NIFANYE NINI Sehemu ya 01 Jina naitwa mariam mkazi wa morogoro mjini mitaa ya forest hii ni story ya kwel inayo simuliwa na mimi mariam na kuandikwa na 🅱rayton 👉🏿Nnacmulia story ya maisha yngu Mda wowote nnawweza nkafa kwaajil ya mawazo Sijaandika na wala sio mwandish mimi.Kwa ufupi tyuu Japo cwez maliza kwa leo😭😭 Katika familia tulizaliwa watoto 7 wakike🚶🏻‍♀ tulikuwa 4 na wakiume🚶🏼 walikuwa 3 Mimi nilikuwa wa pili kuzaliwa pia ndo mtoto wa kwanza kwa upend wa watoto wa kike🚶🏻‍♀. Siwezi sema nimemaliza kidato cha nne📚 wakati nilishia kidato cha pili maan shule niyokuwa na soma haikusajiliwa na serekali.Elimu yang ikawa ya kuungaunga Nilipoteza miaka miwili bure bila upata chochote maan shule haikusajiliwa Nikaaenda soma QT na maanisha Elimu ya watu wazima japokuwa nilikuwa sijafika miaka ya 18 Nilisoma mwaka moja kwa madarasa mawili pia nikafeli mtihan😭😭😭😭😭 Elimu ikanchoshaa sana nikaona kam nilipoteza muda tena kwenda QT Pia nilivyokuwa nasoma QT nilijikuta naashisha mahusiona na mwanafunzi mwenzangu jina lake Bakari Nilipata mimba niliumia sana tena san nilivyo mwambia Bakar alikataa katakata Niliamua kutoa bila wazazi kujua daah mungu nisamehee😭😭😭 Kwa sababu nilifeli nikaa nyumban bila kazi wal kuwa na chet cha elimu Kama unavyojua mtoto wakike tofaut na wakiume nipokosa hela ya kujikimu nikaanza umalaya hil nipate pesa ya kujikimu 🤦🏽‍♀. Nimekaa sana homee but nikaanza kutafuta kaz kulingana na elim yangu📚 Nilisota sana kupata kazi nikabahatika kupata kaz kweny kiwanda mazavaa kipo hapa hapa morogoro mjini Ndo nilipo hadi sasa nakaona afadhaali kwangu coz ndo niliaanza maisha yngu japo nilikuwa bado nip nyumban namaanisha kwa baba na mama Baada ya kupita miezi mitano nilipata rafiki wa kiume jina lake Steven Pia Nkiwa kazin nikaanzisha mahusiano👫 ya kimapenz na kijana steven Ni kijana wa kichaga ambae tulikutana kazin Alinipenda sana yule kaka❤❤❤❤❤ Kwakua nilikua bado nipo kwa wazaza Pia huyo kijana tulikua tunakaribiana mitaa namaanisha tulikuwa majiran Baada ya mwaka kupita yule kijana🚶🏼akaachishwa kazi😭 kwasababu alikuwa mkorofi kweny kitengo chao maan walikuwa vijana weng katik kitengo icho km unavyojua kaz za viwandan Pia nilikuwa mnyonge sana Nikawa naenda kazin mwenyew asubuh na kurud pekee wakat awali tulikua tunaongoza Sasa katka njia nliokua napita kwenda kazi kuna m baba alikua anafanyakaz pepsi Ambapo sio mbal na kazin kwangu Alikuwa naishi midaa ya juu kidogo na mahali nilipokuwa naishi mim. Kukweli kazi palikuwa mbali sn na nyumba kwa watu wanaoish morogoro wanajua umbaliwa forest na mazavaa Ni mwendo wa masaa 2 kwa haraka sana kwa mwendo wa kawaida ni masaa 4 naa Yule baba akaanza kunipa lift wakat wa kwenda kazi Nikiwa nalud kama kawaida yang kwa miguu hadi nyumbani Muda mwingine nilikuwa nikipitia kwa boy wangu steve yule alieacha kaz Baada ya muda Yule baba akaniomba no ya cm nkampatia sababu nilishazoeana nae Tukaanza Kuwasiliana asubuh kabla hajatoka ananipigia. Ananikuta barbarn ananibebaa Ikaendelea ivyo ivyo Saaa ikawa hadi rafki zangu wakawa wanapanda lile gar kwa niaba yangu Yule baba akanitaka kimapenz coz familia yke ilikua dodoma Yeye alikuja kikaz tu.Xo alitaka company Na mimi bila kusita nikamkubalia kwasababu nilimzoea sana mpenzi❤ ya kaanza kwa huyu Baba❤❤ Baada ya muda nikapata tena ujauzito(mimba)Ya yule kaka mchagaa steven Kwa yule baba haikuwa rahis coz nlikua natumia kinga pind tunapokutana Yule kaka hakuwa na kaz kwa kipind kilee niliwaza sana😭😭😭😭😭😭 Pia Kazin cna mda mrefu napata mimba then yule kijana hana kaz ntafanyajeee 😭😭 Daah sikuwa na jinc nkaamua kuitoa tena ile mimbaa.Mungu anisamehe mimi😭😭😭😭. (Najuta bray naumia) Nataman kutubu kwa mungu wanguuu niliumia sana tena sana😢 Hadi wazaz wangu wakajua kama mimi nimetoa mimba🤰🏻Yule kaka alickitika sanaa yule alinipa mimba🤰🏻sababu hakuwa na mtoto na yeye alikuwa anapenda awe na familia👪 mimi niliogop kumpa majukum mazito wakat hanakazi. Maisha yakaendelea na yule baba wa pepsi kwenye gari🚗Tukaendeleza mahusiano Yule baba Akanishawish nihame nyumban kwanu akanipangishie karibu na kazin. Kwel nkamckilizaa Sikukaa muda san kam wiki nikaongea mama aniruhusu nikapange mam alikataa katakata Hasiesikia la mkuu uvunjikata guu mm nikafosi pia mapenzi kwa yule kijana stev yalipungua sana💔 kwa sababu akuwa na msaada wowote kwangu Ile siku naamisha vitu vyangu nkaanze maisha ndo cku ambayo yule baba kwenye gari🚗 Anapewa barua ya kuamishwa kikazi Anarudi kwake dodoma Unajua nini lilitokea tuonane kesho mida mibovu _Mwandishi wako brayton_ Inaendelea.............

at 2:29 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top