Home → simulizi
→ RIWAYA: HIGH SCHOOL
SEHEMU YA KUMI NA TISA.
Haikuhitaji kuambiwa wala kuelezewa mtoto huyu alikuwa kama pacha, hakika alifanana sana na Martin
“Mungu wangu kumbe hii mimba ilikuwa ni ya Martin mtoto kafanana na Martin kheeeh! ni pacha wake kabisa” nilishangaa nesi aligundua mshangao niliokuwa nao
“vipi”
“aanh, mwanangu ni mzuri”,
“yeah umezaa mtoto mzuri sana hongera”, niliachia tabasamu.
Moyo wangu ulijawa na furaha ambayo siwezi kuielezea.
“Mungu hatimaye umeufariji moyo wangu nikurudishie nini mimi nikurudishie nini kiwe sawa na fadhli zako Jehova” nilijikuta nikisali.
Nilisali si kidogo, nilimshukuru Mungu kwa yote ambayo yaliwahi kutokea katika maisha yangu hatimaye mungu umenipa faraja ya milele mwanangu mpenzi.
Nilishindwa cha kuongea ilikuwa ni furaha isiyo na kipimo.
Hatimaye baba, wakili Happiness pamoja na shangazi yangu waliruhusiwa kuja kuniona pamoja na ndugu wa wakili Happiness walifurahi kumuona mtoto huyu mzuri,
“mtoto mzuri sana huyu wa kiume”
Ilikuwa ni furaha isiyo kipimo.
Wakili Happiness alikuja kwa tabasamu,
“unapenda mwanao aitwe nani”, niliachia tu kicheko,
“bado sijafikiria kuhusu hilo” nilimwambia
“naomba mimi nimpe jina.” Alisema
Nilicheka “sawa”
“Nitampa jina kwa wakati wake”,
“nitashukuru.”
Tuliruhusiwa kuondoka hospitalini hapo baada ya kila kitu kukaa sawa.
Baada ya siku kadhaa kupita, baba alishauri apewe jina la muda wakati wakili Happiness akiandaa jina lake.
Mwanangu aliitwa Blessing hakika alikuwa ni Baraka kwangu na kwa maisha yangu.
Kesi yangu mahakamani iliendelea, hatimaye siku ya hukumu ilifika nilisimama kizimbani nikitetemeka sana.
Mwanangu alikuwa amebebwa na wakili Happiness machozi yakinitiririka wakati huo wakili Happiness alikuwa na furaha wakati wote.
“Anafurahi nini wakati hukumu haijatolewa nikifungwa je?” nilisema
Akili yangu haikutuliai kabisa,
“ee Mungu naomba usinitenganishe na mwanangu naomba unipe muda wa kumlea nampenda sana mwanangu.”
Hatimaye muda wa hukumu ulifika, hakimu alisimama kwa ajili ya kutoa hukumu,
“kutokana na ushahidi kutoka pande zote mbili, mahakama imeamua kwamba Catherine Kindamba kuwa hana hatia kwa kuwa hakuhusika na kifo cha Candy, ila Candy alifariki baada ya kushikwa na kizunguzungu na kisha kudondoka na kujingonga ukutani hivyo basi mahakama inapenda kumwachilia huru Catherine Kindamba kuanzia sasa”, nilijikuta nikipiga magoti kizimbani nilisali nilishukuru.
Baba alishindwa kujizuia aliachia machozi kwa pamoja wote walikuja kizimbani na kunitoa na kisha kunikumbatia kwa furaha.
Watu wengi walikuwa wakifatilia kesi yangu siku hiyo nilimwona mwalimu mkuu wa Hanspop Academy Mr. Maige alikuja kunipa hongera
“hongera sana Cathe wewe ni msichana Shujaa sana.”
Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka nilitamani kumuulizia kuhusu Martin lakini sikuwa na shaka kwamba alikuwa ameisha maliza shule kwa wakati huo.
“Asante mwalimu”
“Nashukuru ingawa umepoteza nafasi ya kusoma lakini naamini kwamba kuna siku itajirudia tena, endelea kujipa moyo Mungu yupo pamoja nawe” aliongea kwa upole sana mwalimu Maige na kisha kupotea machoni pangu.
Nilibaki tu machozi yakinitiririka.
“Tulilia kwa furaha mimi pamoja na familia yangu mpya nilimkumbatia mwanangu Bless.
“Catherine” niligeuka na kutizama, wakili Happiness alikuwa akiniita,
“mtoto wako ataitwa Comfort” akimaanisha faraja
Niliachia tabasamu,
“jina zuri sana nimelipenda nahisi nitakuwa na furaha sana kuitwa mama Comfort”, ila mwisho wa yote baba yake atakuja kuamua jina la mwisho mwanae ambalo atapewa.
Maneno yake yalinifariji sana ingawa sikuwa najua ni namna gani ningekutana na Martin, nilirejea nyumbani.
Watu wote waliingia ndani wakili Happiness aliniita
“nimekuandalia zawadi kubwa sana binti yangu, wewe ni sawa na mwanangu. Naomba uipokee zawadi yangu” nilicheka,
“mama” nilijizoeza kumwita mama.
“niambie mwanangu”
“mimi ndiyo ninapaswa kukupa wewe zawadi mama umenifanyia mambo mengi sana”,
“hapana haya mambo yote yasingefanyika hupaswi kunipa zawadi mimi kama unataka kutoa zawadi ipeleke kanisani nimefanya haya yote IN THE NAME OF LOVE”,
“IN THE NAME OF LOVE” nilijiuliza anamanisha nini?
“Sawa nipo tayari kupokea hiyo zawadi yako” aliachia tabasamu
“naomba nikuzibe macho ili usiione. Iwe surprise kwako” alimalizia,
“hasa.. mama nimebeba mtoto si tutajikwaa tudondoke jamani”
“Hamna mimi nitakuongoza”, aliongea kwa utani kama kawaida yake,
Nilicheka tu,
Aliniziba macho na kuniongoza sikujua hata tunaelekea wapi, baada ya kutembea hatua chache hatimaye tulifika ambapo tulipaswa kufika, alinifumbua macho.
Sikuitaka kuamini nilichokiona mbele yangu.
Martin na Martha walikuwa wamesimama mbele yangu walikuwa wamependeza sana Martin wangu alizidi kuwa mzuri na hakika alionekana mbaba nyuso zao zilijawa na tabasamu.
Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka
“Martin” sauti iligoma kutoka,
Martin alilia alijongea polepole hadi nilipokuwa nimesimama,
“Cathe mwanamke wa maisha yangu.”
Alinikumbatia kwa nguvu zote huku akilia,
Furaha iligeuka vilio kila mtu alitokwa na machozi.
Martin alimchukua mwanangu na kumbeba
“my first born” aliongea kwa sauti ya chini.
“Nakupenda sana Catherine”, alisema Martin.
“Nakupenda Martin” nilijibu.
Nilishindwa kuelewa mazingira yaliyokuwepo mahali hapo.
Martin alianza kujielezea.
<<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA
RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA KUMI NA TISA. Haikuhitaji kuambiwa wala kuelezewa mtoto huyu alikuwa kama pacha, hakika alifanana sana na Martin “Mungu wangu kumbe hii mimba ilikuwa ni ya Martin mtoto kafanana na Martin kheeeh! ni pacha wake kabisa” nilishangaa nesi aligundua mshangao niliokuwa nao “vipi” “aanh, mwanangu ni mzuri”, “yeah umezaa mtoto mzuri sana hongera”, niliachia tabasamu. Moyo wangu ulijawa na furaha ambayo siwezi kuielezea. “Mungu hatimaye umeufariji moyo wangu nikurudishie nini mimi nikurudishie nini kiwe sawa na fadhli zako Jehova” nilijikuta nikisali. Nilisali si kidogo, nilimshukuru Mungu kwa yote ambayo yaliwahi kutokea katika maisha yangu hatimaye mungu umenipa faraja ya milele mwanangu mpenzi. Nilishindwa cha kuongea ilikuwa ni furaha isiyo na kipimo. Hatimaye baba, wakili Happiness pamoja na shangazi yangu waliruhusiwa kuja kuniona pamoja na ndugu wa wakili Happiness walifurahi kumuona mtoto huyu mzuri, “mtoto mzuri sana huyu wa kiume” Ilikuwa ni furaha isiyo kipimo. Wakili Happiness alikuja kwa tabasamu, “unapenda mwanao aitwe nani”, niliachia tu kicheko, “bado sijafikiria kuhusu hilo” nilimwambia “naomba mimi nimpe jina.” Alisema Nilicheka “sawa” “Nitampa jina kwa wakati wake”, “nitashukuru.” Tuliruhusiwa kuondoka hospitalini hapo baada ya kila kitu kukaa sawa. Baada ya siku kadhaa kupita, baba alishauri apewe jina la muda wakati wakili Happiness akiandaa jina lake. Mwanangu aliitwa Blessing hakika alikuwa ni Baraka kwangu na kwa maisha yangu. Kesi yangu mahakamani iliendelea, hatimaye siku ya hukumu ilifika nilisimama kizimbani nikitetemeka sana. Mwanangu alikuwa amebebwa na wakili Happiness machozi yakinitiririka wakati huo wakili Happiness alikuwa na furaha wakati wote. “Anafurahi nini wakati hukumu haijatolewa nikifungwa je?” nilisema Akili yangu haikutuliai kabisa, “ee Mungu naomba usinitenganishe na mwanangu naomba unipe muda wa kumlea nampenda sana mwanangu.” Hatimaye muda wa hukumu ulifika, hakimu alisimama kwa ajili ya kutoa hukumu, “kutokana na ushahidi kutoka pande zote mbili, mahakama imeamua kwamba Catherine Kindamba kuwa hana hatia kwa kuwa hakuhusika na kifo cha Candy, ila Candy alifariki baada ya kushikwa na kizunguzungu na kisha kudondoka na kujingonga ukutani hivyo basi mahakama inapenda kumwachilia huru Catherine Kindamba kuanzia sasa”, nilijikuta nikipiga magoti kizimbani nilisali nilishukuru. Baba alishindwa kujizuia aliachia machozi kwa pamoja wote walikuja kizimbani na kunitoa na kisha kunikumbatia kwa furaha. Watu wengi walikuwa wakifatilia kesi yangu siku hiyo nilimwona mwalimu mkuu wa Hanspop Academy Mr. Maige alikuja kunipa hongera “hongera sana Cathe wewe ni msichana Shujaa sana.” Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka nilitamani kumuulizia kuhusu Martin lakini sikuwa na shaka kwamba alikuwa ameisha maliza shule kwa wakati huo. “Asante mwalimu” “Nashukuru ingawa umepoteza nafasi ya kusoma lakini naamini kwamba kuna siku itajirudia tena, endelea kujipa moyo Mungu yupo pamoja nawe” aliongea kwa upole sana mwalimu Maige na kisha kupotea machoni pangu. Nilibaki tu machozi yakinitiririka. “Tulilia kwa furaha mimi pamoja na familia yangu mpya nilimkumbatia mwanangu Bless. “Catherine” niligeuka na kutizama, wakili Happiness alikuwa akiniita, “mtoto wako ataitwa Comfort” akimaanisha faraja Niliachia tabasamu, “jina zuri sana nimelipenda nahisi nitakuwa na furaha sana kuitwa mama Comfort”, ila mwisho wa yote baba yake atakuja kuamua jina la mwisho mwanae ambalo atapewa. Maneno yake yalinifariji sana ingawa sikuwa najua ni namna gani ningekutana na Martin, nilirejea nyumbani. Watu wote waliingia ndani wakili Happiness aliniita “nimekuandalia zawadi kubwa sana binti yangu, wewe ni sawa na mwanangu. Naomba uipokee zawadi yangu” nilicheka, “mama” nilijizoeza kumwita mama. “niambie mwanangu” “mimi ndiyo ninapaswa kukupa wewe zawadi mama umenifanyia mambo mengi sana”, “hapana haya mambo yote yasingefanyika hupaswi kunipa zawadi mimi kama unataka kutoa zawadi ipeleke kanisani nimefanya haya yote IN THE NAME OF LOVE”, “IN THE NAME OF LOVE” nilijiuliza anamanisha nini? “Sawa nipo tayari kupokea hiyo zawadi yako” aliachia tabasamu “naomba nikuzibe macho ili usiione. Iwe surprise kwako” alimalizia, “hasa.. mama nimebeba mtoto si tutajikwaa tudondoke jamani” “Hamna mimi nitakuongoza”, aliongea kwa utani kama kawaida yake, Nilicheka tu, Aliniziba macho na kuniongoza sikujua hata tunaelekea wapi, baada ya kutembea hatua chache hatimaye tulifika ambapo tulipaswa kufika, alinifumbua macho. Sikuitaka kuamini nilichokiona mbele yangu. Martin na Martha walikuwa wamesimama mbele yangu walikuwa wamependeza sana Martin wangu alizidi kuwa mzuri na hakika alionekana mbaba nyuso zao zilijawa na tabasamu. Nilishindwa kujizuia machozi yalinitoka “Martin” sauti iligoma kutoka, Martin alilia alijongea polepole hadi nilipokuwa nimesimama, “Cathe mwanamke wa maisha yangu.” Alinikumbatia kwa nguvu zote huku akilia, Furaha iligeuka vilio kila mtu alitokwa na machozi. Martin alimchukua mwanangu na kumbeba “my first born” aliongea kwa sauti ya chini. “Nakupenda sana Catherine”, alisema Martin. “Nakupenda Martin” nilijibu. Nilishindwa kuelewa mazingira yaliyokuwepo mahali hapo. Martin alianza kujielezea. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA
Artikel Terkait
*MUUZA MAZIWA EP 04* Lisa alitoa ukulele huo huku muuza maziwa akiendeleza bakora zake kwa spidi zote. “muu-za ma…., naku-pen-da, mu-uu-za…” Lisa alizidi kulalama huku muuza maziwa akiendelea kutoa dozi nzito. “siachi kitu leo patakuwa patupu!” Aliwaza muuza maziwa huku akizidi kuichochea dozi yake na kumfanya Lisa apoteze network kabisa. “asiii, aiiii!!” Lisa alizidi kutoa ukulele wa mahaba huku akiwa hoi kweli kweli , Muuza maziwa alikuwa anampatia dozi ya uhakika mpaka kumfanya aheme nusunusu. “Ash, ouh, asiiii!!!!” Lisa alizidi kulalama hoi hoi kwa mikuno hiyo ya uhakika toka kwa muuza maziwa. Ilikuwa ni dozi ya uhakika na ya aina yake Lisa hakuwahi kuipata mikuno kama hiyo kabla, hali iliyomfanya azidi kuchachawa na kubwata kama vile mwendawazimu. “Geuka hivi” Muuza maziwa aliongea na lisa bila kusita alifanya kama alivyoelekezwa. Kasha muuza maziwa alimsogelea na kuanza vitu vyake. Staili ya sasa ilikuwa ya kifo cha mende, ilikuwa sio staili mpya kwa Lisa lakini kwa jinsi muuza maziwa alivyoipatia ilikuwa kama vile mpya machoni pake. “Asiii! Auuh Asiii muuu……” Lisa aliongea huku akishindwa hata kumalizia kauli yake kwa jinsi alivyonogewa na uroda. Muda wake wa kuzitikisa nyavu ulifika, Lisa alimkumbatia muuza maziwa kwa nguvu huku miguu yake akiwa amembana kiuno muuza maziwa kwa nguvu. “Nakupenda , nakupenda muuuza maziwa nakupe…..aahh” Lisa aliongea maneno hayo mfululizo huku bado akiwa amemkumbatia Muuuza maziwa kwa nguvu zake zote huku mwili wake wote ukisisimka. “nakupenda muuza maziwa nakupenda sana” Alizidi kuongea Muuza maziwa hakujibu kitu zaidi ya kuendeleza makamuzi yake tu kwa upande wake nae mambo yalikwishaanza kunukia. “kata kiuno “ Muuza maziwa aliongea Lisa bila kuchelewa alianza kukata kiuno, hapo ndipo muuza maziwa nae alianza kulalama kama mwenda wazimu. “hapo hapo safi sana endelea ahh endele….” Muuza maziwa alijikuta anashindwa hata kumalizia kauli yake sababu ya msisimko wa aina yake aliokuwa akiupata.. Lisa nae alizidi kuyakata mauno na kumfanya muuza maziwa azidi kupagawa kabisa. “yeahbaibe yes, ilove you!” Muuza maziwa alijikuta anaongea kingereza chake cha kuokoteza huku macho yakiwa yamemtoka kwa msisimko. Mpira ulishaanza kuingia gorini kilichobaki kwake ilikuwa ni kushangilia tu. Lisa alishaanza kuhisi kwamba dawainatoka kwa ghaflaakaichomoa sindano. “kudaleki!!” Muuza maziwa aliongea kwa kupani mara baada ya kuona kama vile amekatishwa uhondo, lakini lisa hakumtupa, akaanza kuisugua koni kwa mikono yake huku akiilamba. “ouuh, aah” Muuza maziwa alianza tena kulalama baada ya kuona mambo yamekuwa mazuri tena. Haikupita hata sekunde kumi na nane muuza maziwa alijikuta anatikisa nyavu huku Lisa akiendelea kumsugua sugua hali iliyomfanya muuza maziwa ajisikie raha moja ya ajabu. “auuh, auuh, aaahh” Muuza maziwa alijikuta anatoa ukulele huo huku network zake zikiwa hazisomi kabisa. “uuhhhh!” Muuza maziwa alishusha pumzi kwa nguvu baada ya shughuli hiyo nzito. “Uuuuuhh” Lisa nae alihema. Kila mmoja alimwangalia mwenzake hakuna aliyekuwa na la kusema, wote wawili waliishia kutabasamu tu na sekunde chache baadae waliamua kukumbatiana. Chuchu za Lisa ziligusa kifua cha muuza maziwa na kumtekenyatekenya pale Lisa alipotingishika, Muuza maziwa alijisikia raha kutekenywa tekenywa na chuchu hizo. “Mwaaa!” Lisa alimbusu muuza maziwa “Mwaaa!” Muuza maziwa nae alirudishia busu hilo.. Alianza kumuangalia Lisa kwa mara mbili zaidi , sura yake umbo lake na hata uzuri wa rangi yake vyote hivi vilimfany a muuza maziwa ajione mwenye bahati kubwa sana kuweza kufanya mapenzi na msichana mrembo kama Lisa. Alipofikiria swala hilo kwa mara aliona raundi hiyo moja haimtoshi, tama ilimwingia upya akataka mchezo urudiwe upya “Mwizi hapangiwi cha kuiba hapa ni kufagia tu , nitaikuta wapi bahati kama hii tena?” Muuza maziwa aliwaza na dakika hiyo hiyo alipiga kipyenga ili mechi ianze kwa raundi nyingine. “mmmh, muuza maziwa bwana “ Lisa aliongea kwa sauti nyororo pale muuza maziwa alipoanza tena kuzitomasa chuchu zake . Muuza maziwa taratibu akaanza kuibusu shingo shingo la lisa na kumfanya apate msisimko wa aina yake. “aauh, muuza maziwaaa” Lisa aliongea kwa sauti ya kimahaba pale Muuuza maziwa alipoupitisha ulimi wake katikati ya matiti yake huku akiuchezeshachezesha mithili ya nyoka mtema sumu, Lisa alijibenua na kuyafanya kifua chake kisogee mbele , muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno ili asianguke huku akiendelea kuuchezesha ulimi wake. “Asssiiiiii, auuuh” Lisa alilalama huku muuza maziwa akiendelea kuyapekecha mambo. Safari hii alikuwa amepania kwelikweli kwani mwendo alioenda nao si wa kitoto. “Auuh muuuz…………” Lisa alijikuta anakatiza kauli yakepale muuza maziwa alipomshika kiuno, alijisikia msisimko wa aina yake, muuza maziwa alimsogelea kwa ukaribu zaidi akushika mguu wa Lisa sehemu ya paja na kisha kuuinua kitendo kilichomfanya Lisa ayumbe sababu ya kusimamia mguu mmoja. Auuh!” Lisa alilalamika akidhani anadondoka lakini wapi , muuza maziwa alikuwa amemshikilia kisawasawa. Mkono mmoja kiunoni na mwingine akiwa ameushikilia mguu.. Taratibu akaanza kuchoma sindano. “ssiiiiiii!!!” Lisaalilalama kwa hisia pale sindano ilipoku inaingia taratibu. “Aaaa, asiiii auhhh” Lisa alizidi kulalama pale muuza maziwa alipoianza kazitaratibu kwa mwendo wa kinyonga , safari hii hakuzitaka papara. “unaipenda hii?” Muuza maziwa aliuliza “Yeah baby boy , I like that” (ndio mpenzi naipenda) Lisa aliongea kwa lugha ya kiiingereza na kusahau kabisa kwamba muuza maziwa hawezi kuzungumza lugha hiyo. Yote hiyo sababu ya network kuipoteza, hakuwepo tena kwenye ulimwengu wa kawida , alihisi yuko kwenye ulimwengu wa pekeyake, na yeye ndio malkia wa ulimwengu huo mfalme wake ni muuza maziwa. “Assssiii, auuuhh , assiiiiii” Lisa alizidi kulalama huku moto wa muuuza maziwa ukizidi kuwaka tu. Safari hii alikuwa akisimamia vidole akiendelea kushusha dozi yake ambayo ilikuwa plasi plasi. Hakuona inatosha akaamua kuunyanyua na mguuu mwingine wa lisa aliokuwa anasimamia . Auuuuu!!” Lisa alishtuka kidogo na kuhisi kudondoka, akatabasamu kuona mambo yanaedelea sawa . Dozi iliendelea huku muuza maziwa akiwa amembeba Lisa juujuu. Lisa nae akaizungusha miguu yake kwenye kiuno cha Muuuza maziwa ili ajisikize vizuri. Muuza maziwa akiwa bado ameyashikilia mapaja ya Lisa , Lisa akaanza kukata kiuno taratibu na kumfanya muuza maziwa ayaone mambo ni mambo kweli kweli.. Muuuza maziwa akayaachia mapaja ya Lisa na kumkamata kiuno kilichokuwa kikizunguka taratibu utafikiri kimefungwa mota.muuuza maziwa alianza kuzichezea shanga zilizokuwa zimejaa kwenye kiuno cha Lisa. ITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 05* ILIPOISHIA….. “Assssiii, auuuhh , assiiiiii” Lisa alizidi kulalama huku moto wa muuuza maziwa ukizidi kuwaka tu. Safari hii alikuwa akisimamia vidole akiendelea kushusha dozi yake ambayo ilikuwa plasi plasi. Hakuona inatosha akaamua kuunyanyua na mguuu mwingine wa lisa aliokuwa anasimamia . Auuuuu!!” Lisa alishtuka kidogo na kuhisi kudondoka, akatabasamu kuona mambo yanaedelea sawa . Dozi iliendelea huku muuza maziwa akiwa amembeba Lisa juujuu. Lisa nae akaizungusha miguu yake kwenye kiuno cha Muuuza maziwa ili ajisikize vizuri. Muuza maziwa akiwa bado ameyashikilia mapaja ya Lisa , Lisa akaanza kukata kiuno taratibu na kumfanya muuza maziwa ayaone mambo ni mambo kwelikweli.. Muuuza maziwa akayaachia mapaja ya Lisa na kumkamata kiuno kilichokuwa kikizunguka taratibu utafikiri kimefungwa mota.muuuza maziwa alianza kuzichezea shanga zilizokuwa zimejaa kwenye kiuno cha Lisa. xxxx—–xxxx—-xxxx MUENDELEZO WAKE : Jerry aliiingia kazini kwake hasubuhi hiyo akiwa hana raha kabisa.aliifikiria hali aliyomuacha nayo mkewe asubuhi hiyo., hakuwa na raha kabisa, Jerry alilijua hilo lakini kazi aliiiona zaidi kuliko kumfariji mkewe. “Kazi ndio inaniweka mjini, kazi kwanza alafu mapenzi baadae” Aliwaza Jerry akijaribu kuyapuuzia mawazo ambayo yalikuwa yamemsonga juu ya mkewe. Alikuwa akijikaza tu lakini ukweli ni kwamba hata nafsi yake ilimsuta. Nae alitamani kuwa na mkewe kwa wakati huo. Kichwani mwake bado ilikuwepo picha ya mkewe alipokuwa alipokuwa mtupu akimtaka wafanye mapenzi hasubuhi ya siku hiyo alipokuwa nyumbani. Aliyaona mapaja yake ya rangi maji ya kunde yaliyokuwa yamejaajaa na kuno chake kilchokuwa kimejaa shanga tupu huku kifua chake kikiwa kimesimama mithili ya kifuu cha nazi. Jerry alijikuta anadondosha udenda huku fimbo yake ikiwa imesimama kwelikweli., kichwani mwake hakuna picha illiyoonekana zaidi ya mkewe. Kila alipojaribu kushika faili ili aanze kazi alijikuta anashindwa kabisa, network zake zilikuwa hazisomeki kabisa. “si bora ningebaki nyumbani tu, ah” Alijisemesha Jerry kwa kupaniki baada ya kuona mambo yameanza kumshinda humo ofisini. Haikuwa kazi tena kwa wakati huo bali ilikuwa adhabu, kila alipojaribu kufanya kazi aliona anapata mateso tu. Alichptamani kwa sasa ni kuwa nyumbani na mkewe watulie wapate mavituzi yao. “ngoja nirudi nyumbani tu hakuna jinsi”. Aliwaza Jerry na dakika hiyo hiyo aliamka na kwenye kiti chake chake cha kuizunguka na kasha kuchukua koti lake la suti alilokuwa amelitundika kwenye henga na kasha kulivaa, simu iliyokuwa mezani aliichukua na kuiweka ndani ya mfuko wa suluari yake , alijitengeneza vizuri suluari yake kasha kutoka nje ya ofisi yake haraka. Aliufungua mlango na kuingia chumba cha Sekritari bila hata ya kubisha hodi. Alishtuka baaada ya kuingia ndani ya chumba hicho, kitu alichokiona mbele ya macho yake hakukitegemea kabisa, ilikuwa ni kama vile ndoto ya mchana. Sekritari wake alikuwa amekaaa juu ya meza akiwa ameyafumba macho yake kwa hisia , mkono wake mmoja akiwa ameupeleka mpaka kunako za siri huku mwingine ukiwa kwenye matiti yake akijaribu kuyaminya minya huku ule alioupeleka ikulu akiuchezesha chezesha na kutoa kilio cha kimahaba. “Assiiii, aiiii, asssiiiiii!!!!” Sekritari huyo alitoa kelele hizo za kimahaba huku akiendelea kujichua taratibu. Hali ilianza kuwa mbaya kwa Jerry ambae bado alikuwa ameduwaa akimshangaaa Sekritari wake. Alihisi kama mate yanamtoka paleSekritari huyo ambae alikuwa nusu uchi kwa sketi yake alivyokuwa imepanda juu na kuacha sehemu zote za mapaja wazi huku vifungo vya shti vikiwa wazi na kuacha sehemu zote za matiti kuwa wazi kabisa. Fimbo ya Jerryilikuwa imesimama kwelikweli na kuifanya suluari yake iongezeke urefu wa sentimita kadhaa kwenda mbele. “Ahh, Bosi!!!!” Sekritari aliongea kwa mshtuko baaada ya kufungua macho yake na kumuona Jerry mbele yake . Hakuamini kabisa, mapigo yake ya moyo yalidunda kwa kasi huku hofu ikiwa imemwingia kwa ghafla akiamini kwamba leo angefukuzwa kazi na bosi wake kwa mambo hayo aliyoyafanya mbele yake. “Bosi naomba unisamehe tafadhari , sina pa kukimbilia ukinifukuza kazi” Aliongea sekritari huyo huku akitetemeka mwili mzima kwa woga kwani alijua sasa anaweza kuipoteza kazi yake wakati ndicho kitu pekee anachokitegemea katika maisha yake. Bila kujua kwamba mtu anaemnyenyekea na kumuomba msamaha yuko hoi kwa hamu ya penzi lake. Kabla ya kuongea jambo lolote Jerry alisogea mpaka pale sekritari wake alipokuwa amesimama , alimkazia macho sekritari huyo aliona aibu na kuinamisha macho yake chini.. Jerry aliendelea kumuangalia na kumsaminisha na kugundua kwamba kumbe sekritari huyo ni kifaa haswa , akatabasamu huku akiendelea kumuangalia sekritatri huyo kwa mara mbili zaidi. “wewe ni mzuri Diana!” Aliongea Jerry huku akitabasamu kauli ambayo sekritari hakuitegemea kabisa , kwani alichokifikiria ni kwamba Jerry angelimfokea na baadae kumfukuza kazilakini badala yake anamsifia kwamba ni mzuri, alijisikia furaha moyoni akainua kichwa chke na kumtazama Jerry huku akiwa ametabasamu ambapo tabasamu lake liligongana natabasamu la jerry. Jerrry akaamua kuishika mikono yake na kuanza kuichezea. “mh, mh, mh” Diana alijichekesha kwa kuguna. Jerry alimsogelea na kumbusu. “mwaa!! Kisha akamkumbatia na kuendelea kumbusu huku akiyatomasa maungo yake na kasha wakaanza kunyonyana denda , sekunde chache baaadae kila mmoja alikuwa amepoteza mawasiliano na mambo yakawa juu ya mambo. Ikaanza mikuno huku hakuna yoyote kati yao aliyewazia kwamba wapo ofisini , kila mmoja alizama katika kuonyesha ujuzi wake. “oouuh, yeah camon, yeahbaby girl” Jerry alilalama pale Diana alipoanza kuyarudi., Jerry alibaki kupagawa tu, alikuwa kama vile amefungwa mota kwa jinsi alivyokuwa akikata, macho yalikuwa yakimtoka Jerry huku akiwa haamini kabisa kwamba maujuzi yote hayo anayatoa Diana msichana aliyekuwa akimdharau siku zote walipokuwa ofisini. Diana aliendeleza misigino huku kiuno chake cha nyigu akikielekeza karibu pande zote za dunia, mara kushoto , kulia ,mbele nuyuma , yaani Jerry alibaki kupagawa tu huku akihema nusu nusu.akipelekwa huku twende akirudishwa kule twende yaani kokote kule alikuwa anajaa. Kwa ghafla Diana akasitisha manjonjo yake , macho yalimtoka Jerry kuona mabadiliko ya ghafla. “vipi?” Jerry aliuliza kwa mshangao “tubadilishe” Diana aliongea kwa sauti nyororo “nini!!” Jerry aliuliza kwa mshangao “staili” Aliimjibu Diana kwa sauti yake ileile nyororo Kwa Jerry huo ulikuwa mtihani kwelikweli kwani staili pekee aliyoijua yeye ni ni hiyo ya kifo cha mende, leo anaambiwa abadilishe, alibaki anakuna kichwa pasipo kujua afanye nini. ITAENDELEA.. *MUUZA MAZIW EP 06* “sogea basi!” Diana aliongea huku akijaribu kumsukuma Jerry taratibu toka alipokuwa amemlalia, nae bila hiyana akaamka na kusimama kusubiri Diana atakachofanya , japo alikuwa hajui hakutaka kuonekana hajui. “kaa hapa basi!” Diana aliongea huku akiishika meza kumuonyeshea sehemu ya kukaa. Bila kuchelewa Jerry alikaa juu ya meza, kasha Diana kwa mwendo wa kinyonga akamsogelea na kumpanda juu yake , moja kwa moja akamsogelea mpaka mdomoni na kumnyonya denda kwa sekunde kadhaa na kasha akaanza kuushusha ulimi taratibu toka shingoni n kifuani, kitovuni hadi kunako bustani. Muda wote huo Jerry alikuwa tuli akisikilizia tu mambo yanavyokwenda huku mwili wake wote ukisisimka kwa hisia na raha ya aina yake. Diana aliendelea kuuushusha ulimi wake mpaka akaifikia koni na bila kuchelewa akaanza kuilamba, kialamba alamba ham!!, ham!. Jerry alizidi kuwa taabani kama mgonjwa naepumulia mpira kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. Diana aliendelea kulamba koni kwa dakika tatu mfululizo huku hali ya Jerry ikizidi kuwa mbaya . “ouh, yeah , baby yeah!” [ouh ndio mpenzi ndio] Jerry alikuwa akilalama huku hali yake ikizidi kuwa taabani. Diana alisitisha zoezi hilo na kuisogeza mashine ili aanze kusimika mzizi , taratibu Diana alianza kushusha kitu lakini safari hii ilikuwa ni kisamvu cha kopo. “Aaauhh!, aahh!, asiiii” Diana alilalama huku akijisimika mzizi kwa mwendo wa taratibu. “Dear mbona utafikiri sio huko!?” Jerry aliuliza kwa mshangao baada ya kugundua kwamba ladha aliyoipata sasa ni tofauti kabisa. “ni huko huko bwana!” Diana aliongea kwa sauti ndogo ya kufifia huku akiendelea kusimika mzizi. Jerry hakutaka kubishana aliendelea kuwa mpole japo alikwisha jua kwamba anachokula sasa ni kiboga. Diana aliendelea tu kuyapakuwa madude yaliyozidi kumpagawisha Jerry , wakitoka stairi hii mara ile yani bandika bandua , mpaka Jerry alijikuta kama mwendawazimu katika mahaba hayo. Simu nyingi ziliiita ofisini humo lakini hakuna hata moja waliyoipokea waliendelea tu na mavituz. Vitu vilivyokuwepo juu ya meza vilidondoka chini walipokuwa wakijigaragaza kwenye meza hiyo , lakini navyo hawakuvijali pia. Mambo yalikuwa mambo kweli kweli, siku hiyo hakuna aliyekuwa katika hali ya kawaida kati yao. “aahh, assii, auh!” Diana alikuwa akilalama kimahaba huku Jerry nae akitapatapa kwa staili yake. “NGO!, NGO!, NGO!” Sauti ya mlango ukigongwa ilisikika. Wote wawili hawakujali, sio kwamba hawa kuisikia hodi hiyo bali hakuna aliyekuwa tayari kuukatisha uhondo huo. Waliendelea kula uroda pasipo kujali. Hodi iliendelea kusikika kwa mara nyingine zaidi lakini bado waliendelea kuipuuza tu, huku wakiendeleza mambo. “inamaana hakuna mtu humu!?” Ilisikika sauti hiyo ya kike huku mlango ukifunguliwa taratibu. Kwa kusikia sauti tu jerry alikwisha gundua mtu huyo ni nani. Ilikuwa ni sauti ya PENINA, mdogo wake anaesoma shule ya sekondari Suji mkoani moshi. Na alikuwa na taarifa zake kwamba siku hiyo angewasili toka moshi kwa ajili ya likizo. Jerry hakuwa tayari kuivaa aibu hiyo, alimsukuma Diana pembeni na kasha kama mshale alijirusha mpaka nyuma ya kabati na kujificha hata kabla Penina hajaingia ndani ya ofisi hiyo. Penina alipoingia alimkuta Sekritari peke yake lakini hata hivyo mazingira yalimfanya asome kitu. Alimkuta Diana anajiaandaa kuishusha sketi yake iliyokuwa imepanda juu huku vifungo vya shati vyote vikiwa wazi. Penina alimwangalia Diana kwa mshangao huku mdomo wake akiwa ameuacha wazi kwabumbu wazi. ‘KARIBU Penina , hujambo, karibu,leo kuna joto” Diana alijaribu kujibaraguza huku akijaribu kufunga vifungo vya shati lake. Penina bila kujibu kitu alimwangalia tu. “Penina vipi unaumwa? , mbona mnyonge.” Diana aliendelea kujibaraguza “Kaka nimemkuta ?” Penina aliuliza “aah, hapana ameenda kwenye mkutano” “sawa basi akirudi mwambie nimesharudi ngoja mimi niende nyumbani.“ “sawa penina karibu tena” “asante!” Penina aliitikia na kasha kutoka njeya ofisi hiyo. Uuuhhhh!” Jerry alishuaha pumzi kwa nguvu baada ya kusikia sauti ya mlango kufungua, mapigo ya moyo bado yalikuwa yakimdunda kwa kasi kutokana na mshituko aliokuwa ameupata . Akamwaangalia Diana nae pia alikuwa akihema. Macho yao yaligongana kisha kwa pamoja wakaanza kucheka na kukumbatiana kasha wakaanza kunyonyana denda. xxxx- – – – xxxxx- – – -xxxx- – – -xxxxxx Raundi mbili hazikumtosha muuza maziwa , alishakwenda ya tatu hadi ya nne ndio alikuwa akiitafuta. Lisa aliendelea kuwa taabani kwa mapigo hayo toka kwa muuza maziwa . Muuza maziwa alikuwa amekwisha pania kumaliza kila kitu, muda ulizidi kukatika huku spidi yake ikiwa ni ileoile kasoro mapigo tofauti. Wakiwa katikati ya mambo mlangoulianza kugongwa. Lisa alichanganyikiwa kabisa kusikia hodi hiyo, haraka haraka alimchukua muuza maziwa na kwenda kumficha kwenye kabati kubwa lililokuwa katika chumba cha wageni kisha ndipo akenda kuiitikia hodi. ITAENDELEA ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 01* Sehemu Ya Kwanza (1) KWA UFUPI: Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry). Ni nini hatma ya penzi hilo jipya na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA? Ungana na GIFT KIPAPA katika chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi. SIMULIZI YENYEWE: Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao. “Kidogo tu mume wangu jamani” No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!” Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over. “jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.” Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu. Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo. Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo. Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde. “jamani Honey njoo basi!” Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba, Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake. “Oh, Dear haraka basi!” Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga. “uh!” Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli. “Ah, honey!” lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake. “ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!” Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table. “no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please” ( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari ) Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo. Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja. “jamani , honey kidogo tu” Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho. Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake. “mwaa” Alafu akampulizia mkewe. “Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi ) Kisha akatoka nje. “Honey!!” lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile. Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka. ITAITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 02* Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama. Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple. Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake. Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae mapenzi. “ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?” Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani. “Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?” Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani. Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua. “ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii” aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo. “fyonz” Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke . “sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu” Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa. “nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.” Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake. Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita. “MAZI….” Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao. “Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?” Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake. “sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“ Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa. Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea. “samahani” Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi. Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja ndogo. “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?” Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika. Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kui busu midomo yake. Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba. “Twende ndani basi” Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu. “Ni huku” Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe. Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake. “Aaaa, assii, muuza maziwa!” Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba. “Aaaa, assii!” Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu. “Utani_uua wee muu…” Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa. “Anza basiiiii…” “Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake” Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network. Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa. “Oh, honey anza basi sweety” Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu. “Auuh, Asii, Muuza maz….” Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa. “Auuh, Taratibu basiiiiii!” Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “Ngo, ngo, ngo” Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana. Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha . Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe? Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa. “Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?” Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa . “ngo, ngo , ngo” Ilisikika tena hodi ya mlango.. Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja. “fyouz” Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. ITAENDELEA MUUZA MAZIWA EP 03 ILIPOISHIA….. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. MUENDELEZO WAKE : Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa. Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto. “Eti dada hauchukui maziwa niondoke?” Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote. “Subiri nakuja!” Lisa aliitikia haraka haraka “haraka basi” Muuza maziwa aliongea Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga. “nitamnasa tu!” Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu. “karibu!” Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni. “asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“ Muuza maziwa aliongea “Oh pole sana lakini usijali” aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego huku macho yake akiyarembua. “ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi” Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa. “njoo ndani basi unipimie” Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake. “funga mlango!” Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga. Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa. Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu akijua tayari samaki ameingia kwenye wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa. Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili. Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali. “Ahayaaaaa!!!!!!” Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona. Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa. “Mwaaa!” Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika bakora. Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu. “Asssii!” Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine. “Aauuuu!!!!” Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake. Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake. Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu. “Assiii!!, we muu….” Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka . Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo. “Assii, ahh sisss!” Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia kama vile amempania. “sibakishi kitu leo na hakikisha patupu” Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake “aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”. Lisa aliongea kwa kigugumizi huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi , Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho. Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. wa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. MUENDELEZO WAKE : “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani. Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata.. Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu. “Asiiii” Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa. “asiiii, auh, aauuh!!!” Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu. Asiiii” Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno. Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake. Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka. “Auuh, taratibu, muu-za ma……..” ITAENDELEA. ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA SABA (7) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita nikaingia zangu ndani ile nafika sebureni sikukuta mtu nika nyoosha mpaka mezani nika kuta chakula changu nikala nilivyo maliza nika ingia zangu chumbani.niliwasha taa ya chumbani nilishangaa kuona......... Endelea nayo ........ mtu akiwa amelala kitandani kwangu tena kajifunika mwili mzima.nikasogea mpaka pale kitandani.nikafunua lile blanketi nilistaajabu kumuona dada binamu akiwa mtupu tana hana hata nguo nika mwamsha lakini akajifanya amelala nikaona nisimsumbue acha nikalale sebureni. wakati nataka kutoka nje nilishangaa naitwa na binamu "we Kenny unaenda wapi njoo unikune bwanaaah mwenzako nawashwa" nilimjibu siwezi kufanya hivyo tambua wewe ni ndugu yangu nilishangaa sana kuona kauli aliyo nijibu binamu ni nyama ya hamu we njo hata usiogope ujue nilikua nakupenda sana toka kipindikile mdogo nilikua naogopa kukuambia. na toka nimetolewa bikra yangu sijawai kukutana na mwanaume mwingine hivyo hapa nilipo nina ugwadu hatari. nilitamani sna kumuuliza nani aliye kutoa bikra ila nili sita nika kausha.basi kidume nika mwambia kwa leo nimechoka sana labda kesho ndo tutafanya nikaenda kitandani nikajifunika shuka nikalala.usiku wakati tumelala nilishanga kujikuta tume kumbatiana na binamu na hapo ndipo tulipoingia kwenye mahaba mazito. yani hakukuwa na muda wa kupoteza kwa kweli, mapenzi hakuna muda wa kufanya, popote kambi mnapojisikia, inabidi dozi itembee,yani binamu alinikumbatia kwa nguvu huku midomo yetu ikibadilishana juice, tayari Suruali ilishavuliwa muda mrefu na kumwacha Askari Kipara aliyesimama kama Mnara Dole lilizama kwenye kitumbua laini cha errycah na kukichezea kama napiga kinanda. Tena kwa vidole vitatu, basi errycah kwake ilikuwa kama kitu kigeni kuchezewa kiarage chake kwa vidole vitatu. “aaaaaaaaaaaaaaaaah,,, ,aaaaaaaaaaasssssssssssss,,,,m mmmmmmmmmh,,,,oooooh,,j,,,,aaa aaaaaaaaah,," Alilalamika huku akijilamba midomo yake kama ilipakwa asali,nilitumia mda mwingi kumnyonya Chuchu zake zilizosimama, basi mtoto wa watu alilegea kabisa, hapo sikuremba,wapi Askari Kipara ngoto a.k.a Dudu Mshedede,kwa mkono wake alilishika dudu na kuliingiza kwenye kitumbua chake. “aaaaaaa aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaas sssssssssssssssssss,,,,,mmmmh, ,,ooooooooouushiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaa aaaaaaaah,,," Alizidi kulalamika pale dudu lilipokuwa likiingia kwenye kitumbua chake kilichobana, taratibu mpaka likazama lote,ilikuwa ni utamu tupu Ujue wanawake wengi hupenda pale mwanaume unapoingiza dudu kwenye kitumbua chake,aanze kwa kasi ndogo sana kama hataki,yani aisikilizie mashine kama hatua za mtoto katika ukuaji. Aanze na kutambaa,kusima ma kutembea kisha kukimbia. Ndivyo ambavyo nilifanya, nilikua nampa maneno matamu huku nikimsugua taratibu, alikizungusha kiuno chake juu chini,kulia kushoto ili mradi afanikishe zoezi la kukikuna kiarage chake “aaaaaaa aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaaaa aaaaaaah,,,,oooooooooooh,,,,,m mmmh,," Alilalamika hivyo kimahaba huku akiwa hana hali,hata naye alijaribu kujibu mapigo. Akaanza kuongeza kasi kama anaingiza gia za scania ,hapo ndipo utamu ulipoongezeka kwa bibiye aliyehisi anataka kupaa. nilendelea kumsugua kwa kasi mpaka akaanza tuongea kama mtoto mdogo aliye pewa uji wa moto “aaaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiyuuuuuuuuuuuushuu uuuuuuuuuuuuu,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaas sssssssssssssss,,,,oooooooooooooh, aaaaaaaah," Alilalamika hivyo binamu, Dudu lilivyokuwa likimsugua vyema,alihisi utamu mpaka ndani kabisa kule utamu ulikojificha,dudu lilichokonoa kila aina utamu mpaka bibiye alimwaga bao lake,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,mmmm mmmmmmmmmh,," Alimalizia kulalamika hivyo baada ya kumwaga bao lake, akanipa sapoti Mwanaume mpaka nami nika ana kuweweseka huku maneno yakinitoka ooooohhhhh....,,,,, na.......ko,,,,,,,joooo sikumalizia maneno nikajikuta na mwagia ndani ya kitumbua cha binamu.kutokana na utamu ulio kolea. ila nilijipa matumaini mimba haiwezi kutokea mana nilianza mechi kwa sethi.tuliingia bafuni tukaoga kisha akaludi chumbani kwake nilijitupa kitandani nikapitiwa na usingizi mpaka pale nilipo kuja kuamshwa na na nasma. kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa "nitangulie wapi na Mimi nataka uni............... usikose ya 8 share kwa wingi nitume sehemu ya nane CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA NANE (8) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyopita........ kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa........... endelea sasa....... "nitangulie wapi naomba unikune kama ulivyo mkuna binamu yako Jana mpaka kashindwa kuamka mpaka mda huu" alinichukiza sana nikamjibu kwa hasira "sikia siwezi we dem sijaja kufanya mapenzi kwenye hii nyumba kwanza hapa nilipo Nina matatizo kibao mpaka saizi sijui wazazi wangu na mdogo wangu wamezikwa wapi alafu unaniletea ujinga wako sepa ukoo......." "eeeeh unasemaje kumbe unijui eeeeh kwa taalifa yako mjomba ako akifika tu nampa ubuyu wote tena exclusive yani kama unasikiaga shilawadu shilawadu hapa ndo kwake. sasa chagua moja utakuna au aunikuni"aliongea huku akijitikisa tikisa wowowo lake. nilishindwa nifanye nini kwa mkwala mzito alio nichimba ukiangalia nasma alivyo umbika nikaona acha nimtulize mjomba wangu alie vimba kwa hasira mvuta karibu yangu lakini ile nataka nianze kunyonya chuchu zake tulisikia kishindo mlangoni nilikimbilia bafuni moja kwa moja nasma akatoka nje kuangalia kwa mbali nilisikia maongezi yao,,,,,,,,,,!!!!! "we unatafuta nini huku" binamu alimuuliza nasma "nimekuja kumuamsha kaka Kenny" "yani kuja kumuamsha Kenny ndo umvalie kanga moja alafu nilisha anza kukushtukia toka mwanzo" "kha jamani Dada kwani unataka upa........" hakumalizia sentesi yake ali pigwa Kofi na errycah """paaaaaaaaaaah,,,,,,,,,!!!!""""" "shenzi tena nikusikie ukitamka huo ujinga wako utahama hapa ooohoo naona umenisahau malaya mkubwa we potea hapaaa" nasma aliondoka zake na binamu akaingia ndani nasha ngaa baada ya kunisubiri pale nje alikuja moja kwa moja hadi bafuni.niliinamisha kichwa changu chini kwa aibu kwa kitendo tulichofanya fanya jana.ilikua tofauti kwa errycah yeye aliona ni kitu cha kawaida tena ndo kwanza akataka tuendeleze gem. nilisikia mlinzi akiiniita kwa nje nikawai haraka kutoka kwenda kumsikiliza nilipofika aliniambia yule dereva wako yupo nje anakusubiri nilifurahi sana kusikia vile mana huyu dereva ana siri nyingi sana nikawai haraka nilipo mkuta nika mkalibisha ndani lakini cha ajabu alikataa kata kata kuingia ndani na alisema "kwa madhambi na machafu yanayo fanyika kwenye hiii nyumba siwezi nikatia mguu wangu hata Siku moja " machafu gani hayo yaliyo fanyika kwenye hii nyumba mpaka una zungumza ivyo....... janja nikianza kukupa story nitatengeneza sumu kubwa sana kati yako na huyo mjomba wako sasa sikia nimekuja kukuaga naenda mwanza nikirudi tukutane nikupe story nzima ila naomba iwe siri yako wewe na Mimi tena hata mjomba wako akikuuliza nani aliye kupeleka pale horena hotel naomba usinitaje mana nilisha wai kufanyanae kazi mwisho wa siku aliniwekea.......... tulikatishwa maongezi yetu na binamu aliye kuja "mbona humkalibishi mgeni ndani" hamna amekuja kunisalimia tu kasema anaharaka sana na anaotaondoka sasa ivi.kitu kilicho nishangaza zaidi ni kumuona dereva akigeuza sura yake na kuificha ili errycah asimuone aliingi ndani ya gari haraka na kuondoka kwa speed kubwa.kitu kilicho nifanya nibaki na mawali mengi nikiwa bado najiuliza nilitupiwa swali na binamu """huyu rafiki yako anaitwa nani""" nilibaki kimya mana hata jina lake simfahamu na sijawai kumuuliza.nika baki namtumbulia macho tu. "ila mbona kama kafanana na marehemu kaka john tulikua tunaishi nae hapa nyumbani alifariki kwa ajari ya gari." mmmmh..... binamu utakua ume mfananisha bwana ila nilianza kupata picha kichwani kwangu kwa nini kila mtu nina yesikia amefariki kafariki kwa ajali ya gari.nikabaki na maswali kichwani nikasema kuna namna tu hapa haiwezekani........ "tuingie ndani basi" ilikua ni sauti ya binamu ikiniambia wakati tunaingia ndani nilishangaa kumuona mlinzi akitikisa kichwa nilishindwa kumuelewa ila alionekana kuna kitu anataka kuzungumza.acha nikanywe chai niludi kwa huyu mzee nipige nae stori mbili tatu. nikafika sebureni nikaa kwenye kochi nikisubiri nitengewe chai kutupa macho kwenye korido nili mwona husna akiwa anapiga deki huku akiwa amevalia kanga hisia zilinipeleka mbali sana na kujikuta naanza kumtamani kusema ukweli husna ni mschana mzuri sana sema tu hajapata matunzo sura yake utasema yule msanii aliye imba "nagusagusa" nandy yani Siku ya kwanza kumuona nikasema naishi nyumba moja na superstar nilizama kwenye dimbwi la mawazo huku macho yangu yakitazama wowowo la husna jinsi lilivyo kua linatikisika nikajikuta napata ujasiri wa kusimama na kuanza kumfata. nilimsogele mpaka pale nika mshika kalio lake mtoto ali shtuka na kunitazama. nili tabasamu na kumbembeleza ili atulie na akaanza kuni lembulia .sikulemba mtoto wa kiume nika msogele karibu nika mkumbatia na kuanza kumpa maneno matamu "nandy oooh,,,,,,,,,,!!! eti nandy husna nakupenda sana please naomba unikubali mana toka nilivyo kuona moyo wangu ulitokea kukukubali sana ndio mana nimeshindwa kujizua" niliongea maneno machache ya kisomi sio unaongea maneno mengi mpaka una mchosha mwenzako.kama kuna jamaa yangu mmoja utamsikia swagger zake "mi mtoto baba yangu gavana wa bank kuu BOT hela zote yeye ndo anatia saini yake" Ukiangalia anapokaa tuachane na hayo tuendelee na stori yetu.... basi mtoto alikaa kimya sikumwelewa kama amekubali au laa nikaamua kumvutia chumba kimoja kilichokua karibu yetu nilipo tazama mlangoni nilishangaa kuona namba #966 juu ya mlango siku wekea maanani sana.nikataka kufungua ili nimuingize husna tufanye yetu......... _Kesho tutaendelea na sehem ya 9_ *usiku mwem* ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA SABA (17) UMRI ±18 ilipo ishia "nilibaki kimya kwa mda nikamwambia twende basi kwenye chumba cha sili tujue mbivu na mbichi"............. endelea sasa tulitoka na tukaelekea kwenye kile chumba lakini ile tunataka kufungua tu tulisikia mlio wa gari kwa nje tulighailisha na kila mmoja akafata mambo yake.alikuja mjomba peke yake na kuanza kuita Kenny........!!!! errycah ........!!!! we Kenny.......!!!!.njoeni hapa tulitoka kwa wasi wasi sana tukijua leo tume babwa tulipo fika sebureni tulikaa kwenye sofa moja huku mjomba akiwa anaenda huku analudi........ kuonyesha amechanyikiwa sana.tulimuuliza wote kwa pamoja "kuna nini kwani" mbona upo ivyo ? wakati anaendelea kujibu nikitupa macho chini na kuiona chupi ya errycah ikiwa pale chini niliogopa sana kama mjomba akioona najua nitalambwa shaba hapa hapa.nika sogeza mguu wangu na kuikanyaga ile chupi nikapeleka mkono na kuiweka mfukoni huku mjomba akiwa bado anazunguka zunguka tu. "baba kwani kuna nini"errycah alimuuliza "mwanangu hivi kwa nini ajali zinatuandama sana kwenye familia yetu wakati tunatoka hapa asubuhi tukiwa tunaelekea bank tulipata ajali mbaya sana namshukuru mungu wangu nimepona lakini lakini.... mjomba alishindwa kumalizia maneno mana aliangua kilio na kusema mama yako yani shangazi ambaye Jana nililala nae Vanessa husna na nasma walifariki pale pale " nikajikuta nalopoka kwa sauti what haiwezekani noooooo uncle ......!!!! niliamka na kumkazia macho mjomba itawezekanaje wote wafe na wewe upone nieleze imekuajeeee.... mjomba alijitetea kwa kusema nililuka na kuliacha gari kama hamuamuni twendeni mkalione gari lilivyo haribika tulitoka nje kwa speed ya ajabu na kukuta kweli gari lina hali mbaya.na pale pale mjomba alipokea simu kutoka monchwari ikimwambia njoo uchukue maiti zako. niliona kama sinema vile kuwapoteza mapacha wangu na kingine kilicho nishtua mjomba alituambia "nyie bakieni hapa nyumbani na Mimi nitashughuliki misiba yote.nitaondoka leo na Nita wataarifu Siku nayoludi" alipo maliza hapo aliingia ndani na bahasha na akaenda moja kwa moja kwenye kile chumba cha siri na kutoa ufunguo mwingine alikaa ndani kwa mda wa nusu SAA huku tukibaki na maswali mengi alipotoka tulishangaa kumuona akifunga mlango na kufuri jingine jipya. mission yetu ndo ika felia apo alipotoka hapo aliingia ndani na kuvaa suit nyekundu na kitu kama rozari yenye kichwa cha fuvu alituachia sh laki tano na kusema hiyo ya emergency nitawaingizia hela nyingine kesho acha nikamalize msiba mzito nilio nao. tuli mbembeleza sana twende wote lakini aligoma kata kata na kutuambia "msibani kuna mambo mengi bakini wanangu kenny utalichukua gari na kulipeleka gereji iliyo kwepo karibu na horena hotel ukifika pale liache ntakuja kulipa nikija"alitoka na kuchukua gari lake jigine nyekundu na kuondoka kwa speed kubwa tulibaki kama vifaranga vivilivyo nyeshewa na mvua.." ilikua hari ngumu sana kwa errycah ambae aliogopa sana na kuniambia "sikia Kenny tufanye mpango tuondoke mana haya unayo yaona ndio yaliyo wakuta wazazi wako mama yangu na watu wengine tulio kua tunaishi nao hapa.next tutakua ni sisi tuibe hela tuondoke zetu." tukiwa bado pale nje alikuja mlinzi na kutuambia nawaombeni mumuwahi kumuua baba yenu kabla haja wamaliza nyie ukweli wote upo chumba namba #966 kazi kwenu aliondoka yule mlizi huku akiwa anatuikisa kichwa kuashiria anatuonea huruma sana. kitendo kile kilimuuogopesha sana errycah nilimbembeleza kwa kumkumbatia na kuingia nae ndani nika mpeleka chumbani kwake lakini Ali endelea kuogopa kitendo kilicho nifanya nibaki nae chumbani.kama unavyo jua tena hasi na chanya zikikutana lazime itokee shoti errycah alianza kutoa miguno ambayo ilinipa hamasa ya kuvunja amri ya sita. nikaona isiwe tabu acha tupunguze stress kidogo nikaanza kutembeza ulimi wangu kwenye mwili wake na hapo ndipo akaongeza ile miguno "raha,,,,oooh,,unantekeeenyaaaaa,,,,aaaaah,,,ooooiiiiiiiiiiissssshhhhhhhhh,,,aaaah,," jinsi ulimi wangu ulivyokuwa unakuja karibu na kitumbua chake """mmmmmmmh,,,aaaaaaaaaaaah,,ooooooooooh,,,,aaaaaaaaaaiiiiiiiiiissssssssssss,,,,ulimi wa wangu bado haukufika kwenye kitumbua lakini ulikuwa katikati ya muunganiko wa mapaja na kitumbua,yaani pembeni kidogo ya mashavu ya kitumbua,errycah alikuwa akichezesha miguu yake huku akijiminyaminya matako yake pale kitandani Taratibu ulimi mpana wenye joto uliingia rasmi kwenye kitumbua laini cha binti huyo aliyekuwa ameshikilia mito kama ana ugomvi nayo kwa utamualiouhisi ,,,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,,,uuuuuuuuuuuuuuuuuhh,,,,,,binamuuuuu,,,nakupendaaa,,,aaaaah,,,,kennny,,,,,aaaah,,,ooooiiiiiiiiiiiiiiiiiissssssssssssssssssssssssaaaaaaaaaaaaah,,,mtoto wa watu alikuwa hajielewi kwani kiarage chake nilivyo kinyonya kiufundi hasa kiasi kwamba alihamisha mikono yake kichwani kwangu na kandamizia kwenye kitumbua chake,, niliingiza ulimi wake mpaka ndani kabisa ya kitumbua huku akimsugua vyema kiarage chake,,,,kuna muda nilikuwa nakikipigapiga kwa haraka kiarage hicho na kumuongezea msisimko wa ajabu mtoto wa watu aliyekuwa mara aume midomo yake,mara anishikeshike kichwa ,mara avute mashuka,mara arusherushe miguu yake kama nataka kufa,,,, lakini sikumwacha niliendelea kumnyonya kiarage chake huku mkono mmoja ukiwa kwenye kitovu mwingine kwenye Chuchu ya kulia ukiendelea kumshikashika taratibu,,,binti alianz akuzungusha kiuno akiweka vidole vyake mdomoni kwa utamu errycah baada ya kunyonywa kwa muda,alianza kuhisi mwili unamsisimka kwa raha,hapo kelele ziliongezeka za mautamu ambapo niligundua hilo,nilichokifanya,haraka nilishika dudu langu lililosimama kama kurubembe la ukwaju,kisha nikalichomeka kwenye kitumbua cha binti huyo kilichobana hasa,nikaanza kumsugua,,,jamani kuna raha mwanamke anapokojoa akiwa ahajaingizwa dudu lakini akikojoa kutokana na msuguano wa dudu ndio inakuwa raha zaidi,basi nilimsugua na dudu langu lililokuwa linatereza kwa kuzama lote na kutoka haraka ,,,,mmmmmmh,,,ooooooooooooooooohh,,,,,amamaaaaaaaaaa,,,,binamu,,,,yanguuu,,,aaaagh tia yoteee,,ooooh,,,,aaaasssssssssssssiiiiiiiiiiiiiiiii,,,errycah alilalamika kwa utamu huku akinikumbatia kisawasawa,,,,,,,,,,,,,, nilikua namsugua binti huyo kama sitaki ambapo binti wa watu alikuwa hoi huku naye akizungusha kiuno kama yondo sista,,,,aaah,,,aaaah,.,,,mmmh,,,oooouuuuhhhiiiiiiiiiissssssssssssssssssshhhhhhhh,, nilijitahidi kumkunjakunja binti huyo kwa kumgeuza kulia kushoto,mara miguu juu chini ili kumsugua ipasavyo,hatimaye na mimi nikafika mshindo nika kojoaaa lakini cha ajabu alinidaka kwa nguvu na kuniambia "usichomoe mwagia humu humu kama mimba tutalea mana ukoo wenyewe unapukutika kila siku. kauli ile ilinifanya kuzinduka kutoka katika mawazo ya kishetani ya uasherati na ngono na kukumbuka kua Mimi ni mseminari na nahitajika kua padre.nika mwambia errycah inabidi tutubu dhambi tulizo Fanya mana maisha yetu yatakuja kua mabaya zaidi huko mbele cha msingi hebu tukamilishe utaratibu twende kwenye kile chumba cha siri tukakifungue....... "tukafungue bila ufunguo hukuona baba alivyo badilisha kufuri" alinijibu errycah duuu .... kwaiyo tutafanyeje sasa ? inabidi tuendelee kumsubiri baba akiludi tumwibie ufunguo ambao anatembea nao kwenye chupi... "sasa kwenye chupi yake sisi tutaipataje" inabidi nilale nae tena ili tupate ufunguo alinijibu errycah hauoni aibu ya kulala na baba ako tena ni laana kubwa sana mbele ya mwenyezi mungu "kama kulaaniwa tumesha laaniwa dhambi tulizo zifanya hata shetani azifikii" tukaingia kuoga tulivyo maliza tuliingia jikoni kupika tulivyo kua tunafanya kama mume na mke vile jumba lote letu nikakumbuka huu ndo mda wa kumcheki yule dereva nikachukua simu yangu na kuanza kuitafuta namba yake lakini sikuiona nikawa sina cha kufanya ilibidi nimsubili mpaka yeye anipigie mana namba yangu anayo.errycah alianza kiuchokozi chake tena pale pale sebureni nikaona huyu anataka anizooee nikavikumbuka vile vidonge alivyo nipa nasma ambaye sasa naambiwa ni marehemu lakini bado sijathibitisha kama kweli.nikapiga vitatu ili nimle mpaka anikome. nikaanza kumchezea errycah mpaka akalegea kabisa ile nataka kuweka dude langu kwenye kitumbua chake ambacho kimesha kolea mafuta tulishtushwa na honi ya gari kutupa macho vizuri tuligundua ni mjomba basi nikapandisha suruali yangu juu na errycah akajifunga kanga yake huku nyege zikiwa bado zimempanda. tulitoka nje kwenda kumpokea mjomba nilipo tupa macho yangu mbele nikakumbuka ule usemi wa wahenga unao sema milima haikutani ila binadamu tunakutana huwezi kuamini nilimwona mjomba akiwa ameongozana na yule mschana ambaye nilimkosa kosa kule Rwanda.......... je unataka kujua alikua ni nani usikose muendelezo wa simulizi hii nzuri cha kufanya ni Ku like page tetu share na marafiki zako ... ************** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA NANE (18) UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyo pita mjomba alimsindikiza manka mpaka chumbani kwao kisha nikamwona mjomba akiingia chumba cha mwanae errycah nikasema huko lazima mtu aliwe mana nilipo mwangalia mjomba kwenye bukta yake niliona mashine imesimama Dede..... endelea sasa niliingia zangu chumbani huku nikiwa na nyege nikajisema kwaiyo leo kidume sipati show ya kulala nayo nikaingia bafuni nikajimwagia maji na kujitupa kindani. ********** *upande wa mjomba alipo fika mlangoni aliingia moja kwa moja ndani na kumkuta errycah yupo bafuni anaoga na yeye akavua nguo zake na kumfata humo humo bafuni.errycah alikuja kushangaa lakini teali Alisha chelewa mjomba aliwahi kushika chuchu za errycah ambapo ndipo kwenye udhaifu wake. Amini usiamini kila mtu ana udhaifu wake na hamna kitu kizuri kama ukifahamu udhaifu wa mwenzako upo wapi mfano wengine ukiwashika tu mkono basi unapiga mzigo yani unakua umemmaliza kila kitu.basi errycah alilegea na kuanza kutoa miguno "mmmmmmh.....!!! babaaaa....... niacheeee......!!! jamaniiiii.......!!! dad....!!!!* *ilikua ni sentensi fupi sana kuitamka lakini alishindwa kuitamka errycah alilegea kiasi cha kumpa baba yake nafasi ya kutalii mwili wa mwanae.taratibu wakajikuta wote wapo kitandani,mjomba hakutaka kujionyesha kuwa yeye ni mdhaifu, alianza kumuandaa mwanae kwa busu, na lips zao zikakutana wakaanza kubadilishana mate.huku errycah akiwa amenogewa kabisa na utamu wa mjomba ambaye ni baba yake mzazi.* muda huo huo kila mtu alikua yupo kama alivyo zaliwa mzuka ukampanda mjomba sasa akaanza kunyonya chuchu za errycah.huku errycah akiwa ana papasa kitumbua chake huku akilalamika kwa kimahaba "yees.yeees daddy .........yees dadyy...ooooh..aaaashshs ........ooooooppss endeleaaaaaa utamuuuuu jamani daddy........kille....m...e,," mzee alizidi kushuka mapaka mapaja ya errycah na kuyalamba kwa kwa ufundi wa hali ya juu, Ulimi na lips za mjomba, uliendelea kutalii kwenye mapaja ya mwanae na pembeni ya kitumbua cha errycah huku errycah akiendelea kutoa miguno kwa raha ya ajabu aliyo isikia aaaaaahh,,,,,,,,,,,, babaaaa nakupend...a endeleeeeaaa............ ooooooohhh........dadie........ naomba...... unitieeeeee.........!!!! kwa ustad wa hali ya juu mjomba alizama chumvini kwa errycah errycah alionekana kuchanganyikiwa na zile raha za mjomba pale kitandani akawa anasema.. "dady hapo hapo usitoe......mmmmmhh. ooooooffff .........jamani......... dady......kwanini hukuja.....toka mapema .........love you daddy..... aliendelea Ku bwabwaja maneno ya ajabu ajabu huku utamu ukiendelea kumkolea.... mjomba alipo ona errycah ameshalainika akamsogelea usoni kisha akam'busu busu shingoni uku kidole chake cha kati kipo kwenye kitumbua kinapima oil kama ipo ya kutosha. mjomba alisimama kisha akakaa style alio ona inafaa vizuri akaingiza nanilii....... Kwenye kitumbua cha mwanae na hapo doz ikaanza, errycah alionekana kuogopa sana mashine ya baba yake, siku hiyo yani alikuwa anashtuka shtuka wakati wa gemu mpaka mjomba akamshangaa na kumuuliza vipi mbona hivyo errycah hakujibu kitu zaidi ya kusikilizi kitu kikiwa kina zama na kutoka. kitumbua cha errycah kilikuwa na joto sana pia alikuwa na maji mengi kilicho pelekea mashine kupita kwa urahisi na kusababisha mjomba kutoa mguno kwamba yupo ukingoni kumaliza safari yake kwa binti yake ooooooooohhhh......!!! mmmmmmmmhhh........ na hapo hapo akafunga gori lake LA kwanza na kumlalia binti yake wakati huo huo errycah na yeye alikua ndo anafika mlimani babaaaaaaaaaa mwaaaagiiiiiaaaaa pembeniiiiiii alikua teali amesha chelewa wazungu walikua wamesha kimbilia ndani.......... "ivi je nikipata mimba" "mimba haiwezi kutokea na kama ikitokea kwa utamu ulio nao siwezi kukuacha mwanangu" aliongea mjomba uku akimvuta errycah akaja juu yake...... ISOME YOTE KWA SH 2000 0658247651 ______________********________ mda huo mjomba amelala kitandani, errycah alishika mashine ya babayake akajihukumu nayo yeye mwenyewe ila kadiri walivyo kuwa wana binjuana ikaanza kitumbua cha errycah kilianza kulainika na kutanuka kitendo kilicho sababisha dudu lote kuzama ndani.japo ni kitendo cha kibaya walichokua wanafanya lakini waliweka tofauti zao pemeni na kupeana raha......mmmmmmmhhh...... ashhhiiii. tamuuuuu........ ilikua ni miguno ya errrycah..... ************* CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TISA (19) & 20 ilipoishia sehemu iliyo pita mda huo mjomba amelala kitandani, errycah alishika mashine ya babayake akajihukumu nayo yeye mwenyewe ila kadiri walivyo kuwa wana binjuana ikaanza kitumbua cha errycah kilianza kulainika na kutanuka kitendo kilicho sababisha dudu lote kuzama ndani.japo ni kitendo cha kibaya walichokua wanafanya lakini waliweka tofauti zao pembeni na kupeana raha......mmmmmmmhhh...... ashhhiiii. tamuuuuu........ ilikua ni miguno ya errrycah*..... endelea sasa............... tukiludi upande wangu chumbani nilihisi kuna mtu ameingia chumbani niliamka na kuwasha taa nilishangaa kumuona manka akiwa na chupi tu nikasema yes leo natoa bikra kwa mara ya kwanza nikamsogelea na tukaanza kuchèzeana kwa muda mrefu ukafika ule wakati nikashka rungu na kuanza kulipeleka kwenye kitumbua cha manka. Nilishangaa kumuona manka akinigeuzia myuma yaani tigo wengine wanaita nyama ya bata na akakalia yote mpaka ikazama bila kikwazo kisha mtoto wa kirwanda alianza kukata mauno kama feni na huku nikishangaa kuona kwa mara ya kwanza nakula tigo. Niligugumia utamu ule nilioupata kutoka kwa manka huku nikiendlea kushikiria kiuno wakati manka anajikunja kunja kama kambare aliyenasa kwenye mtego.kwa akili zangu za kawaida ningekujua kama kuna kufanya ule usodoma nisingeweza kukubali ila kwakuwa nimechomekewa ngoja nitafute Baada ya round ya kwanza tulipumzika pembeni huku nikijawa na maswali mengi juu ya kale kamchezo haramu ka kupeana tigo.tena ukiangalia sina uzoefu.nikaamua kumlopokea. manka kwa nini unanipa tigo badala ya voda we unataka nikupe voda alafu mjomba wako akijua si ataniua mana nime mwambia Nina bikra ? sasa sikia una nipenda au ? nakupenda tena sana tu alinijibu manka basi nipe mbele na sio nyuma jamani siwezi........!!! naogopa kuuliwa mana mjomba wako kanionyesha bastola kama sina bikra.... nikasema huyu nisipo jiongeza sipati kitu nikamvuta mpaka kifuani tukawa tunatazama ila cha ajabu alijipindua na kunilalia kwa mgongo, niliendlea kumchezea chuchu zake naye akakamata mtambo akaupaka mate na kuanza kuhusugua kwa kiganja chake ndo akaamsha madudu yangu nilimgeuza akakaa dog style manka ananenepa makalio kumbe linaliwa tigo ili kulinda hapo baadae aonekane alijitunza sasa mimi kwa hili nataka nimtibulie malengo yake maana najua kama kuolewa ataolewa tu na mjomba. nikabinua zaidi kiuno nikaiona imekaa poa nikapitisha moja kwa moja kwenye kitumbua chake mpaka ikazama yote mtoto alilia sana mpaka nikamuonea huruma alivyolia ila nikasugua kwa nguvu mpaka damu zilianza. Nilijifanya kama sisikii kile kilio alichokuwa anakitoa manka na zile damu zilizokuwa zinamtoka japo hazikuwa nying ila kwangu havikunipa uoga wowote maana nasikiaga ni kawaida sana japo sio wote wanao tokwa na damu. Nilikuwa na alama za kucha niliyo pigwa hadi tendo halikuwa na raha tena maana nilitumia nguvu zaidi na huku manka hakiwa hataki ila maji ndo nimeshavulia nguo niliendlea kusugua mpaka mwenyewe akaishiwa nguvu akawa analia tu maana kama bikra ndo imeshatoka tena. Niliendelea mpaka nikasikia wazungu wanakuja nilishndwa kujizuia nikamwaga humo humo ooooooooppps aaaaaaaahh.......shitiiiiiiiiiiii mchezo ukaishia hapo nikajilaza pembeni manka alionyesha alikuwa na hasira na mimi hakutaka kunitazama zaidi ya kulia na kunilaumu na kuniambia "sasa nilikua Nina siri nzito ya kukupa sasa sikuambii" nilimbembeleza sana mpaka akalopoka yule dereva unaye mtegemea akupe siri ya mambo yalivyo ........tume mkuta mwanza akiokota makopo... "yani dereva kawa chizi" ndio mana yake...... TUNAUNGANISHA offer lipia sh 1000 uisome yote mwanzo mpaka mwisho SEHEMU YA 20 endelea sasa TUKILUDI UPANDE WA MJOMBA NA ERRYCAH.... mjomba akawa anampapasa kifuani huku vidole vyake vikilowa majimaji yanotoka ukeni kwa errycah. alimchezea hadi akalegea kama maiti inayosubiri kuzikwa akaushika mdudu wake na kuanza kuusugua juu ya kinena errycah alijihisi yupo mbinguni kwa raha alizo kuwa ana zipataa. "ba....ba......ba.shiiiii ...utamuuuuuu nakupendaaaa ....iiiiishiiiii"alilia kwa utamu "aishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baba unanimaliza kabisaaaa yanii raha kama hizi sijawai zipata alisema kwa taratibu masikioni mwa mjomba " "Aaaaaa....aiii iii a ...aaaah..aaiii .uuuuu..uuuu"jamani raha alizokua anazipata hata azielezeki aliemdelea kulia kwa sauti ya utamu mjomba akaanza kuingiza muhogo wake taratiiibu kwenye kitumbua na errycah akatanua mapaja yake ili muhogo uingie vizuri "aaaaaaaaaah..mhmm..aassss aaaasssshhhiii "jamani kale kamchezo ni katamu sana mjomba akambinua tena na kumweka pembe la ng`ombe na akaanza kupiga nje ndani " mhff..uuu...mhmhff uu uussshhhhhii " mjomba alishusha pumzi taratiiibu kwa utamu alio upata kutoka kwa mwanae errycah. akambinua na kumkunja miguu yake na kuiweka kichwani huku aki piga nje ndani naye errycah hakubaki nyuma alimzungushia kiuno kimadoido huku akilalama chinichini kwa utamu wa raha alizokuwa anazipata. ..... aka mkatikia mauno na kuanza kumgongeshea mjomba nnje ndani hadi akamsikia mjomba akilia kwa utamuu " aaaaaaaaaaiiiiiiiiiii. Liiiii ...errycahaaaaaaaaaaaa iiiiiiiiiiiiaaaiiii"akamwaga mchuzi mzito wa motoooo kwenye kitumbua cha bintiyake "aaaaaaaaah " akashusha pumzi na kutoka mwilini mwa errycah. errycah akavuta nguo yake na kujifunika kwa aibu ya kitendo kile walichofanya na baba yake mzazi.nae mjomba akachukua bukta yake haraka lakini errycah aliwai kwenda kuishika ile bukta na kuchomoa ule ufunguo wa siri.akamfata mjomba na kumwambia daddy asante sana kwa raha ulizo nipa sijawai zipata japo tumefanya dhambi lakini asante mana nilikua sijapata mtu wa kunikuna kiasi cha kukujoa mara 4 mfululizo " aliongea hayo huku akiwa ana mvisha mjomba bukta walienda bafuni wakaoga utafikiri mtu na mkewake kumbe mtu na bintie walipomaliza waliingia kitandani na kuuchapa usingizi hadi asubuhiii.. tukija upande wangu manka alinipa plan akaniambia mjomba wako sio mtu mzuri kabisa mana tulivyo kutana tu na yule dereva pale pale dereva akageuka na kua kichaa kitendo kile kilinipa maswali mengi kingine alikuja Rwanda kutafuta binti ambaye hajawai Ku sex kabisa alitangaza na kuweka day kubwa sana la pesa ndipo nilipo amua kukubali ili akinipa izo pesa nikawasaidie wazazi ambao wapo hospitalini. tuliongea mengi na nikampa ushauli jinsi ya kufanya siku watakayo lala na mjomba nika mwambia akianza kuingiza dude lake inabidi u act kama kwel wewe bikra usijisahau mana akijua wwe sio bikra lazima akuondoe duniani hapa. alinisikia na kunipongeza kwa ushauli nilio mpa tukaingia bafuni tukaoga tulipo maliza ilibidi yeye aludi chumbani kwa mjomba ili tusije tukashtukuwa alikua ana jikaza sana mana dozi niliuo MPA ilimfanya achechemee kama kilema vile. nilifika kitandani na kuwaza sana juu ya matendo Yale huku nikiwaza jinsi ya kurudi shirikani ili niendelee na wito wangu wa kuja kua padri kusema ukweli nilitamani sana kua padri lakini vishawishi ndo vinanisonga nilipitiwa na usingizi na nikaja kushtuka ni asubuhi. nika sikia hodii ikibishwa chumbani kwangu Kenny,,,,,,,, Kenny fungua mlango ilikua ni sauti ya mjomba.nilipata wasiwasi labda pengine amejua ujinga nilio fanya na manka nikaamka na kufungua mjomba aliingia akiwa ameshika bastola yake na hapo hapo nikaanza kutetemeka alisogea mpaka karibu yangu na kuniambia..... usikose sehemu ya 21 like page yetu sasa offer malizia simulizi hiii kwa vipande 12 vilivyo baki kwa shilling 1000 tu pia utaungwa kwenye group letu...... ********** ... Read More
*MWAGIA HUM HUMO EP 01* ```NEW NEW NEW NEW NEW``` V. _BY ADMIN MODDY_ Sehemu Ya Kwanza (1) Toka nimezaliwa nimekuwa mwanamke mwenye mkosi kila mpenzi wangu mwanzo wa mapenzi yalikuwa motomoto. Lakini baada ya muda fulani mwanaume alinimwaga bila sababu za msingi. Kila siku ya Mungu nilishindwa kuelewa nina matizo gani mtoto wa kike miye. Kibaya zaidi ndoa niliyofunga miezi minne iliyopita ilivunjika huku mpenzi wangu akipagawa na penzi la nje. Jamani mbona makubwa, huyo mwanamke aliyenivunjia ndoa yangu hata mkonioni hajai, hanizidi kwa lolote si kwa sura wala umbile. Niliamini maneno ya watu huenda yule mwanamke ni mchawi. Kitendo cha ndoa yangu kuvunjika na historia yangu ya nyuma ya kuachwa kwenye mataa na wanaume kiasi cha kugeuzwa jina ubao wa shabaha kila mwanaume kujifunza kulenga kwangu na akichoka hiondoka bila kwaheri. Bahati niliyokuwa nayo mwanaume yeyote aliyenitaka, yupo radhi kunihonga hata milioni ili mradi anipate, Mungu alijilalia umbile na sura lakini niliamini kuna kitu kikubwa kimepungua kwangu kinachofanya wanaume wanikimbie. Kwani moto anaoanza nao mwanaume kama maji ya moto lakini baada ya muda hupoa. Lakini hachelewi kupoa, wapo niliokaa nao mwezi mwili, mitatu , wiki na wengine wakionja hawarudi tena. Kuna watu walionifuata na kunieleza labda niende kwa waganga wa kienyeji ili nisafishwe nyota yangu. Ushauri ule niliufuata baada ya kutumia dawa zile sikuchelewa kupata bwana aliyetangaza ndoa kabisa. Lakini baada ya miezi minne ndoa yangu ilivunjika, kitendo kile kilinitia aibu, yote ya kuchezewa na wanaume na kuachwa ilikuwa tisa, kumi ilikuwa kuachwa bila sababu huku mume wangu akizama kwenye penzi ya kinyago msela mwanamke asiye na mbele wala nyuma. Kitendo kile kilinidhalilisha sana, sikuweza kuvumilia bila kujieleza siku ya pili nilipanda gari mpaka Dar na kufikia kwa rafiki yangu niliyekuwa nasomanaye shule moja ambaye baada ya kumaliza shule alikwenda Dar kutafuta maisha na baadaye alinieleza amepata chumba tena anafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi. Kwa vile nilikuwa na siku yake nilipomjulisha nakwenda Dar hakunikatalia Nilipanda basi hadi Dar. Baada ya kufika nilikaa mwa muda wa mwezi mmoja na kunitafutia kibarua katika kiwanda kimoja, ajabu msimamizi alinizimikia na kuanzisha mahusiano na mimi. Kwa vile kila mmoja alikuwa na ujiko kuwa na uhusiano na bosi basin a mimi nilimkubalia. Kama kawaida haikuchukua hata mwezi akanimwaga na kashfa nyingi kwamba heri atembee na mwanaume mwenzake kuliko kulala na mimi. Kwa kweli kitendo kile kilizidi kunidhalilisha na kuniweka kwenye wakati mgumu, kibaya kila mwanaume niliyekuwa nakutana naye na kuniacha hakunieleza tatizo langu. Kwa kweli niliumia sana na kuamua kuacha kazi, niliapa sitakuwa tayari kufanya kazi wala kuanzisha uhusiano na mwanaume yeyote. Baada ya shoga yangu kupata bwana ilinibidi nihame kwa kutafutiwa chumba sehemu za uswahili kwa bibi mmoja maarufu pale mtaani Bi Shuu, ni bibi wa miaka 55 lakini mambo yake temea chini. Bibi yule alinilea kama mwanaye wa kuzaa hata kodi yangu hakuitaka. Kuhamia kwa Bi Shuu nilijikuta nikiingia dunia nyingine kabisa, kweli nimekubali tembea uone mambo, ningekaa Arusha ningeyajua haya. Nazidi kukubali kweli vikiungwa vitamu, tena mtu ataomba aongezwe na akimaliza kula lazima ajilambe vidole. Najua una hamu kuvijua hivyo vitamu vilivyo ungwa mpaka watu wakajilamba, Naomba twende pamoja tuipate wote faida ya kuwa karibu na makungwi kama Bi Shuu. ******** Katika mambo niliyokuwa siyapendi katika maisha yangu ni pamoja na kusumbuliwa na mwanaume wakati wa kilimo cha mhogo. Ooh! Inama, mara jipinde hivi, mara geuka hivi. Siku zote nilijiuliza kwani bila kukusumbua hivyo mwanaume hawezi kufikisha mzigo wake. Kitendo cha kijana huyu ambaye alinipata kupitia kwa Bi Shuu kutaka kunisumbua kilinikera sana. “Manka mbona hivyo sasa raha ya mapenzi ipo wapi?” “Nimesema sifanyi unavyotaka, sipo kwenye mazoezi ya yoga hapa kama huwezi hivi, vaa nguo zako ondoka, ” nilisema kwa ukali bila kumuangalia nyuma yangu alipokuwa amekaa. “Lakini Man…,” “Ee..ee..eeh, nasema hivi kwani tatizo nini bila hivyo unavyotaka hufiki safari yako?” Nilimkata kauli Edward. “Manka raha ya chakula ubadili mapishi mchele mmoja lakini una mapishi zaidi ya kumi.” “Kwani huo mchele ukipika bila kubadili mapishi hauivi?” “Lakini Manka kuna tatizo gani kufanya ninavyotaka, sema niongeze kiasi gani ukubaliane na mimi ili nami nifaidi raha ya mapenzi?” “Kaka eeh! Mimi sio chombo cha mazoezi, mlango huoo, unaweza kuondoka hukuitwa na mtu chumba changu mwili wangu eeh.” Yule kijana alipandwa na hasira, alinyanyuka na kupitia suruali yake na kutoka bila kuaga, nilifyonza na kujilaza huku nikinyanyuka na kupitia upande wa kanga na kujifunga kisha nilirudi kujilaza kitandani. Nilijikuta nikipandwa na ghadhabu kitendo cha Bi Shuu kunitafutia wanaume na kugawana kitakacho patikana. Nilijikuta nikijiona nimekataa nini na ninafanya nini. Sikuwa na tofauti na wale wanawake wanaojiuza kwenye vyumba vyao kwa wanaume kupanga foleni. Japo kwangu haikuwa hivyo, mimi ilikuwa naitwa na Bi Shuu na kuelezwa juu ya kijana kunipenda na kuwa mtu wangu wa karibu wakati mambo yangu hayajawa mazuri. Lakini kila mvulana aliyekuja baada ya kunionja hakurudi tena, lakini wa leo yeye alikuwa tofauti na waliotangulia, alikuwa mwanaume msumbufu ambaye sikukubaliana naye. Baada ya kuondoka nikiwa bado nimejilaza katika vazi la kanga moja Bi Shuu aliingia chumbani kwangu kama askari aliyevamia chumba cha jambazi. Sikushtuka niligeuza shingo na kumtizama, mama mtu mzima asiye na haya wala kujua vibaya kunigeuza kitega uchumi chake. Japo alinisaidia vitu vingi kama chakula na matumizi madogo madogo ninapokwama kipindi kila nilipoacha kazi bila kujua hatima ya maisha yangu. Akiwa amenisimamia pembeni ya kitanda changu kama jini la kutumwa huku akinikata jicho kali ambalo hakuwahi kulionesha kwangu. Nilijikuta nikishtuka na kujiuliza kulikoni kuniijia kama shetani wa kutumwa. “Manka,” aliniita jina langu. “Abee.” “Unataka msaada gani kwangu?” “Upi huo?” nilimuuliza huku nikaa kitako. “Kila kijana ninayemleta kwako anaondoka bila kuaga tatizo nini?” “Kwani wao wamekueleza nini?” “Hakuna hata mtu wa kuelezea kitu zaidi ya kuondoka bila kuaga, kwani kuna tatizo gani?” “Kwangu sina, labda wao.” “Kwa mtindo huu, hali itakuwa ngumu si muda utageuka mzigo wa moto usioshikika wala kubebeka.” Mmh! Nilijua nimenyea kambi, nilijiuliza kama Bi Shuu kama ataniona mzigo sikujua nitakwenda wapi. Kurudi Arusha sikuwa tayari, kuendelea kulipiwa chumba na shoga yangu niliona aibu baada ya kujitoa kwake, lakini ningefanya nini katika mji wa watu. “Kwa mtindo huo kuanzia mwezi ujao utalipa kodi,” Bi Shuu aliniambia kwa sauti kavu. “Bi Shuu, nitatoa wapi pesa za kodi nami kazi sina.” “Kazi huna au hutaki kazi.” “Kazi za kudhalilishana hata siwezi.” “Kipi cha ajabu dunia ya leo, Mungu amekupa vitumie.” “Navitumia lakini sina bahati.” “Basi habari ndiyo hiyo, mwezi ujao utalipa kodi, la huna rudisha chumba changu.” “Bi Shuu, lakini si wewe ndiye uliyemkataza shoga yangu kuwa aache kulipia kodi nitaishi nawe kama mwanao?” “Mwanangu gani asiye na msaada, mimi na mzee wangu ninatulia na mwanaume akionja lazima arudie na akimaliza sharti ajilambe.” “Sasa mimi nimekataa mwanaume gani, wenyewe ndiyo wananikataa.” “Basi utakuwa na kasoro ambayo unaificha, lakini nitaijua muda si mrefu.” Bi Shuu alisema huku akitoka nje, nilibakia nimejilaza kitandani nikiwa na mawazo mengi juu ya mapungufu yangu kwa wanaume, kufikia hatua kila mwanaume akionja harudii tena. Kingine kilichonichanganya ni kulipa kodi na kazi sina, nilishangaa Bi Shuu kunigeuka kama kinyonga. Nikiwa katikati ya mawazo nilisikia hodi ikigongwa chumbani kwangu. “Pita mlango u wazi,” nilipaza sauti kumruhusu anayegonga aingie. Mlango ulifunguliwa na mtu aliingia, ha! Kumbe alikuwa shoga yangu Mage. “Aah, Mage umenikumbuka leo.” “Ni kweli Manka, vipi mbona ka.a.maaa?” Nilijua kuna hali ilimfanya aingie wasiwasi, nilishukuru Mage hakumkuta yule mwanaume alikwisha nionya nisikubali kuugeuza mwili wangu kitega uchumi na kunieleza ninapozidiwa kimaisha nikimbilie kwake. Lakini niliona aibu motto wa kime niliye kamilika kuomba kwa mtu kila siku. “Hamna kitu, nilikuwa nataka kwenda kuoga,” nilidanganya. “Ni hivi shoga yangu, shemeji yako amekupatia kazi kwenye kampuni moja kama secretary, si bado unakumbuka kutaipu kwa computer?” “Mmh muda, lakini sijasahau, labda wepesi.” “La muhimu uipate hiyo kazi, mengine yatajulikana humo humo.” “Nitashukuru shoga yangu.” “Na kazi yenyewe ni kesho asubuhi jiandae shemeji yako atakupitia, kesho asubuhi na kukupeleka kwenye hiyo kazi kisha atakwenda kazini kwake.” “Nashukuru shoga yangu kweli wewe ni ndugu wa damu” Nilimkumbatia Mage huku nikimuomba Mungu asitokee mwanaume atakaye nitaka kimapenzi. Niliamini hata kama nitamkataa huo utakuwa mwanzo wa kuchukiwa na mwisho wa siku kufukuzwa kazi. Lakini nilimuomba Mungu kabla ya kuianza hiyo kazi, aniepushe ni matamanio ya wanaume japo kila vazi nililovaa liliwaweka katika wakatii mgumu wanaume. Lakini nilimuomba Mungu usiku na mchana ili aniepushe na mataanio ya wanaume. &&&& Japo nilikuwa na furaha ya kupata kazi kwenye ofisi, lakini bado moyo wangu ulikosa raha kutokana na kuwa na bahati ya kupendwa lakini mkosi wa kuachwa. Lakini nilijipiza moyoni kuwa na msimamo wa kutojirahisi kwa wanaume yoyote. Baada ya taarifa zile shoga yangu aliondoka na kuniacha nikijipanga kwa ajili ya siku ya pili. Niliapa tena kutomkubalia mwanaume yoyote kimapenzi kutokana na kujijua nina kasoro ambayo sikuifahamu. Mwanzo nilikuwa nikisimama mbele ya kioo na kujiangalia niliona mwanamke mzuri kuliko wote. Hata nilipotipa mbele za watu, watu waliumia shingo kunitazama, wenye pesa waligongana. Nilimchagua niliyempenda lakini mwisho wa siku walinitema kama ganda la mua. Lakini sasa hivi hata kusimama mbele ya kioo naona udhia sikuwa na kipya, sikujua sababu ya mimi kugeuzwa mpira wa kona kila mmoja anataka kufunga na akifunga hana hamu tena na mimi. Nikiwa katika lindi la mawazo mara aliingia Bi Shuu bila hodi kama kawaida yake. Alipofika alisimama mbele yangu kama jini wa kutumwa, kwa sauti ya nyodo alisema. “Hivi Manka utaendelea kuwa tegemezi mpaka lini?” “Mbona sikuelewi Bi Shuu, mbona leo umenishupalia hivyo mtoto wa mwenzio?” Nilijikuta namtolea uvivu maana toka asubuhi amekuwa na mimi huku akizidi kunikosesha raha bila kosa. “Hujui?” Aliniuliza kwa jicho la kukata. ”Kujua nini Bi Shuu?” “Baada ya kukueleza ujitume katika maisha yako unaona nakuonea, badala yake unampigia simu shoga yake. Hujisikii aibu mwenzio ana maisha yake utaendelea kuomba mpaka lini?” Mmh, makubwa nilijikuta nikimshangaa Bi Shuu kwa kunishupalia kwa maneno bila sababu, hata bila kujua Mage alikuja kufanya nini yeye ananibwatukia. Au sababu nipo kwake kanigeuza mtoto wake. “Bi Shuu leo naona umeniamkia.” “Sijakuamkia bali nakupa makavu, chungu lakini dawa.” “Unajua shoga yangu kaniletea nini?” Nilimuuliza huku nikumtazama jicho kali. “Kuna kingine zaidi ya kukuletea ya pesa za kodi, hivi hujiulizi mwenzako anaishi vipi na mumewe muda wote na wewe kwa nini umekuwa kama ubao wa shabaha kila mwanaume akionja arudi una tatizo gani mtoto wewe wa kike?” “Lakini Bi Shuu, shoga yangu hakuleta pesa alikuja na mengine kabisa.” “Mankaaaa weweee, unataka kunidanganya mtu mzima mimi niliyeona jua kabla yako.” “Bi Shuu unanionea, shoga yangu hakuniletea hela.” “Haya nieleze amekuletea nini?” “Taarifa ya kazi.” “Kazi! Wapi?” “Kwenye kampuni ya rafiki ya mumewe.” “Mmh, kazi gani?” “Ya secretary wa bosi.” “Mmh, kama nakuona vile, kama kweli chumba utaendelea kukaa bure sitaki hata senti tano yako. Shida yangu kubwa ujishughulishe si kingine ndiyo maana hata hao wanaume niliwatafuta ili upate chochote na ikiwezekana upate mume miongoni mwao.” “Nashukuru Bi Shuuu, niombee niipate hiyo kazi.” “Si umesema kila kitu tayari?” “Eeh, pamoja na dua zako ni muhimu wewe ni mama yangu.” “Dua zangu zote kwako wala usiihofu utaipata.” Tulijikuta nimekuwa kitu kimoja tena kwa kuondoa tofauti za mwanzo, Bi Shuu alikenua mpaka gego la mwisho lilionekana baada ya taarifa zangu za kupata kazi. “Manka kaoge basi tuje tupate kifungua kinywa.” Nilikwenda kuoga na kuungana na Bi Shuu kupata kifungua kinywa, moyoni nilijiuliza bila kupata taarifa za kazi Bi Shuu angenifanya nini. Lakini nilimshukuru Mungu kwa muujiza alionifanyia wakati nilikuwa nimeisha kata tamaa. ******* Usiku kabla ya kulala nilitafuta nguo nzuri yenye heshima itakayofaa mbele ya macho ya watu. Kuhusu umbile na sura Mungu alinipendelea lakini sijui alininyima nini mwilini kiasi cha kuonekana Big G za Kichina ukitafuna kidogo utamu umekwisha. Baada ya kuchagua suti rangi ya bluu, niliinyoosha vizuri na viatu vyangu ambavyo nilivipiga kiwi tangu mchana niliviweka vizuri na kupanda kitandani. Saa kumi na mbili nilikuwa tayari nipo bafuni naoga, baada ya kuoga wakati najipamba mlango uligongwa. Nilijua shemeji amefika, kumbe alikuwa Bi Shuu nilipomuona nilitabasamu na kumkaribisha. “Bi Shuu karibu, mbona asubuhi?” “Hakuna cha ajabu, umeamkaje?” “Mmh, salama shikamoo.” “Marahaba, umeisha jipamba?” “Ndiyo Bi Shuu.” “Njoo mara moja.” Nilitoka hadi chumbani kwake, nilipofika nilikutana na kitezo kilichokuwa kikifuka moshi uliokuwa na harufu nzuri. Nilijiuliza vitu vile alivifanya wakati gani na alimfanyia nani au mimi. Nikiwa nimesimama nisijue alichoniitia aliniambia. “Manka chutama kwenye kitezo hicho,” mmh, makubwa madogo yana nafuu, nilifanya kama alivyoniagiza. Baada ya kuchutaka alitoa udi kwenye karatasi na kuuongeza kwenye makaa ya moto, baada ya kuuweka ulianza kutoa moshi wenye manukato mazuri. Alinipa shuka nijifushe, niliuinamia ule moshi ulionifanya ninukie kila kona ya mwili. Baada ya kujifusha alinieleza niufunike ule moshi na sketi kwa kuchutama moshi wote uliingia chini. Mtoto wa kike nilinukia kama malkia wa Kihindi, baada ya kuhakikisha nanukia kila kona alinipa pafyumu ambayo sikuwahi kuiona na kunipulizuia kidogo na mwisho alinipa wanjaa mwembamba kwa kunisaidia kunipaka. Kwa kweli nilipendeza mtoto wa kike. “Manka leo mwanangu umependeza,” Bi Shuu alinisifia. “Asante.” Wakati huo shemeji alikuwa amefika kwa kupiga hoi, kabla ya kuondoka Bi Shuu alinipa usia. “Manka Mungu kakujalia kila kitu alichotakiwa kuwa nacho mtoto wa kike, kama ningekuwa mtoto wa kiume ningekupata kwa gharama yoyote. Sasa usiwe macho juu. Hii inaweza kuwa nafasi ya pekee kupata bwana aliye bora ambaye atakuwa mumeo. Itumie nafasi yako vizuri, kazi njema.” “Asante, pia nimekusikia Bi Shuu yote nitayafanyia kazi.” “Basi kazi njema mmmwa.” Kwa mara ya kwanza Bi shuu alinibusu kuonesha furaha ya ajabu moyoni mwake. Baada ya kuachana na Bi Shuu alikwenda chumbani kwangu kupitia mkoba wangu kisha niliifuata gari aliyokuja nayo shemeji. Shemeji aliponiona tu alitanguliza sifa. “Hakika mke wangu umependeza.” “Asante mume wangu.” “Kwa mtindo huu nisije ibiwa tu.” “Ni wewe tu mume wangu, haya ni mapambo lakini upendo wangu kwako upo moyoni.” Nilijibu shemeji huku nikiingia ndani ya gari. Gari liliondoka huku utuli niliojinyunyizia ukitalawa ndani ya gari, baada ya kujuliana hali na shemeji aliniuliza maswali mawili matatu. “Mmh, shemu ulikuwa unaishije bila kazi maana mwenzio aliniambia siku hizi huchukui huduma?” “Bi Shuu kwa kweli alinilea kama mtoto wake.” “Sasa ungekaa kumtegemea mpaka lini?” “Ndiyo hivyo kazi zenyewe kila mtu anakutaka kimapenzi ukiwanyima inakuwa kero, nitawakubali wangapi?” “Ooh, pole.” “Sasa ni hivi kampuni ni ya rafiki yangu kipenzi hivyo nakuomba ujiheshimu ili kunilindia heshima yangu.” “Nakuahidi shemeji kujiheshimu.” “Itakuwa vizuri.” Tulipofika kwenye kampuni ya rafiki ya shemu tulitelemka na kuingia ndani, tulipofika tulipokelewa. Muda ule Mkurugenzi alikuwa hajafika tulikaribishwa kwenye makochi. Baada ya dakika kumi aliingia alipomuona shemeji walisalimiana kwa kukumbatiana. “Ooh, Aloys karibu sana.” “Asante Mr Shaka .” “Samahanini kwa kuchelewa.” “Bila samahani hatujafika muda mrefu.” “Basi karibuni ofisini.” Tuliongozana naye hadi ofisini kwake, mmh lilikuwa bonge la ofisi ambalo sikuwahi kuwaza kuingia katika ofisi kama ile. Nilibakia nang’aa macho mtoto wa kike kwa ushamba. Lakini niliuficha ushamba wangu, baada ya kutulia tuli kitini mwenyeji wetu ambaye nilimfahamu jina kwa kumsikia akiitwa na shemu Mr Shaka alikuwa akipitia vitu muhimu mezani kabla ya kutugeukia. “Mhu, Mista lete habari?” “Habari nzuri, huyu ndiye shemeji yangu,” alisema huku akinigeukia. “Ooh, mrembo kwanza nilisahau kukusalinia, za asubuhi?” “Nzuri tu.” “Pia hongera umependeza” ‘Asante.” “Basi kama ulivyoelezwa kazi ipo na unatakiwa kuianza mara moja, wala usihofu ugeni ila nitakuwa nawe pamoja muda wote.” “Nitashukuru kwa hilo.” Baada ya kupokelewa kazini shemeji aliaga na kuniacha kwenye kazi yangu mpya, baada ya kuondoka nilibaki nimeinama chini kama mwanamwali. Pamoja na ukali wa Bi Shuu bado alinipa mafunzo kwa mtoto wa kike kuinamisha macho mbele ya mwanaume. “samahani mrembo unaitwa nani” “Manka” “Manka nani Kileo” “Jina zuri” “Asante.” Mr Mateja alinyanyuka na kunishika mkono huku akisema. “Hebu njoo uanze kazi mama.” Alinipeleka katika computer iliyokuwa nje ya ofisi yake ilikuwa imekaa vizuri sana. “Basi hapa kuanzia leo ndio ofisi kwako.” “Nashukuru sana” Alinionesha kazi za kufanya siku ile, kabla ya kuanza nilijitetea. “Lakini bosi ni muda mrefu sijafanya kazi hivyo lazima nitakuwa mzito.” “Usihofu kwa hilo fanya kwa uwezo wako,” pia alinielekeza kutumia simu nikiwa nana shida ame nimelaliza kazi bila kumfuata ofisini kwake. “Asante bosi,” nilishukuru kwa upole na ukarimu wa bosi “Niite Mr Mateja” “Sawa Mr Mateja” “Nakutakia kazi njema.” “Nawewe pia” Baada ya kuondoka niiliingia kwenye kazi ya kuchapa kazi zilizokuwa wenye meza yangu. Hazikuwa kazi ngumu sana nilizifanya kwa muda mfupi sikuwa nimepoteza kasi ya mikono kihivyoo. Baada ya kuchapa kazi niliyopewa, niliziprinti kwenye karatasi na kuzipiga pini kisha nilimpelekea ofini. Nilimkuta bosi macho yapo kwenye monitor ya computer, nilimuona alinyanyua macho kunitazama. Aliponiona aliachia tabasamu pana, nakiri kuwa bosi wangu Mr Shaka alikuwa mwanaume mtanashati tena mwenye umbile la mvuto kwa mwanamke yoyote. Kule kutabasamu kwake kuliniweka katika wakati mgumu sana kwa kumuomba Mungu aniepushe na shetani wa upendo. Niliamini kama akinitaka kimapenzi jibu la sitaki litakosekana mdomoni mwangu, lakini nilipiga moyo konde kufuata kilichonipeleka ofisini kwa bosi. “Manka karibu.” “Asante bosi, kazi iliyokuwa na haraka nayo tayari.” “Ooh, vizuri sana sikutegemea ungeifanya kwa muda mfupi hivi.” “Najitahidi japo nilikuwa na muda mrefu sijagusa computer,” nilimjibu huku nikimkabidhi kalatasi, nami nikiachia tabasamu pana ambayo huogopa kuitoa kwa wanaume ili kuepusha ungongano wa mawazo. Ilikuwa ugonjwa wa wanaume kila ninapotabasamu mashavu huweka visima ‘dimples’ wanaume wengi ulikuwa uchawi mkubwa kwao. Kila mwanaume niliyekutana naye alipenda kunifurahisha ili aone madhari mantashau ya mashavu yangu. ITAENDELEA ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: