JINSI YA KUKAZA MISULI YA UKE/UUME KWA NJIA YA ASILI.. @Hasa kwa wanawake wale ambao wamezaa huwa misuli ya uke hulegea,. Jinsi ya kufanya. UNAPO AMKA ASUBUHI PINDI UNAPOBRASH KINYWA CHAKO KWA MSWAKI.. UKISHA SUGUA KINYWA VIZURI,.CHUKUA MSWAKI WAKO FANYA KAMA UNASUGUA ULIMI KWENDA KWENYE KOO.UKIFANYA HIVYO UTAHISI KAMA KUTAPIKA LAKINI HUTAPIKI.. PINDI UNAVYOJIGOA HUWA UNATUMIA NGUVU HII INAFANYA MISULI YA UKE/UUME KUBANA PINDI UNAPOJIGOA..FANYA HIVI MARA MOJA KWA SIKU.. "USIFANYE UKIWA UMETOKA KULA"

at 11:35 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top