๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ THAMANI NI YAKO MWANAMKE! Usimuache mtu yeyote akushushe chini kiasi hicho mpaka uwachukie wanaume wote, Mwanaume ni BABA, KAKA, MJOMBA, BINAM na mwingine aweza kuwa jilani huna sababu ya kuhukumu kwa ujumla, Wapo wanaume waijuao THAMANI YAKO japo kukutana nae unahitaji utulivu wa akili na kujitenga na mawazo, Wengi wameangamia kwa kusongwa na mawazo mwisho wa siku anakuwa kama ANAOKOTA KITU KILICHO KATIKA MFUKO ASIJUE NI NINI KILICHOMO... Waondoe wao pale walopokishikilia na uendelee na amani ambayo unaweza kuitengeneza kwa kujitambuwa kwako, Maisha ni mafupi na sio thamani kupoteza muda wako ukijaribu kuwatambuwa watu ama kuwathibitishia chochote, Mtu pekee ambaye unatakiwa kumthibitishia chochote ni WEWE MWENYEWE ili nafsi yako ipone, Pambana kuwa BORA uwezavyo kuwa... Kuwa IMARA na ujitenge na kuwafikiria watu ambao hawakufikirii, Kushikilia jambo lolote ni uchungu na kuitengeneza hasira mwisho wa hayo UTAIRUDISHA NYUMA FURAHA YAKO! Maisha yako ni mazuri zaidi kuitumia dakika nyingine kumhofia mtu ambaye hajawahi kuletea furaha kwako, Baada ya hayo wamekufanya kuwa mtu IMARA maana umejifunza mengi, Ukikataa KUKANDAMIZWA utajawa nguvu za KUWAKANDAMIZA WAO. ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ Dr Luv๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค“

at 9:33โ€ฏAM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright ยฉ 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top