DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA KUPUNGUZA MAFUTA TUMBONI By 🅱 professional love Mafuta tumboni Tatizo na nguvu za kiume husababishwa na mambo mengi ikiwa ni pamoja na tatizo la mrundikano wa mafuta tumboni, kiunoni na katika via vya uzazi. Mtu mwenye tatizo la mrundikano wa mafuta anadalili zifutazo; 1) kukosa hamu ya tendo la ndoa 2) kuwahi kumaliza haraka wakati wa tendo la ndoa na kupata mchoko 3) kushindwa kurudia mara baada ya kumaliza raundi ya kwanza ya tendo la ndoa. Ukiwa na tatizo hilo nenda Duka la Dawa Asili na ununue dawa inayoitwa SANAMAKI. muuzaji anaweza kukuliza iwapo unataka Sanamaki ya majani au ya unga (poda), mwambie unataka ya unga. Sanamaki ya unga inafanana rangi na Sanamaki ya majani kama inavyo onekana. Weka Sanamaki vijiko 3 vikubwa vya chakula vya kujaa ndani ya lita 5 maji. Weka jikoni na iyache ichemke sawa sawa mpaka iyoneshe alama ya mstari wa kukauka katika kingo za sufuria, ndipo itoe jikoni na uhifadhi sehemu nzuri. Tumia dawa hiyo kwa kunywa ujazo wa glasi moja asubuhi baada ya kuamka na usiku kabla ya kulala unaweza kutumia dawa hiyo kwa muda wa siku 15 na kuendelea hutegemeana na ukubwa wa tatizo. Tikisa dawa ichanganyike vizuri na uichemshe iwe vugu vugu kila siku kabla ya kunywa. ANGALIZO: Dawa hii huondoa mafuta kwa kumfanya mtu aharishe bila maumivu ya tumbo. MAPENDEKEZO: 1) Ni vizuri kucha kufanya tendo la ndoa siku 7 za mwanzo wa kuanza kunywa dawa 2) Ni vizuri kunywa chai ya tangawizi au kutia pilipili kidogo katika chakula chako wakati unatumia dawa. Tumia dawa hiyo kwa utaratibubuone nilio ueleza uone maajabu.

at 11:33 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top