HII NI KWA NDUGU ZANGU WANAUME VITASA! MFANYE AJIHISI MWANAMKE! Iko hivi mwanamke kutaka umhudumie haina uhusiano na pesa wala shida. Hapana ili mwanamke ajihisi anapendwa nilazima awe na mwanaume ambaye anajali mahitaji yake, mwanaume ambaye anafahamu kuwa ana mahitaji na anamhudumia. Ndiyo nazungumzia kuhudumia kwani ni wanaume wachache ambao wanaweza kuhonga (kuhonga ni kama kumnunulia gari, ukamjengea, shopping dubai, ukatoa laki tano za kusuka na vitu kama hivi) sisi wengine tunahudumia kama kununua vichupi chupi na vi braa, kununua chakula na vocha, kumtoa out ya elfu ishirini. Ndiyo mwanamke hata kama ana hela vipi lakini ni mwanamke anahitaji mwanaume wa kumhudumia, hata kama si wa kumnunulia gari na kumlipia kodi lakini angalau ajue kua nayeye ana siku zake ampe hata hela ya Pedi! Sasa wewe ndugu yangu hata hujiongezi, ukatuma hata vocha, unaona anabadilisha tu underwear hujiongezi hata ukatafuta ka dazeni kamoja ukampelekea, ukajipinda na vimanukato kidogo. Yaani hembu mpe kitu cha kuringishia kwa marafiki zake. Kwamba wakimsifu unanukia vizuri hii perfyume umenunulia wapi ajishaue hata kama anajua aseme hii kaniletea Baby hata sijui kanunulia wapi! Tena unajisifia kabis ayule ni “Demu Wangu” wakati underwear aliyovaa kanunuliwa na Mzee wa umri wa Baba yako! Acha kujisemea kua yule anafanya kazi anajiweza ndugu yangu mbona wewe bafu lipo unaweza maliza mambo yako lakini unamfuata yeye? #BADILIKA #SHARE

at 11:42 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top