STory tamu toka kwa Brayton Offical Love

Jackline ni jina ambalo tulikua tumepanga kumuita mtoto wetu, ingawa tulikua bado hatujajua jinsia yake lakini moyoni nilijua atakua mtoto wa kike, hata mke wangu alipong’angania tutafute jina la mtoto wa kiume kwani yeye alitaka sana mtoto wetu wa kwanza awe wa kiume nilikataa kabisakabisa na hata alipopendekeza Kelvin hata sikujali, nilimuambia mtoto wetu ni wakike hivyo sihitaji kabisa majina ya kiume.

Hakuna kitu ambacho nilikipenda kama kuongozana na mke wengu  kiliniki, yaani ile hali ya kukutana na wakina Mama wajawazito wakinishangaa namna nilivyokua nikimbebea pochi mke wangu ilinipa raha sana, zaidi nilikua nikimfurahisha mke wangu kwani alijihisi kama Malaika, alideka na alijua kudeka kweli, akiwa anatema mate mara kwa mara nilibeba kikopo chake cha kutemea mate.

Sijui kwanini lakini nilijisikia raha kuwa naye na kwa mtoto wetu wa kwanza nilitaka nisiachwe nyuma wakati mke wangu akimuambia mwenetu kuwa mimba yake ilimsumbua, nilitaka itusumbue wote. Lakini zaidi ya kudeka kwa mke wangu na kunitumatuma kila mara mimba yetu haikusumbua kabisa, mpaka anafika siku ya kujifungua kila kitu kilikua sawa.

Ningeweza kumpeleka kujifungulia zahanati ya kawaida lakini sikutaka, sijui kwanini nilikua na wasiwasi na kutaka kumpeleka Hospitali kubwa. Uchungu ulimshika saa kumi na moja asubuhi, hivyo nilipeleka Hospialini ambapo alipewa kitanda kwa ajili ya kupumzika, alipimwa na kuambiwa kuwa mtoto kaka vizuri na njia ilikua vizuri, nilimshukuru Mungu na kuondoka.

Nilirudi kazini kuomba ruhusa kwani nilitaka kuwepo wakati anajifungua, baada ya kuomba ruhusa nilirudi akisubiria kujifungua. Lakini haikua rahisi kihivyo, mpaka saa mbili za usiku mke wangu alikua bado hajajifungua, alikua anapata uchungu unaisha unarudi unaisha unarudi. Daktari alishapita na kila wakati waliniamba kila kitu kiko sawa na atajifungua salama tu.

Nilikua na wasiwasi sana kwani alikua anaumia, Mama yangu alikua ndani na kila wakati alitoka na kuniambia bado, bado mpaka nikachoka. Kama saa sita usiku hivi Mama alitoka na kuniambia hali ya mke wangu imebaidlika ghafla, alipata uchungu lakini ameshindwa kusukuma mtoto, tuliongea na nesi ili kumtafuta Daktari ili afanyiwe upasuaji.

Daktari alikuja na kuanza kumtukana mke wangu kwamba anajidekeza tu avumilie kila kitu kitakua sawa, kisha aliondoka. Nilitaka kumfauta hata nimtukane au nimtandika makofi lakini nilivumilia nikijua kama nikimtibua nitakua na mharibia mke wangu, nilivumilia na kwenda kuongea naye kistaarabu. Jibu lake lilikua ile ni hali ya kawaida wapo wengi tu wanasubiria kujifungua lakini hawalalamiki kama mke wangu.

Aliondoka na kutuacha, lakini ilipofika saa nane usiku hali ilikua mbaya, niliingia katika chumba alichokua mke wangu, alikua amechoka, hata kulia tena hawezi. Nilimuona nesi nayeye ana wasiwasi, nikimuuliza nini alichanganyikiwa hajui chakufanya, alijaribu kumpigia simu Daktari lakini alikua hapokei, mke wangu alikua katika maumivu makali sana.

Ghafla alianza kupiga kelele, nesi aliniambia nitoke lakini nilishindwa, nilimshika mke wangu mkono na kumuambia kila kitu kitakua sawa, sikua na uhakika na maneno yangu lakini nililazimika nimuambie vile kumpa moyo. Daktari bado alikua hapokei simu yake, nilimuambia nesi kama haiwezekani basi nimpeleke sehemu nyingine, hata yeye alichanganyikiwa, ila aliniamba kwa hali aliyokua nayo aisingefika popote.

Ghafla damu zilinza kumtoka sehemu za siri, sikujua ni nini, nilihisi labda ni chupa la uzazi ndiyo hutoa damu, lakini macho ya Mama yangu yalinifanya nihisi kitu kibaya, bado mke wangu alikua akijaribu kusukuma mtoto. Aliishiwa nguvu aliniangalia na nakumbuka maneno yake ya miwsho ilikua ni “Mume wangu waambie wanipasue wamtoe mtoto, mimi sitapona!” Aliongea kwa kukatatamaa lakini akimaanisha.

Wakati huo Daktari alipokea simu, waliongea na nesi kidogo na ndipo niliona mke wangu akiandaliwa kwaajili ya upasuaji. Kama dakika kumi hivi Daktari alikuja na kuingiakatika chumba cha upasuaji. Walikaa huko kama nusu saa tu na kutoka, nilimfuata kumuuliza mke wangu anaendeleaje lakini hakuonyesha kujali.

Aliniambia muulize nesi kisha akaendelea na safari zake, nilitaka kuendelea kumfuata lakini Mama na watu wengine waliokua pale walinizuia. Nilirudi kusubiri nesi atoke na kama dakika kumi baadaye alitoka mtu mwingine, hakuwa nesi aliyemuandaa mke wangu lakini alionekana kukata tamaa, nilimuuliza kuna nini, alitingisha kichwa kusikitika. 

“Mke wangu!” Nilipiga kelele alionekana kama kukubali kitu. “Vipi mtoto..” Mama aliuliza na kabla hajajibu alitokea yule nesi ambaye alipomuona Mama tu machozi yalianza kumtoka bila kulia. Mama alimfuata na hapo ndipo alipomuambia kuwa, mtoto alizaliwa tayari ameshakufa na Mke wangu alifariki kwenye kitanda cha upasuaji.

Nilishindwa kuvumilia, niliingia bila ruhusa kwenye kile chumba, walikua wameshawafunika na hata sikuwa na nguvu ya kutembea nilidondoka na kupoteza fahamu. Masaa mawili baadaye nilizinduka nikiwa nimelazwa kitandani, maumivu ya moyo niliyokua nayo yalikua ni makubwa sana. Mama Hakuondoka pembeni yangu, nikama alijua nitafanya kitu kibaya.

Hasira zangu zilikua kwa yule Daktari kwani nilijua kuwa ndiyo sababu ya kifo cha mke na mwanangu. Niliruhusiwa kutoka na baada ya siku mbili nilimzika mke wangu na Mwanangu kipenzi. Kichwa bado kilikua kinauma na nilitaka kuonana na yule Daktari, sijui kwanini sikujua hata ningemfanya nini lakini nilitaka kumuona, wiki moja baadaye nilienda katika ile Hospitali.

Nilimuona yule Daktari lakini kwake ni kama hakukua na kitu kilichotokea, aliendelea na maisha yake na hata hakunikumbuka. Nilijaribu kumkumbusha lakini kwa dharau alinijibu, hapa mbona wanakufa wengi tu nikitaka kukumbuka kila maiti si nitakua kama naishi Mochwari! Nilipatwa na hasira nilitamani kumvamia na kumpiga lakini nilishindwa.

Kila nilipojaribu kumsogelea sura ya mke wangu akitabasamu ilinijia, ni kama alikua annionya nisifanye chochote, bila kujijua nilikuta naondoka natoka katika ile Hospitali. Ni mwaka mmoja sasa umepita tangu mke wangu kipenzi na mwanangu Jackline (Alikua wakike kama nilivyotabiri) kuniacha lakini naona ni kama jana maumivu niliyonao hayaelezeki.

Pumzika Kwa Amani Mke Wangu, Pumzika Kwa Amani  Mama Jackline, Pumzika Kwa Amani Mwanangu Jackline.

STory tamu toka kwa Brayton Offical Love Jackline ni jina ambalo tulikua tumepanga kumuita mtoto wetu, ingawa tulikua bado hatujajua jinsia yake lakini moyoni nilijua atakua mtoto wa kike, hata mke wangu alipong’angania tutafute jina la mtoto wa kiume kwani yeye alitaka sana mtoto wetu wa kwanza awe wa kiume nilikataa kabisakabisa na hata alipopendekeza Kelvin hata sikujali, nilimuambia mtoto wetu ni wakike hivyo sihitaji kabisa majina ya kiume. Hakuna kitu ambacho nilikipenda kama kuongozana na mke wengu kiliniki, yaani ile hali ya kukutana na wakina Mama wajawazito wakinishangaa namna nilivyokua nikimbebea pochi mke wangu ilinipa raha sana, zaidi nilikua nikimfurahisha mke wangu kwani alijihisi kama Malaika, alideka na alijua kudeka kweli, akiwa anatema mate mara kwa mara nilibeba kikopo chake cha kutemea mate. Sijui kwanini lakini nilijisikia raha kuwa naye na kwa mtoto wetu wa kwanza nilitaka nisiachwe nyuma wakati mke wangu akimuambia mwenetu kuwa mimba yake ilimsumbua, nilitaka itusumbue wote. Lakini zaidi ya kudeka kwa mke wangu na kunitumatuma kila mara mimba yetu haikusumbua kabisa, mpaka anafika siku ya kujifungua kila kitu kilikua sawa. Ningeweza kumpeleka kujifungulia zahanati ya kawaida lakini sikutaka, sijui kwanini nilikua na wasiwasi na kutaka kumpeleka Hospitali kubwa. Uchungu ulimshika saa kumi na moja asubuhi, hivyo nilipeleka Hospialini ambapo alipewa kitanda kwa ajili ya kupumzika, alipimwa na kuambiwa kuwa mtoto kaka vizuri na njia ilikua vizuri, nilimshukuru Mungu na kuondoka. Nilirudi kazini kuomba ruhusa kwani nilitaka kuwepo wakati anajifungua, baada ya kuomba ruhusa nilirudi akisubiria kujifungua. Lakini haikua rahisi kihivyo, mpaka saa mbili za usiku mke wangu alikua bado hajajifungua, alikua anapata uchungu unaisha unarudi unaisha unarudi. Daktari alishapita na kila wakati waliniamba kila kitu kiko sawa na atajifungua salama tu. Nilikua na wasiwasi sana kwani alikua anaumia, Mama yangu alikua ndani na kila wakati alitoka na kuniambia bado, bado mpaka nikachoka. Kama saa sita usiku hivi Mama alitoka na kuniambia hali ya mke wangu imebaidlika ghafla, alipata uchungu lakini ameshindwa kusukuma mtoto, tuliongea na nesi ili kumtafuta Daktari ili afanyiwe upasuaji. Daktari alikuja na kuanza kumtukana mke wangu kwamba anajidekeza tu avumilie kila kitu kitakua sawa, kisha aliondoka. Nilitaka kumfauta hata nimtukane au nimtandika makofi lakini nilivumilia nikijua kama nikimtibua nitakua na mharibia mke wangu, nilivumilia na kwenda kuongea naye kistaarabu. Jibu lake lilikua ile ni hali ya kawaida wapo wengi tu wanasubiria kujifungua lakini hawalalamiki kama mke wangu. Aliondoka na kutuacha, lakini ilipofika saa nane usiku hali ilikua mbaya, niliingia katika chumba alichokua mke wangu, alikua amechoka, hata kulia tena hawezi. Nilimuona nesi nayeye ana wasiwasi, nikimuuliza nini alichanganyikiwa hajui chakufanya, alijaribu kumpigia simu Daktari lakini alikua hapokei, mke wangu alikua katika maumivu makali sana. Ghafla alianza kupiga kelele, nesi aliniambia nitoke lakini nilishindwa, nilimshika mke wangu mkono na kumuambia kila kitu kitakua sawa, sikua na uhakika na maneno yangu lakini nililazimika nimuambie vile kumpa moyo. Daktari bado alikua hapokei simu yake, nilimuambia nesi kama haiwezekani basi nimpeleke sehemu nyingine, hata yeye alichanganyikiwa, ila aliniamba kwa hali aliyokua nayo aisingefika popote. Ghafla damu zilinza kumtoka sehemu za siri, sikujua ni nini, nilihisi labda ni chupa la uzazi ndiyo hutoa damu, lakini macho ya Mama yangu yalinifanya nihisi kitu kibaya, bado mke wangu alikua akijaribu kusukuma mtoto. Aliishiwa nguvu aliniangalia na nakumbuka maneno yake ya miwsho ilikua ni “Mume wangu waambie wanipasue wamtoe mtoto, mimi sitapona!” Aliongea kwa kukatatamaa lakini akimaanisha. Wakati huo Daktari alipokea simu, waliongea na nesi kidogo na ndipo niliona mke wangu akiandaliwa kwaajili ya upasuaji. Kama dakika kumi hivi Daktari alikuja na kuingiakatika chumba cha upasuaji. Walikaa huko kama nusu saa tu na kutoka, nilimfuata kumuuliza mke wangu anaendeleaje lakini hakuonyesha kujali. Aliniambia muulize nesi kisha akaendelea na safari zake, nilitaka kuendelea kumfuata lakini Mama na watu wengine waliokua pale walinizuia. Nilirudi kusubiri nesi atoke na kama dakika kumi baadaye alitoka mtu mwingine, hakuwa nesi aliyemuandaa mke wangu lakini alionekana kukata tamaa, nilimuuliza kuna nini, alitingisha kichwa kusikitika. “Mke wangu!” Nilipiga kelele alionekana kama kukubali kitu. “Vipi mtoto..” Mama aliuliza na kabla hajajibu alitokea yule nesi ambaye alipomuona Mama tu machozi yalianza kumtoka bila kulia. Mama alimfuata na hapo ndipo alipomuambia kuwa, mtoto alizaliwa tayari ameshakufa na Mke wangu alifariki kwenye kitanda cha upasuaji. Nilishindwa kuvumilia, niliingia bila ruhusa kwenye kile chumba, walikua wameshawafunika na hata sikuwa na nguvu ya kutembea nilidondoka na kupoteza fahamu. Masaa mawili baadaye nilizinduka nikiwa nimelazwa kitandani, maumivu ya moyo niliyokua nayo yalikua ni makubwa sana. Mama Hakuondoka pembeni yangu, nikama alijua nitafanya kitu kibaya. Hasira zangu zilikua kwa yule Daktari kwani nilijua kuwa ndiyo sababu ya kifo cha mke na mwanangu. Niliruhusiwa kutoka na baada ya siku mbili nilimzika mke wangu na Mwanangu kipenzi. Kichwa bado kilikua kinauma na nilitaka kuonana na yule Daktari, sijui kwanini sikujua hata ningemfanya nini lakini nilitaka kumuona, wiki moja baadaye nilienda katika ile Hospitali. Nilimuona yule Daktari lakini kwake ni kama hakukua na kitu kilichotokea, aliendelea na maisha yake na hata hakunikumbuka. Nilijaribu kumkumbusha lakini kwa dharau alinijibu, hapa mbona wanakufa wengi tu nikitaka kukumbuka kila maiti si nitakua kama naishi Mochwari! Nilipatwa na hasira nilitamani kumvamia na kumpiga lakini nilishindwa. Kila nilipojaribu kumsogelea sura ya mke wangu akitabasamu ilinijia, ni kama alikua annionya nisifanye chochote, bila kujijua nilikuta naondoka natoka katika ile Hospitali. Ni mwaka mmoja sasa umepita tangu mke wangu kipenzi na mwanangu Jackline (Alikua wakike kama nilivyotabiri) kuniacha lakini naona ni kama jana maumivu niliyonao hayaelezeki. Pumzika Kwa Amani Mke Wangu, Pumzika Kwa Amani Mama Jackline, Pumzika Kwa Amani Mwanangu Jackline.

...
STORY YA KWELI YENYE FUNDISHO
(Ni story ya mapenzi iliyotokea kweli)

......KATIKA kijiji kimoja hivi wilaya UYUI mkoa wa Tabora,Palikuwa na mtu aliefahamika kwa jina KAPAYA.
Kapaya alioa mwaka mmoja uliopita na alibahatika kumuoa mwanamke aliefahamika kwa jina la Elizabeth.
Kapaya alimpenda sana mkewe na alikuwa mwaminifu sana na alimjali kwa kila kitu licha ya kuwa na kazi ya ulinzi.Lakini mambo yalikuwa tofauti kwa Eliza licha ya kuhudumiwa kila kitu na kupewa upendo na kapaya lakini bado hakulidhika.

SIKU moja Kapaya katika kazi yake ya ulinzi alikuwa zamu ya usiku(Night),Aliondoka mida ya saa kumi na mbili na kumuacha mke wake kwa ajili ya kwenda kukamilisha majukumu yake ya ulinzi katika duka moja kubwa lililokuwepo pale kijijini.
Wakati ulinzi unaendelea akiwa na wenzake wawili takribani mida ya saa nne usiku kichwa kilianza kumuuma.Alianza kulalamika maumivu ya kichwa sana mbele ya wenzake,Ndipo wenzake walichukua jukumu la kumruhusu aende nyumbani akapate matibabu na kulala ili hali ikae sawa na kumuambia kuwa wao wapo hapo watamalizia lindo mpaka asubuhi.
Kapaya baada ya kupewa ruhusa na wenzake huku maumivu ya kichwa yakiwa yanamsumbua alichukua baiskeli yake halaka sana angalau hata akachimbe mizizi ya mwarobaini anywe kutuliza maumivu maana ilikuwa tayari ni usiku na maduka mengi yamefungwa kama kawaida ya kijijini kufunga maduka mapema.

KAPAYA alifika nyumbani kwake mida ya saa sita kutokana na umbali uliopo toka anapolindia na nyumbani kwake,Cha ajabu alipofika nyumbani na kupiga jicho kwenye dirisha la  chumbani kwake aligundua kuwa kibatari bado kinawaka,Alijua labda mkewe atakuwa amesahau kukizima alisogea karibu zaidi na dilisha ili amuamshe na hapo ndipo aliposhtuka zaidi na mapigo ya moyo kuanza kwenda mbio kitendo kilichosababisha mpaka hata kutosikia maumivu ya kichwa,Alisikia sauti ya mahaba ya mke wake akiwa anatoa penzi kwa mwanaume mwingine,Moyo wake uliumia sana akajikuta anakosa kwanza la kufanya kwa hasira,Sauti ya kimapenzi ya mke wake eliza ilizidi kumuumiza masikioni aliondoka upande wa ndirisha na kuelekea upande wa mlango kisha kuuvunja.
Wale waliomo ndani walishtuka kwa presha na Eliza hakuamini kuona sura ya mme wake imeingia ndani,Pale pale Eliza akazimia na Utamu wake.

KAPAYA kwa kama dakika tano alibaki anamwangalia yule jamaa aliekuwa akifanya mapenzi na mke wake na akamjua kuwa ni moja kati ya mwanakijiji mwenzake aliefahamika kwa jina la Omary.Wakati huo Omary alikuwa akilia na kupiga magoti mbele ya kapaya kuomba msamaha kwa kile alichokifanya,Alijua kabisa sasa siku zake za kuishi duniani zimefika kikomo kutokana na kukutwa na mke wa mtu.Kapaya hakutaka kutumia hasira,Alifumba macho yake na kutuliza hasira kisha akafumbua kinywa na kuanza kuongea"Omary mwanakijiji mwenzangu,Wewe ni ndugu yangu halafu tunafanyiana hivi kweli?.Hivi unajisikiaje kumfanyia haya mwanaume mwenzio je ni sahihi?,Kwani kuna wanawake wangapi hapa kijijini kwanini usioe wa kwako?,"Kapaya aliongea maneno mengi huku akilia kwa uchungu na wakati huo pia omary alitoa chozi la uchungu kwa kuomba msamaha.Omary hakuamini kusikia sauti inayotoka kwa Kapaya."Kosa sio lako ni kosa la mke wangu anajua kabisa kuwa ameolewa lakini bado anakubali mwanaume mwingine,najua sisi tabia ya wanaume ya kutongoza tongoza hivyo ni mke wangu ndio alikuwa na jukumu la kukukataa na kwasababu sijakukuta unabaka bali alikubali mwenyewe na kukuingiza chumbani kwangu basi wewe nenda nimekusamehe,Niache na mke wangu tutamalizana".Omary hakuamini kusikia sauti ya "Nimekusamehe"Aliona kama ndoto maishani,alitoka kwenye ile nyumba huku anajikwaa na kuanguka na aliposhika njia alikimbia kama kipanga alieona mzoga wa kuku kifaranga.

Kapaya alimwangalia mkewe aliekuwa kazimia pale kitandani,Alimshika na kumlaza vizuri kitandani,Wakati anamtengeneza ghafla mke wake akashtuka alipokumbuka tukio Eliza alianza kulia sana huku akimuomba msamaha Kapaya.
Kapaya akiwa anatengeneza shuka ili ajifunike alale alisema"Nimekusamehe mke wangu tulale".Eliza hakuamini kusikia ile kauli bado alizidi kulia kuomba msamaha hakutaka kuamini kama kapaya amemsamehe kirahisi rahisi tu.Kapaya alimshika mke wake na kumlaza kitandani tena kisha kumfunika shuka na kumwambia tulale mimi nimekusamehe.Eliza alinyamaza kuongea na kutulia lakini mawazo yote yakiwa anawaza je Mumewe ataamua nini usiku ule.Eliza hakulala alibaki tu akimwangalia kapaya ambae alikuwa tayari akakoloma kwa usingizi kutokana na homa aliyokuwanayo.Eliza aliendelea kuwaza usiku mzima itakuwaje,Muda mwingine aliwaza huwenda anamtafutia target ili alale amuue kitendo kilichosababisha Eliza asilale kabisa mpaka asubuhi.
Asubuhi kulipokucha waliamka na Eliza kuanza tena kuomba msamaha,Ikabidi kapaya amwambie"Mke wangu nimekusamehe na staki kusikia tena unaongelea habari za msamaha wala haya maswala hata mwenzako jana nilimsamehe".Eliza ilibidi sasa anyamaze kimya.Maisha yaliendelea na shughuri za hapa na pale ziliendelea.Mchana yake Eliza alianza kulia tena na kusema"Mume wangu nipige basi yaishe mi siamini kama umenisamehe kiurahisi rahisi hivyo nipige tu mume wangu angalau ntaamini kuwa umenisamehe ila naomba tu usiniue".Kapaya alicheka baada ya kusikia maneno yale na kuendelea na shuguli zake.

SIKU mbili zilipita hatimae Kapaya aliendelea na kazi yake ya ulinzi na safari hii pia alienda lindo la usiku.Alimaliza lindo salama na kulejea nyumbani na ndiopo aliposhangaa kukuta mkewe kaondoka.Moja kwa moja alijua mkewe ameenda kwao.Alichukua usafiri na kumfuatilia na kweli alimkuta kwao kijiji kilichopo jirani na kijiji chao.Eliza alifika kwao na kujieleza yote na pia kusema kuwa yeye anaogopa kuishi na mumewe kutokana na kosa hilo na pia mumewe kumsamehe bure bila kufanya kitu chochote.
Kapaya alipofika Ukweni yeye alidai mke wake na kusema makosa yaliyotokea ni mambo madogo madogo ya kwenye ndoa na amekwisha kusamehe hivyo anamuomba mkewe eliza wakaendelee kuishi.Baraza lilikaa na maada ikawekwa kisha Eliza akapewa onyo kutokurudia na baada ya hapo kapaya akapewa mke na akarudi nae kwake.

Maisha yaliendelea siku zikasonga na hatimae mwaka mmoja ulipita tangu tukio lile litokee.Mapenzi ya kapaya na Eliza yaliludi kama zamani na kusababishabwote wasahau tukio lililotokea

SIKU MOJA Kapaya akiwa lindo la mchana simu ilipigwa kwenye simu yake.Ile kupokea anakutana na taarifa kuwa tumeona mkeo kama vile akiingia kwenye getto la Omary.Pale pale kapaya kwa haraka zaidi aliondoka kukimbia kuelekea kwa Omary.Alifika na kuingia moja kwa moja mpaka chumbani kwa Omary na hakuamini tena kuona kumbe mkewe hakusikia wala kukoma na kuona kuwa ile ilikuwa ni kawaida.Alimkuta tena na Omary akiwa na mkewe ndio wanataka waanze.
Kapaya aliangalia kwa Pembeni katika chumba cha Omary na kuona panga ile analifuata tu kulichukua Omary aliluka kama paka kuelekea mlangoni na kukimbia,sasa kapaya alibaki na Mkewe wakati huo mkewe alikuwa analia tena kwa kuomba msamaha,Kapaya hakusikiliza sauti ya kilio cha mkewe tena alishika panga na kushika mkono wa kwanza wa mke wake kisha akakata kiganja,Damu nzito ilitoka kama mtu kafungulia bomba,Mke alilia kwa uchungu.Bado Kapaya akaona haitoshi alishika mkono wa pili na kukata kiganja chote kitendo kilichosababisha mkewe kukosa viganja vyote vya mikono.Kisha Kapaya akatupa panga chini na kumuacha mkewe chumbani akilia kwa maumivu makali sana yakiambatana na damu iliyokuwa inamwagika kwa kasi sana.
Kapaya alielekea nyumbani kwani na kufika na kulala.Wasamalia walimchukua mke wa kapaya na kumkimbiza zahanati.Kapaya alikuja kushtuka nyumba yake imezunguukwa na polisi,Alikamatwa na kupigwa pigu kisha kupelekwa kituo kidogo cha polisi kijijini hapo huku mkewe akiwa hospitali hajitambuki kutokana na kupoteza damu nyingi.Omary nae alitokomea kusikojulikana na wala hakupatikana.
Kapaya Alihukumiwa kifungo jela kwa kosa la kufanya ukatili.Mke nae alisubiliwa apone ili nae apate hukumu yake.Omary hakupatikana licha ya jitihada za jeshi la polisi kumtafuta.

MWISHO WA UPENDO NI MACHUNGU
* * * * * **  * * * * * **  * * * * * * * * * * * *
.....Natumai mkasa huu wa kweli umekuvutia kwa namna moja ama nyingine, pia kwa wewe muda huu unayesoma hii story na unatembea na mke wa mtu unajua uchungu wa mke wewe,Tamaa kutokulidhika na pia kutokujifunza kutokana na makosa vimetujaa sisi binaadamu.Niliona niuandika kama nilivyosimulia ili hata usipojifunza wewe basi uki-share atajifunza yule.Japo natumai kuna kitu flani umeokota kutokana na hii simulizi ya wapenzi hawa kitakachokusaidia mbele ya maisha.
Je Unaneno gani kwa hawa watu uliowasoma kutoka katika simulizi hii ya ukweli ya maisha ya KAPAYA?
Je Unaujumbe gani wa Kukoment ili tuendelee kujifunza zaidi?.

STORY YA KWELI YENYE FUNDISHO (Ni story ya mapenzi iliyotokea kweli) ......KATIKA kijiji kimoja hivi wilaya UYUI mkoa wa Tabora,Palikuwa na mtu aliefahamika kwa jina KAPAYA. Kapaya alioa mwaka mmoja uliopita na alibahatika kumuoa mwanamke aliefahamika kwa jina la Elizabeth. Kapaya alimpenda sana mkewe na alikuwa mwaminifu sana na alimjali kwa kila kitu licha ya kuwa na kazi ya ulinzi.Lakini mambo yalikuwa tofauti kwa Eliza licha ya kuhudumiwa kila kitu na kupewa upendo na kapaya lakini bado hakulidhika. SIKU moja Kapaya katika kazi yake ya ulinzi alikuwa zamu ya usiku(Night),Aliondoka mida ya saa kumi na mbili na kumuacha mke wake kwa ajili ya kwenda kukamilisha majukumu yake ya ulinzi katika duka moja kubwa lililokuwepo pale kijijini. Wakati ulinzi unaendelea akiwa na wenzake wawili takribani mida ya saa nne usiku kichwa kilianza kumuuma.Alianza kulalamika maumivu ya kichwa sana mbele ya wenzake,Ndipo wenzake walichukua jukumu la kumruhusu aende nyumbani akapate matibabu na kulala ili hali ikae sawa na kumuambia kuwa wao wapo hapo watamalizia lindo mpaka asubuhi. Kapaya baada ya kupewa ruhusa na wenzake huku maumivu ya kichwa yakiwa yanamsumbua alichukua baiskeli yake halaka sana angalau hata akachimbe mizizi ya mwarobaini anywe kutuliza maumivu maana ilikuwa tayari ni usiku na maduka mengi yamefungwa kama kawaida ya kijijini kufunga maduka mapema. KAPAYA alifika nyumbani kwake mida ya saa sita kutokana na umbali uliopo toka anapolindia na nyumbani kwake,Cha ajabu alipofika nyumbani na kupiga jicho kwenye dirisha la chumbani kwake aligundua kuwa kibatari bado kinawaka,Alijua labda mkewe atakuwa amesahau kukizima alisogea karibu zaidi na dilisha ili amuamshe na hapo ndipo aliposhtuka zaidi na mapigo ya moyo kuanza kwenda mbio kitendo kilichosababisha mpaka hata kutosikia maumivu ya kichwa,Alisikia sauti ya mahaba ya mke wake akiwa anatoa penzi kwa mwanaume mwingine,Moyo wake uliumia sana akajikuta anakosa kwanza la kufanya kwa hasira,Sauti ya kimapenzi ya mke wake eliza ilizidi kumuumiza masikioni aliondoka upande wa ndirisha na kuelekea upande wa mlango kisha kuuvunja. Wale waliomo ndani walishtuka kwa presha na Eliza hakuamini kuona sura ya mme wake imeingia ndani,Pale pale Eliza akazimia na Utamu wake. KAPAYA kwa kama dakika tano alibaki anamwangalia yule jamaa aliekuwa akifanya mapenzi na mke wake na akamjua kuwa ni moja kati ya mwanakijiji mwenzake aliefahamika kwa jina la Omary.Wakati huo Omary alikuwa akilia na kupiga magoti mbele ya kapaya kuomba msamaha kwa kile alichokifanya,Alijua kabisa sasa siku zake za kuishi duniani zimefika kikomo kutokana na kukutwa na mke wa mtu.Kapaya hakutaka kutumia hasira,Alifumba macho yake na kutuliza hasira kisha akafumbua kinywa na kuanza kuongea"Omary mwanakijiji mwenzangu,Wewe ni ndugu yangu halafu tunafanyiana hivi kweli?.Hivi unajisikiaje kumfanyia haya mwanaume mwenzio je ni sahihi?,Kwani kuna wanawake wangapi hapa kijijini kwanini usioe wa kwako?,"Kapaya aliongea maneno mengi huku akilia kwa uchungu na wakati huo pia omary alitoa chozi la uchungu kwa kuomba msamaha.Omary hakuamini kusikia sauti inayotoka kwa Kapaya."Kosa sio lako ni kosa la mke wangu anajua kabisa kuwa ameolewa lakini bado anakubali mwanaume mwingine,najua sisi tabia ya wanaume ya kutongoza tongoza hivyo ni mke wangu ndio alikuwa na jukumu la kukukataa na kwasababu sijakukuta unabaka bali alikubali mwenyewe na kukuingiza chumbani kwangu basi wewe nenda nimekusamehe,Niache na mke wangu tutamalizana".Omary hakuamini kusikia sauti ya "Nimekusamehe"Aliona kama ndoto maishani,alitoka kwenye ile nyumba huku anajikwaa na kuanguka na aliposhika njia alikimbia kama kipanga alieona mzoga wa kuku kifaranga. Kapaya alimwangalia mkewe aliekuwa kazimia pale kitandani,Alimshika na kumlaza vizuri kitandani,Wakati anamtengeneza ghafla mke wake akashtuka alipokumbuka tukio Eliza alianza kulia sana huku akimuomba msamaha Kapaya. Kapaya akiwa anatengeneza shuka ili ajifunike alale alisema"Nimekusamehe mke wangu tulale".Eliza hakuamini kusikia ile kauli bado alizidi kulia kuomba msamaha hakutaka kuamini kama kapaya amemsamehe kirahisi rahisi tu.Kapaya alimshika mke wake na kumlaza kitandani tena kisha kumfunika shuka na kumwambia tulale mimi nimekusamehe.Eliza alinyamaza kuongea na kutulia lakini mawazo yote yakiwa anawaza je Mumewe ataamua nini usiku ule.Eliza hakulala alibaki tu akimwangalia kapaya ambae alikuwa tayari akakoloma kwa usingizi kutokana na homa aliyokuwanayo.Eliza aliendelea kuwaza usiku mzima itakuwaje,Muda mwingine aliwaza huwenda anamtafutia target ili alale amuue kitendo kilichosababisha Eliza asilale kabisa mpaka asubuhi. Asubuhi kulipokucha waliamka na Eliza kuanza tena kuomba msamaha,Ikabidi kapaya amwambie"Mke wangu nimekusamehe na staki kusikia tena unaongelea habari za msamaha wala haya maswala hata mwenzako jana nilimsamehe".Eliza ilibidi sasa anyamaze kimya.Maisha yaliendelea na shughuri za hapa na pale ziliendelea.Mchana yake Eliza alianza kulia tena na kusema"Mume wangu nipige basi yaishe mi siamini kama umenisamehe kiurahisi rahisi hivyo nipige tu mume wangu angalau ntaamini kuwa umenisamehe ila naomba tu usiniue".Kapaya alicheka baada ya kusikia maneno yale na kuendelea na shuguli zake. SIKU mbili zilipita hatimae Kapaya aliendelea na kazi yake ya ulinzi na safari hii pia alienda lindo la usiku.Alimaliza lindo salama na kulejea nyumbani na ndiopo aliposhangaa kukuta mkewe kaondoka.Moja kwa moja alijua mkewe ameenda kwao.Alichukua usafiri na kumfuatilia na kweli alimkuta kwao kijiji kilichopo jirani na kijiji chao.Eliza alifika kwao na kujieleza yote na pia kusema kuwa yeye anaogopa kuishi na mumewe kutokana na kosa hilo na pia mumewe kumsamehe bure bila kufanya kitu chochote. Kapaya alipofika Ukweni yeye alidai mke wake na kusema makosa yaliyotokea ni mambo madogo madogo ya kwenye ndoa na amekwisha kusamehe hivyo anamuomba mkewe eliza wakaendelee kuishi.Baraza lilikaa na maada ikawekwa kisha Eliza akapewa onyo kutokurudia na baada ya hapo kapaya akapewa mke na akarudi nae kwake. Maisha yaliendelea siku zikasonga na hatimae mwaka mmoja ulipita tangu tukio lile litokee.Mapenzi ya kapaya na Eliza yaliludi kama zamani na kusababishabwote wasahau tukio lililotokea SIKU MOJA Kapaya akiwa lindo la mchana simu ilipigwa kwenye simu yake.Ile kupokea anakutana na taarifa kuwa tumeona mkeo kama vile akiingia kwenye getto la Omary.Pale pale kapaya kwa haraka zaidi aliondoka kukimbia kuelekea kwa Omary.Alifika na kuingia moja kwa moja mpaka chumbani kwa Omary na hakuamini tena kuona kumbe mkewe hakusikia wala kukoma na kuona kuwa ile ilikuwa ni kawaida.Alimkuta tena na Omary akiwa na mkewe ndio wanataka waanze. Kapaya aliangalia kwa Pembeni katika chumba cha Omary na kuona panga ile analifuata tu kulichukua Omary aliluka kama paka kuelekea mlangoni na kukimbia,sasa kapaya alibaki na Mkewe wakati huo mkewe alikuwa analia tena kwa kuomba msamaha,Kapaya hakusikiliza sauti ya kilio cha mkewe tena alishika panga na kushika mkono wa kwanza wa mke wake kisha akakata kiganja,Damu nzito ilitoka kama mtu kafungulia bomba,Mke alilia kwa uchungu.Bado Kapaya akaona haitoshi alishika mkono wa pili na kukata kiganja chote kitendo kilichosababisha mkewe kukosa viganja vyote vya mikono.Kisha Kapaya akatupa panga chini na kumuacha mkewe chumbani akilia kwa maumivu makali sana yakiambatana na damu iliyokuwa inamwagika kwa kasi sana. Kapaya alielekea nyumbani kwani na kufika na kulala.Wasamalia walimchukua mke wa kapaya na kumkimbiza zahanati.Kapaya alikuja kushtuka nyumba yake imezunguukwa na polisi,Alikamatwa na kupigwa pigu kisha kupelekwa kituo kidogo cha polisi kijijini hapo huku mkewe akiwa hospitali hajitambuki kutokana na kupoteza damu nyingi.Omary nae alitokomea kusikojulikana na wala hakupatikana. Kapaya Alihukumiwa kifungo jela kwa kosa la kufanya ukatili.Mke nae alisubiliwa apone ili nae apate hukumu yake.Omary hakupatikana licha ya jitihada za jeshi la polisi kumtafuta. MWISHO WA UPENDO NI MACHUNGU * * * * * ** * * * * * ** * * * * * * * * * * * * .....Natumai mkasa huu wa kweli umekuvutia kwa namna moja ama nyingine, pia kwa wewe muda huu unayesoma hii story na unatembea na mke wa mtu unajua uchungu wa mke wewe,Tamaa kutokulidhika na pia kutokujifunza kutokana na makosa vimetujaa sisi binaadamu.Niliona niuandika kama nilivyosimulia ili hata usipojifunza wewe basi uki-share atajifunza yule.Japo natumai kuna kitu flani umeokota kutokana na hii simulizi ya wapenzi hawa kitakachokusaidia mbele ya maisha. Je Unaneno gani kwa hawa watu uliowasoma kutoka katika simulizi hii ya ukweli ya maisha ya KAPAYA? Je Unaujumbe gani wa Kukoment ili tuendelee kujifunza zaidi?.

...
CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 04

2 weeks ago

SEHEMU YA NNE

MTUNZI : ABDUL JUMA
INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO
WHATSAPP: 0766025554




"Hallo ! Mambo Osward " aliongea Fifi baada ya kuwa Osward amepokea "Poa , Nambie Malaika " "Hahahah acha utani Osward , Mimi naweza kuwa Malaika au unanijaza tu " Aliuliza Fifi "Kwanini usiwe tena unaweza kuwa zaidi hata ya Malaika " "Mmm haya Ahsante , Vipi lakini ?" Aliongea Fifi huku akiusogeza mto na kuuweka mapajani pake na kuugemea "Shwari tu , ndo nilikuwa najiandaa hapa nilale nikajua huto nipigia " aliongea Osward "Siyo rahisi , kuna kazi nilikuwa namalizia kidogo , baada ya kumaliza nimeingia kuoga ndo nikasema ngoja nikupigie nisingeweza kuacha kukupigia" aliongea Fifi "Poa nambie " "Amm kesho tunaweza kuonana pale Calabash saa nne asubuhi ? " aliuliza Fifi "Keshooo !! .. Poa Kesho sina kipindi nadhani itawezekana na hata Kama ningekuwa nacho lazima ningekuja kuonana na wewe Malaika " aliongea Osward huku akitia mikogo na kujifanya anajali jali kumbe ana lake tu jambo "Hahaha Osward bhana unaonekana mcheshi Sana Eee" "Hapana ila niukweli ambao nashindwa kuuzuia kwanini niongope ikiwa moyo na macho vimeona" "Mm haya bhana , nikutakie usiku mwema na pole Kwa kuisubiri simu yangu "
"Usijali , Nawe pia Malaika "
Baada ya kumaliza maongezi na kutakiana usiku mwema Fifi akakata simu na kujilaza kitandani huku simu yake akiwa ameiweka kifuani  akifikiria  namna ambavyo ataanza kumweleza Osward hisia zake kumbe hajui Osward nae anafikiria nini juu yake
Palipo pambazuka mida ya saa tatu asubuhi Osward Kama kawaida yake Mzee wa kuazima nguo akazama chimbo kwa washikaji zake na kuweza kuazima nguo akajipigilia ile ile na kujimwagia unyunyu huku shingoni akiwa amening'iniza vicheni uchwara Kama vinne ivi halafu vyote feki alipoona amekuwa tayari alianza kusogea taratibu akiwa Kwa miguu kwani kutoka Sinza anapokaa na ilipokuwa Calabash Restaurant hapakuwa mbali hasa kwa wale wenzangu na Mimi ambao nauli kwetu ni za bajeti basi huwa hatuoni shida hata kutembea kutoka ubungo mpaka Kariakoo
Osward alipofika aliingia moja kwa moja mpaka ndani na kwenda kuketi "Kaka karibu " alikaribishwa na Dada mmoja  mhudumu wa pale "Aam , Naomba maji kubwa moja moto na ice cube " aliagiza Osward na yule Dada kwenda kufuata na kumletea "Karibu " "Ahsante , samahani sijui unaitwa nani mrembo " aliongea Osward "Naitwa Teckla" alisema Teckla huku akijichekelesha chekelesha "Teckla unajua kuwa wewe ni mrembo ?"
"Mm Ahsante " aliitikia Teckla huku akipepesa macho yake pembeni kwa kuona aibu "Naweza kupata namba yako ya simu tuwe tunawasiliana " "Bila shaka "
Osward alilitoa lisimu lake lile la tachi lililopasuka kioo
"Aaa Jana wamenipamia  simu yangu nilikuwa nashuka wenye gari ikaanguka aisee hapa kioo kimepasuka hatari , Mijitu mingine inatuingizia gharama ambazo hazipo kabisa na usawa huu wa anko Magu ( Osward akajisemelesha mbele ya Teckla baada ya kuitoa simu ) .. Enhee! 07... " "65241xxx" Teckla aliimalizia "Poa , Ahsante ntakutafuta "
Osward baada ya kuisevu namba ya Teckla akairudisha simu mfukoni Mara kwa nje akaona kuna gari ndogo nyeusi aina ya Spacio na kuweza kuteremka msichana Fifi kisha akatoa simu yake na kuweza kumpigia Osward "Hallo ! Osward Nimeshafika umekalia kwa wapi ?" Ilikuwa ni sauti ya bidada Fifi baada ya kuwa Osward amepokea simu "Nakuona we ingia ndani huku mwisho utaniona " aliongea Osward
Fifi akakata simu na kuanza kusogea taratibu akiangaza huku na kule na kufanikiwa kumwona alipokuwa amekaa Osward na kumfuata
"Ooh! Mambo " Fifi alitoa salamu na kumpatia mkono wake Osward "Poa karibu " "Ahsante , Samahani sana kwa kuchelewa kulikuwa na foleni kubwa "
"Wala usijali , Nambie uko poa lakini "
"Yah ! Vipi mbona umeagiza maji tu peke yake hutumii vinywaji vingine " "Natumia ila kwa Leo nimependa nitumie maji "
"Mmmm ya kweli hayo au unanionea aibu ila ukiwa peke yako unakunywa " "Hahahaha hapana kwanini nikuonee aibu wakati bia nacho nikinywaji cha kawaida hakina utofauti na maji "
Wakati wanaongea Teckla alifika na kumwuuliza Fifi atatumia nini "Aaam nileteee! Coca cola ya baridi ya take away moja " "Sawa "
"Osward uagizi chakula ?" Aliuliza Fifi "Mm hapana nimeshiba sana sina hamu ya kula kabisa " "OK, Dada niletee Coca cola tu chakula hapana "
Teckla aliondoka na kwenda kufuata kisha kumletea .
.
.
.
Itaendelea

CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 04 2 weeks ago SEHEMU YA NNE MTUNZI : ABDUL JUMA INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO WHATSAPP: 0766025554  "Hallo ! Mambo Osward " aliongea Fifi baada ya kuwa Osward amepokea "Poa , Nambie Malaika " "Hahahah acha utani Osward , Mimi naweza kuwa Malaika au unanijaza tu " Aliuliza Fifi "Kwanini usiwe tena unaweza kuwa zaidi hata ya Malaika " "Mmm haya Ahsante , Vipi lakini ?" Aliongea Fifi huku akiusogeza mto na kuuweka mapajani pake na kuugemea "Shwari tu , ndo nilikuwa najiandaa hapa nilale nikajua huto nipigia " aliongea Osward "Siyo rahisi , kuna kazi nilikuwa namalizia kidogo , baada ya kumaliza nimeingia kuoga ndo nikasema ngoja nikupigie nisingeweza kuacha kukupigia" aliongea Fifi "Poa nambie " "Amm kesho tunaweza kuonana pale Calabash saa nne asubuhi ? " aliuliza Fifi "Keshooo !! .. Poa Kesho sina kipindi nadhani itawezekana na hata Kama ningekuwa nacho lazima ningekuja kuonana na wewe Malaika " aliongea Osward huku akitia mikogo na kujifanya anajali jali kumbe ana lake tu jambo "Hahaha Osward bhana unaonekana mcheshi Sana Eee" "Hapana ila niukweli ambao nashindwa kuuzuia kwanini niongope ikiwa moyo na macho vimeona" "Mm haya bhana , nikutakie usiku mwema na pole Kwa kuisubiri simu yangu " "Usijali , Nawe pia Malaika " Baada ya kumaliza maongezi na kutakiana usiku mwema Fifi akakata simu na kujilaza kitandani huku simu yake akiwa ameiweka kifuani  akifikiria  namna ambavyo ataanza kumweleza Osward hisia zake kumbe hajui Osward nae anafikiria nini juu yake Palipo pambazuka mida ya saa tatu asubuhi Osward Kama kawaida yake Mzee wa kuazima nguo akazama chimbo kwa washikaji zake na kuweza kuazima nguo akajipigilia ile ile na kujimwagia unyunyu huku shingoni akiwa amening'iniza vicheni uchwara Kama vinne ivi halafu vyote feki alipoona amekuwa tayari alianza kusogea taratibu akiwa Kwa miguu kwani kutoka Sinza anapokaa na ilipokuwa Calabash Restaurant hapakuwa mbali hasa kwa wale wenzangu na Mimi ambao nauli kwetu ni za bajeti basi huwa hatuoni shida hata kutembea kutoka ubungo mpaka Kariakoo Osward alipofika aliingia moja kwa moja mpaka ndani na kwenda kuketi "Kaka karibu " alikaribishwa na Dada mmoja  mhudumu wa pale "Aam , Naomba maji kubwa moja moto na ice cube " aliagiza Osward na yule Dada kwenda kufuata na kumletea "Karibu " "Ahsante , samahani sijui unaitwa nani mrembo " aliongea Osward "Naitwa Teckla" alisema Teckla huku akijichekelesha chekelesha "Teckla unajua kuwa wewe ni mrembo ?" "Mm Ahsante " aliitikia Teckla huku akipepesa macho yake pembeni kwa kuona aibu "Naweza kupata namba yako ya simu tuwe tunawasiliana " "Bila shaka " Osward alilitoa lisimu lake lile la tachi lililopasuka kioo "Aaa Jana wamenipamia  simu yangu nilikuwa nashuka wenye gari ikaanguka aisee hapa kioo kimepasuka hatari , Mijitu mingine inatuingizia gharama ambazo hazipo kabisa na usawa huu wa anko Magu ( Osward akajisemelesha mbele ya Teckla baada ya kuitoa simu ) .. Enhee! 07... " "65241xxx" Teckla aliimalizia "Poa , Ahsante ntakutafuta " Osward baada ya kuisevu namba ya Teckla akairudisha simu mfukoni Mara kwa nje akaona kuna gari ndogo nyeusi aina ya Spacio na kuweza kuteremka msichana Fifi kisha akatoa simu yake na kuweza kumpigia Osward "Hallo ! Osward Nimeshafika umekalia kwa wapi ?" Ilikuwa ni sauti ya bidada Fifi baada ya kuwa Osward amepokea simu "Nakuona we ingia ndani huku mwisho utaniona " aliongea Osward Fifi akakata simu na kuanza kusogea taratibu akiangaza huku na kule na kufanikiwa kumwona alipokuwa amekaa Osward na kumfuata "Ooh! Mambo " Fifi alitoa salamu na kumpatia mkono wake Osward "Poa karibu " "Ahsante , Samahani sana kwa kuchelewa kulikuwa na foleni kubwa " "Wala usijali , Nambie uko poa lakini " "Yah ! Vipi mbona umeagiza maji tu peke yake hutumii vinywaji vingine " "Natumia ila kwa Leo nimependa nitumie maji " "Mmmm ya kweli hayo au unanionea aibu ila ukiwa peke yako unakunywa " "Hahahaha hapana kwanini nikuonee aibu wakati bia nacho nikinywaji cha kawaida hakina utofauti na maji " Wakati wanaongea Teckla alifika na kumwuuliza Fifi atatumia nini "Aaam nileteee! Coca cola ya baridi ya take away moja " "Sawa " "Osward uagizi chakula ?" Aliuliza Fifi "Mm hapana nimeshiba sana sina hamu ya kula kabisa " "OK, Dada niletee Coca cola tu chakula hapana " Teckla aliondoka na kwenda kufuata kisha kumletea . . . . Itaendelea

...
HADITHI HII IMETUNGWA NA MZEE MWANAKIJIJI WA JAMII FORUMS....KUTOKANA NA MVUTO WAKE NIMEIWEKA HAPA KWA NIA YA KUPATA BURUDANI KWA WAPENZI WA HADITHI KAMA MIMI
..................................................................................................................

Tangu utotoni nilijuwa kuwa nimejaliwa uzuri wa maumbile na sura. Nikiwa mtoto wa kike wa pekee na wa mwisho wa Mzee Erasto Malyamkono (mtaani alijulikana kama Mzee Mswahili) nilikuwa nimedekezwa nikadekeka. Kaka zangu walikuwa wakinichunga utadhani mboni ya jicho vile, na hakuna kitu nilichotamani ambacho sikukipata. Nilijitahidi kuitunza heshima yangu na heshima ya familia hususan maswala ya wanaume. Nilimaliza kidato cha nne kule Bwiru Mwanza na baadaye kujiunga na shule ya Masista wa Damu Takatifu kule Kifungilo Lushoto. Hadi naanza kidato cha tano nilikuwa bado bikira.

Kabla ya hapo vijana wengi kule mtaani maeneo ya Isamilo walikuwa wakinitaka na kunifukuzia. Nawakumbuka kina Maiko, John, Almasi na Mugisha (alikuwa na umbo kubwa na kakichwa kidogo, utadhani hana shingo) wa pale magorofa ya Benki jinsi walivyokuwa wakinisarandia. Nilikuwa mcheshi na sikuwa na maringo yoyote. Yangu yalikuwa ni maneno na ahadi kem kem, lakini kuwavulia chupi la!! Nilikula vi pesa vyao vya sangara n(a kujinoma kwa tuzawadi twao.) Mademu wengi pale mtaani walinichukia sana, na hawakuficha wivu wao. Wengi waliokuwa wakinitaka walikuwa ni watoto wa wakubwa (miongoni mwao walikuwemo mtoto wa Jaji maarufu na mwingine alikuwa ni mtoto wa RPC). Namkumbuka mhindi mmoja ambaye naye alikuwa akinifukuzia ile mbaya. Nilijiona mimi ni malkia wa mbingu nikiitetemesha nchi kila nipitapo.

Ilikuwa ni huko Lushoto ndiko nilikopata kwa mara ya kwanza kuonja joto la mapenzi. Ilikuwa ni likizo ya pili ndipo nilipokutana na Petro J Shekitondo (Alipenda kuitwa PJ). Basi letu lilisimama pale Mombo kwa ajili ya kujipatia chakula kabla ya kuendelea na safari yetu hadi Moshi. Yeye alikuwa ni mfanyakazi katika Hoteli ya Usambara, mojawapo ya hoteli mashuhuri pale Mombo. Nilikuwa nimekaa kwenye meza moja na marafiki zangu wawili; Sakina Mwanakibili (mtoto wa Mbunge) na Grace Chambi (mtoto wa Katibu wa Wizara, ambaye boyfriend wake alikuwa Mbunge mmoja).

Tukiwa tunapeana gumzo, tulikatishwa mazungumzo yetu na kijana mrefu, aliyevalia suruali ya jeans na T-Shirt yenye maandishi ya “Daytona Beach” Kifuani. Alikuwa ni mtanashati na sote watatu tulijikuta tukipoteza mtiririko wa mawazo kwa sekunde.

“Habari zenu” Alitusalimia kwa sauti nzito yenye upole
“Powa” Tulimjibu kwa pamoja huku tukijifanya hatumjali “Mko tayari kuagiza chochote” Alituuliza tena akituangalia kwa kutupokeza.
“Tupe dakika chache” Nilisema kwa niaba ya wenzangu, ambao waliafiki kwani muda wote huo tulikuwa tukipiga gumzo wala hatukuaangalia ile menu ubaoni.
“Clara” Grace aliniita
“Nini” Nilimjibu
“Mbona unamuangalia kaka wa watu utadhani unataka kummeza!” Aliniambia
“Hamna kitu, nilikuwa mbali tu” Nilimjibu, laiti wangejua ni umbali gani nilikuwa!!
“aha!” Walihamaki wote wawili kana kwamba hawakuamini maneno yangu. Aliporudi tena alijitambulisha kwetu kwa jina na kuchukua oda zetu.

Tulikula kwa haraka haraka kwani tulianza kusikia honi ya basi letu ikianza kulia. Kama kawaida tuliangalia alipokaa dereva na demu mmoja wakila, hatukuwa na haraka. Tulipomaliza kula tulijiandaa kuondoka. Kabla hata hatujafika nje tukasikia mtu akituita.
“Samahani kina dada” Alikuwa ni PJ Shekitondo.
“Nini tena” Tulimuuliza tukishangaa labda tumesahau kitu.
“Dada wewe” akinionyesha mimi, “naomba nikuulize kitu” alisema. Tukasogea chemba. Akaja karibu yangu kiasi cha kusikia joto la mwili wake na akasogea kuninong’oneza jambo.
“Tangu uingie hapa hotelini macho yangu yalikuwa kwako, natamani tufahamiane” Aliniambia na sauti kakamavu ilivunja vunja kila vizuio nilivyokuwa navyo. Sikuamini kuwa mwanamme anaweza kunigusa kihisia namna hiyo.
“Mbona basi letu liko karibu kuondoka” Nilimjibu kwa aibu na kudengua kidogo
“Si unasoma Kifungilo” Alinijibu kumbe alishajua mimi ni Mwanafunzi.
“Umejuaje? Kwani tuna alama kwenye paji?” Nilimjibu kwa aibu.
“Nimeshawahi kukuona mlipokuja Mazinde Juu kwa debate” Alinijibu. Dereva wa basi alitoka nje na kuelekea kwenye basi. Nikajua nilazime niamue haraka.
“Sikiliza John” Nilimwambia, “Ninarudi tena shuleni mwezi ujao katikati, labda tuwasiliane wakati huo au vipi?” Nilimwambia.
“Poa tu” Alinijibu.

Alichukua kipande cha karatasi na kuandika namba yake ya simu na kuniambia kuwa siku nikiwa njiani kurudi nimpigie ili tukutane. Nilimwahidi kuwa nitampigia simu wakati nikirudi toka likizo. Nilikimbilia kupanda basi. Rafiki zangu waliniangalia kwa mshangao jinsi uso wangu ulivyong’ara kwa aibu na soni. Wakataka niwasimulie yaliyotokea. Nilisubiri kwa hamu siku ya kurudi toka likizo.

***

Jinsi nilivyongojea kwa hamu likizo iishe. Nilikuwa najisomea vitabu, kuangalia TVs (hasa Oprah) na MTV n.k. Hata hivyo mawazo yangu yalikuwa kwa PJ tu. Sijui itakuwaje nikimuona, sijui bado atanionyesha kunitaka... nilifikiri nguo nitakazovaa na kama niweke nywele rasta au kalikiti. Kwa uchafu wangu wa mawazo nimwazia akiwa uchi mbele yangu!!, je nanihi yake kubwa kiasi gani!! Sijui niiguse au la. Mara nyingi nilijikuta nikijichekea mwenyewe. Katika hayo yote ilibidi nikubali mwenyewe kuwa sikuwa na utaalamu katika fani hiyo. Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamume yeyote. Nilihisi kutetemeka kwani labda PJ anafikiri mimi nimeshawahi kuwa na mwanamume na hivyo atatarajia nimwonyeshe vitu vya nguvu kitandani. Itakuwaje basi nikiboronga? Nikatamani siku za zamani ambapo mabinti walikuwa wanakwenda unyago na kufunzwa na kufundwa!! Sijui nianzie wapi, nilijiwazia. Niseme wazi kuwa mambo mengi ya mapenzi nilijifunza toka gazeti la “Heko” kwenye darasa lake la Mapenzi na vitabu vingi vya mapenzi. Hata hivyo niligundua kuwa hakuna kitu mbadala zaidi ya kujifunza kwa vitendo. Nikaamua kuwa nitaenda kumwona dada Bupe.

Bupe alikuwa ni miongoni mwa kina dada waliochangamkia biashara ya mapenzi. Nilitambulishwa kwake na wanafunzi wenzangu wakati tukisoma Bwiru. Baadhi ya wanafunzi wa Bwiru walikuwa wanaunganishwa na Bupe na vibosile wa Mwanza na walikuwa wakikutana nyumbani kwa da Bupe pale Pasiansi si mbali sana na ule uwanja wa ndege wa Mwanza. Dada Bupe alikuwa ni kama anawamiliki wasichana hao. Kila mwisho wa wiki tunapopata ruhusa ya kwenda mjini, wengi walikuwa wanaishia kwa Bupe. Nilipopewa nafasi hiyo mimi nilikataa na sikurudi tena. Lakini nikimuwazia PJ nikagundua kuwa hakuna mtu mwingine anayeweza kunisaidia zaidi ya dada Bupe. Nilifunga safari siku ya Alhamisi na kupanda vi- Express yaani daladala za Mwanza hadi Pasiansi. Kwa vile ilikuwa ni wakati wa likizo, sikutarajia kukuta “wageni wengi pale”. Kulikuwapo na gari moja Toyota lenye nembo ya “Jimbo Kuu la Mwanza” limeegeshwa uani. Nilipobisha hodi, si mwingine aliyefungua mlango ila dada Bupe. Sikutaka kujua gari la Jimbo linafanya nini kwa kungwi.

“Karibu, nikusaidie nini?” Alijibu bila kuonyesha kama ananikumbua au la.
“Shikamoo da Bupe” Nilimsalimu nikipiga goti langu kidogo kwa mtindo wa Kisukuma.
“We acha kunizeesha, mambo vipi?” Badala ya kuitikia “marahaba” aliniyeyushia kiaina. Siku hiyo alikuwa amevalia kaptula ya khaki iliyomkaa vyema na alivalia T-shirt ya rangi nyekundu yenye maandishi ya kumetameta yasemayo “Playgirl”.
“Hunikumbuki, da Bupe” nilimuuliza. Tulikuwa bado tumesimama mlangoni.
“Nikumbushe basi usiniambie wewe ni ndugu yangu” Alisema akicheka.

Nilimkumbusha jinsi nilivyokutana naye kwa mara ya kwanza wakati nikisoma Bwiru kama miaka michache tu iliyopita. Akataka kujua kilichonileta hapo kwake, nilimweleza kinaganaga jinsi nilivyojikuta niko njia panda. Nilimuomba msaada wa ushauri wake. Akanikaribisha ndani, kwenye sebule iliyopambwa vizuri kwa makochi ya kifahari na samani za kila aina.

“Yaani unataka nikufundishe kufanya mapenzi” Aliniuliza
“Ndiyo, na zaidi jinsi ya kumridhisha mwanamme” Nilimwambia
“Ok, nitakufundisha itakugharimu lakini” Aliniambia
“Shilingi ngapi?” Nilimuuliza
“Shilingi eflu ishirini tu” Aliniambia bila hata ya kupoteza pumzi. Nilikubali.

Akaniambia kuwa nirudi na hizo fedha kesho yake, na niwe tayari kwa somo la kwanza litakalohusisha mimi kuvunjwa bikira yangu. Nilirudi nyumbani nikijisia afueni lakini mwenye wasiwasi. Sikujua kama uamuzi wangu ulikuwa ni wa busara au la. Hata hivyo nikajisemea moyoni, “maji ukiyavulia nguo, huna budo uyaoge”. Nimeyavulia nguo, niko tayari kuyaoga.

XXX ITAENDELEA x x

HADITHI HII IMETUNGWA NA MZEE MWANAKIJIJI WA JAMII FORUMS....KUTOKANA NA MVUTO WAKE NIMEIWEKA HAPA KWA NIA YA KUPATA BURUDANI KWA WAPENZI WA HADITHI KAMA MIMI .................................................................................................................. Tangu utotoni nilijuwa kuwa nimejaliwa uzuri wa maumbile na sura. Nikiwa mtoto wa kike wa pekee na wa mwisho wa Mzee Erasto Malyamkono (mtaani alijulikana kama Mzee Mswahili) nilikuwa nimedekezwa nikadekeka. Kaka zangu walikuwa wakinichunga utadhani mboni ya jicho vile, na hakuna kitu nilichotamani ambacho sikukipata. Nilijitahidi kuitunza heshima yangu na heshima ya familia hususan maswala ya wanaume. Nilimaliza kidato cha nne kule Bwiru Mwanza na baadaye kujiunga na shule ya Masista wa Damu Takatifu kule Kifungilo Lushoto. Hadi naanza kidato cha tano nilikuwa bado bikira. Kabla ya hapo vijana wengi kule mtaani maeneo ya Isamilo walikuwa wakinitaka na kunifukuzia. Nawakumbuka kina Maiko, John, Almasi na Mugisha (alikuwa na umbo kubwa na kakichwa kidogo, utadhani hana shingo) wa pale magorofa ya Benki jinsi walivyokuwa wakinisarandia. Nilikuwa mcheshi na sikuwa na maringo yoyote. Yangu yalikuwa ni maneno na ahadi kem kem, lakini kuwavulia chupi la!! Nilikula vi pesa vyao vya sangara n(a kujinoma kwa tuzawadi twao.) Mademu wengi pale mtaani walinichukia sana, na hawakuficha wivu wao. Wengi waliokuwa wakinitaka walikuwa ni watoto wa wakubwa (miongoni mwao walikuwemo mtoto wa Jaji maarufu na mwingine alikuwa ni mtoto wa RPC). Namkumbuka mhindi mmoja ambaye naye alikuwa akinifukuzia ile mbaya. Nilijiona mimi ni malkia wa mbingu nikiitetemesha nchi kila nipitapo. Ilikuwa ni huko Lushoto ndiko nilikopata kwa mara ya kwanza kuonja joto la mapenzi. Ilikuwa ni likizo ya pili ndipo nilipokutana na Petro J Shekitondo (Alipenda kuitwa PJ). Basi letu lilisimama pale Mombo kwa ajili ya kujipatia chakula kabla ya kuendelea na safari yetu hadi Moshi. Yeye alikuwa ni mfanyakazi katika Hoteli ya Usambara, mojawapo ya hoteli mashuhuri pale Mombo. Nilikuwa nimekaa kwenye meza moja na marafiki zangu wawili; Sakina Mwanakibili (mtoto wa Mbunge) na Grace Chambi (mtoto wa Katibu wa Wizara, ambaye boyfriend wake alikuwa Mbunge mmoja). Tukiwa tunapeana gumzo, tulikatishwa mazungumzo yetu na kijana mrefu, aliyevalia suruali ya jeans na T-Shirt yenye maandishi ya “Daytona Beach” Kifuani. Alikuwa ni mtanashati na sote watatu tulijikuta tukipoteza mtiririko wa mawazo kwa sekunde. “Habari zenu” Alitusalimia kwa sauti nzito yenye upole “Powa” Tulimjibu kwa pamoja huku tukijifanya hatumjali “Mko tayari kuagiza chochote” Alituuliza tena akituangalia kwa kutupokeza. “Tupe dakika chache” Nilisema kwa niaba ya wenzangu, ambao waliafiki kwani muda wote huo tulikuwa tukipiga gumzo wala hatukuaangalia ile menu ubaoni. “Clara” Grace aliniita “Nini” Nilimjibu “Mbona unamuangalia kaka wa watu utadhani unataka kummeza!” Aliniambia “Hamna kitu, nilikuwa mbali tu” Nilimjibu, laiti wangejua ni umbali gani nilikuwa!! “aha!” Walihamaki wote wawili kana kwamba hawakuamini maneno yangu. Aliporudi tena alijitambulisha kwetu kwa jina na kuchukua oda zetu. Tulikula kwa haraka haraka kwani tulianza kusikia honi ya basi letu ikianza kulia. Kama kawaida tuliangalia alipokaa dereva na demu mmoja wakila, hatukuwa na haraka. Tulipomaliza kula tulijiandaa kuondoka. Kabla hata hatujafika nje tukasikia mtu akituita. “Samahani kina dada” Alikuwa ni PJ Shekitondo. “Nini tena” Tulimuuliza tukishangaa labda tumesahau kitu. “Dada wewe” akinionyesha mimi, “naomba nikuulize kitu” alisema. Tukasogea chemba. Akaja karibu yangu kiasi cha kusikia joto la mwili wake na akasogea kuninong’oneza jambo. “Tangu uingie hapa hotelini macho yangu yalikuwa kwako, natamani tufahamiane” Aliniambia na sauti kakamavu ilivunja vunja kila vizuio nilivyokuwa navyo. Sikuamini kuwa mwanamme anaweza kunigusa kihisia namna hiyo. “Mbona basi letu liko karibu kuondoka” Nilimjibu kwa aibu na kudengua kidogo “Si unasoma Kifungilo” Alinijibu kumbe alishajua mimi ni Mwanafunzi. “Umejuaje? Kwani tuna alama kwenye paji?” Nilimjibu kwa aibu. “Nimeshawahi kukuona mlipokuja Mazinde Juu kwa debate” Alinijibu. Dereva wa basi alitoka nje na kuelekea kwenye basi. Nikajua nilazime niamue haraka. “Sikiliza John” Nilimwambia, “Ninarudi tena shuleni mwezi ujao katikati, labda tuwasiliane wakati huo au vipi?” Nilimwambia. “Poa tu” Alinijibu. Alichukua kipande cha karatasi na kuandika namba yake ya simu na kuniambia kuwa siku nikiwa njiani kurudi nimpigie ili tukutane. Nilimwahidi kuwa nitampigia simu wakati nikirudi toka likizo. Nilikimbilia kupanda basi. Rafiki zangu waliniangalia kwa mshangao jinsi uso wangu ulivyong’ara kwa aibu na soni. Wakataka niwasimulie yaliyotokea. Nilisubiri kwa hamu siku ya kurudi toka likizo. *** Jinsi nilivyongojea kwa hamu likizo iishe. Nilikuwa najisomea vitabu, kuangalia TVs (hasa Oprah) na MTV n.k. Hata hivyo mawazo yangu yalikuwa kwa PJ tu. Sijui itakuwaje nikimuona, sijui bado atanionyesha kunitaka... nilifikiri nguo nitakazovaa na kama niweke nywele rasta au kalikiti. Kwa uchafu wangu wa mawazo nimwazia akiwa uchi mbele yangu!!, je nanihi yake kubwa kiasi gani!! Sijui niiguse au la. Mara nyingi nilijikuta nikijichekea mwenyewe. Katika hayo yote ilibidi nikubali mwenyewe kuwa sikuwa na utaalamu katika fani hiyo. Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamume yeyote. Nilihisi kutetemeka kwani labda PJ anafikiri mimi nimeshawahi kuwa na mwanamume na hivyo atatarajia nimwonyeshe vitu vya nguvu kitandani. Itakuwaje basi nikiboronga? Nikatamani siku za zamani ambapo mabinti walikuwa wanakwenda unyago na kufunzwa na kufundwa!! Sijui nianzie wapi, nilijiwazia. Niseme wazi kuwa mambo mengi ya mapenzi nilijifunza toka gazeti la “Heko” kwenye darasa lake la Mapenzi na vitabu vingi vya mapenzi. Hata hivyo niligundua kuwa hakuna kitu mbadala zaidi ya kujifunza kwa vitendo. Nikaamua kuwa nitaenda kumwona dada Bupe. Bupe alikuwa ni miongoni mwa kina dada waliochangamkia biashara ya mapenzi. Nilitambulishwa kwake na wanafunzi wenzangu wakati tukisoma Bwiru. Baadhi ya wanafunzi wa Bwiru walikuwa wanaunganishwa na Bupe na vibosile wa Mwanza na walikuwa wakikutana nyumbani kwa da Bupe pale Pasiansi si mbali sana na ule uwanja wa ndege wa Mwanza. Dada Bupe alikuwa ni kama anawamiliki wasichana hao. Kila mwisho wa wiki tunapopata ruhusa ya kwenda mjini, wengi walikuwa wanaishia kwa Bupe. Nilipopewa nafasi hiyo mimi nilikataa na sikurudi tena. Lakini nikimuwazia PJ nikagundua kuwa hakuna mtu mwingine anayeweza kunisaidia zaidi ya dada Bupe. Nilifunga safari siku ya Alhamisi na kupanda vi- Express yaani daladala za Mwanza hadi Pasiansi. Kwa vile ilikuwa ni wakati wa likizo, sikutarajia kukuta “wageni wengi pale”. Kulikuwapo na gari moja Toyota lenye nembo ya “Jimbo Kuu la Mwanza” limeegeshwa uani. Nilipobisha hodi, si mwingine aliyefungua mlango ila dada Bupe. Sikutaka kujua gari la Jimbo linafanya nini kwa kungwi. “Karibu, nikusaidie nini?” Alijibu bila kuonyesha kama ananikumbua au la. “Shikamoo da Bupe” Nilimsalimu nikipiga goti langu kidogo kwa mtindo wa Kisukuma. “We acha kunizeesha, mambo vipi?” Badala ya kuitikia “marahaba” aliniyeyushia kiaina. Siku hiyo alikuwa amevalia kaptula ya khaki iliyomkaa vyema na alivalia T-shirt ya rangi nyekundu yenye maandishi ya kumetameta yasemayo “Playgirl”. “Hunikumbuki, da Bupe” nilimuuliza. Tulikuwa bado tumesimama mlangoni. “Nikumbushe basi usiniambie wewe ni ndugu yangu” Alisema akicheka. Nilimkumbusha jinsi nilivyokutana naye kwa mara ya kwanza wakati nikisoma Bwiru kama miaka michache tu iliyopita. Akataka kujua kilichonileta hapo kwake, nilimweleza kinaganaga jinsi nilivyojikuta niko njia panda. Nilimuomba msaada wa ushauri wake. Akanikaribisha ndani, kwenye sebule iliyopambwa vizuri kwa makochi ya kifahari na samani za kila aina. “Yaani unataka nikufundishe kufanya mapenzi” Aliniuliza “Ndiyo, na zaidi jinsi ya kumridhisha mwanamme” Nilimwambia “Ok, nitakufundisha itakugharimu lakini” Aliniambia “Shilingi ngapi?” Nilimuuliza “Shilingi eflu ishirini tu” Aliniambia bila hata ya kupoteza pumzi. Nilikubali. Akaniambia kuwa nirudi na hizo fedha kesho yake, na niwe tayari kwa somo la kwanza litakalohusisha mimi kuvunjwa bikira yangu. Nilirudi nyumbani nikijisia afueni lakini mwenye wasiwasi. Sikujua kama uamuzi wangu ulikuwa ni wa busara au la. Hata hivyo nikajisemea moyoni, “maji ukiyavulia nguo, huna budo uyaoge”. Nimeyavulia nguo, niko tayari kuyaoga. XXX ITAENDELEA x x

...
UMESOMA HADITHI NYINGI ZA MAPENZI, LAKINI HII ITAKUSISIMUA KULIKO ZOTE, UTATUMIA DAKIKA 2 KUSOMA LAKINI...



1st year

nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu,niliyekuwa nikimuita "Bestfriend"nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu,lakini yeye hakuwa akitamani hilo na nilikuwa nikilitambua hilo.
Baada ya leacture,alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita.baada ya kumpa akasema "asante" na kushikana mikono na mimi.I wanted to tell her,i want her to know that i don't want us to be just friends,i love her but i'm just to shy,and i don't know why

2nd year

Simu yangu iliita,kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart,she asked me to come over because she didn't want to be alone,kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji,as i sat next to her on the sofa,nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu.Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie mbili tatu na kula nae chakula pamoja akarudi katika hali yake ya kawaida,hivyo akaamua kwenda kulala,before akaniangalia na kuniambia "asante" na kunipa tabasamu tamu,i want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why.

3rd year

Siku moja kabla ya Tamasha la muziki chuoni alikuja kwenye meza yangu leacture room na kuniambia "Boyfriend wangu amepata udhuru hivyo naomba unipe campan katika tamasha la muziki leo usiku" kwa kuwa tuliwekeana promice kwamba ikitokea kila mmoja wetu amekosa mtu wa ku-date nae basi tutaenda pamoja just as "bestfriends".hivyo tukaenda.
katika tamasha baada ya kila kitu kuisha na muziki kufungwa,nilikuwa nimekaa nje ya ukumbi nikimuangalia jinsi alivyokuwa akicheka na rafiki zake,she saw me looking to her she smiled at me,i want her to be mine lakini yeye alikuwa hafikirii hilo kabisa na nilikuwa nikilitambua hilo,then she said to me "nimekuwa na muda mzuri na wewe asante sana" and she gave me a sweet smile.I want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why.

Graduation Day

siku,wiki kisha mwezi ukapita ilikuwa ni mahafali yetu tukimaliza masomo ya chuo,akiinuka kwenda kutunukiwa shahada yake ya uchumi nilikuwa nikimuangalia akiwa amependeza sana siku ile,i wanted her to be mine,but she didn't notice me like that,and i knew it.
kabla watu hawajatawanyika kwenda makwao,alikuja kwangu akiwa na vazi lake la mahafali,na kulia pale nilipomkumbatia akainua kichwa chake na kuniambia "you are my bestfriend asante sana" i want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why.

Miaka michache baadae

Nikiwa kanisani Yule Msichana akiwa anaolewa sasa,nilimuangalia akisema "ndiyo nakubali " and drive off to new life,kaolewa na mwanaume mwingine,i wanted her to be mine,but she didn't see me like that,and i knew it.
but before she drove away,alikuja kwangu na kusema "asante sana" and kissed me on the cheek.I want to tell her to know that i dont us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why.

Kwenye Mazishi

Miaka ilipita i looked down katika jeneza lilokuwa na msichna ambaye alikuwa ni "bestfriend" wangu,Katika Service ya mazishi wakasoma diary ya Bestfriend ambayo alikuwa akiiandika enzi za maisha ya chuo'

Diary yake ilikuwa Ilikuwa ikisomeka hivi
I stare at him napenda awe wangu,but he doesn't notice me like that,and i know it,i want to tell him,i want him to know that i dont want us to be just friends,i love him but i'm just to shy,and i dont know why.I wish he would tell me he loved me!

Nilipiga magoti huku nikilia nikijisemea moyoni i wish ningemwambia tu ukweli,nimeshachelewa sipo nae tena katangulia mbele za haki i cried!!

Vunja ukimya

UMESOMA HADITHI NYINGI ZA MAPENZI, LAKINI HII ITAKUSISIMUA KULIKO ZOTE, UTATUMIA DAKIKA 2 KUSOMA LAKINI... 1st year nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu,niliyekuwa nikimuita "Bestfriend"nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu,lakini yeye hakuwa akitamani hilo na nilikuwa nikilitambua hilo. Baada ya leacture,alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita.baada ya kumpa akasema "asante" na kushikana mikono na mimi.I wanted to tell her,i want her to know that i don't want us to be just friends,i love her but i'm just to shy,and i don't know why 2nd year Simu yangu iliita,kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart,she asked me to come over because she didn't want to be alone,kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji,as i sat next to her on the sofa,nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu.Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie mbili tatu na kula nae chakula pamoja akarudi katika hali yake ya kawaida,hivyo akaamua kwenda kulala,before akaniangalia na kuniambia "asante" na kunipa tabasamu tamu,i want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. 3rd year Siku moja kabla ya Tamasha la muziki chuoni alikuja kwenye meza yangu leacture room na kuniambia "Boyfriend wangu amepata udhuru hivyo naomba unipe campan katika tamasha la muziki leo usiku" kwa kuwa tuliwekeana promice kwamba ikitokea kila mmoja wetu amekosa mtu wa ku-date nae basi tutaenda pamoja just as "bestfriends".hivyo tukaenda. katika tamasha baada ya kila kitu kuisha na muziki kufungwa,nilikuwa nimekaa nje ya ukumbi nikimuangalia jinsi alivyokuwa akicheka na rafiki zake,she saw me looking to her she smiled at me,i want her to be mine lakini yeye alikuwa hafikirii hilo kabisa na nilikuwa nikilitambua hilo,then she said to me "nimekuwa na muda mzuri na wewe asante sana" and she gave me a sweet smile.I want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. Graduation Day siku,wiki kisha mwezi ukapita ilikuwa ni mahafali yetu tukimaliza masomo ya chuo,akiinuka kwenda kutunukiwa shahada yake ya uchumi nilikuwa nikimuangalia akiwa amependeza sana siku ile,i wanted her to be mine,but she didn't notice me like that,and i knew it. kabla watu hawajatawanyika kwenda makwao,alikuja kwangu akiwa na vazi lake la mahafali,na kulia pale nilipomkumbatia akainua kichwa chake na kuniambia "you are my bestfriend asante sana" i want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. Miaka michache baadae Nikiwa kanisani Yule Msichana akiwa anaolewa sasa,nilimuangalia akisema "ndiyo nakubali " and drive off to new life,kaolewa na mwanaume mwingine,i wanted her to be mine,but she didn't see me like that,and i knew it. but before she drove away,alikuja kwangu na kusema "asante sana" and kissed me on the cheek.I want to tell her to know that i dont us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. Kwenye Mazishi Miaka ilipita i looked down katika jeneza lilokuwa na msichna ambaye alikuwa ni "bestfriend" wangu,Katika Service ya mazishi wakasoma diary ya Bestfriend ambayo alikuwa akiiandika enzi za maisha ya chuo' Diary yake ilikuwa Ilikuwa ikisomeka hivi I stare at him napenda awe wangu,but he doesn't notice me like that,and i know it,i want to tell him,i want him to know that i dont want us to be just friends,i love him but i'm just to shy,and i dont know why.I wish he would tell me he loved me! Nilipiga magoti huku nikilia nikijisemea moyoni i wish ningemwambia tu ukweli,nimeshachelewa sipo nae tena katangulia mbele za haki i cried!! Vunja ukimya

...
SOMA STORY FUPI YA MAPENZI YA KUHUZUNISHA YENYE MAFUNZO KWENU HASA HASA WAKINA DADA. NI STORY YA KWELI KABISA




"Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi. Alinifundisha.

Nikaegemeza maisha yangu yote kwake. Akanifanya nikawa mtumwa wa ngono kila nikienda chumbani kwake. Kama haikutosha sasa akaanza kunifundisha kunywa pombe. Niliamini kuwa ndiye mume wangu mtarajiwa, kwa nini nikatae? Nilimkubalia kila kitu.

Alinilazimisha ngono hata nilipokuwa katika siku zangu. Kweli nilikuwa msomi na niliyajua madhara ya kufanya hivyo lakini sikutaka kumuudhi huyo niliyeamini kuwa ni mume wangu. Nilipenda tutumie kinga lakini aliipinga sana.
Nikapata mimba ya kwanza!! Hakuwa na pesa lakini alinilazimisha niitoe. Nikaiba pesa nyumbani nikafanyaalivyotaka. Kwa mara yakwanza nika toa mimba. Haikuniuma sana!! Niliamini kuwa ni yeye atakuja kunioa na atanifichia aibu hii.

Nilitegemea sasa tutaanza kutumia kinga. Lakini hapana haikuwa hivyo. Aliendelea kunilaghai. Tayari aliujua udhaifu wangu. Alinishika hapa na pale. Nikishtuka tayari amefanya anavyojua. Pombe kidogo na nyingine kidogo. Nikazoea lakini nikawa na wahi kulewa. Akautumia udhaifu huu kunifanyia jambo baya lililonifanya niandike haya kwako. Akaniingilia kinyume na maumbile. Alinilawiti!! Nilishindwa kumshtaki popote. Nikavumilia kwa kuwa alikuwa mume wangu mtarajiwa. Mume asiyejulikana hata kwa wazazi.

Mchezo ule ukaendelea. Akajitetea eti hataki nipate mimba tena, hivyo hiyo ni mbinu mbadala. Najuta kumuamini!! Lakini huyo alikuwa mume wangu. Miaka ikapita, ule urembo wangu niliozoea kuuona katika kioo ukatoweka, simu za mara kwa mara kutoka kwake zikatoweka, akawa mkali sana kwangu. Hakutaka niende kwake. Wakati huo nilikuwa nasoma chuo. Pesa ya mkopo ikitoka ananitafuta na tunakuwa marafiki tena. Anasema ananipenda na atanioa. Ananilewesha na kunitumia kinyume na maumbile. Pesa ikiisha na mapenzi yanaisha nabaki mwenyewe katika msoto.

Sasa akaanza kubadilisha wasichana waziwazi. Ningesema nini mimi? Ninajua alishindwa kusema neno moja tu. Tuachane!! Nilijuatayari ameniacha!!! Afya yangu ikadolola sana, nikalazimika kwenda kupima hospitali. Sikuwa na virusi. Nikapewa ushauri nikautumia.

Siku zikasonga nikampata mwanaume mwingine. Huyu alikuwa ananijali sana. Nikaanza kumsahau yule aliyenitenda. Nilipomaliza chuo akajitambulishanyumbani na alitaka kunioa. Akanioa kweli. Maisha yakaanza. Mwaka wa kwanza, mwaka wa pili na hadi wa tatu. Sikuwa nabeba mimba. Mume wangu alikuwa mvumilivu sana, hakuwahi kunilaumu. Lakini niliumizwa na mawifi. Nikaamua kwenda hospitali.

Nikaambiwa kizazi changu kiliharibiwa kwa kutoa mimba mara kwa mara. Pia mapenzi ya kinyume na maumbile yamenivuruga kabisa.Nililia sana huku nikimkumbuka yule aliyeuleta uchungu huu kwangu. Dunia haikuwa mahali pangu sahihi. Nimekuandikia baruahii mdogo wangu. Uisome mwenyewe!! Lakini uwasimulie wengi baada ya kifo changu.

Uwasimulie bila kuchoka wasichana wa kileo wanaodanganyikanakufanya mambo magumu kuwaridhisha wapenzi wao. Waambie watakufa kwa mateso kama mimi. Wasipokusikiliza usijisikie vibayamaana hata mimi nilikuwa siwasikilizi watu waliponambia lolote kuhusu yule mume mdanganyifu. Sitajiua lakini nitakufa kabla ya wakati!!!

Nimekuandikia wewe kwa kuwa u mwandishi. Japo kwa sasa u mtoto mdogo najua utaipata nafasi siku moja ya kuwafikishia wasichana hawa. Usilie kwa sababu nitakufa. Lia kwasababu mwanaume mwenzako

SOMA STORY FUPI YA MAPENZI YA KUHUZUNISHA YENYE MAFUNZO KWENU HASA HASA WAKINA DADA. NI STORY YA KWELI KABISA "Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi. Alinifundisha. Nikaegemeza maisha yangu yote kwake. Akanifanya nikawa mtumwa wa ngono kila nikienda chumbani kwake. Kama haikutosha sasa akaanza kunifundisha kunywa pombe. Niliamini kuwa ndiye mume wangu mtarajiwa, kwa nini nikatae? Nilimkubalia kila kitu. Alinilazimisha ngono hata nilipokuwa katika siku zangu. Kweli nilikuwa msomi na niliyajua madhara ya kufanya hivyo lakini sikutaka kumuudhi huyo niliyeamini kuwa ni mume wangu. Nilipenda tutumie kinga lakini aliipinga sana. Nikapata mimba ya kwanza!! Hakuwa na pesa lakini alinilazimisha niitoe. Nikaiba pesa nyumbani nikafanyaalivyotaka. Kwa mara yakwanza nika toa mimba. Haikuniuma sana!! Niliamini kuwa ni yeye atakuja kunioa na atanifichia aibu hii. Nilitegemea sasa tutaanza kutumia kinga. Lakini hapana haikuwa hivyo. Aliendelea kunilaghai. Tayari aliujua udhaifu wangu. Alinishika hapa na pale. Nikishtuka tayari amefanya anavyojua. Pombe kidogo na nyingine kidogo. Nikazoea lakini nikawa na wahi kulewa. Akautumia udhaifu huu kunifanyia jambo baya lililonifanya niandike haya kwako. Akaniingilia kinyume na maumbile. Alinilawiti!! Nilishindwa kumshtaki popote. Nikavumilia kwa kuwa alikuwa mume wangu mtarajiwa. Mume asiyejulikana hata kwa wazazi. Mchezo ule ukaendelea. Akajitetea eti hataki nipate mimba tena, hivyo hiyo ni mbinu mbadala. Najuta kumuamini!! Lakini huyo alikuwa mume wangu. Miaka ikapita, ule urembo wangu niliozoea kuuona katika kioo ukatoweka, simu za mara kwa mara kutoka kwake zikatoweka, akawa mkali sana kwangu. Hakutaka niende kwake. Wakati huo nilikuwa nasoma chuo. Pesa ya mkopo ikitoka ananitafuta na tunakuwa marafiki tena. Anasema ananipenda na atanioa. Ananilewesha na kunitumia kinyume na maumbile. Pesa ikiisha na mapenzi yanaisha nabaki mwenyewe katika msoto. Sasa akaanza kubadilisha wasichana waziwazi. Ningesema nini mimi? Ninajua alishindwa kusema neno moja tu. Tuachane!! Nilijuatayari ameniacha!!! Afya yangu ikadolola sana, nikalazimika kwenda kupima hospitali. Sikuwa na virusi. Nikapewa ushauri nikautumia. Siku zikasonga nikampata mwanaume mwingine. Huyu alikuwa ananijali sana. Nikaanza kumsahau yule aliyenitenda. Nilipomaliza chuo akajitambulishanyumbani na alitaka kunioa. Akanioa kweli. Maisha yakaanza. Mwaka wa kwanza, mwaka wa pili na hadi wa tatu. Sikuwa nabeba mimba. Mume wangu alikuwa mvumilivu sana, hakuwahi kunilaumu. Lakini niliumizwa na mawifi. Nikaamua kwenda hospitali. Nikaambiwa kizazi changu kiliharibiwa kwa kutoa mimba mara kwa mara. Pia mapenzi ya kinyume na maumbile yamenivuruga kabisa.Nililia sana huku nikimkumbuka yule aliyeuleta uchungu huu kwangu. Dunia haikuwa mahali pangu sahihi. Nimekuandikia baruahii mdogo wangu. Uisome mwenyewe!! Lakini uwasimulie wengi baada ya kifo changu. Uwasimulie bila kuchoka wasichana wa kileo wanaodanganyikanakufanya mambo magumu kuwaridhisha wapenzi wao. Waambie watakufa kwa mateso kama mimi. Wasipokusikiliza usijisikie vibayamaana hata mimi nilikuwa siwasikilizi watu waliponambia lolote kuhusu yule mume mdanganyifu. Sitajiua lakini nitakufa kabla ya wakati!!! Nimekuandikia wewe kwa kuwa u mwandishi. Japo kwa sasa u mtoto mdogo najua utaipata nafasi siku moja ya kuwafikishia wasichana hawa. Usilie kwa sababu nitakufa. Lia kwasababu mwanaume mwenzako

...
JAMANI MAMA MARO!
Mama Maro alikuwa ni mwanamke mrembo sana, alitingisha mitaani mpaka ofisini, hali hii ilimpa tabu sana mme wake ambaye ndio mzaa Maro mwenyewe sasa. Ilikuwa kila sehemu akienda sehemu na mkewe watu hawaishi kuwaangalia. 
Mzee maro wakati akiwa kijana alikuwa akiifurahia sana hali hii huku akijua kuwa anapata sifa na lazima watu watakuwa wanamuonea wivu kwa jinsi alivyo na mwanamke Bomba.  Kwakuwa alikuwa ni kijana na kila alipokuwa akimtazama mkewe alikuwa anammezea mate utadhani sio wake mara kwa mara alikuwa akifanya nae ngono.
Wakati mwingine mama maro akiwa jikoni anapika mzee maro alikuwa anaita….
Mama Marooooooooo
Abee mume wangu
Njoo mara moja
Subiri nakuja namaliza kuunga mboga, 
Mama maro unanibishia mimi hizo mboga si nanunua mimi, acha ziungue
Duh mume wangu, haya nakuja baba
Mama maro akiingia chumbani anamkuta mmewe kawasha AC kajikunyata kwenye shuka huku mtarimbo wake ukiwa umenyanyuka na kulenga juu. 
Hakuna kitu kingine ambacho anafanya zaidi ya kumkamata mkewe kwa nguvu na kumkumbatia huku akimhemea sehem mbalimbali hasa masikioni na shingoni na kumpapasa kisha anamsaula na kumuweka mikao mbalimbali ya kumpa dozi. 
Mzee maro alikuwa anampa dozi mkewe mpaka anapitiwa na usingizi na hatimaye kujikuta anasahau kabisa kupika. 
Kwakuwa walikuwa wakiishi wawili tu na mtoto mmoja na Housegirl ilikuwa sasa wanalazimika kwenda kula hotelini. 
Hii ni kwasababu housegirl kazi yake ilikuwa ni kumhudumia mtoto tu na kufanya usafi huku jukumu la kupika likiwa la mama maro mwenyewe. 
Siku zilizidi kwenda huku mzee maro akiwa hataki kabisa kumruhusu mkewe apate ujauzito kwani alihofia kuwa endapo akipata mimba basi atazikosa burudani ambazo huwa anazipata. 
Ilikuwa ni lazima kila anapoenda mzee Maro na mkewe yumo, alikuwa hataki kumuacha nyuma hata kidogo. 
Ilifika wakati mama Maro alikuwa anaona kero kwani alijhisi anakosa uhuru na kuwa anabanwa sana lakini wakati mwingine ilikuwa ni burudani kwani alikuwa akikatwa kiu kisawasawa na pia alikuwa anapata kila alichokuwa anataka. 
Jambo jingine alilokuwa anafurahia ni kwamba walijihakikishia kuwa yuko mwenyewe kwani kila kona mmewe alienda nae, hivyo wazo la kuibiwa na vibinti vya mtaani halikuwepo kabisa akilini mwake, aliamini yeye ni tiba pekee kwa kijana wake ambaye kwasasa anafahamika kama mzee Maro. 
…………………………………….
Kwakuwa mzee Maro alikuwa ni bosi ofisini alilazimisha kwa kila namna sekretari awe mke wake na hivyo kufanya kila kona awe na mkewe, iwe nyumbani mpaka ofisini. 
Walikuwa asubuhi wanaamka pamoja wanasaidiana baadhi ya kazi za nyumbani na kuoga kisha wanaingia kwenye gari wanaelekea ofisini.
Wakifika ofisini mwanamke anamuandalia mumewe kila anachopaswa kufanya na kisha anamuacha akifanya majukumu mengine huku na yeye akifanya yakwake. 
Mda wa chakula walikuwa wanatoka wote na kuelekea kwenye mgahawa maarufu uliokiwa karibu na  ofisini ambapo wanakula pamoja na kisha kurejea ofisini. 
Walikuwa na kawaida kuwa inapotimia saa 11 jioni wanatoka ofisini wanaingia kwenye gari na kuelekea moja kwa moja bar ambapo wanapata mbili tatu kisha wanarudi nyumbani. 
Wakifika nyumbani kabla ya kitu choochote mzee maro ilikuwa lazima ampe dozi mkewe. Kwakuwa wote wanakuwa wameshtua kwa vinywaji basi walikuwa wakibiringishana weeeee mpaka wanakuwa hoi kabisa. 
Wakishamaliza wanaoga kisha wanavaa nguo za nyumbani na kutoka sebuleni ambapo wanatazama taarifa ya habari na kukaakaa na familia kisha wanarudi kulala. 
Huko kwenye kulala pia mambo yalikuwa ni yale yale, dozi kwa kwenda mbele kisha wanalala usingizi mzito unaokatika alfajiri na kuwafanya wajiandae kwa kwenda ofisini. 
Huyu ndio kijana Maro na Mkewe mama Maro ambapo kwasasa Maro tayari anaitwa ni mzee Maro. 
……………………………………….
Kwa taarifa yako mama Maro sio mtanzania, yeye ni mzaliwa wa Rwanda huko kwa Rais Kagame, kwa mara ya kwanza anajikuta anaingia Tanzania ni kipindi kile cha machafuko ya huko kwao ambapo anafaniKiwa kutoroka akiwa na baba yake huku ndugu zake wote wakiwa wameuawa.
Alipofika karibuni kabisa na mpaka wa Rwanda na Tanzania waliwaona wanajeshi wa Kihutu wakiwafwata kwa nyuma na mapanga. Japo walikuwa wamechoka lakini iliwabidi wajikaze kwa kukimbia sana huku baba yake akichukua mizigo yote aliyokuwa ameibeba ili kumpunguzia uzito na kuweza kukimbia vizuri. 
Kitendo hicho kilimfanya mzee wa watu azidiwe na mizigo huku binti yake Rozina akiwa mwepesi sana na kufanikiwa kukimbia kumzidi baba yake. 
Ndani ya mda mfupi tayari baba yake Rozina alikamatwa na vijana hawa na bila kusita walimlaza chini na kumchinja kama kuku kisha kichwa chake walikiweka kwenye begi na kuanza kumkimbiza Rozina. 
Bahati nzuri ni kwamba wakati huu tayari Rozina alikuwa ameshavuka mpaka na hapa alikuwa kwenye barabara kuu ya kuelekea kwenye mji wa Ngara. 
Huku akiwa anakimbia na Vijana hawa wa kihutu wakiwa wanamfwata kwa kasi alisikia kwa mbali mngurumo wa gari na makelele ya watu wakiimba. 
….hata watoto wanajua..
…ccm namba wani…
…na vijana wanajua…
...ccm namba wani….
….nambari wani eeee….
…nambari wani ni cc-emu…
Huu ulikuwa ni msafara wa kampeni za urais uliokuwa unaenda katika mji wa Rusumo uliokuwa mpakani mwa Tanzania na Rwanda ambapo vijana wawili kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam (Ansbert Maro na Oscar Mchome) walikuwa wamepewa kazi ya kukisaidia chama cha mapinduzi kwenye kampeni zake na siku ya leo walikuwa maeneo ya mipakani.
Wakiwa njiani kwa mbele walimuona mtoto wa miaka kama sita hivi akikimbia huku akipiga makelele, walipoangalia vizuri waliwaona watu wenye silaha wakijificha nyuma ya kichaka.
Kumbe nia yao ilikuwa ule msafara upite kisha waendelee kumfukuza Yule  mtoto wamkamate na hatimaye wamuue.
Oscar hakukubali, japo msafara ulikuwa na ulinzi wa polisi lakini aliamuru usimame. 
Askari walimsihi sana asishuke kwani eneo hilo halikuwa salama. 
Oscar alikuwa hataki kuelewa hata kidogo alivyomuona Rozina alihisi huruma na upendo wa ajabu kwa Yule mtoto . 
Aliamua kuruka kutokea kwenye kioo cha gari na hatimaye akaenda mbio kule aliko Rozina ambaye nae alianza kumkimbilia akiamini ni mtu salama kwake anayeweza kumnusuru na wale wauaji wa kabila la kitutsi. 
Wakati Oscar anashuka na kumuendea Rozina gari za msafara wake zilikuwa zimemuacha zikiendelea na safari. 
Oscar alikuwa karibu kabisa na Rozina lakini kabla hajamchukua alishtuka akipigwa na kitu kizito kichwani kiasi cha kumfanya aanguke chini na kumshuhudia Rozina akichukuliwa huku akilia na kupiga makelele. 
Alijizoa zoa pale chini na kujitahidi kuamka kisha akawafwata kwa nyuma kule walikoelekea, alipata nguvu na kukimbia kwa kasi ya ajabu na kufanikiwa kuwafikia. 
Aliokota jiwe akampima askari mmoja wa kihutu aliyekuwa amembeba Rozina na kuliachia kwa nguvu likapiga kwenye kisogo cha Yule jamaa ambaye alianguka chini puu…..!
TUKUTANE KESHO!

#sory_jaman_Imejipost

JAMANI MAMA MARO! Mama Maro alikuwa ni mwanamke mrembo sana, alitingisha mitaani mpaka ofisini, hali hii ilimpa tabu sana mme wake ambaye ndio mzaa Maro mwenyewe sasa. Ilikuwa kila sehemu akienda sehemu na mkewe watu hawaishi kuwaangalia. Mzee maro wakati akiwa kijana alikuwa akiifurahia sana hali hii huku akijua kuwa anapata sifa na lazima watu watakuwa wanamuonea wivu kwa jinsi alivyo na mwanamke Bomba. Kwakuwa alikuwa ni kijana na kila alipokuwa akimtazama mkewe alikuwa anammezea mate utadhani sio wake mara kwa mara alikuwa akifanya nae ngono. Wakati mwingine mama maro akiwa jikoni anapika mzee maro alikuwa anaita…. Mama Marooooooooo Abee mume wangu Njoo mara moja Subiri nakuja namaliza kuunga mboga, Mama maro unanibishia mimi hizo mboga si nanunua mimi, acha ziungue Duh mume wangu, haya nakuja baba Mama maro akiingia chumbani anamkuta mmewe kawasha AC kajikunyata kwenye shuka huku mtarimbo wake ukiwa umenyanyuka na kulenga juu. Hakuna kitu kingine ambacho anafanya zaidi ya kumkamata mkewe kwa nguvu na kumkumbatia huku akimhemea sehem mbalimbali hasa masikioni na shingoni na kumpapasa kisha anamsaula na kumuweka mikao mbalimbali ya kumpa dozi. Mzee maro alikuwa anampa dozi mkewe mpaka anapitiwa na usingizi na hatimaye kujikuta anasahau kabisa kupika. Kwakuwa walikuwa wakiishi wawili tu na mtoto mmoja na Housegirl ilikuwa sasa wanalazimika kwenda kula hotelini. Hii ni kwasababu housegirl kazi yake ilikuwa ni kumhudumia mtoto tu na kufanya usafi huku jukumu la kupika likiwa la mama maro mwenyewe. Siku zilizidi kwenda huku mzee maro akiwa hataki kabisa kumruhusu mkewe apate ujauzito kwani alihofia kuwa endapo akipata mimba basi atazikosa burudani ambazo huwa anazipata. Ilikuwa ni lazima kila anapoenda mzee Maro na mkewe yumo, alikuwa hataki kumuacha nyuma hata kidogo. Ilifika wakati mama Maro alikuwa anaona kero kwani alijhisi anakosa uhuru na kuwa anabanwa sana lakini wakati mwingine ilikuwa ni burudani kwani alikuwa akikatwa kiu kisawasawa na pia alikuwa anapata kila alichokuwa anataka. Jambo jingine alilokuwa anafurahia ni kwamba walijihakikishia kuwa yuko mwenyewe kwani kila kona mmewe alienda nae, hivyo wazo la kuibiwa na vibinti vya mtaani halikuwepo kabisa akilini mwake, aliamini yeye ni tiba pekee kwa kijana wake ambaye kwasasa anafahamika kama mzee Maro. ……………………………………. Kwakuwa mzee Maro alikuwa ni bosi ofisini alilazimisha kwa kila namna sekretari awe mke wake na hivyo kufanya kila kona awe na mkewe, iwe nyumbani mpaka ofisini. Walikuwa asubuhi wanaamka pamoja wanasaidiana baadhi ya kazi za nyumbani na kuoga kisha wanaingia kwenye gari wanaelekea ofisini. Wakifika ofisini mwanamke anamuandalia mumewe kila anachopaswa kufanya na kisha anamuacha akifanya majukumu mengine huku na yeye akifanya yakwake. Mda wa chakula walikuwa wanatoka wote na kuelekea kwenye mgahawa maarufu uliokiwa karibu na ofisini ambapo wanakula pamoja na kisha kurejea ofisini. Walikuwa na kawaida kuwa inapotimia saa 11 jioni wanatoka ofisini wanaingia kwenye gari na kuelekea moja kwa moja bar ambapo wanapata mbili tatu kisha wanarudi nyumbani. Wakifika nyumbani kabla ya kitu choochote mzee maro ilikuwa lazima ampe dozi mkewe. Kwakuwa wote wanakuwa wameshtua kwa vinywaji basi walikuwa wakibiringishana weeeee mpaka wanakuwa hoi kabisa. Wakishamaliza wanaoga kisha wanavaa nguo za nyumbani na kutoka sebuleni ambapo wanatazama taarifa ya habari na kukaakaa na familia kisha wanarudi kulala. Huko kwenye kulala pia mambo yalikuwa ni yale yale, dozi kwa kwenda mbele kisha wanalala usingizi mzito unaokatika alfajiri na kuwafanya wajiandae kwa kwenda ofisini. Huyu ndio kijana Maro na Mkewe mama Maro ambapo kwasasa Maro tayari anaitwa ni mzee Maro. ………………………………………. Kwa taarifa yako mama Maro sio mtanzania, yeye ni mzaliwa wa Rwanda huko kwa Rais Kagame, kwa mara ya kwanza anajikuta anaingia Tanzania ni kipindi kile cha machafuko ya huko kwao ambapo anafaniKiwa kutoroka akiwa na baba yake huku ndugu zake wote wakiwa wameuawa. Alipofika karibuni kabisa na mpaka wa Rwanda na Tanzania waliwaona wanajeshi wa Kihutu wakiwafwata kwa nyuma na mapanga. Japo walikuwa wamechoka lakini iliwabidi wajikaze kwa kukimbia sana huku baba yake akichukua mizigo yote aliyokuwa ameibeba ili kumpunguzia uzito na kuweza kukimbia vizuri. Kitendo hicho kilimfanya mzee wa watu azidiwe na mizigo huku binti yake Rozina akiwa mwepesi sana na kufanikiwa kukimbia kumzidi baba yake. Ndani ya mda mfupi tayari baba yake Rozina alikamatwa na vijana hawa na bila kusita walimlaza chini na kumchinja kama kuku kisha kichwa chake walikiweka kwenye begi na kuanza kumkimbiza Rozina. Bahati nzuri ni kwamba wakati huu tayari Rozina alikuwa ameshavuka mpaka na hapa alikuwa kwenye barabara kuu ya kuelekea kwenye mji wa Ngara. Huku akiwa anakimbia na Vijana hawa wa kihutu wakiwa wanamfwata kwa kasi alisikia kwa mbali mngurumo wa gari na makelele ya watu wakiimba. ….hata watoto wanajua.. …ccm namba wani… …na vijana wanajua… ...ccm namba wani…. ….nambari wani eeee…. …nambari wani ni cc-emu… Huu ulikuwa ni msafara wa kampeni za urais uliokuwa unaenda katika mji wa Rusumo uliokuwa mpakani mwa Tanzania na Rwanda ambapo vijana wawili kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam (Ansbert Maro na Oscar Mchome) walikuwa wamepewa kazi ya kukisaidia chama cha mapinduzi kwenye kampeni zake na siku ya leo walikuwa maeneo ya mipakani. Wakiwa njiani kwa mbele walimuona mtoto wa miaka kama sita hivi akikimbia huku akipiga makelele, walipoangalia vizuri waliwaona watu wenye silaha wakijificha nyuma ya kichaka. Kumbe nia yao ilikuwa ule msafara upite kisha waendelee kumfukuza Yule mtoto wamkamate na hatimaye wamuue. Oscar hakukubali, japo msafara ulikuwa na ulinzi wa polisi lakini aliamuru usimame. Askari walimsihi sana asishuke kwani eneo hilo halikuwa salama. Oscar alikuwa hataki kuelewa hata kidogo alivyomuona Rozina alihisi huruma na upendo wa ajabu kwa Yule mtoto . Aliamua kuruka kutokea kwenye kioo cha gari na hatimaye akaenda mbio kule aliko Rozina ambaye nae alianza kumkimbilia akiamini ni mtu salama kwake anayeweza kumnusuru na wale wauaji wa kabila la kitutsi. Wakati Oscar anashuka na kumuendea Rozina gari za msafara wake zilikuwa zimemuacha zikiendelea na safari. Oscar alikuwa karibu kabisa na Rozina lakini kabla hajamchukua alishtuka akipigwa na kitu kizito kichwani kiasi cha kumfanya aanguke chini na kumshuhudia Rozina akichukuliwa huku akilia na kupiga makelele. Alijizoa zoa pale chini na kujitahidi kuamka kisha akawafwata kwa nyuma kule walikoelekea, alipata nguvu na kukimbia kwa kasi ya ajabu na kufanikiwa kuwafikia. Aliokota jiwe akampima askari mmoja wa kihutu aliyekuwa amembeba Rozina na kuliachia kwa nguvu likapiga kwenye kisogo cha Yule jamaa ambaye alianguka chini puu…..! TUKUTANE KESHO! #sory_jaman_Imejipost

...
Stori Za Msisimko Na Stori Zingine Za Hapa Na pale

"Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi. Alinifundisha.

Nikaegemeza maisha yangu yote kwake. Akanifanya nikawa mtumwa wa ngono kila nikienda chumbani kwake. Kama haikutosha sasa akaanza kunifundisha kunywa pombe. Niliamini kuwa ndiye mume wangu mtarajiwa, kwa nini nikatae? Nilimkubalia kila kitu.

Alinilazimisha ngono hata nilipokuwa katika siku zangu. Kweli nilikuwa msomi na niliyajua madhara ya kufanya hivyo lakini sikutaka kumuudhi huyo niliyeamini kuwa ni mume wangu. Nilipenda tutumie kinga lakini aliipinga sana.
Nikapata mimba ya kwanza!! Hakuwa na pesa lakini alinilazimisha niitoe. Nikaiba pesa nyumbani nikafanyaalivyotaka. Kwa mara yakwanza nika toa mimba. Haikuniuma sana!! Niliamini kuwa ni yeye atakuja kunioa na atanifichia aibu hii.

Nilitegemea sasa tutaanza kutumia kinga. Lakini hapana haikuwa hivyo. Aliendelea kunilaghai. Tayari aliujua udhaifu wangu. Alinishika hapa na pale. Nikishtuka tayari amefanya anavyojua. Pombe kidogo na nyingine kidogo. Nikazoea lakini nikawa na wahi kulewa. Akautumia udhaifu huu kunifanyia jambo baya lililonifanya niandike haya kwako. Akaniingilia kinyume na maumbile. Alinilawiti!! Nilishindwa kumshtaki popote. Nikavumilia kwa kuwa alikuwa mume wangu mtarajiwa. Mume asiyejulikana hata kwa wazazi.

Mchezo ule ukaendelea. Akajitetea eti hataki nipate mimba tena, hivyo hiyo ni mbinu mbadala. Najuta kumuamini!! Lakini huyo alikuwa mume wangu. Miaka ikapita, ule urembo wangu niliozoea kuuona katika kioo ukatoweka, simu za mara kwa mara kutoka kwake zikatoweka, akawa mkali sana kwangu. Hakutaka niende kwake. Wakati huo nilikuwa nasoma chuo. Pesa ya mkopo ikitoka ananitafuta na tunakuwa marafiki tena. Anasema ananipenda na atanioa. Ananilewesha na kunitumia kinyume na maumbile. Pesa ikiisha na mapenzi yanaisha nabaki mwenyewe katika msoto.

Sasa akaanza kubadilisha wasichana waziwazi. Ningesema nini mimi? Ninajua alishindwa kusema neno moja tu. Tuachane!! Nilijuatayari ameniacha!!! Afya yangu ikadolola sana, nikalazimika kwenda kupima hospitali. Sikuwa na virusi. Nikapewa ushauri nikautumia.

Siku zikasonga nikampata mwanaume mwingine. Huyu alikuwa ananijali sana. Nikaanza kumsahau yule aliyenitenda. Nilipomaliza chuo akajitambulishanyumbani na alitaka kunioa. Akanioa kweli. Maisha yakaanza. Mwaka wa kwanza, mwaka wa pili na hadi wa tatu. Sikuwa nabeba mimba. Mume wangu alikuwa mvumilivu sana, hakuwahi kunilaumu. Lakini niliumizwa na mawifi. Nikaamua kwenda hospitali.

Nikaambiwa kizazi changu kiliharibiwa kwa kutoa mimba mara kwa mara. Pia mapenzi ya kinyume na maumbile yamenivuruga kabisa.Nililia sana huku nikimkumbuka yule aliyeuleta uchungu huu kwangu. Dunia haikuwa mahali pangu sahihi. Nimekuandikia baruahii mdogo wangu. Uisome mwenyewe!! Lakini uwasimulie wengi baada ya kifo changu.

Uwasimulie bila kuchoka wasichana wa kileo wanaodanganyikanakufanya mambo magumu kuwaridhisha wapenzi wao. Waambie watakufa kwa mateso kama mimi. Wasipokusikiliza usijisikie vibayamaana hata mimi nilikuwa siwasikilizi watu waliponambia lolote kuhusu yule mume mdanganyifu. Sitajiua lakini nitakufa kabla ya wakati!!!

Nimekuandikia wewe kwa kuwa u mwandishi. Japo kwa sasa u mtoto mdogo najua utaipata nafasi siku moja ya kuwafikishia wasichana hawa. Usilie kwa sababu nitakufa. Lia kwasababu mwanaume mwenzako

Stori Za Msisimko Na Stori Zingine Za Hapa Na pale "Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi. Alinifundisha. Nikaegemeza maisha yangu yote kwake. Akanifanya nikawa mtumwa wa ngono kila nikienda chumbani kwake. Kama haikutosha sasa akaanza kunifundisha kunywa pombe. Niliamini kuwa ndiye mume wangu mtarajiwa, kwa nini nikatae? Nilimkubalia kila kitu. Alinilazimisha ngono hata nilipokuwa katika siku zangu. Kweli nilikuwa msomi na niliyajua madhara ya kufanya hivyo lakini sikutaka kumuudhi huyo niliyeamini kuwa ni mume wangu. Nilipenda tutumie kinga lakini aliipinga sana. Nikapata mimba ya kwanza!! Hakuwa na pesa lakini alinilazimisha niitoe. Nikaiba pesa nyumbani nikafanyaalivyotaka. Kwa mara yakwanza nika toa mimba. Haikuniuma sana!! Niliamini kuwa ni yeye atakuja kunioa na atanifichia aibu hii. Nilitegemea sasa tutaanza kutumia kinga. Lakini hapana haikuwa hivyo. Aliendelea kunilaghai. Tayari aliujua udhaifu wangu. Alinishika hapa na pale. Nikishtuka tayari amefanya anavyojua. Pombe kidogo na nyingine kidogo. Nikazoea lakini nikawa na wahi kulewa. Akautumia udhaifu huu kunifanyia jambo baya lililonifanya niandike haya kwako. Akaniingilia kinyume na maumbile. Alinilawiti!! Nilishindwa kumshtaki popote. Nikavumilia kwa kuwa alikuwa mume wangu mtarajiwa. Mume asiyejulikana hata kwa wazazi. Mchezo ule ukaendelea. Akajitetea eti hataki nipate mimba tena, hivyo hiyo ni mbinu mbadala. Najuta kumuamini!! Lakini huyo alikuwa mume wangu. Miaka ikapita, ule urembo wangu niliozoea kuuona katika kioo ukatoweka, simu za mara kwa mara kutoka kwake zikatoweka, akawa mkali sana kwangu. Hakutaka niende kwake. Wakati huo nilikuwa nasoma chuo. Pesa ya mkopo ikitoka ananitafuta na tunakuwa marafiki tena. Anasema ananipenda na atanioa. Ananilewesha na kunitumia kinyume na maumbile. Pesa ikiisha na mapenzi yanaisha nabaki mwenyewe katika msoto. Sasa akaanza kubadilisha wasichana waziwazi. Ningesema nini mimi? Ninajua alishindwa kusema neno moja tu. Tuachane!! Nilijuatayari ameniacha!!! Afya yangu ikadolola sana, nikalazimika kwenda kupima hospitali. Sikuwa na virusi. Nikapewa ushauri nikautumia. Siku zikasonga nikampata mwanaume mwingine. Huyu alikuwa ananijali sana. Nikaanza kumsahau yule aliyenitenda. Nilipomaliza chuo akajitambulishanyumbani na alitaka kunioa. Akanioa kweli. Maisha yakaanza. Mwaka wa kwanza, mwaka wa pili na hadi wa tatu. Sikuwa nabeba mimba. Mume wangu alikuwa mvumilivu sana, hakuwahi kunilaumu. Lakini niliumizwa na mawifi. Nikaamua kwenda hospitali. Nikaambiwa kizazi changu kiliharibiwa kwa kutoa mimba mara kwa mara. Pia mapenzi ya kinyume na maumbile yamenivuruga kabisa.Nililia sana huku nikimkumbuka yule aliyeuleta uchungu huu kwangu. Dunia haikuwa mahali pangu sahihi. Nimekuandikia baruahii mdogo wangu. Uisome mwenyewe!! Lakini uwasimulie wengi baada ya kifo changu. Uwasimulie bila kuchoka wasichana wa kileo wanaodanganyikanakufanya mambo magumu kuwaridhisha wapenzi wao. Waambie watakufa kwa mateso kama mimi. Wasipokusikiliza usijisikie vibayamaana hata mimi nilikuwa siwasikilizi watu waliponambia lolote kuhusu yule mume mdanganyifu. Sitajiua lakini nitakufa kabla ya wakati!!! Nimekuandikia wewe kwa kuwa u mwandishi. Japo kwa sasa u mtoto mdogo najua utaipata nafasi siku moja ya kuwafikishia wasichana hawa. Usilie kwa sababu nitakufa. Lia kwasababu mwanaume mwenzako

...
SIMULIZI YA KWELI;BARUA KUTOKA KUZIMU

Wapendwa wazazi,
Salam nyingi ziwafikie hapo mlipo,mtakapo kujua hali yangu mimi si nzuri kutokana na hali ya mazingira niliyopo.
Najua mliamini na mnaanini kuwa nipo na malaika tukimsifu mungu lakini naomba niwaambie ukweli tuu kuwa nipo jehanamu nikipata mshahara wa matendo yangu.
Jemima mtoto wenu wa kwanza na wa pekee kupata kazi rasmi inayoeleweka nipo kuzimu baada ya ajali ile mbaya mnayoamini kuwa ni ya kupangwa.
Ni kweli ilipangwa lakini mpangaji si binadamu bali ni SHETANI ambaye aliamua kunipandisha cheo baada ya kufurahishwa na kazi yangu niliyoifanya vyema.Naomba ieleweke kabisa hapa SIKUAJIRIWA na SHETANI bali nilikikuta nafanya kazi yake vyema hadi siku ile nilipopata ajali mbaya ya gari iliyoharibu mwili wangu na kuwapa taabu ya kuutambua mwili wangu kabla ya mazishi hadi pale njia za kitaalamu zilipotumika.
"Mliumia sana".
Najua kwani mlinililia sana kufikia hatua ya kupoteza fahamu kea zamu siku mnaiona maiti yangu.
Mliamini nilikuwa safarini kwenda kurekodi ablam yangu ya kwanza ya nyimbo za injili nikiwa na meneja wangu aliyeamua kunidhamini kwa kila kitu,mliamini ni mtoto wa pekee niliyekuwa masaada kwenu na kwa wadogo zangu hata ndugu waliohitaji msaada ,binti niliyejitoa kwa hali na mali kusaidia ujenzi wa kanisa letu hapo kijijini, kuwashauri wasichana wenzangu kusoma na kumtumikia Mungu huku wakiheshimu wakubwa wao.
Kwa kifupi nilikuwa mtu mwema kwa kila mtu hapo kijijini hata mngepewa mamlaka ya kuteua mtakatifu mgeniteua lakini leo mimi nipo kuzimu na niwakala wa SHETANI.
Ukweli ni huu;-
Ingawa kweli huwa naimba nyimbo za dini sikuwa njiani kuelekea studio bali nilikuwa na mume wa mtu ambaye nilimfanya aisahau familia yake kwa jinsi nilivyomchanganya na penzi langu,tulikuwa tukielekea Dar es saalam kwa ajili ya kupata starehe.
Hamkulijua hili ndiyo maana hamkuisha kumlalamikia Mungu kwa kitendo cha kunichukuwa ningali Mdogo 'poleni sana kwa hilo'.
Mlipoozwa na kiasi kikubwa cha fedha mlichokikuta kwenye akiba yangu lakini hamkujua tuu katika maisha yangu sijawahi kutumia mshahara wangu zaidi ya kuwachuna waume za watu waliokuwa tayari kunikabidhi mishahara yao bila uoga wowote,'hamkujua hili kutokana na umbali wetu na ufinyu wa njia za mawasiliano'.
Lakini si hivyo tuu nilijikuta nimeanza kuwashawishi hata viongozi wa dini walioanza kama utani hadi wakafikia hatua ya kuligawa kanisa kule kijijini nilikofanya kazi, 'Mungu naomba uwasamehe'.
Hamjui tuu kilichofanya nisifukuzwe kazi kipindi kile niliikuwa huko nyumbani kwa takribani miezi miwili ,,,niligawa penzi kutoka taifani hadi wilayani nikawa mgonjwa kweli kama nilivyomtaka yule daktari baba nani sijui aliyekufa kabla yangu nipo naye huku kwani michezo aliyocheza na wajawazito na watoto wa shule ilitosha kumleta hapa hata bila kuongezea ile tabia yake ya kuuza dawa huku wananchi wakijifia.
'Hamjui hayo mnaamini binti yenu nitakuwa nikiimba na watakatifu wengine kutokana na jinsi nilivyojipambanua kwenu'.
Wasalimieni sana wadogo zangu na rafiki yangu mama Mage najua hakujua kama hata mumewe ni miongoni mwa wanaume mia tano niliwaambukiza virusi vya ukimwi na kupelekea kuzaa mtoto mwathirika, anisamehe sana natamani yawe ndoto lakini akhaaaa mumewe alizidi sana kwani mara ya kwanza alinibaka nilipoenda kisimani kipindi hata hajaoa na akanitaka nimkumbushie enzi, nipo naye anajaribu kusoma nikiandikacho bila mafanikio kwani macho yake yameungua sana.
Ningependa niendelee lakini BOSI WANGU, SHETANI amenikazia macho kwa ukali.
Wasalamu
Mwanenu mpendwa.

MWISHO.

SIMULIZI YA KWELI;BARUA KUTOKA KUZIMU Wapendwa wazazi, Salam nyingi ziwafikie hapo mlipo,mtakapo kujua hali yangu mimi si nzuri kutokana na hali ya mazingira niliyopo. Najua mliamini na mnaanini kuwa nipo na malaika tukimsifu mungu lakini naomba niwaambie ukweli tuu kuwa nipo jehanamu nikipata mshahara wa matendo yangu. Jemima mtoto wenu wa kwanza na wa pekee kupata kazi rasmi inayoeleweka nipo kuzimu baada ya ajali ile mbaya mnayoamini kuwa ni ya kupangwa. Ni kweli ilipangwa lakini mpangaji si binadamu bali ni SHETANI ambaye aliamua kunipandisha cheo baada ya kufurahishwa na kazi yangu niliyoifanya vyema.Naomba ieleweke kabisa hapa SIKUAJIRIWA na SHETANI bali nilikikuta nafanya kazi yake vyema hadi siku ile nilipopata ajali mbaya ya gari iliyoharibu mwili wangu na kuwapa taabu ya kuutambua mwili wangu kabla ya mazishi hadi pale njia za kitaalamu zilipotumika. "Mliumia sana". Najua kwani mlinililia sana kufikia hatua ya kupoteza fahamu kea zamu siku mnaiona maiti yangu. Mliamini nilikuwa safarini kwenda kurekodi ablam yangu ya kwanza ya nyimbo za injili nikiwa na meneja wangu aliyeamua kunidhamini kwa kila kitu,mliamini ni mtoto wa pekee niliyekuwa masaada kwenu na kwa wadogo zangu hata ndugu waliohitaji msaada ,binti niliyejitoa kwa hali na mali kusaidia ujenzi wa kanisa letu hapo kijijini, kuwashauri wasichana wenzangu kusoma na kumtumikia Mungu huku wakiheshimu wakubwa wao. Kwa kifupi nilikuwa mtu mwema kwa kila mtu hapo kijijini hata mngepewa mamlaka ya kuteua mtakatifu mgeniteua lakini leo mimi nipo kuzimu na niwakala wa SHETANI. Ukweli ni huu;- Ingawa kweli huwa naimba nyimbo za dini sikuwa njiani kuelekea studio bali nilikuwa na mume wa mtu ambaye nilimfanya aisahau familia yake kwa jinsi nilivyomchanganya na penzi langu,tulikuwa tukielekea Dar es saalam kwa ajili ya kupata starehe. Hamkulijua hili ndiyo maana hamkuisha kumlalamikia Mungu kwa kitendo cha kunichukuwa ningali Mdogo 'poleni sana kwa hilo'. Mlipoozwa na kiasi kikubwa cha fedha mlichokikuta kwenye akiba yangu lakini hamkujua tuu katika maisha yangu sijawahi kutumia mshahara wangu zaidi ya kuwachuna waume za watu waliokuwa tayari kunikabidhi mishahara yao bila uoga wowote,'hamkujua hili kutokana na umbali wetu na ufinyu wa njia za mawasiliano'. Lakini si hivyo tuu nilijikuta nimeanza kuwashawishi hata viongozi wa dini walioanza kama utani hadi wakafikia hatua ya kuligawa kanisa kule kijijini nilikofanya kazi, 'Mungu naomba uwasamehe'. Hamjui tuu kilichofanya nisifukuzwe kazi kipindi kile niliikuwa huko nyumbani kwa takribani miezi miwili ,,,niligawa penzi kutoka taifani hadi wilayani nikawa mgonjwa kweli kama nilivyomtaka yule daktari baba nani sijui aliyekufa kabla yangu nipo naye huku kwani michezo aliyocheza na wajawazito na watoto wa shule ilitosha kumleta hapa hata bila kuongezea ile tabia yake ya kuuza dawa huku wananchi wakijifia. 'Hamjui hayo mnaamini binti yenu nitakuwa nikiimba na watakatifu wengine kutokana na jinsi nilivyojipambanua kwenu'. Wasalimieni sana wadogo zangu na rafiki yangu mama Mage najua hakujua kama hata mumewe ni miongoni mwa wanaume mia tano niliwaambukiza virusi vya ukimwi na kupelekea kuzaa mtoto mwathirika, anisamehe sana natamani yawe ndoto lakini akhaaaa mumewe alizidi sana kwani mara ya kwanza alinibaka nilipoenda kisimani kipindi hata hajaoa na akanitaka nimkumbushie enzi, nipo naye anajaribu kusoma nikiandikacho bila mafanikio kwani macho yake yameungua sana. Ningependa niendelee lakini BOSI WANGU, SHETANI amenikazia macho kwa ukali. Wasalamu Mwanenu mpendwa. MWISHO.

...
NIKIKUMBUKA NAZIDI KUMPENDA ZAIDI USIACHE KUISOMA HIIlll

Na Brayton Offical Love
Zilikuwa zimepita wiki mbili tangu mwanamke mmoja arudishwe kutoka hospitalini ambako licha ya vipimo na dawa mbalimbali za kunywa,sindano na hata za kuchua hakupata afuheni ya ugonjwa alikuwa nao.Wanawe pamoja na mumewe waliamua kumpeleka katika kitongoji cha KILIMUSI eneo ambalo yeye na mumewe waliamua kupafanya nyumbani kwao licha ya nyumba walizokuwa nazo katika vijiji vingine
Wakati mwanamke huyo ambaye tabia ya kumwita kila aliyemwona MWANANGU bila ya kujali umri wake ilimfanya hata wajukuu zake na hata wakubwa wenzake kumwita mama akigalagala kwenye godoro kuukuu pale sebuleni, nje yake kulikuwepo na mwanamke mwingine ambaye naye alihangaika juu ya kipande cha mkeka akiota jua la asubuhi.Sauti yake ya upole uliochanganyika na uoga iliuliza swali moja kwa kila aliyemhisi kuwa alitokea pale sebuleni."kaka mama anaendeleaje?"aliuliza yule mwanamke wa pale nje ambaye haikuhitajika elimu ya uuguzi kujua kama alikuwa mjamzito labda kwa sisi wa enzi hizooo ambao bado tunaamini watoto hununuliwa."Hivi hivi tuombe tuu Mungu"Alijibu yule baba akionekana kukata kabisa tamaa. "Mhhh,,"aliguna yule mwanamke akimtazama usoni kaka yake mwingine ambaye alikuwa ametoka tu kufika kumwangalia mama yake lakini hali aliyokutana nayo ndani kama si kujilazimisha kujikaza kiume angeweza kulia kwa sauti.
Kiukweli hali ya mgonjwa aliyekuwa akijaribu kupambana na mauti ilimkatisha tamaa kila aliyemwona.Hakuna hata mmoja kati ya wengi waliokuwa pale kuwaza kitu kimoja tuu MSIBA wa mama ,mama ambaye watoto wake wengi na wajukuu walikuwa wakimkimbiamara tu muda wa kusali rozali ukifika kutokana na tabia yake ya kumlaazimishakuu walikuwa wakimkimbiamara tu muda wa kusali rozali ukifika kutokana na tabia yake ya kumlazimisha kila aliyekuwa jirani yake kujumuika naye kusali.Sala ndicho kitu alichokipenda huenda kupita vitu vingine japo uvivu na utoto wa wanae ndivyo vilivyowafanya wamkimbie na kumwona kama msumbufu.
''Jamani mama ameongea! Anamwita dada Kalista"ilikuwa ni sauti ambayo kwa kila aliyeisikia hakuhitaji utambulisho wa mhusika wake,Mtoto wa mwisho wa yule mama ambaye wakati wote alikuwa pembeni ya mama yake akimtaka apone huku kilio chake kikiwafanya wengi waliomwona akihangaika kumlazimisha mama yake aongee washindwe kuvumilia na waishie kutoka nje huku macho yao yakishindwa kuficha kilichokuwa moyoni mwao.
"Wanini na we Thelesia, dada yako si anaumwa halafu unampigia kelele?"Aliongea Lusida mtoto wa kwanza wa yule mama ambaye alisutwa na sauti ya mama yake ikimwita Kalista na kuwafanya wote walioisikia wakimbilie pale sebuleni wakimwangalia yule mama ambaye yeyote ambaye angefika muda ule asingeamini kama mgonjwa yule ndiye aluyesikia habari zake kuwa alisubiri tu Israel mtoa roho ampitie.
"Si nimemwita kalista nyie mnafuata nini?"aliongea yule mama akimalizis na kicheko na kumfanya mumewe awaamuru wengine kutoka kwa ishara.
"Na wewe mbona unaelekeza tuu wenzako?, basi we mume wangu ubaki" sauti yenye tumaini ilisikika kutoka kinywani mwa yule mama na kuwafanya wengine kucheka huku wakitoka pale nje.
"Niambie na mimi nitoke pengine mna siri zenu"aliongea mumewe skitishia kutoka lakini aliishia mlangoni ambapo alifunga mlango na kuketi kwenye kigoda kilichokuwa pembeni.
"Sawa mwanangu haa mume wangu"yule mama aliongea na kuziba mdomo kwa kiganja chake na kuwafanya waliokuwepo kucheka.
"Sawa mama nimekuelewa"alijibu yule baba na kupafanya pahala pale palipokuwa na huzuni muda mchache uliopita pawe pa furaha.
"Enhee mwezi wa ngapi mama?"aliuliza akimgeukia Kalista ambaye mwonekano wake ulionesha wazi alikuwa akiumia.
"Wa mwisho''alijibu kwa unyonge akikaa vyema.
"Huyo sasa ni wa kiume na utampa ng'ombe wangu mmoja, najua huamini hadi umuone maana nasikia mumeo amechachamaa anataka vidume kwani kama mahari za wale wawili zinatosha"baada kuongea maneno yale alianza kubadika na kupoteza nguvu zake alizokuwa nazo muda mchache uliopita.
"Mwanangu usiogope mtu akaribiaye kufa hupona kuaga, naona malaika wale wanakuja ,zingatia sal sa, ,sala mwanao wa kiume"Aliongea na kutulia kimya wakati huo Kalista naye alikuwa akilalamika maumivu makali hadi walipimtoa pale sebuleni kwa kumbeba na kumuingiza kwenye chumba kilichokuwa karibu.
Wakati mauti yakimshinda yule mama pale sebuleni mkunga wa jadi ambaye naye alikuwa mfiwa alikuwa akisaidia kuokoa maisha ya kiumbe ambacho leo hii kinatimiza miaka ishirini na mbili.******★******
MWISHO**--

Asanteni

NIKIKUMBUKA NAZIDI KUMPENDA ZAIDI USIACHE KUISOMA HIIlll Na Brayton Offical Love Zilikuwa zimepita wiki mbili tangu mwanamke mmoja arudishwe kutoka hospitalini ambako licha ya vipimo na dawa mbalimbali za kunywa,sindano na hata za kuchua hakupata afuheni ya ugonjwa alikuwa nao.Wanawe pamoja na mumewe waliamua kumpeleka katika kitongoji cha KILIMUSI eneo ambalo yeye na mumewe waliamua kupafanya nyumbani kwao licha ya nyumba walizokuwa nazo katika vijiji vingine Wakati mwanamke huyo ambaye tabia ya kumwita kila aliyemwona MWANANGU bila ya kujali umri wake ilimfanya hata wajukuu zake na hata wakubwa wenzake kumwita mama akigalagala kwenye godoro kuukuu pale sebuleni, nje yake kulikuwepo na mwanamke mwingine ambaye naye alihangaika juu ya kipande cha mkeka akiota jua la asubuhi.Sauti yake ya upole uliochanganyika na uoga iliuliza swali moja kwa kila aliyemhisi kuwa alitokea pale sebuleni."kaka mama anaendeleaje?"aliuliza yule mwanamke wa pale nje ambaye haikuhitajika elimu ya uuguzi kujua kama alikuwa mjamzito labda kwa sisi wa enzi hizooo ambao bado tunaamini watoto hununuliwa."Hivi hivi tuombe tuu Mungu"Alijibu yule baba akionekana kukata kabisa tamaa. "Mhhh,,"aliguna yule mwanamke akimtazama usoni kaka yake mwingine ambaye alikuwa ametoka tu kufika kumwangalia mama yake lakini hali aliyokutana nayo ndani kama si kujilazimisha kujikaza kiume angeweza kulia kwa sauti. Kiukweli hali ya mgonjwa aliyekuwa akijaribu kupambana na mauti ilimkatisha tamaa kila aliyemwona.Hakuna hata mmoja kati ya wengi waliokuwa pale kuwaza kitu kimoja tuu MSIBA wa mama ,mama ambaye watoto wake wengi na wajukuu walikuwa wakimkimbiamara tu muda wa kusali rozali ukifika kutokana na tabia yake ya kumlaazimishakuu walikuwa wakimkimbiamara tu muda wa kusali rozali ukifika kutokana na tabia yake ya kumlazimisha kila aliyekuwa jirani yake kujumuika naye kusali.Sala ndicho kitu alichokipenda huenda kupita vitu vingine japo uvivu na utoto wa wanae ndivyo vilivyowafanya wamkimbie na kumwona kama msumbufu. ''Jamani mama ameongea! Anamwita dada Kalista"ilikuwa ni sauti ambayo kwa kila aliyeisikia hakuhitaji utambulisho wa mhusika wake,Mtoto wa mwisho wa yule mama ambaye wakati wote alikuwa pembeni ya mama yake akimtaka apone huku kilio chake kikiwafanya wengi waliomwona akihangaika kumlazimisha mama yake aongee washindwe kuvumilia na waishie kutoka nje huku macho yao yakishindwa kuficha kilichokuwa moyoni mwao. "Wanini na we Thelesia, dada yako si anaumwa halafu unampigia kelele?"Aliongea Lusida mtoto wa kwanza wa yule mama ambaye alisutwa na sauti ya mama yake ikimwita Kalista na kuwafanya wote walioisikia wakimbilie pale sebuleni wakimwangalia yule mama ambaye yeyote ambaye angefika muda ule asingeamini kama mgonjwa yule ndiye aluyesikia habari zake kuwa alisubiri tu Israel mtoa roho ampitie. "Si nimemwita kalista nyie mnafuata nini?"aliongea yule mama akimalizis na kicheko na kumfanya mumewe awaamuru wengine kutoka kwa ishara. "Na wewe mbona unaelekeza tuu wenzako?, basi we mume wangu ubaki" sauti yenye tumaini ilisikika kutoka kinywani mwa yule mama na kuwafanya wengine kucheka huku wakitoka pale nje. "Niambie na mimi nitoke pengine mna siri zenu"aliongea mumewe skitishia kutoka lakini aliishia mlangoni ambapo alifunga mlango na kuketi kwenye kigoda kilichokuwa pembeni. "Sawa mwanangu haa mume wangu"yule mama aliongea na kuziba mdomo kwa kiganja chake na kuwafanya waliokuwepo kucheka. "Sawa mama nimekuelewa"alijibu yule baba na kupafanya pahala pale palipokuwa na huzuni muda mchache uliopita pawe pa furaha. "Enhee mwezi wa ngapi mama?"aliuliza akimgeukia Kalista ambaye mwonekano wake ulionesha wazi alikuwa akiumia. "Wa mwisho''alijibu kwa unyonge akikaa vyema. "Huyo sasa ni wa kiume na utampa ng'ombe wangu mmoja, najua huamini hadi umuone maana nasikia mumeo amechachamaa anataka vidume kwani kama mahari za wale wawili zinatosha"baada kuongea maneno yale alianza kubadika na kupoteza nguvu zake alizokuwa nazo muda mchache uliopita. "Mwanangu usiogope mtu akaribiaye kufa hupona kuaga, naona malaika wale wanakuja ,zingatia sal sa, ,sala mwanao wa kiume"Aliongea na kutulia kimya wakati huo Kalista naye alikuwa akilalamika maumivu makali hadi walipimtoa pale sebuleni kwa kumbeba na kumuingiza kwenye chumba kilichokuwa karibu. Wakati mauti yakimshinda yule mama pale sebuleni mkunga wa jadi ambaye naye alikuwa mfiwa alikuwa akisaidia kuokoa maisha ya kiumbe ambacho leo hii kinatimiza miaka ishirini na mbili.******★****** MWISHO**-- Asanteni

...
SIMULIZI FUPI TAMU YA KUSISIMUA :BADO NAMKUMBUKA

2 weeks ago






Na: Moringe Jonasy
 Miaka saba iliyopita, alikuwa mrembo haswa, alikuwa kila kitu kwangu, rafiki, ndugu, jirani pia mpenzi.Halikuwa jambo la ajabu nilipotafutwa aliulizwa naye alipokuwa akitafutwa nilitafutwa mie walijua tupo pamoja.Darasani tulikuwa pamoja ingawa alikuwa kidato kimoja nyuma yangu ,uwanjani wote tulicheza mpira wa wavu hata UMISETA haikututenga bali tulikuwa pamoja, mitaani ,kanisani hata siku ya disco tulicheza pamoja.Kwa kifupi tulijiona 'mwili mmoja'.....
 Si mwingine bali Alice mwanamke aliyeniingiza kwenye ulimwengu wa kikubwa kama mchezo na nikajikuta nikiufurahia ulimwengu huo, niliowakera walikuwa wengi ingawa kulikuwa na wachache waliofurahia mahusiano yetu na wengine ambao hawakujua wawe upande upi...nakumbuka wimbo wa AT na Marlow "wanimaliza" ulivuma kipindi penzi letu lipo juu.... Maskini Alice wangu, mrembo aliyekuja kujutia kitendo chake cha kunikabidhi pendo lake kwa kitendo kibaya nilichomfanyia bila kunikosea.
Kweli Alice aliyajutia maamuzi yake ya kunipenda,kuniona mwanaume sahihi wa maisha yake kuniona mtu mwenye makosa ambayo alikuwa tayari kuyavumilia.Lakini nilipoondoka na kwenda kidato cha tano kwenye shule moja jijini Mwanza nikajikuta namsahau taratibu, na nikajiona mjinga kuuona uzuri usoni na mwilini mwake.Nikaanza kuzikumbuka kasoro zake, hakuwa mweupe ,hakuwa 'modo' kama wengi niliowaona wazuri shuleni na mitaani, hakungea kiswahili kilichonivutia kama wasichana wengi darasani kwetu.
Ghafla nikamchukia kwa kunifanya nimpende na kunipotezea muda, sikumhurumia kwanza nilizichana picha zake ambazo daima nilikuwa nikizitizama kila nilipotaka kulala nikizibusu, nikachana na kuzichoma kadi zake alizokuwa akinipa tukiwa shuleni ,hata shati zuri la kisasa alilonipa siku ya mahafali yangu wala sikukumbuka, kilio chake siku tulipoagana, nikayaita yale mapenzi 'ya kitoto' nikijiambia "atakuwa kapata mwanaume mwingine bhana, mfupi ka kopo la blueband'' Kwa kifupi nilimwona si kitu lakini....! Baada ya kujifanya nimetambua kasoro za Alice mwanamke aliyejitoa kwangu kwa kila kitu, nikaanza kumtafuta wa kuziba 'mwanya' aliouacha nafsini kwani niliona hukufikia hatua ya kuacha 'pengo'.
Lakini kabla sijaamua kumuacha niliwaza visababu ambavyo ningedai vilikuwa chazo cha kumuacha lakini sikuvipata, nilijaribu kumkera 'aropoke' kwenye simu lakini wapi,nikabuni mchezo wa kumtongoza kwa namba mpya ila wapi mtoto alikuwa kaganda kwangu.Ikafika siku ambayo nilijua iwe isiwe atanaswa na nikamnasa kwa kisa ambacho leo naweza kiita cha kipumbavu eti "aliandika sms kwa herufi kubwa na hakuweka mkato na nukta", nikamuacha.Akili ikatulia kuchagua mrembo shuleni kwetu nilimfikiria Helen binti wa kihabeshi aliyechanganya damu ya Rwanda na Ethiopia lakini kukaa kwake bwenini hakunifurahisha nikamfikiria Violet Mushi dada mkuu lakini tetesi za kuwa alikuwa zaidi ya waumbuaji wa pendapenda nikaachana na fikra hizo hadi nilipomfikiria Harriet jirani yangu mtaani na darasani hapo nikaona poa lakini....!
Harriety msichana mrembo kutokea mkoani Iringa aliyekuwa akiishi na shangazi yake jirani kabisa na nilipokuwa nikiishi na familia ya baba yangu mdogo alikuwa chaguo langu kuziba nafasi ndogo aliyokuwa ameiacha Alice.Kwa kuwa nilikuwa nikisoma naye darasa moja akiwa dawati la pembeni yangu haikuwa kazi ngumu kujenga mazoea 'puuzi' yaliyopelekea ujirani nyumbani na shuleni kabla ya kufanikiwa kuuteka moyo wake 'kimiujiza' kwani tulijikuta tumekula tunda bila hata kuombana ama kuambiana kuwa tulikuwa tukipendana.Kisha tukawa wapenzi.Kipindi hicho Alice hakuacha kunipigia akiomba nimsamehe kama palikuwa ambapo alikosea ,sikutaka kujibu jumbe zake wala kupokea simu yake.Moyoni mwangu nilimweka Harriety hivyo sikutaka kuharibu penzi langu jipya kwa mwanamke ambaye nilijihisi kuwa nimepotea njia kwa kuendelea kushughulika naye, nikabadili namba ya simu kuukwepa 'usumbufu' wake lakini masikini Alice hakukata tamaa alitumia njia zote kupata namba yangu mpya na kunipigia jambo lilimfanya ujute..
Ndiyo alijuta kwani siku ile nilipojua kuwa ameipata namba yangu ya simu kupitia mdogo wangu ambaye alikuwa akisoma kidato cha kwanza na katika shule aliyokuwa akisoma Alice, nikaamua kumwachia simu Harriety ambaye hadi leo hii ninapoandika sijui alimwambia kitu gani kwani niliukuta ujumbe mmoja wa neno "Asante" kutoka kwa Alice.Sijui ni jambo gani ambalo mwanamke yule alimwambia Alice maana hata ninapoandika ujumbe huu nakumbuka sehemu ya barua hii ambayo baada ya miaka miwili ya kukaa nayo bila kuisoma nimeamua kuisoma na kugundua kuwa nilimtenda vibaya sana Alice mwanamke ambaye alinipenda sana na nahisi ananipenda hadi leo huko aliko.
Mpenzi najua unajua jinsi gani nakupenda licha ya maumivu makali uliyoniachia moyoni mwangu lakini naomba ukumbuke kuwa nakupenda na nitakupenda milele japo nina hakika siwezi kuwa wako tena.Si kwa sababu unaye ambaye anakupa kiburi na kukufanya uhisi kuwa hunihitaji tena , hapana ila ni kwa kuwa siwezi kuwa na wewe tena.Ndiyo siwezi na unaweza ukajiona huhitaji kuwa na mimi na hata ikakuchukua muda mrefu hadi kuamua kuisoma hii barua ila tambua sitoweza kuwa na wewe tena ingawa nakupenda na UNANIPENDA kwa dhati mpenzi.
Unanipenda nalijua hilo na ndiyo maana umeamua kuisoma barua hii.Umedanganywa na uzuri wa Harriety, sawa ni mzuri ila Hakupendi na wala si saizi yako huyo si wa kuolewa bali wa kufanyia mauzo , naam kila mtu anampigania afanyie mauzo mtaani na ndicho akifanyacho we hujui.
 Utajuaje wakati anakulevya na penzi lake na uzuri wake autumiao kama silaha kwako? Sitaki kukulaumu sana kwa kuwa najua ni wanaume wengi sana ambao wangemtamani Herriety hata mie ningemtani ningekuwa wanaume kama wewe.Siku nilipomwona mara ya kwanza nikajiona kabisa sistahili kushindana naye kukupenda ingawa baadaye nikatambua si mwanamke mwenye mapenzi kwako. Najua hujui ni lini na vipi nilikutana naye lakini naomba nikuambie ukweli huu mchungu kuwa Harriety hakuwa mwanamke mwaminifu, zaidi ya mara ya tatu nimemshuhudia akigombanisha wanaume kwa sababu ya usaliti wake.

Matilaba ya barua yangu si kukuambia kasoro za mpenzi wako Harriety bali ni kukuambia kuwa nakupenda na nakukumbuka pia ingawa siwezi kuwa na wewe , unajua kwanini? Nadhani hujui ingawa utakuwa unabashiri, ngoja tuu nikwambie ukweli Herriety namfahamu na nimekua naye na kucheza naye.Likizo zote tumekuwa tukishinda pamoja na alikuwa akijua wewe ni mpenzi wangu na nilikuwa nikimjua mwanaume aliyekuwa akimpenda sana ingawa tangu zamani uzuri wake umemfanya ashindwe kuikwepa mitego aliyokuwa akitegewa na wanaume "mifisi" yenye tamaa kama wewe na kujikuta akijihusisha na wanaume wengi kimapenzi bila kupenda hatimaye akaamua kuendelea na tabia hiyo.
Katika kuumia kwangu baada ta kukukosa nikaamua kumuumiza kwa kutembea na mwanaume ambaye alimpenda kwa dhati,kitendo kilichoharibu maisha yangu kwani licha ya kupata kisonono na Virusi vya UKIMWI nilikutana na kipigo kitakatifu baada ya kufumwa na mwanamke ambaye naye alikuwa akimpenda zaidi ya Herriety leo hii ninapoandika nipo Hospitalini nikijaribu kupambana na maumivu ya majeraha ya moto na visu kwani baada ya kufumwa gesti nilichomwachomwa visu vya haja na kutolewa nje nikiitiwa mwizi ambapo nikaonja kidogo maumivu ya mawe na kuchomwa kwa petroli kabla ya polisi waliokuwa doria kuniokoa. Najua utashtuka lakini kushtuka kwako hakutokiokoa na kifo kwani nisipokufa kwa mateso haya basi nikitoka hapa nitajiua maana nimetia aibu kubwa familia yangu nawe unawajua wazazi wangu.
Nikupendaye Alice, naomba usisahau kituko hiki cha mapenzi yetu ya kitoto; pale nilipokusindikiza hadi kwenu kisha nikalala chumbani kwako huku kaka yako na mdogo wako uliyekuwa ukilala naye chumba kimoja kujua. Kituko hiki hunipa tabathamu na nguvu mara chache na nikaamini unanipenda kweli.
 Nilimaliza kuisoma barua hiyo kwa tabathamu, si kwa sababu ya kufurahia mateso yake bali ni kituko ambacho hata yeye kuwa katika mateso aliweza kutabathamu.Najua hata wewe unaweza kutabathamu ngoja nikuambie. Siku moja kabla ya kwenda Mwanza kujiunga na kidato cha tano nilienda hadi shuleni ambako Alice alikuwa akisoma. Ulikuwa ni mwendo wa saa kama mbili hadi mbili na nusu, lakini kwa kuwa nilikuwa nikienda kumuaga niliyekuwa nikimpenda niliona ni kama safari fupi tuu ya kwenda chooni. Baada ya kuongea hili na lile na mpenzi wangu Alice nikataka kuondoka lakini hakukubali kuniacha niende peke yangu akadai angenisindikiza kidogo.
Nami bila hiyana nikamkubalia na tukaianza safari yetu ambayo ilijaa huba kwa kuwa ilipita kwenye njia iliyokuwa msituni hivyo upweke na ukimya wa njia ulinogesha safari. Taratibu tukiwa tumeshikana mikono wakati mwingine tukikimbuzana ama kufanyia vituko mbalimbali ili mradi kukoleza huba tukajisahau na kujihisi tulikuwa tukisafiri wote na si kusindikizana tena.Baada ya saa tatu ambapo ilikuwa saa moja tukajikuta tumekaribia nyumbani kwetu. "He! imekuwaje tumefika huku?" Aliuliza baada ya kuwa hatua kama ishirini kutoka nyumbani kwetu.
 "Sijui'' Nilimjibu nikitafakari cha kufanya. "Na sina ndugu hapa kijijini kwenu ningezuga hata kuumwa"Aliongea huku bado nafikiria lakini mara tukasikia sauti nilizozifahamu.Alikuwa baba yangu akipita njia ile ile tuliyokuwa akielekea nyumbani kwa babu huku akilalamika mie kutoonekana siku ile wakati nilikuwa na safari. Ni sauti aliyoitambua kwani ilifanana sana na yangu , bila kumweleza alikimbilia kwenye kichaka kilichokuwa karibu huku nikijifanya ninakimbia kuelekea nyumbani na mara nikakutana na baba. "Ulikuwa wapi?" Aliuliza akiwa na hasira.
"Nilienda shuleni kuna mtu alikuwa na picha zangu za mahafali" Nilimjibu nikimpa kibahasha ambacho nilikuwa nikiomba Mungu asikipokee na sijui ni Mungu ama shetani hakukipokea kwani kilikuwa na picha za Alice tuu hakukuwa na picha yangu hata moja. " Shika huko siku zote ulikuwa wapi?, tunakuambia mara nyingi uwe unajiandaa lakini hadi dakika ya mwisho unatuhangaisha nakwambia utaachwa hata siku ya kiyama" Alimalizia kwa utani ambao alikuwa akipenda kuutumia na kumfanya hata mama yangu aliyekuwa na hofu kubwa atabathamu kwani kosa langu lilionekana kama lake alikuwa akifokewa na baba tukikosea kama vile ndiye aliyekuwa akitutuma tukosee.
Yakaisha tukafikia sebuleni ambako tulikuta wanafamilia wengine wameshakula.Nikalamna kisha kikao cha wanafamilia kilifanyika kikiwahusisha wazazi kaka yangu mdogo wangu na dada zangu ambao walinipa baraka zao na mafunzo mengi ambayo nahisi hayakuniingia kwani nilikuwa namfikiria Alice kule kichakani alikokuwa amejificha. Saa tano usiku tukaingia kulala ambapo nilitakiwa kuwasubiri ndugu zangu niliokuwa nikilala nao chumba kimoja japo vitanda tofauti walale kisha nikatoka kwenda kumchukua Alice pale kichakani alipokuwa amekaa kwa saa tano.
 Ingawa alikuwa na njaa hakutamani chakula hivyo tukaingia kwa kunyata chumbani kisha kulala hadi alfajiri sana ambapo nikamtoa hadi stendi akijifanya msafiri ama anamsindikiza mtu kisha kurudi nikisaidiwa na tabia yangu ya kufanya mazoezi kila asubuhi hivyo nilivyorudi natokwa jasho hakuna aliyenishangaa kati ya wote niliokuta wameamka tayari kunisindikiza stendi. Baada ya kuoga tukaondoka na ndugu zangu hadi stendi. Nikaangaza huku na huko bila kumuona hadi pale gari lilipokaribia kuondoka nikamwona akinipungia mkono wa kwa heri kabla ya kutupa busu lake hewani nami nikimjibu kwa tabathamu. Ni kama jana hivi lakini miaka saba imepita tangu tukio hilo la kufurahisha litokee.
Hapo nikaanza kukumbuka mambo mazuri na ya kuvutia tuliyowahi kutafana na Alice hapo zile chembechembe za huba zikachipua tena na kujiona namhitaji Alice ambaye kwa barua yake amedai alilazwa zaidi ya mwezi mzima lakini ile barua nimeisoma miaka miwili baada ya kuipokea. Nikaaamua kumpigia Harriety ambaye kugombana naye kutokana na kukosea kunitumia meseji ya mwanaume mwingine ndiko kulinifanya nimkumbuke Alice na kuisoma barua yake ambayo niliipuuza kwa miaka miwili ikiwa ndani ya bahasha bila kufunguliwa. Alipokea simu na kuwa mkali kama kawaida yake akinikosea akiamini kuwa ningepoa na kumwomba msamaha kama alivyozoea hata akikosea.Nikamuuliza kama alikuwa na taarifa zozote juu Alice.
"Kumbe unajua tunafahamiana naye? pole sana Alice alifariki mwaka juzi kwa kisa cha kusikitisha sana nasikia aliiba hivyo akachomwa moto pole sana mpenzi" Aliongea kwa sauti ambayo sikuielewa kama ilikuwa ya uchungu ama kebehi. Sikumbuki kama nilifanikiwa kukata simu na chozi likanitoka nikijiona mkosefu. Ni miezi miwili baada ya kuisoma ile barua na kupata taarifa juu ta kifo cha Alice na ni siku moja tangu nitoke kuliangalia kaburi la Alice ambaye sikumwambia neno lolote zaidi ya kumweleza kuwa BADO NAMKUMBUKA kama yeye alivyodai kwenye barua kuwa Ananikumbuka. Siamini Alice kipenzi changu BADO NAKUKUMBUKA NA NITAKUKUMBUKA MILELE....

SIMULIZI FUPI TAMU YA KUSISIMUA :BADO NAMKUMBUKA 2 weeks ago  Na: Moringe Jonasy  Miaka saba iliyopita, alikuwa mrembo haswa, alikuwa kila kitu kwangu, rafiki, ndugu, jirani pia mpenzi.Halikuwa jambo la ajabu nilipotafutwa aliulizwa naye alipokuwa akitafutwa nilitafutwa mie walijua tupo pamoja.Darasani tulikuwa pamoja ingawa alikuwa kidato kimoja nyuma yangu ,uwanjani wote tulicheza mpira wa wavu hata UMISETA haikututenga bali tulikuwa pamoja, mitaani ,kanisani hata siku ya disco tulicheza pamoja.Kwa kifupi tulijiona 'mwili mmoja'.....  Si mwingine bali Alice mwanamke aliyeniingiza kwenye ulimwengu wa kikubwa kama mchezo na nikajikuta nikiufurahia ulimwengu huo, niliowakera walikuwa wengi ingawa kulikuwa na wachache waliofurahia mahusiano yetu na wengine ambao hawakujua wawe upande upi...nakumbuka wimbo wa AT na Marlow "wanimaliza" ulivuma kipindi penzi letu lipo juu.... Maskini Alice wangu, mrembo aliyekuja kujutia kitendo chake cha kunikabidhi pendo lake kwa kitendo kibaya nilichomfanyia bila kunikosea. Kweli Alice aliyajutia maamuzi yake ya kunipenda,kuniona mwanaume sahihi wa maisha yake kuniona mtu mwenye makosa ambayo alikuwa tayari kuyavumilia.Lakini nilipoondoka na kwenda kidato cha tano kwenye shule moja jijini Mwanza nikajikuta namsahau taratibu, na nikajiona mjinga kuuona uzuri usoni na mwilini mwake.Nikaanza kuzikumbuka kasoro zake, hakuwa mweupe ,hakuwa 'modo' kama wengi niliowaona wazuri shuleni na mitaani, hakungea kiswahili kilichonivutia kama wasichana wengi darasani kwetu. Ghafla nikamchukia kwa kunifanya nimpende na kunipotezea muda, sikumhurumia kwanza nilizichana picha zake ambazo daima nilikuwa nikizitizama kila nilipotaka kulala nikizibusu, nikachana na kuzichoma kadi zake alizokuwa akinipa tukiwa shuleni ,hata shati zuri la kisasa alilonipa siku ya mahafali yangu wala sikukumbuka, kilio chake siku tulipoagana, nikayaita yale mapenzi 'ya kitoto' nikijiambia "atakuwa kapata mwanaume mwingine bhana, mfupi ka kopo la blueband'' Kwa kifupi nilimwona si kitu lakini....! Baada ya kujifanya nimetambua kasoro za Alice mwanamke aliyejitoa kwangu kwa kila kitu, nikaanza kumtafuta wa kuziba 'mwanya' aliouacha nafsini kwani niliona hukufikia hatua ya kuacha 'pengo'. Lakini kabla sijaamua kumuacha niliwaza visababu ambavyo ningedai vilikuwa chazo cha kumuacha lakini sikuvipata, nilijaribu kumkera 'aropoke' kwenye simu lakini wapi,nikabuni mchezo wa kumtongoza kwa namba mpya ila wapi mtoto alikuwa kaganda kwangu.Ikafika siku ambayo nilijua iwe isiwe atanaswa na nikamnasa kwa kisa ambacho leo naweza kiita cha kipumbavu eti "aliandika sms kwa herufi kubwa na hakuweka mkato na nukta", nikamuacha.Akili ikatulia kuchagua mrembo shuleni kwetu nilimfikiria Helen binti wa kihabeshi aliyechanganya damu ya Rwanda na Ethiopia lakini kukaa kwake bwenini hakunifurahisha nikamfikiria Violet Mushi dada mkuu lakini tetesi za kuwa alikuwa zaidi ya waumbuaji wa pendapenda nikaachana na fikra hizo hadi nilipomfikiria Harriet jirani yangu mtaani na darasani hapo nikaona poa lakini....! Harriety msichana mrembo kutokea mkoani Iringa aliyekuwa akiishi na shangazi yake jirani kabisa na nilipokuwa nikiishi na familia ya baba yangu mdogo alikuwa chaguo langu kuziba nafasi ndogo aliyokuwa ameiacha Alice.Kwa kuwa nilikuwa nikisoma naye darasa moja akiwa dawati la pembeni yangu haikuwa kazi ngumu kujenga mazoea 'puuzi' yaliyopelekea ujirani nyumbani na shuleni kabla ya kufanikiwa kuuteka moyo wake 'kimiujiza' kwani tulijikuta tumekula tunda bila hata kuombana ama kuambiana kuwa tulikuwa tukipendana.Kisha tukawa wapenzi.Kipindi hicho Alice hakuacha kunipigia akiomba nimsamehe kama palikuwa ambapo alikosea ,sikutaka kujibu jumbe zake wala kupokea simu yake.Moyoni mwangu nilimweka Harriety hivyo sikutaka kuharibu penzi langu jipya kwa mwanamke ambaye nilijihisi kuwa nimepotea njia kwa kuendelea kushughulika naye, nikabadili namba ya simu kuukwepa 'usumbufu' wake lakini masikini Alice hakukata tamaa alitumia njia zote kupata namba yangu mpya na kunipigia jambo lilimfanya ujute.. Ndiyo alijuta kwani siku ile nilipojua kuwa ameipata namba yangu ya simu kupitia mdogo wangu ambaye alikuwa akisoma kidato cha kwanza na katika shule aliyokuwa akisoma Alice, nikaamua kumwachia simu Harriety ambaye hadi leo hii ninapoandika sijui alimwambia kitu gani kwani niliukuta ujumbe mmoja wa neno "Asante" kutoka kwa Alice.Sijui ni jambo gani ambalo mwanamke yule alimwambia Alice maana hata ninapoandika ujumbe huu nakumbuka sehemu ya barua hii ambayo baada ya miaka miwili ya kukaa nayo bila kuisoma nimeamua kuisoma na kugundua kuwa nilimtenda vibaya sana Alice mwanamke ambaye alinipenda sana na nahisi ananipenda hadi leo huko aliko. Mpenzi najua unajua jinsi gani nakupenda licha ya maumivu makali uliyoniachia moyoni mwangu lakini naomba ukumbuke kuwa nakupenda na nitakupenda milele japo nina hakika siwezi kuwa wako tena.Si kwa sababu unaye ambaye anakupa kiburi na kukufanya uhisi kuwa hunihitaji tena , hapana ila ni kwa kuwa siwezi kuwa na wewe tena.Ndiyo siwezi na unaweza ukajiona huhitaji kuwa na mimi na hata ikakuchukua muda mrefu hadi kuamua kuisoma hii barua ila tambua sitoweza kuwa na wewe tena ingawa nakupenda na UNANIPENDA kwa dhati mpenzi. Unanipenda nalijua hilo na ndiyo maana umeamua kuisoma barua hii.Umedanganywa na uzuri wa Harriety, sawa ni mzuri ila Hakupendi na wala si saizi yako huyo si wa kuolewa bali wa kufanyia mauzo , naam kila mtu anampigania afanyie mauzo mtaani na ndicho akifanyacho we hujui.  Utajuaje wakati anakulevya na penzi lake na uzuri wake autumiao kama silaha kwako? Sitaki kukulaumu sana kwa kuwa najua ni wanaume wengi sana ambao wangemtamani Herriety hata mie ningemtani ningekuwa wanaume kama wewe.Siku nilipomwona mara ya kwanza nikajiona kabisa sistahili kushindana naye kukupenda ingawa baadaye nikatambua si mwanamke mwenye mapenzi kwako. Najua hujui ni lini na vipi nilikutana naye lakini naomba nikuambie ukweli huu mchungu kuwa Harriety hakuwa mwanamke mwaminifu, zaidi ya mara ya tatu nimemshuhudia akigombanisha wanaume kwa sababu ya usaliti wake. Matilaba ya barua yangu si kukuambia kasoro za mpenzi wako Harriety bali ni kukuambia kuwa nakupenda na nakukumbuka pia ingawa siwezi kuwa na wewe , unajua kwanini? Nadhani hujui ingawa utakuwa unabashiri, ngoja tuu nikwambie ukweli Herriety namfahamu na nimekua naye na kucheza naye.Likizo zote tumekuwa tukishinda pamoja na alikuwa akijua wewe ni mpenzi wangu na nilikuwa nikimjua mwanaume aliyekuwa akimpenda sana ingawa tangu zamani uzuri wake umemfanya ashindwe kuikwepa mitego aliyokuwa akitegewa na wanaume "mifisi" yenye tamaa kama wewe na kujikuta akijihusisha na wanaume wengi kimapenzi bila kupenda hatimaye akaamua kuendelea na tabia hiyo. Katika kuumia kwangu baada ta kukukosa nikaamua kumuumiza kwa kutembea na mwanaume ambaye alimpenda kwa dhati,kitendo kilichoharibu maisha yangu kwani licha ya kupata kisonono na Virusi vya UKIMWI nilikutana na kipigo kitakatifu baada ya kufumwa na mwanamke ambaye naye alikuwa akimpenda zaidi ya Herriety leo hii ninapoandika nipo Hospitalini nikijaribu kupambana na maumivu ya majeraha ya moto na visu kwani baada ya kufumwa gesti nilichomwachomwa visu vya haja na kutolewa nje nikiitiwa mwizi ambapo nikaonja kidogo maumivu ya mawe na kuchomwa kwa petroli kabla ya polisi waliokuwa doria kuniokoa. Najua utashtuka lakini kushtuka kwako hakutokiokoa na kifo kwani nisipokufa kwa mateso haya basi nikitoka hapa nitajiua maana nimetia aibu kubwa familia yangu nawe unawajua wazazi wangu. Nikupendaye Alice, naomba usisahau kituko hiki cha mapenzi yetu ya kitoto; pale nilipokusindikiza hadi kwenu kisha nikalala chumbani kwako huku kaka yako na mdogo wako uliyekuwa ukilala naye chumba kimoja kujua. Kituko hiki hunipa tabathamu na nguvu mara chache na nikaamini unanipenda kweli.  Nilimaliza kuisoma barua hiyo kwa tabathamu, si kwa sababu ya kufurahia mateso yake bali ni kituko ambacho hata yeye kuwa katika mateso aliweza kutabathamu.Najua hata wewe unaweza kutabathamu ngoja nikuambie. Siku moja kabla ya kwenda Mwanza kujiunga na kidato cha tano nilienda hadi shuleni ambako Alice alikuwa akisoma. Ulikuwa ni mwendo wa saa kama mbili hadi mbili na nusu, lakini kwa kuwa nilikuwa nikienda kumuaga niliyekuwa nikimpenda niliona ni kama safari fupi tuu ya kwenda chooni. Baada ya kuongea hili na lile na mpenzi wangu Alice nikataka kuondoka lakini hakukubali kuniacha niende peke yangu akadai angenisindikiza kidogo. Nami bila hiyana nikamkubalia na tukaianza safari yetu ambayo ilijaa huba kwa kuwa ilipita kwenye njia iliyokuwa msituni hivyo upweke na ukimya wa njia ulinogesha safari. Taratibu tukiwa tumeshikana mikono wakati mwingine tukikimbuzana ama kufanyia vituko mbalimbali ili mradi kukoleza huba tukajisahau na kujihisi tulikuwa tukisafiri wote na si kusindikizana tena.Baada ya saa tatu ambapo ilikuwa saa moja tukajikuta tumekaribia nyumbani kwetu. "He! imekuwaje tumefika huku?" Aliuliza baada ya kuwa hatua kama ishirini kutoka nyumbani kwetu.  "Sijui'' Nilimjibu nikitafakari cha kufanya. "Na sina ndugu hapa kijijini kwenu ningezuga hata kuumwa"Aliongea huku bado nafikiria lakini mara tukasikia sauti nilizozifahamu.Alikuwa baba yangu akipita njia ile ile tuliyokuwa akielekea nyumbani kwa babu huku akilalamika mie kutoonekana siku ile wakati nilikuwa na safari. Ni sauti aliyoitambua kwani ilifanana sana na yangu , bila kumweleza alikimbilia kwenye kichaka kilichokuwa karibu huku nikijifanya ninakimbia kuelekea nyumbani na mara nikakutana na baba. "Ulikuwa wapi?" Aliuliza akiwa na hasira. "Nilienda shuleni kuna mtu alikuwa na picha zangu za mahafali" Nilimjibu nikimpa kibahasha ambacho nilikuwa nikiomba Mungu asikipokee na sijui ni Mungu ama shetani hakukipokea kwani kilikuwa na picha za Alice tuu hakukuwa na picha yangu hata moja. " Shika huko siku zote ulikuwa wapi?, tunakuambia mara nyingi uwe unajiandaa lakini hadi dakika ya mwisho unatuhangaisha nakwambia utaachwa hata siku ya kiyama" Alimalizia kwa utani ambao alikuwa akipenda kuutumia na kumfanya hata mama yangu aliyekuwa na hofu kubwa atabathamu kwani kosa langu lilionekana kama lake alikuwa akifokewa na baba tukikosea kama vile ndiye aliyekuwa akitutuma tukosee. Yakaisha tukafikia sebuleni ambako tulikuta wanafamilia wengine wameshakula.Nikalamna kisha kikao cha wanafamilia kilifanyika kikiwahusisha wazazi kaka yangu mdogo wangu na dada zangu ambao walinipa baraka zao na mafunzo mengi ambayo nahisi hayakuniingia kwani nilikuwa namfikiria Alice kule kichakani alikokuwa amejificha. Saa tano usiku tukaingia kulala ambapo nilitakiwa kuwasubiri ndugu zangu niliokuwa nikilala nao chumba kimoja japo vitanda tofauti walale kisha nikatoka kwenda kumchukua Alice pale kichakani alipokuwa amekaa kwa saa tano.  Ingawa alikuwa na njaa hakutamani chakula hivyo tukaingia kwa kunyata chumbani kisha kulala hadi alfajiri sana ambapo nikamtoa hadi stendi akijifanya msafiri ama anamsindikiza mtu kisha kurudi nikisaidiwa na tabia yangu ya kufanya mazoezi kila asubuhi hivyo nilivyorudi natokwa jasho hakuna aliyenishangaa kati ya wote niliokuta wameamka tayari kunisindikiza stendi. Baada ya kuoga tukaondoka na ndugu zangu hadi stendi. Nikaangaza huku na huko bila kumuona hadi pale gari lilipokaribia kuondoka nikamwona akinipungia mkono wa kwa heri kabla ya kutupa busu lake hewani nami nikimjibu kwa tabathamu. Ni kama jana hivi lakini miaka saba imepita tangu tukio hilo la kufurahisha litokee. Hapo nikaanza kukumbuka mambo mazuri na ya kuvutia tuliyowahi kutafana na Alice hapo zile chembechembe za huba zikachipua tena na kujiona namhitaji Alice ambaye kwa barua yake amedai alilazwa zaidi ya mwezi mzima lakini ile barua nimeisoma miaka miwili baada ya kuipokea. Nikaaamua kumpigia Harriety ambaye kugombana naye kutokana na kukosea kunitumia meseji ya mwanaume mwingine ndiko kulinifanya nimkumbuke Alice na kuisoma barua yake ambayo niliipuuza kwa miaka miwili ikiwa ndani ya bahasha bila kufunguliwa. Alipokea simu na kuwa mkali kama kawaida yake akinikosea akiamini kuwa ningepoa na kumwomba msamaha kama alivyozoea hata akikosea.Nikamuuliza kama alikuwa na taarifa zozote juu Alice. "Kumbe unajua tunafahamiana naye? pole sana Alice alifariki mwaka juzi kwa kisa cha kusikitisha sana nasikia aliiba hivyo akachomwa moto pole sana mpenzi" Aliongea kwa sauti ambayo sikuielewa kama ilikuwa ya uchungu ama kebehi. Sikumbuki kama nilifanikiwa kukata simu na chozi likanitoka nikijiona mkosefu. Ni miezi miwili baada ya kuisoma ile barua na kupata taarifa juu ta kifo cha Alice na ni siku moja tangu nitoke kuliangalia kaburi la Alice ambaye sikumwambia neno lolote zaidi ya kumweleza kuwa BADO NAMKUMBUKA kama yeye alivyodai kwenye barua kuwa Ananikumbuka. Siamini Alice kipenzi changu BADO NAKUKUMBUKA NA NITAKUKUMBUKA MILELE....

...
📶happy birthday you my love 

 🆗#Najua_Umejifunza_mengi________Tanguu_umekuwa_mtoto_mpaka_now_umekuwaa😘😘😘😘

#____umejionea_mengi_hapa_dunian😧😧    

    ‼‼‼#___yasikutishe_coz_god_Yuwetu_sote😍😍    #__Amini_UHAI_tu_ndo_muimu_vingine_mapito_tuuu😧😧

       #Happy_b_day____

      ❇❇my.. Best 
       ❇❇my.. Blood
        ❇❇rohoo.. Yang.. Kipenz... Changu

❔⁉⁉❔❔⁉MPAKA..Nasahau majina sijui nikuitajeee jamn rohoo ilizikeee    

 🎂🎁🎁🎂🎊🎊🎇🎉🎀🎂🎂🎂🎆

📶happy birthday you my love 🆗#Najua_Umejifunza_mengi________Tanguu_umekuwa_mtoto_mpaka_now_umekuwaa😘😘😘😘 #____umejionea_mengi_hapa_dunian😧😧 ‼‼‼#___yasikutishe_coz_god_Yuwetu_sote😍😍 #__Amini_UHAI_tu_ndo_muimu_vingine_mapito_tuuu😧😧 #Happy_b_day____ ❇❇my.. Best ❇❇my.. Blood ❇❇rohoo.. Yang.. Kipenz... Changu ❔⁉⁉❔❔⁉MPAKA..Nasahau majina sijui nikuitajeee jamn rohoo ilizikeee 🎂🎁🎁🎂🎊🎊🎇🎉🎀🎂🎂🎂🎆

...
ULISHAWAHI KUKUTANA NA MTU MWENYE UPENDO WA KWELI???

Ipo siku utakutana na mtu tofauti na ulivyozoea kuona au kusikia. Haitakuwa kwa sababu ya tabasamu lao au ucheshi wao au kwa jinsi  ya kuongea kwao au kusema majina yao. Ni kwa sababu ya njia itakayo kufanya wewe ujisikie  tofauti. hutaogopa kupenda na kupendwa.
Siku moja utakutana na Upendo utakaoufurahia.  Hutaweza kufikiria mara mbili. Hutaweza kuwa na wasiwasi kwamba anakupenda au hakupendi.
‘Utafahamu tu.
Kwa mtu huyu hutaweza kuficha tabia yako.  hutaficha madhaifu yako  na usumbufu wako. hutakuwa na mawazo ya itakuwaje kama  ata kupandia kichwani. hutakuwa na  maswali  ya kujua muhimu wake na hutakuwa na labda.
Wakati ukikutana na mtu huyu  hutaingiwa na woga.  hutaweza kufikiri fikiri kitu chochote.  hutaweza kufikiria upendo wake kwako. Na wakati anaposema hawezi kwenda mahali , utafahamu kuwa ni kweli.
Wakati huo hutasikia kukosa kitu ndani ya moyo wako,  hutasikia  upweke,  hutaweza kusikia chochote kinyume na upendo uliopo.

Ipo siku , mtu fulani atabadilisha maisha yako. kwa sababu atakuonyesha upendo wa kweli ni upi na maana ya upendo ni nini, unaonekanaje. Atakuonyesha kuwa upendo hauna mwisho. na hutamkimbia , na hutaweza kutaka  faida  zaidi. hutapigwa na wala kupata maumivu yasio na msingi.
Ipo siku Hutaogopa kupata maumivu. Hutaogopa kuacha tena.  kwa kupoteza kipande cha moyo wako  na roho yako. hutaogopa tena kutoa na kutoa upendo wako .
Siku moja utapumua kwa urahisi kwa kufahamu kuwa huyo mtu hataondoka . Utapumua vizuri kwa kujua kwamba upendo huo utadumu.  Huyo mtu hatakutelekeza na wala hataweza kukukimbia. Utafahamu toka moyoni mwako kwamba upendo huo hautakuumiza.
Utaweza kuishi, kucheka, kulia  na kupumua kwa urahisi ukiwa pembeni ya mtu huyo. Utajifahamu na kujiona vizuri.  Utaweza kumuonyesha makovu,  na vidonda ulivyonavyo na kwa kuwa vimepona.  Utaweza kumuonyesha mtu huyo  moyo wako wote kwa kujua kuwa hawezi kukuacha.
Ipo siku utajikuta unaamka mikononi  mwake, ukiwa karibu yake kwa upendo , katika maisha yako. hutakuwa na wasiwasi . hutaogopa.  hutasikia uzito wa kupumua tena.
Utahisi upendo ndani yako. mwisho utagundua Upendo halisi.
Washirikishe wengi.

ULISHAWAHI KUKUTANA NA MTU MWENYE UPENDO WA KWELI??? Ipo siku utakutana na mtu tofauti na ulivyozoea kuona au kusikia. Haitakuwa kwa sababu ya tabasamu lao au ucheshi wao au kwa jinsi ya kuongea kwao au kusema majina yao. Ni kwa sababu ya njia itakayo kufanya wewe ujisikie tofauti. hutaogopa kupenda na kupendwa. Siku moja utakutana na Upendo utakaoufurahia. Hutaweza kufikiria mara mbili. Hutaweza kuwa na wasiwasi kwamba anakupenda au hakupendi. ‘Utafahamu tu. Kwa mtu huyu hutaweza kuficha tabia yako. hutaficha madhaifu yako na usumbufu wako. hutakuwa na mawazo ya itakuwaje kama ata kupandia kichwani. hutakuwa na maswali ya kujua muhimu wake na hutakuwa na labda. Wakati ukikutana na mtu huyu hutaingiwa na woga. hutaweza kufikiri fikiri kitu chochote. hutaweza kufikiria upendo wake kwako. Na wakati anaposema hawezi kwenda mahali , utafahamu kuwa ni kweli. Wakati huo hutasikia kukosa kitu ndani ya moyo wako, hutasikia upweke, hutaweza kusikia chochote kinyume na upendo uliopo. Ipo siku , mtu fulani atabadilisha maisha yako. kwa sababu atakuonyesha upendo wa kweli ni upi na maana ya upendo ni nini, unaonekanaje. Atakuonyesha kuwa upendo hauna mwisho. na hutamkimbia , na hutaweza kutaka faida zaidi. hutapigwa na wala kupata maumivu yasio na msingi. Ipo siku Hutaogopa kupata maumivu. Hutaogopa kuacha tena. kwa kupoteza kipande cha moyo wako na roho yako. hutaogopa tena kutoa na kutoa upendo wako . Siku moja utapumua kwa urahisi kwa kufahamu kuwa huyo mtu hataondoka . Utapumua vizuri kwa kujua kwamba upendo huo utadumu. Huyo mtu hatakutelekeza na wala hataweza kukukimbia. Utafahamu toka moyoni mwako kwamba upendo huo hautakuumiza. Utaweza kuishi, kucheka, kulia na kupumua kwa urahisi ukiwa pembeni ya mtu huyo. Utajifahamu na kujiona vizuri. Utaweza kumuonyesha makovu, na vidonda ulivyonavyo na kwa kuwa vimepona. Utaweza kumuonyesha mtu huyo moyo wako wote kwa kujua kuwa hawezi kukuacha. Ipo siku utajikuta unaamka mikononi mwake, ukiwa karibu yake kwa upendo , katika maisha yako. hutakuwa na wasiwasi . hutaogopa. hutasikia uzito wa kupumua tena. Utahisi upendo ndani yako. mwisho utagundua Upendo halisi. Washirikishe wengi.

...
'SOMA STORY HII FUPI KISHA UJIFUNZE' 

              *INAITWA*

    _______MSOMI!?.________

SEHEMU: Mwanzo/Mwisho....

          __UTANGULIZI__
 
MSOMI;Ni neno ambalo linawafanya watu hususani vijana ambao wameweza kufika vyuo vikuu kuwa watu wa majigambo sana mbele ya jamii zao na hata wengine udiriki kufikia hatua ya kusahau marafiki zake ambao alicheza nao ilimradi tu anamarafikia zake wasomi, Na pia vijana wengi wanapofika vyuoni hubadirika kabisa tabia...

   TUWEMO KATIKA MKASA HUU WENYE UHALISIA WA KWELI...

 Ilikuwa ni siku ambayo nilikua mtaani kwetu baada ya kupata likizo fupi,kijana mmoja ambaye nilikuwa nimecheza nae mpira kipindi cha nyuma nikiwa katika shule ya primary alinifuata na kutaka kusalimiana  na mimi kitendo cha kunifuata nilitoka katika kiti ambacho nilikuwa nimekaa kijana huyo akuonekana kuwa na wazo lolote kunihusu mimi kwani baada ya kutoka katika kiti hicho alinipa mkono ili niweze kusalimiana nae lakini sikudhubuti hata kidogo kwamaana alionekana mchafu ukilinganisha kwa jinsi nilivyokuwa mimi.
'Denisi mbona uko hivyo siku hizi au kwasababu uko chuo nini'!?. Kijana huyo aliongea huku akiwa anaonekana waziwazi kuwa amechukizwa kitendo hicho,mimi kwenye nafsi yangu ilifurahi sana baada ya kuona kijana huyo aliyeonekana kunishadadia kuona kuwa amechukizwa na hicho kitenda na kweli kijana huyo aliondoka na kuniacha nikiwa naendelea kuchati na wasomi wenzangu.

Baada ya muda nilirudi nyumbani kitendo cha kuingia ndani mama alianza kulalamika huku akilaani vitendo vyangu 'Jamani mwanangu huoni haya unashika simu za laki tano na pia unavaa nguo za fasheni huku ukijua wazi maisha tulionayo sisi mimi na babaako tumekusomesha kwa shida ila leo hii unadiriki kutotutumia pesa japo kidogo maana najua wazi ulipata mkopo'!?. Mama aliongea huku akionekana kuchukizwa na hicho kitendo. 'Mama ehee mimi sina hela labda mpaka niajiliwe ndo nitaanza kutoa hela mama,mjini kupendeza mama ama unataka mwanao nivae nguo zilizochakaa'. Nilimjibu mama huku nikiwa nimemtazama usoni kwa kumuhesabu.
'Mwanangu mpaka unafikia hatua ya kunijibu hivyo kwanza unajua wazi nyumba hii inavuja kitendo cha kutuma hela japo kidogo watengeneze bati ni kazi kwako kweli babaako anahaki ya kukukataa kwa tabia zako hizo'!?. Mama aliongea huku akiwa anaonekana kuchukizwa na majibu yangu mimi nikiwa sina ili wala lile niliingia ndani baada ya kuingia ndani nikimkuta Baba akiwa amekaa sebuleni nilisarimu baada ya kumsalimia nilimpita na kwenda chumbani.

   _MWISHO WA LIKIZO_

Nikiwa najiandaa kwa safari ya kwenda kwenye kituo cha mabasi ili niweze kupanda basi la kwenda Mwanza na hatimae niende moja kwa moja katika chuo ambacho nilikuwa nasomea CHUO CHA SAUTI, na kweli basi nilipata baada ya kufika katika kituo cha mabasi nilipanda basi na hatimae niliweza kufanikiwa kufika katika Chuo hicho,baada ya kufika chuoni niliweza kukutana na marafiki zangu tulipeana ongera nyingi za kufanikiwa kufika chuoni na baada ya kupeana ongera nyingi kila mwanafunzi wa chuo alienda mpaka kwenye Mabweni ambayo yalikuwa karibu na sehemu ya chuo.
'Jamani leo hii kuna nguo fulani na imetoka na ni bonge la nguo hakika ukilivaa lazima mademu wakukubari!?.Alikuwa ni kijana mmoja ambaye alikuwa rafiki angu aliongea huku tukiwa tunasukumizia mizigo kuingia ndani ya chumba hicho na baada ya kusema hivyo alinipa simu ake kweli nguo ilionekana kutoka ilikuwa ni nzuri sana.
'Kijana kwasasa mkopo wa serikali haujatoka hivyo sijui mademu watatukomaje sasa'!?. Nilimjibu huku nikiwa  naonekana mwenye shauku ya kuipata hiyo nguo.'Usiwe na shaka kuna kampuni imejitokeza kuwa itakuwa inakopesha wanafunzi wa vyuo vikuu na baada ya kumaliza unarudisha mkopo huo'. Rafiki angu huyo aliongea huku akiwa anatoka kwenye chumba hicho na kunivuta na mimk kunitoa nje sikuweza kujua tunaenda wapi na mara kwa mbele niliweza kuona jengo kubwa rafiki angu aliniingiza kwenye ilo jengo.

Baada ya kufika wafanyakazi wa sehemj hiyo walituchangamkia sana na rafikia angu cha ajabu alidai kuwa anataka mkopo wa milioni moja na nusu waliweza kumpatia na mimi kuona hivyo na mimj niliomba mkopo huohuo cha ajabu sheria ya kampuni hiyo aikuwa ngumu sana kwa wanafunzi kwani ulikuwa unawapa namba za simu na namba za akaunti za chuo, kila mtu alitoka na kitita cha hela nyingi tuliingia supermarket na kununua nguo zilizokuwa zimeingia baada ya kununua tulibakiwa na kiasi fulani cha pesa hivyo kila mtu alitoka kwenye supermarket hiyo, Kitendo cha kutok katika supermarket wingu lilitanda kukaonekana kuwa kutakuwa na mvua ya hatari sana na kweli mvua ilianza kunyesha ya hatari sana. Ilitubidi kurudi kwenye supermarket hiyo baada ya kuingia mara simu angu ilianza kuita baada ya kuitazama ilikuwa ni simu kutoka kwa mama nilijua wazi kuwa anataka hela hivyo ikanibidi kuiweka blacklist ili akipiga simu yake isifanikiwa kunifikia. Na kweli baada ya kufanya hivyo sikuweza kusikia tena simu ake na kipindi hicho mvua iliendelea kunyesha ila baada ya masaa mawili ilikatika baada ya kukatika tulitoka katika supermarket hiyo na kuelekea mpaka kwenye chumba ambacho tulikuwa tunalala. Na hatimae niliweza kuitoa namba ya mamangu blacklist cha ajabu baada ya kuitoa nilikuta ujumbe wa kustaajabiaha ambao ulisema hivi'DENISI WAZAZI WAKO ATUNAO TENA DUNIANI'!?. Kitendo cha kuoma ujumbe huo mara akili alibadirika palepale na kuanza kujifikilia jinsi ya vifo vya wazazi wangu vilivyotokea.

Nilizitazama hela nilizokuwa nazo baada ya kuzitazama nikitoka katika chumba hicho huku nikimuacha rafikj angu aliyekuwa akipnekana kuchoka nilipanda bajaji mpaka kwenye kituo cha mabasi na kwa bahati nzuri niliweza kukuta basi moja tu lililokuwa likija Bukoba hivyo nililipanda baada ya kulipanda nilikuja nalo mpaka kwenye kituo cha mabasi ya Bukoba baada ya kufika nilikodi pikipiki mpaka nyumbani na kweli nilikuta nyumba yetu imebomoka na baada ya kufika katika sehemu hiyo nilianza kulia na kila mtu alionekana wazi kunisota miili ya mamaangu ilitolewa kwenye nyumba hiyo baada ya maji kupungua katika sehemu hiyo. Nilitoa hela ili watu waweze kuwazika wazazi wangu baada ya kuonekan wazazi wangu kutoa harufu mbaya, nilihuzunika sana na sikuwa na jinsi ya kufanya ila niliyakumbuka maneno ya mama mpaka leo hii nikiwa mtaani huwa  nakumbuka maneno yake kwamaana baada ya wazazi wangu sikuwa na nauli ya kurusi chuo na nilichukia chuo hadi leo hii nayaandika haya MSOMI NI ILE YA MTU KUSOMA MANENO YA MTU, na vijana wengi tunapotoshwa sana baada ya kufika chuo na kujiona kuwa wewe ni mtu wa tofauti katika jamii...

  JIFUNZE;
Tabia ambazo unazikuta katika sehemu fulani kama hazina tija jitahidi kuachana nazo tafuta tabia ambazo zina maana ili ziweze kukusaidia maishani mwako na yasije kukutokea mambo yaliyonitokea mimi!!?...

     Ukipenda story kama hizi karibu kwenye page yangu inayoitwa 

STORY ZA KUSISIMUA&MIKASA

 #KARIBUNI_NYOTEEEE#

'SOMA STORY HII FUPI KISHA UJIFUNZE' *INAITWA* _______MSOMI!?.________ SEHEMU: Mwanzo/Mwisho.... __UTANGULIZI__ MSOMI;Ni neno ambalo linawafanya watu hususani vijana ambao wameweza kufika vyuo vikuu kuwa watu wa majigambo sana mbele ya jamii zao na hata wengine udiriki kufikia hatua ya kusahau marafiki zake ambao alicheza nao ilimradi tu anamarafikia zake wasomi, Na pia vijana wengi wanapofika vyuoni hubadirika kabisa tabia... TUWEMO KATIKA MKASA HUU WENYE UHALISIA WA KWELI... Ilikuwa ni siku ambayo nilikua mtaani kwetu baada ya kupata likizo fupi,kijana mmoja ambaye nilikuwa nimecheza nae mpira kipindi cha nyuma nikiwa katika shule ya primary alinifuata na kutaka kusalimiana na mimi kitendo cha kunifuata nilitoka katika kiti ambacho nilikuwa nimekaa kijana huyo akuonekana kuwa na wazo lolote kunihusu mimi kwani baada ya kutoka katika kiti hicho alinipa mkono ili niweze kusalimiana nae lakini sikudhubuti hata kidogo kwamaana alionekana mchafu ukilinganisha kwa jinsi nilivyokuwa mimi. 'Denisi mbona uko hivyo siku hizi au kwasababu uko chuo nini'!?. Kijana huyo aliongea huku akiwa anaonekana waziwazi kuwa amechukizwa kitendo hicho,mimi kwenye nafsi yangu ilifurahi sana baada ya kuona kijana huyo aliyeonekana kunishadadia kuona kuwa amechukizwa na hicho kitenda na kweli kijana huyo aliondoka na kuniacha nikiwa naendelea kuchati na wasomi wenzangu. Baada ya muda nilirudi nyumbani kitendo cha kuingia ndani mama alianza kulalamika huku akilaani vitendo vyangu 'Jamani mwanangu huoni haya unashika simu za laki tano na pia unavaa nguo za fasheni huku ukijua wazi maisha tulionayo sisi mimi na babaako tumekusomesha kwa shida ila leo hii unadiriki kutotutumia pesa japo kidogo maana najua wazi ulipata mkopo'!?. Mama aliongea huku akionekana kuchukizwa na hicho kitendo. 'Mama ehee mimi sina hela labda mpaka niajiliwe ndo nitaanza kutoa hela mama,mjini kupendeza mama ama unataka mwanao nivae nguo zilizochakaa'. Nilimjibu mama huku nikiwa nimemtazama usoni kwa kumuhesabu. 'Mwanangu mpaka unafikia hatua ya kunijibu hivyo kwanza unajua wazi nyumba hii inavuja kitendo cha kutuma hela japo kidogo watengeneze bati ni kazi kwako kweli babaako anahaki ya kukukataa kwa tabia zako hizo'!?. Mama aliongea huku akiwa anaonekana kuchukizwa na majibu yangu mimi nikiwa sina ili wala lile niliingia ndani baada ya kuingia ndani nikimkuta Baba akiwa amekaa sebuleni nilisarimu baada ya kumsalimia nilimpita na kwenda chumbani. _MWISHO WA LIKIZO_ Nikiwa najiandaa kwa safari ya kwenda kwenye kituo cha mabasi ili niweze kupanda basi la kwenda Mwanza na hatimae niende moja kwa moja katika chuo ambacho nilikuwa nasomea CHUO CHA SAUTI, na kweli basi nilipata baada ya kufika katika kituo cha mabasi nilipanda basi na hatimae niliweza kufanikiwa kufika katika Chuo hicho,baada ya kufika chuoni niliweza kukutana na marafiki zangu tulipeana ongera nyingi za kufanikiwa kufika chuoni na baada ya kupeana ongera nyingi kila mwanafunzi wa chuo alienda mpaka kwenye Mabweni ambayo yalikuwa karibu na sehemu ya chuo. 'Jamani leo hii kuna nguo fulani na imetoka na ni bonge la nguo hakika ukilivaa lazima mademu wakukubari!?.Alikuwa ni kijana mmoja ambaye alikuwa rafiki angu aliongea huku tukiwa tunasukumizia mizigo kuingia ndani ya chumba hicho na baada ya kusema hivyo alinipa simu ake kweli nguo ilionekana kutoka ilikuwa ni nzuri sana. 'Kijana kwasasa mkopo wa serikali haujatoka hivyo sijui mademu watatukomaje sasa'!?. Nilimjibu huku nikiwa naonekana mwenye shauku ya kuipata hiyo nguo.'Usiwe na shaka kuna kampuni imejitokeza kuwa itakuwa inakopesha wanafunzi wa vyuo vikuu na baada ya kumaliza unarudisha mkopo huo'. Rafiki angu huyo aliongea huku akiwa anatoka kwenye chumba hicho na kunivuta na mimk kunitoa nje sikuweza kujua tunaenda wapi na mara kwa mbele niliweza kuona jengo kubwa rafiki angu aliniingiza kwenye ilo jengo. Baada ya kufika wafanyakazi wa sehemj hiyo walituchangamkia sana na rafikia angu cha ajabu alidai kuwa anataka mkopo wa milioni moja na nusu waliweza kumpatia na mimi kuona hivyo na mimj niliomba mkopo huohuo cha ajabu sheria ya kampuni hiyo aikuwa ngumu sana kwa wanafunzi kwani ulikuwa unawapa namba za simu na namba za akaunti za chuo, kila mtu alitoka na kitita cha hela nyingi tuliingia supermarket na kununua nguo zilizokuwa zimeingia baada ya kununua tulibakiwa na kiasi fulani cha pesa hivyo kila mtu alitoka kwenye supermarket hiyo, Kitendo cha kutok katika supermarket wingu lilitanda kukaonekana kuwa kutakuwa na mvua ya hatari sana na kweli mvua ilianza kunyesha ya hatari sana. Ilitubidi kurudi kwenye supermarket hiyo baada ya kuingia mara simu angu ilianza kuita baada ya kuitazama ilikuwa ni simu kutoka kwa mama nilijua wazi kuwa anataka hela hivyo ikanibidi kuiweka blacklist ili akipiga simu yake isifanikiwa kunifikia. Na kweli baada ya kufanya hivyo sikuweza kusikia tena simu ake na kipindi hicho mvua iliendelea kunyesha ila baada ya masaa mawili ilikatika baada ya kukatika tulitoka katika supermarket hiyo na kuelekea mpaka kwenye chumba ambacho tulikuwa tunalala. Na hatimae niliweza kuitoa namba ya mamangu blacklist cha ajabu baada ya kuitoa nilikuta ujumbe wa kustaajabiaha ambao ulisema hivi'DENISI WAZAZI WAKO ATUNAO TENA DUNIANI'!?. Kitendo cha kuoma ujumbe huo mara akili alibadirika palepale na kuanza kujifikilia jinsi ya vifo vya wazazi wangu vilivyotokea. Nilizitazama hela nilizokuwa nazo baada ya kuzitazama nikitoka katika chumba hicho huku nikimuacha rafikj angu aliyekuwa akipnekana kuchoka nilipanda bajaji mpaka kwenye kituo cha mabasi na kwa bahati nzuri niliweza kukuta basi moja tu lililokuwa likija Bukoba hivyo nililipanda baada ya kulipanda nilikuja nalo mpaka kwenye kituo cha mabasi ya Bukoba baada ya kufika nilikodi pikipiki mpaka nyumbani na kweli nilikuta nyumba yetu imebomoka na baada ya kufika katika sehemu hiyo nilianza kulia na kila mtu alionekana wazi kunisota miili ya mamaangu ilitolewa kwenye nyumba hiyo baada ya maji kupungua katika sehemu hiyo. Nilitoa hela ili watu waweze kuwazika wazazi wangu baada ya kuonekan wazazi wangu kutoa harufu mbaya, nilihuzunika sana na sikuwa na jinsi ya kufanya ila niliyakumbuka maneno ya mama mpaka leo hii nikiwa mtaani huwa nakumbuka maneno yake kwamaana baada ya wazazi wangu sikuwa na nauli ya kurusi chuo na nilichukia chuo hadi leo hii nayaandika haya MSOMI NI ILE YA MTU KUSOMA MANENO YA MTU, na vijana wengi tunapotoshwa sana baada ya kufika chuo na kujiona kuwa wewe ni mtu wa tofauti katika jamii... JIFUNZE; Tabia ambazo unazikuta katika sehemu fulani kama hazina tija jitahidi kuachana nazo tafuta tabia ambazo zina maana ili ziweze kukusaidia maishani mwako na yasije kukutokea mambo yaliyonitokea mimi!!?... Ukipenda story kama hizi karibu kwenye page yangu inayoitwa STORY ZA KUSISIMUA&MIKASA #KARIBUNI_NYOTEEEE#

...
Pumzika Kwa Amani Mwanangu Fred, Damu Yako Bado Imeganda Viganjani Mwangu


Nilirudi nyumbani nikiwa nimechelewa sana na kama kawaida nilijua siku hiyo ilikuwa ni kipigo tu, kusema kweli nilikuwa nimechoka, sikuchoka kwa kipigo bali nilichoka kutokana na kazi nilizokuwa nimefanya siku hiyo. Nikisema kazi simaanishi kazi zile za ofisini, hapana, mimi si mfanyakazi, si kwamba si kusoma hapana, nina shahada yangu mfukoni ambayo niliisotea mika mingi darasani.
Baada ya kuolewa na kupata mimba nikiwa bado sijapata kazi basi niliamua kumlea mwanangu kwanza na baada ya mtoto kuwa mkubwa nilipotaka kutafuta kazi mume wangu alikataa. Kama wanaume wengi aliniuliza “Kwani unakosa nini hapa? Au unataka uende ukafanye umalaya wako huko?” Kusema kweli sikuwa nikikosa chochote kwani mume wangu ni mtu mkubwa sana serikalini.
Kwakuwa nilikuwa nikipata kila kitu basi hata sikusisitizia sana kuitafuta hiyo ajira, nilivumilia tu na Mungu akajaalia nikapata mtoto wapili na watatu. Miaka kumi na mbili kwenye ndoa sasa na tangu siku ya kwanza kuna vitu vingi vimebadilika kasoro kitu kimoja tu, kupigwa karibu kila siku ya Mungu.
Nilivumilia kupigwa mpaka kufikia hatua ya kuona kama kitu cha kawaida, nikaanza kuona kama sehemu ya majukumu ya ndoa, kupigwa. Mpaka sasa bado naona hata aibu kuvua nguo mbele za wanawake wenzangu kutokana na mistari ya mikanda, fimbo na makovu ya maumivu ya kila siku. Lakini kama walivyo wanawake wengi ambao wako kwenye hali kama yangu nilikuwa navumilia kila siku nikikesha nikiomba labda Mungu atambadilisha lakini wapi?
Sitaki kuelezea sana niliyopitia lakini niseme tu Mume wangu hakuanza tu kunipiga baada ya ndoa, hapana alikua akinipiga hata kipindi cha uchumba. Yaani kila nilipokuwa nikimfumani alinipiga na kuniomba msamaha. Hapa pia naomba mnielewe ninaposema kupigwa simaanishi kupigwa makofi mawili matatu, namaanisha kupigwa kama mbwa.
Lakini nilikuwa nampenda na nilivumilia na kila mara aliniahidi kubadilika lakini ilimchukua muda sana kubadilika na kuacha kunipiga. Tuachane na hayo turudi katika siku ambayo sitakuja kuisahau katika maisha yangu yote na siku ambayo naijutia na iliyonilazimisha kuandika hiki ninachoandika ili kama na wewe uko kwenye hali  kama yangu usisubiri ya kukute ndiyo ujutie.
******
Siku hiyo nilikuwa nimechoka sana kwani baada ya kumkaliza shughuli za pale nyumbani nilipigiwa simu kuwa Mama anaumwa, alikuwa amelazwa Muhimbili akishindwa kupumua. Alikuwa na pumu ya muda mrefu hivyo harakaharaka nilienda kumuangalia. Mchakato wa kuhangaika na madaktari, mchakato wa kuenda kutafuta dawa mji mzima ulinifanya kuchoka sana.
Nilijaribu kumpigia simu mume wangu ili kumuambia lakini hakupatikana hivyo nilimtumia meseji kuwa Mama anaumwa na kalazwa Muhimbili. Sikukumbuka tena kumtafuta kwani akili haikuwepo, mpaka usiku ule wa saa tatu natoka Muhimbili mume wangu alikuwa bado hajanipigia simu na kila nikimtafuta kwenye simu yake alikua hapatikani, sijui kwanini lakini laini zake zote mbili zilikuwa hazipatikani.
Kwa maana hiyo nilijua kua alikuwa hafahamu kuhusu Mama hivyo nikifika nilikuwa na kazi ya kujielezea na kama asingeelewa nilishajiandaa kwa kipigo. Nilifika nyumbani na kufunguliwa na mfanyakazi wa ndani, mume wangu alikuwa chumbani, tangu saa kumi na mbili aliporejea na kunikosa aliingia chumbani na hakukuwa na mtu wa kumsemesha.
Mtoto wangu wa mwisho wa miaka mitatu ambaye bado alikuwa hajaanza kumuogopa Baba yake ndiyo alikuwa anaweza kuingi chumbani lakini naye alikuwa ameshalala hivyo alikuwa apeke yake tu huko chumbani. Niliingia kwa uoga na kumsalimia lakini hakujibu. “Nilikuwa muhimbili Mama anaumwa kalazwa…” Ilibidi nijiongeleshe tu ili ajue asbabu ya mimi kuchelewa.
Image result for black woman funeral
Lakini haikusaidia aliendelea kukaa kimya akisoma kitabu chake ambacho hata sikumbuki kilikua kitabu gani. Nilivua nguo harakaharaka ili kuingia bafuni kuoga, lakini nikiwa nimefunga khanga moja nilimuona akisimama.
“Huyo Mama yako ndiyo amekuoa, inamaana unaweza kuondoka humu ndani bila ruhusa yangu? Umefundwa wewe? Unajifanya sijui ujinga unaofanya unajifanya umetoka Hospitali! Hospitali kitu gani?” Alianza kuongea kwa hasira, nilianza kujitetea lakini ndiyo nilikua nimeuwasha moto, alianza kunipiga makofi na kunisukuma, nilidondoka chini alinifuata kulekule na kunishika nywele zangu ndefu akaanza kuzivuta kunisimamisha.
Maumivu niliyoyapata siwezi simulia, kama ni mwanamke unasuka rasta unajua ni namna gani kcihwa kinauma na kuvuta unaposuka tu sasa hembu vuta picha mtu anashika nywele zako na kukunyanyua juu juu kama karatasi. Nilishindwa kuvumilia, nilipiga kelele huku nikimsukuma, ingawa ikumsukuma kwa nguvu lakini aliteleza na kudondokea kitandani.
“Unanipigaee! Yaani unanirudishia! Umeota mapembe eeeh! Sasa ngoja nikuonyeshe!” Aliongea kwa hasira akiwa bado palepale kitandani, alianza kuvua mkanda huku akiangalia ni kitu gani kingine rahisi cha kuokota na kunipiga nacho, sijui kwanini lakini nilijikuta naanza kukimbia kuelekea sebuleni. Haikuwa kawaida yangu mara zote huwa akinipiga nakimbilia chumbani ili watoto wasione lakini siku ile nilikuwa nimechoka na nilijua kipigo chake kitakua cha mbwa.
*******
Alinifuata kule kule sebuleni na wakati nikipita nikiijaribu kufungua mlango wa nnje ilinitoke alishanifikia, alianza kunipiga makofi na kunichapa kwakutumia mkanda. Nilikua nikipiga kelele lakini hakukuwa na mtu wa kunisaidia. Nilikuwa na mfanyakazi wa ndani ambaye ni binti mdogo alikua anogopa, mwanangu wa kiume Fred ndiyo kwanza alikua na miaka kumi akifuatiwa na kabinti ka miaka sita, wote walikwa wamesimama wanaangalia tu huku wakilia.
Alinivuta na kunidondoshea kwenye kochi, kanga moja niliyokuwa nimejifunga ilivuka na kubaki kama nilivyozaliwa hakujali, aliendelea kunipiga makofi akiniinamia pale huku akipiga kelele kuwaambia watoto waingie ndani lakini Fredrick mtoto wangu hakukubali. Namaani alishachoka ile hali ya mimi kupigwa pigwa kila siku, sijui alipata wapi ujasiri lakini alienda na kuokota blenda ambayo ilikuwa juu ya meza ya chakula alikuja nayo kwa kasi na kumpiga Baba yake mgongoni.
“Muache Mama! Utamuua Muache…” Alionge akwa hasira huku akitaka tena kunyanyua kumpiga Baba yake, lakini Baba yake alishageuka aliikamata ile Blenda na kwa hasira alimrudishia kumpiga na moja kwa moja ilimdondokea kichwani. Kimya Fred alidondoka chini na damu kuanza kutiririka, mume wangu alibaki ameduwaa, nikiwa uchi vilevile nilinyanyuka na kwenda kumuangalia, alikuwa hatikisiki, macho yamemtoka, damu zinamtoka puami na mdomoni.
“Mume wangu umeua! Mume wangu umeua!” Nilianza kupiga kelele kujaribu kumuamsha mwanangu lakini hakuamka. Mume wangu nguvu zilimuishia na kukaa chini, hakusogea hata kumshika mtoto kuuangalia mapigo ya moyo, machozi yalianza kumtoka kama mtoto mdogo. Mfanyakazi alitoka nilimuamsha mume wangu ili tumpeleke mtoto hospitalini ndipo alipozinduka na kunaynyuka kwenda kuwasha gari.
Nilitaka kutoka vilevile nikiwa uchi mpaka mfanyakazi nitolea nguo nikavaa. Tulifika hospitalini na kuambikuwa ameshafariki. Hospitalini sijui nini kilifanyika kwani hakukuwa na cha PF3 wala nini, wakati huo akili yangu haikuwa sawa hivyo sikujali mambo hayo lakini nilijua wakati tunajiandaa na mazishi. Kila nilipowaambia watu kilichotokea waliniona kama kichaa kwani maelezo yaliyotolewa kua mwanangu alifariki kwa ajali ya gari.
Sio maelezo tu bali pia mfanyakazi wa ndani alisema hivyo hivyo, mashahidi wapekee niliokua nao ni mtoto wangu wa miaka sita na mwingine wa miaka mitatu. Haiishii hapo gari lililopata ajali lilikuwepo, sijui mume wangu alifanya nini lakini gari lake alilokuwa akitumia lilikuwa limeboindekabondeka kama vile limegonga mti.
Ili kuwaaminisha watu badala basi hata ya kupelekwa gereji lilivutwa mpaka nyumbani na ndani kulikuwa na damu zimegandia sijui hata zilitoka wapi kwani zilikuwa ni nyingi tena siti ya mbele wakati tulitumia gari jingine kwenda hospitali. Ilinibidi tu kunyamaza kwani nilijua hakuna namna ambavyo ningeweza kumfanya mume wangu kulipa kwa aliyoyafanya. Hakuomba msamaha zaidi yua vitisho kuwa nikisema ataniua huku akinitishia kwa kuwadhuru watoto.
Bado niko kwenye ndoa na sina pakwenda, sipo kwaajili ya pesa bali kwaajili ya wanangu. Sijui ni nini kitatokea kama nikiondoka kwani ameshakataa katakata kuniruhusu niondoke nao. Nimwaka wa pili sasa tunaishi kama kaka na dada, sina furaha na sitegemei kuipata. Nalea tu wanangu na nimeshakata tamaa ya maisha.
Nimeamua kuandika kisa changu hiki ili wanawake wengine kujua kuwa unapokubali kupigwa na mwanaume hubebi maumivu peke yako. Wanao wanaona hata kama unaficha vipi na unawaathiri, wanakupenda na wanaumeia unavyoteswa kwani wewe ni Mama yao. Hembu wewe fikiria mtu anampiga Mama yako halafu huwezi kumtetea utajisikiaje.
Image result for black woman funeral
Simlaumu mume wangu kwa kifo cha mwanangu, halikuwa Kosa Lake. Kosa lilikuwa la kwangu kuvumilia mateso, kuona kipigo kama sehemu ya ndoa. Ningeondoka mapema, ningekataa kipigo tangu siku ya kwanza haya yote yasingetokea. Nimejaribu sana kumlaumu mume wangu lakini wapi, mkosaji ni mimi kwani mimi ndiyo nimevumilia na kumlea.
Ingawa alianza kunipiga tangu kipindi cha uchumba lakini hakuanza tu ghafla, alianza taratibu makofi ya hapa na pale na kwakua nilikuwa nikimchekea na kujaribu kumtetea huko kichwani mwangu, alizoea mpaka ikawa kitu kidogo tu haongei ni makofi. Kama ambavyo wewe kila siku unavumilia, unasema ndiyo ndoa zilivyo, unasema ipo siku atabadilika na mimi ndiyo hivyo hivyo nilikuwa navumilia kabla na baada ya ndoa.
Siku hizi hanipigi, ameshabadilika lakini haisaidii tena, haina maana tena kwangu kwani sina hisia tena za mwanaume mwili nikama umepigwa ganzi. Pumzika kwa amani Fred wangu, shujaa wangu uliyekufa ukinitetea, umekufa kifo ambacho hukustahili na yote hiyo ni kwasababu ya mimi Mama yako. Naomba unisamehe, unisamehe kwa kuvumilia ujinga, unisamehe kwa kujiangalia mimi bila kujua kuwa nilikuwa nakuumiza wewe na wadogo zako, natumaini huko uliko utanisikia na utanisamehe.
****MWISHO****

Comments
S

Pumzika Kwa Amani Mwanangu Fred, Damu Yako Bado Imeganda Viganjani Mwangu Nilirudi nyumbani nikiwa nimechelewa sana na kama kawaida nilijua siku hiyo ilikuwa ni kipigo tu, kusema kweli nilikuwa nimechoka, sikuchoka kwa kipigo bali nilichoka kutokana na kazi nilizokuwa nimefanya siku hiyo. Nikisema kazi simaanishi kazi zile za ofisini, hapana, mimi si mfanyakazi, si kwamba si kusoma hapana, nina shahada yangu mfukoni ambayo niliisotea mika mingi darasani. Baada ya kuolewa na kupata mimba nikiwa bado sijapata kazi basi niliamua kumlea mwanangu kwanza na baada ya mtoto kuwa mkubwa nilipotaka kutafuta kazi mume wangu alikataa. Kama wanaume wengi aliniuliza “Kwani unakosa nini hapa? Au unataka uende ukafanye umalaya wako huko?” Kusema kweli sikuwa nikikosa chochote kwani mume wangu ni mtu mkubwa sana serikalini. Kwakuwa nilikuwa nikipata kila kitu basi hata sikusisitizia sana kuitafuta hiyo ajira, nilivumilia tu na Mungu akajaalia nikapata mtoto wapili na watatu. Miaka kumi na mbili kwenye ndoa sasa na tangu siku ya kwanza kuna vitu vingi vimebadilika kasoro kitu kimoja tu, kupigwa karibu kila siku ya Mungu. Nilivumilia kupigwa mpaka kufikia hatua ya kuona kama kitu cha kawaida, nikaanza kuona kama sehemu ya majukumu ya ndoa, kupigwa. Mpaka sasa bado naona hata aibu kuvua nguo mbele za wanawake wenzangu kutokana na mistari ya mikanda, fimbo na makovu ya maumivu ya kila siku. Lakini kama walivyo wanawake wengi ambao wako kwenye hali kama yangu nilikuwa navumilia kila siku nikikesha nikiomba labda Mungu atambadilisha lakini wapi? Sitaki kuelezea sana niliyopitia lakini niseme tu Mume wangu hakuanza tu kunipiga baada ya ndoa, hapana alikua akinipiga hata kipindi cha uchumba. Yaani kila nilipokuwa nikimfumani alinipiga na kuniomba msamaha. Hapa pia naomba mnielewe ninaposema kupigwa simaanishi kupigwa makofi mawili matatu, namaanisha kupigwa kama mbwa. Lakini nilikuwa nampenda na nilivumilia na kila mara aliniahidi kubadilika lakini ilimchukua muda sana kubadilika na kuacha kunipiga. Tuachane na hayo turudi katika siku ambayo sitakuja kuisahau katika maisha yangu yote na siku ambayo naijutia na iliyonilazimisha kuandika hiki ninachoandika ili kama na wewe uko kwenye hali kama yangu usisubiri ya kukute ndiyo ujutie. ****** Siku hiyo nilikuwa nimechoka sana kwani baada ya kumkaliza shughuli za pale nyumbani nilipigiwa simu kuwa Mama anaumwa, alikuwa amelazwa Muhimbili akishindwa kupumua. Alikuwa na pumu ya muda mrefu hivyo harakaharaka nilienda kumuangalia. Mchakato wa kuhangaika na madaktari, mchakato wa kuenda kutafuta dawa mji mzima ulinifanya kuchoka sana. Nilijaribu kumpigia simu mume wangu ili kumuambia lakini hakupatikana hivyo nilimtumia meseji kuwa Mama anaumwa na kalazwa Muhimbili. Sikukumbuka tena kumtafuta kwani akili haikuwepo, mpaka usiku ule wa saa tatu natoka Muhimbili mume wangu alikuwa bado hajanipigia simu na kila nikimtafuta kwenye simu yake alikua hapatikani, sijui kwanini lakini laini zake zote mbili zilikuwa hazipatikani. Kwa maana hiyo nilijua kua alikuwa hafahamu kuhusu Mama hivyo nikifika nilikuwa na kazi ya kujielezea na kama asingeelewa nilishajiandaa kwa kipigo. Nilifika nyumbani na kufunguliwa na mfanyakazi wa ndani, mume wangu alikuwa chumbani, tangu saa kumi na mbili aliporejea na kunikosa aliingia chumbani na hakukuwa na mtu wa kumsemesha. Mtoto wangu wa mwisho wa miaka mitatu ambaye bado alikuwa hajaanza kumuogopa Baba yake ndiyo alikuwa anaweza kuingi chumbani lakini naye alikuwa ameshalala hivyo alikuwa apeke yake tu huko chumbani. Niliingia kwa uoga na kumsalimia lakini hakujibu. “Nilikuwa muhimbili Mama anaumwa kalazwa…” Ilibidi nijiongeleshe tu ili ajue asbabu ya mimi kuchelewa. Image result for black woman funeral Lakini haikusaidia aliendelea kukaa kimya akisoma kitabu chake ambacho hata sikumbuki kilikua kitabu gani. Nilivua nguo harakaharaka ili kuingia bafuni kuoga, lakini nikiwa nimefunga khanga moja nilimuona akisimama. “Huyo Mama yako ndiyo amekuoa, inamaana unaweza kuondoka humu ndani bila ruhusa yangu? Umefundwa wewe? Unajifanya sijui ujinga unaofanya unajifanya umetoka Hospitali! Hospitali kitu gani?” Alianza kuongea kwa hasira, nilianza kujitetea lakini ndiyo nilikua nimeuwasha moto, alianza kunipiga makofi na kunisukuma, nilidondoka chini alinifuata kulekule na kunishika nywele zangu ndefu akaanza kuzivuta kunisimamisha. Maumivu niliyoyapata siwezi simulia, kama ni mwanamke unasuka rasta unajua ni namna gani kcihwa kinauma na kuvuta unaposuka tu sasa hembu vuta picha mtu anashika nywele zako na kukunyanyua juu juu kama karatasi. Nilishindwa kuvumilia, nilipiga kelele huku nikimsukuma, ingawa ikumsukuma kwa nguvu lakini aliteleza na kudondokea kitandani. “Unanipigaee! Yaani unanirudishia! Umeota mapembe eeeh! Sasa ngoja nikuonyeshe!” Aliongea kwa hasira akiwa bado palepale kitandani, alianza kuvua mkanda huku akiangalia ni kitu gani kingine rahisi cha kuokota na kunipiga nacho, sijui kwanini lakini nilijikuta naanza kukimbia kuelekea sebuleni. Haikuwa kawaida yangu mara zote huwa akinipiga nakimbilia chumbani ili watoto wasione lakini siku ile nilikuwa nimechoka na nilijua kipigo chake kitakua cha mbwa. ******* Alinifuata kule kule sebuleni na wakati nikipita nikiijaribu kufungua mlango wa nnje ilinitoke alishanifikia, alianza kunipiga makofi na kunichapa kwakutumia mkanda. Nilikua nikipiga kelele lakini hakukuwa na mtu wa kunisaidia. Nilikuwa na mfanyakazi wa ndani ambaye ni binti mdogo alikua anogopa, mwanangu wa kiume Fred ndiyo kwanza alikua na miaka kumi akifuatiwa na kabinti ka miaka sita, wote walikwa wamesimama wanaangalia tu huku wakilia. Alinivuta na kunidondoshea kwenye kochi, kanga moja niliyokuwa nimejifunga ilivuka na kubaki kama nilivyozaliwa hakujali, aliendelea kunipiga makofi akiniinamia pale huku akipiga kelele kuwaambia watoto waingie ndani lakini Fredrick mtoto wangu hakukubali. Namaani alishachoka ile hali ya mimi kupigwa pigwa kila siku, sijui alipata wapi ujasiri lakini alienda na kuokota blenda ambayo ilikuwa juu ya meza ya chakula alikuja nayo kwa kasi na kumpiga Baba yake mgongoni. “Muache Mama! Utamuua Muache…” Alionge akwa hasira huku akitaka tena kunyanyua kumpiga Baba yake, lakini Baba yake alishageuka aliikamata ile Blenda na kwa hasira alimrudishia kumpiga na moja kwa moja ilimdondokea kichwani. Kimya Fred alidondoka chini na damu kuanza kutiririka, mume wangu alibaki ameduwaa, nikiwa uchi vilevile nilinyanyuka na kwenda kumuangalia, alikuwa hatikisiki, macho yamemtoka, damu zinamtoka puami na mdomoni. “Mume wangu umeua! Mume wangu umeua!” Nilianza kupiga kelele kujaribu kumuamsha mwanangu lakini hakuamka. Mume wangu nguvu zilimuishia na kukaa chini, hakusogea hata kumshika mtoto kuuangalia mapigo ya moyo, machozi yalianza kumtoka kama mtoto mdogo. Mfanyakazi alitoka nilimuamsha mume wangu ili tumpeleke mtoto hospitalini ndipo alipozinduka na kunaynyuka kwenda kuwasha gari. Nilitaka kutoka vilevile nikiwa uchi mpaka mfanyakazi nitolea nguo nikavaa. Tulifika hospitalini na kuambikuwa ameshafariki. Hospitalini sijui nini kilifanyika kwani hakukuwa na cha PF3 wala nini, wakati huo akili yangu haikuwa sawa hivyo sikujali mambo hayo lakini nilijua wakati tunajiandaa na mazishi. Kila nilipowaambia watu kilichotokea waliniona kama kichaa kwani maelezo yaliyotolewa kua mwanangu alifariki kwa ajali ya gari. Sio maelezo tu bali pia mfanyakazi wa ndani alisema hivyo hivyo, mashahidi wapekee niliokua nao ni mtoto wangu wa miaka sita na mwingine wa miaka mitatu. Haiishii hapo gari lililopata ajali lilikuwepo, sijui mume wangu alifanya nini lakini gari lake alilokuwa akitumia lilikuwa limeboindekabondeka kama vile limegonga mti. Ili kuwaaminisha watu badala basi hata ya kupelekwa gereji lilivutwa mpaka nyumbani na ndani kulikuwa na damu zimegandia sijui hata zilitoka wapi kwani zilikuwa ni nyingi tena siti ya mbele wakati tulitumia gari jingine kwenda hospitali. Ilinibidi tu kunyamaza kwani nilijua hakuna namna ambavyo ningeweza kumfanya mume wangu kulipa kwa aliyoyafanya. Hakuomba msamaha zaidi yua vitisho kuwa nikisema ataniua huku akinitishia kwa kuwadhuru watoto. Bado niko kwenye ndoa na sina pakwenda, sipo kwaajili ya pesa bali kwaajili ya wanangu. Sijui ni nini kitatokea kama nikiondoka kwani ameshakataa katakata kuniruhusu niondoke nao. Nimwaka wa pili sasa tunaishi kama kaka na dada, sina furaha na sitegemei kuipata. Nalea tu wanangu na nimeshakata tamaa ya maisha. Nimeamua kuandika kisa changu hiki ili wanawake wengine kujua kuwa unapokubali kupigwa na mwanaume hubebi maumivu peke yako. Wanao wanaona hata kama unaficha vipi na unawaathiri, wanakupenda na wanaumeia unavyoteswa kwani wewe ni Mama yao. Hembu wewe fikiria mtu anampiga Mama yako halafu huwezi kumtetea utajisikiaje. Image result for black woman funeral Simlaumu mume wangu kwa kifo cha mwanangu, halikuwa Kosa Lake. Kosa lilikuwa la kwangu kuvumilia mateso, kuona kipigo kama sehemu ya ndoa. Ningeondoka mapema, ningekataa kipigo tangu siku ya kwanza haya yote yasingetokea. Nimejaribu sana kumlaumu mume wangu lakini wapi, mkosaji ni mimi kwani mimi ndiyo nimevumilia na kumlea. Ingawa alianza kunipiga tangu kipindi cha uchumba lakini hakuanza tu ghafla, alianza taratibu makofi ya hapa na pale na kwakua nilikuwa nikimchekea na kujaribu kumtetea huko kichwani mwangu, alizoea mpaka ikawa kitu kidogo tu haongei ni makofi. Kama ambavyo wewe kila siku unavumilia, unasema ndiyo ndoa zilivyo, unasema ipo siku atabadilika na mimi ndiyo hivyo hivyo nilikuwa navumilia kabla na baada ya ndoa. Siku hizi hanipigi, ameshabadilika lakini haisaidii tena, haina maana tena kwangu kwani sina hisia tena za mwanaume mwili nikama umepigwa ganzi. Pumzika kwa amani Fred wangu, shujaa wangu uliyekufa ukinitetea, umekufa kifo ambacho hukustahili na yote hiyo ni kwasababu ya mimi Mama yako. Naomba unisamehe, unisamehe kwa kuvumilia ujinga, unisamehe kwa kujiangalia mimi bila kujua kuwa nilikuwa nakuumiza wewe na wadogo zako, natumaini huko uliko utanisikia na utanisamehe. ****MWISHO**** Comments S

...
STORI FUPI YA MAHABATI.


Alikuwa ni rita niliyempenda zaidi pale kazini kwetu , kazi yake sikujua ni nini haswa , lakini nilimwona mara kwa mara akipita huku na kule katika shuguli , mimi kazi yangu ilikuwa ni nyingine kabisa .


Kampuni yetu ilikuwa kubwa na wafanya kazi wengi , ilikuwa sio rahisi kujua watu wote koz wengine wako idara zingine na shuguli zao ni zingine , ndio kama rita sikujua yeye kazi yake wala yuko idara gani .

Lakini alikuwa akipita idara yetu , nikikaa pale katika computer huwa namwona akipita na kuchugulia wakati mwingine anaongea na kiongozi wa idara yetu kisha anaondoka , kweli nilimpenda , siri ilikuwa ni rohoni mwangu .

Kwanza nilivutiwa na sauti yake alivyokuwa anaongea upole na taratibu , ngozi yake nyeupe laini sio ya mkorogo , nilivutiwa na macho yake , nywele zake na mwisho kabisa kuliko zote ni miguu yake , vile vimini nilinichanganya kwa hakika .

Wakati mwingine nilihisi anakuja kwangu labda kunisalimia hivi au kuniuliza kitu Fulani lakini wapi , hata salamu hatowi , nilitafuta contact zake mpaka nikachoka , niliwauliza wafanya kazi wengine walikataa kunipa .

Nilihisi nao wanampenda ndio maana hawataki kunipa contact zake , pia ni mimi mwenyewe nilikuwa ni mtu wa aibu sana , sidhubutu kuongea na mwanamke haswa yeye anayevutia , niliendelea kuvumilia tu .

Siku moja asubuhi , alikuja chumbani kwangu kule kazini , nilikuwa nimekaa mwenyewe ,tu , sikumbuki alikuja kutazama nini , ila alikuja mpaka kule ninapokaa , alipofika nilisimama na kumshika mkono , nilimweleza kwamba nampenda sana .

Hakuamini , aliomba nimnongoneze , nikafanya hivyo , kisha akani hug , nami nilimpiga busu na mdogo tukashikana mikono mpaka mlangoni wakati anatoka nilimwomba tuonane jioni ya siku hiyo kwa maongezi , alikubali kwa furaha .

Nilihisi roho yangu imeingia dhahabu , nilijiona kweli mimi ni mwanajeshi wa mapenzi ,nikaanza kupanga mambo ya jioni , siku hiyo nzima sikufanya kazi nilikuwa na furaha ya kukutana na rita jioni hiyo mambo poa .

Jioni ilifika , rita akanikumbuka alinipitia chumbani kwangu , tulianza safari ya kwenda sehemu Fulani inaitwa sunrise , tulipanda taxi mpaka kule , tulipofika kule tulikaa chini ya mchanga huku tukiongea na tabasamu kwa mbali .

Hapo sunrise kukawa na speaker kubwa tulisikia sauti mpaka kule mchangani , muda huo ilikuwa ni saa 12 jioni , nyimbo iliyokuwa inapigwa ni butterflies ya Michael Jackson , maneno ya nyimbo ile ni matamu yaliendana na wakati ule .

Nyimbo ile iliendana na wakati wetu pale , wote tulilala mchangani tukipigana mabusu , kuchezeana miguu na kutekenyana , taratibu , nilikuwa nimefunga tai wakati wote huo alinivua tai yangu , wakati tukiendelea na mambo mengine .

Aliniambia ananipenda sana kwa mara ya kwanza , hapo moyo ulienda mbio sana , nami nilimwambia pia jinsi nilivyokuwa najisikia siku zote anakuja katika office yetu , tuliongea kwa muda kisha tukasimama kurudi zetu ukumbi mkuu .

Njiani katika mchanga tulikutana na vijana 3 , hao vijana walitusimamisha walikuwa wamevaa jeans wote , mmoja nilimwona na kitu kama bisi bisi hivi , mimi nilimshika rita mkono kumwamuru asijibu chochote tuendelee kwenda zetu .

Ghafla upande wa kulia walitokea vijana wengine 2 wakawa wanakuja kwa kasi kutuvamia , yule mmoja mwenye bisi bisi akachomoa ile bisi bisi yake alitaka amchome nayo rita , ilibidi nimpige ngwala rita adondoke chini , alipofika chini hiyo bisi bisi ilipita juu .

Nikainama chini , kubeba mchanga na kumwagia machoni , hapo alipofuka macho kwa muda , hakuweza kuona vizuri alianza kupiga kelele , wenzake walikuwa na mashaka kuhusu kuendelea na hiyo kasheshe .

Nilimbeba rita wangu , kuendelea na safari , tulipofika karibu na mwanga jamaa mwingine alikuwa na kisu , kwa kunutsukiza ,alirusha kisu kutokea nyuma , mimi na rita tulijidondosha kwa mbele , kukwepa paaa tulidondoka .

Nikawa chini , jamaa akaona ameshanipata nimedondoka , aliruka juu , ili anikanyage na viatu vyake , wakati anajiandaa kuruka nilimpiga mguu mmoja wa kushoto , kabla ya kudondoka chini , nilidaka mguu mwingine kwahiyo mguu mmoja juu mwingine nimeushika .

Niliugeuza na kuutengua , kisha nikachukuwa kisu na kumchomeka mwenyewe shingoni .Mimi na rita tulinyanyuka na kuendelea na safari yetu kurudi nyumbani .

Tulirudi nyumbani na maisha yalikuwa poa tu .

Kesho yake kazini , rita alikuwa akiwahadithia wenzake mambo yalivyokuwa

Kwaheri

STORI FUPI YA MAHABATI. Alikuwa ni rita niliyempenda zaidi pale kazini kwetu , kazi yake sikujua ni nini haswa , lakini nilimwona mara kwa mara akipita huku na kule katika shuguli , mimi kazi yangu ilikuwa ni nyingine kabisa . Kampuni yetu ilikuwa kubwa na wafanya kazi wengi , ilikuwa sio rahisi kujua watu wote koz wengine wako idara zingine na shuguli zao ni zingine , ndio kama rita sikujua yeye kazi yake wala yuko idara gani . Lakini alikuwa akipita idara yetu , nikikaa pale katika computer huwa namwona akipita na kuchugulia wakati mwingine anaongea na kiongozi wa idara yetu kisha anaondoka , kweli nilimpenda , siri ilikuwa ni rohoni mwangu . Kwanza nilivutiwa na sauti yake alivyokuwa anaongea upole na taratibu , ngozi yake nyeupe laini sio ya mkorogo , nilivutiwa na macho yake , nywele zake na mwisho kabisa kuliko zote ni miguu yake , vile vimini nilinichanganya kwa hakika . Wakati mwingine nilihisi anakuja kwangu labda kunisalimia hivi au kuniuliza kitu Fulani lakini wapi , hata salamu hatowi , nilitafuta contact zake mpaka nikachoka , niliwauliza wafanya kazi wengine walikataa kunipa . Nilihisi nao wanampenda ndio maana hawataki kunipa contact zake , pia ni mimi mwenyewe nilikuwa ni mtu wa aibu sana , sidhubutu kuongea na mwanamke haswa yeye anayevutia , niliendelea kuvumilia tu . Siku moja asubuhi , alikuja chumbani kwangu kule kazini , nilikuwa nimekaa mwenyewe ,tu , sikumbuki alikuja kutazama nini , ila alikuja mpaka kule ninapokaa , alipofika nilisimama na kumshika mkono , nilimweleza kwamba nampenda sana . Hakuamini , aliomba nimnongoneze , nikafanya hivyo , kisha akani hug , nami nilimpiga busu na mdogo tukashikana mikono mpaka mlangoni wakati anatoka nilimwomba tuonane jioni ya siku hiyo kwa maongezi , alikubali kwa furaha . Nilihisi roho yangu imeingia dhahabu , nilijiona kweli mimi ni mwanajeshi wa mapenzi ,nikaanza kupanga mambo ya jioni , siku hiyo nzima sikufanya kazi nilikuwa na furaha ya kukutana na rita jioni hiyo mambo poa . Jioni ilifika , rita akanikumbuka alinipitia chumbani kwangu , tulianza safari ya kwenda sehemu Fulani inaitwa sunrise , tulipanda taxi mpaka kule , tulipofika kule tulikaa chini ya mchanga huku tukiongea na tabasamu kwa mbali . Hapo sunrise kukawa na speaker kubwa tulisikia sauti mpaka kule mchangani , muda huo ilikuwa ni saa 12 jioni , nyimbo iliyokuwa inapigwa ni butterflies ya Michael Jackson , maneno ya nyimbo ile ni matamu yaliendana na wakati ule . Nyimbo ile iliendana na wakati wetu pale , wote tulilala mchangani tukipigana mabusu , kuchezeana miguu na kutekenyana , taratibu , nilikuwa nimefunga tai wakati wote huo alinivua tai yangu , wakati tukiendelea na mambo mengine . Aliniambia ananipenda sana kwa mara ya kwanza , hapo moyo ulienda mbio sana , nami nilimwambia pia jinsi nilivyokuwa najisikia siku zote anakuja katika office yetu , tuliongea kwa muda kisha tukasimama kurudi zetu ukumbi mkuu . Njiani katika mchanga tulikutana na vijana 3 , hao vijana walitusimamisha walikuwa wamevaa jeans wote , mmoja nilimwona na kitu kama bisi bisi hivi , mimi nilimshika rita mkono kumwamuru asijibu chochote tuendelee kwenda zetu . Ghafla upande wa kulia walitokea vijana wengine 2 wakawa wanakuja kwa kasi kutuvamia , yule mmoja mwenye bisi bisi akachomoa ile bisi bisi yake alitaka amchome nayo rita , ilibidi nimpige ngwala rita adondoke chini , alipofika chini hiyo bisi bisi ilipita juu . Nikainama chini , kubeba mchanga na kumwagia machoni , hapo alipofuka macho kwa muda , hakuweza kuona vizuri alianza kupiga kelele , wenzake walikuwa na mashaka kuhusu kuendelea na hiyo kasheshe . Nilimbeba rita wangu , kuendelea na safari , tulipofika karibu na mwanga jamaa mwingine alikuwa na kisu , kwa kunutsukiza ,alirusha kisu kutokea nyuma , mimi na rita tulijidondosha kwa mbele , kukwepa paaa tulidondoka . Nikawa chini , jamaa akaona ameshanipata nimedondoka , aliruka juu , ili anikanyage na viatu vyake , wakati anajiandaa kuruka nilimpiga mguu mmoja wa kushoto , kabla ya kudondoka chini , nilidaka mguu mwingine kwahiyo mguu mmoja juu mwingine nimeushika . Niliugeuza na kuutengua , kisha nikachukuwa kisu na kumchomeka mwenyewe shingoni .Mimi na rita tulinyanyuka na kuendelea na safari yetu kurudi nyumbani . Tulirudi nyumbani na maisha yalikuwa poa tu . Kesho yake kazini , rita alikuwa akiwahadithia wenzake mambo yalivyokuwa Kwaheri

...

MKASA WA KUSISIMUA: DUH HUYU MWANAMKE SHETANI KABISA Inasikitisha sana R. I. P mume Akiwa bado yuko safarini baba anold akajisemea "enhee wacha leo nimsurprise wife" na alitaka afanye hivyo ili kuupima uaminifu wa mkewe baada ya kusikia maneno ya wambea wakisema mkewe huwa anamsaliti jamaa anapokuwa safarini. Akaanza safari by saa 2 na robo alikuwa ameshafika pale mtaani,akaamua aende kwenye baa moja hivi ili apoteze kidogo muda ili ikifika saa tano aingie ndani kwake ni kama mwendo wa dakika 15 tu kutoka hapo alipokuwepo na nyumbani kwake, kwa wasiotaka kujipa tabu bodaboda ni tsh.1000 Akamchek Whatsap wife akaona yuko online ilipofika saa tatu akapokea text kutoka kwa mkewe "Mambo dear! Jamani I miss you mpaka naumwa,tangu asubuhi sijatoka nipo ndani tu nataka nioge nipumzike....... Mumewe akajibu Ooh pole Darling miss you too..... akamtumia wimbo wa diamond unaosema " ukilala lala salama kumbatia picha yangu" Mkewe akamwambia nimeona audio umenitumia nikioga ntaiskiliza my ,akatoka hewani saa hiyo....... Jamaa ilipofika saa tano kamili akamchek online akaona tangu saa ile aliyosema anaingia kuoga hajaonekana tena online last seen today at 9:17 ilisomeka hivyo. Jamaa akaanza mdogo mdogo kwenda kwake.....hahaa nahitaji concentration yako hapa. Alipofika akagonga mlangoni hakuna aliyetoka kuja kumfungulia,akazunguka kwenda kwenye chumba cha mkewe akakuta giza akagonga dirishani wapii!! Akaita kwa sauti "Jessica!! Jessica! We Jessica! Mama anold! Kukawa kimya......akazunguka chumba cha watoto wake japo alikuwa anajua anawasumbua wamelala Alikuwa anajua fika mama yao yuko ndani ila labda ako na mwanaume mwingine. Anold anold! Dogo akaitika alipoamka akauliza nani Ni Mimi baba yako hebu nenda sebuleni fungia mlango wakati huo watoto wote watatu wakawa wameamka wana furaha kuona baba yao karudi Lkn baba hana furaha kama walidhani wao. Dogo akashika kitasa kufungua mlango wa chumba Chao kumbe umefungwa haa!mbona mlango haufunguki wewe joy funguo ikwap Mbona akati tunalala ilikuwa kwa nje?alijibu joy Baba tunaomba mwambie mama atufungulie kwa nje maana ametufungia.....what??baba alihamaki kwa hasira akaamua kupiga simu kwa mkewe kama Mara tano inaita tu haipokelewi Akarudi tena kwenye chumba cha mkewe ili apige akiwa anachungulia ndani na alipopiga simu akaona Mwanga wa simu ipo kitandan MWENYE simu hayupo Kumbe ametoka yuko nje ndio maana watoto aliwafungia ili wakitoka wasiweze kujua kinachoendelea..... Mr alikuwa kama amechanganyikiwa omba isikukute hii hali aisee! Yaani anaenda kufanya upumbavu wake usiku anawafungia watoto wangu?je kama ni nyumba imeshika moto wataokokaje huyu mwanamke muuaji!! Oky haina shida ndio matokeo ya wanawake tunaokutana nao stend hawa!alijisemea baba anold Hakujua afanye nini watoto wapo dirishani wanamsubiri dadii alete jibu,dadii hataki wajue kama mama yao hayupo,ni moja ya kiapo ambacho waliweka na mkewe kwamba wakiwa na ugonvi wowote watoto wasijue chochote ili kutokuwaathiri saikoloj yao kimasomo na ktk ukuaji wao kwa ujumla wake. Alichofanya akaenda akawaambia watafute dispis pale chumbani kwao ndani akawaambia cha kufanya pale kwenye kitasa wakafanikiwa kufungua moja kwa moja wakaenda chumbani kwa mama wakakuta hayupo aaaaah sasa mamii ako wapi??? Baba yao akawaita njooni huku mlangoni walipoenda hakuna ambacho wangefanya maana pana mlango wa geti na ndio uliofungwa na kufuri za solex ila mlango wa mbao ulikuwa wazi. Kwahiyo waliendelea kuongea na baba yao pale mlangoni wakamuamkia......swali la Mtoto wa kike lilikuwa je,sasa mama yuko wapi usiku wote huu baba? Usijari atakuja muda si mrefu labda anaumwa ameenda kutafuta dawa hospital"aliwajibu baba ili kupotezea...... Baada ya muda ikiwa ni saa sita na nusu za usiku baba akawaambia kalaleni mimi nitakuwa hapa mlangoni namsubiri mama yenu.... watoto wakamkatalia anold akasema haiwezekani labda wakalale hawa ila Mimi siwezi kukuacha peke yako baba.......na wale wengine wakasema hivyo hivyo.......baba akawa hana la kufanya Akakaa pale mlangoni na watoto wakakaa kwa ndani Kutokana na uchovu wa safari akawa amepitiwa na kiusingizi.....na watoto pia wadogo wawili wakawa nao wamelala ila anold hakulala kuhakikisha usalama wa baba. Ikielekea saa saba kama na robo kumbe mama yao akawa anarudi yuko ndani ya gari ya mchepuko anamleta home. Walipokuwa karibu Jessica akaona kitu cha tofauti pale mlangoni, akamwambia mwanaume azime taa akashuka ili aone kufika akatambua ni mumewe, kule ndani asijue Mtoto wake mkubwa anaona kila kitu. Akarudi haraka kwenye gari, baba akiwa amezidiwa na usingizi ila alilala mlangoni kabisa kiasi kwamba mlango usingeweza kufunguka na asijue Anold alishuhudia mama yake mzuri anarudi tena kwenye gari na gari ikaanza kurudi revers huku taa zikiwa zimezimwa na muungurumo wa gari hausikiki tena ikawa imepotea machoni pa anold ilikuwa kama ni ndoto kwake. Jessica na yule mwanaume wakapanga njama ili mumewe akaondolewe pale mlangoni awe kama ametekwa,ko wakatafutwa vijana kama wanne usiku ile ule wakamtoe pale mlangoni ili yeye arudi na ionekane alikuwepo ndani "Naomba msimfanye chochote au kumpiga wala kumnyang'anya fedha hela nilizowapa zinatosha na kama hamjaridhika niambieni niwaongeze kuliko kumwibia mume wangu,mtoeni pale kamtelekezeni mahali kwingine halafu Dereva atanirudia na hiyo gari haraka ili anirudishe nyumbani" alisema Jessica akiwa na huyo mwanaume na hao vijana watekaji.....sawa tutafanya hivyo sister,walijibu Haraka mchepuko wa Jessica ukaingia ndani na kuvaa koti kubwa na kofia na wale VIJANA wakiwa wamevalia soksi za kuzuia wasitambulikane na wakawa wako tayari kuucheza huu mchezo Dereva ni mchepuko wa Jessica Wakati huo anold bado yuko macho anaombea tu kuche haraka ili baba aamke salama pale Dakika chache wakawa wamefika na gari wakashuka VIJANA wakambeba kama mzoga baba anold, Babaaaa babaaa babaa anold akawaamsha na wadogo zake wakaungana kumlilia baba yao kutekwa na majambazi ulikuwa ni usiku mgumu sana kwa hawa watoto........ wakafika mahali wakamtelekeza baba anold wakarudi haraka kwa mkewe wakamchukua na kumpeleka kwake ile kufika tu akakutana na vilio vya watoto,akagungua akaingia anold akakitoka nje huku analia anakimbilia kwenye njia alikokuwa anapelekwa baba yake babaa babaaa! Mama akamkimbilia akamdaka akamrudisha ndani nitakutandika wewe unaenda wapi usiku huu!?? Namfuata babaaa niachieee we mama ni muuajiii Mimi sikupendi tenaaaa,mama akamzaba kofi pwa! Unasemaje?Mimi nimekuzaa unataka laana?? Kwa utaalamu wa mama akafanikiwa kuwatuliza watoto,na wakanyamaza akawakalisha chini akawaambia baba yenu yupo akachukua simu kudanganya kama anampigia "eeh VP umepona? Aaah pole mume wangu karibu utatukuta maana hata watoto wamegoma kulala mpaka wakuone.......... Akatoa simu sikioni akawaambia laleni mpumzike ila naomba kama mama yenu mnampenda na hamtaki kubaki yatima nisitirini mkiulizwa semeni mama alikuwa ndani humu humu alilala kwenye chumba cha wageni Akawaahidi kama wangefanya hivyo angewapa zawadi nzuri sana......... Baada ya nusu saa kupita akawa haonekani Mr akapiga simu yake akaona haipatikani. Akajiuliza wale walimpora simu nini!! Saa moja ikapita akapata wasiwasi hapo watoto wamekataa kulala ......akamwambia mwanae ngoja nimpigie Dereva tax ili twende police kutoa report Alipofika wa tax wakaenda kituo cha jirani.... Ile wanafika pale wamkuta police mmoja tu na yule askar akasema hebu kuweni wavumilivu maana askar wameenda kuna tukio la mwizi kuuawa mtaa wa Jirani muda huu huu......... Kumbe aliyeuawa ni mume wa Jessica wakati wale VIJANA walipomtelekeza akawa anarudi kwake akapita karibu na nyumba Fulani mlinzi alipomwona akamwitia watu kwamba ni mwizi,akapigwa hadi akafa......... Dakika kama 10 Jessica akaanza kupokea msg kwenye simu za group watsap wakimpa pole maana wakati anapigwa mumewe wapo waliomtambua kama ni baba anold Haaa!eti huyo mwizi kauawa mtaa gani?akamuuliza askar. Askar akasema mtaa wa kona. Jessica akatoka kidogo pale mapokezi police akampigia mchepuko eti mlimwachia wapi mume wangu? Mtaa wa kona alijibu jamaa short cut Pale pale akaanza kupaza sauti ya kilio Askar akatoka vipi wewe unalia nini hapa kumbe mumeo ni mwizi?ndio mavuno yake mama! Alilia sana na kujutia ila hakuna aliyemuelewa wala kumfariji zaidi watu wote walibaki kufurahi na kumshangaa kwa nini anamlilia mhalifu maana wao walijua aliyeuliwa ni Mwizi. Ngoja nifupishe........uchunguzi ulipokuja kufanyika ikaonekana Jessica ndiye mtuhumiwa namba moja wa mauaji ya mumewe maana anold alijizira akasema ataongea ukweli mahakamani kuisaidia police na akaeleza mkasa nzima na Jessica akamtaja mchepuko wake kuwa walishirikiana na wale watekaji wakakamatwa na kila mmoja anatumikia kifungo cha miaka 30 jera.......... Anold sasa hivi ni mtu mzima amesomea sheria ni mwanasheria mzuri sana! Tatizo pekee alilonalo amekataa kuoa haamini kamwe mwanamke,ila anasema; Siku moja akitoka mama yake atamuuliza maswali matano:- 1.kwanini alikuwa akimsaliti baba? 2.hakukuwa na mbinu nyingine ya kufanya zaidi ya mbinu ya kumteka baba? 3.kitu gani alikikosa kwa baba ambacho kilimfanya amsaliti? 4.atanisaidiaje mimi na ugonjwa nilionao wa kutokupenda na kutokusamehe? 5.nini faida ya yote aliyokuwa akimfanyia baba? Katikati ya msiba wa baba yake aking'ang'ania jeneza anold alilia alisema:- Baba kwanini ulikuja kwa surprise? Baba kwanini hukwenda kulala guest? Baba mbona umetuacha hatujakukumbatia Nachukia mlango wa geti nachukia funguo ya mlango Namchukia aliyenizaa ni afadhari kama nisingezaliwa Eeh mwenyezi Mungu ulinileta duniani ili nione maumivu haya?mimiiii mimiiii ntaenda wapi mimiiii na wadogo zangu hawa!huyu mtoto aliliza sana watu msibani........ Kama umeguswa na mkasa huu ANDIKA R. I. P BABA ANORLD kisha Tumia marafiki wauone.. Nakutakia siku Njema, Mungu Akubariki na kukulinda

...

JAMANI BABA! SEHEMU YA 18 ILIPOISHIAA “Sidhani kama nitakuwa na uhusiano mzuri na mama,” alisema moyoni Mwaija. .. ENDELEA KIVYAKO SASA .. . “Hivi nitarudi vipi nyumbani leo ? Hii si aibu kubwa! Yaani mke wangu amejua kila kitu kuhusu mtoto wake . Niliomba samahani siku zile yakaisha, kaenda Tanga nikamleta tena mjini sasa faida yake ndiyo haya yanayonitokea . “Mbaya zaidi kuna wakati Mwaija alinishukuru kwa kumpangia chumba, sasa pale mama yake si amesikia kila kitu !” alitafakari Masilinde, akaishiwa nguvu na kuanguka chini kisha akapoteza fahamu . Mwaija alifanya kazi ya ziada kumzindua mpenzi wake huyo lakini alipozinduka na kutulia kidogo wote wakawa na swali moja ni kwa nini mama Mwaija baada ya kukatiwa simu muda huo hakupiga tena?! Wakiwa wanafikiria kuhusu hilo , simu ya Mwaija ikaita ikiwa kwenye meza ndogo... “Hebu angalia ni yeye?” alisema Masilinde... “Mimi naogopa, angalia wewe, ” alisema Mwaija . Simu iliendelea kuita na kila mmoja akiwa hataki kuangalia nani aliyepiga .. . “Angalia Mwaija .. .” “Angalia wewe bwana mimi naogopa .” Mwishowe, Masilinde alijitoa fahamu , akaenda kuangalia... “Mh ! Yeye bwana ,” alisema akiwa ameishika simu.. . “Mimi sipokei hata iweje! Mama anaweza kuniua hata kwenye simu,” alisema Mwaija huku akitetemeka. Chumba kilizizima , kila mmoja alikosa amani, alikosa raha! Ilifika mahali wote walikaa kitandani wakiwa wamejiinamia kwa mawazo. Kila mmoja aliwaza la kwake , lakini hakuna aliyemwambia mwenzake alichokuwa akikiwaza... “Mwaija , mimi nadhani kuanzia leo tuamue moja , tuwe mke na mume au tujiue , kwa kuwa najua mimi na mama yako kurudiana hakupo hata iweje?” Kabla Mwaija hajajibu, meseji kwenye simu yake iliingia, ikaingia pia kwenye simu ya Masilinde... “Mh ! Hizo meseji atakuwa yeye, ” alisema Mwaija. Sasa alianza kujijua kumbe yeye ni bogasi kupita wasichana wote duniani . Kuna akili ilikuwa ikimwambia “Hivi kweli wewe na akili zako unaweza kumpa penzi mume wa mama yako? Ona sasa, umejiingiza kwenye matatizo maishani mwako .. . mume wa mama yako hata kama hajakuzaa , ni baba yako tu. ” Masilinde ndiye aliyekuwa wa kwanza kuifungua meseji hiyo na kuisoma tena kwa sauti .. . “Nimeamua kujiua ili kuepuka aibu na fedheha hii.” Mwaija naye akaisoma meseji yake kwa sauti ... “Mwaija , endelea kufaidi penzi la baba yako maana uliona mimi nafaidi peke yangu , tukutane ahera.” Masilinde alikurupuka, akaondoka mbio kwenda kwake. Mwaija naye hakutaka kusubiri, alifuata nyuma. Walimkuta mama Mwaija ameshakata roho kwa kujinyonga kwa kamba . Kilio kilianzia hapo, majirani walipofika , Masilinde alikiri kusababisha kifo cha mkewe , Mwaija naye alikiri kuchangia mama yake kujinyonga . Wakaahidi kutoendelea na uhusiano tena, Mwaija alirudi Tanga kwa shangazi yake ambako mpaka sasa anataabika na maisha akiwa kama mwendawazimu. MWISHO.

...

JAMANI BABA! SEHEMU YA 17 ILIPOISHIA “Sawa kipenzi . ” Wakabusiana na mzee kupata kiburudisho chake kwa saa moja na kisha kurudi nyumbani huku akiwa mwepesiii, hakuacha kumtembelea Mwaija nyumbani hapo , kazi ikawa ni kujilia tunda kila siku. SASA KANYAGA MWENYEWE .. . Mwezi mmoja ulikatika tangu Mwaija aondoke nyumbani hapo . Siku hiyo mama kama mama, uchungu wa mwana ulimwingia , akaamua kumpigia Mwaija japo amjulie hali . .. “Ni mtoto wangu wa kumzaa , siwezi kumtupa hivi. Mwenye makosa ni baba yake, kwani si anajua yule ni mwanangu ? “Sidhani kama Mwaija ndiye aliyemtongoza baba yake wa kambo . Lakini mwanangu yule naye amezidi uzuri . We mtoto mdogo wowowo vile , kiuno kiuno kweli . Mguu wanasema wa bia, halafu yale macho mwanangu yale ndiyo yanayomponza kabisa, ” alisema mama Mwaija simu ikiwa sikioni tayari. .. “Shikamoo mama,” Mwaija alimsalimia baada ya kupokea.. . “Marhaba , hujambo ?” “Mi sijambo.” “Hajambo shangazi yako ?” “Hajambo .” “Maisha yanaendaje?” “Kawaida tu mama. ” Mama Mwaija alishtuka kusikia kelele za wapiga debe wakisema ... “Msasani Posta... Msasani Posta.” “Mwaija ,” aliita. ... “Uko Dar ?” “Hapana mama , niko Tanga.. .” “Unanidanganya mimi wewe?” “Hapana mama , kwa nini ?” “Mbona nasikia watu wa daladala wakisema Msasani Posta?” “Siyo Msasani mama , unasikia vibaya . Wanasema Mkwakwani Posta. Siku hizi Tanga kuna daladala za Mkwakwani Posta, ” alisema Mwaija huku akitetemeka. “Kweli ?” “Kweli mama , kwani we hujui kuna daladala za Mkwakwani Posta?” “Mi nimesikia Msasani Posta.” “Hapana mama bwana. ” “Haya , shangazi yako anaendeleaje ?” “Anaendelea vizuri . Nipe niongee naye .” “Mimi nipo mtaani , nimemwacha nyumbani.” “Ukirudi tu, nipe niongee naye. ” “Sawa mama .” Mwaija alipomaliza kuzungumza na simu na mama yake , akampigia Masilinde.. . “Baby uko wapi ?” “Kazini, vipi ?” “Kimenuka. Njoo haraka sana.” “Nini?” “Ungekuja baby bwana .” “Oke, nakuja sasa hivi . ” Mwaija alizidi kutetemeka, hasa alipoambiwa akifika nyumbani ampe simu shangazi yake ili mama yake aongee naye . Ndani ya nusu saa , Masilinde akawa amefika nyumbani kwa Mwaija huku akiwa na sura yenye mshangao.. . “Vipi Mwaija , kuna nini ?” “Inabidi niende Tanga haraka sana , hata nikiondoka leo hii .” “Kuna nini ?” “Mama. ” “Mama gani?” “Mkeo .” “Kafanyaje?” “Kanipigia simu .” “Enhe , kasema anakwenda Tanga kesho? Maana kama anasafiri kesho tatizo liko wapi, mi si nitamzuia tu?” “Siyo hivyo baby. Mama kasema nimpe simu shangazi aongee naye, nikamwambia nipo mtaani, shangazi nilimwacha nyumbani. ” “Sasa ikawaje?” “Akasema nikirudi atataka aongee naye . Na mimi najua lazima baadaye jioni mama atapiga tena. Halafu akaniuliza Mwaija upo Dar ? Nikamwambia hapana mama, akasema mbona nimesikia sauti za daladala zikisema Msasani Posta? Nikamdanganya siyo Msasani Posta ni Mkwakwani Posta. Ndiyo akatulia.” “Kha! Kwani we leo ulifika Msasani ?” “Si ulinikubalia niende kwa yule rafiki yangu .” “Oo ! Sasa sikia , sidhani kama ni ishu.. .” Kabla Masilinde hajamaliza , mama yake alipiga tena... “Huyo , anapiga ,” alisema Mwaija ... “Usipokee kwanza. ..nataka kujua , kwani shangazi kule Tanga ana simu ?” “Hapana, alikuwa akitumia ya kwangu. ” “Oke. Sasa itabidi tumkodishe mwanamke, tumwambie ajifanye shangazi yako , aiige sauti , wewe utamwambia sauti ya shangazi ilivyo. ” “Shangazi ana sauti ndogo sana , utadhani mtoto.” “Ah! Kumbe ni hivyo , hata mimi naweza kuigiza sauti ya kitoto . Hebu pokea mwambie ongea na shangazi, ” alisema Masilinde. Mwaija aliogopa lakini mama yake aliendelea kupiga, ikabidi apokee . .. “Haloo mama .” “Umesharudi nyumbani?” “Ndiyo.” “Nipe shangazi yako. ” “Huyu hapa , ongea naye. ” Masilinde alijibana sawasawa , akavuta pumzi inavyotakiwa ili atoe sauti ya kitoto .. . “Halo. ” “Ee, wifi za leo?” “Njema, za huko Dar ?” “Huku kwema wifi , unaendeleaje na huyo binti yako?” “Tunaendelea vizuri , ila mi mwenyewe kifua kidogo si kizuri sana .” “Oo ! Pole, ndiyo maana sauti inatoka kama inataka kukatika. ” “Ee. Umeona ee?” “Ee. Pole sana. haya, nilitaka kukusalimia tu wifi maana huyo aliniambia alitoka, nikamwambia akirudi niongee na wewe .” “Asante sana wifi yangu. Msalimie sana Masilinde.” “Haya zimefika wifi .” Baada ya kumaliza kuongea na mke wake akijifanya ni shangazi mtu, Mwaija na Masilinde walicheka kiasi cha kushindwa kuhimili na kujishika matumbo yao lakini kumbe simu ilikuwa haijakatwa upande wa pili.. . itaendeleaaa

...

JAMANI BABA Sehemu 16 ILIPOISHIA Asante ila mimi nataka talaka yangu tu kama amekwambia kuhusu kumfumania na mwanangu. ” “Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu , mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa mzee Bakari na yule mzee wa genge la Mwembeni, ulimwambia mumeo ?” TEMBEA NAYO MDOGOMDOGO. ... Kitendo cha kusema maneno hayo tu, Masilinde akaona afadhali kwamba naye alipata pa kujitetea kwani hata mke wake aliwahi kufumaniwa. “Kumbe alishawahi kufumaniwa?” “Ndiyo.” “Na nani?” “Kwa mzee Bakari, yule mzee muuza genge mtaa wa pili ” alisema mzee Kimanama . “Mama Mwaija umesikia hayo? Unanishia bango wakati hata wewe umewahi kufumaniwa ?” Masilinde alimwambia mkewe . “Wala sijawahi kufumaniwa, halafu we mzee acha uchuro wako hapa. Nataka talaka yangu ... ” “Talaka sikupi, kama umenifumania, na wewe ushawahi kufumaniwa, kwa hiyo ngoma droo, kama umefunga na mimi nimefunga. ..”“ Nasema hivi nataka talaka yangu. ” “Mimi si ndiye muandikaji wa talaka , siwezi kutoa ...halafu niliweka nadhiri kwamba katika maisha yangu sitakuja kutoa talaka mpaka naingia kaburini... ” Kwa hasira, mama Mwaija akamgeukia Mwaija . “Halafu na wewe ni lazima uondoke hapa nyumbani, nikipewa talaka na wewe safari kwani siwezi kuendelea kuishi na mtoto mwenye tabia chafu kama yako ... ” “Nisamehe mama, sitorudia tena ... ” “Hakuna cha msamaha, ungekuwa umefanya kosa lingine ningekusamehe lakini siyo kufanya mapenzi na baba yako, kwa mwanamke yeyote ni aibu kubwa sana .” Hapohapo akamgeukia mzee Kimanama .“ Na wewe mzee mbeya , umesema kwamba nimefumaniwa, lini nimefumaniwa?” “Unajifanya hukumbuki ?” “Na nani?” “Si yule mzee muuza genge, alijifanya kukuongezea vimbogamboga kumbe alikutaka na ukaingia mkenge, tena mzee nuksi sana kwa wake za watu yule. ..” Mama Mwaija akakasirika, alijua kwamba hakuwahi kufumaniwa ila mzee huyo alikuwa akidanganya, alichokisema ni kwamba waende kwa mzee huyo, kweli wakaenda na kumkuta akiwa amesimama nje . “Karibuni. ..” “Asante , wewe mzee , hujawahi kufumaniwa na huyu mwanamke ?” aliuliza mzee Kimanama . “Mwanamke gani ?”“Usijifanye hujui, kwani hapa wanawake wapo wangapi?” “Namuona mmoja tu. .” “Sasa kama unamuona mmoja kwa nini unauliza jibu? Aya tujibu .” “Sijawahi kufumaniwa naye , kwanza hata mapaja yake tu sijawahi kuyaona .” “Wewe mzee muogope Mungu , leo unaruka na wakati siku ile ulipigwa mpaka picha !’ “Nimekumbuka sasa , kweli nilishawahi kufumaniwa, ila si na huyu mwanamke, yule alikuwa mama Mwajabu , yule wa mtaa wa tatu, mwanamke mweupe wa Kitanga aliyefanana na mkeo ,” alisema mzee huyo , alionekana kukasirika na hivyo kumzingua mzee Kimanama. “Huo sasa utani .. .” “Kama ni utani basi jua wewe ndiye umeanza kunitania, kwanza naomba muondoke nyumbani kwangu kabla sijawaitia polisi . ”Hawakuendelea kusubiri, tayari Masilinde akaonekana kushindwa, alichokifanya mara baada ya kufika nyumbani ni kuanza kuomba msamaha kwa mkewe kwa kilichotokea . “Mke wangu naomba unisamehe ni shetani alinipitia nakuahidi sitarudia tena kosa hilo , nisamehe mama na nipo chini ya miguu yako,” Masilinde alimwangukia mkewe . “Ukitaka tuelewane kuna sharti moja .” “Lipi ?” “Huyu malaya sitaki akae hapa nyumbani. ” “Eeeh ! Amekuwa malaya tena, huyu si mtoto wako wa kumzaa!” “Hata kama , umekubaliana na mimi?” “Sawa . Kwa hiyo nikampangie chumba ili atoke hapa?” “Umpangie chumba! Nani kasema hivyo , unataka uwe unajiachia kila siku, haiwezekani, huyu arudi Tanga.” “Arudi Tanga?” “Ndiyo.” “Mbona unamtupa hivyo ?” “Mimi si ndiye mama yake ! Arudi Tanga .” Kwa sababu mke wake aliamua hivyo na hakutaka kumpoteza kwa kuendelea kudai talaka, akakubaliana naye. Alichokifanya mzee huyo ni kumsisitizia Mwaija kwamba waendelee kuwasiliana hata kama angekuwa wapi kwani bado moyo wake ulimpenda sana na hakutaka kumuacha. “Kwa hiyo ndiyo hivyo baby, tuwe tunawasiliana, usimuogope mama yako, kutembea nje ya ndoa ni faulo za kawaida tu, kama kuchezewa rafu uwanjani, ” alisema mzee huyo .Siku iliyofuata mama Mwaija aliamua kumrudisha Mwaija Tanga. Mawasiliano na msichana huyo yaliendelea kisiri na baada ya wiki moja, mzee huyo akamtumia binti huyo nauli na kumvuta tena Dar , kipindi hiki akampangia chumba kabisa, mtaa wa Tandale karibu na Kwa Mtogole. “Utakuwa ukiishi hapa mpenzi , hapa sasa kwa raha zetu , mama akipiga simu, mwambie upo Tanga, siku nyingine akisumbua sana, kata simu kisha baadaye utamwambie network inazingua, ” alisema mzee huyo . “Sawa kipenzi .” Wakabusiana na mzee kupata kiburudisho chake kwa saa moja na kisha kurudi nyumbani huku akiwa mwepesiii, hakuacha kumtembelea Mwaija nyumbani hapo , kazi ikawa ni kujilia tunda kila siku. Itaendeleaaa.

...

JAMANI BABA Sehemu 15 ILIPOISHIA: “Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . .. “U .. .u .. .uta .. .a .. .nza li .. .li ?” Maneno hayo ya Masilinde yalimshtua mama Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama ndani. .. SASA JIACHIE MWENYEWE .. . “Haa! Mume wangu jamani ?!” alisema kwa mshtuko mama Mwaija na kupiga mwereka . Hakuamini macho yake kwani alimkuta mumewe akiwa uwanjani kabisa na akicheza mechi sawasawa. .. “Mwaija ,” aliita Masilinde akitoka uwanjani . “Baba , mama kafa. ..mama kafa,” alisema Mwaija huku akitoka kitandani na kuanza kulia kwa sauti.. . “Nyamaza Mwaija , mama hajafa , amepoteza fahamu tu na ataamka muda mfupi ujao, ” alisema Masilinde akiwahi kumziba kinywa ili asiendelee kulia. “Kweli baba mama hajafa?” Mwaija alimwuliza Masilinde baada ya mzee huyo mkware kutoa mkono kinywani mwake . “Mwaija naomba yaamini maneno yangu , mama yako hajafa!” Masilinde alimwambia Mwaija . “Kama hajafa itakuwa afadhali, ila sijui nitamwambia kitu gani anielewe baada ya kutufumania,” Mwaija alimwambia Masilinde ambaye alimweleza asiwe na wasiwasi kwa hilo . Kwa mbali , mama Mwaija alichezesha mguu wa kulia kisha akakohoa, kidogo Mwaija akapata amani ya moyo ... “Lakini baba unadhani mama akiinuka atanifanya nini mimi?” “Usiwe na wasiwasi Mwaija, nitazungumza naye, atakuelewa tu.” “Mh ! Ataniua , mi namjua vizuri mama. ” “Hawezi kukuua Mwaija, hata mimi namjua vizuri mke wangu. ” Wakati wote huo , si Mwaija wala Masilinde aliyekuwa amevaa nguo. Hakuna aliyekumbuka kwamba walikuwa kama walivyozaliwa. Mama Mwaija alifumbua macho , akaangaza kulia , kushoto na kujishangaa. Aliinuka na kukaa kwa muda kisha macho yake yakatua kwa Mwaija ... “Mwaija mwanangu ,” aliita mwanamke huyo na kuanza kulia huku akiendelea kusema ... “Nimekukosea nini mimi mama yako mpaka kunitenda vile mwanangu jamani ?” “Mama nisamehe... ” “Nikusemehe nini Mwaija , hukujua kama huyu ni baba yako ? Hata kama hajakuzaa lakini ni baba yako maana ni mume wa mama yako. ”“ Mke wangu ungesimama kwanza twende chumbani kwetu,” alisema Masilinde. .. “Sitaki , kwanza naomba unipe talaka yangu. Unatembea na mwanao Masilinde?” “Twende tukaongee sasa mke wangu. ” “Nimesema sitaki .” “Mama msikilize baba, ” alisema Mwaija ... “Mwaija tulia. ..kwanza nataka kukuuliza, umeshatembea na baba yako hii leo mara ya ngapi?” “Ni leo tu mama.” “Siyo kweli. Naanza kuhisi hata kule gesti mlikuwa wote . Yule mwanaume wa gesti ni wewe Masilinde.” “Si mimi mke wangu. ” “Ni wewe bwana, unabisha nini ? Huyu binti ni mgeni kabisa mtaani, kusema amepata mwanaume mara hii, mimi nakataa.” Masilinde alibaki kimya. Aliona kimenuka. Alianza kujutia kitendo chake cha kutembea na binti yake huyo hali akijua ni mtoto wa mke wake .. . “Masilinde,” aliita mama Mwaija. “Naam.” “Nini kimekuvutia kwa mtoto wako ? Hilo umbo au uzuri wa sura ?” Masilinde kimya! “Nijibu Masilinde!” “Ushetani tu mke wangu. ” “Kwa hiyo shetani wako wewe ni mpaka kwa mtoto wako ?” “Ni bahati mbaya mke wangu .” “Mh ! Mimi nataka talaka yangu... we unadhani mimi nitaishi vipi na mwanangu kwenye nyumba hii wakati umeshalala naye ?” “Nitafanya kitu mke wangu .” “Kitu cha ?” “Kitu cha kukufanya uishi na amani.” “Kitu gani ?” “Nitampangia chumba huyu Mwaija nje ya hapa nyumbani.” “Ili upate nafasi ya kwenda kila siku kwake, si ndiyo?” “Sina maana hiyo.” “Maana yako ni ipi Masilinde?” Mara, mlango uligongwa, mzee mmoja anaitwa Kimanama aliingia .. . “Karibu mzee wangu ,” alikaribisha Masilinde kutokea chumbani, akatoka na yeye kwenda sebuleni.. . “Bwana mi sikai, nina shida kidogo ,” alisema mzee Kimanama huku akikaa japokuwa alisema hakai. .! “Nakusikiliza, ila hata mimi nafurahi umekuja mzee wangu. Kuna tatizo hapa ... ” “Lipi tena ?” “Aaah ! Mke wangu amenifumania,” alisema Masilinde bila woga , akili haikuwa yake. Moyoni hakuwa tayari kumpoteza mama Mwaija ... “Mke wako amekufumania ?” “Ndiyo.” “Na nani?” “Na mtoto wake !” “Na mtoto wake ?” “Ndiyo.” “Ambaye si wa kumzaa wewe?” “Si wa kumzaa mimi. Nimemkuta naye .” “Sasa ?” “Anadai talaka, yuko ndani chumbani.” “Hebu mwite. ” Masilinde alikwenda kumwita mkewe , akamwita na Mwaija , wote wakajaa sebuleni ... “Mama pole sana ,” mzee Kimanama alimwambia mama Mwaija . “Asante , ila mimi nataka talaka yangu tu kama amekwambia kuhusu kumfumania na mwanangu. ” “Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu , mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa mzee Bakari na yule mzee wa genge la mwembeni, ulimwambia mumeo ?”itaendeleaa

...

JAMANI BABA Sehemu 14 ILIPOISHIA: Alishika kitasa, akakizungusha , mlango ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. . “Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ” alisema moyoni Masilinde huku akimalizikia kuingia chumbani humo .. . “We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia kufanya nini mume wangu jamani?” SOGEA NAYO MWENYEWE ... Masilinde alisimama mlangoni na kugeuka kumwangalia mke wake . .. “Nimesikia kama Mwaija analia, sasa nimekuja kumwangalia , hebu ingia wewe,” alijitetea mwanaume huyo ...“ Kinachomliza ni nini sasa, asisemwe?” alisema mama Mwaija huku akienda chumbani kwa Mwaija . .. “Na mimi nimehisi hivyohivyo , pengine ulivyomsema.” Kule chumbani, kumbe Mwaija alikuwa macho . Hata yeye alijua baba yake huyo wa kambo angeenda kumpa msosi wa usiku ndipo alale kwa hiyo alisikia mlango ukifunguliwa na alisikia swali la mama yake kumuuliza mumewe anakwenda kufanya nini chumbani kwa mtoto. Pia, Mwaija alisikia utetezi wa baba yake kwamba alimsikia akilia . Kwa hiyo aliposikia mama yake anakwenda akaanza kulia ... “Ooo.. .uuui! uiiii ... ” “Wewe nini?” aliuliza mama yake baada ya kuzama ndani . “Kichwa mama .” “Dawa si umekunywa?” “Nilikunywa .” “Ulikunywa ngapi ?” “Vidonge viwili. ” “Ulibakiza vingine ?” “Ndiyo.” “Basi vimalizie, ” alisema mama Mwaija , lakini mume wake akagoma . .. “Hapana! Hawezi kunywa dawa nyingine muda huu . Lazima yapite masaa manne mpaka matano .” “Haya , lala mpaka yapite masaa matano ndipo unywe tena , umesikia ?” “Sawa mama ,” alisema Mwaija huku moyoni akisema.. . “Wewe, umekutana na watu wajanja kuliko wewe, kalale mama, utazeeka bure kunifuatilia kila saa .” “Labda na wewe baba Mwaija ungeingia umpe moyo kwamba asiwe na wasiwasi maana naona kama anatetemeka ,” mama Mwaija alimwambia mumewe aliyekuwa amesimama nje ya mlango ... “Kweli ,” alisema baba huyo huku akizama . Kutokana na udogo wa chumba, mama Mwaija hakuona sababu ya kubaki humo , akatoka na kusimama nje .. . “Au kama anahisi kichwa kimekazana akitie maji,” alisema mama Mwaija ... Masilinde alipozama ndani tu alirudisha mlango huku akisema .. . “Naona leo kuna mbu wengi sana.” Alikwenda kusimama jirani na kitanda na kumwinamia Mwaija, akamsogelea na kutoa ulimi, Mwaija akaudaka... “Mmmmm.. ..” “Mmmm.. .mmmm.” Waligugumia wote lakini kwa tahadhari kubwa ili mama Mwaija asisikie kule nje ya mlango. .. “Lakini huyo tangu utoto kichwa chake si kizuri ,” mama Mwaija alisema. .. “Halafu naye ana tabia ya kutopenda kutumia chandarua,” aliendelea kusema mwanamke huyo.. . “Mwaija ,” aliita Masilinde... “Niambie mpenzi wangu. ..” “Mbona mama anaongeaongea sana ?” “Hata mimi namshangaa ...” “Basi nipe tena denda mpenzi wangu ,” alisema Masilinde, akapewa .. . “Mmmm.. .” “Mmmmm.. .mmm.. .” “Mwambie asilie , akizidiwa asubuhi nitampeleka hospitali akapime malaria ,” mama Mwaija aliendelea kushauri , kukosoa na kuelekeza wakati wenzake walikuwa wamezama kwenye dimbwi la mahaba mazito , denda hadi mate yanachuruzika. .. “Akikusumbua mchape makofi mume wangu , mtoto mdogo kama huyo asitupelekeshe sana ,” aliendelea mama Mwaija . Sasa, Masilinde alianza kumshikashika Mwaija sehemu mbalimbali za mwili kiasi kwamba, Mwaija akajikuta anashindwa kuvumilia na kuanza kuweweseka ... “Jamani baba ... ” “Haaa ! Atasikia mama yako wewe , kelele za nini sasa?” alisema Masilinde lakini akaendelea, safari hii akamshika nido na kuminyaminya. .. “Baba jamani !” “Weee . Acha kusema kwa sauti. ..” “Halafu kama hataki kulala mwache si tukalale,” kule nje mama Mwaija aliendelea kusema huku akipiga mwayo wa usingizi... “Hebu lala basi tumalizie hapahapa chapuchapu ,” Masilinde alimwagiza Mwaija .. . “Weee , mama akiingia je ?” “Si chapuchapu ? Kwani hujui maama ya chapuchapu?” Mwaija aliamini kuwa , kwa uchapuchapu aliousema Masilinde kila kitu kingekwenda sawasawa. .. “Lakini iwe chapuchapu kweli mpenzi , ” alisema akitoa kanga mwilini mwake na kuitupia kando, akalala. Kule nje , mama Mwaija alijiuliza swali moja tu, kwamba tangu mumewe ameingia chumbani kwa Mwaija hajamsikia akisema chochote wala Mwaija kuendelea kulia , kuna nini ? “Halafu huyu mume wangu vipi sasa ? Mbona nampa maagizo lakini na yeye hasemi chochote kwa mtoto, ina maana gani sasa ya yeye kuingia?” alijisemea moyoni mama Mwaija . Chumbani mechi ya chapuchapu ilianza lakini kumbe Masilinde naye akabaini kuwa , mkewe anaweza akashtuka kwani tangu ameingia hajasema chochote . Kwa hiyo ili kumzuga akaanza.. . “Halafu kumbe wewe Mwaija hutumii chandarua ? Hii si malaria ? Ni kwa nini lakini?” “Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . .. “U .. .u ...uta .. .a ... nza li ...li ?” Maneno hayo ya Masilinde yakamshtuka mama Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama ndani. ..itaendeleaa

...

JAMANI BABA Sehemu 13 ILIPOISHIA Mwaija alitoka, akarudi nyumbani huku miguu ikimtetemeka. Alijua mama yake atamla nyama siku hiyo. Alipofika, alisukuma mlango akaingia ndani. .. “Ukitaka salama yako Mwaija uniambie ukweli ni mwanaume gani uliyekuwa naye pale gesti ? . Usinidanganye maana mimi nilimwona kwa macho yangu ,” alisema mama Mwaija . ENDELEA ... Mwaija alianza kutetemeka kwa mbali akiamini mama yake atamtoa sikio kama si kiganja cha mkono.. . “Mama nisamehe sana .” “Nikusamehe kwa sababu gani?” “Nisamehe tu mama, najua nimekukera sana.” “Nimekuuliza ulikuwa na nani?” “Na mwanaume mmoja hivi .. .” “Anaitwa nani?” “Abdallah .” “Anaishi wapi ?” “Kule chini.” “Mlikutana wapi mpaka mkakubaliana kuingia gesti?” “Siku ile ulinituma mayai dukani ndiyo nikakutana naye akaomba namba yangu.” “Ahaa ! Sasa kumbe wewe umekuja Dar kwa ajili ya kufanya uhuni siyo?” “Hapana mama ... ” “Huyo Abdallah kijana mzee ?” “Yuko kama baba wa hapa ndani .” “Kwa hiyo kumbe wewe siku moja utaweza hata kunisaliti mimi mama yako ?” “Hapana mama , siwezi kufanya hivyo . ” “Unaweza ,” alisema mama Mwaija huku akimsogelea mwanaye amchape makofi mawili matatu kabla hajampa ushauri wa kimapenzi, mara alisikika mtu akiingia akajua ni mumewe na yeye hakutaka mume wake ajue kuhusu habari ya yeye kumkuta Mwaija gesti ... “Vipi mbona kama hamna amani humu ndani ?” aliuliza Masilinde akijifanya hajui chochote na sura za wote wawili zilikuwa zikionekana kuwa na tafrani ... “Si huyu Mwaija .” “Amefanya nini ?” “Nimekwenda msibani, nimerudi hajafanya kazi yoyote ile .” “Kwa nini , ye anasemaje ?” “Hala na kusema ndiyo maana nikawa namsema hapa.” “Ah! We Mwaija , umeanza uvivu wako siyo?” “Hapana baba , nilikuwa nahisi kama kichwa kinaniuma ndiyo maana .” “Umekunywa dawa ?” “Sijanywa .” “Sasa mama Mwaija kumbe mtoto anaumwa kichwa angefanyaje kazi ?” aliuliza Masilinde... “Mimi siamini ndiyo maana nimemgombeza .” Kurudi kwa Masilinde kidogo kulituliza hali ya hewa kiasi kwamba mama Mwaija alikwenda kufanya kazi zake za ndani huku akimtaka binti yake akanunue dawa anywe , apumzike. .. “Nenda kanunue dawa sawa , unywe halafu upumzike,” alisema... “Sawa mama .” *** Usiku, muda wa kulala ulifika, Mwaija alitangulia kwenda chumbani lakini alivizia baba yake amekaa sebuleni akapita hapo akiwa na kanga moja tu. Safari hii alimtingishia makusudi wowowo lake ili kumpa ujumbe kwamba wako pamoja. .. “Daaa ! Huyu mtoto ni wa kupangishiwa nyumba, kweli tena. Haiwezekani akawa ananifanyia hivi wakati anajua sina uwezo kwa usiku huu .” Moyoni Masilinde aliamua kwamba , mkewe atakapoingia kulala amzukie chumbani Mwaija . Kwa hiyo aliendelea kuwepo sebuleni huku mkewe naye akiendelea kuwepo jikoni lengo lake mumewe akiingia chumbani tu aende chumbani kwa Mwaija kumpa semina ya mapenzi mapema. Kila alipotokea sebuleni, alimwona mumewe amekaa macho pima ... “Mh ! Huyu naye halali ?” alisema moyoni mama Mwaija. Masilinde naye, kila aliposimama na kuchungulia jikoni, alimwona mkewe bado jikoni .. . “Mh ! Huyu leo vipi kwani? Wenzie tunataka cha kulalia yeye anaweka ukuta , ” alisema moyoni Masilinde. Saa saba kamili usiku , mama Mwaija na mumewe walikuwa bado hawajaingia chumbani . Lakini mwisho wa yote , mama Mwaija alishindwa yeye, akaenda kulala... “Mimi nakwenda kulala,” alisema mwanamke huyo.. . “Sa. ..aaawa ,” Masilinde naye alisema huku akisinzia. .. “Wewe bado kwani ?” aliulizwa Masilinde... “Naangalia taarifa ya habari ya ITVT ,” alijibu Masilinde bila kutambua kwamba muda ulikuwa umekwenda sana . “Taarifa ya habari saa hizi mume wangu ?” “Kwani kuna nini ?” “Ipo ?” “Si ndiyo nasachisachi hapa, ” alijibu Masilinde huku akiminyaminya rimoti. Mama Mwaija alikwenda kulala, Mwaija kule chumbani alikuwa hoi kwa usingizi, alikuwa akikoroma lakini mlango wa chumba chake ulikuwa wazi kwani wakati anakwenda kulala aliamini Masilinde anaweza kuzama ndani kama alivyowahi kufanya . Masilinde alipoona ukimya ndani mwake ni asilimia mia moja , alisimama sebuleni, akajinyoosha kisha akaanza kutembea polepole kuelekea chumbani kwa Mwaija. Njiani alikuwa akijiambia... “Nitalala mwepesi sana leo . Mtoto haishi kiu , ukimwangalia tu kiu inapanda , jamani! Kuna watu ni wanawake wengine ni wana wa wake .” Alishika kitasa, akakizungusha , mlango ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. . “Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ” alisema moyoni Masilinde na kuingia chumbani humo ... “We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia kufanya nini mume wangu jamani?”itaendeleaa

...

JAMANI BABA Sehemu 12 ILIPOISHIA : Mwaija alijua! Alijua kuwa , Masilinde alishahamasika na maneno yake , akabaini kumbe maneno peke yake ni silaha ya kumharakisha mwanaume huyo. .. “Vipi tena baby ?” “Ah! We unanichanganya dear mpaka najikuta nataka kumaliza . ..” “Pole sana baby, usimalize basi. ..lakini .. .lakini mimi wako jamani.. .au unataka kingine zaidi ?” “Sina. ..” “Haya baby ... hata mimi sihitaji kingine zaidi ya kilichopo. ..haya baby ... wewe tu.” Masilinde safari hii alipatikana, akajikuta anapiga mayowe kama mtoto mdogo huku machozi yakimlengalenga. .. “Mwaija mimi sikubali,” alisema Masilinde huku akihema kwa nguvu akiwa ameshavunja dafu lake. “Kwa. ..kwa nini ba. ..by?” aliuliza Mwaija huku akimkumbatia kwa nguvu Masilinde kumbe na yeye alikuwa akivunja dafu lake lakini kimyakimya. “Mimi lazima nikupangishie chumba Mwaija , pale nyumbani uhame , uko tayari?” “Nipo tayari baba , wewe tu,” Mwaija alijibu kwa sauti tamu , sauti ya kumnyofoa kama si kumtoa nyoka pangoni mwake . .. “Basi niachie mimi, sawa mama?” “Sawa mpenzi , ” alisema Mwaija huku akizidi kumbana Masilinde kwenye mikono yake milaini kama ya mtoto mdogo. Ilikuwa shughuli nzito , kila mmoja alionekana kumkamia mwenzake na kutojali nini kitatokea mbele ya safari. Kwa upande wake , Mwaija moyoni aliamua liwalo kwa mama yake na liwe kwani ameshaahidiwa kupangiwa nyumba na kuendelea na penzi la baba yake wa kambo huyo ... “Mama hata apige mpaka simu ijipokelee yenyewe, mimi niko na wangu saa hizi ,” alisema moyoni Mwaija huku akiendelea na mechi . Ilikuwa piga nikupige.Masilinde Alimbana Mwaija Ukutani Akimpanua Mguu Wake Mmoja Huku Akiendelea Kupiga Mikito Ya Nguvu Mpk Mwaija Akawa Anavuta Shuka Na Kuugulia Kwa Sauti Za Utamu "Iiiiiiiiiiiiiiiiiiisssssss Aaaaaaaaannnnnnh Mmmmmmmmmmmh Maaaaaamaaaaaaah"Mwaija Alikuwa Akiisikilizia Mboo Ya Babaake Inavyosugua Kwny Kuta Za Kuma Yake Na Kukiri Kweli Alikuwa Anakunwa Ipasavyo,Jasho Lilimtoka Huku Aking'ata Meno Ujanja Wote Ulimuisha Alikuwa Hoi. Mzee Masilinde Aliendelea Kutomba Kwa Haraka Zaidi Kama Mtu Aliekuwa Anawahi Kwenda Kuzima Moto Kwny Jengo Linalowaka! Hali Iliyomfanya Mwaija aachie mayowe ya kuashiria Kuwa Alikuwa Anakaribia Kufika Kileleni Huku Masilinde Nae Akifuata Kwa Nyuma.Jasho jembamba lilimchuruzika Masilinde lakini kwa sababu yeye alikuwa upande mzuri, Mwaija alitumia nafasi hiyo kumfuta jasho kwa taulo huku akihema kwa kasi. Ni Mwaija ndiye aliyeanza kutangaza kwamba anafika kwenye Kilele Cha Maraha. “Ngoja. ..ngoja Mwaija ngoja . ..ngoja bwa... na.. .aaa ... ” alisema Masilinde akiwa anaweweseka kwa dalili za kufika nayeye. Alipomaliza kusema ngoja , Masilinde akabadili , akaanza kusema ... “Haya sasa ... haya sasa Mwaija . ..haya jama.. .niiii .” Wakati akisema hivyo , Mwaija yeye alikuwa akisema.. . “Sawa .. .sawa ... sa.. .sa. ..waaa .. .” Wakanyamaza kimya wote . Kilichokuwa kikisikika hapo ni kuhema kwao tu. Mwaija alikuwa akihema kwa spidi zaidi huku Masilinde akifuatia kwa nyuma, kijasho kama kawaida . “Loo ! Tumechoka ee?” aliuliza Mwaija huku akimbusu shavuni Masilinde. .. “Asante ... ni kweli tumechoka sana loo !” alijibu mwanaume. Wote walikuwa wamelala kama walivyozaliwa pale kitandani . Hakuna aliyekuwa na aibu na mwenzake. Kuna wakati walikutana macho, Mwaija akaachia tabasamu laini huku mwanaume akikenua kinywa tu lakini bila kicheko. “Sasa baby ?” aliuliza Mwaija ... “Nini?” “Tuondoke sasa au ?” “Ni kweli , lakini tangulia wewe au?” “Hapana, tangulia wewe.” “Oke,” alisema Mwaija huku akitoka kitandani . Kutembea kwake kwenda bafuni kulimpa wakati mgumu sana Masilinde kwani alipomwangalia wowowo lilivyokuwa likijiachia , alihisi kuchanganyikiwa na kutamani kusitisha zoezi la kuondoka ili waingie ngwe nyingine.. . “Baby ,” aliiita Masilinde.. . “Yes baby .” “Kwani lazima tuondoke muda huu ?” “Wewe tu, kwani bado wewe ?” “Kama badobado. ..” “Jamani , wewe kama mimi . Pia nahisi kama badobado hivi .” “Basi njoo.” Mwaija aliingia bafuni bila kumjibu Masilinde kama anarudi au la ! Akaoga , akajifuta akatoka. Kufika chumbani akapanda kitandani huku akiwa analitupa mbali taulo alilojifunga wakati akienda kuoga... Alichekacheka kidogo kisha akamlalia Masilinde kifuani.. . “Baby simu inaita , atakuwa mama tu,” alisema Mwaija huku akiifuata simu yake ili kuthibitisha kama kweli ni mama yake. .. “Si nilikwambia atakuwa mama, ni yeye, ” alisema Mwaija ... “Usipokee ,” Masilinde alishauri . “Poa,” alikubali ushauri Mwaija huku akiiweka simu kwenye stuli. *** Mama Mwaija alikuwa amesimama dukani kwa Mshihiri na kumpigia simu Mwaija. Alifika dukani hapo kwa sababu aliambiwa na mama Snura.. . “Huyu mtoto ni mshe **i sana , kwa nini hapokei simu yangu muda wote huo ,” alisema moyoni mama Mwaija .. . “Shikamoo, ” binti mmoja jirani na nyumbani kwake alimwamkia mama Mwaija. .. “Marhaba Tina, hujambo?” “Sijambo. ” “Hajambo mama?” “Hajambo , unamtafuta nani?” “Yule mwanangu mgenimgeni.” “Yule nani sijui. ..” “Anaitwa Mwaija. ” “Nimemwona ameingia mle .” Itaendelea

...

JAMANI BABA Sehemu 11 ILIPOISHIA : “Wewe tu baby wangu, ” alisema Mwaija huku bila soni wala haya akianza kumvua nguo Masilinde ili akatwe kiu . JIONGEZE SASA . .. Masilinde alimwangalia Mwaija kwa macho ya mahaba mazito huku ulimi ukiwa nje kuashiria kwamba alikuwa akihisi raha kuvuliwa nguo na binti huyo ambaye tangu azaliwe hajawahi kumwona binti mrembo kama Mwaija . Hata kumpata kwake kimapenzi, Masilinde alitamani kufanya sherehe na kualika watu ili wajue kwamba, amebahatika kumnasa mtoto bomba kwelikweli .. . “Sijui nimhamishe pale nyumbani halafu nimtangazie ndoa ,” alisema moyoni Masilinde akiwa amelegea kila sehemu ya mwili wakati mikono ya Mwaija ikipita kumpapasa sehemu mbalimbali za mwili . “Ah! Hapo ulipopashika nimetekenyeka,” alisema Masilinde. Kwa kujua hilo , Mwaija alizidisha mbwembwe , sasa alikuwa akimvua huku anamkwaruza kwa mbali na kucha za mikono yake, Masilinde akawa kama mtoto aliyelazwa kwenye miguu ya mama yake huku akivalishwa nepi ! Alikuwa akirusharusha miguu huku na kule huku akijisikilizia kimapenzi. .. “Baby na wewe nivue na mimi, ” alisema Mwaija huku akiwa amepeleka mikono juu kumpa nafasi Masilinde naye ashike zamu yake ya kumchojoa nguo. Masilinde ile anaanza tu, simu ya Mwaija ikaita . .. “Huyo piga ua galagaza ni mama tu, ” alisema Mwaija akiwa amekosa amani. .. “Usipokee , mimi nitakutetea. Kwa hatua tuliyofika si ya kuniacha kama tulivyoingia ,” alisema Masilinde huku akimvua nguo kwa pupa Mwaija. Alimbinuabinua mpaka Mwaija akawa mtupu. Mapigo ya moyo yalimwenda kwa kasi kwa woga wa mama yake lakini kwa kuwa aliahidiwa utetezi kwa mbali alirejesha mahaba kwa Masilinde... “Iwe haraka basi ,” alisema Mwaija akimaanisha kama ni kukatwa kiu basi akatwe haraka ili awahi nyumbani.. . “Iwe haraka nini ?” alihoji Masilinde. “Nikate kiu haraka jamani tuondoke . ” Wakati Mwaija anatoa ufafanuzi wa kauli yake, Masilinde Alimvuta Karibu Na Kuanza Kumla Mate Kwanza Hakutaka Discussion Iendelee Kwani Aliona Kama Anapoteza Muda Vile Huku Mwaija Nae Hakuwa Na Hiyana Akaupokea Vyema Ulimi Wa Masilinde Na Kuanza Kucheza Nao Mdomoni,Masilinde Akahamia Kwny Kifua Na Kuanza Kuchezea Chuchu Za Mwanae Huku Akizibinya Kama Dada Wa Kazi Anaechagua Nyanya Za Mchuzi Sokoni,Akawa Anazilamba Chuchu Taratibu Kabxa Na Ulimi Wake Mwaija Alikuwa Hoi Kabxa Hapo alimsahau mama yake kwamba anapiga simu kwani iliendelea kuita."Uuuuuuuuuh Oooooiosssh Aaaaaaanh Byb Nakupenda"Alijibinua Mwaija Kwa Raha Anazopata Kwani Joto La Mwili Lilipanda Si Mchezo Huku Masilinde Sasa Akashuka Hadi Kwny Kuma Na Kuanza Kuchezea Kisimi Kilichokuwa Kimedinda Na Kuwa Chekundu Kama Pilipili,Mwaija Alihemea Juujuu Kama Mtu Aliebanwa Pumzi,Masilinde Safari Hii Alizama Chumvini Kabisa Akiilamba Kuma Ya Mwanae Kiufundi Hali Iliyomfanya Mwaija Achizike Na Kuanza Kuongea Maneno Yasiyoeleweka Mpk Akakojoa Maskini Masilimde Akaanza Kumcheka...Mwija Aligeuza Kibao Akaishika Mboo Ya Babaake Iliyokuwa Imevimba Na Imekakamaa Misuli Kwa Uchu Wa Kuma Kwani Tayari Ilishaanza Kutoa Ute Mwepesi Kwa Mbali Mwaija Aliichezea Kwa Mikono Yake Taratibu Na Kuanza Kuilamba Kwa Ulimi Wake Pale Kwny Kichwa Masilinde Alitetemeka Kdg Ndipo Alipoibugia Mboo Yote Mdomoni Na Kuanza Kuinyonya Kama Pipi Ya Kijiti Huku Akimlegezea Jicho Babaake Hali Iliyomfanya Masilinde Kuwehuka Na Kutokana Na Lile Joto La Mdomoni Ndo Kabsaaaa Alidata... Mwaija Hakutaka Kuelekezwa Chochote Akaipandia Mwnyw Mboo Akaiingiza Taratibu Kwny Kuma Akaikalia Na Kuanza Kujipump Juu Chini Ooooooh Aaaaashhhhhh Uuuuh Byb Taaamuuuu Huku Masilinde Akimchezea Maziwa Kifuani Chuchu Saa Sita Chuchu Zimesimama Hatari Mwaija Aliendelea Kujipimia Mwnyw Huku Akimshika Masilinde Mabegani. Uuuuuuh Byb Aaaaaah Mboo Yako Tamu Baba,We Ni Wangu Sikuachi Jamaaaniii Oooosh" Maneno yalimtoka Mwaija , lengo lake ilikuwa kumhamasisha Masilinde ili afike mapema kwenye kilele cha mlima waliokuwa wakiupanda kwani hata yeye alishaanza kuwa na dalili za kufika hapo ila alipunguza kasi ili wafike wote kwa ushindi wa kishindo. Masilinde alibadili aina ya mchezo, sasa ikawa Mbuzi Kagoma Kwenda Huku Mwanae Akimpa Ushirikiano Kwa Kuyapanua Matako Yake Barabara Ili Mboo Ipite Vzuri Bila Kipingamizi Huku Akiugulia Aaaaaaah Iiiiiiiishhhhh Nitombe Baba Nitombe Kuma Yako Hii Chukua,Ingiza Yote,Nipe Baba Yote Mpk Mwisho Uuuuuuuh Byb" Mapozi yote hayo , Mwaija alichanganyikiwa... “We mzee .. .si unioe .. .” “Mwa ... Mwa.. .ija mzee nani?” “Naku ... nakutania we mpenzi wangu ,” alisema Mwaija kupoza lakini pamoja na utani huo , Masilinde Alimweka Mwaija Style Ya Kifo Cha Mende Mwaija akaachia , mguu wa kulia mashariki, wa kushoto magharibi , Masilinde Alipiga Mikiki Ya Hatari Alipump Nje Ndani Huku Akila Denda Taratibu Na Baadae Akahema kwa nguvu na kutangaza kuvunja dafu, mwaa akadakia .. . “Hata mimi. ..hata mimi ...hata mi. ..mi ...mimiiiii .. .” *** “Hivi huyu mbwa ananitafutia nini mimi ?” mama Mwaija alisema akiwa bado msibani. Yeye alitaka kumpa maagizo f ’lani . “Mbona umekasirika mwenzetu?” aliuliza mwanamke mmoja swali likimwelekea mama Mwaija. .. “Si binti yangu. Nampigia simu nimpe maagizo hapokei.” “Ni yako yule niliyemkuta kwako siku ile anafagia nje?” aliuliza mwanamke huyo mama Snura. .. “Ndiyo yuleyule .” “Mimi wakati nakuja nimekutana naye pale kwa Mshihiri anaongea na simu , vicheko vingi,” alisema mwanamke huyo . “Ha ! Ina maana hayuko nyumbani?” “Itakuwa. Kwa jinsi alivyovaa, atakuwa anakwenda kwa wanaume. Kwani unamchunga, si mtu mzima yule?” “Mama Snura, mtu mzima ndiyo, ana miaka ishirini na moja lakini si wakati wake kuwa na wanaume huu . Asubiri kwanza.” “Mh ! Mimi sichungi mtoto akifikisha miaka kumi na nane , dunia itamfunza.” *** Masilinde kawaida yake mechi ya kipindi cha kwanza humpa ari ya kurudi uwanjani raundi ya pili hivyo alipopumzika kidogo tu, akadandia tena kwa nguvu zaidi ya zile za kwanza... “Baby wewe bado ?” aliuliza Mwaija .. . “Bado , si unaniona!” “Nakuona , haya baby . Wewe tu baba ... niko kwa ajili yako. ..mimi pia najikuta bado kwa sababu wewe bado .” Maneno hayo ya Mwaija yalimchochea sana Masilinde kiasi kwamba, kule kuanza mechi tu, washambuliaji walitaka kuingia uwanjani kwa wingi kushangilia ushindi , ikabidi Masilinde asitishe kidogo zoezi ili kujipa muda wa kuanza tena. Mwaija alijua! Alijua kuwa , Masilinde alishahamasika na maneno yake , akabaini kumbe maneno peke yake ni silaha ya kumharakisha mwanaume huyo. .. “Vipi tena baby ?” “Ah! We unanichanganya dear mpaka najikuta nataka kumaliza . ..” “Pole sana baby, usimalize basi. ..lakini . ..lakini mimi wako jamani.. .au unataka kingine zaidi ?” “Sina. ..”itaendeleaa.

...

JAMANI BABA Sehemu 10 ILIPOISHIA “Oooh ! Sasa?” “Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?” “Ee, ndiyo .” “Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba unikate kiu kwelikweli mpenzi wangu.” SEPA NAYO SASA . .. “Hilo wala si ombi ni jukumu langu mimi kama mpenzi wako , mimi kama mkata kiu wako na mimi kama mumeo mtarajiwa, ” alisema Masilinde huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa kasi ya ajabu kwani alikuwa bado hajaamini kama amefika mahali binti mbichi kabisa , aliyeumbwa akaumbika kama Mwaija anafikia hatua ya kuomba kukatwa kiu na yeye . “Sasa sikia , ulizia watu Kwasandarusi ni wapi , watakuonesha mimi utanikuta nimekaa nje .” “Sawa baby ,” alijibu bila woga Mwaija .Mwaija alifunga nyumba huku sauti ya mama yake ikisikika masikioni mwake . ..“ Mimi nakwenda msibani tena, naomba usitoke nyumbani Mwaija .” “Sawa mama .” “We sema sawa mama halafu nirudi nikute haupo.” “Haitatokea mama. ” “Sawa .” “Aah! Sasa nikianza kuogopa maneno ya mama nitalala na kiu yangu, ye’ ikifika usiku atakatwa kiu, mimi je ?” alijipa moyo Mwaija huku akianza safari ya kuelekea Kwasandarusi.. . “Eti we mtoto, hujambo ?” “Sijambo, shikamoo.” “Marahabaa . Eti Kwasandarusi wapi ?” “Pale penye mikokoteni nje ,” alijibu mtoto mmoja aliyekuwa akicheza mtaani . “Haya asante ee?” alishukuru Mwaija . Mwaija alitembea kuelekea Kwasandarusi , kwa mbali alimwona mama yake wa kambo amekaa nje kwenye fomu ... “Nikifika nitamwonesha maajabu , nitamkumbatia, ” alisema moyoni Mwaija . “Kweli , alipofika, wakati Masilinde anasimama ili kumkaribisha, Mwaija akamvaa na kumkumbatia kisha mabusu mfululizo yakafuatia ... “Mmm.. .mwaaa ... mmmmmwaaa ... mmmmwaaa!” Masilinde tayari alishafika kitandani kihisia japokuwa mabusu yale yaliwashangaza wengi kwani waliowaona walibaini tofauti kubwa ya umri kati ya Masilinde aliyeonekana kama ana miaka 50 na Mwaija aliyeonekana ana miaka kama 20 tu! “Yule si kama mtoto wake?” alisema mzee mmoja akiwa jirani na eneo la waliposimama wawili hao .. . “Yahe siku hizi ukifuata umri utaachwa! We angalia wapi umelenga ,” alisema mwenzake wakiwakodolea macho akina Masilinde. “Nikwambie kitu my love,” alianza kusema Mwaija. “Nambie tu. ”“ Mama alinionya kuhusu kutoka nyumbani.” “Kwa hiyo?” “Kwa hiyo twende haraka , kila kitu kiende haraka ili niwahi kurudi kabla hajarudi. ” “Sawa . Sasa unaona lile geti la mwisho pale?” “Ndiyo.” “Ile ni gesti , inaitwa Kichapo! Nenda pale ingia mimi nakuja nikukute imesimama mapokezi , sawa?” “Sawa ,” alisema Mwaija akiwa ameshaanza kutembea kuelekea kwenye gesti hiyo ya Kichapo. “Hodi. ..hodi wenyewe,” Mwaija alibisha hodi baada ya kuhisi ukimya umetawala . “Karibu, ” sauti ya mwanaume ilisikika kutokea ndani. Mwaija alisimama mapokezi. .. “Kuna mtu kaniambia nije nimsubiri hapa mapokezi,” alisema Mwaija akiwa anaogopaogopa... “Nani, au Masilinde?” mtu wa mapokezi alimuuliza. “Mh ! Mi simjui jina . ” “Sasa we utakujaje na mtu humjui jina ?” “Hayakuhusu ,” alikuja juu Mwaija .. . “Halafu pamoja na kuja kumsubiri mtu, we mtoto umeumbika kweli ungekuwa na mtu kama mimi ungefaidi. Ningekununulia simu ya maana, viatu vizuri , yaani ungependa mwenyewe, ” alisema yule mtu wa mapokezi. “Sina shida navyo,” alijibu Mwaija , safari hii akionesha hasira za waziwazi . Mtu wa mapokezi aliposikia mlio wa viatu alijikausha akijua aliyemtuma Mwaija kumsubiri hapo anaingia ... “Karibu sana. ” “Asante . Kuna chumba ?” “Kipo. ” “Naomba. ” Masilinde alichukua chumba akazama ndani na Mwaija. .. “Eti baby, we unaitwa nani?” aliuliza Mwaija mara baada ya kukaa tu. “Kwani vipi dear, hujui jina langu ?” “Silijui . Nani ataniambia na kwa ajili ya nini ?” Masilinde alipiga hesabu za haraka akagundua kuwa, kuuliza kwa Mwaija kumekuja kwa kuambiwa na mhudumu wa gesti hiyo. .. “Huyu haiwezekani tumeingia chumbani kukaa tu, anaulina naitwa nani? Lazima kaambiwa jina langu na yule kijana. Na kama ni kweli kwa kamwambia kwa sababu gani na ili iweje ?” alijiuliza Masilinde.. . “Mimi naitwa Mathayo, ” Masilinde alilitaja jina lake la kwanza ambalo alijua muhudumu wa gesti halijui. “Ooo! Maana yule kaka kaniuliza umekuja kumsubiri nani? Nikasema simjui jina , akasema au Masilinde nini ? Sasa nikawa najiuliza inawezekana ukawa unajulikana kwa jina hadi gesti?” “Simjui mimi na ni mara yangu ya kwanza kuingia humu . Kumbe mzuri kidogo, si tutakuwa tunakujakuja hapa mara mojamoja?” aliuliza Masilinde...“ Wewe tu baby wangu,” alisema Mwaija huku bila soni wala haya akianza kumvua nguo Masilinde ili akatwe kiu . itaendeleaaa

...

JAMANI BABA Sehemu 09 ILIPOISHIA : “Uko poa ? Nimekumisi sana !” “Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba , niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani kwangu?” ENDELEA SASA .. . “Angejua unadhani angekuacha?” “Najua asingeniacha , lakini mbona kama leo kaamka vibaya kuliko siku nyingine?” “Mvumilie , ndivyo anavyokuaga wakati mwingine, mimi namjua .” “Nilidhani alijua , maana kama nakiona kifo njenje.” “Usijali Mwaija. Sasa leo inakuaje?” “Nakusikiliza wewe baba .” “Huwezi kutoka tukakutana mahali ?” “Mama nitamwambia naenda wapi ?” “Kusuka .” “Ataniuliza pesa nimepata wapi, nitasemaje?” “Utamwambia nimekupa mimi. ” “Mh ! Baba , hatanielewa.” “Atakuelewa tu, mimi akiniuliza nitajua cha kumwambia.” “Halafu si itabidi nikasuke kweli? Maana nikirudi sijasuka je ?” “Utamwambia ulikuta foleni na muda unazidi kwenda ndiyo ukaamua kurudi .” “Basi nitajaribu baba. ” “Sawa Mwaija halafu kuna kitu kingine nataka kukwambia...” “Kipi hicho baba jamani ?” “Usiniite baba . Niite dear au mpenzi. ” “Usijali basi my dear. ” Masilinde alihisi damu zikitembea kwa kasi mwilini na msisimko juu kwa kusoma meseji akiitwa dear! “Safi sana ! halafu kingine tena. ..” “Kingine tena nini jamani mpenzi wangu ?” “Mh ! We mtoto unajua kusakata kabumbu kitandani. ” “Kuliko wewe dear?” “Unanishinda .” “Sikushindi ila ufundi wako ndiyo unaonifanya na mimi unione fundi .” “Loo ! Mwaija mpenzi ... unapenda staili gani zaidi ili tukikutana nikupe hiyo .” “Mmm! Kwa wewe yoyote ile lakini ile ya kagoma kwenda nzuri , nyingine napenda ile ya kujiandaa kuunga mchuzi kwa nazi .” Masilinde alibaki hoi. Kagoma kwenda hakujua ni nini, kujiandaa kuunga mchuzi kwa nazi pia hakujua ni nini ! Kuuliza akashindwa, akabaki kimya na kujifanya anajua kila kitu . “Hizo zote utazipata leo tukikutana . Halafu we mtoto umeumbwa vizuri sana, uliumbwa asubuhi nini? Maana loo !” “Siyo sana jamani dear , kidogo tu.” “Loo ! Mtoto kila kitu kipo sawasawa . Ukitembea unatembea kweli . Ukikaa umekaa kweli. Kulia na kushoto umejazia , uani ndiyo balaa ,” Masilinde alimsifia Mwaija huku mwili ukiwa tayari moto . “Mh ! Jamani my love. Wewe je , umeumbwa vizuri , mama anafaidi sana ndiyo maana nataka tukufaidi wote .” “Tena wewe utanifaidi sana kuliko mama yako .” “Hayo maneno sasa mpenzi wangu, ” alisema Mwaija. .. “Wewe muda mrefu nakuona unaminyaminya simu, unawasiliana na nani?” mama Mwaija alisema kwa hasira huku akimsogelea ... “Mama nilikuwa nawasiliana na rafiki yangu Tanga.” “Nani?”“ Anaitwa Rehema .” “Mnawasiliana kuhusu nini ?” “Kuna vitu vyangu f’lani ,” alisema Mwaija huku akifuta meseji zote za baba yake . “Hebu tuone hiyo simu yako. ” Mwaija alimpa simu mama yake huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa kasi kwani alijua baba yake anaweza kutuma meseji muda huohuo kulingana na walivyokuwa wakichati. Bahati nzuri sana ndani ya simu hiyo kulikuwa na meseji za Rehema ambapo mama huyo alipoziona bila kuangalia muda wala tarehe aliamini... “Bahati yako, nilidhani unawasiliana na wanaume. Nikija kusikia una wanaume nitakukata masikio yako. ” “Siwezi mama, si unaona mimi nashinda humuhumu ndani .” Ile Mwaija anashika simu yake tu, meseji kutoka kwa Masilinde inaingia. .. “Muage mapema mama yako kwamba utakwenda kusuka .” Mwaija alikunja sura maana alijua lilikuwa bomu zito kama mama yake angeiona meseji hiyo. “Poa, lakini usitume tena meseji, kuna wakati simu alishika mama.” Masilinde alihisi mwili kwisha nguvu na kizunguzungu juu aliposikia simu ya Mwaija ilishikwa na mkewe . *** Saa kumi na moja jioni, Masilinde alitoka kwenye shughuli zake na kuanza kufikiria namna ya kuwasiliana na Mwaija maana tangu alipomwambia asitume meseji simu ilishikwa na mkewe hakuwahi kutuma meseji tena. Alifika maeneo ya nyumbani kwake kwa kubakiza kama mitaa mitatu , akasimama kwenye duka la Mchaga mmoja na kuomba msaada wa simu ... “Kuna mtu nataka kumpigia , sasa simu yangu imejiloki,” aliongopa ili aazimwe simu. Alipewa simu , akasimama pembeni kidogo . alichukua namba za simu za Mwaija akaziandika kwenye simu aliyoomba na kuzipiga ... “Haloo,” alipokea Mwaija ... “Ni mimi baba yako , nimeazima simu kwa mtu.” “Simu yako ina nini kwani?” “Nilihofia kuitumia tangu pale uliposema nisitume meseji. Kwani mama yako yuko wapi?” “Amekwenda msibani.” “Oooh ! Sasa ?” “Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?” “Ee, ndiyo .”“ Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba unikate kiu kwelikweli mpenzi wangu.” Itaendeleaa

...

JAMANI BABA Sehemu 08 ILIPOISHIA : Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango polepole. Mwaija alishtuka ... “Haa! Baba !” “Shiiii .” SASA ENDELEA .. . “Mama yuko wapi?” “Amelala. ” “Akiamka je ?” “Hizo ni kazi za shetani lakini sitarajii kama ataweza kuamka muda huu , usingizi wake yule unakuaga mkubwa sana. ” “Kwa hiyo?” “Kwa hiyo nini ? Mimi ndiyo nimekuja hapa sasa .” “Lakini baba .. .” “Lakini baba nini Mwaija? We tufanye yetu mambo yaishe, sawa ?” “Sawa , basi funga mlango , lakini usizime taa ,” alisema Mwaija kwa sauti ya kutetemeka kwa mbali. Alishapanda joto la mahaba , alichokuwa akikihitaji ni mapenzi tu.Wakati Huo Mwaija Alikuwa Amevalia Khanga Moja Tu Iliyofanya Umbo Lake Lakuvutia Lionekane Vizuri Kabxa,Masilinde Alianza Kumtoa Khanga Iliyoacha Mapaja Ya Mwaija Wazi Kabxa Huku Masilinde Akiyashika Kwa Ustadi Mkubwa Sana Huku Mikono Ikichuruzika Mpk Matakoni Mwa Mwaija Ambae Alikuwa Akilalama Kwa Hisia Kali "Aaaaasshhhhhh,Aaannnnnnh"Masilinde Aliendelea Kumtomasa Vizuri Safari Hii Akichezea Kitovu Cha Mwaija Hali Iliyomfanya Ajibinue Kama Samaki Anaepiga Mbizi.Masilinde Alimlaza Vizuri Kitandani Wakati Huo Chuchu Za Mwaija Zilikuwa Zimevimba Kwa Nyege Na Kuwa Ngumu Na Nyekundu Ndipo Masilinde Alipoanza Kuzibugia Mdomoni Na Kuzinyonya Kama Embe Nyonyo Mwaija Hoi Kabxa Akiwa Ameishiwa Nguvu Alipanua Miguu Kuashiria Yuko Tayari Kwa Lolote Huku Ute Ukianza Kumwagiwa Kumani Ukiashiria Upo Tayari Kupokea Mboo Kutoka Kwa Masilinde...Masilinde Mboo Ilikuwa Imedinda Imevimba Kwa Hasira Huku Misuli Imekakamaa Hali Iliyomfanya Kutokupoteza Muda Wa Kuivua Chupi Ya Mwaija Na Badala Yake Akafanya Kuisogeza Tu Pembeni Na Kuanza Kuigusisha Mboo Yake Juu Ya Mashavu Ya Kuma Ya Mwaija Iliyojaa Utelezi,Alikichezesha Kwata Kisimi Cha MwaijaNa Kumfanya Aanze Kulia Kama Mtoto Mdogo Huku Akimvuta Masilinde Kifuani Na Kumkandamiza Kiunoni Hali Iliyofanya Mboo Izame Kumani Yote Huku Akirudi Nyuma Na Kuanza Kulia Kimahaba "Uuuuuuh'Aaaaaah'Ba...Ba'Taaaaaamu'Mmmmmmmh'Iiiiissssshhh' Masilinde Hakujali Kelele Hizo Aliendelea Kupiga Mikito Kisawasawa Kama Anamtomba Mwanamke Wa Rika Lake Vile.Alihakikisha Mboo Inasugua Kuta Zote Za Kuma Ya Mwanae Huyo Wa Kambo.Aliongeza Spidi Na Kuanza Kwenda Slow Huku Akikata Viuno Kwa Utamu Wa Kuma Ya Mwaija Kwani Ilikuwa Inabana Na Kuifanya Mboo Ya Masilinde Iweze Kufit Vizury.Mwaija Alikuwa Hoi Huku Akijing'ata Midomo Jicho Likiwa Legelege Kama Mtu Anaeingiza Pamba Masikioni. Masilinde alikuwa akimfumba kinywa Mwaija kwani alizidisha kelele za mahaba jambo ambalo aliamini lingeweza kumwamsha mkewe. Mlio uliokuwa ukitamba sasa ni wa kitanda ambapo wakati mwingine kililia kwa staili ya kusulubiwa sana. “Kwachakwachakwacha. ..” Ilifika mahali sasa, Mwaija akawa anatoa mlio na kuanza kujibinua Ovyo kitandani akiashiria kuwa anataka kukojoa huku akimvuta Masilinde ambae nae raha zilikuwa zimemzidia na alikuwa anakaribia kukojoa pia.Alianza Mwaija "Sssssssssh"Uuuuuuuuuuh"Baba Nakojoa Mwenzio'Nashindwa Kujizuia Mmmmmmh Nasikia Utamu Aaaaaah"Akawa Tayari Ameshakojoa Na Kumsubiri Masilinde Nae Akojoe Huku Akigugumia Kwa Utamu Na Kufumba Macho Aaarrghhhhh"Asante,Asante Huku Akimbusu Kwny Paji La Uso Na Kwny Maziwa! *** Masilinde alitoka kitandani, akavaa bukta na kutimua huku akimwachia denda moja zito Mwaija. Mwaija alibaki peke yake sasa , alikuwa akijisifia moyoni kwamba kiu iliyokuwa ikimsumbua imekwisha na alijiona ana bahati kubwa ya kupendwa na baba yake wa kufikia.. . “Atanisaidia sana . Kama si kunipenda angenichukia na kama angenichukia angenifukuza nyumbani kwake ,” alisema moyoni Mwaija akiwa anausaka usingizi. *** Masilinde alienda chumbani akijisemea moyoni kwamba amekuwa mwepesi kupita alivyokuwa wakati akienda chumbani kwa Mwaija. .. “Da ! Mtoto anajua mambo yule. Kama kwa kuibaiba tu ni hivi je siku tukipata nafasi ya wazi?” alijiuliza akaweka nia kwamba iko siku atampangia safari mke wake ili yeye na Mwaija wajimwage kwa nafasi . *** Kulikucha siku iliyofuata , mama Mwaija aliamka na hasira fulani siku hiyo ... “Wee Mwaija. ..” “Abee mama. ..” “Mbona umepitisha fagio juujuu tu kwenye uwanja. .?” “Nimefagia mama.. .” “Wee! Usinifanye mimi sina macho .” Moyoni Mwaija alisema.. . “Ungekuwa una macho si ungejua mumeo hayupo kitandani .” Lakini kwa sauti alisema. .. “Kweli mama , nimefagia kwa usahihi kabisa .” Masilinde alitoka nje akiwa ameshajiandaa kwenda kazini kwake , akaangalia huo uwanja ambao mama Mwaija alikuwa akimfokea binti yake kwamba hajafagia sawasawa na kushangazwa kwani ulifagiliwa vizuri sana .. . “Nitakubutua makofi sasa hivi , usiniletee ujinga hapa,” alifoka mama mtu huyo ... “Mama Mwaija, mbona unamfokea mtoto wakati uwanja ni msafi sana tena kuliko unavyofagiaga wewe.” “Unamtetea siyo?” “Siyo namtetea , kwa macho tu uwanja unaonekana umefagiliwa vizuri .” “Haya we mtetee tu, sijui unamtetea kwa ajili ya nini!” alisema mwanamke huyo huku akizama ndani. Wakati huo , Mwaija alikuwa amesimama uwanjani hapo, alivaa gauni na kanga moko juu yake lakini mzigo ulikuwa mzigo kweli ... “Mwaija mimi nakwenda kazini, baadaye mama... ” “Haya baba , hebu chukua namba zangu za simu unipigie baadaye kuna kitu nataka kukwambia,” alisema Mwaija huku akizitaja namba zake za simu.. . “Kwani una simu?” aliuliza Masilinde kwa vile hakuwahi kumuona binti huyo akiwa na simu .. . “Oke, baadaye nitakutumia meseji, sitapiga,” alisema Masilinde. Ile anaachana na Mwaija , mama Mwaija anatokea. .. “Wewe njoo huku sebuleni, unafanya usafi halafu unaacha vitu bila kupangapanga , una kichaa leo?” alifoka mama mtu huyo ... “Mh ! Au mama amejua baba alikuja chumbani kwangu nini ? Mbona si kawaida yake, tena sijawahi kumsikia akimwambia baba ananitetea . Itakuwa kuna kitu .” *** Baada ya kufika kazini, Masilinde alimtumia meseji Mwaija . Hakutaka kupiga akiamini mlio wa simu unaweza kumfikia mkewe akataka kujua nani aliyepiga .. . “Mwaija ,” aliandika hivyo . Ilikuwa wakati Mwaija anavaa baada ya kuoga, meseji ikaingia kwenye simu yake ... “Baba !” alijibu Mwaija .. . “Uko poa ? Nimekumisi sana!” “Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba , niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani kwangu?” Itaendeleaaa..

...

JAMANI BABA Sehemu 07 ILIPOISHIA : “Poa tu! Nikwambie kitu kingine?” “Niambie tu.” “Je, nikipata mimba yako ?” RUKA NAYO.. . “Huwezi kupata .” “Una uhakika gani?” “Mimi najua .” Mwaija joto la mahaba lilipanda zaidi , akafika mahali akaanza kuweweseka waziwazi bila kujificha. Kwa sababu Masilinde naye alikutana na joto la ujana siku hiyo , hakuona kama kuna sababu ya kumzuia Mwaija kuonesha kule kupagawa, akazidi kumpagawisha ... Ni kitendo ambacho Masilinde hakukitarajia lakini kilifanyika, Mwaija alimsukuma, akaangukia huko, akahisi labda binti huyo alishamaliza mbio zake. Lakini alishangaa sana kumwona Mwaija anatoka kitandani na kuvuta godoro chini, akamkaribisha baba yake wa kambo hapo ambapo uwanja ulikuwa mpana na uhuru zaidi . Hakukuwa na kitanda kulia wala kunesanesa. Mbaya zaidi , Mwaija alionesha ufundi wa hali ya juu kwa kutega staili ya Mbuzi Kagoma Kwenda.Masilinde Bila Hiyana Akapiga Magoti Na Kuyabinjua Matako Ya Mwanae Huyo Wa Kambo Yaliyokuwa Makubwa Kuliko Umri Wake, Na Kuingiza Mboo Yake Vzuri Kabxa Kwny Kuma Ya Mwaija Iliyokuwa Laini Na Imejaa Ute Wa Nyege Uliyofanya Mboo Ya Masilinde Kuteleza Kiurahisi,Mwaija Aliisikilizia Mboo Inavyoingia Kumani Huku Akihema Kama Mtu Alieshiwa Pumzi..Aaaashhh,Uuuuuuhh,"Baba Ingiza Vzuri,Nitombe,Mboo Yako Tamu Mmmmmmmh Aaaaaaah" Masilinde hoi bin taaban . Moyoni alianza kumuwazia makubwa binti huyo. .. “Mwa ... Mwaija wewe jamani ...” “Baba niambie, unasemaje ?” “Unanimaliza Mwaija .” “Usiishe baba jamani .” “Hapana utaniua wewe mtoto.” “Baba hufi !” Masilinde Nae Hakukubali Kushindwa Kwani Aliendelea Kutomba Kisawasawa Aliingiza Mboo Nje Ndani Kwa Kasi Mpk Kuma Ya Mwaija Ikaanza Kupata Moto Kama Injini Ya Bajaji,Na Kumfanya Mwaija Chozi Lianze Kumtoka Kwa Utamu Huku Akiugulia Mboo Ya Babaake. Utamu Ulizidi Mpk Mwaija Akaanza Kupiga Yowe Kama Yupo Gesti Vile "Aaaaahh Oooooooh Uuuuuuh Mmmmmmh Isssssssh"Mzee Masilinde Alimzuia Kwa Kumpiga Denda Zito Ili Wasije Kushtukiwa Na Majirani...Masilinde Nae Akaanza Kuhisi Bao Lipo Karibu Akajitoa Midomoni Mwa Mwaija Huku Mwaija Nae Akilegeza Jicho Kama Teja Aliebwia Unga,Kumbe Nae Alikuwa Anakaribia Kukojoa. Walikumbatiana Kwa Nguvu Kama Wacheza Mieleka Ulingoni Huku Joto La Mwili Likizidi Kupanda "Baba Nakojoa Nakojoa Nakojoa Aaaaaassssh Huuuuuuuuuh"Huku Mzee Masilinde Nae Akimsindikiza Kwa Mikito Laini Na Wote Wakajikuta Wamekojoa Wakaanguka chini wote pwaa ! Kuhema kwa sana, jasho jembamba kwa mbali .Ilikuwa ni furaha kwa Masilinde lakini kwa Mwaija ilikuwa zaidi kwani kwanza alianza kuhisi amani ya kuishi ndani ya nyumba ile. Tangu amefika na kufuatia sera alizokuwa akizitangaza mama yake alijua siku yoyote atafukuzwa na baba’ke huyo wa kufikia. Akili ziliwarudia wakaanza kutambua hali waliyonayo , aibu ikawajia kwa juu ! Masilinde akakurupuka ... “Mwaija , vaa . ..mimi navaa naondoka sasa .” Mwaija alikurupuka naye , akavaa gauni refu, akatupia na upande wa kanga moja. Masilinde ndiye aliyeanza kutoka huku akiwa na tahadhari . Mwaija alijibaraguza kidogo lakini mwishowe akatoka. Ile anafika uani tu, mama yake anaingia.. . “Wewe mpaka muda huu hujaosha vyombo! Halafu mbona sioni dalili ya moto kuwaka!? Kwanza mbona macho mekundu ulikuwa umelala siyo?” mama yake aliuliza kwa ukali wa kimamamama. “Nililala kidogo mama, kichwa kinagonga sana .” “Umekunywa dawa ?” “Sijanywa .” “Sasa ulikuwa unasubiri nini kwenda kununua vidonge vya mia mbili tu?” “Mama uliniambia nisitoke nyumbani.” “We unajua ni mtoto mjinga sana . Sasa kwenda kununua dawa dukani tatizo liko wapi?” “Nakwenda mama. ” “Na ...kwenda mama.. .mwone kwanza, ” alisema mama mtu huyo huku akiwa amebana pua kwa kuiga sauti ya binti yake. Wakati mama yake anaingia sebuleni , Mwaija alikuwa anasema naye kwa kumwigiza mama yake na kubana pua . .. “We unajua ni mtoto mjinga sana . Sasa kwenda kununua dawa dukani tatizo liko wapi? Tatizo liko wapi? Utalijua siku moja , we subiri tu. ” *** Usiku wa saa tatu, Mwaija aliamriwa na mama yake kwenda kulala kwani alionekana akizungukazunguka, mara sebuleni, mara jikoni wakati Masilinde akiwa anaangalia taarifa mbalimbali za habari kupitia runinga . Mwaija alizama chumbani kwake lakini kila alipokumbuka mapigo ya Masilinde alijikuta kama ana kiu tena! “Mh ! Mbona kama . ..sasa itakuwaje na mama yupo! Yaani Mungu anisaidie siku moja mama apate safari ya mbali akalale hukohuko na mimi nilale nimekumbatiwa kama yeye,” alisema Mwaija akiwa anajishikashika sehemu mbalimbali za mwili akiwa kitandani. Wakati Mwaija anawaza hayo, Masilinde naye alikuwa akiwaza ya kwake yanayofanana. .. “Hivi huyu mwanamke haendi msibani akalale hukohuko watu tujifaidie vyetu ?” “Mume wangu twende basi chumbani tukalale, usiku sasa, ” alisema mama Mwaija . “Tangulia nakuja mke wangu , nataka kuangalia tamthiliya ya Wuwuwu. ” “Mh ! Ndiyo tamthiliya gani hiyo?” “Wachina , wanapigana kama hawana akili nzuri . Wale hata wakitoka panya road watakimbia wenyewe,” alisema Masilinde huku akijua hakuna cha tamthiliya ya Wuwuwu wala Wawawa ! “Haya , mi natangulia, usichelewe lakini mume wangu.” “Sichelewi.” Baada ya mwanamke huyo kuzama chumbani, Masilinde alisubiri kama dakika kumi , akasimama, akaenda chooni . Aliporudi akasimama kwenye mlango wa chumba cha Mwaija, akashika kitasa. .. “Daa! Mlango uko wazi kumbe ,” alisema baada ya kuuona mlango unafunguka, akaufunga . Akaenda sebuleni , akasimama kwa muda kisha akaenda chumbani. Alimkuta mkewe ameshapigwa ngwara na usingizi na sasa alikuwa anaelekea kwenye kukoroma. .. “Hapahapa, kosa moja goli moja . Shoka moja mbuyu chini ,” alisema Masilinde huku akitoka chumbani. Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango polepole. Mwaija alishtuka. .. “Haa! Baba!” “Shiiii .”aaa. Itaendeleaaa

...

JAMANI BABA Sehemu 06 ILIPOISHIA “Hawezi kuja sasa hivi ,” alisema Masilinde huku sasa akianza kumvua kanga , nido zikabaki nje zikiwa zimenona. Masilinde akazishika na kusukumia na neno ‘ siiii’ . Mwaija akachanganyikiwa zaidi, akamvuta Masilinde kifuani kwake, akamwangalia kwa macho ya kusinzia. .. “Inatosha baba tusifike mbali , mimi nitashindwa kuvumilia.” “Utashindwa kuvumilia nini Mwaija na wewe?” “Hivyo unavyonishika , nitashindwa kuvumilia na wewe ni baba yangu tunaweza kufanya dhambi bure.” “Mwaija ,” aliita Masilinde akiwa na hali mbaya kama Mwaija ... “Bee. ”TAMBAA NAYO. .. “Mbona unavutia namna hii mwanangu ?” “Mimi sijijui mbona .” “Kama unavutia ?” “Eee .” “Ndiyo nakwambia mimi ninayekuona. Hebu angalia hizi nido zako , ona !” alisema Masilinde akizishika tena nido hizo, Mwaija akakimbilia kitandani na kujitupa kisha akaanza kulia kwa sauti ya chini ... “Mwaija ,” aliita Masilinde. “Abee ,” aliitika huku akiendelea kulia .. . “Nimekukera?” “Ha ! Ha !” “Sasa mbona unalia. Basi mi naondoka zangu, nisamehe... ” “Usiondoke baba .” “Sasa wewe unalia .” Mwaija alijifuta machozi haraka sana na kumwangalia Masilinde... “Mimi najisikia vibaya baba .” “Unajisikiaje?” Mwaija alishindwa kujibu swali hilo akabaki amemkodolea macho baba yake huyo wa kufikia.. . “Mwaija ,” aliita Masilinde, hali yake ilizidi kuwa mbaya kwani sasa aliweza kumwona Mwaija kwa hali halisi na kukiri moyoni kwamba , msichana huyo aliumbika kwelikweli , kwani kila idara ilikuwa nzuri, hakuna alikokosoa ... “Abee .” “Hebu nibusu hapa basi.” “Mmmwaa!” “Na hapa!” “Mmmwaaa .” “Huku .” “Mmmwaaa .” “Da ! Hebu niuone ulimi wako kidogo , utoe. ” Mwaija akautoa ulimi nusu .” “Aaa! Utoe sana bwana .” Mwaija akautoa ulimi wote nje! “Hebu niuguse na ulimi wangu nione kama wako una joto ,” alisema Masilinde huku akipeleka kinywa chake kwenye ulimi wa Mwaija ambao aliutoa. Masilinde aliuingiza ulimi huo ndani ya kinywa chake na kuanza kula denda ! “Mmmm.. .mmmm.. .” “Mmmm.. .mmmm.” Walikuwa wakigugumia wote . Mate ya denda yalianza kutoka huku kila mmoja akiwa amefumba macho ya kusinzia. Joto la mahaba lilimpanda zaidi Mwaija kwani alikuwa ana siku nyingi hajachezeshwa kwata kitandani na yeye damu yake changa ! “Mwaija ,” aliita Masilinde kwa kuutoa ulimi wa Mwaija. .. “Mm.” “Una joto zuri kumbe ,” alisema baba huyo , safari hii akamhemea Mwaija sikioni, akachanganyikiwa zaidi na kujikuta akimvuta Masilinde kwake yeye akiwa analala chali.Masilinde akaitikia kwa kumfuata , Mwaija akanyoosha mkono na kushika pa kufungulia, pakafunguka, akapenyeza mkono na kushika, pakashikika, akatoa , akatoka, akaweka ! Ngoma ikaanza kupigwa hapo, mchezo ukaanza kuchezwa hapo . Mwaija aliona ni afadhali akagombana na mama yake kuliko kukosa chakula hicho ambacho alikuwa hajakila kwa siku nyingi. Awali alikuwa akila huku amefumba macho kwa mikono kwa sababu ya aibu lakini alipoombwa kutoa mikono ili afaidi vizuri alifanya hivyo na kweli alianza kuhisi utamu wa chakula kile ! “Nikwambie kitu ?” alisema Mwaija kwa kumsogezea kinywa sikioni Masilinde. .. “Niambie. ” Hapo mchezo ukiwa unaendelea... “Usimwambie mtu lakini. ” “Siwezi ,” alisema Masilinde huku akimwangalia Mwaija usoni kwa macho ya kutoamini kama anapata alichodhani akikipata atafurahi sana .. . “Nikwambia kitu ?” “Niambie. ” “Ni leo tu au ndiyo itakuwa kila siku?” “Wewe unatakaje?” “Kwa sababu mama ananibana sana mimi nataka iwe ndiyo kazi yetu , siku nikihitaji nakwambia, siku ukihitaji unaniambia. ” “Wewe tu, mimi sina neno.” “Nikwambie kitu ?” “Niambie Mwaija. ” “Sasa nitaendelea kukuita baba au ?” “Wewe unatakaje?” “Wewe siyo baba yangu tena !” “Poa tu na wewe siyo mwanangu tena !” “Poa tu! Nikwambie kitu kingine ?” “Niambie tu.” “Je, nikipata mimba yako ?”itaendelea

...

JAMANI BABA Sehemu 05 ILIPOISHIA: “Asante .” “Mwaija .” “Abee baba .” “Kaangalie kama maji yanatoka . ” “Sawa . ” Baada ya muda .. . JIACHIE MWENYEWE ... Mwaija alikwenda huku nyuma akimwacha mwanaume huyo akijishika midomo na kusema... . “Salaleee .” Mwaija alirejea akisema. .. “Maji yanatoka baba. ” “Sawa , basi ujaze mapipa ili yakija kukatika isiwe shida .” “Sawa baba .” Mwaija huku akitambua kwamba mama yake ameenda msibani aliamua kwenda kuvua nguo nzito alizovaa na kujitupia kanga kwani alijua kwenye kuchota maji lazima angelowa sana maji mwilini. Kwenye kuchota maji sasa , Masilinde alijikuta amefika huko uani.. . “Chwaaa, ” maji yaliingizwa kwenye pipa . Masilinde alisimama, akabahatika kumwona Mwaija akigeuka kuelekea bombani na kweli kanga aliyovaa ilishalowa maji maana ilikuwa ndoo ya tano sasa. .. “Weeee ,” alisema Masilinde huku akimnyooshea mkono Mwaija . Mwaija aligeuka ghafla, Masilinde akajifanya alikuwa amenyanyua mkono kwa ajili ya kuwafukuza ndege ambao walitua juu ya mti mmoja ulioko uani pale . “Shii , shiii,” Mwaija alisaidia kuwafukuza ndege wale lakini huku akijiuliza ni usumbufu gani uliosababishwa na ndege hao hadi Masilinde achukue hatua ya kuwafukuza kwa kasi ile. Ndege walikimbia , Mwaija akageuka kumwangalia baba yake akamwona anaachia tabasamu laini lakini macho yake yakitambaa sehemu mbalimbali za mwili wake na kwa jinsi alivyokuwa amevaa alianza kuhisi aibu na kutamani kumwomba msamaha. “Mwaija .” “Abee .” “Mh ! Hivi wewe uvaaji gani huo mwanangu ?” “Ni kwa sababu nachota maji baba , nisamehe sana.” “Nije kumwambia mama yako?” “Hapana baba , mama atanifokea sana , ngoja nikabadili baba. ” Mwaija alimpita Masilinde mlango wa uani na kwenda chumbani kwake , Masilinde akamfuata kwa nyuma ... “Mwaija ,” aliita Masilinde huku akisukuma mlango wa chumbani... “Abee .” Wakati Mwaija anaitika, Masilinde alishazama ndani na kumkuta binti huyo ameshikilia nguo kifuani maana alikuwa anavaa. .. “Navaa baba. ” “Ooo! Usiogope , si kuvaa tu, kwani kuna nini wakati mimi ni baba yako ?” “Mh ! Mi naona aibu baba .” “Aibu kwa baba yako ?” “Ee. ” “Aaah ! Baba yako hutakiwi kumwonea aibu bwana,” alisema Masilinde huku akimshika mwilini Mwaija. Mwaija hakukitegemea kitendo kile kwa hiyo alianza kutetemeka mwili mzima ... “Baba mimi naona aibu .” “Basi vaa .” “Sivai mpaka utoke .” “Vaa hata kanga tu. ” “Kanga si ndiyo umenisema kule uani. ” “Hamna Mwaija , ile ni danganya toto tu. Nikwambie kitu ?” “Niambie. ” “Yaani kanga zinakupendeza sana , sijui kwa nini usiwe unavaa siku zote, kila siku na kila saa .” “Wee, mama atanichinja. ” “Mimi nitakutetea .” “Wee! Si ndiyo mtanichangia wote. ” “Mh ! Mi naogopa baba. ” “Usiogope Mwaija mimi nipo nyuma yako mbona,” alisema Masilinde huku akimpapasa kifuani Mwaija na mkono mwingine ukafika hadi kugusa nido moja ... “Aaah ! Baba .. .umefika mbali sasa. ” “Mbali kivipi Mwaija jamani ?” “Hivyo unavyonishika huko .” “Ninavyokushika hapa kifuani au ?” alisema Masilinde na kushika tena. “Aaah ! Baba .. .ooo ! Basi inatosha .” “Kwani unaumia au ?” “Ooo, naumia kwa mbali baba. ” “Mmh ! Jikaze basi we mtoto wa kike bwana ,” alisema Masilinde na kumshika tena binti huyo , safari hii alimshika kisawasawa nido zake zote. Hali ya Mwaija ikawa siyo tena , alilainika mwili wote mbendembende . Akamwegemea Masilinde ambaye naye alimshika na kumuweka kitandani polepole.. . “Baba ,” aliita Mwaija kwa sauti iliyojaa aibu. .. “Niambie Mwaija. ” “Unataka kufanya nini ?” “Aaah ! Mwaija , wewe una utoto gani jamani?” “Mh ! Sina utoto lakini mimi naona aibu baba .” “Jikaze aibu zitatoka .” “Mama akija je ?” “Hawezi kuja sasa hivi ,” alisema Masilinde huku sasa akianza kumvua kanga , nido zikabaki nje zikiwa zimenona. Masilinde akazishika na kusukumia na neno ‘siiii ’. Mwaija akachanganyikiwa zaidi, akamvuta Masilinde kifuani kwake, akamwangalia kwa macho ya kusinzia. ..“ Inatosha baba tusifike mbali baba, mimi nitashindwa kuvumilia. ” “Utashindwa kuvumilia nini Mwaija na wewe?” “Hivyo unavyonishika , nitashindwa kuvumilia na wewe ni baba yangu tunaweza kufanya dhambi bure.” “Mwaija ,” aliita Masilinde akiwa na hali mbaya kama Mwaija ... “Bee.” itaendeleaaa.

...

JAMANI BABA Sehemu 04 ILIPOISHIA Hapo mama Mwaija alikuwa chumbani.. . “We Mwaija ,” aliita Masilinde lakini kwa sauti ambayo kama hakutaka mkewe asikie kule chumbani. “Abee baba .” JIACHIE.. . “Unaweza kuniletea maji ya kunywa?” “Sawa baba .” Mwaija alitoka kwa kasi kwenda kuchukua maji, nyuma wakati anaondoka , Masilinde alimtumbulia macho mpaka akataka kusimama kabisa.. . “Mama wee! Huyu si mtoto, ni mkubwa mwenzangu,” alisema moyoni baba huyo. “Karibu maji baba ,” Mwaija kwa heshima zote alimpa maji baba yake huyo tena akionesha ishara ya kupiga magoti. “Asante .” Wakati Mwaija anaondoka, Masilinde akaita tena... “Mwaijaaaa .” “Abee baba .” Mwaija alirudi mbiombio. .. “Abee baba .” “Hivi, naweza kupataa. ..aaa .. .kupata aaa ! Dah! Sijui kupata nini ? Naweza kupata kipande cha mkate?” “Ndiyo baba , ngoja nikaangalie kule. ” Mwaija aliondoka. Kwa jinsi alivyolitingisha safari hii, Masilinde alijikuta akisimama na kusema kwa sauti ya juu ... “Noo.. .oooo !” Mama Mwaija alishtuka kumsikia mumewe akisema noo kwa sauti kubwa sana, akatoka chumbani mbio ... “Nini mume wangu?” Masilinde alishindwa kusema ni nini? Jasho jembamba lilikuwa likimchuruzika mfano wa mtu aliyetoka kunywa chai ya moto bila kupumzika .. . “Eti Mwaija, kuna nini ? Mbona baba yako amepiga kelele?” “Hata mimi sielewi mama, nimemsikia tu akisema noo !” “Mh ! Mume wangu, unadhani ni nini ?” “Nahisi kama nipo hovyo kimoyo !” “Kwa nini ?” “Nadhani basi tu, siku hazilingani mke wangu. ” “Pole sana mume wangu .” “Haya asante sana . We nenda kaendelee na kazi zako.” Mama Mwaija alirudi chumbani, Mwaija naye akaendelea kwenda kuchukua kile kipande cha mkate. “Hiki hapa baba ,” alisema Mwaija baada ya kurudi. “Nashukuru sana ,” alisema Masilinde huku akiangalia ukutani ili asilione lile wowowo la binti huyo. *** Usiku uliingia , mama Mwaija alitangulia kulala siku hiyo kwani alichoka sana, mumewe Masilinde alikuwa akifuatilia habari kwenye tivii huku Mwaija akiosha vyombo. Mara zote alipokuwa na vyombo vingi alikatiza navyo sebuleni kuvipeleka kabatini kulingana na ramani ya nyumba yenyewe. Hali hiyo ilisababisha kusindikizwa na macho ya baba yake huyo wa kambo mwanzo hadi mwisho na kufuatiwa na kutingishwa kwa kichwa .. . “La! Mtoto huyu ! Sijui !” Mwaija alipomaliza kuosha vyombo aliingia chumbani kwake na kuvua nguo, akatungua upande wa kanga na kujifunga kukatisha kwenye nido, akatoka ili akaoge , kwa hiyo akapita sebuleni tena , Masilinde akashtuka alivyomwona ... “Mwa ... aaija!” “Abee baba .” “Unakwenda kuoga ee?” “Ndiyo baba .” “Haya , kaoge vizuri mwanangu , ujisugue ee !” “Sawa baba .” Mwaija alizama bafuni akiwaza upendo wa baba huyo kwamba ni wa hali ya juu kuliko alivyokuwa akifikiria kabla ! “Mama alitaka kunionesha huyu baba ni mkatili lakini kumbe wala,” alisema Mwaija huku akijimwagia maji. Masilinde alishindwa kujizuia, alisimama , akaenda kwanza chumbani kwake . Alimkuta mkewe amelala fofofo, akatoka kwa kunyata hadi kwenye mlango wa bafuni, akasimama hapo ! “Sijui nisukume mlango niingie ? Lakini kwa mshtuko anaweza kupiga kelele mama’ke akaamka. Labda nisimame hapahapa mpaka atakapotoka,” aliwaza moyoni Masilinde. Akiwa bado kwenye mawazo , ghafla Mwaija alitoka bafuni ... “Ha !” alishtuka Mwaija akasita kuendelea kutoka.. . “Babaa!” “Mwaijaa. ” “Nimeogopa baba .” “Umeogopa nini mwanangu jamani ?” “Nilidhani nimekutana na mwizi.” “Hamna , ni mimi baba yako Mwaija . ” “Sawa ,” alisema Mwaija, akampita baba yake ili kwenda ndani . Masilinde akageuza kichwa kumwangalia . Na vile alitoka kuoga, kanga ilimshika mwilini na kule kutembea, baba akamtungia mlio, akawa anasema. .. “Mbende. ..mbende. ..mbende. ..mbende ...Mwaija , ” akamalizia na kumwita . Mwaija aligeuka haraka sana .. . “Umebakiza maji na mimi baba yako nioge ?” “Hapana baba , ngoja nikuwekee tu dakika moja. ” “Sawa mwanangu , nasubiri hapahapa. ” Mwaija aliweka chini kikopo chenye sabuni, akageuza kwenda kumuwekea maji baba yake . Alimpita mlangoni , akazama bafuni kuchukua ndoo! Masilinde kwa vile alikuwa amevaa suruali, alijikuta akiingiza mkono mmoja mfukoni. Mwaija wakati anatoka na ndoo alimgusa kwa bahati mbaya baba yake. .. “Ha ! Samahani baba. ” “Samahani ya?” “Nimekugusa kwa bahati mbaya .” itaendeleaaa

...

JAMANI BABA Sehemu 03 ILIPOISHIA : “We Mwaija .” “Abee .” “Wakati unamhudumia baba yako chai ulivaa hivyo?” “Ndiyo mama .” “Ha ! Ha ! Haaa! Yaani kweli unavaa hivyo mbele ya baba yako Mwaija ? Hebu jiangalie kwanza. Ona! Hii mikalio yako ulitaka aione siyo?” “Hapana mama , ila .. .” “Ila nini ? Au unataka baba yako aingiwe na ibilisi juu yako siyo ?” TAMBAA NAYO ... “Hapana mama , mimi sikujua kama kwa kuvaa hivi baba anaweza kuingiwa na ibilisi .” “We hivyo ulivyovaa unaona ni sawa siyo?” “Ulivyoniambia ndiyo nimegundua si sawa sasa .” Mama alimwangalia bintiye kwa macho makali kwa karibu dakika moja nzima huku Mwaija naye akishindwa kuondoka na kusimama palepale.. . “Nisamehe mama.” “Usirudie tena, sawa ?” “Sawa mama .” “Haya , kaendelee na kazi zako .” *** Shughuli zilikuwa haziendi sawa kwa Masilinde. Kila baada ta muda alivuta picha ya Mwaija. .. “Yule binti, daa ! Ni shida kwelikweli. Au kuishi mbali na mama ndiyo kawa vile ? Sasa ni kuvaa gani vile mbele ya baba ’ake ?” *** Jioni Masilinde aliporudi nyumbani alimkuta Mwaija, mama yake alikwenda kudai pesa zake kwa watu aliowakopesha vitenge .. . “Shikamoo baba.” “Marhaba Mwaija , mzima ?” “Mi mzima baba, pole sana kwa kazi.” “Nimepoa . Mama yuko wapi?” aliuliza baba mtu huyo huku akikaa kwenye sofa... “Alisema anakwenda kudai madeni ya vitenge sijui.” “Ooo! Ni ile biashara yake.” “Nikupikie chakula baba?” “Hapana, kama kuna juisi naombeni. ” “Ipo ,” alisema Mwaija huku akienda kuifuata hiyo juisi... “Mh !” aliguna Masilinde akimwangalia Mwaija alivyovaa jioni hiyo. Alivaa gauni fupi , magoti yote yalikuwa nje huku miguu yenye umbile la chupa za bia ikionekana vizuri sana na kumfanya baba’ake azidi kung’ata ulimi . “Karibu juisi baba .” “Asante sana mama. ” Wakati Mwaija anaondoka kwenda kuendelea na shughuli zake , Masilinde alimtolea macho pima huku akitingisha kichwa . .. “We Mwaija .” “Abee baba .” “Njoo hapa. ” Mwaija alirudi haraka ... “Hebu kaa hapo .” Mwaija alikaa... “Hivi hizo nguo zako za ajabuajabu unazovaa hapa kwangu una maanisha nini? Nani kakwambia hapa ni hosteli ?” “Samahani baba, sikujua kama nitakukwaza .” Mara mama yake aliingia ... “Afadhali umekuja mama Mwaija ... ” “Nini tena ? Halafu wee Mwaija ...” Kabla mama’ake hajamaliza kusema, Masilinde aliendelea... “Nilikuwa namuonya mwanao na hivi viguo vyake... ” “Na ndiyo nilichotaka kumwambia na mimi . Asubuhi nimemsema sana, akabadili . Nashangaa saa hizi namkuta hivi tena. ” “Nisameheni sana.” “Tukusamehe kwani we mwenyewe huoni ? Kama utaendelea hivyo hapa nyumbani kwangu utahama haraka sana ,” alikuja juu Masilinde. “Na kweli utahama hapa. Nilishakwambia tangu unakuja kwamba hayo mavazi yako mimi sikubaliani nayo lakini nahisi kama hunielewi vile. ” “Nimewaelewa. ” “Haya kabadili haraka sana ,” alisema Masilinde. Mwaija alisimama kwenda kubadili nguo . Wakati anatembea macho ya Masilinde yalikuwa kwake huku akisema .. . “Unavaa viguo vya ajabuajabu kama hosteli !” Mwaija alianza kukata tamaa ya kuendelea kuishi kwenye nyumba ile kwani mavazi ya ajabu yanayopigwa vita ndiyo zake . Hakuwa na nguo ye heshima hata moja. “Sasa itabidi kila gauni nivae na kanga juu ,” alisema moyoni huku akilitungua gauni jingine na kulivaa, akatupia na kanga moja juu yake, akatoka... “Si hivyo sasa, ulikuwa unashindiwa nini tangu mwanzo?” alihoji Masilinde huku akiachia tabasamu pana ! Mwaija alipoona baba huyo anatabasamu na yeye akaachia la kwake, wakatabasamu wote ... “Hapo sasa unaonekana binti mzuri, uliyelelewa kwa maadili ya wazazi wako , si kama saa zile . “Asante baba .” Mwaija aliondoka kwenda nje . Wakati anakwenda macho ya Masilinde yakamsindikiza , akashtuka ... “Mamaaaa. ..kumbe ishu si viguo vifupi , ishu ni kwamba amejaaliwa makalio. Ona. ..eee . ..laaa!” alisema moyoni huku akisimama kumwangalia vizuri binti huyo . Japokuwa alivaa kanga juu ya gauni lakini wowowo lake lilionekana wazi na kutingisha kwa kadiri mguu mmoja ulipokuwa unakwenda mbele na kuacha mwingine nyuma. .. “Haiwezekani ! Hivi kweli mama yake ni huyu mke wangu au alipewa mwingine siku anajifungua?” Hapo mama Mwaija alikuwa chumbani kwake ... “We Mwaija ,” aliita Masilinde lakini kwa sauti ambayo kama hakutaka mkewe asikie kule chumbani. “Abee baba .” itaendeleaaa..

...

JAMANI BABA Sehemu 02 ILIPOISHIA “Asante , shikamoo, ” alisalimia Mwaija huku akikaa kwenye kochi kwa adabu . “Marahaba, za safari?” “Nzuri .” “Karibu sana, karibu mwanangu, ” alisema Masalanda huku akimkazia macho Mwaija na kumshangaza mkewe kwani uchangamfu ulikuwa mkubwa tofauti na alivyofikiria. SASA ENDELEA ... “Asante sana . Naamini wewe ndiyo baba mdogo?” aliuliza Mwaija . “Hapana! Huyo ni baba yako , mambo ya baba mdogo yanatoka wapi saa hizi hapa ?” alikuja juu mama Mwaija . “Sawa , baba!” “Ni mimi mwanangu .” Mwaija alifurahia mapokezi hayo kiasi kwamba alijikuta akifurahi sana tofauti na alivyotaka kuamini hasa baada ya kushuka stendi Ubungo. Mwaija alioneshwa chumba chake cha kulala. Akaingiza mizigo yake ndani , akakiangalia chumba hicho kisha akakipenda sana. *** Ilikuwa usiku wa manane, Masalanda aliamka na kuanza kumuwaza Mwaija . Aliwaza tangu alipomwona jioni ile akitoka Tanga ... “Asante , shikamoo. ” “Marahaba , za safari?” “Nzuri .” “Karibu sana, karibu mwanangu. ” “Asante sana . Naamini wewe ndiyo baba mdogo?” Masalanda akazinduka kutoka kwenye mawazo ya jioni, akasema mwenyewe moyoni . .. “Anaonekana binti mchangamfu halafu ana akili kichwani. Ana heshima zake f’ lani. Yale mavazi ndiyo ya watoto wetu wa siku hizi. ” Wakati Masalanda akiwaza hayo , mkewe alishtuka na kugundua kuwa mumewe hakuwa amelala. Akajua ana mawazo kwani anamjua vizuri ... “Baba Mwaija ,” aliita mama Mwaija kwa kutumia jina la binti yake. “Naam.” “Nahisi kama una mawazo sana ?” “Hapana. Sina mawazo .” “Kama unayo niambie tu. Unajua binti yetu kaja kama ulivyomuona mavazi yake , nilimwambia yale si mavazi ya kuvaa humu ndani , akasema atajirekebisha kwa hiyo tumvumilie kidogo mume wangu.” “Sijayashangaa mavazi mimi , mabinti wetu mjini siku hizi ndivyo wanavyovaa , sidhani kama kuna namna.” “Sasa mawazo ni ya nini ?” “Nawaza biashara zangu naona kama haziendi sawasawa kama zamani .” “Mungu atakusaidia mume wangu, biashara ndivyo zilivyo , leo nzuri kesho ni mbaya sana .” “Sawa , nashukuru pia kwa dua zako .” *** Kule chumbani, Mwaija alikuwa akichati na jamaa yake wa Tanga mjini anaitwa Seif Mabanda ya Papa. Licha ya kwamba ilikuwa usiku lakini yeye hakuona tabu ... “Mwenzio nimekuja kwa mama Dar , sipo Tanga , hajakwambia Mwanakombo?” “Sijasikia. Unarudi lini ?” “Mh ! Sijui kama nitarudi tena huko . Mama hataki.” “Kwa hiyo ina maana umenimwaga?” “Jamani sijakumwaga , siku mojamoja we njoo huku Dar . ” “Mi sijawahi kufika Dar itakuaje?” “Mi nitakuelekeza.” *** Asubuhi Masalanda aliomba kupikiwa chai ili anywe kabla ya kwenda kwenye biashara zake. .. “We Mwaija ,” aliita mama. “Abee mama. ” “Hebu mpikie chai baba yako sasa hivi .” Chai ilipikwa ingawa mama Mwaija alishangaa sana kwani haikuwa kawaida kwa mumewe kunywa chai asubuhi pale nyumbani. Baada ya dakika kumi na tano tu, chai ilipelekwa mezani. Mwaija alibeba kwenye sinia akiwa ndani ya kanga moja. .. “Loo !” alihamaki moyoni Masalanda lakini Mwaija hakusikia. “Shikamoo baba.” “Marhaba Mwaija , hujambo mwanangu ?” “Sijambo baba sijui wewe umeamkaje?” “Mimi mzima wa afya, nakuhofia wewe na uchovu wa safari.” “Nimeamka sawa baba .” “Haya tumshukuru Mungu wetu. ” “Ni kweli baba.” Wakati Mwaija anaondoka, ‘mzigo’ nyuma ulionekana unavyosumbuliwa na kutembea hasa ikizingatiwa ile kanga moja tu na umbo la Mwaija sasa! “Hivi huyu binti ndiyo nini hivi ?” alijiuliza Masalanda huku macho yake yakimtoka pima wakati Mwaija anafuata maji ya kunawa . “Chai tayari wewe?” mama mtu aliuliza kutokea uani ambako alikuwa akifagia.. . “Tayari mama.” “Weka na maji kama nilivyokuelekeza kila kitu jana usiku .” “Sawa mama .” Baada ya mumewe kuondoka ndipo mama Mwaija alibaini kuwa , mumewe alikuwa akihudumiwa huku binti yake akiwa ndani ya kanga moko , ilimuuma sana! “We Mwaija .” “Abee .” “Wakati unamhudumia baba yako chai ulivaa hivyo?” “Ndiyo mama .” “Ha ! Ha ! Haaa ! Yaani kweli unavaa hivyo mbele ya baba yako Mwaija ? Hebu jiangalie kwanza. Ona! Hii mikalio yako ulitaka aione siyo?” “Hapana mama , ila ... ” “Ila nini ? Au unataka baba yako aingiwe na ibilisi juu yako siyo ?” ITAENDELEAAA.

...

JAMANI BABA SEHEMU 01 Mume wangu leo nataka kukiri jambo moja kwako, naamini litakukera sana lakini naanza kuomba radhi nikiwa chini ya miguu yako, ” alisema Zainabu akimwambia mume wake , Masalanda. .. “Ipi hiyo? Mbona unanitisha mke wangu, mwaka wa tatu sasa tangu tumeoana hujawahi kuniambia hivyo .” “Oooh ! Siku zote nilikuwa nafikiria namna ya kukwambia mume wangu .” “Sasa niambie basi .” Zainabu alianza kuporomosha machozi na kumfanya mume wake huyo kushangaa na kukifikiria zaidi hicho kitu ambacho kimemfanya mkewe aamue kukisema... “Labda ameamua kuachana na mimi sasa anashindwa kuniambia ?” aliwaza Masalanda . “Utanisamehe kweli mume wangu ?” “Nitakusamehe mke wangu, we niambie tu.” “Unajua ... unajua wakati unanioa nilipokwambia nilizaa mtoto akafa na nikawa sipati mimba nilikudanganya mume wangu ... ” “Ooo! Kumbe hukuwahi kuzaa kabisa?” “Hapana, ila... ” “Ila nini mke wangu hebu kuwa muwazi jamani!” “Nina mtoto... ” “Hee! Una nini ?” “Nina mtoto mume wangu, nisamehe sana sikukwambia nilikuficha kwa sababu nilijua utaniacha wakati nakupenda sana mume wangu,” alisema Zainabu huku akiendelea kulia. Kwa mbali , Masalanda alianza kumuonea huruma mkewe . Ni kweli walioana ukubwani sana kwani Masalanda alikuwa na mke akafariki dunia na mpaka kifo mwanamke huyo hakuwahi kumzalia mtoto. Wakati anakutana na Zainabu, aliamini atadumu naye kwa sababu wote ni watu wazima tayari. Aliamini kwamba kwa sababu alishazaa mtoto akafa , basi watamtafuta mtoto wao kwa kudura za Mungu mwenyewe. “Zainabu, ” aliita Masalanda akitumia sauti ya unyonge. “Abee .” “Hebu nijibu maswali yangu kadhaa nitakayokuuliza.” “Sawa .” “Huyo mtoto ana umri gani ?” “Miaka ishirini na moja .” “Anaishi wapi ?” “Yupo kwa shangazi yake, Tanga.” “Anaitwa nani?” “Mwaija .” “Baba yake yuko wapi?” “Alishafariki dunia , si nilikwambia. ” “Hebu fanya mpango aje hapa, tumlee sisi . Mimi nitakuwa baba yake.” Zainabu alishtuka kusikia agizo hilo la mumewe kwani siku zote , shangazi wa mtoto huyo amekuwa akimwambia afanye juu chini amchukue binti yake kwani ameanza umachepele, anahofia asije akapata ujauzito akiwa nyumbani kwake ikaonekana amemtuma . “Kweli mume wangu?” “Kweli , imetoka moyoni mwangu , sina kinyongo na wewe. ” Zainabu aliachia tabasamu kavu huku akijifuta machozi kwa kanga. Mumewe alimkumbatia, akampiga busu wakakaa sawasawa . *** Ilikuwa siku ya tatu, Mwaija alikuwa ndani ya basi la Raha Leo lenye maandishi nyuma yanayosomeka; Tanga wadeka. Kila mara alimtumia meseji mama yake akimjulisha alipofikia. .. “Mama sasa tunapita Segera .” Mama yake alimjibu sawa , akamtakia safari njema. Moyoni Mwaija alikuwa na furaha iliyopitiliza , alitaka sana kuishi na mama yake, hasa akizingatia kuwa anaishi katika Jiji la Dar es Salaam ambalo aliambiwa lina kila aina ya raha na karaha ! Alipofika Chalinze , mama yake alianza safari ya kutoka Kigogo kwenda Ubungo kumpokea binti yake huyo ambaye ilikuwa inamuuma sana kuwa naye mbali . Basi lilifika, Mwaija akashuka, mama akashtuka moyoni maana mara ya mwisho alimuacha akiwa na miaka kumi na nane . Alimshangaa kumuona amenenepa, amenawiri , ametakata ile mbaya. Kikubwa zaidi alimshangaza nguo alizovaa. Mwaija alivaa suruali ya kubana, wenyewe wanaita skintaiti na t- shirt juu. Kwa umbo alilokuwa nalo Mwaija , kila mwanaume alimuangalia kwa uchu wa mapenzi. .. “Ha mama jamani ,” alichangamka Mwaija na kumkumbatia mama yake kwa furaha. .. “Shikamoo mama.” “Marahaba mwanangu, lakini Mwaija hizo nguo kweli ni za kuvaa mbele ya watu , si za kulalia hizo?” “Hamna mama, ndiyo fasheni yenyewe ya siku hizi. Mama upo Dar es Salaam lakini hujui mitindo?” “Mimi sidhani kama nitapenda mwanangu , hata baba yako niliye naye siamini kama atakukubali kwa mavazi haya . Hapa natamani nikupeleke wapi sijui ukabadili nguo ndiyo twende nyumbani.” “Jamani mama , basi nimekuelewa , twende tu nyumbani nitavaa kanga nikifika. ” Walianza safari ya kwenda nyumbani Kigogo . Moyoni mama Mwaija alikuwa anaomba mumewe achelewe kurudi nyumbani ili wao watangulie kufika na Mwaija abadili nguo haraka sana.. . “Hivi na huyo shangazi yako ina maana alikuwa hakuoni unavyovaa ?” “Alikuwa ananiona . ” “Sawa ? Akawa anakuacha tu unaharibika hivihivi?” Mwaija hakujibu swali hilo alihisi halimuhusu yeye zaidi ya shangazi yake . Kufika nyumbani, mlango ulikuwa wazi ... “Mswalie mtume, keshafika huyu , sijui itakuaje?” alisema moyoni mama Mwaija , wakaingia ndani . Sebuleni alikaa Masalanda , alipomuona Mwaija akashtuka.. . “Karibuni. ..karibuni sana. ” “Asante , shikamoo, ” alisalimia Mwaija huku akikaa kwenye kochi kwa adabu . “Marahaba, za safari?” “Nzuri .” “Karibu sana, karibu mwanangu, ” alisema Masalanda huku akimkazia macho Mwaija na kumshangaza mkewe kwani uchangamfu ulikuwa mkubwa tofauti na alivyofikiria. ITAENDELEAA

...
NIFANYE NINI
 Sehemu ya 01

Jina naitwa mariam mkazi wa morogoro mjini mitaa ya forest hii ni story ya kwel inayo
 simuliwa na mimi mariam na kuandikwa na 🅱rayton

👉🏿Nnacmulia story ya maisha yngu
Mda wowote nnawweza nkafa kwaajil ya mawazo
Sijaandika na wala sio mwandish mimi.Kwa ufupi tyuu
Japo cwez maliza kwa
 leo😭😭
Katika familia tulizaliwa watoto 7 wakike🚶🏻‍♀ tulikuwa 4 na wakiume🚶🏼 walikuwa 3 Mimi nilikuwa wa pili kuzaliwa pia ndo mtoto wa kwanza kwa upend wa watoto wa kike🚶🏻‍♀.
Siwezi sema nimemaliza kidato cha nne📚 wakati nilishia kidato cha pili maan shule niyokuwa na soma haikusajiliwa na serekali.Elimu yang ikawa ya kuungaunga

Nilipoteza miaka miwili bure bila upata chochote maan shule haikusajiliwa

Nikaaenda soma QT na maanisha Elimu ya watu wazima japokuwa nilikuwa sijafika miaka ya 18 Nilisoma mwaka moja kwa madarasa mawili pia nikafeli mtihan😭😭😭😭😭

Elimu ikanchoshaa sana nikaona kam nilipoteza muda tena kwenda QT

Pia nilivyokuwa nasoma QT nilijikuta naashisha mahusiona na mwanafunzi mwenzangu jina lake Bakari 
Nilipata mimba niliumia sana tena san nilivyo mwambia Bakar alikataa katakata Niliamua kutoa bila wazazi kujua daah mungu nisamehee😭😭😭

Kwa sababu nilifeli nikaa nyumban bila kazi wal kuwa na chet cha elimu

Kama unavyojua mtoto wakike tofaut na wakiume nipokosa hela ya kujikimu nikaanza umalaya hil nipate pesa ya kujikimu 🤦🏽‍♀.

Nimekaa sana homee but nikaanza kutafuta kaz kulingana na elim yangu📚

Nilisota sana kupata kazi nikabahatika kupata kaz kweny kiwanda mazavaa kipo hapa hapa morogoro mjini

Ndo nilipo hadi sasa  nakaona afadhaali kwangu coz ndo niliaanza maisha yngu japo nilikuwa bado nip nyumban namaanisha kwa baba na mama

Baada ya kupita miezi mitano nilipata rafiki wa kiume jina lake Steven 
Pia Nkiwa kazin nikaanzisha mahusiano👫 ya kimapenz na kijana steven 
Ni kijana wa kichaga ambae tulikutana kazin

Alinipenda sana yule kaka❤❤❤❤❤

Kwakua nilikua bado nipo kwa wazaza 
Pia huyo kijana tulikua tunakaribiana mitaa namaanisha tulikuwa majiran

Baada ya mwaka kupita yule kijana🚶🏼akaachishwa kazi😭 kwasababu alikuwa mkorofi kweny kitengo chao maan walikuwa vijana weng katik kitengo icho km unavyojua kaz za viwandan

Pia nilikuwa mnyonge sana 
Nikawa naenda kazin mwenyew asubuh na kurud pekee wakat awali tulikua tunaongoza

Sasa katka njia nliokua napita kwenda kazi kuna m baba alikua anafanyakaz pepsi
Ambapo sio mbal na kazin kwangu

Alikuwa naishi midaa ya juu kidogo na mahali nilipokuwa naishi mim.

Kukweli kazi palikuwa mbali sn na nyumba kwa watu wanaoish morogoro wanajua umbaliwa forest na mazavaa 

Ni mwendo wa masaa 2 kwa haraka sana kwa mwendo wa kawaida ni masaa 4 naa 

Yule baba akaanza kunipa lift wakat wa kwenda kazi 
Nikiwa nalud kama kawaida yang kwa miguu hadi nyumbani

Muda mwingine nilikuwa nikipitia kwa  boy wangu steve yule alieacha kaz

Baada ya muda Yule baba akaniomba no ya cm nkampatia sababu nilishazoeana nae

Tukaanza Kuwasiliana asubuh kabla hajatoka ananipigia. Ananikuta barbarn ananibebaa
Ikaendelea ivyo ivyo Saaa ikawa hadi rafki zangu wakawa wanapanda lile gar kwa niaba yangu

Yule baba akanitaka kimapenz coz familia yke ilikua dodoma
Yeye alikuja kikaz tu.Xo alitaka company
Na mimi bila kusita nikamkubalia kwasababu nilimzoea sana mpenzi❤ ya kaanza kwa huyu Baba❤❤

Baada ya muda nikapata tena ujauzito(mimba)Ya yule kaka mchagaa steven 

Kwa yule baba haikuwa rahis coz nlikua natumia kinga pind tunapokutana

Yule kaka hakuwa na kaz kwa kipind kilee niliwaza sana😭😭😭😭😭😭

Pia Kazin cna mda mrefu napata mimba then yule kijana hana kaz ntafanyajeee 😭😭
Daah sikuwa na jinc nkaamua kuitoa tena ile mimbaa.Mungu anisamehe mimi😭😭😭😭.
(Najuta bray naumia)

Nataman kutubu kwa mungu wanguuu niliumia sana tena sana😢 Hadi wazaz wangu wakajua  kama mimi nimetoa mimba🤰🏻Yule kaka alickitika sanaa yule alinipa mimba🤰🏻sababu hakuwa na mtoto na yeye alikuwa anapenda awe na familia👪 mimi niliogop kumpa majukum mazito wakat hanakazi.

Maisha yakaendelea na yule baba wa pepsi kwenye gari🚗Tukaendeleza mahusiano

Yule baba 
Akanishawish nihame nyumban kwanu akanipangishie karibu na kazin. Kwel nkamckilizaa

Sikukaa muda san kam wiki nikaongea mama aniruhusu nikapange mam alikataa katakata

Hasiesikia la mkuu uvunjikata guu mm nikafosi pia mapenzi kwa yule kijana stev yalipungua sana💔 kwa sababu akuwa na msaada wowote kwangu

Ile siku naamisha vitu vyangu nkaanze maisha ndo cku ambayo yule baba kwenye gari🚗
Anapewa barua ya kuamishwa kikazi
Anarudi kwake dodoma

Unajua nini lilitokea tuonane kesho mida mibovu 

_Mwandishi wako brayton_

Inaendelea.............

NIFANYE NINI Sehemu ya 01 Jina naitwa mariam mkazi wa morogoro mjini mitaa ya forest hii ni story ya kwel inayo simuliwa na mimi mariam na kuandikwa na 🅱rayton 👉🏿Nnacmulia story ya maisha yngu Mda wowote nnawweza nkafa kwaajil ya mawazo Sijaandika na wala sio mwandish mimi.Kwa ufupi tyuu Japo cwez maliza kwa leo😭😭 Katika familia tulizaliwa watoto 7 wakike🚶🏻‍♀ tulikuwa 4 na wakiume🚶🏼 walikuwa 3 Mimi nilikuwa wa pili kuzaliwa pia ndo mtoto wa kwanza kwa upend wa watoto wa kike🚶🏻‍♀. Siwezi sema nimemaliza kidato cha nne📚 wakati nilishia kidato cha pili maan shule niyokuwa na soma haikusajiliwa na serekali.Elimu yang ikawa ya kuungaunga Nilipoteza miaka miwili bure bila upata chochote maan shule haikusajiliwa Nikaaenda soma QT na maanisha Elimu ya watu wazima japokuwa nilikuwa sijafika miaka ya 18 Nilisoma mwaka moja kwa madarasa mawili pia nikafeli mtihan😭😭😭😭😭 Elimu ikanchoshaa sana nikaona kam nilipoteza muda tena kwenda QT Pia nilivyokuwa nasoma QT nilijikuta naashisha mahusiona na mwanafunzi mwenzangu jina lake Bakari Nilipata mimba niliumia sana tena san nilivyo mwambia Bakar alikataa katakata Niliamua kutoa bila wazazi kujua daah mungu nisamehee😭😭😭 Kwa sababu nilifeli nikaa nyumban bila kazi wal kuwa na chet cha elimu Kama unavyojua mtoto wakike tofaut na wakiume nipokosa hela ya kujikimu nikaanza umalaya hil nipate pesa ya kujikimu 🤦🏽‍♀. Nimekaa sana homee but nikaanza kutafuta kaz kulingana na elim yangu📚 Nilisota sana kupata kazi nikabahatika kupata kaz kweny kiwanda mazavaa kipo hapa hapa morogoro mjini Ndo nilipo hadi sasa nakaona afadhaali kwangu coz ndo niliaanza maisha yngu japo nilikuwa bado nip nyumban namaanisha kwa baba na mama Baada ya kupita miezi mitano nilipata rafiki wa kiume jina lake Steven Pia Nkiwa kazin nikaanzisha mahusiano👫 ya kimapenz na kijana steven Ni kijana wa kichaga ambae tulikutana kazin Alinipenda sana yule kaka❤❤❤❤❤ Kwakua nilikua bado nipo kwa wazaza Pia huyo kijana tulikua tunakaribiana mitaa namaanisha tulikuwa majiran Baada ya mwaka kupita yule kijana🚶🏼akaachishwa kazi😭 kwasababu alikuwa mkorofi kweny kitengo chao maan walikuwa vijana weng katik kitengo icho km unavyojua kaz za viwandan Pia nilikuwa mnyonge sana Nikawa naenda kazin mwenyew asubuh na kurud pekee wakat awali tulikua tunaongoza Sasa katka njia nliokua napita kwenda kazi kuna m baba alikua anafanyakaz pepsi Ambapo sio mbal na kazin kwangu Alikuwa naishi midaa ya juu kidogo na mahali nilipokuwa naishi mim. Kukweli kazi palikuwa mbali sn na nyumba kwa watu wanaoish morogoro wanajua umbaliwa forest na mazavaa Ni mwendo wa masaa 2 kwa haraka sana kwa mwendo wa kawaida ni masaa 4 naa Yule baba akaanza kunipa lift wakat wa kwenda kazi Nikiwa nalud kama kawaida yang kwa miguu hadi nyumbani Muda mwingine nilikuwa nikipitia kwa boy wangu steve yule alieacha kaz Baada ya muda Yule baba akaniomba no ya cm nkampatia sababu nilishazoeana nae Tukaanza Kuwasiliana asubuh kabla hajatoka ananipigia. Ananikuta barbarn ananibebaa Ikaendelea ivyo ivyo Saaa ikawa hadi rafki zangu wakawa wanapanda lile gar kwa niaba yangu Yule baba akanitaka kimapenz coz familia yke ilikua dodoma Yeye alikuja kikaz tu.Xo alitaka company Na mimi bila kusita nikamkubalia kwasababu nilimzoea sana mpenzi❤ ya kaanza kwa huyu Baba❤❤ Baada ya muda nikapata tena ujauzito(mimba)Ya yule kaka mchagaa steven Kwa yule baba haikuwa rahis coz nlikua natumia kinga pind tunapokutana Yule kaka hakuwa na kaz kwa kipind kilee niliwaza sana😭😭😭😭😭😭 Pia Kazin cna mda mrefu napata mimba then yule kijana hana kaz ntafanyajeee 😭😭 Daah sikuwa na jinc nkaamua kuitoa tena ile mimbaa.Mungu anisamehe mimi😭😭😭😭. (Najuta bray naumia) Nataman kutubu kwa mungu wanguuu niliumia sana tena sana😢 Hadi wazaz wangu wakajua kama mimi nimetoa mimba🤰🏻Yule kaka alickitika sanaa yule alinipa mimba🤰🏻sababu hakuwa na mtoto na yeye alikuwa anapenda awe na familia👪 mimi niliogop kumpa majukum mazito wakat hanakazi. Maisha yakaendelea na yule baba wa pepsi kwenye gari🚗Tukaendeleza mahusiano Yule baba Akanishawish nihame nyumban kwanu akanipangishie karibu na kazin. Kwel nkamckilizaa Sikukaa muda san kam wiki nikaongea mama aniruhusu nikapange mam alikataa katakata Hasiesikia la mkuu uvunjikata guu mm nikafosi pia mapenzi kwa yule kijana stev yalipungua sana💔 kwa sababu akuwa na msaada wowote kwangu Ile siku naamisha vitu vyangu nkaanze maisha ndo cku ambayo yule baba kwenye gari🚗 Anapewa barua ya kuamishwa kikazi Anarudi kwake dodoma Unajua nini lilitokea tuonane kesho mida mibovu _Mwandishi wako brayton_ Inaendelea.............

...
MAPENZI YA FACEBOOK-11


Sikutaka kukurupuka katika kufanya maamuzi, niliamua kutumia akili katika suala hilo. Niliamini facebook matapeli walikuwa ni wengi sana hivyo sikutakiwa kumuamini Juliet kupitiliza.
Kitu nilichoamua kukifanya ni kumpigia simu na kutaka kuisikia sauti yake, nilitamani sana kumsikia alifananaje sauti. Nilipiga simu yake lakini ajabu haikuwa ikipokelewa kabisa jambo lililonishangaza sana.
“Itawezekanaje?” nilijiuliza mara baada ya kupiga simu zaidi ya mara tatu bila kupokelewa.
Niliamua kumtumia ujumbe mfupi lakini alionekana kuwa kimya.
“Mbona hupokei simu?”
(Kimya!)
“Juliet!”
(Kimya!)
Nilizidi kuwa katika wasiwasi mkubwa sana, sikujua ni nini kilichokuwa kimetokea mpaka Juliet akashindwa kuipokea simu yangu.
Ama kweli jambo usilolijua ni sawa sawa na usiku wa kiza kinene, nilikuwa katika kiza ambacho sikuwa nikifahamu ukweli wa kile kilichokuwa kinaendelea katika maisha yangu.
Mbali na kumfahamu Juliet facebook na kuweza kupata namba zake lakini kiukweli hakukuwahi kutokea siku nikaweza kuzungumza naye kwenye simu, kila nilipokuwa nikimpigia simu alikuwa akiikata na kudai kuwa ilikuwa mbovu hivyo alinitaka tuchat jambo ambalo kiukweli lilikuwa likiniweka katika wakati mgumu sana.
“Kwanini hutaki kupokea simu yangu?”
“Simu yangu mbovu tuchat tu!”
“Kwahiyo hatuwezi kuongea?”
“Ndiyo mpenzi,” alinijibu jibu ambalo kiukweli lilinifanya nishangae kwa kiasi fulani, yani sikuwa nimemtongoza wala kumtamkia neno lolote la kimapenzi sasa ilikuwaje nikawa mpenzi wake. Hilo lilizidi kunishangaza sana.
Nikayakumbuka maneno ya Juma kuwa facebook hakukuwa na mapenzi ya kweli zaidi ya uwongo mwisho wa siku kuumiza. Sikutaka kukubaliana naye kabisa yani kwa jinsi Juliet alivyokuwa akionekana kuwa msichana mrembo sikutaka kukubaliana na maneno yake kabisa, nilihisi alikuwa akiniongopea.
Niliamua kumuambia ukweli wa hisia zangu Juliet, sikutaka kumficha chochote kile nilichokuwa nikikihisi. Nilidhamiria kuwa naye katika maisha yangu.
“Nakupenda Juliet.”
“Unanipenda?”
“Ndiyo.”
“Unanipendea nini?”
“Nakosa jibu la kukujibu ila nimetokea kukupenda tu!”
“Siunajua mimi ni mwanamke ambaye ninahitaji matunzo.”
“Ndiyo nafahamu.”
“Utaweza kunihudumia, kunisomesha pamoja na kunilipia pango la chumba?”
“Ndiyo nitaweza ondoa shaka mrembo.”
“Sawa nimekukubalia ombi lako.”
“Nimefurahi sana kwa kunikubalia ombi langu, nakupenda sana.”
“Nakupenda pia Phidelis wangu.”
Kwa kipindi chote hicho sikuwahi kuongea na Juliet na mara zote nilipokuwa nikitaka kuzumgumza naye alikuwa akiweka vipingamizi vingi, sikujua ni kwanini alikuwa akiweka vipingamizi hivyo hata pale nilipotaka kukutana naye aliweza kunikatalia na kuniambia kuwa nipange siku maamulu ambayo nitaweza kwenda kuonana naye.
Urafiki wetu ulianzia facebook, urafiki ambao ulikuja kuzaa mapenzi ambayo kiukweli nilijikuta nikiwa katika mahusiano ilihali sikuwahi kuonana naye kabisa, yalikuwa ni mapenzi ya facebook tu! kutumiana picha pamoja na kusifiana.
Hata pale lilipokuja suala la kumtumia pesa, nilimtumia bila kusita, niliamini alikuwa ni mwanamke ambaye alikuwa akinipenda sana kuliko kitu chochote kile. Niliamua kumtumia pesa ya pango ya chumba aliyokuwa akidaiwa pamoja na ada ya chuo.
Mapenzi yetu yalibakia kuwa ya facebook tu! mpaka pale siku moja nilipokuja kupata habari iliyokuwa ikitangazwa na kuchapishwa katika magazeti mbalimbali kuhusiana na taarifa za shoga ambaye alikuwa akitumia jina la Juliet mitandaoni kutapeli wanaume.
Kwa kweli sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikiona katika magazeti ya siku hiyo.
                       ****
“SHOGA ANAYETUMIA JINA LA JULIET AZIDI KULIZA WENGI FACEBOOK!” Kilikuwa ni kichwa cha habari cha gazeti moja ambalo nilikuwa nikilisoma. Katika gazeti hilo ilikuwepo picha ya mwanaume mmoja mwenye asili ya shombeshombe pamoja na picha ya mwanamke. Niliitazama kwa umakini wa hali ya juu ile picha ya yule mwanamke. Naam! Hakuwa mgeni machoni mwangu. Alikuwa ni Juliet mwanamke aliyetokea kunichanganya katika mapenzi kiasi kwamba nikawa sioni wala sisikii lolote juu yake.
“Juliet!” nilijikuta nikiita kwa kushtuka.
Sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikisoma katika gazeti, Juliet hakuwa ni mwanamke kama nilivyokuwa nikidhani. Alikuwa ni yule shoga ambaye alikuwa akitumia picha ya mwanamke Facebook ili aweze kuwatapeli wanaume. Naam! Ni kweli alifanikiwa katika mpango huo, aliweza kuwaliza wanaume wengi sana kutokana na uzuri aliyokuwa nao mwanamke yule. Miongoni mwa wanaume waliyolizwa siwezi kupinga nilikuwa ni miongoni mwao.
“Siamini kwa kweli kumbe Juliet si mwanamke ni shoga?”nilijiuliza swali lililonifanya nisiamini kabisa habari ile niliyokuwa nikiisoma katika gazeti.
Nilichoamua kukifanya ni kuichukua simu yangu kisha nikaingia Facebook ili niweze kukiaminisha kile nilichokuwa nikikisoma. Nilipoingia kitu cha kwanza niliingia upande wa kutafuta majina. Nililiandiika jina la Juliet kisha nikaanza kutazama picha ya yule mwanamke ambayo ilikuwa imewekwa katika akaunti hiyo.
Kitu kilichonishangaza hakukuwa na picha katika akaunti ya Juliet, ilikuwa imetolewa. Sikutaka kuamini nikaamua kumtumia ujumbe mfupi lakini nilipotaka kufanya hivyo nilishindwa, alikuwa ameniblock.
Kwa kweli nilihisi kuchanganyikiwa ndugu yangu, kuna kipindi nilihisi nilikuwa nikiyaona mapichapicha tu, sikutaka kuamini kabisa kama nilikuwa nimetapeliwa tena na shoga wa Facebook.
Niliyakumbuka maneno ya rafiki yangu Juma aliyowahi kuniambia kuhusu Facebook, hakika yalionekana kuniingia vyema. Nilitamani kuzirudisha siku nyuma ili niweze kujitoa katika penzi la na Juliet lakini lilikuwa ni jambo gumu kutokea.
Majuto yalikuwa kwangu, nilizidi kujiona mjinga sana hasa baada ya kusalitiwa na mke wangu kisha na mimi kuamua kulipiza kisasi katika mtandao huu ambapo nilijikuta nikiangukia kwa shoga ambaye nilikuwa nikimuhudumia kama mke wangu wa ndoa. Tukio hilo lilizidi kuniumiza sana, kumbukumbu hiyo ilinitesa sana katika maisha yangu.
Niliamua kumuambia Juma ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea.
“Umeona umeona?” aliniambia baada ya kumuelezea ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea.
“Yani ndugu yangu we acha tu!”
“Lakini nilikuambia mimi.”
“Juma yani siamini.”
“Huamini nini sasa, we endelea kuhudumia,” aliniambia huku akinicheka, kicheko ambacho kilinifanya nijisikie vibaya.
“Sasa unanicheka.”
“Tatizo lako wewe husikii.”
“Nimekoma.”
“Sasa ndiyo ujifunze,” aliniambia huku akionekana kufurahishwa na tukio lile.
Facebook ilinipa funzo katika maisha yangu, sikutakiwa kumuamini mtu bila sababu za msingi katika mtandao huu, ni hapa ambapo niliamini kuwa kuna baadhi ya watumiaji wa facebook walikuwa wakipenda kutumia picha ambazo zilikuwa si zao. Unakuta mtu anaitwa Revocatius Kisoka lakini facebook kaweka picha ya Chris Brown au msichana unakuta kaweka picha ambayo si yake halisi. Hili ndilo lililowahi kunitokea, mapenzi ya facebook yalinipa funzo kubwa mno.
Kuna kipindi nilimuona msichana mwingine facebook, huyu alikuwa akiitwa Cleopatra Mushi lakini kwa facebook alikuwa akitumia jina la Precious Girl, kwa kweli alinivutia sana lakini kila nilipokuwa nikiyakumbuka yale yaliyowahi kunitokea katika maisha yangu ya facebook, niliogopa kumtongoza japo tulikwishaanza kuchat lakini niliamua kumpotezea.
Nimeamua kuishi maisha yangu mpaka pale siku nitakapopata mwanamke ambaye atakuja kunipenda kwa dhati. Aweze kuliziba pengo aliloliacha mke wangu.”

Alimaliza kusimulia Phidelis.

MWISHO.

Huu ndiyo mwisho wa simulizi yetu ya Mapenzi ya Facebook. Je, ni nini kilichokuvutia, una lipi la kunishauri katika simulizi hii na ni kipi ulichojifunza?
Aidha nipende kuwashukuru marafiki zangu Phidelis na Revocatius kwa kuniruhusu kuyatumia majina yao katika simulizi hii.
Pia nipende kuwashukuru nyote mliyokuwa nami kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa simulizi hii .
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
#Kumbuka kushare page hii kwa marafiki ili na wao waweze kuilike pae hii.

Ahsanteni.

MAPENZI YA FACEBOOK-11 Sikutaka kukurupuka katika kufanya maamuzi, niliamua kutumia akili katika suala hilo. Niliamini facebook matapeli walikuwa ni wengi sana hivyo sikutakiwa kumuamini Juliet kupitiliza. Kitu nilichoamua kukifanya ni kumpigia simu na kutaka kuisikia sauti yake, nilitamani sana kumsikia alifananaje sauti. Nilipiga simu yake lakini ajabu haikuwa ikipokelewa kabisa jambo lililonishangaza sana. “Itawezekanaje?” nilijiuliza mara baada ya kupiga simu zaidi ya mara tatu bila kupokelewa. Niliamua kumtumia ujumbe mfupi lakini alionekana kuwa kimya. “Mbona hupokei simu?” (Kimya!) “Juliet!” (Kimya!) Nilizidi kuwa katika wasiwasi mkubwa sana, sikujua ni nini kilichokuwa kimetokea mpaka Juliet akashindwa kuipokea simu yangu. Ama kweli jambo usilolijua ni sawa sawa na usiku wa kiza kinene, nilikuwa katika kiza ambacho sikuwa nikifahamu ukweli wa kile kilichokuwa kinaendelea katika maisha yangu. Mbali na kumfahamu Juliet facebook na kuweza kupata namba zake lakini kiukweli hakukuwahi kutokea siku nikaweza kuzungumza naye kwenye simu, kila nilipokuwa nikimpigia simu alikuwa akiikata na kudai kuwa ilikuwa mbovu hivyo alinitaka tuchat jambo ambalo kiukweli lilikuwa likiniweka katika wakati mgumu sana. “Kwanini hutaki kupokea simu yangu?” “Simu yangu mbovu tuchat tu!” “Kwahiyo hatuwezi kuongea?” “Ndiyo mpenzi,” alinijibu jibu ambalo kiukweli lilinifanya nishangae kwa kiasi fulani, yani sikuwa nimemtongoza wala kumtamkia neno lolote la kimapenzi sasa ilikuwaje nikawa mpenzi wake. Hilo lilizidi kunishangaza sana. Nikayakumbuka maneno ya Juma kuwa facebook hakukuwa na mapenzi ya kweli zaidi ya uwongo mwisho wa siku kuumiza. Sikutaka kukubaliana naye kabisa yani kwa jinsi Juliet alivyokuwa akionekana kuwa msichana mrembo sikutaka kukubaliana na maneno yake kabisa, nilihisi alikuwa akiniongopea. Niliamua kumuambia ukweli wa hisia zangu Juliet, sikutaka kumficha chochote kile nilichokuwa nikikihisi. Nilidhamiria kuwa naye katika maisha yangu. “Nakupenda Juliet.” “Unanipenda?” “Ndiyo.” “Unanipendea nini?” “Nakosa jibu la kukujibu ila nimetokea kukupenda tu!” “Siunajua mimi ni mwanamke ambaye ninahitaji matunzo.” “Ndiyo nafahamu.” “Utaweza kunihudumia, kunisomesha pamoja na kunilipia pango la chumba?” “Ndiyo nitaweza ondoa shaka mrembo.” “Sawa nimekukubalia ombi lako.” “Nimefurahi sana kwa kunikubalia ombi langu, nakupenda sana.” “Nakupenda pia Phidelis wangu.” Kwa kipindi chote hicho sikuwahi kuongea na Juliet na mara zote nilipokuwa nikitaka kuzumgumza naye alikuwa akiweka vipingamizi vingi, sikujua ni kwanini alikuwa akiweka vipingamizi hivyo hata pale nilipotaka kukutana naye aliweza kunikatalia na kuniambia kuwa nipange siku maamulu ambayo nitaweza kwenda kuonana naye. Urafiki wetu ulianzia facebook, urafiki ambao ulikuja kuzaa mapenzi ambayo kiukweli nilijikuta nikiwa katika mahusiano ilihali sikuwahi kuonana naye kabisa, yalikuwa ni mapenzi ya facebook tu! kutumiana picha pamoja na kusifiana. Hata pale lilipokuja suala la kumtumia pesa, nilimtumia bila kusita, niliamini alikuwa ni mwanamke ambaye alikuwa akinipenda sana kuliko kitu chochote kile. Niliamua kumtumia pesa ya pango ya chumba aliyokuwa akidaiwa pamoja na ada ya chuo. Mapenzi yetu yalibakia kuwa ya facebook tu! mpaka pale siku moja nilipokuja kupata habari iliyokuwa ikitangazwa na kuchapishwa katika magazeti mbalimbali kuhusiana na taarifa za shoga ambaye alikuwa akitumia jina la Juliet mitandaoni kutapeli wanaume. Kwa kweli sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikiona katika magazeti ya siku hiyo. **** “SHOGA ANAYETUMIA JINA LA JULIET AZIDI KULIZA WENGI FACEBOOK!” Kilikuwa ni kichwa cha habari cha gazeti moja ambalo nilikuwa nikilisoma. Katika gazeti hilo ilikuwepo picha ya mwanaume mmoja mwenye asili ya shombeshombe pamoja na picha ya mwanamke. Niliitazama kwa umakini wa hali ya juu ile picha ya yule mwanamke. Naam! Hakuwa mgeni machoni mwangu. Alikuwa ni Juliet mwanamke aliyetokea kunichanganya katika mapenzi kiasi kwamba nikawa sioni wala sisikii lolote juu yake. “Juliet!” nilijikuta nikiita kwa kushtuka. Sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikisoma katika gazeti, Juliet hakuwa ni mwanamke kama nilivyokuwa nikidhani. Alikuwa ni yule shoga ambaye alikuwa akitumia picha ya mwanamke Facebook ili aweze kuwatapeli wanaume. Naam! Ni kweli alifanikiwa katika mpango huo, aliweza kuwaliza wanaume wengi sana kutokana na uzuri aliyokuwa nao mwanamke yule. Miongoni mwa wanaume waliyolizwa siwezi kupinga nilikuwa ni miongoni mwao. “Siamini kwa kweli kumbe Juliet si mwanamke ni shoga?”nilijiuliza swali lililonifanya nisiamini kabisa habari ile niliyokuwa nikiisoma katika gazeti. Nilichoamua kukifanya ni kuichukua simu yangu kisha nikaingia Facebook ili niweze kukiaminisha kile nilichokuwa nikikisoma. Nilipoingia kitu cha kwanza niliingia upande wa kutafuta majina. Nililiandiika jina la Juliet kisha nikaanza kutazama picha ya yule mwanamke ambayo ilikuwa imewekwa katika akaunti hiyo. Kitu kilichonishangaza hakukuwa na picha katika akaunti ya Juliet, ilikuwa imetolewa. Sikutaka kuamini nikaamua kumtumia ujumbe mfupi lakini nilipotaka kufanya hivyo nilishindwa, alikuwa ameniblock. Kwa kweli nilihisi kuchanganyikiwa ndugu yangu, kuna kipindi nilihisi nilikuwa nikiyaona mapichapicha tu, sikutaka kuamini kabisa kama nilikuwa nimetapeliwa tena na shoga wa Facebook. Niliyakumbuka maneno ya rafiki yangu Juma aliyowahi kuniambia kuhusu Facebook, hakika yalionekana kuniingia vyema. Nilitamani kuzirudisha siku nyuma ili niweze kujitoa katika penzi la na Juliet lakini lilikuwa ni jambo gumu kutokea. Majuto yalikuwa kwangu, nilizidi kujiona mjinga sana hasa baada ya kusalitiwa na mke wangu kisha na mimi kuamua kulipiza kisasi katika mtandao huu ambapo nilijikuta nikiangukia kwa shoga ambaye nilikuwa nikimuhudumia kama mke wangu wa ndoa. Tukio hilo lilizidi kuniumiza sana, kumbukumbu hiyo ilinitesa sana katika maisha yangu. Niliamua kumuambia Juma ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea. “Umeona umeona?” aliniambia baada ya kumuelezea ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea. “Yani ndugu yangu we acha tu!” “Lakini nilikuambia mimi.” “Juma yani siamini.” “Huamini nini sasa, we endelea kuhudumia,” aliniambia huku akinicheka, kicheko ambacho kilinifanya nijisikie vibaya. “Sasa unanicheka.” “Tatizo lako wewe husikii.” “Nimekoma.” “Sasa ndiyo ujifunze,” aliniambia huku akionekana kufurahishwa na tukio lile. Facebook ilinipa funzo katika maisha yangu, sikutakiwa kumuamini mtu bila sababu za msingi katika mtandao huu, ni hapa ambapo niliamini kuwa kuna baadhi ya watumiaji wa facebook walikuwa wakipenda kutumia picha ambazo zilikuwa si zao. Unakuta mtu anaitwa Revocatius Kisoka lakini facebook kaweka picha ya Chris Brown au msichana unakuta kaweka picha ambayo si yake halisi. Hili ndilo lililowahi kunitokea, mapenzi ya facebook yalinipa funzo kubwa mno. Kuna kipindi nilimuona msichana mwingine facebook, huyu alikuwa akiitwa Cleopatra Mushi lakini kwa facebook alikuwa akitumia jina la Precious Girl, kwa kweli alinivutia sana lakini kila nilipokuwa nikiyakumbuka yale yaliyowahi kunitokea katika maisha yangu ya facebook, niliogopa kumtongoza japo tulikwishaanza kuchat lakini niliamua kumpotezea. Nimeamua kuishi maisha yangu mpaka pale siku nitakapopata mwanamke ambaye atakuja kunipenda kwa dhati. Aweze kuliziba pengo aliloliacha mke wangu.” Alimaliza kusimulia Phidelis. MWISHO. Huu ndiyo mwisho wa simulizi yetu ya Mapenzi ya Facebook. Je, ni nini kilichokuvutia, una lipi la kunishauri katika simulizi hii na ni kipi ulichojifunza? Aidha nipende kuwashukuru marafiki zangu Phidelis na Revocatius kwa kuniruhusu kuyatumia majina yao katika simulizi hii. Pia nipende kuwashukuru nyote mliyokuwa nami kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa simulizi hii . 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 #Kumbuka kushare page hii kwa marafiki ili na wao waweze kuilike pae hii. Ahsanteni.

...
MAPENZI YA FACEBOOK-10


Moyo wangu ulikuwa na kisasi kikubwa sana. Tukio la kushuhudia ndoa ya Ester hakika liliniumiza sana. Nilijitahidi kuvumilia maumivu niliyokuwa nikiyapata lakini nilishindwa kabisa.
Picha zake na mume wake alizokuwa akizipost zilizosindikizwa na maneno yaliyokuwa yakinilenga kwa asilimia mia moja, zilizidi kuniumiza sana moyoni mwangu, nilihisi maumivu yasiyomithilika.
“Ina maana alikuwa hanipendi, sasa kama alikuwa hanipendi si angesema ili nisifunge ndoa naye?” nilijiuliza swali lililokosa jibu kabisa.
Nilizidi kuwa katika wakati mgumu sana katika maisha yangu. Maisha yangu yalibadilika kwa kiasi kikubwa sana, nilikuwa ni mtu wa kuwaza kila wakati, kula, kunywa, kuvaa hata wakati mwingine kulala kwangu ilikuwa ni tabu, sikuwa mtu wa kwenda tena katika mihangaiko yangu, niliishi kwa kuteseka sana.
Kuna kipindi nilitamani kumuomba msamaha Ester na kumuambia kuwa kile kilichokuwa kimetokea kati yetu niliamua kusamehe hivyo tulitakiwa kuishi kama zamani. Hilo lilikuwa jambo gumu sana kulifanya, niliamini sikutakiwa kulifanya hata kidogo.
Niliamua kuingia facebook na kuanza kumtafuta msichana ambaye niliamini ningeweza kumuoa kabisa ikiwa ni katika harakati za kutaka kulipiza kisasi, niliamini kwa kufanya hivyo nilikuwa naenda kuuridhisha moyo wangu, moyo ambao ulisalitiwa, uliumizwa na Ester mwanamke ambaye alinidhihaki katika ulimwengu wa mapenzi.
Nilipoingia katika akaunti yangu ya facebook kazi yangu kubwa ilikuwa ni kuongeza idadi ya marafiki, nilikuwa nikiongeza marafiki huku wengi wao wakiwa ni wasichana. Niliwaomba urafiki wasichana wengine ambao kiukweli nilikuwa siwafahamu kabisa.
Msichana wa kwanza kabisa kunikubalia ombi langu la urafiki alijulikana kwa jina la Juliet Dickson, alionekana kuwa msichana mrembo sana, macho yake ya kurembua, sura ya kitoto iliyosindikizwa na umbo lake matata lilizidi kumfanya aonekane kuwa msichana mrembo sana, alikuwa akivutia kutazama.
Niliingia katika akaunti yake na kuanza kupekuwa baadhi ya picha mbalimbali alizowahi kuzipost. Kwa kweli alinivutia sana na hii ndiyo sababu iliyonifanya nikaamua kumuomba urafiki kitendo ambacho hakikuchukua muda akaweza kunikubalia ombi langu. Nilipomuangalia, alionekana kuwa online kwa wakati huo. Sikutaka kupoteza muda kabisa nikaamua kumtumia ujumbe mfupi.
“Asante kwa kunikubalia ombi langu.”
“Usijali karibu.”
“Asante mrembo?”
“Sawa.”
“Vipi lakini?”
“Safi tu!”
“We ni mrembo sana, unavutia kwa kweli.”
“Asante kaka yangu.”
“Maisha yanasemaje?”
“Yako poa?”
“Uko pande zipi?”
“Dar.”
“Dar kubwa lakini.”
“Nipo Sinza.”
“Sinza ipi?”
“Sinza makaburini.”
“Nashukuru kufahamu.”
“Usijali na wewe?”
“Mimi niko temeke tandika.”
“Ooh! Sawa,” alijibu Juliet na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa urafiki wetu.
Juliet alitokea kuuteka moyo wangu, nilijikuta nikianza kumpenda kwa mara ya kwanza baada ya kuziona picha zake. Sikutaka kuamini licha ya uzuri aliyokuwa nao eti! alikuwa ameolewa, nilijiaminisha kuwa alikuwa bado hajaolewa na hivyo ni mimi pekee ambaye nilitakiwa kumuoa.
“Lazima nimkamate Juliet,” nilijisemea huku nikizitazama picha zake, alikuwa akivutia sana.
Nilichokuwa nakiamini ni mapenzi ya kweli niliyokuwa nikiyatafuta facebook, niliamini kwa muonekano wangu nisingeweza kukosa mwanamke ambaye angeweza kunipenda na kuiziba nafasi aliyoiacha mke wangu.
Niliamini katika mapenzi ya kweli ambayo ningeweza kuyapata ila naweza kusema ilikuwa tofauti na kile nilichokuwa nakitegemea. Ama kwa hakika mapenzi ya facebook yameniacha na funzo kubwa katika maisha yangu.
                      ****
Facebook! Facebook! Kama sio facebook leo nisingeamua kukusimulia simulizi hii ambayo itakwenda kukuacha na funzo kubwa katika maisha yako.
Nilipoanza urafiki na Juliet, hakuonekana kabisa kujali urafiki huo japo mara kwa mara nilikuwa nikilike pamoja na kukomenti picha zake. Niliutumia muda wangu mwingi sana katika kuchat na Juliet huku nikiamini mwisho wa siku nitafanikiwa kuwa naye kimapenzi.
“Umependeza sana.”
“Asante phidelis.”
“Za masiku?”
“Nzuri tu.”
“Hivi ulisema unaishi wapi vile?” niliuliza swali la kinafki huku nikiwa nafahamu vizuri.”
“Jomoni ndiyo umesahau mara hii?”
“Ndiyo sababu nikakuuliza.”
“Sinza makaburini.”
“Unafanya kazi gani?”
“Mbona mapema hivyo jamani.”
“Kwani kuna ubaya wa mimi kufahamu?”
“Hapana hakuna ubaya.”
“Basi niambie.”
“Mimi mwanafunzi.”
“Mwanafunzi wa shule ya msingi, sekondari au?”
“Nipo chuo.”
“Chuo gani?”
“UDSM.”
“Vizuri sana hivi unasomea nini?”
“Kaka naona maswali yamekuwa mengi kama polisi kwaheri,” alinijibu Juliet na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa kujibu jumbe zangu.
Nilijisikia vibaya sana hasa baada ya Juliet kunijibu hivyo , sikutaka kuishia hapo niliamua kumtumia ujumbe mfupi lakini hakuweza kunijibu chochote, alionekana kuwa online kwa wakati huo lakini ni kama vile alikuwa hajali jumbe zangu nilizokuwa namtumia.
“Juliet mbona kimya sasa.”
(Kimya!)
“Juliet!”
(Kimya!)
“Mrembo?”
(Kimya!)
Nilizidi kutuma ujumbe lakini hakuna jibu lolote nililoweza kuambulia. Hakuna siku niliyoweza kujisikia vibaya kama siku hiyo. Nilikuwa nikimpenda sana Juliet japo sikuwahi kukutana naye lakini alionekana kunivutia sana katika maisha yangu. Nilitamani nipate muda wa kuweza kuongea naye ili niweze kumwambia dhamira yangu kwake lakini nilishindwa.
Nilizidi kumsumbua kila siku lakini ni kama vile nilikuwa nikitwanga maji kwenye kinu, hakuna chochote nilichoweza kuambulia zaidi ya ukimya ambayo ulitawala.
Niliichukua moja ya picha ya Juliet na kuisave wallpaper katika simu yangu. Alionekana kuvutia sana. Kila nilipokuwa nikimtazama moyo wangu ulihisi kufarijika sana.
****
Niliamua kumueleza kila kitu rafiki yangu Juma kuhusu Juliet na kwa jinsi nilivyokuwa nikimpenda kutoka moyoni mwangu, nakumbuka jibu kubwa alilonijibu ni kuwa facebook hakuna mapenzi ya kweli. Hilo sikutaka kukubaliana naye kabisa.
“Rafiki yangu facebook hakuna mapenzi,” aliniambia Juma, wakati alikuwa nyumbani kwangu Tandika Azimio majira ya saa kumi jioni.
“Lakini anaonekana kuwa mrembo sana.”
“Kuwa mrembo sio tatizo Phidelis halafu mbona wanawake wako wengi tu kwanini unang’ang’ania huko facebook.”
“Juma wewe unaongea tu hivi kwanza umemuona huyo Juliet mwenyewe?” nilimuuliza.
“Yuko wapi?” aliniuliza huku akionekana kuwa na hamu ya kutaka kumuona, niliamua kumuonyesha picha yake.
“Mtoto huyo hapo,” nilimuambia huku nikimuonyesha.
“Hahaha! Kwahiyo ndiyo umeamua mpaka kumsave kwenye simu yako?”
“Nampenda.”
“Anajua?” aliniuliza swali lililoniweka katika wakati mgumu wa majibu, ni ukweli usopingika kuwa mpaka kufikia wakati ule sikuwa nimeweza kuzungumza na Juliet habari zozote kuhusu mapenzi, nilijivika vazi la mapenzi ili hali muhusika hata hakuwa anafahamu lolote kuhusu mahusiano hayo.
“Ndiyo,” nilimjibu kwa kumdanganya.
“Ila kuwa makini na mapenzi ya facebook wengi wanalia, wengine wanatamani hata kujiua kwasababu ya mapenzi hayohayo ya facebook,” aliniambia Juma maneno ambayo kwa kweli yalinichanganya sana, nilizidi kuwa katika wakati mgumu sana, nilijiuliza maswali mengi ambayo mengi yalikosa majibu.
Sikutaka kusikia lolote lile juu ya mtandao huu ambao uliweza kuniachanisha na mke wangu ambaye aliweza kuolewa tena na mwanaume ambaye alimpatia hukuhuku facebook.
****
Niliendelea kumsumbua Juliet mpaka pale siku moja alipoweza kunijibu.
“Juliet.”
“Niambie.”
“Mbona upo kimya hivyo?”
“Nilikuwa bize.”
“Vipi lakini?”
“Safi tu.”
“Naweza kukuomba kitu?”
“Kitu gani?”
“Naomba namba zako ili tuwe kunawasiliana kwenye simu kwasababu huku najua sio kila siku tutakuwa tunawasiliana.”
“Ok nitumie namba zako,” alinijibu kisha nikamtumia namba zangu na huo mwisho wa chatting zetu.
Nilikuwa katika furaha isiyokuwa na kifani, kitendo cha kumuomba Juliet na mba kisha na yeye kuniambia nimtumie namba zangu hakika kiliniweka katika furaha isiyomithilika. Niliamini ule ndiyo ulikuwa mwanzo wa mahusiano yetu ambayo baadae ningeweza kumuoa kabisa, nilikuwa radhi kwa lolote kutoka kwa msichana huyo ambaye nilimpata facebook.
Kila siku nilikuwa nikiiangalia simu yangu huku nikitegemea kupokea simu kutoka kwa Juliet lakini hakuna simu wala ujumbe wowote uliyoingia kwenye simu yangu, tukio hilo lilizidi kuniumiza sana. Nilihisi Juliet alikuwa amenidanganya na hivyo asingeweza kunitafuta kabisa.
Baada ya kupita wiki mbili ndipo hapo ambapo niliweza kutumiwa ujumbe na namba ngeni. Sikutaka kupoteza muda niliamua kuchat nayo.
“Mambo.”
“Poa vipi.”
“Safi.”
“Nani mwenzangu?”
“Umenisahau jamani?”
“Hujajibu swali lakini?”
“Mimi Juliet,” alinijubu.
Kwa kweli sikutaka kuamini kama nilikuwa nachat na Juliet, haraka nikaisave namba yake, nilikuwa katika furaha isiyokuwa na kifani.
“Juliet jamani ni wewe?”
“Ndiyo.”
“Mbona sasa umekaa hivyo muda mrefu hata kunitafuta?”
“Nilipoteza simu.”
“Jamani pole sana sasa namba yangu uliipata wapi tena.”
“Siulinitumia facebook, niliingia nikaichukua.”
“Nimefurahi sana.”
“Usijali.”
“Uko wapi?”
“Niko nyumbani.”
“Hujaenda chuo?”
“Hapana.”
“Kwanini?”
“Nimefukuzwa ada.”
“Jamani pole sana.”
“Asante sana.”
“Kwahiyo utafanyaje?”
“Sijui na hapa nilipo nimepanga na mwenye nyumba ananidai kodi yake.”
“Kwani huna wazazi?”
“Sina walifariki miaka mingi sana iliyopita,” alinijibu Juliet jibu ambalo kiukweli liliniumiza sana. Nilitokea kumpenda sana kwa moyo wangu wote na sikutaka kumuona akiwa katika hali hiyo.

Je, nini kitaendelea?

MAPENZI YA FACEBOOK-10 Moyo wangu ulikuwa na kisasi kikubwa sana. Tukio la kushuhudia ndoa ya Ester hakika liliniumiza sana. Nilijitahidi kuvumilia maumivu niliyokuwa nikiyapata lakini nilishindwa kabisa. Picha zake na mume wake alizokuwa akizipost zilizosindikizwa na maneno yaliyokuwa yakinilenga kwa asilimia mia moja, zilizidi kuniumiza sana moyoni mwangu, nilihisi maumivu yasiyomithilika. “Ina maana alikuwa hanipendi, sasa kama alikuwa hanipendi si angesema ili nisifunge ndoa naye?” nilijiuliza swali lililokosa jibu kabisa. Nilizidi kuwa katika wakati mgumu sana katika maisha yangu. Maisha yangu yalibadilika kwa kiasi kikubwa sana, nilikuwa ni mtu wa kuwaza kila wakati, kula, kunywa, kuvaa hata wakati mwingine kulala kwangu ilikuwa ni tabu, sikuwa mtu wa kwenda tena katika mihangaiko yangu, niliishi kwa kuteseka sana. Kuna kipindi nilitamani kumuomba msamaha Ester na kumuambia kuwa kile kilichokuwa kimetokea kati yetu niliamua kusamehe hivyo tulitakiwa kuishi kama zamani. Hilo lilikuwa jambo gumu sana kulifanya, niliamini sikutakiwa kulifanya hata kidogo. Niliamua kuingia facebook na kuanza kumtafuta msichana ambaye niliamini ningeweza kumuoa kabisa ikiwa ni katika harakati za kutaka kulipiza kisasi, niliamini kwa kufanya hivyo nilikuwa naenda kuuridhisha moyo wangu, moyo ambao ulisalitiwa, uliumizwa na Ester mwanamke ambaye alinidhihaki katika ulimwengu wa mapenzi. Nilipoingia katika akaunti yangu ya facebook kazi yangu kubwa ilikuwa ni kuongeza idadi ya marafiki, nilikuwa nikiongeza marafiki huku wengi wao wakiwa ni wasichana. Niliwaomba urafiki wasichana wengine ambao kiukweli nilikuwa siwafahamu kabisa. Msichana wa kwanza kabisa kunikubalia ombi langu la urafiki alijulikana kwa jina la Juliet Dickson, alionekana kuwa msichana mrembo sana, macho yake ya kurembua, sura ya kitoto iliyosindikizwa na umbo lake matata lilizidi kumfanya aonekane kuwa msichana mrembo sana, alikuwa akivutia kutazama. Niliingia katika akaunti yake na kuanza kupekuwa baadhi ya picha mbalimbali alizowahi kuzipost. Kwa kweli alinivutia sana na hii ndiyo sababu iliyonifanya nikaamua kumuomba urafiki kitendo ambacho hakikuchukua muda akaweza kunikubalia ombi langu. Nilipomuangalia, alionekana kuwa online kwa wakati huo. Sikutaka kupoteza muda kabisa nikaamua kumtumia ujumbe mfupi. “Asante kwa kunikubalia ombi langu.” “Usijali karibu.” “Asante mrembo?” “Sawa.” “Vipi lakini?” “Safi tu!” “We ni mrembo sana, unavutia kwa kweli.” “Asante kaka yangu.” “Maisha yanasemaje?” “Yako poa?” “Uko pande zipi?” “Dar.” “Dar kubwa lakini.” “Nipo Sinza.” “Sinza ipi?” “Sinza makaburini.” “Nashukuru kufahamu.” “Usijali na wewe?” “Mimi niko temeke tandika.” “Ooh! Sawa,” alijibu Juliet na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa urafiki wetu. Juliet alitokea kuuteka moyo wangu, nilijikuta nikianza kumpenda kwa mara ya kwanza baada ya kuziona picha zake. Sikutaka kuamini licha ya uzuri aliyokuwa nao eti! alikuwa ameolewa, nilijiaminisha kuwa alikuwa bado hajaolewa na hivyo ni mimi pekee ambaye nilitakiwa kumuoa. “Lazima nimkamate Juliet,” nilijisemea huku nikizitazama picha zake, alikuwa akivutia sana. Nilichokuwa nakiamini ni mapenzi ya kweli niliyokuwa nikiyatafuta facebook, niliamini kwa muonekano wangu nisingeweza kukosa mwanamke ambaye angeweza kunipenda na kuiziba nafasi aliyoiacha mke wangu. Niliamini katika mapenzi ya kweli ambayo ningeweza kuyapata ila naweza kusema ilikuwa tofauti na kile nilichokuwa nakitegemea. Ama kwa hakika mapenzi ya facebook yameniacha na funzo kubwa katika maisha yangu. **** Facebook! Facebook! Kama sio facebook leo nisingeamua kukusimulia simulizi hii ambayo itakwenda kukuacha na funzo kubwa katika maisha yako. Nilipoanza urafiki na Juliet, hakuonekana kabisa kujali urafiki huo japo mara kwa mara nilikuwa nikilike pamoja na kukomenti picha zake. Niliutumia muda wangu mwingi sana katika kuchat na Juliet huku nikiamini mwisho wa siku nitafanikiwa kuwa naye kimapenzi. “Umependeza sana.” “Asante phidelis.” “Za masiku?” “Nzuri tu.” “Hivi ulisema unaishi wapi vile?” niliuliza swali la kinafki huku nikiwa nafahamu vizuri.” “Jomoni ndiyo umesahau mara hii?” “Ndiyo sababu nikakuuliza.” “Sinza makaburini.” “Unafanya kazi gani?” “Mbona mapema hivyo jamani.” “Kwani kuna ubaya wa mimi kufahamu?” “Hapana hakuna ubaya.” “Basi niambie.” “Mimi mwanafunzi.” “Mwanafunzi wa shule ya msingi, sekondari au?” “Nipo chuo.” “Chuo gani?” “UDSM.” “Vizuri sana hivi unasomea nini?” “Kaka naona maswali yamekuwa mengi kama polisi kwaheri,” alinijibu Juliet na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa kujibu jumbe zangu. Nilijisikia vibaya sana hasa baada ya Juliet kunijibu hivyo , sikutaka kuishia hapo niliamua kumtumia ujumbe mfupi lakini hakuweza kunijibu chochote, alionekana kuwa online kwa wakati huo lakini ni kama vile alikuwa hajali jumbe zangu nilizokuwa namtumia. “Juliet mbona kimya sasa.” (Kimya!) “Juliet!” (Kimya!) “Mrembo?” (Kimya!) Nilizidi kutuma ujumbe lakini hakuna jibu lolote nililoweza kuambulia. Hakuna siku niliyoweza kujisikia vibaya kama siku hiyo. Nilikuwa nikimpenda sana Juliet japo sikuwahi kukutana naye lakini alionekana kunivutia sana katika maisha yangu. Nilitamani nipate muda wa kuweza kuongea naye ili niweze kumwambia dhamira yangu kwake lakini nilishindwa. Nilizidi kumsumbua kila siku lakini ni kama vile nilikuwa nikitwanga maji kwenye kinu, hakuna chochote nilichoweza kuambulia zaidi ya ukimya ambayo ulitawala. Niliichukua moja ya picha ya Juliet na kuisave wallpaper katika simu yangu. Alionekana kuvutia sana. Kila nilipokuwa nikimtazama moyo wangu ulihisi kufarijika sana. **** Niliamua kumueleza kila kitu rafiki yangu Juma kuhusu Juliet na kwa jinsi nilivyokuwa nikimpenda kutoka moyoni mwangu, nakumbuka jibu kubwa alilonijibu ni kuwa facebook hakuna mapenzi ya kweli. Hilo sikutaka kukubaliana naye kabisa. “Rafiki yangu facebook hakuna mapenzi,” aliniambia Juma, wakati alikuwa nyumbani kwangu Tandika Azimio majira ya saa kumi jioni. “Lakini anaonekana kuwa mrembo sana.” “Kuwa mrembo sio tatizo Phidelis halafu mbona wanawake wako wengi tu kwanini unang’ang’ania huko facebook.” “Juma wewe unaongea tu hivi kwanza umemuona huyo Juliet mwenyewe?” nilimuuliza. “Yuko wapi?” aliniuliza huku akionekana kuwa na hamu ya kutaka kumuona, niliamua kumuonyesha picha yake. “Mtoto huyo hapo,” nilimuambia huku nikimuonyesha. “Hahaha! Kwahiyo ndiyo umeamua mpaka kumsave kwenye simu yako?” “Nampenda.” “Anajua?” aliniuliza swali lililoniweka katika wakati mgumu wa majibu, ni ukweli usopingika kuwa mpaka kufikia wakati ule sikuwa nimeweza kuzungumza na Juliet habari zozote kuhusu mapenzi, nilijivika vazi la mapenzi ili hali muhusika hata hakuwa anafahamu lolote kuhusu mahusiano hayo. “Ndiyo,” nilimjibu kwa kumdanganya. “Ila kuwa makini na mapenzi ya facebook wengi wanalia, wengine wanatamani hata kujiua kwasababu ya mapenzi hayohayo ya facebook,” aliniambia Juma maneno ambayo kwa kweli yalinichanganya sana, nilizidi kuwa katika wakati mgumu sana, nilijiuliza maswali mengi ambayo mengi yalikosa majibu. Sikutaka kusikia lolote lile juu ya mtandao huu ambao uliweza kuniachanisha na mke wangu ambaye aliweza kuolewa tena na mwanaume ambaye alimpatia hukuhuku facebook. **** Niliendelea kumsumbua Juliet mpaka pale siku moja alipoweza kunijibu. “Juliet.” “Niambie.” “Mbona upo kimya hivyo?” “Nilikuwa bize.” “Vipi lakini?” “Safi tu.” “Naweza kukuomba kitu?” “Kitu gani?” “Naomba namba zako ili tuwe kunawasiliana kwenye simu kwasababu huku najua sio kila siku tutakuwa tunawasiliana.” “Ok nitumie namba zako,” alinijibu kisha nikamtumia namba zangu na huo mwisho wa chatting zetu. Nilikuwa katika furaha isiyokuwa na kifani, kitendo cha kumuomba Juliet na mba kisha na yeye kuniambia nimtumie namba zangu hakika kiliniweka katika furaha isiyomithilika. Niliamini ule ndiyo ulikuwa mwanzo wa mahusiano yetu ambayo baadae ningeweza kumuoa kabisa, nilikuwa radhi kwa lolote kutoka kwa msichana huyo ambaye nilimpata facebook. Kila siku nilikuwa nikiiangalia simu yangu huku nikitegemea kupokea simu kutoka kwa Juliet lakini hakuna simu wala ujumbe wowote uliyoingia kwenye simu yangu, tukio hilo lilizidi kuniumiza sana. Nilihisi Juliet alikuwa amenidanganya na hivyo asingeweza kunitafuta kabisa. Baada ya kupita wiki mbili ndipo hapo ambapo niliweza kutumiwa ujumbe na namba ngeni. Sikutaka kupoteza muda niliamua kuchat nayo. “Mambo.” “Poa vipi.” “Safi.” “Nani mwenzangu?” “Umenisahau jamani?” “Hujajibu swali lakini?” “Mimi Juliet,” alinijubu. Kwa kweli sikutaka kuamini kama nilikuwa nachat na Juliet, haraka nikaisave namba yake, nilikuwa katika furaha isiyokuwa na kifani. “Juliet jamani ni wewe?” “Ndiyo.” “Mbona sasa umekaa hivyo muda mrefu hata kunitafuta?” “Nilipoteza simu.” “Jamani pole sana sasa namba yangu uliipata wapi tena.” “Siulinitumia facebook, niliingia nikaichukua.” “Nimefurahi sana.” “Usijali.” “Uko wapi?” “Niko nyumbani.” “Hujaenda chuo?” “Hapana.” “Kwanini?” “Nimefukuzwa ada.” “Jamani pole sana.” “Asante sana.” “Kwahiyo utafanyaje?” “Sijui na hapa nilipo nimepanga na mwenye nyumba ananidai kodi yake.” “Kwani huna wazazi?” “Sina walifariki miaka mingi sana iliyopita,” alinijibu Juliet jibu ambalo kiukweli liliniumiza sana. Nilitokea kumpenda sana kwa moyo wangu wote na sikutaka kumuona akiwa katika hali hiyo. Je, nini kitaendelea?

...
MAPENZI YA FACEBOOK-09


Kwanini mapenzi yaendelee kunitesa, kwanini niendelee kuishi maisha ya kuwa kama mkimbizi katika dunia hii ya mapenzi. Mapenzi yaliyowaacha watu wengi katika maumivu makali sana. Kila mtu analia na maumivu yake, wengine wanayachukia mapenzi huku wengine wakitamani kujiua sababu kubwa ikiwa ni mapenzi. Kuna muda huwa najiuliza hivi ni nini kipya katika mapenzi lakini sipati jibu kabisa.
Kwa kweli sikutaka kuendelea kuwa katika yale maumivu niliyokuwa nikiyapata kwa wakati ule, ni ukweli usiopingika kuwa nilimpenda sana mke wangu wala hakukuwa na mwanamke mwingine niliyekuwa nikimpenda zaidi yake, naweza kusema ukiotoa upendo niliyokuwa nao kwa mama yangu mzazi, mwanamke aliyekuwa akifuatia ni yeye.
Nilimpenda sana katika maisha yangu, nilimpa nafasi kubwa sana katika moyo wangu wa mapenzi. Aliishi kwa kujiachia sana nadhani hii ndiyo sababu iliyopelekea kuanza kunichanganya.
Tukio la kushuhudia namba ngeni zikiingia katika simu ya mke wangu pamoja na meseji mbalimbali halikuwa la kwanza kutokea, nakumbuka mara ya kwanza nilipolishuhudia niliweza kumkanya na alikiri kutorudia tena, ni kweli ilikuwa ni kama alivyokuwa ameniahidi lakini haikuwa katika maana ya kile alichokuwa akikizungumza. Bado aliendelea na tabia yake ya kisirisiri mpaka pale nilipobahatika kumfumania.
Kwa kweli sikutaka moyo wangu uendelee kupitia katika yale maumivu uliyokuwa ukiyapitia, niliamua kuachana na mke wangu. Niliamua kuachana naye ni kutokana na vituko alivyokuwa akinifanyia. Mapenzi aliyokuwa nayo kwangu yote aliyahamishia katika mtandao wa facebook, aliipenda sana Facebook na ndiyo sababu ambayo naweza kusema iliyosababisha mimi na yeye kutengana.
Yalikuwa ni maamuzi magumu sana ambayo yaliugharimu moyo wangu lakini nilijikaza kiume, sikutaka kuwa mdhaifu katika hilo hasa katika harakati za kupigania amani ya moyo wangu.
“Kwanini umeamua kufanya maamuzi hayo?” lilikuwa ni swali la kwanza kabisa la Juma kuniuliza mara baada ya kukutana naye na kumsimulia kila kitu kilichokuwa kimetokea.
“Juma sikuwa na njia nyingine ya kufanya,” nilimjibu huku nikimtazama, alionekana kuchukizwa sana.
“Phidelis rafiki yangu hivi unajua haupo sawa?”
“Kivipi?”
“Hivi utawezaje kumuacha mke wako kisa facebook.”
“Juma unazungumza kwa kuwa hujaoa, ingia katika ndoa utafahamu ni kwa jinsi gani mke anauma, asikwambie mtu ndoa ni ngumu mno imejaa kila aina ya matatizo.”
“Una maanisha nini?”
“Unaniuliza tena?”
“Ila haukuwa sahihi kuachana na mke wako.”
“Kama kuvumilia nimevumilia mengi tu, acha aende zake,” nilimwambia Juma huku akiendelea kunishangaa.
****
Baada ya kupita mwezi mmoja nilipata habari kuwa Ester anaolea tena, kiukweli sikutaka kuamini habari hizo japo kwa wakati ule nilikuwa nimeachana naye lakini kwa upande mwingine iliniuma hasa baada ya kusikia mke wangu niliyeachana naye alikuwa akiolewa na mwanaume mwingine, hilo lilizidi kunichanganya sana. Nayakumbuka maumivu niliyowahi kuyapata kipindi kile alipokuwa akinifanyia visa lakini haya yalikuwa ni maumivu mengine kabisa, niliumia kwasababu ya wivu. Wivu wa kumshuhudia mke wangu niliyeachana naye akiolewa na mwanaume mwingine.
Niliamua kuchunguza ukweli wa habari zile na hatimaye nikaweza kufahamu. Ester mke wangu alikuwa akiolewa na yule mwanaume aliyejulikana kwa jina la Osmon ambaye mapenzi yao yalianzia Facebook. Kwa kweli sikutaka kuamini kabisa kwa kile nilichokuwa nakishuhudia kwa macho yangu. Sijui ni kwanini nilikuwa katika maumivu makali kiasi hicho, niliamua kulipa kisasi, kisasi cha kumtafuta mwanamke facebook ambaye ningeweza kumuoa. Ama kwa hakika facebook imeficha siri nyingi sana, kama lilivyo jina lake nilikwenda kupenda kitabu nisichokifahamu kabisa.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo...

#Share kwa wingi.

MAPENZI YA FACEBOOK-09 Kwanini mapenzi yaendelee kunitesa, kwanini niendelee kuishi maisha ya kuwa kama mkimbizi katika dunia hii ya mapenzi. Mapenzi yaliyowaacha watu wengi katika maumivu makali sana. Kila mtu analia na maumivu yake, wengine wanayachukia mapenzi huku wengine wakitamani kujiua sababu kubwa ikiwa ni mapenzi. Kuna muda huwa najiuliza hivi ni nini kipya katika mapenzi lakini sipati jibu kabisa. Kwa kweli sikutaka kuendelea kuwa katika yale maumivu niliyokuwa nikiyapata kwa wakati ule, ni ukweli usiopingika kuwa nilimpenda sana mke wangu wala hakukuwa na mwanamke mwingine niliyekuwa nikimpenda zaidi yake, naweza kusema ukiotoa upendo niliyokuwa nao kwa mama yangu mzazi, mwanamke aliyekuwa akifuatia ni yeye. Nilimpenda sana katika maisha yangu, nilimpa nafasi kubwa sana katika moyo wangu wa mapenzi. Aliishi kwa kujiachia sana nadhani hii ndiyo sababu iliyopelekea kuanza kunichanganya. Tukio la kushuhudia namba ngeni zikiingia katika simu ya mke wangu pamoja na meseji mbalimbali halikuwa la kwanza kutokea, nakumbuka mara ya kwanza nilipolishuhudia niliweza kumkanya na alikiri kutorudia tena, ni kweli ilikuwa ni kama alivyokuwa ameniahidi lakini haikuwa katika maana ya kile alichokuwa akikizungumza. Bado aliendelea na tabia yake ya kisirisiri mpaka pale nilipobahatika kumfumania. Kwa kweli sikutaka moyo wangu uendelee kupitia katika yale maumivu uliyokuwa ukiyapitia, niliamua kuachana na mke wangu. Niliamua kuachana naye ni kutokana na vituko alivyokuwa akinifanyia. Mapenzi aliyokuwa nayo kwangu yote aliyahamishia katika mtandao wa facebook, aliipenda sana Facebook na ndiyo sababu ambayo naweza kusema iliyosababisha mimi na yeye kutengana. Yalikuwa ni maamuzi magumu sana ambayo yaliugharimu moyo wangu lakini nilijikaza kiume, sikutaka kuwa mdhaifu katika hilo hasa katika harakati za kupigania amani ya moyo wangu. “Kwanini umeamua kufanya maamuzi hayo?” lilikuwa ni swali la kwanza kabisa la Juma kuniuliza mara baada ya kukutana naye na kumsimulia kila kitu kilichokuwa kimetokea. “Juma sikuwa na njia nyingine ya kufanya,” nilimjibu huku nikimtazama, alionekana kuchukizwa sana. “Phidelis rafiki yangu hivi unajua haupo sawa?” “Kivipi?” “Hivi utawezaje kumuacha mke wako kisa facebook.” “Juma unazungumza kwa kuwa hujaoa, ingia katika ndoa utafahamu ni kwa jinsi gani mke anauma, asikwambie mtu ndoa ni ngumu mno imejaa kila aina ya matatizo.” “Una maanisha nini?” “Unaniuliza tena?” “Ila haukuwa sahihi kuachana na mke wako.” “Kama kuvumilia nimevumilia mengi tu, acha aende zake,” nilimwambia Juma huku akiendelea kunishangaa. **** Baada ya kupita mwezi mmoja nilipata habari kuwa Ester anaolea tena, kiukweli sikutaka kuamini habari hizo japo kwa wakati ule nilikuwa nimeachana naye lakini kwa upande mwingine iliniuma hasa baada ya kusikia mke wangu niliyeachana naye alikuwa akiolewa na mwanaume mwingine, hilo lilizidi kunichanganya sana. Nayakumbuka maumivu niliyowahi kuyapata kipindi kile alipokuwa akinifanyia visa lakini haya yalikuwa ni maumivu mengine kabisa, niliumia kwasababu ya wivu. Wivu wa kumshuhudia mke wangu niliyeachana naye akiolewa na mwanaume mwingine. Niliamua kuchunguza ukweli wa habari zile na hatimaye nikaweza kufahamu. Ester mke wangu alikuwa akiolewa na yule mwanaume aliyejulikana kwa jina la Osmon ambaye mapenzi yao yalianzia Facebook. Kwa kweli sikutaka kuamini kabisa kwa kile nilichokuwa nakishuhudia kwa macho yangu. Sijui ni kwanini nilikuwa katika maumivu makali kiasi hicho, niliamua kulipa kisasi, kisasi cha kumtafuta mwanamke facebook ambaye ningeweza kumuoa. Ama kwa hakika facebook imeficha siri nyingi sana, kama lilivyo jina lake nilikwenda kupenda kitabu nisichokifahamu kabisa. Je, nini kitaendelea? Usikose sehemu ijayo... #Share kwa wingi.

...
MAPENZI YA FACEBOOK 08

Nilimtazama mke wangu ambaye kwa wakati huo alionekana kuwa na wasiwasi mkubwa sana, hakuweza kujibu lolote, alizidi kulia huku akinisihi nimsamehe.
“Nisamehe bure mume wangu sirudii tena,” aliniambia.
“Sitaki kusikia sentensi hii moja kila wakati kwanini lakini umeamua kunifanyia hivi?”
“Sio akili yangu ni ibilisi alinipitia?”
“Ibilisi?”
“Mume wangu niamini kweli sirudii tena.”
“Osmon ni nani yako?”
“Alikuwa rafiki yangu wa facebook.”
“Halafu.”
“Ila mume wangu alikuwa akinisumbua sana kila siku alikuwa akinitongoza, kiukweli ilikuwa ni usumbufu ikabidi nimkubalie japo sijawahi kukutana naye wala kufanya naye chochote,” aliniambia Ester maneno yalizidi kuumiza moyo wangu mithili ya kisu butu anachochinjiwa kuku.
“Anaishi wapi?”
“Yupo Mwanza,” alinijibu jibu ambalo lilinishangaza sana, nilijaribu kuulinganisha ule umbali kutokea Daresalaam mpaka Mwanza lakini sikutaka kuamini kabisa. Yani mtu unakubali kuanzisha mahusiano na mtu ambaye hata hukuwahi kuonana nae mmekutana Facebook halafu unakubali awe mpenzi wako wakati huohuo ni mke wa mtu. Hilo lilizidi kunishangaza sana. Kuna kipindi nilihisi wenda nilikuwa katika jumba la sanaa ya maigizo ambapo nilikuwa nikishuhudia visa na mikasa iliyokuwa ikiendelea katika jumba hilo jambo ambalo lilikuwa si kweli, mke wangu alikuwa akivifanya vitu hivi kwa akili zake timamu.
“Kwahiyo ni mpenzi wako?” nilimuuliza.
“Hapana,” alinijibu kwa kukataa jibu ambalo lilinishangaza tena.
“Wewe siumeniambia huyu ni mpenzi wako halafu unakataa tena?”
“Laki…” kabla hajamaliza kunijibu ghafla! Simu yake ikaita, nilipoitazama katika kioo chake ilikuwa ni namba ngeni. Sikutaka kupoteza muda nikapokea.
“Ester tangu juzi hupokei simu yangu ni nini kimetokea au kuna kosa nimekufanyia basi nisamehe mpenzi wangu,” ilisikika sauti ikisema kwa kulalamika kwa upande wa pili, kwa kweli sikutaka kuamini kabisa masikio yangu kwa kile nilichokuwa nakisikia. Nilipomtazama Mke wangu bado alionekana kuwa katika wasiwasi sana, machozi yalizidi kumdondoka tu.
Sikutaka kujibu jibu lolote lile, nilichoamua kukifanya ni kuikata simu kwa wakati ule. Sijui ni nini kilitokea ila ninachokumbuka nilijikuta nikishikwa na hasira kisha nikaipigiza simu ukutani, ikapasuka vipande vipande.
“Ester! Ester! Ester mke wangu,” nilimuita kwa sauti iliyochanganyika na hasira.
“Abee mume wangu,” aliitika huku akitetemeka.
“Ni nini hiki unafanya, unakosa nini kwangu, ni nini ambacho sikupi mpaka unahadaika na hawa wanaume?” nilimuuliza huku nikivikunja viganja vyangu, nilikuwa katika hasira isiyokuwa na kifani.
Wazo la haraka lililonijia kichwani mwangu  ni kumpiga mke wangu kiasi cha kumvunja moja ya kiungo muhimu katika mwili wake, wazo hilo nililipitisha lakini lilipokuja suala la utekelezaji nilisita, moyo wangu haukutaka kufanya hivyo.
Machozi ya Ester aliyokuwa akiyadondosha huku akizidi kuniomba msamaha sikutaka kuyajali kabisa kwa wakati ule, ni hapa ambapo niliamini katika ule usemi usemao umdhaniaye ndiye kumbe siye. Kwa kweli nilimuamini sana mke wangu, ni mwanamke ambaye aliichukua sehemu kubwa sana katika maisha yangu. Nilimfanya kuwa kama malkia wa ngome ya mapenzi yangu aliyoitawala kiasi kwamba sikutaka kabisa kuchanganya falme. Maisha bila furaha yalikuwa si chochote, furaha hiyo alikuwa nayo Ester, kila kitu alichokuwa akikifanya katika maisha yangu kilizidi kunipa furaha ambayo ilizidi kuyaweka maisha yangu katika usalama wa hali ya juu.
“Kama ni kupenda nilikupenda sana mke wangu ila katika hili inabidi nikubali kupoteza kimoja katika maisha yangu ili nibaki na amani ya moyo,” nilimwambia huku nikimtazama.
“Tafadhali mume wangu usiniache,” aliniambia huku akiwa amepiga magoti.
Nakumbuka ndoa yangu mpaka kufikia wakati ule ilikuwa imetimiza mwaka mmoja, mwaka ambao sikubahatika kupata mtoto kabisa. Kwa kweli sikutaka kuendelea kuishi katika ndoa iliyokuwa ikininyima furaha. Japo nilikuwa nikimpenda sana mke wangu ila ni kama vile kulikuwa na sauti iliyokuja nafsini na kuniambia kuwa sitakiwa kuendelea kuishi katika ndoa iliyokuwa ikinitesa angali bado nilikuwa kijana.
“Naomba huu ndiyo uwe mwisho wetu chukua kila kilichokuwa chako uondoke zako, sikutaki tena katika maisha yangu,” nilimuambia maneno yaliyoniumiza kwa kiasi fulani lakini niliamua kujikaza kiume.

Je, nini kitaendelea?

#Share Kwa wingi.

MAPENZI YA FACEBOOK 08 Nilimtazama mke wangu ambaye kwa wakati huo alionekana kuwa na wasiwasi mkubwa sana, hakuweza kujibu lolote, alizidi kulia huku akinisihi nimsamehe. “Nisamehe bure mume wangu sirudii tena,” aliniambia. “Sitaki kusikia sentensi hii moja kila wakati kwanini lakini umeamua kunifanyia hivi?” “Sio akili yangu ni ibilisi alinipitia?” “Ibilisi?” “Mume wangu niamini kweli sirudii tena.” “Osmon ni nani yako?” “Alikuwa rafiki yangu wa facebook.” “Halafu.” “Ila mume wangu alikuwa akinisumbua sana kila siku alikuwa akinitongoza, kiukweli ilikuwa ni usumbufu ikabidi nimkubalie japo sijawahi kukutana naye wala kufanya naye chochote,” aliniambia Ester maneno yalizidi kuumiza moyo wangu mithili ya kisu butu anachochinjiwa kuku. “Anaishi wapi?” “Yupo Mwanza,” alinijibu jibu ambalo lilinishangaza sana, nilijaribu kuulinganisha ule umbali kutokea Daresalaam mpaka Mwanza lakini sikutaka kuamini kabisa. Yani mtu unakubali kuanzisha mahusiano na mtu ambaye hata hukuwahi kuonana nae mmekutana Facebook halafu unakubali awe mpenzi wako wakati huohuo ni mke wa mtu. Hilo lilizidi kunishangaza sana. Kuna kipindi nilihisi wenda nilikuwa katika jumba la sanaa ya maigizo ambapo nilikuwa nikishuhudia visa na mikasa iliyokuwa ikiendelea katika jumba hilo jambo ambalo lilikuwa si kweli, mke wangu alikuwa akivifanya vitu hivi kwa akili zake timamu. “Kwahiyo ni mpenzi wako?” nilimuuliza. “Hapana,” alinijibu kwa kukataa jibu ambalo lilinishangaza tena. “Wewe siumeniambia huyu ni mpenzi wako halafu unakataa tena?” “Laki…” kabla hajamaliza kunijibu ghafla! Simu yake ikaita, nilipoitazama katika kioo chake ilikuwa ni namba ngeni. Sikutaka kupoteza muda nikapokea. “Ester tangu juzi hupokei simu yangu ni nini kimetokea au kuna kosa nimekufanyia basi nisamehe mpenzi wangu,” ilisikika sauti ikisema kwa kulalamika kwa upande wa pili, kwa kweli sikutaka kuamini kabisa masikio yangu kwa kile nilichokuwa nakisikia. Nilipomtazama Mke wangu bado alionekana kuwa katika wasiwasi sana, machozi yalizidi kumdondoka tu. Sikutaka kujibu jibu lolote lile, nilichoamua kukifanya ni kuikata simu kwa wakati ule. Sijui ni nini kilitokea ila ninachokumbuka nilijikuta nikishikwa na hasira kisha nikaipigiza simu ukutani, ikapasuka vipande vipande. “Ester! Ester! Ester mke wangu,” nilimuita kwa sauti iliyochanganyika na hasira. “Abee mume wangu,” aliitika huku akitetemeka. “Ni nini hiki unafanya, unakosa nini kwangu, ni nini ambacho sikupi mpaka unahadaika na hawa wanaume?” nilimuuliza huku nikivikunja viganja vyangu, nilikuwa katika hasira isiyokuwa na kifani. Wazo la haraka lililonijia kichwani mwangu ni kumpiga mke wangu kiasi cha kumvunja moja ya kiungo muhimu katika mwili wake, wazo hilo nililipitisha lakini lilipokuja suala la utekelezaji nilisita, moyo wangu haukutaka kufanya hivyo. Machozi ya Ester aliyokuwa akiyadondosha huku akizidi kuniomba msamaha sikutaka kuyajali kabisa kwa wakati ule, ni hapa ambapo niliamini katika ule usemi usemao umdhaniaye ndiye kumbe siye. Kwa kweli nilimuamini sana mke wangu, ni mwanamke ambaye aliichukua sehemu kubwa sana katika maisha yangu. Nilimfanya kuwa kama malkia wa ngome ya mapenzi yangu aliyoitawala kiasi kwamba sikutaka kabisa kuchanganya falme. Maisha bila furaha yalikuwa si chochote, furaha hiyo alikuwa nayo Ester, kila kitu alichokuwa akikifanya katika maisha yangu kilizidi kunipa furaha ambayo ilizidi kuyaweka maisha yangu katika usalama wa hali ya juu. “Kama ni kupenda nilikupenda sana mke wangu ila katika hili inabidi nikubali kupoteza kimoja katika maisha yangu ili nibaki na amani ya moyo,” nilimwambia huku nikimtazama. “Tafadhali mume wangu usiniache,” aliniambia huku akiwa amepiga magoti. Nakumbuka ndoa yangu mpaka kufikia wakati ule ilikuwa imetimiza mwaka mmoja, mwaka ambao sikubahatika kupata mtoto kabisa. Kwa kweli sikutaka kuendelea kuishi katika ndoa iliyokuwa ikininyima furaha. Japo nilikuwa nikimpenda sana mke wangu ila ni kama vile kulikuwa na sauti iliyokuja nafsini na kuniambia kuwa sitakiwa kuendelea kuishi katika ndoa iliyokuwa ikinitesa angali bado nilikuwa kijana. “Naomba huu ndiyo uwe mwisho wetu chukua kila kilichokuwa chako uondoke zako, sikutaki tena katika maisha yangu,” nilimuambia maneno yaliyoniumiza kwa kiasi fulani lakini niliamua kujikaza kiume. Je, nini kitaendelea? #Share Kwa wingi.

...
MAPENZI YA FACEBOOK-07

Nilikuwa katika maumivu makali sana moyoni mwangu, kila nilivyokuwa nikimuangalia Ester na kwa jinsi alivyokuwa akilia, nilihisi kumchukia sana. Moyo wangu ulikuwa umeshachoka kwa vile vituko alivyokuwa akivifanya.
“Nisamehe mume wangu,” aliniambia huku akilia machozi, machozi ambayo kiukweli niliyafananisha na yale machozi ya waigizaji wa bongo muvi.
“Nikusamehe?” nilijikuta nikimuuliza swali ambalo liliniropoka, sikuwa sawa kabisa.
“Mume wangu naomba unisamehe,” alizidi kuniomba msamaha.
“Nimekuuliza huyu Osmon ni nani?” nilimuuliza huku nikiendelea kuyatazama yale machozi yake, sikutaka moyo wangu ulainike kirahisi kwa kuyaonea huruma machozi yale.
“Ni…ni…ni,’ alisema kwa kigugumizi kilichozidi kuniweka katika hasira kubwa sana.
“Ni nani?”
“Ni rafiki yangu wa facebook.”
“Rafiki?”
“Ndiyo mume wangu.”
“Rafiki ndiyo muitane baby.”
“Hapana mume wangu.”
“Halafu unakataa?”
“Ni rafiki yangu ila….”
“Ila nini, halafu mimi ni baba yako?”
“Hapana wewe ni mume wangu,” alinijibu huku akiwa amepiga magoti, alizidi kunisihi nimsamehe kwa kile kilichokuwa kimetokea.
Nilizidi kujisikia vibaya sana, nilikumbuka jinsi alivyokuwa akichat na yule mwanaume. Roho yangu ilizidi kuniuma sio siri. Maumivu niliyokuwa nikiyapata kiukweli siwezi kuyafananisha na kidonda nilichowahi kukipata katika mwili wangu. Niliyakumbuka maneno ya wahenga waliyosema kuhusu ndoa pamoja uvumilivu wake. Kwa kweli akili yangu haikutaka kuyakubali kabisa maneno yao. Nilihisi walikuwa wakidanganya, yani Phidelis mimi ninayeumizwa na ndoa yangu, mke wangu halafu eti! Niendelee kuvumilia? Hapana haiwezekani!
Asikuambie mtu ndugu yangu, mke anauma, ndoa inauma. Mapenzi ni mazuri endapo utapata ambaye anakupenda kwa dhati lakini mapenzi ni mabaya endapo utampata mtu ambaye hakupendi kwa dhati, anaishi kwa kukudhihaki.
Hilo ndilo lililonitokea katika maisha yangu, maisha ya ndoa yangu. Sikutaka kuamini kabisa kwa kile kilichokuwa kimetokea, niliyakumbuka maneno ya Juma aliyoniambia kuwa suluhisho la matatizo yanaiyokuwa yakiikabili ndoa yangu yalikuwa mikononi mwangu. Nilizidi kupagawa sio siri na ni hapa ambapo nikajikuta natokwa na maneno ambayo siyo siri yalikwenda kuugharimu moyo wangu, moyo wa mapenzi uliyokuwa umemuhifadhi Ester mwanamke niliyeamini aliumbwa maalumu kwa ajili ya maisha yangu. Sikutakiwa kuwa mpole katika hili, niliamua kusema kile nilichoamini kiliuridhisha moyo wangu.
“Kwanini lakini niendelee kuteseka kiasi hiki, kwanini uendelee kuwa msumari unayeupigilia moyo wangu bila kujali maumivu yangu unanidhihaki. Nakupenda sana lakini wakati mwingine inanibidi niamini kuwa hakuna mapenzi yasiyokuwa na maumivu. Umekuwa sababu ya maumivu ninayoyapata katika moyo wangu. Najitahidi kuvumilia lakini imefikia kikomo, nakiona kifo changu katika macho yangu na chanzo ni wewe, unashiriki katika kuuvunja moyo wangu lakini ni kwanini unayafanya haya? Unasahau kuwa mimi ni mume wako, unasahau kuwa mimi ndiye mwanaume wako, unasahau kuwa mimi ndiye kila kitu kwako, sasa kwanini unasahau yote hayo lakini? Facebook amekuwa adui anayekufanya uniumize kila siku. Nakupa kila kitu lakini huridhiki.
Mwanzo nilipoziona komenti za wanaume waliyokuwa wakikomenti katika picha zako nilihisi wenda hakukuwa na chochote kilichokuwa kikiendelea, nilijipa moyo na kuamini kuwa labda walikuwa ni marafiki tu ambao hata ulikuwa hauwafahamu lakini kumbe nilikuwa najidanganya. Umeona urafiki haautoshi sasa umeamua kujenga uhusiano nao, umekubali kuwa katika mapenzi na mwanaume wa facebook halafu bado unasahau kuwa wewe ni mke wa mtu, Kwanini Ester kwanini lakini unanifanyia haya?” nilimuuliza swali lililosindikizwa na maneno yaliyotoka katika kitako cha moyo wangu, nilikuwa katika maumivu makali sana. Nilijitahidi kuvumilia machozi yasinidondoke lakini nilishindwa kabisa mwisho machozi yalichukua hatamu yake, yalinitiririka mashavuni mwangu.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo…

MAPENZI YA FACEBOOK-07 Nilikuwa katika maumivu makali sana moyoni mwangu, kila nilivyokuwa nikimuangalia Ester na kwa jinsi alivyokuwa akilia, nilihisi kumchukia sana. Moyo wangu ulikuwa umeshachoka kwa vile vituko alivyokuwa akivifanya. “Nisamehe mume wangu,” aliniambia huku akilia machozi, machozi ambayo kiukweli niliyafananisha na yale machozi ya waigizaji wa bongo muvi. “Nikusamehe?” nilijikuta nikimuuliza swali ambalo liliniropoka, sikuwa sawa kabisa. “Mume wangu naomba unisamehe,” alizidi kuniomba msamaha. “Nimekuuliza huyu Osmon ni nani?” nilimuuliza huku nikiendelea kuyatazama yale machozi yake, sikutaka moyo wangu ulainike kirahisi kwa kuyaonea huruma machozi yale. “Ni…ni…ni,’ alisema kwa kigugumizi kilichozidi kuniweka katika hasira kubwa sana. “Ni nani?” “Ni rafiki yangu wa facebook.” “Rafiki?” “Ndiyo mume wangu.” “Rafiki ndiyo muitane baby.” “Hapana mume wangu.” “Halafu unakataa?” “Ni rafiki yangu ila….” “Ila nini, halafu mimi ni baba yako?” “Hapana wewe ni mume wangu,” alinijibu huku akiwa amepiga magoti, alizidi kunisihi nimsamehe kwa kile kilichokuwa kimetokea. Nilizidi kujisikia vibaya sana, nilikumbuka jinsi alivyokuwa akichat na yule mwanaume. Roho yangu ilizidi kuniuma sio siri. Maumivu niliyokuwa nikiyapata kiukweli siwezi kuyafananisha na kidonda nilichowahi kukipata katika mwili wangu. Niliyakumbuka maneno ya wahenga waliyosema kuhusu ndoa pamoja uvumilivu wake. Kwa kweli akili yangu haikutaka kuyakubali kabisa maneno yao. Nilihisi walikuwa wakidanganya, yani Phidelis mimi ninayeumizwa na ndoa yangu, mke wangu halafu eti! Niendelee kuvumilia? Hapana haiwezekani! Asikuambie mtu ndugu yangu, mke anauma, ndoa inauma. Mapenzi ni mazuri endapo utapata ambaye anakupenda kwa dhati lakini mapenzi ni mabaya endapo utampata mtu ambaye hakupendi kwa dhati, anaishi kwa kukudhihaki. Hilo ndilo lililonitokea katika maisha yangu, maisha ya ndoa yangu. Sikutaka kuamini kabisa kwa kile kilichokuwa kimetokea, niliyakumbuka maneno ya Juma aliyoniambia kuwa suluhisho la matatizo yanaiyokuwa yakiikabili ndoa yangu yalikuwa mikononi mwangu. Nilizidi kupagawa sio siri na ni hapa ambapo nikajikuta natokwa na maneno ambayo siyo siri yalikwenda kuugharimu moyo wangu, moyo wa mapenzi uliyokuwa umemuhifadhi Ester mwanamke niliyeamini aliumbwa maalumu kwa ajili ya maisha yangu. Sikutakiwa kuwa mpole katika hili, niliamua kusema kile nilichoamini kiliuridhisha moyo wangu. “Kwanini lakini niendelee kuteseka kiasi hiki, kwanini uendelee kuwa msumari unayeupigilia moyo wangu bila kujali maumivu yangu unanidhihaki. Nakupenda sana lakini wakati mwingine inanibidi niamini kuwa hakuna mapenzi yasiyokuwa na maumivu. Umekuwa sababu ya maumivu ninayoyapata katika moyo wangu. Najitahidi kuvumilia lakini imefikia kikomo, nakiona kifo changu katika macho yangu na chanzo ni wewe, unashiriki katika kuuvunja moyo wangu lakini ni kwanini unayafanya haya? Unasahau kuwa mimi ni mume wako, unasahau kuwa mimi ndiye mwanaume wako, unasahau kuwa mimi ndiye kila kitu kwako, sasa kwanini unasahau yote hayo lakini? Facebook amekuwa adui anayekufanya uniumize kila siku. Nakupa kila kitu lakini huridhiki. Mwanzo nilipoziona komenti za wanaume waliyokuwa wakikomenti katika picha zako nilihisi wenda hakukuwa na chochote kilichokuwa kikiendelea, nilijipa moyo na kuamini kuwa labda walikuwa ni marafiki tu ambao hata ulikuwa hauwafahamu lakini kumbe nilikuwa najidanganya. Umeona urafiki haautoshi sasa umeamua kujenga uhusiano nao, umekubali kuwa katika mapenzi na mwanaume wa facebook halafu bado unasahau kuwa wewe ni mke wa mtu, Kwanini Ester kwanini lakini unanifanyia haya?” nilimuuliza swali lililosindikizwa na maneno yaliyotoka katika kitako cha moyo wangu, nilikuwa katika maumivu makali sana. Nilijitahidi kuvumilia machozi yasinidondoke lakini nilishindwa kabisa mwisho machozi yalichukua hatamu yake, yalinitiririka mashavuni mwangu. Je, nini kitaendelea? Usikose sehemu ijayo…

...
CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 03

4 hours ago

SEHEMU YA TATU

MTUNZI : ABDUL JUMA
INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO
WHATSAPP: 0766025554




"Nyie acheni tu , mmemwona huyo kaka mrefu  aliyepita hapa ? " aliuliza Fifi "Huyo Osward ndo anakutoa kwenye mambo yenu unamwangalia yeye " aliongea Juliana huku akibetua midomo yake "Unamjua !? " Fifi aliuliza "Mm Naachaje kumjua anajiita Handsome wa chuo kizima " aliongea Juliana "Kumbe ni mwanafunzi ! , Siku ile ya sherehe nipo na kinywaji changu ile nguo iliyokuwa imechafuka ndo alinipamia Mimi nikajua mwalikwa " aliongea Fifi "Hahahahahahha kuna mtu asiyemjua Osward ndo kwanza mwaka wake wa kwanza ila karibia chuo kizima kinamjua , ile sherehe angekosa nadhani angekufa anayopenda kuzamia usione kapendeza uliza uambiwe shoga angu " aliongea Juliana "Hahahahha Makubwa " aliongea Nana na kuangua kicheko
Siku iliyofuata Osward akiwa amekaa na rafiki zake anawaonesha picha za kadada kamoja aliko kuwa amelala nako na kukapiga picha za utupu, kuna gari ikaingia na kupaki pembeni kidogo na kuteremka msichana Fifi mkononi akiwa amebebelea mkoba wake akipiga hatua kuelekea upande yalipo mabweni ya wasichana Osward akiwa anaendelea kuwaonesha picha rafiki zake "Mwanangu izi rangi zako Osward , we mtu mbaya watoto wakali wanakuelewa ile mbaya huyu nigei namba zake kanitia hamsha hamsha " aliongea Phili huku Osward akaperuzi namba ya huyo bishosti na kumpatia Phili "Akiuliza umetoa wapi namba yake tusitajane we pambana na hali yako" aliongea Osward alipoangalia pembeni akaweza kumwona Fifi anaishilizia "Enheee! Wanangu yule Malaika yule kulee anaishilizia , yule lazima nimpate , wazee lazima aingie kingi " aliongea Osward huku akiwasonteshea "Duuuh! Yule Demu Mimi namjua kaka gusa kote pale acha kabisa yule demu kwao wanapesa chafu hatari utaozea ndani yule namjua mpaka kwao anaitwa Fifi mzee wake Don Ostarbay nzima" aliongea Jenes "Pesa zake mimi hazinishindishi na kiu pale lazima nilambe kaka hizo ndo type zangu sitembei na midosho Mimi , Demu asiye na pesa Mimi wa kazi gani, Jenes halafu nimekusoma we mwoga mwoga sana ngojeni akitoka niwaonesheni " aliongea Osward wakakaa wakimchora pindi tu atakapo toka anyayuke na kumwibukia
Baada ya muda mchache Fifi akawa anarudi Osward alipomwona tu akanyanyuka na kuanza kumfuata kule alipokuwa anatokea Fifi , alipomkaribia akajifanya kujipitilizisha yani Osward mjanja Fifi si akamwona kwanini asimpapatikie
"Kaka ! We kaka " aliita Fifi "Unaniita Mimi Dada ! "Osward  alijisimamisha na kujiulizisha "Ndiyo , Mambo ! " sauti nyororo ya Fifi ikapenya kwenye masikio ya Osward "Safi vipi " akarudishia Osward "Samahani , sijui unanikumbuka ?" Aliuliza Fifi "Mmmm! Hapana labda unikumbushe, sikumbuki tumewahi kuonana wapi " aliongea Osward "OK, mmm ile siku ya sherehe ulinipush Kwa bahati mbaya na kunimwagia wine yangu " aliongea Fifi "Oooh! Sawaa , Daaah! Pole Sana Dada nilikuwa naongea na simu ivo sikuweza kukuona nisamehe tena kwa Mara nyingine " "Wala usijali , nimefurahi kuonana na wewe Kwa Mara nyingine , Naitwa Fifi sijui mwenzangu nani ? " aliongea Fifi na kumwuuliza Osward Jina lake "Woww! Una jina zuri sana Kama jinsi ulivyo , mmm Mimi naitwa Osward " "Ahsante, hata jina lako pia ni zuri , Aamm sijui ningeweza kupata namba yako ya simu maana kuna mahali naenda muda huu kuna mengi nahitaji tuongee zaidi Kama hutojali lakini " aliongea Fifi "Wala usijali "
Fifi akatoa simu yake na kumpatia Osward akaandika namba yake ya simu na kumrudishia Bidada simu
Huku rafiki zake wanaangalia tukio zima lilivyokuwa likiendelea maskini Fifi angeijua Tabia ya Osward angeliachana nae tu maana siyo mtu wa mchezomchezo halafu mawindoni kajiingiza mwenyewe bila ya kujua namna Osward alivokuwa na hamu ya kuwa nae
Majira ya usiku Osward akiwa amejilaza Ghetto na  jamaa zake hakuweza kuruhusu usingizi umpite alikuwa akiitazama simu yake huku akiwatizama jamaa zake wakiwa hoi wanakoroma tu
Kipindi iko bidada Fifi ndo anatoka bafuni kuoga huku kajifunga na kitaulo chake kimoja akijifutafuta maji usoni na kusogea kitandani alipokuwa ameibwaga simu yake na kuichukua kisha akaketi kitandani na kuitoa loki na kuzama kwenye phonebook akilitafuta jina la Osward na baada ya kulipata na kuipigia
Osward alipoona simu yake inaita namba ngeni akajua tayari akairekebisha sauti yake na kuipokea "Hallo ! Mambo Osward " .
.
.
Itaendelea

CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 03 4 hours ago SEHEMU YA TATU MTUNZI : ABDUL JUMA INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO WHATSAPP: 0766025554  "Nyie acheni tu , mmemwona huyo kaka mrefu  aliyepita hapa ? " aliuliza Fifi "Huyo Osward ndo anakutoa kwenye mambo yenu unamwangalia yeye " aliongea Juliana huku akibetua midomo yake "Unamjua !? " Fifi aliuliza "Mm Naachaje kumjua anajiita Handsome wa chuo kizima " aliongea Juliana "Kumbe ni mwanafunzi ! , Siku ile ya sherehe nipo na kinywaji changu ile nguo iliyokuwa imechafuka ndo alinipamia Mimi nikajua mwalikwa " aliongea Fifi "Hahahahahahha kuna mtu asiyemjua Osward ndo kwanza mwaka wake wa kwanza ila karibia chuo kizima kinamjua , ile sherehe angekosa nadhani angekufa anayopenda kuzamia usione kapendeza uliza uambiwe shoga angu " aliongea Juliana "Hahahahha Makubwa " aliongea Nana na kuangua kicheko Siku iliyofuata Osward akiwa amekaa na rafiki zake anawaonesha picha za kadada kamoja aliko kuwa amelala nako na kukapiga picha za utupu, kuna gari ikaingia na kupaki pembeni kidogo na kuteremka msichana Fifi mkononi akiwa amebebelea mkoba wake akipiga hatua kuelekea upande yalipo mabweni ya wasichana Osward akiwa anaendelea kuwaonesha picha rafiki zake "Mwanangu izi rangi zako Osward , we mtu mbaya watoto wakali wanakuelewa ile mbaya huyu nigei namba zake kanitia hamsha hamsha " aliongea Phili huku Osward akaperuzi namba ya huyo bishosti na kumpatia Phili "Akiuliza umetoa wapi namba yake tusitajane we pambana na hali yako" aliongea Osward alipoangalia pembeni akaweza kumwona Fifi anaishilizia "Enheee! Wanangu yule Malaika yule kulee anaishilizia , yule lazima nimpate , wazee lazima aingie kingi " aliongea Osward huku akiwasonteshea "Duuuh! Yule Demu Mimi namjua kaka gusa kote pale acha kabisa yule demu kwao wanapesa chafu hatari utaozea ndani yule namjua mpaka kwao anaitwa Fifi mzee wake Don Ostarbay nzima" aliongea Jenes "Pesa zake mimi hazinishindishi na kiu pale lazima nilambe kaka hizo ndo type zangu sitembei na midosho Mimi , Demu asiye na pesa Mimi wa kazi gani, Jenes halafu nimekusoma we mwoga mwoga sana ngojeni akitoka niwaonesheni " aliongea Osward wakakaa wakimchora pindi tu atakapo toka anyayuke na kumwibukia Baada ya muda mchache Fifi akawa anarudi Osward alipomwona tu akanyanyuka na kuanza kumfuata kule alipokuwa anatokea Fifi , alipomkaribia akajifanya kujipitilizisha yani Osward mjanja Fifi si akamwona kwanini asimpapatikie "Kaka ! We kaka " aliita Fifi "Unaniita Mimi Dada ! "Osward  alijisimamisha na kujiulizisha "Ndiyo , Mambo ! " sauti nyororo ya Fifi ikapenya kwenye masikio ya Osward "Safi vipi " akarudishia Osward "Samahani , sijui unanikumbuka ?" Aliuliza Fifi "Mmmm! Hapana labda unikumbushe, sikumbuki tumewahi kuonana wapi " aliongea Osward "OK, mmm ile siku ya sherehe ulinipush Kwa bahati mbaya na kunimwagia wine yangu " aliongea Fifi "Oooh! Sawaa , Daaah! Pole Sana Dada nilikuwa naongea na simu ivo sikuweza kukuona nisamehe tena kwa Mara nyingine " "Wala usijali , nimefurahi kuonana na wewe Kwa Mara nyingine , Naitwa Fifi sijui mwenzangu nani ? " aliongea Fifi na kumwuuliza Osward Jina lake "Woww! Una jina zuri sana Kama jinsi ulivyo , mmm Mimi naitwa Osward " "Ahsante, hata jina lako pia ni zuri , Aamm sijui ningeweza kupata namba yako ya simu maana kuna mahali naenda muda huu kuna mengi nahitaji tuongee zaidi Kama hutojali lakini " aliongea Fifi "Wala usijali " Fifi akatoa simu yake na kumpatia Osward akaandika namba yake ya simu na kumrudishia Bidada simu Huku rafiki zake wanaangalia tukio zima lilivyokuwa likiendelea maskini Fifi angeijua Tabia ya Osward angeliachana nae tu maana siyo mtu wa mchezomchezo halafu mawindoni kajiingiza mwenyewe bila ya kujua namna Osward alivokuwa na hamu ya kuwa nae Majira ya usiku Osward akiwa amejilaza Ghetto na  jamaa zake hakuweza kuruhusu usingizi umpite alikuwa akiitazama simu yake huku akiwatizama jamaa zake wakiwa hoi wanakoroma tu Kipindi iko bidada Fifi ndo anatoka bafuni kuoga huku kajifunga na kitaulo chake kimoja akijifutafuta maji usoni na kusogea kitandani alipokuwa ameibwaga simu yake na kuichukua kisha akaketi kitandani na kuitoa loki na kuzama kwenye phonebook akilitafuta jina la Osward na baada ya kulipata na kuipigia Osward alipoona simu yake inaita namba ngeni akajua tayari akairekebisha sauti yake na kuipokea "Hallo ! Mambo Osward " . . . Itaendelea

...
CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 02

1 day ago

SEHEMU YA PILI
MTUNZI : ABDUL JUMA
INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO
WHATSAPP: 0766025554




Osward alinyanyua uso na kumtazama yule Dada, uso kwa uso na mwanadada mrembo aliyejulikana kwa jina la Fifi mtoto wa kigogo mmoja naye alikuwa ni mmoja wa watu wanaosherekea kuingia mwaka wa mwisho  kimasomo "Ai ! Dada samahani sana Dada angu sikukuona kabisaa naomba unisamehe " aliongea Osward huku akilitia simu lake mfukoni na kutoka na kitambaa akataka kumfuta Fifi "Usijali kaka , Unaweza kwenda nitajisafisha " Fifi aliuzuia mkono wa kijana Osward na kumwomba amwache
Ila kitu cha kusangaza Fifi hakuonekana kuchukia,  Osward aliondoka na kuweza kumwacha Fifi akiwa amepigwa na butwaa wakati huo Osward anaenda huku akigeuka na kumtazama Jinsi alivyokuwa ameumbika kuanzia sula mpaka umbo lake zuri lililokuwa limekaa vizuri ndani ya gauni alokuwa amelivaa
Fifi akaamua kwenda washroom kwaajili ya kujisafisha "Eee! Vipi tena yamekukuta yapi ?! " aliuliza rafiki yake Nana baada ya kutoka msalani na kumkuta Fifi akijisafisha "Mwenzangu acha tu yalonikuta nilitoka kuongea na simu ile narudi kukaa sinimekutana na kimbwanga nimepamiwa wine yote imeishia kwenye nguo " aliongea Fifi "Mmm! Shoga angu pole haya huyo mtu alokufanya ivi umemwachaje ?" Aliuliza Nana "We acha tu , nimeacha aende sijamfanya chochote kile " alingea Fifi "Mmmm! Nasikia hasira ivi Fifi mtu anakuchafua kiasi hiki halafu unamwacha tu ki rahisi rahisi unadhani hiyo wine itatoka Leo hapo umezidi uzungu Fifi, Ashukuru Mungu wake sikuepo hii sherehe ingegeuka kigoma ningemchamba hatari " aliongea Nana "Sikutaka tu ugomvi Nana ivi tu kweli kuna haja ya kugombana na mtu kwa kisa Kama hiki !" Aliongea Fifi
"We unaona madogo hayo kunukishana mipombe "aliongea Nana
"Tuachane na hayo ,Juliana umemwacha kule maana mkoba wangu nimeuacha pale tulipokuwa tumekaa " aliongea Fifi
"Ndiyo , kila kitu anacho "
Waliamua kutoka msalani na kurudi kwenye sherehe
Baada ya siku ile kupita Osward akiwa amekaa na rafiki zake Jenes , Petro pamoja na philimon wanajisomea Osward alikuwa bize akichezea simu huku akijiachilia na vicheko "Oya ! Mwanangu unazingua , ungeenda basi hata mbali na hapa we huoni kama wenzio tunasoma mzazi " aliongea Jenes
"Aaaa ! Msinizingue wakusoma itakuwa nyinyi ... Halafu sikieni jana kuna jambo nilisahau kuwaambia Aisee ! Kuna Malaika mmoja nimeonana nae jana Chaaa! Wallahy hiki chuo kizima sijao .. Sijaona , Mtoto mkali balaa Daaah! Sijui yule demu anasomea nini ila najua ntampata ivi nimemwelewa kichizi lazima nimdumange , halafu Jana nimewachezeshea Kama nane ivi yule Suzan anajifanyaga ana lembalemba kumbe hamna kitu nimemchezeshea Jana hoi sijamwona kabisa tangu asubuhi nikimwona ntamcheka ,omba asionane namimi mshezi yule, nimezoa zoa vihela vyao " Aliongea Osward huku akijimwagia sifa na idadi ya aliolala nao Jana "Nikwambie kitu Osward , hayo mambo ungeachana nayo kabisa ndo kwanza mwaka wako wa kwanza hapa chuoni , ungedili na masomo kwanza wasichana wapo kibao tu mbona , unajiuza kisa pesa" aliongea Petro "Huyu anaongea nini , Unajua Petro Unazingua Mimi najua hizi mambo we huwezi ndo maana unaongea , huu ndo mwanzo anae jilengesha simwachi Mimi mwanaume wewe sijiuzi nauzika Kama Dada yako anasoma hapa mwambie kabisa la sivyo Mimi ntapita nae hata bure Mamaee " aliongea Osward "Hahahahahhaha , We jamaa bhana Osward Mimi nakuaminia we jembe cheza nao ila kusoma pia kuna umuhimu " aliongea Philimon "Mimi Phili nakuelewaa we mtu wangu nigeie tano kwanza .... Sasa Kama vipi baadae kuna kibinti kimejileta inbobo chenyewe ngoja nika meet nacho tutaonana jioni niwape mkanda mzima " Osward alinyanyuka na kuondoka
Wiki moja baadae Fifi akiwa na rafiki zake Nana pamoja na Juliana wanakula chakula maeneo ya Samaki Samaki huku wakiongea na kufurahi kipindi icho icho wakiwa wanaendelea kuongea Fifi aliweza kumwona Osward akipita na kuelekea Kwenye Mall macho yote yakamkodoka na kujikuta akimsindikiza kwa macho Namna Osward alivokuwa amevalia nguo zake na kumkaa vizuri Fifi alibaki amezubalia upande ule ule alokwisha pita Osward na kuingia ndani ya Mall
"Fifi ! Fifi !" Aliita Juliana na kumshtua Fifi kutoka alipokuwa amezubalia "Jully umenishtua ! " aliongea Fifi "Fifi usitake kuniambia huko kuzubaa kote tunaongea hapa kumbe mwenzetu mawazo yako yapo kwingine " aliongea Nana .
. .
Itaendelea .....

CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 02 1 day ago SEHEMU YA PILI MTUNZI : ABDUL JUMA INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO WHATSAPP: 0766025554  Osward alinyanyua uso na kumtazama yule Dada, uso kwa uso na mwanadada mrembo aliyejulikana kwa jina la Fifi mtoto wa kigogo mmoja naye alikuwa ni mmoja wa watu wanaosherekea kuingia mwaka wa mwisho  kimasomo "Ai ! Dada samahani sana Dada angu sikukuona kabisaa naomba unisamehe " aliongea Osward huku akilitia simu lake mfukoni na kutoka na kitambaa akataka kumfuta Fifi "Usijali kaka , Unaweza kwenda nitajisafisha " Fifi aliuzuia mkono wa kijana Osward na kumwomba amwache Ila kitu cha kusangaza Fifi hakuonekana kuchukia,  Osward aliondoka na kuweza kumwacha Fifi akiwa amepigwa na butwaa wakati huo Osward anaenda huku akigeuka na kumtazama Jinsi alivyokuwa ameumbika kuanzia sula mpaka umbo lake zuri lililokuwa limekaa vizuri ndani ya gauni alokuwa amelivaa Fifi akaamua kwenda washroom kwaajili ya kujisafisha "Eee! Vipi tena yamekukuta yapi ?! " aliuliza rafiki yake Nana baada ya kutoka msalani na kumkuta Fifi akijisafisha "Mwenzangu acha tu yalonikuta nilitoka kuongea na simu ile narudi kukaa sinimekutana na kimbwanga nimepamiwa wine yote imeishia kwenye nguo " aliongea Fifi "Mmm! Shoga angu pole haya huyo mtu alokufanya ivi umemwachaje ?" Aliuliza Nana "We acha tu , nimeacha aende sijamfanya chochote kile " alingea Fifi "Mmmm! Nasikia hasira ivi Fifi mtu anakuchafua kiasi hiki halafu unamwacha tu ki rahisi rahisi unadhani hiyo wine itatoka Leo hapo umezidi uzungu Fifi, Ashukuru Mungu wake sikuepo hii sherehe ingegeuka kigoma ningemchamba hatari " aliongea Nana "Sikutaka tu ugomvi Nana ivi tu kweli kuna haja ya kugombana na mtu kwa kisa Kama hiki !" Aliongea Fifi "We unaona madogo hayo kunukishana mipombe "aliongea Nana "Tuachane na hayo ,Juliana umemwacha kule maana mkoba wangu nimeuacha pale tulipokuwa tumekaa " aliongea Fifi "Ndiyo , kila kitu anacho " Waliamua kutoka msalani na kurudi kwenye sherehe Baada ya siku ile kupita Osward akiwa amekaa na rafiki zake Jenes , Petro pamoja na philimon wanajisomea Osward alikuwa bize akichezea simu huku akijiachilia na vicheko "Oya ! Mwanangu unazingua , ungeenda basi hata mbali na hapa we huoni kama wenzio tunasoma mzazi " aliongea Jenes "Aaaa ! Msinizingue wakusoma itakuwa nyinyi ... Halafu sikieni jana kuna jambo nilisahau kuwaambia Aisee ! Kuna Malaika mmoja nimeonana nae jana Chaaa! Wallahy hiki chuo kizima sijao .. Sijaona , Mtoto mkali balaa Daaah! Sijui yule demu anasomea nini ila najua ntampata ivi nimemwelewa kichizi lazima nimdumange , halafu Jana nimewachezeshea Kama nane ivi yule Suzan anajifanyaga ana lembalemba kumbe hamna kitu nimemchezeshea Jana hoi sijamwona kabisa tangu asubuhi nikimwona ntamcheka ,omba asionane namimi mshezi yule, nimezoa zoa vihela vyao " Aliongea Osward huku akijimwagia sifa na idadi ya aliolala nao Jana "Nikwambie kitu Osward , hayo mambo ungeachana nayo kabisa ndo kwanza mwaka wako wa kwanza hapa chuoni , ungedili na masomo kwanza wasichana wapo kibao tu mbona , unajiuza kisa pesa" aliongea Petro "Huyu anaongea nini , Unajua Petro Unazingua Mimi najua hizi mambo we huwezi ndo maana unaongea , huu ndo mwanzo anae jilengesha simwachi Mimi mwanaume wewe sijiuzi nauzika Kama Dada yako anasoma hapa mwambie kabisa la sivyo Mimi ntapita nae hata bure Mamaee " aliongea Osward "Hahahahahhaha , We jamaa bhana Osward Mimi nakuaminia we jembe cheza nao ila kusoma pia kuna umuhimu " aliongea Philimon "Mimi Phili nakuelewaa we mtu wangu nigeie tano kwanza .... Sasa Kama vipi baadae kuna kibinti kimejileta inbobo chenyewe ngoja nika meet nacho tutaonana jioni niwape mkanda mzima " Osward alinyanyuka na kuondoka Wiki moja baadae Fifi akiwa na rafiki zake Nana pamoja na Juliana wanakula chakula maeneo ya Samaki Samaki huku wakiongea na kufurahi kipindi icho icho wakiwa wanaendelea kuongea Fifi aliweza kumwona Osward akipita na kuelekea Kwenye Mall macho yote yakamkodoka na kujikuta akimsindikiza kwa macho Namna Osward alivokuwa amevalia nguo zake na kumkaa vizuri Fifi alibaki amezubalia upande ule ule alokwisha pita Osward na kuingia ndani ya Mall "Fifi ! Fifi !" Aliita Juliana na kumshtua Fifi kutoka alipokuwa amezubalia "Jully umenishtua ! " aliongea Fifi "Fifi usitake kuniambia huko kuzubaa kote tunaongea hapa kumbe mwenzetu mawazo yako yapo kwingine " aliongea Nana . . . Itaendelea .....

...
CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 01

2 days ago

Sehemu Ya Kwanza
.
.



Sita Kwa Sita

Mtunzi : Abdul Juma
Instagram : abbykamchoro
Facebook : abbykamchoro
WhatsApp : 0766025554 . .
.
.
.
Raha yake ni zaidi ya raha zote duniani hasa ukiendekeza  na inapozidi inapoteza thamani ya uwepo wako katika uso wa dunia haikifu wala haiboi bali uongeza hamasa ya kuendelea kuwa mtumwa wa kuitumikia mara Kwa Mara
Ndani ya maeneo ya chuo kikuu cha Dar Es Salaam kilichopo Mlimani siku hiyo wanafunzi walikuwa wamejiandalia karamu kwaajili ya kusherekea kuingia mwaka wao wa mwisho kimasomo Kama ilivyo ada katika sherehe mbali mbali huwa hawakosi watu wa kuzamia katika sherehe ambazo hazikuhusiana nao wala kuchangia chochote kile hapa tunakwenda kukutana na  Osward mwenye umri wa miaka Ishirini na tano Kijana aliyekuwa anapenda sana starehe ila kilichokuwa kina mkwamisha ni suala la kipesa tu kwani kwao  anatoka katika familia duni ya Mzee Paulsen  Mzee anayejishughulisha na ufundi nguo ili watoto wake waweze kusoma, maisha ya nyumbani kwao hayakuwa mazuri hata kidogo kuanzia kula yao mpaka vaa yao  japo Baba yake alijibana ivo ivo  na kuhakikisha watoto wake wanaenda shule ili waweze kuja kumsaidia baadae na kujikwamua katika wimbi hilo kubwa la ukwasi ,kwao walizaliwa wawili tu yeye pamoja na mdogo wake wa kike Veronica mama yao mzazi alifariki Mara tu baada ya kuzaliwa Veronica kutokana na ugonjwa wa kichaa cha mimba alokuwa ameupata akiwa na ujauzito wa miezi miwili wa Veronica , walilelewa Kwa shida na kusomeshwa mpaka Osward kuweza kufanikiwa kufika ngazi ya chuo na huo ndo ulikuwa mwaka wake wa kwanza akichukua Bachelor Of Science In Meteorology huku mdogo wake ndo kwanza akiwa kidato cha kwanza ,Mzee Paulsen mfuko wake haukuwa mkubwa kiasi hicho ila kutokana mwanae wa kiume Osward kusoma Kwa mkopo pesa alizokuwa akijibanabana alimlipia binti yake Veronica ili nae aweze kumaliza masomo yake ya sekondari , Osward alionekana mtanashati chuoni alijipenda kupitiliza lakini kuanzia mavazi mazuri aliyokuwa akiyavaa yote alikuwa akiazima kutoka Kwa wanafunzi wenzake hata sehemu ya yeye kulala ilikuwa ni kwa marafiki zake kutokana na Baba yake kutokuwa na uwezo wa kumlipia pesa ya bweni,
Leo ata lala hapa kesho ata lala kule hakuwa ni mtu wa kueleweka Kama ndege
Baadhi ya wanafunzi waliweza kumpachika jina la Masala kulangwa yaani Osward Masala Kulangwa , Siyo siri hakuchukiza ukimtazama Kama ndo siku ya kwanza unamwona lazima ungegeuka mara kumi kumi na kumtazama tena wasichana wa chuoni walijigonga Kwa utanashati aliokuwa nao kwa nguo za kuazima na jimwili lake lake atiii alilolibumbabumba kwa kunyanyua vyuma hakuna nguo alioivaa ikamkataa na kumkaa vibaya alionekana mtanashati wakati wote na hiyo ndo silaha yake kubwa aliyoitumia Kwa wanasichana hasa wale  ambao kwao ni mboga saba  hajui kuchezea fursa pindi inapojitokeza ukitaka kupotea njia kutana na Osward utajutraaa utachezewa na pesa utatoa
Siku hiyo ya sherehe Osward hakutaka impite Kama kawaida yake alizunguka Kwa marafiki zake na kuweza kuazima nguo ili akapate kuingia kwenye karamu hiyo isiyomhusu , ilipofika mida ya saa nane mchana watu walianza kuingia mmoja baada ya mwingine  ndani ya eneo la chuo cha mlimani hatimaye muda ukafika wazazi na wanafunzi wote wakiwa wamewadia na kuketi katika viti vilivokuwa vimeandaliwa tayari kwaajili yao , maandalizi yalianza , hotuba kutoka kwa wanafunzi , shukrani pamoja na pongezi kutoka kwa wazazi wenye watoto zao waliokuwa wakisherekea kuingia mwaka wao wa mwisho wa masomo yao muda huo hotuba zikiwa zinaendelea huku nyuma Osward anafanya mambo yake bwenini siyo kupishanisha kule vibinti mara ataingia na huyu baada ya muda anaingia na mwingine hakutaka kupoteza fursa siku hiyo aliitumia ipasavyo hasa kwa wanafunzi ambao hawakufahamu tabia aliyo kuwa nayo hakutulia sehemu moja muda wote alionekana akiangalia muda wake kupitia kisaa chake cha kuazima cha mkononi pamoja na kuchezea simu lake kubwa ya tachi lilokwisha jipasukia kioo, muda kidogo simu yake ikaita akaipokea akawa anatoka maeneo yale ili asogee Kwa pembeni apate  kusikilizana vizuri na mtu aliyekuwa akimpigia mara anajikuta anampamia mdada mmoja kwa bahati mbaya Dada yule alikuwa ameshikilia glasi iliyokuwa na wine alijikuta wine yote inaishia kumwagika katika gauni yake alokuwa ameivaa .
.
Nini Kiliendelea...........

CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 01 2 days ago Sehemu Ya Kwanza . .  Sita Kwa Sita Mtunzi : Abdul Juma Instagram : abbykamchoro Facebook : abbykamchoro WhatsApp : 0766025554 . . . . . Raha yake ni zaidi ya raha zote duniani hasa ukiendekeza  na inapozidi inapoteza thamani ya uwepo wako katika uso wa dunia haikifu wala haiboi bali uongeza hamasa ya kuendelea kuwa mtumwa wa kuitumikia mara Kwa Mara Ndani ya maeneo ya chuo kikuu cha Dar Es Salaam kilichopo Mlimani siku hiyo wanafunzi walikuwa wamejiandalia karamu kwaajili ya kusherekea kuingia mwaka wao wa mwisho kimasomo Kama ilivyo ada katika sherehe mbali mbali huwa hawakosi watu wa kuzamia katika sherehe ambazo hazikuhusiana nao wala kuchangia chochote kile hapa tunakwenda kukutana na  Osward mwenye umri wa miaka Ishirini na tano Kijana aliyekuwa anapenda sana starehe ila kilichokuwa kina mkwamisha ni suala la kipesa tu kwani kwao  anatoka katika familia duni ya Mzee Paulsen  Mzee anayejishughulisha na ufundi nguo ili watoto wake waweze kusoma, maisha ya nyumbani kwao hayakuwa mazuri hata kidogo kuanzia kula yao mpaka vaa yao  japo Baba yake alijibana ivo ivo  na kuhakikisha watoto wake wanaenda shule ili waweze kuja kumsaidia baadae na kujikwamua katika wimbi hilo kubwa la ukwasi ,kwao walizaliwa wawili tu yeye pamoja na mdogo wake wa kike Veronica mama yao mzazi alifariki Mara tu baada ya kuzaliwa Veronica kutokana na ugonjwa wa kichaa cha mimba alokuwa ameupata akiwa na ujauzito wa miezi miwili wa Veronica , walilelewa Kwa shida na kusomeshwa mpaka Osward kuweza kufanikiwa kufika ngazi ya chuo na huo ndo ulikuwa mwaka wake wa kwanza akichukua Bachelor Of Science In Meteorology huku mdogo wake ndo kwanza akiwa kidato cha kwanza ,Mzee Paulsen mfuko wake haukuwa mkubwa kiasi hicho ila kutokana mwanae wa kiume Osward kusoma Kwa mkopo pesa alizokuwa akijibanabana alimlipia binti yake Veronica ili nae aweze kumaliza masomo yake ya sekondari , Osward alionekana mtanashati chuoni alijipenda kupitiliza lakini kuanzia mavazi mazuri aliyokuwa akiyavaa yote alikuwa akiazima kutoka Kwa wanafunzi wenzake hata sehemu ya yeye kulala ilikuwa ni kwa marafiki zake kutokana na Baba yake kutokuwa na uwezo wa kumlipia pesa ya bweni, Leo ata lala hapa kesho ata lala kule hakuwa ni mtu wa kueleweka Kama ndege Baadhi ya wanafunzi waliweza kumpachika jina la Masala kulangwa yaani Osward Masala Kulangwa , Siyo siri hakuchukiza ukimtazama Kama ndo siku ya kwanza unamwona lazima ungegeuka mara kumi kumi na kumtazama tena wasichana wa chuoni walijigonga Kwa utanashati aliokuwa nao kwa nguo za kuazima na jimwili lake lake atiii alilolibumbabumba kwa kunyanyua vyuma hakuna nguo alioivaa ikamkataa na kumkaa vibaya alionekana mtanashati wakati wote na hiyo ndo silaha yake kubwa aliyoitumia Kwa wanasichana hasa wale  ambao kwao ni mboga saba  hajui kuchezea fursa pindi inapojitokeza ukitaka kupotea njia kutana na Osward utajutraaa utachezewa na pesa utatoa Siku hiyo ya sherehe Osward hakutaka impite Kama kawaida yake alizunguka Kwa marafiki zake na kuweza kuazima nguo ili akapate kuingia kwenye karamu hiyo isiyomhusu , ilipofika mida ya saa nane mchana watu walianza kuingia mmoja baada ya mwingine  ndani ya eneo la chuo cha mlimani hatimaye muda ukafika wazazi na wanafunzi wote wakiwa wamewadia na kuketi katika viti vilivokuwa vimeandaliwa tayari kwaajili yao , maandalizi yalianza , hotuba kutoka kwa wanafunzi , shukrani pamoja na pongezi kutoka kwa wazazi wenye watoto zao waliokuwa wakisherekea kuingia mwaka wao wa mwisho wa masomo yao muda huo hotuba zikiwa zinaendelea huku nyuma Osward anafanya mambo yake bwenini siyo kupishanisha kule vibinti mara ataingia na huyu baada ya muda anaingia na mwingine hakutaka kupoteza fursa siku hiyo aliitumia ipasavyo hasa kwa wanafunzi ambao hawakufahamu tabia aliyo kuwa nayo hakutulia sehemu moja muda wote alionekana akiangalia muda wake kupitia kisaa chake cha kuazima cha mkononi pamoja na kuchezea simu lake kubwa ya tachi lilokwisha jipasukia kioo, muda kidogo simu yake ikaita akaipokea akawa anatoka maeneo yale ili asogee Kwa pembeni apate  kusikilizana vizuri na mtu aliyekuwa akimpigia mara anajikuta anampamia mdada mmoja kwa bahati mbaya Dada yule alikuwa ameshikilia glasi iliyokuwa na wine alijikuta wine yote inaishia kumwagika katika gauni yake alokuwa ameivaa . . Nini Kiliendelea...........

...
MAPENZI YA FACEBOOK-06


Sikutaka kukurupuka katika kufanya maamuzi, niliamua kuvuta subira huku nikiendelea kumchunguza mke wangu. Nilikuwa katika mpango mgumu sana, naweza kusema ni katika mpango uliyoshiriki katika kuushambulia moyo wangu kwa mikuki iliyonipa maumivu makali sana. Kuna kipindi nilijitahidi kuyavumilia lakini nilishindwa nilitaka kumwambia lakini pia nilisita kufanya hivyo. Nikabaki naugulia maumivu ya ndani kwa ndani. Moyo wangu ulikuwa ukiuma mithili ya maumivu ya moto wa pasi.
Ama kwa hakika usikubali udhaifu wako kila mtu akaufahamu kwani utaweza kujikaribisha katika wakati wa maumivu kila siku, utakuwa ni mtu wa kukosa furaha. Hili ndilo lilikuwa kosa langu kubwa ambalo nililifanya kwa mke wangu. Aliufahamu udhaifu wangu, udhaifu ambao aliutumia katika kuuvunja moyo wangu wa mapenzi.
Tukio lile la kushuhudia komenti za wanaume ambao alikuwa akiwajibu pamoja na picha zake za nusu uchi zilizidi kuniumiza sana, kila wakati tukio hilo lilikuwa likinijia katika akili yangu, nilijitahidi kusahau lakini sikuweza kabisa badala ya kusahau ndiyo kwanza nilikuwa nikiziona zile komenti za wale wanaume waliyokuwa wakimsifia, sifa ambazo nyingine sikuwahi hata kumsifia.
Nilizama katika dimbwi la mawazo, nilikuwa nikiifikiria ndoa yangu, nilikuwa nikimfikiria Ester wangu. Kuna kipindi nilihisi ndoa ilikuwa ikienda kunishinda kabisa nikawaza kumuacha lakini nilipoyafikiria maswali ya ndugu na marafiki watakayoniuliza juu ya ndoa yetu kuvunjika huku sababu ikiwa ni Facebook niliacha kuwaza hivyo, nilihisi kumpenda sana mke wangu.
“Kuna nini?” aliniuliza mke wangu wakati huo alikuwa bize akiperuzi simu yake.
“Hakuna kitu,” nilijibu huku nikijitahidi kuigiza tabasamu, hakika iliniwia vigumu sana.
“Mbona sasa huendi kazini?”
“Sijisikii vizuri.”
“Unaumwa?”
“Hapana sipo sawa tu!”
“Mmh! Mwenzetu vipi au umeshagombana huko maana,” aliniambia huku akiangua kicheko kikubwa sana.
“Unacheka nini?” nilimuuliza.
“Amna nimeona kituko huku Facebook,” alinijibu huku akionekana kuitazama kwa umakini wa hali ya juu simu yake.
Nilizidi kujisikia vibaya sana hasa baada ya kumuona mke wangu akizidi kuwa bize na simu yake. Nilijiuliza ni nini kilichokuwa kinamuweka muda mrefu huko Facebook kiasi kwamba akawa anasahau majukumu yake mengine. Sikuweza kupata jibu kabisa.
Nilichokuwa nimepanga kwa wakati huo ni kumnyang’anya simu ili niweze kuona ni kitu gani hicho kilichokuwa kikimfurahisha kiasi kwamba hata ule uwepo wangu mahali pale akawa hauthamini.
Niliinuka na kumnyang’anya simu kitendo ambacho kilizua mtafaruku mkubwa sana. Sikutegemea kama kingeweza kuleta mtafaruku huo. Kwa kweli sikutaka tena kuendelea kuwa katika upole wa kiasi hicho. Moyo wangu ulivumilia matukio mengi sana ambayo kiukweli yalinitesa sana katika maisha yangu.
“Naomba simu yangu tafadhali,” aliniambia huku akionekana kuchikizwa sana na kitendo nilichokifanya.
“Sikupi,” nilimjibu huku nikimtazama usoni. Alioneka kuwa na wasiwasi mkubwa sana.
“Mume wangu ni nini lakini?”
“Nimesema sikupi.”
“Kila siku ugomvi mimi nimechoka sasa,” aliniambia huku akijifanya kulia, kilio cha kinafki.
Sikutaka kuyajali machozi yake, nilichokuwa nataka ni kukishuhudia hicho kituko kilichokuwa kikimchekesha mke wangu.
Lahaula!
Sikuamini kile nilichokuwa nakiona katika simu ya mke wangu. Alikuwa akichat na mwanaume aliyejulikana kwa jina la Osman Ismail, huyu alioneka kumfahamu kabisa, nililifahamu hilo kupitia chatting zao.
Osmon:Baby nimekumis sana.
Ester:Nimekumis pia honey.
Osmon:Uko wapi?
Ester:Home.
Osmon:Unafanyaje?
Ester:Nipo na baba yangu.
Osmon:Ok baadae basi love you.
Ester:Love too Hubby.
Nilizidi kupagawa kwa nilichokuwa nikikisoma kwa wakati ule, nilimtazama mke wangu, alikuwa akitetemeka sana, niliamua kumuuliza kuwa Osmon alikuwa ni nani yake kwa kweli alikosa jibu la kunipa zaidi ya yote alibaki akilia kama mtoto mdogo huku akiniomba nimsamehe kwa kile kilichokuwa kimetokea.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo....

MAPENZI YA FACEBOOK-06 Sikutaka kukurupuka katika kufanya maamuzi, niliamua kuvuta subira huku nikiendelea kumchunguza mke wangu. Nilikuwa katika mpango mgumu sana, naweza kusema ni katika mpango uliyoshiriki katika kuushambulia moyo wangu kwa mikuki iliyonipa maumivu makali sana. Kuna kipindi nilijitahidi kuyavumilia lakini nilishindwa nilitaka kumwambia lakini pia nilisita kufanya hivyo. Nikabaki naugulia maumivu ya ndani kwa ndani. Moyo wangu ulikuwa ukiuma mithili ya maumivu ya moto wa pasi. Ama kwa hakika usikubali udhaifu wako kila mtu akaufahamu kwani utaweza kujikaribisha katika wakati wa maumivu kila siku, utakuwa ni mtu wa kukosa furaha. Hili ndilo lilikuwa kosa langu kubwa ambalo nililifanya kwa mke wangu. Aliufahamu udhaifu wangu, udhaifu ambao aliutumia katika kuuvunja moyo wangu wa mapenzi. Tukio lile la kushuhudia komenti za wanaume ambao alikuwa akiwajibu pamoja na picha zake za nusu uchi zilizidi kuniumiza sana, kila wakati tukio hilo lilikuwa likinijia katika akili yangu, nilijitahidi kusahau lakini sikuweza kabisa badala ya kusahau ndiyo kwanza nilikuwa nikiziona zile komenti za wale wanaume waliyokuwa wakimsifia, sifa ambazo nyingine sikuwahi hata kumsifia. Nilizama katika dimbwi la mawazo, nilikuwa nikiifikiria ndoa yangu, nilikuwa nikimfikiria Ester wangu. Kuna kipindi nilihisi ndoa ilikuwa ikienda kunishinda kabisa nikawaza kumuacha lakini nilipoyafikiria maswali ya ndugu na marafiki watakayoniuliza juu ya ndoa yetu kuvunjika huku sababu ikiwa ni Facebook niliacha kuwaza hivyo, nilihisi kumpenda sana mke wangu. “Kuna nini?” aliniuliza mke wangu wakati huo alikuwa bize akiperuzi simu yake. “Hakuna kitu,” nilijibu huku nikijitahidi kuigiza tabasamu, hakika iliniwia vigumu sana. “Mbona sasa huendi kazini?” “Sijisikii vizuri.” “Unaumwa?” “Hapana sipo sawa tu!” “Mmh! Mwenzetu vipi au umeshagombana huko maana,” aliniambia huku akiangua kicheko kikubwa sana. “Unacheka nini?” nilimuuliza. “Amna nimeona kituko huku Facebook,” alinijibu huku akionekana kuitazama kwa umakini wa hali ya juu simu yake. Nilizidi kujisikia vibaya sana hasa baada ya kumuona mke wangu akizidi kuwa bize na simu yake. Nilijiuliza ni nini kilichokuwa kinamuweka muda mrefu huko Facebook kiasi kwamba akawa anasahau majukumu yake mengine. Sikuweza kupata jibu kabisa. Nilichokuwa nimepanga kwa wakati huo ni kumnyang’anya simu ili niweze kuona ni kitu gani hicho kilichokuwa kikimfurahisha kiasi kwamba hata ule uwepo wangu mahali pale akawa hauthamini. Niliinuka na kumnyang’anya simu kitendo ambacho kilizua mtafaruku mkubwa sana. Sikutegemea kama kingeweza kuleta mtafaruku huo. Kwa kweli sikutaka tena kuendelea kuwa katika upole wa kiasi hicho. Moyo wangu ulivumilia matukio mengi sana ambayo kiukweli yalinitesa sana katika maisha yangu. “Naomba simu yangu tafadhali,” aliniambia huku akionekana kuchikizwa sana na kitendo nilichokifanya. “Sikupi,” nilimjibu huku nikimtazama usoni. Alioneka kuwa na wasiwasi mkubwa sana. “Mume wangu ni nini lakini?” “Nimesema sikupi.” “Kila siku ugomvi mimi nimechoka sasa,” aliniambia huku akijifanya kulia, kilio cha kinafki. Sikutaka kuyajali machozi yake, nilichokuwa nataka ni kukishuhudia hicho kituko kilichokuwa kikimchekesha mke wangu. Lahaula! Sikuamini kile nilichokuwa nakiona katika simu ya mke wangu. Alikuwa akichat na mwanaume aliyejulikana kwa jina la Osman Ismail, huyu alioneka kumfahamu kabisa, nililifahamu hilo kupitia chatting zao. Osmon:Baby nimekumis sana. Ester:Nimekumis pia honey. Osmon:Uko wapi? Ester:Home. Osmon:Unafanyaje? Ester:Nipo na baba yangu. Osmon:Ok baadae basi love you. Ester:Love too Hubby. Nilizidi kupagawa kwa nilichokuwa nikikisoma kwa wakati ule, nilimtazama mke wangu, alikuwa akitetemeka sana, niliamua kumuuliza kuwa Osmon alikuwa ni nani yake kwa kweli alikosa jibu la kunipa zaidi ya yote alibaki akilia kama mtoto mdogo huku akiniomba nimsamehe kwa kile kilichokuwa kimetokea. Je, nini kitaendelea? Usikose sehemu ijayo....

...
MAPENZI YA FACEBOOK-05

Nilizidi kushangazwa na kile nilichokuwa nikikiona katika akaunti ya mke wangu, kuna muda sikutaka kuamini kabisa lakini kila nilivyokuwa najitahidi kujidanganya ndivyo moyo wangu ulikuwa unaumia. Nilikuwa naumia sana maumivu ambayo naweza kusema Facebook ndiyo chanzo. Laiti kama nisingekubali mke wangu ajiunge na mtandao huu na amini leo hii nisingekuwa katika haya maumivu yanayoendelea kunitafuna mwilini.
Nilichoamua kukifanya ni kuanza kupitia komenti moja baada ya nyingine, kwa kweli ilikuwa ni vigumu sana hasa kwa kuzipitia zote kwani komenti zilikuwa ni nyingi mno ambazo zilikuwa zikiniumiza sana, nilijikaza kiume na kuamua kuyavumilia yote. Komenti ninayoikumbuka mpaka leo hii ninapokusimulia haya ni ya mzungu mmoja ambaye alijulikana kwa jina la Stewart. Aliandika “My Wife.” Kwa kweli nilijisikia vibaya sana, sikutaka kuamini kama mbali na ndoa yetu kuwa mke wangu alianzisha mahusiano mengine Facebook kiasi kwamba wakafikia kuitana mke na mume. Hili lilizidi kuniuma sana. Asikuambie mtu mapenzi yanauma sana, mapenzi yanakosesha amani, mapenzi yanaweza yakakufanya ukaamua maamuzi ambayo haukuwahi kuwaza kuamua hapo kabla.
Wivu niliyokuwa nao kwa mke wangu sikutaka uendelee kubaki katika kilindi cha moyo wangu, kwa niliyobahatika kuyaona yaliniridhisha tosha. Sikutaka kuendelea kujiumiza tena japo machozi ya maumivu ya moyo wangu yalinidondoka lakini nilivumilia. Nilikuwa naililia ndoa yangu, mke wangu, mwanamke ambaye nilikuwa nikimpenda sana.
Niliamua kumsimulia rafiki yangu Juma yale yote yaliyokuwa yametokea.
“Aisee pole sana ndugu yangu, mimi bado niponipo sana sioi leo wala mwakani,” aliniambia Juma maneno yaliyozidi kuniumiza sana, inamaana nimeikurupukia ndoa? Nilijiuliza swali lililoniacha katika wakati wa maumivu.
“Sasa unanishauri nini?” nilimuuliza, wakati huo tulikuwa katika bar moja, nilikuwa nikinywa pombe kwa ajili ya kupunguza mawazo yaliyokuwa yakinisibu.
“Kuna kitu huwa unakosea sana,” aliniambia Juma ambaye alikuwa akinywa maji kwa wakati huo.
“Kitu gani?”
“Binadamu anaishi kwa mazoea.”
“Mazoea, mbona sikuelewi?”
“Najua nivigumu mno kunielewa kwasababu na wewe ni miongoni mwa wakoseaji.”
“Juma nipo hapa kwa ajili ya ushauri wako yani kiukweli akili yangu imechanganyikiwa sana, sitaki hata kumuona Ester.”
“Nikuulize kitu.”
“Ndiyo niulize.”
“Unahisi pombe ndiyo suluhisho la mawazo?”
“Sasa unataka nifanye nini?”
“Mwanaume anasifika kwa kuwa na maamuzi thabiti wala hatishiki na lolote lile linalomsibu. Usiwe mtu wa kupelekeshwa na hisia bali wewe ndiyo unatakiwa uzipelekeshe hisia.”
“Una maanisha nini?”
“Yani na hapo pia bado hujanielewa?”
“Juma nimechanganyikiwa kiukweli.”
“Najua hata nikisema umuache mkeo kisa Facebook kwakweli wapo ambao watanishangaa kwa ushauri wangu ila labda nikuulize kitu hivi bado unampenda mkeo?”
“Ndiyo nampenda sana lakini kwa anayonifanyia kwa kweli yananiumiza sana.”
“Msamehe mkeo.”
“Nimsamehe?”
“Ndiyo sasa ulitaka nikwambie muache, ok basi muache mkeo,” aliniambia Juma katika namna ya utani, sikuwa katika utani hivyo aliamua kuniambia nifanye uchunguzi ndipo niweze kufanya maamuzi. Nakumbuka alichoniambia suluhisho la matatizo ya ndoa yangu bado yalikuwa katika himaya ya mikono yangu.
“Phidelis suluhisho la matatizo yako unayo mikononi mwako, kuwa na maamuzi pia usikurupuke kufanya maamuzi kwani yatakugharimu,” aliniambia Juma maneno yaliyoniingia vyema.
****
Nilirudi nyumbani majira ya usiku, nakumbuka ilikuwa ni majira ya saa tano za usiku. Nilimkuta mke wangu akiwa amekasirika sana, nililigundua hilo baada kumsalimia, hakuitikia salamu yangu jambo ambalo lilizidi kuniumiza. Ina maana hakuisikia salamu yangu? Nilijiuliza kisha nikamsalimia tena.
“Mke wangu umeshidaje?” nilimsalimia.
“Unatoka wapi usiku huu?”
“Mke wangu foleni.”
“Foleni, na mbona usinipigie simu.”
“Nilijua kuwa nitawahi hata hivyo nikaona nisikusumbue.”
“Hee! Yani wewe mwanaume umenishinda na mbona unanukia pombe siku hizi unakunywa?”
“Pombe?”
“Ndiyo.”
“Mimi?”
“Kwani naongea na nani hapa?” aliniuliza huku mikono yake ikiwa kiunoni.
“Mke wangu,” nilimuita kwa sauti ya utulivu sana.
“Sema,” alinijibu huku akiwa ameubetua mdomo wake.
“Wewe ndiyo sababu ya mimi kuwa hivi, mimi sio mlevi lakini nimejikuta nakuwa miongoni mwa walevi, mapenzi niliyonayo kwako sijui kwanini unashindwa kuyaheshimu,” nilimwambia kwa kukurupuka maneno ambayo yalituingiza katika ugomvi mkubwa sana, Ester alizidi kugombana na mimi huku akiwa hajui sababu ya mimi kuyasema yale.
“Kwahiyo mimi sasa hivi ndiyo nakufundisha ulevi?” aliniuliza kwa sauti ya ukali.
“Hapana simaanishi hivyo.”
“Ila?” aliniuliza.
Kuna muda nilitaka kumwambia yale niliyoyaona Facebook lakini niliyakumbuka maneno ya Juma, sikutakiwa kukurupuka katika hilo niliamua kuwa mweye subira. Niliamua kuomba msamaha kwa yale yaliyokuwa yametokea kisha amani ikarejea katika ndoa yetu. Niliishi kwa maumivu makali mno.
Kila nilivyokuwa nikimtazama Ester pamoja na upole aliyokuwa nao kwa kweli sikutaka kuamini kama ni yule ambaye alikuwa akibinua makalio yake Facebook. Nilizidi kuumia mno, mapenzi yalikuwa yakinitesa Phidelis mimi ambaye sikuwa mzungumzaji sana.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo.....

MAPENZI YA FACEBOOK-05 Nilizidi kushangazwa na kile nilichokuwa nikikiona katika akaunti ya mke wangu, kuna muda sikutaka kuamini kabisa lakini kila nilivyokuwa najitahidi kujidanganya ndivyo moyo wangu ulikuwa unaumia. Nilikuwa naumia sana maumivu ambayo naweza kusema Facebook ndiyo chanzo. Laiti kama nisingekubali mke wangu ajiunge na mtandao huu na amini leo hii nisingekuwa katika haya maumivu yanayoendelea kunitafuna mwilini. Nilichoamua kukifanya ni kuanza kupitia komenti moja baada ya nyingine, kwa kweli ilikuwa ni vigumu sana hasa kwa kuzipitia zote kwani komenti zilikuwa ni nyingi mno ambazo zilikuwa zikiniumiza sana, nilijikaza kiume na kuamua kuyavumilia yote. Komenti ninayoikumbuka mpaka leo hii ninapokusimulia haya ni ya mzungu mmoja ambaye alijulikana kwa jina la Stewart. Aliandika “My Wife.” Kwa kweli nilijisikia vibaya sana, sikutaka kuamini kama mbali na ndoa yetu kuwa mke wangu alianzisha mahusiano mengine Facebook kiasi kwamba wakafikia kuitana mke na mume. Hili lilizidi kuniuma sana. Asikuambie mtu mapenzi yanauma sana, mapenzi yanakosesha amani, mapenzi yanaweza yakakufanya ukaamua maamuzi ambayo haukuwahi kuwaza kuamua hapo kabla. Wivu niliyokuwa nao kwa mke wangu sikutaka uendelee kubaki katika kilindi cha moyo wangu, kwa niliyobahatika kuyaona yaliniridhisha tosha. Sikutaka kuendelea kujiumiza tena japo machozi ya maumivu ya moyo wangu yalinidondoka lakini nilivumilia. Nilikuwa naililia ndoa yangu, mke wangu, mwanamke ambaye nilikuwa nikimpenda sana. Niliamua kumsimulia rafiki yangu Juma yale yote yaliyokuwa yametokea. “Aisee pole sana ndugu yangu, mimi bado niponipo sana sioi leo wala mwakani,” aliniambia Juma maneno yaliyozidi kuniumiza sana, inamaana nimeikurupukia ndoa? Nilijiuliza swali lililoniacha katika wakati wa maumivu. “Sasa unanishauri nini?” nilimuuliza, wakati huo tulikuwa katika bar moja, nilikuwa nikinywa pombe kwa ajili ya kupunguza mawazo yaliyokuwa yakinisibu. “Kuna kitu huwa unakosea sana,” aliniambia Juma ambaye alikuwa akinywa maji kwa wakati huo. “Kitu gani?” “Binadamu anaishi kwa mazoea.” “Mazoea, mbona sikuelewi?” “Najua nivigumu mno kunielewa kwasababu na wewe ni miongoni mwa wakoseaji.” “Juma nipo hapa kwa ajili ya ushauri wako yani kiukweli akili yangu imechanganyikiwa sana, sitaki hata kumuona Ester.” “Nikuulize kitu.” “Ndiyo niulize.” “Unahisi pombe ndiyo suluhisho la mawazo?” “Sasa unataka nifanye nini?” “Mwanaume anasifika kwa kuwa na maamuzi thabiti wala hatishiki na lolote lile linalomsibu. Usiwe mtu wa kupelekeshwa na hisia bali wewe ndiyo unatakiwa uzipelekeshe hisia.” “Una maanisha nini?” “Yani na hapo pia bado hujanielewa?” “Juma nimechanganyikiwa kiukweli.” “Najua hata nikisema umuache mkeo kisa Facebook kwakweli wapo ambao watanishangaa kwa ushauri wangu ila labda nikuulize kitu hivi bado unampenda mkeo?” “Ndiyo nampenda sana lakini kwa anayonifanyia kwa kweli yananiumiza sana.” “Msamehe mkeo.” “Nimsamehe?” “Ndiyo sasa ulitaka nikwambie muache, ok basi muache mkeo,” aliniambia Juma katika namna ya utani, sikuwa katika utani hivyo aliamua kuniambia nifanye uchunguzi ndipo niweze kufanya maamuzi. Nakumbuka alichoniambia suluhisho la matatizo ya ndoa yangu bado yalikuwa katika himaya ya mikono yangu. “Phidelis suluhisho la matatizo yako unayo mikononi mwako, kuwa na maamuzi pia usikurupuke kufanya maamuzi kwani yatakugharimu,” aliniambia Juma maneno yaliyoniingia vyema. **** Nilirudi nyumbani majira ya usiku, nakumbuka ilikuwa ni majira ya saa tano za usiku. Nilimkuta mke wangu akiwa amekasirika sana, nililigundua hilo baada kumsalimia, hakuitikia salamu yangu jambo ambalo lilizidi kuniumiza. Ina maana hakuisikia salamu yangu? Nilijiuliza kisha nikamsalimia tena. “Mke wangu umeshidaje?” nilimsalimia. “Unatoka wapi usiku huu?” “Mke wangu foleni.” “Foleni, na mbona usinipigie simu.” “Nilijua kuwa nitawahi hata hivyo nikaona nisikusumbue.” “Hee! Yani wewe mwanaume umenishinda na mbona unanukia pombe siku hizi unakunywa?” “Pombe?” “Ndiyo.” “Mimi?” “Kwani naongea na nani hapa?” aliniuliza huku mikono yake ikiwa kiunoni. “Mke wangu,” nilimuita kwa sauti ya utulivu sana. “Sema,” alinijibu huku akiwa ameubetua mdomo wake. “Wewe ndiyo sababu ya mimi kuwa hivi, mimi sio mlevi lakini nimejikuta nakuwa miongoni mwa walevi, mapenzi niliyonayo kwako sijui kwanini unashindwa kuyaheshimu,” nilimwambia kwa kukurupuka maneno ambayo yalituingiza katika ugomvi mkubwa sana, Ester alizidi kugombana na mimi huku akiwa hajui sababu ya mimi kuyasema yale. “Kwahiyo mimi sasa hivi ndiyo nakufundisha ulevi?” aliniuliza kwa sauti ya ukali. “Hapana simaanishi hivyo.” “Ila?” aliniuliza. Kuna muda nilitaka kumwambia yale niliyoyaona Facebook lakini niliyakumbuka maneno ya Juma, sikutakiwa kukurupuka katika hilo niliamua kuwa mweye subira. Niliamua kuomba msamaha kwa yale yaliyokuwa yametokea kisha amani ikarejea katika ndoa yetu. Niliishi kwa maumivu makali mno. Kila nilivyokuwa nikimtazama Ester pamoja na upole aliyokuwa nao kwa kweli sikutaka kuamini kama ni yule ambaye alikuwa akibinua makalio yake Facebook. Nilizidi kuumia mno, mapenzi yalikuwa yakinitesa Phidelis mimi ambaye sikuwa mzungumzaji sana. Je, nini kitaendelea? Usikose sehemu ijayo.....

...
MAPENZI YA FACEBOOK-04

Baada ya kupita siku kadhaa niliyaona mabadiliko makubwa sana kwa mke wangu, hakuwa mtu wa kusumbuliwa tena na namba ngeni. Kwa kweli hali hiyo ilinifurahisha sana, niliona maneno yangu yalisaidia sana hasa kwa kumbadilisha mke wangu. Sikuacha kumsifia katika hilo, alionyesha kunipenda sana na kila kitu kilichokuwa kikitokea ilikuwa ni lazima aniambie. Ni katika tukio hili nilizidi kumuamini sana kupita kawaida.
“Mume wangu,” aliniita siku moja nilipokuwa nyumbani, ilikuwa ni siku ya jumapili, siku hiyo sikwenda kabisa katika mihangaiko yangu ya kila siku.
“Naam,” niliitika huku nikimtazama, alionekana kuwa na kitu alichokuwa akitaka kuniambia ila alisita kuniambia akawa anatazama chini.
“Kuna nini?” nilimuuliza.
“Hakuna kitu,”alijibu huku akiwa ameinamisha kichwa chake chini.
“Mbona sasa upo hivyo,” nilimwambia huku nikijaribu kumuinua, alizidi kuona aibu kunitazama.
“Kuna kitu nataka kukuambia.”
“Kitu gani?”
“Kuna mtu ananisumbua.”
“Nani?”
“Mimi simjui ila ni wa facebook ila ananisumbua sana,” aliniambia huku akionekana kuchukizwa sana na kitendo hicho cha watu wanaomsumbua. Nilichomuambia ni kuacha mawasiliano na mtu huyo ambaye alikuwa akimsumbua.
“Usimjibu chochote,” nilimuambia.
“Sawa mume wangu,” alinijibu.
Nilizidi kumuamini sana mke wangu, kwa jinsi alivyokuwa akinieleza ukweli wa kile kilichokuwa kikindelea katika maisha yake pamoja na watu waliokuwa wanamsumbua hakika kiliniweka katika wakati wa kujiamini sana. Sasa kwanini nisimuamini wakati alikuwa akinieleza ukweli.
****
Siku moja niliamua kuingia facebook na kuanza kuipitia akaunti ya mke wangu. Nilikuwa mwenye furaha sana kwani mpaka kufikia hapo sikuwa na wasiwasi wowote kabisa kwa mke wangu, Ester wangu, Uaridi la maisha yangu.
Ghafla! nilishangazwa na kile nilichokuwa nikikiona katika akaunti ya mke wangu. Picha za nusu uchi alizokuwa amezipost huku nyingine akiwa amekaa mikao ya ajabu, zilizidi kunishangaza sana. Niliendelea kuipekuwa akaunti yake ambayo iliongoza kwa kufuatiliwa na wanaume wengi. Niliziangalia zile like elfu moja pamoja na komenti mia saba alizokuwa akikomentiwa katika picha zake.
“Mambo dada.”
“Poa Aidan.”
“Umetokelezea sana miss.”
“Asante sana.”
“Uko pande zipi mrembo.”
“Dar.”
“Nimekupenda ghafla!”
“Huhuhuhu! Asante jomoni.”
“Njoo inbox.”
“Nakuja.”
Ilikuwa ni moja kati ya komenti alizokuwa akijibu mke wangu, nilikuwa nikizisoma huku nikiwa siamini kabisa. Kwa kweli sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikiona kwa macho yangu, nilihisi wenda nilikuwa katika ndoto na muda wowote ningeweza kuamka lakini haikuwa hivyo, nilikuwa katika ukweli mtupu, ukweli wa kuishuhudia akaunti ya mke wangu.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo…..

MAPENZI YA FACEBOOK-04 Baada ya kupita siku kadhaa niliyaona mabadiliko makubwa sana kwa mke wangu, hakuwa mtu wa kusumbuliwa tena na namba ngeni. Kwa kweli hali hiyo ilinifurahisha sana, niliona maneno yangu yalisaidia sana hasa kwa kumbadilisha mke wangu. Sikuacha kumsifia katika hilo, alionyesha kunipenda sana na kila kitu kilichokuwa kikitokea ilikuwa ni lazima aniambie. Ni katika tukio hili nilizidi kumuamini sana kupita kawaida. “Mume wangu,” aliniita siku moja nilipokuwa nyumbani, ilikuwa ni siku ya jumapili, siku hiyo sikwenda kabisa katika mihangaiko yangu ya kila siku. “Naam,” niliitika huku nikimtazama, alionekana kuwa na kitu alichokuwa akitaka kuniambia ila alisita kuniambia akawa anatazama chini. “Kuna nini?” nilimuuliza. “Hakuna kitu,”alijibu huku akiwa ameinamisha kichwa chake chini. “Mbona sasa upo hivyo,” nilimwambia huku nikijaribu kumuinua, alizidi kuona aibu kunitazama. “Kuna kitu nataka kukuambia.” “Kitu gani?” “Kuna mtu ananisumbua.” “Nani?” “Mimi simjui ila ni wa facebook ila ananisumbua sana,” aliniambia huku akionekana kuchukizwa sana na kitendo hicho cha watu wanaomsumbua. Nilichomuambia ni kuacha mawasiliano na mtu huyo ambaye alikuwa akimsumbua. “Usimjibu chochote,” nilimuambia. “Sawa mume wangu,” alinijibu. Nilizidi kumuamini sana mke wangu, kwa jinsi alivyokuwa akinieleza ukweli wa kile kilichokuwa kikindelea katika maisha yake pamoja na watu waliokuwa wanamsumbua hakika kiliniweka katika wakati wa kujiamini sana. Sasa kwanini nisimuamini wakati alikuwa akinieleza ukweli. **** Siku moja niliamua kuingia facebook na kuanza kuipitia akaunti ya mke wangu. Nilikuwa mwenye furaha sana kwani mpaka kufikia hapo sikuwa na wasiwasi wowote kabisa kwa mke wangu, Ester wangu, Uaridi la maisha yangu. Ghafla! nilishangazwa na kile nilichokuwa nikikiona katika akaunti ya mke wangu. Picha za nusu uchi alizokuwa amezipost huku nyingine akiwa amekaa mikao ya ajabu, zilizidi kunishangaza sana. Niliendelea kuipekuwa akaunti yake ambayo iliongoza kwa kufuatiliwa na wanaume wengi. Niliziangalia zile like elfu moja pamoja na komenti mia saba alizokuwa akikomentiwa katika picha zake. “Mambo dada.” “Poa Aidan.” “Umetokelezea sana miss.” “Asante sana.” “Uko pande zipi mrembo.” “Dar.” “Nimekupenda ghafla!” “Huhuhuhu! Asante jomoni.” “Njoo inbox.” “Nakuja.” Ilikuwa ni moja kati ya komenti alizokuwa akijibu mke wangu, nilikuwa nikizisoma huku nikiwa siamini kabisa. Kwa kweli sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikiona kwa macho yangu, nilihisi wenda nilikuwa katika ndoto na muda wowote ningeweza kuamka lakini haikuwa hivyo, nilikuwa katika ukweli mtupu, ukweli wa kuishuhudia akaunti ya mke wangu. Je, nini kitaendelea? Usikose sehemu ijayo…..

...
MAPENZI YA FACEBOOK-03


Nilizidi kuwa katika wasiwasi mkubwa sana hasa baada ya kuona mke wangu Ester akianza kusumbuliwa na watu aliyodai kuwa walikuwa ni wa Facebook.
“Huyu anayekupigia simu usiku huu ni nani?” nilimuuliza usiku mmoja, yalikuwa ni majira ya saa tano za usiku.
“Simfahamu mume wangu halafu si unaona ni namba ngeni?” alinijibu huku akionekana kuipuuzia simu iliyokuwa ikipigwa.
Mpigaji wa simu ile hakuchoka, alizidi kupiga kila wakati jambo lililozidi kunichukiza sana. Nilijiuliza maswali mengi sana, kila nililokuwa najiuliza lilikosa jibu kwa wakati ule.
“Pokea simu,” nilimuambia baada ya kuona mpigaji wa simu hakuonekana kukata tamaa, alizidi kupiga tu!.
“Hapana mume wangu huu ni usiku halafu sio vizuri kupokea simu za watu tusiowafahamu,” aliniambia.
“Tusipokee au usipokee mbona unanihusisha.”
“Mume wangu tusigombane kisa simu tuachane nayo,” aliniambia kisha akakata simu.
Kitendo hicho kiliniumiza sana, sikutaka kuamini kama mke wangu Ester alikuwa na kiburi kiasi hicho. Ni hapa ambapo tuliingia katika mzozo na sababu kubwa ikiwa ni simu.
“Kwanini umekata simu?” nilimuuliza.
“Amna.”
“Amna?”
“Mume wangu embu tuyaache hayo.”
“Kwanini unapenda kucheza na akili yangu?”
“Kivipi?”
“Nimekuuliza huyu aliyekuwa akikupigia simu ni nani?”
“Simjui.”
“Ester!”
“Kweli mume wangu,” alinijibu katika namna ya kuielegeza sauti yake huku akinisogelea halafu akanikumbatia.
“Mume wangu niamini, nimekuambia mara ngapi kuwa simfahamu huyu mtu halafu naomba mitandao isiharibu ndoa yangu nakupenda sana baba wa wanangu,” aliniambia huku akinipapasapapasa mgongoni.
Nilizidi kuwa katika hali ya sintofahamu. Maneno ya Ester yalinifanya nimuone kama alikuwa akizungumza ukweli mtupu wala hakuwa akiniongopea lakini katika upande mwingine nilimuona kuwa alikuwa akitafuta njia za kutaka kunizunguka kiakili ili nisiweze kufahamu kile kilichokuwa kikiendelea nyuma ya pazia. Hilo lilizidi kuniweka katika wakati mgumu sana. Nilianza kuiona ndoa yangu ikiingia dosari. Nilimpenda sana mke wangu, alikuwa ndiyo sababu ya furaha yangu, wakati mwingine nilikuwa nikijaribu kukumbuka yale yaliyowahi kutokea katika maisha yetu kipindi cha mahusiano yetu.
Yale yote yaliyotokea sikutaka yaendelee kubaki moyoni mwangu, niliamua kuyasamehe na kufungua ukurasa mpya.
Siku iliyofuata asubuhi na mapema niliamua kumueleza ukweli mke wangu juu ya jambo lile pamoja na maamuzi yangu niliyokuwa nimeyaamua. Hakika alionekana kufurahishwa sana. Pengine niseme ni katika siku ambayo ilikuwa ni ya aina yake kwani sikuwahi kumuona mke wangu akiwa katika furaha hiyo hapo kabla tangu ilipopita harusi yetu.
“Asante mume wangu yani sikutegemea kama ungeamua hivyo,” aliniambia huku akinikumbatia kwa furaha.
“Kwanini unasema hivyo?” nilimuuliza.
“Unajua binafsi sikupendezewa na kile kilichotokea usiku ule, nakupenda eti mume wangu halafu Facebook inataka kuaribu ndoa yangu hivihivi,” aliniambia katika mtindo wa sauti ya kitoto.
“Usijali ila kuna kitu nataka nikuambie,” nilimwambia.
“Kitu gani hicho tena hubby?” aliniuliza kisha akajitoa katika lile kumbato.
“Ni kuhusu Facebook.”
“Imefanyaje?”
“Nisingependa kuona tena usumbufu katika simu yako.”
“Usijali Phidelis wangu, mwanaume wa maisha yangu,” aliniambia kisha akanibusu shavuni, busu ambalo lilizidi kuamsha hisia za dhati za kimapenzi.
Niliamini Ester ndiye alikuwa kila kitu katika maisha yangu, nilimpenda kwa dhati ya moyo wangu. Niliamua kusahau yale yote yaliyopita na kuamua kuendelea na maisha yetu kama kawaida lakini ilikuwa ni kama vile najaribu kuigiza upofu wakati macho yangu yalikuwa ni mazima. Ester alizidi kunifanyia visa na chanzo kilikuwa ni mtandao wa facebook.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo….

MAPENZI YA FACEBOOK-03 Nilizidi kuwa katika wasiwasi mkubwa sana hasa baada ya kuona mke wangu Ester akianza kusumbuliwa na watu aliyodai kuwa walikuwa ni wa Facebook. “Huyu anayekupigia simu usiku huu ni nani?” nilimuuliza usiku mmoja, yalikuwa ni majira ya saa tano za usiku. “Simfahamu mume wangu halafu si unaona ni namba ngeni?” alinijibu huku akionekana kuipuuzia simu iliyokuwa ikipigwa. Mpigaji wa simu ile hakuchoka, alizidi kupiga kila wakati jambo lililozidi kunichukiza sana. Nilijiuliza maswali mengi sana, kila nililokuwa najiuliza lilikosa jibu kwa wakati ule. “Pokea simu,” nilimuambia baada ya kuona mpigaji wa simu hakuonekana kukata tamaa, alizidi kupiga tu!. “Hapana mume wangu huu ni usiku halafu sio vizuri kupokea simu za watu tusiowafahamu,” aliniambia. “Tusipokee au usipokee mbona unanihusisha.” “Mume wangu tusigombane kisa simu tuachane nayo,” aliniambia kisha akakata simu. Kitendo hicho kiliniumiza sana, sikutaka kuamini kama mke wangu Ester alikuwa na kiburi kiasi hicho. Ni hapa ambapo tuliingia katika mzozo na sababu kubwa ikiwa ni simu. “Kwanini umekata simu?” nilimuuliza. “Amna.” “Amna?” “Mume wangu embu tuyaache hayo.” “Kwanini unapenda kucheza na akili yangu?” “Kivipi?” “Nimekuuliza huyu aliyekuwa akikupigia simu ni nani?” “Simjui.” “Ester!” “Kweli mume wangu,” alinijibu katika namna ya kuielegeza sauti yake huku akinisogelea halafu akanikumbatia. “Mume wangu niamini, nimekuambia mara ngapi kuwa simfahamu huyu mtu halafu naomba mitandao isiharibu ndoa yangu nakupenda sana baba wa wanangu,” aliniambia huku akinipapasapapasa mgongoni. Nilizidi kuwa katika hali ya sintofahamu. Maneno ya Ester yalinifanya nimuone kama alikuwa akizungumza ukweli mtupu wala hakuwa akiniongopea lakini katika upande mwingine nilimuona kuwa alikuwa akitafuta njia za kutaka kunizunguka kiakili ili nisiweze kufahamu kile kilichokuwa kikiendelea nyuma ya pazia. Hilo lilizidi kuniweka katika wakati mgumu sana. Nilianza kuiona ndoa yangu ikiingia dosari. Nilimpenda sana mke wangu, alikuwa ndiyo sababu ya furaha yangu, wakati mwingine nilikuwa nikijaribu kukumbuka yale yaliyowahi kutokea katika maisha yetu kipindi cha mahusiano yetu. Yale yote yaliyotokea sikutaka yaendelee kubaki moyoni mwangu, niliamua kuyasamehe na kufungua ukurasa mpya. Siku iliyofuata asubuhi na mapema niliamua kumueleza ukweli mke wangu juu ya jambo lile pamoja na maamuzi yangu niliyokuwa nimeyaamua. Hakika alionekana kufurahishwa sana. Pengine niseme ni katika siku ambayo ilikuwa ni ya aina yake kwani sikuwahi kumuona mke wangu akiwa katika furaha hiyo hapo kabla tangu ilipopita harusi yetu. “Asante mume wangu yani sikutegemea kama ungeamua hivyo,” aliniambia huku akinikumbatia kwa furaha. “Kwanini unasema hivyo?” nilimuuliza. “Unajua binafsi sikupendezewa na kile kilichotokea usiku ule, nakupenda eti mume wangu halafu Facebook inataka kuaribu ndoa yangu hivihivi,” aliniambia katika mtindo wa sauti ya kitoto. “Usijali ila kuna kitu nataka nikuambie,” nilimwambia. “Kitu gani hicho tena hubby?” aliniuliza kisha akajitoa katika lile kumbato. “Ni kuhusu Facebook.” “Imefanyaje?” “Nisingependa kuona tena usumbufu katika simu yako.” “Usijali Phidelis wangu, mwanaume wa maisha yangu,” aliniambia kisha akanibusu shavuni, busu ambalo lilizidi kuamsha hisia za dhati za kimapenzi. Niliamini Ester ndiye alikuwa kila kitu katika maisha yangu, nilimpenda kwa dhati ya moyo wangu. Niliamua kusahau yale yote yaliyopita na kuamua kuendelea na maisha yetu kama kawaida lakini ilikuwa ni kama vile najaribu kuigiza upofu wakati macho yangu yalikuwa ni mazima. Ester alizidi kunifanyia visa na chanzo kilikuwa ni mtandao wa facebook. Je, nini kitaendelea? Usikose sehemu ijayo….

...
MAPENZI YA FACEBOOK-02

Hakika mapenzi yalikuwa yakiniendesha sana wala siwezi kulipinga hilo. Kabla sijamfahamu huyu Cleopatra au Precious Girl katika mtandao wa facebook kipindi cha nyuma niliwahi kuwa katika mahusiano na msichana mmoja ambaye alikuwa akijulikana kwa jina la Ester. Alikuwa ni msichana mrembo sana, alitokea kuuteka moyo wangu.
Niliamua kufunga pingu za maisha na yeye ni kwasababu nilikuwa nikimpenda sana, alikuwa akinipenda na kunionyesha mapenzi ya dhati yaliyozidi kunifanya nimuone yeye tu katika sayari ya mapenzi.
Uwepo wake katika maisha yangu ulikuwa ni wa thamani sana. Mapenzi yetu yalikuwa yametawaliwa na furaha sana, nilikuwa nikimpenda sana lakini naweza kusema ndoa yetu ilikuja kuingiliwa na mdudu. Mdudu ambaye amefanya mpaka leo hii nimeamua walau kuwasimulia kile kilichowahi kutokea katika maisha yangu hasahasa maisha ya kimahusiano.
Facebook! Ndiyo mdudu aliyekuwa akiitafuna ndoa yangu na Ester. Licha ya mapenzi niliyokuwa nayo kwa mke wangu lakini bado Facebook ilizidi kuidhulumu nafsi yangu ya upendo.
Nakumbuka siku ya kwanza Ester kujiunga na Facebook ilikuwa ni pale ambapo niliamua kumnunulia simu. Hii ilikuwa ni moja kati ya ahadi ambayo nilimuahidi kwa muda mrefu. Nilimuambia mambo mengi sana ambayo yanaweza kutokea katika mtandao huu. Nilimuambia juu ya maisha feki wanayoishi watu facebook. Sikutaka kumficha kitu ni kwasababu na mimi nilikuwa ni mtumiaji wa mtandao huu.
“Jamani mume wangu inamaana huniamini au?” aliniuliza Ester kwa sauti ya kudeka.
“Hapana sio kama sikuamini ila najaribu kukuambia tu,” nilimjibu huku nikimsogelea, wakati huo tulikuwa tupo chumbani.
“Mimi sipendi jinsi unavyonihisi vibaya.”
“Najua hupendi mke wangu ila nayasema haya ili kulilinda penzi langu.”
“Hata kama mume wangu lakini unajua fika kuwa nakupenda wewe na siwezi kuwa na mwanaume mwingine zaidi yako.” aliniambia huku akiwa amejilaza kifuani mwagu, maneno yake yalipenya vyema masikioni mwangu na kunifanya nijihisi mwenye bahati hasa kwa kumpata mwanamke ambaye alikuwa akinipenda sana na hakuwa tayari kunipoteza katika maisha yake.
“Chunga Facebook isije ikavuruga ndoa yetu,” nilimuambia huku nikimpapasa taratibu mgongoni.
“Usijali Mume wangu nakupenda sana,” aliniambia kwa sauti ya kitoto.
“Nakupenda pia,” nilimjibu katika namna ya utulivu sana.
Niliwahi kushuhudia jinsi Facebook ilivyovuruga mahusiano ya watu. Facebook ndiyo ilikuwa chanzo cha migongano na mikanganyiko ya ndoa nyingi ambazo ziliwahi kuvunjika. Mimi ni shahidi katika hilo, nakumbuka Facebook ndiyo ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya kaka yangu ambaye alikuwa akimpenda sana mkewe ambaye nilikuwa nikimuita shemeji.
Kwa kweli sikutaka yale yaliyowahi kutokea katika maisha ya kaka yangu yaweze kunitokea. Nilijifunza mambo mengi sana hivyo nilikuwa makini sana hasa kwa kulilinda penzi langu, kuilinda ndoa yangu, roho yangu.
Baada ya kupita wiki moja tangu mke wangu Ester ajiunge na Facebook nilianza kupatwa na wasiwasi mkubwa sana. Sikujua wasiwasi ule ulikuwa ukitokea wapi hasa kwani tayari Ester alikuwa ameshakuwa mke wangu, mke halali kidini.
Simu yake ilikuwa ikipigwa kila wakati na namba ngeni. Niliamua kumuuliza kuwa namba zile zilikuwa ni za watu gani ila mara zote alikuwa akinijibu kuwa walikuwa ni watu wa Facebook ambao walikuwa wakimsumbua.
Wivu ulianza kunisumbua Phidelis mimi ambaye nilizama katika dimbwi la mapenzi, ulianza kunitafuna taratibu na kuniacha na maumivu ambayo sikuyatarajia kwa kipindi kile. Kuna kipindi nilikuwa nikijilaumu ni kwanini niliamua kumnunulia simu ambayo iliweza kumuunganisha na mtandao huu wa Facebook.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo...

MAPENZI YA FACEBOOK-02 Hakika mapenzi yalikuwa yakiniendesha sana wala siwezi kulipinga hilo. Kabla sijamfahamu huyu Cleopatra au Precious Girl katika mtandao wa facebook kipindi cha nyuma niliwahi kuwa katika mahusiano na msichana mmoja ambaye alikuwa akijulikana kwa jina la Ester. Alikuwa ni msichana mrembo sana, alitokea kuuteka moyo wangu. Niliamua kufunga pingu za maisha na yeye ni kwasababu nilikuwa nikimpenda sana, alikuwa akinipenda na kunionyesha mapenzi ya dhati yaliyozidi kunifanya nimuone yeye tu katika sayari ya mapenzi. Uwepo wake katika maisha yangu ulikuwa ni wa thamani sana. Mapenzi yetu yalikuwa yametawaliwa na furaha sana, nilikuwa nikimpenda sana lakini naweza kusema ndoa yetu ilikuja kuingiliwa na mdudu. Mdudu ambaye amefanya mpaka leo hii nimeamua walau kuwasimulia kile kilichowahi kutokea katika maisha yangu hasahasa maisha ya kimahusiano. Facebook! Ndiyo mdudu aliyekuwa akiitafuna ndoa yangu na Ester. Licha ya mapenzi niliyokuwa nayo kwa mke wangu lakini bado Facebook ilizidi kuidhulumu nafsi yangu ya upendo. Nakumbuka siku ya kwanza Ester kujiunga na Facebook ilikuwa ni pale ambapo niliamua kumnunulia simu. Hii ilikuwa ni moja kati ya ahadi ambayo nilimuahidi kwa muda mrefu. Nilimuambia mambo mengi sana ambayo yanaweza kutokea katika mtandao huu. Nilimuambia juu ya maisha feki wanayoishi watu facebook. Sikutaka kumficha kitu ni kwasababu na mimi nilikuwa ni mtumiaji wa mtandao huu. “Jamani mume wangu inamaana huniamini au?” aliniuliza Ester kwa sauti ya kudeka. “Hapana sio kama sikuamini ila najaribu kukuambia tu,” nilimjibu huku nikimsogelea, wakati huo tulikuwa tupo chumbani. “Mimi sipendi jinsi unavyonihisi vibaya.” “Najua hupendi mke wangu ila nayasema haya ili kulilinda penzi langu.” “Hata kama mume wangu lakini unajua fika kuwa nakupenda wewe na siwezi kuwa na mwanaume mwingine zaidi yako.” aliniambia huku akiwa amejilaza kifuani mwagu, maneno yake yalipenya vyema masikioni mwangu na kunifanya nijihisi mwenye bahati hasa kwa kumpata mwanamke ambaye alikuwa akinipenda sana na hakuwa tayari kunipoteza katika maisha yake. “Chunga Facebook isije ikavuruga ndoa yetu,” nilimuambia huku nikimpapasa taratibu mgongoni. “Usijali Mume wangu nakupenda sana,” aliniambia kwa sauti ya kitoto. “Nakupenda pia,” nilimjibu katika namna ya utulivu sana. Niliwahi kushuhudia jinsi Facebook ilivyovuruga mahusiano ya watu. Facebook ndiyo ilikuwa chanzo cha migongano na mikanganyiko ya ndoa nyingi ambazo ziliwahi kuvunjika. Mimi ni shahidi katika hilo, nakumbuka Facebook ndiyo ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya kaka yangu ambaye alikuwa akimpenda sana mkewe ambaye nilikuwa nikimuita shemeji. Kwa kweli sikutaka yale yaliyowahi kutokea katika maisha ya kaka yangu yaweze kunitokea. Nilijifunza mambo mengi sana hivyo nilikuwa makini sana hasa kwa kulilinda penzi langu, kuilinda ndoa yangu, roho yangu. Baada ya kupita wiki moja tangu mke wangu Ester ajiunge na Facebook nilianza kupatwa na wasiwasi mkubwa sana. Sikujua wasiwasi ule ulikuwa ukitokea wapi hasa kwani tayari Ester alikuwa ameshakuwa mke wangu, mke halali kidini. Simu yake ilikuwa ikipigwa kila wakati na namba ngeni. Niliamua kumuuliza kuwa namba zile zilikuwa ni za watu gani ila mara zote alikuwa akinijibu kuwa walikuwa ni watu wa Facebook ambao walikuwa wakimsumbua. Wivu ulianza kunisumbua Phidelis mimi ambaye nilizama katika dimbwi la mapenzi, ulianza kunitafuna taratibu na kuniacha na maumivu ambayo sikuyatarajia kwa kipindi kile. Kuna kipindi nilikuwa nikijilaumu ni kwanini niliamua kumnunulia simu ambayo iliweza kumuunganisha na mtandao huu wa Facebook. Je, nini kitaendelea? Usikose sehemu ijayo...

...
MAPENZI YA FACEBOOK.



Phidelis anasimulia;

Nakumbuka nilifahamiana naye kupitia Facebook, alikuwa ni rafiki yangu, nilipenda sana kulike pamoja na kukomenti picha zake. Alikuwa ni msichana mrembo sana, alijaaliwa kila sifa zinazoweza kumshawishi mwanaume yoyote rijali atamani kuwa naye. Alikuwa akijulikana kwa jina la Cleopatra Mushi ila kwa facebook alikuwa akitumia jina la Precious Girl, sijui kwanini aliamua kutumia jina hili ila pengine ni kutoka na uzuri aliyokuwa nao.
Alikuwa akipenda sana maisha ya starehe, picha zake alizokuwa akipost katika akaunti yake ziliweza kuakisi maisha halisi ambayo alikuwa akipendelea kuishi. Alionekana kuwa msichana wa maisha ya kitajiri sana.
Nilitamani sana kuwa naye kimapenzi ila sikuwa na maisha kama aliyokuwa nayo hivyo niliona sikustahili kufanya hivyo, niliogopa kumwambia.
Picha zake alizokuwa akizipost akiwa na mwanaume zilizidi kuniweka katika wakati wa maumivu sana, nilikuwa nikiumia kwasababu nilikuwa nikimpenda sana. Nilitamani siku moja afahamu ni kwa jinsi gani nilivyokuwa nikimpenda lakini muda haukuweza kuruhusu hilo.
“Nampenda sana huyu demu ila tatizo ana mtu wake,” niliamua kumueleza ukweli rafiki yangu Juma juu ya Cleopatra alivyokuwa ameniteka akili yangu.
“Sasaunachoogopa hapo ni nini?” aliniuliza Juma huku akionekana kutojali lolote.
“Tatizo ana mtu wake.”
“Mbona mimi sioni tatizo hapo kama unampenda mwambie ukweli halafu akikataa basi unakula kona,” aliniambia Juma.
Kwa kweli kila nilipokuwa nikizitazama picha za Cleopatra zilizidi kuniweka katika wakati mgumu, nilikuwa nikimpenda sana. Nilitamani afahamu ukweli wa moyo wangu. Ulikuwa ukimpenda japo mpaka kufikia wakati ule sikuwa nafahamu historia ya maisha yake.
“Umependeza mdada,” niliamua kukomenti picha yake moja aliyokuwa ameipost muda mfupi. Alikuwa amevalia sketi fupi iliyoyaacha vyema mapaja yake wazi yaliyoonekana kunona huku juu akiwa amevaa kishati kilichokuwa kimembana kisawasawa, kilimkaa vyema na kuzidi kuonekana msichana wa kisasa. Alipendeza sana tena na kwa weupe aliyokuwa amejaaliwa ndiyo kwanza alizidi kunoga.
“Asante mkaka,” alinijibu kitendo ambacho kilinishangaza sana, sikutegemea kama angeweza kunijibu kwa wakati ule.
Ngoja nikuambie kitu ndugu yangu, nilikuwa nikipenda sana kulike na kukomenti picha zake, nilikuwa nikijaribu kujiweka karibu naye ili japo niweze kupata nafasi ya kuzungumza naye lakini mara zote alikuwa ni mtu wa kunitolea nje, hakuwa akinijibu lolote.
Siku ile nilipoamua kukomenti picha yake na yeye kunijibu hakika nilikiona kuwa nikitendo cha kipekee. Niliitazama kwa muda wa dakika tatu lile jibu lake huku nikitabasamu. Nilikuwa nahisi furaha isiyokuwa na kifani.
Sikutaka kupoteza muda nikaamua kumfuata inbox.
“Mambo mrembo,” nilimtumia ujumbe mfupi lakini alikuwa kimya hakuweza kunijibu lolote. Sikukata tamaa, niliamua kumtumia tena ujumbe mwingine lakini hakuweza kujibu kitu. Tukio hili lilizidi kuniumiza sana, alikuwa akionekana kuwa online lakini hakuwa akizijibu meseji zangu jambo ambalo lilizidi kunifanya nianze kumuona alikuwa akijisikia.
Kila nilipokuwa nikiziona picha zake pamoja na mwanaume aliyekuwa akimpost katika akaunti yake nilikuwa nikijisikia vibaya sana, kuna kipindi sikutaka kabisa kumuona Cleopatra katika macho yangu. Niliamua kutoka facebook na kufanya mambo mengine lakini ajabu haikupita siku nilijikuta nikitamani kumuona msichana huyo hivyo niliingia facebook na kumuangalia. Nilijikuta nikifurahi mara baada ya kumuona. Alikuwa akivutia sana machoni mwangu.
“With my baby!” haya yalikuwa ni moja kati ya maelezo yaliyoambatana na picha aliyokuwa amepiga yeye pamoja na mwanaume mmoja aliyekuwa na asili ya kiarabu. Walikuwa wakionekana kuwa wenye furaha sana.
Nilizidi kuumia sana kila nilipokuwa nikimuona mwanaume huyo, nilimchukia sana katika maisha yangu japo sikuwahi kuonana naye.
Sikuchoka kumtumia ujumbe mfupi kila nilipopata nafasi niliamua kumtumia huku nikiamini kuna siku angeweza kunijibu jambo ambalo lingeweza kuufurahisha moyo wangu.
Baada ya kupita siku kadhaa aliweza kunijibu.
“Poa Phidelis, mzima wewe? Samahani nilikuwa bize ndiyo maana ukaona kimya.”
“Usijali, mimi niko salama kabisa sijui wewe mrembo.”
“I’m oky.”
“Nafurahi kusikia hivyo mrembo.”
“K,” alinijibu kwa kifupi kwa kuandika herufi “K” akimaanisha neno Ok.
Kwa kweli nilijisikia vibaya sana, niliona kama alikuwa amenidharau. Nilijaribu kumtumia ujumbe mwingine lakini hakuweza kunijibu lolote japo nilimuona kuwa online. Hilo lilizidi kuniumiza sana moyoni mwangu.

Je, nini kitaendelea?
Tukutane Kesho mahali hapa hapa.

MAPENZI YA FACEBOOK. Phidelis anasimulia; Nakumbuka nilifahamiana naye kupitia Facebook, alikuwa ni rafiki yangu, nilipenda sana kulike pamoja na kukomenti picha zake. Alikuwa ni msichana mrembo sana, alijaaliwa kila sifa zinazoweza kumshawishi mwanaume yoyote rijali atamani kuwa naye. Alikuwa akijulikana kwa jina la Cleopatra Mushi ila kwa facebook alikuwa akitumia jina la Precious Girl, sijui kwanini aliamua kutumia jina hili ila pengine ni kutoka na uzuri aliyokuwa nao. Alikuwa akipenda sana maisha ya starehe, picha zake alizokuwa akipost katika akaunti yake ziliweza kuakisi maisha halisi ambayo alikuwa akipendelea kuishi. Alionekana kuwa msichana wa maisha ya kitajiri sana. Nilitamani sana kuwa naye kimapenzi ila sikuwa na maisha kama aliyokuwa nayo hivyo niliona sikustahili kufanya hivyo, niliogopa kumwambia. Picha zake alizokuwa akizipost akiwa na mwanaume zilizidi kuniweka katika wakati wa maumivu sana, nilikuwa nikiumia kwasababu nilikuwa nikimpenda sana. Nilitamani siku moja afahamu ni kwa jinsi gani nilivyokuwa nikimpenda lakini muda haukuweza kuruhusu hilo. “Nampenda sana huyu demu ila tatizo ana mtu wake,” niliamua kumueleza ukweli rafiki yangu Juma juu ya Cleopatra alivyokuwa ameniteka akili yangu. “Sasaunachoogopa hapo ni nini?” aliniuliza Juma huku akionekana kutojali lolote. “Tatizo ana mtu wake.” “Mbona mimi sioni tatizo hapo kama unampenda mwambie ukweli halafu akikataa basi unakula kona,” aliniambia Juma. Kwa kweli kila nilipokuwa nikizitazama picha za Cleopatra zilizidi kuniweka katika wakati mgumu, nilikuwa nikimpenda sana. Nilitamani afahamu ukweli wa moyo wangu. Ulikuwa ukimpenda japo mpaka kufikia wakati ule sikuwa nafahamu historia ya maisha yake. “Umependeza mdada,” niliamua kukomenti picha yake moja aliyokuwa ameipost muda mfupi. Alikuwa amevalia sketi fupi iliyoyaacha vyema mapaja yake wazi yaliyoonekana kunona huku juu akiwa amevaa kishati kilichokuwa kimembana kisawasawa, kilimkaa vyema na kuzidi kuonekana msichana wa kisasa. Alipendeza sana tena na kwa weupe aliyokuwa amejaaliwa ndiyo kwanza alizidi kunoga. “Asante mkaka,” alinijibu kitendo ambacho kilinishangaza sana, sikutegemea kama angeweza kunijibu kwa wakati ule. Ngoja nikuambie kitu ndugu yangu, nilikuwa nikipenda sana kulike na kukomenti picha zake, nilikuwa nikijaribu kujiweka karibu naye ili japo niweze kupata nafasi ya kuzungumza naye lakini mara zote alikuwa ni mtu wa kunitolea nje, hakuwa akinijibu lolote. Siku ile nilipoamua kukomenti picha yake na yeye kunijibu hakika nilikiona kuwa nikitendo cha kipekee. Niliitazama kwa muda wa dakika tatu lile jibu lake huku nikitabasamu. Nilikuwa nahisi furaha isiyokuwa na kifani. Sikutaka kupoteza muda nikaamua kumfuata inbox. “Mambo mrembo,” nilimtumia ujumbe mfupi lakini alikuwa kimya hakuweza kunijibu lolote. Sikukata tamaa, niliamua kumtumia tena ujumbe mwingine lakini hakuweza kujibu kitu. Tukio hili lilizidi kuniumiza sana, alikuwa akionekana kuwa online lakini hakuwa akizijibu meseji zangu jambo ambalo lilizidi kunifanya nianze kumuona alikuwa akijisikia. Kila nilipokuwa nikiziona picha zake pamoja na mwanaume aliyekuwa akimpost katika akaunti yake nilikuwa nikijisikia vibaya sana, kuna kipindi sikutaka kabisa kumuona Cleopatra katika macho yangu. Niliamua kutoka facebook na kufanya mambo mengine lakini ajabu haikupita siku nilijikuta nikitamani kumuona msichana huyo hivyo niliingia facebook na kumuangalia. Nilijikuta nikifurahi mara baada ya kumuona. Alikuwa akivutia sana machoni mwangu. “With my baby!” haya yalikuwa ni moja kati ya maelezo yaliyoambatana na picha aliyokuwa amepiga yeye pamoja na mwanaume mmoja aliyekuwa na asili ya kiarabu. Walikuwa wakionekana kuwa wenye furaha sana. Nilizidi kuumia sana kila nilipokuwa nikimuona mwanaume huyo, nilimchukia sana katika maisha yangu japo sikuwahi kuonana naye. Sikuchoka kumtumia ujumbe mfupi kila nilipopata nafasi niliamua kumtumia huku nikiamini kuna siku angeweza kunijibu jambo ambalo lingeweza kuufurahisha moyo wangu. Baada ya kupita siku kadhaa aliweza kunijibu. “Poa Phidelis, mzima wewe? Samahani nilikuwa bize ndiyo maana ukaona kimya.” “Usijali, mimi niko salama kabisa sijui wewe mrembo.” “I’m oky.” “Nafurahi kusikia hivyo mrembo.” “K,” alinijibu kwa kifupi kwa kuandika herufi “K” akimaanisha neno Ok. Kwa kweli nilijisikia vibaya sana, niliona kama alikuwa amenidharau. Nilijaribu kumtumia ujumbe mwingine lakini hakuweza kunijibu lolote japo nilimuona kuwa online. Hilo lilizidi kuniumiza sana moyoni mwangu. Je, nini kitaendelea? Tukutane Kesho mahali hapa hapa.

...
MUNGU ATANILIPIA:

Nakumbuka nililazimishwa kuolewa ila nilikubali ili kutii amri ya wazazi. Nikabahatika kupata mtoto wa kike niliyempenda sana, kwani sikuwa na raha ya kuishi na mume wangu aliyekuwa mzee sana kwa bahati mbaya mume wangu alikufa kwa ugonjwa wa kisukari. Nikabaki mimi na binti yangu kwakweli sikutaka kuolewa tena niliamua kukaa na kulea mwanangu huyu.
Kweli nilimlea na kumsomesha binti yangu, alipofika chuo ndipo mambo yalipoanza kubadilika. Binti yangu akanitaarifu kuwa amepata mchumba na akaja nae nyumbani kumtambulisha kwa ushamba wangu nikashangaa kweli ile gari ya mchumba wa mwanangu na nikaona raha kwa binti yangu kumpata mwanaume mwenye pesa kama yule, ilikuwa ni kipindi cha likizo na yule bwana alikuwa akija mara kwa mara kutusalimia huku akibeba zawadi tofauti tofauti, sikuwa na shaka naye hata akiniambia anataka kutoka na mwanangu nilimpa ruhusu wanaenda halafu anamrudisha nyumbani.
Siku moja ambayo siwezi kuisahau kamwe katika maisha yangu, mwanangu akaniaga kuwa anataka kutoka na mchumba ake ila atarudi kesho yake nikamkatalia na kumwambia asifanye hivyo kwani ataonekana hana thamani tena. Badae kidogo alifika mpenzi wake huyo na kuniomba, mwanzoni nilimkatalia ila baada ya kunisihi sana nikakubali kuwa waende basi mwanangu na yule mpenzi wake wakaondoka pale nyumbani nikitegemea mwanangu kurudi kesho yake.
Kesho ikafika hadi jioni mwanangu hakurudi, hofu ikaanza kunitawala moyoni mwangu hadi kunakucha mwanangu hakuwa nyumbani pa kuanzia sijui kwani yule kijana ni mgeni kwetu.
Siku hiyo nikiwa kwa mbali namwona mwanangu akijikongoja kwa kujivuta, nilimkimbilia mpaka pale alipo nikambeba hadi nyumbani, naye akaniambia maneno haya
"mama nakupenda sana ila naomba nikwambie ujumbe huu uwafikishie mabinti wote.
Mama, yule kijana nilikutana naye wakati naenda chuo akanipa lifti na kuchukua namba yangu. Mawasiliano yetu yalianzia hapo ila sijui anapoishi wala ndugu zake, aliniomba nije nae nyumbani kumtambulisha kipindi hiki cha likizo na ndio nikafanya hivyo, nilizoea kuzunguka nae hotel, bar, cinema na majumba yote ya starehe. Ila alichonitenda hivi karibuni ni cha kustaajabisha, nilipoondoka naye hapa alinifunga kitambaa machoni na kusema anaenda kunifanyia suprise nilishangaa tukielekea mahali pasipojulikana huko nilienda kupata mateso makubwa mengine hata hayasimuliki ila kuna hili la kunifunga mimi kamba kwenye miti, mikono na miguu ikiwa imetanuliwa halafu wakanifanyisha mapenzi na mbwa watatu, ikiwa hiyo haitoshi lililetwa joka kubwa ambalo liliingizwa sehemu zangu za siri, sijui lilienda kufanya vitu gani ila nilipata maumivu ambayo hayaelezeki nililia hadi kuzimia, nilipozinduka nikajikuta nipo nje ya nyumba yetu nimetupwa ila kabla ya yote waliniambia kuwa sitakiwi kusema chochote kile kwa mtu yoyote kwani nitakufa."
Alipomaliza kusema hayo nilikuwa natetemekd mwili mzima kwani nilimuona mwanangu akinyooka na kufa mikononi mwangu. Hata nikieleza maumivu yangu hakuna atakayenielewa, ila niliumia kupita maelezo. Yote namwachia Mungu.
Tangu kifo cha mwanangu nimekuwa kama mtu nisiyejielewa, natoa wosia kwa mabinti wengine tafadhari sana angalieni kwa makini wachumba mlionao isije ikawa kama yaliyomkuta binti yangu, wazazi wote kuweni makini. Naumia kumpoteza binti yangu mpenzi tena aliyekufa kwa maumivu makubwa. Ila najua Mungu atatenda jambo. Hadi leo sielewi kwanini mwanangu alitendwa hivi.

Kama ujumbe huu umekugusa, dondosha LIKE yako hapo au SHARE ukiweza ili na wengine wapate kitu.

MUNGU ATANILIPIA: Nakumbuka nililazimishwa kuolewa ila nilikubali ili kutii amri ya wazazi. Nikabahatika kupata mtoto wa kike niliyempenda sana, kwani sikuwa na raha ya kuishi na mume wangu aliyekuwa mzee sana kwa bahati mbaya mume wangu alikufa kwa ugonjwa wa kisukari. Nikabaki mimi na binti yangu kwakweli sikutaka kuolewa tena niliamua kukaa na kulea mwanangu huyu. Kweli nilimlea na kumsomesha binti yangu, alipofika chuo ndipo mambo yalipoanza kubadilika. Binti yangu akanitaarifu kuwa amepata mchumba na akaja nae nyumbani kumtambulisha kwa ushamba wangu nikashangaa kweli ile gari ya mchumba wa mwanangu na nikaona raha kwa binti yangu kumpata mwanaume mwenye pesa kama yule, ilikuwa ni kipindi cha likizo na yule bwana alikuwa akija mara kwa mara kutusalimia huku akibeba zawadi tofauti tofauti, sikuwa na shaka naye hata akiniambia anataka kutoka na mwanangu nilimpa ruhusu wanaenda halafu anamrudisha nyumbani. Siku moja ambayo siwezi kuisahau kamwe katika maisha yangu, mwanangu akaniaga kuwa anataka kutoka na mchumba ake ila atarudi kesho yake nikamkatalia na kumwambia asifanye hivyo kwani ataonekana hana thamani tena. Badae kidogo alifika mpenzi wake huyo na kuniomba, mwanzoni nilimkatalia ila baada ya kunisihi sana nikakubali kuwa waende basi mwanangu na yule mpenzi wake wakaondoka pale nyumbani nikitegemea mwanangu kurudi kesho yake. Kesho ikafika hadi jioni mwanangu hakurudi, hofu ikaanza kunitawala moyoni mwangu hadi kunakucha mwanangu hakuwa nyumbani pa kuanzia sijui kwani yule kijana ni mgeni kwetu. Siku hiyo nikiwa kwa mbali namwona mwanangu akijikongoja kwa kujivuta, nilimkimbilia mpaka pale alipo nikambeba hadi nyumbani, naye akaniambia maneno haya "mama nakupenda sana ila naomba nikwambie ujumbe huu uwafikishie mabinti wote. Mama, yule kijana nilikutana naye wakati naenda chuo akanipa lifti na kuchukua namba yangu. Mawasiliano yetu yalianzia hapo ila sijui anapoishi wala ndugu zake, aliniomba nije nae nyumbani kumtambulisha kipindi hiki cha likizo na ndio nikafanya hivyo, nilizoea kuzunguka nae hotel, bar, cinema na majumba yote ya starehe. Ila alichonitenda hivi karibuni ni cha kustaajabisha, nilipoondoka naye hapa alinifunga kitambaa machoni na kusema anaenda kunifanyia suprise nilishangaa tukielekea mahali pasipojulikana huko nilienda kupata mateso makubwa mengine hata hayasimuliki ila kuna hili la kunifunga mimi kamba kwenye miti, mikono na miguu ikiwa imetanuliwa halafu wakanifanyisha mapenzi na mbwa watatu, ikiwa hiyo haitoshi lililetwa joka kubwa ambalo liliingizwa sehemu zangu za siri, sijui lilienda kufanya vitu gani ila nilipata maumivu ambayo hayaelezeki nililia hadi kuzimia, nilipozinduka nikajikuta nipo nje ya nyumba yetu nimetupwa ila kabla ya yote waliniambia kuwa sitakiwi kusema chochote kile kwa mtu yoyote kwani nitakufa." Alipomaliza kusema hayo nilikuwa natetemekd mwili mzima kwani nilimuona mwanangu akinyooka na kufa mikononi mwangu. Hata nikieleza maumivu yangu hakuna atakayenielewa, ila niliumia kupita maelezo. Yote namwachia Mungu. Tangu kifo cha mwanangu nimekuwa kama mtu nisiyejielewa, natoa wosia kwa mabinti wengine tafadhari sana angalieni kwa makini wachumba mlionao isije ikawa kama yaliyomkuta binti yangu, wazazi wote kuweni makini. Naumia kumpoteza binti yangu mpenzi tena aliyekufa kwa maumivu makubwa. Ila najua Mungu atatenda jambo. Hadi leo sielewi kwanini mwanangu alitendwa hivi. Kama ujumbe huu umekugusa, dondosha LIKE yako hapo au SHARE ukiweza ili na wengine wapate kitu.

...
HEBU TUJARIBU KUFUATILIA HAKA KA HADITHI KATAMU

KULITOKEA Tawala Mbalimbali Katika Nchi Ya WAKALDAYO Ambayo ilikuwa na wafalme mbalimbali kulingana na majimbo husika.Siku Moja Mfalme na malkia wa jimbo moja liitwalo MEDIANI walishauliana Kupata Ua Moja zurii ndani ya nyumba yao.Walipofikia Makubaliano kweli ua likapatikana Wakasemezawa wao kwa Wao hili ua litatuongezea familia nyingine ya kifalme hapa maana walikubaliana falme yoyote ile itakayokuja kuwatembelea na endapo mtoto wa kiume wa falme ile akilipenda hilo ua nalo likampenda basi wataluhusu lichukuliwe na huyo mtoto wa kiume wa falme nyingine na kuunganisha Undugu.
Ki Ukweli Walitumia muda mwingi kulijali lile ua pindi lilipokuwa dogo ili litowe mizizi komavu liweze kutafuta maji yake chini na liendelee kuchipua.Walitumia mda mwingi kuligharamikia na uangalizi wa hali ya juu atimae ua lilikuwa likapendeza likachanua.Tawala mbalimbali zilipita na kuliona Wengi walilitamani wakataka hata kulichukua lakini mfalme alisema ua langu bado dogo halijakomaza mizizi vizuri subirini pindi likikomaa na wakati ukifika basi tutaliluhusu lichague nani kati ya nyinyi mnaokuja kulitaka aondoke nalo.
Baada Ya miaka ishirini na kidogo Ua lilikuwa limekomaza mizizi vizuri limechanua vzr linanukia na kupendeza.Pindi lilipokuwa likitambaa hapa na pale kila mmoja alitoa macho kushuhudia uzuri wake.malkia na mfalme wakasemezana wao kwa wao,Sasa Ua letu limekuwa ni wakati wa kuruhusu Kuchukuliwa mtoto wa mfalme Yoyote wa kiume atakaeleta barua kuwa wamekubaliana na ua letu kuwa limchukue ni wakati wa kukubali.
Haikupita miezi ufalme jilani Ulikuja kutembelea katika Jimbo La MEDIANI wakiwa familia nzima yaani watoto wa mfalme wa kike na wakiume wote kwa pamoja na wafanyakazi.walipofika katika ule mji walistaajabu kuona uzuri wa lile ua kila mmoja alivutiwa nalo Mtoto Wa Kwanza wa ufalme ule ulioenda kutembelea alimnon'goneza baba yake kuwa baba sasa nimeshakuwa nina nyumba yangu nina kila kitu nataka niongee na hili ua likikubali naomba umpe taarifa mfalme wa hii nnchi kuwa nalichukua ua lake nikakaenalo nyumbani kwangu.Kweli ua lilipomuona yule kijana lilichanua zaidi likajipuliza huku na kule kuonyesha furaha na ishara ya kumkubali yule kijana.Ama hakika kijana alifurahi sana kuona amekubalika.Wafalme waliongea huko atimae wakapatana dhamani ya kuondoka na lile ua hatimae ua liling'olewa kutoka katika falme ya mediani kuelekea katika falme ya huyo baba ake na kijana sherehe ilifanyika na undugu ukaonganishwa.

MWANA wa Mfalme alielichukua lile ua alifika akaliweka ndani Mwake hakika alijiskia raha maana lilikuwa linapendeza na kuvutia.Alianza kutumia gharama zake kubwa kulituza maana alijua mizizi bado haijaanza kwenda chini kutokana na kuwa wamelin'goa sehemu yake na kulileta sehemu nyingine.Lakini Ilipita Mwaka yule kijana akajua sasa hapa ua langu limekomaa na litakuwa limezoea mazingira aliliacha aone je linauwezo wa kusimama na likapendeza kama alivyolikuta kwao?
Cha ajabu kila alipokuwa akiludi kutoka katika pilika pilika alikuta ua linazidi kudhoofika.Mtoto wa mfalme alihuzunika sana kuona ua linashindwa kuchanua vzr kama alivyolikuta kwao alijikuta anaanza kulichukia.Katika mizunguuko yake ya huku na huko alipita na kuona maua mengine azuri yanajitunza vzr alivutiwa nayo alijikuta muda mwingi anapoteza kukaa kalibu na yale maua ya nje kutokana na ua lake ndani kushindwa kuchanua na kumelemeta kama zamani.Muda Mwingine mtoto wa Mfalme alipikua akikaa peke ake alijikuta anajusemea Mwenyewe"Ua langu nimeliachia kila kitu ndani,Nimelipa kila kitu ndani nimelipa udongo nzuri,Mbolea,Maji, n.k lakini sijui kwanini limeshindwa kuvitumia ili liendelee kupendeza kama zamani?.Nitakaa na kutamani haya maua ya nje Mpaka lini?.Ona yanavojitunza mpaka raha hutumia kile kidogo yanachokipata kuendelea kujibolesha lakini ua langu nimelipa vyote limeshindwa kujiboresha"sijui nifanye nini..?
Wazo Likamwijia na kusema nenda kaliambie Ua lako Unapenda Liweje Acha tamaa kutamani vya nje na wakati unajua kabisa Uwezo Wa ua lako kupendeza kama zamani upo likumbushe nini unapenda kutoka kwake huenda limesahau Ulilipendea Nini.
Mtoto Wa mfalme baada ya kupata wazo hilo Siku Moja jioni alitumia muda mzuri huo wa kulikumbusha ua lake nini kilichomvutia kutoka kule kwao mpaka kuleta ndani ya nyumba.toka siku hiyo ua halikusahau kile ambacho anapenda mtoto wa mfalme.lilifanya kila jitihada na likaanza kupendeza kama zamani.Ama hakika mfalme alitokea tena kulipenda ua lake.Je unajua nini kilitokea.Mtoto wa mfalme hakutamani tenaa Maua Ya nje

FUNDISHO LANGU
_______________________
Je Ua ni nani.....?
 👉 Ua ni binti kutoka katika ufalme wa Mediani
Je Wafalme wa Mediani ni akina nani??
👉Wafalme wa Mediani Ni Wazazi wa huyo binti ambae ni Ua
Je Mtoto wa Mfalme ni nani??
👉Ni mume wa huyo binti kutoka falme ya Mediani ambae amehusika kama ua

NINI MAANA YA KISA HIKI
👉Ukweli ni kwamba wanawake wengi wanajisahau sana pindi wanapoingia katika ndoa na kusahau ni nini kilichomvuta mme wake mpaka akapendwa.Wamesahau wao kama ni ua linalotakiwa kupendeza ndani ya nyumba kila mara ili kumvutia mmewe lakini badala yake wamepoteza ule uzuri wao waliokutwa nao hawajijali tena na wameona kuvishwa pete ndio kumaliza kila kitu
👉Ukweli ni kuwa mwanamke anatakiwa awe mlembo ili kuendelea kumvutia mumewe kila mara.Ndoa pekee isikufanye umemaliza kila kitu Angalia nini kilichompata yule binti baada ya kuacha kujijali tena
Ndicho kinachofuata pia kwa kuacha kwako kujijali.usipoteze ule mvuto wako uliokutwa nao kwa wazazi eti kisa umeolewa.
👉Kama ukiendelea kuvutia daima hakika mmeo hana sababu ya kusema apate tamaa kwa wengine na wakati wewe umewazidi mvuto
Hebu jiulize umeshaenda sokoni kununua kitu halafu mmeshapatana na bei na muuzaji lakini ghafla ukatupia macho pembeni kwa muuzaji mwingine ukaona kitu kile kile lakini kinaonekana kina ubora kuliko ulichokuwa unataka kununua je nini kinafuata ni jukumu la kuacha kununua ulichopatana nacho na kufuata kile kilichonona
Ndivyo ilivyo ukipoteza ubora wako kama mke kinachofuata jilani yako anaeendelea ku maintain ubora wake atakusaidia majukumu
👉Pia na nyinyi waume si busara sana kuanza kuvutika na vya nje na wakati unao uwezo wa kumwambia mkeo vile unavyopenda awe.Usimuonee aibu ni jukumu la kukaa na kumuambia yule ni mke wako au ukishindwa kumwambia fanya jukumu la kumnunulia vitu ambavyo unavutiwa navyo na kuona akitumia katika kujiremba unapendezwa navyo.Hii itakusaidia kujenga familia bora yenye amani na upendo Muda wote
USISAHAU
Hata vitabu vitakatifu Vinakusisitiza wewe Mwanamke Uwe Pambo Ndani Ya nyumba hili ni jukumu lako la kwanza kama mke..............

HEBU TUJARIBU KUFUATILIA HAKA KA HADITHI KATAMU KULITOKEA Tawala Mbalimbali Katika Nchi Ya WAKALDAYO Ambayo ilikuwa na wafalme mbalimbali kulingana na majimbo husika.Siku Moja Mfalme na malkia wa jimbo moja liitwalo MEDIANI walishauliana Kupata Ua Moja zurii ndani ya nyumba yao.Walipofikia Makubaliano kweli ua likapatikana Wakasemezawa wao kwa Wao hili ua litatuongezea familia nyingine ya kifalme hapa maana walikubaliana falme yoyote ile itakayokuja kuwatembelea na endapo mtoto wa kiume wa falme ile akilipenda hilo ua nalo likampenda basi wataluhusu lichukuliwe na huyo mtoto wa kiume wa falme nyingine na kuunganisha Undugu. Ki Ukweli Walitumia muda mwingi kulijali lile ua pindi lilipokuwa dogo ili litowe mizizi komavu liweze kutafuta maji yake chini na liendelee kuchipua.Walitumia mda mwingi kuligharamikia na uangalizi wa hali ya juu atimae ua lilikuwa likapendeza likachanua.Tawala mbalimbali zilipita na kuliona Wengi walilitamani wakataka hata kulichukua lakini mfalme alisema ua langu bado dogo halijakomaza mizizi vizuri subirini pindi likikomaa na wakati ukifika basi tutaliluhusu lichague nani kati ya nyinyi mnaokuja kulitaka aondoke nalo. Baada Ya miaka ishirini na kidogo Ua lilikuwa limekomaza mizizi vizuri limechanua vzr linanukia na kupendeza.Pindi lilipokuwa likitambaa hapa na pale kila mmoja alitoa macho kushuhudia uzuri wake.malkia na mfalme wakasemezana wao kwa wao,Sasa Ua letu limekuwa ni wakati wa kuruhusu Kuchukuliwa mtoto wa mfalme Yoyote wa kiume atakaeleta barua kuwa wamekubaliana na ua letu kuwa limchukue ni wakati wa kukubali. Haikupita miezi ufalme jilani Ulikuja kutembelea katika Jimbo La MEDIANI wakiwa familia nzima yaani watoto wa mfalme wa kike na wakiume wote kwa pamoja na wafanyakazi.walipofika katika ule mji walistaajabu kuona uzuri wa lile ua kila mmoja alivutiwa nalo Mtoto Wa Kwanza wa ufalme ule ulioenda kutembelea alimnon'goneza baba yake kuwa baba sasa nimeshakuwa nina nyumba yangu nina kila kitu nataka niongee na hili ua likikubali naomba umpe taarifa mfalme wa hii nnchi kuwa nalichukua ua lake nikakaenalo nyumbani kwangu.Kweli ua lilipomuona yule kijana lilichanua zaidi likajipuliza huku na kule kuonyesha furaha na ishara ya kumkubali yule kijana.Ama hakika kijana alifurahi sana kuona amekubalika.Wafalme waliongea huko atimae wakapatana dhamani ya kuondoka na lile ua hatimae ua liling'olewa kutoka katika falme ya mediani kuelekea katika falme ya huyo baba ake na kijana sherehe ilifanyika na undugu ukaonganishwa. MWANA wa Mfalme alielichukua lile ua alifika akaliweka ndani Mwake hakika alijiskia raha maana lilikuwa linapendeza na kuvutia.Alianza kutumia gharama zake kubwa kulituza maana alijua mizizi bado haijaanza kwenda chini kutokana na kuwa wamelin'goa sehemu yake na kulileta sehemu nyingine.Lakini Ilipita Mwaka yule kijana akajua sasa hapa ua langu limekomaa na litakuwa limezoea mazingira aliliacha aone je linauwezo wa kusimama na likapendeza kama alivyolikuta kwao? Cha ajabu kila alipokuwa akiludi kutoka katika pilika pilika alikuta ua linazidi kudhoofika.Mtoto wa mfalme alihuzunika sana kuona ua linashindwa kuchanua vzr kama alivyolikuta kwao alijikuta anaanza kulichukia.Katika mizunguuko yake ya huku na huko alipita na kuona maua mengine azuri yanajitunza vzr alivutiwa nayo alijikuta muda mwingi anapoteza kukaa kalibu na yale maua ya nje kutokana na ua lake ndani kushindwa kuchanua na kumelemeta kama zamani.Muda Mwingine mtoto wa Mfalme alipikua akikaa peke ake alijikuta anajusemea Mwenyewe"Ua langu nimeliachia kila kitu ndani,Nimelipa kila kitu ndani nimelipa udongo nzuri,Mbolea,Maji, n.k lakini sijui kwanini limeshindwa kuvitumia ili liendelee kupendeza kama zamani?.Nitakaa na kutamani haya maua ya nje Mpaka lini?.Ona yanavojitunza mpaka raha hutumia kile kidogo yanachokipata kuendelea kujibolesha lakini ua langu nimelipa vyote limeshindwa kujiboresha"sijui nifanye nini..? Wazo Likamwijia na kusema nenda kaliambie Ua lako Unapenda Liweje Acha tamaa kutamani vya nje na wakati unajua kabisa Uwezo Wa ua lako kupendeza kama zamani upo likumbushe nini unapenda kutoka kwake huenda limesahau Ulilipendea Nini. Mtoto Wa mfalme baada ya kupata wazo hilo Siku Moja jioni alitumia muda mzuri huo wa kulikumbusha ua lake nini kilichomvutia kutoka kule kwao mpaka kuleta ndani ya nyumba.toka siku hiyo ua halikusahau kile ambacho anapenda mtoto wa mfalme.lilifanya kila jitihada na likaanza kupendeza kama zamani.Ama hakika mfalme alitokea tena kulipenda ua lake.Je unajua nini kilitokea.Mtoto wa mfalme hakutamani tenaa Maua Ya nje FUNDISHO LANGU _______________________ Je Ua ni nani.....? 👉 Ua ni binti kutoka katika ufalme wa Mediani Je Wafalme wa Mediani ni akina nani?? 👉Wafalme wa Mediani Ni Wazazi wa huyo binti ambae ni Ua Je Mtoto wa Mfalme ni nani?? 👉Ni mume wa huyo binti kutoka falme ya Mediani ambae amehusika kama ua NINI MAANA YA KISA HIKI 👉Ukweli ni kwamba wanawake wengi wanajisahau sana pindi wanapoingia katika ndoa na kusahau ni nini kilichomvuta mme wake mpaka akapendwa.Wamesahau wao kama ni ua linalotakiwa kupendeza ndani ya nyumba kila mara ili kumvutia mmewe lakini badala yake wamepoteza ule uzuri wao waliokutwa nao hawajijali tena na wameona kuvishwa pete ndio kumaliza kila kitu 👉Ukweli ni kuwa mwanamke anatakiwa awe mlembo ili kuendelea kumvutia mumewe kila mara.Ndoa pekee isikufanye umemaliza kila kitu Angalia nini kilichompata yule binti baada ya kuacha kujijali tena Ndicho kinachofuata pia kwa kuacha kwako kujijali.usipoteze ule mvuto wako uliokutwa nao kwa wazazi eti kisa umeolewa. 👉Kama ukiendelea kuvutia daima hakika mmeo hana sababu ya kusema apate tamaa kwa wengine na wakati wewe umewazidi mvuto Hebu jiulize umeshaenda sokoni kununua kitu halafu mmeshapatana na bei na muuzaji lakini ghafla ukatupia macho pembeni kwa muuzaji mwingine ukaona kitu kile kile lakini kinaonekana kina ubora kuliko ulichokuwa unataka kununua je nini kinafuata ni jukumu la kuacha kununua ulichopatana nacho na kufuata kile kilichonona Ndivyo ilivyo ukipoteza ubora wako kama mke kinachofuata jilani yako anaeendelea ku maintain ubora wake atakusaidia majukumu 👉Pia na nyinyi waume si busara sana kuanza kuvutika na vya nje na wakati unao uwezo wa kumwambia mkeo vile unavyopenda awe.Usimuonee aibu ni jukumu la kukaa na kumuambia yule ni mke wako au ukishindwa kumwambia fanya jukumu la kumnunulia vitu ambavyo unavutiwa navyo na kuona akitumia katika kujiremba unapendezwa navyo.Hii itakusaidia kujenga familia bora yenye amani na upendo Muda wote USISAHAU Hata vitabu vitakatifu Vinakusisitiza wewe Mwanamke Uwe Pambo Ndani Ya nyumba hili ni jukumu lako la kwanza kama mke..............

...
KIFO CHANGU MWENYEWE
(Simulizi fupi yenye mafunzo)

......Naikumbuka vema ile siku ya mimi na wewe kuanza ukaribu zaidi licha ya kuwa tulikuwa tunasoma wote kuanzia kidato cha kwanza.
Monica hakika siwezi kuisahau siku hiyo ya graduation ya kumaliza kidato cha nne mimi na wewe pamoja na wanafunzi wenzetu.Siku ambayo nilikuomba tucheze pamoja nawe ukakubali na ndio ukawa mwanzo mzuri sana wa mimi na wewe kuingia kwenye mahusiano.Nilikuambia NAKUPENDA nawe ukakubali kuwa unanipenda japo ulitaka nisikusumbue kwa chochote mpaka tutakapomaliza mtihani wetu wa kidato cha tano

Nilikubali na hata mimi nilitaka iwe ivyo kwa sababu wote tulikuwa katika kipindi cha mwisho.
Hatimae lenye mwanzo halikosi mwisho mtihani wa kidato cha nne uliisha na sasa tukawa wanakijiji.Ni kweli japo tulikuwa hatuna kitu na tulikuwa bado tunategemea wazazi lakini mapenzi yetu yalikuwa ya dhati kabisa.Nilikupenda nawe ukanipenda na maisha yetu yale duni ya kijijini.Kwenu mlikuwa na uwezo kidogo sana na nakubuka baba yako alikuwa mwenyekiti wa kijiji na ni nyumba pekee iliyokuwa na solar pale kijijini japo ilikuwa ya nyasi.

Maisha hayakuwa magumu katika familia zetu kwani kama ilivyokawaida sisi watu wa kijijini mara nyingi tunaishi kwa kutegemea ukulima na ufugaji hivyo kuhusu chakula kilikuwepo kwa wingi

MIEZI ilienda huku mapenzi yetu yakiwa moto moto na kujikuta nimekukabidhi moyo wangu wote na sasa hatimae matokeo ya mtihaninwetu wa kidato cha nne yalitoka.
Kwa bahati mbaya wote tulijikuta tumepata daraja la nne yaani division 4 japo katika point ulikuwa umenizidi maana mimi nilipata four mbaya sana na wewe ulipata ile ya kwanza kwanza.

Sikuwa na kingine cha kufanya niliamua niungane na baba yangu katika shughuri za kilimo ili angharau nipate maisha niweze kukuoa kama nilivyokuahidi.Monicah ulifurahi sana kusikia nakuambia kuwa baada ya miaka miwili nikiweka mambo yangu sawa nitakuoa.Nilijituma katika kilimo na baba kupitia mashamba ya kwetu huku tukilima kwa ng'ombe.
Mungu si athuman mwaka wangu wa kwanza wa kilimo niliweza kupata gunia 70 za mahindi na vigunia vichache vya maharage na karanga.
Monicah ulikuwa mstari wa mbele katika kunitia moyo katika shughuri zangu.Ulinipoza kwa penzi tamu lililozidi kuozesha moyo wangu kwako.Nilijikuta nakupenda sana mwanamke wa ndoto zangu.Ulinipa ushauri kila mara ulionipa nguvu.Hatimae ukaniambia niuze hayo magunia baadhi kisha nifungue duka la bidhaa ndogo ndogo za nyumbani pale kijijini maana kijiji kizima hakuna aliekuwa na duka kubwa la kuweza kutoa bidhaa kwa wingi.Hakika hapo ndipo nilipoukubali ule msemo wa kuwa MBELE YA MAFANIKIO YA MWANAUME BASI KUNA MWANAMKE NYUMA YAKE.Hakika Monicah nilifungua duka na kuleta bidhaa kwa wingi.Duka ambalo nilifanikiwa kwa asilimia 100 katika mauzo.Hatimae siku zikaanza kusogea za ahadi ya mimi kukuoa na hata mipango ya hela ya mahali ilikuwa tayari imeanza kukaa vizuri.

MONICAH naikumbuka vizuri siku ile umekuja chumbani kwangu ukiwa umeshikilia tangazo la nafasi za kusoma katika chuo kimoja cha kusomea maswala ya NURSING.
Vigezo na alama za ufaulu zilizokuwa zimetajwa zilikuwa zinaendana kabisa na alama za ufaulu wako wa masomo yako.Monicah nakumbuka siku yenyewe uliniomba ujalibu kuomba endapo watakubali uende ukasome na kunitaka mipango ya ndoa niiailishe.Nilikubali na na kufuata ushauri wako kwa sababu nilipenda pia kuona unakuwa mwanamke msomi kwangu.Mungu alikubaliki ulichaguliwa kwenda kusoma Nursing katika chuo kilichopo mjini.Masomo hayo yalikutaka usome kwa muda wa miaka miwili kisha uhitimu.Miaka miwili kwangu si haba kuvumilia nimpendae.Uliniambia na kuniahidi kuwa ukimaliza tu masomo yako utahakikisha ahadi yangu ya mimi kukuoa wewe inatimilika.Nilikubali japo moyoni mwangu wasi wasi kubwa ilikuwa endapo kama utakutana na wanaume huko mjini wakakuteka na kukuchukua kusha ukasaliti penzi langu itakuwaje.Nilimuachia mola haya yote nikiamini yeye Muweza wa yote ataweza kukulinda wewe na penzi letu.

Monica ulianza mwaka wa masomo mapenzi yakiwa moto moto bado mimi na wewe.Tuliwasiliana kila mara hukubadilika wala hukushusha hadhi ya penzi langu.Ilifikia kipindi nilijiuliza hivi huyu anasoma chuo ambacho huko mjini hakuna wavulana.Maana hukuonyesha dalili za kubadilika wala kunichoka na kunisaliti.Kwa bahati mbaya baba yako ambae ni mwenyekiti wetu wa kijiji aliugua ugonjwa wa kukohoa damu kutokana na kazi nzito za kilimo alizokuwa anafanya na pia uvutaji wa sigara nguvu zilimuisha akawa ni mtu wa nyumbani.Alikuwa hana kazi yoyote ya kuingiza kipato.Hapo ndipo hela ya kukusomesha wewe ilipoanza kukosekana sikuona shida kuingilia jukumu la kukusomesha wewe kupitia duka langu.Nakumbuka Monicah niliuza duka mpaka nikakosa mtaji wa kuliendeleza na hatimae kufilisika.Sikuona shida kufunga duka au kufilisika kwa sababu nilijua nasomesha mke wangu wa baadae.Nililudi kwenye shughuri za kilimo na umwagiliaji ili angalau niendelee kukutumia hela za wewe kujitunza na kusoma ili umalize masomo.Nilijituma saana wakati huo duka langu nikiwa nimefunga Mungu alinisaidia nilifanikiwa kuwa napata hela na kukutumia.

Miaka miwili ilitimia hatimae ulimaliza mafunzo yako ya Nursing.Ajira nazo zilikuwa nyuma yako.kutokana na upungufu wa wauguzi hasa maeneo ya kijijini.Serikari ilikupangia kazi katika kituo cha zahanati kilichopo kijijini kwetu.Hatimae ulilejea kijijini kwetu na kuanza kazi.
Nakumbuka nilikuomba sasa nikuoe japo sikuwa na kitu na duka nilikuwa nimefunga kazi pekee niliyokuwa nimebaki nayo ni kilimo cha umwagiliaji wa bustani huku nikisubiri mvua zije nilime.Monicah uliniomba kuwa nikuoe baada ya shughuri za mavuno kuisha ili kuokoa gharama za ununuzi wa chakula wakati wa harusi na badala yake tutatumia kile nilichovuna.Pia ulinipa sababu kuwa hiyo itakusaidia na wewe kuwa tayari umeizoea kazi na pia utakuwa na hela itakayoweza kuchangia katika harusi.Hakika yalikuwa mawazo ya busara na pia niliyachekecha kichwani mwangu na kuona kweli yanamantiki.

MONICAH namlaani sana kalani muhesabisha Sensa Mathias ambae alikuja kijijini kwetu na gari lake kwa ajili ya kufanya kazi ya kuhesabu sensa.Hakuwa na sehemu ya kufikia hivyo ilibidi afikie kwa baba yako akiwa kama mwenyekiti wa kijiji.Mlimpa hifadhi yeye pamoja na gari lake.
Monicah ni nini ulichotamani kutoka kwa kalani Mathias?.Au ni lile gari  alilokuja nalo pale kijijini kwetu?.Je au ni usomi wake kuliko mimi?.Pengine labda ni uvaaji wake nadhifu kuliko mimi.
Monicah uliingia kwenye mapenzi ma kalani yule na kunisahau kabisa mimi, Ulianza kubadilika na kuwa unanitukana na hali yangu duni ya kimaisha.Ukasahau kuwa ni wewe na kusoma kwako ndio kulinifanya nishuke hivi.Sikuwahi kupenda mwanamke mwingine labda ndiyo ilinifanya niteseke hivi.Ukasahau ahadi zote za mimi na wewe kuoana.Ukapenda kupanda gari na kunipita nyumbani kwetu ili niumie roho.Naikumbuka siku ile niliyopiga magoti mbele yako nikiomba uachane na karani kwa sababu nakupenda.Nayakumbuka maneno yako machafu uliyonitolea ukisema"Unanini cha kunipa wewe? Kwanza biologia inasema ukioana na mtu ambae sio msomi unazaa watoto ambao hawana akili darasani hivyo siwezi kuoana na wewe mimi nataka msomi ili nizae watoto wenye akili darasni sio watoto wa kushika jembe.Tena usinifuatilie mimi sio hadhi yako".
Maneno haya ninayakumbuka mpaka leo nikiwa hapa kitandani.Nakumbuka mate yako usoni uliyonitemea siku ile kuwa sina hadhi sikuweza kukufanya chochote kwa sababu moyoni ulikuwa bado unaishi.

Hatimae ile ahadi ya kukuoa iliamia kwa Kalani Mathias Siku ambayo nilinyanyua shingo yangu kwa mbaali na kukuona unavishwa pete ukiwa umependeza na gauni lako zuri jeupe.Nilimwangalia Mathias ambae sasa alikuwa amechukua ndoto yangu ya kukuvisha pete.Roho iliniuma sana nilianza kulia pale msibani.Jamaa zangu walinibembeleza na kuniambia kwa kejeri"Demu hasomeshwi utakuja jinyonga"
Taratibu niliondoka mpaka chumbani kwangu na kufikia kuanza kulia.Lililia kama mtoto mdogo huku nikigeuza shuka langu kama kitambaa cha kufutia machozi.Sauti za mziki harusini zilinifanya nizidi zaidi kudondosha machozi na kuwa kama mkuki uliouchoma moyo wangu

Hatimae harusi iliisha na ukachukuliwa kwenda kuishi mjini na Mathias.Alikuachisha kazi serikarini na kukutafutia kazi katika hospitali ya mtu binafsi huko mjini.Nilikaa siku tatu nikinywa uji na kulala bila kufanya chochote zaidi ya kulia.Hatimae siku ya nne niliamua kuufariji moyo na kuona kama yote ni mapito na niliamua kuendelea na shuguri zangu za shamba

ULIPITA mwaka mmoja.Nikiwa dukani kwangu tena ambako niliweza kulima na kulifufua duka sikuamini kukuona mbele ya macho yangu Monica mwanamke niliekupenda.Ulikuwanumependeza na kunenepa rangi yako nyeupe ilizidi kung'aa kwa maisha ya mjini.Nilipokutazama usoni ulikuwa unalia,Ghafla moyo wangu ulianza kuumia kukuona unalia.Ukweli ni kuwa japo uliolewa lakini moyoni mwangu ulikuwa bado unaishi NILIKUPENDA SANA na sikuwahi kupenda mwanamke mwingine.Nilikuchukua na tukakaa chini kuongea kilichokusibu.Uliniomba msamaha sana kwa ulionifanyia na kuniambia yule mwanaume sio mtu bali ni shetani kutokana na alivyokuwa anakutesa baada ya kukuchoka.Ukaniambia kuwa ni tabia ya yule mwanaume kuwa hutamani na kudanganyishia ndoa kwa mali na utajiri alionao kisha huwaacha wanawake pindi anapowachoka.Ulilia na kunitaka tuludiane na kusahau yale ya zamani.Nilikuonea huruma kwa chozi ulilotoa na hatimae nikajikuta tena nipo penzini na wewe.

SIKUJUA KAMA kufanya hivyo nilikuwa najichimbia kabuli langu mwenyewe.Miezi mitatu ilipita Monicah ulianza kuugua homa nzito iliyokufanya uanze kushuka uzito ghafla.Wazazi wako walikupeleka zahanati kwa ajili ya vipimo Maskini kumbe ulikuwa UMESHAATHIRIKA wazazi wako walificha siri na kusema kuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.Sikujua kama tayari na mimi vijidudu vimeanza kunishambulia haikupita mwezi hali ya kiafya kwangu ilianza kuwa mbaya nguvu ya kufanya kazi ilinipungua na hata mwili wangu ulianza kudhoofika.Wazazi wangu walinichukua nikiwa hoi kitandani na kunipeleka hospitali ili kupima na ndipo nilipogundua kuwa tayari UKIMWI ulikuwa umeshanitafuna.
Nilianza kulia sana nikiwa hospitari, Nilitamani sana nikuone ili nikuulize maswali niliyokuwa nayo kwanini umeamua kuniua?
Nililudishwa nyumbani nikiwa hoi kitandani macho yangu yameingia ndani mbavu zangu zinaonekana na kuhesabika.Niliomba nijikongoje nije nilale na wewe pembeni yako huku wote tukiwa hoi ili nikuulize maswali mengi niliyokuwa nayo lakini nilipoomba kuonana na wewe nililetewa taalifa ya kuwa nyumbani kwenu kuna msiba na tayari ulikuwa umefariki.

SAWA najua umetangulia na mimi ninafuata hivi karibuni.Hakuna sehemu nyingine tutakayokutana zaidi ya kuzimu kutokana na dhambi zetu.Nikifika huko naomba unijibu maswali yangu ambayo pia ninawauliza na hawa wanawake ninaowaacha hapa duniani hivi punde
👉Ni kwanini mnakuwa na tamaa ya mali na kutamani vitu ambavyo hamna uwezo navyo

👉🏻Ni kwanini sisi tusio na kitu mnatuona hatufai sana kwenye mapenzi pindi nyinyi mnapokuwa na kitu

👉Ni kwanini hamliziki na hali ya maisha yenu mliyonayo na kupenda kusaliti mapenzi ya dhati kwa tamaa ya vitu.

👉🏻Kwanini mnakuwaga na dharau sana kwa wanaume wenye maisha ya chini pindi nyinyi mnapokuwa na hadhi kidogo ya maisha?

Maswali haya naimani itabaki kuwa fundisho duniani na pia kokote niendako nikikuona nitakuuliza ewe monicah Muuaji wa roho yangu

FUNZO
* * * * * * * * * * * * * *
.....Usitamani kuwa na baiskeli ikiwa uwezo wako ni kutembea kwa miguu.
Usitamani pia kuwa na pikipiki ikiwa uwezo wako ni kutembea kwa baiskeli
Usitamani pia kuwa na gari ikiwa uwezo wako ni kutembea kwa pikipiki.Ki vyovyote vile kwenye maisha usitamani kitu chochote ambacho huna uwezo nacho maana huwezi jua madhara yake baadae.

Nataka nikufundishe kitu kimoja.Nafikili ulikuwaga unapewa sana hela ya kula shule hasa ulipokuwa shule ya msingi.Huenda mzazi wako alikuwa anakupa kila siku mia au miambili.Sasa basi huenda siku moja mgeni alikuja kwenu akakupa hela kubwa zaidi kama shilingi 5000 ya kutumia.Kwa haraka haraka ukiulizwa kati ya mzazi wako na mgeni nani aliekupa hela kubwa utajibu ni mgeni.
Lakini nataka nikuambie mzazi wako amekupa mia mia kila siku mpaka umefika darasa la 6 na mgeni kakupa elfu 5000 ya siku moja leo umemuona mgeni wa dhamani sana kuliko mzazi ni kwasababu umesahau vile vidogo vidogo wazazi walivyokutendea kwa kikubwa cha siku moja

Ninamaana hii.Monicah alisahau thamani ya kusomeshwa na mpenzi wake kwa thamani ya gari ya Mathias na wakati tukikusanya pesa zile kidogo kidogo alizokuwa akipewa na mpenzi wake mpaka kufikia hatua ya kumaliza chuo ni zaidi ya thamani ya ile gari ya Mathias.
OKY Wacha niishie hapo kutoa fundisho maana nahisi kuna mtu kama vile hanielewi hata niongee vipi......

KIFO CHANGU MWENYEWE (Simulizi fupi yenye mafunzo) ......Naikumbuka vema ile siku ya mimi na wewe kuanza ukaribu zaidi licha ya kuwa tulikuwa tunasoma wote kuanzia kidato cha kwanza. Monica hakika siwezi kuisahau siku hiyo ya graduation ya kumaliza kidato cha nne mimi na wewe pamoja na wanafunzi wenzetu.Siku ambayo nilikuomba tucheze pamoja nawe ukakubali na ndio ukawa mwanzo mzuri sana wa mimi na wewe kuingia kwenye mahusiano.Nilikuambia NAKUPENDA nawe ukakubali kuwa unanipenda japo ulitaka nisikusumbue kwa chochote mpaka tutakapomaliza mtihani wetu wa kidato cha tano Nilikubali na hata mimi nilitaka iwe ivyo kwa sababu wote tulikuwa katika kipindi cha mwisho. Hatimae lenye mwanzo halikosi mwisho mtihani wa kidato cha nne uliisha na sasa tukawa wanakijiji.Ni kweli japo tulikuwa hatuna kitu na tulikuwa bado tunategemea wazazi lakini mapenzi yetu yalikuwa ya dhati kabisa.Nilikupenda nawe ukanipenda na maisha yetu yale duni ya kijijini.Kwenu mlikuwa na uwezo kidogo sana na nakubuka baba yako alikuwa mwenyekiti wa kijiji na ni nyumba pekee iliyokuwa na solar pale kijijini japo ilikuwa ya nyasi. Maisha hayakuwa magumu katika familia zetu kwani kama ilivyokawaida sisi watu wa kijijini mara nyingi tunaishi kwa kutegemea ukulima na ufugaji hivyo kuhusu chakula kilikuwepo kwa wingi MIEZI ilienda huku mapenzi yetu yakiwa moto moto na kujikuta nimekukabidhi moyo wangu wote na sasa hatimae matokeo ya mtihaninwetu wa kidato cha nne yalitoka. Kwa bahati mbaya wote tulijikuta tumepata daraja la nne yaani division 4 japo katika point ulikuwa umenizidi maana mimi nilipata four mbaya sana na wewe ulipata ile ya kwanza kwanza. Sikuwa na kingine cha kufanya niliamua niungane na baba yangu katika shughuri za kilimo ili angharau nipate maisha niweze kukuoa kama nilivyokuahidi.Monicah ulifurahi sana kusikia nakuambia kuwa baada ya miaka miwili nikiweka mambo yangu sawa nitakuoa.Nilijituma katika kilimo na baba kupitia mashamba ya kwetu huku tukilima kwa ng'ombe. Mungu si athuman mwaka wangu wa kwanza wa kilimo niliweza kupata gunia 70 za mahindi na vigunia vichache vya maharage na karanga. Monicah ulikuwa mstari wa mbele katika kunitia moyo katika shughuri zangu.Ulinipoza kwa penzi tamu lililozidi kuozesha moyo wangu kwako.Nilijikuta nakupenda sana mwanamke wa ndoto zangu.Ulinipa ushauri kila mara ulionipa nguvu.Hatimae ukaniambia niuze hayo magunia baadhi kisha nifungue duka la bidhaa ndogo ndogo za nyumbani pale kijijini maana kijiji kizima hakuna aliekuwa na duka kubwa la kuweza kutoa bidhaa kwa wingi.Hakika hapo ndipo nilipoukubali ule msemo wa kuwa MBELE YA MAFANIKIO YA MWANAUME BASI KUNA MWANAMKE NYUMA YAKE.Hakika Monicah nilifungua duka na kuleta bidhaa kwa wingi.Duka ambalo nilifanikiwa kwa asilimia 100 katika mauzo.Hatimae siku zikaanza kusogea za ahadi ya mimi kukuoa na hata mipango ya hela ya mahali ilikuwa tayari imeanza kukaa vizuri. MONICAH naikumbuka vizuri siku ile umekuja chumbani kwangu ukiwa umeshikilia tangazo la nafasi za kusoma katika chuo kimoja cha kusomea maswala ya NURSING. Vigezo na alama za ufaulu zilizokuwa zimetajwa zilikuwa zinaendana kabisa na alama za ufaulu wako wa masomo yako.Monicah nakumbuka siku yenyewe uliniomba ujalibu kuomba endapo watakubali uende ukasome na kunitaka mipango ya ndoa niiailishe.Nilikubali na na kufuata ushauri wako kwa sababu nilipenda pia kuona unakuwa mwanamke msomi kwangu.Mungu alikubaliki ulichaguliwa kwenda kusoma Nursing katika chuo kilichopo mjini.Masomo hayo yalikutaka usome kwa muda wa miaka miwili kisha uhitimu.Miaka miwili kwangu si haba kuvumilia nimpendae.Uliniambia na kuniahidi kuwa ukimaliza tu masomo yako utahakikisha ahadi yangu ya mimi kukuoa wewe inatimilika.Nilikubali japo moyoni mwangu wasi wasi kubwa ilikuwa endapo kama utakutana na wanaume huko mjini wakakuteka na kukuchukua kusha ukasaliti penzi langu itakuwaje.Nilimuachia mola haya yote nikiamini yeye Muweza wa yote ataweza kukulinda wewe na penzi letu. Monica ulianza mwaka wa masomo mapenzi yakiwa moto moto bado mimi na wewe.Tuliwasiliana kila mara hukubadilika wala hukushusha hadhi ya penzi langu.Ilifikia kipindi nilijiuliza hivi huyu anasoma chuo ambacho huko mjini hakuna wavulana.Maana hukuonyesha dalili za kubadilika wala kunichoka na kunisaliti.Kwa bahati mbaya baba yako ambae ni mwenyekiti wetu wa kijiji aliugua ugonjwa wa kukohoa damu kutokana na kazi nzito za kilimo alizokuwa anafanya na pia uvutaji wa sigara nguvu zilimuisha akawa ni mtu wa nyumbani.Alikuwa hana kazi yoyote ya kuingiza kipato.Hapo ndipo hela ya kukusomesha wewe ilipoanza kukosekana sikuona shida kuingilia jukumu la kukusomesha wewe kupitia duka langu.Nakumbuka Monicah niliuza duka mpaka nikakosa mtaji wa kuliendeleza na hatimae kufilisika.Sikuona shida kufunga duka au kufilisika kwa sababu nilijua nasomesha mke wangu wa baadae.Nililudi kwenye shughuri za kilimo na umwagiliaji ili angalau niendelee kukutumia hela za wewe kujitunza na kusoma ili umalize masomo.Nilijituma saana wakati huo duka langu nikiwa nimefunga Mungu alinisaidia nilifanikiwa kuwa napata hela na kukutumia. Miaka miwili ilitimia hatimae ulimaliza mafunzo yako ya Nursing.Ajira nazo zilikuwa nyuma yako.kutokana na upungufu wa wauguzi hasa maeneo ya kijijini.Serikari ilikupangia kazi katika kituo cha zahanati kilichopo kijijini kwetu.Hatimae ulilejea kijijini kwetu na kuanza kazi. Nakumbuka nilikuomba sasa nikuoe japo sikuwa na kitu na duka nilikuwa nimefunga kazi pekee niliyokuwa nimebaki nayo ni kilimo cha umwagiliaji wa bustani huku nikisubiri mvua zije nilime.Monicah uliniomba kuwa nikuoe baada ya shughuri za mavuno kuisha ili kuokoa gharama za ununuzi wa chakula wakati wa harusi na badala yake tutatumia kile nilichovuna.Pia ulinipa sababu kuwa hiyo itakusaidia na wewe kuwa tayari umeizoea kazi na pia utakuwa na hela itakayoweza kuchangia katika harusi.Hakika yalikuwa mawazo ya busara na pia niliyachekecha kichwani mwangu na kuona kweli yanamantiki. MONICAH namlaani sana kalani muhesabisha Sensa Mathias ambae alikuja kijijini kwetu na gari lake kwa ajili ya kufanya kazi ya kuhesabu sensa.Hakuwa na sehemu ya kufikia hivyo ilibidi afikie kwa baba yako akiwa kama mwenyekiti wa kijiji.Mlimpa hifadhi yeye pamoja na gari lake. Monicah ni nini ulichotamani kutoka kwa kalani Mathias?.Au ni lile gari alilokuja nalo pale kijijini kwetu?.Je au ni usomi wake kuliko mimi?.Pengine labda ni uvaaji wake nadhifu kuliko mimi. Monicah uliingia kwenye mapenzi ma kalani yule na kunisahau kabisa mimi, Ulianza kubadilika na kuwa unanitukana na hali yangu duni ya kimaisha.Ukasahau kuwa ni wewe na kusoma kwako ndio kulinifanya nishuke hivi.Sikuwahi kupenda mwanamke mwingine labda ndiyo ilinifanya niteseke hivi.Ukasahau ahadi zote za mimi na wewe kuoana.Ukapenda kupanda gari na kunipita nyumbani kwetu ili niumie roho.Naikumbuka siku ile niliyopiga magoti mbele yako nikiomba uachane na karani kwa sababu nakupenda.Nayakumbuka maneno yako machafu uliyonitolea ukisema"Unanini cha kunipa wewe? Kwanza biologia inasema ukioana na mtu ambae sio msomi unazaa watoto ambao hawana akili darasani hivyo siwezi kuoana na wewe mimi nataka msomi ili nizae watoto wenye akili darasni sio watoto wa kushika jembe.Tena usinifuatilie mimi sio hadhi yako". Maneno haya ninayakumbuka mpaka leo nikiwa hapa kitandani.Nakumbuka mate yako usoni uliyonitemea siku ile kuwa sina hadhi sikuweza kukufanya chochote kwa sababu moyoni ulikuwa bado unaishi. Hatimae ile ahadi ya kukuoa iliamia kwa Kalani Mathias Siku ambayo nilinyanyua shingo yangu kwa mbaali na kukuona unavishwa pete ukiwa umependeza na gauni lako zuri jeupe.Nilimwangalia Mathias ambae sasa alikuwa amechukua ndoto yangu ya kukuvisha pete.Roho iliniuma sana nilianza kulia pale msibani.Jamaa zangu walinibembeleza na kuniambia kwa kejeri"Demu hasomeshwi utakuja jinyonga" Taratibu niliondoka mpaka chumbani kwangu na kufikia kuanza kulia.Lililia kama mtoto mdogo huku nikigeuza shuka langu kama kitambaa cha kufutia machozi.Sauti za mziki harusini zilinifanya nizidi zaidi kudondosha machozi na kuwa kama mkuki uliouchoma moyo wangu Hatimae harusi iliisha na ukachukuliwa kwenda kuishi mjini na Mathias.Alikuachisha kazi serikarini na kukutafutia kazi katika hospitali ya mtu binafsi huko mjini.Nilikaa siku tatu nikinywa uji na kulala bila kufanya chochote zaidi ya kulia.Hatimae siku ya nne niliamua kuufariji moyo na kuona kama yote ni mapito na niliamua kuendelea na shuguri zangu za shamba ULIPITA mwaka mmoja.Nikiwa dukani kwangu tena ambako niliweza kulima na kulifufua duka sikuamini kukuona mbele ya macho yangu Monica mwanamke niliekupenda.Ulikuwanumependeza na kunenepa rangi yako nyeupe ilizidi kung'aa kwa maisha ya mjini.Nilipokutazama usoni ulikuwa unalia,Ghafla moyo wangu ulianza kuumia kukuona unalia.Ukweli ni kuwa japo uliolewa lakini moyoni mwangu ulikuwa bado unaishi NILIKUPENDA SANA na sikuwahi kupenda mwanamke mwingine.Nilikuchukua na tukakaa chini kuongea kilichokusibu.Uliniomba msamaha sana kwa ulionifanyia na kuniambia yule mwanaume sio mtu bali ni shetani kutokana na alivyokuwa anakutesa baada ya kukuchoka.Ukaniambia kuwa ni tabia ya yule mwanaume kuwa hutamani na kudanganyishia ndoa kwa mali na utajiri alionao kisha huwaacha wanawake pindi anapowachoka.Ulilia na kunitaka tuludiane na kusahau yale ya zamani.Nilikuonea huruma kwa chozi ulilotoa na hatimae nikajikuta tena nipo penzini na wewe. SIKUJUA KAMA kufanya hivyo nilikuwa najichimbia kabuli langu mwenyewe.Miezi mitatu ilipita Monicah ulianza kuugua homa nzito iliyokufanya uanze kushuka uzito ghafla.Wazazi wako walikupeleka zahanati kwa ajili ya vipimo Maskini kumbe ulikuwa UMESHAATHIRIKA wazazi wako walificha siri na kusema kuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.Sikujua kama tayari na mimi vijidudu vimeanza kunishambulia haikupita mwezi hali ya kiafya kwangu ilianza kuwa mbaya nguvu ya kufanya kazi ilinipungua na hata mwili wangu ulianza kudhoofika.Wazazi wangu walinichukua nikiwa hoi kitandani na kunipeleka hospitali ili kupima na ndipo nilipogundua kuwa tayari UKIMWI ulikuwa umeshanitafuna. Nilianza kulia sana nikiwa hospitari, Nilitamani sana nikuone ili nikuulize maswali niliyokuwa nayo kwanini umeamua kuniua? Nililudishwa nyumbani nikiwa hoi kitandani macho yangu yameingia ndani mbavu zangu zinaonekana na kuhesabika.Niliomba nijikongoje nije nilale na wewe pembeni yako huku wote tukiwa hoi ili nikuulize maswali mengi niliyokuwa nayo lakini nilipoomba kuonana na wewe nililetewa taalifa ya kuwa nyumbani kwenu kuna msiba na tayari ulikuwa umefariki. SAWA najua umetangulia na mimi ninafuata hivi karibuni.Hakuna sehemu nyingine tutakayokutana zaidi ya kuzimu kutokana na dhambi zetu.Nikifika huko naomba unijibu maswali yangu ambayo pia ninawauliza na hawa wanawake ninaowaacha hapa duniani hivi punde 👉Ni kwanini mnakuwa na tamaa ya mali na kutamani vitu ambavyo hamna uwezo navyo 👉🏻Ni kwanini sisi tusio na kitu mnatuona hatufai sana kwenye mapenzi pindi nyinyi mnapokuwa na kitu 👉Ni kwanini hamliziki na hali ya maisha yenu mliyonayo na kupenda kusaliti mapenzi ya dhati kwa tamaa ya vitu. 👉🏻Kwanini mnakuwaga na dharau sana kwa wanaume wenye maisha ya chini pindi nyinyi mnapokuwa na hadhi kidogo ya maisha? Maswali haya naimani itabaki kuwa fundisho duniani na pia kokote niendako nikikuona nitakuuliza ewe monicah Muuaji wa roho yangu FUNZO * * * * * * * * * * * * * * .....Usitamani kuwa na baiskeli ikiwa uwezo wako ni kutembea kwa miguu. Usitamani pia kuwa na pikipiki ikiwa uwezo wako ni kutembea kwa baiskeli Usitamani pia kuwa na gari ikiwa uwezo wako ni kutembea kwa pikipiki.Ki vyovyote vile kwenye maisha usitamani kitu chochote ambacho huna uwezo nacho maana huwezi jua madhara yake baadae. Nataka nikufundishe kitu kimoja.Nafikili ulikuwaga unapewa sana hela ya kula shule hasa ulipokuwa shule ya msingi.Huenda mzazi wako alikuwa anakupa kila siku mia au miambili.Sasa basi huenda siku moja mgeni alikuja kwenu akakupa hela kubwa zaidi kama shilingi 5000 ya kutumia.Kwa haraka haraka ukiulizwa kati ya mzazi wako na mgeni nani aliekupa hela kubwa utajibu ni mgeni. Lakini nataka nikuambie mzazi wako amekupa mia mia kila siku mpaka umefika darasa la 6 na mgeni kakupa elfu 5000 ya siku moja leo umemuona mgeni wa dhamani sana kuliko mzazi ni kwasababu umesahau vile vidogo vidogo wazazi walivyokutendea kwa kikubwa cha siku moja Ninamaana hii.Monicah alisahau thamani ya kusomeshwa na mpenzi wake kwa thamani ya gari ya Mathias na wakati tukikusanya pesa zile kidogo kidogo alizokuwa akipewa na mpenzi wake mpaka kufikia hatua ya kumaliza chuo ni zaidi ya thamani ya ile gari ya Mathias. OKY Wacha niishie hapo kutoa fundisho maana nahisi kuna mtu kama vile hanielewi hata niongee vipi......

...
Special kwa Wanawake: Dalili za mwanaume anayekupenda kwa Dhati
ANAVYOKUTAZAMA
Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50.
Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda.
MIPANGO
Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango yake hasa ya muda mrefu. Mfano akitaka kununua kiwanja, kujenga nyumba atakuambia na pengine kutaka mchango wako wa hali na mali katika kulifanikisha hilo. Ukiona mwanaume anakuficha mambo yake, tambua kuwa huyo ana walakini kwenye penzi la dhati na la muda mrefu.
ATAONESHA HUZUNI
Katika maisha ya mapenzi kuna wakati wa kuhuzunika. Mwanaume mwenye upendo wa dhati atashirikiana nawe wakati wa huzuni na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa unapata furaha.
ATAKUAMINI
Dalili nyingine ya kupendwa na mwanaume ni kuaminiwa kwenye maisha kwa ujumla. Yaani mwanaume anayekupenda hatakuficha kitu, mfano pesa zake, atakupa uhuru kwenye simu yake na kukuamini katika usimamizi wa miradi yake.
ATAKUPA NAFASI
Ninapozungumzia nafasi nina maana atakukaribisha kwake bila hofu na kukupa nafasi ya kuingia na kutoka bila mipaka, atakupa nafasi ya kuweka vitu vyako kwenye kabati na kuruhusu nguo, picha na vitu vyako kuonekana wakati wote chumbani kwake.
UTAKUWA MWANAFAMILIA
Mwanaume aliyefikia chaguo la mwisho kwa mwanamke humshirikisha mpenzi wake kwenye masuala yake ya kifamilia, mfano atamwalika kwenye vikao vya harusi, kipaimara, atatoa nafasi ya kuambatana naye kuona wagonjwa, kusalimia ndugu na atakuwa huru kukutambulisha kwao.
ATAZUNGUMZA NAWE KUHUSU WATOTO
Kwa kuwa wanaume wengi hufikiria kuwa na familia, mwanaume anayekupenda atazungumza nawe mipango ya kupata watoto kwa kuwa atakuwa amekuchagua wewe kuwa mama wa wanaye na atapenda mazungumzo hayo.
ATAKUSAIDIA
Kwa kuwa kukwama ni sehemu ya maisha yetu, mwanaume anayekupenda atakuwa tayari kukusaidia unapokwama. Kila mara atahakikisha kuwa unakuwa na mafanikio na yeye atakuwa tayari kukupunguzia usumbufu wa maisha, kwa kukufuata kazini, kukusaidia baadhi ya mambo na hata ya nyumbani.
ATAJITOLEA
Ninaposema kujitolea ninamaanisha atakuwa tayari kufanya mambo yako na kuyaweka yake nyuma. Kwa mfano akiwa anapenda mpira na siku hiyo kuna mechi, lakini muda huo ukamwambia akufuate kwa mjomba wako atakuwa tayari kuacha furaha yake na kukujali wewe. Huyu ni mwanaume anayekupenda kwa dhati.
ATAAMBATANA NAWE
Wapenzi wengi wasiokuwa na mapenzi ya dhati huona aibu kuambatana na wapenzi wao kwenye mikusanyiko ya watu, lakini mwanaume anayekupenda atafurahia kutoka moyoni kuongozana nawe kwenye halaiki ya watu na kufurahia uwepo wako bila kuona aibu.
KAMA UMEIPENDA MADA NA KUKUSAIDIA, TUPIA BASI LIKE NIKUPAKULIE NYINGINE!!!!

Special kwa Wanawake: Dalili za mwanaume anayekupenda kwa Dhati ANAVYOKUTAZAMA Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50. Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda. MIPANGO Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango yake hasa ya muda mrefu. Mfano akitaka kununua kiwanja, kujenga nyumba atakuambia na pengine kutaka mchango wako wa hali na mali katika kulifanikisha hilo. Ukiona mwanaume anakuficha mambo yake, tambua kuwa huyo ana walakini kwenye penzi la dhati na la muda mrefu. ATAONESHA HUZUNI Katika maisha ya mapenzi kuna wakati wa kuhuzunika. Mwanaume mwenye upendo wa dhati atashirikiana nawe wakati wa huzuni na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa unapata furaha. ATAKUAMINI Dalili nyingine ya kupendwa na mwanaume ni kuaminiwa kwenye maisha kwa ujumla. Yaani mwanaume anayekupenda hatakuficha kitu, mfano pesa zake, atakupa uhuru kwenye simu yake na kukuamini katika usimamizi wa miradi yake. ATAKUPA NAFASI Ninapozungumzia nafasi nina maana atakukaribisha kwake bila hofu na kukupa nafasi ya kuingia na kutoka bila mipaka, atakupa nafasi ya kuweka vitu vyako kwenye kabati na kuruhusu nguo, picha na vitu vyako kuonekana wakati wote chumbani kwake. UTAKUWA MWANAFAMILIA Mwanaume aliyefikia chaguo la mwisho kwa mwanamke humshirikisha mpenzi wake kwenye masuala yake ya kifamilia, mfano atamwalika kwenye vikao vya harusi, kipaimara, atatoa nafasi ya kuambatana naye kuona wagonjwa, kusalimia ndugu na atakuwa huru kukutambulisha kwao. ATAZUNGUMZA NAWE KUHUSU WATOTO Kwa kuwa wanaume wengi hufikiria kuwa na familia, mwanaume anayekupenda atazungumza nawe mipango ya kupata watoto kwa kuwa atakuwa amekuchagua wewe kuwa mama wa wanaye na atapenda mazungumzo hayo. ATAKUSAIDIA Kwa kuwa kukwama ni sehemu ya maisha yetu, mwanaume anayekupenda atakuwa tayari kukusaidia unapokwama. Kila mara atahakikisha kuwa unakuwa na mafanikio na yeye atakuwa tayari kukupunguzia usumbufu wa maisha, kwa kukufuata kazini, kukusaidia baadhi ya mambo na hata ya nyumbani. ATAJITOLEA Ninaposema kujitolea ninamaanisha atakuwa tayari kufanya mambo yako na kuyaweka yake nyuma. Kwa mfano akiwa anapenda mpira na siku hiyo kuna mechi, lakini muda huo ukamwambia akufuate kwa mjomba wako atakuwa tayari kuacha furaha yake na kukujali wewe. Huyu ni mwanaume anayekupenda kwa dhati. ATAAMBATANA NAWE Wapenzi wengi wasiokuwa na mapenzi ya dhati huona aibu kuambatana na wapenzi wao kwenye mikusanyiko ya watu, lakini mwanaume anayekupenda atafurahia kutoka moyoni kuongozana nawe kwenye halaiki ya watu na kufurahia uwepo wako bila kuona aibu. KAMA UMEIPENDA MADA NA KUKUSAIDIA, TUPIA BASI LIKE NIKUPAKULIE NYINGINE!!!!

...

Hatua 5 za kuzungumza na mpenzi wako aliyekasirika Kwenye mapenzi kuna nyakati za kutofautiana, kukasirishana. Katika hali ya kawada kipindi hiki huwa ni za hatari kwa sababu husababisha nyufa kubwa za uhusiano na kulifanya penzi kukosa ladha. Sote tunajua, watu hupigana, huachana, hujeruhiana, hutukanana, hudhalilishana wakiwa na hasira. Hata hivyo si wote wanaojua wafanye nini wanapojikuta wameingia kwenye hatua hiyo mbaya. Msomaji wangu, hebu jaribu kukumbuka ugomvi mmoja uliotokea kati yako na mpenzi wako na ikiwezekana jikumbushe mlivyoanza! Utabaini kuwa mlianza kama utani na mkajikuta mmefura kwa hasira, mkatwangana makonde, mkatamkiana maneno makali ya kuudhi na pengine mkaamua kuachana. Yote hii ni kwa sababu mlikosa elimu ya mazungumzo. Ingekuwa mmoja wenu hasa yule aliyekuwa wa pili kukasirika anafahamu hatua za kuzungumza na mtu aliyekasirika angechukua jukumu la kutuliza machafuko na kuleta amani kwenye mapenzi. Tazama hatua tano za kuzungumza na mpenzi aliyekasirika. MPUNGUZE MHEMKO Hasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano. Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara za kutaka kumgeuza haraka haraka hawezi kumuelewa. Muhimu hapo ni kuacha kumwadama, kujibizana naye, kumshawishi asikilize badala yake mpe nafasi ya kusema atakavyo, abwate ajuavyo huku wewe ukimuitikia na kumkubalia lawama zake. “Basi mpenzi mwenye makosa ni mimi.” Kauli za aina hii zitampunguza hasira kwani atajiona msindi. MSOME SAIKOLOJIA YAKE Kwa kuwa unamfahamu mpenzi wako kwa kina itakuwa rahisi kwako kumtambua kuwa amepunguza hasira na kurudi katika hali yake ya kawaida. Ukisha fahamu hilo chukua jukumu la kumsoma kisaikojia ili kujua kama yuko kwenye hali nzuri ya kusikiliza yale uliyotaka kumwambia wakati alipokuwa na hasira. Zoezi hili linaweza kuchukua saa kadhaa na wakati mwingine hata siku mbili. Lengo ni nini? Ni kupata matokeo sahihi ya kuondoa chuki za mwenza wako na kumfundisha madhara ya kukasirika kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi. “J, nakupenda sana, lakini juzi uliniumiza, uliniambia mimi malaya kwa kosa ambalo sikufanya?” Bila shaka muda huo atakusikiliza zaidi kuliko ungebishana naye alipokuwa na hasira. MRUHUSU AKUJIBU Pamoja na kumsoma kisaikojia na kumwambia kinagaubaga makosa yake, usimzuie kujitetea, mpe nafasi ya kuzungumzia kilichomkasirisha. “Unaona bado unanitukana, sasa naamini siku ile ulikuwa umedhamilia.” Usisiseme hivyo, mwache ajibu hoja hata kama atakuwa anakukandamiza na kuzidi kujijengea ushindi. Mvumilie aoshe ubongo wake. EPUKA MARUMBANO Kama nilivyosema kwenye hapo juu, wapenzi wengine huwa wagumu kuelewa, ni watu wa kuficha udhaifu wao na kutopenda kuonekana wamekosea. Watu wa namna hii unapowarejeshea mazungumzo wanaweza kujikuta wanahamaki tena. “Kwa hiyo ulikuwa unasemaje…nilifanya ndiyo,… wewe unaamuaje?” Mkifika kwenye alama hiyo usikubali kurumabana naye mwache aseme halafu wewe ingia kwenye hatua ya tano. MUOMBE MSAMAHA Hata kama atakuwa yeye ndiye mwenye makosa na amekataa kukiri, usijali, chukua jukumu la kumuomba msamaha na kueleza tena nia yako ya kumazungumzo ilikuwa ni kuelewana si kugombana. Kumbuka hata kama amekiri kosa, bado unatakiwa kumuomba radhi kwa kurejea yaliyopita. “Mpenzi inawezekana nikawa nimekuudhi kwa niliyosema, nakuomba sana tusameheane.” Bila shaka kwa haya machache msomaji wangu utakuwa umejifunza na kuchukua hatua za kuzuia migogoro mikubwa inayotokana na hasira za mpenzi wako. Leo niishie hapa, nikushukuu kwa kunisoma. Kaa mkao wa kura, kile kitabu bora cha mapenzi nchini TITANIC, TOLEO LA NNE, kitakuwa mtaani hivi karibuni. Usikose nakala yako.

...
NI JINSI GANI UNAMWOMBA MPENZIO MSAMAHA, JE NI KWA KUMPA ZAWADI?
Msamaha una nafasi kubwa sana katika mapenzi. Hamna mtu aliyemkamilifu ndiyo maana neno samahani lipo. Ila neno hili linaweza kutumika sahihi au isiwe sahihi. Hivyo ni vizuri ukawa makini katika matumizi ya neno hili. Kuna baadhi ya watu hawawezi kabisa kutamka hilo neno na badala yake hutumia maneno yafuatayo (mbadala) kama ; yaishe,basi samahani,umeshinda,sorry(kama njia yakupunguza makali na wakati lugha iliyokua ikitumika ni kiswahili).
Jinsi yakutumia samahani kiusahihi
Unapotoa samahani kutoka katika kilindi cha moyo wako ina maana sana zaidi ya chochote. Samahani itumike tu pale unapotenda kosa moja kwa mara ya kwanza, hapo ni rahisi kusamehewa na kuaminiwa zaidi.Heshima, pendo na mapenzi yatakuwa kama awali na utaheshimika nakuonekana unajali.
Hakikisha hauombi samahani zaidi ya mara moja kwa kosa moja ndo mana wanasema, “kosa sio kosa ila ukirudia kosa ndio kosa’’. Kama ulikua haufahamu ni vizuri ujifunze na ikiwezekana rudisha kumbukumbu zako katika matukio yanayohitaji msamaha kwenda kwa mpenzi wako na ulinganishe na hatua ulizozifanya.
Kiri kosa ndiyo msamaha wako uweze kukubalika.Usiombe msamaha huku unasema lakinii…… ila……. Siamini kama haya yangetoa……… aina hizi za midokezo inapotumika katika kuomba msamaha ujue unataka kuonesha ulichokifanya sio kosa… Its simple, admit your mistake for the heartest forgiviness .Utapelekea upande wa pili (uliokosewa kukuamini tena na ni rahisi kusamehe na kusahau) tofauti na kuwa na maneno meeengi yakujitetea ilihali umetenda kosa.
Sasa nije kwenye suala la zawadi, Jamani zawadi isiwe ndiyo silaha ya kudai msamaha. Zawadi inatumika wakati wowote kuimarisha mapenzi kwa kuonesha unamjali mwenzi wako nakumfanya ahisi faraja wakati wote na uwepo wake katika maisha yako. Epuka tabia ya kutoa sana zawadi wakati unamplease mpenzi wako.Kwa wakati mwingine utamjengea fikra za kosa pindi tu unapomletea zawadi. Hivyo asiifurahie ile zawadi na badala yake atakua na shauku kufahamu msamaha wa siku hiyo ni wa kitu gani au umetenda kosa gani tena.
Wakati mwingine zawadi inapotumika katika kuomba msamaha itakua ni kama KUMBUKUMBU YA KOSA ulilomfanyia mwenzi wako, hivyo kumfanya akumbuke mara kwa mara kosa ulilolifanya. Kuwa makini sana katika njia za kuomba msamaha.
Njia nzuri ya kuomba msamaha na ukubaliwe kwa upesi
Kubali kosa pale ambapo umetenda,(note; Usikiri kosa kwa sababu tu unampenda na hutaki kumpoteza ,au hutaki malumbano. Ukifanya hivo ndo unaweza haribu uhusiano wako kabisa)
Badili mazingira ya maongezi yaani tofauti na eneo la nyumbani/mlilozoea kukaa
Omba msamaha wakati hasira zimepungua na ukiwa sio mlevi (hasa kwa wale wenye hasira au wanywaji wa pombe)
Usilazimishe kusamehewa ,yaani mwenzako anapokua haridhii tumia njia nyingine mfano kumshirikisha mtu wenu wa karibu saana (kwa wote wawili) ila hapa uwe makini kwa sababu sio wote wanapenda siri zao za uhusiano kujulikana na wengine.Hapa itategemea na jinsi mlivyo
Anayeomba msamaha ahakikishe sio mtu wa kukumbuka makosa ya mwenzie yaliyofanyika kipindi cha nyuma.Hapa na maanisha wale wenye tabia yakusamehe wenzao ila niwakukumbuka, endapo atakosewa kwa kitu kingine hata kwa bahati mbaya.Mfano akikosewa huwa ni mtu wakusema; ''hiyo ni kawaida yako'' that means anashikilia vitu moyoni.Itamuwia vigumu mwenzako kukubalia msamaha kwa urahisi, kutokana na tabia yakumshikilia bango kwa kumkumbusha yaliyopita endapo yeye atakukosea.
Ni vizuri kujitahidi katika kufanya mambo mazuri kwenye uhusiano wako.Usitegemee zawadi kuwa ni kitu kizuri katika kuomba msamaha. Timiza malengo yako,jiheshimu,kuwa mwaminifu na kumthamini mwenzio na kumpenda kwa dhati. Bila kusahau kusikilizana na kufanya maamuzi kwa pamoja.

NI JINSI GANI UNAMWOMBA MPENZIO MSAMAHA, JE NI KWA KUMPA ZAWADI? Msamaha una nafasi kubwa sana katika mapenzi. Hamna mtu aliyemkamilifu ndiyo maana neno samahani lipo. Ila neno hili linaweza kutumika sahihi au isiwe sahihi. Hivyo ni vizuri ukawa makini katika matumizi ya neno hili. Kuna baadhi ya watu hawawezi kabisa kutamka hilo neno na badala yake hutumia maneno yafuatayo (mbadala) kama ; yaishe,basi samahani,umeshinda,sorry(kama njia yakupunguza makali na wakati lugha iliyokua ikitumika ni kiswahili). Jinsi yakutumia samahani kiusahihi Unapotoa samahani kutoka katika kilindi cha moyo wako ina maana sana zaidi ya chochote. Samahani itumike tu pale unapotenda kosa moja kwa mara ya kwanza, hapo ni rahisi kusamehewa na kuaminiwa zaidi.Heshima, pendo na mapenzi yatakuwa kama awali na utaheshimika nakuonekana unajali. Hakikisha hauombi samahani zaidi ya mara moja kwa kosa moja ndo mana wanasema, “kosa sio kosa ila ukirudia kosa ndio kosa’’. Kama ulikua haufahamu ni vizuri ujifunze na ikiwezekana rudisha kumbukumbu zako katika matukio yanayohitaji msamaha kwenda kwa mpenzi wako na ulinganishe na hatua ulizozifanya. Kiri kosa ndiyo msamaha wako uweze kukubalika.Usiombe msamaha huku unasema lakinii…… ila……. Siamini kama haya yangetoa……… aina hizi za midokezo inapotumika katika kuomba msamaha ujue unataka kuonesha ulichokifanya sio kosa… Its simple, admit your mistake for the heartest forgiviness .Utapelekea upande wa pili (uliokosewa kukuamini tena na ni rahisi kusamehe na kusahau) tofauti na kuwa na maneno meeengi yakujitetea ilihali umetenda kosa. Sasa nije kwenye suala la zawadi, Jamani zawadi isiwe ndiyo silaha ya kudai msamaha. Zawadi inatumika wakati wowote kuimarisha mapenzi kwa kuonesha unamjali mwenzi wako nakumfanya ahisi faraja wakati wote na uwepo wake katika maisha yako. Epuka tabia ya kutoa sana zawadi wakati unamplease mpenzi wako.Kwa wakati mwingine utamjengea fikra za kosa pindi tu unapomletea zawadi. Hivyo asiifurahie ile zawadi na badala yake atakua na shauku kufahamu msamaha wa siku hiyo ni wa kitu gani au umetenda kosa gani tena. Wakati mwingine zawadi inapotumika katika kuomba msamaha itakua ni kama KUMBUKUMBU YA KOSA ulilomfanyia mwenzi wako, hivyo kumfanya akumbuke mara kwa mara kosa ulilolifanya. Kuwa makini sana katika njia za kuomba msamaha. Njia nzuri ya kuomba msamaha na ukubaliwe kwa upesi Kubali kosa pale ambapo umetenda,(note; Usikiri kosa kwa sababu tu unampenda na hutaki kumpoteza ,au hutaki malumbano. Ukifanya hivo ndo unaweza haribu uhusiano wako kabisa) Badili mazingira ya maongezi yaani tofauti na eneo la nyumbani/mlilozoea kukaa Omba msamaha wakati hasira zimepungua na ukiwa sio mlevi (hasa kwa wale wenye hasira au wanywaji wa pombe) Usilazimishe kusamehewa ,yaani mwenzako anapokua haridhii tumia njia nyingine mfano kumshirikisha mtu wenu wa karibu saana (kwa wote wawili) ila hapa uwe makini kwa sababu sio wote wanapenda siri zao za uhusiano kujulikana na wengine.Hapa itategemea na jinsi mlivyo Anayeomba msamaha ahakikishe sio mtu wa kukumbuka makosa ya mwenzie yaliyofanyika kipindi cha nyuma.Hapa na maanisha wale wenye tabia yakusamehe wenzao ila niwakukumbuka, endapo atakosewa kwa kitu kingine hata kwa bahati mbaya.Mfano akikosewa huwa ni mtu wakusema; ''hiyo ni kawaida yako'' that means anashikilia vitu moyoni.Itamuwia vigumu mwenzako kukubalia msamaha kwa urahisi, kutokana na tabia yakumshikilia bango kwa kumkumbusha yaliyopita endapo yeye atakukosea. Ni vizuri kujitahidi katika kufanya mambo mazuri kwenye uhusiano wako.Usitegemee zawadi kuwa ni kitu kizuri katika kuomba msamaha. Timiza malengo yako,jiheshimu,kuwa mwaminifu na kumthamini mwenzio na kumpenda kwa dhati. Bila kusahau kusikilizana na kufanya maamuzi kwa pamoja.

...
Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu!
*****
Tukae kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!
*****
Wewe kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear!
*****
Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!
*****
Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene!
****
Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear... SMS NZURI ZA KUOMBA MSAMAHA KWA UMPENDAYE.

Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu! ***** Tukae kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu! ***** Wewe kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear! ***** Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu! ***** Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene! **** Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear... SMS NZURI ZA KUOMBA MSAMAHA KWA UMPENDAYE.

...

Jinsi ya Kuomba Msamaha MACHAGUO YA UPAKUAJI Podikasti Makala Nyinginezo SOMA KATIKA Amkeni! | Septemba 2015 UNAWEZA KUWA NA FAMILIA YENYE FURAHA Fuata Mwongozo wa Mungu ili Uwe na Ndoa Yenye Furaha Kujiuliza maswali mawili rahisi kunaweza kuisaidia ndoa yako. AMKENI! Viwango Vinavyomfaa Kila Mtu, Nyakati Zote—Upendo Upendo unaotajwa mara nyingi katika Biblia si ule wa kimahaba au kimapenzi. HABARI NJEMA KUTOKA KWA MUNGU! Kanuni za Biblia Zinatunufaishaje? Yesu alieleza kwa nini tunahitaji mwongozo na ni kanuni gani mbili za Biblia zina umuhimu mkubwa. Kuwafundisha Watoto Unyenyekevu Je, Inafaa Kujihatarisha Kwa Kusudi la Kujisisimua? Watoto Wanapoondoka Nyumbani Umuhimu wa Kazi za Nyumbani Kuomba msamaha kunaweza kuzuia ugomvi CHANGAMOTO Muda mfupi tu uliopita wewe na mwenzi wako mmetoka kubishana. Kisha unajiambia hivi: ‘Sihitaji kumwomba msamaha. Kwa sababu si mimi niliyeanzisha ugomvi!’ Mmeacha kuzungumzia jambo hilo, lakini hali si shwari. Unafikiria kuomba msamaha lakini unaona huwezi kusema, “samahani.” KWA NINI HILO HUTUKIA Kiburi. “Wakati mwingine si rahisi kusema ‘samahani’ kwa sababu sitaki kujishushia heshima,” anakiri mume anayeitwa Charles. * Kiburi kinaweza kukufanya uone aibu kukubali kwamba umechangia tatizo. Mtazamo. Unaweza kuhisi kwamba kuomba msamaha kunahitajika tu pale unapokosea. Mke anayeitwa Jill anasema hivi: “Ni rahisi kwangu kusema ‘samahani’ ninapojua kwamba nimesababisha tatizo. Lakini, ikiwa sote tulisema mambo yasiyofaa, ni vigumu kufanya hivyo. Kwa nini niombe msamaha ikiwa sote tuna makosa?” Unaweza kujitetea ikiwa unahisi kwamba mwenzi wako ndiye mwenye makosa. “Unapoamini kabisa kwamba hujafanya kosa lolote, unaonyesha huna hatia kwa kukataa kuomba msamaha,” anasema mume anayeitwa Joseph. Malezi. Huenda ulilelewa katika familia ambayo halikuwa jambo la kawaida kuomba msamaha. Ikiwa ndivyo, huenda hukujifunza kukubali makosa yako. Kwa kuwa hukuzoea kufanya hivyo tangu utotoni, ni vigumu kwako kuomba msamaha ukiwa mtu mzima. MAMBO UNAYOWEZA KUFANYA Mfikirie mwenzi wako. Jaribu kukumbuka jinsi ulivyohisi vizuri ulipoombwa msamaha na mtu fulani. Kwa nini basi usimfanye mwenzi wako ahisi hivyo? Hata ikiwa huamini kwamba ulikosea, unaweza kuomba msamaha kwa ajili ya maumivu ambayo mwenzi wako amepata au kwa sababu ya usumbufu wowote uliotokana na matendo yako. Maneno hayo yanaweza kumsaidia mwenzi wako ahisi vizuri.— Kanuni ya Biblia: Luka 6:31 . Zingatia ndoa yako. Ona kuomba msamaha kuwa ushindi katika ndoa yako na si kushindwa. Zaidi ya yote, mtu anayeendelea kukasirika ni “mgumu kuliko mji wenye nguvu,” inasema Methali 18:19 . Inaweza kuwa vigumu kurudisha amani katika hali hiyo. Pia, unapoomba msamaha unazuia kosa kuwa kikwazo. Ukifanya hivyo, unatanguliza ndoa yako badala ya hisia zako.— Kanuni ya Biblia: Wafilipi 2:3 . Uwe mwepesi kuomba msamaha. Ni kweli kwamba ni vigumu kuomba msamaha ikiwa hujakosea. Lakini makosa ya mwenzi wako hayapaswi kuwa kisingizio cha kuendelea kuwa na tabia mbaya. Hivyo, usisite kuomba msamaha ukifikiri kwamba muda ukipita kosa hilo litasahaulika. Unapoomba msamaha unafanya iwe rahisi pia kwa mwenzi wako kuomba msamaha. Na kadiri unavyoomba msamaha ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kufanya hivyo tena wakati mwingine.— Kanuni ya Biblia: Mathayo 5:25 . Onyesha kwamba unajali hisia za mwenzi wako. Kutetea kosa lako si sawa na kuomba msamaha. Kusema kwa kejeli, “samahani kwa kuwa naona unakwazika haraka kwa sababu ya jambo hili,” si njia ya kuomba msamaha hata kidogo! Kubali makosa yako na utambue kwamba umemuumiza mwenzi wako, hata kama unaona hakuwa na sababu ya kukwazika. Tambua ukweli. Kubali kwamba utafanya makosa. Kwa kweli, kila mtu hukosea! Hata kama unafikiri huna hatia, tambua kwamba kuna uwezekano umechangia jambo hilo. Biblia inasema hivi: “Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu, mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.” ( Methali 18:17 ) Itakuwa rahisi kwako kuomba msamaha ikiwa una maoni yaliyosawazika kuhusu mapungufu yako

...
MKASA WA KUSISIMUA: HUYU NDIYE "MAMA WA KUIGWA".
inasikitisha sana
Rahema alifika nyumbani mbio mbio na kumkuta mama yake aliyekua migombani akipalilia viazi vyake, "Mamaaa, hodi hodi humu nyumbani" aliita Rehema, "Naaaam, karibu nan jirani?" aliuliza mama yake Rehema, "Ni mimi mwanao Rehema mama" alijibu Rehema. Mama aliacha shughuli zake shamban na kurudi haraka, alimkuta mwanawe kaja nyumbani kutoka mjini anakoishi na mmewe ila cha ajabu kaja kidharura katika hali inayoonesha hayupo sawa yani atokako hali si shwari.
"Haya nieleze mwanangu nini kimekusibu waja mbio mbio kwangu kwa dharura kama kasuku"aliuliza mama Rehema," Dah ndoa imenishinda mama nimechoka mwanaume hashikiki nimeamua kurudi nimechoka visa mimi bora nikae nyumbani mama "alieleza Rehema. Mama yake alimuangalia namna alivyokua kavaa kikahaba akamwambia," Mwanangu kwa nini unanidhalilisha hivi, mmeo alivokuja kukuoa kijijini alikuchukua ukiwa na tabia njema na maadili mema, nani amekubadilisha namna hii huko mjini, hebu tizama hata mavazi uliyovaa yasivyo na staha "Rehema alitaka kujitetea," Ndio mavazi ya mjini mama mume ananionea tu sijabadilika"aliongeza.
Mama yake akamwambia, "Tulipata habari kuhusu ndoa yako, mmeo alitupigia simu zaidi ya mara 7 katika nyakati tofauti tofauti akitueleza kuwa umebadilika sana hushikiki tena umeungana na makundi ya mashangingi, unashinda kwenye masalun unazurura mji mzima katika mabaa na gesti unagawa unyumba humheshimu tena, leo ndio tulikua twapanga kukaa kikao kuzungumzia tena suala lako sasa nashangaa mbio mbio umerudi kulikoni??! "
"Hapana mama ananisingizia, mme kajaa wivu yule" alijitetea Rehema huku akiigiza kulia, ghafla mama yake alipokea simu, alikua ni mume wa Rehema 
anapiga mama akapokea, "Mama sijui nikwambieje ila hakika mwanao sijui ana mapepo gani, yaani leo amenitia aibu ambayo sitokaa niisahau, kafumaniwa na mme wa mtu gesti kakimbia anasakwa mji mzima na vijana ndugu wa mke mwenye mume, mimi pia nimemtafuta sijamuona ndio nmetoka kuripoti polisi".
Mama alistaajabu sana kumbe Rehema alifikia hatua ya kutembea na waume za watu, "Pole sana mkwe wangu usijali amini yupo salama tutafanya juu chini arudi nyumbani kesho mimi na baba yake tutakuja huko kumpa kiapo cha mwisho" Mama Rehema alijibu, "Haya mama nashukuru sana ila kiukweli Rehema nampenda sana nisingependa kumuacha chondechonde mje mnisaidie kumfunda upya atulie" Mume wa Rehema alijibu.
Baada ya kukata simu mama Rehema alimgeukia mwanaye kwa hasira akamtandika vibao kama 7 vizito, akamwambia, "Mshenzi sana mtoto wewe, unapata mwanaume anaekupenda kweli alafu unaleta nyodo na mashauzi, hivi umesahau alipokutoa kijijini umepauka kama kiroba cha korosho? Pamoja na umaskini wako na elimu ya la 7 akakuridhia leo wamdharau? Hivi unafikiri yeye alikua mwehu kukuhudumia unapendeza ndio uwape penzi wa nje? Huo uzuri wako nani angeuona kama sio matunzo yake, Mwanangu Chunguza kabla ya kuamua, waza kabla ya kutenda, uzuri wako utakufanya uringe na upate mwanaume unaemhitaji ila tabia yako ndio itakayoamua ni kwa muda gani huyo mwanaume atakua na wewe. Uzuri huvutia kila mwanaume, ila tabia ndio itakufanya udumu katika ndoa . Upendeleo hudanganya na uzuri ni batili...bali mwanamke amchae Mungu ndiye atakayesifiwa
Nakushauri rudi kamuombe mmeo msamaha tulia nae thamini upendo wake, hakika kama ameweza kukuvumilia mauchuro yote hayo uliyomtendea basi tambua hata ukiachana nae hutokaa umpate mwanaume mwenye mapenzi ya kweli na moyo wa huruma na uvumilivu kama yeye, rudi kwako haraka kesho mimi na baba yako tutakuja huko mjini mnapokaa kuweka mambo sawa, shenzi sana wewe"mama Rehema alimaliza akaokota fimbo akamcharaza kama 15 za fasta miguuni zikaingia kweli kweli maana Rehema alikuwa kavaa kimini, "Na ukiharibu siku nyingine usikanyage hapa nje kwangu ntakuvunja miguu fisi wewe huna adabu" Mama Rehema alimfukuza huku akimuonya kwa ukali. Rehema alikimbia kwa aibu akilia ndala mkononi.
Funzo 😑
Ni wanawake wangapi wamesahau waume zao walipowatoa saivi wanajiona wazuri wanaleta nyodo na kuona waume zao sio wa hadhi yao wanawadharau na kuwasaliti kama Rehema?
Je! Wewe unaesoma mkasa huu ni mwanamke wa aina gani kwa mmeo, unathamini upendo wake au unachukulia kama udhaifu wake na kumsaliti kama Rehema?
Je! Wewe ni mshauri na mkufunzi wa aina gani au ndio mtetea maovu, jiulize ingekuaje kama mama Rehema angemtetea mwanae badala ya kumkemea na kumuadhibu
Ni wamama wangapi wana ujasiri wa mama yake Rehema, kusimamia ukweli kukemea maovu ya watoto wao katika jamii?
Ni wanaume wangapi wenye mapenzi ya kweli kama mume wa Rehema 
wenye uwezo wa kumvumilia mke hata katika maswahiba makubwa na kuwa tayari kusamehe?
Tafadhali kama umeupenda mkasa huu toa japo neno moja la pongezi kwa MAMA YAKE REHEMA kwa ujasiri na msimamo alioonyesha kukemea maovu ya mwanae Rehema kisha SHARE post hii iwafikie wamama wote katika jamii.

MKASA WA KUSISIMUA: HUYU NDIYE "MAMA WA KUIGWA". inasikitisha sana Rahema alifika nyumbani mbio mbio na kumkuta mama yake aliyekua migombani akipalilia viazi vyake, "Mamaaa, hodi hodi humu nyumbani" aliita Rehema, "Naaaam, karibu nan jirani?" aliuliza mama yake Rehema, "Ni mimi mwanao Rehema mama" alijibu Rehema. Mama aliacha shughuli zake shamban na kurudi haraka, alimkuta mwanawe kaja nyumbani kutoka mjini anakoishi na mmewe ila cha ajabu kaja kidharura katika hali inayoonesha hayupo sawa yani atokako hali si shwari. "Haya nieleze mwanangu nini kimekusibu waja mbio mbio kwangu kwa dharura kama kasuku"aliuliza mama Rehema," Dah ndoa imenishinda mama nimechoka mwanaume hashikiki nimeamua kurudi nimechoka visa mimi bora nikae nyumbani mama "alieleza Rehema. Mama yake alimuangalia namna alivyokua kavaa kikahaba akamwambia," Mwanangu kwa nini unanidhalilisha hivi, mmeo alivokuja kukuoa kijijini alikuchukua ukiwa na tabia njema na maadili mema, nani amekubadilisha namna hii huko mjini, hebu tizama hata mavazi uliyovaa yasivyo na staha "Rehema alitaka kujitetea," Ndio mavazi ya mjini mama mume ananionea tu sijabadilika"aliongeza. Mama yake akamwambia, "Tulipata habari kuhusu ndoa yako, mmeo alitupigia simu zaidi ya mara 7 katika nyakati tofauti tofauti akitueleza kuwa umebadilika sana hushikiki tena umeungana na makundi ya mashangingi, unashinda kwenye masalun unazurura mji mzima katika mabaa na gesti unagawa unyumba humheshimu tena, leo ndio tulikua twapanga kukaa kikao kuzungumzia tena suala lako sasa nashangaa mbio mbio umerudi kulikoni??! " "Hapana mama ananisingizia, mme kajaa wivu yule" alijitetea Rehema huku akiigiza kulia, ghafla mama yake alipokea simu, alikua ni mume wa Rehema anapiga mama akapokea, "Mama sijui nikwambieje ila hakika mwanao sijui ana mapepo gani, yaani leo amenitia aibu ambayo sitokaa niisahau, kafumaniwa na mme wa mtu gesti kakimbia anasakwa mji mzima na vijana ndugu wa mke mwenye mume, mimi pia nimemtafuta sijamuona ndio nmetoka kuripoti polisi". Mama alistaajabu sana kumbe Rehema alifikia hatua ya kutembea na waume za watu, "Pole sana mkwe wangu usijali amini yupo salama tutafanya juu chini arudi nyumbani kesho mimi na baba yake tutakuja huko kumpa kiapo cha mwisho" Mama Rehema alijibu, "Haya mama nashukuru sana ila kiukweli Rehema nampenda sana nisingependa kumuacha chondechonde mje mnisaidie kumfunda upya atulie" Mume wa Rehema alijibu. Baada ya kukata simu mama Rehema alimgeukia mwanaye kwa hasira akamtandika vibao kama 7 vizito, akamwambia, "Mshenzi sana mtoto wewe, unapata mwanaume anaekupenda kweli alafu unaleta nyodo na mashauzi, hivi umesahau alipokutoa kijijini umepauka kama kiroba cha korosho? Pamoja na umaskini wako na elimu ya la 7 akakuridhia leo wamdharau? Hivi unafikiri yeye alikua mwehu kukuhudumia unapendeza ndio uwape penzi wa nje? Huo uzuri wako nani angeuona kama sio matunzo yake, Mwanangu Chunguza kabla ya kuamua, waza kabla ya kutenda, uzuri wako utakufanya uringe na upate mwanaume unaemhitaji ila tabia yako ndio itakayoamua ni kwa muda gani huyo mwanaume atakua na wewe. Uzuri huvutia kila mwanaume, ila tabia ndio itakufanya udumu katika ndoa . Upendeleo hudanganya na uzuri ni batili...bali mwanamke amchae Mungu ndiye atakayesifiwa Nakushauri rudi kamuombe mmeo msamaha tulia nae thamini upendo wake, hakika kama ameweza kukuvumilia mauchuro yote hayo uliyomtendea basi tambua hata ukiachana nae hutokaa umpate mwanaume mwenye mapenzi ya kweli na moyo wa huruma na uvumilivu kama yeye, rudi kwako haraka kesho mimi na baba yako tutakuja huko mjini mnapokaa kuweka mambo sawa, shenzi sana wewe"mama Rehema alimaliza akaokota fimbo akamcharaza kama 15 za fasta miguuni zikaingia kweli kweli maana Rehema alikuwa kavaa kimini, "Na ukiharibu siku nyingine usikanyage hapa nje kwangu ntakuvunja miguu fisi wewe huna adabu" Mama Rehema alimfukuza huku akimuonya kwa ukali. Rehema alikimbia kwa aibu akilia ndala mkononi. Funzo 😑 Ni wanawake wangapi wamesahau waume zao walipowatoa saivi wanajiona wazuri wanaleta nyodo na kuona waume zao sio wa hadhi yao wanawadharau na kuwasaliti kama Rehema? Je! Wewe unaesoma mkasa huu ni mwanamke wa aina gani kwa mmeo, unathamini upendo wake au unachukulia kama udhaifu wake na kumsaliti kama Rehema? Je! Wewe ni mshauri na mkufunzi wa aina gani au ndio mtetea maovu, jiulize ingekuaje kama mama Rehema angemtetea mwanae badala ya kumkemea na kumuadhibu Ni wamama wangapi wana ujasiri wa mama yake Rehema, kusimamia ukweli kukemea maovu ya watoto wao katika jamii? Ni wanaume wangapi wenye mapenzi ya kweli kama mume wa Rehema wenye uwezo wa kumvumilia mke hata katika maswahiba makubwa na kuwa tayari kusamehe? Tafadhali kama umeupenda mkasa huu toa japo neno moja la pongezi kwa MAMA YAKE REHEMA kwa ujasiri na msimamo alioonyesha kukemea maovu ya mwanae Rehema kisha SHARE post hii iwafikie wamama wote katika jamii.

...
JAMANI BABA
Sehemu 15
ILIPOISHIA:
“Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku
akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka
Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . ..
“U .. .u .. .uta .. .a .. .nza li .. .li ?”
Maneno hayo ya Masilinde yalimshtua mama
Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama
ndani. ..
SASA JIACHIE MWENYEWE .. .
“Haa! Mume wangu jamani ?!” alisema kwa
mshtuko mama Mwaija na kupiga mwereka .
Hakuamini macho yake kwani alimkuta mumewe
akiwa uwanjani kabisa na akicheza mechi
sawasawa. ..
“Mwaija ,” aliita Masilinde akitoka uwanjani .
“Baba , mama kafa. ..mama kafa,” alisema Mwaija
huku akitoka kitandani na kuanza kulia kwa
sauti.. .
“Nyamaza Mwaija , mama hajafa , amepoteza
fahamu tu na ataamka muda mfupi ujao, ”
alisema Masilinde akiwahi kumziba kinywa ili
asiendelee kulia.
“Kweli baba mama hajafa?” Mwaija alimwuliza
Masilinde baada ya mzee huyo mkware kutoa
mkono kinywani mwake . “Mwaija naomba
yaamini maneno yangu , mama yako hajafa!”
Masilinde alimwambia Mwaija .
“Kama hajafa itakuwa afadhali, ila sijui
nitamwambia kitu gani anielewe baada ya
kutufumania,” Mwaija alimwambia Masilinde
ambaye alimweleza asiwe na wasiwasi kwa hilo .
Kwa mbali , mama Mwaija alichezesha mguu wa
kulia kisha akakohoa, kidogo Mwaija akapata
amani ya moyo ...
“Lakini baba unadhani mama akiinuka atanifanya
nini mimi?”
“Usiwe na wasiwasi Mwaija, nitazungumza naye,
atakuelewa tu.”
“Mh ! Ataniua , mi namjua vizuri mama. ”
“Hawezi kukuua Mwaija, hata mimi namjua
vizuri mke wangu. ”
Wakati wote huo , si Mwaija wala Masilinde
aliyekuwa amevaa nguo. Hakuna aliyekumbuka
kwamba walikuwa kama walivyozaliwa. Mama
Mwaija alifumbua macho , akaangaza kulia ,
kushoto na kujishangaa. Aliinuka na kukaa kwa
muda kisha macho yake yakatua kwa Mwaija ...
“Mwaija mwanangu ,” aliita mwanamke huyo na
kuanza kulia huku akiendelea kusema ...
“Nimekukosea nini mimi mama yako mpaka
kunitenda vile mwanangu jamani ?”
“Mama nisamehe... ”
“Nikusemehe nini Mwaija , hukujua kama huyu ni
baba yako ? Hata kama hajakuzaa lakini ni baba
yako maana ni mume wa mama yako. ”“ Mke
wangu ungesimama kwanza twende chumbani
kwetu,” alisema Masilinde. ..
“Sitaki , kwanza naomba unipe talaka yangu.
Unatembea na mwanao Masilinde?”
“Twende tukaongee sasa mke wangu. ”
“Nimesema sitaki .”
“Mama msikilize baba, ” alisema Mwaija ...
“Mwaija tulia. ..kwanza nataka kukuuliza,
umeshatembea na baba yako hii leo mara ya
ngapi?”
“Ni leo tu mama.”
“Siyo kweli. Naanza kuhisi hata kule gesti
mlikuwa wote . Yule mwanaume wa gesti ni
wewe Masilinde.”
“Si mimi mke wangu. ”
“Ni wewe bwana, unabisha nini ? Huyu binti ni
mgeni kabisa mtaani, kusema amepata
mwanaume mara hii, mimi nakataa.”
Masilinde alibaki kimya. Aliona kimenuka. Alianza
kujutia kitendo chake cha kutembea na binti yake
huyo hali akijua ni mtoto wa mke wake .. .
“Masilinde,” aliita mama Mwaija.
“Naam.”
“Nini kimekuvutia kwa mtoto wako ? Hilo umbo au
uzuri wa sura ?”
Masilinde kimya!
“Nijibu Masilinde!”
“Ushetani tu mke wangu. ”
“Kwa hiyo shetani wako wewe ni mpaka kwa
mtoto wako ?”
“Ni bahati mbaya mke wangu .”
“Mh ! Mimi nataka talaka yangu... we unadhani
mimi nitaishi vipi na mwanangu kwenye nyumba
hii wakati umeshalala naye ?”
“Nitafanya kitu mke wangu .”
“Kitu cha ?”
“Kitu cha kukufanya uishi na amani.”
“Kitu gani ?”
“Nitampangia chumba huyu Mwaija nje ya hapa
nyumbani.”
“Ili upate nafasi ya kwenda kila siku kwake, si
ndiyo?”
“Sina maana hiyo.”
“Maana yako ni ipi Masilinde?”
Mara, mlango uligongwa, mzee mmoja anaitwa
Kimanama aliingia .. .
“Karibu mzee wangu ,” alikaribisha Masilinde
kutokea chumbani, akatoka na yeye kwenda
sebuleni.. .
“Bwana mi sikai, nina shida kidogo ,” alisema
mzee Kimanama huku akikaa japokuwa alisema
hakai. .!
“Nakusikiliza, ila hata mimi nafurahi umekuja
mzee wangu. Kuna tatizo hapa ... ”
“Lipi tena ?”
“Aaah ! Mke wangu amenifumania,” alisema
Masilinde bila woga , akili haikuwa yake. Moyoni
hakuwa tayari kumpoteza mama Mwaija ...
“Mke wako amekufumania ?”
“Ndiyo.”
“Na nani?”
“Na mtoto wake !”
“Na mtoto wake ?”
“Ndiyo.”
“Ambaye si wa kumzaa wewe?”
“Si wa kumzaa mimi. Nimemkuta naye .”
“Sasa ?”
“Anadai talaka, yuko ndani chumbani.”
“Hebu mwite. ”
Masilinde alikwenda kumwita mkewe , akamwita
na Mwaija , wote wakajaa sebuleni ...
“Mama pole sana ,” mzee Kimanama alimwambia
mama Mwaija .
“Asante , ila mimi nataka talaka yangu tu kama
amekwambia kuhusu kumfumania na
mwanangu. ”
“Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu ,
mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa
mzee Bakari na yule mzee wa genge la
mwembeni, ulimwambia mumeo ?”itaendeleaa

JAMANI BABA Sehemu 15 ILIPOISHIA: “Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . .. “U .. .u .. .uta .. .a .. .nza li .. .li ?” Maneno hayo ya Masilinde yalimshtua mama Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama ndani. .. SASA JIACHIE MWENYEWE .. . “Haa! Mume wangu jamani ?!” alisema kwa mshtuko mama Mwaija na kupiga mwereka . Hakuamini macho yake kwani alimkuta mumewe akiwa uwanjani kabisa na akicheza mechi sawasawa. .. “Mwaija ,” aliita Masilinde akitoka uwanjani . “Baba , mama kafa. ..mama kafa,” alisema Mwaija huku akitoka kitandani na kuanza kulia kwa sauti.. . “Nyamaza Mwaija , mama hajafa , amepoteza fahamu tu na ataamka muda mfupi ujao, ” alisema Masilinde akiwahi kumziba kinywa ili asiendelee kulia. “Kweli baba mama hajafa?” Mwaija alimwuliza Masilinde baada ya mzee huyo mkware kutoa mkono kinywani mwake . “Mwaija naomba yaamini maneno yangu , mama yako hajafa!” Masilinde alimwambia Mwaija . “Kama hajafa itakuwa afadhali, ila sijui nitamwambia kitu gani anielewe baada ya kutufumania,” Mwaija alimwambia Masilinde ambaye alimweleza asiwe na wasiwasi kwa hilo . Kwa mbali , mama Mwaija alichezesha mguu wa kulia kisha akakohoa, kidogo Mwaija akapata amani ya moyo ... “Lakini baba unadhani mama akiinuka atanifanya nini mimi?” “Usiwe na wasiwasi Mwaija, nitazungumza naye, atakuelewa tu.” “Mh ! Ataniua , mi namjua vizuri mama. ” “Hawezi kukuua Mwaija, hata mimi namjua vizuri mke wangu. ” Wakati wote huo , si Mwaija wala Masilinde aliyekuwa amevaa nguo. Hakuna aliyekumbuka kwamba walikuwa kama walivyozaliwa. Mama Mwaija alifumbua macho , akaangaza kulia , kushoto na kujishangaa. Aliinuka na kukaa kwa muda kisha macho yake yakatua kwa Mwaija ... “Mwaija mwanangu ,” aliita mwanamke huyo na kuanza kulia huku akiendelea kusema ... “Nimekukosea nini mimi mama yako mpaka kunitenda vile mwanangu jamani ?” “Mama nisamehe... ” “Nikusemehe nini Mwaija , hukujua kama huyu ni baba yako ? Hata kama hajakuzaa lakini ni baba yako maana ni mume wa mama yako. ”“ Mke wangu ungesimama kwanza twende chumbani kwetu,” alisema Masilinde. .. “Sitaki , kwanza naomba unipe talaka yangu. Unatembea na mwanao Masilinde?” “Twende tukaongee sasa mke wangu. ” “Nimesema sitaki .” “Mama msikilize baba, ” alisema Mwaija ... “Mwaija tulia. ..kwanza nataka kukuuliza, umeshatembea na baba yako hii leo mara ya ngapi?” “Ni leo tu mama.” “Siyo kweli. Naanza kuhisi hata kule gesti mlikuwa wote . Yule mwanaume wa gesti ni wewe Masilinde.” “Si mimi mke wangu. ” “Ni wewe bwana, unabisha nini ? Huyu binti ni mgeni kabisa mtaani, kusema amepata mwanaume mara hii, mimi nakataa.” Masilinde alibaki kimya. Aliona kimenuka. Alianza kujutia kitendo chake cha kutembea na binti yake huyo hali akijua ni mtoto wa mke wake .. . “Masilinde,” aliita mama Mwaija. “Naam.” “Nini kimekuvutia kwa mtoto wako ? Hilo umbo au uzuri wa sura ?” Masilinde kimya! “Nijibu Masilinde!” “Ushetani tu mke wangu. ” “Kwa hiyo shetani wako wewe ni mpaka kwa mtoto wako ?” “Ni bahati mbaya mke wangu .” “Mh ! Mimi nataka talaka yangu... we unadhani mimi nitaishi vipi na mwanangu kwenye nyumba hii wakati umeshalala naye ?” “Nitafanya kitu mke wangu .” “Kitu cha ?” “Kitu cha kukufanya uishi na amani.” “Kitu gani ?” “Nitampangia chumba huyu Mwaija nje ya hapa nyumbani.” “Ili upate nafasi ya kwenda kila siku kwake, si ndiyo?” “Sina maana hiyo.” “Maana yako ni ipi Masilinde?” Mara, mlango uligongwa, mzee mmoja anaitwa Kimanama aliingia .. . “Karibu mzee wangu ,” alikaribisha Masilinde kutokea chumbani, akatoka na yeye kwenda sebuleni.. . “Bwana mi sikai, nina shida kidogo ,” alisema mzee Kimanama huku akikaa japokuwa alisema hakai. .! “Nakusikiliza, ila hata mimi nafurahi umekuja mzee wangu. Kuna tatizo hapa ... ” “Lipi tena ?” “Aaah ! Mke wangu amenifumania,” alisema Masilinde bila woga , akili haikuwa yake. Moyoni hakuwa tayari kumpoteza mama Mwaija ... “Mke wako amekufumania ?” “Ndiyo.” “Na nani?” “Na mtoto wake !” “Na mtoto wake ?” “Ndiyo.” “Ambaye si wa kumzaa wewe?” “Si wa kumzaa mimi. Nimemkuta naye .” “Sasa ?” “Anadai talaka, yuko ndani chumbani.” “Hebu mwite. ” Masilinde alikwenda kumwita mkewe , akamwita na Mwaija , wote wakajaa sebuleni ... “Mama pole sana ,” mzee Kimanama alimwambia mama Mwaija . “Asante , ila mimi nataka talaka yangu tu kama amekwambia kuhusu kumfumania na mwanangu. ” “Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu , mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa mzee Bakari na yule mzee wa genge la mwembeni, ulimwambia mumeo ?”itaendeleaa

...
JAMANI BABA!
SEHEMU YA 18

ILIPOISHIAA
“Sidhani kama nitakuwa na uhusiano mzuri na
mama,” alisema moyoni Mwaija. ..
ENDELEA KIVYAKO SASA .. .
“Hivi nitarudi vipi nyumbani leo ? Hii si aibu
kubwa! Yaani mke wangu amejua kila kitu
kuhusu mtoto wake . Niliomba samahani siku zile
yakaisha, kaenda Tanga nikamleta tena mjini
sasa faida yake ndiyo haya yanayonitokea .
“Mbaya zaidi kuna wakati Mwaija alinishukuru
kwa kumpangia chumba, sasa pale mama yake
si amesikia kila kitu !” alitafakari Masilinde,
akaishiwa nguvu na kuanguka chini kisha
akapoteza fahamu .
Mwaija alifanya kazi ya ziada kumzindua mpenzi
wake huyo lakini alipozinduka na kutulia kidogo
wote wakawa na swali moja ni kwa nini mama
Mwaija baada ya kukatiwa simu muda huo
hakupiga tena?!
Wakiwa wanafikiria kuhusu hilo , simu ya Mwaija
ikaita ikiwa kwenye meza ndogo...
“Hebu angalia ni yeye?” alisema Masilinde...
“Mimi naogopa, angalia wewe, ” alisema Mwaija .
Simu iliendelea kuita na kila mmoja akiwa hataki
kuangalia nani aliyepiga .. .
“Angalia Mwaija .. .”
“Angalia wewe bwana mimi naogopa .”
Mwishowe, Masilinde alijitoa fahamu , akaenda
kuangalia...
“Mh ! Yeye bwana ,” alisema akiwa ameishika
simu.. .
“Mimi sipokei hata iweje! Mama anaweza kuniua
hata kwenye simu,” alisema Mwaija huku
akitetemeka.
Chumba kilizizima , kila mmoja alikosa amani,
alikosa raha! Ilifika mahali wote walikaa
kitandani wakiwa wamejiinamia kwa mawazo.
Kila mmoja aliwaza la kwake , lakini hakuna
aliyemwambia mwenzake alichokuwa
akikiwaza...
“Mwaija , mimi nadhani kuanzia leo tuamue moja ,
tuwe mke na mume au tujiue , kwa kuwa najua
mimi na mama yako kurudiana hakupo hata
iweje?”
Kabla Mwaija hajajibu, meseji kwenye simu yake
iliingia, ikaingia pia kwenye simu ya Masilinde...
“Mh ! Hizo meseji atakuwa yeye, ” alisema
Mwaija. Sasa alianza kujijua kumbe yeye ni
bogasi kupita wasichana wote duniani . Kuna akili
ilikuwa ikimwambia
“Hivi kweli wewe na akili zako unaweza kumpa
penzi mume wa mama yako? Ona sasa,
umejiingiza kwenye matatizo maishani mwako .. .
mume wa mama yako hata kama hajakuzaa , ni
baba yako tu. ”
Masilinde ndiye aliyekuwa wa kwanza kuifungua
meseji hiyo na kuisoma tena kwa sauti .. .
“Nimeamua kujiua ili kuepuka aibu na fedheha
hii.”
Mwaija naye akaisoma meseji yake kwa sauti ...
“Mwaija , endelea kufaidi penzi la baba yako
maana uliona mimi nafaidi peke yangu , tukutane
ahera.”
Masilinde alikurupuka, akaondoka mbio kwenda
kwake. Mwaija naye hakutaka kusubiri, alifuata
nyuma. Walimkuta mama Mwaija ameshakata
roho kwa kujinyonga kwa kamba .
Kilio kilianzia hapo, majirani walipofika , Masilinde
alikiri kusababisha kifo cha mkewe , Mwaija
naye alikiri kuchangia mama yake kujinyonga .
Wakaahidi kutoendelea na uhusiano tena, Mwaija
alirudi Tanga kwa shangazi yake ambako mpaka
sasa anataabika na maisha akiwa kama
mwendawazimu.

MWISHO.

JAMANI BABA! SEHEMU YA 18 ILIPOISHIAA “Sidhani kama nitakuwa na uhusiano mzuri na mama,” alisema moyoni Mwaija. .. ENDELEA KIVYAKO SASA .. . “Hivi nitarudi vipi nyumbani leo ? Hii si aibu kubwa! Yaani mke wangu amejua kila kitu kuhusu mtoto wake . Niliomba samahani siku zile yakaisha, kaenda Tanga nikamleta tena mjini sasa faida yake ndiyo haya yanayonitokea . “Mbaya zaidi kuna wakati Mwaija alinishukuru kwa kumpangia chumba, sasa pale mama yake si amesikia kila kitu !” alitafakari Masilinde, akaishiwa nguvu na kuanguka chini kisha akapoteza fahamu . Mwaija alifanya kazi ya ziada kumzindua mpenzi wake huyo lakini alipozinduka na kutulia kidogo wote wakawa na swali moja ni kwa nini mama Mwaija baada ya kukatiwa simu muda huo hakupiga tena?! Wakiwa wanafikiria kuhusu hilo , simu ya Mwaija ikaita ikiwa kwenye meza ndogo... “Hebu angalia ni yeye?” alisema Masilinde... “Mimi naogopa, angalia wewe, ” alisema Mwaija . Simu iliendelea kuita na kila mmoja akiwa hataki kuangalia nani aliyepiga .. . “Angalia Mwaija .. .” “Angalia wewe bwana mimi naogopa .” Mwishowe, Masilinde alijitoa fahamu , akaenda kuangalia... “Mh ! Yeye bwana ,” alisema akiwa ameishika simu.. . “Mimi sipokei hata iweje! Mama anaweza kuniua hata kwenye simu,” alisema Mwaija huku akitetemeka. Chumba kilizizima , kila mmoja alikosa amani, alikosa raha! Ilifika mahali wote walikaa kitandani wakiwa wamejiinamia kwa mawazo. Kila mmoja aliwaza la kwake , lakini hakuna aliyemwambia mwenzake alichokuwa akikiwaza... “Mwaija , mimi nadhani kuanzia leo tuamue moja , tuwe mke na mume au tujiue , kwa kuwa najua mimi na mama yako kurudiana hakupo hata iweje?” Kabla Mwaija hajajibu, meseji kwenye simu yake iliingia, ikaingia pia kwenye simu ya Masilinde... “Mh ! Hizo meseji atakuwa yeye, ” alisema Mwaija. Sasa alianza kujijua kumbe yeye ni bogasi kupita wasichana wote duniani . Kuna akili ilikuwa ikimwambia “Hivi kweli wewe na akili zako unaweza kumpa penzi mume wa mama yako? Ona sasa, umejiingiza kwenye matatizo maishani mwako .. . mume wa mama yako hata kama hajakuzaa , ni baba yako tu. ” Masilinde ndiye aliyekuwa wa kwanza kuifungua meseji hiyo na kuisoma tena kwa sauti .. . “Nimeamua kujiua ili kuepuka aibu na fedheha hii.” Mwaija naye akaisoma meseji yake kwa sauti ... “Mwaija , endelea kufaidi penzi la baba yako maana uliona mimi nafaidi peke yangu , tukutane ahera.” Masilinde alikurupuka, akaondoka mbio kwenda kwake. Mwaija naye hakutaka kusubiri, alifuata nyuma. Walimkuta mama Mwaija ameshakata roho kwa kujinyonga kwa kamba . Kilio kilianzia hapo, majirani walipofika , Masilinde alikiri kusababisha kifo cha mkewe , Mwaija naye alikiri kuchangia mama yake kujinyonga . Wakaahidi kutoendelea na uhusiano tena, Mwaija alirudi Tanga kwa shangazi yake ambako mpaka sasa anataabika na maisha akiwa kama mwendawazimu. MWISHO.

...
JAMANI BABA!
SEHEMU YA 17

ILIPOISHIA
“Sawa kipenzi . ”
Wakabusiana na mzee kupata kiburudisho chake
kwa saa moja na kisha kurudi nyumbani huku
akiwa mwepesiii, hakuacha kumtembelea Mwaija
nyumbani hapo , kazi ikawa ni kujilia tunda kila
siku.
SASA KANYAGA MWENYEWE .. .
Mwezi mmoja ulikatika tangu Mwaija aondoke
nyumbani hapo . Siku hiyo mama kama mama,
uchungu wa mwana ulimwingia , akaamua
kumpigia Mwaija japo amjulie hali . ..
“Ni mtoto wangu wa kumzaa , siwezi kumtupa
hivi. Mwenye makosa ni baba yake, kwani si
anajua yule ni mwanangu ?
“Sidhani kama Mwaija ndiye aliyemtongoza baba
yake wa kambo . Lakini mwanangu yule naye
amezidi uzuri . We mtoto mdogo wowowo vile ,
kiuno kiuno kweli . Mguu wanasema wa bia,
halafu yale macho mwanangu yale ndiyo
yanayomponza kabisa, ” alisema mama Mwaija
simu ikiwa sikioni tayari. ..
“Shikamoo mama,” Mwaija alimsalimia baada ya
kupokea.. .
“Marhaba , hujambo ?”
“Mi sijambo.”
“Hajambo shangazi yako ?”
“Hajambo .”
“Maisha yanaendaje?”
“Kawaida tu mama. ”
Mama Mwaija alishtuka kusikia kelele za wapiga
debe wakisema ...
“Msasani Posta... Msasani Posta.”
“Mwaija ,” aliita. ...
“Uko Dar ?”
“Hapana mama , niko Tanga.. .”
“Unanidanganya mimi wewe?”
“Hapana mama , kwa nini ?”
“Mbona nasikia watu wa daladala wakisema
Msasani Posta?”
“Siyo Msasani mama , unasikia vibaya .
Wanasema Mkwakwani Posta. Siku hizi Tanga
kuna daladala za Mkwakwani Posta, ” alisema
Mwaija huku akitetemeka.
“Kweli ?”
“Kweli mama , kwani we hujui kuna daladala za
Mkwakwani Posta?”
“Mi nimesikia Msasani Posta.”
“Hapana mama bwana. ”
“Haya , shangazi yako anaendeleaje ?”
“Anaendelea vizuri . Nipe niongee naye .”
“Mimi nipo mtaani , nimemwacha nyumbani.”
“Ukirudi tu, nipe niongee naye. ”
“Sawa mama .”
Mwaija alipomaliza kuzungumza na simu na
mama yake , akampigia Masilinde.. .
“Baby uko wapi ?”
“Kazini, vipi ?”
“Kimenuka. Njoo haraka sana.”
“Nini?”
“Ungekuja baby bwana .”
“Oke, nakuja sasa hivi . ”
Mwaija alizidi kutetemeka, hasa alipoambiwa
akifika nyumbani ampe simu shangazi yake ili
mama yake aongee naye .
Ndani ya nusu saa , Masilinde akawa amefika
nyumbani kwa Mwaija huku akiwa na sura yenye
mshangao.. .
“Vipi Mwaija , kuna nini ?”
“Inabidi niende Tanga haraka sana , hata
nikiondoka leo hii .”
“Kuna nini ?”
“Mama. ”
“Mama gani?”
“Mkeo .”
“Kafanyaje?”
“Kanipigia simu .”
“Enhe , kasema anakwenda Tanga kesho? Maana
kama anasafiri kesho tatizo liko wapi, mi si
nitamzuia tu?”
“Siyo hivyo baby. Mama kasema nimpe simu
shangazi aongee naye, nikamwambia nipo
mtaani, shangazi nilimwacha nyumbani. ”
“Sasa ikawaje?”
“Akasema nikirudi atataka aongee naye . Na
mimi najua lazima baadaye jioni mama atapiga
tena. Halafu akaniuliza Mwaija upo Dar ?
Nikamwambia hapana mama, akasema mbona
nimesikia sauti za daladala zikisema Msasani
Posta? Nikamdanganya siyo Msasani Posta ni
Mkwakwani Posta. Ndiyo akatulia.”
“Kha! Kwani we leo ulifika Msasani ?”
“Si ulinikubalia niende kwa yule rafiki yangu .”
“Oo ! Sasa sikia , sidhani kama ni ishu.. .”
Kabla Masilinde hajamaliza , mama yake alipiga
tena...
“Huyo , anapiga ,” alisema Mwaija ...
“Usipokee kwanza. ..nataka kujua , kwani
shangazi kule Tanga ana simu ?”
“Hapana, alikuwa akitumia ya kwangu. ”
“Oke. Sasa itabidi tumkodishe mwanamke,
tumwambie ajifanye shangazi yako , aiige sauti ,
wewe utamwambia sauti ya shangazi ilivyo. ”
“Shangazi ana sauti ndogo sana , utadhani
mtoto.”
“Ah! Kumbe ni hivyo , hata mimi naweza kuigiza
sauti ya kitoto . Hebu pokea mwambie ongea na
shangazi, ” alisema Masilinde.
Mwaija aliogopa lakini mama yake aliendelea
kupiga, ikabidi apokee . ..
“Haloo mama .”
“Umesharudi nyumbani?”
“Ndiyo.”
“Nipe shangazi yako. ”
“Huyu hapa , ongea naye. ”
Masilinde alijibana sawasawa , akavuta pumzi
inavyotakiwa ili atoe sauti ya kitoto .. .
“Halo. ”
“Ee, wifi za leo?”
“Njema, za huko Dar ?”
“Huku kwema wifi , unaendeleaje na huyo binti
yako?”
“Tunaendelea vizuri , ila mi mwenyewe kifua
kidogo si kizuri sana .”
“Oo ! Pole, ndiyo maana sauti inatoka kama
inataka kukatika. ”
“Ee. Umeona ee?”
“Ee. Pole sana. haya, nilitaka kukusalimia tu wifi
maana huyo aliniambia alitoka, nikamwambia
akirudi niongee na wewe .”
“Asante sana wifi yangu. Msalimie sana
Masilinde.”
“Haya zimefika wifi .”
Baada ya kumaliza kuongea na mke wake
akijifanya ni shangazi mtu, Mwaija na Masilinde
walicheka kiasi cha kushindwa kuhimili na
kujishika matumbo yao lakini kumbe simu
ilikuwa haijakatwa upande wa pili.. . itaendeleaaa

JAMANI BABA! SEHEMU YA 17 ILIPOISHIA “Sawa kipenzi . ” Wakabusiana na mzee kupata kiburudisho chake kwa saa moja na kisha kurudi nyumbani huku akiwa mwepesiii, hakuacha kumtembelea Mwaija nyumbani hapo , kazi ikawa ni kujilia tunda kila siku. SASA KANYAGA MWENYEWE .. . Mwezi mmoja ulikatika tangu Mwaija aondoke nyumbani hapo . Siku hiyo mama kama mama, uchungu wa mwana ulimwingia , akaamua kumpigia Mwaija japo amjulie hali . .. “Ni mtoto wangu wa kumzaa , siwezi kumtupa hivi. Mwenye makosa ni baba yake, kwani si anajua yule ni mwanangu ? “Sidhani kama Mwaija ndiye aliyemtongoza baba yake wa kambo . Lakini mwanangu yule naye amezidi uzuri . We mtoto mdogo wowowo vile , kiuno kiuno kweli . Mguu wanasema wa bia, halafu yale macho mwanangu yale ndiyo yanayomponza kabisa, ” alisema mama Mwaija simu ikiwa sikioni tayari. .. “Shikamoo mama,” Mwaija alimsalimia baada ya kupokea.. . “Marhaba , hujambo ?” “Mi sijambo.” “Hajambo shangazi yako ?” “Hajambo .” “Maisha yanaendaje?” “Kawaida tu mama. ” Mama Mwaija alishtuka kusikia kelele za wapiga debe wakisema ... “Msasani Posta... Msasani Posta.” “Mwaija ,” aliita. ... “Uko Dar ?” “Hapana mama , niko Tanga.. .” “Unanidanganya mimi wewe?” “Hapana mama , kwa nini ?” “Mbona nasikia watu wa daladala wakisema Msasani Posta?” “Siyo Msasani mama , unasikia vibaya . Wanasema Mkwakwani Posta. Siku hizi Tanga kuna daladala za Mkwakwani Posta, ” alisema Mwaija huku akitetemeka. “Kweli ?” “Kweli mama , kwani we hujui kuna daladala za Mkwakwani Posta?” “Mi nimesikia Msasani Posta.” “Hapana mama bwana. ” “Haya , shangazi yako anaendeleaje ?” “Anaendelea vizuri . Nipe niongee naye .” “Mimi nipo mtaani , nimemwacha nyumbani.” “Ukirudi tu, nipe niongee naye. ” “Sawa mama .” Mwaija alipomaliza kuzungumza na simu na mama yake , akampigia Masilinde.. . “Baby uko wapi ?” “Kazini, vipi ?” “Kimenuka. Njoo haraka sana.” “Nini?” “Ungekuja baby bwana .” “Oke, nakuja sasa hivi . ” Mwaija alizidi kutetemeka, hasa alipoambiwa akifika nyumbani ampe simu shangazi yake ili mama yake aongee naye . Ndani ya nusu saa , Masilinde akawa amefika nyumbani kwa Mwaija huku akiwa na sura yenye mshangao.. . “Vipi Mwaija , kuna nini ?” “Inabidi niende Tanga haraka sana , hata nikiondoka leo hii .” “Kuna nini ?” “Mama. ” “Mama gani?” “Mkeo .” “Kafanyaje?” “Kanipigia simu .” “Enhe , kasema anakwenda Tanga kesho? Maana kama anasafiri kesho tatizo liko wapi, mi si nitamzuia tu?” “Siyo hivyo baby. Mama kasema nimpe simu shangazi aongee naye, nikamwambia nipo mtaani, shangazi nilimwacha nyumbani. ” “Sasa ikawaje?” “Akasema nikirudi atataka aongee naye . Na mimi najua lazima baadaye jioni mama atapiga tena. Halafu akaniuliza Mwaija upo Dar ? Nikamwambia hapana mama, akasema mbona nimesikia sauti za daladala zikisema Msasani Posta? Nikamdanganya siyo Msasani Posta ni Mkwakwani Posta. Ndiyo akatulia.” “Kha! Kwani we leo ulifika Msasani ?” “Si ulinikubalia niende kwa yule rafiki yangu .” “Oo ! Sasa sikia , sidhani kama ni ishu.. .” Kabla Masilinde hajamaliza , mama yake alipiga tena... “Huyo , anapiga ,” alisema Mwaija ... “Usipokee kwanza. ..nataka kujua , kwani shangazi kule Tanga ana simu ?” “Hapana, alikuwa akitumia ya kwangu. ” “Oke. Sasa itabidi tumkodishe mwanamke, tumwambie ajifanye shangazi yako , aiige sauti , wewe utamwambia sauti ya shangazi ilivyo. ” “Shangazi ana sauti ndogo sana , utadhani mtoto.” “Ah! Kumbe ni hivyo , hata mimi naweza kuigiza sauti ya kitoto . Hebu pokea mwambie ongea na shangazi, ” alisema Masilinde. Mwaija aliogopa lakini mama yake aliendelea kupiga, ikabidi apokee . .. “Haloo mama .” “Umesharudi nyumbani?” “Ndiyo.” “Nipe shangazi yako. ” “Huyu hapa , ongea naye. ” Masilinde alijibana sawasawa , akavuta pumzi inavyotakiwa ili atoe sauti ya kitoto .. . “Halo. ” “Ee, wifi za leo?” “Njema, za huko Dar ?” “Huku kwema wifi , unaendeleaje na huyo binti yako?” “Tunaendelea vizuri , ila mi mwenyewe kifua kidogo si kizuri sana .” “Oo ! Pole, ndiyo maana sauti inatoka kama inataka kukatika. ” “Ee. Umeona ee?” “Ee. Pole sana. haya, nilitaka kukusalimia tu wifi maana huyo aliniambia alitoka, nikamwambia akirudi niongee na wewe .” “Asante sana wifi yangu. Msalimie sana Masilinde.” “Haya zimefika wifi .” Baada ya kumaliza kuongea na mke wake akijifanya ni shangazi mtu, Mwaija na Masilinde walicheka kiasi cha kushindwa kuhimili na kujishika matumbo yao lakini kumbe simu ilikuwa haijakatwa upande wa pili.. . itaendeleaaa

...
JAMANI BABA 
Sehemu 16
ILIPOISHIA
Asante ila mimi nataka talaka yangu tu kama
amekwambia kuhusu kumfumania na
mwanangu. ”
“Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu ,
mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa
mzee Bakari na yule mzee wa genge la
Mwembeni, ulimwambia mumeo ?”
TEMBEA NAYO MDOGOMDOGO. ...
Kitendo cha kusema maneno hayo tu, Masilinde
akaona afadhali kwamba naye alipata pa
kujitetea kwani hata mke wake aliwahi
kufumaniwa.
“Kumbe alishawahi kufumaniwa?”
“Ndiyo.”
“Na nani?”
“Kwa mzee Bakari, yule mzee muuza genge
mtaa wa pili ” alisema mzee Kimanama .
“Mama Mwaija umesikia hayo? Unanishia bango
wakati hata wewe umewahi kufumaniwa ?”
Masilinde alimwambia mkewe .
“Wala sijawahi kufumaniwa, halafu we mzee
acha uchuro wako hapa. Nataka talaka yangu ... ”
“Talaka sikupi, kama umenifumania, na wewe
ushawahi kufumaniwa, kwa hiyo ngoma droo,
kama umefunga na mimi nimefunga. ..”“ Nasema
hivi nataka talaka yangu. ”
“Mimi si ndiye muandikaji wa talaka , siwezi
kutoa ...halafu niliweka nadhiri kwamba katika
maisha yangu sitakuja kutoa talaka mpaka
naingia kaburini... ”
Kwa hasira, mama Mwaija akamgeukia Mwaija .
“Halafu na wewe ni lazima uondoke hapa
nyumbani, nikipewa talaka na wewe safari kwani
siwezi kuendelea kuishi na mtoto mwenye tabia
chafu kama yako ... ”
“Nisamehe mama, sitorudia tena ... ”
“Hakuna cha msamaha, ungekuwa umefanya
kosa lingine ningekusamehe lakini siyo kufanya
mapenzi na baba yako, kwa mwanamke yeyote
ni aibu kubwa sana .”
Hapohapo akamgeukia mzee Kimanama .“ Na
wewe mzee mbeya , umesema kwamba
nimefumaniwa, lini nimefumaniwa?”
“Unajifanya hukumbuki ?”
“Na nani?”
“Si yule mzee muuza genge, alijifanya
kukuongezea vimbogamboga kumbe alikutaka na
ukaingia mkenge, tena mzee nuksi sana kwa
wake za watu yule. ..” Mama Mwaija akakasirika,
alijua kwamba hakuwahi kufumaniwa ila mzee
huyo alikuwa akidanganya, alichokisema ni
kwamba waende kwa mzee huyo, kweli
wakaenda na kumkuta akiwa amesimama nje .
“Karibuni. ..”
“Asante , wewe mzee , hujawahi kufumaniwa na
huyu mwanamke ?” aliuliza mzee Kimanama .
“Mwanamke gani ?”“Usijifanye hujui, kwani hapa
wanawake wapo wangapi?”
“Namuona mmoja tu. .”
“Sasa kama unamuona mmoja kwa nini unauliza
jibu? Aya tujibu .”
“Sijawahi kufumaniwa naye , kwanza hata mapaja
yake tu sijawahi kuyaona .”
“Wewe mzee muogope Mungu , leo unaruka na
wakati siku ile ulipigwa mpaka picha !’
“Nimekumbuka sasa , kweli nilishawahi
kufumaniwa, ila si na huyu mwanamke, yule
alikuwa mama Mwajabu , yule wa mtaa wa tatu,
mwanamke mweupe wa Kitanga aliyefanana na
mkeo ,” alisema mzee huyo , alionekana
kukasirika na hivyo kumzingua mzee Kimanama.
“Huo sasa utani .. .”
“Kama ni utani basi jua wewe ndiye umeanza
kunitania, kwanza naomba muondoke nyumbani
kwangu kabla sijawaitia polisi . ”Hawakuendelea
kusubiri, tayari Masilinde akaonekana
kushindwa, alichokifanya mara baada ya kufika
nyumbani ni kuanza kuomba msamaha kwa
mkewe kwa kilichotokea .
“Mke wangu naomba unisamehe ni shetani
alinipitia nakuahidi sitarudia tena kosa hilo ,
nisamehe mama na nipo chini ya miguu yako,”
Masilinde alimwangukia mkewe .
“Ukitaka tuelewane kuna sharti moja .”
“Lipi ?”
“Huyu malaya sitaki akae hapa nyumbani. ”
“Eeeh ! Amekuwa malaya tena, huyu si mtoto
wako wa kumzaa!”
“Hata kama , umekubaliana na mimi?”
“Sawa . Kwa hiyo nikampangie chumba ili atoke
hapa?”
“Umpangie chumba! Nani kasema hivyo , unataka
uwe unajiachia kila siku, haiwezekani, huyu arudi
Tanga.”
“Arudi Tanga?”
“Ndiyo.”
“Mbona unamtupa hivyo ?”
“Mimi si ndiye mama yake ! Arudi Tanga .”
Kwa sababu mke wake aliamua hivyo na
hakutaka kumpoteza kwa kuendelea kudai
talaka, akakubaliana naye.
Alichokifanya mzee huyo ni kumsisitizia Mwaija
kwamba waendelee kuwasiliana hata kama
angekuwa wapi kwani bado moyo wake
ulimpenda sana na hakutaka kumuacha.
“Kwa hiyo ndiyo hivyo baby, tuwe tunawasiliana,
usimuogope mama yako, kutembea nje ya ndoa
ni faulo za kawaida tu, kama kuchezewa rafu
uwanjani, ” alisema mzee huyo .Siku iliyofuata
mama Mwaija aliamua kumrudisha Mwaija
Tanga. Mawasiliano na msichana huyo
yaliendelea kisiri na baada ya wiki moja, mzee
huyo akamtumia binti huyo nauli na kumvuta
tena Dar , kipindi hiki akampangia chumba
kabisa, mtaa wa Tandale karibu na Kwa Mtogole.
“Utakuwa ukiishi hapa mpenzi , hapa sasa kwa
raha zetu , mama akipiga simu, mwambie upo
Tanga, siku nyingine akisumbua sana, kata simu
kisha baadaye utamwambie network inazingua, ”
alisema mzee huyo .
“Sawa kipenzi .”
Wakabusiana na mzee kupata kiburudisho chake
kwa saa moja na kisha kurudi nyumbani huku
akiwa mwepesiii, hakuacha kumtembelea Mwaija
nyumbani hapo , kazi ikawa ni kujilia tunda kila
siku. Itaendeleaaa.

JAMANI BABA Sehemu 16 ILIPOISHIA Asante ila mimi nataka talaka yangu tu kama amekwambia kuhusu kumfumania na mwanangu. ” “Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu , mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa mzee Bakari na yule mzee wa genge la Mwembeni, ulimwambia mumeo ?” TEMBEA NAYO MDOGOMDOGO. ... Kitendo cha kusema maneno hayo tu, Masilinde akaona afadhali kwamba naye alipata pa kujitetea kwani hata mke wake aliwahi kufumaniwa. “Kumbe alishawahi kufumaniwa?” “Ndiyo.” “Na nani?” “Kwa mzee Bakari, yule mzee muuza genge mtaa wa pili ” alisema mzee Kimanama . “Mama Mwaija umesikia hayo? Unanishia bango wakati hata wewe umewahi kufumaniwa ?” Masilinde alimwambia mkewe . “Wala sijawahi kufumaniwa, halafu we mzee acha uchuro wako hapa. Nataka talaka yangu ... ” “Talaka sikupi, kama umenifumania, na wewe ushawahi kufumaniwa, kwa hiyo ngoma droo, kama umefunga na mimi nimefunga. ..”“ Nasema hivi nataka talaka yangu. ” “Mimi si ndiye muandikaji wa talaka , siwezi kutoa ...halafu niliweka nadhiri kwamba katika maisha yangu sitakuja kutoa talaka mpaka naingia kaburini... ” Kwa hasira, mama Mwaija akamgeukia Mwaija . “Halafu na wewe ni lazima uondoke hapa nyumbani, nikipewa talaka na wewe safari kwani siwezi kuendelea kuishi na mtoto mwenye tabia chafu kama yako ... ” “Nisamehe mama, sitorudia tena ... ” “Hakuna cha msamaha, ungekuwa umefanya kosa lingine ningekusamehe lakini siyo kufanya mapenzi na baba yako, kwa mwanamke yeyote ni aibu kubwa sana .” Hapohapo akamgeukia mzee Kimanama .“ Na wewe mzee mbeya , umesema kwamba nimefumaniwa, lini nimefumaniwa?” “Unajifanya hukumbuki ?” “Na nani?” “Si yule mzee muuza genge, alijifanya kukuongezea vimbogamboga kumbe alikutaka na ukaingia mkenge, tena mzee nuksi sana kwa wake za watu yule. ..” Mama Mwaija akakasirika, alijua kwamba hakuwahi kufumaniwa ila mzee huyo alikuwa akidanganya, alichokisema ni kwamba waende kwa mzee huyo, kweli wakaenda na kumkuta akiwa amesimama nje . “Karibuni. ..” “Asante , wewe mzee , hujawahi kufumaniwa na huyu mwanamke ?” aliuliza mzee Kimanama . “Mwanamke gani ?”“Usijifanye hujui, kwani hapa wanawake wapo wangapi?” “Namuona mmoja tu. .” “Sasa kama unamuona mmoja kwa nini unauliza jibu? Aya tujibu .” “Sijawahi kufumaniwa naye , kwanza hata mapaja yake tu sijawahi kuyaona .” “Wewe mzee muogope Mungu , leo unaruka na wakati siku ile ulipigwa mpaka picha !’ “Nimekumbuka sasa , kweli nilishawahi kufumaniwa, ila si na huyu mwanamke, yule alikuwa mama Mwajabu , yule wa mtaa wa tatu, mwanamke mweupe wa Kitanga aliyefanana na mkeo ,” alisema mzee huyo , alionekana kukasirika na hivyo kumzingua mzee Kimanama. “Huo sasa utani .. .” “Kama ni utani basi jua wewe ndiye umeanza kunitania, kwanza naomba muondoke nyumbani kwangu kabla sijawaitia polisi . ”Hawakuendelea kusubiri, tayari Masilinde akaonekana kushindwa, alichokifanya mara baada ya kufika nyumbani ni kuanza kuomba msamaha kwa mkewe kwa kilichotokea . “Mke wangu naomba unisamehe ni shetani alinipitia nakuahidi sitarudia tena kosa hilo , nisamehe mama na nipo chini ya miguu yako,” Masilinde alimwangukia mkewe . “Ukitaka tuelewane kuna sharti moja .” “Lipi ?” “Huyu malaya sitaki akae hapa nyumbani. ” “Eeeh ! Amekuwa malaya tena, huyu si mtoto wako wa kumzaa!” “Hata kama , umekubaliana na mimi?” “Sawa . Kwa hiyo nikampangie chumba ili atoke hapa?” “Umpangie chumba! Nani kasema hivyo , unataka uwe unajiachia kila siku, haiwezekani, huyu arudi Tanga.” “Arudi Tanga?” “Ndiyo.” “Mbona unamtupa hivyo ?” “Mimi si ndiye mama yake ! Arudi Tanga .” Kwa sababu mke wake aliamua hivyo na hakutaka kumpoteza kwa kuendelea kudai talaka, akakubaliana naye. Alichokifanya mzee huyo ni kumsisitizia Mwaija kwamba waendelee kuwasiliana hata kama angekuwa wapi kwani bado moyo wake ulimpenda sana na hakutaka kumuacha. “Kwa hiyo ndiyo hivyo baby, tuwe tunawasiliana, usimuogope mama yako, kutembea nje ya ndoa ni faulo za kawaida tu, kama kuchezewa rafu uwanjani, ” alisema mzee huyo .Siku iliyofuata mama Mwaija aliamua kumrudisha Mwaija Tanga. Mawasiliano na msichana huyo yaliendelea kisiri na baada ya wiki moja, mzee huyo akamtumia binti huyo nauli na kumvuta tena Dar , kipindi hiki akampangia chumba kabisa, mtaa wa Tandale karibu na Kwa Mtogole. “Utakuwa ukiishi hapa mpenzi , hapa sasa kwa raha zetu , mama akipiga simu, mwambie upo Tanga, siku nyingine akisumbua sana, kata simu kisha baadaye utamwambie network inazingua, ” alisema mzee huyo . “Sawa kipenzi .” Wakabusiana na mzee kupata kiburudisho chake kwa saa moja na kisha kurudi nyumbani huku akiwa mwepesiii, hakuacha kumtembelea Mwaija nyumbani hapo , kazi ikawa ni kujilia tunda kila siku. Itaendeleaaa.

...
JAMANI BABA
Sehemu 15
ILIPOISHIA:
“Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku
akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka
Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . ..
“U .. .u .. .uta .. .a .. .nza li .. .li ?”
Maneno hayo ya Masilinde yalimshtua mama
Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama
ndani. ..
SASA JIACHIE MWENYEWE .. .
“Haa! Mume wangu jamani ?!” alisema kwa
mshtuko mama Mwaija na kupiga mwereka .
Hakuamini macho yake kwani alimkuta mumewe
akiwa uwanjani kabisa na akicheza mechi
sawasawa. ..
“Mwaija ,” aliita Masilinde akitoka uwanjani .
“Baba , mama kafa. ..mama kafa,” alisema Mwaija
huku akitoka kitandani na kuanza kulia kwa
sauti.. .
“Nyamaza Mwaija , mama hajafa , amepoteza
fahamu tu na ataamka muda mfupi ujao, ”
alisema Masilinde akiwahi kumziba kinywa ili
asiendelee kulia.
“Kweli baba mama hajafa?” Mwaija alimwuliza
Masilinde baada ya mzee huyo mkware kutoa
mkono kinywani mwake . “Mwaija naomba
yaamini maneno yangu , mama yako hajafa!”
Masilinde alimwambia Mwaija .
“Kama hajafa itakuwa afadhali, ila sijui
nitamwambia kitu gani anielewe baada ya
kutufumania,” Mwaija alimwambia Masilinde
ambaye alimweleza asiwe na wasiwasi kwa hilo .
Kwa mbali , mama Mwaija alichezesha mguu wa
kulia kisha akakohoa, kidogo Mwaija akapata
amani ya moyo ...
“Lakini baba unadhani mama akiinuka atanifanya
nini mimi?”
“Usiwe na wasiwasi Mwaija, nitazungumza naye,
atakuelewa tu.”
“Mh ! Ataniua , mi namjua vizuri mama. ”
“Hawezi kukuua Mwaija, hata mimi namjua
vizuri mke wangu. ”
Wakati wote huo , si Mwaija wala Masilinde
aliyekuwa amevaa nguo. Hakuna aliyekumbuka
kwamba walikuwa kama walivyozaliwa. Mama
Mwaija alifumbua macho , akaangaza kulia ,
kushoto na kujishangaa. Aliinuka na kukaa kwa
muda kisha macho yake yakatua kwa Mwaija ...
“Mwaija mwanangu ,” aliita mwanamke huyo na
kuanza kulia huku akiendelea kusema ...
“Nimekukosea nini mimi mama yako mpaka
kunitenda vile mwanangu jamani ?”
“Mama nisamehe... ”
“Nikusemehe nini Mwaija , hukujua kama huyu ni
baba yako ? Hata kama hajakuzaa lakini ni baba
yako maana ni mume wa mama yako. ”“ Mke
wangu ungesimama kwanza twende chumbani
kwetu,” alisema Masilinde. ..
“Sitaki , kwanza naomba unipe talaka yangu.
Unatembea na mwanao Masilinde?”
“Twende tukaongee sasa mke wangu. ”
“Nimesema sitaki .”
“Mama msikilize baba, ” alisema Mwaija ...
“Mwaija tulia. ..kwanza nataka kukuuliza,
umeshatembea na baba yako hii leo mara ya
ngapi?”
“Ni leo tu mama.”
“Siyo kweli. Naanza kuhisi hata kule gesti
mlikuwa wote . Yule mwanaume wa gesti ni
wewe Masilinde.”
“Si mimi mke wangu. ”
“Ni wewe bwana, unabisha nini ? Huyu binti ni
mgeni kabisa mtaani, kusema amepata
mwanaume mara hii, mimi nakataa.”
Masilinde alibaki kimya. Aliona kimenuka. Alianza
kujutia kitendo chake cha kutembea na binti yake
huyo hali akijua ni mtoto wa mke wake .. .
“Masilinde,” aliita mama Mwaija.
“Naam.”
“Nini kimekuvutia kwa mtoto wako ? Hilo umbo au
uzuri wa sura ?”
Masilinde kimya!
“Nijibu Masilinde!”
“Ushetani tu mke wangu. ”
“Kwa hiyo shetani wako wewe ni mpaka kwa
mtoto wako ?”
“Ni bahati mbaya mke wangu .”
“Mh ! Mimi nataka talaka yangu... we unadhani
mimi nitaishi vipi na mwanangu kwenye nyumba
hii wakati umeshalala naye ?”
“Nitafanya kitu mke wangu .”
“Kitu cha ?”
“Kitu cha kukufanya uishi na amani.”
“Kitu gani ?”
“Nitampangia chumba huyu Mwaija nje ya hapa
nyumbani.”
“Ili upate nafasi ya kwenda kila siku kwake, si
ndiyo?”
“Sina maana hiyo.”
“Maana yako ni ipi Masilinde?”
Mara, mlango uligongwa, mzee mmoja anaitwa
Kimanama aliingia .. .
“Karibu mzee wangu ,” alikaribisha Masilinde
kutokea chumbani, akatoka na yeye kwenda
sebuleni.. .
“Bwana mi sikai, nina shida kidogo ,” alisema
mzee Kimanama huku akikaa japokuwa alisema
hakai. .!
“Nakusikiliza, ila hata mimi nafurahi umekuja
mzee wangu. Kuna tatizo hapa ... ”
“Lipi tena ?”
“Aaah ! Mke wangu amenifumania,” alisema
Masilinde bila woga , akili haikuwa yake. Moyoni
hakuwa tayari kumpoteza mama Mwaija ...
“Mke wako amekufumania ?”
“Ndiyo.”
“Na nani?”
“Na mtoto wake !”
“Na mtoto wake ?”
“Ndiyo.”
“Ambaye si wa kumzaa wewe?”
“Si wa kumzaa mimi. Nimemkuta naye .”
“Sasa ?”
“Anadai talaka, yuko ndani chumbani.”
“Hebu mwite. ”
Masilinde alikwenda kumwita mkewe , akamwita
na Mwaija , wote wakajaa sebuleni ...
“Mama pole sana ,” mzee Kimanama alimwambia
mama Mwaija .
“Asante , ila mimi nataka talaka yangu tu kama
amekwambia kuhusu kumfumania na
mwanangu. ”
“Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu ,
mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa
mzee Bakari na yule mzee wa genge la
mwembeni, ulimwambia mumeo ?”itaendeleaa

JAMANI BABA Sehemu 15 ILIPOISHIA: “Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . .. “U .. .u .. .uta .. .a .. .nza li .. .li ?” Maneno hayo ya Masilinde yalimshtua mama Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama ndani. .. SASA JIACHIE MWENYEWE .. . “Haa! Mume wangu jamani ?!” alisema kwa mshtuko mama Mwaija na kupiga mwereka . Hakuamini macho yake kwani alimkuta mumewe akiwa uwanjani kabisa na akicheza mechi sawasawa. .. “Mwaija ,” aliita Masilinde akitoka uwanjani . “Baba , mama kafa. ..mama kafa,” alisema Mwaija huku akitoka kitandani na kuanza kulia kwa sauti.. . “Nyamaza Mwaija , mama hajafa , amepoteza fahamu tu na ataamka muda mfupi ujao, ” alisema Masilinde akiwahi kumziba kinywa ili asiendelee kulia. “Kweli baba mama hajafa?” Mwaija alimwuliza Masilinde baada ya mzee huyo mkware kutoa mkono kinywani mwake . “Mwaija naomba yaamini maneno yangu , mama yako hajafa!” Masilinde alimwambia Mwaija . “Kama hajafa itakuwa afadhali, ila sijui nitamwambia kitu gani anielewe baada ya kutufumania,” Mwaija alimwambia Masilinde ambaye alimweleza asiwe na wasiwasi kwa hilo . Kwa mbali , mama Mwaija alichezesha mguu wa kulia kisha akakohoa, kidogo Mwaija akapata amani ya moyo ... “Lakini baba unadhani mama akiinuka atanifanya nini mimi?” “Usiwe na wasiwasi Mwaija, nitazungumza naye, atakuelewa tu.” “Mh ! Ataniua , mi namjua vizuri mama. ” “Hawezi kukuua Mwaija, hata mimi namjua vizuri mke wangu. ” Wakati wote huo , si Mwaija wala Masilinde aliyekuwa amevaa nguo. Hakuna aliyekumbuka kwamba walikuwa kama walivyozaliwa. Mama Mwaija alifumbua macho , akaangaza kulia , kushoto na kujishangaa. Aliinuka na kukaa kwa muda kisha macho yake yakatua kwa Mwaija ... “Mwaija mwanangu ,” aliita mwanamke huyo na kuanza kulia huku akiendelea kusema ... “Nimekukosea nini mimi mama yako mpaka kunitenda vile mwanangu jamani ?” “Mama nisamehe... ” “Nikusemehe nini Mwaija , hukujua kama huyu ni baba yako ? Hata kama hajakuzaa lakini ni baba yako maana ni mume wa mama yako. ”“ Mke wangu ungesimama kwanza twende chumbani kwetu,” alisema Masilinde. .. “Sitaki , kwanza naomba unipe talaka yangu. Unatembea na mwanao Masilinde?” “Twende tukaongee sasa mke wangu. ” “Nimesema sitaki .” “Mama msikilize baba, ” alisema Mwaija ... “Mwaija tulia. ..kwanza nataka kukuuliza, umeshatembea na baba yako hii leo mara ya ngapi?” “Ni leo tu mama.” “Siyo kweli. Naanza kuhisi hata kule gesti mlikuwa wote . Yule mwanaume wa gesti ni wewe Masilinde.” “Si mimi mke wangu. ” “Ni wewe bwana, unabisha nini ? Huyu binti ni mgeni kabisa mtaani, kusema amepata mwanaume mara hii, mimi nakataa.” Masilinde alibaki kimya. Aliona kimenuka. Alianza kujutia kitendo chake cha kutembea na binti yake huyo hali akijua ni mtoto wa mke wake .. . “Masilinde,” aliita mama Mwaija. “Naam.” “Nini kimekuvutia kwa mtoto wako ? Hilo umbo au uzuri wa sura ?” Masilinde kimya! “Nijibu Masilinde!” “Ushetani tu mke wangu. ” “Kwa hiyo shetani wako wewe ni mpaka kwa mtoto wako ?” “Ni bahati mbaya mke wangu .” “Mh ! Mimi nataka talaka yangu... we unadhani mimi nitaishi vipi na mwanangu kwenye nyumba hii wakati umeshalala naye ?” “Nitafanya kitu mke wangu .” “Kitu cha ?” “Kitu cha kukufanya uishi na amani.” “Kitu gani ?” “Nitampangia chumba huyu Mwaija nje ya hapa nyumbani.” “Ili upate nafasi ya kwenda kila siku kwake, si ndiyo?” “Sina maana hiyo.” “Maana yako ni ipi Masilinde?” Mara, mlango uligongwa, mzee mmoja anaitwa Kimanama aliingia .. . “Karibu mzee wangu ,” alikaribisha Masilinde kutokea chumbani, akatoka na yeye kwenda sebuleni.. . “Bwana mi sikai, nina shida kidogo ,” alisema mzee Kimanama huku akikaa japokuwa alisema hakai. .! “Nakusikiliza, ila hata mimi nafurahi umekuja mzee wangu. Kuna tatizo hapa ... ” “Lipi tena ?” “Aaah ! Mke wangu amenifumania,” alisema Masilinde bila woga , akili haikuwa yake. Moyoni hakuwa tayari kumpoteza mama Mwaija ... “Mke wako amekufumania ?” “Ndiyo.” “Na nani?” “Na mtoto wake !” “Na mtoto wake ?” “Ndiyo.” “Ambaye si wa kumzaa wewe?” “Si wa kumzaa mimi. Nimemkuta naye .” “Sasa ?” “Anadai talaka, yuko ndani chumbani.” “Hebu mwite. ” Masilinde alikwenda kumwita mkewe , akamwita na Mwaija , wote wakajaa sebuleni ... “Mama pole sana ,” mzee Kimanama alimwambia mama Mwaija . “Asante , ila mimi nataka talaka yangu tu kama amekwambia kuhusu kumfumania na mwanangu. ” “Ameniambia lakini unakumbuka mwaka huu , mwezi wa pili na wewe ulifumaniwa kule kwa mzee Bakari na yule mzee wa genge la mwembeni, ulimwambia mumeo ?”itaendeleaa

...
JAMANI BABA
Sehemu 14
ILIPOISHIA:
Alishika kitasa, akakizungusha , mlango
ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. .
“Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ”
alisema moyoni Masilinde huku akimalizikia
kuingia chumbani humo .. .
“We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia
kufanya nini mume wangu jamani?”
SOGEA NAYO MWENYEWE ...
Masilinde alisimama mlangoni na kugeuka
kumwangalia mke wake . ..
“Nimesikia kama Mwaija analia, sasa nimekuja
kumwangalia , hebu ingia wewe,” alijitetea
mwanaume huyo ...“ Kinachomliza ni nini sasa,
asisemwe?” alisema mama Mwaija huku akienda
chumbani kwa Mwaija . ..
“Na mimi nimehisi hivyohivyo , pengine
ulivyomsema.”
Kule chumbani, kumbe Mwaija alikuwa macho .
Hata yeye alijua baba yake huyo wa kambo
angeenda kumpa msosi wa usiku ndipo alale
kwa hiyo alisikia mlango ukifunguliwa na alisikia
swali la mama yake kumuuliza mumewe
anakwenda kufanya nini chumbani kwa mtoto.
Pia, Mwaija alisikia utetezi wa baba yake
kwamba alimsikia akilia . Kwa hiyo aliposikia
mama yake anakwenda akaanza kulia ...
“Ooo.. .uuui! uiiii ... ”
“Wewe nini?” aliuliza mama yake baada ya
kuzama ndani .
“Kichwa mama .”
“Dawa si umekunywa?”
“Nilikunywa .”
“Ulikunywa ngapi ?”
“Vidonge viwili. ”
“Ulibakiza vingine ?”
“Ndiyo.”
“Basi vimalizie, ” alisema mama Mwaija , lakini
mume wake akagoma . ..
“Hapana! Hawezi kunywa dawa nyingine muda
huu . Lazima yapite masaa manne mpaka
matano .”
“Haya , lala mpaka yapite masaa matano ndipo
unywe tena , umesikia ?”
“Sawa mama ,” alisema Mwaija huku moyoni
akisema.. .
“Wewe, umekutana na watu wajanja kuliko
wewe, kalale mama, utazeeka bure kunifuatilia
kila saa .”
“Labda na wewe baba Mwaija ungeingia umpe
moyo kwamba asiwe na wasiwasi maana naona
kama anatetemeka ,” mama Mwaija alimwambia
mumewe aliyekuwa amesimama nje ya mlango ...
“Kweli ,” alisema baba huyo huku akizama .
Kutokana na udogo wa chumba, mama Mwaija
hakuona sababu ya kubaki humo , akatoka na
kusimama nje .. .
“Au kama anahisi kichwa kimekazana akitie
maji,” alisema mama Mwaija ...
Masilinde alipozama ndani tu alirudisha mlango
huku akisema .. .
“Naona leo kuna mbu wengi sana.”
Alikwenda kusimama jirani na kitanda na
kumwinamia Mwaija, akamsogelea na kutoa
ulimi, Mwaija akaudaka...
“Mmmmm.. ..”
“Mmmm.. .mmmm.”
Waligugumia wote lakini kwa tahadhari kubwa ili
mama Mwaija asisikie kule nje ya mlango. ..
“Lakini huyo tangu utoto kichwa chake si kizuri ,”
mama Mwaija alisema. ..
“Halafu naye ana tabia ya kutopenda kutumia
chandarua,” aliendelea kusema mwanamke
huyo.. .
“Mwaija ,” aliita Masilinde...
“Niambie mpenzi wangu. ..”
“Mbona mama anaongeaongea sana ?”
“Hata mimi namshangaa ...”
“Basi nipe tena denda mpenzi wangu ,” alisema
Masilinde, akapewa .. .
“Mmmm.. .”
“Mmmmm.. .mmm.. .”
“Mwambie asilie , akizidiwa asubuhi nitampeleka
hospitali akapime malaria ,” mama Mwaija
aliendelea kushauri , kukosoa na kuelekeza
wakati wenzake walikuwa wamezama kwenye
dimbwi la mahaba mazito , denda hadi mate
yanachuruzika. ..
“Akikusumbua mchape makofi mume wangu ,
mtoto mdogo kama huyo asitupelekeshe sana ,”
aliendelea mama Mwaija .
Sasa, Masilinde alianza kumshikashika Mwaija
sehemu mbalimbali za mwili kiasi kwamba,
Mwaija akajikuta anashindwa kuvumilia na
kuanza kuweweseka ...
“Jamani baba ... ”
“Haaa ! Atasikia mama yako wewe , kelele za nini
sasa?” alisema Masilinde lakini akaendelea,
safari hii akamshika nido na kuminyaminya. ..
“Baba jamani !”
“Weee . Acha kusema kwa sauti. ..”
“Halafu kama hataki kulala mwache si tukalale,”
kule nje mama Mwaija aliendelea kusema huku
akipiga mwayo wa usingizi...
“Hebu lala basi tumalizie hapahapa chapuchapu ,”
Masilinde alimwagiza Mwaija .. .
“Weee , mama akiingia je ?”
“Si chapuchapu ? Kwani hujui maama ya
chapuchapu?”
Mwaija aliamini kuwa , kwa uchapuchapu
aliousema Masilinde kila kitu kingekwenda
sawasawa. ..
“Lakini iwe chapuchapu kweli mpenzi , ” alisema
akitoa kanga mwilini mwake na kuitupia kando,
akalala.
Kule nje , mama Mwaija alijiuliza swali moja tu,
kwamba tangu mumewe ameingia chumbani kwa
Mwaija hajamsikia akisema chochote wala
Mwaija kuendelea kulia , kuna nini ?
“Halafu huyu mume wangu vipi sasa ? Mbona
nampa maagizo lakini na yeye hasemi chochote
kwa mtoto, ina maana gani sasa ya yeye
kuingia?” alijisemea moyoni mama Mwaija .
Chumbani mechi ya chapuchapu ilianza lakini
kumbe Masilinde naye akabaini kuwa , mkewe
anaweza akashtuka kwani tangu ameingia
hajasema chochote . Kwa hiyo ili kumzuga
akaanza.. .
“Halafu kumbe wewe Mwaija hutumii chandarua ?
Hii si malaria ? Ni kwa nini lakini?”
“Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku
akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka
Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . ..
“U .. .u ...uta .. .a ... nza li ...li ?”
Maneno hayo ya Masilinde yakamshtuka mama
Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama
ndani. ..itaendeleaa

JAMANI BABA Sehemu 14 ILIPOISHIA: Alishika kitasa, akakizungusha , mlango ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. . “Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ” alisema moyoni Masilinde huku akimalizikia kuingia chumbani humo .. . “We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia kufanya nini mume wangu jamani?” SOGEA NAYO MWENYEWE ... Masilinde alisimama mlangoni na kugeuka kumwangalia mke wake . .. “Nimesikia kama Mwaija analia, sasa nimekuja kumwangalia , hebu ingia wewe,” alijitetea mwanaume huyo ...“ Kinachomliza ni nini sasa, asisemwe?” alisema mama Mwaija huku akienda chumbani kwa Mwaija . .. “Na mimi nimehisi hivyohivyo , pengine ulivyomsema.” Kule chumbani, kumbe Mwaija alikuwa macho . Hata yeye alijua baba yake huyo wa kambo angeenda kumpa msosi wa usiku ndipo alale kwa hiyo alisikia mlango ukifunguliwa na alisikia swali la mama yake kumuuliza mumewe anakwenda kufanya nini chumbani kwa mtoto. Pia, Mwaija alisikia utetezi wa baba yake kwamba alimsikia akilia . Kwa hiyo aliposikia mama yake anakwenda akaanza kulia ... “Ooo.. .uuui! uiiii ... ” “Wewe nini?” aliuliza mama yake baada ya kuzama ndani . “Kichwa mama .” “Dawa si umekunywa?” “Nilikunywa .” “Ulikunywa ngapi ?” “Vidonge viwili. ” “Ulibakiza vingine ?” “Ndiyo.” “Basi vimalizie, ” alisema mama Mwaija , lakini mume wake akagoma . .. “Hapana! Hawezi kunywa dawa nyingine muda huu . Lazima yapite masaa manne mpaka matano .” “Haya , lala mpaka yapite masaa matano ndipo unywe tena , umesikia ?” “Sawa mama ,” alisema Mwaija huku moyoni akisema.. . “Wewe, umekutana na watu wajanja kuliko wewe, kalale mama, utazeeka bure kunifuatilia kila saa .” “Labda na wewe baba Mwaija ungeingia umpe moyo kwamba asiwe na wasiwasi maana naona kama anatetemeka ,” mama Mwaija alimwambia mumewe aliyekuwa amesimama nje ya mlango ... “Kweli ,” alisema baba huyo huku akizama . Kutokana na udogo wa chumba, mama Mwaija hakuona sababu ya kubaki humo , akatoka na kusimama nje .. . “Au kama anahisi kichwa kimekazana akitie maji,” alisema mama Mwaija ... Masilinde alipozama ndani tu alirudisha mlango huku akisema .. . “Naona leo kuna mbu wengi sana.” Alikwenda kusimama jirani na kitanda na kumwinamia Mwaija, akamsogelea na kutoa ulimi, Mwaija akaudaka... “Mmmmm.. ..” “Mmmm.. .mmmm.” Waligugumia wote lakini kwa tahadhari kubwa ili mama Mwaija asisikie kule nje ya mlango. .. “Lakini huyo tangu utoto kichwa chake si kizuri ,” mama Mwaija alisema. .. “Halafu naye ana tabia ya kutopenda kutumia chandarua,” aliendelea kusema mwanamke huyo.. . “Mwaija ,” aliita Masilinde... “Niambie mpenzi wangu. ..” “Mbona mama anaongeaongea sana ?” “Hata mimi namshangaa ...” “Basi nipe tena denda mpenzi wangu ,” alisema Masilinde, akapewa .. . “Mmmm.. .” “Mmmmm.. .mmm.. .” “Mwambie asilie , akizidiwa asubuhi nitampeleka hospitali akapime malaria ,” mama Mwaija aliendelea kushauri , kukosoa na kuelekeza wakati wenzake walikuwa wamezama kwenye dimbwi la mahaba mazito , denda hadi mate yanachuruzika. .. “Akikusumbua mchape makofi mume wangu , mtoto mdogo kama huyo asitupelekeshe sana ,” aliendelea mama Mwaija . Sasa, Masilinde alianza kumshikashika Mwaija sehemu mbalimbali za mwili kiasi kwamba, Mwaija akajikuta anashindwa kuvumilia na kuanza kuweweseka ... “Jamani baba ... ” “Haaa ! Atasikia mama yako wewe , kelele za nini sasa?” alisema Masilinde lakini akaendelea, safari hii akamshika nido na kuminyaminya. .. “Baba jamani !” “Weee . Acha kusema kwa sauti. ..” “Halafu kama hataki kulala mwache si tukalale,” kule nje mama Mwaija aliendelea kusema huku akipiga mwayo wa usingizi... “Hebu lala basi tumalizie hapahapa chapuchapu ,” Masilinde alimwagiza Mwaija .. . “Weee , mama akiingia je ?” “Si chapuchapu ? Kwani hujui maama ya chapuchapu?” Mwaija aliamini kuwa , kwa uchapuchapu aliousema Masilinde kila kitu kingekwenda sawasawa. .. “Lakini iwe chapuchapu kweli mpenzi , ” alisema akitoa kanga mwilini mwake na kuitupia kando, akalala. Kule nje , mama Mwaija alijiuliza swali moja tu, kwamba tangu mumewe ameingia chumbani kwa Mwaija hajamsikia akisema chochote wala Mwaija kuendelea kulia , kuna nini ? “Halafu huyu mume wangu vipi sasa ? Mbona nampa maagizo lakini na yeye hasemi chochote kwa mtoto, ina maana gani sasa ya yeye kuingia?” alijisemea moyoni mama Mwaija . Chumbani mechi ya chapuchapu ilianza lakini kumbe Masilinde naye akabaini kuwa , mkewe anaweza akashtuka kwani tangu ameingia hajasema chochote . Kwa hiyo ili kumzuga akaanza.. . “Halafu kumbe wewe Mwaija hutumii chandarua ? Hii si malaria ? Ni kwa nini lakini?” “Nitatumia baba ,” alisema Mwaija huku akichanganya makiki ya karibukaribu mpaka Masilinde akajikuta tayari mambo yako njiani . .. “U .. .u ...uta .. .a ... nza li ...li ?” Maneno hayo ya Masilinde yakamshtuka mama Mwaija kule nje , akakimbilia mlangoni na kuzama ndani. ..itaendeleaa

...
JAMANI BABA
Sehemu 13
ILIPOISHIA
Mwaija alitoka, akarudi nyumbani huku miguu
ikimtetemeka. Alijua mama yake atamla nyama
siku hiyo. Alipofika, alisukuma mlango akaingia
ndani. ..
“Ukitaka salama yako Mwaija uniambie ukweli ni
mwanaume gani uliyekuwa naye pale gesti ? .
Usinidanganye maana mimi nilimwona kwa
macho yangu ,” alisema mama Mwaija .
ENDELEA ...
Mwaija alianza kutetemeka kwa mbali akiamini
mama yake atamtoa sikio kama si kiganja cha
mkono.. .
“Mama nisamehe sana .”
“Nikusamehe kwa sababu gani?”
“Nisamehe tu mama, najua nimekukera sana.”
“Nimekuuliza ulikuwa na nani?”
“Na mwanaume mmoja hivi .. .”
“Anaitwa nani?”
“Abdallah .”
“Anaishi wapi ?”
“Kule chini.”
“Mlikutana wapi mpaka mkakubaliana kuingia
gesti?”
“Siku ile ulinituma mayai dukani ndiyo nikakutana
naye akaomba namba yangu.”
“Ahaa ! Sasa kumbe wewe umekuja Dar kwa ajili
ya kufanya uhuni siyo?”
“Hapana mama ... ”
“Huyo Abdallah kijana mzee ?”
“Yuko kama baba wa hapa ndani .”
“Kwa hiyo kumbe wewe siku moja utaweza hata
kunisaliti mimi mama yako ?”
“Hapana mama , siwezi kufanya hivyo . ”
“Unaweza ,” alisema mama Mwaija huku
akimsogelea mwanaye amchape makofi mawili
matatu kabla hajampa ushauri wa kimapenzi,
mara alisikika mtu akiingia akajua ni mumewe na
yeye hakutaka mume wake ajue kuhusu habari
ya yeye kumkuta Mwaija gesti ...
“Vipi mbona kama hamna amani humu ndani ?”
aliuliza Masilinde akijifanya hajui chochote na
sura za wote wawili zilikuwa zikionekana kuwa
na tafrani ...
“Si huyu Mwaija .”
“Amefanya nini ?”
“Nimekwenda msibani, nimerudi hajafanya kazi
yoyote ile .”
“Kwa nini , ye anasemaje ?”
“Hala na kusema ndiyo maana nikawa namsema
hapa.”
“Ah! We Mwaija , umeanza uvivu wako siyo?”
“Hapana baba , nilikuwa nahisi kama kichwa
kinaniuma ndiyo maana .”
“Umekunywa dawa ?”
“Sijanywa .”
“Sasa mama Mwaija kumbe mtoto anaumwa
kichwa angefanyaje kazi ?” aliuliza Masilinde...
“Mimi siamini ndiyo maana nimemgombeza .”
Kurudi kwa Masilinde kidogo kulituliza hali ya
hewa kiasi kwamba mama Mwaija alikwenda
kufanya kazi zake za ndani huku akimtaka binti
yake akanunue dawa anywe , apumzike. ..
“Nenda kanunue dawa sawa , unywe halafu
upumzike,” alisema...
“Sawa mama .”
***
Usiku, muda wa kulala ulifika, Mwaija alitangulia
kwenda chumbani lakini alivizia baba yake
amekaa sebuleni akapita hapo akiwa na kanga
moja tu. Safari hii alimtingishia makusudi
wowowo lake ili kumpa ujumbe kwamba wako
pamoja. ..
“Daaa ! Huyu mtoto ni wa kupangishiwa nyumba,
kweli tena. Haiwezekani akawa ananifanyia hivi
wakati anajua sina uwezo kwa usiku huu .”
Moyoni Masilinde aliamua kwamba , mkewe
atakapoingia kulala amzukie chumbani Mwaija .
Kwa hiyo aliendelea kuwepo sebuleni huku
mkewe naye akiendelea kuwepo jikoni lengo lake
mumewe akiingia chumbani tu aende chumbani
kwa Mwaija kumpa semina ya mapenzi mapema.
Kila alipotokea sebuleni, alimwona mumewe
amekaa macho pima ...
“Mh ! Huyu naye halali ?” alisema moyoni mama
Mwaija.
Masilinde naye, kila aliposimama na kuchungulia
jikoni, alimwona mkewe bado jikoni .. .
“Mh ! Huyu leo vipi kwani? Wenzie tunataka cha
kulalia yeye anaweka ukuta , ” alisema moyoni
Masilinde.
Saa saba kamili usiku , mama Mwaija na
mumewe walikuwa bado hawajaingia chumbani .
Lakini mwisho wa yote , mama Mwaija alishindwa
yeye, akaenda kulala...
“Mimi nakwenda kulala,” alisema mwanamke
huyo.. .
“Sa. ..aaawa ,” Masilinde naye alisema huku
akisinzia. ..
“Wewe bado kwani ?” aliulizwa Masilinde...
“Naangalia taarifa ya habari ya ITVT ,” alijibu
Masilinde bila kutambua kwamba muda ulikuwa
umekwenda sana .
“Taarifa ya habari saa hizi mume wangu ?”
“Kwani kuna nini ?”
“Ipo ?”
“Si ndiyo nasachisachi hapa, ” alijibu Masilinde
huku akiminyaminya rimoti.
Mama Mwaija alikwenda kulala, Mwaija kule
chumbani alikuwa hoi kwa usingizi, alikuwa
akikoroma lakini mlango wa chumba chake
ulikuwa wazi kwani wakati anakwenda kulala
aliamini Masilinde anaweza kuzama ndani kama
alivyowahi kufanya .
Masilinde alipoona ukimya ndani mwake ni
asilimia mia moja , alisimama sebuleni,
akajinyoosha kisha akaanza kutembea polepole
kuelekea chumbani kwa Mwaija. Njiani alikuwa
akijiambia...
“Nitalala mwepesi sana leo . Mtoto haishi kiu ,
ukimwangalia tu kiu inapanda , jamani! Kuna watu
ni wanawake wengine ni wana wa wake .”
Alishika kitasa, akakizungusha , mlango
ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. .
“Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ”
alisema moyoni Masilinde na kuingia chumbani
humo ...
“We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia
kufanya nini mume wangu jamani?”itaendeleaa

JAMANI BABA Sehemu 13 ILIPOISHIA Mwaija alitoka, akarudi nyumbani huku miguu ikimtetemeka. Alijua mama yake atamla nyama siku hiyo. Alipofika, alisukuma mlango akaingia ndani. .. “Ukitaka salama yako Mwaija uniambie ukweli ni mwanaume gani uliyekuwa naye pale gesti ? . Usinidanganye maana mimi nilimwona kwa macho yangu ,” alisema mama Mwaija . ENDELEA ... Mwaija alianza kutetemeka kwa mbali akiamini mama yake atamtoa sikio kama si kiganja cha mkono.. . “Mama nisamehe sana .” “Nikusamehe kwa sababu gani?” “Nisamehe tu mama, najua nimekukera sana.” “Nimekuuliza ulikuwa na nani?” “Na mwanaume mmoja hivi .. .” “Anaitwa nani?” “Abdallah .” “Anaishi wapi ?” “Kule chini.” “Mlikutana wapi mpaka mkakubaliana kuingia gesti?” “Siku ile ulinituma mayai dukani ndiyo nikakutana naye akaomba namba yangu.” “Ahaa ! Sasa kumbe wewe umekuja Dar kwa ajili ya kufanya uhuni siyo?” “Hapana mama ... ” “Huyo Abdallah kijana mzee ?” “Yuko kama baba wa hapa ndani .” “Kwa hiyo kumbe wewe siku moja utaweza hata kunisaliti mimi mama yako ?” “Hapana mama , siwezi kufanya hivyo . ” “Unaweza ,” alisema mama Mwaija huku akimsogelea mwanaye amchape makofi mawili matatu kabla hajampa ushauri wa kimapenzi, mara alisikika mtu akiingia akajua ni mumewe na yeye hakutaka mume wake ajue kuhusu habari ya yeye kumkuta Mwaija gesti ... “Vipi mbona kama hamna amani humu ndani ?” aliuliza Masilinde akijifanya hajui chochote na sura za wote wawili zilikuwa zikionekana kuwa na tafrani ... “Si huyu Mwaija .” “Amefanya nini ?” “Nimekwenda msibani, nimerudi hajafanya kazi yoyote ile .” “Kwa nini , ye anasemaje ?” “Hala na kusema ndiyo maana nikawa namsema hapa.” “Ah! We Mwaija , umeanza uvivu wako siyo?” “Hapana baba , nilikuwa nahisi kama kichwa kinaniuma ndiyo maana .” “Umekunywa dawa ?” “Sijanywa .” “Sasa mama Mwaija kumbe mtoto anaumwa kichwa angefanyaje kazi ?” aliuliza Masilinde... “Mimi siamini ndiyo maana nimemgombeza .” Kurudi kwa Masilinde kidogo kulituliza hali ya hewa kiasi kwamba mama Mwaija alikwenda kufanya kazi zake za ndani huku akimtaka binti yake akanunue dawa anywe , apumzike. .. “Nenda kanunue dawa sawa , unywe halafu upumzike,” alisema... “Sawa mama .” *** Usiku, muda wa kulala ulifika, Mwaija alitangulia kwenda chumbani lakini alivizia baba yake amekaa sebuleni akapita hapo akiwa na kanga moja tu. Safari hii alimtingishia makusudi wowowo lake ili kumpa ujumbe kwamba wako pamoja. .. “Daaa ! Huyu mtoto ni wa kupangishiwa nyumba, kweli tena. Haiwezekani akawa ananifanyia hivi wakati anajua sina uwezo kwa usiku huu .” Moyoni Masilinde aliamua kwamba , mkewe atakapoingia kulala amzukie chumbani Mwaija . Kwa hiyo aliendelea kuwepo sebuleni huku mkewe naye akiendelea kuwepo jikoni lengo lake mumewe akiingia chumbani tu aende chumbani kwa Mwaija kumpa semina ya mapenzi mapema. Kila alipotokea sebuleni, alimwona mumewe amekaa macho pima ... “Mh ! Huyu naye halali ?” alisema moyoni mama Mwaija. Masilinde naye, kila aliposimama na kuchungulia jikoni, alimwona mkewe bado jikoni .. . “Mh ! Huyu leo vipi kwani? Wenzie tunataka cha kulalia yeye anaweka ukuta , ” alisema moyoni Masilinde. Saa saba kamili usiku , mama Mwaija na mumewe walikuwa bado hawajaingia chumbani . Lakini mwisho wa yote , mama Mwaija alishindwa yeye, akaenda kulala... “Mimi nakwenda kulala,” alisema mwanamke huyo.. . “Sa. ..aaawa ,” Masilinde naye alisema huku akisinzia. .. “Wewe bado kwani ?” aliulizwa Masilinde... “Naangalia taarifa ya habari ya ITVT ,” alijibu Masilinde bila kutambua kwamba muda ulikuwa umekwenda sana . “Taarifa ya habari saa hizi mume wangu ?” “Kwani kuna nini ?” “Ipo ?” “Si ndiyo nasachisachi hapa, ” alijibu Masilinde huku akiminyaminya rimoti. Mama Mwaija alikwenda kulala, Mwaija kule chumbani alikuwa hoi kwa usingizi, alikuwa akikoroma lakini mlango wa chumba chake ulikuwa wazi kwani wakati anakwenda kulala aliamini Masilinde anaweza kuzama ndani kama alivyowahi kufanya . Masilinde alipoona ukimya ndani mwake ni asilimia mia moja , alisimama sebuleni, akajinyoosha kisha akaanza kutembea polepole kuelekea chumbani kwa Mwaija. Njiani alikuwa akijiambia... “Nitalala mwepesi sana leo . Mtoto haishi kiu , ukimwangalia tu kiu inapanda , jamani! Kuna watu ni wanawake wengine ni wana wa wake .” Alishika kitasa, akakizungusha , mlango ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. . “Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ” alisema moyoni Masilinde na kuingia chumbani humo ... “We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia kufanya nini mume wangu jamani?”itaendeleaa

...
JAMANI BABA
Sehemu 12
ILIPOISHIA :
Mwaija alijua! Alijua kuwa , Masilinde
alishahamasika na maneno yake , akabaini
kumbe maneno peke yake ni silaha ya
kumharakisha mwanaume huyo. ..
“Vipi tena baby ?”
“Ah! We unanichanganya dear mpaka najikuta
nataka kumaliza . ..”
“Pole sana baby, usimalize basi. ..lakini .. .lakini
mimi wako jamani.. .au unataka kingine zaidi ?”
“Sina. ..”
“Haya baby ... hata mimi sihitaji kingine zaidi ya
kilichopo. ..haya baby ... wewe tu.”
Masilinde safari hii alipatikana, akajikuta anapiga
mayowe kama mtoto mdogo huku machozi
yakimlengalenga. ..
“Mwaija mimi sikubali,” alisema Masilinde huku
akihema kwa nguvu akiwa ameshavunja dafu
lake.
“Kwa. ..kwa nini ba. ..by?” aliuliza Mwaija huku
akimkumbatia kwa nguvu Masilinde kumbe na
yeye alikuwa akivunja dafu lake lakini
kimyakimya.
“Mimi lazima nikupangishie chumba Mwaija , pale
nyumbani uhame , uko tayari?”
“Nipo tayari baba , wewe tu,” Mwaija alijibu kwa
sauti tamu , sauti ya kumnyofoa kama si kumtoa
nyoka pangoni mwake . ..
“Basi niachie mimi, sawa mama?”
“Sawa mpenzi , ” alisema Mwaija huku akizidi
kumbana Masilinde kwenye mikono yake milaini
kama ya mtoto mdogo. Ilikuwa shughuli nzito , kila
mmoja alionekana kumkamia mwenzake na
kutojali nini kitatokea mbele ya safari.
Kwa upande wake , Mwaija moyoni aliamua liwalo
kwa mama yake na liwe kwani ameshaahidiwa
kupangiwa nyumba na kuendelea na penzi la
baba yake wa kambo huyo ...
“Mama hata apige mpaka simu ijipokelee
yenyewe, mimi niko na wangu saa hizi ,” alisema
moyoni Mwaija huku akiendelea na mechi .
Ilikuwa piga nikupige.Masilinde Alimbana Mwaija Ukutani Akimpanua Mguu Wake Mmoja Huku Akiendelea Kupiga Mikito Ya Nguvu Mpk Mwaija Akawa Anavuta Shuka Na Kuugulia Kwa Sauti Za Utamu "Iiiiiiiiiiiiiiiiiiisssssss Aaaaaaaaannnnnnh Mmmmmmmmmmmh Maaaaaamaaaaaaah"Mwaija Alikuwa Akiisikilizia Mboo Ya Babaake Inavyosugua Kwny Kuta Za Kuma Yake Na Kukiri Kweli Alikuwa Anakunwa Ipasavyo,Jasho Lilimtoka Huku Aking'ata Meno Ujanja Wote Ulimuisha Alikuwa Hoi.
Mzee Masilinde Aliendelea Kutomba Kwa Haraka Zaidi Kama Mtu Aliekuwa Anawahi Kwenda Kuzima Moto Kwny Jengo Linalowaka!
Hali Iliyomfanya Mwaija aachie mayowe ya
kuashiria Kuwa Alikuwa Anakaribia Kufika Kileleni Huku Masilinde Nae Akifuata Kwa Nyuma.Jasho jembamba lilimchuruzika Masilinde
lakini kwa sababu yeye alikuwa upande mzuri,
Mwaija alitumia nafasi hiyo kumfuta jasho kwa
taulo huku akihema kwa kasi.
Ni Mwaija ndiye aliyeanza kutangaza kwamba
anafika kwenye Kilele Cha Maraha. “Ngoja. ..ngoja Mwaija ngoja . ..ngoja
bwa... na.. .aaa ... ” alisema Masilinde akiwa
anaweweseka kwa dalili za kufika nayeye.
Alipomaliza kusema ngoja , Masilinde akabadili ,
akaanza kusema ...
“Haya sasa ... haya sasa Mwaija . ..haya
jama.. .niiii .”
Wakati akisema hivyo , Mwaija yeye alikuwa
akisema.. .
“Sawa .. .sawa ... sa.. .sa. ..waaa .. .”
Wakanyamaza kimya wote . Kilichokuwa
kikisikika hapo ni kuhema kwao tu. Mwaija
alikuwa akihema kwa spidi zaidi huku Masilinde
akifuatia kwa nyuma, kijasho kama kawaida .
“Loo ! Tumechoka ee?” aliuliza Mwaija huku
akimbusu shavuni Masilinde. ..
“Asante ... ni kweli tumechoka sana loo !” alijibu
mwanaume.
Wote walikuwa wamelala kama walivyozaliwa
pale kitandani . Hakuna aliyekuwa na aibu na
mwenzake. Kuna wakati walikutana macho,
Mwaija akaachia tabasamu laini huku
mwanaume akikenua kinywa tu lakini bila
kicheko.
“Sasa baby ?” aliuliza Mwaija ...
“Nini?”
“Tuondoke sasa au ?”
“Ni kweli , lakini tangulia wewe au?”
“Hapana, tangulia wewe.”
“Oke,” alisema Mwaija huku akitoka kitandani .
Kutembea kwake kwenda bafuni kulimpa wakati
mgumu sana Masilinde kwani alipomwangalia
wowowo lilivyokuwa likijiachia , alihisi
kuchanganyikiwa na kutamani kusitisha zoezi la
kuondoka ili waingie ngwe nyingine.. .
“Baby ,” aliiita Masilinde.. .
“Yes baby .”
“Kwani lazima tuondoke muda huu ?”
“Wewe tu, kwani bado wewe ?”
“Kama badobado. ..”
“Jamani , wewe kama mimi . Pia nahisi kama
badobado hivi .”
“Basi njoo.”
Mwaija aliingia bafuni bila kumjibu Masilinde
kama anarudi au la ! Akaoga , akajifuta akatoka.
Kufika chumbani akapanda kitandani huku akiwa
analitupa mbali taulo alilojifunga wakati akienda
kuoga...
Alichekacheka kidogo kisha akamlalia Masilinde
kifuani.. .
“Baby simu inaita , atakuwa mama tu,” alisema
Mwaija huku akiifuata simu yake ili kuthibitisha
kama kweli ni mama yake. ..
“Si nilikwambia atakuwa mama, ni yeye, ”
alisema Mwaija ...
“Usipokee ,” Masilinde alishauri .
“Poa,” alikubali ushauri Mwaija huku akiiweka
simu kwenye stuli.
***
Mama Mwaija alikuwa amesimama dukani kwa
Mshihiri na kumpigia simu Mwaija. Alifika dukani
hapo kwa sababu aliambiwa na mama Snura.. .
“Huyu mtoto ni mshe **i sana , kwa nini hapokei
simu yangu muda wote huo ,” alisema moyoni
mama Mwaija .. .
“Shikamoo, ” binti mmoja jirani na nyumbani
kwake alimwamkia mama Mwaija. ..
“Marhaba Tina, hujambo?”
“Sijambo. ”
“Hajambo mama?”
“Hajambo , unamtafuta nani?”
“Yule mwanangu mgenimgeni.”
“Yule nani sijui. ..”
“Anaitwa Mwaija. ”
“Nimemwona ameingia mle .”
Itaendelea

JAMANI BABA Sehemu 12 ILIPOISHIA : Mwaija alijua! Alijua kuwa , Masilinde alishahamasika na maneno yake , akabaini kumbe maneno peke yake ni silaha ya kumharakisha mwanaume huyo. .. “Vipi tena baby ?” “Ah! We unanichanganya dear mpaka najikuta nataka kumaliza . ..” “Pole sana baby, usimalize basi. ..lakini .. .lakini mimi wako jamani.. .au unataka kingine zaidi ?” “Sina. ..” “Haya baby ... hata mimi sihitaji kingine zaidi ya kilichopo. ..haya baby ... wewe tu.” Masilinde safari hii alipatikana, akajikuta anapiga mayowe kama mtoto mdogo huku machozi yakimlengalenga. .. “Mwaija mimi sikubali,” alisema Masilinde huku akihema kwa nguvu akiwa ameshavunja dafu lake. “Kwa. ..kwa nini ba. ..by?” aliuliza Mwaija huku akimkumbatia kwa nguvu Masilinde kumbe na yeye alikuwa akivunja dafu lake lakini kimyakimya. “Mimi lazima nikupangishie chumba Mwaija , pale nyumbani uhame , uko tayari?” “Nipo tayari baba , wewe tu,” Mwaija alijibu kwa sauti tamu , sauti ya kumnyofoa kama si kumtoa nyoka pangoni mwake . .. “Basi niachie mimi, sawa mama?” “Sawa mpenzi , ” alisema Mwaija huku akizidi kumbana Masilinde kwenye mikono yake milaini kama ya mtoto mdogo. Ilikuwa shughuli nzito , kila mmoja alionekana kumkamia mwenzake na kutojali nini kitatokea mbele ya safari. Kwa upande wake , Mwaija moyoni aliamua liwalo kwa mama yake na liwe kwani ameshaahidiwa kupangiwa nyumba na kuendelea na penzi la baba yake wa kambo huyo ... “Mama hata apige mpaka simu ijipokelee yenyewe, mimi niko na wangu saa hizi ,” alisema moyoni Mwaija huku akiendelea na mechi . Ilikuwa piga nikupige.Masilinde Alimbana Mwaija Ukutani Akimpanua Mguu Wake Mmoja Huku Akiendelea Kupiga Mikito Ya Nguvu Mpk Mwaija Akawa Anavuta Shuka Na Kuugulia Kwa Sauti Za Utamu "Iiiiiiiiiiiiiiiiiiisssssss Aaaaaaaaannnnnnh Mmmmmmmmmmmh Maaaaaamaaaaaaah"Mwaija Alikuwa Akiisikilizia Mboo Ya Babaake Inavyosugua Kwny Kuta Za Kuma Yake Na Kukiri Kweli Alikuwa Anakunwa Ipasavyo,Jasho Lilimtoka Huku Aking'ata Meno Ujanja Wote Ulimuisha Alikuwa Hoi. Mzee Masilinde Aliendelea Kutomba Kwa Haraka Zaidi Kama Mtu Aliekuwa Anawahi Kwenda Kuzima Moto Kwny Jengo Linalowaka! Hali Iliyomfanya Mwaija aachie mayowe ya kuashiria Kuwa Alikuwa Anakaribia Kufika Kileleni Huku Masilinde Nae Akifuata Kwa Nyuma.Jasho jembamba lilimchuruzika Masilinde lakini kwa sababu yeye alikuwa upande mzuri, Mwaija alitumia nafasi hiyo kumfuta jasho kwa taulo huku akihema kwa kasi. Ni Mwaija ndiye aliyeanza kutangaza kwamba anafika kwenye Kilele Cha Maraha. “Ngoja. ..ngoja Mwaija ngoja . ..ngoja bwa... na.. .aaa ... ” alisema Masilinde akiwa anaweweseka kwa dalili za kufika nayeye. Alipomaliza kusema ngoja , Masilinde akabadili , akaanza kusema ... “Haya sasa ... haya sasa Mwaija . ..haya jama.. .niiii .” Wakati akisema hivyo , Mwaija yeye alikuwa akisema.. . “Sawa .. .sawa ... sa.. .sa. ..waaa .. .” Wakanyamaza kimya wote . Kilichokuwa kikisikika hapo ni kuhema kwao tu. Mwaija alikuwa akihema kwa spidi zaidi huku Masilinde akifuatia kwa nyuma, kijasho kama kawaida . “Loo ! Tumechoka ee?” aliuliza Mwaija huku akimbusu shavuni Masilinde. .. “Asante ... ni kweli tumechoka sana loo !” alijibu mwanaume. Wote walikuwa wamelala kama walivyozaliwa pale kitandani . Hakuna aliyekuwa na aibu na mwenzake. Kuna wakati walikutana macho, Mwaija akaachia tabasamu laini huku mwanaume akikenua kinywa tu lakini bila kicheko. “Sasa baby ?” aliuliza Mwaija ... “Nini?” “Tuondoke sasa au ?” “Ni kweli , lakini tangulia wewe au?” “Hapana, tangulia wewe.” “Oke,” alisema Mwaija huku akitoka kitandani . Kutembea kwake kwenda bafuni kulimpa wakati mgumu sana Masilinde kwani alipomwangalia wowowo lilivyokuwa likijiachia , alihisi kuchanganyikiwa na kutamani kusitisha zoezi la kuondoka ili waingie ngwe nyingine.. . “Baby ,” aliiita Masilinde.. . “Yes baby .” “Kwani lazima tuondoke muda huu ?” “Wewe tu, kwani bado wewe ?” “Kama badobado. ..” “Jamani , wewe kama mimi . Pia nahisi kama badobado hivi .” “Basi njoo.” Mwaija aliingia bafuni bila kumjibu Masilinde kama anarudi au la ! Akaoga , akajifuta akatoka. Kufika chumbani akapanda kitandani huku akiwa analitupa mbali taulo alilojifunga wakati akienda kuoga... Alichekacheka kidogo kisha akamlalia Masilinde kifuani.. . “Baby simu inaita , atakuwa mama tu,” alisema Mwaija huku akiifuata simu yake ili kuthibitisha kama kweli ni mama yake. .. “Si nilikwambia atakuwa mama, ni yeye, ” alisema Mwaija ... “Usipokee ,” Masilinde alishauri . “Poa,” alikubali ushauri Mwaija huku akiiweka simu kwenye stuli. *** Mama Mwaija alikuwa amesimama dukani kwa Mshihiri na kumpigia simu Mwaija. Alifika dukani hapo kwa sababu aliambiwa na mama Snura.. . “Huyu mtoto ni mshe **i sana , kwa nini hapokei simu yangu muda wote huo ,” alisema moyoni mama Mwaija .. . “Shikamoo, ” binti mmoja jirani na nyumbani kwake alimwamkia mama Mwaija. .. “Marhaba Tina, hujambo?” “Sijambo. ” “Hajambo mama?” “Hajambo , unamtafuta nani?” “Yule mwanangu mgenimgeni.” “Yule nani sijui. ..” “Anaitwa Mwaija. ” “Nimemwona ameingia mle .” Itaendelea

...
JAMANI BABA
Sehemu 11
ILIPOISHIA :
“Wewe tu baby wangu, ” alisema Mwaija huku
bila soni wala haya akianza kumvua nguo
Masilinde ili akatwe kiu .
JIONGEZE SASA . ..
Masilinde alimwangalia Mwaija kwa macho ya
mahaba mazito huku ulimi ukiwa nje kuashiria
kwamba alikuwa akihisi raha kuvuliwa nguo na
binti huyo ambaye tangu azaliwe hajawahi
kumwona binti mrembo kama Mwaija .
Hata kumpata kwake kimapenzi, Masilinde
alitamani kufanya sherehe na kualika watu ili
wajue kwamba, amebahatika kumnasa mtoto
bomba kwelikweli .. .
“Sijui nimhamishe pale nyumbani halafu
nimtangazie ndoa ,” alisema moyoni Masilinde
akiwa amelegea kila sehemu ya mwili wakati
mikono ya Mwaija ikipita kumpapasa sehemu
mbalimbali za mwili .
“Ah! Hapo ulipopashika nimetekenyeka,” alisema
Masilinde.
Kwa kujua hilo , Mwaija alizidisha mbwembwe ,
sasa alikuwa akimvua huku anamkwaruza kwa
mbali na kucha za mikono yake, Masilinde
akawa kama mtoto aliyelazwa kwenye miguu ya
mama yake huku akivalishwa nepi !
Alikuwa akirusharusha miguu huku na kule huku
akijisikilizia kimapenzi. ..
“Baby na wewe nivue na mimi, ” alisema Mwaija
huku akiwa amepeleka mikono juu kumpa nafasi
Masilinde naye ashike zamu yake ya kumchojoa
nguo.
Masilinde ile anaanza tu, simu ya Mwaija ikaita . ..
“Huyo piga ua galagaza ni mama tu, ” alisema
Mwaija akiwa amekosa amani. ..
“Usipokee , mimi nitakutetea. Kwa hatua
tuliyofika si ya kuniacha kama tulivyoingia ,”
alisema Masilinde huku akimvua nguo kwa pupa
Mwaija.
Alimbinuabinua mpaka Mwaija akawa mtupu.
Mapigo ya moyo yalimwenda kwa kasi kwa
woga wa mama yake lakini kwa kuwa aliahidiwa
utetezi kwa mbali alirejesha mahaba kwa
Masilinde...
“Iwe haraka basi ,” alisema Mwaija akimaanisha
kama ni kukatwa kiu basi akatwe haraka ili
awahi nyumbani.. .
“Iwe haraka nini ?” alihoji Masilinde.
“Nikate kiu haraka jamani tuondoke . ”
Wakati Mwaija anatoa ufafanuzi wa kauli yake,
Masilinde Alimvuta Karibu Na Kuanza Kumla Mate Kwanza Hakutaka Discussion Iendelee Kwani Aliona Kama Anapoteza Muda Vile Huku Mwaija Nae Hakuwa Na Hiyana Akaupokea Vyema Ulimi Wa Masilinde Na Kuanza Kucheza Nao Mdomoni,Masilinde Akahamia Kwny Kifua Na Kuanza Kuchezea Chuchu Za Mwanae Huku Akizibinya Kama Dada Wa Kazi Anaechagua Nyanya Za Mchuzi Sokoni,Akawa Anazilamba Chuchu Taratibu Kabxa Na Ulimi Wake Mwaija Alikuwa Hoi  Kabxa Hapo alimsahau mama yake
kwamba anapiga simu kwani iliendelea kuita."Uuuuuuuuuh Oooooiosssh Aaaaaaanh Byb Nakupenda"Alijibinua Mwaija Kwa Raha Anazopata Kwani Joto La Mwili Lilipanda Si Mchezo Huku Masilinde Sasa Akashuka Hadi Kwny Kuma Na Kuanza Kuchezea Kisimi Kilichokuwa Kimedinda Na Kuwa Chekundu Kama Pilipili,Mwaija Alihemea Juujuu Kama Mtu Aliebanwa Pumzi,Masilinde Safari Hii Alizama Chumvini Kabisa Akiilamba Kuma Ya Mwanae Kiufundi Hali Iliyomfanya Mwaija Achizike Na Kuanza Kuongea Maneno Yasiyoeleweka Mpk Akakojoa Maskini Masilimde Akaanza Kumcheka...Mwija Aligeuza Kibao Akaishika Mboo Ya Babaake Iliyokuwa Imevimba Na Imekakamaa Misuli Kwa Uchu Wa Kuma Kwani Tayari Ilishaanza Kutoa Ute Mwepesi Kwa Mbali Mwaija Aliichezea Kwa Mikono Yake Taratibu Na Kuanza Kuilamba Kwa Ulimi Wake Pale Kwny Kichwa Masilinde Alitetemeka Kdg Ndipo Alipoibugia Mboo Yote Mdomoni Na Kuanza Kuinyonya Kama Pipi Ya Kijiti Huku Akimlegezea Jicho Babaake Hali Iliyomfanya Masilinde Kuwehuka Na Kutokana Na Lile Joto La Mdomoni Ndo Kabsaaaa Alidata...
Mwaija Hakutaka Kuelekezwa Chochote Akaipandia Mwnyw Mboo Akaiingiza Taratibu Kwny Kuma Akaikalia Na Kuanza Kujipump Juu Chini Ooooooh Aaaaashhhhhh Uuuuh Byb Taaamuuuu Huku Masilinde Akimchezea Maziwa Kifuani Chuchu Saa Sita Chuchu Zimesimama Hatari Mwaija Aliendelea Kujipimia Mwnyw Huku Akimshika Masilinde Mabegani.
Uuuuuuh Byb Aaaaaah Mboo Yako Tamu Baba,We Ni Wangu Sikuachi Jamaaaniii Oooosh"
Maneno yalimtoka Mwaija , lengo lake ilikuwa
kumhamasisha Masilinde ili afike mapema
kwenye kilele cha mlima waliokuwa wakiupanda
kwani hata yeye alishaanza kuwa na dalili za
kufika hapo ila alipunguza kasi ili wafike wote
kwa ushindi wa kishindo.
Masilinde alibadili aina ya mchezo, sasa ikawa
Mbuzi Kagoma Kwenda Huku Mwanae Akimpa Ushirikiano Kwa Kuyapanua Matako Yake Barabara Ili Mboo Ipite Vzuri Bila Kipingamizi Huku Akiugulia Aaaaaaah Iiiiiiiishhhhh Nitombe Baba Nitombe Kuma Yako Hii Chukua,Ingiza Yote,Nipe Baba Yote Mpk Mwisho Uuuuuuuh Byb"
Mapozi yote hayo , Mwaija alichanganyikiwa...
“We mzee .. .si unioe .. .”
“Mwa ... Mwa.. .ija mzee nani?”
“Naku ... nakutania we mpenzi wangu ,” alisema
Mwaija kupoza lakini pamoja na utani huo ,
Masilinde Alimweka Mwaija Style Ya Kifo Cha Mende Mwaija akaachia , mguu
wa kulia mashariki, wa kushoto magharibi ,
Masilinde Alipiga Mikiki Ya Hatari Alipump Nje Ndani Huku Akila Denda Taratibu Na Baadae Akahema kwa nguvu na kutangaza
kuvunja dafu, mwaa akadakia .. .
“Hata mimi. ..hata mimi ...hata mi. ..mi ...mimiiiii .. .”
***
“Hivi huyu mbwa ananitafutia nini mimi ?” mama
Mwaija alisema akiwa bado msibani. Yeye alitaka
kumpa maagizo f ’lani .
“Mbona umekasirika mwenzetu?” aliuliza
mwanamke mmoja swali likimwelekea mama
Mwaija. ..
“Si binti yangu. Nampigia simu nimpe maagizo
hapokei.”
“Ni yako yule niliyemkuta kwako siku ile anafagia
nje?” aliuliza mwanamke huyo mama Snura. ..
“Ndiyo yuleyule .”
“Mimi wakati nakuja nimekutana naye pale kwa
Mshihiri anaongea na simu , vicheko vingi,”
alisema mwanamke huyo .
“Ha ! Ina maana hayuko nyumbani?”
“Itakuwa. Kwa jinsi alivyovaa, atakuwa
anakwenda kwa wanaume. Kwani unamchunga,
si mtu mzima yule?”
“Mama Snura, mtu mzima ndiyo, ana miaka
ishirini na moja lakini si wakati wake kuwa na
wanaume huu . Asubiri kwanza.”
“Mh ! Mimi sichungi mtoto akifikisha miaka kumi
na nane , dunia itamfunza.”
***
Masilinde kawaida yake mechi ya kipindi cha
kwanza humpa ari ya kurudi uwanjani raundi ya
pili hivyo alipopumzika kidogo tu, akadandia tena
kwa nguvu zaidi ya zile za kwanza...
“Baby wewe bado ?” aliuliza Mwaija .. .
“Bado , si unaniona!”
“Nakuona , haya baby . Wewe tu baba ... niko kwa
ajili yako. ..mimi pia najikuta bado kwa sababu
wewe bado .”
Maneno hayo ya Mwaija yalimchochea sana
Masilinde kiasi kwamba, kule kuanza mechi tu,
washambuliaji walitaka kuingia uwanjani kwa
wingi kushangilia ushindi , ikabidi Masilinde
asitishe kidogo zoezi ili kujipa muda wa kuanza
tena.
Mwaija alijua! Alijua kuwa , Masilinde
alishahamasika na maneno yake , akabaini
kumbe maneno peke yake ni silaha ya
kumharakisha mwanaume huyo. ..
“Vipi tena baby ?”
“Ah! We unanichanganya dear mpaka najikuta
nataka kumaliza . ..”
“Pole sana baby, usimalize basi. ..lakini . ..lakini
mimi wako jamani.. .au unataka kingine zaidi ?”
“Sina. ..”itaendeleaa.

JAMANI BABA Sehemu 11 ILIPOISHIA : “Wewe tu baby wangu, ” alisema Mwaija huku bila soni wala haya akianza kumvua nguo Masilinde ili akatwe kiu . JIONGEZE SASA . .. Masilinde alimwangalia Mwaija kwa macho ya mahaba mazito huku ulimi ukiwa nje kuashiria kwamba alikuwa akihisi raha kuvuliwa nguo na binti huyo ambaye tangu azaliwe hajawahi kumwona binti mrembo kama Mwaija . Hata kumpata kwake kimapenzi, Masilinde alitamani kufanya sherehe na kualika watu ili wajue kwamba, amebahatika kumnasa mtoto bomba kwelikweli .. . “Sijui nimhamishe pale nyumbani halafu nimtangazie ndoa ,” alisema moyoni Masilinde akiwa amelegea kila sehemu ya mwili wakati mikono ya Mwaija ikipita kumpapasa sehemu mbalimbali za mwili . “Ah! Hapo ulipopashika nimetekenyeka,” alisema Masilinde. Kwa kujua hilo , Mwaija alizidisha mbwembwe , sasa alikuwa akimvua huku anamkwaruza kwa mbali na kucha za mikono yake, Masilinde akawa kama mtoto aliyelazwa kwenye miguu ya mama yake huku akivalishwa nepi ! Alikuwa akirusharusha miguu huku na kule huku akijisikilizia kimapenzi. .. “Baby na wewe nivue na mimi, ” alisema Mwaija huku akiwa amepeleka mikono juu kumpa nafasi Masilinde naye ashike zamu yake ya kumchojoa nguo. Masilinde ile anaanza tu, simu ya Mwaija ikaita . .. “Huyo piga ua galagaza ni mama tu, ” alisema Mwaija akiwa amekosa amani. .. “Usipokee , mimi nitakutetea. Kwa hatua tuliyofika si ya kuniacha kama tulivyoingia ,” alisema Masilinde huku akimvua nguo kwa pupa Mwaija. Alimbinuabinua mpaka Mwaija akawa mtupu. Mapigo ya moyo yalimwenda kwa kasi kwa woga wa mama yake lakini kwa kuwa aliahidiwa utetezi kwa mbali alirejesha mahaba kwa Masilinde... “Iwe haraka basi ,” alisema Mwaija akimaanisha kama ni kukatwa kiu basi akatwe haraka ili awahi nyumbani.. . “Iwe haraka nini ?” alihoji Masilinde. “Nikate kiu haraka jamani tuondoke . ” Wakati Mwaija anatoa ufafanuzi wa kauli yake, Masilinde Alimvuta Karibu Na Kuanza Kumla Mate Kwanza Hakutaka Discussion Iendelee Kwani Aliona Kama Anapoteza Muda Vile Huku Mwaija Nae Hakuwa Na Hiyana Akaupokea Vyema Ulimi Wa Masilinde Na Kuanza Kucheza Nao Mdomoni,Masilinde Akahamia Kwny Kifua Na Kuanza Kuchezea Chuchu Za Mwanae Huku Akizibinya Kama Dada Wa Kazi Anaechagua Nyanya Za Mchuzi Sokoni,Akawa Anazilamba Chuchu Taratibu Kabxa Na Ulimi Wake Mwaija Alikuwa Hoi Kabxa Hapo alimsahau mama yake kwamba anapiga simu kwani iliendelea kuita."Uuuuuuuuuh Oooooiosssh Aaaaaaanh Byb Nakupenda"Alijibinua Mwaija Kwa Raha Anazopata Kwani Joto La Mwili Lilipanda Si Mchezo Huku Masilinde Sasa Akashuka Hadi Kwny Kuma Na Kuanza Kuchezea Kisimi Kilichokuwa Kimedinda Na Kuwa Chekundu Kama Pilipili,Mwaija Alihemea Juujuu Kama Mtu Aliebanwa Pumzi,Masilinde Safari Hii Alizama Chumvini Kabisa Akiilamba Kuma Ya Mwanae Kiufundi Hali Iliyomfanya Mwaija Achizike Na Kuanza Kuongea Maneno Yasiyoeleweka Mpk Akakojoa Maskini Masilimde Akaanza Kumcheka...Mwija Aligeuza Kibao Akaishika Mboo Ya Babaake Iliyokuwa Imevimba Na Imekakamaa Misuli Kwa Uchu Wa Kuma Kwani Tayari Ilishaanza Kutoa Ute Mwepesi Kwa Mbali Mwaija Aliichezea Kwa Mikono Yake Taratibu Na Kuanza Kuilamba Kwa Ulimi Wake Pale Kwny Kichwa Masilinde Alitetemeka Kdg Ndipo Alipoibugia Mboo Yote Mdomoni Na Kuanza Kuinyonya Kama Pipi Ya Kijiti Huku Akimlegezea Jicho Babaake Hali Iliyomfanya Masilinde Kuwehuka Na Kutokana Na Lile Joto La Mdomoni Ndo Kabsaaaa Alidata... Mwaija Hakutaka Kuelekezwa Chochote Akaipandia Mwnyw Mboo Akaiingiza Taratibu Kwny Kuma Akaikalia Na Kuanza Kujipump Juu Chini Ooooooh Aaaaashhhhhh Uuuuh Byb Taaamuuuu Huku Masilinde Akimchezea Maziwa Kifuani Chuchu Saa Sita Chuchu Zimesimama Hatari Mwaija Aliendelea Kujipimia Mwnyw Huku Akimshika Masilinde Mabegani. Uuuuuuh Byb Aaaaaah Mboo Yako Tamu Baba,We Ni Wangu Sikuachi Jamaaaniii Oooosh" Maneno yalimtoka Mwaija , lengo lake ilikuwa kumhamasisha Masilinde ili afike mapema kwenye kilele cha mlima waliokuwa wakiupanda kwani hata yeye alishaanza kuwa na dalili za kufika hapo ila alipunguza kasi ili wafike wote kwa ushindi wa kishindo. Masilinde alibadili aina ya mchezo, sasa ikawa Mbuzi Kagoma Kwenda Huku Mwanae Akimpa Ushirikiano Kwa Kuyapanua Matako Yake Barabara Ili Mboo Ipite Vzuri Bila Kipingamizi Huku Akiugulia Aaaaaaah Iiiiiiiishhhhh Nitombe Baba Nitombe Kuma Yako Hii Chukua,Ingiza Yote,Nipe Baba Yote Mpk Mwisho Uuuuuuuh Byb" Mapozi yote hayo , Mwaija alichanganyikiwa... “We mzee .. .si unioe .. .” “Mwa ... Mwa.. .ija mzee nani?” “Naku ... nakutania we mpenzi wangu ,” alisema Mwaija kupoza lakini pamoja na utani huo , Masilinde Alimweka Mwaija Style Ya Kifo Cha Mende Mwaija akaachia , mguu wa kulia mashariki, wa kushoto magharibi , Masilinde Alipiga Mikiki Ya Hatari Alipump Nje Ndani Huku Akila Denda Taratibu Na Baadae Akahema kwa nguvu na kutangaza kuvunja dafu, mwaa akadakia .. . “Hata mimi. ..hata mimi ...hata mi. ..mi ...mimiiiii .. .” *** “Hivi huyu mbwa ananitafutia nini mimi ?” mama Mwaija alisema akiwa bado msibani. Yeye alitaka kumpa maagizo f ’lani . “Mbona umekasirika mwenzetu?” aliuliza mwanamke mmoja swali likimwelekea mama Mwaija. .. “Si binti yangu. Nampigia simu nimpe maagizo hapokei.” “Ni yako yule niliyemkuta kwako siku ile anafagia nje?” aliuliza mwanamke huyo mama Snura. .. “Ndiyo yuleyule .” “Mimi wakati nakuja nimekutana naye pale kwa Mshihiri anaongea na simu , vicheko vingi,” alisema mwanamke huyo . “Ha ! Ina maana hayuko nyumbani?” “Itakuwa. Kwa jinsi alivyovaa, atakuwa anakwenda kwa wanaume. Kwani unamchunga, si mtu mzima yule?” “Mama Snura, mtu mzima ndiyo, ana miaka ishirini na moja lakini si wakati wake kuwa na wanaume huu . Asubiri kwanza.” “Mh ! Mimi sichungi mtoto akifikisha miaka kumi na nane , dunia itamfunza.” *** Masilinde kawaida yake mechi ya kipindi cha kwanza humpa ari ya kurudi uwanjani raundi ya pili hivyo alipopumzika kidogo tu, akadandia tena kwa nguvu zaidi ya zile za kwanza... “Baby wewe bado ?” aliuliza Mwaija .. . “Bado , si unaniona!” “Nakuona , haya baby . Wewe tu baba ... niko kwa ajili yako. ..mimi pia najikuta bado kwa sababu wewe bado .” Maneno hayo ya Mwaija yalimchochea sana Masilinde kiasi kwamba, kule kuanza mechi tu, washambuliaji walitaka kuingia uwanjani kwa wingi kushangilia ushindi , ikabidi Masilinde asitishe kidogo zoezi ili kujipa muda wa kuanza tena. Mwaija alijua! Alijua kuwa , Masilinde alishahamasika na maneno yake , akabaini kumbe maneno peke yake ni silaha ya kumharakisha mwanaume huyo. .. “Vipi tena baby ?” “Ah! We unanichanganya dear mpaka najikuta nataka kumaliza . ..” “Pole sana baby, usimalize basi. ..lakini . ..lakini mimi wako jamani.. .au unataka kingine zaidi ?” “Sina. ..”itaendeleaa.

...
JAMANI BABA
Sehemu 10
ILIPOISHIA
“Oooh ! Sasa?”
“Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?”
“Ee, ndiyo .”
“Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba unikate kiu
kwelikweli mpenzi wangu.”
SEPA NAYO SASA . ..
“Hilo wala si ombi ni jukumu langu mimi kama
mpenzi wako , mimi kama mkata kiu wako na
mimi kama mumeo mtarajiwa, ” alisema
Masilinde huku mapigo ya moyo yakimwenda
kwa kasi ya ajabu kwani alikuwa bado hajaamini
kama amefika mahali binti mbichi kabisa ,
aliyeumbwa akaumbika kama Mwaija anafikia
hatua ya kuomba kukatwa kiu na yeye .
“Sasa sikia , ulizia watu Kwasandarusi ni wapi ,
watakuonesha mimi utanikuta nimekaa nje .”
“Sawa baby ,” alijibu bila woga Mwaija .Mwaija
alifunga nyumba huku sauti ya mama yake
ikisikika masikioni mwake . ..“ Mimi nakwenda
msibani tena, naomba usitoke nyumbani Mwaija .”
“Sawa mama .”
“We sema sawa mama halafu nirudi nikute
haupo.”
“Haitatokea mama. ”
“Sawa .”
“Aah! Sasa nikianza kuogopa maneno ya mama
nitalala na kiu yangu, ye’ ikifika usiku atakatwa
kiu, mimi je ?” alijipa moyo Mwaija huku akianza
safari ya kuelekea Kwasandarusi.. .
“Eti we mtoto, hujambo ?”
“Sijambo, shikamoo.”
“Marahabaa . Eti Kwasandarusi wapi ?”
“Pale penye mikokoteni nje ,” alijibu mtoto mmoja
aliyekuwa akicheza mtaani .
“Haya asante ee?” alishukuru Mwaija .
Mwaija alitembea kuelekea Kwasandarusi , kwa
mbali alimwona mama yake wa kambo amekaa
nje kwenye fomu ...
“Nikifika nitamwonesha maajabu ,
nitamkumbatia, ” alisema moyoni Mwaija .
“Kweli , alipofika, wakati Masilinde anasimama ili
kumkaribisha, Mwaija akamvaa na kumkumbatia
kisha mabusu mfululizo yakafuatia ...
“Mmm.. .mwaaa ... mmmmmwaaa ... mmmmwaaa!”
Masilinde tayari alishafika kitandani kihisia
japokuwa mabusu yale yaliwashangaza wengi
kwani waliowaona walibaini tofauti kubwa ya
umri kati ya Masilinde aliyeonekana kama ana
miaka 50 na Mwaija aliyeonekana ana miaka
kama 20 tu!
“Yule si kama mtoto wake?” alisema mzee
mmoja akiwa jirani na eneo la waliposimama
wawili hao .. .
“Yahe siku hizi ukifuata umri utaachwa! We
angalia wapi umelenga ,” alisema mwenzake
wakiwakodolea macho akina Masilinde.
“Nikwambie kitu my love,” alianza kusema
Mwaija.
“Nambie tu. ”“ Mama alinionya kuhusu kutoka
nyumbani.”
“Kwa hiyo?”
“Kwa hiyo twende haraka , kila kitu kiende
haraka ili niwahi kurudi kabla hajarudi. ”
“Sawa . Sasa unaona lile geti la mwisho pale?”
“Ndiyo.”
“Ile ni gesti , inaitwa Kichapo! Nenda pale ingia
mimi nakuja nikukute imesimama mapokezi ,
sawa?”
“Sawa ,” alisema Mwaija akiwa ameshaanza
kutembea kuelekea kwenye gesti hiyo ya
Kichapo.
“Hodi. ..hodi wenyewe,” Mwaija alibisha hodi
baada ya kuhisi ukimya umetawala .
“Karibu, ” sauti ya mwanaume ilisikika kutokea
ndani.
Mwaija alisimama mapokezi. ..
“Kuna mtu kaniambia nije nimsubiri hapa
mapokezi,” alisema Mwaija akiwa
anaogopaogopa...
“Nani, au Masilinde?” mtu wa mapokezi
alimuuliza.
“Mh ! Mi simjui jina . ”
“Sasa we utakujaje na mtu humjui jina ?”
“Hayakuhusu ,” alikuja juu Mwaija .. .
“Halafu pamoja na kuja kumsubiri mtu, we mtoto
umeumbika kweli ungekuwa na mtu kama mimi
ungefaidi. Ningekununulia simu ya maana, viatu
vizuri , yaani ungependa mwenyewe, ” alisema
yule mtu wa mapokezi.
“Sina shida navyo,” alijibu Mwaija , safari hii
akionesha hasira za waziwazi .
Mtu wa mapokezi aliposikia mlio wa viatu
alijikausha akijua aliyemtuma Mwaija kumsubiri
hapo anaingia ...
“Karibu sana. ”
“Asante . Kuna chumba ?”
“Kipo. ”
“Naomba. ”
Masilinde alichukua chumba akazama ndani na
Mwaija. ..
“Eti baby, we unaitwa nani?” aliuliza Mwaija mara
baada ya kukaa tu.
“Kwani vipi dear, hujui jina langu ?”
“Silijui . Nani ataniambia na kwa ajili ya nini ?”
Masilinde alipiga hesabu za haraka akagundua
kuwa, kuuliza kwa Mwaija kumekuja kwa
kuambiwa na mhudumu wa gesti hiyo. ..
“Huyu haiwezekani tumeingia chumbani kukaa
tu, anaulina naitwa nani? Lazima kaambiwa jina
langu na yule kijana. Na kama ni kweli kwa
kamwambia kwa sababu gani na ili iweje ?”
alijiuliza Masilinde.. .
“Mimi naitwa Mathayo, ” Masilinde alilitaja jina
lake la kwanza ambalo alijua muhudumu wa
gesti halijui.
“Ooo! Maana yule kaka kaniuliza umekuja
kumsubiri nani? Nikasema simjui jina , akasema
au Masilinde nini ? Sasa nikawa najiuliza
inawezekana ukawa unajulikana kwa jina hadi
gesti?”
“Simjui mimi na ni mara yangu ya kwanza
kuingia humu . Kumbe mzuri kidogo, si tutakuwa
tunakujakuja hapa mara mojamoja?” aliuliza
Masilinde...“ Wewe tu baby wangu,” alisema
Mwaija huku bila soni wala haya akianza kumvua
nguo Masilinde ili akatwe kiu . itaendeleaaa

JAMANI BABA Sehemu 10 ILIPOISHIA “Oooh ! Sasa?” “Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?” “Ee, ndiyo .” “Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba unikate kiu kwelikweli mpenzi wangu.” SEPA NAYO SASA . .. “Hilo wala si ombi ni jukumu langu mimi kama mpenzi wako , mimi kama mkata kiu wako na mimi kama mumeo mtarajiwa, ” alisema Masilinde huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa kasi ya ajabu kwani alikuwa bado hajaamini kama amefika mahali binti mbichi kabisa , aliyeumbwa akaumbika kama Mwaija anafikia hatua ya kuomba kukatwa kiu na yeye . “Sasa sikia , ulizia watu Kwasandarusi ni wapi , watakuonesha mimi utanikuta nimekaa nje .” “Sawa baby ,” alijibu bila woga Mwaija .Mwaija alifunga nyumba huku sauti ya mama yake ikisikika masikioni mwake . ..“ Mimi nakwenda msibani tena, naomba usitoke nyumbani Mwaija .” “Sawa mama .” “We sema sawa mama halafu nirudi nikute haupo.” “Haitatokea mama. ” “Sawa .” “Aah! Sasa nikianza kuogopa maneno ya mama nitalala na kiu yangu, ye’ ikifika usiku atakatwa kiu, mimi je ?” alijipa moyo Mwaija huku akianza safari ya kuelekea Kwasandarusi.. . “Eti we mtoto, hujambo ?” “Sijambo, shikamoo.” “Marahabaa . Eti Kwasandarusi wapi ?” “Pale penye mikokoteni nje ,” alijibu mtoto mmoja aliyekuwa akicheza mtaani . “Haya asante ee?” alishukuru Mwaija . Mwaija alitembea kuelekea Kwasandarusi , kwa mbali alimwona mama yake wa kambo amekaa nje kwenye fomu ... “Nikifika nitamwonesha maajabu , nitamkumbatia, ” alisema moyoni Mwaija . “Kweli , alipofika, wakati Masilinde anasimama ili kumkaribisha, Mwaija akamvaa na kumkumbatia kisha mabusu mfululizo yakafuatia ... “Mmm.. .mwaaa ... mmmmmwaaa ... mmmmwaaa!” Masilinde tayari alishafika kitandani kihisia japokuwa mabusu yale yaliwashangaza wengi kwani waliowaona walibaini tofauti kubwa ya umri kati ya Masilinde aliyeonekana kama ana miaka 50 na Mwaija aliyeonekana ana miaka kama 20 tu! “Yule si kama mtoto wake?” alisema mzee mmoja akiwa jirani na eneo la waliposimama wawili hao .. . “Yahe siku hizi ukifuata umri utaachwa! We angalia wapi umelenga ,” alisema mwenzake wakiwakodolea macho akina Masilinde. “Nikwambie kitu my love,” alianza kusema Mwaija. “Nambie tu. ”“ Mama alinionya kuhusu kutoka nyumbani.” “Kwa hiyo?” “Kwa hiyo twende haraka , kila kitu kiende haraka ili niwahi kurudi kabla hajarudi. ” “Sawa . Sasa unaona lile geti la mwisho pale?” “Ndiyo.” “Ile ni gesti , inaitwa Kichapo! Nenda pale ingia mimi nakuja nikukute imesimama mapokezi , sawa?” “Sawa ,” alisema Mwaija akiwa ameshaanza kutembea kuelekea kwenye gesti hiyo ya Kichapo. “Hodi. ..hodi wenyewe,” Mwaija alibisha hodi baada ya kuhisi ukimya umetawala . “Karibu, ” sauti ya mwanaume ilisikika kutokea ndani. Mwaija alisimama mapokezi. .. “Kuna mtu kaniambia nije nimsubiri hapa mapokezi,” alisema Mwaija akiwa anaogopaogopa... “Nani, au Masilinde?” mtu wa mapokezi alimuuliza. “Mh ! Mi simjui jina . ” “Sasa we utakujaje na mtu humjui jina ?” “Hayakuhusu ,” alikuja juu Mwaija .. . “Halafu pamoja na kuja kumsubiri mtu, we mtoto umeumbika kweli ungekuwa na mtu kama mimi ungefaidi. Ningekununulia simu ya maana, viatu vizuri , yaani ungependa mwenyewe, ” alisema yule mtu wa mapokezi. “Sina shida navyo,” alijibu Mwaija , safari hii akionesha hasira za waziwazi . Mtu wa mapokezi aliposikia mlio wa viatu alijikausha akijua aliyemtuma Mwaija kumsubiri hapo anaingia ... “Karibu sana. ” “Asante . Kuna chumba ?” “Kipo. ” “Naomba. ” Masilinde alichukua chumba akazama ndani na Mwaija. .. “Eti baby, we unaitwa nani?” aliuliza Mwaija mara baada ya kukaa tu. “Kwani vipi dear, hujui jina langu ?” “Silijui . Nani ataniambia na kwa ajili ya nini ?” Masilinde alipiga hesabu za haraka akagundua kuwa, kuuliza kwa Mwaija kumekuja kwa kuambiwa na mhudumu wa gesti hiyo. .. “Huyu haiwezekani tumeingia chumbani kukaa tu, anaulina naitwa nani? Lazima kaambiwa jina langu na yule kijana. Na kama ni kweli kwa kamwambia kwa sababu gani na ili iweje ?” alijiuliza Masilinde.. . “Mimi naitwa Mathayo, ” Masilinde alilitaja jina lake la kwanza ambalo alijua muhudumu wa gesti halijui. “Ooo! Maana yule kaka kaniuliza umekuja kumsubiri nani? Nikasema simjui jina , akasema au Masilinde nini ? Sasa nikawa najiuliza inawezekana ukawa unajulikana kwa jina hadi gesti?” “Simjui mimi na ni mara yangu ya kwanza kuingia humu . Kumbe mzuri kidogo, si tutakuwa tunakujakuja hapa mara mojamoja?” aliuliza Masilinde...“ Wewe tu baby wangu,” alisema Mwaija huku bila soni wala haya akianza kumvua nguo Masilinde ili akatwe kiu . itaendeleaaa

...
JAMANI BABA
Sehemu 09
ILIPOISHIA :
“Uko poa ? Nimekumisi sana !”
“Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba ,
niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani
kwangu?”
ENDELEA SASA .. .
“Angejua unadhani angekuacha?”
“Najua asingeniacha , lakini mbona kama leo
kaamka vibaya kuliko siku nyingine?”
“Mvumilie , ndivyo anavyokuaga wakati
mwingine, mimi namjua .”
“Nilidhani alijua , maana kama nakiona kifo
njenje.”
“Usijali Mwaija. Sasa leo inakuaje?”
“Nakusikiliza wewe baba .”
“Huwezi kutoka tukakutana mahali ?”
“Mama nitamwambia naenda wapi ?”
“Kusuka .”
“Ataniuliza pesa nimepata wapi, nitasemaje?”
“Utamwambia nimekupa mimi. ”
“Mh ! Baba , hatanielewa.”
“Atakuelewa tu, mimi akiniuliza nitajua cha
kumwambia.”
“Halafu si itabidi nikasuke kweli? Maana nikirudi
sijasuka je ?”
“Utamwambia ulikuta foleni na muda unazidi
kwenda ndiyo ukaamua kurudi .”
“Basi nitajaribu baba. ”
“Sawa Mwaija halafu kuna kitu kingine nataka
kukwambia...”
“Kipi hicho baba jamani ?”
“Usiniite baba . Niite dear au mpenzi. ”
“Usijali basi my dear. ”
Masilinde alihisi damu zikitembea kwa kasi
mwilini na msisimko juu kwa kusoma meseji
akiitwa dear!
“Safi sana ! halafu kingine tena. ..”
“Kingine tena nini jamani mpenzi wangu ?”
“Mh ! We mtoto unajua kusakata kabumbu
kitandani. ”
“Kuliko wewe dear?”
“Unanishinda .”
“Sikushindi ila ufundi wako ndiyo unaonifanya na
mimi unione fundi .”
“Loo ! Mwaija mpenzi ... unapenda staili gani zaidi
ili tukikutana nikupe hiyo .”
“Mmm! Kwa wewe yoyote ile lakini ile ya kagoma
kwenda nzuri , nyingine napenda ile ya kujiandaa
kuunga mchuzi kwa nazi .”
Masilinde alibaki hoi. Kagoma kwenda hakujua ni
nini, kujiandaa kuunga mchuzi kwa nazi pia
hakujua ni nini ! Kuuliza akashindwa, akabaki
kimya na kujifanya anajua kila kitu .
“Hizo zote utazipata leo tukikutana . Halafu we
mtoto umeumbwa vizuri sana, uliumbwa asubuhi
nini? Maana loo !”
“Siyo sana jamani dear , kidogo tu.”
“Loo ! Mtoto kila kitu kipo sawasawa . Ukitembea
unatembea kweli . Ukikaa umekaa kweli. Kulia na
kushoto umejazia , uani ndiyo balaa ,” Masilinde
alimsifia Mwaija huku mwili ukiwa tayari moto .
“Mh ! Jamani my love. Wewe je , umeumbwa
vizuri , mama anafaidi sana ndiyo maana nataka
tukufaidi wote .”
“Tena wewe utanifaidi sana kuliko mama yako .”
“Hayo maneno sasa mpenzi wangu, ” alisema
Mwaija. ..
“Wewe muda mrefu nakuona unaminyaminya
simu, unawasiliana na nani?” mama Mwaija
alisema kwa hasira huku akimsogelea ...
“Mama nilikuwa nawasiliana na rafiki yangu
Tanga.”
“Nani?”“ Anaitwa Rehema .”
“Mnawasiliana kuhusu nini ?”
“Kuna vitu vyangu f’lani ,” alisema Mwaija huku
akifuta meseji zote za baba yake .
“Hebu tuone hiyo simu yako. ”
Mwaija alimpa simu mama yake huku mapigo ya
moyo yakimwenda kwa kasi kwani alijua baba
yake anaweza kutuma meseji muda huohuo
kulingana na walivyokuwa wakichati.
Bahati nzuri sana ndani ya simu hiyo kulikuwa na
meseji za Rehema ambapo mama huyo
alipoziona bila kuangalia muda wala tarehe
aliamini...
“Bahati yako, nilidhani unawasiliana na
wanaume. Nikija kusikia una wanaume
nitakukata masikio yako. ”
“Siwezi mama, si unaona mimi nashinda
humuhumu ndani .”
Ile Mwaija anashika simu yake tu, meseji kutoka
kwa Masilinde inaingia. ..
“Muage mapema mama yako kwamba
utakwenda kusuka .”
Mwaija alikunja sura maana alijua lilikuwa bomu
zito kama mama yake angeiona meseji hiyo.
“Poa, lakini usitume tena meseji, kuna wakati
simu alishika mama.”
Masilinde alihisi mwili kwisha nguvu na
kizunguzungu juu aliposikia simu ya Mwaija
ilishikwa na mkewe .
***
Saa kumi na moja jioni, Masilinde alitoka kwenye
shughuli zake na kuanza kufikiria namna ya
kuwasiliana na Mwaija maana tangu
alipomwambia asitume meseji simu ilishikwa na
mkewe hakuwahi kutuma meseji tena.
Alifika maeneo ya nyumbani kwake kwa
kubakiza kama mitaa mitatu , akasimama
kwenye duka la Mchaga mmoja na kuomba
msaada wa simu ...
“Kuna mtu nataka kumpigia , sasa simu yangu
imejiloki,” aliongopa ili aazimwe simu.
Alipewa simu , akasimama pembeni kidogo .
alichukua namba za simu za Mwaija akaziandika
kwenye simu aliyoomba na kuzipiga ...
“Haloo,” alipokea Mwaija ...
“Ni mimi baba yako , nimeazima simu kwa mtu.”
“Simu yako ina nini kwani?”
“Nilihofia kuitumia tangu pale uliposema nisitume
meseji. Kwani mama yako yuko wapi?”
“Amekwenda msibani.”
“Oooh ! Sasa ?”
“Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?”
“Ee, ndiyo .”“ Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba
unikate kiu kwelikweli mpenzi wangu.”
Itaendeleaa

JAMANI BABA Sehemu 09 ILIPOISHIA : “Uko poa ? Nimekumisi sana !” “Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba , niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani kwangu?” ENDELEA SASA .. . “Angejua unadhani angekuacha?” “Najua asingeniacha , lakini mbona kama leo kaamka vibaya kuliko siku nyingine?” “Mvumilie , ndivyo anavyokuaga wakati mwingine, mimi namjua .” “Nilidhani alijua , maana kama nakiona kifo njenje.” “Usijali Mwaija. Sasa leo inakuaje?” “Nakusikiliza wewe baba .” “Huwezi kutoka tukakutana mahali ?” “Mama nitamwambia naenda wapi ?” “Kusuka .” “Ataniuliza pesa nimepata wapi, nitasemaje?” “Utamwambia nimekupa mimi. ” “Mh ! Baba , hatanielewa.” “Atakuelewa tu, mimi akiniuliza nitajua cha kumwambia.” “Halafu si itabidi nikasuke kweli? Maana nikirudi sijasuka je ?” “Utamwambia ulikuta foleni na muda unazidi kwenda ndiyo ukaamua kurudi .” “Basi nitajaribu baba. ” “Sawa Mwaija halafu kuna kitu kingine nataka kukwambia...” “Kipi hicho baba jamani ?” “Usiniite baba . Niite dear au mpenzi. ” “Usijali basi my dear. ” Masilinde alihisi damu zikitembea kwa kasi mwilini na msisimko juu kwa kusoma meseji akiitwa dear! “Safi sana ! halafu kingine tena. ..” “Kingine tena nini jamani mpenzi wangu ?” “Mh ! We mtoto unajua kusakata kabumbu kitandani. ” “Kuliko wewe dear?” “Unanishinda .” “Sikushindi ila ufundi wako ndiyo unaonifanya na mimi unione fundi .” “Loo ! Mwaija mpenzi ... unapenda staili gani zaidi ili tukikutana nikupe hiyo .” “Mmm! Kwa wewe yoyote ile lakini ile ya kagoma kwenda nzuri , nyingine napenda ile ya kujiandaa kuunga mchuzi kwa nazi .” Masilinde alibaki hoi. Kagoma kwenda hakujua ni nini, kujiandaa kuunga mchuzi kwa nazi pia hakujua ni nini ! Kuuliza akashindwa, akabaki kimya na kujifanya anajua kila kitu . “Hizo zote utazipata leo tukikutana . Halafu we mtoto umeumbwa vizuri sana, uliumbwa asubuhi nini? Maana loo !” “Siyo sana jamani dear , kidogo tu.” “Loo ! Mtoto kila kitu kipo sawasawa . Ukitembea unatembea kweli . Ukikaa umekaa kweli. Kulia na kushoto umejazia , uani ndiyo balaa ,” Masilinde alimsifia Mwaija huku mwili ukiwa tayari moto . “Mh ! Jamani my love. Wewe je , umeumbwa vizuri , mama anafaidi sana ndiyo maana nataka tukufaidi wote .” “Tena wewe utanifaidi sana kuliko mama yako .” “Hayo maneno sasa mpenzi wangu, ” alisema Mwaija. .. “Wewe muda mrefu nakuona unaminyaminya simu, unawasiliana na nani?” mama Mwaija alisema kwa hasira huku akimsogelea ... “Mama nilikuwa nawasiliana na rafiki yangu Tanga.” “Nani?”“ Anaitwa Rehema .” “Mnawasiliana kuhusu nini ?” “Kuna vitu vyangu f’lani ,” alisema Mwaija huku akifuta meseji zote za baba yake . “Hebu tuone hiyo simu yako. ” Mwaija alimpa simu mama yake huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa kasi kwani alijua baba yake anaweza kutuma meseji muda huohuo kulingana na walivyokuwa wakichati. Bahati nzuri sana ndani ya simu hiyo kulikuwa na meseji za Rehema ambapo mama huyo alipoziona bila kuangalia muda wala tarehe aliamini... “Bahati yako, nilidhani unawasiliana na wanaume. Nikija kusikia una wanaume nitakukata masikio yako. ” “Siwezi mama, si unaona mimi nashinda humuhumu ndani .” Ile Mwaija anashika simu yake tu, meseji kutoka kwa Masilinde inaingia. .. “Muage mapema mama yako kwamba utakwenda kusuka .” Mwaija alikunja sura maana alijua lilikuwa bomu zito kama mama yake angeiona meseji hiyo. “Poa, lakini usitume tena meseji, kuna wakati simu alishika mama.” Masilinde alihisi mwili kwisha nguvu na kizunguzungu juu aliposikia simu ya Mwaija ilishikwa na mkewe . *** Saa kumi na moja jioni, Masilinde alitoka kwenye shughuli zake na kuanza kufikiria namna ya kuwasiliana na Mwaija maana tangu alipomwambia asitume meseji simu ilishikwa na mkewe hakuwahi kutuma meseji tena. Alifika maeneo ya nyumbani kwake kwa kubakiza kama mitaa mitatu , akasimama kwenye duka la Mchaga mmoja na kuomba msaada wa simu ... “Kuna mtu nataka kumpigia , sasa simu yangu imejiloki,” aliongopa ili aazimwe simu. Alipewa simu , akasimama pembeni kidogo . alichukua namba za simu za Mwaija akaziandika kwenye simu aliyoomba na kuzipiga ... “Haloo,” alipokea Mwaija ... “Ni mimi baba yako , nimeazima simu kwa mtu.” “Simu yako ina nini kwani?” “Nilihofia kuitumia tangu pale uliposema nisitume meseji. Kwani mama yako yuko wapi?” “Amekwenda msibani.” “Oooh ! Sasa ?” “Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?” “Ee, ndiyo .”“ Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba unikate kiu kwelikweli mpenzi wangu.” Itaendeleaa

...
JAMANI BABA
Sehemu 08
ILIPOISHIA :
Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi
chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango
polepole. Mwaija alishtuka ...
“Haa! Baba !”
“Shiiii .”
SASA ENDELEA .. .
“Mama yuko wapi?”
“Amelala. ”
“Akiamka je ?”
“Hizo ni kazi za shetani lakini sitarajii kama
ataweza kuamka muda huu , usingizi wake yule
unakuaga mkubwa sana. ”
“Kwa hiyo?”
“Kwa hiyo nini ? Mimi ndiyo nimekuja hapa sasa .”
“Lakini baba .. .”
“Lakini baba nini Mwaija? We tufanye yetu
mambo yaishe, sawa ?”
“Sawa , basi funga mlango , lakini usizime taa ,”
alisema Mwaija kwa sauti ya kutetemeka kwa
mbali. Alishapanda joto la mahaba , alichokuwa
akikihitaji ni mapenzi tu.Wakati Huo Mwaija Alikuwa Amevalia Khanga Moja Tu Iliyofanya Umbo Lake Lakuvutia Lionekane Vizuri Kabxa,Masilinde Alianza Kumtoa Khanga Iliyoacha Mapaja Ya Mwaija Wazi Kabxa Huku Masilinde Akiyashika Kwa Ustadi Mkubwa Sana Huku Mikono Ikichuruzika Mpk Matakoni Mwa Mwaija Ambae Alikuwa Akilalama Kwa Hisia Kali "Aaaaasshhhhhh,Aaannnnnnh"Masilinde Aliendelea Kumtomasa Vizuri Safari Hii Akichezea Kitovu Cha Mwaija Hali Iliyomfanya Ajibinue Kama Samaki Anaepiga Mbizi.Masilinde Alimlaza Vizuri Kitandani Wakati Huo Chuchu Za Mwaija Zilikuwa Zimevimba Kwa Nyege Na Kuwa Ngumu Na Nyekundu Ndipo Masilinde Alipoanza Kuzibugia Mdomoni Na Kuzinyonya Kama Embe Nyonyo Mwaija Hoi Kabxa Akiwa Ameishiwa Nguvu Alipanua Miguu Kuashiria Yuko Tayari Kwa Lolote Huku Ute Ukianza Kumwagiwa Kumani Ukiashiria Upo Tayari Kupokea Mboo Kutoka Kwa Masilinde...Masilinde Mboo Ilikuwa Imedinda Imevimba Kwa Hasira Huku Misuli Imekakamaa Hali Iliyomfanya Kutokupoteza Muda Wa Kuivua Chupi Ya Mwaija Na Badala Yake Akafanya Kuisogeza Tu Pembeni Na Kuanza Kuigusisha Mboo Yake Juu Ya Mashavu Ya Kuma Ya Mwaija Iliyojaa Utelezi,Alikichezesha Kwata Kisimi Cha MwaijaNa Kumfanya Aanze Kulia Kama Mtoto Mdogo Huku Akimvuta Masilinde Kifuani Na Kumkandamiza Kiunoni Hali Iliyofanya Mboo Izame Kumani Yote Huku Akirudi Nyuma Na Kuanza Kulia Kimahaba "Uuuuuuh'Aaaaaah'Ba...Ba'Taaaaaamu'Mmmmmmmh'Iiiiissssshhh'
Masilinde Hakujali Kelele Hizo Aliendelea Kupiga Mikito Kisawasawa Kama Anamtomba Mwanamke Wa Rika Lake Vile.Alihakikisha Mboo Inasugua Kuta Zote Za Kuma Ya Mwanae Huyo Wa Kambo.Aliongeza Spidi Na Kuanza Kwenda Slow Huku Akikata Viuno Kwa Utamu Wa Kuma Ya Mwaija Kwani Ilikuwa Inabana Na Kuifanya Mboo Ya Masilinde Iweze Kufit Vizury.Mwaija Alikuwa Hoi Huku Akijing'ata Midomo Jicho Likiwa Legelege Kama Mtu Anaeingiza Pamba Masikioni.
Masilinde
alikuwa akimfumba kinywa Mwaija kwani
alizidisha  kelele za mahaba
jambo ambalo aliamini lingeweza kumwamsha
mkewe.
Mlio uliokuwa ukitamba sasa ni wa kitanda
ambapo wakati mwingine kililia kwa staili ya
kusulubiwa sana.
“Kwachakwachakwacha. ..” 
Ilifika mahali sasa, Mwaija akawa anatoa mlio na kuanza kujibinua Ovyo kitandani akiashiria kuwa anataka kukojoa huku akimvuta Masilinde ambae nae raha zilikuwa zimemzidia na alikuwa anakaribia kukojoa pia.Alianza Mwaija "Sssssssssh"Uuuuuuuuuuh"Baba Nakojoa Mwenzio'Nashindwa Kujizuia Mmmmmmh Nasikia Utamu Aaaaaah"Akawa Tayari Ameshakojoa Na Kumsubiri Masilinde Nae Akojoe Huku Akigugumia Kwa Utamu Na Kufumba Macho Aaarrghhhhh"Asante,Asante Huku Akimbusu Kwny Paji La Uso Na Kwny Maziwa!
***
Masilinde alitoka kitandani, akavaa bukta na
kutimua huku akimwachia denda moja zito
Mwaija.
Mwaija alibaki peke yake sasa , alikuwa akijisifia
moyoni kwamba kiu iliyokuwa ikimsumbua
imekwisha na alijiona ana bahati kubwa ya
kupendwa na baba yake wa kufikia.. .
“Atanisaidia sana . Kama si kunipenda
angenichukia na kama angenichukia
angenifukuza nyumbani kwake ,” alisema moyoni
Mwaija akiwa anausaka usingizi.
***
Masilinde alienda chumbani akijisemea moyoni
kwamba amekuwa mwepesi kupita alivyokuwa
wakati akienda chumbani kwa Mwaija. ..
“Da ! Mtoto anajua mambo yule. Kama kwa
kuibaiba tu ni hivi je siku tukipata nafasi ya
wazi?” alijiuliza akaweka nia kwamba iko siku
atampangia safari mke wake ili yeye na Mwaija
wajimwage kwa nafasi .
***
Kulikucha siku iliyofuata , mama Mwaija aliamka
na hasira fulani siku hiyo ...
“Wee Mwaija. ..”
“Abee mama. ..”
“Mbona umepitisha fagio juujuu tu kwenye
uwanja. .?”
“Nimefagia mama.. .”
“Wee! Usinifanye mimi sina macho .”
Moyoni Mwaija alisema.. .
“Ungekuwa una macho si ungejua mumeo
hayupo kitandani .”
Lakini kwa sauti alisema. ..
“Kweli mama , nimefagia kwa usahihi kabisa .”
Masilinde alitoka nje akiwa ameshajiandaa
kwenda kazini kwake , akaangalia huo uwanja
ambao mama Mwaija alikuwa akimfokea binti
yake kwamba hajafagia sawasawa na
kushangazwa kwani ulifagiliwa vizuri sana .. .
“Nitakubutua makofi sasa hivi , usiniletee ujinga
hapa,” alifoka mama mtu huyo ...
“Mama Mwaija, mbona unamfokea mtoto wakati
uwanja ni msafi sana tena kuliko unavyofagiaga
wewe.”
“Unamtetea siyo?”
“Siyo namtetea , kwa macho tu uwanja
unaonekana umefagiliwa vizuri .”
“Haya we mtetee tu, sijui unamtetea kwa ajili ya
nini!” alisema mwanamke huyo huku akizama
ndani.
Wakati huo , Mwaija alikuwa amesimama
uwanjani hapo, alivaa gauni na kanga moko juu
yake lakini mzigo ulikuwa mzigo kweli ...
“Mwaija mimi nakwenda kazini, baadaye
mama... ”
“Haya baba , hebu chukua namba zangu za simu
unipigie baadaye kuna kitu nataka kukwambia,”
alisema Mwaija huku akizitaja namba zake za
simu.. .
“Kwani una simu?” aliuliza Masilinde kwa vile
hakuwahi kumuona binti huyo akiwa na simu .. .
“Oke, baadaye nitakutumia meseji, sitapiga,”
alisema Masilinde.
Ile anaachana na Mwaija , mama Mwaija
anatokea. ..
“Wewe njoo huku sebuleni, unafanya usafi halafu
unaacha vitu bila kupangapanga , una kichaa
leo?” alifoka mama mtu huyo ...
“Mh ! Au mama amejua baba alikuja chumbani
kwangu nini ? Mbona si kawaida yake, tena
sijawahi kumsikia akimwambia baba ananitetea .
Itakuwa kuna kitu .”
***
Baada ya kufika kazini, Masilinde alimtumia
meseji Mwaija . Hakutaka kupiga akiamini mlio
wa simu unaweza kumfikia mkewe akataka
kujua nani aliyepiga .. .
“Mwaija ,” aliandika hivyo .
Ilikuwa wakati Mwaija anavaa baada ya kuoga,
meseji ikaingia kwenye simu yake ...
“Baba !” alijibu Mwaija .. .
“Uko poa ? Nimekumisi sana!”
“Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba ,
niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani
kwangu?” Itaendeleaaa..

JAMANI BABA Sehemu 08 ILIPOISHIA : Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango polepole. Mwaija alishtuka ... “Haa! Baba !” “Shiiii .” SASA ENDELEA .. . “Mama yuko wapi?” “Amelala. ” “Akiamka je ?” “Hizo ni kazi za shetani lakini sitarajii kama ataweza kuamka muda huu , usingizi wake yule unakuaga mkubwa sana. ” “Kwa hiyo?” “Kwa hiyo nini ? Mimi ndiyo nimekuja hapa sasa .” “Lakini baba .. .” “Lakini baba nini Mwaija? We tufanye yetu mambo yaishe, sawa ?” “Sawa , basi funga mlango , lakini usizime taa ,” alisema Mwaija kwa sauti ya kutetemeka kwa mbali. Alishapanda joto la mahaba , alichokuwa akikihitaji ni mapenzi tu.Wakati Huo Mwaija Alikuwa Amevalia Khanga Moja Tu Iliyofanya Umbo Lake Lakuvutia Lionekane Vizuri Kabxa,Masilinde Alianza Kumtoa Khanga Iliyoacha Mapaja Ya Mwaija Wazi Kabxa Huku Masilinde Akiyashika Kwa Ustadi Mkubwa Sana Huku Mikono Ikichuruzika Mpk Matakoni Mwa Mwaija Ambae Alikuwa Akilalama Kwa Hisia Kali "Aaaaasshhhhhh,Aaannnnnnh"Masilinde Aliendelea Kumtomasa Vizuri Safari Hii Akichezea Kitovu Cha Mwaija Hali Iliyomfanya Ajibinue Kama Samaki Anaepiga Mbizi.Masilinde Alimlaza Vizuri Kitandani Wakati Huo Chuchu Za Mwaija Zilikuwa Zimevimba Kwa Nyege Na Kuwa Ngumu Na Nyekundu Ndipo Masilinde Alipoanza Kuzibugia Mdomoni Na Kuzinyonya Kama Embe Nyonyo Mwaija Hoi Kabxa Akiwa Ameishiwa Nguvu Alipanua Miguu Kuashiria Yuko Tayari Kwa Lolote Huku Ute Ukianza Kumwagiwa Kumani Ukiashiria Upo Tayari Kupokea Mboo Kutoka Kwa Masilinde...Masilinde Mboo Ilikuwa Imedinda Imevimba Kwa Hasira Huku Misuli Imekakamaa Hali Iliyomfanya Kutokupoteza Muda Wa Kuivua Chupi Ya Mwaija Na Badala Yake Akafanya Kuisogeza Tu Pembeni Na Kuanza Kuigusisha Mboo Yake Juu Ya Mashavu Ya Kuma Ya Mwaija Iliyojaa Utelezi,Alikichezesha Kwata Kisimi Cha MwaijaNa Kumfanya Aanze Kulia Kama Mtoto Mdogo Huku Akimvuta Masilinde Kifuani Na Kumkandamiza Kiunoni Hali Iliyofanya Mboo Izame Kumani Yote Huku Akirudi Nyuma Na Kuanza Kulia Kimahaba "Uuuuuuh'Aaaaaah'Ba...Ba'Taaaaaamu'Mmmmmmmh'Iiiiissssshhh' Masilinde Hakujali Kelele Hizo Aliendelea Kupiga Mikito Kisawasawa Kama Anamtomba Mwanamke Wa Rika Lake Vile.Alihakikisha Mboo Inasugua Kuta Zote Za Kuma Ya Mwanae Huyo Wa Kambo.Aliongeza Spidi Na Kuanza Kwenda Slow Huku Akikata Viuno Kwa Utamu Wa Kuma Ya Mwaija Kwani Ilikuwa Inabana Na Kuifanya Mboo Ya Masilinde Iweze Kufit Vizury.Mwaija Alikuwa Hoi Huku Akijing'ata Midomo Jicho Likiwa Legelege Kama Mtu Anaeingiza Pamba Masikioni. Masilinde alikuwa akimfumba kinywa Mwaija kwani alizidisha kelele za mahaba jambo ambalo aliamini lingeweza kumwamsha mkewe. Mlio uliokuwa ukitamba sasa ni wa kitanda ambapo wakati mwingine kililia kwa staili ya kusulubiwa sana. “Kwachakwachakwacha. ..” Ilifika mahali sasa, Mwaija akawa anatoa mlio na kuanza kujibinua Ovyo kitandani akiashiria kuwa anataka kukojoa huku akimvuta Masilinde ambae nae raha zilikuwa zimemzidia na alikuwa anakaribia kukojoa pia.Alianza Mwaija "Sssssssssh"Uuuuuuuuuuh"Baba Nakojoa Mwenzio'Nashindwa Kujizuia Mmmmmmh Nasikia Utamu Aaaaaah"Akawa Tayari Ameshakojoa Na Kumsubiri Masilinde Nae Akojoe Huku Akigugumia Kwa Utamu Na Kufumba Macho Aaarrghhhhh"Asante,Asante Huku Akimbusu Kwny Paji La Uso Na Kwny Maziwa! *** Masilinde alitoka kitandani, akavaa bukta na kutimua huku akimwachia denda moja zito Mwaija. Mwaija alibaki peke yake sasa , alikuwa akijisifia moyoni kwamba kiu iliyokuwa ikimsumbua imekwisha na alijiona ana bahati kubwa ya kupendwa na baba yake wa kufikia.. . “Atanisaidia sana . Kama si kunipenda angenichukia na kama angenichukia angenifukuza nyumbani kwake ,” alisema moyoni Mwaija akiwa anausaka usingizi. *** Masilinde alienda chumbani akijisemea moyoni kwamba amekuwa mwepesi kupita alivyokuwa wakati akienda chumbani kwa Mwaija. .. “Da ! Mtoto anajua mambo yule. Kama kwa kuibaiba tu ni hivi je siku tukipata nafasi ya wazi?” alijiuliza akaweka nia kwamba iko siku atampangia safari mke wake ili yeye na Mwaija wajimwage kwa nafasi . *** Kulikucha siku iliyofuata , mama Mwaija aliamka na hasira fulani siku hiyo ... “Wee Mwaija. ..” “Abee mama. ..” “Mbona umepitisha fagio juujuu tu kwenye uwanja. .?” “Nimefagia mama.. .” “Wee! Usinifanye mimi sina macho .” Moyoni Mwaija alisema.. . “Ungekuwa una macho si ungejua mumeo hayupo kitandani .” Lakini kwa sauti alisema. .. “Kweli mama , nimefagia kwa usahihi kabisa .” Masilinde alitoka nje akiwa ameshajiandaa kwenda kazini kwake , akaangalia huo uwanja ambao mama Mwaija alikuwa akimfokea binti yake kwamba hajafagia sawasawa na kushangazwa kwani ulifagiliwa vizuri sana .. . “Nitakubutua makofi sasa hivi , usiniletee ujinga hapa,” alifoka mama mtu huyo ... “Mama Mwaija, mbona unamfokea mtoto wakati uwanja ni msafi sana tena kuliko unavyofagiaga wewe.” “Unamtetea siyo?” “Siyo namtetea , kwa macho tu uwanja unaonekana umefagiliwa vizuri .” “Haya we mtetee tu, sijui unamtetea kwa ajili ya nini!” alisema mwanamke huyo huku akizama ndani. Wakati huo , Mwaija alikuwa amesimama uwanjani hapo, alivaa gauni na kanga moko juu yake lakini mzigo ulikuwa mzigo kweli ... “Mwaija mimi nakwenda kazini, baadaye mama... ” “Haya baba , hebu chukua namba zangu za simu unipigie baadaye kuna kitu nataka kukwambia,” alisema Mwaija huku akizitaja namba zake za simu.. . “Kwani una simu?” aliuliza Masilinde kwa vile hakuwahi kumuona binti huyo akiwa na simu .. . “Oke, baadaye nitakutumia meseji, sitapiga,” alisema Masilinde. Ile anaachana na Mwaija , mama Mwaija anatokea. .. “Wewe njoo huku sebuleni, unafanya usafi halafu unaacha vitu bila kupangapanga , una kichaa leo?” alifoka mama mtu huyo ... “Mh ! Au mama amejua baba alikuja chumbani kwangu nini ? Mbona si kawaida yake, tena sijawahi kumsikia akimwambia baba ananitetea . Itakuwa kuna kitu .” *** Baada ya kufika kazini, Masilinde alimtumia meseji Mwaija . Hakutaka kupiga akiamini mlio wa simu unaweza kumfikia mkewe akataka kujua nani aliyepiga .. . “Mwaija ,” aliandika hivyo . Ilikuwa wakati Mwaija anavaa baada ya kuoga, meseji ikaingia kwenye simu yake ... “Baba !” alijibu Mwaija .. . “Uko poa ? Nimekumisi sana!” “Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba , niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani kwangu?” Itaendeleaaa..

...
JAMANI BABA
Sehemu 07
ILIPOISHIA :
“Poa tu! Nikwambie kitu kingine?”
“Niambie tu.”
“Je, nikipata mimba yako ?”
RUKA NAYO.. .
“Huwezi kupata .”
“Una uhakika gani?”
“Mimi najua .”
Mwaija joto la mahaba lilipanda zaidi , akafika
mahali akaanza kuweweseka waziwazi bila
kujificha. Kwa sababu Masilinde naye alikutana
na joto la ujana siku hiyo , hakuona kama kuna
sababu ya kumzuia Mwaija kuonesha kule
kupagawa, akazidi kumpagawisha ...
Ni kitendo ambacho Masilinde hakukitarajia lakini
kilifanyika, Mwaija alimsukuma, akaangukia
huko, akahisi labda binti huyo alishamaliza mbio
zake. Lakini alishangaa sana kumwona Mwaija
anatoka kitandani na kuvuta godoro chini,
akamkaribisha baba yake wa kambo hapo
ambapo uwanja ulikuwa mpana na uhuru zaidi .
Hakukuwa na kitanda kulia wala kunesanesa.
Mbaya zaidi , Mwaija alionesha ufundi wa hali ya
juu kwa kutega staili ya Mbuzi Kagoma Kwenda.Masilinde Bila Hiyana Akapiga Magoti Na Kuyabinjua Matako Ya Mwanae Huyo Wa Kambo Yaliyokuwa Makubwa Kuliko Umri Wake, Na Kuingiza Mboo Yake Vzuri Kabxa Kwny Kuma Ya Mwaija Iliyokuwa Laini Na Imejaa Ute Wa Nyege Uliyofanya Mboo Ya Masilinde Kuteleza Kiurahisi,Mwaija Aliisikilizia Mboo Inavyoingia Kumani Huku Akihema Kama Mtu Alieshiwa Pumzi..Aaaashhh,Uuuuuuhh,"Baba Ingiza Vzuri,Nitombe,Mboo Yako Tamu Mmmmmmmh Aaaaaaah"
 Masilinde hoi bin taaban . Moyoni alianza
kumuwazia makubwa binti huyo. ..
“Mwa ... Mwaija wewe jamani ...”
“Baba niambie, unasemaje ?”
“Unanimaliza Mwaija .”
“Usiishe baba jamani .”
“Hapana utaniua wewe mtoto.”
“Baba hufi !”
Masilinde Nae Hakukubali Kushindwa Kwani Aliendelea Kutomba Kisawasawa Aliingiza Mboo Nje Ndani Kwa Kasi Mpk Kuma Ya Mwaija Ikaanza Kupata Moto Kama Injini Ya Bajaji,Na Kumfanya Mwaija Chozi Lianze Kumtoka Kwa Utamu Huku Akiugulia Mboo Ya Babaake.
Utamu Ulizidi Mpk Mwaija Akaanza Kupiga Yowe Kama Yupo Gesti Vile "Aaaaahh Oooooooh Uuuuuuh Mmmmmmh Isssssssh"Mzee Masilinde Alimzuia Kwa Kumpiga Denda Zito Ili Wasije Kushtukiwa Na Majirani...Masilinde Nae Akaanza Kuhisi Bao Lipo Karibu Akajitoa Midomoni Mwa Mwaija Huku Mwaija Nae Akilegeza Jicho Kama Teja Aliebwia Unga,Kumbe Nae Alikuwa Anakaribia Kukojoa.
Walikumbatiana Kwa Nguvu Kama Wacheza Mieleka Ulingoni Huku Joto La Mwili Likizidi Kupanda "Baba Nakojoa Nakojoa Nakojoa Aaaaaassssh Huuuuuuuuuh"Huku Mzee Masilinde Nae Akimsindikiza Kwa Mikito Laini Na Wote Wakajikuta Wamekojoa
Wakaanguka chini wote pwaa !
Kuhema kwa sana, jasho jembamba kwa mbali .Ilikuwa
ni furaha kwa Masilinde lakini kwa Mwaija
ilikuwa zaidi kwani kwanza alianza kuhisi amani
ya kuishi ndani ya nyumba ile.
Tangu amefika na kufuatia sera alizokuwa
akizitangaza mama yake alijua siku yoyote
atafukuzwa na baba’ke huyo wa kufikia. Akili
ziliwarudia wakaanza kutambua hali waliyonayo ,
aibu ikawajia kwa juu ! Masilinde akakurupuka ...
“Mwaija , vaa . ..mimi navaa naondoka sasa .”
Mwaija alikurupuka naye , akavaa gauni refu,
akatupia na upande wa kanga moja. Masilinde
ndiye aliyeanza kutoka huku akiwa na tahadhari .
Mwaija alijibaraguza kidogo lakini mwishowe
akatoka. Ile anafika uani tu, mama yake
anaingia.. .
“Wewe mpaka muda huu hujaosha vyombo!
Halafu mbona sioni dalili ya moto kuwaka!?
Kwanza mbona macho mekundu ulikuwa umelala
siyo?” mama yake aliuliza kwa ukali wa
kimamamama.
“Nililala kidogo mama, kichwa kinagonga sana .”
“Umekunywa dawa ?”
“Sijanywa .”
“Sasa ulikuwa unasubiri nini kwenda kununua
vidonge vya mia mbili tu?”
“Mama uliniambia nisitoke nyumbani.”
“We unajua ni mtoto mjinga sana . Sasa kwenda
kununua dawa dukani tatizo liko wapi?”
“Nakwenda mama. ”
“Na ...kwenda mama.. .mwone kwanza, ” alisema
mama mtu huyo huku akiwa amebana pua kwa
kuiga sauti ya binti yake. Wakati mama yake
anaingia sebuleni , Mwaija alikuwa anasema naye
kwa kumwigiza mama yake na kubana pua . ..
“We unajua ni mtoto mjinga sana . Sasa kwenda
kununua dawa dukani tatizo liko wapi? Tatizo
liko wapi? Utalijua siku moja , we subiri tu. ”
***
Usiku wa saa tatu, Mwaija aliamriwa na mama
yake kwenda kulala kwani alionekana
akizungukazunguka, mara sebuleni, mara jikoni
wakati Masilinde akiwa anaangalia taarifa
mbalimbali za habari kupitia runinga .
Mwaija alizama chumbani kwake lakini kila
alipokumbuka mapigo ya Masilinde alijikuta kama
ana kiu tena!
“Mh ! Mbona kama . ..sasa itakuwaje na mama
yupo! Yaani Mungu anisaidie siku moja mama
apate safari ya mbali akalale hukohuko na mimi
nilale nimekumbatiwa kama yeye,” alisema
Mwaija akiwa anajishikashika sehemu
mbalimbali za mwili akiwa kitandani.
Wakati Mwaija anawaza hayo, Masilinde naye
alikuwa akiwaza ya kwake yanayofanana. ..
“Hivi huyu mwanamke haendi msibani akalale
hukohuko watu tujifaidie vyetu ?”
“Mume wangu twende basi chumbani tukalale,
usiku sasa, ” alisema mama Mwaija .
“Tangulia nakuja mke wangu , nataka kuangalia
tamthiliya ya Wuwuwu. ”
“Mh ! Ndiyo tamthiliya gani hiyo?”
“Wachina , wanapigana kama hawana akili nzuri .
Wale hata wakitoka panya road watakimbia
wenyewe,” alisema Masilinde huku akijua hakuna
cha tamthiliya ya Wuwuwu wala Wawawa !
“Haya , mi natangulia, usichelewe lakini mume
wangu.”
“Sichelewi.”
Baada ya mwanamke huyo kuzama chumbani,
Masilinde alisubiri kama dakika kumi ,
akasimama, akaenda chooni . Aliporudi
akasimama kwenye mlango wa chumba cha
Mwaija, akashika kitasa. ..
“Daa! Mlango uko wazi kumbe ,” alisema baada
ya kuuona mlango unafunguka, akaufunga .
Akaenda sebuleni , akasimama kwa muda kisha
akaenda chumbani. Alimkuta mkewe
ameshapigwa ngwara na usingizi na sasa
alikuwa anaelekea kwenye kukoroma. ..
“Hapahapa, kosa moja goli moja . Shoka moja
mbuyu chini ,” alisema Masilinde huku akitoka
chumbani.
Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi
chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango
polepole. Mwaija alishtuka. ..
“Haa! Baba!”
“Shiiii .”aaa. Itaendeleaaa

JAMANI BABA Sehemu 07 ILIPOISHIA : “Poa tu! Nikwambie kitu kingine?” “Niambie tu.” “Je, nikipata mimba yako ?” RUKA NAYO.. . “Huwezi kupata .” “Una uhakika gani?” “Mimi najua .” Mwaija joto la mahaba lilipanda zaidi , akafika mahali akaanza kuweweseka waziwazi bila kujificha. Kwa sababu Masilinde naye alikutana na joto la ujana siku hiyo , hakuona kama kuna sababu ya kumzuia Mwaija kuonesha kule kupagawa, akazidi kumpagawisha ... Ni kitendo ambacho Masilinde hakukitarajia lakini kilifanyika, Mwaija alimsukuma, akaangukia huko, akahisi labda binti huyo alishamaliza mbio zake. Lakini alishangaa sana kumwona Mwaija anatoka kitandani na kuvuta godoro chini, akamkaribisha baba yake wa kambo hapo ambapo uwanja ulikuwa mpana na uhuru zaidi . Hakukuwa na kitanda kulia wala kunesanesa. Mbaya zaidi , Mwaija alionesha ufundi wa hali ya juu kwa kutega staili ya Mbuzi Kagoma Kwenda.Masilinde Bila Hiyana Akapiga Magoti Na Kuyabinjua Matako Ya Mwanae Huyo Wa Kambo Yaliyokuwa Makubwa Kuliko Umri Wake, Na Kuingiza Mboo Yake Vzuri Kabxa Kwny Kuma Ya Mwaija Iliyokuwa Laini Na Imejaa Ute Wa Nyege Uliyofanya Mboo Ya Masilinde Kuteleza Kiurahisi,Mwaija Aliisikilizia Mboo Inavyoingia Kumani Huku Akihema Kama Mtu Alieshiwa Pumzi..Aaaashhh,Uuuuuuhh,"Baba Ingiza Vzuri,Nitombe,Mboo Yako Tamu Mmmmmmmh Aaaaaaah" Masilinde hoi bin taaban . Moyoni alianza kumuwazia makubwa binti huyo. .. “Mwa ... Mwaija wewe jamani ...” “Baba niambie, unasemaje ?” “Unanimaliza Mwaija .” “Usiishe baba jamani .” “Hapana utaniua wewe mtoto.” “Baba hufi !” Masilinde Nae Hakukubali Kushindwa Kwani Aliendelea Kutomba Kisawasawa Aliingiza Mboo Nje Ndani Kwa Kasi Mpk Kuma Ya Mwaija Ikaanza Kupata Moto Kama Injini Ya Bajaji,Na Kumfanya Mwaija Chozi Lianze Kumtoka Kwa Utamu Huku Akiugulia Mboo Ya Babaake. Utamu Ulizidi Mpk Mwaija Akaanza Kupiga Yowe Kama Yupo Gesti Vile "Aaaaahh Oooooooh Uuuuuuh Mmmmmmh Isssssssh"Mzee Masilinde Alimzuia Kwa Kumpiga Denda Zito Ili Wasije Kushtukiwa Na Majirani...Masilinde Nae Akaanza Kuhisi Bao Lipo Karibu Akajitoa Midomoni Mwa Mwaija Huku Mwaija Nae Akilegeza Jicho Kama Teja Aliebwia Unga,Kumbe Nae Alikuwa Anakaribia Kukojoa. Walikumbatiana Kwa Nguvu Kama Wacheza Mieleka Ulingoni Huku Joto La Mwili Likizidi Kupanda "Baba Nakojoa Nakojoa Nakojoa Aaaaaassssh Huuuuuuuuuh"Huku Mzee Masilinde Nae Akimsindikiza Kwa Mikito Laini Na Wote Wakajikuta Wamekojoa Wakaanguka chini wote pwaa ! Kuhema kwa sana, jasho jembamba kwa mbali .Ilikuwa ni furaha kwa Masilinde lakini kwa Mwaija ilikuwa zaidi kwani kwanza alianza kuhisi amani ya kuishi ndani ya nyumba ile. Tangu amefika na kufuatia sera alizokuwa akizitangaza mama yake alijua siku yoyote atafukuzwa na baba’ke huyo wa kufikia. Akili ziliwarudia wakaanza kutambua hali waliyonayo , aibu ikawajia kwa juu ! Masilinde akakurupuka ... “Mwaija , vaa . ..mimi navaa naondoka sasa .” Mwaija alikurupuka naye , akavaa gauni refu, akatupia na upande wa kanga moja. Masilinde ndiye aliyeanza kutoka huku akiwa na tahadhari . Mwaija alijibaraguza kidogo lakini mwishowe akatoka. Ile anafika uani tu, mama yake anaingia.. . “Wewe mpaka muda huu hujaosha vyombo! Halafu mbona sioni dalili ya moto kuwaka!? Kwanza mbona macho mekundu ulikuwa umelala siyo?” mama yake aliuliza kwa ukali wa kimamamama. “Nililala kidogo mama, kichwa kinagonga sana .” “Umekunywa dawa ?” “Sijanywa .” “Sasa ulikuwa unasubiri nini kwenda kununua vidonge vya mia mbili tu?” “Mama uliniambia nisitoke nyumbani.” “We unajua ni mtoto mjinga sana . Sasa kwenda kununua dawa dukani tatizo liko wapi?” “Nakwenda mama. ” “Na ...kwenda mama.. .mwone kwanza, ” alisema mama mtu huyo huku akiwa amebana pua kwa kuiga sauti ya binti yake. Wakati mama yake anaingia sebuleni , Mwaija alikuwa anasema naye kwa kumwigiza mama yake na kubana pua . .. “We unajua ni mtoto mjinga sana . Sasa kwenda kununua dawa dukani tatizo liko wapi? Tatizo liko wapi? Utalijua siku moja , we subiri tu. ” *** Usiku wa saa tatu, Mwaija aliamriwa na mama yake kwenda kulala kwani alionekana akizungukazunguka, mara sebuleni, mara jikoni wakati Masilinde akiwa anaangalia taarifa mbalimbali za habari kupitia runinga . Mwaija alizama chumbani kwake lakini kila alipokumbuka mapigo ya Masilinde alijikuta kama ana kiu tena! “Mh ! Mbona kama . ..sasa itakuwaje na mama yupo! Yaani Mungu anisaidie siku moja mama apate safari ya mbali akalale hukohuko na mimi nilale nimekumbatiwa kama yeye,” alisema Mwaija akiwa anajishikashika sehemu mbalimbali za mwili akiwa kitandani. Wakati Mwaija anawaza hayo, Masilinde naye alikuwa akiwaza ya kwake yanayofanana. .. “Hivi huyu mwanamke haendi msibani akalale hukohuko watu tujifaidie vyetu ?” “Mume wangu twende basi chumbani tukalale, usiku sasa, ” alisema mama Mwaija . “Tangulia nakuja mke wangu , nataka kuangalia tamthiliya ya Wuwuwu. ” “Mh ! Ndiyo tamthiliya gani hiyo?” “Wachina , wanapigana kama hawana akili nzuri . Wale hata wakitoka panya road watakimbia wenyewe,” alisema Masilinde huku akijua hakuna cha tamthiliya ya Wuwuwu wala Wawawa ! “Haya , mi natangulia, usichelewe lakini mume wangu.” “Sichelewi.” Baada ya mwanamke huyo kuzama chumbani, Masilinde alisubiri kama dakika kumi , akasimama, akaenda chooni . Aliporudi akasimama kwenye mlango wa chumba cha Mwaija, akashika kitasa. .. “Daa! Mlango uko wazi kumbe ,” alisema baada ya kuuona mlango unafunguka, akaufunga . Akaenda sebuleni , akasimama kwa muda kisha akaenda chumbani. Alimkuta mkewe ameshapigwa ngwara na usingizi na sasa alikuwa anaelekea kwenye kukoroma. .. “Hapahapa, kosa moja goli moja . Shoka moja mbuyu chini ,” alisema Masilinde huku akitoka chumbani. Alikuwa ndani ya bukta tu. Akatembea hadi chumbani kwa Mwaija , akafungua mlango polepole. Mwaija alishtuka. .. “Haa! Baba!” “Shiiii .”aaa. Itaendeleaaa

...
JAMANI BABA
Sehemu 06
ILIPOISHIA
“Hawezi kuja sasa hivi ,” alisema Masilinde huku
sasa akianza kumvua kanga , nido zikabaki nje
zikiwa zimenona. Masilinde akazishika na
kusukumia na neno ‘ siiii’ .
Mwaija akachanganyikiwa zaidi, akamvuta
Masilinde kifuani kwake, akamwangalia kwa
macho ya kusinzia. ..
“Inatosha baba tusifike mbali , mimi nitashindwa
kuvumilia.”
“Utashindwa kuvumilia nini Mwaija na wewe?”
“Hivyo unavyonishika , nitashindwa kuvumilia na
wewe ni baba yangu tunaweza kufanya dhambi
bure.”
“Mwaija ,” aliita Masilinde akiwa na hali mbaya
kama Mwaija ...
“Bee. ”TAMBAA NAYO. ..
“Mbona unavutia namna hii mwanangu ?”
“Mimi sijijui mbona .”
“Kama unavutia ?”
“Eee .”
“Ndiyo nakwambia mimi ninayekuona. Hebu
angalia hizi nido zako , ona !” alisema Masilinde
akizishika tena nido hizo, Mwaija akakimbilia
kitandani na kujitupa kisha akaanza kulia kwa
sauti ya chini ...
“Mwaija ,” aliita Masilinde.
“Abee ,” aliitika huku akiendelea kulia .. .
“Nimekukera?”
“Ha ! Ha !”
“Sasa mbona unalia. Basi mi naondoka zangu,
nisamehe... ”
“Usiondoke baba .”
“Sasa wewe unalia .”
Mwaija alijifuta machozi haraka sana na
kumwangalia Masilinde...
“Mimi najisikia vibaya baba .”
“Unajisikiaje?”
Mwaija alishindwa kujibu swali hilo akabaki
amemkodolea macho baba yake huyo wa
kufikia.. .
“Mwaija ,” aliita Masilinde, hali yake ilizidi kuwa
mbaya kwani sasa aliweza kumwona Mwaija
kwa hali halisi na kukiri moyoni kwamba ,
msichana huyo aliumbika kwelikweli , kwani kila
idara ilikuwa nzuri, hakuna alikokosoa ...
“Abee .”
“Hebu nibusu hapa basi.”
“Mmmwaa!”
“Na hapa!”
“Mmmwaaa .”
“Huku .”
“Mmmwaaa .”
“Da ! Hebu niuone ulimi wako kidogo , utoe. ”
Mwaija akautoa ulimi nusu .”
“Aaa! Utoe sana bwana .”
Mwaija akautoa ulimi wote nje!
“Hebu niuguse na ulimi wangu nione kama wako
una joto ,” alisema Masilinde huku akipeleka
kinywa chake kwenye ulimi wa Mwaija ambao
aliutoa.
Masilinde aliuingiza ulimi huo ndani ya kinywa
chake na kuanza kula denda !
“Mmmm.. .mmmm.. .”
“Mmmm.. .mmmm.”
Walikuwa wakigugumia wote . Mate ya denda
yalianza kutoka huku kila mmoja akiwa
amefumba macho ya kusinzia. Joto la mahaba
lilimpanda zaidi Mwaija kwani alikuwa ana siku
nyingi hajachezeshwa kwata kitandani na yeye
damu yake changa !
“Mwaija ,” aliita Masilinde kwa kuutoa ulimi wa
Mwaija. ..
“Mm.”
“Una joto zuri kumbe ,” alisema baba huyo , safari
hii akamhemea Mwaija sikioni,
akachanganyikiwa zaidi na kujikuta akimvuta
Masilinde kwake yeye akiwa analala
chali.Masilinde akaitikia kwa kumfuata , Mwaija
akanyoosha mkono na kushika pa kufungulia,
pakafunguka, akapenyeza mkono na kushika,
pakashikika, akatoa , akatoka, akaweka !
Ngoma ikaanza kupigwa hapo, mchezo ukaanza
kuchezwa hapo . Mwaija aliona ni afadhali
akagombana na mama yake kuliko kukosa
chakula hicho ambacho alikuwa hajakila kwa
siku nyingi.
Awali alikuwa akila huku amefumba macho kwa
mikono kwa sababu ya aibu lakini alipoombwa
kutoa mikono ili afaidi vizuri alifanya hivyo na
kweli alianza kuhisi utamu wa chakula kile !
“Nikwambie kitu ?” alisema Mwaija kwa
kumsogezea kinywa sikioni Masilinde. ..
“Niambie. ”
Hapo mchezo ukiwa unaendelea...
“Usimwambie mtu lakini. ”
“Siwezi ,” alisema Masilinde huku akimwangalia
Mwaija usoni kwa macho ya kutoamini kama
anapata alichodhani akikipata atafurahi sana .. .
“Nikwambia kitu ?”
“Niambie. ”
“Ni leo tu au ndiyo itakuwa kila siku?”
“Wewe unatakaje?”
“Kwa sababu mama ananibana sana mimi nataka
iwe ndiyo kazi yetu , siku nikihitaji nakwambia,
siku ukihitaji unaniambia. ”
“Wewe tu, mimi sina neno.”
“Nikwambie kitu ?”
“Niambie Mwaija. ”
“Sasa nitaendelea kukuita baba au ?”
“Wewe unatakaje?”
“Wewe siyo baba yangu tena !”
“Poa tu na wewe siyo mwanangu tena !”
“Poa tu! Nikwambie kitu kingine ?”
“Niambie tu.”
“Je, nikipata mimba yako ?”itaendelea

JAMANI BABA Sehemu 06 ILIPOISHIA “Hawezi kuja sasa hivi ,” alisema Masilinde huku sasa akianza kumvua kanga , nido zikabaki nje zikiwa zimenona. Masilinde akazishika na kusukumia na neno ‘ siiii’ . Mwaija akachanganyikiwa zaidi, akamvuta Masilinde kifuani kwake, akamwangalia kwa macho ya kusinzia. .. “Inatosha baba tusifike mbali , mimi nitashindwa kuvumilia.” “Utashindwa kuvumilia nini Mwaija na wewe?” “Hivyo unavyonishika , nitashindwa kuvumilia na wewe ni baba yangu tunaweza kufanya dhambi bure.” “Mwaija ,” aliita Masilinde akiwa na hali mbaya kama Mwaija ... “Bee. ”TAMBAA NAYO. .. “Mbona unavutia namna hii mwanangu ?” “Mimi sijijui mbona .” “Kama unavutia ?” “Eee .” “Ndiyo nakwambia mimi ninayekuona. Hebu angalia hizi nido zako , ona !” alisema Masilinde akizishika tena nido hizo, Mwaija akakimbilia kitandani na kujitupa kisha akaanza kulia kwa sauti ya chini ... “Mwaija ,” aliita Masilinde. “Abee ,” aliitika huku akiendelea kulia .. . “Nimekukera?” “Ha ! Ha !” “Sasa mbona unalia. Basi mi naondoka zangu, nisamehe... ” “Usiondoke baba .” “Sasa wewe unalia .” Mwaija alijifuta machozi haraka sana na kumwangalia Masilinde... “Mimi najisikia vibaya baba .” “Unajisikiaje?” Mwaija alishindwa kujibu swali hilo akabaki amemkodolea macho baba yake huyo wa kufikia.. . “Mwaija ,” aliita Masilinde, hali yake ilizidi kuwa mbaya kwani sasa aliweza kumwona Mwaija kwa hali halisi na kukiri moyoni kwamba , msichana huyo aliumbika kwelikweli , kwani kila idara ilikuwa nzuri, hakuna alikokosoa ... “Abee .” “Hebu nibusu hapa basi.” “Mmmwaa!” “Na hapa!” “Mmmwaaa .” “Huku .” “Mmmwaaa .” “Da ! Hebu niuone ulimi wako kidogo , utoe. ” Mwaija akautoa ulimi nusu .” “Aaa! Utoe sana bwana .” Mwaija akautoa ulimi wote nje! “Hebu niuguse na ulimi wangu nione kama wako una joto ,” alisema Masilinde huku akipeleka kinywa chake kwenye ulimi wa Mwaija ambao aliutoa. Masilinde aliuingiza ulimi huo ndani ya kinywa chake na kuanza kula denda ! “Mmmm.. .mmmm.. .” “Mmmm.. .mmmm.” Walikuwa wakigugumia wote . Mate ya denda yalianza kutoka huku kila mmoja akiwa amefumba macho ya kusinzia. Joto la mahaba lilimpanda zaidi Mwaija kwani alikuwa ana siku nyingi hajachezeshwa kwata kitandani na yeye damu yake changa ! “Mwaija ,” aliita Masilinde kwa kuutoa ulimi wa Mwaija. .. “Mm.” “Una joto zuri kumbe ,” alisema baba huyo , safari hii akamhemea Mwaija sikioni, akachanganyikiwa zaidi na kujikuta akimvuta Masilinde kwake yeye akiwa analala chali.Masilinde akaitikia kwa kumfuata , Mwaija akanyoosha mkono na kushika pa kufungulia, pakafunguka, akapenyeza mkono na kushika, pakashikika, akatoa , akatoka, akaweka ! Ngoma ikaanza kupigwa hapo, mchezo ukaanza kuchezwa hapo . Mwaija aliona ni afadhali akagombana na mama yake kuliko kukosa chakula hicho ambacho alikuwa hajakila kwa siku nyingi. Awali alikuwa akila huku amefumba macho kwa mikono kwa sababu ya aibu lakini alipoombwa kutoa mikono ili afaidi vizuri alifanya hivyo na kweli alianza kuhisi utamu wa chakula kile ! “Nikwambie kitu ?” alisema Mwaija kwa kumsogezea kinywa sikioni Masilinde. .. “Niambie. ” Hapo mchezo ukiwa unaendelea... “Usimwambie mtu lakini. ” “Siwezi ,” alisema Masilinde huku akimwangalia Mwaija usoni kwa macho ya kutoamini kama anapata alichodhani akikipata atafurahi sana .. . “Nikwambia kitu ?” “Niambie. ” “Ni leo tu au ndiyo itakuwa kila siku?” “Wewe unatakaje?” “Kwa sababu mama ananibana sana mimi nataka iwe ndiyo kazi yetu , siku nikihitaji nakwambia, siku ukihitaji unaniambia. ” “Wewe tu, mimi sina neno.” “Nikwambie kitu ?” “Niambie Mwaija. ” “Sasa nitaendelea kukuita baba au ?” “Wewe unatakaje?” “Wewe siyo baba yangu tena !” “Poa tu na wewe siyo mwanangu tena !” “Poa tu! Nikwambie kitu kingine ?” “Niambie tu.” “Je, nikipata mimba yako ?”itaendelea

...
JAMANI BABA
Sehemu 05
ILIPOISHIA:
“Asante .”
“Mwaija .”
“Abee baba .”
“Kaangalie kama maji yanatoka . ”
“Sawa . ”
Baada ya muda .. .
JIACHIE MWENYEWE ...
Mwaija alikwenda huku nyuma akimwacha
mwanaume huyo akijishika midomo na
kusema... .
“Salaleee .”
Mwaija alirejea akisema. ..
“Maji yanatoka baba. ”
“Sawa , basi ujaze mapipa ili yakija kukatika
isiwe shida .”
“Sawa baba .”
Mwaija huku akitambua kwamba mama yake
ameenda msibani aliamua kwenda kuvua nguo
nzito alizovaa na kujitupia kanga kwani alijua
kwenye kuchota maji lazima angelowa sana maji
mwilini.
Kwenye kuchota maji sasa , Masilinde alijikuta
amefika huko uani.. .
“Chwaaa, ” maji yaliingizwa kwenye pipa .
Masilinde alisimama, akabahatika kumwona
Mwaija akigeuka kuelekea bombani na kweli
kanga aliyovaa ilishalowa maji maana ilikuwa
ndoo ya tano sasa. ..
“Weeee ,” alisema Masilinde huku akimnyooshea
mkono Mwaija . Mwaija aligeuka ghafla, Masilinde
akajifanya alikuwa amenyanyua mkono kwa ajili
ya kuwafukuza ndege ambao walitua juu ya mti
mmoja ulioko uani pale .
“Shii , shiii,” Mwaija alisaidia kuwafukuza ndege
wale lakini huku akijiuliza ni usumbufu gani
uliosababishwa na ndege hao hadi Masilinde
achukue hatua ya kuwafukuza kwa kasi ile.
Ndege walikimbia , Mwaija akageuka
kumwangalia baba yake akamwona anaachia
tabasamu laini lakini macho yake yakitambaa
sehemu mbalimbali za mwili wake na kwa jinsi
alivyokuwa amevaa alianza kuhisi aibu na
kutamani kumwomba msamaha.
“Mwaija .”
“Abee .”
“Mh ! Hivi wewe uvaaji gani huo mwanangu ?”
“Ni kwa sababu nachota maji baba , nisamehe
sana.”
“Nije kumwambia mama yako?”
“Hapana baba , mama atanifokea sana , ngoja
nikabadili baba. ”
Mwaija alimpita Masilinde mlango wa uani na
kwenda chumbani kwake , Masilinde akamfuata
kwa nyuma ... “Mwaija ,” aliita Masilinde huku
akisukuma mlango wa chumbani...
“Abee .”
Wakati Mwaija anaitika, Masilinde alishazama
ndani na kumkuta binti huyo ameshikilia nguo
kifuani maana alikuwa anavaa. ..
“Navaa baba. ”
“Ooo! Usiogope , si kuvaa tu, kwani kuna nini
wakati mimi ni baba yako ?”
“Mh ! Mi naona aibu baba .”
“Aibu kwa baba yako ?”
“Ee. ”
“Aaah ! Baba yako hutakiwi kumwonea aibu
bwana,” alisema Masilinde huku akimshika
mwilini Mwaija.
Mwaija hakukitegemea kitendo kile kwa hiyo
alianza kutetemeka mwili mzima ...
“Baba mimi naona aibu .”
“Basi vaa .”
“Sivai mpaka utoke .”
“Vaa hata kanga tu. ”
“Kanga si ndiyo umenisema kule uani. ”
“Hamna Mwaija , ile ni danganya toto tu.
Nikwambie kitu ?”
“Niambie. ”
“Yaani kanga zinakupendeza sana , sijui kwa nini
usiwe unavaa siku zote, kila siku na kila saa .”
“Wee, mama atanichinja. ”
“Mimi nitakutetea .”
“Wee! Si ndiyo mtanichangia wote. ”
“Mh ! Mi naogopa baba. ”
“Usiogope Mwaija mimi nipo nyuma yako
mbona,” alisema Masilinde huku akimpapasa
kifuani Mwaija na mkono mwingine ukafika hadi
kugusa nido moja ...
“Aaah ! Baba .. .umefika mbali sasa. ”
“Mbali kivipi Mwaija jamani ?”
“Hivyo unavyonishika huko .”
“Ninavyokushika hapa kifuani au ?” alisema
Masilinde na kushika tena.
“Aaah ! Baba .. .ooo ! Basi inatosha .”
“Kwani unaumia au ?”
“Ooo, naumia kwa mbali baba. ”
“Mmh ! Jikaze basi we mtoto wa kike bwana ,”
alisema Masilinde na kumshika tena binti huyo ,
safari hii alimshika kisawasawa nido zake zote.
Hali ya Mwaija ikawa siyo tena , alilainika mwili
wote mbendembende . Akamwegemea Masilinde
ambaye naye alimshika na kumuweka kitandani
polepole.. .
“Baba ,” aliita Mwaija kwa sauti iliyojaa aibu. ..
“Niambie Mwaija. ”
“Unataka kufanya nini ?”
“Aaah ! Mwaija , wewe una utoto gani jamani?”
“Mh ! Sina utoto lakini mimi naona aibu baba .”
“Jikaze aibu zitatoka .”
“Mama akija je ?”
“Hawezi kuja sasa hivi ,” alisema Masilinde huku
sasa akianza kumvua kanga , nido zikabaki nje
zikiwa zimenona.
Masilinde akazishika na kusukumia na neno
‘siiii ’.
Mwaija akachanganyikiwa zaidi, akamvuta
Masilinde kifuani kwake, akamwangalia kwa
macho ya kusinzia. ..“ Inatosha baba tusifike
mbali baba, mimi nitashindwa kuvumilia. ”
“Utashindwa kuvumilia nini Mwaija na wewe?”
“Hivyo unavyonishika , nitashindwa kuvumilia na
wewe ni baba yangu tunaweza kufanya dhambi
bure.”
“Mwaija ,” aliita Masilinde akiwa na hali mbaya
kama Mwaija ...
“Bee.” itaendeleaaa.

JAMANI BABA Sehemu 05 ILIPOISHIA: “Asante .” “Mwaija .” “Abee baba .” “Kaangalie kama maji yanatoka . ” “Sawa . ” Baada ya muda .. . JIACHIE MWENYEWE ... Mwaija alikwenda huku nyuma akimwacha mwanaume huyo akijishika midomo na kusema... . “Salaleee .” Mwaija alirejea akisema. .. “Maji yanatoka baba. ” “Sawa , basi ujaze mapipa ili yakija kukatika isiwe shida .” “Sawa baba .” Mwaija huku akitambua kwamba mama yake ameenda msibani aliamua kwenda kuvua nguo nzito alizovaa na kujitupia kanga kwani alijua kwenye kuchota maji lazima angelowa sana maji mwilini. Kwenye kuchota maji sasa , Masilinde alijikuta amefika huko uani.. . “Chwaaa, ” maji yaliingizwa kwenye pipa . Masilinde alisimama, akabahatika kumwona Mwaija akigeuka kuelekea bombani na kweli kanga aliyovaa ilishalowa maji maana ilikuwa ndoo ya tano sasa. .. “Weeee ,” alisema Masilinde huku akimnyooshea mkono Mwaija . Mwaija aligeuka ghafla, Masilinde akajifanya alikuwa amenyanyua mkono kwa ajili ya kuwafukuza ndege ambao walitua juu ya mti mmoja ulioko uani pale . “Shii , shiii,” Mwaija alisaidia kuwafukuza ndege wale lakini huku akijiuliza ni usumbufu gani uliosababishwa na ndege hao hadi Masilinde achukue hatua ya kuwafukuza kwa kasi ile. Ndege walikimbia , Mwaija akageuka kumwangalia baba yake akamwona anaachia tabasamu laini lakini macho yake yakitambaa sehemu mbalimbali za mwili wake na kwa jinsi alivyokuwa amevaa alianza kuhisi aibu na kutamani kumwomba msamaha. “Mwaija .” “Abee .” “Mh ! Hivi wewe uvaaji gani huo mwanangu ?” “Ni kwa sababu nachota maji baba , nisamehe sana.” “Nije kumwambia mama yako?” “Hapana baba , mama atanifokea sana , ngoja nikabadili baba. ” Mwaija alimpita Masilinde mlango wa uani na kwenda chumbani kwake , Masilinde akamfuata kwa nyuma ... “Mwaija ,” aliita Masilinde huku akisukuma mlango wa chumbani... “Abee .” Wakati Mwaija anaitika, Masilinde alishazama ndani na kumkuta binti huyo ameshikilia nguo kifuani maana alikuwa anavaa. .. “Navaa baba. ” “Ooo! Usiogope , si kuvaa tu, kwani kuna nini wakati mimi ni baba yako ?” “Mh ! Mi naona aibu baba .” “Aibu kwa baba yako ?” “Ee. ” “Aaah ! Baba yako hutakiwi kumwonea aibu bwana,” alisema Masilinde huku akimshika mwilini Mwaija. Mwaija hakukitegemea kitendo kile kwa hiyo alianza kutetemeka mwili mzima ... “Baba mimi naona aibu .” “Basi vaa .” “Sivai mpaka utoke .” “Vaa hata kanga tu. ” “Kanga si ndiyo umenisema kule uani. ” “Hamna Mwaija , ile ni danganya toto tu. Nikwambie kitu ?” “Niambie. ” “Yaani kanga zinakupendeza sana , sijui kwa nini usiwe unavaa siku zote, kila siku na kila saa .” “Wee, mama atanichinja. ” “Mimi nitakutetea .” “Wee! Si ndiyo mtanichangia wote. ” “Mh ! Mi naogopa baba. ” “Usiogope Mwaija mimi nipo nyuma yako mbona,” alisema Masilinde huku akimpapasa kifuani Mwaija na mkono mwingine ukafika hadi kugusa nido moja ... “Aaah ! Baba .. .umefika mbali sasa. ” “Mbali kivipi Mwaija jamani ?” “Hivyo unavyonishika huko .” “Ninavyokushika hapa kifuani au ?” alisema Masilinde na kushika tena. “Aaah ! Baba .. .ooo ! Basi inatosha .” “Kwani unaumia au ?” “Ooo, naumia kwa mbali baba. ” “Mmh ! Jikaze basi we mtoto wa kike bwana ,” alisema Masilinde na kumshika tena binti huyo , safari hii alimshika kisawasawa nido zake zote. Hali ya Mwaija ikawa siyo tena , alilainika mwili wote mbendembende . Akamwegemea Masilinde ambaye naye alimshika na kumuweka kitandani polepole.. . “Baba ,” aliita Mwaija kwa sauti iliyojaa aibu. .. “Niambie Mwaija. ” “Unataka kufanya nini ?” “Aaah ! Mwaija , wewe una utoto gani jamani?” “Mh ! Sina utoto lakini mimi naona aibu baba .” “Jikaze aibu zitatoka .” “Mama akija je ?” “Hawezi kuja sasa hivi ,” alisema Masilinde huku sasa akianza kumvua kanga , nido zikabaki nje zikiwa zimenona. Masilinde akazishika na kusukumia na neno ‘siiii ’. Mwaija akachanganyikiwa zaidi, akamvuta Masilinde kifuani kwake, akamwangalia kwa macho ya kusinzia. ..“ Inatosha baba tusifike mbali baba, mimi nitashindwa kuvumilia. ” “Utashindwa kuvumilia nini Mwaija na wewe?” “Hivyo unavyonishika , nitashindwa kuvumilia na wewe ni baba yangu tunaweza kufanya dhambi bure.” “Mwaija ,” aliita Masilinde akiwa na hali mbaya kama Mwaija ... “Bee.” itaendeleaaa.

...
JAMANI BABA
Sehemu 04
ILIPOISHIA
Hapo mama Mwaija alikuwa chumbani.. .
“We Mwaija ,” aliita Masilinde lakini kwa sauti
ambayo kama hakutaka mkewe asikie kule
chumbani.
“Abee baba .”
JIACHIE.. .
“Unaweza kuniletea maji ya kunywa?”
“Sawa baba .”
Mwaija alitoka kwa kasi kwenda kuchukua maji,
nyuma wakati anaondoka , Masilinde
alimtumbulia macho mpaka akataka kusimama
kabisa.. .
“Mama wee! Huyu si mtoto, ni mkubwa
mwenzangu,” alisema moyoni baba huyo.
“Karibu maji baba ,” Mwaija kwa heshima zote
alimpa maji baba yake huyo tena akionesha
ishara ya kupiga magoti.
“Asante .”
Wakati Mwaija anaondoka, Masilinde akaita
tena...
“Mwaijaaaa .”
“Abee baba .”
Mwaija alirudi mbiombio. ..
“Abee baba .”
“Hivi, naweza kupataa. ..aaa .. .kupata aaa ! Dah!
Sijui kupata nini ? Naweza kupata kipande cha
mkate?”
“Ndiyo baba , ngoja nikaangalie kule. ”
Mwaija aliondoka. Kwa jinsi alivyolitingisha safari
hii, Masilinde alijikuta akisimama na kusema kwa
sauti ya juu ...
“Noo.. .oooo !”
Mama Mwaija alishtuka kumsikia mumewe
akisema noo kwa sauti kubwa sana, akatoka
chumbani mbio ...
“Nini mume wangu?”
Masilinde alishindwa kusema ni nini? Jasho
jembamba lilikuwa likimchuruzika mfano wa mtu
aliyetoka kunywa chai ya moto bila kupumzika .. .
“Eti Mwaija, kuna nini ? Mbona baba yako
amepiga kelele?”
“Hata mimi sielewi mama, nimemsikia tu
akisema noo !”
“Mh ! Mume wangu, unadhani ni nini ?”
“Nahisi kama nipo hovyo kimoyo !”
“Kwa nini ?”
“Nadhani basi tu, siku hazilingani mke wangu. ”
“Pole sana mume wangu .”
“Haya asante sana . We nenda kaendelee na kazi
zako.”
Mama Mwaija alirudi chumbani, Mwaija naye
akaendelea kwenda kuchukua kile kipande cha
mkate.
“Hiki hapa baba ,” alisema Mwaija baada ya
kurudi.
“Nashukuru sana ,” alisema Masilinde huku
akiangalia ukutani ili asilione lile wowowo la binti
huyo.
***
Usiku uliingia , mama Mwaija alitangulia kulala
siku hiyo kwani alichoka sana, mumewe
Masilinde alikuwa akifuatilia habari kwenye tivii
huku Mwaija akiosha vyombo.
Mara zote alipokuwa na vyombo vingi alikatiza
navyo sebuleni kuvipeleka kabatini kulingana na
ramani ya nyumba yenyewe.
Hali hiyo ilisababisha kusindikizwa na macho ya
baba yake huyo wa kambo mwanzo hadi mwisho
na kufuatiwa na kutingishwa kwa kichwa .. .
“La! Mtoto huyu ! Sijui !”
Mwaija alipomaliza kuosha vyombo aliingia
chumbani kwake na kuvua nguo, akatungua
upande wa kanga na kujifunga kukatisha kwenye
nido, akatoka ili akaoge , kwa hiyo akapita
sebuleni tena , Masilinde akashtuka
alivyomwona ...
“Mwa ... aaija!”
“Abee baba .”
“Unakwenda kuoga ee?”
“Ndiyo baba .”
“Haya , kaoge vizuri mwanangu , ujisugue ee !”
“Sawa baba .”
Mwaija alizama bafuni akiwaza upendo wa baba
huyo kwamba ni wa hali ya juu kuliko alivyokuwa
akifikiria kabla !
“Mama alitaka kunionesha huyu baba ni mkatili
lakini kumbe wala,” alisema Mwaija huku
akijimwagia maji.
Masilinde alishindwa kujizuia, alisimama ,
akaenda kwanza chumbani kwake . Alimkuta
mkewe amelala fofofo, akatoka kwa kunyata hadi
kwenye mlango wa bafuni, akasimama hapo !
“Sijui nisukume mlango niingie ? Lakini kwa
mshtuko anaweza kupiga kelele mama’ke
akaamka. Labda nisimame hapahapa mpaka
atakapotoka,” aliwaza moyoni Masilinde.
Akiwa bado kwenye mawazo , ghafla Mwaija
alitoka bafuni ...
“Ha !” alishtuka Mwaija akasita kuendelea
kutoka.. .
“Babaa!”
“Mwaijaa. ”
“Nimeogopa baba .”
“Umeogopa nini mwanangu jamani ?”
“Nilidhani nimekutana na mwizi.”
“Hamna , ni mimi baba yako Mwaija . ”
“Sawa ,” alisema Mwaija, akampita baba yake ili
kwenda ndani .
Masilinde akageuza kichwa kumwangalia . Na
vile alitoka kuoga, kanga ilimshika mwilini na
kule kutembea, baba akamtungia mlio, akawa
anasema. ..
“Mbende. ..mbende. ..mbende. ..mbende ...Mwaija , ”
akamalizia na kumwita .
Mwaija aligeuka haraka sana .. .
“Umebakiza maji na mimi baba yako nioge ?”
“Hapana baba , ngoja nikuwekee tu dakika moja. ”
“Sawa mwanangu , nasubiri hapahapa. ”
Mwaija aliweka chini kikopo chenye sabuni,
akageuza kwenda kumuwekea maji baba yake .
Alimpita mlangoni , akazama bafuni kuchukua
ndoo! Masilinde kwa vile alikuwa amevaa suruali,
alijikuta akiingiza mkono mmoja mfukoni.
Mwaija wakati anatoka na ndoo alimgusa kwa
bahati mbaya baba yake. ..
“Ha ! Samahani baba. ”
“Samahani ya?”
“Nimekugusa kwa bahati mbaya .” itaendeleaaa

JAMANI BABA Sehemu 04 ILIPOISHIA Hapo mama Mwaija alikuwa chumbani.. . “We Mwaija ,” aliita Masilinde lakini kwa sauti ambayo kama hakutaka mkewe asikie kule chumbani. “Abee baba .” JIACHIE.. . “Unaweza kuniletea maji ya kunywa?” “Sawa baba .” Mwaija alitoka kwa kasi kwenda kuchukua maji, nyuma wakati anaondoka , Masilinde alimtumbulia macho mpaka akataka kusimama kabisa.. . “Mama wee! Huyu si mtoto, ni mkubwa mwenzangu,” alisema moyoni baba huyo. “Karibu maji baba ,” Mwaija kwa heshima zote alimpa maji baba yake huyo tena akionesha ishara ya kupiga magoti. “Asante .” Wakati Mwaija anaondoka, Masilinde akaita tena... “Mwaijaaaa .” “Abee baba .” Mwaija alirudi mbiombio. .. “Abee baba .” “Hivi, naweza kupataa. ..aaa .. .kupata aaa ! Dah! Sijui kupata nini ? Naweza kupata kipande cha mkate?” “Ndiyo baba , ngoja nikaangalie kule. ” Mwaija aliondoka. Kwa jinsi alivyolitingisha safari hii, Masilinde alijikuta akisimama na kusema kwa sauti ya juu ... “Noo.. .oooo !” Mama Mwaija alishtuka kumsikia mumewe akisema noo kwa sauti kubwa sana, akatoka chumbani mbio ... “Nini mume wangu?” Masilinde alishindwa kusema ni nini? Jasho jembamba lilikuwa likimchuruzika mfano wa mtu aliyetoka kunywa chai ya moto bila kupumzika .. . “Eti Mwaija, kuna nini ? Mbona baba yako amepiga kelele?” “Hata mimi sielewi mama, nimemsikia tu akisema noo !” “Mh ! Mume wangu, unadhani ni nini ?” “Nahisi kama nipo hovyo kimoyo !” “Kwa nini ?” “Nadhani basi tu, siku hazilingani mke wangu. ” “Pole sana mume wangu .” “Haya asante sana . We nenda kaendelee na kazi zako.” Mama Mwaija alirudi chumbani, Mwaija naye akaendelea kwenda kuchukua kile kipande cha mkate. “Hiki hapa baba ,” alisema Mwaija baada ya kurudi. “Nashukuru sana ,” alisema Masilinde huku akiangalia ukutani ili asilione lile wowowo la binti huyo. *** Usiku uliingia , mama Mwaija alitangulia kulala siku hiyo kwani alichoka sana, mumewe Masilinde alikuwa akifuatilia habari kwenye tivii huku Mwaija akiosha vyombo. Mara zote alipokuwa na vyombo vingi alikatiza navyo sebuleni kuvipeleka kabatini kulingana na ramani ya nyumba yenyewe. Hali hiyo ilisababisha kusindikizwa na macho ya baba yake huyo wa kambo mwanzo hadi mwisho na kufuatiwa na kutingishwa kwa kichwa .. . “La! Mtoto huyu ! Sijui !” Mwaija alipomaliza kuosha vyombo aliingia chumbani kwake na kuvua nguo, akatungua upande wa kanga na kujifunga kukatisha kwenye nido, akatoka ili akaoge , kwa hiyo akapita sebuleni tena , Masilinde akashtuka alivyomwona ... “Mwa ... aaija!” “Abee baba .” “Unakwenda kuoga ee?” “Ndiyo baba .” “Haya , kaoge vizuri mwanangu , ujisugue ee !” “Sawa baba .” Mwaija alizama bafuni akiwaza upendo wa baba huyo kwamba ni wa hali ya juu kuliko alivyokuwa akifikiria kabla ! “Mama alitaka kunionesha huyu baba ni mkatili lakini kumbe wala,” alisema Mwaija huku akijimwagia maji. Masilinde alishindwa kujizuia, alisimama , akaenda kwanza chumbani kwake . Alimkuta mkewe amelala fofofo, akatoka kwa kunyata hadi kwenye mlango wa bafuni, akasimama hapo ! “Sijui nisukume mlango niingie ? Lakini kwa mshtuko anaweza kupiga kelele mama’ke akaamka. Labda nisimame hapahapa mpaka atakapotoka,” aliwaza moyoni Masilinde. Akiwa bado kwenye mawazo , ghafla Mwaija alitoka bafuni ... “Ha !” alishtuka Mwaija akasita kuendelea kutoka.. . “Babaa!” “Mwaijaa. ” “Nimeogopa baba .” “Umeogopa nini mwanangu jamani ?” “Nilidhani nimekutana na mwizi.” “Hamna , ni mimi baba yako Mwaija . ” “Sawa ,” alisema Mwaija, akampita baba yake ili kwenda ndani . Masilinde akageuza kichwa kumwangalia . Na vile alitoka kuoga, kanga ilimshika mwilini na kule kutembea, baba akamtungia mlio, akawa anasema. .. “Mbende. ..mbende. ..mbende. ..mbende ...Mwaija , ” akamalizia na kumwita . Mwaija aligeuka haraka sana .. . “Umebakiza maji na mimi baba yako nioge ?” “Hapana baba , ngoja nikuwekee tu dakika moja. ” “Sawa mwanangu , nasubiri hapahapa. ” Mwaija aliweka chini kikopo chenye sabuni, akageuza kwenda kumuwekea maji baba yake . Alimpita mlangoni , akazama bafuni kuchukua ndoo! Masilinde kwa vile alikuwa amevaa suruali, alijikuta akiingiza mkono mmoja mfukoni. Mwaija wakati anatoka na ndoo alimgusa kwa bahati mbaya baba yake. .. “Ha ! Samahani baba. ” “Samahani ya?” “Nimekugusa kwa bahati mbaya .” itaendeleaaa

...
JAMANI BABA
Sehemu 03
ILIPOISHIA :
“We Mwaija .”
“Abee .”
“Wakati unamhudumia baba yako chai ulivaa
hivyo?”
“Ndiyo mama .”
“Ha ! Ha ! Haaa! Yaani kweli unavaa hivyo mbele
ya baba yako Mwaija ? Hebu jiangalie kwanza.
Ona! Hii mikalio yako ulitaka aione siyo?”
“Hapana mama , ila .. .”
“Ila nini ? Au unataka baba yako aingiwe na ibilisi
juu yako siyo ?”
TAMBAA NAYO ...
“Hapana mama , mimi sikujua kama kwa kuvaa
hivi baba anaweza kuingiwa na ibilisi .”
“We hivyo ulivyovaa unaona ni sawa siyo?”
“Ulivyoniambia ndiyo nimegundua si sawa sasa .”
Mama alimwangalia bintiye kwa macho makali
kwa karibu dakika moja nzima huku Mwaija naye
akishindwa kuondoka na kusimama palepale.. .
“Nisamehe mama.”
“Usirudie tena, sawa ?”
“Sawa mama .”
“Haya , kaendelee na kazi zako .”
***
Shughuli zilikuwa haziendi sawa kwa Masilinde.
Kila baada ta muda alivuta picha ya Mwaija. ..
“Yule binti, daa ! Ni shida kwelikweli. Au kuishi
mbali na mama ndiyo kawa vile ? Sasa ni kuvaa
gani vile mbele ya baba ’ake ?”
***
Jioni Masilinde aliporudi nyumbani alimkuta
Mwaija, mama yake alikwenda kudai pesa zake
kwa watu aliowakopesha vitenge .. .
“Shikamoo baba.”
“Marhaba Mwaija , mzima ?”
“Mi mzima baba, pole sana kwa kazi.”
“Nimepoa . Mama yuko wapi?” aliuliza baba mtu
huyo huku akikaa kwenye sofa...
“Alisema anakwenda kudai madeni ya vitenge
sijui.”
“Ooo! Ni ile biashara yake.”
“Nikupikie chakula baba?”
“Hapana, kama kuna juisi naombeni. ”
“Ipo ,” alisema Mwaija huku akienda kuifuata hiyo
juisi...
“Mh !” aliguna Masilinde akimwangalia Mwaija
alivyovaa jioni hiyo. Alivaa gauni fupi , magoti yote
yalikuwa nje huku miguu yenye umbile la chupa
za bia ikionekana vizuri sana na kumfanya
baba’ake azidi kung’ata ulimi .
“Karibu juisi baba .”
“Asante sana mama. ”
Wakati Mwaija anaondoka kwenda kuendelea na
shughuli zake , Masilinde alimtolea macho pima
huku akitingisha kichwa . ..
“We Mwaija .”
“Abee baba .”
“Njoo hapa. ”
Mwaija alirudi haraka ...
“Hebu kaa hapo .”
Mwaija alikaa...
“Hivi hizo nguo zako za ajabuajabu unazovaa
hapa kwangu una maanisha nini? Nani
kakwambia hapa ni hosteli ?”
“Samahani baba, sikujua kama nitakukwaza .”
Mara mama yake aliingia ...
“Afadhali umekuja mama Mwaija ... ”
“Nini tena ? Halafu wee Mwaija ...”
Kabla mama’ake hajamaliza kusema, Masilinde
aliendelea...
“Nilikuwa namuonya mwanao na hivi viguo
vyake... ”
“Na ndiyo nilichotaka kumwambia na mimi .
Asubuhi nimemsema sana, akabadili . Nashangaa
saa hizi namkuta hivi tena. ”
“Nisameheni sana.”
“Tukusamehe kwani we mwenyewe huoni ?
Kama utaendelea hivyo hapa nyumbani kwangu
utahama haraka sana ,” alikuja juu Masilinde.
“Na kweli utahama hapa. Nilishakwambia tangu
unakuja kwamba hayo mavazi yako mimi
sikubaliani nayo lakini nahisi kama hunielewi
vile. ”
“Nimewaelewa. ”
“Haya kabadili haraka sana ,” alisema Masilinde.
Mwaija alisimama kwenda kubadili nguo . Wakati
anatembea macho ya Masilinde yalikuwa kwake
huku akisema .. .
“Unavaa viguo vya ajabuajabu kama hosteli !”
Mwaija alianza kukata tamaa ya kuendelea
kuishi kwenye nyumba ile kwani mavazi ya ajabu
yanayopigwa vita ndiyo zake . Hakuwa na nguo
ye heshima hata moja.
“Sasa itabidi kila gauni nivae na kanga juu ,”
alisema moyoni huku akilitungua gauni jingine na
kulivaa, akatupia na kanga moja juu yake,
akatoka...
“Si hivyo sasa, ulikuwa unashindiwa nini tangu
mwanzo?” alihoji Masilinde huku akiachia
tabasamu pana !
Mwaija alipoona baba huyo anatabasamu na
yeye akaachia la kwake, wakatabasamu wote ...
“Hapo sasa unaonekana binti mzuri, uliyelelewa
kwa maadili ya wazazi wako , si kama saa zile .
“Asante baba .”
Mwaija aliondoka kwenda nje . Wakati anakwenda
macho ya Masilinde yakamsindikiza , akashtuka ...
“Mamaaaa. ..kumbe ishu si viguo vifupi , ishu ni
kwamba amejaaliwa makalio. Ona. ..eee . ..laaa!”
alisema moyoni huku akisimama kumwangalia
vizuri binti huyo .
Japokuwa alivaa kanga juu ya gauni lakini
wowowo lake lilionekana wazi na kutingisha kwa
kadiri mguu mmoja ulipokuwa unakwenda mbele
na kuacha mwingine nyuma. ..
“Haiwezekani ! Hivi kweli mama yake ni huyu
mke wangu au alipewa mwingine siku
anajifungua?”
Hapo mama Mwaija alikuwa chumbani kwake ...
“We Mwaija ,” aliita Masilinde lakini kwa sauti
ambayo kama hakutaka mkewe asikie kule
chumbani.
“Abee baba .” itaendeleaaa..

JAMANI BABA Sehemu 03 ILIPOISHIA : “We Mwaija .” “Abee .” “Wakati unamhudumia baba yako chai ulivaa hivyo?” “Ndiyo mama .” “Ha ! Ha ! Haaa! Yaani kweli unavaa hivyo mbele ya baba yako Mwaija ? Hebu jiangalie kwanza. Ona! Hii mikalio yako ulitaka aione siyo?” “Hapana mama , ila .. .” “Ila nini ? Au unataka baba yako aingiwe na ibilisi juu yako siyo ?” TAMBAA NAYO ... “Hapana mama , mimi sikujua kama kwa kuvaa hivi baba anaweza kuingiwa na ibilisi .” “We hivyo ulivyovaa unaona ni sawa siyo?” “Ulivyoniambia ndiyo nimegundua si sawa sasa .” Mama alimwangalia bintiye kwa macho makali kwa karibu dakika moja nzima huku Mwaija naye akishindwa kuondoka na kusimama palepale.. . “Nisamehe mama.” “Usirudie tena, sawa ?” “Sawa mama .” “Haya , kaendelee na kazi zako .” *** Shughuli zilikuwa haziendi sawa kwa Masilinde. Kila baada ta muda alivuta picha ya Mwaija. .. “Yule binti, daa ! Ni shida kwelikweli. Au kuishi mbali na mama ndiyo kawa vile ? Sasa ni kuvaa gani vile mbele ya baba ’ake ?” *** Jioni Masilinde aliporudi nyumbani alimkuta Mwaija, mama yake alikwenda kudai pesa zake kwa watu aliowakopesha vitenge .. . “Shikamoo baba.” “Marhaba Mwaija , mzima ?” “Mi mzima baba, pole sana kwa kazi.” “Nimepoa . Mama yuko wapi?” aliuliza baba mtu huyo huku akikaa kwenye sofa... “Alisema anakwenda kudai madeni ya vitenge sijui.” “Ooo! Ni ile biashara yake.” “Nikupikie chakula baba?” “Hapana, kama kuna juisi naombeni. ” “Ipo ,” alisema Mwaija huku akienda kuifuata hiyo juisi... “Mh !” aliguna Masilinde akimwangalia Mwaija alivyovaa jioni hiyo. Alivaa gauni fupi , magoti yote yalikuwa nje huku miguu yenye umbile la chupa za bia ikionekana vizuri sana na kumfanya baba’ake azidi kung’ata ulimi . “Karibu juisi baba .” “Asante sana mama. ” Wakati Mwaija anaondoka kwenda kuendelea na shughuli zake , Masilinde alimtolea macho pima huku akitingisha kichwa . .. “We Mwaija .” “Abee baba .” “Njoo hapa. ” Mwaija alirudi haraka ... “Hebu kaa hapo .” Mwaija alikaa... “Hivi hizo nguo zako za ajabuajabu unazovaa hapa kwangu una maanisha nini? Nani kakwambia hapa ni hosteli ?” “Samahani baba, sikujua kama nitakukwaza .” Mara mama yake aliingia ... “Afadhali umekuja mama Mwaija ... ” “Nini tena ? Halafu wee Mwaija ...” Kabla mama’ake hajamaliza kusema, Masilinde aliendelea... “Nilikuwa namuonya mwanao na hivi viguo vyake... ” “Na ndiyo nilichotaka kumwambia na mimi . Asubuhi nimemsema sana, akabadili . Nashangaa saa hizi namkuta hivi tena. ” “Nisameheni sana.” “Tukusamehe kwani we mwenyewe huoni ? Kama utaendelea hivyo hapa nyumbani kwangu utahama haraka sana ,” alikuja juu Masilinde. “Na kweli utahama hapa. Nilishakwambia tangu unakuja kwamba hayo mavazi yako mimi sikubaliani nayo lakini nahisi kama hunielewi vile. ” “Nimewaelewa. ” “Haya kabadili haraka sana ,” alisema Masilinde. Mwaija alisimama kwenda kubadili nguo . Wakati anatembea macho ya Masilinde yalikuwa kwake huku akisema .. . “Unavaa viguo vya ajabuajabu kama hosteli !” Mwaija alianza kukata tamaa ya kuendelea kuishi kwenye nyumba ile kwani mavazi ya ajabu yanayopigwa vita ndiyo zake . Hakuwa na nguo ye heshima hata moja. “Sasa itabidi kila gauni nivae na kanga juu ,” alisema moyoni huku akilitungua gauni jingine na kulivaa, akatupia na kanga moja juu yake, akatoka... “Si hivyo sasa, ulikuwa unashindiwa nini tangu mwanzo?” alihoji Masilinde huku akiachia tabasamu pana ! Mwaija alipoona baba huyo anatabasamu na yeye akaachia la kwake, wakatabasamu wote ... “Hapo sasa unaonekana binti mzuri, uliyelelewa kwa maadili ya wazazi wako , si kama saa zile . “Asante baba .” Mwaija aliondoka kwenda nje . Wakati anakwenda macho ya Masilinde yakamsindikiza , akashtuka ... “Mamaaaa. ..kumbe ishu si viguo vifupi , ishu ni kwamba amejaaliwa makalio. Ona. ..eee . ..laaa!” alisema moyoni huku akisimama kumwangalia vizuri binti huyo . Japokuwa alivaa kanga juu ya gauni lakini wowowo lake lilionekana wazi na kutingisha kwa kadiri mguu mmoja ulipokuwa unakwenda mbele na kuacha mwingine nyuma. .. “Haiwezekani ! Hivi kweli mama yake ni huyu mke wangu au alipewa mwingine siku anajifungua?” Hapo mama Mwaija alikuwa chumbani kwake ... “We Mwaija ,” aliita Masilinde lakini kwa sauti ambayo kama hakutaka mkewe asikie kule chumbani. “Abee baba .” itaendeleaaa..

...
JAMANI BABA
Sehemu 02
ILIPOISHIA
“Asante , shikamoo, ” alisalimia Mwaija huku
akikaa kwenye kochi kwa adabu .
“Marahaba, za safari?”
“Nzuri .”
“Karibu sana, karibu mwanangu, ” alisema
Masalanda huku akimkazia macho Mwaija na
kumshangaza mkewe kwani uchangamfu
ulikuwa mkubwa tofauti na alivyofikiria.
SASA ENDELEA ...
“Asante sana . Naamini wewe ndiyo baba
mdogo?” aliuliza Mwaija .
“Hapana! Huyo ni baba yako , mambo ya baba
mdogo yanatoka wapi saa hizi hapa ?” alikuja juu
mama Mwaija .
“Sawa , baba!”
“Ni mimi mwanangu .”
Mwaija alifurahia mapokezi hayo kiasi kwamba
alijikuta akifurahi sana tofauti na alivyotaka
kuamini hasa baada ya kushuka stendi Ubungo.
Mwaija alioneshwa chumba chake cha kulala.
Akaingiza mizigo yake ndani , akakiangalia
chumba hicho kisha akakipenda sana.
***
Ilikuwa usiku wa manane, Masalanda aliamka na
kuanza kumuwaza Mwaija . Aliwaza tangu
alipomwona jioni ile akitoka Tanga ...
“Asante , shikamoo. ”
“Marahaba , za safari?”
“Nzuri .”
“Karibu sana, karibu mwanangu. ”
“Asante sana . Naamini wewe ndiyo baba
mdogo?”
Masalanda akazinduka kutoka kwenye mawazo
ya jioni, akasema mwenyewe moyoni . ..
“Anaonekana binti mchangamfu halafu ana akili
kichwani. Ana heshima zake f’ lani. Yale mavazi
ndiyo ya watoto wetu wa siku hizi. ”
Wakati Masalanda akiwaza hayo , mkewe
alishtuka na kugundua kuwa mumewe hakuwa
amelala. Akajua ana mawazo kwani anamjua
vizuri ...
“Baba Mwaija ,” aliita mama Mwaija kwa kutumia
jina la binti yake.
“Naam.”
“Nahisi kama una mawazo sana ?”
“Hapana. Sina mawazo .”
“Kama unayo niambie tu. Unajua binti yetu kaja
kama ulivyomuona mavazi yake , nilimwambia
yale si mavazi ya kuvaa humu ndani , akasema
atajirekebisha kwa hiyo tumvumilie kidogo mume
wangu.”
“Sijayashangaa mavazi mimi , mabinti wetu mjini
siku hizi ndivyo wanavyovaa , sidhani kama kuna
namna.”
“Sasa mawazo ni ya nini ?”
“Nawaza biashara zangu naona kama haziendi
sawasawa kama zamani .”
“Mungu atakusaidia mume wangu, biashara
ndivyo zilivyo , leo nzuri kesho ni mbaya sana .”
“Sawa , nashukuru pia kwa dua zako .”
***
Kule chumbani, Mwaija alikuwa akichati na jamaa
yake wa Tanga mjini anaitwa Seif Mabanda ya
Papa. Licha ya kwamba ilikuwa usiku lakini yeye
hakuona tabu ...
“Mwenzio nimekuja kwa mama Dar , sipo Tanga ,
hajakwambia Mwanakombo?”
“Sijasikia. Unarudi lini ?”
“Mh ! Sijui kama nitarudi tena huko . Mama
hataki.”
“Kwa hiyo ina maana umenimwaga?”
“Jamani sijakumwaga , siku mojamoja we njoo
huku Dar . ”
“Mi sijawahi kufika Dar itakuaje?”
“Mi nitakuelekeza.”
***
Asubuhi Masalanda aliomba kupikiwa chai ili
anywe kabla ya kwenda kwenye biashara zake. ..
“We Mwaija ,” aliita mama.
“Abee mama. ”
“Hebu mpikie chai baba yako sasa hivi .”
Chai ilipikwa ingawa mama Mwaija alishangaa
sana kwani haikuwa kawaida kwa mumewe
kunywa chai asubuhi pale nyumbani.
Baada ya dakika kumi na tano tu, chai ilipelekwa
mezani. Mwaija alibeba kwenye sinia akiwa
ndani ya kanga moja. ..
“Loo !” alihamaki moyoni Masalanda lakini
Mwaija hakusikia.
“Shikamoo baba.”
“Marhaba Mwaija , hujambo mwanangu ?”
“Sijambo baba sijui wewe umeamkaje?”
“Mimi mzima wa afya, nakuhofia wewe na
uchovu wa safari.”
“Nimeamka sawa baba .”
“Haya tumshukuru Mungu wetu. ”
“Ni kweli baba.”
Wakati Mwaija anaondoka, ‘mzigo’ nyuma
ulionekana unavyosumbuliwa na kutembea hasa
ikizingatiwa ile kanga moja tu na umbo la Mwaija
sasa!
“Hivi huyu binti ndiyo nini hivi ?” alijiuliza
Masalanda huku macho yake yakimtoka pima
wakati Mwaija anafuata maji ya kunawa .
“Chai tayari wewe?” mama mtu aliuliza kutokea
uani ambako alikuwa akifagia.. .
“Tayari mama.”
“Weka na maji kama nilivyokuelekeza kila kitu
jana usiku .”
“Sawa mama .”
Baada ya mumewe kuondoka ndipo mama
Mwaija alibaini kuwa , mumewe alikuwa
akihudumiwa huku binti yake akiwa ndani ya
kanga moko , ilimuuma sana!
“We Mwaija .”
“Abee .”
“Wakati unamhudumia baba yako chai ulivaa
hivyo?”
“Ndiyo mama .”
“Ha ! Ha ! Haaa ! Yaani kweli unavaa hivyo mbele
ya baba yako Mwaija ? Hebu jiangalie kwanza.
Ona! Hii mikalio yako ulitaka aione siyo?”
“Hapana mama , ila ... ”
“Ila nini ? Au unataka baba yako aingiwe na ibilisi
juu yako siyo ?” ITAENDELEAAA.

JAMANI BABA Sehemu 02 ILIPOISHIA “Asante , shikamoo, ” alisalimia Mwaija huku akikaa kwenye kochi kwa adabu . “Marahaba, za safari?” “Nzuri .” “Karibu sana, karibu mwanangu, ” alisema Masalanda huku akimkazia macho Mwaija na kumshangaza mkewe kwani uchangamfu ulikuwa mkubwa tofauti na alivyofikiria. SASA ENDELEA ... “Asante sana . Naamini wewe ndiyo baba mdogo?” aliuliza Mwaija . “Hapana! Huyo ni baba yako , mambo ya baba mdogo yanatoka wapi saa hizi hapa ?” alikuja juu mama Mwaija . “Sawa , baba!” “Ni mimi mwanangu .” Mwaija alifurahia mapokezi hayo kiasi kwamba alijikuta akifurahi sana tofauti na alivyotaka kuamini hasa baada ya kushuka stendi Ubungo. Mwaija alioneshwa chumba chake cha kulala. Akaingiza mizigo yake ndani , akakiangalia chumba hicho kisha akakipenda sana. *** Ilikuwa usiku wa manane, Masalanda aliamka na kuanza kumuwaza Mwaija . Aliwaza tangu alipomwona jioni ile akitoka Tanga ... “Asante , shikamoo. ” “Marahaba , za safari?” “Nzuri .” “Karibu sana, karibu mwanangu. ” “Asante sana . Naamini wewe ndiyo baba mdogo?” Masalanda akazinduka kutoka kwenye mawazo ya jioni, akasema mwenyewe moyoni . .. “Anaonekana binti mchangamfu halafu ana akili kichwani. Ana heshima zake f’ lani. Yale mavazi ndiyo ya watoto wetu wa siku hizi. ” Wakati Masalanda akiwaza hayo , mkewe alishtuka na kugundua kuwa mumewe hakuwa amelala. Akajua ana mawazo kwani anamjua vizuri ... “Baba Mwaija ,” aliita mama Mwaija kwa kutumia jina la binti yake. “Naam.” “Nahisi kama una mawazo sana ?” “Hapana. Sina mawazo .” “Kama unayo niambie tu. Unajua binti yetu kaja kama ulivyomuona mavazi yake , nilimwambia yale si mavazi ya kuvaa humu ndani , akasema atajirekebisha kwa hiyo tumvumilie kidogo mume wangu.” “Sijayashangaa mavazi mimi , mabinti wetu mjini siku hizi ndivyo wanavyovaa , sidhani kama kuna namna.” “Sasa mawazo ni ya nini ?” “Nawaza biashara zangu naona kama haziendi sawasawa kama zamani .” “Mungu atakusaidia mume wangu, biashara ndivyo zilivyo , leo nzuri kesho ni mbaya sana .” “Sawa , nashukuru pia kwa dua zako .” *** Kule chumbani, Mwaija alikuwa akichati na jamaa yake wa Tanga mjini anaitwa Seif Mabanda ya Papa. Licha ya kwamba ilikuwa usiku lakini yeye hakuona tabu ... “Mwenzio nimekuja kwa mama Dar , sipo Tanga , hajakwambia Mwanakombo?” “Sijasikia. Unarudi lini ?” “Mh ! Sijui kama nitarudi tena huko . Mama hataki.” “Kwa hiyo ina maana umenimwaga?” “Jamani sijakumwaga , siku mojamoja we njoo huku Dar . ” “Mi sijawahi kufika Dar itakuaje?” “Mi nitakuelekeza.” *** Asubuhi Masalanda aliomba kupikiwa chai ili anywe kabla ya kwenda kwenye biashara zake. .. “We Mwaija ,” aliita mama. “Abee mama. ” “Hebu mpikie chai baba yako sasa hivi .” Chai ilipikwa ingawa mama Mwaija alishangaa sana kwani haikuwa kawaida kwa mumewe kunywa chai asubuhi pale nyumbani. Baada ya dakika kumi na tano tu, chai ilipelekwa mezani. Mwaija alibeba kwenye sinia akiwa ndani ya kanga moja. .. “Loo !” alihamaki moyoni Masalanda lakini Mwaija hakusikia. “Shikamoo baba.” “Marhaba Mwaija , hujambo mwanangu ?” “Sijambo baba sijui wewe umeamkaje?” “Mimi mzima wa afya, nakuhofia wewe na uchovu wa safari.” “Nimeamka sawa baba .” “Haya tumshukuru Mungu wetu. ” “Ni kweli baba.” Wakati Mwaija anaondoka, ‘mzigo’ nyuma ulionekana unavyosumbuliwa na kutembea hasa ikizingatiwa ile kanga moja tu na umbo la Mwaija sasa! “Hivi huyu binti ndiyo nini hivi ?” alijiuliza Masalanda huku macho yake yakimtoka pima wakati Mwaija anafuata maji ya kunawa . “Chai tayari wewe?” mama mtu aliuliza kutokea uani ambako alikuwa akifagia.. . “Tayari mama.” “Weka na maji kama nilivyokuelekeza kila kitu jana usiku .” “Sawa mama .” Baada ya mumewe kuondoka ndipo mama Mwaija alibaini kuwa , mumewe alikuwa akihudumiwa huku binti yake akiwa ndani ya kanga moko , ilimuuma sana! “We Mwaija .” “Abee .” “Wakati unamhudumia baba yako chai ulivaa hivyo?” “Ndiyo mama .” “Ha ! Ha ! Haaa ! Yaani kweli unavaa hivyo mbele ya baba yako Mwaija ? Hebu jiangalie kwanza. Ona! Hii mikalio yako ulitaka aione siyo?” “Hapana mama , ila ... ” “Ila nini ? Au unataka baba yako aingiwe na ibilisi juu yako siyo ?” ITAENDELEAAA.

...
JAMANI BABA
SEHEMU 01
Mume wangu leo nataka kukiri jambo moja
kwako, naamini litakukera sana lakini naanza
kuomba radhi nikiwa chini ya miguu yako, ”
alisema Zainabu akimwambia mume wake ,
Masalanda. ..
“Ipi hiyo? Mbona unanitisha mke wangu, mwaka
wa tatu sasa tangu tumeoana hujawahi
kuniambia hivyo .”
“Oooh ! Siku zote nilikuwa nafikiria namna ya
kukwambia mume wangu .”
“Sasa niambie basi .”
Zainabu alianza kuporomosha machozi na
kumfanya mume wake huyo kushangaa na
kukifikiria zaidi hicho kitu ambacho kimemfanya
mkewe aamue kukisema...
“Labda ameamua kuachana na mimi sasa
anashindwa kuniambia ?” aliwaza Masalanda .
“Utanisamehe kweli mume wangu ?”
“Nitakusamehe mke wangu, we niambie tu.”
“Unajua ... unajua wakati unanioa nilipokwambia
nilizaa mtoto akafa na nikawa sipati mimba
nilikudanganya mume wangu ... ”
“Ooo! Kumbe hukuwahi kuzaa kabisa?”
“Hapana, ila... ”
“Ila nini mke wangu hebu kuwa muwazi jamani!”
“Nina mtoto... ”
“Hee! Una nini ?”
“Nina mtoto mume wangu, nisamehe sana
sikukwambia nilikuficha kwa sababu nilijua
utaniacha wakati nakupenda sana mume
wangu,” alisema Zainabu huku akiendelea kulia.
Kwa mbali , Masalanda alianza kumuonea
huruma mkewe . Ni kweli walioana ukubwani
sana kwani Masalanda alikuwa na mke akafariki
dunia na mpaka kifo mwanamke huyo hakuwahi
kumzalia mtoto.
Wakati anakutana na Zainabu, aliamini atadumu
naye kwa sababu wote ni watu wazima tayari.
Aliamini kwamba kwa sababu alishazaa mtoto
akafa , basi watamtafuta mtoto wao kwa kudura
za Mungu mwenyewe.
“Zainabu, ” aliita Masalanda akitumia sauti ya
unyonge.
“Abee .”
“Hebu nijibu maswali yangu kadhaa
nitakayokuuliza.”
“Sawa .”
“Huyo mtoto ana umri gani ?”
“Miaka ishirini na moja .”
“Anaishi wapi ?”
“Yupo kwa shangazi yake, Tanga.”
“Anaitwa nani?”
“Mwaija .”
“Baba yake yuko wapi?”
“Alishafariki dunia , si nilikwambia. ”
“Hebu fanya mpango aje hapa, tumlee sisi . Mimi
nitakuwa baba yake.”
Zainabu alishtuka kusikia agizo hilo la mumewe
kwani siku zote , shangazi wa mtoto huyo
amekuwa akimwambia afanye juu chini
amchukue binti yake kwani ameanza
umachepele, anahofia asije akapata ujauzito
akiwa nyumbani kwake ikaonekana amemtuma .
“Kweli mume wangu?”
“Kweli , imetoka moyoni mwangu , sina kinyongo
na wewe. ”
Zainabu aliachia tabasamu kavu huku akijifuta
machozi kwa kanga. Mumewe alimkumbatia,
akampiga busu wakakaa sawasawa .
***
Ilikuwa siku ya tatu, Mwaija alikuwa ndani ya
basi la Raha Leo lenye maandishi nyuma
yanayosomeka; Tanga wadeka. Kila mara
alimtumia meseji mama yake akimjulisha
alipofikia. ..
“Mama sasa tunapita Segera .”
Mama yake alimjibu sawa , akamtakia safari
njema.
Moyoni Mwaija alikuwa na furaha iliyopitiliza ,
alitaka sana kuishi na mama yake, hasa
akizingatia kuwa anaishi katika Jiji la Dar es
Salaam ambalo aliambiwa lina kila aina ya raha
na karaha !
Alipofika Chalinze , mama yake alianza safari ya
kutoka Kigogo kwenda Ubungo kumpokea binti
yake huyo ambaye ilikuwa inamuuma sana kuwa
naye mbali .
Basi lilifika, Mwaija akashuka, mama akashtuka
moyoni maana mara ya mwisho alimuacha akiwa
na miaka kumi na nane . Alimshangaa kumuona
amenenepa, amenawiri , ametakata ile mbaya.
Kikubwa zaidi alimshangaza nguo alizovaa.
Mwaija alivaa suruali ya kubana, wenyewe
wanaita skintaiti na t- shirt juu. Kwa umbo
alilokuwa nalo Mwaija , kila mwanaume
alimuangalia kwa uchu wa mapenzi. ..
“Ha mama jamani ,” alichangamka Mwaija na
kumkumbatia mama yake kwa furaha. ..
“Shikamoo mama.”
“Marahaba mwanangu, lakini Mwaija hizo nguo
kweli ni za kuvaa mbele ya watu , si za kulalia
hizo?”
“Hamna mama, ndiyo fasheni yenyewe ya siku
hizi. Mama upo Dar es Salaam lakini hujui
mitindo?”
“Mimi sidhani kama nitapenda mwanangu , hata
baba yako niliye naye siamini kama atakukubali
kwa mavazi haya . Hapa natamani nikupeleke
wapi sijui ukabadili nguo ndiyo twende
nyumbani.”
“Jamani mama , basi nimekuelewa , twende tu
nyumbani nitavaa kanga nikifika. ”
Walianza safari ya kwenda nyumbani Kigogo .
Moyoni mama Mwaija alikuwa anaomba
mumewe achelewe kurudi nyumbani ili wao
watangulie kufika na Mwaija abadili nguo haraka
sana.. .
“Hivi na huyo shangazi yako ina maana alikuwa
hakuoni unavyovaa ?”
“Alikuwa ananiona . ”
“Sawa ? Akawa anakuacha tu unaharibika
hivihivi?”
Mwaija hakujibu swali hilo alihisi halimuhusu
yeye zaidi ya shangazi yake .
Kufika nyumbani, mlango ulikuwa wazi ...
“Mswalie mtume, keshafika huyu , sijui itakuaje?”
alisema moyoni mama Mwaija , wakaingia ndani .
Sebuleni alikaa Masalanda , alipomuona Mwaija
akashtuka.. .
“Karibuni. ..karibuni sana. ”
“Asante , shikamoo, ” alisalimia Mwaija huku
akikaa kwenye kochi kwa adabu .
“Marahaba, za safari?”
“Nzuri .”
“Karibu sana, karibu mwanangu, ” alisema
Masalanda huku akimkazia macho Mwaija na
kumshangaza mkewe kwani uchangamfu
ulikuwa mkubwa tofauti na alivyofikiria.
ITAENDELEAA

JAMANI BABA SEHEMU 01 Mume wangu leo nataka kukiri jambo moja kwako, naamini litakukera sana lakini naanza kuomba radhi nikiwa chini ya miguu yako, ” alisema Zainabu akimwambia mume wake , Masalanda. .. “Ipi hiyo? Mbona unanitisha mke wangu, mwaka wa tatu sasa tangu tumeoana hujawahi kuniambia hivyo .” “Oooh ! Siku zote nilikuwa nafikiria namna ya kukwambia mume wangu .” “Sasa niambie basi .” Zainabu alianza kuporomosha machozi na kumfanya mume wake huyo kushangaa na kukifikiria zaidi hicho kitu ambacho kimemfanya mkewe aamue kukisema... “Labda ameamua kuachana na mimi sasa anashindwa kuniambia ?” aliwaza Masalanda . “Utanisamehe kweli mume wangu ?” “Nitakusamehe mke wangu, we niambie tu.” “Unajua ... unajua wakati unanioa nilipokwambia nilizaa mtoto akafa na nikawa sipati mimba nilikudanganya mume wangu ... ” “Ooo! Kumbe hukuwahi kuzaa kabisa?” “Hapana, ila... ” “Ila nini mke wangu hebu kuwa muwazi jamani!” “Nina mtoto... ” “Hee! Una nini ?” “Nina mtoto mume wangu, nisamehe sana sikukwambia nilikuficha kwa sababu nilijua utaniacha wakati nakupenda sana mume wangu,” alisema Zainabu huku akiendelea kulia. Kwa mbali , Masalanda alianza kumuonea huruma mkewe . Ni kweli walioana ukubwani sana kwani Masalanda alikuwa na mke akafariki dunia na mpaka kifo mwanamke huyo hakuwahi kumzalia mtoto. Wakati anakutana na Zainabu, aliamini atadumu naye kwa sababu wote ni watu wazima tayari. Aliamini kwamba kwa sababu alishazaa mtoto akafa , basi watamtafuta mtoto wao kwa kudura za Mungu mwenyewe. “Zainabu, ” aliita Masalanda akitumia sauti ya unyonge. “Abee .” “Hebu nijibu maswali yangu kadhaa nitakayokuuliza.” “Sawa .” “Huyo mtoto ana umri gani ?” “Miaka ishirini na moja .” “Anaishi wapi ?” “Yupo kwa shangazi yake, Tanga.” “Anaitwa nani?” “Mwaija .” “Baba yake yuko wapi?” “Alishafariki dunia , si nilikwambia. ” “Hebu fanya mpango aje hapa, tumlee sisi . Mimi nitakuwa baba yake.” Zainabu alishtuka kusikia agizo hilo la mumewe kwani siku zote , shangazi wa mtoto huyo amekuwa akimwambia afanye juu chini amchukue binti yake kwani ameanza umachepele, anahofia asije akapata ujauzito akiwa nyumbani kwake ikaonekana amemtuma . “Kweli mume wangu?” “Kweli , imetoka moyoni mwangu , sina kinyongo na wewe. ” Zainabu aliachia tabasamu kavu huku akijifuta machozi kwa kanga. Mumewe alimkumbatia, akampiga busu wakakaa sawasawa . *** Ilikuwa siku ya tatu, Mwaija alikuwa ndani ya basi la Raha Leo lenye maandishi nyuma yanayosomeka; Tanga wadeka. Kila mara alimtumia meseji mama yake akimjulisha alipofikia. .. “Mama sasa tunapita Segera .” Mama yake alimjibu sawa , akamtakia safari njema. Moyoni Mwaija alikuwa na furaha iliyopitiliza , alitaka sana kuishi na mama yake, hasa akizingatia kuwa anaishi katika Jiji la Dar es Salaam ambalo aliambiwa lina kila aina ya raha na karaha ! Alipofika Chalinze , mama yake alianza safari ya kutoka Kigogo kwenda Ubungo kumpokea binti yake huyo ambaye ilikuwa inamuuma sana kuwa naye mbali . Basi lilifika, Mwaija akashuka, mama akashtuka moyoni maana mara ya mwisho alimuacha akiwa na miaka kumi na nane . Alimshangaa kumuona amenenepa, amenawiri , ametakata ile mbaya. Kikubwa zaidi alimshangaza nguo alizovaa. Mwaija alivaa suruali ya kubana, wenyewe wanaita skintaiti na t- shirt juu. Kwa umbo alilokuwa nalo Mwaija , kila mwanaume alimuangalia kwa uchu wa mapenzi. .. “Ha mama jamani ,” alichangamka Mwaija na kumkumbatia mama yake kwa furaha. .. “Shikamoo mama.” “Marahaba mwanangu, lakini Mwaija hizo nguo kweli ni za kuvaa mbele ya watu , si za kulalia hizo?” “Hamna mama, ndiyo fasheni yenyewe ya siku hizi. Mama upo Dar es Salaam lakini hujui mitindo?” “Mimi sidhani kama nitapenda mwanangu , hata baba yako niliye naye siamini kama atakukubali kwa mavazi haya . Hapa natamani nikupeleke wapi sijui ukabadili nguo ndiyo twende nyumbani.” “Jamani mama , basi nimekuelewa , twende tu nyumbani nitavaa kanga nikifika. ” Walianza safari ya kwenda nyumbani Kigogo . Moyoni mama Mwaija alikuwa anaomba mumewe achelewe kurudi nyumbani ili wao watangulie kufika na Mwaija abadili nguo haraka sana.. . “Hivi na huyo shangazi yako ina maana alikuwa hakuoni unavyovaa ?” “Alikuwa ananiona . ” “Sawa ? Akawa anakuacha tu unaharibika hivihivi?” Mwaija hakujibu swali hilo alihisi halimuhusu yeye zaidi ya shangazi yake . Kufika nyumbani, mlango ulikuwa wazi ... “Mswalie mtume, keshafika huyu , sijui itakuaje?” alisema moyoni mama Mwaija , wakaingia ndani . Sebuleni alikaa Masalanda , alipomuona Mwaija akashtuka.. . “Karibuni. ..karibuni sana. ” “Asante , shikamoo, ” alisalimia Mwaija huku akikaa kwenye kochi kwa adabu . “Marahaba, za safari?” “Nzuri .” “Karibu sana, karibu mwanangu, ” alisema Masalanda huku akimkazia macho Mwaija na kumshangaza mkewe kwani uchangamfu ulikuwa mkubwa tofauti na alivyofikiria. ITAENDELEAA

...
STORY FUPI
Likizo moja kijana mmoja aliamua amchukue rafiki yake na kwenda wote kukaa nyumbani kwao kwani ilikuwa ni likizo ya muda mfupi na rafiki yake anakaa mji mmoja uliopo mbali na chuo chao hivyo ingekuwa ni gharama kwenda kwa muda mfupi na kisha kurudi.
Mama wa kijana yule alifurahi sana na kumpokea rafiki wa mwanae na kuandaa chakula kizuri na kisha kumwandalia sehemu ya kulala katika chumba cha wageni.
Baba wa familia ile yeye alikuwa ni mfanya biashara maarufu wa eneo lile na kwa habari za mitaani ilisemekana kuwa alikuwa akitumia ushirikina kwa kufanya sadaka za damu za watu ili aweze kujipatia utajiri zaidi.
Baada ya kugundua yule mgeni yupo pale akapanga na vijana wake wa kazi kuwa usiku wamchukue yule kijana na kumuua ili akamilishe sadaka ya mwaka huo kwani sadaka hiyo haikutakiwa kuangamiza wanafamilia wake bali watu wengine.
Usiku wa manane wale vijana wakaja na kwenda kwenye kile chumba na kumuua yule mtoto kama walivyoagizwa na bosi wao na kisha kumchukua na kwenda kumweka walikoelekezwa.
Mzee akaamka asubuhi na mapema na kwenda kuangalia ile maiti na kufika kule hawakuamini kuona ni mwanae aliyeuawa kwani usiku wakati wa kulala mtoto aligundua kuwa kile chumba kina tatizo la umeme na kuona sio busara kumwacha mgeni alale bila taa hivyo wakabadilishana vyumba na mgeni kulala chumba chake.
Mzee yule alianguka na kufa muda mchache akiwa anakimbizwa hospitali kwa ajili ya presha kuwa juu.
Nami nakuombea rafiki yangu usomaye ujumbe huu kuwa kila mwenye roho mbaya na ya kukudhuru wewe, familia yako, kazi zako au mafanikio yako ashindwe na kuaibika kabla ya mwaka huu haujaisha
Kila mpango mbaya dhidi yako na uwarudie mara mbili hao waliopanga kukudhuru.
Na kila shetani anayetaka kukuharibia mipango yako afe kwa sumu ya nguvu za Mungu kama huyu Baba.
Naomba haya kwa kuamini Mwenyezi Mungu atatulinda na kututetea daima na wote tuandike AMEN AU NENO LOLOTE KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU na kisha kushare ujumbe huu na Kamwe hatutaumizwa na mipango ya shetani
Usiudharau ujumbe huu
SHARE NA WENGINE

STORY FUPI Likizo moja kijana mmoja aliamua amchukue rafiki yake na kwenda wote kukaa nyumbani kwao kwani ilikuwa ni likizo ya muda mfupi na rafiki yake anakaa mji mmoja uliopo mbali na chuo chao hivyo ingekuwa ni gharama kwenda kwa muda mfupi na kisha kurudi. Mama wa kijana yule alifurahi sana na kumpokea rafiki wa mwanae na kuandaa chakula kizuri na kisha kumwandalia sehemu ya kulala katika chumba cha wageni. Baba wa familia ile yeye alikuwa ni mfanya biashara maarufu wa eneo lile na kwa habari za mitaani ilisemekana kuwa alikuwa akitumia ushirikina kwa kufanya sadaka za damu za watu ili aweze kujipatia utajiri zaidi. Baada ya kugundua yule mgeni yupo pale akapanga na vijana wake wa kazi kuwa usiku wamchukue yule kijana na kumuua ili akamilishe sadaka ya mwaka huo kwani sadaka hiyo haikutakiwa kuangamiza wanafamilia wake bali watu wengine. Usiku wa manane wale vijana wakaja na kwenda kwenye kile chumba na kumuua yule mtoto kama walivyoagizwa na bosi wao na kisha kumchukua na kwenda kumweka walikoelekezwa. Mzee akaamka asubuhi na mapema na kwenda kuangalia ile maiti na kufika kule hawakuamini kuona ni mwanae aliyeuawa kwani usiku wakati wa kulala mtoto aligundua kuwa kile chumba kina tatizo la umeme na kuona sio busara kumwacha mgeni alale bila taa hivyo wakabadilishana vyumba na mgeni kulala chumba chake. Mzee yule alianguka na kufa muda mchache akiwa anakimbizwa hospitali kwa ajili ya presha kuwa juu. Nami nakuombea rafiki yangu usomaye ujumbe huu kuwa kila mwenye roho mbaya na ya kukudhuru wewe, familia yako, kazi zako au mafanikio yako ashindwe na kuaibika kabla ya mwaka huu haujaisha Kila mpango mbaya dhidi yako na uwarudie mara mbili hao waliopanga kukudhuru. Na kila shetani anayetaka kukuharibia mipango yako afe kwa sumu ya nguvu za Mungu kama huyu Baba. Naomba haya kwa kuamini Mwenyezi Mungu atatulinda na kututetea daima na wote tuandike AMEN AU NENO LOLOTE KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU na kisha kushare ujumbe huu na Kamwe hatutaumizwa na mipango ya shetani Usiudharau ujumbe huu SHARE NA WENGINE

...
KISA Cha Kusikitisha 'Baba Yangu Alisababisha Nilale na Mjomba Wangu, Kamwe Sitamsamehe'







nitoe siri yangu hapa ya muda mrefu ambayo imekuwa ikiniumiza sana pale tu ninapokumbuka, nakosa raha na amani inapotea.

Kwa ufupi kabisa, nilizaliwa mkoani Mara wilaya ya Musoma mjini maeneo ya Nyakato, mama yangu alibeba mimba yangu akiwa darasa sita hivyo hakumaliza shule. Ilibidi akae nyumbani mpaka pale alipojifungua, kwa wakati kulikuwa hakuna sheria kali kwa wanaowapatia wanafunzi mimba wakiwa shule. Na aliyempatia hiyo mimba naye alikuwa mwanafunzi mwenzake lkn alikuwa la saba yeye alimaliza shule. Baba yake mama ambaye ni babu yangu alikuwa na uwezo mkubwa hivyo hakushindwa kutulea mimi na mama.

Nikiwa na miaka 6 ndipo nilipokuja kumjua baba yangu wakati huo nae alikuwa amekuwa mtu mzima, alikuja akanisalimia akaondoka, kwao pia walikuwa vizuri kimaisha.

Nikiwa na miaka 9 naanza darasa la kwanza wakati huo tulikuwa tunaingia shule tukiwa na umri mkubwa tofauti na sasa. Mama aliolewa na mume mwingine na alikuwa ni askari jeshi, alifanikiwa kuzaa nae watoto wanne jumla kwenye familia yetu tukawa 5 wasichana tukiwa wawili na wavulana wakiwa 3. Tuliishi vizuri sana, na familia ilikuwa na furaha sana na hatimaye tulijenga nyumba nzuri sana mtaa wa Majita road hapo hapo musoma. Nakumbuka nikiwa darasa la sita babu yangu kizaa mama alifariki duniani na ndiye aliyekuwa tegemeo la familia ya kina mama. Pia wakati huohuo baba yangu wa kufikia walikorofishana na mama kupelekea mpaka wakaachana na alihamishwa kuja Dar es salaam Lugalo. Sisi tulibaki Musoma tukiendelea na maisha.

Kumbuka wakati wote huo baba yangu mzazi ajaonekana kwa kipindi kirefu. Kwa upande wangu si kuwa na shida na nilifika mahali nikamsahu kabisa. Mama alikuwa anajituma sana alikuwa ana hotel yake hapo hapo Musoma hivyo alivyoachana na baba yangu wa kufikia akutetereka kiuchumi. Nilisoma na Mungu alinijalia kichwani nilikuwa vizuri toka darasa la kwanza nilikuwa nashika nafasi ya kwanza nikishuka sana nafasi ya pili mpaka la saba. Baada ya kuhitimu la saba Mungu alinijalia nikafahulu vizuri na kuingia kidato cha kwanza.

Wakati nikiwa kidato cha pili baba alikuja kutoka Arusha maana alikuwa anakaa huko, alipokuja alinikuta naendelea na masomo yangu vizuri. Alifika mpaka nyumbani nakumbuka mama alipomuona alimfukuza, wakaja watu kusuluisha na wazee kwamba ampe nafasi ya kumuona mwanae mama alikataa. Akamwambia wakati huo alikuwa wapi? Basi siku moja niko shule maana nilipangiwa hapo hapo Musoma sekondari, alifahamu ninapo soma kaja kaulizia walimu akanipata, niliitwa darasani nilipotoka nikamuona lakini sikumjua vizuri maana ni siku nyigi sana. Akanambia ni baba yako kwani umenisahau? Nilikataa kuongea lakini alinisihi sana mwisho nilikubali kuongea nae wakati anaondoka akanipa laki moja za matumizi akaondoka. Nilipofika nyumbani nilimpa mama hiyo pesa alishangaa nimetoa wapi, nikamwelezea yote basi mama akapokea. Kesho baba akaja akaomba msamaha hapo mama akamwambia kikubwa nataka umsaidie mwanao basi. Basi baba akaondoka.

Nilipofika kidato cha tatu mama alianza kuugua sana, tukaanza kuzunguka mahospitali kila akipimwa hakuna ugonjwa, tukaenda Bugando ugonjwa haukuonekana, tukaenda Muhimbili pia ugonjwa akuonekana kumbuka mama ndiye tegemeo la familia pesa za matibabu zilitoka kwake mpaka ikafikia hatua tukafilisika hotel ikafungwa hali ikawa mbaya sana. Tukaanza kuishi kwa shida sana. Tukashauriwa twende kwa waganga tukazunguka, alikuwa anapata nafuu kidogo kisha ugonjwa unarudi tena. Nikaanza kumtafuta baba ili atusaidie kila nikiongea nae kwa njia simu anatoa ahadi tu mwisho nikakata tamaa. Kwa baba wa kufikia aliyoko Dar nae alikuwa kimya sana alisahau hata familia yake kabisa. Hivyo tulikata tamaa kabisa na mababa hawa. Tukaamua kuishi maisha yetu bila kutegemea wao tena.

Nilisoma kidato cha nne kwa shida sana, tukitoka shule mimi na wandogo zangu tunaenda kutafuta vibarua vya kufanya ili tupate kula. Mpaka nikamaliza form 4, baada ya matokeo kutoka nikawa nimefahuru vizuri nikapagiwa shule ya advance huko Wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro. Hapo ndipo ilikuja kesi ni wapi pa kupata pesa ya shule. Jamani umasikini mbaya sana, kama ujapitia mshukuru Mungu sana. Mama yangu wakati huo hali yake iliendelea kuimarika baada kwenda kwenye Maombi. Tuliangaika sana na mama lakini hatkufanikiwa kupata pesa ya kutosha.

Namshukuru Mungu kwa kipindi chote hicho sikuwahi kukutana na mume japo nilikuwa mzuri mtaani kwangu, walinisumbua mpaka waume za watu lakini hawakunipata. Lkn nilipata wazo nikasema baba yangu yuko Arusha na mm nimechaguliwa Mkoa wa Kilimanjaro ni mikoa iliyokaribu. Nilimpigia simu nikaongea nae nikamwambia nimefahalu lkn sina pesa akasema wakati unakuja shule pitia hapa Arusha nitakupa pesa za shule. Basi nikaona unafuu mkubwa, nikajianda maana muda ulikuwa ushafika. Arusha huko alikuwepo mjomba wangu tumbo moja na mama alikuwa askari wa FFU hapo Arusha lakini alikuwa na roho mbaya sana hawezi kumpa mtu msaada kirahisi. Nilimtaarifu pia kwamba nitakuja na nitafikia kwake alikubali.

Siku ya safari nilimtaarifu baba akasema sawa, nikamwambia nitafikia kwa Mjomba alafu ndio nakuja kwako kuchukua pesa za shule, tukakubaliana. Nilipofika Arusha majira ya saa 2 usiku mjomba alikuja akanipokea akanipeka kwake, mjomba alikuwa na mke na watoto wa 3, ila wakati nafika nilikuta mke wake ameenda kwao likizo, yupo mfanyakazi wa ndani na watoto, cha ajabu nilianza kutafuta baba kwenye simu akupatikana tena.

Nilikaa kwa mjomba siku 4 bila baba kupatikana kwenye simu sikuwa na pesa yoyote. Ikabidi nimwombe mjomba anisaidie angalau kidogo niende shule baba akipatikana akinipa nimrudishie mjomba alikataa katakata. Niliwaza sana sikujua ninzie wapi nilikata tamaa ya kusoma tena, ikabidi nimwombe mjomba nauli ya kurudia kwetu Musoma napo aligoma akasema subiri mpaka baba yako apatikane. Siku moja jioni katoka kazini akaniita chumbani kwake nilishutuka lakini akasema njoo nikupe pesa za shule, kweli nilipoingia ndani akanipa laki tatu, nikamshukuru sana sikuamini, nilipotaka kuondoka akanishika mkono akanitazama akanimbia naomba nilale na wewe usiku wa leo, niliogopa na kushituka sana, alifunga mlango akanitishia mwisho nilipoa akafanya anachotaka kufanya, aliniumiza sana maana sikuwahi kufanya kideto hicho. Baada ya kumaliza akanipa hizo pesa nikajianda kwenda shule kabla sijaenda akanifanya tena alinigeuza mke wake, sikumwambia mama yangu chochote maana angesikia yawezekana angekufa kabisa. Lakini yote hayo kwa sababu ya shida.

Nikafanikiwa kwenda shule, nilisoma vizuri na mjomba akawa anakuja hapo shuleni kuniletea pesa za matumizi siku za Jumapili nakunichukua kwenda gesti, maisha yangu yalikuwa hayo mpaka namaliza kidato cha sita, nikarudi nyumbani Musoma mama alifurahi sana aliposikia mjomba alinisomesha, lakini nilikuwa siri yangu. Mjomba alitaka nilirudi tena Arusha huku nikisubiri kwenda chuo kikuu. Nilikataa kabisa na mimi nilikuwa tayari nimetimiza malengo ya kishule sikuwa na hamu tena bali niliendelea kujutia dhambi niliyofanya.

Mungu alisadia nikapangiwa chuo cha Dar es salaam, nilipata mkopo hivyo ulinisaidia mpaka namaliza chuo, nikakutana na rafiki wa kiume mwanachuo mwenzangu, tulipohitimu tulifunga ndoa na sasa tuna watoto 2. Hii ni siri kubwa sijahawahi mwambia mume wangu. Baba aliposikia nimemaliza chuo akajitokeza, nilifukuza kwangu na kamwe sitaweza kumsamehe katika maisha yangu.

KISA Cha Kusikitisha 'Baba Yangu Alisababisha Nilale na Mjomba Wangu, Kamwe Sitamsamehe'  nitoe siri yangu hapa ya muda mrefu ambayo imekuwa ikiniumiza sana pale tu ninapokumbuka, nakosa raha na amani inapotea. Kwa ufupi kabisa, nilizaliwa mkoani Mara wilaya ya Musoma mjini maeneo ya Nyakato, mama yangu alibeba mimba yangu akiwa darasa sita hivyo hakumaliza shule. Ilibidi akae nyumbani mpaka pale alipojifungua, kwa wakati kulikuwa hakuna sheria kali kwa wanaowapatia wanafunzi mimba wakiwa shule. Na aliyempatia hiyo mimba naye alikuwa mwanafunzi mwenzake lkn alikuwa la saba yeye alimaliza shule. Baba yake mama ambaye ni babu yangu alikuwa na uwezo mkubwa hivyo hakushindwa kutulea mimi na mama. Nikiwa na miaka 6 ndipo nilipokuja kumjua baba yangu wakati huo nae alikuwa amekuwa mtu mzima, alikuja akanisalimia akaondoka, kwao pia walikuwa vizuri kimaisha. Nikiwa na miaka 9 naanza darasa la kwanza wakati huo tulikuwa tunaingia shule tukiwa na umri mkubwa tofauti na sasa. Mama aliolewa na mume mwingine na alikuwa ni askari jeshi, alifanikiwa kuzaa nae watoto wanne jumla kwenye familia yetu tukawa 5 wasichana tukiwa wawili na wavulana wakiwa 3. Tuliishi vizuri sana, na familia ilikuwa na furaha sana na hatimaye tulijenga nyumba nzuri sana mtaa wa Majita road hapo hapo musoma. Nakumbuka nikiwa darasa la sita babu yangu kizaa mama alifariki duniani na ndiye aliyekuwa tegemeo la familia ya kina mama. Pia wakati huohuo baba yangu wa kufikia walikorofishana na mama kupelekea mpaka wakaachana na alihamishwa kuja Dar es salaam Lugalo. Sisi tulibaki Musoma tukiendelea na maisha. Kumbuka wakati wote huo baba yangu mzazi ajaonekana kwa kipindi kirefu. Kwa upande wangu si kuwa na shida na nilifika mahali nikamsahu kabisa. Mama alikuwa anajituma sana alikuwa ana hotel yake hapo hapo Musoma hivyo alivyoachana na baba yangu wa kufikia akutetereka kiuchumi. Nilisoma na Mungu alinijalia kichwani nilikuwa vizuri toka darasa la kwanza nilikuwa nashika nafasi ya kwanza nikishuka sana nafasi ya pili mpaka la saba. Baada ya kuhitimu la saba Mungu alinijalia nikafahulu vizuri na kuingia kidato cha kwanza. Wakati nikiwa kidato cha pili baba alikuja kutoka Arusha maana alikuwa anakaa huko, alipokuja alinikuta naendelea na masomo yangu vizuri. Alifika mpaka nyumbani nakumbuka mama alipomuona alimfukuza, wakaja watu kusuluisha na wazee kwamba ampe nafasi ya kumuona mwanae mama alikataa. Akamwambia wakati huo alikuwa wapi? Basi siku moja niko shule maana nilipangiwa hapo hapo Musoma sekondari, alifahamu ninapo soma kaja kaulizia walimu akanipata, niliitwa darasani nilipotoka nikamuona lakini sikumjua vizuri maana ni siku nyigi sana. Akanambia ni baba yako kwani umenisahau? Nilikataa kuongea lakini alinisihi sana mwisho nilikubali kuongea nae wakati anaondoka akanipa laki moja za matumizi akaondoka. Nilipofika nyumbani nilimpa mama hiyo pesa alishangaa nimetoa wapi, nikamwelezea yote basi mama akapokea. Kesho baba akaja akaomba msamaha hapo mama akamwambia kikubwa nataka umsaidie mwanao basi. Basi baba akaondoka. Nilipofika kidato cha tatu mama alianza kuugua sana, tukaanza kuzunguka mahospitali kila akipimwa hakuna ugonjwa, tukaenda Bugando ugonjwa haukuonekana, tukaenda Muhimbili pia ugonjwa akuonekana kumbuka mama ndiye tegemeo la familia pesa za matibabu zilitoka kwake mpaka ikafikia hatua tukafilisika hotel ikafungwa hali ikawa mbaya sana. Tukaanza kuishi kwa shida sana. Tukashauriwa twende kwa waganga tukazunguka, alikuwa anapata nafuu kidogo kisha ugonjwa unarudi tena. Nikaanza kumtafuta baba ili atusaidie kila nikiongea nae kwa njia simu anatoa ahadi tu mwisho nikakata tamaa. Kwa baba wa kufikia aliyoko Dar nae alikuwa kimya sana alisahau hata familia yake kabisa. Hivyo tulikata tamaa kabisa na mababa hawa. Tukaamua kuishi maisha yetu bila kutegemea wao tena. Nilisoma kidato cha nne kwa shida sana, tukitoka shule mimi na wandogo zangu tunaenda kutafuta vibarua vya kufanya ili tupate kula. Mpaka nikamaliza form 4, baada ya matokeo kutoka nikawa nimefahuru vizuri nikapagiwa shule ya advance huko Wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro. Hapo ndipo ilikuja kesi ni wapi pa kupata pesa ya shule. Jamani umasikini mbaya sana, kama ujapitia mshukuru Mungu sana. Mama yangu wakati huo hali yake iliendelea kuimarika baada kwenda kwenye Maombi. Tuliangaika sana na mama lakini hatkufanikiwa kupata pesa ya kutosha. Namshukuru Mungu kwa kipindi chote hicho sikuwahi kukutana na mume japo nilikuwa mzuri mtaani kwangu, walinisumbua mpaka waume za watu lakini hawakunipata. Lkn nilipata wazo nikasema baba yangu yuko Arusha na mm nimechaguliwa Mkoa wa Kilimanjaro ni mikoa iliyokaribu. Nilimpigia simu nikaongea nae nikamwambia nimefahalu lkn sina pesa akasema wakati unakuja shule pitia hapa Arusha nitakupa pesa za shule. Basi nikaona unafuu mkubwa, nikajianda maana muda ulikuwa ushafika. Arusha huko alikuwepo mjomba wangu tumbo moja na mama alikuwa askari wa FFU hapo Arusha lakini alikuwa na roho mbaya sana hawezi kumpa mtu msaada kirahisi. Nilimtaarifu pia kwamba nitakuja na nitafikia kwake alikubali. Siku ya safari nilimtaarifu baba akasema sawa, nikamwambia nitafikia kwa Mjomba alafu ndio nakuja kwako kuchukua pesa za shule, tukakubaliana. Nilipofika Arusha majira ya saa 2 usiku mjomba alikuja akanipokea akanipeka kwake, mjomba alikuwa na mke na watoto wa 3, ila wakati nafika nilikuta mke wake ameenda kwao likizo, yupo mfanyakazi wa ndani na watoto, cha ajabu nilianza kutafuta baba kwenye simu akupatikana tena. Nilikaa kwa mjomba siku 4 bila baba kupatikana kwenye simu sikuwa na pesa yoyote. Ikabidi nimwombe mjomba anisaidie angalau kidogo niende shule baba akipatikana akinipa nimrudishie mjomba alikataa katakata. Niliwaza sana sikujua ninzie wapi nilikata tamaa ya kusoma tena, ikabidi nimwombe mjomba nauli ya kurudia kwetu Musoma napo aligoma akasema subiri mpaka baba yako apatikane. Siku moja jioni katoka kazini akaniita chumbani kwake nilishutuka lakini akasema njoo nikupe pesa za shule, kweli nilipoingia ndani akanipa laki tatu, nikamshukuru sana sikuamini, nilipotaka kuondoka akanishika mkono akanitazama akanimbia naomba nilale na wewe usiku wa leo, niliogopa na kushituka sana, alifunga mlango akanitishia mwisho nilipoa akafanya anachotaka kufanya, aliniumiza sana maana sikuwahi kufanya kideto hicho. Baada ya kumaliza akanipa hizo pesa nikajianda kwenda shule kabla sijaenda akanifanya tena alinigeuza mke wake, sikumwambia mama yangu chochote maana angesikia yawezekana angekufa kabisa. Lakini yote hayo kwa sababu ya shida. Nikafanikiwa kwenda shule, nilisoma vizuri na mjomba akawa anakuja hapo shuleni kuniletea pesa za matumizi siku za Jumapili nakunichukua kwenda gesti, maisha yangu yalikuwa hayo mpaka namaliza kidato cha sita, nikarudi nyumbani Musoma mama alifurahi sana aliposikia mjomba alinisomesha, lakini nilikuwa siri yangu. Mjomba alitaka nilirudi tena Arusha huku nikisubiri kwenda chuo kikuu. Nilikataa kabisa na mimi nilikuwa tayari nimetimiza malengo ya kishule sikuwa na hamu tena bali niliendelea kujutia dhambi niliyofanya. Mungu alisadia nikapangiwa chuo cha Dar es salaam, nilipata mkopo hivyo ulinisaidia mpaka namaliza chuo, nikakutana na rafiki wa kiume mwanachuo mwenzangu, tulipohitimu tulifunga ndoa na sasa tuna watoto 2. Hii ni siri kubwa sijahawahi mwambia mume wangu. Baba aliposikia nimemaliza chuo akajitokeza, nilifukuza kwangu na kamwe sitaweza kumsamehe katika maisha yangu.

...
KISA CHA MAPENZI:

Neema alitoka kijijini kwao akiwa binti mdogo sana, alichukuliwa na kulelewa na shangazi yake.
Alipofika kidato cha pili, hapa ndipo maluweluwe ya usichana yalipomuanza.
Akapata ushawishi kutoka kwa rafiki yake kuwa awe anaenda kujisomea kwao yaani Neema awe anaenda nyumbani kwao na rafiki yake aliyejulikana kwa jina la Rhoda. Kumbe rafiki yake huyo alitaka kumuunganisha Neema kwa kaka yake, na ikawa hivyo hakuna kusoma ni kutongozana tu. Mwisho wa siku Neema akajikuta amefeli masomo yake ya kidato cha pili kwahiyo akashindwa kuingia kidato cha tatu.

Shangazi yake akachukia sana, na hakujua afanye nini na Neema kwa wakati huo.
Ndipo kaka yake na Neema ambaye ni mtoto wa shangazi yake akaamua kumchukua Neema na kumpa kazi katika duka la jumla, kwahiyo Neema akawa anauza duka hilo.
Akiwa pale dukani kuna kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Adamu.
Kijana huyo alikuwa anaenda mara kwa mara dukani hapo kuchukua mzigo.
Adamu akajikuta amevutiwa na Neema, ikabidi amwambie ukweli.
Adamu akamweleza Neema kuwa yeye ana duka lake na mzigo anaochukua hapo huwa anaupeleka dukani kwake, Neema akamkubali Adamu baada ya kusikia hivyo.
Mwanzoni kabla ya kuwa na mahusiano, Adamu alikuwa ni kijana rafu sana, alikuwa anavaa ilimradi tu. Ila walipoanza mahusiano Adamu akawa mtanashati na nadhifu sana yote ni kumuonyesha Neema kuwa yeye ana pesa. Muda wote alikuwa akimwambia Neema ishu za pesa tu.
Siku ya siku ikafika, Adamu akamchukua Neema na kumpeleka anapokaa, kwakweli Neema akapagawa sana kwani alipelekwa kwenye chumba kilichojaza vitu vyote vya msingi ndani.

Neema akajitoa kwa Adamu na tamaa ya maisha bora ikamchukua, hakuona tatizo kupata mimba ya Adamu kwani alijua atahudumiwa vile inavyotakiwa.
Na kweli ukitakacho utapata tu, Neema akapata mimba.
Hapo ndio utata ulipoanza, baada ya kaka yake kugundua kuwa Neema ni mjamzito akaamua kumtimua dukani kwake, kufika kwa shangazi nako ikawa hivyohivyo kwani shangazi yake akamwambia aende kwa aliyempa ile mimba.
Neema hakuwa na jinsi kwani mimba ilishaanza kuonekana, ikabidi aende kwa Adamu.
Kufika kwa Adamu akakutana na mtu mwingine ndani aliyejitambulisha kuwa ni rafiki wa Adamu aliyeitwa Maiko.
MAIKO: Kwahiyo wewe ndio demu wa Adamu?
NEEMA: Ndio na nyumbani nimefukuzwa, ndio nimekuja hapa kwa Adamu.
MAIKO: Sikia nikwambie shemeji, Adamu hakai hapa na wala hapa sio kwake, hata mimi sio kwangu ila ni kwa kaka angu. Kaka mwenyewe hayupo kasafiri. Adamu anakaa kwao, nitakupeleka.
Neema alijikuta akishangaa na kutokuamini kuwa muda wote aliokuwa anakwenda pale na Adamu kumbe sio kwake.
Maiko akamchukua Neema na kumpeleka nyumbani kwao na kwakina Adamu, kwakweli Neema hakudhania kama kwakina Adamu kutakuwa vile kwani palionekana ni maisha ya chini sana sio yale aliyofikiria.
Walipouliza Adamu alipo, wakaambiwa kuwa yupo kwenye kazi yake.
MAIKO: Sasa shemeji, mi naenda zangu. Hapa ndio kwao na jamaa wee msubiri tu.
NEEMA: Ndio unaniacha hapa jamani?
MAIKO: Sio nakuacha, hapa ndio kwao. Labda nikakuitie jamaa alipo.
NEEMA: Kwani dukani kwake ni wapi?
MAIKO: Dukani kwake? Hana duka bhana ila kuna duka la tajiri flani hivi alikuwa anambebea mizogo.
NEEMA: (Alitamani achimbe shimo ajifukie), kwahiyo Adamu anafanya kazi gani?
MAIKO: Ina maana hujui? Yuko hapo barabarani anachoma maindi.
Kwakweli Neema alijikuta machozi yakimtoka kwa mfululizo kwani alichokifikiria hakikuwa vile kilivyo.
Maiko akaondoka na kumuacha Neema mahali hapo.

Baada ya muda, Adamu akafika mahali pale. Akamkuta Neema akilia, ikabidi ambembeleze. Neema alikuwa na hasira sana.
NEEMA: Kwanini ulinidanganya Adamu?
ADAMU: Ningekwambia ukweli usingenikubali Neema.
NEEMA: (Huku akizidi kulia kwa hasira), bora ungeniambia ukweli. Ona sasa nimefukuzwa kwetu.
ADAMU: (Huku akishtuka), umefukuzwa kwenu?
NEEMA: Ndio nimefukuzwa sababu ya hii mimba.
ADAMU: Jamani Neema unadhani tutaishije?
NEEMA: Kivipi sasa? Wakati mimba umenipa mwenyewe?
ADAMU: Najua ndio kama hiyo mimba ni yangu ila mimi nina maisha magumu sana na familia nzima inanitegemea mimi.
NEEMA: Adamu jamani, hata siamini kabisa. Hebu niambie ukweli umesoma hadi kidato gani?
ADAMU: Sikufanikiwa kufika sekondari Neema, mwenzio niliishia darasa la nne.
Neema akalia sana, na Adamu akazidi kumbembeleza
ADAMU: Pole Neema ila itabidi ukubaliane tu na maisha halisi ya sasa.

Maisha yakawa magumu sana kwa Neema alijikuta akilia kila siku, hakuweza kupata zile huduma muhimu kwani familia yote ya Adamu ilitegemea ile ile biashara ya Adamu ya kuchoma mahindi.
Miezi tisa ilipofika, Neema akapatwa na uchungu wa kwenda kujifungua ila hakukuwa na pesa ya kutosha kumpakia kwenye tax au kibajaji kumpeleka hospital, ikabidi wapande daladala. Neema uchungu ulimzidi ndani ya daladala ikabidi abiria wamuombe dereva apeleke daladala hospitali kwanza, yule dereva hakuwa na kinyongo, akawafikifa hospital Neema na wifi yake halafu daladala likaondoka.
Hawakuwa na pesa za huduma, Neema alijikuta akipata huduma hafifu sana.
Akafanikiwa kujifungua watoto mapacha ila kwa bahati mbaya watoto wale wakafa.
Neema alilia sana, akajikuta akimchukia Adamu kwa maisha yake yote.

Walipotoka hospital, Neema hakuona sababu ya kuendelea kuishi kwakina Adamu, akaamua kurudi kwa shangazi yake na kumuomba msamaha.
Shangazi yake akamuhurumia Neema. Ila hakuweza kuishi nae tena pale mjini, akaamua kumkatia tiketi na kumrudisha kwao kwa wazazi wake kijijini.

~Hiki ni kisa cha kweli kabisa.
<3 Mapenzi yapo, yalikuwepo na yataendelea kuwepo cha msingi ni kufanya kitu sahihi kwa wakati sahihi. Usipende kukurupukia mambo katika maisha, YATAKUSHINDA

KISA CHA MAPENZI: Neema alitoka kijijini kwao akiwa binti mdogo sana, alichukuliwa na kulelewa na shangazi yake. Alipofika kidato cha pili, hapa ndipo maluweluwe ya usichana yalipomuanza. Akapata ushawishi kutoka kwa rafiki yake kuwa awe anaenda kujisomea kwao yaani Neema awe anaenda nyumbani kwao na rafiki yake aliyejulikana kwa jina la Rhoda. Kumbe rafiki yake huyo alitaka kumuunganisha Neema kwa kaka yake, na ikawa hivyo hakuna kusoma ni kutongozana tu. Mwisho wa siku Neema akajikuta amefeli masomo yake ya kidato cha pili kwahiyo akashindwa kuingia kidato cha tatu. Shangazi yake akachukia sana, na hakujua afanye nini na Neema kwa wakati huo. Ndipo kaka yake na Neema ambaye ni mtoto wa shangazi yake akaamua kumchukua Neema na kumpa kazi katika duka la jumla, kwahiyo Neema akawa anauza duka hilo. Akiwa pale dukani kuna kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Adamu. Kijana huyo alikuwa anaenda mara kwa mara dukani hapo kuchukua mzigo. Adamu akajikuta amevutiwa na Neema, ikabidi amwambie ukweli. Adamu akamweleza Neema kuwa yeye ana duka lake na mzigo anaochukua hapo huwa anaupeleka dukani kwake, Neema akamkubali Adamu baada ya kusikia hivyo. Mwanzoni kabla ya kuwa na mahusiano, Adamu alikuwa ni kijana rafu sana, alikuwa anavaa ilimradi tu. Ila walipoanza mahusiano Adamu akawa mtanashati na nadhifu sana yote ni kumuonyesha Neema kuwa yeye ana pesa. Muda wote alikuwa akimwambia Neema ishu za pesa tu. Siku ya siku ikafika, Adamu akamchukua Neema na kumpeleka anapokaa, kwakweli Neema akapagawa sana kwani alipelekwa kwenye chumba kilichojaza vitu vyote vya msingi ndani. Neema akajitoa kwa Adamu na tamaa ya maisha bora ikamchukua, hakuona tatizo kupata mimba ya Adamu kwani alijua atahudumiwa vile inavyotakiwa. Na kweli ukitakacho utapata tu, Neema akapata mimba. Hapo ndio utata ulipoanza, baada ya kaka yake kugundua kuwa Neema ni mjamzito akaamua kumtimua dukani kwake, kufika kwa shangazi nako ikawa hivyohivyo kwani shangazi yake akamwambia aende kwa aliyempa ile mimba. Neema hakuwa na jinsi kwani mimba ilishaanza kuonekana, ikabidi aende kwa Adamu. Kufika kwa Adamu akakutana na mtu mwingine ndani aliyejitambulisha kuwa ni rafiki wa Adamu aliyeitwa Maiko. MAIKO: Kwahiyo wewe ndio demu wa Adamu? NEEMA: Ndio na nyumbani nimefukuzwa, ndio nimekuja hapa kwa Adamu. MAIKO: Sikia nikwambie shemeji, Adamu hakai hapa na wala hapa sio kwake, hata mimi sio kwangu ila ni kwa kaka angu. Kaka mwenyewe hayupo kasafiri. Adamu anakaa kwao, nitakupeleka. Neema alijikuta akishangaa na kutokuamini kuwa muda wote aliokuwa anakwenda pale na Adamu kumbe sio kwake. Maiko akamchukua Neema na kumpeleka nyumbani kwao na kwakina Adamu, kwakweli Neema hakudhania kama kwakina Adamu kutakuwa vile kwani palionekana ni maisha ya chini sana sio yale aliyofikiria. Walipouliza Adamu alipo, wakaambiwa kuwa yupo kwenye kazi yake. MAIKO: Sasa shemeji, mi naenda zangu. Hapa ndio kwao na jamaa wee msubiri tu. NEEMA: Ndio unaniacha hapa jamani? MAIKO: Sio nakuacha, hapa ndio kwao. Labda nikakuitie jamaa alipo. NEEMA: Kwani dukani kwake ni wapi? MAIKO: Dukani kwake? Hana duka bhana ila kuna duka la tajiri flani hivi alikuwa anambebea mizogo. NEEMA: (Alitamani achimbe shimo ajifukie), kwahiyo Adamu anafanya kazi gani? MAIKO: Ina maana hujui? Yuko hapo barabarani anachoma maindi. Kwakweli Neema alijikuta machozi yakimtoka kwa mfululizo kwani alichokifikiria hakikuwa vile kilivyo. Maiko akaondoka na kumuacha Neema mahali hapo. Baada ya muda, Adamu akafika mahali pale. Akamkuta Neema akilia, ikabidi ambembeleze. Neema alikuwa na hasira sana. NEEMA: Kwanini ulinidanganya Adamu? ADAMU: Ningekwambia ukweli usingenikubali Neema. NEEMA: (Huku akizidi kulia kwa hasira), bora ungeniambia ukweli. Ona sasa nimefukuzwa kwetu. ADAMU: (Huku akishtuka), umefukuzwa kwenu? NEEMA: Ndio nimefukuzwa sababu ya hii mimba. ADAMU: Jamani Neema unadhani tutaishije? NEEMA: Kivipi sasa? Wakati mimba umenipa mwenyewe? ADAMU: Najua ndio kama hiyo mimba ni yangu ila mimi nina maisha magumu sana na familia nzima inanitegemea mimi. NEEMA: Adamu jamani, hata siamini kabisa. Hebu niambie ukweli umesoma hadi kidato gani? ADAMU: Sikufanikiwa kufika sekondari Neema, mwenzio niliishia darasa la nne. Neema akalia sana, na Adamu akazidi kumbembeleza ADAMU: Pole Neema ila itabidi ukubaliane tu na maisha halisi ya sasa. Maisha yakawa magumu sana kwa Neema alijikuta akilia kila siku, hakuweza kupata zile huduma muhimu kwani familia yote ya Adamu ilitegemea ile ile biashara ya Adamu ya kuchoma mahindi. Miezi tisa ilipofika, Neema akapatwa na uchungu wa kwenda kujifungua ila hakukuwa na pesa ya kutosha kumpakia kwenye tax au kibajaji kumpeleka hospital, ikabidi wapande daladala. Neema uchungu ulimzidi ndani ya daladala ikabidi abiria wamuombe dereva apeleke daladala hospitali kwanza, yule dereva hakuwa na kinyongo, akawafikifa hospital Neema na wifi yake halafu daladala likaondoka. Hawakuwa na pesa za huduma, Neema alijikuta akipata huduma hafifu sana. Akafanikiwa kujifungua watoto mapacha ila kwa bahati mbaya watoto wale wakafa. Neema alilia sana, akajikuta akimchukia Adamu kwa maisha yake yote. Walipotoka hospital, Neema hakuona sababu ya kuendelea kuishi kwakina Adamu, akaamua kurudi kwa shangazi yake na kumuomba msamaha. Shangazi yake akamuhurumia Neema. Ila hakuweza kuishi nae tena pale mjini, akaamua kumkatia tiketi na kumrudisha kwao kwa wazazi wake kijijini. ~Hiki ni kisa cha kweli kabisa. <3 Mapenzi yapo, yalikuwepo na yataendelea kuwepo cha msingi ni kufanya kitu sahihi kwa wakati sahihi. Usipende kukurupukia mambo katika maisha, YATAKUSHINDA

...

®HADITHI PICHA® 👙👙👙 DADA VUA👙👙👙 PICHA NO:_1 MWENDELEZO 2500 TU TUNAANZA RASMI KIGONGO CHETU KINACHOKWENDA KWA JINA LA DADA VUA CHUPI👙👙👙 Simulizi yetu inaanzia katika jumba moja la familia ya mzee maarufu sana hapa mjini Kama unavyojua katika familia nyingi wazazi hufikia mahali kuwagawia watoto wao baadhi ya mali ili waanze kujitegemea katika maisha yao.Basi leo katika familia ya Mzee Nassor ilikuwa ni siku rasmi kwa ajili ya mgao wa baadhi ya mali kwa watoto wao.Kiukweli mzee Nassor alikuwa na mali nyingi sana.Basi siku ya leo Mzee aliwaita wanae woote kisha akawaketisha chini na kuwaambia"WANANGU LEO NIMEWAITA HAPA ILI NIWEZE KUONGEA NANYI MANENO MACHACHE KABLA YA KUFANYA TUKIO KUBWA NA LA KIHISTORIA KWENU.KWANZA KABISA MIMI PAMOJA NA MAMA YENU TUNAWAPENDA SANA NA FURAHA YETU INAKAMILISHWA NANYI WANETU,KILA WAKATI NIMEKUWA NIKIWAFAHAMISHA JUU YA MALI NINAZOMILIKI MIMI BABA YENU.SASA LEO NATAKA KUWAMEGEA ANGALAU ROBO YA MALI ZANGU ILI NANYI MUANZISHE FAMILIA ZENU"Kabla hajaanza kugawa zile mali mzee alimuita mkewe na kumnong'oneza"Mke wangu najua unatamani sana nifanye hicho unachofikiria lakini kumbuka masharti tuliyopewa na mtaalamu".......Mkewe alijibu"Mume wangu mimi kuhusu hili wala sina hofu moyoni mwangu kinachoniumiza ni suala la kuwapoteza wanangu wote wa kike bora tungewatoa wa kiume tuu lakini tuachane na hayo kikubwa tuna hizi mali basi hakuna kinachoshindikana tufanye vile tulivyoagizwa" Basi walikubaliana pale kisha mzee na mama wakarudi pale walipo watoto wao wanne ambao ni Shukuru,Sudi,Wedi na Sule.Mzee alianza kwa kusema"Sasa nianze na wewe Wedi chukua hii hati ya umiliki wa (Senshen supermarket na Kadi 2 za gari)Hivo vinakutosha kwa kuanzia maisha wakati mkisubiri ujenzi wa nyumba zenu uanze.Wedi alifurahi sana kitendo cha yeye kupewa zile mali amiliki yeye.Mzee alimgeukia mwanae wa pili (Sudi) na kumwambia"Naona unagugumia mate kwa kutamani kusikia nini unapewa haya shika hizi(Sudi alizitoa zile karatasi ndani ya bahasha ambapo ilikuwa ni Kadi za mabasi mawili yanayofanya safari za Arusha to Mwanza pamoja na hati ya umiliki wa hoteli moja maarufu iliyoko Mombo).Basi ilikuwa ni furaha sana kwa watoto wale Baba aliitoa bahasha ya tatu kisha akamfungulia mwanae(Shukuru) kisha akamwambia "Shukuru wewe utasimamia na kumiliki hii kampuni ya (Senshen tours). Watoto wote walipatiwa kile kilichowastahili kasoro sule pekee.Baba alimtazama Sule kisha akamwambia" Sule wewe tunakuandalia nyaraka zako tutakupa mwezi ujao"Sule alidakia"Baba wala hata usihangaike na mimi kwani sio mara ya kwanza kufanya hichi ulichonifanyia leo"Sule aliongea huku macho yake yakionesha machozi na uso ukiwa na huzuni tele sule aliongea tena"Siumii kwa kuwa hujanipa mali bali naumia sana kuwaza mi ni nani kwenye hii familia na pengine sina wa kunipa ukweli juu ya hilo nitaishi kama mfungwa angali nikohuru".Mama alidakia "Mwanangu Sule mbona unaongea maneno machafu kiasi hiko Ina maana humuheshimu baba yako,kwani si umefahamishwa kuwa mwezi ujao utapata haki yako!!?"........"Mamaaa eeeeh nimesha sema sitaki hata mia yenu nachotaka kujua mi ni nani kwenu maana moyo wangu umechoka kuvumilia haya mnayonifanyia". Sule aliongea maneno mazito sana ndipo Wedi aliposimama na kutaka kuweka mambo sawa" Jamani eeeh!! tusigombane sisi ni familia moja"Wedi alimgeukia baba yao kisha akamwambia"Sasa baba fanya hivi,Kwenye hizi mali ulizotugawia fanya kurudia upya ugawaji ili Kaka yetu Sule naye apate maana hata mimi sijapenda hichi ulichokifanya kwa kaka yetu"......."Wedi mimi ndio Baba yenu na ninajua kile ninachokifanya msinione mpumbavu sawa!? sidhani kama mnaweza kunipangia nini cha kufanya".,......Sudi alidakia"Lakini Baba si kuna sheli nne si ungempa hata moja ile iliyoko Mwanza?"........"Sijashindwa kumpa hata hii iliyoko hapa Arusha lakini kila jambo linaenda na mipangilio ok!!". Sule alinyanyuka kimya kimya na kuwaacha wote wakimshangaa wasijue ni kwanini anaondoka pale.Wakati huo Mama wa watoto hao hakuwa na nguvu ya kubadili maamuzi yaliyotolewa na kichwa cha familia (Baba).Sule alitoka mpaka nje huku akitafakari nini cha kufanya,Alirudi akapita mpaka chumbani kwake kisha akaanza kupanga nguo zake kwenye kirasket kidogo dogo tuu.Katika kupanga panga nguo aliona picha ya dada zake walipiga wakiwa pamoja,Aliitazama picha ikamrudisha nyuma kimawazo kwani walikuwa bado wadogo sana kipindi hicho.Basi sule aliikumbatia picha ile kwa mapenzi mazito kwani dada zake walikuwa wamesha tangulia mbele za haki(Walifariki miaka 14 iliyopita).Sule alinyanyua kibegi chake akawa anatoka nje huku akifikiria aende wapi kwani hawezi tena kuendelea kuishi ndani ya ile nyumba"Sasa sijui niende wapi kwani kwa vyovyote lazima niondoke leo"...Sule aliwaza akakumbuka kipindi cha nyuma alishawahi kuishi katika kijiji fulani kinaitwa Ngare kule aliwahi kufanya shughuli za kilimo cha nyanya na alikuwa na hali nzuri tuu kimaisha japo nizamani sana kama miaka 16 ishapita. Wakati anajiandaa kutoka alikuja mama yake akaingia mpaka chumbani kwake...."We sule unataka kufanya nini!!?"...."Kiukweli mama nikikaa hapa nitazidi kuumia tuu kwani sitaweza kuvumilia hiki kinachoendelea"......"Sasa unakwenda wapi mwanangu sule!!!?"......"Mama mimi ninakwenda lakini nitarejea mungu akipenda lakini kama nitakufa bila kuonana nawewe basi ni mapenzi yake mungu".Sule aliongea maneno yaliyojaa ghadhabu na kumuacha mama yake katika hali ya mshangao.Sule alifika pale walipokuwa wameketi baba na wadogo zake kisha akawaambia"Sina sababu ya kuendelea kulazimisha kuishi na wazazi wasionijali,Simaanishi kuwa nataka mali zenu laa!! bali nalihitaji mapenzi ya wazazi wangu lakini nashangaa mimi nabaguliwa mpaka wadogo zangu wananidharau kisa ni nyie wazazi hamkunipa heshima ya kuwa kaka wa wadogo zangu.Sasa leo nawaacha huru acha nikayatafute maisha yangu mwenyewe"Sule alionge kisha akatoka nje akiwa na hasira mpaka machozi yanamdondoka.Wakati anaondoka Baba alionyanyua simu kisha akasogea pembeni na haikufahamika anampigia nani. Sule alinyanyua kibegi chake vizuri kisha akakiweka mgongoni na kuelekea Ngare.Kweli aliondoka akipitia barabara ya msitu wa Momela/Arusha National Park.Akiwa anaanza kuingia katika pori la msitu alihisi kitu kinatokea mbele yake maana alisikia mchakacho,Basi Sule aliamua kujibanza kwenye shina la mti ili kama ni kitu cha hatari aweze kukabiliana nacho. Je nini kitaendelea usikose sehemu ya pili ya simulizi yetu.usisahau kudondosha like na coment ili nipate mzuka wa kuleta vitu vikali zaidi.

...
*MY WIFE I'SORRY*
 _By_
   *🅱  professional love* 

Asubuhi aliamka na kumkuta mkewe akisali. Akamsikia mkewe akimuombea. Akamtazama kwa sekunde kadhaa. Ni muda mrefu sana tokea amemshuhudia mkewe akisali.

Wamekuwa na ugomvi na kutoelewana katika ndoa yao Kwa miezi kadhaa sasa. Usiku wa jana yake wamegombana ugomvi mkubwa mno.

Haraka haraka Mume akainuka kitandani na kuelejea jikoni kuandaa kifungua kinywa. Kwa hio miezi kadhaa ya ugomvi mkewe amekua hamuandalii chakula. Kwa mshangao, akakuta staftahi imeshaandaliwa mezani. Akala.

Baada ya kumaliza akarudi chumbani, kujiandaa aingie bafuni. Mke nae akawa anatoka bafuni. "Habari za asubuhi. Uwe na siku njema". Mke akamsalimia mumewe na kumtakia kazi njema, huku wakipishana bafuni

Baada ya kuoga, na kuvaa tayari kwenda kazini; akamuona mkewe jikoni, akila staftahi akiwa na amani. Alikuwa akila kifungua kinywa huku akicheka kutokana na kuangalia video za vichekesho alizotumiwa WatsApp.

Mume akamtizama kwa dakika kadhaa halafu, akaelekea mlango wa kutokea na kuelekea kazini. Ule mwonekano wa mwisho aliouona kwa mkewe ukamsumbua nafsi.

Akajisemea nafsini mwake.."hivi sivyo inavyotakiwa awe. Hivi sivyo ambavyo amekuwa siku zote." Mume Amekuwa akimuumiza mkewe, na mkewe hivi karibuni amegundua kwamba mumewe anayo nyumba ndogo, na haitoshi amegundua pia anatembea na wanawake wengi.

Amekuwa akitapanya fedha za familia kwa wanawake. Mkewe lazima awe na hasira dhidi yake. Lakini ile amani aliyomuona nayo mkewe asubuhi ile ilimshangaza na kumfanya ajiulize maswali mengi.

Jioni ikafika. Akarudi nyumbani na kukutana na mkewe aliye na amani tele tena. Alikuwa jikoni akipika chakula cha usiku huku akicheka na wanae. Mke alirudi kutoka kazini kama masaa mawili yaliyopita.

Wakala. Chakula kilikua kitamu. Chakula kizuri, mke akawa na maongezi ya furaha na watoto wake baada ya kumaliza kula. Yeye kama baba alikuwa ametengwa kwenye yale maongezi.

Mkewe na watoto wake walionekana kufurahia yale maongezi ingawa baba yao alikuwa akiwaumiza kwa ugomvi na mama yao.

Akiwa anaosha vyombo Baada ya Dinner, huku watoto tayari wakiwa wameshaenda kulala, mume wake akamkaribia. "Uko sawa?" Mume akamuuliza mkewe. "Niko zaidi ya sawa. Nimebarikiwa". Mke akamjibu mumewe huku akitabasamu..

"Umenikasirikia kwa haya nayoyafanya na ambayo nimekufanyia?" Mume akamuuliza tena mkewe.

Mke akaweka kwenye dishi sahani aliyokua anaiosha na kumtazama mumewe. Kisha akaanza kuongea..

"Nilijiuliza nafsi yangu, ni mahusiano gani muhimu katika maisha yangu? Mahusiano niliyonayo na wewe au niliyonayo na Mungu wangu? Na nikagundua mahusiano muhimu kwangu ni yale niliyonayo na Mungu wangu. Naishi kwa ajili ya Mungu. Sio kwa ajili yako...

"Kuolewa na wewe ilikuwa ni baraka lakini si kwamba ndio kila kitu katika maisha. Mungu amenibariki kwa kunipa zawadi ya uhai, sitapoteza uhai wangu kwa kulia kila siku na kuugua vidonda vya tumbo kwa maumivu unayoyasababisha wewe.

Akageukia dishi la vyombo, akachukua bilauri na kuanza kuiosha huku akiendelea kuongea..

"Nimetambua kwamba nilikupa nguvu na uhuru mwingi mno...ndio wewe ni mume wangu, binadamu wa karibu kabisa maishani mwangu na binadamu ninaekupenda sana; lakini wewe sio Mungu. Wewe umefeli lakini Mungu hawezi kufeli na kamwe hawezi kufeli juu yangu..

"Sitaruhusu wewe uniharibie furaha, amani, na maendeleo ambayo Mungu wangu amenipa. Wewe vunja ndoa kama ndio lengo lako, lakini mimi nitaendelea kumtumainia Mungu wangu..na nitakapoendelea kumtumainia Mungu wangu nitazidi kuwa na furaha licha ya kile ambacho utakua umenifanyia.."

Akaisuza vizuri bilauri na kuiweka katika chombo kisafi...kisha akachukua sahani na kuanza kuiosha huku akiendelea kuongea...

"Ulivokua unaniumiza na kunishushia heshima nilikuwa mwanamke nisie na Mungu. Nilikuwa na hasira na kuharakisha matusi, nilikuwa nataka kulipiza kisasi na nilikuruhusu uendelee tu na ufedhuli wako ili na mimi nianze...

"Performance yangu kazini ilishuka, nikawa siongei na wanangu kwa hasira, nikawa mchungu na mkali kwa watoto wangu, nikapata vidonda vya tumbo...ila hatimae nikagundua yupo Mungu, sitakiwi niwe kama mtu ambae hana Mungu..kwanini nisiwe na matumaini wakati Mungu yupo?..

"Nilikuwa nime-focus sana kwako kiasi ya kwamba nikamsahau Mungu. Uliponipata, ulinikuta nikiwa na Mungu. Tukaingia katika mahusiano na hatimae ndoa, nikakuachia kila kitu wewe kwa sababu nilitaka ndoa yangu iwe imara...

"Ndoa yetu ikawa nzuri hapo mwanzoni, ndoa yetu imefeli kwa sababu yako wewe kwa sababu uhusiano wangu na Mungu wangu upo palepale..

Akaisuza vizuri sahani, kisha akamgeukia mumewe..akamtazama na kuendelea kuongea..

"Umechagua kuitelekeza ndoa yetu na kunipa mimi kisogo ila hiyo haimaanishi dunia ndio imenigeukia. Nitaendelea kuwa mama bora kwa watoto wetu. Kamwe hutawasikia wakitamka ugomvi wangu na wako ili nionekane mama niliyefeli..

"Wewe endelea kutembea na hao wanawake zako, mimi nitawalea wanangu...

Akakunja mikono yake kifuani, kisha akaendelea kuongea...

"Je ninakuchukia? Hapana, huo utakuwa uongo kusema nakuchukia. Wewe ni mwanaume niliekubali unioe, ambae niliweka agano mbele za Mungu, ambae nakupenda...

Machozi yakaanza kumtoka....akainua mikono yake kujifuta kisha akaendelea kuongea...

"Siwezi kufuta miaka yote ambayo tumekua pamoja. Biblia hata Quran zinatusisitizia kuwapenda maadui zetu. Ikiwa ninao uwezo wa kuwapenda adui zangu, basi ni rahisi sana kukupenda wewe licha ya mabaya ambayo umenifanyia na unaendelea kunifanyia...

"Ndio ninayo hasira na nilikata tamaa, lakini nimeinuka upya. Naishi kwa ajili ya Mungu ambae amenibariki kwa mengi, sio kwa ajili yako na maumivu unayonipa...

Akageukia vyombo na kuendelea kuosha...kimya kidogo kikapita huku mumewe akiwa ameinamisha kichwa chini.

Mke akavunja ukimya uliokuwa umetawala kwa muda kidogo na kuendelea kuongea...

"Kwa ajili ya amani na kukupa uhuru, nafanya mpango wa sehemu ambayo mimi na watoto tutaenda kuishi. Kwa kuwa umeamua kuwa na nyumba ndogo, uliyoipangia na nyumba kabisa, imeonesha kabisa sisi hautuhitaji...

"Hivyo hatutafanya maisha yako yawe ya wasiwasi na kutokuwa comfortable kwa kuendelea kukulazimisha kuishi na sisi...unatakiwa uwe huru kumleta huyo mchepuko wako ndani ya nyumba yako mwenyewe wala sio kumpangia nyumba...

"Nilikuja kwa amani ndani ya hii nyumba, na nitaondoka kwa amani. Hautaua tabasamu na furaha yangu...Mungu wangu hataniangusha katika hili..."

Mke akamaliza na akaelekea chumbani. Mume akabaki pale kama nusu saa akitafakari na baadae mume akamfuata mkewe chumbani. Akamkuta mkewe akiwa amelala kwa amani zote. Akamtikisa na kumuamsha. Mkewe akaamka..

"Nakusikiliza...ongea tu" mke akamwambia mumewe...

"Tafadhali sana mke wangu, msiondoke! Sitakuumiza tena, sitakusaliti tena. Kusema kweli mimi siko sawa kabisa. Nahitaji hiyo amani uliyonayo. Nahitaji kuwa aina ya mume kama wewe ulivyo aina ya mke..ili tuweze kuendana...

"Nimejikuta naumia zaidi kukutenda mabaya, lakini wewe ukiwa bado na amani na furaha tele..hicho kitu kinaniumiza ndani kwa ndani. Namimi nimeamua kurudi kwako...nipokee tena mpenzi wangu..."

Kuanzia siku hiyo, mume akaanza kubadilika huku mkewe akimsaidia kubadilika..hakukuwa na michepuko, hakukuwa na ugomvi, wala kumuumiza tena mkewe...

Mkewe na wanae hawakuondoka. Mume akajinyenyekeza kwa Mungu na akajifunza kuwa mume na baba bora.

Upendo una nguvu kubwa kiasi ya kupunguza kila aina ya ufedhuli.
_____________________________

Sijajua bado ni suala gani gumu unalolipitia mpaka asubuhi hii..ni maombi yangu kwako Mungu akuvushe katika kila aina ya gumu unalopitia..na tazama mvua ya amani itaenda kukunyeshea ikileta uhuru na kumwagilia mbegu ya baraka katika maisha yako.

A M E N

*MY WIFE I'SORRY* _By_ *🅱 professional love* Asubuhi aliamka na kumkuta mkewe akisali. Akamsikia mkewe akimuombea. Akamtazama kwa sekunde kadhaa. Ni muda mrefu sana tokea amemshuhudia mkewe akisali. Wamekuwa na ugomvi na kutoelewana katika ndoa yao Kwa miezi kadhaa sasa. Usiku wa jana yake wamegombana ugomvi mkubwa mno. Haraka haraka Mume akainuka kitandani na kuelejea jikoni kuandaa kifungua kinywa. Kwa hio miezi kadhaa ya ugomvi mkewe amekua hamuandalii chakula. Kwa mshangao, akakuta staftahi imeshaandaliwa mezani. Akala. Baada ya kumaliza akarudi chumbani, kujiandaa aingie bafuni. Mke nae akawa anatoka bafuni. "Habari za asubuhi. Uwe na siku njema". Mke akamsalimia mumewe na kumtakia kazi njema, huku wakipishana bafuni Baada ya kuoga, na kuvaa tayari kwenda kazini; akamuona mkewe jikoni, akila staftahi akiwa na amani. Alikuwa akila kifungua kinywa huku akicheka kutokana na kuangalia video za vichekesho alizotumiwa WatsApp. Mume akamtizama kwa dakika kadhaa halafu, akaelekea mlango wa kutokea na kuelekea kazini. Ule mwonekano wa mwisho aliouona kwa mkewe ukamsumbua nafsi. Akajisemea nafsini mwake.."hivi sivyo inavyotakiwa awe. Hivi sivyo ambavyo amekuwa siku zote." Mume Amekuwa akimuumiza mkewe, na mkewe hivi karibuni amegundua kwamba mumewe anayo nyumba ndogo, na haitoshi amegundua pia anatembea na wanawake wengi. Amekuwa akitapanya fedha za familia kwa wanawake. Mkewe lazima awe na hasira dhidi yake. Lakini ile amani aliyomuona nayo mkewe asubuhi ile ilimshangaza na kumfanya ajiulize maswali mengi. Jioni ikafika. Akarudi nyumbani na kukutana na mkewe aliye na amani tele tena. Alikuwa jikoni akipika chakula cha usiku huku akicheka na wanae. Mke alirudi kutoka kazini kama masaa mawili yaliyopita. Wakala. Chakula kilikua kitamu. Chakula kizuri, mke akawa na maongezi ya furaha na watoto wake baada ya kumaliza kula. Yeye kama baba alikuwa ametengwa kwenye yale maongezi. Mkewe na watoto wake walionekana kufurahia yale maongezi ingawa baba yao alikuwa akiwaumiza kwa ugomvi na mama yao. Akiwa anaosha vyombo Baada ya Dinner, huku watoto tayari wakiwa wameshaenda kulala, mume wake akamkaribia. "Uko sawa?" Mume akamuuliza mkewe. "Niko zaidi ya sawa. Nimebarikiwa". Mke akamjibu mumewe huku akitabasamu.. "Umenikasirikia kwa haya nayoyafanya na ambayo nimekufanyia?" Mume akamuuliza tena mkewe. Mke akaweka kwenye dishi sahani aliyokua anaiosha na kumtazama mumewe. Kisha akaanza kuongea.. "Nilijiuliza nafsi yangu, ni mahusiano gani muhimu katika maisha yangu? Mahusiano niliyonayo na wewe au niliyonayo na Mungu wangu? Na nikagundua mahusiano muhimu kwangu ni yale niliyonayo na Mungu wangu. Naishi kwa ajili ya Mungu. Sio kwa ajili yako... "Kuolewa na wewe ilikuwa ni baraka lakini si kwamba ndio kila kitu katika maisha. Mungu amenibariki kwa kunipa zawadi ya uhai, sitapoteza uhai wangu kwa kulia kila siku na kuugua vidonda vya tumbo kwa maumivu unayoyasababisha wewe. Akageukia dishi la vyombo, akachukua bilauri na kuanza kuiosha huku akiendelea kuongea.. "Nimetambua kwamba nilikupa nguvu na uhuru mwingi mno...ndio wewe ni mume wangu, binadamu wa karibu kabisa maishani mwangu na binadamu ninaekupenda sana; lakini wewe sio Mungu. Wewe umefeli lakini Mungu hawezi kufeli na kamwe hawezi kufeli juu yangu.. "Sitaruhusu wewe uniharibie furaha, amani, na maendeleo ambayo Mungu wangu amenipa. Wewe vunja ndoa kama ndio lengo lako, lakini mimi nitaendelea kumtumainia Mungu wangu..na nitakapoendelea kumtumainia Mungu wangu nitazidi kuwa na furaha licha ya kile ambacho utakua umenifanyia.." Akaisuza vizuri bilauri na kuiweka katika chombo kisafi...kisha akachukua sahani na kuanza kuiosha huku akiendelea kuongea... "Ulivokua unaniumiza na kunishushia heshima nilikuwa mwanamke nisie na Mungu. Nilikuwa na hasira na kuharakisha matusi, nilikuwa nataka kulipiza kisasi na nilikuruhusu uendelee tu na ufedhuli wako ili na mimi nianze... "Performance yangu kazini ilishuka, nikawa siongei na wanangu kwa hasira, nikawa mchungu na mkali kwa watoto wangu, nikapata vidonda vya tumbo...ila hatimae nikagundua yupo Mungu, sitakiwi niwe kama mtu ambae hana Mungu..kwanini nisiwe na matumaini wakati Mungu yupo?.. "Nilikuwa nime-focus sana kwako kiasi ya kwamba nikamsahau Mungu. Uliponipata, ulinikuta nikiwa na Mungu. Tukaingia katika mahusiano na hatimae ndoa, nikakuachia kila kitu wewe kwa sababu nilitaka ndoa yangu iwe imara... "Ndoa yetu ikawa nzuri hapo mwanzoni, ndoa yetu imefeli kwa sababu yako wewe kwa sababu uhusiano wangu na Mungu wangu upo palepale.. Akaisuza vizuri sahani, kisha akamgeukia mumewe..akamtazama na kuendelea kuongea.. "Umechagua kuitelekeza ndoa yetu na kunipa mimi kisogo ila hiyo haimaanishi dunia ndio imenigeukia. Nitaendelea kuwa mama bora kwa watoto wetu. Kamwe hutawasikia wakitamka ugomvi wangu na wako ili nionekane mama niliyefeli.. "Wewe endelea kutembea na hao wanawake zako, mimi nitawalea wanangu... Akakunja mikono yake kifuani, kisha akaendelea kuongea... "Je ninakuchukia? Hapana, huo utakuwa uongo kusema nakuchukia. Wewe ni mwanaume niliekubali unioe, ambae niliweka agano mbele za Mungu, ambae nakupenda... Machozi yakaanza kumtoka....akainua mikono yake kujifuta kisha akaendelea kuongea... "Siwezi kufuta miaka yote ambayo tumekua pamoja. Biblia hata Quran zinatusisitizia kuwapenda maadui zetu. Ikiwa ninao uwezo wa kuwapenda adui zangu, basi ni rahisi sana kukupenda wewe licha ya mabaya ambayo umenifanyia na unaendelea kunifanyia... "Ndio ninayo hasira na nilikata tamaa, lakini nimeinuka upya. Naishi kwa ajili ya Mungu ambae amenibariki kwa mengi, sio kwa ajili yako na maumivu unayonipa... Akageukia vyombo na kuendelea kuosha...kimya kidogo kikapita huku mumewe akiwa ameinamisha kichwa chini. Mke akavunja ukimya uliokuwa umetawala kwa muda kidogo na kuendelea kuongea... "Kwa ajili ya amani na kukupa uhuru, nafanya mpango wa sehemu ambayo mimi na watoto tutaenda kuishi. Kwa kuwa umeamua kuwa na nyumba ndogo, uliyoipangia na nyumba kabisa, imeonesha kabisa sisi hautuhitaji... "Hivyo hatutafanya maisha yako yawe ya wasiwasi na kutokuwa comfortable kwa kuendelea kukulazimisha kuishi na sisi...unatakiwa uwe huru kumleta huyo mchepuko wako ndani ya nyumba yako mwenyewe wala sio kumpangia nyumba... "Nilikuja kwa amani ndani ya hii nyumba, na nitaondoka kwa amani. Hautaua tabasamu na furaha yangu...Mungu wangu hataniangusha katika hili..." Mke akamaliza na akaelekea chumbani. Mume akabaki pale kama nusu saa akitafakari na baadae mume akamfuata mkewe chumbani. Akamkuta mkewe akiwa amelala kwa amani zote. Akamtikisa na kumuamsha. Mkewe akaamka.. "Nakusikiliza...ongea tu" mke akamwambia mumewe... "Tafadhali sana mke wangu, msiondoke! Sitakuumiza tena, sitakusaliti tena. Kusema kweli mimi siko sawa kabisa. Nahitaji hiyo amani uliyonayo. Nahitaji kuwa aina ya mume kama wewe ulivyo aina ya mke..ili tuweze kuendana... "Nimejikuta naumia zaidi kukutenda mabaya, lakini wewe ukiwa bado na amani na furaha tele..hicho kitu kinaniumiza ndani kwa ndani. Namimi nimeamua kurudi kwako...nipokee tena mpenzi wangu..." Kuanzia siku hiyo, mume akaanza kubadilika huku mkewe akimsaidia kubadilika..hakukuwa na michepuko, hakukuwa na ugomvi, wala kumuumiza tena mkewe... Mkewe na wanae hawakuondoka. Mume akajinyenyekeza kwa Mungu na akajifunza kuwa mume na baba bora. Upendo una nguvu kubwa kiasi ya kupunguza kila aina ya ufedhuli. _____________________________ Sijajua bado ni suala gani gumu unalolipitia mpaka asubuhi hii..ni maombi yangu kwako Mungu akuvushe katika kila aina ya gumu unalopitia..na tazama mvua ya amani itaenda kukunyeshea ikileta uhuru na kumwagilia mbegu ya baraka katika maisha yako. A M E N

...
NDOA YANGU.....HAPPY ENDING.

FINAL EPISODE .

ILIPOISHIA....

Mama mimi Nimekua muaminifu pale Vicky aliposhindwa kuwa muaminifu kwenye majukumu yake kwa ndoa, nimevumilia kipindi chote hicho mama sikuwahi kumsaliti hata siku moja......." Tony akawa akiongea kwa hasira huku akilengwa na machozi......

Sasa endelea......

"Tony tafadhali usitudanganye sisi kuhusu uaminifu. Kwahiyo unataka tukupe tuzo kwa kuwa sio msaliti? Nikadandia na kumkatisha aliyokua akiongea kwa kumwambia hayo!

"Funga mdomo wako Vicky, tena utulie kabisa, stupid woman" mama akanikaripia huku Tony akitingisha tu kichwa chake akionekana kusikitika. Nikajisikia aibu mama kunikaripia mbele ya Tony.

Nikawa kimya nikisikiliza mama na Tony wakiongea. Nikasikiliza mambo ya ukweli kabisa Tony aliyokua akimuelezea mama na nikayaona maumivu yake dhahiri kabisa alipokua akimsimulia mambo niliyokua ninamfanyia.

Nikaelewa uzito wa makosa niliyokuwa nikimfanyia Tony. Muda alipoanza kuzungumzia tu lile tukio la mimi kubakwa, nikaona machozi yakimtoka. Akakaa kimya, akainamisha kichwa chake chini...akachukua kitambaa chake na kujifuta machozi, kiukweli na mimi niliumia mno!

"Mama, nilimuonya Vicky. Nilimuonya asiondoke nyumbani. Mpaka leo hii sijaweza kuiondoa picha ya hilo tukio la mke wangu kubakwa kichwani kwangu. Ninaanzia wapi? Alikuwa akikataa kufanya tendo la ndoa na mimi kwa kisingizio cha mfungo na kwenda kumpa tendo la ndoa jambazi kirahis rahisi tu..aaah mama naumiaaa!!!"

"Tony, tafadhali usiseme alimpa jambazi kirahisi. Ule ulikuwa uvamizi na walikuwa na silaha. Wote bado tunayo maumivu juu ya lile tukio hasa mke wako. 

Maumivu aliyonayo juu ya lile tukio ni makubwa mno. Anahitaji muda mwingi sana mpaka asahau na kuwa sawa tena. Na tushukuru Mungu kwani ameshapima mara sita sasa hajaambukizwa ugonjwa wa zinaa wala hakupata ujauzito." Mama akaongea.

"Nilimuonya mama, nilimuonya lakini." Tony akaendelea kusisitiza.

"Ni kweli mwanangu Tony, majaribu hayana budi kuja, ni vile tu kuwa na moyo imara wa kusamehe"

Mama akaanza kuongea na Tony kuhusu sisi kuwa na mawasiliano mazuri, kuelewana na kuwa wepesi kusameheana. Akaongea mengi mno ambayo yalinigusa moyo wangu moja kwa moja na nikajawa na huruma nyingi na majuto kila nilipokuwa nikimuangalia Tony usoni.

Nafsini nikajiambia huyu ni mume wangu, kati ya wanawake wote amenichagua mimi peke yangu, kwa kweli sikustahili kumfanyia yale niliyokuwa nikimfanyia, naijutia nafsi yangu!!

Baada ya ushauri na maneno mengi ya busara kutoka kwa mama, Tony akaanza kuelewa na kupunguza hasira juu yangu.

"Wote wewe na mmeo mnatakiwa mfanye maombi, muwe wavumilivu na mjifunze kuwasiliana na kukubaliana jambo."

"Mama, kusema ukweli, mimi sina uhakika kama hii ndoa bado ipo. Kwa sababu mimi sijui hata nitaanzia wapi na Vicky."

"Tony mwanangu, msimpe shetani ushindi wa mezani kiwepesi hivyo, wote mnatakiwa muanze kwa kusameheana kwanza na baada ya hapo mambo mengine ni hatua kwa hatua. Mnaanza na maongezi, yale maongezi ya karibu sana yatakayounganisha mioyo yenu, mshirikiane maumivu na hofu na baada ya muda fulani wote mtajikuta mkiwa vizuri tena."

"Sawa mama, asante sana." 

Kwa kuwa mama alikuwa na tiketi ya kwenda na kurudi, Saa moja baadae mama akaondoka na kuelekea Airport kurudi Mwanza. Akagoma kabisa kubaki hata kwa siku moja tu akidai amemkumbuka mume wake na anahofu kumuacha peke yake na wala hakutaka tusimsindikize bali akataka tumkodie tax tu.

Na kwa hilo nikajifunza jambo jingine kubwa tu, kuwa karibu na mume wako kadiri unavyoweza!

Baada ya mama kuondoka tu, nikamfuata Tony na kumkumbatia kwa nguvu.

"Baby, I am sorry, nisamehe kwa yote niliyokufanyia nakiri kwako na mbele za Mungu sitarudia tena, kuanzia sasa nitakua nikikusikiliza wewe tu, na zaidi wazazi wako na wangu basi...i love you my Tony!"

"Vicky, i am sorry too, nisamehe kwa kuwa sikuwa na wewe katika kipindi kigumu cha maumivu ya kutendewa unyama na wale mafedhuli. 

"Ukweli ni kwamba nilichanganyikiwa baada ya baba kunieleza lile tukio na mpaka sasa hivi sijui nitawezaje kuliondoa lile tukio kichwani mwangu" Tony akanieleza hayo huku nae akiwa amenikumbatia.

”We will babe”, nikamwambia Tony kwa kujiamini ”we will, one day at a time”.

LEO HII.

Tupo likizo Nchini China, mimi na mume wangu Tony na mwanetu Jayden akiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu. Siku zote namshukuru sana Mungu kwa kunipa Tony wangu! He is such a darling...i love him to death!!!

T H E   E N D !

Asante sana wote mliosoma simulizi hii na kushare mawazo yenu kuhusiana na kisa hiki. Maneno yenu siku zote yamenifanya niwe na moyo wa kuandika. Maombi yangu ni mkono wa Mwenyezi Mungu utaponya kila ndoa iliyopo katika matatzo na utawaongoza wote ambao bado wako single kufanya maamuzi sahihi.

THANK YOU SO MUCH, I

NDOA YANGU.....HAPPY ENDING. FINAL EPISODE . ILIPOISHIA.... Mama mimi Nimekua muaminifu pale Vicky aliposhindwa kuwa muaminifu kwenye majukumu yake kwa ndoa, nimevumilia kipindi chote hicho mama sikuwahi kumsaliti hata siku moja......." Tony akawa akiongea kwa hasira huku akilengwa na machozi...... Sasa endelea...... "Tony tafadhali usitudanganye sisi kuhusu uaminifu. Kwahiyo unataka tukupe tuzo kwa kuwa sio msaliti? Nikadandia na kumkatisha aliyokua akiongea kwa kumwambia hayo! "Funga mdomo wako Vicky, tena utulie kabisa, stupid woman" mama akanikaripia huku Tony akitingisha tu kichwa chake akionekana kusikitika. Nikajisikia aibu mama kunikaripia mbele ya Tony. Nikawa kimya nikisikiliza mama na Tony wakiongea. Nikasikiliza mambo ya ukweli kabisa Tony aliyokua akimuelezea mama na nikayaona maumivu yake dhahiri kabisa alipokua akimsimulia mambo niliyokua ninamfanyia. Nikaelewa uzito wa makosa niliyokuwa nikimfanyia Tony. Muda alipoanza kuzungumzia tu lile tukio la mimi kubakwa, nikaona machozi yakimtoka. Akakaa kimya, akainamisha kichwa chake chini...akachukua kitambaa chake na kujifuta machozi, kiukweli na mimi niliumia mno! "Mama, nilimuonya Vicky. Nilimuonya asiondoke nyumbani. Mpaka leo hii sijaweza kuiondoa picha ya hilo tukio la mke wangu kubakwa kichwani kwangu. Ninaanzia wapi? Alikuwa akikataa kufanya tendo la ndoa na mimi kwa kisingizio cha mfungo na kwenda kumpa tendo la ndoa jambazi kirahis rahisi tu..aaah mama naumiaaa!!!" "Tony, tafadhali usiseme alimpa jambazi kirahisi. Ule ulikuwa uvamizi na walikuwa na silaha. Wote bado tunayo maumivu juu ya lile tukio hasa mke wako. Maumivu aliyonayo juu ya lile tukio ni makubwa mno. Anahitaji muda mwingi sana mpaka asahau na kuwa sawa tena. Na tushukuru Mungu kwani ameshapima mara sita sasa hajaambukizwa ugonjwa wa zinaa wala hakupata ujauzito." Mama akaongea. "Nilimuonya mama, nilimuonya lakini." Tony akaendelea kusisitiza. "Ni kweli mwanangu Tony, majaribu hayana budi kuja, ni vile tu kuwa na moyo imara wa kusamehe" Mama akaanza kuongea na Tony kuhusu sisi kuwa na mawasiliano mazuri, kuelewana na kuwa wepesi kusameheana. Akaongea mengi mno ambayo yalinigusa moyo wangu moja kwa moja na nikajawa na huruma nyingi na majuto kila nilipokuwa nikimuangalia Tony usoni. Nafsini nikajiambia huyu ni mume wangu, kati ya wanawake wote amenichagua mimi peke yangu, kwa kweli sikustahili kumfanyia yale niliyokuwa nikimfanyia, naijutia nafsi yangu!! Baada ya ushauri na maneno mengi ya busara kutoka kwa mama, Tony akaanza kuelewa na kupunguza hasira juu yangu. "Wote wewe na mmeo mnatakiwa mfanye maombi, muwe wavumilivu na mjifunze kuwasiliana na kukubaliana jambo." "Mama, kusema ukweli, mimi sina uhakika kama hii ndoa bado ipo. Kwa sababu mimi sijui hata nitaanzia wapi na Vicky." "Tony mwanangu, msimpe shetani ushindi wa mezani kiwepesi hivyo, wote mnatakiwa muanze kwa kusameheana kwanza na baada ya hapo mambo mengine ni hatua kwa hatua. Mnaanza na maongezi, yale maongezi ya karibu sana yatakayounganisha mioyo yenu, mshirikiane maumivu na hofu na baada ya muda fulani wote mtajikuta mkiwa vizuri tena." "Sawa mama, asante sana." Kwa kuwa mama alikuwa na tiketi ya kwenda na kurudi, Saa moja baadae mama akaondoka na kuelekea Airport kurudi Mwanza. Akagoma kabisa kubaki hata kwa siku moja tu akidai amemkumbuka mume wake na anahofu kumuacha peke yake na wala hakutaka tusimsindikize bali akataka tumkodie tax tu. Na kwa hilo nikajifunza jambo jingine kubwa tu, kuwa karibu na mume wako kadiri unavyoweza! Baada ya mama kuondoka tu, nikamfuata Tony na kumkumbatia kwa nguvu. "Baby, I am sorry, nisamehe kwa yote niliyokufanyia nakiri kwako na mbele za Mungu sitarudia tena, kuanzia sasa nitakua nikikusikiliza wewe tu, na zaidi wazazi wako na wangu basi...i love you my Tony!" "Vicky, i am sorry too, nisamehe kwa kuwa sikuwa na wewe katika kipindi kigumu cha maumivu ya kutendewa unyama na wale mafedhuli. "Ukweli ni kwamba nilichanganyikiwa baada ya baba kunieleza lile tukio na mpaka sasa hivi sijui nitawezaje kuliondoa lile tukio kichwani mwangu" Tony akanieleza hayo huku nae akiwa amenikumbatia. ”We will babe”, nikamwambia Tony kwa kujiamini ”we will, one day at a time”. LEO HII. Tupo likizo Nchini China, mimi na mume wangu Tony na mwanetu Jayden akiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu. Siku zote namshukuru sana Mungu kwa kunipa Tony wangu! He is such a darling...i love him to death!!! T H E E N D ! Asante sana wote mliosoma simulizi hii na kushare mawazo yenu kuhusiana na kisa hiki. Maneno yenu siku zote yamenifanya niwe na moyo wa kuandika. Maombi yangu ni mkono wa Mwenyezi Mungu utaponya kila ndoa iliyopo katika matatzo na utawaongoza wote ambao bado wako single kufanya maamuzi sahihi. THANK YOU SO MUCH, I

...
NDOA YANGU.....

EPISODE 8

ILIPOISHIA..

Zimepita siku tano tokea nifanyiwe like tukio la kinyama ule usiku, siku tano baada ya baba kumpigia simu Tony na kumtaarifu na siku tatu tokea nitoke hospitali ya Bugando, bado Tony hajaja na hapokei simu tena....
Sina nilichobakiza kusema nitaiishi kesho, nipo radhi nife hata sasa hivi......

Sasa endelea....

Baada ya miezi mitatu ya kumpigia simu Tony bila mafanikio yoyoye hatimaye nikakata tamaa. Nikajua ndoa yangu imeshavunjika. Nililia vya kutosha, na hasira zilinifikia kiwango cha mwisho kabisa.

Nikajidharau nafsi yangu hata nguvu ya kusali ikanikimbia..sikuwa nasali tena. Nilijaribu kutafuta maana ya ukimya wa Tony kwa njia tofauti lakini jibu lake ilikuwa ni kwamba Tony hanipendi tena kiasi cha kupigania ndoa yetu.

Nilimtumia text za aina mbalimbali, lakini kwa miezi yote mitatu hakuwahi kujibu hata moja ingawa zilikuwa zikipokelewa. Sikuweza kuelewa inakuaje mwanaume anakua kimya kiasi hicho wakati amesikia kabisa mke wake kuwa amebakwa!!

Ile Ijumaa mchana Kama kawaida yake mama alikuja chumbani kwangu  na kuniuliza ni nini kimetokea kati yangu na mume wangu. Alikuwa ameshaanza kugundua kuwa kuna tatizo katika ndoa yetu ila kila siku nilikua ninamkatalia na kumwambia kila kitu kipo sawa.

"Vicky, unajua nini? Mimi na baba yako tumejaribu vya kutosha. Umekaa nyumbani kwetu mwezi wa tatu huu na mume wako hata simu hapokei. Huwezi kusema hakuna tatizo huko ulikotoka. Mimi nimeolewa mwaka wa 35 sasa na ninajua mengi ya ndoa kuliko wewe uliekaa miezi 12 tu"

"Mama, please sina hata nguvu za kuanza kubishana hapa."

"Sawa, kama ndio hivyo mimi na baba yako tumeonelea kwamba huwezi kuendelea kuishi hapa. Hatuwezi kutunza mke wa mtu sisi. Na kwa kuwa wewe na mmeo mmeshindwa kutuheshimu kiasi ya kutafuta ushauri kwetu, basi ni bora urudi kwa mume wako au kokote kule utakapoona wewe panakufaa ila hauwezi kuendelea kukaa hapa na wakati wewe ni mke halali wa mtu."- mama alizungumza kwa huzuni iliyochanganyika na hasira."

Nikiwa bado nashangaa maneno mazito aliyoniambia nikamwita; "Mama?"
"Ndio mwanangu" 
Nikawa sina namna nyingine tena, maji yamenifikia shingoni! Sina Plan B!!

"Mama, Tony na mimi tuna matatizo makubwa, ndoa yetu ndio kwanza ina miezi 12 na bado hatujui ni namna gani tutasonga mbele."

"Sawa mwanangu, sasa nieleze kila kitu, mimi nakusikiliza, usinifiche chochote."

Hivyo basi, nikakaa saa moja nzima nikimuelezea kila kitu kilichotokea katika ndoa yetu kuanzia ule usiku baada ya sherehe ya harusi nyumbani kwa Tony, honeymoon mpaka ile siku nimeondoka kwa Tony!

Kwa mshangao wangu mama hakuingilia kati wakati namwelezea wala hakunikaripia. Nilitegemea aanze kunifokea wakati nikiendelea kumuelezea lakini hakufanya hivyo, alitulia kimya akinisikiliza. Utulivu wake ulinishangaza.

Baada ya kumaliza kumsimulia mama akaanza  kuongea...."Heheheeee Vicky weeee mwanangu"...akaanza kuongea kwa kisukuma huku ameshika kichwa (akimaanisha nimeharibu dunia)

"Mama, kipi mimi nimekosea? Inakuwaje Tony amenitelekeza hapa? Mapenzi yake ni ya mashaka mama, hanipendi kama mke wake mama!!" Nikamweleza mama huku nikiwa na hasira na kukata tamaa.

"Jambo la kwanza mwanangu lazima uhame hilo kanisa. Hiyo aina ya mama mchungaji wa kanisa lako sio mtu mwenye hekima kabisa na hukupaswa kumsikiliza. Kwanini hukunipigia mimi mwanangu? Kwanini hukuongea na mtu mwingine mbali na mama mchungaji wa hilo kanisa lako?"

"Mama, wewe ndiye uliyenieleza kwamba masuala ya ndoa yangu yawe siri."

"Hapana mwanangu, sio wakati mambo yanatuendea kombo, wote hua tunahitaji msaada"
"Sawa mama, sasa tunafanya nini? Unafikiri kuna nafasi ya Tony na mimi kurudiana tena?"

"Ndio mwanangu, mimi na baba yako tumekabiliana na vita vikubwa sana katika kipindi cha ndoa yetu. Ndoa inapigwa vita sana, tunapigana, tunashambulia, tunashinda. Na kesho tena vita mpya inaibuka.

"Kamwe hatukukata tamaa, vita hii huisha pale unapositisha mapigano. Vicky endelea kupambana mpaka ushinde hii vita, hakuna mwisho hapa. Ulifanya maamuzi ya hatari na ukachukua hatua zisizo sahihi hata kidogo."

"Mama, vipi kuhusu Tony? Nae amechukua maamuzi yasiyo sahihi pia."

"Ndio, nitaongea na Tony lakini nataka niongee na wewe kwanza. Nilikwambia usijipe pressure ya kupata mtoto. Atakuja tu! Hukutakiwa kufunga na kumnyima mume wako tendo la ndoa, sio mimi nilekwambia chakula akipendacho mume kuliko vyote ni tendo la ndoa? Mbona umeniangusha mwanangu?

Hata Biblia iko wazi kabisa katika hili, Waraka wa kwanza wa paulo mtume kwa Wakoritho 7:3-5 paulo anawaambia, "Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke ampe mumewe haki yake. Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; Vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe. Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu."

"Vicky, mumeo hakupatana na wewe kuhusu kufunga, ulilifanya hili jambo pele yako..hata hivyo ulitakiwa umpe haki yake ya ndoa kati ya saa kumi na mbili jioni unavyofungua na mwisho saa sita siku inapoanza.

"Vilevile Vicky hukutakiwa kukimbia nyumbani kwako bila hiyari ya mumeo na kuja kujificha huku. Kukueleza ukweli, Ni mpaka Mungu aingilie kati kwa Tony kuja kulala na wewe tena."

Umesahau yale niliyokuusia kipindi unaolewa? Ngoja nikukumbushe yale maneno mwanangu nilikueleza haya;

Nilikufundisha jinsi ya kuheshimu mume, na kutokuwa na hasira zisizo na msingi. Lakini kama utafanya vinginevyo, hutakuwa binti yangu niliyekuzaa bali mwanamke mwenzangu.
Binti yangu, nilikueleza unamuona mumeo? Ni gentlemen haswa! Ila usichukulie faida ya yeye kuwa gentlemen kumletea mizengwe. 

Nilikwambia Usilete ujinga dhidi yake. Mwanangu unaona hili kovu kwenye paji langu la uso? Baba yako ndio alinipa hili kovu.
Alinivumilia muda mwingi sana, ila siku moja from nowhere nilimuudhi tena, najua halikuwa lengo lake ila hasira zilimfika hapa akanipiga mara moja na kunumiza.

Mamii, Wanaume wanachukia pale unapomwambia "HUWEZI". Anajua anaweza akafanya zaidi ya hapo lakini anafanya hivyo kukulinda asikuumize. Nilikueleza Binti yangu pale kutakapokuwepo na kutouelewana, jaribu kunywa maji, huwezi ukaongea huku maji yapo mdomoni.

Nikakueleza kuwa sasa una familia mbili. Una bahati sana mamii, Vumilia na heshimu familia yako kama ulivyokua ukifanya hapa. Jifunze kuwakarimu watoto wa majirani zako, na karibuni watoto wako wataizunguka meza yenu kwa upendo mkila pamoja chakula kwa furaha.

Nikakuonesha lile hotpot langu kubwa! Nililinunua wakati bado sina hata mtoto mmoja, kabla ya kuwazaa ninyi. Lakini mara kadhaa nilipika chakula na kulijaza na kula pamoja na watoto wasio na pa kula.

Nilikifunza kuwa mkarimu, wakarimu wageni walau hata kwa maji ya kunywa. Usinyanyapae wageni, usidharau ndugu wa mumeo bali walete kwa pamoja. Jifunze ku appreciate jitihada ndogo zinazofanyika na karibuni watajifunza mengi kutoka kwako na watakupenda.

Nilikwambia Pale kutakapokuwa na kutokuelewana, usirudi hapa nyumbani. Msuluhishe wenyewe huko huko na jenga nyumba yenye furaha. Nilijenga yangu na baba yako amekuwa akifurahia mpaka kesho.

Nikakwambia wazi kabisa kwamba Mamii wanaume wanapenda chakula kizuri. Wanapenda vyakula vyote cha jikoni na cha chumbani. Usimnyime chakula cha aina yoyote eti kwa sababu hamna maelewano. Hiyo ni sumu katika ndoa!

"Wote wawili mmeharibu mambo. Hili tatizo halikutakiwa kufikia hatua hii. Jambo la kwanza kesho asubuhi , tutarudi wote Dar es salaam, tunaenda kumuona mume wako."

KAWE, DAR ES SALAAM.

NI Kweli, Jumamosi asubuhi tulipanda ndege ya saa mbili, tukafika Dar es salaam saa tatu asubuhi. Mpaka saa tano asubuhi tulikuwa tumefika nyumbani kwangu. Nilipouona tu gari ya Tony imepaki uani, moyo wangu ukaanza kudunda kwa kasi mno.

Nikatamani asiwepo nyumbani, ingawa mama alishampigia simu jana usiku kumuelezea ujio wetu. Tulipoukaribia tu mlango Tony akaja kutufungulia. Nafikiri alituona kupitia dirishani wakati tukiingia.

Akamsalimia mama kwa kisukuma, lakini mimi akanipotezea....hakunipa salamu kabisa, mama akatabasmu! Nikawaacha sebuleni mimi nikapitiliza moja kwa moja chumbani kwangu. Kila kitu nilikikuta kama nilivyokiacha na kwa uchunguzi wangu sikuona dalili yoyote ya mwanamke kuishi na Tony.

Nikamsikia mama akiniita sebuleni na haraka haraka nikaenda kujiunga nao.

"Mama, Vicky hataki ndoa. Kwa mwaka mmoja tu wa ndoa yetu ameshanionesha dharau, kiburi na kutonitii kwangu na kwa nyumba hii. Me nimechoka.kwa hayo. Hafikirii angekuwa mwanaume mwingine, asingeanza kuchepuka kwa hivyo vituko alivyokua akinionesha??"

"Mama mimi Nimekua muaminifu pale Vicky aliposhindwa kuwa muaminifu kwenye majukumu yake kwa ndoa, nimevumilia kipindi chote hicho mama sikuwahi kumsaliti hata siku moja......." Tony akawa akiongea kwa hasira huku akilengwa na machozi......

              _____________________________

Je vipi kuhusu hali ya afya Vicky?, Je kwanini Tony alikaa kimya muda wote wa miezi mitatu asipokee simu wala kujibu texts za Vicky? Je vipi kuhusu mustakabali wa ndoa yao? Ama hakika maswali ni mengi...

ITAHITIMISHWA BAADAE......

Share

Jumaa mnak

NDOA YANGU..... EPISODE 8 ILIPOISHIA.. Zimepita siku tano tokea nifanyiwe like tukio la kinyama ule usiku, siku tano baada ya baba kumpigia simu Tony na kumtaarifu na siku tatu tokea nitoke hospitali ya Bugando, bado Tony hajaja na hapokei simu tena.... Sina nilichobakiza kusema nitaiishi kesho, nipo radhi nife hata sasa hivi...... Sasa endelea.... Baada ya miezi mitatu ya kumpigia simu Tony bila mafanikio yoyoye hatimaye nikakata tamaa. Nikajua ndoa yangu imeshavunjika. Nililia vya kutosha, na hasira zilinifikia kiwango cha mwisho kabisa. Nikajidharau nafsi yangu hata nguvu ya kusali ikanikimbia..sikuwa nasali tena. Nilijaribu kutafuta maana ya ukimya wa Tony kwa njia tofauti lakini jibu lake ilikuwa ni kwamba Tony hanipendi tena kiasi cha kupigania ndoa yetu. Nilimtumia text za aina mbalimbali, lakini kwa miezi yote mitatu hakuwahi kujibu hata moja ingawa zilikuwa zikipokelewa. Sikuweza kuelewa inakuaje mwanaume anakua kimya kiasi hicho wakati amesikia kabisa mke wake kuwa amebakwa!! Ile Ijumaa mchana Kama kawaida yake mama alikuja chumbani kwangu na kuniuliza ni nini kimetokea kati yangu na mume wangu. Alikuwa ameshaanza kugundua kuwa kuna tatizo katika ndoa yetu ila kila siku nilikua ninamkatalia na kumwambia kila kitu kipo sawa. "Vicky, unajua nini? Mimi na baba yako tumejaribu vya kutosha. Umekaa nyumbani kwetu mwezi wa tatu huu na mume wako hata simu hapokei. Huwezi kusema hakuna tatizo huko ulikotoka. Mimi nimeolewa mwaka wa 35 sasa na ninajua mengi ya ndoa kuliko wewe uliekaa miezi 12 tu" "Mama, please sina hata nguvu za kuanza kubishana hapa." "Sawa, kama ndio hivyo mimi na baba yako tumeonelea kwamba huwezi kuendelea kuishi hapa. Hatuwezi kutunza mke wa mtu sisi. Na kwa kuwa wewe na mmeo mmeshindwa kutuheshimu kiasi ya kutafuta ushauri kwetu, basi ni bora urudi kwa mume wako au kokote kule utakapoona wewe panakufaa ila hauwezi kuendelea kukaa hapa na wakati wewe ni mke halali wa mtu."- mama alizungumza kwa huzuni iliyochanganyika na hasira." Nikiwa bado nashangaa maneno mazito aliyoniambia nikamwita; "Mama?" "Ndio mwanangu" Nikawa sina namna nyingine tena, maji yamenifikia shingoni! Sina Plan B!! "Mama, Tony na mimi tuna matatizo makubwa, ndoa yetu ndio kwanza ina miezi 12 na bado hatujui ni namna gani tutasonga mbele." "Sawa mwanangu, sasa nieleze kila kitu, mimi nakusikiliza, usinifiche chochote." Hivyo basi, nikakaa saa moja nzima nikimuelezea kila kitu kilichotokea katika ndoa yetu kuanzia ule usiku baada ya sherehe ya harusi nyumbani kwa Tony, honeymoon mpaka ile siku nimeondoka kwa Tony! Kwa mshangao wangu mama hakuingilia kati wakati namwelezea wala hakunikaripia. Nilitegemea aanze kunifokea wakati nikiendelea kumuelezea lakini hakufanya hivyo, alitulia kimya akinisikiliza. Utulivu wake ulinishangaza. Baada ya kumaliza kumsimulia mama akaanza kuongea...."Heheheeee Vicky weeee mwanangu"...akaanza kuongea kwa kisukuma huku ameshika kichwa (akimaanisha nimeharibu dunia) "Mama, kipi mimi nimekosea? Inakuwaje Tony amenitelekeza hapa? Mapenzi yake ni ya mashaka mama, hanipendi kama mke wake mama!!" Nikamweleza mama huku nikiwa na hasira na kukata tamaa. "Jambo la kwanza mwanangu lazima uhame hilo kanisa. Hiyo aina ya mama mchungaji wa kanisa lako sio mtu mwenye hekima kabisa na hukupaswa kumsikiliza. Kwanini hukunipigia mimi mwanangu? Kwanini hukuongea na mtu mwingine mbali na mama mchungaji wa hilo kanisa lako?" "Mama, wewe ndiye uliyenieleza kwamba masuala ya ndoa yangu yawe siri." "Hapana mwanangu, sio wakati mambo yanatuendea kombo, wote hua tunahitaji msaada" "Sawa mama, sasa tunafanya nini? Unafikiri kuna nafasi ya Tony na mimi kurudiana tena?" "Ndio mwanangu, mimi na baba yako tumekabiliana na vita vikubwa sana katika kipindi cha ndoa yetu. Ndoa inapigwa vita sana, tunapigana, tunashambulia, tunashinda. Na kesho tena vita mpya inaibuka. "Kamwe hatukukata tamaa, vita hii huisha pale unapositisha mapigano. Vicky endelea kupambana mpaka ushinde hii vita, hakuna mwisho hapa. Ulifanya maamuzi ya hatari na ukachukua hatua zisizo sahihi hata kidogo." "Mama, vipi kuhusu Tony? Nae amechukua maamuzi yasiyo sahihi pia." "Ndio, nitaongea na Tony lakini nataka niongee na wewe kwanza. Nilikwambia usijipe pressure ya kupata mtoto. Atakuja tu! Hukutakiwa kufunga na kumnyima mume wako tendo la ndoa, sio mimi nilekwambia chakula akipendacho mume kuliko vyote ni tendo la ndoa? Mbona umeniangusha mwanangu? Hata Biblia iko wazi kabisa katika hili, Waraka wa kwanza wa paulo mtume kwa Wakoritho 7:3-5 paulo anawaambia, "Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke ampe mumewe haki yake. Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; Vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe. Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu." "Vicky, mumeo hakupatana na wewe kuhusu kufunga, ulilifanya hili jambo pele yako..hata hivyo ulitakiwa umpe haki yake ya ndoa kati ya saa kumi na mbili jioni unavyofungua na mwisho saa sita siku inapoanza. "Vilevile Vicky hukutakiwa kukimbia nyumbani kwako bila hiyari ya mumeo na kuja kujificha huku. Kukueleza ukweli, Ni mpaka Mungu aingilie kati kwa Tony kuja kulala na wewe tena." Umesahau yale niliyokuusia kipindi unaolewa? Ngoja nikukumbushe yale maneno mwanangu nilikueleza haya; Nilikufundisha jinsi ya kuheshimu mume, na kutokuwa na hasira zisizo na msingi. Lakini kama utafanya vinginevyo, hutakuwa binti yangu niliyekuzaa bali mwanamke mwenzangu. Binti yangu, nilikueleza unamuona mumeo? Ni gentlemen haswa! Ila usichukulie faida ya yeye kuwa gentlemen kumletea mizengwe. Nilikwambia Usilete ujinga dhidi yake. Mwanangu unaona hili kovu kwenye paji langu la uso? Baba yako ndio alinipa hili kovu. Alinivumilia muda mwingi sana, ila siku moja from nowhere nilimuudhi tena, najua halikuwa lengo lake ila hasira zilimfika hapa akanipiga mara moja na kunumiza. Mamii, Wanaume wanachukia pale unapomwambia "HUWEZI". Anajua anaweza akafanya zaidi ya hapo lakini anafanya hivyo kukulinda asikuumize. Nilikueleza Binti yangu pale kutakapokuwepo na kutouelewana, jaribu kunywa maji, huwezi ukaongea huku maji yapo mdomoni. Nikakueleza kuwa sasa una familia mbili. Una bahati sana mamii, Vumilia na heshimu familia yako kama ulivyokua ukifanya hapa. Jifunze kuwakarimu watoto wa majirani zako, na karibuni watoto wako wataizunguka meza yenu kwa upendo mkila pamoja chakula kwa furaha. Nikakuonesha lile hotpot langu kubwa! Nililinunua wakati bado sina hata mtoto mmoja, kabla ya kuwazaa ninyi. Lakini mara kadhaa nilipika chakula na kulijaza na kula pamoja na watoto wasio na pa kula. Nilikifunza kuwa mkarimu, wakarimu wageni walau hata kwa maji ya kunywa. Usinyanyapae wageni, usidharau ndugu wa mumeo bali walete kwa pamoja. Jifunze ku appreciate jitihada ndogo zinazofanyika na karibuni watajifunza mengi kutoka kwako na watakupenda. Nilikwambia Pale kutakapokuwa na kutokuelewana, usirudi hapa nyumbani. Msuluhishe wenyewe huko huko na jenga nyumba yenye furaha. Nilijenga yangu na baba yako amekuwa akifurahia mpaka kesho. Nikakwambia wazi kabisa kwamba Mamii wanaume wanapenda chakula kizuri. Wanapenda vyakula vyote cha jikoni na cha chumbani. Usimnyime chakula cha aina yoyote eti kwa sababu hamna maelewano. Hiyo ni sumu katika ndoa! "Wote wawili mmeharibu mambo. Hili tatizo halikutakiwa kufikia hatua hii. Jambo la kwanza kesho asubuhi , tutarudi wote Dar es salaam, tunaenda kumuona mume wako." KAWE, DAR ES SALAAM. NI Kweli, Jumamosi asubuhi tulipanda ndege ya saa mbili, tukafika Dar es salaam saa tatu asubuhi. Mpaka saa tano asubuhi tulikuwa tumefika nyumbani kwangu. Nilipouona tu gari ya Tony imepaki uani, moyo wangu ukaanza kudunda kwa kasi mno. Nikatamani asiwepo nyumbani, ingawa mama alishampigia simu jana usiku kumuelezea ujio wetu. Tulipoukaribia tu mlango Tony akaja kutufungulia. Nafikiri alituona kupitia dirishani wakati tukiingia. Akamsalimia mama kwa kisukuma, lakini mimi akanipotezea....hakunipa salamu kabisa, mama akatabasmu! Nikawaacha sebuleni mimi nikapitiliza moja kwa moja chumbani kwangu. Kila kitu nilikikuta kama nilivyokiacha na kwa uchunguzi wangu sikuona dalili yoyote ya mwanamke kuishi na Tony. Nikamsikia mama akiniita sebuleni na haraka haraka nikaenda kujiunga nao. "Mama, Vicky hataki ndoa. Kwa mwaka mmoja tu wa ndoa yetu ameshanionesha dharau, kiburi na kutonitii kwangu na kwa nyumba hii. Me nimechoka.kwa hayo. Hafikirii angekuwa mwanaume mwingine, asingeanza kuchepuka kwa hivyo vituko alivyokua akinionesha??" "Mama mimi Nimekua muaminifu pale Vicky aliposhindwa kuwa muaminifu kwenye majukumu yake kwa ndoa, nimevumilia kipindi chote hicho mama sikuwahi kumsaliti hata siku moja......." Tony akawa akiongea kwa hasira huku akilengwa na machozi...... _____________________________ Je vipi kuhusu hali ya afya Vicky?, Je kwanini Tony alikaa kimya muda wote wa miezi mitatu asipokee simu wala kujibu texts za Vicky? Je vipi kuhusu mustakabali wa ndoa yao? Ama hakika maswali ni mengi... ITAHITIMISHWA BAADAE...... Share Jumaa mnak

...
NDOA YANGU....

EPISODE 7.

Maongezi yangu na Tony yalinifanya nitambue kuwa Tony hanithamini tena kama mke wake hivyo basi nikafanya maamuzi ya kumpa nafasi.

Nikampigia simu mama yangu na kumwambia narudi nyumbani kuwasilimia na nitakaa kwa wiki moja. Nilimshawishi kwa kumdanganya kuwa Tony amekubaliana na mimi.

Mama alikubali na nikapaki begi langu vizuri tayari kwa safari ya kwenda kwetu. Asubuhi yake nikamwambia Tony kuhusiana na safari yangu.

"Nilikusikiliza yote uliyoniambia jana Tony na nimeonelea wote tupeane nafasi kwanza. Nachukua break naenda kwetu kwa wazazi wangu" nilimweleza Tony.

Tony akatikisa kichwa chake na kusema, "unatakiwa ujionee hata aibu Vicky. In fact hata wakisema wanawake bora wasimame inatakiwa ufiche uso wako kabisa kwa aibu. Umeshindwa kutunza nyumba yako, umeshindwa kumridhisha mume wako na baada ya kutatua hayo matatizo umeonelea bora uyakimbie?"

Tony, nimekataa wewe kunidhihaki na kunitukana. Nilikaa kimya wakati unanitukana jana na sio kwamba mimi nitaendelea kukaa kimya tu uendelee kunitukana. Umesema uwepo wangu unakupa huzuni, sasa hivi nataka nikupe nafasi. Naenda kuchukua muda wangu kuomba kwa ajili yetu."

"I don’t freaking need your prayers madam. In fact hata Mungu hatajibu hayo maombi yako kwa sababu Mungu ameshakueleza kila kitu cha kufanya kwa mume wako katika Biblia. Sitaki uniombee mimi."

"Eee kwahiyo ile siku nimenunua lingarie na mafuta ya massage na ukaniacha nikining'inia tu usiku kucha usitokee nyumbani nayo utasemaje? Sikuwa natimiza majukumu yangu? Umechanganyikiwa Tony. Hujui ni nini unataka!"

"Unataka kuondoka? Sawa! Get the hell out but you just might not meet this marriage when you come back...nakwambia hutaiona tena hii ndoa ukirudi"

"Kama nilivyokwambia Tony, nachukua muda mbali na wewe naenda kuiombea hii ndoa, hayo maneno yako yakashindwe. Mungu ata-sustain nyumba yetu" nikamwambia Tony.

Akatingisha tena kichwa chake, akafumba macho, akavuta shuka akimaanisha amemaliza maongezi na mimi. Nikachukua mabegi yangu na kuelekea Airport.

Nikaenda ofisi za wakala wa usafiri wa anga na kununua tiketi ya ndege ya Fastjet ya kuelekea kwetu Mwanza iliyokua ikiondoka saa nne asubuhi.

PASIANSI, MWANZA, TANZANIA.

Usiku wake nikiwa nimeshafika nyumbani mapema tu mchana, nikiwa nimekaa na wazazi wangu sebuleni mama alikuwa akijaribu kunipigisha story za hapa na pale.

"Ehee kwaio kwanini Tony amekupa ruhusa ya kuja huku mama angu?"

"Mama, Tony yuko busy na kazi, hata baba nimemwambia hapo kabla"

"Kwaio ameshindwa hata kuja kutusalimia mara moja pamoja na wewe halafu ageuze hata kesho. Hatujamuona tokea ile siku ya harusi."

"Si ndio maana nipo hapa mama? Atleast umeona hata mmoja wetu, ukiniona mimi umemuona Tony..si unajua tu mwili mmoja hahaaa." Nikamwambia na kucheka.

"Ahaa, hamna tatizo. Nimejaribu kumpigia baada ya wewe kufika kumwambia kwamba nimempokea mke wake lakini hajapokea simu" mama aliongea.

"Nina uhakika atakupigia kesho, atakuwa amepumzika mapema leo ukizingatia ni weekenda halafu mimi sipo." Nilimwambia mama.

”Sawa mwanangu, ila Vicky vipi maisha ya ndoa? Ninaimani unamtii mume wako na kumjali vya kutosha." Mama aliongea.

"Mama, kwani Tony amelalamika kwako? Najitahidi kadiri ya uwezo wangu."

"Mbona unajishuku Vicky? Kila kitu kipo sawa kweli huko ulikotoka?  Ninajua kuchelewa kupata ujauzito hakukupi pressure."

"Hapana mama, tuko sawa kabisa. Kila kitu kipo vizuri."

"Usiwe na pressure ya mtoto. Hata mwaka haujaisha bado. Mimi na baba yako tulisubiri miaka mitatu kabla hatujampata kaka yako wa kwanza na baada ya hapo mambo yakatuendea vizuri. Hivyo usijali kila kitu kitakuwa sawa." Mama alimaliza.

"Nafahamu mama...." Mara tukasikia mtu akigonga mlango.

"Mama unategemea mgeni yeyote usiku huu. Ni saa tano na nusu sasa na baba ameshaenda kulala."

"Hapana mwanangu sina ugeni wowote, inaweza kuwa mmoja wa majirani zetu anahitaji kitu nenda na ufungue mlango."
 
Nikiwa ninaosogelea mlango ili kuufungua, niliangushwa chini kwa nguvu na mlango uliofunguliwa kwa nguvu. Macho  yalinitoka na kupiga kelele, walikuwa watu wanne waliovalia kofia zilizoziba uso mzima na kubakiza mdomo, macho na pua wakiwa wameshika mapanga. Nilifunga macho yangu na kuanza kusali.

"Sawasawa sali kwa bidii mtoto mzuri, unaweza ukakipata unachokiomba" sauti nzito na mbovu ilisikika kutoka kwa mmoja wapo wa wale watu watatu.

Mara wakaanza kunivuta nywele zangu na kunipeleka mpaka sebuleni. Nikamuona mama yangu akiwa amejibanza kwenye kona ya sebule akilia mno, bila shaka alisikia zile purukushani.

Tulikuwa tumevamiwa na majambazi!

SIKU TANO BAADAE.

Niliamka tena huku nikiwa napiga kelele kama kichaa. Imekua ni kawaida yangu kushtuka na kupiga kelele kama mwendawazimu tokea ule usiku mbaya kabisa katika maisha yangu. Usiku tuliovamiwa na majambazi.

Baba yangu alikuwa pembeni yangu, akinifuta machozi yaliyokuwa yakinitoka kwa wingi.

"Usijali Vicky. Upo sawa na salama kabisa. Baba yako nipo hapa."

"Baba naogopa, Tony bado hajaja."
"Nafahamu mwanangu, Tony hajaja. Nitampigia simu tena. Jitahidi uwe na nguvu kwanza, sawa mwanangu?"

"Hapokei simu zangu baba, tokea umemwambia like tukio hajapokea tena simu yangu baba!!" 

"Usijali mwanangu atakupigua tu, labda alipatwa na mshtuko baada ya mimi kumsimulia lile tukio. Tusubiri atulie atakupigia tu"

Baba alipotoka chumbani kwangu na kuniacha peke yangu nikaanza kukumbuka lile tukio. Usiku mbaya kabisa katika maisha yangu...naweza kuuita 'evil night'.

SIKU TANO NYUMA.

Nakumbuka baba yangu alifuatwa chumbani na wale majambazi na wakamtaka awape pesa. Nakumbuka walimpiga na ubapa wa panga na kusachi chumba kizima. Aliwapa shilingi laki tano hivyo wakadhani anazo pesa nyingine kwani asubuhi yake alikuwa ametoka kuuza ng'ombe zake 88 huko wilayani Magu.

Baba hakuwa na Cash, pesa zote aliweka benki. Nakumbuka niliwaongezea shilingi laki moja niliyokuwa nayo na mwanaume mmoja kati yao akaniambia ninamtukana kwa kuwapa shilingi laki moja tu.

Nikiwa ninawaomba msamaha, yule jambazi aliniangalia kwa macho fulani ambayo nilijua anataka kufanya nini kabla hajaniambia.

"Tafadhali jamani, mimi nimeolewa. Ninawaombeni msinifanye mnachotaka.kunifanya. Nawaomba for christ sake!

"Kwaio kama umeolewa unafanya nini nyumbani kwa baba na mama. Mume wako hakuridhishi ee mama? Ngoja nimsaidie hilo suala. Anahitaji msaada." Yule jambazi aliongea.

Niliomboleza na kuwaomba wasinibake, mama na baba nao wakaomboleza kwa kuwapigia magoti wale watu wabaya na jawabu walilowapa ni kwamba wamesikia ombi lao na kitu pekee watachokifanya sio kunibaka mbele yao. 

Majambazi wawili wakabaki sebuleni wakiwalinda baba na mama na wengine wawili wakanivuta mimi mpaka chumbani. Nilipigana kadiri ninavyoweza lakini walinizidi nguvu.

Mmoja akanishikilia na mwingine akafanya mambo yake, maumivu niliyoyapata sijawahi kukumbana nayo. Nilimkumbuka mume wangu Tony, nikajilaumu kwanini niliondoka kwa mume wangu, kwanini niliwadanganya wazazi wangu...

Nikakumbuka jinsi Tony alivyonizuia nisiondoke na kumwacha. Nililia mno, yule jambazi aliendelea kunifanyia kitendo cha kinyama na dakika 30 baadae akawa amemaliza.

Baada ya yuke jambazi kumaliza, wakaambizana waondoke haraka...wakaondoka na kutokomea kabisa!

Niliumia mno, kwa mara ya pili tena nikamlaumu Mungu na kumuuliza maswali mengi. Ukimya wake ulinipa simanzi na nikajidharau mno!

MUDA HUU.

Zimepita siku tano tokea nifanyiwe like tukio la kinyama ule usiku, siku tano baada ya baba kumpigia simu Tony na kumtaarifu na siku tatu tokea nitoke hospitali ya Bugando, bado Tony hajaja na hapokei simu tena....

Sina nilichobakiza kusema nitaiishi kesho, nipo radhi nife hata sasa hivi......

ITAENDELEA..........

TUKUTANE JUMATATU KWA MWISHO WA SIMULIZI HII.

Weekend njema!!

Share

Jumaa Mmak

NDOA YANGU.... EPISODE 7. Maongezi yangu na Tony yalinifanya nitambue kuwa Tony hanithamini tena kama mke wake hivyo basi nikafanya maamuzi ya kumpa nafasi. Nikampigia simu mama yangu na kumwambia narudi nyumbani kuwasilimia na nitakaa kwa wiki moja. Nilimshawishi kwa kumdanganya kuwa Tony amekubaliana na mimi. Mama alikubali na nikapaki begi langu vizuri tayari kwa safari ya kwenda kwetu. Asubuhi yake nikamwambia Tony kuhusiana na safari yangu. "Nilikusikiliza yote uliyoniambia jana Tony na nimeonelea wote tupeane nafasi kwanza. Nachukua break naenda kwetu kwa wazazi wangu" nilimweleza Tony. Tony akatikisa kichwa chake na kusema, "unatakiwa ujionee hata aibu Vicky. In fact hata wakisema wanawake bora wasimame inatakiwa ufiche uso wako kabisa kwa aibu. Umeshindwa kutunza nyumba yako, umeshindwa kumridhisha mume wako na baada ya kutatua hayo matatizo umeonelea bora uyakimbie?" Tony, nimekataa wewe kunidhihaki na kunitukana. Nilikaa kimya wakati unanitukana jana na sio kwamba mimi nitaendelea kukaa kimya tu uendelee kunitukana. Umesema uwepo wangu unakupa huzuni, sasa hivi nataka nikupe nafasi. Naenda kuchukua muda wangu kuomba kwa ajili yetu." "I don’t freaking need your prayers madam. In fact hata Mungu hatajibu hayo maombi yako kwa sababu Mungu ameshakueleza kila kitu cha kufanya kwa mume wako katika Biblia. Sitaki uniombee mimi." "Eee kwahiyo ile siku nimenunua lingarie na mafuta ya massage na ukaniacha nikining'inia tu usiku kucha usitokee nyumbani nayo utasemaje? Sikuwa natimiza majukumu yangu? Umechanganyikiwa Tony. Hujui ni nini unataka!" "Unataka kuondoka? Sawa! Get the hell out but you just might not meet this marriage when you come back...nakwambia hutaiona tena hii ndoa ukirudi" "Kama nilivyokwambia Tony, nachukua muda mbali na wewe naenda kuiombea hii ndoa, hayo maneno yako yakashindwe. Mungu ata-sustain nyumba yetu" nikamwambia Tony. Akatingisha tena kichwa chake, akafumba macho, akavuta shuka akimaanisha amemaliza maongezi na mimi. Nikachukua mabegi yangu na kuelekea Airport. Nikaenda ofisi za wakala wa usafiri wa anga na kununua tiketi ya ndege ya Fastjet ya kuelekea kwetu Mwanza iliyokua ikiondoka saa nne asubuhi. PASIANSI, MWANZA, TANZANIA. Usiku wake nikiwa nimeshafika nyumbani mapema tu mchana, nikiwa nimekaa na wazazi wangu sebuleni mama alikuwa akijaribu kunipigisha story za hapa na pale. "Ehee kwaio kwanini Tony amekupa ruhusa ya kuja huku mama angu?" "Mama, Tony yuko busy na kazi, hata baba nimemwambia hapo kabla" "Kwaio ameshindwa hata kuja kutusalimia mara moja pamoja na wewe halafu ageuze hata kesho. Hatujamuona tokea ile siku ya harusi." "Si ndio maana nipo hapa mama? Atleast umeona hata mmoja wetu, ukiniona mimi umemuona Tony..si unajua tu mwili mmoja hahaaa." Nikamwambia na kucheka. "Ahaa, hamna tatizo. Nimejaribu kumpigia baada ya wewe kufika kumwambia kwamba nimempokea mke wake lakini hajapokea simu" mama aliongea. "Nina uhakika atakupigia kesho, atakuwa amepumzika mapema leo ukizingatia ni weekenda halafu mimi sipo." Nilimwambia mama. ”Sawa mwanangu, ila Vicky vipi maisha ya ndoa? Ninaimani unamtii mume wako na kumjali vya kutosha." Mama aliongea. "Mama, kwani Tony amelalamika kwako? Najitahidi kadiri ya uwezo wangu." "Mbona unajishuku Vicky? Kila kitu kipo sawa kweli huko ulikotoka? Ninajua kuchelewa kupata ujauzito hakukupi pressure." "Hapana mama, tuko sawa kabisa. Kila kitu kipo vizuri." "Usiwe na pressure ya mtoto. Hata mwaka haujaisha bado. Mimi na baba yako tulisubiri miaka mitatu kabla hatujampata kaka yako wa kwanza na baada ya hapo mambo yakatuendea vizuri. Hivyo usijali kila kitu kitakuwa sawa." Mama alimaliza. "Nafahamu mama...." Mara tukasikia mtu akigonga mlango. "Mama unategemea mgeni yeyote usiku huu. Ni saa tano na nusu sasa na baba ameshaenda kulala." "Hapana mwanangu sina ugeni wowote, inaweza kuwa mmoja wa majirani zetu anahitaji kitu nenda na ufungue mlango." Nikiwa ninaosogelea mlango ili kuufungua, niliangushwa chini kwa nguvu na mlango uliofunguliwa kwa nguvu. Macho yalinitoka na kupiga kelele, walikuwa watu wanne waliovalia kofia zilizoziba uso mzima na kubakiza mdomo, macho na pua wakiwa wameshika mapanga. Nilifunga macho yangu na kuanza kusali. "Sawasawa sali kwa bidii mtoto mzuri, unaweza ukakipata unachokiomba" sauti nzito na mbovu ilisikika kutoka kwa mmoja wapo wa wale watu watatu. Mara wakaanza kunivuta nywele zangu na kunipeleka mpaka sebuleni. Nikamuona mama yangu akiwa amejibanza kwenye kona ya sebule akilia mno, bila shaka alisikia zile purukushani. Tulikuwa tumevamiwa na majambazi! SIKU TANO BAADAE. Niliamka tena huku nikiwa napiga kelele kama kichaa. Imekua ni kawaida yangu kushtuka na kupiga kelele kama mwendawazimu tokea ule usiku mbaya kabisa katika maisha yangu. Usiku tuliovamiwa na majambazi. Baba yangu alikuwa pembeni yangu, akinifuta machozi yaliyokuwa yakinitoka kwa wingi. "Usijali Vicky. Upo sawa na salama kabisa. Baba yako nipo hapa." "Baba naogopa, Tony bado hajaja." "Nafahamu mwanangu, Tony hajaja. Nitampigia simu tena. Jitahidi uwe na nguvu kwanza, sawa mwanangu?" "Hapokei simu zangu baba, tokea umemwambia like tukio hajapokea tena simu yangu baba!!" "Usijali mwanangu atakupigua tu, labda alipatwa na mshtuko baada ya mimi kumsimulia lile tukio. Tusubiri atulie atakupigia tu" Baba alipotoka chumbani kwangu na kuniacha peke yangu nikaanza kukumbuka lile tukio. Usiku mbaya kabisa katika maisha yangu...naweza kuuita 'evil night'. SIKU TANO NYUMA. Nakumbuka baba yangu alifuatwa chumbani na wale majambazi na wakamtaka awape pesa. Nakumbuka walimpiga na ubapa wa panga na kusachi chumba kizima. Aliwapa shilingi laki tano hivyo wakadhani anazo pesa nyingine kwani asubuhi yake alikuwa ametoka kuuza ng'ombe zake 88 huko wilayani Magu. Baba hakuwa na Cash, pesa zote aliweka benki. Nakumbuka niliwaongezea shilingi laki moja niliyokuwa nayo na mwanaume mmoja kati yao akaniambia ninamtukana kwa kuwapa shilingi laki moja tu. Nikiwa ninawaomba msamaha, yule jambazi aliniangalia kwa macho fulani ambayo nilijua anataka kufanya nini kabla hajaniambia. "Tafadhali jamani, mimi nimeolewa. Ninawaombeni msinifanye mnachotaka.kunifanya. Nawaomba for christ sake! "Kwaio kama umeolewa unafanya nini nyumbani kwa baba na mama. Mume wako hakuridhishi ee mama? Ngoja nimsaidie hilo suala. Anahitaji msaada." Yule jambazi aliongea. Niliomboleza na kuwaomba wasinibake, mama na baba nao wakaomboleza kwa kuwapigia magoti wale watu wabaya na jawabu walilowapa ni kwamba wamesikia ombi lao na kitu pekee watachokifanya sio kunibaka mbele yao. Majambazi wawili wakabaki sebuleni wakiwalinda baba na mama na wengine wawili wakanivuta mimi mpaka chumbani. Nilipigana kadiri ninavyoweza lakini walinizidi nguvu. Mmoja akanishikilia na mwingine akafanya mambo yake, maumivu niliyoyapata sijawahi kukumbana nayo. Nilimkumbuka mume wangu Tony, nikajilaumu kwanini niliondoka kwa mume wangu, kwanini niliwadanganya wazazi wangu... Nikakumbuka jinsi Tony alivyonizuia nisiondoke na kumwacha. Nililia mno, yule jambazi aliendelea kunifanyia kitendo cha kinyama na dakika 30 baadae akawa amemaliza. Baada ya yuke jambazi kumaliza, wakaambizana waondoke haraka...wakaondoka na kutokomea kabisa! Niliumia mno, kwa mara ya pili tena nikamlaumu Mungu na kumuuliza maswali mengi. Ukimya wake ulinipa simanzi na nikajidharau mno! MUDA HUU. Zimepita siku tano tokea nifanyiwe like tukio la kinyama ule usiku, siku tano baada ya baba kumpigia simu Tony na kumtaarifu na siku tatu tokea nitoke hospitali ya Bugando, bado Tony hajaja na hapokei simu tena.... Sina nilichobakiza kusema nitaiishi kesho, nipo radhi nife hata sasa hivi...... ITAENDELEA.......... TUKUTANE JUMATATU KWA MWISHO WA SIMULIZI HII. Weekend njema!! Share Jumaa Mmak

...
NDOA YANGU...

EPISODE 6.

Baadhi yenu mnalalamika hamjaziona episode zilizopita, pitia timeline yangu mtazikuta nyuma.

Haya songa nayo....

Kama masaa nane hivi nilikuwa nimekaa ofisini kwa daktari nikisubiri kupewa maelezo ya kina kuhusiana na hali ya Tony. Nilichoambiwa wakati nikisubiri ni kwamba Tony yuko hai na ameingizwa kupigwa 'ultrasound' na baadae afanyiwe upasuaji.

Manesi hawakutaka kuniambia ukubwa wa ajali aliyoipata Tony, nilikuwa nikilia tu nakupiga kelele kama nimechanganyikiwa. Baadae nikampigia simu wifi yangu ambae alikuja haraka kusubiri nami huku akinibembeleza.

Nilitoka hospitali mara moja na kwenda Myfair plaza kwenye mashine ya ATM ili kutoa pesa maana sikuwa hata na mia, ilikuwa tayari saa kumi na moja kasoro jioni na sikuwa nimekula wala kunywa kitu tokea jana yake jioni.

Baada ya kurudi hospitalini, nikaonana na daktari mwenye asili ya kihindi na akaanza kunieleza kilichojiri.

"Mrs Tony, Asante sana kwa uvumilivu wako" mimi nikamkatisha haraka.

"Mr. Daktari, please just go straight to the point, acha kuanza kuzunguka zunguka. Anaendeleaje? Nini kimetokea? Upasuaji ulikuwa wa nini? Yuko salama? Upasuaji umefanikiwa?

"Madam, nitakujibu maswali yako yote, ila nataka utulie kwanza acha papara"

"Okay, samahani, endelea nakusikiliza"

"Mume wako yuko salama, na upasuaji ulikuwa wa mafanikio. Alipatwa na kitu kwa kitaalamu kinaitwa 'testicular trauma' ni injury inayotokea kwenye korodani za mwanaume. 

"Kwa wanaume korodani au testicles zinakaa nje ya kitu kama kipochi hivi kinachoitwa kwa lugha ya kitaalam scrotum. Kutokana na location yake, aina nyingi za ajali zinazotokea husababisha kuumia kwa korodani.

"Mfano wa ajali hizo ni kama vile kupigwa kwa mpira au kitu chochote ktk maeneo nyeti, ajali ya pikipiki na ajali ya baiskeli ambayo kwayo ndio mume wako alikumbana nayo.

"Mungu wanguu!!!!! unaona matatizo haya..unamaanisha nini daktari? Kwamba mmezitoa, mume wangu hana korodani tena? Mamaaa tutapataje mtoto sasa uwiiii nafwaa mie...Tony ataniuaaaa woiii!!!" Nilichanganyikiwa!

"Tafadhali binti hebu relax basi, mbona unadandia treni kwa mbele. Mimi sijakueleza kwamba mume wako hana korodani hapa. Ni rapture tu ndogo ilitokea na kuhama kwa testicles na ndio maana ikatubidi kumfanyia upasuaji haraka"

"Upasuaji kama nilivyokwambia ulikuwa wa mafanikio na tumeweza kuzirudisha mahala pake na tuna uhakika haitasababisha asiwe na uwezo wa kuzaa hapo baadae"

"Ofcourse ninashauri akae mbali na Sex kwa muda kama wiki tatu hivi mpaka apone vizuri kabisa ili asiweze kupata kitu kinaitwa 'hernia'. Vinginevyo kila kitu kipo sawa sasa, tumshukuru Mungu.

"Asante sana daktari, kwaio lini tutaruhusiwa kurudi nyumbani?"
"Nataka nimtizame usiku huu kuhakikisha yuko sawa. Akiamka kesho vizuri nitaruhusu muondoke"

Usiku ule dada yake aliondoka baada ya kuhakikishiwa Tony yuko salama.

Mimi nilikaa hospitali chumba alicholazwa Tony nikiwa pembeni ya kitanda chake, huku machozi yakinitoka usiku kucha, nilikumbuka mambo mengi sana enzi za uchumba wetu jinsi tulivyopendana na kuona ulimwengu wote ni wangu.  

Asubuhi yake baada ya kufanya malipo tuliruhusiwa kutoka, Tony alikuwa mkimya asiongee hata neno moja. Nikiwa na-drive nikawa kichwani nawaza kama Tony hataamsha tena hasira zake juu yangu.

Nikawa nikimuomba Mungu kimya kimya Tony asianze masuala yake tena.

"Darling uko sawa?" Nilimuuliza baada ya kufika nyumbani na kumlaza chumbani.

"Vicky, siko sawa. Unajua nini? Ninajuta kukuoa wewe. Sidhani kama kweli mwanaume apatae mke amepata kitu chema na kupata kibali kutoka kwa Mungu kwa sababu wewe ndio chanzo cha mimi kutokuwa na furaha na kujawa na huzuni.

Nikamshangaa Tony, sikumuelewa!!!

"Unajua nini, nilipoamua kukuoa wewe nilikuwa na mipango mingi. Nilifahamu ni nini ninataka. Nilitaka mwanamke ambae atanipenda na kunifanya niwe na furaha. Nilitaka maisha ya furaha, faraja na amani.

"Nilitaka kujenga nyakati nzuri zenye ubora wa hali ya juu katika ndoa yetu wawili tu mimi na wewe kabla hata hatujaanza kuzaa.

"Ila sijafanikiwa kupata lolote kati ya hayo, ikawa ni matatizo tu hili baadae linakuja hili. Tupo kwenye ndoa kwa miezi tisa tu na tayari nimeshachoka"

"Tony, kwanini unanilaumu mimi kwa hayo? Kwanini? Kipi cha msingi ambacho mimi nimekifanya ambacho kimeharibu hiyo unayosema furaha yako?"

"Nisikilize Vicky, baada ya ndoa tu ilinichukua wiki mbili nzima wewe kuniruhusu kufanya tendo la ndoa na kuiondoa bikira yako. Honeymoon yetu hata sikuifurahia kwakuwa ulikuwa ukinizuia kufanya tendo la ndoa.

Baadae sana Baada ya kuniruhusu kutoa bikira yako kwa mbinde kweli ukaanza wenge lako la kutaka mtoto na kufanya tendo la ndoa liwe linaboa kila mara.

"Kila nikikueleza kwamba tusubiri kwanza tufurahie ndoa yetu kabla hatujaanza kuzaa na kulea wewe unakua mbogo. Kila nikitaka kufanya tendo la ndoa kwa style tofauti wewe hutaki unataka missionary style kwa madai kwamba ndio style nzuri ya kupata ujauzito.

Kwa wenge lako la kutaka mtoto mapema baada ya miezi mitano tu ukaanza huo mfungo wako na kwa sababu ya mawazo na frustration ulizonipa nikawa sina furaha na stress juu.

"Jana asubuhi nikaenda kufanya mazoezi na baiskeli yangu na kutokana na stress na mawazo uliyonisababishia wewe nikapata ajali.

"Unafahamu wewe ndio umenisababishia haya? Nilikuwa nikikufikiria wewe mpaka nikapoteza concentration na shetani alivyo mpumbavu was trying to crack a joke, testicular trauma? I am tired madam"

Nilikaa kimya nisijue lipi la kuongea, zaidi zaidi hasira zikawa zikinipanda.

"Unathubutuje kuniambia hayo Tony? Kwanini unanilaumu mimi kwa kuwa na huzuni na kukosa hiyo furaha yako! Kila siku naamka kukuombea na hii ndio namna unavyonilipa?

"Sio wewe ambae wakati unanioa mtaji wa kampuni yako ulikua na kufikia kutengeneza faida kubwa? Unathubutuje kunitukana na kunilaumu mimi sasa hivi!! Sitaruhusu shetani aendelee kukutumia tena Tony, amekutumia vya kutosha!

"Haya maongezi yameisha Tony, sasa hivi fanya lolote unalotaka. Nikasimama pale kitandani na kutoka nje huku nikiwa nimeghafirika mno. Na kwa mara ya kwanza tena nikaona bora ningekuwa single tu.......

ITAENDELEA.........

Lunch njema!

Share

Jumaa mmaka

NDOA YANGU... EPISODE 6. Baadhi yenu mnalalamika hamjaziona episode zilizopita, pitia timeline yangu mtazikuta nyuma. Haya songa nayo.... Kama masaa nane hivi nilikuwa nimekaa ofisini kwa daktari nikisubiri kupewa maelezo ya kina kuhusiana na hali ya Tony. Nilichoambiwa wakati nikisubiri ni kwamba Tony yuko hai na ameingizwa kupigwa 'ultrasound' na baadae afanyiwe upasuaji. Manesi hawakutaka kuniambia ukubwa wa ajali aliyoipata Tony, nilikuwa nikilia tu nakupiga kelele kama nimechanganyikiwa. Baadae nikampigia simu wifi yangu ambae alikuja haraka kusubiri nami huku akinibembeleza. Nilitoka hospitali mara moja na kwenda Myfair plaza kwenye mashine ya ATM ili kutoa pesa maana sikuwa hata na mia, ilikuwa tayari saa kumi na moja kasoro jioni na sikuwa nimekula wala kunywa kitu tokea jana yake jioni. Baada ya kurudi hospitalini, nikaonana na daktari mwenye asili ya kihindi na akaanza kunieleza kilichojiri. "Mrs Tony, Asante sana kwa uvumilivu wako" mimi nikamkatisha haraka. "Mr. Daktari, please just go straight to the point, acha kuanza kuzunguka zunguka. Anaendeleaje? Nini kimetokea? Upasuaji ulikuwa wa nini? Yuko salama? Upasuaji umefanikiwa? "Madam, nitakujibu maswali yako yote, ila nataka utulie kwanza acha papara" "Okay, samahani, endelea nakusikiliza" "Mume wako yuko salama, na upasuaji ulikuwa wa mafanikio. Alipatwa na kitu kwa kitaalamu kinaitwa 'testicular trauma' ni injury inayotokea kwenye korodani za mwanaume. "Kwa wanaume korodani au testicles zinakaa nje ya kitu kama kipochi hivi kinachoitwa kwa lugha ya kitaalam scrotum. Kutokana na location yake, aina nyingi za ajali zinazotokea husababisha kuumia kwa korodani. "Mfano wa ajali hizo ni kama vile kupigwa kwa mpira au kitu chochote ktk maeneo nyeti, ajali ya pikipiki na ajali ya baiskeli ambayo kwayo ndio mume wako alikumbana nayo. "Mungu wanguu!!!!! unaona matatizo haya..unamaanisha nini daktari? Kwamba mmezitoa, mume wangu hana korodani tena? Mamaaa tutapataje mtoto sasa uwiiii nafwaa mie...Tony ataniuaaaa woiii!!!" Nilichanganyikiwa! "Tafadhali binti hebu relax basi, mbona unadandia treni kwa mbele. Mimi sijakueleza kwamba mume wako hana korodani hapa. Ni rapture tu ndogo ilitokea na kuhama kwa testicles na ndio maana ikatubidi kumfanyia upasuaji haraka" "Upasuaji kama nilivyokwambia ulikuwa wa mafanikio na tumeweza kuzirudisha mahala pake na tuna uhakika haitasababisha asiwe na uwezo wa kuzaa hapo baadae" "Ofcourse ninashauri akae mbali na Sex kwa muda kama wiki tatu hivi mpaka apone vizuri kabisa ili asiweze kupata kitu kinaitwa 'hernia'. Vinginevyo kila kitu kipo sawa sasa, tumshukuru Mungu. "Asante sana daktari, kwaio lini tutaruhusiwa kurudi nyumbani?" "Nataka nimtizame usiku huu kuhakikisha yuko sawa. Akiamka kesho vizuri nitaruhusu muondoke" Usiku ule dada yake aliondoka baada ya kuhakikishiwa Tony yuko salama. Mimi nilikaa hospitali chumba alicholazwa Tony nikiwa pembeni ya kitanda chake, huku machozi yakinitoka usiku kucha, nilikumbuka mambo mengi sana enzi za uchumba wetu jinsi tulivyopendana na kuona ulimwengu wote ni wangu. Asubuhi yake baada ya kufanya malipo tuliruhusiwa kutoka, Tony alikuwa mkimya asiongee hata neno moja. Nikiwa na-drive nikawa kichwani nawaza kama Tony hataamsha tena hasira zake juu yangu. Nikawa nikimuomba Mungu kimya kimya Tony asianze masuala yake tena. "Darling uko sawa?" Nilimuuliza baada ya kufika nyumbani na kumlaza chumbani. "Vicky, siko sawa. Unajua nini? Ninajuta kukuoa wewe. Sidhani kama kweli mwanaume apatae mke amepata kitu chema na kupata kibali kutoka kwa Mungu kwa sababu wewe ndio chanzo cha mimi kutokuwa na furaha na kujawa na huzuni. Nikamshangaa Tony, sikumuelewa!!! "Unajua nini, nilipoamua kukuoa wewe nilikuwa na mipango mingi. Nilifahamu ni nini ninataka. Nilitaka mwanamke ambae atanipenda na kunifanya niwe na furaha. Nilitaka maisha ya furaha, faraja na amani. "Nilitaka kujenga nyakati nzuri zenye ubora wa hali ya juu katika ndoa yetu wawili tu mimi na wewe kabla hata hatujaanza kuzaa. "Ila sijafanikiwa kupata lolote kati ya hayo, ikawa ni matatizo tu hili baadae linakuja hili. Tupo kwenye ndoa kwa miezi tisa tu na tayari nimeshachoka" "Tony, kwanini unanilaumu mimi kwa hayo? Kwanini? Kipi cha msingi ambacho mimi nimekifanya ambacho kimeharibu hiyo unayosema furaha yako?" "Nisikilize Vicky, baada ya ndoa tu ilinichukua wiki mbili nzima wewe kuniruhusu kufanya tendo la ndoa na kuiondoa bikira yako. Honeymoon yetu hata sikuifurahia kwakuwa ulikuwa ukinizuia kufanya tendo la ndoa. Baadae sana Baada ya kuniruhusu kutoa bikira yako kwa mbinde kweli ukaanza wenge lako la kutaka mtoto na kufanya tendo la ndoa liwe linaboa kila mara. "Kila nikikueleza kwamba tusubiri kwanza tufurahie ndoa yetu kabla hatujaanza kuzaa na kulea wewe unakua mbogo. Kila nikitaka kufanya tendo la ndoa kwa style tofauti wewe hutaki unataka missionary style kwa madai kwamba ndio style nzuri ya kupata ujauzito. Kwa wenge lako la kutaka mtoto mapema baada ya miezi mitano tu ukaanza huo mfungo wako na kwa sababu ya mawazo na frustration ulizonipa nikawa sina furaha na stress juu. "Jana asubuhi nikaenda kufanya mazoezi na baiskeli yangu na kutokana na stress na mawazo uliyonisababishia wewe nikapata ajali. "Unafahamu wewe ndio umenisababishia haya? Nilikuwa nikikufikiria wewe mpaka nikapoteza concentration na shetani alivyo mpumbavu was trying to crack a joke, testicular trauma? I am tired madam" Nilikaa kimya nisijue lipi la kuongea, zaidi zaidi hasira zikawa zikinipanda. "Unathubutuje kuniambia hayo Tony? Kwanini unanilaumu mimi kwa kuwa na huzuni na kukosa hiyo furaha yako! Kila siku naamka kukuombea na hii ndio namna unavyonilipa? "Sio wewe ambae wakati unanioa mtaji wa kampuni yako ulikua na kufikia kutengeneza faida kubwa? Unathubutuje kunitukana na kunilaumu mimi sasa hivi!! Sitaruhusu shetani aendelee kukutumia tena Tony, amekutumia vya kutosha! "Haya maongezi yameisha Tony, sasa hivi fanya lolote unalotaka. Nikasimama pale kitandani na kutoka nje huku nikiwa nimeghafirika mno. Na kwa mara ya kwanza tena nikaona bora ningekuwa single tu....... ITAENDELEA......... Lunch njema! Share Jumaa mmaka

...
NDOA YANGU.....

EPISODE 5

Jumamosi asubuhi Tony aliporudi nyumbani asubuhi nikaamua imetosha sasa liwalo na liwe. Hakuwa na haki ya kuendelea kulala nje ya nyumba yetu eti kwa sababu ya hasira.

Nilikuwa tayari ninamsubiri afike na alipoingia tu nikasimama nikamzuia mlangoni na kumuuliza kwa jazba.."Eheee unafikiri ulikuwa wapi Mr. Tony?"

Akanitizama kwa mshangao kama nimeota mapembe na kwa mshangao akanijibu kwa mkato.."Bahari Beach Hotel."

"Kwaio ndio huko unakolala siku zote?" Nikamuuliza huku nikiwa na uhakika hatanijibu palepale.

"Yes nilichukua chumba pale" akanijibu huku akinitizama. "Ni hayo tu?" Tony akaniuliza

"Hapana Tony, sio hayo tu na usinifanye mimi mpumbavu. Umekuwa ukilala nje takribani wiki tatu sasa na ninakuuliza unanijibu kwa dharau" niliongea huku nikiwa nimejawa na hasira!

"Madam, umeniuliza nilikokuwa na nimekujibu vizuri tu, ni kivipi nimekuonesha dharau?"

"Tony, kwa mara nyingine nakuomba unisamehe"

"Okay nimekusikia. Kuwa muwazi basi unaomba msamaha wa nini?
"Well, nisamehe kwa kukunyima tendo la ndoa na kufunga bila makubaliano na wewe. Samahani kwa kutokujali hisia zako. Please tunaweza tukarudi kuwa kama zamani tulivyopendana?"

"Okay, nimekusikia" akanijibu huku akitizama saa yake.
"Tony sasa hivi please. Unataka niseme au nifanye nini unisamehe?"

"Vicky nimesema nimekusikia. Please don't stress me. Nataka nikafanye mazoezi na baiskeli yangu kidogo, umenielewa?"

”Okay that is fine. Nataka unipe ahadi kwamba kuanzia leo utabaki nyumbani"
"Yes nakuahidi nitabaki, kwahiyo unaniruhusu niende nikabadili na kwenda kufanya mazoezi?"

Nikatikisa kichwa na kumpisha njia na akaenda chumba cha wageni na kuvaa nguo za mazoezi. Siku zote alikuwa akivutia na kuonekana handsome akivaa nguo za mazoezi zilizokuwa zikimbana na kuonesha misuli yake iliyotuna sawasawa.

Nikaenda kumkumbatia nikitegemea atanikatalia lakini akanikumbatia vizuri tu na kuondoka na baiskeli yake ya mazoezi. Asubuhi ile nilifurahi mno na nikaamua nimpikie breakfast nzuri ale akirudi kutoka mazoezini.

Baada kama ya dakika 30 hivi nikapigiwa simu iliyobadili maisha yangu kabisa. Huku machozi yakinitoka nisijue kwanini, nilichukua funguo za gari yangu na kuwahi Hospitali ya TMJ nilikoelekezwa.

Nilikua bado siamini kama kweli nimeambiwa Tony amepata ajali!! Ni dakika 30 tu zimepita tokea aondoke nyumbani, alienipigia simu hakuweza kuniambia ajali ilikuaje na ukubwa wake.

Nikakutana na foleni kubwa. Nikajaribu kupiga simu ya Tony ili kupata details lakini simu yake ilikuwa imezimwa. Nikataka kuwapigia ndugu na marafiki lakini nikajiambia natakiwa nijue hali yake na ukubwa wa ajali aliyoipata kwanza kabla sijamwambia yeyote.

"Oh Mungu wangu nisaidie mwanao. Wewe mwenyewe ulisema hatutakufa bali tutaishi. Tafadhali Mungu mponye mume wangu, sitakuwa mjane nikiwa kijana hivi oh Mungu"

Maneno ya kusali yakaniishia, sikujua hata namna ya kuomba. Baada ya saa moja hatimaye nikafika hospitali ya TMJ. Nikapaki gari Myfair plaza na kuvuka upande iliko hospitali ya TMJ.

Nikatembea haraka haraka kuwahi mapokezi huku nikiwa nina hofu na uoga mkuu nisijue ni nini naenda kukikuta huko......

ITAENDELEA.......

Share

Jumaa Mmaka

NDOA YANGU..... EPISODE 5 Jumamosi asubuhi Tony aliporudi nyumbani asubuhi nikaamua imetosha sasa liwalo na liwe. Hakuwa na haki ya kuendelea kulala nje ya nyumba yetu eti kwa sababu ya hasira. Nilikuwa tayari ninamsubiri afike na alipoingia tu nikasimama nikamzuia mlangoni na kumuuliza kwa jazba.."Eheee unafikiri ulikuwa wapi Mr. Tony?" Akanitizama kwa mshangao kama nimeota mapembe na kwa mshangao akanijibu kwa mkato.."Bahari Beach Hotel." "Kwaio ndio huko unakolala siku zote?" Nikamuuliza huku nikiwa na uhakika hatanijibu palepale. "Yes nilichukua chumba pale" akanijibu huku akinitizama. "Ni hayo tu?" Tony akaniuliza "Hapana Tony, sio hayo tu na usinifanye mimi mpumbavu. Umekuwa ukilala nje takribani wiki tatu sasa na ninakuuliza unanijibu kwa dharau" niliongea huku nikiwa nimejawa na hasira! "Madam, umeniuliza nilikokuwa na nimekujibu vizuri tu, ni kivipi nimekuonesha dharau?" "Tony, kwa mara nyingine nakuomba unisamehe" "Okay nimekusikia. Kuwa muwazi basi unaomba msamaha wa nini? "Well, nisamehe kwa kukunyima tendo la ndoa na kufunga bila makubaliano na wewe. Samahani kwa kutokujali hisia zako. Please tunaweza tukarudi kuwa kama zamani tulivyopendana?" "Okay, nimekusikia" akanijibu huku akitizama saa yake. "Tony sasa hivi please. Unataka niseme au nifanye nini unisamehe?" "Vicky nimesema nimekusikia. Please don't stress me. Nataka nikafanye mazoezi na baiskeli yangu kidogo, umenielewa?" ”Okay that is fine. Nataka unipe ahadi kwamba kuanzia leo utabaki nyumbani" "Yes nakuahidi nitabaki, kwahiyo unaniruhusu niende nikabadili na kwenda kufanya mazoezi?" Nikatikisa kichwa na kumpisha njia na akaenda chumba cha wageni na kuvaa nguo za mazoezi. Siku zote alikuwa akivutia na kuonekana handsome akivaa nguo za mazoezi zilizokuwa zikimbana na kuonesha misuli yake iliyotuna sawasawa. Nikaenda kumkumbatia nikitegemea atanikatalia lakini akanikumbatia vizuri tu na kuondoka na baiskeli yake ya mazoezi. Asubuhi ile nilifurahi mno na nikaamua nimpikie breakfast nzuri ale akirudi kutoka mazoezini. Baada kama ya dakika 30 hivi nikapigiwa simu iliyobadili maisha yangu kabisa. Huku machozi yakinitoka nisijue kwanini, nilichukua funguo za gari yangu na kuwahi Hospitali ya TMJ nilikoelekezwa. Nilikua bado siamini kama kweli nimeambiwa Tony amepata ajali!! Ni dakika 30 tu zimepita tokea aondoke nyumbani, alienipigia simu hakuweza kuniambia ajali ilikuaje na ukubwa wake. Nikakutana na foleni kubwa. Nikajaribu kupiga simu ya Tony ili kupata details lakini simu yake ilikuwa imezimwa. Nikataka kuwapigia ndugu na marafiki lakini nikajiambia natakiwa nijue hali yake na ukubwa wa ajali aliyoipata kwanza kabla sijamwambia yeyote. "Oh Mungu wangu nisaidie mwanao. Wewe mwenyewe ulisema hatutakufa bali tutaishi. Tafadhali Mungu mponye mume wangu, sitakuwa mjane nikiwa kijana hivi oh Mungu" Maneno ya kusali yakaniishia, sikujua hata namna ya kuomba. Baada ya saa moja hatimaye nikafika hospitali ya TMJ. Nikapaki gari Myfair plaza na kuvuka upande iliko hospitali ya TMJ. Nikatembea haraka haraka kuwahi mapokezi huku nikiwa nina hofu na uoga mkuu nisijue ni nini naenda kukikuta huko...... ITAENDELEA....... Share Jumaa Mmaka

...
NDOA YANGU...

EPISODE 4.

Ni wiki moja imepita tokea nimalize mfungo, Tony hajawahi kulala hata usiku mmoja nyumbani. Ilikuwa akirudi asubuhi sana anabadili nguo na kwenda kazini.

Kila asubuhi nilikuwa nikimuomba arudi nyumbani lakini sikufanikiwa. Alikuwa akirudi tu anapitiliza moja kwa moja chumba cha wageni anabadili nguo na kuondoka asiniongeleshe hata neno moja.

Nilianza kufikiri kwanini nisingemkubalia tu kipindi kile. Sikufikiri kama ingefikia hatua hii. Na sikufahamu nitumie njia gani kumaliza hili tatizo.

Nilifahamu Sex ni jambo la muhimu kwa wanaume, lakini kwangu sijui ni nini sikuwahi kufurahia hata siku moja. Siku ambapo Tony aliondoa bikira yangu nilifikiri maumivu yataishia siku ile ile kwamba siku nyingine nitakuwa nikifurahia tendo.

Lakini ile miezi mitano kabla sijaanza mfungo, kila tulipokua tukifanya tendo la ndoa yale maumivu niliendelea kuyapata. Ukweli ni kwamba nilitamani tuishi tu bila ya kufanya tendo la ndoa. Ila kwa kuwa ni ndoa sikua na jinsi.

Mwishoe nikaona labda nahitaji ufumbuzi wa kimwili zaidi kwani ufumbuzi wa Kiroho haukuwa ukileta matunda yeyote kwa Tony.

Nilichukua simu yangu mchana ule baada ya kutoka kazini nikaingia 'google' na kutafuta "jinsi gani ya kuzuia maumivu wakati wa tendo la ndoa?". Yalikuja majibu mbalimbali nikasoma baadhi na baada ya kumaliza kusoma mikao mbalimbali ya tendo la ndoa ili kutoumia wakati wa tendo, nikaazimia kufanya maamuzi ambayo  yatanifanya nifurahie tendo.

Baada ya hapo nikatafuta tena katika 'google' "Jinsi gani ya kumshawishi mumeo ashiriki tendo na wewe" yakaja mambo ambayo kwangu niliyaona hayana upako. Ila nikaamua kuyasoma baadhi ili niweze kuyatumia kuhakikisha Tony analala na mimi.

Nikapata texts kadhaa kutoka 'google' na kuamua kuzi-copy na kumtumia Tony kwa interval ya lisaa limoja. Text ya kwanza nikamtumia ikisema;

"Nakuhitaji mme wangu, mwili wangu unakutamani mno"

Baada ya saa moja bila kupata jibu lolote, nikamtumia text nyingine ya kingereza niliyoipata hukohuko 'google' iliyokua ikisema; "I can’t focus, all I can think about is what you will do to me if you were here with me"

Ila napo sikupata majibu yoyote, baada ya dakika 39 za ukimya nikaamua kumtumia text nyingine ya kiingereza niliyotunga mwenyewe iliyosema;  "You taught me how to make love, tonight I will show you how much I have learnt"

Nikapata majibu text yake ikisema, "please niko kwenye kikao na bodi"

Nilifurahi mno, nikaruka juu kwa furaha kutoka kwenye kochi nililokuwa nimekaa. Nilifurahi kwa kuwa ndio maneno pekee Tony aliyoongea na mimi. Hajaongea na mimi kwa wiki sasa.

Nikaamua kumtumia na nyingine tena; "Okey mume wangu, nakufikiria kweli nakusubiri kwa hamu" akaijibu mapema kwa kuniambia;

"Acha upumbavu Vicky"

Nikamtumia nyingine iliyosema "please njoo nyumbani ulale na mimi leo. Nimekubali nilikosea. Nahitaji kurekebisha na wewe. Tafadhali nipe nafasi nyingine. Nakupenda my baby"

Akanijibu "Okay"

Nilifurahi sana nikaondoka haraka na ku-drive mpaka Game supermarket mlimani City nakununua matching lingerie (nguo ya usiku yenye mvuto wa kimahaba). Nikanunua foot massage kit na body massage oil.

Nilisoma kwenye google kwamba kumfanyia mwanaume massage ya miguu na mwili kunaweza kufanya maajabu na mume akashawishika kushiriki tendo na wewe. Pia nikanunua lubricator. Google ilinifundisha vingi mno.

Baada ya kumaliza manunuzi nika-drive haraka kupitia barabara ya sam Nujoma, nikanyosha barabara inayoelekea Coca cola Mwenge na kukatisha kulia kuelekea barabara inayoelekea clouds media group.

Nikafika nyumbani mida ya saa moja usiku, nikaandaa chakula ambapo nilimpikia Tony fried rice na kuku. Mpaka kufikia mida ya saa mbili usiku nilikuwa nimeshamaliza kila kitu na nimejiandaa kumpokea Tony.

Nilikaa kwenye sofa nikiangalia Movie iitwayo 'Me before you' huku nikiwa nimevaa lingarie ambayo kwa hakika ilikua inavutia kwani ilikua imenichora vizuri umbo langu namba nane ambalo Tony alikuwa akisema linamvutia mno.

Nikajaribu kumpigia Tony lakini akawa hapatikani kwenye simu. Nikasubiri! Lakini hakutokea..nikaendelea kumpigia lakini sikuweza kumfikia...

Usingizi nao haukuniacha salama, nikaanza kusinzia na kuona watu wawili wawili kwenye TV...mwishoe nikapitiwa na usingizi kabisa kwenye kochi.

Nikaamshwa na mlio wa mlango ukifunguliwa, nikatizama saa na kukuta ni saa moja asubuhi. Tony hakurudi ule usiku, instead alirudi asubuhi.

Akaingia, akanitizama kwa sekunde kadhaa na kupitiliza moja kwa moja kwenye chumba cha wageni kubadili nguo kama kawaida yake bila kunisemesha lolote.

Nikainamisha kichwa changu, nikalia mno, nikaomboleza zaidi pale alipojifungia ndani. Nilipatwa na uchungu mwingi....kwa mara ya kwanza nikamlaumu Mungu...

ITAENDELEA.....

Jumaa Mmaka

NDOA YANGU... EPISODE 4. Ni wiki moja imepita tokea nimalize mfungo, Tony hajawahi kulala hata usiku mmoja nyumbani. Ilikuwa akirudi asubuhi sana anabadili nguo na kwenda kazini. Kila asubuhi nilikuwa nikimuomba arudi nyumbani lakini sikufanikiwa. Alikuwa akirudi tu anapitiliza moja kwa moja chumba cha wageni anabadili nguo na kuondoka asiniongeleshe hata neno moja. Nilianza kufikiri kwanini nisingemkubalia tu kipindi kile. Sikufikiri kama ingefikia hatua hii. Na sikufahamu nitumie njia gani kumaliza hili tatizo. Nilifahamu Sex ni jambo la muhimu kwa wanaume, lakini kwangu sijui ni nini sikuwahi kufurahia hata siku moja. Siku ambapo Tony aliondoa bikira yangu nilifikiri maumivu yataishia siku ile ile kwamba siku nyingine nitakuwa nikifurahia tendo. Lakini ile miezi mitano kabla sijaanza mfungo, kila tulipokua tukifanya tendo la ndoa yale maumivu niliendelea kuyapata. Ukweli ni kwamba nilitamani tuishi tu bila ya kufanya tendo la ndoa. Ila kwa kuwa ni ndoa sikua na jinsi. Mwishoe nikaona labda nahitaji ufumbuzi wa kimwili zaidi kwani ufumbuzi wa Kiroho haukuwa ukileta matunda yeyote kwa Tony. Nilichukua simu yangu mchana ule baada ya kutoka kazini nikaingia 'google' na kutafuta "jinsi gani ya kuzuia maumivu wakati wa tendo la ndoa?". Yalikuja majibu mbalimbali nikasoma baadhi na baada ya kumaliza kusoma mikao mbalimbali ya tendo la ndoa ili kutoumia wakati wa tendo, nikaazimia kufanya maamuzi ambayo yatanifanya nifurahie tendo. Baada ya hapo nikatafuta tena katika 'google' "Jinsi gani ya kumshawishi mumeo ashiriki tendo na wewe" yakaja mambo ambayo kwangu niliyaona hayana upako. Ila nikaamua kuyasoma baadhi ili niweze kuyatumia kuhakikisha Tony analala na mimi. Nikapata texts kadhaa kutoka 'google' na kuamua kuzi-copy na kumtumia Tony kwa interval ya lisaa limoja. Text ya kwanza nikamtumia ikisema; "Nakuhitaji mme wangu, mwili wangu unakutamani mno" Baada ya saa moja bila kupata jibu lolote, nikamtumia text nyingine ya kingereza niliyoipata hukohuko 'google' iliyokua ikisema; "I can’t focus, all I can think about is what you will do to me if you were here with me" Ila napo sikupata majibu yoyote, baada ya dakika 39 za ukimya nikaamua kumtumia text nyingine ya kiingereza niliyotunga mwenyewe iliyosema; "You taught me how to make love, tonight I will show you how much I have learnt" Nikapata majibu text yake ikisema, "please niko kwenye kikao na bodi" Nilifurahi mno, nikaruka juu kwa furaha kutoka kwenye kochi nililokuwa nimekaa. Nilifurahi kwa kuwa ndio maneno pekee Tony aliyoongea na mimi. Hajaongea na mimi kwa wiki sasa. Nikaamua kumtumia na nyingine tena; "Okey mume wangu, nakufikiria kweli nakusubiri kwa hamu" akaijibu mapema kwa kuniambia; "Acha upumbavu Vicky" Nikamtumia nyingine iliyosema "please njoo nyumbani ulale na mimi leo. Nimekubali nilikosea. Nahitaji kurekebisha na wewe. Tafadhali nipe nafasi nyingine. Nakupenda my baby" Akanijibu "Okay" Nilifurahi sana nikaondoka haraka na ku-drive mpaka Game supermarket mlimani City nakununua matching lingerie (nguo ya usiku yenye mvuto wa kimahaba). Nikanunua foot massage kit na body massage oil. Nilisoma kwenye google kwamba kumfanyia mwanaume massage ya miguu na mwili kunaweza kufanya maajabu na mume akashawishika kushiriki tendo na wewe. Pia nikanunua lubricator. Google ilinifundisha vingi mno. Baada ya kumaliza manunuzi nika-drive haraka kupitia barabara ya sam Nujoma, nikanyosha barabara inayoelekea Coca cola Mwenge na kukatisha kulia kuelekea barabara inayoelekea clouds media group. Nikafika nyumbani mida ya saa moja usiku, nikaandaa chakula ambapo nilimpikia Tony fried rice na kuku. Mpaka kufikia mida ya saa mbili usiku nilikuwa nimeshamaliza kila kitu na nimejiandaa kumpokea Tony. Nilikaa kwenye sofa nikiangalia Movie iitwayo 'Me before you' huku nikiwa nimevaa lingarie ambayo kwa hakika ilikua inavutia kwani ilikua imenichora vizuri umbo langu namba nane ambalo Tony alikuwa akisema linamvutia mno. Nikajaribu kumpigia Tony lakini akawa hapatikani kwenye simu. Nikasubiri! Lakini hakutokea..nikaendelea kumpigia lakini sikuweza kumfikia... Usingizi nao haukuniacha salama, nikaanza kusinzia na kuona watu wawili wawili kwenye TV...mwishoe nikapitiwa na usingizi kabisa kwenye kochi. Nikaamshwa na mlio wa mlango ukifunguliwa, nikatizama saa na kukuta ni saa moja asubuhi. Tony hakurudi ule usiku, instead alirudi asubuhi. Akaingia, akanitizama kwa sekunde kadhaa na kupitiliza moja kwa moja kwenye chumba cha wageni kubadili nguo kama kawaida yake bila kunisemesha lolote. Nikainamisha kichwa changu, nikalia mno, nikaomboleza zaidi pale alipojifungia ndani. Nilipatwa na uchungu mwingi....kwa mara ya kwanza nikamlaumu Mungu... ITAENDELEA..... Jumaa Mmaka

...
NDOA YANGU....

EPISODE 3

Ilipoishia..

Jibu lake lilinifanya nilie kilio kikubwa na uchungu mwingi.....oh ndoa yangu, masikini mimi kumbe sikujua!!!!...

Endelea...

Alinitumia text ikisema, "please muulize roho mtakatifu atakwambia nilipo na kwa nini sirudi nyumbani."

Nikasema sasa imetosha, nimechoka na tabia ya Tony nikajiambia kwamba sasa tunahitaji councelling. Nilimsubiri asubuhi yake arudi lakini hakuonekana. Nikampigia simu mchana baada ya kujawa na wasiwasi mwingi lakini hakupokea simu yangu.

Baadae kidogo nikapata text yake aliyoiandika kwa kingereza akisema; ”I am quite surprised you are looking for me. Don’t worry, I am fine. Don’t let me distract you from God”.

Akimaanisha anashangaa kwanini ninamtafuta, kwamba yuko mzima hataki anisumbue juu ya suala langu la kufunga na kuomba. Nikaamua ni muda sasa wa kuomba ushauri kwa mama mchungaji. 

Jioni ike nikaenda nyumbani kwa mama mchungaji na baada ya sala ya jioni tukaanza kuongea kuhusiana na changamoto za kufunga tokea tuanze mfungo.

Nikamuelezea kuhusiana na uhusiano wangu na Tony ulivyo kua na matatizo. Nilijua nitapata ushauri wa namna ya kufanya kutoka kwa mama mchungaji.

Mama mchungaji akasikitika sana kwa kutingisha kichwa nilipomuonesha texts za Tony.

Dada Vicky, Biblia inasema nini juu ya kuheshimu wazazi wako?"

"Waheshimu baba na mama yako, ili siku zako za kuishi zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA" nikamjibu haraka huku nikimshangaa kwanini anaongelewa wazazi wakati mimi nahitaji ndoa yangu iponywe.

"Unakumbuka kipindi ulipokuja kwangu na kuniambia umeamua uolewe na huyo kijana Tony ambae ndio kwanza alikuwa mbichi katika imani? Nilikuasa uolewe na waliobobea katika imani. Kama ungeyasikiliza maneno yangu huenda haya yasingetokea" aliongea huku akionekana amekasirika.

"Samahaniama, nampenda mume wangu na ninafikiri anampenda Mungu pia"

"Anampenda Mungu?, Bado unatetea matendo yake? Mume ambae hataki kukubaliana na wewe katika maombi atawezaje kumruhusu roho mtakatifu aingie mwilini mwake? Aliniuliza!

"Samahani mama" mama alikuwa akijulikana kwa hasira na sikutaka kuendelea kumuudhi.

"Hata hivyo agano limeshafanyika, ni mume wako. Inabidi tutafute way forward. Unaona shetani hapumziki. Yupo kazini kuharibu ndoa yako.

Kumbuka maandiko Waraka wa paulo mtume kwa Waefeso 6:12 inasema, "kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho"

"Hii vita sio dhidi ya mume wako bali ni vita dhidi ya roho na pepo wabaya"

"Sawa mama" nikajibu.

"Shetani anafahamu kabisa kwamba mfungo huu utaiokoa ndoa yako na anataka kuhakikisha anazuia hilo. Endelea kuhakikisha unasugua goti kwa Mungu"

"Sawa mama. Nifanye nini sasa kuhusu Tony kukataa kurudi nyumbani?"
"Usijali Vicky, Tony atarudi nyumbani, ni kama mtoto wa Prodigal kwenye kile kisa cha wana wawili wa baba tajiri katika kitabu cha Luka 15:11-32. Ninao uhakika utarudi. Tumuombe Mungu mpendwa".

Niliondoka nyumbani kwa mchungaji baada ya masaa mawili ya kuomba. Nilijihisi nina nguvu mpya. Nilitakiwa nijikite katka kuomba na nisiache imani yangu iyumbishwe.

Nilipofika nyumbani nilimkuta Tony akiwa ame-relax sebuleni, nilithibitisba kauli ya mama mchungaji kwamba Tony atarudi tu nyumbani kama alivyotabiri.

Siku zilivyozidi kwenda na ndivyo mambo yalivyozidi kuparanganyika. Tony akaacha kwenda kanisani kwetu na kunitaka nihamie kanisa alilohamia yeye.

Nilipingana nae idea yake. Sikutaka kukubaliana na uamuzi wake. Nikawa napokea text za kunipa moyo na kunifariji kutoka kwa mama mchungaji.

Mwishowe siku 100 ziliisha. Ikatangazwa kanisani kuwa wanandoa tuhudhurie pamoja katika mkesha wa ibada ya maombi. Nikambembeleza kweli Tony twende pamoja lakini akanikatalia kata kata. 

Sikuwa na jinsi nikaenda kwenye maombi peke yangu. Usiku ule niliomba kila aina ya maombi. Furaha yangu ilikua juu ya kwamba sasa ugomvi na Tony utakua umeisha. Nilijihakikishia tutafanya tendo la ndoa kadiri atakavyotaka yeye.

Kumbe nilikua najiongopea.....

ITAENDELEA....

Lengo langu story hii iishe mapema, hivyo kila nitakapokuwa napata muda nje ya majukumu yangu nitakuwa nawawekea hapa bila kuzingatia ni lini na muda gani. Nia ni wote tujifunze, tuwe makini na maamuzi yetu na kung'amua mambo ya msingi ili kudumisha mahusiano na ndoa ambako kwayo tunajenga taifa lenye nidhamu na maadili mema.

Read and share, it will definetly bless others.

God bless you!

Jumaa Mmaka Kipusa

NDOA YANGU.... EPISODE 3 Ilipoishia.. Jibu lake lilinifanya nilie kilio kikubwa na uchungu mwingi.....oh ndoa yangu, masikini mimi kumbe sikujua!!!!... Endelea... Alinitumia text ikisema, "please muulize roho mtakatifu atakwambia nilipo na kwa nini sirudi nyumbani." Nikasema sasa imetosha, nimechoka na tabia ya Tony nikajiambia kwamba sasa tunahitaji councelling. Nilimsubiri asubuhi yake arudi lakini hakuonekana. Nikampigia simu mchana baada ya kujawa na wasiwasi mwingi lakini hakupokea simu yangu. Baadae kidogo nikapata text yake aliyoiandika kwa kingereza akisema; ”I am quite surprised you are looking for me. Don’t worry, I am fine. Don’t let me distract you from God”. Akimaanisha anashangaa kwanini ninamtafuta, kwamba yuko mzima hataki anisumbue juu ya suala langu la kufunga na kuomba. Nikaamua ni muda sasa wa kuomba ushauri kwa mama mchungaji. Jioni ike nikaenda nyumbani kwa mama mchungaji na baada ya sala ya jioni tukaanza kuongea kuhusiana na changamoto za kufunga tokea tuanze mfungo. Nikamuelezea kuhusiana na uhusiano wangu na Tony ulivyo kua na matatizo. Nilijua nitapata ushauri wa namna ya kufanya kutoka kwa mama mchungaji. Mama mchungaji akasikitika sana kwa kutingisha kichwa nilipomuonesha texts za Tony. Dada Vicky, Biblia inasema nini juu ya kuheshimu wazazi wako?" "Waheshimu baba na mama yako, ili siku zako za kuishi zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA" nikamjibu haraka huku nikimshangaa kwanini anaongelewa wazazi wakati mimi nahitaji ndoa yangu iponywe. "Unakumbuka kipindi ulipokuja kwangu na kuniambia umeamua uolewe na huyo kijana Tony ambae ndio kwanza alikuwa mbichi katika imani? Nilikuasa uolewe na waliobobea katika imani. Kama ungeyasikiliza maneno yangu huenda haya yasingetokea" aliongea huku akionekana amekasirika. "Samahaniama, nampenda mume wangu na ninafikiri anampenda Mungu pia" "Anampenda Mungu?, Bado unatetea matendo yake? Mume ambae hataki kukubaliana na wewe katika maombi atawezaje kumruhusu roho mtakatifu aingie mwilini mwake? Aliniuliza! "Samahani mama" mama alikuwa akijulikana kwa hasira na sikutaka kuendelea kumuudhi. "Hata hivyo agano limeshafanyika, ni mume wako. Inabidi tutafute way forward. Unaona shetani hapumziki. Yupo kazini kuharibu ndoa yako. Kumbuka maandiko Waraka wa paulo mtume kwa Waefeso 6:12 inasema, "kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho" "Hii vita sio dhidi ya mume wako bali ni vita dhidi ya roho na pepo wabaya" "Sawa mama" nikajibu. "Shetani anafahamu kabisa kwamba mfungo huu utaiokoa ndoa yako na anataka kuhakikisha anazuia hilo. Endelea kuhakikisha unasugua goti kwa Mungu" "Sawa mama. Nifanye nini sasa kuhusu Tony kukataa kurudi nyumbani?" "Usijali Vicky, Tony atarudi nyumbani, ni kama mtoto wa Prodigal kwenye kile kisa cha wana wawili wa baba tajiri katika kitabu cha Luka 15:11-32. Ninao uhakika utarudi. Tumuombe Mungu mpendwa". Niliondoka nyumbani kwa mchungaji baada ya masaa mawili ya kuomba. Nilijihisi nina nguvu mpya. Nilitakiwa nijikite katka kuomba na nisiache imani yangu iyumbishwe. Nilipofika nyumbani nilimkuta Tony akiwa ame-relax sebuleni, nilithibitisba kauli ya mama mchungaji kwamba Tony atarudi tu nyumbani kama alivyotabiri. Siku zilivyozidi kwenda na ndivyo mambo yalivyozidi kuparanganyika. Tony akaacha kwenda kanisani kwetu na kunitaka nihamie kanisa alilohamia yeye. Nilipingana nae idea yake. Sikutaka kukubaliana na uamuzi wake. Nikawa napokea text za kunipa moyo na kunifariji kutoka kwa mama mchungaji. Mwishowe siku 100 ziliisha. Ikatangazwa kanisani kuwa wanandoa tuhudhurie pamoja katika mkesha wa ibada ya maombi. Nikambembeleza kweli Tony twende pamoja lakini akanikatalia kata kata. Sikuwa na jinsi nikaenda kwenye maombi peke yangu. Usiku ule niliomba kila aina ya maombi. Furaha yangu ilikua juu ya kwamba sasa ugomvi na Tony utakua umeisha. Nilijihakikishia tutafanya tendo la ndoa kadiri atakavyotaka yeye. Kumbe nilikua najiongopea..... ITAENDELEA.... Lengo langu story hii iishe mapema, hivyo kila nitakapokuwa napata muda nje ya majukumu yangu nitakuwa nawawekea hapa bila kuzingatia ni lini na muda gani. Nia ni wote tujifunze, tuwe makini na maamuzi yetu na kung'amua mambo ya msingi ili kudumisha mahusiano na ndoa ambako kwayo tunajenga taifa lenye nidhamu na maadili mema. Read and share, it will definetly bless others. God bless you! Jumaa Mmaka Kipusa

...
NDOA YANGU.....

EPISODE 2

Ilipoishia jana;

Nilijua kabisa nipo kwenye jaribio kubwa sana la ndoa yangu, nilitakiwa kuomba sana juu ya mume wangu...labda sikujua ni nini natakiwa kufanya kama mke! kwa kweli nilichoka..........

Sasa endelea....

Baada ya Tony kuondoka, niliazimia hili jambo nilifikishe kwa Mungu wangu kupitia maombi. Niliingia ndani na kuanza kusali. Nilisali kwa takribani masaa mawili nikimlilia Mungu juu ya ndoa yangu.
.
"Baba nilinde juu ya ndoa yangu, ondoa kila aina ya ushetani unaomnyemelea mume wangu. Mithali 21:1 inasema, "Moyo wa mfalme huwa katika mkono wa BWANA; Kama mifereji ya maji huugeuza popote aendapo." 
.
Oh Mungu wangu geuza moyo wa mume wangu Tony asipende Sex mpaka siku hizi 100 za kufunga ziishe..Amen. Baada ya sala ya muda mrefu nikajihisi kupata moyo upya na nikapata namna ya kufanya.
.
Nilikuwa sina sababu yeyote tena ya kuweza kumshawishi Tony asifanye mapenzi na mimi, hivyo nilitakiwa nitumie busara tu kuzuia kwa kufanya mambo ambayo yatamfanya Tony asitamani kufanya tendo la ndoa na mimi.
.
Hivyo nikaamua nisioge siku nzima. Nilifahamu fika ni jinsi gani Tony alivyokua akipenda kuniona nikiwa naoga na kuwa msafi nikinukia muda wote.
.
Alirudi nyumbani mishale ya saa moja jioni, nilihakikisha chakula cha usiku nimeshakiandaa. Nilijua tu lazima malumbano yataanza tena. Na kwa kweli sikukosea maana baada tu ya kuingia ndani akaanza;
.
"Madam, umeshaweka mambo yako sawa?"
"Mambo gani Tony?" Njoo ule chakula nilichokuandalia"
"Ulifikiri ninakutania? Unafikiri kwa kutokuoga kwako kutasaidia kunibadilisha maamuzi yangu? Au unafikiri mimi ni mpumbavu nisijue kwamba kutokuoga kwako leo ni trick ya kujaribu kunizuia nisishiriki na wewe sex?"
.
Kwa kweli nilipata mshtuko na kigugumizi nisijue niongee nini baada ya yeye kugundua plan yangu ilikua ni nini. "Tony please naomba unielewe. Natakiwa nijikite kwa Mungu." Nikaanza kumuomba Tony.
.
.
"Vicky, get it straight, mimi sikulazimishi usifunge. Kuna ubaya gani kama tukishiriki tendo kati ya saa kumi na mbili jioni unapofungua funga yako mpaka saa sita usiku unapoanza funga yako tena? Hicho ndicho ninachokuomba Vicky mke wangu."
.
"Samahani Tony, siamini kama hivyo ndio vizuri zaid. Natakiwa niwe msafi bila kushiriki tendo siku zote 100. Kushiriki tendo katikati ya hizo siku nitajisikia si msafi." Nikamuelezea hayo Tony.
.
"Upi si usafi katika tendo la ndoa kati ya mume na mke waliohalalishwa? Tunaruhusiwa kabisa!!"
.
"Nisikilize Tony, unatakiwa uwe mvumilivu. Nimebakiwa na siku 85 tu baada ya hapo tutafanya mpaka mwenyewe uchoke"
.
"Ngoja nikwambie kitu Vicky, hii ni mara ya mwisho kwangu kuongelea hili suala. Kama umeshindwa namna ya ku-balance ndoa yako na kufunga, basi utakua huna tena hiyo ndoa baada ya kumaliza hizo siku zako 100 za kufunga_
.
"Nini unamaanisha Tony? Mungu aingilie kati kuzuia hayo maneno mabaya ya mkosi yatokayo kinywani mwako." 
.
Tony akaniacha nimesimama pale na akaelekea chumbani. Nikapata mshangao baadae usiku pale Tony alipoanza kuhamishia vitu vyake chumba cha kulala wageni. Nilitaka niende nikamuombe asifanye vile lakini baadae nikaamua ni bora akae huko kwa hizo siku 85 zilizobaki.
.
Labda huu ulikua mpango wa Mungu kunitafutia ufumbuzi. Nikamshukuru Mungu kwa kunipa ile njia ya kukaa chumba tofauti na Tony na hivyo kutosumbuliwa tena juu ya tendo la ndoa.
.
.
Siku ya 60 ya kufunga na kuomba, nikazidi kuchangangikiwa. Furaha na amani ya kufunga na kuomba ikapotea. Tony na mimi tukawa kama wageni ndani ya nyumba.
.
Hakula chakula nilichompikia kwa takribani wiki 6 sasa, nikajawa na hofu na uoga. Akawa ameanza kurudi nyumbani kwa kuchelewa na tukawa hatuongei tena. Kila nilipojaribu kumuongelesha aliniambia nifunge mdomo wangu hataki kunisikia.
.
Wote tulikuwa tukienda kazini na kurudi nyumbani lakini kila mtu alielekea chumbani kwake. Nilikuwa sijui hata nianzie wapi. Nilifahamu fika hakuna jambo baya nililolifanya, nilichokua nafanya ni chema kwa ajili ya ndoa yetu na nikashangaa kwanini Tony halioni hilo.
.
.
Siku moja jioni nikiwa nimetangulia kufika nyumbani mida ya saa moja usiku nilipata text toka kwa Tony iliyoniumiza sana, text hiyo ilisema "Usinisubiri mimi, sitarudi nyumbani leo" 

Sikuamini macho yangu, na haraka haraka nikamjibu text iliyosema "Uko wapi? Kwanini hutarudi nyumbani?" 
.
.
Jibu lake lilinifanya nilie kilio kikubwa na uchungu mwingi.....oh ndoa yangu, masikini mimi kumbe sikujua!!!!...

ITAENDELEA.......

Share

Jumaa mmaka Kipusa

NDOA YANGU..... EPISODE 2 Ilipoishia jana; Nilijua kabisa nipo kwenye jaribio kubwa sana la ndoa yangu, nilitakiwa kuomba sana juu ya mume wangu...labda sikujua ni nini natakiwa kufanya kama mke! kwa kweli nilichoka.......... Sasa endelea.... Baada ya Tony kuondoka, niliazimia hili jambo nilifikishe kwa Mungu wangu kupitia maombi. Niliingia ndani na kuanza kusali. Nilisali kwa takribani masaa mawili nikimlilia Mungu juu ya ndoa yangu. . "Baba nilinde juu ya ndoa yangu, ondoa kila aina ya ushetani unaomnyemelea mume wangu. Mithali 21:1 inasema, "Moyo wa mfalme huwa katika mkono wa BWANA; Kama mifereji ya maji huugeuza popote aendapo." . Oh Mungu wangu geuza moyo wa mume wangu Tony asipende Sex mpaka siku hizi 100 za kufunga ziishe..Amen. Baada ya sala ya muda mrefu nikajihisi kupata moyo upya na nikapata namna ya kufanya. . Nilikuwa sina sababu yeyote tena ya kuweza kumshawishi Tony asifanye mapenzi na mimi, hivyo nilitakiwa nitumie busara tu kuzuia kwa kufanya mambo ambayo yatamfanya Tony asitamani kufanya tendo la ndoa na mimi. . Hivyo nikaamua nisioge siku nzima. Nilifahamu fika ni jinsi gani Tony alivyokua akipenda kuniona nikiwa naoga na kuwa msafi nikinukia muda wote. . Alirudi nyumbani mishale ya saa moja jioni, nilihakikisha chakula cha usiku nimeshakiandaa. Nilijua tu lazima malumbano yataanza tena. Na kwa kweli sikukosea maana baada tu ya kuingia ndani akaanza; . "Madam, umeshaweka mambo yako sawa?" "Mambo gani Tony?" Njoo ule chakula nilichokuandalia" "Ulifikiri ninakutania? Unafikiri kwa kutokuoga kwako kutasaidia kunibadilisha maamuzi yangu? Au unafikiri mimi ni mpumbavu nisijue kwamba kutokuoga kwako leo ni trick ya kujaribu kunizuia nisishiriki na wewe sex?" . Kwa kweli nilipata mshtuko na kigugumizi nisijue niongee nini baada ya yeye kugundua plan yangu ilikua ni nini. "Tony please naomba unielewe. Natakiwa nijikite kwa Mungu." Nikaanza kumuomba Tony. . . "Vicky, get it straight, mimi sikulazimishi usifunge. Kuna ubaya gani kama tukishiriki tendo kati ya saa kumi na mbili jioni unapofungua funga yako mpaka saa sita usiku unapoanza funga yako tena? Hicho ndicho ninachokuomba Vicky mke wangu." . "Samahani Tony, siamini kama hivyo ndio vizuri zaid. Natakiwa niwe msafi bila kushiriki tendo siku zote 100. Kushiriki tendo katikati ya hizo siku nitajisikia si msafi." Nikamuelezea hayo Tony. . "Upi si usafi katika tendo la ndoa kati ya mume na mke waliohalalishwa? Tunaruhusiwa kabisa!!" . "Nisikilize Tony, unatakiwa uwe mvumilivu. Nimebakiwa na siku 85 tu baada ya hapo tutafanya mpaka mwenyewe uchoke" . "Ngoja nikwambie kitu Vicky, hii ni mara ya mwisho kwangu kuongelea hili suala. Kama umeshindwa namna ya ku-balance ndoa yako na kufunga, basi utakua huna tena hiyo ndoa baada ya kumaliza hizo siku zako 100 za kufunga_ . "Nini unamaanisha Tony? Mungu aingilie kati kuzuia hayo maneno mabaya ya mkosi yatokayo kinywani mwako." . Tony akaniacha nimesimama pale na akaelekea chumbani. Nikapata mshangao baadae usiku pale Tony alipoanza kuhamishia vitu vyake chumba cha kulala wageni. Nilitaka niende nikamuombe asifanye vile lakini baadae nikaamua ni bora akae huko kwa hizo siku 85 zilizobaki. . Labda huu ulikua mpango wa Mungu kunitafutia ufumbuzi. Nikamshukuru Mungu kwa kunipa ile njia ya kukaa chumba tofauti na Tony na hivyo kutosumbuliwa tena juu ya tendo la ndoa. . . Siku ya 60 ya kufunga na kuomba, nikazidi kuchangangikiwa. Furaha na amani ya kufunga na kuomba ikapotea. Tony na mimi tukawa kama wageni ndani ya nyumba. . Hakula chakula nilichompikia kwa takribani wiki 6 sasa, nikajawa na hofu na uoga. Akawa ameanza kurudi nyumbani kwa kuchelewa na tukawa hatuongei tena. Kila nilipojaribu kumuongelesha aliniambia nifunge mdomo wangu hataki kunisikia. . Wote tulikuwa tukienda kazini na kurudi nyumbani lakini kila mtu alielekea chumbani kwake. Nilikuwa sijui hata nianzie wapi. Nilifahamu fika hakuna jambo baya nililolifanya, nilichokua nafanya ni chema kwa ajili ya ndoa yetu na nikashangaa kwanini Tony halioni hilo. . . Siku moja jioni nikiwa nimetangulia kufika nyumbani mida ya saa moja usiku nilipata text toka kwa Tony iliyoniumiza sana, text hiyo ilisema "Usinisubiri mimi, sitarudi nyumbani leo" Sikuamini macho yangu, na haraka haraka nikamjibu text iliyosema "Uko wapi? Kwanini hutarudi nyumbani?" . . Jibu lake lilinifanya nilie kilio kikubwa na uchungu mwingi.....oh ndoa yangu, masikini mimi kumbe sikujua!!!!... ITAENDELEA....... Share Jumaa mmaka Kipusa

...
Nimeona ni vema ku-share na ninyi story hii ambayo itakua katika episode chache, songa nayo kuna mambo ya kujifunza.....

NDOA YANGU, NANI WA KUMLAUMU?

Episode 1

Kawe, Dar es salaam.

Baada ya kufuta meza ya chakula na kuosha vyombo, nilienda chumbani, sikujisumbua kusema usiku mwema kwa Antony ambae alikuwa sebuleni akiangalia fainali ya ligi ya mpira wa kikapu (NBA) kati ya Golden Warriors na Cleveland Cavaliers.

Nikijua lazima atakuja chumbani si muda mrefu, hivyo nlitaka akifika tu afikiri mimi nimeshalala muda mrefu. Haraka haraka nikaingia bafuni na kuoga kabla sijapanda kitandani. Nikahakikisha navaa suruali ndefu ili kusiwe na namna yeyote ya yeye ku-'access' mwili wangu.

Baada ya saa moja nikamsikia akipanda juu ya kitanda na kugeukia upande mwingine, kidogo nikashusha pumzi nliyoibana kwa muda mrefu. Nikafurahi kwa kuwa  niliweza kukwepa kufanya tendo la ndoa usiku ule.

Asubuhi ile nilijua lazima tutakuwa na ugomvi tena, nikamuomba Mungu kimya kimya aniepushe na ugomvi. Mara nikahisi mikono yake ikinipapasa papasa mwili wangu. Nikawa sina shaka kabisa nini kinachohitajika na ni kipi kitatokea.

Nikafungua macho yangu na kutizama saa iliyopo ukutani. Ilikuwa saa kumi na mbili kasoro robo asubuhi. Nikageuka na kuondoa mikono yake na kujaribu kuamka lakini akanivuta nisiamke. Kama mara tatu kila nikitaka kuamka ananivuta nibaki kitandani.

Mwishowe akasema; "Baby leo unayo sababu gani ya kuninyima haki yangu ya ndoa? Ni wiki mbili sasa for Christ sake. Unafikiri mimi nitakuwa na furaha kivipi kama unaninyima haki yangu ya ndoa?" Akasema hayo huku akionekana ameghafirika mno!!

"Unataka kuniambia furaha yako ni kufanya mapenzi tu? Kwa hiyo bado hujanielewa mwenzako? Nafanya hivi kwa ajili yetu. Kwa ajili ya ndoa yetu na kwa ajili ya kesho yetu. 

Nilikwambia kabla sijaanza hivi kwamba haya yatakuja kutokea na tukakubaliana hutafanya hivyo na sasa hivi umenigeuka nionekane nina hatia. Seriously mimi unanichanganya!!" Nikamweleza hayo huku nami nikiwa nimekasirika!

Victoria, mimi sipingi wewe kufunga na kuomba. Nampenda Mungu pia na ninaenda kanisani lakini hauwezi ukategemea mimi nikae siku 100 bila haki yangu ya ndoa eti kwa vile upo kwenye maombi ya kufunga, hiyo haipo!!" Tony aliongea.

Nilikasirika mno baada ya kunieleza hayo, "seriously Tony? Unanitania? Hauwezi kujizuia? Hii inaonesha ni jinsi gani mume wangu umeanguka kiimani. 

Sio wewe uliyekuwa ukifunga na kuomba na mimi kila mara kabla hatujaoana? Kwahiyo kipindi kile ulikua ukijifanyisha tu! Sio sisi tuliokaa kwenye uchumba miaka miwili bila ya kufanya ngono? Kwaio inamaanisha ulikua unanisaliti?

Nini? Unawezaje kusema hayo? Umechanganyikiwa ee? Unaweza vipi kufananisha kipindi kile na sasa hivi? Kipindi kile nilikuwa single sasa hivo nimeoa. Kuna maana gani ya mimi kuoa kama siwezi kupata haki yangu ya ndoa?

"Ahaa kwaio mimi ni sex machine? Ulinioa kwa sababu ya sex?" Nilimuuliza. 

"Unajua nini, siwezi kupoteza muda wangu katika maongezi na wewe yasiyo na tija. Ninakuonya mara ya mwisho. Sitaki kusikia mambo yako ya kufunga na you will learn to respect me katika hii nyumba. Kama huu ndio upuuzi mnaofundishana huko kanisani, nitakuzuia kwenda tena shabàash"

"You wont dare Tony, usijaribu nakwambia. Kama ningeambiwa kuchagua wewe na Mungu wangu, wewe ungepoteza. Mungu kwanza wewe unafuata. Huyo shetani anaejaribu kukutumia..hatanikamata na mimi"

"Try me Vicky, nijaribu uone Vicky" akaongea huku akielekea bafuni na kufunga mlango. Nikatoka chumbani na kuelekea jikoni nikiwa nimeumia mno moyoni. Nikiwa ninaandaa kifungua kinywa nilikuwa nimejawa na huzuni mno, sikuelewa kwanini Tony alikuwa na hasira juu ya uhusiano wangu na Mungu. Sikutarajia kama mambo kama haya yangetokea ndani ya miezi 6 tu ya ndoa yetu.

Anafahamu fika ni jinsi gani ninavyompenda Mungu na ni kiasi gani uhusiano na Mungu una maana kwangu lakini hakuwa akinielewa. Na tuliongea haya wakati wa uchumba na alikuwa akiniambia ni kwa namna gani ananipenda kutokana na nilivyojitoa kumpenda Mungu.

Tumejaribu kutafuta mtoto kwa kwa miezi mitano sasa, na hakuna lolote lililotokea. Na ninafahamu fika inanibidi nikazane kumuomba Mungu kabla hiyo miezi mitano bila ya ujauzito isije kuwa miaka 15 bila ya mtoto. Na nikamwambia kabisa nataka kujiunga na maombi ya kufunga ya siku 100.

Mwanzoni alikubali kujiunga na mimi kwenye maombi ila baada ya siku tatu akaacha. Sikuhisi amenitenga mimi niliendelea mwenyewe, sikufikiri kama atakuwa mchungu kwangu katika jambo jema kama hili.

Baada ya kumaliza kuandaa kifungua kinywa ikiwa ni kama nusu saa tokea tuzozane alitoka chumbani akiwa ameshavaa vizuri suti iliyompendeza na akapitiliza moja kwa moja nje huju akinipita bila kunisemesha lolote.

Nikamkimbilia na kumshika mkono, kabla hajaingia kwenye gari yake. " Haujala kifungua kinywa nilichokuandalia" Nikamwambia..

"Nitolee upuuzi wako hapa, kifungua kinywa my foot!! Sitaki chakula chako sasa na mpaka utakapojifunza kuniheshimu kama mume wako na kichwa cha nyumba na pale utakapoona kipi ni cha muhimu kwako" akasema hayo huku akiingia ndani ya gari na kufunga mlango kwa nguvu, akawasha gari na kuondoka haraka, nikasimama pale huku nimepigwa na butwaa.

Tumekuwa na kutoelewana juu ya tendo la ndoa  wiki ya pili sasa ila sijawahi kumuona Tony akiwa amekasirika kama leo hii. Nilijua kabisa nipo kwenye jaribio kubwa sana la ndoa yangu, nilitakiwa kuomba sana juu ya mume wangu...labda sikujua ni nini natakiwa kufanya kama mke! kwa kweli nilichoka..........

ITAENDELEA KESHO.........

Share series hii na wengine wafuatilie na kujifunza.

Crdts: Tund Onp

Nimeona ni vema ku-share na ninyi story hii ambayo itakua katika episode chache, songa nayo kuna mambo ya kujifunza..... NDOA YANGU, NANI WA KUMLAUMU? Episode 1 Kawe, Dar es salaam. Baada ya kufuta meza ya chakula na kuosha vyombo, nilienda chumbani, sikujisumbua kusema usiku mwema kwa Antony ambae alikuwa sebuleni akiangalia fainali ya ligi ya mpira wa kikapu (NBA) kati ya Golden Warriors na Cleveland Cavaliers. Nikijua lazima atakuja chumbani si muda mrefu, hivyo nlitaka akifika tu afikiri mimi nimeshalala muda mrefu. Haraka haraka nikaingia bafuni na kuoga kabla sijapanda kitandani. Nikahakikisha navaa suruali ndefu ili kusiwe na namna yeyote ya yeye ku-'access' mwili wangu. Baada ya saa moja nikamsikia akipanda juu ya kitanda na kugeukia upande mwingine, kidogo nikashusha pumzi nliyoibana kwa muda mrefu. Nikafurahi kwa kuwa niliweza kukwepa kufanya tendo la ndoa usiku ule. Asubuhi ile nilijua lazima tutakuwa na ugomvi tena, nikamuomba Mungu kimya kimya aniepushe na ugomvi. Mara nikahisi mikono yake ikinipapasa papasa mwili wangu. Nikawa sina shaka kabisa nini kinachohitajika na ni kipi kitatokea. Nikafungua macho yangu na kutizama saa iliyopo ukutani. Ilikuwa saa kumi na mbili kasoro robo asubuhi. Nikageuka na kuondoa mikono yake na kujaribu kuamka lakini akanivuta nisiamke. Kama mara tatu kila nikitaka kuamka ananivuta nibaki kitandani. Mwishowe akasema; "Baby leo unayo sababu gani ya kuninyima haki yangu ya ndoa? Ni wiki mbili sasa for Christ sake. Unafikiri mimi nitakuwa na furaha kivipi kama unaninyima haki yangu ya ndoa?" Akasema hayo huku akionekana ameghafirika mno!! "Unataka kuniambia furaha yako ni kufanya mapenzi tu? Kwa hiyo bado hujanielewa mwenzako? Nafanya hivi kwa ajili yetu. Kwa ajili ya ndoa yetu na kwa ajili ya kesho yetu. Nilikwambia kabla sijaanza hivi kwamba haya yatakuja kutokea na tukakubaliana hutafanya hivyo na sasa hivi umenigeuka nionekane nina hatia. Seriously mimi unanichanganya!!" Nikamweleza hayo huku nami nikiwa nimekasirika! Victoria, mimi sipingi wewe kufunga na kuomba. Nampenda Mungu pia na ninaenda kanisani lakini hauwezi ukategemea mimi nikae siku 100 bila haki yangu ya ndoa eti kwa vile upo kwenye maombi ya kufunga, hiyo haipo!!" Tony aliongea. Nilikasirika mno baada ya kunieleza hayo, "seriously Tony? Unanitania? Hauwezi kujizuia? Hii inaonesha ni jinsi gani mume wangu umeanguka kiimani. Sio wewe uliyekuwa ukifunga na kuomba na mimi kila mara kabla hatujaoana? Kwahiyo kipindi kile ulikua ukijifanyisha tu! Sio sisi tuliokaa kwenye uchumba miaka miwili bila ya kufanya ngono? Kwaio inamaanisha ulikua unanisaliti? Nini? Unawezaje kusema hayo? Umechanganyikiwa ee? Unaweza vipi kufananisha kipindi kile na sasa hivi? Kipindi kile nilikuwa single sasa hivo nimeoa. Kuna maana gani ya mimi kuoa kama siwezi kupata haki yangu ya ndoa? "Ahaa kwaio mimi ni sex machine? Ulinioa kwa sababu ya sex?" Nilimuuliza. "Unajua nini, siwezi kupoteza muda wangu katika maongezi na wewe yasiyo na tija. Ninakuonya mara ya mwisho. Sitaki kusikia mambo yako ya kufunga na you will learn to respect me katika hii nyumba. Kama huu ndio upuuzi mnaofundishana huko kanisani, nitakuzuia kwenda tena shabàash" "You wont dare Tony, usijaribu nakwambia. Kama ningeambiwa kuchagua wewe na Mungu wangu, wewe ungepoteza. Mungu kwanza wewe unafuata. Huyo shetani anaejaribu kukutumia..hatanikamata na mimi" "Try me Vicky, nijaribu uone Vicky" akaongea huku akielekea bafuni na kufunga mlango. Nikatoka chumbani na kuelekea jikoni nikiwa nimeumia mno moyoni. Nikiwa ninaandaa kifungua kinywa nilikuwa nimejawa na huzuni mno, sikuelewa kwanini Tony alikuwa na hasira juu ya uhusiano wangu na Mungu. Sikutarajia kama mambo kama haya yangetokea ndani ya miezi 6 tu ya ndoa yetu. Anafahamu fika ni jinsi gani ninavyompenda Mungu na ni kiasi gani uhusiano na Mungu una maana kwangu lakini hakuwa akinielewa. Na tuliongea haya wakati wa uchumba na alikuwa akiniambia ni kwa namna gani ananipenda kutokana na nilivyojitoa kumpenda Mungu. Tumejaribu kutafuta mtoto kwa kwa miezi mitano sasa, na hakuna lolote lililotokea. Na ninafahamu fika inanibidi nikazane kumuomba Mungu kabla hiyo miezi mitano bila ya ujauzito isije kuwa miaka 15 bila ya mtoto. Na nikamwambia kabisa nataka kujiunga na maombi ya kufunga ya siku 100. Mwanzoni alikubali kujiunga na mimi kwenye maombi ila baada ya siku tatu akaacha. Sikuhisi amenitenga mimi niliendelea mwenyewe, sikufikiri kama atakuwa mchungu kwangu katika jambo jema kama hili. Baada ya kumaliza kuandaa kifungua kinywa ikiwa ni kama nusu saa tokea tuzozane alitoka chumbani akiwa ameshavaa vizuri suti iliyompendeza na akapitiliza moja kwa moja nje huju akinipita bila kunisemesha lolote. Nikamkimbilia na kumshika mkono, kabla hajaingia kwenye gari yake. " Haujala kifungua kinywa nilichokuandalia" Nikamwambia.. "Nitolee upuuzi wako hapa, kifungua kinywa my foot!! Sitaki chakula chako sasa na mpaka utakapojifunza kuniheshimu kama mume wako na kichwa cha nyumba na pale utakapoona kipi ni cha muhimu kwako" akasema hayo huku akiingia ndani ya gari na kufunga mlango kwa nguvu, akawasha gari na kuondoka haraka, nikasimama pale huku nimepigwa na butwaa. Tumekuwa na kutoelewana juu ya tendo la ndoa wiki ya pili sasa ila sijawahi kumuona Tony akiwa amekasirika kama leo hii. Nilijua kabisa nipo kwenye jaribio kubwa sana la ndoa yangu, nilitakiwa kuomba sana juu ya mume wangu...labda sikujua ni nini natakiwa kufanya kama mke! kwa kweli nilichoka.......... ITAENDELEA KESHO......... Share series hii na wengine wafuatilie na kujifunza. Crdts: Tund Onp

...
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA NANE

SEHEMU YA NANE 
....................................
Baada ya siku kadhaa kupita ndani ya gereza kuna mfungwa mpya aliletwa na askar na kuingizwa gerezan  alikuwa ni mama wa makamo flan mwenye mwili mnene rangi ya kunde na mrefu kias akiwa ndan ya jezi ya rangi ya chungwa iliyofanania na za wenzie Baada ya LINDA kumwona yule mama ameingizwa mule ndan alinyanyuka mahala alipo kuwa amekaa na kumsogelea pale karbu na mlangon alipokuwa amesimama yule mama LINDA alifika na kuanza kumzunguka huku akimtizama juu na chini "Mamaa Kubwaaa Mmmmh! Nakuona karibu paradise Hahhahjahahaha " a lounge a LINDA huku akionekana kumdhihaki mama yule "Utazoea tu Aam labda kabla tu hatujakupatia siti ningependa upate utambulisho kidogo ambao utakusaidia hili mwisho wa siku usije sema hujalijulishwa " aliongea LINDA na kuwageukia wafungwa wenzie na kuwauliza yeye ni nan "Naomben mu mwambie mapema Kwa sauti Mimi ni nan ?"
Yule mama alikuwa akimtizama msichana LINDA Kwa hasira 
"Mimi ni nan ?" Aliuliza Linda 
"Malkia Wa Jela " ilisikika saut Kama ya watu wanne hivi huku wengine wakionekana kukaid amri ile 
"Anhaaa! Sasa kwa kuwa hamtak kusema mtasema kwa lazima Alianza kumtembelea mmoja Baada ya mwingine huku wale wanne aliowaona wakisema akiwa amewasimamisha na kuwatenga pembeni walipokwisha kusema wote kuwa yeye ni Malkia Wa Jela Alimsogelea tena yule mama " Mama nadhan Kama tu hujaelewa naiman utakuwa umesikia .......Unaweza kunambia Mimi ni nani ? LINDA alimwambia mama yule huku akimtaka arudie kusema Kama walivyosema wenzie lakin mama hakuwa tayar LINDA alimkamata mama Taya kwa kutumia mkono wake wa kulia "Anhaaa ! Kumbe wewe jeur siyo !.. Inamaaana hujasikia walichokisema Mimi ni nani " aliongea a LINDA kwa hasira mama yule alimtoa mkono LINDA "We Binti kuwa na abadu mm n sawa na mama yako mzaz jaribu kuwa heshima na mim tena usinizoee " aliongea yule mama akionekana waz kuchukizwa na kitendo kile "Eeeeh ! Ushakuwa mwenyej siyo ila siyo mbaya kwa kuwa Leo ndo siku yako ya kwanza kuwa huru kuongea lolote ila kesho utajua vzur mm n nan karibu humu wote watu wazima lakin ningekuwa binti nisingekuwa humu karibu tena mama Kubwaa Malkia wa jela niko hapa " Baada ya LINDA Kumaliza kutamba alirud na kukaa chn Palipo pambazuka na wafungwa wote wakiwa wanafanya usafi wa kusafisha mazingira yule mama alikuwa bado amejikalia peke yake ndan ya gereza Huku LINDA akiwa kwa nje anasimamia arijaribu kuangaza huku na huku akimtafuta yule mama akatikisa kichwa na kuamua kuondoka kuelekea ndan ya chumba cha gereza na kuweza kumkuta yule mama amekaa peke yake "Mmh mama hukuja huku kukaa tu kuna kaz za kufanya huko nje " aliongea LINDA Yule mama alimtizama na kucheka kisha kuinamisha kichwa chini "Kondoo Eeh ! Husikii nachoongea au hapo unatakiwa unyanyuke ukafanye kaz " 
"Binti hapa sinyanyuki kas sifanyi nimekuja kutumikia kifungo na siyo kuja kufanya kaz uraian nimefanya Sana tu nanilikuwa nalipwa " aliongea yule mama akionekana kujiamini "Kumbe wewe jeuriii Ngoja nikakuletee Dawa " LINDA alimtizama kwa hasira na kuondoka kuelekea moja kwa moja katika ofisi ya Afande MUGA "Vipi kunatatzo lolote " aliuliza afande baada y a LINDA kuingia ghafla pasipo kubisha hodi "Baby kuna mtu hatak kabisa kufanya kaz na ananijibu vile atakavyo " kwa sauti ya madeko aliongea LINDA "Anajipenda kweli huyo tangulia nakuja "
"Nataka twende wote Baby "
Afande aliamua kutoka na kuongozana na LINDA mpk ndan ya gereza Yule mama alipomwona afande alinyanyuka upesi "We mmama kwanini unakuwa mkaid Umeambiwa humu umekuja kustarehe...Unaleta kibur ? 
Yule mama alijibu kwa kutikisa kichwa huku akitetemeka "Haya haraka ukwende Nje kufanya usafi Unamdharau kiongoz "
Yule mama alitoka mbio kuelekea nje "Hahahahaahaahhahhahha " LINDA aliangua kicheko
"Hawa watu wadogo Sana siyo wa kubishana nao akijaribu kubisha tena we niite "Aliongea afande MUGA 
"Mmmh ! Sawa halafu kuna kitu nataka nikwambie "
"LINDA we nambie tu "
"Aaaam ! baby ni Muda sasa sizion siku zangu na kwa hali ambayo naiona ninayo nahisi nimeharibu mambo"
"Sielew unataka kuongea nn naona unazunguka we nambie moja kwa moja Wewe ndo MALKIA WA JELA nan mwingine Kama siyo wewe uhitaj shida kabisaa "
"Baby mm nahisi Nina mimba "
"Eti ! Hahaha LINDA Hapana Ivi unawezaje kujiachia namna hii utadhan upo uraian Unataka kuniharibia kazi cyo "
"Sikia wewe tena usitake kunipanda kichwan MUGA nan siku ile alimbaka mwenzie nilihitaj mm unifanyie kitendo hiki "
"Niite afande usiniite MUGA naona sasa mazoea Kama yamezid we mwanamke "
"Mmh! Sasa kwa taarifa yako siri hii nitamwambia kila mtu nitaomba nionane na mkuu wa magereza nimweleze kuwa ulinibaka afu tuone utaishia wapi Kama siyo segerea "
"Basi usifike huko naomba ufanye kitu kimoja tu nakuomba hiyo mimba tuitoe "
"Hahahaahhha unawazimu nin sitoi mimba wala mama ake mimba "
"Utaniingiza kwenye matatizo ujue "
"Wakat unafanya hukujua kuna matatzo "
Afande MUGA aliamua kuondoka na kuelekea ofisini kwake huku tayar kichwan kwake akiwa na maswal mengi juu ya jambo lile
Baada ya siku kadhaa kupita afande MUGA aliamua kumwita LINDA ofisin kwake na kuongea nae juu ya suala la ujauzito 
"Sikia LINDA utakapo kataa kuitoa hyo mimba na bado inaendelea kukua wakija kujua utaniharibia kaz "
"Leo ndo unaliona hilo ukumbuki Mimi na we we ni nan aliyemlazimisha mwenzie Mimi sipo tayar kufa kifungo nilichopewa kinanitosha kabisa kwa hilo sipo tayar "
"Mmmh! Haya ukijulikana utasema nini ?
"Mimi n mtu mzima najua n namna Gan ntasema "
"Ila bado unajidanganya kwann usifanye nnalokwambia Kakae ufikirie ukiwa tayar kuna dokta ntaongea nae tutakwenda "
"MUGA usinitafutie matatzo "
"LINDA au umechoka uongozi ?"
"Bado nataka "
"Basi nenda kafikirie vizur halafu ntakutafuta tuongee "
LINDA aliondoka na kurud ndan ya chumba cha gereza kisha kwenda kukaa pemben ya rafiki yake PENDO 
"PENDO kuna jambo nataka unishaur?
"Jambo Gan tena ? (Kwa mshangao)". "Afande MUGA anataka niitoe hii mimba "
"Eeeh ! (PENDO alishangaa kwa sauti akaangaza huku na huku Wafungwa wenzao wakawa wakiwatizama ) PENDO aliamua kumnong'oneza na kumtaka asifanye kitendo hicho 
Katika Maeneo ya nyumban kwao LINDA mama yake akiwa na mdogo wake AMANDA "Dada muda Una kwenda lini tunaenda kumwona LINDA ?
"mmmh! Hali yangu nadhan unaijua AMANDA nusu nife siku ya kesi yake sasa nikienda kule nikirud tu hospitalin moja kwa moja "
"Lakin atajisikia vibaya Dada "
"Mim yule n mwanangu ananijua vizur Jambo dogo tu hali yangu haichelew kubadilika miaka mitatu siyo mingi ngoja tusubir akimaliza tutamfuata nikijua anarud nyumban lakin naenda kumwona halafu narud mwenyewe uzaz unauma we zaa uone "
"Basi yaishe Kesho nataka nirud kwangu "
"Nimekuudh lolote mbona haraka ivo unajua kabisa Niko mwenyewe "
"Hapana Dada wala hujaniudh ila ninatakiwa niende kuangalia panaendeleaje kumbuka hakuna mtu kule "
"Sawa lakin unaniachaje peke yangu "
"Dada sasa wewe unaogopa je mm wakirud walioniteka "
"Hebu usiongelee hayo mambo "
Wiki moja baadae LINDA akiwa anasimamia wenzie wakiwa wanafanya usafi Alikuja Afande na kuondoka nae Kisha kwenda kumkabidhisha kwa Afande MUGA "LINDA umefikia wapi ?"
"Siko tayar kuitoa hii mimba nasihitaj unilazimishe ukifanya ivo nitamwambia kila mtu ajue hili halafu tuone utaoshia wapi " LINDA aliongea kwa ukali "Sasa kwanini unakuwa mkali unataka watu wajue unataka kuni haibisha siyo nisikilize wewe si mjanja ila Mimi mjanja zaid yako nakupa siku ya Leo Kama hutokubali nitaitoa kwa mikono yangu ikitokea ukapoteza uhai kwa kitendo nitakachokufanyia nitakuzika Mimi mwenyewe hakuna hata mmoja atakae jua "
"Hizo kelele za chura tu najua huwez kufanya ivo Kama kweli unajiamini Fanya " LINDA alipomaliza kuongea aliamua kuondoka Afande MUGA alijaribu kumwita lakin LINDA hakuwa Tayar kabisa kurud Moja kwa moja LINDA alielekea katika chumba cha gereza huku akiwa amejawa na hasira baada ya kuingia alishangaa kumkuta yule mama mule ndan ikiwa alikuwa nje akifanya kaz na wenzie "We mama siyo bure kuna ambacho unakitafuta kaz ulizoacha huko nje nan akufanyie "
Yule mama alinyanyuka kwa Shari "Tena koma binti usinione navyo kaa kimya nakuogopa huo Unyampala wako usitupande kichwan nimepinda ile ile shika kabisa adabu yako sikaja huku kwa bahat mbaya kuwa na heshima "
"Usinitishie Mimi n kiongoz wako utafuata chochote nitakacho utaenda au hutoenda "
"Siend wala sitokwenda "
"Mmmh sawa " LINDA aliondoka na kwenda kumwambia Afande MUGA lakin Afande MUGA alikataa kwa kuwa LINDA hakuwa tayar kufuata anachotaka LINDA alirud tena kumtaka yule mama atoke nje akafanye kaz wakiwa wanaendelea kuzozana kuna mfungwa mmoja alikuja na kuwashuhudia alitoka anakimbia na kwenda Kumwita PENDO walikuja na kujaribu kuwaamua lakin haikuwa rahis kila mmoja alikuwa juu wafungwa wenzao walipomwona PENDO ameijiwa haraka moja kwa moja walijua kuta kuwa na kitu waliamua kuacha kufanya kaz na kuondoka wakielekea Ndan ya gereza kujua nn kinaendelea LINDA walishikana Name yule mama wakitaka kuanza kurushiana ngumi PENDO alijitahd kadir ya uwezo wake kumwomba rafik yake LINDA asiweze kugombana lakin yalikuwa yanapita wafungwa wenzao walipofika walianza kushabikia ugomvi ule PENDO baada ya kuona ivo aliamua kutoka kwenda kumwita afande Mmoja wa Mfungwa aliyejulikana kwa jina la FIONA alisogea na kumshika mkono LINDA na kumtaka asigombane LINDA alimsukuma kwa nguvu na kumtoa mkono Kwa bahat mbaya FIONA alifikia ukutan na kujikuta kichwa chake kikifikia ukutan Ulisikika mshindo ghafla Kelele zote zilizokuwa zikisikika ndan ya gereza zilipotea ghafla Kila mmoja akashika kichwa na kinywa waz PENDO alipofika na afande muda huo LINDA akitetemeka na kutokwa na machoz huku akiwa karbu na mwili wa FIONA,Mahakama iliamua kumfungulia upya kesi ya mauaji LINDA Na kuomba siku itakayosomewa ndugu zake wawepo Mama yake pamoja na Amanda waliweza kufika Maeneo ya Mahakama kusikiliza Mahakama Itaamua kitu gani Mahakama Iliamua kumhukum LINDA kifungo cha Maisha ambacho atatumikia akiwa ndan ya gereza atakalo hamishiwa huku na adhabu kali zitafuata dhidi yake Mama yake alikuwa akilia ovyo kwa saut na kushindwa kujizuia AMANDA alikuwa akijitahid kumnyamazisha Baada ya hukumu ile kutolewa LINDA aliomba aongee jambo na mahakama Ikamkubakia kutaka kusikia anachokwenda kuongea ni kitu gani "Najua imeshatokea Sina Budi Kukubaliana na kosa ila hii yote ni tamaa tu ndo ilofanya niwe hapa tena " wakat huo akiongea Afande MUGA kwa pemben alikuwa akijaribu kumpa ishara LINDA asiweze Kusema kuhusiana na Mahusiano yao "Mimi Naenda gerezan kutumikia kifungo cha maisha nikiwa na mwanangu Tumboni " Watu waliokuemo mule ndan ya mahakama wote walishangaa "Najua itawashangaza Sana ila huo ndo ukweli mm n mjamzito Nilidanganyika Mimi kwa tamaa ya kuwa huru na uongoz " Afande MUGA alikuwa akijirabu kumwomba LINDA kwa ishara asiseme "Afande MUGA usinizuie acha niseme " Baada ya LINDA kuongea vile macho yote ya watu yalimtazama afande MUGA huku wakijiukiza katenda kitu gani "Mahakama afande MUGA si mtu mzur kabisa katika jeshi lenu la polisi yupo kwajili ya kuwashushia heshima na yeye ndo mhusika wa ujauzito huu aliniongopea meng tu na alishawah kunitoa nje ya gereza na kwenda kula raha na huko ndipo aliponiingilia kimwili kilazima bila ridhaa yangu Namchukia sana Afande MUGA Polisi walisogea na kumkamata afande MUGA na kumfunga pingu LINDA alitolewa kizimban na kuambatana na Afande MUGA kuelekea katika gari la magereza Mama yake LINDA aliomba aweze kuongea na mwanae alipewa Dakika tano lakin hakuweza kuzitumia Alipojaribu kutaka kuongea aliishiwa na nguvu na kuanguka chini LINDA alipojaribu kutaka kurud alizuiwa na kuweza kupandishwa kwenye gar AMANDA alibakia akilia na kujaribu kutafuta msaada wa kumpeleka Dada yake hospitali Afande MUGA jeshi la polisi lilimfukuza kaz kwa kulitia aibu na kupelekwa gerezan kwa kutumikia kifungo cha miaka kumi Mama yake LINDA alipatwa na kiharusi na kushindwa kufanya shughul yoyote ile ikambdi AMANDA kuhamia nyumban kwa Dada yake kwaajil ya kumsaidia

------------------- MWISHO ----------------------------

CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA NANE SEHEMU YA NANE .................................... Baada ya siku kadhaa kupita ndani ya gereza kuna mfungwa mpya aliletwa na askar na kuingizwa gerezan alikuwa ni mama wa makamo flan mwenye mwili mnene rangi ya kunde na mrefu kias akiwa ndan ya jezi ya rangi ya chungwa iliyofanania na za wenzie Baada ya LINDA kumwona yule mama ameingizwa mule ndan alinyanyuka mahala alipo kuwa amekaa na kumsogelea pale karbu na mlangon alipokuwa amesimama yule mama LINDA alifika na kuanza kumzunguka huku akimtizama juu na chini "Mamaa Kubwaaa Mmmmh! Nakuona karibu paradise Hahhahjahahaha " a lounge a LINDA huku akionekana kumdhihaki mama yule "Utazoea tu Aam labda kabla tu hatujakupatia siti ningependa upate utambulisho kidogo ambao utakusaidia hili mwisho wa siku usije sema hujalijulishwa " aliongea LINDA na kuwageukia wafungwa wenzie na kuwauliza yeye ni nan "Naomben mu mwambie mapema Kwa sauti Mimi ni nan ?" Yule mama alikuwa akimtizama msichana LINDA Kwa hasira "Mimi ni nan ?" Aliuliza Linda "Malkia Wa Jela " ilisikika saut Kama ya watu wanne hivi huku wengine wakionekana kukaid amri ile "Anhaaa! Sasa kwa kuwa hamtak kusema mtasema kwa lazima Alianza kumtembelea mmoja Baada ya mwingine huku wale wanne aliowaona wakisema akiwa amewasimamisha na kuwatenga pembeni walipokwisha kusema wote kuwa yeye ni Malkia Wa Jela Alimsogelea tena yule mama " Mama nadhan Kama tu hujaelewa naiman utakuwa umesikia .......Unaweza kunambia Mimi ni nani ? LINDA alimwambia mama yule huku akimtaka arudie kusema Kama walivyosema wenzie lakin mama hakuwa tayar LINDA alimkamata mama Taya kwa kutumia mkono wake wa kulia "Anhaaa ! Kumbe wewe jeur siyo !.. Inamaaana hujasikia walichokisema Mimi ni nani " aliongea a LINDA kwa hasira mama yule alimtoa mkono LINDA "We Binti kuwa na abadu mm n sawa na mama yako mzaz jaribu kuwa heshima na mim tena usinizoee " aliongea yule mama akionekana waz kuchukizwa na kitendo kile "Eeeeh ! Ushakuwa mwenyej siyo ila siyo mbaya kwa kuwa Leo ndo siku yako ya kwanza kuwa huru kuongea lolote ila kesho utajua vzur mm n nan karibu humu wote watu wazima lakin ningekuwa binti nisingekuwa humu karibu tena mama Kubwaa Malkia wa jela niko hapa " Baada ya LINDA Kumaliza kutamba alirud na kukaa chn Palipo pambazuka na wafungwa wote wakiwa wanafanya usafi wa kusafisha mazingira yule mama alikuwa bado amejikalia peke yake ndan ya gereza Huku LINDA akiwa kwa nje anasimamia arijaribu kuangaza huku na huku akimtafuta yule mama akatikisa kichwa na kuamua kuondoka kuelekea ndan ya chumba cha gereza na kuweza kumkuta yule mama amekaa peke yake "Mmh mama hukuja huku kukaa tu kuna kaz za kufanya huko nje " aliongea LINDA Yule mama alimtizama na kucheka kisha kuinamisha kichwa chini "Kondoo Eeh ! Husikii nachoongea au hapo unatakiwa unyanyuke ukafanye kaz " "Binti hapa sinyanyuki kas sifanyi nimekuja kutumikia kifungo na siyo kuja kufanya kaz uraian nimefanya Sana tu nanilikuwa nalipwa " aliongea yule mama akionekana kujiamini "Kumbe wewe jeuriii Ngoja nikakuletee Dawa " LINDA alimtizama kwa hasira na kuondoka kuelekea moja kwa moja katika ofisi ya Afande MUGA "Vipi kunatatzo lolote " aliuliza afande baada y a LINDA kuingia ghafla pasipo kubisha hodi "Baby kuna mtu hatak kabisa kufanya kaz na ananijibu vile atakavyo " kwa sauti ya madeko aliongea LINDA "Anajipenda kweli huyo tangulia nakuja " "Nataka twende wote Baby " Afande aliamua kutoka na kuongozana na LINDA mpk ndan ya gereza Yule mama alipomwona afande alinyanyuka upesi "We mmama kwanini unakuwa mkaid Umeambiwa humu umekuja kustarehe...Unaleta kibur ? Yule mama alijibu kwa kutikisa kichwa huku akitetemeka "Haya haraka ukwende Nje kufanya usafi Unamdharau kiongoz " Yule mama alitoka mbio kuelekea nje "Hahahahaahaahhahhahha " LINDA aliangua kicheko "Hawa watu wadogo Sana siyo wa kubishana nao akijaribu kubisha tena we niite "Aliongea afande MUGA "Mmmh ! Sawa halafu kuna kitu nataka nikwambie " "LINDA we nambie tu " "Aaaam ! baby ni Muda sasa sizion siku zangu na kwa hali ambayo naiona ninayo nahisi nimeharibu mambo" "Sielew unataka kuongea nn naona unazunguka we nambie moja kwa moja Wewe ndo MALKIA WA JELA nan mwingine Kama siyo wewe uhitaj shida kabisaa " "Baby mm nahisi Nina mimba " "Eti ! Hahaha LINDA Hapana Ivi unawezaje kujiachia namna hii utadhan upo uraian Unataka kuniharibia kazi cyo " "Sikia wewe tena usitake kunipanda kichwan MUGA nan siku ile alimbaka mwenzie nilihitaj mm unifanyie kitendo hiki " "Niite afande usiniite MUGA naona sasa mazoea Kama yamezid we mwanamke " "Mmh! Sasa kwa taarifa yako siri hii nitamwambia kila mtu nitaomba nionane na mkuu wa magereza nimweleze kuwa ulinibaka afu tuone utaishia wapi Kama siyo segerea " "Basi usifike huko naomba ufanye kitu kimoja tu nakuomba hiyo mimba tuitoe " "Hahahaahhha unawazimu nin sitoi mimba wala mama ake mimba " "Utaniingiza kwenye matatizo ujue " "Wakat unafanya hukujua kuna matatzo " Afande MUGA aliamua kuondoka na kuelekea ofisini kwake huku tayar kichwan kwake akiwa na maswal mengi juu ya jambo lile Baada ya siku kadhaa kupita afande MUGA aliamua kumwita LINDA ofisin kwake na kuongea nae juu ya suala la ujauzito "Sikia LINDA utakapo kataa kuitoa hyo mimba na bado inaendelea kukua wakija kujua utaniharibia kaz " "Leo ndo unaliona hilo ukumbuki Mimi na we we ni nan aliyemlazimisha mwenzie Mimi sipo tayar kufa kifungo nilichopewa kinanitosha kabisa kwa hilo sipo tayar " "Mmmh! Haya ukijulikana utasema nini ? "Mimi n mtu mzima najua n namna Gan ntasema " "Ila bado unajidanganya kwann usifanye nnalokwambia Kakae ufikirie ukiwa tayar kuna dokta ntaongea nae tutakwenda " "MUGA usinitafutie matatzo " "LINDA au umechoka uongozi ?" "Bado nataka " "Basi nenda kafikirie vizur halafu ntakutafuta tuongee " LINDA aliondoka na kurud ndan ya chumba cha gereza kisha kwenda kukaa pemben ya rafiki yake PENDO "PENDO kuna jambo nataka unishaur? "Jambo Gan tena ? (Kwa mshangao)". "Afande MUGA anataka niitoe hii mimba " "Eeeh ! (PENDO alishangaa kwa sauti akaangaza huku na huku Wafungwa wenzao wakawa wakiwatizama ) PENDO aliamua kumnong'oneza na kumtaka asifanye kitendo hicho Katika Maeneo ya nyumban kwao LINDA mama yake akiwa na mdogo wake AMANDA "Dada muda Una kwenda lini tunaenda kumwona LINDA ? "mmmh! Hali yangu nadhan unaijua AMANDA nusu nife siku ya kesi yake sasa nikienda kule nikirud tu hospitalin moja kwa moja " "Lakin atajisikia vibaya Dada " "Mim yule n mwanangu ananijua vizur Jambo dogo tu hali yangu haichelew kubadilika miaka mitatu siyo mingi ngoja tusubir akimaliza tutamfuata nikijua anarud nyumban lakin naenda kumwona halafu narud mwenyewe uzaz unauma we zaa uone " "Basi yaishe Kesho nataka nirud kwangu " "Nimekuudh lolote mbona haraka ivo unajua kabisa Niko mwenyewe " "Hapana Dada wala hujaniudh ila ninatakiwa niende kuangalia panaendeleaje kumbuka hakuna mtu kule " "Sawa lakin unaniachaje peke yangu " "Dada sasa wewe unaogopa je mm wakirud walioniteka " "Hebu usiongelee hayo mambo " Wiki moja baadae LINDA akiwa anasimamia wenzie wakiwa wanafanya usafi Alikuja Afande na kuondoka nae Kisha kwenda kumkabidhisha kwa Afande MUGA "LINDA umefikia wapi ?" "Siko tayar kuitoa hii mimba nasihitaj unilazimishe ukifanya ivo nitamwambia kila mtu ajue hili halafu tuone utaoshia wapi " LINDA aliongea kwa ukali "Sasa kwanini unakuwa mkali unataka watu wajue unataka kuni haibisha siyo nisikilize wewe si mjanja ila Mimi mjanja zaid yako nakupa siku ya Leo Kama hutokubali nitaitoa kwa mikono yangu ikitokea ukapoteza uhai kwa kitendo nitakachokufanyia nitakuzika Mimi mwenyewe hakuna hata mmoja atakae jua " "Hizo kelele za chura tu najua huwez kufanya ivo Kama kweli unajiamini Fanya " LINDA alipomaliza kuongea aliamua kuondoka Afande MUGA alijaribu kumwita lakin LINDA hakuwa Tayar kabisa kurud Moja kwa moja LINDA alielekea katika chumba cha gereza huku akiwa amejawa na hasira baada ya kuingia alishangaa kumkuta yule mama mule ndan ikiwa alikuwa nje akifanya kaz na wenzie "We mama siyo bure kuna ambacho unakitafuta kaz ulizoacha huko nje nan akufanyie " Yule mama alinyanyuka kwa Shari "Tena koma binti usinione navyo kaa kimya nakuogopa huo Unyampala wako usitupande kichwan nimepinda ile ile shika kabisa adabu yako sikaja huku kwa bahat mbaya kuwa na heshima " "Usinitishie Mimi n kiongoz wako utafuata chochote nitakacho utaenda au hutoenda " "Siend wala sitokwenda " "Mmmh sawa " LINDA aliondoka na kwenda kumwambia Afande MUGA lakin Afande MUGA alikataa kwa kuwa LINDA hakuwa tayar kufuata anachotaka LINDA alirud tena kumtaka yule mama atoke nje akafanye kaz wakiwa wanaendelea kuzozana kuna mfungwa mmoja alikuja na kuwashuhudia alitoka anakimbia na kwenda Kumwita PENDO walikuja na kujaribu kuwaamua lakin haikuwa rahis kila mmoja alikuwa juu wafungwa wenzao walipomwona PENDO ameijiwa haraka moja kwa moja walijua kuta kuwa na kitu waliamua kuacha kufanya kaz na kuondoka wakielekea Ndan ya gereza kujua nn kinaendelea LINDA walishikana Name yule mama wakitaka kuanza kurushiana ngumi PENDO alijitahd kadir ya uwezo wake kumwomba rafik yake LINDA asiweze kugombana lakin yalikuwa yanapita wafungwa wenzao walipofika walianza kushabikia ugomvi ule PENDO baada ya kuona ivo aliamua kutoka kwenda kumwita afande Mmoja wa Mfungwa aliyejulikana kwa jina la FIONA alisogea na kumshika mkono LINDA na kumtaka asigombane LINDA alimsukuma kwa nguvu na kumtoa mkono Kwa bahat mbaya FIONA alifikia ukutan na kujikuta kichwa chake kikifikia ukutan Ulisikika mshindo ghafla Kelele zote zilizokuwa zikisikika ndan ya gereza zilipotea ghafla Kila mmoja akashika kichwa na kinywa waz PENDO alipofika na afande muda huo LINDA akitetemeka na kutokwa na machoz huku akiwa karbu na mwili wa FIONA,Mahakama iliamua kumfungulia upya kesi ya mauaji LINDA Na kuomba siku itakayosomewa ndugu zake wawepo Mama yake pamoja na Amanda waliweza kufika Maeneo ya Mahakama kusikiliza Mahakama Itaamua kitu gani Mahakama Iliamua kumhukum LINDA kifungo cha Maisha ambacho atatumikia akiwa ndan ya gereza atakalo hamishiwa huku na adhabu kali zitafuata dhidi yake Mama yake alikuwa akilia ovyo kwa saut na kushindwa kujizuia AMANDA alikuwa akijitahid kumnyamazisha Baada ya hukumu ile kutolewa LINDA aliomba aongee jambo na mahakama Ikamkubakia kutaka kusikia anachokwenda kuongea ni kitu gani "Najua imeshatokea Sina Budi Kukubaliana na kosa ila hii yote ni tamaa tu ndo ilofanya niwe hapa tena " wakat huo akiongea Afande MUGA kwa pemben alikuwa akijaribu kumpa ishara LINDA asiweze Kusema kuhusiana na Mahusiano yao "Mimi Naenda gerezan kutumikia kifungo cha maisha nikiwa na mwanangu Tumboni " Watu waliokuemo mule ndan ya mahakama wote walishangaa "Najua itawashangaza Sana ila huo ndo ukweli mm n mjamzito Nilidanganyika Mimi kwa tamaa ya kuwa huru na uongoz " Afande MUGA alikuwa akijirabu kumwomba LINDA kwa ishara asiseme "Afande MUGA usinizuie acha niseme " Baada ya LINDA kuongea vile macho yote ya watu yalimtazama afande MUGA huku wakijiukiza katenda kitu gani "Mahakama afande MUGA si mtu mzur kabisa katika jeshi lenu la polisi yupo kwajili ya kuwashushia heshima na yeye ndo mhusika wa ujauzito huu aliniongopea meng tu na alishawah kunitoa nje ya gereza na kwenda kula raha na huko ndipo aliponiingilia kimwili kilazima bila ridhaa yangu Namchukia sana Afande MUGA Polisi walisogea na kumkamata afande MUGA na kumfunga pingu LINDA alitolewa kizimban na kuambatana na Afande MUGA kuelekea katika gari la magereza Mama yake LINDA aliomba aweze kuongea na mwanae alipewa Dakika tano lakin hakuweza kuzitumia Alipojaribu kutaka kuongea aliishiwa na nguvu na kuanguka chini LINDA alipojaribu kutaka kurud alizuiwa na kuweza kupandishwa kwenye gar AMANDA alibakia akilia na kujaribu kutafuta msaada wa kumpeleka Dada yake hospitali Afande MUGA jeshi la polisi lilimfukuza kaz kwa kulitia aibu na kupelekwa gerezan kwa kutumikia kifungo cha miaka kumi Mama yake LINDA alipatwa na kiharusi na kushindwa kufanya shughul yoyote ile ikambdi AMANDA kuhamia nyumban kwa Dada yake kwaajil ya kumsaidia ------------------- MWISHO ----------------------------

...
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA SABA
#Brayton

SEHEMU YA SABA 
................................
Wakati Huo huo Simu ya Amanda kutoka kwenye mkoba wake ikaweza kuita Amanda alipogeuka kuangalia chin alipokuwa ameutupia ule mkoba wake Mchumba wa TABU alimwah na kumnyakua kile kisu akakitupa kwa pemben kisha kumkamata Amanda mikono yote miwili na kuikutanisha kwa nyuma TABU alitumia nafas hyo kusogea na kuanza kumrushia Amanda mateke "TABU mwacheee" aliongea mchumba wake kwa hasira "Niachieee" aliongea AMANDA huku akijarbu kutaka kujitoa mikonon mwa mchumba wa TABU "Ujanja wote mfukon mtizame utaipata dawa yako " aliongea TABU na baada ya muda waliamua kumwingiza katika chumba ambacho kilitumika Kama stoo na kumfunga kamba huku amekaa kwenye kiti na mdomon walimwekea kitambaa ilikusud asiweze kupiga kelele "Dada nilikwambia mapema huku taka kusikia sasa utakula jeur yako humu hakuna wa kukuona utakufa taratbu kwa jeur yako"Aliongea mchumba wa TABU huku TABU akiwa amesimama kwa pemben Mchumba wake TABU alipo hakikosha Amanda hatoweza kutoka mule alifungua malango na kutoka nje Akabakia TABU "Hahahhaahhha kiko wapi sasa Nakuonea huruma Sana Kujifanya unayaweza mmh Pole hiv karbun utakwenda kuwa mait mtarajiwa hapo ndipo utaiona roho mbaya nlokuwa nayo Mshenz mkubwa wewe " Alipomaliza kusema maneno Yale Alimpiga Kofi AMANDA aliangusha machoz kutokana na maumivu ya kibao kile lakin hakuwa na namna yeyote ile TABU akaamua kutoka nje na kufunga mlango Dada yake Baada ya wiki moja kupita Mama LINDA aliamua kufunga safar na kwenda nyumban kwa mdogo wake AMANDA baada ya kufika Nyumban kwa mdogo wake na kufika kugonga Sana mlango aliamua kuuliza kwa jiran na kuambiwa hajaonekana wiki sasa Aliondoka akiwa na mawazo atakuwa wapi akaona ni bora aende kutoa ripot ile polisi kujitaj msaada wao , Siku mbili baadae AMANDA akiwa bado ndan ya nyumba ya TABU "TABU kwann unanitesa hiv Mimi kosa langu kujuanana na wewe " aliongea AMANDA huku kilio cha kwikwi kikimtoka "Hahahhahha AMANDA wewe siulikuwa ukitamba umesahau siyo utakula jeur yako mwaka huu Utajuta kunifaham mm ndiyo TABU na kila anaye niletea ujinga Tabu lazima azipate humu hutotoka na hakuna hata mmoja anae jua Kama wewe hupo humu ndan " aliongea TABU kwa kujigamba huku akiranda randa huku na huku "Lakin Mimi sikuwa na ubaya na wewe nilitaka kukutishia tu kumbuka tulipotoka TABU nihurumie unanitesa " 
"Hahahahahhh Unateseka na lipi Kama chakula cha bureee unapata unaishi pazur na kuhusu swala la kukumbuka tuliko toka kwenye maisha yangu ilo halipo kurasa yake nisha ichana na kuitupa na huo ubaya wewe ndo umeuanzisha Mimi nitaumaliza "
Wakat wanaendelea kuongea aliingia mchumba wake GIDI "Wooow! Baby ! TABU alimsogelea na kumkumbatia huku akimpiga mabusu kumwuumiza roho AMANDA "Vipi Hajakusumbua ? 
"Hapana ataanzia wapi kawa mdogo Kama nukta ubabe woote mfukoni "
GIDI alisogea taratabu mpk alipokuwa AMANDA na kumwinua kichwa huku amezikamata nywele za AMANDA kwa nguvu na kumpelekea maumivu yaliyomfanya apige kelele "Kimyaaaaa! " aliongea GIDI kwa sauti ya juu "Unaniumiza "aliongea AMANDA kwa saut ya kugugumia akionekana waz kuumia GIDI alimwachia nywele na kumshika mabegan "Muda wako wa kukaa humu unazid kuisha Pumzi zako zitakwenda kukata muda si mrefu Najua tutakapo kwenda kuuzika mwili wako nyuma ya nyumba yetu hakuna hata mmoja atakaye kwenda kujua hili " aliongea GIDI "Nisameheni Na ahid sinto rudia tena ...Nawaomba TABU nakuomba rafiki yangu " aliongea AMANDA kwa sauti iliyoambatana na kilio pamoja na kwikwi "Urafiki baina yangu Mimi na wewe sahau kabisa tena futa we ni wakufa tu unafikir nan atakuwa kila siku akupe chakula ,akupeleke uwah Hutulipi Mama Utakufa we jua hilo Wewe ni nguruwe tu umeingia kwenye chaka la simba " aliongea TABU "Baby chukua hii pesa kaniletee sumu za panya tano "aliongea GIDI huku akimpatia TABU pesa aliyoitoa mfukon kwake TABU aliipokea na kutoka chumban mule akielekea dukani "Kaka nionee huruma usinifanyie ivo Mimi n binadam mwenzio unataka kuniua Kama mnyama "aliongea AMANDA "Sasa sikia nisaidie nami nikusaidie ndicho kilichobaki kwa nyakat zako hiz za mwisho bila hivo utakwenda kufa kwa kujiua mwenyewe " 
"Unamaana ipi ?! Aliongea AMANDA huku uso wake uliotapakaa machoz ukimtazama GIDI "Unatakiwa ufanya mapenz na Mimi mda huu kabla TABU hajarud ukikubali hilo nitakusaidia ukikaidi basi unastahili kifo "
"Kaka nisaidie nisife niko tayar "
Bila ya kupoteza Muda GIDI alimfungua kamba Amanda kutoka kwenye kiti na kuanza kumshika shika maeneo ya kiuno na kumlamba lamba shingo yake AMANDA akijitutumua na kuvuta nguvu kias na kumpiga GIDI kwa nguvu sehemu zake za siri GIDI alipata maumivu makali kwa kitendo kile alijiinamia chini huku akiwa amezishika nyeti zake Amanda alitumia upenyo huo kutoka mule ndan haraka Wakat anatoka anafungua geti na kutoka alijikuta akimpamia TABU ,TABU alianguka kwa pemben AMANDA alinyanyuka haraka na kuendelea kukimbia kuokoa uhai wake TABU alinyanyuka kwa hasira huku Dawa zile za panya alizokuwa amezifuata dukan zikiwa chini alifungua geti na kuingia ndan alimkuta Mchumba wake GIDI akiwa nje huku ameshikilia suruali yake akichechemea TABU alimtazama kwa hasira na kumsogelea "GIDI wewe ni msaliti Amanda amewezaje kukutoroka na wewe ni mwanaume " aliongea TABU kwa sauti ya ukal "TABU usinifokee unajua nini kimetokea au unaongea tu unajua nimefanya nn Sikia wewe ni mwanamke tu utabaki kuwa mwanamke "
"Mmmh GIDI hata wewe ni mwanamke wewe siyo mwanaume basi tu hayo mavaz yako huna lolote "
"Usinitukane TABU " aliongea GIDI kwa hasira huku akimsogelea TABU " Usinitishe ..Sikuogopi GIDI ungekuwa mwanaume hili lisingekishinda unawezaje kumwachia Amanda "
"TABU huwa sibishani na wanawake " aliongea GIDI na kumwahi kumkaba TABU shingoni akikusudia kumwuua Muda huo huo wakaingia polisi na kuwaweka chin ya ulinzi waliwa kamatwa na kuwafunga pingu walipotoka nje ya geti walimwona AMANDA akiwa amesimama na Dada yake Polis waliondoka nao na kuelekea kituon pamoja na ushahid wa sumu za panya alizoziacha TABU pale nje Baada ya siku ile kupita Amanda akiwa nyumban kwa Dada yake akitibiwa makovu na maumivu aliyoyapata kutokana na kipigo pamoja na kukaa kwa muda mrefu kwenye kiti huku akiwa amefungwa kamba "Mdogo wangu unaona ulivo jitafutia makubwa wangekuua "
"Dada nimekuomba msamaha hukutaka kunisamehe ningefanya nini "
"Mimi nimeshakusamehe nimeona nikubali tu matokeo miaka mitatu siyo mingi mwanangu LINDA ataachiwa huru na kurud nyumban "
"Nimekoma miye Dada ,sinto jiamulia mambo ovyo pasipo ushaur wa mtu "
"Mim ungeniomba ushaur ningejua nikushaur kipi wewe unakurupuka unachukua maamuz yako mkonon "
"Ndo nimekoma hata sirudii ila TABU na yule Bwana ake Mungu awalaan na huko polisi wanyee ndoo mpaka "
Miezi miwili Baadae katika maeneo ya gerezan LINDA akiwa anawasimamia wafungwa wenzie waliokuwa wakifanya usafi wa kufyeka fyeka nyasi Mara ghafla akajisikia kizungu zungu na kuanguka chini Rafiki yake PENDO alimkokota taratibu mpaka pemben kidogo ya jengo la Gereza na kuweza kumpumzisha Baada ya dakika kadhaa "LINDA Unajisikiaje ? Aliuliza PENDO 
"Sijisikii vizur PENDO mmmmh! Najisikia kizungu zungu kwa mbali sijui nini "
PENDO alitoa macho na kutizama pembeni akashusha pumzi na kumwangalia tena LINDA "LINDAA ! Una mimba ;?!! 
LINDA alistuka na kumtazama PENDO "Eeeeh! Mungu wangu mimii PENDO naomba usimwambie mtu jambo hili mmmmh Munguu wangu lakini ilikuwa siku moja tu " 
"LINDA inaonesha waz wakat afande anakufanyia tukio lile ulikuwa katika siku zako za hatar ..."
"Nitafanyeje ?"
"Mmmh ! Kiukweli hata sijui mm mwenyewe nimechanganyikiwa "
"Nakuomba usimwambie mtu "
"Usijali rafiki yangu basi jikaze turude ukasimamie wasiweze kuhis chochote muda umebaki kidogo tuelekee kuchukua chakula 
PENDO alimnyanyua na kuweza kusogea walipokuwa wenzao

CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA SABA #Brayton SEHEMU YA SABA ................................ Wakati Huo huo Simu ya Amanda kutoka kwenye mkoba wake ikaweza kuita Amanda alipogeuka kuangalia chin alipokuwa ameutupia ule mkoba wake Mchumba wa TABU alimwah na kumnyakua kile kisu akakitupa kwa pemben kisha kumkamata Amanda mikono yote miwili na kuikutanisha kwa nyuma TABU alitumia nafas hyo kusogea na kuanza kumrushia Amanda mateke "TABU mwacheee" aliongea mchumba wake kwa hasira "Niachieee" aliongea AMANDA huku akijarbu kutaka kujitoa mikonon mwa mchumba wa TABU "Ujanja wote mfukon mtizame utaipata dawa yako " aliongea TABU na baada ya muda waliamua kumwingiza katika chumba ambacho kilitumika Kama stoo na kumfunga kamba huku amekaa kwenye kiti na mdomon walimwekea kitambaa ilikusud asiweze kupiga kelele "Dada nilikwambia mapema huku taka kusikia sasa utakula jeur yako humu hakuna wa kukuona utakufa taratbu kwa jeur yako"Aliongea mchumba wa TABU huku TABU akiwa amesimama kwa pemben Mchumba wake TABU alipo hakikosha Amanda hatoweza kutoka mule alifungua malango na kutoka nje Akabakia TABU "Hahahhaahhha kiko wapi sasa Nakuonea huruma Sana Kujifanya unayaweza mmh Pole hiv karbun utakwenda kuwa mait mtarajiwa hapo ndipo utaiona roho mbaya nlokuwa nayo Mshenz mkubwa wewe " Alipomaliza kusema maneno Yale Alimpiga Kofi AMANDA aliangusha machoz kutokana na maumivu ya kibao kile lakin hakuwa na namna yeyote ile TABU akaamua kutoka nje na kufunga mlango Dada yake Baada ya wiki moja kupita Mama LINDA aliamua kufunga safar na kwenda nyumban kwa mdogo wake AMANDA baada ya kufika Nyumban kwa mdogo wake na kufika kugonga Sana mlango aliamua kuuliza kwa jiran na kuambiwa hajaonekana wiki sasa Aliondoka akiwa na mawazo atakuwa wapi akaona ni bora aende kutoa ripot ile polisi kujitaj msaada wao , Siku mbili baadae AMANDA akiwa bado ndan ya nyumba ya TABU "TABU kwann unanitesa hiv Mimi kosa langu kujuanana na wewe " aliongea AMANDA huku kilio cha kwikwi kikimtoka "Hahahhahha AMANDA wewe siulikuwa ukitamba umesahau siyo utakula jeur yako mwaka huu Utajuta kunifaham mm ndiyo TABU na kila anaye niletea ujinga Tabu lazima azipate humu hutotoka na hakuna hata mmoja anae jua Kama wewe hupo humu ndan " aliongea TABU kwa kujigamba huku akiranda randa huku na huku "Lakin Mimi sikuwa na ubaya na wewe nilitaka kukutishia tu kumbuka tulipotoka TABU nihurumie unanitesa " "Hahahahahhh Unateseka na lipi Kama chakula cha bureee unapata unaishi pazur na kuhusu swala la kukumbuka tuliko toka kwenye maisha yangu ilo halipo kurasa yake nisha ichana na kuitupa na huo ubaya wewe ndo umeuanzisha Mimi nitaumaliza " Wakat wanaendelea kuongea aliingia mchumba wake GIDI "Wooow! Baby ! TABU alimsogelea na kumkumbatia huku akimpiga mabusu kumwuumiza roho AMANDA "Vipi Hajakusumbua ? "Hapana ataanzia wapi kawa mdogo Kama nukta ubabe woote mfukoni " GIDI alisogea taratabu mpk alipokuwa AMANDA na kumwinua kichwa huku amezikamata nywele za AMANDA kwa nguvu na kumpelekea maumivu yaliyomfanya apige kelele "Kimyaaaaa! " aliongea GIDI kwa sauti ya juu "Unaniumiza "aliongea AMANDA kwa saut ya kugugumia akionekana waz kuumia GIDI alimwachia nywele na kumshika mabegan "Muda wako wa kukaa humu unazid kuisha Pumzi zako zitakwenda kukata muda si mrefu Najua tutakapo kwenda kuuzika mwili wako nyuma ya nyumba yetu hakuna hata mmoja atakaye kwenda kujua hili " aliongea GIDI "Nisameheni Na ahid sinto rudia tena ...Nawaomba TABU nakuomba rafiki yangu " aliongea AMANDA kwa sauti iliyoambatana na kilio pamoja na kwikwi "Urafiki baina yangu Mimi na wewe sahau kabisa tena futa we ni wakufa tu unafikir nan atakuwa kila siku akupe chakula ,akupeleke uwah Hutulipi Mama Utakufa we jua hilo Wewe ni nguruwe tu umeingia kwenye chaka la simba " aliongea TABU "Baby chukua hii pesa kaniletee sumu za panya tano "aliongea GIDI huku akimpatia TABU pesa aliyoitoa mfukon kwake TABU aliipokea na kutoka chumban mule akielekea dukani "Kaka nionee huruma usinifanyie ivo Mimi n binadam mwenzio unataka kuniua Kama mnyama "aliongea AMANDA "Sasa sikia nisaidie nami nikusaidie ndicho kilichobaki kwa nyakat zako hiz za mwisho bila hivo utakwenda kufa kwa kujiua mwenyewe " "Unamaana ipi ?! Aliongea AMANDA huku uso wake uliotapakaa machoz ukimtazama GIDI "Unatakiwa ufanya mapenz na Mimi mda huu kabla TABU hajarud ukikubali hilo nitakusaidia ukikaidi basi unastahili kifo " "Kaka nisaidie nisife niko tayar " Bila ya kupoteza Muda GIDI alimfungua kamba Amanda kutoka kwenye kiti na kuanza kumshika shika maeneo ya kiuno na kumlamba lamba shingo yake AMANDA akijitutumua na kuvuta nguvu kias na kumpiga GIDI kwa nguvu sehemu zake za siri GIDI alipata maumivu makali kwa kitendo kile alijiinamia chini huku akiwa amezishika nyeti zake Amanda alitumia upenyo huo kutoka mule ndan haraka Wakat anatoka anafungua geti na kutoka alijikuta akimpamia TABU ,TABU alianguka kwa pemben AMANDA alinyanyuka haraka na kuendelea kukimbia kuokoa uhai wake TABU alinyanyuka kwa hasira huku Dawa zile za panya alizokuwa amezifuata dukan zikiwa chini alifungua geti na kuingia ndan alimkuta Mchumba wake GIDI akiwa nje huku ameshikilia suruali yake akichechemea TABU alimtazama kwa hasira na kumsogelea "GIDI wewe ni msaliti Amanda amewezaje kukutoroka na wewe ni mwanaume " aliongea TABU kwa sauti ya ukal "TABU usinifokee unajua nini kimetokea au unaongea tu unajua nimefanya nn Sikia wewe ni mwanamke tu utabaki kuwa mwanamke " "Mmmh GIDI hata wewe ni mwanamke wewe siyo mwanaume basi tu hayo mavaz yako huna lolote " "Usinitukane TABU " aliongea GIDI kwa hasira huku akimsogelea TABU " Usinitishe ..Sikuogopi GIDI ungekuwa mwanaume hili lisingekishinda unawezaje kumwachia Amanda " "TABU huwa sibishani na wanawake " aliongea GIDI na kumwahi kumkaba TABU shingoni akikusudia kumwuua Muda huo huo wakaingia polisi na kuwaweka chin ya ulinzi waliwa kamatwa na kuwafunga pingu walipotoka nje ya geti walimwona AMANDA akiwa amesimama na Dada yake Polis waliondoka nao na kuelekea kituon pamoja na ushahid wa sumu za panya alizoziacha TABU pale nje Baada ya siku ile kupita Amanda akiwa nyumban kwa Dada yake akitibiwa makovu na maumivu aliyoyapata kutokana na kipigo pamoja na kukaa kwa muda mrefu kwenye kiti huku akiwa amefungwa kamba "Mdogo wangu unaona ulivo jitafutia makubwa wangekuua " "Dada nimekuomba msamaha hukutaka kunisamehe ningefanya nini " "Mimi nimeshakusamehe nimeona nikubali tu matokeo miaka mitatu siyo mingi mwanangu LINDA ataachiwa huru na kurud nyumban " "Nimekoma miye Dada ,sinto jiamulia mambo ovyo pasipo ushaur wa mtu " "Mim ungeniomba ushaur ningejua nikushaur kipi wewe unakurupuka unachukua maamuz yako mkonon " "Ndo nimekoma hata sirudii ila TABU na yule Bwana ake Mungu awalaan na huko polisi wanyee ndoo mpaka " Miezi miwili Baadae katika maeneo ya gerezan LINDA akiwa anawasimamia wafungwa wenzie waliokuwa wakifanya usafi wa kufyeka fyeka nyasi Mara ghafla akajisikia kizungu zungu na kuanguka chini Rafiki yake PENDO alimkokota taratibu mpaka pemben kidogo ya jengo la Gereza na kuweza kumpumzisha Baada ya dakika kadhaa "LINDA Unajisikiaje ? Aliuliza PENDO "Sijisikii vizur PENDO mmmmh! Najisikia kizungu zungu kwa mbali sijui nini " PENDO alitoa macho na kutizama pembeni akashusha pumzi na kumwangalia tena LINDA "LINDAA ! Una mimba ;?!! LINDA alistuka na kumtazama PENDO "Eeeeh! Mungu wangu mimii PENDO naomba usimwambie mtu jambo hili mmmmh Munguu wangu lakini ilikuwa siku moja tu " "LINDA inaonesha waz wakat afande anakufanyia tukio lile ulikuwa katika siku zako za hatar ..." "Nitafanyeje ?" "Mmmh ! Kiukweli hata sijui mm mwenyewe nimechanganyikiwa " "Nakuomba usimwambie mtu " "Usijali rafiki yangu basi jikaze turude ukasimamie wasiweze kuhis chochote muda umebaki kidogo tuelekee kuchukua chakula PENDO alimnyanyua na kuweza kusogea walipokuwa wenzao

...
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA SITA

#Brayton

SEHEMU YA SITA 
.................................
Usiku mmoja baadh ya maaskar kurejea majumban kwao afande MUGA aliamua kutumia,nafas ile na kuwahonga pesa baadh ya maaskar waliokuwepo zamu usiku huo na kuweza kumchukua msichana LINDA kutoka ndan ya gereza na kuelekea nae katika ofisi yake baada ya kufika tu Afande MUGA alimwomba LINDA aweze kuket kwenye kiti "Leo nina habar njema kwako najua fika zitakwenda kukufuarahisha hata Kama siyo Sana basi hata kiasi tu " aliongea Afande MUGA huku taratibu akionekana waz kumsogelea alipokuwa amekaa LINDA "Mmh Afande ni bora ungeneleza hizo habar mapema hili nijue ntazipokea vipi " aliongea LINDA Afande MUGA alifika na kusimama pemben ya LINDA na kupeleka mkono wake chin kulikuwa na mfuko mweus ambao aliweza kuibuka nao na kuuweka juu ya meza "Afande hiki nin ?" Aliuliza LINDA huku akionekana kuwa na waswas "Ondoa Shaka hii ni kwaajili yako chukua kisha  ufungue "
LINDA kwa woga aliuchukua mfuko ule na kuifungua kisha kutoa kilichomo ndan ilikuwa ni nguo  pamoja na viatu "Mmmmh ! Afande mbona Kama sielew hiv n kwaajil ya nan ? Aliuliza LINDA "Nan mwingine Kama siyo wewe MALKIA "
"Usinitanie Sasa unadhan hiz nguo ntavaa wakat Gan ikiwa tangu niingie humu ndan sale hii nloivaa ndo mavaz yetu ya siku zote au umeanza kuchanganyikiwa Afandee "
"Sikia Kama kuchanganyikiwa tu nimechanganyikiwa haswaa kwaajil yako "
"Mmh! Inaonekana waz acha nikalale zangu " LINDA aliongea vile na kunyanyuka kwenye kiti akitaka kuondoka Afande MUGA alimshika mkono "LINDA Nahitaj tutoke out Leo "
"Eee!!!??? ........ Unasemaa? LINDA hakuamin alichokisikia "Nataka Leo twende tukajirushe mim na wewe "
LINDA alipigwa ganzi kwa muda na kubakia akishangaa tu "Vipi uamin ?" Aliuliza afande "Siamin ....Siamin .. "Huku akijifuta machoz yaliyokwisha anza kumtiririka "Ila tutawezaje kutoka wakat mm n mfungwa tiyar "
"Hilo niachie mm Kama upo tayar twende"
"Navaa au" 
"Hapana utaenda kuvalia ndan ya gari "
Walitoka wakiwa wameongozana huku Afande MUGA akiwa amemfunga pingu msichana LINDA mikono yote miwili ili askar wasiweze kujua kwa urahis ni kipi ambacho kinaendelea wakat huo mkonon mwa Afande MUGA akiwa ameshikilia ule mfuko wenye Nguo walikwenda moja kwa moja mpk kuingia ndan ya gar ya Afande MUGA na kufanikiwa kutoka nje ya eneo la gereza LINDA alikuwa aamin macho yake aligeuka nyuma Mara kwa Mara kuhakikisha Kama kweli yupo nje gereza "LINDA nazid kukusisitiza usihofu ila nataka tu kitu kimoja toka kwako uaminifu usije ukajidanganya kunitoroka hutofika kokote pale " Afande MUGA alianza kumpa LINDA maneno ya vitisho "Siwez kufanya hivo "  Baada ya kufika mbele zaid afande MUGA alimfungua LINDA pingu na kuweza kumpatia zile nguo aweze kuzibadilishia ndan ya gari baada ya hapo Afande MUGA alitoa simu yake na kuonekana kuongea na mtu ,Alikuwa ni mdada ambaye hujishungulisha na kaz ya saloon za kike na Duka la mavazi  Afande alimpitisha akaweza kuoga na kurekebishwa kisha kubadilishiwa mavazi yake Yale aliyovalia ndan ya gar na kuvaa mavaz mengine Alionekana kupendeza kupita kias Afande MUGA alilipia gharama zote na kuweza kuondoka kuelekea club huku Afande MUGA nae akiwa amebadilisha mavaz yake ya kaz na kuvaa kiraia  "Afande Mpk sasa siamin kabisa ninachokiona " aliongea LINDA wakiwa ndan ya club wakinywa juisi "LINDA amin halafu naomba usiniite Afande utaharibu kila kitu Kwa Leo niite Baby "
"Mh! Poa ... Ila nashukuru Sana kwa kitendo hiki cha Leo furaha niliyo nayo sijawah hata siku moja kuipata " 
"Bado huu mwanzo Utafurah zaid ya hapa " wakat wakiendelea kunywa juis zao LINDA aliweza kumwona TABU "Baby Twende tukacheze mziki kidogo " Aliongea Afande MUGA wakat huo LINDA yupo bize akimtazama TABU "LINDA ..LINDA " Aliita Afande Ndipo LINDA akashtuka "Vipi uko sawa ? Afande aliuliza "Hapana Kuna mtu nimemwona aliyepelekea Mimi kuingia Gerezan "
"Utakuwa umemfananisha hebu jaribu kuacha mawazo nimekuleta huku tuinji "
"Baby yeye kabisa sijamfananisha " LINDA alinyanyuka kwenye kiti akitaka kumfuata Afande MUGA alisimama na  kumwahi haraka "LINDA unataka kuniudhi siyo  "
"Afande Siwez kuvumilia "
"Nimekwambia usiniite hilo jina Afande MUGA aliamua kumvuta LINDA na kutoka nae nje ya Club "Unataka kufanya nin LINDA na tumeongea nn kumbe hupend raha umezoea shida Sana "
"Afande naumia we hujui tu ni kias gan "
"Mim naona hatuelewan bora tuondoke utaniharibia tu" afande MUGA aliamua kuondoka na LINDA na kuelekea nae katika eneo la hotel "Huku tumeijia nn sasa ? A link is a LINDA baada ya kuingia katika chumba cha hoteli "We ni mtoto mdogo kwan "
"Naomba nirudishe tu gerezan siwez kufanya unachotaka "
"LINDA sis ni watu wazima siyo lazima ifikie hatua tutumie nguvu kwenye mambo yatakayo tufaidisha wote "
"Mimi sipo tayar "
Afande MUGA alimsukumia LINDA kitandan kisha akatoa pingu na kumfungia LINDA mkono wake kwenye kitanda kisha kutoa nguo zake pamoja na za LINDA na kuweza kumwingilia kimwili bila ridhaa yake Baada ya Siku ile kupita LINDA hakuonekana kuwa na furaha kabisa na kujitenga peke yake huku akiwa amejikunyata na machozi yakimtiririka PENDO alipomwona rafiki yake yupo kwenye hali ile alimfuata na kutaka kujua Ana matatzo yapi "LINDA Una nin ? "
"Sina tatzo "
"Mmhn! Upo kwenye hali hii halafu Una niongope huna tatzo au hupend nijue matatzo yako maana nimekuwa nikikuuliza lakin huwa hutak kuniambia nin kina kusumbua"
"PENDO tatzo nlo nalo hata nikikuambia hutonisaidia "
"Kama Una umwa ni bora useme tu utibiwe kumbuka mficha maradh "
"Mmh! PENDO naomba iwe siri yako usimwambie mtu nakuamin rafiki yangu "
"Usijali " aliongea PENDO huku akipeleka mkono wake na kumfuta LINDA machozi "PENDO Afande MUGA amenibaka "
"Nin !?.... LINDA ilikuaje ?
"PENDO Afande MUGA Ana nihitaj kimapenz Jana alinitoa nje ya gereza na kunipeleka Club "
"Anhaa Sasa napata picha ndo maana ulikawia kurud baada ya afande kukuchukua ule usiku Unataka kuniambia alipokupeleka Club mlikunywa pombe "
"Hapana tuliagiza juis baada ya hapo tukaondoka sikuwa najua ananipeleka wap nilistukia tu tunaingia hotel na kuanza kunilazimisha nifanye nae mapenz nilipojarbu kukataa alitoa pingu na kunifunga kisha kunibaka " aliongea LINDA kwa uchungu huku machoz yakiendelea kumtoka "Mmh! Pole rafiki yangu kumbe afande MUGA Ana tabia mbaya kias hiki "
"Sikutegemea Kama angenifanyie vile "
"Pole Sana Ila usikae hiv changamka "
Baada ya siku kadhaa kupita AMANDA aliamua kwenda tena nyumban kwa TABU alipofika hakutaka kupisha hodi aliingia moja kwa moja seburen na kumkuta TABU akiwa na mchumba wake "He..he..heeeen! We Unawazimu ! TABU aliongea na kunyanyuka alipokuwa amekaa kwenye kochi na mchumba wake "Wazimu wangu ndo nimekuja kukuonesha Leo " aliongea AMANDA huku akifungua mkoba wake na kutoa kisu kisha Mkoba wake kuutupia kwa nyuma huku akisohea taratbu  Mchumba wa TABU alipoona vile alinyanyuka na kumshika mchumba wake ili asiweze kumsogelea Amanda "Dada unajitakia mabaya huon kuwa ni kosa kuingia nyumban mwa watu kufanya fujo " aliongea mchumba wake TABU "Amanda unadhan naogopa hicho kisu chako sikuogopi Kama nilikula pesa yako hapo sawa sikula hata kumi yako " 
"Na utaungana na aliko enda BEN " aliongea Amanda huku akikiweka sawa kisu "LINDA ndo alomwuua mumewe Mimi kosa langu ni nin hapo "
"Kwan Baby kuna kitu Gan kinaendelea Kati yenu " Aliuliza mchumba wake TABU "Baby alinipa kazi nimsaidie hili anilipe pesa lakin  nanilipoona sijafanikiwa sikwenda kumdai hata Mia sasa nashangaa anavyo nifuatili "
"Dada naomba utoke kwa usalama tu kabla hayajakukuta makubwa

*_Mwendelezo 1000 tu njo inbox endelea kuinjoy na team🅱_*

CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA SITA #Brayton SEHEMU YA SITA ................................. Usiku mmoja baadh ya maaskar kurejea majumban kwao afande MUGA aliamua kutumia,nafas ile na kuwahonga pesa baadh ya maaskar waliokuwepo zamu usiku huo na kuweza kumchukua msichana LINDA kutoka ndan ya gereza na kuelekea nae katika ofisi yake baada ya kufika tu Afande MUGA alimwomba LINDA aweze kuket kwenye kiti "Leo nina habar njema kwako najua fika zitakwenda kukufuarahisha hata Kama siyo Sana basi hata kiasi tu " aliongea Afande MUGA huku taratibu akionekana waz kumsogelea alipokuwa amekaa LINDA "Mmh Afande ni bora ungeneleza hizo habar mapema hili nijue ntazipokea vipi " aliongea LINDA Afande MUGA alifika na kusimama pemben ya LINDA na kupeleka mkono wake chin kulikuwa na mfuko mweus ambao aliweza kuibuka nao na kuuweka juu ya meza "Afande hiki nin ?" Aliuliza LINDA huku akionekana kuwa na waswas "Ondoa Shaka hii ni kwaajili yako chukua kisha ufungue " LINDA kwa woga aliuchukua mfuko ule na kuifungua kisha kutoa kilichomo ndan ilikuwa ni nguo pamoja na viatu "Mmmmh ! Afande mbona Kama sielew hiv n kwaajil ya nan ? Aliuliza LINDA "Nan mwingine Kama siyo wewe MALKIA " "Usinitanie Sasa unadhan hiz nguo ntavaa wakat Gan ikiwa tangu niingie humu ndan sale hii nloivaa ndo mavaz yetu ya siku zote au umeanza kuchanganyikiwa Afandee " "Sikia Kama kuchanganyikiwa tu nimechanganyikiwa haswaa kwaajil yako " "Mmh! Inaonekana waz acha nikalale zangu " LINDA aliongea vile na kunyanyuka kwenye kiti akitaka kuondoka Afande MUGA alimshika mkono "LINDA Nahitaj tutoke out Leo " "Eee!!!??? ........ Unasemaa? LINDA hakuamin alichokisikia "Nataka Leo twende tukajirushe mim na wewe " LINDA alipigwa ganzi kwa muda na kubakia akishangaa tu "Vipi uamin ?" Aliuliza afande "Siamin ....Siamin .. "Huku akijifuta machoz yaliyokwisha anza kumtiririka "Ila tutawezaje kutoka wakat mm n mfungwa tiyar " "Hilo niachie mm Kama upo tayar twende" "Navaa au" "Hapana utaenda kuvalia ndan ya gari " Walitoka wakiwa wameongozana huku Afande MUGA akiwa amemfunga pingu msichana LINDA mikono yote miwili ili askar wasiweze kujua kwa urahis ni kipi ambacho kinaendelea wakat huo mkonon mwa Afande MUGA akiwa ameshikilia ule mfuko wenye Nguo walikwenda moja kwa moja mpk kuingia ndan ya gar ya Afande MUGA na kufanikiwa kutoka nje ya eneo la gereza LINDA alikuwa aamin macho yake aligeuka nyuma Mara kwa Mara kuhakikisha Kama kweli yupo nje gereza "LINDA nazid kukusisitiza usihofu ila nataka tu kitu kimoja toka kwako uaminifu usije ukajidanganya kunitoroka hutofika kokote pale " Afande MUGA alianza kumpa LINDA maneno ya vitisho "Siwez kufanya hivo " Baada ya kufika mbele zaid afande MUGA alimfungua LINDA pingu na kuweza kumpatia zile nguo aweze kuzibadilishia ndan ya gari baada ya hapo Afande MUGA alitoa simu yake na kuonekana kuongea na mtu ,Alikuwa ni mdada ambaye hujishungulisha na kaz ya saloon za kike na Duka la mavazi Afande alimpitisha akaweza kuoga na kurekebishwa kisha kubadilishiwa mavazi yake Yale aliyovalia ndan ya gar na kuvaa mavaz mengine Alionekana kupendeza kupita kias Afande MUGA alilipia gharama zote na kuweza kuondoka kuelekea club huku Afande MUGA nae akiwa amebadilisha mavaz yake ya kaz na kuvaa kiraia "Afande Mpk sasa siamin kabisa ninachokiona " aliongea LINDA wakiwa ndan ya club wakinywa juisi "LINDA amin halafu naomba usiniite Afande utaharibu kila kitu Kwa Leo niite Baby " "Mh! Poa ... Ila nashukuru Sana kwa kitendo hiki cha Leo furaha niliyo nayo sijawah hata siku moja kuipata " "Bado huu mwanzo Utafurah zaid ya hapa " wakat wakiendelea kunywa juis zao LINDA aliweza kumwona TABU "Baby Twende tukacheze mziki kidogo " Aliongea Afande MUGA wakat huo LINDA yupo bize akimtazama TABU "LINDA ..LINDA " Aliita Afande Ndipo LINDA akashtuka "Vipi uko sawa ? Afande aliuliza "Hapana Kuna mtu nimemwona aliyepelekea Mimi kuingia Gerezan " "Utakuwa umemfananisha hebu jaribu kuacha mawazo nimekuleta huku tuinji " "Baby yeye kabisa sijamfananisha " LINDA alinyanyuka kwenye kiti akitaka kumfuata Afande MUGA alisimama na kumwahi haraka "LINDA unataka kuniudhi siyo " "Afande Siwez kuvumilia " "Nimekwambia usiniite hilo jina Afande MUGA aliamua kumvuta LINDA na kutoka nae nje ya Club "Unataka kufanya nin LINDA na tumeongea nn kumbe hupend raha umezoea shida Sana " "Afande naumia we hujui tu ni kias gan " "Mim naona hatuelewan bora tuondoke utaniharibia tu" afande MUGA aliamua kuondoka na LINDA na kuelekea nae katika eneo la hotel "Huku tumeijia nn sasa ? A link is a LINDA baada ya kuingia katika chumba cha hoteli "We ni mtoto mdogo kwan " "Naomba nirudishe tu gerezan siwez kufanya unachotaka " "LINDA sis ni watu wazima siyo lazima ifikie hatua tutumie nguvu kwenye mambo yatakayo tufaidisha wote " "Mimi sipo tayar " Afande MUGA alimsukumia LINDA kitandan kisha akatoa pingu na kumfungia LINDA mkono wake kwenye kitanda kisha kutoa nguo zake pamoja na za LINDA na kuweza kumwingilia kimwili bila ridhaa yake Baada ya Siku ile kupita LINDA hakuonekana kuwa na furaha kabisa na kujitenga peke yake huku akiwa amejikunyata na machozi yakimtiririka PENDO alipomwona rafiki yake yupo kwenye hali ile alimfuata na kutaka kujua Ana matatzo yapi "LINDA Una nin ? " "Sina tatzo " "Mmhn! Upo kwenye hali hii halafu Una niongope huna tatzo au hupend nijue matatzo yako maana nimekuwa nikikuuliza lakin huwa hutak kuniambia nin kina kusumbua" "PENDO tatzo nlo nalo hata nikikuambia hutonisaidia " "Kama Una umwa ni bora useme tu utibiwe kumbuka mficha maradh " "Mmh! PENDO naomba iwe siri yako usimwambie mtu nakuamin rafiki yangu " "Usijali " aliongea PENDO huku akipeleka mkono wake na kumfuta LINDA machozi "PENDO Afande MUGA amenibaka " "Nin !?.... LINDA ilikuaje ? "PENDO Afande MUGA Ana nihitaj kimapenz Jana alinitoa nje ya gereza na kunipeleka Club " "Anhaa Sasa napata picha ndo maana ulikawia kurud baada ya afande kukuchukua ule usiku Unataka kuniambia alipokupeleka Club mlikunywa pombe " "Hapana tuliagiza juis baada ya hapo tukaondoka sikuwa najua ananipeleka wap nilistukia tu tunaingia hotel na kuanza kunilazimisha nifanye nae mapenz nilipojarbu kukataa alitoa pingu na kunifunga kisha kunibaka " aliongea LINDA kwa uchungu huku machoz yakiendelea kumtoka "Mmh! Pole rafiki yangu kumbe afande MUGA Ana tabia mbaya kias hiki " "Sikutegemea Kama angenifanyie vile " "Pole Sana Ila usikae hiv changamka " Baada ya siku kadhaa kupita AMANDA aliamua kwenda tena nyumban kwa TABU alipofika hakutaka kupisha hodi aliingia moja kwa moja seburen na kumkuta TABU akiwa na mchumba wake "He..he..heeeen! We Unawazimu ! TABU aliongea na kunyanyuka alipokuwa amekaa kwenye kochi na mchumba wake "Wazimu wangu ndo nimekuja kukuonesha Leo " aliongea AMANDA huku akifungua mkoba wake na kutoa kisu kisha Mkoba wake kuutupia kwa nyuma huku akisohea taratbu Mchumba wa TABU alipoona vile alinyanyuka na kumshika mchumba wake ili asiweze kumsogelea Amanda "Dada unajitakia mabaya huon kuwa ni kosa kuingia nyumban mwa watu kufanya fujo " aliongea mchumba wake TABU "Amanda unadhan naogopa hicho kisu chako sikuogopi Kama nilikula pesa yako hapo sawa sikula hata kumi yako " "Na utaungana na aliko enda BEN " aliongea Amanda huku akikiweka sawa kisu "LINDA ndo alomwuua mumewe Mimi kosa langu ni nin hapo " "Kwan Baby kuna kitu Gan kinaendelea Kati yenu " Aliuliza mchumba wake TABU "Baby alinipa kazi nimsaidie hili anilipe pesa lakin nanilipoona sijafanikiwa sikwenda kumdai hata Mia sasa nashangaa anavyo nifuatili " "Dada naomba utoke kwa usalama tu kabla hayajakukuta makubwa *_Mwendelezo 1000 tu njo inbox endelea kuinjoy na team🅱_*

...
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA TANO

B professional love 

SEHEMU YA TANO 
.................................
Baada ya kupambazuka NYANZARA aliamua kumpatia adhabu ya kufyeka nyasi kwa kumpangia eneo kubwa na kutaka wakat wa chakula utakapo fika asionekane LINDA akiwa anaendelea na adhabu aliyopewa alikuja afande MUGA na kuweza kuongea na NYANZARA ndipo NYANZARA akaonekana kumwita LINDA ,LINDA aliacha fyekeo na kwenda kumsikiliza "Afande anakuita kaongee nae hakikisha hii kazi unaimaliza ukileta ubishi utakufa njaa  " aliongea NYANZARA ,LINDA alimfuata Askar MUGA mpk ofisin kwake "LINDA pole Sana "aliongea Askar LINDA hakumjibu chochote kile "Usiwe mkimya ongea na Mimi nikusaidie "
"Afande Mimi siwez naogopa " 
"Hakuna cha kuogopa hakuna atakae jua na haswaaa nitakuwa nikikuiba nyakat za usiku wanapokuwa wamelala wenzio na kwenda kufurah nje ya gereza pamoja au unapenda kuteseka hiv unavyo teseka " Maneno ya afande MUGA yakaanza kumwingia taratibu "Lakin NYANZARA anavonifanyia siyo vizur Chakula cha Leo sintokipata ndo adhabu yangu pamoja na kufyeka eneo lile lote kubwa ulilonikuta "
"Usijali nenda kaniitie afu mm ntaonana nawewe Usiku " LINDA alitoka na kwenda kumwita NYANZARA Kuna kitu ambacho aliambiwa na afande akaonekana akiwa amechukia na kwenda kumwambia LINDA aweze kuachana na ile kazi na kurud ndan ya gereza 
Ilipofika majira ya usiku wafungwa wote wakiwa wamelala Afande MUGA hakuweza kwenda nyumban kwake mpk atakapoona na LINDA aliweza kuongea na askar aliyekuepo lindo sehemu ile ya gereza na kuweza kumpatia chochote kitu ili aweze kuonana na LINDA yule askar alifungua get na kwenda kumwamsha LINDA na kutoka nae nje afande MUGA aliweza kusogea nae kwa pemben hili waweze kuongea "Ulikuwa umelala ?" Aliuliza afande "Ndiyo niliona umechelewa Sana nanilikuwa na usingizi "alijibu LINDA huku akipikicha macho yake kwa mikono na kupiga mihayo "Sawa sasa nisikilize nahitaj jibu langu la swali nililokuuliza asubuh uko tiyar ama ? 
LINDA alikuwa akiangalia huku na huku huku akikuna kichwa chake kutafuta jibu "Niambie " aliongea afande MUGA "Nimekubali "
"Safi Sana huto jutia nakuapia Utafurahia kuwa namm utaona ulichelewa " alisema afande MUGA na kumsogelea kwa karibu LINDA huku akijaribu kupeleka midomo yake katika shavu la LINDA ,LINDA aliwah kumzuia "Nini sasa ? Aliuliza afande "Unataka kufanya nn Tutaonekana we huon kuna maaskar wanazunguka niache nikalale jibu lako nimeshakupa "
"Haya we nenda kalale nitakuona kesho sasa naweza kurud nyumban nikiwa na furaha "Aliongea fiance MUGA na kuweza kumrudisha LINDA ndani 
Baada ya kupambazuka nje ya eneo la mahakama nyumban kwao na LINDA anaonekana mama yake mdogo na LINDA akiingia ndani Mama yake LINDA alipomwona mdogo wake alimtaka aondoke "Dada mim naomba unisamehe sikujua Kama yatakuwa haya ningelijua hata nisingelifanya " 
"Amanda wewe ni mtu mbaya Sana sidhan Kama kweli wew ni ndugu yangu wa damu kwel wa kufanya hivi na kwann hukunishirikisha unajichukilia tu maamuz " aliongea mama yake LINDA huku akionekana kuwa na hasira "Dada punguza hasira nimekosa nimejua sawa nakuomba msamaha siku zote hiz je nisingekwambia hilo jambo ungejua "
Sasa Kama huku taka nijue kwann ulinambia najua umefurah kuona mwanangu anaozea jela umefanikiwa "
"Mim naomba tuyamalize tu nilifanya hiv kukusaidia kumbuka ulitaka BEN asiendee kuwa na mwanao nikaona bora nimtafute yule binti ila sikuwa najua Kama yangetokea haya "
"Amanda usijitetee mim sinto kusamehe mpk nakufa mtoto Ana uma "
"Lakin mim ni ndugu yako kumbuka "
"Mmh potea mbali naomba utokee kwangu " Mama LINDA alimsukuma na kumtoa mdogo wake njee na kufunga mlango wake alirud na kukaa kwenye kochi huku machozi yakimtoka 
Baada ya siku kadhaa kupita Amanda aliamua kwenda alipokuwa anakaa TABU lakin hakuweza kumkuta kwa kuwa alikuwa kaisha hama baada ya lile tukio kutokea aliamua kumtafuta mtu wa karbu na TABU na kuweza kuelekezwa alipoamia Hakutaka kuchelewa alimua moja kwa moja kwenda mpk nyumba aliyoelekezwa baada ya kufika na kubisha hodi TABU akiwa seburen ameweka Headphone masikion akisikiliza mizik aliweza kusikia hod kwa mbali aliitoa aweze kuhakikisha alipoona n kwake alinyanyuka na kusogea kufungua mlango na kukuta ni Amanda TABU alishtuka na kutaka kuwah kurudishia mlango Amanda aliusukuma na kuweza kuingia ndani "Unafunga nn sasa unadhan nisinge pajua ulipoamia" aliongea AMANDA "Lakin sikuja kukudai pesa ulizo niahid utanipatia "Aliongea TABU "Kwasababu ulijua ulilolifanya "
"Amanda ulinipa kaz niliamua kufanya vile kwaajili yako uliniomba mim na mpenz wangu pia unadhan angejua hili ingekuaje "
"Anhaaa ko wewe uloyafanya n mazur "
"Mim nilifanya Kama ulivotaka nifanye "
"Nilikwambia uende nyumban kwake "
"Amanda hayo yashapita bwana Kama Una dili jingine nambie ila Kama umekuja na Yale Yale naomba tu ungefanya uende "
"TABU naondoka labda na hapa uame nitarud "
"Bwana Eeeh! Sikukulazimisha  unitafute tusitishane sijala hata shiling tano yako usinisumbue na hapa wala sinto hama nihame kwaajil yako Ina husu " AMANDA alimtazama kwa hasira na kuamua kuondoka "Mxxxxxxiiiiu watu wengine Hela yenyewe hajanlipa kunisumbua tu" alirud kukaa na kurudisha headphone masikion kwake 
Katika maeneo ya gerezan NYANZARA alivuliwa uongoz na kukabidhiwa msichana LINDA aweze kuongoza LINDA aliamua kutoa woga wake wote kwakua alikuwa tayar kapata uongoz na NYANZARA Kuwa chin yake Siku mbili baadae Afande MUGA alimwita LINDA ofisin kwake waweze kuongea "Unajisikiaje sasa ?" Aliuliza Afande "Nafuraha kupita kias sikujua Kama ni raha kias hiki "
"Nilijua utakuwa mpole kumbe na wewe humo Eeh"
"Unajua unapopata nafas itumie acha niitumie "
"Hii inakufaa tena haswaaa na ulivo mzuri hukufaa hata kidogo kuteseka wewe ni MALKIA "
"Hahahahaa Afande inamaana mm ni mzur kias hiko "
"Ndiyo we unadhan kwann nimekuchagua wewe kwan hao wengine sikuwaona waliofika kabla yako "
"Haya Bhana ahsante "
Majira ya usiku LINDA akiwa na PENDO ,PENDO alitaka kujua kuna nn kinaendelea "LINDA kuna kitu ambacho unanificha haiwezekan wewe hauna hata muda mrefu tangu umeingia halafu Leo hii wewe ni NYAMPAL A" aliuliza PENDO "Mh! Kwahyo labda wewe unahis kuna kitu gani ?
"Mimi sijui ila ndo nataka kujua wewe n rafiki yangu usinifiche niweke waz nijue "
"PENDO hakuna chochote kile wameamua kwasababu wameona ninafaa kuwa "
"mmmh Haya "
Siku iliyofuata wafungwa wote wakiwa wanafyeka nyasi NYANZARA alikuwa amekaa chini ya mti hafany chochote kile LINDA alipomwuona alimfuata na kumpa fyekeo "wewe usijifanye huon wenzio wanachokifanya ufanye kunyanyuka hapo ukafanye kaz" aliongea LINDA "Sifanyi lolote naomba uniachee "
"Utanyanyuka unyanyuki "
"Nimeshasema sifanyi "
LINDA aliondoka na kwenda kumfuata afande MUGA ,Afande MUGA alikwenda na kumwamrisha NYANZARA aweze kufanya anacho amrishwa na kiongozi wake Baada ya afande kuondoka NYANZARA alinyanyuka kwa hasira na kuanza kupigana na LINDA wafungwa wenzao waliacha kifanya kaz na kusogea kushangalia ugomvi ule ndipo maaskar waliokuepo karibu walisogea na kuwaamua afande MUGA aliamua kumpa adhabu NYANZARA kwa kumpatia eneo kubwa ambalo atakiwa akifanya usafi kila siku mpk atakapo limaliza lote huku akisimamiwa na LINDA pamoja na askar mmoja ambaye alikuwa akiwasimamia tangu mwanzon kumsimamia aweze kuifanya adhabu ile kadri ya siku zilivo zid kwenda na LINDA kuzoea uongoz wake alikuwa akiwapelekesha Sana wafungwa wenzie na wengine kutokea kumchukia ila hakuonekana kujali hilo kwa kuwa alikuwa tayar ana mtu ambaye anamtegemea Sana ila rafiki yake PENDO alikuwa akijarbu Sana kuomwomba LINDA aweze kubadilika Tabia yake na kuweza kukaa vizur na wenzake ila ilo lilikuwa n gumu Sana kwa LINDA

*_Ukitaka mwendelezo wa chembezo yetu tamu ya malkia wa jera na zingine tamu lipa 1000 tu utap utamu Asante_*

CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA TANO B professional love SEHEMU YA TANO ................................. Baada ya kupambazuka NYANZARA aliamua kumpatia adhabu ya kufyeka nyasi kwa kumpangia eneo kubwa na kutaka wakat wa chakula utakapo fika asionekane LINDA akiwa anaendelea na adhabu aliyopewa alikuja afande MUGA na kuweza kuongea na NYANZARA ndipo NYANZARA akaonekana kumwita LINDA ,LINDA aliacha fyekeo na kwenda kumsikiliza "Afande anakuita kaongee nae hakikisha hii kazi unaimaliza ukileta ubishi utakufa njaa " aliongea NYANZARA ,LINDA alimfuata Askar MUGA mpk ofisin kwake "LINDA pole Sana "aliongea Askar LINDA hakumjibu chochote kile "Usiwe mkimya ongea na Mimi nikusaidie " "Afande Mimi siwez naogopa " "Hakuna cha kuogopa hakuna atakae jua na haswaaa nitakuwa nikikuiba nyakat za usiku wanapokuwa wamelala wenzio na kwenda kufurah nje ya gereza pamoja au unapenda kuteseka hiv unavyo teseka " Maneno ya afande MUGA yakaanza kumwingia taratibu "Lakin NYANZARA anavonifanyia siyo vizur Chakula cha Leo sintokipata ndo adhabu yangu pamoja na kufyeka eneo lile lote kubwa ulilonikuta " "Usijali nenda kaniitie afu mm ntaonana nawewe Usiku " LINDA alitoka na kwenda kumwita NYANZARA Kuna kitu ambacho aliambiwa na afande akaonekana akiwa amechukia na kwenda kumwambia LINDA aweze kuachana na ile kazi na kurud ndan ya gereza Ilipofika majira ya usiku wafungwa wote wakiwa wamelala Afande MUGA hakuweza kwenda nyumban kwake mpk atakapoona na LINDA aliweza kuongea na askar aliyekuepo lindo sehemu ile ya gereza na kuweza kumpatia chochote kitu ili aweze kuonana na LINDA yule askar alifungua get na kwenda kumwamsha LINDA na kutoka nae nje afande MUGA aliweza kusogea nae kwa pemben hili waweze kuongea "Ulikuwa umelala ?" Aliuliza afande "Ndiyo niliona umechelewa Sana nanilikuwa na usingizi "alijibu LINDA huku akipikicha macho yake kwa mikono na kupiga mihayo "Sawa sasa nisikilize nahitaj jibu langu la swali nililokuuliza asubuh uko tiyar ama ? LINDA alikuwa akiangalia huku na huku huku akikuna kichwa chake kutafuta jibu "Niambie " aliongea afande MUGA "Nimekubali " "Safi Sana huto jutia nakuapia Utafurahia kuwa namm utaona ulichelewa " alisema afande MUGA na kumsogelea kwa karibu LINDA huku akijaribu kupeleka midomo yake katika shavu la LINDA ,LINDA aliwah kumzuia "Nini sasa ? Aliuliza afande "Unataka kufanya nn Tutaonekana we huon kuna maaskar wanazunguka niache nikalale jibu lako nimeshakupa " "Haya we nenda kalale nitakuona kesho sasa naweza kurud nyumban nikiwa na furaha "Aliongea fiance MUGA na kuweza kumrudisha LINDA ndani Baada ya kupambazuka nje ya eneo la mahakama nyumban kwao na LINDA anaonekana mama yake mdogo na LINDA akiingia ndani Mama yake LINDA alipomwona mdogo wake alimtaka aondoke "Dada mim naomba unisamehe sikujua Kama yatakuwa haya ningelijua hata nisingelifanya " "Amanda wewe ni mtu mbaya Sana sidhan Kama kweli wew ni ndugu yangu wa damu kwel wa kufanya hivi na kwann hukunishirikisha unajichukilia tu maamuz " aliongea mama yake LINDA huku akionekana kuwa na hasira "Dada punguza hasira nimekosa nimejua sawa nakuomba msamaha siku zote hiz je nisingekwambia hilo jambo ungejua " Sasa Kama huku taka nijue kwann ulinambia najua umefurah kuona mwanangu anaozea jela umefanikiwa " "Mim naomba tuyamalize tu nilifanya hiv kukusaidia kumbuka ulitaka BEN asiendee kuwa na mwanao nikaona bora nimtafute yule binti ila sikuwa najua Kama yangetokea haya " "Amanda usijitetee mim sinto kusamehe mpk nakufa mtoto Ana uma " "Lakin mim ni ndugu yako kumbuka " "Mmh potea mbali naomba utokee kwangu " Mama LINDA alimsukuma na kumtoa mdogo wake njee na kufunga mlango wake alirud na kukaa kwenye kochi huku machozi yakimtoka Baada ya siku kadhaa kupita Amanda aliamua kwenda alipokuwa anakaa TABU lakin hakuweza kumkuta kwa kuwa alikuwa kaisha hama baada ya lile tukio kutokea aliamua kumtafuta mtu wa karbu na TABU na kuweza kuelekezwa alipoamia Hakutaka kuchelewa alimua moja kwa moja kwenda mpk nyumba aliyoelekezwa baada ya kufika na kubisha hodi TABU akiwa seburen ameweka Headphone masikion akisikiliza mizik aliweza kusikia hod kwa mbali aliitoa aweze kuhakikisha alipoona n kwake alinyanyuka na kusogea kufungua mlango na kukuta ni Amanda TABU alishtuka na kutaka kuwah kurudishia mlango Amanda aliusukuma na kuweza kuingia ndani "Unafunga nn sasa unadhan nisinge pajua ulipoamia" aliongea AMANDA "Lakin sikuja kukudai pesa ulizo niahid utanipatia "Aliongea TABU "Kwasababu ulijua ulilolifanya " "Amanda ulinipa kaz niliamua kufanya vile kwaajili yako uliniomba mim na mpenz wangu pia unadhan angejua hili ingekuaje " "Anhaaa ko wewe uloyafanya n mazur " "Mim nilifanya Kama ulivotaka nifanye " "Nilikwambia uende nyumban kwake " "Amanda hayo yashapita bwana Kama Una dili jingine nambie ila Kama umekuja na Yale Yale naomba tu ungefanya uende " "TABU naondoka labda na hapa uame nitarud " "Bwana Eeeh! Sikukulazimisha unitafute tusitishane sijala hata shiling tano yako usinisumbue na hapa wala sinto hama nihame kwaajil yako Ina husu " AMANDA alimtazama kwa hasira na kuamua kuondoka "Mxxxxxxiiiiu watu wengine Hela yenyewe hajanlipa kunisumbua tu" alirud kukaa na kurudisha headphone masikion kwake Katika maeneo ya gerezan NYANZARA alivuliwa uongoz na kukabidhiwa msichana LINDA aweze kuongoza LINDA aliamua kutoa woga wake wote kwakua alikuwa tayar kapata uongoz na NYANZARA Kuwa chin yake Siku mbili baadae Afande MUGA alimwita LINDA ofisin kwake waweze kuongea "Unajisikiaje sasa ?" Aliuliza Afande "Nafuraha kupita kias sikujua Kama ni raha kias hiki " "Nilijua utakuwa mpole kumbe na wewe humo Eeh" "Unajua unapopata nafas itumie acha niitumie " "Hii inakufaa tena haswaaa na ulivo mzuri hukufaa hata kidogo kuteseka wewe ni MALKIA " "Hahahahaa Afande inamaana mm ni mzur kias hiko " "Ndiyo we unadhan kwann nimekuchagua wewe kwan hao wengine sikuwaona waliofika kabla yako " "Haya Bhana ahsante " Majira ya usiku LINDA akiwa na PENDO ,PENDO alitaka kujua kuna nn kinaendelea "LINDA kuna kitu ambacho unanificha haiwezekan wewe hauna hata muda mrefu tangu umeingia halafu Leo hii wewe ni NYAMPAL A" aliuliza PENDO "Mh! Kwahyo labda wewe unahis kuna kitu gani ? "Mimi sijui ila ndo nataka kujua wewe n rafiki yangu usinifiche niweke waz nijue " "PENDO hakuna chochote kile wameamua kwasababu wameona ninafaa kuwa " "mmmh Haya " Siku iliyofuata wafungwa wote wakiwa wanafyeka nyasi NYANZARA alikuwa amekaa chini ya mti hafany chochote kile LINDA alipomwuona alimfuata na kumpa fyekeo "wewe usijifanye huon wenzio wanachokifanya ufanye kunyanyuka hapo ukafanye kaz" aliongea LINDA "Sifanyi lolote naomba uniachee " "Utanyanyuka unyanyuki " "Nimeshasema sifanyi " LINDA aliondoka na kwenda kumfuata afande MUGA ,Afande MUGA alikwenda na kumwamrisha NYANZARA aweze kufanya anacho amrishwa na kiongozi wake Baada ya afande kuondoka NYANZARA alinyanyuka kwa hasira na kuanza kupigana na LINDA wafungwa wenzao waliacha kifanya kaz na kusogea kushangalia ugomvi ule ndipo maaskar waliokuepo karibu walisogea na kuwaamua afande MUGA aliamua kumpa adhabu NYANZARA kwa kumpatia eneo kubwa ambalo atakiwa akifanya usafi kila siku mpk atakapo limaliza lote huku akisimamiwa na LINDA pamoja na askar mmoja ambaye alikuwa akiwasimamia tangu mwanzon kumsimamia aweze kuifanya adhabu ile kadri ya siku zilivo zid kwenda na LINDA kuzoea uongoz wake alikuwa akiwapelekesha Sana wafungwa wenzie na wengine kutokea kumchukia ila hakuonekana kujali hilo kwa kuwa alikuwa tayar ana mtu ambaye anamtegemea Sana ila rafiki yake PENDO alikuwa akijarbu Sana kuomwomba LINDA aweze kubadilika Tabia yake na kuweza kukaa vizur na wenzake ila ilo lilikuwa n gumu Sana kwa LINDA *_Ukitaka mwendelezo wa chembezo yetu tamu ya malkia wa jera na zingine tamu lipa 1000 tu utap utamu Asante_*

...
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA NNE
     
    By

*B professional love*

SEHEMU YA NNE
..................................
Baada ya kuniona pale ghafla alistuka na kuvuta shuka na kujifunika gubigubi Nilisogea huku nikiwa nimejawa na hasira kisha kulivuta lile shuka na kulitupa chini "Unajificha nini GEOFREY naona safar yako nzur nimeipenda Sana hapa ndo safarin ? "Niliongea maneno yake huku kifua kikiwa kimenibana kwa hasira "PENDO nisamehe Baby shetan kanipitia "Aliongea GEOFREY huku akijibana bana pale kitandani Yule msichana alisogea karbu Nam "we Dada vipi mbona mnapenda kuharbu starehe za watu we huyu unamjua au Umalaya tu " aliongea yule Dada nilijikuta napatwa na hasira na kumsukuma na kumgeukia GEOFREY kutaka anambie kwanini kaniongopea Mara ikasikika kelele ya saut ambayo haikutokea mbali nasi nilipogeuka alikuwa ni yule Dada baada ya kumsukuma alienda kujigonga ukutani na kuumia sehemu ya kichwan kelele zile zilipenya mpk nje ya chumba kile ikawastua mpk watu waliokuwemo ndan ya hotel ile DINA na yule Dada wa Reception waliamua kuja moja kwa moja mpk ndan ya chumba tulichokuepo na kukuta yule Dada akiwa chin kaegemea ukutan huku michiliz ya damu ikitiririka ukutan GEOFREY alitumia nafas ile na kuweza kupenya na kukimbia akiwa amevalia boksa Dada wa reception alibak akitetemeka PENDO alimwomba rafiki yake DINA simu na kuweza kuwapigia polisi na kujisalimisha mikonon mwao 
"Mmmh ! Pole Sana PENDO ila lako linaonekana kubwa kuliko langu "Alisema LINDA katika maeneo ya kule Gerezan NYANZARA alipostuka usingizin alishangaa kuona LINDA hayupo kwa kuwa alimtenga na PENDO na kumweka karbu na alipokuwa amelala alinyanyuka na kuangalia alipokuwa PENDO nae hakuweza kumwona alifuata kamba yake na kuanza kuzunguka akiwatafuta na kuweza kuwakuta wakiwa wamejificha wakiongea aliwaamuru wamfuate huku wakiwa wanatembea kwa magoti mpk kwa askar wasimamiz wa Gereza hilo na kuweza kuhadhibiwa na kupewa adhabu ya kufyeka nyasi usiku kucha huku wakilindwa na askar hakuna kula wala kulala mom adhabu yao itakapoisha 
Kula wala kulala mpaka watakapokuwa wameimaliza adhabu yao lakin askar baada ya kuona kuwa wamechoka Sana na muda umekwenda aliamua kuondoka nao na kuwarudisha ndan ya gereza baada ya kupambazuka wafungwa wengine wakiwa wameshaamka LINDA na PENDO walikuwa bado wamelala kutokana na adhabu ya Jana pamoja na njaa NYANZARA alisogea mpka walipokuwa wamelala na kuwakurupua waamke haraka na kwenda kuchukua chakula walipochukua Kama kawaida yao walienda kujitenga pemben "PENDO maisha ya hapa yamenishinda nataman leo kesho nijifie nikapimzike tu " Huku vichozi vyembamba vikimlenga machon "LINDA utazoea tu hakun a jinsi kila mtu alikuja Kama ulivo wewe ila wameshazoea na kuona ni hali ya kawaida tu "
"PENDO itakuwa ngumu sisi wakulala njaa tunafanyishwa kaz mpk usiku wa manane tunampepea binadam mwenzetu asiumwe mbu kweli hii haki ?" 
"Mmh! Hii mbona ni kawaida ndo maana nakwambia utazoea tu taratibu hakuna namna "
"Kwann huyu NYANZARA anakuwa mkatiri kiasi hiki hajui sisi n wasichana wenzie "
"Usimwazie we vumilia haya yote yana mwisho wake
Baada ya Miez kadhaa kupita LINDA akiwa anafagia fagia eneo la nje ya ofisi ya Askari alitoka askari mmoja umri wake ulikuwa umekwenda kwenda  aliyejulikana kwa jina la Afande MUGA  na kuweza kusogea pale alipokuwa akifagia fagia LINDA ,,LINDA akiwa hana hili wala lile akawa anaendelea kufagia bila ya kujua kwa nyuma yake kuna mtu Afande MUGA alikuwa akiangalia maungo ya nyuma ya msichana LINDA na kuamua kumsogelea na kumshika LINDA alistuka na kuinuka kumtazama "Binti unafanya usafi " Aliuloza Afande 
LINDA aliitikia kwa kutikisa kichwa Afande MUGA aliangaza huku na kule alipoona hakuna askar yeyote yule Alisogea na kumshika LINDA pegan LINDA alimtoa mkono na kurud nyuma "Usiogope Nataka kukusaidia na Kama utakubal nitakacho kwambia utaishi kwa aman Sana humu ndan utakula vizur tofauti na wenzako "
LINDA alikuwa akimtizama Askar yule kwa woga huku akionekana kutetemeka 
"Skia Binti kwanza unaitwa nan ?
"LI...LINDA "
"Unajina zur sina Sasa akili yako itakuokoa Nataka uwe mpenzi wangu nahii iwe siri yetu hakuna hatakae jua yoyote yule hapo utaish kwa aman na utakula vizur "
Kabla hawajamaliza kuongea alitokea PENDO 
"LINDA fikiria "Aliongea Afande na kuondoka 
PENDO alibakia akishangaa bila kujua ni kipi kilikuwa kikiendelea Kati ya askar na LINDA 
"LINDA vipi kuna usalama hapa "
"Ndiyo hakuna kitu "
NYANZARA akiwa kwa mbali aliweza kuwaona wakiwa wamesimama pale aliweza kuwafuata na kuwaomba waondoke haraka eneo lile 
Muda wa usiku wakiwa ndan ya gereza LINDA alionekana kufikiria Sana maneno aliyoambiwa na yule askar alipokuwa akifanya usaf aliingia katika mawazo mazito juu ya jambo lile PENDO alipomwangalia alimwona hayupo sawa alinyanyuka mahala alipokuwa amekaa na kumsogelea LINDA 
"LINDA?!" Alijaribu kumwita lakin LINDA hakuonekana kuwepo eneo hilo PENDO alijarbu kuweka mkono wake mbele ya uso wa LINDA na kuchezesha vidole vyake kujarbu kuona Kama atafanya chochote lakn bado alionekana kuwa na mawazo Aliamua kumshika began na kumtikisa  ndipo LINDA akastuka na kujikuta akiropoka "Usinifanyie ivoo"
"Mmh ! LINDA Una nini ?" Aliuliza PENDO "MH! hakuna kitu nimekumbuka Sana uraiani nimemkumbuka mama yangu PENDO " 
"Hapana siyo kweli LINDA kuna kitu unanificha "
"PENDO hakuna nitakachoweza kukuficha ni kweli " NYANZARA alipowaona aliwafuata pale walipo "Ni Mara ngapi nawaambia sitaki mkae pamoja " Aliongea NYANZARA kwa saut ya ukali "lakini ............" Alitaka kuongea PENDO lakin NYANZARA alimzuia "Sasa Leo hamto Lala Mtanipepea Mbu mpk asubuh haya nyanyuken " PENDO alinyanyuka haraka pale chini ila LINDA akawa bado amekaa akionesha kukaid amri ile "Wewe ndo mbishi siyo umesha kuwa " Aliongea NYANZARA "Mim nimechoka kila siku sisi Nimechoka mm sifanyi nahitaji kupumzika Kama wewe " LINDA alijibu huku machoz yakim mwagika "Oooooh! Sasa Utakula jeur yako kumbe hunijui vizur Eeeh Huwa huna tabia ya kuuliza wenzio Mimi amri yangu huwa haikaidiwi hata Mara moja utafanya nachokitaka PENDO rudi ukae "
"Ahsanteee" alisema PENDO na kurud kukaa "Binti nyanyuka hapo " NYANZARA aliongea kwa sauti ya juu Wafungwa wenzao walibaki wakiangalia ni kipi kitafuata baada ya LINDA kukaid amri ile NYANZARA aliinama na kumshika mkono kisha kumvuta anyanyuke kwa lazima na kumsukuma mahala ambapo huwa analala kisha kumpatia cha kujipepelea na kumwamrisha afuate Kama alivyoambiwa LINDA alikitupa kile cha kujipepelea NYANZARA alimshika na kuanza kumpiga huku akitaka mtu yeyote asisogee na kuamua ugomvi ule mpaka pale atakapoona inatosha PENDO roho ilimwuuma Sana kwa kile kitendo kilichotokea ila hakuwa na namna ya kufanya kumwokoa rafiki yake LINDA 
_______________

CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA NNE By *B professional love* SEHEMU YA NNE .................................. Baada ya kuniona pale ghafla alistuka na kuvuta shuka na kujifunika gubigubi Nilisogea huku nikiwa nimejawa na hasira kisha kulivuta lile shuka na kulitupa chini "Unajificha nini GEOFREY naona safar yako nzur nimeipenda Sana hapa ndo safarin ? "Niliongea maneno yake huku kifua kikiwa kimenibana kwa hasira "PENDO nisamehe Baby shetan kanipitia "Aliongea GEOFREY huku akijibana bana pale kitandani Yule msichana alisogea karbu Nam "we Dada vipi mbona mnapenda kuharbu starehe za watu we huyu unamjua au Umalaya tu " aliongea yule Dada nilijikuta napatwa na hasira na kumsukuma na kumgeukia GEOFREY kutaka anambie kwanini kaniongopea Mara ikasikika kelele ya saut ambayo haikutokea mbali nasi nilipogeuka alikuwa ni yule Dada baada ya kumsukuma alienda kujigonga ukutani na kuumia sehemu ya kichwan kelele zile zilipenya mpk nje ya chumba kile ikawastua mpk watu waliokuwemo ndan ya hotel ile DINA na yule Dada wa Reception waliamua kuja moja kwa moja mpk ndan ya chumba tulichokuepo na kukuta yule Dada akiwa chin kaegemea ukutan huku michiliz ya damu ikitiririka ukutan GEOFREY alitumia nafas ile na kuweza kupenya na kukimbia akiwa amevalia boksa Dada wa reception alibak akitetemeka PENDO alimwomba rafiki yake DINA simu na kuweza kuwapigia polisi na kujisalimisha mikonon mwao "Mmmh ! Pole Sana PENDO ila lako linaonekana kubwa kuliko langu "Alisema LINDA katika maeneo ya kule Gerezan NYANZARA alipostuka usingizin alishangaa kuona LINDA hayupo kwa kuwa alimtenga na PENDO na kumweka karbu na alipokuwa amelala alinyanyuka na kuangalia alipokuwa PENDO nae hakuweza kumwona alifuata kamba yake na kuanza kuzunguka akiwatafuta na kuweza kuwakuta wakiwa wamejificha wakiongea aliwaamuru wamfuate huku wakiwa wanatembea kwa magoti mpk kwa askar wasimamiz wa Gereza hilo na kuweza kuhadhibiwa na kupewa adhabu ya kufyeka nyasi usiku kucha huku wakilindwa na askar hakuna kula wala kulala mom adhabu yao itakapoisha Kula wala kulala mpaka watakapokuwa wameimaliza adhabu yao lakin askar baada ya kuona kuwa wamechoka Sana na muda umekwenda aliamua kuondoka nao na kuwarudisha ndan ya gereza baada ya kupambazuka wafungwa wengine wakiwa wameshaamka LINDA na PENDO walikuwa bado wamelala kutokana na adhabu ya Jana pamoja na njaa NYANZARA alisogea mpka walipokuwa wamelala na kuwakurupua waamke haraka na kwenda kuchukua chakula walipochukua Kama kawaida yao walienda kujitenga pemben "PENDO maisha ya hapa yamenishinda nataman leo kesho nijifie nikapimzike tu " Huku vichozi vyembamba vikimlenga machon "LINDA utazoea tu hakun a jinsi kila mtu alikuja Kama ulivo wewe ila wameshazoea na kuona ni hali ya kawaida tu " "PENDO itakuwa ngumu sisi wakulala njaa tunafanyishwa kaz mpk usiku wa manane tunampepea binadam mwenzetu asiumwe mbu kweli hii haki ?" "Mmh! Hii mbona ni kawaida ndo maana nakwambia utazoea tu taratibu hakuna namna " "Kwann huyu NYANZARA anakuwa mkatiri kiasi hiki hajui sisi n wasichana wenzie " "Usimwazie we vumilia haya yote yana mwisho wake Baada ya Miez kadhaa kupita LINDA akiwa anafagia fagia eneo la nje ya ofisi ya Askari alitoka askari mmoja umri wake ulikuwa umekwenda kwenda aliyejulikana kwa jina la Afande MUGA na kuweza kusogea pale alipokuwa akifagia fagia LINDA ,,LINDA akiwa hana hili wala lile akawa anaendelea kufagia bila ya kujua kwa nyuma yake kuna mtu Afande MUGA alikuwa akiangalia maungo ya nyuma ya msichana LINDA na kuamua kumsogelea na kumshika LINDA alistuka na kuinuka kumtazama "Binti unafanya usafi " Aliuloza Afande LINDA aliitikia kwa kutikisa kichwa Afande MUGA aliangaza huku na kule alipoona hakuna askar yeyote yule Alisogea na kumshika LINDA pegan LINDA alimtoa mkono na kurud nyuma "Usiogope Nataka kukusaidia na Kama utakubal nitakacho kwambia utaishi kwa aman Sana humu ndan utakula vizur tofauti na wenzako " LINDA alikuwa akimtizama Askar yule kwa woga huku akionekana kutetemeka "Skia Binti kwanza unaitwa nan ? "LI...LINDA " "Unajina zur sina Sasa akili yako itakuokoa Nataka uwe mpenzi wangu nahii iwe siri yetu hakuna hatakae jua yoyote yule hapo utaish kwa aman na utakula vizur " Kabla hawajamaliza kuongea alitokea PENDO "LINDA fikiria "Aliongea Afande na kuondoka PENDO alibakia akishangaa bila kujua ni kipi kilikuwa kikiendelea Kati ya askar na LINDA "LINDA vipi kuna usalama hapa " "Ndiyo hakuna kitu " NYANZARA akiwa kwa mbali aliweza kuwaona wakiwa wamesimama pale aliweza kuwafuata na kuwaomba waondoke haraka eneo lile Muda wa usiku wakiwa ndan ya gereza LINDA alionekana kufikiria Sana maneno aliyoambiwa na yule askar alipokuwa akifanya usaf aliingia katika mawazo mazito juu ya jambo lile PENDO alipomwangalia alimwona hayupo sawa alinyanyuka mahala alipokuwa amekaa na kumsogelea LINDA "LINDA?!" Alijaribu kumwita lakin LINDA hakuonekana kuwepo eneo hilo PENDO alijarbu kuweka mkono wake mbele ya uso wa LINDA na kuchezesha vidole vyake kujarbu kuona Kama atafanya chochote lakn bado alionekana kuwa na mawazo Aliamua kumshika began na kumtikisa ndipo LINDA akastuka na kujikuta akiropoka "Usinifanyie ivoo" "Mmh ! LINDA Una nini ?" Aliuliza PENDO "MH! hakuna kitu nimekumbuka Sana uraiani nimemkumbuka mama yangu PENDO " "Hapana siyo kweli LINDA kuna kitu unanificha " "PENDO hakuna nitakachoweza kukuficha ni kweli " NYANZARA alipowaona aliwafuata pale walipo "Ni Mara ngapi nawaambia sitaki mkae pamoja " Aliongea NYANZARA kwa saut ya ukali "lakini ............" Alitaka kuongea PENDO lakin NYANZARA alimzuia "Sasa Leo hamto Lala Mtanipepea Mbu mpk asubuh haya nyanyuken " PENDO alinyanyuka haraka pale chini ila LINDA akawa bado amekaa akionesha kukaid amri ile "Wewe ndo mbishi siyo umesha kuwa " Aliongea NYANZARA "Mim nimechoka kila siku sisi Nimechoka mm sifanyi nahitaji kupumzika Kama wewe " LINDA alijibu huku machoz yakim mwagika "Oooooh! Sasa Utakula jeur yako kumbe hunijui vizur Eeeh Huwa huna tabia ya kuuliza wenzio Mimi amri yangu huwa haikaidiwi hata Mara moja utafanya nachokitaka PENDO rudi ukae " "Ahsanteee" alisema PENDO na kurud kukaa "Binti nyanyuka hapo " NYANZARA aliongea kwa sauti ya juu Wafungwa wenzao walibaki wakiangalia ni kipi kitafuata baada ya LINDA kukaid amri ile NYANZARA aliinama na kumshika mkono kisha kumvuta anyanyuke kwa lazima na kumsukuma mahala ambapo huwa analala kisha kumpatia cha kujipepelea na kumwamrisha afuate Kama alivyoambiwa LINDA alikitupa kile cha kujipepelea NYANZARA alimshika na kuanza kumpiga huku akitaka mtu yeyote asisogee na kuamua ugomvi ule mpaka pale atakapoona inatosha PENDO roho ilimwuuma Sana kwa kile kitendo kilichotokea ila hakuwa na namna ya kufanya kumwokoa rafiki yake LINDA _______________

...
STORI TAMU MALKIA WA JELA SEHEMU 03


*🅱 professional love*
....................................
Alipofika mama yake alishangaa kuona akiwa analia na kuamua kumwuuliza ni kitu Gan ambacho kimemsibu 
"Kulikon tena tiyar mmesha udhiana huko maana hamkawii mnakuwa Kama watoto wadogo....Haya kafufanyaje mwenzio ?
"Mama BEN Leo wakunifanyia mie hiv kweli mama 
"Sasa usiponieleza Mimi sintojua nikusaidiaje hebu nambie moja kwa moja nini tatzo 
"Mama BEN kila siku Ana amka saa kum na moja na kusema ratba ya kazn imebadilika kwakuwa naamin tunapendana nikaamn itakuwa kweli sikutaka kumwuuliza DAVID kumbe ananiongopea Mimi na kwenda kulala na wanawake wengine gest mama" Aliangua kilio 
"Hebu nyamaza kwanza usilie haya yote umeyataka Mimi na mama yako mdogo tulikwambia BEN hakufai mtoto ukang'ang'ana unayaona sasa anayokufanyia sasa basi nataka uachane nae na kuanzia Leo urud nyumban 
"Eeeh mama siwez kurud nyumban mama ile ni nyumba yangu isitoshe BEN ni Mme wangu Nina ndoa nae 
"Mmh! Kumbe umekuja kunijarbu siyo Kama unampenda umeijia nini hapa ungejua hilo simngeyamaliza nilivo simpend Mimi huyo mwenzio nilijua atakusumbua nanitahakikisha unaachana nae "
LINDA aliamua kunyanyuka na kurud  chumban kwake
BEN baada ya kufika nyumban hakuweza kukuta mtu na geti likiwa limefungwa ilimbid aondoke na kuelekea kazn 
Baada ya siku kadhaa kupita ilimbid LINDA aweze kukutana na DAVID na kuweza kuongea nae 
"Shemej Kama nilivokuambia BEN amebadilka mno sijui n kwanini simwelew inafikia hatua ananiongopea ofisn mnaingia saa kum na mbili anaamka saa kum 
"Shem ulifanya vbaya kuto kuniuliza BEN nimchelewaj mmoja mzur tu pale ofisn kila mtu  anamjua yupo pale kwaajil yangu ni kweli amebadilika inafikia hatua hata naona aibu nikiwa Kama mtu wa karibu niliyemtafutia kazi pale 
"Shemeji nadhan unajua ni kias Gan ninavyompenda nilikuwa nikigombana na mama pamoja na mamdogo kwaajili ya BEN ili tu niweze kuwa naye hatiamye tumefunga ndoa nyumba yangu nimeamua kuandika jina lake halafu Leo kweli inafikia kunilpiza haya 
"Shem mim nitapanga muda niongee nae Kama atashindwa kubadilika siyo sir nitashindwa nimteteaje maana hata kazn watamwondoa 
"Ukiongea nae utakuwa umenisaidia sana anayonifanyia mpk najutia maamuz yangu 
"Usijali Shem atabadilika tu 
"Nakutegemea Sana Shemeji yangu nisaidie 
Katika maeneo ya nyumban BEN akiwa seburen  anakunywa Soda huku akitazama TV alinyanyuka Mara moja na kuelekea chumban kufuata kitu TABU akawa ameingia ndan alipokuta ile soda mezan alimimina kwenye glass aliokuwa ananywea BEN na kuanza kunywa huku amesimama akiwa ana pepesa macho kwenye  mazingira ya pale seburen Muda huo huo akawa anaingia LINDA akaweza kumkuta TABU pale seburen 
"Wewe ni nan naunatafuta nini nyumban kwangu "Aliuliza LINDA 
"Hhahahaa pole kumbe bado unakibarua Eeh .....hujanijua Mimi ningependa nikuulize wewe "TABU alimjibu kwa dharau 
Ilimbid LINDA aanze kupaza saut akimwita BEN ,BEN alitoka hajui kinachoendelea huku na CD ya movie mkonon ambayo alikuwa ameifuata Alipofika seburen alishangaa kumkuta TABU tena akiwa amebebelea ile glass ya soda aliyokuwa akiitumia 
"BEN kweli umenichoka hukumbuki fadhira zangu niligombana na mama angu kwaajili yako Nyumba yangu nimefuta jina langu nikaandika lako kumbe hukumbuki nilipokutoa BEN "Aliongea kwa uchungu huku machozi yakimtoka 
"TABU umeijia nini hapa ?
"Kwani kunatatzo kumtembelea Mume wangu 
"Unasema nni ? 
"Unamsikia BEN umenichoka kias hiki umeamua kuniletea mpk mwanamke ndan kweli BEN shukran ya punda..........
"Na haya ndo mateke "Alimjibu TABU huku akionesha kujiamn na kumnyali mbele ya BEN 
"We malaya Naomba utoke "Aliongea LINDA kwa sauti ya juu
"Hahaha wakunitoa itakiwa wewe hapa sitoki nitaondoka nikitaka "
"TABU siuende "BEN aljaribu kumwambia akitegemea ataondoka LINDA alisogea mpk mezan na kunyanyua ile chupa ya soda na kutaka kumpiga nayo TABU ,BEN aliwahi kuzuia na kujikuta ikimpata  kichwan  ile chupa  na kuanguka chin LINDA alibaki ameshkilia kipande cha chupa mkononi alikitupa chin na kujitazama mikono yake 
BEN damu nyingi zilikuwa zikimvuja kichwan pamoja na puan 
TABU alivyoona vile aliamua kuweka glass mezan na  kukimbilia nje
LINDA taratibu alisogea alipokuwa ameangukia BEN na kupiga magoti kisha kumwinamia kifuani huku akimtikisa aamke na kilio cha uchungu kikimtoka kilichoambatana na kwikwi Mara ghafla TABU anarud akiwa na polisi "Huyo hapo Afande Mwuuaji "Aliongea TABU mbele ya wale Polisi 
Polisi walitoa silaha na kumnyooshea LINDA huku wakimtaka anyanyuke kisha ageuke nyuma kisha afande akatoa pingu na kumvisha na kuweza kuondoka nae kuelekea kituon huku afande mwingine akiwasiliana na askar wenzie kwaajili ya usafiri wa kuubebea mwili wa BEN 
LINDA alimaliza kumsimulia chanzo kilichompelekea kuwemo mule ndani   "Pole Sana LINDA wanaume siyo watu wazur hata kidogo tukio langu halitofautian na lako hata kidogo "aliongea PENDO na kuanza kumsimulia 
Ilikuwa siku moja jion kuna rafiki yangu wa kike aliyeitwa DINA tulipendana Sana siku moja nikiwa sina hili wala lile mida ya saa kumi na mbili jion DINA alikuja nyumban kwangu huku akionekana ni mtu aliyekuja anakimbia nilipojarbu kumwuuliza akanambia amemwona GEOFREY ambaye ni bwana wangu anaingia Hotel na msichana "mh! Utakuwa umemfananisha GEOFREY Hana tabia hyo halafu yuko safar tangu juz " nilimwambia DINA lakin DINA alinisisitiza niweze kwenda nae na kushuhudia kwa macho Moyo wangu ulikuwa mgumu kumwamin bado niliamin GEOFREY alikuwa safarn huenda amemfananisha "PENDO najua ila twende kwanza Kama siyo yeye nitakulipa gharama za usumbufu "Aliongea DINA "DINA we nisumbue tu ole wako "Nilimwambia maneno hayo Kisha nikatoka nae na kwenda kuingia ndan ya gari na kuelekea maeneo ya Hotel alipomwona akiingia GEOFREY nilipofika nilipaki gar kwa pemben na kushuka kwenda kujarbu kuulizia Reception "Dada samahn kuna mgen wangu anaitwa GEOFREY ninatakiwa kuonana nae sijui yupo"Nilimwuuliza yule mdada aliyekuepo pale reception "Aam tuna wagen wengi Sana sasa sijui huyo unayemwuulizia anaitwa GEOFREY nan ?"
"Anaitwa GEOFREY JONAS " Yule Dada aliangalia kwenye kitabu cha list ya wagen aliowapokea 
"OK ila Ana mgen tiyar halafu hakuniachia maagizo yoyote kama kuna mtu atakuja"aliongea yule Dada wa Reception "Dada sisi niwafanya biashara tu hata huyo aliyanae ni mfanyabiashara mwenzetu pia "Nilijarbu kumwongopea ili nipate nafas ya kwenda kumshudia kwa macho yangu "Mfanyabiashara Dada labda utakuwa umekosea tu jina au mgen nliyenae majina yamefanana na huyo mtu wako aliyeko hapa yupo na mkewe Leo siku ya tatu sasa unaponambia hivo kwamba n mfanyabiashara mwenzie nashindwa kujua nikusaidiaje " Maneno aliyonambia huyo Dada nilimtizama DINA pemben huku nikijifikiria nitumie njia ipi "Mmh! Saw a ila samahan kwa kukuongopea Mimi n Dada yake sikupenda ujue hilo na GEOFREY alishanipigia Sana simu kuniomba nije kumwona ila kutokana na kazi nyng nikawa sipat muda ikashindikana na hapa nimetoka kazn nikaona acha nionane nae then niende nyumban"Nilijiumauma kwa kuunda  maneno ya uongo "Kama ni hivyo bas ngoja nimpigie simu "
"Aa haina haja Dada huniamin "Nilimwuuliza yule Dada "Hapana ila ndo kaz yangu kumtaarifu mteja hili Kama anajua ujio wako kuna watu wengine hawapend usumbufu "Alinambia yule Dada "usijali Bwana "PENDO alitoa noti ya Elfu kumi na kumpatia "Sawa nenda namba 124 " DINA alipotaka kuongozana na Mimi yule Dada aliomba niende mwenyewe kwa kuwa si taratibu za Hotel yao Nilipandisha ngaz mpk sehemu iliyokuwa na vyumba vimepangana nikaanza kuangalia kila mlango kuipata namba 124 na kuweza kuupata Nilishusha pumzi na kutaka kubisha hodi nilikuwa nikisita sita nikajikaza na kuamua kubisha Nikasubr kwa mda kidogo akatoka mwanamke na kuja kunifungulia mlango yule Dada alikuwa amejifunga taulo "Samahan Dada sijui unashida gan maana hatujaagiza kitu chochote huenda umekosea chumba"Aliongea yule Dada baada ya kufungua mlango Nilimpush na kuingia ndan kwa nguvu na kumkuta GEOFREY akiwa amevalia boksa
_______________

STORI TAMU MALKIA WA JELA SEHEMU 03 *🅱 professional love* .................................... Alipofika mama yake alishangaa kuona akiwa analia na kuamua kumwuuliza ni kitu Gan ambacho kimemsibu "Kulikon tena tiyar mmesha udhiana huko maana hamkawii mnakuwa Kama watoto wadogo....Haya kafufanyaje mwenzio ? "Mama BEN Leo wakunifanyia mie hiv kweli mama "Sasa usiponieleza Mimi sintojua nikusaidiaje hebu nambie moja kwa moja nini tatzo "Mama BEN kila siku Ana amka saa kum na moja na kusema ratba ya kazn imebadilika kwakuwa naamin tunapendana nikaamn itakuwa kweli sikutaka kumwuuliza DAVID kumbe ananiongopea Mimi na kwenda kulala na wanawake wengine gest mama" Aliangua kilio "Hebu nyamaza kwanza usilie haya yote umeyataka Mimi na mama yako mdogo tulikwambia BEN hakufai mtoto ukang'ang'ana unayaona sasa anayokufanyia sasa basi nataka uachane nae na kuanzia Leo urud nyumban "Eeeh mama siwez kurud nyumban mama ile ni nyumba yangu isitoshe BEN ni Mme wangu Nina ndoa nae "Mmh! Kumbe umekuja kunijarbu siyo Kama unampenda umeijia nini hapa ungejua hilo simngeyamaliza nilivo simpend Mimi huyo mwenzio nilijua atakusumbua nanitahakikisha unaachana nae " LINDA aliamua kunyanyuka na kurud chumban kwake BEN baada ya kufika nyumban hakuweza kukuta mtu na geti likiwa limefungwa ilimbid aondoke na kuelekea kazn Baada ya siku kadhaa kupita ilimbid LINDA aweze kukutana na DAVID na kuweza kuongea nae "Shemej Kama nilivokuambia BEN amebadilka mno sijui n kwanini simwelew inafikia hatua ananiongopea ofisn mnaingia saa kum na mbili anaamka saa kum "Shem ulifanya vbaya kuto kuniuliza BEN nimchelewaj mmoja mzur tu pale ofisn kila mtu anamjua yupo pale kwaajil yangu ni kweli amebadilika inafikia hatua hata naona aibu nikiwa Kama mtu wa karibu niliyemtafutia kazi pale "Shemeji nadhan unajua ni kias Gan ninavyompenda nilikuwa nikigombana na mama pamoja na mamdogo kwaajili ya BEN ili tu niweze kuwa naye hatiamye tumefunga ndoa nyumba yangu nimeamua kuandika jina lake halafu Leo kweli inafikia kunilpiza haya "Shem mim nitapanga muda niongee nae Kama atashindwa kubadilika siyo sir nitashindwa nimteteaje maana hata kazn watamwondoa "Ukiongea nae utakuwa umenisaidia sana anayonifanyia mpk najutia maamuz yangu "Usijali Shem atabadilika tu "Nakutegemea Sana Shemeji yangu nisaidie Katika maeneo ya nyumban BEN akiwa seburen anakunywa Soda huku akitazama TV alinyanyuka Mara moja na kuelekea chumban kufuata kitu TABU akawa ameingia ndan alipokuta ile soda mezan alimimina kwenye glass aliokuwa ananywea BEN na kuanza kunywa huku amesimama akiwa ana pepesa macho kwenye mazingira ya pale seburen Muda huo huo akawa anaingia LINDA akaweza kumkuta TABU pale seburen "Wewe ni nan naunatafuta nini nyumban kwangu "Aliuliza LINDA "Hhahahaa pole kumbe bado unakibarua Eeh .....hujanijua Mimi ningependa nikuulize wewe "TABU alimjibu kwa dharau Ilimbid LINDA aanze kupaza saut akimwita BEN ,BEN alitoka hajui kinachoendelea huku na CD ya movie mkonon ambayo alikuwa ameifuata Alipofika seburen alishangaa kumkuta TABU tena akiwa amebebelea ile glass ya soda aliyokuwa akiitumia "BEN kweli umenichoka hukumbuki fadhira zangu niligombana na mama angu kwaajili yako Nyumba yangu nimefuta jina langu nikaandika lako kumbe hukumbuki nilipokutoa BEN "Aliongea kwa uchungu huku machozi yakimtoka "TABU umeijia nini hapa ? "Kwani kunatatzo kumtembelea Mume wangu "Unasema nni ? "Unamsikia BEN umenichoka kias hiki umeamua kuniletea mpk mwanamke ndan kweli BEN shukran ya punda.......... "Na haya ndo mateke "Alimjibu TABU huku akionesha kujiamn na kumnyali mbele ya BEN "We malaya Naomba utoke "Aliongea LINDA kwa sauti ya juu "Hahaha wakunitoa itakiwa wewe hapa sitoki nitaondoka nikitaka " "TABU siuende "BEN aljaribu kumwambia akitegemea ataondoka LINDA alisogea mpk mezan na kunyanyua ile chupa ya soda na kutaka kumpiga nayo TABU ,BEN aliwahi kuzuia na kujikuta ikimpata kichwan ile chupa na kuanguka chin LINDA alibaki ameshkilia kipande cha chupa mkononi alikitupa chin na kujitazama mikono yake BEN damu nyingi zilikuwa zikimvuja kichwan pamoja na puan TABU alivyoona vile aliamua kuweka glass mezan na kukimbilia nje LINDA taratibu alisogea alipokuwa ameangukia BEN na kupiga magoti kisha kumwinamia kifuani huku akimtikisa aamke na kilio cha uchungu kikimtoka kilichoambatana na kwikwi Mara ghafla TABU anarud akiwa na polisi "Huyo hapo Afande Mwuuaji "Aliongea TABU mbele ya wale Polisi Polisi walitoa silaha na kumnyooshea LINDA huku wakimtaka anyanyuke kisha ageuke nyuma kisha afande akatoa pingu na kumvisha na kuweza kuondoka nae kuelekea kituon huku afande mwingine akiwasiliana na askar wenzie kwaajili ya usafiri wa kuubebea mwili wa BEN LINDA alimaliza kumsimulia chanzo kilichompelekea kuwemo mule ndani "Pole Sana LINDA wanaume siyo watu wazur hata kidogo tukio langu halitofautian na lako hata kidogo "aliongea PENDO na kuanza kumsimulia Ilikuwa siku moja jion kuna rafiki yangu wa kike aliyeitwa DINA tulipendana Sana siku moja nikiwa sina hili wala lile mida ya saa kumi na mbili jion DINA alikuja nyumban kwangu huku akionekana ni mtu aliyekuja anakimbia nilipojarbu kumwuuliza akanambia amemwona GEOFREY ambaye ni bwana wangu anaingia Hotel na msichana "mh! Utakuwa umemfananisha GEOFREY Hana tabia hyo halafu yuko safar tangu juz " nilimwambia DINA lakin DINA alinisisitiza niweze kwenda nae na kushuhudia kwa macho Moyo wangu ulikuwa mgumu kumwamin bado niliamin GEOFREY alikuwa safarn huenda amemfananisha "PENDO najua ila twende kwanza Kama siyo yeye nitakulipa gharama za usumbufu "Aliongea DINA "DINA we nisumbue tu ole wako "Nilimwambia maneno hayo Kisha nikatoka nae na kwenda kuingia ndan ya gari na kuelekea maeneo ya Hotel alipomwona akiingia GEOFREY nilipofika nilipaki gar kwa pemben na kushuka kwenda kujarbu kuulizia Reception "Dada samahn kuna mgen wangu anaitwa GEOFREY ninatakiwa kuonana nae sijui yupo"Nilimwuuliza yule mdada aliyekuepo pale reception "Aam tuna wagen wengi Sana sasa sijui huyo unayemwuulizia anaitwa GEOFREY nan ?" "Anaitwa GEOFREY JONAS " Yule Dada aliangalia kwenye kitabu cha list ya wagen aliowapokea "OK ila Ana mgen tiyar halafu hakuniachia maagizo yoyote kama kuna mtu atakuja"aliongea yule Dada wa Reception "Dada sisi niwafanya biashara tu hata huyo aliyanae ni mfanyabiashara mwenzetu pia "Nilijarbu kumwongopea ili nipate nafas ya kwenda kumshudia kwa macho yangu "Mfanyabiashara Dada labda utakuwa umekosea tu jina au mgen nliyenae majina yamefanana na huyo mtu wako aliyeko hapa yupo na mkewe Leo siku ya tatu sasa unaponambia hivo kwamba n mfanyabiashara mwenzie nashindwa kujua nikusaidiaje " Maneno aliyonambia huyo Dada nilimtizama DINA pemben huku nikijifikiria nitumie njia ipi "Mmh! Saw a ila samahan kwa kukuongopea Mimi n Dada yake sikupenda ujue hilo na GEOFREY alishanipigia Sana simu kuniomba nije kumwona ila kutokana na kazi nyng nikawa sipat muda ikashindikana na hapa nimetoka kazn nikaona acha nionane nae then niende nyumban"Nilijiumauma kwa kuunda maneno ya uongo "Kama ni hivyo bas ngoja nimpigie simu " "Aa haina haja Dada huniamin "Nilimwuuliza yule Dada "Hapana ila ndo kaz yangu kumtaarifu mteja hili Kama anajua ujio wako kuna watu wengine hawapend usumbufu "Alinambia yule Dada "usijali Bwana "PENDO alitoa noti ya Elfu kumi na kumpatia "Sawa nenda namba 124 " DINA alipotaka kuongozana na Mimi yule Dada aliomba niende mwenyewe kwa kuwa si taratibu za Hotel yao Nilipandisha ngaz mpk sehemu iliyokuwa na vyumba vimepangana nikaanza kuangalia kila mlango kuipata namba 124 na kuweza kuupata Nilishusha pumzi na kutaka kubisha hodi nilikuwa nikisita sita nikajikaza na kuamua kubisha Nikasubr kwa mda kidogo akatoka mwanamke na kuja kunifungulia mlango yule Dada alikuwa amejifunga taulo "Samahan Dada sijui unashida gan maana hatujaagiza kitu chochote huenda umekosea chumba"Aliongea yule Dada baada ya kufungua mlango Nilimpush na kuingia ndan kwa nguvu na kumkuta GEOFREY akiwa amevalia boksa _______________

...
STORI YA MAPENZI; MALKIA WA JELA

SEHEMU YA PILI 


.......................*🅱 professional love*..........
"Mimi ni mkeo hata ingekuwa usiku wa manane wewe niamshe uniage nijue kabisa kweli unakurupuka tu asubuh unaondoka hata ujumbe basi ungeandika nao umeshindwa 
"Baby nimekuelewa nisamehe basi nitafanyia kazi 
BENSON anajarbu kumbembeleza kwa kusogea na kupeleka mikono yake taratibu na kumshka LINDA kiunoni kwa nyuma na kumbusu shingoni 
"Baby sikujua Kama nitakuudh kuondoka bila ya kukuambia nisamehe nakuahd hata nikiwa naenda choon lazima nikuage 
"Hahahah anaangua kicheko 
"Unafrah nini sasa ?
"Ushaanza matan yako chooni ukienda Mimi hata usiniage 
"Utajua nimeenda wapi Kama nisipofanya hvo 
"Sitak " wanacheka wote wawili 
Baada ya muda LINDA aliandaa chai na kuweza kukaa katika meza ya chakula na kunywa 
Wiki moja baadae BENSON akiwa seburen peke yake mkewe akiwa ameondoka ameenda nyumban kwao Mara moja kusalimia BENSON aliamua kuitumia nafas ile kumpigia simu kimada  wake na kuongea naye kabla ya LINDA kurud nyumban 
"Halloo! Baby ! Alipokea simu kimada huku akitoa saut lain na nyororo
"Hallo ! Baby nambie 
"Safi nimekumith ile mbaya BEN wangu 
"Hunishind Mimi 
"Unanitania.... kweli Baby ?
"Ndiyo kwanini nikuongopee nimeimis Sana ile mechi ya siku ile ulinifanya nione sinto maliza mchezo niliona uwanja mkubwa 
"Hahahaahah Ikasikika saut ya kicheko 
"Nilihisi kufa kufa 
"Amna bhana usingekufa woga wako tu kufa huwez kufa ila cha moto lazima ungekipata 
"Aa sikufich mke wangu anasubir we mtoto kibokoooo lini tena ligi yetu ya ugenini  ?
Muda wako Uwanja wako sikuzuii kuja kufanya mazoez afu mechi kwa mkeo 
"Hahahahah BENSON akaangua kicheko 
"Baby hata ukitaka sahv tutafanya hata kwa kutumia "whatsapp" voice note 
"Hahahah ndo maana nakupendaga Bab..................Kabla hajamalizia kuongea LINDA alifungua mlango BENSON alistuka na kuikata simu LINDA alibakia kasimama pale mlangon huku akimtazama  Mumewe na kuanza kudondokwa na machozi Mkoba aliokuwa ameubeba aliuachia na kuuangusha chin 
"BABY umewah nilijua utachelewa " Huku akionekana kuwa na wasiwasi  Alinyanyuka na kutaka kumsogelea alipokuwa 
"BENSON naomba usinisogelee "akamzuia kwa ishara ya mkono 
"Mbona sielew Nyumban wazima mbona hukuondoka hivo afu umewah kurud kuna tatzo kwani
"Malaya mkubwa wewe Endelea kuongea na simu uliyekuwa unaongea naye nimesikia kila kitu 
"Nan ? Mimi nilikuwa naongea na DAVID ananieleza habar za NITTY 
"Mwanaume huna shukran BEN ni mangapi nimekufanyia kumbe ndo unavyo niongelea kwa hao Malaya zako 
"LINDA mke wangu kwanini tugombane nilikuwa naongea na DAVID jarbu kunielewa Nakupenda hakuna mwingine zaid yako 
"Mwongo mkubwa kwanini nilipoingia hukuendelea kuongea ukakata simu 
"Tulikuwa tumeshamaliza maongez 
"Ahsante kwa kunidanganya " Kumbe LINDA alikuja na DAVID ,DAVID alikuwa kwa nje akiwasikiliza akaona bora aingie alipoingia BEN aliishiwa nguvu na kuinamisha uso chin huku akijarbu kumtizama mkewe kwa  kuibia ibia 
"Endelea kuniongopea siumezoea haya ulokuwa unaongea nae huyu hapa Endelea BEN... LINDA kwa hasira alimfuata BEN na kuanza kumpiga mingumi  huku  akilia kwa uchungu DAVID alimshika LINDA na kuomba wasigombane 
Alipowaamua aliamua kuwaacha kwa muda watulie kwanza baada ya robo saa kupita DAVID akamgeukia BEN na kutaka aseme alikuwa anaongea na nan 
"DAVID sema ukweli "
"Mimi nilikuwa naongea na Dada yangu alinipigia kunijulia hali 
"Unamwon a alivyo mwongo Dada yako gani umwambie maneno Yale BEN niambie "kwa jazba huku akijarbu kutaka kunyanyuka alipokaa 
"Aaa shemej punguza jazba Mimi nipo hapa kila kitu kitaisha BEN Una uhakka 
"Ndiyo Kwanini nimwongopee amesikia vibaya tu 
"Shemej huenda ikawa ni kweli jaribu kusahau hili 
"DAVID unapendelea au kwa kuwa BEN ni mwanaume mwenzio Ahsantee 
LINDA Alinyanyuka na kuondoka kuelekea chumban 
"Kaka bora hata ulivyokuepo sijui ingekuaje Leo 
"BEN punguza hata Kama Una kimada nje hapa ni nyumban kwako paheshimu ukitaka kuongea nae Hakikisha mkeo kaenda mbali 
"Saw a kaka 
"Mi nilipita kukusalimia nilikutana na mkeo kwenye folen nikaon a bora Nam nipite kukuona kwahyo Mimi nafikir nimeshakuon a naondoka jarbu kumpoza mkeo
"Haina shida

BEN alimtoa DAVID mpka nje na kuweza kuagana kisha akarud na kuingia chumban alimkuta mkewe amejilaza kitandani kifudifudi amelalia mto huku akiwa Analia"LINDA mke wangu kwanini unapenda kujiumiza kwa vitu ambavyo siyo kwanini Mimi na wewe tugombane kwa vitu vidogo "Aliongea BEN 
LINDA alijigeuza na kunyanyuka pale kitandan akaanza kuzunguka mule chumban huku na kule 
"Unajua sikuekewi sasa unapozunguka hivi unamaanisha nini ? Alirudia tena kumwuuliza baada ya kuona hajibiw 
"BEN lazima utaona ni jambo la kawaida kwasababu lipo kwangu ila ipo siku BEN unajua Mimi na wewe tumetokea wapi siyo kwamba hujui unajisahau Sana BEN "Aliongea LINDA huku akionekana kuwa na hasira Sana 
BEN anaamua kumsogelea na kujishusha akaamua kupiga magoti kumbembeleza "Sawa naamua kukubali kosa nisamehe Mke wangu kipenzi nakupenda najua unajua siwez kukusaliti "
"BEN acha kuniigizia Mkeo "Aliongea LINDA 
"Mke wangu nakuahd Kama nitakukosea basi amua lolote lile uwezalo 
"Unanifanyia kusud kwakuwa unajua nakupenda 
"Najua hilo Mke wangu ndo maana nimeamua kukupigia magoti kuomba msamaha 
"Sawa umeshajua Mimi ni mdhaifu kwako  kila ukikosea unakimbilia kuomba msamaha kwakuwa unajua siwez kukataa sawa utumie udhaifu wangu "Aliongea LINDA kwa uchungu huku machozi yakimtiririka 
Baada ya siku kadhaa kupita LINDA akiwa seburen anaonekana  kuna kitu anakitafuta pale seburen baada ya kutafuta kwa muda na kuonekana kukikosa aliamua kuchukua simu yake na kumpigia Mume wake hili aweze kuuliza 
Katika maeneo ya Gesti BEN alikuwa ameingia Bafuni kuoga na kitandan amemwacha Kimada wake TABU ,Simu ilikuwa ikiita TABU alinyanyuka kitandan na kwenda kwenye dressing kuichukua na kuangalia ni nan anaye piga alipoona ni Mke wa BEN aliirudsha LINDA alipoona simu haipokelew akaamua kupiga tena TABU alipokuwa anataka kurud kitandan akaona simu tena kwa  mara nyingine  inaita alimua kuipokea "Nikusaidie nini mbona hamtulii majumban kwenu Asubuh  yote hii unampigia simu kakwambia harud nyumban au unatafuta matatzo (Alipokea TABU kwa kusema maneno hayo 
"We nan unapokea simu ya Mme wangu !!!? Aliuza LINDA
"Mke mwenzio 
"Tafadhar usinitanie najua mume Wangu yupo kazin kama wewe ni mfanyakaz mwenzie naomba niongee nae Mara moja 
"Dada sikujui hunijui Ila mume Kama hakuwah kukwambia shukuru nimekwambia na hapa niko nae Gesti 
"Eti nini ! 
"Ndo ivo tunakula raha tu Kama kakwambia yupo kazn kaz Gan za saa kum na mbili 
LINDA alikata simu na kwenda kukaa kwenye kochi huku akitokwa na machozi 
TABU alipokuwa anairudsha simu BEN nae akawa anatoka Bafuni 
"Vipi  ulikuwa unaongea na nani ? Aliuliza BEN 
"Mkeo 
"Kwenye simu yangu ??!
"Ndiyo kwani kuna ubaya  
"Umemwambia nini "BEN  akionekana kupanik 
"Nimemweleza ukwel kwann tuendelee kujificha 
"TABU huu siyo wakat wa utani naomba usinitafutie tabu Kama jina lako 
"Mmh! Sasa nikutanie nalipwa au nimemwambia yupo na mke mwenzie Gesti au nimekosea 
BEN alimvamia TABU na kuanza kumpiga vibao 
"BEN unanipiga Mimi kwaajil ya huyo mke wako Kama hukunipenda kwanini ulinambia tukutane 
BEN alivaa nguo zake haraka haraka huku akiwa amejawa na hasira "Ole wako kitokee kitu chochote kile TABU nitakuonesha "Aliongea BEN kwa hasira huku akiondoka 
"Mtu mzima hatishiw nyau kwenda kulee hapa utakuja tu mkeo mkeo ungempenda ungeendekeza umalaya 
LINDA aliamua kuondoka na kwenda nyumban kwao
_______________

STORI YA MAPENZI; MALKIA WA JELA SEHEMU YA PILI .......................*🅱 professional love*.......... "Mimi ni mkeo hata ingekuwa usiku wa manane wewe niamshe uniage nijue kabisa kweli unakurupuka tu asubuh unaondoka hata ujumbe basi ungeandika nao umeshindwa "Baby nimekuelewa nisamehe basi nitafanyia kazi BENSON anajarbu kumbembeleza kwa kusogea na kupeleka mikono yake taratibu na kumshka LINDA kiunoni kwa nyuma na kumbusu shingoni "Baby sikujua Kama nitakuudh kuondoka bila ya kukuambia nisamehe nakuahd hata nikiwa naenda choon lazima nikuage "Hahahah anaangua kicheko "Unafrah nini sasa ? "Ushaanza matan yako chooni ukienda Mimi hata usiniage "Utajua nimeenda wapi Kama nisipofanya hvo "Sitak " wanacheka wote wawili Baada ya muda LINDA aliandaa chai na kuweza kukaa katika meza ya chakula na kunywa Wiki moja baadae BENSON akiwa seburen peke yake mkewe akiwa ameondoka ameenda nyumban kwao Mara moja kusalimia BENSON aliamua kuitumia nafas ile kumpigia simu kimada wake na kuongea naye kabla ya LINDA kurud nyumban "Halloo! Baby ! Alipokea simu kimada huku akitoa saut lain na nyororo "Hallo ! Baby nambie "Safi nimekumith ile mbaya BEN wangu "Hunishind Mimi "Unanitania.... kweli Baby ? "Ndiyo kwanini nikuongopee nimeimis Sana ile mechi ya siku ile ulinifanya nione sinto maliza mchezo niliona uwanja mkubwa "Hahahaahah Ikasikika saut ya kicheko "Nilihisi kufa kufa "Amna bhana usingekufa woga wako tu kufa huwez kufa ila cha moto lazima ungekipata "Aa sikufich mke wangu anasubir we mtoto kibokoooo lini tena ligi yetu ya ugenini ? Muda wako Uwanja wako sikuzuii kuja kufanya mazoez afu mechi kwa mkeo "Hahahahah BENSON akaangua kicheko "Baby hata ukitaka sahv tutafanya hata kwa kutumia "whatsapp" voice note "Hahahah ndo maana nakupendaga Bab..................Kabla hajamalizia kuongea LINDA alifungua mlango BENSON alistuka na kuikata simu LINDA alibakia kasimama pale mlangon huku akimtazama Mumewe na kuanza kudondokwa na machozi Mkoba aliokuwa ameubeba aliuachia na kuuangusha chin "BABY umewah nilijua utachelewa " Huku akionekana kuwa na wasiwasi Alinyanyuka na kutaka kumsogelea alipokuwa "BENSON naomba usinisogelee "akamzuia kwa ishara ya mkono "Mbona sielew Nyumban wazima mbona hukuondoka hivo afu umewah kurud kuna tatzo kwani "Malaya mkubwa wewe Endelea kuongea na simu uliyekuwa unaongea naye nimesikia kila kitu "Nan ? Mimi nilikuwa naongea na DAVID ananieleza habar za NITTY "Mwanaume huna shukran BEN ni mangapi nimekufanyia kumbe ndo unavyo niongelea kwa hao Malaya zako "LINDA mke wangu kwanini tugombane nilikuwa naongea na DAVID jarbu kunielewa Nakupenda hakuna mwingine zaid yako "Mwongo mkubwa kwanini nilipoingia hukuendelea kuongea ukakata simu "Tulikuwa tumeshamaliza maongez "Ahsante kwa kunidanganya " Kumbe LINDA alikuja na DAVID ,DAVID alikuwa kwa nje akiwasikiliza akaona bora aingie alipoingia BEN aliishiwa nguvu na kuinamisha uso chin huku akijarbu kumtizama mkewe kwa kuibia ibia "Endelea kuniongopea siumezoea haya ulokuwa unaongea nae huyu hapa Endelea BEN... LINDA kwa hasira alimfuata BEN na kuanza kumpiga mingumi huku akilia kwa uchungu DAVID alimshika LINDA na kuomba wasigombane Alipowaamua aliamua kuwaacha kwa muda watulie kwanza baada ya robo saa kupita DAVID akamgeukia BEN na kutaka aseme alikuwa anaongea na nan "DAVID sema ukweli " "Mimi nilikuwa naongea na Dada yangu alinipigia kunijulia hali "Unamwon a alivyo mwongo Dada yako gani umwambie maneno Yale BEN niambie "kwa jazba huku akijarbu kutaka kunyanyuka alipokaa "Aaa shemej punguza jazba Mimi nipo hapa kila kitu kitaisha BEN Una uhakka "Ndiyo Kwanini nimwongopee amesikia vibaya tu "Shemej huenda ikawa ni kweli jaribu kusahau hili "DAVID unapendelea au kwa kuwa BEN ni mwanaume mwenzio Ahsantee LINDA Alinyanyuka na kuondoka kuelekea chumban "Kaka bora hata ulivyokuepo sijui ingekuaje Leo "BEN punguza hata Kama Una kimada nje hapa ni nyumban kwako paheshimu ukitaka kuongea nae Hakikisha mkeo kaenda mbali "Saw a kaka "Mi nilipita kukusalimia nilikutana na mkeo kwenye folen nikaon a bora Nam nipite kukuona kwahyo Mimi nafikir nimeshakuon a naondoka jarbu kumpoza mkeo "Haina shida BEN alimtoa DAVID mpka nje na kuweza kuagana kisha akarud na kuingia chumban alimkuta mkewe amejilaza kitandani kifudifudi amelalia mto huku akiwa Analia"LINDA mke wangu kwanini unapenda kujiumiza kwa vitu ambavyo siyo kwanini Mimi na wewe tugombane kwa vitu vidogo "Aliongea BEN LINDA alijigeuza na kunyanyuka pale kitandan akaanza kuzunguka mule chumban huku na kule "Unajua sikuekewi sasa unapozunguka hivi unamaanisha nini ? Alirudia tena kumwuuliza baada ya kuona hajibiw "BEN lazima utaona ni jambo la kawaida kwasababu lipo kwangu ila ipo siku BEN unajua Mimi na wewe tumetokea wapi siyo kwamba hujui unajisahau Sana BEN "Aliongea LINDA huku akionekana kuwa na hasira Sana BEN anaamua kumsogelea na kujishusha akaamua kupiga magoti kumbembeleza "Sawa naamua kukubali kosa nisamehe Mke wangu kipenzi nakupenda najua unajua siwez kukusaliti " "BEN acha kuniigizia Mkeo "Aliongea LINDA "Mke wangu nakuahd Kama nitakukosea basi amua lolote lile uwezalo "Unanifanyia kusud kwakuwa unajua nakupenda "Najua hilo Mke wangu ndo maana nimeamua kukupigia magoti kuomba msamaha "Sawa umeshajua Mimi ni mdhaifu kwako kila ukikosea unakimbilia kuomba msamaha kwakuwa unajua siwez kukataa sawa utumie udhaifu wangu "Aliongea LINDA kwa uchungu huku machozi yakimtiririka Baada ya siku kadhaa kupita LINDA akiwa seburen anaonekana kuna kitu anakitafuta pale seburen baada ya kutafuta kwa muda na kuonekana kukikosa aliamua kuchukua simu yake na kumpigia Mume wake hili aweze kuuliza Katika maeneo ya Gesti BEN alikuwa ameingia Bafuni kuoga na kitandan amemwacha Kimada wake TABU ,Simu ilikuwa ikiita TABU alinyanyuka kitandan na kwenda kwenye dressing kuichukua na kuangalia ni nan anaye piga alipoona ni Mke wa BEN aliirudsha LINDA alipoona simu haipokelew akaamua kupiga tena TABU alipokuwa anataka kurud kitandan akaona simu tena kwa mara nyingine inaita alimua kuipokea "Nikusaidie nini mbona hamtulii majumban kwenu Asubuh yote hii unampigia simu kakwambia harud nyumban au unatafuta matatzo (Alipokea TABU kwa kusema maneno hayo "We nan unapokea simu ya Mme wangu !!!? Aliuza LINDA "Mke mwenzio "Tafadhar usinitanie najua mume Wangu yupo kazin kama wewe ni mfanyakaz mwenzie naomba niongee nae Mara moja "Dada sikujui hunijui Ila mume Kama hakuwah kukwambia shukuru nimekwambia na hapa niko nae Gesti "Eti nini ! "Ndo ivo tunakula raha tu Kama kakwambia yupo kazn kaz Gan za saa kum na mbili LINDA alikata simu na kwenda kukaa kwenye kochi huku akitokwa na machozi TABU alipokuwa anairudsha simu BEN nae akawa anatoka Bafuni "Vipi ulikuwa unaongea na nani ? Aliuliza BEN "Mkeo "Kwenye simu yangu ??! "Ndiyo kwani kuna ubaya "Umemwambia nini "BEN akionekana kupanik "Nimemweleza ukwel kwann tuendelee kujificha "TABU huu siyo wakat wa utani naomba usinitafutie tabu Kama jina lako "Mmh! Sasa nikutanie nalipwa au nimemwambia yupo na mke mwenzie Gesti au nimekosea BEN alimvamia TABU na kuanza kumpiga vibao "BEN unanipiga Mimi kwaajil ya huyo mke wako Kama hukunipenda kwanini ulinambia tukutane BEN alivaa nguo zake haraka haraka huku akiwa amejawa na hasira "Ole wako kitokee kitu chochote kile TABU nitakuonesha "Aliongea BEN kwa hasira huku akiondoka "Mtu mzima hatishiw nyau kwenda kulee hapa utakuja tu mkeo mkeo ungempenda ungeendekeza umalaya LINDA aliamua kuondoka na kwenda nyumban kwao _______________

...
STORI; MALKIA WA JELA

SEHEMU YA KWANZA
..............................................

*🅱 professional love*

Kwenye maisha ya kila siku katika ufanyaji wa maamuz ya ufanyaji wa jambo fulan una ulazima wa uhitaji wa ushaur kutoka kwa mtu mmoja wa karibu nawe 
Ila unapoamua kujichukulia maamuz yako na kufanya jambo baya kwa kunufaisha/kujinufaisha baadae unapokuja kuona madhara yake ndipo uona umuhimu wa kutaka ushaur toka kwa wenzako ikiwa tayar umeshachelewa kwan "NGOMA INAPOVUUMA SAANA MWISHO WAKE HUISHIA KUPASUKA"
LINDA ni msichana mrembo aliyebarikiwa kwenye kila idara ikiwemo mvuto pamoja na umbo lake lililowavutia watu wengi mtaani kwao ila kwa bahat mbaya anakuja kupata kesi ya kumwuua mpenzi wake bila kukusudia na mahakama kuamua kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela kutumikia kifungo hicho cha kuua bila ya kukusudia ndan ya Gereza la wanawake 
LINDA siku ya kwanza anaingia ndani ya Gereza ilimpa wakat mgumu Sana kuyazoea mazingira muda mwingi alijitenga peke yake huku akilia na kujutia makosa yake 
Kwa kawaida kila gereza lazima utakutana na mtu ambaye usimama Kama kiongozi ndan ya gereza aliyejulikana kwa jina la NYAMPALA ,Kuna binti aliyeitwa NYANZARA ndiye aliyekuwa akiliongoza gereza lile Kama Nyampala Aliutumia udhaifu wa LINDA kwa kuwa alikuwa ni mgen na kumfanyia baadh ya kaz zilizokuwa zikiendeshwa ikiwemo usaf ndan ya gereza na ufyekaj wa nyasi katika maeneo ya nje ya gerezan LINDA alikuwa akiumia Sana moyon na kushindwa kufanya lolote kwa kuwa tiyar limeshatokea Adhabu yake kubwa ndan ya gereza lile iliyokuwa inamfanya alie kila wakat ni majira ya usiku anapotakiwa kukesha macho na kumpepea NYANZARA asiumwe na mbu kuna wakat alishindwa kujizuia na kujikuta akipitiwa na usingiz na kujikuta akiambulia kipigo toka kwa NYANZARA Siku moja wakiwa wamejipanga wanachukua chakula LINDA baada ya kupata chakula chake alisogea na kwenda kukaa peke yake chini ya mti 
Kuna mfungwa mwenzie baada ya kumwona LINDA amekaa peke yake aliamua kubeba chakula chake na kumfuata alipokuwa amekaa 
"Habar yako Dada ? Alimsalimia yule Dada ilikujua hali yake 
"Nzur tu ....
Yule Dada aliamua kukaa chin ili waweze kuongea 
"Nimekuona umekaa hapa muda mrefu unaonekana mnyonge wakat wote ....Unaliaa ..Uchangamki ....Bado hujazoea mpka Leo 
"Mmmh! Nashindwa kujizuia .. Maisha ya huku ni magumu sijazoea 
"Ipo siku utazoea tu acha kuwaza changamka Mimi naomba niwe rafiki yako 
"Saw a "Akatabasamu 
"Nafurah kukubali hili Aam naitwa PENDO sijui wewe mwenzangu ?
"Mimi naitwa LINDA 
"Woow! Jina zur Sana 
"Nashukuru Hata lako pia 
"Kwani Dada wewe hasa kilichokufanya uingie humu ndani ni kitu gani ?
"PENDO we acha tu sitaki hata kukumbuka 
Wakat wakiendelea kuongea NYANZARA aliwafuata na kuanza kuwapiga na kuwataka waondoke haraka na kwenda kujumuika na wenzao kufanya kazi 
LINDA pamoja na PENDO walinyanyuka na kukimbia kujiunga na wenzao kabla hawajafika mbali Sahan zao walizokuwa wanalia walizisahau NYANZARA aliamua kumrudsha LINDA na kumtaka arudie zile sahan haraka 
LINDA alirud kuchukua sahan 
"Mlikuwa mnamwachia nan awatolee okota haraka utokee " Aliongea NYANZARA kwa saut ya ukali 
LINDA aliinama na kuziokota zile sahan kisha kuondoka huku akikimbia 
Baada ya wiki moja kupita wakiwa wanafyeka nyas katika eneo la nje ya gereza wakati huo NYANZARA alikuwa amejilaza kidogo kwa pemben chin ya mti wakiwa wanaendelea kufyeka nyasi PENDO alimfuata alipokuwa LINDA 
"Wewe PENDO umeijia nini hapa huogopi ?
"Amelala hawez kuamka sahv yule 
"Angalia Mimi namwogopa Kama nini sitak matatzo 
"Hapana bhana usiogope ... Sasa sikia siku ile hatukumaliza kuongea haukuniambia ni nini kimekupelekea uwepo hapa 
"PENDO siku nyingine Leo haitowezekana acha tufanye kaz kwanza 
"LINDAA watu wote hawa unafikir hapa hapata isha na hata pakiisha  hatuach kufyeka Leo wala kesho 
"Mmh haya tutakaa kwa wapi 
Walitafuta sehem nzur ya kuweza kukaa ambayo hawatoweza kuonekana kwa haraka na kuanza kuongea 
"PENDO unajua tangu nimeingia humu umejitolea kuwa mtu wangu wa karbu mno tena mapema 
"Unajua LINDA Mara nyingi watu wakiletwa huku hukosa furaha kabisa na kupoteza Raman nzima ya maisha ila unapokuwa na rafiki hautaman hata kutoka
"Kwani wewe Una mda gani tangu uingie humu ?
"Nina mwaka wa tatu sasa Bado miaka yangu minne mbele niweze kumaliza kifungo changu 
"Eeeeeeh! Miaka minne na umeshamaliza miaka mitatu humu humu ndan 
"Ndiyo mbona nimeshaona kawaida vipi wewe mwenzangu 
"Mingi..Miaka mitatu 
"Ha! Hyo mingi Mbona midogo je ungekuwa Mimi ....Tuachane na hayo niambie kilochotufanya tuje hapa kuongea 
"Mmh! PENDO Wanaume siyo watu wazur hata kidogo kuna mwanaume nilitokea kumpenda Sana lakin alichokuja kunifanyia sinto sahau mpk natoka humu 
LINDA alianza kumsimulia 
Ikiwa ni mida ya saa kumi na mbili asubuh LINDA akiwa usingizn anajarbu kupeleka mkono wake pemben akijarbu kupapasa papasa na kukuta hakuna anachokitafuta anastuka na kufumbua macho kuhakikisha na kukuta mumewe BENSON hayupo kitandan alijinyoosha huku akipiga mihayo na kujirekebisha rekebisha nywele zake kwa mikono akaamua kutoka kitandan na kusogea mpk kwenye kioo cha kwenye dressing table na kuanza kujiangalia alipoona yupo sawa alisogea mpk karibu na mlango akitaka kuufungua muda huo huo BENSON akawa amefungua na kuingia chumban 
"Baby ulikuwa wapi ?
"Nilienda kazn Mara moja kulikuwa na dharura 
"Uliamka sa ngapi mbona sikukusikia 
"Sikutaka kukusumbua nimeamka usiku Sana 
"Ungeniaga bwana ya Mungu mengi unaweza kupatwa na tatzo 
"Sorry! siku nyingine nitafanya hvo nilijua ntakusumbua

STORI; MALKIA WA JELA SEHEMU YA KWANZA .............................................. *🅱 professional love* Kwenye maisha ya kila siku katika ufanyaji wa maamuz ya ufanyaji wa jambo fulan una ulazima wa uhitaji wa ushaur kutoka kwa mtu mmoja wa karibu nawe Ila unapoamua kujichukulia maamuz yako na kufanya jambo baya kwa kunufaisha/kujinufaisha baadae unapokuja kuona madhara yake ndipo uona umuhimu wa kutaka ushaur toka kwa wenzako ikiwa tayar umeshachelewa kwan "NGOMA INAPOVUUMA SAANA MWISHO WAKE HUISHIA KUPASUKA" LINDA ni msichana mrembo aliyebarikiwa kwenye kila idara ikiwemo mvuto pamoja na umbo lake lililowavutia watu wengi mtaani kwao ila kwa bahat mbaya anakuja kupata kesi ya kumwuua mpenzi wake bila kukusudia na mahakama kuamua kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela kutumikia kifungo hicho cha kuua bila ya kukusudia ndan ya Gereza la wanawake LINDA siku ya kwanza anaingia ndani ya Gereza ilimpa wakat mgumu Sana kuyazoea mazingira muda mwingi alijitenga peke yake huku akilia na kujutia makosa yake Kwa kawaida kila gereza lazima utakutana na mtu ambaye usimama Kama kiongozi ndan ya gereza aliyejulikana kwa jina la NYAMPALA ,Kuna binti aliyeitwa NYANZARA ndiye aliyekuwa akiliongoza gereza lile Kama Nyampala Aliutumia udhaifu wa LINDA kwa kuwa alikuwa ni mgen na kumfanyia baadh ya kaz zilizokuwa zikiendeshwa ikiwemo usaf ndan ya gereza na ufyekaj wa nyasi katika maeneo ya nje ya gerezan LINDA alikuwa akiumia Sana moyon na kushindwa kufanya lolote kwa kuwa tiyar limeshatokea Adhabu yake kubwa ndan ya gereza lile iliyokuwa inamfanya alie kila wakat ni majira ya usiku anapotakiwa kukesha macho na kumpepea NYANZARA asiumwe na mbu kuna wakat alishindwa kujizuia na kujikuta akipitiwa na usingiz na kujikuta akiambulia kipigo toka kwa NYANZARA Siku moja wakiwa wamejipanga wanachukua chakula LINDA baada ya kupata chakula chake alisogea na kwenda kukaa peke yake chini ya mti Kuna mfungwa mwenzie baada ya kumwona LINDA amekaa peke yake aliamua kubeba chakula chake na kumfuata alipokuwa amekaa "Habar yako Dada ? Alimsalimia yule Dada ilikujua hali yake "Nzur tu .... Yule Dada aliamua kukaa chin ili waweze kuongea "Nimekuona umekaa hapa muda mrefu unaonekana mnyonge wakat wote ....Unaliaa ..Uchangamki ....Bado hujazoea mpka Leo "Mmmh! Nashindwa kujizuia .. Maisha ya huku ni magumu sijazoea "Ipo siku utazoea tu acha kuwaza changamka Mimi naomba niwe rafiki yako "Saw a "Akatabasamu "Nafurah kukubali hili Aam naitwa PENDO sijui wewe mwenzangu ? "Mimi naitwa LINDA "Woow! Jina zur Sana "Nashukuru Hata lako pia "Kwani Dada wewe hasa kilichokufanya uingie humu ndani ni kitu gani ? "PENDO we acha tu sitaki hata kukumbuka Wakat wakiendelea kuongea NYANZARA aliwafuata na kuanza kuwapiga na kuwataka waondoke haraka na kwenda kujumuika na wenzao kufanya kazi LINDA pamoja na PENDO walinyanyuka na kukimbia kujiunga na wenzao kabla hawajafika mbali Sahan zao walizokuwa wanalia walizisahau NYANZARA aliamua kumrudsha LINDA na kumtaka arudie zile sahan haraka LINDA alirud kuchukua sahan "Mlikuwa mnamwachia nan awatolee okota haraka utokee " Aliongea NYANZARA kwa saut ya ukali LINDA aliinama na kuziokota zile sahan kisha kuondoka huku akikimbia Baada ya wiki moja kupita wakiwa wanafyeka nyas katika eneo la nje ya gereza wakati huo NYANZARA alikuwa amejilaza kidogo kwa pemben chin ya mti wakiwa wanaendelea kufyeka nyasi PENDO alimfuata alipokuwa LINDA "Wewe PENDO umeijia nini hapa huogopi ? "Amelala hawez kuamka sahv yule "Angalia Mimi namwogopa Kama nini sitak matatzo "Hapana bhana usiogope ... Sasa sikia siku ile hatukumaliza kuongea haukuniambia ni nini kimekupelekea uwepo hapa "PENDO siku nyingine Leo haitowezekana acha tufanye kaz kwanza "LINDAA watu wote hawa unafikir hapa hapata isha na hata pakiisha hatuach kufyeka Leo wala kesho "Mmh haya tutakaa kwa wapi Walitafuta sehem nzur ya kuweza kukaa ambayo hawatoweza kuonekana kwa haraka na kuanza kuongea "PENDO unajua tangu nimeingia humu umejitolea kuwa mtu wangu wa karbu mno tena mapema "Unajua LINDA Mara nyingi watu wakiletwa huku hukosa furaha kabisa na kupoteza Raman nzima ya maisha ila unapokuwa na rafiki hautaman hata kutoka "Kwani wewe Una mda gani tangu uingie humu ? "Nina mwaka wa tatu sasa Bado miaka yangu minne mbele niweze kumaliza kifungo changu "Eeeeeeh! Miaka minne na umeshamaliza miaka mitatu humu humu ndan "Ndiyo mbona nimeshaona kawaida vipi wewe mwenzangu "Mingi..Miaka mitatu "Ha! Hyo mingi Mbona midogo je ungekuwa Mimi ....Tuachane na hayo niambie kilochotufanya tuje hapa kuongea "Mmh! PENDO Wanaume siyo watu wazur hata kidogo kuna mwanaume nilitokea kumpenda Sana lakin alichokuja kunifanyia sinto sahau mpk natoka humu LINDA alianza kumsimulia Ikiwa ni mida ya saa kumi na mbili asubuh LINDA akiwa usingizn anajarbu kupeleka mkono wake pemben akijarbu kupapasa papasa na kukuta hakuna anachokitafuta anastuka na kufumbua macho kuhakikisha na kukuta mumewe BENSON hayupo kitandan alijinyoosha huku akipiga mihayo na kujirekebisha rekebisha nywele zake kwa mikono akaamua kutoka kitandan na kusogea mpk kwenye kioo cha kwenye dressing table na kuanza kujiangalia alipoona yupo sawa alisogea mpk karibu na mlango akitaka kuufungua muda huo huo BENSON akawa amefungua na kuingia chumban "Baby ulikuwa wapi ? "Nilienda kazn Mara moja kulikuwa na dharura "Uliamka sa ngapi mbona sikukusikia "Sikutaka kukusumbua nimeamka usiku Sana "Ungeniaga bwana ya Mungu mengi unaweza kupatwa na tatzo "Sorry! siku nyingine nitafanya hvo nilijua ntakusumbua

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA ISHIRINI.
“Catherine siku uliyoondoka ndani ya begi lako uliacha kitabu chako cha kumbu kumbu, niliweza kusoma matukio yote ambayo uliwahi kukutana nayo hapa shuleni.
Nilijua kwamba ulibakwa na Maloya, nilijua kwamba uhusiki na kifo cha Candy ingawa mwanzo nilikuwa nikikutilia hofu, nilijua jinsi ulivyokuwa na wakati mgumu sana kwa ajili yangu.
Mambo mengi sana hukutaka niyajue lakini kupitia kitabu chako kile niliweza kuyafahamu nilijua hata mpango wako wa kutaka kupoteza mawasiliano na mimi kisa ikiwa ni ule ujauzito.
Vyote hivyo vilikuwepo ndani ya kitabu chako cha kumbukumbu.”
Niliinamisha uso,
“Baada ya muda tulitangaziwa kwamba unatafutwa na polisi, mwalimu alikuwa akipenda sana kutuletea habari zinazohusiana na kesi ya Candy na hadi mwisho nilipata taarifa kwamba umekamatwa Dar na umeletwa huku Mwanza na kufunguliwa kesi, moyoni mwangu niliumia sana niliazimia kukusaidia kwa namna yoyote ile.
Nilifanya mawasiliano na mama yangu mkubwa Happiness ambaye ni mama yake na Martha.”
Moyo ulinipasuka paa, sikuwa najua kitu hiko.
“Niliongea naye nilimwelezea kila kitu nikampatia na kile kitabu chako cha kumbukumbu, aliguswa sana na shida zako na aliamua kukusaidia.”
“Tunashukuru mungu kwamba kila kitu kilienda sawa na Mungu alionekana na hatimaye leo umeachiliwa huru.
Lakini kilichonipa furaha kabisa ni kwamba ujauzito haukuwa ni wa Maloya ulikuwa ni wa kwangu, sorry Candy kwa kukatisha masomo yako.”
“Naomba nikupe kitu ambacho kinawakilisha ombi langu langu la msamaha kwako aliongea kwa uzuni na kwa sauti ya kilio.”
Niliinama tu nilishindwa la kusema.
Niliziba macho yangu na kiganja changu nikibaki nimejiinamia,
“Catherine” aliniita Martin,
“will you marry me?”
Nilitoa kiganja kilichokuwa kimefunika macho yangu
“Say whaaat!!” Alikuwa ameshikilia pete ambayo ilionekana imenakshiwa na madini ilionekana kuwa pete ya thamani sana.
“Yes” aliongea kwa kunong’ona.
Machozi yalinitoka upya, nilimtizama baba yangu alikuwa akilia, shangazi yangu naye pia.
“Yes Martin niko tayari”, nilijibu kwa sauti ya upole.
Alipiga magoti na kunivalisha pete ile kidoleni kwangu ilikuwa ni furaha kubwa kwangu na si kwangu peke yangu bali kwa wote.
“Catherine” wakili Happiness aliniita,
“baada ya dhiki huja faraja” alisema.
“Niwatakie maisha mema ila naitwa Happiness Lutabenza niliolewa miaka kadhaa iliyopita na Denis Lutabenza na kufanikiwa kupata mtoto mmoja tu Martha kabla mume wangu hajafariki. Nampenda sana mwanangu Martin kwa sababu yupo karibu nasi hasa na binti yangu nah ii ni sababu niliamua kukusaidia kwa nguvu zote yani IN THE NAME OF LOVE.” Hapo alicheka.
Nilishituka sana Martin alikuwa akiitwa Martin Lutabenza.
“Martin ni mtoto wa mdogo wa marehemu mume wangu, David Lutabenza.”
Tuliachia tabasamu wote.
Ulikuwa mwanzo wa maisha ya furaha.
Nampenda sana mume wangu Martin maisha yangu yote.
>>>>>>>>>>>>>>>>>> MWISHO<<<<<<<<<<<<<<<<<<<<<<
Napenda kuwashukuru watu wote ambao mlikuwa pamoja namI tangu mwanzo wa hii hadithi hadi hapa tumefikia mwisho.
Mungu azidi kuwabariki sana natumaini kwamba kuna kitu mmekipata, yani hamkutumia muda wenu bure mmesoma na mmepata kitu.
Lengo kubwa la kuandika hadithi hii ni kwamba kuna vitu nilikuwa nataka mvione.
Watoto wana ndoto nzuri lakini wazazi ndiyo chanzo cha kufeli kwa ndoto za wanafunzi na za watoto wengi.
Inatia huzuni sana,
Tunazaa watoto kwa sababu tunataka kuwa wazazi, lakini mara zote wazazi wengi sana wanakimbia majukumu ya kuwa wazazi.
Watoto wana mahitaji mengi sana.
Ili mtoto aweze kufikia ndoto zake mzazi anahitajika kujitoa kwa hali na mali, ili mtoto huyo aweze kufanikiwa.
Watoto wengi sana wakiharibikiwa mara zote tumekuwa tukiwatupia lawama huku tukiangalia sababu chache tu ambazo zinaonekana lakini tukiacha sisi wenyewe wazazi tunashindwa kujibebesha lawama kwamba sisi ndio tunahusika katika namna zote.
Hata hivyo lawama kubwa nazipeleka kwao wazazi kwasababu wao wanahusika
Watoto wanahitaji muda,
Wanahitaji mtu wa kuwajali,
Wanahitaji mapenzi,
Wanahitaji kuongozwa,
Wanahitaji ulinzi,
Wanahitaji maombi,
Wanahitaji kupata muda wa kupumzisha akili,
Wanahitaji kuchanganyika na watu,
Wanahitaji kusikilizwa,
Wanahitaji uhuru,
Wanahitaji amani na kujifunza.
Watoto wakipata hayo yote ni vigumu sana kwa mtoto kupoteza ndoto zake maana mtoto huyo atakuwa anajitambua kwa sababu tayari ana mahitaji yake yote ya msingi.
Kama wazazi tumekuwa tukifikiria kwamba watoto wanahitaji mavazi, elimu, malazi na chakula basi.
Lakini hayo yote hayatoshi na ndiyo maana ndoto za watoto waliowengi zinaishia njiani.
Watoto wanakuhitaji sana mzazi.


*Mwisho*

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA ISHIRINI. “Catherine siku uliyoondoka ndani ya begi lako uliacha kitabu chako cha kumbu kumbu, niliweza kusoma matukio yote ambayo uliwahi kukutana nayo hapa shuleni. Nilijua kwamba ulibakwa na Maloya, nilijua kwamba uhusiki na kifo cha Candy ingawa mwanzo nilikuwa nikikutilia hofu, nilijua jinsi ulivyokuwa na wakati mgumu sana kwa ajili yangu. Mambo mengi sana hukutaka niyajue lakini kupitia kitabu chako kile niliweza kuyafahamu nilijua hata mpango wako wa kutaka kupoteza mawasiliano na mimi kisa ikiwa ni ule ujauzito. Vyote hivyo vilikuwepo ndani ya kitabu chako cha kumbukumbu.” Niliinamisha uso, “Baada ya muda tulitangaziwa kwamba unatafutwa na polisi, mwalimu alikuwa akipenda sana kutuletea habari zinazohusiana na kesi ya Candy na hadi mwisho nilipata taarifa kwamba umekamatwa Dar na umeletwa huku Mwanza na kufunguliwa kesi, moyoni mwangu niliumia sana niliazimia kukusaidia kwa namna yoyote ile. Nilifanya mawasiliano na mama yangu mkubwa Happiness ambaye ni mama yake na Martha.” Moyo ulinipasuka paa, sikuwa najua kitu hiko. “Niliongea naye nilimwelezea kila kitu nikampatia na kile kitabu chako cha kumbukumbu, aliguswa sana na shida zako na aliamua kukusaidia.” “Tunashukuru mungu kwamba kila kitu kilienda sawa na Mungu alionekana na hatimaye leo umeachiliwa huru. Lakini kilichonipa furaha kabisa ni kwamba ujauzito haukuwa ni wa Maloya ulikuwa ni wa kwangu, sorry Candy kwa kukatisha masomo yako.” “Naomba nikupe kitu ambacho kinawakilisha ombi langu langu la msamaha kwako aliongea kwa uzuni na kwa sauti ya kilio.” Niliinama tu nilishindwa la kusema. Niliziba macho yangu na kiganja changu nikibaki nimejiinamia, “Catherine” aliniita Martin, “will you marry me?” Nilitoa kiganja kilichokuwa kimefunika macho yangu “Say whaaat!!” Alikuwa ameshikilia pete ambayo ilionekana imenakshiwa na madini ilionekana kuwa pete ya thamani sana. “Yes” aliongea kwa kunong’ona. Machozi yalinitoka upya, nilimtizama baba yangu alikuwa akilia, shangazi yangu naye pia. “Yes Martin niko tayari”, nilijibu kwa sauti ya upole. Alipiga magoti na kunivalisha pete ile kidoleni kwangu ilikuwa ni furaha kubwa kwangu na si kwangu peke yangu bali kwa wote. “Catherine” wakili Happiness aliniita, “baada ya dhiki huja faraja” alisema. “Niwatakie maisha mema ila naitwa Happiness Lutabenza niliolewa miaka kadhaa iliyopita na Denis Lutabenza na kufanikiwa kupata mtoto mmoja tu Martha kabla mume wangu hajafariki. Nampenda sana mwanangu Martin kwa sababu yupo karibu nasi hasa na binti yangu nah ii ni sababu niliamua kukusaidia kwa nguvu zote yani IN THE NAME OF LOVE.” Hapo alicheka. Nilishituka sana Martin alikuwa akiitwa Martin Lutabenza. “Martin ni mtoto wa mdogo wa marehemu mume wangu, David Lutabenza.” Tuliachia tabasamu wote. Ulikuwa mwanzo wa maisha ya furaha. Nampenda sana mume wangu Martin maisha yangu yote. >>>>>>>>>>>>>>>>>> MWISHO<<<<<<<<<<<<<<<<<<<<<< Napenda kuwashukuru watu wote ambao mlikuwa pamoja namI tangu mwanzo wa hii hadithi hadi hapa tumefikia mwisho. Mungu azidi kuwabariki sana natumaini kwamba kuna kitu mmekipata, yani hamkutumia muda wenu bure mmesoma na mmepata kitu. Lengo kubwa la kuandika hadithi hii ni kwamba kuna vitu nilikuwa nataka mvione. Watoto wana ndoto nzuri lakini wazazi ndiyo chanzo cha kufeli kwa ndoto za wanafunzi na za watoto wengi. Inatia huzuni sana, Tunazaa watoto kwa sababu tunataka kuwa wazazi, lakini mara zote wazazi wengi sana wanakimbia majukumu ya kuwa wazazi. Watoto wana mahitaji mengi sana. Ili mtoto aweze kufikia ndoto zake mzazi anahitajika kujitoa kwa hali na mali, ili mtoto huyo aweze kufanikiwa. Watoto wengi sana wakiharibikiwa mara zote tumekuwa tukiwatupia lawama huku tukiangalia sababu chache tu ambazo zinaonekana lakini tukiacha sisi wenyewe wazazi tunashindwa kujibebesha lawama kwamba sisi ndio tunahusika katika namna zote. Hata hivyo lawama kubwa nazipeleka kwao wazazi kwasababu wao wanahusika Watoto wanahitaji muda, Wanahitaji mtu wa kuwajali, Wanahitaji mapenzi, Wanahitaji kuongozwa, Wanahitaji ulinzi, Wanahitaji maombi, Wanahitaji kupata muda wa kupumzisha akili, Wanahitaji kuchanganyika na watu, Wanahitaji kusikilizwa, Wanahitaji uhuru, Wanahitaji amani na kujifunza. Watoto wakipata hayo yote ni vigumu sana kwa mtoto kupoteza ndoto zake maana mtoto huyo atakuwa anajitambua kwa sababu tayari ana mahitaji yake yote ya msingi. Kama wazazi tumekuwa tukifikiria kwamba watoto wanahitaji mavazi, elimu, malazi na chakula basi. Lakini hayo yote hayatoshi na ndiyo maana ndoto za watoto waliowengi zinaishia njiani. Watoto wanakuhitaji sana mzazi. *Mwisho*

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI NA TISA.
Haikuhitaji kuambiwa wala kuelezewa mtoto huyu alikuwa kama pacha, hakika alifanana sana na Martin
“Mungu wangu kumbe hii mimba ilikuwa ni ya Martin mtoto kafanana na Martin kheeeh! ni pacha wake kabisa” nilishangaa nesi aligundua mshangao niliokuwa nao
“vipi”
“aanh, mwanangu ni mzuri”,
“yeah umezaa mtoto mzuri sana hongera”, niliachia tabasamu.
Moyo wangu ulijawa na furaha ambayo siwezi kuielezea.
“Mungu hatimaye umeufariji moyo wangu nikurudishie nini mimi nikurudishie nini kiwe sawa na fadhli zako Jehova” nilijikuta nikisali.
Nilisali si kidogo, nilimshukuru Mungu kwa yote ambayo yaliwahi kutokea katika maisha yangu hatimaye mungu umenipa faraja ya milele mwanangu mpenzi.
Nilishindwa cha kuongea ilikuwa ni furaha isiyo na kipimo.
Hatimaye baba, wakili Happiness pamoja na shangazi yangu waliruhusiwa kuja kuniona pamoja na ndugu wa wakili Happiness walifurahi kumuona mtoto huyu mzuri,
“mtoto mzuri sana huyu wa kiume”
Ilikuwa ni furaha isiyo kipimo.
Wakili Happiness alikuja kwa tabasamu,
“unapenda mwanao aitwe nani”, niliachia tu kicheko,
“bado sijafikiria kuhusu hilo” nilimwambia
“naomba mimi nimpe jina.” Alisema
Nilicheka “sawa”
“Nitampa jina kwa wakati wake”,
“nitashukuru.”
Tuliruhusiwa kuondoka hospitalini hapo baada ya kila kitu kukaa sawa.
Baada ya siku kadhaa kupita, baba alishauri apewe jina la muda wakati wakili Happiness akiandaa jina lake.
Mwanangu aliitwa Blessing hakika alikuwa ni Baraka kwangu na kwa maisha yangu.
Kesi yangu mahakamani iliendelea, hatimaye siku ya hukumu ilifika nilisimama kizimbani nikitetemeka sana.
Mwanangu alikuwa amebebwa na wakili Happiness machozi yakinitiririka wakati huo wakili Happiness alikuwa na furaha wakati wote.
“Anafurahi nini wakati hukumu haijatolewa nikifungwa je?” nilisema
Akili yangu haikutuliai kabisa,
“ee Mungu naomba usinitenganishe na mwanangu naomba unipe muda wa kumlea nampenda sana mwanangu.”
Hatimaye muda wa hukumu ulifika, hakimu alisimama kwa ajili ya kutoa hukumu,
“kutokana na ushahidi kutoka pande zote mbili, mahakama imeamua kwamba Catherine Kindamba kuwa hana hatia kwa kuwa hakuhusika na kifo cha Candy, ila Candy alifariki baada ya kushikwa na kizunguzungu na kisha kudondoka na kujingonga ukutani hivyo basi mahakama inapenda kumwachilia huru Catherine Kindamba kuanzia sasa”, nilijikuta nikipiga magoti kizimbani nilisali nilishukuru.
Baba alishindwa kujizuia aliachia machozi kwa pamoja wote walikuja kizimbani na kunitoa na kisha kunikumbatia kwa furaha.
Watu wengi walikuwa wakifatilia kesi yangu siku hiyo nilimwona mwalimu mkuu wa Hanspop Academy Mr. Maige alikuja kunipa hongera
“hongera sana Cathe wewe ni msichana Shujaa sana.”
Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka nilitamani kumuulizia kuhusu Martin lakini sikuwa na shaka kwamba alikuwa ameisha maliza shule kwa wakati huo.
“Asante mwalimu”
“Nashukuru ingawa umepoteza nafasi ya kusoma lakini naamini kwamba kuna siku itajirudia tena, endelea kujipa moyo Mungu yupo pamoja nawe” aliongea kwa upole sana mwalimu Maige na kisha kupotea machoni pangu.
Nilibaki tu machozi yakinitiririka.
“Tulilia kwa furaha mimi pamoja na familia yangu mpya nilimkumbatia mwanangu Bless.
“Catherine” niligeuka na kutizama, wakili Happiness alikuwa akiniita,
“mtoto wako ataitwa Comfort” akimaanisha faraja
Niliachia tabasamu,
“jina zuri sana nimelipenda nahisi nitakuwa na furaha sana kuitwa mama Comfort”, ila mwisho wa yote baba yake atakuja kuamua jina la mwisho mwanae ambalo atapewa.
Maneno yake yalinifariji sana ingawa sikuwa najua ni namna gani ningekutana na Martin, nilirejea nyumbani.
Watu wote waliingia ndani wakili Happiness aliniita
“nimekuandalia zawadi kubwa sana binti yangu, wewe ni sawa na mwanangu. Naomba uipokee zawadi yangu” nilicheka,
“mama” nilijizoeza kumwita mama.
“niambie mwanangu”
“mimi ndiyo ninapaswa kukupa wewe zawadi mama umenifanyia mambo mengi sana”,
“hapana haya mambo yote yasingefanyika hupaswi kunipa zawadi mimi kama unataka kutoa zawadi ipeleke kanisani nimefanya haya yote IN THE NAME OF LOVE”,
“IN THE NAME OF LOVE” nilijiuliza anamanisha nini?
“Sawa nipo tayari kupokea hiyo zawadi yako” aliachia tabasamu
“naomba nikuzibe macho ili usiione. Iwe surprise kwako” alimalizia,
“hasa.. mama nimebeba mtoto si tutajikwaa tudondoke jamani”
“Hamna mimi nitakuongoza”, aliongea kwa utani kama kawaida yake,
Nilicheka tu,
Aliniziba macho na kuniongoza sikujua hata tunaelekea wapi, baada ya kutembea hatua chache hatimaye tulifika ambapo tulipaswa kufika, alinifumbua macho.
Sikuitaka kuamini nilichokiona mbele yangu.
Martin na Martha walikuwa wamesimama mbele yangu walikuwa wamependeza sana Martin wangu alizidi kuwa mzuri na hakika alionekana mbaba nyuso zao zilijawa na tabasamu.
Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka
“Martin” sauti iligoma kutoka,
Martin alilia alijongea polepole hadi nilipokuwa nimesimama,
“Cathe mwanamke wa maisha yangu.”
Alinikumbatia kwa nguvu zote huku akilia,
Furaha iligeuka vilio kila mtu alitokwa na machozi.
Martin alimchukua mwanangu na kumbeba
“my first born” aliongea kwa sauti ya chini.
“Nakupenda sana Catherine”, alisema Martin.
“Nakupenda Martin” nilijibu.
Nilishindwa kuelewa mazingira yaliyokuwepo mahali hapo.
Martin alianza kujielezea.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA TISA. Haikuhitaji kuambiwa wala kuelezewa mtoto huyu alikuwa kama pacha, hakika alifanana sana na Martin “Mungu wangu kumbe hii mimba ilikuwa ni ya Martin mtoto kafanana na Martin kheeeh! ni pacha wake kabisa” nilishangaa nesi aligundua mshangao niliokuwa nao “vipi” “aanh, mwanangu ni mzuri”, “yeah umezaa mtoto mzuri sana hongera”, niliachia tabasamu. Moyo wangu ulijawa na furaha ambayo siwezi kuielezea. “Mungu hatimaye umeufariji moyo wangu nikurudishie nini mimi nikurudishie nini kiwe sawa na fadhli zako Jehova” nilijikuta nikisali. Nilisali si kidogo, nilimshukuru Mungu kwa yote ambayo yaliwahi kutokea katika maisha yangu hatimaye mungu umenipa faraja ya milele mwanangu mpenzi. Nilishindwa cha kuongea ilikuwa ni furaha isiyo na kipimo. Hatimaye baba, wakili Happiness pamoja na shangazi yangu waliruhusiwa kuja kuniona pamoja na ndugu wa wakili Happiness walifurahi kumuona mtoto huyu mzuri, “mtoto mzuri sana huyu wa kiume” Ilikuwa ni furaha isiyo kipimo. Wakili Happiness alikuja kwa tabasamu, “unapenda mwanao aitwe nani”, niliachia tu kicheko, “bado sijafikiria kuhusu hilo” nilimwambia “naomba mimi nimpe jina.” Alisema Nilicheka “sawa” “Nitampa jina kwa wakati wake”, “nitashukuru.” Tuliruhusiwa kuondoka hospitalini hapo baada ya kila kitu kukaa sawa. Baada ya siku kadhaa kupita, baba alishauri apewe jina la muda wakati wakili Happiness akiandaa jina lake. Mwanangu aliitwa Blessing hakika alikuwa ni Baraka kwangu na kwa maisha yangu. Kesi yangu mahakamani iliendelea, hatimaye siku ya hukumu ilifika nilisimama kizimbani nikitetemeka sana. Mwanangu alikuwa amebebwa na wakili Happiness machozi yakinitiririka wakati huo wakili Happiness alikuwa na furaha wakati wote. “Anafurahi nini wakati hukumu haijatolewa nikifungwa je?” nilisema Akili yangu haikutuliai kabisa, “ee Mungu naomba usinitenganishe na mwanangu naomba unipe muda wa kumlea nampenda sana mwanangu.” Hatimaye muda wa hukumu ulifika, hakimu alisimama kwa ajili ya kutoa hukumu, “kutokana na ushahidi kutoka pande zote mbili, mahakama imeamua kwamba Catherine Kindamba kuwa hana hatia kwa kuwa hakuhusika na kifo cha Candy, ila Candy alifariki baada ya kushikwa na kizunguzungu na kisha kudondoka na kujingonga ukutani hivyo basi mahakama inapenda kumwachilia huru Catherine Kindamba kuanzia sasa”, nilijikuta nikipiga magoti kizimbani nilisali nilishukuru. Baba alishindwa kujizuia aliachia machozi kwa pamoja wote walikuja kizimbani na kunitoa na kisha kunikumbatia kwa furaha. Watu wengi walikuwa wakifatilia kesi yangu siku hiyo nilimwona mwalimu mkuu wa Hanspop Academy Mr. Maige alikuja kunipa hongera “hongera sana Cathe wewe ni msichana Shujaa sana.” Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka nilitamani kumuulizia kuhusu Martin lakini sikuwa na shaka kwamba alikuwa ameisha maliza shule kwa wakati huo. “Asante mwalimu” “Nashukuru ingawa umepoteza nafasi ya kusoma lakini naamini kwamba kuna siku itajirudia tena, endelea kujipa moyo Mungu yupo pamoja nawe” aliongea kwa upole sana mwalimu Maige na kisha kupotea machoni pangu. Nilibaki tu machozi yakinitiririka. “Tulilia kwa furaha mimi pamoja na familia yangu mpya nilimkumbatia mwanangu Bless. “Catherine” niligeuka na kutizama, wakili Happiness alikuwa akiniita, “mtoto wako ataitwa Comfort” akimaanisha faraja Niliachia tabasamu, “jina zuri sana nimelipenda nahisi nitakuwa na furaha sana kuitwa mama Comfort”, ila mwisho wa yote baba yake atakuja kuamua jina la mwisho mwanae ambalo atapewa. Maneno yake yalinifariji sana ingawa sikuwa najua ni namna gani ningekutana na Martin, nilirejea nyumbani. Watu wote waliingia ndani wakili Happiness aliniita “nimekuandalia zawadi kubwa sana binti yangu, wewe ni sawa na mwanangu. Naomba uipokee zawadi yangu” nilicheka, “mama” nilijizoeza kumwita mama. “niambie mwanangu” “mimi ndiyo ninapaswa kukupa wewe zawadi mama umenifanyia mambo mengi sana”, “hapana haya mambo yote yasingefanyika hupaswi kunipa zawadi mimi kama unataka kutoa zawadi ipeleke kanisani nimefanya haya yote IN THE NAME OF LOVE”, “IN THE NAME OF LOVE” nilijiuliza anamanisha nini? “Sawa nipo tayari kupokea hiyo zawadi yako” aliachia tabasamu “naomba nikuzibe macho ili usiione. Iwe surprise kwako” alimalizia, “hasa.. mama nimebeba mtoto si tutajikwaa tudondoke jamani” “Hamna mimi nitakuongoza”, aliongea kwa utani kama kawaida yake, Nilicheka tu, Aliniziba macho na kuniongoza sikujua hata tunaelekea wapi, baada ya kutembea hatua chache hatimaye tulifika ambapo tulipaswa kufika, alinifumbua macho. Sikuitaka kuamini nilichokiona mbele yangu. Martin na Martha walikuwa wamesimama mbele yangu walikuwa wamependeza sana Martin wangu alizidi kuwa mzuri na hakika alionekana mbaba nyuso zao zilijawa na tabasamu. Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka “Martin” sauti iligoma kutoka, Martin alilia alijongea polepole hadi nilipokuwa nimesimama, “Cathe mwanamke wa maisha yangu.” Alinikumbatia kwa nguvu zote huku akilia, Furaha iligeuka vilio kila mtu alitokwa na machozi. Martin alimchukua mwanangu na kumbeba “my first born” aliongea kwa sauti ya chini. “Nakupenda sana Catherine”, alisema Martin. “Nakupenda Martin” nilijibu. Nilishindwa kuelewa mazingira yaliyokuwepo mahali hapo. Martin alianza kujielezea. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI NA NANE.
Lilikuwa ni jambo la kumshukuru Mungu katika maisha yangu alijibu maombi yangu ulikuwa ni wakati ambao furaha yangu ilikamilika kwa kiasi kikubwa.
Niliona ya kwamba hatimaye naweza kuachiliwa kwa hiyo kesi. Kwa tuhuma nilizokuwa nimepewa kwa mauaji ya Candy.
Tumaini lilirejea kwa kasi na tabasamu pia, ingawa nafsi yangu haikuacha kujuta kwa kumpoteza Martin nilijuta kwanini nilibadilisha laini, Martin ungekuwepo ungekamilisha furaha yangu.
“Kama kweli ungenipenda usingejali kuhusu mtoto huyo ambaye sio wa kwako” niliendelea kuwaza
Ilikuwa ni furaha sana kukutana tena na baba yangu na shangazi yangu.
Niliwakumbatia kwa nguvu sana, baba alilia kama mtoto,
“pole mwanangu hii ndiyo mitihani ya maisha” alisema baba.
Nilishindwa kumjibu chochote nilibaki nikitoa machozi,
“tunamshukuru sana wakili Happiness kwa kukusaidia”
Nilimgeukia mwanamama yule nilishindwa hata kutamka neno la shukrani kwake kila neno niliona halifai hakika alistahili shukrani nyingi sana.
Nilimwachia baba na kwenda kumkumbatia wakili wangu Happiness
“Mungu azidi kukutunza”,
alisema “usijali binti yangu”.
Nilimwangalia na kisha nikaachia tabasamu, alitabasamu pia, hakika alionekana kuguswa sana na mimi nilimwona kama malaika aliyoshuka kutoka mbinguni, asante mungu kwa kumleta malaika wako duniani.
“Sasa” alisema
“tuelekee nyumbani”, wakili yule aliongea kwa sauti yake nzito.
Tuliingia kwenye gari na safari ya kuelekea nyumbani, Kapri point alipokuwa akiishi ilianza.
Tulikuwa tuna furaha sana vicheko vilisikika mule garini tuliongea mambo mengi na stori za hapa na pale hadi tulipofika.
Tuliingia sebuleni kulikuwa kuna hafla fupi ilikuwa imeandaliwa, tulikunywa tulikula na baadhi ya watu walialikwa.
“Nashukuru Mungu nimeweza kufanikiwa kumtetea huyu binti ingawa bado kesi haijaisha lakini yapo matumaini makubwa sana ya yeye kuachiwa katika kesi inayomkabili kwasababu hahusiki na Mungu amemtetea” alisema mwanamama yule ambaye anaonekana ana imani kali ya Mungu.
Nilitoa uchozi.
Niliitwa kutoa neno lolote nilitoa neno la shukrani huku nikimwombea baraka tele Happiness kwangu alikuwa ni mama yangu mwingine.
“Mama umerudi tena kupitia huyu kiumbe wako, ulikuwa ukinitetea na kunipigania siku zote mama yangu sasa nafasi yako Happiness ameichukua”, niliwaza kwa furaha ndani ya moyo wangu.
Usiku nililala kwa amani zote huku ndoto nyingi tamu zikiniijia.
Nafsi yangu sikuacha kuwa na majuto kwa kumpoteza Martin nafsi iliniuma sana.
Kwa njia zote nitahakikisha nakupata nilisema.
Siku ziliendelea na kesi yangu ilihairishwa ili kupisha kujifungua kwa maana siku za kujifungua kwangu zilikuwa zimekaribia.
Nilikuwa nachoka sana, na ilinilazimu kufanya sana mazoezi ili isilete shida wakati wa kujifungua ukizingatia sikuwa na umri mkubwa sana.
Nilikuwa nikiamka asubuhi na kukimbia nusu kilometa, kisha kurudi, baada ya hapo ningefanya kazi mbali mbali pale nyumbani. Hakika nilikuwa mchapakazi sana. Wakili happy alinipenda.
Baba aliniita siku moja,
“huyu mwanamama ana roho nzuri sana, ujue tangu nilipoondoka nililazwa hospitali kwa muda mrefu sana, nilikuwa sipati nafuu yoyote nilihisi ningekufa wakati wowote.
Wewe pekee ulikuwa tumaini langu na kukamatwa kwako na polisi nilijua utaishia gerezani.
Ndipo siku moja huyo mama alinipigia simu aliniambia amesikia habari zako na anataka kukutetea.
Hivyo kila kitu kitakuwa katika mikono yake kiasi fulani ilinipa faraja na amani nilijitahidi sana kupata unafuu nilijitahidi kula na kufanya mazoezi ili kuwaridhisha madakatari kuwa nimepona ili nije huku Mwanza niendelee kuisimamia kesi yako.
Nilimwambia kwamba nitakuja Mwanza.
Alinikaribisha hapa kwake tangu nimefika mimi na shangazi yako tunaishi hapa, tunaishi vizuri anatuhudumia kama ndugu zake.”
“Ukweli huyu mama ana roho ya upekee sana”, aliongea baba kwa huzuni.
Maneno ya baba yalinitoa machozi nilishindwa jinsi ya kusema nilishindwa kuongea chochote kumhusu mwanamama huyu ambaye kwangu alikuwa kama malaika.
“Baba yote ni mipango ya Mungu zaidi ya yote tumshukuru Mungu kutufikisha hapa Mungu alishamuandaa wakili Happiness kwa ajili ya hili”,
“ni kweli mwanangu” aliongea baba akinikumbatia.
Tuliishi kwa amani kama ndugu wa wakili Happiness.
Siku moja aliniita,
“Catherine unampango wowote wa kumwambia Maloya kwamba huyu ni mtoto wake”
“hapana nitamlea mwanangu mwenyewe” alitabasamu,
“haya sawa” alicheka kabisa.
“Mbona unacheka” nilimuuliza na mimi nikicheka.
“Hamna, nilitaka kujua msimamo wako, uko vizuri sana”
Alipenda sana ucheshi nilimpenda kwa hilo.
Siku zangu za kujifungua zilikaribia, ilikuwa kiasi kama mwezi mmoja tu ili nijifungue.
Siku moja jioni baada ya maongezi mafupi ya hapa na pale nilianza kusikia maumivu makali.
“Baba tumbo linaniuma” nilimwambia baba.
“Nenda kapumzike mwanangu unywe na dawa.”
Nilinyanyuka nilijitahidi kutembea lakini nilishindwa baba alinisaidia kunipeleka chumbani kwangu,
“baba tumbo linaniuma sana” nilimwambia.
“Ngoja nipige simu wakili Happy” ambaye wakati huo alikuwa ofisini kwake.
“mwite shangazi” nilisema.
Shangazi aliitwa “Mungu wangu anataka kujifungua huyu.”
Nilishtuka “mmmh!!”
Maumivu yake yalikuwa makali sana ambayo hayawezi kusimulika.
Wakili alipigiwa simu haraka sana alirudi na kunipakia kwenye gari kisha kunipeleka hospitali ya bungando nilipokelewa na kuingizwa leba.
Uchungu wa kuzaa ulikuwa mkali sana kwangu nililia sana mpaka nilihisi kuishiwa nguvu, manesi walikuwa wakinitia moyo kwamba niendelee kusukuma kwa nguvu na mimi nilijitahidi kusukuma mtoto kwa nguvu ili mtoto atoke.
Wakili happy alikuwepo humo ndani ili kunisaidia.
Nilisukuma, hatimaye mtoto aliweza kutoka nilifurahi sana kumpata mwangu kifungua mimba changu.
Nilipelekwa chumba cha kupumzika muda mchache baadae nesi aliingia,
“hongera sana Catherine umejifungua mtoto wa kiume”.
Hakika moyo wangu ulijawa na furaha sana lakini kila nilipomkumbuka Maloya roho iliniuma sana. Naomba huyu mtoto afanane na mimi asifanane na Maloya maana roho itaniuma sana naweza nikamchukia nilipeleka maombi yangu kwa Mungu.
“Mtoto yuko salama mzima na pia ana afya njema, mda si mrefu utaletewaa mtoto wako umuone” nesi aliongea huku akiachia tabasamu.
“Asante Mungu kwa zawadi ya mtoto” nilisali tu hivyo,
Baada ya muda mfupi nililetewa mtoto wangu. “Mungu wangu!!” nilijikuta nikisema kwa mshangao.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA NANE. Lilikuwa ni jambo la kumshukuru Mungu katika maisha yangu alijibu maombi yangu ulikuwa ni wakati ambao furaha yangu ilikamilika kwa kiasi kikubwa. Niliona ya kwamba hatimaye naweza kuachiliwa kwa hiyo kesi. Kwa tuhuma nilizokuwa nimepewa kwa mauaji ya Candy. Tumaini lilirejea kwa kasi na tabasamu pia, ingawa nafsi yangu haikuacha kujuta kwa kumpoteza Martin nilijuta kwanini nilibadilisha laini, Martin ungekuwepo ungekamilisha furaha yangu. “Kama kweli ungenipenda usingejali kuhusu mtoto huyo ambaye sio wa kwako” niliendelea kuwaza Ilikuwa ni furaha sana kukutana tena na baba yangu na shangazi yangu. Niliwakumbatia kwa nguvu sana, baba alilia kama mtoto, “pole mwanangu hii ndiyo mitihani ya maisha” alisema baba. Nilishindwa kumjibu chochote nilibaki nikitoa machozi, “tunamshukuru sana wakili Happiness kwa kukusaidia” Nilimgeukia mwanamama yule nilishindwa hata kutamka neno la shukrani kwake kila neno niliona halifai hakika alistahili shukrani nyingi sana. Nilimwachia baba na kwenda kumkumbatia wakili wangu Happiness “Mungu azidi kukutunza”, alisema “usijali binti yangu”. Nilimwangalia na kisha nikaachia tabasamu, alitabasamu pia, hakika alionekana kuguswa sana na mimi nilimwona kama malaika aliyoshuka kutoka mbinguni, asante mungu kwa kumleta malaika wako duniani. “Sasa” alisema “tuelekee nyumbani”, wakili yule aliongea kwa sauti yake nzito. Tuliingia kwenye gari na safari ya kuelekea nyumbani, Kapri point alipokuwa akiishi ilianza. Tulikuwa tuna furaha sana vicheko vilisikika mule garini tuliongea mambo mengi na stori za hapa na pale hadi tulipofika. Tuliingia sebuleni kulikuwa kuna hafla fupi ilikuwa imeandaliwa, tulikunywa tulikula na baadhi ya watu walialikwa. “Nashukuru Mungu nimeweza kufanikiwa kumtetea huyu binti ingawa bado kesi haijaisha lakini yapo matumaini makubwa sana ya yeye kuachiwa katika kesi inayomkabili kwasababu hahusiki na Mungu amemtetea” alisema mwanamama yule ambaye anaonekana ana imani kali ya Mungu. Nilitoa uchozi. Niliitwa kutoa neno lolote nilitoa neno la shukrani huku nikimwombea baraka tele Happiness kwangu alikuwa ni mama yangu mwingine. “Mama umerudi tena kupitia huyu kiumbe wako, ulikuwa ukinitetea na kunipigania siku zote mama yangu sasa nafasi yako Happiness ameichukua”, niliwaza kwa furaha ndani ya moyo wangu. Usiku nililala kwa amani zote huku ndoto nyingi tamu zikiniijia. Nafsi yangu sikuacha kuwa na majuto kwa kumpoteza Martin nafsi iliniuma sana. Kwa njia zote nitahakikisha nakupata nilisema. Siku ziliendelea na kesi yangu ilihairishwa ili kupisha kujifungua kwa maana siku za kujifungua kwangu zilikuwa zimekaribia. Nilikuwa nachoka sana, na ilinilazimu kufanya sana mazoezi ili isilete shida wakati wa kujifungua ukizingatia sikuwa na umri mkubwa sana. Nilikuwa nikiamka asubuhi na kukimbia nusu kilometa, kisha kurudi, baada ya hapo ningefanya kazi mbali mbali pale nyumbani. Hakika nilikuwa mchapakazi sana. Wakili happy alinipenda. Baba aliniita siku moja, “huyu mwanamama ana roho nzuri sana, ujue tangu nilipoondoka nililazwa hospitali kwa muda mrefu sana, nilikuwa sipati nafuu yoyote nilihisi ningekufa wakati wowote. Wewe pekee ulikuwa tumaini langu na kukamatwa kwako na polisi nilijua utaishia gerezani. Ndipo siku moja huyo mama alinipigia simu aliniambia amesikia habari zako na anataka kukutetea. Hivyo kila kitu kitakuwa katika mikono yake kiasi fulani ilinipa faraja na amani nilijitahidi sana kupata unafuu nilijitahidi kula na kufanya mazoezi ili kuwaridhisha madakatari kuwa nimepona ili nije huku Mwanza niendelee kuisimamia kesi yako. Nilimwambia kwamba nitakuja Mwanza. Alinikaribisha hapa kwake tangu nimefika mimi na shangazi yako tunaishi hapa, tunaishi vizuri anatuhudumia kama ndugu zake.” “Ukweli huyu mama ana roho ya upekee sana”, aliongea baba kwa huzuni. Maneno ya baba yalinitoa machozi nilishindwa jinsi ya kusema nilishindwa kuongea chochote kumhusu mwanamama huyu ambaye kwangu alikuwa kama malaika. “Baba yote ni mipango ya Mungu zaidi ya yote tumshukuru Mungu kutufikisha hapa Mungu alishamuandaa wakili Happiness kwa ajili ya hili”, “ni kweli mwanangu” aliongea baba akinikumbatia. Tuliishi kwa amani kama ndugu wa wakili Happiness. Siku moja aliniita, “Catherine unampango wowote wa kumwambia Maloya kwamba huyu ni mtoto wake” “hapana nitamlea mwanangu mwenyewe” alitabasamu, “haya sawa” alicheka kabisa. “Mbona unacheka” nilimuuliza na mimi nikicheka. “Hamna, nilitaka kujua msimamo wako, uko vizuri sana” Alipenda sana ucheshi nilimpenda kwa hilo. Siku zangu za kujifungua zilikaribia, ilikuwa kiasi kama mwezi mmoja tu ili nijifungue. Siku moja jioni baada ya maongezi mafupi ya hapa na pale nilianza kusikia maumivu makali. “Baba tumbo linaniuma” nilimwambia baba. “Nenda kapumzike mwanangu unywe na dawa.” Nilinyanyuka nilijitahidi kutembea lakini nilishindwa baba alinisaidia kunipeleka chumbani kwangu, “baba tumbo linaniuma sana” nilimwambia. “Ngoja nipige simu wakili Happy” ambaye wakati huo alikuwa ofisini kwake. “mwite shangazi” nilisema. Shangazi aliitwa “Mungu wangu anataka kujifungua huyu.” Nilishtuka “mmmh!!” Maumivu yake yalikuwa makali sana ambayo hayawezi kusimulika. Wakili alipigiwa simu haraka sana alirudi na kunipakia kwenye gari kisha kunipeleka hospitali ya bungando nilipokelewa na kuingizwa leba. Uchungu wa kuzaa ulikuwa mkali sana kwangu nililia sana mpaka nilihisi kuishiwa nguvu, manesi walikuwa wakinitia moyo kwamba niendelee kusukuma kwa nguvu na mimi nilijitahidi kusukuma mtoto kwa nguvu ili mtoto atoke. Wakili happy alikuwepo humo ndani ili kunisaidia. Nilisukuma, hatimaye mtoto aliweza kutoka nilifurahi sana kumpata mwangu kifungua mimba changu. Nilipelekwa chumba cha kupumzika muda mchache baadae nesi aliingia, “hongera sana Catherine umejifungua mtoto wa kiume”. Hakika moyo wangu ulijawa na furaha sana lakini kila nilipomkumbuka Maloya roho iliniuma sana. Naomba huyu mtoto afanane na mimi asifanane na Maloya maana roho itaniuma sana naweza nikamchukia nilipeleka maombi yangu kwa Mungu. “Mtoto yuko salama mzima na pia ana afya njema, mda si mrefu utaletewaa mtoto wako umuone” nesi aliongea huku akiachia tabasamu. “Asante Mungu kwa zawadi ya mtoto” nilisali tu hivyo, Baada ya muda mfupi nililetewa mtoto wangu. “Mungu wangu!!” nilijikuta nikisema kwa mshangao. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI NA SABA.
Walikuwa ni askari wawili ambao sura zao zilionekana hazitaki masihara,
“samahani” waliongea kabla sijawasalimia,
“bila samahani”, niliongea huku nikitetemeka,
“hatuna shaka kuwa wewe ni Catherine Kindamba” alisoma kwenye karatasi lake na kisha kuniambia.
Nilijua mwisho wangu umefika, nilijibu kwa kitetemeshi,
“ndio, ndio mimi.”
Walitikisa vichwa wakaangaliana na kisha kunigeukia,
“uko chini ya ulinzi kwa kuhusika na mauaji ya Candy Carry jijini Mwanza.”
Waliongea.
Nilishusha pumzi nzito, nilishindwa la kuongea, waliichukua mikono yangu kisha kuifunga pingu.
“Naombeni basi nimuage baba yangu” nilisema huku nikitetemeka kwa woga huku machozi yakianza yakinitiririka,
“apewe taarifa kuhusu kukamatwa kwangu.”
Walinisukumiza ndani, na kisha kugonga mlango wa ndani, shangazi alifungua alishangaa kunikuta na pingu mkononi.
“Kakaaa!!” aliita kwa woga.
“Njoo uone!!”
Baba alitoka kwa uchovu.
“Hatuna shaka wewe ndiyo mzee Kindamba”
“Ndiyo, ndiyo mimi”
“Mwanao Catherine anatuhumiwa kwa kuhusika na mauaji ya mwanafunzi mwenzie katika shule ambayo alikuwa akisoma Hanspop Academy Mwanza, hivyo tunamweka chini ya ulinzi na mara moja tutamsafirisha kuelekea mwanza kwa ajili ya kujibu tuhuma hizo.”
Baba aliishiwa nguvu alidondoka na kuzimia papo hapo, bila kujali polisi wale walinitoa nje na kunipandisha kuelekea katika difenda lao na safari ya kuelekea kituo cha polisi cha kati ilianza.
Nilikuwa nikilia njia nzima mungu wangu naomba uniokoe katika shimo la simba hawa.
Nilifikishwa pale kituo cha kati cha polisi, nikaandika baadhi ya maelezo kuhusu mimi na baada ya hapo nilianza safari ya kuelekea mwanza mji ambao sikutamani tena kurudi.
Machozi yakinibubujika njia nzima nilibaki nimetulia tu nikitafakari jinsi ninavyoenda kufia gerezani, niliwaza mtoto wangu aliyeko tumboni moyo uliniuma sana.
Tulifika mwanza usiku wa siku hiyo ulikuwa ni usiku sana nilipelekwa moja kwa moja kituo cha polisi na kisha kufungiwa kwenye chumba kilichokuwa na giza. Nilianza kulia upya nililia sana.
“Mtoto mdogo muuaji.”
Polisi mmoja wa kike alisema kwa dharau.
“hebu acha kelele huko unasumbua masikio yetu”, alisema.
“Eee Mungu naomba uniokoe”
Nilipiga magoti na kuanza kusali.
“Mungu naomba unisaidie, wewe unajua sikuhusika na kifo cha Candy naomba niokoe” nilisali sana.
Baada ya hapo kesi yangu ilipelekwa mahakamani.
Nilisimama mahakamani siku ya kwanza na sikutakiwa kujibu chochote hadi nitakapopata wakili wangu.
Nilimaliza kusema hayo huku nikilia, wakili alikuwa mbele yangu ambaye nilikuwa namuhadithia mkasa mzima wa maisha yangu, alikuwa akilia pia. Mwanamama huyo mrefu mweusi hakusita kuonesha huruma aliyokuwa nayo kwangu,
“pole sana binti yangu.”
“Asante”
“Umekaa hapa mahabusu kwa muda gani?”
“Nina miezi miwili”
“Pole sana”
“Asante”
“Ujauzito wako unaweza ukawa una miezi mingapi?”
“Mara ya mwisho kuhudhuria hospitali ulikuwa na miezi mitano, unaweza ukawa na miezi saba kwa sasa.”
“Pole sana”
“Nashukuru”
“Nitakusaidia, nitahakikisha unatoka hapa”
“sina hata cha kukulipa zaidi ya kushukuru”,
“labda tu nikupe taarifa za wazazi wako.”
“Baba yako anaendelea vizuri na muda wowote anaweza akafika hapa kwa ajili kufuatilia kesi yako pamoja na shangazi yako, ninawasiliana nao mara kwa mara na ninawajulisha kuhusu hali yako. Nakuhahakishia kuwa utatoka hapa uwe na imani na usiache sana kuomba”.
Alizidi kunitia moyo mwanamama huyu.
Nilifuta machozi, na kumshukuru sana mwana mama huyu.
“Usijali binti yangu haya yote ni mambo ya dunia yataisha tu”, alisema
“Asante mama yangu” nilijibu kwa sauti ya kukauka.
“Sasa ngoja mimi niondoke nikaandae mpangilio mzima wa kesi yako kwa sababu una ujauzito mkubwa nitaomba rufaa ili utolewe humu. Kwasababu mazingira ya humu hayawezi kuruhusu wewe kuendelea kukaa na ujauzito mkubwa hivyo. Hivyo basi naomba urudi nikajaribu kuongea nao nakutakia wakati mwema.”
“Asante sana”
Aliongea yule mama na kisha kuondoka mahali pale, polisi walikuja kunikokota na kunirudisha kwa wenzangu, sikupenda kujichanganya nao.
Mara nyingi walikuwa wakinisema,
“daa aisee unaweza kukutana na watu na usiamini, kabinti kadogo hivi kauaji bora mimi limama lizima nimekamatwa kwa kesi ya kuiba. Huyu mtoto mdogo hivi kaua mtu akija kuwa mmama kama mimi huyu si gaidi kabisa”
Maneno yao yaliniumiza sana ila sikutaka kujali ukweli wote nilikuwa naujua mwenyewe na nisingeweza kukaa kumwadithia kila mtu.
Nilidumu katika kuomba siku zote, sikuacha kuomba kwa ajili ya maisha yangu na kwa ajili ya kesi iliyokuwa ikinikabili.
Baada ya wiki moja yule mama alirejea tena,
“Cathe” aliniita baada ya kufikishwa mbele yake.
“Unamfahamu Edwin?”
“Edwin!! Hapana”
“Humfahamu Edwin Maloya?”
“Namfahamu sikuwa najua kama anaitwa Edwirn”
“Ahaa, Yeye atatoa ushahidi kuhusu kesi yako kwamba unahusika.”
“Mimi naona kama anaweza kumaliza kwa kutoa ushahidi huo”
Nilivuta pumzi na kuishusha.
“sijui itakuaje wakili.”
“Lakini ulisema mara ya mwisho alikuwa akikutafta Candy na ulipofika chooni mlianza kuzozana kabla hajadondoka”
“Ndio”, nilimjibu.
“Utaongea hivyo kisha utasema alishikwa na kizunguzungu kabla ya kudondoka sawa”
“Ndio” nilijibu kwa unyonge
“Usijali lazima utoke, hii kesi wala haiwezi kukufunga ni kesi ndogo sana”
Najua kuwa alikuwa akinitia moyo tu.
“Naenda kuendelea kupanga kesi yako nitakuja tena pale nitakapokuhitaji uwe na wakati mwema” aliondoka.
Nilikuwa nimekaa nimejinamia kiunyonge baada ya siku nyingi kupita bila wakili kurejea.
“Moyo uliniuma sana nilihisi ameamua kuniiacha, peke yangu kwanza yule wakili ni nani na ametokea wapi mbona mi mimi simjui.”
“Atakuwa ameamua kuniacha peke yangu mimi najua mungu wewe ndio msaada wangu”.
Nilijiinamia kwenye chumba hicho ambacho hakikua na hadhi ya binadamu kuishi.
“Catherine Kindamba”
Nilisikia jina langu likitwa kwa sauti ya ukali, nilisimama
Mlango ulifunguliwa na kisha nikaamuliwa kutoka nje nilitoka, nilipelekwa hadi kwa mkuu wa gereza.
Nilishangaa kuona nakabidhiwa vitu vyangu
“Mungu wangu nini kimetokea!!”, nilimkuta wakili amesimama pembeni katika mlango wa kutokea.
“Mama nilimwita na kwenda kumkumbatia huku machozi yakibubujika”,
“Ashukuriwe Mungu” alisema tu mwanamke yule.
“Nini kimetokea?” nilimwachia gafla na kumuuliza.
“Niliomba ukae nje kwa sababu ya kesi yako, kwamba huhusiki na mauaji ya Candy, lakini pia una ujauzito”.
“Hivyo sio mahali salama kuwepo huku ukizingatia siku zako za kujifungua zimekaribia”, nilishusha pumzi ndefu na kuangua kilio.
Tuliongozana hadi nyumbani kwa mwanamama yule.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA SABA. Walikuwa ni askari wawili ambao sura zao zilionekana hazitaki masihara, “samahani” waliongea kabla sijawasalimia, “bila samahani”, niliongea huku nikitetemeka, “hatuna shaka kuwa wewe ni Catherine Kindamba” alisoma kwenye karatasi lake na kisha kuniambia. Nilijua mwisho wangu umefika, nilijibu kwa kitetemeshi, “ndio, ndio mimi.” Walitikisa vichwa wakaangaliana na kisha kunigeukia, “uko chini ya ulinzi kwa kuhusika na mauaji ya Candy Carry jijini Mwanza.” Waliongea. Nilishusha pumzi nzito, nilishindwa la kuongea, waliichukua mikono yangu kisha kuifunga pingu. “Naombeni basi nimuage baba yangu” nilisema huku nikitetemeka kwa woga huku machozi yakianza yakinitiririka, “apewe taarifa kuhusu kukamatwa kwangu.” Walinisukumiza ndani, na kisha kugonga mlango wa ndani, shangazi alifungua alishangaa kunikuta na pingu mkononi. “Kakaaa!!” aliita kwa woga. “Njoo uone!!” Baba alitoka kwa uchovu. “Hatuna shaka wewe ndiyo mzee Kindamba” “Ndiyo, ndiyo mimi” “Mwanao Catherine anatuhumiwa kwa kuhusika na mauaji ya mwanafunzi mwenzie katika shule ambayo alikuwa akisoma Hanspop Academy Mwanza, hivyo tunamweka chini ya ulinzi na mara moja tutamsafirisha kuelekea mwanza kwa ajili ya kujibu tuhuma hizo.” Baba aliishiwa nguvu alidondoka na kuzimia papo hapo, bila kujali polisi wale walinitoa nje na kunipandisha kuelekea katika difenda lao na safari ya kuelekea kituo cha polisi cha kati ilianza. Nilikuwa nikilia njia nzima mungu wangu naomba uniokoe katika shimo la simba hawa. Nilifikishwa pale kituo cha kati cha polisi, nikaandika baadhi ya maelezo kuhusu mimi na baada ya hapo nilianza safari ya kuelekea mwanza mji ambao sikutamani tena kurudi. Machozi yakinibubujika njia nzima nilibaki nimetulia tu nikitafakari jinsi ninavyoenda kufia gerezani, niliwaza mtoto wangu aliyeko tumboni moyo uliniuma sana. Tulifika mwanza usiku wa siku hiyo ulikuwa ni usiku sana nilipelekwa moja kwa moja kituo cha polisi na kisha kufungiwa kwenye chumba kilichokuwa na giza. Nilianza kulia upya nililia sana. “Mtoto mdogo muuaji.” Polisi mmoja wa kike alisema kwa dharau. “hebu acha kelele huko unasumbua masikio yetu”, alisema. “Eee Mungu naomba uniokoe” Nilipiga magoti na kuanza kusali. “Mungu naomba unisaidie, wewe unajua sikuhusika na kifo cha Candy naomba niokoe” nilisali sana. Baada ya hapo kesi yangu ilipelekwa mahakamani. Nilisimama mahakamani siku ya kwanza na sikutakiwa kujibu chochote hadi nitakapopata wakili wangu. Nilimaliza kusema hayo huku nikilia, wakili alikuwa mbele yangu ambaye nilikuwa namuhadithia mkasa mzima wa maisha yangu, alikuwa akilia pia. Mwanamama huyo mrefu mweusi hakusita kuonesha huruma aliyokuwa nayo kwangu, “pole sana binti yangu.” “Asante” “Umekaa hapa mahabusu kwa muda gani?” “Nina miezi miwili” “Pole sana” “Asante” “Ujauzito wako unaweza ukawa una miezi mingapi?” “Mara ya mwisho kuhudhuria hospitali ulikuwa na miezi mitano, unaweza ukawa na miezi saba kwa sasa.” “Pole sana” “Nashukuru” “Nitakusaidia, nitahakikisha unatoka hapa” “sina hata cha kukulipa zaidi ya kushukuru”, “labda tu nikupe taarifa za wazazi wako.” “Baba yako anaendelea vizuri na muda wowote anaweza akafika hapa kwa ajili kufuatilia kesi yako pamoja na shangazi yako, ninawasiliana nao mara kwa mara na ninawajulisha kuhusu hali yako. Nakuhahakishia kuwa utatoka hapa uwe na imani na usiache sana kuomba”. Alizidi kunitia moyo mwanamama huyu. Nilifuta machozi, na kumshukuru sana mwana mama huyu. “Usijali binti yangu haya yote ni mambo ya dunia yataisha tu”, alisema “Asante mama yangu” nilijibu kwa sauti ya kukauka. “Sasa ngoja mimi niondoke nikaandae mpangilio mzima wa kesi yako kwa sababu una ujauzito mkubwa nitaomba rufaa ili utolewe humu. Kwasababu mazingira ya humu hayawezi kuruhusu wewe kuendelea kukaa na ujauzito mkubwa hivyo. Hivyo basi naomba urudi nikajaribu kuongea nao nakutakia wakati mwema.” “Asante sana” Aliongea yule mama na kisha kuondoka mahali pale, polisi walikuja kunikokota na kunirudisha kwa wenzangu, sikupenda kujichanganya nao. Mara nyingi walikuwa wakinisema, “daa aisee unaweza kukutana na watu na usiamini, kabinti kadogo hivi kauaji bora mimi limama lizima nimekamatwa kwa kesi ya kuiba. Huyu mtoto mdogo hivi kaua mtu akija kuwa mmama kama mimi huyu si gaidi kabisa” Maneno yao yaliniumiza sana ila sikutaka kujali ukweli wote nilikuwa naujua mwenyewe na nisingeweza kukaa kumwadithia kila mtu. Nilidumu katika kuomba siku zote, sikuacha kuomba kwa ajili ya maisha yangu na kwa ajili ya kesi iliyokuwa ikinikabili. Baada ya wiki moja yule mama alirejea tena, “Cathe” aliniita baada ya kufikishwa mbele yake. “Unamfahamu Edwin?” “Edwin!! Hapana” “Humfahamu Edwin Maloya?” “Namfahamu sikuwa najua kama anaitwa Edwirn” “Ahaa, Yeye atatoa ushahidi kuhusu kesi yako kwamba unahusika.” “Mimi naona kama anaweza kumaliza kwa kutoa ushahidi huo” Nilivuta pumzi na kuishusha. “sijui itakuaje wakili.” “Lakini ulisema mara ya mwisho alikuwa akikutafta Candy na ulipofika chooni mlianza kuzozana kabla hajadondoka” “Ndio”, nilimjibu. “Utaongea hivyo kisha utasema alishikwa na kizunguzungu kabla ya kudondoka sawa” “Ndio” nilijibu kwa unyonge “Usijali lazima utoke, hii kesi wala haiwezi kukufunga ni kesi ndogo sana” Najua kuwa alikuwa akinitia moyo tu. “Naenda kuendelea kupanga kesi yako nitakuja tena pale nitakapokuhitaji uwe na wakati mwema” aliondoka. Nilikuwa nimekaa nimejinamia kiunyonge baada ya siku nyingi kupita bila wakili kurejea. “Moyo uliniuma sana nilihisi ameamua kuniiacha, peke yangu kwanza yule wakili ni nani na ametokea wapi mbona mi mimi simjui.” “Atakuwa ameamua kuniacha peke yangu mimi najua mungu wewe ndio msaada wangu”. Nilijiinamia kwenye chumba hicho ambacho hakikua na hadhi ya binadamu kuishi. “Catherine Kindamba” Nilisikia jina langu likitwa kwa sauti ya ukali, nilisimama Mlango ulifunguliwa na kisha nikaamuliwa kutoka nje nilitoka, nilipelekwa hadi kwa mkuu wa gereza. Nilishangaa kuona nakabidhiwa vitu vyangu “Mungu wangu nini kimetokea!!”, nilimkuta wakili amesimama pembeni katika mlango wa kutokea. “Mama nilimwita na kwenda kumkumbatia huku machozi yakibubujika”, “Ashukuriwe Mungu” alisema tu mwanamke yule. “Nini kimetokea?” nilimwachia gafla na kumuuliza. “Niliomba ukae nje kwa sababu ya kesi yako, kwamba huhusiki na mauaji ya Candy, lakini pia una ujauzito”. “Hivyo sio mahali salama kuwepo huku ukizingatia siku zako za kujifungua zimekaribia”, nilishusha pumzi ndefu na kuangua kilio. Tuliongozana hadi nyumbani kwa mwanamama yule. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI NA SITA.
Sikutegemea kujua kwamba baba anafahamu kuhusu ujauzito niliokuwa nao, uso ulinishuka kwa ashuo, niliinama kwa aibu huku nikiwa nimepwaya, nilishindwa kuongea chochote wala kumtazama baba alikuwa amesimama mbele yangu
“Catherine” baba aliniita.
“Bee” niliitika bila kunyanyua uso wangu.
“Tutakaporudi kutoka hospitali tutaongea, jiandae kwa ajili ya kuelekea hospitali”
Aliongea baba na kisha kuondoka, sikupata hata nafasi ya kumjibu.
Niliingia chumbani kwangu na kuketi kitandani,
“Mungu wangu baba akiniuliza kuhusu ujauzito nimtaje nani?”
“Nitamwambia nini mimi?”
Nilishusha pumzi ndefu.
“Eee Mungu naomba uniongoze katika hili” niliendelea kusema.
Nilijiandaa kwa unyonge nilivaa gauni pana pana ambalo lilificha tumbo langu na kisha tukatoka na baba kwa ajili ya kwenda hospitalini.
Niliingia kwenye gari nikiwa na uoga sana niliketi siti ya nyuma wakati baba akiwa dereva.
Tuliongozana mpaka hospitalini muhimbili, tulianza kwa baba ambapo alihudhuria katika kitengo chake alichotakiwa kwenda na baada ya hapo alinipeleka kliniki.
“Baba wa huyo mtoto wako mtarajiwa yuko wapi?” swali la kwanza kwa nesi.
“Na kwanini umechelewa kuhudhuria?”
Baba alimtazama nesi,
“Amekuja na mimi hapa baba yake” aliongea, nilijisikia aibu sana nilishindwa hata kumtazama nesi usoni, nesi aliishiwa pozi wala neno la kuongea alinihudumia,
“umechelewa sana kuanza kliniki mimba kubwa ya miezi mitano” alisema.
Sikujali.
Nilihudhuria kliniki kwa mara ya kwanza na maendelea ya mtoto wangu yalikuwa mazuri nilirejea nyumbani.
Tulipofika nyumbani nilipitiliza moja kwa moja chumbani kwangu, wakati nafungua mlango kuingia chumbani kwangu baba aliniita,
“Catherine njoo tuongee”
mwili mzima ulikuwa ukitetemeka nilishindwa cha kufanya, nilirudi sebuleni kiunyonge nikakaa.
“Mwanangu naomba unisamehe kwa yote yaliyotokea katika maisha yako, najua kama sio sisi wazazi wako yote yasingekupata.”
Nilishindwa kuelewa namaanisha nini hata hivyo niliogopa kuuliza kwa sababu hapo mimi ndiye niliokuwa na makosa.
“Mwanangu, laiti kama nisingesababisha kifo cha mama yako, mama ako angekuwa anakuhudumia na akikufundisha. Mimi na mama yako tulikuwa na migogoro mingi hapa nyumbani na nafikiri ilikuathiri kwa kiwango kikubwa, kama mtoto wetu ulipaswa upate malezi bora, tukutunze, tukujenge katika hali ya kujiamini ambayo ingekuwezesha wewe kupambana na kila aina ya matukio unayokutana nayo katika maisha yako lakini hatukuweza kuyafanya hayo yote na ndio mana hata sasa uko hapa. Sikushituka sana siku ya kwanza tu uliporudi niligundua kuna tatizo haliko sawa, sikutaka kukuliza kwa sababu najua mimi ndio chanzo cha haya yote, nilikuja kugundua kuwa una ujauzito hata hivyo nilishachelewa nisingeweza kukufanya jambo lolote ningeweza kukupiga, sio kwamba sikukasirika, nilikuwa na hasira sana lakini isingesaidia kitu chochote, ila ukae ulee ujauzito, ujifungue, utapata second chance sawa mwanangu uwe tu na amani.”

Nililia sana.
Baba aliongea maneno mazito kiasi yaliniumiza moyo wangu pia ilikuwa ni ukweli mtupu, nilishusha pumzi ya faraja maisha yaliendelea.
Huko Mwanza kesi dhidi ya Maloya ilizidi kuendeshwa, alikutwa na hatia kutembea na mwanafunzi na kumpa mimba na kisha akahukumiwa jela miaka thelathini.
Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kuwasiliana na Martin tena nilijua kufanya hivyo ni kujiumiza tu, ipo siku angegundua huu ujauzito sio wa kwake na angeniacha, nilikuwa sitaki kuachwa ni bora nimwache mwenyewe.
Niliamua kubadilisha laini, niliitupa laini niliyokuwa naitumia ambayo Martin alikuwa akiifahamu niliivunja na kuitupa mbali na kisha nikasajili laini mpya, na huo ulikuwa mwisho wa mawasiliano kati yangu na Martin.
Baada ya baba yake na Candy kuridhika na hukumu ambayo Maloya alipewa sasa aligeukia kuhusu kesi ya kifo cha mwanaye.
Taarifa mbalimbali zilianza kukusanywa ili kumbaini mtu ambaye alihusika na kifo hiko.
Nilifatwa shuleni kwa ajili ya kutoa ushahidi na ikagundulika kuwa sipo.
Mwalimu alishikwa na fadhaa sana kupata taarifa kwamba nimeondoka shuleni, alishindwa kuelewa ni kwasababu gani, inawezekana huyu mtoto anahusika na kifo cha Candy kwanini atoroke.
Martin alitamani kunitetea lakini alishindwa angesema mimi nina ujauzito si angehusishwa na huo ujauzito wangu kwa maana hakuna mtu ambaye hafahamu mahusiano yetu pale shuleni.
Alijaribu kunitafuta kwa kutumia simu hakunipata tena, alikuwa amenipoteza milele.
Niliendelea kuutunza ujauzito wangu chini ya uangalizi wa baba na baadhi ya ndugu wachache ambao waliguswa na matatizo ya familia yetu.
Shangazi yangu alihamia pale nyumbani kwa ajili ya kutuhudumia mimi na baba ukizingatia hali zetu hazikuwa nzuri
Nashukuru mungu kila kitu kilienda sawa, mimba yangu ilikuwa vizuri na wala sikupatwa na matatizo yoyote.
Nilifanya mazoezi, nilikula vizurui na kuhudhuria kliniki kila mara.
Asubuhi moja nikiwa bado nina usingizi mzito nilisikia hodi ikibishwa nyumbani kwetu, sikutaka kuamka hata hivyo sikuona kama huyo mtu ana dalili ya kuacha kugonga mlango, hodi zilipozidi niliona zinanisumbua nikatoka kiuchovu na kiunyonge huku nikiwa na hasira sana,
“kwanini shangazi hajaamka kwenda kufungua mlango mtu anagongaa.” Nilijiongelesha mwenyewe.
Nilitembea mpaka getini moyo ulinisita,
“au nirudi tu nikalale utakuta jimtu la ajabu ajabu sijui nini nini, aaaah nishafika getini ngoja tu nifungue”
nilifungua geti,
“Mungu wangu nimekwisha” nilisema.
 
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA SITA. Sikutegemea kujua kwamba baba anafahamu kuhusu ujauzito niliokuwa nao, uso ulinishuka kwa ashuo, niliinama kwa aibu huku nikiwa nimepwaya, nilishindwa kuongea chochote wala kumtazama baba alikuwa amesimama mbele yangu “Catherine” baba aliniita. “Bee” niliitika bila kunyanyua uso wangu. “Tutakaporudi kutoka hospitali tutaongea, jiandae kwa ajili ya kuelekea hospitali” Aliongea baba na kisha kuondoka, sikupata hata nafasi ya kumjibu. Niliingia chumbani kwangu na kuketi kitandani, “Mungu wangu baba akiniuliza kuhusu ujauzito nimtaje nani?” “Nitamwambia nini mimi?” Nilishusha pumzi ndefu. “Eee Mungu naomba uniongoze katika hili” niliendelea kusema. Nilijiandaa kwa unyonge nilivaa gauni pana pana ambalo lilificha tumbo langu na kisha tukatoka na baba kwa ajili ya kwenda hospitalini. Niliingia kwenye gari nikiwa na uoga sana niliketi siti ya nyuma wakati baba akiwa dereva. Tuliongozana mpaka hospitalini muhimbili, tulianza kwa baba ambapo alihudhuria katika kitengo chake alichotakiwa kwenda na baada ya hapo alinipeleka kliniki. “Baba wa huyo mtoto wako mtarajiwa yuko wapi?” swali la kwanza kwa nesi. “Na kwanini umechelewa kuhudhuria?” Baba alimtazama nesi, “Amekuja na mimi hapa baba yake” aliongea, nilijisikia aibu sana nilishindwa hata kumtazama nesi usoni, nesi aliishiwa pozi wala neno la kuongea alinihudumia, “umechelewa sana kuanza kliniki mimba kubwa ya miezi mitano” alisema. Sikujali. Nilihudhuria kliniki kwa mara ya kwanza na maendelea ya mtoto wangu yalikuwa mazuri nilirejea nyumbani. Tulipofika nyumbani nilipitiliza moja kwa moja chumbani kwangu, wakati nafungua mlango kuingia chumbani kwangu baba aliniita, “Catherine njoo tuongee” mwili mzima ulikuwa ukitetemeka nilishindwa cha kufanya, nilirudi sebuleni kiunyonge nikakaa. “Mwanangu naomba unisamehe kwa yote yaliyotokea katika maisha yako, najua kama sio sisi wazazi wako yote yasingekupata.” Nilishindwa kuelewa namaanisha nini hata hivyo niliogopa kuuliza kwa sababu hapo mimi ndiye niliokuwa na makosa. “Mwanangu, laiti kama nisingesababisha kifo cha mama yako, mama ako angekuwa anakuhudumia na akikufundisha. Mimi na mama yako tulikuwa na migogoro mingi hapa nyumbani na nafikiri ilikuathiri kwa kiwango kikubwa, kama mtoto wetu ulipaswa upate malezi bora, tukutunze, tukujenge katika hali ya kujiamini ambayo ingekuwezesha wewe kupambana na kila aina ya matukio unayokutana nayo katika maisha yako lakini hatukuweza kuyafanya hayo yote na ndio mana hata sasa uko hapa. Sikushituka sana siku ya kwanza tu uliporudi niligundua kuna tatizo haliko sawa, sikutaka kukuliza kwa sababu najua mimi ndio chanzo cha haya yote, nilikuja kugundua kuwa una ujauzito hata hivyo nilishachelewa nisingeweza kukufanya jambo lolote ningeweza kukupiga, sio kwamba sikukasirika, nilikuwa na hasira sana lakini isingesaidia kitu chochote, ila ukae ulee ujauzito, ujifungue, utapata second chance sawa mwanangu uwe tu na amani.” Nililia sana. Baba aliongea maneno mazito kiasi yaliniumiza moyo wangu pia ilikuwa ni ukweli mtupu, nilishusha pumzi ya faraja maisha yaliendelea. Huko Mwanza kesi dhidi ya Maloya ilizidi kuendeshwa, alikutwa na hatia kutembea na mwanafunzi na kumpa mimba na kisha akahukumiwa jela miaka thelathini. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kuwasiliana na Martin tena nilijua kufanya hivyo ni kujiumiza tu, ipo siku angegundua huu ujauzito sio wa kwake na angeniacha, nilikuwa sitaki kuachwa ni bora nimwache mwenyewe. Niliamua kubadilisha laini, niliitupa laini niliyokuwa naitumia ambayo Martin alikuwa akiifahamu niliivunja na kuitupa mbali na kisha nikasajili laini mpya, na huo ulikuwa mwisho wa mawasiliano kati yangu na Martin. Baada ya baba yake na Candy kuridhika na hukumu ambayo Maloya alipewa sasa aligeukia kuhusu kesi ya kifo cha mwanaye. Taarifa mbalimbali zilianza kukusanywa ili kumbaini mtu ambaye alihusika na kifo hiko. Nilifatwa shuleni kwa ajili ya kutoa ushahidi na ikagundulika kuwa sipo. Mwalimu alishikwa na fadhaa sana kupata taarifa kwamba nimeondoka shuleni, alishindwa kuelewa ni kwasababu gani, inawezekana huyu mtoto anahusika na kifo cha Candy kwanini atoroke. Martin alitamani kunitetea lakini alishindwa angesema mimi nina ujauzito si angehusishwa na huo ujauzito wangu kwa maana hakuna mtu ambaye hafahamu mahusiano yetu pale shuleni. Alijaribu kunitafuta kwa kutumia simu hakunipata tena, alikuwa amenipoteza milele. Niliendelea kuutunza ujauzito wangu chini ya uangalizi wa baba na baadhi ya ndugu wachache ambao waliguswa na matatizo ya familia yetu. Shangazi yangu alihamia pale nyumbani kwa ajili ya kutuhudumia mimi na baba ukizingatia hali zetu hazikuwa nzuri Nashukuru mungu kila kitu kilienda sawa, mimba yangu ilikuwa vizuri na wala sikupatwa na matatizo yoyote. Nilifanya mazoezi, nilikula vizurui na kuhudhuria kliniki kila mara. Asubuhi moja nikiwa bado nina usingizi mzito nilisikia hodi ikibishwa nyumbani kwetu, sikutaka kuamka hata hivyo sikuona kama huyo mtu ana dalili ya kuacha kugonga mlango, hodi zilipozidi niliona zinanisumbua nikatoka kiuchovu na kiunyonge huku nikiwa na hasira sana, “kwanini shangazi hajaamka kwenda kufungua mlango mtu anagongaa.” Nilijiongelesha mwenyewe. Nilitembea mpaka getini moyo ulinisita, “au nirudi tu nikalale utakuta jimtu la ajabu ajabu sijui nini nini, aaaah nishafika getini ngoja tu nifungue” nilifungua geti, “Mungu wangu nimekwisha” nilisema. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI NA TANO.
Nilikuwa na tabia ya kurekodi matukio yote yaliyokuwa yakinitokea kwenye kitabu change cha kumbukumbu, mimba yangu ilizidi kuwa kubwa hata hivyo nilishindwa kumueleza Martin, sikuwa najua wapi nianzie.
Nilipanga kutoroka ili nisije kushitukiwa kwa ujauzito niliokuwa nao, lakini nisingeweza kuondoka bila kumwaga Martin, niliwaza nitamwambiaje?
Nilivuta pumzi ya nguvu na kisha kuishusha,
“nitafute uongo gani? Nitamwambia Martin kuwa hii mimba ni yakwake na hivyo napenda yeye aendelee kusoma hivyo basi naondoka ili asije akatafutwa kwa kosa la kunipa mimba, tutaonana uraiani” nilipanga kumwambia hivyo, hali nikijua kabisa ujauzito huo sio wa kwake.
Nilimwita Martin, baada ya kutoka prepo usiku,
“Martin nataka nikwambie kitu”
“nakusikiliza mke wangu mtarajiwa” niliachia tabasamu hafifu, ingawa niliumizwa na maneno yake nilijua kwamba hakuna ndoa kati yangu mimi na yeye hasa akijua kwamba nina ujauzito ambao sio wa kwake.
“Martin napenda sana tutimize ndoto zetu ingawa kwa upande wangu naona ni vigumu sana kutimiza” niliongea.
“Unamaanisha nini Cathe”
“nakupenda sana Martin, sana zaidi ya unavyofikiria napenda usome, utimize zile ndoto ambazo hata baba yako pia anapenda kukuona siku moja unafikia, upate shahada yako, upate kazi nzuri, uitunze familia yako ya sasa hivi na baadae”, niliongea kwa uchungu sana.
“Naelewa, naelewa baba yangu anatamani sana nifike sehemu ambayo natamani kufika na ndio maana kila mara nimekuwa nikifanya kazi kwa bidii”

Maneno yake yalinichoma sana.
“Martin nina ujauzito” sikutaka kusema ni wa nani.
Nafsi yangu iliniwia vigumu sana kumdanganya, hakika alishituka,
“Cathe una uhakika?” aliniuliza kwa sauti ya utulivu na upole,
“ndio” nilisema, alinitazama kisha akashusha sura yake kwa huzuni, alibaki amejiinamia tu pale.
“Nimeamua kuacha shule ili nikupe nafasi wewe uendelee kusoma”, nilisema
Alinyanyua uso wake na kunitazama, tayari uso wake ulishakuwa umelowa machozi, moyo uliumia sana, alishindwa kuongea neno lolote.
“Martin usijali kuhusu mimi, nakupa nafasi hii ya kusoma, usome kwa ajili yako na usome kwa ajili yangu, naenda kuanza kumtunza mtoto” niliongea.
Alinivutia kifuani kwake akanikumbatia,
“nitakapo ondoka naomba usome kwa bidii zote sahau kama nilishawahi kuwepo hapa, Soma sana, Sali sana, kula sana, uwe na nidhamu, tunza mapenzi yangu moyoni mwako” niliongea kwa huzuni huku machozi yakinitiririka.
“Ombi langu la mwisho kwako Martin, naomba unisaidie kuondoka hapa shuleni”, alishindwa kuongea lolote alinikumbatia kwa nguvu huku akilia, nilishukuru Mungu tu kwa hilo sikuwa na jinsi.
Alfajiri na mapema ya siku iliyofuata tulikutana na Martin darasani, alikuwa ameniletea begi lake la madaftari, weka humu nguo zako na kila kitu ambacho unahitaji kuondoka nacho nitatangulia kwenda mjini tutakutana huko.
Tukutane stendi usiondoke na begi lako la nguo ilkiwezekana nikabidhi, nilifanya kama alivyosema, nilimkabidhi begi langu kubwa la nguo nilibeba vitu vyangu vichache nilivyovihifadhi katika begi lake la madaftari, niliomba ruhusa shuleni, kana kwamba naelekea mjini, nikiwa na yunifomu zangu.
Nilipotoka nilienda moja kwa moja dukani kununua nguo ambazo ningezitumia kwa ajili ya kusafiria nilipofika stendi nilikutana na Martin, alikuwa akinisubiria hapo, alionekana mwenye huzuni kuliko siku zote. Alishanikatia tiketi alinikabidhi tiketi yangu muda ulipofika nilipanda kwenye gari kwa ajili ya kurejea nyumbani Dar.
Ulikuwa ni wakati wa huzuni kuliko wote kupata kutokea katika maisha yangu niliachana na Martin siku hiyo, njia nzima nilikuwa nikilia tu.
Nilifika Dar usiku sana, sikuweza kuelekea nyumbani wakati huo hivyo nililala hotelini.
Asubuhi ya siku iliyofuata nilibeba begi langu kuelekea nyumbani, nilitembea kiunyonge sana nilipokaribia kufika nyumbani. Niliwaza naenda kumwambia nini baba na nimerudi kabla shule haijafungwa.
Niliingia nyumbani kwetu, hali niliyoikuta ilinipa afuheni kidogo nyumba haikuwa chafu ilikuwa imetunzwa vizuri. Niliingia ndani nikitetemeka sana. Nilimkuta baba akiwa amekaa sebuleni alishangaa sana kuniona,
“Cathe umerudi mama”,
“ndio”
“karibu tena nyumbani” alisema
“Asante baba”
Nilishangazwa baba hakuwa na maneno mengi.
Nilielekea chumbani kwangu kisha nikalala usingizi mzito. Na kuamka jioni ya siku hiyo nikiwa nimechoka sana.
Baba yangu alikuwa amedhoofu sana, lakini hakuwa tena akinywa pombe wala akivuta sigara, muda mwingi alikuwa akiutumia kuwepo nyumbani akifanya mazoezi, akijitahidi kula vizuri, afya yake haikuwa kama mwanzo.
Nilifurahi kujua kwamba baba sasa amejitambua na ameelewa umuhimu wa afya yake.
Niliendelea kukaa na baba, hakuniuliza hata siku moja kuhusu kurejea kwangu kabla ya muda sikuwa najua baba amepanga nini kuhusu hilo na mimi niliendelea kunyamaza kimya.
Takribani mwezi ulipita.
Asubuhi ya siku hiyo baba alijiandaa mapema sana.
Kisha alikuja chumbani kwangu na akanigongea mlango niliamka na kutoka nje nikiwa na uchovu sana.
“Cathe mimi naelekea kliniki, hatuwezi kwenda wote?” alisema
“Aaah, Baba unaenda kiliniki ya nini?”
“Aaah, Mwanangu nahudhuria kliniki ya kansa kwa ajili ya matatizo ya ini langu” alisema
“Aaah, Ngoja nijiandae basi tuongozane”
“Sawa maana nimeona ujauzito wako unazidi kukua na hujawahi kuhudhuria kliniki hata siku moja.”
Moyo ulinipasuka paaaa…….!!!!!
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA TANO. Nilikuwa na tabia ya kurekodi matukio yote yaliyokuwa yakinitokea kwenye kitabu change cha kumbukumbu, mimba yangu ilizidi kuwa kubwa hata hivyo nilishindwa kumueleza Martin, sikuwa najua wapi nianzie. Nilipanga kutoroka ili nisije kushitukiwa kwa ujauzito niliokuwa nao, lakini nisingeweza kuondoka bila kumwaga Martin, niliwaza nitamwambiaje? Nilivuta pumzi ya nguvu na kisha kuishusha, “nitafute uongo gani? Nitamwambia Martin kuwa hii mimba ni yakwake na hivyo napenda yeye aendelee kusoma hivyo basi naondoka ili asije akatafutwa kwa kosa la kunipa mimba, tutaonana uraiani” nilipanga kumwambia hivyo, hali nikijua kabisa ujauzito huo sio wa kwake. Nilimwita Martin, baada ya kutoka prepo usiku, “Martin nataka nikwambie kitu” “nakusikiliza mke wangu mtarajiwa” niliachia tabasamu hafifu, ingawa niliumizwa na maneno yake nilijua kwamba hakuna ndoa kati yangu mimi na yeye hasa akijua kwamba nina ujauzito ambao sio wa kwake. “Martin napenda sana tutimize ndoto zetu ingawa kwa upande wangu naona ni vigumu sana kutimiza” niliongea. “Unamaanisha nini Cathe” “nakupenda sana Martin, sana zaidi ya unavyofikiria napenda usome, utimize zile ndoto ambazo hata baba yako pia anapenda kukuona siku moja unafikia, upate shahada yako, upate kazi nzuri, uitunze familia yako ya sasa hivi na baadae”, niliongea kwa uchungu sana. “Naelewa, naelewa baba yangu anatamani sana nifike sehemu ambayo natamani kufika na ndio maana kila mara nimekuwa nikifanya kazi kwa bidii” Maneno yake yalinichoma sana. “Martin nina ujauzito” sikutaka kusema ni wa nani. Nafsi yangu iliniwia vigumu sana kumdanganya, hakika alishituka, “Cathe una uhakika?” aliniuliza kwa sauti ya utulivu na upole, “ndio” nilisema, alinitazama kisha akashusha sura yake kwa huzuni, alibaki amejiinamia tu pale. “Nimeamua kuacha shule ili nikupe nafasi wewe uendelee kusoma”, nilisema Alinyanyua uso wake na kunitazama, tayari uso wake ulishakuwa umelowa machozi, moyo uliumia sana, alishindwa kuongea neno lolote. “Martin usijali kuhusu mimi, nakupa nafasi hii ya kusoma, usome kwa ajili yako na usome kwa ajili yangu, naenda kuanza kumtunza mtoto” niliongea. Alinivutia kifuani kwake akanikumbatia, “nitakapo ondoka naomba usome kwa bidii zote sahau kama nilishawahi kuwepo hapa, Soma sana, Sali sana, kula sana, uwe na nidhamu, tunza mapenzi yangu moyoni mwako” niliongea kwa huzuni huku machozi yakinitiririka. “Ombi langu la mwisho kwako Martin, naomba unisaidie kuondoka hapa shuleni”, alishindwa kuongea lolote alinikumbatia kwa nguvu huku akilia, nilishukuru Mungu tu kwa hilo sikuwa na jinsi. Alfajiri na mapema ya siku iliyofuata tulikutana na Martin darasani, alikuwa ameniletea begi lake la madaftari, weka humu nguo zako na kila kitu ambacho unahitaji kuondoka nacho nitatangulia kwenda mjini tutakutana huko. Tukutane stendi usiondoke na begi lako la nguo ilkiwezekana nikabidhi, nilifanya kama alivyosema, nilimkabidhi begi langu kubwa la nguo nilibeba vitu vyangu vichache nilivyovihifadhi katika begi lake la madaftari, niliomba ruhusa shuleni, kana kwamba naelekea mjini, nikiwa na yunifomu zangu. Nilipotoka nilienda moja kwa moja dukani kununua nguo ambazo ningezitumia kwa ajili ya kusafiria nilipofika stendi nilikutana na Martin, alikuwa akinisubiria hapo, alionekana mwenye huzuni kuliko siku zote. Alishanikatia tiketi alinikabidhi tiketi yangu muda ulipofika nilipanda kwenye gari kwa ajili ya kurejea nyumbani Dar. Ulikuwa ni wakati wa huzuni kuliko wote kupata kutokea katika maisha yangu niliachana na Martin siku hiyo, njia nzima nilikuwa nikilia tu. Nilifika Dar usiku sana, sikuweza kuelekea nyumbani wakati huo hivyo nililala hotelini. Asubuhi ya siku iliyofuata nilibeba begi langu kuelekea nyumbani, nilitembea kiunyonge sana nilipokaribia kufika nyumbani. Niliwaza naenda kumwambia nini baba na nimerudi kabla shule haijafungwa. Niliingia nyumbani kwetu, hali niliyoikuta ilinipa afuheni kidogo nyumba haikuwa chafu ilikuwa imetunzwa vizuri. Niliingia ndani nikitetemeka sana. Nilimkuta baba akiwa amekaa sebuleni alishangaa sana kuniona, “Cathe umerudi mama”, “ndio” “karibu tena nyumbani” alisema “Asante baba” Nilishangazwa baba hakuwa na maneno mengi. Nilielekea chumbani kwangu kisha nikalala usingizi mzito. Na kuamka jioni ya siku hiyo nikiwa nimechoka sana. Baba yangu alikuwa amedhoofu sana, lakini hakuwa tena akinywa pombe wala akivuta sigara, muda mwingi alikuwa akiutumia kuwepo nyumbani akifanya mazoezi, akijitahidi kula vizuri, afya yake haikuwa kama mwanzo. Nilifurahi kujua kwamba baba sasa amejitambua na ameelewa umuhimu wa afya yake. Niliendelea kukaa na baba, hakuniuliza hata siku moja kuhusu kurejea kwangu kabla ya muda sikuwa najua baba amepanga nini kuhusu hilo na mimi niliendelea kunyamaza kimya. Takribani mwezi ulipita. Asubuhi ya siku hiyo baba alijiandaa mapema sana. Kisha alikuja chumbani kwangu na akanigongea mlango niliamka na kutoka nje nikiwa na uchovu sana. “Cathe mimi naelekea kliniki, hatuwezi kwenda wote?” alisema “Aaah, Baba unaenda kiliniki ya nini?” “Aaah, Mwanangu nahudhuria kliniki ya kansa kwa ajili ya matatizo ya ini langu” alisema “Aaah, Ngoja nijiandae basi tuongozane” “Sawa maana nimeona ujauzito wako unazidi kukua na hujawahi kuhudhuria kliniki hata siku moja.” Moyo ulinipasuka paaaa…….!!!!! <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL
SEHEMU YA KUMI NA NNE.
Niliogopa sana kujua kuwa nilikuwa nina ujauzito, sikuwa najua kama ujauzito ni wa Maloya au wa Martin.
Nililia sana, nafsi iliniuma mno, kila ninapojitahidi kutoka kwenye tatizo moja linakuja jingine,
“ eee Mungu wangu kwanini umeniacha mimi? Nimezaliwa kwa ajili ya kuteseka tu, ee Mungu wangu, bora basi ungeichukua roho yangu na mimi nipumzike” nilijikuta nikimkufuru Mungu.
Nilishindwa kufanya kitu chochote kile nilishindwa kula vizuri nilishindwa kusoma hata usingizi uliniwia shida sana kupata. Nilianza kukonda tena.
Ujauzito wangu ulikuwa ukinilazimisha kulala usingizi kila wakati, nilikuwa nasinzia sana, nilihisi unaweza ukawa mkubwa kwasababu hata sikuwa najua una miezi mingapi.
Nafsi iliniuma kuona kwamba sitaweza kuendelea na shule. Tumbo langu lilianza kuonekana, nilijitahidi sana kujizuia lisionekane. Nilimkumbuka sana Candy,
“nilikuwa namsema Candy sasa ni zamu yangu” nilijiwazia,
“nitamwambia nini baba yangu siku akigundua kuwa nina ujauzito?” niliwaza.
“Eee Mungu wangu najikabidhi mikononi mwako”, nilimalizia maombi yangu.
Hesabu zangu ziliniambia kuwa ujauzito huo ni wa Maloya, kwasababu yeye ndio aliyekuwa mtu wa mwisho kukutana na mimi kimwili. Hivyo basi ujauzito huu ulikuwa na takribani miezi minne,  kwa hesabu zangu ningeweza kujifungua wakati uliokaribia sana na mtihani, aidha mwezi wa nne ambapo tulitegemea kuanza mitihani mwezi wa tano mwanzoni, mitihani ya kumaliza shule. Hivyo basi endapo nisingeitoa hiyo mimba nisingeweza kufanya mtihani.
“Niitoe” niliwaza
“hapana siwezi kuitoa hii mimba, nimuue kiumbe asiye na hatia siwezi kujua mungu amempangia nini kiumbe wake, siwezi kuitoa hii mimba” nilisita sita sita katika  mawazo mawili. Nafsi nyingine ikiniambia unahitaji kusoma, zaidi ya sana unamuhitaji Martin endapo Martin akigundua kwamba una ujauzito wa Maloya mapenzi yenu yatakuwa yameishia hapo, potelea mbali lolote na liwe.
Uchunguzi kuhusu kifo cha Candy ulianza mara moja, Mzee Carry baba yake Candy hakutaka masihara katika hilo, alitoka Arusha na kuja Mwanza kusimamia kesi hiyo, alitaka kuona kwamba aliyehusika na kifo cha mwanae anakamatwa na kuhukumiwa.
Kwa kuanzia mwalimu mkuu aliitwa polisi kutoa maelezo, alieleza kila kitu ambacho alikijua kuhusiana na tukio hilo.
Alirejea shuleni kwa upole sana, kisha akagonga kengele na kutuita wanafunzi wote mstarini, tulienda, alituambia mambo yote ambayo yalitokea hako polisi, maneno yake yalinitikisa sana,
“Cathe” alisema, nilitetemeka
“polisi wamesema endapo watakuhitaji watakuita tena ila kwa sasa hawakuhitaji kwasababu ulishatoa maelezo mara ya kwanza” alisema,
“ee mungu wangu naomba unifanyie miujiza” nilisali kimoyomoyo
Baada ya hapo wanafunzi wengi walisogea kunipa pole akiwemo Martin.
Nafsi yangu ilikosa amani kabisa Martin aliligundua hili ingawa akuniuliza.
Mtu wa pili kuitwa kwaajili ya kutoa maelezo ni Maloya. Nafikiri polisi waligundua uhusiano wa karibu kati ya Maloya na marehemu Candy, aliitwa kutoa maelezo, nilijua mwisho wangu umekaribia .
Maloya alianza kujieleza “mimi ni mtu wa karibu sana na Candy na pia ni mwalimu wake”
“ukaribu wenu uko vipi?” aliulizwa,
Maloya alishindwa kutoa maelezo mazuri, mara nyingi alikuwa akijing’atang’ata, nafikiri alikuwa akihofia kuweka wazi uhusiano wake na Candy ukizingatia baba yake na Candy alikuwepo hapo na hakuwa akipenda utani kabisa.
Siku Candy anafariki Maloya alikuwepo, polisi walitaka kumuhoji kwasababu alikuwa akiendelea vizuri. Walipoingia walikutana na Maloya akiwa ameketi kitandani pembeni ya Candy tunataka kumhoji Candy
“sawa na mimi naomba niwepo”
“we kama nani?” polisi waliuliza,
“mimi ni mpenzi wake” alijibu.
“Sawa”
Candy alianza kujieleza, aliongea kwa shida sana kutokana na hali yake ilivyokuwa, alikuwa akijitahidi sana kuongea ingawa alionekana kushindwa, askari aliyekuja kumhoji, alishindwa kuelewa nini cha kufanya aidha ahairishe mahojiano hayo au aendelee kumtia moyo Candy aongee mara simu yake iliita, alinyanyuka na kuelekea nje Candy aliweza kuongea neno moja, alitaja jina langu na kisha kukata roho.
Na hii ndio sababu aliyofanya Maloya ahisi na ajue kwamba ninahusika kwa namna moja au nyingine na kifo cha Candy.
Pamoja na hayo yote maloya alishindwa kujieleza. Baba yake na Candy alikasirika sana,
“wewe ni mwalimu una taaluma ya ualimu nimemleta mwanangu kumfundisha unamfanya mkeo, nitadili na wewe kwanza, aliongea mzee Carry,
“huyu afunguliwe mashitaka ya kutembea na mwanafunzi”, alisema.
Maloya alilia sana alishindwa kujitetea, aliwekwa mahabusu kusubiria kesi yake ianze.
Ripoti ya daktari ilisaidia kummaliza Maloya, Candy alikufa baada ya kugongwa na kitu kizito kichwani, hivyo damu kuvijia katika ubongo, lakini pia alikuwa na ujauzito mkubwa.
Mzee Carry alikasirika sana alisahau kabisa kuhusu swala kifo cha binti yake aliamua moja kwa moja kuhusika na Maloya ambaye moja kwa moja alionekana kuwa ndiye aliyekuwa akihusika na mimba ya Candy, ilikuwa ni afuheni kwangu.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA NNE. Niliogopa sana kujua kuwa nilikuwa nina ujauzito, sikuwa najua kama ujauzito ni wa Maloya au wa Martin. Nililia sana, nafsi iliniuma mno, kila ninapojitahidi kutoka kwenye tatizo moja linakuja jingine, “ eee Mungu wangu kwanini umeniacha mimi? Nimezaliwa kwa ajili ya kuteseka tu, ee Mungu wangu, bora basi ungeichukua roho yangu na mimi nipumzike” nilijikuta nikimkufuru Mungu. Nilishindwa kufanya kitu chochote kile nilishindwa kula vizuri nilishindwa kusoma hata usingizi uliniwia shida sana kupata. Nilianza kukonda tena. Ujauzito wangu ulikuwa ukinilazimisha kulala usingizi kila wakati, nilikuwa nasinzia sana, nilihisi unaweza ukawa mkubwa kwasababu hata sikuwa najua una miezi mingapi. Nafsi iliniuma kuona kwamba sitaweza kuendelea na shule. Tumbo langu lilianza kuonekana, nilijitahidi sana kujizuia lisionekane. Nilimkumbuka sana Candy, “nilikuwa namsema Candy sasa ni zamu yangu” nilijiwazia, “nitamwambia nini baba yangu siku akigundua kuwa nina ujauzito?” niliwaza. “Eee Mungu wangu najikabidhi mikononi mwako”, nilimalizia maombi yangu. Hesabu zangu ziliniambia kuwa ujauzito huo ni wa Maloya, kwasababu yeye ndio aliyekuwa mtu wa mwisho kukutana na mimi kimwili. Hivyo basi ujauzito huu ulikuwa na takribani miezi minne, kwa hesabu zangu ningeweza kujifungua wakati uliokaribia sana na mtihani, aidha mwezi wa nne ambapo tulitegemea kuanza mitihani mwezi wa tano mwanzoni, mitihani ya kumaliza shule. Hivyo basi endapo nisingeitoa hiyo mimba nisingeweza kufanya mtihani. “Niitoe” niliwaza “hapana siwezi kuitoa hii mimba, nimuue kiumbe asiye na hatia siwezi kujua mungu amempangia nini kiumbe wake, siwezi kuitoa hii mimba” nilisita sita sita katika mawazo mawili. Nafsi nyingine ikiniambia unahitaji kusoma, zaidi ya sana unamuhitaji Martin endapo Martin akigundua kwamba una ujauzito wa Maloya mapenzi yenu yatakuwa yameishia hapo, potelea mbali lolote na liwe. Uchunguzi kuhusu kifo cha Candy ulianza mara moja, Mzee Carry baba yake Candy hakutaka masihara katika hilo, alitoka Arusha na kuja Mwanza kusimamia kesi hiyo, alitaka kuona kwamba aliyehusika na kifo cha mwanae anakamatwa na kuhukumiwa. Kwa kuanzia mwalimu mkuu aliitwa polisi kutoa maelezo, alieleza kila kitu ambacho alikijua kuhusiana na tukio hilo. Alirejea shuleni kwa upole sana, kisha akagonga kengele na kutuita wanafunzi wote mstarini, tulienda, alituambia mambo yote ambayo yalitokea hako polisi, maneno yake yalinitikisa sana, “Cathe” alisema, nilitetemeka “polisi wamesema endapo watakuhitaji watakuita tena ila kwa sasa hawakuhitaji kwasababu ulishatoa maelezo mara ya kwanza” alisema, “ee mungu wangu naomba unifanyie miujiza” nilisali kimoyomoyo Baada ya hapo wanafunzi wengi walisogea kunipa pole akiwemo Martin. Nafsi yangu ilikosa amani kabisa Martin aliligundua hili ingawa akuniuliza. Mtu wa pili kuitwa kwaajili ya kutoa maelezo ni Maloya. Nafikiri polisi waligundua uhusiano wa karibu kati ya Maloya na marehemu Candy, aliitwa kutoa maelezo, nilijua mwisho wangu umekaribia . Maloya alianza kujieleza “mimi ni mtu wa karibu sana na Candy na pia ni mwalimu wake” “ukaribu wenu uko vipi?” aliulizwa, Maloya alishindwa kutoa maelezo mazuri, mara nyingi alikuwa akijing’atang’ata, nafikiri alikuwa akihofia kuweka wazi uhusiano wake na Candy ukizingatia baba yake na Candy alikuwepo hapo na hakuwa akipenda utani kabisa. Siku Candy anafariki Maloya alikuwepo, polisi walitaka kumuhoji kwasababu alikuwa akiendelea vizuri. Walipoingia walikutana na Maloya akiwa ameketi kitandani pembeni ya Candy tunataka kumhoji Candy “sawa na mimi naomba niwepo” “we kama nani?” polisi waliuliza, “mimi ni mpenzi wake” alijibu. “Sawa” Candy alianza kujieleza, aliongea kwa shida sana kutokana na hali yake ilivyokuwa, alikuwa akijitahidi sana kuongea ingawa alionekana kushindwa, askari aliyekuja kumhoji, alishindwa kuelewa nini cha kufanya aidha ahairishe mahojiano hayo au aendelee kumtia moyo Candy aongee mara simu yake iliita, alinyanyuka na kuelekea nje Candy aliweza kuongea neno moja, alitaja jina langu na kisha kukata roho. Na hii ndio sababu aliyofanya Maloya ahisi na ajue kwamba ninahusika kwa namna moja au nyingine na kifo cha Candy. Pamoja na hayo yote maloya alishindwa kujieleza. Baba yake na Candy alikasirika sana, “wewe ni mwalimu una taaluma ya ualimu nimemleta mwanangu kumfundisha unamfanya mkeo, nitadili na wewe kwanza, aliongea mzee Carry, “huyu afunguliwe mashitaka ya kutembea na mwanafunzi”, alisema. Maloya alilia sana alishindwa kujitetea, aliwekwa mahabusu kusubiria kesi yake ianze. Ripoti ya daktari ilisaidia kummaliza Maloya, Candy alikufa baada ya kugongwa na kitu kizito kichwani, hivyo damu kuvijia katika ubongo, lakini pia alikuwa na ujauzito mkubwa. Mzee Carry alikasirika sana alisahau kabisa kuhusu swala kifo cha binti yake aliamua moja kwa moja kuhusika na Maloya ambaye moja kwa moja alionekana kuwa ndiye aliyekuwa akihusika na mimba ya Candy, ilikuwa ni afuheni kwangu. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI NA TATU.
Shule nzima ilikuwa kimya kusikiliza ni kitu gani ambacho tungetangaziwa. Baada ya ukimya wa mda mfupi Mr. Maige alisimama mbele ya wanafunzi wote, alikohoa kidogo kurekebisha koo lake na kisha kuanza kusema kwa sauti iliyonyong’onyea,
“Hamjambo wanafunzi”
“Hatujambo” tuliitikia na kisha ukimya mzito ukafatia.
“Poleni kwa masomo natumaini mko salama wote, lakini kuna jambo moja ningependa kuwaambia wanafunzi, shule imepata msiba mzito,tumempoteza mwanafunzi mwenzetu Candy Carry”
Vilio vilianza watu walilia, sio wanafunzi peke yake hata walimu pia.
Nilishusha pumzi nzito kisha machozi yalianza kunitoka, ingawa mara zote nimekuwa katika maombi nikiomba mungu amuondoe Candy duniani, lakini kifo cha Candy kiliniuma sana.
“Uwepo wangu hapa shuleni umesababisha kifo cha Candy, nisamehe Candy, Mungu naomba unisamehe pia”,
Mwalimu Maloya alilia sana, Nikama vile hakuwa akijua chochote hadi wakati huo tulipotangaziwa.
Alionekana akiwa na huzuni wakati wote, baadhi ya walimu walimfariji Maloya alikuwa akilia kuliko kawaida, wanafunzi wengi walikuwa wakinitupia macho kujua ningezipokeaje taarifa hizo sikupenda jinsi walivyokuwa wakinitazama.
Nikajifanya nimezimia.
Nilibebwa na kupelekwa hospitalini, nikawekewa drip za maji ingawa kiukweli sikuwa nimezimia sikutaka kuamka wakati huo, nilitaka kufikiria upya kuhusu hilo swala na jinsi maisha ambavyo yangeenda.
Nililala hapo siku nzima, huku taratibu za kuuaga mwili wa Candy hapo shuleni zikiendelea kufanyika.
Vipindi vilihairishwa kila mtu alikuwa na huzuni sana kuhusu kifo cha Candy.
Ulipofika wakati wa jioni hali bado nikiwa nimefumba macho yangu nilihisi mtu akiingia.
Nilifumbua jicho kwa mbali ili kuweza kutazama ni nani kwa maana huo haukuwa wakati wa kuona wagonjwa, nilitamani awe Martin ili  kunifariji kwa wakati huo.
Hakuwa Marti alikuwa Maloya, alipofika nesi aliingia,
“bado hajarudiwa na fahamu, anahitaji muda mwingi wa kupumzika akili yake haiko sawa.”
“Sawa” Maloya alijibu,
“nimekuja tu kumwangalia, nitaondoka muda si mrefu hauna haja ya kuhofu nesi.”
“Sawa” nesi aliitikia na kuondoka. Alituacha mimi na Maloya.
“Wewe mshenzi ninajua kuwa unahusika na kifo cha Candy, utakapoamka hapo utanieleza. Nitapambana na wewe na kuhakikisha kwamba unapata adhabu stahiki, lazima uhukumiwe kwa kosa la kumuondoa kipenzi changu. Unajua mimi na Candy tumetoka wapi? Wewe kidudu mtu ama zako ama zangu” aliongea kwa hasira kwa sauti ya chini huku machozi yakimtoka.
Alinisonya na kisha kuondoka kwa ghadhabu. Nilipata kujua kwamba Maloya amefahamu kila kitu kilichotokea.
Moyo uliniuma sana nilijua nimeimaliza kesi kumbe ndio nimeianza.
Jela ilikuwa ikiniita.
Nilikata tamaa ya kuendelea kuishi.
Kitu pekee cha kufanya ni kuondoka tu hapa.
“Sijui nitoroke sasa hivi, nikitoroka saa hizi itajulikana kwamba ninahusika kwa namna Fulani, kwanini niondoke.”
Mwili wa Candy uliagwa nikiwa hospitali na ulisafirishwa kuelekea Arusha kwa maziko, kila mtu alikuwa na huzuni sana, Maloya akiambatana na wanafunzi wawili akiwemo Naima waliondoka na mwili wa Candy kuelekea Arusha.
Ilichukua muda watu kurejea katika hali ya kawaida kisha maisha yaliendelea.
Maisha ya shida yalianza hapo shuleni nilikuwa nikipokea vipigo mara kwa mara kutoka kwa Maloya, nilikuwa nikipigwa sana,adhabu za mara kwa mara hazikuniisha.
Martin alikuwa akinionea huruma sana, wakati mwingine alikuwa akijitahidi kunisaidia baadhi adhabu nyingine nilizokuwa nikipewa.
“Cathe una una nini na maloya? siku moja aliniuliza nilishindwa cha kumjibu,
“kwanini akutese hivi umemfanyia nini yeye? Mimi siwezi kuendelea kuvumilia nitamfata”
Nilimshika mkono na kumzuia,
“Unaenda wapi” niliongea kwa upole.
“Namfata Maloya kwanini anakupiga na anakupa adhabu kila siku nimechoka hata mimi siwezi kuendelea kuvumilia namfata.”
“Hapana subiri” niliongea.
“Siwezi kuendelea kusubiri” nilimzuia.
“Martin sitaki kukwambia siri ya Maloya kunichukia, utaumia sana.”
Kwa muda mchache aliweza kutuliza hasira aliyokuwa nayo.
“Naomba uniambia, sitachukia”
“Najua”
“hujui kitu Martin” nilimwambia.
“Hapana Cathe niambie”
“Nitakwambia, ngoja nipate wakati mzuri nitakwambia kila kitu” nilimwambia.
Alitulia na kisha kuendelea na mambo yake.
Baba Candy, Mr. Carry alikuwa mbogo hakutaka kuamini kwamba Candy alikufa kwa kudondoka mwenyewe bafuni, alitaka uchunguzi ufanyike ili kujua chanzo cha kifo cha Candy.
“Lazima nimjue mtu aliye husika na kifo cha mwanangu na nitampoteza” alisema.
Mara moja uchunguzi ulianza kufanyika, nijikuta naishiwa nguvu.
Kilichoniogopesha zaidi ni kugundua kuwa……………
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA TATU. Shule nzima ilikuwa kimya kusikiliza ni kitu gani ambacho tungetangaziwa. Baada ya ukimya wa mda mfupi Mr. Maige alisimama mbele ya wanafunzi wote, alikohoa kidogo kurekebisha koo lake na kisha kuanza kusema kwa sauti iliyonyong’onyea, “Hamjambo wanafunzi” “Hatujambo” tuliitikia na kisha ukimya mzito ukafatia. “Poleni kwa masomo natumaini mko salama wote, lakini kuna jambo moja ningependa kuwaambia wanafunzi, shule imepata msiba mzito,tumempoteza mwanafunzi mwenzetu Candy Carry” Vilio vilianza watu walilia, sio wanafunzi peke yake hata walimu pia. Nilishusha pumzi nzito kisha machozi yalianza kunitoka, ingawa mara zote nimekuwa katika maombi nikiomba mungu amuondoe Candy duniani, lakini kifo cha Candy kiliniuma sana. “Uwepo wangu hapa shuleni umesababisha kifo cha Candy, nisamehe Candy, Mungu naomba unisamehe pia”, Mwalimu Maloya alilia sana, Nikama vile hakuwa akijua chochote hadi wakati huo tulipotangaziwa. Alionekana akiwa na huzuni wakati wote, baadhi ya walimu walimfariji Maloya alikuwa akilia kuliko kawaida, wanafunzi wengi walikuwa wakinitupia macho kujua ningezipokeaje taarifa hizo sikupenda jinsi walivyokuwa wakinitazama. Nikajifanya nimezimia. Nilibebwa na kupelekwa hospitalini, nikawekewa drip za maji ingawa kiukweli sikuwa nimezimia sikutaka kuamka wakati huo, nilitaka kufikiria upya kuhusu hilo swala na jinsi maisha ambavyo yangeenda. Nililala hapo siku nzima, huku taratibu za kuuaga mwili wa Candy hapo shuleni zikiendelea kufanyika. Vipindi vilihairishwa kila mtu alikuwa na huzuni sana kuhusu kifo cha Candy. Ulipofika wakati wa jioni hali bado nikiwa nimefumba macho yangu nilihisi mtu akiingia. Nilifumbua jicho kwa mbali ili kuweza kutazama ni nani kwa maana huo haukuwa wakati wa kuona wagonjwa, nilitamani awe Martin ili kunifariji kwa wakati huo. Hakuwa Marti alikuwa Maloya, alipofika nesi aliingia, “bado hajarudiwa na fahamu, anahitaji muda mwingi wa kupumzika akili yake haiko sawa.” “Sawa” Maloya alijibu, “nimekuja tu kumwangalia, nitaondoka muda si mrefu hauna haja ya kuhofu nesi.” “Sawa” nesi aliitikia na kuondoka. Alituacha mimi na Maloya. “Wewe mshenzi ninajua kuwa unahusika na kifo cha Candy, utakapoamka hapo utanieleza. Nitapambana na wewe na kuhakikisha kwamba unapata adhabu stahiki, lazima uhukumiwe kwa kosa la kumuondoa kipenzi changu. Unajua mimi na Candy tumetoka wapi? Wewe kidudu mtu ama zako ama zangu” aliongea kwa hasira kwa sauti ya chini huku machozi yakimtoka. Alinisonya na kisha kuondoka kwa ghadhabu. Nilipata kujua kwamba Maloya amefahamu kila kitu kilichotokea. Moyo uliniuma sana nilijua nimeimaliza kesi kumbe ndio nimeianza. Jela ilikuwa ikiniita. Nilikata tamaa ya kuendelea kuishi. Kitu pekee cha kufanya ni kuondoka tu hapa. “Sijui nitoroke sasa hivi, nikitoroka saa hizi itajulikana kwamba ninahusika kwa namna Fulani, kwanini niondoke.” Mwili wa Candy uliagwa nikiwa hospitali na ulisafirishwa kuelekea Arusha kwa maziko, kila mtu alikuwa na huzuni sana, Maloya akiambatana na wanafunzi wawili akiwemo Naima waliondoka na mwili wa Candy kuelekea Arusha. Ilichukua muda watu kurejea katika hali ya kawaida kisha maisha yaliendelea. Maisha ya shida yalianza hapo shuleni nilikuwa nikipokea vipigo mara kwa mara kutoka kwa Maloya, nilikuwa nikipigwa sana,adhabu za mara kwa mara hazikuniisha. Martin alikuwa akinionea huruma sana, wakati mwingine alikuwa akijitahidi kunisaidia baadhi adhabu nyingine nilizokuwa nikipewa. “Cathe una una nini na maloya? siku moja aliniuliza nilishindwa cha kumjibu, “kwanini akutese hivi umemfanyia nini yeye? Mimi siwezi kuendelea kuvumilia nitamfata” Nilimshika mkono na kumzuia, “Unaenda wapi” niliongea kwa upole. “Namfata Maloya kwanini anakupiga na anakupa adhabu kila siku nimechoka hata mimi siwezi kuendelea kuvumilia namfata.” “Hapana subiri” niliongea. “Siwezi kuendelea kusubiri” nilimzuia. “Martin sitaki kukwambia siri ya Maloya kunichukia, utaumia sana.” Kwa muda mchache aliweza kutuliza hasira aliyokuwa nayo. “Naomba uniambia, sitachukia” “Najua” “hujui kitu Martin” nilimwambia. “Hapana Cathe niambie” “Nitakwambia, ngoja nipate wakati mzuri nitakwambia kila kitu” nilimwambia. Alitulia na kisha kuendelea na mambo yake. Baba Candy, Mr. Carry alikuwa mbogo hakutaka kuamini kwamba Candy alikufa kwa kudondoka mwenyewe bafuni, alitaka uchunguzi ufanyike ili kujua chanzo cha kifo cha Candy. “Lazima nimjue mtu aliye husika na kifo cha mwanangu na nitampoteza” alisema. Mara moja uchunguzi ulianza kufanyika, nijikuta naishiwa nguvu. Kilichoniogopesha zaidi ni kugundua kuwa…………… <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI NA MBILI.
Nilishituka na kujikuta nimelala katika zahanati ya shule, dripu zikichuruzisha maji mwilini mwangu, nilihisi maumivu makali sana ya kichwa na macho pia yaliniwia mazito, uchovu ulinitawala, na mwili mzima ulikuwa ukiuma, sikufahamu ni kitu gani kimetokea hata nikafika hapo.
Kumbukumbu zangu ziliniwia vigumu sana kunirejea nilibaki nikiwa nimelala hapo kitandani sikuweza kujiinua, nilipogeuka upande wa pili nilikutana na nesi akiwa anaongea na wanafunzi wawili mmoja wa kike na mwingine wa kiume.
Nilipata shida sana kuwatambua kuwa alikuwa ni Martin na Martha.
Baada ya maongezi mafupi Martin aliyekuwa amebeba hotpot na Martha waliongozana kuja kitandani kwangu walipofika walinipa pole na kisha kukaa kwenye kitanda cha pembeni.
Martin alinishika kichwani akiushusha mkono wake usoni mwangu kisha akaniambia “pole Cathe” aliongea kwa sauti yake nzuri ya kiume.
“Asante Martin”
“Nesi amesema unaendelea vizuri unaweza kuruhusiwa kuanzia leo”
“kwani nimelazwa hapa tokea lini?” niliuliza.
“Tokea juzi huko hapa”
“Ninaumwa nini?!” Niliuliza kwa mshangao,
“Ulipatwa tu na mshituko kidogo baada ya kutoka polisi”
Alipotaja polisi kumbukumu zilianza kunirejea,
“Mungu wangu”
“Candy anaendeleaje?” Niliuliza kwa kiherehere ,
“Candy anaendelea vizuri hali yake imetengemaa sasa”
“Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha”
Niliwaza “Candy akipona nimekufa, Candy akipona tu ndio mwisho wa maisha yangu”
“Mbona umeshituka sana?”
“Hapana” niliongea kwa kigugumizi,
“Namwombea Candy apone” nilisema,
“Kila mtu anamwombea kwa kweli hatujui amepatwa na nini, kupona kwake ndipo kutakapojibu maswali yetu yote”, akili ilizidi kwenda kasi,
“nifanye nini mimi?”, nilijiuliza.
“Ndio”
Mwishowe nilijibu, huku nikionesha kunyong’onyea.
Martin alifungua hptpot na kuanza kunilisha chakula, kilikuwa ni chakula kizuri sana tofauti na ambacho tunakula hapo shuleni.
Martha aliniangalia kwa huruma sana,
“pole wifi” alisema.
Niligeuka na kumwangalia Martha,
“Asante” nilijibu.
“Cathe” Martin aliniita,
“Bee” niliitika.
“Sikuwahi kukwambia kwamba Martha ni mdogo wangu” aliniuliza,
“Whaat?”
“Ndio, Martha ni mtoto wa baba yangu mkubwa”
“Tangu nilipopoteza ufahamu ni kitu cha kwanza kilichonipa faraja,
“Nafurahi sana kukufahamu Martha”
“Usijali”
Nilikula nikiwa katikati ya watu hao walionionesha upendo, nilijisikia amani sana kuwa katikati yao.
Baada ya muda alikuja nesi,
“Martha inabidi ukakae na Cathe ili umwangalie, tunamruhusu leo kwa sababu hali yake inaendelea vizuri, tutakupa dawa za kutumia ukisikia maumivu yoyote urudi hapa, Sawa Cathe” nesi alisema kwa sauti yake ya upole.
“sawa asante” nilishukuru kwa sababu sikupenda kuendelea kuwepo hapo.
Walinisaidia kukusanya vitu vyangu na kisha nikarejea bwenini.
Martin alinibusu mdomoni kisha akaniacha nikiwa na Martha.
“Martha, naomba uniangalizie mke wangu” alisema Martin.
Niliachia tabasamu, nilipenda alivyoniita.
“Mchumba tutaonana baadae” alisema kisha akatoka.
Nilitamani aendelee kuwepo karibu yangu ingawa ilikuwa kinyume cha sheria za shule kuwepo katika mabweni ya wasichana.
Aliniacha na Martha
Martha alikuwa akinitunza vizuri sana hakika nilifurahi.
Baada ya muda kupita hali yangu iliweza kutengemaa kabisa na nikaweza kuingia darasani, nilijitahidi kujiamini mbele ya kila mtu ili nisihisiwe kwa tukio lolote. Nilijitahidi sana kuomba mungu aniepushe na tatizo hili
“ee mungu ingawa sio vizuri lakini naomba uichukue roho ya Candy, kumwacha Candy hai ni kuniingiza mimi mkwenye matatizo, mbona umesha nitesa sana hebu saa hizi tu basi unionee huruma na mimi, na mimi niishi kwa amani, Mungu naomba usikie maombi yangu”
Niliomba maombi hayo huku nikiwa sina imani ya kujibiwa.
Nilikata tamaa kabisa.
“Candy usipokufa nitakufa mimi kwa namna yoyote ile”, nilisema.
Niliendelea kusoma kwa bidii huku nikisali.
Kila siku mwalimu alipoingia darasani hasa mwalimu Maloya alitusisitiza tuendelee kumwombea Candy kwasababu hali yake ilikuwa ikitengemaa.
Maneno hayo yalizidi kunikera, kila mara alipotangaza kuhusu hali ya Candy moyo wangu ulikosa amani kabisa.
Ilikuwa ni alfajiri siku ya jumamosi, ni siku ambayo huwa hatuamshwi mapema tunaamka pale utakapojisikia wewe kwa maana shuleni kwetu tulikuwa hatufanyi usafi hiyo siku nilitaka kulala sana.
Ilipofika saa moja kasoro kengele iligongwa, nilikerekwa sana kuamshwa asubuhi siku hiyo nilitamani kuendelea kulala, wakati kengele ikizidi kugongwa nilivuta shuka na kujifunika.
“Hawa vipi bwana ahaaa, fyuuu”, nikasonya
Martha aliniamsha “Cathe amka ni kengele ya tahadhari huwezi kujua pengine kuna tukio baya amka usikute mabweni yanaungua amka haraka”,
nilishuka haraka na kutoka nje huku nikiwa nimevaa night dress.
Martha alicheka “wewe hebu rudi uvae nguo wewe vipi?”, aliongea kwa utani.
Moyo wangu ulikuwa hauna amani kabisa,
niliwaza “sijui polisi wamekuja kunifata tena, mungu wangu kama hali ya Candy ikitengemaa inamaanisha anaweza kuongea na angewasimulia polisi kila kitu, kwa maana mara zote walikuwa wakimsubiria apate unafuu ili aelezee tukio zima, ameelezea na sasa hivi nakuja kufatwa na polisi, ee mungu wa majeshi sijui nikimbie” niliwaza.
“Mi siendi” nilimwambia Martha,
“amna usiogope hamna tukio la ajabu”
“Hapana moyo wangu unasita kabisa kwenda”
“Twende tu Cathe hakuna jinsi”
“Mi nabaki naomba uende utaniambia”
“Unaogopa nini?” Aliingiwa na ghadhabu,
niliogopa anaweza kunishitukia huyu,
“Sawa twende, Ila nilikuwa na woga kweli kwenda huko”
“Hamna usiogope wifi yangu we twende tu”
Tuliongozana hadi kufika mstarini, tulikuwa watu wa mwisho mwisho kufika  kwa maana watu wengi walikuwa washafika.
Walimu wote walikuwa katika eneo hilo, niliingiwa na uwoga sikuwa najiamini hata kidogo mwili mzima ulikuwa ukitetemeka,
“unatetemeka nini Cathe” sauti ya Martha ilinishitua.
“Hapana, ila nahisi kuna kitu hakipo sawa, sijui ni nini” niliongea.
“usijali kila kitu kitakuwa sawa”
Tulijongea mstarini.
Walimu walisubiri hadi kelele zote ziishe, baada ya wanafunzi kunyamaza kimya na kuonyesha kuwa tayari kwa kusikiliza tulichoitiwa mapema asubuhi hiyo, mwalimu mkuu Mr. Maige alisogea mbele kututangazia kitu ambacho walikusudia kwa asubuhi hiyo.
<<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA MBILI. Nilishituka na kujikuta nimelala katika zahanati ya shule, dripu zikichuruzisha maji mwilini mwangu, nilihisi maumivu makali sana ya kichwa na macho pia yaliniwia mazito, uchovu ulinitawala, na mwili mzima ulikuwa ukiuma, sikufahamu ni kitu gani kimetokea hata nikafika hapo. Kumbukumbu zangu ziliniwia vigumu sana kunirejea nilibaki nikiwa nimelala hapo kitandani sikuweza kujiinua, nilipogeuka upande wa pili nilikutana na nesi akiwa anaongea na wanafunzi wawili mmoja wa kike na mwingine wa kiume. Nilipata shida sana kuwatambua kuwa alikuwa ni Martin na Martha. Baada ya maongezi mafupi Martin aliyekuwa amebeba hotpot na Martha waliongozana kuja kitandani kwangu walipofika walinipa pole na kisha kukaa kwenye kitanda cha pembeni. Martin alinishika kichwani akiushusha mkono wake usoni mwangu kisha akaniambia “pole Cathe” aliongea kwa sauti yake nzuri ya kiume. “Asante Martin” “Nesi amesema unaendelea vizuri unaweza kuruhusiwa kuanzia leo” “kwani nimelazwa hapa tokea lini?” niliuliza. “Tokea juzi huko hapa” “Ninaumwa nini?!” Niliuliza kwa mshangao, “Ulipatwa tu na mshituko kidogo baada ya kutoka polisi” Alipotaja polisi kumbukumu zilianza kunirejea, “Mungu wangu” “Candy anaendeleaje?” Niliuliza kwa kiherehere , “Candy anaendelea vizuri hali yake imetengemaa sasa” “Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha” Niliwaza “Candy akipona nimekufa, Candy akipona tu ndio mwisho wa maisha yangu” “Mbona umeshituka sana?” “Hapana” niliongea kwa kigugumizi, “Namwombea Candy apone” nilisema, “Kila mtu anamwombea kwa kweli hatujui amepatwa na nini, kupona kwake ndipo kutakapojibu maswali yetu yote”, akili ilizidi kwenda kasi, “nifanye nini mimi?”, nilijiuliza. “Ndio” Mwishowe nilijibu, huku nikionesha kunyong’onyea. Martin alifungua hptpot na kuanza kunilisha chakula, kilikuwa ni chakula kizuri sana tofauti na ambacho tunakula hapo shuleni. Martha aliniangalia kwa huruma sana, “pole wifi” alisema. Niligeuka na kumwangalia Martha, “Asante” nilijibu. “Cathe” Martin aliniita, “Bee” niliitika. “Sikuwahi kukwambia kwamba Martha ni mdogo wangu” aliniuliza, “Whaat?” “Ndio, Martha ni mtoto wa baba yangu mkubwa” “Tangu nilipopoteza ufahamu ni kitu cha kwanza kilichonipa faraja, “Nafurahi sana kukufahamu Martha” “Usijali” Nilikula nikiwa katikati ya watu hao walionionesha upendo, nilijisikia amani sana kuwa katikati yao. Baada ya muda alikuja nesi, “Martha inabidi ukakae na Cathe ili umwangalie, tunamruhusu leo kwa sababu hali yake inaendelea vizuri, tutakupa dawa za kutumia ukisikia maumivu yoyote urudi hapa, Sawa Cathe” nesi alisema kwa sauti yake ya upole. “sawa asante” nilishukuru kwa sababu sikupenda kuendelea kuwepo hapo. Walinisaidia kukusanya vitu vyangu na kisha nikarejea bwenini. Martin alinibusu mdomoni kisha akaniacha nikiwa na Martha. “Martha, naomba uniangalizie mke wangu” alisema Martin. Niliachia tabasamu, nilipenda alivyoniita. “Mchumba tutaonana baadae” alisema kisha akatoka. Nilitamani aendelee kuwepo karibu yangu ingawa ilikuwa kinyume cha sheria za shule kuwepo katika mabweni ya wasichana. Aliniacha na Martha Martha alikuwa akinitunza vizuri sana hakika nilifurahi. Baada ya muda kupita hali yangu iliweza kutengemaa kabisa na nikaweza kuingia darasani, nilijitahidi kujiamini mbele ya kila mtu ili nisihisiwe kwa tukio lolote. Nilijitahidi sana kuomba mungu aniepushe na tatizo hili “ee mungu ingawa sio vizuri lakini naomba uichukue roho ya Candy, kumwacha Candy hai ni kuniingiza mimi mkwenye matatizo, mbona umesha nitesa sana hebu saa hizi tu basi unionee huruma na mimi, na mimi niishi kwa amani, Mungu naomba usikie maombi yangu” Niliomba maombi hayo huku nikiwa sina imani ya kujibiwa. Nilikata tamaa kabisa. “Candy usipokufa nitakufa mimi kwa namna yoyote ile”, nilisema. Niliendelea kusoma kwa bidii huku nikisali. Kila siku mwalimu alipoingia darasani hasa mwalimu Maloya alitusisitiza tuendelee kumwombea Candy kwasababu hali yake ilikuwa ikitengemaa. Maneno hayo yalizidi kunikera, kila mara alipotangaza kuhusu hali ya Candy moyo wangu ulikosa amani kabisa. Ilikuwa ni alfajiri siku ya jumamosi, ni siku ambayo huwa hatuamshwi mapema tunaamka pale utakapojisikia wewe kwa maana shuleni kwetu tulikuwa hatufanyi usafi hiyo siku nilitaka kulala sana. Ilipofika saa moja kasoro kengele iligongwa, nilikerekwa sana kuamshwa asubuhi siku hiyo nilitamani kuendelea kulala, wakati kengele ikizidi kugongwa nilivuta shuka na kujifunika. “Hawa vipi bwana ahaaa, fyuuu”, nikasonya Martha aliniamsha “Cathe amka ni kengele ya tahadhari huwezi kujua pengine kuna tukio baya amka usikute mabweni yanaungua amka haraka”, nilishuka haraka na kutoka nje huku nikiwa nimevaa night dress. Martha alicheka “wewe hebu rudi uvae nguo wewe vipi?”, aliongea kwa utani. Moyo wangu ulikuwa hauna amani kabisa, niliwaza “sijui polisi wamekuja kunifata tena, mungu wangu kama hali ya Candy ikitengemaa inamaanisha anaweza kuongea na angewasimulia polisi kila kitu, kwa maana mara zote walikuwa wakimsubiria apate unafuu ili aelezee tukio zima, ameelezea na sasa hivi nakuja kufatwa na polisi, ee mungu wa majeshi sijui nikimbie” niliwaza. “Mi siendi” nilimwambia Martha, “amna usiogope hamna tukio la ajabu” “Hapana moyo wangu unasita kabisa kwenda” “Twende tu Cathe hakuna jinsi” “Mi nabaki naomba uende utaniambia” “Unaogopa nini?” Aliingiwa na ghadhabu, niliogopa anaweza kunishitukia huyu, “Sawa twende, Ila nilikuwa na woga kweli kwenda huko” “Hamna usiogope wifi yangu we twende tu” Tuliongozana hadi kufika mstarini, tulikuwa watu wa mwisho mwisho kufika kwa maana watu wengi walikuwa washafika. Walimu wote walikuwa katika eneo hilo, niliingiwa na uwoga sikuwa najiamini hata kidogo mwili mzima ulikuwa ukitetemeka, “unatetemeka nini Cathe” sauti ya Martha ilinishitua. “Hapana, ila nahisi kuna kitu hakipo sawa, sijui ni nini” niliongea. “usijali kila kitu kitakuwa sawa” Tulijongea mstarini. Walimu walisubiri hadi kelele zote ziishe, baada ya wanafunzi kunyamaza kimya na kuonyesha kuwa tayari kwa kusikiliza tulichoitiwa mapema asubuhi hiyo, mwalimu mkuu Mr. Maige alisogea mbele kututangazia kitu ambacho walikusudia kwa asubuhi hiyo. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL
SEHEMU YA KUMI NA MOJA.
Dakika chache baadae jopo la walimu liliingia, kila mtu alionekana akiwa na mshituko sana, nilizidi kutetemeka.
Jasho lilinichuruzika kwa wingi nilishindwa kusema chochote, walimu waliingiwa na mshangao baadhi ya walimu wa kike walishindwa kujizuia na kuangua kilio, eneo zima ilishikwa na taharuki. Wanafunzi madarasani hawakuelewa nini kinaendelea ingawa walihisi kuna kitu hakipo sawa pilikapilika zilizidi.
Mwalimu mkuu mr. Maige alikuwa akipiga simu kila wakati. Dakika chache baadaye polisi waliwasili eneo la shule, ving’ora vyao vikali vilinishitua nilijua kabisa mwisho wangu umekaribia, waliingia wakiwa wameongozana na madaktari pamoja na wandishi wa habari. Nilijua tukio lililokuwa mbele yangu sio dogo.
“Nini kimetokea?” polisi walianza kumhoji mkuu wa shule.
Mkuu wa shule alinyoosha kidole kwangu nilishituka sana,
Nilijua angeweza kujielezea yeye mwenyewe, Mungu wangu nitawambia nini mimi hawa Mungu nisaidie mimi niondoe katika mzigo huu, nilisali kimoyo moyo.
Polisi walinikata jicho na kisha wakanisogelea, wakanishika kama mtuhumiwa rasmi na kisha kunikokota nje kwa nguvu,
mkuu wa operesheni ile aliamrisha “piga picha za tukio na rekodi hali nzima ya tukio mimi nampeleka huyu polisi kuhojiwa na baada ya hapo mwili huo upelekwe hospitali kwaajili ya uchunguzi” aliongea na kuondoka.
Nilikokotwa na kupitishwa katika korido za madarasa watu wote walinishangaa Martin alishindwa kujizuia na kuuliza nini kinaendelea, polisi walimsukuma pembeni na kupita hakuna aliyejali, Martin alilia sana nilimtizama Martin huku machozi yakinitiririka.
Nilimwonesha kwa ishara kuwa kila kitu kipo sawa awe na amani.
Niliondoka na polisi hadi kituo cha polisi cha kati mkoni mwanza, niliogopa sana ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika polisi hakika nilitetemeka ee mungu wangu, eee yesu wa majeshi uliyewavusha wana wa Israeli katika bahari ya shamu naomba unitetee ukinitoa katika kifungo hiki jehova nitakutumika wewe siku zote,
siku hiyo nilikumbuka kusali tena kusali kwa kumaanisha huku nikibeba vifungu vya biblia ambavyo hata sikujua vinatoka sehemu gani.
Na wala sikuwa nafahamu mara ya mwisho nilivisoma lini.
Kweli shida hutufanya tumkumbuke Mungu.
Niliingizwa katika chumba ambacho nilihisi moja kwa moja ni chuma cha mahojiano.
Hakika kilinitisha sana,
Walinikagua hawakunikuta na kitu chochote kile.
“Mwanafunzi” sauti kali ya polisi wa kike iliinita,
niligeuka huku nikitetemeka jasho na machozi vikinitoka kwa pamoja.
Mkuu wa upelelezi alikaa mbele yangu alikuwa ni mbaba mtu mzima mwenye umri kati ya miaka 42-43 alikuwa na sura ya upole wala hakuendana na cheo alichokuwa nacho alinitazama.
“Jina lako ni nani?”
Polisi wa kike alikuwa pembeni yangu aliniuliza, mwanadada huyu alionekana kuwa katili sana na mwenye dharau tena alikuwa jeuri.
Alikuwa akiongea na mimi kama mtuhumiwa ambaye alikuwa akitafutwa muda mrefu sana na hatimaye siku hiyo alinasa katika mtego
“Jina lako ni nani wewe kahaba” aliniuliza kwa dharau na kwa kejeri,
Nilishindwa kuongea midomo ilinitetemeka.
Hatimaye mkuu wa upelelzi ambaye nilikuja kujua kwamba alikuwa akiitwa afande Lodrick aliniuliza alimwambia askari yule wa kike samahani naomba utupishe ingawa hakuridhia na uamuzi huo yule askari hakuwa na jinsi ni amri kutoka kwa bosi wake alipiga saluti na kuondoka tulibaki wawili tu.
Kwa kiasi fulani nilipatwa na ujasiri wa kuongea nilimwamini huyu mbaba kuliko yule mwanamke.
“Unaitwa nani?” aliniuliza,
“Naitwa Catherine kindamba”
“Catherine unaweza kutuambia ni nini kimetoke hata tukamkuta msichana yule akiwa katika hali ile?”
Nilisita nimwambie ukweli , nikimwambia ukweli nimejimaliza, kanisani tumefundishwa kuongea ukweli na sio uongo sijawahi kudanganya.
Upande mwingine uliniambia Cathe bado una nafasi ya kuishi kama utatumia ulimi wako vizuri na ukijiamini.
Ni kweli nimefundishwa kutodanganya lakini siku moja tu haitokuwa vibaya kumbuka unatetea nafsi yako.
Nilishikwa na ujasiri wa ajabu.
“Nilikuwa nimeenda chooni kwa ajili ya kujisaidia nilimkuta Candy amedodoka na anavuja damu.”
“Ina maana hujui nini kimemtokea Candy?”
“Hapana sijui”
“Unaweza kuzungumzia mazingira halisi”
“Niliingia darasani nikaambiwa kwamba natafutwa na Candy na ameelekea chooni nilikokuwa”
“Ikabidi nitoke nimfate Candy huko chooni nikamkuta hivyo.”
“Inamaanisha Candy alikuwa anakutafta kabla hajadondoka”
“Ndio sijui ni nini kimemtokea hata akadondoka niliongea kwa upole.”
“Sawa binti tunashukuru kwa ushirikiano wako tukikuhitaji tutakuita tena.”
Nilitolewa nje nikapandishwa kwenye gari nikarudishwa shuleni.
Kurejea kwangu kuliamsha kelele zisizo na mpangilio kila mtu alitamani kujua ni nini kimetokea, nilikuja kujua kwamba wanafunzi walipewa taarifa juu ya tukio lilitokea na kuhusu kukamatwa kwangu.
Niliporejea niliitwa moja kwa moja kwa mwalimu.
“Cathe ni nini kimetokea?” mwalimu maige aliuliza.
“Mwalimu nimemkuta Candy akiwa ameanguka kule chooni”
“Mungu wangu amepatwa na nini huyu binti?”
“Sijui mwalimu ni tukio la kuogofya sana nimelishuhudia”
“Sijawahi kuona tukio la hivi niliongea nikiwa nalia”
“Pole Cathe ni sehemu ya maisha jipe moyo Candy atapona na atarejea”
“Usijali hiyo ni mipango ya Mungu Candy atapona na atarudi”
nilishikwa na mshangao.
Inamaana Candy hajafa, nilijiuliza, mungu wangu kupona kwa Candy ni kifo changu Mungu wangu nifanye nini mimi nilibaki nimeduwaa,
sauti ya maige ilinishitua.
“Nenda bwenini ukapumzike”
Niliamka kiunyonge nikitetemeka nilishindwa kutembea nilijikuta nimedondoka ghafla nikaona giza mbele yangu sikujua nini kimeendelea tena.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA MOJA. Dakika chache baadae jopo la walimu liliingia, kila mtu alionekana akiwa na mshituko sana, nilizidi kutetemeka. Jasho lilinichuruzika kwa wingi nilishindwa kusema chochote, walimu waliingiwa na mshangao baadhi ya walimu wa kike walishindwa kujizuia na kuangua kilio, eneo zima ilishikwa na taharuki. Wanafunzi madarasani hawakuelewa nini kinaendelea ingawa walihisi kuna kitu hakipo sawa pilikapilika zilizidi. Mwalimu mkuu mr. Maige alikuwa akipiga simu kila wakati. Dakika chache baadaye polisi waliwasili eneo la shule, ving’ora vyao vikali vilinishitua nilijua kabisa mwisho wangu umekaribia, waliingia wakiwa wameongozana na madaktari pamoja na wandishi wa habari. Nilijua tukio lililokuwa mbele yangu sio dogo. “Nini kimetokea?” polisi walianza kumhoji mkuu wa shule. Mkuu wa shule alinyoosha kidole kwangu nilishituka sana, Nilijua angeweza kujielezea yeye mwenyewe, Mungu wangu nitawambia nini mimi hawa Mungu nisaidie mimi niondoe katika mzigo huu, nilisali kimoyo moyo. Polisi walinikata jicho na kisha wakanisogelea, wakanishika kama mtuhumiwa rasmi na kisha kunikokota nje kwa nguvu, mkuu wa operesheni ile aliamrisha “piga picha za tukio na rekodi hali nzima ya tukio mimi nampeleka huyu polisi kuhojiwa na baada ya hapo mwili huo upelekwe hospitali kwaajili ya uchunguzi” aliongea na kuondoka. Nilikokotwa na kupitishwa katika korido za madarasa watu wote walinishangaa Martin alishindwa kujizuia na kuuliza nini kinaendelea, polisi walimsukuma pembeni na kupita hakuna aliyejali, Martin alilia sana nilimtizama Martin huku machozi yakinitiririka. Nilimwonesha kwa ishara kuwa kila kitu kipo sawa awe na amani. Niliondoka na polisi hadi kituo cha polisi cha kati mkoni mwanza, niliogopa sana ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika polisi hakika nilitetemeka ee mungu wangu, eee yesu wa majeshi uliyewavusha wana wa Israeli katika bahari ya shamu naomba unitetee ukinitoa katika kifungo hiki jehova nitakutumika wewe siku zote, siku hiyo nilikumbuka kusali tena kusali kwa kumaanisha huku nikibeba vifungu vya biblia ambavyo hata sikujua vinatoka sehemu gani. Na wala sikuwa nafahamu mara ya mwisho nilivisoma lini. Kweli shida hutufanya tumkumbuke Mungu. Niliingizwa katika chumba ambacho nilihisi moja kwa moja ni chuma cha mahojiano. Hakika kilinitisha sana, Walinikagua hawakunikuta na kitu chochote kile. “Mwanafunzi” sauti kali ya polisi wa kike iliinita, niligeuka huku nikitetemeka jasho na machozi vikinitoka kwa pamoja. Mkuu wa upelelezi alikaa mbele yangu alikuwa ni mbaba mtu mzima mwenye umri kati ya miaka 42-43 alikuwa na sura ya upole wala hakuendana na cheo alichokuwa nacho alinitazama. “Jina lako ni nani?” Polisi wa kike alikuwa pembeni yangu aliniuliza, mwanadada huyu alionekana kuwa katili sana na mwenye dharau tena alikuwa jeuri. Alikuwa akiongea na mimi kama mtuhumiwa ambaye alikuwa akitafutwa muda mrefu sana na hatimaye siku hiyo alinasa katika mtego “Jina lako ni nani wewe kahaba” aliniuliza kwa dharau na kwa kejeri, Nilishindwa kuongea midomo ilinitetemeka. Hatimaye mkuu wa upelelzi ambaye nilikuja kujua kwamba alikuwa akiitwa afande Lodrick aliniuliza alimwambia askari yule wa kike samahani naomba utupishe ingawa hakuridhia na uamuzi huo yule askari hakuwa na jinsi ni amri kutoka kwa bosi wake alipiga saluti na kuondoka tulibaki wawili tu. Kwa kiasi fulani nilipatwa na ujasiri wa kuongea nilimwamini huyu mbaba kuliko yule mwanamke. “Unaitwa nani?” aliniuliza, “Naitwa Catherine kindamba” “Catherine unaweza kutuambia ni nini kimetoke hata tukamkuta msichana yule akiwa katika hali ile?” Nilisita nimwambie ukweli , nikimwambia ukweli nimejimaliza, kanisani tumefundishwa kuongea ukweli na sio uongo sijawahi kudanganya. Upande mwingine uliniambia Cathe bado una nafasi ya kuishi kama utatumia ulimi wako vizuri na ukijiamini. Ni kweli nimefundishwa kutodanganya lakini siku moja tu haitokuwa vibaya kumbuka unatetea nafsi yako. Nilishikwa na ujasiri wa ajabu. “Nilikuwa nimeenda chooni kwa ajili ya kujisaidia nilimkuta Candy amedodoka na anavuja damu.” “Ina maana hujui nini kimemtokea Candy?” “Hapana sijui” “Unaweza kuzungumzia mazingira halisi” “Niliingia darasani nikaambiwa kwamba natafutwa na Candy na ameelekea chooni nilikokuwa” “Ikabidi nitoke nimfate Candy huko chooni nikamkuta hivyo.” “Inamaanisha Candy alikuwa anakutafta kabla hajadondoka” “Ndio sijui ni nini kimemtokea hata akadondoka niliongea kwa upole.” “Sawa binti tunashukuru kwa ushirikiano wako tukikuhitaji tutakuita tena.” Nilitolewa nje nikapandishwa kwenye gari nikarudishwa shuleni. Kurejea kwangu kuliamsha kelele zisizo na mpangilio kila mtu alitamani kujua ni nini kimetokea, nilikuja kujua kwamba wanafunzi walipewa taarifa juu ya tukio lilitokea na kuhusu kukamatwa kwangu. Niliporejea niliitwa moja kwa moja kwa mwalimu. “Cathe ni nini kimetokea?” mwalimu maige aliuliza. “Mwalimu nimemkuta Candy akiwa ameanguka kule chooni” “Mungu wangu amepatwa na nini huyu binti?” “Sijui mwalimu ni tukio la kuogofya sana nimelishuhudia” “Sijawahi kuona tukio la hivi niliongea nikiwa nalia” “Pole Cathe ni sehemu ya maisha jipe moyo Candy atapona na atarejea” “Usijali hiyo ni mipango ya Mungu Candy atapona na atarudi” nilishikwa na mshangao. Inamaana Candy hajafa, nilijiuliza, mungu wangu kupona kwa Candy ni kifo changu Mungu wangu nifanye nini mimi nilibaki nimeduwaa, sauti ya maige ilinishitua. “Nenda bwenini ukapumzike” Niliamka kiunyonge nikitetemeka nilishindwa kutembea nilijikuta nimedondoka ghafla nikaona giza mbele yangu sikujua nini kimeendelea tena. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA KUMI.
Ilikuwa ni sauti ya Candy, niligeuka kwa mshituko na kumtizama alikuwa amjishika kiuno na yuko peke yake.
Una nini wewe unakitu gani hasa ina maana shuleni umetafuta watu wote wa kuwachokonoa ukaniona mimi, mimi sio saizi yako Cathe huoni nimekuzidi vingapi na mpaka leo bado unazidi kunifatilia kwani hakuna watu wengine, bora hata ungemchukua huyo Martin kwasababu ni wa kawaida.  Lakini sio Maloya wewe hujui mimi na Maloya tumetoka wapi ni kitu gani kinakufanya uingilie eee?"
“Mi sitoki na Maloya” niliongea kwa dharau,
“Siwezi kudate na Maloya wakati najua fika kabisa ni baba wa mtoto wako” niliongea makusudi kumkasirisha.
“Nakuonea huruma Candy nakuonea bila kosa”
“Unajitia jeuri si ndio ee?”
“Nataka nikuangalie tu ongea ukishamaliza nataka nikutie adabu.
Sitaki uendelee kunifatafata”
“Siwezi kudate na Maloya sio saizi yangu”
“Ila Martin ndio saizi yako si ndio ee?” aliniuliza,
“Ndio” Nilisema.
“Tunaendana sana na ndio maana mpaka saivi tupo pamoja hakuna mtu anaweza kutuingilia wala kufanya tuachane na mimi” niliongea kwa dharau.
“Kwanini unaniongelesha kwa dharau?”
“Naongea na mtu ambaye mwanafunzi mwenzangu, ni msichana mwenzangu tuko sawa na hatujapishana chochote” niliongea kumshushua,
alishikwa na ghadhabu.
“Nikwambie Candy mimi hunitishi kwa lolote na wala siogopi chochote unanikosesha amani kwani wewe ni nani? Tumekutana hapahapa shuleni na tutaachana hapahapa shuleni, mimi sikuogopi kama unafikiri unaweza kufanya kitu chochote nataka nikwambie na mimi naweza kuwa vilevile kwa sababu mimi na wewe wote tuko sawa. Unanitishatisha unaniambia kwamba eti ama zangu ama zako, na mimi nakwambia ama zangu ama zako kama wewe ni mwanamke aliyekamilika. Unachokifanya ndio mwezako atakifanya fanya chochote niko tayari” niliongea kwa kujiamini.
Candy hakutegemea kitu kama hicho mara zote alikuwa akinionea na kuniburuza leo ilikuwa ni tofauti.
“Unanijibu nini wewe hivi unafikiri mimi utanitisha kwa hivyo vineno vyako siogopi mwanaharamu wewe”
“Nitakufanyia kitu kibaya leo hutoamini”, alinisogelea nilishikwa na uwoga ingawa sikuweza kumwonesha kama nimeogopa alinisogelea alipofika karibu alinikunja shati langu na alinibabatiza ukutani niliogopa sana lakini sikutaka kuonesha nimeshindwa, nikamshika nayeye nikamtizama kwa dharau na kumsonya, alishikwa na hasira alinyanyua mkono wake ili kunipiga niliudaka na kisha nikamsonya”
Tulibaki tukitweta huku tukitazamana hakuna aliyethubutu kumsogelea mwenzie wala kuongea neno lolote.
“Candy sikuogopi” nilisema,
“Cathe nitakuumiza” aliongea kwa hasira na ghadhabu.
Na hapo ndipo nilimshuhudia nafsi nyingine ya Candy pamoja na uzuri aliokuwa nao Candy alikuwa ni mafia. Ni kama alikuwa amedhamiria kuniua hiyo siku niliogopa sana katika mazingira hayo ambayo tulikuwa wawili hata ningepiga kelele vipi zisingeweza kusikika kwa wakati huo.
Ni kweli sikuwahi kupigana na sikuwa na tabia ya ugovi ilikuwa ni mara yangu ya kwanza hakika niliogopa sana
Candy alizidi kunisogelea nilizidi kurudi nyuma hadi nilipogota ukutani.
Nikawa najaribu kuondoka eneo hilo nikawa natafuta sehemu ya kutokea.
Lazima nikufundishe adabu alinisogelea na kunikwida shati na kisha akaanza kunivutavuta kila upande,
“Niache Candy” niliongea
“Sikuachi” alisema
Nilipatwa ujasiri wa ajabu na nguvu ambazo sikujua zimetokea wapi, nilimsukuma Candy akajigonga ukutani na kisha kudondoka chini na kisha akatulia.
Nilimwangalia bila kuelewa chochote,
“nilisha kwambia sikuogopi tena naomba kaa mbali na mimi kaa mbali, usifikiria kwamba mi nitahofia kitu chochote, kwasababu huna chochote unachoweza kujisifu, Sawa yule ni mumeo”, Candy alitulia vilevile pale chini, nilishangaa ana nini huyu.
“We Candy” nilimwita.
Hakuitika wala hakutikisika.
“Mungu wangu”
“Candy umepatwa na nini?” nilimsogelea na kumshika.
Hapo ndipo nilipogundua kuwa Candy alikuwa akivuja damu kutoka sehemu ya nyuma ya kichwa chake, nilitoa macho nikiogopa na kisha kumwachia Candy
“Nimeua”
Nilipiga hatua kurudi nyuma nikibaki nimekodolea macho maiti ya Candy
“Mungu wangu mungu wangu”
Nikibaki najishangaa nisijue nini cha kufanya
“Nikikutwa hapa si nitaishia gerezani”
“Mungu wangu nisaidie mimi nisaidie, nililia na kuwaza, nikaona kulia kwangu hakutosaidia chochote nilifuta machozi na kukimbia kuelekea darasani huku nikitweta na machozi yakinichuruzika, mdomo ukinitetemeka na mwili wote umeniisha nguvu huku nikipumua harakaharaka.  Niliingia darasani na kusimama mlangoni kila mtu alinitazama, Martin alinyanyuka akanishika mkono na kisha kunikalisha kwenye kiti.
“una nini Cathe? alafu siku hizi sikuelewi, una tabia za ajabu sasa ni nini kinachokushangaza hivyo?”
nilishindwa kumjibu nilibaki nikimwangalia tu huku machozi yakinitoka,
“kwani unatatizo gani alafu Candy anakutafta” aliongea
“Candy ananitafta?”
Alinishitua sana
“Candy ananitafta?!” niliongea kwa mshituko.
“Kaja hapa kukuulizia nikamwambia umeenda chooni nafikiri alikuwa amekufata huko hujakutana naye.”
“Mungu wangu mungu wangu” niliwaza.
“Eee mungu niepushe na kitendo hiki”
“Aaah” nilishikwa na kigugumizi sikuweza kuonge chochote.
“Aaah aaaah hapana, yah yah ndio nilikutana nae lakini aaah” nilishindwa kuendele kuongea nilihisi naweza kuharibu kila kitu,
“nifanye nini?” Niliwaza.
Martin alikuwa akiniangalia jinsi ambavyo nilikuwa nimehamanika, alibakia kunishangaa
“ana nini huyu” aliwaza.
“nifanye nini sasa?” nilijiuliza
“Napaswa kujitoa kabisa kwenye hii kesi ngoja niende ofisini nikaripoti” nilimweleza bila kusema chochote nikatoka mbio darasa zima walishangaa na mwisho wakamalizia na kicheko,
“mmmh huyu mtoto akiendelea kusoma lazima achanganyikiwe, hapa tupo sekondari ameshakuwa hivi kama mvuta bangi, je tukifika chuo?” aliongea msichana mmoja darasani kwetu na kisha darasa zima wakacheka.
Martin alisonya na kukaa chini alibaki ameshangaa bila kuelewa kitu
Martha alimfata Martin “kwani Cathe ana nini?”
“Mi mwenyewe sijui Nashindwa kumwelewa kabisa, Labda kuna tatizo”
“Inawezekana nitatafta muda mzuri niongee naye” aliongea Martin kwa kuonesha kuwa haitaji kuendelea na maongezi hayo.
nilikimbia hadi ofisini kwa mwalimu mkuu. Nilimkuta mwalimu yupo na Mr. Maloya wanaongea nilipoingia mwalimu alinitazama na kisha kugundua kuna kitu hakipo sawa.
“Cathe una nini?” aliongea mwalimu.
nilibaki nikitetemeka nikishindwa kuongea mwalimu Maloya alihisi moja kwa moja nimekuja kumshitakia.
“Hawa wadada wanamatatizo gani sijui hasa huyu Cathe sijui ana nini embu mtoe ofisini”,
mwalimu mkuu aliniangalia na kisha kumwambia “Maloya naomba unipe dakika chache kuongea na Cathe.”
Maloya aliniangalia kwa jicho kali sana na kisha kutoka nje kwa ghadhabu
Alivyotoka nilienda kumshika mkono mwalimu mkuu
“Twende ukaone” niliongea
“Kuna nini wewe hebu niache mkono wangu binti” aliongea
“Twende” niliendelea kumvuta
“Twende”, alisita lakini alipatwa na hamu ya kujua ni nini kimetokea
Tuliongozana hadi chooni mwalimu alipigwa na bumbuwazi kubwa sana alitoa simu yake na kupiga sikuwa najua alikuwa akimpigia nani nilichanganyikiwa
“Eee njoo huku kwenye maeneo ya mabweni ya wasichana kwenye upande wa vyooni jengo la Queen Elizabeth sasa hivi” aliongea na kukata simu.
Mungu wangu nimezidi kujiharibia niliwaza.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI. Ilikuwa ni sauti ya Candy, niligeuka kwa mshituko na kumtizama alikuwa amjishika kiuno na yuko peke yake. Una nini wewe unakitu gani hasa ina maana shuleni umetafuta watu wote wa kuwachokonoa ukaniona mimi, mimi sio saizi yako Cathe huoni nimekuzidi vingapi na mpaka leo bado unazidi kunifatilia kwani hakuna watu wengine, bora hata ungemchukua huyo Martin kwasababu ni wa kawaida. Lakini sio Maloya wewe hujui mimi na Maloya tumetoka wapi ni kitu gani kinakufanya uingilie eee?" “Mi sitoki na Maloya” niliongea kwa dharau, “Siwezi kudate na Maloya wakati najua fika kabisa ni baba wa mtoto wako” niliongea makusudi kumkasirisha. “Nakuonea huruma Candy nakuonea bila kosa” “Unajitia jeuri si ndio ee?” “Nataka nikuangalie tu ongea ukishamaliza nataka nikutie adabu. Sitaki uendelee kunifatafata” “Siwezi kudate na Maloya sio saizi yangu” “Ila Martin ndio saizi yako si ndio ee?” aliniuliza, “Ndio” Nilisema. “Tunaendana sana na ndio maana mpaka saivi tupo pamoja hakuna mtu anaweza kutuingilia wala kufanya tuachane na mimi” niliongea kwa dharau. “Kwanini unaniongelesha kwa dharau?” “Naongea na mtu ambaye mwanafunzi mwenzangu, ni msichana mwenzangu tuko sawa na hatujapishana chochote” niliongea kumshushua, alishikwa na ghadhabu. “Nikwambie Candy mimi hunitishi kwa lolote na wala siogopi chochote unanikosesha amani kwani wewe ni nani? Tumekutana hapahapa shuleni na tutaachana hapahapa shuleni, mimi sikuogopi kama unafikiri unaweza kufanya kitu chochote nataka nikwambie na mimi naweza kuwa vilevile kwa sababu mimi na wewe wote tuko sawa. Unanitishatisha unaniambia kwamba eti ama zangu ama zako, na mimi nakwambia ama zangu ama zako kama wewe ni mwanamke aliyekamilika. Unachokifanya ndio mwezako atakifanya fanya chochote niko tayari” niliongea kwa kujiamini. Candy hakutegemea kitu kama hicho mara zote alikuwa akinionea na kuniburuza leo ilikuwa ni tofauti. “Unanijibu nini wewe hivi unafikiri mimi utanitisha kwa hivyo vineno vyako siogopi mwanaharamu wewe” “Nitakufanyia kitu kibaya leo hutoamini”, alinisogelea nilishikwa na uwoga ingawa sikuweza kumwonesha kama nimeogopa alinisogelea alipofika karibu alinikunja shati langu na alinibabatiza ukutani niliogopa sana lakini sikutaka kuonesha nimeshindwa, nikamshika nayeye nikamtizama kwa dharau na kumsonya, alishikwa na hasira alinyanyua mkono wake ili kunipiga niliudaka na kisha nikamsonya” Tulibaki tukitweta huku tukitazamana hakuna aliyethubutu kumsogelea mwenzie wala kuongea neno lolote. “Candy sikuogopi” nilisema, “Cathe nitakuumiza” aliongea kwa hasira na ghadhabu. Na hapo ndipo nilimshuhudia nafsi nyingine ya Candy pamoja na uzuri aliokuwa nao Candy alikuwa ni mafia. Ni kama alikuwa amedhamiria kuniua hiyo siku niliogopa sana katika mazingira hayo ambayo tulikuwa wawili hata ningepiga kelele vipi zisingeweza kusikika kwa wakati huo. Ni kweli sikuwahi kupigana na sikuwa na tabia ya ugovi ilikuwa ni mara yangu ya kwanza hakika niliogopa sana Candy alizidi kunisogelea nilizidi kurudi nyuma hadi nilipogota ukutani. Nikawa najaribu kuondoka eneo hilo nikawa natafuta sehemu ya kutokea. Lazima nikufundishe adabu alinisogelea na kunikwida shati na kisha akaanza kunivutavuta kila upande, “Niache Candy” niliongea “Sikuachi” alisema Nilipatwa ujasiri wa ajabu na nguvu ambazo sikujua zimetokea wapi, nilimsukuma Candy akajigonga ukutani na kisha kudondoka chini na kisha akatulia. Nilimwangalia bila kuelewa chochote, “nilisha kwambia sikuogopi tena naomba kaa mbali na mimi kaa mbali, usifikiria kwamba mi nitahofia kitu chochote, kwasababu huna chochote unachoweza kujisifu, Sawa yule ni mumeo”, Candy alitulia vilevile pale chini, nilishangaa ana nini huyu. “We Candy” nilimwita. Hakuitika wala hakutikisika. “Mungu wangu” “Candy umepatwa na nini?” nilimsogelea na kumshika. Hapo ndipo nilipogundua kuwa Candy alikuwa akivuja damu kutoka sehemu ya nyuma ya kichwa chake, nilitoa macho nikiogopa na kisha kumwachia Candy “Nimeua” Nilipiga hatua kurudi nyuma nikibaki nimekodolea macho maiti ya Candy “Mungu wangu mungu wangu” Nikibaki najishangaa nisijue nini cha kufanya “Nikikutwa hapa si nitaishia gerezani” “Mungu wangu nisaidie mimi nisaidie, nililia na kuwaza, nikaona kulia kwangu hakutosaidia chochote nilifuta machozi na kukimbia kuelekea darasani huku nikitweta na machozi yakinichuruzika, mdomo ukinitetemeka na mwili wote umeniisha nguvu huku nikipumua harakaharaka. Niliingia darasani na kusimama mlangoni kila mtu alinitazama, Martin alinyanyuka akanishika mkono na kisha kunikalisha kwenye kiti. “una nini Cathe? alafu siku hizi sikuelewi, una tabia za ajabu sasa ni nini kinachokushangaza hivyo?” nilishindwa kumjibu nilibaki nikimwangalia tu huku machozi yakinitoka, “kwani unatatizo gani alafu Candy anakutafta” aliongea “Candy ananitafta?” Alinishitua sana “Candy ananitafta?!” niliongea kwa mshituko. “Kaja hapa kukuulizia nikamwambia umeenda chooni nafikiri alikuwa amekufata huko hujakutana naye.” “Mungu wangu mungu wangu” niliwaza. “Eee mungu niepushe na kitendo hiki” “Aaah” nilishikwa na kigugumizi sikuweza kuonge chochote. “Aaah aaaah hapana, yah yah ndio nilikutana nae lakini aaah” nilishindwa kuendele kuongea nilihisi naweza kuharibu kila kitu, “nifanye nini?” Niliwaza. Martin alikuwa akiniangalia jinsi ambavyo nilikuwa nimehamanika, alibakia kunishangaa “ana nini huyu” aliwaza. “nifanye nini sasa?” nilijiuliza “Napaswa kujitoa kabisa kwenye hii kesi ngoja niende ofisini nikaripoti” nilimweleza bila kusema chochote nikatoka mbio darasa zima walishangaa na mwisho wakamalizia na kicheko, “mmmh huyu mtoto akiendelea kusoma lazima achanganyikiwe, hapa tupo sekondari ameshakuwa hivi kama mvuta bangi, je tukifika chuo?” aliongea msichana mmoja darasani kwetu na kisha darasa zima wakacheka. Martin alisonya na kukaa chini alibaki ameshangaa bila kuelewa kitu Martha alimfata Martin “kwani Cathe ana nini?” “Mi mwenyewe sijui Nashindwa kumwelewa kabisa, Labda kuna tatizo” “Inawezekana nitatafta muda mzuri niongee naye” aliongea Martin kwa kuonesha kuwa haitaji kuendelea na maongezi hayo. nilikimbia hadi ofisini kwa mwalimu mkuu. Nilimkuta mwalimu yupo na Mr. Maloya wanaongea nilipoingia mwalimu alinitazama na kisha kugundua kuna kitu hakipo sawa. “Cathe una nini?” aliongea mwalimu. nilibaki nikitetemeka nikishindwa kuongea mwalimu Maloya alihisi moja kwa moja nimekuja kumshitakia. “Hawa wadada wanamatatizo gani sijui hasa huyu Cathe sijui ana nini embu mtoe ofisini”, mwalimu mkuu aliniangalia na kisha kumwambia “Maloya naomba unipe dakika chache kuongea na Cathe.” Maloya aliniangalia kwa jicho kali sana na kisha kutoka nje kwa ghadhabu Alivyotoka nilienda kumshika mkono mwalimu mkuu “Twende ukaone” niliongea “Kuna nini wewe hebu niache mkono wangu binti” aliongea “Twende” niliendelea kumvuta “Twende”, alisita lakini alipatwa na hamu ya kujua ni nini kimetokea Tuliongozana hadi chooni mwalimu alipigwa na bumbuwazi kubwa sana alitoa simu yake na kupiga sikuwa najua alikuwa akimpigia nani nilichanganyikiwa “Eee njoo huku kwenye maeneo ya mabweni ya wasichana kwenye upande wa vyooni jengo la Queen Elizabeth sasa hivi” aliongea na kukata simu. Mungu wangu nimezidi kujiharibia niliwaza. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA TISA.
Chuki ya Candy ilizidi juu yangu pamoja na faraja niliyokuwa naipata kutoka kwa wanafunzi na kwa baadhi ya marafiki zangu, Martin akiwa mmoja wapo haikutosha kunifanya nisiogope, niliingiwa na woga sana kwa sababu alikuwa akinitisha mara kwa mara nilipokea meseji za vitisho kutoka kwake mara nyingi akiniambia kwamba atanifanyia kitu kibaya, nilianza kuogopa sana.
Martin aliweza kunitia moyo na mara nyingi alikuwa akinisisitizia kuwa makini, nilijaribu kujiweka busy na masomo na kumtoa Candy katika akili yangu, sikutaka kurudia makosa niliyoyafanya hapo kabla, nilitamani kufanya vizuri katika mitihani yangu ya mwisho hivyo sikupaswa kurudi nyuma tena.
Siku moja niliitwa ofisini kwa mwalimu Maloya niliogopa sana kwenda ingawa sikuwa na jinsi kila nilipokuwa nikipiga hatua moyo wangu ulikuwa mzito nafsi ilinishauri sana nisiende ingawa upande mwingine uliniambie niende laiti ningejua nisingeusikiliza upande huu.
Nilipiga hatua zangu za kinyonge hadi ofisini kwa Maloya nilipoingia hakunikaribisha kama ilivyokuwa siku zote, niliingia na kubaki nimesimama,
“shikamoo mwalimu” nilimsalimia hakunijibu
“nimeitikia wito” nilimwambia bila kujali jinsi ambavyo alikuwa amechukia, alisimama
“karibu binti mrembo, mrembo ambaye unajisikia unajiona mzuri kuliko wote hapa shuleni” aliongea kwa dharau,
Unamaanisha nini mwalimu
“Hivi we unafikiri ni mzuri sana kiasi cha kinikatalia mimi?, wasichana wenzio wazuri wazuri kabisa kama wakina Candy hawaringi kama unavyoringa wewe, wewe ni nani hasa?”
Nilishindwa kumwelewa.
Akili ilianza kuniambia kuwa tukio baya litatokea, miguu iliniwia mizito sana kuondoka , nilitamani kukimbia lakini nguvu zilinishia.
“Wewe ni mtoto mdogo sana huwezi kunishinda mimi alaaa!”
Alisema na kusogea pale nilipokuwa, nilisimama kujizatiti kwa ajili ya kile kilichokuwa mbele yangu. Alikuja hadi mbele yangu akasonya kisha akinipita alielekea mlangoni nilijua alikuwa akienda kuchukua fimbo kwa ajili ya kuniadhibu .
Adhabu nilishazizoea nilikuw tayari aniadhibu, maloya alifika mlangoni na kujifanya kama anachukua fimbo akafunga mlango na kisha akanigeukia
“Leo utaongea na mimi” akanisogelea,
“Unanikubali hunikubali? aliongea kwa ghadhabu,
“Hapana mwalimu siko tayari” Niliongea kwa sauti ya chini sana.
“Utanipa hunipi nilishituka”
“Hapana mwalimu siwezi kukupa”
“Siwezi kukupa unachotaka naomba niruhusu niondoke”
“Huendi popote leo Cathe ama zako ama zangu”
Alinishika kwa nguvu na kufanya kile ambacho alitarajia kufanya.
Nilihisi maumivu makali sana ndani ya moyo wangu.
Sikutegemea mtu ambaye nilikuwa nikumheshimu kama mwalimu na mlezi wangu katika mazingira kama haya angenitendea kitendo hicho.
Maloya alinibaka bila huruma nililia sana, alinizidi nguvu nilishindwa kujiokoa nilijaribu kupiga kelele aliniziba mdomo.
Baada ya kutekeleza unyama huo alivaa nguo zake
“Vaa uende bwana, unaringa nilijua unajitunza kumbe na wewe hamna kitu ondoka” aliniongea kwa dharau,
Moyoni mwangu niliumia sana,
“Unajifanya mlokole kumbe huna lolote wajanja washa kuchezea wewe toka bwana” aliongea.
Nilivaa nguo zangu kiunyonge sana na kupiga hatua za kinyonge kuelekea mlangoni
“Cathe” aliniita,
“Ole wako unyanyue mdomo kumwambia mtu yoyote nitakuua” alisema.
Niliondoka kinyonge kuelekea bwenini nilifunga mlango na kuanza kulia
Nililia sana “kwanini matukio haya yote yananitokea mimi tu ina maana hamna mtu mwingine wa kushea na mimi shida hizi kwa nini mimi peke yangu”
Nililia sana
“kwanini haya yote” nililia,
Nililia mpaka nilipopitiwa na usingizi nilikuja kushtuka ilikuwa jioni sana. Sikusikia hamu ya kula wala kutoka kwenda sehemu yoyote .
Nilibaki hapo kitandani hadi siku ya pili yake. Sikujisikia kuingia darasani, nilobaki tu nimelala sikuwa na hamu ya kula nilikula tu pale nilipohisi njaa, hali hiyo iliendelea kwa wiki nzima.
Martin alikuwa akinitafta kila kona huku walimu wakiulizia ni wapi nilipo.
Nikiwa bwenini niliwaza haya yote yatakwisha lini ndani ya nafsi yangu niligundua
Ni lazima niyachukulie kama sehemu ya maisha yangu. Lazima niwe na amani sasa.
Kujua kwamba nimezaliwa ili niteseke, nilizaliwa ili nipate uchungu, kamwe haikuniumiza katika maisha yangu.
Nilijitia moyo sana kwamba hayo yote ni maisha yangu ambayo nimeletwa nije niishi.
Hakika nilipata faraja kubwa sana na kwa wakati huo niliapa sitolia tena, kwa sababu hayo ni maisha yangu Mungu amenileta ili niyaishi.
Nilitoka bwenini na kisha kuelekea nyuma ya shule Martin aliniona na kunifuata, alikuja
Cathe kwanini huingii darasani wiki nzima , una nini? Una unaumwa? Kwanini uko hivyo Cathe kwanini lakini? Aliuliza maswali mfululizo ambayo nilishindwa kujibu.
“Aaah Martin uwe na amani niko sawa kabisa”
“Nakujua vizuri kama una tatizo ni bora uniambie ili nijue ni nini naweza kukusaidia.”
Sikutaka kumwambia sikutaka ajue, ningewezaje kwanza kumwambia.
Hapana hakuna kitu nilihisi machozi yanaanza kunitoka nilinyanyuka pole pole na kumwacha Martin peke yake pale. Niliondoka na kuelekea bwenini jioni ya siku hiyo niliamua kuingia darasani.
Nikiwa na furaha kwa kujua kwamba matatizo ni sehemu ya maisha yangu nilingia darasani kwa bashasha zote. Nilikutana na Martin tukasalimiana kwa uchangamfu tukaketi,
“Nilikumis sana Cathe, ingawa hutaki kuniambia tatizo lilikuwa ni nini” nilicheka,
“Martin sina tatizo lolote uwezi kuniamini mimi mpenzi wako” alitabasamu.
“Nakuamini mke wangu wangu mtarajiwa” alisema, nilicheka, tukacheka kwa pamoja kisha tukaendelea kusoma.
Siku hiyo ilipita kana kwamba hakuna kilichotokea, maisha yaliendelea.
Watu walihisi uhusiano wangu mimi na Maloya na hiyo ikawa habari mpya shuleni, kwakuwa Maloya alikuwa akihofu kitendo chake alikuwa akiniuliza mara kwa mara nimwambie kuhusu mahali nilipo na maendeleo yangu.
Candy alichukia sana hivyo nilipokea ujumbe wa vitisho nilipoamka kitandani kwangu
“We Malaya naona sasa unataka kuniingilia katika anga zisizofaa, nakuhakikishia ama zangu ama zako hii wiki haitopita lazima nikufanyie kitu cha kihistoria.”
Yalikuwa ni maneno mafupi na mazito, niliogopa sana “huyu anataka kunifanyia nini?” Niliishi kwa uwoga mno nilipoteza furaha tangu asubuhi ya siku hiyo, ilikuwa ni jumatatu, niliingia darasani kiunyonge, Martin aliweza kugundua kuwa sipo sawa,
“Cathe uniamini, umuamini mme wako mtarajiwa?” Aliniambia
“namuamini sana” niliongea ingawa sio kiuchangamfu.
“Kwanini hutaki kuniambia tatizo linalokusibu?”
Nilijitahidi kuonesha kwamba niko kawaida ingawa najuwa kuwa nilishindwa
“Martin niko kawaida” niliongea huku nikitazama pembeni,
“Hauko kawaida”
Niliamua kunyanyuka na kuondoka ili kumkwepa
“Unaenda wapi?”
“Aaah” nilishikwa na kigugumizi.
“Naenda toilet mara moja”
Aliachia tabasamu na kisha akaniambia nenda.
Niliondoka na kuelekea chooni, vyoo vilivyokuwa bwenini kwetu, niliingia kule nikabaki nimesimama sikuwa najua ni nini nifanye.
“Nimwabie nini Marti ili aelewe sitaki kukosana naye wala sitaki kumkosesha amani” niliwaza.
“Nilikwambia leo ni ama zangu ama zako” sauti ya candy ilipenya kwenye masikio yangu.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA TISA. Chuki ya Candy ilizidi juu yangu pamoja na faraja niliyokuwa naipata kutoka kwa wanafunzi na kwa baadhi ya marafiki zangu, Martin akiwa mmoja wapo haikutosha kunifanya nisiogope, niliingiwa na woga sana kwa sababu alikuwa akinitisha mara kwa mara nilipokea meseji za vitisho kutoka kwake mara nyingi akiniambia kwamba atanifanyia kitu kibaya, nilianza kuogopa sana. Martin aliweza kunitia moyo na mara nyingi alikuwa akinisisitizia kuwa makini, nilijaribu kujiweka busy na masomo na kumtoa Candy katika akili yangu, sikutaka kurudia makosa niliyoyafanya hapo kabla, nilitamani kufanya vizuri katika mitihani yangu ya mwisho hivyo sikupaswa kurudi nyuma tena. Siku moja niliitwa ofisini kwa mwalimu Maloya niliogopa sana kwenda ingawa sikuwa na jinsi kila nilipokuwa nikipiga hatua moyo wangu ulikuwa mzito nafsi ilinishauri sana nisiende ingawa upande mwingine uliniambie niende laiti ningejua nisingeusikiliza upande huu. Nilipiga hatua zangu za kinyonge hadi ofisini kwa Maloya nilipoingia hakunikaribisha kama ilivyokuwa siku zote, niliingia na kubaki nimesimama, “shikamoo mwalimu” nilimsalimia hakunijibu “nimeitikia wito” nilimwambia bila kujali jinsi ambavyo alikuwa amechukia, alisimama “karibu binti mrembo, mrembo ambaye unajisikia unajiona mzuri kuliko wote hapa shuleni” aliongea kwa dharau, Unamaanisha nini mwalimu “Hivi we unafikiri ni mzuri sana kiasi cha kinikatalia mimi?, wasichana wenzio wazuri wazuri kabisa kama wakina Candy hawaringi kama unavyoringa wewe, wewe ni nani hasa?” Nilishindwa kumwelewa. Akili ilianza kuniambia kuwa tukio baya litatokea, miguu iliniwia mizito sana kuondoka , nilitamani kukimbia lakini nguvu zilinishia. “Wewe ni mtoto mdogo sana huwezi kunishinda mimi alaaa!” Alisema na kusogea pale nilipokuwa, nilisimama kujizatiti kwa ajili ya kile kilichokuwa mbele yangu. Alikuja hadi mbele yangu akasonya kisha akinipita alielekea mlangoni nilijua alikuwa akienda kuchukua fimbo kwa ajili ya kuniadhibu . Adhabu nilishazizoea nilikuw tayari aniadhibu, maloya alifika mlangoni na kujifanya kama anachukua fimbo akafunga mlango na kisha akanigeukia “Leo utaongea na mimi” akanisogelea, “Unanikubali hunikubali? aliongea kwa ghadhabu, “Hapana mwalimu siko tayari” Niliongea kwa sauti ya chini sana. “Utanipa hunipi nilishituka” “Hapana mwalimu siwezi kukupa” “Siwezi kukupa unachotaka naomba niruhusu niondoke” “Huendi popote leo Cathe ama zako ama zangu” Alinishika kwa nguvu na kufanya kile ambacho alitarajia kufanya. Nilihisi maumivu makali sana ndani ya moyo wangu. Sikutegemea mtu ambaye nilikuwa nikumheshimu kama mwalimu na mlezi wangu katika mazingira kama haya angenitendea kitendo hicho. Maloya alinibaka bila huruma nililia sana, alinizidi nguvu nilishindwa kujiokoa nilijaribu kupiga kelele aliniziba mdomo. Baada ya kutekeleza unyama huo alivaa nguo zake “Vaa uende bwana, unaringa nilijua unajitunza kumbe na wewe hamna kitu ondoka” aliniongea kwa dharau, Moyoni mwangu niliumia sana, “Unajifanya mlokole kumbe huna lolote wajanja washa kuchezea wewe toka bwana” aliongea. Nilivaa nguo zangu kiunyonge sana na kupiga hatua za kinyonge kuelekea mlangoni “Cathe” aliniita, “Ole wako unyanyue mdomo kumwambia mtu yoyote nitakuua” alisema. Niliondoka kinyonge kuelekea bwenini nilifunga mlango na kuanza kulia Nililia sana “kwanini matukio haya yote yananitokea mimi tu ina maana hamna mtu mwingine wa kushea na mimi shida hizi kwa nini mimi peke yangu” Nililia sana “kwanini haya yote” nililia, Nililia mpaka nilipopitiwa na usingizi nilikuja kushtuka ilikuwa jioni sana. Sikusikia hamu ya kula wala kutoka kwenda sehemu yoyote . Nilibaki hapo kitandani hadi siku ya pili yake. Sikujisikia kuingia darasani, nilobaki tu nimelala sikuwa na hamu ya kula nilikula tu pale nilipohisi njaa, hali hiyo iliendelea kwa wiki nzima. Martin alikuwa akinitafta kila kona huku walimu wakiulizia ni wapi nilipo. Nikiwa bwenini niliwaza haya yote yatakwisha lini ndani ya nafsi yangu niligundua Ni lazima niyachukulie kama sehemu ya maisha yangu. Lazima niwe na amani sasa. Kujua kwamba nimezaliwa ili niteseke, nilizaliwa ili nipate uchungu, kamwe haikuniumiza katika maisha yangu. Nilijitia moyo sana kwamba hayo yote ni maisha yangu ambayo nimeletwa nije niishi. Hakika nilipata faraja kubwa sana na kwa wakati huo niliapa sitolia tena, kwa sababu hayo ni maisha yangu Mungu amenileta ili niyaishi. Nilitoka bwenini na kisha kuelekea nyuma ya shule Martin aliniona na kunifuata, alikuja Cathe kwanini huingii darasani wiki nzima , una nini? Una unaumwa? Kwanini uko hivyo Cathe kwanini lakini? Aliuliza maswali mfululizo ambayo nilishindwa kujibu. “Aaah Martin uwe na amani niko sawa kabisa” “Nakujua vizuri kama una tatizo ni bora uniambie ili nijue ni nini naweza kukusaidia.” Sikutaka kumwambia sikutaka ajue, ningewezaje kwanza kumwambia. Hapana hakuna kitu nilihisi machozi yanaanza kunitoka nilinyanyuka pole pole na kumwacha Martin peke yake pale. Niliondoka na kuelekea bwenini jioni ya siku hiyo niliamua kuingia darasani. Nikiwa na furaha kwa kujua kwamba matatizo ni sehemu ya maisha yangu nilingia darasani kwa bashasha zote. Nilikutana na Martin tukasalimiana kwa uchangamfu tukaketi, “Nilikumis sana Cathe, ingawa hutaki kuniambia tatizo lilikuwa ni nini” nilicheka, “Martin sina tatizo lolote uwezi kuniamini mimi mpenzi wako” alitabasamu. “Nakuamini mke wangu wangu mtarajiwa” alisema, nilicheka, tukacheka kwa pamoja kisha tukaendelea kusoma. Siku hiyo ilipita kana kwamba hakuna kilichotokea, maisha yaliendelea. Watu walihisi uhusiano wangu mimi na Maloya na hiyo ikawa habari mpya shuleni, kwakuwa Maloya alikuwa akihofu kitendo chake alikuwa akiniuliza mara kwa mara nimwambie kuhusu mahali nilipo na maendeleo yangu. Candy alichukia sana hivyo nilipokea ujumbe wa vitisho nilipoamka kitandani kwangu “We Malaya naona sasa unataka kuniingilia katika anga zisizofaa, nakuhakikishia ama zangu ama zako hii wiki haitopita lazima nikufanyie kitu cha kihistoria.” Yalikuwa ni maneno mafupi na mazito, niliogopa sana “huyu anataka kunifanyia nini?” Niliishi kwa uwoga mno nilipoteza furaha tangu asubuhi ya siku hiyo, ilikuwa ni jumatatu, niliingia darasani kiunyonge, Martin aliweza kugundua kuwa sipo sawa, “Cathe uniamini, umuamini mme wako mtarajiwa?” Aliniambia “namuamini sana” niliongea ingawa sio kiuchangamfu. “Kwanini hutaki kuniambia tatizo linalokusibu?” Nilijitahidi kuonesha kwamba niko kawaida ingawa najuwa kuwa nilishindwa “Martin niko kawaida” niliongea huku nikitazama pembeni, “Hauko kawaida” Niliamua kunyanyuka na kuondoka ili kumkwepa “Unaenda wapi?” “Aaah” nilishikwa na kigugumizi. “Naenda toilet mara moja” Aliachia tabasamu na kisha akaniambia nenda. Niliondoka na kuelekea chooni, vyoo vilivyokuwa bwenini kwetu, niliingia kule nikabaki nimesimama sikuwa najua ni nini nifanye. “Nimwabie nini Marti ili aelewe sitaki kukosana naye wala sitaki kumkosesha amani” niliwaza. “Nilikwambia leo ni ama zangu ama zako” sauti ya candy ilipenya kwenye masikio yangu. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL
SEHEMU YA NANE.
Niliishiwa nguvu mwili mzima ulikuwa ukitetemeka nikiwaza Martin anataka kuniambia nini? Akili yangu hakutulia niliwaza sana nimewezaje leo kumwambia mwanaume kuwa nakupenda kitu ambacho sikuwahi kufikiria katika maisha yangu. Akili yangu haikuwa sawa kabisa,
“Cathe” sauti yake ilinitoa kwenye wimbi la mawazo,
niliongea kwa kitetemeshi, “nakusikia martin”.
“Mawazo yetu yanafanana”, nilibaki namshangaa nisijue akimaanisha nini
“una maana gani Martin?” nilimuuliza.
Alivuta pumzi ndefu na kisha kuishusha
“ulichokuwa unakiwaza ndicho kilichokuwa akilini mwangu” alisema.
Sentensi yake fupi ilitosha kuufanya moyo wangu ujae na furaha sana niliruka kwa furaha na kumkumbatia. Kila mtu akiwa na furaha moyoni mwake na huo ndio mwanzo wa mahusiano kati yangu na Martin, tulipendana sana huku tukishirikiana katika mambo mbalimbali pale shuleni, alikuwa mshauri wangu mkubwa na pia tulishirikiana kimasomo ili kuhakikisha kwamba tunafanya vizuri katika mitihani yetu. Ukizingatia wakati huo tulikuwa tumebakiza wiki chache tu kufanya mitihani yetu ya muhula wa pili.
Candy mahusiano yetu yalimuumiza sana, Candy na kundi lake, alizidi kunipa adhabu mbalimbali lakini sikujali kwakuwa kwa wakati huo hakuwa akinionea tena.
Mahusiano yetu yalizidi kustawi ingawa ndani ya nafsi yangu sikuwa na amani, kisasi juu ya baba kilinisumbua sana mara zote nilitamani kumlipizia kisasi. Niliwaza sana nitakapoporudi nyumbani lazima nilipize kisasi kwa baba haiwezekani kuniulia mama yangu,
“haiwezekani baba lazima ulipe damu ya mama yangu”, niliwaza.
Martin alikuwa akinishauri sana kuhusu swala la kulipiza kisasi,
“achana nayo yamesha pita hata ukilipiza kisasi mama yako hatoweza kurudi mwache msamehe baba” alikuwa akinishauri.
Nilifanya kama namwelewa ingawa nafsi yangu ilikataa kabisa kuendana na mawazo yake lazima nikalipize kisasi nilisema.
Tulifanikiwa kufanya mitihani yetu ya mwisho na kufaulu kwa ufaulu mzuri kabisa.
Tulirudi nyumbani mimi na Martin tulikuwa tukitokea Dar es salaam. Candy alikuwa akitokea Arusha hivyo naye alielekea kwao ingawa kwa masikitiko sana alikuwa akiumia sana kumpoteza Martin.
Wakati wa likizo tulitumia muda mwingi sana kuwa pamoja mara nyingi tuliongozana sehemu mbalimbali za burudani. Nilipata amani na furaha sana moyoni mwangu kuwa pembeni ya Martin wazo langu la kulipiza kisasi bado nilikuwa nalo.
Mara nyingi baba hakuwepo nyumbani nilikuwa nabaki peke yangu, toka nimerudi likizo baba alikuwa akichelewa sana kurudi nyumbani na akiwahi sana kuondoka alikuwa marachche sana nilikutana na baba yangu na hakuwa katika hali ya kawaida.
Kila mara nilikuwa nikimshangaa jinsi alivyo baba alivyobadilika sana. Nilipanga lazima tu nilipize kisasi kwa namna yoyote ile ingawa hadi wakati huo sikuwa naijua ni kwa namna gani nitalipiza kisasi siwezi kumuua baba yangu nilisema.
Muda mwingi niliutumia kuwa na Martin na wakati huo niliweza kupoteza usichana wangu. Martin aliniingiza katika dunia ya mapenzi sikujali kuhusu hilo ingawa mama yangu alikuwa akinihusia sana kuhusu kujitunza sikuona umuhimu wowote kwasababu mama yangu mwenyewe hakuwepo duniani niliona ni kawaida.
Mapenzi kati yetu yalizidi kuongezeka hata hivyo akili yangu ilikuwa ikifikiria vitu vingine kabisa. Muda ulienda na wakati wa kurudi shuleni ulikaribia.
Nilichelea kuona kwamba sijafanya kisasi kwa baba yangu niliamua kwa muda huo mchache lazima niwe nimefanya kitu, kama kawaida yake baba alichelewa sana kurudi nyumbani na aliwahi kuondoka asubuhi.
Alipotoka tu nilinyatia hadi chumbani kwake, nilipoingia nilishangaa kukuta baba hafungi chumba chake siku hizi. Nilikuwa naogopa sana kuingia chumbani kwa baba yangu enzi za uwepo wa mama. Mara zote sikuruhusiwa kuingia bila ruhusa maalumu niliingia mara chache sana. Nilikuwa nikitetemeka mno kuingia chumbani kwa baba. Mazingira niliyokutana nayo pale chumbani yalinishtua sana, palikuwa ni pachafu kana kwamba haishi mtu.
“Nahisi toka mama amefariki hiki chumba hakijawahi kufanyiwa usafi”, niliwaza.
Nilipofika katikati ya chumba nikasimama,
“nafanya nini humu sasa?” Nikajiuliza,
“humu ndio nimekuja kulipiza kisasi kwa baba yangu?” Nilibaki nimesimama nisijue nini cha kufanya. Ghafla nikaijiwa na wazo la ghafla nikaenda kwenye droo ya baba yangu na kuanza kufungua fungua droo moja baada ya nyingine.
Nilikuwa nafungua tu nisijue nini natafuta. Katika kupekua pekua nilikutana na vyeti vya hospitali vingi, moyo wangu ulinishawishi kuviangalia,
“aaaah! mimi si nimekuja kwaajili ya kulipiza kisasi? Hivi vyeti vya nini? Mimi naachana navyo bwana” nilijiwazia, upande wa pili nafsi yangu iliniambia nivifuatilie. Nikaviweka kitandani kisha nikaanza kukagua kimoja baada ya kingine. Moyo wangu ulizimia cheti cha kwanza kukiona kilikuwa ni cha marehemu mama yangu. Ilikuwa ni ripoti ya daktari kuhusiana na kifo chake ambayo sikuwa na shaka kuwa haikusomwa siku ya msiba wake. Mama yangu alikufa kwa stroke (kiharusi). Na hii imetokana na kupasuka kwa mirija yake ya damu kutokana na kipigo kikali alichokipokea kutoka kwa baba. Hadi kufikia mwisho ripoti ya daktari machozi yalikuwa yakinitoka huku mwili mzima ukitetemeka. Nilijawa na hasira mara mbili yake nilitamani baba awepo karibu yangu nichukue hata kisu nimchome aondoke mbele ya macho yangu sikumpenda kabisa. Nikasimama ili niondoke nikagundua kuna vyeti vingine ambavyo vimebakia hapo chini nilivichukua huku mikono ikitetemeka na kuanza kuvisoma,
“mungu wangu!” Nilisema.
Vilikuwa ni vyeti vya baba yangu kutoka katika hospital maarufu sana hapa mjini. Vilikuwa vikionesha kwamba baba yangu yupo katika hatua za mwanzo za kansa ya ini na hii imetokana na ukweli kwamba baba yangu alikuwa mlevi kupindukia hasa mara baada ya kifo cha mama.
Nililia sana ni sawa nilikuwa nikimchukia baba yangu lakini kujua kwamba baba yangu ana kansa ya ini na asingekuwa na maisha marefu iliniuma sana wazo la kisasi lilipotea kabisa katika moyo wangu
“kwanini mimi? Kwa nini matatizo hayaniishi?” nililia mno.
“Baba ukiondoka nitabaki na nani sasa?”
Nilitoka chumbani kwa baba nikawa nimenyong’eya nilijutia kiherehere change kutaka kulipiza kisasi bora nisingejua nililia siku nzima sikutaka hata kuongea na Martin na mtu mwingine yoyote nilijifungia chumbani siku nzima.
Nilikuja kusituka ni asubuhi yake Martin alikuwa amekuja nyumbani alikuta mlango uko wazi akaingia moja kwa moja hadi chumbani kwangu,
“Cathe kwanini hupokei simu yangu wala hujibu meseji zangu?” Aliniuliza,
“Hapana hamna kitu” nilisema
“Kuna tatizo? kama lipo naomba niambie” aliniuliza.
“Hapana hakuna tatizo lolote”
Sikupenda ajue.
Tulishinda wote hadi ilipofika jioni. Jioni baba aliporejea alitukuta na Martin mara nyingi alizoea kutukuta na Martin nyumbani, alisalimia pasipo uchangamfu na kupitiliza chumbani kwake. Sikuweza kupata muda wa kuongea na baba muda mwingi alikuwa akinikwepa.
Wakati wa kurudi shuleni ulipofika nilirudi shuleni kinyonge sana Marti alikuwa akiniuliza mara kwa mara kwa nini umepoteza uchangamfu wako Cathe aliniuliza.
“Hapana usijali” ilisema
Ingawa hata ndani ya nafsi sikuona kama nipi kawaida nilihisi nina kitu ndani yangu sikujua ni kitu gani.
Nilirudi shuleni nikiwa na unyonge sana
Safari hii Candy alikuwa amenipania sana sikuogopa kitu.
Martin alizidi kunipenda na tulizidi kudhijirisha uhusiano wetu haikuwa siri tene pale shuleni.
Tatizo na lenye kuumiza kuliko yote lilijitokeza.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA NANE. Niliishiwa nguvu mwili mzima ulikuwa ukitetemeka nikiwaza Martin anataka kuniambia nini? Akili yangu hakutulia niliwaza sana nimewezaje leo kumwambia mwanaume kuwa nakupenda kitu ambacho sikuwahi kufikiria katika maisha yangu. Akili yangu haikuwa sawa kabisa, “Cathe” sauti yake ilinitoa kwenye wimbi la mawazo, niliongea kwa kitetemeshi, “nakusikia martin”. “Mawazo yetu yanafanana”, nilibaki namshangaa nisijue akimaanisha nini “una maana gani Martin?” nilimuuliza. Alivuta pumzi ndefu na kisha kuishusha “ulichokuwa unakiwaza ndicho kilichokuwa akilini mwangu” alisema. Sentensi yake fupi ilitosha kuufanya moyo wangu ujae na furaha sana niliruka kwa furaha na kumkumbatia. Kila mtu akiwa na furaha moyoni mwake na huo ndio mwanzo wa mahusiano kati yangu na Martin, tulipendana sana huku tukishirikiana katika mambo mbalimbali pale shuleni, alikuwa mshauri wangu mkubwa na pia tulishirikiana kimasomo ili kuhakikisha kwamba tunafanya vizuri katika mitihani yetu. Ukizingatia wakati huo tulikuwa tumebakiza wiki chache tu kufanya mitihani yetu ya muhula wa pili. Candy mahusiano yetu yalimuumiza sana, Candy na kundi lake, alizidi kunipa adhabu mbalimbali lakini sikujali kwakuwa kwa wakati huo hakuwa akinionea tena. Mahusiano yetu yalizidi kustawi ingawa ndani ya nafsi yangu sikuwa na amani, kisasi juu ya baba kilinisumbua sana mara zote nilitamani kumlipizia kisasi. Niliwaza sana nitakapoporudi nyumbani lazima nilipize kisasi kwa baba haiwezekani kuniulia mama yangu, “haiwezekani baba lazima ulipe damu ya mama yangu”, niliwaza. Martin alikuwa akinishauri sana kuhusu swala la kulipiza kisasi, “achana nayo yamesha pita hata ukilipiza kisasi mama yako hatoweza kurudi mwache msamehe baba” alikuwa akinishauri. Nilifanya kama namwelewa ingawa nafsi yangu ilikataa kabisa kuendana na mawazo yake lazima nikalipize kisasi nilisema. Tulifanikiwa kufanya mitihani yetu ya mwisho na kufaulu kwa ufaulu mzuri kabisa. Tulirudi nyumbani mimi na Martin tulikuwa tukitokea Dar es salaam. Candy alikuwa akitokea Arusha hivyo naye alielekea kwao ingawa kwa masikitiko sana alikuwa akiumia sana kumpoteza Martin. Wakati wa likizo tulitumia muda mwingi sana kuwa pamoja mara nyingi tuliongozana sehemu mbalimbali za burudani. Nilipata amani na furaha sana moyoni mwangu kuwa pembeni ya Martin wazo langu la kulipiza kisasi bado nilikuwa nalo. Mara nyingi baba hakuwepo nyumbani nilikuwa nabaki peke yangu, toka nimerudi likizo baba alikuwa akichelewa sana kurudi nyumbani na akiwahi sana kuondoka alikuwa marachche sana nilikutana na baba yangu na hakuwa katika hali ya kawaida. Kila mara nilikuwa nikimshangaa jinsi alivyo baba alivyobadilika sana. Nilipanga lazima tu nilipize kisasi kwa namna yoyote ile ingawa hadi wakati huo sikuwa naijua ni kwa namna gani nitalipiza kisasi siwezi kumuua baba yangu nilisema. Muda mwingi niliutumia kuwa na Martin na wakati huo niliweza kupoteza usichana wangu. Martin aliniingiza katika dunia ya mapenzi sikujali kuhusu hilo ingawa mama yangu alikuwa akinihusia sana kuhusu kujitunza sikuona umuhimu wowote kwasababu mama yangu mwenyewe hakuwepo duniani niliona ni kawaida. Mapenzi kati yetu yalizidi kuongezeka hata hivyo akili yangu ilikuwa ikifikiria vitu vingine kabisa. Muda ulienda na wakati wa kurudi shuleni ulikaribia. Nilichelea kuona kwamba sijafanya kisasi kwa baba yangu niliamua kwa muda huo mchache lazima niwe nimefanya kitu, kama kawaida yake baba alichelewa sana kurudi nyumbani na aliwahi kuondoka asubuhi. Alipotoka tu nilinyatia hadi chumbani kwake, nilipoingia nilishangaa kukuta baba hafungi chumba chake siku hizi. Nilikuwa naogopa sana kuingia chumbani kwa baba yangu enzi za uwepo wa mama. Mara zote sikuruhusiwa kuingia bila ruhusa maalumu niliingia mara chache sana. Nilikuwa nikitetemeka mno kuingia chumbani kwa baba. Mazingira niliyokutana nayo pale chumbani yalinishtua sana, palikuwa ni pachafu kana kwamba haishi mtu. “Nahisi toka mama amefariki hiki chumba hakijawahi kufanyiwa usafi”, niliwaza. Nilipofika katikati ya chumba nikasimama, “nafanya nini humu sasa?” Nikajiuliza, “humu ndio nimekuja kulipiza kisasi kwa baba yangu?” Nilibaki nimesimama nisijue nini cha kufanya. Ghafla nikaijiwa na wazo la ghafla nikaenda kwenye droo ya baba yangu na kuanza kufungua fungua droo moja baada ya nyingine. Nilikuwa nafungua tu nisijue nini natafuta. Katika kupekua pekua nilikutana na vyeti vya hospitali vingi, moyo wangu ulinishawishi kuviangalia, “aaaah! mimi si nimekuja kwaajili ya kulipiza kisasi? Hivi vyeti vya nini? Mimi naachana navyo bwana” nilijiwazia, upande wa pili nafsi yangu iliniambia nivifuatilie. Nikaviweka kitandani kisha nikaanza kukagua kimoja baada ya kingine. Moyo wangu ulizimia cheti cha kwanza kukiona kilikuwa ni cha marehemu mama yangu. Ilikuwa ni ripoti ya daktari kuhusiana na kifo chake ambayo sikuwa na shaka kuwa haikusomwa siku ya msiba wake. Mama yangu alikufa kwa stroke (kiharusi). Na hii imetokana na kupasuka kwa mirija yake ya damu kutokana na kipigo kikali alichokipokea kutoka kwa baba. Hadi kufikia mwisho ripoti ya daktari machozi yalikuwa yakinitoka huku mwili mzima ukitetemeka. Nilijawa na hasira mara mbili yake nilitamani baba awepo karibu yangu nichukue hata kisu nimchome aondoke mbele ya macho yangu sikumpenda kabisa. Nikasimama ili niondoke nikagundua kuna vyeti vingine ambavyo vimebakia hapo chini nilivichukua huku mikono ikitetemeka na kuanza kuvisoma, “mungu wangu!” Nilisema. Vilikuwa ni vyeti vya baba yangu kutoka katika hospital maarufu sana hapa mjini. Vilikuwa vikionesha kwamba baba yangu yupo katika hatua za mwanzo za kansa ya ini na hii imetokana na ukweli kwamba baba yangu alikuwa mlevi kupindukia hasa mara baada ya kifo cha mama. Nililia sana ni sawa nilikuwa nikimchukia baba yangu lakini kujua kwamba baba yangu ana kansa ya ini na asingekuwa na maisha marefu iliniuma sana wazo la kisasi lilipotea kabisa katika moyo wangu “kwanini mimi? Kwa nini matatizo hayaniishi?” nililia mno. “Baba ukiondoka nitabaki na nani sasa?” Nilitoka chumbani kwa baba nikawa nimenyong’eya nilijutia kiherehere change kutaka kulipiza kisasi bora nisingejua nililia siku nzima sikutaka hata kuongea na Martin na mtu mwingine yoyote nilijifungia chumbani siku nzima. Nilikuja kusituka ni asubuhi yake Martin alikuwa amekuja nyumbani alikuta mlango uko wazi akaingia moja kwa moja hadi chumbani kwangu, “Cathe kwanini hupokei simu yangu wala hujibu meseji zangu?” Aliniuliza, “Hapana hamna kitu” nilisema “Kuna tatizo? kama lipo naomba niambie” aliniuliza. “Hapana hakuna tatizo lolote” Sikupenda ajue. Tulishinda wote hadi ilipofika jioni. Jioni baba aliporejea alitukuta na Martin mara nyingi alizoea kutukuta na Martin nyumbani, alisalimia pasipo uchangamfu na kupitiliza chumbani kwake. Sikuweza kupata muda wa kuongea na baba muda mwingi alikuwa akinikwepa. Wakati wa kurudi shuleni ulipofika nilirudi shuleni kinyonge sana Marti alikuwa akiniuliza mara kwa mara kwa nini umepoteza uchangamfu wako Cathe aliniuliza. “Hapana usijali” ilisema Ingawa hata ndani ya nafsi sikuona kama nipi kawaida nilihisi nina kitu ndani yangu sikujua ni kitu gani. Nilirudi shuleni nikiwa na unyonge sana Safari hii Candy alikuwa amenipania sana sikuogopa kitu. Martin alizidi kunipenda na tulizidi kudhijirisha uhusiano wetu haikuwa siri tene pale shuleni. Tatizo na lenye kuumiza kuliko yote lilijitokeza. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL
😋😋😋😋😋😋😋
SEHEMU YA SABA.
Nilikosa nguvu ya kufanya kitu chochote nilianza kulia upya niliumia sana na kitu alichokifanya baba yangu, furaha yangu ilikuwa imetoweka kabisa kiukweli nilimchukia sana baba yangu, alikuwa ni zaidi ya shetani kwangu, kwa upande mwingine niliilaumu nafsi yangu kwa kusababisha kifo cha mama yangu nilijiona sina thamani tena nililia na nafsi yangu.
“Nisamehe mama nisamehe kwa kusababisha kifo chako popote ulipo mama naomba unisikie naomba unisamehe mama yangu”, nililia sana.
Maisha yaliendelea ingawa kiakili nilikuwa siko sawa, taaluma yangu ilishuka sana wala sikujali katika hilo niliishi tu ili mradi siku zisogee mbele.
Maisha yangu yalibadilika kwa kiasi kikubwa nilikuwa nina hasira muda wote hata hivyo sikupenda tena kuonewa nilipanga mtu yoyote atakaye nifanyia kitu chochote nitalipiza kisasi kisasi kilitawala ndani ya moyo, wangu mtu wa kwanza niliye muwazia alikuwa ni baba,
“lazima nitakaporudi nyumbani nilipizie kwa kifo cha mama” nilisema,
Niliwaza kumlipizia Candy endapo angenifanyia tukio lolote lile.
Sikumhofia tena Maloya, sikuhofia kupigwa kwasababu nilishakuwa sugu nilipigwa sana, sikuogopa kufanya tukio lolote lile kwa kuhofia adhabu au kutangazwa mbele za watu, nilijikuta nimekuwa sugu sikuogopa chochote adhabu kwa upande wangu zilizidi mara nyingi. Maloya alikuwa alinisingizia mambo mbalimbali, nilikuwa nikipokea adhabu mara kwa mara kutoka kwa Maloya kwa makosa ya kusingiziwa nilifanya tu sikuwa nahisi chochote katika moyo wangu.
Candy alizidi kunionea kutokana na kwamba yeye alikuwa ni kiongozi mara kwa mara alikuwa akinisingizia makosa na kupewa adhabu, niliona kawaida tu na mara nyingi nilimdharau sikusita kumwonesha dharau kila tulipokutana naye sikulihofia tena kundi lake, chuki zao na dharau zao kwangu zilikuwa ni kawaida sana maisha yangu yaliendelea vizuri na hata ufaulu wangu ulianza kuongezeka.
Mawasiliano na baba yalipungua, mara kwa mara alikuwa anajaribu kunitafuta lakini sikuweza kuitikia simu zake alipokuwa akipiga simu ofisini nilipoitwa kwa ajili ya kuongea naye nilikataa,
Martin alikuwa akinionea huruma sana kutokana na adhabu nilizokuwa nikipata pale shule,
siku yake alinitafta
“Cathe sijakuona mda mrefu sana”
Nilitabasamu nikamwambia “niko busy sana”
“Busy busy na nini aliuliza?”
“Jamani kwani hapa shuleni tunafanya nini, niko busy na kusoma” alicheka kisha akaniangalia kwa muda nilijisikia aibu.
“Aaaah yaah niko busy na kusoma sasa hivi sitaki kukutwa na matukio yoyote yale ya ajabu”,
“uamuzi mzuri sana kwa maana ufaulu ulikuwa umeshuka sana” alisema.
“Cathe najisikia vibaya sana kwa ajili yako mara nyingi nakuona katika adhabu inaniumiza sana”, nilitoa tabasamu jepesi kisha nikamwangalia usoni
“Marti usijali kuhusu yote haya ninachoangalia sasa ni kufanya kile kitu ambacho kimenileta hapa shuleni kwa sababu hilo ndio lililokuwa tamani la mama yangu na ameondoka kabla sijalitimiza ni lazima nilitimize ili hata uko alipo apumzike kwa amani”, aliniangalia sana kana kwamba sio mimi niliyekuwa nikiongea hivyo,
“Cathe umeongea kitu kizuri sana lakini hujui kuwa hizo adhabu zinaweza zikakuathiri kisaikolojia na kimasomo pia?”
“Martin siwezi kuruhusu kitu chochote kikaniharibu tena najua kwamba nikiwa mpole nikiwa mkali haya matukio kwangu ndiyo yameshakuwa yangu na hayawezi kuondoka vyovyote vile niwavyo lazima yatanijia siwezi kuyakimbia siwezi kumkimbia Candy siwezi kumkimbia Maloya siwezi kuikimbia shule nitaendelea kupambana hivyo hivyo” niliongea.
Alifurahi sana alinivuta na kunikumbatia nililihisi joto lake tulibaki tumekumbatiana kama dakika mbili hivi ilikuwa ni wakati mzuri sana kwangu ambao sikuwahi kuwa nao katika maisha yangu yaliyopita, tuliachiana huku tukitweta, aliachia tabasamu na mimi pia,
“uwe na wakati mwema Cathe” alisema na kuondoka.
Tukio hilo liligoma kufutika katika akili yangu kabisa kila mara nilikuwa nikifikiria liwazo kutoka kwa Martin, nilihisi nampenda sana Martin.
Huyu mkaka niliwaza na kisha nikatabasamu na kuondoka eneo hilo na kuelekea bwenini.
Nilipofika bwenini nilipanda kitandani kwangu nikiwa na tabasamu hatimaye katika maisha yangu nimepata liwazo mtu ambaye anaweza akarejesha furaha yangu katika mazingira magumu kama haya, nilifikiria.
Niamua kwenda kumwambia wakati tutakapokutana tena baada ya kufikia uamuzi huo nilikuwa nikitabasamu kila wakati, ulipofika wakati wa kuhudhuria kipindi cha dini alikuwepo pia, aliimba vizuri sana moyo wangu ulijawa na furaha na amani tele kila mara nilikuwa nikimwangalia.
Tulipotoka kwenye kipindi nilienda nilimshika mkono tukaongozana darasani alikuwa na furaha sana.
Tulipofika darasani nilimwambia “Martin baada ya hapa nilikuwa nahitaji kuongea na wewe”, aliachia tabasamu.
“usijali bibie” aliongea kwa sauti yake tamu,
kisha akaendelea kusoma na mimi nikachukua madaftari yangu na kuanza kusoma.
Baada ya muda wa prepare kuisha wanafunzi walianza kutoka madarasani na kuondoka, aliniangalia kisha akanibinyia jicho nikaachia tabasamu tu.
Mara baada ya watu wote kutoka alinigeukia na kunitazama
“haya niambie bibie”, alisema nilitabasamu alitabasamu pia
“Martin” niliita kwa sauti nzuri ya kike,
“Naam”
“unajisikiaje tunavyoonewa kwa kosa lisilo la kwetu?”
“Hamuna mtu ambaye angeweza kujisikia vizuri Cathe kila mtu lazima angeumia na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwangu” aliniambia.
“Pole” nilisema.
“Na naomba nisamehe kwa kuwa chanzo cha mambo haya yote kutokea kwa upande wako.”
“Usijali Cathe hata mimi pia napaswa kusema sorry kwako kwasababu hata mimi ni chanzo cha haya yote kutokea kwako.”
“Aaah kwahiyo kila mtu amwombe msamaha mwenzie si ndiyo?” nilisema.
“Mmmh” alicheka
“Ndio nisamehe pia na mimi”,
Tulicheka wote kwa pamoja.
Cathe” aliniita.
Nilimwangalia, nilishindwa kumtizama moja kwa moja machoni,
“Uliniambia kuna kitu unataka kuniambia nakusikia na utakapomaliza kuniambia unachotaka kuniambia na mimi kuna kitu nataka nikwambie.”
“Asa kwanini hukuniambia toka saa zile?” nilimuuliza
“Kimenijia ghafla” alisema na kisha akacheka.
Na mi nikacheka pia
“Ok Martin mara zote huwa najisikia vibaya sana kusemwa au kuhukumiwa kwa kosa ambalo kweli sijalifanya na najua kabisa kwamba sijafanya”
“Ni kweli inaumiza” alisema Martin kwa utulivu,
“Martin sorry kama nitakukwaza kwa
nitakacho kwambia” nilimwambia.
“Lakini nimeona kwamba tusiache ibaki midomoni kwa watu nataka iwe kweli kwasababu wewe ni mzuri kwangu”
aliniangalia sana,
“Cathe are you serious?”
“Nataka kuwa na uhusiano na wewe.”
“Ngoja na mimi nikwambie ambacho ninatakanikwambie” alisema Martin.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL 😋😋😋😋😋😋😋 SEHEMU YA SABA. Nilikosa nguvu ya kufanya kitu chochote nilianza kulia upya niliumia sana na kitu alichokifanya baba yangu, furaha yangu ilikuwa imetoweka kabisa kiukweli nilimchukia sana baba yangu, alikuwa ni zaidi ya shetani kwangu, kwa upande mwingine niliilaumu nafsi yangu kwa kusababisha kifo cha mama yangu nilijiona sina thamani tena nililia na nafsi yangu. “Nisamehe mama nisamehe kwa kusababisha kifo chako popote ulipo mama naomba unisikie naomba unisamehe mama yangu”, nililia sana. Maisha yaliendelea ingawa kiakili nilikuwa siko sawa, taaluma yangu ilishuka sana wala sikujali katika hilo niliishi tu ili mradi siku zisogee mbele. Maisha yangu yalibadilika kwa kiasi kikubwa nilikuwa nina hasira muda wote hata hivyo sikupenda tena kuonewa nilipanga mtu yoyote atakaye nifanyia kitu chochote nitalipiza kisasi kisasi kilitawala ndani ya moyo, wangu mtu wa kwanza niliye muwazia alikuwa ni baba, “lazima nitakaporudi nyumbani nilipizie kwa kifo cha mama” nilisema, Niliwaza kumlipizia Candy endapo angenifanyia tukio lolote lile. Sikumhofia tena Maloya, sikuhofia kupigwa kwasababu nilishakuwa sugu nilipigwa sana, sikuogopa kufanya tukio lolote lile kwa kuhofia adhabu au kutangazwa mbele za watu, nilijikuta nimekuwa sugu sikuogopa chochote adhabu kwa upande wangu zilizidi mara nyingi. Maloya alikuwa alinisingizia mambo mbalimbali, nilikuwa nikipokea adhabu mara kwa mara kutoka kwa Maloya kwa makosa ya kusingiziwa nilifanya tu sikuwa nahisi chochote katika moyo wangu. Candy alizidi kunionea kutokana na kwamba yeye alikuwa ni kiongozi mara kwa mara alikuwa akinisingizia makosa na kupewa adhabu, niliona kawaida tu na mara nyingi nilimdharau sikusita kumwonesha dharau kila tulipokutana naye sikulihofia tena kundi lake, chuki zao na dharau zao kwangu zilikuwa ni kawaida sana maisha yangu yaliendelea vizuri na hata ufaulu wangu ulianza kuongezeka. Mawasiliano na baba yalipungua, mara kwa mara alikuwa anajaribu kunitafuta lakini sikuweza kuitikia simu zake alipokuwa akipiga simu ofisini nilipoitwa kwa ajili ya kuongea naye nilikataa, Martin alikuwa akinionea huruma sana kutokana na adhabu nilizokuwa nikipata pale shule, siku yake alinitafta “Cathe sijakuona mda mrefu sana” Nilitabasamu nikamwambia “niko busy sana” “Busy busy na nini aliuliza?” “Jamani kwani hapa shuleni tunafanya nini, niko busy na kusoma” alicheka kisha akaniangalia kwa muda nilijisikia aibu. “Aaaah yaah niko busy na kusoma sasa hivi sitaki kukutwa na matukio yoyote yale ya ajabu”, “uamuzi mzuri sana kwa maana ufaulu ulikuwa umeshuka sana” alisema. “Cathe najisikia vibaya sana kwa ajili yako mara nyingi nakuona katika adhabu inaniumiza sana”, nilitoa tabasamu jepesi kisha nikamwangalia usoni “Marti usijali kuhusu yote haya ninachoangalia sasa ni kufanya kile kitu ambacho kimenileta hapa shuleni kwa sababu hilo ndio lililokuwa tamani la mama yangu na ameondoka kabla sijalitimiza ni lazima nilitimize ili hata uko alipo apumzike kwa amani”, aliniangalia sana kana kwamba sio mimi niliyekuwa nikiongea hivyo, “Cathe umeongea kitu kizuri sana lakini hujui kuwa hizo adhabu zinaweza zikakuathiri kisaikolojia na kimasomo pia?” “Martin siwezi kuruhusu kitu chochote kikaniharibu tena najua kwamba nikiwa mpole nikiwa mkali haya matukio kwangu ndiyo yameshakuwa yangu na hayawezi kuondoka vyovyote vile niwavyo lazima yatanijia siwezi kuyakimbia siwezi kumkimbia Candy siwezi kumkimbia Maloya siwezi kuikimbia shule nitaendelea kupambana hivyo hivyo” niliongea. Alifurahi sana alinivuta na kunikumbatia nililihisi joto lake tulibaki tumekumbatiana kama dakika mbili hivi ilikuwa ni wakati mzuri sana kwangu ambao sikuwahi kuwa nao katika maisha yangu yaliyopita, tuliachiana huku tukitweta, aliachia tabasamu na mimi pia, “uwe na wakati mwema Cathe” alisema na kuondoka. Tukio hilo liligoma kufutika katika akili yangu kabisa kila mara nilikuwa nikifikiria liwazo kutoka kwa Martin, nilihisi nampenda sana Martin. Huyu mkaka niliwaza na kisha nikatabasamu na kuondoka eneo hilo na kuelekea bwenini. Nilipofika bwenini nilipanda kitandani kwangu nikiwa na tabasamu hatimaye katika maisha yangu nimepata liwazo mtu ambaye anaweza akarejesha furaha yangu katika mazingira magumu kama haya, nilifikiria. Niamua kwenda kumwambia wakati tutakapokutana tena baada ya kufikia uamuzi huo nilikuwa nikitabasamu kila wakati, ulipofika wakati wa kuhudhuria kipindi cha dini alikuwepo pia, aliimba vizuri sana moyo wangu ulijawa na furaha na amani tele kila mara nilikuwa nikimwangalia. Tulipotoka kwenye kipindi nilienda nilimshika mkono tukaongozana darasani alikuwa na furaha sana. Tulipofika darasani nilimwambia “Martin baada ya hapa nilikuwa nahitaji kuongea na wewe”, aliachia tabasamu. “usijali bibie” aliongea kwa sauti yake tamu, kisha akaendelea kusoma na mimi nikachukua madaftari yangu na kuanza kusoma. Baada ya muda wa prepare kuisha wanafunzi walianza kutoka madarasani na kuondoka, aliniangalia kisha akanibinyia jicho nikaachia tabasamu tu. Mara baada ya watu wote kutoka alinigeukia na kunitazama “haya niambie bibie”, alisema nilitabasamu alitabasamu pia “Martin” niliita kwa sauti nzuri ya kike, “Naam” “unajisikiaje tunavyoonewa kwa kosa lisilo la kwetu?” “Hamuna mtu ambaye angeweza kujisikia vizuri Cathe kila mtu lazima angeumia na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwangu” aliniambia. “Pole” nilisema. “Na naomba nisamehe kwa kuwa chanzo cha mambo haya yote kutokea kwa upande wako.” “Usijali Cathe hata mimi pia napaswa kusema sorry kwako kwasababu hata mimi ni chanzo cha haya yote kutokea kwako.” “Aaah kwahiyo kila mtu amwombe msamaha mwenzie si ndiyo?” nilisema. “Mmmh” alicheka “Ndio nisamehe pia na mimi”, Tulicheka wote kwa pamoja. Cathe” aliniita. Nilimwangalia, nilishindwa kumtizama moja kwa moja machoni, “Uliniambia kuna kitu unataka kuniambia nakusikia na utakapomaliza kuniambia unachotaka kuniambia na mimi kuna kitu nataka nikwambie.” “Asa kwanini hukuniambia toka saa zile?” nilimuuliza “Kimenijia ghafla” alisema na kisha akacheka. Na mi nikacheka pia “Ok Martin mara zote huwa najisikia vibaya sana kusemwa au kuhukumiwa kwa kosa ambalo kweli sijalifanya na najua kabisa kwamba sijafanya” “Ni kweli inaumiza” alisema Martin kwa utulivu, “Martin sorry kama nitakukwaza kwa nitakacho kwambia” nilimwambia. “Lakini nimeona kwamba tusiache ibaki midomoni kwa watu nataka iwe kweli kwasababu wewe ni mzuri kwangu” aliniangalia sana, “Cathe are you serious?” “Nataka kuwa na uhusiano na wewe.” “Ngoja na mimi nikwambie ambacho ninatakanikwambie” alisema Martin. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA SITA.
“Mama yako mpenzi amefariki dunia” aliongea baba kwa sauti iliyochanganyika na kilio,
“Say whaaat?” niliongea kwa mshituko sana.
“Ni hivyo mwanangu, kazi ya mola haina makosa” Machozi yalinichuruzika mfululizo huku mdomo ukitetemeka nilishindwa kuongea neno lolote.
“Cathe” baba aliinita kwa utulivu,
Nilishindwa kuendelea
Aliongea,
“pamoja na hayo yote nasikitika kukwambia kwamba hutoweza kuhudhuria mazishi yake kwa maana anazikwa leo.”
Maneno hayo yalinishingaza nilipata ujasiri wa kuongea,
“baba kwanini sipaswi kuudhuria mazishi ya mama yangu, ina maanisha mama amefariki na siwezi kuona sura yake ya mwisho kwanini sikupewa taarifa mapema baba kwanini lakini?”
Niliongea kwa sauti kubwa ya kilio,
“Hapana mwanangu hatuna jinsi mama yako hawezi kuendelea kukaa tena naomba unielewe endelea kusoma utakuja wakati wa arobaini yake” aliongea baba.
Niliangua kilio kikubwa hatukuweza kusikilizana tena, baba alikata simu.
Nililia, niliona duniani niko peke yangu nilihisi nimetengwa mbali na dunia sikuwa sawa na viumbe wengine roho iliniuma kuliko kawaida sikuwahi kuhisi maumivu makali moyoni kama nilivyoyahisi kwa wakati huo, nililia sana sikuwa na nguvu ya kunyanyuka.
Mwalimu alinionea huruma alininyanyua akanikokota kuelekea bwenini wakati tuko njiani tulipishana na Martin , Martin alikuwa amekonda sana nilimtazama huku nikilia kwa sauti mwalimu aliniongoza mpaka bwenini akaanza kunifariji kwa maneno mazuri, hii ni njia ya kila mmoja wetu kila mtu atapita kila nafsi itaonja mauti jipe moyo Cathe. Nililia sikuwa namsikiliza alikuwa anaongea nini wala sikutamani kusikia alichokuwa akiongea, kwanini baba asinipe taarifa na kuhudhuria msiba mapema kwanini? Nililia huku nikiwaza hayo yote, nilishindwa kupata majibu.
Nililia hadi nilipopitiwa na usingizi nilikuja kushituka ilikuwa ni asubuhi siku ya pili roho iliniuma sana, sikuweza kunyanyuka kuelekea darasani nilibaki nimejilaza tu chumbani.
Nikiwa nimezama kwenye fikra huku nikidondokwa na machozi nilihisi mlango wa chumba chetu umefunguliwa nilijuwa ni Candy, cha kushangaza alikuwa ni Martin, nilipomuona machozi mfululizo yalianza kunidondoka, Martin alijongea kitandani nilipokuwa nimelala akanikumbatia,
“Cathe pole”, alioongea kwa upole.
Nilishindwa kuongea
“pole sana yote ni mambo ya kidunia usijali mungu yupo pamoja nawe” aliendelea kunifariji na kunitia moyo,
Nilijitahidi kurudia katika hali yangu ya kawaida ingawa kwa kiasi fulani nilishindwa baada ya muda alitoka kwa sababu aliingia kwa makosa.
Dunia sasa imeniacha peke yangu mama ambaye nilikuwa nikimtegemea na nikimpenda kuliko watu wote ndio huyo ameniacha nililia sana kwa kweli. Baada ya muda kupita nilirejea katika hali yangu ya kawaida lakini haikuwa kawaida kama kawaida nilikonda nilipungua mara zote nilikuwa mwenye huzuni machozi yakinidodoka, sikupennda kujiunga na watu katika makundi nilipenda kukaa peke yangu. Sikupenda kula chakula nilikula pale tu niliposikia njaa.
Usiku iliniwia vigumu sana kupata usingizi kila nilipolala sura ya mama yangu ilinijia, sikuwa na wakati hata wa wakusoma kila niliposoma machozi yalinibubujika nilipenda kusoma ili nitimize ndoto zangu.
Kutimia kwa ndoto zangu ilikuwa ni furaha ya mama yangu, sasa mama yangu hayupo ninasoma kwa ajili ya nani?
Nilikata tamaa ya kusoma nilikata tamaa ya kuishi.
Walimu walijitahidi sana kunifariji, na kunipa nasaha mbalimbali. Haikusaidia kitu.
Martin naye hakuacha kunihusia kwamba hayo yote ni mambo ya dunia yapasa kujipa moyo.
Ilikuwa ni siku ya jumanne asubuhi, tukiwa kwenye mkusanyiko jina langu liliitwa mbele kiukweli saikolojia yangu haikuwa vizuri kabisa nilijuwa tu tayari nina kesi nyingine hapo shuleni nilikuwa tayari kwa kila kitu, hata kama nikiambiwa kwamba leo nimefukuzwa shule ningepokea kwa kawaida kabisa, nilishachoshwa na mambo yaliyokuwa yakinikuta, nilijongea mbele kiunyonge zaidi. Shule nzima walinyamaza kimya, wakitegemea kusikia ni tukio gani tena nimelifanya. Maana nilishazoelekea kuwa mtu wa matukio hapo shuleni. Nilipanda mpaka mbele. Mwalimu alichomoa barua na kunikabidhi nilibaki nimeshangaa imetoaka wapi, nilijiuliza.
Nilirudi huku nikiwa na mshawasha wa kuifungua barua ili nione ni nini kilichoandikwa ndani yake nilifika darasani hata sikukaa sana nilinyenyuka na kuelekea bwenini nikaifungua barua hiyo na kuanza kuisoma.
Nilichokutana nacho kilichoandikwa kwenye hiyo arua kilinifanya nilie upya.
Kiliibua huzuni na simanzi ndani ya moyo wangu.
Kiliuua kabisa tumaini langu na furaha yangu.
Matumaini yangu ya kuwa na furaha yalikatizwa na barua ile, ilikuwa ni barua kutoka kwa mama yangu.
“Kwako mwanagu mpendwa na wa pekee naandika barua hii kwa huzuni nyingi nikijua kuwa sitaweza kukuona tena wewe ni kipenzi cha moyo wangu Cathe mama yako anakupenda sana na siku zote nilitamani ufike pale ambapo ulitaka kufikia, najua unajua tumaini langu kwako kuwa natamani utimize ndoto zako lakini, moyo wangu unaumia sana kujuwa kwamba utatimiza ndoto zako ingawa sitoshuhudia naomba ujipe moyo mama yako natangulia na wewe utafata, mpendwa wangu ujaposoma barua hii sitaki ujenge chuki yoyote na mtu yoyote bali uzidishe upendo, mwanangu kilichokupeleka shuleni ndicho unachotakiwa kukizingatia usiangaike na vitu ambavyo siyo lengo lako wala la kwetu sisi kama wazazi wako kukufikisha shuleni, soma sana mwanangu. Wala usisahau kumkumbuka mungu wako kwa maana ndiye atakuwa kiongozi wa maisha yako mwanangu napenda ujue hiki kitu nitakuwa na furaha sana endapo barua hii itakufikia na kuifungua na kuisoma.
Mwanangu Cathe, nilipokuzaa wewe ukiwa na miezi minne tu nilikuwa na ujauzito mwingine baba yako alinishawishi kuutoa ingawa nilikataa aliniambia kwamba sitakupa muda wa wewe kukua vizuri kama nitakuwa na ujauzito mwingine baaada ya ushawishi wa muda mrefu nilikubali kuitoa hiyo mimba ambayo ilikuwa ni ya mdogo wako, nilifanikiwa kuitoa lakini ilitoka vibaya, iliharabu mfuko wangu wa uzazi.
Baada ya muda, nilianza kusikia maumivu ya tumbo yasiyoisha nilipoenda hospitali niliambiwa mfuko wangu wa uzazi umeharibika haufai tena. Hivyo napaswa kutolewa. Hapo ndipo nilopohakikishiwa kuwa mgumba maisha yangu yote, baba yako alibadilika sana kila mara tulikuwa tukizozana kwasababu alikuwa anataka kupata mtoto mwingine aliniambia endapo sitaweza kumpatia mtoto mwingine basi ataenda kuzaa nje ya ndoa, niliumia sana kwa maana sio mimi niliyetaka kutoa ujauzito bali ni yeye aliyeniamasisha sikuwa na jinsi nilivumilia hayo yote huku nikiweka juhudi kuomba mwanangu.
Cathe tukio lililotokea shuleni kwako ingawa sina imani kama ni kweli umefanya hivyo lilimkasirisha sana baba yako, mara zote alijuwa kwamba mimi ni mtu wako wa karibu sana kuliko yeye, kwa maana hiyo kosa lolote wewe ambalo ukifanya lawama zote nilibeba mimi, nashukuru katika kipindi chote katika uhai wangu nilibeba majukumu yangu sawasawa na hata sasa naelekea mwisho wa maisha yangu nimekupigania wewe kama mtoto wangu na naamini utafika sehemu ambayo unatamani kufika baba yako alinipiga sana kwa kosa lako ulilolifanya shuleni.
Na baada ya hapo aliondoka hadi ninapoandika waraka huu sijui yuko wapi, nahisi maumivu makali mwilini na hakuna mtu wa kunisaidia. Sitamani tena kuendelea kuishi katika mateso kiasi hiki acha tu nife mwanangu. Nilimwomba tu kijana wa hapo jirani anisaidie kukutumia hii barua ili mwanangu ujue baba yako ni mtu wa aina gani. Sio kwamba umchukie bali umpende na kuishi naye vizuri katika tabia aliyokuwa nayo baba yako ni mkatili sana, mwanangu naona nafsi yangu haina mda mrefu sana nitakufa wakati wowote ule.
Nakutakia kila la kheri katika safari ya kutimiza ndoto zako usiache kusomea kile unachokipenda mkumbuke sana mungu usiache kusali kila unapoingiakatika tatizo lolote, mimi ni mama yako mpendwa nakutakia maisha mema binti yangu”.
Nilijikuta nimekaa sakafuni bila kujua.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>>
*Mwendelezo njoo inbox*

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA SITA. “Mama yako mpenzi amefariki dunia” aliongea baba kwa sauti iliyochanganyika na kilio, “Say whaaat?” niliongea kwa mshituko sana. “Ni hivyo mwanangu, kazi ya mola haina makosa” Machozi yalinichuruzika mfululizo huku mdomo ukitetemeka nilishindwa kuongea neno lolote. “Cathe” baba aliinita kwa utulivu, Nilishindwa kuendelea Aliongea, “pamoja na hayo yote nasikitika kukwambia kwamba hutoweza kuhudhuria mazishi yake kwa maana anazikwa leo.” Maneno hayo yalinishingaza nilipata ujasiri wa kuongea, “baba kwanini sipaswi kuudhuria mazishi ya mama yangu, ina maanisha mama amefariki na siwezi kuona sura yake ya mwisho kwanini sikupewa taarifa mapema baba kwanini lakini?” Niliongea kwa sauti kubwa ya kilio, “Hapana mwanangu hatuna jinsi mama yako hawezi kuendelea kukaa tena naomba unielewe endelea kusoma utakuja wakati wa arobaini yake” aliongea baba. Niliangua kilio kikubwa hatukuweza kusikilizana tena, baba alikata simu. Nililia, niliona duniani niko peke yangu nilihisi nimetengwa mbali na dunia sikuwa sawa na viumbe wengine roho iliniuma kuliko kawaida sikuwahi kuhisi maumivu makali moyoni kama nilivyoyahisi kwa wakati huo, nililia sana sikuwa na nguvu ya kunyanyuka. Mwalimu alinionea huruma alininyanyua akanikokota kuelekea bwenini wakati tuko njiani tulipishana na Martin , Martin alikuwa amekonda sana nilimtazama huku nikilia kwa sauti mwalimu aliniongoza mpaka bwenini akaanza kunifariji kwa maneno mazuri, hii ni njia ya kila mmoja wetu kila mtu atapita kila nafsi itaonja mauti jipe moyo Cathe. Nililia sikuwa namsikiliza alikuwa anaongea nini wala sikutamani kusikia alichokuwa akiongea, kwanini baba asinipe taarifa na kuhudhuria msiba mapema kwanini? Nililia huku nikiwaza hayo yote, nilishindwa kupata majibu. Nililia hadi nilipopitiwa na usingizi nilikuja kushituka ilikuwa ni asubuhi siku ya pili roho iliniuma sana, sikuweza kunyanyuka kuelekea darasani nilibaki nimejilaza tu chumbani. Nikiwa nimezama kwenye fikra huku nikidondokwa na machozi nilihisi mlango wa chumba chetu umefunguliwa nilijuwa ni Candy, cha kushangaza alikuwa ni Martin, nilipomuona machozi mfululizo yalianza kunidondoka, Martin alijongea kitandani nilipokuwa nimelala akanikumbatia, “Cathe pole”, alioongea kwa upole. Nilishindwa kuongea “pole sana yote ni mambo ya kidunia usijali mungu yupo pamoja nawe” aliendelea kunifariji na kunitia moyo, Nilijitahidi kurudia katika hali yangu ya kawaida ingawa kwa kiasi fulani nilishindwa baada ya muda alitoka kwa sababu aliingia kwa makosa. Dunia sasa imeniacha peke yangu mama ambaye nilikuwa nikimtegemea na nikimpenda kuliko watu wote ndio huyo ameniacha nililia sana kwa kweli. Baada ya muda kupita nilirejea katika hali yangu ya kawaida lakini haikuwa kawaida kama kawaida nilikonda nilipungua mara zote nilikuwa mwenye huzuni machozi yakinidodoka, sikupennda kujiunga na watu katika makundi nilipenda kukaa peke yangu. Sikupenda kula chakula nilikula pale tu niliposikia njaa. Usiku iliniwia vigumu sana kupata usingizi kila nilipolala sura ya mama yangu ilinijia, sikuwa na wakati hata wa wakusoma kila niliposoma machozi yalinibubujika nilipenda kusoma ili nitimize ndoto zangu. Kutimia kwa ndoto zangu ilikuwa ni furaha ya mama yangu, sasa mama yangu hayupo ninasoma kwa ajili ya nani? Nilikata tamaa ya kusoma nilikata tamaa ya kuishi. Walimu walijitahidi sana kunifariji, na kunipa nasaha mbalimbali. Haikusaidia kitu. Martin naye hakuacha kunihusia kwamba hayo yote ni mambo ya dunia yapasa kujipa moyo. Ilikuwa ni siku ya jumanne asubuhi, tukiwa kwenye mkusanyiko jina langu liliitwa mbele kiukweli saikolojia yangu haikuwa vizuri kabisa nilijuwa tu tayari nina kesi nyingine hapo shuleni nilikuwa tayari kwa kila kitu, hata kama nikiambiwa kwamba leo nimefukuzwa shule ningepokea kwa kawaida kabisa, nilishachoshwa na mambo yaliyokuwa yakinikuta, nilijongea mbele kiunyonge zaidi. Shule nzima walinyamaza kimya, wakitegemea kusikia ni tukio gani tena nimelifanya. Maana nilishazoelekea kuwa mtu wa matukio hapo shuleni. Nilipanda mpaka mbele. Mwalimu alichomoa barua na kunikabidhi nilibaki nimeshangaa imetoaka wapi, nilijiuliza. Nilirudi huku nikiwa na mshawasha wa kuifungua barua ili nione ni nini kilichoandikwa ndani yake nilifika darasani hata sikukaa sana nilinyenyuka na kuelekea bwenini nikaifungua barua hiyo na kuanza kuisoma. Nilichokutana nacho kilichoandikwa kwenye hiyo arua kilinifanya nilie upya. Kiliibua huzuni na simanzi ndani ya moyo wangu. Kiliuua kabisa tumaini langu na furaha yangu. Matumaini yangu ya kuwa na furaha yalikatizwa na barua ile, ilikuwa ni barua kutoka kwa mama yangu. “Kwako mwanagu mpendwa na wa pekee naandika barua hii kwa huzuni nyingi nikijua kuwa sitaweza kukuona tena wewe ni kipenzi cha moyo wangu Cathe mama yako anakupenda sana na siku zote nilitamani ufike pale ambapo ulitaka kufikia, najua unajua tumaini langu kwako kuwa natamani utimize ndoto zako lakini, moyo wangu unaumia sana kujuwa kwamba utatimiza ndoto zako ingawa sitoshuhudia naomba ujipe moyo mama yako natangulia na wewe utafata, mpendwa wangu ujaposoma barua hii sitaki ujenge chuki yoyote na mtu yoyote bali uzidishe upendo, mwanangu kilichokupeleka shuleni ndicho unachotakiwa kukizingatia usiangaike na vitu ambavyo siyo lengo lako wala la kwetu sisi kama wazazi wako kukufikisha shuleni, soma sana mwanangu. Wala usisahau kumkumbuka mungu wako kwa maana ndiye atakuwa kiongozi wa maisha yako mwanangu napenda ujue hiki kitu nitakuwa na furaha sana endapo barua hii itakufikia na kuifungua na kuisoma. Mwanangu Cathe, nilipokuzaa wewe ukiwa na miezi minne tu nilikuwa na ujauzito mwingine baba yako alinishawishi kuutoa ingawa nilikataa aliniambia kwamba sitakupa muda wa wewe kukua vizuri kama nitakuwa na ujauzito mwingine baaada ya ushawishi wa muda mrefu nilikubali kuitoa hiyo mimba ambayo ilikuwa ni ya mdogo wako, nilifanikiwa kuitoa lakini ilitoka vibaya, iliharabu mfuko wangu wa uzazi. Baada ya muda, nilianza kusikia maumivu ya tumbo yasiyoisha nilipoenda hospitali niliambiwa mfuko wangu wa uzazi umeharibika haufai tena. Hivyo napaswa kutolewa. Hapo ndipo nilopohakikishiwa kuwa mgumba maisha yangu yote, baba yako alibadilika sana kila mara tulikuwa tukizozana kwasababu alikuwa anataka kupata mtoto mwingine aliniambia endapo sitaweza kumpatia mtoto mwingine basi ataenda kuzaa nje ya ndoa, niliumia sana kwa maana sio mimi niliyetaka kutoa ujauzito bali ni yeye aliyeniamasisha sikuwa na jinsi nilivumilia hayo yote huku nikiweka juhudi kuomba mwanangu. Cathe tukio lililotokea shuleni kwako ingawa sina imani kama ni kweli umefanya hivyo lilimkasirisha sana baba yako, mara zote alijuwa kwamba mimi ni mtu wako wa karibu sana kuliko yeye, kwa maana hiyo kosa lolote wewe ambalo ukifanya lawama zote nilibeba mimi, nashukuru katika kipindi chote katika uhai wangu nilibeba majukumu yangu sawasawa na hata sasa naelekea mwisho wa maisha yangu nimekupigania wewe kama mtoto wangu na naamini utafika sehemu ambayo unatamani kufika baba yako alinipiga sana kwa kosa lako ulilolifanya shuleni. Na baada ya hapo aliondoka hadi ninapoandika waraka huu sijui yuko wapi, nahisi maumivu makali mwilini na hakuna mtu wa kunisaidia. Sitamani tena kuendelea kuishi katika mateso kiasi hiki acha tu nife mwanangu. Nilimwomba tu kijana wa hapo jirani anisaidie kukutumia hii barua ili mwanangu ujue baba yako ni mtu wa aina gani. Sio kwamba umchukie bali umpende na kuishi naye vizuri katika tabia aliyokuwa nayo baba yako ni mkatili sana, mwanangu naona nafsi yangu haina mda mrefu sana nitakufa wakati wowote ule. Nakutakia kila la kheri katika safari ya kutimiza ndoto zako usiache kusomea kile unachokipenda mkumbuke sana mungu usiache kusali kila unapoingiakatika tatizo lolote, mimi ni mama yako mpendwa nakutakia maisha mema binti yangu”. Nilijikuta nimekaa sakafuni bila kujua. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>> *Mwendelezo njoo inbox*

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA TANO.!
Nilianza kukosa raha, maisha ya shule yakawa magumu sana kila nilipopita Candy na kundi lake walikuwa wakinisimanga, matusi, dharau, kusemwa vibaya ikawa kawaida kwangu. Nilibadili ratiba ili kumkwepa Candy nilichelewa sana kulala na kuwahi sana kuamka, siku nzima ningeweza kukaa darasani.
Maloya pia alinisumbua mara kwa mara alinipa vitisho nilishindwa kumkubali ilionekana kama ni tabia yake kutembea na wasichana wa pale shuleni na kuwapa mimba na kisha kuwatoa alinifanya nizidi kumchukia sana.
Martin naye alikuwa akinipa wakati mgumu sana kadri siku zilivyozidi kuendelea alizidi kukosa amani na furaha hakua Martin niliye mzoea, alikonda sana, kiwango chake cha kusoma kilipungua, alikuwa aonekani darasani mara kwa mara ilibidi walimu waanze kufatilia maendeleo yake.
Kwa upande wangu ufaulu wangu ulishuka pia mwalimu mkuu aliingiwa na wasi wasi alimwagiza matron afatalie kwa ukaribu sana maendeleo yangu ili kujua ni nini tatizo.
Siku moja niliitwa ofisini kwa walimu, jopo zima la walimu lilikuwa mbele yangu walinitazama kwa dharau sana sikuwa najua tatizo ni nini walikuwa kimya tu huku wakinong’ona nong’ona, mwalimu Maloya alikuwa akionekana akiwa na ghadhabu kuzidi ya walimu wenzie wote. Nilisimama mbele yao walikuwa wakinitazama bila kusema lolote nilikuwa nimesimama mithili ya mnazi kando ya bahari, nikisukwa na upepo wa kifikra zisizoleta majibu yoyote. Mara martin aliingia akiwa na sura ya kukosa tumaini nilijua mambo yameharibika lakini niishindwa kuelewa ni nini vikao vyote vya kinidhamu lazima Martin awepo kama raisi, moja kwa moja nilijua maloya amenizushia jambo, niliishiwa nguvu nilibaki nikitetemeka na ningeweza kuanguka wakati wowote, Martin alielezwa asimame pembeni yangu nilishindwa kuelewa maana yake nini kama nimefanya kosa hili peke yangu Martini alitakiwa akae pamoja na walimu kwa nini asimame na mimi hapa, sikunyanyua macho yangu kumtazama Martin nilibaki nimejiinamia mithiri ya mtuhumiwa akisubiri akisubiri hukumu yake baada ya kuthibitishwa kuwa ametenda kosa.

Wapendanao hao sauti kali ya mkuu wa shule mwalimu Maige ilitasua ngoma ya masikio yangu niliishiwa nguvu nikataka kuporomoka Martin alinidaka akabaki amenishikilia sikuwa na nguvu ya kuweza kuendelea kusimama nguvu zilikuwa zikiniisha kwa kasi nilipumua kwa shida sana, kitendo cha Martin kunidaka na kunishikilia vile kama amenikumbatia kiupande mkono mmoja ameuweka kiunoni na mwingine amenishikilia bega la kulia kutoka kushoto kwangu alipokuwa amesimama kilitosha kuwafanya walimu wathibitishe uhusiano wetu usiokuwepo.
Machozi ya kukata tamaa yalinitoka
“ni nini hii lakini?” nilijiuliza tu
“uchunguzi uliofanywa na baadhi ya walimu juu ya sababu ya kushuka kwa kiwango cha ufaulu wetu mimi na Martin ulileta majibu kuwa tuna uhusiano wa kimapenzi, jambo lisilokuwa na ukweli wowote.
“Sasa cha ajabu nini kinachokushangaza wewe ni nini au kujua kwamba tumeufahamu uhusiano wenu ndio kinachokushangaza zimia kabisa alafu tuone kama kuna kinachobadilika mtoto Malaya sana wewe umekuja juzi tu umeshaanza mambo ya ajabu ona sasa unavyomshusha mwenzako kimaendeleo martin hakuwa wa akifeli hivi.”
Kauli za kejeli ziliwatoka mfululizo walimu hasa wa kike nilisemwa kwa maneno yote mabaya yanayopatikana katika dunia.
Maloya alikuwa na ghadhabu sana hakika alinisema sana. Nilibaki nikibubujikwa na machozi sielewi hatima yangu walisema sana.
Martin alibaki amenishikilia. Mwishowe waliamuliwa apigiwe simu baba yangu na kuelezwa, baba alipigiwa simu akaelezwa mbele yangu huku simu ikiwa imewekewa mfumo wa sauti mvumo. Nilishangaa utulivu wa baba na aliongea kiupole sana haikuwa kawaida nilimjua baba yangu vizuri.
“Cathe hakuwa na tabia hizo ni mambo tu ya ujanani muwaonye waendelee na masomo yao wamalize wafaulu kwa maana hiyo ndio lengo la kuwaleta watoto wetu shuleni na ni lengo lenu sio muwafukuze mtaua ndoto zao muwaache wasome wamalize mimi kama mzazi mzazi wake naomba hivyo” aliongea kwa utulivu, nilibaki nimeshangaa sikutaka kuamini kama huyu ni baba yangu mzee Kindamba.
Mkuu wa shule aliongea na baba na kumwambia kuwa nimekuelewa na
tumewasamehe watoto hawa na hatuta wafukuza shule tutawapa adhabu na kisha waendelee na masomo yao.
Nilivuta pumzi ya shukurani kwa sababu jinsi navyomjua baba ageweza kuwaambia walimu wanifukuze shule nirudi nikakae nyumbani hakupenda nifanye ujinga wowote.
Ilijadiliwa kuwa Martin aondolewe cheo kama raisi wa shule baadhi ya walimu walipinga kwasababu utendaji kazi wake ulikuwa uko juu na pia shule ingeendeshwa bila kuwa na kiongozi mkuu wa serikali ya wanafunzi hivyo ingeleta katika uwasilishwaji wa matatizo ya wanafunzi katika uongozi wa shule hivyo alionywa endapo tatizo hili likijirudia tena hatua za kinidhmu zitachukuliwa dhidi yake.
Martin alisimama bila kuongea chochote akiwa amenishikilia na sura yake aliyokosa matumaini akiwa ameielekeza kwa chini. Nililaumu nafsi yangu kuwa chanzo cha matatizo ya Martin.
Tulitolewa ofisin hadi katika eneo la mkutano wa asubuhi, katika eneo la mkutaniko. Kengele iligongwa wanafunzi wote walisogea pale. Mkuu wa shule alisimama na kisha kuongea kwa sauti kali.
“Mmekuja hapa shuleni kwa ajili ya kusoma mnapaswa mfuate kilichowaleta hapa sisi tupo hapa kuwasaidia kutimiza ndoto zenu kila kitu kina wakati wake, mambo mengine yote mtayakuta. Fanyeni kilichowaleta hapa na mwachane na mambo mengine yote” kisha mkuu wa shule aliondoka akiwa amejawa hasira sana.
Mwalimu wa nidhamu alijongea mbele na kisha kuueleza umma wa wanafunzi makosa yetu mimi na Martin, makosa yasiyo na ukweli wowote.
Wapo walionicheka wapo walionikebei na wapo wachache waliohuzunika kwa ajili yetu.
“Adhabu yao tutawachapa mbele yenu ili iwe fundisho kwenu na kisha watapewa wiki mbili za kufyeka manyasi yaliyopo nyuma ya shule na baada ya hapo watakuwa mawesamehewa. Na nilazima kwa wao kuingia darasani kuingia darasani vipindi vyote bila kukosa na ndani ya wiki mbili lazima wawe wamemaliza kufanya kazi waliyopewa”
 aliongea mwalimu wa nidhamu na kisha kuanza kutuchapa mimi na Martin.
Lilikuwa ni tukio la aibu sana kuwahi kutokea katika maisha yangu kuadhibiwa mbele ya wanafunzi wenzangu kwa kosa kama hilo, niliumia sana moyoni. Tulichapwa fimbo nyingi tu mimi na Martin na kisha wanafunzi wakaruhusiwa kurejea darasani huku wakiongea mambo mbalimbali kuhusiana na tukio hilo.
Nilianza adhabu yangu ingawa kiunyonge zaidi kila mara nilipokuwa eneo la adhabu nilikuwa nikilia sana, sikutamani kukutana tena na martiniingawa sikuwa na jinsi kuonana nae wakati wa vipindi darsani, mara zote sikupenda kumwangalia.
Siku ya tatu ya adhabu yangu niliitwa na mwalimu ofisini ofisini kwake alikuwa ni mwalimu wa michezo, sir Benson, nilipofika aliniambia kuna simu kutoka kwa mama yangu.
Alimpigia simu mama na kisha nikaongea nae,
“mwanangu Cathe uhali gani” aliongea mama kwa sauti ya upole
“mama mimi mzima shikamoo mama” nilimwamkia,
“marhaba mwanangu nimekukumbuka sana”
“mimi pia mama nilimjibu”
“cathe nataka nikwambie kitu mwanangu”
“ndio mama nasikia” nilisema.
“natamani sana utimize ndoto zako ufike pale ulipokuwa unatamani kufika mwanangu, usiwe na haraka na haya mambo usikimbilie kula pilau kabla haijaiva unakosa utamu wake ni vibaya” aliongea kwa huzuni,
“naelewa mama ni makosa tu mi binadamu nakuahidi kwamba hayatatokea tena” nilisema.
“Usijali mwanagu yote ya dunia siku moja utafika unakotaka kufika, hiyo itakuwa furaha yako alisema kwa upole na kutakia kila la kheri mwanangu tutaonana mungu akipenda” alisema na kukata simu.
Nilijawa na furaha yenye uchungu nilifurahi sana kuongea na mama yangu lakini nilisikitika kwa maneno aliyoniambia na kwa upole aliouonesha niliondoka ofisini nikiwa na mawazo mengi, mama yangu na baba yangu siku hizi wamebadilika sana natamani kuwaona tena nilirejea bwenini.
Zilipita siku kama tano nilipoitwa tena ofisini kwa mwalimu mwalimu alinitazama kwa jicho la uchungu sana.
“Cathe” mwisho aliamua kuniita,
“abee mwalimu”
“yote ni mambo ya dunia kuna siku utayavuka na kuwa na furaha tena” aliniambia,
“najua mwalimu”
nilijua alikuwa akihudhunika sana kutokana na matatizo yaliyokuwa yakinikumba hapo shuleni,
“kuna simu yako” aliongea huku akishusha pumzi.
Nilipokea,
“mwanagu cathe” aliongea baba kwa sauti ya upole kuliko ilivyokawaida
“bee baba shikamoo”
“marhaba ujambo”
“sijambo” sauti yake ilizidi kufifia kila alipokuwa akiongea,
“unaendeleaje mwanangu”
“naendelea vizuri” nilisema,
“Mwanangu Cathe” aliiniita,
“abee baba” alinyamaza kimya nilishindwa kuelewa mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi, nilishindwa kujua tatizo ni nini.
“Baba” niliiita,
“Eee mwanangu” aliongea kwa sauti ya kilio
“Kuna nini?” nlimuuliza.
“Mwanangu” aliniita.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA TANO.! Nilianza kukosa raha, maisha ya shule yakawa magumu sana kila nilipopita Candy na kundi lake walikuwa wakinisimanga, matusi, dharau, kusemwa vibaya ikawa kawaida kwangu. Nilibadili ratiba ili kumkwepa Candy nilichelewa sana kulala na kuwahi sana kuamka, siku nzima ningeweza kukaa darasani. Maloya pia alinisumbua mara kwa mara alinipa vitisho nilishindwa kumkubali ilionekana kama ni tabia yake kutembea na wasichana wa pale shuleni na kuwapa mimba na kisha kuwatoa alinifanya nizidi kumchukia sana. Martin naye alikuwa akinipa wakati mgumu sana kadri siku zilivyozidi kuendelea alizidi kukosa amani na furaha hakua Martin niliye mzoea, alikonda sana, kiwango chake cha kusoma kilipungua, alikuwa aonekani darasani mara kwa mara ilibidi walimu waanze kufatilia maendeleo yake. Kwa upande wangu ufaulu wangu ulishuka pia mwalimu mkuu aliingiwa na wasi wasi alimwagiza matron afatalie kwa ukaribu sana maendeleo yangu ili kujua ni nini tatizo. Siku moja niliitwa ofisini kwa walimu, jopo zima la walimu lilikuwa mbele yangu walinitazama kwa dharau sana sikuwa najua tatizo ni nini walikuwa kimya tu huku wakinong’ona nong’ona, mwalimu Maloya alikuwa akionekana akiwa na ghadhabu kuzidi ya walimu wenzie wote. Nilisimama mbele yao walikuwa wakinitazama bila kusema lolote nilikuwa nimesimama mithili ya mnazi kando ya bahari, nikisukwa na upepo wa kifikra zisizoleta majibu yoyote. Mara martin aliingia akiwa na sura ya kukosa tumaini nilijua mambo yameharibika lakini niishindwa kuelewa ni nini vikao vyote vya kinidhamu lazima Martin awepo kama raisi, moja kwa moja nilijua maloya amenizushia jambo, niliishiwa nguvu nilibaki nikitetemeka na ningeweza kuanguka wakati wowote, Martin alielezwa asimame pembeni yangu nilishindwa kuelewa maana yake nini kama nimefanya kosa hili peke yangu Martini alitakiwa akae pamoja na walimu kwa nini asimame na mimi hapa, sikunyanyua macho yangu kumtazama Martin nilibaki nimejiinamia mithiri ya mtuhumiwa akisubiri akisubiri hukumu yake baada ya kuthibitishwa kuwa ametenda kosa. Wapendanao hao sauti kali ya mkuu wa shule mwalimu Maige ilitasua ngoma ya masikio yangu niliishiwa nguvu nikataka kuporomoka Martin alinidaka akabaki amenishikilia sikuwa na nguvu ya kuweza kuendelea kusimama nguvu zilikuwa zikiniisha kwa kasi nilipumua kwa shida sana, kitendo cha Martin kunidaka na kunishikilia vile kama amenikumbatia kiupande mkono mmoja ameuweka kiunoni na mwingine amenishikilia bega la kulia kutoka kushoto kwangu alipokuwa amesimama kilitosha kuwafanya walimu wathibitishe uhusiano wetu usiokuwepo. Machozi ya kukata tamaa yalinitoka “ni nini hii lakini?” nilijiuliza tu “uchunguzi uliofanywa na baadhi ya walimu juu ya sababu ya kushuka kwa kiwango cha ufaulu wetu mimi na Martin ulileta majibu kuwa tuna uhusiano wa kimapenzi, jambo lisilokuwa na ukweli wowote. “Sasa cha ajabu nini kinachokushangaza wewe ni nini au kujua kwamba tumeufahamu uhusiano wenu ndio kinachokushangaza zimia kabisa alafu tuone kama kuna kinachobadilika mtoto Malaya sana wewe umekuja juzi tu umeshaanza mambo ya ajabu ona sasa unavyomshusha mwenzako kimaendeleo martin hakuwa wa akifeli hivi.” Kauli za kejeli ziliwatoka mfululizo walimu hasa wa kike nilisemwa kwa maneno yote mabaya yanayopatikana katika dunia. Maloya alikuwa na ghadhabu sana hakika alinisema sana. Nilibaki nikibubujikwa na machozi sielewi hatima yangu walisema sana. Martin alibaki amenishikilia. Mwishowe waliamuliwa apigiwe simu baba yangu na kuelezwa, baba alipigiwa simu akaelezwa mbele yangu huku simu ikiwa imewekewa mfumo wa sauti mvumo. Nilishangaa utulivu wa baba na aliongea kiupole sana haikuwa kawaida nilimjua baba yangu vizuri. “Cathe hakuwa na tabia hizo ni mambo tu ya ujanani muwaonye waendelee na masomo yao wamalize wafaulu kwa maana hiyo ndio lengo la kuwaleta watoto wetu shuleni na ni lengo lenu sio muwafukuze mtaua ndoto zao muwaache wasome wamalize mimi kama mzazi mzazi wake naomba hivyo” aliongea kwa utulivu, nilibaki nimeshangaa sikutaka kuamini kama huyu ni baba yangu mzee Kindamba. Mkuu wa shule aliongea na baba na kumwambia kuwa nimekuelewa na tumewasamehe watoto hawa na hatuta wafukuza shule tutawapa adhabu na kisha waendelee na masomo yao. Nilivuta pumzi ya shukurani kwa sababu jinsi navyomjua baba ageweza kuwaambia walimu wanifukuze shule nirudi nikakae nyumbani hakupenda nifanye ujinga wowote. Ilijadiliwa kuwa Martin aondolewe cheo kama raisi wa shule baadhi ya walimu walipinga kwasababu utendaji kazi wake ulikuwa uko juu na pia shule ingeendeshwa bila kuwa na kiongozi mkuu wa serikali ya wanafunzi hivyo ingeleta katika uwasilishwaji wa matatizo ya wanafunzi katika uongozi wa shule hivyo alionywa endapo tatizo hili likijirudia tena hatua za kinidhmu zitachukuliwa dhidi yake. Martin alisimama bila kuongea chochote akiwa amenishikilia na sura yake aliyokosa matumaini akiwa ameielekeza kwa chini. Nililaumu nafsi yangu kuwa chanzo cha matatizo ya Martin. Tulitolewa ofisin hadi katika eneo la mkutano wa asubuhi, katika eneo la mkutaniko. Kengele iligongwa wanafunzi wote walisogea pale. Mkuu wa shule alisimama na kisha kuongea kwa sauti kali. “Mmekuja hapa shuleni kwa ajili ya kusoma mnapaswa mfuate kilichowaleta hapa sisi tupo hapa kuwasaidia kutimiza ndoto zenu kila kitu kina wakati wake, mambo mengine yote mtayakuta. Fanyeni kilichowaleta hapa na mwachane na mambo mengine yote” kisha mkuu wa shule aliondoka akiwa amejawa hasira sana. Mwalimu wa nidhamu alijongea mbele na kisha kuueleza umma wa wanafunzi makosa yetu mimi na Martin, makosa yasiyo na ukweli wowote. Wapo walionicheka wapo walionikebei na wapo wachache waliohuzunika kwa ajili yetu. “Adhabu yao tutawachapa mbele yenu ili iwe fundisho kwenu na kisha watapewa wiki mbili za kufyeka manyasi yaliyopo nyuma ya shule na baada ya hapo watakuwa mawesamehewa. Na nilazima kwa wao kuingia darasani kuingia darasani vipindi vyote bila kukosa na ndani ya wiki mbili lazima wawe wamemaliza kufanya kazi waliyopewa” aliongea mwalimu wa nidhamu na kisha kuanza kutuchapa mimi na Martin. Lilikuwa ni tukio la aibu sana kuwahi kutokea katika maisha yangu kuadhibiwa mbele ya wanafunzi wenzangu kwa kosa kama hilo, niliumia sana moyoni. Tulichapwa fimbo nyingi tu mimi na Martin na kisha wanafunzi wakaruhusiwa kurejea darasani huku wakiongea mambo mbalimbali kuhusiana na tukio hilo. Nilianza adhabu yangu ingawa kiunyonge zaidi kila mara nilipokuwa eneo la adhabu nilikuwa nikilia sana, sikutamani kukutana tena na martiniingawa sikuwa na jinsi kuonana nae wakati wa vipindi darsani, mara zote sikupenda kumwangalia. Siku ya tatu ya adhabu yangu niliitwa na mwalimu ofisini ofisini kwake alikuwa ni mwalimu wa michezo, sir Benson, nilipofika aliniambia kuna simu kutoka kwa mama yangu. Alimpigia simu mama na kisha nikaongea nae, “mwanangu Cathe uhali gani” aliongea mama kwa sauti ya upole “mama mimi mzima shikamoo mama” nilimwamkia, “marhaba mwanangu nimekukumbuka sana” “mimi pia mama nilimjibu” “cathe nataka nikwambie kitu mwanangu” “ndio mama nasikia” nilisema. “natamani sana utimize ndoto zako ufike pale ulipokuwa unatamani kufika mwanangu, usiwe na haraka na haya mambo usikimbilie kula pilau kabla haijaiva unakosa utamu wake ni vibaya” aliongea kwa huzuni, “naelewa mama ni makosa tu mi binadamu nakuahidi kwamba hayatatokea tena” nilisema. “Usijali mwanagu yote ya dunia siku moja utafika unakotaka kufika, hiyo itakuwa furaha yako alisema kwa upole na kutakia kila la kheri mwanangu tutaonana mungu akipenda” alisema na kukata simu. Nilijawa na furaha yenye uchungu nilifurahi sana kuongea na mama yangu lakini nilisikitika kwa maneno aliyoniambia na kwa upole aliouonesha niliondoka ofisini nikiwa na mawazo mengi, mama yangu na baba yangu siku hizi wamebadilika sana natamani kuwaona tena nilirejea bwenini. Zilipita siku kama tano nilipoitwa tena ofisini kwa mwalimu mwalimu alinitazama kwa jicho la uchungu sana. “Cathe” mwisho aliamua kuniita, “abee mwalimu” “yote ni mambo ya dunia kuna siku utayavuka na kuwa na furaha tena” aliniambia, “najua mwalimu” nilijua alikuwa akihudhunika sana kutokana na matatizo yaliyokuwa yakinikumba hapo shuleni, “kuna simu yako” aliongea huku akishusha pumzi. Nilipokea, “mwanagu cathe” aliongea baba kwa sauti ya upole kuliko ilivyokawaida “bee baba shikamoo” “marhaba ujambo” “sijambo” sauti yake ilizidi kufifia kila alipokuwa akiongea, “unaendeleaje mwanangu” “naendelea vizuri” nilisema, “Mwanangu Cathe” aliiniita, “abee baba” alinyamaza kimya nilishindwa kuelewa mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi, nilishindwa kujua tatizo ni nini. “Baba” niliiita, “Eee mwanangu” aliongea kwa sauti ya kilio “Kuna nini?” nlimuuliza. “Mwanangu” aliniita. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA NNE.
“Wewe ndiyo unaejifanya mzuuuuri kuliko wote hapa shuleni kiasi cha kuchukua wanaume za watu unajiamini nini na kwa uzuri gani unanitafta nini wewe kidudu mtu, eeenh” aliongea Candy kwa hasira zenye mchanganyiko wa jazba, nilishindwa kumwelewa nilibaki nimetoa macho huku nimeachama mdomo.
“Candy sielewi unaongea nini?” nilisema.
“Uelewi naongea nini?” Candy aliongea huku amenibania pua.
“Mpumbavu sana we msichana umefika hapa shuleni unaanza kujiona wewe ni mzuri umeshazoea shule kiasi unaingia anga za watu nataka nikwambia kwamba hapa umekalia kuti kavu.”
“Candy unanichanganya sijui unaongea kuhusu nini mbona sikuelewi kwani nimekufanya nini mimi?”
“hujui ee hujui unajifanya hujui” alidakia Naima.
“Usione tumekunyamazia kimya tunakuogopa tunakuchora tu maana umekuja hapa unataka kujifanya wewe staaa eee” walizidi kunichanganya nilishindwa kuwaelewa.
“Candy kama hutaki kunielezea ni nini kimetokea mimi sikuelewi na siwezi kuendelea kukusikiliza nina mambo mengi ya kufaya nielezee tatizo ni lipi ili mi nijue tatizo likowapo sasa unaniambia tu unaniongeleshaongelesha mi vitu sivielewi nashindwa kukuelewa” niliongea kwa kupaniki,
“unashindwa kunielewa?”
Alichukua leso ambayo ilikuwa katika madaftari yangu pale juu.
“hii leso umeipata wapi unajua imetoka wapi hii wewe eee?”
haaa! Nilishangaa.
“Hiyo leso hata sijui kwangu imefikaje” niliongea huku nikionesha kutojiamini
“hiyo leso hata sijui kwangu imefikaje” Aliongea huku amebana pua zake, nilibaki tu nimeshangaa.
“sikia nikwambie kaa mbali na wanaume za watu”
nilijiuliza maswali yaliyokosa majibu, maloya ameweka wapi leso yake kwenye madaftari yangu na ni lini?, nikabaki najiuliza.
Waliendelea kunipasha na kunipashua. Sikutamani kuendelea kuwasikiliza, nilijawa na mawazo mengi sana, waliongea, walinisema na matusi makali ya nguoni walinitukana waliporidhika walicheka kwa dharau na kisha wakatoka.
Nilipanda kitandani kwangu nikiwa mnyonge na mwenye mawazo mengi, nililia sana, nililia mno nimekosa nini mimi, toka nimefika hapa shuleni sina hata miezi miwili tayari nimeshaanza kukutana na mambo ya ajabu kama haya nitaweza kweli, Maloya kwanini umenisababishia matatizo hivi uliweka vipi leso yako katika madaftari yangu ona sasa jinsi nilivyotukanwa, mungu nisaidie, nililia kwa uchungu.
Nililia hadi nilipopitiwa na usingizi nilikuja kuamka tayari ilishakuwa jioni, nilihisi njaa lakini sikuwa na hamu ya kula kabisa. Nilioga na kisha nikatoka kwenda darasani sikutamani hata kuhudhuria kwenye kipindi cha dini cha siku hiyo nilikuwa na mawazo mengi sana, nilipoingia darasani nilishindwa kujisomea, nilikuwa mnyonge sana niliendelea kuwaza na kuwazua pasipo majibu.
“Cathe” Martin aliniita niligeuka na kunitazama kisha nikaendelea nikarudisha macho yangu chini alivuta kiti na kukaa pembeni yangu,
“Cathe unaonekana mnyonge sana leo, unaumwa?” aliniuliza kwa upole
“hapana siumwi niko salama” niliongea kana kwamba nimelazimishwa,
“unaonekana hauko sawa any way kama huoni umuhimu wa kuniambia sawa.”
Niliinama pasipo kumjibu lolote
“Cathe nataka nikwambie kitu” aliongea.
“Nilipofika hapa shuleni nilikuwa nikisumbuliwa sana na wasichana, wengi walikuwa wakinitaka kimapenzi lakini nilikataa kwa vile sikutaka kuwa nao yote kwa yote nilishindwa kwa mtu mmoja tu sio kwa sababu ya kwamba yeye ni mzuri au kwa sababu alikuwa na kila kitu ambacho nilikuwa na kihitaji au kwasababu alikuwa na pesa ila kwasababu alitumia nguvu kuniforce.  Muda mchache wa mapenzi yetu nilijikuta nampenda sana aliongea kwa hisia kali zenye kugusa moyo niligeuza macho yangu na kumtazama
“eeeehe” nilimwambia huku nikionesha utayari wa kuendelea kumsikiliza.
“Alitumia nguvu sana kuniforce sikuwa na jinsi kwa maana alitumia hadi vitisho kwa vile mimi nayeye hatutokei mkoa mmoja niliona atakuwa akinisumbua sijui ni nini kilinifanya najikuta nampenda hivi, vituko vyake vilinichosha. Maisha yaliendelea lakini alikuwa akionekana akibadilika sana kitabia nilichoka kumvumilia,, nikampa uhuru afanye kile anachokitaka, niliendelea na maisha yangu. Siku akinimisi alikuwa akija kwa mbwembwe nyingi, vizawadi na ahadi kemukemu, alikuwa anajishaua mbele yangu, nilikuwa nikimwonesha ushirikiano kwasababu yeye ni mtoto wa kigogo mkubwa sana baba yake ndiye anamiliki hii shule alikuwa akinitishia kunifukuzisha shule mara kwa mara wazazi wangu walikuwa wakinihusia sana kuhusu kusoma, kwasababu wanatoa hela nyingi sana kunilipia ada hapa shuleni hivyo walikuwa hawapendi nifanye ujinga hapa shuleni nilitii amri, kiukweli taarifa yako imeniumiza sana sitaki kuamini kwamba candy wangu alikuwa anatembea na maloya kiasi cha kubeba mimba”
Nilishituka, nikajikuta nimetoa macho, nilishtuka pasipo na kifani. Nilishituka pasipo kawaida pasipo na kifani,
“Martin unaongea nini?” nilimuliza kwa sauti darasa zima waligeuka na kutuangalia
“aaanh sorry class mnaweza mkaendelea kusoma” niliongea kwa woga
Martin alitikisa kichwa pasi na hakuniangalia
“ndivyo ilivyokuwa Cathe” nilishusha pumzi za uwoga,
“inamaana wewe ndiyo uliweka leso yako kwenye madaftari yangu”
aligeuka kwa haraka na kuniangalia
“sijaiyona leso yangu leo nina siku ya pili, ni leso ambayo alinipatia candy”
“ooh my god kumbe” nilionge
“nimetukanwa sana na Candy kisa hiyo leso nilijua ni leso toka kwa Maloya sikujua kama una mahusiano na Candy samahani kwa kukuletea taarifa mbaya” niliongea nilinyanyuka na kusimama, alinivuta mkono,
“martin sikuwahi kujua kama uhusiano wangu na wewe utaleta shida nimekuja hapa kwa ajili ya kusoma sio vitu vingine tazama nimeanza kugombana na watu kisa ni wewe endelea na candy wako na mimi niache nisome” nilisema kwa hasira lakini kwa upole wa ajabu chozi likinitoka.
“Candy yupi sasa?” ailiniuliza kwa kutojiamini,
“Candy mwenye ujauzito wa mwalimu na bado unasema Candy wangu” nilishindwa kuongea nilimwonea huruma sana
“pole kwa kilichokukuta Cathe”
“asante” nilisema kwa upole
“yaliyotokea yamesha tokea la muhimu ni kujua nini kinachofuata nashukuru mungu sihusiki na ujauzito wa Candy” aliongea lakini kwa sauti iliyoonesha kukata tamaa,
“martin kuna tatizo zaidi ya hili?”
“ndio tatizo lipo….., nilijua ni kwa nini Candy alinitakaa mimi na hakupenda uhusiano wetu uwe wazi”
“kwa nini?” niliuliza
“anataka kunitumia mimi kama chambo endapo tatizo litakuwa kubwa” “unamaanisha nini?”
“ninamaanisha huo ujauzito utakapogundulika Candy atanitaja mimi na sio Maloya”
“huuu” nilishusha pumzi ndefu
“pole Martin”
“sijapoa na sitapoa mbele yangu naona giza kubwa sana.”
Nilijutia kiherehere changu cha kwenda kumwambia Martin kuhusu Candy. nilishindwa nimwambie nini mtoto wa watu aliyekuwa mbele yangu amekata tamaa.
“Martin nitakuwa bega kwa bega na wewe nitahakikisha kwamba hakuna kitu kibaya kinatokea kwako, nitakupigania kadri ya uwezo wangu naomba usikate tamaa wala usijifikirie vibaya kuhusu Candy nitasimama upande wako” niliongea kwa kujiamini zaidi, aliniangalia, akaachia tabasamu la uchungu
“aaahh sawa” alisema.
“ok”
“tuendelee kusoma” nilisema.
“sina mood wa kusoma kabisa” alisema,
“mimi pia”
“basi tupige story nyingine.”
Tuliendelea kupiga story nyingine mpaka mda wa prepo ulipoisha aliomba kwenda kupumzika na mimi nilielekea chumbani kwajili ya  kupumzika.
Kila siku ugumu ulizidi, nilikuwa nikitukanwa kila sehemi niliyokuwa napita na marafiki zake Candy nilichekwa bila sababu, huku nikiendelea kupata adhabu.
Siku moja niliitwa na mwalimu Maloya ofisini kwake niliogopa hata kwenda ingawa na jinsi, nilipofika alinikaribisha kwa tabasamu pana lililofanya uzuri wake uzidi kuonekana zaidi.
“karibu Cathe, karibu ukae.” Nilikaa kwenye kiti.
“Cathe unajua wewe ni msichana mzuri sana sijaona msichana mzuri kama wewe hapa shuleni, naomba unisaidie kitu kimoja” aliongea, nilishikwa na bumbuwazi lisilo na kifani.
“nikusaidie nini tena mwalimu, mimi nina uwezo wa kukusaidia kitu gani?”
“aaaaa usiwe na haraka Cathe nisikilize kwa umakini” aliongea.
Alisimama kutoka kwenye kiti chake akazunguka meza iliyokuwa katikati yetu hadi alipofikia kwenye kiti ambacho nilikuwa nimeketi akanishika begani,
“Cathe nakuhitaji” alisema
“aaaaaa hapana mwalimu” niliongea nikiutoa mkono wake.
“sitaki”,
“Cathe embu nionee huruma mwenzio nakuhitaji sana”
Alinichefua nilitamani kumwambia kuhusu yeye na Candy lakini nilisita nikaamua  kunyamaza kimya.
“hapana mwalimu ninakuheshimu sana naomba heshima hii iendelee kati yangu mimi na wewe, siwezi naomba uniache ” niliongea kwa kujiamni na kisha kutoka nje.
Nikarejea bwenini, sikuweza kuendelea na vipindi vya siku hiyo, nikajifungia mlango nikaanza kulia.
Nikajuta kujua kwangu mahusiano kati ya Candy na Martin na kati Candy na Maloya.
Nilijiona nimejisababishia matatizo makubwa sana kitu ambacho sikujua ni kwamba kuna matatizo makubwa mbele yangu zaidi ya hayo yaliyokuwa yakinikabili, katika maisha yangu yote niliilaumu high school imenibadilisha maisha yangu sana na kunifanya kuwa kiumbe mwenye roho ya utofauti.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA NNE. “Wewe ndiyo unaejifanya mzuuuuri kuliko wote hapa shuleni kiasi cha kuchukua wanaume za watu unajiamini nini na kwa uzuri gani unanitafta nini wewe kidudu mtu, eeenh” aliongea Candy kwa hasira zenye mchanganyiko wa jazba, nilishindwa kumwelewa nilibaki nimetoa macho huku nimeachama mdomo. “Candy sielewi unaongea nini?” nilisema. “Uelewi naongea nini?” Candy aliongea huku amenibania pua. “Mpumbavu sana we msichana umefika hapa shuleni unaanza kujiona wewe ni mzuri umeshazoea shule kiasi unaingia anga za watu nataka nikwambia kwamba hapa umekalia kuti kavu.” “Candy unanichanganya sijui unaongea kuhusu nini mbona sikuelewi kwani nimekufanya nini mimi?” “hujui ee hujui unajifanya hujui” alidakia Naima. “Usione tumekunyamazia kimya tunakuogopa tunakuchora tu maana umekuja hapa unataka kujifanya wewe staaa eee” walizidi kunichanganya nilishindwa kuwaelewa. “Candy kama hutaki kunielezea ni nini kimetokea mimi sikuelewi na siwezi kuendelea kukusikiliza nina mambo mengi ya kufaya nielezee tatizo ni lipi ili mi nijue tatizo likowapo sasa unaniambia tu unaniongeleshaongelesha mi vitu sivielewi nashindwa kukuelewa” niliongea kwa kupaniki, “unashindwa kunielewa?” Alichukua leso ambayo ilikuwa katika madaftari yangu pale juu. “hii leso umeipata wapi unajua imetoka wapi hii wewe eee?” haaa! Nilishangaa. “Hiyo leso hata sijui kwangu imefikaje” niliongea huku nikionesha kutojiamini “hiyo leso hata sijui kwangu imefikaje” Aliongea huku amebana pua zake, nilibaki tu nimeshangaa. “sikia nikwambie kaa mbali na wanaume za watu” nilijiuliza maswali yaliyokosa majibu, maloya ameweka wapi leso yake kwenye madaftari yangu na ni lini?, nikabaki najiuliza. Waliendelea kunipasha na kunipashua. Sikutamani kuendelea kuwasikiliza, nilijawa na mawazo mengi sana, waliongea, walinisema na matusi makali ya nguoni walinitukana waliporidhika walicheka kwa dharau na kisha wakatoka. Nilipanda kitandani kwangu nikiwa mnyonge na mwenye mawazo mengi, nililia sana, nililia mno nimekosa nini mimi, toka nimefika hapa shuleni sina hata miezi miwili tayari nimeshaanza kukutana na mambo ya ajabu kama haya nitaweza kweli, Maloya kwanini umenisababishia matatizo hivi uliweka vipi leso yako katika madaftari yangu ona sasa jinsi nilivyotukanwa, mungu nisaidie, nililia kwa uchungu. Nililia hadi nilipopitiwa na usingizi nilikuja kuamka tayari ilishakuwa jioni, nilihisi njaa lakini sikuwa na hamu ya kula kabisa. Nilioga na kisha nikatoka kwenda darasani sikutamani hata kuhudhuria kwenye kipindi cha dini cha siku hiyo nilikuwa na mawazo mengi sana, nilipoingia darasani nilishindwa kujisomea, nilikuwa mnyonge sana niliendelea kuwaza na kuwazua pasipo majibu. “Cathe” Martin aliniita niligeuka na kunitazama kisha nikaendelea nikarudisha macho yangu chini alivuta kiti na kukaa pembeni yangu, “Cathe unaonekana mnyonge sana leo, unaumwa?” aliniuliza kwa upole “hapana siumwi niko salama” niliongea kana kwamba nimelazimishwa, “unaonekana hauko sawa any way kama huoni umuhimu wa kuniambia sawa.” Niliinama pasipo kumjibu lolote “Cathe nataka nikwambie kitu” aliongea. “Nilipofika hapa shuleni nilikuwa nikisumbuliwa sana na wasichana, wengi walikuwa wakinitaka kimapenzi lakini nilikataa kwa vile sikutaka kuwa nao yote kwa yote nilishindwa kwa mtu mmoja tu sio kwa sababu ya kwamba yeye ni mzuri au kwa sababu alikuwa na kila kitu ambacho nilikuwa na kihitaji au kwasababu alikuwa na pesa ila kwasababu alitumia nguvu kuniforce. Muda mchache wa mapenzi yetu nilijikuta nampenda sana aliongea kwa hisia kali zenye kugusa moyo niligeuza macho yangu na kumtazama “eeeehe” nilimwambia huku nikionesha utayari wa kuendelea kumsikiliza. “Alitumia nguvu sana kuniforce sikuwa na jinsi kwa maana alitumia hadi vitisho kwa vile mimi nayeye hatutokei mkoa mmoja niliona atakuwa akinisumbua sijui ni nini kilinifanya najikuta nampenda hivi, vituko vyake vilinichosha. Maisha yaliendelea lakini alikuwa akionekana akibadilika sana kitabia nilichoka kumvumilia,, nikampa uhuru afanye kile anachokitaka, niliendelea na maisha yangu. Siku akinimisi alikuwa akija kwa mbwembwe nyingi, vizawadi na ahadi kemukemu, alikuwa anajishaua mbele yangu, nilikuwa nikimwonesha ushirikiano kwasababu yeye ni mtoto wa kigogo mkubwa sana baba yake ndiye anamiliki hii shule alikuwa akinitishia kunifukuzisha shule mara kwa mara wazazi wangu walikuwa wakinihusia sana kuhusu kusoma, kwasababu wanatoa hela nyingi sana kunilipia ada hapa shuleni hivyo walikuwa hawapendi nifanye ujinga hapa shuleni nilitii amri, kiukweli taarifa yako imeniumiza sana sitaki kuamini kwamba candy wangu alikuwa anatembea na maloya kiasi cha kubeba mimba” Nilishituka, nikajikuta nimetoa macho, nilishtuka pasipo na kifani. Nilishituka pasipo kawaida pasipo na kifani, “Martin unaongea nini?” nilimuliza kwa sauti darasa zima waligeuka na kutuangalia “aaanh sorry class mnaweza mkaendelea kusoma” niliongea kwa woga Martin alitikisa kichwa pasi na hakuniangalia “ndivyo ilivyokuwa Cathe” nilishusha pumzi za uwoga, “inamaana wewe ndiyo uliweka leso yako kwenye madaftari yangu” aligeuka kwa haraka na kuniangalia “sijaiyona leso yangu leo nina siku ya pili, ni leso ambayo alinipatia candy” “ooh my god kumbe” nilionge “nimetukanwa sana na Candy kisa hiyo leso nilijua ni leso toka kwa Maloya sikujua kama una mahusiano na Candy samahani kwa kukuletea taarifa mbaya” niliongea nilinyanyuka na kusimama, alinivuta mkono, “martin sikuwahi kujua kama uhusiano wangu na wewe utaleta shida nimekuja hapa kwa ajili ya kusoma sio vitu vingine tazama nimeanza kugombana na watu kisa ni wewe endelea na candy wako na mimi niache nisome” nilisema kwa hasira lakini kwa upole wa ajabu chozi likinitoka. “Candy yupi sasa?” ailiniuliza kwa kutojiamini, “Candy mwenye ujauzito wa mwalimu na bado unasema Candy wangu” nilishindwa kuongea nilimwonea huruma sana “pole kwa kilichokukuta Cathe” “asante” nilisema kwa upole “yaliyotokea yamesha tokea la muhimu ni kujua nini kinachofuata nashukuru mungu sihusiki na ujauzito wa Candy” aliongea lakini kwa sauti iliyoonesha kukata tamaa, “martin kuna tatizo zaidi ya hili?” “ndio tatizo lipo….., nilijua ni kwa nini Candy alinitakaa mimi na hakupenda uhusiano wetu uwe wazi” “kwa nini?” niliuliza “anataka kunitumia mimi kama chambo endapo tatizo litakuwa kubwa” “unamaanisha nini?” “ninamaanisha huo ujauzito utakapogundulika Candy atanitaja mimi na sio Maloya” “huuu” nilishusha pumzi ndefu “pole Martin” “sijapoa na sitapoa mbele yangu naona giza kubwa sana.” Nilijutia kiherehere changu cha kwenda kumwambia Martin kuhusu Candy. nilishindwa nimwambie nini mtoto wa watu aliyekuwa mbele yangu amekata tamaa. “Martin nitakuwa bega kwa bega na wewe nitahakikisha kwamba hakuna kitu kibaya kinatokea kwako, nitakupigania kadri ya uwezo wangu naomba usikate tamaa wala usijifikirie vibaya kuhusu Candy nitasimama upande wako” niliongea kwa kujiamini zaidi, aliniangalia, akaachia tabasamu la uchungu “aaahh sawa” alisema. “ok” “tuendelee kusoma” nilisema. “sina mood wa kusoma kabisa” alisema, “mimi pia” “basi tupige story nyingine.” Tuliendelea kupiga story nyingine mpaka mda wa prepo ulipoisha aliomba kwenda kupumzika na mimi nilielekea chumbani kwajili ya kupumzika. Kila siku ugumu ulizidi, nilikuwa nikitukanwa kila sehemi niliyokuwa napita na marafiki zake Candy nilichekwa bila sababu, huku nikiendelea kupata adhabu. Siku moja niliitwa na mwalimu Maloya ofisini kwake niliogopa hata kwenda ingawa na jinsi, nilipofika alinikaribisha kwa tabasamu pana lililofanya uzuri wake uzidi kuonekana zaidi. “karibu Cathe, karibu ukae.” Nilikaa kwenye kiti. “Cathe unajua wewe ni msichana mzuri sana sijaona msichana mzuri kama wewe hapa shuleni, naomba unisaidie kitu kimoja” aliongea, nilishikwa na bumbuwazi lisilo na kifani. “nikusaidie nini tena mwalimu, mimi nina uwezo wa kukusaidia kitu gani?” “aaaaa usiwe na haraka Cathe nisikilize kwa umakini” aliongea. Alisimama kutoka kwenye kiti chake akazunguka meza iliyokuwa katikati yetu hadi alipofikia kwenye kiti ambacho nilikuwa nimeketi akanishika begani, “Cathe nakuhitaji” alisema “aaaaaa hapana mwalimu” niliongea nikiutoa mkono wake. “sitaki”, “Cathe embu nionee huruma mwenzio nakuhitaji sana” Alinichefua nilitamani kumwambia kuhusu yeye na Candy lakini nilisita nikaamua kunyamaza kimya. “hapana mwalimu ninakuheshimu sana naomba heshima hii iendelee kati yangu mimi na wewe, siwezi naomba uniache ” niliongea kwa kujiamni na kisha kutoka nje. Nikarejea bwenini, sikuweza kuendelea na vipindi vya siku hiyo, nikajifungia mlango nikaanza kulia. Nikajuta kujua kwangu mahusiano kati ya Candy na Martin na kati Candy na Maloya. Nilijiona nimejisababishia matatizo makubwa sana kitu ambacho sikujua ni kwamba kuna matatizo makubwa mbele yangu zaidi ya hayo yaliyokuwa yakinikabili, katika maisha yangu yote niliilaumu high school imenibadilisha maisha yangu sana na kunifanya kuwa kiumbe mwenye roho ya utofauti. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA TATU.
Niliyazoea mazingira ya shule mpya, ilikuwa ni shule ya kifahari ambayo haikuwa rahisi kwa mtu wa kawaida kuweza kumsomesha mtoto wake. Ufaulu wangu pia ulikuwa juu. Mwalimu Maloya ambaye alikuwa ni mwalimu wa mazingira alikuwa akifatilia maendeleo yangu kwa ukaribu zaidi, mara zote nilipokosea aliniita ofisini kwake na kunionya. Na wakati nilipofanya vizuri hakusita kunisifia mbele ya watu, nilimpenda kwakuwa alijali maendeleo yangu.
Candy aliendelea na tabia yake ya kulala kila mara, mara nyingi nilimkuta amelala wakati wa vipindi, nilijua ndio aina yake ya maisha aliyokuwa akiishi tangu alipofika shuleni kwani pamoja na tabia yake ya kulala kupitiliza Candy alikuwa vizuri kimasomo, kitaaluma alikuwa juu na alikuwa akiwaongoza wenzie darasani. Dharau za Candy zilizidi maradufu sikujali kabisa.
Urafiki wangu na Martin ulizidi kadri siku zilivyozidi kwenda, alikuwa ni mvulana mwenye kujali, mpole na mwenye haiba nzuri. Mwanzoni sikupenda kampani ya wavulana, lakini kutokana na haiba yake niliweza kumzoea na tulishirikiana kwenye masomo na kuweka ushindani baina yetu. Nilikuja kugundua martin ni raisi (kiranja mkuu wa shule) na pia alikuwa ni kiongozi wa kwaya kwenye jumuiya yetu kanisani. Alipenda kuimba na alikuwa na sauti nzuri sana.
Pia nilikuja kujua kuwa Candy alikuwa
ni kiongozi wa mazingira. Candy alianza tabia ya kujiandaa alfajiri mapema kabla sijaamka kila nilipoamka nilikuta tayari ameshamaliza na wakati mwingine alishaondoka. Hakuwa na nafasi katika akili yangu hivyo nilimpotezea.
Ilikuwa ni siku ya ijumaa siku niliyowahi kuamka tofauti na kawaida nilimshuhudia candy akivaa mkanda wa kupunguza tumbo nilijiuliza maswali bila majibu mkanda wa nini na hakuwa na tumbo. Huku nikijifanya nimelala niliendelea kumtazama wakati akivaa.
“Ili tumbo mwishowe litaniumbua, looh!” alijiongelesha mwenyewe.
“Leo lazima huyu kidudu mtu anipe mustakabali wangu kabla mambo hayajawa mabaya”, aliongea.
Nilichelewa kugundua kuwa candy ni mjamzito. aliendelea kujiandaa na kisha alijongea kabatini kwake. Alipofika kwenye meza ya kujisomea mahali nilipoweka daftari zangu na vitu vyangu alisita, alichomoa kitambaa ambacho hata kwangu kilionekana kipya sikuwa nimewahi kuwa na kitambaa cha namna hiyo nilijiuliza kimetoka wapi na cha nani na kimefikaje kwangu, bila majibu. Candy alikitazama, akasonya na kisha akakirudisha kilipokuwa na kisha akaliendea kabati lake.
“Candy” sauti ilipenya kwenye masikio yangu, alikuwa ni msichana mwingine ambaye nilizoea kumwona pale shuleni ambaye alikuwa akiitwa Naima alipenda kujiita Nana.
“Niambie best yangu” Candy alijibu,
“meseji yako nimeiona leo asubuhi nikaona nije sasa hivi kabla ya kuingia darasani” alisema Naima.
“Ndio hivyo shoga yangu” Candy alijibu.
“sasa itakuwaje?” Naima aliuliza,
“Nataka nimfate maloya anipeleke nikaitoe kwa maana imeshafikisha miezi miwili, mwisho wake tumbo litakuwa kubwa itajulikana hali itakuwa mbaya zaidi.”
Kijasho chembamba kilinitiririka kumbe Candy ana uhusiano na Maloya uhusiano uliozaa mimba na sasa wanampango wa kuitoa hiyo mimba, duuh! Nilichoka.
Waliendele na maongezi yao hadi walipofikia muafaka kuwa candy aende kwa Maloya ampeleke kuitoa hiyo mimba.
“Huyu kiazi ajasikia kweli?” aliongea Naima kwa dharau
“mmmh, linalala kama ling’ombe” Candy alijibu kwa nyodo wakacheka na kisha wakatoka.
Niliendelea kuwaza pale kitandani candy kwanini umefanya hivyo jamani we ni msichana mzuri kwanini unajiaribia uzuri wako niliwaza. Ni kweli Maloya alikuwa kijana tena mzuri alikuwa ni mwalimu mzuri sana na zaidi ya yote alikuwa na haiba nzuri, lakini Candy ni kwanini ukaingilia mambo haya wakati sio wako. Ona sasa umepata ujauzito na sasa unataka kuhatarisha maisha yako kwa kutoa huo ujauzito. Niliendelea kuwaza pasipokuwa na majibu.
Nilikuja kushituka wakati umeshaenda na nilikuwa nimeshachelewa sana niliamka na kujiandaa kwa haraka na kukimbilia darasani muda wote nilionekana mtu mwenye mawazo sana, Martha aliligundua hilo na Martin pia, kila mmoja aliniuliza kwa wakati wake. Nilimjibu Martha sina tatizo.
“Martin ninaomba mda niongee na wewe” nilimwambia Martin
“aaanh sawa tutaongea wakati wa mapumziko” alinijibu kwa sauti yake nzuri.
Kiukweli nilishindwa kuvumilia kuyabeba mambo ambayo niliyasikia asubuhi ya siku hiyo niliona ni vema kumshirikisha Martin kwa sababu nilikuwa nikimuamini na alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Wakati wa mapumziko hatukwenda kula tulibakia darasani.
“Martin”
“nakusikiliza bibie” Martin alijibu.
“Unafahamu kwamba naishi na Candy chumba kimoja?”
“ndiyo najua” alisema.
“Kiukweli nimejua kitu ambacho binafsi kimenichanganya sana na nimeshindwa kuvumilia kukaa nacho nimeona bora nikushirikishe”
“niambie kitu gani hiko?” alisema Martin.
“Candy ni mjamzito” Martin alishituka isivyo kawaida tofauti na nilivyo tegemea.
“Say whaaat!?” alisema kwa ghadhabu
“Martin candy ni mjamzito.”
“Huweza kuwa serious Catherine, kwanini unaongea utani?” aliniuliza.
“Hapana sio utani nina uhakika na hilo.”
Alishindwa kuendelea alibakia akitweta huku jasho jembamba likimtiririka.
“Na ana mpango wa kuitoa” niliendelea,
hakujibu aliendelea kujiinamia pale chini.
“Kibaya zaidi” niliendelea,
“ujauzito huo ni wa mwalimu maloya.”
Martin aligeuka na kunitazama kwa jicho kali “unaongea nini wewe?”
“Martin huamini ninachokuambia?” niliongeza.
“Katika siku ambayo umewahi kunichanganya leo ni siku ya kwanza sitaki kukwamini Catherine sitaki kabisa” alisema Martin kwa sauti ya kukata tamaa.
“Martin nina uhakika na ninacho kiongea.”
“Kumbe ndo mana candy amebadilika sana siku hizi aonekani darasani hataki tena kuja kuniona naa…..”
Ni kama alishitushwa na akaishia hapo, “ok sawa nitalifanyia kazi kwaheri Catherine.”
Aliondoka Martin mbele yangu, nilitamani kumwita lakini nilishindwa nilijua kutokana na yeye kuwa ni raisi wa shule lazima ingemchanganya lakini sio kwa kiwango kama hicho.
Ana nini huyu Candy anamhusu vipi? Nilijiuliza maswali bila majibu.
Mwisho wa yote niliendelea kukaa darasani kwa ajili ya vipindi Martin hakurudi tena, vipindi vilipoisha nilirejea bwenini kwetu. Nilipoingia chumbani kwangu nilimkuta Naima na Candy wamesimama kana kwamba wanamsubiri mtu kisharishari nilisita nikaingia na kisha nikawasalimia mambo zenu, hawakunijibu.
Nilishangaa kwani kuna tatizo lolote niliuliza hawakunijibu baada ya kukosa majibu niliamua kuendelea na mambo yangu, nikasogea mezani kwangu kwa ajili ya kuweka madaftari yangu, candy alinisukuma.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA TATU. Niliyazoea mazingira ya shule mpya, ilikuwa ni shule ya kifahari ambayo haikuwa rahisi kwa mtu wa kawaida kuweza kumsomesha mtoto wake. Ufaulu wangu pia ulikuwa juu. Mwalimu Maloya ambaye alikuwa ni mwalimu wa mazingira alikuwa akifatilia maendeleo yangu kwa ukaribu zaidi, mara zote nilipokosea aliniita ofisini kwake na kunionya. Na wakati nilipofanya vizuri hakusita kunisifia mbele ya watu, nilimpenda kwakuwa alijali maendeleo yangu. Candy aliendelea na tabia yake ya kulala kila mara, mara nyingi nilimkuta amelala wakati wa vipindi, nilijua ndio aina yake ya maisha aliyokuwa akiishi tangu alipofika shuleni kwani pamoja na tabia yake ya kulala kupitiliza Candy alikuwa vizuri kimasomo, kitaaluma alikuwa juu na alikuwa akiwaongoza wenzie darasani. Dharau za Candy zilizidi maradufu sikujali kabisa. Urafiki wangu na Martin ulizidi kadri siku zilivyozidi kwenda, alikuwa ni mvulana mwenye kujali, mpole na mwenye haiba nzuri. Mwanzoni sikupenda kampani ya wavulana, lakini kutokana na haiba yake niliweza kumzoea na tulishirikiana kwenye masomo na kuweka ushindani baina yetu. Nilikuja kugundua martin ni raisi (kiranja mkuu wa shule) na pia alikuwa ni kiongozi wa kwaya kwenye jumuiya yetu kanisani. Alipenda kuimba na alikuwa na sauti nzuri sana. Pia nilikuja kujua kuwa Candy alikuwa ni kiongozi wa mazingira. Candy alianza tabia ya kujiandaa alfajiri mapema kabla sijaamka kila nilipoamka nilikuta tayari ameshamaliza na wakati mwingine alishaondoka. Hakuwa na nafasi katika akili yangu hivyo nilimpotezea. Ilikuwa ni siku ya ijumaa siku niliyowahi kuamka tofauti na kawaida nilimshuhudia candy akivaa mkanda wa kupunguza tumbo nilijiuliza maswali bila majibu mkanda wa nini na hakuwa na tumbo. Huku nikijifanya nimelala niliendelea kumtazama wakati akivaa. “Ili tumbo mwishowe litaniumbua, looh!” alijiongelesha mwenyewe. “Leo lazima huyu kidudu mtu anipe mustakabali wangu kabla mambo hayajawa mabaya”, aliongea. Nilichelewa kugundua kuwa candy ni mjamzito. aliendelea kujiandaa na kisha alijongea kabatini kwake. Alipofika kwenye meza ya kujisomea mahali nilipoweka daftari zangu na vitu vyangu alisita, alichomoa kitambaa ambacho hata kwangu kilionekana kipya sikuwa nimewahi kuwa na kitambaa cha namna hiyo nilijiuliza kimetoka wapi na cha nani na kimefikaje kwangu, bila majibu. Candy alikitazama, akasonya na kisha akakirudisha kilipokuwa na kisha akaliendea kabati lake. “Candy” sauti ilipenya kwenye masikio yangu, alikuwa ni msichana mwingine ambaye nilizoea kumwona pale shuleni ambaye alikuwa akiitwa Naima alipenda kujiita Nana. “Niambie best yangu” Candy alijibu, “meseji yako nimeiona leo asubuhi nikaona nije sasa hivi kabla ya kuingia darasani” alisema Naima. “Ndio hivyo shoga yangu” Candy alijibu. “sasa itakuwaje?” Naima aliuliza, “Nataka nimfate maloya anipeleke nikaitoe kwa maana imeshafikisha miezi miwili, mwisho wake tumbo litakuwa kubwa itajulikana hali itakuwa mbaya zaidi.” Kijasho chembamba kilinitiririka kumbe Candy ana uhusiano na Maloya uhusiano uliozaa mimba na sasa wanampango wa kuitoa hiyo mimba, duuh! Nilichoka. Waliendele na maongezi yao hadi walipofikia muafaka kuwa candy aende kwa Maloya ampeleke kuitoa hiyo mimba. “Huyu kiazi ajasikia kweli?” aliongea Naima kwa dharau “mmmh, linalala kama ling’ombe” Candy alijibu kwa nyodo wakacheka na kisha wakatoka. Niliendelea kuwaza pale kitandani candy kwanini umefanya hivyo jamani we ni msichana mzuri kwanini unajiaribia uzuri wako niliwaza. Ni kweli Maloya alikuwa kijana tena mzuri alikuwa ni mwalimu mzuri sana na zaidi ya yote alikuwa na haiba nzuri, lakini Candy ni kwanini ukaingilia mambo haya wakati sio wako. Ona sasa umepata ujauzito na sasa unataka kuhatarisha maisha yako kwa kutoa huo ujauzito. Niliendelea kuwaza pasipokuwa na majibu. Nilikuja kushituka wakati umeshaenda na nilikuwa nimeshachelewa sana niliamka na kujiandaa kwa haraka na kukimbilia darasani muda wote nilionekana mtu mwenye mawazo sana, Martha aliligundua hilo na Martin pia, kila mmoja aliniuliza kwa wakati wake. Nilimjibu Martha sina tatizo. “Martin ninaomba mda niongee na wewe” nilimwambia Martin “aaanh sawa tutaongea wakati wa mapumziko” alinijibu kwa sauti yake nzuri. Kiukweli nilishindwa kuvumilia kuyabeba mambo ambayo niliyasikia asubuhi ya siku hiyo niliona ni vema kumshirikisha Martin kwa sababu nilikuwa nikimuamini na alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Wakati wa mapumziko hatukwenda kula tulibakia darasani. “Martin” “nakusikiliza bibie” Martin alijibu. “Unafahamu kwamba naishi na Candy chumba kimoja?” “ndiyo najua” alisema. “Kiukweli nimejua kitu ambacho binafsi kimenichanganya sana na nimeshindwa kuvumilia kukaa nacho nimeona bora nikushirikishe” “niambie kitu gani hiko?” alisema Martin. “Candy ni mjamzito” Martin alishituka isivyo kawaida tofauti na nilivyo tegemea. “Say whaaat!?” alisema kwa ghadhabu “Martin candy ni mjamzito.” “Huweza kuwa serious Catherine, kwanini unaongea utani?” aliniuliza. “Hapana sio utani nina uhakika na hilo.” Alishindwa kuendelea alibakia akitweta huku jasho jembamba likimtiririka. “Na ana mpango wa kuitoa” niliendelea, hakujibu aliendelea kujiinamia pale chini. “Kibaya zaidi” niliendelea, “ujauzito huo ni wa mwalimu maloya.” Martin aligeuka na kunitazama kwa jicho kali “unaongea nini wewe?” “Martin huamini ninachokuambia?” niliongeza. “Katika siku ambayo umewahi kunichanganya leo ni siku ya kwanza sitaki kukwamini Catherine sitaki kabisa” alisema Martin kwa sauti ya kukata tamaa. “Martin nina uhakika na ninacho kiongea.” “Kumbe ndo mana candy amebadilika sana siku hizi aonekani darasani hataki tena kuja kuniona naa…..” Ni kama alishitushwa na akaishia hapo, “ok sawa nitalifanyia kazi kwaheri Catherine.” Aliondoka Martin mbele yangu, nilitamani kumwita lakini nilishindwa nilijua kutokana na yeye kuwa ni raisi wa shule lazima ingemchanganya lakini sio kwa kiwango kama hicho. Ana nini huyu Candy anamhusu vipi? Nilijiuliza maswali bila majibu. Mwisho wa yote niliendelea kukaa darasani kwa ajili ya vipindi Martin hakurudi tena, vipindi vilipoisha nilirejea bwenini kwetu. Nilipoingia chumbani kwangu nilimkuta Naima na Candy wamesimama kana kwamba wanamsubiri mtu kisharishari nilisita nikaingia na kisha nikawasalimia mambo zenu, hawakunijibu. Nilishangaa kwani kuna tatizo lolote niliuliza hawakunijibu baada ya kukosa majibu niliamua kuendelea na mambo yangu, nikasogea mezani kwangu kwa ajili ya kuweka madaftari yangu, candy alinisukuma. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>

...
RIWAYA: HIGH SCHOOL

SEHEMU YA PILI.
Nilifanikiwa kupanga vitu vyangu katika mpangilio uliopendeza mbele za macho yangu baada ya hapo nilijiandaa kwa ajili ya ratiba za siku hiyo. Uniform mpya zilinipendeza hakika, sketi yangu fupi nyeusi iliyochanua vyema, shati langu jeupe la mikono mirefu, tai ya pundamilia, soksi ndefu zilizonifika magotini na viatu nilipendeza sana.
Muda ulipokaribia mimi na Candy tuliongozana hadi mstarini na baada ya matangazo machache tuliruhusiwa kuingia madarasani. Candy aliniongoza mpaka kwenye darasa letu.
Ili ndilo darasa lako aliongea kwa dharau na kisha akaondoka kwa hatua za mikogo, nilibaki nikimtazama mpaka alipopotelea. Hakika Candy ni msichana mzuri niliwaza.
Dakika moja ya kumshangaa Candy ilipoisha niliamua kuingia darasani na wakati huo wakati naingia darasani nilijigonga kwenye paji la uso mlangoni. Nilihisi maumivu makali.
Madaftari mawili ambayo hayakutosha kwenye kibegi changu cha mgongoni yalidondoka. Nilichutama ili kuyaokota na hapo nilijigonga tena na safari hii sio kwenye mlango tena bali ni mtu alikuwa amenigonga, nilikasirika sana. Nikageuka kwa ghadhabu ili nimuone ni nani ambaye amenigonga nilikutana na sura nzuri ya kiume iliyopambwa na tabasamu laini, hakika sikuwahi kukutana nalo katika maisha yangu yaliyopita.
“Sorry” alisema kwa sauti tamu.
“Aaaanh usijali nilikua nakusaidia kuokota madaftari yako lakini kwa bahati mbaya nikakugonga samahani kwa hilo.”
“usijali na asante sana” nilisema.
Aliniokotea madaftari yangu na kisha akanikabidhi, “wewe ni mgeni mahali hapa sijawahi kukuona.”
“Ndio nimehamia jana”
“Karibu sana”
“Asante” nilisema.
“Unasoma combination gani?”
“Niko ECA”
“Wooow karibu kwenye darasa letu”
“Asante”
“Naitwa Martin, sijui wewe unaitwa nani?”
“Naitwa Catherine.”
“Catherine karibu sana.”
“Asante.”
Alinishika mkono na kuniongoza darasani, alisimama mbele ya darasa na kuongea kwa sauti nzuri ya kiume.
“Hello class huyu ni mwanafunzi mpya atajitambulisha anahitaji ushirikiano wenu.” Akaniachia nafasi nijitambulishe mbele ya darasa.
Nikasema kwa uwoga hali nimeshikwa na aibu za kike.
“Hello class naitwa Catherine nimetokea Kibasila” nilishindwa kuendelea, watu walicheka na kisha wakanikaribisha. Nilioneshwa sehemu ya kukaa pembeni yangu aliketi msichana mzuri alinisalimia “hello naitwa Martha karibu sana.” Nilitabasamu na kisha nikamwambia asante.
Ghafla mwalimu aliingia akiwa mwenye ghadhabu, tulisimama kumsalimia.
Hakujibu salamu yetu alianza kufoka “kama hujafanya assignment simama hivyohivyo na kama umefanya kaa chini.”
Nilijikuta nimesimama peke yangu.
“All eyes on me.” Nilihisi nimejisemea mwenyewe lakini kumbe niliongea kwa sauti darasa zima wakacheka, nikatoa macho hali nimeachia mdomo.
Mwalimu aliniuliza “je wewe ndio ambaye ujafanya kazi yangu ni kitu gani kimekufanya usifanye assignment?”
Nilishikwa na kigugumizi, “Eeeeh aaanh mimi ni mgeni”
“ahaaa” alisema mwalimu yule ambaye baadae nilikuja kumtambua kama Mr. Maloya.
“Kaa chini” nikakaa.
Alianza kufundisha huku akitumia muda wake mwingi kunitazama, sikujua kwa sababu ya ugeni wangu au vipi.
Tuliendelea na vipindi mpaka wakati wa mapumziko ulipofika. Darasa zima waliondoka.
Nilibaki peke yangu nisijue wapi pa kuelekea. Na wakati nimeinama nikifuta viatu vyangu nilisikia nimeguswa begani kwangu.
Kwa kuwa sikuwa nimemzoea mtu yeyote nilijua lazima ni Candy ambaye amenipitia kwa ajili ya mapumziko.
“Candy” niliita huku nikigeuka, hakuwa Candy nilikutana na sura nzuri ya kiume.
“Martin hapa”
niliachia tabasamu.
“oooh Martin” nilishindwa kuendelea.
“Mbona uko hapa peke yako?” aliuliza.
“Sijui nielekee wapi” nikasema.
“Aaanh ngoja twende restaurant” nikanyanyuka tukaongozana.
Tulipofika niliagiza maziwa na slace tatu za mkate.
“Unayaonaje mazingira ya shule yetu” aliuliza.
Kabla sijamjibu msichana ambaye alikuwa mmoja kati ya wanafunzi alifika mezani kwetu.
“Wewe ndio Catherine si ndio?” aliuliza.
“Ndio” nilimjibu
“Academic master kasema upeleke barua zako za uhamisho ofisin kwake sasa hivi.” Alisema.
“Asante kwa taarifa” nilijibu.
Nilinyanyuka haraka bila kuaga na kuelekea yalipo mabweni yetu. Nilipofungua nilishangaa kumkuta Candy amelala usingizi, nikashangaa wakati wa mapumziko Candy amelala kwa uchovu gani?
Sikumtilia sana maanani kwa vile nilikuwa mgeni, nikachukua barua zangu na kuzipeleka panapohusika na kisha kurejea darasani. Masomo ya siku hiyo yaliendelea kama kawaida. Muda wa vipindi ulipoisha nilirejea bwenini na wakati huo Candy ndio alikuwa akiamka, tulipata chakula cha mchana na kisha kwenda kwenye michezo. Wakati wa jioni ulipofika tuliingia kwenye kusali. Nilikaribishwa vizuri sana nilijihisi ni mmoja kati yao. Nilipata faraja mno kwa vile nilikuwa nikikubalika kila sehemu. Maisha ya shule yaliendelea vizuri.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>>

RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA PILI. Nilifanikiwa kupanga vitu vyangu katika mpangilio uliopendeza mbele za macho yangu baada ya hapo nilijiandaa kwa ajili ya ratiba za siku hiyo. Uniform mpya zilinipendeza hakika, sketi yangu fupi nyeusi iliyochanua vyema, shati langu jeupe la mikono mirefu, tai ya pundamilia, soksi ndefu zilizonifika magotini na viatu nilipendeza sana. Muda ulipokaribia mimi na Candy tuliongozana hadi mstarini na baada ya matangazo machache tuliruhusiwa kuingia madarasani. Candy aliniongoza mpaka kwenye darasa letu. Ili ndilo darasa lako aliongea kwa dharau na kisha akaondoka kwa hatua za mikogo, nilibaki nikimtazama mpaka alipopotelea. Hakika Candy ni msichana mzuri niliwaza. Dakika moja ya kumshangaa Candy ilipoisha niliamua kuingia darasani na wakati huo wakati naingia darasani nilijigonga kwenye paji la uso mlangoni. Nilihisi maumivu makali. Madaftari mawili ambayo hayakutosha kwenye kibegi changu cha mgongoni yalidondoka. Nilichutama ili kuyaokota na hapo nilijigonga tena na safari hii sio kwenye mlango tena bali ni mtu alikuwa amenigonga, nilikasirika sana. Nikageuka kwa ghadhabu ili nimuone ni nani ambaye amenigonga nilikutana na sura nzuri ya kiume iliyopambwa na tabasamu laini, hakika sikuwahi kukutana nalo katika maisha yangu yaliyopita. “Sorry” alisema kwa sauti tamu. “Aaaanh usijali nilikua nakusaidia kuokota madaftari yako lakini kwa bahati mbaya nikakugonga samahani kwa hilo.” “usijali na asante sana” nilisema. Aliniokotea madaftari yangu na kisha akanikabidhi, “wewe ni mgeni mahali hapa sijawahi kukuona.” “Ndio nimehamia jana” “Karibu sana” “Asante” nilisema. “Unasoma combination gani?” “Niko ECA” “Wooow karibu kwenye darasa letu” “Asante” “Naitwa Martin, sijui wewe unaitwa nani?” “Naitwa Catherine.” “Catherine karibu sana.” “Asante.” Alinishika mkono na kuniongoza darasani, alisimama mbele ya darasa na kuongea kwa sauti nzuri ya kiume. “Hello class huyu ni mwanafunzi mpya atajitambulisha anahitaji ushirikiano wenu.” Akaniachia nafasi nijitambulishe mbele ya darasa. Nikasema kwa uwoga hali nimeshikwa na aibu za kike. “Hello class naitwa Catherine nimetokea Kibasila” nilishindwa kuendelea, watu walicheka na kisha wakanikaribisha. Nilioneshwa sehemu ya kukaa pembeni yangu aliketi msichana mzuri alinisalimia “hello naitwa Martha karibu sana.” Nilitabasamu na kisha nikamwambia asante. Ghafla mwalimu aliingia akiwa mwenye ghadhabu, tulisimama kumsalimia. Hakujibu salamu yetu alianza kufoka “kama hujafanya assignment simama hivyohivyo na kama umefanya kaa chini.” Nilijikuta nimesimama peke yangu. “All eyes on me.” Nilihisi nimejisemea mwenyewe lakini kumbe niliongea kwa sauti darasa zima wakacheka, nikatoa macho hali nimeachia mdomo. Mwalimu aliniuliza “je wewe ndio ambaye ujafanya kazi yangu ni kitu gani kimekufanya usifanye assignment?” Nilishikwa na kigugumizi, “Eeeeh aaanh mimi ni mgeni” “ahaaa” alisema mwalimu yule ambaye baadae nilikuja kumtambua kama Mr. Maloya. “Kaa chini” nikakaa. Alianza kufundisha huku akitumia muda wake mwingi kunitazama, sikujua kwa sababu ya ugeni wangu au vipi. Tuliendelea na vipindi mpaka wakati wa mapumziko ulipofika. Darasa zima waliondoka. Nilibaki peke yangu nisijue wapi pa kuelekea. Na wakati nimeinama nikifuta viatu vyangu nilisikia nimeguswa begani kwangu. Kwa kuwa sikuwa nimemzoea mtu yeyote nilijua lazima ni Candy ambaye amenipitia kwa ajili ya mapumziko. “Candy” niliita huku nikigeuka, hakuwa Candy nilikutana na sura nzuri ya kiume. “Martin hapa” niliachia tabasamu. “oooh Martin” nilishindwa kuendelea. “Mbona uko hapa peke yako?” aliuliza. “Sijui nielekee wapi” nikasema. “Aaanh ngoja twende restaurant” nikanyanyuka tukaongozana. Tulipofika niliagiza maziwa na slace tatu za mkate. “Unayaonaje mazingira ya shule yetu” aliuliza. Kabla sijamjibu msichana ambaye alikuwa mmoja kati ya wanafunzi alifika mezani kwetu. “Wewe ndio Catherine si ndio?” aliuliza. “Ndio” nilimjibu “Academic master kasema upeleke barua zako za uhamisho ofisin kwake sasa hivi.” Alisema. “Asante kwa taarifa” nilijibu. Nilinyanyuka haraka bila kuaga na kuelekea yalipo mabweni yetu. Nilipofungua nilishangaa kumkuta Candy amelala usingizi, nikashangaa wakati wa mapumziko Candy amelala kwa uchovu gani? Sikumtilia sana maanani kwa vile nilikuwa mgeni, nikachukua barua zangu na kuzipeleka panapohusika na kisha kurejea darasani. Masomo ya siku hiyo yaliendelea kama kawaida. Muda wa vipindi ulipoisha nilirejea bwenini na wakati huo Candy ndio alikuwa akiamka, tulipata chakula cha mchana na kisha kwenda kwenye michezo. Wakati wa jioni ulipofika tuliingia kwenye kusali. Nilikaribishwa vizuri sana nilijihisi ni mmoja kati yao. Nilipata faraja mno kwa vile nilikuwa nikikubalika kila sehemu. Maisha ya shule yaliendelea vizuri. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>

...
STORY :HIGH SCHOOL
SEHEMU YA KWANZA.
Jina langu ninaitwa Catherine Kindamba,
Ilikua ni siku ya jumanne nilipowasili shuleni Hans pope Academy mkoani Mwanza kutoka Dar es salaam. Nilimaliza kidato cha nne katika shule ya secondary Canossa na kupata division one na kisha kuchaguliwa kujiunga katika shule ya secondary Kibasila kwa mchepuo wa ECA, yani Economics, commerce na Accountancy.
Baba yangu hakuyapenda kabisa mazingira ya pale Kibasila, hivyo aliamua kuniamishia Hans pope Academy Mwanza. Ni kiasi kama mwenzi wa pili niliamia shuleni hapo. Mimi ni msichana mpole na mwenye ushirikiano na wenzangu. Ninapenda dini na kulelewa kimaadili. Marafiki wawili tu Winnie na Angel walitosha kuifanya jamii yangu ndogo. Daima sikupenda company ya wavulana kwakuwa sikupenda vile baba alivyokuwa akimfanyia mama, hali iliyopelekea kuwepo kwa migogoro isiyoisha pale nyumbani. Pamoja na hayo yote baba yangu ambaye alikuwa mhasibu wa pale bandarini pamoja na mama yangu ambaye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi ya Academy International school niliyosoma hapo awali walinipenda sana nikiwa kama mzaliwa wa pekee.
Mazingira ya shule mpya ya Hans pope Academy yalikuwa mazuri niliyapenda. Ilifika jioni saa moja nikaingia chumba nilichopangiwa katika jengo lililoitwa white house nikalala fofofo. Saa kumi na mbili kamili ya alfajiri nilishtushwa na mlio wa kengele, nilishuka dekani kwangu na hapo ndipo niligundua kuwa sikuwa peke yangu. Kilikuwa ni chumba kidogo kizuri kilichopangiliwa vizuri, cha watu wawili. Kulikuwa na makabati mawili makubwa yaliyojigawa ukutani, meza ya kusomea na madirisha mapana ambayo yaliweza kuingiza mwanga na hewa safi.
Katika kitanda cha chini alikuwepo msichana ambaye pamoja na kuwa alikuwa bado usingizini haikuniwia vigumu kujuwa kuwa huyu kiumbe aliyeko mbele yangu ni mzuri na mrembo wa kutosha kutwaa taji la miss Dunia. Ninajiamini kuwa mimi ni mzuri huyu msichana hakika alikuwa shani mbele ya macho yangu. Nilimsanifu kuanzia sura yake zuri, lips zake ambazo kwa juu zilichora kama umbo la kopa, rangi yake nyeupe ya kung’aa, ngozi yake laini, shape yake, hakika huyu msichana alikuwa ni mzuri sana. Nilimuangalia hadi macho yangu yalipotosheka kisha nikasimama tu nisijue nini cha kufanya nikageuka kwenda sehemu ambayo niliweka mabegi yangu.
“wewe ni nani” sauti tamu ilipenya katika masikio yangu.
Niligeuka kwa mshituko na kutazama pale sauti ilipotokea. Yule mrembo wa dunia alikuwa bado amelaa alikuwa akiniangalia macho yake makubwa na matamu yalitosha kunihakikishia kuwa huyu msichana aliumbwa kwa utulivu zaidi.
“aaaaah aaaaa mimii” nilishikwa na kigugumizi sikujua nimjibu nini kile kitu kilinichanganya.
“naitwa Catherine Catherine Kindamba” hatimaye niliweza kuongea na kujitambulisha.
“Catherine unafanya nini hapa” aliongea huku akinyanyuka kutoka kitandani.
“mimi ni mgeni nimefika hapa jana usiku, nimehamia” niliongea
“mmmh” alinitazama kwa Dharau huku akibetua midomo yake.
“Catherine karibu”
“Ahsante” nilijibu
“Sasa umeamka saizi unaenda wapi” aliniuliza.
“aaaaah nimesikia kengele nataka nijue ni nini kinaendelea”
“oooh sasa hivi ni mda wa jogging kama unapenda nenda ila sio lazima sana unaweza kubaki hapo ukijiandaa kwa ajili ya kuingia darasani, mi pia nipo siendi jogging.”
“Aaaaah sawa hata mimi pia sipendelei jogging acha nipange vitu vyangu” niliongea.
“ooooh unsoma Combination gani?” aliniuliza
“niko ECA” nilijibu
“ooooh”
“wewe je unaitwa nani” nilimuuliza
“naitwa Candy, niko HGE na ukipenda unaweza kuniita Queen Candy” alisema.
Hakika nilijua kwamba huyu msichana aliyekuwa mbele yangu ni mtu mwenye Dharau sana hata hivyo sikuwa na papara dharau zake hazikuwa kitu kwangu lakini katika siku hizo za mwanzo ilikuwa ni hali ya kawaida tu kwakuwa nilihitaji kuijua shule vizuri sikumtilia maanani sana.
<<<<<<<<<<<<<<<<  ITAENDELEA
>>>>>>>>>>>>>>>>>

STORY :HIGH SCHOOL SEHEMU YA KWANZA. Jina langu ninaitwa Catherine Kindamba, Ilikua ni siku ya jumanne nilipowasili shuleni Hans pope Academy mkoani Mwanza kutoka Dar es salaam. Nilimaliza kidato cha nne katika shule ya secondary Canossa na kupata division one na kisha kuchaguliwa kujiunga katika shule ya secondary Kibasila kwa mchepuo wa ECA, yani Economics, commerce na Accountancy. Baba yangu hakuyapenda kabisa mazingira ya pale Kibasila, hivyo aliamua kuniamishia Hans pope Academy Mwanza. Ni kiasi kama mwenzi wa pili niliamia shuleni hapo. Mimi ni msichana mpole na mwenye ushirikiano na wenzangu. Ninapenda dini na kulelewa kimaadili. Marafiki wawili tu Winnie na Angel walitosha kuifanya jamii yangu ndogo. Daima sikupenda company ya wavulana kwakuwa sikupenda vile baba alivyokuwa akimfanyia mama, hali iliyopelekea kuwepo kwa migogoro isiyoisha pale nyumbani. Pamoja na hayo yote baba yangu ambaye alikuwa mhasibu wa pale bandarini pamoja na mama yangu ambaye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi ya Academy International school niliyosoma hapo awali walinipenda sana nikiwa kama mzaliwa wa pekee. Mazingira ya shule mpya ya Hans pope Academy yalikuwa mazuri niliyapenda. Ilifika jioni saa moja nikaingia chumba nilichopangiwa katika jengo lililoitwa white house nikalala fofofo. Saa kumi na mbili kamili ya alfajiri nilishtushwa na mlio wa kengele, nilishuka dekani kwangu na hapo ndipo niligundua kuwa sikuwa peke yangu. Kilikuwa ni chumba kidogo kizuri kilichopangiliwa vizuri, cha watu wawili. Kulikuwa na makabati mawili makubwa yaliyojigawa ukutani, meza ya kusomea na madirisha mapana ambayo yaliweza kuingiza mwanga na hewa safi. Katika kitanda cha chini alikuwepo msichana ambaye pamoja na kuwa alikuwa bado usingizini haikuniwia vigumu kujuwa kuwa huyu kiumbe aliyeko mbele yangu ni mzuri na mrembo wa kutosha kutwaa taji la miss Dunia. Ninajiamini kuwa mimi ni mzuri huyu msichana hakika alikuwa shani mbele ya macho yangu. Nilimsanifu kuanzia sura yake zuri, lips zake ambazo kwa juu zilichora kama umbo la kopa, rangi yake nyeupe ya kung’aa, ngozi yake laini, shape yake, hakika huyu msichana alikuwa ni mzuri sana. Nilimuangalia hadi macho yangu yalipotosheka kisha nikasimama tu nisijue nini cha kufanya nikageuka kwenda sehemu ambayo niliweka mabegi yangu. “wewe ni nani” sauti tamu ilipenya katika masikio yangu. Niligeuka kwa mshituko na kutazama pale sauti ilipotokea. Yule mrembo wa dunia alikuwa bado amelaa alikuwa akiniangalia macho yake makubwa na matamu yalitosha kunihakikishia kuwa huyu msichana aliumbwa kwa utulivu zaidi. “aaaaah aaaaa mimii” nilishikwa na kigugumizi sikujua nimjibu nini kile kitu kilinichanganya. “naitwa Catherine Catherine Kindamba” hatimaye niliweza kuongea na kujitambulisha. “Catherine unafanya nini hapa” aliongea huku akinyanyuka kutoka kitandani. “mimi ni mgeni nimefika hapa jana usiku, nimehamia” niliongea “mmmh” alinitazama kwa Dharau huku akibetua midomo yake. “Catherine karibu” “Ahsante” nilijibu “Sasa umeamka saizi unaenda wapi” aliniuliza. “aaaaah nimesikia kengele nataka nijue ni nini kinaendelea” “oooh sasa hivi ni mda wa jogging kama unapenda nenda ila sio lazima sana unaweza kubaki hapo ukijiandaa kwa ajili ya kuingia darasani, mi pia nipo siendi jogging.” “Aaaaah sawa hata mimi pia sipendelei jogging acha nipange vitu vyangu” niliongea. “ooooh unsoma Combination gani?” aliniuliza “niko ECA” nilijibu “ooooh” “wewe je unaitwa nani” nilimuuliza “naitwa Candy, niko HGE na ukipenda unaweza kuniita Queen Candy” alisema. Hakika nilijua kwamba huyu msichana aliyekuwa mbele yangu ni mtu mwenye Dharau sana hata hivyo sikuwa na papara dharau zake hazikuwa kitu kwangu lakini katika siku hizo za mwanzo ilikuwa ni hali ya kawaida tu kwakuwa nilihitaji kuijua shule vizuri sikumtilia maanani sana. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>

...
Hadithi ya kusisimua ISOME UJIFUNZE






Mimi ni mwanamke mjane ninaishi mjini Arusha. Huu ni ushuhuda wangu wa maisha yangu.

Miaka 21 iliyopita nilifunga ndoa na mume wangu mpendwa kanisani, baadaye tukajaliwa kuwa na watoto wa2 mmoja wa kiume Alfred na mwingine wa kike Minza. Mimi nimesomea mambo ya uuguzi MD, nimefanya kazi muda mrefu ktk hospitali za wilayani karatu na Arusha mjini mpk nilipolazimika kuacha kutokana na udhaifu wa mwili na mambo yaliyonipata katika maisha. Mume wangu alikua ni askari polisi mpk baadaye alipojiunga na ajira zingine mpaka alipokutwa na mauti kama nitakavyoeleza baadaye hapo chini.

Tulipooana na mume wangu,maisha yalikua ya furaha sana na tulikua na mipango mingi mizuri ya kujiendeleza kiuchumi na kihuduma kwani tulikua tunampenda Mungu na tulikua waimbaji na waombaji kanisani. Baada ya muda mrefu katika maisha ya ndoa na familia, baadaye maisha yalianza kuwa magumu kutokana na mishahara yetu kuwa midogo ukilinganisha na mahitaji. Mume wangu alijisikia vibaya sana zaidi yangu hasa pale alipoona wengine hasa marafiki zake wanafanikiwa lkn yeye hafanikiwi. Kuna maaskari walikua wakipandishwa vyeo haraka na kuhamishiwa mijini ikiwemo Daressalaam na Arusha- hali hiyo ilimpa shida sana akawa anaomba na kufunga kwa muda mrefu lkn hakuona mafanikio.

Wakati fulani ilitokea akakutana na rafiki yake askari mwenzie, akamualika nyumbani kwake. Mume wangu aliporudi akaja akiwa mwenye mawazo makubwa sana, sikujua ni kwanini na hukuniambia hata nilipomuuliza.

Baada ya siku kadhaa mume wangu akaacha kwenda kanisani wala huduma hakufurahia tena. Akawa ni mkimya na mwenye mawazo mengi sana. Siku moja akaniambia atasafiri kikazi kwa muda wa siku tatu. Baada ya siku tatu akarudi akiwa hoi sana na mgonjwa km mtu mwenye malaria. Nikajaribu kumshawishi twende hospitali hakukubali kbs akaniambia ni uchuvo tu wa safari na kazi na atakuwa salama. Kesho yake, kweli akaamka vzr na kwenda kazini bila kuugua km hapo jana. Ikapita muda mrefu bila kujua hasa nini kinachoendelea kwa mume wangu kwani hakuniambia chochote hata nilipomuuliza.

Baada ya muda, mume wangu akapata nafasi ya kwenda masomoni Moshi. Alipomaliza masomo hayo,haikuchukua muda mrefu tukapata barua ya uhamisho wa mume wangu kikaz kuelekea Arusha mjini.

Binafsi nilifurahi sana, nikajua Mungu ameanza kujibu maombi yetu ya siku nyingi. Kwa hiyo na mimi nikaanza mipango ya uhamisho. Tulipofika Arusha tukapata makazi mapya na kanisa zuri la kuabudia. Baada ya muda niligundua mume wangu hakupenda mambo ya Mungu km siku za zamani. Wakati huu mimi nilikua mjamzito nikijandaa kupata mtoto wa pili.

Tulizungumza sana na mwenzangu lkn sikujua hasa kitu gani kulikua kinamsumbua. Baada ya muda niligundua mume wangu alikua mlevi wa pombe na tabia yake ilibadilika sana hasa kuhusu mambo ya kiimani na kushirikishana mipango. Aligeuka kuwa mtu wa mambo mengi,kuamrisha na msiri sana- kutokana na aina ya kazi zao nikajua ni kawaida.

Nilipojifungua mtoto wetu wa pili akaniletea zawadi ya gari mark2-mimi nilikua miongoni mwa wanawake wachache kuendesha mark2 wakati miaka ya90 mwishoni. Tulijisikia vzr sana na mambo ni kama yalikua yananyooka.

Mwaka 2001 mume wangu alipata nafasi ya kwenda tena chuoni kusoma kwa muda mfupi huko Dar, nikabaki na familia na nikawa naendelea vzr na kazi zangu. Alipomaliza masomo akarudi na maisha yakaendelea kwa muda km kawaida. Baada ya miezi km sita kutoka chuo ni, mume wangu akaniambia anataka kuacha kazi- nilishangaa sana nikamuuliza maswali mengi lkn hukunijibu vzr. Wiki moja baadaye akaniambia ameacha kazi na ameajiriwa shirika moja kubwa la UN hapa Arusha.

Kweli akaanza kuvaa sare mpya za kazi hiyo mpya. Kazi hiyo mpya ilituletea mafanikio makubwa sana ya kifedha na kujieneza kwa mali. Wakati huo pia mimi nilipata nafasi ya kwenda kusoma chuoni muhimbili Dar kwa muda wa miaka mitano. Nikaenda Dar nikaiacha familia ikiendelea vzr kbs.

Nikiwa Dar chuoni nilipata nafasi ya kwenda nje ya nchi kufanya seminar ya health exhibitions (mafunzo ya maonesho)- nikiwa huko nilipigiwa simu kuwa mtoto wetu mdogo amefariki dunia. Nilichanganyikiwa nikarudi nyumbani kwa kuchelewa, nikakuta wameshamzika Alfred mwanangu sikumuona tena. Ilisemekana alifariki ghafla sana bila kujua hasa ni ugonjwa gani au alipatwa na nini mwanangu. Niliongea na madaktari, wakanieleza kuwa mwanangu alitokwa na damu nyingi sana mpk ndani ya jeneza. Uchungu mkubwa na kuchanganyikiwa vilinipata bila kujua hasa nini cha kufanya.

Niliporudi msibani nilishangaa kumkuta mume wangu akiwa na pete kubwa ya dhahabu yenye kinakshi cha tanzanite katikati mkono wa kuume. Nilipomuuliza akaniambia amenunua mjini bei ghali sana na pia ameninulia na mimi aina km hiyo ya pete. Sikujua chochote nikaipokea ile pete km zawadi nikawa naivaa. Pia akaniambia kuna kanisa jipya limeanzishwa hapa mjini ndio tutakua tunasali. Huko tulikutana na watu mbalimbali wa mataifa mengine na ibada zilikua ni za kiingereza. Tulienda kutambulishwa na mume wangu kwa mchungaji ambaye nayepia alikua amevaa pete km ya mume wangu-sikujali sana kwa siku hiyo. Nilijisikia vzr sana kwani huko nilimuona mume wangu akifurahia na kujitoa km zamani. Pia tulipata marafiki wengi akiwemo familia moja ya wakameruni waliokua karibu sana sisi. Tukahamia huko.

Baada ya muda baada ya kuipata ile pete na kurudi chuoni na kujiunga kanisa jipya huku Arusha, sikupenda tena kwenda kanisani wala kujishughulisha na mambo ya huduma kama awali. Nilijiona mwenye majukumu mengi sana na sina muda wa mambo ya kanisani na huduma. Wenzangu waliponiuliza, niliwajibu kuwa niko bize sana na masomo na shughuli za kikazi. Nikawa mzembe sana ktk mambo ya imani na huduma.

Lkn siku moja Nikiwa Dar wakati wa fellowship za chuoni, ndugu mmoja alitutembelea akahubiri kwa nguvu sana akatuambia kuna mtu amezingirwa na roho mbaya za kichawi zinazotafuta kumuangamiza na familia yake-sikuelewa hata kidogo wala hakupita mtu yeyote mbele siku hiyo. Yule muhuburi alilia sana kwa uchungu mpk mwisho wa ibada.

Baada ya kumaliza masomo mwaka 2007 nilirudi Arusha. Nikapata marafiki wengi na mitandao mbalimbali ya kibiashara ndani na nje ya nchi. Pesa ilikuwa nyingi mpk nikashangaa kuwa ni baraka za namna gani.

Mwaka 2009 siku moja nilishtuka na kitu kimoja pale mume wangu aliposahau pete yake (ile nyingine anayovaa mkono wa kuume sio ya ndoa) nyumbn. Mimi bila kujua nilipoiona niliihifadhi kwenye mkoba wangu nikaondoka nayo. Kumbe nyuma yangu, mume wangu alirudi nyumbn ghafla na kuitafuta sana pete akanipigia simu nikamwambia ninayo kwenye mkoba aje nilipo aichukue. Cha ajabu alipokuja ili nimpe ile pete haikuwepo tena kwenye mkoba. Nilijikagua na kuwauliza wafanyakzi wenzangu lkn pete haikuonekana. Mume wangu alichanganyikiwa na kunishambulia kwa makofi na matusi akiwa mwenye hasira kubwa- sikuwahi kumuona mume wangu akiwa mwenye hasira na ghadhabu kubwa kiasi kile. Alinidhalilisha hadharani mbele ya wafanyakazi wenzangu na kuniamrisha twende nyumbn haraka. Ofisi yao ilikua nikaribu na ofisi kwangu lkn alinipandisha gari yake na tukaelekea nyumbn bila kupitia ofisini kwao. Kwenye gari tulikua tunagombezana kwani nilijisikia kudhalilishwa kwa hali ya juu sana.

Tulipofika nyumbani, ugomvi ulikua mkubwa sana na sana mume wangu alinipiga kweli. Baadaye watu walikuja lkn hawakuweza kuingia ndani kwani kulikua kumefungwa. Mume wangu alinifungia kwenye chumba kimoja na nikamsikia akiwapigia simu watu kadhaa huku akilia km mtoto. Sikuelewa kwa kweli. Mchungaji wa kule kwenye kanisa letu alikuja na mtu mmoja ambaye alikua ni rafiki wa karibu wa familia yetu lkn foreigner.

Walipofika waliongea na mume wangu kwa muda afu wakaondoka. Mume wangu akaja akanifungulia mlango akaniambia tuongee- wakati huo alikua mpole na mkimya asiyelia tena.

Akaniambia kuwa ile pete iliyopotea ilikua ndio pete ya maisha yetu. Alipewa na huyo mchungaji na ilikua inamasharti makubwa kuwa lazima aivae yeye tu na isikae muda mrefu nje ya kidole chake. Kwa ufupi pete hiyo haikuwa ya kawaida na ile pete ilikua ni yule mtoto wetu (Alfred) aliyekufa miaka kadhaa iliyopita. Nilishtuka kujua hata ile pete niliopewa mimi haikuwepo mkononi mwangu wakati huo. Ilikua imetoweka, nikazimia kusikia maneno hayo. Nilipozinduka nilijikuta nyumbn kwa mchungaji nikiwa nimelazwa kitandani. Kumbe nilipozimia nilipelekwa hospitali na pia mume wangu akakamatwa na polisi akawekwa lokap lkn akaachiwa bady kutokana na ushawishi wake pale polisi na alipowaelezea anavyojua yeye. Alipotoka akaja hospitali wakanichukua mpk nyumbn kwa mchungaji. Nilipozinduka nikamuona mchungaji na yule rafiki yetu mkameruni walikua wamevaa pete km ile ya mume wangu iliyopotea. Hawakunisemesha kitu wala hawa kuomba lkn waliondoka kule chumbani wakiniacha na mume wangu mara baada ya kupata ufahamu.

Mume wangu alinichukua mpk nyumbn, tulipofika hatukuongea kitu mpk asbh. Yeye alienda mjini baadaye akarudi akiwa bado mwenye mawazo na wasiwasi mkubwa. Siku hiyo ikapita na kesho yake. Marafiki zangu walikuja kunitembelea ili kunipa pole lkn hawakuruhusiwa. Kumbe mume wangu aliwaambia watu pamoja na ndugu zangu kuwa nimemuibia mali nyingi sana nimeficha kusikojulikana. Ndugu zangu walipokuja aliwaruhusu kwa masharti kuwa nisiwaambie ukweli. Akanitisha kuwa nikisema ukweli tutakufa wote.

Maisha yaliendelea kwa siku kadhaa, nikaendelea na kazi lkn nikiwa mwenye mawazo makubwa. Nikaomba off kazini kwa muda ili nipate ahueni. Mume wangu naye akaomba off pia tukawa tunashinda ndani tu. Nyakati za usiku nikiwa nimelala mara nyingi niliota ndoto kuwa Alfred mwanangu ananiita yuko barabarani anahangaika akiwa analia. Nikimwambia mume wangu ananiuliza ni wapi eneo gani hasa, nikimtajia eneo nilipoota ananiambia hapo ndipo pete ilipo kwa hiyo ataifuata- nakweli mara nyingi alikua anaamka anaondoka eti kuifuata hilo eneo nilipomuona mtoto wangu kwenye ndoto.

Pete ile haikuwahi kuonekana na maisha yetu yalianza kuporomoka siku hadi siku. Mume wangu hakufurahi tena. Alikua ni mtu mwenye majonzi na wasiwasi sana juu ya maisha yetu siku zijazo. Wakati huo aliwafukuza wafanyakazi wote wa nyumbn na alininyanganya simu zote na alifungia ndani nisitoke nje

Siku moja ikitokea mjini katika mizunguko yake alinijia na habari mpya akidai kuwa ndio suluhisho la tatizo letu. Aliniambia kuwa ili turejee ktk maisha yetu ya kawaida inabidi tumuue mtoto wetu Minza pia kwa siku zote za maisha yetu kuanzia siku hiyo itakua ni marufuku kufanya mapenzi kwa njia ya kawaida ila tu kinyume na maumbile (yaani awe ananiingilia kinyume na maumbile ya mwanamke). Akaniambia hakuna namna nyingine ya kurejesha maisha yetu zaidi ya hivyo. Nilishtuka sana nikaogopa mno. Nilimlaumu sana mume wangu kwanini alijiingiza ktk maisha hayo- ndipo akanieleza hbr kamili kuwa mafanikio yetu yote yametokana na mfumo huo wa maisha tangu siku ile aliporudi ile safari tukiwa Karatu. Kumbe siku ile alikua ametoka kwa mganga aliyepelekwa na yule rafiki yake.

Nilimshauri mume wangu twende kwa mchungaji tukaombewe lkn akasema kuwa tukisema tu kwa watu tutakufa wote. Pia akasisitiza kuwa sisi wote tuko katika mtandao huo kwa hiyo sio rahisi kujiokoa tena. Kesho yake mume wangu alinikumbushia tena akasema ni lazima tufanye hivyo na pia sio kwa kulazimisha inatakiwa iwe kwa hiari ili tupate faida kwa haraka. Bado nilikataa, sikuwa tyr kufanya hivyo. Nilimuomba mungu usiku na mchana atusaidie. Lkn mume wangu Alinitisha sana na kunifinya mwili ili nikubali kwani alikua mwenye hasira na ghadhabu kubwa. Pia alinifungia ndani ili nisitoke nje. Pia alisisitiza nisiombe kbs. Maisha yaligeuka kuwa jehanam.

Siku km mbili zililizofuata tulipigiwa simu kutoka shuleni kwao na mtoto wetu kuwa Minza ametoweka shuleni hajulikani alipo. Tulikwenda haraka kujua hatma ya mtoto wetu. Niliogopa zaidi kwani nilijua labda ndio keshapatikana- japo mume wangu alionekana kuwa si mwenye wasiwasi ht kidogo. Nilianza kukumbuka kukemea na kuomba Mungu atusaidie lkn mume wangu alinikataza nisiombe kbs. Akanizabua kibao kikubwa mdomoni tukiwa kwenye gari mpk damu ikatoka mdomoni. Nikisikia uchungu mkubwa zaidi kwanini maisha yalikua yanaenda hivyo ghafla au nini faida ya kuishi basi.

Tulisafiri siku nzima mpk kufika shuleni kwa Minza mwanangu. Kitu cha ajabu ni kwamba tulimkuta mtoto akiwa hospitali amelzwa haongei wala hajitambui- na taarifa zinasema alikutwa chumbani(hostel) kwao mchana huo akiwa anatokwa na damu nyingi.

Siku kadhaa bdye tulipewa mtoto wetu baada ya kupata nafuu tukarudi naye nyumbn kwa matibabu zaidi. Minza aliendelea kuugua sana bila nafuu na hakuweza kuzungumza kitu alikua ni mtu wa kulala kitandani na kutazama tu.

Ilipita miezi kadhaa maisha hayo yakawa yamechukua sura ya familia yangu. Miradi kadhaa tuliyoifungua mjini ilikua imefungwa, pia kazini kwangu nilikua nakwenda kwa shida sana. Uwezo wangu wa akili na kiutendaji ulipooza sana. Nilijiingiza kwenye chama cha ulevi wa pombe km mume wangu ili kupoteza machungu na kupunguza mawazo. Lkn hai kusaidia. Lkn kule kanisani tuliendelea kwenda na mume wangu aliendelea na kazi kule UN.

Siku moja mume wangu aliniambia tunakwenda shambani kwa siku kadhaa twende wote- tulijiandaa tulikwenda pamoja. Tulipofika huko, tulijumuika pamoja na mchungaji na yule rafiki yetu mkameruni. Tulifurahi na kunywa na kula mpk usiku kwa siku hiyo ya kwanza. Kesho yake asubuhi na mapema niliitwa na mume wangu kuwa kuna kikao- Cha ajabu ni kwamba asbhu hiyo mchungaji na yule mkameruni walikua wamevalia mavazi ya kitamaduni kupitiliza kawaida yao. Tulikwenda mpk vichakani zaidi kwani walisema kuna maongezi muhimu sana.

Tukiwa huko yule mchungaji alitueleza waziwazi kuwa yeye ni mtu mwenye nguvu nyingi sana na amewasaidia wengi sana. Na pia hata zile mali za kwanza na kufanikiwa kwetu ni yeye ndiye aliyetusaidia kwa nguvu zake. Na nguvu hizo ni zilitokana pete yake. Pete yake ndio inayompa nguvu na kumletea bahati na mvuto kwa watu.

Kwa kuwa tulikua tumeshindwa kutekeleza sharti la kwanza la kumuua Minza na muda ulikua umepita basi, kuna sharti lingine la mwisho

Kwa hiyo, akasema anao uwezo wa kutupatia pete nyingine lkn ndio kwa masharti. Na leo hapo yuko tyr kutusaidia tena ili tufanikiwe na tusife- kwani tulikua tumefanya makosa makubwa sana kupoteza ile pete ya awali.

Akatoa masharti ili tupate pete nyingine inabidi mimi nikubali pale niingiliwe kimwili nao wote watatu. (yaani nifanye mapenzi na wote watatu pale kichakani hadharani na mmoja baada ya mwingine akianza mume wangu). Vinginevyo mume wangu atapoteza maisha pale pale na mimi pia ningekufa siku zijazo au ningekua kichaa. Nilishtuka nikaogopa sana, nikaanza kupiga mayowe huku nilikimbia kuelekea kwa mume wangu- nililia sana kwa uchungu huku nikitaja jina la mume wangu kwa kumlaumu kwanini alijiingiza kwenye mambo hayo. Mume wangu alinisihi nikubali ili tusife kwani hakukua na namna nyingine.

Sikukubali. Nilianza kukimbia kuelekea barabarani kuhofia usalama wangu kwani niligundua mume wangu hakuwa na uwezo tena wa kunisaidia au kujiokoa. Nilpofika mahala tulipopark magari yetu sikuona gari ht moja. Nikiwa ktk hali ya kukimbia na kujiokoa huku nikipiga mayowe niliwaona yule mchungaji na yule mkameruni wamenitokea nyuma na mbele yangu. Ghafla yule mchungaji aliniwekea mkono kichwani nikaanguka chini nikapoteza fahamu.

Niliporejea fahamu zangu ni siku nilipojikuta niko katikati ya kundi la watu walinisimamia na kuniangalia kwaumakini mkubwa sana. Kumbe ilikua ni kwenye maombezi. Fahamu zangu zilinirejea na kujitambua japo nilikua nimeharibika mwili na mavazi machakavu pia nikiwa nimefungwa kwa kamba ngumu sana. Nikifanikiwa kuwatambua baadhi ya ndugu jamaa na marafiki waliokuwepo pale.

Kwa masaa kadhaa nilijisikia kupumbaa kama mjinga bila kujua nifanye nini. Alitokea mtu mmoja akaniambia pole. Akaniuliza kama ninajisikiaje kwa wakati huo. Nikamuelezea. Kisha nikamuhoji kuwa hapo ni wapi- akaniambia kuwa ni kituo cha maombezi na yeye ndiye mchungaji.

Inasemekana kuwa siku hiyo nilikua nimefunguliwa kutoka katika ukichaa ulionisumbua kama miaka mitatu na nusu. Katika muda wote huo niliishi msituni km mnyama. Nilitafutwa na ndugu zangu kwa muda mrefu sana bila mafanikio. Hakuna mtu alijua mimi au mume wangu tulikua wapi.

Baadaye Nilipouliza kuhusu mwanangu Minza na mume wangu, nijibiwa kuwa waliokufa miaka mitatu na nusu iliyopita. Ndipo nikakumbuka mambo magumu ya maisha yaliyonipata. Nilitunga msiba mkubwa upya kabisa. Nililia sana na kujionea huruma kama yatima asiye na msaada. Sina cha kusema zaidi ya kumshukuru Mungu kwa yote. Hata uhai nilionao leo ni Mungu tu amenisaidia.

Sasa hivi nipo tu kwa ndugu zangu tunaishi na maisha yangu mapya ya kumtumaini Mungu wangu kwa upya kabisa. Bwana Yesu Kristo ndiye msaada wangu wa karibu. Ninamshukuru Mungu kwa familia yangu mpya ya wana ndugu ndani ya Kristo Yesu. Mungu awabariki.

AMEN.

UJUMBE HUU UMEKUJA KWAKO KWA MAFUNDISHO YA KIROHO JUU YA IMANI POTOFU ZIHARIBUZO KUSUDI LA MUNGU JUU YA MWANADAMU NA ULIMWENGU KWA UJUMLA. MWAMINI YESU UPATE UZIMA WA MILEL

Hadithi ya kusisimua ISOME UJIFUNZE  Mimi ni mwanamke mjane ninaishi mjini Arusha. Huu ni ushuhuda wangu wa maisha yangu. Miaka 21 iliyopita nilifunga ndoa na mume wangu mpendwa kanisani, baadaye tukajaliwa kuwa na watoto wa2 mmoja wa kiume Alfred na mwingine wa kike Minza. Mimi nimesomea mambo ya uuguzi MD, nimefanya kazi muda mrefu ktk hospitali za wilayani karatu na Arusha mjini mpk nilipolazimika kuacha kutokana na udhaifu wa mwili na mambo yaliyonipata katika maisha. Mume wangu alikua ni askari polisi mpk baadaye alipojiunga na ajira zingine mpaka alipokutwa na mauti kama nitakavyoeleza baadaye hapo chini. Tulipooana na mume wangu,maisha yalikua ya furaha sana na tulikua na mipango mingi mizuri ya kujiendeleza kiuchumi na kihuduma kwani tulikua tunampenda Mungu na tulikua waimbaji na waombaji kanisani. Baada ya muda mrefu katika maisha ya ndoa na familia, baadaye maisha yalianza kuwa magumu kutokana na mishahara yetu kuwa midogo ukilinganisha na mahitaji. Mume wangu alijisikia vibaya sana zaidi yangu hasa pale alipoona wengine hasa marafiki zake wanafanikiwa lkn yeye hafanikiwi. Kuna maaskari walikua wakipandishwa vyeo haraka na kuhamishiwa mijini ikiwemo Daressalaam na Arusha- hali hiyo ilimpa shida sana akawa anaomba na kufunga kwa muda mrefu lkn hakuona mafanikio. Wakati fulani ilitokea akakutana na rafiki yake askari mwenzie, akamualika nyumbani kwake. Mume wangu aliporudi akaja akiwa mwenye mawazo makubwa sana, sikujua ni kwanini na hukuniambia hata nilipomuuliza. Baada ya siku kadhaa mume wangu akaacha kwenda kanisani wala huduma hakufurahia tena. Akawa ni mkimya na mwenye mawazo mengi sana. Siku moja akaniambia atasafiri kikazi kwa muda wa siku tatu. Baada ya siku tatu akarudi akiwa hoi sana na mgonjwa km mtu mwenye malaria. Nikajaribu kumshawishi twende hospitali hakukubali kbs akaniambia ni uchuvo tu wa safari na kazi na atakuwa salama. Kesho yake, kweli akaamka vzr na kwenda kazini bila kuugua km hapo jana. Ikapita muda mrefu bila kujua hasa nini kinachoendelea kwa mume wangu kwani hakuniambia chochote hata nilipomuuliza. Baada ya muda, mume wangu akapata nafasi ya kwenda masomoni Moshi. Alipomaliza masomo hayo,haikuchukua muda mrefu tukapata barua ya uhamisho wa mume wangu kikaz kuelekea Arusha mjini. Binafsi nilifurahi sana, nikajua Mungu ameanza kujibu maombi yetu ya siku nyingi. Kwa hiyo na mimi nikaanza mipango ya uhamisho. Tulipofika Arusha tukapata makazi mapya na kanisa zuri la kuabudia. Baada ya muda niligundua mume wangu hakupenda mambo ya Mungu km siku za zamani. Wakati huu mimi nilikua mjamzito nikijandaa kupata mtoto wa pili. Tulizungumza sana na mwenzangu lkn sikujua hasa kitu gani kulikua kinamsumbua. Baada ya muda niligundua mume wangu alikua mlevi wa pombe na tabia yake ilibadilika sana hasa kuhusu mambo ya kiimani na kushirikishana mipango. Aligeuka kuwa mtu wa mambo mengi,kuamrisha na msiri sana- kutokana na aina ya kazi zao nikajua ni kawaida. Nilipojifungua mtoto wetu wa pili akaniletea zawadi ya gari mark2-mimi nilikua miongoni mwa wanawake wachache kuendesha mark2 wakati miaka ya90 mwishoni. Tulijisikia vzr sana na mambo ni kama yalikua yananyooka. Mwaka 2001 mume wangu alipata nafasi ya kwenda tena chuoni kusoma kwa muda mfupi huko Dar, nikabaki na familia na nikawa naendelea vzr na kazi zangu. Alipomaliza masomo akarudi na maisha yakaendelea kwa muda km kawaida. Baada ya miezi km sita kutoka chuo ni, mume wangu akaniambia anataka kuacha kazi- nilishangaa sana nikamuuliza maswali mengi lkn hukunijibu vzr. Wiki moja baadaye akaniambia ameacha kazi na ameajiriwa shirika moja kubwa la UN hapa Arusha. Kweli akaanza kuvaa sare mpya za kazi hiyo mpya. Kazi hiyo mpya ilituletea mafanikio makubwa sana ya kifedha na kujieneza kwa mali. Wakati huo pia mimi nilipata nafasi ya kwenda kusoma chuoni muhimbili Dar kwa muda wa miaka mitano. Nikaenda Dar nikaiacha familia ikiendelea vzr kbs. Nikiwa Dar chuoni nilipata nafasi ya kwenda nje ya nchi kufanya seminar ya health exhibitions (mafunzo ya maonesho)- nikiwa huko nilipigiwa simu kuwa mtoto wetu mdogo amefariki dunia. Nilichanganyikiwa nikarudi nyumbani kwa kuchelewa, nikakuta wameshamzika Alfred mwanangu sikumuona tena. Ilisemekana alifariki ghafla sana bila kujua hasa ni ugonjwa gani au alipatwa na nini mwanangu. Niliongea na madaktari, wakanieleza kuwa mwanangu alitokwa na damu nyingi sana mpk ndani ya jeneza. Uchungu mkubwa na kuchanganyikiwa vilinipata bila kujua hasa nini cha kufanya. Niliporudi msibani nilishangaa kumkuta mume wangu akiwa na pete kubwa ya dhahabu yenye kinakshi cha tanzanite katikati mkono wa kuume. Nilipomuuliza akaniambia amenunua mjini bei ghali sana na pia ameninulia na mimi aina km hiyo ya pete. Sikujua chochote nikaipokea ile pete km zawadi nikawa naivaa. Pia akaniambia kuna kanisa jipya limeanzishwa hapa mjini ndio tutakua tunasali. Huko tulikutana na watu mbalimbali wa mataifa mengine na ibada zilikua ni za kiingereza. Tulienda kutambulishwa na mume wangu kwa mchungaji ambaye nayepia alikua amevaa pete km ya mume wangu-sikujali sana kwa siku hiyo. Nilijisikia vzr sana kwani huko nilimuona mume wangu akifurahia na kujitoa km zamani. Pia tulipata marafiki wengi akiwemo familia moja ya wakameruni waliokua karibu sana sisi. Tukahamia huko. Baada ya muda baada ya kuipata ile pete na kurudi chuoni na kujiunga kanisa jipya huku Arusha, sikupenda tena kwenda kanisani wala kujishughulisha na mambo ya huduma kama awali. Nilijiona mwenye majukumu mengi sana na sina muda wa mambo ya kanisani na huduma. Wenzangu waliponiuliza, niliwajibu kuwa niko bize sana na masomo na shughuli za kikazi. Nikawa mzembe sana ktk mambo ya imani na huduma. Lkn siku moja Nikiwa Dar wakati wa fellowship za chuoni, ndugu mmoja alitutembelea akahubiri kwa nguvu sana akatuambia kuna mtu amezingirwa na roho mbaya za kichawi zinazotafuta kumuangamiza na familia yake-sikuelewa hata kidogo wala hakupita mtu yeyote mbele siku hiyo. Yule muhuburi alilia sana kwa uchungu mpk mwisho wa ibada. Baada ya kumaliza masomo mwaka 2007 nilirudi Arusha. Nikapata marafiki wengi na mitandao mbalimbali ya kibiashara ndani na nje ya nchi. Pesa ilikuwa nyingi mpk nikashangaa kuwa ni baraka za namna gani. Mwaka 2009 siku moja nilishtuka na kitu kimoja pale mume wangu aliposahau pete yake (ile nyingine anayovaa mkono wa kuume sio ya ndoa) nyumbn. Mimi bila kujua nilipoiona niliihifadhi kwenye mkoba wangu nikaondoka nayo. Kumbe nyuma yangu, mume wangu alirudi nyumbn ghafla na kuitafuta sana pete akanipigia simu nikamwambia ninayo kwenye mkoba aje nilipo aichukue. Cha ajabu alipokuja ili nimpe ile pete haikuwepo tena kwenye mkoba. Nilijikagua na kuwauliza wafanyakzi wenzangu lkn pete haikuonekana. Mume wangu alichanganyikiwa na kunishambulia kwa makofi na matusi akiwa mwenye hasira kubwa- sikuwahi kumuona mume wangu akiwa mwenye hasira na ghadhabu kubwa kiasi kile. Alinidhalilisha hadharani mbele ya wafanyakazi wenzangu na kuniamrisha twende nyumbn haraka. Ofisi yao ilikua nikaribu na ofisi kwangu lkn alinipandisha gari yake na tukaelekea nyumbn bila kupitia ofisini kwao. Kwenye gari tulikua tunagombezana kwani nilijisikia kudhalilishwa kwa hali ya juu sana. Tulipofika nyumbani, ugomvi ulikua mkubwa sana na sana mume wangu alinipiga kweli. Baadaye watu walikuja lkn hawakuweza kuingia ndani kwani kulikua kumefungwa. Mume wangu alinifungia kwenye chumba kimoja na nikamsikia akiwapigia simu watu kadhaa huku akilia km mtoto. Sikuelewa kwa kweli. Mchungaji wa kule kwenye kanisa letu alikuja na mtu mmoja ambaye alikua ni rafiki wa karibu wa familia yetu lkn foreigner. Walipofika waliongea na mume wangu kwa muda afu wakaondoka. Mume wangu akaja akanifungulia mlango akaniambia tuongee- wakati huo alikua mpole na mkimya asiyelia tena. Akaniambia kuwa ile pete iliyopotea ilikua ndio pete ya maisha yetu. Alipewa na huyo mchungaji na ilikua inamasharti makubwa kuwa lazima aivae yeye tu na isikae muda mrefu nje ya kidole chake. Kwa ufupi pete hiyo haikuwa ya kawaida na ile pete ilikua ni yule mtoto wetu (Alfred) aliyekufa miaka kadhaa iliyopita. Nilishtuka kujua hata ile pete niliopewa mimi haikuwepo mkononi mwangu wakati huo. Ilikua imetoweka, nikazimia kusikia maneno hayo. Nilipozinduka nilijikuta nyumbn kwa mchungaji nikiwa nimelazwa kitandani. Kumbe nilipozimia nilipelekwa hospitali na pia mume wangu akakamatwa na polisi akawekwa lokap lkn akaachiwa bady kutokana na ushawishi wake pale polisi na alipowaelezea anavyojua yeye. Alipotoka akaja hospitali wakanichukua mpk nyumbn kwa mchungaji. Nilipozinduka nikamuona mchungaji na yule rafiki yetu mkameruni walikua wamevaa pete km ile ya mume wangu iliyopotea. Hawakunisemesha kitu wala hawa kuomba lkn waliondoka kule chumbani wakiniacha na mume wangu mara baada ya kupata ufahamu. Mume wangu alinichukua mpk nyumbn, tulipofika hatukuongea kitu mpk asbh. Yeye alienda mjini baadaye akarudi akiwa bado mwenye mawazo na wasiwasi mkubwa. Siku hiyo ikapita na kesho yake. Marafiki zangu walikuja kunitembelea ili kunipa pole lkn hawakuruhusiwa. Kumbe mume wangu aliwaambia watu pamoja na ndugu zangu kuwa nimemuibia mali nyingi sana nimeficha kusikojulikana. Ndugu zangu walipokuja aliwaruhusu kwa masharti kuwa nisiwaambie ukweli. Akanitisha kuwa nikisema ukweli tutakufa wote. Maisha yaliendelea kwa siku kadhaa, nikaendelea na kazi lkn nikiwa mwenye mawazo makubwa. Nikaomba off kazini kwa muda ili nipate ahueni. Mume wangu naye akaomba off pia tukawa tunashinda ndani tu. Nyakati za usiku nikiwa nimelala mara nyingi niliota ndoto kuwa Alfred mwanangu ananiita yuko barabarani anahangaika akiwa analia. Nikimwambia mume wangu ananiuliza ni wapi eneo gani hasa, nikimtajia eneo nilipoota ananiambia hapo ndipo pete ilipo kwa hiyo ataifuata- nakweli mara nyingi alikua anaamka anaondoka eti kuifuata hilo eneo nilipomuona mtoto wangu kwenye ndoto. Pete ile haikuwahi kuonekana na maisha yetu yalianza kuporomoka siku hadi siku. Mume wangu hakufurahi tena. Alikua ni mtu mwenye majonzi na wasiwasi sana juu ya maisha yetu siku zijazo. Wakati huo aliwafukuza wafanyakazi wote wa nyumbn na alininyanganya simu zote na alifungia ndani nisitoke nje Siku moja ikitokea mjini katika mizunguko yake alinijia na habari mpya akidai kuwa ndio suluhisho la tatizo letu. Aliniambia kuwa ili turejee ktk maisha yetu ya kawaida inabidi tumuue mtoto wetu Minza pia kwa siku zote za maisha yetu kuanzia siku hiyo itakua ni marufuku kufanya mapenzi kwa njia ya kawaida ila tu kinyume na maumbile (yaani awe ananiingilia kinyume na maumbile ya mwanamke). Akaniambia hakuna namna nyingine ya kurejesha maisha yetu zaidi ya hivyo. Nilishtuka sana nikaogopa mno. Nilimlaumu sana mume wangu kwanini alijiingiza ktk maisha hayo- ndipo akanieleza hbr kamili kuwa mafanikio yetu yote yametokana na mfumo huo wa maisha tangu siku ile aliporudi ile safari tukiwa Karatu. Kumbe siku ile alikua ametoka kwa mganga aliyepelekwa na yule rafiki yake. Nilimshauri mume wangu twende kwa mchungaji tukaombewe lkn akasema kuwa tukisema tu kwa watu tutakufa wote. Pia akasisitiza kuwa sisi wote tuko katika mtandao huo kwa hiyo sio rahisi kujiokoa tena. Kesho yake mume wangu alinikumbushia tena akasema ni lazima tufanye hivyo na pia sio kwa kulazimisha inatakiwa iwe kwa hiari ili tupate faida kwa haraka. Bado nilikataa, sikuwa tyr kufanya hivyo. Nilimuomba mungu usiku na mchana atusaidie. Lkn mume wangu Alinitisha sana na kunifinya mwili ili nikubali kwani alikua mwenye hasira na ghadhabu kubwa. Pia alinifungia ndani ili nisitoke nje. Pia alisisitiza nisiombe kbs. Maisha yaligeuka kuwa jehanam. Siku km mbili zililizofuata tulipigiwa simu kutoka shuleni kwao na mtoto wetu kuwa Minza ametoweka shuleni hajulikani alipo. Tulikwenda haraka kujua hatma ya mtoto wetu. Niliogopa zaidi kwani nilijua labda ndio keshapatikana- japo mume wangu alionekana kuwa si mwenye wasiwasi ht kidogo. Nilianza kukumbuka kukemea na kuomba Mungu atusaidie lkn mume wangu alinikataza nisiombe kbs. Akanizabua kibao kikubwa mdomoni tukiwa kwenye gari mpk damu ikatoka mdomoni. Nikisikia uchungu mkubwa zaidi kwanini maisha yalikua yanaenda hivyo ghafla au nini faida ya kuishi basi. Tulisafiri siku nzima mpk kufika shuleni kwa Minza mwanangu. Kitu cha ajabu ni kwamba tulimkuta mtoto akiwa hospitali amelzwa haongei wala hajitambui- na taarifa zinasema alikutwa chumbani(hostel) kwao mchana huo akiwa anatokwa na damu nyingi. Siku kadhaa bdye tulipewa mtoto wetu baada ya kupata nafuu tukarudi naye nyumbn kwa matibabu zaidi. Minza aliendelea kuugua sana bila nafuu na hakuweza kuzungumza kitu alikua ni mtu wa kulala kitandani na kutazama tu. Ilipita miezi kadhaa maisha hayo yakawa yamechukua sura ya familia yangu. Miradi kadhaa tuliyoifungua mjini ilikua imefungwa, pia kazini kwangu nilikua nakwenda kwa shida sana. Uwezo wangu wa akili na kiutendaji ulipooza sana. Nilijiingiza kwenye chama cha ulevi wa pombe km mume wangu ili kupoteza machungu na kupunguza mawazo. Lkn hai kusaidia. Lkn kule kanisani tuliendelea kwenda na mume wangu aliendelea na kazi kule UN. Siku moja mume wangu aliniambia tunakwenda shambani kwa siku kadhaa twende wote- tulijiandaa tulikwenda pamoja. Tulipofika huko, tulijumuika pamoja na mchungaji na yule rafiki yetu mkameruni. Tulifurahi na kunywa na kula mpk usiku kwa siku hiyo ya kwanza. Kesho yake asubuhi na mapema niliitwa na mume wangu kuwa kuna kikao- Cha ajabu ni kwamba asbhu hiyo mchungaji na yule mkameruni walikua wamevalia mavazi ya kitamaduni kupitiliza kawaida yao. Tulikwenda mpk vichakani zaidi kwani walisema kuna maongezi muhimu sana. Tukiwa huko yule mchungaji alitueleza waziwazi kuwa yeye ni mtu mwenye nguvu nyingi sana na amewasaidia wengi sana. Na pia hata zile mali za kwanza na kufanikiwa kwetu ni yeye ndiye aliyetusaidia kwa nguvu zake. Na nguvu hizo ni zilitokana pete yake. Pete yake ndio inayompa nguvu na kumletea bahati na mvuto kwa watu. Kwa kuwa tulikua tumeshindwa kutekeleza sharti la kwanza la kumuua Minza na muda ulikua umepita basi, kuna sharti lingine la mwisho Kwa hiyo, akasema anao uwezo wa kutupatia pete nyingine lkn ndio kwa masharti. Na leo hapo yuko tyr kutusaidia tena ili tufanikiwe na tusife- kwani tulikua tumefanya makosa makubwa sana kupoteza ile pete ya awali. Akatoa masharti ili tupate pete nyingine inabidi mimi nikubali pale niingiliwe kimwili nao wote watatu. (yaani nifanye mapenzi na wote watatu pale kichakani hadharani na mmoja baada ya mwingine akianza mume wangu). Vinginevyo mume wangu atapoteza maisha pale pale na mimi pia ningekufa siku zijazo au ningekua kichaa. Nilishtuka nikaogopa sana, nikaanza kupiga mayowe huku nilikimbia kuelekea kwa mume wangu- nililia sana kwa uchungu huku nikitaja jina la mume wangu kwa kumlaumu kwanini alijiingiza kwenye mambo hayo. Mume wangu alinisihi nikubali ili tusife kwani hakukua na namna nyingine. Sikukubali. Nilianza kukimbia kuelekea barabarani kuhofia usalama wangu kwani niligundua mume wangu hakuwa na uwezo tena wa kunisaidia au kujiokoa. Nilpofika mahala tulipopark magari yetu sikuona gari ht moja. Nikiwa ktk hali ya kukimbia na kujiokoa huku nikipiga mayowe niliwaona yule mchungaji na yule mkameruni wamenitokea nyuma na mbele yangu. Ghafla yule mchungaji aliniwekea mkono kichwani nikaanguka chini nikapoteza fahamu. Niliporejea fahamu zangu ni siku nilipojikuta niko katikati ya kundi la watu walinisimamia na kuniangalia kwaumakini mkubwa sana. Kumbe ilikua ni kwenye maombezi. Fahamu zangu zilinirejea na kujitambua japo nilikua nimeharibika mwili na mavazi machakavu pia nikiwa nimefungwa kwa kamba ngumu sana. Nikifanikiwa kuwatambua baadhi ya ndugu jamaa na marafiki waliokuwepo pale. Kwa masaa kadhaa nilijisikia kupumbaa kama mjinga bila kujua nifanye nini. Alitokea mtu mmoja akaniambia pole. Akaniuliza kama ninajisikiaje kwa wakati huo. Nikamuelezea. Kisha nikamuhoji kuwa hapo ni wapi- akaniambia kuwa ni kituo cha maombezi na yeye ndiye mchungaji. Inasemekana kuwa siku hiyo nilikua nimefunguliwa kutoka katika ukichaa ulionisumbua kama miaka mitatu na nusu. Katika muda wote huo niliishi msituni km mnyama. Nilitafutwa na ndugu zangu kwa muda mrefu sana bila mafanikio. Hakuna mtu alijua mimi au mume wangu tulikua wapi. Baadaye Nilipouliza kuhusu mwanangu Minza na mume wangu, nijibiwa kuwa waliokufa miaka mitatu na nusu iliyopita. Ndipo nikakumbuka mambo magumu ya maisha yaliyonipata. Nilitunga msiba mkubwa upya kabisa. Nililia sana na kujionea huruma kama yatima asiye na msaada. Sina cha kusema zaidi ya kumshukuru Mungu kwa yote. Hata uhai nilionao leo ni Mungu tu amenisaidia. Sasa hivi nipo tu kwa ndugu zangu tunaishi na maisha yangu mapya ya kumtumaini Mungu wangu kwa upya kabisa. Bwana Yesu Kristo ndiye msaada wangu wa karibu. Ninamshukuru Mungu kwa familia yangu mpya ya wana ndugu ndani ya Kristo Yesu. Mungu awabariki. AMEN. UJUMBE HUU UMEKUJA KWAKO KWA MAFUNDISHO YA KIROHO JUU YA IMANI POTOFU ZIHARIBUZO KUSUDI LA MUNGU JUU YA MWANADAMU NA ULIMWENGU KWA UJUMLA. MWAMINI YESU UPATE UZIMA WA MILEL

...
NAOMBA MSIJE KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YANGU, NJOONI KWENYE MSIBA WANGU.

Baada ya kukaa kwenye ndoa takriban miaka 10  kasoro miezi miwili wakafanikiwa kupata watoto wawili wa kwanza angel na wa pili baraka.

jamaa akakaa na mkewe wakapanga mipango mizito sana kuhusiana na tukio lingine zito baada ya tukio lao la harusi.yaani kusheherekea miaka 10 ya ndoa yao.

Lakini akajisemea, ngoja nipime kiwango cha uaminifu alichonacho mke wangu kabla ya hiyo sherehe haiwezekani kwamba kuna usalama kabisa maana ktk miaka yote nimekuwa MTU wa kazini,safarini in short sina muda mwingi wa kukaa na familia yangu....na kama atavuka hili jaribu basi naweka nadhiri mbele za mbingu nitamtafutia zawadi nzuri ambayo hajawahi kuona na hatokuja kuisahau

Akawaambia marafiki zake nataka nifanye party ya kusheherekea miaka kumi ya ndoa yangu nahitaji kampani yenu,walifurahi sana marafiki zake hususani wafanyakazi wenzake. Kamati zikaundwa mara moja,lakini baba angel aliendelea na upelelezi wa kumjaribu mkewe  pasipo kujua huyo mkewe aitwaye Elizabeth.

Mama angel aliendelea kualika marafiki zake,wazazi wake wakawa wanasubiria kwa hamu kubwa hilo tukio wakimbariki mwenyezi Mungu kwa kuendelea kustawisha ndoa ya mtoto wao.huku asijue mmewe ana nini ndani ya moyo wake.

Baba angel akafanya usajili wa line mpya ya tigo asiyoijua mkewe.

Akasajili kwa kubuni jina la #Asajile_mwasilu ambaye alikuwa anahisi anatembea na mkewe maana mara kadhaa alishazikuta msg za ajabu kwenye simu ya mkewe kama za mtu na mpenzi wake na alipoichunguza kwenye tigo pesa usajili ukaonyesha jina la  Asajile mwasilu.

akawa akichat na mkewe mara kwa Mara, kupitia hiyo namba mpya......

siku moja mkewe akaangalia hiyo namba kwenye usajili akaona jina la "Asajile mwasilu" waooooo ooh my dear,akafurahi basi mwenyewe!

Akaamua kupiga simu,mumewe hakupokea akakata akamwambia nitext niko mahali hatutaweza kuelewana. Kumbuka Wakati huo mumewe yupo kazini........akamwambia tuendelee kuchat

My nikupendae uko wapi mpenzi wangu nikufuate sasa hivi,maana nilivyofrahi kuona SMS yako mungu anajua!namba zako zote baba angel alifuta kwenye simu yangu,na wewe ndio hujanitafuta tena.....

baba angel akajibu, we taratibu,si unajua umeolewa wewe unifuate wapi? mumeo alinipigiaga simu kwamba angenifanya kitu kibaya Sana iwapo ningeendelea kuwa na mawasiliano na wewe basi nikaogopa mwenyewe ndio maana nikajikaliaga kimya.

Ooh pole my sweet, ndio walivyo wanaume wasiojitambua hawa,yaani yeye anadhani anaweza kunichunga eti! Anasahau kwamba uanaume sio kuchunga mke uanaume ni kumhudumia vzur mkeo kitandani huo ndio ulinzi tosha. Yaani kusema ule ukweli,sijawahi kupata mwanaume wa kunihudumia vile nitakavyo zaidi yako,uko wapii? Mama angel akaendelea kufunguka.

Mh!baba angel akajikuta anaishiwa pozi vibaya mno huku mapigo ya moyo yanayoambatana na ghadhabu yakikitesa kifua chake ambacho hata pumzi ilikuwa ni shida kutoka hakuamini kwamba huyo anaechat naye ni mkewe.......akamjibu kwa kicheko cha uongo 

Hahaaaaaa ina maana unataka kusema jamaa hayuko vzur kitandani?? Na vipi angel hajambo???

Ndio maana nakuuliza uko wapi this time nikufate?maana umelandisha mtoto mpaka sio vizuri,wewe mwanaume una damu kali,wakati mwingine mpaka naona aibu kumwita mume wangu baba angel maana ukweli Mimi ndio naujua....ila yeye hajui kitu anajua ni wake.

Baba angel akawazaa wee huku mipango ya sherehe akiona ikiyeyuka taratibu kadri alivyokuwa akiendelea kuchati na mkewe...

Akakaa katibu dakika 10 bila kusema chochote akiwaza je ni kweli angel sio wangu???mh! Hawa wanawake vipii??
akatazama saa yake akaona ni saa 8 za mchana akajisemea pale ofsini "hivi mke wangu ana roho mbaya kiasi hiki
Kumbe nalea mtoto asie wangu??
Akafungua kwenye gallery akatazama picha za mtoto wake huyo mzur akaendelea kujipa moyo.........

Akamrudia mkewe akamwambia 
Wacha buana uko naye angel hapo??
Mama angel akajibu yes, jamaa akajibu tena 

"Mi mwenyewe nimekumiss sana na nimemmis sana mwanangu natamani nimwone tu  lakini naangalia usawa wa mfuko hauko sawa sana......

Mkewe akajibu hebu ngoja nipe dakika sifuri.........

Haraka haraka mama angel akampigia simu mumewe kwa namba yake ya siku zote.

"Samahani baby unamkumbuka neema msimamizi wa send off yangu?? Jamaa kwa unyonge huku akijikaza kusikiliza uongo wa mkewe akajibu ndio namkumbuka amefanya nini?

Nilikuwa nampa taarifa ya party yetu kumbe alipata ajar yuko nyumbani, sasa nimeona wacha nikamwangalie kabisa sasa hivi naomba hela kidogo..........jamaa akamtumia tsh. laki moja na nusu na msg juu akimhimiza kuwahi kurudi. 
Vipi uko na angel hapo?? 
Mama akajibu ndio nikupe uongee naye??
basi akampa simu wakaongea na baba yake...... 
Akachukua simu mama yake akamwambia mumewe " halafu naenda nae angel mara moja!
Jamaa akajibu hamna shida.

Upesi mama angel akamwandikia sms anaedhani ni Asajile mchepuko wake kumbe ni mumewe huyo huyo akamtext sasa enda mahali tafuta guest nzur nakutumia elfu 80 sasa hivi 

Jamaa akajibu waooo ndio maana sijawahi kuacha kukupenda Elizabeth wangu.....basi ntakwambia nikipata. Ila uje na angel

Baada ya dakika kama 30 Elizabeth akawa amejiandaa na kumuandaa mwanaye huku akimuahidi house girl kana kwamba atarudi saa 2 usiku.......

Jamaa mida kama ya saa 10 jioni akamtext wife njoo hapa...........kuna Lodge inaitwa shelisheli unaijua?wife akaitikia yes.....basi njoo ni chumba namba 6 ghorofa ya 6 ila usimwache mtoto pls.

Muda wote huo baba angel alikuwa ameshika kitambaa mkononi maana haipiti sekunde asipojifuta machozi machoni alikuwa akilia tu kwa jinsi alivyokuwa akimpenda mkewe.akajifikiria kuwa ,kwanini Mungu alimficha hilo jambo lililo moyoni mwa mkewe??kwanini Mungu ameruhusu alee mtoto asiye wake??

Kufika hapo Ni kama mwendo wa dakika 20 kwa toyo,basi 
Mama angel akaona achukue hiyo bodaboda awahi 

na kweli akawa amewahi.......akaingia hiyo hotel akaenda sehemu ya lift akafika chumba gorofa ya 6 akaenda chumba namba 6

Taratibu akafungua  mlango mgongoni akiwa na angel akakuta hakuna mtu kumbe jamaa kaingia kidogo uani

Dakika mbili hivi jamaa akawa anatokea kutoka uani 

Ile kufungua mlango 
Mama angel hakuamini alichokikuta maana tayari kwenye ubongo wake alikuwa amemtengeneza Asajile.....lakini sio Asajile aliyemkuta........

aligongana USO kwa USO na mumewe wanaetarajia kufanya sherehe ya ndoa yao wiki kama mbili zijazo. Mama angel alipiga yowe yesuuuuu huku akitaka kukimbia kutoka nje........mumewe akamkamata mkono wake akamtuliza na kumwambia "usiogope uko kwenye mikono salama ya baba wa watoto wako kaa utulie!

Ooh my god sijui nimefanya nini Mimi!?mkewe alijisemea huku akionyesha kuchanganyikiwa. Wakati huo angel yuko kwa baba yake akistaajabu kuhusu kinachoendelea.........

Ilimchukua kama dakika 20 mpaka kutulia mama angel 
Mumewe akaongea maneno mafupi tu.....

MKE WANGU, USIJE UKADHANI MIMI NIPO GIZANI KABISA NISIJUE HATA HATA KIDOGO ULICHONACHO MOYONI MWAKO.

AKAONGEA KILUGHA KUMKWEPESHA MTOTO ASIELEWE......LAKINI AKIWA NA MAANA KWAMBA

TANGU HUYU MTOTO AMEZALIWA,MOYONI MWANGU NILIJUA SIO MTOTO WANGU,HATA WIFI ZAKO, shemeji zako WAZAZI WANGU WALINIAMBIA HILI JAMBO,NA LISEMWALO LIPO.......mama angel akazidi kupigwa butwaa

Akaendelea kumsimulia mkewe.......

SIKU MOJA NILIOTA NDOTO MTOTO ANAUMWA,NA TULIPOENDA HOSPITALI ETI KATIKA VIPIMO IKAONYESHA WANAPIMA DNA NIKAKASIRIKA,MBONA MNAMPIMA DNA WAKATI HUYU NI MGONJWA ANAHITAJI VIPIMO VINGINE?

YULE DR AKANIAMBIA NITULIE KWANI ANAJUA AFANYACHO 
NIIKAMKA,NILIPOMPIGIA SIMU MTUMISHI WA MUNGU MMOJA AKANIAMBIA MTOTO SI WANGU LAKINI NISICHUKUE UAMUZI WOWOTE MBAYA BADALA YAKE NIENDELEE KULEA MAANA MALIPO NI KWA MUNGU.

Elizabeth, umenitonesha tena kidonda mke wangu,
Asante umemleta angel kwa baba yake Asajile lakini hayupo,bado nabaki Mimi ndiye baba yake Mungu atanilipa kwa uaminifu wangu......nashkur kwa uongo wako,asante kwa hela uliyonitumia ya chumba, nataka nikwambie nimefanya kama ulivyonipa maelekezo.......

Wakati huo mama angel analia tu hakuna mfano,anaona hata aibu kusema nisamehe,alichojibu ktk kulia kwake ni 

"Naona nafsi yangu inahukumiwa mno kuliko maneno unayoniambia.....najua mwisho wa ndoa yangu ni hapa hakuna jinsi,siwezi kujitetea mume wangu!naiona jehanamu hii hapa,ninauona ubaya wa kufuga dhambi sasa,hapa ndio naamini hakuna siri duniani,haiwezekani ukafanya kitu ukajua haitajulikana.
Niko tayari uniambie chochote na sitapinga,nimeaibika mbeke ya mwanangu Mwanangu nimeaibika mbele ya mume wangu anipendaye na nimeaibika mbele za mbingu na dunia..........nitaficha wapi USO wangu mie??

Jamaa akamwambia mkewe najuta kukujaribu mke wangu najuta kuupima uaminifu wako,ila namshukuru Mungu amenipa kifua kikubwa cha kukabiliana na mambo MAZITO.

Lakini wakati mwingine namshukuru Mungu tu maana kila jambo lina makusudi....... Wakatoka pale hotelini wakaingia ndani ya gari ambayo baba angel alikuja nayo wakarudi nyumbani.

Usiku mzima mwanamke hakulala usingizi akidhani labda mumewe angemuua hata mtoto........asubuhi kulipokucha jamaa alipowahi kazini mwanamke akaanza kupitia message walizokuwa wanachat na mmewe akaona ni kama yupo uchi tu.......akaenda kununua vidonge duka la dawa baridi akameza akafa huku akiacha ujumbe usemao

KUHUSU KUFA KWANGU ASILAUMIWE MTU YEYOTE ILA NILAUMIWE MIMI
NAPENDA NIWEKE HADHARANI KILA KITU,KUHUSU MTOTO WANGU ANGEL SIO WA MUME WANGU,JAPO KWA KIPINDI CHOTE ALIKUWA ANAJUA NI WAKE.......BABA YAKE ANAITWA ASAJILE MWASILU......ALINIPA MIMBA NIKIWA NDANI YA NDOA YANGU....... NATUBU KWA WAZAZI WANGU NA WAZAZI WA MUME WANGU MNIOMBEE NIENDAKO NIPUNGUZIWE ADHABU YA KABURI,MWISHO NAWAOMBA MSIJE KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YANGU,NJOONI MSIBANI.

Mwisho sitaki kueleza nini kilitokea kwenye mazishi na msiba kwa ujumla wake 
Lakini jamaa anaendelea kulea mtoto asiye wake na mtoto wake.

Kwenye mazishi alisikika akilia akisema najuta kwanini nilipima uaminifu na msimamo wa mke wangu,yamkini mpaka leo angekuwa hai...............

BAADA YA MAZISHI MAKABURINI BABA ANGEL ALIMPELEKEA KARATASI KAKA YAKE AMBAYE NDIYO ANGETOA SHUKRANI KWA WATU NA MATANGAZO MACHACHE YA NINI KINGEENDELEA BAADA YA PALE,BASI AKASOMA ILE KARATASI KWAMBA 

"TUNAPENDA KUWATAARIFU KWAMBA ILE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YA BABA ANGEL PAMOJA NA MKEWE AMBAYE NI MAREHEMU SASA ILE TAREHE IPO PALEPALE ATAFANYA NA WATOTO WAKE ITAAMBATANA NA KUMSHUKURU MUNGU KATIKA YOTE MAANA IMEANDIKWA "SHUKURUNI KWA KILA JAMBO"...........

Siku ya sherehe yenyewe watu walifika kwa wingi sana hamna mfano na miongoni mwao ni baba angel original yaani Asajile.......

Itaendelea next time

Ila jueni kuwa shetani yuko kaz

NAOMBA MSIJE KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YANGU, NJOONI KWENYE MSIBA WANGU. Baada ya kukaa kwenye ndoa takriban miaka 10 kasoro miezi miwili wakafanikiwa kupata watoto wawili wa kwanza angel na wa pili baraka. jamaa akakaa na mkewe wakapanga mipango mizito sana kuhusiana na tukio lingine zito baada ya tukio lao la harusi.yaani kusheherekea miaka 10 ya ndoa yao. Lakini akajisemea, ngoja nipime kiwango cha uaminifu alichonacho mke wangu kabla ya hiyo sherehe haiwezekani kwamba kuna usalama kabisa maana ktk miaka yote nimekuwa MTU wa kazini,safarini in short sina muda mwingi wa kukaa na familia yangu....na kama atavuka hili jaribu basi naweka nadhiri mbele za mbingu nitamtafutia zawadi nzuri ambayo hajawahi kuona na hatokuja kuisahau Akawaambia marafiki zake nataka nifanye party ya kusheherekea miaka kumi ya ndoa yangu nahitaji kampani yenu,walifurahi sana marafiki zake hususani wafanyakazi wenzake. Kamati zikaundwa mara moja,lakini baba angel aliendelea na upelelezi wa kumjaribu mkewe pasipo kujua huyo mkewe aitwaye Elizabeth. Mama angel aliendelea kualika marafiki zake,wazazi wake wakawa wanasubiria kwa hamu kubwa hilo tukio wakimbariki mwenyezi Mungu kwa kuendelea kustawisha ndoa ya mtoto wao.huku asijue mmewe ana nini ndani ya moyo wake. Baba angel akafanya usajili wa line mpya ya tigo asiyoijua mkewe. Akasajili kwa kubuni jina la #Asajile_mwasilu ambaye alikuwa anahisi anatembea na mkewe maana mara kadhaa alishazikuta msg za ajabu kwenye simu ya mkewe kama za mtu na mpenzi wake na alipoichunguza kwenye tigo pesa usajili ukaonyesha jina la Asajile mwasilu. akawa akichat na mkewe mara kwa Mara, kupitia hiyo namba mpya...... siku moja mkewe akaangalia hiyo namba kwenye usajili akaona jina la "Asajile mwasilu" waooooo ooh my dear,akafurahi basi mwenyewe! Akaamua kupiga simu,mumewe hakupokea akakata akamwambia nitext niko mahali hatutaweza kuelewana. Kumbuka Wakati huo mumewe yupo kazini........akamwambia tuendelee kuchat My nikupendae uko wapi mpenzi wangu nikufuate sasa hivi,maana nilivyofrahi kuona SMS yako mungu anajua!namba zako zote baba angel alifuta kwenye simu yangu,na wewe ndio hujanitafuta tena..... baba angel akajibu, we taratibu,si unajua umeolewa wewe unifuate wapi? mumeo alinipigiaga simu kwamba angenifanya kitu kibaya Sana iwapo ningeendelea kuwa na mawasiliano na wewe basi nikaogopa mwenyewe ndio maana nikajikaliaga kimya. Ooh pole my sweet, ndio walivyo wanaume wasiojitambua hawa,yaani yeye anadhani anaweza kunichunga eti! Anasahau kwamba uanaume sio kuchunga mke uanaume ni kumhudumia vzur mkeo kitandani huo ndio ulinzi tosha. Yaani kusema ule ukweli,sijawahi kupata mwanaume wa kunihudumia vile nitakavyo zaidi yako,uko wapii? Mama angel akaendelea kufunguka. Mh!baba angel akajikuta anaishiwa pozi vibaya mno huku mapigo ya moyo yanayoambatana na ghadhabu yakikitesa kifua chake ambacho hata pumzi ilikuwa ni shida kutoka hakuamini kwamba huyo anaechat naye ni mkewe.......akamjibu kwa kicheko cha uongo Hahaaaaaa ina maana unataka kusema jamaa hayuko vzur kitandani?? Na vipi angel hajambo??? Ndio maana nakuuliza uko wapi this time nikufate?maana umelandisha mtoto mpaka sio vizuri,wewe mwanaume una damu kali,wakati mwingine mpaka naona aibu kumwita mume wangu baba angel maana ukweli Mimi ndio naujua....ila yeye hajui kitu anajua ni wake. Baba angel akawazaa wee huku mipango ya sherehe akiona ikiyeyuka taratibu kadri alivyokuwa akiendelea kuchati na mkewe... Akakaa katibu dakika 10 bila kusema chochote akiwaza je ni kweli angel sio wangu???mh! Hawa wanawake vipii?? akatazama saa yake akaona ni saa 8 za mchana akajisemea pale ofsini "hivi mke wangu ana roho mbaya kiasi hiki Kumbe nalea mtoto asie wangu?? Akafungua kwenye gallery akatazama picha za mtoto wake huyo mzur akaendelea kujipa moyo......... Akamrudia mkewe akamwambia Wacha buana uko naye angel hapo?? Mama angel akajibu yes, jamaa akajibu tena "Mi mwenyewe nimekumiss sana na nimemmis sana mwanangu natamani nimwone tu lakini naangalia usawa wa mfuko hauko sawa sana...... Mkewe akajibu hebu ngoja nipe dakika sifuri......... Haraka haraka mama angel akampigia simu mumewe kwa namba yake ya siku zote. "Samahani baby unamkumbuka neema msimamizi wa send off yangu?? Jamaa kwa unyonge huku akijikaza kusikiliza uongo wa mkewe akajibu ndio namkumbuka amefanya nini? Nilikuwa nampa taarifa ya party yetu kumbe alipata ajar yuko nyumbani, sasa nimeona wacha nikamwangalie kabisa sasa hivi naomba hela kidogo..........jamaa akamtumia tsh. laki moja na nusu na msg juu akimhimiza kuwahi kurudi. Vipi uko na angel hapo?? Mama akajibu ndio nikupe uongee naye?? basi akampa simu wakaongea na baba yake...... Akachukua simu mama yake akamwambia mumewe " halafu naenda nae angel mara moja! Jamaa akajibu hamna shida. Upesi mama angel akamwandikia sms anaedhani ni Asajile mchepuko wake kumbe ni mumewe huyo huyo akamtext sasa enda mahali tafuta guest nzur nakutumia elfu 80 sasa hivi Jamaa akajibu waooo ndio maana sijawahi kuacha kukupenda Elizabeth wangu.....basi ntakwambia nikipata. Ila uje na angel Baada ya dakika kama 30 Elizabeth akawa amejiandaa na kumuandaa mwanaye huku akimuahidi house girl kana kwamba atarudi saa 2 usiku....... Jamaa mida kama ya saa 10 jioni akamtext wife njoo hapa...........kuna Lodge inaitwa shelisheli unaijua?wife akaitikia yes.....basi njoo ni chumba namba 6 ghorofa ya 6 ila usimwache mtoto pls. Muda wote huo baba angel alikuwa ameshika kitambaa mkononi maana haipiti sekunde asipojifuta machozi machoni alikuwa akilia tu kwa jinsi alivyokuwa akimpenda mkewe.akajifikiria kuwa ,kwanini Mungu alimficha hilo jambo lililo moyoni mwa mkewe??kwanini Mungu ameruhusu alee mtoto asiye wake?? Kufika hapo Ni kama mwendo wa dakika 20 kwa toyo,basi Mama angel akaona achukue hiyo bodaboda awahi na kweli akawa amewahi.......akaingia hiyo hotel akaenda sehemu ya lift akafika chumba gorofa ya 6 akaenda chumba namba 6 Taratibu akafungua mlango mgongoni akiwa na angel akakuta hakuna mtu kumbe jamaa kaingia kidogo uani Dakika mbili hivi jamaa akawa anatokea kutoka uani Ile kufungua mlango Mama angel hakuamini alichokikuta maana tayari kwenye ubongo wake alikuwa amemtengeneza Asajile.....lakini sio Asajile aliyemkuta........ aligongana USO kwa USO na mumewe wanaetarajia kufanya sherehe ya ndoa yao wiki kama mbili zijazo. Mama angel alipiga yowe yesuuuuu huku akitaka kukimbia kutoka nje........mumewe akamkamata mkono wake akamtuliza na kumwambia "usiogope uko kwenye mikono salama ya baba wa watoto wako kaa utulie! Ooh my god sijui nimefanya nini Mimi!?mkewe alijisemea huku akionyesha kuchanganyikiwa. Wakati huo angel yuko kwa baba yake akistaajabu kuhusu kinachoendelea......... Ilimchukua kama dakika 20 mpaka kutulia mama angel Mumewe akaongea maneno mafupi tu..... MKE WANGU, USIJE UKADHANI MIMI NIPO GIZANI KABISA NISIJUE HATA HATA KIDOGO ULICHONACHO MOYONI MWAKO. AKAONGEA KILUGHA KUMKWEPESHA MTOTO ASIELEWE......LAKINI AKIWA NA MAANA KWAMBA TANGU HUYU MTOTO AMEZALIWA,MOYONI MWANGU NILIJUA SIO MTOTO WANGU,HATA WIFI ZAKO, shemeji zako WAZAZI WANGU WALINIAMBIA HILI JAMBO,NA LISEMWALO LIPO.......mama angel akazidi kupigwa butwaa Akaendelea kumsimulia mkewe....... SIKU MOJA NILIOTA NDOTO MTOTO ANAUMWA,NA TULIPOENDA HOSPITALI ETI KATIKA VIPIMO IKAONYESHA WANAPIMA DNA NIKAKASIRIKA,MBONA MNAMPIMA DNA WAKATI HUYU NI MGONJWA ANAHITAJI VIPIMO VINGINE? YULE DR AKANIAMBIA NITULIE KWANI ANAJUA AFANYACHO NIIKAMKA,NILIPOMPIGIA SIMU MTUMISHI WA MUNGU MMOJA AKANIAMBIA MTOTO SI WANGU LAKINI NISICHUKUE UAMUZI WOWOTE MBAYA BADALA YAKE NIENDELEE KULEA MAANA MALIPO NI KWA MUNGU. Elizabeth, umenitonesha tena kidonda mke wangu, Asante umemleta angel kwa baba yake Asajile lakini hayupo,bado nabaki Mimi ndiye baba yake Mungu atanilipa kwa uaminifu wangu......nashkur kwa uongo wako,asante kwa hela uliyonitumia ya chumba, nataka nikwambie nimefanya kama ulivyonipa maelekezo....... Wakati huo mama angel analia tu hakuna mfano,anaona hata aibu kusema nisamehe,alichojibu ktk kulia kwake ni "Naona nafsi yangu inahukumiwa mno kuliko maneno unayoniambia.....najua mwisho wa ndoa yangu ni hapa hakuna jinsi,siwezi kujitetea mume wangu!naiona jehanamu hii hapa,ninauona ubaya wa kufuga dhambi sasa,hapa ndio naamini hakuna siri duniani,haiwezekani ukafanya kitu ukajua haitajulikana. Niko tayari uniambie chochote na sitapinga,nimeaibika mbeke ya mwanangu Mwanangu nimeaibika mbele ya mume wangu anipendaye na nimeaibika mbele za mbingu na dunia..........nitaficha wapi USO wangu mie?? Jamaa akamwambia mkewe najuta kukujaribu mke wangu najuta kuupima uaminifu wako,ila namshukuru Mungu amenipa kifua kikubwa cha kukabiliana na mambo MAZITO. Lakini wakati mwingine namshukuru Mungu tu maana kila jambo lina makusudi....... Wakatoka pale hotelini wakaingia ndani ya gari ambayo baba angel alikuja nayo wakarudi nyumbani. Usiku mzima mwanamke hakulala usingizi akidhani labda mumewe angemuua hata mtoto........asubuhi kulipokucha jamaa alipowahi kazini mwanamke akaanza kupitia message walizokuwa wanachat na mmewe akaona ni kama yupo uchi tu.......akaenda kununua vidonge duka la dawa baridi akameza akafa huku akiacha ujumbe usemao KUHUSU KUFA KWANGU ASILAUMIWE MTU YEYOTE ILA NILAUMIWE MIMI NAPENDA NIWEKE HADHARANI KILA KITU,KUHUSU MTOTO WANGU ANGEL SIO WA MUME WANGU,JAPO KWA KIPINDI CHOTE ALIKUWA ANAJUA NI WAKE.......BABA YAKE ANAITWA ASAJILE MWASILU......ALINIPA MIMBA NIKIWA NDANI YA NDOA YANGU....... NATUBU KWA WAZAZI WANGU NA WAZAZI WA MUME WANGU MNIOMBEE NIENDAKO NIPUNGUZIWE ADHABU YA KABURI,MWISHO NAWAOMBA MSIJE KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YANGU,NJOONI MSIBANI. Mwisho sitaki kueleza nini kilitokea kwenye mazishi na msiba kwa ujumla wake Lakini jamaa anaendelea kulea mtoto asiye wake na mtoto wake. Kwenye mazishi alisikika akilia akisema najuta kwanini nilipima uaminifu na msimamo wa mke wangu,yamkini mpaka leo angekuwa hai............... BAADA YA MAZISHI MAKABURINI BABA ANGEL ALIMPELEKEA KARATASI KAKA YAKE AMBAYE NDIYO ANGETOA SHUKRANI KWA WATU NA MATANGAZO MACHACHE YA NINI KINGEENDELEA BAADA YA PALE,BASI AKASOMA ILE KARATASI KWAMBA "TUNAPENDA KUWATAARIFU KWAMBA ILE SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YA BABA ANGEL PAMOJA NA MKEWE AMBAYE NI MAREHEMU SASA ILE TAREHE IPO PALEPALE ATAFANYA NA WATOTO WAKE ITAAMBATANA NA KUMSHUKURU MUNGU KATIKA YOTE MAANA IMEANDIKWA "SHUKURUNI KWA KILA JAMBO"........... Siku ya sherehe yenyewe watu walifika kwa wingi sana hamna mfano na miongoni mwao ni baba angel original yaani Asajile....... Itaendelea next time Ila jueni kuwa shetani yuko kaz

...
KAMA NI MUOGA WA KUKUTANA NA MWANAMKE MPYA SOMA HAPA








1. Zifahamu sehemu nzuri za kukutana na wanawake
Sehemu za kujivinjari kama vilabu na baa ni sehemu nzuri za kukutana na wanawake lakini kama unataka mahusiano marefu na mwanamke basi sehemu hizo si nzuri kwako. Iwapo unataka mchepuko wa haraka basi unaweza kuenda kutafuta katika hizo sehemu.

Iwapo wewe ndio umeingia katika dunia ya kutongoza kwa sasa, basi ningekushauri utafute sehemu mbadala kwa sababu kutakufungua macho na ufahamu mpango mzima kuhusiana na maswala ya mahusiano na mapenzi. Sehemu nzuri za kukutana na wanawake ni:

    Supermarket
    Mkahawa
    Bustani
    Vituo vya mabasi
    Chuoni

2. Jaribu mitandao ya kutafuta wachumba, wapenzi
Hii inaweza kuonekana kama utata kwako lakini kulingana na utafiti ni kuwa wanaume wengi hupata wachumba wao kupitia mitandao ya kutafuta wachumba. Uzuri wa mitandao hii ni kuwa haina stress ya kujisumbua kuzunguka, unatafuta mchumba ukiwa nyumbani kwako ukiwa umetulia. Pia mitandao hii inakupa fursa ya kupata mchumba ambaye mnagawa maslahi na tabia moja. 

Lakini chunga iwapo utatafuta mchumba kwa mtandao kwa sababu kuna wengi wamefanyiwa ufidhuli huko na kuporwa pesa zao. Unaweza kuangalia mitandao ya kutafuta wachumba bora zaidi Afrika ambayo tumekuchagulia.

3.Usishushe hadhi yako
Iwapo unataka kutongoza mwanamke sehemu yeyote ile, usijaribu kushusha hadhi yako. Iwapo unaamini ya kuwa wewe ni mzuri zaidi kwa mwanamke basi pia yeye ataamini hivyo hivyo. Pia iwapo unaona hauna uwezo wa kumvutia mwanamke, elewa ya kuwa vivyo hivyo wanawake watakuona kama mwanaume usiyejiamini ambaye huna confidence ya kuwaaproach ama kuwatongoza.
Wanawake hupenda wanaume ambao wana confidence na wanaopenda kuchukua misimamo ya haraka.

4. Kuwa na mipango
Kama iwapo unataka kukutana na mwanamke mara ya kwanza ama wakati mwingine, hakikisha ya kuwa unaweka mpango unaoeleweka ili usipate tatizo mbeleni. Mfano unamtoa out mwanamke, hakikisha ya kuwa unaifahamu vyema sehemu unapanga kumtoa out ili usianze kupapatika kuhusu wapi na nini la kufanya wakati mmetoka sehemu hizo.
Wanawake hupenda wanaume ambao huwa na mwongozo wa mambo ambayo hufanya.
Sehemu nzuri za kukutana na mwanamke ni katika mkahawa, gym, na baa. Hakikisha ya kuwa sehemu unayoichagua inapendeza.

5. Uwe unapendeza kila wakati
Iwapo unataka kuwa na mahusiano mazuri na wanawake basi unafaa uwe unapendeza kimuonekano. Hakikisha ya kuwa unauboresha mwonekano wako na pia umaintain kila wakati. Kuvalia nguo nzuri mara kwa mara ni muhimu lakini usivuke mipaka. Ni muhimu kufanya hivi kwa sababu huwezi kujua lini ama wapi unaweza ukakutana na mwanamke utakaye mzimia.

6. Fanya mazoezi ya ujamiifu wako
Ujamiifu ni socialization na wengine. Iwapo unataka kukutana na wanawake wengi katika maisha yako, basi kigezo cha kujamiiana na wengine ni muhimu. Kutembea sehemu za vilabu, baa, sehemu ambazo kuna matukio flani ni muhimu ili kunoa kipawa chako cha kutangamana na wengine.
Tumia fujo wakati ambapo unatangamana na wanawake ili uboreshe ubabe wako. Kama ni kuenda kwa kilabu, hakikisha ya kuwa unadensi na wanawake tofauti tofauti. Hii inakupa confidence kwa mwanamke. 
Pia hakikisha ya kuwa unaenda wakati ufaao sehemu kama hizi. Mfano nenda kwa klabu wakati watu wamekuwa wengi. Pia usijifiche wala kuogopa yeyote yule.

7. Usibabaikie kutemwa
Kila mtu katika maisha yake ashapitia wakati flani ambapo amekataliwa na mtu flani, so kukataliwa ni jambo la kawaida na halifai kusumbua mtu akili. Kando na hivyo, kukataliwa hakumaanishi ya kuwa unafanya makosa. Wakati mwingine huwa ni kuwa wanawake wengine hawataki kuwa katika mahusiano, washachumbiwa ama sababu nyingine kama hizi.
Kumalizia ni kuwa kuna mbinu tofauti tofauti na sehemu tofati za kutafuta mchumba hivyo woga la kutemwa halifai kuwa swala kuu.

8. Pata ujuzi kutoka kwa wanaume wengine
Ukweli usemwe, hakuna mwanaume hapa duniani yuko sawa asilimia 100. Hivyo ni vizuri kupata ujuzi kwa kuwauliza wenzako ni vipi waliweza kutongoza ama kupata windo fulani.
Ingawa ni vizuri kupata ushauri kutoka kwa marafiki zako, mimi naona ushauri wa mtu huwa tofauti na mwingine hivyo mara nyingi ushauri kutoka kwa mwanaume mwingine unaweza kukupotosha ama kuegemea upande mmoja. Hapa NESIMAPENZI tumekulekea post tofauti tofauti za kukufunza wewe na hatujaegemea upande wowote.

KAMA NI MUOGA WA KUKUTANA NA MWANAMKE MPYA SOMA HAPA  1. Zifahamu sehemu nzuri za kukutana na wanawake Sehemu za kujivinjari kama vilabu na baa ni sehemu nzuri za kukutana na wanawake lakini kama unataka mahusiano marefu na mwanamke basi sehemu hizo si nzuri kwako. Iwapo unataka mchepuko wa haraka basi unaweza kuenda kutafuta katika hizo sehemu. Iwapo wewe ndio umeingia katika dunia ya kutongoza kwa sasa, basi ningekushauri utafute sehemu mbadala kwa sababu kutakufungua macho na ufahamu mpango mzima kuhusiana na maswala ya mahusiano na mapenzi. Sehemu nzuri za kukutana na wanawake ni:     Supermarket     Mkahawa     Bustani     Vituo vya mabasi     Chuoni 2. Jaribu mitandao ya kutafuta wachumba, wapenzi Hii inaweza kuonekana kama utata kwako lakini kulingana na utafiti ni kuwa wanaume wengi hupata wachumba wao kupitia mitandao ya kutafuta wachumba. Uzuri wa mitandao hii ni kuwa haina stress ya kujisumbua kuzunguka, unatafuta mchumba ukiwa nyumbani kwako ukiwa umetulia. Pia mitandao hii inakupa fursa ya kupata mchumba ambaye mnagawa maslahi na tabia moja.  Lakini chunga iwapo utatafuta mchumba kwa mtandao kwa sababu kuna wengi wamefanyiwa ufidhuli huko na kuporwa pesa zao. Unaweza kuangalia mitandao ya kutafuta wachumba bora zaidi Afrika ambayo tumekuchagulia. 3.Usishushe hadhi yako Iwapo unataka kutongoza mwanamke sehemu yeyote ile, usijaribu kushusha hadhi yako. Iwapo unaamini ya kuwa wewe ni mzuri zaidi kwa mwanamke basi pia yeye ataamini hivyo hivyo. Pia iwapo unaona hauna uwezo wa kumvutia mwanamke, elewa ya kuwa vivyo hivyo wanawake watakuona kama mwanaume usiyejiamini ambaye huna confidence ya kuwaaproach ama kuwatongoza. Wanawake hupenda wanaume ambao wana confidence na wanaopenda kuchukua misimamo ya haraka. 4. Kuwa na mipango Kama iwapo unataka kukutana na mwanamke mara ya kwanza ama wakati mwingine, hakikisha ya kuwa unaweka mpango unaoeleweka ili usipate tatizo mbeleni. Mfano unamtoa out mwanamke, hakikisha ya kuwa unaifahamu vyema sehemu unapanga kumtoa out ili usianze kupapatika kuhusu wapi na nini la kufanya wakati mmetoka sehemu hizo. Wanawake hupenda wanaume ambao huwa na mwongozo wa mambo ambayo hufanya. Sehemu nzuri za kukutana na mwanamke ni katika mkahawa, gym, na baa. Hakikisha ya kuwa sehemu unayoichagua inapendeza. 5. Uwe unapendeza kila wakati Iwapo unataka kuwa na mahusiano mazuri na wanawake basi unafaa uwe unapendeza kimuonekano. Hakikisha ya kuwa unauboresha mwonekano wako na pia umaintain kila wakati. Kuvalia nguo nzuri mara kwa mara ni muhimu lakini usivuke mipaka. Ni muhimu kufanya hivi kwa sababu huwezi kujua lini ama wapi unaweza ukakutana na mwanamke utakaye mzimia. 6. Fanya mazoezi ya ujamiifu wako Ujamiifu ni socialization na wengine. Iwapo unataka kukutana na wanawake wengi katika maisha yako, basi kigezo cha kujamiiana na wengine ni muhimu. Kutembea sehemu za vilabu, baa, sehemu ambazo kuna matukio flani ni muhimu ili kunoa kipawa chako cha kutangamana na wengine. Tumia fujo wakati ambapo unatangamana na wanawake ili uboreshe ubabe wako. Kama ni kuenda kwa kilabu, hakikisha ya kuwa unadensi na wanawake tofauti tofauti. Hii inakupa confidence kwa mwanamke.  Pia hakikisha ya kuwa unaenda wakati ufaao sehemu kama hizi. Mfano nenda kwa klabu wakati watu wamekuwa wengi. Pia usijifiche wala kuogopa yeyote yule. 7. Usibabaikie kutemwa Kila mtu katika maisha yake ashapitia wakati flani ambapo amekataliwa na mtu flani, so kukataliwa ni jambo la kawaida na halifai kusumbua mtu akili. Kando na hivyo, kukataliwa hakumaanishi ya kuwa unafanya makosa. Wakati mwingine huwa ni kuwa wanawake wengine hawataki kuwa katika mahusiano, washachumbiwa ama sababu nyingine kama hizi. Kumalizia ni kuwa kuna mbinu tofauti tofauti na sehemu tofati za kutafuta mchumba hivyo woga la kutemwa halifai kuwa swala kuu. 8. Pata ujuzi kutoka kwa wanaume wengine Ukweli usemwe, hakuna mwanaume hapa duniani yuko sawa asilimia 100. Hivyo ni vizuri kupata ujuzi kwa kuwauliza wenzako ni vipi waliweza kutongoza ama kupata windo fulani. Ingawa ni vizuri kupata ushauri kutoka kwa marafiki zako, mimi naona ushauri wa mtu huwa tofauti na mwingine hivyo mara nyingi ushauri kutoka kwa mwanaume mwingine unaweza kukupotosha ama kuegemea upande mmoja. Hapa NESIMAPENZI tumekulekea post tofauti tofauti za kukufunza wewe na hatujaegemea upande wowote.

...
JINSI YA KUISHI NA MPENZI MPENDA PESA









HAPA tunazungumza kuhusu mapenzi kama kawaida yetu. Leo nimekuja na mada ambayo naamini itawagusa wengi. Marafiki zangu, kusaidia katika mapenzi ni jambo zuri tena lenye mantiki sana.
Suala la kusaidiana si la upande mmoja. Linaweza kuwa kwa wote, kwa mwanaume au mwanamke. Ni kati ya nguzo muhimu katika mapenzi, lakini kwa bahati mbaya kuna wale ambao
wamekuwa na tabia ya kupenda sana fedha!

Unajua wenzi wanajuana kulingana na wanavyoishi, hivyo ni rahisi sana kumgundua mwenzako kama anapenda sana fedha au ni kweli ana tatizo linalohitaji msaada wako. Hii ni kasoro, lakini haimaanishi kwamba ndiyo sababu ya kuachana.

Katika mada hii ipo dawa ya namna ya kudumu katika mapenzi motomoto na mwenzi wa aina hii. Imekuwa ni kawaida kumsikia msichana akitamba mbele ya wasichana wenzake kwa kusema: “Mimi nina kibuzi changu bwana kila ninachotaka kinanipa, kinajua kisiponipa nakitosa tu, yaani nakichuna kama sina akili nzuri.”

Umewahi kukutana na maneno ya aina hii? Bila shaka jibu ni ndiyo. Si hivyo tu, wapo wanaume pia ambao ni kero kwa wapenzi wao, yaani wamegeuka wanaume kama mabinti kwa tabia zao za kutegemea kupewa kila kitu na wapenzi wao hata kama wanao uwezo wa kuvipata vitu hivyo kama watajishughulisha.

Ninachotaka kusema leo ni kwamba, mapenzi ya kweli hayana uhusiano wowote na fedha, ukiona mpenzi wako anaweka fedha mbele na ukishindwa kumpatilizia anachokitaka anakasirika, jua penzi lake lina walakini, hakupendi bali anataka kukutumia kisha kukuacha.

Katika mapenzi hatukatai suala la kusaidiana, mpenzi wako akiwa na shida fulani akaomba umsaidie, kama unao uwezo msaidie na kama huna mueleze ukweli kisha muangalie namna nyingine ya kumsaidia.

Itakuwa siyo busara kama utakuwa na tatizo lakini ukaona kwamba ukimweleza mpenzi wako ataona unamchuna. Wapenzi wanaopendana kwa dhati hawachunani bali wanasaidiana na hili ni kwa pande zote mbili.

Kinachokera ni kutoishiwa na matatizo na wakati mwingine unakuta kuchuna kwingine ni kwa mambo ya starehe. Yaani sasa hivi umemuomba mpenzi wako vocha, hajakaa vizuri umemtaka akija akuletee chipsi mayai, baadaye unataka akutoe ‘out’, bila kujali kwamba wakati huo mpenzi wako ana fedha au laah.

Katika mazingira hayo unadhani mpenzi wako atashindwa kukuchoka? Akikuacha kwa sababu hiyo utamlaumu? Kimsingi ukiwa na mpenzi mwenye tabia ya kutaka kukuomba fedha kila wakati tena katika matumizi mengine ambayo siyo ya msingi, mbinu zifuatazo ni muhimu kuzifuata. Twende tukaone.

MWELEZE UKWELI
Kama huna fedha wakati mpenzi wako anakuomba, mueleze wazi kuwa huna na kamwe usijaribu kutoa ahadi ambazo huenda ukashindwa kuzitimiza. Usiwe mtu wa kutoa ahadi za uongo, mara nitakununulia hiki na kile.
Mwanaume hatakiwi afahamike siku ana fedha au hana. Maana kuna wenzangu ambao siku za mishahara wanabadilisha hadi kutembea! Mwanamke akijua hilo naye ataongeza ‘mizinga’ ili afaidi.

JENGENI KUSAIDIANA
Jambo la muhimu ambalo wanaume wengi wanalisahau ni kutokuwafundisha wapenzi wao wajibu wa kutoa. Utakuta kila kitu ananunua yeye, hata nauli ya basi analipa, wakati mpenzi wake ana kazi yake.
Ifike wakati kwa makusudi, mwanaume ampe majukumu ya kufanya mpenzi wake, hiyo itamsaidia mwanamke kujua namna fedha zinavyokuwa hazitoshi na ataweza kubana matumizi.

ACHA UFUJALI
Kuna wanaume wengine tangu wanatongoza wanakuwa ni wafujaji wakubwa wa fedha kwa kutoa ofa na zawadi kibao. Hii inaweza kumjengea imani mpenzi wako kuwa unazo!

Unachotakiwa ni kudhibiti mapema matumizi yako hata kama fedha itakuwepo. Ifahamike kuwa kutoa hakushibishi uhitaji, kadiri unavyotoa ndivyo unavyoongeza mahitaji. Weka maisha yako katikati usijidai tajiri kumbe ni kapuku tu.

BAKI NA HILI
Katika kumalizia niseme tu kwamba, mapenzi si kukomoana, bali kusaidiana. Jenga tabia ya kumsaidia mwenzako ili siku na wewe ukiwa na tatizo akusaidie.

Kitu unachotakiwa kukiepuka ni kuwa tegemezi hadi unakuwa kero. Kumbuka kumpiga mizinga mpenzi wako kila mara kunapunguza mapenzi hivyo epukana na tabia hiyo.

JINSI YA KUISHI NA MPENZI MPENDA PESA   HAPA tunazungumza kuhusu mapenzi kama kawaida yetu. Leo nimekuja na mada ambayo naamini itawagusa wengi. Marafiki zangu, kusaidia katika mapenzi ni jambo zuri tena lenye mantiki sana. Suala la kusaidiana si la upande mmoja. Linaweza kuwa kwa wote, kwa mwanaume au mwanamke. Ni kati ya nguzo muhimu katika mapenzi, lakini kwa bahati mbaya kuna wale ambao wamekuwa na tabia ya kupenda sana fedha! Unajua wenzi wanajuana kulingana na wanavyoishi, hivyo ni rahisi sana kumgundua mwenzako kama anapenda sana fedha au ni kweli ana tatizo linalohitaji msaada wako. Hii ni kasoro, lakini haimaanishi kwamba ndiyo sababu ya kuachana. Katika mada hii ipo dawa ya namna ya kudumu katika mapenzi motomoto na mwenzi wa aina hii. Imekuwa ni kawaida kumsikia msichana akitamba mbele ya wasichana wenzake kwa kusema: “Mimi nina kibuzi changu bwana kila ninachotaka kinanipa, kinajua kisiponipa nakitosa tu, yaani nakichuna kama sina akili nzuri.” Umewahi kukutana na maneno ya aina hii? Bila shaka jibu ni ndiyo. Si hivyo tu, wapo wanaume pia ambao ni kero kwa wapenzi wao, yaani wamegeuka wanaume kama mabinti kwa tabia zao za kutegemea kupewa kila kitu na wapenzi wao hata kama wanao uwezo wa kuvipata vitu hivyo kama watajishughulisha. Ninachotaka kusema leo ni kwamba, mapenzi ya kweli hayana uhusiano wowote na fedha, ukiona mpenzi wako anaweka fedha mbele na ukishindwa kumpatilizia anachokitaka anakasirika, jua penzi lake lina walakini, hakupendi bali anataka kukutumia kisha kukuacha. Katika mapenzi hatukatai suala la kusaidiana, mpenzi wako akiwa na shida fulani akaomba umsaidie, kama unao uwezo msaidie na kama huna mueleze ukweli kisha muangalie namna nyingine ya kumsaidia. Itakuwa siyo busara kama utakuwa na tatizo lakini ukaona kwamba ukimweleza mpenzi wako ataona unamchuna. Wapenzi wanaopendana kwa dhati hawachunani bali wanasaidiana na hili ni kwa pande zote mbili. Kinachokera ni kutoishiwa na matatizo na wakati mwingine unakuta kuchuna kwingine ni kwa mambo ya starehe. Yaani sasa hivi umemuomba mpenzi wako vocha, hajakaa vizuri umemtaka akija akuletee chipsi mayai, baadaye unataka akutoe ‘out’, bila kujali kwamba wakati huo mpenzi wako ana fedha au laah. Katika mazingira hayo unadhani mpenzi wako atashindwa kukuchoka? Akikuacha kwa sababu hiyo utamlaumu? Kimsingi ukiwa na mpenzi mwenye tabia ya kutaka kukuomba fedha kila wakati tena katika matumizi mengine ambayo siyo ya msingi, mbinu zifuatazo ni muhimu kuzifuata. Twende tukaone. MWELEZE UKWELI Kama huna fedha wakati mpenzi wako anakuomba, mueleze wazi kuwa huna na kamwe usijaribu kutoa ahadi ambazo huenda ukashindwa kuzitimiza. Usiwe mtu wa kutoa ahadi za uongo, mara nitakununulia hiki na kile. Mwanaume hatakiwi afahamike siku ana fedha au hana. Maana kuna wenzangu ambao siku za mishahara wanabadilisha hadi kutembea! Mwanamke akijua hilo naye ataongeza ‘mizinga’ ili afaidi. JENGENI KUSAIDIANA Jambo la muhimu ambalo wanaume wengi wanalisahau ni kutokuwafundisha wapenzi wao wajibu wa kutoa. Utakuta kila kitu ananunua yeye, hata nauli ya basi analipa, wakati mpenzi wake ana kazi yake. Ifike wakati kwa makusudi, mwanaume ampe majukumu ya kufanya mpenzi wake, hiyo itamsaidia mwanamke kujua namna fedha zinavyokuwa hazitoshi na ataweza kubana matumizi. ACHA UFUJALI Kuna wanaume wengine tangu wanatongoza wanakuwa ni wafujaji wakubwa wa fedha kwa kutoa ofa na zawadi kibao. Hii inaweza kumjengea imani mpenzi wako kuwa unazo! Unachotakiwa ni kudhibiti mapema matumizi yako hata kama fedha itakuwepo. Ifahamike kuwa kutoa hakushibishi uhitaji, kadiri unavyotoa ndivyo unavyoongeza mahitaji. Weka maisha yako katikati usijidai tajiri kumbe ni kapuku tu. BAKI NA HILI Katika kumalizia niseme tu kwamba, mapenzi si kukomoana, bali kusaidiana. Jenga tabia ya kumsaidia mwenzako ili siku na wewe ukiwa na tatizo akusaidie. Kitu unachotakiwa kukiepuka ni kuwa tegemezi hadi unakuwa kero. Kumbuka kumpiga mizinga mpenzi wako kila mara kunapunguza mapenzi hivyo epukana na tabia hiyo.

...
AINA 10 ZA WANAUME AMBAO WANAWAKE HUJUTIA WAKIWA NAO









1. Wanaojiona Kama Wafalme (King Husband).
HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea.

2. Wanaume Wanaojihisi Bado Hawajaoa (Bachelor Husband).
Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa, hutumia muda wao mwingi na marafiki zao wakifanya mambo ambayo mke hata hayajui mke anaweza kustukizia tu mume kanunua gari bila kumshirikisha na mume haonyeshi hata kujali kuweza kumshirikisha. Hajali kama ana mke na mda mwingi huutumia akiwa na marafiki kufanya mambo yasiyo na msingi ambayo hayana mnanufaa yoyote katika ndoa yake.

3. Wanaume Wenye Gubu (Acidic Husband).
Hawa hukasirika kila mara tena bila kua na sababu ya misngi, mambo hayaishi, kosa la mwaka juzi anaweza kukukasirikia leo. Wamemuudhi kazini hataki kusemeshwa na mnanuniwa nyinyi, mwanamke akiomba hela ya chakula ni shida ni kununa kutwa nzima, wanahasira na nirahisi kumpiga mke.

4. Mume Wa Kila Mtu (Genarel Husband).
 Hawa wanajifanya wasamaria wema, wanajali kila mwanamke, wanajali marafiki wakike wa mke na wakwao kuliko wanavyowajali wake zao. Mke anaweza kuwa na shida akasema hana hela lakini rafiki akampa. Wana marafiki wengi wakike na mara nyingi huwa hawaachani kabisa na ma X wao, wakiwalalamikia wanawasaidia kuliko hata wanavyowasidia wake zao wakati wakiwa na shida.

5. Wanaume Wanaojifanya Wagumu (Dry Husband).
Hawa wanajifanya wagumu sana, hawana yale mambo ya kimahaba na wao hujua kuwa ndoa ni kuleta chakula tu na kushughulika kitandani. Hakuna kuongea na hawajali hata hisia za mke, mke akiongea kwao wala hawajali wanajifanya ni vidume sana na wanaona mambo kama vizawadi, kupiga simu, kutuma sms, kusema nakupenda, kununua maua ni mambo ya kike, yaani hawaonyeshi juhudi yoyote kuwafurahisha wekea zao.

6. Wanaume Wanaopenda Kutumia Wake Zao (Panadol Husband).
Hawa huwa wanaume pale tu wanapokuwa na shida, wanakuwa na wake wazuri wanaowajali lakini wao wala hawajali. Wanapomhitaji mwanamke, wanapotaka mwanamke awafanyie kitu flani basi huja na maneno mazuri na hata kuleta vizawadi, wanajua udhauifu wa wake zao na huutumia kuwalaghai kuwatimizia mahitaji yao lakini wanapotimiziwa tu basi husahau hata kama wanawake, hawajali tena.

7. Wanaume Ambao Hawataki Kukua (Baby Husband).
 Bado wanatabia za kitoto, hawawezi kufanya maamuzi yao wenyewe mpaka kuuliza kwa ndugu zao, mtu kaoa lakini kila siku humpigia simu Mama yake kuuliza hiki na kile. Yaani wakiongea kitu na mke nilazima aulize ndugu kwanza ndiyo kipitishwa na mke akifanya kosaa kidogo kazi nikulinganisha mke na ndugu zake, mbona flani alifanya hivi, flani anaweza fanya zaidi na mambo kama hayo. Kwakifupi hawawezi kufanya maamuzi na mkewe, ndugu zake hasa Mama yake anakuwa kama shemeu ya ndoa.

8. Mume Mtalii (Visiting Husband). 
Hawa wanakuja nyumbani kama wageni vile, mume ataihudumia familia yake kwa kila kitu lakini hawezi kuipa muda wake. Akirudi mke na watoto wamelala ni kugonga na hana sababu za msingi za kuchelewa, hata mwisho wawiki hupenda kutumia na marafiki au ndugu lakini si na mke. Hakuna kitu cha pamoja ambacho anafanya na mkewe au watoto wake, kila akiingia tu anakua na safari ya kutoka yaani hata atoke akakae nnje tu lakini si kukaa na mke au watoto.

9. Wanaume Wanaofuatilia Kila Kitu (Stalking Husband). 
Hii ni aina ya wanaume ambao hufuatilia kila kitu, huchunguza kila kitu mwanamke anachofanya na hawampi pumzi. Akienda sehemu atachunguza anaenda na nani na alikutana na nani, huwa na wivu wa ajabu ajabu na kila saa huhisi wake zao ni wasaliti. Kila mtu mwanamke anayeongea naye wa jinsia tofauti huhisi ni mchepuko na hata marafiki wa mke wakike pia huhisi wanamkuwadia, kwakifupi hampi pumzi mwanamke.

10. Mwanaume Mbahili (Miserly Husband).
Huyu anaweza kuwa na hela lakini mbahili ajabu. Akimpa mwanamke hela atafuatilia matumizi yake mpaka senti ya mwisho, anafuatilia mpaka mambo ya jikoni. Sukari ikiisha naataka ajue iliisha ishaje na kila mara huhisi mke anamuibia hela labda akajenge kwao, huwa msumbufu sana na mgumu kutoa hela. Mwanamke akifikiria mchakato wa kuomba hela kwa mume hukata tamaa na wakati mwingine kuamua tu kukaa kimya na matatizo yake.

AINA 10 ZA WANAUME AMBAO WANAWAKE HUJUTIA WAKIWA NAO  1. Wanaojiona Kama Wafalme (King Husband). HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea. 2. Wanaume Wanaojihisi Bado Hawajaoa (Bachelor Husband). Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa, hutumia muda wao mwingi na marafiki zao wakifanya mambo ambayo mke hata hayajui mke anaweza kustukizia tu mume kanunua gari bila kumshirikisha na mume haonyeshi hata kujali kuweza kumshirikisha. Hajali kama ana mke na mda mwingi huutumia akiwa na marafiki kufanya mambo yasiyo na msingi ambayo hayana mnanufaa yoyote katika ndoa yake. 3. Wanaume Wenye Gubu (Acidic Husband). Hawa hukasirika kila mara tena bila kua na sababu ya misngi, mambo hayaishi, kosa la mwaka juzi anaweza kukukasirikia leo. Wamemuudhi kazini hataki kusemeshwa na mnanuniwa nyinyi, mwanamke akiomba hela ya chakula ni shida ni kununa kutwa nzima, wanahasira na nirahisi kumpiga mke. 4. Mume Wa Kila Mtu (Genarel Husband).  Hawa wanajifanya wasamaria wema, wanajali kila mwanamke, wanajali marafiki wakike wa mke na wakwao kuliko wanavyowajali wake zao. Mke anaweza kuwa na shida akasema hana hela lakini rafiki akampa. Wana marafiki wengi wakike na mara nyingi huwa hawaachani kabisa na ma X wao, wakiwalalamikia wanawasaidia kuliko hata wanavyowasidia wake zao wakati wakiwa na shida. 5. Wanaume Wanaojifanya Wagumu (Dry Husband). Hawa wanajifanya wagumu sana, hawana yale mambo ya kimahaba na wao hujua kuwa ndoa ni kuleta chakula tu na kushughulika kitandani. Hakuna kuongea na hawajali hata hisia za mke, mke akiongea kwao wala hawajali wanajifanya ni vidume sana na wanaona mambo kama vizawadi, kupiga simu, kutuma sms, kusema nakupenda, kununua maua ni mambo ya kike, yaani hawaonyeshi juhudi yoyote kuwafurahisha wekea zao. 6. Wanaume Wanaopenda Kutumia Wake Zao (Panadol Husband). Hawa huwa wanaume pale tu wanapokuwa na shida, wanakuwa na wake wazuri wanaowajali lakini wao wala hawajali. Wanapomhitaji mwanamke, wanapotaka mwanamke awafanyie kitu flani basi huja na maneno mazuri na hata kuleta vizawadi, wanajua udhauifu wa wake zao na huutumia kuwalaghai kuwatimizia mahitaji yao lakini wanapotimiziwa tu basi husahau hata kama wanawake, hawajali tena. 7. Wanaume Ambao Hawataki Kukua (Baby Husband).  Bado wanatabia za kitoto, hawawezi kufanya maamuzi yao wenyewe mpaka kuuliza kwa ndugu zao, mtu kaoa lakini kila siku humpigia simu Mama yake kuuliza hiki na kile. Yaani wakiongea kitu na mke nilazima aulize ndugu kwanza ndiyo kipitishwa na mke akifanya kosaa kidogo kazi nikulinganisha mke na ndugu zake, mbona flani alifanya hivi, flani anaweza fanya zaidi na mambo kama hayo. Kwakifupi hawawezi kufanya maamuzi na mkewe, ndugu zake hasa Mama yake anakuwa kama shemeu ya ndoa. 8. Mume Mtalii (Visiting Husband).  Hawa wanakuja nyumbani kama wageni vile, mume ataihudumia familia yake kwa kila kitu lakini hawezi kuipa muda wake. Akirudi mke na watoto wamelala ni kugonga na hana sababu za msingi za kuchelewa, hata mwisho wawiki hupenda kutumia na marafiki au ndugu lakini si na mke. Hakuna kitu cha pamoja ambacho anafanya na mkewe au watoto wake, kila akiingia tu anakua na safari ya kutoka yaani hata atoke akakae nnje tu lakini si kukaa na mke au watoto. 9. Wanaume Wanaofuatilia Kila Kitu (Stalking Husband).  Hii ni aina ya wanaume ambao hufuatilia kila kitu, huchunguza kila kitu mwanamke anachofanya na hawampi pumzi. Akienda sehemu atachunguza anaenda na nani na alikutana na nani, huwa na wivu wa ajabu ajabu na kila saa huhisi wake zao ni wasaliti. Kila mtu mwanamke anayeongea naye wa jinsia tofauti huhisi ni mchepuko na hata marafiki wa mke wakike pia huhisi wanamkuwadia, kwakifupi hampi pumzi mwanamke. 10. Mwanaume Mbahili (Miserly Husband). Huyu anaweza kuwa na hela lakini mbahili ajabu. Akimpa mwanamke hela atafuatilia matumizi yake mpaka senti ya mwisho, anafuatilia mpaka mambo ya jikoni. Sukari ikiisha naataka ajue iliisha ishaje na kila mara huhisi mke anamuibia hela labda akajenge kwao, huwa msumbufu sana na mgumu kutoa hela. Mwanamke akifikiria mchakato wa kuomba hela kwa mume hukata tamaa na wakati mwingine kuamua tu kukaa kimya na matatizo yake.

...
MAMBO 10 AMBAYO NI SUMU KATIKA MAPENZI



























KATIKA harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakwondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa. Si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unaosababisha ufanye mambo yasiyo ya kawaida. Pengine ndiyo maana baadhi ya wasanii huzungumzia suala la “kudata” kutokana na mapenzi.

Ni jambo jema kudhani kuwa wewe na mpenzi wako mnapendana kwa dhati na kwamba kila mmoja amefika kwa mwenzake, lakini kama mojawapo ya mambo haya kumi yaliyoelezwa hapa chini litajitokeza, basi fahamu kuwa yamkini umependa kuliko kawaida, yaani ni kama umenyweshwa sumu ya penzi. Kumbuka kupenda ni kuzuri, lakini kupenda kupindukia kunaweza kukutumbukia nyongo, kwani katika kila jambo kinahitajika kiasi.

1. WIVU WA KUPINDUKIA
Ni jambo jema kwa mwanamume kumtakia heri mpenzi wake na kufanya kila awezalo kuhakikisha kuwa hapati madhara, lakini iwapo utakuwa mtu wa wasiwasi na mashaka pale unapomwona mpenzi wako akizungumza na mwanamume mwingine, au anapotoka na marafiki zake wa kike, au anapovaa nguo inayomfanya atamanishe, basi fahamu kuwa tayari umekunywa sumu ya mapenzi.

Katika uhusiano wa kimapenzi, kuaminiana ni jambo muhimu sana. Kama kweli unataka mpenzi wako akupende kwa dhati, mwoneshe kuwa unamwamini na unaheshimu maamuzi yake, ikiwa ni pamoja na maamuzi ya kutoka na marafiki zake wa kike na kuwa na marafiki wa kawaida wa kiume. Ondoa hofu na acha kabisa kumpeleleza, maana wapo wanaume ambao hutumia muda wao mwingi kuwapeleleza wapenzi wao ikiwa ni pamoja na kuwategeshea kamera na rekoda za simu.

2. KUTOMWACHIA NAFASI MPENZI
Kama huishi na mpenzi wako ni jambo la kawaida kuwa na hamu ya kumwona mara kwa mara, lakini kumbuka kuwa mpenzi wako naye ana maisha yake na anahitaji nafasi ya kuwa peke yake kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hisia za kutaka kuwa na mpenzi wako muda wote zinaweza kudhaniwa kuwa ni za mapenzi ya dhati, lakini kwa hakika hiyo si ishara njema ya mapenzi ya kudumu. Hebu jiulize kama unaweza kuendeleza hali hiyo maisha yako yote. Ni wazi kuwa utachoka. Kwa hiyo, mpe mpenzi wako fursa ya kupumua. Namna hii mpenzi wako atajenga hamu ya kutaka kukutana nawe lakini ukiwa naye muda wote hamu hiyo itaisha.

3. KUMWAMULIA MPENZI MAMBO YAKE
Unaweza kujikuta ukisukumwa kumwambia mpenzi wako awe anavaa nini wakati gani, akutane na nani na kwa wakati gani au ale nini. Ukiona hivyo, fahamu kuwa hayo si mapenzi, bali umepitiliza na pengine mwisho wa uhusiano wenu unanukia.

Hata ukiachilia mbali suala zima la usawa wa jinsia, hakuna mwanamke ambaye angependa apangiwe kila kitu kuhusiana na maisha yake. Kama ilivyodokezwa hapo juu, kila mtu ana maisha yake na kilichowaunganisha ni mapenzi tu. Kama utataka kumpangia kila kitu ni wazi kuwa utaishia kuishi peke yako.

4. KUMUULIZA MPENZI MASWALI
Iwapo utajikuta ukimuuliza mpenzi wako maswali mengi yanayoonesha wasiwasi wako kuhusiana na mwenendo wake, fahamu kuwa kuna tatizo na tatizo hilo lisipopatiwa ufumbuzi utakuwa mwanzo wa mwisho wa uhusiano wenu.

Mwanamke angependa umuulize maswali ya kawaida kuhusiana na jinsi siku yake ilivyokuwa na kama marafiki zake hawajambo au la, lakini kila jambo lina mpaka wake. Mwanamke hatarajii kuwa kila mnapokutana atakuwa kama ameingia kwenye chumba cha mtihani au usaili wa kazi.

5. KUTOAMINI ANACHOKWELEZA MPENZI
Wakati mwingine watu hushindwa kuwaamini wenzao, lakini kwa sababu ambazo ni za msingi, lakini kuna wakati ambapo mtu hushindwa kumwamini mwenzake bila sababu yoyote ya msingi, au kwa sababu zisizo sahihi, kisingizio kikiwa ni mapenzi.

Kuna tatizo la kisaikolojia la kujishuku au kuwashuku wenzako. Hili ni jambo ambalo linaweza kukuharibia mustakabali wako katika mapenzi, maana husababisha kujengeka kwa mazingira ya kutokuaminiana. Ili uweze kwenda sanjari na mpenzi wako, amini kila anachokweleza hadi pale utakapokuwa na sababu za msingi za kutokumwamini. Na hata unapokuwa umelithibitisha jambo, endelea kuwa katika uhalisia wako.

6. KUACHA HOBI, MARAFIKI
Mahusiano ya kimapenzi mara nyingi huhusisha kila mmoja kuacha baadhi ya mambo yake kwa ajili ya mwenzake. Hata hivyo, lengo ni kuweka tu uwiano wa mahitaji, si kuacha kila kitu ulichokuwa nacho kwa ajili ya mwenzako, ama kwa shinikizo, au kwa kulewa penzi.

Iwapo utabaini kuwa marafiki zako sasa wamekuwa ni marafiki zako wa zamani na hobi zako zimebaki tu katika kumbukumbu japo kwa hakika bado unahisi mapenzi katika hobi hizo, basi tambua kuwa huyo mrembo wako amekunywesha sumu ya penzi na sasa huwezi hata kuitumia vema mantiki yako.

Mbaya zaidi, iwapo utabaini kuwa marafiki zako wapya ni marafiki wa siku zote wa mpenzi wako na hobi zako ni zile za mpenzi wako, basi tambua kuwa huna tena nafsi yako, bali umejisalimisha mzima mzima kwa mpenzi wako. Lakini msemo mmoja wa hekima unatwambia usiweke mayai yako yote kwenye kikapu kimoja. Yamkini unaelewa.

7. KUKUBALI KUPELEKESHWA
Pengine unakumbuka kuwa kuna nyakati ambapo ulikuwa na uwezo wa kujikita katika jambo moja na kulifanya kwa umakini, huku ukiwa pia mwerevu, mjanja na unayejisimamia, lakini leo unayeyuka kirahisi tu kama barafu iliyowekwa juani! Hii ni hatari kwa mustakabali wa maisha yako.

Mbaya zaidi ni pale utakapoiacha kazi yako inayokulipa vizuri na kufanya kazi nyingine kwa ajili ya kumfurahisha mpenzi wako. Ukifika hali hii ujue wewe mwenyewe kuwa hapo hakuna mwanamume.

8. UTAYARI WA KUFA KWA AJILI YAKE
Umewahi kujisikia kuwa na utayari wa kufa kwa ajili ya mpenzi wako? Kama jibu ni “ndiyo”, basi fahamu kwa hakika kuwa hayo uliyo nayo si mapenzi bali ni upumbavu. Pengine huku ndiko kunywesha sumu ya mapenzi. Kwa hakika, hakuna mwanamke ambaye anastahili kumfanya mwanamume yeyote kufa kwa ajili yake.

Yamkini wanaume wanaolengwa katika makala haya si wavulana wanaosoma sekondari, waliobalehe majuzi, ambao wakipenda au kupendwa hujiona kama wako katika sayari yao. Mwanamume aliyepevuka hujiamini na hayaweki maisha yake yote mikononi mwa mwanamke, hata kama mwanamke huyo angekuwa ndiye mrembo wa dunia.

Iwapo, ama kwa ujinga au kwa kufahamu umewahi kumwambia mpenzi wako: “Ukiniacha nitajiua,” na ukawa unaamini hivyo kabisa, basi yamkini unahitaji kutafuta msaada wa ushauri nasaha, maana kwa hakika umepotoka.

9. MUDA WOTE UNAWASILIANA NAYE
Vijana wa siku hizi ni watumiaji wazuri sana wa simu, lakini iwapo utabaini kuwa asilimia kubwa ya muda wako unautumia ama kwa kuongea au kuwasiliana kwa ujumbe mfupi na mpenzi wako, basi fahamu kuwa kuna tatizo ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka.

Kumbuka kuwa mapenzi hayachukui nafasi ya kila kitu. Yamkini huyo mpenzi wako amekukuta unaishi na kuna mambo ya muhimu ya kufanya. Hebu achana na simu kwanza ufanye mambo ya muhimu kuhusiana na maisha yako. Kama mpenzi wako hakwelewi katika hili basi hakufai.

10. NDUGU ZAKE WANAKUFUATILIA
Iwapo utabaini kuwa marafiki, ndugu na jamaa za mpenzi wako wanamtonya mpenzi wako kuhusiana na kile wanachokiita mwenendo wako mbaya, usipuuze hali hii. Kuna uwezekano mkubwa kuwa watu hawa wanayo sababu ya kuwa na wasiwasi na mwenendo wako, kwa hiyo jichunguze na kuangalia jinsi unavyoenenda.

Hata hivyo, jambo hili si ishara njema ya mustakabali mwema wa uhusiano wenu. Iwapo mpenzi wako ataweka watu wake wakufuatilie, maana yake halisi ni kwamba hakuamini. Katika hali kama hii, haitarajiwi kuwa mustakabali wa uhusiano wenu utakuwa mzuri, kwani kutakuwa na uingilizi mwingi wa ndugu, jamaa na marafiki zake. Unaweza kukubali kuendelea kuishi katika hali hii kwa kisingizio cha mapenzi, lakini ukweli ni kwamba hayatakuwa mapenzi bali karaha.

KUWA MAKINI
Kama unavyoona, hizi ni baadhi tu ya dalili kuwa mapenzi yako kwa mwanamke sasa yanaelekea katika ulevi, mithili ya ule wa dawa za kulevya. Jambo moja la kukumbuka ni kwamba kweli mapenzi ni kitu kizuri, lakini pia mapenzi yanahitaji kuwa jambo linaloashiria mustakabali mwema kwa wahusika wawili. Yakiwapo mambo haya kumi hauwezi kuwapo mustakabali mwema katika mapenzi.

MAMBO 10 AMBAYO NI SUMU KATIKA MAPENZI  KATIKA harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakwondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa. Si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unaosababisha ufanye mambo yasiyo ya kawaida. Pengine ndiyo maana baadhi ya wasanii huzungumzia suala la “kudata” kutokana na mapenzi. Ni jambo jema kudhani kuwa wewe na mpenzi wako mnapendana kwa dhati na kwamba kila mmoja amefika kwa mwenzake, lakini kama mojawapo ya mambo haya kumi yaliyoelezwa hapa chini litajitokeza, basi fahamu kuwa yamkini umependa kuliko kawaida, yaani ni kama umenyweshwa sumu ya penzi. Kumbuka kupenda ni kuzuri, lakini kupenda kupindukia kunaweza kukutumbukia nyongo, kwani katika kila jambo kinahitajika kiasi. 1. WIVU WA KUPINDUKIA Ni jambo jema kwa mwanamume kumtakia heri mpenzi wake na kufanya kila awezalo kuhakikisha kuwa hapati madhara, lakini iwapo utakuwa mtu wa wasiwasi na mashaka pale unapomwona mpenzi wako akizungumza na mwanamume mwingine, au anapotoka na marafiki zake wa kike, au anapovaa nguo inayomfanya atamanishe, basi fahamu kuwa tayari umekunywa sumu ya mapenzi. Katika uhusiano wa kimapenzi, kuaminiana ni jambo muhimu sana. Kama kweli unataka mpenzi wako akupende kwa dhati, mwoneshe kuwa unamwamini na unaheshimu maamuzi yake, ikiwa ni pamoja na maamuzi ya kutoka na marafiki zake wa kike na kuwa na marafiki wa kawaida wa kiume. Ondoa hofu na acha kabisa kumpeleleza, maana wapo wanaume ambao hutumia muda wao mwingi kuwapeleleza wapenzi wao ikiwa ni pamoja na kuwategeshea kamera na rekoda za simu. 2. KUTOMWACHIA NAFASI MPENZI Kama huishi na mpenzi wako ni jambo la kawaida kuwa na hamu ya kumwona mara kwa mara, lakini kumbuka kuwa mpenzi wako naye ana maisha yake na anahitaji nafasi ya kuwa peke yake kwa ajili ya mambo yake binafsi. Hisia za kutaka kuwa na mpenzi wako muda wote zinaweza kudhaniwa kuwa ni za mapenzi ya dhati, lakini kwa hakika hiyo si ishara njema ya mapenzi ya kudumu. Hebu jiulize kama unaweza kuendeleza hali hiyo maisha yako yote. Ni wazi kuwa utachoka. Kwa hiyo, mpe mpenzi wako fursa ya kupumua. Namna hii mpenzi wako atajenga hamu ya kutaka kukutana nawe lakini ukiwa naye muda wote hamu hiyo itaisha. 3. KUMWAMULIA MPENZI MAMBO YAKE Unaweza kujikuta ukisukumwa kumwambia mpenzi wako awe anavaa nini wakati gani, akutane na nani na kwa wakati gani au ale nini. Ukiona hivyo, fahamu kuwa hayo si mapenzi, bali umepitiliza na pengine mwisho wa uhusiano wenu unanukia. Hata ukiachilia mbali suala zima la usawa wa jinsia, hakuna mwanamke ambaye angependa apangiwe kila kitu kuhusiana na maisha yake. Kama ilivyodokezwa hapo juu, kila mtu ana maisha yake na kilichowaunganisha ni mapenzi tu. Kama utataka kumpangia kila kitu ni wazi kuwa utaishia kuishi peke yako. 4. KUMUULIZA MPENZI MASWALI Iwapo utajikuta ukimuuliza mpenzi wako maswali mengi yanayoonesha wasiwasi wako kuhusiana na mwenendo wake, fahamu kuwa kuna tatizo na tatizo hilo lisipopatiwa ufumbuzi utakuwa mwanzo wa mwisho wa uhusiano wenu. Mwanamke angependa umuulize maswali ya kawaida kuhusiana na jinsi siku yake ilivyokuwa na kama marafiki zake hawajambo au la, lakini kila jambo lina mpaka wake. Mwanamke hatarajii kuwa kila mnapokutana atakuwa kama ameingia kwenye chumba cha mtihani au usaili wa kazi. 5. KUTOAMINI ANACHOKWELEZA MPENZI Wakati mwingine watu hushindwa kuwaamini wenzao, lakini kwa sababu ambazo ni za msingi, lakini kuna wakati ambapo mtu hushindwa kumwamini mwenzake bila sababu yoyote ya msingi, au kwa sababu zisizo sahihi, kisingizio kikiwa ni mapenzi. Kuna tatizo la kisaikolojia la kujishuku au kuwashuku wenzako. Hili ni jambo ambalo linaweza kukuharibia mustakabali wako katika mapenzi, maana husababisha kujengeka kwa mazingira ya kutokuaminiana. Ili uweze kwenda sanjari na mpenzi wako, amini kila anachokweleza hadi pale utakapokuwa na sababu za msingi za kutokumwamini. Na hata unapokuwa umelithibitisha jambo, endelea kuwa katika uhalisia wako. 6. KUACHA HOBI, MARAFIKI Mahusiano ya kimapenzi mara nyingi huhusisha kila mmoja kuacha baadhi ya mambo yake kwa ajili ya mwenzake. Hata hivyo, lengo ni kuweka tu uwiano wa mahitaji, si kuacha kila kitu ulichokuwa nacho kwa ajili ya mwenzako, ama kwa shinikizo, au kwa kulewa penzi. Iwapo utabaini kuwa marafiki zako sasa wamekuwa ni marafiki zako wa zamani na hobi zako zimebaki tu katika kumbukumbu japo kwa hakika bado unahisi mapenzi katika hobi hizo, basi tambua kuwa huyo mrembo wako amekunywesha sumu ya penzi na sasa huwezi hata kuitumia vema mantiki yako. Mbaya zaidi, iwapo utabaini kuwa marafiki zako wapya ni marafiki wa siku zote wa mpenzi wako na hobi zako ni zile za mpenzi wako, basi tambua kuwa huna tena nafsi yako, bali umejisalimisha mzima mzima kwa mpenzi wako. Lakini msemo mmoja wa hekima unatwambia usiweke mayai yako yote kwenye kikapu kimoja. Yamkini unaelewa. 7. KUKUBALI KUPELEKESHWA Pengine unakumbuka kuwa kuna nyakati ambapo ulikuwa na uwezo wa kujikita katika jambo moja na kulifanya kwa umakini, huku ukiwa pia mwerevu, mjanja na unayejisimamia, lakini leo unayeyuka kirahisi tu kama barafu iliyowekwa juani! Hii ni hatari kwa mustakabali wa maisha yako. Mbaya zaidi ni pale utakapoiacha kazi yako inayokulipa vizuri na kufanya kazi nyingine kwa ajili ya kumfurahisha mpenzi wako. Ukifika hali hii ujue wewe mwenyewe kuwa hapo hakuna mwanamume. 8. UTAYARI WA KUFA KWA AJILI YAKE Umewahi kujisikia kuwa na utayari wa kufa kwa ajili ya mpenzi wako? Kama jibu ni “ndiyo”, basi fahamu kwa hakika kuwa hayo uliyo nayo si mapenzi bali ni upumbavu. Pengine huku ndiko kunywesha sumu ya mapenzi. Kwa hakika, hakuna mwanamke ambaye anastahili kumfanya mwanamume yeyote kufa kwa ajili yake. Yamkini wanaume wanaolengwa katika makala haya si wavulana wanaosoma sekondari, waliobalehe majuzi, ambao wakipenda au kupendwa hujiona kama wako katika sayari yao. Mwanamume aliyepevuka hujiamini na hayaweki maisha yake yote mikononi mwa mwanamke, hata kama mwanamke huyo angekuwa ndiye mrembo wa dunia. Iwapo, ama kwa ujinga au kwa kufahamu umewahi kumwambia mpenzi wako: “Ukiniacha nitajiua,” na ukawa unaamini hivyo kabisa, basi yamkini unahitaji kutafuta msaada wa ushauri nasaha, maana kwa hakika umepotoka. 9. MUDA WOTE UNAWASILIANA NAYE Vijana wa siku hizi ni watumiaji wazuri sana wa simu, lakini iwapo utabaini kuwa asilimia kubwa ya muda wako unautumia ama kwa kuongea au kuwasiliana kwa ujumbe mfupi na mpenzi wako, basi fahamu kuwa kuna tatizo ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka. Kumbuka kuwa mapenzi hayachukui nafasi ya kila kitu. Yamkini huyo mpenzi wako amekukuta unaishi na kuna mambo ya muhimu ya kufanya. Hebu achana na simu kwanza ufanye mambo ya muhimu kuhusiana na maisha yako. Kama mpenzi wako hakwelewi katika hili basi hakufai. 10. NDUGU ZAKE WANAKUFUATILIA Iwapo utabaini kuwa marafiki, ndugu na jamaa za mpenzi wako wanamtonya mpenzi wako kuhusiana na kile wanachokiita mwenendo wako mbaya, usipuuze hali hii. Kuna uwezekano mkubwa kuwa watu hawa wanayo sababu ya kuwa na wasiwasi na mwenendo wako, kwa hiyo jichunguze na kuangalia jinsi unavyoenenda. Hata hivyo, jambo hili si ishara njema ya mustakabali mwema wa uhusiano wenu. Iwapo mpenzi wako ataweka watu wake wakufuatilie, maana yake halisi ni kwamba hakuamini. Katika hali kama hii, haitarajiwi kuwa mustakabali wa uhusiano wenu utakuwa mzuri, kwani kutakuwa na uingilizi mwingi wa ndugu, jamaa na marafiki zake. Unaweza kukubali kuendelea kuishi katika hali hii kwa kisingizio cha mapenzi, lakini ukweli ni kwamba hayatakuwa mapenzi bali karaha. KUWA MAKINI Kama unavyoona, hizi ni baadhi tu ya dalili kuwa mapenzi yako kwa mwanamke sasa yanaelekea katika ulevi, mithili ya ule wa dawa za kulevya. Jambo moja la kukumbuka ni kwamba kweli mapenzi ni kitu kizuri, lakini pia mapenzi yanahitaji kuwa jambo linaloashiria mustakabali mwema kwa wahusika wawili. Yakiwapo mambo haya kumi hauwezi kuwapo mustakabali mwema katika mapenzi.

...
Kwa wanawake tu! Jinsi ya kujisafisha uke







Naomba kufahamishwa na wanawake jinsi ya kujisafisha kwenye papuchi(mwanaume atakaye shauri naomba awe doctor au mwenyewe experience ya kutosha kuhusu maumbile ya mwanamke)

Mimi huwa nikienda kuoga natumia sabuni ya jamaa kusafisha juu kabisa ya papuchi yaani kwenye mapaja na pale juu kwenye nyw**le...then natumia maji mengi kujisuuza na kuingiza kidole ndani kidogo ya K kutoa uchafu either wa period kama niko P na sometimes nakuta kuna ule uchafu mweupe wanaita(utoko) but huo uchafu huwa ni mweupe kama barafu na pia haunuki kabisaa.....

Sasa swali ni kwamba kuna watu wanadai hatupaswi kutoa huo uchafu eti ni bacteria wa kukinga K isipate madhra so hupaswi kuingiza kidole kabisa.... tuoshe juujuu tu...... 

Second wengine wanasema tusinawe na sabuni kabisaa(japo kama nilivyosema mimi sabuni napitisha kwa juu kabisa tena nikiwa nimesimama ili isiweze kuingia kwenye K coz siamin kama kujisafisha bila sabuni harufu ya mkojo, harufu ya P na jasho itaisha kwa kunawa na maji tu.....na situmii sabuni zenye chemical).

Naomba wanake wenzangu mnipe experience zenu juu ya hili

Kwa wanawake tu! Jinsi ya kujisafisha uke  Naomba kufahamishwa na wanawake jinsi ya kujisafisha kwenye papuchi(mwanaume atakaye shauri naomba awe doctor au mwenyewe experience ya kutosha kuhusu maumbile ya mwanamke) Mimi huwa nikienda kuoga natumia sabuni ya jamaa kusafisha juu kabisa ya papuchi yaani kwenye mapaja na pale juu kwenye nyw**le...then natumia maji mengi kujisuuza na kuingiza kidole ndani kidogo ya K kutoa uchafu either wa period kama niko P na sometimes nakuta kuna ule uchafu mweupe wanaita(utoko) but huo uchafu huwa ni mweupe kama barafu na pia haunuki kabisaa..... Sasa swali ni kwamba kuna watu wanadai hatupaswi kutoa huo uchafu eti ni bacteria wa kukinga K isipate madhra so hupaswi kuingiza kidole kabisa.... tuoshe juujuu tu......  Second wengine wanasema tusinawe na sabuni kabisaa(japo kama nilivyosema mimi sabuni napitisha kwa juu kabisa tena nikiwa nimesimama ili isiweze kuingia kwenye K coz siamin kama kujisafisha bila sabuni harufu ya mkojo, harufu ya P na jasho itaisha kwa kunawa na maji tu.....na situmii sabuni zenye chemical). Naomba wanake wenzangu mnipe experience zenu juu ya hili

...
Wanawake: Mumeo akikukera usilale mpaka pakuche hamjasameheana







Usiku kama mumeo kakukera usilale mpaka pakuche hamjasameheana, hata malaika baraka hawawezi shuka kwenu. Huyo ulionae amezaliwa kwao kaja na tabia zake na wewe umezaliwa kwenu una tabia zako.

Sasa ukitaka kila kitu kiwe wewe unavyotaka atakuwa mwanao tena huyo sio mumeo samehaneni kwa kila mnalofanyiana.

Usiweke vinyongo tena ukajua unamkomoa mana unavyonuna ndo mchepuko unavopata chance ya kuwasiliana na si kila mwanaume anamchepuko wengine washkaji tu sasa ukijitia umenuna kisa umemuona kachat, sijui umekuta meseji sijui nini utakonda uzikwe na presha na unavyotiwa kaburini tu huku wenzio wanamtext pole kazi ya Mungu mpenzi.

Gangamala mtoto wa kike sio kidogo kununa kama unga wa ngano ulokosa amira. Tabasamu njia nzuri na sahihi ya kumuua mtu akikosea ukatabasamu ataanza kutafuta mchawi kumbe mchawi mwenyewe, ataanza kutoka kujua kwanini hujakasirika atatulia tu akiamini anakuvizia kumbe anajivizia.

Wanawake: Mumeo akikukera usilale mpaka pakuche hamjasameheana  Usiku kama mumeo kakukera usilale mpaka pakuche hamjasameheana, hata malaika baraka hawawezi shuka kwenu. Huyo ulionae amezaliwa kwao kaja na tabia zake na wewe umezaliwa kwenu una tabia zako. Sasa ukitaka kila kitu kiwe wewe unavyotaka atakuwa mwanao tena huyo sio mumeo samehaneni kwa kila mnalofanyiana. Usiweke vinyongo tena ukajua unamkomoa mana unavyonuna ndo mchepuko unavopata chance ya kuwasiliana na si kila mwanaume anamchepuko wengine washkaji tu sasa ukijitia umenuna kisa umemuona kachat, sijui umekuta meseji sijui nini utakonda uzikwe na presha na unavyotiwa kaburini tu huku wenzio wanamtext pole kazi ya Mungu mpenzi. Gangamala mtoto wa kike sio kidogo kununa kama unga wa ngano ulokosa amira. Tabasamu njia nzuri na sahihi ya kumuua mtu akikosea ukatabasamu ataanza kutafuta mchawi kumbe mchawi mwenyewe, ataanza kutoka kujua kwanini hujakasirika atatulia tu akiamini anakuvizia kumbe anajivizia.

...
KWA WANAWAKE TU! NJIA 14 ZA KUJIWEKA ILI WANAUME WATAMANI KUKUTONGOZA






Je umekuwa ukijiuliza kwa nini haukuwi approached na wanawaume kama unavyotaka? Mtandao wa Sayari ya Mapenzi umeamua kukuandalia mbinu na maujanja ya kutumia ili uonekane mwanamke ambaye anaweza kufukuziwa na mwanaume kwa urahisi.

Owk....

Kando na itikadi ambazo umekuwa ukifikiria, kuapproachiwa ama kufukuziwa na mwanaume si gemu ya bahati nasimu ambayo mtu anaingojea ijitokezee.

Na pia kando na itikadi nyingi za wanawake wanazozifikia, si lazima ufanye kitendo kikubwa ama cha inadi ili mwanaume aweze kukutongoza.

Ukweli ni kuwa, kama unaielewa akili ya mwanaume na jinsi inavyofanya kazi kabla ya kuapproach mwanamke, unaweza kumfanya mwanaume yeyote kutaka kuongea na wewe dakika tano atakapokuja katika himaya yako.

So mbinu zenyewe ndizo zipi?

Zama nami...


Njia za kujiweka ili mwanaume apate nafasi rahisi ya kukutongoza

Kwanza jiweke nadhifu

Hii ni muhimu katika yote kama wataka mwanaume akutambue. Mwanaume kitu cha kwanza anachokiangalia huwa ni mwonekano wa mwanamke. Mwanaume anapoingia katika chumba, inamchukua sekunde ndogo zana kuamua iwapo anataka kuapproach mwanamke mfani au la.

Kama umevalia vizuri na unapendeza, itarahisisha kazi yako sana.

Pili usionekane kama una shughli

Usijishughlishe sana na simu yako, ama kitabu chako, ama kitu kingine. Unaweza kuwa umeboeka na unajaribu kujiweka buzy, lakini fursa iweza kuwa hivi, kufanya hivyo kunaweza kumfanya mwanaume anayetaka kukuapproach kuona ya kuwa uko buzy sana kiasi cha kuwa atashindwa kukufuata kwanu unaweza usiwe interested na maongezi yake.

Tatu ni kuwa mko ligi moja?

Hii inakinzana na hatua ya kwanza, lakini inaweza kuwa na tatizo iwapo unaoneka kama uko ligi tofauti na mwanaume. Kama utaoneka amakujiweka mtu wa hadhi ya juu wanawake watapenda kukuangalia lakini hawatakuaproach. Hii ni kwa sababu wanaume wengi hawapendi kudhalilishwa wakati wanapoamua kukuapproach....kiufupi ni kuwa ukiwa unavutia kupindukia wanaume watakuogopa.

Lakini tena, kuna wale wanaume ambao wanajiamini kupindukia ambao wanajua thamani ya kukuapproach, nao ni wanaume alfa, wanaume diriki, na pia wale wanaume mapleya.

Kama wataka kuteka atenshen ya mwanaume mzuri wa kawaida lakini anayeogopa kukuapproach, jaribu kutumia mbinu ya kuwa jamili na watu wanaokuzunguka. Huwa inasaidia.

Ujanja wa kumfanya mwanaume aweze kukuakuaproach

1. Jinsi utakavyovalia

Usivalie kana kwamba huna kitu cha kuficha. Utapata atenshen ya kila mtu lakini wanaume ambao wataamua kukuapproach ni wale ambao wanataka kulala nawe kwa usiku mmoja pekee. Enyewe kuvalia kwa kutamanisha kunasaidia kuteka atenshen ya mwanaume, lakini usivuke mipaka ya kawaida.

Kumbuka kuwa si lazima uonyeshe viungo vyako vyote vya mwili ili uweze kuteka macho ya mwanaume. Kama unavutia inatosha kumfanya mwanaume akugundue.

2. Unavyomuangalia

Mchungulie mara moja na nyingine, halafu mwangalie mara kwa mara. Hakikisha ya kuwa haujisahau ukamwangalia sana kupindukia ama atakuona kama wewe ni rahisi wa kuapproach na anaweza kukupuuza.

3. Mitindo ya kumwangalia

Kuna mitindo miwili mikuu ya kumwangalia mwanaume ili kumuonyesha ya kuwa umevutiwa naye. Unaweza kutumia mbinu zote mbili kulingana na vile unataka.

i) Kumwangalia polepole - wakati ambapo unaangalia pande zote, angalia upande wake na uyaangalie macho yake kwa sekunde kadhaa huku ukiweka tabasamu. Halafu pole pole zungusha kichwa chako uangalie kwingine. Mbinu hii ni ya kijasiri ya kumwonyesha mwanaume umevutiwa kwake.

ii) Kumwangalia kwa uharaka - hii ni mbinu ya kumwangalia kwa uharaka. Anza kumuangalia, ukiona kama anataka kukuangalia, ghafla angalia kando halafu utoe tabasamu ukiangalia chini. Mbinu hii inampa confidence na kukuona wewe ukipendeza.

4.Mfanyie kazi iwe rahisi

Inakuwa vigumu kwa mwanaume kumuapproach mwanamke sehemu ambapo yuko kundini na marafiki zake. Kama mawazo yako ni kufuatwa na mwanaume, hakikisha ya kuwa wakati mwingine unajipa time ukiwa pekeako ama zaidi uwe na rafiki yako wa kike mmoja.

5. Sehemu zifaazo

Si kila sehemu ni nzuri kufanya maongezi na mtu. Kama unataka mwanaume akuapproach, chagua sehemu ambayo si kila mtu ataanza kujeuza kichwa chake kutaka kujua ni nini kinachoendelea kati yenu. Sehemu za mkawahawa, supermarket, ama bookshop ni sehemu nzuri zaidi za kukutana na mwanaume kupiga stori.

6. Mpatie nafasi aongee na wewe

Hata kama uko katika group na marafiki zako halafu mwanaume akakugundua, mwonyeshe interest kwa kumuangalia kwa madakika. Ukiona kama yuko tayari kuongea na wewe, unaweza kujitenga na marafiki zako kwa muda. Aidha unaweza kuanza kuzunguka hio sehemu kiasi ama unaweza kujipeleka mahali ambapo itakuwa rahisi kwa mwanaume huyu kuzungumza na wewe.

7. Tabasamu

Onekana jamili, na nafasi ya wewe kufuatwa na wanaume itaongezeka mara dufu. Kupendwa kwa mwonekano wa kwanza ni kama baraka kwa mwanamke yeyote yule ambaye anataka macho ya mwanaume yamwone.

8. Usiboe

Kuwa mwanamke mwenye furaha na mwenye hisia chanya mahali popote pale utakapokua. Mwanamke mwenye shangwe huvutia mwanaume yeyote yule. Kama utaonyesha chembechembe za kuboeka, mwanaume anayetaka kukuapproach anaweza kuwa na maswali mengi ya kujiuliza kwani ataona ya kuwa maisha yako huboesha na yasiyo na mwanga.

9. Usiwe mjeuri

Kama wewe ni mjeuri kwa yeyote, aidha weita ama mmoja wa rafiki yako, inaweza kutokea kuwa mwanaume ambaye anapania kukuapproach kusimamisha ari yake. Hakuna mtu anapenda mtu mjeuri, na hakuna mwanaume angependa kuapproach mwanamke ambaye anaweza kumpuuzia ama kumkataa.

10. Usitangamane na wanaume

Hii ni muhimu kwa mwanamke yeyote aelewe. Usiwahi kamwe kutangamana na marafiki zako wa kiume kama unataka kukuwa approached na mwanaume. Haitafanya kazi kamwe.

11. Mwoneshe kuwa uko intrested

Mwonyeshe kuwa uko interested kwake kwa kutaka kumjulia hali zaidi. Hata kama uko na marafiki zako mnaongea halafu amekaa karibu na wewe, mwangalie iwapo anakuangalia hata kama unawajibu rafiki zako.

12. Onyesha uanawake wako

Mwangalie mara kwa mara, halafu ukishika macho yake, peta nywele zako nyuma ya sikio lako. Inaweza kuonekana kama jambo dogo kwako, lakini kwa mwanaume ni kama kugonga ndipo.

13. Mtege

Pita mbele yake halafu mwangalie machoni mwake wakati unapompita. Mtese kihisia, ataipenda kuona atenshen yake.

14. Usilazimishe

Utakuwa unajiaibisha iwapo unalazimisha mambo. Wanaume si mabubwi, hivyo ukiwaangalia mara moja na nyingine ama kuwatabamia, wanajua kuwa uko tayari kuapprochiwa.

Ok hizi ni mbinu ambazo unafaa kuzitumia kama unataka mwanaume yeyote yule akunotice ama akufukuzie.

KWA WANAWAKE TU! NJIA 14 ZA KUJIWEKA ILI WANAUME WATAMANI KUKUTONGOZA  Je umekuwa ukijiuliza kwa nini haukuwi approached na wanawaume kama unavyotaka? Mtandao wa Sayari ya Mapenzi umeamua kukuandalia mbinu na maujanja ya kutumia ili uonekane mwanamke ambaye anaweza kufukuziwa na mwanaume kwa urahisi. Owk.... Kando na itikadi ambazo umekuwa ukifikiria, kuapproachiwa ama kufukuziwa na mwanaume si gemu ya bahati nasimu ambayo mtu anaingojea ijitokezee. Na pia kando na itikadi nyingi za wanawake wanazozifikia, si lazima ufanye kitendo kikubwa ama cha inadi ili mwanaume aweze kukutongoza. Ukweli ni kuwa, kama unaielewa akili ya mwanaume na jinsi inavyofanya kazi kabla ya kuapproach mwanamke, unaweza kumfanya mwanaume yeyote kutaka kuongea na wewe dakika tano atakapokuja katika himaya yako. So mbinu zenyewe ndizo zipi? Zama nami... Njia za kujiweka ili mwanaume apate nafasi rahisi ya kukutongoza Kwanza jiweke nadhifu Hii ni muhimu katika yote kama wataka mwanaume akutambue. Mwanaume kitu cha kwanza anachokiangalia huwa ni mwonekano wa mwanamke. Mwanaume anapoingia katika chumba, inamchukua sekunde ndogo zana kuamua iwapo anataka kuapproach mwanamke mfani au la. Kama umevalia vizuri na unapendeza, itarahisisha kazi yako sana. Pili usionekane kama una shughli Usijishughlishe sana na simu yako, ama kitabu chako, ama kitu kingine. Unaweza kuwa umeboeka na unajaribu kujiweka buzy, lakini fursa iweza kuwa hivi, kufanya hivyo kunaweza kumfanya mwanaume anayetaka kukuapproach kuona ya kuwa uko buzy sana kiasi cha kuwa atashindwa kukufuata kwanu unaweza usiwe interested na maongezi yake. Tatu ni kuwa mko ligi moja? Hii inakinzana na hatua ya kwanza, lakini inaweza kuwa na tatizo iwapo unaoneka kama uko ligi tofauti na mwanaume. Kama utaoneka amakujiweka mtu wa hadhi ya juu wanawake watapenda kukuangalia lakini hawatakuaproach. Hii ni kwa sababu wanaume wengi hawapendi kudhalilishwa wakati wanapoamua kukuapproach....kiufupi ni kuwa ukiwa unavutia kupindukia wanaume watakuogopa. Lakini tena, kuna wale wanaume ambao wanajiamini kupindukia ambao wanajua thamani ya kukuapproach, nao ni wanaume alfa, wanaume diriki, na pia wale wanaume mapleya. Kama wataka kuteka atenshen ya mwanaume mzuri wa kawaida lakini anayeogopa kukuapproach, jaribu kutumia mbinu ya kuwa jamili na watu wanaokuzunguka. Huwa inasaidia. Ujanja wa kumfanya mwanaume aweze kukuakuaproach 1. Jinsi utakavyovalia Usivalie kana kwamba huna kitu cha kuficha. Utapata atenshen ya kila mtu lakini wanaume ambao wataamua kukuapproach ni wale ambao wanataka kulala nawe kwa usiku mmoja pekee. Enyewe kuvalia kwa kutamanisha kunasaidia kuteka atenshen ya mwanaume, lakini usivuke mipaka ya kawaida. Kumbuka kuwa si lazima uonyeshe viungo vyako vyote vya mwili ili uweze kuteka macho ya mwanaume. Kama unavutia inatosha kumfanya mwanaume akugundue. 2. Unavyomuangalia Mchungulie mara moja na nyingine, halafu mwangalie mara kwa mara. Hakikisha ya kuwa haujisahau ukamwangalia sana kupindukia ama atakuona kama wewe ni rahisi wa kuapproach na anaweza kukupuuza. 3. Mitindo ya kumwangalia Kuna mitindo miwili mikuu ya kumwangalia mwanaume ili kumuonyesha ya kuwa umevutiwa naye. Unaweza kutumia mbinu zote mbili kulingana na vile unataka. i) Kumwangalia polepole - wakati ambapo unaangalia pande zote, angalia upande wake na uyaangalie macho yake kwa sekunde kadhaa huku ukiweka tabasamu. Halafu pole pole zungusha kichwa chako uangalie kwingine. Mbinu hii ni ya kijasiri ya kumwonyesha mwanaume umevutiwa kwake. ii) Kumwangalia kwa uharaka - hii ni mbinu ya kumwangalia kwa uharaka. Anza kumuangalia, ukiona kama anataka kukuangalia, ghafla angalia kando halafu utoe tabasamu ukiangalia chini. Mbinu hii inampa confidence na kukuona wewe ukipendeza. 4.Mfanyie kazi iwe rahisi Inakuwa vigumu kwa mwanaume kumuapproach mwanamke sehemu ambapo yuko kundini na marafiki zake. Kama mawazo yako ni kufuatwa na mwanaume, hakikisha ya kuwa wakati mwingine unajipa time ukiwa pekeako ama zaidi uwe na rafiki yako wa kike mmoja. 5. Sehemu zifaazo Si kila sehemu ni nzuri kufanya maongezi na mtu. Kama unataka mwanaume akuapproach, chagua sehemu ambayo si kila mtu ataanza kujeuza kichwa chake kutaka kujua ni nini kinachoendelea kati yenu. Sehemu za mkawahawa, supermarket, ama bookshop ni sehemu nzuri zaidi za kukutana na mwanaume kupiga stori. 6. Mpatie nafasi aongee na wewe Hata kama uko katika group na marafiki zako halafu mwanaume akakugundua, mwonyeshe interest kwa kumuangalia kwa madakika. Ukiona kama yuko tayari kuongea na wewe, unaweza kujitenga na marafiki zako kwa muda. Aidha unaweza kuanza kuzunguka hio sehemu kiasi ama unaweza kujipeleka mahali ambapo itakuwa rahisi kwa mwanaume huyu kuzungumza na wewe. 7. Tabasamu Onekana jamili, na nafasi ya wewe kufuatwa na wanaume itaongezeka mara dufu. Kupendwa kwa mwonekano wa kwanza ni kama baraka kwa mwanamke yeyote yule ambaye anataka macho ya mwanaume yamwone. 8. Usiboe Kuwa mwanamke mwenye furaha na mwenye hisia chanya mahali popote pale utakapokua. Mwanamke mwenye shangwe huvutia mwanaume yeyote yule. Kama utaonyesha chembechembe za kuboeka, mwanaume anayetaka kukuapproach anaweza kuwa na maswali mengi ya kujiuliza kwani ataona ya kuwa maisha yako huboesha na yasiyo na mwanga. 9. Usiwe mjeuri Kama wewe ni mjeuri kwa yeyote, aidha weita ama mmoja wa rafiki yako, inaweza kutokea kuwa mwanaume ambaye anapania kukuapproach kusimamisha ari yake. Hakuna mtu anapenda mtu mjeuri, na hakuna mwanaume angependa kuapproach mwanamke ambaye anaweza kumpuuzia ama kumkataa. 10. Usitangamane na wanaume Hii ni muhimu kwa mwanamke yeyote aelewe. Usiwahi kamwe kutangamana na marafiki zako wa kiume kama unataka kukuwa approached na mwanaume. Haitafanya kazi kamwe. 11. Mwoneshe kuwa uko intrested Mwonyeshe kuwa uko interested kwake kwa kutaka kumjulia hali zaidi. Hata kama uko na marafiki zako mnaongea halafu amekaa karibu na wewe, mwangalie iwapo anakuangalia hata kama unawajibu rafiki zako. 12. Onyesha uanawake wako Mwangalie mara kwa mara, halafu ukishika macho yake, peta nywele zako nyuma ya sikio lako. Inaweza kuonekana kama jambo dogo kwako, lakini kwa mwanaume ni kama kugonga ndipo. 13. Mtege Pita mbele yake halafu mwangalie machoni mwake wakati unapompita. Mtese kihisia, ataipenda kuona atenshen yake. 14. Usilazimishe Utakuwa unajiaibisha iwapo unalazimisha mambo. Wanaume si mabubwi, hivyo ukiwaangalia mara moja na nyingine ama kuwatabamia, wanajua kuwa uko tayari kuapprochiwa. Ok hizi ni mbinu ambazo unafaa kuzitumia kama unataka mwanaume yeyote yule akunotice ama akufukuzie.

...
Kwa Wanawake tu..Fahamu Mbinu Kuntu za Kummaliza Mumeo Ndani ya Sita kwa Sita Hadi Akapagawa








Weekend hii nimeona ni vyema tuzungumzie kidogo kuhusu masualaya mahusiano pia kutokana na sekta hiyo kuwa na umuhimu wake pia katika maisha ya mwanadamu.

Katika masuala haya ya mapenzi nimeona ni vyema niaanze kuongea na wanawake kuhusu namna ya kuweza kufanikisha kummaliza mwanaume katika sita kwa sita.

Jambo la kwanza wanamke unapaswa kuwa jasari na mwenye kuamini katika kile unachofanya katika mapenzi, ambapo wewe mwanamke unatakiwa mkishafika katika uwanja wenu wa zoezi husika katika sikiu hiyo, Hakikisha unajitahidi wewe kuanza kumvua nguo mwanaume, huku ukimshika baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili wake ambazo unaamini zitamsababishia msisimko mkubwa.

Baada ya zoezi hilo nawe pia (mwanamke)unaweza kutoa nguo zako kisha mkumbatie mmeo , huku mkigusanisha ngozi za miili yenu. Tambua ya kwamba ngozi huwa na mishipa midogo midogo yenye ufahamu ambayo hutoa taarifa mbalimbali za mwili kwenye ubongo, hivyo kitendo cha miili yenu kugusana huchangia kuibua hisia za kimapenzi zaidi.

Unapoona tayari mwanaume yupo tayari katika hali ya hisia kali za kimapenzi kabla ya kumruhusu akuingilie unaweza kuendelea kumshika baadhi ya sehemu za mwili mfano ndevu, sehemu zake za siri na mkune kwenye viganja vyake na mapaja na nk.

Fahamu ya kwamba mapaja ya mwanaume huwa na hisia kali, hivyo unaweza kuyashika zaidi kwa ustadi mkubwa, huku ukitumia vidole vyako na utaona akisisimka zaidi.

Sehemu nyingine ambayo itakusaidia wewe mwanamke kuweza kumsisimua vizuri mwanaume ni kwa kumshika maeneo ya kifuani kuelekea tumboni maeneo hayo huwa na msisimko mkubwa kwa wanaume walio wengi.

Eneo jingine lenye hazina kubwa na ya msisimko wa mapenzi kwa wanaume ni sehemu ya uume ambapo mwanamke huweza kushika ile sehemu ya mbele (kichwa cha uume) ambapo humfanya mwanaume kupata msisimko wa kimapenzi kwa haraka zaidi.

Uwapo katikati ya tendo hakikisha unkuwa serious na zoezi hilo, huku ukijitahidi kuepuka kucheka kwa jambo lolote lile hata pale mwenzi wako anapotoa sauti za kufurahisha wakati wa katikati ya tendo.

Pamoja na hayo, mwanamke uwapo katikati tendo hilo na mwenzi wako jitahii sana kujiachia maungo yako kwa mmeo, kwani kwenye tendo hilo la ndoa huwa hakuna uheshimiwa hivyo ni vyema ukajiachia.

Katika tendo la ndoa pia sauti na maneno  ya kimahaba ni muhimu sana wakati wa tendo la ndoa kwani huongeza hamasa katika tendo hilo.

Baada ya kumaliza tendo hilo kumbuka kusema asante na mpe pole mwenzi wako kwa kazi pevu, kisha chukuwa kitambaa na mkaushe kijasho cha utamu wa penzi kwa taulo uliloandaa maalum.

Kwa Wanawake tu..Fahamu Mbinu Kuntu za Kummaliza Mumeo Ndani ya Sita kwa Sita Hadi Akapagawa   Weekend hii nimeona ni vyema tuzungumzie kidogo kuhusu masualaya mahusiano pia kutokana na sekta hiyo kuwa na umuhimu wake pia katika maisha ya mwanadamu. Katika masuala haya ya mapenzi nimeona ni vyema niaanze kuongea na wanawake kuhusu namna ya kuweza kufanikisha kummaliza mwanaume katika sita kwa sita. Jambo la kwanza wanamke unapaswa kuwa jasari na mwenye kuamini katika kile unachofanya katika mapenzi, ambapo wewe mwanamke unatakiwa mkishafika katika uwanja wenu wa zoezi husika katika sikiu hiyo, Hakikisha unajitahidi wewe kuanza kumvua nguo mwanaume, huku ukimshika baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili wake ambazo unaamini zitamsababishia msisimko mkubwa. Baada ya zoezi hilo nawe pia (mwanamke)unaweza kutoa nguo zako kisha mkumbatie mmeo , huku mkigusanisha ngozi za miili yenu. Tambua ya kwamba ngozi huwa na mishipa midogo midogo yenye ufahamu ambayo hutoa taarifa mbalimbali za mwili kwenye ubongo, hivyo kitendo cha miili yenu kugusana huchangia kuibua hisia za kimapenzi zaidi. Unapoona tayari mwanaume yupo tayari katika hali ya hisia kali za kimapenzi kabla ya kumruhusu akuingilie unaweza kuendelea kumshika baadhi ya sehemu za mwili mfano ndevu, sehemu zake za siri na mkune kwenye viganja vyake na mapaja na nk. Fahamu ya kwamba mapaja ya mwanaume huwa na hisia kali, hivyo unaweza kuyashika zaidi kwa ustadi mkubwa, huku ukitumia vidole vyako na utaona akisisimka zaidi. Sehemu nyingine ambayo itakusaidia wewe mwanamke kuweza kumsisimua vizuri mwanaume ni kwa kumshika maeneo ya kifuani kuelekea tumboni maeneo hayo huwa na msisimko mkubwa kwa wanaume walio wengi. Eneo jingine lenye hazina kubwa na ya msisimko wa mapenzi kwa wanaume ni sehemu ya uume ambapo mwanamke huweza kushika ile sehemu ya mbele (kichwa cha uume) ambapo humfanya mwanaume kupata msisimko wa kimapenzi kwa haraka zaidi. Uwapo katikati ya tendo hakikisha unkuwa serious na zoezi hilo, huku ukijitahidi kuepuka kucheka kwa jambo lolote lile hata pale mwenzi wako anapotoa sauti za kufurahisha wakati wa katikati ya tendo. Pamoja na hayo, mwanamke uwapo katikati tendo hilo na mwenzi wako jitahii sana kujiachia maungo yako kwa mmeo, kwani kwenye tendo hilo la ndoa huwa hakuna uheshimiwa hivyo ni vyema ukajiachia. Katika tendo la ndoa pia sauti na maneno  ya kimahaba ni muhimu sana wakati wa tendo la ndoa kwani huongeza hamasa katika tendo hilo. Baada ya kumaliza tendo hilo kumbuka kusema asante na mpe pole mwenzi wako kwa kazi pevu, kisha chukuwa kitambaa na mkaushe kijasho cha utamu wa penzi kwa taulo uliloandaa maalum.

...
NJIA RAHISI 13 ZA KUWA NA FURAHA KILA SIKU






Mabadiliko yalio mepesi  kwenye tabia zako za kila siku yatakuweka kwenye mstari wa furaha unayoitaka

Umejikuta uko kwenye siku tofauti,  story hizo hizo,  imekuwa ni kawaida yako?  Basi muda huu , sio kesho , sio wiki ijayo,  ni wakati wa kubadilisha historia yako. ni za haraka, rahisi  na hazina gharama unapofanya hivyo na matokeo yatakupa furaha unayoitaka.

1.Pata masaa 7 mpaka 8 ya kulala usiku.

Kulala usingizi wa kutosha  unapata furaha, utaweza kuwa na nguvu ya kufanya kazi zako , na utakuwa na mahusiano mazuri. weka simu yako mbali unapoenda kulala,  usitumie chakula kingi wakati wa jioni.

2.Amka mapema , dakika 30 kabla .

Kama wewe ni mfanya kazi wa kuajiriwa na una tabia ya kuchelewa kazini, jaribu kuamka mapema  dakika 15 au 30 kila siku kwa ajili ya kujiandaa vizuri na kukumbuka vitu vyote vya kufanya, kuchukua siku hio. utaona tofauti ya tabia yako.

3.Meditate.

Hii ni kubwa. meditate kwa muda wa dakika 10 au 20, utapata faida nyingi zaidi ya furaha, pamoja na kuwa muwazi, kuwa na malengo  ya siku nzima. Anza siku yako na meditation. utajiepusha na tress na wasiwasi na  hutachanganyikiwa na kazi zako.

4.Jipe nafasi 

wengi wetu huwa tunajaza vitu nyumbani, ofisini hata vile ambavyo havina kazi, hatuvitumii. inaharibu mfumo mzima wa akili yako, hisia zako,  na mwili wako. Ondoa vitu ambavyo huvitumii, tupa nje au gawia watu ambao wanahitaji kuwa navyo, hali yako ya furaha itaboreka. Na hutalemewa na kazi nyingi.

5.Jifunze kitu kipya

Jitahidi kujifunza kitu kipya kila siku, kwa sababu hio ndio changamoto itakayokupa furaha, kujifunza kitu kipya inaboresha  afya yako ya mwili na akili, kujifunza utajenga ujasiri pia na utakuwa sharp.

6.Tembea mara kwa mara

Kutembea kwa dakika 30 kwa siku  moyo wako utakuwa unafanya kazi vizuri, utapunguza hasira,  hutakuwa na chuki. Kama unaona ni ngumu kwako kutembea , hasa kama una gari , jifunze kupaki gari yako mahali mbali na ofisi , tembea . anza kutumia maji ya kutosha. utapata faida nyingi .

7.Usijihusishe na mambo ya mitandao.

Ni rahisi kuingia instagram, facebook na zingine, lakini wachunguzi wanasema kwamba ukizidisha kujihusisha na mitandao unaweza kuharibu afya yako ya akili. badala ya kutumia nusu saa kwenye mitandao, unaweza kufanya kitu kingine unachokipenda, au kusoma kitabu, kujifunza mafunzo mbalimbali kwa ajili ya kujiboresha mwenyewe kuwa mwenye afya.

8.Kuwa mwema.

Ukarimu unakuongoza kwenye furaha yako mwenyewe na utakuwa mwenye afya bora. vitu ambavyo vinavyo chochea furaha ni kutoa , na kuwa mkweli , utapata faida , na utajisikia vizuri kuwa sehemu ya baraka kwa mtu fulani. kujitolea kufanya kitu, au kumwachia mtu kiti kwenye daladala. Sehemu ngumu? lakini nzuri.

9.Kaa na watu wenye furaha.

Angalia watu unaoshinda nao, unaofanya nao kazi, ni watu wa aina gani. kwa sababu  kuna msemo unasema kuwa ukikaa na ua rose utanukia  hata kama ulikuwa hunukii. Fanya hivyo na utaweza kufungua mlango mpya kwa ajili yako maishani. utaiona furaha ikitiririka kama mto.

10.Don’t gossip.

Kuseng’enya, umbeya, itakusababishia maradhi ya misongo na kukosa furaha. mtu mmbeya hawezi kusaidia kitu. wakati mwingine jitenge na watu kama hawa, au unapoona kuna kutoelewana na wafanya kazi wenzako, jaribu kutulia kwanza , badilisha negative to positive. Sema kitu kizuri kuhusu mtu. ni vizuri. kwa sababu utajiwekea alama nzuri kwako.

11.Tumia muda wako na watu unaowapenda

Unapoongea na familia au marafiki kwenye simu , inatia moyo. mawasiliano hayo yanakupa afya na furaha.Fikiri ilivyo vizuri kama utaenda kula na rafiki yako mahali fulani, au kuamua kupika nyumbani , au kucheza na watoto wako kitu kama game, mpira, inafurahisha.

12.Journal

Kuandika vitu vya kufanya kwa siku, au kuandika vitu unavyotaka kuvipata, Lengo hili dogo litaongeza IQ yako  na kuleta utulivu  wa kuboresha ujasiri  wako, ukiwa na tabia hii kila siku , furaha haitakosekana kwako na utapata faida ya akili na hisia zako zitakuwa bora.

13.Jizoeze kujijali.

Unapojijali ,Utaona faida zake, pamoja na kuondoa stress na wasiwasi, utakuwa mtu wa kuwaza mazuri na utaboresha immunity.pata muda kila siku kufanya kitu kwa ajili ya furaha, kama vile mazoezi, kupika chakula kizuri, kusoma . utaanza kushangaa jinsi ilivyo rahisi kuwa na furaha  unapojijali  na utaboresha akili yako na mwili wako, na roho yako.

Kama unavyojua , kuna njia nyingi  zinazotushambulia kwa siku, Ondoka mahali ambapo panaharibu ratiba yako. sasa, kama kitu kingine chochote,mafanikio ni kufanyia kazi. kwa hio pick one, and let the fun begin!

NJIA RAHISI 13 ZA KUWA NA FURAHA KILA SIKU  Mabadiliko yalio mepesi  kwenye tabia zako za kila siku yatakuweka kwenye mstari wa furaha unayoitaka Umejikuta uko kwenye siku tofauti,  story hizo hizo,  imekuwa ni kawaida yako?  Basi muda huu , sio kesho , sio wiki ijayo,  ni wakati wa kubadilisha historia yako. ni za haraka, rahisi  na hazina gharama unapofanya hivyo na matokeo yatakupa furaha unayoitaka. 1.Pata masaa 7 mpaka 8 ya kulala usiku. Kulala usingizi wa kutosha  unapata furaha, utaweza kuwa na nguvu ya kufanya kazi zako , na utakuwa na mahusiano mazuri. weka simu yako mbali unapoenda kulala,  usitumie chakula kingi wakati wa jioni. 2.Amka mapema , dakika 30 kabla . Kama wewe ni mfanya kazi wa kuajiriwa na una tabia ya kuchelewa kazini, jaribu kuamka mapema  dakika 15 au 30 kila siku kwa ajili ya kujiandaa vizuri na kukumbuka vitu vyote vya kufanya, kuchukua siku hio. utaona tofauti ya tabia yako. 3.Meditate. Hii ni kubwa. meditate kwa muda wa dakika 10 au 20, utapata faida nyingi zaidi ya furaha, pamoja na kuwa muwazi, kuwa na malengo  ya siku nzima. Anza siku yako na meditation. utajiepusha na tress na wasiwasi na  hutachanganyikiwa na kazi zako. 4.Jipe nafasi  wengi wetu huwa tunajaza vitu nyumbani, ofisini hata vile ambavyo havina kazi, hatuvitumii. inaharibu mfumo mzima wa akili yako, hisia zako,  na mwili wako. Ondoa vitu ambavyo huvitumii, tupa nje au gawia watu ambao wanahitaji kuwa navyo, hali yako ya furaha itaboreka. Na hutalemewa na kazi nyingi. 5.Jifunze kitu kipya Jitahidi kujifunza kitu kipya kila siku, kwa sababu hio ndio changamoto itakayokupa furaha, kujifunza kitu kipya inaboresha  afya yako ya mwili na akili, kujifunza utajenga ujasiri pia na utakuwa sharp. 6.Tembea mara kwa mara Kutembea kwa dakika 30 kwa siku  moyo wako utakuwa unafanya kazi vizuri, utapunguza hasira,  hutakuwa na chuki. Kama unaona ni ngumu kwako kutembea , hasa kama una gari , jifunze kupaki gari yako mahali mbali na ofisi , tembea . anza kutumia maji ya kutosha. utapata faida nyingi . 7.Usijihusishe na mambo ya mitandao. Ni rahisi kuingia instagram, facebook na zingine, lakini wachunguzi wanasema kwamba ukizidisha kujihusisha na mitandao unaweza kuharibu afya yako ya akili. badala ya kutumia nusu saa kwenye mitandao, unaweza kufanya kitu kingine unachokipenda, au kusoma kitabu, kujifunza mafunzo mbalimbali kwa ajili ya kujiboresha mwenyewe kuwa mwenye afya. 8.Kuwa mwema. Ukarimu unakuongoza kwenye furaha yako mwenyewe na utakuwa mwenye afya bora. vitu ambavyo vinavyo chochea furaha ni kutoa , na kuwa mkweli , utapata faida , na utajisikia vizuri kuwa sehemu ya baraka kwa mtu fulani. kujitolea kufanya kitu, au kumwachia mtu kiti kwenye daladala. Sehemu ngumu? lakini nzuri. 9.Kaa na watu wenye furaha. Angalia watu unaoshinda nao, unaofanya nao kazi, ni watu wa aina gani. kwa sababu  kuna msemo unasema kuwa ukikaa na ua rose utanukia  hata kama ulikuwa hunukii. Fanya hivyo na utaweza kufungua mlango mpya kwa ajili yako maishani. utaiona furaha ikitiririka kama mto. 10.Don’t gossip. Kuseng’enya, umbeya, itakusababishia maradhi ya misongo na kukosa furaha. mtu mmbeya hawezi kusaidia kitu. wakati mwingine jitenge na watu kama hawa, au unapoona kuna kutoelewana na wafanya kazi wenzako, jaribu kutulia kwanza , badilisha negative to positive. Sema kitu kizuri kuhusu mtu. ni vizuri. kwa sababu utajiwekea alama nzuri kwako. 11.Tumia muda wako na watu unaowapenda Unapoongea na familia au marafiki kwenye simu , inatia moyo. mawasiliano hayo yanakupa afya na furaha.Fikiri ilivyo vizuri kama utaenda kula na rafiki yako mahali fulani, au kuamua kupika nyumbani , au kucheza na watoto wako kitu kama game, mpira, inafurahisha. 12.Journal Kuandika vitu vya kufanya kwa siku, au kuandika vitu unavyotaka kuvipata, Lengo hili dogo litaongeza IQ yako  na kuleta utulivu  wa kuboresha ujasiri  wako, ukiwa na tabia hii kila siku , furaha haitakosekana kwako na utapata faida ya akili na hisia zako zitakuwa bora. 13.Jizoeze kujijali. Unapojijali ,Utaona faida zake, pamoja na kuondoa stress na wasiwasi, utakuwa mtu wa kuwaza mazuri na utaboresha immunity.pata muda kila siku kufanya kitu kwa ajili ya furaha, kama vile mazoezi, kupika chakula kizuri, kusoma . utaanza kushangaa jinsi ilivyo rahisi kuwa na furaha  unapojijali  na utaboresha akili yako na mwili wako, na roho yako. Kama unavyojua , kuna njia nyingi  zinazotushambulia kwa siku, Ondoka mahali ambapo panaharibu ratiba yako. sasa, kama kitu kingine chochote,mafanikio ni kufanyia kazi. kwa hio pick one, and let the fun begin!

...
UNAJUA KUMWONYESHA MPENZI WAKO KAMA UNAMPENDA????





Kwa upendo wao wote, kwa nguvu zao zote, na uzuri , mahusiano ni kama  mmea ambao unahitaji kumwagilia maji na kuwekewa mbolea na kupata jua la kutosha ili uweze kunawiri vizuri

Sababu kubwa ambayo watu hukosa kujua kama wanapendwa ni kutohisi upendo. Kwa nini? Kwa sababu hata kama wanasema I love you mwisho wa kuongea kwenye simu au kabla ya kwenda kazini, hayo maneno hayana miujiza bila ya kuwa na mengine yalio rahisi .

Kuna vitu vidogo vidogo sana vinavyoonyesha upendo na kumfanya mtu ajisikie kupendwa.

1.Usisahau kumkumbatia kabla ya kusema kwa heri. Uelewa wa kimwili ni wa muhimu kuliko maneno

2.Mwambie jinsi alivyo muhimu kwako. Hii huenda zaidi ya neno  i love you.

3.Express understanding panapohitajika  kusema. Nimeelewa unachokisema. Kama hujaelewa  elezea, kwa kusema hivi , Niambie jinsi unavyojisikia ili nikuelewe.

4.Sema mara nyingi jinsi unavyomkubali anapokuwa amefanya jambo kwako.

Husband and wife in park

5.Mwambie jinsi gani unafurahia vipengele  vya upekee wake. Kwa mfano , napenda uchangamfu wako, mpongeze.

6.Toka nae siku nzima bila ya kusema kitu chochote zaidi ya kumsifia.

7.Mnunulie chakula anachokipenda bila yeye kusema.

8.Msaidie kupika

9.Kama mna watoto wapeleke kutembea, ili kufurahia michezo ya watoto ili kumwacha awe peke yake kwa utulivu.

10.Tuma ujumbe wa kimapenzi kwa mwenza wako bila sababu .

11.Mtumie email wakati yuko kazini ili kujua anajisikiaje.

12.Mpigie wakati akiwa break kusema tu hujambo

13.Karibia gari, meza, au kochi na umshike mikono yake japo kwa muda kidogo.

14.Mvutie kiti anapotaka kukaa au mfungulie mlango anapotaka kutoka au kuingia.

15.Kumbuka kumpa tabasamu, sio fake,  lile ambalo umetunza kwa ajili yake .

16.Badala ya kumweleza jinsi ulivyokuwa na siku mbaya kazini, mwambie kuwa siku hio ulihitaji kuwa na yeye kwa sababu…au nimekuwa na siku mbaya nahitaji unikumbatie.

17.Fanya utani na ucheke nae

18.Nendeni kulala kwa wakati mmoja, ongeeni pamoja au kama kusoma msome pamoja au kama kutulia kwa muda fanyeni pamoja.

19.Kama una watoto mpongeze mwenza wako mbele yao. Watoto watafurahi pia.

20.Mkumbatie mbele za watu, ingawa ataona aibu lakini atafurahia.

21.Tafuta njia nzuri za kuambiana badala ya I love you

22.Muwe na tabia ya kutoka japo mara moja kwa wiki kama mkiweza

23.Mpe zawadi

24.Mpeleke movie

25.mpe massage bila sababu au kwa ajili ya kazi nyingi

26.Mwambie kuwa yeye ni rafiki yako

27.Usiogope kumshirikisha hisia zako, Ni vizuri kufahamu kama una furaha au huna furaha wakati huo na kwa nini

28.Sikiliza anapokuambia jinsi anavyojisikia

29.Kumbuka kila mara unapoweza nunua kitu kidogo kwa ajili yake.

30.Andika ujumbe mdogo wa kimapenzi na kuacha sehemu ambapo atafika

31.Mshike mikono yake mbele za watu

32.Mpate fundisho pamoja, halijalishi ni aina gani

33.Omba msamaha unapokosea

34.Wakati mwingine  yeye awe sahihi

35.Mcheze game pamoja

36.Mpe nafasi anapohitaji hivyo.lakini afahamu kuwa upo kama atakuhitaji

37.Mchemshie maji  ya kuoga anapokuwa na stress

38.Mwoshee gari yake

39.Jaribu kufanya kitu cha wema kila siku kwa ajili yake

40.Jaribuni kufanya kitu kipya pamoja. Changamoto moja ni bora

41.Mwache alale miguu pako

42.Mtengenezee breakfast, kama inawezekana mpelekee kitandani

43.Mkumbushe kuwa yeye yuko hot au sexy

44.Mkatembee kwenye hewa nzuri pamoja

45.Mnaweza kuvaa nguo za kufanana mnapotoka kupunga upepo

46.Mjitolee pamoja

47.Mtengeneze nywele zake

48.Muweke lengo kama wanandoa, kwa ajili ya fitness, finance, na personal growth

49.Kusafiri pamoja

50.Mpe compani anapoenda mpirani,  kwenye game na uwe mmoja wao

51.Chukua muda wa kuwajua rafiki wa mwenza wako

52.Mwache atoke peke yake wakati mwingine

53.Mwekee nyimbo anazozipenda  na mcheze pamoja

54.Usiwe serious sana, uwe mcheshi wakati mwingine

55.Mwimbie nyimbo anazopenda

56.Mwambie unampenda zaidi ya jana

57.Kama una siku mbaya , sikiliza kila unachotaka kusema

58.Mwambie kuwa anavutia kuliko wakati mliokutana mara ya kwanza

59.Mwambie unamfikiria kila mara

60.Mwambie kuwa unamsaidia kwa kuwa umemwelewa

61.Mwambie unapenda mwili na akili yake

62.Mwambie unachokifurahia siku hio. Na jinsi gani kinakukumbusha  kuhusu yeye.

63.Siku yako imeendaje leo

Kila ukiamka mwambie habari za asubuhi kila siku

65.Kila siku ukitaka kulala mwambie usiku mwema

66.Hakikisha anafahamu kuwa yeye ni namba moja kwako

67.Mwonyeshe kuwa unamuheshimu kwa kusikiliza mawazo yake kwenye maamuzi muhimu

68.Onyesha kukubali alichokifikiria na kukiamua  hata kama unaona kabisa hukubaliani nacho.

69.Mwambie akuchagulie nguo za kuvaa kazini

70.Nendeni gym pamoja

71.Mnunulie kadi bila sababu , hata kama hakuna sikuku

72.Tamani kumkiss kila mara

73.Mwambie kuwa umepata  bahati ya kuwa na yeye na kuwa umebadilika tangu ukiwa nae

74.Kuwa mkweli . mfahamishe makosa uliyoyafanya

75.Kuwa mpole kwake kwa sababu mwanamke ni laini

76.Mwonyeshe kuwa unamwamini ili nae awe wazi kwako

77.Pigeni picha pamoja

78.Fanyeni mambo ya kijinga pamoja

79.Alika familia yake kwenye chakula cha jioni

80.Mwombe mwenza wako mshirikishane ndoto zenu

81.Cheka anapotania,hata kama utani huo hauchekeshi


82.Uwe rahisi ili aweze kukupenda. Utagundua kuwa kumbe ni mkarimu na ana wema.

UNAJUA KUMWONYESHA MPENZI WAKO KAMA UNAMPENDA????  Kwa upendo wao wote, kwa nguvu zao zote, na uzuri , mahusiano ni kama  mmea ambao unahitaji kumwagilia maji na kuwekewa mbolea na kupata jua la kutosha ili uweze kunawiri vizuri Sababu kubwa ambayo watu hukosa kujua kama wanapendwa ni kutohisi upendo. Kwa nini? Kwa sababu hata kama wanasema I love you mwisho wa kuongea kwenye simu au kabla ya kwenda kazini, hayo maneno hayana miujiza bila ya kuwa na mengine yalio rahisi . Kuna vitu vidogo vidogo sana vinavyoonyesha upendo na kumfanya mtu ajisikie kupendwa. 1.Usisahau kumkumbatia kabla ya kusema kwa heri. Uelewa wa kimwili ni wa muhimu kuliko maneno 2.Mwambie jinsi alivyo muhimu kwako. Hii huenda zaidi ya neno  i love you. 3.Express understanding panapohitajika  kusema. Nimeelewa unachokisema. Kama hujaelewa  elezea, kwa kusema hivi , Niambie jinsi unavyojisikia ili nikuelewe. 4.Sema mara nyingi jinsi unavyomkubali anapokuwa amefanya jambo kwako. Husband and wife in park 5.Mwambie jinsi gani unafurahia vipengele  vya upekee wake. Kwa mfano , napenda uchangamfu wako, mpongeze. 6.Toka nae siku nzima bila ya kusema kitu chochote zaidi ya kumsifia. 7.Mnunulie chakula anachokipenda bila yeye kusema. 8.Msaidie kupika 9.Kama mna watoto wapeleke kutembea, ili kufurahia michezo ya watoto ili kumwacha awe peke yake kwa utulivu. 10.Tuma ujumbe wa kimapenzi kwa mwenza wako bila sababu . 11.Mtumie email wakati yuko kazini ili kujua anajisikiaje. 12.Mpigie wakati akiwa break kusema tu hujambo 13.Karibia gari, meza, au kochi na umshike mikono yake japo kwa muda kidogo. 14.Mvutie kiti anapotaka kukaa au mfungulie mlango anapotaka kutoka au kuingia. 15.Kumbuka kumpa tabasamu, sio fake,  lile ambalo umetunza kwa ajili yake . 16.Badala ya kumweleza jinsi ulivyokuwa na siku mbaya kazini, mwambie kuwa siku hio ulihitaji kuwa na yeye kwa sababu…au nimekuwa na siku mbaya nahitaji unikumbatie. 17.Fanya utani na ucheke nae 18.Nendeni kulala kwa wakati mmoja, ongeeni pamoja au kama kusoma msome pamoja au kama kutulia kwa muda fanyeni pamoja. 19.Kama una watoto mpongeze mwenza wako mbele yao. Watoto watafurahi pia. 20.Mkumbatie mbele za watu, ingawa ataona aibu lakini atafurahia. 21.Tafuta njia nzuri za kuambiana badala ya I love you 22.Muwe na tabia ya kutoka japo mara moja kwa wiki kama mkiweza 23.Mpe zawadi 24.Mpeleke movie 25.mpe massage bila sababu au kwa ajili ya kazi nyingi 26.Mwambie kuwa yeye ni rafiki yako 27.Usiogope kumshirikisha hisia zako, Ni vizuri kufahamu kama una furaha au huna furaha wakati huo na kwa nini 28.Sikiliza anapokuambia jinsi anavyojisikia 29.Kumbuka kila mara unapoweza nunua kitu kidogo kwa ajili yake. 30.Andika ujumbe mdogo wa kimapenzi na kuacha sehemu ambapo atafika 31.Mshike mikono yake mbele za watu 32.Mpate fundisho pamoja, halijalishi ni aina gani 33.Omba msamaha unapokosea 34.Wakati mwingine  yeye awe sahihi 35.Mcheze game pamoja 36.Mpe nafasi anapohitaji hivyo.lakini afahamu kuwa upo kama atakuhitaji 37.Mchemshie maji  ya kuoga anapokuwa na stress 38.Mwoshee gari yake 39.Jaribu kufanya kitu cha wema kila siku kwa ajili yake 40.Jaribuni kufanya kitu kipya pamoja. Changamoto moja ni bora 41.Mwache alale miguu pako 42.Mtengenezee breakfast, kama inawezekana mpelekee kitandani 43.Mkumbushe kuwa yeye yuko hot au sexy 44.Mkatembee kwenye hewa nzuri pamoja 45.Mnaweza kuvaa nguo za kufanana mnapotoka kupunga upepo 46.Mjitolee pamoja 47.Mtengeneze nywele zake 48.Muweke lengo kama wanandoa, kwa ajili ya fitness, finance, na personal growth 49.Kusafiri pamoja 50.Mpe compani anapoenda mpirani,  kwenye game na uwe mmoja wao 51.Chukua muda wa kuwajua rafiki wa mwenza wako 52.Mwache atoke peke yake wakati mwingine 53.Mwekee nyimbo anazozipenda  na mcheze pamoja 54.Usiwe serious sana, uwe mcheshi wakati mwingine 55.Mwimbie nyimbo anazopenda 56.Mwambie unampenda zaidi ya jana 57.Kama una siku mbaya , sikiliza kila unachotaka kusema 58.Mwambie kuwa anavutia kuliko wakati mliokutana mara ya kwanza 59.Mwambie unamfikiria kila mara 60.Mwambie kuwa unamsaidia kwa kuwa umemwelewa 61.Mwambie unapenda mwili na akili yake 62.Mwambie unachokifurahia siku hio. Na jinsi gani kinakukumbusha  kuhusu yeye. 63.Siku yako imeendaje leo Kila ukiamka mwambie habari za asubuhi kila siku 65.Kila siku ukitaka kulala mwambie usiku mwema 66.Hakikisha anafahamu kuwa yeye ni namba moja kwako 67.Mwonyeshe kuwa unamuheshimu kwa kusikiliza mawazo yake kwenye maamuzi muhimu 68.Onyesha kukubali alichokifikiria na kukiamua  hata kama unaona kabisa hukubaliani nacho. 69.Mwambie akuchagulie nguo za kuvaa kazini 70.Nendeni gym pamoja 71.Mnunulie kadi bila sababu , hata kama hakuna sikuku 72.Tamani kumkiss kila mara 73.Mwambie kuwa umepata  bahati ya kuwa na yeye na kuwa umebadilika tangu ukiwa nae 74.Kuwa mkweli . mfahamishe makosa uliyoyafanya 75.Kuwa mpole kwake kwa sababu mwanamke ni laini 76.Mwonyeshe kuwa unamwamini ili nae awe wazi kwako 77.Pigeni picha pamoja 78.Fanyeni mambo ya kijinga pamoja 79.Alika familia yake kwenye chakula cha jioni 80.Mwombe mwenza wako mshirikishane ndoto zenu 81.Cheka anapotania,hata kama utani huo hauchekeshi 82.Uwe rahisi ili aweze kukupenda. Utagundua kuwa kumbe ni mkarimu na ana wema.

...
SABABU YA KWELI WANAWAKE KUENDELEA KUTEMBEA NA WANAUME WALIO OA






Jane ni mwanamke mwenye mafanikio, anamiliki kampuni ya kutengeneza mifuko ya plastic, ana studio. Ana akili , anavutia na ni mwenye ujasiri. Pia anatembea na mume wa mtu. Amekuwa akiwauliza rafiki , familia yake ambao wanafahamu  kuwa kitu gani kinamfanya mwanamke mwenye mafanikio, akili na ujasiri kutembea na mume wa mtu kwa miaka zaidi ya mitatu?

Hamu ndio Inayoanza

Mwanaume ambaye ameoa anapomkaribia mwanamke , anakuwa na hatari— hatari ambayo  inaonyesha kumuhitaji zaidi. Kuwa na muda naye. Huenda kwa meseji au kupata chakula pamoja kwa siri, au kulala nae kwa siri. Huonyesha  kuwa na majukumu kama mwanaume single. Lakini mwanaume single huandaa date. Huwa na sababu nyingi za kufanya hivyo, na ukiri wao huwa ni wa makini  na huonyesha kuwa hawako interested. Hujikuta wameingia kwenye majukumu ambayo  hakuwa amejiandaa.

Kwa ushindani, kazi ya mwanaume aliyeoa Inamlinda kutokana na nia yake kwa mwanamke single ili kuonyesha hamu yake.

Kama hataweza kuonyesha hisia zake kwa kumtazama macho yake, sauti yake, kumsugua mwanamke mgongo wake, kumfanyia massage kwenye mabega, mwanamke atajuaje kama anamtaka? Na ataendeleaje kubaki nae kama hamtimizii haja zake? Kwa kufanya hayo anaweza kumuwekea ulinzi, mahusiano yao kukomaa na kuwa mazuri na kuwa ya kawaida.

Lakini akili Itakuja. Marafiki aliowaambia watamkumbusha.Ni mume wa mtu. Familia watamuuliza , bado yuko na mke wake? Wakati anapoanza kujiuliza ndani yake , mume alienae, Ataanza kuwa na njia mbili. Kwa wanawake wengi, hio imepitwa na wakati. Kwa wengine mchezo utaendelea—kwa kufahamu maamuzi haya…tuangalie sasa

1.Wakati mwanaume anapotoka nje, uwezekano mkubwa hana furaha ndani ya nyumba yake.

2Talaka zinaongezeka . ndoa zinafikia mwisho, na wanaume wanaoa tena.

3.Uzinzi unaongezeka kwa wanaume. Huenda  kuishi muda mrefu peke yao sio mpango mzuri.

Kwa mtu kama Jane kuishi maisha kama hayo, huenda ni katika kumpata mtu sahihi na kumuondoa kwa mke wake  hata kama kutakuwepo hatari  katika hisia zake.

Mwanamke kama Jane ni wepesi wa kujifunza zaidi kuhusu tabia za wanaume ambao wanacheat kabla ya kuamua kuingia kwenye mahusiano ya kudumu.

Wengi wa wanaume wanasema , sababu kubwa ya kucheat ni kukosa sex

Ni kiasi kidogo sana cha wanaume ambao hupotea katika mapenzi  ya nje

Baadhi ya wanaume wanaocheat walitoa taarifa kuwa  wanafanya hivyo kwa wenza wengi karibu miaka yote

Kwa kulinganisha wanawake na wanaume. Wanawake wao huingia kwenye mahusiano kwa mwanaume aliyeoa kwa sababu ya kuwapenda.

Lakini sio nzuri kama mtu ameoa ni bora kujiheshimu na kumuheshimu mke wake , Na kama kuna tatizo ni vizuri kurekebisha kuliko kwenda kutafuta majibu ya tatizo lako nje.Kwa nini nasema hivi , ni kwa sababu ipo siku mwanamke huyo atahitaji kuwekwa wazi , utafanyaje na wewe ulikuwa ni mwizi. kwa upande wa mwanamke Utavunjika moyo, inapofika wakati kama huo.Maumivu ya kuachwa na mwanaume aliyeoa ni makubwa kuliko ya kuachwa na mwenza ambaye ni wako kabisa.

Black woman hugging her knees

1.Utajisikia kama mkosaji mara mbili. Kwamba hukuweza kumpata mtu ambaye tayari kwanza alikuwa ameoa  na amekuacha baada ya kuridhika kwake.

2.Wasaliti wanaokatiza mahusiano huwa wanaonyesha kabisa kuwa hawana hisiana za kutosha kwako.

Wanakuchukulia kama wewe ni msichana mkubwa, na unaelewa kitu gani unachokifanya.

4.Mfumo unaompa support unaweza ukawa upo gizani.

HUenda ni aibu au hamu ya kumlinda msaliti au vyote.  Hakuna mtu ambaye anafahamu. Kama wapo basi ni wa katibu sana.

Kwa hio watu kama Jane wataepuka vipi hatari  inayotokana na aina hii ya mahusiano? Ukweli ni kwamba, ufahamu una nguvu.Kama msomaji unahusika na mume wa mtu, rudia tena kusoma makala hii kwa makini kabla hujaendelea zaidi.


Maisha ni mafupi.Muda wa kumsaidia mume wa mtu ambaye amekosa kitu fulani kwa mwenza wake  umekwisha. Mwache akatengeneze  kwa mwenza wake.  Wanaume Single wako wengi wanakusubiri  na hawana hatari kama hizo. Hata kama atakuonyesha kuwa wako cool mwanzoni usidanganyike.

SABABU YA KWELI WANAWAKE KUENDELEA KUTEMBEA NA WANAUME WALIO OA  Jane ni mwanamke mwenye mafanikio, anamiliki kampuni ya kutengeneza mifuko ya plastic, ana studio. Ana akili , anavutia na ni mwenye ujasiri. Pia anatembea na mume wa mtu. Amekuwa akiwauliza rafiki , familia yake ambao wanafahamu  kuwa kitu gani kinamfanya mwanamke mwenye mafanikio, akili na ujasiri kutembea na mume wa mtu kwa miaka zaidi ya mitatu? Hamu ndio Inayoanza Mwanaume ambaye ameoa anapomkaribia mwanamke , anakuwa na hatari— hatari ambayo  inaonyesha kumuhitaji zaidi. Kuwa na muda naye. Huenda kwa meseji au kupata chakula pamoja kwa siri, au kulala nae kwa siri. Huonyesha  kuwa na majukumu kama mwanaume single. Lakini mwanaume single huandaa date. Huwa na sababu nyingi za kufanya hivyo, na ukiri wao huwa ni wa makini  na huonyesha kuwa hawako interested. Hujikuta wameingia kwenye majukumu ambayo  hakuwa amejiandaa. Kwa ushindani, kazi ya mwanaume aliyeoa Inamlinda kutokana na nia yake kwa mwanamke single ili kuonyesha hamu yake. Kama hataweza kuonyesha hisia zake kwa kumtazama macho yake, sauti yake, kumsugua mwanamke mgongo wake, kumfanyia massage kwenye mabega, mwanamke atajuaje kama anamtaka? Na ataendeleaje kubaki nae kama hamtimizii haja zake? Kwa kufanya hayo anaweza kumuwekea ulinzi, mahusiano yao kukomaa na kuwa mazuri na kuwa ya kawaida. Lakini akili Itakuja. Marafiki aliowaambia watamkumbusha.Ni mume wa mtu. Familia watamuuliza , bado yuko na mke wake? Wakati anapoanza kujiuliza ndani yake , mume alienae, Ataanza kuwa na njia mbili. Kwa wanawake wengi, hio imepitwa na wakati. Kwa wengine mchezo utaendelea—kwa kufahamu maamuzi haya…tuangalie sasa 1.Wakati mwanaume anapotoka nje, uwezekano mkubwa hana furaha ndani ya nyumba yake. 2Talaka zinaongezeka . ndoa zinafikia mwisho, na wanaume wanaoa tena. 3.Uzinzi unaongezeka kwa wanaume. Huenda  kuishi muda mrefu peke yao sio mpango mzuri. Kwa mtu kama Jane kuishi maisha kama hayo, huenda ni katika kumpata mtu sahihi na kumuondoa kwa mke wake  hata kama kutakuwepo hatari  katika hisia zake. Mwanamke kama Jane ni wepesi wa kujifunza zaidi kuhusu tabia za wanaume ambao wanacheat kabla ya kuamua kuingia kwenye mahusiano ya kudumu. Wengi wa wanaume wanasema , sababu kubwa ya kucheat ni kukosa sex Ni kiasi kidogo sana cha wanaume ambao hupotea katika mapenzi  ya nje Baadhi ya wanaume wanaocheat walitoa taarifa kuwa  wanafanya hivyo kwa wenza wengi karibu miaka yote Kwa kulinganisha wanawake na wanaume. Wanawake wao huingia kwenye mahusiano kwa mwanaume aliyeoa kwa sababu ya kuwapenda. Lakini sio nzuri kama mtu ameoa ni bora kujiheshimu na kumuheshimu mke wake , Na kama kuna tatizo ni vizuri kurekebisha kuliko kwenda kutafuta majibu ya tatizo lako nje.Kwa nini nasema hivi , ni kwa sababu ipo siku mwanamke huyo atahitaji kuwekwa wazi , utafanyaje na wewe ulikuwa ni mwizi. kwa upande wa mwanamke Utavunjika moyo, inapofika wakati kama huo.Maumivu ya kuachwa na mwanaume aliyeoa ni makubwa kuliko ya kuachwa na mwenza ambaye ni wako kabisa. Black woman hugging her knees 1.Utajisikia kama mkosaji mara mbili. Kwamba hukuweza kumpata mtu ambaye tayari kwanza alikuwa ameoa  na amekuacha baada ya kuridhika kwake. 2.Wasaliti wanaokatiza mahusiano huwa wanaonyesha kabisa kuwa hawana hisiana za kutosha kwako. Wanakuchukulia kama wewe ni msichana mkubwa, na unaelewa kitu gani unachokifanya. 4.Mfumo unaompa support unaweza ukawa upo gizani. HUenda ni aibu au hamu ya kumlinda msaliti au vyote.  Hakuna mtu ambaye anafahamu. Kama wapo basi ni wa katibu sana. Kwa hio watu kama Jane wataepuka vipi hatari  inayotokana na aina hii ya mahusiano? Ukweli ni kwamba, ufahamu una nguvu.Kama msomaji unahusika na mume wa mtu, rudia tena kusoma makala hii kwa makini kabla hujaendelea zaidi. Maisha ni mafupi.Muda wa kumsaidia mume wa mtu ambaye amekosa kitu fulani kwa mwenza wake  umekwisha. Mwache akatengeneze  kwa mwenza wake.  Wanaume Single wako wengi wanakusubiri  na hawana hatari kama hizo. Hata kama atakuonyesha kuwa wako cool mwanzoni usidanganyike.

...
VITU VIZURI 60 VYA KUMWAMBIA MSICHANA UMPENDAE:






Ninamaanisha kuwa maneno matamu.Wakati kijana uko kwenye process ya kutafuta na kujaribu kuuteka moyo wa msichana, unatakiwa kujifunza  kutumia maneno matamu.Na lazima ujue kuwa sio kila neno  unalotumia litagusa moyo wa mwanamke unayemtaka,Lakini maneno matamu yanafanya kazi ya kushangaza .

Wakati vijana wengine wanalalamika kuwa ni vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi kwa sababu hawatumii maneno sahihi. watu wengi pia  huwa hawana maneno ya kusema na wengine hawajui kabisaaa hata jinsi ya kuanza.

sasa hebu tujifunze haya maneno ya kumwambia msichana unaempenda na unahitaji awe wako  milele.

1.Macho yako ni mazuri , yananifanya nipotelee kwako kila nikiyatizama.

2,Unanifanya niwe mwanaume bora , kwa hio nastahili  mapenzi yako.

3.Tumbo langu hutetemeka unapoleta mikono yako usoni pangu.

4.Wewe ni mzuri na ni mrembo  naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.

5.Unapotabasamu huzuni  kwangu hupotea , ghafla nakuwa mtu wa furaha.

6.Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani , lakini  umenichagua mimi.

7.Hapana.wewe sio mnene uko poa na ndivyo nipendavyo.

8.Ninapokushika nashisi kulegea kwenye magoti.

9.Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako,ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu. ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.

10.Siamini , maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.

11.kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda , natamani niwe na wewe milele. yaani wasife.

12.Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.

13.Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nini nakupenda,nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.

14.Kukutana nawe  ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.

15.Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia , hapo hupotea kabisaaa.

16.Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.

17.Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama  haitatosha  kukupenda.

18.Napata furaha nikiwa na wewe.

19. Napenda kutumia muda na wewe.

20.Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.

21.Natamani maishsa yangu yote nikuone ukiwa na furaha.                                       

22.Usibadilike nakupenda jinsi ulivyo.

23.Nikiwa na wewe nafurahi kama mtoto.

24.Napenda nywele zako.

25.Napenda nikukumbatie ninapokuaga.

26.Natamani kukubusu kila sehemu ya mwili wako.

27.Naanza siku na wewe ndani ya mawazo yangu, na ninamaliza  siku na wewe kwenye ndoto zangu.

28. ukiwa na mimi huwa natamani kusimamisha muda, maana muda unakwenda haraka.

29.Nikisikia sauti yako asubuhi , siku nzima ni mtu wa furaha.

30.Tabasamu lako zuri linanifanya niyeyuke.

31.Unaponiaga napata shida kukuruhusu uende.

32. Umenielewa vizuri, ni kama unasoma mawazo yangu.

33.Mungu alikupendelea kukuumba, akili na kila ulichonacho.

34.Najivunia kuwa na wewe na ninafurahia.

35.Napenda unavyosema unanipenda.

36.Mapenzi yetu ni kama mawimbi ya bahari,  wakati mwingi hutulia, na wakati mwingine huvuma,lakini yanarudi palepale.

37.mapenzi yetu yawe kama ua rose ambalo halina miiba.

38.Najua kwa nini watu wanatutazama , ni kwa sababu wewe ni mzuri kuliko mwezi.

39.Muda utakuwa hauna thamani endapo  sitatumia na wewe.

40.kama siku yangu ingeanza na busu lako, nisingehitaji kahawa.

41.Kama ningeambiwa nielezee rangi, basi ningeenda kwenye rangi za rainbow, kwa sababu wewe ni mzuri.ni wa muujiza.

42.Mimi bila wewe  ni  mbaya, lakini ni mzuri nikiwa na wewe.

43.Tukishikana mikono na mioyo yetu inashikana,na nafsi zetu zinapatana .

44.Siku ya kwanza tulipokutana, nilijua ipo siku tutakutana tena, na nafurahi imetokea.

45.Nafurahi tumekua pamoja, sina cha kukosa hata kidogo.

46.Moyo wangu unapumua kama ndege, kila unapotabasamu.

47.Kila ninapokuwa nimeshuka moyo, nikikusikia wewe moyo wangu unapata nguvu.

48.Shika mikono yangu nami nitashika moyo wako, tunza kwa maisha yote.

49.Maisha yote , milele yote,isio na mwisho, toka nimekutana na wewe maneno yote yana maana.

50.Siku naona kama mwaka, na  siku inapita kama sekunde.

51.Natamani ningekuwa  kama pweza mwenye mikono mingi ili nikukumbatie na mikono myote.

52.Siamini katika nafsi mpya, lakini baada ya kukutana na wewe nimeamini, natamani  kama ningeweza kurudi nyuma na kutengeneza kitu.

53.Sitaweza kukutoa kwenye mawazo yangu , kwa maana nakuhitaji uwepo.

54.Kuna wakati nahisi upweke, kwa wakati huo, basi huamua kukupigia simu  na kusikia sauti yako.

55.Ninapokutizama namuona mungu jinsi alivyokuumba na kukubariki.

56.Unanifanya niwe wa muhimu .

57.Ni siri ambayo inanifanya nikutazame  zaidi kwa kila siku.

58.Kuongea na wewe  kila siku unanifanya nikufahamu zaidi na zaidi.

59.Moyo wangu nakupa,nipe moyo wako ili tuifungie kwa pamoja, na tutupe ufunguo mbali.

60.Nakuhitaji muda wote, siku , mwaka na hata milele.

VITU VIZURI 60 VYA KUMWAMBIA MSICHANA UMPENDAE:  Ninamaanisha kuwa maneno matamu.Wakati kijana uko kwenye process ya kutafuta na kujaribu kuuteka moyo wa msichana, unatakiwa kujifunza  kutumia maneno matamu.Na lazima ujue kuwa sio kila neno  unalotumia litagusa moyo wa mwanamke unayemtaka,Lakini maneno matamu yanafanya kazi ya kushangaza . Wakati vijana wengine wanalalamika kuwa ni vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi kwa sababu hawatumii maneno sahihi. watu wengi pia  huwa hawana maneno ya kusema na wengine hawajui kabisaaa hata jinsi ya kuanza. sasa hebu tujifunze haya maneno ya kumwambia msichana unaempenda na unahitaji awe wako  milele. 1.Macho yako ni mazuri , yananifanya nipotelee kwako kila nikiyatizama. 2,Unanifanya niwe mwanaume bora , kwa hio nastahili  mapenzi yako. 3.Tumbo langu hutetemeka unapoleta mikono yako usoni pangu. 4.Wewe ni mzuri na ni mrembo  naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua. 5.Unapotabasamu huzuni  kwangu hupotea , ghafla nakuwa mtu wa furaha. 6.Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani , lakini  umenichagua mimi. 7.Hapana.wewe sio mnene uko poa na ndivyo nipendavyo. 8.Ninapokushika nashisi kulegea kwenye magoti. 9.Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako,ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu. ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu. 10.Siamini , maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi. 11.kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda , natamani niwe na wewe milele. yaani wasife. 12.Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja. 13.Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nini nakupenda,nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia. 14.Kukutana nawe  ni kitu ambacho hakijawahi kutokea. 15.Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia , hapo hupotea kabisaaa. 16.Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi. 17.Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama  haitatosha  kukupenda. 18.Napata furaha nikiwa na wewe. 19. Napenda kutumia muda na wewe. 20.Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa. 21.Natamani maishsa yangu yote nikuone ukiwa na furaha.                                        22.Usibadilike nakupenda jinsi ulivyo. 23.Nikiwa na wewe nafurahi kama mtoto. 24.Napenda nywele zako. 25.Napenda nikukumbatie ninapokuaga. 26.Natamani kukubusu kila sehemu ya mwili wako. 27.Naanza siku na wewe ndani ya mawazo yangu, na ninamaliza  siku na wewe kwenye ndoto zangu. 28. ukiwa na mimi huwa natamani kusimamisha muda, maana muda unakwenda haraka. 29.Nikisikia sauti yako asubuhi , siku nzima ni mtu wa furaha. 30.Tabasamu lako zuri linanifanya niyeyuke. 31.Unaponiaga napata shida kukuruhusu uende. 32. Umenielewa vizuri, ni kama unasoma mawazo yangu. 33.Mungu alikupendelea kukuumba, akili na kila ulichonacho. 34.Najivunia kuwa na wewe na ninafurahia. 35.Napenda unavyosema unanipenda. 36.Mapenzi yetu ni kama mawimbi ya bahari,  wakati mwingi hutulia, na wakati mwingine huvuma,lakini yanarudi palepale. 37.mapenzi yetu yawe kama ua rose ambalo halina miiba. 38.Najua kwa nini watu wanatutazama , ni kwa sababu wewe ni mzuri kuliko mwezi. 39.Muda utakuwa hauna thamani endapo  sitatumia na wewe. 40.kama siku yangu ingeanza na busu lako, nisingehitaji kahawa. 41.Kama ningeambiwa nielezee rangi, basi ningeenda kwenye rangi za rainbow, kwa sababu wewe ni mzuri.ni wa muujiza. 42.Mimi bila wewe  ni  mbaya, lakini ni mzuri nikiwa na wewe. 43.Tukishikana mikono na mioyo yetu inashikana,na nafsi zetu zinapatana . 44.Siku ya kwanza tulipokutana, nilijua ipo siku tutakutana tena, na nafurahi imetokea. 45.Nafurahi tumekua pamoja, sina cha kukosa hata kidogo. 46.Moyo wangu unapumua kama ndege, kila unapotabasamu. 47.Kila ninapokuwa nimeshuka moyo, nikikusikia wewe moyo wangu unapata nguvu. 48.Shika mikono yangu nami nitashika moyo wako, tunza kwa maisha yote. 49.Maisha yote , milele yote,isio na mwisho, toka nimekutana na wewe maneno yote yana maana. 50.Siku naona kama mwaka, na  siku inapita kama sekunde. 51.Natamani ningekuwa  kama pweza mwenye mikono mingi ili nikukumbatie na mikono myote. 52.Siamini katika nafsi mpya, lakini baada ya kukutana na wewe nimeamini, natamani  kama ningeweza kurudi nyuma na kutengeneza kitu. 53.Sitaweza kukutoa kwenye mawazo yangu , kwa maana nakuhitaji uwepo. 54.Kuna wakati nahisi upweke, kwa wakati huo, basi huamua kukupigia simu  na kusikia sauti yako. 55.Ninapokutizama namuona mungu jinsi alivyokuumba na kukubariki. 56.Unanifanya niwe wa muhimu . 57.Ni siri ambayo inanifanya nikutazame  zaidi kwa kila siku. 58.Kuongea na wewe  kila siku unanifanya nikufahamu zaidi na zaidi. 59.Moyo wangu nakupa,nipe moyo wako ili tuifungie kwa pamoja, na tutupe ufunguo mbali. 60.Nakuhitaji muda wote, siku , mwaka na hata milele.

...
NIFANYE NINI ILI MUME WANGU AWE NA HAMU NAMI?






Mume wangu anasema ananipenda sana, nami nampenda sana. Tuna watoto wawili wa kiume. Nimejaribu kila kitu cha kumfurahisha, kama vile kuvaa vizuri, kuandaa chakula kizuri akipendacho na kinywaji lakini Lakini mwenzangu haonekani kuridhishwa na jitihada zangu.
Baada ya chakula cha usiku huwa tunakaa na kuangalia Luninga huku tukiwa na vinywaji. Lakini cha ajabu nikimsogelea na kutaka niwe karibu naye ananiepuka. Yaani HATAKI hata nimguse ni kama NINANUKA au ninamsumbua vile.
Je, tatizo ni nini hasa, Je nanuka? Najiuliza na jibu sipati….Alimalizia kusema huyu mama huko chozi likimdondoka…......
Naam mara nyingi hivyo ndivyo inavyokuwa kwa sisi wanawake pale tukutanapo, si jambo geni sana kwa sisi wanawake kushirikiana kihisia. Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mwanamke akimsimulia shoga yake anayemuamini juu ya madhila yake. Yote hiyo ni katika kutafuta nafuu na kuondokana na msongo wa mawazo.
Mara nyingi simulizi nyingi zinazowakutanisha wanawake ni zile zinazohusiana na mambo ya Ndoa, mahusiano, watoto au mambo ya kifamilia kwa ujumla, mara nyingi tunatamani kupata mahali pa kulinganishia, ili kutaka kujua kama tatizo nililo nalo lina ukubwa kiasi gani.
Ni hivi majuzi nikiwa kazini na mfanyakazi mwenzangu ndipo aliponieleza kile kinachomsibu kwa muda mrefu sasa, inavyoonekana, ni jambo ambalo alikaa nalo muda mrefu akijaribu kupambana nalo kimya kimya huku likiendelea kumtafuna, dada huyu wa Kiswidish.
Ili kujiridhisha na kutaka kujua ukweli halisi nikamuuliza kama amemuuliza mume wake jambo hili akajibu amefanya hivyo na jawabu alilolipata ni kwamba, mume wake huwa anachoka. Yaani kazi zake ni nyingi pia malezi ya watoto yanamchosha. Nikamuuliza kama hawawezi wakati wa wikiendi watoke ili kuwa peke yao? Hapo nikapata jibu ambalo sikutegemea. Alidai kwamba akisema hivyo mume wake anaona kama yeye anaamua nini wafanye.
Huyu mama akaendelea kusema, mimi ni binadamu Yasinta.,,,,,,,,,, Na nahitaji tendo la ndoa na sitaki kutoka nje kwani nampenda sana mume wangu. Nami sikuachia hapo kama mnavyonifahamu na u-Kapulya wangu nikamuuliza kama tatizo hilo lina muda gani au limeanza siku za karibuni?
Mama yule akashusha pumzi, akaniangalia kwa jicho la huzuni, kisha akajibu kuwa inatokea wanafanya tendo la ndoa mara moja kwa mwezi na hapo ni ile ya haraka haraka na halafu baada ya hapo mume wake anampa mgongo na kulala .
Hapo….akasita kidogo …nikamuuliza ulitaka kusema nini? Akaendelea unajua Yasinta mwanamke anahitaji kuandaliwa kwanza, mimi huwa siandaliwi kabisa........ Mweh! Nikaona makubwa haya ......nilikosa Jawabu la kumpa kwa kweli, nikabaki kuguna tu.
Hata hivyo nilijaribu kumshauri aende kwa washauri nasaha wa masuala ya Ndoa na mahusiano, lakini akadai kuwa mumewe ni mkaidi na hawezi kukubali.
Mwenzenu swala hili limenishinda maana sijui nimsaidieje! Je Wewe kama msomaji unaweza kunisaidia ni ushauri gani nimpe mama huyu, ili awe na furaha katika Maisha ya ndoa yake?
Ushauri tafadhali...........

NIFANYE NINI ILI MUME WANGU AWE NA HAMU NAMI?  Mume wangu anasema ananipenda sana, nami nampenda sana. Tuna watoto wawili wa kiume. Nimejaribu kila kitu cha kumfurahisha, kama vile kuvaa vizuri, kuandaa chakula kizuri akipendacho na kinywaji lakini Lakini mwenzangu haonekani kuridhishwa na jitihada zangu. Baada ya chakula cha usiku huwa tunakaa na kuangalia Luninga huku tukiwa na vinywaji. Lakini cha ajabu nikimsogelea na kutaka niwe karibu naye ananiepuka. Yaani HATAKI hata nimguse ni kama NINANUKA au ninamsumbua vile. Je, tatizo ni nini hasa, Je nanuka? Najiuliza na jibu sipati….Alimalizia kusema huyu mama huko chozi likimdondoka…...... Naam mara nyingi hivyo ndivyo inavyokuwa kwa sisi wanawake pale tukutanapo, si jambo geni sana kwa sisi wanawake kushirikiana kihisia. Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mwanamke akimsimulia shoga yake anayemuamini juu ya madhila yake. Yote hiyo ni katika kutafuta nafuu na kuondokana na msongo wa mawazo. Mara nyingi simulizi nyingi zinazowakutanisha wanawake ni zile zinazohusiana na mambo ya Ndoa, mahusiano, watoto au mambo ya kifamilia kwa ujumla, mara nyingi tunatamani kupata mahali pa kulinganishia, ili kutaka kujua kama tatizo nililo nalo lina ukubwa kiasi gani. Ni hivi majuzi nikiwa kazini na mfanyakazi mwenzangu ndipo aliponieleza kile kinachomsibu kwa muda mrefu sasa, inavyoonekana, ni jambo ambalo alikaa nalo muda mrefu akijaribu kupambana nalo kimya kimya huku likiendelea kumtafuna, dada huyu wa Kiswidish. Ili kujiridhisha na kutaka kujua ukweli halisi nikamuuliza kama amemuuliza mume wake jambo hili akajibu amefanya hivyo na jawabu alilolipata ni kwamba, mume wake huwa anachoka. Yaani kazi zake ni nyingi pia malezi ya watoto yanamchosha. Nikamuuliza kama hawawezi wakati wa wikiendi watoke ili kuwa peke yao? Hapo nikapata jibu ambalo sikutegemea. Alidai kwamba akisema hivyo mume wake anaona kama yeye anaamua nini wafanye. Huyu mama akaendelea kusema, mimi ni binadamu Yasinta.,,,,,,,,,, Na nahitaji tendo la ndoa na sitaki kutoka nje kwani nampenda sana mume wangu. Nami sikuachia hapo kama mnavyonifahamu na u-Kapulya wangu nikamuuliza kama tatizo hilo lina muda gani au limeanza siku za karibuni? Mama yule akashusha pumzi, akaniangalia kwa jicho la huzuni, kisha akajibu kuwa inatokea wanafanya tendo la ndoa mara moja kwa mwezi na hapo ni ile ya haraka haraka na halafu baada ya hapo mume wake anampa mgongo na kulala . Hapo….akasita kidogo …nikamuuliza ulitaka kusema nini? Akaendelea unajua Yasinta mwanamke anahitaji kuandaliwa kwanza, mimi huwa siandaliwi kabisa........ Mweh! Nikaona makubwa haya ......nilikosa Jawabu la kumpa kwa kweli, nikabaki kuguna tu. Hata hivyo nilijaribu kumshauri aende kwa washauri nasaha wa masuala ya Ndoa na mahusiano, lakini akadai kuwa mumewe ni mkaidi na hawezi kukubali. Mwenzenu swala hili limenishinda maana sijui nimsaidieje! Je Wewe kama msomaji unaweza kunisaidia ni ushauri gani nimpe mama huyu, ili awe na furaha katika Maisha ya ndoa yake? Ushauri tafadhali...........

...
UNAJUA KUMPAGAWISHA MPENZI WAKO????






Kama inavyoeleweka, mapenzi ni sehemu muhimu ya afya ya binadamu. So, katika peruzi zangu, nikakutana na hili somo la "Tantric Sex."

Kama inavyoelewaka, mapenzi ni sehemu muhimu ya afya ya binadamu.

So, katika peruzi zangu, nikakutana na hili somo la “Tantric Sex.” As if hii duinia, especially hii century haiko overloaded na information kuhusu mambo ya mapenzi, jinsi ya kufanya mapenzi and whats hot in the bedroom, whats in and whats not.

So, lately nimeona a lot of tzmoms readers wamekuwa wakitembelea sana na kusoma page ya “mapenzi baada ya ujauzito” na “kufanyamapenzi wakati wa ujauzito.” And I thought well, writing about Tantric Sex will be nyongeza kwa kila mmoja, aliye mama na mbaye bado damu inachemka katika mambo ya mapenzi.


Anyhu, kama “SEX/MAPENZI” yangekuwa yanaweza kuyu-nite the world/countries/makabila/people I think hii fani ingeshinda.

Well, so kama umeshawahi kujifungua ama kama wewe ni mama, you definitely understand ni jinsi gani ni vigumu kuwa upbeat kuhusu mapenzi ama kumfurahisha mumeo/mpenzio everyday. Well, once in a while maybe but not everyday. Ila kama we ni mdada/binti ambaye hujazaa bado well, damu yako bado inachemka so energy bado ipo nyingi ya kukurupushana na mpenzio.

Having said that, si maanishi mtu ukishazaa ndo fani ya kuenjoy mapenzi imekwisha but nguvu zinapungua for sure however, kuna vitu vingi tuu ambavyo vinaweza kusaidia kuleta nguvu ya kutaka kukurupushana chumbani lol.

Kukosa nguvu/energy to wanna work it all the time its not because mwanamke ni mvivu but hutokana na kuwa na mambo mengi sana ya kutend nyumbani i.e. kuhakikisha watoto wako taken care of, labda kazini pia unahitajika, etc una kuta hupati muda wa kujifurahisha mwenyewe ama na mpenzi wako.

Therefore, mara nyingi before you know mupenzi anaanza kulalamika or hata mwanamke mwenyewe unaweza kufeel like you are not doing enough so mambo ndo hivyo yanaanza kwenda south chumbani.

Hivyo basi, lets dig in tuone Tantric Sex inatoa msaada wa aina gani ili kurevamp mapenzi. Kwanza kabisa, FYI tantric sex can be weird at the beginning ila nitajitahidi kutoingia so indepth ili kusave miyoyo ya watu wengine. Kwamaana hii ni soft porn “according to me.” Lol. so usishtuke ama kushangaa sana. Well, anythign “sex” can be unconfortable anyways. Okay, so, kwanza kabisa, with Tantric Sex, mtu na mpenziwe wanatakiwa kuwa;

SPIRITUALLY CONNECTED (usishtuke sio kidini lol).. Hii inamaainisha kwamba wewe na patner wako kwa pamoja mnajua mnataka nini emotionally and physically. Kwa kufanya hivi inasaidia kuwafanya kwa pamoja kuwa “FREE” na kuondoa wasiwasi wa labda mwenzangu atanijudge kwamba labda mimi ni malaya ama fuska etc. In other words hii process inaitwa “Dropping the Veil, between “Self” and “Other/patner.”

THE ENVIRONMENT/mazingira. Wakati mnapractice tantric sex of course, just like when you are in the bedroom unaweza ukavaa lingerie/kuo za ndani zinazovutia or “kuwa kama mlivyotoka tumboni mwa mama zenu” (you know what i mean).

Tatu, wapenzi wanaanza kupapasana lol, but in a way kwamba you are feeling the energy of the other person. Na hii energy unaweza kuifeel kwasababu mko free hamna anayemjudge mwingine/there are no worries. You are just in your own created world.

Nne, wakati wa kufeel energy ya mwingine lazima wapenzi wawe wana pumua heavely yaani just feeling every move made but the other person mpaka mnapofikia mahali were you are breathing so hard and you are feeling each other.

then you start kissing the lips, and then deeper for minutes even hours.

Then mengineyo yanaweza kuendelea.

So, all this time kumbuka its not about going straight into sex with your partner rather its about getting high by touching and feeling connected with each other. hivyo basi, once in a while take that time and revamp your intimacy, dress good, feel sexy and heey have fun!!.

By 🅱

UNAJUA KUMPAGAWISHA MPENZI WAKO????  Kama inavyoeleweka, mapenzi ni sehemu muhimu ya afya ya binadamu. So, katika peruzi zangu, nikakutana na hili somo la "Tantric Sex." Kama inavyoelewaka, mapenzi ni sehemu muhimu ya afya ya binadamu. So, katika peruzi zangu, nikakutana na hili somo la “Tantric Sex.” As if hii duinia, especially hii century haiko overloaded na information kuhusu mambo ya mapenzi, jinsi ya kufanya mapenzi and whats hot in the bedroom, whats in and whats not. So, lately nimeona a lot of tzmoms readers wamekuwa wakitembelea sana na kusoma page ya “mapenzi baada ya ujauzito” na “kufanyamapenzi wakati wa ujauzito.” And I thought well, writing about Tantric Sex will be nyongeza kwa kila mmoja, aliye mama na mbaye bado damu inachemka katika mambo ya mapenzi. Anyhu, kama “SEX/MAPENZI” yangekuwa yanaweza kuyu-nite the world/countries/makabila/people I think hii fani ingeshinda. Well, so kama umeshawahi kujifungua ama kama wewe ni mama, you definitely understand ni jinsi gani ni vigumu kuwa upbeat kuhusu mapenzi ama kumfurahisha mumeo/mpenzio everyday. Well, once in a while maybe but not everyday. Ila kama we ni mdada/binti ambaye hujazaa bado well, damu yako bado inachemka so energy bado ipo nyingi ya kukurupushana na mpenzio. Having said that, si maanishi mtu ukishazaa ndo fani ya kuenjoy mapenzi imekwisha but nguvu zinapungua for sure however, kuna vitu vingi tuu ambavyo vinaweza kusaidia kuleta nguvu ya kutaka kukurupushana chumbani lol. Kukosa nguvu/energy to wanna work it all the time its not because mwanamke ni mvivu but hutokana na kuwa na mambo mengi sana ya kutend nyumbani i.e. kuhakikisha watoto wako taken care of, labda kazini pia unahitajika, etc una kuta hupati muda wa kujifurahisha mwenyewe ama na mpenzi wako. Therefore, mara nyingi before you know mupenzi anaanza kulalamika or hata mwanamke mwenyewe unaweza kufeel like you are not doing enough so mambo ndo hivyo yanaanza kwenda south chumbani. Hivyo basi, lets dig in tuone Tantric Sex inatoa msaada wa aina gani ili kurevamp mapenzi. Kwanza kabisa, FYI tantric sex can be weird at the beginning ila nitajitahidi kutoingia so indepth ili kusave miyoyo ya watu wengine. Kwamaana hii ni soft porn “according to me.” Lol. so usishtuke ama kushangaa sana. Well, anythign “sex” can be unconfortable anyways. Okay, so, kwanza kabisa, with Tantric Sex, mtu na mpenziwe wanatakiwa kuwa; SPIRITUALLY CONNECTED (usishtuke sio kidini lol).. Hii inamaainisha kwamba wewe na patner wako kwa pamoja mnajua mnataka nini emotionally and physically. Kwa kufanya hivi inasaidia kuwafanya kwa pamoja kuwa “FREE” na kuondoa wasiwasi wa labda mwenzangu atanijudge kwamba labda mimi ni malaya ama fuska etc. In other words hii process inaitwa “Dropping the Veil, between “Self” and “Other/patner.” THE ENVIRONMENT/mazingira. Wakati mnapractice tantric sex of course, just like when you are in the bedroom unaweza ukavaa lingerie/kuo za ndani zinazovutia or “kuwa kama mlivyotoka tumboni mwa mama zenu” (you know what i mean). Tatu, wapenzi wanaanza kupapasana lol, but in a way kwamba you are feeling the energy of the other person. Na hii energy unaweza kuifeel kwasababu mko free hamna anayemjudge mwingine/there are no worries. You are just in your own created world. Nne, wakati wa kufeel energy ya mwingine lazima wapenzi wawe wana pumua heavely yaani just feeling every move made but the other person mpaka mnapofikia mahali were you are breathing so hard and you are feeling each other. then you start kissing the lips, and then deeper for minutes even hours. Then mengineyo yanaweza kuendelea. So, all this time kumbuka its not about going straight into sex with your partner rather its about getting high by touching and feeling connected with each other. hivyo basi, once in a while take that time and revamp your intimacy, dress good, feel sexy and heey have fun!!. By 🅱

...
STORY YA KUSIKITISHA
3 weeks ago

Mwanzoni sikumpenda kutoka moyoni, nilimpenda kwa kuwa tu alikuwa mrembo haswa..kwa kifupi nilimtamani tu….yaani nilitegemea akinivulia nguo zake tukashiriki tendo hamu yangu itaisha na nitaachana naye. Ndio ningeachana naye kwa sababusikuona umuhimu wa kudumu na msichana ambaye sijui hata kama nitamuoa. Nilipomwambia tutaoana hakika nilidanganya Alinipenda sana, kadri siku zilivyokwenda alizidisha upendo wake kwangu. Hakuna nilichohitaji kwake akaninyima, aliwahi kumdanganya baba yake kuwa anaumwa akatumiwa pesa ilimradi anipatie mimi nilipomwambia kuwa kuna mtu ananidai na abananisumbua kwelikweli. Alisikitika kusikia vile, akaahidi kunipigania. Haikuwa kweli nilichomwambia juu ya kudaiwa, pesa ile aliyonipa niliitumia kulipia chumba nikafanya uzinzi na Fatuma. Alihadithiwa habari hiyo na marafiki walioniona nikiingia kule, akalia kwa uchungu mbele yangu, lakini neno lake la mwisho likabaki kuwa ‘NAKUPENDA SANA…..WEWE NI MWANAUME WA MAISHA YANGU’……..Nilij isikia vibaya lakini nafsi nyingine ikanikumbusha kuwa nilikuwa katika mahusiano na msichana yule kwa sababu moja tu…NGONO… na katu hakutaka kushiriki ngono na mimi. Alinikwepa sana hadi nikajisikia vibaya. Nikahisi huenda ana mtu mwingine. Hakika nilidhani kuwa anajihusisha na mtu mwingine ambaye hushiriki naye tendo hilo la ngono ambalo kwangu mimi kilikuwa kitu pekee ambacho kingeweza kuniaminisha kuwa ananipenda kweli. Msichana mrembo kama huyo kamwe asingeweza kuishi bila kufanya mapenzi. Hakika haikuniingia akilini. Wangapi wenye ,ali zao wanamtongoza, yeye ni nani hadi asiingie majaribuni?? Hapana ni uongo mtupu ananiongopea mimi. Nikaendelea na vimbwanga vya hapa na pale. Hakuchoka kunibembeleza, hakuchoka kunipenda na hakuchoka kunikumbusha kuwa ni mimi pekee nilikuwa katika moyo wake wa nyama. “Nikipotea jumla nd’o utajua kuwa nilikuwa nakupenda..” aliwahi kunambia neno hilo. Japo lilinigusa lakini sikulitilia maanani. Hatimaye tukamaliza shule, nikategemea kuwa ule muda wa kumfaidi msichana yule kingono ulikuwa umewadia. Lakini haikuwa hivyo, akaendelea kuwa mgumu huku akijitetea kwa sababu zisizokuwa na kichwa wala miguu. Mwanzoni nilidhani kuwa aliogopa kufanya mapenzi kabla hajamaliza shule, lakini ajabu hadi tulipomaliza bado alisimamia msimamo. Sasa nikajikuta katika pepo mbaya, nikaanza kumwonyesha hadharani kuwa nina wanawake wengine. Japo chozi lake liliniumiza sana lakini sikujali. Kwa nini ananinyima penzi binti huyu? Nilijiuliza. Hatimaye nikafikia uamuzi wa kuachana naye. Lakini siwezi kuachana naye bila kumjua ladha yake. Nilijiapia kuwa jambo hilo haliwezekani hata kidogo, mimi kama mwanaume kamili atanitangazaje kwa marafiki zke, kuwa sijawahi kulala naye tukafanya tendo??? Aibu kubwa!!! Nikampangia shambulizi moja la mwisho na kama ni ubaya uwe ubaya tu. Ilimradi nilishapanga kuachana naye….haitanidh uru lakini lazima nifanye naye tendo Nilimuita nyumbani kwangu, ilikuwa mida ya jioni. Alipofika nilimlaghai hapa na pale nikamgusa matiti yake madogo yaliyosimama wima yakijitahidi kunidhihaki. Na yalifanikiwa hasa hasa kunikebehi. Nikamgusa huku na kule..nilipotak a kumvua nguo akanizuia. Nilikuwa nimekunywa pombe kiasi hivyo sikuwa na aibu, nikaamua kutumia nguvu, niliamua KUMBAKA…..nikai chana sidiria yake, kisha nikaiondoa chupi yake sasa akabaki yu uchi wa mnyama. Alihaha huku na kule asiamini kile kinachotokea mbele yake. Nikamrukia ili niweze kutimiza lengo… Kamwe sikuwahi kumwona binti huyu akiwa katika uoga namna ile…alikuwa amekodoa macho yake….na alikuwa anatetemeka… Akataka kukimbia uchi, nikamdaka mkono nikamvutia pale nilipokuwa. Sikuwa nahuruma hata kidogo, nilichotaka ni itu kimoja tu..NGONO KISHA AKINICHUKIA NA ACHUKIE. Mara akatokwa na kelele kubwa sana zilizonishtua sana. Amakweli sikuzitegemea. Sikudhani kama amnaweza kufanya tendo lile “ANANIBAKAAAAA, NISAIDIEENI ANANIBAAAKA…..” ilikuwa kelele kubwa haswa, na alifanya kwa kurudia rudia Kelele zikawafikia wasamalia wema, binti akaendelea kupiga kelele. Hatimaye mlango ukavunjwa, wasamaria wakanivagaa n

STORY YA KUSIKITISHA 3 weeks ago Mwanzoni sikumpenda kutoka moyoni, nilimpenda kwa kuwa tu alikuwa mrembo haswa..kwa kifupi nilimtamani tu….yaani nilitegemea akinivulia nguo zake tukashiriki tendo hamu yangu itaisha na nitaachana naye. Ndio ningeachana naye kwa sababusikuona umuhimu wa kudumu na msichana ambaye sijui hata kama nitamuoa. Nilipomwambia tutaoana hakika nilidanganya Alinipenda sana, kadri siku zilivyokwenda alizidisha upendo wake kwangu. Hakuna nilichohitaji kwake akaninyima, aliwahi kumdanganya baba yake kuwa anaumwa akatumiwa pesa ilimradi anipatie mimi nilipomwambia kuwa kuna mtu ananidai na abananisumbua kwelikweli. Alisikitika kusikia vile, akaahidi kunipigania. Haikuwa kweli nilichomwambia juu ya kudaiwa, pesa ile aliyonipa niliitumia kulipia chumba nikafanya uzinzi na Fatuma. Alihadithiwa habari hiyo na marafiki walioniona nikiingia kule, akalia kwa uchungu mbele yangu, lakini neno lake la mwisho likabaki kuwa ‘NAKUPENDA SANA…..WEWE NI MWANAUME WA MAISHA YANGU’……..Nilij isikia vibaya lakini nafsi nyingine ikanikumbusha kuwa nilikuwa katika mahusiano na msichana yule kwa sababu moja tu…NGONO… na katu hakutaka kushiriki ngono na mimi. Alinikwepa sana hadi nikajisikia vibaya. Nikahisi huenda ana mtu mwingine. Hakika nilidhani kuwa anajihusisha na mtu mwingine ambaye hushiriki naye tendo hilo la ngono ambalo kwangu mimi kilikuwa kitu pekee ambacho kingeweza kuniaminisha kuwa ananipenda kweli. Msichana mrembo kama huyo kamwe asingeweza kuishi bila kufanya mapenzi. Hakika haikuniingia akilini. Wangapi wenye ,ali zao wanamtongoza, yeye ni nani hadi asiingie majaribuni?? Hapana ni uongo mtupu ananiongopea mimi. Nikaendelea na vimbwanga vya hapa na pale. Hakuchoka kunibembeleza, hakuchoka kunipenda na hakuchoka kunikumbusha kuwa ni mimi pekee nilikuwa katika moyo wake wa nyama. “Nikipotea jumla nd’o utajua kuwa nilikuwa nakupenda..” aliwahi kunambia neno hilo. Japo lilinigusa lakini sikulitilia maanani. Hatimaye tukamaliza shule, nikategemea kuwa ule muda wa kumfaidi msichana yule kingono ulikuwa umewadia. Lakini haikuwa hivyo, akaendelea kuwa mgumu huku akijitetea kwa sababu zisizokuwa na kichwa wala miguu. Mwanzoni nilidhani kuwa aliogopa kufanya mapenzi kabla hajamaliza shule, lakini ajabu hadi tulipomaliza bado alisimamia msimamo. Sasa nikajikuta katika pepo mbaya, nikaanza kumwonyesha hadharani kuwa nina wanawake wengine. Japo chozi lake liliniumiza sana lakini sikujali. Kwa nini ananinyima penzi binti huyu? Nilijiuliza. Hatimaye nikafikia uamuzi wa kuachana naye. Lakini siwezi kuachana naye bila kumjua ladha yake. Nilijiapia kuwa jambo hilo haliwezekani hata kidogo, mimi kama mwanaume kamili atanitangazaje kwa marafiki zke, kuwa sijawahi kulala naye tukafanya tendo??? Aibu kubwa!!! Nikampangia shambulizi moja la mwisho na kama ni ubaya uwe ubaya tu. Ilimradi nilishapanga kuachana naye….haitanidh uru lakini lazima nifanye naye tendo Nilimuita nyumbani kwangu, ilikuwa mida ya jioni. Alipofika nilimlaghai hapa na pale nikamgusa matiti yake madogo yaliyosimama wima yakijitahidi kunidhihaki. Na yalifanikiwa hasa hasa kunikebehi. Nikamgusa huku na kule..nilipotak a kumvua nguo akanizuia. Nilikuwa nimekunywa pombe kiasi hivyo sikuwa na aibu, nikaamua kutumia nguvu, niliamua KUMBAKA…..nikai chana sidiria yake, kisha nikaiondoa chupi yake sasa akabaki yu uchi wa mnyama. Alihaha huku na kule asiamini kile kinachotokea mbele yake. Nikamrukia ili niweze kutimiza lengo… Kamwe sikuwahi kumwona binti huyu akiwa katika uoga namna ile…alikuwa amekodoa macho yake….na alikuwa anatetemeka… Akataka kukimbia uchi, nikamdaka mkono nikamvutia pale nilipokuwa. Sikuwa nahuruma hata kidogo, nilichotaka ni itu kimoja tu..NGONO KISHA AKINICHUKIA NA ACHUKIE. Mara akatokwa na kelele kubwa sana zilizonishtua sana. Amakweli sikuzitegemea. Sikudhani kama amnaweza kufanya tendo lile “ANANIBAKAAAAA, NISAIDIEENI ANANIBAAAKA…..” ilikuwa kelele kubwa haswa, na alifanya kwa kurudia rudia Kelele zikawafikia wasamalia wema, binti akaendelea kupiga kelele. Hatimaye mlango ukavunjwa, wasamaria wakanivagaa n

...
Mimba kuharibika na Sababu zake







Tatizo la kuharibika kwa mimba limekuwa tatizo kubwa, na limekuwa likiwatesa wengi, kama we ni mongoni mwa watu hao nakusihi usome makala haya ili kuepukana na matatizo haya. Somo hili ni mahususi kwa sababu waawake wengi wamekuwa wakaiharibikiwa na mimba bila kujua sababu.

Na zifuatazo ndizo sababu za kuharibika kwa mimba.

1.Mama anapokuwa na matatizo  uvimbe (fibroid),  huweza kuwa na madhara na kusababisha mimba kuharibika mara kwa mara.

2. Uzito mkubwa (unene)
Nayo huweza kuchangia tatizo hilo kinachohitajika ni kuwa na uzito unastahili kulingana na mhusika mwenyewe. Pia inasadikika kuwa uwepo wa manyama uzembe tumboni ni chanzo pia kwa kuharibika kwa mimba kwani, mtoto hukaa kwa shinda.

3. Historia ya kuharibika mimba mara kwa mara
Mama aliepata kukumbwa na hali hii ya kuharibika kwa mimba 'miscarriage' zaidi ya mara 2 anauwezo mkubwa wa kuharibika kwa mimba yake kila anaposhika.

4. Utoaji mimba
Mwanamke anapotoa mimba mara kwa mara kizazi huweza kuchangia kizazi chake kushindwa kuhimili kubeba mimba zinazokuja mbeleni kwa miezi tisa, hivyo epuka kutoa mimba.

5. Matumizi ya Pombe,Sigara
Wanawake wanaotumia vilevi hivyo nao huwa katika hatari ya k?kumbwa na tatizo hili, hivyo ni vyema kuepuka matumizi ya vitu hivyo.

6. Magonjwa sugu
Mama anapokuwa anazongwa na magonjwa sugu kama kisukari , moyo nk huweza kuwa chanzo cha tatizo hili pia.

Mimba kuharibika na Sababu zake  Tatizo la kuharibika kwa mimba limekuwa tatizo kubwa, na limekuwa likiwatesa wengi, kama we ni mongoni mwa watu hao nakusihi usome makala haya ili kuepukana na matatizo haya. Somo hili ni mahususi kwa sababu waawake wengi wamekuwa wakaiharibikiwa na mimba bila kujua sababu. Na zifuatazo ndizo sababu za kuharibika kwa mimba. 1.Mama anapokuwa na matatizo  uvimbe (fibroid),  huweza kuwa na madhara na kusababisha mimba kuharibika mara kwa mara. 2. Uzito mkubwa (unene) Nayo huweza kuchangia tatizo hilo kinachohitajika ni kuwa na uzito unastahili kulingana na mhusika mwenyewe. Pia inasadikika kuwa uwepo wa manyama uzembe tumboni ni chanzo pia kwa kuharibika kwa mimba kwani, mtoto hukaa kwa shinda. 3. Historia ya kuharibika mimba mara kwa mara Mama aliepata kukumbwa na hali hii ya kuharibika kwa mimba 'miscarriage' zaidi ya mara 2 anauwezo mkubwa wa kuharibika kwa mimba yake kila anaposhika. 4. Utoaji mimba Mwanamke anapotoa mimba mara kwa mara kizazi huweza kuchangia kizazi chake kushindwa kuhimili kubeba mimba zinazokuja mbeleni kwa miezi tisa, hivyo epuka kutoa mimba. 5. Matumizi ya Pombe,Sigara Wanawake wanaotumia vilevi hivyo nao huwa katika hatari ya k?kumbwa na tatizo hili, hivyo ni vyema kuepuka matumizi ya vitu hivyo. 6. Magonjwa sugu Mama anapokuwa anazongwa na magonjwa sugu kama kisukari , moyo nk huweza kuwa chanzo cha tatizo hili pia.

...
Tatizo la Ugumba kwa wanawake






Ugumba ni hali ya mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Linaweza kuwa tatizo pia kwa mwanaume lakini katika makala hii tutaona nini kinasababisha tatizo hili kwa upande wa wanawake.

Nini husababisha ugumba kwa wanawake?

Mayai kutokomaa ipasavyo:
Tatizo la mayai kutokukomaa vema ndilo chanzo na sababu kuu ya wanawake wengi kushindwa kushika ujauzito na hii inachukua karibu asilimia 30 ya wanawake wote wagumba. Habari njema ni kuwa tatizo hili linaweza kurekebishwa kirahisi ikiwa mwili utapewa vile viinilishe mhimu vinavyokosekana hadi kupelekea mayai kutokomaa vizuri.

Vinavyosababisha mayai ya mwanamke kutokomaa vema:

(1) Matatizo ya kihomoni
Matatizo katika homoni ndicho chanzo kikuu cha mayai kutunga bila kukomaa vizuri. Hatua za ukomaaji wa mayai zinategemea uwiano mzuri wa homoni na namna zinavyotegemeana katika kufanya kazi. Jambo lolote linalovuruga homoni kubaki katika uwiano wake sawa na wa kutegemeana na wenye kufanya kazi ipasavyo linaweza kupelekea utungaji wa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Kuna sababu kuu mbili zinazosababisha matatizo katika homoni:

Ufanyaji kazi usioridhisha wa hypothalamus
Hypothalamus ni sehemu ya mbele ya ubongo ambayo ina jukumu la kutuma ishara (signals) kwenda katika tezi ya pituitari ambayo yenyewe tena hutuma uchochezi wa kihomoni kwenda kwenye ovari katika mfumo wa F.S.H na L.H ili kuanzisha ukomaaji wa mayai. Ikiwa hypothalamus inashindwa kufanya kazi zake vizuri kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa ndiyo kutakuwa ni matokeo yake. Tatizo hili linachukuwa asilimia 20 katika kesi za mayai kushindwa kukomaa kiasi kinachohitajika.

Ufanyaji kazi usioridhisha wa tezi ya pituitari
Kazi kubwa ya tezi ya pituitari ni kuzarisha na kutoa homoni mbili maalumu kwa ajili ya mfumo wa uzarishaji kufanya kazi zake vizuri ambazo zinajulikana kitaalamu kama ‘Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ na ‘Luteinizing hormone (L.H)’.  Mayai yatashindwa kukomaa vizuri ikiwa ama L.H au F.S.H zinatengenezwa chache sana au nyingi sana kuliko inavyohitajika. Hili linaweza kutokea kama sababu ya ajari, uvimbe au kama usawa usio sawa wa kikemikali katika pituitari.

(2) Kovu katika Ovari
Uharibifu au ajari katika ovari unaweza kupelekea kuzalishwa kwa mayai ambayo hayajakomaa. Kwa mfano, upasuaji mkubwa, uvamizi au upasuaji wa mara nyingi wa uvimbe katika ovari unaweza kusababisha kapsuli ya ovari kupata majeraha au makovu na hivyo kwa namna moja ama nyingine kuweza kuzuia utungwaji wa mayai ambayo hayajakomaa vema. Pia maambukizi katika njia ya uzazi yanaweza kupelekea tatizo hili.

(3) Dalili za mwanzo za kukaribia kufunga kuzaa (Menopause)
Hii huchangia kwa asilimia chache na kwa sasa halielezeki kisawasawa. Kwamba wanawake wengi wanapokaribia umri wa kuacha kuzaa kuanzia miaka 40 kwenda juu baadhi yao hutokewa na tatizo la kutunga mayai ambayo hayajakomaa vema. Baadhi ya wanawake wanaacha kupata siku zao mapema kabla ya umri uliozoeleka yaani miaka 40 kwenda juu.

Kwa sababu hiyo inadhaniwa kwamba uwezo wao wa asili katika kuzalisha mayai unakuwa umepunguwa na wengi wao huwa ni wale walikuwa wakijihusisha zaidi na michezo ya kukimbia au wale wenye historia ya muda mrefu ya kuwa na uzito pungufu na wafanyaji sana wa mazoezi. Tatizo hili pia linaweza kuwa ni la kurithi.

(4) Matatizo kwenye kijishimo yai (follicle) katika ovari:
Ingawa kwa sasa bado hili nalo halielezeki, hiki kijishimo yai kwa kitaalamu kinajulikana kama ‘’follicle’’ ndicho hupasuka na yai kutoka. Kuna baadhi ya kina mama wanapata dalili za kijishimo yai kutokupasuka “unruptured follicle syndrome” na matokeo yake kila mwezi mama anazalisha yai kama kawaida lakini hiki kijishimo yai kinashindwa kupasuka. Hivyo yai linabaki ndani ya ovari na utungaji wa mimba unashindwa kufanyika.



Kinachosababisha ufanyaji kazi dhaifu wa mirija ya uzazi (Fallopian Tubes):


Magonjwa katika mirija ya uzazi yanahusika na ugumba kwa karibu ya asilimia 25 ya wanawake wote wagumba. Hali yenyewe inatofautiana toka kwa mmoja hadi kwa mwingine kutoka kugandana au kunatana kidogo hadi kuzibika kabisa kwa mirija. Matibabu ya mirija iliyozibika huhusisha upasuaji au usafishaji wa mwili kwa kula vyakula na vinywaji maalum kwa muda wa majuma kadhaa.

Sababu kubwa zinazopelekea kuzibika au kunatana kwa mirija ya uzazi ni pamoja na zifuatazo:

(A) Maaambukizi
Maambukizi katika njia ya uzazi ambayo yamesababishwa ama na bakteria au virusi na ambayo kwa kawaida ni magonjwa ya kuambukizana kwa njia ya tendo la ndoa, maambukizi haya kwa kawaida husababisha muwasho au kuungua na kupelekea makovu na uharibifu. Magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na mengineyo yanaweza kuwa chanzo cha ugumba kwa wanawake wengi hasa ikiwa hayatatibiwa mapema.

(B) Magonjwa yasiyo ya kawaida
Magonjwa yasiyo ya kawaida ni pamoja na ugonjwa wa kidole tumbo (appendicitis) na uvimbe katika utumbo mpana (colitis), magonjwa ambayo husababisha muwasho au kuungua chini ya uvungu wa utumbo mkubwa na kuiathiri mirija ya falopiani na kama matokeo yake makovu na kuzibika kwa mirija ya uzazi hutokea.

(C) Upasuaji uliopita
Upasuaji una chukua nafasi kubwa katika kusababisha ugumba kutokana na matokeo yake ya kusababisha magonjwa ya mirija ya uzazi na uharibifu utokanao na huo upasuaji. Upasuaji katika utumbo mkubwa unaweza kupelekea kunatana au kugandana kwa mirija ya uzazi kutakakopelekea mayai kushindwa kusafiri kirahisi katika mirija hiyo ya uzazi.

(D) Mimba kutungwa nje ya mji wa uzazi:
Hii ni wakati mimba inapotungwa katikati ya mirija ya uzazi yenyewe. Katika hali kama hii hata kama kutatokea bahati kiasi gani bado kunaweza kusababisha uharibifu katika mirija na hali hii ni moja ya hali mbaya sana kiafya na kimaisha.

(E) Hali ya kurithi
Kwa nadra au kwa asilimia fulani ndogo baadhi ya wanawake huzaliwa na hali ya kuwa na mirija isiyo ya kawaida kwa uzazi na kwa kawaida hali hii huambatana na mji wa uzazi usio wa kawaida pia. .


(5)  Sababu za kitabia:
Inajulikana wazi kwamba baadhi ya tabia na namna tunavyoishi kunaweza kupelekea wanandoa wakashindwa kupata mtoto. Kwa bahati nzuri nyingi kama si zote ya hizo tabia zinaweza kurekebishika au kuachwa kabisa na kupelekea siyo tu kuwa na uwezo wa kuzaa bali pia kuwa na afya nzuri kwa ujumla. Sababu hizo za kitabia ni pamoja na zifuatazo:


Lishe na mazoezi
Ili mfumo wa uzazi uwe na uwezo mzuri unahitaji vitu viwili mhimu, lishe kamili na mazoezi. Wanawake wenye uzito uliozidi sana au wenye uzito pungufu sana wanaweza wakapatwa na tatizo la kutopata ujauzito kirahisi.


Uvutaji sigara
Uvutaji wa sigara una mchango mkubwa na ugumba. Uvutaji sigara husababisha uzarishwaji wa mbegu chache kwa mwanaume (lower sperm count) kwamba mwanaume anatoa mbegu chache sana ama pungufu wakati huo huo uvutaji sigara huchangia katika tatizo la kutoka kwa mimba, kuzaa kabla ya miezi 9 (njiti), na kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo kwa wanawake.


Unywaji pombe
Unywaji pombe kupita kiasi una mchango mkubwa sana katika ugumba na hii hata ikitokea mama akapata ujauzito kama bado anaendelea kunywa pombe inaweza kupelekea matatizo hata kwa mtoto mtarajiwa. Unywaji pombe pia huchangia uzarishwaji wa mbegu chache kwa wanaume.


Madawa ya kulevya
Utumiaji a madawa ya kulevya kama bangi na mengine ya kujidunga kwa sindano kunaweza kuwa sababu ya kuzalisha mbegu chache kwa wanaume. Utumiaji wa dawa za kulevya kama ‘Cocaine’ kwa mama mjamzito kunaweza kusababisha mtindio wa ubongo na matatizo katika figo kwa mtoto mtarajiwa. Matumizi ya madawa ya kulevya inafaa yaepukwe wakati wa kutafuta ujauzito na wakati wa ujauzito.


Utowaji mimba
Utowaji mimba wa mara kwa mara pia unahusika sana na tatizo la ugumba kwa karibu ya asilimia 20. Utowaji mimba unaweza kusababisha makovu katika mji wa uzazi na hata kuharibika kabisa kwa mji wa uzazi ikiwa utowaji huo haukufanyika kitaalamu au unafanyika mara kwa mara.

(6) Sababu za ugumba za kimazingira:
Uwezo wa kushika ujauzito unaweza pia kuathiriwa kutokana na kuwa karibu na baadhi ya kemikali au sumu katika maeneo ya kazi au makazi. Vitu viwezavyo kusababisha mabadiliko, dosari za kuzaliwa, utokaji mimba, au utasa huitwa ‘Sumu kwa mfumo wa uzazi’. Kamikali zifuatazo zinahusishwa na ugumba au utasa:


Risasi (Lead)
Kuwa karibu na kemikali au sumu zinazounda risasi kunaweza kuwa sababu ya ugumba. Risasi hupelekea kuzalishwa kwa mbegu zisizo za kawaida kwa wanaume zijulikanazo kwa kitaalamu kama ‘teratospermias’ na inafikirika pia kuhusika na utokaji mimba kusiko kwa asili (artificial abortion).


Baadhi ya matibabu na madawa ya hospitalini
Kuwekwa kwenye matibabu yanayohusisha mionzi (x-rays), mionzi ya kawaida au hata ile ya kutibia kansa (chemotherapy), kunaweza kusababisha matatizo katika uzarishwaji wa mbegu kwa mwanaume na wakati huo huo kuchangia kwa sababu kadhaa zinazopelekea kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Pia matumizi ya dawa za kuzuia ujauzito kwa muda mrefu yamekuwa yakihusishwa na ugumba kwa miaka ya hivi karibuni ingawa bado kuna mjadala mkubwa katika hili.


Ethylene Oxide
Hii ni kemikali inayotumika kusafishia vifaa vya upasuaji, pia hutumika katika kutengeneza baadhi ya sumu za kuua wadudu. Ethylene oxide inaweza kupelekea matatizo katika uzazi hasa katika miezi ya mwanzo mwanzo ya ujauzito na inahusishwa sana na tatizo la utokaji mimba katika miezi ya mwanzo ya ujauzito (early miscarriage).


Dibromochloropropane (DBCP)
Hii pia ni kemikali au dawa inayotumika katika kuua wadudu, ikiwa unafanya nayo kazi kila mara inaweza kusababisha kutungwa kwa mayai yasiyokomaa vizuri, kuelekea mapema kwa ukomo wa kutokuzaa kabla hata ya miaka 40 au 45 (early menopause) na kadharika.

(7) Sababu zingine zinazoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke:
Karibu asilimia 10 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya mji wa uzazi usio wa kawaida (abnormal uterus).  Hali zingine ni pamoja na uvimbe katika kizazi, kugandana au kunatana kwa mji wa uzazi na mirija ya uzazi.

Karibu asilimia 3 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya matatizo ya ute usio wa kawaida katika mlango wa kizazi (femaleís cervical mucus). Ute ute huu unahitaji kuwa na hali fulani maalumu kwa mbegu za kiume kuweza kuogelea kirahisi katikati yake. Chanzo kikubwa cha tatizo hili ni usawa usio sawa wa homoni za kike ambapo homoni ya uzazi ya kike iitwayo ‘estrogen’ yaweza kuwa ni chache sana au homoni nyingine iitwayo ‘progesterone’ yaweza kuwa ni nyingi sana tofauti na inavyohitajika.

Vitu vya kuepuka kwa mtu mwenye tatizo la ugumba:

ChipsiVinywaji baridiKaffeinaNyama nyekunduVilevi

Tatizo la Ugumba kwa wanawake  Ugumba ni hali ya mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Linaweza kuwa tatizo pia kwa mwanaume lakini katika makala hii tutaona nini kinasababisha tatizo hili kwa upande wa wanawake. Nini husababisha ugumba kwa wanawake? Mayai kutokomaa ipasavyo: Tatizo la mayai kutokukomaa vema ndilo chanzo na sababu kuu ya wanawake wengi kushindwa kushika ujauzito na hii inachukua karibu asilimia 30 ya wanawake wote wagumba. Habari njema ni kuwa tatizo hili linaweza kurekebishwa kirahisi ikiwa mwili utapewa vile viinilishe mhimu vinavyokosekana hadi kupelekea mayai kutokomaa vizuri. Vinavyosababisha mayai ya mwanamke kutokomaa vema: (1) Matatizo ya kihomoni Matatizo katika homoni ndicho chanzo kikuu cha mayai kutunga bila kukomaa vizuri. Hatua za ukomaaji wa mayai zinategemea uwiano mzuri wa homoni na namna zinavyotegemeana katika kufanya kazi. Jambo lolote linalovuruga homoni kubaki katika uwiano wake sawa na wa kutegemeana na wenye kufanya kazi ipasavyo linaweza kupelekea utungaji wa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Kuna sababu kuu mbili zinazosababisha matatizo katika homoni: Ufanyaji kazi usioridhisha wa hypothalamus Hypothalamus ni sehemu ya mbele ya ubongo ambayo ina jukumu la kutuma ishara (signals) kwenda katika tezi ya pituitari ambayo yenyewe tena hutuma uchochezi wa kihomoni kwenda kwenye ovari katika mfumo wa F.S.H na L.H ili kuanzisha ukomaaji wa mayai. Ikiwa hypothalamus inashindwa kufanya kazi zake vizuri kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa ndiyo kutakuwa ni matokeo yake. Tatizo hili linachukuwa asilimia 20 katika kesi za mayai kushindwa kukomaa kiasi kinachohitajika. Ufanyaji kazi usioridhisha wa tezi ya pituitari Kazi kubwa ya tezi ya pituitari ni kuzarisha na kutoa homoni mbili maalumu kwa ajili ya mfumo wa uzarishaji kufanya kazi zake vizuri ambazo zinajulikana kitaalamu kama ‘Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ na ‘Luteinizing hormone (L.H)’.  Mayai yatashindwa kukomaa vizuri ikiwa ama L.H au F.S.H zinatengenezwa chache sana au nyingi sana kuliko inavyohitajika. Hili linaweza kutokea kama sababu ya ajari, uvimbe au kama usawa usio sawa wa kikemikali katika pituitari. (2) Kovu katika Ovari Uharibifu au ajari katika ovari unaweza kupelekea kuzalishwa kwa mayai ambayo hayajakomaa. Kwa mfano, upasuaji mkubwa, uvamizi au upasuaji wa mara nyingi wa uvimbe katika ovari unaweza kusababisha kapsuli ya ovari kupata majeraha au makovu na hivyo kwa namna moja ama nyingine kuweza kuzuia utungwaji wa mayai ambayo hayajakomaa vema. Pia maambukizi katika njia ya uzazi yanaweza kupelekea tatizo hili. (3) Dalili za mwanzo za kukaribia kufunga kuzaa (Menopause) Hii huchangia kwa asilimia chache na kwa sasa halielezeki kisawasawa. Kwamba wanawake wengi wanapokaribia umri wa kuacha kuzaa kuanzia miaka 40 kwenda juu baadhi yao hutokewa na tatizo la kutunga mayai ambayo hayajakomaa vema. Baadhi ya wanawake wanaacha kupata siku zao mapema kabla ya umri uliozoeleka yaani miaka 40 kwenda juu. Kwa sababu hiyo inadhaniwa kwamba uwezo wao wa asili katika kuzalisha mayai unakuwa umepunguwa na wengi wao huwa ni wale walikuwa wakijihusisha zaidi na michezo ya kukimbia au wale wenye historia ya muda mrefu ya kuwa na uzito pungufu na wafanyaji sana wa mazoezi. Tatizo hili pia linaweza kuwa ni la kurithi. (4) Matatizo kwenye kijishimo yai (follicle) katika ovari: Ingawa kwa sasa bado hili nalo halielezeki, hiki kijishimo yai kwa kitaalamu kinajulikana kama ‘’follicle’’ ndicho hupasuka na yai kutoka. Kuna baadhi ya kina mama wanapata dalili za kijishimo yai kutokupasuka “unruptured follicle syndrome” na matokeo yake kila mwezi mama anazalisha yai kama kawaida lakini hiki kijishimo yai kinashindwa kupasuka. Hivyo yai linabaki ndani ya ovari na utungaji wa mimba unashindwa kufanyika. Kinachosababisha ufanyaji kazi dhaifu wa mirija ya uzazi (Fallopian Tubes): Magonjwa katika mirija ya uzazi yanahusika na ugumba kwa karibu ya asilimia 25 ya wanawake wote wagumba. Hali yenyewe inatofautiana toka kwa mmoja hadi kwa mwingine kutoka kugandana au kunatana kidogo hadi kuzibika kabisa kwa mirija. Matibabu ya mirija iliyozibika huhusisha upasuaji au usafishaji wa mwili kwa kula vyakula na vinywaji maalum kwa muda wa majuma kadhaa. Sababu kubwa zinazopelekea kuzibika au kunatana kwa mirija ya uzazi ni pamoja na zifuatazo: (A) Maaambukizi Maambukizi katika njia ya uzazi ambayo yamesababishwa ama na bakteria au virusi na ambayo kwa kawaida ni magonjwa ya kuambukizana kwa njia ya tendo la ndoa, maambukizi haya kwa kawaida husababisha muwasho au kuungua na kupelekea makovu na uharibifu. Magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na mengineyo yanaweza kuwa chanzo cha ugumba kwa wanawake wengi hasa ikiwa hayatatibiwa mapema. (B) Magonjwa yasiyo ya kawaida Magonjwa yasiyo ya kawaida ni pamoja na ugonjwa wa kidole tumbo (appendicitis) na uvimbe katika utumbo mpana (colitis), magonjwa ambayo husababisha muwasho au kuungua chini ya uvungu wa utumbo mkubwa na kuiathiri mirija ya falopiani na kama matokeo yake makovu na kuzibika kwa mirija ya uzazi hutokea. (C) Upasuaji uliopita Upasuaji una chukua nafasi kubwa katika kusababisha ugumba kutokana na matokeo yake ya kusababisha magonjwa ya mirija ya uzazi na uharibifu utokanao na huo upasuaji. Upasuaji katika utumbo mkubwa unaweza kupelekea kunatana au kugandana kwa mirija ya uzazi kutakakopelekea mayai kushindwa kusafiri kirahisi katika mirija hiyo ya uzazi. (D) Mimba kutungwa nje ya mji wa uzazi: Hii ni wakati mimba inapotungwa katikati ya mirija ya uzazi yenyewe. Katika hali kama hii hata kama kutatokea bahati kiasi gani bado kunaweza kusababisha uharibifu katika mirija na hali hii ni moja ya hali mbaya sana kiafya na kimaisha. (E) Hali ya kurithi Kwa nadra au kwa asilimia fulani ndogo baadhi ya wanawake huzaliwa na hali ya kuwa na mirija isiyo ya kawaida kwa uzazi na kwa kawaida hali hii huambatana na mji wa uzazi usio wa kawaida pia. . (5)  Sababu za kitabia: Inajulikana wazi kwamba baadhi ya tabia na namna tunavyoishi kunaweza kupelekea wanandoa wakashindwa kupata mtoto. Kwa bahati nzuri nyingi kama si zote ya hizo tabia zinaweza kurekebishika au kuachwa kabisa na kupelekea siyo tu kuwa na uwezo wa kuzaa bali pia kuwa na afya nzuri kwa ujumla. Sababu hizo za kitabia ni pamoja na zifuatazo: Lishe na mazoezi Ili mfumo wa uzazi uwe na uwezo mzuri unahitaji vitu viwili mhimu, lishe kamili na mazoezi. Wanawake wenye uzito uliozidi sana au wenye uzito pungufu sana wanaweza wakapatwa na tatizo la kutopata ujauzito kirahisi. Uvutaji sigara Uvutaji wa sigara una mchango mkubwa na ugumba. Uvutaji sigara husababisha uzarishwaji wa mbegu chache kwa mwanaume (lower sperm count) kwamba mwanaume anatoa mbegu chache sana ama pungufu wakati huo huo uvutaji sigara huchangia katika tatizo la kutoka kwa mimba, kuzaa kabla ya miezi 9 (njiti), na kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo kwa wanawake. Unywaji pombe Unywaji pombe kupita kiasi una mchango mkubwa sana katika ugumba na hii hata ikitokea mama akapata ujauzito kama bado anaendelea kunywa pombe inaweza kupelekea matatizo hata kwa mtoto mtarajiwa. Unywaji pombe pia huchangia uzarishwaji wa mbegu chache kwa wanaume. Madawa ya kulevya Utumiaji a madawa ya kulevya kama bangi na mengine ya kujidunga kwa sindano kunaweza kuwa sababu ya kuzalisha mbegu chache kwa wanaume. Utumiaji wa dawa za kulevya kama ‘Cocaine’ kwa mama mjamzito kunaweza kusababisha mtindio wa ubongo na matatizo katika figo kwa mtoto mtarajiwa. Matumizi ya madawa ya kulevya inafaa yaepukwe wakati wa kutafuta ujauzito na wakati wa ujauzito. Utowaji mimba Utowaji mimba wa mara kwa mara pia unahusika sana na tatizo la ugumba kwa karibu ya asilimia 20. Utowaji mimba unaweza kusababisha makovu katika mji wa uzazi na hata kuharibika kabisa kwa mji wa uzazi ikiwa utowaji huo haukufanyika kitaalamu au unafanyika mara kwa mara. (6) Sababu za ugumba za kimazingira: Uwezo wa kushika ujauzito unaweza pia kuathiriwa kutokana na kuwa karibu na baadhi ya kemikali au sumu katika maeneo ya kazi au makazi. Vitu viwezavyo kusababisha mabadiliko, dosari za kuzaliwa, utokaji mimba, au utasa huitwa ‘Sumu kwa mfumo wa uzazi’. Kamikali zifuatazo zinahusishwa na ugumba au utasa: Risasi (Lead) Kuwa karibu na kemikali au sumu zinazounda risasi kunaweza kuwa sababu ya ugumba. Risasi hupelekea kuzalishwa kwa mbegu zisizo za kawaida kwa wanaume zijulikanazo kwa kitaalamu kama ‘teratospermias’ na inafikirika pia kuhusika na utokaji mimba kusiko kwa asili (artificial abortion). Baadhi ya matibabu na madawa ya hospitalini Kuwekwa kwenye matibabu yanayohusisha mionzi (x-rays), mionzi ya kawaida au hata ile ya kutibia kansa (chemotherapy), kunaweza kusababisha matatizo katika uzarishwaji wa mbegu kwa mwanaume na wakati huo huo kuchangia kwa sababu kadhaa zinazopelekea kutungwa kwa mayai ambayo hayajakomaa vizuri. Pia matumizi ya dawa za kuzuia ujauzito kwa muda mrefu yamekuwa yakihusishwa na ugumba kwa miaka ya hivi karibuni ingawa bado kuna mjadala mkubwa katika hili. Ethylene Oxide Hii ni kemikali inayotumika kusafishia vifaa vya upasuaji, pia hutumika katika kutengeneza baadhi ya sumu za kuua wadudu. Ethylene oxide inaweza kupelekea matatizo katika uzazi hasa katika miezi ya mwanzo mwanzo ya ujauzito na inahusishwa sana na tatizo la utokaji mimba katika miezi ya mwanzo ya ujauzito (early miscarriage). Dibromochloropropane (DBCP) Hii pia ni kemikali au dawa inayotumika katika kuua wadudu, ikiwa unafanya nayo kazi kila mara inaweza kusababisha kutungwa kwa mayai yasiyokomaa vizuri, kuelekea mapema kwa ukomo wa kutokuzaa kabla hata ya miaka 40 au 45 (early menopause) na kadharika. (7) Sababu zingine zinazoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke: Karibu asilimia 10 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya mji wa uzazi usio wa kawaida (abnormal uterus).  Hali zingine ni pamoja na uvimbe katika kizazi, kugandana au kunatana kwa mji wa uzazi na mirija ya uzazi. Karibu asilimia 3 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya matatizo ya ute usio wa kawaida katika mlango wa kizazi (femaleís cervical mucus). Ute ute huu unahitaji kuwa na hali fulani maalumu kwa mbegu za kiume kuweza kuogelea kirahisi katikati yake. Chanzo kikubwa cha tatizo hili ni usawa usio sawa wa homoni za kike ambapo homoni ya uzazi ya kike iitwayo ‘estrogen’ yaweza kuwa ni chache sana au homoni nyingine iitwayo ‘progesterone’ yaweza kuwa ni nyingi sana tofauti na inavyohitajika. Vitu vya kuepuka kwa mtu mwenye tatizo la ugumba: ChipsiVinywaji baridiKaffeinaNyama nyekunduVilevi

...
Je Wajua Kwanini Wanawake Hula Vyakula vya Ajabu Ajabu Wakiwa Wajawazito?






Tabia hii inayojulikana kwa Kiingereza kama “Pica” inatokana na mtu kutamani kula vitu vyenye virutubisho kidogo sana au visivyo na virutubisho vya aina yoyote kwa mwili.

Tamaa hizi huwa zinawapata watoto au mama mjamzito kutafuna vitu ambavyo kimsingi si chakula – kama udongo au chaki. Jina hili la pica ni aina ya ndege ambaye anajulikana kwakuwa anakula kitu chochote, hana anachochagua. Ni kweli kwamba wajawazito wengi hupata hamu ya kula vitu ambavyo si vyakula walivyozoea kula mara kwa mara wakiwa si wajawazito; wengi wao ni rahisi kuwaelewa kwa sababu hukimbilia mchele, barafu na vinginevyo ambavyo si vitu vibaya kula.

Kwa watoto, hii ni tabia iliyozoelekakwakuwa inawatokea watoto wengi ambao ni kati ya asilimia 25 na 30% ya watoto wote; lakini kwa wanawake wajawazito, inatakiwa iwe kwa kiwango cha chini zaidi.

Nini kinasababisha tabia hii kwa wajawazito?

Sababu ya baadhi ya wanawake kuwa na tabia hii wakati wa ujauzito haijulikani hasa. Kwa sasa hakuna sababu maalumu, lakini kwa mujibu wa Jarida la Chama cha Watu Wanaoishi na Ugonjwa wa Kisukari nchini Marekani, tabia hii yawezekana ikasababishwa na upungufu wa madini ya chuma mwilini. Baadhi wanadai kwamba hali hii inaashiria kwamba mwili unajaribu kupata vitamini na madini mengine yanayokosekana kwenye chakula cha kawaida ambacho mtu anakula. Muda wingine tabia hii yawezaikatokana na kuumwa viungo au akili kwa muda mrefu.

Baadhi ya vitu vya ajabu ambavyo wajawazito hupenda kula

Vitu vinavyopendwa zaidi na wajawazito wengi ni udongo, uchafu. Vitu vingine ni njiti za kiberiti zilizochomwa, mawe, mkaa, barafu, dawa ya meno, sabuni na mchanga. Mjamzito anapokula vitu hivi hujisikii raha kana kwamba amekula chakula chenye faida kubwa kwake na kwa mtoto aliye tumboni.

Kuna hatari yoyote kwa mtoto aliye tumboni?

Kula vitu ambavyo si vyakula kimsingi ni jambo linaloweza kusababisha madhara kwa mjamzito mwenyewe na mtoto aliye tumboni. Kula vitu hivi kunaweza kuharibu mfumo wa kawaida wa kunyonya virutubisho kutoka kwenye vyakula na kusababisha mwili wako upungukiwe na madini muhimu unayoyahitaji kwa afya yako na ya ukuaji wa mtoto vilevile. Tabia hii ni hatarishi sana kwakuwa vitu ambavyo si vyakula vinaweza kuwa na viambata ambavyo ni sumu au vyenye vijidudu vinavyoathiri mwili.

Kudhibiti tabia hii

Usihamaki unapojikuta unatamani vitu vya ajabu ajabu wakati wa ujauzito: inatokea sana na si jambo la kushangaza kwako pia. Jambo la muhimu ni kumjulisha muuguzi wako au wahudumu wa kliniki unayohudhuria kujua maendeleo yako ya mtoto tumboni ili akuelimishe na ahakikishe kwamba una uelewa kuhusu hatari zinazoambatana na tabia hiyo.

Baadhi ya mbinu za kutumia kushinda tamaa hizo


Mtaarifu mhudumu wako wa afya kwenye kliniki unayohudhuria na muangalie kumbukumbu za ukuaji wa mtoto tumboni pamoja na hali yako ya kiafyaFatilia kiwango chako cha madini ya chuma mwilini pamoja na kiwango cha vitamini na madini mengine unayotakiwa kulaOmba ushauri kuhusu kitu gani uwe unakula ili kubadili ili kuepuka vitu vya ajabu (waweza kumung’unya/ kutafuna vitu kama pipi au ‘big g’ isiyo na sukariMwambie hata rafiki yako mmoja kuhusu hamu hizi na umtake awe anakukataza unapokula vitu vya ajabu

Je Wajua Kwanini Wanawake Hula Vyakula vya Ajabu Ajabu Wakiwa Wajawazito?  Tabia hii inayojulikana kwa Kiingereza kama “Pica” inatokana na mtu kutamani kula vitu vyenye virutubisho kidogo sana au visivyo na virutubisho vya aina yoyote kwa mwili. Tamaa hizi huwa zinawapata watoto au mama mjamzito kutafuna vitu ambavyo kimsingi si chakula – kama udongo au chaki. Jina hili la pica ni aina ya ndege ambaye anajulikana kwakuwa anakula kitu chochote, hana anachochagua. Ni kweli kwamba wajawazito wengi hupata hamu ya kula vitu ambavyo si vyakula walivyozoea kula mara kwa mara wakiwa si wajawazito; wengi wao ni rahisi kuwaelewa kwa sababu hukimbilia mchele, barafu na vinginevyo ambavyo si vitu vibaya kula. Kwa watoto, hii ni tabia iliyozoelekakwakuwa inawatokea watoto wengi ambao ni kati ya asilimia 25 na 30% ya watoto wote; lakini kwa wanawake wajawazito, inatakiwa iwe kwa kiwango cha chini zaidi. Nini kinasababisha tabia hii kwa wajawazito? Sababu ya baadhi ya wanawake kuwa na tabia hii wakati wa ujauzito haijulikani hasa. Kwa sasa hakuna sababu maalumu, lakini kwa mujibu wa Jarida la Chama cha Watu Wanaoishi na Ugonjwa wa Kisukari nchini Marekani, tabia hii yawezekana ikasababishwa na upungufu wa madini ya chuma mwilini. Baadhi wanadai kwamba hali hii inaashiria kwamba mwili unajaribu kupata vitamini na madini mengine yanayokosekana kwenye chakula cha kawaida ambacho mtu anakula. Muda wingine tabia hii yawezaikatokana na kuumwa viungo au akili kwa muda mrefu. Baadhi ya vitu vya ajabu ambavyo wajawazito hupenda kula Vitu vinavyopendwa zaidi na wajawazito wengi ni udongo, uchafu. Vitu vingine ni njiti za kiberiti zilizochomwa, mawe, mkaa, barafu, dawa ya meno, sabuni na mchanga. Mjamzito anapokula vitu hivi hujisikii raha kana kwamba amekula chakula chenye faida kubwa kwake na kwa mtoto aliye tumboni. Kuna hatari yoyote kwa mtoto aliye tumboni? Kula vitu ambavyo si vyakula kimsingi ni jambo linaloweza kusababisha madhara kwa mjamzito mwenyewe na mtoto aliye tumboni. Kula vitu hivi kunaweza kuharibu mfumo wa kawaida wa kunyonya virutubisho kutoka kwenye vyakula na kusababisha mwili wako upungukiwe na madini muhimu unayoyahitaji kwa afya yako na ya ukuaji wa mtoto vilevile. Tabia hii ni hatarishi sana kwakuwa vitu ambavyo si vyakula vinaweza kuwa na viambata ambavyo ni sumu au vyenye vijidudu vinavyoathiri mwili. Kudhibiti tabia hii Usihamaki unapojikuta unatamani vitu vya ajabu ajabu wakati wa ujauzito: inatokea sana na si jambo la kushangaza kwako pia. Jambo la muhimu ni kumjulisha muuguzi wako au wahudumu wa kliniki unayohudhuria kujua maendeleo yako ya mtoto tumboni ili akuelimishe na ahakikishe kwamba una uelewa kuhusu hatari zinazoambatana na tabia hiyo. Baadhi ya mbinu za kutumia kushinda tamaa hizo Mtaarifu mhudumu wako wa afya kwenye kliniki unayohudhuria na muangalie kumbukumbu za ukuaji wa mtoto tumboni pamoja na hali yako ya kiafyaFatilia kiwango chako cha madini ya chuma mwilini pamoja na kiwango cha vitamini na madini mengine unayotakiwa kulaOmba ushauri kuhusu kitu gani uwe unakula ili kubadili ili kuepuka vitu vya ajabu (waweza kumung’unya/ kutafuna vitu kama pipi au ‘big g’ isiyo na sukariMwambie hata rafiki yako mmoja kuhusu hamu hizi na umtake awe anakukataza unapokula vitu vya ajabu

...
Majina Ya Watoto Wa Kiume (26)





Katika tamaduni nyingi, majina ya watoto wa kiume hutokana na majira au matukio ya wakati wanapozaliwa. Kwa mfano, wakati mmoja, mwanamke Mwethiopia alijifungua mtoto wa kiume. Shangwe yake ikageuka kuwa majonzi alipoona mtoto wake akiwa amelala bila kusonga.

Nyanya yake alipomchukua mtoto huyo ili amwoshe, kwa ghafla mtoto akaanza kusonga, kupumua na hata kulia. Hali hii ikawa chanzo cha jina la mtoto na hiyo wazazi wake wakaunganisha jina muujiza na neno  linguine la Kiamhara na kumwita mvulana huyo Muujiza Umefanyika.

Nchini Burundi, majina memgin yalitokana na wakati wa vita vilivyokuwemo mwanzo wa miaka ya tisini. Mtoto aliyezaliwa huku mzazi akijifichakutokana na machambulizi angepatiwa jina kama Manirakiza amabalo maana yake ni’Mungu Ndiye Anayeokoa’. Majina mengine ya wakati ule ni kama Twagirimana na Mwana wa Imana ambayo pia humaanisha mwana wa Mungu au mtu aliyeponea vita kwa muujiza wa Mungu.

Desturi hii ya majina ya watoto wa kiume imeenea kote ulimwenguni ambapo kuna majina mengi yaliyo na maana ya nyakati kam wakati wa vita, njaa, shjrehe, makumbusho au tukio amabalo watu hupenda kukumbuka kwa kuwapa watoto majina. Kuna  majina kadhaa amabyo ni mashuhuri sana ulimwenguni ;Noah, Liam, Mason, Jacob, William, Ethan, Michael, Alexander, James, Daniel na mengine.

MAANA MAJINA TUKIZINGATIA HERUFI YA JINA LA KWANZA (KIUME)

HERUFI  A

Watoto wenye jina linaloanza kwa herufi hii hupenda mambo makubwa,hujiamini sana na huwa na uwezo wa kutimiza malengo yao. Ni watoto wenye tahadhari,wachangamfu na hupenda matukio.

Kwa kawaida hupenda kuheshimiwa,hupenda mamlaka,na ana kiburi,watoto wapenda hasira.Kidesturi herufi hii huwakilisha nyota ya punda.

HERUFI  B

Mwenye jina linaloanziana na herufi hii ni watoto wakarimu,waaminifu na hupenda kazi sana. Ni wajasiri, shujaa na wakatili katika vita au popote pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.Herufi hii huwakilisha nyota yangombe.

HERUFI  C

Mwenye jina linaloanzia na herufi hii ni motto wa kubadilikana,ni washindani na hupenda kupigania malengo yao wanayopenda.Ni watu wabunifu na wanapenda mawasiliano,herufi hii huwakilisha nyota ya mapacha.

HERUFI  D

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni anayependa usawa,biashara ni watu wanaopenda kuamrisha na mwenye kupenda usafi.Ni wajeuri na wenye msimamo. Herufi hii huwakilisha nyota ya kaa.

HERUFI  E

Mwenye jina linaloanza na herufi ni mtu mwenye roho nzuri,mwenye mapenzi na huruma,mwenye kupenda uhuru katika mapenzi na mchangamfu. Ubaya  wake ni mtu asiyetegemewa na ni kigeugeu.Herufi hii huwakilishwa na nyota ya samba.

HERUFI  F

Mwenye jina linaloanza na herufi hii n mtu mwenye mapenzi,huruma,roho nzuri na ana uwezo wa kuwafariji watu,ni mtetezi wa watu na mwenye huzuni lakini ni mzito wa kufanya maamuzi.Herufi hii huwakilisha nyota ya mashuke.

HERUFI  G

Mwenye jina linaloanzia na herufi hii ni mtu mwenye imani ya kidini na nguvu za kiroho,ana kipaji cha kubuni na uwezo wa kutatua matatizo ya watu. Ni mtu mwenye hisia kali,msomi,mpweke na mkaidi wa kukubali ushauri kutoka kwa watu.Herufi hii huwakilisha nyota ya mizani.

HERUFI  H

Mwemye jina linaloanzia na herufi hii ni mtoto mwenye ubunifu na nguvu katika biashara,hupata faida kubwa katika anayopenda kutokana na bidii, ni mwenye mawazo mengi,mchoyo na mbinafsi.Herufi hii huwakilisha nge.

HERUFI  I

Mwenye jina   inayoanzia na herufi hii ni mtoto mwenye kupenda sharia,ana huruma na utu mzuri.Wakati mwingi ni mtoto mwenye kujiamini sana na mwenye hasira za haraka. Herufi hii huwakilisha nyota yam shale.

HERUFI  J

Mwenye jina inayoanzia na herufi hii ni mtoto mwenye matamanio,mkweli,mkarimu na mwerevu.Huwa asiyekubali kushindwa na hupata mafanikio makubwa,wakati mwingine anakuwa ni mtoto mvivu na anayekosa mwelekeo. Herufi hii huwakilisha nyota ya mbuzi.

HERUFI  K

Mwenye jina linaloanza ha herufi hii ni mtoto mjeuri,mwenye msimamo thabiti,mpenda umashuhuri na mwenye uwezo wa kushawishi na kuamsha hisia za watu, ana uwezo wa utambuzi ambao watu wengi hawana,ni mtoto asiyeridhika. Herufi hii huwakilisha nyota ya ndoo.

HERUFI  L

Mwenye jina linaloanza ha herufi hii ni mtoto wa vitendo,mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha,hupatwa na misiba mara kwa mara.Herufi hii huwakilisha nyota ya samaki.

HERUFI  M

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye kujiamini sana,mchapakazi na hupata mafanikio,ni mropokaji,mwenye haraka na mwepesi kukasirika. Herufi hii huwakilisha nyota ya punda.

HERUFI   N

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mbunifu, mwenye hisia kali,hupenda kuwasiliana lakini ana wivu sana.Herufi hii huwakilisha nyota ya ngombe.

HERUFI  O

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye subira,mvumilivu,na mwenye bidii ya kusoma.Ni mtoto mwenye kupenda kutumikia jamii na mwenye uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia.Herufi hii huwakilisha nyota ya mapacha.

HERUFI  P

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye uwezo wa kuamuru na ana hekima kubwa.Ana nguvu za kiroho lakini anapenda sana kujitumbukiza kwenye mambo ya watu. Herufi hii huwakilisha nyota ya kaa.

HERUFI  Q

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtotto mwenye kupenda mambo ya asili,ni watu wasioelezeka,wako na uwezo wa kuonyesha vitu visivyojulikana hata hivyo ni mtu aliyepooza sana.Herufi hii huwakilisha nyota ya samba.

HERUFI  R

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mtulivu,mwenye huruma lakini mwenye hasira za haraka.Muda mwingi yeye ni mpenda amani. Herufi hii huwakilisha nyota ya mashuke.

HERUFI  S

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye mvuto kali wa kuleta utajiri,ni mtoto mwenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa. Herufi hii huwakilisha nyota ya mizani.

HERUFI  T

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye kupenda ushauri wa kiroho,anatumia nguvu za ziada kusaidia watu na hupata mafanikio baada ya muda mrefu, ni watoto wenye hisia kali na wepesi sana kushawishika.Herufi hii huwakilisha nyota ya nge.

HERUFI  U

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye bahati kwa ujumla,anapenda uhuru katika mapenzi,ni mbinafsi,mwenye tama na anayekosa maamuzi. Herufi hii huwakilisha nyota yam shale.

HERUFI  V

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mchapakazi,mwenye bidii asiye choka lakini ni watu wasiotabirika. Herufi hii huwakilisha nyota ya mbuzi.

HERUFI  W

Mwemye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye mawazo sana,mchangamfu sana,mwenye uwezo wa kutambua watu wabaya na wema, ni wenye tama na hufanya mambo hatari sana.Herufi hii huwakilisha nyota ya ndoo.

HERUFI  X

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto asiyependa kuwekewa vizuizi hasa katika anasa na ni rahisi kwake kujiingiza kwenye uzinzi na kujitoa uaminifu. Herufi hii huwakilisha nyota ya punda.

HERUFI  Y

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mpenda uhuru na hapendi kupingwa katika jambo lolote,ni watoto wanaokosa uamuzi na husababisha kupoteza bahati katika maisha. Herufi hii huwakilisha nyota ya punda.

HERUFI  Z

Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye kupenda matumaini na amani,ni wenye msimamo mkali japo ni wenye kukubali ushauri . Herufi hii huwakiisha nyota ya ngombe.

Majina Ya Watoto Wa Kiume (26)  Katika tamaduni nyingi, majina ya watoto wa kiume hutokana na majira au matukio ya wakati wanapozaliwa. Kwa mfano, wakati mmoja, mwanamke Mwethiopia alijifungua mtoto wa kiume. Shangwe yake ikageuka kuwa majonzi alipoona mtoto wake akiwa amelala bila kusonga. Nyanya yake alipomchukua mtoto huyo ili amwoshe, kwa ghafla mtoto akaanza kusonga, kupumua na hata kulia. Hali hii ikawa chanzo cha jina la mtoto na hiyo wazazi wake wakaunganisha jina muujiza na neno  linguine la Kiamhara na kumwita mvulana huyo Muujiza Umefanyika. Nchini Burundi, majina memgin yalitokana na wakati wa vita vilivyokuwemo mwanzo wa miaka ya tisini. Mtoto aliyezaliwa huku mzazi akijifichakutokana na machambulizi angepatiwa jina kama Manirakiza amabalo maana yake ni’Mungu Ndiye Anayeokoa’. Majina mengine ya wakati ule ni kama Twagirimana na Mwana wa Imana ambayo pia humaanisha mwana wa Mungu au mtu aliyeponea vita kwa muujiza wa Mungu. Desturi hii ya majina ya watoto wa kiume imeenea kote ulimwenguni ambapo kuna majina mengi yaliyo na maana ya nyakati kam wakati wa vita, njaa, shjrehe, makumbusho au tukio amabalo watu hupenda kukumbuka kwa kuwapa watoto majina. Kuna  majina kadhaa amabyo ni mashuhuri sana ulimwenguni ;Noah, Liam, Mason, Jacob, William, Ethan, Michael, Alexander, James, Daniel na mengine. MAANA MAJINA TUKIZINGATIA HERUFI YA JINA LA KWANZA (KIUME) HERUFI  A Watoto wenye jina linaloanza kwa herufi hii hupenda mambo makubwa,hujiamini sana na huwa na uwezo wa kutimiza malengo yao. Ni watoto wenye tahadhari,wachangamfu na hupenda matukio. Kwa kawaida hupenda kuheshimiwa,hupenda mamlaka,na ana kiburi,watoto wapenda hasira.Kidesturi herufi hii huwakilisha nyota ya punda. HERUFI  B Mwenye jina linaloanziana na herufi hii ni watoto wakarimu,waaminifu na hupenda kazi sana. Ni wajasiri, shujaa na wakatili katika vita au popote pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.Herufi hii huwakilisha nyota yangombe. HERUFI  C Mwenye jina linaloanzia na herufi hii ni motto wa kubadilikana,ni washindani na hupenda kupigania malengo yao wanayopenda.Ni watu wabunifu na wanapenda mawasiliano,herufi hii huwakilisha nyota ya mapacha. HERUFI  D Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni anayependa usawa,biashara ni watu wanaopenda kuamrisha na mwenye kupenda usafi.Ni wajeuri na wenye msimamo. Herufi hii huwakilisha nyota ya kaa. HERUFI  E Mwenye jina linaloanza na herufi ni mtu mwenye roho nzuri,mwenye mapenzi na huruma,mwenye kupenda uhuru katika mapenzi na mchangamfu. Ubaya  wake ni mtu asiyetegemewa na ni kigeugeu.Herufi hii huwakilishwa na nyota ya samba. HERUFI  F Mwenye jina linaloanza na herufi hii n mtu mwenye mapenzi,huruma,roho nzuri na ana uwezo wa kuwafariji watu,ni mtetezi wa watu na mwenye huzuni lakini ni mzito wa kufanya maamuzi.Herufi hii huwakilisha nyota ya mashuke. HERUFI  G Mwenye jina linaloanzia na herufi hii ni mtu mwenye imani ya kidini na nguvu za kiroho,ana kipaji cha kubuni na uwezo wa kutatua matatizo ya watu. Ni mtu mwenye hisia kali,msomi,mpweke na mkaidi wa kukubali ushauri kutoka kwa watu.Herufi hii huwakilisha nyota ya mizani. HERUFI  H Mwemye jina linaloanzia na herufi hii ni mtoto mwenye ubunifu na nguvu katika biashara,hupata faida kubwa katika anayopenda kutokana na bidii, ni mwenye mawazo mengi,mchoyo na mbinafsi.Herufi hii huwakilisha nge. HERUFI  I Mwenye jina   inayoanzia na herufi hii ni mtoto mwenye kupenda sharia,ana huruma na utu mzuri.Wakati mwingi ni mtoto mwenye kujiamini sana na mwenye hasira za haraka. Herufi hii huwakilisha nyota yam shale. HERUFI  J Mwenye jina inayoanzia na herufi hii ni mtoto mwenye matamanio,mkweli,mkarimu na mwerevu.Huwa asiyekubali kushindwa na hupata mafanikio makubwa,wakati mwingine anakuwa ni mtoto mvivu na anayekosa mwelekeo. Herufi hii huwakilisha nyota ya mbuzi. HERUFI  K Mwenye jina linaloanza ha herufi hii ni mtoto mjeuri,mwenye msimamo thabiti,mpenda umashuhuri na mwenye uwezo wa kushawishi na kuamsha hisia za watu, ana uwezo wa utambuzi ambao watu wengi hawana,ni mtoto asiyeridhika. Herufi hii huwakilisha nyota ya ndoo. HERUFI  L Mwenye jina linaloanza ha herufi hii ni mtoto wa vitendo,mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha,hupatwa na misiba mara kwa mara.Herufi hii huwakilisha nyota ya samaki. HERUFI  M Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye kujiamini sana,mchapakazi na hupata mafanikio,ni mropokaji,mwenye haraka na mwepesi kukasirika. Herufi hii huwakilisha nyota ya punda. HERUFI   N Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mbunifu, mwenye hisia kali,hupenda kuwasiliana lakini ana wivu sana.Herufi hii huwakilisha nyota ya ngombe. HERUFI  O Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye subira,mvumilivu,na mwenye bidii ya kusoma.Ni mtoto mwenye kupenda kutumikia jamii na mwenye uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia.Herufi hii huwakilisha nyota ya mapacha. HERUFI  P Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye uwezo wa kuamuru na ana hekima kubwa.Ana nguvu za kiroho lakini anapenda sana kujitumbukiza kwenye mambo ya watu. Herufi hii huwakilisha nyota ya kaa. HERUFI  Q Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtotto mwenye kupenda mambo ya asili,ni watu wasioelezeka,wako na uwezo wa kuonyesha vitu visivyojulikana hata hivyo ni mtu aliyepooza sana.Herufi hii huwakilisha nyota ya samba. HERUFI  R Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mtulivu,mwenye huruma lakini mwenye hasira za haraka.Muda mwingi yeye ni mpenda amani. Herufi hii huwakilisha nyota ya mashuke. HERUFI  S Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye mvuto kali wa kuleta utajiri,ni mtoto mwenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa. Herufi hii huwakilisha nyota ya mizani. HERUFI  T Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye kupenda ushauri wa kiroho,anatumia nguvu za ziada kusaidia watu na hupata mafanikio baada ya muda mrefu, ni watoto wenye hisia kali na wepesi sana kushawishika.Herufi hii huwakilisha nyota ya nge. HERUFI  U Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye bahati kwa ujumla,anapenda uhuru katika mapenzi,ni mbinafsi,mwenye tama na anayekosa maamuzi. Herufi hii huwakilisha nyota yam shale. HERUFI  V Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mchapakazi,mwenye bidii asiye choka lakini ni watu wasiotabirika. Herufi hii huwakilisha nyota ya mbuzi. HERUFI  W Mwemye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye mawazo sana,mchangamfu sana,mwenye uwezo wa kutambua watu wabaya na wema, ni wenye tama na hufanya mambo hatari sana.Herufi hii huwakilisha nyota ya ndoo. HERUFI  X Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto asiyependa kuwekewa vizuizi hasa katika anasa na ni rahisi kwake kujiingiza kwenye uzinzi na kujitoa uaminifu. Herufi hii huwakilisha nyota ya punda. HERUFI  Y Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mpenda uhuru na hapendi kupingwa katika jambo lolote,ni watoto wanaokosa uamuzi na husababisha kupoteza bahati katika maisha. Herufi hii huwakilisha nyota ya punda. HERUFI  Z Mwenye jina linaloanza na herufi hii ni mtoto mwenye kupenda matumaini na amani,ni wenye msimamo mkali japo ni wenye kukubali ushauri . Herufi hii huwakiisha nyota ya ngombe.

...
MASWALI 60 YA KUMUULIZA MPENZI WAKO , YANAWEZA KUWA YA KUCHEKESHA& KUFURAHISHA:





Mawasiliano hujenga mahusiano mazuri, bila hivyo kutakuwa na tofauti fulani kati ya wawili wapendanao .watu wengi wanaamini kuwasiliana kunajenga uhusiano mzuri,  hebu fikiria kama una rafiki yako  mnaopendana  hakutafuti  hata kama umekuwa mbali kwa muda mrefu , si inaboa sana?  nikupe mfano  mmoja , wanandoa wakiwa  pamoja nyumbani , siku hiyo wameamua wasiende mahali popote, unafikiri  wangekalia kufanya tendo la ndoa siku nzima? jibu ni hapana. lakini  wanakuwa na mawasiliano  ya aina yake ,

Hapa nakuletea maswali unayotakiwa kumuuliza  mpenzi wako mkiwa mko mmekaa jioni , au katika mapumziko yenu, lakini uwe makini hapa kuna wengine hawapendi umdadisi, ile kuna wengine ni waelewa  na watakuelewa. mwanaume  mwenye kukupenda atakuelewa.

MASWALI YA KUMUULIZA KIJANA UMPENDAE.


1.Unakumbuka nini cha utotoni ambacho uliwahi   kufanya?

2.kwenye hii tamthilia unampenda mwigizaji gani?

3.nafikiri nimepoteza namba yangu ya simu , naweza chukua ya kwako?

4.ni kipi kinachoweza kukufanya ucheke zaidi katika maisha yako?

5.kwa mfano wewe ungekuwa muhudumu  ungechagua watu  wa jinsia gani wa kuwahudumia ?

6.umewahi kutuma maombi ya urafiki kwa rafiki wa kike?

7.kabla ya mimi umewahi kuwa na nani?

8. je unaweza kukosa kitu unachokipenda  kwa ajili yangu?

9.kama ukijikuta umeangukia kwa mwanamke , utaitumiaje hio siku wewe kama wewe?

10.wewe ni wangu?

11.unampenda nani?

12. unaamini kama kuna mungu?

13.unawezaje kumjua mtu kama ni rafiki wa kweli?

14.Unapenda kuwa smart au ni vyovyote tu?

15.je unweza kukaa na mtu usiempenda?

16.Unajisikiaje unapokuwa na mimi?

17. Utamjuaje mchumba wa kweli?

18.Unatafuta kitu gani kwa msichana?

19.Utajielezeaje wewe mwenyewe?

20.je, utaweza kunielezea mimi?

21.Kuna tatizo gani umewahi kukumbana nalo?

22.ni mzuri au ni mbaya?

23.umewahi kumwacha msichana?

24.umewahi kujihusisha na kitu chochote kibaya?

25.busu la kwanza kabisa ulimbusu nani?

26.ulifanikiwa?

27. Unapenda staili ipi ya mapenzi?kitandani.

28. Tamthilia ipi unaipenda?

29.Unapenda chakula gani?

30.unapenda rangi gani?

31.unapenda mziki gani ?

32.ukiwa mtoto ulikulia wapi?

33.Ulipendelea kucheza mchezo gani wakati wa utoto?

34. unashangilia timu gani ya mpira?

35.mwigizaji gani unamkubali sana duniani?

36. tamthilia ipi ni nzuri?

37.unawafurahia marafiki zangu?

38.unaipenda kazi yako?

39.unategemea kubadilisha nininkatika maisha yako?

40.Kuna kitu chochote ambacho huwa nakuudhi hata kama ni cha kijinga ambacho hujawahi kujaribu kuniambia?

MASWALI MENGINE YA KINDANI ZAIDI YA KUULIZA  UNAPOKUWA NA MTU ANAYEKUTHAMINI.

41.Ukipoteza  nguvu zako wakati wa usiku , je  ni kitu  kipi utanieleza ili niridhike?

42.Ni sehemu gani ya mwili wangu , macho yako yakiona utashangaa kama hujawahi kuniona nikiwa uchi?

43.Umewahi kusikia mwili wangu ukinuka?

44.kama nakuhitaji, natupo pamoja wakati huo, unawezaje kunielewa, wengine husema unawezaje kunisoma,je unafikiri utajua dalili?

45.umewahi kuota uko na mwanamke ukifanya mapenzi?

46.umewahi kucheza kama dactari wakati wa utoto?

47. ni aina gani ya mapenzi ungependa kuwa nayo katika maisha yako?

48.Umewahi kufumwa ukiwa uchi?

49.je una uzoefu gani katika mahusiano?

50.unaweza kuniambia vitu  vya kuchekesha ulivyofanya wakati wa utoto?

51.Kama ungetaka kubadili jinsia ni sehemu ipi ungependelea,na kwa nini?

52.Kuna siri yeyote hujaniambia?

53.UTU. je unafikiri umbo la mtu lina tatizo katika mahusiano?

54.tukipata watotro mimi na wewe ungependa  watoto wetu wafuate tabia zetu?

55.unapenda staili ipi ya chini au ya juu?

56. umewahi kumpiga mtu kofi?

57.je wewe ni mkweli?

58.kitu gani unachokipenda ambacho hujawahi kuniambia?

60 .Nikimwangalia mwanaume mwingine na kumsifia  utaudhika?je kuna tabia yeyote ya udanganyifu  ambayo hujaipenda kwangu?unaweza kuacha kitu unachokipenda kwa kumsaidia rafiki?

fuatilia maswali mengine mengi yatakuja.

toa maoni yako katika  maswali haya.

MASWALI 60 YA KUMUULIZA MPENZI WAKO , YANAWEZA KUWA YA KUCHEKESHA& KUFURAHISHA:  Mawasiliano hujenga mahusiano mazuri, bila hivyo kutakuwa na tofauti fulani kati ya wawili wapendanao .watu wengi wanaamini kuwasiliana kunajenga uhusiano mzuri,  hebu fikiria kama una rafiki yako  mnaopendana  hakutafuti  hata kama umekuwa mbali kwa muda mrefu , si inaboa sana?  nikupe mfano  mmoja , wanandoa wakiwa  pamoja nyumbani , siku hiyo wameamua wasiende mahali popote, unafikiri  wangekalia kufanya tendo la ndoa siku nzima? jibu ni hapana. lakini  wanakuwa na mawasiliano  ya aina yake , Hapa nakuletea maswali unayotakiwa kumuuliza  mpenzi wako mkiwa mko mmekaa jioni , au katika mapumziko yenu, lakini uwe makini hapa kuna wengine hawapendi umdadisi, ile kuna wengine ni waelewa  na watakuelewa. mwanaume  mwenye kukupenda atakuelewa. MASWALI YA KUMUULIZA KIJANA UMPENDAE. 1.Unakumbuka nini cha utotoni ambacho uliwahi   kufanya? 2.kwenye hii tamthilia unampenda mwigizaji gani? 3.nafikiri nimepoteza namba yangu ya simu , naweza chukua ya kwako? 4.ni kipi kinachoweza kukufanya ucheke zaidi katika maisha yako? 5.kwa mfano wewe ungekuwa muhudumu  ungechagua watu  wa jinsia gani wa kuwahudumia ? 6.umewahi kutuma maombi ya urafiki kwa rafiki wa kike? 7.kabla ya mimi umewahi kuwa na nani? 8. je unaweza kukosa kitu unachokipenda  kwa ajili yangu? 9.kama ukijikuta umeangukia kwa mwanamke , utaitumiaje hio siku wewe kama wewe? 10.wewe ni wangu? 11.unampenda nani? 12. unaamini kama kuna mungu? 13.unawezaje kumjua mtu kama ni rafiki wa kweli? 14.Unapenda kuwa smart au ni vyovyote tu? 15.je unweza kukaa na mtu usiempenda? 16.Unajisikiaje unapokuwa na mimi? 17. Utamjuaje mchumba wa kweli? 18.Unatafuta kitu gani kwa msichana? 19.Utajielezeaje wewe mwenyewe? 20.je, utaweza kunielezea mimi? 21.Kuna tatizo gani umewahi kukumbana nalo? 22.ni mzuri au ni mbaya? 23.umewahi kumwacha msichana? 24.umewahi kujihusisha na kitu chochote kibaya? 25.busu la kwanza kabisa ulimbusu nani? 26.ulifanikiwa? 27. Unapenda staili ipi ya mapenzi?kitandani. 28. Tamthilia ipi unaipenda? 29.Unapenda chakula gani? 30.unapenda rangi gani? 31.unapenda mziki gani ? 32.ukiwa mtoto ulikulia wapi? 33.Ulipendelea kucheza mchezo gani wakati wa utoto? 34. unashangilia timu gani ya mpira? 35.mwigizaji gani unamkubali sana duniani? 36. tamthilia ipi ni nzuri? 37.unawafurahia marafiki zangu? 38.unaipenda kazi yako? 39.unategemea kubadilisha nininkatika maisha yako? 40.Kuna kitu chochote ambacho huwa nakuudhi hata kama ni cha kijinga ambacho hujawahi kujaribu kuniambia? MASWALI MENGINE YA KINDANI ZAIDI YA KUULIZA  UNAPOKUWA NA MTU ANAYEKUTHAMINI. 41.Ukipoteza  nguvu zako wakati wa usiku , je  ni kitu  kipi utanieleza ili niridhike? 42.Ni sehemu gani ya mwili wangu , macho yako yakiona utashangaa kama hujawahi kuniona nikiwa uchi? 43.Umewahi kusikia mwili wangu ukinuka? 44.kama nakuhitaji, natupo pamoja wakati huo, unawezaje kunielewa, wengine husema unawezaje kunisoma,je unafikiri utajua dalili? 45.umewahi kuota uko na mwanamke ukifanya mapenzi? 46.umewahi kucheza kama dactari wakati wa utoto? 47. ni aina gani ya mapenzi ungependa kuwa nayo katika maisha yako? 48.Umewahi kufumwa ukiwa uchi? 49.je una uzoefu gani katika mahusiano? 50.unaweza kuniambia vitu  vya kuchekesha ulivyofanya wakati wa utoto? 51.Kama ungetaka kubadili jinsia ni sehemu ipi ungependelea,na kwa nini? 52.Kuna siri yeyote hujaniambia? 53.UTU. je unafikiri umbo la mtu lina tatizo katika mahusiano? 54.tukipata watotro mimi na wewe ungependa  watoto wetu wafuate tabia zetu? 55.unapenda staili ipi ya chini au ya juu? 56. umewahi kumpiga mtu kofi? 57.je wewe ni mkweli? 58.kitu gani unachokipenda ambacho hujawahi kuniambia? 60 .Nikimwangalia mwanaume mwingine na kumsifia  utaudhika?je kuna tabia yeyote ya udanganyifu  ambayo hujaipenda kwangu?unaweza kuacha kitu unachokipenda kwa kumsaidia rafiki? fuatilia maswali mengine mengi yatakuja. toa maoni yako katika  maswali haya.

...

HIVI UNAIJUA MAANA YA MAPENZI VIZURI AMA.......???  Jina mapenzi limeweza kupewa maana nyingi kulingana na maongezi yanayozunguka jina hilo. Mapenzi yaweza kusemwa kwamba ni jina linaloonyesha hisia za mtu iwe mahaba, pendo kwa mtu ama upendo wa Mungu. Mara nyingi watu wengi hukosea kwa kuchambua mapenzi katika mahaba pekee. Watu wengi hudhania mapenzi huwa yanahusisha moyo wa binadamu, lakini hakika ni kwamba huhusisha ubongo wa mwanadamu. Kuna aina nyingi za mapenzi ambazo binadamu huonyesha katika maisha yao wanapoendelea na shughuli zao za kila siku. Kama binadamu sisi husahau aina nyingine za mapenzi kwani wengi wetu hawajui neno mapenzi lina maana nyingi. Kwa kufafanua mapenzi yapo na aina zifuatazo Mapenzi ya kimwili (Eros) Aina hii ya mapenzi ni ya kimahaba. Kwa mfano mwanamume kumtamani mwanamke ama vile vile mwanamke kumtamani mwanamume kwa hamu ya ngono. Hapa mapenzi huwa yanayoendelezwa na hisia za kumtaka yule mwingine kimapenzi. Hii ndio aina ambayo watu wengi duniani hudhani ndio maelezo kamili ya mapenzi ill hali hii ni moja yapo ya zingine nyingi. Aina hii ya mapenzi ni muhimu kwa watu wanaoanza kutongozana ama watu wanaofikiri kuwa katika uhusiano. Mapenzi ya Urafiki (Philia) Aina hii ni ambayo inavutiwa na mtu kukufanyia kitendo kizuri ama kukusaidia ama ni mtu mzuri kwa ujumla. Mapenzi hapa yaweza kuwa kwa ndugu ama rafiki yako mzuri. Mapenzi haya huwa sana ambapo mtu wanashiriki maadili sawa na mwenzake na kwamba hisia zao sinaambatana ama mmoja anapokea matendo sawia na yale anamwelekezea yule mwenzake. Mapenzi ya aina hii yanaenziwa sana duniani. Wataaluma huamini kwamba mapenzi ya urafiki husaidia kutoa tamaa ya mwili na kuzingatia kufahamiana zaidi kwa marafiki na dunia kwa jumla. Mapenzi ya Familia(Storge) Aina hii ya mapenzi ni inayoonekana na wazazi kwa watoto wao na pia kutoka kwa watoto kwa wazazi. Aina hii hutofautiana na ya urafiki kwani haizingatii kile mtu anachokutendea bali uhusiano wa kidamu na vile wazazi na watoto wao wanavyotegemeana. Sifa za binafsi hazizingatiwi hapa ili wazazi waonyeshe wanao hisia hizi. Uhusiano wao huchangia kwa mapenzi haya. Mapenzi haya huhusishwa na mtu kujiskia yuko huru na salama. Mapenzi ya Kujitolea(Agape) Aina hii ya mapenzi inazingatia asili, mapenzi kwa Mungu au miungu na mapenzi kwa usiowajua. Hii ni mapenzi ya kujitolea kwa ubinafsi ama mapenzi ya ubinadamu. Aina hii inahusishwa na kuto tarajia malipo au kitu chochote kwa matendo unayoyafanya. Yaani ni mapenzi yakujitolea mhanga. Aina hii ya mapenzi hutusaidia kuwapenda watu tusiowajua na kusaidiana kibinadamu kwa hali yoyote ile. Dunia yastahili kuwa na aina hii kwa wingi ili tukaweza kukaa kwa amani na furaha. Mapenzi kwa Mungu ama niungu pia huwa katika aina hii. Kumwabudu Mungu aliye binguni ni mfano mmoja wa kueleza aina hii. Mapenzi Changamfu (Ludus) Aina hii ya mapenzi ni mapenzi yasio na dhamira yoyote na ma mzaha tu. Mapenzi haya hayana masharti hata kidogo. Mfano wa aina hii ya mapenzi ni kama mtu anovyomtongoza mwingine, kupinga densi na kucheza. Aina hii ya mapenzi haina mambo mengi kwani huwa ni kawaida tu. Aina hii huwa sawa kwa watu wanaojitosheleza kimaisha. Aina hii ya mapenzi huwa gumu wakati mtu mmoja hufasiri kwamba mwingine ana hamu ya kimwili. Inafaa watu waweze kuelewa kama wanahamu zaidi na raha na kufurahi tu. Mapenzi Madhubuti(Pragma) Aina hii ni mapenzi ambayo yako na msingi wa wajibu wako kwa mwingine na wa kuzingatia maslahi ya mwingine ya siku za usoni. Mfano mwema ni kwa wapenzi ambao wako katika ndoa. Aina hii inahusishwa na uvumulivu na maelewano kati ya walio katika ndoa. Aina hii ya mapenzi hukuzwa kwa muda wa miaka kadha na ndio maana yaitwa madhubuti ya ka kudumu. Mvuto wa kimwili sana hauzingatiwi katika aina hii ya mapenzi bali kujengana kimawazo na kufanya maisha yao kuwa bora zaidi. Kinyume na aina zingine za mapenzi mapenzi madhubuti huzingatia pande zote mbili za wapenzi wawili. Lazima wewe wanapendana ama kuwa na mafikira na dhamira sawia. Mapenzi ya Kibinafsi (Philautia) Mapenzi haya ni ya mtu binafsi. Aina hii ya mapenzi huwa ina matokeo mawili, yaweza kuwa nzuri ama ya kudhuru. Upande mbaya wa aina hii huwa kwa ile hali ya ubinafi, kutafuta umaarufu na kutafuta utajiri na hufanya mtu kujiona ana dhamana kuliko mtu mwingine yeyote. Upande huu hufanya mtu akajiona yuko mkubwa kuliko mungu. Pia kuna upande mzuri wa aina hii ya mapenzi ambao inahusiana na mtu kujijua, kwa kufahamu uwezo wako na kujidhamini kwa uzuri wako na unachoweza kufanya. Kwa uhusiano wowote, huwezi kumpenda mwingine kama wewe mwenyewe hauna mapezi ya kibinafsi. Kwa kujipenda kwanza ndio tunaweza kupenda wengine na kuwatunza vizuri maishani. Aina hii ni muhimu sana kwa maisha ya kila mwanadamu. Mapenzi ya kibinafi humsaidia mtu kujua mazuri na mabaya na kupanga maisha yake kwa nji inayostahili. Mapenzi ya kibinafsi humwongezea mtu hali ya kujiamini na kujidhamini. Watu waliyo na mapenzi ya kibinafsi huweza kuelewana sana na watu wengi kwa vile kwa kujidhamini watu pia hukudhamini. Hii husaidia kwa vile mnaelewana na watu kazini, nyumbani na mahali pengine ambapo mnapatana. Watu waliyo na mapenzi ya kibinafsi hawahitaji kujigamba ili watu wawajue ama kujionyesha kwa watu. Uzuriwao hujionyesha kwa wanayofanya na wanavyoongea. Watu wanaojipenda kibinafsi huwa wako huru kwa mambo mapya na uwazi. Uchambuzi na ufahamu wa mapenzi ni nini husaidia kila mwanadamu kutambua aina gani anafaa kuwapa watu kwa kila wakati na aina gani ya mapenzi kutupilia mbali. Mwanadamu anaweza penda ila kwa hiari yake. Haina maana lazima mtu akupende ndio umpende nawe. Kila mwanadamu anauwezo wa kumpenda mwingine ama kitu anachotaka hata kama yeye mwenyewe hajapatiwa mapenzi hayo. Lazima kama mwanadamu kufanya mapenzi kama kitu cha kawaida kwa kila tunachofanya maishani. Iweke iwe sehemu ya maisha yako na utu wako. Pia ni muhimu kuwa na aina hizi zote za mapenzi kwa uhusiano kwa kila siku na watu wengine ilituweze kuishi maisha marefu. Kama binadamu, mapenzi ya muhimu sana ni yale ya kujitolea na yale ya kibinafsi. Unapokuwa na mapenzi yasiyo tarajia kitu chochote na mapenzi yako mwenyewe ndio utaweza kuwapa watu mapenzi hayo mengine. Tukiweza kushikilia aina zote zingine za mapenzi kwa mahusiano yetu basi tutakuwa na maisha marefu na yenye kufana. Mapenzi ni kitu muhimu maishani na ni sharti yaenziwe na kila mwanadamu.

...
Hivi unazijua Dalili 5 Za Mwanaume Anayekupenda Kwa Dhati??







Undapo utaona dalili hizi kwa mwezi wako wa kiume basi tambua fika basi, ya kwamba anMapenzi ya kweli.


1. Anakusaidia fedha pale unapokua umekwama kabisa, yuko na jukumu la kukusaidia kiuchumi. 

Anapenda kukupa kile ambacho amejaaliwa nacho. Hana mkono wa birika, Huyu anakupenda!


2.  Anazungumzia future yake na wewe, mipango ya baadae pamoja na wewe, huyu anayo dhamira ya dhati ku Anakupigia simu mara kwa mara na kukuuliza siku yako imeendaje. Anafanya hivi kirafiki na kwa upendo, haigizi. Anakupenda kweli.


3. Anakutembelea mara kwa mara, anakuwa karibu na wewe kipindi unaumwa, hii inamaanisha kwamba yupo tayari kukuvumilia katika shida na raha. Mpende mwanaume huyu.


4. Anawapenda ndugu zako kama ndugu zake. Anaongea nao vizuri na kusaidiana mambo ya hapa na pale. Mtizame kwa jicho la tatu huyu mwanaume!



5. Anaongea na wewe kwa adabu na kwa upole, anakukosoa bila wasiwasi kama kuna mambo unaenenda visivyo. Anakuelekeza njia zilizonyoka..sio wa kumuacha huyu!

Hivi unazijua Dalili 5 Za Mwanaume Anayekupenda Kwa Dhati??  Undapo utaona dalili hizi kwa mwezi wako wa kiume basi tambua fika basi, ya kwamba anMapenzi ya kweli. 1. Anakusaidia fedha pale unapokua umekwama kabisa, yuko na jukumu la kukusaidia kiuchumi.  Anapenda kukupa kile ambacho amejaaliwa nacho. Hana mkono wa birika, Huyu anakupenda! 2.  Anazungumzia future yake na wewe, mipango ya baadae pamoja na wewe, huyu anayo dhamira ya dhati ku Anakupigia simu mara kwa mara na kukuuliza siku yako imeendaje. Anafanya hivi kirafiki na kwa upendo, haigizi. Anakupenda kweli. 3. Anakutembelea mara kwa mara, anakuwa karibu na wewe kipindi unaumwa, hii inamaanisha kwamba yupo tayari kukuvumilia katika shida na raha. Mpende mwanaume huyu. 4. Anawapenda ndugu zako kama ndugu zake. Anaongea nao vizuri na kusaidiana mambo ya hapa na pale. Mtizame kwa jicho la tatu huyu mwanaume! 5. Anaongea na wewe kwa adabu na kwa upole, anakukosoa bila wasiwasi kama kuna mambo unaenenda visivyo. Anakuelekeza njia zilizonyoka..sio wa kumuacha huyu!

...

SEHEMU 4 za Mwili Usizopaswa Kumshika Mkeo Nyakati Hizi 18+  Ingawa kuna mtazamo uliojengeka katika jamii kuwa ukishamuoa mwanamke na mkawa mwili mmoja basi una kila haki ya kumshika sehemu yoyote uipendayo hasa wakati unahitaji kufanya nae tendo la ndoa. Lakini utafiti na uzoefu uliokusanywa na wataalam wa mahusiano na ndoa waliofanya mahojiano na wanawake kama kuna sehemu wazisopenda kuguswa na waume zao na nyakati husika, umetoa picha na mtazamo ambao wanaume wanapaswa kuufahamu mapema kabla hawajaingia katika hatari ya kuwa kero au kuwakwaza wake zao. Kama tunavyofahamu, wanawake ni viumbe wenya mlango mmoja wa ziada wa fahamu kuwapita wanaume. Hii nitaizungumzia siku nyingine. Lakini mlango huu wa ziada ndio huwapa hisia ya ziada pamoja na kuwafanya kujali sana vitu ambavyo mwanaume hasa mwenye haja ya kufanya tendo anaweza asizingatie sana anataka kukidhi haja yake. Ukifuatilia sehemu hizi za mwili wa mwanamke nitakazozitaja na nyakati zake, utabaini kuwa ni rahisi sana kufahamu kwani mwanamke katika nyakati hizo anaweza kuonesha kusita sana wakati anataka kuguswa. 1. Chuchu wakati miili yao inaendelea na shughuli nyingine za ndani Idadi kubwa ya wanawake huwa hawapendi kuguswa na wanaume chuchu zao wakati wananyonyesha au wakati wako katika hedhi. Hiki ni kipindi ambacho kama mwanamke ananyonyesha na mwanaume anataka kumgusa sehemu hiyo basi maziwa yanaweza kutoka kwa kasi na kumfanya ajisikie hayuko ‘confortable’ kuendelea na zoezi la kushiriki tendo. 2. Kwapani wanapokuwa wanatoka jasho kabla ya kuoga Wanaume wengine huwa na hisia za matamanio zaidi wanapoyaona makwapa ya wake zao. Hii ni hali ya kisaikolojia inayojengeka kwa baadhi japo sio wengi. Kuna wanaume wakiona kwapa la mwanamke basi matamanio yao huongezeka mara dufu. Lakini wanawake wengi wameeleza wazi kuwa hujisikia vibaya na kukosa amani pale wanaume zao wanajaribu kuwashika kwapani wakati ambapo wametokwa jasho. 3. Sehemu za siri kabla ya kuoga Hili ni eneo ambalo wanawake wengi wameonesha kulalamikia waume zao. Kwa mazoea wanaume wengi huwa kama wanawabaka wake zao bila kufahamu, hasa pale wanapotoka safari zao wakiwa na matamanio. Lakini wanawake wengi wameeleza wazi kuwa hupoteza hali ya kuwa ‘comfortable’ pale wanapoguswa na wanaume zao sehemu za siri wakati bado hawajaoga. Wanaume wengi hujikuta wakishiriki tendo la ndoa na wake zao ghafla baada ya kukamilisha kazi kadhaa za ndani wakati wanawaangalia. Wanaume wanaweza kuwa wanafurahia zaidi tendo hilo lakini wanawake pamoja na kwamba hufurahia pia lakini mlango wao wa ziada wa fahamu huwafanya kukosa amani kwa kiasi fulani wakati wa tendo ukilinganisha na nyakati ambazo wanajiamini ni wasafi. 4. Nywele zao dakika chache baada ya kutoka saloon kujiremba Ingawa unaamini kuwa mkeo alienda saloon kujiremba kwa ajili ya kukuvutia wewe, usithubutu kutaka kuzivuruga nywele zake dakika chache baada ya kutoka kwa mtaalam wa kutengeneza nywele, hata kama pesa aliyotumia ulimpa wewe. Hiki ni kama kituko hivi, lakini ndio ukweli. Wanawake hutumia muda mrefu sana kwenye vibanda au saloon za gharama kwa ajili ya kujiremba ili waongeze mvuto. Lakini, hugeuka kuwa walinzi wa vichwa vyao angalau kwa saa kadhaa. Msifie uwezavyo, lakini nywele zake usizivuruge mapema mtaharibiana ‘mood’. Haya ni kati ya mambo machache ambayo wanaume huyaona madogo sana na kufuatilia yale wanayoamini ni makubwa zaidi. Lakini mambo haya ni kati ya machache yanayokwangua taratibu kuta za hisia za mwanamke kwa mmewe.

...
MWANAUME ANAPOSEMA HATAKI KUKUOA: MWAMINI






Naandika hii makala kwa sababu nimekutana na maswali mengi  ambayo yanaumiza wanawake wengi.

Swali linakuwa hivi.

Nimekuwa na huyu mwanaume kwa muda mrefu na tumekuwa tukishirikiana mambo mengi. Sijawahi  kuwa na hisia kama nilizo nazo kwa mwanaume huyu kwa mtu yeyote. Na nilijua tutakuwa pamoja maisha yetu yote. Tatizo ni kwamba  anasema hataki kunioa? Nitafanyaje ili aweze kujua kuwa nampenda na tunaendana vizuri pamoja na tunatakiwa tuoane?

Wanaume wengi huwa wanaogopa kuweka ahadi kama hawana uhakika na upendo walio nao kwa mwanamke.

Semeni ukweli wanaume.

Je ameongelea kuhusu maisha ya baadae?

Kuna mpango gani? Ni rahisi kubadilisha mwanaume? Unawezaje kumlazimisha akuoe?

Kitu gani cha kufanya kama amesema hawezi kukuoa?

Kama amesema hatakuoa, Mwamini . Elewa.

Najua tayari jibu umepata kwenye maandiko yangu ya juu, lakini napenda kurudia,  huwezi kumlazimisha mwanaume akuoe kama amesema hataki kukuoa. Hataweza.

Sasa basi sisemi kama haiwezekani kweli.

Kuna wanaume ambao husema hawatakuoa na hubadili mawazo yao na kuamua kuoa mwanamke ambaye alikuwa hapendi kumuoa. Lipo hilo.

Mwanaume anayesema hatakuoa na wakati anaishi na wewe, mara nyingi  anakupotezea muda na atakwenda kuoa mtu mwingine anayempenda kuliko wewe.

Tuangalie kwa nini iko hivyo.

Ina maana gani anapokuwa anaongea kuhusu kuchukia ndoa

Aina ya mwanaume ambaye atakuambia hatakuoa ni yule ambaye anachukizwa na taasisi ya ndoa au sheria yake.

Mwanaume huyo hafikirii kama  wazo la kuoa ni zuri kwa kila mtu- anaona hata wanandoa ambao wako pamoja hawaonyeshi kama wana upendo wa kutosha, hawana upendo wa kweli ( anaweza kuwa haamini hata kama kuna upendo)

Anafikiria hata kama ataona, mbona ndoa nyingi  hazifiki mwisho, au mbona ugomvi ndani ya ndoa hauishi.

Vyovyote vile , kwa sababu zozote zile, lakini mwanaume huyu anaonyesha kuchukia  taasisi ya ndoa, na hataki kuingia huko, ndio maana hataki kuoa.

Kama utasikia akisema hivyo mwamini.

Haonyeshi kama atatafuta mwingine ambaye ataweza kubadili mawazo yake kuhusu kuoa.hata kama mnakaa pamoja na mnapendana sana , lakini hatafunga ndoa.

Ina Maana Gani Anaposema Muda Wa kuoa Bado.

Huyu ni aina nyingine tena.Anasema muda bado, anakuwa na sababu nyingi.Kama hali yake ya maisha haijakaa sawa, hajajenga nyumba, hana gari, na sababu kibao.

Mwanaume huyu hana tatizo katika kuoa , Ila wakati bado , hataweza kuoa wakati unaotaka wewe, hata kwa sababu zipi hataweza.

Unachotakiwa kufanya ni kumwamini anachokisema.

Sababu zake hazina msingi. Kitu cha msingi ni Ukweli anaokuambia.Inaumiza lakini ndio ukweli.Inavunja moyo lakini ndio ukweli, Amini hilo na itaokoa muda wa kwako kusubiri.Na wakati huo huo utakuwa unafanya maamuzi ya kusubiri, kukubali  jinsi ilivyo.

Lakini kumbuka kuwa ndoa ni kitu cha muhimu sana.

Wanaume wanaosema hawataoa  huongea ukweli.Kama anakuambia hatakuoa Amini tu.

Wanaume wanajua ni mwanamke wa aina gani atakayeishi nae  maisha yake yote, uwe makini  asije akawa anakutumia huku ana mipango yake .Yapo mambo wanaume huyapenda kwa mwanamke, vile vile yapo mambo ambayo wanawake wanapenda kwa mwanaume. Kama unaona unamlazimisha jambo fulani hataki , kuwa makini.

MWANAUME ANAPOSEMA HATAKI KUKUOA: MWAMINI  Naandika hii makala kwa sababu nimekutana na maswali mengi  ambayo yanaumiza wanawake wengi. Swali linakuwa hivi. Nimekuwa na huyu mwanaume kwa muda mrefu na tumekuwa tukishirikiana mambo mengi. Sijawahi  kuwa na hisia kama nilizo nazo kwa mwanaume huyu kwa mtu yeyote. Na nilijua tutakuwa pamoja maisha yetu yote. Tatizo ni kwamba  anasema hataki kunioa? Nitafanyaje ili aweze kujua kuwa nampenda na tunaendana vizuri pamoja na tunatakiwa tuoane? Wanaume wengi huwa wanaogopa kuweka ahadi kama hawana uhakika na upendo walio nao kwa mwanamke. Semeni ukweli wanaume. Je ameongelea kuhusu maisha ya baadae? Kuna mpango gani? Ni rahisi kubadilisha mwanaume? Unawezaje kumlazimisha akuoe? Kitu gani cha kufanya kama amesema hawezi kukuoa? Kama amesema hatakuoa, Mwamini . Elewa. Najua tayari jibu umepata kwenye maandiko yangu ya juu, lakini napenda kurudia,  huwezi kumlazimisha mwanaume akuoe kama amesema hataki kukuoa. Hataweza. Sasa basi sisemi kama haiwezekani kweli. Kuna wanaume ambao husema hawatakuoa na hubadili mawazo yao na kuamua kuoa mwanamke ambaye alikuwa hapendi kumuoa. Lipo hilo. Mwanaume anayesema hatakuoa na wakati anaishi na wewe, mara nyingi  anakupotezea muda na atakwenda kuoa mtu mwingine anayempenda kuliko wewe. Tuangalie kwa nini iko hivyo. Ina maana gani anapokuwa anaongea kuhusu kuchukia ndoa Aina ya mwanaume ambaye atakuambia hatakuoa ni yule ambaye anachukizwa na taasisi ya ndoa au sheria yake. Mwanaume huyo hafikirii kama  wazo la kuoa ni zuri kwa kila mtu- anaona hata wanandoa ambao wako pamoja hawaonyeshi kama wana upendo wa kutosha, hawana upendo wa kweli ( anaweza kuwa haamini hata kama kuna upendo) Anafikiria hata kama ataona, mbona ndoa nyingi  hazifiki mwisho, au mbona ugomvi ndani ya ndoa hauishi. Vyovyote vile , kwa sababu zozote zile, lakini mwanaume huyu anaonyesha kuchukia  taasisi ya ndoa, na hataki kuingia huko, ndio maana hataki kuoa. Kama utasikia akisema hivyo mwamini. Haonyeshi kama atatafuta mwingine ambaye ataweza kubadili mawazo yake kuhusu kuoa.hata kama mnakaa pamoja na mnapendana sana , lakini hatafunga ndoa. Ina Maana Gani Anaposema Muda Wa kuoa Bado. Huyu ni aina nyingine tena.Anasema muda bado, anakuwa na sababu nyingi.Kama hali yake ya maisha haijakaa sawa, hajajenga nyumba, hana gari, na sababu kibao. Mwanaume huyu hana tatizo katika kuoa , Ila wakati bado , hataweza kuoa wakati unaotaka wewe, hata kwa sababu zipi hataweza. Unachotakiwa kufanya ni kumwamini anachokisema. Sababu zake hazina msingi. Kitu cha msingi ni Ukweli anaokuambia.Inaumiza lakini ndio ukweli.Inavunja moyo lakini ndio ukweli, Amini hilo na itaokoa muda wa kwako kusubiri.Na wakati huo huo utakuwa unafanya maamuzi ya kusubiri, kukubali  jinsi ilivyo. Lakini kumbuka kuwa ndoa ni kitu cha muhimu sana. Wanaume wanaosema hawataoa  huongea ukweli.Kama anakuambia hatakuoa Amini tu. Wanaume wanajua ni mwanamke wa aina gani atakayeishi nae  maisha yake yote, uwe makini  asije akawa anakutumia huku ana mipango yake .Yapo mambo wanaume huyapenda kwa mwanamke, vile vile yapo mambo ambayo wanawake wanapenda kwa mwanaume. Kama unaona unamlazimisha jambo fulani hataki , kuwa makini.

...
Kuto0Ombana Ukiwa Na Mimba





Kufanya mapenzi wakati wa mwanamke kuwa mja mzito ni jambo la kawaida. Mambo mengi yamesemwa kulingana na swala la kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito.

Mwanamke pia hujiskia hajiamani kwa umbo lake na hujiskia hapendizi machoni mwa bwanake ama mpeziwe. Hii haina maana kwamba mwanamke aliye na mimba hawezi kujifurahisha kwa ngono kama wanawake wenzake.

Kwa kusema hivyo, wanandoa wanaweza kufanya mapenzi wakati mwanamke mwenyewe yupo na mimba. Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba hakuwezi kumdhuru mtoto.

Mfuko wa uzazi humkinga mtoto kutokana na madhara yoyote yanayoweza kutokana na kufanya mapenzi mwanamke akiwa mja mzito.

Hata kama kufanya mapenzi huwa kitu kinachopendwa kwa utamu wake, wataalamu wanahimiza mwanamke mja mzito asifanye mapenzi kama amewahi kuwa na mambo yafuatayo;

Kuvuja damu. Kama mwanamke amewahi kuvuja damu wakati akiwa mja mzito, ni muhimu asijaribu kufanya mapenzi hata kidogo. Kufanya ngono kunaweza kuzidisha uvujaji wa damu ambayo sio nzuri kwa hali ambayo yupo.Kama mwanamke ako na historia ya kuwa na mfuko wa uzazi dhaifuKama pia mwanamume ako na malengelenge sehemu za siri.Kama mwanamke amewahi poteza mtoto wakati wa kuzaa. Kama mwanamke ana historia ya kupoteza mimba, ni muhimu kukosa kujaamiana na mwanamume wake.Kama mwanamke hana hali nzuri ya kiafya ama ni mdhaifu.Kama maji ya uzazi yamepasuka

Kufanya ngono na mwanamke wakati yupo na mimba huwa na umuhimu wake pia. Baadhi ya umuhimu wa kukula uroda wakati mwanamk yupo mja mzito ni kama;

Kufanya ngono humsaidia mwanamke kulala vizuri. Wanawake huwa na uchovu mwingi wakati wa uja uzito na hutaka kupumzika sana. Kufanya mapenzi humsaidia yeye kulala usingizi mnono.Kutombana wakati wa uja uzito pia husaidia kupunguza uchungu wakati wa kuzaa. Kukula uroda husaidia kuongeza kiasi cha uuke na huongeza maji ya uuke ambayo husaidia wakati wa kuzaa.Kufanya mapenzi wakati wa uja uzito husaidia kuongeza mahaba kati ya wapenzi hao. Mapenzi huongezeka kwa kufanya ngono wakati huu.Utamu wa ngono hukaa kwa mda mrefu wakati mwanamke yupo na mimba. Mwanamume anapompenya mwanamke, na wanapokula uroda, utamu huwa tele kuliko wakati mwingine.Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba huongeza kinga ya mwili kutokana na magonjwa. Kwa kuongeza kinga ya mwili, mwanamke yule atakuwa hawezi kuambukiwa magonjwa haraka.Kutombana wakati wa uja uzito hupa mama na mtoto wake furaha na kuwafanya wawe wametulia na kupumzika.Kufanya mapenzi husaidia pia kupunguza kalori mwilini. Kwa kupunguza kalori, mwanamke huwa katika hali nzuri ya kinga kutokana na magonjwa.Kufanya mapenzi pia husaidia kwa uzazi. Wakati mwanamke anatarajia kupata mtoto huwa ako na maumivu ambayo hukaa sana. Ngono wakati wa uja uzito husaidia kupunguza wakati huo wa uzazi.

Kama mwanamume ukitaka kumtomba mwanamke wako aliye na mimba na kumfanya afurahie unaweza fanya mitindo ifuatayo;

1- Mwanamke akiwa juu

Mtindo mmoja ambao ni mzuri wa kufanya mapenzi na mwanamke aliye na mimba ni kama yuko juu ya mwanamume.

Mwanamume anafaa kulala kwa mgogo wake na amwachie mwanamke kukaa juu ili aweze kupenya uuke wake. Hii husaidia ili mwanamume asimfinye mwanamke tumbo. Mwanamke pia atafurahia kwa vile atakuwa hatachoka sana.

2- Kuto0mbana kama mmelala na upande

Mtindo mwingine wa kufanya mapenzi na mwanamke mwenye mimba ni kama mmelala kwa upande. Hapa mwanamume huwa nyuma ya mwanamke.

Mwanamume huweza kupenya uuke wa mwanamke yule kutoka nyuma karibu na tako. Mtindo huu ni mzuri kwani huhakikisha kwamba mwanamume anapenya mwanamke ule kidogo tu sio kwa sana.

3- Kut00ombana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana

Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo.

4- Kuto00mbana kama mmeketi

Kufanya mapenzi kama mmeketi pia ni aina ya mtindo ambao wapendanao wanaweza tumia. Hii aina husaidia mfuko wa uzazi usifinywe wakati wa ngono.

Mwanamume ataketi kitini naye mwanamke atamkalia na kumwezesha mwanamume kupenya uuke wake. Mwanamke hapa atachukua usukani ili aweze kuzingatia kiasi cha uume unaompenya.

5- Kuto00mbana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana

Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo.

6- Kwa kutumia mikono kwa uuke wa mwanamke

Mwanamke anaweza kuwa na uoga wa uume wa mwanamume kumpenya. Kwa sababu hii mwanamume anaweza kutumia vidole vyake na kwa taratibu akasungua na kuupapasa uuke wa mwanamke wake.

Anaweza pia kupapasa kinembe cha mwanamke yule pole pole na kuzidi kasi mwanamke anapopata hamu.

7- Kwa kutumia midoli ya kufanya mapenzi

Mwanamume pia anaweza kutumia midoli ya mapenzi kwa kufanya mapenzi na mwanamke wake aliye na mimba.

Kwa kutumia midoli hii, mwanamume anaweza mpenya mwanamke kwa utaratibu na kwa kupapasa kinembe cha mwanamke yule na kumpa raha zaidi.

Kutumia midoli itamsaidia mwanamke ambaye ako na uoga wa mwanawe kuadhiriwa wakati wa ngono.

8- Kwa kupeana punyeto

Wapenzi wanaweza kupeana punyeto kama njia yao ya kufanya mapenzi. Mwanamke anaweza kupapasa uume wa mwanamume wake naye mwanamume akampapa uuke wake.

Kwa kufanya hivi wote watapeana raha na wataridhika katika kukula uroda. Hii husaidia kama mwanamke ako na tashwishi kutokana na mwamanume kumtomba na uume wake.

Kufanya mapenzi ama kutombana kunafaa kuchukuliwe kama kitu muhimu hususan wakati mwanamke yupo na uja uzito. Kufanya ngono katika uja uzito ni kitu cha kawaida na wapenzi wanafaa kufanya hima kuhakikisha wanajaribu ngono kwani ina manufaa makubwa kwao wawili, kwa mtoto na kwa mwanamke mwenyewe.

Ngono husaidia kwa uzazi, kwa kuongeza mapenzi kati ya wapenzi wawili, kupanuua uuke kati ya mengineo. Hata ingawa kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito ni jambo la manufaa, tahadhari inafaa ichukuliwe pia.

Mwanamke ambaye anavuja damu, ambaye ana historia ya kupoteza mimba na ambaye mfuko wake wa uzazi ni hafifu, hafai kujihusisha katika kutombana hata kidogo.

Kwani kwa kujihusisha katika kutombana huwa anadhuru mimba yake. Pia cha muhimu kuzingatia ni mitindo ambayo wapenzi wale watatumia katika kushiriki ngono ili pia wasije wakadhuru mimba ama hali ya mtoto na pia mwanamke asiweze kuchoka wakati wa ngono.

Kwa yote tisa, kumi ni kuhakikisha kwamba mwanamume anavalia mpira wakati wa ngono ili pia kuzuia maambukizi.

Kumbukumbu

Kuto0Ombana Ukiwa Na Mimba  Kufanya mapenzi wakati wa mwanamke kuwa mja mzito ni jambo la kawaida. Mambo mengi yamesemwa kulingana na swala la kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito. Mwanamke pia hujiskia hajiamani kwa umbo lake na hujiskia hapendizi machoni mwa bwanake ama mpeziwe. Hii haina maana kwamba mwanamke aliye na mimba hawezi kujifurahisha kwa ngono kama wanawake wenzake. Kwa kusema hivyo, wanandoa wanaweza kufanya mapenzi wakati mwanamke mwenyewe yupo na mimba. Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba hakuwezi kumdhuru mtoto. Mfuko wa uzazi humkinga mtoto kutokana na madhara yoyote yanayoweza kutokana na kufanya mapenzi mwanamke akiwa mja mzito. Hata kama kufanya mapenzi huwa kitu kinachopendwa kwa utamu wake, wataalamu wanahimiza mwanamke mja mzito asifanye mapenzi kama amewahi kuwa na mambo yafuatayo; Kuvuja damu. Kama mwanamke amewahi kuvuja damu wakati akiwa mja mzito, ni muhimu asijaribu kufanya mapenzi hata kidogo. Kufanya ngono kunaweza kuzidisha uvujaji wa damu ambayo sio nzuri kwa hali ambayo yupo.Kama mwanamke ako na historia ya kuwa na mfuko wa uzazi dhaifuKama pia mwanamume ako na malengelenge sehemu za siri.Kama mwanamke amewahi poteza mtoto wakati wa kuzaa. Kama mwanamke ana historia ya kupoteza mimba, ni muhimu kukosa kujaamiana na mwanamume wake.Kama mwanamke hana hali nzuri ya kiafya ama ni mdhaifu.Kama maji ya uzazi yamepasuka Kufanya ngono na mwanamke wakati yupo na mimba huwa na umuhimu wake pia. Baadhi ya umuhimu wa kukula uroda wakati mwanamk yupo mja mzito ni kama; Kufanya ngono humsaidia mwanamke kulala vizuri. Wanawake huwa na uchovu mwingi wakati wa uja uzito na hutaka kupumzika sana. Kufanya mapenzi humsaidia yeye kulala usingizi mnono.Kutombana wakati wa uja uzito pia husaidia kupunguza uchungu wakati wa kuzaa. Kukula uroda husaidia kuongeza kiasi cha uuke na huongeza maji ya uuke ambayo husaidia wakati wa kuzaa.Kufanya mapenzi wakati wa uja uzito husaidia kuongeza mahaba kati ya wapenzi hao. Mapenzi huongezeka kwa kufanya ngono wakati huu.Utamu wa ngono hukaa kwa mda mrefu wakati mwanamke yupo na mimba. Mwanamume anapompenya mwanamke, na wanapokula uroda, utamu huwa tele kuliko wakati mwingine.Kufanya mapenzi wakati mwanamke yupo na mimba huongeza kinga ya mwili kutokana na magonjwa. Kwa kuongeza kinga ya mwili, mwanamke yule atakuwa hawezi kuambukiwa magonjwa haraka.Kutombana wakati wa uja uzito hupa mama na mtoto wake furaha na kuwafanya wawe wametulia na kupumzika.Kufanya mapenzi husaidia pia kupunguza kalori mwilini. Kwa kupunguza kalori, mwanamke huwa katika hali nzuri ya kinga kutokana na magonjwa.Kufanya mapenzi pia husaidia kwa uzazi. Wakati mwanamke anatarajia kupata mtoto huwa ako na maumivu ambayo hukaa sana. Ngono wakati wa uja uzito husaidia kupunguza wakati huo wa uzazi. Kama mwanamume ukitaka kumtomba mwanamke wako aliye na mimba na kumfanya afurahie unaweza fanya mitindo ifuatayo; 1- Mwanamke akiwa juu Mtindo mmoja ambao ni mzuri wa kufanya mapenzi na mwanamke aliye na mimba ni kama yuko juu ya mwanamume. Mwanamume anafaa kulala kwa mgogo wake na amwachie mwanamke kukaa juu ili aweze kupenya uuke wake. Hii husaidia ili mwanamume asimfinye mwanamke tumbo. Mwanamke pia atafurahia kwa vile atakuwa hatachoka sana. 2- Kuto0mbana kama mmelala na upande Mtindo mwingine wa kufanya mapenzi na mwanamke mwenye mimba ni kama mmelala kwa upande. Hapa mwanamume huwa nyuma ya mwanamke. Mwanamume huweza kupenya uuke wa mwanamke yule kutoka nyuma karibu na tako. Mtindo huu ni mzuri kwani huhakikisha kwamba mwanamume anapenya mwanamke ule kidogo tu sio kwa sana. 3- Kut00ombana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo. 4- Kuto00mbana kama mmeketi Kufanya mapenzi kama mmeketi pia ni aina ya mtindo ambao wapendanao wanaweza tumia. Hii aina husaidia mfuko wa uzazi usifinywe wakati wa ngono. Mwanamume ataketi kitini naye mwanamke atamkalia na kumwezesha mwanamume kupenya uuke wake. Mwanamke hapa atachukua usukani ili aweze kuzingatia kiasi cha uume unaompenya. 5- Kuto00mbana kama wapenzi wamelala pande kwa pande wakiangaliana Wapenzi wale wanaweza lala upande kwa upande wakiangaliana naye mwanamume akampenya mwanamke uuke wake. Mtindo huu itabidi mwanamume awe mwangalify aije akamfinya mwanamke tumbo. 6- Kwa kutumia mikono kwa uuke wa mwanamke Mwanamke anaweza kuwa na uoga wa uume wa mwanamume kumpenya. Kwa sababu hii mwanamume anaweza kutumia vidole vyake na kwa taratibu akasungua na kuupapasa uuke wa mwanamke wake. Anaweza pia kupapasa kinembe cha mwanamke yule pole pole na kuzidi kasi mwanamke anapopata hamu. 7- Kwa kutumia midoli ya kufanya mapenzi Mwanamume pia anaweza kutumia midoli ya mapenzi kwa kufanya mapenzi na mwanamke wake aliye na mimba. Kwa kutumia midoli hii, mwanamume anaweza mpenya mwanamke kwa utaratibu na kwa kupapasa kinembe cha mwanamke yule na kumpa raha zaidi. Kutumia midoli itamsaidia mwanamke ambaye ako na uoga wa mwanawe kuadhiriwa wakati wa ngono. 8- Kwa kupeana punyeto Wapenzi wanaweza kupeana punyeto kama njia yao ya kufanya mapenzi. Mwanamke anaweza kupapasa uume wa mwanamume wake naye mwanamume akampapa uuke wake. Kwa kufanya hivi wote watapeana raha na wataridhika katika kukula uroda. Hii husaidia kama mwanamke ako na tashwishi kutokana na mwamanume kumtomba na uume wake. Kufanya mapenzi ama kutombana kunafaa kuchukuliwe kama kitu muhimu hususan wakati mwanamke yupo na uja uzito. Kufanya ngono katika uja uzito ni kitu cha kawaida na wapenzi wanafaa kufanya hima kuhakikisha wanajaribu ngono kwani ina manufaa makubwa kwao wawili, kwa mtoto na kwa mwanamke mwenyewe. Ngono husaidia kwa uzazi, kwa kuongeza mapenzi kati ya wapenzi wawili, kupanuua uuke kati ya mengineo. Hata ingawa kukula uroda wakati mwanamke yupo mja mzito ni jambo la manufaa, tahadhari inafaa ichukuliwe pia. Mwanamke ambaye anavuja damu, ambaye ana historia ya kupoteza mimba na ambaye mfuko wake wa uzazi ni hafifu, hafai kujihusisha katika kutombana hata kidogo. Kwani kwa kujihusisha katika kutombana huwa anadhuru mimba yake. Pia cha muhimu kuzingatia ni mitindo ambayo wapenzi wale watatumia katika kushiriki ngono ili pia wasije wakadhuru mimba ama hali ya mtoto na pia mwanamke asiweze kuchoka wakati wa ngono. Kwa yote tisa, kumi ni kuhakikisha kwamba mwanamume anavalia mpira wakati wa ngono ili pia kuzuia maambukizi. Kumbukumbu

...
Jinsi ya kumtongoza mwanamke kwa njia 10 muhimu






Mwanamke ni kiumbe anayependa  kuonyeshwa mapenzi kila wakati. Kumtongoza mwanamke kunaweza kuwa kazi ngumu sana usipozingatia mambo kadhaa muhimu.

Ukitaka kuweza kumtongoza mwanamke lazima ujue anachotaka yeye. Waweza kushangaa kwamba wanachotaka wanawake ni vitu vidogo ambavyo waweza timiza ili kuweza kumfanya akukubali hata kuzungumza na wewe.

Waweza kumtongoza mwanamke ukizingatia mambo yafuatayo

Msikilize mwanamke unayemtongoza

Wanawake hupenda mtu ambaye anawasikiliza kwa kila jambo wanachosema. Ni muhimu unapopatana na mwanamke sharti uwe makini na anacho simulia.

Kuwa mtu ambaye anauliza maswali na anaye taka kujua zaidi juu ya huyu mwanamke. Muulize kazi anayofanya, anakoishi, na mwonyeshe kwamba unamsikiliza kwa kuuliza swali unapotaka ufafanuzi.

Mwanamke huskia ako huru kwa mwanamme ambaye anamsikiliza kwa maana hii huonyesha mwanamume anamdhamini huyo mwanamke.

Kwa kumwonyesha kwamba wewe una nia ya kujua mahitaji yake, kwa matendo yako, si maneno yako, kutakusaidia kumwonyesha kwamba wewe ni mtu anayeweza kuwa naye maishani mwake.

Kuweka kipaumbele mahitaji yake na kumsikiza kutakusaidia kwa kumtongoza mwanamke huyo.

Mwanamke hupenda mtu mwenye kujiamini

Unapomwongelesha mwanamke lazima uwe mtu mwenye kujiamini. Ujasiri na kujiamini ni kitengo kikubwa kinachofafanua mwanamume.

Unapomwongelesha mwanamke lazimi uonyeshe ujasiri mbele yake. Kama Warren Farrell, Ph.D., anavyosema “Jambo linalomvutia mwanamke kwa mwanamume ni mwanamume mwenye ujasisiri”.

Ujasiri utamvutia mwanamke kwa kujua mwanamume anazungumza na kujibeba kwa ujasiri.

Mwanamke hupenda kuwa karibu na mwanamume anayevutia

Kuvutia kwa mwanamume huja kwa njia kadhaa. Mwanamke hupenda mwanamume ambaye hachoshi kwa hadithi zake, ni mcheshi, anachangia kwa mazungumzo kati yao na anaye hakikisha kwamba mwanamke anajiskia huru kwa maongezi.

Kama mwanamume, hakikisha unatoa mifano inayoendana na maongezi mliyo nayo. Hakikisha mnayoyaongelea yanachangiwa na nyinyi wawili.

Mwanamume aliemcheshi na mwenye kumvutia mwanamke kwa anavyoendeleza mazungumzo ndie aliye na nafasi kubwa ya kumpata mwanamke anayetarajia ama aliye na hamu naye.

Kumbuka kwamba usiwe ni wewe pekee unayeongea, mwachie pia mwanamke achangie pia. Ukizingatia haya, mwanamke hujiskia yuko huru nawe na anaweza ongelea chochote.

Mwanamke hapendi mtu mwenye haraka

Haraka hapa ina maana, kwa kutongoza mwanamke lazima uwe mtu mwenye subra sana. Kinachomfanya mtu awe na hamu ya kuwa na mwingine ni matarajio anayopata rohoni.

Unapopatana na mwanamke kwa wakati wa kwanza, usimwonyeshe kwa umbele unachotaka, lakini taka kumsikiliza, mjue jina, anachofanya kazini, na mambo mengine kwanza.

Kwa kufanya haya mwanamke ataona kwamba unahamu naye na kwamba atajiskia wa maana kwako. Jambo hili litakusaidia sana kwa kutongoza huyo mwanamke.

Kitu cha muhimi ni kwanza upate kuwa marafiki na mwanamke yule ili uweze kupata nafasi nzuri ya kumtongoza.

Ubinafsi wa kipekee

Mwanamke hupenda vitu vya kipekee sio vitu vinavyoigwa kwingine. Usije ukafanya ama ukanena kama mwanamume mwingine ili kumshinda huyo binti. Kuwa na ubinafsi wako, fanya mambo yako kwa kipekee.

Kuiga wengine hakutakusaidia kwani mwanamke atakuona kama mtu asiyejiamini. Mwanamke hupenda manamume ambaye ni tofauti na wanaume wengine ambao amewahi kutana nao hapo mwanzo.

Ni vizuri kuwa na vitu ambavyo ni vya kipekee kwako. Kama sauti yako, vile wacheka vile wamtizama mwanamke yule, vile wavaa, vile umejipaka manukato mazuri. Upekee huu hukupa nafasi ya mbele kwa mpango wako wa kumtongoza mwanamke yule.

Mavazi na usafi

Mwanamke hupenda usafi sana. Ukitaka mwanamke aweze kuvutiwa nawe lazima uvae vizuri na uwe safi. Kuvaa vizuri, nguo zinazokufanya upendeze huwa njia moja ya kuvutia wanawake.

Pia kuwa makini na usafi. Kuoga vizuri, kujipaka manukato yanayo vutia, kuweka nywele, nguo safi husaidia sana kwa kukupa ujasiri wa kumwendea mwanamke uliye na hamu naye.

Sio lazima uvae mavazi ghali, lakini valia kwa kupendeza. Mwanamke hupenda mtu anayejiamini katika alichovalia.

Muziki

Kwa miaka mingi muziki umejulikana kuwa chombo cha kuonyesha mapenzi ama kama namna ya kumtongoza mwanamke. Mwanamke hupenda kuonyeshwa kwamba ni mtu wa thamani kwa mwanamume.

Muziki waweza kukusaidia kuweka mazingira yenye utulivu na yenye riwaya ya mahaba. Kumbuka kumzingatia wakati unaweka muziki ule, jua mbeleni muziki anaopenda na fanya hima kwamba unamtumbuiza na aina hizo kwa kikamilifu.

Ukifanya hivyo, mwanamke ataoona kwamba unathamini. Weka muziki wenye utulivu, wenye mahaba na wenye kumsifu mtu wa kike na uzuri wake kwa kumwonyesha mapenzi.

Bidii ya kuwa makini kwa mwanamke na kumpa pongezi wakati wowote

Mwanamke ni kiumbe anayependa kusifiwa na kupongezwa sana. Kwa mwanamume ni muhimu kwamba kwa kumtongoza mwanamke, kumbuka kila wakati kumpongeza kwa kuvaa kwake, nywele, viatu, anavyong’aa.

Ni muhimu kumwonyesha kwamba umefurahia bidii yake ya kuvaa vyema na kuhakikisha anakaa vyema mnapokutana. Mwanamke hujiskia mwenye thamana sana kwa kujua kwamba kuna mwanamume amemwona anakaa sawa.

Mwambie wapenda alivyosongwa, anavyotoa busu, anavyocheka, na kila kidogo anachofanya. Utashangaa kwamba yaweza onekana ni mambo madogo lakini huchangia katika kutongoza mwanamke.

Mpikie chajio mwanamke unayemtongoza

Kama mwanamume hakuna kitu cha muhimu kama kumpikia mwanamke uliye na macho kwake. Mwanamume ajuaye kupika huwa anawavutia wanawake sana.

Unaweza kumwalika mwanamke kwako ka chajio. Fanya hima ukajua chakula anachopenda binti unaye mtarajia, ukahakikisha umepika chakula kitamu na kinachovutia kwa kuangalia na harufu tamu.

Mwandalie mezani pamoja na kinyuaji. Kuwa umehakikisha kuna mazingira yenye utulivu na pia weka mziki wenye mahaba. Mwanamke hujihisi mwenye thamani sana. Hapa utakuwa umejiongezea pointi kadhaa kwa mpango wako wa kumtongoza binti yule.

Zawadi

Kila mwanamke hupenda kupata zawadi wakati wowote. Kama mwanamume itakusaidia pakubwa kwa mpango wako wa kumtogoza binti yeyote. Zawadi zaweza kuwa tofauti.

Waweza mtumia maua ya waridi kazini, ukakumbuka kumtumia chokoleti wakati wa wapendanao, ukamtumania kahawa asubuhi akiingia kazini.

Kwa kufanya vile, mwanamke hujiskia wa dhamana na anayependwa. Wanawake pia hupenda kupelekwa mahali pa zuri ambapo anaweza kujibinjari.

Mpeleke densi, mpeleke mahali mkala chajio, mpeleke mbugani kwa wanyama ama kwa safari. Kufanya vile kutakupatia pointi nyingi kwa mtazamo wako wa kumtongoza mwanamke yule.

Kama kawaida wanawake na wanaume huwa na hamu ya kujuana na kuishi maisha pamoja. Katika kumtongoza mwanamke lazima kwanza mwanamume afahamu nini mwanamke yule anachopenda.

Pia inabidi mwanamume pia kumpa sikio binti yule wakati wowote wanapozungumza na kuuliza mwaswali asipoelewa kitu. Mpe wanamke pongezi wakati wowote mnapopatana, mpe pongezi kwa kusukwa vizuri, kupaka kucha vizuri, kuvaa nguo vizuri, tabasamu lake na anavyocheka.

Mara kwa mara mpe zawadi za hapa na pale. La muhimu sana ni mwanamke huvutiwa na mwanamume anaye jiamini.

Ukiwa mwanamume ambaye anajiamini, itamfanya mwanamke yule kujiskia huru kuwa karibu nawe na hio itakusaidia katika hali ya kumtongoza.

Jinsi ya kumtongoza mwanamke kwa njia 10 muhimu  Mwanamke ni kiumbe anayependa  kuonyeshwa mapenzi kila wakati. Kumtongoza mwanamke kunaweza kuwa kazi ngumu sana usipozingatia mambo kadhaa muhimu. Ukitaka kuweza kumtongoza mwanamke lazima ujue anachotaka yeye. Waweza kushangaa kwamba wanachotaka wanawake ni vitu vidogo ambavyo waweza timiza ili kuweza kumfanya akukubali hata kuzungumza na wewe. Waweza kumtongoza mwanamke ukizingatia mambo yafuatayo Msikilize mwanamke unayemtongoza Wanawake hupenda mtu ambaye anawasikiliza kwa kila jambo wanachosema. Ni muhimu unapopatana na mwanamke sharti uwe makini na anacho simulia. Kuwa mtu ambaye anauliza maswali na anaye taka kujua zaidi juu ya huyu mwanamke. Muulize kazi anayofanya, anakoishi, na mwonyeshe kwamba unamsikiliza kwa kuuliza swali unapotaka ufafanuzi. Mwanamke huskia ako huru kwa mwanamme ambaye anamsikiliza kwa maana hii huonyesha mwanamume anamdhamini huyo mwanamke. Kwa kumwonyesha kwamba wewe una nia ya kujua mahitaji yake, kwa matendo yako, si maneno yako, kutakusaidia kumwonyesha kwamba wewe ni mtu anayeweza kuwa naye maishani mwake. Kuweka kipaumbele mahitaji yake na kumsikiza kutakusaidia kwa kumtongoza mwanamke huyo. Mwanamke hupenda mtu mwenye kujiamini Unapomwongelesha mwanamke lazima uwe mtu mwenye kujiamini. Ujasiri na kujiamini ni kitengo kikubwa kinachofafanua mwanamume. Unapomwongelesha mwanamke lazimi uonyeshe ujasiri mbele yake. Kama Warren Farrell, Ph.D., anavyosema “Jambo linalomvutia mwanamke kwa mwanamume ni mwanamume mwenye ujasisiri”. Ujasiri utamvutia mwanamke kwa kujua mwanamume anazungumza na kujibeba kwa ujasiri. Mwanamke hupenda kuwa karibu na mwanamume anayevutia Kuvutia kwa mwanamume huja kwa njia kadhaa. Mwanamke hupenda mwanamume ambaye hachoshi kwa hadithi zake, ni mcheshi, anachangia kwa mazungumzo kati yao na anaye hakikisha kwamba mwanamke anajiskia huru kwa maongezi. Kama mwanamume, hakikisha unatoa mifano inayoendana na maongezi mliyo nayo. Hakikisha mnayoyaongelea yanachangiwa na nyinyi wawili. Mwanamume aliemcheshi na mwenye kumvutia mwanamke kwa anavyoendeleza mazungumzo ndie aliye na nafasi kubwa ya kumpata mwanamke anayetarajia ama aliye na hamu naye. Kumbuka kwamba usiwe ni wewe pekee unayeongea, mwachie pia mwanamke achangie pia. Ukizingatia haya, mwanamke hujiskia yuko huru nawe na anaweza ongelea chochote. Mwanamke hapendi mtu mwenye haraka Haraka hapa ina maana, kwa kutongoza mwanamke lazima uwe mtu mwenye subra sana. Kinachomfanya mtu awe na hamu ya kuwa na mwingine ni matarajio anayopata rohoni. Unapopatana na mwanamke kwa wakati wa kwanza, usimwonyeshe kwa umbele unachotaka, lakini taka kumsikiliza, mjue jina, anachofanya kazini, na mambo mengine kwanza. Kwa kufanya haya mwanamke ataona kwamba unahamu naye na kwamba atajiskia wa maana kwako. Jambo hili litakusaidia sana kwa kutongoza huyo mwanamke. Kitu cha muhimi ni kwanza upate kuwa marafiki na mwanamke yule ili uweze kupata nafasi nzuri ya kumtongoza. Ubinafsi wa kipekee Mwanamke hupenda vitu vya kipekee sio vitu vinavyoigwa kwingine. Usije ukafanya ama ukanena kama mwanamume mwingine ili kumshinda huyo binti. Kuwa na ubinafsi wako, fanya mambo yako kwa kipekee. Kuiga wengine hakutakusaidia kwani mwanamke atakuona kama mtu asiyejiamini. Mwanamke hupenda manamume ambaye ni tofauti na wanaume wengine ambao amewahi kutana nao hapo mwanzo. Ni vizuri kuwa na vitu ambavyo ni vya kipekee kwako. Kama sauti yako, vile wacheka vile wamtizama mwanamke yule, vile wavaa, vile umejipaka manukato mazuri. Upekee huu hukupa nafasi ya mbele kwa mpango wako wa kumtongoza mwanamke yule. Mavazi na usafi Mwanamke hupenda usafi sana. Ukitaka mwanamke aweze kuvutiwa nawe lazima uvae vizuri na uwe safi. Kuvaa vizuri, nguo zinazokufanya upendeze huwa njia moja ya kuvutia wanawake. Pia kuwa makini na usafi. Kuoga vizuri, kujipaka manukato yanayo vutia, kuweka nywele, nguo safi husaidia sana kwa kukupa ujasiri wa kumwendea mwanamke uliye na hamu naye. Sio lazima uvae mavazi ghali, lakini valia kwa kupendeza. Mwanamke hupenda mtu anayejiamini katika alichovalia. Muziki Kwa miaka mingi muziki umejulikana kuwa chombo cha kuonyesha mapenzi ama kama namna ya kumtongoza mwanamke. Mwanamke hupenda kuonyeshwa kwamba ni mtu wa thamani kwa mwanamume. Muziki waweza kukusaidia kuweka mazingira yenye utulivu na yenye riwaya ya mahaba. Kumbuka kumzingatia wakati unaweka muziki ule, jua mbeleni muziki anaopenda na fanya hima kwamba unamtumbuiza na aina hizo kwa kikamilifu. Ukifanya hivyo, mwanamke ataoona kwamba unathamini. Weka muziki wenye utulivu, wenye mahaba na wenye kumsifu mtu wa kike na uzuri wake kwa kumwonyesha mapenzi. Bidii ya kuwa makini kwa mwanamke na kumpa pongezi wakati wowote Mwanamke ni kiumbe anayependa kusifiwa na kupongezwa sana. Kwa mwanamume ni muhimu kwamba kwa kumtongoza mwanamke, kumbuka kila wakati kumpongeza kwa kuvaa kwake, nywele, viatu, anavyong’aa. Ni muhimu kumwonyesha kwamba umefurahia bidii yake ya kuvaa vyema na kuhakikisha anakaa vyema mnapokutana. Mwanamke hujiskia mwenye thamana sana kwa kujua kwamba kuna mwanamume amemwona anakaa sawa. Mwambie wapenda alivyosongwa, anavyotoa busu, anavyocheka, na kila kidogo anachofanya. Utashangaa kwamba yaweza onekana ni mambo madogo lakini huchangia katika kutongoza mwanamke. Mpikie chajio mwanamke unayemtongoza Kama mwanamume hakuna kitu cha muhimu kama kumpikia mwanamke uliye na macho kwake. Mwanamume ajuaye kupika huwa anawavutia wanawake sana. Unaweza kumwalika mwanamke kwako ka chajio. Fanya hima ukajua chakula anachopenda binti unaye mtarajia, ukahakikisha umepika chakula kitamu na kinachovutia kwa kuangalia na harufu tamu. Mwandalie mezani pamoja na kinyuaji. Kuwa umehakikisha kuna mazingira yenye utulivu na pia weka mziki wenye mahaba. Mwanamke hujihisi mwenye thamani sana. Hapa utakuwa umejiongezea pointi kadhaa kwa mpango wako wa kumtongoza binti yule. Zawadi Kila mwanamke hupenda kupata zawadi wakati wowote. Kama mwanamume itakusaidia pakubwa kwa mpango wako wa kumtogoza binti yeyote. Zawadi zaweza kuwa tofauti. Waweza mtumia maua ya waridi kazini, ukakumbuka kumtumia chokoleti wakati wa wapendanao, ukamtumania kahawa asubuhi akiingia kazini. Kwa kufanya vile, mwanamke hujiskia wa dhamana na anayependwa. Wanawake pia hupenda kupelekwa mahali pa zuri ambapo anaweza kujibinjari. Mpeleke densi, mpeleke mahali mkala chajio, mpeleke mbugani kwa wanyama ama kwa safari. Kufanya vile kutakupatia pointi nyingi kwa mtazamo wako wa kumtongoza mwanamke yule. Kama kawaida wanawake na wanaume huwa na hamu ya kujuana na kuishi maisha pamoja. Katika kumtongoza mwanamke lazima kwanza mwanamume afahamu nini mwanamke yule anachopenda. Pia inabidi mwanamume pia kumpa sikio binti yule wakati wowote wanapozungumza na kuuliza mwaswali asipoelewa kitu. Mpe wanamke pongezi wakati wowote mnapopatana, mpe pongezi kwa kusukwa vizuri, kupaka kucha vizuri, kuvaa nguo vizuri, tabasamu lake na anavyocheka. Mara kwa mara mpe zawadi za hapa na pale. La muhimu sana ni mwanamke huvutiwa na mwanamume anaye jiamini. Ukiwa mwanamume ambaye anajiamini, itamfanya mwanamke yule kujiskia huru kuwa karibu nawe na hio itakusaidia katika hali ya kumtongoza.

...

Zoezi lenye kuufanya uume usimame kwa muda mrefu na kuchelewa kukojoa wakati wa kufanya mapenzi  Misuli inayohusika na nguvu za kiume na kuwahi kumaliza wakati wa tendo la kufanya mapenzi huitwa ”puboccugeous Muscle” maarufu inajulikana kama Pelvic Muscle. Misuli hii inapokuwa dhaifu,uwezo wa kusimamisha uume kwa muda mrefu na kuchelewa kukojoa wakati wa kufanya mapenzi huwa mdogo. Zoezi lenye uwezo wa kuongeza nguvu ya misuli ya uume ,linaloweza kuufanya uume kusimama kwa muda mrefu,bila kusinyaa wala kuchoka,hili ni zoezi kama mfano wa zoezi lolote la kunyanyua vyuma vizito ambalo husaidia misuli kuinuka ,kukua na kuongezeka ukubwa na nguvu. ZOEZI LA KWANZA Wataalam wa mambo ya mapenzi wamethibitisha zoezi la misuli ya uume liitwalo ”physiotherapy”ndiyo hurudisha uwezo wa nguvu za kiume za asili,zoezi hili halina madahara yoyote kiafya na linaweza kufanyika wakati wowote. JINSI YA KUFANYA ZOEZI HILI Ukiwa umekaa popote fanya zoezi hili asubuhi na jioni na hali ya kuwa hauna mkojo kabisa(yaani kojoa kwanza) Ukiwa umekaa anza kujibinya kama mtu aliyebanwa na mkojo halafu choo kipo mbali,bana ili mkojo usikutoke kwa kukaza misuli hiyo ya sehemu nyeti,fanya mara 20>25 asubuhi na jioni kila unavyobana hesabu 3 mpaka 5 kisha unaachia,unabana tena hivyo hivyo. Endelea na zoezi hilo kiasi cha wiki,baada ya wiki mbili ongeza ubanaji zaidi kutoka mara 20 mpaka 70. Endelea kufanya zoezi hili kwa wiki 6 na matokeo mazuri huanza kuonekana wiki ya 4 mpaka 6 FAIDA YA ZOEZI HILI 1.Husaidia mzunguko wa damu kuingia kwenye uume na kuufanya uume utanuke na kuwa mgumu zaidi 2. Misuli ya uume itakuwa imara na kuweza kuzuia shahawa na hivyo kukuwezesha kumridhisha mwenza wako kila mara 3. Litakuwezesha kujibana kila unapotaka kukojoa huwapo kwenye tendo la ndoa(usingoje mpaka utamu umezidi utashindwa)jibane kama unajizuia kukojoa mkojo wa kawaida lakini usikate kiuno wakati mwenzio anaendelea kutingisha nyonga. Ikiwezekana hata fikra za utamu huo zihamishe kwa sekunde kadhaa mpaka hali hiyo ya kutaka kukojoa ikiondoka zirudishe fikra ili kuendelea na mwenzio kwa pamoja katika game hilo la kiutu uzima. Kasi iendelee na utaendelea hivyo mpaka uhakikishe mwenzio amekojoa ,na anaweza kukojoa hata mara 3,yaani ukiridhika kuwa mwenzio ameridhika au ukiskia ile sauti “”inatoosha” ndyo sasa nawe ukojoe hapo mwenzio atapata raha zaidi. ZOEZI LA PILI Uinue juu na kuushusha uume wako,uchezeshe juu chini,chini juu mara 5 mpaka 10,fanya mara mbili tatu huku unapumzika kidogo,uwe unaminyaminya kidogo wakati huohuo unavuta hewa kwa pua na kuitoa kwa mdomo. fanya zoezi hili mara kwa mara japo mara 3 kwa wiki linaweza kukusaidia kuimarisha misuli yako ya uume. ZOEZI LA TATU Ufanyaji wa tendo la ndoa mara kwa mara huimarisha moyo,ubongo na misuli ya uume ,wanasayansi wamelithibitisha hili kuwa ufanyaji wa mara kwa mara husaidia uume kupata nguvu(zipo tofauti kati ya uwezo wa mwanamme mwenye mke mmoja na mwenye wake wengi) Mwenye wake wengi anaongeza nguvu zaidi, Mwenyez Mungu anataka wanaume wa kiislam waimarishe misuli hii kwa kutoa fursa ya kufanya tendo la ndoa mara kwa mara pale alipowaamrisha waoe kuanzia wake wawili mpaka wanne wakiweza. Kadri unavyoongeza mke ndivyo unavyojiongezea uwezo kwa aliyeoa wake wawili na zaidi,pima uwezo uliokuwa nao ulipokuwa na mke mmoja kisha zitazame nguvu hizo baada ya kuongeza mke wa pili watatu na wanne Ndiyo maana utakuta mtu mwenye wake wawili akifiwa na mmoja huongeza mke ili kuziba pengo hilo. 

...

MASHAIRI YA MAPENZI HADI RAHA *🅱 professional love* Mashairi huwa yana maana mengi kulingana ya mtu anvyoelewa mauthui yake. Mashairi ya mapenzi huzingatia mahaba. Mashairi ni fasihi ambayo inaweza tumika kuonyesha mapenzi kwa mtu ama kumtongoza mtu unayemtamani. Mashairi ya mapenzi san asana huzingatia ama huongelea hisia za mtu kwa wapendanao.  Mpenzi Wangu Mpenzi tumepitia mambo mengi duniani, Siku, miezi, miaka imepita, Lakini bado nina tabasamu, Ya kwamba naweza bado kukuita mpenzi wangu, Tulipopatana Maisha yangu hayakuwa na hamu, Ukaja ukanipa raha na kwa roho yangu, Ulinichukuwa nilivyokuwa, Kwa hali na mali, ulizingatia mapenzi, Mvutano umekuwa kati ya marafiki, Familia zetu hawakupenda mimi na wewe, Lakini waambie kwamba mimi ndiye wako mpenzi, Kwani letu limewekewa baraka na mwenyezi, Sikujua nitapenda tena, Mwanzoni niliyempenda alinivunja roho, Akasema sina kitu akamwendea Joho, Akanivunja hisia na mawazo, Akaniwacha kama mtu asiye na uwezo, Lakini wewe ukaja kama baraka mwenzio, Na kunionyesha naweza sahau ule wa mwanzo, Shida zangu za mbeleni, Ukaja ukazifunika sakafuni ndani, Ukanipa mwelekeo mpya wa Maisha, Ukanionyesha naweza penda, Na kwamba mapenzi yaweza dumu, Napokutazama kila siku, Namwomba Rabana akakuongezee maishani siku, Kwa vile ulinipenda kwa dhati, Nami nakuahidi kukupenda kama mfuko na shati, Mapenzi yetu yawe ya kudumu, Niite baba wa watoto wako, Nami nikuite mama wa watoto wangu. Wewe Ndiwe Kwa Maisha yangu wewe ndiye nahitaji, Macho yangu hayatasita kutazama uso wako unaopendeza na kung’aa Wanipa tumaini maishani kwa tabasamu lako, Pambaja lako lanipa utulivu wa maumivu yote moyoni, Wewe ndiwe wanipa raha maishani Moyo wangu nimekupa bila kusita, Maisha yangu yote nakupa wewe mpenzi, Wakati wangu, tuwe nawe siku za usoni, Chochote utakacho nitafanya, Kwani wewe ndiwe wanipa raha maishani, Umekuwa kando yangu kwa shida na raha, Umenisamehe nilipokukosea, Ulionyesha njia kila nilipopotoka, Hakuna kitu chocho duniani kinachoweza kulipa, Yote ambayo umenitendea, Nakuenzi mpenzi, wewe ndiwe.. Ninapokumbuka yote mpenzi, machozi yanitoka, Nashukuru Mola kwa kukupata wewe, Una ukarimu, uzuri wa matendo na aliye na mwelekeo mzuri, Nakupenda mpenzi, malaika wangu, Wewe ndiwe.. Maisha ni Kupendana Babu alinifunza mara kwa mara, “Mtunze mke wako naye akutunze, Mwanamke ni kiumbe apendaye mapenzi, Mpe kiasi cha haja” Nilipokuona nilijua ni wewe nahitaji, Kama mwenye kiu ya maji, Nikaapa hata mbele ya jaji, Kwamba nitakuwa nawe milele tukavishwa taji, Tukafunga ndoa na kubebwa na bajaji, Tulisema kwa hali na mali, Tutapendana kwa kila hali, Ukasema ndio sio la, Tukaahidi hatutakuwa na mbadala, Mimi na wewe atubariki Jalala, Mwaka umepita, na Mola katubariki, Mwana mrembo kafanana na wewe Kila siku tabasamu lake lanikumbusha wewe, Wewe mpenzi uliyetuacha, Kifo chako bado chanipa kiwewe, Madaktari walijaribu wawezalo, Lakini Mola kakupenda kutuliko. Macho yake, namwita Baraka, Yanikumbusha penzi lako, Tabasamu lako, busu lako mpenzi wangu, Nilipenda tuzeeke pamoja, Lakini Maisha mviringo, Picha yako machoni, Nikikumbuka tulivyo panga kimaisha, Mipango yetu ya kulea watoto wetu pamoja, Kama mama na mie kama baba, Nakuahidi mpenzi wangu, Mwana wetu atakuwa na malezi mufti, Atakuwa mja Mungu na mwenye busara, Kama mamake alivyokuwa, Nitakupenda daima mpenzi wangu, Tuliagana ni mimi na wewe maishani, Maisha ni kupendana, Yangu mie nawe yamekamatana. Siweza kukuambia 

...
Jinsi Ya Kufanya Mapenzi Na Mwanamke Bikra







Ubikra ni hali ya binadamu kuwa hajafanya mapenzi maishani mwake. Mwanamume au mwanamke ambaye hajawahi fanya ngono wote ni bikra. Imekuwa desturi kwamba wanawake ndio huwa mabikra pekee, ilhali pia wanaume.

Umwagaji wa  damu mara ya kwanza wa kushiriki ngono hutofaitiana kwa wanawake tofauti. Wanawake wengine huwa hawatoki damu kulingana na umbile la kizinda chao.

ufanya mapenzi na mwanamke bikra kunaweza kuwa na matokeo mawili. Kuna wanawake ambao husikia uchungu kwa mara yao ya kwanza kushiriki ngono na kuna wale ambao huwa hawaiskii uchungu. Kupata uchungu ama kukosa kunalingana na mwanamume ambaye huyu mwanamke anatolewa ubikra naye.

Mwanamume ambaye ni mtulivu na anazingatia ama anafanya mapenzi na huyu mwanamke kwa utaratibu huwa anamsaidia yule mwanamke kufurahia wakati wake wa kwanza katika ngono na anapotolewa ubikra. Mwanamke pia anajukumu upande wake la kufanya ili asipate maumivu ama yawe madogo wakati wa kutolewa ubikra.

Kama unataka kumtoa mwanamke ubikra bila maumivu kuna mambo muhimu unafaa kuzingatia ili kufanya nyote muwe na wakati wenye raha na utamu;

Mwanamke lazima ajiamini

Hakikisha mwanamke yule bikra anajiamini na ashki yake. Wanawake wengi mabikra huwa hawana maelezo ama elimu ya ngono. Wengi wao huwa wana aibu sana wakati jambo la kujamiiana linapozungumziwa.

Kwa sababu hii mwanamke anaweza kuwa na uoga kwa kufikiri vile mara ya kwanza itakuwa. Uoga ni jambo ambalo huchangia kwa mwanamke bikra kupata uchungu wakati wa kwanza.

Uoga kumdhuru kisaikolojia na hufanya misuli yake ya uuke kukaza na husababisha uchungu mwingi wakati wa kujamiiana na mwanamume. Kama mwanamume, ni muhimu kumfanya mwanamke yule bikra kujiskia huru na kutulia ili kujamiiana kuwe kwenye raha na utamu.

Kuamiiana

Kuaminiana ni jambo pia linaloweza kuwasaidia wawili wanaojamiiana kupata raha na utamu katika tendo lile. Fanya hima kujua kama mwanamke yule bikra ako na wasiwasi wowote ama kuna kitu kinachomtatiza.

Fanya kujua kama kuna jambo analotaka kufanya wakati mnapohusiana katika ngono. Kujali hisia na matarajio ya mwanamke yule utafanya akuamini na itamsaidia pia kutulia wakati unapomtoa ubikra na hatakuwa na uchungu.

Fahamu kwamba nyote mwahitaji kupeana raha mnapojamiiana, kwa hivyo zingatia pia mwanamke anafaa kujifurahisha wakati wa ngono.

Papasa mwanamke

Mwili wa mwanamke uko na sehemu nyingi ambazo zinaweza kupandisha hamu yake ya ngono. Mwanamume anafaa kufahamu jinsi ya kumtongoza mwanamke kwa kumpapasa.

Jaribu kumpiga busu na kumpapasa shingoni, mdomoni, ili kuweza kumtuliza. Kujua sehemu ambayo unaweza kumpapasa mwanamke yule bikra utamsaidia mwanaume wakati wanapofanya mapenzi.

Hamu ya mwanamke ya kufanya mapenzi hufanya uuke wake kutulia na mwanamke yule kuwa katika hali ya utulivu. Utulivu huu humsaidia kuwa tayari kwa kufanya mapenzi na pia kwa ubikra wako kutolewa. Pia utulivu huu utamsaidia kwamba hatapata kuskia uchungu wakati wa kujamiiana.

Kusisimua uuke

Wakati mnapofanya mapenzi na mwanamke bikra, jaribu kusisima uuke wake na mafuta nyororo. Kusisima uuke wake kutakusaidia wakati unapoingiza uume wako kwa uuke wake.

Pia hii husaidia kupunguza uchungu wakati unapenya uuke wake. Unataka uzoefu wake wa kwanza uwe kitu ambacho atakumbuka, kwa hivyo kusisima uuke wake husaidia asiwe na uchungu unapompenya uuke wake.

Kuwa mpole katika ngono

Unapofanya mapenzi na mwanamke bikra, lazima uwe tayari kwenda pole pole na kuwacha kufanya mapenzi mwanamke anaposema hajiskii tena. Ni jambo la busara kutilia maanani kile mwanamke yule anachotaka kufanya.

Akisema hayuko tayari, mpe wakati hadi atakapo sema ana hamu ya kufanya mapenzi. Usikasirike mwanamke anapokwambia uwache mnapoendelea kufanya mapenzi. Mwanamke hutaka kujua kwamba wampenda ili aweze kukubali kukupa ubikra wake.

Kwa hivyo kutulia anaposema hajiskii kunaweza kuwa jambo linalo weza kumwonyesha kwamba wampenda. Kwa kufanya vile, utakuta mwanamke yule bikra atajitoa kwako kwa moyo wake wote na mnapofanya mapenzi nyote mtapata raha na utamu.

Chukua usukani kama mwanamume

Kwa vile wewe ndiye mwanamume wa kwanza ambaye unamuingiza kwa ngono kwa mara ya kwanza, unataka kufanya iwe kitu ambacho atakumbuka maishani. Kama mwanamume ni muhimu kuchukuwa usukani wakati mnataka kujamiiana.

Mwanamke hupenda mwanamume anayejiamini kitandani. Hata unapochukuwa usukani zingatia anachotaka yeye na umwelekeze pole pole.

Usije ukafa moyo kwa vile hana uzoefu lakini mfunze kile anachoweza kufanya ili ukipenya uuke wake aweze kusikia utamu na uchungu usiwe mwingi. Unataka kumfanya awe na nyege ya kufanya mapenzi na awe tayari kwa uume wako.

Kinga katika ngono

Kulala na mwanamke bikra hakumaanishi kwamba usahau kujikinga na kushika mimba ambao hakukutarajiwa na kueneza kwa magonjwa yanayotokana na kufanya mapenzi.

Ni muhimu kama mwanaume kijikinga na kuchukuwa tahathari wakati wote wa kufanya mapenzi. Hakikisha unatumia mipira wakati wa kufanya mapenzi na madawa ya kukinga uzazi. Hii itawasaidia nyote wawili kupunguza majuto baada ya kufanya mapenzi.

Kuwa mwepesi kwenye matarajio

Kwa mwanamume, usije ukawa na tatumaini makubwa sana wakati wa kujamiiana na mwamake bikra kwa mara ya kwanza. Kitendo hicho kinaweza tokea kinyume na ulivyo tarajia.

Unaweza fikiri utapata wakati rahisi kupandisha hamu yake na pia kupata wakati rahisi wakati wa kumpenya uuke wake. Unafaa kuweka matarajio yako wazi kwamba kitu chochote chaweza tokea.

Kuweka wazi matarajio kutakusaidia kwa tukio lolote lile. Waweza pata kujifurahisha ama kupata raha unapofanya mapenzi na mwanamke yule bikra na pia unaweza kupata kuwa nyote hamkufurahia wakati ule.

Kuwa tayari kwa uhusiano wa kimapenzi

Mwanamume lazima awe tiyari kuwa katika mahusiano na yuel mwanamke bikra unayefanya mapenzi naye. Kila mtu hukumbuka wakati wake wa kwanza kufanya mapenzi, kwa hivyo ni muhimu kuifanya iwe ya dhamani.

Kumbuka mnaenda kuwa katika uhusiano wa karibu, kuwa tayari kukuwa kwa uhuisano wa kimaisha kwani hisia zake zaweza kubadilika mnapofanya mapenzi. Kwa hivyo kama hutaki kuumiza mpenzi wako usifanye mapenzi naye kama huko tayari kuwa katika uhusiano naye kimaisha.

Kufanya mapenzi ni kitu ambacho mwanamume na mwanamke hupenda. Cha muhimu kwanza ni kujikinga kutokana na magonjwa, na  mimba ambazo hamkutarajia.

Kwa kufanya mapenzi wawili hao huwa wameamua hupeanza uchi wao kwa mahaba. Kwa mwanamke bikra, yataka uwe mtu makini sana. Mwanamke bikra hana uzoefu wa funyanya ngono kwa hivyo unafaa kumpeleka pole pole na ukamfunza anachofaa kufanya wakati mnafanya mapenzi.

Mwanamke bikra anafaa kufanywa ajiskie yuko huru na kuwachiwa kusema wanachotaka kufanya kwani ni wakati wao wa kwanza.

Mwanamume lazima aweze kumweka mwanamke yule katika hanjam ya kufanya mapenzi naye, kwa kupapasa, kumpiga busu. Asiwe mtu mwenye kuharakisha kumpenya mwanamke bikra ila awe mtulivu.

Mwanamke bikra akiona kwamba unazingatia masilahi yake atakuwa huru nawe na atakubali kukupa ubikra wake. Mwanamke aliyetulia na anayejua mwanamume anaujasiri na kujiamini kitandani atafanya tendo la kufanya mapenzi liwe la kufana sana kwa wote wawili.

Jinsi Ya Kufanya Mapenzi Na Mwanamke Bikra  Ubikra ni hali ya binadamu kuwa hajafanya mapenzi maishani mwake. Mwanamume au mwanamke ambaye hajawahi fanya ngono wote ni bikra. Imekuwa desturi kwamba wanawake ndio huwa mabikra pekee, ilhali pia wanaume. Umwagaji wa  damu mara ya kwanza wa kushiriki ngono hutofaitiana kwa wanawake tofauti. Wanawake wengine huwa hawatoki damu kulingana na umbile la kizinda chao. ufanya mapenzi na mwanamke bikra kunaweza kuwa na matokeo mawili. Kuna wanawake ambao husikia uchungu kwa mara yao ya kwanza kushiriki ngono na kuna wale ambao huwa hawaiskii uchungu. Kupata uchungu ama kukosa kunalingana na mwanamume ambaye huyu mwanamke anatolewa ubikra naye. Mwanamume ambaye ni mtulivu na anazingatia ama anafanya mapenzi na huyu mwanamke kwa utaratibu huwa anamsaidia yule mwanamke kufurahia wakati wake wa kwanza katika ngono na anapotolewa ubikra. Mwanamke pia anajukumu upande wake la kufanya ili asipate maumivu ama yawe madogo wakati wa kutolewa ubikra. Kama unataka kumtoa mwanamke ubikra bila maumivu kuna mambo muhimu unafaa kuzingatia ili kufanya nyote muwe na wakati wenye raha na utamu; Mwanamke lazima ajiamini Hakikisha mwanamke yule bikra anajiamini na ashki yake. Wanawake wengi mabikra huwa hawana maelezo ama elimu ya ngono. Wengi wao huwa wana aibu sana wakati jambo la kujamiiana linapozungumziwa. Kwa sababu hii mwanamke anaweza kuwa na uoga kwa kufikiri vile mara ya kwanza itakuwa. Uoga ni jambo ambalo huchangia kwa mwanamke bikra kupata uchungu wakati wa kwanza. Uoga kumdhuru kisaikolojia na hufanya misuli yake ya uuke kukaza na husababisha uchungu mwingi wakati wa kujamiiana na mwanamume. Kama mwanamume, ni muhimu kumfanya mwanamke yule bikra kujiskia huru na kutulia ili kujamiiana kuwe kwenye raha na utamu. Kuamiiana Kuaminiana ni jambo pia linaloweza kuwasaidia wawili wanaojamiiana kupata raha na utamu katika tendo lile. Fanya hima kujua kama mwanamke yule bikra ako na wasiwasi wowote ama kuna kitu kinachomtatiza. Fanya kujua kama kuna jambo analotaka kufanya wakati mnapohusiana katika ngono. Kujali hisia na matarajio ya mwanamke yule utafanya akuamini na itamsaidia pia kutulia wakati unapomtoa ubikra na hatakuwa na uchungu. Fahamu kwamba nyote mwahitaji kupeana raha mnapojamiiana, kwa hivyo zingatia pia mwanamke anafaa kujifurahisha wakati wa ngono. Papasa mwanamke Mwili wa mwanamke uko na sehemu nyingi ambazo zinaweza kupandisha hamu yake ya ngono. Mwanamume anafaa kufahamu jinsi ya kumtongoza mwanamke kwa kumpapasa. Jaribu kumpiga busu na kumpapasa shingoni, mdomoni, ili kuweza kumtuliza. Kujua sehemu ambayo unaweza kumpapasa mwanamke yule bikra utamsaidia mwanaume wakati wanapofanya mapenzi. Hamu ya mwanamke ya kufanya mapenzi hufanya uuke wake kutulia na mwanamke yule kuwa katika hali ya utulivu. Utulivu huu humsaidia kuwa tayari kwa kufanya mapenzi na pia kwa ubikra wako kutolewa. Pia utulivu huu utamsaidia kwamba hatapata kuskia uchungu wakati wa kujamiiana. Kusisimua uuke Wakati mnapofanya mapenzi na mwanamke bikra, jaribu kusisima uuke wake na mafuta nyororo. Kusisima uuke wake kutakusaidia wakati unapoingiza uume wako kwa uuke wake. Pia hii husaidia kupunguza uchungu wakati unapenya uuke wake. Unataka uzoefu wake wa kwanza uwe kitu ambacho atakumbuka, kwa hivyo kusisima uuke wake husaidia asiwe na uchungu unapompenya uuke wake. Kuwa mpole katika ngono Unapofanya mapenzi na mwanamke bikra, lazima uwe tayari kwenda pole pole na kuwacha kufanya mapenzi mwanamke anaposema hajiskii tena. Ni jambo la busara kutilia maanani kile mwanamke yule anachotaka kufanya. Akisema hayuko tayari, mpe wakati hadi atakapo sema ana hamu ya kufanya mapenzi. Usikasirike mwanamke anapokwambia uwache mnapoendelea kufanya mapenzi. Mwanamke hutaka kujua kwamba wampenda ili aweze kukubali kukupa ubikra wake. Kwa hivyo kutulia anaposema hajiskii kunaweza kuwa jambo linalo weza kumwonyesha kwamba wampenda. Kwa kufanya vile, utakuta mwanamke yule bikra atajitoa kwako kwa moyo wake wote na mnapofanya mapenzi nyote mtapata raha na utamu. Chukua usukani kama mwanamume Kwa vile wewe ndiye mwanamume wa kwanza ambaye unamuingiza kwa ngono kwa mara ya kwanza, unataka kufanya iwe kitu ambacho atakumbuka maishani. Kama mwanamume ni muhimu kuchukuwa usukani wakati mnataka kujamiiana. Mwanamke hupenda mwanamume anayejiamini kitandani. Hata unapochukuwa usukani zingatia anachotaka yeye na umwelekeze pole pole. Usije ukafa moyo kwa vile hana uzoefu lakini mfunze kile anachoweza kufanya ili ukipenya uuke wake aweze kusikia utamu na uchungu usiwe mwingi. Unataka kumfanya awe na nyege ya kufanya mapenzi na awe tayari kwa uume wako. Kinga katika ngono Kulala na mwanamke bikra hakumaanishi kwamba usahau kujikinga na kushika mimba ambao hakukutarajiwa na kueneza kwa magonjwa yanayotokana na kufanya mapenzi. Ni muhimu kama mwanaume kijikinga na kuchukuwa tahathari wakati wote wa kufanya mapenzi. Hakikisha unatumia mipira wakati wa kufanya mapenzi na madawa ya kukinga uzazi. Hii itawasaidia nyote wawili kupunguza majuto baada ya kufanya mapenzi. Kuwa mwepesi kwenye matarajio Kwa mwanamume, usije ukawa na tatumaini makubwa sana wakati wa kujamiiana na mwamake bikra kwa mara ya kwanza. Kitendo hicho kinaweza tokea kinyume na ulivyo tarajia. Unaweza fikiri utapata wakati rahisi kupandisha hamu yake na pia kupata wakati rahisi wakati wa kumpenya uuke wake. Unafaa kuweka matarajio yako wazi kwamba kitu chochote chaweza tokea. Kuweka wazi matarajio kutakusaidia kwa tukio lolote lile. Waweza pata kujifurahisha ama kupata raha unapofanya mapenzi na mwanamke yule bikra na pia unaweza kupata kuwa nyote hamkufurahia wakati ule. Kuwa tayari kwa uhusiano wa kimapenzi Mwanamume lazima awe tiyari kuwa katika mahusiano na yuel mwanamke bikra unayefanya mapenzi naye. Kila mtu hukumbuka wakati wake wa kwanza kufanya mapenzi, kwa hivyo ni muhimu kuifanya iwe ya dhamani. Kumbuka mnaenda kuwa katika uhusiano wa karibu, kuwa tayari kukuwa kwa uhuisano wa kimaisha kwani hisia zake zaweza kubadilika mnapofanya mapenzi. Kwa hivyo kama hutaki kuumiza mpenzi wako usifanye mapenzi naye kama huko tayari kuwa katika uhusiano naye kimaisha. Kufanya mapenzi ni kitu ambacho mwanamume na mwanamke hupenda. Cha muhimu kwanza ni kujikinga kutokana na magonjwa, na  mimba ambazo hamkutarajia. Kwa kufanya mapenzi wawili hao huwa wameamua hupeanza uchi wao kwa mahaba. Kwa mwanamke bikra, yataka uwe mtu makini sana. Mwanamke bikra hana uzoefu wa funyanya ngono kwa hivyo unafaa kumpeleka pole pole na ukamfunza anachofaa kufanya wakati mnafanya mapenzi. Mwanamke bikra anafaa kufanywa ajiskie yuko huru na kuwachiwa kusema wanachotaka kufanya kwani ni wakati wao wa kwanza. Mwanamume lazima aweze kumweka mwanamke yule katika hanjam ya kufanya mapenzi naye, kwa kupapasa, kumpiga busu. Asiwe mtu mwenye kuharakisha kumpenya mwanamke bikra ila awe mtulivu. Mwanamke bikra akiona kwamba unazingatia masilahi yake atakuwa huru nawe na atakubali kukupa ubikra wake. Mwanamke aliyetulia na anayejua mwanamume anaujasiri na kujiamini kitandani atafanya tendo la kufanya mapenzi liwe la kufana sana kwa wote wawili.

...
Kwanii Wanaume Waaminifu Kwenye Uhusiano Huachwa.....







Kuachwa na mpenzi kwa sababu umekuwa ni muaminifu sana yaonekane ni jambo lisiloingia akilini lakini linatokea.

Moja ya mambo ya ajabu unayoweza kuwa ushawahi kuyasikia ni kwamba mara nyingine uamuzi wako wa kuwa mwanaume mwema sana na unayejitahidi kufanya uhusiano wako wa kimapenzi uwe mzuri muda wote unaweza kukugharimu na kujikuta unaachwa kabisa.

Haitakiwi kuwa hivyo lakini mara nyingine inatokea, na inatokea kwa sababu wazo la mwenza wako kuhusu uhusiano wa kimapenzi laweza likawa tofauti na ulionao wewe. Wengine wana mawazo hasi kuhusu jinsi uhusiano/ndoa inavyotakiwa kuwa.

Hii ndio sababu hutakiwi kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na mtu asiye na vipaumbele sawa na vya kwako au asiye na mtazamo mmoja wa kimaisha kama ulionao wewe.

Usipozingatia hilo, utajikuta unaingia kwenye uhusiano na mtu ambaye hatakujali vya kutosha kwakuwa labda humfokei au kumpiga anapokukosea – au utajikuta ameshakupanda kichwani na kuanza kukudai mambo ambayo huwezi kuyatimiza lakini ukajikuta unajitutumua kumtimizia kwa sababu unataka kumfurahisha mpenzi wako na analijua jambo hilo.

Kwa sababu baadhi ya wanaume wanapenda kulinda siri na kuwaachia uhuru wapenzi wao, wanajikuta wakiwapa ruhusa wanawake zao kwenda popote wanapojisikia bila kuwafatilia wanachofanya.

Nini kinafata baada ya hapo? Mwanamke anatoka, anatafuta mchepuko na kukusaliti. Mwisho inakufanya wewe mwanaume uonekane mjinga mbele ya wengine.

Tatizo ni kwamba tabia hii inaibuka kutokana na mazoea ya watu kuingia kwenye uhusiano wakiwa wameficha tabia zao halisi na kuja kufungua makucha yao baada ya kuona ameshaishi na wewe kwa muda mrefu kiasi kwamba huwezi tena kumuacha.

Hii inasababisha wanaume walioathirika kutokana na tabia kama hizi kutoka kwa waliokuwa wapenzi wao wasiweze kuwaamini wanawake wengine tena kwa kuona kwamba wote ni sawa na wale waliowaumiza na kusababisha wasiweze kuwaonesha wenza wao wapya mapenzi kwa kiwango cha juu wakihofia kuumizwa tena.

Kuwa mpole, mkarimu na mwenye upendo wa hali ya juu kwa mpenzi wako ndio jambo linalotarajiwa kwenye uhusiano. Mtu hatakiwi kufanywa ajisikie vibaya kwa kumuonesha mapenzi ya kweli mwenza wake.

Kama wewe unakuwa muaminifu na mwema kwa mpenzi wako lakini umekuwa unadharauliwa au ukaachwa kutokana na tabia hiyo, kaa ukiwa na amani kabisa kwamba lawama za kuvunjika kwa uhusiano huo hazikuhusu wewe – lawama ni za mpenzi wako aliyeshindwa kujua wewe umekuwa mwema kiasi gani kwake.

Kwanii Wanaume Waaminifu Kwenye Uhusiano Huachwa.....  Kuachwa na mpenzi kwa sababu umekuwa ni muaminifu sana yaonekane ni jambo lisiloingia akilini lakini linatokea. Moja ya mambo ya ajabu unayoweza kuwa ushawahi kuyasikia ni kwamba mara nyingine uamuzi wako wa kuwa mwanaume mwema sana na unayejitahidi kufanya uhusiano wako wa kimapenzi uwe mzuri muda wote unaweza kukugharimu na kujikuta unaachwa kabisa. Haitakiwi kuwa hivyo lakini mara nyingine inatokea, na inatokea kwa sababu wazo la mwenza wako kuhusu uhusiano wa kimapenzi laweza likawa tofauti na ulionao wewe. Wengine wana mawazo hasi kuhusu jinsi uhusiano/ndoa inavyotakiwa kuwa. Hii ndio sababu hutakiwi kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na mtu asiye na vipaumbele sawa na vya kwako au asiye na mtazamo mmoja wa kimaisha kama ulionao wewe. Usipozingatia hilo, utajikuta unaingia kwenye uhusiano na mtu ambaye hatakujali vya kutosha kwakuwa labda humfokei au kumpiga anapokukosea – au utajikuta ameshakupanda kichwani na kuanza kukudai mambo ambayo huwezi kuyatimiza lakini ukajikuta unajitutumua kumtimizia kwa sababu unataka kumfurahisha mpenzi wako na analijua jambo hilo. Kwa sababu baadhi ya wanaume wanapenda kulinda siri na kuwaachia uhuru wapenzi wao, wanajikuta wakiwapa ruhusa wanawake zao kwenda popote wanapojisikia bila kuwafatilia wanachofanya. Nini kinafata baada ya hapo? Mwanamke anatoka, anatafuta mchepuko na kukusaliti. Mwisho inakufanya wewe mwanaume uonekane mjinga mbele ya wengine. Tatizo ni kwamba tabia hii inaibuka kutokana na mazoea ya watu kuingia kwenye uhusiano wakiwa wameficha tabia zao halisi na kuja kufungua makucha yao baada ya kuona ameshaishi na wewe kwa muda mrefu kiasi kwamba huwezi tena kumuacha. Hii inasababisha wanaume walioathirika kutokana na tabia kama hizi kutoka kwa waliokuwa wapenzi wao wasiweze kuwaamini wanawake wengine tena kwa kuona kwamba wote ni sawa na wale waliowaumiza na kusababisha wasiweze kuwaonesha wenza wao wapya mapenzi kwa kiwango cha juu wakihofia kuumizwa tena. Kuwa mpole, mkarimu na mwenye upendo wa hali ya juu kwa mpenzi wako ndio jambo linalotarajiwa kwenye uhusiano. Mtu hatakiwi kufanywa ajisikie vibaya kwa kumuonesha mapenzi ya kweli mwenza wake. Kama wewe unakuwa muaminifu na mwema kwa mpenzi wako lakini umekuwa unadharauliwa au ukaachwa kutokana na tabia hiyo, kaa ukiwa na amani kabisa kwamba lawama za kuvunjika kwa uhusiano huo hazikuhusu wewe – lawama ni za mpenzi wako aliyeshindwa kujua wewe umekuwa mwema kiasi gani kwake.

...
Kanuni Kumi '10' Muhimu za Kuwa Mke Mwema Katika Ndoa....Ikizishindwa Imekula Kwako







UHALISI WA MAISHA:
Maisha halisi ya mwanamke anayetarajia kuwa mke/ mke tayari hii ni kumaanisha kuwa wanawake mashujaa tunapaswa kuishi maisha ambayo yanatutambulisha kama mfano wa kuigwa ili tunapozungumza na kufundisha mabadiliko tuwe tunazungumza uhalisia wa maisha yetu ambao unajengwa na haya yafuatayo;

UVUMILIVU:
Kuwa mvumilivu katika maisha yake ya kila siku hasa ukizingatia kuwa tunakutana na mambo mbali mbali yasiyotuvutia katika mahusiano yetu, mengine ni magumu na yanayokwenda kinyume kabisa na matakwa yetu au mazoea yetu ya binafsi. Ifahamike kwamba wewe kama mwanamke shujaa inapotokea umekutana na mambo kama haya hupaswi kuonyesha hasira zako wazi wazi kama vile; chuki, kulaumu, ugomvi, vurugu, malalamiko, manung’uniko, machafuko, kulipa kisasi au aina yoyote ya uharibifu kutokea kwako au ndani mwako. Hivyo mwanamke shujaa huwa ni heri kila anapokuwa kwani hutunza amani ya eneo alipo.

UPENDO WA DHATI:
Maisha ya upendo wa halisi na sio wa kinafki kwa jamii inayomzunguka. Tabia ya upendo wa halisi ina thamani kubwa sana kuliko mali nyingi, pesa, elimu ya juu n.k. wewe unaweza kabisa kuwa na elimu ya juu sana na pesa nyingi sana lakini pasipo upendo wa halisi ni sawa na kusema kopo zuri kwa nje na ndani hamna kitu. Nguzo kuu ya maisha ya mwanamke shujaa ni Upendo wa dhati na uhalisia.

UTII KWA KWA JAMII:
Maisha halisi ya utii katika jamii inayokuzunguka  ili kuweza kuyafanyia kazi yale yote uliyojifunza na pia kuyatenda kwa ufasaha pasipo kupita kona yoyote. Utii  kwa jamii ni ufunguo mmoja wapo utakaokusaidia kufanikisha mambo yako na malengo yako kama mwanamke shujaa.

UAMINIFU KATIKA JAMII:
Kuishi maisha ya uaminifu wa kweli na uhalisia katika jamii inayomzunguka. Uaminifu wa kweli huonekana nyakati zote na siyo tu wakati mtu anapokuwa mbele za watu wanaomjua bali hata wale wasiomjua na hata anapokuwa mahali peke yake aweze kutunza uaminifu wake kwa faida ya jamii nzima. Mwanamke shujaa hujitahidi sana kutunza uaminifu wake katika sekta zote.

UNYENYEKEVU WA KWELI:
Kuishi maisha halisi kabisa ya unyenyekevu kwa jamii inayomzunguka, unyenyekevu ni kinyume kabisa na kiburi, majivuno, kujigamba, kujikweza, kujiinua, kujiona,na hata kjitanguliza mbele kwa kila jambo. Mwanamke shujaa huwa ni mnyenyekevu wakati wote na hana makuu daima.

UWAJIBIKAJI WA DHATI:
Maisha halisi ya uwajibikaji akiangalia majukumu yake yote yanayomkabili na kuhakikisha anafanya kwa moyo bila kuwa na tabia ya kusaidiwa majukumu yake. Mwanamke shujaa ni mfano wa kuigwa kutokana na uwajibikaji wake.

USHIRIKIANO WA DHATI:
Ushirikiano katika jamii inayomzunguka. Sisi wanawake mashujaa yatupasa kujua dhahiri kuwa kazi ya kubadili tabia na kufanya wengine wabadilike kwa lengo la kupata familia bora ni lazima kuwa na ushirikiano wa kweli ambao utajenga tabia ya kuaminiana na kunai mamoja katika harakati hizi za kuandaa/ kujenga familia bora.

UTARATIBU WA KAZI/MPANGILIO:
Katika utaratibu wa maisha yake, pamoja na mpangilio mzuri wa mambo yanayomzunguka hii itakusaidia kuwa na muda mzuri wa kufanya shughuli zako na pia kutekeleza majukumu yako ya kila siku kama mwanamke shujaa. Hakuna njia yoyote ya kukuwezesha kukua na kuendelea katika maisha yako bila kuwa na utaratibu na mpangilio wa mambo yako.

KUFANYA TATHIMINI:
Kuweza kufanya tathimini ya yale yote anayoyafanya katika maisha yake ya kila siku, pengine ni mfanyabiashara, mfanyakazi, mkulima n.k kama mwanamke shujaa yakupasa kutathimini shughuli zako kama zina leta faida/hasara kwa familia na jamii yako inayokuzunguka. Ukiona faida ni kubwa unaendelea na hiyo shughuli lakini kama hasara ni kubwa unajiweka katika nafasi ya kubadilisha aina ya shughuli mara moja bila kupoteza wakati.

Kanuni Kumi '10' Muhimu za Kuwa Mke Mwema Katika Ndoa....Ikizishindwa Imekula Kwako  UHALISI WA MAISHA: Maisha halisi ya mwanamke anayetarajia kuwa mke/ mke tayari hii ni kumaanisha kuwa wanawake mashujaa tunapaswa kuishi maisha ambayo yanatutambulisha kama mfano wa kuigwa ili tunapozungumza na kufundisha mabadiliko tuwe tunazungumza uhalisia wa maisha yetu ambao unajengwa na haya yafuatayo; UVUMILIVU: Kuwa mvumilivu katika maisha yake ya kila siku hasa ukizingatia kuwa tunakutana na mambo mbali mbali yasiyotuvutia katika mahusiano yetu, mengine ni magumu na yanayokwenda kinyume kabisa na matakwa yetu au mazoea yetu ya binafsi. Ifahamike kwamba wewe kama mwanamke shujaa inapotokea umekutana na mambo kama haya hupaswi kuonyesha hasira zako wazi wazi kama vile; chuki, kulaumu, ugomvi, vurugu, malalamiko, manung’uniko, machafuko, kulipa kisasi au aina yoyote ya uharibifu kutokea kwako au ndani mwako. Hivyo mwanamke shujaa huwa ni heri kila anapokuwa kwani hutunza amani ya eneo alipo. UPENDO WA DHATI: Maisha ya upendo wa halisi na sio wa kinafki kwa jamii inayomzunguka. Tabia ya upendo wa halisi ina thamani kubwa sana kuliko mali nyingi, pesa, elimu ya juu n.k. wewe unaweza kabisa kuwa na elimu ya juu sana na pesa nyingi sana lakini pasipo upendo wa halisi ni sawa na kusema kopo zuri kwa nje na ndani hamna kitu. Nguzo kuu ya maisha ya mwanamke shujaa ni Upendo wa dhati na uhalisia. UTII KWA KWA JAMII: Maisha halisi ya utii katika jamii inayokuzunguka  ili kuweza kuyafanyia kazi yale yote uliyojifunza na pia kuyatenda kwa ufasaha pasipo kupita kona yoyote. Utii  kwa jamii ni ufunguo mmoja wapo utakaokusaidia kufanikisha mambo yako na malengo yako kama mwanamke shujaa. UAMINIFU KATIKA JAMII: Kuishi maisha ya uaminifu wa kweli na uhalisia katika jamii inayomzunguka. Uaminifu wa kweli huonekana nyakati zote na siyo tu wakati mtu anapokuwa mbele za watu wanaomjua bali hata wale wasiomjua na hata anapokuwa mahali peke yake aweze kutunza uaminifu wake kwa faida ya jamii nzima. Mwanamke shujaa hujitahidi sana kutunza uaminifu wake katika sekta zote. UNYENYEKEVU WA KWELI: Kuishi maisha halisi kabisa ya unyenyekevu kwa jamii inayomzunguka, unyenyekevu ni kinyume kabisa na kiburi, majivuno, kujigamba, kujikweza, kujiinua, kujiona,na hata kjitanguliza mbele kwa kila jambo. Mwanamke shujaa huwa ni mnyenyekevu wakati wote na hana makuu daima. UWAJIBIKAJI WA DHATI: Maisha halisi ya uwajibikaji akiangalia majukumu yake yote yanayomkabili na kuhakikisha anafanya kwa moyo bila kuwa na tabia ya kusaidiwa majukumu yake. Mwanamke shujaa ni mfano wa kuigwa kutokana na uwajibikaji wake. USHIRIKIANO WA DHATI: Ushirikiano katika jamii inayomzunguka. Sisi wanawake mashujaa yatupasa kujua dhahiri kuwa kazi ya kubadili tabia na kufanya wengine wabadilike kwa lengo la kupata familia bora ni lazima kuwa na ushirikiano wa kweli ambao utajenga tabia ya kuaminiana na kunai mamoja katika harakati hizi za kuandaa/ kujenga familia bora. UTARATIBU WA KAZI/MPANGILIO: Katika utaratibu wa maisha yake, pamoja na mpangilio mzuri wa mambo yanayomzunguka hii itakusaidia kuwa na muda mzuri wa kufanya shughuli zako na pia kutekeleza majukumu yako ya kila siku kama mwanamke shujaa. Hakuna njia yoyote ya kukuwezesha kukua na kuendelea katika maisha yako bila kuwa na utaratibu na mpangilio wa mambo yako. KUFANYA TATHIMINI: Kuweza kufanya tathimini ya yale yote anayoyafanya katika maisha yake ya kila siku, pengine ni mfanyabiashara, mfanyakazi, mkulima n.k kama mwanamke shujaa yakupasa kutathimini shughuli zako kama zina leta faida/hasara kwa familia na jamii yako inayokuzunguka. Ukiona faida ni kubwa unaendelea na hiyo shughuli lakini kama hasara ni kubwa unajiweka katika nafasi ya kubadilisha aina ya shughuli mara moja bila kupoteza wakati.

...

ULISHAWAHI KUKUTANA NA MTU MWENYE UPENDO WA KWELI??? Ipo siku utakutana na mtu tofauti na ulivyozoea kuona au kusikia. Haitakuwa kwa sababu ya tabasamu lao au ucheshi wao au kwa jinsi ya kuongea kwao au kusema majina yao. Ni kwa sababu ya njia itakayo kufanya wewe ujisikie tofauti. hutaogopa kupenda na kupendwa. Siku moja utakutana na Upendo utakaoufurahia. Hutaweza kufikiria mara mbili. Hutaweza kuwa na wasiwasi kwamba anakupenda au hakupendi. ‘Utafahamu tu. Kwa mtu huyu hutaweza kuficha tabia yako. hutaficha madhaifu yako na usumbufu wako. hutakuwa na mawazo ya itakuwaje kama ata kupandia kichwani. hutakuwa na maswali ya kujua muhimu wake na hutakuwa na labda. Wakati ukikutana na mtu huyu hutaingiwa na woga. hutaweza kufikiri fikiri kitu chochote. hutaweza kufikiria upendo wake kwako. Na wakati anaposema hawezi kwenda mahali , utafahamu kuwa ni kweli. Wakati huo hutasikia kukosa kitu ndani ya moyo wako, hutasikia upweke, hutaweza kusikia chochote kinyume na upendo uliopo. Ipo siku , mtu fulani atabadilisha maisha yako. kwa sababu atakuonyesha upendo wa kweli ni upi na maana ya upendo ni nini, unaonekanaje. Atakuonyesha kuwa upendo hauna mwisho. na hutamkimbia , na hutaweza kutaka faida zaidi. hutapigwa na wala kupata maumivu yasio na msingi. Ipo siku Hutaogopa kupata maumivu. Hutaogopa kuacha tena. kwa kupoteza kipande cha moyo wako na roho yako. hutaogopa tena kutoa na kutoa upendo wako . Siku moja utapumua kwa urahisi kwa kufahamu kuwa huyo mtu hataondoka . Utapumua vizuri kwa kujua kwamba upendo huo utadumu. Huyo mtu hatakutelekeza na wala hataweza kukukimbia. Utafahamu toka moyoni mwako kwamba upendo huo hautakuumiza. Utaweza kuishi, kucheka, kulia na kupumua kwa urahisi ukiwa pembeni ya mtu huyo. Utajifahamu na kujiona vizuri. Utaweza kumuonyesha makovu, na vidonda ulivyonavyo na kwa kuwa vimepona. Utaweza kumuonyesha mtu huyo moyo wako wote kwa kujua kuwa hawezi kukuacha. Ipo siku utajikuta unaamka mikononi mwake, ukiwa karibu yake kwa upendo , katika maisha yako. hutakuwa na wasiwasi . hutaogopa. hutasikia uzito wa kupumua tena. Utahisi upendo ndani yako. mwisho utagundua Upendo halisi. Washirikishe wengi.

...

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAMKE KITANDANI KATIKA MAPENZI.  Hapa ni mambo 10 muhimu, ambayo mwanaume ukiyafanya kwa mwanamke wako, hakika utakuwa umejijengea ulinzi wa yeye mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje. Mfanye Mwanamke aanze kufika mlima kilimanjaro kabla hujaanza kumuingilia. Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo.  Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi. Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo.  Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke afike mlima Kilimanjaro na kutua mizigo yake kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la ndoa zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake. Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kufika kileleni mwa mlima Kilimanjaro haraka sana. Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!!  #2 – Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu. Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo. Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atapofika mlimani namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke. Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa. Wangapi tunajua kuhusu A-Spot? ..... ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kufanya mapenzi naye, na hakika utakuwa shujaa wake.  Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke! #3 – Usiwe kama kuku Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke afike kileleni kabla ya kumuingilia, unamjengea mazingira ya kufika kileleni haraka pindi unapomuingilia, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika. Mwanaume kudumu kwenye tendo kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwa yu shujaa.  Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao? Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hujamiiana kwa minajili ya kufika kileleni, ilhali wanawake hujamiiana kwa minajili ya kustarehe.  So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini pia usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa. Nusu saa hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa.  #4 – Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji Ndio, wapo wanaume wengi tu wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya vi**mi, kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo.  Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya kujamiiana, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia.  Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia hamu hadi ikiwezekana aanze kuulilia muhogo.  Jidai kama unataka kumnyonya ki**mi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa uke wake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe kwenye tundu la uke....... Haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee.  Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji....cheki namba 5 hapa chini  Tumichezo kama hutu twa Manaiki Sanga tunasaidia... #5 – Faida ya ulimi/mdomo kunyonyanaInashangaza sana kwa kweli...wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao. Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwaingilia. Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa.  Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania ?. Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya aseme "Oh...am going crazy"  #6 – Msisimue kwa kauli zakoWanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati wanajamiiana nao... lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao?  Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha?  Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu....hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake..... wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kujamiiana, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake.  Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa.  Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha".... Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani.  Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza.... #7 – Jenga mahusiano ya macho yenuHivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa? Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa?  Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno.  Mawasiliano ya macho wakati wa kujamiiana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaume ambaye wakati wanajamiiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwa kuna ulichomnyima. Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnajamiiana, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia.  Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea hakika atakuwa akikufurahia zaidi. #8 – Mzingatie baada ya kumaliza kujamiiana Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza kujamiiana.  Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule.  Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kuingiliwa.  So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya. Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji.  #9 – Mpe fursa ya kuliongoza jahazi kwa niaba yako Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kujamiiana, hupenda wao ndio waongoze kila move.  Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka.  Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo. Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mhogo wangu unavyotaka, laa...atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu.  Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu.  Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji. Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyonya muhogo ya wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache? Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa ?. Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umfanye, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu.  Hata kama akitaka "akufanye" mruhusu tu...!!!  10 – Ondoa mazoea Wanaume ni watu wa ajabu sana.  Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kujamiiana. Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo. Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game. Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea.  Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza  NYONGEZA AMBAYO NI KITU CHA MUHIMU SANA, Kama ulidhani kuwa shukrani kwa mwenzako ni asante tu, basi ulikosea. Hivi, unadhani wale makahaba wanaouza miili yao kule huwa hawaambiwi asante kwa huduma zao? Wanaambiwa sana tu, lakini mbona hawawakubali wale wote wenye kuwashukuru?  Shukrani kwa mwenza wako inatakiwa iwe ya kivitendo zaidi. Ufanye mwili wako uonyeshe kuwa unashukuru kwa vile anavyokupa mwenzako, kabla hata ya kutamka kwa mdomo wako kumshukuru. Kushukuru kwa mwili ni pamoja na kuwa "gentle" wakati wa kujamiiana kwenyewe, na sio unakuta mtu unakazana kumsugua mwanamke wako utadhani unadhamiria kuhakikisha kuwa unafidia bia na vinywaji ulizomnywesha, au mahari kubwa waliyokulipisha wazazi wake wakati wanakukabidhi (kama ni mkeo wa ndoa)

...

UMESOMA HADITHI NYINGI ZA MAPENZI, LAKINI HII ITAKUSISIMUA KULIKO ZOTE, UTATUMIA DAKIKA 2 KUSOMA LAKINI...  1st year nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu,niliyekuwa nikimuita "Bestfriend"nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu,lakini yeye hakuwa akitamani hilo na nilikuwa nikilitambua hilo. Baada ya leacture,alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita.baada ya kumpa akasema "asante" na kushikana mikono na mimi.I wanted to tell her,i want her to know that i don't want us to be just friends,i love her but i'm just to shy,and i don't know why 2nd year Simu yangu iliita,kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart,she asked me to come over because she didn't want to be alone,kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji,as i sat next to her on the sofa,nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu.Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie mbili tatu na kula nae chakula pamoja akarudi katika hali yake ya kawaida,hivyo akaamua kwenda kulala,before akaniangalia na kuniambia "asante" na kunipa tabasamu tamu,i want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. 3rd year Siku moja kabla ya Tamasha la muziki chuoni alikuja kwenye meza yangu leacture room na kuniambia "Boyfriend wangu amepata udhuru hivyo naomba unipe campan katika tamasha la muziki leo usiku" kwa kuwa tuliwekeana promice kwamba ikitokea kila mmoja wetu amekosa mtu wa ku-date nae basi tutaenda pamoja just as "bestfriends".hivyo tukaenda. katika tamasha baada ya kila kitu kuisha na muziki kufungwa,nilikuwa nimekaa nje ya ukumbi nikimuangalia jinsi alivyokuwa akicheka na rafiki zake,she saw me looking to her she smiled at me,i want her to be mine lakini yeye alikuwa hafikirii hilo kabisa na nilikuwa nikilitambua hilo,then she said to me "nimekuwa na muda mzuri na wewe asante sana" and she gave me a sweet smile.I want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. Graduation Day siku,wiki kisha mwezi ukapita ilikuwa ni mahafali yetu tukimaliza masomo ya chuo,akiinuka kwenda kutunukiwa shahada yake ya uchumi nilikuwa nikimuangalia akiwa amependeza sana siku ile,i wanted her to be mine,but she didn't notice me like that,and i knew it. kabla watu hawajatawanyika kwenda makwao,alikuja kwangu akiwa na vazi lake la mahafali,na kulia pale nilipomkumbatia akainua kichwa chake na kuniambia "you are my bestfriend asante sana" i want to tell her to know that i don't us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. Miaka michache baadae Nikiwa kanisani Yule Msichana akiwa anaolewa sasa,nilimuangalia akisema "ndiyo nakubali " and drive off to new life,kaolewa na mwanaume mwingine,i wanted her to be mine,but she didn't see me like that,and i knew it. but before she drove away,alikuja kwangu na kusema "asante sana" and kissed me on the cheek.I want to tell her to know that i dont us to be just friends,i love her but i'm just too shy,and i dont know why. Kwenye Mazishi Miaka ilipita i looked down katika jeneza lilokuwa na msichna ambaye alikuwa ni "bestfriend" wangu,Katika Service ya mazishi wakasoma diary ya Bestfriend ambayo alikuwa akiiandika enzi za maisha ya chuo' Diary yake ilikuwa Ilikuwa ikisomeka hivi I stare at him napenda awe wangu,but he doesn't notice me like that,and i know it,i want to tell him,i want him to know that i dont want us to be just friends,i love him but i'm just to shy,and i dont know why.I wish he would tell me he loved me! Nilipiga magoti huku nikilia nikijisemea moyoni i wish ningemwambia tu ukweli,nimeshachelewa sipo nae tena katangulia mbele za haki i cried!! Vunja ukimya

...
MADHARA YA MWANAMKE KUZAA MFULULIZO BILA KUPUMZIKA.



Ni wazi vifo vya  uzazi  vimekuwa vikisababishwa na sababu mbalimbali ikiwemo ya mwanamke kuzaa mfululizo bila kupumzika hivyo kutokana na hali hiyo ipo haja kwa wakuu wa mikoa ya kanda ya magharibi, kanda ya ziwa na kwingineko kuongeza juhudi zaidi katika kuwaelimisha wananchi wake umuhimu wa kutumia njia ya uzazi wa mpango.


Wakuu hao wana kazi ya kuondoa mila na desturi za wananchi wa ukanda huo ili waondokane na mila hizo zilizopitwa na wakati kwa kutumia njia sahihi za uzazi wa mpango katika kuwezesha taifa kukua kiuchumi na kuleta maendeleo kwa wananchi, Takwimu za nchi zinaonyesha kanda ya magharibi inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya kuzaana na kufikiwa asilimia 7.1 ikifuatiwa na kanda ya ya kati na kufuatiwa na kanda ya ziwa hali hii pia inachangia ongezeko la vifo vya uzazi kwa wanawake kutopumzika. Kuna haja wananchi kuelimishwa kuwa matumizi mazuri ya njia ya uzazi hayana madhara mwilini ili waweze kuzaa kwa mpango na kupunguza vifo vya uzazi.



 Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete alizindua mpango mkakati ulioboreshwa wa kuongeza kasi ya kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi na kuwataka watendaji wake katika mikoa yote nchini, ambao ni wakuu wa mikoa kuwa wahakikishe wanapunguza vifo vya watoto na akinamama wanaokufa kwa matatizo ya uzazi.

MADHARA YA MWANAMKE KUZAA MFULULIZO BILA KUPUMZIKA.  Ni wazi vifo vya  uzazi  vimekuwa vikisababishwa na sababu mbalimbali ikiwemo ya mwanamke kuzaa mfululizo bila kupumzika hivyo kutokana na hali hiyo ipo haja kwa wakuu wa mikoa ya kanda ya magharibi, kanda ya ziwa na kwingineko kuongeza juhudi zaidi katika kuwaelimisha wananchi wake umuhimu wa kutumia njia ya uzazi wa mpango. Wakuu hao wana kazi ya kuondoa mila na desturi za wananchi wa ukanda huo ili waondokane na mila hizo zilizopitwa na wakati kwa kutumia njia sahihi za uzazi wa mpango katika kuwezesha taifa kukua kiuchumi na kuleta maendeleo kwa wananchi, Takwimu za nchi zinaonyesha kanda ya magharibi inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya kuzaana na kufikiwa asilimia 7.1 ikifuatiwa na kanda ya ya kati na kufuatiwa na kanda ya ziwa hali hii pia inachangia ongezeko la vifo vya uzazi kwa wanawake kutopumzika. Kuna haja wananchi kuelimishwa kuwa matumizi mazuri ya njia ya uzazi hayana madhara mwilini ili waweze kuzaa kwa mpango na kupunguza vifo vya uzazi.   Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete alizindua mpango mkakati ulioboreshwa wa kuongeza kasi ya kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi na kuwataka watendaji wake katika mikoa yote nchini, ambao ni wakuu wa mikoa kuwa wahakikishe wanapunguza vifo vya watoto na akinamama wanaokufa kwa matatizo ya uzazi.

...

Utajuaje Kama Mahusiano Uliyonayo Yatadumu.  Dalili 8 zitakuonyesha kama upo kwenye mahusiano ya kudumu au hapana. Afya. Wote tunafikiria kuhusu hili. hasa kwa kadri tunavyoendelea kukua , tunatembelea madaktari, tunakula vizuri wakati mwingine. Tunatafuta dalili  na wakati mwingine matokeo yake  yanatuambia kuwa hali zetu sio nzuri. Lakini tunapofikiria afya,  tunafanya hivyo katika miili yetu tu. mara nyingi tunasahau kufikiria kuhusu afya ya mahusiano na mapenzi. Tunaangalia zaidi afya ya mwili katika maisha ,lakini kuwa na afya nzuri katika mahusiano ni  vitu vinavyoungana. Kwa kurahisisha , mahusiano mabaya hayadumu. au  ingawa  yanaweza kukaa kwa muda fulani.Na kama yakidumu , atakuwepo mtu wa kuumia. Lakini ni nini hasa afya ya mahusiano? Tutajuaje kama mahusiano yetu yatadumu?  Utajuaje kama uko na mtu sio sahihi, mtu ambaye mtaishia kwenye kona fulani tu? Hakuna kipimo halisi cha kujua. Hakuna kipima joto  kinaweza kupima kiasi cha muda wa mahusiano  kuwa ni ya moto au baridi. Kwa bahati kuna  hizi dalili 8 ambazo zinaweza kukusaidia kujua  afya iliopo kwenye mahusiano yako. 1.Mchumba wako atakuwa na imani na wewe , na wewe utakuwa na imani naye.  Hataongea kwa ajili yake bali ataongea kwa ajili yenu wote. atakukumbusha pale unapokuwa umesahau au unapokuwa na mashaka kwa jinsi ulivyo.  Ana  maono ya wazi ya muhimu kwako. atalea hali hio na utaiona. Vilevile na upande wako utakuwa kama yeye. hutamsema vibaya kwa marafiki, hutalalamika   kitu bali utaongea mbele yake. Utamwamini kuwa yuko kamili , mtu anayeweza kutatua matatizo na kusimama kwa miguu yake. Hata kama haujamsaidia kitu. 2.Unamwamini. Unamwamini katika ukweli wake wote. ahadi zake ni za kweli.  utamkubali alivyo. Anahusika katika majukumu yake. 3.Unakubali mambo yake yaliopita na yeye anakubali ya kwako. Jinsi alivyokuwa, alikuwa na wanawake wangapi,  wanaume wangapi. hutajali. utamkubali alivyo ili mkue pamoja.  hutafikiria kitu chochote kilichopita, bali utakuwa na hamu ya kutaka kujua  jinsi gani huyo mtu alivyo. Mahusiano yako yatakuwa yamekusanya, Msamaha  na kuachilia yaliopita. 4.Unashukuru kwa vitu vizuri mlivyonavyo Unakubaliana na vitu vidogo vidogo anavyovifanya kwako.   unakuwa na matumaini,  husubiri kupata kazi, kwa ajili ya mshahara, kwa ajili ya mambo mengine. unashukuru kwa kile mlichonacho sasa na mwenza wako. Mnafuraha wakati huu.  hana mchezo wa kijinga. anatengeneza pesa ya kutosha. anafanya kitu akipendacho. Utakuwa unalenga safari sio mwisho wa ndoa, mtoto,  sherehe,  vitu vinatokea kwa kawaida. 5.Mawasiliano ni ya wazi na ya kueleweka kwa kila mmoja. Hakuna wa kusubiri ni nani atamtafuta mwenzake. kila mtu anakuwa na jukumu la kufanya hivyo. Na kama itatokea mmoja hakuhusika , hakuna lawama, kwa kuwa mnaelewa . utavaa moyo wake. hutahangaika kuyatawala mahusiano kwa sababu hamfanyi mchezo wa kuigiza. 6.Maisha yenu ya sex yataendelea kuwa mazuri na ya kupendeza. Kwa sababu ya urafiki ambao mnao, maisha yenu ya mahusiano yatakuwa rahisi na ya kimapenzi. Ya ukaribu  zaidi. sex itakuwa sio kipaumbele chenu bali ni matokeo ya  upendo mlionao. mahitaji yenu ya kimwili yatatosheka kwa pamoja. 7.Utamuheshimu na yeye Atakuheshimu wewe. Kila mtu anaheshimu mipaka ya mwenzake na mnaweza kuhimizana katika kutimiza malengo yenu. kama unapenda kucheza , atakuhimiza kufanya hivyo. hutahitaji kukamilisha hisia zako zote. atakuwa na mahusiano mazuri na watu wengine pia. Ni mtu muhimu kwako. anakufanya ujisikie vizuri. 8.Malengo yenu yanafanana. Hutajaribu kumbadilisha. au kujaribu kuomba kuishi na yeye. hutahitaji awe mtu wa kutengeneza kitu chako. ni mtu ambaye ulimtaka awe wako. thamani yake ni muhimu katika maswali hata. Unataka watoto?  Unapenda kusafiri?  Una hamu ya kupata uzoefu fulani?  unakubaliana katika mambo ya pesa?  Una furaha unapokuwa naye?  Unataka kuishi naye  na kuwa naye chumba kimoja? Afya ya mahusiano yako ni muhimu katika maisha ya ndoa utakayoingia. Lakini hakuna kipimo cha kupimia uzima huo. Ni wewe tu na mwenza wako  mnajua kama mahusiano yatadumu au  yataishia kwenye kona. yatakuwa na matunda  au hapana. Mttajua kama ni  mazuri au sio.  hizo dalili nane zikusaidie kufahamu kama ni ya afya au sio, yatadumu au hayatadumu.

...

Kufanya Mapenzi Kwa Wiki Mara 3 Kunapunguza Kupata Shambulio La Moyo (Heart Attack) Kwa Asilimia 50%  Utafiti umebainisha kwamba kufanya mapenzi angalau mara tatu kwa wiki kunapunguza uwezekano wa kupatwa Heart Attack (Shambulio la Moyo) kwa 50% ukilinganishwa na yule ambaye anapitisha wiki nzima bila kupiga mambo yetu. Pia utafiti huo unasisitiza ya kwamba mwenye Kufanya Mapenzi killa siku anaondoa uwezekano wa kupata Heart Attack kwa Asilimia 100% ZIJUE FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI Kiafya Tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili. Wataalamu wanasema kwamba, unapofanya tendo hilo mara tatu kwa wiki husaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini na pia endapo mtu atafanya tendo mara tatu kwa wiki kwa kipindi cha mwaka mzima ni sawa na kukimbia maili 75. Tendo la ndoa huongeza takriban vizalisha nguvu 150 kwa nusu saa ambayo ni sawa na kukimbia dakika 15 kiwanjani. Kuongeza mwendo wa damu Tendo la ndoa husaidia kuongeza kasi ya mtiririko wa damu kwenye ubongo na sehemu nyingine ya viungo vya mwili, hii huchangia kuongeza kasi ya mapigo ya moyo na kuboresha mfumo wa upumuaji. Msukumo thabiti wa damu mpya yenye oxygen na homoni zenye chembe chembe hai zinapopenya kwenye mishipa ya damu husaidia katika uunguzaji wa chakula, pia huondoa kiasi cha uchafu ambao ungesababisha mishipa na kushindwa kufanya kazi na kumfanya mwanadamu apate maumivu ya mwili. Hupunguza mafuta yenye kileo (Cholesterol) Tendo la ndoa huweka sawa uwiano wa mafuta yenye kileo (Cholesterol) nzuri na cholesterol mbaya na wakati huo hupunguza kwa ujumla kiasi cha mafuta yenye kileo mwilini. Kupunguza maumivu Wakati wa kufanya mapenzi, homoni iitwayo oxytosin huzalishwa mwilini ambayo husababisha kuzalishwa kwa homoni iitwayo endorphin ambazo hupunguza maumivu kama vile kuvimba sehemu za viungo (arthritis) maumivu ya shingo (Whiplash) na maumivu ya kichwa. Ulinzi wa tezi ya kibofu (mwanaume)Majimaji yanayozalishwa katika tezi ya kibofu (prostate) yakizidi husababisha kuleta matatizo mwilini. Tendo la ndoa la mpangilio huondoa uzalishaji wa majimaji hayo yenye madhara. Mabadiliko ya ghafla ya tendo la ndoa huelekea kuleta matatizo yahusianayo na tezi ya prostate. Kupunguza mfadhaiko wa moyo Kujitosheleza na kupumzisha mwili baada ya tendo la ndoa ni muhimu kwa kutuliza akili na kurekebisha mzunguko wa damu mwilini. Watu wenye kushiriki tendo la ndoa wanatajwa kushinda mfadhaiko na kupata usingizi mnono hasa mara baada ya kumaliza kufanya mapenzi. Huongeza uzalishaji wa homoni za kiume(testosterone) na za kike (Oestogen) Faida nyingine inayopatika ni kuongeza uzalishaji wa homoni za kiume na za kike likiwemo suala zima la msukumo wa kufanya tendo hilo ambapo mhusika hutosheka zaidi ya yule ambaye hana mazoea ya kufanya mapenzi. Hata hivyo, baadhi ya madaktari wamegundua kwamba ongezeko la homoni za kiume/ kike huweza kuwakinga wanadamu na magonjwa ya moyo. Kuishi muda mrefu huku ukionekana kijana Wakati wa tendo la ndoa homoni iitwayo DHEA huzalishwa mwili mzima. Hii husaidia msisimko wa mapenzi kuongezeka. Kutokana na elimu hiyo DHEA ni kemikali yenye nguvu duniani ambayo husaidia kuweka sawa kinga ya mwili, huongeza ufahamu, kuimarisha mifupa, kutengeneza na kuimarisha afya na kuimarisha mishipa ya moyo (Cardiovascular). Hupunguza baridi na mafua Elimu inaonesha kuwa wanaofanya tendo la ndoa mara moja au mbili kwa wiki huongeza 30% ya uzalishaji wa chembe chembe hai za mwili ziitwazo Immunogloulin A ambazo huwa na kazi ya kuulinda mwili dhidi ya magonjwa. Hizo ni faida chache tu za kufanya tendo la ndoa. NB: Jambo kubwa la kuzingatia ni kuwa faida hizi hupatikana kwa ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na hofu ya kufumaniwa au kuumbuliwa HAYA KWA WANA NDOA FANYENI MAPENZI JAPO KWA WIK MARA 3 MUPATE FAIDA ZA TENDO LA MAPENZI NDANI YA NDOA. KWA WALE WASIOWA HAWAPATI HIZI FAIDA SHAURI YENU MSIE OWA OWENI MUPATE FAIDA ZA TENDO LA NDOA

...

Mbinu Tata Za Kumfanya Mwanamke Ajigonge Kwako Kirahisi  #1 Mfanye mwanamke ajieleze kwako Unaweza kumuuliza swali kama “Ni kitu gani ambacho kinakufanya unique/tofauti na wengine?” Ama kumwambia, “Wewe unakaa mdogo sana kiumri kwangu. Ni kitu gani ambacho uko nacho ambacho kitaziba pengo hilo?” Ataanza kukupatia sababu ambazo anajiona kuwa yeye ni unique – kiufupi atakuwa akijaribu kujieleza zaidi ili ajipendekeze kwako/ umpende zaidi. Yaani atakuwa anajaribu kuhakikisha kuwa unaridhika na kila kitu ambacho atakwambia. Na uzuri wa kutumia mbinu hii ni kuwa kadri mwanamke anavyokuwa mrembo ndivyo zaidi utakavyohitajika kumfanya ajihitimishe kwako, usiogope kumuuliza maswali ambayo yatamlazimu ajihitimize kwako. Muulize maswali mazito. Muulize maswali ambayo itakuwa ngumu kwake kujihitimu kwako. Na kitu cha kufurahisha kuhusu wanawake warembo, ni kuwa wamezoea kufukuziwa na wanaume kiasi cha kuwa ukianza kuuliza maswali na kujihitimu kwako, atafall na wewe zaidi. Hii ni kwa sababu hawajazoea kuulizwa maswali kama hayo. Hawajazoea kuambiwa, “Wewe si mwanamke type yangu.” ama, “Ningekutongoza lakini unanikumbusha ndugu yangu wa kike mdogo.” Pia unapaswa kuhitimisha wanawake kulingana na ladha yako. Labda kwa mfano hupendi wanawake wanaovuta sigara, kunywa pombe nk, basi mhitimishe kwa kutumia mambo haya. Usimfiche. Mwambie ukweli. Kumwambia mambo kama haya kutamfanya ajue vigezo vyako. Unampa challenge na yeye kutaka kutimiza vigezo vyako. Mbinu hii ni rahisi ya kumuwin kirahisi na kumfanya akufukuzie. #2 Tumia Mwili wako Mara ya kwanza unapoongea na mwanamke huwa anaangalia kando. Wewe ndie uko wazi, unaongea na yeye, unamwangalia, lakini yeye ameangalia kando kabisa. Hapo kuna ile hisia ambayo inakuja ndani yako kuwa huyu mwanamke hamakiniki na wewe kabisa. Well, hapa ndipo unatumia mbinu funge ya kuiga vile ambavyo anafanya yeye. Wakati umemuapproach, si lazima umuangalie mzima mzima kwanza, unaweza kuangalia kiupande. Na akiongea kitu ambacho umependezwa nacho, unaweza kutumia mwondoko wazi kwa kuangalia upande wake. Na akisema kitu ambacho hujapenda basi tumia mwondoko funge kwa kuangalia kando. Mbinu hii hufanya kazi kwa kuchukua atenshen na umakinifu wa mwanamke. Atamakinika kwa kila neno ambalo atakwambia. Mwishowe itajeuka kuwa ni yeye ndiye anayekufukuzia na wala si wewe. Mbinu hii pia inampa confidence ya kutamka mambo ambayo si rahisi kutamkwa na mwanamke hivihivi. #3 Ongea Kwa Kujiamini na Amri Ndani yake Katu mwanamke hawezi kukufukuzia kama utatumia toni saidizi kama, “Mambo waendeleaje?” ambapo sentensi kama hii toni ya sauti inapanda mwishoni. Kama vile unauliza swali. Matumizi ya sentensi hizi zitakufanya uonekane mtu mdhaifu, mhitaji, na utafanya wanawake wakukimbie. Lakini ukitumia toni saidizi zilizovunjwa kwa mwanamke kama, “Hey! Njoo hapa! Waendeleaje!”  unatoa sauti ya kuamrisha na ya kutoa maelekezo. Na kwa kuwa uasili wa mwanamke ni kufuata amri, atakujibu kwa kutafuta toni saidizi ili aweze kujihitimisha kwako. Atakwambia, “Mmh, jina langu ni Mamito?” huku akitaka umthibitishe. So, ukimwambia, “Sasa, mpangilio wako ni upi!? kwa toni saidizi iliyovunjwa, atakujibu... “Mmh, mimi mwanafunzi nasomea...huu ni mwaka wangu wa...” Kiufupi hapa anajaribu kujieleza zaidi kwako kulingana na vile sauti yako ilivyotoka. [Soma: Jinsi ya kuwa mwanaume bora ya wote] #4 Weka nafasi na Pozi Katika Maongezi yako Unapoongea na mwanamke, hutaki kuona umepalilia maongezi bila mpangilio, badala yake huwa unataka nafasi angalau kurudi nyuma kiasi kuyapa maongezi yenu nafasi ya kupumua. Unaruhusu kuwe na angalau kimya ndani yake. Kimya ambacho kinaenda polepole. Na nafasi ambayo utampa mwanamke nafasi ya kujileta kwako ili kuteka atenshen yako. So mpe mwanamke nafasi ya kujiekeza kwako, na utagundua kuwa mwanamke huyu anakusaidia pakubwa kuyafanya maongezi yenu yanawiri. Atafurahi kukupa namba yake ya simu kwa kuwa anakufukuzia. Atafurahi kukutana na wewe katika deti ya pili. Na hatakutatiza zile nyakati za mwisho mwisho za kumuomba penzi.

...
JIFUNZE KUMTAMBUA MTU MWENYE MAPENZI YA DHATI NA WEWE:
Unajua unaweza kuwa na mahusiano na mtu unayempenda sana ila yeye hakupendi kama vile umpendavyo lakini anashindwa kukwambia kuwa "sikupendi".
Unawakati mzuri sana wa kumtambua mtu ambaye hakupendi na pia kumtambua anayekupenda. Vilevile kukubaliana na hali halisi.
Watu wengi hawapendi kutambua kwamba mtu anayempenda yeye hampendi, kwasababu ni maumivu makubwa sana moyoni. Unapokuwa kwenye mahusiano na mtu huyo nae inamuwia vigumu kukwambia "sikupendi" hufanya hivi katika kuzihurumia hisia zako juu yake.
MTU AMBAYE HAKUPENDI KWA DHATI:
==> Anapokuwa nawe inamuwia vigumu sana kukwambia neno NAKUPENDA mara kwa mara, utajikuta wewe ndio unakuwa mtumwa kwake kwa kumwambia nakupenda kila mara.
Majibu yake baada ya neno hilo, mara nyingi atakwambia asante kwa kunipenda basi, na akikuhurumia sana atakwambia nakupenda pia ili kukuridhisha wewe na moyo wako.
==> Utajikuta una mawazo sana juu yake na kujiuliza "hivi kweli mtu huyu ananipenda?"
Utajaribu kumuuliza, "je unanipenda?"
Jibu lake kwanza litafikiriwa sana, sababu ya kufanya hivyo ni kwa vile anatambua kwamba hakupendi sasa kukwambia ukweli wa swali lako anahisi utaumia, kwahiyo baada ya swali hilo anaweza kukuuliza swali na wewe "kwani unaonaje?" kwavile unampenda sana utamjibu, "naona kuwa unanipenda" naye atakwambia "basi ndio hivyo".
Mara nyingine baada ya wewe kumuuliza swali kuwa je anakupenda kweli, atakujibu "ukweli unaujua ila kwanini unapenda kuniuliza swali hilo kila mara?" kama umeshaingiza dosari juu ya upendo wake utajikuta unamuuliza "ukweli upi?" naye atakujibu "kuwa nakupenda", hapo utajikuta umepata furaha kugundua kuwa anakupenda kumbe mwenzio amekuhurumia tu.
==> Huwa hajali mambo yako unayomwambia, ukimueleza muda huu badae anajifanya kusahau ili tu akupotezee mueleleo.
==> Unapopanga kukutana nae huwa ni mtu asiyeishiwa na sababu za kushindwa kufika, huwa na aibu ya kukutambulisha kwa watu.
Unaweza kufika nae mahali akakwambia kuwa "kuna watu wanafahamiana na mama/baba mahali hapa kwahiyo tusiongozane karibu", hapo anaweza yeye akatangulia mbele au kukuacha wewe utangulie.
==> Hufanya tabasamu la kuigiza au kicheko cha kejeli ili wewe uridhike kwamba anafurahishwa na uwepo wako kwake.
===> Wakati mwingine inampasa mtu kujitambua na kumpa uhuru huyo umpendaye aweze kuamua mwenyewe labda kuendelea na wewe au kumfata anayempenda yeye.
Cha muhimu ni kuwa using'ang'anie mahusiano ambayo yanayoumiza moyo kwani yanaweza pasua moyo wako kwa mawazo.
MTU ANAYEKUPENDA KWA DHATI:
==> Hachoki kukwambia NAKUPENDA, kwani anajisikia raha sana pale atamkapo neno hilo juu yako kwahiyo unaweza ukawa kama wimbo wake kwako.
==> Anajivunia kuwa na wewe na atapenda kukupa sifa nzuri kila mara, yani Hachoki kukusifia. Atakushauri pale unapokosea ili uwe katika njia nzuri.
Unaponuna atajua cha kufanya ili wewe ufurahi na kurudi kwenye hali ya kawaida.
==> Hachoki kukuombea mema na kukutakia mafanikio.
==> Atapenda kukueleza ukweli kila mara ili uweze kujenga uaminifu na imani juu yake.
==> Wewe utakuwa ni mtu muhimu sana katika maisha yake, atakuthamini na kukujali. Tatizo lako litakuwa sawa na tatizo lake, atakupa ushauri bila kuchoka.
==> Kabla ya kumuuliza swali kuwa "je unanipenda?" atakuwa ameshakujibu tena kwa hisia nzito kuwa "nakupenda sana mpenzi wangu".
==> Hatokuonea aibu kukutambulisha kwa watu kuwa wewe ndiye mpenzi wake, kwakuwa wewe ndiye furaha yake.
====> Thamani yako ni kubwa sana kwake, anakuona mpya kila siku na hachoki kuvutiwa na wewe. Anakupenda kwa kumaanisha na si kukupenda kimazoea tu.
Neno NAKUPENDA litamtoka moyoni na ataridhihirisha kwa kinywa chake. Mtambue mtu huyu kuwa anakupenda kwa dhati.
NB:
Hakuna aliyekamilika, kila mtu ana kasoro na mapungufu yake.
Si vyema kutumia mapungufu ya mwenzio kama fimbo katika mapenzi, cha muhimu ni kumuelimisha na kumuelekeza ili muweze kwenda sambamba.
Nadhani baadhi ya maswali ya wadau yatakuwa yamejibiwa na hiyo mada.
Kama kuna nyongeza au swali lolote kuhusiana na hiyo mada tuambiane hapa na kupatiana majibu hapa hapa wadau.

JIFUNZE KUMTAMBUA MTU MWENYE MAPENZI YA DHATI NA WEWE: Unajua unaweza kuwa na mahusiano na mtu unayempenda sana ila yeye hakupendi kama vile umpendavyo lakini anashindwa kukwambia kuwa "sikupendi". Unawakati mzuri sana wa kumtambua mtu ambaye hakupendi na pia kumtambua anayekupenda. Vilevile kukubaliana na hali halisi. Watu wengi hawapendi kutambua kwamba mtu anayempenda yeye hampendi, kwasababu ni maumivu makubwa sana moyoni. Unapokuwa kwenye mahusiano na mtu huyo nae inamuwia vigumu kukwambia "sikupendi" hufanya hivi katika kuzihurumia hisia zako juu yake. MTU AMBAYE HAKUPENDI KWA DHATI: ==> Anapokuwa nawe inamuwia vigumu sana kukwambia neno NAKUPENDA mara kwa mara, utajikuta wewe ndio unakuwa mtumwa kwake kwa kumwambia nakupenda kila mara. Majibu yake baada ya neno hilo, mara nyingi atakwambia asante kwa kunipenda basi, na akikuhurumia sana atakwambia nakupenda pia ili kukuridhisha wewe na moyo wako. ==> Utajikuta una mawazo sana juu yake na kujiuliza "hivi kweli mtu huyu ananipenda?" Utajaribu kumuuliza, "je unanipenda?" Jibu lake kwanza litafikiriwa sana, sababu ya kufanya hivyo ni kwa vile anatambua kwamba hakupendi sasa kukwambia ukweli wa swali lako anahisi utaumia, kwahiyo baada ya swali hilo anaweza kukuuliza swali na wewe "kwani unaonaje?" kwavile unampenda sana utamjibu, "naona kuwa unanipenda" naye atakwambia "basi ndio hivyo". Mara nyingine baada ya wewe kumuuliza swali kuwa je anakupenda kweli, atakujibu "ukweli unaujua ila kwanini unapenda kuniuliza swali hilo kila mara?" kama umeshaingiza dosari juu ya upendo wake utajikuta unamuuliza "ukweli upi?" naye atakujibu "kuwa nakupenda", hapo utajikuta umepata furaha kugundua kuwa anakupenda kumbe mwenzio amekuhurumia tu. ==> Huwa hajali mambo yako unayomwambia, ukimueleza muda huu badae anajifanya kusahau ili tu akupotezee mueleleo. ==> Unapopanga kukutana nae huwa ni mtu asiyeishiwa na sababu za kushindwa kufika, huwa na aibu ya kukutambulisha kwa watu. Unaweza kufika nae mahali akakwambia kuwa "kuna watu wanafahamiana na mama/baba mahali hapa kwahiyo tusiongozane karibu", hapo anaweza yeye akatangulia mbele au kukuacha wewe utangulie. ==> Hufanya tabasamu la kuigiza au kicheko cha kejeli ili wewe uridhike kwamba anafurahishwa na uwepo wako kwake. ===> Wakati mwingine inampasa mtu kujitambua na kumpa uhuru huyo umpendaye aweze kuamua mwenyewe labda kuendelea na wewe au kumfata anayempenda yeye. Cha muhimu ni kuwa using'ang'anie mahusiano ambayo yanayoumiza moyo kwani yanaweza pasua moyo wako kwa mawazo. MTU ANAYEKUPENDA KWA DHATI: ==> Hachoki kukwambia NAKUPENDA, kwani anajisikia raha sana pale atamkapo neno hilo juu yako kwahiyo unaweza ukawa kama wimbo wake kwako. ==> Anajivunia kuwa na wewe na atapenda kukupa sifa nzuri kila mara, yani Hachoki kukusifia. Atakushauri pale unapokosea ili uwe katika njia nzuri. Unaponuna atajua cha kufanya ili wewe ufurahi na kurudi kwenye hali ya kawaida. ==> Hachoki kukuombea mema na kukutakia mafanikio. ==> Atapenda kukueleza ukweli kila mara ili uweze kujenga uaminifu na imani juu yake. ==> Wewe utakuwa ni mtu muhimu sana katika maisha yake, atakuthamini na kukujali. Tatizo lako litakuwa sawa na tatizo lake, atakupa ushauri bila kuchoka. ==> Kabla ya kumuuliza swali kuwa "je unanipenda?" atakuwa ameshakujibu tena kwa hisia nzito kuwa "nakupenda sana mpenzi wangu". ==> Hatokuonea aibu kukutambulisha kwa watu kuwa wewe ndiye mpenzi wake, kwakuwa wewe ndiye furaha yake. ====> Thamani yako ni kubwa sana kwake, anakuona mpya kila siku na hachoki kuvutiwa na wewe. Anakupenda kwa kumaanisha na si kukupenda kimazoea tu. Neno NAKUPENDA litamtoka moyoni na ataridhihirisha kwa kinywa chake. Mtambue mtu huyu kuwa anakupenda kwa dhati. NB: Hakuna aliyekamilika, kila mtu ana kasoro na mapungufu yake. Si vyema kutumia mapungufu ya mwenzio kama fimbo katika mapenzi, cha muhimu ni kumuelimisha na kumuelekeza ili muweze kwenda sambamba. Nadhani baadhi ya maswali ya wadau yatakuwa yamejibiwa na hiyo mada. Kama kuna nyongeza au swali lolote kuhusiana na hiyo mada tuambiane hapa na kupatiana majibu hapa hapa wadau.

...
UTAALAM WA BURE NA MWEPESI WA JINSI YA KUMVUTA AU KUMRUDISHA MPENZI WAKO:
Huu ni Utaalamu mwepesi wa jinsi ya Kumvuta Mpenzi wako ambaye aidha hakupendi au amekutoroka.
Utaalamu huu utakupa uwezo wa kuvuta Mapenzi ya aina yoyote kwa Mpenzi wako, Marafiki zako, Wafanyakazi wenzio, Wakubwa wako wa kazi, Ndugu zako Adui zako na kwa ujumla mtu yoyote ambaye unataka akupende.
Vitu vinavyohitajika ni kama ifuatavyo:
1.Karatasi Nyeupe kabisa isiyo na Mistari na ambayo haijatumiwa (Karatsi Mpya)
2.Kalamu mbili za Wino, moja Nyeusi na moja Nyekundu.
3.Maua ya Waridi (Rose Flower) mawili ya rangi ya Pinki.
4.Jagi la Maji la Kioo likiwa na maji karibu kujaa.
5.Mkasi mpya Mdogo ambao haujatumika.
6.Bakuli la Maji likiwa na maji ndani yake.
KAZI HII UNAIFANYA WAKATI GANI?
Shughuli hii unatakiwa uifanye wakati wowote ambao wewe mwenyewe unahisi kwamba haupendwi. Haina wakati maalum
JINSI YA KUFANYA :
Kata karatasi hiyo Nyeupe katika vipande viwili vilivyo sawa, hakikisha umepima, ili kimoja kisizidi kingine.
KWA KUMVUTA MPENZI:
•Ukitumia Kalamu Nyekundu, andika katika moja ya vipande hivyo viwili vya karatasi kwa ufupi mambo yote ambayo unafikiri yanakufanya upendwe na watu, mfano, labda una sura nzuri, au unavaa vizuri, au unasaidia sana watu au unazungumza na Watu vizuri na Kadhalika.
•Chukua karatasi uliyoandika maneno yako mazuri, iweke dirishani Maandishi yaelekee Juu, Juu yake weka Jagi la maji la Kioo. Ndani ya Jagi tia yale maua mawili ya Waridi (Rose), Wakati unaweka Maua hayo unatakiwa unuie na uwataje kwa majina yao wale unaowataka wakupende au jambo unalolitaka la Mapenzi.
•Karatasi ya mambo yako mazuri uliyoiweka chini ya Jagi la maji iache hapo mpaka Mwezi utakapoandama, unachotakiwa kufanya, nikubadilisha mara kwa mara Maua yaliyo ndani ya Jagi kila unapoona yamenyauka.
KWA KUJISAFISHA NA KUJITOA MIKOSI
•Ukitumia Kalamu Nyeusi, andika katika kipande cha karatasi kilichobaki mambo yote Ambayo unafikiri yanawafanya watu wakuchukie, Mfano: Kama pengine wewe ni Jeuri, au una sura mbaya, au labda wewe ni mbahili au labda unaringa sana na kadhalika.
•Karatasi uliyoandika mambo yako mabaya itie ndani ya bakuli la maji na uiache hapo mpaka maandishi uliyoandika kwa Wino mweusi yafutike kabisa, kisha ulitupe karatasi lililolowa ambalo litakuwa halina maandishi Kwenye Jalala la Taka.
Maji ya kwenye Bakuli yamwage njia panda, wakati wa kiza (Usiku). Unapomwaga Utie nia kwamba usichukiwe tena na haowanaokuchukia.
Fanya hivyo na utaona Maajabu.
Wale watakaofanya utaalamu huu tunawaomba watutumie maelezo ya Mafanikio gani waliyopata na kitu gani kilichotokea baada ya kufanya tendo hilo

UTAALAM WA BURE NA MWEPESI WA JINSI YA KUMVUTA AU KUMRUDISHA MPENZI WAKO: Huu ni Utaalamu mwepesi wa jinsi ya Kumvuta Mpenzi wako ambaye aidha hakupendi au amekutoroka. Utaalamu huu utakupa uwezo wa kuvuta Mapenzi ya aina yoyote kwa Mpenzi wako, Marafiki zako, Wafanyakazi wenzio, Wakubwa wako wa kazi, Ndugu zako Adui zako na kwa ujumla mtu yoyote ambaye unataka akupende. Vitu vinavyohitajika ni kama ifuatavyo: 1.Karatasi Nyeupe kabisa isiyo na Mistari na ambayo haijatumiwa (Karatsi Mpya) 2.Kalamu mbili za Wino, moja Nyeusi na moja Nyekundu. 3.Maua ya Waridi (Rose Flower) mawili ya rangi ya Pinki. 4.Jagi la Maji la Kioo likiwa na maji karibu kujaa. 5.Mkasi mpya Mdogo ambao haujatumika. 6.Bakuli la Maji likiwa na maji ndani yake. KAZI HII UNAIFANYA WAKATI GANI? Shughuli hii unatakiwa uifanye wakati wowote ambao wewe mwenyewe unahisi kwamba haupendwi. Haina wakati maalum JINSI YA KUFANYA : Kata karatasi hiyo Nyeupe katika vipande viwili vilivyo sawa, hakikisha umepima, ili kimoja kisizidi kingine. KWA KUMVUTA MPENZI: •Ukitumia Kalamu Nyekundu, andika katika moja ya vipande hivyo viwili vya karatasi kwa ufupi mambo yote ambayo unafikiri yanakufanya upendwe na watu, mfano, labda una sura nzuri, au unavaa vizuri, au unasaidia sana watu au unazungumza na Watu vizuri na Kadhalika. •Chukua karatasi uliyoandika maneno yako mazuri, iweke dirishani Maandishi yaelekee Juu, Juu yake weka Jagi la maji la Kioo. Ndani ya Jagi tia yale maua mawili ya Waridi (Rose), Wakati unaweka Maua hayo unatakiwa unuie na uwataje kwa majina yao wale unaowataka wakupende au jambo unalolitaka la Mapenzi. •Karatasi ya mambo yako mazuri uliyoiweka chini ya Jagi la maji iache hapo mpaka Mwezi utakapoandama, unachotakiwa kufanya, nikubadilisha mara kwa mara Maua yaliyo ndani ya Jagi kila unapoona yamenyauka. KWA KUJISAFISHA NA KUJITOA MIKOSI •Ukitumia Kalamu Nyeusi, andika katika kipande cha karatasi kilichobaki mambo yote Ambayo unafikiri yanawafanya watu wakuchukie, Mfano: Kama pengine wewe ni Jeuri, au una sura mbaya, au labda wewe ni mbahili au labda unaringa sana na kadhalika. •Karatasi uliyoandika mambo yako mabaya itie ndani ya bakuli la maji na uiache hapo mpaka maandishi uliyoandika kwa Wino mweusi yafutike kabisa, kisha ulitupe karatasi lililolowa ambalo litakuwa halina maandishi Kwenye Jalala la Taka. Maji ya kwenye Bakuli yamwage njia panda, wakati wa kiza (Usiku). Unapomwaga Utie nia kwamba usichukiwe tena na haowanaokuchukia. Fanya hivyo na utaona Maajabu. Wale watakaofanya utaalamu huu tunawaomba watutumie maelezo ya Mafanikio gani waliyopata na kitu gani kilichotokea baada ya kufanya tendo hilo

...
Mbinu za kufufua penzi lenu
1. Badilisha mavazi yako .
Ikiwa bidhaa za kampuni unayoipenda zinabadilika baada ya miaka michache ili kupata umaruufu kwa wateja wake,pia wewe badilisha sura yako kwa kubadilisha mavazi na mfumo wa nywele ili umfurahishe mpenzi wako.
Hata kama umekuwa ukipendeza kwa mavazi yako, mpenzi wako tayari amekuzoea hivyo.
Nunua nguo mpya, chupi mpya, jaribu mtindo mwingine wa kutengeneza nywele ndiposa mpenzi wako akuone kama mgeni vile.
2. Hamia nyumba mpya
Ukiwa umekuwa ukiishi katika mtaa mmoja kwa miaka mingi ,badilisha maeneo yako.
Gura kwenda kwenye mtaa mpya, hili litakusaidia Kubadilisha mazingira na itaisisismua akili na kufurahia mukiwa pamoja.
3. Badilisha mfumo wa chumba chako cha kulala.
Panga vitu upya,ondoa vitu za kitambo,nunua vitu vipya,paka rangi tofauti tofauti kwenye ukuta wako.
Chumba cha kulalia kinapaswa kuwa cha kuvutia mno, badilisha mipangilio ya chumba chako mukiwa pamoja na mpenzi wako ndivyo nyiyi wote mumiliki mabadiliko hayo.
4. Omba msamaha nawe umsamehe.
Ni vigumu kuwa na urafiki wakati masuala tata kati yenu hayajatatuliwa.
Usipuuze maswala ambayo ni kawaida katika uhusianio,upendo wa dhati sio eti kwa sababu hamgombani wewe na mpenzi wako
Upendo wa dhati ni uwezo wa kusuluhisha matatizo kati yenu.
Omba msamaha wakati umekosea nawe msamehe wakati umekosewa.
5. Endeni mjivinjari kwa tarehe
Endeni likizo au tokeni nje pamoja.
Mkiwa nyote kwenye kwenye mazingira mapya inaweleta nyote pamoja.
6.Kataeni hamu ya kutizama picha za kujamiana.
Watu wengi wanaohusiano hudhani kuwa kuangalia picha hizo za kujamiana ni kitu kizuri ilhali ni jambo hatari sana.
Jiulize mbona watu huangalia picha hizi?
Kwa ajili ya kusisimua hali yao ya ngono?.
Kutegemea picha hizi kusisimua fataki kati yenu inamyang'anya mpenzi wako mamlaka ya kukusisimua mwenyewe.
Je inammanisha kuwa mpenzi wako hawezi kukusisimua?
Kama ni hivyo picha hizi hazisaidi kutengeneza hali zinaharibu.
Picha hizi zinafanya mapenzi yawe duni ilhali ni mmoja wapo wa kuwa na mapenzi.
Rudisha mapenzi na uwacha picha hizo mbaya ndiposa mpenzi wako aweze kujisalamisha kwako na ni jukumu lenu kusisimuana hisia kali za mahaba ile umruhusu awe spesheli kwako nawe kwake.
7. Jisalimishe upya
Kama fataki katika yenu yamekuwa yakididimia tatizo ni lenu.
Je unampenda kama awali?
Je unanipenda kweli?
Ondoa hofu hizo kwa kumhakikishia penzi lenu.
Hii ndiyo sababu wapenzi husherekea penzi lao.
8. Weka mtoto mbali na maswala yenu ya Huba.
Ni vizuri kuwa na watoto na kuwa karibu nao lakini wakti mwengine ni vyema watoto kuwa mbali na wazazi ili waweze kuwa na mda wao wa kipekee .
Tunza watoto kutokana na penzi lenu, penzi lenu likiingiiliwa kati basi uwezo wenu kama wazazi utaadhirika.
9. Epuka kuumiza mwenzako
Punguza visa vya kumuudhi na kumumiza mwenzako.
Roho iliyoumizwa ni vigumu kupenda.
10. Mbusu mpenzi wako zaidi.
Mabusu huleta watu pamoja.
Unavyo mbusu zaidi ndivyo munavyo chochea penzi.
11. Omba
Mungu anajali kuhusu penzi lenu na ndoa yenu.
Ombeni kwa pamoja kuhusu shida za penzi lenu.
12. Tenga wakati wa Faragha
Tenga wakati mahsusi kwa mpenzi wako.
Wanandoa wengi huwa na wakati mgumu sana kutenga muda maalum kuwa na wapenzi wao kutokana na majukumu ya maisha kama vile kazi safari watoto na kadhalika lakini
Jitahidi uweke kando muda maalum ambao utakaa karibu naye msemezane
Mkumbatiane mkumbushane haswa mlikotoka na mnakokwenda .
Ni muhimu sana.
13. Usilete majukumu yako ya kikazi nyumbani.
Ni vyema kufanya kazi ili kujipatia riziki yako na familia yako lakini kazi hiyo isalie kule afisini wala isiletwe nyumbani kamwe.
Usije na kazi yako ndani ya chumba chenyu cha kulala au ufanye mpenzi wako ahisi kuwa unamnyanyasa kwa sababu licha ya kuwa ulimuuowa mpenzi wako lakini umeoleka kwa kazi yako.
14. Weka teknolijia mbali
Teknolojia ni nzuri maanake inakupasha yanayojiri papo hapo .
Pia inawakutanisha hata mkiwa mbalimbali ,lakini ukiwa na mpenzi wako mbona usiiweke hiyo simu ama Kompyuta mbali ?
Mpenzi wako anataka kuongea nawe,kukubusu,kukumbatia kuwa karibu yako anataka kuisikia sauti yako lakini macho yako yanijishughulisha na kuongea kwa simu,mtandao wa kijamii ama unachapisha ujumbe .
Je nayeye akianza kuienzi kompyuta yake kuwasabahi jamaa na marafiki kwenye mitandao ya kijamii kutakuwepo na ndoa ?
Ukiwa nyumbani na mpenzi wako jiepushe na Teknolojia .
15. Chezeni pamoja
Kucheza pamoja kunaimarisha mahaba.
Haijalishi kama mpenzi wako anajua kupiga densi zaidi yako au la , Mkiwa pamoja weka mziki anaoupenda kisha mwite aje mpige naye rhumba,salsa Bongo flava, reggae ,hip hop hata Chakacha kama ni mwenyeji wa pwani !
Chezeni miili yenu ikigusana!
16 Kaeni msemezane
Mkiwa kitandani na mpenzi wako mnazungumza ?
Unamwambia nini kitandani ?
Unazungumzia kuhusu madeni yako?
Usidhubutu ,mwambie kuhusu mahitaji yenu ya kimahaba ,mwambie unampenda na kuwa haujui ungelikuwa wapi bila yeye .
17. Andikianeni barua za kimapenzi.
Mwandikie barua za kimapenzi na uiache kwenye gazeti au kwenye tarakilishi ,kitu ambayo itamfanya afurahie,kutoka kwa mwandiko wako.
18. Puuza watu ambao watakuvuruga amani kati yenu
Hao watu wanaokutongoza kupitia kwenye mitandao ya kijamii ima ni Facebook,WhatsApp wazuie wasikutumie ujumbe wa moja kwa moja.
Ni mahasidi hao,wala hawakupendi Ng'ooooo!!!!
Wao wangalikupenda kweli hawangejaribu kukuletea huzuni kwa kuvunja penzi/ndoa yenu.
Kujihusisha nao inapunguza makali ya penzi lenu ukidanganyika kuwa unapendwa ilhali ni Wanafiki tu
19.Nunua marashi mapya
Mnunulia mpenzi wako marashi yanayonukia vyema yatakayo fanya mpenzi wako afurahie kuwa nawe.
20.Jiachilie
Kuwa na uwazi wa mawazo ukiwa na mpenzio
Jaribu njia tofauti za kufanya mapenzi
Zungumzeni kama ambao mnaigiza sinema za mahaba
Mchezee shere
Mtanie mpenzi wako

Mbinu za kufufua penzi lenu 1. Badilisha mavazi yako . Ikiwa bidhaa za kampuni unayoipenda zinabadilika baada ya miaka michache ili kupata umaruufu kwa wateja wake,pia wewe badilisha sura yako kwa kubadilisha mavazi na mfumo wa nywele ili umfurahishe mpenzi wako. Hata kama umekuwa ukipendeza kwa mavazi yako, mpenzi wako tayari amekuzoea hivyo. Nunua nguo mpya, chupi mpya, jaribu mtindo mwingine wa kutengeneza nywele ndiposa mpenzi wako akuone kama mgeni vile. 2. Hamia nyumba mpya Ukiwa umekuwa ukiishi katika mtaa mmoja kwa miaka mingi ,badilisha maeneo yako. Gura kwenda kwenye mtaa mpya, hili litakusaidia Kubadilisha mazingira na itaisisismua akili na kufurahia mukiwa pamoja. 3. Badilisha mfumo wa chumba chako cha kulala. Panga vitu upya,ondoa vitu za kitambo,nunua vitu vipya,paka rangi tofauti tofauti kwenye ukuta wako. Chumba cha kulalia kinapaswa kuwa cha kuvutia mno, badilisha mipangilio ya chumba chako mukiwa pamoja na mpenzi wako ndivyo nyiyi wote mumiliki mabadiliko hayo. 4. Omba msamaha nawe umsamehe. Ni vigumu kuwa na urafiki wakati masuala tata kati yenu hayajatatuliwa. Usipuuze maswala ambayo ni kawaida katika uhusianio,upendo wa dhati sio eti kwa sababu hamgombani wewe na mpenzi wako Upendo wa dhati ni uwezo wa kusuluhisha matatizo kati yenu. Omba msamaha wakati umekosea nawe msamehe wakati umekosewa. 5. Endeni mjivinjari kwa tarehe Endeni likizo au tokeni nje pamoja. Mkiwa nyote kwenye kwenye mazingira mapya inaweleta nyote pamoja. 6.Kataeni hamu ya kutizama picha za kujamiana. Watu wengi wanaohusiano hudhani kuwa kuangalia picha hizo za kujamiana ni kitu kizuri ilhali ni jambo hatari sana. Jiulize mbona watu huangalia picha hizi? Kwa ajili ya kusisimua hali yao ya ngono?. Kutegemea picha hizi kusisimua fataki kati yenu inamyang'anya mpenzi wako mamlaka ya kukusisimua mwenyewe. Je inammanisha kuwa mpenzi wako hawezi kukusisimua? Kama ni hivyo picha hizi hazisaidi kutengeneza hali zinaharibu. Picha hizi zinafanya mapenzi yawe duni ilhali ni mmoja wapo wa kuwa na mapenzi. Rudisha mapenzi na uwacha picha hizo mbaya ndiposa mpenzi wako aweze kujisalamisha kwako na ni jukumu lenu kusisimuana hisia kali za mahaba ile umruhusu awe spesheli kwako nawe kwake. 7. Jisalimishe upya Kama fataki katika yenu yamekuwa yakididimia tatizo ni lenu. Je unampenda kama awali? Je unanipenda kweli? Ondoa hofu hizo kwa kumhakikishia penzi lenu. Hii ndiyo sababu wapenzi husherekea penzi lao. 8. Weka mtoto mbali na maswala yenu ya Huba. Ni vizuri kuwa na watoto na kuwa karibu nao lakini wakti mwengine ni vyema watoto kuwa mbali na wazazi ili waweze kuwa na mda wao wa kipekee . Tunza watoto kutokana na penzi lenu, penzi lenu likiingiiliwa kati basi uwezo wenu kama wazazi utaadhirika. 9. Epuka kuumiza mwenzako Punguza visa vya kumuudhi na kumumiza mwenzako. Roho iliyoumizwa ni vigumu kupenda. 10. Mbusu mpenzi wako zaidi. Mabusu huleta watu pamoja. Unavyo mbusu zaidi ndivyo munavyo chochea penzi. 11. Omba Mungu anajali kuhusu penzi lenu na ndoa yenu. Ombeni kwa pamoja kuhusu shida za penzi lenu. 12. Tenga wakati wa Faragha Tenga wakati mahsusi kwa mpenzi wako. Wanandoa wengi huwa na wakati mgumu sana kutenga muda maalum kuwa na wapenzi wao kutokana na majukumu ya maisha kama vile kazi safari watoto na kadhalika lakini Jitahidi uweke kando muda maalum ambao utakaa karibu naye msemezane Mkumbatiane mkumbushane haswa mlikotoka na mnakokwenda . Ni muhimu sana. 13. Usilete majukumu yako ya kikazi nyumbani. Ni vyema kufanya kazi ili kujipatia riziki yako na familia yako lakini kazi hiyo isalie kule afisini wala isiletwe nyumbani kamwe. Usije na kazi yako ndani ya chumba chenyu cha kulala au ufanye mpenzi wako ahisi kuwa unamnyanyasa kwa sababu licha ya kuwa ulimuuowa mpenzi wako lakini umeoleka kwa kazi yako. 14. Weka teknolijia mbali Teknolojia ni nzuri maanake inakupasha yanayojiri papo hapo . Pia inawakutanisha hata mkiwa mbalimbali ,lakini ukiwa na mpenzi wako mbona usiiweke hiyo simu ama Kompyuta mbali ? Mpenzi wako anataka kuongea nawe,kukubusu,kukumbatia kuwa karibu yako anataka kuisikia sauti yako lakini macho yako yanijishughulisha na kuongea kwa simu,mtandao wa kijamii ama unachapisha ujumbe . Je nayeye akianza kuienzi kompyuta yake kuwasabahi jamaa na marafiki kwenye mitandao ya kijamii kutakuwepo na ndoa ? Ukiwa nyumbani na mpenzi wako jiepushe na Teknolojia . 15. Chezeni pamoja Kucheza pamoja kunaimarisha mahaba. Haijalishi kama mpenzi wako anajua kupiga densi zaidi yako au la , Mkiwa pamoja weka mziki anaoupenda kisha mwite aje mpige naye rhumba,salsa Bongo flava, reggae ,hip hop hata Chakacha kama ni mwenyeji wa pwani ! Chezeni miili yenu ikigusana! 16 Kaeni msemezane Mkiwa kitandani na mpenzi wako mnazungumza ? Unamwambia nini kitandani ? Unazungumzia kuhusu madeni yako? Usidhubutu ,mwambie kuhusu mahitaji yenu ya kimahaba ,mwambie unampenda na kuwa haujui ungelikuwa wapi bila yeye . 17. Andikianeni barua za kimapenzi. Mwandikie barua za kimapenzi na uiache kwenye gazeti au kwenye tarakilishi ,kitu ambayo itamfanya afurahie,kutoka kwa mwandiko wako. 18. Puuza watu ambao watakuvuruga amani kati yenu Hao watu wanaokutongoza kupitia kwenye mitandao ya kijamii ima ni Facebook,WhatsApp wazuie wasikutumie ujumbe wa moja kwa moja. Ni mahasidi hao,wala hawakupendi Ng'ooooo!!!! Wao wangalikupenda kweli hawangejaribu kukuletea huzuni kwa kuvunja penzi/ndoa yenu. Kujihusisha nao inapunguza makali ya penzi lenu ukidanganyika kuwa unapendwa ilhali ni Wanafiki tu 19.Nunua marashi mapya Mnunulia mpenzi wako marashi yanayonukia vyema yatakayo fanya mpenzi wako afurahie kuwa nawe. 20.Jiachilie Kuwa na uwazi wa mawazo ukiwa na mpenzio Jaribu njia tofauti za kufanya mapenzi Zungumzeni kama ambao mnaigiza sinema za mahaba Mchezee shere Mtanie mpenzi wako

...
Wanawake: Aina tatu za wanaume wasiostahili muda wako

Utajuaje kuwa tunda moja kati ya mengi limeoza bila kulionja? Tuliongea na wanawake waliokiri kuwa  wanaume wazuri wapo, ila kuna wengi wanaofaa kuangaliwa tu bila kuguswa au hata kupewa nafasi ya kujieleza. Hizi ndizo aina tatu za wanaume unaofaa kuwatupilia mbali.

#1. Kasuku

Huyu ni aina ya mwanamume asiyekosa kitu cha kusema, bora tu apate anachokitaka. Wengi kati ya hawa huchukia wanawake na dhamira kuu huwa kuwatumia na kuwaacha. Mwanamke mmoja alisema kuwa aligundua kuwa Mumewe alikuwa na tabia ya kuwaeleza wenzake kuhusu yanayoendelea chumbani mwao ili ajipadishe hadhi.



#2. ‘Mtoto wa Mama’

Wengi kati ya hawa wana shida hata ya kutafuta kazi na wanataka kufanyiwa kila kitu. Usishangae akitaka kulishwa na kunyweshwa kila anapotaka. Wanawake kadhaa tuliowahoji walikiri kuwa wamewahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wanaume wa aina hii.


#3. Mjua yote

Habari zote za mjini wanazijua. Jirani akipigwa kofi, ‘mjua yote’ ataiweka kwenye mukhtasari mpaka kitandani.

Unakubaliana na maoni yao?

Wanawake: Aina tatu za wanaume wasiostahili muda wako Utajuaje kuwa tunda moja kati ya mengi limeoza bila kulionja? Tuliongea na wanawake waliokiri kuwa  wanaume wazuri wapo, ila kuna wengi wanaofaa kuangaliwa tu bila kuguswa au hata kupewa nafasi ya kujieleza. Hizi ndizo aina tatu za wanaume unaofaa kuwatupilia mbali. #1. Kasuku Huyu ni aina ya mwanamume asiyekosa kitu cha kusema, bora tu apate anachokitaka. Wengi kati ya hawa huchukia wanawake na dhamira kuu huwa kuwatumia na kuwaacha. Mwanamke mmoja alisema kuwa aligundua kuwa Mumewe alikuwa na tabia ya kuwaeleza wenzake kuhusu yanayoendelea chumbani mwao ili ajipadishe hadhi. #2. ‘Mtoto wa Mama’ Wengi kati ya hawa wana shida hata ya kutafuta kazi na wanataka kufanyiwa kila kitu. Usishangae akitaka kulishwa na kunyweshwa kila anapotaka. Wanawake kadhaa tuliowahoji walikiri kuwa wamewahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wanaume wa aina hii. #3. Mjua yote Habari zote za mjini wanazijua. Jirani akipigwa kofi, ‘mjua yote’ ataiweka kwenye mukhtasari mpaka kitandani. Unakubaliana na maoni yao?

...
AINA 10 ZA WANAWAKE WANAOPENDWA NA SANA NA WANAUME
WAPENDA USAWAAina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi niwanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu yakifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamiikwa asilimia 50 kwa 50
WANAOJUA MAPENZIWanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa niuwezo wa kuwatosheleza wenzi wao katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwasita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaumebila kujali sifa zao za nje au za ndani
MARAFIKI Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume.Wao hutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali na kujitolea kuhakikisha wanakuwa marafiki wa kweli kwenye shida naraha kwa wapenzi wao. Si wakorofi, ni waungwana na wapenda amani
WAPENDA UWAZI Aina nyingine ya wanawake inayowavutia wanaume ni wenye msimamo nawapenda uwazi. Si wepesi wa kuburuzwa katika maamuzi ya msingi kwakisingizio cha wao ni wanawake. Utafiti unaonesha wanawake wa aina hiiwamekuwa muhimu hasa kwa wanaume wenye tabia za ubabe na udhaifu katikauelewa wa mambo.
WANAOJITEGEMEA Wanawake wanaojitegemea wana soko kubwa kwa wanaume tofauti na akina‘naomba vocha’ kila siku. Uchunguzi unaonesha kuwa wanaume wa leohawapendi wanawake tegemezi, wasiokuwa na kazi na wanaoendekeza stareheza upande mmoja.
WASIO NA PRESHANikisema wanawake wasiokuwa na presha namaanisha wasiolazimisha vituvitokee haraka haraka. Wao siku zote huacha mambo yatokee yenyewe nakazi yao kuwa ni kutenda sehemu ya majukumu yao kama wapenzi
MARIDADI Kundi lingine la wanawake wanaopendwa na wanaume ni wanaozingatia usafina kujiremba. Wanaokwenda na wakati katika mavazi na mvuto wa nje lakini pia ni waelewa wa mazingira, si washamba. Wanapendeza kwa mwonekano.
WANAORIDHIKA Wanawake ambao huridhika na hali walizonazo ni kivutio kikubwa kwawanaume. Hili ni kundi linalohitajika sana katika ulimwengu wa mapenzikwa upande wa wanaume ambao maisha ya sasa yamekuwa yakiwageuza kutokajuu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke
WA MMOJA Wanawake wanaochagua mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kilaaina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziadazaidi ya waliowachagua mwanzo, wanahitajika sana.“Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine.”Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu na muhimu sana.

AINA 10 ZA WANAWAKE WANAOPENDWA NA SANA NA WANAUME WAPENDA USAWAAina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi niwanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu yakifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamiikwa asilimia 50 kwa 50 WANAOJUA MAPENZIWanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa niuwezo wa kuwatosheleza wenzi wao katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwasita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaumebila kujali sifa zao za nje au za ndani MARAFIKI Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume.Wao hutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali na kujitolea kuhakikisha wanakuwa marafiki wa kweli kwenye shida naraha kwa wapenzi wao. Si wakorofi, ni waungwana na wapenda amani WAPENDA UWAZI Aina nyingine ya wanawake inayowavutia wanaume ni wenye msimamo nawapenda uwazi. Si wepesi wa kuburuzwa katika maamuzi ya msingi kwakisingizio cha wao ni wanawake. Utafiti unaonesha wanawake wa aina hiiwamekuwa muhimu hasa kwa wanaume wenye tabia za ubabe na udhaifu katikauelewa wa mambo. WANAOJITEGEMEA Wanawake wanaojitegemea wana soko kubwa kwa wanaume tofauti na akina‘naomba vocha’ kila siku. Uchunguzi unaonesha kuwa wanaume wa leohawapendi wanawake tegemezi, wasiokuwa na kazi na wanaoendekeza stareheza upande mmoja. WASIO NA PRESHANikisema wanawake wasiokuwa na presha namaanisha wasiolazimisha vituvitokee haraka haraka. Wao siku zote huacha mambo yatokee yenyewe nakazi yao kuwa ni kutenda sehemu ya majukumu yao kama wapenzi MARIDADI Kundi lingine la wanawake wanaopendwa na wanaume ni wanaozingatia usafina kujiremba. Wanaokwenda na wakati katika mavazi na mvuto wa nje lakini pia ni waelewa wa mazingira, si washamba. Wanapendeza kwa mwonekano. WANAORIDHIKA Wanawake ambao huridhika na hali walizonazo ni kivutio kikubwa kwawanaume. Hili ni kundi linalohitajika sana katika ulimwengu wa mapenzikwa upande wa wanaume ambao maisha ya sasa yamekuwa yakiwageuza kutokajuu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke WA MMOJA Wanawake wanaochagua mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kilaaina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziadazaidi ya waliowachagua mwanzo, wanahitajika sana.“Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine.”Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu na muhimu sana.

...
AINA 5 ZA WANAUME WA KUWAEPUKA KWENYE MAHUSIANO.
Wanaume kama ilivyo kwa wanawake nao wana saikolojia yao ya maisha. Usipowaelewa unaweza ukawachukia wanaume wote duniani kwa sababu ya mwanaume mmoja au wawili uliowahi kuwa nao kwenye mahusiano. Niseme tu jambo moja kwamba wanaume ni watu wazuri sana, lakini unapaswa kuwaelewa angalau kwa uchache ili kwenda nao sawa.
Katika mahusiano wapo wanaume wanaomaanisha kuwa na wewe hadi ndoa na pia wapo wababaishaji tu. Leo nataka kukuonesha aina 5 za wanaume ambao unapaswa kuwaepuka endapo una lengo la kuwa na mahusiano bora ya furaha.
1. Wanaume wapenda ngono.
Wapo wanaume wanaoamini kwamba hakuna upendo wa kweli bila kufanya mapenzi. Hili nikundi ambalo kwa mantiki ya haraka hawana lengo la ndoa bali wanalenga kutimiza tama za mwili. Japokuwa wapo wanaojihusisha na ngono kabla ya ndoa na kufanikiwa kuoana, hilo halitakiwi kusifiwa au kupendekezwa kwa namna au sababu yoyote ile na jamii ya Kikristo. Wanaume wapenda ngono wana mbinu kali za ushawishi, huanza taratibu kwa mambo madogo madogo, huonesha uaminifu mwanzoni lakini kwa namna ya masihala hujikuta wamekuangusha kwenye uzinzi. Watu wa namna hii wanajua kujali, hawajui kuonya ukikosea, ni wepesi kuitikia hitaji lako, anaweza kuahirisha kazi ili tu achati na wewe anapogundua u mpweke. Wana kila mbinu za kukupeleka dhambini. Ukithubutu kumpa penzi basi yote aliyokuwa anafanya mwanzoni yanapungua na baadaye kuisha na kukuacha kabisa. Usipompa penzi utakuja kugundua (ukiwa mdadisi) kwamba ana michepuko au baada ya muda atatafuta sababu za kuvunja mahusiano.
2. Wanaume “watoto”
Wanaume ambao wanaanza mahusiano lakini wana akili za kitoto. Si ajabu kumkuta mwanaume ambaye hawezi kufanya maamuzi bila mchango wa wazazi wake. Ukiwa na mwanaume kama huyo ujue dakika yoyote atakapoambiwa we humfai utaachika bila sababu. Wanaume wa aina hii mara nyingi wanapenda mambo ya kijinga, hawana muda wa kuwaza juu ya future yenu, hawako tayari kupoteza gharama au muda kwenye mambo muhimu isipokuwa kwenye starehe tu. Kifupi hawapendi kuzungumzia ndoa. Kuna tofauti kati ya wanaochelewa kuoa na wasiopenda ndoa, hapa nazungumzia wasiopenda kujadili kuhusu ndoa. Hukwepa kwa sababu kisaikolojia wao bado ni watoto.
3. Wanaume “wapenda ukamilifu”
Lugha nzuri tunaweza kuwaita “perfectionists” na sio vibaya ukawajumuisha na “judgementalists” kwenye kundi hili. Hawa ni wanaume ambao wanataka kila kitu kiende sawa sawa na kilivyopangwa. Judgementalists ni wanaume wanaopenda kujudge kila kitu, yaani hakuna kitu utafanya wasiulize maswali. Hawajui kutia moyo, kusifia au kupongeza. Kuishi na wanaume wa namna hii ni lazima ujipange. Ni wepesi kubadili maamuzi bila kujali muda na rasilimali mlizotumia kwenye mahusiano yenu. Hawajali hisia za mtu mwingine, wanatumia “logic” zaidi, na kwa kweli ni wabinafsi kwa asili. Kwa wanaojua saikolojia ya ndoa ambayo huhitaji maelewano, kujaliana, kusikilizana, kuvumiliana na kuchukuliana watakubaliana nami kwamba kundi hili la wanaume ni mzigo katika mahusiano. Mara nyingi wanaume wa namna hii huoa wanawake wadogo sana ili wawatawale kisaikolojia na kuwafanya watumwa.
4. Wanaume wenye mtazamo hasi (Negative minded men).
Japokuwa tabia hii ni mbaya kwa wote yaani wanaume na wanawake lakini inaweza kuleta athari kubwa kwa wanaume kwa sababu si wanaume wengi walio tayari kubadilika kitabia. Mara nyingi wanaume wanapenda wanawake wabadili tabia ili kuwafaa wanaume na sio kinyume chake. Sababu za kuwa na mtazamo hasi ni nyingi kutokana na mtu mmoja na mwingine. Wengine ni kwa sababu ya kutojiamini, wengine ni kutokana na mambo ambayo umewahi kumfanyia kwenye mahusiano yenu, wengine historia za maisha yao ya utotoni na wengine ni kwa sababu ya wivu uliopitiliza kwa hiyo anawaza kuibiwa tu na mengine mengi. Kwa nini watu hawa sio potential kwa wanawake? Ni kwa sababu wanawake wanapenda mwanaume anayejali, anayepongeza na kusifia, mwenye mtazamo wa kutoshindwa, lazima mwanaume ujue kwamba mwanamke hujihisi hayuko salama (insecured) endapo kila anachofanya unaonesha kukitazama kwa ubaya. Badili mtazamo wako utaanza kuona uzuri wa mwenzio kwenye mahusiano.
5. Wanaume wanaoigiza maisha (pretenders)
Hawa ni wanaume ambao hawajakubali hali zao za maisha. Kama ni maskini atataka aonekane tajiri. Akijuana na mtu maarufu basi na yeye anataka aonekane maarufu. Wanaume wa namna hii ukiwagundua hawaoni shida kuvunja mahusiano ili kuficha aibu yao. Wanataka kufanana na wanaume watoto. Kifupi hawa ni wanaume ambao hawana mikakati thabiti ya maisha yao, hufuata upepo na mara nyingi hawana uwezo wa kweli wa kutunza familia. Ili kuolewa na mwanaume wa jinsi hii mwanamke anapaswa kumfahamu kabla ili ajue hatua muhimu za kumbadilisha.
MWISHO

AINA 5 ZA WANAUME WA KUWAEPUKA KWENYE MAHUSIANO. Wanaume kama ilivyo kwa wanawake nao wana saikolojia yao ya maisha. Usipowaelewa unaweza ukawachukia wanaume wote duniani kwa sababu ya mwanaume mmoja au wawili uliowahi kuwa nao kwenye mahusiano. Niseme tu jambo moja kwamba wanaume ni watu wazuri sana, lakini unapaswa kuwaelewa angalau kwa uchache ili kwenda nao sawa. Katika mahusiano wapo wanaume wanaomaanisha kuwa na wewe hadi ndoa na pia wapo wababaishaji tu. Leo nataka kukuonesha aina 5 za wanaume ambao unapaswa kuwaepuka endapo una lengo la kuwa na mahusiano bora ya furaha. 1. Wanaume wapenda ngono. Wapo wanaume wanaoamini kwamba hakuna upendo wa kweli bila kufanya mapenzi. Hili nikundi ambalo kwa mantiki ya haraka hawana lengo la ndoa bali wanalenga kutimiza tama za mwili. Japokuwa wapo wanaojihusisha na ngono kabla ya ndoa na kufanikiwa kuoana, hilo halitakiwi kusifiwa au kupendekezwa kwa namna au sababu yoyote ile na jamii ya Kikristo. Wanaume wapenda ngono wana mbinu kali za ushawishi, huanza taratibu kwa mambo madogo madogo, huonesha uaminifu mwanzoni lakini kwa namna ya masihala hujikuta wamekuangusha kwenye uzinzi. Watu wa namna hii wanajua kujali, hawajui kuonya ukikosea, ni wepesi kuitikia hitaji lako, anaweza kuahirisha kazi ili tu achati na wewe anapogundua u mpweke. Wana kila mbinu za kukupeleka dhambini. Ukithubutu kumpa penzi basi yote aliyokuwa anafanya mwanzoni yanapungua na baadaye kuisha na kukuacha kabisa. Usipompa penzi utakuja kugundua (ukiwa mdadisi) kwamba ana michepuko au baada ya muda atatafuta sababu za kuvunja mahusiano. 2. Wanaume “watoto” Wanaume ambao wanaanza mahusiano lakini wana akili za kitoto. Si ajabu kumkuta mwanaume ambaye hawezi kufanya maamuzi bila mchango wa wazazi wake. Ukiwa na mwanaume kama huyo ujue dakika yoyote atakapoambiwa we humfai utaachika bila sababu. Wanaume wa aina hii mara nyingi wanapenda mambo ya kijinga, hawana muda wa kuwaza juu ya future yenu, hawako tayari kupoteza gharama au muda kwenye mambo muhimu isipokuwa kwenye starehe tu. Kifupi hawapendi kuzungumzia ndoa. Kuna tofauti kati ya wanaochelewa kuoa na wasiopenda ndoa, hapa nazungumzia wasiopenda kujadili kuhusu ndoa. Hukwepa kwa sababu kisaikolojia wao bado ni watoto. 3. Wanaume “wapenda ukamilifu” Lugha nzuri tunaweza kuwaita “perfectionists” na sio vibaya ukawajumuisha na “judgementalists” kwenye kundi hili. Hawa ni wanaume ambao wanataka kila kitu kiende sawa sawa na kilivyopangwa. Judgementalists ni wanaume wanaopenda kujudge kila kitu, yaani hakuna kitu utafanya wasiulize maswali. Hawajui kutia moyo, kusifia au kupongeza. Kuishi na wanaume wa namna hii ni lazima ujipange. Ni wepesi kubadili maamuzi bila kujali muda na rasilimali mlizotumia kwenye mahusiano yenu. Hawajali hisia za mtu mwingine, wanatumia “logic” zaidi, na kwa kweli ni wabinafsi kwa asili. Kwa wanaojua saikolojia ya ndoa ambayo huhitaji maelewano, kujaliana, kusikilizana, kuvumiliana na kuchukuliana watakubaliana nami kwamba kundi hili la wanaume ni mzigo katika mahusiano. Mara nyingi wanaume wa namna hii huoa wanawake wadogo sana ili wawatawale kisaikolojia na kuwafanya watumwa. 4. Wanaume wenye mtazamo hasi (Negative minded men). Japokuwa tabia hii ni mbaya kwa wote yaani wanaume na wanawake lakini inaweza kuleta athari kubwa kwa wanaume kwa sababu si wanaume wengi walio tayari kubadilika kitabia. Mara nyingi wanaume wanapenda wanawake wabadili tabia ili kuwafaa wanaume na sio kinyume chake. Sababu za kuwa na mtazamo hasi ni nyingi kutokana na mtu mmoja na mwingine. Wengine ni kwa sababu ya kutojiamini, wengine ni kutokana na mambo ambayo umewahi kumfanyia kwenye mahusiano yenu, wengine historia za maisha yao ya utotoni na wengine ni kwa sababu ya wivu uliopitiliza kwa hiyo anawaza kuibiwa tu na mengine mengi. Kwa nini watu hawa sio potential kwa wanawake? Ni kwa sababu wanawake wanapenda mwanaume anayejali, anayepongeza na kusifia, mwenye mtazamo wa kutoshindwa, lazima mwanaume ujue kwamba mwanamke hujihisi hayuko salama (insecured) endapo kila anachofanya unaonesha kukitazama kwa ubaya. Badili mtazamo wako utaanza kuona uzuri wa mwenzio kwenye mahusiano. 5. Wanaume wanaoigiza maisha (pretenders) Hawa ni wanaume ambao hawajakubali hali zao za maisha. Kama ni maskini atataka aonekane tajiri. Akijuana na mtu maarufu basi na yeye anataka aonekane maarufu. Wanaume wa namna hii ukiwagundua hawaoni shida kuvunja mahusiano ili kuficha aibu yao. Wanataka kufanana na wanaume watoto. Kifupi hawa ni wanaume ambao hawana mikakati thabiti ya maisha yao, hufuata upepo na mara nyingi hawana uwezo wa kweli wa kutunza familia. Ili kuolewa na mwanaume wa jinsi hii mwanamke anapaswa kumfahamu kabla ili ajue hatua muhimu za kumbadilisha. MWISHO

...
AINA KUMI ZA WANAWAKE WANAOPENDWA NA WANAUME
Wanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale WENYE MSIMAMO, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio.
WAPENDA USAWA
Aina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu ya kifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamii kwa asilimia 50 kwa 50.
WANAOJUA MAPENZI
Wanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa ni uwezo wa kutosheleza katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonyesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwa sita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaume bila kujali sifa zao za nje au za ndani.
MARAFIKI
Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume. Wao hutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali na kujitolea kuhakikisha wanakuwa marafiki wa kweli kwenye shida na raha kwa wapenzi wao. Si wakorofi, waungwana na wapenda amani.
WA WAZI
Aina nyingine ya wanawake inayowavutia wanaume ni wenye msimamo na uwazi. Si wepesi wa kuburuzwa katika maamuzi ya msingi kwa kisingizio cha wao ni wanawake. Utafiti unaonesha wanawake wa aina hii wamekuwa muhimu hasa kwa wanaume wenye tabia za ubabe na udhaifu katika uelewa wa mambo.
WANAOJITEGEMEA
Wanawake wanaojitegemea wana soko kubwa kwa wanaume tofauti na akina naomba vocha kila siku. Uchunguzi unaonyesha kuwa wanaume wa leo hawapendi wanawake tegemezi, wasiokuwa na kazi na wanaoendekeza starehe za upande mmoja.
WASIO NA PRESHA
Nikisema wanawake wasiokuwa na presha namaanisha wasiolazimisha vitu vitokee haraka haraka. Wao siku zote huacha mambo yatokee yenyewe na kazi yao kuwa ni kutenda sehemu ya majukumu yao kama wapenzi.
MARIDADI
Kundi lingine la wanawake wanaopendwa na wanaume ni wanaozingatia usafi na kujiremba. Wanaokwenda na wakati katika mavazi na mvuto wa nje. Lakini pia ni welewa wa mazingira, si washamba [nieleweke]. Wanapendeza kwa muonekano.
WANAORIDHIKA
Wanawake ambao huridhika na hali walizonazo ni kivutio kikubwa kwa wanaume, hili ni kundi linalohitajika sana katika ulimwengu wa mapenzi kwa upande wa wanaume ambao maisha ya sasa yamekuwa yakiwageuza kutoka juu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke.
WA MMOJA
Wanawake wanaochagua mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kila aina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziada zaidi ya waliowachagua mwanzo wanahitajika sana. “Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine.” Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu na muhimu sana.

AINA KUMI ZA WANAWAKE WANAOPENDWA NA WANAUME Wanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale WENYE MSIMAMO, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio. WAPENDA USAWA Aina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu ya kifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamii kwa asilimia 50 kwa 50. WANAOJUA MAPENZI Wanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa ni uwezo wa kutosheleza katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonyesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwa sita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaume bila kujali sifa zao za nje au za ndani. MARAFIKI Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume. Wao hutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali na kujitolea kuhakikisha wanakuwa marafiki wa kweli kwenye shida na raha kwa wapenzi wao. Si wakorofi, waungwana na wapenda amani. WA WAZI Aina nyingine ya wanawake inayowavutia wanaume ni wenye msimamo na uwazi. Si wepesi wa kuburuzwa katika maamuzi ya msingi kwa kisingizio cha wao ni wanawake. Utafiti unaonesha wanawake wa aina hii wamekuwa muhimu hasa kwa wanaume wenye tabia za ubabe na udhaifu katika uelewa wa mambo. WANAOJITEGEMEA Wanawake wanaojitegemea wana soko kubwa kwa wanaume tofauti na akina naomba vocha kila siku. Uchunguzi unaonyesha kuwa wanaume wa leo hawapendi wanawake tegemezi, wasiokuwa na kazi na wanaoendekeza starehe za upande mmoja. WASIO NA PRESHA Nikisema wanawake wasiokuwa na presha namaanisha wasiolazimisha vitu vitokee haraka haraka. Wao siku zote huacha mambo yatokee yenyewe na kazi yao kuwa ni kutenda sehemu ya majukumu yao kama wapenzi. MARIDADI Kundi lingine la wanawake wanaopendwa na wanaume ni wanaozingatia usafi na kujiremba. Wanaokwenda na wakati katika mavazi na mvuto wa nje. Lakini pia ni welewa wa mazingira, si washamba [nieleweke]. Wanapendeza kwa muonekano. WANAORIDHIKA Wanawake ambao huridhika na hali walizonazo ni kivutio kikubwa kwa wanaume, hili ni kundi linalohitajika sana katika ulimwengu wa mapenzi kwa upande wa wanaume ambao maisha ya sasa yamekuwa yakiwageuza kutoka juu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke. WA MMOJA Wanawake wanaochagua mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kila aina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziada zaidi ya waliowachagua mwanzo wanahitajika sana. “Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine.” Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu na muhimu sana.

...
*Special kwa Wanawake: Dalili za mwanaume anayekupenda kwa Dhati*
ANAVYOKUTAZAMA
Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50.
Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda.
MIPANGO
Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango yake hasa ya muda mrefu. Mfano akitaka kununua kiwanja, kujenga nyumba atakuambia na pengine kutaka mchango wako wa hali na mali katika kulifanikisha hilo. Ukiona mwanaume anakuficha mambo yake, tambua kuwa huyo ana walakini kwenye penzi la dhati na la muda mrefu.
ATAONESHA HUZUNI
Katika maisha ya mapenzi kuna wakati wa kuhuzunika. Mwanaume mwenye upendo wa dhati atashirikiana nawe wakati wa huzuni na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa unapata furaha.
ATAKUAMINI
Dalili nyingine ya kupendwa na mwanaume ni kuaminiwa kwenye maisha kwa ujumla. Yaani mwanaume anayekupenda hatakuficha kitu, mfano pesa zake, atakupa uhuru kwenye simu yake na kukuamini katika usimamizi wa miradi yake.
ATAKUPA NAFASI
Ninapozungumzia nafasi nina maana atakukaribisha kwake bila hofu na kukupa nafasi ya kuingia na kutoka bila mipaka, atakupa nafasi ya kuweka vitu vyako kwenye kabati na kuruhusu nguo, picha na vitu vyako kuonekana wakati wote chumbani kwake.
UTAKUWA MWANAFAMILIA
Mwanaume aliyefikia chaguo la mwisho kwa mwanamke humshirikisha mpenzi wake kwenye masuala yake ya kifamilia, mfano atamwalika kwenye vikao vya harusi, kipaimara, atatoa nafasi ya kuambatana naye kuona wagonjwa, kusalimia ndugu na atakuwa huru kukutambulisha kwao.
ATAZUNGUMZA NAWE KUHUSU WATOTO
Kwa kuwa wanaume wengi hufikiria kuwa na familia, mwanaume anayekupenda atazungumza nawe mipango ya kupata watoto kwa kuwa atakuwa amekuchagua wewe kuwa mama wa wanaye na atapenda mazungumzo hayo.
ATAKUSAIDIA
Kwa kuwa kukwama ni sehemu ya maisha yetu, mwanaume anayekupenda atakuwa tayari kukusaidia unapokwama. Kila mara atahakikisha kuwa unakuwa na mafanikio na yeye atakuwa tayari kukupunguzia usumbufu wa maisha, kwa kukufuata kazini, kukusaidia baadhi ya mambo na hata ya nyumbani.
ATAJITOLEA
Ninaposema kujitolea ninamaanisha atakuwa tayari kufanya mambo yako na kuyaweka yake nyuma. Kwa mfano akiwa anapenda mpira na siku hiyo kuna mechi, lakini muda huo ukamwambia akufuate kwa mjomba wako atakuwa tayari kuacha furaha yake na kukujali wewe. Huyu ni mwanaume anayekupenda kwa dhati.
ATAAMBATANA NAWE
Wapenzi wengi wasiokuwa na mapenzi ya dhati huona aibu kuambatana na wapenzi wao kwenye mikusanyiko ya watu, lakini mwanaume anayekupenda atafurahia kutoka moyoni kuongozana nawe kwenye halaiki ya watu na kufurahia uwepo wako bila kuona aibu.

*Special kwa Wanawake: Dalili za mwanaume anayekupenda kwa Dhati* ANAVYOKUTAZAMA Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50. Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda. MIPANGO Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango yake hasa ya muda mrefu. Mfano akitaka kununua kiwanja, kujenga nyumba atakuambia na pengine kutaka mchango wako wa hali na mali katika kulifanikisha hilo. Ukiona mwanaume anakuficha mambo yake, tambua kuwa huyo ana walakini kwenye penzi la dhati na la muda mrefu. ATAONESHA HUZUNI Katika maisha ya mapenzi kuna wakati wa kuhuzunika. Mwanaume mwenye upendo wa dhati atashirikiana nawe wakati wa huzuni na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa unapata furaha. ATAKUAMINI Dalili nyingine ya kupendwa na mwanaume ni kuaminiwa kwenye maisha kwa ujumla. Yaani mwanaume anayekupenda hatakuficha kitu, mfano pesa zake, atakupa uhuru kwenye simu yake na kukuamini katika usimamizi wa miradi yake. ATAKUPA NAFASI Ninapozungumzia nafasi nina maana atakukaribisha kwake bila hofu na kukupa nafasi ya kuingia na kutoka bila mipaka, atakupa nafasi ya kuweka vitu vyako kwenye kabati na kuruhusu nguo, picha na vitu vyako kuonekana wakati wote chumbani kwake. UTAKUWA MWANAFAMILIA Mwanaume aliyefikia chaguo la mwisho kwa mwanamke humshirikisha mpenzi wake kwenye masuala yake ya kifamilia, mfano atamwalika kwenye vikao vya harusi, kipaimara, atatoa nafasi ya kuambatana naye kuona wagonjwa, kusalimia ndugu na atakuwa huru kukutambulisha kwao. ATAZUNGUMZA NAWE KUHUSU WATOTO Kwa kuwa wanaume wengi hufikiria kuwa na familia, mwanaume anayekupenda atazungumza nawe mipango ya kupata watoto kwa kuwa atakuwa amekuchagua wewe kuwa mama wa wanaye na atapenda mazungumzo hayo. ATAKUSAIDIA Kwa kuwa kukwama ni sehemu ya maisha yetu, mwanaume anayekupenda atakuwa tayari kukusaidia unapokwama. Kila mara atahakikisha kuwa unakuwa na mafanikio na yeye atakuwa tayari kukupunguzia usumbufu wa maisha, kwa kukufuata kazini, kukusaidia baadhi ya mambo na hata ya nyumbani. ATAJITOLEA Ninaposema kujitolea ninamaanisha atakuwa tayari kufanya mambo yako na kuyaweka yake nyuma. Kwa mfano akiwa anapenda mpira na siku hiyo kuna mechi, lakini muda huo ukamwambia akufuate kwa mjomba wako atakuwa tayari kuacha furaha yake na kukujali wewe. Huyu ni mwanaume anayekupenda kwa dhati. ATAAMBATANA NAWE Wapenzi wengi wasiokuwa na mapenzi ya dhati huona aibu kuambatana na wapenzi wao kwenye mikusanyiko ya watu, lakini mwanaume anayekupenda atafurahia kutoka moyoni kuongozana nawe kwenye halaiki ya watu na kufurahia uwepo wako bila kuona aibu.

...
ISHARA ZA MWANAUME AMBAYE HANA NIA AU HATAKI KUWA NA WEWE KATIKA MAHUSIANO YA KUDUMU (NDOA) NA WAKATI KIPINDI HICHOHICHO ANAKUTAMKIA NENO “NAKUPENDA”..
1.HAPIGI SIMU, BALI HUTUMIA SMS
Je, Kijana Huyu Aliyekwamb
ia Anakupenda Huwa Anawasiliana Nawe Kwa Njia Ya Ujumbe Mfupi Kuliko Anavyokupigia? Kama Utaona Hivyo, Basi Una Kila Sababu Ya Kuanza Kuitilia Shaka Nia Ya Kijana Huyu Wa Kiume, Kwani Kwa Hakika Hana Nia Yoyote Ya Dhati Ya Kuendelea Kuwa Nawe.
Kijana Wa Kiume Anapompenda Msichana, Hutamani Muda Wote Kuisikia Sauti Yake. Anapokuwa Anasisitiza Kutumika Kwa Ujumbe Mfupi Maana Yake Hana Haja Sana Ya Kusikia Sauti Yako. Naam, Ujumbe Mfupi Wa Maneno Si Njia Rahisi Sana Ya Kuwasiliana, Lakini Zaidi Ni Njia Rahisi Zaidi Ya Kuepuka Mawasiliano Na Kutoa Majibu Mafupi Kwa Mtu Ambaye Usingependa Kuwasiliana Naye.
2.ANA SABABU ZA KUCHELEWA
Unaweza Kubaini Katika Mikutano Yako Miwili-Mitatu Na Kijana Aliyekwambia Anakupenda, Kwamba Si Mtu Wa Kujali Wala Kutunza Muda. Naam, Yawezekana Katika Mara Mnazokutana, Mara Nyingi Zaidi Anachelewa Kuliko Anavyowahi. Unaweza Kudhani Kuwa Kijana Huyu Ana Mambo Mengi, Au Si Mzuri Katika Upangiliaji Wake Wa Muda, Lakini Kwa Hakika Hupaswi Kumtafutia Visingizio Hata Kama Unampenda, Kwani Kuna Uwezekano Mkubwa Kuwa Kijana Huyu Hana Mpango Na Wewe.
Kijana Wa Kiume Akikupenda Na Kupenda Kuendelea Kuwa Nawe, Lazima Tu Atakuwa Na Msukumo Wa Kutaka Kukutana Na Wewe Na Hatapenda Kukuudhi Kwa Kuchelewa. Mtu Huyu Hata Kama Atakuwa Amebanwa Vipi Kazini Ni Rahisi Sana Kutafuta Muda Wa Kukutana Na Wewe. Kinyume Chake Atakuwa Ni Mtu Wa Visingizio Vya Kuchelewa Na Wakati Mwingine Kutofika Kabisa Katika Eneo La Miadi – Hususan Kama Ameshakupata.
3.ANAWASILIANA NA MPENZI WA ZAMANI
Mwanamume Asiye Na Mpango Wa Kuendelea Kuwa Nawe Anapokuwa Amekutongoza Na Pengine Mmekutana Mara Moja Au Mbili, Atakutaarifu Kwa Kuendelea Kuwasiliana Na Mpenzi Wake Wa Zamani.
Kwa Hakika, Hakuna Jambo Ambalo Humsahaulisha Mwanamume Mpenzi Wa Zamani Kama Kumpata Mpenzi Mpya Anayempenda Kwa Dhati. Iwapo Ataendelea Kuwasiliana Na Kuzungumza Na Mpenzi Wake Wa Zamani, Hiyo Ni Ishara Kuwa Hajamalizana Na Mpenzi Wake Huyo Wa Zamani Na Pengine Bado Anatarajia Kurudiana Naye. Lakini La Muhimu Zaidi Ni Kwamba, Mwanamuke Huyu Hakupendi Kama Unavyodhani Na Wala Hajawa Tayari Kuwa Nawe Kama Mpenzi Au Mchumba.
4.HAKUTAMBULISHI KWA MARAFIKI
Mwanamume Akikupenda, Hususan Vijana Katika Zama Hizi, Lazima Tu Atakutambulisha Kwa Marafiki Zake, Maana Atakuwa Anajisikia Fahari Kwa Kufanya Hivyo, Hususan Kama Anahisi Wewe Ni Mwanamke Maridadi.
Kwa Hulka, Lazima Tu Kijana Wa Kiume Atataka Kujionesha Kwa Watu Anapokuwa Na Kimwana Maridadi Na Anayempenda Kwa Dhati. Usipoona Dalili Zozote Za Jambo Hili, Basi Chukulia Tu Kuwa Kijana Huyu Wa Kiume Hajakupenda Kama Unavyodhani.
5.HUEPUKA WATU KUWAONA PAMOJA
Mwanamume Asiye Na Mpango Wa Kuendelea Kuwa Nawe Katika Uhusiano, Hujitahidi Kuepuka Watu Kuwaona Pamoja. Ni Kweli Kuwa Si Vijana Wote Wa Kiume Wanaopenda Mapenzi Ya Maonesho Ya Kushikana Mikono Wanapotembea, Lakini Kama Ameridhika Nawe Lazima Tu Kwa Kiasi Fulani Atataka Umma Ujue.
Kwa Hakika, Kijana Wa Kiume Anapokuwa Amempenda Msichana Kwa Dhati, Hujikuta Akifanya Hata Mambo Ambayo Zamani Alikuwa Hadhani Kuwa Anaweza Kuyafanya, Ikiwa Ni Pamoja Na Kuonesha Mapenzi Hadharani, Japo Kwa Idhara Ndogo Ndogo. Kwa Tamaduni Za Magharibi Ni Kawaida Kumbusu Mpenzi Hadharani Au Kumzungushia Mkono Kiuononi, Au Kumshika Mkono, Au Kumbusu. Lakini Afrika Hata Kutoka Naye Nje Mkizungumza Huwafanya Watu Washuku Jambo. Kama Hukuliona Hilo Kwa Mpenzi Wako, Basi Chukulia Tu Kuwa Unapoteza Muda.
6.HAZUNGUMZII MIPANGO YA BAADAYE
Unapokuwa Unazungumza Na Mwanamume Ambaye Ana Mpango Wa Kuwa Nawe Katika Kipindi Chake Cha Maisha Yaliyobaki, Lazima Tu Utambaini Akiingiza Mambo Yanayohusiana Na Maisha Ya Baadaye Mkiwa Pamoja. Kwa Hakika, Utambaini Mwanamume Huyu Akitumia Nafsi Ya Kwanza Wingi Tena Katika Muda Wa Baadaye, Yaani Akizungumza Mambo Ambayo Atafanya Na Wewe Miaka Ijayo.
Iwapo Atazungumzia Klabu Fulani Aliyoiona Karibuni Lakini Akawa Hagusii Kuwa Mtakwenda Huko Siku Moja – Tena Mbaya Zaidi Akawa Anasema Kuwa Huwa Anakwenda Pale Mara Kwa Mara, Basi Tambua Kuwa Hauko Katika Mipango Yake Ya Baadaye.
7.HAKUNA MATENDO YA MAHABA
Mwanamume Asiye Na Mpango Wowote Na Wewe Si Aghalabu Kukufanyia Jambo Ambalo Utaliona La Kimapenzi Au La Kimahaba, Hususan Anapokuwa Amefanikiwa Kufanya Mapenzi Na Wewe. Ukiona Hivi, Shtuka Mapema Na Anza Kuangalia Ustaarabu Mwingine.
Haina Maana Kuwa Asipokununulia Maua Basi Hana Mpango Nawe, Lakini Angalau Mara Moja Moja Akufanyie Jambo Au Angalau Atoe Kauli Ambayo Itakusisimua Na Kukufanya Ujione Wa Thamani Na Wa Pekee Machoni Pake.
8.MIPANGO UNAPANGA WEWE
Iwapo Utabaini Kuwa Asilimia 80 Ya Mambo Mnayofanya Pamoja Unayaanzisha Wewe, Basi Una Kila Sababu Ya Kuutilia Shaka Mustakabali Wa Uhusiano Wenu.
Kama Ilivyobainishwa Awali, Mwanamume Akikupenda Atataka Mwe Pamoja Muda Mwingi, Lakini Kama Utabaini Kuwa Mipango Mingi Unaanzisha Wewe Na Unazungumza Naye Kwenye Simu Ijumaa Na Mnamaliza Bila Mwanamume Huyu Kuonesha Dalili Za Kutaka Kuwa Nawe Wikiendi, Japo Kwa Kinywaji, Basi Chukulia Kuwa Mwanamume Huyu Hana Nia Yoyote Ya Kuwa Nawe Kwa Muda Mrefu Zaidi.
9.HANA MPANGO NA WATU WAKO
Mwanamume Anayekupenda Atajishughulisha Na Mambo Yanayohusiana Na Watu Wako Wa Karibu, Hususan Ndugu, Jamaa Na Marafiki Zako. Iwpao Utabaini Kuwa Mwanamume Huyu Haulizi Swali Lolote Kuhusiana Na Familia Yako Au Marafiki Zako, Basi Tambua Kuwa Hana Mpango Wowote Wa Maana Na Wewe. Kumbuka Mwanamume Akikupenda Hujaribu Kuwafahamu Na Kuwapenda Watu Wako, Maana Amependa Boga Na Sheria Ni Kwamba Lazima Upende Na Ua Lake.
10.HAKUMBUKI LOLOTE LA MAANA
Ni Wazi Kuwa Hujakaa Sana Na Mwanamume Huyu, Lakini Angalau Kuna Mambo Muhimu Umefanya Naye Ambayo Anapaswa Kuyakumbuka. Kama Hawezi Kukumbuka Tarehe Muhimu Za Uhusiano Wenu, Mathalani Tarehe Mliyokutana Mara Ya Kwanza, Au Siku Mliyofanya Mapenzi, Basi Yamkini Mwanamume Huyu Hana Mpango Wowote Wa Dhati Wa Kuendelea Kuwa Nawe.
USIPOTEZE MUDA
Hakuna Mtu Mwenye Lengo La Kukuvunja Moyo, Lakini Ujumbe Ulio Dhahiri Ni Kwamba, Kama Unafikiria Uhusiano Wa Kudumu Na Mtu Kisha Akawa Anaonesha Ishara Zilizobainishwa Hapa, Basi Tambua Tu Kuwa Huyo Si Wako Na Atakupotezea Muda Wako Bure. Wala Usijaribu Kumlazimisha, Maana Mambo Ya Kulazimisha Huwa Hayadumu.
Ni Muhimu Sana Kuhakikisha Kuwa Mtu Unayetaka Kujenga Naye Uhusiano Wa Kudumu Anakupenda Kwa Dhati. Wala Haipendezi Kumng’ang’ania Mtu Ambaye Mapenzi Yake Kwako Ni Nusu Nusu. Hakikisha Kuwa Mtu Unayempenda Na Unayetaka Kuwa Naye Ni Yule Ambaye Amekuzimikia Na Atamani Sana Kuwa Nawe. Mtu Huyu Utampata, Hususan Kama Wewe Mwenyewe Utaweka Jitihada Za Makusudi Na Kujiweka Katika Hali Ya Kupendwa Na Kupendeka.

ISHARA ZA MWANAUME AMBAYE HANA NIA AU HATAKI KUWA NA WEWE KATIKA MAHUSIANO YA KUDUMU (NDOA) NA WAKATI KIPINDI HICHOHICHO ANAKUTAMKIA NENO “NAKUPENDA”.. 1.HAPIGI SIMU, BALI HUTUMIA SMS Je, Kijana Huyu Aliyekwamb ia Anakupenda Huwa Anawasiliana Nawe Kwa Njia Ya Ujumbe Mfupi Kuliko Anavyokupigia? Kama Utaona Hivyo, Basi Una Kila Sababu Ya Kuanza Kuitilia Shaka Nia Ya Kijana Huyu Wa Kiume, Kwani Kwa Hakika Hana Nia Yoyote Ya Dhati Ya Kuendelea Kuwa Nawe. Kijana Wa Kiume Anapompenda Msichana, Hutamani Muda Wote Kuisikia Sauti Yake. Anapokuwa Anasisitiza Kutumika Kwa Ujumbe Mfupi Maana Yake Hana Haja Sana Ya Kusikia Sauti Yako. Naam, Ujumbe Mfupi Wa Maneno Si Njia Rahisi Sana Ya Kuwasiliana, Lakini Zaidi Ni Njia Rahisi Zaidi Ya Kuepuka Mawasiliano Na Kutoa Majibu Mafupi Kwa Mtu Ambaye Usingependa Kuwasiliana Naye. 2.ANA SABABU ZA KUCHELEWA Unaweza Kubaini Katika Mikutano Yako Miwili-Mitatu Na Kijana Aliyekwambia Anakupenda, Kwamba Si Mtu Wa Kujali Wala Kutunza Muda. Naam, Yawezekana Katika Mara Mnazokutana, Mara Nyingi Zaidi Anachelewa Kuliko Anavyowahi. Unaweza Kudhani Kuwa Kijana Huyu Ana Mambo Mengi, Au Si Mzuri Katika Upangiliaji Wake Wa Muda, Lakini Kwa Hakika Hupaswi Kumtafutia Visingizio Hata Kama Unampenda, Kwani Kuna Uwezekano Mkubwa Kuwa Kijana Huyu Hana Mpango Na Wewe. Kijana Wa Kiume Akikupenda Na Kupenda Kuendelea Kuwa Nawe, Lazima Tu Atakuwa Na Msukumo Wa Kutaka Kukutana Na Wewe Na Hatapenda Kukuudhi Kwa Kuchelewa. Mtu Huyu Hata Kama Atakuwa Amebanwa Vipi Kazini Ni Rahisi Sana Kutafuta Muda Wa Kukutana Na Wewe. Kinyume Chake Atakuwa Ni Mtu Wa Visingizio Vya Kuchelewa Na Wakati Mwingine Kutofika Kabisa Katika Eneo La Miadi – Hususan Kama Ameshakupata. 3.ANAWASILIANA NA MPENZI WA ZAMANI Mwanamume Asiye Na Mpango Wa Kuendelea Kuwa Nawe Anapokuwa Amekutongoza Na Pengine Mmekutana Mara Moja Au Mbili, Atakutaarifu Kwa Kuendelea Kuwasiliana Na Mpenzi Wake Wa Zamani. Kwa Hakika, Hakuna Jambo Ambalo Humsahaulisha Mwanamume Mpenzi Wa Zamani Kama Kumpata Mpenzi Mpya Anayempenda Kwa Dhati. Iwapo Ataendelea Kuwasiliana Na Kuzungumza Na Mpenzi Wake Wa Zamani, Hiyo Ni Ishara Kuwa Hajamalizana Na Mpenzi Wake Huyo Wa Zamani Na Pengine Bado Anatarajia Kurudiana Naye. Lakini La Muhimu Zaidi Ni Kwamba, Mwanamuke Huyu Hakupendi Kama Unavyodhani Na Wala Hajawa Tayari Kuwa Nawe Kama Mpenzi Au Mchumba. 4.HAKUTAMBULISHI KWA MARAFIKI Mwanamume Akikupenda, Hususan Vijana Katika Zama Hizi, Lazima Tu Atakutambulisha Kwa Marafiki Zake, Maana Atakuwa Anajisikia Fahari Kwa Kufanya Hivyo, Hususan Kama Anahisi Wewe Ni Mwanamke Maridadi. Kwa Hulka, Lazima Tu Kijana Wa Kiume Atataka Kujionesha Kwa Watu Anapokuwa Na Kimwana Maridadi Na Anayempenda Kwa Dhati. Usipoona Dalili Zozote Za Jambo Hili, Basi Chukulia Tu Kuwa Kijana Huyu Wa Kiume Hajakupenda Kama Unavyodhani. 5.HUEPUKA WATU KUWAONA PAMOJA Mwanamume Asiye Na Mpango Wa Kuendelea Kuwa Nawe Katika Uhusiano, Hujitahidi Kuepuka Watu Kuwaona Pamoja. Ni Kweli Kuwa Si Vijana Wote Wa Kiume Wanaopenda Mapenzi Ya Maonesho Ya Kushikana Mikono Wanapotembea, Lakini Kama Ameridhika Nawe Lazima Tu Kwa Kiasi Fulani Atataka Umma Ujue. Kwa Hakika, Kijana Wa Kiume Anapokuwa Amempenda Msichana Kwa Dhati, Hujikuta Akifanya Hata Mambo Ambayo Zamani Alikuwa Hadhani Kuwa Anaweza Kuyafanya, Ikiwa Ni Pamoja Na Kuonesha Mapenzi Hadharani, Japo Kwa Idhara Ndogo Ndogo. Kwa Tamaduni Za Magharibi Ni Kawaida Kumbusu Mpenzi Hadharani Au Kumzungushia Mkono Kiuononi, Au Kumshika Mkono, Au Kumbusu. Lakini Afrika Hata Kutoka Naye Nje Mkizungumza Huwafanya Watu Washuku Jambo. Kama Hukuliona Hilo Kwa Mpenzi Wako, Basi Chukulia Tu Kuwa Unapoteza Muda. 6.HAZUNGUMZII MIPANGO YA BAADAYE Unapokuwa Unazungumza Na Mwanamume Ambaye Ana Mpango Wa Kuwa Nawe Katika Kipindi Chake Cha Maisha Yaliyobaki, Lazima Tu Utambaini Akiingiza Mambo Yanayohusiana Na Maisha Ya Baadaye Mkiwa Pamoja. Kwa Hakika, Utambaini Mwanamume Huyu Akitumia Nafsi Ya Kwanza Wingi Tena Katika Muda Wa Baadaye, Yaani Akizungumza Mambo Ambayo Atafanya Na Wewe Miaka Ijayo. Iwapo Atazungumzia Klabu Fulani Aliyoiona Karibuni Lakini Akawa Hagusii Kuwa Mtakwenda Huko Siku Moja – Tena Mbaya Zaidi Akawa Anasema Kuwa Huwa Anakwenda Pale Mara Kwa Mara, Basi Tambua Kuwa Hauko Katika Mipango Yake Ya Baadaye. 7.HAKUNA MATENDO YA MAHABA Mwanamume Asiye Na Mpango Wowote Na Wewe Si Aghalabu Kukufanyia Jambo Ambalo Utaliona La Kimapenzi Au La Kimahaba, Hususan Anapokuwa Amefanikiwa Kufanya Mapenzi Na Wewe. Ukiona Hivi, Shtuka Mapema Na Anza Kuangalia Ustaarabu Mwingine. Haina Maana Kuwa Asipokununulia Maua Basi Hana Mpango Nawe, Lakini Angalau Mara Moja Moja Akufanyie Jambo Au Angalau Atoe Kauli Ambayo Itakusisimua Na Kukufanya Ujione Wa Thamani Na Wa Pekee Machoni Pake. 8.MIPANGO UNAPANGA WEWE Iwapo Utabaini Kuwa Asilimia 80 Ya Mambo Mnayofanya Pamoja Unayaanzisha Wewe, Basi Una Kila Sababu Ya Kuutilia Shaka Mustakabali Wa Uhusiano Wenu. Kama Ilivyobainishwa Awali, Mwanamume Akikupenda Atataka Mwe Pamoja Muda Mwingi, Lakini Kama Utabaini Kuwa Mipango Mingi Unaanzisha Wewe Na Unazungumza Naye Kwenye Simu Ijumaa Na Mnamaliza Bila Mwanamume Huyu Kuonesha Dalili Za Kutaka Kuwa Nawe Wikiendi, Japo Kwa Kinywaji, Basi Chukulia Kuwa Mwanamume Huyu Hana Nia Yoyote Ya Kuwa Nawe Kwa Muda Mrefu Zaidi. 9.HANA MPANGO NA WATU WAKO Mwanamume Anayekupenda Atajishughulisha Na Mambo Yanayohusiana Na Watu Wako Wa Karibu, Hususan Ndugu, Jamaa Na Marafiki Zako. Iwpao Utabaini Kuwa Mwanamume Huyu Haulizi Swali Lolote Kuhusiana Na Familia Yako Au Marafiki Zako, Basi Tambua Kuwa Hana Mpango Wowote Wa Maana Na Wewe. Kumbuka Mwanamume Akikupenda Hujaribu Kuwafahamu Na Kuwapenda Watu Wako, Maana Amependa Boga Na Sheria Ni Kwamba Lazima Upende Na Ua Lake. 10.HAKUMBUKI LOLOTE LA MAANA Ni Wazi Kuwa Hujakaa Sana Na Mwanamume Huyu, Lakini Angalau Kuna Mambo Muhimu Umefanya Naye Ambayo Anapaswa Kuyakumbuka. Kama Hawezi Kukumbuka Tarehe Muhimu Za Uhusiano Wenu, Mathalani Tarehe Mliyokutana Mara Ya Kwanza, Au Siku Mliyofanya Mapenzi, Basi Yamkini Mwanamume Huyu Hana Mpango Wowote Wa Dhati Wa Kuendelea Kuwa Nawe. USIPOTEZE MUDA Hakuna Mtu Mwenye Lengo La Kukuvunja Moyo, Lakini Ujumbe Ulio Dhahiri Ni Kwamba, Kama Unafikiria Uhusiano Wa Kudumu Na Mtu Kisha Akawa Anaonesha Ishara Zilizobainishwa Hapa, Basi Tambua Tu Kuwa Huyo Si Wako Na Atakupotezea Muda Wako Bure. Wala Usijaribu Kumlazimisha, Maana Mambo Ya Kulazimisha Huwa Hayadumu. Ni Muhimu Sana Kuhakikisha Kuwa Mtu Unayetaka Kujenga Naye Uhusiano Wa Kudumu Anakupenda Kwa Dhati. Wala Haipendezi Kumng’ang’ania Mtu Ambaye Mapenzi Yake Kwako Ni Nusu Nusu. Hakikisha Kuwa Mtu Unayempenda Na Unayetaka Kuwa Naye Ni Yule Ambaye Amekuzimikia Na Atamani Sana Kuwa Nawe. Mtu Huyu Utampata, Hususan Kama Wewe Mwenyewe Utaweka Jitihada Za Makusudi Na Kujiweka Katika Hali Ya Kupendwa Na Kupendeka.

...

Faida ya Vazi la Khanga Moko Katika Kudumisha Ndoa....  Mpenzi msomaji wangu, katika kuifanya ndoa iwe imara, niliwahi kuzungumzia mavazi sahihi ya mke kumvalia mumewe wakiwa chumbani. Lakini pia nikasema kwamba, kama kwenye nyumba mnaishi wawili tu, sioni shida mke kuvaa anavyotaka. Pia nikasema kuwa, hakuna kitu kibaya kama mke wa mtu kuvaa nguo zisizo za heshima kwenye nyumba ya kupanga kiasi cha kuwatega wapangaji wa kiume. Nilisema hayo baada ya kubaini kuwa, wapo wanawake ambao wameolewa lakini hawaoni hatari kuvaa kimitego bila kujali kuwa, kufanya hivyo ni kuiweka rehani ndoa. Kuna hili vazi la kanga moja ambalo baadhi ya wanawake wamekuwa wakipenda kulivaa hasa maeneo ya mjini, bila kujali ni mchana au usiku, kwenye nyumba ya kupanga au binafsi. Hapo ndipo penye shida na leo nimeona nilizungumzie ili wale wenye tabia hiyo waache mara moja kama wanazitaka ndoa zao. Niseme tu kwamba, ukiwa na mumeo chumbani wala sioni tatizo kumvalia kanga moja, wakubwa wanajua faida ya vazi hili katika kuidumisha ndoa. Pia ikiwa mnaishi peke yenu, siyo hatari hata kidogo kuvaa kanga moja, akazurura nayo sebuleni, jikoni na sehemu nyingine za nyumba yenu. Nasema hivyo kwa sababu, kuvaa minguo kibao mbele ya mumeo naweza kusema ni ushamba, labda kama kuna baridi sana, unaumwa au hauko vizuri na mwenza wako. Kinyume chake unaweza kuvaa vazi hilo na ikawa ni chachu ya mambo yetu yalee. Shida inakuja pale utakapovaa vazi hilo kisha kutoka na kwenda bafuni kuoga, mbaya zaidi uwe umejaaliwa umbile tata kisha kwenye nyumba unayoishi kuna wanaume kibao. Unadhani katika mazingira hayo ndoa yako itakuwa salama kweli? Unadhani wapangaji wenzako watakuheshimu? Sidhani kama itakuwa hivyo. Kwa kuvaa kanga moja ni wazi utapata usumbufu mkubwa kutoka kwa wanaume wakware na wengi watakuona unatangaza biashara. Mumeo naye hawezi kufurahia hilo, labda awe ni miongoni mwa wale malimbukeni. Unachotakiwa kujua ni kwamba, kuvaa kanga moja hasa kwa mke wa mtu na kukatiza mbele za wanaume bila aibu ni kujichoresha. Utadharaulika na hata mumeo hawezi kupata heshima inayostahili kwani ataonekana kaoa mke mcharuko.  Labda niseme tu kwamba, unatakiwa kuwa makini sana na mavazi yako. Tambua uvaeje ukiwa na mumeo tu chumbani, uvaeje ukitoka kwenye geti la nyumba yenu na uvaeje ukiwa ndani ya nyumba huku ukiwa na familia. Wapo wanaokosea, unakuta mke wa mtu ana watoto tena wakubwa tu lakini akiwa ndani kwake anaona sawa kuvaa kanga moja na akawa anazunguka huku na kule. Hii siyo sawa! Ni kweli wanao hawawezi kukutamani lakini unawafundisha nini kwa kuvaa hivyo? Naomba nihitimishe kwa kusema kwamba, unapoingia kwenye ndoa unatakiwa kujitofautisha kabisa na wale ambao wako ‘singo’. Kanga moja ni vazi la kumvalia mumeo tena hasa chumbani. Usijidhalilishe kuvaa nguo ambayo itakufanya utafsirike tofauti, udharaulike na kuonekana unatangaza biashara wak

...
Zijue Mbinu za kuondiokana na Tatizo la Kunuka Mdomo






Tatizo la kunuka mdomo limekuwa ni kikwazo kikubwa kwa watu wengi. Halitosis kitaalum ni ile hali ya kuwa na harufu mbaya mdomoni, hali hii inaweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla.

Harufu mbaya mdomoni uondoa haiba ya kupendwa kwani hata unapoongea wengi watakwepa kuongea moja kwa moja na wewe kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka mdomoni mwako. Chakula unachokula kina athiri hewa inayotoka mdomoni au sehemu nyingine za mwili.

Baadhi ya vyakula vina matokeo mabaya sana kwa hurufu unayotoa mdomoni. Harufu mbaya mdomoni si ugonjwa wa kuambukiza haina haja kuogopa ukikutana na mtu mwenye harufu mbaya mdomoni kwamba atakuambukiza.

Pia tatizo kubwa ni kwamba watu wenye harufu mbaya mdomoni hawajijui kwamba wana harufu mbaya. Asilimia 85 – 90% ya tatizo la harufu mbaya mdomoni asili yake ni kinywa chenyewe.

Kiwango cha harufu hutofautiana kutokana na muda (mchana, usiku na asubuhi). Harufu nyingi mbaya mdomoni hutokana na vyakula vyenye asilia ya protein. Kuna zaidi ya aina 600 ya bacteria wanaoishi kwenye kinywa cha Binadamu (sehemu ya juu ya ulimi, fizi na kuzunguka meno).

KINACHO SABABISHA HARUFU MBAYA MDOMONI
Kutokuwa makini na usafi wa kinywa kama vile kupiga mswaki vizuri kunakoacha mabaki ya chakula ambayo huoza na kusababisha harufu mbaya mdomoni. (Wengi hupiga mswaki haraka haraka na kuacha mabaki ya chakula).

Maambukizi ya magonjwa kama vile fizi kutoka damu, mfumo wa upumuaji na kisukari.

Kinywa kuwa kikavu kutokana na madawa (medications) Kuvuta sigara, kunywa kahawa, ulaji wa vyakula vyenye viungo vikali kama vile vitunguu maji au thaumu.

NAMNA YA KUJUA KAMA UNA HARUFU MBAYA MDOMONI
Wanasayansi wamekiri kwamba ni ngumu sana mtu kujijua mwenyewe kama ana harufu mbaya kwa sababu ya mazoea (habituation).

Ni rahisi sana kutambua harufu kutoka kwenye kinywa cha mtu mwingine. Unaweza kutambua kama una harufu mbaya mdomoni kwa kumuuliza mtu unayemuamini.

Pia unaweza kujua harufu mbaya kwa kulamba nyuma ya kiganja na kunusa, wengine hupumua mbele ya kioo na kunusa. Pia unaweza kutumia kijiti cha kuchokonolea meno na kukinusa.

Kisayansi unaweza kutumia vifaa kama Halimeter, Gas Chromatography na BANA Test.

NAMNA YA KUJIKINGA NA KUONDOA HARUFU MBAYA MDOMONI
Ni rahisi kulizuia na kuliondoa tatizo la kunuka mdomo iwapo utaamua kufuata kanuni za usafi wa kinywa kwa kufanya yafuatayo

KUPIGA MSWAKI
Kitu cha kwanza kufanya ni kupiga mswaki kwa ukamilifu kila uamkapo asubuhi. Wakati wa kupiga mswaki, utatakiwa siyo tu kusugua meno, bali pia ulimi, sehemu ya katikati hadi karibu na koromeo kwa kusugua vizuri.

Vile vile kila uamkapo baada ya kulala mchana au jioni, hakikisha unapiga mswaki, kwani bakteria wa kinywani, hutawala kinywa kila ulalapo. Mara baada ya kupiga mswaki na kusugua ulimi sawaswa, hakikisha unasukutua vizuri kwa maji, kwani hapa ndipo baadhi ya watu hukosea kwa kupiga mswaki bila kusukutua kwa maji.

KUNYWA MAJI MENGI
Maji ni muhimu sana karibu kila eneo la mwili wa binadamu.Unywaji wa maji ya kutosha kila siku utakusaidia kudhibiti na hatimaye kuondoa tatizo la kunuka mdomo.

Unywaji wa maji mengi ni muhimu, hasa kwa wale watu wenye ugonjwa wa kukauka midomo (xerostomia).

Mara nyingi harufu itokayo mdomoni, hutokea tumboni na siyo kinywaji peke yake kama unavyoweza kudhani. Hivyo, kama tumbo litakuwa chafu, hata kama utasafisha kinywa vizuri bado harufu mbaya inaweza kuendelea kutoka.

Harufu mbaya ya tumboni hutokea pale tumbo linapokuwa chafu kutokana na kutopata choo kwa muda mrefu. Miongoni mwa mambo yanayochangia kukosekana kwa choo kwa muda mrefu ni pamoja na tabia ya kutokunywa maji ya kutosha kwa siku, hivyo hakikisha unakunywa maji, kiasi kisichopungua lita moja na nusu hadi mbili au zaidi, kutegemeana na kazi unazozifanya.

Ukiwa na tatizo la kukaukiwa maji mwilini kila mara, mwili hujaribu kutumia njia zake za kiasili kupunguza uzalishaji wa mate ili kuhifadhi maji kwa ajiili ya matumizi mengine, kitendo hicho huchangia kunukisha mdomo kwa sababu ndani ya mate huwa kuna kinga muhimu dhidi ya baktetria wanaonukisha kinywa.

Kwa upande mwingine, ili kuzuia kinywa kunuka pale mdomo unapokuwa umekaukiwa na mate, ni vizuri kutafuna vitu kama bazooka (chewing gum) yoyote ili kuzalisha mate ambayo huhitajika katika kudhibiti bakteria.

Zijue Mbinu za kuondiokana na Tatizo la Kunuka Mdomo  Tatizo la kunuka mdomo limekuwa ni kikwazo kikubwa kwa watu wengi. Halitosis kitaalum ni ile hali ya kuwa na harufu mbaya mdomoni, hali hii inaweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla. Harufu mbaya mdomoni uondoa haiba ya kupendwa kwani hata unapoongea wengi watakwepa kuongea moja kwa moja na wewe kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka mdomoni mwako. Chakula unachokula kina athiri hewa inayotoka mdomoni au sehemu nyingine za mwili. Baadhi ya vyakula vina matokeo mabaya sana kwa hurufu unayotoa mdomoni. Harufu mbaya mdomoni si ugonjwa wa kuambukiza haina haja kuogopa ukikutana na mtu mwenye harufu mbaya mdomoni kwamba atakuambukiza. Pia tatizo kubwa ni kwamba watu wenye harufu mbaya mdomoni hawajijui kwamba wana harufu mbaya. Asilimia 85 – 90% ya tatizo la harufu mbaya mdomoni asili yake ni kinywa chenyewe. Kiwango cha harufu hutofautiana kutokana na muda (mchana, usiku na asubuhi). Harufu nyingi mbaya mdomoni hutokana na vyakula vyenye asilia ya protein. Kuna zaidi ya aina 600 ya bacteria wanaoishi kwenye kinywa cha Binadamu (sehemu ya juu ya ulimi, fizi na kuzunguka meno). KINACHO SABABISHA HARUFU MBAYA MDOMONI Kutokuwa makini na usafi wa kinywa kama vile kupiga mswaki vizuri kunakoacha mabaki ya chakula ambayo huoza na kusababisha harufu mbaya mdomoni. (Wengi hupiga mswaki haraka haraka na kuacha mabaki ya chakula). Maambukizi ya magonjwa kama vile fizi kutoka damu, mfumo wa upumuaji na kisukari. Kinywa kuwa kikavu kutokana na madawa (medications) Kuvuta sigara, kunywa kahawa, ulaji wa vyakula vyenye viungo vikali kama vile vitunguu maji au thaumu. NAMNA YA KUJUA KAMA UNA HARUFU MBAYA MDOMONI Wanasayansi wamekiri kwamba ni ngumu sana mtu kujijua mwenyewe kama ana harufu mbaya kwa sababu ya mazoea (habituation). Ni rahisi sana kutambua harufu kutoka kwenye kinywa cha mtu mwingine. Unaweza kutambua kama una harufu mbaya mdomoni kwa kumuuliza mtu unayemuamini. Pia unaweza kujua harufu mbaya kwa kulamba nyuma ya kiganja na kunusa, wengine hupumua mbele ya kioo na kunusa. Pia unaweza kutumia kijiti cha kuchokonolea meno na kukinusa. Kisayansi unaweza kutumia vifaa kama Halimeter, Gas Chromatography na BANA Test. NAMNA YA KUJIKINGA NA KUONDOA HARUFU MBAYA MDOMONI Ni rahisi kulizuia na kuliondoa tatizo la kunuka mdomo iwapo utaamua kufuata kanuni za usafi wa kinywa kwa kufanya yafuatayo KUPIGA MSWAKI Kitu cha kwanza kufanya ni kupiga mswaki kwa ukamilifu kila uamkapo asubuhi. Wakati wa kupiga mswaki, utatakiwa siyo tu kusugua meno, bali pia ulimi, sehemu ya katikati hadi karibu na koromeo kwa kusugua vizuri. Vile vile kila uamkapo baada ya kulala mchana au jioni, hakikisha unapiga mswaki, kwani bakteria wa kinywani, hutawala kinywa kila ulalapo. Mara baada ya kupiga mswaki na kusugua ulimi sawaswa, hakikisha unasukutua vizuri kwa maji, kwani hapa ndipo baadhi ya watu hukosea kwa kupiga mswaki bila kusukutua kwa maji. KUNYWA MAJI MENGI Maji ni muhimu sana karibu kila eneo la mwili wa binadamu.Unywaji wa maji ya kutosha kila siku utakusaidia kudhibiti na hatimaye kuondoa tatizo la kunuka mdomo. Unywaji wa maji mengi ni muhimu, hasa kwa wale watu wenye ugonjwa wa kukauka midomo (xerostomia). Mara nyingi harufu itokayo mdomoni, hutokea tumboni na siyo kinywaji peke yake kama unavyoweza kudhani. Hivyo, kama tumbo litakuwa chafu, hata kama utasafisha kinywa vizuri bado harufu mbaya inaweza kuendelea kutoka. Harufu mbaya ya tumboni hutokea pale tumbo linapokuwa chafu kutokana na kutopata choo kwa muda mrefu. Miongoni mwa mambo yanayochangia kukosekana kwa choo kwa muda mrefu ni pamoja na tabia ya kutokunywa maji ya kutosha kwa siku, hivyo hakikisha unakunywa maji, kiasi kisichopungua lita moja na nusu hadi mbili au zaidi, kutegemeana na kazi unazozifanya. Ukiwa na tatizo la kukaukiwa maji mwilini kila mara, mwili hujaribu kutumia njia zake za kiasili kupunguza uzalishaji wa mate ili kuhifadhi maji kwa ajiili ya matumizi mengine, kitendo hicho huchangia kunukisha mdomo kwa sababu ndani ya mate huwa kuna kinga muhimu dhidi ya baktetria wanaonukisha kinywa. Kwa upande mwingine, ili kuzuia kinywa kunuka pale mdomo unapokuwa umekaukiwa na mate, ni vizuri kutafuna vitu kama bazooka (chewing gum) yoyote ili kuzalisha mate ambayo huhitajika katika kudhibiti bakteria.

...
SMS za upendo






Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu "SINTOMPENDA MWINGINE ZAIDI YAKO"

Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI

Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha na maumivu yake ndani yangu.

:Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. Mchana mwema

Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusa

SMS za upendo  Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu "SINTOMPENDA MWINGINE ZAIDI YAKO" Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha na maumivu yake ndani yangu. :Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. Mchana mwema Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusa

...

Kijana Epuka Ndoa na Wanawake Wenye Kazi Hizi........  Mwalimu : Wengi wenu mna dhana potofu kwamba ukioa mwalimu mpo in safe side. Hawa watu akili zao zimelala fofofo. Mtu anayeridhirika na ujira wa laki 3 kwa mwezi kwa kutoa sadaka siku zake 30 kwa mwezi ni wa kumuepuka. Hana changamoto mpya katika maisha. Akirudi kazini yuko exhausted kabisa, atapata wapi muda wa kuwaza vitu vipya huku bado hajasahihisha?? Unless atakua ni mtu unayemtumia kwa sex tu, ana madhara hata kwa akili ya watoto atakaowazaa yawezekana wakawa na akili mgando pia. Askari : Hawa watu siitaji kuwaelezea sana. Acha wachukuane wao kwa wao. Kama wewe ni raia wa kawaida ukitaka kuumia moyo kwa kupigiwa oa hawa watu. Mafunzo ya kijeshi kawaida yanaharibu saikolojia yao. Kauli mbiu ya huko mafunzoni kwao ni kwamba wanawake wapo jeshini kwa ajili ya kuburudisha mjeshi wa kiume na kumpa morali. Ko kiungo chake si mali yake. Achilia mbali kukuendesha. Nurse / Wauguzi : Kama una mpango wa familia yako kustawi kiuchumi, epuka hawa watu. Kazi zao zinawa train kutoa msaada ( kazi za kujitolea ). Mioyo na akili zao hubadilika kabisa na kuwa kimsaada na kuhurumia zaidi. Hii ni mbaya sana kwa maisha ya kibiashara/kiuchumi. Ingawa the first law of being rich is giving out but kwa hawa huwa ni too much. Wema usizidi uwezo. Madactari : Kutokana na nature ya kazi zao ni vigumu mno kwa ustawi wa familia. Kama una ndoto ya kuipeleka mbali kiuchumi familia yako waepuke. Muda wao mwingi hutumika kuwaza kazi zao na kutoa huduma. Ni rare sana kumkuta dactari yuko shap nje box. Unless umuweke kwa kukuzalia na huduma za kimwili, hata hivyo unahitaji uwe mvumilivu kwelikweli muda wowote anakurupushwa kazini. Waajiriwa wa mabenki. ( Tellers & Accountants). Kuishi mtoni haimaanishi wewe ni msafi. Kuna watoto mnajidanganya hawa watu wana pesa kutokana na kazi zao. Hawa hawana tofauti na kundi la kwanza hapo juu. Moja ya wanyonywaji wanaoongoza nchini ni hawa. Mikopo ya nyumba na vigari huwasahaulisha kabisa kama wananyonywa. Ma teller wanalipwa hadi laki 4, accountants wanapewa >1m for 12 hrs a day for 30 days. Ukiamua kuoa hawa hakikisha ana kubali kuacha kibarua chake, wanakuwaga wachakarikaji at least but wakiacha. Wasaidizi maalumu wa watu binafsi : Wasemaji wa mabosi fulani, makarani wa mabosi, na wengineo. Mara nyingi huwa ni nyama za hao mabosi, Lkn unaweza kuoa kama huna wivu wa mapenzi. Mara mia ukaoa muhudumu wa hoteli. Msomi asiye na kazi : Mara mia tatu kuoa mjinga asiye na kazi kuliko hawa nyumbu wamekula pesa ya serikali alafu wanapanga foleni kusubiri kuwa watumwa wa watu. Akili yao 80% wanawaza ngono vichwani. Mjinga asiye kazi unaweza bahatika kupata mwenye mwamko akawa wa faida kwako ila kwa sababu tu hakupata mwanga akaishia kubaki iddle. USHAURI WA BURE ( option kuchukua): Kuna kazi watu wake mnawadharau mno lakini kwa kutokana na uzoefu wangu maishani it's 100 better kuwachangamkia. Wafanya biashara wadogo( haijalishi udogo wa level gani). Akili za hawa wanawake zimechamka mno. Akili iliyochamka ina faida lukuki kwa mtumiaji. Ashajua ujanja wa kuingiza mkwanja, kuoa hawa ni kuwa na advantage ya goli la ugenini. Waajiriwa wa secta binafsi department za accounts, Sells & Marketing & Project planning & Development. Akili za hawa watu huwa ziko active muda wote kutokana na nature za kazi zao. Ni faida kwako uliye na ndoto za kufika mbali kiuchumi. Ukikosa wa secta binafsi oa hata wa serikalini. Mkishawaoa baada ya muda ni vizuri watoeni huko, wafanye mambo yanayohusu familia( kiuchumi). Mnaweza kuongeza na wengineo...............................................!! Samahanini sana kwa niliowagusa.....

...
HATUA KUMI ZA KUCHAGUA MCHUMBA







Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.

Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.

Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.

Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.

Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa.

Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake. Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake.

Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Suzzy aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao.

Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye.


Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea.

Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya.

Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi.

KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye.

Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure.

PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake.

TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka.

NNE - Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia.

Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia.

TANO - Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa.

Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa.

Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha.

SITA - Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda.

Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu.

SABA - Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana

NANE - Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe.

TISA - Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana.

KUMI - Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake.

Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi.

HATUA KUMI ZA KUCHAGUA MCHUMBA  Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni. Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi. Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake. Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli. Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa. Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake. Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake. Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Suzzy aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao. Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye. Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea. Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya. Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi. KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye. Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure. PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake. TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka. NNE - Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia. Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia. TANO - Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa. Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa. Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha. SITA - Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda. Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu. SABA - Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana NANE - Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe. TISA - Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana. KUMI - Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake. Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi.

...
SMS Tamu za mahaba.......






Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine
hasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.

Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka moyo na akili yangu pia.

Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako,
naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA

Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo kwa kukutumia sms mpenzi wangu, Nakutakia usiku mwema

Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo kama ukiwa mbali "NIACHE NIKUPENDE SWEET"

SMS Tamu za mahaba.......  Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu. Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka moyo na akili yangu pia. Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo kwa kukutumia sms mpenzi wangu, Nakutakia usiku mwema Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo kama ukiwa mbali "NIACHE NIKUPENDE SWEET"

...
JINSI YA KUMTAMBUA MWANAMKE ANAYEKARIBIA KUKUACHA!









Kuna tofauti kubwa ya kimaamuzi kati ya mwanaume na mwanamke kwenye suala la kuachana. Inaelezwa kwamba, wanaume ni rahisi kwao kuamua ndani ya dakika moja na kutangaza kuvunja uhusiano, lakini kwa wanawake maamuzi yao mara nyingi hutanguliwa na dalili, ingawa hata wanaume nao wanazo.

Uchunguzi unaonesha kuwa, wanawake wengi hawawezi kuficha sana hisia zao za mapenzi, lakini pia kwenye chuki hawakujaaliwa uvumilivu. Wanasaikolojia wanakiri kwamba, kutambua mawazo yaliyomo ndani ya mwanamke kwa kumtazama muonekano wake usoni ni rahisi kuliko mwanaume ambaye anatajwa kuwa na uwezo kuficha mawazo yake.

Muongozo huo wa kitaalamu wa kumtambua mwanamke anayekaribia kukuacha ni kazi rahisi, ambayo inaweza kuanzia kwenye kona ya mazoea ya tabia zake za kila siku kwenye uhusiano wa kimapenzi. Ni imani yangu kuwa kila mwanaume anamfahamu mpenzi wake katika sura mbili za chuki na furaha yake.

Atakuwa mwanaume wa ajabu ambaye atarudi nyumbani kwake na kushindwa kusoma sura ya mkewe na kujua kama ana furaha au amekwazika.
Ninapotazama uwezekano rahisi wa kumtambua mwanamke, nafika mahali pa kuamini kuwa dokezo chache nitakazotoa hapa chini zinaweza kuwa msaada kwa wanaume wengi kujua kama wamekaribia kuwekwa kando kimapenzi.

KUPENDA KUJITENGA
Mwanamke ambaye anapenda kujitenga na mpenzi wake atakuwa kwenye hatua za awali za kuelekea kuachana naye. Tabia ya mwanamke kutopenda kukaa karibu na mumewe au mpenzi wake inatajwa kama ishara ya kuchoka au kukinai penzi. Hoja inabaki pale niliposema pa yeye kushindwa kuamua haraka na hivyo kutengeneza kwanza hali ya kumpuuza mpenzi wake.

KUPOTEZA HAMU YA TENDO
Mwanamke ambaye hafurahii tendo la ndoa kwa mumewe au mpenzi wake yuko kwenye hatua za kuacha. Mara zote msisimko wa kimapenzi huashiria utoshelevu wa kihisia ambao ndiyo unaoelezwa kuwa ni muhimu kwenye uhusiano wa kimapenzi kuliko kitu kingine chochote.
Hii ina maana kwamba, mwanamke anayetosheka na kuvutiwa na mwanaume aliyenaye hawezi kukosa hisia za kimapenzi hasa anapokuwa na mwenza wake faragha.


KUPENDA KUKOSOA
Kama nilivyosema, kujua historia ya penzi lenu namna lilivyoanza ni jambo muhimu kwa sababu husaidia kujua kama kuna mabadiliko hatari ya tabia za mwanamke.
Ikitokea mpenzi wako ambaye hapo mwanzo alikuwa msikivu na ghafla ukaanza kuona amekuwa mkosaji na mpingaji wa mwenendo wako au kila unachofikiria kukifanya, tambua kuwa hiyo ni ishara kuwa amechoka kilichobaki ni nafasi ya kukuacha.

UHUSIANO NA MTU MWINGINE
Licha ya kwamba usaliti kwenye uhusiano limekuwa suala la kawaida siku hizi, lakini mwanamke ambaye atakuwa hafichi uhusiano wake wa pembeni na kuacha minong’ono ikikufikia huku yeye akionesha kutojali malalamiko yako ya kusalitiwa, ujue hiyo ni ishara kwamba mwanaume wa pembeni amemfikisha kwenye hitaji la moyo wake na hivyo kuachana na wewe si jambo la gharama kwake.

KUTOKUKUTEGEMEA
Mwanamke ambaye ana kusudio la kukuacha huanza kwa kuuondoa utegemezi. Ikiwa alikuwa anakuomba nauli, fedha ya matumizi, ada na huduma nyingine atasitisha bila kukuambia na bado utaona anaendelea kujimudu kama kawaida au kuteseka kimya kimya. Kuacha kukutegemea kama zamani ni dalili za kuweza kuishi bila wewe na hivyo kutafsiri uwezekano wa kukuacha wakati wowote.

JINSI YA KUMTAMBUA MWANAMKE ANAYEKARIBIA KUKUACHA!  Kuna tofauti kubwa ya kimaamuzi kati ya mwanaume na mwanamke kwenye suala la kuachana. Inaelezwa kwamba, wanaume ni rahisi kwao kuamua ndani ya dakika moja na kutangaza kuvunja uhusiano, lakini kwa wanawake maamuzi yao mara nyingi hutanguliwa na dalili, ingawa hata wanaume nao wanazo. Uchunguzi unaonesha kuwa, wanawake wengi hawawezi kuficha sana hisia zao za mapenzi, lakini pia kwenye chuki hawakujaaliwa uvumilivu. Wanasaikolojia wanakiri kwamba, kutambua mawazo yaliyomo ndani ya mwanamke kwa kumtazama muonekano wake usoni ni rahisi kuliko mwanaume ambaye anatajwa kuwa na uwezo kuficha mawazo yake. Muongozo huo wa kitaalamu wa kumtambua mwanamke anayekaribia kukuacha ni kazi rahisi, ambayo inaweza kuanzia kwenye kona ya mazoea ya tabia zake za kila siku kwenye uhusiano wa kimapenzi. Ni imani yangu kuwa kila mwanaume anamfahamu mpenzi wake katika sura mbili za chuki na furaha yake. Atakuwa mwanaume wa ajabu ambaye atarudi nyumbani kwake na kushindwa kusoma sura ya mkewe na kujua kama ana furaha au amekwazika. Ninapotazama uwezekano rahisi wa kumtambua mwanamke, nafika mahali pa kuamini kuwa dokezo chache nitakazotoa hapa chini zinaweza kuwa msaada kwa wanaume wengi kujua kama wamekaribia kuwekwa kando kimapenzi. KUPENDA KUJITENGA Mwanamke ambaye anapenda kujitenga na mpenzi wake atakuwa kwenye hatua za awali za kuelekea kuachana naye. Tabia ya mwanamke kutopenda kukaa karibu na mumewe au mpenzi wake inatajwa kama ishara ya kuchoka au kukinai penzi. Hoja inabaki pale niliposema pa yeye kushindwa kuamua haraka na hivyo kutengeneza kwanza hali ya kumpuuza mpenzi wake. KUPOTEZA HAMU YA TENDO Mwanamke ambaye hafurahii tendo la ndoa kwa mumewe au mpenzi wake yuko kwenye hatua za kuacha. Mara zote msisimko wa kimapenzi huashiria utoshelevu wa kihisia ambao ndiyo unaoelezwa kuwa ni muhimu kwenye uhusiano wa kimapenzi kuliko kitu kingine chochote. Hii ina maana kwamba, mwanamke anayetosheka na kuvutiwa na mwanaume aliyenaye hawezi kukosa hisia za kimapenzi hasa anapokuwa na mwenza wake faragha. KUPENDA KUKOSOA Kama nilivyosema, kujua historia ya penzi lenu namna lilivyoanza ni jambo muhimu kwa sababu husaidia kujua kama kuna mabadiliko hatari ya tabia za mwanamke. Ikitokea mpenzi wako ambaye hapo mwanzo alikuwa msikivu na ghafla ukaanza kuona amekuwa mkosaji na mpingaji wa mwenendo wako au kila unachofikiria kukifanya, tambua kuwa hiyo ni ishara kuwa amechoka kilichobaki ni nafasi ya kukuacha. UHUSIANO NA MTU MWINGINE Licha ya kwamba usaliti kwenye uhusiano limekuwa suala la kawaida siku hizi, lakini mwanamke ambaye atakuwa hafichi uhusiano wake wa pembeni na kuacha minong’ono ikikufikia huku yeye akionesha kutojali malalamiko yako ya kusalitiwa, ujue hiyo ni ishara kwamba mwanaume wa pembeni amemfikisha kwenye hitaji la moyo wake na hivyo kuachana na wewe si jambo la gharama kwake. KUTOKUKUTEGEMEA Mwanamke ambaye ana kusudio la kukuacha huanza kwa kuuondoa utegemezi. Ikiwa alikuwa anakuomba nauli, fedha ya matumizi, ada na huduma nyingine atasitisha bila kukuambia na bado utaona anaendelea kujimudu kama kawaida au kuteseka kimya kimya. Kuacha kukutegemea kama zamani ni dalili za kuweza kuishi bila wewe na hivyo kutafsiri uwezekano wa kukuacha wakati wowote.

...
Page 1 of 182123...182Next
Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top