(ngoja niseme maana wanaume wengine wanaona aibu kusema) Ukweli ni kwamba uke uliolegea hupunguza ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume wengi Tatizo la uke kulegea au kutepeta ni tatizo linalotokana na kulegea kwa misuli ya uke, hali hii husababisha Uke kulegea au wanaita Kutepeta(unanipata bibieee!!!!!) Mara nyingi wanaume waliooa wake au kuwa na wapenzi ambao wana matatizo ya uke uliolegea au kutepeta hua mara nyingi inatokea wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi na hao wake zao au wapenzi wao au hata mwanaume kushindwa kumudu vyema tendo hilo kwa maana ya kutokuweza kurudia bao la pili ikiwa atajitahidi kumaliza kushusha bao la kwanza na kujikuta mzuka wooooooooote umekwisha SABABU ZA UKE KULEGEA AU KUTEPWETA Baadhi ya sababu zinazopelekea misuli ya uke kulegea na kusababisha mwanamke kua na uke uliolegea au kutepeta nazo ni hizi zifuatazo; (a) Magonjwa ya uke (b) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara (c) Kujifungua (d) Usagaji DAWA YA UKE ULIOLEGEA AU KUTEPWETA Chukua kokwa za embe za kutosha zianike juani mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini MATUMIZI Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku Fanya zoezi hilo kila siku mpaka bibi awe mnatoooo ZINGATIA Uke utaanza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia dawa. Ukipenda SHARE wengine pia wapate faida hii Jifunze Jinsi ya Kufanya Uke Uliolegea Uwe Mnato.. By 🅱 professional love

at 11:35 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top