Home → simulizi
→ SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 6
“Kuna rafiki yangu mpenzi ambaye tupo karibu .Yeye ndie mwandani wangu, siri zangu ni zake na zake ni zangu nitamueleza kilio changu. Naamini atakisikiliza na kulichukulia kama kilio chake na atanisaidia shida ndogo ndogo za unyumba wetu. Mtu huyo ni tajiri yangu anayeitwa Mzee Jophu. Itakubidi unihifadhie aibu hii moyoni mwako. Ndiye ambaye siku ile ulivyoletwa na Baba niliwaacheni nae nikiwa na maongezi ya faragha na Baba.” Nilijaribu kumueleza mke wangu kuwa pengine angekubali kutembea na rafiki yangu mkubwa badalaya ndugu , na aendelee kinitunzia heshima yangu kama mumewe. Japo roho ilikuwa inauma kumkabidhi mwenzangu boma langu. Wala sikuweza kugundua kuwa mzee Jophu ndiye aliye panga na Daktari anipige sindano ya sumu.
“Kama una matatizo ndoa ya nini?.Suluhisho ni kuivunja ndoa kwa amani sitaki kujidhalilisha kwani wanaume wameisha duniani? Isitoshe nilishakutaarifu kwamba sijawahi kuguswa, bado nina nafasi kubwa ya kuolewa, wameolewa machangudoa sembuse mimi kigoli. Siwezi kukuelewa kabisa ninachotaka ni talaka yangu. Kuishi na wewe ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi” Mke wangu alinibadilikia ghafla, sikuweza kuamini maneno hayo yaliyotoka kinywani mwake . Hali hiyo ilininyima amani na kijikuta nikilia kama mtoto mchanga aliye hitaji ziwa la mama yake baada ya kulikosa kutwa nzima bila kunyonya.
“ Sijali kulia kwako kwani mimi ndiye niliye kumwagia tindikali? Mlaumu aliye kumwagia na sio mimi.Kweli ving’aavyo vyote si dhahabu. Najuta kuolewa na watu waliochelewa kuoa, huenda ni matatizo uliokuwa nayo toka zamani”. Getruda alizidi kuniumiza moyo.
“Sawa najua sina faida ya kuishi duniani,nitawaachia ninyi wenyewe umuhimu na hii dunia, lazima nife …….sio muda mrefu utaniita marehemu sio Sweedy tena ,” Nilijikuta shetani mbaya akiniingia kichwani na kuiteka akili yangu, nikaamua kujiua tu, sikupenda kuishi na mateso. Niliondoka na kuingia chumbani kwetu, nilijifungia kwandani na kutafuta kamba tayari kutoa uhai wangu. Nilikusudia kujiua na niliamua kufanya kama mawazo yalivyo nituma, sikupenda kuishi kwa manyanyaso, mateso ya unyumba.
Nilikuwa chumbani na tafuta kamba ya kujinyonga, Getruda, mke wangu muda mfupi tu, angeniita marehemu badala ya Sweedy. Getruda akiwa kwenye mtiririko wa mawazo alisikia sauti yangu, (LORD YOU KNOW MY TRIBLES)” “Mungu unajua mateso yangu”Wakati nasema maneno yale ,nilishafunga kitanzi juu ya paa la numba.Nilikuwa nimepanga stuli mbili zikiwa zimebebana,nikaanza kuingiza shingo kitanzini, nilihakikisha kamba haitakatika. Iliyofuatiwa sauti nyingine nikimuaga. “Getuuuuu! Kwa heri niagie ndugu wote, nimeamua kufa sipotayari kunyanyaswa na udhaifu wangu, hata mungu anajua”. Taratibu nilianza kusukuma stuli nilioikanyaga ili idondoke na nijinyonge, Muomba kifo hakosi basi stuli ilidondoka kamba ikaninyonga.
“Ahiiiii”nilitoa sauti moja kwa shida sana.Kutoa neno la zaidi,nilijijigeuza na nikawa natapatapa kama mfa maji.
“Haraka Getu aliamka na kuekekea sauti ilipotoka, aliamini nilikuwa nianajiua akajuta na kujilaumu kwanini alinipa maneno ya ukali badala ya kunifariji.
“Dhambi zote ni mimi, isingekuwa mimi asingejiua, yanipasa nijitahidi kumnusuru na kifo,” Getu alianza kuniita kwa sauti ya huruma, “Sweedy…Sweedy… naomba unisikilize mkeo naongea. Niwie radhi nilikuwa na kutania nimekubali kuwa na rafiki yako. Naomba unielewe mpenzi nitalitunza penzi lako na siri yako. Kama nikujiua basi nisubiri tuongee nitakuacha uendelee kujiua.” Getu aliendelea kuniita bila ya kupata kujibiwa. Kilikuwa kitendo cha haraka alichukua uamuzi wa kuvunja mlango na kuingia ndani, alinikuta nikiwa nimeningia mapovu ya kitoka puani.Aliona kisu kilichokuwa mezani,Hakupendakupoteza muda ,kwa mwendo wa umeme alikata kamba na nikadondoka chini kama gunia la maharage, aliponigusa alipeleka mkono kifuani kuona kama nilikuwa hai. Ajabu ni kwamba hakusikia mapigo ya moyo ya kienda. Miguu ndio ilikuwa nikiitupatupa huku na kule, ulimi ukiwa nje kama wa kenge. Hali iliyomfanya asijidanganye kuwepo hai tena na kuamini zisingepita dakika kumi ningepoteza uhai.
Uzito wangu haukuwa kigezo kikubwa cha kumfanya Getruda ashindwe kunibeba, alijitahidi alivyo weza kunitoa nje ambako alipiga simu kwa dereva teksi aliyemfahamu. Dakika takribani mbili ,alisikia gari likiegeshwa nje ya jengo letu.
“Vipi shem. Imekuwa je?”Dereva teksi aliuliza.
“Wee achatu.Hebu tumuwahishe hospitali mazungumzo baadaye”
Walinibeba juu juu hadi kwenye gari, dereva akafungua mlango wa nyuma ambako walinilaza chali na kufunga mlango.Hawakukawia kufika hospitali ya rufaa Mount meru kwa matibabu zaidi.Getruda aliniingiza ofisi ya dakitari wa zamu.
“Anasumbuliwa hasa na nini?”
“Amevamiwa na majambazi ambao walimnyonga kwa kutumia kamba”Getruda alidanganya wazi wazi.Huku akiuma mdomo wa chini kana kwamba alijawa na dhahabu kali.
“Sasa umeripoti polisi?”
“Daktari mbona unaniuliza maswali ya sio na msingi kabisa.Wewe unataka ripoti ama kumtibu mgonjwa?”
“Hatuwezi kutibu bila kupokea karatasi ya PF3 kutoka polisi”
“Dokta kipi bora .Kuokoa maisha ya mgonjwa ama kumwacha afe kwa sababu ya PF3?”
“Kuokoa maisha yake”Dokta akajibu akichukua vipimo vyake.
“Basi kumbe unajua. PF3 baadae, nisamehe kama nimekuudhi”Getruda alimwomba radhi Dokta.
Dokta alinishughulikia kwa haraka.Nilitibiwa kwa makini na baada ya saa nzima nilipata ahuen.Ila kooni nilihisi maumivu kwa ndani.
**********
Zikawa zimepita Siku mbili toka nilipookolewa na Mke wangu,Getruda pale nilipokuwa najiua kifo cha taabu.
“Mume wangu nilikuwa nikikutania . Tafadhali usijaribu kujiua tena. Nimekubali mlete huyo rafiki yako leo nimuone kama sura yake ina tapisha au laa!” Getruda hakupenda kufanya hivyo aliamua kukubali ili kuninusuru kifo. Sauti ya Getruda ilipenyeza kwenye ngoma ya masikio yangu fundo kali la sononeko liliingia moyoni.Nikajivuia kulia kwa nguvu zote lakini nilijikuta machozi yakichuruzika taratibu bila kujua.
“Sawa mke wangu utamuona nitakapomleta jioni,” Ilikuwa asubuhi na mapema, majira ya saa moja na nusu.
“Mmmm! Lakini Getruda unanipenda.Isingekuwa wewe basi nilikuwa mfu”Nilimweleza Getruda.
“Kumbe unalijua.Mkojo ulishaanza kukutoka”
“Masihara hayo.Inamaana nilikikojolea kama mtoto”
“Ndio”Getruda alinijibu akainuka kitini na kuelekea kwenye jokofu ambako alilifungua na kunipatia Juisi baridi ya machungwa.
“Karibu mpenzi”
“Ahsante mpenzi”Niliipokea na kumtolea tabasamu,lakini nilipokumbukla kwamaba nahitajika kumtambulisha bosi wangu.Moyo ulisingaa na kunyauka kama jani la tumbaku lililosubiri kusagwa.
“Mpenzi nataka kwenda kujipumzisha kidogo”
“Sawa,ila usisahau kwenda kumleta rafiki yako jioni”Nilishituka na kutulia kama sekunde kadhaa ,kisha nikageuka kumtizama mke wangu.
“Utaniamsha baada ya saa moja.
Ok, bye”Nilijikaza kutoa tabasamu ambalo pengine lilionekana dhahiri la kulazimisha, huku moyo ukiniuma kama kutu inavyokula chuma taratibu na kukiozesha chote.
“Nije tujipumzishe wote?”Getruda alinieleza wakati nikiwa nimempa mgongo.
“Poa. Ukipenda”Nilimjibu damu zikienda mbio ,ungeweza kuhisi nimekimbia umbali mrefu bila kupumzika.
Getruda alinifuata chumbani kama alivyoomba.Nilijitupa kitandani kiuvivu uvivu nae akajibweteka kwenye sofa moja lililomo chumbani.Ingawa nilifumba macho lakini sikuwa hata na lepe la usingizi, mawazo yangu yalimezwa na taswira ya maisha ya unyumba.Nilijiuliza bila kupata jawabu sahihi kwamba ugonjwa huwa niliupata wapi na nani aliyenipa?.
Nikiwa nimelala nilihisi vidole laini zikitalii mwilini mwangu.Hata hivyo sikushituka kwani nilihiosi alikuwa mke wangu.Vidole hivi vilizunguka huku na kule bila kupumua,nilihisi kama kero ama mdudu fulani akinitembelea akini kwarua. Sikuona raha zaidi za mateso tu.
“Hallo Sweedy”
“Na..a.amu”Nilikokoteza maneno,nikiwa nimetulia utadhani mbwa anayetolewa kupe.
“Unanipenda?”
“Saaana tu”
“Kwanini hunipi haki yangu kama kweli unanipenda?”
“Haki ipi?.Si una jua matatizo yangu sasa unataka nini tena”
Nilihisi Getruda akinitibua akili yangu.Niliinukla na kutoka nje.
“Getruda unanitesa. Tumepanga nini na wewe unataka nini?”
By brayton starpoz
SIMULIZI YA KUSISIMUA... Ndoa Yangu Inanitesa part 6 “Kuna rafiki yangu mpenzi ambaye tupo karibu .Yeye ndie mwandani wangu, siri zangu ni zake na zake ni zangu nitamueleza kilio changu. Naamini atakisikiliza na kulichukulia kama kilio chake na atanisaidia shida ndogo ndogo za unyumba wetu. Mtu huyo ni tajiri yangu anayeitwa Mzee Jophu. Itakubidi unihifadhie aibu hii moyoni mwako. Ndiye ambaye siku ile ulivyoletwa na Baba niliwaacheni nae nikiwa na maongezi ya faragha na Baba.” Nilijaribu kumueleza mke wangu kuwa pengine angekubali kutembea na rafiki yangu mkubwa badalaya ndugu , na aendelee kinitunzia heshima yangu kama mumewe. Japo roho ilikuwa inauma kumkabidhi mwenzangu boma langu. Wala sikuweza kugundua kuwa mzee Jophu ndiye aliye panga na Daktari anipige sindano ya sumu. “Kama una matatizo ndoa ya nini?.Suluhisho ni kuivunja ndoa kwa amani sitaki kujidhalilisha kwani wanaume wameisha duniani? Isitoshe nilishakutaarifu kwamba sijawahi kuguswa, bado nina nafasi kubwa ya kuolewa, wameolewa machangudoa sembuse mimi kigoli. Siwezi kukuelewa kabisa ninachotaka ni talaka yangu. Kuishi na wewe ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi” Mke wangu alinibadilikia ghafla, sikuweza kuamini maneno hayo yaliyotoka kinywani mwake . Hali hiyo ilininyima amani na kijikuta nikilia kama mtoto mchanga aliye hitaji ziwa la mama yake baada ya kulikosa kutwa nzima bila kunyonya. “ Sijali kulia kwako kwani mimi ndiye niliye kumwagia tindikali? Mlaumu aliye kumwagia na sio mimi.Kweli ving’aavyo vyote si dhahabu. Najuta kuolewa na watu waliochelewa kuoa, huenda ni matatizo uliokuwa nayo toka zamani”. Getruda alizidi kuniumiza moyo. “Sawa najua sina faida ya kuishi duniani,nitawaachia ninyi wenyewe umuhimu na hii dunia, lazima nife …….sio muda mrefu utaniita marehemu sio Sweedy tena ,” Nilijikuta shetani mbaya akiniingia kichwani na kuiteka akili yangu, nikaamua kujiua tu, sikupenda kuishi na mateso. Niliondoka na kuingia chumbani kwetu, nilijifungia kwandani na kutafuta kamba tayari kutoa uhai wangu. Nilikusudia kujiua na niliamua kufanya kama mawazo yalivyo nituma, sikupenda kuishi kwa manyanyaso, mateso ya unyumba. Nilikuwa chumbani na tafuta kamba ya kujinyonga, Getruda, mke wangu muda mfupi tu, angeniita marehemu badala ya Sweedy. Getruda akiwa kwenye mtiririko wa mawazo alisikia sauti yangu, (LORD YOU KNOW MY TRIBLES)” “Mungu unajua mateso yangu”Wakati nasema maneno yale ,nilishafunga kitanzi juu ya paa la numba.Nilikuwa nimepanga stuli mbili zikiwa zimebebana,nikaanza kuingiza shingo kitanzini, nilihakikisha kamba haitakatika. Iliyofuatiwa sauti nyingine nikimuaga. “Getuuuuu! Kwa heri niagie ndugu wote, nimeamua kufa sipotayari kunyanyaswa na udhaifu wangu, hata mungu anajua”. Taratibu nilianza kusukuma stuli nilioikanyaga ili idondoke na nijinyonge, Muomba kifo hakosi basi stuli ilidondoka kamba ikaninyonga. “Ahiiiii”nilitoa sauti moja kwa shida sana.Kutoa neno la zaidi,nilijijigeuza na nikawa natapatapa kama mfa maji. “Haraka Getu aliamka na kuekekea sauti ilipotoka, aliamini nilikuwa nianajiua akajuta na kujilaumu kwanini alinipa maneno ya ukali badala ya kunifariji. “Dhambi zote ni mimi, isingekuwa mimi asingejiua, yanipasa nijitahidi kumnusuru na kifo,” Getu alianza kuniita kwa sauti ya huruma, “Sweedy…Sweedy… naomba unisikilize mkeo naongea. Niwie radhi nilikuwa na kutania nimekubali kuwa na rafiki yako. Naomba unielewe mpenzi nitalitunza penzi lako na siri yako. Kama nikujiua basi nisubiri tuongee nitakuacha uendelee kujiua.” Getu aliendelea kuniita bila ya kupata kujibiwa. Kilikuwa kitendo cha haraka alichukua uamuzi wa kuvunja mlango na kuingia ndani, alinikuta nikiwa nimeningia mapovu ya kitoka puani.Aliona kisu kilichokuwa mezani,Hakupendakupoteza muda ,kwa mwendo wa umeme alikata kamba na nikadondoka chini kama gunia la maharage, aliponigusa alipeleka mkono kifuani kuona kama nilikuwa hai. Ajabu ni kwamba hakusikia mapigo ya moyo ya kienda. Miguu ndio ilikuwa nikiitupatupa huku na kule, ulimi ukiwa nje kama wa kenge. Hali iliyomfanya asijidanganye kuwepo hai tena na kuamini zisingepita dakika kumi ningepoteza uhai. Uzito wangu haukuwa kigezo kikubwa cha kumfanya Getruda ashindwe kunibeba, alijitahidi alivyo weza kunitoa nje ambako alipiga simu kwa dereva teksi aliyemfahamu. Dakika takribani mbili ,alisikia gari likiegeshwa nje ya jengo letu. “Vipi shem. Imekuwa je?”Dereva teksi aliuliza. “Wee achatu.Hebu tumuwahishe hospitali mazungumzo baadaye” Walinibeba juu juu hadi kwenye gari, dereva akafungua mlango wa nyuma ambako walinilaza chali na kufunga mlango.Hawakukawia kufika hospitali ya rufaa Mount meru kwa matibabu zaidi.Getruda aliniingiza ofisi ya dakitari wa zamu. “Anasumbuliwa hasa na nini?” “Amevamiwa na majambazi ambao walimnyonga kwa kutumia kamba”Getruda alidanganya wazi wazi.Huku akiuma mdomo wa chini kana kwamba alijawa na dhahabu kali. “Sasa umeripoti polisi?” “Daktari mbona unaniuliza maswali ya sio na msingi kabisa.Wewe unataka ripoti ama kumtibu mgonjwa?” “Hatuwezi kutibu bila kupokea karatasi ya PF3 kutoka polisi” “Dokta kipi bora .Kuokoa maisha ya mgonjwa ama kumwacha afe kwa sababu ya PF3?” “Kuokoa maisha yake”Dokta akajibu akichukua vipimo vyake. “Basi kumbe unajua. PF3 baadae, nisamehe kama nimekuudhi”Getruda alimwomba radhi Dokta. Dokta alinishughulikia kwa haraka.Nilitibiwa kwa makini na baada ya saa nzima nilipata ahuen.Ila kooni nilihisi maumivu kwa ndani. ********** Zikawa zimepita Siku mbili toka nilipookolewa na Mke wangu,Getruda pale nilipokuwa najiua kifo cha taabu. “Mume wangu nilikuwa nikikutania . Tafadhali usijaribu kujiua tena. Nimekubali mlete huyo rafiki yako leo nimuone kama sura yake ina tapisha au laa!” Getruda hakupenda kufanya hivyo aliamua kukubali ili kuninusuru kifo. Sauti ya Getruda ilipenyeza kwenye ngoma ya masikio yangu fundo kali la sononeko liliingia moyoni.Nikajivuia kulia kwa nguvu zote lakini nilijikuta machozi yakichuruzika taratibu bila kujua. “Sawa mke wangu utamuona nitakapomleta jioni,” Ilikuwa asubuhi na mapema, majira ya saa moja na nusu. “Mmmm! Lakini Getruda unanipenda.Isingekuwa wewe basi nilikuwa mfu”Nilimweleza Getruda. “Kumbe unalijua.Mkojo ulishaanza kukutoka” “Masihara hayo.Inamaana nilikikojolea kama mtoto” “Ndio”Getruda alinijibu akainuka kitini na kuelekea kwenye jokofu ambako alilifungua na kunipatia Juisi baridi ya machungwa. “Karibu mpenzi” “Ahsante mpenzi”Niliipokea na kumtolea tabasamu,lakini nilipokumbukla kwamaba nahitajika kumtambulisha bosi wangu.Moyo ulisingaa na kunyauka kama jani la tumbaku lililosubiri kusagwa. “Mpenzi nataka kwenda kujipumzisha kidogo” “Sawa,ila usisahau kwenda kumleta rafiki yako jioni”Nilishituka na kutulia kama sekunde kadhaa ,kisha nikageuka kumtizama mke wangu. “Utaniamsha baada ya saa moja. Ok, bye”Nilijikaza kutoa tabasamu ambalo pengine lilionekana dhahiri la kulazimisha, huku moyo ukiniuma kama kutu inavyokula chuma taratibu na kukiozesha chote. “Nije tujipumzishe wote?”Getruda alinieleza wakati nikiwa nimempa mgongo. “Poa. Ukipenda”Nilimjibu damu zikienda mbio ,ungeweza kuhisi nimekimbia umbali mrefu bila kupumzika. Getruda alinifuata chumbani kama alivyoomba.Nilijitupa kitandani kiuvivu uvivu nae akajibweteka kwenye sofa moja lililomo chumbani.Ingawa nilifumba macho lakini sikuwa hata na lepe la usingizi, mawazo yangu yalimezwa na taswira ya maisha ya unyumba.Nilijiuliza bila kupata jawabu sahihi kwamba ugonjwa huwa niliupata wapi na nani aliyenipa?. Nikiwa nimelala nilihisi vidole laini zikitalii mwilini mwangu.Hata hivyo sikushituka kwani nilihiosi alikuwa mke wangu.Vidole hivi vilizunguka huku na kule bila kupumua,nilihisi kama kero ama mdudu fulani akinitembelea akini kwarua. Sikuona raha zaidi za mateso tu. “Hallo Sweedy” “Na..a.amu”Nilikokoteza maneno,nikiwa nimetulia utadhani mbwa anayetolewa kupe. “Unanipenda?” “Saaana tu” “Kwanini hunipi haki yangu kama kweli unanipenda?” “Haki ipi?.Si una jua matatizo yangu sasa unataka nini tena” Nilihisi Getruda akinitibua akili yangu.Niliinukla na kutoka nje. “Getruda unanitesa. Tumepanga nini na wewe unataka nini?” By brayton starpoz
Artikel Terkait
*LOVE BITE EP 02* ILIPOISHIA……….. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. SONGA NAYO….. Mawazo yalimuandama Jothan kwa kile alichotendewa na Bahati. Lakini alikubali moyoni kuwa msemo wa wahenga kuwa tenda wema nenda zako hawakukosea kusema hivyo. Aliamua kusahau yote ya nyuma ingawaje ubongoni alikosa tafsiri. Alijua kuwa msaada wowote utakaompa mtu basi hujawekeza chochote zaidi ya maumivu pindi utakapo fadhila kutoka kwake. Likizo yake ilipoisha alienda kazini kama kawaida. Alishangaa mabadiliko Fulani aliyoyaona pale ofisini. Meza yake alikuwa amekaa mtu mwingine kabisa. “salama kaka.” Alisalimia Jothan baada ya kumsogelea yule mtu aliyekaa nafasi yake. “safi tu.” Aliitikia yule mtu ambaye alionekana kuendelea na kazi yake kama kawaida. “samahani, nadhani wewe ni mgeni hapa. Hicho kiti ulichokalia ni changu.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule mtu ambaye alikua anamshangaa tu na kujifanya hajasikia na kuendelea na mahesabu yake. “sina taarifa zozote hapa juu yako wewe, kwa hiyo hiki kiti nimepangiwa na bosi mkuu na hakuniambia kama nitahitajika kutoka ukija wewe.” Aliongea yule mtu kwa kujiamini. Jothan aliona kuwa alikuwa anapoteza muda kuongea na yule mtu. Maamuzi ya kuingia ofisini kwa bosi wake yalimjia na kuamua kwenda huko. “Mr.Jothan, hukupata barua yako mapokezi pale nje?” aliongea basi wake hata kabla ya salamu. “barua?…barua gani?” aliuliza Jothan kwa mshangao mkuu. “we nenda ukaichukue… utakachokikuta ndio utajua hiyo barua inahusu nini.” Aliongea bosi wake na kumfanya Jothan kuzidi kushangaa mambo yanavyoenda. Muonekana wa bosi wake ulikuwa tofauti kabisa na muonekano wa kila siku aliokuwa nao. Alionekana kama mtu aliyemkasirikia Jothan wakati alitakiwa kuonyesha hali ya kumlaki ikiwezekana kumpandisha cheo Jothan kwa kufanya kazi kubwa ya kuirudisha kampuni katika hali yake ya kawaida. Jothan alitoka mpaka mapokezi na kumuangalia yule dada wa mapokezi. “doh.. nilishasahau. Kuna barua yako Mr. Jothan.” Aliongea yule dada wa mapokezi huku akishika kichwa chake baada ya kumuona Jothan kuonyesha ishara kuwa alipitiwa kumpa ile barua kabla hajaingia ndani. “ndio nimeifuata.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule dada aliyeinama na kuanza kupekua barua kadhaa alizokuwa nazo na kutoa moja yenye jina la Jothan na kumkabidhi. Jothan aliichukua ile barua na kuifungua. Hakuamini kitu kilichandikwa kwenye ile barua. Hakuamini kuwa anaweza kufukuzwa kazi kwa kosa ambalo hajawahi kulifanya. Kampuni ilikuwa inamtuhumu kwa kuisababishia hasara kampuni yake huko Morogoro jambo ambalo halikuwa na ukweli ndani yake. Hasara ilitokea kabla hajaenda na yeye ndio aliyesababisha mpaka baadhi ya wahujumu wa kampuni yake kugunduliwa na kuiweka kampuni hiyo katika hali inayoridhisha kwa sasa. Taarifa hizo zilimchanganya na kumfanya arudi tena kwa bosi wake. “kilichoandikwa humo ndio uamuzi wangu,.. bila shuruti naomba utoke ofisini kwangu.” Aliongea bosi wake na kukataa katukatu kumsikiliza hoja zake. Jothan aliona kama mikosi mfululizo inazidi kumuandama. Hakubishana na mtu. Aliamua kusaini alipotakiwa kusaini na kwenda NSSF kwa ajili ya kufuatilia mafao yake. Kwakua vyeti vyake vilikua vimependeza, hakuchukua muda mrefu kupata kazi kwenye kampuni nyingine. Huko alipewa cheo kikubwa zaidi ya alichokuwa nacho kwenye kampuni yake ya zamani. Hapo aliamini kuwa mungu hakuumba ugonjwa bali ulikuwa na dawa yake. Alimshukuru mungu kwa kupata sehemu iliyokuwa inathamini uwezo wake wa utendaji wa kazi tena kwa muda mfupi. Saikolojia na mahusiano ndilo jambo pekee lililompa chati kwa haraka hapo ofisi kwao kutokana na wateja wengi waliokuwa wakiwasiliana na yeye alipokuwa ofisi yake aliyokwa anafanya kazi zamani wote walihamia kwenye ofisi hiyo mpya. Miezi nane baada kampuni ilimuandalia tafrija kutokana na kuipa jina na mafanikio makubwa kampuni hiyo ambayo ilikuwa haijulikani japo kuwa ilikuwa na miaka mitatu toka ianzishwe. Zawadi alizopewa hata yeye hakuzitegemea. Alipewa na gari aina ya prado mpya kabisa kutokana na mchango wake mkubwa ndani ya kampuni hiyo. Baada ya sherehe hiyo kuisha, watu walitawanyika kwenda makwao. Jothan akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwake, kwa mbali alimuona msichana mrembo akimpa ishara ya kuomba lifti kwake. Bila hiyana alipunguza mwendo na kupaki pembeni kidogo. Alipigwa na butwaa baada ya kumuona mtu mwenyewe anayeomba lifti. Hata baada ya yule msichana kumuona Jothan alishtuka kidogo na kuonyesha ishara ya kutoamini kwamba angekutana na Jothan maeneo yale. “wewe, za miaka?” aliongea Jothan na kufungua mlango wa prado yake ambayo ndio kwa mara ya kwanza inatembea kwenye lami ya Tanzania toka ilipoagiziwa huko nchi za ng`ambo. Yule dada alipanda na kukaa nae siti ya mbele. “sikutarajia kama ipo siku nitaonana na wewe” aliongea yule dada na kuvua miwani yake na kuiweka kwenye pochi yake. Jothan alimuangalia yule msichana aliyevaa gauni fupi lililomuonyesha mapaja. Juu alivalia kikoti cheusi na kofia aina ya Cow boy. Muonekana wa yule binti ulizidi kuvutia japo kuwa ni muda mrefu Jothan hakumuona yule msichana. Weupe asilia na wa kujiongezea pia ulizidi kumfanya yule dada asijulikane kama ni Mtanzania au kachanganya na watu kutoka nchi za ughaibuni. Nywele za bandia alizobandika zililingana na muonekano wa Marichui. Tabasamu lilipasua midomo minene iliyopendezeshwa na kimsitari chembamba kilichokuwa katikati ya meno yake ndio kilikuwa kivutio kingine kwenye sura ya yule dada. Hakua mwembamba, pia hakua na unene uliomfanya kuchukiza. Alijua kuutumia mwili wake kwa kukataa tumbo kubwa na kuyafanya maziwa yake kujitegemea yenyewe bila kutumia sidiria. Hayo yote yalibainika haraka kutokana na mtoko alionyuka siku hiyo. “hata mimi, yaani nikikumbuka siku ile sijui ilikuaje mpeka nikapitiwa na usingizi.” Aliongea Jothan na kuonyesha kuwa kichwa chake kilikua kimehifadhi kumbumbu kubwa toka mara ya mwisho kuonana na binti yule aliyeushitua moyo wake kabla ya kukutana na Bahati. “una kumbukumbu wewe.. kwani wewe unaishi wapi?” aliuliza yule dada. “naishi kinondoni kwa manyanya.” Aliongea Jonathan na kumfanya yule dada kupigwa na butwaa. “sasa mbona mimi nakaa kinondoni kanisani baada ya kituo cha Biafra?… na mpaka nashuka nilikuacha ndani gari!” aliongea yule dada na kumfanya Jonathan kutabasamu. “unafikiri niliamka tena?.. yaani nilipitiliza kituo na kwenda kuamshwa na konda gari ilipofika mwenge.” Aliongea Jonathan huku akiendesha gari yake hiyo mpya kwa umakini mkubwa. Waliongea mengi ikiwemo kujuana majina na kupeana namba za simu. Jothan alimfikisha yule dada mpaka kanisani kituo anachoshukia na yeye akageuza gari na kurudi kwake. Kwakua saa ilisoma ni saa mbili usiku, aliamua kwenda kuoga na kulala moja kwa moja kutokana na uchovu wa shughuli yao. Macho hayakufumba haraka japokuwa alikuwa kitandani kwa takribani masaa matatu. Alikizunguka kitanda chote na kukumbatia mito huku akijenga taswira ya kuwa na msichana yule waliokuwa wameonana kitambo lakini hawakupata nafasi ya kuongea kama siku hiyo. Alitabasamu peke yake kila wakati huku ubongo wake ukijaribu kumpa data muhimu za uzuri wa msichana huyo kila nukta aliyokuwa akifanya jambo lolote lililoukosha moyo wake. Hakujua alilala saa ngapi, ila alishtushwa na alarm yake iliyokua inamuamsha kila siku saa moja kamili asubuhi. Aliichukua simu yake na kukuta sms tatu zilizomtakia asubuhi njema kutoka kwenye namba aliyoi save kwenye simu yake jina la SHANI. Alitabasamu na kuzijibu zile sms na kuondoka kwenda kazini baada ya kumaliza kunywa chai aliyoiandaa mwenyewe. Walipiga story kwenye simu alipokuwa njiani na msichana huyo na kukubaliana kukutana kwenye chakula cha mchana Bondeni hotel iliyokuwa magomeni. Kwakua alikua hana kazi nyingi ofisini kulingana na siku yenyewe ilikua nusu siku kwao. Siku ya ijumaa waliitumia kumalizia viporo tu na kazi za siku hiyo walizihesabu kuanza nazo wiki ijayo. Japokuwa alikua si mfuatiliaji, Jonathan aliingia facebook na kutafuta jina analo litumia Shani kwenye mtandao huo wa jamii. Baada ya kulitafuta alilipata na kuanza kuperuzi picha za binti huyo. Hakika muonekano wake ulizidi kumfanya Jothan azidi kuwa na hamu ya kuwa naye. Alikua ni binti ambaye hayuko nyuma wala kupitwa na wakati. Alijua jinsi ya kupangilia nguo na pozi zilizowaacha hoi watu wengi waliomuona. Kila picha aliyopiga ilikuwa na comments zisizopungua mia mbili kutoka kwa marafiki zake waliokuwa wanazikubali pigo zake. Akiwa amezama mtandaoni huku akizifurahia picha za Shani, muda wa kwenda kupata chakula cha mchana uliwadia na Jothan akazima computer yake aina ya apple iliyokuwa mezani kwake na kwenda kwenye gari yake kuitafuta Bondeni hotel ilipo. Baada ya dakika chache alishawasili maeneo hayo na kuchukua simu yake ili ampigie Shani na kumpa taarifa kuwa ameshafika walipo ahidiana kukutana. Kabla hajabonyeza kitufe cha kupigia, moyo wake ulipatwa na mshituko wa ajabu baada ya kuangalia mbele ya meza kadhaa za kwenye hotel hiyo na kumuona Bahati akiwa na bosi wake wa zamani wakilishana huku wakiwa hawana habari. LAliamua kuheshimu hisia za ke na kupiga simu kwa Shani. “umefika wapi babie” aliongea Jothan baada ya salamu. “nimeshafika wangu, wewe upo upande gani?” aliuliza Shani kwenye simu. “nipo upande wa mlango wa kuingilia hotelini kabisa…. Upande wa chakula huku.” Aliongea Jothan na Shani akakata simu baada ya kumuona. Mavazi aliyovaa Shani yalizi kumpagawisha Jothan, kila mtu aliyemuona hakusita kuyagandisha macho yake kwa mdada huyo mwenye uzuri wa ajabu. Hatua za Shani zilimfikisha kwa Jothan na kusalimiana kisha wakaingia ndani pamoja. Macho ya Bahati yaligongana na Jothan ambaye alikuwa na msichana mzuri Shani pembeni yake. Bahati aliangalia pembeni na kujifanya hajamuona Jothan na kuendelea kulishana na mpenzi wake. Jothan naye hakujishughulisha nao, aliwaangalia tu na kuwapita. Akaenda kutafuta sehemu nzuri yenye upepo na kukaa. “uliniambia unaisha peke yako, kwa nini sasa?” aliuliza Shani baada ya kukaa na kuletewa vitu walivyoagizwa. “si unajua kuwa bado sijampata mwanamke wa kuishi nae, ndio maana nimekuwa mpweke pale nyumbani.” Aliongea Jothan na kutabasamu. “jamani, wanawake wote waliojaa hapa mjini, ukizingatia your so handsome. Unanitania wewe?” aliomgea Shani na kucheka. “sikutanii, huo ndio ukweli wenyewe. Nipo single mwenzio.” Aliongea Jothan na kucheka. “ila kaka una moyo wa ajabu sana.” Aliomgea Shani na kumuacha Jothan njia panda. “kwanini unasema hivyo?” aliuliza Jothan. “unajua toka siku ya kwanza tuliyoonana mimi na wewe kule coco beach, sijui kwanini ila niseme ukweli nilitokea kuvutiwa na tabia yako. Maana angekuwa mtu mwengine baada ya kutoa ofa tu basi angeanza kutusumbua mara unaitwa nani mara nipeni namba zenu za simu. Lakini wewe ulikuwa bize na mambo yako na ulipochoka ulituaga na kuondoka zako…. Kusema ukweli nilivutiwa sana na tabia yako.” Alionge Shani na kumfanya Jothan atabasamu. “mi naamini kama unampenda mtu si lazima mpaka umpe ofa ndio uanze kumuelezea… hata mimi nilivutiwa na wewe sema nilishindwa kukueleza kwakua ulikua na marafiki zako na nilihofia pia kuniona msumbufu kwakua niliwapa ofa.” Aliongea Jothan na kumfanya Shani atabasamu. Walimaliza kula na na kutoka mule hotelini, Jothan hakuwaona tena wakina Bahati na hapo ndipo aipogundua sababu ya kuachishwa kazi. Alitikisa kicwa kama ishara ya kusikitika na kuelekea kwenye gari yake na kumpakiza Shani ambaye kwa muonekana hawakuwa na tofauti na wapenzi wawapo out. Kama kawaida yake,. Alimfikisha Shani kituo cha kanisani na yeye akarudi kwake. Usiku wa siku ya jumamosi ilikuwa ni siku Spacial ya mtoko kati ya Shani na Jothan kwenda club. Walifika club na kucheza mziki vya kutosha na kila mmoja aliifurahia ile siku. Walirudi nyumbani pamoja, na Shani kwa mara ya kwanza akaingia nyumbani kwa Jothan. Kwakua walikuwa wamelewa, walilala wote mpaka asubuhi bila kufanya lolote na kuamka asumbuhi. Waliangaliana na kucheka huku kila mmoja akiwa hana kumbukumbu sawa sawa kuwa ilikuwaje mpaka wakalala wote chumba kimoja tena kila mtu akiwa amelala kivyake. Mazoea yalizidi mpaka ikafikia wakati Shani akawa anapewa ufunguo wa nyumba na Jothan ambaye akirudi kazini alikuta nyumba safi na amepikiwa chakula kizuri. Upishi wa Shani haukufanana na muonekano wa ke. Wasichana wengi wazuri jikoni huwa hamna kitu. Lakini yeye alikua anatoa vitu ambavyo akati mwengine Jothan alishindwa kuvumilia na kumwambia kuwa alikua anataka kumuoa kabisa ili awe anampkia daima. Uakaribu ukajenga penzi moto moto lililowashinda mpaka wenyewe na kujikuta Shani amehamia kabisa nyumbani kwa Jothan. Maisha ya furaha na yenye raha tele yalizidi kujijenga kwa Jothan. Hakuwa na mawazo tena zaidi ya kumshukuru mungu kwa kumpamsichana ambaye hata yeye alikuwa na mapenzi a kweli kwake. Kuna siku ambazo Shani alikua analala na Jothan na siku nyingine alikuwa analala kwao kutokana na kuwa bado hajawa mke wake halali. Jothan alivizia siku ambayo Shani hayupo mule ndani na kuamua kufungua kabati yake ambayo ilijaa siri zake nyingi za maisha yake na kumbukumbu mbali mbali zinazomuhusu yeye. Vitu vilivyofaa alivirudisha kwenye kabati na vingine ambavyo vilikuwa havifai kwa usalama wa penzi lake alivichukua kwa lengo la kuvitia moto. Baada ya kupekua muda mrefu, aliibamba alburm moja iliyokuwa na picha kadhaa za zamani toka yupo shule. Baada ya kufungua kurasa kadhaa, alishtuka baada ya kuona picha ya msichana mzuri aliyekuwa amemkumbatia huku wanatabasamu. Mawazo yalimpeleka mbali sana. *************************** Ilikua siku ya aina yake baada ya Jothan kupelekwa katika mashinadano na Shule aliyokuwa anasoma. Mashindano hayo yalikuwa yanatafuta mshindi wa mdahalo kwa lugha ya kiingereza. Kila shule ilitakiwa itoe wanafunzi wawili. Wakiume na wakike. Mwanafunzi wa kiume alichaguliwa yeye kutokana na kuwa na lafudhi nzuri na ya kuvutia kwenye lugha hiyo. Ingawaje alikua kidato cha pili, lakini shule ilimuamini na kuona kuwa ni yeye pekee ndio anafaa kutokana na uwezo wake kwenye somo hilo na vile anavyojiamini. Mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa shule ya sekondari Jitegemee. Kwanza ufunguzi ulifanyika na Bendi ya shule hiyo kwa kupiga ala za muziki zilizokuwa zikifuatishwa na watu wate waliohudhuria pale. Kulikua na shule zisizopungua Arobaini. Kila shule iliwakilishwa kwenye sekta mbali mbali, wapo walioigiza kiingereza na wengine waruka sarakasi. Shule za international zenyewe zilishindana kwenye mdahalo uliokuwa wakibishana kati ya watoto wa mitaani na walio shueni, wapi wanaoharibiwa zaidi na utandawazi?. Mada hiyo ilibeba ubishani mkubwa lakini Jothan aliweza kuifanya shule yake kuibuka kidedea kutokakana na hoja kali na zenye uzito alizokuwa akizitoa kwenye utetezi na kuwashindwa wapinzani wake. Walipowa wakipata chakula baada ya shindano, dada mmoja aliyekuwa shule pinzani alimfuata na kumuomba akae nae kwenye meza moja. “hamna shida, karibu” aliongea Jothan na yule dada akaweka chakula chake na kuanza kumuuliza Jothan maswali. “nifaye nini ili niweze kuongea kingereza kizuri kama wewe?” aliuliza yule dada na kumuangalia Jothan “ni kazi rahisi, kwanza kipende na kuwa na juhudi nacho, ni lazima utakuwa na uwezo wa kukitumia utakavyo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “hivi unaitwa nani?” aliuliza yule dada baada ya kimya kifupi kupita. “Jothan” alijibu Jothan kifupi. “wooh.. nice name,… mimi naitwa Prisca.” Alijitambulisha yule msichana, “Prisca, jina la mama yangu hilo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “una simu?” aliuliza Prissca. “ndio.” Alijibu Jothan huku akijua ni kitu gani kilifuata baada ya Prisca kumuuliza swali lile. “unaonaje tukipeana contact sababu nahitaji sana ushauri wako na ukaribu pia kati yangu mimi na wewe kama hautajali.” Aliongea yule dada na Jothan alianza kumtajia namba zake na yule dada alitoa simu yake na kuandika zile namba alizokuwa anatajiwa. Baada ya kuihifadhi kwenye kitabu cha simu yake, alimbipu Jothan nay eye akai hifadi pia. Waliagana na kila mmoja akarudi kwao baada ya kuruhusiwa. Kesho yake Jothan alienda shuleni kwao na kupongezwa na mwalimu mkuu baada ya kupigwa kengele ya dharula na wanafunzi wote kukusanyika msitarini. Alimpongeza. pia mwalimu wa Jothan kwa kumpa muongozo mzuri. Aliporudi nyumbani, aliiwasha simu yake na baada ya sekunde kadhaa message tatu ziliingia mfululizo. Alipofungua zote zilikua za Prisca. Na zote zilimtaka akutane naye kama atakuwa na muda. Kwakua kwenye simu yake kulikuwa na vocha za kutosha. Aliamua kumuendea hewani. “niambie” aliongea Jothan baada ya simu yake kupokelewa upande wa pili. “safi tu, nilikuwa nahitaji kuonana na wewe leo kama utakuwa na muda.” Aliongea Prisca na kumfanya Jothan kutabasamu. “tutaonana wapi sasa?” aliuliza jothan huku akionyesha wazi kuafiki swala la kuonana na binti huyo. “popote tu utakapoamua wewe.” Aliongea Prisca na kumpa mwanya Jothan wa kuchagua. “sio mbaya kama tukikutana namanga, au wewe una semaje?” aliongea Jothan. “poa, saa ngapi?.” Aliuliza Prisca.” “mida hii mi najiandaa, nafikiri tukutane baada ya saa limoja kutoka sasa.” Aliongea Jothan. “poa” alijibu yule msichana na Jothan akakata simu. Jothan alienda kuoga haraka na kuvaa nguo zake nzuri mpaka mama yake akamshangaa. “wapi tena hiyo mwanangu?” aliuliza mama yake Jothan baada ya kumuona mwanaye amependeza kupita kiasi. “naenda maktaba kujisomea.” Aliongopa Jothan ili kukwepa maswali mengi kutoka kwa mama yake ambaye alikuwa anampiga vita juu ya kujihusisha na mahusiano na watoto wa kike Jothan alishuka namanga walipopanga kukutana na yule msichana. Dakika tano baade, Prisca naye alishuka na kukutana na Jothan. Mavazi aliyovaa Prisca yalimpendeza sana na kumfnaya Jothan kidogo moyo umshtuke kumuona msichana huyo ambaye ndio mara ya kwanza kukatana nae akiwa nje ya sare za shule. Aliduwaa kwa muda akiutathmini uzuri wa msichana huyo mgeni kwake mwenye kasi ya ajabu. “wooo.. umependeza sana.” Alisifia Jothan baada ya kukutana na yule msichana. “sikushindi wewe.” Alijibu yule msichana na kutabasamu. “kwakua muda bado unaruhusu, unaonaje tukichukua bajaji twende coco beach tukapate kipupwe na kufurahisha nafsi zetu.” Alishauri jothan na kumuangalia msichana huyo aliyemvutia kila akimtazama. “ok, nadhani itakuwa poa zaidi.” Aliongea Prisca na safari ya kuelekea coco beach ilianza mara moja baada ya kupata bajaji ya kukodi iliyowafikisha salama maeneo hayo. Walitembea huku ha huko huko wakila cone na crips. Watu walikuwa wengi na kuchangamsha eneo hilo. Tamasha pia lilikuwepo na baadhi ya wasanii wa bongo flavour walifika na kutumbuiza kwenye ufukwe huo uliomiminika watu kila dakika. Kutokana na kutopenda makelele, Jothan na Prisca walienda kwenye mapango ambapo kulikuwa na watu wachache wakiwa wametulia na wapenzi wao. Na wao waliafuta sehemu tulivu na kukaa na kuongea yao. Wakiwa wamejisahau baada ya kuzama kwenye stori na vicheko vya hapa na pale, ghafla wakajikuta wamezungukwa na watu watatu na mmoja wao akiwa amevalia mavazi ya kiaskari. “aroo, mna fanya nini hapa?” aliuliza yule askari aliyevalia sare kwa ukali. “sisi…sisi tumekaa tu.” Alijibu Jothan huku akitetemeka. “mmekaa tu, mbona mmejitenga?” aliuliza askari huyo na kudakiwa na mwenzake aliyekuwa amevaa nguo za kiraia lakini akiwa na pingu kama nne kiunoni mwake. “walikuwa wanafanya ufuska hawa.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kukataa kwa kutikisa kichwa. Uoga uliwa jaa kupita kiasi. Huyo Prisca ndio kabisaa, hakuweza kufanya lolote zaidi ya kuanza kulia. “wewe si mwanafunzi?” aliuliza yule askari huku akiendelea kumkazia macha Jothan “hapana.” Alikanusha Jothan “na wewe msichana si bado mwanafunzi wewe?” Yule askari alimgeukia Prisca na kumuuliza kiukali na kumfanya azidi kuogopa na kijasho cha uoga kiliamza kumtiririka. “ndio..bado mwanafunzi afande.” Alijibu kiuoga Prisca. “sasa wewe unaenda kufungwa miaka thelethini jela, unamrubuni mwanafunzi?,,,mfunge pingu mara moja.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kushangaa. Hakuamini kuwa wale maaskari walikuwa na nia ya kuwakamata. Alizunguka askari yule mwenye pingu na kumfunga Jothan mikononi. Walichukuliwa wote wawili na kwenda nao pembeni ambapo waliwakuta wavulana wengi rika mbali mbali waliokuwa wamekamatwa na wapenzi wao waliokuwa kule mapangoni. Wavulana waliitwa mmoja mmoja na kuhojiwa na baadae waliruhusiwa baada ya kutoa faini kutokana na kosa hilo la kukaa faragha mapangoni kitu ambacho maaskari wanaolinda eneo hilo wamekataza. Waliwaacha Jothan na Prisca wa mwisho kama walivyo wakamata. “unajua kuwa kutembea na mwanafunzi ni kosa kisheria na adhabu yake ni kubwa sana. Sasa usipoteze muda. Una shilingi ngapi tuwaachie?” aliongea askari aliyekuwa anawahoji wale watu waliowakamata. “hapa nimebakiwa na shilingi elfu nane tu.” Aliongea Jothan kiunyonge. “sasa hiyo elfu nane tutagawanaje?.. acha utani dogo utaenda kuozea segerea.” Aliongea yule askari na kuanza kumsachi Jothan. Aligundua kuwa ni kweli salio lake lilikuwa elfu nane. Alimuita Prisca na kumuuliza. “una shilingi ngapi ili tuwaachie?” aliuliza yule askari na kumuangalia Prisca ambaye bado alikuwa analia. “elfu ishirini.” Alijibu Prisca. “zilete hapa, haya na wewe zilete hizo elfu nane zako.” Aliongea yule afande na wote wakatii haraka na kutoa hela walizokuwa nazo. “mna nauli?” aliuliza yule afande na baada ya kupokea zile hela zote. “hatuna, hela zote ndio hizo.” Alijibu Jothan. Yule afande alichomoa elfu tatu na kuwapa kama nauli. “haya poteeni haraka, msirudie tena kujiingiza kwenye vitendo vinavyoshawishi ngono sawa..haya potea kabla sijabadili maamuzi.” Alipiga mkwara yule askari na wao wakaondoka haraka. Hawakuwa na hamu ya kuendelea kukaa pale coco beach, waliamua kuondoka. Walipofika kituoni waliagana na kila mmoja akapanda magari yaendayo kwao. Walipigiana simu na kila mmoja alimtaarifu mwenzake juu ya kufika salama nyumbani kwao. Kisanga kilichowakuta ilibaki kuwa siri yao. Hakuna aliyediriki kumuhadithia mtu yeyote. Mapenzi ya kishule shule yalianza taratibu na mwosho wakajikuta wanapendana kiukweli na hakuna aliyeridhika kupita siku bila tukio la kuonana. Walimaliza elimu yao ya kidato cha nne huku mapenzi yakiendelea kati yao. Waliridhika kuonana na kuchat kupitia simu na mitandao ya kijamii. Jothan alipomaliza kidato cha nne alichaguliwa kwenda kibaha kumalizia elimu yake ya kidato cha tano na sita. Alifaulu vizuri na kwenda chuo kikuu morogoro. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kupotezana na Prisca. Kwani alipoteza simu na akaamua kubadisha line wakati namba ya Prisca haikuwa kichwani mwake kutokana na tabia ya Prisca kutodumu na namba mmoja muda mrefu. Alimuwaza sana mpenzi wake huyo waliyekutana enzi za shule na kukua pamoja. Hakua na jinsi zaidi ya kupiga kitabu baada ya kuona anapoteza muda kumuwaza mtu ambaye hata kwao walipo hivi sasa hapafahamu. Hii ni baada ya kupewa taarifa za kuhama Prisca pale walipokuwa wana kaa mwanzo baada ya kuuza nyumba yao. ***************** Mawazo yalirudi tena kwenye ile picha na kuamua kuificha bila kuichoma moto kama alivyotaka mwanzo kufanya. Badala yake alienda sehemu ambayo kulikuwa na hati ya nyumba yake na kuiweka ile picha katikati. Ni kweli Prisza alikuwa anampenda na hawakuwahi kuachana. Ni muingiliano tu wa maisha ndi uliowatenganisha. Moyo wake aliona kama si haki kuichoma ile picha kwakua bado alikua na nafasi ndani ya moyo wake japokuwa kuonana na msichana huyo ni ngumu sana. Hata alipomaliza chuo alijitahidi kumtafuta bila mafanikio. Mpaka muda huu anajitegemea ni kipindi kirefu cha miaka sita tuko walipokutana na Prisca kwa mara ya mwisho. Mawazo ya msichana huyo wa kwanza katika maisha yake yalimchanganya kichwa na hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokea na kuanzisha ukurasa mwengine wa maisha yake kwenye mapenzi na shani Baada ya usafi huo wa kabati lake, aliamua kujilaza kitandani na usingizi ukamchukua. ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA 28 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. endelea sasa nilitoka pale kitandani na kuelekea mlangoni ile nafungua tu nilikuatana na yule Dada wa kazi tekla akiwa hoi yaani kazidiwa na nyege mana nilimuona akiwa ana jitia vidole kwenye ikulu yake kitendo cha kuniamsha mashetani yangu.nika mwambia atangulie chumbani kwake nakuja mana nilikua uchi na nguo zipo chumbani kwa rose.nililudi chumbani na kumwambia rose tekla alikua natupiga chabo inabidi na yeye nikampe dozi ili asitangaze kama kawaida natembeza formula yangu.alinikubalia nika mpe dozi na yeye mpaka akome kuchungulia wakubwa wakifanya yao mana tekla alikua anacheza kwenye range ya 16-17. huku akinishukuru sana mana nimemkwangua nyege zote.nilichukua nguo zangu ila sikuweza kuzivaa kutokana na maumivu ya dude langu lililo kakamaa likiwa bado lina hasira.niliamini Yale maneno ya rose aliyo niambia ile dawa inabidi nipige bao tano.nilitoka chumbani kwa rose na luelekea chumba cha yule Dada wa kazi tekla nayeye kumkuna kitumbua chake kinacho muwasha nilipo toka kwenye korido nilimwona tekla akinipa ishara nimfate chumbani kwake. wakati naenda nilisikia kurupushani ikiendelea chumba cha yule Dada na mjomba ni mwendo wa miguno tu.nilifika mpaka chumba cha tekla na kumkuta mtoto kajilaza kitandani huku mguu mmjoja kautupa huku na mwingine huku sikutaka kumlemba sana mana maumivu niliyo kua nayasikia kama kawada yangu cha kwanza ni kupima oil lakini safari hii sikupima na kidole nilipima na mashine yangu niliisogeza kwenye kitumbua chake mzigo ukapitiliza moja kwa moja mpaka tekla akarudi kwa nyuma mana mzigo haukua saizi yake na kuanza kutoa kilio cha mahaba. “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,,,,,,,tia yote oooooooh ........ashiiiiiiii tamuuuuuu" niliendelea kumpampu nilishangaa kuona tofauti kwa telka nilianza kupiga bao kabla ya yeye.sasa nikabakina wazo moja tu nimalizie hicho cha tano nitulie zangu mana nitakufa si kwa kutom** huku kidume nili mbadilisha style na kumweka chuma mboga heee asikwambie MTU hii style kiboko bwana mtoto alikua mbishi kukuojoa alianza kutoa miguno “a,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,weweeeeeeeeeewww,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,chomoaaaa nataka kujoaaaaaaaaaaaaa kwanzaaaaa,," nilimwambia kojoa humo humo.nikaendelea kutembeza dozi.nilishangaa kumuona tekla akinivuta kwa nguvu na kunibana kiasi kwamba kama tunagombana vile alinibana kisawasawa huku akizungusha kiuno nami nilikua nakaribia kukojoa nika mbana kwa nguvu huku wote tukilia kilio cha furaha ooooooooooooooohhhhh............mmmmmmmmmmhhhh aaaaaaiiiiiiiiiii........!!!!! nilimaliza ule mchezo nilivyo taka kuchomoa dude langu tekla alinizuia na kuniambia usichomoe tuendelee nikaona huyu anataka iue kutembeza mb** nyumba nzima masiara nilichomoa na kuona mzigo ukianza kurudi kwenye hali yake ya kawaida.sikua na hata mda wa kuoga nilivaa zangu nguo na kumuaga naludi nyumbani mana mjomba akiamka asije akanikuta hapa ilikua mida ya SAA 10 usiku.nilipofika getini mlinzi alianza kunizingua kwa kunikatalia kufungua geti nika mdanganya naenda kuchukua tax kuna mgonjwa ndani sijui alidanganyika vipi wakati mle mdani kuna gari zaidi ya mbili.alinifungulia na nikaanza safari ya kuelekea nyumbani uzuri wa jiji la dar watu awalali niliona boda boda zimepaki nikawafata nikawapa hi na kuwaelekeza wanipeleke nyumba namba 116. hicho ndio kilicho niokoa mana ningesema nimwelekeze angenipeleka nyumba gofuti.nilipanda kwenye pikipiki na safari ikaanza.yule boda boda aliniuliza swali moja. "mtoto wa kishua usiku huu unatoka wapi ?." si unajua tulikua tuna patty alafu gari limenizimikia njiani.sikumaliza kumdanganya tulikua tumesha fika uzuri mfukoni linikua na 20000 nikamwachia 10000 nikampa tu abaki nayo mana aliniambia 2000 mpaka home.jamaa alishukuru sana nikabisha hodi na kumkuta babu akiwa macho huku akinywa kahawa. "aaaa kijana jiangalie mana maisha yako yapo hatarini mjomba wako akijua mchezo unayo ifanya"poa poa babu nimechoka sana acha nipumzike tutaongea vizuri kesho...... nilimwacha mzeee na kuingia ndani.miguu ilikua inatetemeka kiasi kushindwa kupiga hatua nikaanguka chini huku nikipiga kelele waje wanisaidie alitoka manka na errycah............. nilikua nimeishiwa nguvu kabisa mana ile dawa ilimaliza nguvu zangu zote.errycah alipo niona aligundua nimeishiwa nguvu.sikutambua nini kilitokea zaidi ya kujikuta hospitani niliwa nime tundikiwa drip ya maji.nilipo jaribu nilizuiwa na nurse.huku akiniambia "subiri mpaka drip hili liishe mana uletwa hapa ulikua hoi hata ujielewi hivi hao ulio lala nao walikubaka au ? mana hatujawai kupata mgonjwa namna hii na unaonekana upo vizuri.kizazi cha sasa mtu kupiga mechi mpaka kuishiwa kabisa nguvu ni ajabu walikua wangapi hao ?" nilimtazama yule nesi sikumpa jibu nikamuuliza walio nileta wapo wapi ? "wameenda kukuchukulia nguo na chakura" "wanajua Nina umwa tatizo gani ?" "apana bado atujawaambia tulisubiri uamke tuwape taarifa na wewe ukiwepo" naomba uniitie doctor nitaka niongee nae.akaenda nje kuniitia doctor alikua ni doctor wa kike tena mzuri balaa alafu mweupe yupo kama shombe shombe hivi sema umri wake unacheza kwenye 30-31.nilipo mwona tu nilihisi kupata nafuu nilimwomba yule nesi atoke nataka kuongea na doctor.tulisalimiana na kunipa pole. "samahani doctor Nina ombi moja naomba unifichie siri yangu kwa ugonjwa huu nilio upata wakija ndugu zangu naomba uwaambie niliishiwa maji mana itakua aibu kama mjomba akisikia nilikua kwa wanawake ilibidi nitumie na kauongo licha ya hivyo familia yetu INA msimamo mkali wa kidini please doctor nitakupa kiasi chochote cha fedha ukitakacho." "alicheka sana kisha akaniambia we we kijana una nichekesha sana kwa hela gani uliyo kua nayo utanipa.Mimi ni doctor bingwa tena hapa nimekuja kwa mda wa mwezi mmjo tu kwa ajiri ya kutibu maradhi ya wanaume natembea nchi zote za Africa mashariki naishi Kigali nina familia yangu kiufupi sina shida na hela.alafu huo umalaya wako wa kufanya mpaka uishiwe nguvu ni nyege au tamaa na kama ulilala na msichana mmoja ukampiga izo bao 5 sijui yupo kwenye hali gani uko ya nini kujiumiza mtoto mdogo kama wewe tafuta mtu mmoja tulia nae alafu hata kama una pepo basi walau Mara moja kwa wiki sio kila Siku mana nilivyo kuona umeishiwa kabisa sperm/shahawa na cell zake zinaweza kufa kabisa mana zilikua zikijizalisha wewe unazitoa nataka nikusaidie nitakupa dawa utatumia kwa Siku tano ili uzijaze ziludi kwenye hari yake ya kaida na ndani ya sikuizo tano usikutane na mwanamke.na utabaki hapa hapa hospitali nitaendelea kukusimamia mpaka umalize dozi.dawa yenyewe ni sindano tano kila siku nitakua nakuchoma moja." sikua na lakusema zaidi ya kumwambia asimwambie mjomba asije akanijazia vibaya kwenye report yangu ya kurudisha shirikani. aliniuliza "kwani wewe ni mseminali ?" "ndio" "mbona una Fanya mambo ya ajabu sana.upo shirika gani ?." "nipo st Vincent ya pale Rwanda" yani kwa nidhamu mbovu uliyo onyesha siwezi kika kusaidia tena nitaenda kuku report mana hatutaki mapadri wasio kua na maadili. nilihisi kupalalaizi mana doctor alizidisha ukari Mara mbili zaidi.nilishangaa baada ya kuona manka na errycah wanakuja huku wakiangua kilio. "mbona mnalia" errycah alinijibu huku akibubujikwa na machozi "ba...........ba ame.......farikiiiiiii" "what kafa kwa nini" ""amefumaniwa na mke wa mtu amekatwa sehemu zake ya siri amevuja damu nyingi sana ndio sababu iliyo pelekea kupoteza maisha ila police wamesha mkamata aliye fanya unyama huu wa kumuondoa mumewangu "" manka alijalibu Ku nyoosha maelezo ambayo bado yalikua na maswali mengi sana kwangu "na huyo mwanamke aliye fumaniwa nae yupo kwenye hari gani"niliuliza kinafiki huku nikijifanya kama sielewi "mwanamke aliye fumaniwa nae kachomwa chomwa visu yupo muhimbili sijui kama atapona sijui baba alikosa nini mpaka kutembea na mkewamtu" kweli mungu bado ananipenda nilijisemea moyoni mwangu mana hili zali linge nikuta mimi nilijiapiza kwa Mara nyingine sitokuja kufanya mapenzi tena mpaka mwisho wa uhai wangu. manka aliongea "inabidi uamke tuanze kufanya maandalizi ya msiba"wakati huo doctor alikua pembeni anatusikiliza aliamua kutoa la moyoni mwake "poleni sana wadogo zangu naombeni mjipange upya mana maisha bado yapo yanendelea cha umuhimu mtumainini mungu na mumuombee marehemu apumzuke kwa amani." hakuimaliza sentesi aliingia merry huku akicheka kwa kwa dhalau.niliamua kumuuliza merry "unacheka nini hauoni tupo kwenye matatizo makubwa." "yametimia mwisho wa ubaya ni aibu hatimaye mwenyezi Mungu kaamua kutenda haki.na kufichua mabaya yake na bado sasa tutaona mengi baada ya msiba huu mficha maradhi kifo humuumbua.... PUMZIKENI KWA AMANI BABA. NA MAMA YANGU."maneno ya Merry yalikua ukweli mtupu hakukua na mtu wa kumpinga mana kila mtu alikua najua madhambi ya mjomba.nilijikaza kiume huku doctor akinifungua ile mipira ya maji niliyo tundukiwa na kuanza safari ya kwenda nyumbani kufanya kikao cha familia kwa ajiri ya kuzika msiba wa mjomba doctor aliniambia nikimaliza msiba niludi ili anipe matibabu mana mfumo wangu wa shahawa unamatatizo inabidi niwai nipate matibabu nisije nikawa mgumba.nika mwitikia kwa ishara mana nilikua nusu ya chizi mambo kibao yana nichanganya kifo cha wazazi wangu sijui wamezikwa wapi dereva aliye niambia atanipa siri zote kawa kichaa.nikipata matumaini baada ya kukumbuka chumba cha siri lazima nika kifungue ili nijue ukweli wa mambo yote. tuliingia kwenye gari na safari ya kwenda nyumbani ikaanza tukiwa njiani errycah yeye alikua anaangua kilio tu asikwambie mtu msiba ni msiba tu hata akifa mbaya wako kama ume share naye damu lazima uumie.ila msiba wa shoga sizani kama kuna mtu atatoa machozi yake. nilitumia busara yangu kumpa maneno matam matam ya kumpooza huku moyoni nikiwa na amani mana mbaya wangu kashavuta kamba. manka ali drive kwa mwendo wa kawaida mpaka nyumbani.tuliposhuka kwenye gari tulisikia taarifa ya kifo cha mjomba kwenye radio ya mlinzi aliyo kua ameifungulia kwamba (BHG) brotherhood gang ""inasikitika kutangaza kifo cha member no #966.x.112 bwana Theophile .s. mluku kilichotokea leo majira ya SAA 2 asubuhi.mwili wa merehemu utasafirishwa mpaka makao makuu yao nchini Nigeria.Taalifa iwafikie wafuasi wote wa (BHG) waliopo Tanzania na nchi nyingine""" wote tulisikia tangazo hilo lililo tangazwa na shirika LA utangazaji nchini TBC. Tulizidi kushtuka zaidi pale tuliposikia mwili utasafirishwa kuelekea makao yao makuu nchini Nigeria. hatukua na mda wa kufanya kikao ilibidi tuelekee monchwari moja kwa moja ili tuuzuie mwili wa mjomba usije ukachukuliwa na (BHG).Tunataka mwili uzikwe hapa hapa. Tulitoka wote nyumba nzima hadi mlizi na kuelekea muhimbili.tulipo kua tuna karibia tulikutana na msafara wa magari ya kifahari yakiingia pale hospitalini tulishtuka zaidi kuona watu wamevalia suti za blue na miwani mwekundu ilibidi tupaki gari pembeni nakuelekea ndani wale watu walinikazia sana macho huku wakino ng'onezana wengine wali diriki hata kuninyooshea vidole nilipo watazama kwa umakini niliwakumbuka ndio wale nilio waonaga horena hoteli.kama unavyojua seminarini tunafundishwa mbinu nyingi hasa ujasiri.nilipita karibu yao na kuelekea monchwari.tulipofika tulieleza tulishangaa walivyo tujibu.mbona mnatuchanganya huyu mtu anakuja kuchukuliwa na (BHG) na wamesha jaza kila kitu na malipo wamesha yafanya pia tumeonyeshwa na mkataba wake kwamba akifa asizikwe na familia yake azikwe na kikundi chake tulionyeshwa baadhi ya copy za mkataba alio ingia mjomba. ""why daddy.........!!! kwanini umeamua kufanya hivi tungekua masikini tusinge ishiii ona sasa yaliyo kukuta sita kuona tena baba yang....uuuu please nisaidieni......jamani baba azikwe hapa hapa nyumbaniiii ......."" aliongea errycah kwa uchungu mkubwa. akachukua simu yake na kumpigia mwanasheria wa mjomba simu haikuita.na baada ya mda mfupi tuliwaona wale (BHG) wakiingia ndani huku wakiwa wamepanga foreni walikua wengi sana.wake kwa waume nilipo jaribu kuwachunguza wengine niliwafahamu kabisa.kuna baadhi ya wasanii wa dini,bongo fleva,hiphop wa hapa nchini wachungaji matajiri wakubwa wandishi wa habari watangazaji wanasiasa hata baadhi ya wanafunzi wa vyuo walikwepo.tuliwekwa pembeni na police ili kuwapisha wale (BHG) kufanya ibada ya kumtoa ndugu yao jeneza la dhahabu lilitolewa mle ndani na likawa linapita mikononi mwao huku kila aliye libeba alilitemea mate.sikuelewa wana maanisha nini ila mlinzi alituambia ile ndo ibada yao ya mwisho ya kumuaga mwenzao na wakioka hapa wanapanda ndege na kwenda kuzika. errycah na manka wao ulikua ni mwendo wa kilio tu.Mimi na merry hatukuumia hata kidogo kutokana na madhambi aliyo tufanyia mjomba.kwa kutuondolea wazazi wetu.walipeleka jeneza kwenye gari na wote kwa mstari ulio nyooka waliingia kwenye magari yao na safari ya kuelekea airport iliianza tulibaki na viulizo kichwani huku mlizi akiendelea kutupa stori "wote unao waona hapo wanaenda Nigeria moja kwa moja hiyo ndio sheria yao lazima mwenzao akifariki wamzike na hao wote watazikwa Nigeria cha msingi nacho washauri wanangu. kaeni meza moja muongee myamalize na mjue mtaanza vipi maisha ""ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO."" "ama kweli mshahara wa dhambi ni mauti"alimalizia errycah huku tukielekea kwenye gari.tulipokua njiani tuliendelea kukumbushana mambo tuliyo yaona kule hospitali.mpaka tukaanza kubishana na Merry.ubishi wenyewe merry alisema kwenye ule msafara amemuona mwandishi wa story ya utamu wa kitumbua chas360tz nilimkatalia kwa sababu chas360 namfahamu vizuri Jamaa hapendi mambo ya kijinga kwanza saizi yupo zake studio anaanda kitabu chake.ubishi ule uliisha pale mlizi alipo ingilia kati na kusema chas360 ni baba yangu mdogo msimsingizie mambo ya ajabu ajabu.tushuka kwenye gari na kuingia ndani moja kwa moja huku wote nia ikiwa moja kwenda kufungua chumba cha siri.kabla ya kwenda kufungua simu ya mezani iliita tulitazamana huku tukisakiziana kila mtu apokee.kidume nikajitosa nika pokea na kuanza kusikiliza maelezo unaongea na OLOMO IGWE kutoka (BHG) samahani naongea na KENNY .J. SIMBULI nilishanguu kuona kalijuaje jina langu nika mjibu ndio. "nadhani unatambua mjomba wako kafariki kuna baadhi ya document zake tumezipitia na tumeona kakuandika wewe ndie mrithi wake.unatakiwa kufika Nigeria kesho ili tukufanyie usajiri na kama ukikataa basi ukoo mzima mtakufa na Mali zote mtanyang'anywa mana ni Mali ya brotherhood gang (BHG). kuhusu usafiri na kupata utaratibu wote nenda horena hotel chumba namba #966 utakutana na agent wetu atakuelekeza kila kitu." uzuri simu niliweka loudspeaker kila mtu akasikia nili mjibu kwa dhalau "sikia bro nikwambie siogopi kufa mana hamna uwezo wa kuondoa maisha yangu hamuwezi kuiteteresha imani yangu.na kuacha kumua budu mungu wangu aliye juu.kama Mali njoeni mchukue bora nife masikini kuliko kua na Mali nyingi sio halali.kwa imani ya Mwenyezi Mungu hii vita nitaishinda na hamniwezi kwa chochote kile." "sikia kijana naona ume panic sana bora uishi naisha mafupi yenye raha kuliko maisha marefu yenye shida.kama umekataa cha moto utakiona wewe na ndugu zako nikimaliza kuzungumza na wewe nakupa masaa 48 mkusanye kilicho chenu wewe na ndugu zako na mtoke kwenye nyumba.ila kitu chochote cha mjomba wako naomba chumba namba #966 msikifungue........nadhani nimeeleweka."alikata simu tulianza kujadiliana kutokana na ile simu iliyo pigwa.nikaonyesha msimamo wangu kama mwanaume hapa tunaenda kufungua kile chumba ili tujue kuna kitu gani tukitoka hapo tubebe kilicho chetu tuhame uzuri wa Mali za kishirikina kama ukichukua kabla ya marehemu ajafariki hiyo Mali ni yako ila ukichukua baada ya marehemu kasha kufa utakacho kutana nacho ni juu yako.zile million hamsini ndo zitakua Mali yetu ya uhalali mana tulichukua kabla ya mjomba hajafariki ukiangalia erycah na yeye alikua amewekewa hela toka utotoni mwake kuyumba hatuto weza.maumivu yalikua kwa manka yeye hakulipwa chochote kibaya zaidi alicho jiharibia ni ile tabia yake ya kutoa Tigo ningeweza kumuoa alijiharibia CV alicho kiomba yeye ni nauli arudi Rwanda akaanze maisha.mlizi hatuwezi kumuacha tumezoeana naye sana hata tukisema arudi kijijini tuta mtesa tu. errycah alileta ufanguo wa chumba cha siri nikauchukua na kwenda kukifungua.nilifika mlangoni wote walikusanyika pale kutaka kushuhudia kitu gani kipo kwenye chumba kile.nilianza kufungua kufuri la kwanza nikatekenya kitasa kitu kikajibu.nilifungua taratibu na kuona chumba kipo tupu tena kuna Giza Nene nilitangulia kwanza peke yangu nikawapa ishara waje ndani waliingia hatukufanikiwa kuona kitu chochote nisogea kwenye ukutu nilishangaa kuona kama mlango ukutani nilipo ugusa ulifunguka.kumbe kule ndio chumba chenyewe namba #966 tulipo ingia tuliona vitu vya ajabu tulikuta kabati mikufu ya dhahabu vibuyilu chungu na kiti cha kifalme errycah alifungua lile kabati tukaanza kusikia harufu mbaya nilipo mulika na vizuri na tochi ya simu yangu.oooooooh mungu wangu sikuamini nilicho kiona niliona mafuvu ya vichwa nilipo mulika vizuri niliona fuvu LA kwanza likiwa likeandikwa jina la baba na lingine jina LA mama nilianza kutokwa na machozi niliumia sana..hakukua na mtu wa kuvumilia wote tulianza kuangua kilio.hiyo ilikua ni flem ya kwanza. flem ya pili ya kabati tulikuta fuvu moja kuangalia pale juu kwenye paji LA uso lilikua limeandikwa jina LA shangazi mama yake mzazi errycah. errycah baada ya kuona vile aliishiwa nguvu kabisa alikaa kimya huku akitoa kilio... huku akisema ""baba kumbe ulimuua mamaaaaa....."" nikafungua flem ya 3 tukakuta mafuvu ma tano yaliyo wekwa pamoja kumulika vizuri tuliona majina kwenye mafuvu yale lilikua fuvu la vannesa nasma husna yule shangazi na dereva....... ""mungu wangu huyu dereva kafariki lini nakumbuka sikuile tulimkuta mwanza akiwa anaokota makopo.jamani duniani kuna watu wabaya.""aliongea manka kwa majonzi tukaendelea na fkemu ya 4 tutakuta viperushi vya majina yetu inaonesha na sisi tulikwepo kwenye list. mlinzi alituamuru tuvichukue kisha tukavichome moto ili hata wenzake wakija kuchukua madude yao majina yetu yasiwepo... uwezi kuamini nilisahau utamu wa vitumbua nilivyo kula na kujuta kuzaliwa mana si kwa vitu hivi. kutupa macho pembeni niliona nyele zikiwa kwenye kindoo na hapo ndipo nilipo gundua kwa nini mjomba hakua na nywele na sikuwai kumuona akienda saloon kunyoa.nilisogea mpaka pale kwenye kiti cha kifalme nikakuta bahasha niliichukua na tukatoka kwenye kile chumba.nilikifunga kama nilivyo kikuta tukaenda sebreni kuifungua ile bahasha na kukutaa ma dhambi yote aliyo yafanya mjomba kama kafara ya kuongeza Mali ameyaandika.kweli mjomba amewaua wazazi wangu mkewake (mapacha) husna na nasma na dereva ......... karatasi ya pili tulikuta majina yetu yakiwa yameandikwa kwa rangi nyekundu.........niliumia sana ila nilijikaza kiume tukiwa bado tunasoma zile karatasi.walikuja ma agent wa (BHG) wakatumbia tubebe kila kilicho chetu na tuondoke la sivyo tujisajiri na chama chao wote tuligoma kila mtu akaingia chumbani kwake na kupaki nguo.nilifika ndani na kuanza kupanga kila kilicho changu nilipofungua kabati LA chumbani kwangu nilishangaa kuiona ile bahasha niliyo achiwa na sethi kule horena hoteli.sikupata mda wa kuifungua niliweka kwenye begi na kutoka nje kuwapisha wale ma agent wa BHG.kibaya zaidi tulimwona na yule wakili wa mjomba akiwa nao sambamba wale ma agent. alijifanya kama hamjui errycah.ama kweli MWISHO WA MAWINDO MBWA HANA THAMANI. hatuweza kuondoka na gari tulipotoka nje nilimwona yule boda boda aliye nileta juzi.tuka salimiana nika muulizia hamna nyumba inayo uzwa ? "bro hapa umefika Mimi ndo dalali wa mijengo sema ikifika mida kama hii napiga boda boda jina langu naitwa dalali kiongozi kuna mjengo masaki hii hii unauzwa million 450 kama upo vizuri unaingia leo leo." nilidata kuisikia ile bei.nilishangaa kuona errycah akidakia ok twende hela ipo.ndo ikawa nafuu yetu alimwita mwenye nyumba baada ya lisaa limoja tulikamilisha kila kitu na kuingia kwenye nyumba mpya huku zile million 50 tulizo mwibiaga mjomba alikua Nazo merry.niliingia ndani na kufungua begi langu ili nipange vitu vyangu niliiona tena ile bahasha nilipo ifungua sikuamini macho yangu nilikuta majibu ya hospitali ya sethi ya kipimo cha damu na kuonyesha ni mwathilika nilihisi Ku data mana yeye alikua msichana wangu wa kwanza Ku lala nae ukiangalia sikutumiaga condom. """ina maana na mimi nimeathilika Mungu nionee huruma Mimi sito ludia tena kwaiyo kama Nina HIV inamaana wote nilo lala nao na wenyewe wanao oooohh mungu wangu nimekwisha nikianza kulia kwa sauti mamaaaaaaaa.........nimekwishaaaaaa.............sethi..........umeniponza........ .kwanini...........Mimi.....nimesha......upoteza u padri........na nimewaua ndugu zangu..........nime muua mpaka mdogo wangu..........bora nife siwezi kuendelea kuishi kama nimewaua ndugu zanguuuuuu""" kumbe kina merry walikua wana nisikiliza lakini hawakuelewa walipo fika waliniuliza sikua na mengi ya kuongea zaidi ya kuwaonyesha Yale matokeo na kuwaambia Huyo ndo alikua msichana wangu wa kwanza kutembea nae........ "Kenny kwaiyo umetuua woteeee"wote watatu waliniuliza kwa Mara moja niliumia sana niliwaomba samahani ila mlinzi alitushauri twende hospitali tuka hakikishe hatukua na mda wa kupoteza tulienda hospitali kwa yule doctor wa Rwanda bahati nzuri tulimkuta yupo zamu ya usiku nilimwelezea akachukua vipimo vyetu.akatuambia turudi baada ya wiki tatu hapo ndo tutapata majibu ya uhakika alinichana ukweli mda ule ule na kuniambia hauto kua na uwezo wa kumpa mimba mwanamke yoyote yule labda muujiza wa mwenyezi mungu niliona dunia ngumu na kujilaumu sana kwa kunogewa na UTAMU WA KITUMBUA............... ************** MWISHO WA SIKU KENNY NA WALE WOTE ALIO FANYA NAO MAPENZI WALIPATA UKIMWI (NGOMA) ILA MAISHA HAYAKUISHIA HAPO YALISONGA MBELE KENNY HAKU BAHATIKA KUPATA MTOTO ALISHINDWA KURUDI SEMINALINI ALIMRUDIA MUNGU ALIFUNGUA KANISA LAKE NA KUA MCHUNGAJI.......!!!! ERRYCAH NA MERRY WALIOLEWA MANKA ALILUDI NCHINI KWAO NA MLINZI ALIRUDI KIJIJINI KUANZISHA BIASHARA YAKE *************MWISHO********** ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU—SEHEMU YA TATU (ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI; Raya anarekodi Video ikimuonyesha yule Mama akimtesa mtoto wake wa kambo, akimpiga na kumfanyisha kazi. Anamkabidhi Baba Jack ili aone kinachoendelea. Je nini kitatokea ENDELEA.. Kama hujasoma sehemu ya pipi basi bonyeza hapa; Iddi Makengo Dada alimuona namna Baba anavyobadilika, namna ambavyo uso wake alikua anaukunja, ghafla nilimuona Baba machozi yanamtoka, nikitegemea kama atapandwa na hasira kama nillivyokua mimi na kuanza kumtandika Dada makofi niliona anamgeukia taratibu, alimuangalia kwa uchungu kama vile alikua anataka kusema kitu lakini maneno hayatoki. “Ni…ni nini hiki?” Alijitahidi kuuliza, wakati huo Dada alikua kimya akiangalia chini kwa aibu. “Nisamehe mume wangu ni hasira tu, huyu mtoto wakati mwingine ananiudhi nalazimika kumpiga…” Alijitetea. Mimi bado nilikua nashangaa ni kwanini Dada hakua amelala chini akitokwa damu kwa kipigo. “Hasira ndiyo unwe unampiga mtoto namna hii, hizi ni hasira gani?” Hapa Baba aliuliza kwa hasira kidogo, nilipata faraja labda atamtandika makofi lakini haikutokea. Dada alianza kulia, “Hata mimi sijui mume wangu, sijui hata nini kilinitokea siku hiyo nikampiga mtoto, mimi sina mkono wakupiga kabisa, wewe mwenyewe unanijua labda ni hii mimba…nikiwa katika hali hii nakua tofauti sana…” “Muongo, ni kila siku anampiga, hata haya anayoita mapele ni yeye. Hata chakula anamnyima, anamtukana, anamfanyisha makazi kama Mbwa, huyu si mwanamke ni shetani!” Niliongea huku nikinyanyuka kwa hasira, Baba alikua kama zezeta flani hivi, baada ya kutajiwa neno mimba ni kama alisahau kuwa yule mwanamke alikua ni shetani. Nilikua nasikia mambo ya limbwata lakini nilikua sijawahi kuona mtu kalogwa akalogeka. Kwa namna ile video ilivyokua mtu yeyote mwanye akili timamu hata kama asingekua mzazi wa Jack angekasirika na asingemsikiliza yule mwanamke. “Una mimba mke wangu, ina miezi mi ngapi? Mbona hukuniambia?” Alisahau kabisa kuhusu Jack na kuanza kuulizia upuuzi mwingine ambao nilijua kabisa ni uongo. “Hakluna cha mimba wala nini, hivi wewe huoni kama anataka kukuchota akili!” Niliongea kwa hasira, pale nilikua kama mfanyakazi ila kwa wakati ule nilijua kazi sina hivyo ilikua ni lazima kumtetea Jack na kuhakikisha haki inatendeka. Nilipiga kelele na harakaharaka nilitaja karibu kila kitu ambacho mimi nilikishuhudia Dada akimfanyia Jack. “Mume wangu unaona, huyu binti ndiyo sababu ya kila kitu. Hataki kufanya kazi, nyumba ikakua chafu na kamjaza mwanao kiburi, mbona kabla ya kuja tulikua tunaishi salama. Jack namfundisha kazi na ananisaidia kufanya kazi za ndani, kwa hali yangu hii siwezi kufanya chochote, wewe mwenyewe unakumbuka kilichotokea kipindi kile. Unajua namna tulivyohangaikia huyu mtoto, hivi kweli kumfundisha mtoto wa kike kazi za nyumbani ni kosa? Au kumchapa akikosea ni kosa? Au kwakua mimi sina kazi nipo hapa nyumbani, au kwakua mimi ni Mama wa kambo ndiyo mnaniona kama shetani. Huyu binti anajazwa maneno na Mama yake, kila siku wanaongea na ndiyo wanataka kutuvuruga. Mimi siwezi, mimi siwezi kama umenichoka niambie tu niondoke zangu!” Aliongea huku akilia, kila kitu kilikua ni uigizaji, wakati anaongea alianza kunyanyuka, alinyanyuka huku akishika tumbo kama vile ana maumivu tumboni. “Nini? Kuna nini kimetokea, tumbo linauma?” Baba alimuuliza lakini hakujibu zaidi ya kumuambia niache kama umeamua kumsikiliza huyo baki naye mimi naondoka. Alinyanyuka kwa kupepesuka kisha taratibu alidondoka chini. Niliona kabisa kafanya makusudi kwani hakudondokea sakafuni, alipiga jicho pembeni kisha akapepesa macho na kudondokea kwenye sofa, akawa kama kakaa kiupende kisha ndiyo akafika chini. Baba alipaniki, alianza kuhaha, simu alitupa pembeni na kuacha kuangalia, watoto wake nao walikuja kulia na kumlilia Mama yao. Ilikua ni kama maigizo flani, Baba alianza kuongea habari za Hospitali ndipo alijifanya kufungua macho na kulazimisha kupelekwa chumbani. Aliniambia nimsaidie kumnyanyua lakini sikua tayari, nilimshika Jack mkono na kuondoka naye mapaka chumbani, nilimuacha Baba akihangaika kumnyanyua ili kumpeleka chumbani, alisahau kabisa ishu ya mwanae. **** Usiku mzima sikulala, nilijua nafukuzwa lakini suala la kumuacha Jack pale halikuingia akilini. Nilimuambia Jack nimpeleke kwa Bibi yake lakini alikataa katakata. “Watakuja tu kunichukua, hata nikisema nini hakuna mtu wa kunisikiliza. Wewe dada ondoka tu uniache hapa, nimeshazoea kila dada anayekuja anachoka na kuondoka mimi naendelea tu kubaki. Baba hawezi kuruhusu niondoke, alishagombana na Bibi mara nyingi lakini anasema ananipenda na hawezi kukaa mbali na mimi. Kumbe sikua mimi peke yangu niliyeona yale mateso na kukerwa nayo, kulikua na wafanyakazi wengine wawili nyuma ambao walishafukuzwa kwaajili ya Jack ndiyo maana alikata tamaa. Mmoja alisema kwa Bibi yake Jack na mwingine alimpa chakula na alikua anawasiliana na Mama yake Jack. Asubuhi Baba aliamka kama kawaida, ni kama kulikua hakuna kitu kilichotokea, Dada alijifanya kuamka na kumuamsha Jack kwaajili ya shule, alijidai kumuandaa na kujifanya hana kinyongo. Waliwaaandaa na kuwapeleka shule, alipoondoka tu Dada aliniambia nikusanye kila kilicho changu na kuondoka. Alinitukana sana kwa kutaka kuingilia nyumba yake akiniambia kuwa pale hawezi kuondoka. Alitaka kunipiga lakini kwakua sikuwa nikihitaji kazi tena na nilishajua siwezi kubaki tena pale kumlinda Jack niliamua kumtolea hasira. Baba alishaondoka kwenda kazini hivyo tulibaki wawili tu, pamoja na mwili wangu mdogo lakini nilipitia mengi, maisha ya kupigana mtaani nilishayazoea. Nilimsubiri aliponipiga kofi la kwanza na la pili. Nilimuacha anogewe ndiyo nikaanza kumtandika, hakuamini. Nilimtandika kama vile mtoto mdogo, nilimpiga sana akapiga kelele lakini hakukua na mtu wa kumsikia. Baada ya hapo nilichukua kilicho changu na kuondoka. Nilimuambia naondoka lakini nitarudi, nitarudi kwaajili ya Jack. Alinyamaza kimya bila kusema chochote. Kumbe mtu mwenyewe alikua mayai mayai halafu anajifanya kuonea watu. Niliondoka na kwenda kwa kijana mmoja, huyo alikua ni X wangu, tulizinguana kitambo kabla sijaacha kazi nilipokua nikifanya mwanzoni, yeye alikua ni Kondakta wa daladala hivyo mchana alikua kazini. Mlango wake nilikua naujua vizuri hivyo niliufungua hata bila funguo. Sikua na pakwenda kwani sikua na ndugu Dar, ingawa sikuachana naye vizuri lakini nisingelala mtaani. Jioni alirudi na kunikuta, hata hakukasirika, alianza kucheka na kunitania kama siwezi kuishi bila yeye. Nilimuambia ishu yangu, nikamuonyesha ile video katika simu yangu, hata yeye pamoja na Bangi zake hakuamini kama kuna mtu anaweza kufanya vile tena kwa mtoto mdogo kama yule. “Huyo mwanaume kashatengenezwa, cha kufanya hapo ni kwenda Polisi, mbona siku mbili huyo akikaa ndani anakaa sawa…” Aliongea huku akinigusa, najua alitaka mapenzi lakini sikua katika mood kabisa, ila aliongea jambo amaalo sikuliwaza kabisa hapo awali. “Baba yake anaweza asijali lakini sidhani kama Polisi hawatajali.” Niliwaza kufanya hivyo lakini ulikua ni usiku, niliamua kusubiri mpaka asubuhi. Lakini niliwaza kama itakua vizuri nikienda na Jack kwani nilijua kuwa wakiangalia makovu yake basi utakua ni ushahidi tosha na watamuonea huruma. Lakini ningempataje wakati yuko shuleni, niliamua kwenda nyumbani kwao kumsubiri wakati anatoka shule. Wakati wanashushwa na gari kabla ya kuingia ndani nimchukue na kuondoka naye. Mchana muda wa wao kutoka shule nilichukua Bajaji, nilimuambia Dereva kupaki karibu na geti kabisa, Gari la shule lilipokuja na kuwashusha nilishuka na mimi. Wote waliniona, wale wengine walikimbilia ndani lakini Jack ambaye alikua anaogopa alisimama na kuniambia niondoke kwani atapigwa. Sikumsikiliza wala sikusubiri kumuelezea. Nilimshika na kumvuruta mpaka kwenye Bajaji, nikamuingiza kwa lazima kisha nikamuambia Dereva tuondoke. Kwakua nilishamuambia kila kitu aliwahsa Bajaji mpaka kituoni. Kule nilienda mpaka mapokezi, hakukua na watu wengi, nilianza kuelezea kila kitu, nikawaonyesha na Video. Kila askari aliyeiona alikasirika, tulipewa askari wa kike ambaye alienda kumkagua Jack. Alikua ni Mama mtu mzima, wakati anamkagua alianza kutokwa na machozi ingawa alijizuia sana. Mwanzoni Jack alikataa kusema lakini baada ya kuhakikishiwa usalama wake lielezea kila kitu. Niliandikisha maelezo kisha tukapewa PF3 ili akatibiwe, askari mmoja alitupeleka hospitalini na gari yake binafsi. Baada ya hapo ilitolewa RB, Dada na Baba wote walikamatwa na kufikishwa kituoni. Wote walikua na kesi, haikua ni ya mtu mmoja tena. Polisi waliwasiliana na ndugu wengine kwaajili ya kumchukua Jack na kukaa na wale watoto wengine kwani wote hawakupewa dhamana. Mimi niliondoka lakini nilikua naenda Hospitalini kumuangalia Jack mara kwa mara. Alilazwa kupatiwa matibabu kwa muda wa wiki moja hivi, Mama yake alikuja na baadaye kukabidhiwa mtoto wake. Baba na Dada walikaa mahabusu kwa wiki moja na kutoka kwa dhamana lakini cha kushangaza hawakupelekwa mahakamani. Sijui nini kilitokea lakini binafsi naamini walitoa pesa nyingi kwani Baba Jack alikua na pesa na kacheo flani. Kesi iliisha chinichini na mimi sikuweza kufuatilia, baada tu ya Jack kurudi na kukabidhiwa kwa Mama yake kwangu hilo lilitosha hayo mengine yalikua hayanihusu. Hela yenyewe ya kula ilikua ni shida nisingeweza kufuatilia maisha ya wengine. Sasa hivi imepita kama miaka miwili hivi tangu hili tukio litokee, nipo hapahapa Dar lakini nimehama mtaa. Sifanyi tena kazi za ndani, nimefungua Genge langu ambalo nauza mbogamboga na matunda. Bado nawasiliana na Jack kupitia Mama yake na anaendelea vizuri, wanaishi maisha ya kawaida sana lakini yenye furaha. Katika kazi yangu hii ya kuuza Genge wateja wangu wengi ni wadada wakazi ‘House Girl’ mengi wanayokutana nayo katika nyumba za watu ni kubwa. Kwa wa mama ambao ndiyo mabosi wetu kumbukeni hata sisi ni wanadamu kama nyinyi. ***MWISHO MAMA KWANI BABA YETU NDIYO HUYU HUYU AU SISI NI MAYATIMA? Baba yao ndiyo alikua na kila kitu, mali zote zilikua za kwao lakini kila akisafiri walikua wakiishi kama mashetani, Shangazi zao na Baba zao wadogo waliungana kuwachukia, Mama yao alikua akinyanyaswa na kutukanwa. Kila siku walimuambia yeye ni mzigo na hawezi kuchukua mali za Kaka yao. Bibi yao ambaye alitegemewa kuwa upande wao naye walimjaza maneno. Walimuambia huyu mwanamke kama Kaka akimuacha watagawana mali na Kaka akifa basi atachukua mali zote. Kilichopo hapa ni kuhakikisha Kaka hawi na kitu chochote cha yeye kuchukua…. JE UNATAKA KUJUA KISA HIKI KINAHUSU NINI…Kama kisa kilichopita kilikutoa machozi hiki kitakupigisha mayowe… Lakini nacho kimetokea niseme kinaendelea kutokea, unaweza kuwa na mali nyingi na wanao wakaishi kama mashetani hata kabla hujafa. Kama unataka kuwa wa kwanza kukisoma basi hakikisha umelike ukurasa ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA (26) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia ndo icho tu au kuna kingine nikamjibu hamna nilishangaa kuona kanikubalia kwa haraka sana huku akiniambia tuwahi bank tukachukue hela kisha kesho tupige mechi moja matata kama ya leo ile nataka kumjibu nilipo tazama kwenye kioo nilimwona mdada akiwa anatu record na simu ila uzuri wake sauti haiwezi kuwepo ila vitendo vitaonekana niliwai kufungua mlango na kumkuta yule mdada bila ya wasiwasi akaniambia tuingie kwenye gari ana maongezi na sisi.............. endelea sasa alinaza kwa kughuna kwanza huku akituangalia alikua amekaa siti ya nyuma ya gari na sisi tupo mbele. "we errycah wewe ni wakufanya mapenzi kwenye gari la baba yako tena barabarani sasa nampelekea ushahidi wote baba yako na utaona atakacho kufanya mana Alisha wai kuniambia Siku akisikia kuna mtu anamchezea binti yake atawamwaga ubongo hapo hapo" "kwani we nani"errycah alimuuliza swali bila ya wasiwasi wowote "unijui eeeh baba yako akiondokaga unajua anaendaga wapi.sasa kwa taarifa yako anakuja kwangu Mimi ni mama yako mdogo.na wewe kijana naona unayachezea maisha yako"alipo maliza kusema Yale akachukua simu na kumpigia mjomba "hallo" "yes Darling niambie"ilikua ni sauti ya mjomba hapo hapo tukampa ishara asizungumze chochote alimkatia simu na kutuuliza "si mnajifanya amniamini sasa mkitaka niifute hii video na nisimweleze wewe kijana leo usiku njoo ulale kwangu mana nime penda dozi yako.na wewe errycah kwanzia leo sitaki nikuone ukiwa karibu na huyu kijana." sikua na lakupinga ila nilijisemea moyoni mwangu ivi kwa nini kila mwanamke anaye niona anataka nifanye nae mapenzi lilikua swali ambalo halina majibu kimya changu kilionyesha kukubaliana na lile na akaniambia "jioni SAA 1:30 toka nje ya geti nitakufata na gari twende kwangu na usipo tokea mtaniona mbaya." alishuka yule mdada na kuondoka zake ukimwangalia analipa mana tako analo sema yeye mrefu kuliko Mimi.errycah hakua na la kusema zaidi ya kuniambia ukienda naomba utumie mpira alafu mkomoe mpe dozi mpaka atoke kizazi mana anaonekana Malaya sana yule mchiiiiuuuuuuu......" alimaliza kwa kumsonya yule mdad tukaweka siti vizuri na kuliondoa gari kuelekea bank uzuri wa pale tuliingia ndani kabisa na kukutana na kiongozi tuka mwelekeza akatupa na fomu tukajaza akatuambia tusuburi nje kwa mda atatuita tuje kuchukua mzigo. tulisubiri nje kwa dakika kama 20 hivi tukaitwa ndani kisha tuka hakikisha imetimia na kumuambia atu tenganishie.hela ikapakiwa kwenye briefcase mbili maana moja yangu moja ya mjomba ilibidi tupate lunch mana ilikua mida kama ya SAA 9 ivi.nilishindwa kumficha errycah kwamba yule mgeni wa jana ni mdogo wangu merry.errycah hakushtuka sana zaidi ya kusema "nilihisi ni yeye ila sikua na uhakika"mana alikua mchafu sana.nikamwambia na hizi hela naenda kumnunulia nyumba na Mimi nitaondoka pale kwenu..... "nini uwezi kuondoka pale kama bado hatuja jua ukweli wowote na utaondokaje ? uniache Mimi ? nani atanikuna ? au unaona raha Mimi kufanya mapenzi na baba ? tutaondoka wote baada ya kukamilisha mambo yote na kama tutamkuta na hatia basi tumdoshe chini na aishi kama shetani.mana si kwa madhambi ya baba.ila naomba uniahidi utanioa mana nakupenda sana hata kama sisi ni ndugu naomba tuweke undugu pembeni I love you Kenny..... sawa nilimwitikia kwa kichwa kuonyesha nimekubaliana naye kwa 100% kwamba Nita mwoa ila dhumuni langu ni kuhalikisha maisha yangu yana kaa vizuri.niliemdesha gari mpaka horena hotel na kumkuta merry akiwa amekaa alionekana ana mawazo sana tulipata lunch wote kwa pamoja kidogo alionekana mchangamfu tukiwa pale errycah alipigiwa simu ma mjomba na kutuambiwa tuwahi kutudi anatusubiri sisi ilibidi tufanye upesi nilimwachia hela kidogo merry na kumuahidi kesho nitakufanyia surprise kubwa mdogo wangu. nili mkumbatia na tukaagana ile naelekea kwenye gari nilishangaa kusikia sauti ikiniita alikua ni yule muhudumu niliye sex nae nilimpa ishara Nina haraka Sana na kumwambia atanipigia tuongee vizuri nilitoa gari kwa speed ya ajabu mpaka errycah akaniuliza nani aliye kufundisha Ku drive gari kwa kasi namna hiii.nikamwambia ni utundu tu na kujiongeza tulipiga kona ya kwanza ya pili tulifika nyumbani na kumkuta mjomba akiwa na wasiwasi mwingi tulimpa document zote na hela zake alifurahi sana na kuniambia atanipa zawadi.tuliendelea kupiga story huku tukiangalia mpira ilikua mechi kati ya liverpool na manchester city ambapo liva alishinda 4 kwa 3 nilisikitika sana mana nilikua nashabikia man city kibaya zaidi niliweka mkeka wangu wa 50000 nikaliwa. (ipate simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 500 tu) 0744204283 mjomba aliagiza nikamwite mlinzi kuna maagizo anataka ampe nikatokanje kwenda kumuita nilishangaa kumkuta mlinzi akiwa nje.nilipotoka nje kabisa ya geti nilimkuta yule mdada aliye tufumania kaja kunifata nika mpe dozi naka mwita mlinzi nika mwelekeza anaitwa ndani nikampa ishara yule mdada anisubiri dakika 5.niliingia ndani na kumuomba mjomba ruhusa rafiki zangu wamekuja kunipitia tunaenda kwenye mkesha wa kuliombea taifa litakalo fanyika st peter.kwa sababu mjomba na mambo ya kanisani sukari na chumvi aliniruhisu haraka haraka nika waaga nikaondoka zangu huku nikimwacha mlinzi ndani akiwa anaongea na mjomba.nilifika moja kwa moja nikaingia kwenye gari na safari ya kuelekea kwake ikaanza alikua anaishi masaki ile ile na hapakua mbali na nyumbani kitendo cha dakika 10 tu tukafika kwake.geti lilifunguliwa tukaingia lakini kabla ya kushuka aliniambia utalala mpaka asubuhi kisha Nita kurudisha ilikua nyumba kubwa kama ile ya mjomba kidume nika zama ndani na yule mdada ukimwangalia anacheza kwenye miaka 25-26 ni saiz yangu kabisa. sema kanizidi kidogo tu nilipofika sebreni nilikutana na ma binti wawili akanitambulisha huyu anaitwa rose ni mdogo wangu na huyu ni Dada yetu wa kazi anaitwa tekla.walinipa salamu nikawaitikia kisha aka muagiza yule Dada wa kazi atuandalie chakura kisha akamwambia rose kama umesha kula nenda kalale usiku huu kesho shule. "jamani Dada bado sijamalizia kuandika essay tuliyo pewa leo tuition na kesho wanakusanya"nilipo sikia vile nikajua huyu yupo secondary tena kama sio form 3 basi 2 alafu kulika ana lika kabisa mana ana shepu flani kama la Dada yake nilijikuta namtamani na kujiapiza lazima nimpitie nilisahau kile kiapo nilicho jiapiza.tuliletewa kuku aliye kaaangwa na ka ugali kadogo sikufichi mtu wangu nilishindilia nyama mana kibarua kilichopo mbele yangu kizito huku tukisindikiza na wine. tulivyo maliza kupata dinner wote wawili tulikua kama tume lewa vile tulikokotana mpaka chumbani huku tukiwaacha rose na tekla pale sebreni.yule Dada aliwaambia mkimaliza naomba mkalale na msije mkamwambia shemeji yenu.wote waliitikia kwa pamoja "sawa" tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA (27) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... endelea sasa nilimsogelea yule dada ambae hakunitajia jina lake mpaka mda huu.nika mweka sawa lakini nilishangaa aliziba papa yake kwa mkono kuashiria hayupo teali kwa mechi.nilianza kusikia maumivu kwa mbali akaniambia nimuandae na yeye ili tuienjoy wote nika kubari nikaanza kumnyonya chuchu zake nika mwona anaanza kujikunja kunja kama nyoka anaye vua gamba lake huku akitoa miguno nilishindwa kuendelea kutokana na maumivu niliyonyasikia nilisha ngaa kuona dude likikaka maa nilimtanua mapaja yake na kuanza kupitisha mashine yangu kwenye kitumbua cha bibie “aaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiii,,ooooooooh,.,aaashiiiii,,,ashiiiiiiii,,"alitoa miguno kwa sauti hata walio kua nje wanaisiki niliendelea kupampu mpaka bibie akaanza kutoa kilio cha kuonyesha yupo karibu kukujoa “aaaaaahhh,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,nakojoaaaaaaaaaaaaaaa,,"Alitangaza kukojoa ambapo alijinyonganyonga huku akifanya kama anataka kujichomoa mana alihisi moto kwenye kitimbua chake kidume sikujali niliendelea kutembeza dozi tena nika mbananisha kwenye kona ya kitanda mtoto aliendelea kutoa miguno oooooooooohh.......mamaweeeeee........ tupumzikeeee kidogooooooohh aiiiiiishhhhiiii taaaamuuuuuu,......... nilipo taka kuchomoa alinivuta na kuniambia usichomoeeeee endeleaaa nakaribia cha piliiiiii nitiiiiiieeeeee yani kile kidonge safi sana kidume nilikua bado sna hata dalilii nilimpampu mpaka k yake ilikauka majii akaanza kusikia maumivu bahati nzuri niliwaona wazungu wakija nilimwagia humo humo aaaaaaaishhhhiiiiii asante baby......... endeleeaaaaaa........ mzigo hauku lala nilendelea kumpeleka puta tulishtushwa na sauti ya mdogo wake rose ilija kutugongea aliamka yule Dada na kwenda kumsikiliza mlangoni...... "we vipi" ,"dada shemeji kaja yupo getini mlinzi anamzubaisha zubaisha mtoe haraka Huyo mtu," "mungu wangu Fanya haraka mjomba wako kaja nitafanyeje mimi " mda huo pombe zote ziliisha nika okota nguo zangu na boxa nikiwa uchi nilipo toka kwenye korido waliniambia niingie chumba cha rose huku dude likiwa lime kakamaa vile vile lenyewe halijui hatari linataka kitumbua tu. niliingia ndani na kujibanza nyuma ya mlango huku nikiwa natetemeka mana mjomba akinikuta hapa lazima anilambe shamba kwa nje nilimsikia mjomba akionge ongea akielekea chumbani kwa yule mdada kidogo nikawa na amani nikaanza kuvaa boxa yangu lakini sikuweza kutokana na maumivu niliyo yasikia dawa yake nipate show niifanyie kazi kwa bahati nzuri aliingia rose akiwa na daftari zake huku akiwa amevalia kanga moja sikutaka kumlemba nika msogelea na kumwomba tafadhari naomba unisaidie mwenzako nakufa Dada yako kanipa vidonge vya kuongeza nguvu bado ninahamu naomba unisaidie. sikufichi mtu wangu ukitumia vibaya hivi vidonge tuna kuzika.sasa sikia Mimi hiyo shughuli siiwezi mana hapo mpaka ipungue nguvu inabidi uwe umepiga kama bao 5 hivi uko ulipotoka umepiga ngapi nikamjibu moja heheeee leo lazima ufe kwaiyo mda wrote huo umepiga moja izo NNE unimalizie Mimi hata nyege zangu lazima ziishie mwenye bao LA pili njoo unipige izo mbili zitakazo baki utakua pa kuzipeleka usije ukanitoa kizazi Bure...mtoto wa watu. kitendo cha kunipa ruhusa tu lilikua ni kosa kubwa sana ni sawa na nyoka kaku ng'ata alafu unamkanyaga tena mkia nilimsogelea rose kuanza kumpa romance mtoto alikua anamate matamu yule nilizidi kuchanganyikiwa pale nilipo mtoa kanga yake aliyo jifunga mtoto alikua mweupe peeee na chuchu ndogo zilizo simama Dede swali nililo muuliza ushawai Ku sex mtoto alinijibu kwa ishara ndio kutoka na kuzidiwa na utamu wa denda alilegea kama teja aliye piga vitu vyake.nika Pima oil kwenye kitumbua chake na kukuta mtoto kajichafua zamani sana.nikaona ndo mda muafaka wa kutuliza hasira za nyoka wangu aliye pandishwa mizuka na dada yake.nika mnyakua na kumbwaga kitandani huku mtoto akiwa ajielewi kumbe nyege zake ukimpa ulimi tu umesha mmaliza.kika mkunja saba mtoto kisha kitumbua chake kikaja kwa nyumba nakwambia hawa watoto wadogo watamu bwana.ila sikushauli mana mtaanza kuwaalibu bure na kusema tumesoma story ya chas360 imetuambia wadogo watamu LA hasha hii ni stori ya kutunga tu. ok twendelee mzigo ulizama wote tena ndani kulikua na joto balaa lililo nifanya nisikie utamu ambao sikuwai kuupata hapo mwanzo kwa dada mtu nilimsugua taratibu taratibu ili niendelee kuusikia ule utamu na rose akaanza kutoa miguno “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," huku akiibana midomo yake kwa kuusilizia utamu ulivyo kua unapenya kwenye kitumbua chake, macho nayo yalikuwa kama teja mana aliyalegeza huku akiyafumba na kufumbua kwa utamu uliopo kwa mwendo ule ule nilijikuta mashindwa kujizuia na kuanza kucheua kabla yake mmmmmmmmmmmhhhh..............aaaaaaaaaaahhhh........... niliwaachia askari wangu waende kwenye kitumbua cha rose.huku rose akionyesha kufurahishwa kwa kitendo kile na kuanza kuzungusha kiuno chake kidogo kama nyigu nilipiga nje ndani kwa mwendo wa madaha na mtoto na yeye akatoa askari wake ili wakutane wafanye mazungumzo nakojooooooooooooooo........!!!! alishindwa kumalizia sentesi akabaki kimya huku speed ya kuzungusha kiuno ikiongezeka zaidi ya Mara ya kwanza kidume niliendelea na safari ya kulitafuta bao la pili kwa rose.mtoto alionekana kuchoka kutokana na mashine yangu kuonekana ipo imara rose alifulia kimya kama hayupo kwenye mechi nikaaanza kupampu haraka haraka ili kuuwai ute ute ulio kwepo mle ndani usikauke.alizidisha miguno baada ya mashine kwenda kwa speed aaaaaaah....... ooooooohhhh.... aiiiiiiiiiii...... yessssssa......aaaaaaahhhhh woooooww.......lugha zote zilikua zake nilijikakamua mpaka tukafika wote mlima Everest aaaaaaahhhhh......!!!!! “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 08* “nzuri tu kaka, shikamoo!” Aliitikia Penina na kasha kumwamkia kaka yake “marhaba mdogo wangu>“ Aliitikia salamu. “Penine kanenepa kweli safari hii, shule imempenda kweli.” Aliongea Lisa. “hapana wifi!?” Penina aliongea na kasha kucheka, ukweli ni kwamba kweli alikuwa amenenepa na kujengeka shepu kwa mahipsi na makalio yaliyo fungashika kiinye plus gwedegwede. Waliongea mengi wakiwa na furaha ya kuwa pamoja tena. Upande wa Lisa moyoni hakuwa na furaha hata kidogo, muda wote alifikiria jinsi ya kumtoa muuza maziwa ndani ya nyumba hiyo. Alifahamu fika jinsi swala hilo lilivyokuwa gumu kwani chumba alichomficha ndicho chumba atakacholala penina , hakuelewa angeweza vipi kumtoa muuza maziwa katika chumba hicho bila ya Penina kugundua. “sijui nitafanya nini mungu wangu?” Aliwaza bila kupata jawabu, hakuona aibu kumshikilikisha Mungu katika uovu wake. “atalala tu lakini , na hivi alivyochoka, na huo ndio utakuwa muda muafaka” Alizidi kuwaza, Hiyo ndio ilikuwa njia pekee aliyoitegemea alitumaini Penina atakapolala ndio uwe muda muafaka. “wifi vipi mbona utafikiri uko mbali sana!?” Penina aliuliza baada ya kugundua kwamba Lisa hayupo pamoja nao katika maongezi. “hapana nipo , mbona tupo pamoja!.“ Aliitikia Lisa haraka haraka baada ya kuzinduka toka kwenye mawazo mazito aliyokuwa nayo. “kweli Lisa upo tofauti sana leo” Jerry nae alikazi “hapana jamani mbona nipo sawa!” Lisa alizidi kujitetea kwa nguvu zake zote kwani hakutaka mtu yoyote ahisi chochote kuhusiana na swala hilo la muuza maziwa, alichokifanya baada ya hapo ni kujaribu kujichekesha na kuonyesha kuwa ana furaha ili kupoteza kabisa hisia za mumewe pamoja na wifi yake. Waliongea kutwa nzima mpaka usiku ukaingia , baada ya chakula cha usiku kila mmoja alielekea chumbani kulala Jerry na mkewe chumbani kwao na Penina pia alielekea chumbani kwake. Wakiwa kitandani kwao si Jerry wala mkewe aliyeonekana kumjali mwenzake, kila mmoja aligeukia upande wake , kila mmoja alirizika na usaliti alioufanya mchana wa siku hiyo. Jerry alipotembea na Sekritari wake wakati Lisa alipotembea na muuza maziwa. Hakuna aliyejua maovu ya mwenzie kila mmoja alimuona mwenzake karanga bao na kumlalia mzungu wa nne. xxxxx- – – – xxxxxx—- – — xxxxxxxx Saa sita na nusu usiku Penina alishtuka toka usingizini , hii ni baada ya kusikia mlio wa kabati likifunguliwa , haraka alisogeza mkono wake kwenye swich ya taa na kuiwasha. Mwanga ulitanda chumba kizima . Penina hakuamini alipomuona mtu akiwa amesimama karibu kabisa na kabati huku kabati likiwa wazi. “kaka! , kaka!, mwizi! Mwizi!1” Penina alipiga yowe kwa hofu huku akimwangalia muuza maziwa vizuri. Muuza maziwa alikuwa akitetemeka mwili mzima, sauti ilikwisha fika chumbani mwa akina Jerry, Jerry alikurupuka na kumwamsha mkewe . Lisa alichanganyikiwa kusikia taarifa hizo alijua kwa vyovyote vile huyo atakuwa ni muuza maziwa. “mungu wangu, sijui nifanyeje mie!!” Aliongea Lisa kwa mshituko CHANZO: /“utafanyeje nini?, twende au umesahau kwamba tuna Bastora!?” Jerry aliongea akiwa ameishikilia bastora yake kwa kujiamini. Hakujua kwamba mkewe hakuwa anaogopa mwizi bali alimhurumia muuza maziwa. Muuza maziwa alizidi kutetemeka hakujua afanye nini miguu yote iliishiwa nguvu alishindwa kusimama wima akaegamia kabati. “da– da—mi-mi si-o mwi-zi!-zi-zi” Aliongea muuza maziwa huku akitetemeka kupita kiasi. ITAENDELEAMUUZA MAZIW EP 09 ILIPOISHIA….. “kaka! , kaka!, mwizi! Mwizi!1” Penina alipiga yowe kwa hofu huku akimwangalia muuza maziwa vizuri. Muuza maziwa alikuwa akitetemeka mwili mzima, sauti ilikwisha fika chumbani mwa akina Jerry, Jerry alikurupuka na kumwamsha mkewe . Lisa alichanganyikiwa kusikia taarifa hizo alijua kwa vyovyote vile huyo atakuwa ni muuza maziwa. “mungu wangu, sijui nifanyeje mie!!” Aliongea Lisa kwa mshituko “utafanyeje nini?, twende au umesahau kwamba tuna Bastora!?” Jerry aliongea akiwa ameishikilia bastora yake kwa kujiamini. Hakujua kwamba mkewe hakuwa anaogopa mwizi bali alimhurumia muuza maziwa. Muuza maziwa alizidi kutetemeka hakujua afanye nini miguu yote iliishiwa nguvu alishindwa kusimama wima akaegamia kabati. “da– da—mi-mi si-o mwi-zi!-zi-zi” Aliongea muuza maziwa huku akitetemeka kupita kiasi. MUENDELEZO WAKE : “kumbe wewe nan……….?” Penina alijikuta anakatisha kauli yake baada ya kumuangalia vizuri muuza maziwa, hakuamini alichokiona alihisi kama vile yuko ndotoni. “Karani!!!!” Aliita Penina kwa mshangao huku akiwa ameduwaaa. “Penina!!!” Muuza maziwa nae aliita mara baada ya kumuangalia vizuri penina. Wote walibaki wakishangaa huku wakiangaliana usoni, kumbukumbu zao zilirudi nyuma miaka miwili iliyopita. Suji sekondari katika bweni la wasichana chumba namba ishirini na moja. Penina akiwa amelala kwenye kitanda cha dabodeka, ikiwa ni mara yake ya kwanza kulala ndani ya chumba hicho. Sababu hiyo ilikuwa ni siku yake ya kwanza toka ahamie bwenini , mwanzo alikuwa akikaa kwenye nyumba ya mkuu wa shule. Akiwa kitandani hapo alisikia mlio wa mluzi ukisikika kwa mbali karibu kabisa na dirishani sehemu ambapo alikuwa amelala. “it ndizi time!” [ni muda wa ndizi] Mwanafunzi mmoja aliongea kwa sauti ya kunon’gona kasha wenzake walicheka kwa sauti za chinichini. Penina hakuelewa chochote kilichoendelea. Mwanafunzi mmoja aliamka na kwenda kufungua mlango. Watu wane wakiwa wamejitanda khanga waliingia ndani, Penina alizani watu hao ni wasichana. Aliduwaa pale walipotoa Khanga zao. Wote walikuwa ni wanaume. Kila mmoja alienda kwenye kitanda chake waliongea lakini sauti zao zilikuwa za kunon’gona. Penina alibaki ameduwaa tu asijue nini cha kufanya , katika chumba hicho ni yeye peke yake ndio alikuwa amelala peke yake. Alijaribu kuutafuta usingizi lakini alishindwa , vilio vya mahaba alivyokuwa akivisikia usiku huo vilimtesa kupita kiasi, alitamani na yeye lakini hakukuwa na mwanaume kwa ajili yake. Alibaki akijigaragazagaragaza tu kitandani kwake. Mpaka kufikia saa kumi na nusu alfajiri wanaume walipoondoka bado yeye alikuwa hoi. Mchna alimfuata maria na kumweleza shida yake. “na wewe unataka ndizi?” “mmh, mwenzangu manaake hali mbaya!” “usihofu , nitamwelza Bakari akufanyie mpango”. “nitafurahi kweli maanake we acha tu!” Ahadi ya maria ilikuwa kweli , Penina aliteseka kwa siku moja tu , siku iliyofuata nae aliletewa ndizi yake. Ni hapo ndipo alipokutana naKarani mchunga n’gombe wa akina Bakari, ambae sas ndio muuza maziwa. Karani alikuwa akimfikisha Penina mpaka basi jambo lililomfanya Penina ampende kupita kiasi, alimuahidi kwamba atakuwa nae milele lakini ajabu ghafla alitoweka. Alipomuuliza Bakari kuhusu swala hilo alimwambia hajui alikoelekea. “nyumbani katoroka alafu ameiba baadhi ya nguo zangu , hafai kabisa yule jamaa.” BakaRi aliongea kauli hiyo iliyomaliza kabisa nguvu za Penina. Alimpenda sana Karani na alitaka kuwa nae siku zote za maisha yake. Hakuelewa ataishi vipi bila kuwa nae. “lakini usihofu Penina nimekuletea mwingine” Bakari aliongea akiwa ametabasamu huku akishika bega la kijana mpya aliyekuja nae siku hiyo. Penina alimwangalia kijana huyo kuanzia chini mpaka juu lakini hakuona hakuona cha kumlinganisha na Karani. “Siitaji tena kama Karani hayupo basi “ Penina alijibu kwa dharau. “Penina hata huyu yuko bomba tena mkali kuliko hata Kara….” “Nimesema sitaki husikii” Penina alifoka tena kwa sauti kubwa jambo ambalo liliwaogopesha wote, sababu lilikuwa ni jambo la hatari, hawakutaka kuendelea kumsemesha waliogopa angewasababishia msala kwa mlinzi endapo ataisikia sauti yake. Siku iliyofuata Penina aliamua kuhama chumba hicho kwani hakuona raha tena ya kuwa ndani ya chumba hicho wakati Karani hayupo. Rafiki zake walimbembeleza asahau habari ya Karani na akubali kuwa na yule kijana mpya ili arudi kwenye kile chumba lakini yeye aliwakatalia katakata , hakuona mwanaume wa kumfananisha na Karani wake. Wiki moja baada ya Penina kuhama ndani ya chumba hicho mlinzi alishtukia mlinzi alishtukia kila kitu . Aliwakamata wanaume wote wakiwa ndani ya kile chumba cha kina Maria na kasha wanafunzi wote waliokutwa ndani ya chumba hicho walifukuzwa shule. Penina alikuwa ameponea chupuchupu, kama isingekuwa Karani kutoroka nyumbani kwa kina Bakari basi leo hata yeye angelikuwa miongoni mwao na Karani wake. Wiki moja baada ya Penina kuhama ndani ya chumba hicho mlinzi alishtukia mlinzi alishtukia kila kitu . Aliwakamata wanaume wote wakiwa ndani ya kile chumba cha kina Maria na kasha wanafunzi wote waliokutwa ndani ya chumba hicho walifukuzwa shule. Penina alikuwa ameponea chupuchupu, kama isingekuwa Karani kutoroka nyumbani kwa kina Bakari basi leo hata yeye angelikuw miongoni mwao na Karani wake. Jambo hilo lilimfanya azidi kumpenda Karani na kujipa ahadi kwamba lazima siku moja atamtafute mahali popote duniani.. Ajabu leo anamkuta ndani ya chumba chake cha kulala. Hakutaka kumuuliza amefikaje , iwe kweli amekuja kuiba au vyovyote alichofikiria sasa ni kumuokoa ili kaka yake asijue kwamba yumo humo. “Ngo, ngo ngo” Mlango uligongwa , Penina pamoja na Muuza maziwa walichanganyikiwa. “Penina!, Penina! Fungua mlango usihofu nina Bastora!” Kauli hiyo toka kwa Jerry ndio ilizidi kuwachanganya akili. “Tafadhari niokoe Penina sitaki kufa leo!” “Usihofu Karani nitafanya kila njia!” Penina aliongea. ITAENDELEA..*MUUZ MAZIW EP 10* MWISHOOOOOOOOO Wazo la kuingia kabatini lilikuja tena kichwani kwa muuza maziwa, na Penina bila kuchelewa akaufunga mlango wakabati hilo. “Penina fungua mlango” alijua labda mwizi huyo amemteka mdogo wake. Upande wa lisa alizidi kuchanganyikiwa. Sauti ya Jerry ilisikika tena huku akizidi kuugonga gonga mlango kwa nguvu, akilini mwake “Fungua Penin…..” Jerry alikatiza kauli hiyo baada ya Penina kufungua mlango. “yuko wapi, yuko wapi huyo mwizi?’” Jerry aliuliza huku akiwa ameishika Bastora yake sawia , tayari kwa kufyatua risasi. “hapana kaka!” “hapana nini kakimbia eeh au kaificha?” “sio mwizi kaka!’ “sio mwizi!? ,nani? Na yuko wapi?” Aliuliza kwa mshangao. “Ni ndoto nilikuwa naota “ “Ndoto!!?” “ndio kaka!” “ooh! Jamani penina umetushtua wenzako , uuh!” Aliongea Lisa na kuvuta pumzi , kwani wasi wasi ulimtoka baada ya kusikia kama ni ndoto. “Penina unauhakika kama ni ndoto!” Jerry aliuliza huku akiliangalia kabati, kasha akaanza kulisogelea taratibu. “ndio ! Ndio! Kaka” Penina aliitikia kwa hofu , alihisi kwamba pengine Jerry amegundua kitu, hali ilikuwa mbaya zaidi kwa Lisa ambae alichanganyikiwa kabisa. “hapana siwezi kurihusu jambo hili hata kidogo” Aliwaza Lisa pale Jerry aliponyoosha mkono ili kushika kitasa cha kabati hilo., alimkimbilia haraka. “Honey umekwisha elezwa kwamba ni ndoto kwanini unapoteza muda , twende tukalale mpenzi mwenzako nimechoka>“ Lisa aliongea kwa sauti laini. “Hapana nataka kufunga vizuri hili kabati”. Aliongea Jerry huku akilisukumiza kabati, hakujua kwamba halijajifunga vizuri kwa sababu kuna mtu ndani. Alilisukumiza huku muuza maziwa akisikilizia maumivu ya kuminywa na kabati hilo, alijuzuia kupiga kelele huku mwili mzima akitetemeka kwa woga. “Achana nalo hilo Dear kwanza kabati lenyewe hilo bovu.” “bovu!!!” “eeh bovu hata mimi wifi alinieleza’ Penina alidakia “sasa kwanini hamjamuita Fundi?” “usijali mpenzi nitamuita kesho, twende basi tukalale.” Lisa aliongea kwa sauti nyororor ambayo ilimshawishi Jerry moja kwa moja. “Lala salama Penina “ Aliaga “sawa kaka “ Walitoka na kwenda chumbani kwao wakiwa wamekumbatiana.. Penina aliufunga mlango kwa furaha na kisha kwenda kulifungua kabati. Alikuwa na hamu kweli ya kuwa na Karani wake. Karani ambae hadi wakati huo alikuwa akitetemeka kwa hofu, hakuamini kabisa kwamba ndani ya chumba hicho yumo yeye na Penina pekeyeo. “kabla ya yote nikumbatie mpenzi!.“ Penina aliongea akiwa na tabasamu zito usoni kwake . Muuza maziwa hakusita kumkumbatia. “siamini kabisa mpenzi!” “hata mimi penina!” “hivi umejuaje kwamba ninaishi hapa?” Aliuliza penina akiamini kwamba kilichomleta muuza maziwa humo ni yeye. “Nilikuona ulipokuwa unaingia” Muuza maziwa alijibu, hakutaka kumweleza kwamba aliyemleta humo ni wifi yake. “ndio maana nakupenda Karani!” “hata mimi nakupenda!” Karani nae akaitikia Alimsogelea zaidi na kumbusu ‘mwaaaa!!!’ ‘Mwaaa!!!’ Penina nae aliitikia busu hilo. Muuza maziwa kama kawaida yake akaanza manjonjo yake, Penina alikwisha jua nini kinachofuata akaanza kujichekesha kwa kicheko cha kugunaguna. “unajua nafanya kazi gani sasa?” Muuza maziwa aliuliza “sijui!” Penina aliitikia “Nauza maziwa!” “aah kwa hiyo nikuite Muuza maziwa sio.” “sawa sawa watu wote wananiita hivyohivyo.” “haya basi muuza maziwa nataka unipe mambo” “hapa ndio mahala pake, utapata ondoa hofu!” Muuza maziwa aliitikia na kuanza kumtekenya Penina kwa ulimi wake. Penina alicheka kwa kicheko cha chinichini, mambo ya muuza maziwa yalimfanya akumbuke kipindi walipokuwa wote kule shule kipindi Karani ni mchunga ng’ombe lakini sasa yuko mjini na ni MUUZA MAZIWA. END OF SEASON ONE. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: