Home → ushauri
→ JINSI YA KUPATA MIMBA YA MTOTO WA KIUME
Kupata mtoto wa kiume ni jambo muhimu sana kwa baadhi ya wazazi. Ndio maana kwa njia yoyote ile wengi hufanya juu chini kufanikisha jambo hili, wengine hudiriki kwenda kwa waganga wa kienyeji na wenye imani zao kusali sana. Lakini kitaalamu hii inaitwa uchaguzi wa jinsia *gender selection. Na inaweza kufanyika kwa mtoto wa kike au wa kiume, Ingawa kupata mimba ya mtoto wa kiume mara nyingi ni tofauti kidogo.
Jambo hili sio jipya sana katika jamii zetu lilifanywa toka enzi za mababu zetu. Zamani jambo hili liliangaliwa sana na wanawake kwa sababu haikueleweka kwamba mwanaume anahusika zaidi katika jambo hili. Lakini sasa kulingana na kukua kwa teknolojia na busara wanaume wanahusika zaidi, licha ya kua imani kama madawa ya kienyeji na mila bado zinaendelea.
Lengo la kuchagua jinsia ya kijacho limekua likikua siku hadi siku, baadhi ya watafiti wameonyesha asilimia 90 ya wazazi wamesema wangependa kuchagua jinsia kama ingekua rahisi. Matakwa ya mtoto wa kike au wa kiume yamekua yakitofautiana kulingana na maeneo.
Jinsi ya kuchagua mtoto wa kiume
Kila mzazi huchangia nusu ya virutubishi vinavyounda mtoto. Kibaiolojia mama anamayai aina XX, kwa hiyo kama atachangia yai moja ili kupata mtoto, anao uwezo wa kuchangia yai X tu. Baba ana mayai XY na kama atachangia kuunda mtoto, anaweza kuchangia yai X au yai Y. Hii inamaanisha shahawa/ mayai ambayo wazazi watachangia ndio huamua jinsia gaani mtoto atatokea.
Mama akitoa X na baba X = XX (mtoto wa kike)
Mama akitoa X na baba Y = XY (mtoto wa kiume)
Kama mama anaouwezo wa kuchangia yai X tu ina maana swala ni baba atoe yai Y iwe XY ili kupata mtoto wa kiume. Kama ni hivyo usije ukadhani swala hilo ni juu ya baba peke yake, inahitaji ushirikiano kufanikisha jambo hilo, kama nitakavyo ainisha hapa chini;
Zaidi ya shahawa milioni mia mbili huingia ukeni mwanaume akikojoa/ piga bao mara moja, ikiwa ni mchanganyiko wa mayai X na Y. Lakini mara nyingi kati ya shahawa hizo milioni mia mbili, ni moja tu hupenya mpaka kwenye mfuko wa uzazi ili kukutana na yai la mama na kuunda mimba, nyingine ni uchafu na hutoka mwanamke akisafisha uke.
Kabla haujajua chakufanya ili kufanikisha zoezi la kupata mtoto wa kiume zijue sifa za shahawa, X na Y ambazo baba anaweza kuzalisha.
Shahawa X ina spidi ndogo ukilinganisha na Y
lakini inauwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kusubir yai la mama kama lilikua halijafika kwenye mfuko wa uzazi bado .
Shahawa Y ina speed kali zaidi kushinda X kuelekea kwenye mfuko wa uzazi llakini haina uwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kama yai la mama litachelewa kufika kwenye mfuko wa uzazi.
Hivyo basi, ili kupata mtoto wa kiume inabidi ujifunze utaalamu wa kuvizia au kupanga jinsi gani ufanye ili wakati yai la mama linapofika kwenye mfuko wa uzazi likutane na shahawa Y ya baba kabla haijafa……..
Nini kifanyike;
Lenga kujamiiana masaa 24 kabla, mpaka 12 baada ya yai la mama kufika kwenye mfuko wa uzazi. Hii inamaanisha wakati yai la mama linafika katika mfuko wa mama inatakiwa kuwe na shahawa Y kwa wingi au kusiwe na shahawa kabisa lakini mara tu baada ya kufika kwa yai, mama anatakiwa kujamiiana ili kupanda shahawa nyingi ambazo ni Y kama nilivyokwambia shahawa Y zina spidi sana hivyo ni rahisi kuwahi na kulikuta yai pale.
Jinsi ya kufanikisha hilo;
· Kwanza mwanamke aujue vizuri mzunguko wake wa mwezi, anaweza kwenda vituo vya afya kuelekezwa vizuri jinsi ya kuuelewa mzunguuko wake wa mwezi(hedhi)
· Baada ya kuuelewa vizuri mzunguko huo, yuko tayar kwa uwindaji wa jambo hili. Baada ya kutoka hedhi siku kama tatu hadi tano yai jingine huwa limefika kwenye mfuko wa uzazi kusubiri kurutubishwa. Ina maana baada ya kutoka hedhi subiri kwa siku 4 hadi tano kabla ya kujamiiana.
· Mwanaume hatakiwi kua amepiga bao kwa njia yoyote siku 4-5 kabla ya kujamiiana siku mliyopanga.
· Huwa kuna mabadiliko ya joto la mwanamke kujua kama yai limeshafika kwenye mfuko wa uzazi, ni vyema kama umeuelewa vizur mfumo wako wa uzazi wa mwezi uweze kujipima na kujua wakati yai la mwanamke limefika kwenye mfuko. Ukiweza jambo hilo ni vyema zaidi basi na mjitahidi kujamiiana masaa kumi na mbili baada ya yai kufika kwenye mfuko.
· Kaeni mikao ya kuhakikisha uume umeingia ndani sana ili kupunguza umbali wa shahawa kusafiri.
· Ni muhimu mwanamke aandaliwe vizuri ili akojoe/afike kileleni kwa sababu shahawa za mwanamke husaidia kusafirisha mayai ya mwanaume.
Mlo.
Tunaamini pia mlo unaopata husaidia sana kukufanya upate mtoto wa kike au wa kiume, ili kupata mtoto wa kiume vyakula vifuatavyo husaidiia:
· Nyama, hasa nyama nyekundu.
· Vyakula vya chips chips zenye chumvi
· Mayai, maharagwe,mikate na mazao ya mahindi
· Caffeine; umhimize mwenza wako kunywa vinywaji vyenye caffeine kama koka na pepsi kabla ya kujamiiana kwa sababu vinasaidia kuchangamsha shahawa Y
· Kunywa dawa ya kikohozi kabla ya kujamiiana kwa sababu dawa hizo huwa na guaifenesin inayosaidia nguvu za usafirishwaji wa shahawa Y. soma juu ya dawa kuhakikiasha ina guaifenesin kabla ya kunywa.
Mambo mengine yanayoweza kusaidia;
· Mwanaume afike kileleni/akojoe kwanza.
· Mwanaume awe juu au akae
· Mjamiiane huku mmesimama
· Mjamiiane usiku.
· Epuka kujamiiana wakati mwezi unatoka au wakati wa mwezi mzima, fanya mwezi ukiwa robo zaidi.
JINSI YA KUPATA MIMBA YA MTOTO WA KIUME Kupata mtoto wa kiume ni jambo muhimu sana kwa baadhi ya wazazi. Ndio maana kwa njia yoyote ile wengi hufanya juu chini kufanikisha jambo hili, wengine hudiriki kwenda kwa waganga wa kienyeji na wenye imani zao kusali sana. Lakini kitaalamu hii inaitwa uchaguzi wa jinsia *gender selection. Na inaweza kufanyika kwa mtoto wa kike au wa kiume, Ingawa kupata mimba ya mtoto wa kiume mara nyingi ni tofauti kidogo. Jambo hili sio jipya sana katika jamii zetu lilifanywa toka enzi za mababu zetu. Zamani jambo hili liliangaliwa sana na wanawake kwa sababu haikueleweka kwamba mwanaume anahusika zaidi katika jambo hili. Lakini sasa kulingana na kukua kwa teknolojia na busara wanaume wanahusika zaidi, licha ya kua imani kama madawa ya kienyeji na mila bado zinaendelea. Lengo la kuchagua jinsia ya kijacho limekua likikua siku hadi siku, baadhi ya watafiti wameonyesha asilimia 90 ya wazazi wamesema wangependa kuchagua jinsia kama ingekua rahisi. Matakwa ya mtoto wa kike au wa kiume yamekua yakitofautiana kulingana na maeneo. Jinsi ya kuchagua mtoto wa kiume Kila mzazi huchangia nusu ya virutubishi vinavyounda mtoto. Kibaiolojia mama anamayai aina XX, kwa hiyo kama atachangia yai moja ili kupata mtoto, anao uwezo wa kuchangia yai X tu. Baba ana mayai XY na kama atachangia kuunda mtoto, anaweza kuchangia yai X au yai Y. Hii inamaanisha shahawa/ mayai ambayo wazazi watachangia ndio huamua jinsia gaani mtoto atatokea. Mama akitoa X na baba X = XX (mtoto wa kike) Mama akitoa X na baba Y = XY (mtoto wa kiume) Kama mama anaouwezo wa kuchangia yai X tu ina maana swala ni baba atoe yai Y iwe XY ili kupata mtoto wa kiume. Kama ni hivyo usije ukadhani swala hilo ni juu ya baba peke yake, inahitaji ushirikiano kufanikisha jambo hilo, kama nitakavyo ainisha hapa chini; Zaidi ya shahawa milioni mia mbili huingia ukeni mwanaume akikojoa/ piga bao mara moja, ikiwa ni mchanganyiko wa mayai X na Y. Lakini mara nyingi kati ya shahawa hizo milioni mia mbili, ni moja tu hupenya mpaka kwenye mfuko wa uzazi ili kukutana na yai la mama na kuunda mimba, nyingine ni uchafu na hutoka mwanamke akisafisha uke. Kabla haujajua chakufanya ili kufanikisha zoezi la kupata mtoto wa kiume zijue sifa za shahawa, X na Y ambazo baba anaweza kuzalisha. Shahawa X ina spidi ndogo ukilinganisha na Y lakini inauwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kusubir yai la mama kama lilikua halijafika kwenye mfuko wa uzazi bado . Shahawa Y ina speed kali zaidi kushinda X kuelekea kwenye mfuko wa uzazi llakini haina uwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kama yai la mama litachelewa kufika kwenye mfuko wa uzazi. Hivyo basi, ili kupata mtoto wa kiume inabidi ujifunze utaalamu wa kuvizia au kupanga jinsi gani ufanye ili wakati yai la mama linapofika kwenye mfuko wa uzazi likutane na shahawa Y ya baba kabla haijafa…….. Nini kifanyike; Lenga kujamiiana masaa 24 kabla, mpaka 12 baada ya yai la mama kufika kwenye mfuko wa uzazi. Hii inamaanisha wakati yai la mama linafika katika mfuko wa mama inatakiwa kuwe na shahawa Y kwa wingi au kusiwe na shahawa kabisa lakini mara tu baada ya kufika kwa yai, mama anatakiwa kujamiiana ili kupanda shahawa nyingi ambazo ni Y kama nilivyokwambia shahawa Y zina spidi sana hivyo ni rahisi kuwahi na kulikuta yai pale. Jinsi ya kufanikisha hilo; · Kwanza mwanamke aujue vizuri mzunguko wake wa mwezi, anaweza kwenda vituo vya afya kuelekezwa vizuri jinsi ya kuuelewa mzunguuko wake wa mwezi(hedhi) · Baada ya kuuelewa vizuri mzunguko huo, yuko tayar kwa uwindaji wa jambo hili. Baada ya kutoka hedhi siku kama tatu hadi tano yai jingine huwa limefika kwenye mfuko wa uzazi kusubiri kurutubishwa. Ina maana baada ya kutoka hedhi subiri kwa siku 4 hadi tano kabla ya kujamiiana. · Mwanaume hatakiwi kua amepiga bao kwa njia yoyote siku 4-5 kabla ya kujamiiana siku mliyopanga. · Huwa kuna mabadiliko ya joto la mwanamke kujua kama yai limeshafika kwenye mfuko wa uzazi, ni vyema kama umeuelewa vizur mfumo wako wa uzazi wa mwezi uweze kujipima na kujua wakati yai la mwanamke limefika kwenye mfuko. Ukiweza jambo hilo ni vyema zaidi basi na mjitahidi kujamiiana masaa kumi na mbili baada ya yai kufika kwenye mfuko. · Kaeni mikao ya kuhakikisha uume umeingia ndani sana ili kupunguza umbali wa shahawa kusafiri. · Ni muhimu mwanamke aandaliwe vizuri ili akojoe/afike kileleni kwa sababu shahawa za mwanamke husaidia kusafirisha mayai ya mwanaume. Mlo. Tunaamini pia mlo unaopata husaidia sana kukufanya upate mtoto wa kike au wa kiume, ili kupata mtoto wa kiume vyakula vifuatavyo husaidiia: · Nyama, hasa nyama nyekundu. · Vyakula vya chips chips zenye chumvi · Mayai, maharagwe,mikate na mazao ya mahindi · Caffeine; umhimize mwenza wako kunywa vinywaji vyenye caffeine kama koka na pepsi kabla ya kujamiiana kwa sababu vinasaidia kuchangamsha shahawa Y · Kunywa dawa ya kikohozi kabla ya kujamiiana kwa sababu dawa hizo huwa na guaifenesin inayosaidia nguvu za usafirishwaji wa shahawa Y. soma juu ya dawa kuhakikiasha ina guaifenesin kabla ya kunywa. Mambo mengine yanayoweza kusaidia; · Mwanaume afike kileleni/akojoe kwanza. · Mwanaume awe juu au akae · Mjamiiane huku mmesimama · Mjamiiane usiku. · Epuka kujamiiana wakati mwezi unatoka au wakati wa mwezi mzima, fanya mwezi ukiwa robo zaidi.
Artikel Terkait
Kuto0Ombana Ukiwa Na Mimba  Kufanya mapenzi wakati wa mwanamke kuwa mja mzito ni jambo la kawaida. Mambo mengi yamesemwa kulingana na swala la kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito. Mwanamke pia hujiskia hajiamani kwa umbo lake na hujiskia hapendizi machoni mwa bwanake ama mpeziwe. Hii haina maana kwamba mwanamke aliye na mimba hawezi kujifurahisha kwa ngono kama wanawake wenzake. Kwa kusema hivyo, wanandoa wanaweza kufanya mapenzi wakati mwanamke mwenyewe yupo na mimba. Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba hakuwezi kumdhuru mtoto. Mfuko wa uzazi humkinga mtoto kutokana na madhara yoyote yanayoweza kutokana na kufanya mapenzi mwanamke akiwa mja mzito. Hata kama kufanya mapenzi huwa kitu kinachopendwa kwa utamu wake, wataalamu wanahimiza mwanamke mja mzito asifanye mapenzi kama amewahi kuwa na mambo yafuatayo; Kuvuja damu. Kama mwanamke amewahi kuvuja damu wakati akiwa mja mzito, ni muhimu asijaribu kufanya mapenzi hata kidogo. Kufanya ngono kunaweza kuzidisha uvujaji wa damu ambayo sio nzuri kwa hali ambayo yupo.Kama mwanamke ako na historia ya kuwa na mfuko wa uzazi dhaifuKama pia mwanamume ako na malengelenge sehemu za siri.Kama mwanamke amewahi poteza mtoto wakati wa kuzaa. Kama mwanamke ana historia ya kupoteza mimba, ni muhimu kukosa kujaamiana na mwanamume wake.Kama mwanamke hana hali nzuri ya kiafya ama ni mdhaifu.Kama maji ya uzazi yamepasuka Kufanya ngono na mwanamke wakati yupo na mimba huwa na umuhimu wake pia. Baadhi ya umuhimu wa kukula uroda wakati mwanamk yupo mja mzito ni kama; Kufanya ngono humsaidia mwanamke kulala vizuri. Wanawake huwa na uchovu mwingi wakati wa uja uzito na hutaka kupumzika sana. Kufanya mapenzi humsaidia yeye kulala usingizi mnono.Kutombana wakati wa uja uzito pia husaidia kupunguza uchungu wakati wa kuzaa. Kukula uroda husaidia kuongeza kiasi cha uuke na huongeza maji ya uuke ambayo husaidia wakati wa kuzaa.Kufanya mapenzi wakati wa uja uzito husaidia kuongeza mahaba kati ya wapenzi hao. Mapenzi huongezeka kwa kufanya ngono wakati huu.Utamu wa ngono hukaa kwa mda mrefu wakati mwanamke yupo na mimba. Mwanamume anapompenya mwanamke, na wanapokula uroda, utamu huwa tele kuliko wakati mwingine.Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba huongeza kinga ya mwili kutokana na magonjwa. Kwa kuongeza kinga ya mwili, mwanamke yule atakuwa hawezi kuambukiwa magonjwa haraka.Kutombana wakati wa uja uzito hupa mama na mtoto wake furaha na kuwafanya wawe wametulia na kupumzika.Kufanya mapenzi husaidia pia kupunguza kalori mwilini. Kwa kupunguza kalori, mwanamke huwa katika hali nzuri ya kinga kutokana na magonjwa.Kufanya mapenzi pia husaidia kwa uzazi. Wakati mwanamke anatarajia kupata mtoto huwa ako na maumivu ambayo hukaa sana. Ngono wakati wa uja uzito husaidia kupunguza wakati huo wa uzazi. Kama mwanamume ukitaka kumtomba mwanamke wako aliye na mimba na kumfanya afurahie unaweza fanya mitindo ifuatayo; 1- Mwanamke akiwa juu Mtindo mmoja ambao ni mzuri wa kufanya mapenzi na mwanamke aliye na mimba ni kama yuko juu ya mwanamume. Mwanamume anafaa kulala kwa mgogo wake na amwachie mwanamke kukaa juu ili aweze kupenya uuke wake. Hii husaidia ili mwanamume asimfinye mwanamke tumbo. Mwanamke pia atafurahia kwa vile atakuwa hatachoka sana. 2- Kuto0mbana kama mmelala na upande Mtindo mwingine wa kufanya mapenzi na mwanamke mwenye mimba ni kama mmelala kwa upande. Hapa mwanamume huwa nyuma ya mwanamke. Mwanamume huweza kupenya uuke wa mwanamke yule kutoka nyuma karibu na tako. Mtindo huu ni mzuri kwani huhakikisha kwamba mwanamume anapenya mwanamke ule kidogo tu sio kwa sana. 3- Kut00ombana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo. 4- Kuto00mbana kama mmeketi Kufanya mapenzi kama mmeketi pia ni aina ya mtindo ambao wapendanao wanaweza tumia. Hii aina husaidia mfuko wa uzazi usifinywe wakati wa ngono. Mwanamume ataketi kitini naye mwanamke atamkalia na kumwezesha mwanamume kupenya uuke wake. Mwanamke hapa atachukua usukani ili aweze kuzingatia kiasi cha uume unaompenya. 5- Kuto00mbana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo. 6- Kwa kutumia mikono kwa uuke wa mwanamke Mwanamke anaweza kuwa na uoga wa uume wa mwanamume kumpenya. Kwa sababu hii mwanamume anaweza kutumia vidole vyake na kwa taratibu akasungua na kuupapasa uuke wa mwanamke wake. Anaweza pia kupapasa kinembe cha mwanamke yule pole pole na kuzidi kasi mwanamke anapopata hamu. 7- Kwa kutumia midoli ya kufanya mapenzi Mwanamume pia anaweza kutumia midoli ya mapenzi kwa kufanya mapenzi na mwanamke wake aliye na mimba. Kwa kutumia midoli hii, mwanamume anaweza mpenya mwanamke kwa utaratibu na kwa kupapasa kinembe cha mwanamke yule na kumpa raha zaidi. Kutumia midoli itamsaidia mwanamke ambaye ako na uoga wa mwanawe kuadhiriwa wakati wa ngono. 8- Kwa kupeana punyeto Wapenzi wanaweza kupeana punyeto kama njia yao ya kufanya mapenzi. Mwanamke anaweza kupapasa uume wa mwanamume wake naye mwanamume akampapa uuke wake. Kwa kufanya hivi wote watapeana raha na wataridhika katika kukula uroda. Hii husaidia kama mwanamke ako na tashwishi kutokana na mwamanume kumtomba na uume wake. Kufanya mapenzi ama kutombana kunafaa kuchukuliwe kama kitu muhimu hususan wakati mwanamke yupo na uja uzito. Kufanya ngono katika uja uzito ni kitu cha kawaida na wapenzi wanafaa kufanya hima kuhakikisha wanajaribu ngono kwani ina manufaa makubwa kwao wawili, kwa mtoto na kwa mwanamke mwenyewe. Ngono husaidia kwa uzazi, kwa kuongeza mapenzi kati ya wapenzi wawili, kupanuua uuke kati ya mengineo. Hata ingawa kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito ni jambo la manufaa, tahadhari inafaa ichukuliwe pia. Mwanamke ambaye anavuja damu, ambaye ana historia ya kupoteza mimba na ambaye mfuko wake wa uzazi ni hafifu, hafai kujihusisha katika kutombana hata kidogo. Kwani kwa kujihusisha katika kutombana huwa anadhuru mimba yake. Pia cha muhimu kuzingatia ni mitindo ambayo wapenzi wale watatumia katika kushiriki ngono ili pia wasije wakadhuru mimba ama hali ya mtoto na pia mwanamke asiweze kuchoka wakati wa ngono. Kwa yote tisa, kumi ni kuhakikisha kwamba mwanamume anavalia mpira wakati wa ngono ili pia kuzuia maambukizi. Kumbukumbu ... Read More
Kanuni Kumi '10' Muhimu za Kuwa Mke Mwema Katika Ndoa....Ikizishindwa Imekula Kwako  UHALISI WA MAISHA: Maisha halisi ya mwanamke anayetarajia kuwa mke/ mke tayari hii ni kumaanisha kuwa wanawake mashujaa tunapaswa kuishi maisha ambayo yanatutambulisha kama mfano wa kuigwa ili tunapozungumza na kufundisha mabadiliko tuwe tunazungumza uhalisia wa maisha yetu ambao unajengwa na haya yafuatayo; UVUMILIVU: Kuwa mvumilivu katika maisha yake ya kila siku hasa ukizingatia kuwa tunakutana na mambo mbali mbali yasiyotuvutia katika mahusiano yetu, mengine ni magumu na yanayokwenda kinyume kabisa na matakwa yetu au mazoea yetu ya binafsi. Ifahamike kwamba wewe kama mwanamke shujaa inapotokea umekutana na mambo kama haya hupaswi kuonyesha hasira zako wazi wazi kama vile; chuki, kulaumu, ugomvi, vurugu, malalamiko, manung’uniko, machafuko, kulipa kisasi au aina yoyote ya uharibifu kutokea kwako au ndani mwako. Hivyo mwanamke shujaa huwa ni heri kila anapokuwa kwani hutunza amani ya eneo alipo. UPENDO WA DHATI: Maisha ya upendo wa halisi na sio wa kinafki kwa jamii inayomzunguka. Tabia ya upendo wa halisi ina thamani kubwa sana kuliko mali nyingi, pesa, elimu ya juu n.k. wewe unaweza kabisa kuwa na elimu ya juu sana na pesa nyingi sana lakini pasipo upendo wa halisi ni sawa na kusema kopo zuri kwa nje na ndani hamna kitu. Nguzo kuu ya maisha ya mwanamke shujaa ni Upendo wa dhati na uhalisia. UTII KWA KWA JAMII: Maisha halisi ya utii katika jamii inayokuzunguka ili kuweza kuyafanyia kazi yale yote uliyojifunza na pia kuyatenda kwa ufasaha pasipo kupita kona yoyote. Utii kwa jamii ni ufunguo mmoja wapo utakaokusaidia kufanikisha mambo yako na malengo yako kama mwanamke shujaa. UAMINIFU KATIKA JAMII: Kuishi maisha ya uaminifu wa kweli na uhalisia katika jamii inayomzunguka. Uaminifu wa kweli huonekana nyakati zote na siyo tu wakati mtu anapokuwa mbele za watu wanaomjua bali hata wale wasiomjua na hata anapokuwa mahali peke yake aweze kutunza uaminifu wake kwa faida ya jamii nzima. Mwanamke shujaa hujitahidi sana kutunza uaminifu wake katika sekta zote. UNYENYEKEVU WA KWELI: Kuishi maisha halisi kabisa ya unyenyekevu kwa jamii inayomzunguka, unyenyekevu ni kinyume kabisa na kiburi, majivuno, kujigamba, kujikweza, kujiinua, kujiona,na hata kjitanguliza mbele kwa kila jambo. Mwanamke shujaa huwa ni mnyenyekevu wakati wote na hana makuu daima. UWAJIBIKAJI WA DHATI: Maisha halisi ya uwajibikaji akiangalia majukumu yake yote yanayomkabili na kuhakikisha anafanya kwa moyo bila kuwa na tabia ya kusaidiwa majukumu yake. Mwanamke shujaa ni mfano wa kuigwa kutokana na uwajibikaji wake. USHIRIKIANO WA DHATI: Ushirikiano katika jamii inayomzunguka. Sisi wanawake mashujaa yatupasa kujua dhahiri kuwa kazi ya kubadili tabia na kufanya wengine wabadilike kwa lengo la kupata familia bora ni lazima kuwa na ushirikiano wa kweli ambao utajenga tabia ya kuaminiana na kunai mamoja katika harakati hizi za kuandaa/ kujenga familia bora. UTARATIBU WA KAZI/MPANGILIO: Katika utaratibu wa maisha yake, pamoja na mpangilio mzuri wa mambo yanayomzunguka hii itakusaidia kuwa na muda mzuri wa kufanya shughuli zako na pia kutekeleza majukumu yako ya kila siku kama mwanamke shujaa. Hakuna njia yoyote ya kukuwezesha kukua na kuendelea katika maisha yako bila kuwa na utaratibu na mpangilio wa mambo yako. KUFANYA TATHIMINI: Kuweza kufanya tathimini ya yale yote anayoyafanya katika maisha yake ya kila siku, pengine ni mfanyabiashara, mfanyakazi, mkulima n.k kama mwanamke shujaa yakupasa kutathimini shughuli zako kama zina leta faida/hasara kwa familia na jamii yako inayokuzunguka. Ukiona faida ni kubwa unaendelea na hiyo shughuli lakini kama hasara ni kubwa unajiweka katika nafasi ya kubadilisha aina ya shughuli mara moja bila kupoteza wakati. ... Read More
ULISHAWAHI KUKUTANA NA MTU MWENYE UPENDO WA KWELI??? Ipo siku utakutana na mtu tofauti na ulivyozoea kuona au kusikia. Haitakuwa kwa sababu ya tabasamu lao au ucheshi wao au kwa jinsi ya kuongea kwao au kusema majina yao. Ni kwa sababu ya njia itakayo kufanya wewe ujisikie tofauti. hutaogopa kupenda na kupendwa. Siku moja utakutana na Upendo utakaoufurahia. Hutaweza kufikiria mara mbili. Hutaweza kuwa na wasiwasi kwamba anakupenda au hakupendi. ‘Utafahamu tu. Kwa mtu huyu hutaweza kuficha tabia yako. hutaficha madhaifu yako na usumbufu wako. hutakuwa na mawazo ya itakuwaje kama ata kupandia kichwani. hutakuwa na maswali ya kujua muhimu wake na hutakuwa na labda. Wakati ukikutana na mtu huyu hutaingiwa na woga. hutaweza kufikiri fikiri kitu chochote. hutaweza kufikiria upendo wake kwako. Na wakati anaposema hawezi kwenda mahali , utafahamu kuwa ni kweli. Wakati huo hutasikia kukosa kitu ndani ya moyo wako, hutasikia upweke, hutaweza kusikia chochote kinyume na upendo uliopo. Ipo siku , mtu fulani atabadilisha maisha yako. kwa sababu atakuonyesha upendo wa kweli ni upi na maana ya upendo ni nini, unaonekanaje. Atakuonyesha kuwa upendo hauna mwisho. na hutamkimbia , na hutaweza kutaka faida zaidi. hutapigwa na wala kupata maumivu yasio na msingi. Ipo siku Hutaogopa kupata maumivu. Hutaogopa kuacha tena. kwa kupoteza kipande cha moyo wako na roho yako. hutaogopa tena kutoa na kutoa upendo wako . Siku moja utapumua kwa urahisi kwa kufahamu kuwa huyo mtu hataondoka . Utapumua vizuri kwa kujua kwamba upendo huo utadumu. Huyo mtu hatakutelekeza na wala hataweza kukukimbia. Utafahamu toka moyoni mwako kwamba upendo huo hautakuumiza. Utaweza kuishi, kucheka, kulia na kupumua kwa urahisi ukiwa pembeni ya mtu huyo. Utajifahamu na kujiona vizuri. Utaweza kumuonyesha makovu, na vidonda ulivyonavyo na kwa kuwa vimepona. Utaweza kumuonyesha mtu huyo moyo wako wote kwa kujua kuwa hawezi kukuacha. Ipo siku utajikuta unaamka mikononi mwake, ukiwa karibu yake kwa upendo , katika maisha yako. hutakuwa na wasiwasi . hutaogopa. hutasikia uzito wa kupumua tena. Utahisi upendo ndani yako. mwisho utagundua Upendo halisi. Washirikishe wengi. ... Read More
UTAALAM WA BURE NA MWEPESI WA JINSI YA KUMVUTA AU KUMRUDISHA MPENZI WAKO: Huu ni Utaalamu mwepesi wa jinsi ya Kumvuta Mpenzi wako ambaye aidha hakupendi au amekutoroka. Utaalamu huu utakupa uwezo wa kuvuta Mapenzi ya aina yoyote kwa Mpenzi wako, Marafiki zako, Wafanyakazi wenzio, Wakubwa wako wa kazi, Ndugu zako Adui zako na kwa ujumla mtu yoyote ambaye unataka akupende. Vitu vinavyohitajika ni kama ifuatavyo: 1.Karatasi Nyeupe kabisa isiyo na Mistari na ambayo haijatumiwa (Karatsi Mpya) 2.Kalamu mbili za Wino, moja Nyeusi na moja Nyekundu. 3.Maua ya Waridi (Rose Flower) mawili ya rangi ya Pinki. 4.Jagi la Maji la Kioo likiwa na maji karibu kujaa. 5.Mkasi mpya Mdogo ambao haujatumika. 6.Bakuli la Maji likiwa na maji ndani yake. KAZI HII UNAIFANYA WAKATI GANI? Shughuli hii unatakiwa uifanye wakati wowote ambao wewe mwenyewe unahisi kwamba haupendwi. Haina wakati maalum JINSI YA KUFANYA : Kata karatasi hiyo Nyeupe katika vipande viwili vilivyo sawa, hakikisha umepima, ili kimoja kisizidi kingine. KWA KUMVUTA MPENZI: •Ukitumia Kalamu Nyekundu, andika katika moja ya vipande hivyo viwili vya karatasi kwa ufupi mambo yote ambayo unafikiri yanakufanya upendwe na watu, mfano, labda una sura nzuri, au unavaa vizuri, au unasaidia sana watu au unazungumza na Watu vizuri na Kadhalika. •Chukua karatasi uliyoandika maneno yako mazuri, iweke dirishani Maandishi yaelekee Juu, Juu yake weka Jagi la maji la Kioo. Ndani ya Jagi tia yale maua mawili ya Waridi (Rose), Wakati unaweka Maua hayo unatakiwa unuie na uwataje kwa majina yao wale unaowataka wakupende au jambo unalolitaka la Mapenzi. •Karatasi ya mambo yako mazuri uliyoiweka chini ya Jagi la maji iache hapo mpaka Mwezi utakapoandama, unachotakiwa kufanya, nikubadilisha mara kwa mara Maua yaliyo ndani ya Jagi kila unapoona yamenyauka. KWA KUJISAFISHA NA KUJITOA MIKOSI •Ukitumia Kalamu Nyeusi, andika katika kipande cha karatasi kilichobaki mambo yote Ambayo unafikiri yanawafanya watu wakuchukie, Mfano: Kama pengine wewe ni Jeuri, au una sura mbaya, au labda wewe ni mbahili au labda unaringa sana na kadhalika. •Karatasi uliyoandika mambo yako mabaya itie ndani ya bakuli la maji na uiache hapo mpaka maandishi uliyoandika kwa Wino mweusi yafutike kabisa, kisha ulitupe karatasi lililolowa ambalo litakuwa halina maandishi Kwenye Jalala la Taka. Maji ya kwenye Bakuli yamwage njia panda, wakati wa kiza (Usiku). Unapomwaga Utie nia kwamba usichukiwe tena na haowanaokuchukia. Fanya hivyo na utaona Maajabu. Wale watakaofanya utaalamu huu tunawaomba watutumie maelezo ya Mafanikio gani waliyopata na kitu gani kilichotokea baada ya kufanya tendo hilo ... Read More
NI JINSI GANI UNAMWOMBA MPENZIO MSAMAHA, JE NI KWA KUMPA ZAWADI? Msamaha una nafasi kubwa sana katika mapenzi. Hamna mtu aliyemkamilifu ndiyo maana neno samahani lipo. Ila neno hili linaweza kutumika sahihi au isiwe sahihi. Hivyo ni vizuri ukawa makini katika matumizi ya neno hili. Kuna baadhi ya watu hawawezi kabisa kutamka hilo neno na badala yake hutumia maneno yafuatayo (mbadala) kama ; yaishe,basi samahani,umeshinda,sorry(kama njia yakupunguza makali na wakati lugha iliyokua ikitumika ni kiswahili). Jinsi yakutumia samahani kiusahihi Unapotoa samahani kutoka katika kilindi cha moyo wako ina maana sana zaidi ya chochote. Samahani itumike tu pale unapotenda kosa moja kwa mara ya kwanza, hapo ni rahisi kusamehewa na kuaminiwa zaidi.Heshima, pendo na mapenzi yatakuwa kama awali na utaheshimika nakuonekana unajali. Hakikisha hauombi samahani zaidi ya mara moja kwa kosa moja ndo mana wanasema, “kosa sio kosa ila ukirudia kosa ndio kosa’’. Kama ulikua haufahamu ni vizuri ujifunze na ikiwezekana rudisha kumbukumbu zako katika matukio yanayohitaji msamaha kwenda kwa mpenzi wako na ulinganishe na hatua ulizozifanya. Kiri kosa ndiyo msamaha wako uweze kukubalika.Usiombe msamaha huku unasema lakinii…… ila……. Siamini kama haya yangetoa……… aina hizi za midokezo inapotumika katika kuomba msamaha ujue unataka kuonesha ulichokifanya sio kosa… Its simple, admit your mistake for the heartest forgiviness .Utapelekea upande wa pili (uliokosewa kukuamini tena na ni rahisi kusamehe na kusahau) tofauti na kuwa na maneno meeengi yakujitetea ilihali umetenda kosa. Sasa nije kwenye suala la zawadi, Jamani zawadi isiwe ndiyo silaha ya kudai msamaha. Zawadi inatumika wakati wowote kuimarisha mapenzi kwa kuonesha unamjali mwenzi wako nakumfanya ahisi faraja wakati wote na uwepo wake katika maisha yako. Epuka tabia ya kutoa sana zawadi wakati unamplease mpenzi wako.Kwa wakati mwingine utamjengea fikra za kosa pindi tu unapomletea zawadi. Hivyo asiifurahie ile zawadi na badala yake atakua na shauku kufahamu msamaha wa siku hiyo ni wa kitu gani au umetenda kosa gani tena. Wakati mwingine zawadi inapotumika katika kuomba msamaha itakua ni kama KUMBUKUMBU YA KOSA ulilomfanyia mwenzi wako, hivyo kumfanya akumbuke mara kwa mara kosa ulilolifanya. Kuwa makini sana katika njia za kuomba msamaha. Njia nzuri ya kuomba msamaha na ukubaliwe kwa upesi Kubali kosa pale ambapo umetenda,(note; Usikiri kosa kwa sababu tu unampenda na hutaki kumpoteza ,au hutaki malumbano. Ukifanya hivo ndo unaweza haribu uhusiano wako kabisa) Badili mazingira ya maongezi yaani tofauti na eneo la nyumbani/mlilozoea kukaa Omba msamaha wakati hasira zimepungua na ukiwa sio mlevi (hasa kwa wale wenye hasira au wanywaji wa pombe) Usilazimishe kusamehewa ,yaani mwenzako anapokua haridhii tumia njia nyingine mfano kumshirikisha mtu wenu wa karibu saana (kwa wote wawili) ila hapa uwe makini kwa sababu sio wote wanapenda siri zao za uhusiano kujulikana na wengine.Hapa itategemea na jinsi mlivyo Anayeomba msamaha ahakikishe sio mtu wa kukumbuka makosa ya mwenzie yaliyofanyika kipindi cha nyuma.Hapa na maanisha wale wenye tabia yakusamehe wenzao ila niwakukumbuka, endapo atakosewa kwa kitu kingine hata kwa bahati mbaya.Mfano akikosewa huwa ni mtu wakusema; ''hiyo ni kawaida yako'' that means anashikilia vitu moyoni.Itamuwia vigumu mwenzako kukubalia msamaha kwa urahisi, kutokana na tabia yakumshikilia bango kwa kumkumbusha yaliyopita endapo yeye atakukosea. Ni vizuri kujitahidi katika kufanya mambo mazuri kwenye uhusiano wako.Usitegemee zawadi kuwa ni kitu kizuri katika kuomba msamaha. Timiza malengo yako,jiheshimu,kuwa mwaminifu na kumthamini mwenzio na kumpenda kwa dhati. Bila kusahau kusikilizana na kufanya maamuzi kwa pamoja. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comments:
Nimefurahi sana siku hii maana muujiza ulinitokea, sikutegemea kuwa na mpenzi wangu tena, lakini namshukuru DR DAWN, mchawi wa nguvu aliyefanikisha hilo. Nilikuwa nikitafuta mtandaoni tarehe 15 Aprili 2022 ili kuona jinsi ninavyoweza kurejesha maisha yangu ya mapenzi na nikakutana na shuhuda nyingi kuhusu DR DAWN. Ninamkaribia na ninashukuru kwa msaada wake sasa mpenzi wangu amerudi kwangu. Asante DR DAWN nitaendelea kukushuhudia. unaweza kumwamini DR DAWN kutatua matatizo yako %100 kwa uaminifu wasiliana na barua pepe, dawnacuna314@gmail.com
Whatsapp:+2349046229159