Home → simulizi
→ CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA NANE
SEHEMU YA NANE
....................................
Baada ya siku kadhaa kupita ndani ya gereza kuna mfungwa mpya aliletwa na askar na kuingizwa gerezan alikuwa ni mama wa makamo flan mwenye mwili mnene rangi ya kunde na mrefu kias akiwa ndan ya jezi ya rangi ya chungwa iliyofanania na za wenzie Baada ya LINDA kumwona yule mama ameingizwa mule ndan alinyanyuka mahala alipo kuwa amekaa na kumsogelea pale karbu na mlangon alipokuwa amesimama yule mama LINDA alifika na kuanza kumzunguka huku akimtizama juu na chini "Mamaa Kubwaaa Mmmmh! Nakuona karibu paradise Hahhahjahahaha " a lounge a LINDA huku akionekana kumdhihaki mama yule "Utazoea tu Aam labda kabla tu hatujakupatia siti ningependa upate utambulisho kidogo ambao utakusaidia hili mwisho wa siku usije sema hujalijulishwa " aliongea LINDA na kuwageukia wafungwa wenzie na kuwauliza yeye ni nan "Naomben mu mwambie mapema Kwa sauti Mimi ni nan ?"
Yule mama alikuwa akimtizama msichana LINDA Kwa hasira
"Mimi ni nan ?" Aliuliza Linda
"Malkia Wa Jela " ilisikika saut Kama ya watu wanne hivi huku wengine wakionekana kukaid amri ile
"Anhaaa! Sasa kwa kuwa hamtak kusema mtasema kwa lazima Alianza kumtembelea mmoja Baada ya mwingine huku wale wanne aliowaona wakisema akiwa amewasimamisha na kuwatenga pembeni walipokwisha kusema wote kuwa yeye ni Malkia Wa Jela Alimsogelea tena yule mama " Mama nadhan Kama tu hujaelewa naiman utakuwa umesikia .......Unaweza kunambia Mimi ni nani ? LINDA alimwambia mama yule huku akimtaka arudie kusema Kama walivyosema wenzie lakin mama hakuwa tayar LINDA alimkamata mama Taya kwa kutumia mkono wake wa kulia "Anhaaa ! Kumbe wewe jeur siyo !.. Inamaaana hujasikia walichokisema Mimi ni nani " aliongea a LINDA kwa hasira mama yule alimtoa mkono LINDA "We Binti kuwa na abadu mm n sawa na mama yako mzaz jaribu kuwa heshima na mim tena usinizoee " aliongea yule mama akionekana waz kuchukizwa na kitendo kile "Eeeeh ! Ushakuwa mwenyej siyo ila siyo mbaya kwa kuwa Leo ndo siku yako ya kwanza kuwa huru kuongea lolote ila kesho utajua vzur mm n nan karibu humu wote watu wazima lakin ningekuwa binti nisingekuwa humu karibu tena mama Kubwaa Malkia wa jela niko hapa " Baada ya LINDA Kumaliza kutamba alirud na kukaa chn Palipo pambazuka na wafungwa wote wakiwa wanafanya usafi wa kusafisha mazingira yule mama alikuwa bado amejikalia peke yake ndan ya gereza Huku LINDA akiwa kwa nje anasimamia arijaribu kuangaza huku na huku akimtafuta yule mama akatikisa kichwa na kuamua kuondoka kuelekea ndan ya chumba cha gereza na kuweza kumkuta yule mama amekaa peke yake "Mmh mama hukuja huku kukaa tu kuna kaz za kufanya huko nje " aliongea LINDA Yule mama alimtizama na kucheka kisha kuinamisha kichwa chini "Kondoo Eeh ! Husikii nachoongea au hapo unatakiwa unyanyuke ukafanye kaz "
"Binti hapa sinyanyuki kas sifanyi nimekuja kutumikia kifungo na siyo kuja kufanya kaz uraian nimefanya Sana tu nanilikuwa nalipwa " aliongea yule mama akionekana kujiamini "Kumbe wewe jeuriii Ngoja nikakuletee Dawa " LINDA alimtizama kwa hasira na kuondoka kuelekea moja kwa moja katika ofisi ya Afande MUGA "Vipi kunatatzo lolote " aliuliza afande baada y a LINDA kuingia ghafla pasipo kubisha hodi "Baby kuna mtu hatak kabisa kufanya kaz na ananijibu vile atakavyo " kwa sauti ya madeko aliongea LINDA "Anajipenda kweli huyo tangulia nakuja "
"Nataka twende wote Baby "
Afande aliamua kutoka na kuongozana na LINDA mpk ndan ya gereza Yule mama alipomwona afande alinyanyuka upesi "We mmama kwanini unakuwa mkaid Umeambiwa humu umekuja kustarehe...Unaleta kibur ?
Yule mama alijibu kwa kutikisa kichwa huku akitetemeka "Haya haraka ukwende Nje kufanya usafi Unamdharau kiongoz "
Yule mama alitoka mbio kuelekea nje "Hahahahaahaahhahhahha " LINDA aliangua kicheko
"Hawa watu wadogo Sana siyo wa kubishana nao akijaribu kubisha tena we niite "Aliongea afande MUGA
"Mmmh ! Sawa halafu kuna kitu nataka nikwambie "
"LINDA we nambie tu "
"Aaaam ! baby ni Muda sasa sizion siku zangu na kwa hali ambayo naiona ninayo nahisi nimeharibu mambo"
"Sielew unataka kuongea nn naona unazunguka we nambie moja kwa moja Wewe ndo MALKIA WA JELA nan mwingine Kama siyo wewe uhitaj shida kabisaa "
"Baby mm nahisi Nina mimba "
"Eti ! Hahaha LINDA Hapana Ivi unawezaje kujiachia namna hii utadhan upo uraian Unataka kuniharibia kazi cyo "
"Sikia wewe tena usitake kunipanda kichwan MUGA nan siku ile alimbaka mwenzie nilihitaj mm unifanyie kitendo hiki "
"Niite afande usiniite MUGA naona sasa mazoea Kama yamezid we mwanamke "
"Mmh! Sasa kwa taarifa yako siri hii nitamwambia kila mtu nitaomba nionane na mkuu wa magereza nimweleze kuwa ulinibaka afu tuone utaishia wapi Kama siyo segerea "
"Basi usifike huko naomba ufanye kitu kimoja tu nakuomba hiyo mimba tuitoe "
"Hahahaahhha unawazimu nin sitoi mimba wala mama ake mimba "
"Utaniingiza kwenye matatizo ujue "
"Wakat unafanya hukujua kuna matatzo "
Afande MUGA aliamua kuondoka na kuelekea ofisini kwake huku tayar kichwan kwake akiwa na maswal mengi juu ya jambo lile
Baada ya siku kadhaa kupita afande MUGA aliamua kumwita LINDA ofisin kwake na kuongea nae juu ya suala la ujauzito
"Sikia LINDA utakapo kataa kuitoa hyo mimba na bado inaendelea kukua wakija kujua utaniharibia kaz "
"Leo ndo unaliona hilo ukumbuki Mimi na we we ni nan aliyemlazimisha mwenzie Mimi sipo tayar kufa kifungo nilichopewa kinanitosha kabisa kwa hilo sipo tayar "
"Mmmh! Haya ukijulikana utasema nini ?
"Mimi n mtu mzima najua n namna Gan ntasema "
"Ila bado unajidanganya kwann usifanye nnalokwambia Kakae ufikirie ukiwa tayar kuna dokta ntaongea nae tutakwenda "
"MUGA usinitafutie matatzo "
"LINDA au umechoka uongozi ?"
"Bado nataka "
"Basi nenda kafikirie vizur halafu ntakutafuta tuongee "
LINDA aliondoka na kurud ndan ya chumba cha gereza kisha kwenda kukaa pemben ya rafiki yake PENDO
"PENDO kuna jambo nataka unishaur?
"Jambo Gan tena ? (Kwa mshangao)". "Afande MUGA anataka niitoe hii mimba "
"Eeeh ! (PENDO alishangaa kwa sauti akaangaza huku na huku Wafungwa wenzao wakawa wakiwatizama ) PENDO aliamua kumnong'oneza na kumtaka asifanye kitendo hicho
Katika Maeneo ya nyumban kwao LINDA mama yake akiwa na mdogo wake AMANDA "Dada muda Una kwenda lini tunaenda kumwona LINDA ?
"mmmh! Hali yangu nadhan unaijua AMANDA nusu nife siku ya kesi yake sasa nikienda kule nikirud tu hospitalin moja kwa moja "
"Lakin atajisikia vibaya Dada "
"Mim yule n mwanangu ananijua vizur Jambo dogo tu hali yangu haichelew kubadilika miaka mitatu siyo mingi ngoja tusubir akimaliza tutamfuata nikijua anarud nyumban lakin naenda kumwona halafu narud mwenyewe uzaz unauma we zaa uone "
"Basi yaishe Kesho nataka nirud kwangu "
"Nimekuudh lolote mbona haraka ivo unajua kabisa Niko mwenyewe "
"Hapana Dada wala hujaniudh ila ninatakiwa niende kuangalia panaendeleaje kumbuka hakuna mtu kule "
"Sawa lakin unaniachaje peke yangu "
"Dada sasa wewe unaogopa je mm wakirud walioniteka "
"Hebu usiongelee hayo mambo "
Wiki moja baadae LINDA akiwa anasimamia wenzie wakiwa wanafanya usafi Alikuja Afande na kuondoka nae Kisha kwenda kumkabidhisha kwa Afande MUGA "LINDA umefikia wapi ?"
"Siko tayar kuitoa hii mimba nasihitaj unilazimishe ukifanya ivo nitamwambia kila mtu ajue hili halafu tuone utaoshia wapi " LINDA aliongea kwa ukali "Sasa kwanini unakuwa mkali unataka watu wajue unataka kuni haibisha siyo nisikilize wewe si mjanja ila Mimi mjanja zaid yako nakupa siku ya Leo Kama hutokubali nitaitoa kwa mikono yangu ikitokea ukapoteza uhai kwa kitendo nitakachokufanyia nitakuzika Mimi mwenyewe hakuna hata mmoja atakae jua "
"Hizo kelele za chura tu najua huwez kufanya ivo Kama kweli unajiamini Fanya " LINDA alipomaliza kuongea aliamua kuondoka Afande MUGA alijaribu kumwita lakin LINDA hakuwa Tayar kabisa kurud Moja kwa moja LINDA alielekea katika chumba cha gereza huku akiwa amejawa na hasira baada ya kuingia alishangaa kumkuta yule mama mule ndan ikiwa alikuwa nje akifanya kaz na wenzie "We mama siyo bure kuna ambacho unakitafuta kaz ulizoacha huko nje nan akufanyie "
Yule mama alinyanyuka kwa Shari "Tena koma binti usinione navyo kaa kimya nakuogopa huo Unyampala wako usitupande kichwan nimepinda ile ile shika kabisa adabu yako sikaja huku kwa bahat mbaya kuwa na heshima "
"Usinitishie Mimi n kiongoz wako utafuata chochote nitakacho utaenda au hutoenda "
"Siend wala sitokwenda "
"Mmmh sawa " LINDA aliondoka na kwenda kumwambia Afande MUGA lakin Afande MUGA alikataa kwa kuwa LINDA hakuwa tayar kufuata anachotaka LINDA alirud tena kumtaka yule mama atoke nje akafanye kaz wakiwa wanaendelea kuzozana kuna mfungwa mmoja alikuja na kuwashuhudia alitoka anakimbia na kwenda Kumwita PENDO walikuja na kujaribu kuwaamua lakin haikuwa rahis kila mmoja alikuwa juu wafungwa wenzao walipomwona PENDO ameijiwa haraka moja kwa moja walijua kuta kuwa na kitu waliamua kuacha kufanya kaz na kuondoka wakielekea Ndan ya gereza kujua nn kinaendelea LINDA walishikana Name yule mama wakitaka kuanza kurushiana ngumi PENDO alijitahd kadir ya uwezo wake kumwomba rafik yake LINDA asiweze kugombana lakin yalikuwa yanapita wafungwa wenzao walipofika walianza kushabikia ugomvi ule PENDO baada ya kuona ivo aliamua kutoka kwenda kumwita afande Mmoja wa Mfungwa aliyejulikana kwa jina la FIONA alisogea na kumshika mkono LINDA na kumtaka asigombane LINDA alimsukuma kwa nguvu na kumtoa mkono Kwa bahat mbaya FIONA alifikia ukutan na kujikuta kichwa chake kikifikia ukutan Ulisikika mshindo ghafla Kelele zote zilizokuwa zikisikika ndan ya gereza zilipotea ghafla Kila mmoja akashika kichwa na kinywa waz PENDO alipofika na afande muda huo LINDA akitetemeka na kutokwa na machoz huku akiwa karbu na mwili wa FIONA,Mahakama iliamua kumfungulia upya kesi ya mauaji LINDA Na kuomba siku itakayosomewa ndugu zake wawepo Mama yake pamoja na Amanda waliweza kufika Maeneo ya Mahakama kusikiliza Mahakama Itaamua kitu gani Mahakama Iliamua kumhukum LINDA kifungo cha Maisha ambacho atatumikia akiwa ndan ya gereza atakalo hamishiwa huku na adhabu kali zitafuata dhidi yake Mama yake alikuwa akilia ovyo kwa saut na kushindwa kujizuia AMANDA alikuwa akijitahid kumnyamazisha Baada ya hukumu ile kutolewa LINDA aliomba aongee jambo na mahakama Ikamkubakia kutaka kusikia anachokwenda kuongea ni kitu gani "Najua imeshatokea Sina Budi Kukubaliana na kosa ila hii yote ni tamaa tu ndo ilofanya niwe hapa tena " wakat huo akiongea Afande MUGA kwa pemben alikuwa akijaribu kumpa ishara LINDA asiweze Kusema kuhusiana na Mahusiano yao "Mimi Naenda gerezan kutumikia kifungo cha maisha nikiwa na mwanangu Tumboni " Watu waliokuemo mule ndan ya mahakama wote walishangaa "Najua itawashangaza Sana ila huo ndo ukweli mm n mjamzito Nilidanganyika Mimi kwa tamaa ya kuwa huru na uongoz " Afande MUGA alikuwa akijirabu kumwomba LINDA kwa ishara asiseme "Afande MUGA usinizuie acha niseme " Baada ya LINDA kuongea vile macho yote ya watu yalimtazama afande MUGA huku wakijiukiza katenda kitu gani "Mahakama afande MUGA si mtu mzur kabisa katika jeshi lenu la polisi yupo kwajili ya kuwashushia heshima na yeye ndo mhusika wa ujauzito huu aliniongopea meng tu na alishawah kunitoa nje ya gereza na kwenda kula raha na huko ndipo aliponiingilia kimwili kilazima bila ridhaa yangu Namchukia sana Afande MUGA Polisi walisogea na kumkamata afande MUGA na kumfunga pingu LINDA alitolewa kizimban na kuambatana na Afande MUGA kuelekea katika gari la magereza Mama yake LINDA aliomba aweze kuongea na mwanae alipewa Dakika tano lakin hakuweza kuzitumia Alipojaribu kutaka kuongea aliishiwa na nguvu na kuanguka chini LINDA alipojaribu kutaka kurud alizuiwa na kuweza kupandishwa kwenye gar AMANDA alibakia akilia na kujaribu kutafuta msaada wa kumpeleka Dada yake hospitali Afande MUGA jeshi la polisi lilimfukuza kaz kwa kulitia aibu na kupelekwa gerezan kwa kutumikia kifungo cha miaka kumi Mama yake LINDA alipatwa na kiharusi na kushindwa kufanya shughul yoyote ile ikambdi AMANDA kuhamia nyumban kwa Dada yake kwaajil ya kumsaidia
------------------- MWISHO ----------------------------
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA NANE SEHEMU YA NANE .................................... Baada ya siku kadhaa kupita ndani ya gereza kuna mfungwa mpya aliletwa na askar na kuingizwa gerezan alikuwa ni mama wa makamo flan mwenye mwili mnene rangi ya kunde na mrefu kias akiwa ndan ya jezi ya rangi ya chungwa iliyofanania na za wenzie Baada ya LINDA kumwona yule mama ameingizwa mule ndan alinyanyuka mahala alipo kuwa amekaa na kumsogelea pale karbu na mlangon alipokuwa amesimama yule mama LINDA alifika na kuanza kumzunguka huku akimtizama juu na chini "Mamaa Kubwaaa Mmmmh! Nakuona karibu paradise Hahhahjahahaha " a lounge a LINDA huku akionekana kumdhihaki mama yule "Utazoea tu Aam labda kabla tu hatujakupatia siti ningependa upate utambulisho kidogo ambao utakusaidia hili mwisho wa siku usije sema hujalijulishwa " aliongea LINDA na kuwageukia wafungwa wenzie na kuwauliza yeye ni nan "Naomben mu mwambie mapema Kwa sauti Mimi ni nan ?" Yule mama alikuwa akimtizama msichana LINDA Kwa hasira "Mimi ni nan ?" Aliuliza Linda "Malkia Wa Jela " ilisikika saut Kama ya watu wanne hivi huku wengine wakionekana kukaid amri ile "Anhaaa! Sasa kwa kuwa hamtak kusema mtasema kwa lazima Alianza kumtembelea mmoja Baada ya mwingine huku wale wanne aliowaona wakisema akiwa amewasimamisha na kuwatenga pembeni walipokwisha kusema wote kuwa yeye ni Malkia Wa Jela Alimsogelea tena yule mama " Mama nadhan Kama tu hujaelewa naiman utakuwa umesikia .......Unaweza kunambia Mimi ni nani ? LINDA alimwambia mama yule huku akimtaka arudie kusema Kama walivyosema wenzie lakin mama hakuwa tayar LINDA alimkamata mama Taya kwa kutumia mkono wake wa kulia "Anhaaa ! Kumbe wewe jeur siyo !.. Inamaaana hujasikia walichokisema Mimi ni nani " aliongea a LINDA kwa hasira mama yule alimtoa mkono LINDA "We Binti kuwa na abadu mm n sawa na mama yako mzaz jaribu kuwa heshima na mim tena usinizoee " aliongea yule mama akionekana waz kuchukizwa na kitendo kile "Eeeeh ! Ushakuwa mwenyej siyo ila siyo mbaya kwa kuwa Leo ndo siku yako ya kwanza kuwa huru kuongea lolote ila kesho utajua vzur mm n nan karibu humu wote watu wazima lakin ningekuwa binti nisingekuwa humu karibu tena mama Kubwaa Malkia wa jela niko hapa " Baada ya LINDA Kumaliza kutamba alirud na kukaa chn Palipo pambazuka na wafungwa wote wakiwa wanafanya usafi wa kusafisha mazingira yule mama alikuwa bado amejikalia peke yake ndan ya gereza Huku LINDA akiwa kwa nje anasimamia arijaribu kuangaza huku na huku akimtafuta yule mama akatikisa kichwa na kuamua kuondoka kuelekea ndan ya chumba cha gereza na kuweza kumkuta yule mama amekaa peke yake "Mmh mama hukuja huku kukaa tu kuna kaz za kufanya huko nje " aliongea LINDA Yule mama alimtizama na kucheka kisha kuinamisha kichwa chini "Kondoo Eeh ! Husikii nachoongea au hapo unatakiwa unyanyuke ukafanye kaz " "Binti hapa sinyanyuki kas sifanyi nimekuja kutumikia kifungo na siyo kuja kufanya kaz uraian nimefanya Sana tu nanilikuwa nalipwa " aliongea yule mama akionekana kujiamini "Kumbe wewe jeuriii Ngoja nikakuletee Dawa " LINDA alimtizama kwa hasira na kuondoka kuelekea moja kwa moja katika ofisi ya Afande MUGA "Vipi kunatatzo lolote " aliuliza afande baada y a LINDA kuingia ghafla pasipo kubisha hodi "Baby kuna mtu hatak kabisa kufanya kaz na ananijibu vile atakavyo " kwa sauti ya madeko aliongea LINDA "Anajipenda kweli huyo tangulia nakuja " "Nataka twende wote Baby " Afande aliamua kutoka na kuongozana na LINDA mpk ndan ya gereza Yule mama alipomwona afande alinyanyuka upesi "We mmama kwanini unakuwa mkaid Umeambiwa humu umekuja kustarehe...Unaleta kibur ? Yule mama alijibu kwa kutikisa kichwa huku akitetemeka "Haya haraka ukwende Nje kufanya usafi Unamdharau kiongoz " Yule mama alitoka mbio kuelekea nje "Hahahahaahaahhahhahha " LINDA aliangua kicheko "Hawa watu wadogo Sana siyo wa kubishana nao akijaribu kubisha tena we niite "Aliongea afande MUGA "Mmmh ! Sawa halafu kuna kitu nataka nikwambie " "LINDA we nambie tu " "Aaaam ! baby ni Muda sasa sizion siku zangu na kwa hali ambayo naiona ninayo nahisi nimeharibu mambo" "Sielew unataka kuongea nn naona unazunguka we nambie moja kwa moja Wewe ndo MALKIA WA JELA nan mwingine Kama siyo wewe uhitaj shida kabisaa " "Baby mm nahisi Nina mimba " "Eti ! Hahaha LINDA Hapana Ivi unawezaje kujiachia namna hii utadhan upo uraian Unataka kuniharibia kazi cyo " "Sikia wewe tena usitake kunipanda kichwan MUGA nan siku ile alimbaka mwenzie nilihitaj mm unifanyie kitendo hiki " "Niite afande usiniite MUGA naona sasa mazoea Kama yamezid we mwanamke " "Mmh! Sasa kwa taarifa yako siri hii nitamwambia kila mtu nitaomba nionane na mkuu wa magereza nimweleze kuwa ulinibaka afu tuone utaishia wapi Kama siyo segerea " "Basi usifike huko naomba ufanye kitu kimoja tu nakuomba hiyo mimba tuitoe " "Hahahaahhha unawazimu nin sitoi mimba wala mama ake mimba " "Utaniingiza kwenye matatizo ujue " "Wakat unafanya hukujua kuna matatzo " Afande MUGA aliamua kuondoka na kuelekea ofisini kwake huku tayar kichwan kwake akiwa na maswal mengi juu ya jambo lile Baada ya siku kadhaa kupita afande MUGA aliamua kumwita LINDA ofisin kwake na kuongea nae juu ya suala la ujauzito "Sikia LINDA utakapo kataa kuitoa hyo mimba na bado inaendelea kukua wakija kujua utaniharibia kaz " "Leo ndo unaliona hilo ukumbuki Mimi na we we ni nan aliyemlazimisha mwenzie Mimi sipo tayar kufa kifungo nilichopewa kinanitosha kabisa kwa hilo sipo tayar " "Mmmh! Haya ukijulikana utasema nini ? "Mimi n mtu mzima najua n namna Gan ntasema " "Ila bado unajidanganya kwann usifanye nnalokwambia Kakae ufikirie ukiwa tayar kuna dokta ntaongea nae tutakwenda " "MUGA usinitafutie matatzo " "LINDA au umechoka uongozi ?" "Bado nataka " "Basi nenda kafikirie vizur halafu ntakutafuta tuongee " LINDA aliondoka na kurud ndan ya chumba cha gereza kisha kwenda kukaa pemben ya rafiki yake PENDO "PENDO kuna jambo nataka unishaur? "Jambo Gan tena ? (Kwa mshangao)". "Afande MUGA anataka niitoe hii mimba " "Eeeh ! (PENDO alishangaa kwa sauti akaangaza huku na huku Wafungwa wenzao wakawa wakiwatizama ) PENDO aliamua kumnong'oneza na kumtaka asifanye kitendo hicho Katika Maeneo ya nyumban kwao LINDA mama yake akiwa na mdogo wake AMANDA "Dada muda Una kwenda lini tunaenda kumwona LINDA ? "mmmh! Hali yangu nadhan unaijua AMANDA nusu nife siku ya kesi yake sasa nikienda kule nikirud tu hospitalin moja kwa moja " "Lakin atajisikia vibaya Dada " "Mim yule n mwanangu ananijua vizur Jambo dogo tu hali yangu haichelew kubadilika miaka mitatu siyo mingi ngoja tusubir akimaliza tutamfuata nikijua anarud nyumban lakin naenda kumwona halafu narud mwenyewe uzaz unauma we zaa uone " "Basi yaishe Kesho nataka nirud kwangu " "Nimekuudh lolote mbona haraka ivo unajua kabisa Niko mwenyewe " "Hapana Dada wala hujaniudh ila ninatakiwa niende kuangalia panaendeleaje kumbuka hakuna mtu kule " "Sawa lakin unaniachaje peke yangu " "Dada sasa wewe unaogopa je mm wakirud walioniteka " "Hebu usiongelee hayo mambo " Wiki moja baadae LINDA akiwa anasimamia wenzie wakiwa wanafanya usafi Alikuja Afande na kuondoka nae Kisha kwenda kumkabidhisha kwa Afande MUGA "LINDA umefikia wapi ?" "Siko tayar kuitoa hii mimba nasihitaj unilazimishe ukifanya ivo nitamwambia kila mtu ajue hili halafu tuone utaoshia wapi " LINDA aliongea kwa ukali "Sasa kwanini unakuwa mkali unataka watu wajue unataka kuni haibisha siyo nisikilize wewe si mjanja ila Mimi mjanja zaid yako nakupa siku ya Leo Kama hutokubali nitaitoa kwa mikono yangu ikitokea ukapoteza uhai kwa kitendo nitakachokufanyia nitakuzika Mimi mwenyewe hakuna hata mmoja atakae jua " "Hizo kelele za chura tu najua huwez kufanya ivo Kama kweli unajiamini Fanya " LINDA alipomaliza kuongea aliamua kuondoka Afande MUGA alijaribu kumwita lakin LINDA hakuwa Tayar kabisa kurud Moja kwa moja LINDA alielekea katika chumba cha gereza huku akiwa amejawa na hasira baada ya kuingia alishangaa kumkuta yule mama mule ndan ikiwa alikuwa nje akifanya kaz na wenzie "We mama siyo bure kuna ambacho unakitafuta kaz ulizoacha huko nje nan akufanyie " Yule mama alinyanyuka kwa Shari "Tena koma binti usinione navyo kaa kimya nakuogopa huo Unyampala wako usitupande kichwan nimepinda ile ile shika kabisa adabu yako sikaja huku kwa bahat mbaya kuwa na heshima " "Usinitishie Mimi n kiongoz wako utafuata chochote nitakacho utaenda au hutoenda " "Siend wala sitokwenda " "Mmmh sawa " LINDA aliondoka na kwenda kumwambia Afande MUGA lakin Afande MUGA alikataa kwa kuwa LINDA hakuwa tayar kufuata anachotaka LINDA alirud tena kumtaka yule mama atoke nje akafanye kaz wakiwa wanaendelea kuzozana kuna mfungwa mmoja alikuja na kuwashuhudia alitoka anakimbia na kwenda Kumwita PENDO walikuja na kujaribu kuwaamua lakin haikuwa rahis kila mmoja alikuwa juu wafungwa wenzao walipomwona PENDO ameijiwa haraka moja kwa moja walijua kuta kuwa na kitu waliamua kuacha kufanya kaz na kuondoka wakielekea Ndan ya gereza kujua nn kinaendelea LINDA walishikana Name yule mama wakitaka kuanza kurushiana ngumi PENDO alijitahd kadir ya uwezo wake kumwomba rafik yake LINDA asiweze kugombana lakin yalikuwa yanapita wafungwa wenzao walipofika walianza kushabikia ugomvi ule PENDO baada ya kuona ivo aliamua kutoka kwenda kumwita afande Mmoja wa Mfungwa aliyejulikana kwa jina la FIONA alisogea na kumshika mkono LINDA na kumtaka asigombane LINDA alimsukuma kwa nguvu na kumtoa mkono Kwa bahat mbaya FIONA alifikia ukutan na kujikuta kichwa chake kikifikia ukutan Ulisikika mshindo ghafla Kelele zote zilizokuwa zikisikika ndan ya gereza zilipotea ghafla Kila mmoja akashika kichwa na kinywa waz PENDO alipofika na afande muda huo LINDA akitetemeka na kutokwa na machoz huku akiwa karbu na mwili wa FIONA,Mahakama iliamua kumfungulia upya kesi ya mauaji LINDA Na kuomba siku itakayosomewa ndugu zake wawepo Mama yake pamoja na Amanda waliweza kufika Maeneo ya Mahakama kusikiliza Mahakama Itaamua kitu gani Mahakama Iliamua kumhukum LINDA kifungo cha Maisha ambacho atatumikia akiwa ndan ya gereza atakalo hamishiwa huku na adhabu kali zitafuata dhidi yake Mama yake alikuwa akilia ovyo kwa saut na kushindwa kujizuia AMANDA alikuwa akijitahid kumnyamazisha Baada ya hukumu ile kutolewa LINDA aliomba aongee jambo na mahakama Ikamkubakia kutaka kusikia anachokwenda kuongea ni kitu gani "Najua imeshatokea Sina Budi Kukubaliana na kosa ila hii yote ni tamaa tu ndo ilofanya niwe hapa tena " wakat huo akiongea Afande MUGA kwa pemben alikuwa akijaribu kumpa ishara LINDA asiweze Kusema kuhusiana na Mahusiano yao "Mimi Naenda gerezan kutumikia kifungo cha maisha nikiwa na mwanangu Tumboni " Watu waliokuemo mule ndan ya mahakama wote walishangaa "Najua itawashangaza Sana ila huo ndo ukweli mm n mjamzito Nilidanganyika Mimi kwa tamaa ya kuwa huru na uongoz " Afande MUGA alikuwa akijirabu kumwomba LINDA kwa ishara asiseme "Afande MUGA usinizuie acha niseme " Baada ya LINDA kuongea vile macho yote ya watu yalimtazama afande MUGA huku wakijiukiza katenda kitu gani "Mahakama afande MUGA si mtu mzur kabisa katika jeshi lenu la polisi yupo kwajili ya kuwashushia heshima na yeye ndo mhusika wa ujauzito huu aliniongopea meng tu na alishawah kunitoa nje ya gereza na kwenda kula raha na huko ndipo aliponiingilia kimwili kilazima bila ridhaa yangu Namchukia sana Afande MUGA Polisi walisogea na kumkamata afande MUGA na kumfunga pingu LINDA alitolewa kizimban na kuambatana na Afande MUGA kuelekea katika gari la magereza Mama yake LINDA aliomba aweze kuongea na mwanae alipewa Dakika tano lakin hakuweza kuzitumia Alipojaribu kutaka kuongea aliishiwa na nguvu na kuanguka chini LINDA alipojaribu kutaka kurud alizuiwa na kuweza kupandishwa kwenye gar AMANDA alibakia akilia na kujaribu kutafuta msaada wa kumpeleka Dada yake hospitali Afande MUGA jeshi la polisi lilimfukuza kaz kwa kulitia aibu na kupelekwa gerezan kwa kutumikia kifungo cha miaka kumi Mama yake LINDA alipatwa na kiharusi na kushindwa kufanya shughul yoyote ile ikambdi AMANDA kuhamia nyumban kwa Dada yake kwaajil ya kumsaidia ------------------- MWISHO ----------------------------
Artikel Terkait
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi (10) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp...... 0769673145 Ilipoishia...... Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ***********Endelea ********* Mlango ulifunguliwa na mama yake Frank na kukutana uso kwa uso na Penina. "ooh mwanangu hujambo?" akauliza mama yake Frank. "sijambo mama shikamoo." akasalimia Penina "marahaba karibu ndani." mama yake Frank akamkaribisha Penina. "Asante mama ila nataka nikufanyie surprise." Penina akamwambia mama yake Frank. "hii ipi tena mwanangu usije ukaniue kwa presha." akaongea mama yake Frank, na Muda huo huo baba yake Frank naye akajitokeza sehemu pale na kuungana na mama yake Frank. Penina alisogea pembeni na hapo hapo Frank akajitokeza mbele ya Wazazi wake. Mama yake Frank alijikuta akishindwa kuongea na kumrukia Frank kwa furaha isiyo na kifani. Frank pamoja na Wazazi waliingia ndani huku wakiwa na furaha tele kwa kumuona tena Frank ambaye alitoweka kwa siku kadhaa. Lakini kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kujua ni nini kilimtokea Frank. Frank ilibidi awaeleze kilichomtokea mwanzo mpaka mwisho. Kila mtu alihuzunika kwa hicho kilichomtokea Frank. Lakini pia Penina aliwaeleza pia kilichomkuta kaka yake Nolan na Mpaka Muda ule kaka yake alikuwa bado yupo hospitalini. Lakini hata hivyo furaha ilirejea upya usoni mwa Penina pamoja na Wazazi wake Frank baada ya kumuona Frank kwa Mara nyingine tena. Frank alienda kuoga na kubadilisha nguo Zake zile zilizochakaa na kuvaa nguo zingine nzuri ambazo ziliendana vizuri na yeye. Frank aliondoka na Penina na kuelekea moja kwa moja mpaka Katika hospital aliyopo Nolan kwa ajili ya kumjulia hali. * Lakini kumbe Katika hospital ile, Nolan baada ya kujua kuwa baba yake ndio alimfanyia mchezo ule. Nolan hakubaki tena pale hospitalini alitoroka bila hata kuruhusiwa na daktari na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwao. Penina na Frank baada ya kufika hospitalini pale. Walistaajabu kuambiwa kuwa Nolan hayupo pale hospitalini na hawajui alipoelekea. Penina na Frank waliondoka na kuelekea nyumbani kwa kina Penina wakihisi labda Nolan ameelekea huko. Na kweli baada ya kufika nyumbani kwa kina Penina walimkuta Nolan akiwa ameketi nje ya geti lao huku akionekana kuwa na mawazo tele. "Nolan vip ndugu yangu mbona mawazo tele?" alikuwa Frank akimuuliza Nolan baada ya kumkaribia. Nolan alinyanyua kichwa chake na hakuamini baada ya kumshuhudia Frank akiwa amesimama mbele ya macho yake akiwa pamoja na Frank. "oooh Frank ni wewe?" akauliza Nolan kama vile haamini, Kisha akanyanyuka na kumkumbatia Frank kwa furaha Sana. "nimefurahi Sana kukuona tena Frank, hakika wewe ndio furaha ya mdogo wangu Penina karibu tena Frank." akaongea Nolan kumuambia Frank. Na hapo hapo Nolan akamtaka Frank amueleze ni nini kilichomkuta mpaka akatoweka Muda wote ule. Frank Bila kusita alimuelezea Nolan mkasa mzima uliomkuta wa kutekwa na watu asiowafahamu. Nolan alimhurumia akampa moyo na kumtaka ajikaze kwasababu wana vita nzito mbele yao. Lakini pia Nolan akawaelezea jinsi baba yake mzee Joel alivyomtumia watu waje wamuue kwasababu ya kutetea penzi La Penina na Frank. "ina maana baba anataka akuue?" Penina akamuuliza Nolan kwa mshangao. "ndio nadhani ndio nia yake kwasababu ameona mimi ndio niliyeamua kusimama na kulitetea penzi lenu." akaongea Nolan kwa huzuni Sana. Penina pia alihuzunika Sana mpaka machozi yakaanza kutiririka usoni mwake baada ya kugundua baba yake ndio alipanga njama ya kummaliza Nolan. "lakini msijali kuweni na amani mimi nawakikishia lazima mtaoana na kuwa mume na mke." akaongea Nolan kwa kujiamini. "tunashukuru kusikia hivyo hata sisi tutakuwa pamoja na wewe kwa lolote lile." akaongea Frank naye kwa kujiamini. "Sasa sikilizeni niwaambie, nataka niwasafirishe muende mkakae nchi nyingine kwa miezi miwili alafu mimi nitabakia hapa Tanzania nikifanya taratibu za nyie kufunga ndoa na kila kitu kikiwa tayari nitawajulisha na mtarejea Tanzania kwa ajili ya kufunga ndoa yenu." akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Bila kipingamizi chochote Penina na Frank walikubaliana na wazo la Nolan na kilichotakiwa ni kwenda kujiandaa na kuondoka. "ngoja bas nikajiandae Mara moja." akaongea Penina, lakini Nolan akamzuia na kumwambia. "usiingie ndani tena, sitaki uonane na baba kuanzia Sasa kila kitu utakachahitaji nitakutimizia mimi, katafuteni hoteli yoyote mkae hapo mkijianda na kama na pesa au kitu chochote mtaniambia mimi." aliongea Nolan kwa msisitizo. "ok tumekuelewa tupo pamoja." akajibu Frank Kisha wakaondoka pamoja na Penina. Nolan alinyanyuka pale chini akagonga geti na kufunguliwa na mlinzi na bila kusema kitu Nolan akaelekea moja kwa moja mpaka sebuleni ambapo alimkuta baba yake mzee Joel akiwa ameketi huku akionekana kuwa na mawazo. "Niko sambamba na wewe kwa chochote kile utakachokifanya, sitajali kama wewe ni baba yangu au nani wangu lakini nachotaka utambue Frank lazima amuoe Penina." akaongea Nolan kumwambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake bila kusikiliza baba yake atasema nini. "wewe lazima nikuue wewe hata kama mimi ni baba yako huwezi kuniingilia Katika mambo yangu." akajisemea mzee Joel na kutoka nje kwa kasi mpaka kwenye gari Lake. Mlinzi alifungua geti na moja kwa moja mzee Joel akatoka kwa kasi mpaka Katika hospital waliyolazwa wakina Zaza. Mzee Joel alishuka kwa kasi kwenye gari Lake na kuelekea mpaka Katika chumba walicholazwa wakina Zaza. "Zaza mlifanya nini mbona mmeniangusha kias hiki?" akaongea mzee Joel kwa jazba. "mzee Joel yule mwanao ni hatari Sana hebu ona tulivyovunjwa vunjwa." akaongea Zaza huku akionesha jinsi walivyopigwa na Nolan . "ni bora mlivyopigwa kuliko hichi kingine kilichoibuka." akaongea mzee Joel na kushika kiuno. "nini tena mzee wangu?" akahoji Zaza huku akiwa anajinyanyua pale kitandani alipokuwa amelala. "Frank amerudi" akajibu mzee Joel na kuwafanya wakina Zaza washangae. "yaani kwa kweli mmeniangusha Sana alafu isitoshe Nolan ameshaanza kuota mapembe na kama nyie mmemshindwa bas itabidi nitafute wababe wengine zaidi yenu na nyie lazima nitawaua pesa niliyowapa ni nyingi Sana lakini hakuna cha maana mlichokifanya pumbavu nyie. " akaongea mzee Joel kwa hasira Kisha akageuka na kuondoka. * Penina na Frank waliwasili kwenye hoteli moja ya kifahari na kufanya taratibu zote na kuchukua chumba kwenye hoteli Ile na kulipia kukaa hapo kwa siku tatu. Lakini Frank aliwapa taarifa Wazazi wake ya jinsi mipango inavyofanyika hivyo akawataka wasiwe na hofu yoyote kuhusu yeye.* Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. ............. Itaendelea ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na tatu (13) Ilipoishia....... Mzee Joel ndio hakuamini baada ya kuingia ndani na kukuta vijana wote wamelazwa chini alafu kidogo hivi akatokeza Nolan akiwa amepigilia suti nyeusi Kisha akamwambia baba yake ambaye ni mzee Joel, "naenda kwenye kikao cha harusi ya Penina na Frank na kama utahitaji kadi unijulishe nikuletee ya kwako." ***********Endelea ********* Nolan baada ya kumuambia baba yake maneno hayo aliingia kwenye gari na kuondoka. Nolan alifikia sehemu ambayo ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutengeneza kadi za harusi. Nolan alitengeneza kadi za harusi zisizopungua Mia moja hamsini kwa ajili ya harusi ya Penina na Frank. Kadi hizo hazikuwa za kuchangia harusi ya Frank na Penina bali kadi za mualiko. Nolan alijipanga kusimamia kila kitu Katika harusi ya Penina na Frank hivyo yeye alitengeneza kadi ambazo ni kama kiingilio cha kuhudhuria harusi hiyo bila kuchangia chochote. Nolan baada ya kukamilisha zoezi la kutengeneza kadi zile akaanza kutafuta ukumbi Mkubwa wenye hadhi ya kufanyia sherehe ya harusi ya Frank na Penina. Nolan alifanikiwa kuupata ukumbii ambao aliuhitaji na baada ya hapo Nolan akaanza kuzigawa kadi zile kwa watu mbali mbali ikiwemo na marafiki pia. Nolan moja kwa moja aliwasili nyumbani kwa kina Frank na kuwakuta Wazazi wake Frank ambao walimpokea kwa furaha Sana. "kikubwa kilichonileta hapa ni kuhusu harusi ya mtoto wenu Frank pamoja na mdogo wangu Penina, napenda kuwaafahamisha kuwa taratibu za harusi ya ndugu zetu hawa inaendelea vizuri na hapa nimewaletea kadi za mualiko." alianza kuongea Nolan baada ya kukaribishwa ndani na Wazazi wake Frank huku akiwakabidhi kadi zile Wazazi wake Frank. "Asante Sana kijana wetu na hongera Sana kwa hapa ulipofikia Mungu azidi kukusimamia zaidi na zaidi." wakaongea Wazazi wake Frank huku wakimshukuru Sana Nolan. "msijali Sana hii kazi ilikuwa lazima niifanye na lazima nitaitimiza, na kingine ninachotaka kukifanya kwa Sasa nataka niwahamishe hapa nyumbani kwenu niwapelekee sehemu mkakae hapo kwa siku kadhaa mpaka pale harusi ya mtoto wenu itakapokamilika, nafanya hivi kwa sababu ya usalama wenu kwasababu kuna vita kubwa inaendelea. " akaongea Nolan na kutoa maelezo hayo ambayo Wazazi wake Frank walikubaliana nayo bila wasi wasi wowote. Wazazi wake Frank pamoja na Mdogo wake Frank walijiandaa na kuondoka na Nolan ambaye aliwapeleka Katika hotel moja iliyopo nje kidogo ya jiji la dar es salam na kuwataka wakae hapo kwa wiki tatu kabla ya harusi ya Frank na Penina na gharama zote atazisimamia yeye Nolan. Nolan baada ya hapo alishika njia ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kwenda kupumzika kidogo. * Dickson aliwasili Tanzania kwa Mara nyingine tena Ila awamu hii alikuwa na vijana wake wanne alioongozana nao. Baada ya kuwasili uwanja wa ndege moja kwa moja Dickson pamoja na vijana wake walichukua gari ndogo na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwa mzee Joel.* Mzee Joel alizidi kuchanganyikiwa baada ya kumaliza siku ya pili Sasa bila kumuona Penina na wala hajui ni wapi Penina alipo. Jambo hilo lilimvuruga Sana mzee Joel na kumfanya ashindwe hata kula chakula anachopikiwa na mkewe. Mzee Joel pia aliweza kuwasiliana na mkuu wa kikosi cha the killer na kumueleza jinsi vijana wake walivyoshindwa kuifanya kazi waliyoagizwa na kujikuta wakipokea kichapo kikali kutoka kwa Nolan. Mkuu yule wa kikosi cha the killer aliyejulikana kwa Jina la buffalo alipigwa na butwaa baada ya kupewa taarifa zile na mzee Joel. buffalo hajawahi kuamini kama kuna mtu yoyote anayeweza kupambana na vijana wake na akawaweza, hivyo taarifa zile zilimshangaza Sana. Buffalo akaamua ni lazima amjue huyo kijana ni nani aliyeweza kuwatandika vijana wake. "mzee hiyo kazi niachie mimi nitapambana nae mwanzo mwisho." akaongea buffalo kumwambia mzee Joel. Mzee Joel aliweza kumuelewa buffalo na kukataa simu na kumsubiri buffalo aingie kazini mwenyewe kwasababu yeye ndio mtu pekee Sasa aliyebaki wa kumtegemea. Dakika chache baada ya mzee Joel kuongea na buffalo, mzee Joel alipata taarifa kuwa kuna wageni nje wanahitaji kuonana na yeye. Mzee Joel alitoa ruhusa wageni hao wakaribishwe ndani. Kitendo bila kuchelewa wageni wale walifunguliwa geti na kukaribishwa mpaka ndani. Mzee Joel alishtuka baada ya kuona ugeni wenyewe ni wa Dickson pamoja na vijana wake wanne. "karibuni karibuni Sana." akaongea mzee Joel huku akijaribu kujichekesha japo hakuwa na amani hata kidogo. "hatuna haja ya kukaa mzee Joel, tumekuja kumchukua Penina nataka kujua kama inawezekana au haiwezekani?" akauliza Dick huku akionesha dhahiri kupandwa na hasira. "inawezekana kijana wangu tafadhali kaeni kidogo bas." akaongea mzee Joel kwa upole. "nimeshakuambia hatuna haja ya kukaa sisi tumekuja kumchukia Penina tu." akaongea Dick kwa msisitizo. "kijana wangu Dick naomba nipe muda wa siku mbili tu nitakuwa tayari nimeshakamilisha hili swala." akaongea mzee Joel kuwaambia wakina Dick. "Mzee umenipotezea Muda na umekula pesa zangu nyingi Sana, Sasa naondoka na kesho nitarudi unikabidhi Penina la sivyo pesa zangu utarudisha na utalipa Muda wangu nilioupoteza kwa ajili yako." akaongea Dick kwa jazba na kuondoka pamoja na vijana wake na kumuacha mzee Joel akitokwa na jasho jembamba. Baada ya dakika chache wakina Dick kuondoka Nolan naye aliwasili nyumbani na kumkuta baba yake akiwa na mawazo tele huku pembeni akiwa chupa ya pombe kali. "Baba shikamoo" akasilimia Nolan lakini alijua baba yake hataitikia salamu yake. Mzee Joel kweli hakuitikia salamu ya Nolan alibaki akimtizama tu kwa hasira. Nolan naye hakujali alitoa kadi tano za harusi ya Penina na Frank na kumwekea baba yake kwenye Meza iliyokuwa mbele yake. "karibu Sana Katika harusi ya Penina na mpenzi wake wa Muda mrefu Frank, wewe pamoja na rafiki Zako mnakaribishwa. " Nolan ndio alimwambia baba yake mzee Joel baada ya kumuwekea kadi zile kwenye Meza iliyokuwa mbele yake, Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. ............ Itaendelea ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA MBILI (12,13$14) UMRI ±18 ILIPOISHIA alikuwa analalamika nikaingiza mashine yangu na kuanza kupampup nikiwa naendelea kusex gafla mlango ukafunguliwa............ ENDELEA SASA Mlango ulipofunguliwa hatukuamini macho yetu mtu aliyeingia chumbani yani nilitamani ardhi ipasuke nitumbukie ndani mana nilipatwa na uwoga huku mapigo ya moyo yakiwa yanadunda kupita kiasi Ku kuona aibu.... alikuwa shangazi mke wa mjomba kasimama mbele yetu tena akiwa amekasilika kama simba aliyejeruhiwa. "Hivi nyie mmbwa hamjaona magesti mpaka mfanye uchafu wenu hapa??" Aliongea shangazi kwa hasira. "Tusamehe shangazi "nilimuomba msamaha huku macho yangu yakionesha dalili ya kutaka kulia. "Yani kweli vanessa unafanya mapenzi na kenny tena umejiachia kabisa"shangazi aliongea huku akionesha kweli amekasilika "Naomba nisamehe shangazi sito rudia tena"aliongea vanessa huku akiwa amepiga magoti,lakini alishanga akipigwa kibao kizito kilichompeleka chini "Malaya mkubwa wewe yani umekuja leo leo unaanza umalaya wako" aliongea shangazi "Kwanin unanipiga jamani kosa ni langu na wala sio lake niliamua kumtetea" huku nikiwa nalia.nilimuangalia vanessa kwa huruma pale chini huku machozi yakimtoka ."sasa mkitaka niwasamehe na nisiende kuwasemea kwa mjomba wenu nitawapa sharti moja mkiliweza poa sisemi ila mkishindwa naenda kusema"shangazi aliongea wakati huo huku akiwa ameshika simu akitaka kumpigia mjomba. "Usitufanyie hivyo shangazi tuambie sharti lako na sisi tutafnya unachotaka" "Aaah...kama ni hvyo sawa sasa nataka mfanye mapenzi mbele Yangu" "Aaaah!!."tulijikuta tumeshanga wote mimi na Vanessa" "Mnashanga nini sasa kama hamtaki semeni siwalazimishi"alituambia shangazi.ukweli nilimuona shangazi sio mtu mzuri kabisa.nilifikilia kweli nifanye mapenzi na vanessa mbele ya shangazi na nisipofanya habari hizi zitafika kwa mjomba kitu nisichokitaka. "Sawa nimekubali"nilikubali huku nikimwangalia vanessa aliyekuwa kajikunyata kama kuku anayesubili kuchinjwa mpaka nikamuonea huruma " ndiyo nimekubali na Mimi"vanessa alikubali huku akitokwa na machozi. Basi hatukuwa na budi tuliingia tena kwenye mechi kipindi hiki sikutaka kuwa lelemama nilotaka kumuonesha shangazi Mimi ni nani.nikamuanda vizuri vanessa kwa mechi nilitanua mapaja yake nikaingia kati mzee na limashine langu likiwa limedinda mbaya vanessa alishika mashine yangu akaingiza kwenye kitumbua chake huku akitetemeka alionekana kweli ananyege sana.tuliendelea kuonesha ufundi pale kitandani mpaka nilipomuona vanessa anataka kutangaza goli lake la kwanza (tangazo usisahau kuni follow instagram @ brayton Official Love "ooooohb shiiiiii mmmmmh baby mmmmh tamu " vanessa aliongea huku macho yamemlegea mbaya niliendelea kupiga mambo yangu na Mimi sikuchukua muda mzee nikapiga bao langu.nilikuwa nimechoka sana. "Hapo mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake...... usikose sehemu ya kumi na tatu like page yetu sasa share kama tupo pamoja isome yote mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 *************CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TATU (13) INSTAGRAM: CHAS360TZ UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita "Hapo safi mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake......!!!! endelea sasa....... shangazi alizidi kuniitia chumbani kwake hata sikujua anataka nini.nilinyanyuka pale kwenye sofa ili kumfuata nilipofika pale mlangoni kwake nilikuta upo wazi kabisa shangazi akiwa ndani ya kanga moja tena anaonekana alitoka kuoga mana kanga ilikuwa imeloaloa maji na kufanya ile kanga kushikana na mwili wake "ingia sasa nawewe unashanga nini"alinistua shangazi kutoka kwenye Lindi la mawazo nikaingia mpaka ndani.shangazi alikuja kwa nyuma yangu akafunga mlango nikataka nikae kwenye sofa lililokuwepo chumbani kwake lakini akaniambia"aaah wewe utakaaje hapo hembu njo hapa kitandani nikasogea mpaka kitandani nikakaa shangazi akaenda kabatini akatoa mafuta laini akanikabizi. "Nataka unipake hayo mafuta mgongoni " "Aaah sawa Hamna shida" "Tena unipake vizuri" "Hata usijali ntakupaka vizuri tu"nikiwa naendelea kumpaka mafuta akawa ananielekeza na sehemu zingine za kupaka mara nimpake shingoni mpaka kwenye mapaja na mapaja yake yalivyokuwa yamejazia mpaka mate yamenijaa mdomoni mtoto anapaja nene jeupe laini kama la mtoto mchanga. labda ngoja nikufahamishe kidogo histori ya huyu shangazi.huyu shangazi sio mama mzazi errycah.huyu alikua mke wa pili wa mjomba baada ya mama yake kufariki kwa ajari ya gari ndio mjomba akaamua atafute mke mwingine ukimwangalia shangazi yangu huyu ni wamakamo yetu kabisa kama sio wa 96 basi 97 na hana hata mtoto ndio mana sijawai kumsalimia. ni kijana mwenzetu wakati nikiendelea kumpaka nikaona anazidi kurembua kama amekula kungu manga"mmmmh kenny hapo hapo jamani mpaka nasikia raha" "Mmmh!!!."niliguna kimoyo moyo Mara akanishika shingoni akanivutia kwake akaanza kunila denda si nikagoma"aaah!!! sitaki niachie bwana we haujui kama wewe ni shangazi Yangu"nilifoka mzee huku nikimuangalia usoni kwa hasira "Ah ah ah ah"alicheka shangazi kwazarau alinyanyuka kitandani huku akilitingisha wowo lake lililoja vizuri akaenda kwenye mkoba wake akatoa simu yake akabonyeza bonyeza kisha akanipa nione nilistuka nilipoona video yangu nikiwa nafanya mapenzi na Vanessa . "Kwanini umeamua kunirecody video nikiwa nafanya mapenzi na vanessa???"nilimuuliza kwa hasira. "Mmmh pole sana kenny hata Mimi nililitamani penzi lako ndo mana nikakuacha umalize kisha uje kwangu...kwaiyo utanipa huo utamu au haunipi???"aliniuliza huku akianza kuvua kanga yake. "Sikupi!!!"na Mimi nilimjibu kwa zarau "Aaaaah sawa najua sio muda mrefu mjomba wako atarudi na lazima nimuoneshe huu upuuzi wako mliofanya leo na ushahidi ninao"shangazi aliniambia huku akinionesha video ile. lakini baada ya kuoneshwa ile video niliona kimeshanuka nikaona bora nikubali huku nikijiuliza hii siku ya Leo mbona nikama ya mkosi sana kwangu basi mana toka nimeanza kufanya mapenzi na sethi hamna siku niliyo pumzika kila Sikh natembeza dozi. alinisogelea nilipo akasogeza mdomo wake kalibu yangu tukaanza kurana denda "mmmmh mmh mmmmh" alikuwa anatoa miguno tu mzee nikaona nisimkawize kwakuwa hakuwa amevaa kitu ndani hakikuwa kazi ngumu kufika kitumbua chake kilipo nikamwambia asimame na mguu mmoja hapandishe kwenye kitanda akafanya kama nilivyomuulekeza na Mimi nikapiga magoti katikati ya mapaja yake yani kitumbua nilikuwa nakiangalia kwa juu. ujue wengi wana jua mapenzi kuchukua mashine yako na kuingiza kwenye kitumbua wengi huwa tunakosea sana muuandae mwenzio kwa mechi kisha mnaingia uwanjani kuoneshana ufundi........ basi tuliendelea nikiwa nimepiga magoti huku kitumbua kipo kwa juu nikapeleka ncha ya ulimi kwenye kitumbua nikaona shangazi miguu ikianza kutetemeka nikaendelea na usafi wangu "mmmmh ooooshhh ta...mu baby " alikuwa analalamika kama hawa machangu doa nikaendelea kumpa Raha ya kufanyia usafi huku nikiendelea kumuanda mtoto wa kike mpaka nilipolizika tukaingia uwanjani daaah aiseee!!! shangazi alikuwa anajua kuliko wasichana wote niliotembeanao mana hivyo viuno alivyokuwa anakata duuuuh noma kama snura kwenye ile nyimbo yake na Christian Bella ""nioneshe wanachumaje mchicha tembele"" nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... usikose sehemu ya 14 like page yetu sasa ili uwe wakwanza kuipata simulizi hii kila ikitoka......... pata simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 tu ***************** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA NNE (14) UMRI ±18 ilipo ishia nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... endelea sasa aliingia errycah bila hata kupiga hodi huku akiwa anahema"nyie amkeni baba yupo nje amerudi" daaah!!! nilikurupuka pale kitandani kama mshale mpaka mlangoni nikafungua mlango bila kuangalia noma nikiwa mlangoni kwangu nimeshika kitasa ili nifungue mlango nikashanga naitwa "kenny" kumbe alikuwa mjomba "kachukue mizigo kwenye gari "mjomba aliniambia huku akiingia chumbani kwake huku akionekana kuchoka kwa safari.nikatoka mpaka nje nikakutana na nasma alinitolea sana macho " na kuniambia yani wew kweli kidume umepita nyumba nzima sasa sikia nakuomba unifate saizi jikoni unipe kimoja tu kinatosha ...... jamani nasma naomba unionee huruma mana hata sijapumzika na sizani kama hata spem zitatoka akaniambia nisijali atanipa kidongo cha kuongeza nguvu na kama nikimgomea basi atanitobolea siri yangu kwa mjomba.maneno yake hayakunishawishi sana lakini nilijikuta namkubalia baada ya kumwona akiwa ameshika funguo ya kile chumba cha siri na kuniambia sikia najua una shida ya huu ufunguo twende ukanisugue usiku huuu chagua twende jikoni au chumbani kwako...... nika mwambia anisaidie kupeleka mizigo ndani kisha twende tukafanye yetu.tulipangua mizigo na kuingiza ndani sikujua nini kiliendelea chumbani kwa mjomba ila niliona hali shwari mana huyu shangazi yangu kwa Ku igiza tu namuelewa sana tuliingia zetu chumbani.nikameza kile kidonge cha kuongeza nguvu nikamvamia na kuanza kumchezea nasma. Nikaona mlango unafunguliwa na mtu akiingia kwa kunyata tulitulia huku tukimuangalia kwa umakini aliyekuwa anaingia.kumbe alikuwa vanesa tena alikuwa amevaa kanga moja tu. mmmmh nikaguna kimoyomoyo na kusema INA maana dozi niliyo mpa haijamtosha mbona anataka kunitia aibu nikafaamika Nina tembea na ndugu zangu mana shangazi na errycah teali wanajua Nimetembea na Vanessa na nasma na yeye ajue" nikataka kuongea nasma akaniziba mdomo na vanesaa nae alipotuona alistuka mpaka akataka kudondoka " umefata nini we malaya!!!??" Aliulizwa swali na nasma likiambatana na tusi " ni,,,, ni,,, nili,,, kuwa naenda chooni" "Huku chooni sasa" "Mmmmmh mmmmh" alikata kwa kutingisha kichwa. mzee nilikuwa nimetulia tu nikiangalia move linaloendelea " haya toka haraka "vanesa alifukuzwa kama mbwa.aligeuza akitaka kukimbia. " we we we we ngoja kwanza" nasma alimwambia vanesaa na Vanessa akasimama mlangoni huku akitetemeka " na ole wako ukaseme kwa mtu yoyote ntakunyonga" nadhani una nijua vizuri nilikufanyaga nini........ aliongea nasma kwa hasira huku kayatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ usikose sehemu ya 15 like page yetu sasa ili uisome bila usumbufu ********* ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya tisa (9) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp..... 0769673145 Ilipoishia....... Baada ya kubangaiza huku na kule kwa siku kadhaa hatimaye Frank alifanikiwa kupata pesa ambayo aliihitaji, na bila kupoteza sekunde, dakika wala masaa, moja kwa moja Frank aliianza safari ya kurudi dar es salam huku mawazo yake yote yakiwa kwa Penina tu Mwanamke aliyempenda kwa moyo wake wote. **********Endelea ****** Baada ya safari ndefu ya takribani masaa kumi na tatu, hatimaye Frank aliwasili jiji dar es salam Katika stand ya ubungo. Frank alikuwa wa kwanza kushuka kwenye gari na moja kwa moja akaanza safari ya kuelekea nyumbani kwa kina Penina badala ya nyumbani kwao. * Baada ya kina Nolan pamoja na kina Zaza kufikishwa hospitalini moja kwa moja walianza kupatiwa matibabu ya majeraha waliyokuwa nayo mwilini mwao. "kwani nyie mlipatwa na nini?" daktari mmoja aliyekuwa akimtibu Nolan akamuuliza. "tulivamiwa." akajibu Nolan kiufupi. "na wa kina nani?" akauliza tena daktari yule. "na mashetani." akajibu Nolan. "wewe umechanganyikiwa?" akauliza daktari yule kwa mshangao. "nahisi hivyo." akajibu Nolan. Daktari yule aliamua kukaa kimya na kutokuuliza tena swali, aliona kweli huyu mtu amechanganyikiwa. * Katika hospital ile ile waliyolazwa wakina Nolan ndiyo hospital hiyo hiyo aliyolazwa pia Penina. Na Muda huo huo mzee Joel aliwasili hospitalini hapo na kuonana na daktari ambaye aliongozana naye mpaka Katika chumba alicholazwa Penina. "Mzee mtoto wako hajaumia sehemu yoyote ila alipatwa na mshtuko tu baada ya kugonga mti hivyo ondoa Shaka tutakuruhusu uondoke na mtoto wako." akaongea daktari yule kumwambia mzee Joel. "ooh afadhali maana nilikuwa na hofu Sana isije kuwa mwanangu ameumia Sana." akaongea mzee Joel na wakati huo huo walikuwa tayari wameshafika Katika chumba alichokuwepo Penina. "mwanangu pole Sana unajisikiaje kwa Sasa?" akaongea mzee Joel huku akimshika Penina kwenye bega. Lakini kwa upande wa Penina alihisi kichefu chefu kumuona baba yake sehemu ile, lakini kwa sababu alikuwa hospitalini hakuwa na jinsi kishingo upande akamjibu baba yake. "najiskia vizuri tu Sasa." akajibu Penina bila kumuangalia baba yake usoni. "OK twende nyumbani ukapumzike maana daktari ameniruhusu kuondoka na wewe." akaongea mzee Joel kumwambia Penina. "nakumbuka nilikuwa nakuja Katika hospital hii kwa ajili ya kumuona kaka yangu na kujua hali yake, hivyo siwezi kuondoka bila kumuona." akaongea Penina kumwambia baba yake mzee Joel. "aah mwanangu kuhusu Nolan anaendelea vizuri wewe usijali twende nyumbani ukapumzike." akaongea baba yake lakini akiwa hana uhakika na anachokiongea kwasababu bado hajaonana na Nolan pale hospitalini. "nimesema nataka nikamuone Nolan kama wewe umemuona mi sijamuona." akaongea Penina kwa kulazimisha. "ok twende bas ukamuone." akaongea mzee Joel naye kwa kununa nuna. Mzee hakutaka Penina akaonane na Nolan kwasababu alijua Nolan anaweza akamwambia Penina vitu ambavyo yeye hataki Penina ajue. Lakini hata hivyo waliongozana kwa pamoja mpaka Katika chumba alicholazwa Nolan. "ooh kaka yangu nani wamekupiga hivyo." akaongea Penina kwa masikitiko makubwa baada ya kuona sehemu kubwa ya bega la Nolan ambayo ipo karibu na shingo ikiwa imefungwa. Penina alisogea na kuchuchuma pembeni ya kitanda alicholazwa Nolan. "mdogo wangu nitakuambia kwa wakati mwingine kwa Sasa nenda nyumbani." Nolan ndio alimwambia Penina kwa msisitizo. "ok kaka pole Sana." Penina akamwambia Nolan na kuondoka. Lakini mzee Joel hakusema kitu yeye alibaki anamtizama Nolan kama vile hamjui. "baba tumeondoka wewe hata hujamuaga kaka." Penina akamwambia baba yake walipokuwa wakitoka kwenye chumba kile. "mimi nilikuwa nimeshamuaga Sasa ulitaka nimuage Mara ya pili tena?" akahoji mzee Joel kwa mshangao, lakini maneno aliyokuwa akiyaongea hayakuwa na ukweli wowote. "mhh bas Sawa." akajibu Penina na moja kwa moja wakaelekea mpaka kwenye gari ya mzee Joel. "gari yangu iko wapi?" akahoji Penina. "ingia kwenye gari Penina tuondoke ile achana nayo nitakuagizia nyingine mpya." mzee Joel akamjibu Penina kwa majivuno. "mhh ok Sawa baba." akajibu Penina lakini moyoni hakupenda kabisa kupanda gari moja na baba yake. Penina aliingia kwenye gari na kuondoka na baba yake kuelekea nyumbani. Baada ya dakika zisisozidi ishirini Penina na baba yake waliwasili nyumbani kwao na gari yao ikiwa imesimama nje ikipiga honi geti lifunguliwe. Lakini wakati huo huo Frank naye aliwasili pia na kukuta gari lile la mzee Joel likiwa bado limesimama pale nje likisubiri geti lifunguliwe ili waingie ndani. Frank alisogea mpaka mbele ya gari ile na mzee Joel ndio alikuwa wa kwanza kumuona. "ni macho yangu au naota huyu mlala hoi bado yupo hapa dar es salam?" akaongea mzee Joel kimoyo moyo huku akimshangaa Frank ambaye alikuwa amevaa mavazi yaliyochakaa. "baba unashangaa nini." Penina akamuuliza baba yake baada ya kumuona alivyokuwa akishangaa. Lakini kabla Penina hajapata jibu kutoka kwa baba yake, ghafla hakuamini macho yake baada ya kumuona mtu ambaye alimfananisha na Frank. Lakini hata hivyo Penina aligundua kuwa yule ni Frank mwenyewe wala hata hajamfananisha licha ya nguo chafu chafu alizokuwa amevaa Frank. Penina alijikuta akifungua mlango wa gari na kutoka mbio mpaka kwa Frank. Penina alimrukia Frank na kumkumbatia kwa nguvu huku machozi ya furaha yakimtoka. Mzee Joel ndio hakuamini kabisa alichokuwa anakishuhudia mbele ya macho yake. Mzee Joel aliingiza gari ndani kwa hasira baada ya geti kufunguliwa na kuwaacha wakina Penina na Frank wakiwa bado wamekumbatiana. "Frank ulikuwa kipenzi changu kwa Muda wote uliokuwa mbali nami niliteseka Sana juu yako Frank ulikuwa wapi?" akaongea Penina na kumuuliza Frank huku machozi yakizidi kutiririka usoni mwa Penina. "niliteseka Sana mpenzi wangu na kama si Mungu bas ningeshakufa." akaongea Frank kumuambia Penina huku akijitihaidi kuzuia machozi yaliyokuwa yakimtiririka usoni mwake. "pole Sana mpenzi wangu nashukuru Sana kukuona tena, twende ukapumzike kwetu alafu utanielezea ulipatwa na nini." akaongea Penina kumwambia Frank. "hapana Penina siwezi kuingia ndani kwenu kwa Sasa Ila ningependa wewe uongozane na mimi mpaka kwetu kwasababu bado sijawaona Wazazi wangu." Frank ndio alimwambia Penina. Na Penina bila kupinga alikubali na kwa kuwa gari Lake Penina lilikuwa limeharibika ilibidi wachukue bajaji na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwa Frank. "vip kaka yako Nolan yuko poa?" Frank akamuuliza Penina. "mhh Kwa kweli hali yake si nzuri kidogo." akajibu Penina kinyonge. "Kwanini tena anaumwa?" akahoji Frank kwa mshangao. "ni bora hata angeumwa kuliko hayo yaliyomkuta wewe twende tufike nyumbani kwanza nitakueleza." Penina akamjibu Frank na ukimya ukatawala kule kwenye bajaji. * Hospital huku Nolan alijihisi afadhali kidogo na kwa kuwa alijua wazi kuwa wakina Zaza wako Katika hospital ile akaamua kula nao sahani moja mpaka wamwambie nani aliwatuma waje kumuua. Kwanza Nolan aliiba sindano ya daktari wake aliyekuwa akimtibu na kuificha. Nolan alianza kuchunguza chumba walicholazwa wakina Zaza na baada ya dakika chache akafanikiwa kufahamu chumba walichopo wakina Zaza. Bila kupoteza Muda Frank akajitokeza mbele ya zaza ambaye alishtuka na kutamani kupiga kelele lakini akawa tayari ameshachelewa. "Broo unaona hii sindano ina sumu nitakutoboa toboa nayo nilumalize, Sasa kuepuka hilo naomba uniambie ni nani aliwatuma mje kunivamia?" akaongea Nolan kumwambia Penina huku akiwa ameishika sindano ile. "mkubwa kusema ukweli ni baba yako ndio alitutuma." akaongea Zaza huku akitetemeka. "una uhakika na unachokiongea?" akauliza Frank huku akimtisha zaza kwa sindano ile. "nasema ukweli kutoka moyoni mwangu baba yako ndio alitutuma." akaongea zaza kumwambia Nolan. Nolan hakuongea tena kitu aliificha sindano yake na kuondoka kwenye chumba kile. * Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ........ Itaendelea. ... Read More
NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Sehemu ya kwanza(01) Naitwa Naomi Charles,katika maisha yangu sikuwahi kuamini haswa mambo yanayohusiana na nguvu za giza,kitu pekee nilichojua ni kwamba hivi vitu huwa vipo midomoni mwa watu tu,lakini kadri nilivyozidi kukua na kuingia katika maisha ya ndoa hapo ndipo nilipokuja kushuhudia kwa macho yangu kwamba haya mambo si ya kwenye midomo ya watu,bali yanafanyika na kuishi katika jamii mwa watu. Ndugu yangu amini nakuambia,kama kuna mwanga basi elewa hata giza lipo,na siku zote lengo la kuwepo mwanga ni kwasababu ya kukimbiza giza,kusingekuwa kuna ulinzi wa Mungu endapo kama mambo ya giza yasingekuwepo,nilichokuja kuamini ni kwamba siku zote uwepo wa mwanga wa Mungu wa wanadamu ni kwasababu ya kukimbiza giza linalowanyemelea wanadamu. Niliwahi kusoma vitabu na kama vile "Dollo,Mama yangu anakula nyama za watu" na kitabu cha "Jini lilivyonilelea mwanangu kimiujiza",waliandika na kusema hiyo ni mikasa ya ukweli lakini bado nilisema kwamba huu ni utashi tu wa utunzi wa watu. Ni miaka takribani 15 imepita tangu niamue kuachana na safari ya ndoa na John mume ambae nilipenda kumuita J...Alinioa ndoa ya halali kabisa,nakumbuka kipindi naonana nae alikuwa na miaka 40 wakati huo mimi nilikuwa na miaka 28,alikuwa ameniacha mbali ki umri lakini haikuwa sababu ya penzi letu kufa. Lakini kuna mambo mawili ambayo yalinishangaza kwake,alikuwa na umri mkubwa sana na majukumu ya kumuingizia pesa lakini cha ajabu bado alikuwa anaishi na Mama yake mzazi,cha pili ni kwamba aliniambia kwamba alipokuwa na umri wa miaka 30 alipataga mke ambae walipanga kuoana lakini aliamua tu kuishi nae nyumbani kwao kama mke wake,baada ya miaka mitano kupita John aliniambia mwanamke yule aliamua kukatish safari ya mahusiano na yeye,alibahatika kuzaa nae watoto wawili lakini wote walifariki. John hakuniambia ni sababu ipi iliyomfanya hasa aachane na yule mwanamke. Nakumbuka baada ya ndoa yangu mimi na John nilimshawishi na kumwambia kwamba mimi staki tuendelee kukaa pale na mama yake,tuondoke tukaanzishe maisha yetu na kama Mama tutaendelea kumjali maana si kwamba amezeeka kufikia kipimo cha kuweza kukaa nae na kumlea. John alinikubalia na kusema tutahama lakini tukae kae kwanza pale kwao wakati anajipanga. Miezi miwili ilipita tangu ndoa,hatimae nilishika ujauzito tukiwa bado tunakaa na palepale kwa Mama yake,ambae ni mama mkwe wangu,wote walifurahi baada ya kuona mimi nimekamata ujauzito. Wanasema kulea Mimba sio kazi bali kulea mtoto,miezi tisa si mingi kama ukiwa na subira,hatimae nilishusha mtoto wa kiume,furaha kubwa ilitawala baina ya familia zetu pamoja na mimi na mume wangu,ilikuwa ni furaha isiyo na kifani,wajirani na marafiki wa kutembelea hawakukosekana,taratibu kazi ya kulea mtoto ilianza. Hatimae miezi sita ilipita,mtoto alizidi kuchangamka,kilichobaki kinaniumiza ni kwamba kila nikimuambia mume wangu tuhame kwa mama yake tukaanzishe maisha yetu alikuwa ananijibu bado hajajipanga,likikuwa linaniumiza sana kichwa swala hili na nilijikuta nakata tamaa ya kuwa namuuliza mara kwa mara. Katika safari yangu ya ndoa sintakuja kuusahau usiku,usiku ambao vindumbwe ndumbwe na maajabu vilianza katika maisha yangu,nakumbuka nilikuwa nimelala mimi na mume wangu pamoja na mtoto wangu huyo wa miezi sita,ambae tulimpa jina la Grey,niliota tumezunguukwa na wanawake wanne mimi na mume wangu kwenye kitanda ambacho tulikuwa tumelala,wanawake hao walikuwa wamevalia shuka nyeupe ambazo wamejifunga rubega,nilitaka kupiga kelele lakini moja ya wanawake wale aliniziba mdomo kisha mmoja wao akanyoosha mikono yake na kumchukua mwanangu,nilikodoa macho na kutamani kupiga kelele lakini nilishindwa kwasababu nilishikwa,nilimkazia macho yule mwanamke aliemchukua mwanangu na ndipo niliposhikwa na bumbuwazi baada ya kugundua kwamba ni mama mkwe wangu.Alianza kuondoka na mwanangu huku akifuatiwa na wale wanawake watatu waliobaki,nilianza kupiga kelele za kumlilia mwanangu mpaka nalia huku nikiinuka kitandani kuwafuata,ghafla nilishtushwa na mume wangu huku akiniambia"we Naomi unaenda wapi huko na kupiga kelele na wakati mtoto huyu hapa,umepatwa na nini".Nilianza kuhema huku nikimwangalia mwanangu kama yuko salama,wakati huo nikawa namwaga jasho. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... JE NINI KITAENDELEA Je Grey atapona...? Je ndoto aliyoota Naomi inauhalisia wowote katika maisha yao..? tukutane sehemu ya pili kesho jioni panapo majaaliwa. Ruksa kushare,pia toa maoni yako ili watu wajifunze zaidi. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(02) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Ilipoishia. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... Sasa endelea... Nilijikuta nalia tu huku nikiita"Greeeey....Greeey",wakati huo sasa mume wangu nae ndipo alipomtazama mtoto wetu na kugundua kwamba mdomoni anatoka povu,nilimuona ameshtuka ghafla na kuinuka kutoka kitandani huku akiuliza"Naomi,mtoto amekuwa na nini,inamaana alikuwa anaumwa harafu hukuniambia mpaka amezidiwa hivi..?". Moja kwa moja Mume wangu alijua labda huenda nimemficha sikumwambia kama Grey alikuwa anaumwa kitu ambacho hapana. Grey alizidi kulia zaidi na wakati huo povu jeupe liliendelea kumtoka,wote tulikuwa tumechanganyikiwa hatujui tufanye nini,ndipo Mume wangu alienda sebureni na kuchukua maji haraka haraka kisha kumnywesha Grey,wakati anakunywa maji alitulia kwanza kulia lakini baada ya kumaliza tu kunywa maji kilio kiliendelea tena,nilimchukua na kuanza kumnyonyesha lakini alikataa ziwa,mara muda haukupita Bibi yake ambae ni mama yake na Mume wangu akawa ametugongea mlango"nyie kuna nini tena humu?,mbona mtoto analia hivi".Mume wangu alimfungulia mlango kisha akaingia ndani,alifika na kuanza kumtazama mtoto ambae alikuwa bado analia,mimi nilijikuta naacha kumtazama mwanangu badala yake nilianza kumtazama huyu mkwe wangu huku nikikumbuka nilichoota,nilitamani nijue zaidi hivi nilichoota kina uhalisia au ilikuwa ndoto tu. Ghafla nilimuona Mama mkwe wangu akimuweka mwanangu kitandani na kusema"huyu mtoto mbona ameumwa ghafla hivi kulikoni,au alianza toka mchana lakini hukutuambia,hebu mwangalieni na mwili wake ulivyobadilika na kuwa mwekundu"aliposema hivyo moyo ulinilipuka na kuacha kumtazama yeye kisha kumtazama mwanangu,sikuamini kuona mwili wa mwanangu aliekuwa mweupe umekuwa mwekundu rangi ya damu kabisa,kulia nako kukazidi,nilimchukua na kuanza kumbembeleza lakini haikusaidia kitu,matokeo yake na mimi nilijikuta naanza kulia huku nikisema"Baba Grey mwanangu anakufa,Mwanangu anakufaaa"Nililia sana wakati huo Baba Grey nae anawaza afanye nini. Mama mkwe alitoka ghafla kisha kuelekea sebureni,alikaa huko kwa dakika kadhaa kisha akarudi na maji kwenye kikombe akasema"Hebu mnyweshe haya maji nimeyachanganyia chumvi na sukari huenda yakamsaidia",kweli niliyachukua haraka haraka kisha nikamnywesha,kweli duniani kuna maajabu,kwani baada tu ya kumnywesha yale maji Grey aliacha kulia na kukubali kunyonya lakini mwili wake uliendelea kuwa mwekundu. Ilikuwa mida ya saa kumi usiku na ndipo Baba Grey alisema sasa tumpeleke Grey hospitali,kweli juhudi za kujiandaa kwenda hosipitali zilianza na hatimae safari ilitimia,tulifika kwenye Zahanati moja hivi iliyokuwa jirani na sisi na kumkuta daktari wa zamu,walitupokea kisha wakamuangalia mtoto kitendo kilichofanya daktari ashtuke baada ya kumuona ni jinsi gani Grey alivyokuwa mwekundu,harakati za vipimo na matibabu vilianza,juhudi zilifanyika na wapimaji wakati sisi tukiendelea kusubiri,majibu yalikuja ya kushangaza kwani tuliambiwa kwamba Grey hana ugonjwa wowote,hapo ndipo nilipoanza kuona kwamba huenda kweli kuna mauza uza. Tulipewa kitanda ili mwanangu alale kwa ajiri ya kukicha aendelee na matibabu zaidi,nilikaa na mwanangu pale kitandani wakati huo Baba Grey aliniacha huku akisema kwamba anaenda kutoa taarifa na kufanya mchakato wa chakula asubuhi ili aniletee.Nilibaki na mwanangu mle wodi ya watoto akiwa amelazwa,nilipomnyonyesha alikuwa akinyonya kama kawaida.lakini ghafla alianza kukataa ziwa,hali ya kulia ilizidi,alianza kulia toka saa kumi na moja na nusu ya alfajiri,wauguzi walikuja tena kwa ajiri ya vipimo lakini majibu ni yale yale kwamb hamna ugonjwa,walimpa dawa za kutuliza maumivu lakini hazikuzaa matunda.Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... JE NINI KITAENDELEA Je ni nini kipo nyuma ya pazia katika kifo hicho cha Grey. Usikose sehemu inayofuata kesho muda na wakati kama huu. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(03) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Tulipoishia .... Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... Sasa endelea... Kilio changu kizito kilitawala ndani ya chumba kile katika wodi ya watoto,uchungu mzito wa uzazi na kuondokewa na mtoto ulitawala ndani ya moyo wangu,mawazo yangu yote nilijua na kufahamu kwamba mwanangu hajafa katika kifo salama,bali ameondolewa Duniani kwa kulazimishwa.Wauguzi na akina mama wengine ambao walikuwa wanauguza watoto zao walijitahidi sana kunituliza lakini ndio kama walikuwa wanazidisha maumivu moyoni mwangu. Mwisho mume wangu alikuja akiwa ameleta chai,alipofika kwenye chumba ambacho ndicho tulikuwa tumelazwa na mwanangu moja kwa moja alijua tayari mtoto wetu hayupo duniani,kwani alinikuta bado nalia lia japo sio kama mwanzo kwasababu Wamama wenzangu walikuwa wakijitahidi sana kunipoza na kunituliza,hapakuwa na kingine zaidi ya mchukua mtoto wetu Grey ambae alikuwa tayari ni marehemu kwa ajiri ya kuanza safari ya kurudi nyumbani kuweka msiba,tulichukua gari huku mimi njia nzima nikienda nalia. Grey alikuwa bado mdogo,alikuwa na miezi sita hivyo hata mazishi yake yalipangwa yafanyike siku hiyo hiyo,kila mara nilikuwa nauchungulia mwili wa mwanangu,sikuamini kama kweli amenitoka,nilikuwa nimemzoea,alikuwa na afya nzuri na mwenye kuchangamka,lakini kilichokuja kunitisha zaidi Grey baada ya kufariki mwili wake uliirudia hali yake kwa maana ya kwamba ile hali ya mwili kuwa mwekundu utafikiri kalowekwa kwenye damu ilitoweka.Nilibaki najiuliza huu ni ushirikina wa namna gani,sikutaka kumtuhumu mama mkwe moja kwa moja kwasababu sikuwa na ushahidi wowote,ndoto pekee huwezi ukaitumia kumuhukumu mtu,japo ilikuwa ni ndoto ya mashaka. Hatimae saa kumi ya jioni ilifika muda ambao ulipangwa kwa ajiri ya mwanangu Grey kuzikwa,watu mbalimbali,majirani ndugu na marafiki walikusanyika kwa ajiri ya kutoa heshima zao za mwisho kwa kichanga changu kile,pale nilijifunza kitu kimoja kwamba siku zote ukiishi na watu vizuri basi utakuwa mtu wa watu,mwanangu alikuwa ni mdogo na asiejulikana sana mbele za watu,lakini watu waliohudhuria walikuwa ni wengi kiasi kwamba ni msiba wa mtu mzima na umaarufu wake. Basi jioni iliisha kwa kumpumzisha mwanangu katika nyumba yake ya milele. Hatimae maisha ya upweke bila kulea bila kunyonyesha yalirudi,tulikaa wiki moja na baada ya hapo ndugu jamaa na marafiki waliokuwa wamekuja kututembelea nao waliondoka na hatimae tulibaki tukiishi watu wanne kama mwanzo yaani mimi,mume wangu,mama mkwe wangu pamoja na mdada wa kazi aliekuwa akiitwa Rhoda. Sikujiskia tena kuendelea kukaa na pale pamoja na mama mkwe wangu,hatimae niliamua kuanza kumsumbua mume wangu kwamba inatupasa tuhame pale tukaanzishe maisha yetu,lakini bado juhudi za mume wangu kujaribu kukataa ziliendelea,na mimi pia neno kuhama nililigeuza wimbo wa taifa mdomoni mwangu kila mara nilipokaa nae.Hatimae siku moja aliniambia kwamba amenielewa na atakaa kuongea na mama yake ili tuweze kuondoka na kwenda kuanzisha maisha yetu. Moja kati ya siku nyingine ambayo sintakuja kuisahau katika maisha yangu ni siku ambayo nilikuwa natokea chumbani naelekea sebureni,nilichungulia kidogo nikaona mtu na mama yake wamekaa wanaongea,yaani mume wangu na mama yake,kwakweli nilinyata taratibu taratibu mpaka karibu na ukuta wa kukatizia kuingia sebureni ili niweze kusikia wanazungumza nini,nilitamani sana kusikia wanazungumzia swala la mimi na mume wangu kuhama,nilikuwakuta wameshaanza mazungumzo ambayo sikujua wanaanzia wapi lakini tumbo lilikuja kushtuka baada ya kumsikia mama mkwe wangu akitoa kauli kwa mume wangu na kumwambia"Sawa kama mnataka kuhama hapa nyinyi hameni lakini ukumbuke kwamba bado una deni kubwa sana kwangu,bado hujakamilisha kile kinachohitajika kwahiyo wewe hama lakini ukae unajua kwamba deni langu ni lazma ulipe"Tumbo lilinikata na kuanza kujiuliza ni aina gani ya deni ambalo mime wangu anadaiwa na mama yake,nilitamani niendelee kusikia mazungumzo zaidi lakini nilimuona mama mkwe wangu akinyanyuka na kushika njia ya mlango kuelekea nje. JE NINI KITAENDELEA Je ni aina gani ya deni ambalo anadaiwa John na mama yake..? Usikose sehemu inayofuata hapa hapa kesho panapo majaaliwa. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: