Home → simulizi
→ JAMANI BABA
Sehemu 13
ILIPOISHIA
Mwaija alitoka, akarudi nyumbani huku miguu
ikimtetemeka. Alijua mama yake atamla nyama
siku hiyo. Alipofika, alisukuma mlango akaingia
ndani. ..
“Ukitaka salama yako Mwaija uniambie ukweli ni
mwanaume gani uliyekuwa naye pale gesti ? .
Usinidanganye maana mimi nilimwona kwa
macho yangu ,” alisema mama Mwaija .
ENDELEA ...
Mwaija alianza kutetemeka kwa mbali akiamini
mama yake atamtoa sikio kama si kiganja cha
mkono.. .
“Mama nisamehe sana .”
“Nikusamehe kwa sababu gani?”
“Nisamehe tu mama, najua nimekukera sana.”
“Nimekuuliza ulikuwa na nani?”
“Na mwanaume mmoja hivi .. .”
“Anaitwa nani?”
“Abdallah .”
“Anaishi wapi ?”
“Kule chini.”
“Mlikutana wapi mpaka mkakubaliana kuingia
gesti?”
“Siku ile ulinituma mayai dukani ndiyo nikakutana
naye akaomba namba yangu.”
“Ahaa ! Sasa kumbe wewe umekuja Dar kwa ajili
ya kufanya uhuni siyo?”
“Hapana mama ... ”
“Huyo Abdallah kijana mzee ?”
“Yuko kama baba wa hapa ndani .”
“Kwa hiyo kumbe wewe siku moja utaweza hata
kunisaliti mimi mama yako ?”
“Hapana mama , siwezi kufanya hivyo . ”
“Unaweza ,” alisema mama Mwaija huku
akimsogelea mwanaye amchape makofi mawili
matatu kabla hajampa ushauri wa kimapenzi,
mara alisikika mtu akiingia akajua ni mumewe na
yeye hakutaka mume wake ajue kuhusu habari
ya yeye kumkuta Mwaija gesti ...
“Vipi mbona kama hamna amani humu ndani ?”
aliuliza Masilinde akijifanya hajui chochote na
sura za wote wawili zilikuwa zikionekana kuwa
na tafrani ...
“Si huyu Mwaija .”
“Amefanya nini ?”
“Nimekwenda msibani, nimerudi hajafanya kazi
yoyote ile .”
“Kwa nini , ye anasemaje ?”
“Hala na kusema ndiyo maana nikawa namsema
hapa.”
“Ah! We Mwaija , umeanza uvivu wako siyo?”
“Hapana baba , nilikuwa nahisi kama kichwa
kinaniuma ndiyo maana .”
“Umekunywa dawa ?”
“Sijanywa .”
“Sasa mama Mwaija kumbe mtoto anaumwa
kichwa angefanyaje kazi ?” aliuliza Masilinde...
“Mimi siamini ndiyo maana nimemgombeza .”
Kurudi kwa Masilinde kidogo kulituliza hali ya
hewa kiasi kwamba mama Mwaija alikwenda
kufanya kazi zake za ndani huku akimtaka binti
yake akanunue dawa anywe , apumzike. ..
“Nenda kanunue dawa sawa , unywe halafu
upumzike,” alisema...
“Sawa mama .”
***
Usiku, muda wa kulala ulifika, Mwaija alitangulia
kwenda chumbani lakini alivizia baba yake
amekaa sebuleni akapita hapo akiwa na kanga
moja tu. Safari hii alimtingishia makusudi
wowowo lake ili kumpa ujumbe kwamba wako
pamoja. ..
“Daaa ! Huyu mtoto ni wa kupangishiwa nyumba,
kweli tena. Haiwezekani akawa ananifanyia hivi
wakati anajua sina uwezo kwa usiku huu .”
Moyoni Masilinde aliamua kwamba , mkewe
atakapoingia kulala amzukie chumbani Mwaija .
Kwa hiyo aliendelea kuwepo sebuleni huku
mkewe naye akiendelea kuwepo jikoni lengo lake
mumewe akiingia chumbani tu aende chumbani
kwa Mwaija kumpa semina ya mapenzi mapema.
Kila alipotokea sebuleni, alimwona mumewe
amekaa macho pima ...
“Mh ! Huyu naye halali ?” alisema moyoni mama
Mwaija.
Masilinde naye, kila aliposimama na kuchungulia
jikoni, alimwona mkewe bado jikoni .. .
“Mh ! Huyu leo vipi kwani? Wenzie tunataka cha
kulalia yeye anaweka ukuta , ” alisema moyoni
Masilinde.
Saa saba kamili usiku , mama Mwaija na
mumewe walikuwa bado hawajaingia chumbani .
Lakini mwisho wa yote , mama Mwaija alishindwa
yeye, akaenda kulala...
“Mimi nakwenda kulala,” alisema mwanamke
huyo.. .
“Sa. ..aaawa ,” Masilinde naye alisema huku
akisinzia. ..
“Wewe bado kwani ?” aliulizwa Masilinde...
“Naangalia taarifa ya habari ya ITVT ,” alijibu
Masilinde bila kutambua kwamba muda ulikuwa
umekwenda sana .
“Taarifa ya habari saa hizi mume wangu ?”
“Kwani kuna nini ?”
“Ipo ?”
“Si ndiyo nasachisachi hapa, ” alijibu Masilinde
huku akiminyaminya rimoti.
Mama Mwaija alikwenda kulala, Mwaija kule
chumbani alikuwa hoi kwa usingizi, alikuwa
akikoroma lakini mlango wa chumba chake
ulikuwa wazi kwani wakati anakwenda kulala
aliamini Masilinde anaweza kuzama ndani kama
alivyowahi kufanya .
Masilinde alipoona ukimya ndani mwake ni
asilimia mia moja , alisimama sebuleni,
akajinyoosha kisha akaanza kutembea polepole
kuelekea chumbani kwa Mwaija. Njiani alikuwa
akijiambia...
“Nitalala mwepesi sana leo . Mtoto haishi kiu ,
ukimwangalia tu kiu inapanda , jamani! Kuna watu
ni wanawake wengine ni wana wa wake .”
Alishika kitasa, akakizungusha , mlango
ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. .
“Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ”
alisema moyoni Masilinde na kuingia chumbani
humo ...
“We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia
kufanya nini mume wangu jamani?”itaendeleaa
JAMANI BABA Sehemu 13 ILIPOISHIA Mwaija alitoka, akarudi nyumbani huku miguu ikimtetemeka. Alijua mama yake atamla nyama siku hiyo. Alipofika, alisukuma mlango akaingia ndani. .. “Ukitaka salama yako Mwaija uniambie ukweli ni mwanaume gani uliyekuwa naye pale gesti ? . Usinidanganye maana mimi nilimwona kwa macho yangu ,” alisema mama Mwaija . ENDELEA ... Mwaija alianza kutetemeka kwa mbali akiamini mama yake atamtoa sikio kama si kiganja cha mkono.. . “Mama nisamehe sana .” “Nikusamehe kwa sababu gani?” “Nisamehe tu mama, najua nimekukera sana.” “Nimekuuliza ulikuwa na nani?” “Na mwanaume mmoja hivi .. .” “Anaitwa nani?” “Abdallah .” “Anaishi wapi ?” “Kule chini.” “Mlikutana wapi mpaka mkakubaliana kuingia gesti?” “Siku ile ulinituma mayai dukani ndiyo nikakutana naye akaomba namba yangu.” “Ahaa ! Sasa kumbe wewe umekuja Dar kwa ajili ya kufanya uhuni siyo?” “Hapana mama ... ” “Huyo Abdallah kijana mzee ?” “Yuko kama baba wa hapa ndani .” “Kwa hiyo kumbe wewe siku moja utaweza hata kunisaliti mimi mama yako ?” “Hapana mama , siwezi kufanya hivyo . ” “Unaweza ,” alisema mama Mwaija huku akimsogelea mwanaye amchape makofi mawili matatu kabla hajampa ushauri wa kimapenzi, mara alisikika mtu akiingia akajua ni mumewe na yeye hakutaka mume wake ajue kuhusu habari ya yeye kumkuta Mwaija gesti ... “Vipi mbona kama hamna amani humu ndani ?” aliuliza Masilinde akijifanya hajui chochote na sura za wote wawili zilikuwa zikionekana kuwa na tafrani ... “Si huyu Mwaija .” “Amefanya nini ?” “Nimekwenda msibani, nimerudi hajafanya kazi yoyote ile .” “Kwa nini , ye anasemaje ?” “Hala na kusema ndiyo maana nikawa namsema hapa.” “Ah! We Mwaija , umeanza uvivu wako siyo?” “Hapana baba , nilikuwa nahisi kama kichwa kinaniuma ndiyo maana .” “Umekunywa dawa ?” “Sijanywa .” “Sasa mama Mwaija kumbe mtoto anaumwa kichwa angefanyaje kazi ?” aliuliza Masilinde... “Mimi siamini ndiyo maana nimemgombeza .” Kurudi kwa Masilinde kidogo kulituliza hali ya hewa kiasi kwamba mama Mwaija alikwenda kufanya kazi zake za ndani huku akimtaka binti yake akanunue dawa anywe , apumzike. .. “Nenda kanunue dawa sawa , unywe halafu upumzike,” alisema... “Sawa mama .” *** Usiku, muda wa kulala ulifika, Mwaija alitangulia kwenda chumbani lakini alivizia baba yake amekaa sebuleni akapita hapo akiwa na kanga moja tu. Safari hii alimtingishia makusudi wowowo lake ili kumpa ujumbe kwamba wako pamoja. .. “Daaa ! Huyu mtoto ni wa kupangishiwa nyumba, kweli tena. Haiwezekani akawa ananifanyia hivi wakati anajua sina uwezo kwa usiku huu .” Moyoni Masilinde aliamua kwamba , mkewe atakapoingia kulala amzukie chumbani Mwaija . Kwa hiyo aliendelea kuwepo sebuleni huku mkewe naye akiendelea kuwepo jikoni lengo lake mumewe akiingia chumbani tu aende chumbani kwa Mwaija kumpa semina ya mapenzi mapema. Kila alipotokea sebuleni, alimwona mumewe amekaa macho pima ... “Mh ! Huyu naye halali ?” alisema moyoni mama Mwaija. Masilinde naye, kila aliposimama na kuchungulia jikoni, alimwona mkewe bado jikoni .. . “Mh ! Huyu leo vipi kwani? Wenzie tunataka cha kulalia yeye anaweka ukuta , ” alisema moyoni Masilinde. Saa saba kamili usiku , mama Mwaija na mumewe walikuwa bado hawajaingia chumbani . Lakini mwisho wa yote , mama Mwaija alishindwa yeye, akaenda kulala... “Mimi nakwenda kulala,” alisema mwanamke huyo.. . “Sa. ..aaawa ,” Masilinde naye alisema huku akisinzia. .. “Wewe bado kwani ?” aliulizwa Masilinde... “Naangalia taarifa ya habari ya ITVT ,” alijibu Masilinde bila kutambua kwamba muda ulikuwa umekwenda sana . “Taarifa ya habari saa hizi mume wangu ?” “Kwani kuna nini ?” “Ipo ?” “Si ndiyo nasachisachi hapa, ” alijibu Masilinde huku akiminyaminya rimoti. Mama Mwaija alikwenda kulala, Mwaija kule chumbani alikuwa hoi kwa usingizi, alikuwa akikoroma lakini mlango wa chumba chake ulikuwa wazi kwani wakati anakwenda kulala aliamini Masilinde anaweza kuzama ndani kama alivyowahi kufanya . Masilinde alipoona ukimya ndani mwake ni asilimia mia moja , alisimama sebuleni, akajinyoosha kisha akaanza kutembea polepole kuelekea chumbani kwa Mwaija. Njiani alikuwa akijiambia... “Nitalala mwepesi sana leo . Mtoto haishi kiu , ukimwangalia tu kiu inapanda , jamani! Kuna watu ni wanawake wengine ni wana wa wake .” Alishika kitasa, akakizungusha , mlango ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. . “Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ” alisema moyoni Masilinde na kuingia chumbani humo ... “We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia kufanya nini mume wangu jamani?”itaendeleaa
Artikel Terkait
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Tatu (3) BY GIVAN IVAN Ilipoishia........ Baada ya Penina kuondoka tu, Frank kabla hajapiga hata hatua moja kuondoka pale, ghafla alishtukia amezungukwa na vijana watatu wa kiume waliokuwa wamevalia miwani nyeusi kila mmoja. Na hata Frank alipowaangalia hakuweza kuwafahamu. .......... .. Endelea............ "tulia hivyo hivyo na sikiliza tunachokuambia." akaongea kijana mmoja huku akiwa ametoa kisu na kumuwekea Frank shingoni. Frank naye alikuwa kimya na kuwasikiliza walichokuwa wanataka kumuambia. "sikiliza wewe kijana wewe bado mdogo Sana, hivyo bas tunakusihi uachane na Penina haraka iwezekanvyo, hili ni onyo tu tunakupa na ukikaidi bas shingo yako tutaikata kama ya kuku." akaongea kijana ambaye alikuwa kiongozi wa wenzake, kijana huyo aliitwa Zaza. Baada ya Zaza kumwambia Frank maneno yale ya kumtisha aliondoka na wenzake na kuingia kwenye gari moja nyeusi iliyokuwa imepaki pembeni Yao, Kisha gari likaondolewa kwa kasi ya ajabu huku dereva wao akiwa ni mwanamke anayejulikana kwa Jina la Melissa, moja Kati ya vijana waliopewa kazi nzito ya kuliharibu penzi la Frank na Penina. Frank alianza kuingiwa na hofu na kujiuliza "ni nini tena kinaendelea juu yake? " Frank alijivuta na kuondoka sehemu Ile na kuingia nyumbani kwao akiwa mnyonge kuliko kawaida yake. " eeh kaka vip mbona mnyonge hivyo kulikoni tena? " akauliza Angel mdogo wake Frank. " aah kuna vijitu vinataka kuniharibia siku hapo nje." akajibu Frank na kuketi kwenye kigoda. "watu gani tena hao mwanangu?" akauliza pia mama yake Frank. "mama kuna watu hapo nje wamenisimamisha na kunitishia niachane na Penina la sivyo wataniua." akaongea Frank kuwaambia wazazi wake wakiwa wamepigwa na butwaa. "haa mwanangu katoe taarifa haraka polisi kwa usalama wa maisha yako." akaongea baba yake Frank kumpa ushauri mtoto wake. "Polisi siendi baba nachojua mimi Penina ni mpenzi wangu nampenda na yeye ananipenda, yoyote atakayeingilia penzi langu na Penina ama zake ama zangu na kukuonesha mfano naanza na hawa walionitisha leo." akaongea Frank kwa jazba Kisha akanyanyuka na kuondoka kuelekea chumbani kwake. "kuwa makini mwanangu tusije tukakupoteza mapema." akaongea baba yake Frank, lakini Muda huo Frank alikuwa ameshatoweka mbele ya macho yao. "Mimi ni mwanaume rijali nitakubalije kutenganishwa na Penina kirahisi hivi?" alikuwa Frank akijiuliza swali hilo huku akizunguka zunguka chumbani kwake. "naamini hakuna mwenye uwezo wa kunitenganisha mimi na Penina isipokuwa Mungu tu." akaongea Frank huku sasa akiwa amejilaza chali kitandani kwake.* Hatimaye Penina naye aliwasili nyumbani na Muda huo ikiwa ni majira ya saa tatu usiku. Geti lilifunguliwa na taratibu Penina akaingiza gari ndani na kulipaki sehemu yake, Kisha yeye akashuka na kuanza kuelekea ndani Katika jumba la kifahari kwa mwendo madaha kama kinyonga. Lakini kabla hajaingia ndani alikutana na baba yake mlangoni ambaye alionesha wazi kuwa alikuwa anamsubiri Penina. "shikamoo baba!" akasalimia Penina, lakini baba yake badalaa aitikie salamu ile akamuuliza Penina, "umetoka wapi usiku huu?" "nilikuwa na mpenzi wangu Frank kuna sehemu tulienda ndio narudi Sasa hivi." Penina akamjibu baba yake bila uoga. "wewe ni Mara ngapi nimekukataza kurudi nyumbani kwangu usiku? Na si nimeshakuambia uachane na huyo chokora wako?" akauliza baba yake Penina huku akiwa amezira. "Kwa kosa la kurudi nyumbani usiku naomba unisamehe baba yangu, Lakini muda si mrefu nitakuondolea hii kero ya kurudi nyumbani usiku kwasababu mimi na huyo mpenzi wangu unayemuita chokora tumeshaanza harakati za kufunga ndoa na tutahamia kwetu muda si mrefu." akaongea Penina kumuambia baba yake bila uoga wowote. "hivi wewe mpumbavu unajua unaongea na nani? Maana naona unaropoka ropoka tu kama umekunywa maji machafu." akaongea baba yake Penina. "ndio najua naongea na nani, najua naongea na wewe hapo baba yangu kipenzi tena nakupenda Sana lakini najua wewe hunipendi." akaongea Penina maneno hayo ambayo yalimfanya baba yake apoe kidogo. "hapana mwanangu sio kwamba sikupendi, nakupenda sana tena Sana Ila huyo unayemuita Frank mi ndio ananikera kupita maelezo yaani nikimuona nahisi hata kutapika." akaongea baba yake Penina kwa upole kidogo. "Baba unataka niachane na Frank?" akauliza Penina. "ndio mwanangu tena nitafurahi Sana na nitakupa zawadi kubwa Sana." akaongea baba yake Penina. "ok bas subiri kidogo." akasema Penina Kisha akaondoka kwa Kas mpaka jikon ambapo alichukua kisu na kurudi nacho mpaka kwa baba yake. Wakati hayo yote yanatendeka Noel ambaye ni kaka yake Penina alikuwa akiyashuhudia yote hayo. "kama unataka niachane na Frank niue kwasababu hiyo ndio njia pekee." akaongea Penina huku akimkabidhi baba yake kisu kile. "haa mwanangu Sasa huu utoto gani unaleta mbele yangu?" akauliza baba yake huku akikitupa kisu kile pembeni. "sio utoto baba bali namaanisha ninachokiongea, na kama umeshindwa kutekeleza nilichokuamuru bas tambua hakuna wa kunitenganisha na Frank na siku si nyingi tutafunga pingu za maisha, na sitojali kama wewe utaudhuria ama hutoudhuria." akaongea Penina kumuambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. Nolan naye alitoka sehemu aliyokuwepo akisikiliza malumbano ya Penina na baba yake na kumfuata Penina chumbani kwake. Huku nyuma baada ya Penina kuondoka, baba yake alitoa simu yake na Mara moja akampigia Zaza. "hallow mzee Joel.!" akaongea Zaza baada ya kupokea simu. "Zaza nisikilize kwa makini, Penina na yule chokora wapo Katika mipango ya kufunga ndoa, Sasa nachotaka mfanye ni kuwatenganisha kwa namna yoyote ile, mnachotakiwa kufanya ni kumteka nyara huyo chokora alafu mkamtupe mbali kabisa sehemu ambayo mnajua anaweza chukua hata mwaka mmoja Kuja kuonana na Penina tena. " akaongea mzee Joel kwa kusisitiza (mzee Joel ni baba yake Penina) " Sawa hamna shida mzee wetu tutafanya hivyo." akajibu Zaza. "ok bas fanyeni haraka iwezekanavyo kama mtahitaji pesa zaidi mtanijulisha." mzee Joel akamwambia Zaza na kukataa simu. * Penina baada ya kuingia chumbani kwake ghafla kaka yake naye akaingia pamoja naye. "hee kaka kumbe ulikuwa nyuma yangu?" akahoji Penina kwa mshangao. "ndio na pia nilikuwa nasikiliza malumbano yenu mzee." akaongea Nolan ambaye ni kaka yake Penina. "yaani kaka wewe acha tu, baba angejua navyompenda asingenifanyia hivi anavyonifanyia." akaongea Penina kwa huzuni kumuambia Nolan. "Ila mdogo wangu usijali wewe simamia kile unachokiamini na mimi nitakuwa nyuma yako kukusaidia." akaongea Nolan kumtia moyo Penina. "nashukuru kaka kusikia hivyo angalau wewe ndio uko upande wangu." akaongea Penina kumshukuru kaka yake. "usijali mdogo wangu wewe lala kwa amani tutaonana kesho." akaongea Nolan na kuondoka chumbani kwa Penina.* Kwa upande wa kina zaza usiku ule ule walianza kupanga mikakati ya kumteka Frank na kwenda kumtupa mbali kabisa na jiji la dar es salam. Lakini hii ilikuwa kazi ngumu Sana ambayo walihitaji pesa za kutosha na pia wachore ramani ya sehemu watakayoenda kumtupa Frank. ....... Itaendelea ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na mbili (12) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp.... 0769673145 Ilipoishia.......... Penina na Frank walishangazwa Sana na maamuzi ya Nolan lakini hata hivyo Nolan hakutaka wamuulize swali lolote, alimwamuru dereva wa tax ile awashe gari na kuondoka. Kisha Nolan naye akaingia kwenye gari yake na kugeuza kuwafuata vijana wale wa the killer na wakati huo walikuwa tayari wameshaungana wote kwa maana ya kikosi kile cha kwanza kilichokuwa kikimtafuta Nolan na kile cha pili kilichokuwa kikimtafuta Frank. *********Endelea ********* Vikosi vile viwili ambavyo vilikuwa kwenye magari mawili viliweza kumuona Nolan akiwa anarudi kule alikotoka. Vikosi vile navyo haraka haraka vikageuza magari yao na kuanza kumfuata Nolan. Nolan aliweza kuwaona wakimfuatilia na ndio kitu ambacho Nolan alikitaka, lakini kilichomshangaza Nolan ni kwamba Sasa anafuatiliwa na magari mawili tofauti na mwanzo walipokuwa wakimfuatiliwa na gari moja. Lakini Nolan hakujali hilo, akaacha barabara na kukataa kushoto na kuingia kwenye njia moja ya vumbi ambayo haikuwa ikipita watu Mara kwa Mara. Nolan baada ya kuingia kwenye barabara ile akasimamisha gari na kushuka ndani ya gari lile. Na sekunde hiyo hiyo magari mawili ya vijana wale wa the killer wakawasili pale alipo Nolan na kusimamisha magari yao Kisha wote wakashuka kwenye magari yao ambao kwa pamoja walikuwa Nane. Vijana wale wa the killer walishaangaa baada ya kufika na kumkuta Nolan peke yake badala ya kuwakuta wote Nolan pamoja na Frank. Nolan alikuwa amesimama pembeni ya gari yake huku akiwatazama vijana wale waliokuwa wakimsogelea taratibu. "mwenzako yuko wapi?" kijana mmoja wa the killer akamuuliza Nolan huku akijaribu kumkamata Nolan kwenye shingo. Kijana yule alijikuta akipokea ngumi Nzito ya tumbo kutoka kwa Nolan ambayo ilimfanya adondoke chini kwa magoti. Wale vijana wengine walishtuka kuona mwenzao alivyotandikwa ngumi ya tumbo. Lakini hata hivyo bado vijana wale waliamini Nolan hawawezi kwasababu wako wengi na wote wana silaha. Vijana wale kwa pamoja wakaanza kumfuata Nolan, Nolan naye akapiga hatua kadhaa na kurudi nyuma na kuwasubiri. Vijana wale walipomkaribia Nolan kwa pamoja wakaanza kurusha ngumi na mateke kumvamia Nolan. Lakini Nolan alikuwa akiwakwepa tu bila kumgusa mtu yoyote, ndani ya dakika tano Nolan alikuwa akiwakwepa vijana wale waliokuwa wakimshambulia bila mafanikio. Lakini Nolan alizubaa kidogo na kujikuta akipokea ngumi Nzito ya uso kutoka kwa mmoja wa vijana wale. Lakini hata hivyo kijana yule aliyembahatisha Nolan ngumi ya uso ikawa ndio mwisho wake wa kuishi duniani, kwani Nolan alimkamata na kuanza kumshambulia kwa ngumi za haraka haraka na kummaliza kwa kumvunja shingo. Wale vijana wengine ndio walishtuka vibaya mno na kuona huyu mtu sio wa kawaida, wakaamua wamshambulie kwa silaha zao baada ya kuona hawatamuweza kwa mkono. Vijana wale walichomoa bunduki zao na kuziweka tayari kummaliza Nolan. Lakini Nolan alikuwa tayari ameshaingia kwenye gari na kuondoka kwa spidi kali na kuwaachia vumbi kali Vijana wale. Nolan aliamua kukimbia baada ya kuona vijana wale wakitoa bunduki zao, hivyo asingewaweza kwa sababu yeye hakuwa na silaha yoyote. Vijana wale nao hawakumuacha waliingia kwenye gari na kuanza kumfuatilia Nolan. Lakini mpaka pale Nolan alikuwa tayari ameshawapoteza vijana wale na yeye Sasa alikuwa ameshika njia ya kuelekea nyumbani. * Mzee Joel akiwa ameketi sebuleni kwake akisubiri majibu ya kuuwawa kwa Frank na Nolan simu yake ilianza kuita na alipoangalia mpigaji ni nani alikutana na Jina la Dickson, kijana ambaye mzee Joel ndio anataka amuoe mtoto wake Penina. Mara moja mzee Joel akaipokea simu ile. "mzee Joel habari yako?" akauliza Dick baada ya simu yake kupokelewa na mzee Joel. "salama kijana wangu habari ya huko"? Akajibu mzee Joel na kuuliza. " huku Safi tu, Sasa mimi nilikuwa nataka nije kumchukua Penina moja kwa moja nahitaji kuwa na familia Sasa. " akaongea Dick kumwambia mzee Joel. " kijana wangu usiwe na haraka tunaweka mambo Sawa na Muda wowote tutakuita uje umchukue mke wako. " akaongea mzee Joel kumpa moyo Dick. " unaweka mambo Sawa unaweka mpaka lini kama ni pesa nikekupa za kutosha mbona unanizungusha zungusha tu au nikuongezee pesa zingine? " akaongea Dick huku akionesha kuchoshwa na namna mzee Joel anavyomzungusha. "kijana wangu tafadhali naomba utulie Penina ni wako usiogope." mzee Joel akamwambia Dick. "nitulie nitulie mpaka lini nakuja Tanzania kujua Kwanini unanichelewesha kumuoa Penina na wakati nimeshakupa pesa nyingi Sana." akaongea Dick na kukataa simu. Mzee Joel alihisi kuchanganyikiwa hakujua afanye nini ili aweze kumuunganisha Penina na Dick. Na wakati huo huo mlango ulifunguliwa na akaingia Nolan huku akiwa amechafuka kwa vumbi. "Wewe mbwa mbona unaingia ndani kwangu bila hodi?" mzee Joel akamuuliza Nolan huku akiwa amevimba kwa hasira. "mzee tulia huu mchezo umeutaka mwenyewe lazima Frank amuoe Penina." akaongea Nolan maneno hayo ambayo yalizidi kumpandisha hasira mzee Joel na kujikuta akimrushia Nolan glass ya maji iliyokuwa kwenye Meza. Nolan aliigonga ngumi glass ile na kuipasua pasua. "ukiniletea upuuzi na wewe nitakupasua pasua kama hiyo glass." Nolan akamwambia baba yake mzee Joel na kuelekea chumbani kwake. * Frank na Penina baada ya kufika uwanja wa ndege walifuata taratibu zote na hatimaye wakafanikiwa kuingia ndani ya ndege na dakika chache baadae walikuwa angani wakielekea South Africa. "kama tukifanikiwa kufunga ndoa nitafurahi Sana yaani furaha nitakayokuwa nayo sidhani kama itaelezeka." aliongea Penina huku akiwa amejiegemeza kwenye kifua cha Frank. "usijali mpenzi kila kitu ambacho kinatokea kimepangwa na Mungu na vitakavyotokea mbele ni Mungu pia anajua, hakuna mwanadamu asiyependa furaha." akaongea Frank kwa upole kumuambia Penina. "ni kweli mpenzi wangu." akajibu Penina na safari ikaendelea kwa masaa kadhaa na hatimaye wakawasili South Africa Katika jiji la Johannesburg na kuchukua chumba Katika hoteli moja ya kifahari. Baada ya kupumzika kwa dakika kadhaa Penina na Frank waliwasiliana na Nolan na kumjulisha jinsi safari yao ilivyokuwa. Nolan aliwataka wakae kwa amani na wasiwe na hofu yoyote yeye anaweka mambo Sawa na yakiwa tayari bas atawajulisha. * Vijana wa the killer bado walikuwa wakimtafuta Nolan na Sasa waliwasili nyumbani kwa kina Nolan na kukutana na mzee Joel ambaye aliweza kuwaambia Nolan yupo ndani na akawaelekeza chumba chake wakammalizie huko. Vijana wale taratibu walianza kuelekea Katika chumba cha Nolan, lakini kwa bahati mbaya ama nzuri Nolan aliwaona. "mmeamua kunifuata mpaka nyumbani nyie mmeisha." akajisemea Nolan Kisha akatoka chumbani kwake akiwa kifua wazi na kukutana na vijana wale sebuleni. Kilikuwa kitendo cha kushtukiza vijana wale hawakutarajia kukutana na Nolan sehemu Ile. Kitambo waseme waweke silaha zao tayari Nolan alianza kuwashambulia, na baada ya dakika chache Nolan aliwaweka vijana wale wote chini kwa kuwavunja vunja sehemu za miili yao. Mzee Joel ndio hakuamini baada ya kuingia ndani na kukuta vijana wote wamelazwa chini alafu kidogo hivi akatokeza Nolan akiwa amepigilia suti nyeusi Kisha akamwambia baba yake ambaye ni mzee Joel, "naenda kwenye kikao cha harusi ya Penina na Frank na kama utahitaji kadi unijulishe nikuletee ya kwako." ....... Itaendelea. ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA MBILI (12,13$14) UMRI ±18 ILIPOISHIA alikuwa analalamika nikaingiza mashine yangu na kuanza kupampup nikiwa naendelea kusex gafla mlango ukafunguliwa............ ENDELEA SASA Mlango ulipofunguliwa hatukuamini macho yetu mtu aliyeingia chumbani yani nilitamani ardhi ipasuke nitumbukie ndani mana nilipatwa na uwoga huku mapigo ya moyo yakiwa yanadunda kupita kiasi Ku kuona aibu.... alikuwa shangazi mke wa mjomba kasimama mbele yetu tena akiwa amekasilika kama simba aliyejeruhiwa. "Hivi nyie mmbwa hamjaona magesti mpaka mfanye uchafu wenu hapa??" Aliongea shangazi kwa hasira. "Tusamehe shangazi "nilimuomba msamaha huku macho yangu yakionesha dalili ya kutaka kulia. "Yani kweli vanessa unafanya mapenzi na kenny tena umejiachia kabisa"shangazi aliongea huku akionesha kweli amekasilika "Naomba nisamehe shangazi sito rudia tena"aliongea vanessa huku akiwa amepiga magoti,lakini alishanga akipigwa kibao kizito kilichompeleka chini "Malaya mkubwa wewe yani umekuja leo leo unaanza umalaya wako" aliongea shangazi "Kwanin unanipiga jamani kosa ni langu na wala sio lake niliamua kumtetea" huku nikiwa nalia.nilimuangalia vanessa kwa huruma pale chini huku machozi yakimtoka ."sasa mkitaka niwasamehe na nisiende kuwasemea kwa mjomba wenu nitawapa sharti moja mkiliweza poa sisemi ila mkishindwa naenda kusema"shangazi aliongea wakati huo huku akiwa ameshika simu akitaka kumpigia mjomba. "Usitufanyie hivyo shangazi tuambie sharti lako na sisi tutafnya unachotaka" "Aaah...kama ni hvyo sawa sasa nataka mfanye mapenzi mbele Yangu" "Aaaah!!."tulijikuta tumeshanga wote mimi na Vanessa" "Mnashanga nini sasa kama hamtaki semeni siwalazimishi"alituambia shangazi.ukweli nilimuona shangazi sio mtu mzuri kabisa.nilifikilia kweli nifanye mapenzi na vanessa mbele ya shangazi na nisipofanya habari hizi zitafika kwa mjomba kitu nisichokitaka. "Sawa nimekubali"nilikubali huku nikimwangalia vanessa aliyekuwa kajikunyata kama kuku anayesubili kuchinjwa mpaka nikamuonea huruma " ndiyo nimekubali na Mimi"vanessa alikubali huku akitokwa na machozi. Basi hatukuwa na budi tuliingia tena kwenye mechi kipindi hiki sikutaka kuwa lelemama nilotaka kumuonesha shangazi Mimi ni nani.nikamuanda vizuri vanessa kwa mechi nilitanua mapaja yake nikaingia kati mzee na limashine langu likiwa limedinda mbaya vanessa alishika mashine yangu akaingiza kwenye kitumbua chake huku akitetemeka alionekana kweli ananyege sana.tuliendelea kuonesha ufundi pale kitandani mpaka nilipomuona vanessa anataka kutangaza goli lake la kwanza (tangazo usisahau kuni follow instagram @ brayton Official Love "ooooohb shiiiiii mmmmmh baby mmmmh tamu " vanessa aliongea huku macho yamemlegea mbaya niliendelea kupiga mambo yangu na Mimi sikuchukua muda mzee nikapiga bao langu.nilikuwa nimechoka sana. "Hapo mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake...... usikose sehemu ya kumi na tatu like page yetu sasa share kama tupo pamoja isome yote mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 *************CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TATU (13) INSTAGRAM: CHAS360TZ UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita "Hapo safi mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake......!!!! endelea sasa....... shangazi alizidi kuniitia chumbani kwake hata sikujua anataka nini.nilinyanyuka pale kwenye sofa ili kumfuata nilipofika pale mlangoni kwake nilikuta upo wazi kabisa shangazi akiwa ndani ya kanga moja tena anaonekana alitoka kuoga mana kanga ilikuwa imeloaloa maji na kufanya ile kanga kushikana na mwili wake "ingia sasa nawewe unashanga nini"alinistua shangazi kutoka kwenye Lindi la mawazo nikaingia mpaka ndani.shangazi alikuja kwa nyuma yangu akafunga mlango nikataka nikae kwenye sofa lililokuwepo chumbani kwake lakini akaniambia"aaah wewe utakaaje hapo hembu njo hapa kitandani nikasogea mpaka kitandani nikakaa shangazi akaenda kabatini akatoa mafuta laini akanikabizi. "Nataka unipake hayo mafuta mgongoni " "Aaah sawa Hamna shida" "Tena unipake vizuri" "Hata usijali ntakupaka vizuri tu"nikiwa naendelea kumpaka mafuta akawa ananielekeza na sehemu zingine za kupaka mara nimpake shingoni mpaka kwenye mapaja na mapaja yake yalivyokuwa yamejazia mpaka mate yamenijaa mdomoni mtoto anapaja nene jeupe laini kama la mtoto mchanga. labda ngoja nikufahamishe kidogo histori ya huyu shangazi.huyu shangazi sio mama mzazi errycah.huyu alikua mke wa pili wa mjomba baada ya mama yake kufariki kwa ajari ya gari ndio mjomba akaamua atafute mke mwingine ukimwangalia shangazi yangu huyu ni wamakamo yetu kabisa kama sio wa 96 basi 97 na hana hata mtoto ndio mana sijawai kumsalimia. ni kijana mwenzetu wakati nikiendelea kumpaka nikaona anazidi kurembua kama amekula kungu manga"mmmmh kenny hapo hapo jamani mpaka nasikia raha" "Mmmh!!!."niliguna kimoyo moyo Mara akanishika shingoni akanivutia kwake akaanza kunila denda si nikagoma"aaah!!! sitaki niachie bwana we haujui kama wewe ni shangazi Yangu"nilifoka mzee huku nikimuangalia usoni kwa hasira "Ah ah ah ah"alicheka shangazi kwazarau alinyanyuka kitandani huku akilitingisha wowo lake lililoja vizuri akaenda kwenye mkoba wake akatoa simu yake akabonyeza bonyeza kisha akanipa nione nilistuka nilipoona video yangu nikiwa nafanya mapenzi na Vanessa . "Kwanini umeamua kunirecody video nikiwa nafanya mapenzi na vanessa???"nilimuuliza kwa hasira. "Mmmh pole sana kenny hata Mimi nililitamani penzi lako ndo mana nikakuacha umalize kisha uje kwangu...kwaiyo utanipa huo utamu au haunipi???"aliniuliza huku akianza kuvua kanga yake. "Sikupi!!!"na Mimi nilimjibu kwa zarau "Aaaaah sawa najua sio muda mrefu mjomba wako atarudi na lazima nimuoneshe huu upuuzi wako mliofanya leo na ushahidi ninao"shangazi aliniambia huku akinionesha video ile. lakini baada ya kuoneshwa ile video niliona kimeshanuka nikaona bora nikubali huku nikijiuliza hii siku ya Leo mbona nikama ya mkosi sana kwangu basi mana toka nimeanza kufanya mapenzi na sethi hamna siku niliyo pumzika kila Sikh natembeza dozi. alinisogelea nilipo akasogeza mdomo wake kalibu yangu tukaanza kurana denda "mmmmh mmh mmmmh" alikuwa anatoa miguno tu mzee nikaona nisimkawize kwakuwa hakuwa amevaa kitu ndani hakikuwa kazi ngumu kufika kitumbua chake kilipo nikamwambia asimame na mguu mmoja hapandishe kwenye kitanda akafanya kama nilivyomuulekeza na Mimi nikapiga magoti katikati ya mapaja yake yani kitumbua nilikuwa nakiangalia kwa juu. ujue wengi wana jua mapenzi kuchukua mashine yako na kuingiza kwenye kitumbua wengi huwa tunakosea sana muuandae mwenzio kwa mechi kisha mnaingia uwanjani kuoneshana ufundi........ basi tuliendelea nikiwa nimepiga magoti huku kitumbua kipo kwa juu nikapeleka ncha ya ulimi kwenye kitumbua nikaona shangazi miguu ikianza kutetemeka nikaendelea na usafi wangu "mmmmh ooooshhh ta...mu baby " alikuwa analalamika kama hawa machangu doa nikaendelea kumpa Raha ya kufanyia usafi huku nikiendelea kumuanda mtoto wa kike mpaka nilipolizika tukaingia uwanjani daaah aiseee!!! shangazi alikuwa anajua kuliko wasichana wote niliotembeanao mana hivyo viuno alivyokuwa anakata duuuuh noma kama snura kwenye ile nyimbo yake na Christian Bella ""nioneshe wanachumaje mchicha tembele"" nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... usikose sehemu ya 14 like page yetu sasa ili uwe wakwanza kuipata simulizi hii kila ikitoka......... pata simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 tu ***************** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA NNE (14) UMRI ±18 ilipo ishia nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... endelea sasa aliingia errycah bila hata kupiga hodi huku akiwa anahema"nyie amkeni baba yupo nje amerudi" daaah!!! nilikurupuka pale kitandani kama mshale mpaka mlangoni nikafungua mlango bila kuangalia noma nikiwa mlangoni kwangu nimeshika kitasa ili nifungue mlango nikashanga naitwa "kenny" kumbe alikuwa mjomba "kachukue mizigo kwenye gari "mjomba aliniambia huku akiingia chumbani kwake huku akionekana kuchoka kwa safari.nikatoka mpaka nje nikakutana na nasma alinitolea sana macho " na kuniambia yani wew kweli kidume umepita nyumba nzima sasa sikia nakuomba unifate saizi jikoni unipe kimoja tu kinatosha ...... jamani nasma naomba unionee huruma mana hata sijapumzika na sizani kama hata spem zitatoka akaniambia nisijali atanipa kidongo cha kuongeza nguvu na kama nikimgomea basi atanitobolea siri yangu kwa mjomba.maneno yake hayakunishawishi sana lakini nilijikuta namkubalia baada ya kumwona akiwa ameshika funguo ya kile chumba cha siri na kuniambia sikia najua una shida ya huu ufunguo twende ukanisugue usiku huuu chagua twende jikoni au chumbani kwako...... nika mwambia anisaidie kupeleka mizigo ndani kisha twende tukafanye yetu.tulipangua mizigo na kuingiza ndani sikujua nini kiliendelea chumbani kwa mjomba ila niliona hali shwari mana huyu shangazi yangu kwa Ku igiza tu namuelewa sana tuliingia zetu chumbani.nikameza kile kidonge cha kuongeza nguvu nikamvamia na kuanza kumchezea nasma. Nikaona mlango unafunguliwa na mtu akiingia kwa kunyata tulitulia huku tukimuangalia kwa umakini aliyekuwa anaingia.kumbe alikuwa vanesa tena alikuwa amevaa kanga moja tu. mmmmh nikaguna kimoyomoyo na kusema INA maana dozi niliyo mpa haijamtosha mbona anataka kunitia aibu nikafaamika Nina tembea na ndugu zangu mana shangazi na errycah teali wanajua Nimetembea na Vanessa na nasma na yeye ajue" nikataka kuongea nasma akaniziba mdomo na vanesaa nae alipotuona alistuka mpaka akataka kudondoka " umefata nini we malaya!!!??" Aliulizwa swali na nasma likiambatana na tusi " ni,,,, ni,,, nili,,, kuwa naenda chooni" "Huku chooni sasa" "Mmmmmh mmmmh" alikata kwa kutingisha kichwa. mzee nilikuwa nimetulia tu nikiangalia move linaloendelea " haya toka haraka "vanesa alifukuzwa kama mbwa.aligeuza akitaka kukimbia. " we we we we ngoja kwanza" nasma alimwambia vanesaa na Vanessa akasimama mlangoni huku akitetemeka " na ole wako ukaseme kwa mtu yoyote ntakunyonga" nadhani una nijua vizuri nilikufanyaga nini........ aliongea nasma kwa hasira huku kayatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ usikose sehemu ya 15 like page yetu sasa ili uisome bila usumbufu ********* ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 05* MWISHOOOOOOOO Sehemu Ya Tano(5) Nilimweleza huku nikimuongeza mahanjamu yaliyomfanya ajikute katikati ya shamba akipalilia mazao bila kutumia nguvu. Kama alivyonielezea Bi Shuu tulikuwa tukizimua ili kuuchangamsha mwili kutokana na mtanange wa kukata na shoka. Hatukutumia nguvu sana zaidi ya kuichangamsha miili yetu. Baada ya kila mmoja kupata kifungua kinywa kikombe kimoja kikavu kijasho kilitutoka na kwenda kuoga. Huwezi amini Bi Shuu muda wote alikuwa karibu yangu kwa kila hatua. Nilikuta maji ya moto tayari yapo bafuni, tulioga pamoja huku tukishikana hapa na pale. Baada ya kuoga tulirudi ndani, juu ya meza kulikuwa na chupa ndogo ya chai na sahani iliyokuwa imefunikwa sikujua kwenye chupa kuna nini na kwenye sahani kumefunikwa kitu gani. Mateja alipoona chupa ya chai na vikombe vya udongo ambavyo vilionekana mahususi alisema. “Mmh, kweli toka jana umenipania, alfajiri yote hii umeamka saa napi kuandaa kila kitu.” “Kila mwanamke anajua wajibu wake.” “Asante nimekubali.” Moyoni nilibakia na maswali Bi Shuu amelala saa ngapi maji ya moto na kifungua kinywa amevitayarisha saa ngapi. Nilijikuta nikumuonea huruma bibi wa watu na kujiona kama namtesa bure. Lakini kwa upande mwingine alinisaidia sikuamini vitu vile kama mwenyewe ningeviweza. Nilisogea kwenye meza na kuangalia kwenye chupa kulikuwa na tangawizi na kwenye sahani kulikuwa na mayai manne. Mateja alipoviona vile vitu aliniambia. “Nikuambie kitu Manka?” “Niambie.” Mateja anataka kumwambia nini Manka? Kuyajua yote tukutane wiki ijayo. “Kipi nilikifanya kwa ufasaha?” Nilimuuliza kutaka kujua hizo maksi tisini nilizipata vipi. “Vingi sana.” “Vipi hivyo?” “Mwana wee, hata hujapumzika una pupa kama umemuona Mateja kadondosha taulo?” “Jamani Bi Shuu yamekuwa hayo!” “Umerudi pumzika jimwagie maji kisha uache mwili upumue kwa muda, kwa vile muda bado tunaweza kuzungumza kwa kituo, siyo juu juu kama malaya wa Magoti, lamba raha, nipe changu. ” Mmh! Maneno ya bibi huyu yalinifanya niwe mdogo kama pilitoni na kukoma kuuliza swali kama lile. “Basi wacha nikaoge.” “Haya ndiyo maneno, mtoto wa kike huambiwa sio aulize vingine aibu, ushanizoea eeeh. ” Bi Shuu aliniuliza huku akinikata jicho la dharau. “Hapana Bi Shuu.” “Ndivyo nilivyokufunda, eeeh jambo la ndani kulisema hadharani?” He! Makubwa Bi Shuu aligeuka mbogo. “Bi Shuu, samahani basi.” “Samahani basi, ndiyo nini?” Bi Shuu alishika pua. Mmh, niliamini kisebusebu changu ndicho kilichoniponza baada ya kuamini Bi Shuu wa kawaida wa kumuuliza kila nitakacho. “Bi Shuu samahani sana kama nimekukosea.” “Nshakusamehe, nenda kaoge pumzika kisha njoo. ” Nilikwenda chumbani kwangu kubadili nguo kisha niliingia bafuni kuoga, baada ya kuoga nilijilaza kitandani na kupuliziwa upepo mwanana wa feni. Nikiwa nimejilaza nilikumbuka Mateja alitaka chakula cha usiku, nilikurupuka na kumfuata Bi Shuu aliyekuwa amekaa sebuleni kwake akiangalia cd ya taarabu. “ Vipi?” Aliniuliza baada ya kuniona. “Bi Shuu Mateja anataka chakula cha usiku.” “We mwali! Chako amekiona hakifai anataka na changu?” “Jamani Bi Shuu maneno gani hayo?” Jamani Bi Shuu alinipeleka sipo kabisa. “Sasa kosa langu nini, kama angetaka chako usingeniambia ungempa tu, lakini baada ya mwali anataka na vya kungwi wake, naona kanogewa sasa anataka kuku na mayai yake.” “Jamani Bi Shuu sina maana hiyo.” “Ulimaanisha nini?” “Chakula ulichompikia jana kimemrusha akili kimeniongezea maksi mtoto wa kike na kutaka awe anakula kila siku, kitu kitakacho harakisha ndoa.” “Na mchumbake?” “Amechoka kula vya kuchemshwa bila kuungwa.” “Hooooya weee, kweli kula uhondo kwahitaji matendo, umeona eeeh?” “Nimeamini mtembea bure si mkaa bure, Mateja kachanganyikiwa ingekuwa ndoa ni viocha ya simu, mbonaangenifuta na kuniiingiza na sasa hivi angekuwa hewani kwa raha zake.” “Manka huyoo, ushakuwa mtoto wa Kizaramo mineno kama umebemendwa.” “Bi Shuu kweli wewe nyani huoni makalio yako.” “Haya tuachane na hayo anataka chakula gani?” “Kama cha jana.” “Lakini leo utapika mwenyewe.” “He! Bi Shuu mbona unaniumbua mchana, nitaweza wapi kupika chakula kitamu au ndiyo unanivua nguo ukweni.” “Wachina wana methari zao kuwa ukitaka kumsaidia mtu usimpe samaki bali mfundishe kuvua ili aweze kupata zaidi.” “Kwa hiyo nami unanifunza kuvua?” “Ndiyo maana yake, kama ningejitoa kwa Mateja angekupenda wewe au mimi?” “Wewe?” “Basi, leo nina kazi ya kukufundisha kupika baadhi ya vyakula, ushaona chai ina paliliwa.” “Ha!” “Unashangaa, kupika kunataka kituo kutuliza akili sio nyanya hazijaiva wewe unatosa kitoweo, ndiyo maana vikiiva havieleweki kila kitu kipo kivyake.” “Si kuna mafunzo ya kupika mtu anapata cheti?” “Cha darasani si kitamu kama cha asili, wee nenda kanunue vitu ili tuingie jikoni pamoja, siku ya pili umuandalie peke yako bila msaada wangu.” “Nikijua kupika nitafurahi.” “Unatosheka? Hata ukijua kupika bado utajigundua una mapungufu.” Bi Shuu alinielekeza vitu vya kwenda kununua, sikutaka kupoteza muda nilibadili nguo na kwenda kudandia daladala mpaka sokoni, baada ya manunuzi yote muhimu. Nilirudi mara moja na kumkabidhi Bi Shuu ambaye alinieleza nitulie atanishtua. Nilirudi chumbani kwangu na kujilaza chali nikiwa kama nilivyozaliwa na kula upepo wa feni kwa raha zangu. Nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu juu ya mambo ya Bi Shuu, mtu mmoja alikuwa na mambo mia moja. Nilikubali mzee wa watu kutoa huduma pasina kinyongo, kweli alipewa mambo yaliyo katika mzani. Majira ya jioni Bi Shuu aliniamsha na kuanza maandalizi ya kupika, maandalizi ya awali ya kumenya vitunguu maji na swaumu nyanya na viungo vingine nilijua kuandaa baada ya kuandaa tuliingia jikoni. Niligundua makosa yangu mengi katika kupika. Kwa upande wangu nilikuwa natumia muda mchache kupika tofauti na Bi Shuu hakuwa na papara katika kupika hata chuzi lilionekana kweli linajitengeneza tofauti na kina sisi wakina mama kuchemsha, kweli niliamini vitamu vinahitaji utulivu. Nini kitaendelea? Kuyajua yote tukutane wiki ijayo. Baada ya kuandaa chakula kwa kufuata maelekezo ya Bi Shuu, nilikiandaa kwa ajili ya Mateja. Mtoto wa kike nilioga na kumuandalia Mateja maji ya kuoga niliyoweka viungo. Nilirudi chumbani kujiandaa kumpokea mpenzi wangu, kama nilivyoelekezwa na Bi Shuu mwanamke anayetaka kumpokea mpenzi wake hasa penzi linapokuwa changa. Nilijifukiza udi wa manukato kila kona ya mwili hata kanga zangu nilizokuwa nimejifunga na shuka nilizotandika nazo zilikuwa zinanukia. Yote haya yataka kituo huwezi kuyafanya kwa kulipua utaona mzigo. Kujipulizia manukato ya al udi, jicho lililoregea kwa ajili ya kungu manga liliongezwa uzuri na wanja mwembamba wa mwezi mchanga. Nilijilaza kitandani huku nikisindikizwa na muziki wa taarabu wa zamani kidogo ulioporomoswhwa na kikundi cha taarabu cha TOT, kilichoimbwa na bibi Hadija Kopa kisemacho ‘TX mpenzi.’ Niliyakumbuka baadhi ya mashairi yake: Tx mpenzi daktari wangu wa thamani, Kiitikio: Ayaa ayaa ayaaa. Amesipeshalaizi digii yake surgeon (Mtaalamu wa upasuaji) Kiitikio: Aya aya Ayaaa. Aminyapo dawa zake ganzi tele maungoni, Tx nipasua toa maradhi ya ndani. Kiitikio: Nipasue Tx nipasue eeh toa maradhi ya ndani wee nipasue. Siku za nyuma nilipousikia wimbo huo sikuuelewa, lakini nilipojua zuri na baya na kuelezewa maana ya wimbo huo. Nilijitambua kumbe mimi mgonjwa na daktari wangu Mateja niliyemsubiri kwa hamu aje atoe maradhi ya ndani kwa kunifanyia upasuaji. Wimbo huu ukiusikiliza kisha uusikie wimbo wa Mwanaidi Shaabani uitwao Dereva akiwa na kikundi cha Muungano Culture Troop, wimbo huunao kuna maneno kama haya: Dereva nimempata ananiendesha vyema sukani akikamata chombo hakiendi mrama. Breki akikamata wakati wa kusimama ziozile za kugota za kishindo na kuzama. Uniacha naitaita kwa uroda nihema. Hebu niambie mumeo sifa hizi za dereva makini anazo, basi wimbo huu niliupanga baada ya mtinange na Mateja nimewekee. Mwa kwetu sina haja ya kukuwekea wimbo, la hasha nakuomba hasa wewe msichana wa siku hizi tafuta nyimbo hizi kisha zisikilize na upate mnaana zake hakika utaungana nami kumwita mumeo au mpenzio Tx wa mapenzi na mwisho wa safari lazima umwite dereva wako makini mwenye reseni ya kimataifa. Basi mwa kwetu najua nilikupeleka mbali lakini kina mama na dada zetu waliokuwa wakitesa enzi za miaka 95 watakubaliana na yote niliyoyasema, basi nikiwa nimejiandaa vilivyo mtoto wa kike. Jicho lililoregea la kungu manga nilinogeswa na wacha mwembamba wa mwezi mchanga niofundishwa kujipaka na Bi Shuu wanja huu aliniambia unaitwa karibu mpenzi. Baada ya kukamilisha na kujifisha udi mpaka kwa bi mkubwa. Nilijilaza kitandani nikiendelea kutumbuizwa na wimbo wangu wa Tx mahususi ya Mateja wangu. Nikiwa nimejilaza Mateja aliwasiri, kwa vile mlango ulikuwa wazi alipogonga tu mtoto wa kike nilinyanyuka kwenda kumpokea huku nikideka, jicho langu liliongea kama nina usingizi mzito, yote haya mwanzo sikuwa nayo kazi kubwa ya Bi Shuu. “Karibu Tx wangu.” “Una maana gani kuniita Tx.” “Sikiliza huu wimbo” Mateja alisikiliza kwa muda kisha alishusha pumzi ndefu na kutikisa kichwa huku akiniangalia mara mbili mbili. “Vipi Tx wangu?” “Mmh! Haya.” “Sema tu naona kama una maswali yanayohitaji majibu toka kwangu?” “Sina swali, ila kila naona mambo mapya, wee mchaga mambo ya pwani umeyajulia wapi?” “Kwani Bi Shuu ni mtu wa Pwani, Mmanyema mtu wa Kigomayeye kayajulia wapi? Si watu wa mwambao wa Pwani tu wanajua mapenzi.” “Mmh, nimekubali.” Nilimpokea koti lake na kuliweka kwenye kochi, alipokaa alimvua viatu kisha nilihamia kwenye shati nikatelemka kwenye suruali, nikatoa na nanihii kisha nikampa upande wa kanga ili nimpeke bafuni tukaoge. Utajiuliza kwa nini nimempa kanga badala ya taulo, mwa kwetu kanga ina raha yake, huwezi kwenda nyumba ya wageni ukakuta kanga lazima utakuta taulo. Kama mpenzi wako alizoea kwenda nyumba ya wageni ukimpa kanga lazima akili yake ataona kuna tofauti ya nyumba ya wageni na nyumbani kwa mpenzi wake. Baada ya kuoga tulirudi ndani kisha nilijifanya kama kuna kitu kinaniwasha na kujikuna kwa kuipandisha nguo, nilijua lazima Mateja ataangalia, nilirudisha haraka mtego wangu ulinasa, ukimuoneshamaungo nyeti nusu, lazima atataka aone kabisa kufanya vile ilikuwa kumuongezea mahanjamu. Mmh! Mtoto wa kume uzalendo ulimshinda, nimnyime ili iweje, shoga mwili wako mali ya mpenzio, hasa yule mliyeshibana. Alipotaka nikampa kwa nguvu zote, huku nikumuuliza baba chagua kipapatio ili usichoke sana kabla ya kula au paja ushibe kabisa. Mateja alitaka kipapatio, ushaanza- kipapatio ni nini? Wapo waliotafuta maana zao, jamani kipapatio penzi jepesi lisilochosha, nina imani hata paja ushajua. Haya twende kazi, mmh, mtoto wa kike nilijisahau na kumuongezea paja baada ya kumuona kabisa kipapatio hakimtoshi. Mwisho wa shughuli nilimwacha kajilaza na kumuwekea wimbo wa dereva huku nikimbadili jina toka Tx mpaka Dereva. Mateja kila aliponiangalia alitikisa kichwa. Nilimnyanyua na kumpeleka bafuni kisha nilimualika mezani. Baada ya kutafuna tonge la kwanza alitikisa kichwa na kusema: “Hakika wewe ni chura,” kauli ile ilinitisha iweje aniite chura mdudu tena nisiye mpenda. “Mpenzi kwa nini umeniita chura?” “Sina nia mbaya, nina maana chura anaishi kotekote majini na nchi kavu. Umekamili kila idara, nikiwa na na wewe raha zangu hazitakuwa na kikomo.” “Ha! Kumbe, Asante mpenzi.” Nilimkumbatia Mateja kwa furaha. Baada ya chakula tulipumzika chakula kiende sehemu zake baada ya hapo mtoto hakutumwa dukani. Sitaki kukuchosha sasa hivi mimi ni mke halali wa Mateja, tunapendana kwa dhati huku nikiendelea kupokea mawazo ya Bi Shuu bibi ambaye sitamsahau mpaka nakufa. Mwisho nawaomba wanawake wenzangu kutafuta dawa ya mapenzi ambayo ni kujifunza kwa waliotutangulia ili viungwe viwe vitamu wa wapenzi wetu kwani siku zote ukikitoa hamu kitakosa utamu. ******************************************MWISHO*(************************************ ... Read More
*LOVE BITE EP 04* ILIPOISHIA…… Aliongea Jothan huku machozi yakimlenga lenga. Hakika ni uamuzi mgumu aliouchukua kwakua aliamini ilikuwa ni mtihani mkubwa katika mapokezi ya mlengwa. Alipoinua macho yake kumtazama Prisca, tayari mashavu ya prisca yalishalowana kwa machozi huku macho yakiwa mekundu. Kilio cha kwiki kilianza kusikika na kumfanya Jothan kuingiwa na imani baada ya kumtaza mpenzi wake huyo anaye amua kumuacha bila kosa lolote. SONGA NAYO…………….. Machozi na kilio cha kwikwi kiliendelea kwa dakika kadhaa, Prisca alimuangalia Jothan ambaye alikua ana muonea aibu wakati huo. Hakuamini kuwa ndiye yeye aliyetamka maneno yale,. “kwanini mimi?…. kwanini Jothan umeamua kuzichezea hisia zangu kwa miaka yote hiyo niliyokuwa na wewe kumbe ulikuwa huna malengo ya kuwa na mimi. Kwanini Jothan umeamua kunifanyia hivyo?” aliongea Prisca huku analia. “sorry Prisca. Unafikiri ningefanyaje kwa hali niliyokuwa nayo hivi sasa. Sina jinsi japokuwa bado nakupenda sana. Ningekuwa mtu mwengine hivi sasa ningeendelea kuwachanganya wote wawili. Ila roho huwa inanisuta kufanya hivyo kwakua hata mimi sihitaji kuchezewa hisia zangu. Naomba kubaliana tu na maamuzi yangu japokuwa unaumia.” Aliongea Jothan huku na yeye akijifuta machozi yaliyomdondoka kutokana na hali aliyokuwa nayo Prisca inavyosikitisha. “thank you for everything.” Aliongea Prisca na kunyanyuka na kuondoka. Alimuacha Jothan ambaye alijiinamia na kujilaumu kwa alichokifanya. Akili nyingine ilimwambia kama mwanaume wa ukweli na mwenye msimamo basi alifanya maamuzi sahihi na ya busara. Alirudi nyumbani na kumkuta Shani amejaa tele nyumbani kwake. Alipofika tu, Shani alimfuata na kumkumbatia. Ingawaje Jothan alijichekesha, lakini Shani aligundua kuwa hakuwa sawa. “una nini mume wangu?. Aliuliza Shani baada ya kumuangalia usoni Jothan. “kawaida tu mke wangu.. kwani naonyesha nina tatizo?” aliuliza Jothan kuhakikisha alichokisikia kutoka kwa Shani. “sura yako inaonyesha kama ullikuwa unalia au ulikuwa unahuzunika muda si mrefu.” Aliongea Shani na kumfanya Jothan kumuangalia usoni Shani. “kichwa kilikua kinanigonga sana, hata hivyo sasa hivi niko sawa.” Aliongopa Jothan “pole mume wangu, kama bado kinaendelea we niambie nikununulie panadol au nikusindikize hospital… usidharau mume wangu.” Aliongea Shani huku akionyesha kwa alikua anajali sana afya ya mwenzi wake. “usijali, niko sawa tu.” Aliongea Jothan na kuingia chumbani kwake. Alijilaza na kuwaza yaliyotokea muda mfupi uliopita. Aliamua kupiga moyo konde na kuona yote yalikuwa ni majaribu tu. Maisha yalikuwa mazuri huku kila mmoja akifurahia uwepo wa mwenzake. Hata Jothan mwenyewe alikiri kuwa uamuzi wake ulikuwa sahihi sana kumchagua Shani katika maisha yake badala ya Prisca ambaye mpaka kipindi hicho alikuwa ameshakatisha mawasiliano naye. Shani naye alijitahidi kuhakikisha anafanya yale yote apendayo Jothan na kumteka Jothan kisawa sawa. Ilkuwa akiongelewa mwanamke bora basi Jothan alilipitisha jina la Shani bila kuangalia kuwa alikuwa na nani au alizungukwa na wasichana wazuri. Alitumia muda mwingi kuwa karibu na Shani. Hata kama alikua anataka kwenda kutanua, basi Shani alikuwa ubavuni kila walipoenda. Siku moja ambayo ilikua ni mwisho wa wiki, Jothan aliamua kulala tu Jumaapili hiyo kutokana na uchovu aliokuwa nao wa jana yake kwakua walienda club yeye na Shani na kurudi asubuhi kabisa. Nyumbani kwake aligonga hodi mgeni mmoja wa kike na kufunguliwa mlango na Shani ambaye alishaamka na alikuwa anfanya usafi nyumbani kwake. “za saa hizi dada.” Alisalimia yule mgeni ambaye alionyesha wazi kuwa alikua amechoka kutokana na mimba kubwa aliyokuwa nayo. “salama tu.” Alijibu Shani na kumsikiliza huyo msichana shida yake. “sijui nimemkuta mwenye nyumba hii?” aliuliza yule dada na kumuangalia Shani aliyekuwa makini akimsikiliza. “mwenyewe kalala, ila naweza kukusaidia kama hutajali kunieleza shida yako.” Aliongea Shani na kumuangalia yule dada. “ni vyema kama nita onana nae mwenyewe.” Aliongea yule dada na kumfanya Shani amkaribishe ndani. Kwakua Shani alikua anaandaa chai, hakuona ubaya kuandaa ya kutosha na kumkaribisha yule mgeni aliyekunywa chai kama anafukuzwa kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Shani aligundua njaa aliyokuwa nayo mgeni huyo na kumuongezea vyakula mpaka alipohakikisha ameshiba ndio akaamua kumfuata na kumuuliza maswali machache wakati wanamsubiri bwana mkuwa aamke. “tunsubiri aamke, si unajua alikesha jana kwa hiyo sio vizuri kumuamsha mtu akiwa katika uchovu kama huo.” Aliongea Shani na wazo hilo likapitishwa na yule mgeni. Jothan aliamka na kwenda kuoga. Alivaa nguo zake nyepesi na kwenda sebuleni na kumkuta mgeni aliyekuwa anamsubiri. Yule dada alipogeuza shingo kumuangalia Jothan, macho yalimtoka na kujikuta mshangao mkuu umempata. “wewe, umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Jothan kwa hasira. Yule mgeni hakua na la kujibu zaidi ya kujiinamia. “na wewe unawakaribishwa watu humu ndani wengine ni nyoka kama huyu mwanamke.” Aliongea Jothan na kumuweka Shani kwenye bumbuwazi. “mbona sielewi, maana mimi aliniambia ni mgeni wako ndio maana nikaona si vibaya kumkaribisha ndani.” Alijitetea Shani. “mimi simjui huyu, .. kwani wewe msichana unaitwa nani?” aliuliza Jothan na kwenda kukaa kwenye moja ya sofa za pale sebuleni. “BAHATI.” Alijibu yule mgeni kwa aibu na kuangalia chini. “WHO A BAHATI BAY THE WAY??” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati kupiga magoti mbele yake na kuanza kulia kwa uchungu. “sihitaji kupigiwa magoti mama, mpigie magoti mungu wako na umuombe msamaha kwa ulichokitenda kwangu mimi.” Aliongea Jothan na kumuinua Shani pale chini. “naomba unisamehe, nimehadaika tu na jiji na hivi sasa limeshanifunza Jothan.” Aliongea Bahati huku analia. “leo hii unamjua Jothan wewe?.. si ulikua hunijui wewe?.. nani kakutajia jina langu?” aliuliza Jothan maswali mfulumizo yaliyomshinda Bahati kujibu na kubaki analia tu. “nyamaza kulia dada, kwani tatizo ni nini?.. niewekeni wazi jamani.” Aliongea Shani baada ya kukaa kimya muda mrefu. “sikiliza mke wangu, huyu dada ni mpumbavu na hana akili hata kidogo. Alikuwa na matatizo ya macho yaliyomsababishia upofu na hakuwa anaona hapo mwanzo. Mimi kwa imani yangu nikamchukua kutoka kwa mama yake Arusha na kuja naye hapa Dar kwa nia njema ya kumtibu. Sikuhitaji chochote kutoka kwake. Ila malipo aliyokuja kunilipa haki ya mungu kanifanya moyo wangu uwe na sugu na kuwa mgumu kuwasaidia wengine. Yaani alipopata macho ndio akaniona mimi takataka baada ya bosi wangu kumtaka. Siku niliyokutana naye akajifanya sauti yangu kaisahau. Yaani hata nilipojitambulisha bado akijifanya hanijui. Nikasamehe na kuachana naye, bado akaona haitoshi akaamua kunifanyia fitina mpaka nikafukuzwa kazi bila kosa. Sasa huyu utamuita mtu au kiatu tena kisichokuwa na kamba?” Aliongeea Jothan maneno yaliyomchoma Bahati na kumfanya aanze kulia kwa sauti kubwa zaidi ya aliyokuwa analia. “msamehe mume wangu, mungu kakujaalia umepata kazi nyingine. Na hujui kakuepusha na nini kukutoa kule. Na huyu adhabu yake ndio hii. Maana amepewa mimba na ametimuliwa. Hana msaada mwingine zaidi yako wewe. Msamehe tu mume wangu.” Aliongea Shani na kumsogelea Jothan aliyekuwa kafura kwa hasira na kuanza kumshika shika. Jothan alivuta pumzi ndefu kisha akamuangalia Bahati. “ni msaada gani unaotaka kutoka kwangu?” aliuliza Jothan na kumfanya Bahati kufuta machozi. “naomba unisaidie kunipeleka tu Arusha kwa mama yangu.” Aliongea Bahati huku analia. Kauli hiyo iliwaigia wote wawili. Ghafla walishangaa kumuona Jothan machozi yanamtoka kwa jinsi alivyokuwa anamuonea imani msichana mzuri walivyomtumia vibaya na kuwa kama kituko. Hakua Bahati yule kipofu mwenye bashasha usoni kila wakati. Sasa hivi mashavu yalimuingia ndani, nywele zake hazitazamiki mara mbili. Ngozi yake ilijaa makovu ya kupigwa kila sehemu. Jothan alijikuta ameguswa na kuanza kulia kwa sauti. Alinyanyuka huku analia na kumfuata Bahati na kumuinua kichwa chake na kuitazama sura yake iliyokuwa imelowa machozi na kuvimba kutokana na kulia kwa muda mrefu. “utakaa hapa mpaka utakapojifungua na kurudisha afya yako… pole sana kwa yaliyo kukuta.” Hatimaye aliongea maneno hayo yaliyomfanya Bahati kumkumbatia Jothan bila kujali uwepo wa mke wake pale. Wali muhurumia Bahati na kumpa chumba mule ndani. Siku tatu baadae, Bahati alipatwa na uchungu na kumuwahisha hospitali ya kulipia iliyopo kinondoni. Uchungu ulidumu kwa siku mbili mfululizo na kwa bahati nzuri Bahati alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike. Aliwashukuru sana Shani na Jothan kwa utu wao waliouonyesha juu yake, maana walikuwa nae bega kwa bega na kuhakikisha kuwa anajifungua salama. Baada ya miezi mitatu kupita, Jothan aliamua kumsafirisha Bahati na kumrudisha kwao Arusha. Alilazimika kwenda naye kwakua Bahati hakua anapajua kutokana na hali yake ya upofu aliyokuwa nayo mwanzo. Walipofika Arusha mjini, Jothan alikodi taksi iliyowafikisha mpaka nyumbani kwa kina Bahati. Ilikuwa zaidi ya furaha kwa mama yake Bahati baada ya kumuona mwanaye akiwa anaona . alimfuata na kumkumbatia. “karibuni…. Karibuni nyumbani.” Alikaribisha mama huyo kwa Furaha. “ahsante, tumeshakaribia.”aliongea Jothan na kuingia ndani. Kwa furaha ya ajabu, mama huyo alikuwa anatabasamu kila muda kutokana na kumkumbuka mwanaye. Wakati wanaendelea na stori za kawaida. Ghafla mlango ulianza kugongwa kwa nguvu. Mama yake Bahati alitoka na kwenda kumsikiliza mtu anayegonga mlango. Alikaa huko kwa dakika kadhaa. Na baadae alirudi huku akiwa hana furaha kama aliyokuwa nayo mwanzo. “samahani baba, namchukua huyu tukatete kidogo.” Aliongea mama yake Bahati. “hamna shida mama.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati anyanyuke na kumfuata mama yake.. “mwanangu, aliyekuja kugonga ni mwenye nyumba. Amesema kuwa ametuchoka kutokana na kutomlipa kodi yake kwa muda mrefu. Yaani nimechanganyikiwa hata sijui tutafanyaje.” Aliongea mama yake Bahati baada ya kumuita mwanaye chemba. “usijali mama, nililijua hili ndio maana nikamuelezea Jothan mapema. Ametuahidi kutusaidia.” Aliongea Bahati na kumfanya mama yake amuangalie. “kwani, wewe na huyo Jothan mkoje?” Alijikuta mama yake Bahati anauliza swali lile kutokana na kutoelewa mazingira na makubaliano ya kumponyesha mtoto wake macho na kumrudisha akiwa na mtoto. “ni story ndefu mama, ila kifupi ni mkombozi wangu na wewe pia. Naweza sema hivyo.” Aliongea Bahati. “kwa hiyo unataka kusema kuwa hata huyu mtoto si wa kwake.” Aliuliza mama yake Bahati. “ndio mama.” Aliongea Bahati kimkato huku akitaka kumuonyesha mama yake ni jinsi gani asivyotaka kuaonngelea ile mada kwa muda ule. Baada ya muda Bahati alirudi sebuleni alipomuacha Jothan na mama yake akaenda kuandaa chakula cha jioni. “mbona hivyo, kwema?” aliuliza Jothan baada ya Bahati kurejea pale. “sio kwema, kama nillivyokuambia siku ile. Mama kashindwa kulipa kodi hivyo mwenye nyuumba anataka hela yake au tuhame.” Aliongea Bahati na kumuangalia Jothan. Baada ya chakula cha usiku, Jothan alimkabidhi mama yake Bahati fedha tasilimu shilingi laki saba kwa ajili ya kulipa deni la laki nne analodaiwa na hiyo nyengine kwa ajili ya mkataba mpya. Mama yake Bahati alifurahi kidogo machozi yamtoke na kumuombea sana dua za mafanikio Jothan. “naomba niwaache, naenda kulala Hotel na mungu akipenda kesho ndio safari yangu ya kurudi Dar-es-salaam” aliongea Jothan baada ya kuangalia saa yake ya mkononi na kumuonyesha kuwa ilishatimu saa tatu kamili. “sawa mwanangu. Mungu akutangulie katika kila jambo lako.” Aliongea mama yake Bahati na jothan akatoka huku Bahati akimsindikiza. “nakushukuru kwa yote ulioamua kuyafanya katika maisha yangu. Nakuomba usichoke kuwasaidia wasiojiweza kama nilivyokuwa mimi japokuwa nilikuumiza… kwa mungu kuna fungu lako Jothan.” Aliongea Bahati walipokuwa njiani wakisindikizana. “usijali, hata mimi naamini mambo yangu yananinyookea kwakua nakigawa kidogo kwa wenzangu wenye shida. Yale yalikuwa maneno tu tena kwa sababu nilikuwa na hasira. Mimi sina kinyongo na wewe. Moyo wangu mweupe na nakuombea pia maisha mazuri na ya furaha na mtoto wako. Naamini hutofanya makosa tena kwakua umeshajifunza.” Aliongea Jothan huku wakiikaribia bara bara. Baada ya kufika kituoni, waliagana huku Bahati machozi yanamtoka kwakujua kuwa ule ulikuwa mwisho wa kuonana na mwanaume huyo wa ajabu maishani mwake. Aliondoka huku kila baada ya hatua moja akigeuka nyuma kumtazama Jothan. Kwa mbali kulikuwa na gari linakuja spidi upande aliokuwa Bahati. Jothan alipotupa macho yake kuitazama ile gari ilikaribia kabisa kumgonga Bahati ambaye wakati huo Bahati hakuiona ile gari kwakua likua bize kumuangalia Jothan. Aliamua kutupa begi lake na kumkimbilia Bahati, alipofika tu alimsukuma na kwa bahati mbaya ile gari ilikuwa inajaribu kumkwepa Bahati na kumgonga Jothan. “MAAAMAAAAAA!” Alipiga kelele Bahati baada ya kumshuhudia Jothan akianguka chini baada ya kugongwa. Damu nyingi zilikuwa zinamtoka puani na mdomoni. Yule dereva aliyemgonga Jothan, alisimamisha gari na kumuingiza Jothan pamoja na Bahati na safari ya kuelekea hospitali kwa ajili ya kujaribu kuokoa maisha ya Jothan ilianza mara moja.. Walipofika hospitali, walipokelewa haraka na Jothan akakimbizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “jamani kwa hali ya mgonjwa wenu, anatakiwa kufanyiwa operation haraka iwezekanavyo ili kuokoa maisha yake.” Aliongea daktari na wote wakakubaliana kuwa tendo lile lifanyike. Bahati alikuwa mtu wa kulia tu usiku nzima. Alijua yeye ndio sababu iliyomsababishia Jothan kugongwa na lile gari.. Alilia na kumuomba mungu asimchukue Jothan. Alirudi nyumbani asubuhi na kumtaarifu mama yake juu ya kilichotokea. Mama yake alisikitika sana na kwenda hospitali ambapo walikaa kwa masaa manne bila kuruhusiwa kumuona mgonjwa. Walirudi nyumbani na kurudi tena hospitalini jioni ambapo waliruhusiwa kuingia ndani na kumkuta yule mtu aliyemgonga Jothan akwa pale hospitalini. Bahati alimuelekeza mama yake kwa yule mtu aliyeonekana na moyo wa pekee kwa kukubali kuisimamia afya ya Jothan kwa kipindi chote atakacholazwa pale hospitalini. “kwa maelezo ya dokta, amesema kuwa atarejewa na fahamu kiasi katikati ya wiki hii,.. ila itachukua muda mrefu kurudiwa na kumbukumbu.” Aliongea yule jamaa alyemgonga baada ya kujitambulisha kwa jina la Saimon. Baada ya taarifa zile, walikubaliana na kuondoka huku zoezi la kumuangalia Jothan likiwa linaendelea kila siku. Baada ya wiki mbili jothan alifumbua macho. Lakini hakuweza kuongea na hakuwa na kumbukumbu yoyote. “kwa hiyo dokta tunaruhusiwa kuondoka naye” aliuliza Saimon baada ya daktari kuridhika na maendeleo ya Jothan. “mnaruhusiwa, ila kwa masharti. Msimsumbue kwa kumlazimisha akumbuke kitu chochote. Maana kumbukumbu zake zitakuja taratibu kutokana na mazingira katika ubongo wake.” Aliongea dakrari katika moja ya kuwapa maangalizo juu ya mgonjwa wao. “sawa, sasa inaweza kuchukua muda gani hadi kurudiwa na fahamu zake sawa sawa?” aliuliza Bahati. “inaweza kuchukua miezi sita, nane au mwaka mzima kutokana na ukubwa wa tatizo lenyewe.” Aliongea daktari na kuwafanya wote waliokuwa pale waishiwe nguvu. Walikubaliana waondoke naye na kwenda kukaa kwa kina Bahati huku Simon akiwaambia kuwa atakuwa pamoja nao katika kila hali. Kutokana na kuchanganyikiwa siku aliyopata ajali Jothan, Bahati hakuokota kitu chochote alichokuwa amebeba Jothan siku ile. Hivyo hakuwa na mawasiliano angalau amjulishe Shani juu ya ajali iliyompata mpenzi wake. Siku zilikatika kwa kasi bila Jothan kuonyesha dalili zozote za kukumba yaliyokuwa nyuma. Hata jina lake tu alianza kulizoea baada ya Shani na mama yake kulitamka kila mara. Kwa upande wa Bahati alijisikia raha kumuuguza Jothan kwakua alikua analipa fadhila kwa yale aliyomtendea. Alihakikisha kuwa kila alichokihitaji mgonjwa wake basi alikua anakipata kwa wakati. Aliamua kurudia kazi yake ya kuuza maua ili alishe familia inayomkabili. Baada ya miezi sita kupita, Jothan alianza kuonekana kukumbuka kidogo kidogo. Aliweza hata kuuliza kuwa yupo wapi na ni nini kilichomleta pale. Alitamani kwenda kazini tena kama zamani. “PRISCA…… PRISCA” Alisikika Jothan usiku akilitaja jina la mwanamke huyo mara kadhaa. Bahati ambaye alikua amekaa kimya wakati wote, aliamka kutoka kwenye godoro la chini alipolala na mtoto wake na kumsogelea Jothan. Alishangaa kumuona Jothan akitokwa machozi. “mimi ni Bahati “ alijitambulisha Bahati mbele ya Jothan ambaye alikua macho usiku huo huku akitokwa na machozi. “yupo wapi Prisca.” Aliuliza Jothan na kumfanya Bahati ashtuke kidogo kwakua hakulifahamu jina hilo.. “Prisca mimi simjui… au ndio Shani ana majina mawili?” aliuliza Bahati na kumfanya Jothan afikirie kwa muda mrefu. “Shani.. Shani… ndio nani huyo?” aliuliza Jothan huku akionyesha kutokuwa na kumbukumbu nae. “si yule aliyekuwa unaishi nae kabla ya kuja huku ?” aliongea Bahati na kumfanya Jothan avute taswira juu ya mtu huyo aliyekuwa anamzungumzia Bahati. “huyo simkumbuki, yupoje kwani?” aliuliza Jothan na kumuangalia Bahati ambaye wakati huo alikuwa mbele yake akiongea kwa sauti ya taratibu kwa kuwa usiku ulikuwa tayari ni mkubwa. Hivyo sauti zao zilipea na kusikika kila mahali mule ndani. “ni mnene kiasi, mweupe na ana shepu Fulani hivi .. anapenda kuvaa ma wigi ya rihanna.” Alijaribu kumkumbusha Jothan kwa kumtajia muonekana halisi wa mtu huyo. “huyo simukumbuki,….. ninaye mkumbuka mimi ni msichana mzuri niliyeanza naye mapenzi toka tukiwa shuleni. Ni msichana mzuri sana. Na kila siku zilivyozidi kujongea, basi uzuri wake ulikua unaongezeka kila siku iendayo kwa Mungu. Nalikumbuka jina lake huyo dada. Anaitwa Prisca. Ila sijui muonekano wake kwa sasa. Labda ikitokea kuonana nae.” Aliongea Jothan huku akijaribu kuvuta hisia zake juu ya msichana huyo anaye mkumbuka kwa machache tu. “daktari alituambia kuwa tusikusumbue kwa kukumbusha ya nyuma. Ila utakumbuka taratibu. Ni vyema ulale Jothan ili uipumzishe akili yako.” Aliongea Bahati na Jothan akakubaliana nae. Kila siku ambayo Bahati alikua anarudi kutoka katika mihangaiko yake, aliutumia muda huo kupiga stori mbali mbali na Jothan. Wakati mwengine alimtembeza sehemu kadhaa maarufu. Kila akipata fedha nyingi, basi humchukua Jothan na kumpeleka shooping kwa ajili ya kumnunulia nguo. Baada ya miezi miwili kupita, Jothan alirejewa na fahamu zake kamili. Alikumbuka kila kitu. Hata siku aliyokuwa anataka kurudi Dar na kupata ajali ya gari pia aliikumbuka. Alimkumbuka pia Bahati ambaye wakati huo alikuwa naye bega kwa bega wakishirikiana na Simon ambaye alikua anakuja kumtembela mara kwa mara na kumuachia chochote kitu. Siku moja Jothan akiwa barazani anapunga upepo, alifuatwa na Bahati aliyekuwa amebeba Juice glasi mbili na kumkabidhi moja. Aliipokea na Bahati akakaa karibu yake. “lete story” aliongea Jothan baada ya kumuona Bahati kama alikua ana kitu Fulani alichokuwa anataka kumwambia. “nina mpya basi, zaidi kama hutojali. Nilikuwa nahitaji ushauri kutoka kwako.” Aliongea Bahati na kumtazama Jothan. “ulikuwa au unahitaji ushauri kutoka kwangu.” Aliongea Jothan kimzaha. “naomba unishauri,.. Simon ameniambia kuwa ananipenda na yupo tayari kufunga ndoa na mimi. Wewe kama wewe unamuonaje Simon. Anafaa kuwa mume wangu?” alifunguka Bahati na kumuangalia Jothan aliyekuwa anamuangalia pia. “kwa muda mfupi toka nimfahamu huyo mtu, sina shaka naye hata kidogo. Maana alikuwa na uwezo wa kukimbia siku ile aliyonisababishia ajali au hata kunikimbia hospitali. Lakini mpaka sasa ametupa hela nyingi kwa ajili yangu. Huwezi jua Bahati, si ajabu Mungu kamkutanisha na wewe kupitia mgongo wangu. Cha msingi zisikilize hisia zako maana wewe ndio utakuwa naye kipindi hicho mimi nitakapokuwa mbali na wewe. Kama na wewe unampenda na yeye yupo tayari kumlea mtoto wako ni dhahiri shahiri kuwa na yeye anakupenda pia.” Jothan aliongea maneno yaliyomkuna sawasawa Bahati. Alibaki anatabasamu na kumuangalia Jothan ambaye naye alikua anatabasamu pia. “nilikuwa nampenda muda mrefu sana, sema nashukuru sana kuwa hata yeye kumbe alikua ananifikiria.” Alingea Bahati. “hongera. Nilitaka kurudi Dar wiki hii, ila kama ndoa iatapangwa mapema basi nitasubiria mpaka muoane.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati afurahi kupita kiasi. Siku ya harusi kati ya Bahati na Simon iliwadia na maharusi walionekana kupendeza kupita kiasi. Jothan alilifurahia tukio lile baada ya Bahati kuonekana kubadilika na kuwa mwema na mtu mwenye jitihada kama alivyokuwa zamani. Baada ya siku mbili, Jothan aliaga na kurudi Dar. Kwakua hakuwa mgeni wa jiji, alitambua magari ya kinondoni na kuelekea kwake. Alifika nyumbani kwake na kukuta kufuli nje ya geti lake. Hakuwa na jinsi zaidi ya kukaa pembeni kwenye Café iliyokuwa inatazamana na geti lake ili Shani atakaporudi aweze kukutana naye. Alikaa mpaka saa mbili usiku, lakini hakukuwa na dalili za mtu yeyote kufika pale. Aliamua kwenda kulala Gesti kutokana na uchovu wa safari aliokuwa nao. Aliamka asubuhi na kupata chai, baada ya hapo akaelekea nyumbani kwake. Pia alikuta geti likiwa limepigwa kufuli kama ilivyokuwa jana yake. Aliamua kumfuata dalali mmoja aliyekuwa ameweka benchi lake pembeni ya nyumba yake na kumuuliza. “samahani mzee Sadi, hivi huyu mke wangu ana muda gani toka afunge hili geti?” aliuliza Jothan baada ya kusalimiana na mzee huyo aliyemzoe kwa muda mrefu akiwa pale nje na kufanya shughuli zake za udalali wa nyumba,viwanja na vyumba vya kupangisha. “hivi hauna habari?” aliongea mzee Sadi na kumshangaa sana Jothan kwakua alikua anajua kila kitu. “sina habari yoyote mzee wangu. Nimeingia jana tu kutoka Arusha, hivyo sina habari yoyote mie!!.” Aliongea Jothan kwa mshangao mkuu. Alianza kuhisi jambo baya linaweza kuwa lilimkumba Shani kipindi ambacho alikuwa hayupo. “mbona hii nyumba imeshauzwa miezi miwili iliyopita?… tena matangazo yalibandikwa muda mrefu. Sema wenye nyumba bado hawajahamia. Si unajua watu wenye fedha zao bwana?.” Aliongea yule dalali na kumfanya Jothan apigwe na bumbu wazi. “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: