JAMANI BABA Sehemu 13 ILIPOISHIA Mwaija alitoka, akarudi nyumbani huku miguu ikimtetemeka. Alijua mama yake atamla nyama siku hiyo. Alipofika, alisukuma mlango akaingia ndani. .. “Ukitaka salama yako Mwaija uniambie ukweli ni mwanaume gani uliyekuwa naye pale gesti ? . Usinidanganye maana mimi nilimwona kwa macho yangu ,” alisema mama Mwaija . ENDELEA ... Mwaija alianza kutetemeka kwa mbali akiamini mama yake atamtoa sikio kama si kiganja cha mkono.. . “Mama nisamehe sana .” “Nikusamehe kwa sababu gani?” “Nisamehe tu mama, najua nimekukera sana.” “Nimekuuliza ulikuwa na nani?” “Na mwanaume mmoja hivi .. .” “Anaitwa nani?” “Abdallah .” “Anaishi wapi ?” “Kule chini.” “Mlikutana wapi mpaka mkakubaliana kuingia gesti?” “Siku ile ulinituma mayai dukani ndiyo nikakutana naye akaomba namba yangu.” “Ahaa ! Sasa kumbe wewe umekuja Dar kwa ajili ya kufanya uhuni siyo?” “Hapana mama ... ” “Huyo Abdallah kijana mzee ?” “Yuko kama baba wa hapa ndani .” “Kwa hiyo kumbe wewe siku moja utaweza hata kunisaliti mimi mama yako ?” “Hapana mama , siwezi kufanya hivyo . ” “Unaweza ,” alisema mama Mwaija huku akimsogelea mwanaye amchape makofi mawili matatu kabla hajampa ushauri wa kimapenzi, mara alisikika mtu akiingia akajua ni mumewe na yeye hakutaka mume wake ajue kuhusu habari ya yeye kumkuta Mwaija gesti ... “Vipi mbona kama hamna amani humu ndani ?” aliuliza Masilinde akijifanya hajui chochote na sura za wote wawili zilikuwa zikionekana kuwa na tafrani ... “Si huyu Mwaija .” “Amefanya nini ?” “Nimekwenda msibani, nimerudi hajafanya kazi yoyote ile .” “Kwa nini , ye anasemaje ?” “Hala na kusema ndiyo maana nikawa namsema hapa.” “Ah! We Mwaija , umeanza uvivu wako siyo?” “Hapana baba , nilikuwa nahisi kama kichwa kinaniuma ndiyo maana .” “Umekunywa dawa ?” “Sijanywa .” “Sasa mama Mwaija kumbe mtoto anaumwa kichwa angefanyaje kazi ?” aliuliza Masilinde... “Mimi siamini ndiyo maana nimemgombeza .” Kurudi kwa Masilinde kidogo kulituliza hali ya hewa kiasi kwamba mama Mwaija alikwenda kufanya kazi zake za ndani huku akimtaka binti yake akanunue dawa anywe , apumzike. .. “Nenda kanunue dawa sawa , unywe halafu upumzike,” alisema... “Sawa mama .” *** Usiku, muda wa kulala ulifika, Mwaija alitangulia kwenda chumbani lakini alivizia baba yake amekaa sebuleni akapita hapo akiwa na kanga moja tu. Safari hii alimtingishia makusudi wowowo lake ili kumpa ujumbe kwamba wako pamoja. .. “Daaa ! Huyu mtoto ni wa kupangishiwa nyumba, kweli tena. Haiwezekani akawa ananifanyia hivi wakati anajua sina uwezo kwa usiku huu .” Moyoni Masilinde aliamua kwamba , mkewe atakapoingia kulala amzukie chumbani Mwaija . Kwa hiyo aliendelea kuwepo sebuleni huku mkewe naye akiendelea kuwepo jikoni lengo lake mumewe akiingia chumbani tu aende chumbani kwa Mwaija kumpa semina ya mapenzi mapema. Kila alipotokea sebuleni, alimwona mumewe amekaa macho pima ... “Mh ! Huyu naye halali ?” alisema moyoni mama Mwaija. Masilinde naye, kila aliposimama na kuchungulia jikoni, alimwona mkewe bado jikoni .. . “Mh ! Huyu leo vipi kwani? Wenzie tunataka cha kulalia yeye anaweka ukuta , ” alisema moyoni Masilinde. Saa saba kamili usiku , mama Mwaija na mumewe walikuwa bado hawajaingia chumbani . Lakini mwisho wa yote , mama Mwaija alishindwa yeye, akaenda kulala... “Mimi nakwenda kulala,” alisema mwanamke huyo.. . “Sa. ..aaawa ,” Masilinde naye alisema huku akisinzia. .. “Wewe bado kwani ?” aliulizwa Masilinde... “Naangalia taarifa ya habari ya ITVT ,” alijibu Masilinde bila kutambua kwamba muda ulikuwa umekwenda sana . “Taarifa ya habari saa hizi mume wangu ?” “Kwani kuna nini ?” “Ipo ?” “Si ndiyo nasachisachi hapa, ” alijibu Masilinde huku akiminyaminya rimoti. Mama Mwaija alikwenda kulala, Mwaija kule chumbani alikuwa hoi kwa usingizi, alikuwa akikoroma lakini mlango wa chumba chake ulikuwa wazi kwani wakati anakwenda kulala aliamini Masilinde anaweza kuzama ndani kama alivyowahi kufanya . Masilinde alipoona ukimya ndani mwake ni asilimia mia moja , alisimama sebuleni, akajinyoosha kisha akaanza kutembea polepole kuelekea chumbani kwa Mwaija. Njiani alikuwa akijiambia... “Nitalala mwepesi sana leo . Mtoto haishi kiu , ukimwangalia tu kiu inapanda , jamani! Kuna watu ni wanawake wengine ni wana wa wake .” Alishika kitasa, akakizungusha , mlango ukafunguka, akaanza kuzama ndani taratibu .. . “Nasikia akikoroma , amelala muda mrefu sana, ” alisema moyoni Masilinde na kuingia chumbani humo ... “We baba Mwaija , huko nako kwa mtoto unaingia kufanya nini mume wangu jamani?”itaendeleaa

at 12:40 AM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top