πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žKITANDA CHA NDOA KIPOJEEπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’ž πŸ’žπŸ’žπŸ’ž πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’ž kwanza kitanda chako kama ni cha mbao chapaswa ziwe mbao zile ngumu mwali wangu sio mbao nyepes ukilalia tu siku mbili tatu kinaachiaπŸ‘ŒπŸ‘Œpili kitanda cha mwanamke aloolewa mda wotee chatakiwa kiwe smartπŸ‘ŒπŸ‘Œnaposema smat nadhani waelewa kitandikwe vizuri kwa shuka zenye rangi nzuri inayong'aa sio kijishuka cheusi tii utafeliiiπŸ‘Œpia shuka isiwe na matobo wala madowa nduguyangu Kitanda cha ndoa unatakiwa ulale bila nguo labda kwa heshima ya watoto kwa wale waliopanga chumba na ambao watoto chumba cha baba na mama ni kama chao ndio unavaa khanga ukijifunika ili hata wakiingia ghafla umesahau kufunga mlango wasione walipotokea lakini ikifika wakati wa kulala chumba kikiwa kimefungwa khanga tupa huko na ulale kama ulivyo Kitanda cha ndoa mwiko kulala mzungu wa nne, yani wanandoa mimi nashangaa unalala na mumeo mzungu wa nne halafu iweje?nitaandika mada kuhusu madhara ya mzungu wa nne, unatakiwa kile kitanda mlale hata kama hamuongei mmegombana lala tu wote mmegeukia upande mmoja hata kama hamtashikana usiku kucha lakini usiruhusu kulala mzungu wa nne kwenye kitanda chako cha ndoa.pia kitanda cha ndoa ni marufuku kumnyima unyumba mpenz wako hata kama mmenuniana kumbuka mboo na kuma havinunianiπŸ‘ŒπŸ‘Œpeaneni mkimaliza endeleeni na mnuno wenu lkn kumbuka ukiwa kama mwanandoa unapaswa kongelea matatizo yenu na kuyamaliza kabla ya kupanda kitandani maana kitanda ndo sehemu ya kupeana faraja na kujenga nahusano yenu Wanawake wengi wanapoolewa hata mimi nikiwa mmoja wapo unapewa godoro, unalijuwa maana yake ya kwamba umeshakuwa nenda kaanze nyumba yako na wewe ukifika sio lile godoro kisa mnachumba cha wageni ndio ukalipeleke kule hapana, lile godoro unatakiwa mlalie nyie, kama umeolewa na mumeo alikuwa anagodoro lake utalitoa na kupeleka chumba cha wageni halafu lile ulilopewa ndio utandike kwenye kitanda chenu mlalie hiyo ndio maana ya lile godoro yani mmeanza upya katika kila kitu mpaka kulala.πŸ’˜ πŸ’‹πŸ’‹ni marufuku narudia tenaaa kwa herufi kubwa NI MARUFUKU kumleta shogaako ndani kwako alafu akakaa juu ya kitanda chako mwali ni matusi makubwa pia huwez jua maana marafiki wengi huvuruga ndoa za mashoga zao kupitia vitanda had inapelekea mumeo ama wewe mwenywwe mkifika kitandani kunakuwa hakuna maelewanoπŸ‘ŒπŸ‘Œ Kama hulikuwa ulijui ilooo shoga HAbari ndo iyoooπŸ‘Œ πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€πŸŽ€

at 1:32 AM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top