko bored" Anitha akamwambia Thom huku akizungusha macho yake" "Ehee Annie kwaio unataka tufanye nini cha kufurahisha pamoja?" Thomas akaanza kumtekenya Anitha.. "No! Hapana Thom sio hivyo bhana" Annie akamwambia Thomas huku akicheka kweli. Thomas akakunja mikono yake kifuani, na akamtazama Anitha machoni huku aktabasamu. "Kwaio unataka tufanye nini?" "Sio tufanye nini, mimi nataka nicheze play station yako umeificha tena! Naomba nipe nicheze na wewe endelea kusoma kitabu chako pleaaaasee" Anitha akamwambia mumewe.. "Hapana Anitha" Akarudi kwenye kiti chake cha kusomea. "Hapana Anitha, siwezi kukupa play station yangu.." "Kwanini! Kila siku hutaki hata niiguse...ni kama mtoto wako" Anitha akaongea kwa kukata tamaa. "Yes, Thom akazungusha macho yake, Ndio kama mtoto wangu..maana wewe hujanipa mtoto mpaka leo hii mwaka wa tano wa ndoa..". Anitha akapigwa na mshangao kwa muda. Ni Thom ndiye aliyezungumza hayo? Maneno hayo yakamuumiza mno Anitha. "Usingeniambia hayo Thomas..." Anitha akaongea kwa masikitiko makubwa..... "Lakini ni kweli...mimi hapa naongea ukweli Anitha" akageuza uso wake huku akiwa bado amekaa kwenye kiti. "Ukweli? Unafikiri na mimi sipendi tuwe na watoto?" "Usinifikirie vibaya Anitha, mimi simaanishi hivyo..." Thomas akasimama na kumtizama Anitha. "Kwa hiyo unamaanisha nini Thom, niambie..unamaanisha nini?" "Basi yaishe Anitha, unaweza ukachukua play station na cheza utakavyo mwenyewe. Funguo zipo kwenye kabati la nguo" "Sitaki Thom.. kila siku unaniumiza na maneno yako ya kejeli" "Tafadhali Anitha usianze hayo please". "Niambie Thom kwanini umezungumza hayo maneno? Nataka kujua!" "Kwasababu nimechoka! Nataka kuwa baba! Nataka kuwa na watoto wangu Anitha..." "Kwaio unafikiria mimi sihitaji watoto Thom? Anitha akauliza huku machozi yakimlenga lenga! "Sasa kwanini haushiki mimba Anitha? Huu ni mwaka wa tano Annie bado tunajaribu tu." Akapiga meza na kuondoka kwenye chumba cha kusomea. Anitha akawa katika shock. Akakaa kwenye kiti kwa sekunde chache, akainuka na kukaa tena...muda huu akaanza kulia, machozi mengi yakimtiririka. WIKI MBILI BAADAE. "Thomas, amka please" Anitha akawa akimuamsha mumewe. Taratibu Thom akafungua macho yake na kutazama saa iliyokua pembeni mwa kitanda. "Saa hizi ni saa nane Anitha" "Ndio, ni muhimu Thom" "Nakusikiliza Annie" Thom akamjibu kivivu. "Mama amesema twende Mwanza kwa ajili ya vipimo. Amesema amezungumza na daktari wake na amemueleza kwamba twende.." "Nini?" Thom sasa akafungua macho yake, mama yako yuko Mwanza na sisi huku kazi tumwachie nani?" "Tufanye twende Thom. Tunaweza kwenda hata weekend." "No Annie. Hizo gharama saa hizi hapana na..." "Ni siku yangu ya kuzaliwa leo Thom na kitu pekee ninachohitaji kutoka kwako ni hii safari tu ya kwenda Mwanza" Thom akakaa kimya. Kwa miaka miwili sasa amekua akiisahau kabisa siku ya kuzaliwa ya mkewe. "Nisamehe Anitha...nilisahau tena birthday yako." "Nimeshakuzoea Thom" Anitha akamjibu huku akigeukia upande mwingine wa kitanda. Thom akazungusha mkono wake kwenye kiuno cha Anitha na akamwambia.."Nimekuomba msamaha Anitha" Anitha hakujibu lolote. Thomas akapumua kwa nguvu, "sawa basi tutaenda Mwanza weekend". "Kweli Thom?" Akageuka haraka. "Ndio, kama itakufanya uwe na furaha leo" "Asante sana baby" Anitha akamkumbatia Thom. WIKI MOJA BAADAE. Simu ya Anitha ikaita...akaichukua na kuangalia, mama yake ndio alikuwa anapiga. "Mama shikamoo" akaweka simu yake sikioni huku akiibana na bega na mikono ikiendelea kuosha vyombo. "Mwanangu...." "Kuna nini mama?" Akaiweka simu vizuri sikioni huku bega likiibana. "Matokeo ya vipimo vyenu mwanangu..." Mama akasikika akilia... Anitha akaangusha sahani aliyokua akiiosha kwa mshtuko. "Mama niambie...kuna tatizo gani juu ya vipimo vyetu tulivyoacha?," USIKU WAKE. "Sina uwezo wa kushika mimba Thom.." Anitha akamwambia Thom huku akilia. Thom akahisi ulimwengu wote ukimuangukia.."Nini??" "Mama amenipigia leo...amepewa majibu ya vipimo vyetu tulivyoenda kupima Mwanza" "Mungu wangu" Thom akasimama, akaweka mikono yake kichwani... "Ila uliniambia uko sawa kabla sijakuoa Anitha, uliniambia kwamba daktari alisema ulivyotoa mimba mfuko wako wa uzazi haukuharibika" "Thom usizungumzie yaliyopita hapa" Anitha akaongea kwa hasira na Thom akacheka kwa dharau na kuwa serious muda huo huo. "Wewe ni kichaa. Nilioa mwanamke kichaa!" Anitha akamtazama Thom kwa mshangao...ni kama amechanganyikiwa. "Vipimo vinasema hauwezi kupata ujauzito na wote hapa tunajua hili limesababishwa na ulivyotoa mimba hata kabla hatujaonana...umefurahi sasa? Unajua tumeumia ee..hakuna watoto? Tutauambia nini ulimwengu Anitha?" "Thomas tunaweza tuka-adopt mtoto"...Anitha akaongea huku akilia. "Kuasili mtoto? Wow," Thom akacheka tena, "Nimeoa mwanamke kituko pia..." Akawa serious tena, "hata tukiasili hatakua mtoto wetu wa damu" "Wewe ni muongo Anitha...umejawa na uongo najuta kukuoa Anitha" Anitha akashindwa kujizuia machozi yasimtoke. "Thomas stop...unaniumiza Thom..." Anitha akakaa chini na kuangua kilio. "Unataka kujua ninawaza nini saa hizi?" Thom akamuangalia Anitha kwa dharau. "Nafikiria itakuaje kwangu kuendelea kutazama sura yako ya uongo maisha yangu yote". Anitha akaangua kilio zaidi, "usikate tamaa Thomas...bado ninalo tumbo la uzazi...bado ninao uwezo wa kubeba mtoto..." "Anitha mimi sijakata tamaa kuwa na mtoto wangu ila nimekata tamaa kuwa na wewe" Thomas akageuka na kuondoka. "Thomas!" Akamshika miguu, naumia pia Thom" Akaondoa mikono ya Anitha miguuni mwake na akaondoka nyumbani bila kusema neno lingine lolote......Anitha akalia mno. MWEZI MMOJA BAADAE. "Mama, Thom hataki kuongea na mimi. Ghafla tumekuwa wageni ndani ya nyumba yetu. Hali chakula changu, anarudi kwa kuchelewa...ananichukia kweli na hii inaniumiza mama...ninazidi kuchanganyikiwa...naumia mama yangu..." "Utamficha mpaka lini Binti yangu? Nadhani imetosha tu...mwambie ukweli...muache ajue..hauwezi kubeba msalaba wake...." Kukawa na muungurumo wa gari na baadae honi ikapigwa... "Mama nitakupigia kesho, naona huyo anarudi...." "Sawa Mwanangu, sasa nakuomba umwambie ukweli. Inaweza ikasaidia kama wote wawili mkiwa na wazo moja..." "Bye mama" mama akakata simu. Thom akaingia ndani ya nyumba, akawa anataka kupitiliza bila hata ya kumsalimia Anitha. "Thomas" Anitha akamshika koti lake. "Nimechoka Anitha niache" Hakutaka kumuangalia mkewe usoni. "Najua....tunaweza ongea kwa dakika chache?" Akawa akimsaidia kuvua koti la suti. "Niache basi Anitha" Thom akagomba. "Unanichukia kiasi hiki Thom!!..kiasi hutaki hata kuniangalia usoni...kwamba hata kuongea mbele yangu hutaki...Thom mimi ni Anitha, rafiki yako na mke wako...". Macho ya Thom yakawa madogo kwa hasira.. "Siko katika mood kwa hayo maongezi saa hizi" Akageuka na kutaka kuondoka..... "Usiondoke wakati naongea na wewe Thom!" Akamvuta zaidi ili asiondoke. Hapo hapo makaratasi aliyokua amebeba Thom yakaanguka. Anitha akainama haraka kuyaokota...mikono yake ikaanza kutetemeka na mwili wake ukafa ganzi. "Ta...Talaka? Thomas?" Akamtazama Thom "Nijibu Thom goddammit!" Akamshika collar za shati lake, huku akilia.... "Ndio ni talaka zako! Unahitajika kusaini. Nataka tuachane" Thom akamwambia Anitha. "Nini..? Kwanini Thom?" Taratibu akaanza kumuachia collar zake... "Haitaweza kusaidia Annie, wewe hauoni?" "Thom siamini kama ungekuja kufikiria suala la talaka na ukaenda mbali kiasi hiki...kwanini u mdhaifu hivyo!" Anitha akaanza kulia kwa hasira. "Hapana! Wewe ndio dhaifu na muongo.." akamjibu. "Fikiria kuhusu mimi hata mara moja. Mimi ni mwanaume. Wanangu ndio cha kujivunia! Na wewe ndio hivyo huwezi kunipa mtoto katika maisha yangu yote kwa sababu ya upumbavu wako ulioufanya ukiwa binti mdogo!" "Vipi kuhusu mimi! Umeshafikiria hata mara moja na kujiuliza napitia kipindi gani navyoona wanawake wenzangu wakiwa na watoto wao?" "Huo ni msalaba wako Anitha, kila mmoja atabeba msalaba wake" Thom akamjibu mkewe huku akimuangalia kwa hasira. "Hapana, sio msalaba wangu ni wetu sote...na hizo talaka mimi sweki saini yangu! Tulishaweka agano kanisani kwamba hatutaachana!" "Si vema ukasaini mwenyewe Anitha ili uepukane na kuumia zaidi kuliko nije nilete mwanamke mwingine ndani ya nyumba hii?" Thom akaongea kwa msisitizo. Moyo wa Anitha ukamuuma mno. "Nini?" "Umenisikia Anitha, mwanamke mwingine atakuja humu ambae ataweza kunizalia na kulea watoto wangu. Hivyo okoa nafsi yako na stress kwa kutia saini hizo talaka. Nazihitaji kesho" akageuka na kutaka kuondoka tena. "Hataweza kukubebea mimba pia" Anitha akamjibu Thom. "Sio wanawake wote wametoa mimba. Na sio kila mwanamke ni kama wewe." Thomas akageuka. "Unamaanisha nini Anitha" "Wewe ndio mwenye tatizo Thomas, huna uwezo wa kunipa mimba Thom.." Anitha akamwambia Thom huku akilia. Thom akasimama, akageuka na kumsogelea Anitha. ."Kila unachopanga saa hizi hakitasaidia" "Thom Nilikwambia siwezi kupata mtoto kwa sababu ni wewe ndio huna uwezo wa kunipa mtoto..." "Shut up! Shut up Anitha! Unaongea nini hapa" akamshika mabega Huku akimtikisa. "Una matatizo Thom...daktari amesema unatatizo la primary infertility....Hivyo sio rahisi kwako kumpa mimba mwanamke..." Anitha akamwambia Thom huku akilia mno.... Thomas akashtuka, na kupoteza balance... "Mama alinipigia simu kunipa taarifa. Nilichanganyikiwa, nilihisi kama dunia ndio imeisha lakini zaidi nilifikiri kuhusu wewe Thom. Nikafikiri ni kwa kiasi gani taarifa zile zitakuumiza. Nikafikiri namna ya kukwambia....hata siku moja sikufikiria kuhusu kukuacha. Nilikubali unitukane, unidhalilishe kuhusiana na makosa yangu ya kutoa mimba ambayo baadae niliyajutia na kutubu kwa Mungu wangu. Ilikua rahisi sana kwako kinijaji mimi na kujifikiria wewe zaidi. Mimi ndiye naeumia. Mimi ndiye nilikuwa wa kukuletea karatasi za talaka...ila nilifikiri zaidi kuhusu wewe...niliamimi katika matumaini, imani na miujiza...niiafikiri kuhusu kiapo nikichoahidi mbele ya Mungu kwamba nitakuwa na wewe katika uzima na ugonjwa unakumbuka?" Anitha akatabasamu huku akilia,..."Ila yote hayo Thom umekua mdhaifu kama mtoto mdogo...nikikuangalia machoni naona kukata tamaa...wewe n dhaifu mno Thom..." "Anitha..." Thom akaanguka miguuni kwa Anitha. "Hapana!" Nae akaanguka chini... "Hapana Thom..." Hakutaka kushuhudia mumewe akilia "Mimi....mi ni infertile...sina uwezo wa kuzalisha ooh...Thom akalia kwa uchungu mwingi..."nimebakiza nini sasa...me sio mwanaume.." akamtazama mke wake kwa macho ya kujutia... "Thom pleaseeeee..." Anitha akanyanyua sura ya Thom ili amwangalie usoni,.... "Thom nafahamu...imekuwa ngumu mno kwangu...nikijaribu kuvaa viatu vyako kwanza tokea nimepata taarifa...sikutaka nikwambie moja kwa moja kuwa wewe ndio mwenye tatizo..." "Anitha mrembo wangu...haustahili haya...unastahili zaidi....sitaki kuamini jinsi gani nilivyokutenda vibaya...aibu kubwa nimeibeba....please naomba nikuache...sifai kuwa mume wako..." "Hapana Thom..." Akamshika kichwa chake tena.... "Wewe ni mume wangu Thom...siwezi nikakuacha. Sitaruhusu wewe uniache mimi. Bado ninaamini katika miujiza...Mungu yuko upande wetu...hatatuacha yatima.." "Me ni mpumbavu Anitha...ni mpumbavu....ooh Thomas mimi.." Akaacha mkewe amkumbatie kwenye kifua chake na akambembeleza kama mtoto mdogo... ASUBUHI YAKE. Anitha taratibu akafumbua macho yake, akatizama pembeni mwa kitanda...palikuwa tupu. Akainuka na kukaa...Thom hakuwepo...akaona kikaratasi juu ya mahali alipokua amelala Thom. Huku mikono ikimtetemeka, akafungua ike karatasi na kuanza kusoma... "Anitha... Siwezi kuibeba huu mzigo wa aibu. Nimeku-treat visivyo na bado umenonesha kunipenda, uko na mimi hata kwa hali ambayo nimekutwa nayo. Kipindi chote umejua kwamba tatzo ni langu lakini bado ukabeba mzigo wangu kama wako...hilo linanifanya nijione sina thamani tena mbele yako. Ninakupenda sana kiasi cha kukuacha ujenge maisha na mwanaume mwingine bila ya mimi. Nimekukosea sana Anitha...nachoomba ni msamaha tu kutoka kwako. Siku zote nimekupenda na wewe kama unanipenda basi anza maisha yako upya bila ya mimi....samahani sana kwa kuku-disappoint. Thomas. Anitha akashindwa kuzuia machozi kumtoka. Akashindwa kufikiri vizuri tena. Akachukua simu yake huku mikono ikimtetemeka. "Hello Mr. Thom's office tafadhali..." "Hi sara...." Anitha huku akilia... "Umemuona mume wangu Thom amefika ofisini?" "Hapana mama, tunamngoja yeye mwenyewe hapa kazini...kuna kazi anatakiwa afanye presentation sio chini ya dakika tano kuanzia sasa lakini bado hajafika...." "Oh Mungu wangu.." Anitha akashusha pumzi kwa nguvu. "Mama kila kitu kipo sawa..?" "Asante sara" Anitha akakata simu. Haraka haraka akatoka kitandani na akiwa amevaa nguo ya kulalia akaenda haraka kwenye gari yake...akapiga namba ya mumewe huku akiwa anaendesha gari lakini hakuna jibu lolote alilopata... SAA NANE MCHANA. Anitha alikua amefika nyumbani kwa rafiki yake Thom aitwae Fred. "Fred!" Anitha akabamiza mlango akionekana kuchanganyikiwa..... "Mungu wangu....Anitha..nini tatzo?" Fred akawa akimshangaa.... "Ni.....ni Thomas..Fred...umemuona leo? Yuko hapa?" "Hapana...sijamuona wiki sasa" "Mungu wangu."..akashika nywele zake..... "Kuna tatizo gani shemeji?" Lakini tayari alikuwa ameshaondoka na kuelekea kwenye gari yake.. "Anitha...." Fred akamwita lakini tayari alikuwa ameshatokomea... SAA KUMI NA NUSU JIONI. "Mama, baba...simpati Thomas. Simpati mtoto wenu...." Anitha alikua amekaa mbele ya wazazi wa Thom huku akilia kwa uchungu "Unatakiwa utulie na utuambie kinaga ubaga nini kimetokea" Mama yake Thom akaongea huku akimshika mikono Anitha. Anitha ndio akazidi kulia zaidi, "tafadhali baba mpigie simu wewe, labda atapokea simu yako!!" "Umeenda ofisini kwake?" Baba akauliza huku akichukua simu yake na kutafuta namba ya mtoto wake..... "Nimeenda kila sehemu baba, sijampata..." "Sawa mwanangu tulia basi, usile tutampata.." mama akawa akimbembeleza Anitha. "Aisee huyu mtoto hapokei simu. Ni nini mmefanya nyie watoto?" Baba yake Thom akauliza huku akimtizama Anitha machoni. SAA MOJA JIONI. Anitha alikua bado amevaa nguo za kulalia na alikuwa barabarani akirudi nyumbani huku akiwa na mawazo mengi juu ya mume wake aliko...siku nzima amemtafuta bika mafanikio. Alikuwa yupo kwenye foleni akisubiri taa za barabarani ziruhusu. Alikuwa ameshaawambia wazazi wa Thom kila kitu kuhusu wao. Anitha akainamia usukani wa gari, akalia sana na hakugundua kuwa taa za kijani zilishawaka kuruhusu magari yaondoke. "Oyaa acha uboya...ondoa gari yako, unatuwekesha huku nyuma..." Dereva wa gari ya nyuma akamkoromea..... "Mungu naomba umuongoze mume wangu asijiumize wala jambo lolote baya lisimtokee....muweke salama na muongoze..." Akakanyaga mafuta na kuondoka.... Ghafla akakumbuka kanisani alikofungia ndoa na walipokula kiapo cha ndoa. Kutoka hapo mpaka hilo kanisa liliko ilikua ni mwendo wa masaa mawili; akafanya maamuzi ya kwenda kanisani akiwa na matumaini ya kupata amani ya nafsi. Akageuza gari na kuelekea kanisani...... Kiuvivu akashuka kwenye gari na kuelekea mlango wa kuingilia kanisani. Akapatwa na mshtuko kwa muda. Akasimama..alikuwa mumewe Thomas akiwa amepiga magoti madhabahuni kanisa zima akiwa peke yake. "Thomas! Akaanza kukimbia kumfuata mumewe alipo, huku akiwa na furaha ya kumuona mumewe. "Anitha?" Haraka haraka akasimama na kumfuata Anitha.."Anitha......" Wote wakakutana na kukumbatiana kwa nguvu. "Nimekutafuta siku nzima mume wangu....Ni mungu mwenyewe ndio amenifunulia kukuta hapa....ninafuraha sana kukuona mume wangu kipenzi...." Anitha akaongea huku akimshika uso mumewe. "Sikujua niende wapi Anitha...ni kama siwezi kuutizama ulimwengu tena Annie...." "Nishike mkono wangu Thomas"...Thom akasita... "Nishike Thom pleaseeee" Akamshika Thom mkono na akaongozana nae mpaka madhabahuni. "Miaka mitano iliyopita Thomas, wote mimi na wewe tulisimama mbele ya madhabahu hii. Unakumbuka? "Kumbuka ulininong'oneza kwenye sikio langu kwamba kamwe nisikuache...unakumbuka? Nilikujibu kwamba sitaweza kukuacha kamwe..... .....Ndio maana niko hapa. Mimi ni mke wako Thom. Nilimaanisha kuwa na wewe daima katika raha, shida na matatizo till the death do us apart...kwanini nikuache? No way Thom. ....Ninachohitaji kutoka kwako ni imani tu kwamba unaweza kunipa mtoto, lisilowezekana mbele ya macho ya binadamu kwa Mungu linawezekana kabisa. "Nataka uamini katika muujiza.." akamshika uso na kuendelea kumwambia...."unakumbuka ulivyoniambia mimi ni muujiza ktk maisha yako?...watoto wetu watakua ni muujiza pia katika maisha yetu.... "Muamini Mungu katika hili, usikate tamaa mapema, hivi karibuni watoto wataizunguka meza yetu kwa upendo na furaha....hivi karibuni mume wangu! "Mungu wangu, Anitha...wewe ni mwanamke wa aina gani mama....." Thom akaongea huku chozi likimtoka... "Ni mimi Anitha mkeo, yule ambae niliapa hapa mbele kwamba nitakuwa na wewe mpaka mwisho. "God....i love you so much Anitha...." Akamkumbatia mkewe kwa nguvu. "Kwaio sasa unarudi nyumbani na mimi au sio?" Anitha akamtizama Thom machoni..... "Ndio mke wangu, ni mwanaume gani atakayekataa kuongozana na mwanamke mwenye moyo wa almasi kama wako?" Anitha akambusu mumewe kwenye paji la uso.... MIAKA MIWILI BAADAE... Thomas na Anitha walikuwa kwenye sofa wakiangalia movie. Anitha alikuwa amelala kwenye kifua cha mumewe wakati alipohisi tumbo likicheza... "Thom, Thom....kanacheza tena...usipitwe sasa ni muda wako wa kugusa umsikie...." Taratibu akashika mkono wa Thom na kuuweka tumboni kwake...wote wakahisi kucheza cheza kwa mtoto wao tumboni. "Ninahisi akizunguka....i can feel him" Thom akaweka sikio lake tumboni kwa mkewe.... "Yes Thom, Ninamuhisi akikua kila siku ndani ya tumbo langu....." "Unafikiri huko kuzunguka kwake kunamaanisha nini?" "Hapo ujue kanasema asante baba kwa kuniamini" Wote wakacheka..... Anitha akaegama tena kwenye kifua cha mumewe.... "Thom miezi mitatu ijayo utaitwa baba, sasa umepata muujiza wako..." Thom akamuinua mkewe na kumshika uso wake huku akimuangalia machoni..... "Anitha wewe ni muujiza niliokua nautaka siku zote....asante kwa kutoniacha nipotee.." Anitha akagusisha pua yake na ya mumewe, "Nakupenda sana mume wangu...na siku zote itakua hivyo..." "Angalia kule sasa Movie imetupita...." "Achana na movie Mama kijacho, movie inaweza kusubiri lakini hili haliwezi kusubiri....." Akambusu mkewe kwa huba zito....na taratibu wakapeana haki yao ya ndoa pale pale kwenye uwanja wa sofa...... M W I S H O. . Share
Artikel Terkait
Special kwa Wanawake: Dalili za mwanaume anayekupenda kwa Dhati ANAVYOKUTAZAMA Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50. Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda. MIPANGO Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango yake hasa ya muda mrefu. Mfano akitaka kununua kiwanja, kujenga nyumba atakuambia na pengine kutaka mchango wako wa hali na mali katika kulifanikisha hilo. Ukiona mwanaume anakuficha mambo yake, tambua kuwa huyo ana walakini kwenye penzi la dhati na la muda mrefu. ATAONESHA HUZUNI Katika maisha ya mapenzi kuna wakati wa kuhuzunika. Mwanaume mwenye upendo wa dhati atashirikiana nawe wakati wa huzuni na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa unapata furaha. ATAKUAMINI Dalili nyingine ya kupendwa na mwanaume ni kuaminiwa kwenye maisha kwa ujumla. Yaani mwanaume anayekupenda hatakuficha kitu, mfano pesa zake, atakupa uhuru kwenye simu yake na kukuamini katika usimamizi wa miradi yake. ATAKUPA NAFASI Ninapozungumzia nafasi nina maana atakukaribisha kwake bila hofu na kukupa nafasi ya kuingia na kutoka bila mipaka, atakupa nafasi ya kuweka vitu vyako kwenye kabati na kuruhusu nguo, picha na vitu vyako kuonekana wakati wote chumbani kwake. UTAKUWA MWANAFAMILIA Mwanaume aliyefikia chaguo la mwisho kwa mwanamke humshirikisha mpenzi wake kwenye masuala yake ya kifamilia, mfano atamwalika kwenye vikao vya harusi, kipaimara, atatoa nafasi ya kuambatana naye kuona wagonjwa, kusalimia ndugu na atakuwa huru kukutambulisha kwao. ATAZUNGUMZA NAWE KUHUSU WATOTO Kwa kuwa wanaume wengi hufikiria kuwa na familia, mwanaume anayekupenda atazungumza nawe mipango ya kupata watoto kwa kuwa atakuwa amekuchagua wewe kuwa mama wa wanaye na atapenda mazungumzo hayo. ATAKUSAIDIA Kwa kuwa kukwama ni sehemu ya maisha yetu, mwanaume anayekupenda atakuwa tayari kukusaidia unapokwama. Kila mara atahakikisha kuwa unakuwa na mafanikio na yeye atakuwa tayari kukupunguzia usumbufu wa maisha, kwa kukufuata kazini, kukusaidia baadhi ya mambo na hata ya nyumbani. ATAJITOLEA Ninaposema kujitolea ninamaanisha atakuwa tayari kufanya mambo yako na kuyaweka yake nyuma. Kwa mfano akiwa anapenda mpira na siku hiyo kuna mechi, lakini muda huo ukamwambia akufuate kwa mjomba wako atakuwa tayari kuacha furaha yake na kukujali wewe. Huyu ni mwanaume anayekupenda kwa dhati. ATAAMBATANA NAWE Wapenzi wengi wasiokuwa na mapenzi ya dhati huona aibu kuambatana na wapenzi wao kwenye mikusanyiko ya watu, lakini mwanaume anayekupenda atafurahia kutoka moyoni kuongozana nawe kwenye halaiki ya watu na kufurahia uwepo wako bila kuona aibu. KAMA UMEIPENDA MADA NA KUKUSAIDIA, TUPIA BASI LIKE NIKUPAKULIE NYINGINE!!!! ... Read More
Tatizo la Ugumba kwa wanawake  Ugumba ni hali ya mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Linaweza kuwa tatizo pia kwa mwanaume lakini katika makala hii tutaona nini kinasababisha tatizo hili kwa upande wa wanawake. Nini husababisha ugumba kwa wanawake? Mayai kutokomaa ipasavyo: Tatizo la mayai kutokukomaa vema ndilo chanzo na sababu kuu ya wanawake wengi kushindwa kushika ujauzito na hii inachukua karibu asilimia 30 ya wanawake wote wagumba. Habari njema ni kuwa tatizo hili linaweza kurekebishwa kirahisi ikiwa mwili utapewa vile viinilishe mhimu vinavyokosekana hadi kupelekea mayai kutokomaa vizuri. Vinavyosababisha mayai ya mwanamke kutokomaa vema: (1) Matatizo ya kihomoni Matatizo katika homoni ndicho chanzo kikuu cha mayai kutunga bila kukomaa vizuri. Hatua za ukomaaji wa mayai zinategemea uwiano mzuri wa homoni na namna zinavyotegemeana katika kufanya kazi. Jambo lolote linalovuruga homoni kubaki katika uwiano wake sawa na wa kutegemeana na wenye kufanya kazi ipasavyo linaweza kupelekea utungaji wa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Kuna sababu kuu mbili zinazosababisha matatizo katika homoni: Ufanyaji kazi usioridhisha wa hypothalamus Hypothalamus ni sehemu ya mbele ya ubongo ambayo ina jukumu la kutuma ishara (signals) kwenda katika tezi ya pituitari ambayo yenyewe tena hutuma uchochezi wa kihomoni kwenda kwenye ovari katika mfumo wa F.S.H na L.H ili kuanzisha ukomaaji wa mayai. Ikiwa hypothalamus inashindwa kufanya kazi zake vizuri kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa ndiyo kutakuwa ni matokeo yake. Tatizo hili linachukuwa asilimia 20 katika kesi za mayai kushindwa kukomaa kiasi kinachohitajika. Ufanyaji kazi usioridhisha wa tezi ya pituitari Kazi kubwa ya tezi ya pituitari ni kuzarisha na kutoa homoni mbili maalumu kwa ajili ya mfumo wa uzarishaji kufanya kazi zake vizuri ambazo zinajulikana kitaalamu kama ‘Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ na ‘Luteinizing hormone (L.H)’. Mayai yatashindwa kukomaa vizuri ikiwa ama L.H au F.S.H zinatengenezwa chache sana au nyingi sana kuliko inavyohitajika. Hili linaweza kutokea kama sababu ya ajari, uvimbe au kama usawa usio sawa wa kikemikali katika pituitari. (2) Kovu katika Ovari Uharibifu au ajari katika ovari unaweza kupelekea kuzalishwa kwa mayai ambayo hayajakomaa. Kwa mfano, upasuaji mkubwa, uvamizi au upasuaji wa mara nyingi wa uvimbe katika ovari unaweza kusababisha kapsuli ya ovari kupata majeraha au makovu na hivyo kwa namna moja ama nyingine kuweza kuzuia utungwaji wa mayai ambayo hayajakomaa vema. Pia maambukizi katika njia ya uzazi yanaweza kupelekea tatizo hili. (3) Dalili za mwanzo za kukaribia kufunga kuzaa (Menopause) Hii huchangia kwa asilimia chache na kwa sasa halielezeki kisawasawa. Kwamba wanawake wengi wanapokaribia umri wa kuacha kuzaa kuanzia miaka 40 kwenda juu baadhi yao hutokewa na tatizo la kutunga mayai ambayo hayajakomaa vema. Baadhi ya wanawake wanaacha kupata siku zao mapema kabla ya umri uliozoeleka yaani miaka 40 kwenda juu. Kwa sababu hiyo inadhaniwa kwamba uwezo wao wa asili katika kuzalisha mayai unakuwa umepunguwa na wengi wao huwa ni wale walikuwa wakijihusisha zaidi na michezo ya kukimbia au wale wenye historia ya muda mrefu ya kuwa na uzito pungufu na wafanyaji sana wa mazoezi. Tatizo hili pia linaweza kuwa ni la kurithi. (4) Matatizo kwenye kijishimo yai (follicle) katika ovari: Ingawa kwa sasa bado hili nalo halielezeki, hiki kijishimo yai kwa kitaalamu kinajulikana kama ‘’follicle’’ ndicho hupasuka na yai kutoka. Kuna baadhi ya kina mama wanapata dalili za kijishimo yai kutokupasuka “unruptured follicle syndrome” na matokeo yake kila mwezi mama anazalisha yai kama kawaida lakini hiki kijishimo yai kinashindwa kupasuka. Hivyo yai linabaki ndani ya ovari na utungaji wa mimba unashindwa kufanyika. Kinachosababisha ufanyaji kazi dhaifu wa mirija ya uzazi (Fallopian Tubes): Magonjwa katika mirija ya uzazi yanahusika na ugumba kwa karibu ya asilimia 25 ya wanawake wote wagumba. Hali yenyewe inatofautiana toka kwa mmoja hadi kwa mwingine kutoka kugandana au kunatana kidogo hadi kuzibika kabisa kwa mirija. Matibabu ya mirija iliyozibika huhusisha upasuaji au usafishaji wa mwili kwa kula vyakula na vinywaji maalum kwa muda wa majuma kadhaa. Sababu kubwa zinazopelekea kuzibika au kunatana kwa mirija ya uzazi ni pamoja na zifuatazo: (A) Maaambukizi Maambukizi katika njia ya uzazi ambayo yamesababishwa ama na bakteria au virusi na ambayo kwa kawaida ni magonjwa ya kuambukizana kwa njia ya tendo la ndoa, maambukizi haya kwa kawaida husababisha muwasho au kuungua na kupelekea makovu na uharibifu. Magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na mengineyo yanaweza kuwa chanzo cha ugumba kwa wanawake wengi hasa ikiwa hayatatibiwa mapema. (B) Magonjwa yasiyo ya kawaida Magonjwa yasiyo ya kawaida ni pamoja na ugonjwa wa kidole tumbo (appendicitis) na uvimbe katika utumbo mpana (colitis), magonjwa ambayo husababisha muwasho au kuungua chini ya uvungu wa utumbo mkubwa na kuiathiri mirija ya falopiani na kama matokeo yake makovu na kuzibika kwa mirija ya uzazi hutokea. (C) Upasuaji uliopita Upasuaji una chukua nafasi kubwa katika kusababisha ugumba kutokana na matokeo yake ya kusababisha magonjwa ya mirija ya uzazi na uharibifu utokanao na huo upasuaji. Upasuaji katika utumbo mkubwa unaweza kupelekea kunatana au kugandana kwa mirija ya uzazi kutakakopelekea mayai kushindwa kusafiri kirahisi katika mirija hiyo ya uzazi. (D) Mimba kutungwa nje ya mji wa uzazi: Hii ni wakati mimba inapotungwa katikati ya mirija ya uzazi yenyewe. Katika hali kama hii hata kama kutatokea bahati kiasi gani bado kunaweza kusababisha uharibifu katika mirija na hali hii ni moja ya hali mbaya sana kiafya na kimaisha. (E) Hali ya kurithi Kwa nadra au kwa asilimia fulani ndogo baadhi ya wanawake huzaliwa na hali ya kuwa na mirija isiyo ya kawaida kwa uzazi na kwa kawaida hali hii huambatana na mji wa uzazi usio wa kawaida pia. . (5) Sababu za kitabia: Inajulikana wazi kwamba baadhi ya tabia na namna tunavyoishi kunaweza kupelekea wanandoa wakashindwa kupata mtoto. Kwa bahati nzuri nyingi kama si zote ya hizo tabia zinaweza kurekebishika au kuachwa kabisa na kupelekea siyo tu kuwa na uwezo wa kuzaa bali pia kuwa na afya nzuri kwa ujumla. Sababu hizo za kitabia ni pamoja na zifuatazo: Lishe na mazoezi Ili mfumo wa uzazi uwe na uwezo mzuri unahitaji vitu viwili mhimu, lishe kamili na mazoezi. Wanawake wenye uzito uliozidi sana au wenye uzito pungufu sana wanaweza wakapatwa na tatizo la kutopata ujauzito kirahisi. Uvutaji sigara Uvutaji wa sigara una mchango mkubwa na ugumba. Uvutaji sigara husababisha uzarishwaji wa mbegu chache kwa mwanaume (lower sperm count) kwamba mwanaume anatoa mbegu chache sana ama pungufu wakati huo huo uvutaji sigara huchangia katika tatizo la kutoka kwa mimba, kuzaa kabla ya miezi 9 (njiti), na kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo kwa wanawake. Unywaji pombe Unywaji pombe kupita kiasi una mchango mkubwa sana katika ugumba na hii hata ikitokea mama akapata ujauzito kama bado anaendelea kunywa pombe inaweza kupelekea matatizo hata kwa mtoto mtarajiwa. Unywaji pombe pia huchangia uzarishwaji wa mbegu chache kwa wanaume. Madawa ya kulevya Utumiaji a madawa ya kulevya kama bangi na mengine ya kujidunga kwa sindano kunaweza kuwa sababu ya kuzalisha mbegu chache kwa wanaume. Utumiaji wa dawa za kulevya kama ‘Cocaine’ kwa mama mjamzito kunaweza kusababisha mtindio wa ubongo na matatizo katika figo kwa mtoto mtarajiwa. Matumizi ya madawa ya kulevya inafaa yaepukwe wakati wa kutafuta ujauzito na wakati wa ujauzito. Utowaji mimba Utowaji mimba wa mara kwa mara pia unahusika sana na tatizo la ugumba kwa karibu ya asilimia 20. Utowaji mimba unaweza kusababisha makovu katika mji wa uzazi na hata kuharibika kabisa kwa mji wa uzazi ikiwa utowaji huo haukufanyika kitaalamu au unafanyika mara kwa mara. (6) Sababu za ugumba za kimazingira: Uwezo wa kushika ujauzito unaweza pia kuathiriwa kutokana na kuwa karibu na baadhi ya kemikali au sumu katika maeneo ya kazi au makazi. Vitu viwezavyo kusababisha mabadiliko, dosari za kuzaliwa, utokaji mimba, au utasa huitwa ‘Sumu kwa mfumo wa uzazi’. Kamikali zifuatazo zinahusishwa na ugumba au utasa: Risasi (Lead) Kuwa karibu na kemikali au sumu zinazounda risasi kunaweza kuwa sababu ya ugumba. Risasi hupelekea kuzalishwa kwa mbegu zisizo za kawaida kwa wanaume zijulikanazo kwa kitaalamu kama ‘teratospermias’ na inafikirika pia kuhusika na utokaji mimba kusiko kwa asili (artificial abortion). Baadhi ya matibabu na madawa ya hospitalini Kuwekwa kwenye matibabu yanayohusisha mionzi (x-rays), mionzi ya kawaida au hata ile ya kutibia kansa (chemotherapy), kunaweza kusababisha matatizo katika uzarishwaji wa mbegu kwa mwanaume na wakati huo huo kuchangia kwa sababu kadhaa zinazopelekea kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Pia matumizi ya dawa za kuzuia ujauzito kwa muda mrefu yamekuwa yakihusishwa na ugumba kwa miaka ya hivi karibuni ingawa bado kuna mjadala mkubwa katika hili. Ethylene Oxide Hii ni kemikali inayotumika kusafishia vifaa vya upasuaji, pia hutumika katika kutengeneza baadhi ya sumu za kuua wadudu. Ethylene oxide inaweza kupelekea matatizo katika uzazi hasa katika miezi ya mwanzo mwanzo ya ujauzito na inahusishwa sana na tatizo la utokaji mimba katika miezi ya mwanzo ya ujauzito (early miscarriage). Dibromochloropropane (DBCP) Hii pia ni kemikali au dawa inayotumika katika kuua wadudu, ikiwa unafanya nayo kazi kila mara inaweza kusababisha kutungwa kwa mayai yasiyokomaa vizuri, kuelekea mapema kwa ukomo wa kutokuzaa kabla hata ya miaka 40 au 45 (early menopause) na kadharika. (7) Sababu zingine zinazoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke: Karibu asilimia 10 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya mji wa uzazi usio wa kawaida (abnormal uterus). Hali zingine ni pamoja na uvimbe katika kizazi, kugandana au kunatana kwa mji wa uzazi na mirija ya uzazi. Karibu asilimia 3 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya matatizo ya ute usio wa kawaida katika mlango wa kizazi (femaleís cervical mucus). Ute ute huu unahitaji kuwa na hali fulani maalumu kwa mbegu za kiume kuweza kuogelea kirahisi katikati yake. Chanzo kikubwa cha tatizo hili ni usawa usio sawa wa homoni za kike ambapo homoni ya uzazi ya kike iitwayo ‘estrogen’ yaweza kuwa ni chache sana au homoni nyingine iitwayo ‘progesterone’ yaweza kuwa ni nyingi sana tofauti na inavyohitajika. Vitu vya kuepuka kwa mtu mwenye tatizo la ugumba: ChipsiVinywaji baridiKaffeinaNyama nyekunduVilevi ... Read More
Kanuni Kumi '10' Muhimu za Kuwa Mke Mwema Katika Ndoa....Ikizishindwa Imekula Kwako  UHALISI WA MAISHA: Maisha halisi ya mwanamke anayetarajia kuwa mke/ mke tayari hii ni kumaanisha kuwa wanawake mashujaa tunapaswa kuishi maisha ambayo yanatutambulisha kama mfano wa kuigwa ili tunapozungumza na kufundisha mabadiliko tuwe tunazungumza uhalisia wa maisha yetu ambao unajengwa na haya yafuatayo; UVUMILIVU: Kuwa mvumilivu katika maisha yake ya kila siku hasa ukizingatia kuwa tunakutana na mambo mbali mbali yasiyotuvutia katika mahusiano yetu, mengine ni magumu na yanayokwenda kinyume kabisa na matakwa yetu au mazoea yetu ya binafsi. Ifahamike kwamba wewe kama mwanamke shujaa inapotokea umekutana na mambo kama haya hupaswi kuonyesha hasira zako wazi wazi kama vile; chuki, kulaumu, ugomvi, vurugu, malalamiko, manung’uniko, machafuko, kulipa kisasi au aina yoyote ya uharibifu kutokea kwako au ndani mwako. Hivyo mwanamke shujaa huwa ni heri kila anapokuwa kwani hutunza amani ya eneo alipo. UPENDO WA DHATI: Maisha ya upendo wa halisi na sio wa kinafki kwa jamii inayomzunguka. Tabia ya upendo wa halisi ina thamani kubwa sana kuliko mali nyingi, pesa, elimu ya juu n.k. wewe unaweza kabisa kuwa na elimu ya juu sana na pesa nyingi sana lakini pasipo upendo wa halisi ni sawa na kusema kopo zuri kwa nje na ndani hamna kitu. Nguzo kuu ya maisha ya mwanamke shujaa ni Upendo wa dhati na uhalisia. UTII KWA KWA JAMII: Maisha halisi ya utii katika jamii inayokuzunguka ili kuweza kuyafanyia kazi yale yote uliyojifunza na pia kuyatenda kwa ufasaha pasipo kupita kona yoyote. Utii kwa jamii ni ufunguo mmoja wapo utakaokusaidia kufanikisha mambo yako na malengo yako kama mwanamke shujaa. UAMINIFU KATIKA JAMII: Kuishi maisha ya uaminifu wa kweli na uhalisia katika jamii inayomzunguka. Uaminifu wa kweli huonekana nyakati zote na siyo tu wakati mtu anapokuwa mbele za watu wanaomjua bali hata wale wasiomjua na hata anapokuwa mahali peke yake aweze kutunza uaminifu wake kwa faida ya jamii nzima. Mwanamke shujaa hujitahidi sana kutunza uaminifu wake katika sekta zote. UNYENYEKEVU WA KWELI: Kuishi maisha halisi kabisa ya unyenyekevu kwa jamii inayomzunguka, unyenyekevu ni kinyume kabisa na kiburi, majivuno, kujigamba, kujikweza, kujiinua, kujiona,na hata kjitanguliza mbele kwa kila jambo. Mwanamke shujaa huwa ni mnyenyekevu wakati wote na hana makuu daima. UWAJIBIKAJI WA DHATI: Maisha halisi ya uwajibikaji akiangalia majukumu yake yote yanayomkabili na kuhakikisha anafanya kwa moyo bila kuwa na tabia ya kusaidiwa majukumu yake. Mwanamke shujaa ni mfano wa kuigwa kutokana na uwajibikaji wake. USHIRIKIANO WA DHATI: Ushirikiano katika jamii inayomzunguka. Sisi wanawake mashujaa yatupasa kujua dhahiri kuwa kazi ya kubadili tabia na kufanya wengine wabadilike kwa lengo la kupata familia bora ni lazima kuwa na ushirikiano wa kweli ambao utajenga tabia ya kuaminiana na kunai mamoja katika harakati hizi za kuandaa/ kujenga familia bora. UTARATIBU WA KAZI/MPANGILIO: Katika utaratibu wa maisha yake, pamoja na mpangilio mzuri wa mambo yanayomzunguka hii itakusaidia kuwa na muda mzuri wa kufanya shughuli zako na pia kutekeleza majukumu yako ya kila siku kama mwanamke shujaa. Hakuna njia yoyote ya kukuwezesha kukua na kuendelea katika maisha yako bila kuwa na utaratibu na mpangilio wa mambo yako. KUFANYA TATHIMINI: Kuweza kufanya tathimini ya yale yote anayoyafanya katika maisha yake ya kila siku, pengine ni mfanyabiashara, mfanyakazi, mkulima n.k kama mwanamke shujaa yakupasa kutathimini shughuli zako kama zina leta faida/hasara kwa familia na jamii yako inayokuzunguka. Ukiona faida ni kubwa unaendelea na hiyo shughuli lakini kama hasara ni kubwa unajiweka katika nafasi ya kubadilisha aina ya shughuli mara moja bila kupoteza wakati. ... Read More
Hatua 5 za kuzungumza na mpenzi wako aliyekasirika Kwenye mapenzi kuna nyakati za kutofautiana, kukasirishana. Katika hali ya kawada kipindi hiki huwa ni za hatari kwa sababu husababisha nyufa kubwa za uhusiano na kulifanya penzi kukosa ladha. Sote tunajua, watu hupigana, huachana, hujeruhiana, hutukanana, hudhalilishana wakiwa na hasira. Hata hivyo si wote wanaojua wafanye nini wanapojikuta wameingia kwenye hatua hiyo mbaya. Msomaji wangu, hebu jaribu kukumbuka ugomvi mmoja uliotokea kati yako na mpenzi wako na ikiwezekana jikumbushe mlivyoanza! Utabaini kuwa mlianza kama utani na mkajikuta mmefura kwa hasira, mkatwangana makonde, mkatamkiana maneno makali ya kuudhi na pengine mkaamua kuachana. Yote hii ni kwa sababu mlikosa elimu ya mazungumzo. Ingekuwa mmoja wenu hasa yule aliyekuwa wa pili kukasirika anafahamu hatua za kuzungumza na mtu aliyekasirika angechukua jukumu la kutuliza machafuko na kuleta amani kwenye mapenzi. Tazama hatua tano za kuzungumza na mpenzi aliyekasirika. MPUNGUZE MHEMKO Hasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano. Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara za kutaka kumgeuza haraka haraka hawezi kumuelewa. Muhimu hapo ni kuacha kumwadama, kujibizana naye, kumshawishi asikilize badala yake mpe nafasi ya kusema atakavyo, abwate ajuavyo huku wewe ukimuitikia na kumkubalia lawama zake. “Basi mpenzi mwenye makosa ni mimi.” Kauli za aina hii zitampunguza hasira kwani atajiona msindi. MSOME SAIKOLOJIA YAKE Kwa kuwa unamfahamu mpenzi wako kwa kina itakuwa rahisi kwako kumtambua kuwa amepunguza hasira na kurudi katika hali yake ya kawaida. Ukisha fahamu hilo chukua jukumu la kumsoma kisaikojia ili kujua kama yuko kwenye hali nzuri ya kusikiliza yale uliyotaka kumwambia wakati alipokuwa na hasira. Zoezi hili linaweza kuchukua saa kadhaa na wakati mwingine hata siku mbili. Lengo ni nini? Ni kupata matokeo sahihi ya kuondoa chuki za mwenza wako na kumfundisha madhara ya kukasirika kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi. “J, nakupenda sana, lakini juzi uliniumiza, uliniambia mimi malaya kwa kosa ambalo sikufanya?” Bila shaka muda huo atakusikiliza zaidi kuliko ungebishana naye alipokuwa na hasira. MRUHUSU AKUJIBU Pamoja na kumsoma kisaikojia na kumwambia kinagaubaga makosa yake, usimzuie kujitetea, mpe nafasi ya kuzungumzia kilichomkasirisha. “Unaona bado unanitukana, sasa naamini siku ile ulikuwa umedhamilia.” Usisiseme hivyo, mwache ajibu hoja hata kama atakuwa anakukandamiza na kuzidi kujijengea ushindi. Mvumilie aoshe ubongo wake. EPUKA MARUMBANO Kama nilivyosema kwenye hapo juu, wapenzi wengine huwa wagumu kuelewa, ni watu wa kuficha udhaifu wao na kutopenda kuonekana wamekosea. Watu wa namna hii unapowarejeshea mazungumzo wanaweza kujikuta wanahamaki tena. “Kwa hiyo ulikuwa unasemaje…nilifanya ndiyo,… wewe unaamuaje?” Mkifika kwenye alama hiyo usikubali kurumabana naye mwache aseme halafu wewe ingia kwenye hatua ya tano. MUOMBE MSAMAHA Hata kama atakuwa yeye ndiye mwenye makosa na amekataa kukiri, usijali, chukua jukumu la kumuomba msamaha na kueleza tena nia yako ya kumazungumzo ilikuwa ni kuelewana si kugombana. Kumbuka hata kama amekiri kosa, bado unatakiwa kumuomba radhi kwa kurejea yaliyopita. “Mpenzi inawezekana nikawa nimekuudhi kwa niliyosema, nakuomba sana tusameheane.” Bila shaka kwa haya machache msomaji wangu utakuwa umejifunza na kuchukua hatua za kuzuia migogoro mikubwa inayotokana na hasira za mpenzi wako. Leo niishie hapa, nikushukuu kwa kunisoma. Kaa mkao wa kura, kile kitabu bora cha mapenzi nchini TITANIC, TOLEO LA NNE, kitakuwa mtaani hivi karibuni. Usikose nakala yako. ... Read More
JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAMKE KITANDANI KATIKA MAPENZI.  Hapa ni mambo 10 muhimu, ambayo mwanaume ukiyafanya kwa mwanamke wako, hakika utakuwa umejijengea ulinzi wa yeye mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje. Mfanye Mwanamke aanze kufika mlima kilimanjaro kabla hujaanza kumuingilia. Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo. Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi. Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo. Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke afike mlima Kilimanjaro na kutua mizigo yake kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la ndoa zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake. Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kufika kileleni mwa mlima Kilimanjaro haraka sana. Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!! #2 – Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu. Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo. Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atapofika mlimani namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke. Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa. Wangapi tunajua kuhusu A-Spot? ..... ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kufanya mapenzi naye, na hakika utakuwa shujaa wake. Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke! #3 – Usiwe kama kuku Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke afike kileleni kabla ya kumuingilia, unamjengea mazingira ya kufika kileleni haraka pindi unapomuingilia, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika. Mwanaume kudumu kwenye tendo kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwa yu shujaa. Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao? Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hujamiiana kwa minajili ya kufika kileleni, ilhali wanawake hujamiiana kwa minajili ya kustarehe. So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini pia usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa. Nusu saa hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa. #4 – Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji Ndio, wapo wanaume wengi tu wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya vi**mi, kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo. Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya kujamiiana, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia. Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia hamu hadi ikiwezekana aanze kuulilia muhogo. Jidai kama unataka kumnyonya ki**mi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa uke wake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe kwenye tundu la uke....... Haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee. Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji....cheki namba 5 hapa chini Tumichezo kama hutu twa Manaiki Sanga tunasaidia... #5 – Faida ya ulimi/mdomo kunyonyanaInashangaza sana kwa kweli...wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao. Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwaingilia. Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa. Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania ?. Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya aseme "Oh...am going crazy" #6 – Msisimue kwa kauli zakoWanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati wanajamiiana nao... lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao? Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha? Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu....hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake..... wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kujamiiana, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake. Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa. Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha".... Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani. Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza.... #7 – Jenga mahusiano ya macho yenuHivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa? Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa? Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno. Mawasiliano ya macho wakati wa kujamiiana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaume ambaye wakati wanajamiiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwa kuna ulichomnyima. Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnajamiiana, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia. Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea hakika atakuwa akikufurahia zaidi. #8 – Mzingatie baada ya kumaliza kujamiiana Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza kujamiiana. Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule. Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kuingiliwa. So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya. Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji. #9 – Mpe fursa ya kuliongoza jahazi kwa niaba yako Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kujamiiana, hupenda wao ndio waongoze kila move. Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka. Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo. Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mhogo wangu unavyotaka, laa...atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu. Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu. Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji. Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyonya muhogo ya wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache? Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa ?. Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umfanye, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu. Hata kama akitaka "akufanye" mruhusu tu...!!! 10 – Ondoa mazoea Wanaume ni watu wa ajabu sana. Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kujamiiana. Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo. Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game. Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea. Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza NYONGEZA AMBAYO NI KITU CHA MUHIMU SANA, Kama ulidhani kuwa shukrani kwa mwenzako ni asante tu, basi ulikosea. Hivi, unadhani wale makahaba wanaouza miili yao kule huwa hawaambiwi asante kwa huduma zao? Wanaambiwa sana tu, lakini mbona hawawakubali wale wote wenye kuwashukuru? Shukrani kwa mwenza wako inatakiwa iwe ya kivitendo zaidi. Ufanye mwili wako uonyeshe kuwa unashukuru kwa vile anavyokupa mwenzako, kabla hata ya kutamka kwa mdomo wako kumshukuru. Kushukuru kwa mwili ni pamoja na kuwa "gentle" wakati wa kujamiiana kwenyewe, na sio unakuta mtu unakazana kumsugua mwanamke wako utadhani unadhamiria kuhakikisha kuwa unafidia bia na vinywaji ulizomnywesha, au mahari kubwa waliyokulipisha wazazi wake wakati wanakukabidhi (kama ni mkeo wa ndoa) ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: