TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA SULUHISHO LAKE Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa na vijana wa kuanzia miaka 18 na kuendelea tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Katika kipengele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa, ni sherehe inayopatikana katika tendo la ndoa. ili furaha hiyo ipatikane ni lazima tendo hilo liwe limefanyika katika hali ya afya kwa wanandoa wote wawili. Nguvu za kiume ni neno linalotumika mara nyingi sana kumaanisha ‘Uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa’. Na inapokuwa tofauti na hivi, tunaita ni ‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’. Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana toka mtu mmoja hadi mwingine. Inaweza kuwa ni hali ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume, au hali ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda mzuri wa kutosha. Pamoja na hayo yote, elimu mhimu ambayo mwanaume anatakiwa kuwa nayo, ni kuwa nguvu za kiume hazipatikani kwa kutumia madawa ya kemikali bali zinatokana na vyakula tunavyokula kila siku. vyanzo vya Wanaume kuishiwa nguvu za kiume: kupungua nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni kushindwa kwa uume kudumu kusimama kisawasawa kwa ajili ya tendo la ndoa. Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume huongezeka sababu ya umri. Tafiti (research) mbalimbali zinasema wanaume wa umri kuanzia miaka 50 na kuendelea ndiyo wanapatwa na tatizo hili zaidi kuliko wanaume wenye umri wa miaka 40 Kushuka chini. Wanaume wenye elimu ndogo juu ya utendaji kazi wa mwili na afya ndio wanaokabiliwa sana na tatizo hili. Hii ni kutokana na kwamba wengi wao wanakuwa hawaelewi aina ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume na za mwili, namna wanavyotakiwa kuishi ili kupunguza tatizo hilo, wanakunywa pombe na hawajishughulishi na mazoezi ya viungo. Mazoezi ya viungo hupunguza tatizo la kuishiwa nguvu za kiume kwa asilimia kubwa sana. Kupungukiwa nguvu za kiume kunaweza pia kuwa kumetokana na mambo ya kihisia, kwa kiingereza ‘emotional causes’. Vitu vingine vinavyoweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume ni pamoja na magonjwa kama vile ugonjwa wa Kisukari na Shinikizo la juu la damu. Asilimia 45 mpaka 65 ya wanaume wanaosumbuliwa na kisukari wanapatwa na tatizo la uume kushindwa kusimama vizuri, wagonjwa wa kiharusi na wale waliotekwa na ulevi nao ni miongoni mwa watu wanaoweza kupatwa kirahisi na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Walevi wengi wa pombe kwa mfano wanakabiliwa na tatizo la uzalishaji mchache wa mbegu za kiume (manii). Wengine wenye hatari ya kupatwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni pamoja na wanaume wenye shinikizo la juu la damu, wenye matatizo ya tezi, waliowahi kufanya upasuaji katika viungo vya uzazi wakabaki na majeraha, watu wanaotumia dawa zenye kemikali kiholela bila kushauriwa na wataalamu na wale wanaougua maradhi yanayodhoofisha msukumo wa damu kwenda katika mishipa ya uume. TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME LINAWEZA KUTIBIKA KWA WATU WA RIKA ZOTE Kuwa na mtaalamu mzuri ni njia ya kwanza katika kupata uponyaji sahihi. Ni mhimu wewe kujisikia vizuri na kuwa na imani na daktari wako. Kwa kufanya hivi utakuwa umepiga hatua nzuri kelekea kwenye ufumbuzi wa tatizo lako. SABABU ZA UUME KUSHINWA KUSIMAMA KWA MDA MLEFU Kushindwa kwa uume kusimama pia hutambulika kama kuishiwa nguvu za kiume. Ni kitendo cha mtu kushindwa kusimamisha uume au kudumisha usimamaji wa uume kwa muda wa kutosha kufanya tendo la tendo na MKE wake. Pamoja na ukweli kuwa mara zote Mwanaume lazima atafika kileleni, hali huweza kuwa tofauti kwa upande wa pili kwani mwanamke anahitaji mwanaume achelewe zaidi ili na yeye (mwanamke) aweze kufika kileleni. KAMA UNATATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HAUKO PEKE YAKO. Asilimia 35% hadi 45% ya wanaume wa rika zote wanakabiliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni au kupungukiwa kwa nguvu za kiume. Hata hivyo KUFAHAM tu kwamba wanaume wengine pia wana tatizo kama lako siyo sababu ya wewe kukaa tu bila kutafuta suluhisho la tatizo lako. Habari njema ni kuwa zipo njia zinazoweza kuleta matokeo mazuri na hatimaye kulimaliza tatizo hili bila madhara mabaya hapo baadaye. call 0767421678 Wakati mwingine uume kushindwa kusimama inaweza kuwa si tatizo, lakiini jambo hilo linapojitokeza kila mara na kwa kipindi kirefu inaweza kuleta msongo wa mawazo kwa mume na hata kwa mke. Sababu nyingine amabzo zinaweza kupelekea uume usisimame vizuri ni pamoja na matatizo ya mhemko kama; - Wasiwasi - Hasira - Msongo wa mawazo (Stress) - Huzuni - Hofu na mashaka - Kukosa hamu ya tendo la ndoa - uchovu ILI UUME USIMAME VIZURI NI RAZIMA Mfumo wako wa neva uwe na afya nzuri inayopelekea mpwito neva (nerve impulses) katika ubongo, uti wa mgongo na uume. Mishipa ya ateri iliyo na afya ya ndani na iliyo karibu na corpora cavernosa Misuli laini yenye afya na tishu za ufumwele (fibrous tissues) ndani ya corpora cavernosa Kiwango sahihi cha oksidi nitriki (nitricoxide) ndani ya uume. Uume kshindwa kusimama vizuri kunaweza kusababishwa pia kama kipengele kimojawapo hapo juu hakifanyi kazi vizuri. Mambo mengine yanayopelekea kupunguwa kwa nguvu za kiume, uume kushindwa kusimama vizuri na kuwahi kufika kileleni ni: Uzee Kisukari Kujichua/Punyeto (master pretion) Uzinzi Kukosa Elimu ya vyakula Kutokujishughulisha na mazoezi Shinikizo la juu la damu Ugonjwa wa moyo Uvutaji sigara/tumbak Kudhurika kwa neva au uti wa mgongo Madawa ya kulevya Kupungua kwa homoni ya testerone Athari kutoka kwa baadhi ya dawa Pombe UMUHIMU WA MZUNGUKO WA DAMU Mzunguko wa damu wenye afya bora husambaza damu ya kutosha katika viungo vyote vya mwili ikijumuisha pia damu iliyo katika mishipa ya uume. Hivyo, hata kama utagusana na mwanamke hautaweza kufanya lolote ikiwa damu haizunguki katika viungo vyako kama inavyotakiwa. chochote ambacho kinazuia mtiririko wa damu kwenda kwenye uume kinaweza kuzuia kusimama kwa uume. Kama mishipa ya vena na ateri imeziba, mwili wako hautaweza kusimamisha uume vizuri. Hii ni kutokana na kwamba uume hautapata damu ya kutosha. Mara nyingi vena zilizoziba kutokana na mzunguko dhaifu wa damu ni sababu ya kushindwa kusimama uume kwa wanaume wengi wenye miaka 50 kwenda juu, wanaume wenye kisukari na pia wanaume wenye hali ya kukauka kwa vijiateri vya ateri, na wenye maradhi ya moyo. Pia ni mhimu sana kuwaona wataalamu wa tiba kuhusu unavyojisikia na jinsi unavyohisi kuwa pengine unaweza kuwa na tatizo katika mishipa yako ya ateri. Jaribu kujiwekea utaratibu wa kujichunguza afya yako mara kwa mara kama utahisi kunyemelewa na tatizo hili. Baadhi ya watu hufanya maradhi kuwa sugu kwa sababu ya kuacha kujichunguza mara kwa mara hadi wauguwe, huku ni kukosa kuelewa na kushindwa kujithamini na kujipenda mwenyewe. JITIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Katika kujitibu tatizo hili jambo la kwanza ni kuelewa ni nini kimesababisha tatizo hilo kwa upande wako. NJIA 12 ZA KUJITIBU TATIZOLA KUPUNDUKIWA NDUVU ZA KIUME: 1. Acha mawazo Mawazo na mfadhaiko huondoa mtiririko mzuri wa damu kwenda kwenye uume na kusababisha nguvu kupungua nguvu za kiume na hata uume wenyewe. Ikiwa unasumbuliwa na mfadhaiko au stress uangalifu mkubwa unahitajika kabla ya kuamua kutumia dawa yoyote. 2. Jitibu magonjwa yafuatayo Kama tatizo limesababishwa na magonjwa kama kisukari, vidonda vya tumbo, shinikizo la juu la damu au uzito kupita kiasi ni vema ukajitibu kwanza maradhi haya. Tatizo ni kuwa watu wameaminishwa kwamba maradhi haya hayana dawa jambo ambalo si kweli. call 0767421678 au 0745476030 au unaweza kutuma ujumbe yaan sms, hata kama n ujumbe wa whataspp 3. Acha vilevi Kama tatizo linatokana na matumizi ya vilevi, hatua ya kwanza ni kuviacha kwanza hivyo vilevi. Ndiyo kuviacha kwanza, unatakiwa ujiulize mwenyewe kipi ni mhimu kwako ndoa yako au hivyo vilevi? Mtu anayejali vilevi kuliko hata afya yake hafai. Kuna watu wanajidanganya kwamba ukitumia sijuwi kilevi fulani nguvu zinaongezeka, ni kweli zitaongezeka hapo mwanzoni mwa matumizi ya hicho kilevi lakini kadri siku zinavyoenda ndivyo utakavyoendelea kuwa mtegemezi wa hicho kilevi na itafika siku hata hicho kilevi hakitasaidia kitu na hapo ndipo hatari zaidi ya kutotibika tatizo lako itakapojitokeza. 4. Fanya mazoezi ya viungo Zingatia sana umhimu wa mazoezi ya viungo. Bila kujishughulisha na mazoezi ya viungo kila siku itakuwa ni vigumu sana kwako kupona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. 5. Tumia kitunguu swaumu Chukuwa punje 6 za kitunguu swaumu, menya na uzikate vipande vidogo vidogo kisha meza na maji vikombe 2 kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja. 6. Kula tikiti maji Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi, Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C. Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na Virutubisho vingine vingi. 7. Kula ugali wa dona 8. Tumia chumvi ya mawe 9. Kunywa maji mengi kila siku 10. Tafuna mbegu za maboga 11. Tumia asali yenye mdalasini 12. Kunywa chai ya tangawizi KWA UHALAKA NA UHAKIKA Tumia dawa zilizoandaliwa kwa njia za kiasili na za kisasa zaidi. kwa maelezo zaidi call 0767421678 au 0655148030 TAHAZARI au ANGALIZO unaweza kutumia vitu ambavyo nimevitaja hapo juu na visikusaidie au kuonesha matokeo mazuri kwako kumbuka siku hizi ni ngumu kupata mazao ambayo ni halisi kwan mazao mengi hulimwa na kuandaliwa kwa kutumia mbolea za kemikali na kutunzwa kwa kutumia kemikali. Nakuondolea hofu inawezekana kupata kilocho halisi na kilichoandaliwa kwa utaalamu mkubwa na kutumia kwamaelekezo maalumu na a ya uhakika kabisa maelezo zaidi jinsi ya kupata hayo yote piga 0767421678 na 0655148030 au tuma ujumbe mfupi. https://www.facebook.com/hamad9911/ tembelea page zetu Facebook kwa maelezo zaidi na yakina kwa jina *afya kwa wanaume* na *afya ya wanawake*

at 9:39 AM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top