Home → simulizi
→ MAPENZI YA FACEBOOK-11
Sikutaka kukurupuka katika kufanya maamuzi, niliamua kutumia akili katika suala hilo. Niliamini facebook matapeli walikuwa ni wengi sana hivyo sikutakiwa kumuamini Juliet kupitiliza.
Kitu nilichoamua kukifanya ni kumpigia simu na kutaka kuisikia sauti yake, nilitamani sana kumsikia alifananaje sauti. Nilipiga simu yake lakini ajabu haikuwa ikipokelewa kabisa jambo lililonishangaza sana.
“Itawezekanaje?” nilijiuliza mara baada ya kupiga simu zaidi ya mara tatu bila kupokelewa.
Niliamua kumtumia ujumbe mfupi lakini alionekana kuwa kimya.
“Mbona hupokei simu?”
(Kimya!)
“Juliet!”
(Kimya!)
Nilizidi kuwa katika wasiwasi mkubwa sana, sikujua ni nini kilichokuwa kimetokea mpaka Juliet akashindwa kuipokea simu yangu.
Ama kweli jambo usilolijua ni sawa sawa na usiku wa kiza kinene, nilikuwa katika kiza ambacho sikuwa nikifahamu ukweli wa kile kilichokuwa kinaendelea katika maisha yangu.
Mbali na kumfahamu Juliet facebook na kuweza kupata namba zake lakini kiukweli hakukuwahi kutokea siku nikaweza kuzungumza naye kwenye simu, kila nilipokuwa nikimpigia simu alikuwa akiikata na kudai kuwa ilikuwa mbovu hivyo alinitaka tuchat jambo ambalo kiukweli lilikuwa likiniweka katika wakati mgumu sana.
“Kwanini hutaki kupokea simu yangu?”
“Simu yangu mbovu tuchat tu!”
“Kwahiyo hatuwezi kuongea?”
“Ndiyo mpenzi,” alinijibu jibu ambalo kiukweli lilinifanya nishangae kwa kiasi fulani, yani sikuwa nimemtongoza wala kumtamkia neno lolote la kimapenzi sasa ilikuwaje nikawa mpenzi wake. Hilo lilizidi kunishangaza sana.
Nikayakumbuka maneno ya Juma kuwa facebook hakukuwa na mapenzi ya kweli zaidi ya uwongo mwisho wa siku kuumiza. Sikutaka kukubaliana naye kabisa yani kwa jinsi Juliet alivyokuwa akionekana kuwa msichana mrembo sikutaka kukubaliana na maneno yake kabisa, nilihisi alikuwa akiniongopea.
Niliamua kumuambia ukweli wa hisia zangu Juliet, sikutaka kumficha chochote kile nilichokuwa nikikihisi. Nilidhamiria kuwa naye katika maisha yangu.
“Nakupenda Juliet.”
“Unanipenda?”
“Ndiyo.”
“Unanipendea nini?”
“Nakosa jibu la kukujibu ila nimetokea kukupenda tu!”
“Siunajua mimi ni mwanamke ambaye ninahitaji matunzo.”
“Ndiyo nafahamu.”
“Utaweza kunihudumia, kunisomesha pamoja na kunilipia pango la chumba?”
“Ndiyo nitaweza ondoa shaka mrembo.”
“Sawa nimekukubalia ombi lako.”
“Nimefurahi sana kwa kunikubalia ombi langu, nakupenda sana.”
“Nakupenda pia Phidelis wangu.”
Kwa kipindi chote hicho sikuwahi kuongea na Juliet na mara zote nilipokuwa nikitaka kuzumgumza naye alikuwa akiweka vipingamizi vingi, sikujua ni kwanini alikuwa akiweka vipingamizi hivyo hata pale nilipotaka kukutana naye aliweza kunikatalia na kuniambia kuwa nipange siku maamulu ambayo nitaweza kwenda kuonana naye.
Urafiki wetu ulianzia facebook, urafiki ambao ulikuja kuzaa mapenzi ambayo kiukweli nilijikuta nikiwa katika mahusiano ilihali sikuwahi kuonana naye kabisa, yalikuwa ni mapenzi ya facebook tu! kutumiana picha pamoja na kusifiana.
Hata pale lilipokuja suala la kumtumia pesa, nilimtumia bila kusita, niliamini alikuwa ni mwanamke ambaye alikuwa akinipenda sana kuliko kitu chochote kile. Niliamua kumtumia pesa ya pango ya chumba aliyokuwa akidaiwa pamoja na ada ya chuo.
Mapenzi yetu yalibakia kuwa ya facebook tu! mpaka pale siku moja nilipokuja kupata habari iliyokuwa ikitangazwa na kuchapishwa katika magazeti mbalimbali kuhusiana na taarifa za shoga ambaye alikuwa akitumia jina la Juliet mitandaoni kutapeli wanaume.
Kwa kweli sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikiona katika magazeti ya siku hiyo.
****
“SHOGA ANAYETUMIA JINA LA JULIET AZIDI KULIZA WENGI FACEBOOK!” Kilikuwa ni kichwa cha habari cha gazeti moja ambalo nilikuwa nikilisoma. Katika gazeti hilo ilikuwepo picha ya mwanaume mmoja mwenye asili ya shombeshombe pamoja na picha ya mwanamke. Niliitazama kwa umakini wa hali ya juu ile picha ya yule mwanamke. Naam! Hakuwa mgeni machoni mwangu. Alikuwa ni Juliet mwanamke aliyetokea kunichanganya katika mapenzi kiasi kwamba nikawa sioni wala sisikii lolote juu yake.
“Juliet!” nilijikuta nikiita kwa kushtuka.
Sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikisoma katika gazeti, Juliet hakuwa ni mwanamke kama nilivyokuwa nikidhani. Alikuwa ni yule shoga ambaye alikuwa akitumia picha ya mwanamke Facebook ili aweze kuwatapeli wanaume. Naam! Ni kweli alifanikiwa katika mpango huo, aliweza kuwaliza wanaume wengi sana kutokana na uzuri aliyokuwa nao mwanamke yule. Miongoni mwa wanaume waliyolizwa siwezi kupinga nilikuwa ni miongoni mwao.
“Siamini kwa kweli kumbe Juliet si mwanamke ni shoga?”nilijiuliza swali lililonifanya nisiamini kabisa habari ile niliyokuwa nikiisoma katika gazeti.
Nilichoamua kukifanya ni kuichukua simu yangu kisha nikaingia Facebook ili niweze kukiaminisha kile nilichokuwa nikikisoma. Nilipoingia kitu cha kwanza niliingia upande wa kutafuta majina. Nililiandiika jina la Juliet kisha nikaanza kutazama picha ya yule mwanamke ambayo ilikuwa imewekwa katika akaunti hiyo.
Kitu kilichonishangaza hakukuwa na picha katika akaunti ya Juliet, ilikuwa imetolewa. Sikutaka kuamini nikaamua kumtumia ujumbe mfupi lakini nilipotaka kufanya hivyo nilishindwa, alikuwa ameniblock.
Kwa kweli nilihisi kuchanganyikiwa ndugu yangu, kuna kipindi nilihisi nilikuwa nikiyaona mapichapicha tu, sikutaka kuamini kabisa kama nilikuwa nimetapeliwa tena na shoga wa Facebook.
Niliyakumbuka maneno ya rafiki yangu Juma aliyowahi kuniambia kuhusu Facebook, hakika yalionekana kuniingia vyema. Nilitamani kuzirudisha siku nyuma ili niweze kujitoa katika penzi la na Juliet lakini lilikuwa ni jambo gumu kutokea.
Majuto yalikuwa kwangu, nilizidi kujiona mjinga sana hasa baada ya kusalitiwa na mke wangu kisha na mimi kuamua kulipiza kisasi katika mtandao huu ambapo nilijikuta nikiangukia kwa shoga ambaye nilikuwa nikimuhudumia kama mke wangu wa ndoa. Tukio hilo lilizidi kuniumiza sana, kumbukumbu hiyo ilinitesa sana katika maisha yangu.
Niliamua kumuambia Juma ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea.
“Umeona umeona?” aliniambia baada ya kumuelezea ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea.
“Yani ndugu yangu we acha tu!”
“Lakini nilikuambia mimi.”
“Juma yani siamini.”
“Huamini nini sasa, we endelea kuhudumia,” aliniambia huku akinicheka, kicheko ambacho kilinifanya nijisikie vibaya.
“Sasa unanicheka.”
“Tatizo lako wewe husikii.”
“Nimekoma.”
“Sasa ndiyo ujifunze,” aliniambia huku akionekana kufurahishwa na tukio lile.
Facebook ilinipa funzo katika maisha yangu, sikutakiwa kumuamini mtu bila sababu za msingi katika mtandao huu, ni hapa ambapo niliamini kuwa kuna baadhi ya watumiaji wa facebook walikuwa wakipenda kutumia picha ambazo zilikuwa si zao. Unakuta mtu anaitwa Revocatius Kisoka lakini facebook kaweka picha ya Chris Brown au msichana unakuta kaweka picha ambayo si yake halisi. Hili ndilo lililowahi kunitokea, mapenzi ya facebook yalinipa funzo kubwa mno.
Kuna kipindi nilimuona msichana mwingine facebook, huyu alikuwa akiitwa Cleopatra Mushi lakini kwa facebook alikuwa akitumia jina la Precious Girl, kwa kweli alinivutia sana lakini kila nilipokuwa nikiyakumbuka yale yaliyowahi kunitokea katika maisha yangu ya facebook, niliogopa kumtongoza japo tulikwishaanza kuchat lakini niliamua kumpotezea.
Nimeamua kuishi maisha yangu mpaka pale siku nitakapopata mwanamke ambaye atakuja kunipenda kwa dhati. Aweze kuliziba pengo aliloliacha mke wangu.”
Alimaliza kusimulia Phidelis.
MWISHO.
Huu ndiyo mwisho wa simulizi yetu ya Mapenzi ya Facebook. Je, ni nini kilichokuvutia, una lipi la kunishauri katika simulizi hii na ni kipi ulichojifunza?
Aidha nipende kuwashukuru marafiki zangu Phidelis na Revocatius kwa kuniruhusu kuyatumia majina yao katika simulizi hii.
Pia nipende kuwashukuru nyote mliyokuwa nami kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa simulizi hii .
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
#Kumbuka kushare page hii kwa marafiki ili na wao waweze kuilike pae hii.
Ahsanteni.
MAPENZI YA FACEBOOK-11 Sikutaka kukurupuka katika kufanya maamuzi, niliamua kutumia akili katika suala hilo. Niliamini facebook matapeli walikuwa ni wengi sana hivyo sikutakiwa kumuamini Juliet kupitiliza. Kitu nilichoamua kukifanya ni kumpigia simu na kutaka kuisikia sauti yake, nilitamani sana kumsikia alifananaje sauti. Nilipiga simu yake lakini ajabu haikuwa ikipokelewa kabisa jambo lililonishangaza sana. “Itawezekanaje?” nilijiuliza mara baada ya kupiga simu zaidi ya mara tatu bila kupokelewa. Niliamua kumtumia ujumbe mfupi lakini alionekana kuwa kimya. “Mbona hupokei simu?” (Kimya!) “Juliet!” (Kimya!) Nilizidi kuwa katika wasiwasi mkubwa sana, sikujua ni nini kilichokuwa kimetokea mpaka Juliet akashindwa kuipokea simu yangu. Ama kweli jambo usilolijua ni sawa sawa na usiku wa kiza kinene, nilikuwa katika kiza ambacho sikuwa nikifahamu ukweli wa kile kilichokuwa kinaendelea katika maisha yangu. Mbali na kumfahamu Juliet facebook na kuweza kupata namba zake lakini kiukweli hakukuwahi kutokea siku nikaweza kuzungumza naye kwenye simu, kila nilipokuwa nikimpigia simu alikuwa akiikata na kudai kuwa ilikuwa mbovu hivyo alinitaka tuchat jambo ambalo kiukweli lilikuwa likiniweka katika wakati mgumu sana. “Kwanini hutaki kupokea simu yangu?” “Simu yangu mbovu tuchat tu!” “Kwahiyo hatuwezi kuongea?” “Ndiyo mpenzi,” alinijibu jibu ambalo kiukweli lilinifanya nishangae kwa kiasi fulani, yani sikuwa nimemtongoza wala kumtamkia neno lolote la kimapenzi sasa ilikuwaje nikawa mpenzi wake. Hilo lilizidi kunishangaza sana. Nikayakumbuka maneno ya Juma kuwa facebook hakukuwa na mapenzi ya kweli zaidi ya uwongo mwisho wa siku kuumiza. Sikutaka kukubaliana naye kabisa yani kwa jinsi Juliet alivyokuwa akionekana kuwa msichana mrembo sikutaka kukubaliana na maneno yake kabisa, nilihisi alikuwa akiniongopea. Niliamua kumuambia ukweli wa hisia zangu Juliet, sikutaka kumficha chochote kile nilichokuwa nikikihisi. Nilidhamiria kuwa naye katika maisha yangu. “Nakupenda Juliet.” “Unanipenda?” “Ndiyo.” “Unanipendea nini?” “Nakosa jibu la kukujibu ila nimetokea kukupenda tu!” “Siunajua mimi ni mwanamke ambaye ninahitaji matunzo.” “Ndiyo nafahamu.” “Utaweza kunihudumia, kunisomesha pamoja na kunilipia pango la chumba?” “Ndiyo nitaweza ondoa shaka mrembo.” “Sawa nimekukubalia ombi lako.” “Nimefurahi sana kwa kunikubalia ombi langu, nakupenda sana.” “Nakupenda pia Phidelis wangu.” Kwa kipindi chote hicho sikuwahi kuongea na Juliet na mara zote nilipokuwa nikitaka kuzumgumza naye alikuwa akiweka vipingamizi vingi, sikujua ni kwanini alikuwa akiweka vipingamizi hivyo hata pale nilipotaka kukutana naye aliweza kunikatalia na kuniambia kuwa nipange siku maamulu ambayo nitaweza kwenda kuonana naye. Urafiki wetu ulianzia facebook, urafiki ambao ulikuja kuzaa mapenzi ambayo kiukweli nilijikuta nikiwa katika mahusiano ilihali sikuwahi kuonana naye kabisa, yalikuwa ni mapenzi ya facebook tu! kutumiana picha pamoja na kusifiana. Hata pale lilipokuja suala la kumtumia pesa, nilimtumia bila kusita, niliamini alikuwa ni mwanamke ambaye alikuwa akinipenda sana kuliko kitu chochote kile. Niliamua kumtumia pesa ya pango ya chumba aliyokuwa akidaiwa pamoja na ada ya chuo. Mapenzi yetu yalibakia kuwa ya facebook tu! mpaka pale siku moja nilipokuja kupata habari iliyokuwa ikitangazwa na kuchapishwa katika magazeti mbalimbali kuhusiana na taarifa za shoga ambaye alikuwa akitumia jina la Juliet mitandaoni kutapeli wanaume. Kwa kweli sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikiona katika magazeti ya siku hiyo. **** “SHOGA ANAYETUMIA JINA LA JULIET AZIDI KULIZA WENGI FACEBOOK!” Kilikuwa ni kichwa cha habari cha gazeti moja ambalo nilikuwa nikilisoma. Katika gazeti hilo ilikuwepo picha ya mwanaume mmoja mwenye asili ya shombeshombe pamoja na picha ya mwanamke. Niliitazama kwa umakini wa hali ya juu ile picha ya yule mwanamke. Naam! Hakuwa mgeni machoni mwangu. Alikuwa ni Juliet mwanamke aliyetokea kunichanganya katika mapenzi kiasi kwamba nikawa sioni wala sisikii lolote juu yake. “Juliet!” nilijikuta nikiita kwa kushtuka. Sikutaka kuamini kile nilichokuwa nikikisoma katika gazeti, Juliet hakuwa ni mwanamke kama nilivyokuwa nikidhani. Alikuwa ni yule shoga ambaye alikuwa akitumia picha ya mwanamke Facebook ili aweze kuwatapeli wanaume. Naam! Ni kweli alifanikiwa katika mpango huo, aliweza kuwaliza wanaume wengi sana kutokana na uzuri aliyokuwa nao mwanamke yule. Miongoni mwa wanaume waliyolizwa siwezi kupinga nilikuwa ni miongoni mwao. “Siamini kwa kweli kumbe Juliet si mwanamke ni shoga?”nilijiuliza swali lililonifanya nisiamini kabisa habari ile niliyokuwa nikiisoma katika gazeti. Nilichoamua kukifanya ni kuichukua simu yangu kisha nikaingia Facebook ili niweze kukiaminisha kile nilichokuwa nikikisoma. Nilipoingia kitu cha kwanza niliingia upande wa kutafuta majina. Nililiandiika jina la Juliet kisha nikaanza kutazama picha ya yule mwanamke ambayo ilikuwa imewekwa katika akaunti hiyo. Kitu kilichonishangaza hakukuwa na picha katika akaunti ya Juliet, ilikuwa imetolewa. Sikutaka kuamini nikaamua kumtumia ujumbe mfupi lakini nilipotaka kufanya hivyo nilishindwa, alikuwa ameniblock. Kwa kweli nilihisi kuchanganyikiwa ndugu yangu, kuna kipindi nilihisi nilikuwa nikiyaona mapichapicha tu, sikutaka kuamini kabisa kama nilikuwa nimetapeliwa tena na shoga wa Facebook. Niliyakumbuka maneno ya rafiki yangu Juma aliyowahi kuniambia kuhusu Facebook, hakika yalionekana kuniingia vyema. Nilitamani kuzirudisha siku nyuma ili niweze kujitoa katika penzi la na Juliet lakini lilikuwa ni jambo gumu kutokea. Majuto yalikuwa kwangu, nilizidi kujiona mjinga sana hasa baada ya kusalitiwa na mke wangu kisha na mimi kuamua kulipiza kisasi katika mtandao huu ambapo nilijikuta nikiangukia kwa shoga ambaye nilikuwa nikimuhudumia kama mke wangu wa ndoa. Tukio hilo lilizidi kuniumiza sana, kumbukumbu hiyo ilinitesa sana katika maisha yangu. Niliamua kumuambia Juma ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea. “Umeona umeona?” aliniambia baada ya kumuelezea ukweli wa kile kilichokuwa kimetokea. “Yani ndugu yangu we acha tu!” “Lakini nilikuambia mimi.” “Juma yani siamini.” “Huamini nini sasa, we endelea kuhudumia,” aliniambia huku akinicheka, kicheko ambacho kilinifanya nijisikie vibaya. “Sasa unanicheka.” “Tatizo lako wewe husikii.” “Nimekoma.” “Sasa ndiyo ujifunze,” aliniambia huku akionekana kufurahishwa na tukio lile. Facebook ilinipa funzo katika maisha yangu, sikutakiwa kumuamini mtu bila sababu za msingi katika mtandao huu, ni hapa ambapo niliamini kuwa kuna baadhi ya watumiaji wa facebook walikuwa wakipenda kutumia picha ambazo zilikuwa si zao. Unakuta mtu anaitwa Revocatius Kisoka lakini facebook kaweka picha ya Chris Brown au msichana unakuta kaweka picha ambayo si yake halisi. Hili ndilo lililowahi kunitokea, mapenzi ya facebook yalinipa funzo kubwa mno. Kuna kipindi nilimuona msichana mwingine facebook, huyu alikuwa akiitwa Cleopatra Mushi lakini kwa facebook alikuwa akitumia jina la Precious Girl, kwa kweli alinivutia sana lakini kila nilipokuwa nikiyakumbuka yale yaliyowahi kunitokea katika maisha yangu ya facebook, niliogopa kumtongoza japo tulikwishaanza kuchat lakini niliamua kumpotezea. Nimeamua kuishi maisha yangu mpaka pale siku nitakapopata mwanamke ambaye atakuja kunipenda kwa dhati. Aweze kuliziba pengo aliloliacha mke wangu.” Alimaliza kusimulia Phidelis. MWISHO. Huu ndiyo mwisho wa simulizi yetu ya Mapenzi ya Facebook. Je, ni nini kilichokuvutia, una lipi la kunishauri katika simulizi hii na ni kipi ulichojifunza? Aidha nipende kuwashukuru marafiki zangu Phidelis na Revocatius kwa kuniruhusu kuyatumia majina yao katika simulizi hii. Pia nipende kuwashukuru nyote mliyokuwa nami kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa simulizi hii . 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 #Kumbuka kushare page hii kwa marafiki ili na wao waweze kuilike pae hii. Ahsanteni.
Artikel Terkait
MUUZA MAZIW EP 07 “aaaaahh!! Jamani wifi wao!!” Aliongea kwa furaha baada ya kumuona mgeni aliyekuwa akigonga ni penina. “asante wifi , shikamoo!” Penina aliongea na kisha kumkumbatia wifi yake kwa furaha. “ marhaba wifi ,vipi masomo?” Aliongea huku akiipokea mizigo aliyo ibeba “naendelea vizuri tu wifi” “haya mungu akusaidie” Aliongea lisa na kuelakea sebuleni , aliiiweka mizigo pembeni ya kochi na kasha kuelekea sehemuk ilipo friji. Penina, penina akaamua kuichukua mizigo ili aipeleke chumbani. “hapana wifi, hapana , hiyo iache hapo hapo nitaiingiza mwenyewe,, wewe kwanza kunywa juisi upumzike.“ Aliongea lisa huku akiwa ameshikilia jagi lenye juisi pamoja na glasi, alifanya hivyo kwa sababu chumba anachotakiwa kulala penina ndicho chumba ambacho amemficha muuza maziwa. “usipate tabu wifi wangu kunywa juisi upumzike, nipo kwa ajili yako “ Aliongea lisa huku akiibeba mizigo na kuelekea chumbani na kumuacha penina akinywa juisi taratibu. Alipoingia chumbani alimshutua muuza maziwa na kumweleza hali halisi. “kwahiyo nitatoka saa ngapi humu?” “ itabidi uvumilie mpaka usiku wifi akilala , mlango wa nje nitauacha wazi leo” Aliongea lisa “Sawa lakini vipi kuhusu chakula manaake niana njaa” “ usijali nitakuletea utakula humu humu , jitahidi usitoke nitajaribu kufanya mpango hata kamakabla ya usiku ikiwezekana” “poa” Muuza maziwa aliitikia “alafu nitaa……” Lisa alikatiza kauli yakebaada ya kusikia mlio wa kitasa kikifunguliwa. Haraka haraka muuuza maziwa aliingia kabatini na kisha lisa aliufunga mlango wa kabati hiyo kabla hata hajauachia mlango huo alisikia sauti nyuma yake. “wifi mbona unagombana na hilo kabati!?” Swali hilotoka kwa penina lilimfanya lisa ashikwe na kigugumizi cha ghafla huku akitoa maelezo ya kujikanyagakanyaga. “ah, mh, a-, u-n-a-j-u-a hi-li ka-ba-ti ni bo-vu” “limeharibika , ooh, mungu wangu!” Penina aliongea huku akilisogelea kabati hiloili kuiangalia sehemu ilipoaribika. “ah, hapana wifi usiiguse hapa nimeitegesha , iache hivyo hivyo mpaka atakapokuja fundi kulirekebisha” Aliongea Lisa haraka haraka. “okey”[sawa] Aliongea Penina huku akitikisa kichwa kuonyesha kwamba ameelewa. “nataka kuoga wifi” “na kweli manaake umechoka kweli kweli wifi yangu” Aliitikia Lisa haraka haraka kwani alijua huo ndio upenyo wa kumtoa muuza maziwa. Na kweli penina alipoingia bafuni lisa aliufungua mlango wa kabati haraka na kumtoa muuza maziwa , akala chakula haraka na kuanza safari ya kutoka nje ya nyumba hiyo , walipofika kwenye mlango wa kutokea muuza maziwa alimbusu lisa kwa mara ya mwisho , alipomaliza kufanya hivyo alitoka ndani ya chumba hicho na kutokeza koridoni ili atoke nje kabisa ya nyumba hiyo lakini kabla ya kufanya hivyo alisikia muungurumo wa gari, halikuwa gari lingine bali gari la Jerry mume wa Lisa. Hofu iliwaingia kwa ghafla na haraka haraaka walirudi tena chumbani kwa penina , ambapo kama kawaida alimfungia muuza maziwa kabatini, hawakuwa na njia nyingine tena bali hile waliyoipanga awali, muuza maziwa asubiri mpaka usiku wa manane Penina atakapo lala ndipo atoke kwani Lisa atauacha mlango wa kutokea wazi. Lisa alipomaliza kumfungia muuza maziwa katika kabati alitoka nje ya chumba hicho,akiwa koridoni aligongana ana kwa ana macho na mumewe. Wote wawili waliinamisha vichwa vyao chini. Kwani kila mmoja aliona aibu kwa kumsaliti mwenzake. Lisa kwa muuza maziwa na Jerry kwa sekritari wake. “Ah, mmh, wifi amekuja , kakaribu!” Aliongea Lisa kwa kujiumauma huku akiwa na wasi wasi. “ asante amekuja saa ngapi?” “sio muda mrefu” “aah yuko wapi sasa nimsalimie?” “yuko bafuni anaoga” “Okey” [sawa] Aliitikia na kisha kuelekea chumbani kwake. Lisa nae alimfuata mumewe nyuma hukubado akiwa na hofu juu ya kugundulika kwa uwepo wa muuza maziwa ndani ya nyumba hiyo. “Pole na kazi dear” Aliongea Lisa huku akijibaraguza kwa kumvua tai mume wake, macho yake bado yalikuwa na aibu sababu bado alikuwa na wasi wasi kwamba labda mumewe amegundua chochote. “ah, asante mpenzi” Aliitikia Jerry huku akitabasamu, lakina nae pia tabasamu lake liliishia mdomoni tu moyoni nafsi ilimsuta . Maovu aliyoyafanya na sikritari wake ofisini kwake yalikuwa bado yakionekana katika kichwa chake. Akavua nguo na kuingia bafuni kuoga lisa nae alimfuata na kujumuika nae kuoga . Alifanya hivyo ili Jerry hasihisi chochote. Walioga huku kila mmoja akiwa hana habari na mwenzake. Kwani wote wawili walikuwa wamechoka, walipomaliza kuoga wakavaa na kasha kwenda sebuleni. Huko wakamkuta Penina akianga lia tv. “mdogo wangu huyo!” Jerry aliongea kwa furaha huku wakicheka. “kaka!” Penina aliitikia na kisha kumkimbilia kaka yake. “waoo!!!” Waliongea kwa pamoja na kisha kukumbatiana kwa furaha. “habari za masomo!?” ITAENDELEA.. ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi (10) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp...... 0769673145 Ilipoishia...... Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ***********Endelea ********* Mlango ulifunguliwa na mama yake Frank na kukutana uso kwa uso na Penina. "ooh mwanangu hujambo?" akauliza mama yake Frank. "sijambo mama shikamoo." akasalimia Penina "marahaba karibu ndani." mama yake Frank akamkaribisha Penina. "Asante mama ila nataka nikufanyie surprise." Penina akamwambia mama yake Frank. "hii ipi tena mwanangu usije ukaniue kwa presha." akaongea mama yake Frank, na Muda huo huo baba yake Frank naye akajitokeza sehemu pale na kuungana na mama yake Frank. Penina alisogea pembeni na hapo hapo Frank akajitokeza mbele ya Wazazi wake. Mama yake Frank alijikuta akishindwa kuongea na kumrukia Frank kwa furaha isiyo na kifani. Frank pamoja na Wazazi waliingia ndani huku wakiwa na furaha tele kwa kumuona tena Frank ambaye alitoweka kwa siku kadhaa. Lakini kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kujua ni nini kilimtokea Frank. Frank ilibidi awaeleze kilichomtokea mwanzo mpaka mwisho. Kila mtu alihuzunika kwa hicho kilichomtokea Frank. Lakini pia Penina aliwaeleza pia kilichomkuta kaka yake Nolan na Mpaka Muda ule kaka yake alikuwa bado yupo hospitalini. Lakini hata hivyo furaha ilirejea upya usoni mwa Penina pamoja na Wazazi wake Frank baada ya kumuona Frank kwa Mara nyingine tena. Frank alienda kuoga na kubadilisha nguo Zake zile zilizochakaa na kuvaa nguo zingine nzuri ambazo ziliendana vizuri na yeye. Frank aliondoka na Penina na kuelekea moja kwa moja mpaka Katika hospital aliyopo Nolan kwa ajili ya kumjulia hali. * Lakini kumbe Katika hospital ile, Nolan baada ya kujua kuwa baba yake ndio alimfanyia mchezo ule. Nolan hakubaki tena pale hospitalini alitoroka bila hata kuruhusiwa na daktari na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwao. Penina na Frank baada ya kufika hospitalini pale. Walistaajabu kuambiwa kuwa Nolan hayupo pale hospitalini na hawajui alipoelekea. Penina na Frank waliondoka na kuelekea nyumbani kwa kina Penina wakihisi labda Nolan ameelekea huko. Na kweli baada ya kufika nyumbani kwa kina Penina walimkuta Nolan akiwa ameketi nje ya geti lao huku akionekana kuwa na mawazo tele. "Nolan vip ndugu yangu mbona mawazo tele?" alikuwa Frank akimuuliza Nolan baada ya kumkaribia. Nolan alinyanyua kichwa chake na hakuamini baada ya kumshuhudia Frank akiwa amesimama mbele ya macho yake akiwa pamoja na Frank. "oooh Frank ni wewe?" akauliza Nolan kama vile haamini, Kisha akanyanyuka na kumkumbatia Frank kwa furaha Sana. "nimefurahi Sana kukuona tena Frank, hakika wewe ndio furaha ya mdogo wangu Penina karibu tena Frank." akaongea Nolan kumuambia Frank. Na hapo hapo Nolan akamtaka Frank amueleze ni nini kilichomkuta mpaka akatoweka Muda wote ule. Frank Bila kusita alimuelezea Nolan mkasa mzima uliomkuta wa kutekwa na watu asiowafahamu. Nolan alimhurumia akampa moyo na kumtaka ajikaze kwasababu wana vita nzito mbele yao. Lakini pia Nolan akawaelezea jinsi baba yake mzee Joel alivyomtumia watu waje wamuue kwasababu ya kutetea penzi La Penina na Frank. "ina maana baba anataka akuue?" Penina akamuuliza Nolan kwa mshangao. "ndio nadhani ndio nia yake kwasababu ameona mimi ndio niliyeamua kusimama na kulitetea penzi lenu." akaongea Nolan kwa huzuni Sana. Penina pia alihuzunika Sana mpaka machozi yakaanza kutiririka usoni mwake baada ya kugundua baba yake ndio alipanga njama ya kummaliza Nolan. "lakini msijali kuweni na amani mimi nawakikishia lazima mtaoana na kuwa mume na mke." akaongea Nolan kwa kujiamini. "tunashukuru kusikia hivyo hata sisi tutakuwa pamoja na wewe kwa lolote lile." akaongea Frank naye kwa kujiamini. "Sasa sikilizeni niwaambie, nataka niwasafirishe muende mkakae nchi nyingine kwa miezi miwili alafu mimi nitabakia hapa Tanzania nikifanya taratibu za nyie kufunga ndoa na kila kitu kikiwa tayari nitawajulisha na mtarejea Tanzania kwa ajili ya kufunga ndoa yenu." akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Bila kipingamizi chochote Penina na Frank walikubaliana na wazo la Nolan na kilichotakiwa ni kwenda kujiandaa na kuondoka. "ngoja bas nikajiandae Mara moja." akaongea Penina, lakini Nolan akamzuia na kumwambia. "usiingie ndani tena, sitaki uonane na baba kuanzia Sasa kila kitu utakachahitaji nitakutimizia mimi, katafuteni hoteli yoyote mkae hapo mkijianda na kama na pesa au kitu chochote mtaniambia mimi." aliongea Nolan kwa msisitizo. "ok tumekuelewa tupo pamoja." akajibu Frank Kisha wakaondoka pamoja na Penina. Nolan alinyanyuka pale chini akagonga geti na kufunguliwa na mlinzi na bila kusema kitu Nolan akaelekea moja kwa moja mpaka sebuleni ambapo alimkuta baba yake mzee Joel akiwa ameketi huku akionekana kuwa na mawazo. "Niko sambamba na wewe kwa chochote kile utakachokifanya, sitajali kama wewe ni baba yangu au nani wangu lakini nachotaka utambue Frank lazima amuoe Penina." akaongea Nolan kumwambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake bila kusikiliza baba yake atasema nini. "wewe lazima nikuue wewe hata kama mimi ni baba yako huwezi kuniingilia Katika mambo yangu." akajisemea mzee Joel na kutoka nje kwa kasi mpaka kwenye gari Lake. Mlinzi alifungua geti na moja kwa moja mzee Joel akatoka kwa kasi mpaka Katika hospital waliyolazwa wakina Zaza. Mzee Joel alishuka kwa kasi kwenye gari Lake na kuelekea mpaka Katika chumba walicholazwa wakina Zaza. "Zaza mlifanya nini mbona mmeniangusha kias hiki?" akaongea mzee Joel kwa jazba. "mzee Joel yule mwanao ni hatari Sana hebu ona tulivyovunjwa vunjwa." akaongea Zaza huku akionesha jinsi walivyopigwa na Nolan . "ni bora mlivyopigwa kuliko hichi kingine kilichoibuka." akaongea mzee Joel na kushika kiuno. "nini tena mzee wangu?" akahoji Zaza huku akiwa anajinyanyua pale kitandani alipokuwa amelala. "Frank amerudi" akajibu mzee Joel na kuwafanya wakina Zaza washangae. "yaani kwa kweli mmeniangusha Sana alafu isitoshe Nolan ameshaanza kuota mapembe na kama nyie mmemshindwa bas itabidi nitafute wababe wengine zaidi yenu na nyie lazima nitawaua pesa niliyowapa ni nyingi Sana lakini hakuna cha maana mlichokifanya pumbavu nyie. " akaongea mzee Joel kwa hasira Kisha akageuka na kuondoka. * Penina na Frank waliwasili kwenye hoteli moja ya kifahari na kufanya taratibu zote na kuchukua chumba kwenye hoteli Ile na kulipia kukaa hapo kwa siku tatu. Lakini Frank aliwapa taarifa Wazazi wake ya jinsi mipango inavyofanyika hivyo akawataka wasiwe na hofu yoyote kuhusu yeye.* Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. ............. Itaendelea ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na nne (14) By GIVAN IVAN Ilipoishia....... Nolan naye hakujali alitoa kadi tano za harusi ya Penina na Frank na kumwekea baba yake kwenye Meza iliyokuwa mbele yake. "karibu Sana Katika harusi ya Penina na mpenzi wake wa Muda mrefu Frank, wewe pamoja na rafiki Zako mnakaribishwa. " Nolan ndio alimwambia baba yake mzee Joel baada ya kumuwekea kadi zile kwenye Meza iliyokuwa mbele yake, Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. ************Endelea"******** Mzee Joel alibaki akiziangalia zile kadi kwa hasira akazichukua na kuzichana. "huyu mtoto huyu lazima auwawe tu hawezi kuniharibia mipango yangu kiasi hiki." akaongea mzee Joel kwa hasira huku akibugia pombe yake kwa fujo. ******South Africa ******** Hakika Penina na Frank walifurahia Sana kuwa pamoja angalau kwa siku chache ambazo wamekaa pale hotelini South Africa Katika jiji la Johannesburg. Hakika walifurahi Sana, kila kitu walichohitaji walikipata bila usumbufu wowote. "yaani mpenzi wangu natamani Mungu angetutengenezea Dunia yetu tukakae sisi wawili tu ili tuzidi kuwa pamoja milele na milele." maneno hayo yalitoka mdomoni mwa Penina akimwambia Frank walipokuwa wameketi pamoja wakipata chakula cha usiku. "lakini mimi naamini hata Mungu asipotutengenezea Dunia yetu wawili bado atazidi kutusimamia na kutupa nguvu na tutadumu milele." akaongea Frank kumwambia mpenzi wake Penina. "ni kweli mpenzi wangu nafurahi Sana kusikia hivyo." akaongea Penina huku akimtizama Frank.* Siku iliyofuata asubuhi na mapema Nolan alijiandaa na kuondoka nyumbani kuendelea na mipango yake ya kukamilisha taratibu zote za harusi ya Frank na Penina. Kadi za harusi ya Frank na Penina zilisambaa kila sehemu na karibu kila mahali watu walikuwa wakiizungumzia harusi hiyo na wengine wakiisubiri kwa hamu. Nolan aliweza kuwasiliana na Frank na Penina na kuwataka wajiandae baada ya wiki mbili watarejea nyumbani kwa ajili ya harusi yao. Zilikuwa taarifa njema na zenye kufurahisha kwa Frank pamoja na Penina. Hakika walifurahi Sana na kuzidi kumuomba Mungu siku hiyo ifike bila kuwa na tatizo lolote. * Nyumbani kwa mzee Joel aliwasili buffalo mkuu wa kikosi cha the killer na kupokewa kwa furaha Sana na mzee Joel. "karibu Sana kiongozi nimefurahi Sana kukuona." akaongea mzee Joel huku akimuonesha buffalo sehemu ya kuketi. "usijali mzee Joel nimeshawasili kutatua matatizo yako yote nasubiri maelezo kutoka kwako." akaongea buffalo kwa kujiamini. "bila Shaka naamini utanisaidia sana, ngoja nimpigie simu huyu mpumbavu ili akija tu ummalize maana ameniharibia mipango yangu Sana." akaongea mzee Joel huku akitoa simu yake na kumpigia Nolan. Nolan akiwa anaendelea na shughuli Zake ghafla alisikia simu yake ikiita na bila kupoteza Muda Nolan aliitoa na kuangalia nani mpigaji wa simu ile. Nolan alishangaa baada ya kukuta mpigaji wa simu ile ni baba yake. "hahahaaaa mzee wangu leo umenikumbuka mpaka umeamua kunipigia simu." akaongea Nolan kwa kucheka baada ya kupokea simu ile. "ndio mwanangu nimefikira nikaona nilichokuwa nakifanya sio kizuri hivyo nimeona ni bora niungane na wewe kuifanikisha ndoa ya Penina na Frank, itakuwa vizuri kama ukija nyumbani Sasa hivi ili tuweze kujadili vizuri zaidi." akaongea mzee Joel kumwambia Nolan. Lakini ukweli ni kwamba mzee Joel alikuwa anamdanganya Nolan ili arudi nyumbani na buffalo aweze kumuangamiza. Nolan bila kujua lolote akakubali na kumuambia baba yake kuwa "atarejea baada ya dakika kadhaa." Mzee Joel alifurahi Sana na kuona Sasa mwisho wa mtoto wake Nolan umefika. licha ya kwamba ni mtoto wake lakini mzee Joel hakutaka kujua hilo. Mzee Joel pamoja na buffalo wakiwa wanamsubiri Nolan afike, ghafla Dick pamoja na vijana wake wanne waliwasili nyumbani kwa mzee Joel huku wakionekana dhahiri kuwa na hasira kali kwenye nyuso zao. Mzee Joel alipowaona wala hakushtuka kwasababu alijiamini yupo na mtu mzito buffalo. "mzee Joel hatuna tena Muda wa kupoteza tunamtaka Penina la sivyo rudisha pesa zote ulizozipokea kutoka kwangu." akaongea Dick bila hata kutoa salamu kwa mzee Dick wala buffalo. "kijana mambo mazuri hayaitaji haraka nishakuambia kuwa mpole la sivyo Penina hutampata na pesa Zako pia hutapata." akaongea mzee Joel kwa Jeuri kwasababu aliamini yupo na mtaalamu wake buffalo. Dickson alipandwa na hasira na kuwaamrisha vijana wake wamkamate mzee Joel ili waondoke nae kwenda kumfundisha adhabu. Lakini ile wanataka kumkata buffalo aliwazuia na kuwataka waachane nae na watoweke pale haraka iwezekenavyo. "Wewe ni nani kwani mpaka uongee hivyo hebu sogea pembeni." akaongea Dick na kumsukuma buffalo, lakini buffalo wala hata hakutikisika. Dick akaamua kumsukuma buffalo kwa mikono miwili, lakini Dick alijikuta akipokea kibao kizito cha uso kutoka kwa buffalo na kujikuta akirudi nyuma hatua kadhaa huku damu zikiwa zimemjaa mdomoni. Vijana wake Dick kuona boss wao amepigwa wakaamua kulianzisha kule ndani kwa kumvamia buffalo. Lakini buffalo alikuwa mtu hatari Sana vijana wale walijikuta wakiwa na mlima mkubwa wa kupanda baada ya kupokea kichapo kizito kutoka kwa buffalo. Vijana wa Dick wakaamua Kumshambulia buffalo kwa pamoja yaani wote wanne wakajipanga sehemu moja Kisha wakaanza Kumshambulia buffalo. Huyu akirusha teke hapo hapo mwingine anarusha ngumi na hapo hapo tena mwingine naye anarusha teke. Lakini bado hawakufua dafu mbele ya buffalo walijikuta wakitandikwa kama watoto na kujikuta wakiwa hoi bin taabani. Kama kuna mtu alifurahi bas ni mzee Joel. Mzee Joel alifurahi Sana na kuamini hapa Sasa amepata mtu wa maana. Wakati huo huo Dick alikuwa amekaa chini huku akiwa ameshika shavu Lake alilotandikwa na buffalo. Sekunde chache baadae ulisikika mlio wa gari likiingia ndani ya nyumba ile na sekunde chache mbele akashuka Nolan kwenye gari Ile huku akiwa na furaha akiwa hajui chochote kinachoendelea Mule ndani. Nolan alisogea mpaka sebuleni lakini alipigwa na butwaa baada ya kukuta watu wanne wakiwa chini wakiugulia maumivu na mbele yake akamuona Dick akiwa ameshikilia shavu Lake huku mdomoni akitokwa na damu. Nolan akiwa haelewi ni nini kinaendelea mule ndani, mbele yake akatokea mzee Joel akiwa na jitu la kutisha buffalo. "hahahaaaa hahahaaaa leo ndio leo shenzi wewe." akacheka Sana mzee Joel na kumuambia Nolan maneno hayo, Kisha akamuamrisha buffalo afanye kazi yake ya kummaliza Nolan. Nolan akiwa bado haelewi kinachoendelea alishtukia ngumi inakuja kwa kasi usoni mwake na Kisha akaikwepa bila wasi wasi wowote. Kabla Nolan hajajiweka Sawa ikaja tena ngumi nyingine kutoka kwa yule yule buffalo, lakini hata hii Nolan aliiona na kuikwepa. Lakini sekunde hiyo hiyo likaja teke ambalo lilimlenga Nolan uso, Nolan aliliona lakini akakosea kulikwepa na kupatwa la uso na kudondokea kwenye Meza ya vioo na kuipasua pasua. Kabla Nolan hajanyanyuka buffalo akaruka juu na kukunja ngumi tayari kwa kumshushia Nolan pale chini. Nolan akaiona na kujiviringisha na kulikwepa ngumi ile ya buffalo ambayo ilitua kwa kasi na kugonga chini na kupasua sakafu. Nolan alishtuka vibaya mno na kuona hapa shughuli ni nzito tena nzito Sana. Lakini mzee Joel ndio alikuwa na furaha Sana kwa kushuhudia kazi nzuri iliyokuwa ikifanywa na buffalo. Nolan alinyanyuka na kujitikisa na kujiweka Sawa kwa ajili ya kuendelea na mpambano. .................. Itaendelea ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA MBILI (12,13$14) UMRI ±18 ILIPOISHIA alikuwa analalamika nikaingiza mashine yangu na kuanza kupampup nikiwa naendelea kusex gafla mlango ukafunguliwa............ ENDELEA SASA Mlango ulipofunguliwa hatukuamini macho yetu mtu aliyeingia chumbani yani nilitamani ardhi ipasuke nitumbukie ndani mana nilipatwa na uwoga huku mapigo ya moyo yakiwa yanadunda kupita kiasi Ku kuona aibu.... alikuwa shangazi mke wa mjomba kasimama mbele yetu tena akiwa amekasilika kama simba aliyejeruhiwa. "Hivi nyie mmbwa hamjaona magesti mpaka mfanye uchafu wenu hapa??" Aliongea shangazi kwa hasira. "Tusamehe shangazi "nilimuomba msamaha huku macho yangu yakionesha dalili ya kutaka kulia. "Yani kweli vanessa unafanya mapenzi na kenny tena umejiachia kabisa"shangazi aliongea huku akionesha kweli amekasilika "Naomba nisamehe shangazi sito rudia tena"aliongea vanessa huku akiwa amepiga magoti,lakini alishanga akipigwa kibao kizito kilichompeleka chini "Malaya mkubwa wewe yani umekuja leo leo unaanza umalaya wako" aliongea shangazi "Kwanin unanipiga jamani kosa ni langu na wala sio lake niliamua kumtetea" huku nikiwa nalia.nilimuangalia vanessa kwa huruma pale chini huku machozi yakimtoka ."sasa mkitaka niwasamehe na nisiende kuwasemea kwa mjomba wenu nitawapa sharti moja mkiliweza poa sisemi ila mkishindwa naenda kusema"shangazi aliongea wakati huo huku akiwa ameshika simu akitaka kumpigia mjomba. "Usitufanyie hivyo shangazi tuambie sharti lako na sisi tutafnya unachotaka" "Aaah...kama ni hvyo sawa sasa nataka mfanye mapenzi mbele Yangu" "Aaaah!!."tulijikuta tumeshanga wote mimi na Vanessa" "Mnashanga nini sasa kama hamtaki semeni siwalazimishi"alituambia shangazi.ukweli nilimuona shangazi sio mtu mzuri kabisa.nilifikilia kweli nifanye mapenzi na vanessa mbele ya shangazi na nisipofanya habari hizi zitafika kwa mjomba kitu nisichokitaka. "Sawa nimekubali"nilikubali huku nikimwangalia vanessa aliyekuwa kajikunyata kama kuku anayesubili kuchinjwa mpaka nikamuonea huruma " ndiyo nimekubali na Mimi"vanessa alikubali huku akitokwa na machozi. Basi hatukuwa na budi tuliingia tena kwenye mechi kipindi hiki sikutaka kuwa lelemama nilotaka kumuonesha shangazi Mimi ni nani.nikamuanda vizuri vanessa kwa mechi nilitanua mapaja yake nikaingia kati mzee na limashine langu likiwa limedinda mbaya vanessa alishika mashine yangu akaingiza kwenye kitumbua chake huku akitetemeka alionekana kweli ananyege sana.tuliendelea kuonesha ufundi pale kitandani mpaka nilipomuona vanessa anataka kutangaza goli lake la kwanza (tangazo usisahau kuni follow instagram @ brayton Official Love "ooooohb shiiiiii mmmmmh baby mmmmh tamu " vanessa aliongea huku macho yamemlegea mbaya niliendelea kupiga mambo yangu na Mimi sikuchukua muda mzee nikapiga bao langu.nilikuwa nimechoka sana. "Hapo mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake...... usikose sehemu ya kumi na tatu like page yetu sasa share kama tupo pamoja isome yote mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 *************CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TATU (13) INSTAGRAM: CHAS360TZ UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita "Hapo safi mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake......!!!! endelea sasa....... shangazi alizidi kuniitia chumbani kwake hata sikujua anataka nini.nilinyanyuka pale kwenye sofa ili kumfuata nilipofika pale mlangoni kwake nilikuta upo wazi kabisa shangazi akiwa ndani ya kanga moja tena anaonekana alitoka kuoga mana kanga ilikuwa imeloaloa maji na kufanya ile kanga kushikana na mwili wake "ingia sasa nawewe unashanga nini"alinistua shangazi kutoka kwenye Lindi la mawazo nikaingia mpaka ndani.shangazi alikuja kwa nyuma yangu akafunga mlango nikataka nikae kwenye sofa lililokuwepo chumbani kwake lakini akaniambia"aaah wewe utakaaje hapo hembu njo hapa kitandani nikasogea mpaka kitandani nikakaa shangazi akaenda kabatini akatoa mafuta laini akanikabizi. "Nataka unipake hayo mafuta mgongoni " "Aaah sawa Hamna shida" "Tena unipake vizuri" "Hata usijali ntakupaka vizuri tu"nikiwa naendelea kumpaka mafuta akawa ananielekeza na sehemu zingine za kupaka mara nimpake shingoni mpaka kwenye mapaja na mapaja yake yalivyokuwa yamejazia mpaka mate yamenijaa mdomoni mtoto anapaja nene jeupe laini kama la mtoto mchanga. labda ngoja nikufahamishe kidogo histori ya huyu shangazi.huyu shangazi sio mama mzazi errycah.huyu alikua mke wa pili wa mjomba baada ya mama yake kufariki kwa ajari ya gari ndio mjomba akaamua atafute mke mwingine ukimwangalia shangazi yangu huyu ni wamakamo yetu kabisa kama sio wa 96 basi 97 na hana hata mtoto ndio mana sijawai kumsalimia. ni kijana mwenzetu wakati nikiendelea kumpaka nikaona anazidi kurembua kama amekula kungu manga"mmmmh kenny hapo hapo jamani mpaka nasikia raha" "Mmmh!!!."niliguna kimoyo moyo Mara akanishika shingoni akanivutia kwake akaanza kunila denda si nikagoma"aaah!!! sitaki niachie bwana we haujui kama wewe ni shangazi Yangu"nilifoka mzee huku nikimuangalia usoni kwa hasira "Ah ah ah ah"alicheka shangazi kwazarau alinyanyuka kitandani huku akilitingisha wowo lake lililoja vizuri akaenda kwenye mkoba wake akatoa simu yake akabonyeza bonyeza kisha akanipa nione nilistuka nilipoona video yangu nikiwa nafanya mapenzi na Vanessa . "Kwanini umeamua kunirecody video nikiwa nafanya mapenzi na vanessa???"nilimuuliza kwa hasira. "Mmmh pole sana kenny hata Mimi nililitamani penzi lako ndo mana nikakuacha umalize kisha uje kwangu...kwaiyo utanipa huo utamu au haunipi???"aliniuliza huku akianza kuvua kanga yake. "Sikupi!!!"na Mimi nilimjibu kwa zarau "Aaaaah sawa najua sio muda mrefu mjomba wako atarudi na lazima nimuoneshe huu upuuzi wako mliofanya leo na ushahidi ninao"shangazi aliniambia huku akinionesha video ile. lakini baada ya kuoneshwa ile video niliona kimeshanuka nikaona bora nikubali huku nikijiuliza hii siku ya Leo mbona nikama ya mkosi sana kwangu basi mana toka nimeanza kufanya mapenzi na sethi hamna siku niliyo pumzika kila Sikh natembeza dozi. alinisogelea nilipo akasogeza mdomo wake kalibu yangu tukaanza kurana denda "mmmmh mmh mmmmh" alikuwa anatoa miguno tu mzee nikaona nisimkawize kwakuwa hakuwa amevaa kitu ndani hakikuwa kazi ngumu kufika kitumbua chake kilipo nikamwambia asimame na mguu mmoja hapandishe kwenye kitanda akafanya kama nilivyomuulekeza na Mimi nikapiga magoti katikati ya mapaja yake yani kitumbua nilikuwa nakiangalia kwa juu. ujue wengi wana jua mapenzi kuchukua mashine yako na kuingiza kwenye kitumbua wengi huwa tunakosea sana muuandae mwenzio kwa mechi kisha mnaingia uwanjani kuoneshana ufundi........ basi tuliendelea nikiwa nimepiga magoti huku kitumbua kipo kwa juu nikapeleka ncha ya ulimi kwenye kitumbua nikaona shangazi miguu ikianza kutetemeka nikaendelea na usafi wangu "mmmmh ooooshhh ta...mu baby " alikuwa analalamika kama hawa machangu doa nikaendelea kumpa Raha ya kufanyia usafi huku nikiendelea kumuanda mtoto wa kike mpaka nilipolizika tukaingia uwanjani daaah aiseee!!! shangazi alikuwa anajua kuliko wasichana wote niliotembeanao mana hivyo viuno alivyokuwa anakata duuuuh noma kama snura kwenye ile nyimbo yake na Christian Bella ""nioneshe wanachumaje mchicha tembele"" nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... usikose sehemu ya 14 like page yetu sasa ili uwe wakwanza kuipata simulizi hii kila ikitoka......... pata simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 tu ***************** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA NNE (14) UMRI ±18 ilipo ishia nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... endelea sasa aliingia errycah bila hata kupiga hodi huku akiwa anahema"nyie amkeni baba yupo nje amerudi" daaah!!! nilikurupuka pale kitandani kama mshale mpaka mlangoni nikafungua mlango bila kuangalia noma nikiwa mlangoni kwangu nimeshika kitasa ili nifungue mlango nikashanga naitwa "kenny" kumbe alikuwa mjomba "kachukue mizigo kwenye gari "mjomba aliniambia huku akiingia chumbani kwake huku akionekana kuchoka kwa safari.nikatoka mpaka nje nikakutana na nasma alinitolea sana macho " na kuniambia yani wew kweli kidume umepita nyumba nzima sasa sikia nakuomba unifate saizi jikoni unipe kimoja tu kinatosha ...... jamani nasma naomba unionee huruma mana hata sijapumzika na sizani kama hata spem zitatoka akaniambia nisijali atanipa kidongo cha kuongeza nguvu na kama nikimgomea basi atanitobolea siri yangu kwa mjomba.maneno yake hayakunishawishi sana lakini nilijikuta namkubalia baada ya kumwona akiwa ameshika funguo ya kile chumba cha siri na kuniambia sikia najua una shida ya huu ufunguo twende ukanisugue usiku huuu chagua twende jikoni au chumbani kwako...... nika mwambia anisaidie kupeleka mizigo ndani kisha twende tukafanye yetu.tulipangua mizigo na kuingiza ndani sikujua nini kiliendelea chumbani kwa mjomba ila niliona hali shwari mana huyu shangazi yangu kwa Ku igiza tu namuelewa sana tuliingia zetu chumbani.nikameza kile kidonge cha kuongeza nguvu nikamvamia na kuanza kumchezea nasma. Nikaona mlango unafunguliwa na mtu akiingia kwa kunyata tulitulia huku tukimuangalia kwa umakini aliyekuwa anaingia.kumbe alikuwa vanesa tena alikuwa amevaa kanga moja tu. mmmmh nikaguna kimoyomoyo na kusema INA maana dozi niliyo mpa haijamtosha mbona anataka kunitia aibu nikafaamika Nina tembea na ndugu zangu mana shangazi na errycah teali wanajua Nimetembea na Vanessa na nasma na yeye ajue" nikataka kuongea nasma akaniziba mdomo na vanesaa nae alipotuona alistuka mpaka akataka kudondoka " umefata nini we malaya!!!??" Aliulizwa swali na nasma likiambatana na tusi " ni,,,, ni,,, nili,,, kuwa naenda chooni" "Huku chooni sasa" "Mmmmmh mmmmh" alikata kwa kutingisha kichwa. mzee nilikuwa nimetulia tu nikiangalia move linaloendelea " haya toka haraka "vanesa alifukuzwa kama mbwa.aligeuza akitaka kukimbia. " we we we we ngoja kwanza" nasma alimwambia vanesaa na Vanessa akasimama mlangoni huku akitetemeka " na ole wako ukaseme kwa mtu yoyote ntakunyonga" nadhani una nijua vizuri nilikufanyaga nini........ aliongea nasma kwa hasira huku kayatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ usikose sehemu ya 15 like page yetu sasa ili uisome bila usumbufu ********* ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na tano (15) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp..... 0769673145 Ilipoishia...... Nolan alishtuka vibaya mno na kuona hapa shughuli ni nzito tena nzito Sana. Lakini mzee Joel ndio alikuwa na furaha Sana kwa kushuhudia kazi nzuri iliyokuwa ikifanywa na buffalo. Nolan alinyanyuka na kujitikisa na kujiweka Sawa kwa ajili ya kuendelea na mpambano. ***********Endelea *********** Baada ya Nolan kusimama tu buffalo hakumpa hata nafasi ya kumeza mate alimfuata kwa kasi na kumrushia mateke manne mfululizo na yote yakampata Nolan na kumuweka chini kwa Mara ya pili. Shughuli ilikuwa nzito Sana kwa Nolan kwani hajawahi kukutana na mtu mwenye spidi ya kupigana kama buffalo. Kwa Mara nyingine Nolan alinyanyuka tena huku akiwa tayari ameshawekwa alama usoni. Buffalo kama kawaida yake hakutaka kumpa nafasi ya kupumua, akamfuata kwa kasi na kurusha ngumi nyingine nzito lakini hii Nolan akaiona na kuikwepa ikaenda kugonga dirisha na kuvunja lile lote. Nolan naye this time round akasema hata mimi sicheki na wewe, Nolan aliruka na kumtandika buffalo teke la mgongo na kumtupa nje kwa kupitia pale dirishani. Nolan hakutaka kupoteza Muda akaruka na kumfuata buffalo huko huko nje. Dick pamoja na vijana wake wakiwa pamoja na mzee Joel nao wakatoka nje kushuhudia vita ile kali. Nolan baada ya kufika nje akakuta tayari buffalo ameshanyanyuka. Nolan akarusha ngumi nzito lakini buffalo akaikwepa na kurusha teke ambalo Nolan pia alilikwepa. Ngumi nzito ikarushwa na Nolan kwa Mara nyingine na kumkuta buffalo ya kichwa, lakini pia Nolan naye akapatwa teke Zito la tumbo kutoka kwa buffalo. Vita ile ilikuwa kali Sana kati ya buffalo na Nolan. Lakini mwisho wa siku ilikuwa ni lazima mshindi apatikane. Nolan alijikuta akiishiwa nguvu baada ya kupigana muda mrefu na buffalo na kujikuta akishindiliwa ngumi nzito mfululizo kwenye tumbo zisizopungua kumi Kisha akatandikwa moja nzito ya uso na kutupwa mbali na kupoteza fahamu kwa dakika kadhaa. Lakini wakina Dick pamoja na vijana wake waliona huyu jamaa kwa Jina la buffalo hafanyi poa, wakaamua kumsaidia Nolan. Kwa pamoja walianza tena kumshambulia buffalo. Lakini kwa bahati mbaya hawakuwa na uwezo wa kumpiga buffalo wakajikuta wakitandikwa tena kama watoto na buffalo. Mzee Joel alifurahi Sana na kuona Sasa hakuna panya yoyote wa kunisumbua. Lakini kidogo hivi akanyanyuka Nolan akiwa ametokwa na wazimu. "suti ya harusi nimeshaandaa pamoja na taratibu zingine zote inawezekanaje wewe kimtu mmoja uje na kuharibu mipango yangu inawezekanaje??" akajisemea Nolan akiwa tayari amekwisha nyanyuka. Buffalo alimwaangalia Nolan na kucheka kwa dharau, lakini Nolan awamu hii hataki kucheka na mtu anachotaka Sasa ni kuua mtu bila huruma. Nolan akatoka mbio na kuanza kumfuata buffalo kwa kasi nyingine ambayo haielezeki Kisha akaruka na kukunja miguu na kumgonga buffalo kwa magoti na kumtupa chini. Nolan hakutaka kumpiga buffalo akiwa chini akamsubiri anyanyuka. Buffalo aliponyanyuka Nolan akaruka tiktak na kumpata buffalo mateke ya uso na kumuweka buffalo chini kwa Mara nyingine. Nolan akamsubiri tena buffalo anyanyuke kwa Mara nyingine, na buffalo aliponyanyuka Nolan akateleza kwa magoti mpaka kwenye miguu ya buffalo na kuanza kumshindilia buffalo ngumi nzito nzito za tumbo zisizopungua ishirini, Kisha akanyanyuka haraka na kabla buffalo hajaenda chini Nolan akaamua kummaliza kabisa. Nolan aliruka na kutua shingoni mwa buffalo na kumshindilia ngumi zingine za kichwa na kumpasua kichwa hadharani huku mzee Joel pamoja na wakina Dick wakiwa wanashuhudia. Habari ya buffalo ikaishia pale pale. Mzee Joel aliamua kutoroka baada ya kuona mtu aliyekuwa akimtegemea ameshauwawa hivyo akajua kwa vyo vyote vile yeye pia atakuwa Katika wakati mgumu hivyo akaona njia rahisi ni kutoroka tu. Lakini kwenda kutoroka mzee Joel alidakwa na wakina Dick na kuanza kupewa kichapo cha maana. Mzee Joel alitandikwa akatandikwa mpaka Sasa Nolan akamwonea tena huruma baba yake, akawaamuru wakina Dick wamuache. "tumemuacha muheshimiwa Ila tunachotaka atupe pesa zetu au atupe Penina tuondoke nae." akaongea Dick kumwambia Nolan. "mnachoweza kupata ni pesa zenu lakini sio Penina, kwasababu siku chache zijazo Penina anafunga Harusi na kijana mmoja wanaependana kwa dhati." akaongea Nolan maneno hayo ambayo yalikuwa machungu masikioni mwa Dick. "ok nipeni pesa zangu niondoke maana tumepoteza Muda wetu bila faida yoyote." akaongea Dick kinyonge. Lakini hata hivyo mzee akadai hana pesa yoyote, pesa zote amekwishazitumia na zingine akadai walimuibia na hajui nani alimwibia. Nolan alicheka Sana kimoyo moyo kwasababu alijua yeye ndio alikuwa akimwibia baba yake pesa zile. Nolan akaamua kumtetea baba yake, akawaambia wakina Dick hakuna pesa yoyote watapata kwasababu walifanya ujinga kutoa pesa hizo wakati wakijua hawana uhakika wa kumpata Penina. Nolan aliwataka wakina Dick watoweke sehemu ile haraka iwezekanavyo kabla hajawaangamiza na wao. Dick pamoja na vijana wake walijikuta wakiondoka kinyonge huku wakiamini kabisa walifanya makosa makubwa Sana na hivyo wakaamua kuondoka na kurudi nchini mwao bila kinyongo chochote. Huku mzee Joel alipiga magoti na kutubu makosa yake kwa mtoto wake Nolan na kumuomba amsamehe. Yenyewe hata hivyo damu ni nzito kuliko maji, Nolan aliamua kumsamehe baba yake lakini kwa jinsi baba yake alivyompa mateso Nolan akaamua lazima amtandike ngumi moja ya maana kama njia ya kumsamehe. Nolan alimsogelea baba yake na kumuwekelea ngumi moja nzito ya uso na kumuweka baba yake chini, Kisha akaenda akamnyanyua na kumkumbatia na kumsamehe. Baada ya siku kadhaa ya Nolan kuweka mambo Sawa hatimaye Penina na Frank walirejea Tanzania na Kisha harusi yao ikafanyika bila tatizo Lolote huku ikihudhuriwa na watu wengi kupita maelezo. Mzee Joel pia alikuwepo kwenye harusi ile pamoja na mkewe huku wakifurahia harusi ya mtoto wao licha ya kwamba moyo ulikuwa ukimsuta mzee Joel. Kadhalika pia baba yake Frank pamoja na mama yake Frank pia walikuwepo kwenye harusi ile huku wakiwa wameketi kwenye Meza ya heshima kabisa. Nolan pia alikuwepo kwenye harusi ile na yeye ndio alikuwa msimamizi wa kila kitu kilichokuwa kikiendelea Katika harusi ile. Harusi ilikuwa nzuri na yenye kuvutia na kila mtu alifurahishwa nayo. Hatimaye harusi ilimalizika salama na maisha yakaanza rasmi Sasa kati ya Frank na Penina wakawa Sasa ni baba na mama. Lakini pia Frank na Penina waligeuka kuwa matajiri wakubwa kutokana na zawadi mbali mbali walizokabidhiwa Katika harusi yao. Hivyo pia waliweza kuwafanya Wazazi wao waishi maisha mazuri na kusahau ya nyuma yaliyopita. Lakini heshima kubwa ilienda kwa Nolan kwasababu bila yeye wasingefika hapo walipo. Na hata walipofanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume wakaamua kumuita Nolan kumpa heshima kaka yake Penina na shemeji yake Frank. Frank na Penina walifanikiwa kupata mtoto wa pili naye pia alikuwa ni wa kiume wakaamua eti kumuita VAN B na maisha yakaendelea. **************MWISHO ************** mkumbuke nilisema hii story ni zawadi ya xmas na mwaka mpya haikuwa Katika mipango yangu. Hivyo nawashukuru wote mliokuwa pamoja Nami kwa kulike kucoment pamoja na kushare. Mwisho niwaambie tu kuna story nyingine iko jikoni Mungu akijaalia itaanza kuruka mwezi wa pili. Who killed my father "nani alimuua baba yangu" ndio Jina la story mpya inayokuja. Ukiniita VAN BOY utakuwa hujakosea hata kidogo. Nawapenda Sana. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: