*JINSI YA KUMTULIZA MKE* 1-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปMuombee dua Allah amtulize. Muonye mukiwa chumbani peke yenu. 2-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปMpe muda wa kujirekebisha. 3-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปYasahau makosa yake yaliyo pita. 4-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปUmsikilize na Umjali. 5-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปMueleze jinsi unavyompenda. 6-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปMsaidie kazi ndogo ndogo. (Kama kumkunia nazi, nakadhalika) 7-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na mtindo unaporudi nyumbani kumletea zawadi japo pipi. 8-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na kawaida ya kum'busu na kumkumbatia. 9-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na kawaida ya kumsifu kwa uzuri na utamu wake katika tendo la ndoa. 10-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na kawaida ya kuwajali wazazi wake na ndugu zake. 11-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na kawaida ya kumchagulia nguo za ndani za kuvaa kama chupi na kadhalika. 12-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na kawaida ya kuoga pamoja na mkeo. 13-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na kawaida ya kula kwako na kurudi nyumbani mapema. 14-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปKuwa na kawaida ya kumtoa out mara kwa mara. 15-๐Ÿ’ž๐Ÿ™๐ŸปNamengi mazuri kuliko hayo umfanyie mkeo. Wallahu Aalam. *Mola ajaalie mapenzi na kuoneana huruma kati yako na Wako mpenzi ( Mke/Mume) #

at 12:04 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top