Home โ ushauri
โ ๐๐๐๐KITANDA CHA NDOA KIPOJEE๐๐๐๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐ช๐Jamani wanandoa hivi kitanda chako unakijuwa vizuri? haswa wanaume ama kwa vile sio jukumu lako kutandika na kununua mashuka hujui kabisa kitanda chako kipo vipi wewe ukija umechoka ulale ukitaka mzunguko ukitumie lakini hukijui kabisa.๐๐haya mwali naja kwako heheheiyaa mwanamke shurti ujali kitanda chako upo nyonyo๐. unajuwa ni godoro gani zuri kulalia unajuwa ni mbao gani murua ngumu za kitanda cha ndoa, mashuka je unajuwa kama kunamashuka yana maana yakiwa kitandani?leo kungwi wako wa mahaba proffesional ninayo majibu yotee ya kitanda chako cha ndoa๐๐kwanza kitanda chako kama ni cha mbao chapaswa ziwe mbao zile ngumu mwali wangu sio mbao nyepes ukilalia tu siku mbili tatu kinaachia๐๐pili kitanda cha mwanamke aloolewa mda wotee chatakiwa kiwe smart๐๐naposema smat nadhani mwali waelewa kitandikwe vizuri kwa shuka zenye rangi nzuri inayong'aa sio kijishuka cheusi tii utafeliii๐pia shuka isiwe na matobo wala madoa madoa yasofaa ๐hakikisha kitanda unatandika kiasi kwamba hata ukilala na mmeo pamoja na fujo zoote za mke na mme wakati wa kufanya mapenz hakiwezi kuvurugika na shuka kutoka๐๐
๐ชtatu๐mwali wangu Sharti kuu la kitanda cha ndoa lazima ulale bila nguo yani mtupu uchii kabisaa kama ulivyozaliwa kwa waliofundwa haya wanayajuwa lakini kwakuwa ndoa za siku hizi tunazichukulia poapoa tu wanawake hawataki kabisa kufundwa kabla hawajaolewa wanafanya tu wanavyojuwa wao na wayaoangalia kwenye tv wakidhani hayo ndio maisha wakati mwanamke mweusi wa kiafrica unatofauti nyingi na mahaba tele unayotakiwa kuyafanya chumbani ukijitambua.๐๐
๐ช๐Kitanda cha ndoa unatakiwa ulale bila nguo labda kwa heshima ya watoto kwa wale waliopanga chumba na sebule ambao watoto chumba cha baba na mama ni kama chao ndio unavaa khanga ukijifunika ili hata wakiingia ghafla umesahau kufunda mlango wasione walipotokea lakini ikifika wakati wa kulala chumba kikiwa kimefungwa khanga tupa huko na ulale kama ulivyo
๐ชnne๐Kitanda cha ndoa mwiko kulala mzungu wa nne, yani wanandoa mimi nashangaa unalala na mumeo mzungu wa nne halafu iweje?nitaandika mada kuhusu madhara ya mzungu wa nne, unatakiwa kile kitanda mlale hata kama hamuongei mmegombana lala tu wote mmegeukia upande mmoja hata kama hamtashikana usiku kucha lakini usiruhusu kulala mzungu wa nne kwenye kitanda chako cha ndoa.pia kitanda cha ndoa ni marufuku kumnyima unyumba mpenz wako hata kama mmenuniana kumbuka mboo na kuma havinuniani๐๐peaneni mkimaliza endeleeni na mnuno wenu lkn kumbuka ukiwa kama mwanandoa unapaswa kongelea matatizo yenu na kuyamaliza kabla ya kupanda kitandani maana kitanda ndo sehemu ya kupeana faraja na kujenga nahusano yenu๐๐๐๐
๐๐ชWanawake wengi wanapoolewa hata mimi nikiwa mmoja wapo unapewa godoro, unalijuwa maana yake ya kwamba umeshakuwa nenda kaanze nyumba yako na wewe ukifika sio lile godoro kisa mnachumba cha wageni ndio ukalipeleke kule hapana, lile godoro unatakiwa mlalie nyie, kama umeolewa na mumeo alikuwa anagodoro lake utalitoa na kupeleka chumba cha wageni halafu lile ulilopewa ndio utandike kwenye kitanda chenu mlalie hiyo ndio maana ya lile godoro yani mmeanza upya katika kila kitu mpaka kulala.๐๐
tano๐๐ni marufuku mwali narudia tenaaa kwa herufi kubwa NI MARUFUKU kumleta shogaako ndani kwako alafu akakaa juu ya kitanda chako mwali ni matusi makubwa pia huwez jua maana marafiki wengi huvuruga ndoa za mashoga zao kupitia vitanda had inapelekea mumeo ama wewe mwenywwe mkifika kitandani kunakuwa hakuna maelewano๐๐
Kama hulikuwa ulijui ilooo shoga HAbari ndo iyooo๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐L๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐KITANDA CHA NDOA KIPOJEE๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ช๐Jamani wanandoa hivi kitanda chako unakijuwa vizuri? haswa wanaume ama kwa vile sio jukumu lako kutandika na kununua mashuka hujui kabisa kitanda chako kipo vipi wewe ukija umechoka ulale ukitaka mzunguko ukitumie lakini hukijui kabisa.๐๐haya mwali naja kwako heheheiyaa mwanamke shurti ujali kitanda chako upo nyonyo๐. unajuwa ni godoro gani zuri kulalia unajuwa ni mbao gani murua ngumu za kitanda cha ndoa, mashuka je unajuwa kama kunamashuka yana maana yakiwa kitandani?leo kungwi wako wa mahaba proffesional ninayo majibu yotee ya kitanda chako cha ndoa๐๐kwanza kitanda chako kama ni cha mbao chapaswa ziwe mbao zile ngumu mwali wangu sio mbao nyepes ukilalia tu siku mbili tatu kinaachia๐๐pili kitanda cha mwanamke aloolewa mda wotee chatakiwa kiwe smart๐๐naposema smat nadhani mwali waelewa kitandikwe vizuri kwa shuka zenye rangi nzuri inayong'aa sio kijishuka cheusi tii utafeliii๐pia shuka isiwe na matobo wala madoa madoa yasofaa ๐hakikisha kitanda unatandika kiasi kwamba hata ukilala na mmeo pamoja na fujo zoote za mke na mme wakati wa kufanya mapenz hakiwezi kuvurugika na shuka kutoka๐๐ ๐ชtatu๐mwali wangu Sharti kuu la kitanda cha ndoa lazima ulale bila nguo yani mtupu uchii kabisaa kama ulivyozaliwa kwa waliofundwa haya wanayajuwa lakini kwakuwa ndoa za siku hizi tunazichukulia poapoa tu wanawake hawataki kabisa kufundwa kabla hawajaolewa wanafanya tu wanavyojuwa wao na wayaoangalia kwenye tv wakidhani hayo ndio maisha wakati mwanamke mweusi wa kiafrica unatofauti nyingi na mahaba tele unayotakiwa kuyafanya chumbani ukijitambua.๐๐ ๐ช๐Kitanda cha ndoa unatakiwa ulale bila nguo labda kwa heshima ya watoto kwa wale waliopanga chumba na sebule ambao watoto chumba cha baba na mama ni kama chao ndio unavaa khanga ukijifunika ili hata wakiingia ghafla umesahau kufunda mlango wasione walipotokea lakini ikifika wakati wa kulala chumba kikiwa kimefungwa khanga tupa huko na ulale kama ulivyo ๐ชnne๐Kitanda cha ndoa mwiko kulala mzungu wa nne, yani wanandoa mimi nashangaa unalala na mumeo mzungu wa nne halafu iweje?nitaandika mada kuhusu madhara ya mzungu wa nne, unatakiwa kile kitanda mlale hata kama hamuongei mmegombana lala tu wote mmegeukia upande mmoja hata kama hamtashikana usiku kucha lakini usiruhusu kulala mzungu wa nne kwenye kitanda chako cha ndoa.pia kitanda cha ndoa ni marufuku kumnyima unyumba mpenz wako hata kama mmenuniana kumbuka mboo na kuma havinuniani๐๐peaneni mkimaliza endeleeni na mnuno wenu lkn kumbuka ukiwa kama mwanandoa unapaswa kongelea matatizo yenu na kuyamaliza kabla ya kupanda kitandani maana kitanda ndo sehemu ya kupeana faraja na kujenga nahusano yenu๐๐๐๐ ๐๐ชWanawake wengi wanapoolewa hata mimi nikiwa mmoja wapo unapewa godoro, unalijuwa maana yake ya kwamba umeshakuwa nenda kaanze nyumba yako na wewe ukifika sio lile godoro kisa mnachumba cha wageni ndio ukalipeleke kule hapana, lile godoro unatakiwa mlalie nyie, kama umeolewa na mumeo alikuwa anagodoro lake utalitoa na kupeleka chumba cha wageni halafu lile ulilopewa ndio utandike kwenye kitanda chenu mlalie hiyo ndio maana ya lile godoro yani mmeanza upya katika kila kitu mpaka kulala.๐๐ tano๐๐ni marufuku mwali narudia tenaaa kwa herufi kubwa NI MARUFUKU kumleta shogaako ndani kwako alafu akakaa juu ya kitanda chako mwali ni matusi makubwa pia huwez jua maana marafiki wengi huvuruga ndoa za mashoga zao kupitia vitanda had inapelekea mumeo ama wewe mwenywwe mkifika kitandani kunakuwa hakuna maelewano๐๐ Kama hulikuwa ulijui ilooo shoga HAbari ndo iyooo๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐L๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Artikel Terkait
MUNGU ATANILIPIA: Nakumbuka nililazimishwa kuolewa ila nilikubali ili kutii amri ya wazazi. Nikabahatika kupata mtoto wa kike niliyempenda sana, kwani sikuwa na raha ya kuishi na mume wangu aliyekuwa mzee sana kwa bahati mbaya mume wangu alikufa kwa ugonjwa wa kisukari. Nikabaki mimi na binti yangu kwakweli sikutaka kuolewa tena niliamua kukaa na kulea mwanangu huyu. Kweli nilimlea na kumsomesha binti yangu, alipofika chuo ndipo mambo yalipoanza kubadilika. Binti yangu akanitaarifu kuwa amepata mchumba na akaja nae nyumbani kumtambulisha kwa ushamba wangu nikashangaa kweli ile gari ya mchumba wa mwanangu na nikaona raha kwa binti yangu kumpata mwanaume mwenye pesa kama yule, ilikuwa ni kipindi cha likizo na yule bwana alikuwa akija mara kwa mara kutusalimia huku akibeba zawadi tofauti tofauti, sikuwa na shaka naye hata akiniambia anataka kutoka na mwanangu nilimpa ruhusu wanaenda halafu anamrudisha nyumbani. Siku moja ambayo siwezi kuisahau kamwe katika maisha yangu, mwanangu akaniaga kuwa anataka kutoka na mchumba ake ila atarudi kesho yake nikamkatalia na kumwambia asifanye hivyo kwani ataonekana hana thamani tena. Badae kidogo alifika mpenzi wake huyo na kuniomba, mwanzoni nilimkatalia ila baada ya kunisihi sana nikakubali kuwa waende basi mwanangu na yule mpenzi wake wakaondoka pale nyumbani nikitegemea mwanangu kurudi kesho yake. Kesho ikafika hadi jioni mwanangu hakurudi, hofu ikaanza kunitawala moyoni mwangu hadi kunakucha mwanangu hakuwa nyumbani pa kuanzia sijui kwani yule kijana ni mgeni kwetu. Siku hiyo nikiwa kwa mbali namwona mwanangu akijikongoja kwa kujivuta, nilimkimbilia mpaka pale alipo nikambeba hadi nyumbani, naye akaniambia maneno haya "mama nakupenda sana ila naomba nikwambie ujumbe huu uwafikishie mabinti wote. Mama, yule kijana nilikutana naye wakati naenda chuo akanipa lifti na kuchukua namba yangu. Mawasiliano yetu yalianzia hapo ila sijui anapoishi wala ndugu zake, aliniomba nije nae nyumbani kumtambulisha kipindi hiki cha likizo na ndio nikafanya hivyo, nilizoea kuzunguka nae hotel, bar, cinema na majumba yote ya starehe. Ila alichonitenda hivi karibuni ni cha kustaajabisha, nilipoondoka naye hapa alinifunga kitambaa machoni na kusema anaenda kunifanyia suprise nilishangaa tukielekea mahali pasipojulikana huko nilienda kupata mateso makubwa mengine hata hayasimuliki ila kuna hili la kunifunga mimi kamba kwenye miti, mikono na miguu ikiwa imetanuliwa halafu wakanifanyisha mapenzi na mbwa watatu, ikiwa hiyo haitoshi lililetwa joka kubwa ambalo liliingizwa sehemu zangu za siri, sijui lilienda kufanya vitu gani ila nilipata maumivu ambayo hayaelezeki nililia hadi kuzimia, nilipozinduka nikajikuta nipo nje ya nyumba yetu nimetupwa ila kabla ya yote waliniambia kuwa sitakiwi kusema chochote kile kwa mtu yoyote kwani nitakufa." Alipomaliza kusema hayo nilikuwa natetemekd mwili mzima kwani nilimuona mwanangu akinyooka na kufa mikononi mwangu. Hata nikieleza maumivu yangu hakuna atakayenielewa, ila niliumia kupita maelezo. Yote namwachia Mungu. Tangu kifo cha mwanangu nimekuwa kama mtu nisiyejielewa, natoa wosia kwa mabinti wengine tafadhari sana angalieni kwa makini wachumba mlionao isije ikawa kama yaliyomkuta binti yangu, wazazi wote kuweni makini. Naumia kumpoteza binti yangu mpenzi tena aliyekufa kwa maumivu makubwa. Ila najua Mungu atatenda jambo. Hadi leo sielewi kwanini mwanangu alitendwa hivi. Kama ujumbe huu umekugusa, dondosha LIKE yako hapo au SHARE ukiweza ili na wengine wapate kitu. ... Read More
MADHARA YA MWANAMKE KUZAA MFULULIZO BILA KUPUMZIKA. ๏ฟผ Ni wazi vifo vya uzazi vimekuwa vikisababishwa na sababu mbalimbali ikiwemo ya mwanamke kuzaa mfululizo bila kupumzika hivyo kutokana na hali hiyo ipo haja kwa wakuu wa mikoa ya kanda ya magharibi, kanda ya ziwa na kwingineko kuongeza juhudi zaidi katika kuwaelimisha wananchi wake umuhimu wa kutumia njia ya uzazi wa mpango. Wakuu hao wana kazi ya kuondoa mila na desturi za wananchi wa ukanda huo ili waondokane na mila hizo zilizopitwa na wakati kwa kutumia njia sahihi za uzazi wa mpango katika kuwezesha taifa kukua kiuchumi na kuleta maendeleo kwa wananchi, Takwimu za nchi zinaonyesha kanda ya magharibi inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya kuzaana na kufikiwa asilimia 7.1 ikifuatiwa na kanda ya ya kati na kufuatiwa na kanda ya ziwa hali hii pia inachangia ongezeko la vifo vya uzazi kwa wanawake kutopumzika. Kuna haja wananchi kuelimishwa kuwa matumizi mazuri ya njia ya uzazi hayana madhara mwilini ili waweze kuzaa kwa mpango na kupunguza vifo vya uzazi. ๏ฟผ Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete alizindua mpango mkakati ulioboreshwa wa kuongeza kasi ya kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi na kuwataka watendaji wake katika mikoa yote nchini, ambao ni wakuu wa mikoa kuwa wahakikishe wanapunguza vifo vya watoto na akinamama wanaokufa kwa matatizo ya uzazi. ... Read More
Jinsi Ya Kufanya Mapenzi Na Mwanamke Bikra ๏ฟผ Ubikra ni hali ya binadamu kuwa hajafanya mapenzi maishani mwake. Mwanamume au mwanamke ambaye hajawahi fanya ngono wote ni bikra. Imekuwa desturi kwamba wanawake ndio huwa mabikra pekee, ilhali pia wanaume. Umwagaji wa damu mara ya kwanza wa kushiriki ngono hutofaitiana kwa wanawake tofauti. Wanawake wengine huwa hawatoki damu kulingana na umbile la kizinda chao. ufanya mapenzi na mwanamke bikra kunaweza kuwa na matokeo mawili. Kuna wanawake ambao husikia uchungu kwa mara yao ya kwanza kushiriki ngono na kuna wale ambao huwa hawaiskii uchungu. Kupata uchungu ama kukosa kunalingana na mwanamume ambaye huyu mwanamke anatolewa ubikra naye. Mwanamume ambaye ni mtulivu na anazingatia ama anafanya mapenzi na huyu mwanamke kwa utaratibu huwa anamsaidia yule mwanamke kufurahia wakati wake wa kwanza katika ngono na anapotolewa ubikra. Mwanamke pia anajukumu upande wake la kufanya ili asipate maumivu ama yawe madogo wakati wa kutolewa ubikra. Kama unataka kumtoa mwanamke ubikra bila maumivu kuna mambo muhimu unafaa kuzingatia ili kufanya nyote muwe na wakati wenye raha na utamu; Mwanamke lazima ajiamini Hakikisha mwanamke yule bikra anajiamini na ashki yake. Wanawake wengi mabikra huwa hawana maelezo ama elimu ya ngono. Wengi wao huwa wana aibu sana wakati jambo la kujamiiana linapozungumziwa. Kwa sababu hii mwanamke anaweza kuwa na uoga kwa kufikiri vile mara ya kwanza itakuwa. Uoga ni jambo ambalo huchangia kwa mwanamke bikra kupata uchungu wakati wa kwanza. Uoga kumdhuru kisaikolojia na hufanya misuli yake ya uuke kukaza na husababisha uchungu mwingi wakati wa kujamiiana na mwanamume. Kama mwanamume, ni muhimu kumfanya mwanamke yule bikra kujiskia huru na kutulia ili kujamiiana kuwe kwenye raha na utamu. Kuamiiana Kuaminiana ni jambo pia linaloweza kuwasaidia wawili wanaojamiiana kupata raha na utamu katika tendo lile. Fanya hima kujua kama mwanamke yule bikra ako na wasiwasi wowote ama kuna kitu kinachomtatiza. Fanya kujua kama kuna jambo analotaka kufanya wakati mnapohusiana katika ngono. Kujali hisia na matarajio ya mwanamke yule utafanya akuamini na itamsaidia pia kutulia wakati unapomtoa ubikra na hatakuwa na uchungu. Fahamu kwamba nyote mwahitaji kupeana raha mnapojamiiana, kwa hivyo zingatia pia mwanamke anafaa kujifurahisha wakati wa ngono. Papasa mwanamke Mwili wa mwanamke uko na sehemu nyingi ambazo zinaweza kupandisha hamu yake ya ngono. Mwanamume anafaa kufahamu jinsi ya kumtongoza mwanamke kwa kumpapasa. Jaribu kumpiga busu na kumpapasa shingoni, mdomoni, ili kuweza kumtuliza. Kujua sehemu ambayo unaweza kumpapasa mwanamke yule bikra utamsaidia mwanaume wakati wanapofanya mapenzi. Hamu ya mwanamke ya kufanya mapenzi hufanya uuke wake kutulia na mwanamke yule kuwa katika hali ya utulivu. Utulivu huu humsaidia kuwa tayari kwa kufanya mapenzi na pia kwa ubikra wako kutolewa. Pia utulivu huu utamsaidia kwamba hatapata kuskia uchungu wakati wa kujamiiana. Kusisimua uuke Wakati mnapofanya mapenzi na mwanamke bikra, jaribu kusisima uuke wake na mafuta nyororo. Kusisima uuke wake kutakusaidia wakati unapoingiza uume wako kwa uuke wake. Pia hii husaidia kupunguza uchungu wakati unapenya uuke wake. Unataka uzoefu wake wa kwanza uwe kitu ambacho atakumbuka, kwa hivyo kusisima uuke wake husaidia asiwe na uchungu unapompenya uuke wake. Kuwa mpole katika ngono Unapofanya mapenzi na mwanamke bikra, lazima uwe tayari kwenda pole pole na kuwacha kufanya mapenzi mwanamke anaposema hajiskii tena. Ni jambo la busara kutilia maanani kile mwanamke yule anachotaka kufanya. Akisema hayuko tayari, mpe wakati hadi atakapo sema ana hamu ya kufanya mapenzi. Usikasirike mwanamke anapokwambia uwache mnapoendelea kufanya mapenzi. Mwanamke hutaka kujua kwamba wampenda ili aweze kukubali kukupa ubikra wake. Kwa hivyo kutulia anaposema hajiskii kunaweza kuwa jambo linalo weza kumwonyesha kwamba wampenda. Kwa kufanya vile, utakuta mwanamke yule bikra atajitoa kwako kwa moyo wake wote na mnapofanya mapenzi nyote mtapata raha na utamu. Chukua usukani kama mwanamume Kwa vile wewe ndiye mwanamume wa kwanza ambaye unamuingiza kwa ngono kwa mara ya kwanza, unataka kufanya iwe kitu ambacho atakumbuka maishani. Kama mwanamume ni muhimu kuchukuwa usukani wakati mnataka kujamiiana. Mwanamke hupenda mwanamume anayejiamini kitandani. Hata unapochukuwa usukani zingatia anachotaka yeye na umwelekeze pole pole. Usije ukafa moyo kwa vile hana uzoefu lakini mfunze kile anachoweza kufanya ili ukipenya uuke wake aweze kusikia utamu na uchungu usiwe mwingi. Unataka kumfanya awe na nyege ya kufanya mapenzi na awe tayari kwa uume wako. Kinga katika ngono Kulala na mwanamke bikra hakumaanishi kwamba usahau kujikinga na kushika mimba ambao hakukutarajiwa na kueneza kwa magonjwa yanayotokana na kufanya mapenzi. Ni muhimu kama mwanaume kijikinga na kuchukuwa tahathari wakati wote wa kufanya mapenzi. Hakikisha unatumia mipira wakati wa kufanya mapenzi na madawa ya kukinga uzazi. Hii itawasaidia nyote wawili kupunguza majuto baada ya kufanya mapenzi. Kuwa mwepesi kwenye matarajio Kwa mwanamume, usije ukawa na tatumaini makubwa sana wakati wa kujamiiana na mwamake bikra kwa mara ya kwanza. Kitendo hicho kinaweza tokea kinyume na ulivyo tarajia. Unaweza fikiri utapata wakati rahisi kupandisha hamu yake na pia kupata wakati rahisi wakati wa kumpenya uuke wake. Unafaa kuweka matarajio yako wazi kwamba kitu chochote chaweza tokea. Kuweka wazi matarajio kutakusaidia kwa tukio lolote lile. Waweza pata kujifurahisha ama kupata raha unapofanya mapenzi na mwanamke yule bikra na pia unaweza kupata kuwa nyote hamkufurahia wakati ule. Kuwa tayari kwa uhusiano wa kimapenzi Mwanamume lazima awe tiyari kuwa katika mahusiano na yuel mwanamke bikra unayefanya mapenzi naye. Kila mtu hukumbuka wakati wake wa kwanza kufanya mapenzi, kwa hivyo ni muhimu kuifanya iwe ya dhamani. Kumbuka mnaenda kuwa katika uhusiano wa karibu, kuwa tayari kukuwa kwa uhuisano wa kimaisha kwani hisia zake zaweza kubadilika mnapofanya mapenzi. Kwa hivyo kama hutaki kuumiza mpenzi wako usifanye mapenzi naye kama huko tayari kuwa katika uhusiano naye kimaisha. Kufanya mapenzi ni kitu ambacho mwanamume na mwanamke hupenda. Cha muhimu kwanza ni kujikinga kutokana na magonjwa, na mimba ambazo hamkutarajia. Kwa kufanya mapenzi wawili hao huwa wameamua hupeanza uchi wao kwa mahaba. Kwa mwanamke bikra, yataka uwe mtu makini sana. Mwanamke bikra hana uzoefu wa funyanya ngono kwa hivyo unafaa kumpeleka pole pole na ukamfunza anachofaa kufanya wakati mnafanya mapenzi. Mwanamke bikra anafaa kufanywa ajiskie yuko huru na kuwachiwa kusema wanachotaka kufanya kwani ni wakati wao wa kwanza. Mwanamume lazima aweze kumweka mwanamke yule katika hanjam ya kufanya mapenzi naye, kwa kupapasa, kumpiga busu. Asiwe mtu mwenye kuharakisha kumpenya mwanamke bikra ila awe mtulivu. Mwanamke bikra akiona kwamba unazingatia masilahi yake atakuwa huru nawe na atakubali kukupa ubikra wake. Mwanamke aliyetulia na anayejua mwanamume anaujasiri na kujiamini kitandani atafanya tendo la kufanya mapenzi liwe la kufana sana kwa wote wawili. ... Read More
Kwanii Wanaume Waaminifu Kwenye Uhusiano Huachwa..... ๏ฟผ Kuachwa na mpenzi kwa sababu umekuwa ni muaminifu sana yaonekane ni jambo lisiloingia akilini lakini linatokea. Moja ya mambo ya ajabu unayoweza kuwa ushawahi kuyasikia ni kwamba mara nyingine uamuzi wako wa kuwa mwanaume mwema sana na unayejitahidi kufanya uhusiano wako wa kimapenzi uwe mzuri muda wote unaweza kukugharimu na kujikuta unaachwa kabisa. Haitakiwi kuwa hivyo lakini mara nyingine inatokea, na inatokea kwa sababu wazo la mwenza wako kuhusu uhusiano wa kimapenzi laweza likawa tofauti na ulionao wewe. Wengine wana mawazo hasi kuhusu jinsi uhusiano/ndoa inavyotakiwa kuwa. Hii ndio sababu hutakiwi kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na mtu asiye na vipaumbele sawa na vya kwako au asiye na mtazamo mmoja wa kimaisha kama ulionao wewe. Usipozingatia hilo, utajikuta unaingia kwenye uhusiano na mtu ambaye hatakujali vya kutosha kwakuwa labda humfokei au kumpiga anapokukosea โ au utajikuta ameshakupanda kichwani na kuanza kukudai mambo ambayo huwezi kuyatimiza lakini ukajikuta unajitutumua kumtimizia kwa sababu unataka kumfurahisha mpenzi wako na analijua jambo hilo. Kwa sababu baadhi ya wanaume wanapenda kulinda siri na kuwaachia uhuru wapenzi wao, wanajikuta wakiwapa ruhusa wanawake zao kwenda popote wanapojisikia bila kuwafatilia wanachofanya. Nini kinafata baada ya hapo? Mwanamke anatoka, anatafuta mchepuko na kukusaliti. Mwisho inakufanya wewe mwanaume uonekane mjinga mbele ya wengine. Tatizo ni kwamba tabia hii inaibuka kutokana na mazoea ya watu kuingia kwenye uhusiano wakiwa wameficha tabia zao halisi na kuja kufungua makucha yao baada ya kuona ameshaishi na wewe kwa muda mrefu kiasi kwamba huwezi tena kumuacha. Hii inasababisha wanaume walioathirika kutokana na tabia kama hizi kutoka kwa waliokuwa wapenzi wao wasiweze kuwaamini wanawake wengine tena kwa kuona kwamba wote ni sawa na wale waliowaumiza na kusababisha wasiweze kuwaonesha wenza wao wapya mapenzi kwa kiwango cha juu wakihofia kuumizwa tena. Kuwa mpole, mkarimu na mwenye upendo wa hali ya juu kwa mpenzi wako ndio jambo linalotarajiwa kwenye uhusiano. Mtu hatakiwi kufanywa ajisikie vibaya kwa kumuonesha mapenzi ya kweli mwenza wake. Kama wewe unakuwa muaminifu na mwema kwa mpenzi wako lakini umekuwa unadharauliwa au ukaachwa kutokana na tabia hiyo, kaa ukiwa na amani kabisa kwamba lawama za kuvunjika kwa uhusiano huo hazikuhusu wewe โ lawama ni za mpenzi wako aliyeshindwa kujua wewe umekuwa mwema kiasi gani kwake. ... Read More
๐ถhappy birthday you my love ๐#Najua_Umejifunza_mengi________Tanguu_umekuwa_mtoto_mpaka_now_umekuwaa๐๐๐๐ #____umejionea_mengi_hapa_dunian๐ง๐ง โผโผโผ#___yasikutishe_coz_god_Yuwetu_sote๐๐ #__Amini_UHAI_tu_ndo_muimu_vingine_mapito_tuuu๐ง๐ง #Happy_b_day____ โโmy.. Best โโmy.. Blood โโrohoo.. Yang.. Kipenz... Changu โโโโโโMPAKA..Nasahau majina sijui nikuitajeee jamn rohoo ilizikeee ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: