*JINSI YA KUMTULIZA MKE* 1-💞🙏🏻Muombee dua Allah amtulize. Muonye mukiwa chumbani peke yenu. 2-💞🙏🏻Mpe muda wa kujirekebisha. 3-💞🙏🏻Yasahau makosa yake yaliyo pita. 4-💞🙏🏻Umsikilize na Umjali. 5-💞🙏🏻Mueleze jinsi unavyompenda. 6-💞🙏🏻Msaidie kazi ndogo ndogo. (Kama kumkunia nazi, nakadhalika) 7-💞🙏🏻Kuwa na mtindo unaporudi nyumbani kumletea zawadi japo pipi. 8-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kum'busu na kumkumbatia. 9-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kumsifu kwa uzuri na utamu wake katika tendo la ndoa. 10-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kuwajali wazazi wake na ndugu zake. 11-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kumchagulia nguo za ndani za kuvaa kama chupi na kadhalika. 12-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kuoga pamoja na mkeo. 13-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kula kwako na kurudi nyumbani mapema. 14-💞🙏🏻Kuwa na kawaida ya kumtoa out mara kwa mara. 15-💞🙏🏻Namengi mazuri kuliko hayo umfanyie mkeo. Wallahu Aalam. *Mola ajaalie mapenzi na kuoneana huruma kati yako na Wako mpenzi ( Mke/Mume) #

at 12:04 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top