Home → ushauri
→ S E X I N M A R R I A G E. 18+
"Aaahh!" Alikua akifikia kilele cha tendo la ndoa, akajisukuma zaidi kwa mke. Akaganda juu ya mkewe kwa dakika kadhaa akimalizia ule utamu.
Baada ya hapo akatoka juu ya mkewe na kugeukia upande mwingine. Amesharidhika. Akavuta blanket na kujifunika, kuutafuta usingizi.
"Kweli unalala mume wangu?" Mkewe akamuuliza.
"Ndio nalala. Usiku mwema." Mume akajibu kimkato.
"Vipi kuhusu mimi, hunifikirii..sijaridhika bado.." mke akaongea.
Mume akabaki kimya huku akianza kukoroma.
Mke akafunua blanket, na kumtikisa.
"Baba J, nataka tuongee amka" Mke akaongea..
Mume akageuka kumtazama.
"Unataka tuongee nini? Me nimechoka". Mume akauliza.
"Kuhusu kuniridhisha kwenye tendo la ndoa. Kwanini nyie wanaume mnajifikiria wenyewe tu katika tendo la ndoa? Wanaume kama nyie mnatufanya wake zenu tuhisi tunatumiwa kwa ajili ya kuwaridhisha na kuwazalia watoto tu....
...Ona umefika kileleni ndani ya muda mfupi tu, na hauna haja na mimi tena..umeacha mwili wangu ni wa baridi, hata kunifunika blanket umeshindwa...wewe umekumbuka kuvuta upande wako na kupiga usingizi tena ukigeukia upande mwingine usitake hata kuniona...". Mke akaongea.
Mume akamuangalia mkewe.
Mke akaendelea kuongea...
"Unafikiri na sisi wanawake hatuhitaji sex? Nahitaji sex. Nahitaji kufika kileleni. Na mimi nahitaji nipate raha. Moja ya sababu ya kuolewa na wewe ni Sex. Ndio, nilikubali kuolewa na wewe kwa sababu ya upendo, companionship, kujenga familia, kukusaidia vilevile na kwa sababu ya sex..."
Mume akaamka na kukaa vizuri kitandani..
Mke nae akaamka na kukaa huku akimtizama na akaendelea...
"Sitakuonea aibu katika hilo. Napenda sex na wewe. Siwezi nikawa nimeolewa na nisifurahie tendo la ndoa. Come on mume wangu hii ni ndoa..nimehalalishiwa na Mungu tendo la ndoa na wewe bila mipaka...
..Nimekua muaminifu kwako, nahitaji kufurahia tendo, nisipopewa na wewe unatarajia ni nani anipe? Ndio naweza kusema umekuwa muaminifu kwangu ila huo uaminifu peke yake hautoshi, nahitaji kufurahia hili tendo mume wangu.."
Mume akamuonesha mkewe penis yake na kumwambia, "Lakini mke wangu si unaona mwenyewe commando amesinyaa. Amelala kabisa."
"So what? Kama amelala ndio huwezi kunifanyia mengine..huwezi kunikumbatia? Huwezi kuniambia jinsi nilivyo sexy? Hauwezi ninyonya hata maziwa yangu?
...Huwezi nisugua taratibu hata huku chini, huwezi ninyonya hata shingo? Huwezi hata kupitisha ulimi wako taratibu kwenye masikio yangu? Mbona najitahidi kujiweka safi kila muda kwa ajili yako..
Hata hivyo mbona ziko trick za kufanya uchelewe kufika kileleni kama ukiwaza kuhusu kuniridhisha na mimi pia.." Mke akaongea.
"Kama trick gani kwa mfano?" Mume akamuuliza mkewe.
"Tulia. Acha ku-pump ukiona unakaribia kufika kileleni. Toa nje nanii yako ukihisi unakaribia na anza kuninyonya maziwa yangu, nifanye nilowe, buy yourself a time. Usi-pump kwa kasi utafikiri unashindana na Usain Bolt kwenye mbio za Marathon ili uvunje rekodi ya Dunia..hii nanii yangu ni yako..ni halali yako haraka ya wapi?.."
Mme akacheka.
"Baba J! Unacheka wakati mwenzako nina njaa ya tendo..take time. Tendo la ndoa ni kama usanii...kuwa msanii wangu basi...chora mwili wangu kwa ulimi wako, vidole vyako na commando wako...nanii yangu inakuhitaji..
..Natamani wanaume wote wangejua jinsi gani sisi wanawake tunapata tabu tunapokuwa na hamu halafu tusiridhishwe; ni vigumu sana kukabiliana na hiyo hali...hua tuna hasira na majuto. Ila endapo tukaridhishwa kitandani hua tunafuraha, hua tunapendeza na kuvutia.." Mke akaongea.
"Eeeh Mama J leo umeamua kufunguka..aisee" Mume akamwambia mkewe.
"Ndio natakiwa nifanye hivyo. Nisipokuambia nitaendelea kuumia mpaka lini? Siku moja nitazeeka, sex kwangu itakuwa haiwezekani. Ninao muda mfupi wa kujua jinsi sex na mume wangu ilivyo tamu. Mbinguni sidhani kama watu wataoa na kuolewa, hivyo hakutakuwa na tendo la ndoa mbinguni...nipe hiyo mbingu ndogo katika ndoa yangu. Drive my body crazy..uchezee utakavyo.." Mke akasisitiza.
"Nimiependa sana hiyo mke wangu; sexually aggressive. Mwanamke ambae anathubutu kumueleza mumewe mahitaji yake ya tendo la ndoa ni jasiri na nia yake ya kuimarisha ndoa inaonekana dhahiri..nafikiri ni kweli sisi wanaume tusijifikirie sisi peke yetu kwenye tendo la ndoa...
...Wake wengi wana aibu kwa waume zao, wanabaki wanalala na maumivu yao...lakini kama ukiongea kwa utaratibu kama hivi..naanza kukutamani upya tena.." Mume akamalizia.
Mke akalala kitandani, akatanua miguu yake na kusema..; "Safi mume wangu, sasa maneno kdogo vitendo kwa sana...nina hamu na mume wangu...usiku huu nipeleke ulimwengu mwingine..."
Mume akamsogelea katika ya miguu yake, akapeleka mkono wake taratibu kunako, kwa utaratibu akaanza kukuchezea...akachezea mwili wa mke wake vya kutosha...na commando akazidi kutunisha misuli tayari kwa mashambulizi ya anga.
Kadiri alivyozidi kutalii mwili wa mkewe na mkewe kutalii mwili wa mumewe, ndivyo commando alivyozidi kupata hasira kwa kutunisha misuli...mke akamkalia commando na kuanza kumuendesha vilivyo bila leseni..kwa pamoja wakafurahia round ya pili kwa kufika pamoja.
____________________________________
Kuna kila sababu ya wanandoa kuwa wawazi katika masuala yanayohusu ustawi wa maisha yao ya ndoa hasa sekta ya tendo la ndoa, haipendezi kila siku ulale na hamu zako...katika ndoa haitakiwi kila mtu apambane na hali yake. Bali kila mmoja atimize haja ya mwenzake.
May your marriage have a healthy sex life. Enjoy it while your wetness and hardness lasts. GOD BLESS YOu
__________________________
INUKA MWANAMKE ni kitabu ambacho kinamlenga mwanamke wa rika lolote ni kitabu kinachoongelea MAHUSIANO, ELIMU
S E X I N M A R R I A G E. 18+ "Aaahh!" Alikua akifikia kilele cha tendo la ndoa, akajisukuma zaidi kwa mke. Akaganda juu ya mkewe kwa dakika kadhaa akimalizia ule utamu. Baada ya hapo akatoka juu ya mkewe na kugeukia upande mwingine. Amesharidhika. Akavuta blanket na kujifunika, kuutafuta usingizi. "Kweli unalala mume wangu?" Mkewe akamuuliza. "Ndio nalala. Usiku mwema." Mume akajibu kimkato. "Vipi kuhusu mimi, hunifikirii..sijaridhika bado.." mke akaongea. Mume akabaki kimya huku akianza kukoroma. Mke akafunua blanket, na kumtikisa. "Baba J, nataka tuongee amka" Mke akaongea.. Mume akageuka kumtazama. "Unataka tuongee nini? Me nimechoka". Mume akauliza. "Kuhusu kuniridhisha kwenye tendo la ndoa. Kwanini nyie wanaume mnajifikiria wenyewe tu katika tendo la ndoa? Wanaume kama nyie mnatufanya wake zenu tuhisi tunatumiwa kwa ajili ya kuwaridhisha na kuwazalia watoto tu.... ...Ona umefika kileleni ndani ya muda mfupi tu, na hauna haja na mimi tena..umeacha mwili wangu ni wa baridi, hata kunifunika blanket umeshindwa...wewe umekumbuka kuvuta upande wako na kupiga usingizi tena ukigeukia upande mwingine usitake hata kuniona...". Mke akaongea. Mume akamuangalia mkewe. Mke akaendelea kuongea... "Unafikiri na sisi wanawake hatuhitaji sex? Nahitaji sex. Nahitaji kufika kileleni. Na mimi nahitaji nipate raha. Moja ya sababu ya kuolewa na wewe ni Sex. Ndio, nilikubali kuolewa na wewe kwa sababu ya upendo, companionship, kujenga familia, kukusaidia vilevile na kwa sababu ya sex..." Mume akaamka na kukaa vizuri kitandani.. Mke nae akaamka na kukaa huku akimtizama na akaendelea... "Sitakuonea aibu katika hilo. Napenda sex na wewe. Siwezi nikawa nimeolewa na nisifurahie tendo la ndoa. Come on mume wangu hii ni ndoa..nimehalalishiwa na Mungu tendo la ndoa na wewe bila mipaka... ..Nimekua muaminifu kwako, nahitaji kufurahia tendo, nisipopewa na wewe unatarajia ni nani anipe? Ndio naweza kusema umekuwa muaminifu kwangu ila huo uaminifu peke yake hautoshi, nahitaji kufurahia hili tendo mume wangu.." Mume akamuonesha mkewe penis yake na kumwambia, "Lakini mke wangu si unaona mwenyewe commando amesinyaa. Amelala kabisa." "So what? Kama amelala ndio huwezi kunifanyia mengine..huwezi kunikumbatia? Huwezi kuniambia jinsi nilivyo sexy? Hauwezi ninyonya hata maziwa yangu? ...Huwezi nisugua taratibu hata huku chini, huwezi ninyonya hata shingo? Huwezi hata kupitisha ulimi wako taratibu kwenye masikio yangu? Mbona najitahidi kujiweka safi kila muda kwa ajili yako.. Hata hivyo mbona ziko trick za kufanya uchelewe kufika kileleni kama ukiwaza kuhusu kuniridhisha na mimi pia.." Mke akaongea. "Kama trick gani kwa mfano?" Mume akamuuliza mkewe. "Tulia. Acha ku-pump ukiona unakaribia kufika kileleni. Toa nje nanii yako ukihisi unakaribia na anza kuninyonya maziwa yangu, nifanye nilowe, buy yourself a time. Usi-pump kwa kasi utafikiri unashindana na Usain Bolt kwenye mbio za Marathon ili uvunje rekodi ya Dunia..hii nanii yangu ni yako..ni halali yako haraka ya wapi?.." Mme akacheka. "Baba J! Unacheka wakati mwenzako nina njaa ya tendo..take time. Tendo la ndoa ni kama usanii...kuwa msanii wangu basi...chora mwili wangu kwa ulimi wako, vidole vyako na commando wako...nanii yangu inakuhitaji.. ..Natamani wanaume wote wangejua jinsi gani sisi wanawake tunapata tabu tunapokuwa na hamu halafu tusiridhishwe; ni vigumu sana kukabiliana na hiyo hali...hua tuna hasira na majuto. Ila endapo tukaridhishwa kitandani hua tunafuraha, hua tunapendeza na kuvutia.." Mke akaongea. "Eeeh Mama J leo umeamua kufunguka..aisee" Mume akamwambia mkewe. "Ndio natakiwa nifanye hivyo. Nisipokuambia nitaendelea kuumia mpaka lini? Siku moja nitazeeka, sex kwangu itakuwa haiwezekani. Ninao muda mfupi wa kujua jinsi sex na mume wangu ilivyo tamu. Mbinguni sidhani kama watu wataoa na kuolewa, hivyo hakutakuwa na tendo la ndoa mbinguni...nipe hiyo mbingu ndogo katika ndoa yangu. Drive my body crazy..uchezee utakavyo.." Mke akasisitiza. "Nimiependa sana hiyo mke wangu; sexually aggressive. Mwanamke ambae anathubutu kumueleza mumewe mahitaji yake ya tendo la ndoa ni jasiri na nia yake ya kuimarisha ndoa inaonekana dhahiri..nafikiri ni kweli sisi wanaume tusijifikirie sisi peke yetu kwenye tendo la ndoa... ...Wake wengi wana aibu kwa waume zao, wanabaki wanalala na maumivu yao...lakini kama ukiongea kwa utaratibu kama hivi..naanza kukutamani upya tena.." Mume akamalizia. Mke akalala kitandani, akatanua miguu yake na kusema..; "Safi mume wangu, sasa maneno kdogo vitendo kwa sana...nina hamu na mume wangu...usiku huu nipeleke ulimwengu mwingine..." Mume akamsogelea katika ya miguu yake, akapeleka mkono wake taratibu kunako, kwa utaratibu akaanza kukuchezea...akachezea mwili wa mke wake vya kutosha...na commando akazidi kutunisha misuli tayari kwa mashambulizi ya anga. Kadiri alivyozidi kutalii mwili wa mkewe na mkewe kutalii mwili wa mumewe, ndivyo commando alivyozidi kupata hasira kwa kutunisha misuli...mke akamkalia commando na kuanza kumuendesha vilivyo bila leseni..kwa pamoja wakafurahia round ya pili kwa kufika pamoja. ____________________________________ Kuna kila sababu ya wanandoa kuwa wawazi katika masuala yanayohusu ustawi wa maisha yao ya ndoa hasa sekta ya tendo la ndoa, haipendezi kila siku ulale na hamu zako...katika ndoa haitakiwi kila mtu apambane na hali yake. Bali kila mmoja atimize haja ya mwenzake. May your marriage have a healthy sex life. Enjoy it while your wetness and hardness lasts. GOD BLESS YOu __________________________ INUKA MWANAMKE ni kitabu ambacho kinamlenga mwanamke wa rika lolote ni kitabu kinachoongelea MAHUSIANO, ELIMU
Artikel Terkait
SABABU YA KWELI WANAWAKE KUENDELEA KUTEMBEA NA WANAUME WALIO OA  Jane ni mwanamke mwenye mafanikio, anamiliki kampuni ya kutengeneza mifuko ya plastic, ana studio. Ana akili , anavutia na ni mwenye ujasiri. Pia anatembea na mume wa mtu. Amekuwa akiwauliza rafiki , familia yake ambao wanafahamu kuwa kitu gani kinamfanya mwanamke mwenye mafanikio, akili na ujasiri kutembea na mume wa mtu kwa miaka zaidi ya mitatu? Hamu ndio Inayoanza Mwanaume ambaye ameoa anapomkaribia mwanamke , anakuwa na hatari— hatari ambayo inaonyesha kumuhitaji zaidi. Kuwa na muda naye. Huenda kwa meseji au kupata chakula pamoja kwa siri, au kulala nae kwa siri. Huonyesha kuwa na majukumu kama mwanaume single. Lakini mwanaume single huandaa date. Huwa na sababu nyingi za kufanya hivyo, na ukiri wao huwa ni wa makini na huonyesha kuwa hawako interested. Hujikuta wameingia kwenye majukumu ambayo hakuwa amejiandaa. Kwa ushindani, kazi ya mwanaume aliyeoa Inamlinda kutokana na nia yake kwa mwanamke single ili kuonyesha hamu yake. Kama hataweza kuonyesha hisia zake kwa kumtazama macho yake, sauti yake, kumsugua mwanamke mgongo wake, kumfanyia massage kwenye mabega, mwanamke atajuaje kama anamtaka? Na ataendeleaje kubaki nae kama hamtimizii haja zake? Kwa kufanya hayo anaweza kumuwekea ulinzi, mahusiano yao kukomaa na kuwa mazuri na kuwa ya kawaida. Lakini akili Itakuja. Marafiki aliowaambia watamkumbusha.Ni mume wa mtu. Familia watamuuliza , bado yuko na mke wake? Wakati anapoanza kujiuliza ndani yake , mume alienae, Ataanza kuwa na njia mbili. Kwa wanawake wengi, hio imepitwa na wakati. Kwa wengine mchezo utaendelea—kwa kufahamu maamuzi haya…tuangalie sasa 1.Wakati mwanaume anapotoka nje, uwezekano mkubwa hana furaha ndani ya nyumba yake. 2Talaka zinaongezeka . ndoa zinafikia mwisho, na wanaume wanaoa tena. 3.Uzinzi unaongezeka kwa wanaume. Huenda kuishi muda mrefu peke yao sio mpango mzuri. Kwa mtu kama Jane kuishi maisha kama hayo, huenda ni katika kumpata mtu sahihi na kumuondoa kwa mke wake hata kama kutakuwepo hatari katika hisia zake. Mwanamke kama Jane ni wepesi wa kujifunza zaidi kuhusu tabia za wanaume ambao wanacheat kabla ya kuamua kuingia kwenye mahusiano ya kudumu. Wengi wa wanaume wanasema , sababu kubwa ya kucheat ni kukosa sex Ni kiasi kidogo sana cha wanaume ambao hupotea katika mapenzi ya nje Baadhi ya wanaume wanaocheat walitoa taarifa kuwa wanafanya hivyo kwa wenza wengi karibu miaka yote Kwa kulinganisha wanawake na wanaume. Wanawake wao huingia kwenye mahusiano kwa mwanaume aliyeoa kwa sababu ya kuwapenda. Lakini sio nzuri kama mtu ameoa ni bora kujiheshimu na kumuheshimu mke wake , Na kama kuna tatizo ni vizuri kurekebisha kuliko kwenda kutafuta majibu ya tatizo lako nje.Kwa nini nasema hivi , ni kwa sababu ipo siku mwanamke huyo atahitaji kuwekwa wazi , utafanyaje na wewe ulikuwa ni mwizi. kwa upande wa mwanamke Utavunjika moyo, inapofika wakati kama huo.Maumivu ya kuachwa na mwanaume aliyeoa ni makubwa kuliko ya kuachwa na mwenza ambaye ni wako kabisa. Black woman hugging her knees 1.Utajisikia kama mkosaji mara mbili. Kwamba hukuweza kumpata mtu ambaye tayari kwanza alikuwa ameoa na amekuacha baada ya kuridhika kwake. 2.Wasaliti wanaokatiza mahusiano huwa wanaonyesha kabisa kuwa hawana hisiana za kutosha kwako. Wanakuchukulia kama wewe ni msichana mkubwa, na unaelewa kitu gani unachokifanya. 4.Mfumo unaompa support unaweza ukawa upo gizani. HUenda ni aibu au hamu ya kumlinda msaliti au vyote. Hakuna mtu ambaye anafahamu. Kama wapo basi ni wa katibu sana. Kwa hio watu kama Jane wataepuka vipi hatari inayotokana na aina hii ya mahusiano? Ukweli ni kwamba, ufahamu una nguvu.Kama msomaji unahusika na mume wa mtu, rudia tena kusoma makala hii kwa makini kabla hujaendelea zaidi. Maisha ni mafupi.Muda wa kumsaidia mume wa mtu ambaye amekosa kitu fulani kwa mwenza wake umekwisha. Mwache akatengeneze kwa mwenza wake. Wanaume Single wako wengi wanakusubiri na hawana hatari kama hizo. Hata kama atakuonyesha kuwa wako cool mwanzoni usidanganyike. ... Read More
*SIMULIZI DARASA* *STORY FUPI* *USIMDHARAU USIYEMJUA* Msichana mmoja alikuwa amempenda kijana mmoja mtanashati na mcha Mungu.. Malengo yao ilikua waje kuoana baada ya muda. Kijana huyu alijitoa sana kwa binti huyu hadi wenzie wakamuona mjinga, lakini ukweli ni kuwa alimpenda msichana yule kwa dhati. Alimtafutia kazi alipomaliza chuo, alimshauri kuhusu mipango ya maisha na alikua akimuombea kila alipopata nafasiya kuomba. Siku moja binti alikua anasherehekea siku yake ya kuzaliwa…hivyo akaalika marafiki zake, na watu wengine muhimu akiwemo mpenzi wake. Wageni wote walifika kwa wakati isipokua yule kijana alichelewa kidogo… Hivyo msichana akatumia muda ule ambao mpenzi wake hajafika kuwaeleza wageni namna yule kijana alivyokua wa muhimu kwake.. Akamsifia sana, akasema atamvalisha pete ya uchumba soon, na akasema siku hiyo ya birthday yake anategemea zawadi kubwa sana kutoka kwa huyo mpenzi wa nafsi yake. Baadae kijana akaingia na kuketi high table.. Muda wa zawadi ulipofika watu wakamtunza binti zawadi mbalimbali na kijana akawa wa mwisho… Hivyo wageni wote wakawa na hamu ya kutaka kujua zawadi aliyoleta hasa baada ya yule msichana kumsifia sana. Kijana akaamka na kutoa mfuko.. kila mtu akataka kujua kilichokua ndani ya mfuko..mara kijana akafungua mfuko na kutoa mkate..!! Lahaula… watu wote wakastaajabu.. mkate??? Lakini kabla hajasema lolote kuhusu ule mkate, yule msichana akaanza kulia.. akapandwa hasira kwa kuwa mpenzi wake amemuaibisha..!! Akiwa analia kwa kwikwi, akamkwida shati na kumvua tai yake, akamwagia juisi, kisha akauchukua ule mkate na kuutupa.!! Maskini..yule kijana akaukimbilia ule mkate na kuuokota.. Kisha akarudi high table na kusema “baby nakushukuru kwa yote..Huenda umenidharau kwa kuwa nimekuletea zawadi hii ndogo kwenye siku yako muhimu kama hii. Lakini kama ungetambua thamani ya zawadi hii, usingefanya haya..” Kisha akafungua ule mkate na kutoa vitu viwili alivyoficha ndani ya mkate.. Kwanza akatoa ufunguo wa gari, ambalo alikuwa amemnunulia mpenzi wake na alitaka amkabidhi siku hiyo ya birthday. Kisha akatoa pete ya uchumba na kusema “Nilimuomba Mungu anipe mwanamke atakayenipenda katika hali yoyote. Nilipanga leo nikuvalishe pete hii ili kuelekea ndoto yetu ya ndoa.. ..Lakini kwa kuwa uliangalia nje, uliona mkate, badala ya pete hii ya thamani iliyokua ndani.. Naamini mwanamke niliyemuomba kwa Mungu bado sijampata.. Nashukuru kwa yote uliyonifanyia, nimekusamehe, nawe naomba unisamehe kama nimekukwaza..” Kisha akachukua mkate wake, huyoo akaondoka. Msichana akaomba msamaha lakini ilikua too late.. MORAL OF THE STORY..! Usidharau kitu/mtu kwa kumtizama nje.. Mungu huangalia thamani ya kitu ndani lakini Wanadamu huangalia nje.. Thamani ya kitu/mtu ipo ndani na si rahisi kuonekana.. Usiwe mwepesi wa kuhukumu kwa kutizama umbo la nje.. Wale wanaokudharau leo na kukuona mkate, ipo siku watagundua haukua mkate wa kawaida… kuna vingi vya thamani ndani yako. Wote wanaokudharau leo ipo siku watakusalimia kwa heshima..!! 🌹TUELIMISHANE MEMA🌹 Subra ndio inayotakiwa katika maisha. *akida* ... Read More
Jinsi Ya Kufanya Mapenzi Na Mwanamke Bikra  Ubikra ni hali ya binadamu kuwa hajafanya mapenzi maishani mwake. Mwanamume au mwanamke ambaye hajawahi fanya ngono wote ni bikra. Imekuwa desturi kwamba wanawake ndio huwa mabikra pekee, ilhali pia wanaume. Umwagaji wa damu mara ya kwanza wa kushiriki ngono hutofaitiana kwa wanawake tofauti. Wanawake wengine huwa hawatoki damu kulingana na umbile la kizinda chao. ufanya mapenzi na mwanamke bikra kunaweza kuwa na matokeo mawili. Kuna wanawake ambao husikia uchungu kwa mara yao ya kwanza kushiriki ngono na kuna wale ambao huwa hawaiskii uchungu. Kupata uchungu ama kukosa kunalingana na mwanamume ambaye huyu mwanamke anatolewa ubikra naye. Mwanamume ambaye ni mtulivu na anazingatia ama anafanya mapenzi na huyu mwanamke kwa utaratibu huwa anamsaidia yule mwanamke kufurahia wakati wake wa kwanza katika ngono na anapotolewa ubikra. Mwanamke pia anajukumu upande wake la kufanya ili asipate maumivu ama yawe madogo wakati wa kutolewa ubikra. Kama unataka kumtoa mwanamke ubikra bila maumivu kuna mambo muhimu unafaa kuzingatia ili kufanya nyote muwe na wakati wenye raha na utamu; Mwanamke lazima ajiamini Hakikisha mwanamke yule bikra anajiamini na ashki yake. Wanawake wengi mabikra huwa hawana maelezo ama elimu ya ngono. Wengi wao huwa wana aibu sana wakati jambo la kujamiiana linapozungumziwa. Kwa sababu hii mwanamke anaweza kuwa na uoga kwa kufikiri vile mara ya kwanza itakuwa. Uoga ni jambo ambalo huchangia kwa mwanamke bikra kupata uchungu wakati wa kwanza. Uoga kumdhuru kisaikolojia na hufanya misuli yake ya uuke kukaza na husababisha uchungu mwingi wakati wa kujamiiana na mwanamume. Kama mwanamume, ni muhimu kumfanya mwanamke yule bikra kujiskia huru na kutulia ili kujamiiana kuwe kwenye raha na utamu. Kuamiiana Kuaminiana ni jambo pia linaloweza kuwasaidia wawili wanaojamiiana kupata raha na utamu katika tendo lile. Fanya hima kujua kama mwanamke yule bikra ako na wasiwasi wowote ama kuna kitu kinachomtatiza. Fanya kujua kama kuna jambo analotaka kufanya wakati mnapohusiana katika ngono. Kujali hisia na matarajio ya mwanamke yule utafanya akuamini na itamsaidia pia kutulia wakati unapomtoa ubikra na hatakuwa na uchungu. Fahamu kwamba nyote mwahitaji kupeana raha mnapojamiiana, kwa hivyo zingatia pia mwanamke anafaa kujifurahisha wakati wa ngono. Papasa mwanamke Mwili wa mwanamke uko na sehemu nyingi ambazo zinaweza kupandisha hamu yake ya ngono. Mwanamume anafaa kufahamu jinsi ya kumtongoza mwanamke kwa kumpapasa. Jaribu kumpiga busu na kumpapasa shingoni, mdomoni, ili kuweza kumtuliza. Kujua sehemu ambayo unaweza kumpapasa mwanamke yule bikra utamsaidia mwanaume wakati wanapofanya mapenzi. Hamu ya mwanamke ya kufanya mapenzi hufanya uuke wake kutulia na mwanamke yule kuwa katika hali ya utulivu. Utulivu huu humsaidia kuwa tayari kwa kufanya mapenzi na pia kwa ubikra wako kutolewa. Pia utulivu huu utamsaidia kwamba hatapata kuskia uchungu wakati wa kujamiiana. Kusisimua uuke Wakati mnapofanya mapenzi na mwanamke bikra, jaribu kusisima uuke wake na mafuta nyororo. Kusisima uuke wake kutakusaidia wakati unapoingiza uume wako kwa uuke wake. Pia hii husaidia kupunguza uchungu wakati unapenya uuke wake. Unataka uzoefu wake wa kwanza uwe kitu ambacho atakumbuka, kwa hivyo kusisima uuke wake husaidia asiwe na uchungu unapompenya uuke wake. Kuwa mpole katika ngono Unapofanya mapenzi na mwanamke bikra, lazima uwe tayari kwenda pole pole na kuwacha kufanya mapenzi mwanamke anaposema hajiskii tena. Ni jambo la busara kutilia maanani kile mwanamke yule anachotaka kufanya. Akisema hayuko tayari, mpe wakati hadi atakapo sema ana hamu ya kufanya mapenzi. Usikasirike mwanamke anapokwambia uwache mnapoendelea kufanya mapenzi. Mwanamke hutaka kujua kwamba wampenda ili aweze kukubali kukupa ubikra wake. Kwa hivyo kutulia anaposema hajiskii kunaweza kuwa jambo linalo weza kumwonyesha kwamba wampenda. Kwa kufanya vile, utakuta mwanamke yule bikra atajitoa kwako kwa moyo wake wote na mnapofanya mapenzi nyote mtapata raha na utamu. Chukua usukani kama mwanamume Kwa vile wewe ndiye mwanamume wa kwanza ambaye unamuingiza kwa ngono kwa mara ya kwanza, unataka kufanya iwe kitu ambacho atakumbuka maishani. Kama mwanamume ni muhimu kuchukuwa usukani wakati mnataka kujamiiana. Mwanamke hupenda mwanamume anayejiamini kitandani. Hata unapochukuwa usukani zingatia anachotaka yeye na umwelekeze pole pole. Usije ukafa moyo kwa vile hana uzoefu lakini mfunze kile anachoweza kufanya ili ukipenya uuke wake aweze kusikia utamu na uchungu usiwe mwingi. Unataka kumfanya awe na nyege ya kufanya mapenzi na awe tayari kwa uume wako. Kinga katika ngono Kulala na mwanamke bikra hakumaanishi kwamba usahau kujikinga na kushika mimba ambao hakukutarajiwa na kueneza kwa magonjwa yanayotokana na kufanya mapenzi. Ni muhimu kama mwanaume kijikinga na kuchukuwa tahathari wakati wote wa kufanya mapenzi. Hakikisha unatumia mipira wakati wa kufanya mapenzi na madawa ya kukinga uzazi. Hii itawasaidia nyote wawili kupunguza majuto baada ya kufanya mapenzi. Kuwa mwepesi kwenye matarajio Kwa mwanamume, usije ukawa na tatumaini makubwa sana wakati wa kujamiiana na mwamake bikra kwa mara ya kwanza. Kitendo hicho kinaweza tokea kinyume na ulivyo tarajia. Unaweza fikiri utapata wakati rahisi kupandisha hamu yake na pia kupata wakati rahisi wakati wa kumpenya uuke wake. Unafaa kuweka matarajio yako wazi kwamba kitu chochote chaweza tokea. Kuweka wazi matarajio kutakusaidia kwa tukio lolote lile. Waweza pata kujifurahisha ama kupata raha unapofanya mapenzi na mwanamke yule bikra na pia unaweza kupata kuwa nyote hamkufurahia wakati ule. Kuwa tayari kwa uhusiano wa kimapenzi Mwanamume lazima awe tiyari kuwa katika mahusiano na yuel mwanamke bikra unayefanya mapenzi naye. Kila mtu hukumbuka wakati wake wa kwanza kufanya mapenzi, kwa hivyo ni muhimu kuifanya iwe ya dhamani. Kumbuka mnaenda kuwa katika uhusiano wa karibu, kuwa tayari kukuwa kwa uhuisano wa kimaisha kwani hisia zake zaweza kubadilika mnapofanya mapenzi. Kwa hivyo kama hutaki kuumiza mpenzi wako usifanye mapenzi naye kama huko tayari kuwa katika uhusiano naye kimaisha. Kufanya mapenzi ni kitu ambacho mwanamume na mwanamke hupenda. Cha muhimu kwanza ni kujikinga kutokana na magonjwa, na mimba ambazo hamkutarajia. Kwa kufanya mapenzi wawili hao huwa wameamua hupeanza uchi wao kwa mahaba. Kwa mwanamke bikra, yataka uwe mtu makini sana. Mwanamke bikra hana uzoefu wa funyanya ngono kwa hivyo unafaa kumpeleka pole pole na ukamfunza anachofaa kufanya wakati mnafanya mapenzi. Mwanamke bikra anafaa kufanywa ajiskie yuko huru na kuwachiwa kusema wanachotaka kufanya kwani ni wakati wao wa kwanza. Mwanamume lazima aweze kumweka mwanamke yule katika hanjam ya kufanya mapenzi naye, kwa kupapasa, kumpiga busu. Asiwe mtu mwenye kuharakisha kumpenya mwanamke bikra ila awe mtulivu. Mwanamke bikra akiona kwamba unazingatia masilahi yake atakuwa huru nawe na atakubali kukupa ubikra wake. Mwanamke aliyetulia na anayejua mwanamume anaujasiri na kujiamini kitandani atafanya tendo la kufanya mapenzi liwe la kufana sana kwa wote wawili. ... Read More
UTAALAM WA BURE NA MWEPESI WA JINSI YA KUMVUTA AU KUMRUDISHA MPENZI WAKO: Huu ni Utaalamu mwepesi wa jinsi ya Kumvuta Mpenzi wako ambaye aidha hakupendi au amekutoroka. Utaalamu huu utakupa uwezo wa kuvuta Mapenzi ya aina yoyote kwa Mpenzi wako, Marafiki zako, Wafanyakazi wenzio, Wakubwa wako wa kazi, Ndugu zako Adui zako na kwa ujumla mtu yoyote ambaye unataka akupende. Vitu vinavyohitajika ni kama ifuatavyo: 1.Karatasi Nyeupe kabisa isiyo na Mistari na ambayo haijatumiwa (Karatsi Mpya) 2.Kalamu mbili za Wino, moja Nyeusi na moja Nyekundu. 3.Maua ya Waridi (Rose Flower) mawili ya rangi ya Pinki. 4.Jagi la Maji la Kioo likiwa na maji karibu kujaa. 5.Mkasi mpya Mdogo ambao haujatumika. 6.Bakuli la Maji likiwa na maji ndani yake. KAZI HII UNAIFANYA WAKATI GANI? Shughuli hii unatakiwa uifanye wakati wowote ambao wewe mwenyewe unahisi kwamba haupendwi. Haina wakati maalum JINSI YA KUFANYA : Kata karatasi hiyo Nyeupe katika vipande viwili vilivyo sawa, hakikisha umepima, ili kimoja kisizidi kingine. KWA KUMVUTA MPENZI: •Ukitumia Kalamu Nyekundu, andika katika moja ya vipande hivyo viwili vya karatasi kwa ufupi mambo yote ambayo unafikiri yanakufanya upendwe na watu, mfano, labda una sura nzuri, au unavaa vizuri, au unasaidia sana watu au unazungumza na Watu vizuri na Kadhalika. •Chukua karatasi uliyoandika maneno yako mazuri, iweke dirishani Maandishi yaelekee Juu, Juu yake weka Jagi la maji la Kioo. Ndani ya Jagi tia yale maua mawili ya Waridi (Rose), Wakati unaweka Maua hayo unatakiwa unuie na uwataje kwa majina yao wale unaowataka wakupende au jambo unalolitaka la Mapenzi. •Karatasi ya mambo yako mazuri uliyoiweka chini ya Jagi la maji iache hapo mpaka Mwezi utakapoandama, unachotakiwa kufanya, nikubadilisha mara kwa mara Maua yaliyo ndani ya Jagi kila unapoona yamenyauka. KWA KUJISAFISHA NA KUJITOA MIKOSI •Ukitumia Kalamu Nyeusi, andika katika kipande cha karatasi kilichobaki mambo yote Ambayo unafikiri yanawafanya watu wakuchukie, Mfano: Kama pengine wewe ni Jeuri, au una sura mbaya, au labda wewe ni mbahili au labda unaringa sana na kadhalika. •Karatasi uliyoandika mambo yako mabaya itie ndani ya bakuli la maji na uiache hapo mpaka maandishi uliyoandika kwa Wino mweusi yafutike kabisa, kisha ulitupe karatasi lililolowa ambalo litakuwa halina maandishi Kwenye Jalala la Taka. Maji ya kwenye Bakuli yamwage njia panda, wakati wa kiza (Usiku). Unapomwaga Utie nia kwamba usichukiwe tena na haowanaokuchukia. Fanya hivyo na utaona Maajabu. Wale watakaofanya utaalamu huu tunawaomba watutumie maelezo ya Mafanikio gani waliyopata na kitu gani kilichotokea baada ya kufanya tendo hilo ... Read More
MAMBO 10 AMBAYO NI SUMU KATIKA MAPENZI  KATIKA harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakwondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa. Si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unaosababisha ufanye mambo yasiyo ya kawaida. Pengine ndiyo maana baadhi ya wasanii huzungumzia suala la “kudata” kutokana na mapenzi. Ni jambo jema kudhani kuwa wewe na mpenzi wako mnapendana kwa dhati na kwamba kila mmoja amefika kwa mwenzake, lakini kama mojawapo ya mambo haya kumi yaliyoelezwa hapa chini litajitokeza, basi fahamu kuwa yamkini umependa kuliko kawaida, yaani ni kama umenyweshwa sumu ya penzi. Kumbuka kupenda ni kuzuri, lakini kupenda kupindukia kunaweza kukutumbukia nyongo, kwani katika kila jambo kinahitajika kiasi. 1. WIVU WA KUPINDUKIA Ni jambo jema kwa mwanamume kumtakia heri mpenzi wake na kufanya kila awezalo kuhakikisha kuwa hapati madhara, lakini iwapo utakuwa mtu wa wasiwasi na mashaka pale unapomwona mpenzi wako akizungumza na mwanamume mwingine, au anapotoka na marafiki zake wa kike, au anapovaa nguo inayomfanya atamanishe, basi fahamu kuwa tayari umekunywa sumu ya mapenzi. Katika uhusiano wa kimapenzi, kuaminiana ni jambo muhimu sana. Kama kweli unataka mpenzi wako akupende kwa dhati, mwoneshe kuwa unamwamini na unaheshimu maamuzi yake, ikiwa ni pamoja na maamuzi ya kutoka na marafiki zake wa kike na kuwa na marafiki wa kawaida wa kiume. Ondoa hofu na acha kabisa kumpeleleza, maana wapo wanaume ambao hutumia muda wao mwingi kuwapeleleza wapenzi wao ikiwa ni pamoja na kuwategeshea kamera na rekoda za simu. 2. KUTOMWACHIA NAFASI MPENZI Kama huishi na mpenzi wako ni jambo la kawaida kuwa na hamu ya kumwona mara kwa mara, lakini kumbuka kuwa mpenzi wako naye ana maisha yake na anahitaji nafasi ya kuwa peke yake kwa ajili ya mambo yake binafsi. Hisia za kutaka kuwa na mpenzi wako muda wote zinaweza kudhaniwa kuwa ni za mapenzi ya dhati, lakini kwa hakika hiyo si ishara njema ya mapenzi ya kudumu. Hebu jiulize kama unaweza kuendeleza hali hiyo maisha yako yote. Ni wazi kuwa utachoka. Kwa hiyo, mpe mpenzi wako fursa ya kupumua. Namna hii mpenzi wako atajenga hamu ya kutaka kukutana nawe lakini ukiwa naye muda wote hamu hiyo itaisha. 3. KUMWAMULIA MPENZI MAMBO YAKE Unaweza kujikuta ukisukumwa kumwambia mpenzi wako awe anavaa nini wakati gani, akutane na nani na kwa wakati gani au ale nini. Ukiona hivyo, fahamu kuwa hayo si mapenzi, bali umepitiliza na pengine mwisho wa uhusiano wenu unanukia. Hata ukiachilia mbali suala zima la usawa wa jinsia, hakuna mwanamke ambaye angependa apangiwe kila kitu kuhusiana na maisha yake. Kama ilivyodokezwa hapo juu, kila mtu ana maisha yake na kilichowaunganisha ni mapenzi tu. Kama utataka kumpangia kila kitu ni wazi kuwa utaishia kuishi peke yako. 4. KUMUULIZA MPENZI MASWALI Iwapo utajikuta ukimuuliza mpenzi wako maswali mengi yanayoonesha wasiwasi wako kuhusiana na mwenendo wake, fahamu kuwa kuna tatizo na tatizo hilo lisipopatiwa ufumbuzi utakuwa mwanzo wa mwisho wa uhusiano wenu. Mwanamke angependa umuulize maswali ya kawaida kuhusiana na jinsi siku yake ilivyokuwa na kama marafiki zake hawajambo au la, lakini kila jambo lina mpaka wake. Mwanamke hatarajii kuwa kila mnapokutana atakuwa kama ameingia kwenye chumba cha mtihani au usaili wa kazi. 5. KUTOAMINI ANACHOKWELEZA MPENZI Wakati mwingine watu hushindwa kuwaamini wenzao, lakini kwa sababu ambazo ni za msingi, lakini kuna wakati ambapo mtu hushindwa kumwamini mwenzake bila sababu yoyote ya msingi, au kwa sababu zisizo sahihi, kisingizio kikiwa ni mapenzi. Kuna tatizo la kisaikolojia la kujishuku au kuwashuku wenzako. Hili ni jambo ambalo linaweza kukuharibia mustakabali wako katika mapenzi, maana husababisha kujengeka kwa mazingira ya kutokuaminiana. Ili uweze kwenda sanjari na mpenzi wako, amini kila anachokweleza hadi pale utakapokuwa na sababu za msingi za kutokumwamini. Na hata unapokuwa umelithibitisha jambo, endelea kuwa katika uhalisia wako. 6. KUACHA HOBI, MARAFIKI Mahusiano ya kimapenzi mara nyingi huhusisha kila mmoja kuacha baadhi ya mambo yake kwa ajili ya mwenzake. Hata hivyo, lengo ni kuweka tu uwiano wa mahitaji, si kuacha kila kitu ulichokuwa nacho kwa ajili ya mwenzako, ama kwa shinikizo, au kwa kulewa penzi. Iwapo utabaini kuwa marafiki zako sasa wamekuwa ni marafiki zako wa zamani na hobi zako zimebaki tu katika kumbukumbu japo kwa hakika bado unahisi mapenzi katika hobi hizo, basi tambua kuwa huyo mrembo wako amekunywesha sumu ya penzi na sasa huwezi hata kuitumia vema mantiki yako. Mbaya zaidi, iwapo utabaini kuwa marafiki zako wapya ni marafiki wa siku zote wa mpenzi wako na hobi zako ni zile za mpenzi wako, basi tambua kuwa huna tena nafsi yako, bali umejisalimisha mzima mzima kwa mpenzi wako. Lakini msemo mmoja wa hekima unatwambia usiweke mayai yako yote kwenye kikapu kimoja. Yamkini unaelewa. 7. KUKUBALI KUPELEKESHWA Pengine unakumbuka kuwa kuna nyakati ambapo ulikuwa na uwezo wa kujikita katika jambo moja na kulifanya kwa umakini, huku ukiwa pia mwerevu, mjanja na unayejisimamia, lakini leo unayeyuka kirahisi tu kama barafu iliyowekwa juani! Hii ni hatari kwa mustakabali wa maisha yako. Mbaya zaidi ni pale utakapoiacha kazi yako inayokulipa vizuri na kufanya kazi nyingine kwa ajili ya kumfurahisha mpenzi wako. Ukifika hali hii ujue wewe mwenyewe kuwa hapo hakuna mwanamume. 8. UTAYARI WA KUFA KWA AJILI YAKE Umewahi kujisikia kuwa na utayari wa kufa kwa ajili ya mpenzi wako? Kama jibu ni “ndiyo”, basi fahamu kwa hakika kuwa hayo uliyo nayo si mapenzi bali ni upumbavu. Pengine huku ndiko kunywesha sumu ya mapenzi. Kwa hakika, hakuna mwanamke ambaye anastahili kumfanya mwanamume yeyote kufa kwa ajili yake. Yamkini wanaume wanaolengwa katika makala haya si wavulana wanaosoma sekondari, waliobalehe majuzi, ambao wakipenda au kupendwa hujiona kama wako katika sayari yao. Mwanamume aliyepevuka hujiamini na hayaweki maisha yake yote mikononi mwa mwanamke, hata kama mwanamke huyo angekuwa ndiye mrembo wa dunia. Iwapo, ama kwa ujinga au kwa kufahamu umewahi kumwambia mpenzi wako: “Ukiniacha nitajiua,” na ukawa unaamini hivyo kabisa, basi yamkini unahitaji kutafuta msaada wa ushauri nasaha, maana kwa hakika umepotoka. 9. MUDA WOTE UNAWASILIANA NAYE Vijana wa siku hizi ni watumiaji wazuri sana wa simu, lakini iwapo utabaini kuwa asilimia kubwa ya muda wako unautumia ama kwa kuongea au kuwasiliana kwa ujumbe mfupi na mpenzi wako, basi fahamu kuwa kuna tatizo ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka. Kumbuka kuwa mapenzi hayachukui nafasi ya kila kitu. Yamkini huyo mpenzi wako amekukuta unaishi na kuna mambo ya muhimu ya kufanya. Hebu achana na simu kwanza ufanye mambo ya muhimu kuhusiana na maisha yako. Kama mpenzi wako hakwelewi katika hili basi hakufai. 10. NDUGU ZAKE WANAKUFUATILIA Iwapo utabaini kuwa marafiki, ndugu na jamaa za mpenzi wako wanamtonya mpenzi wako kuhusiana na kile wanachokiita mwenendo wako mbaya, usipuuze hali hii. Kuna uwezekano mkubwa kuwa watu hawa wanayo sababu ya kuwa na wasiwasi na mwenendo wako, kwa hiyo jichunguze na kuangalia jinsi unavyoenenda. Hata hivyo, jambo hili si ishara njema ya mustakabali mwema wa uhusiano wenu. Iwapo mpenzi wako ataweka watu wake wakufuatilie, maana yake halisi ni kwamba hakuamini. Katika hali kama hii, haitarajiwi kuwa mustakabali wa uhusiano wenu utakuwa mzuri, kwani kutakuwa na uingilizi mwingi wa ndugu, jamaa na marafiki zake. Unaweza kukubali kuendelea kuishi katika hali hii kwa kisingizio cha mapenzi, lakini ukweli ni kwamba hayatakuwa mapenzi bali karaha. KUWA MAKINI Kama unavyoona, hizi ni baadhi tu ya dalili kuwa mapenzi yako kwa mwanamke sasa yanaelekea katika ulevi, mithili ya ule wa dawa za kulevya. Jambo moja la kukumbuka ni kwamba kweli mapenzi ni kitu kizuri, lakini pia mapenzi yanahitaji kuwa jambo linaloashiria mustakabali mwema kwa wahusika wawili. Yakiwapo mambo haya kumi hauwezi kuwapo mustakabali mwema katika mapenzi. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: