Home → simulizi
→ CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 04
2 weeks ago
SEHEMU YA NNE
MTUNZI : ABDUL JUMA
INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO
WHATSAPP: 0766025554

"Hallo ! Mambo Osward " aliongea Fifi baada ya kuwa Osward amepokea "Poa , Nambie Malaika " "Hahahah acha utani Osward , Mimi naweza kuwa Malaika au unanijaza tu " Aliuliza Fifi "Kwanini usiwe tena unaweza kuwa zaidi hata ya Malaika " "Mmm haya Ahsante , Vipi lakini ?" Aliongea Fifi huku akiusogeza mto na kuuweka mapajani pake na kuugemea "Shwari tu , ndo nilikuwa najiandaa hapa nilale nikajua huto nipigia " aliongea Osward "Siyo rahisi , kuna kazi nilikuwa namalizia kidogo , baada ya kumaliza nimeingia kuoga ndo nikasema ngoja nikupigie nisingeweza kuacha kukupigia" aliongea Fifi "Poa nambie " "Amm kesho tunaweza kuonana pale Calabash saa nne asubuhi ? " aliuliza Fifi "Keshooo !! .. Poa Kesho sina kipindi nadhani itawezekana na hata Kama ningekuwa nacho lazima ningekuja kuonana na wewe Malaika " aliongea Osward huku akitia mikogo na kujifanya anajali jali kumbe ana lake tu jambo "Hahaha Osward bhana unaonekana mcheshi Sana Eee" "Hapana ila niukweli ambao nashindwa kuuzuia kwanini niongope ikiwa moyo na macho vimeona" "Mm haya bhana , nikutakie usiku mwema na pole Kwa kuisubiri simu yangu "
"Usijali , Nawe pia Malaika "
Baada ya kumaliza maongezi na kutakiana usiku mwema Fifi akakata simu na kujilaza kitandani huku simu yake akiwa ameiweka kifuani akifikiria namna ambavyo ataanza kumweleza Osward hisia zake kumbe hajui Osward nae anafikiria nini juu yake
Palipo pambazuka mida ya saa tatu asubuhi Osward Kama kawaida yake Mzee wa kuazima nguo akazama chimbo kwa washikaji zake na kuweza kuazima nguo akajipigilia ile ile na kujimwagia unyunyu huku shingoni akiwa amening'iniza vicheni uchwara Kama vinne ivi halafu vyote feki alipoona amekuwa tayari alianza kusogea taratibu akiwa Kwa miguu kwani kutoka Sinza anapokaa na ilipokuwa Calabash Restaurant hapakuwa mbali hasa kwa wale wenzangu na Mimi ambao nauli kwetu ni za bajeti basi huwa hatuoni shida hata kutembea kutoka ubungo mpaka Kariakoo
Osward alipofika aliingia moja kwa moja mpaka ndani na kwenda kuketi "Kaka karibu " alikaribishwa na Dada mmoja mhudumu wa pale "Aam , Naomba maji kubwa moja moto na ice cube " aliagiza Osward na yule Dada kwenda kufuata na kumletea "Karibu " "Ahsante , samahani sijui unaitwa nani mrembo " aliongea Osward "Naitwa Teckla" alisema Teckla huku akijichekelesha chekelesha "Teckla unajua kuwa wewe ni mrembo ?"
"Mm Ahsante " aliitikia Teckla huku akipepesa macho yake pembeni kwa kuona aibu "Naweza kupata namba yako ya simu tuwe tunawasiliana " "Bila shaka "
Osward alilitoa lisimu lake lile la tachi lililopasuka kioo
"Aaa Jana wamenipamia simu yangu nilikuwa nashuka wenye gari ikaanguka aisee hapa kioo kimepasuka hatari , Mijitu mingine inatuingizia gharama ambazo hazipo kabisa na usawa huu wa anko Magu ( Osward akajisemelesha mbele ya Teckla baada ya kuitoa simu ) .. Enhee! 07... " "65241xxx" Teckla aliimalizia "Poa , Ahsante ntakutafuta "
Osward baada ya kuisevu namba ya Teckla akairudisha simu mfukoni Mara kwa nje akaona kuna gari ndogo nyeusi aina ya Spacio na kuweza kuteremka msichana Fifi kisha akatoa simu yake na kuweza kumpigia Osward "Hallo ! Osward Nimeshafika umekalia kwa wapi ?" Ilikuwa ni sauti ya bidada Fifi baada ya kuwa Osward amepokea simu "Nakuona we ingia ndani huku mwisho utaniona " aliongea Osward
Fifi akakata simu na kuanza kusogea taratibu akiangaza huku na kule na kufanikiwa kumwona alipokuwa amekaa Osward na kumfuata
"Ooh! Mambo " Fifi alitoa salamu na kumpatia mkono wake Osward "Poa karibu " "Ahsante , Samahani sana kwa kuchelewa kulikuwa na foleni kubwa "
"Wala usijali , Nambie uko poa lakini "
"Yah ! Vipi mbona umeagiza maji tu peke yake hutumii vinywaji vingine " "Natumia ila kwa Leo nimependa nitumie maji "
"Mmmm ya kweli hayo au unanionea aibu ila ukiwa peke yako unakunywa " "Hahahaha hapana kwanini nikuonee aibu wakati bia nacho nikinywaji cha kawaida hakina utofauti na maji "
Wakati wanaongea Teckla alifika na kumwuuliza Fifi atatumia nini "Aaam nileteee! Coca cola ya baridi ya take away moja " "Sawa "
"Osward uagizi chakula ?" Aliuliza Fifi "Mm hapana nimeshiba sana sina hamu ya kula kabisa " "OK, Dada niletee Coca cola tu chakula hapana "
Teckla aliondoka na kwenda kufuata kisha kumletea .
.
.
.
Itaendelea
CHOMBEZO; STORI TAMU YA KUSISIMUA SITA KWA SITA 04 2 weeks ago SEHEMU YA NNE MTUNZI : ABDUL JUMA INSTAGRAM: @ABBYKAMCHORO WHATSAPP: 0766025554  "Hallo ! Mambo Osward " aliongea Fifi baada ya kuwa Osward amepokea "Poa , Nambie Malaika " "Hahahah acha utani Osward , Mimi naweza kuwa Malaika au unanijaza tu " Aliuliza Fifi "Kwanini usiwe tena unaweza kuwa zaidi hata ya Malaika " "Mmm haya Ahsante , Vipi lakini ?" Aliongea Fifi huku akiusogeza mto na kuuweka mapajani pake na kuugemea "Shwari tu , ndo nilikuwa najiandaa hapa nilale nikajua huto nipigia " aliongea Osward "Siyo rahisi , kuna kazi nilikuwa namalizia kidogo , baada ya kumaliza nimeingia kuoga ndo nikasema ngoja nikupigie nisingeweza kuacha kukupigia" aliongea Fifi "Poa nambie " "Amm kesho tunaweza kuonana pale Calabash saa nne asubuhi ? " aliuliza Fifi "Keshooo !! .. Poa Kesho sina kipindi nadhani itawezekana na hata Kama ningekuwa nacho lazima ningekuja kuonana na wewe Malaika " aliongea Osward huku akitia mikogo na kujifanya anajali jali kumbe ana lake tu jambo "Hahaha Osward bhana unaonekana mcheshi Sana Eee" "Hapana ila niukweli ambao nashindwa kuuzuia kwanini niongope ikiwa moyo na macho vimeona" "Mm haya bhana , nikutakie usiku mwema na pole Kwa kuisubiri simu yangu " "Usijali , Nawe pia Malaika " Baada ya kumaliza maongezi na kutakiana usiku mwema Fifi akakata simu na kujilaza kitandani huku simu yake akiwa ameiweka kifuani akifikiria namna ambavyo ataanza kumweleza Osward hisia zake kumbe hajui Osward nae anafikiria nini juu yake Palipo pambazuka mida ya saa tatu asubuhi Osward Kama kawaida yake Mzee wa kuazima nguo akazama chimbo kwa washikaji zake na kuweza kuazima nguo akajipigilia ile ile na kujimwagia unyunyu huku shingoni akiwa amening'iniza vicheni uchwara Kama vinne ivi halafu vyote feki alipoona amekuwa tayari alianza kusogea taratibu akiwa Kwa miguu kwani kutoka Sinza anapokaa na ilipokuwa Calabash Restaurant hapakuwa mbali hasa kwa wale wenzangu na Mimi ambao nauli kwetu ni za bajeti basi huwa hatuoni shida hata kutembea kutoka ubungo mpaka Kariakoo Osward alipofika aliingia moja kwa moja mpaka ndani na kwenda kuketi "Kaka karibu " alikaribishwa na Dada mmoja mhudumu wa pale "Aam , Naomba maji kubwa moja moto na ice cube " aliagiza Osward na yule Dada kwenda kufuata na kumletea "Karibu " "Ahsante , samahani sijui unaitwa nani mrembo " aliongea Osward "Naitwa Teckla" alisema Teckla huku akijichekelesha chekelesha "Teckla unajua kuwa wewe ni mrembo ?" "Mm Ahsante " aliitikia Teckla huku akipepesa macho yake pembeni kwa kuona aibu "Naweza kupata namba yako ya simu tuwe tunawasiliana " "Bila shaka " Osward alilitoa lisimu lake lile la tachi lililopasuka kioo "Aaa Jana wamenipamia simu yangu nilikuwa nashuka wenye gari ikaanguka aisee hapa kioo kimepasuka hatari , Mijitu mingine inatuingizia gharama ambazo hazipo kabisa na usawa huu wa anko Magu ( Osward akajisemelesha mbele ya Teckla baada ya kuitoa simu ) .. Enhee! 07... " "65241xxx" Teckla aliimalizia "Poa , Ahsante ntakutafuta " Osward baada ya kuisevu namba ya Teckla akairudisha simu mfukoni Mara kwa nje akaona kuna gari ndogo nyeusi aina ya Spacio na kuweza kuteremka msichana Fifi kisha akatoa simu yake na kuweza kumpigia Osward "Hallo ! Osward Nimeshafika umekalia kwa wapi ?" Ilikuwa ni sauti ya bidada Fifi baada ya kuwa Osward amepokea simu "Nakuona we ingia ndani huku mwisho utaniona " aliongea Osward Fifi akakata simu na kuanza kusogea taratibu akiangaza huku na kule na kufanikiwa kumwona alipokuwa amekaa Osward na kumfuata "Ooh! Mambo " Fifi alitoa salamu na kumpatia mkono wake Osward "Poa karibu " "Ahsante , Samahani sana kwa kuchelewa kulikuwa na foleni kubwa " "Wala usijali , Nambie uko poa lakini " "Yah ! Vipi mbona umeagiza maji tu peke yake hutumii vinywaji vingine " "Natumia ila kwa Leo nimependa nitumie maji " "Mmmm ya kweli hayo au unanionea aibu ila ukiwa peke yako unakunywa " "Hahahaha hapana kwanini nikuonee aibu wakati bia nacho nikinywaji cha kawaida hakina utofauti na maji " Wakati wanaongea Teckla alifika na kumwuuliza Fifi atatumia nini "Aaam nileteee! Coca cola ya baridi ya take away moja " "Sawa " "Osward uagizi chakula ?" Aliuliza Fifi "Mm hapana nimeshiba sana sina hamu ya kula kabisa " "OK, Dada niletee Coca cola tu chakula hapana " Teckla aliondoka na kwenda kufuata kisha kumletea . . . . Itaendelea
Artikel Terkait
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya saba (7) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp.... 0769673145 Ilipoishia....... Baada ya masaa mawili mbele mzee Joel alirejea nyumbani akiwa pamoja na mgeni wake. Geti lilifunguliwa na mlinzi na gari likaingia mpaka ndani na kupaki sehemu yake. "karibu Sana kuwa huru." akaongea mzee Joel huku akimfungulia Dick mlango wa gari. ******Endelea ***** Mzee Joel aliongozana na mgeni wake mpaka sebuleni ambapo watoto wake wote walikuwepo hapo pamoja na mke wake. "Afadhali nimewakuta wote mkiwa hapa mpokeeni mgeni bas." akaongea mzee Joel. Lakini hakuna mtu alieyehangaika kumpokea mgeni yule isipokuwa Irene peke yake, ambaye ndiyo alimpokea na kumuonesha sehemu ya kuketi. "Penina mgeni wako huyu." akaongea mzee Joel huku akimuangalia Penina. Penina hakujibu kitu alibaki kimya kama hakusikia alichoambiwa na baba yake. "Nolan na Irene huyu ni shemegi yenu kwa maana nyingine huyu ndio mume mtarajiwa wa Penina naomba mlitambue hilo kuanzia Sasa." akaongea mzee Joel kwa kusisitiza. "Nimeelewa baba nadhani kila mtu ameelewa pia." akaongea Irene kuonesha yupo pamoja na baba yake. "Irene acha upumbavu mdogo wangu kama wewe umeelewa mi sijaelewa kitu, baba samahani sana huyo mtu wako hawezi kuwa shemegi yangu kamwe." akaongea Nolan kwa jazba. "Nolan wewe na mimi nani baba kwenye hii nyumba?" akahoji mzee Joel. "wewe ndio mkubwa." akajibu Nolan. "Sasa kama mimi ndio mkubwa lazima ufuate kile ninachokisema." akaongea mzee Joel huku akimuangalia Nolan kwa hasira. "siwezi kufuata upuuzi wako unaoutaka wewe never." akaongea Nolan Kisha akanyanyuka na kuondoka pale sebuleni. "Baba asante kwa chaguo lako lakini mimi sio chaguo langu." akaongea Penina kwa upole kumuambia baba yake Kisha na yeye akanyanyuka na kuondoka pale sebuleni na kumfuata Nolan. Mzee Joel alibaki ametumbua macho asijue afanye nini kwa wakati ule. "Usijali Dick huu ni ushambaa wa huku kwetu Africa Ila usijali nitaweka mambo Sawa, hebu njoo tuonge kidogo." akaongea mzee Joel kumwambia Dick, Kisha wakanyanyuka wote na kuongozana mpaka nje ya nyumba Ile kubwa ya kifahari. "Unajua Dick huyu kijana wangu anayeitwa Nolan ndio anamfundisha Dada yake ujinga ili asiolewe na wewe, ila nakuahidi lazima utamuoa Penina." akaongea mzee Joel kumwambia Dick. "hakuna tatizo mimi nakusikiliza wewe na kama nikimuoa huyo mtoto wako nitakupatia pesa nyingi Sana." akaongea Dick kumwambia mzee Joel. "usijali yule ni wako na lazima utamuoa." akaongea mzee Joel kumpa moyo mzee Joel. "bas Sawa mimi naondoka mambo yakiwa Sawa utanipa taarifa." Dick akamwambia mzee Joel na Kisha akaingia kwenye gari na kuondoka, na kumuacha mzee Joel akiwa anakuna kichwa baada ya kusikia atapewa pesa nyingi kama Dick akifanikiwa kumuoa Penina. "alafu huyu Nolan naona anampa kichwa Sana Penina Sasa ngoja nimfundishe adhabu pumbavu yeye." akajisemea mzee Joel kimoyo moyo Kisha akatoa simu yake na kumpigia Zaza. "yes mzee Joel." akaongea zaza baada ya kupokea simu. "Zaza kuna huyu kijana wangu anaitwa Nolan unamfahamu?" akaongea mzee Joel na kuuliza. "ndio tunamfahamu vizuri Sana." akajibu Zaza. "Vizuri Sana Sasa nataka nimfundishe adhabu huyu kijana maana naona anataka kunipanda kichwani." akaongea mzee Joel kumwambia Zaza. "kivip mzee wangu?" akahoji zaza. "sikiliza Zaza nataka mumkamate huyo kijana wangu mumpelekee sehemu mumtandike mpaka ashike adhabu tumeelewana?" akaongea mzee Joel na kuhoji. "nimekupata vizuri mzee wangu na tuko tayari kwa kazi." akajibu Zaza. "OK bas kuna sehemu nitamtuma alafu nitawaambia ni wapi ili mkamatie hapo." akaongea mzee Joel kumwambia Zaza. "OK hamna shinda mzee Joel." akajibu Zaza na simu ikakatwa. "nimefurahi Sana kaka kwa jinsi ulivyonitetea nakupenda Sana kaka yangu." alikuwa Penina akimuambia Nolan. "usijali mdogo wangu lazima nisimame Katika haki siko tayari kuona haki ikipindishwa kwasababu ya pesa." akaongea Nolan kumuambia Penina. Lakini wakiwa bado wanaendelea kuongea Nolan alisikia sauti ya baba yake ikimuita. "hebu ngoja nikamsikilize nasikia ananiita huko." Nolan akamwambia Penina na kuondoka kwenda kumsikiliza baba yake. "Chukua gari hiyo nenda kaniwekee mafuta sehemu tunayowkaga kila siku." mzee Joel akamwambia Nolan huku akimkabidhi pesa kias kadhaa. Nolan alishangaa kwa kuwa ilikuwa sio kawaida yeye kutumwa Muda kama ule, lakini hata hivyo hakuwa na namna aliaaliamua kwenda kuepusha malumbano na baba yake. Baada ya dakika mbili Nolan kuondoka mzee Joel alitoa simu yake Mara moja na kumpigia Zaza, Kisha akamwelekeza sehemu ambayo wataweza kumkamata Nolan na kwenda kumfundisha adhabu. Baada ya Zaza kupata habari Ile Mara moja aliingia kwenye gari pamoja na vijana wake wanne na kuelekea sehemu ambayo walielekezwa na mzee Joel kumkamata Nolan. * Huku msituni hatimaye Frank alimaliza siku mbili za mapumziko, Kisha akagaana na mzee yule aliyemsaidia na kuanza safari ya kuelekea tabora mjini kwa ajili ya kurudi dar es salam. Frank alitakiwa kutumia siku tatu ili aweze kufika tabora mjini, lakini kwa jinsi Frank alivyokuwa na hasira ya kurejea dar es salam ili aweze kuonana tena na mpenzi wake, alijikuta akitumia siku moja na nusu kufika tabora mjini. Baada ya kufika mjini Frank alianza kuhangaika kutafuta usafiri wa kurejea dar es salam bila kufanikiwa kutokana na kukosa pesa. Frank aliamua kujiunga na vijana wengine waliokuwa pale tabora mjini na kuanza kazi ya kuosha magari ili aweze kupata pesa ambayo itamsaidia kurejea dar es salam.* Nolan akiwa amebakiza mita chache kufika Katika sheli iliyokuwa mbele kidogo na sehemu alipokuwa. ghafla alishtukia gari nyeusi ikifunga break mbele yake na kumzuia njia asiweze kupita. Nolan akiwa bado anashangaa kinachoendelea, ghafla akaona wanaume watatu wakitoka kwenye lile gari huku kila mmoja akiwa na fimbo mkononi na kuanza kuanza kusogea Kuja kwenye gari la Nolan. Mara moja Nolan akatambua hawa watu si wema hata kidogo. Lakini Sasa watu wale ambao walikuwa ni wakina Zaza hawakujua wanamfuata nani. Wazimu wa wazimu Nolan naye alifungua mlango na kutoka kwenye gari Lake na kuanza kuwafuata wakina Zaza bila kuwa na uoga wowote.* ......... Itaendelea ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na tano (15) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp..... 0769673145 Ilipoishia...... Nolan alishtuka vibaya mno na kuona hapa shughuli ni nzito tena nzito Sana. Lakini mzee Joel ndio alikuwa na furaha Sana kwa kushuhudia kazi nzuri iliyokuwa ikifanywa na buffalo. Nolan alinyanyuka na kujitikisa na kujiweka Sawa kwa ajili ya kuendelea na mpambano. ***********Endelea *********** Baada ya Nolan kusimama tu buffalo hakumpa hata nafasi ya kumeza mate alimfuata kwa kasi na kumrushia mateke manne mfululizo na yote yakampata Nolan na kumuweka chini kwa Mara ya pili. Shughuli ilikuwa nzito Sana kwa Nolan kwani hajawahi kukutana na mtu mwenye spidi ya kupigana kama buffalo. Kwa Mara nyingine Nolan alinyanyuka tena huku akiwa tayari ameshawekwa alama usoni. Buffalo kama kawaida yake hakutaka kumpa nafasi ya kupumua, akamfuata kwa kasi na kurusha ngumi nyingine nzito lakini hii Nolan akaiona na kuikwepa ikaenda kugonga dirisha na kuvunja lile lote. Nolan naye this time round akasema hata mimi sicheki na wewe, Nolan aliruka na kumtandika buffalo teke la mgongo na kumtupa nje kwa kupitia pale dirishani. Nolan hakutaka kupoteza Muda akaruka na kumfuata buffalo huko huko nje. Dick pamoja na vijana wake wakiwa pamoja na mzee Joel nao wakatoka nje kushuhudia vita ile kali. Nolan baada ya kufika nje akakuta tayari buffalo ameshanyanyuka. Nolan akarusha ngumi nzito lakini buffalo akaikwepa na kurusha teke ambalo Nolan pia alilikwepa. Ngumi nzito ikarushwa na Nolan kwa Mara nyingine na kumkuta buffalo ya kichwa, lakini pia Nolan naye akapatwa teke Zito la tumbo kutoka kwa buffalo. Vita ile ilikuwa kali Sana kati ya buffalo na Nolan. Lakini mwisho wa siku ilikuwa ni lazima mshindi apatikane. Nolan alijikuta akiishiwa nguvu baada ya kupigana muda mrefu na buffalo na kujikuta akishindiliwa ngumi nzito mfululizo kwenye tumbo zisizopungua kumi Kisha akatandikwa moja nzito ya uso na kutupwa mbali na kupoteza fahamu kwa dakika kadhaa. Lakini wakina Dick pamoja na vijana wake waliona huyu jamaa kwa Jina la buffalo hafanyi poa, wakaamua kumsaidia Nolan. Kwa pamoja walianza tena kumshambulia buffalo. Lakini kwa bahati mbaya hawakuwa na uwezo wa kumpiga buffalo wakajikuta wakitandikwa tena kama watoto na buffalo. Mzee Joel alifurahi Sana na kuona Sasa hakuna panya yoyote wa kunisumbua. Lakini kidogo hivi akanyanyuka Nolan akiwa ametokwa na wazimu. "suti ya harusi nimeshaandaa pamoja na taratibu zingine zote inawezekanaje wewe kimtu mmoja uje na kuharibu mipango yangu inawezekanaje??" akajisemea Nolan akiwa tayari amekwisha nyanyuka. Buffalo alimwaangalia Nolan na kucheka kwa dharau, lakini Nolan awamu hii hataki kucheka na mtu anachotaka Sasa ni kuua mtu bila huruma. Nolan akatoka mbio na kuanza kumfuata buffalo kwa kasi nyingine ambayo haielezeki Kisha akaruka na kukunja miguu na kumgonga buffalo kwa magoti na kumtupa chini. Nolan hakutaka kumpiga buffalo akiwa chini akamsubiri anyanyuka. Buffalo aliponyanyuka Nolan akaruka tiktak na kumpata buffalo mateke ya uso na kumuweka buffalo chini kwa Mara nyingine. Nolan akamsubiri tena buffalo anyanyuke kwa Mara nyingine, na buffalo aliponyanyuka Nolan akateleza kwa magoti mpaka kwenye miguu ya buffalo na kuanza kumshindilia buffalo ngumi nzito nzito za tumbo zisizopungua ishirini, Kisha akanyanyuka haraka na kabla buffalo hajaenda chini Nolan akaamua kummaliza kabisa. Nolan aliruka na kutua shingoni mwa buffalo na kumshindilia ngumi zingine za kichwa na kumpasua kichwa hadharani huku mzee Joel pamoja na wakina Dick wakiwa wanashuhudia. Habari ya buffalo ikaishia pale pale. Mzee Joel aliamua kutoroka baada ya kuona mtu aliyekuwa akimtegemea ameshauwawa hivyo akajua kwa vyo vyote vile yeye pia atakuwa Katika wakati mgumu hivyo akaona njia rahisi ni kutoroka tu. Lakini kwenda kutoroka mzee Joel alidakwa na wakina Dick na kuanza kupewa kichapo cha maana. Mzee Joel alitandikwa akatandikwa mpaka Sasa Nolan akamwonea tena huruma baba yake, akawaamuru wakina Dick wamuache. "tumemuacha muheshimiwa Ila tunachotaka atupe pesa zetu au atupe Penina tuondoke nae." akaongea Dick kumwambia Nolan. "mnachoweza kupata ni pesa zenu lakini sio Penina, kwasababu siku chache zijazo Penina anafunga Harusi na kijana mmoja wanaependana kwa dhati." akaongea Nolan maneno hayo ambayo yalikuwa machungu masikioni mwa Dick. "ok nipeni pesa zangu niondoke maana tumepoteza Muda wetu bila faida yoyote." akaongea Dick kinyonge. Lakini hata hivyo mzee akadai hana pesa yoyote, pesa zote amekwishazitumia na zingine akadai walimuibia na hajui nani alimwibia. Nolan alicheka Sana kimoyo moyo kwasababu alijua yeye ndio alikuwa akimwibia baba yake pesa zile. Nolan akaamua kumtetea baba yake, akawaambia wakina Dick hakuna pesa yoyote watapata kwasababu walifanya ujinga kutoa pesa hizo wakati wakijua hawana uhakika wa kumpata Penina. Nolan aliwataka wakina Dick watoweke sehemu ile haraka iwezekanavyo kabla hajawaangamiza na wao. Dick pamoja na vijana wake walijikuta wakiondoka kinyonge huku wakiamini kabisa walifanya makosa makubwa Sana na hivyo wakaamua kuondoka na kurudi nchini mwao bila kinyongo chochote. Huku mzee Joel alipiga magoti na kutubu makosa yake kwa mtoto wake Nolan na kumuomba amsamehe. Yenyewe hata hivyo damu ni nzito kuliko maji, Nolan aliamua kumsamehe baba yake lakini kwa jinsi baba yake alivyompa mateso Nolan akaamua lazima amtandike ngumi moja ya maana kama njia ya kumsamehe. Nolan alimsogelea baba yake na kumuwekelea ngumi moja nzito ya uso na kumuweka baba yake chini, Kisha akaenda akamnyanyua na kumkumbatia na kumsamehe. Baada ya siku kadhaa ya Nolan kuweka mambo Sawa hatimaye Penina na Frank walirejea Tanzania na Kisha harusi yao ikafanyika bila tatizo Lolote huku ikihudhuriwa na watu wengi kupita maelezo. Mzee Joel pia alikuwepo kwenye harusi ile pamoja na mkewe huku wakifurahia harusi ya mtoto wao licha ya kwamba moyo ulikuwa ukimsuta mzee Joel. Kadhalika pia baba yake Frank pamoja na mama yake Frank pia walikuwepo kwenye harusi ile huku wakiwa wameketi kwenye Meza ya heshima kabisa. Nolan pia alikuwepo kwenye harusi ile na yeye ndio alikuwa msimamizi wa kila kitu kilichokuwa kikiendelea Katika harusi ile. Harusi ilikuwa nzuri na yenye kuvutia na kila mtu alifurahishwa nayo. Hatimaye harusi ilimalizika salama na maisha yakaanza rasmi Sasa kati ya Frank na Penina wakawa Sasa ni baba na mama. Lakini pia Frank na Penina waligeuka kuwa matajiri wakubwa kutokana na zawadi mbali mbali walizokabidhiwa Katika harusi yao. Hivyo pia waliweza kuwafanya Wazazi wao waishi maisha mazuri na kusahau ya nyuma yaliyopita. Lakini heshima kubwa ilienda kwa Nolan kwasababu bila yeye wasingefika hapo walipo. Na hata walipofanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume wakaamua kumuita Nolan kumpa heshima kaka yake Penina na shemeji yake Frank. Frank na Penina walifanikiwa kupata mtoto wa pili naye pia alikuwa ni wa kiume wakaamua eti kumuita VAN B na maisha yakaendelea. **************MWISHO ************** mkumbuke nilisema hii story ni zawadi ya xmas na mwaka mpya haikuwa Katika mipango yangu. Hivyo nawashukuru wote mliokuwa pamoja Nami kwa kulike kucoment pamoja na kushare. Mwisho niwaambie tu kuna story nyingine iko jikoni Mungu akijaalia itaanza kuruka mwezi wa pili. Who killed my father "nani alimuua baba yangu" ndio Jina la story mpya inayokuja. Ukiniita VAN BOY utakuwa hujakosea hata kidogo. Nawapenda Sana. ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 01* Sehemu Ya Kwanza (1) KWA UFUPI: Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry). Ni nini hatma ya penzi hilo jipya na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA? Ungana na GIFT KIPAPA katika chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi. SIMULIZI YENYEWE: Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao. “Kidogo tu mume wangu jamani” No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!” Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over. “jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.” Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu. Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo. Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo. Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde. “jamani Honey njoo basi!” Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba, Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake. “Oh, Dear haraka basi!” Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga. “uh!” Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli. “Ah, honey!” lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake. “ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!” Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table. “no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please” ( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari ) Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo. Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja. “jamani , honey kidogo tu” Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho. Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake. “mwaa” Alafu akampulizia mkewe. “Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi ) Kisha akatoka nje. “Honey!!” lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile. Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka. ITAITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 02* Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama. Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple. Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake. Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae mapenzi. “ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?” Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani. “Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?” Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani. Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua. “ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii” aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo. “fyonz” Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke . “sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu” Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa. “nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.” Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake. Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita. “MAZI….” Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao. “Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?” Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake. “sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“ Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa. Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea. “samahani” Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi. Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja ndogo. “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?” Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika. Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kui busu midomo yake. Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba. “Twende ndani basi” Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu. “Ni huku” Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe. Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake. “Aaaa, assii, muuza maziwa!” Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba. “Aaaa, assii!” Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu. “Utani_uua wee muu…” Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa. “Anza basiiiii…” “Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake” Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network. Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa. “Oh, honey anza basi sweety” Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu. “Auuh, Asii, Muuza maz….” Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa. “Auuh, Taratibu basiiiiii!” Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “Ngo, ngo, ngo” Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana. Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha . Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe? Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa. “Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?” Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa . “ngo, ngo , ngo” Ilisikika tena hodi ya mlango.. Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja. “fyouz” Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. ITAENDELEA MUUZA MAZIWA EP 03 ILIPOISHIA….. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. MUENDELEZO WAKE : Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa. Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto. “Eti dada hauchukui maziwa niondoke?” Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote. “Subiri nakuja!” Lisa aliitikia haraka haraka “haraka basi” Muuza maziwa aliongea Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga. “nitamnasa tu!” Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu. “karibu!” Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni. “asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“ Muuza maziwa aliongea “Oh pole sana lakini usijali” aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego huku macho yake akiyarembua. “ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi” Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa. “njoo ndani basi unipimie” Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake. “funga mlango!” Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga. Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa. Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu akijua tayari samaki ameingia kwenye wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa. Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili. Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali. “Ahayaaaaa!!!!!!” Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona. Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa. “Mwaaa!” Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika bakora. Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu. “Asssii!” Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine. “Aauuuu!!!!” Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake. Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake. Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu. “Assiii!!, we muu….” Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka . Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo. “Assii, ahh sisss!” Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia kama vile amempania. “sibakishi kitu leo na hakikisha patupu” Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake “aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”. Lisa aliongea kwa kigugumizi huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi , Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho. Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. wa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. MUENDELEZO WAKE : “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani. Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata.. Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu. “Asiiii” Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa. “asiiii, auh, aauuh!!!” Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu. Asiiii” Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno. Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake. Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka. “Auuh, taratibu, muu-za ma……..” ITAENDELEA. ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na nne (14) By GIVAN IVAN Ilipoishia....... Nolan naye hakujali alitoa kadi tano za harusi ya Penina na Frank na kumwekea baba yake kwenye Meza iliyokuwa mbele yake. "karibu Sana Katika harusi ya Penina na mpenzi wake wa Muda mrefu Frank, wewe pamoja na rafiki Zako mnakaribishwa. " Nolan ndio alimwambia baba yake mzee Joel baada ya kumuwekea kadi zile kwenye Meza iliyokuwa mbele yake, Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. ************Endelea"******** Mzee Joel alibaki akiziangalia zile kadi kwa hasira akazichukua na kuzichana. "huyu mtoto huyu lazima auwawe tu hawezi kuniharibia mipango yangu kiasi hiki." akaongea mzee Joel kwa hasira huku akibugia pombe yake kwa fujo. ******South Africa ******** Hakika Penina na Frank walifurahia Sana kuwa pamoja angalau kwa siku chache ambazo wamekaa pale hotelini South Africa Katika jiji la Johannesburg. Hakika walifurahi Sana, kila kitu walichohitaji walikipata bila usumbufu wowote. "yaani mpenzi wangu natamani Mungu angetutengenezea Dunia yetu tukakae sisi wawili tu ili tuzidi kuwa pamoja milele na milele." maneno hayo yalitoka mdomoni mwa Penina akimwambia Frank walipokuwa wameketi pamoja wakipata chakula cha usiku. "lakini mimi naamini hata Mungu asipotutengenezea Dunia yetu wawili bado atazidi kutusimamia na kutupa nguvu na tutadumu milele." akaongea Frank kumwambia mpenzi wake Penina. "ni kweli mpenzi wangu nafurahi Sana kusikia hivyo." akaongea Penina huku akimtizama Frank.* Siku iliyofuata asubuhi na mapema Nolan alijiandaa na kuondoka nyumbani kuendelea na mipango yake ya kukamilisha taratibu zote za harusi ya Frank na Penina. Kadi za harusi ya Frank na Penina zilisambaa kila sehemu na karibu kila mahali watu walikuwa wakiizungumzia harusi hiyo na wengine wakiisubiri kwa hamu. Nolan aliweza kuwasiliana na Frank na Penina na kuwataka wajiandae baada ya wiki mbili watarejea nyumbani kwa ajili ya harusi yao. Zilikuwa taarifa njema na zenye kufurahisha kwa Frank pamoja na Penina. Hakika walifurahi Sana na kuzidi kumuomba Mungu siku hiyo ifike bila kuwa na tatizo lolote. * Nyumbani kwa mzee Joel aliwasili buffalo mkuu wa kikosi cha the killer na kupokewa kwa furaha Sana na mzee Joel. "karibu Sana kiongozi nimefurahi Sana kukuona." akaongea mzee Joel huku akimuonesha buffalo sehemu ya kuketi. "usijali mzee Joel nimeshawasili kutatua matatizo yako yote nasubiri maelezo kutoka kwako." akaongea buffalo kwa kujiamini. "bila Shaka naamini utanisaidia sana, ngoja nimpigie simu huyu mpumbavu ili akija tu ummalize maana ameniharibia mipango yangu Sana." akaongea mzee Joel huku akitoa simu yake na kumpigia Nolan. Nolan akiwa anaendelea na shughuli Zake ghafla alisikia simu yake ikiita na bila kupoteza Muda Nolan aliitoa na kuangalia nani mpigaji wa simu ile. Nolan alishangaa baada ya kukuta mpigaji wa simu ile ni baba yake. "hahahaaaa mzee wangu leo umenikumbuka mpaka umeamua kunipigia simu." akaongea Nolan kwa kucheka baada ya kupokea simu ile. "ndio mwanangu nimefikira nikaona nilichokuwa nakifanya sio kizuri hivyo nimeona ni bora niungane na wewe kuifanikisha ndoa ya Penina na Frank, itakuwa vizuri kama ukija nyumbani Sasa hivi ili tuweze kujadili vizuri zaidi." akaongea mzee Joel kumwambia Nolan. Lakini ukweli ni kwamba mzee Joel alikuwa anamdanganya Nolan ili arudi nyumbani na buffalo aweze kumuangamiza. Nolan bila kujua lolote akakubali na kumuambia baba yake kuwa "atarejea baada ya dakika kadhaa." Mzee Joel alifurahi Sana na kuona Sasa mwisho wa mtoto wake Nolan umefika. licha ya kwamba ni mtoto wake lakini mzee Joel hakutaka kujua hilo. Mzee Joel pamoja na buffalo wakiwa wanamsubiri Nolan afike, ghafla Dick pamoja na vijana wake wanne waliwasili nyumbani kwa mzee Joel huku wakionekana dhahiri kuwa na hasira kali kwenye nyuso zao. Mzee Joel alipowaona wala hakushtuka kwasababu alijiamini yupo na mtu mzito buffalo. "mzee Joel hatuna tena Muda wa kupoteza tunamtaka Penina la sivyo rudisha pesa zote ulizozipokea kutoka kwangu." akaongea Dick bila hata kutoa salamu kwa mzee Dick wala buffalo. "kijana mambo mazuri hayaitaji haraka nishakuambia kuwa mpole la sivyo Penina hutampata na pesa Zako pia hutapata." akaongea mzee Joel kwa Jeuri kwasababu aliamini yupo na mtaalamu wake buffalo. Dickson alipandwa na hasira na kuwaamrisha vijana wake wamkamate mzee Joel ili waondoke nae kwenda kumfundisha adhabu. Lakini ile wanataka kumkata buffalo aliwazuia na kuwataka waachane nae na watoweke pale haraka iwezekenavyo. "Wewe ni nani kwani mpaka uongee hivyo hebu sogea pembeni." akaongea Dick na kumsukuma buffalo, lakini buffalo wala hata hakutikisika. Dick akaamua kumsukuma buffalo kwa mikono miwili, lakini Dick alijikuta akipokea kibao kizito cha uso kutoka kwa buffalo na kujikuta akirudi nyuma hatua kadhaa huku damu zikiwa zimemjaa mdomoni. Vijana wake Dick kuona boss wao amepigwa wakaamua kulianzisha kule ndani kwa kumvamia buffalo. Lakini buffalo alikuwa mtu hatari Sana vijana wale walijikuta wakiwa na mlima mkubwa wa kupanda baada ya kupokea kichapo kizito kutoka kwa buffalo. Vijana wa Dick wakaamua Kumshambulia buffalo kwa pamoja yaani wote wanne wakajipanga sehemu moja Kisha wakaanza Kumshambulia buffalo. Huyu akirusha teke hapo hapo mwingine anarusha ngumi na hapo hapo tena mwingine naye anarusha teke. Lakini bado hawakufua dafu mbele ya buffalo walijikuta wakitandikwa kama watoto na kujikuta wakiwa hoi bin taabani. Kama kuna mtu alifurahi bas ni mzee Joel. Mzee Joel alifurahi Sana na kuamini hapa Sasa amepata mtu wa maana. Wakati huo huo Dick alikuwa amekaa chini huku akiwa ameshika shavu Lake alilotandikwa na buffalo. Sekunde chache baadae ulisikika mlio wa gari likiingia ndani ya nyumba ile na sekunde chache mbele akashuka Nolan kwenye gari Ile huku akiwa na furaha akiwa hajui chochote kinachoendelea Mule ndani. Nolan alisogea mpaka sebuleni lakini alipigwa na butwaa baada ya kukuta watu wanne wakiwa chini wakiugulia maumivu na mbele yake akamuona Dick akiwa ameshikilia shavu Lake huku mdomoni akitokwa na damu. Nolan akiwa haelewi ni nini kinaendelea mule ndani, mbele yake akatokea mzee Joel akiwa na jitu la kutisha buffalo. "hahahaaaa hahahaaaa leo ndio leo shenzi wewe." akacheka Sana mzee Joel na kumuambia Nolan maneno hayo, Kisha akamuamrisha buffalo afanye kazi yake ya kummaliza Nolan. Nolan akiwa bado haelewi kinachoendelea alishtukia ngumi inakuja kwa kasi usoni mwake na Kisha akaikwepa bila wasi wasi wowote. Kabla Nolan hajajiweka Sawa ikaja tena ngumi nyingine kutoka kwa yule yule buffalo, lakini hata hii Nolan aliiona na kuikwepa. Lakini sekunde hiyo hiyo likaja teke ambalo lilimlenga Nolan uso, Nolan aliliona lakini akakosea kulikwepa na kupatwa la uso na kudondokea kwenye Meza ya vioo na kuipasua pasua. Kabla Nolan hajanyanyuka buffalo akaruka juu na kukunja ngumi tayari kwa kumshushia Nolan pale chini. Nolan akaiona na kujiviringisha na kulikwepa ngumi ile ya buffalo ambayo ilitua kwa kasi na kugonga chini na kupasua sakafu. Nolan alishtuka vibaya mno na kuona hapa shughuli ni nzito tena nzito Sana. Lakini mzee Joel ndio alikuwa na furaha Sana kwa kushuhudia kazi nzuri iliyokuwa ikifanywa na buffalo. Nolan alinyanyuka na kujitikisa na kujiweka Sawa kwa ajili ya kuendelea na mpambano. .................. Itaendelea ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 02* Sehemu Ya Pili (2) Lakini pamoja na yote sikuwa na sifa ya kumteka mwanaume kimapenzi zaidi ya kunionja na kuniacha. Wasiwasi wangu huenda mwili wangu hauna asali itakayo mfanya mwanaume yoyote atakaye nionja anirudie mara mbili. Basi baada ya kupokea aligeuka na kuondoka kurudi ofisini kwangu. Nilipofika mlangoni nilikumbuka kitu nilitaka kumuuliza bosi, niligeuka ili nimuulize kitu. Niligeuka ghafla na kukutanisha macho na bosi ambaye kumbe nyuma yangu alikuwa akinifuatia. Maskini kaka wa watu alishtuka mpaka akadondoka chini, nilijikuta namuonea huruma. Nilirudi hadi chini alipokuwa amekaa bila kuonesha kujinyanyua, mwili wake haukuwa mkubwa sana nilimshika mkono ili kumnyanyua. “Hapana Manka nitanyanyuka mwenyewe.” “Hapana bosi naomba unipe mkono,” nilimwambia kwa sauti ya huruma yenye kubembeleza. Alinipa mkono na kumnyanyua, baada ya kunyanyuka nilitoa kitambaa changu na kumfuta sehemu yenye vumbi. “Tosha Manka sehemu zingine nitafuta mimi.” “Hapana bosi ni wajibu wangu kufanya hili.” Aliniacha nimfute kisha nilimtengenezea kiti na kumuomba akae. “Unaweza kukaa.” Bila kuongeza neno alikaa kwenye kiti chake huku uso wake ukionesha aibu imemtawala. “Pole bosi,” nilimwambia kwa sauti ya chini. “Asante.” “Hukuumia?” “Nipo sawa.” “Pole sana.” “Asante Manka, nipo sawa kaendelee na kazi.” Niligeuka na kuondoka hata nilichotaka kumuuliza nilikiacha na kupanga kumuuliza kupitia simu yangu ya mezani. Nilitoka hadi ofisini kwangu kuendelea na kazi, kabla ya kuanza kazi nilijikuta nikijiuliza kilichomdondosha bosi wangu ni nini. Wasiwasi ulikuwa uleule bosi kapagawa na mimi, kitu ambacho sikutaka kinitokee kwa muda ule kwani ilikuwa mapema sana. Niliamini kabisa bosi kwa mtazamo wa nje alikuwa amepata bonge la mwanamke, lakini ndani sikuwa na sifa zile za kukaa na mwanaume kwa muda mrefu. Niliyapuuza na kuendelea na kazi, nilikumbuka kuna kazi nilitaka kupata maelekezo kwa bosi. Nilimnyanyua simu kumpigia baada ya kuita kwa muda ilipokelewa. “Haloo bosi.” “Ooh..Aah…Nani Manka,” maskini bosi wangu alionesha kiwewe bado hakijamtoka. “Bosi mbona hivyo?” “Aah, kawaida tu, unasemaje?” “Ok, bosi nilikuwa nauliza hii kazi ya malipo kuna maandishi ya mkono nayo niyaandike?” “Hakuna tatizo, yaandike kama ilivyoandikwa.” Nilikata simu na kuendelea ka kazi yangu kama kawaida, baada ya muda nikiwa bize simu ya mezani iliita, nilinyanyua na kupokea. “Haloo bosi.” “Ndiyo Manka jiandae tukapate lunch.” “Nashukuru bosi.” Baada ya kukata simu, niliangalia saa kubwa ya ukutani iliyokuwa mbele yangu, ilionesha ni saa saba kasoro kumi mchana. Nilimalizia kazi yangu ili nipate muda wa kwenda kula, nikiwa bado nimeinama nikirekebisha tatizo la kisarufi nilishtuliwa na sauti ya bosi. “Manka tunaweza kwenda.” “Hakuna tatizo bosi, namalizia kurekebisha sarufi.” “Utamalizia tukirudi.” Nilisave kisha nilizima computer na kunyanyuka, nilijitengeneza vizuri nguo niliyovaa. Kwa chati nilimuona bosi wangu koo likimcheza kama mtu mwenye kiu kikali. Baada ya kuhakikisha nipo sawa tulitoka hadi kwenye gari lake kisha tulikwenda kwenye moja ya hoteli ya kifahari ambayo ilinikumbusha mbali enzi nipo kwenye ndoa yangu. Tulipofika Mateja alionesha kutojiamini sana kwangu kitu ambacho sikuamini mwanaume kama yeye kuwa katika hali ile. Sikuwa na sifa kubwa zaidi ya mwanamke aliyepoteza matumaini ya kupata hadhi mbele ya mwanaume. Niliamini kaniona kwa nje hanijui ndani nilivyo ndio maana ananipapatikia. Nilijua akikipata anachokitafuta kwangu pengine ndiyo siku ya kunifukuza kazi, lakini sikuwa na jinsi kila mwanaume mwenye pesa aliamini mwanamke sahihi wa kukaa naye ni mimi. Baada ya kuketi kwenye viti vyetu muhudumu alifika na kutaka oda zetu. “Manka agiza chochote ukitakacho kwa bei yoyote.” “Asante, nataka kula unachokipenda wewe,” utanishangaa kwa nini nimesema vile, nilifanya vile ili kumtoa wasiwasi na kumfanya awe huru kwangu japo si katika suala la mapenzi. “Hapana Manka nataka wewe leo ndio uchague chakula tutakacho kula.” “Sawa,” nilichagua chakula ambacho wote tulikuwa. Baada ya chakula wakati wa kunywa vinywaji Shaka aliniuliza. “Samahani.” “Bila samahani.” “Manka, umeolewa?” “Sijaolewa.” “Una mchumba sina?” “Sina.” “Rafiki wa kiume?” “Sina.” “Manka mbona unanidanganya.” “Kweli bosi.” “Hivi Manka kwa umbile alilokujali muumba usiwe na mwanaume?” “Si kwamba sijawahi mwanaume ila kwa sasa sina.” “Kweli?” “Kweli kwa nini nikufiche ili iwe nini?” “Mara nyingi watu wamekuwa si wakweli.” “Huo ndio ukweli wangu.” “Kwa nini mrembo kama wewe huna rafiki wa kiume?” “Sina bahati nimeamua kuishi peke yangu.” “Ina maana hata ombi langu litagonga ukuta?” “Ombi gani?” “Kwa vile huna mtu nilifikili unafaa kuwa mke wangu.” “Aaah, bosi,” kauli ile ilinishtua sikupenda kuisikia masikioni mwangu. Sikuwa na jibu la moja kwa moja, moyo mapigo ya moyo walinienda mbio na machozi yalinitoka. Mateja alishtuka kuniona nikitoka machozi badala kumpa jibu lake. “Manka vipi?” “Hataa,” nilitikisa kichwa. “Mbona machozi yanakutoka.” “Kauli yako imenishtua.” “Kivipi?” “Sikutegemea kuniambia neno hilo mapema kiasi hiki.” “Manka, penzi limuingiapo mtu huwa kama kichaa aliyekatikiwa na mishipa ya fahamu. Niyasemayo si mimi ni moyo wangu naomba unihurumie.” “Ni kweli, lakini sina bahati kila siku mapenzi limekuwa likinitesa.” “Kivipi?” “Mpaka leo sijajua sababu ya kuachwa na wanaume.” “Ni wazi wote waliopita walikuwa na tamaa ya kukujua ulivyo na si mapenzi ya dhati. Lakini nakuamini mimi ndiye mwanaume sahihi kwako.” “Hiyo kauli kwangu nimeizoea, lakini mwisho wa siku mambo huwa kinyume.” “Niamini Manka, nitakuwa mume mwema.” “Mmh nitashukuru, lakini usinitende utaniumiza.” “Siwezi.” Baada ya chakula tulirudi ofisini, hatukufanya sana kazi Mateja alikuwa na uchu wa fisi. Aliniomba tufunge ofisi twende tukastarehe, sikuwa na pingamizi nilifunga kazi na kuongozana naye kwenye gari lake. Mateja alinipeleka kwenye hoteli ya kifahari ya nyota tano. Kwa vile shida yake niliijua sikushtuka kumsikia akiuliza chumba cha VIP, baada ya kulipia tulikwenda kwenye chumba kilichokuwa ghorofa la pili. Chumba kilichokuwa cha kifahari, ambacho kilikuwa kipo katika hadhi ya juu. Katika maisha yangu sikuwahi kuingia kwenye chumba kizuri kama kile. Chumba nilikiona kilikuwa kinapendeza lakini wasiwasi wangu bosi wangu atakipata alichokifikilia kukipata mwilini mwangu. Sikutaka nami kijiweka nyuma kwani nilikumbuka kauli za Bi Shuu mama mlezi wangu shangingi mstaafu, kuwa niwapo mbele ya mwanaume nijionesha nipo tayari kumpa kile anachokitaka. Siku zote aliniambia nijiamini ili kumfanya mwanaume naye ajiliuze mara mbili mbili ataniingiaje. Sikupoteza wakati baada ya kuingia tu chumbani nilivua nguo zote na kubakia kama kuku aliyenyonyolewa. Sikuchelewa kumsaula na yeye tukawa sale sale maua. Nilitembea kama miss kuelekea kwenye kabati kuchukua taulo kwa makusudi nimuoneshe umbile langu ambalo mwanzo huwa utata kwa wanaume. Lakini wakiisha nipata nakuwa kama Big G iliyotafunwa na kuisha utamu mwisho wake hutemwa. Kwa kweli sikupenda kutongozwa siku moja na siku hiyo hiyo kumvulia mwanaume nguo ya ndani. Niliamini kabisa kujilahisi vile lazima thamani yangu ingepungua lakini kama ningemzungusha, kidogo thamani yangu kwake ingepanda. Nilijua lazima ataniona maharage ya Msanga maji nusu kijiko. Lakini sikuwa na jinsi kutokana na njia aliyotumia kwa kweli nilijikuta siwezi kuuruka mtego wake mwepesi. Sikuwa ndege mjanja lakini nilinaswa kijinga sana, japo sikujua tatizo langu lakini nilipokuwa natembea na kumuachia umbile la nyuma lililokuwa linawatesa wanaume wengi. Niliinama makusudi kama najikuna mguu ili tu nizidi kumpagawisha. Kitu kilichofanya Mateja azidi kuwa katika wakati mgumu, wakati nafungua kabati nitoe taulo Mateja alikuwa tayari yupo nyuma yangu na kunikumbatia kwa nyuma. Nilijua uzalendo ulikuwa umemshinda, mambo yalianzia pale. Tulianza kubadilishana mate palepale kwenye kabati, baada ya muda aliona anachelewa, mwanaume alinibeba juujuu mpaka kitandani. Kwa vile mchicha ulikuwa umeishakolea nazi tuliumwaga juu ya ubwabwa na kuanza kujimegea tataribu. Mateja alionekana ana pupa kama mamba mwenye njaa, hakuchelewa kukifikisha chombo ukingoni mwa bahari. Baada ya mapumziko mafupi tulirudi ndani ya ngarawa kuendelea na safari, katika vitu ambavyo katika maisha yangu nilikuwa sivipendi ni usumbufu ndani safari. Ooh geuka hivi, lala hivi, inama hivi, nyanyuka hivi, kwa upande wangu niliona usumbufu lakini nilivumilia kwa vile ndiyo ilikuwa siku yetu ya kwanza kukutana. Kama ningekuwa nimemzoea ningempasha, kwani hakuna starehe ya mapenzi mpaka kusumbuana kumgeuza mwenzako kituko,ile kwangu sikuona mapenzi zaidi ya adhabu. Siku zote niliamini baada ya safari ndefu mtu humwaga mzigo na kutelemka. Siku ile tulikaa kaa mpaka saa tatu usiku baada ya kuoga na kula alinirudisha nyumbani. Kabla ya kuondoka Mateja aliniahidi vitu vingi ikiwemo kunijengea nyumba kuninunulia gari na kuyabadili maisha yangu kwa ujumla. Siku ile moja tu alinipatia laki tano taslimu, sikuamini niliona miujiza kupata raha na kiasi kikubwa cha pesa kama kile. Nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu yupo chumbani kwake, Nilifungua mlango wa chumba changu na kuingia ndani. Nilipowasha taa nilishtuka kumuona Bi Shuu kanisimamia nyuma, akuzungumza chochote ila alinikata jicho kali. “Shikamoo Bi Shuu” “Hainisaidii kitu” “Mbona hivyo mama yangu” “Kazi gani ya kutoka saa moja asubuhi kurudi saa tano za usiku?” Mmh, makubwa nimekuwa mtoto mdogo wa kuwa chini yake kwa kila kitu. Nilijua uchawi wa Bi Shuu ni nini, niliinama na kuchukua mkoba wangu na kufungua. Nilihesa nyekundu tano na kumpa. “Za nini?” “Katumie tu” “Za kodi?” “Walaa, nimekutunuku tu mama yangu.” “Kweli!?” “Kweli unafili uliyonifikiza madogo” Bi Shuu alifurahi na kunikumbatia na kusahau aliyobwatuka muda mfupi, baada ya kunipandisha na kunishusha alisema. “Weee mwana kulikoni” “Kaa chini nikupashe kazi imekuwa kaziiiii” “Usiniambie” “Habari ndiyo hiyo shilingi moja kwa sekunde ndio mpango” “Wacha wee leo Mchaka kawa mzaramu” “Umenifundisha wewe, ngoja nikaoge nikupashe upashike” Nilimuacha Bi Shuu chumbani kwangu akizirudia kuzihesabu pesa nilizompa mimi nikaenda kujimwagia maji. Nilipotoka kuoga nilimkuta akinisubiri kwa hamu kubwa. “mmhu, hebu nipe raha” “Bi shuu nitakueleza yote kesho” “Mwana wee siwezi kulala mpaka unipe siri ya rangi nyekundi kupendeza na kusikitisha” Huku nikijifuta maji nilimueleza yote bila kumficha hata moja, mwisho wa yote nilielezea masikitiko yangu ya bahati ya kupendwa na mkosi wa kuachwa. “Bi Shuu, japo nimepata lakini wasiwasi wangu sichelewi kumwagwa” “Kwani una tatizo gani?” “hata silijui hakuna hata mwanaume mmoja aliyenieleza tatizo langu” “Mmh, kuna umuhimu wa kulifanyia kazi” “Siamini kama tatizo langu litaisha” “Hebu kila ukiwa na huyu bwana msikilie na muulize an apenda nini chochote usimnyime” “mmh, Bi Shuu wanaume wengine waharibifu ukimchekea anakuharibu” “Sio unavyo fikiria’ “Kuna nini wanaume wanacho taka zaidi ya kuwaharibu wanawake, sijazaa babu wee cha kuwekewa matambala” “Sina maana hiyo si wote wana penda mchezo huo.” “mmh, nitamsikiliza” “Sasa mwana wee lala nakuomba muheshimu mpenzio kama Mungu wako huoni muda si mrefu nasi tutatembelea gari” “Ndicho ninachokiomba, sijui yatakuwa yale yale.” “Basi mwali lala usingizi unono.” “Nawe pia Bi shuu” Bi Shuu aliniaga na kuondoka na kuniacha nikimalizia kujifuta maji ili nilale. ****** Siku ya pili wakati namalizia kujipodoa kabla ya kwenda kujifusha udi kwa Bi Shuu simu ya Mateja iliingia, niliipokea na kuzungumza naye. “Haloo ma’ Sweet.” “Ooh, ma honey girl.” “Ni mimi, mhu baba nipe habari naona simu za asubuhi asubuhi?” “Aah, kawaida ila kuna dereva nimemtuma atakupitia muda si mrefu.” “Hakuna tatizo Sweet.” Baada ya Mateja kukata simu, kwa vile nilikuwa tayari nimeisha jipodoa nilikwenda chumbani kwa Bi Shuu. Kabla ya kuingia nilikutana na moto uliokuwa ukinukia vizuri, harufu ya asubuhi ile ilikuwa zaidi na ya jana yake Niliingia na kumkuta akiweka udi kwenye kitezo, aliponiona alitabasamu na kusema. “Haya mwali jifushe uwahi kazini.” Niliinama na kufunikwa shuka ili moshi wote wa harufu nzuri uishie kwenye nguo na mwilini, baada ya muda alifunua shuka na kuninusa kama mbwa anayesaka chakula jaani. Asikuambie mtu Bi Shuu havumi lakini yumo, mtu mzima lakini ovyooo. “Umevaa kufuri gani?” Bi Shuu aliniuliza swali ambalo sikufikiria kuniuliza. “Nyeupe.” “Hebu nione.” Mmh, makubwa nilinyanyua gauni na kuiona nilikuwa nimevaa kufuli la mikanda ‘Bikini’. “Mwali ndio nini?” Bi Shuu alishtuka. “Mbona umeshangaa?” “Unakwenda kwenye starehe au kazini?” “Kazini.” “Sasa mbona umevaa kufuri kama unakwenda kwenye kilimo cha mihogo.” “Babu weee kwenda na wakati.” “Acha ushamba vaa kufuri la kawaida, hilo kufuri unalivaa siku unayokutana na mpenzi ukitoa nguo tu akiona anaingia kimuhemuhe.” Mmh, sikutaka kubishana naye nilirudi hadi chumbani kubadili kufuri, wakati namaliza kuvaa honi ya gari ilipigwa nje nilijua mtu aliyetumwa kunifuata amefika. Nilikimbilia chumbani kwa Bi Shuu kumuaga. “Bi Shuu naondoka.” “Umebadili kufuri?” “Ndiyo.” “Hebu nione.” Nilinyanyua tena gauni na kunitazama, nilikuwa nimevaa ya kawaida tena ya rangi nyekundu, alipoiona alisema. “Ewaaa, sasa hapo ndipo nilipopataka.” “Basi nawahi kuna mtu ananisubiri hapo nje katumwa na mzee,” nilisema huku nikiteremsha gauni ili niwahi nje. “Wee Manka ndio nini?” “Vipi tena Bi Shuu mwenzio nachelewa kazini.” “Hebu jifushe na hiyo kufuri linukie.” Nilirudi haraka na kuchutama kwenye kitezo kwa kulitanua gauni langu moshi wote uingie chini. Baada ya kufanya yote niliyoelekezwa na Bi Shuu nilimuaga kwa kumbusu kisha nilipitia mkoba wangu na kutoka nje. Nilimkuta gari likinisubiri, niliingia kwenye gari na gari liliondoka. “Mambo?” “Poa, sijui yako?” “Hata mimi ipo poa.” Safari iliendelea hadi ofisini, nilipofika nilipita moja kwa moja hadi ofisini kwa Mateja, alivyokuwa ameisha ingia ofisini. Baada ya kufungua mlango wa ofisi niliingia huku nikiachia tabasamu pana na kutanua mikono yangu, Mateja aliponiona alizunguka meza yake kunipokea. Tulikutana katikati na kukumbatiana. Tuliporomosheana mabusu moto moto huku tukigandisha midomo kwa muda na kubadilisha mate. “Mmh, tosha,” nilisema huku nikijitoa mikononi kwa Mateja. “Mhu, za nyumbani?” “Mmh, mzuri sijui kwako?” “Kwangu ilikuwa ngumu kidogo kutokana na kuwa na wakati mgumu baada ya kukuota tupo pamoja niliposhutuka nilijikuta nipo peke yangu.” “Pole sana, basi ndio ufanye haraka kunichukua.” “Kwa mateso ya jana kuna umuhimu wa kufanya hivyo.” “Basi mengine baada ya kazi.” “Haya mama, mimi niseme nini.” Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Pamoja na furaha ile bado wasiwasi wangu ulikuwa nini hatima yangu kwake, nitaendelea naye au ndiyo atanitosa kama waliotangulia. Wazo la awali lilikuwa kuomba msaada kwa Bi Shuu ili niweze kumdhiniti. Niliendelea na kazi zangu kama kawaida, muda wa mchana tulikwenda kula pamoja kama wapenzi wasiojificha. Siku ile baada ya kurudi nyumbani aliniomba tuwe wote usiku wa siku ile, sikumkatalia kwa vile ndiye aliyekuwa mmiliki wa mwili wangu. Usiku alinipitia na kuondoka kwenda kulala naye mpaka asubuhi, kaonja kaona tamu sasa anataka kula kabisa. … Ni kweli nilifurahi kulala na Mateja mpaka asubuhi kuonesha jinsi gani alivyopagawa kwangu, lakini usiku kwangu ulikuwa wa karaha sana yaani mambo nisiyoyapenda ya kusumbuana wakati wa mapenzi yalijirudia tena. Nilishindwa kumkatalia kwa vile alikuwa bosi wangu kwa kuogopa kufukuzwa kazi na maisha ya kutangatanga yalinichosha. Usiku mzima kugeuzwa kama chapati ooh geuka hivi, lala hivi fanya hivyo, basi kero mtindo mmoja. Nilijiuliza bila kunisumbua vile hawezi kukidhi haja zake, mpaka kunakucha nilikuwa nimekasirika mtoto wa kike kila kona ya mwili iliniuma hayakuwa mazoezi bali adhabu ya mapenzi. Asubuhi Mateja alifurahi sana na kuniahidi kabla ya yote kukibadili chumba changu kwa kuninunulia sofa za nguvu, alinipa pesa nyingi za kutumia na kunirudisha nyumbani. Huwezi amini nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu akinisubiri, kutokana na uchovu nilimsalimia na kuingia ndani nijilaze. Kabla sijabadili nguo na kuvaa kanga nyepesi Bi Shuu aliingia. “Mankaaaaa,” aliniita kimbea. “Unasemaje Bi Shuu,” nilimuuliza huku nikimuangalia jicho zito la usingizi. “Mmh, sikuwezi.” “Kwa nini Bi Shuu?” “Mambo yako mazito.” “Mmh kawaida tu, vipi ushakunywa chai?” “Nilikuwa nakusubiri wewe.” “Mimi kwa sasa hivi siwezi nimechoka sana.” “Eeeeh Manka weee, mlikuwa mnakomoana.” “Wee Acha tu,” niliona kama ananichelewesha kulala kutokana na umbea wake wa utu mzima. Nilivuta pochi na kutoa noti kadhaa za kumi kumi na kumpatia Bi Shuu bila kuzihesabu. “Za nini?” “Za kwako.” Bi Shuu alichanganyikiwa na kunivamia kwa furaha na kujitahidi kunibeba japo uzito wangu ulikuwa mkubwa. Kweli pesa sabuni ya roho Bi Shuu alipagawa na kuniona kama malaika niliyetumwa kuja kumpa furaha ya asubuhi ile. “Bi Shuu niache nipumzike.” “Mwali weee lala, tena utakutana nimekuandalia chakula kizuuuri.” Bi Shuu alitoka na kuniacha nikimalizia kuondoa nguo mwili kisha kuchukua kanga nyepesi kisha kujitupa kitandani. Nililala kwa muda wa saa zaidi ya nane kutokana na uchovu wa mbilinge za Mateja usiku kucha. Majira ya jioni Mateja alifanya kweli kwa kuleta sofa za nguvu kitu kilichofanya Bi Shuu kunipa chumba kikubwa cha nyumba kubwa. Niliamini ule ulikuwa mwaka wangu wa mimi kurudi katika maisha ya kutanua. Niliamini muda si mfupi lazima niwe na gari langu mwenyewe. Baada ya kukipamba chumba changu na kupendeza Bi Shuu aliniweka chini na kunipa somo. “Manka Mungu akupe nini, ukishikwa shikamana mwali wee.” “Hata mimi najua Bi Shuu.” “Unaonekana mwanzo ulikuwa ukifanya makusudi mbona sasa hivi mwanaume kapagawa muda si mrefu utakuwa dunia ya wenye nazo.” “Ndio maana yake.” “Basi Manka nitakuongezea vikorombwezo akigusa amenata.” “Usiniambie!” “Kwanini wazee wenzangu pamoja na umri wangu wakionja wanapagawa itakuwa wewe ukioga maji yanatelemka.” “Tena kweli ufanye haraka maana ameisha tangaza ndoa.” “Basi hiyo kazi niachie.” Mateja alinipigia simu kuwa siku ile angekuja kulala ili jumatatu twende kazini pamoja nami sikumkatalia. Kweli usiku alikuja kulala kwenye chumba changu kilichokuwa na hadhi kubwa kwa mtu yoyote. Kama kawaida ya usiku wa jana yake yalijirudi ya kusumbuliwa lala hivi geuka hivi fanya hivi, basi taabu mtindo mmoja. Na siku ile nilivumilia lakini moyoni nilijisemea siku nyingine nitampasha kweli wake hawezi kunigeuza kama mwanasesele na kunichezea apendavyo. Nikajikuta siyachukia mapenzi na kuyaona kwangu ni karaha na si starehe, mwanaume alikuwa akipanda juu ya mnazi hashuki mpaka nahisi kichefuchefu. Niliamini kabisa alitaka kunikomoa kwa vitu alivyonipa, kwangu sikuona mapenzi zaidi ya mateso. Uvumilivu uliponishinda nilianza kuwa mkali kwa kumgomea kwa usumbufu wake kwa kumueleza makavu kuwa sitaki kama hawezi kifo cha mende tuache. Mateja alinielewa na kustarehe bila usumbufu, nilishangaa kumbe anaweza kukwea mnazi bila kujifunga kamba za miguu. Kilichonishangaza ndani ya mapenzi yetu yaliyochukua miezi minne, Baadhi ya mambo yalianza kutoonesha dalili zozote za kutimiza ahadi yake. Siku zilivyozidi kwenda mbele ndivyo uhusiano na Mateja ulivyozidi kulega, hata kuwa pamoja baada ya kazi ikafutika kila muda alionekana yupo bize. Kitendo cha kutokuwa karibu na Mateja kilimshtua sana Bi Shuu kwani hata vizawadi navyo vilikatika. Siku moja aliniweka chini na kuniuliza. “Manka kulikoni?’ ”Hata mimi sijui.” “Manka kila siku hujui wakati unaharibu.” “Bi Shuu unanilaumu bure.” “Hivi kama na huyu atakuacha unafikiri utampata nani?” “Bi Shuu nimejitahidi kwa kila ulilonifundisha nililifanya lakini matokeo yake ndio hayo lazima kuna mkono wa mtu.” “Manka kuna kitu gani alichokipenda Mateja hukumpa?” “Mmh, kila kitu nimempa.” “Kweli?” “Kweli kabisa, nikudanganye ili iweje.” “Sasa itakuwa nini?” “Hata mimi sijui, huu utakuwa ni mkosi tu” “Basi naomba kesho ukienda kazini niitie Mateja.” “Mmh, sijui kama atakuja, lakini nitafikisha ujumbe.” Siku ya jumatatu nilikwenda kazini kama kawaida huku nikifikilia jinsi ya kufikisha wito kwa Mateja wa kuitwa Bi shuu. Hakuwa Mateja niliyekuwa namfahamu. Ilionesha mapenzi yalikwisha kabisa. Kila alipoingia ofisini alinisalimia lakini hakuna kilichoendelea. Nilipomuuliza alinijibu kwa kifupi “Nipo bize,” nilijikuta nikiiona kazi ngumu kama si Bi Shuu ningeacha kazi kutokana na kujiona sina thamani tena kwa Mateja. Siku moja roho iliniuma sana baada ya msichana mmoja kuingia ofisini kwa Mateja bila kumuulizia kwangu kama ilivyokuwa kwa wateja wengine. Niliacha kazi zangu na kumfuata ndani, nilipoingia ofisini mbona lilinishuka mtoto wa kike. Niliwakuta wamekumbatiana na Mateja huku midomo yao ikiwa imegandiana. Nilitamani ardhi ipasuke inimeze, nilisimama kama sanamu nisijue cha kufanya, machozi yalinitoka bila kizuizi, pamoja na kuniona hawakushtuka ndio kwanza walizidisha kutomasana kimahaba. Niliona wazi kabisa penzi langu na Mateja limefika ukingoni. Nilirudi ofisini kwangu na kukaa chini kazi ilikuwa chungu nilijikuta nikilia peke yangu, nilitamani kuondoka niiache kazi. Lakini niliyakumbuka maneno ya Bi Shuu kuwa siku zote penzi tamu ni lile lisilo sukumwa ninalosukumwa lina kasoro. Nikiwa nimeinama nafuta machozi nilishtushwa na sauti ya Mateja. “Manka.” Bila kuitika nilinyanyua uso kumuangalia huku kitambaa kikiwa karibu na macho kufuta machozi. Mateja alikuwa amesimama mbele ya meza yangu akiwa ameshikana kimahaba mmoja alimshika mwenzake mkono shingoni na mwanaume kiunoni. “Vipi mbona unalia?” Mateja aliniuliza kwa kunikujeli, sikumjibu niliendelea kufuta machozi. “Manka huyu ndiye mke wangu mtalajiwa.” Sikumjibu niliinama chini na kulia kilio cha kwikwi ambacho Mateja na mpenzi wake hawakukijali. Niliwasikia wakiondoka, niliwasindikiza kwa macho mpaka walipotoweka, baada ya kutoweka machoni mwangu nilijikuta nikijiuliza nalia nini kwani tukio lile halikuwa la kwanza upande wangu kutendewa. Ni kweli lazima moyo uniume kutokana na ahadi nzuri za Mateja ambazo nilijua zitanibadilisha katika maisha yangu. Ndoto yangu ya mchana ya kumiliki gari na nyumba iliyeyuka kama bonge la mafuta katika kikaango cha moto. Baada ya muda Mateja alirudi na kunipita kuingia ofisini kwake bila kunisemesha jambo lolote. Nilikumbuka wito niliopewa na Bi Shuu wa kwenda kuzungumza naye juu ya matatizo yangu, kila nilipotaka kumwambia moyo ulisita na kuamua kuipotezea tu. Muda wa kutoka nilijikuta nikijikaza kike na kumueleza. “Samahani bosi.” “Bila samahani,” Mateja alinijibu kistaarabu. “Bi Shuu alikuwa anakuita.” “Bi shuu naye ana shida gani tena?” “Hata sijui.” “Mmh, yule bibi na umri wake yuko vile wakati wa usichana wake alikuwaje?” “Mmh, sijui.” “Basi mwambie nitamtembelea wikiendi.” Jamani kauli ya Mateja ilinipa matumaini labda atarudisha moyo wake, siku zote nilimuamini Bi Shuu kwa maneno yake matamu yaliyojaa misemo nahau na methani ili kumlainisha mtu. “Jamani bosi kwa nini usiende leo?” “Manka nipo bize sana atanisamehe, lakini mwambie sijamdharau nitaitikia wito wake.” ITAENDELEA ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: