Home → simulizi
→ HEBU TUJARIBU KUFUATILIA HAKA KA HADITHI KATAMU
KULITOKEA Tawala Mbalimbali Katika Nchi Ya WAKALDAYO Ambayo ilikuwa na wafalme mbalimbali kulingana na majimbo husika.Siku Moja Mfalme na malkia wa jimbo moja liitwalo MEDIANI walishauliana Kupata Ua Moja zurii ndani ya nyumba yao.Walipofikia Makubaliano kweli ua likapatikana Wakasemezawa wao kwa Wao hili ua litatuongezea familia nyingine ya kifalme hapa maana walikubaliana falme yoyote ile itakayokuja kuwatembelea na endapo mtoto wa kiume wa falme ile akilipenda hilo ua nalo likampenda basi wataluhusu lichukuliwe na huyo mtoto wa kiume wa falme nyingine na kuunganisha Undugu.
Ki Ukweli Walitumia muda mwingi kulijali lile ua pindi lilipokuwa dogo ili litowe mizizi komavu liweze kutafuta maji yake chini na liendelee kuchipua.Walitumia mda mwingi kuligharamikia na uangalizi wa hali ya juu atimae ua lilikuwa likapendeza likachanua.Tawala mbalimbali zilipita na kuliona Wengi walilitamani wakataka hata kulichukua lakini mfalme alisema ua langu bado dogo halijakomaza mizizi vizuri subirini pindi likikomaa na wakati ukifika basi tutaliluhusu lichague nani kati ya nyinyi mnaokuja kulitaka aondoke nalo.
Baada Ya miaka ishirini na kidogo Ua lilikuwa limekomaza mizizi vizuri limechanua vzr linanukia na kupendeza.Pindi lilipokuwa likitambaa hapa na pale kila mmoja alitoa macho kushuhudia uzuri wake.malkia na mfalme wakasemezana wao kwa wao,Sasa Ua letu limekuwa ni wakati wa kuruhusu Kuchukuliwa mtoto wa mfalme Yoyote wa kiume atakaeleta barua kuwa wamekubaliana na ua letu kuwa limchukue ni wakati wa kukubali.
Haikupita miezi ufalme jilani Ulikuja kutembelea katika Jimbo La MEDIANI wakiwa familia nzima yaani watoto wa mfalme wa kike na wakiume wote kwa pamoja na wafanyakazi.walipofika katika ule mji walistaajabu kuona uzuri wa lile ua kila mmoja alivutiwa nalo Mtoto Wa Kwanza wa ufalme ule ulioenda kutembelea alimnon'goneza baba yake kuwa baba sasa nimeshakuwa nina nyumba yangu nina kila kitu nataka niongee na hili ua likikubali naomba umpe taarifa mfalme wa hii nnchi kuwa nalichukua ua lake nikakaenalo nyumbani kwangu.Kweli ua lilipomuona yule kijana lilichanua zaidi likajipuliza huku na kule kuonyesha furaha na ishara ya kumkubali yule kijana.Ama hakika kijana alifurahi sana kuona amekubalika.Wafalme waliongea huko atimae wakapatana dhamani ya kuondoka na lile ua hatimae ua liling'olewa kutoka katika falme ya mediani kuelekea katika falme ya huyo baba ake na kijana sherehe ilifanyika na undugu ukaonganishwa.
MWANA wa Mfalme alielichukua lile ua alifika akaliweka ndani Mwake hakika alijiskia raha maana lilikuwa linapendeza na kuvutia.Alianza kutumia gharama zake kubwa kulituza maana alijua mizizi bado haijaanza kwenda chini kutokana na kuwa wamelin'goa sehemu yake na kulileta sehemu nyingine.Lakini Ilipita Mwaka yule kijana akajua sasa hapa ua langu limekomaa na litakuwa limezoea mazingira aliliacha aone je linauwezo wa kusimama na likapendeza kama alivyolikuta kwao?
Cha ajabu kila alipokuwa akiludi kutoka katika pilika pilika alikuta ua linazidi kudhoofika.Mtoto wa mfalme alihuzunika sana kuona ua linashindwa kuchanua vzr kama alivyolikuta kwao alijikuta anaanza kulichukia.Katika mizunguuko yake ya huku na huko alipita na kuona maua mengine azuri yanajitunza vzr alivutiwa nayo alijikuta muda mwingi anapoteza kukaa kalibu na yale maua ya nje kutokana na ua lake ndani kushindwa kuchanua na kumelemeta kama zamani.Muda Mwingine mtoto wa Mfalme alipikua akikaa peke ake alijikuta anajusemea Mwenyewe"Ua langu nimeliachia kila kitu ndani,Nimelipa kila kitu ndani nimelipa udongo nzuri,Mbolea,Maji, n.k lakini sijui kwanini limeshindwa kuvitumia ili liendelee kupendeza kama zamani?.Nitakaa na kutamani haya maua ya nje Mpaka lini?.Ona yanavojitunza mpaka raha hutumia kile kidogo yanachokipata kuendelea kujibolesha lakini ua langu nimelipa vyote limeshindwa kujiboresha"sijui nifanye nini..?
Wazo Likamwijia na kusema nenda kaliambie Ua lako Unapenda Liweje Acha tamaa kutamani vya nje na wakati unajua kabisa Uwezo Wa ua lako kupendeza kama zamani upo likumbushe nini unapenda kutoka kwake huenda limesahau Ulilipendea Nini.
Mtoto Wa mfalme baada ya kupata wazo hilo Siku Moja jioni alitumia muda mzuri huo wa kulikumbusha ua lake nini kilichomvutia kutoka kule kwao mpaka kuleta ndani ya nyumba.toka siku hiyo ua halikusahau kile ambacho anapenda mtoto wa mfalme.lilifanya kila jitihada na likaanza kupendeza kama zamani.Ama hakika mfalme alitokea tena kulipenda ua lake.Je unajua nini kilitokea.Mtoto wa mfalme hakutamani tenaa Maua Ya nje
FUNDISHO LANGU
_______________________
Je Ua ni nani.....?
👉 Ua ni binti kutoka katika ufalme wa Mediani
Je Wafalme wa Mediani ni akina nani??
👉Wafalme wa Mediani Ni Wazazi wa huyo binti ambae ni Ua
Je Mtoto wa Mfalme ni nani??
👉Ni mume wa huyo binti kutoka falme ya Mediani ambae amehusika kama ua
NINI MAANA YA KISA HIKI
👉Ukweli ni kwamba wanawake wengi wanajisahau sana pindi wanapoingia katika ndoa na kusahau ni nini kilichomvuta mme wake mpaka akapendwa.Wamesahau wao kama ni ua linalotakiwa kupendeza ndani ya nyumba kila mara ili kumvutia mmewe lakini badala yake wamepoteza ule uzuri wao waliokutwa nao hawajijali tena na wameona kuvishwa pete ndio kumaliza kila kitu
👉Ukweli ni kuwa mwanamke anatakiwa awe mlembo ili kuendelea kumvutia mumewe kila mara.Ndoa pekee isikufanye umemaliza kila kitu Angalia nini kilichompata yule binti baada ya kuacha kujijali tena
Ndicho kinachofuata pia kwa kuacha kwako kujijali.usipoteze ule mvuto wako uliokutwa nao kwa wazazi eti kisa umeolewa.
👉Kama ukiendelea kuvutia daima hakika mmeo hana sababu ya kusema apate tamaa kwa wengine na wakati wewe umewazidi mvuto
Hebu jiulize umeshaenda sokoni kununua kitu halafu mmeshapatana na bei na muuzaji lakini ghafla ukatupia macho pembeni kwa muuzaji mwingine ukaona kitu kile kile lakini kinaonekana kina ubora kuliko ulichokuwa unataka kununua je nini kinafuata ni jukumu la kuacha kununua ulichopatana nacho na kufuata kile kilichonona
Ndivyo ilivyo ukipoteza ubora wako kama mke kinachofuata jilani yako anaeendelea ku maintain ubora wake atakusaidia majukumu
👉Pia na nyinyi waume si busara sana kuanza kuvutika na vya nje na wakati unao uwezo wa kumwambia mkeo vile unavyopenda awe.Usimuonee aibu ni jukumu la kukaa na kumuambia yule ni mke wako au ukishindwa kumwambia fanya jukumu la kumnunulia vitu ambavyo unavutiwa navyo na kuona akitumia katika kujiremba unapendezwa navyo.Hii itakusaidia kujenga familia bora yenye amani na upendo Muda wote
USISAHAU
Hata vitabu vitakatifu Vinakusisitiza wewe Mwanamke Uwe Pambo Ndani Ya nyumba hili ni jukumu lako la kwanza kama mke..............
HEBU TUJARIBU KUFUATILIA HAKA KA HADITHI KATAMU KULITOKEA Tawala Mbalimbali Katika Nchi Ya WAKALDAYO Ambayo ilikuwa na wafalme mbalimbali kulingana na majimbo husika.Siku Moja Mfalme na malkia wa jimbo moja liitwalo MEDIANI walishauliana Kupata Ua Moja zurii ndani ya nyumba yao.Walipofikia Makubaliano kweli ua likapatikana Wakasemezawa wao kwa Wao hili ua litatuongezea familia nyingine ya kifalme hapa maana walikubaliana falme yoyote ile itakayokuja kuwatembelea na endapo mtoto wa kiume wa falme ile akilipenda hilo ua nalo likampenda basi wataluhusu lichukuliwe na huyo mtoto wa kiume wa falme nyingine na kuunganisha Undugu. Ki Ukweli Walitumia muda mwingi kulijali lile ua pindi lilipokuwa dogo ili litowe mizizi komavu liweze kutafuta maji yake chini na liendelee kuchipua.Walitumia mda mwingi kuligharamikia na uangalizi wa hali ya juu atimae ua lilikuwa likapendeza likachanua.Tawala mbalimbali zilipita na kuliona Wengi walilitamani wakataka hata kulichukua lakini mfalme alisema ua langu bado dogo halijakomaza mizizi vizuri subirini pindi likikomaa na wakati ukifika basi tutaliluhusu lichague nani kati ya nyinyi mnaokuja kulitaka aondoke nalo. Baada Ya miaka ishirini na kidogo Ua lilikuwa limekomaza mizizi vizuri limechanua vzr linanukia na kupendeza.Pindi lilipokuwa likitambaa hapa na pale kila mmoja alitoa macho kushuhudia uzuri wake.malkia na mfalme wakasemezana wao kwa wao,Sasa Ua letu limekuwa ni wakati wa kuruhusu Kuchukuliwa mtoto wa mfalme Yoyote wa kiume atakaeleta barua kuwa wamekubaliana na ua letu kuwa limchukue ni wakati wa kukubali. Haikupita miezi ufalme jilani Ulikuja kutembelea katika Jimbo La MEDIANI wakiwa familia nzima yaani watoto wa mfalme wa kike na wakiume wote kwa pamoja na wafanyakazi.walipofika katika ule mji walistaajabu kuona uzuri wa lile ua kila mmoja alivutiwa nalo Mtoto Wa Kwanza wa ufalme ule ulioenda kutembelea alimnon'goneza baba yake kuwa baba sasa nimeshakuwa nina nyumba yangu nina kila kitu nataka niongee na hili ua likikubali naomba umpe taarifa mfalme wa hii nnchi kuwa nalichukua ua lake nikakaenalo nyumbani kwangu.Kweli ua lilipomuona yule kijana lilichanua zaidi likajipuliza huku na kule kuonyesha furaha na ishara ya kumkubali yule kijana.Ama hakika kijana alifurahi sana kuona amekubalika.Wafalme waliongea huko atimae wakapatana dhamani ya kuondoka na lile ua hatimae ua liling'olewa kutoka katika falme ya mediani kuelekea katika falme ya huyo baba ake na kijana sherehe ilifanyika na undugu ukaonganishwa. MWANA wa Mfalme alielichukua lile ua alifika akaliweka ndani Mwake hakika alijiskia raha maana lilikuwa linapendeza na kuvutia.Alianza kutumia gharama zake kubwa kulituza maana alijua mizizi bado haijaanza kwenda chini kutokana na kuwa wamelin'goa sehemu yake na kulileta sehemu nyingine.Lakini Ilipita Mwaka yule kijana akajua sasa hapa ua langu limekomaa na litakuwa limezoea mazingira aliliacha aone je linauwezo wa kusimama na likapendeza kama alivyolikuta kwao? Cha ajabu kila alipokuwa akiludi kutoka katika pilika pilika alikuta ua linazidi kudhoofika.Mtoto wa mfalme alihuzunika sana kuona ua linashindwa kuchanua vzr kama alivyolikuta kwao alijikuta anaanza kulichukia.Katika mizunguuko yake ya huku na huko alipita na kuona maua mengine azuri yanajitunza vzr alivutiwa nayo alijikuta muda mwingi anapoteza kukaa kalibu na yale maua ya nje kutokana na ua lake ndani kushindwa kuchanua na kumelemeta kama zamani.Muda Mwingine mtoto wa Mfalme alipikua akikaa peke ake alijikuta anajusemea Mwenyewe"Ua langu nimeliachia kila kitu ndani,Nimelipa kila kitu ndani nimelipa udongo nzuri,Mbolea,Maji, n.k lakini sijui kwanini limeshindwa kuvitumia ili liendelee kupendeza kama zamani?.Nitakaa na kutamani haya maua ya nje Mpaka lini?.Ona yanavojitunza mpaka raha hutumia kile kidogo yanachokipata kuendelea kujibolesha lakini ua langu nimelipa vyote limeshindwa kujiboresha"sijui nifanye nini..? Wazo Likamwijia na kusema nenda kaliambie Ua lako Unapenda Liweje Acha tamaa kutamani vya nje na wakati unajua kabisa Uwezo Wa ua lako kupendeza kama zamani upo likumbushe nini unapenda kutoka kwake huenda limesahau Ulilipendea Nini. Mtoto Wa mfalme baada ya kupata wazo hilo Siku Moja jioni alitumia muda mzuri huo wa kulikumbusha ua lake nini kilichomvutia kutoka kule kwao mpaka kuleta ndani ya nyumba.toka siku hiyo ua halikusahau kile ambacho anapenda mtoto wa mfalme.lilifanya kila jitihada na likaanza kupendeza kama zamani.Ama hakika mfalme alitokea tena kulipenda ua lake.Je unajua nini kilitokea.Mtoto wa mfalme hakutamani tenaa Maua Ya nje FUNDISHO LANGU _______________________ Je Ua ni nani.....? 👉 Ua ni binti kutoka katika ufalme wa Mediani Je Wafalme wa Mediani ni akina nani?? 👉Wafalme wa Mediani Ni Wazazi wa huyo binti ambae ni Ua Je Mtoto wa Mfalme ni nani?? 👉Ni mume wa huyo binti kutoka falme ya Mediani ambae amehusika kama ua NINI MAANA YA KISA HIKI 👉Ukweli ni kwamba wanawake wengi wanajisahau sana pindi wanapoingia katika ndoa na kusahau ni nini kilichomvuta mme wake mpaka akapendwa.Wamesahau wao kama ni ua linalotakiwa kupendeza ndani ya nyumba kila mara ili kumvutia mmewe lakini badala yake wamepoteza ule uzuri wao waliokutwa nao hawajijali tena na wameona kuvishwa pete ndio kumaliza kila kitu 👉Ukweli ni kuwa mwanamke anatakiwa awe mlembo ili kuendelea kumvutia mumewe kila mara.Ndoa pekee isikufanye umemaliza kila kitu Angalia nini kilichompata yule binti baada ya kuacha kujijali tena Ndicho kinachofuata pia kwa kuacha kwako kujijali.usipoteze ule mvuto wako uliokutwa nao kwa wazazi eti kisa umeolewa. 👉Kama ukiendelea kuvutia daima hakika mmeo hana sababu ya kusema apate tamaa kwa wengine na wakati wewe umewazidi mvuto Hebu jiulize umeshaenda sokoni kununua kitu halafu mmeshapatana na bei na muuzaji lakini ghafla ukatupia macho pembeni kwa muuzaji mwingine ukaona kitu kile kile lakini kinaonekana kina ubora kuliko ulichokuwa unataka kununua je nini kinafuata ni jukumu la kuacha kununua ulichopatana nacho na kufuata kile kilichonona Ndivyo ilivyo ukipoteza ubora wako kama mke kinachofuata jilani yako anaeendelea ku maintain ubora wake atakusaidia majukumu 👉Pia na nyinyi waume si busara sana kuanza kuvutika na vya nje na wakati unao uwezo wa kumwambia mkeo vile unavyopenda awe.Usimuonee aibu ni jukumu la kukaa na kumuambia yule ni mke wako au ukishindwa kumwambia fanya jukumu la kumnunulia vitu ambavyo unavutiwa navyo na kuona akitumia katika kujiremba unapendezwa navyo.Hii itakusaidia kujenga familia bora yenye amani na upendo Muda wote USISAHAU Hata vitabu vitakatifu Vinakusisitiza wewe Mwanamke Uwe Pambo Ndani Ya nyumba hili ni jukumu lako la kwanza kama mke..............
Artikel Terkait
*MUUZA MAZIW EP 01* Sehemu Ya Kwanza (1) KWA UFUPI: Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry). Ni nini hatma ya penzi hilo jipya na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA? Ungana na GIFT KIPAPA katika chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi. SIMULIZI YENYEWE: Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao. “Kidogo tu mume wangu jamani” No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!” Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over. “jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.” Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu. Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo. Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo. Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde. “jamani Honey njoo basi!” Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba, Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake. “Oh, Dear haraka basi!” Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga. “uh!” Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli. “Ah, honey!” lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake. “ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!” Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table. “no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please” ( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari ) Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo. Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja. “jamani , honey kidogo tu” Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho. Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake. “mwaa” Alafu akampulizia mkewe. “Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi ) Kisha akatoka nje. “Honey!!” lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile. Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka. ITAITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 02* Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama. Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple. Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake. Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae mapenzi. “ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?” Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani. “Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?” Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani. Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua. “ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii” aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo. “fyonz” Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke . “sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu” Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa. “nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.” Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake. Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita. “MAZI….” Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao. “Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?” Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake. “sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“ Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa. Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea. “samahani” Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi. Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja ndogo. “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?” Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika. Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kui busu midomo yake. Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba. “Twende ndani basi” Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu. “Ni huku” Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe. Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake. “Aaaa, assii, muuza maziwa!” Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba. “Aaaa, assii!” Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu. “Utani_uua wee muu…” Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa. “Anza basiiiii…” “Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake” Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network. Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa. “Oh, honey anza basi sweety” Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu. “Auuh, Asii, Muuza maz….” Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa. “Auuh, Taratibu basiiiiii!” Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “Ngo, ngo, ngo” Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana. Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha . Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe? Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa. “Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?” Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa . “ngo, ngo , ngo” Ilisikika tena hodi ya mlango.. Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja. “fyouz” Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. ITAENDELEA MUUZA MAZIWA EP 03 ILIPOISHIA….. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. MUENDELEZO WAKE : Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa. Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto. “Eti dada hauchukui maziwa niondoke?” Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote. “Subiri nakuja!” Lisa aliitikia haraka haraka “haraka basi” Muuza maziwa aliongea Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga. “nitamnasa tu!” Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu. “karibu!” Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni. “asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“ Muuza maziwa aliongea “Oh pole sana lakini usijali” aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego huku macho yake akiyarembua. “ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi” Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa. “njoo ndani basi unipimie” Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake. “funga mlango!” Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga. Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa. Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu akijua tayari samaki ameingia kwenye wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa. Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili. Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali. “Ahayaaaaa!!!!!!” Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona. Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa. “Mwaaa!” Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika bakora. Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu. “Asssii!” Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine. “Aauuuu!!!!” Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake. Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake. Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu. “Assiii!!, we muu….” Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka . Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo. “Assii, ahh sisss!” Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia kama vile amempania. “sibakishi kitu leo na hakikisha patupu” Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake “aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”. Lisa aliongea kwa kigugumizi huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi , Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho. Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. wa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. MUENDELEZO WAKE : “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani. Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata.. Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu. “Asiiii” Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa. “asiiii, auh, aauuh!!!” Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu. Asiiii” Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno. Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake. Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka. “Auuh, taratibu, muu-za ma……..” ITAENDELEA. ... Read More
*MWAGIA HUMO HUM EP 04* Sehemu Ya Nne (4) Nilimsogelea na kuusugua mwili wangu kwake, joto langu lilimsisimua. Mmh, kuangalia kwenye kikosi wa miziga,mtutu wa mziga ulikuwa juu. Manshala mtoto wa kike niliupandia mtutu na kuufanyia ukaguzi kabla ya kuingia vitani. Mmh, weee acha tu hukuwepo bali shetani wako alikuwepo. Mateja alikuwa kama mtu aliyekula mishikaki yenye chachandu ya Kihindi jinsi alivyotoa miguno. Taratibu nilishughulika na mtutu wa mzinga ambao ulionekana ulikuwa tayari kutupa makombora mazito kwa adui. Kutokana na utaalamu niliopewa na Bi Shuu na kujua kuufanyia usafi mtutu wa mziga, mara nilimuona Mateja akitetemeka na kutoa machozi laini. “Vipi?” “Aa..aah.” “Pole.” “Asante.” Niliendelea kumpa mshike mshike kwa kugusa hapa na pale, najua unataka kujua niligusa wapi. Vuta subra tukikutana nitakueleza mwanaume anatakiwa aguswe wapi ili kumuongezea mahanjamu. Ila lazima mikono yako iwe laini sio migumu kama mpasua kokoto utamchubua mwenzio. Nilisahau kama tupo bafuni kwa kuendeleza mateso bila chuki. Nilimsikia Mateja akisema. “Manka si tunarudi ndani tumalize kwanza kuoga.” “Waaawooo,” nilifurahia kimoyo moyo kwa kuamini mbwa mwenyewe kakimbilia kichaka cha nyani asubiri vibao vya mashavu. Tulimalizia kuoga huku nikimsugua kila kona ya mwili kisha nilimfuta maji na kumfunga taulo nami nilipitia upande wa kanga na kutoka naye kurudi chumbani. Wakati nakaribia chumbani kwangu Bi Shuu alitokea nyuma ya bafu na kunifanyia ishara ya mdomo. Niligeuka na kusimama ili nimsikilize alikuwa na jambo gani. “Manka,” alisema huku akiachia tabadamu. “Abee.” “Hongera.” “Ya nini?” “Unajua kuifanya kazi umeiva kwelikweli mambo uliyofanya mimi mwenyewe hoi.” “Asante Bi Shuu.” “Basi usiniangushe yote tisa kumi huko mnakokwenda ukifanya makosa umetia nazi kwenye supu.” “Bi Shuu wee acha nina usongo naye ile mbaya” “Usikamie sana ukashindwa kuyanywa.” “Nimekuelewa.” Niliagana na Bi Shuu na kuelekea chumbani kwangu na maswali mengi juu ya tabia ya Bi Shuu kunipiga chapo kila nililokuwa nafanya. Mmh, niligeuka nielekee chumbani Bi Shuu tena aliniita. “Manka usizime taa pia dirisha lako la nyuma liache wazi” Niliingia ndani nikijiuliza mengi juu ya tabia za Bi Shuu Kunipiga chabo, nilijua mwanzo alitaka kujua uwezo wangu lakini baada ya kuona nimeweza hakukuwa na haja ya kunipiga tena chabo zaidi ya kusubiri matokeo. Lakini kwa upande mwingine niliamini ile ndiyo ilikuwa fainali yangu ya kujua nimefundika au nilibahatisha kwa wachovu. Pamoja na kutaka kujua nipo katika kiwango gani, wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kutojiamini kwa asilimia zote kutokana na kujua kuna mtu ananiangalia. Bora angenivizia nisingejua kinachoendelea na mimi kufanya makamuzi ya nguvu. Ndani nilimkuta Mateja amekaa kitandani, mtoto wa kike kwa usongo niliokuwa nao niliivuta kanga aliyokuwa amejifunga na kubakia kama kuku anayesubiri kuingizwa kwenye mafuta. Nami yangu nikaitupa pembeni na kubakia sale sale maua si unajua asiyejua kuchagua kabila lake Mzigua. Jamani maneno mengine sijui ni kweli au wimbo ina maana Wazigua ndiyo wasiojua kuchagua? Tuachane na hayo wanajua waliosema si mimi, baada ya kuwa sale sale kama kuku wanaosubiri kuingizwa kwenye kalai la mafuta ya moto. Kupitia mafunzo ya Bi Shuu mwanamke kabla ya kusafiri katika bahari ya huba unatakiwa kukiandaa chombo. Sehemu hii naomba twende pamoja huonekana wanawake wengi tunakosea. Kosa kubwa kwa wanawake wengi wakiishafika kitandani husubiri kuandaliwa wao kisha wapande kwenye chombo kuanza safari ya huba wakati mwenzake naye alihitaji kusisimliwa kama yeye. Au wengine ambao huwa kama mimi Manka kabla ya kuingia unyagoni kwa Bi Shuu kujua kabla ya safari vitu gani vinatakiwa kufanywa. Wengi wetu hutangulia kitandani na kutega kama kicheche anavyotega kuku, akiingiza kichwa tu anatimua naye mbio kichakani. Lazima sehemu hii uitumie kuandaana kila mmoja tui likikolea nazi ruksa kutia mchele, tuko pamoja nataka nilichokipata kwa Bi Shuu nawe upande japo kiduchu. Basi mtoto wa kike nilikiwa nimepandwa na maruhani ya mapenzi nilikuwa kama chatu aliyeshiba na kujivuta kushida huku pumzi zikinitoka kwa shida. Nilitambaza mikono yangu laini toka kona moja kwenda nyingine hasa sehemu muhimu zenye kupandisha mahanjamu. Nilianza kumsikia Mateja akisisimka na kuninyonga taratibu kama nyoka anavyopata shida ya kutambaa kwenye sakafu. Nilizipapasa sehemu ambazo humfanya mwanaume asisimke na kumpandisha mzuka wa mapenzi. Kila nilipogusa sehemu nilimuona akitaka kunyanyuka kama samaki pomboo anavyojitupa kwenye maji kwa madoido. Baada ya safari ndefu nilifika mji mkuu na kufanya kituo cha muda mrefu kwa kutumia mikono mdomo na ulimi ambao ulimfanya Mateja agugumie kama dume la njiwa lenye wivu. Niliendelea kuwajibika mpaka alipolia bila msiba huku akiomba tuingie chomboni kuianza safari ya huba yenye utamu usiisha hamu hasa kwa wanaoufahamu shati uwe mtaalamu wa kuitumia yako kalamu ndipo utaipata tamu na kukufanya mahamumu kila uikumbukapo tamu lazima upitate hamu ya kuutafuta utamu. Sijui tupo pamoja au nimekuchanganya, mwa kwetu siku zote chakula maandalizi, na chakula kitamu kinahitaji maandalizi ya kina na katika mwili vile vile. Huwezi kudandiwa kama baskeri na kupigwa pedeli, wakati unachemka mwenzio kesha fika zamani kalala pembeni hoi kuendelea na safari hawezi wakati mwenzake waduduuu wadogowadoooo ndo wamecharuka Wananyemvuanyemvua. Hapa pia kuna somo nililopata kwa Bi Shuu usikubali kuianza safari hakikisha mwakwetu kwako nawe kumetiwa mchuzi wa kutosha sio kula mkavu utakukwama kooni. Nina imani tupo pamoja au nimekuacha njia panda, mwakwetu hakikisha mpenzi wako amekuandaa mpaka hatua ya mchuzi kukolea kwenye ubwabwa hapo ruksa chakula kiliwe. Lazima wote mtakifurahia sio kuwahi kitandani kusubiri hukumu bila kujitetea. Baada ya Mateja mchicha kukolea nazi shetani wa ngono kumpanda alitaka kuchupa mchupo wa mkizi, lakini mtoto wa kike nilimshika kifuani na kumueleza. “Mpenzi pangu pakavu tia mchuzi,” nilikuwa na maana bado hajaniandaa ili tufurahia safari kwa pamoja. Mateja alinielewa ndipo alipoanda kuniandaa kwa kufanya ziara ya mkono na ulimi mwilini kwangu, jamani chakula kitamu kikipata muandalizi asiye na papara. Nakiri sikuwahi kukutana na raha za mwili siku zote niliamini raha zipo chini tu kumbe mwenyezi Mungu aliumba kila kiungo mwilini na makusudio yake. Kila nilipoguswa nilihisi raha tofauti na aliponigusa kwanza, mtoto wa kike nilimaliza maneno yote mdomoni kuomba hukumu baada ya kulia zaidi ya mara mbili bila huruma ya Mateja kuendelea kunipa mateso bila chuki. Baada ya tui kukolea nazi, kile nilichotaka kukionesha kwa Mateja kilitimia. Mtoto wa kike tuliingia kilingeni kujua mbivu na mbichi, najua unahamu kujua kilichoendelea, samahani tukutane wiki ijayo. Mtoto wa kike nilipoguswa tu nililegea mwili ulikuwa kama umepigwa shoti ya umeme, mchezo upoanza tu nilijiachia huku nikizitoa pumzi kwa kufuata mdundo, japo nyonga haikuwa laini sana kama wamakonde nami taratibu nilinyambulika kuhakikisha sitoki nje ya biti. Hakukuwa na ushindani kila mtu alitaka kuonesha uwezo wake kwenye medani ya mapenzi. Kila dakika ilivyokwenda ndivyo kila mtu alipoteza ustaarabu na kutaka kuonekana anaweza kuliko mwenzake. Kila dakika iliyokwenda ilikuwa ni maajabu saba ya dunia kwa Mateja. Nina imani kabisa mwanzo aliona kama nabahatisha kutokana na kunizoe Manka wa kulala kama gogo Manka mbishi nisiyekubali usumbufu wa kugeuzwa kama chapati. Manka nilimpania Mateja bila kujua wito ule ulikuwa na sababu, kila alivyotaka nilifanya bila hiyana kila aliponituma nilikwenda bila kubisha kila alivyoniweka nilikaa bila tatizo. Muda wote niliwajibika bila kuchoka huku nikimmwagia sifa ambazo nina imani hakuwa kupewa toka azaliwe. Kuna kipindi mtoto wa kike nilalamika kama mtoto aliyeny’ang’anywa ziwa na mama yake, kutokana na kuufurahia mchezo nilijikuta nikilia kama naonewa kumbe raha zilikuwa zimekonga kila kona ya mwili. “Mateja kwa nini unanitesa…kosa langu nini?” Nililalama huku nikiwajibika. Siku zote raha ya kurap uendane na mdindo, nilibadilika mtoto wa kike na kuongeza nijuavyo nisivyofunzwa na Bi Shuu. Jamani makubwa ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni. Ghafla Mateja machozi yakaanza kumtoka baada ya kuvamia shamba la mihogo kwa mikono na mdomo jembe nililitoa kwenye mpini na kuchimba muhogo kwa mkono. Kila nilivyoutafuta muhongo nilimuona mtoto wa kiume akihama upande mmoja kwenda mwingine. Mmh, sikuamini nilimuonea huruma lakini siku zote ukitaka kumtiba mgonjwa wa jipu usimuonee huruma. Mateja uzalendo uliomshinda aliamua kusema. “Manka kwa nini ulinitenda?” “Kivipi mpenzi?” “Vitu hivi mbona hukunipa mwanzo?” “Mpenzi vilikuwa havijaungwa, hata vya chukuchuku havikuiva.” “Hapana…hapana…sikubali.” “Hukubali nini tena mpenzi?” “Siwezi kula nisishibe heri nisipewe.” “Mateja leo utakula mpaka utasaza nipo kwa ajili yako.” “Na baada ya leo?” “Mi nipo tu.” “Hapana..hapana …lazima nikuoe.” “Na mchumba wako?” “Wewe ndiye uliyekuwa mchumba wangu.” “Kama nilikuwa mchumba wako kwa nini uliniacha?” Huwezi kuamini wakati tukizungumza hivyo kilimo kiliendelea huku Mateja akishinda kukaa chini kama kakalia moto. “Vipi?” Nilimuuliza huku nikimtazama usoni kwa jicho lilililegea kama mtu mwenye usingizi mzito. “Mm..mm..mmh,” Mateja aligugumia kama dume la panya kwenye ghala la mahindi. Baada ya muda maskini mateja machozi yasiyo na kilio yalimtoka, niliyahifadhi hakugusa chini. “Asante Manka…asante mpenzi.” Mtoto wa kike sifa hazikunivimbisha kichwa niliuchukua mpini na kuurudisha kwenye jembe kilimo kiliendelea. Mmh, kweli kila kiumbe na sehemu zake, kurudisha mpini kwenye jembe kulikuwa kama kumtupia samaki majini. Mateja alikuja juu kama moto wa kifuu kila nilipotaka kumtuliza ndivyo raha zilivyogonga kila kona ya mwili na kujikuta nikiwacha autawale mchezo. Nilifika kipindi duniani nikawa sipo mbinguni sipo nikawa naelea kati, nakiri sikujua kilichokuwa kikiendelea zaidi ya kuhisi kama mtu kanivua nguvu zote mwilini kilichoendelea sikujua. Niliposhtuka nilijikuta nimelala pembeni ya Mateja ambaye alikuwa hajitambua kwa usingizi mzito. Kilinichonishangaza kujikuta sote tumo ndani ya shuka moja, nilijiuliza inawezekana Mateja ndiye aliyenifunika. Nilipotaka kunyanyuka nilihisi kama kizungungu nilijirudisha kulala. Wakati nataka kufumba macho nilisikia naitwa. “Manka…Manka,” niliposikiliza vizuri niligundua ni Bi Shuu. “Abee.” “Amka ujimwagie maji.” “Sina nguvu.” “Jitahidi hivyo hivyo.” Nilijinyanyua kwa kuzilazimisha miguu ikiwa haina nguvu, nilijizoazoa na kwenda kujimwagia maji, Bi Shuu maji alikwisha yapeleka bafuni. Nilioga maji yaliyokuwa ya baridi sijui aliyatoa kwenye friji. Baada ya kujimwagia maji mwili ulichangamka kidogo, hapo ndipo nilipoanza kuisikia njaa. “Manka kamuamshe na mwenzako naye akajimwagie maji ili mle pamoja” “Kwa saa ngapi sasa” “Saa sita kasoro.” “Mtume!” Nilikwenda kumuamsha Mateja aliyekuwa akikoroma ilionekana kalinyekarinde lilimpeleka puta na kujikuta akipoteza nguvu nyingi. Inawezekana kabisa alijua ni yule Manka wa mwaka 47 na kuingia kichwa kichwa matokeo kanyolewa bila maji. Kila nilipomtikisa alionekana yupo hoi kwa kugeuka kama umekufa, niliendelea kumtikisa. “Mateja..Mateja.” “Mmh.” “Amka.” “Niache nilale kidogo.” “Najua umechoka, amka ujimwagie maji upate nguvu.” “Manka naomba nipumzike nimechoka sana.” “Matejaaaa, hebu amka.” Nilimwambia huku nikimshika mkono na kunyanyua, alinyanyuka na kukaa kitako kitandani. Akiwa kama mtu aliyekunywa pombe ambayo ilikuwa bado kichwani, aliinama mkono mmoja alishika kitandani na mwingine kichwani. Sikutaka kumpa nafasi nilimsimamisha na kumfunga upande wa kanga. Huwezi kuamini nilivyokuwa nimechoka bila kuelekezwa na Bi Shuu nisingeweza kuyafanya yale. Maji ya baridi niliyojimwagia ndiyo yaliyonipa nguvu, nilimshika mkono mpaka bafuni ambako nilikuta tayari Bi Shuu ameisha tayarisha maji ya baridi. Kwa kuwa nilijua ubaridi wa maji Mateja atauogopa nilipomtoa kanga nimwagia kwa kumshtukiza kama makopo mawili. Japo alilalamika lakini alinieleza kweli maji yale yameupa tena nguvu mwili wake. Alimuongeza maji mengine na kuufanya mwilini wake uchangamke zaidi. Alipomaliza kujimwagia maji ya baridi tulirudi ndani, sikuamini macho yangu kukuta Bi Shuu amekwisha andaa chakula mezani kukiwa na kila kitu. Muda wa Mateja kujimwagia maji, yeye aliutumia kuandaa chakula. Yaani sijui niseme nini, nimekutana na watu wengi lakini Bi Shuu kiboko. Japo usiku ulikuwa mkubwa lakini mama wa watu hakulala alikwenda sambamba na mimi. Kilichonishangaza baada ya mtinange na kupitiwa usingizi nilijiuliza yeye alikuwa wapi? Kama sisi tulilala kwa zaidi ya masaa matatu yeye muda huo alikuwa anafanya nini? Mateja baada ya kuona nilimsikia akisema. “Manka umejuaje kama nina njaa, maana hapa nahisi tumbo jeupe.” Kwa vile na mimi nilikuwa na njaa tulivamia wote mezani kukishambulia chakula kilichokuwa kimepikwa kwa ustadi wa hali ya juu na Bi Shuu. Tukiwa mezani baada ya kufunua kawa lililikuwa na maneno RAHA YA MUWASHO UKUNWE . Ajabu ya Mungu kawa lile lilionekana jipya halijawahi kutumika, baada ya kulifunua harufu nzuri ya chakula ilijaa puani mwetu. Nilimnawisha mikono kisha nilimkaribisha kama nimepika mie. “Karibu mpenzi.” “Asante,’” Mateja alijibu huku akijipakulia kwenye sahani yake, wakati anaweka kijiko cha kwanza nilisikia kitu kikigongwa dirishani. Ilionesha kuna kosa nimefanya. Nilinyanyuka haraka huku nikisema. “Samahani dear nakuja,” nilitoka nje na kukutana na Bi Shuu. “Vipi Bi Shuu?” “Manka nilikueleza nini?” “Kuhusu nini?” “Mwanaume kama mtoto asiguse kitu kazi yote ifanye wewe.” “Ulikuwa una maana gani?” “Asijipakulie, mpakulie ikiwezekana hata vijiko vya awali mlishe kisha mwache ale mwenyewe.” “Nimekulewa,” nilimjibu bila kusubiri maelezo mengine kumuwahi Mateja asijipakulie zaidi. Nilipofika nilikuta ndio anataka kuongeza kijiko cha tatu. Nilikidaka kijiko na kusema. “Mpenzi kwa nini usumbuke wakati nipo.” “Aah, si kila kitu ukifanye.” “Hapana wewe ni mgeni wangu, kila kitu mimi ndiye dereva.” “Haya mama.” Nilimpakulia chakula cha kiasi kisha nilimuwekea mchuzi na kipande cha ndizi, tonge la kwanza nililikusanya kisha nilimlisha huku nikiweka mkono chini ya kidevu kuzuia punje ya wali isianguke. Baada ya kulisha nilimsubiri atafune ili nimuongeze tonge lingine nami nianze kula. Baada ya kutafuna kwa muda nilimsikia aliguna kitu kilichonitisha na kuwa na wasi wasi huenda chakula si kizuri. “Vipi mpenzi?” “Mmh, chakula kitamu kweli kweli, sijawahi kula chakula kitamu kama hiki, kama nikikuoa na kula hivi kila siku nitenenepa mlangoni nitakuwa sipiti.” “Asante mume wangu,” nilijibu makusudi, moyoni niliisifia kazi nzuri ya Bi Shuu. “Manka,” Mateja aliniita huku akivuta glasi ya maji iliyokuwa pembeni. “Abee.” “Manka mbona leo naona kama nipo ndotoni?” “Kivipi?” “Mbona siku za nyuma hukunifanyia mambo kama haya, mapenzi ya ukweli na chakula kitamu kweli kweli.” “Vimeungwa.” “Una maana gani?” “Mateja mimi ni Manka mpya.” “Una maana gani?” “Ulichokiona kazi kubwa ya Bi Shuu.” “Bado umeniacha njia panda Bi Shuu amefanya nini?” Nilimuelezea bila kumficha kazi kubwa ya Bi Shuu kuniunga na leo kuvionjwa akaviona vitamu. “Upo hapo baba?” “Mmh, nimekubali kweli aliomba likizo yenye mafanikio.” “Basi habari ndio hiyo.” Baada ya chakula tulirudi kuoga tena kisha tulipanda kitandani kulala hakuna aliyekuwa na hamu na mwenzake tulipeana migongo mpaka asubuhi. Mlio wa dirisha uliniamsha toka kwenye usingizi mzito, jicho langu lilitua kwenye saa ya ukutani kunionesha ni saa kumi na moja alfajiri. Nilijinyanyua kivivu na kwenda hadi mlangoni kumsikiliza Bi Shuu alitaka kunielaza nini, nilifungua mlango huku nikifikicha macho kutokana na kuzingirwa na usingizi ulioambatana na uchovu wa mwili. Nilikumbuka usiku wa jana nilitumia nguvu nyingi ili kumuonesha Mateja mimi ni nani. Nakumbuka kuna kipindi niliona kama chini nachochewa kuni jinsi moto ulivyokuwa ukiwaka. Lakini nilikumbuka maneno ya Bi Shuu sifa kubwa ya mwanamke kwa mwanaume ni uvumilivu na kutokukubali kushindwa mapema hata siku ya kwanza unapotaka kuandika CV. Baada ya kufungua mlango nilikutana na Bi Shuu akiwa na upande wa shuka. “Shikamoo Bi Shuu.” “Marahaba mama Shughuli.” “Mmh! Bi Shuu jina gani tena hilo.” “Kwani uongo shughuli unaiweza, mwana wewe temea chini.” “Aii jamani,” nilijikuta nikiona aibu kwa kujua kila nilichokifanya Bi Shuu alikiona ‘live’ bila chenga. “Sasa Manka sicho nilichokuamshia, vipi ushampa cha alfajiri?” “Kipi hicho?” “Ooh, kweli hili sikukuelekeza, raha ya mapenzi ukilala na mwanaume mpe cha asubuhi ili kiwachangamshe, kijasho kikiwatoka mkaoge mjiandae kwenda kazini.” “Si tutachoka sana.” “Uchoke nini, hiyo sawa na kuzimua baada ya kulala na hang over asubuhi ukizimua unajiona sawa hata uzito wa kichwa unapotea sawa na kupata cha asubuhi.” “Mmh! Sawa wacha basi nifanye hivyo.” Niliagana na Bi Shuu na kurudi ndani, Mateja alikuwa bado amelala nilimshtua kwa kumpa mshikemshike wa kuvamia shamba lake kwa kuufukua muhogo taratibu kitu kilichomshtua kunikuta nipo shambani na tayari muhogo nilikuwa nimeisha ufukua upo mkononi. “Vipi mpenzi?” aliniuliza kwa sauti ya usingizi. “Kawaida tu.” “Niache nilale nimechoka.” “Kumekucha mpenzi tunazimua kisha tunakwenda kuoga.” ITAENDELEA ... Read More
*LOVE BITE EP 04* ILIPOISHIA…… Aliongea Jothan huku machozi yakimlenga lenga. Hakika ni uamuzi mgumu aliouchukua kwakua aliamini ilikuwa ni mtihani mkubwa katika mapokezi ya mlengwa. Alipoinua macho yake kumtazama Prisca, tayari mashavu ya prisca yalishalowana kwa machozi huku macho yakiwa mekundu. Kilio cha kwiki kilianza kusikika na kumfanya Jothan kuingiwa na imani baada ya kumtaza mpenzi wake huyo anaye amua kumuacha bila kosa lolote. SONGA NAYO…………….. Machozi na kilio cha kwikwi kiliendelea kwa dakika kadhaa, Prisca alimuangalia Jothan ambaye alikua ana muonea aibu wakati huo. Hakuamini kuwa ndiye yeye aliyetamka maneno yale,. “kwanini mimi?…. kwanini Jothan umeamua kuzichezea hisia zangu kwa miaka yote hiyo niliyokuwa na wewe kumbe ulikuwa huna malengo ya kuwa na mimi. Kwanini Jothan umeamua kunifanyia hivyo?” aliongea Prisca huku analia. “sorry Prisca. Unafikiri ningefanyaje kwa hali niliyokuwa nayo hivi sasa. Sina jinsi japokuwa bado nakupenda sana. Ningekuwa mtu mwengine hivi sasa ningeendelea kuwachanganya wote wawili. Ila roho huwa inanisuta kufanya hivyo kwakua hata mimi sihitaji kuchezewa hisia zangu. Naomba kubaliana tu na maamuzi yangu japokuwa unaumia.” Aliongea Jothan huku na yeye akijifuta machozi yaliyomdondoka kutokana na hali aliyokuwa nayo Prisca inavyosikitisha. “thank you for everything.” Aliongea Prisca na kunyanyuka na kuondoka. Alimuacha Jothan ambaye alijiinamia na kujilaumu kwa alichokifanya. Akili nyingine ilimwambia kama mwanaume wa ukweli na mwenye msimamo basi alifanya maamuzi sahihi na ya busara. Alirudi nyumbani na kumkuta Shani amejaa tele nyumbani kwake. Alipofika tu, Shani alimfuata na kumkumbatia. Ingawaje Jothan alijichekesha, lakini Shani aligundua kuwa hakuwa sawa. “una nini mume wangu?. Aliuliza Shani baada ya kumuangalia usoni Jothan. “kawaida tu mke wangu.. kwani naonyesha nina tatizo?” aliuliza Jothan kuhakikisha alichokisikia kutoka kwa Shani. “sura yako inaonyesha kama ullikuwa unalia au ulikuwa unahuzunika muda si mrefu.” Aliongea Shani na kumfanya Jothan kumuangalia usoni Shani. “kichwa kilikua kinanigonga sana, hata hivyo sasa hivi niko sawa.” Aliongopa Jothan “pole mume wangu, kama bado kinaendelea we niambie nikununulie panadol au nikusindikize hospital… usidharau mume wangu.” Aliongea Shani huku akionyesha kwa alikua anajali sana afya ya mwenzi wake. “usijali, niko sawa tu.” Aliongea Jothan na kuingia chumbani kwake. Alijilaza na kuwaza yaliyotokea muda mfupi uliopita. Aliamua kupiga moyo konde na kuona yote yalikuwa ni majaribu tu. Maisha yalikuwa mazuri huku kila mmoja akifurahia uwepo wa mwenzake. Hata Jothan mwenyewe alikiri kuwa uamuzi wake ulikuwa sahihi sana kumchagua Shani katika maisha yake badala ya Prisca ambaye mpaka kipindi hicho alikuwa ameshakatisha mawasiliano naye. Shani naye alijitahidi kuhakikisha anafanya yale yote apendayo Jothan na kumteka Jothan kisawa sawa. Ilkuwa akiongelewa mwanamke bora basi Jothan alilipitisha jina la Shani bila kuangalia kuwa alikuwa na nani au alizungukwa na wasichana wazuri. Alitumia muda mwingi kuwa karibu na Shani. Hata kama alikua anataka kwenda kutanua, basi Shani alikuwa ubavuni kila walipoenda. Siku moja ambayo ilikua ni mwisho wa wiki, Jothan aliamua kulala tu Jumaapili hiyo kutokana na uchovu aliokuwa nao wa jana yake kwakua walienda club yeye na Shani na kurudi asubuhi kabisa. Nyumbani kwake aligonga hodi mgeni mmoja wa kike na kufunguliwa mlango na Shani ambaye alishaamka na alikuwa anfanya usafi nyumbani kwake. “za saa hizi dada.” Alisalimia yule mgeni ambaye alionyesha wazi kuwa alikua amechoka kutokana na mimba kubwa aliyokuwa nayo. “salama tu.” Alijibu Shani na kumsikiliza huyo msichana shida yake. “sijui nimemkuta mwenye nyumba hii?” aliuliza yule dada na kumuangalia Shani aliyekuwa makini akimsikiliza. “mwenyewe kalala, ila naweza kukusaidia kama hutajali kunieleza shida yako.” Aliongea Shani na kumuangalia yule dada. “ni vyema kama nita onana nae mwenyewe.” Aliongea yule dada na kumfanya Shani amkaribishe ndani. Kwakua Shani alikua anaandaa chai, hakuona ubaya kuandaa ya kutosha na kumkaribisha yule mgeni aliyekunywa chai kama anafukuzwa kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Shani aligundua njaa aliyokuwa nayo mgeni huyo na kumuongezea vyakula mpaka alipohakikisha ameshiba ndio akaamua kumfuata na kumuuliza maswali machache wakati wanamsubiri bwana mkuwa aamke. “tunsubiri aamke, si unajua alikesha jana kwa hiyo sio vizuri kumuamsha mtu akiwa katika uchovu kama huo.” Aliongea Shani na wazo hilo likapitishwa na yule mgeni. Jothan aliamka na kwenda kuoga. Alivaa nguo zake nyepesi na kwenda sebuleni na kumkuta mgeni aliyekuwa anamsubiri. Yule dada alipogeuza shingo kumuangalia Jothan, macho yalimtoka na kujikuta mshangao mkuu umempata. “wewe, umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Jothan kwa hasira. Yule mgeni hakua na la kujibu zaidi ya kujiinamia. “na wewe unawakaribishwa watu humu ndani wengine ni nyoka kama huyu mwanamke.” Aliongea Jothan na kumuweka Shani kwenye bumbuwazi. “mbona sielewi, maana mimi aliniambia ni mgeni wako ndio maana nikaona si vibaya kumkaribisha ndani.” Alijitetea Shani. “mimi simjui huyu, .. kwani wewe msichana unaitwa nani?” aliuliza Jothan na kwenda kukaa kwenye moja ya sofa za pale sebuleni. “BAHATI.” Alijibu yule mgeni kwa aibu na kuangalia chini. “WHO A BAHATI BAY THE WAY??” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati kupiga magoti mbele yake na kuanza kulia kwa uchungu. “sihitaji kupigiwa magoti mama, mpigie magoti mungu wako na umuombe msamaha kwa ulichokitenda kwangu mimi.” Aliongea Jothan na kumuinua Shani pale chini. “naomba unisamehe, nimehadaika tu na jiji na hivi sasa limeshanifunza Jothan.” Aliongea Bahati huku analia. “leo hii unamjua Jothan wewe?.. si ulikua hunijui wewe?.. nani kakutajia jina langu?” aliuliza Jothan maswali mfulumizo yaliyomshinda Bahati kujibu na kubaki analia tu. “nyamaza kulia dada, kwani tatizo ni nini?.. niewekeni wazi jamani.” Aliongea Shani baada ya kukaa kimya muda mrefu. “sikiliza mke wangu, huyu dada ni mpumbavu na hana akili hata kidogo. Alikuwa na matatizo ya macho yaliyomsababishia upofu na hakuwa anaona hapo mwanzo. Mimi kwa imani yangu nikamchukua kutoka kwa mama yake Arusha na kuja naye hapa Dar kwa nia njema ya kumtibu. Sikuhitaji chochote kutoka kwake. Ila malipo aliyokuja kunilipa haki ya mungu kanifanya moyo wangu uwe na sugu na kuwa mgumu kuwasaidia wengine. Yaani alipopata macho ndio akaniona mimi takataka baada ya bosi wangu kumtaka. Siku niliyokutana naye akajifanya sauti yangu kaisahau. Yaani hata nilipojitambulisha bado akijifanya hanijui. Nikasamehe na kuachana naye, bado akaona haitoshi akaamua kunifanyia fitina mpaka nikafukuzwa kazi bila kosa. Sasa huyu utamuita mtu au kiatu tena kisichokuwa na kamba?” Aliongeea Jothan maneno yaliyomchoma Bahati na kumfanya aanze kulia kwa sauti kubwa zaidi ya aliyokuwa analia. “msamehe mume wangu, mungu kakujaalia umepata kazi nyingine. Na hujui kakuepusha na nini kukutoa kule. Na huyu adhabu yake ndio hii. Maana amepewa mimba na ametimuliwa. Hana msaada mwingine zaidi yako wewe. Msamehe tu mume wangu.” Aliongea Shani na kumsogelea Jothan aliyekuwa kafura kwa hasira na kuanza kumshika shika. Jothan alivuta pumzi ndefu kisha akamuangalia Bahati. “ni msaada gani unaotaka kutoka kwangu?” aliuliza Jothan na kumfanya Bahati kufuta machozi. “naomba unisaidie kunipeleka tu Arusha kwa mama yangu.” Aliongea Bahati huku analia. Kauli hiyo iliwaigia wote wawili. Ghafla walishangaa kumuona Jothan machozi yanamtoka kwa jinsi alivyokuwa anamuonea imani msichana mzuri walivyomtumia vibaya na kuwa kama kituko. Hakua Bahati yule kipofu mwenye bashasha usoni kila wakati. Sasa hivi mashavu yalimuingia ndani, nywele zake hazitazamiki mara mbili. Ngozi yake ilijaa makovu ya kupigwa kila sehemu. Jothan alijikuta ameguswa na kuanza kulia kwa sauti. Alinyanyuka huku analia na kumfuata Bahati na kumuinua kichwa chake na kuitazama sura yake iliyokuwa imelowa machozi na kuvimba kutokana na kulia kwa muda mrefu. “utakaa hapa mpaka utakapojifungua na kurudisha afya yako… pole sana kwa yaliyo kukuta.” Hatimaye aliongea maneno hayo yaliyomfanya Bahati kumkumbatia Jothan bila kujali uwepo wa mke wake pale. Wali muhurumia Bahati na kumpa chumba mule ndani. Siku tatu baadae, Bahati alipatwa na uchungu na kumuwahisha hospitali ya kulipia iliyopo kinondoni. Uchungu ulidumu kwa siku mbili mfululizo na kwa bahati nzuri Bahati alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike. Aliwashukuru sana Shani na Jothan kwa utu wao waliouonyesha juu yake, maana walikuwa nae bega kwa bega na kuhakikisha kuwa anajifungua salama. Baada ya miezi mitatu kupita, Jothan aliamua kumsafirisha Bahati na kumrudisha kwao Arusha. Alilazimika kwenda naye kwakua Bahati hakua anapajua kutokana na hali yake ya upofu aliyokuwa nayo mwanzo. Walipofika Arusha mjini, Jothan alikodi taksi iliyowafikisha mpaka nyumbani kwa kina Bahati. Ilikuwa zaidi ya furaha kwa mama yake Bahati baada ya kumuona mwanaye akiwa anaona . alimfuata na kumkumbatia. “karibuni…. Karibuni nyumbani.” Alikaribisha mama huyo kwa Furaha. “ahsante, tumeshakaribia.”aliongea Jothan na kuingia ndani. Kwa furaha ya ajabu, mama huyo alikuwa anatabasamu kila muda kutokana na kumkumbuka mwanaye. Wakati wanaendelea na stori za kawaida. Ghafla mlango ulianza kugongwa kwa nguvu. Mama yake Bahati alitoka na kwenda kumsikiliza mtu anayegonga mlango. Alikaa huko kwa dakika kadhaa. Na baadae alirudi huku akiwa hana furaha kama aliyokuwa nayo mwanzo. “samahani baba, namchukua huyu tukatete kidogo.” Aliongea mama yake Bahati. “hamna shida mama.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati anyanyuke na kumfuata mama yake.. “mwanangu, aliyekuja kugonga ni mwenye nyumba. Amesema kuwa ametuchoka kutokana na kutomlipa kodi yake kwa muda mrefu. Yaani nimechanganyikiwa hata sijui tutafanyaje.” Aliongea mama yake Bahati baada ya kumuita mwanaye chemba. “usijali mama, nililijua hili ndio maana nikamuelezea Jothan mapema. Ametuahidi kutusaidia.” Aliongea Bahati na kumfanya mama yake amuangalie. “kwani, wewe na huyo Jothan mkoje?” Alijikuta mama yake Bahati anauliza swali lile kutokana na kutoelewa mazingira na makubaliano ya kumponyesha mtoto wake macho na kumrudisha akiwa na mtoto. “ni story ndefu mama, ila kifupi ni mkombozi wangu na wewe pia. Naweza sema hivyo.” Aliongea Bahati. “kwa hiyo unataka kusema kuwa hata huyu mtoto si wa kwake.” Aliuliza mama yake Bahati. “ndio mama.” Aliongea Bahati kimkato huku akitaka kumuonyesha mama yake ni jinsi gani asivyotaka kuaonngelea ile mada kwa muda ule. Baada ya muda Bahati alirudi sebuleni alipomuacha Jothan na mama yake akaenda kuandaa chakula cha jioni. “mbona hivyo, kwema?” aliuliza Jothan baada ya Bahati kurejea pale. “sio kwema, kama nillivyokuambia siku ile. Mama kashindwa kulipa kodi hivyo mwenye nyuumba anataka hela yake au tuhame.” Aliongea Bahati na kumuangalia Jothan. Baada ya chakula cha usiku, Jothan alimkabidhi mama yake Bahati fedha tasilimu shilingi laki saba kwa ajili ya kulipa deni la laki nne analodaiwa na hiyo nyengine kwa ajili ya mkataba mpya. Mama yake Bahati alifurahi kidogo machozi yamtoke na kumuombea sana dua za mafanikio Jothan. “naomba niwaache, naenda kulala Hotel na mungu akipenda kesho ndio safari yangu ya kurudi Dar-es-salaam” aliongea Jothan baada ya kuangalia saa yake ya mkononi na kumuonyesha kuwa ilishatimu saa tatu kamili. “sawa mwanangu. Mungu akutangulie katika kila jambo lako.” Aliongea mama yake Bahati na jothan akatoka huku Bahati akimsindikiza. “nakushukuru kwa yote ulioamua kuyafanya katika maisha yangu. Nakuomba usichoke kuwasaidia wasiojiweza kama nilivyokuwa mimi japokuwa nilikuumiza… kwa mungu kuna fungu lako Jothan.” Aliongea Bahati walipokuwa njiani wakisindikizana. “usijali, hata mimi naamini mambo yangu yananinyookea kwakua nakigawa kidogo kwa wenzangu wenye shida. Yale yalikuwa maneno tu tena kwa sababu nilikuwa na hasira. Mimi sina kinyongo na wewe. Moyo wangu mweupe na nakuombea pia maisha mazuri na ya furaha na mtoto wako. Naamini hutofanya makosa tena kwakua umeshajifunza.” Aliongea Jothan huku wakiikaribia bara bara. Baada ya kufika kituoni, waliagana huku Bahati machozi yanamtoka kwakujua kuwa ule ulikuwa mwisho wa kuonana na mwanaume huyo wa ajabu maishani mwake. Aliondoka huku kila baada ya hatua moja akigeuka nyuma kumtazama Jothan. Kwa mbali kulikuwa na gari linakuja spidi upande aliokuwa Bahati. Jothan alipotupa macho yake kuitazama ile gari ilikaribia kabisa kumgonga Bahati ambaye wakati huo Bahati hakuiona ile gari kwakua likua bize kumuangalia Jothan. Aliamua kutupa begi lake na kumkimbilia Bahati, alipofika tu alimsukuma na kwa bahati mbaya ile gari ilikuwa inajaribu kumkwepa Bahati na kumgonga Jothan. “MAAAMAAAAAA!” Alipiga kelele Bahati baada ya kumshuhudia Jothan akianguka chini baada ya kugongwa. Damu nyingi zilikuwa zinamtoka puani na mdomoni. Yule dereva aliyemgonga Jothan, alisimamisha gari na kumuingiza Jothan pamoja na Bahati na safari ya kuelekea hospitali kwa ajili ya kujaribu kuokoa maisha ya Jothan ilianza mara moja.. Walipofika hospitali, walipokelewa haraka na Jothan akakimbizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “jamani kwa hali ya mgonjwa wenu, anatakiwa kufanyiwa operation haraka iwezekanavyo ili kuokoa maisha yake.” Aliongea daktari na wote wakakubaliana kuwa tendo lile lifanyike. Bahati alikuwa mtu wa kulia tu usiku nzima. Alijua yeye ndio sababu iliyomsababishia Jothan kugongwa na lile gari.. Alilia na kumuomba mungu asimchukue Jothan. Alirudi nyumbani asubuhi na kumtaarifu mama yake juu ya kilichotokea. Mama yake alisikitika sana na kwenda hospitali ambapo walikaa kwa masaa manne bila kuruhusiwa kumuona mgonjwa. Walirudi nyumbani na kurudi tena hospitalini jioni ambapo waliruhusiwa kuingia ndani na kumkuta yule mtu aliyemgonga Jothan akwa pale hospitalini. Bahati alimuelekeza mama yake kwa yule mtu aliyeonekana na moyo wa pekee kwa kukubali kuisimamia afya ya Jothan kwa kipindi chote atakacholazwa pale hospitalini. “kwa maelezo ya dokta, amesema kuwa atarejewa na fahamu kiasi katikati ya wiki hii,.. ila itachukua muda mrefu kurudiwa na kumbukumbu.” Aliongea yule jamaa alyemgonga baada ya kujitambulisha kwa jina la Saimon. Baada ya taarifa zile, walikubaliana na kuondoka huku zoezi la kumuangalia Jothan likiwa linaendelea kila siku. Baada ya wiki mbili jothan alifumbua macho. Lakini hakuweza kuongea na hakuwa na kumbukumbu yoyote. “kwa hiyo dokta tunaruhusiwa kuondoka naye” aliuliza Saimon baada ya daktari kuridhika na maendeleo ya Jothan. “mnaruhusiwa, ila kwa masharti. Msimsumbue kwa kumlazimisha akumbuke kitu chochote. Maana kumbukumbu zake zitakuja taratibu kutokana na mazingira katika ubongo wake.” Aliongea dakrari katika moja ya kuwapa maangalizo juu ya mgonjwa wao. “sawa, sasa inaweza kuchukua muda gani hadi kurudiwa na fahamu zake sawa sawa?” aliuliza Bahati. “inaweza kuchukua miezi sita, nane au mwaka mzima kutokana na ukubwa wa tatizo lenyewe.” Aliongea daktari na kuwafanya wote waliokuwa pale waishiwe nguvu. Walikubaliana waondoke naye na kwenda kukaa kwa kina Bahati huku Simon akiwaambia kuwa atakuwa pamoja nao katika kila hali. Kutokana na kuchanganyikiwa siku aliyopata ajali Jothan, Bahati hakuokota kitu chochote alichokuwa amebeba Jothan siku ile. Hivyo hakuwa na mawasiliano angalau amjulishe Shani juu ya ajali iliyompata mpenzi wake. Siku zilikatika kwa kasi bila Jothan kuonyesha dalili zozote za kukumba yaliyokuwa nyuma. Hata jina lake tu alianza kulizoea baada ya Shani na mama yake kulitamka kila mara. Kwa upande wa Bahati alijisikia raha kumuuguza Jothan kwakua alikua analipa fadhila kwa yale aliyomtendea. Alihakikisha kuwa kila alichokihitaji mgonjwa wake basi alikua anakipata kwa wakati. Aliamua kurudia kazi yake ya kuuza maua ili alishe familia inayomkabili. Baada ya miezi sita kupita, Jothan alianza kuonekana kukumbuka kidogo kidogo. Aliweza hata kuuliza kuwa yupo wapi na ni nini kilichomleta pale. Alitamani kwenda kazini tena kama zamani. “PRISCA…… PRISCA” Alisikika Jothan usiku akilitaja jina la mwanamke huyo mara kadhaa. Bahati ambaye alikua amekaa kimya wakati wote, aliamka kutoka kwenye godoro la chini alipolala na mtoto wake na kumsogelea Jothan. Alishangaa kumuona Jothan akitokwa machozi. “mimi ni Bahati “ alijitambulisha Bahati mbele ya Jothan ambaye alikua macho usiku huo huku akitokwa na machozi. “yupo wapi Prisca.” Aliuliza Jothan na kumfanya Bahati ashtuke kidogo kwakua hakulifahamu jina hilo.. “Prisca mimi simjui… au ndio Shani ana majina mawili?” aliuliza Bahati na kumfanya Jothan afikirie kwa muda mrefu. “Shani.. Shani… ndio nani huyo?” aliuliza Jothan huku akionyesha kutokuwa na kumbukumbu nae. “si yule aliyekuwa unaishi nae kabla ya kuja huku ?” aliongea Bahati na kumfanya Jothan avute taswira juu ya mtu huyo aliyekuwa anamzungumzia Bahati. “huyo simkumbuki, yupoje kwani?” aliuliza Jothan na kumuangalia Bahati ambaye wakati huo alikuwa mbele yake akiongea kwa sauti ya taratibu kwa kuwa usiku ulikuwa tayari ni mkubwa. Hivyo sauti zao zilipea na kusikika kila mahali mule ndani. “ni mnene kiasi, mweupe na ana shepu Fulani hivi .. anapenda kuvaa ma wigi ya rihanna.” Alijaribu kumkumbusha Jothan kwa kumtajia muonekana halisi wa mtu huyo. “huyo simukumbuki,….. ninaye mkumbuka mimi ni msichana mzuri niliyeanza naye mapenzi toka tukiwa shuleni. Ni msichana mzuri sana. Na kila siku zilivyozidi kujongea, basi uzuri wake ulikua unaongezeka kila siku iendayo kwa Mungu. Nalikumbuka jina lake huyo dada. Anaitwa Prisca. Ila sijui muonekano wake kwa sasa. Labda ikitokea kuonana nae.” Aliongea Jothan huku akijaribu kuvuta hisia zake juu ya msichana huyo anaye mkumbuka kwa machache tu. “daktari alituambia kuwa tusikusumbue kwa kukumbusha ya nyuma. Ila utakumbuka taratibu. Ni vyema ulale Jothan ili uipumzishe akili yako.” Aliongea Bahati na Jothan akakubaliana nae. Kila siku ambayo Bahati alikua anarudi kutoka katika mihangaiko yake, aliutumia muda huo kupiga stori mbali mbali na Jothan. Wakati mwengine alimtembeza sehemu kadhaa maarufu. Kila akipata fedha nyingi, basi humchukua Jothan na kumpeleka shooping kwa ajili ya kumnunulia nguo. Baada ya miezi miwili kupita, Jothan alirejewa na fahamu zake kamili. Alikumbuka kila kitu. Hata siku aliyokuwa anataka kurudi Dar na kupata ajali ya gari pia aliikumbuka. Alimkumbuka pia Bahati ambaye wakati huo alikuwa naye bega kwa bega wakishirikiana na Simon ambaye alikua anakuja kumtembela mara kwa mara na kumuachia chochote kitu. Siku moja Jothan akiwa barazani anapunga upepo, alifuatwa na Bahati aliyekuwa amebeba Juice glasi mbili na kumkabidhi moja. Aliipokea na Bahati akakaa karibu yake. “lete story” aliongea Jothan baada ya kumuona Bahati kama alikua ana kitu Fulani alichokuwa anataka kumwambia. “nina mpya basi, zaidi kama hutojali. Nilikuwa nahitaji ushauri kutoka kwako.” Aliongea Bahati na kumtazama Jothan. “ulikuwa au unahitaji ushauri kutoka kwangu.” Aliongea Jothan kimzaha. “naomba unishauri,.. Simon ameniambia kuwa ananipenda na yupo tayari kufunga ndoa na mimi. Wewe kama wewe unamuonaje Simon. Anafaa kuwa mume wangu?” alifunguka Bahati na kumuangalia Jothan aliyekuwa anamuangalia pia. “kwa muda mfupi toka nimfahamu huyo mtu, sina shaka naye hata kidogo. Maana alikuwa na uwezo wa kukimbia siku ile aliyonisababishia ajali au hata kunikimbia hospitali. Lakini mpaka sasa ametupa hela nyingi kwa ajili yangu. Huwezi jua Bahati, si ajabu Mungu kamkutanisha na wewe kupitia mgongo wangu. Cha msingi zisikilize hisia zako maana wewe ndio utakuwa naye kipindi hicho mimi nitakapokuwa mbali na wewe. Kama na wewe unampenda na yeye yupo tayari kumlea mtoto wako ni dhahiri shahiri kuwa na yeye anakupenda pia.” Jothan aliongea maneno yaliyomkuna sawasawa Bahati. Alibaki anatabasamu na kumuangalia Jothan ambaye naye alikua anatabasamu pia. “nilikuwa nampenda muda mrefu sana, sema nashukuru sana kuwa hata yeye kumbe alikua ananifikiria.” Alingea Bahati. “hongera. Nilitaka kurudi Dar wiki hii, ila kama ndoa iatapangwa mapema basi nitasubiria mpaka muoane.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati afurahi kupita kiasi. Siku ya harusi kati ya Bahati na Simon iliwadia na maharusi walionekana kupendeza kupita kiasi. Jothan alilifurahia tukio lile baada ya Bahati kuonekana kubadilika na kuwa mwema na mtu mwenye jitihada kama alivyokuwa zamani. Baada ya siku mbili, Jothan aliaga na kurudi Dar. Kwakua hakuwa mgeni wa jiji, alitambua magari ya kinondoni na kuelekea kwake. Alifika nyumbani kwake na kukuta kufuli nje ya geti lake. Hakuwa na jinsi zaidi ya kukaa pembeni kwenye Café iliyokuwa inatazamana na geti lake ili Shani atakaporudi aweze kukutana naye. Alikaa mpaka saa mbili usiku, lakini hakukuwa na dalili za mtu yeyote kufika pale. Aliamua kwenda kulala Gesti kutokana na uchovu wa safari aliokuwa nao. Aliamka asubuhi na kupata chai, baada ya hapo akaelekea nyumbani kwake. Pia alikuta geti likiwa limepigwa kufuli kama ilivyokuwa jana yake. Aliamua kumfuata dalali mmoja aliyekuwa ameweka benchi lake pembeni ya nyumba yake na kumuuliza. “samahani mzee Sadi, hivi huyu mke wangu ana muda gani toka afunge hili geti?” aliuliza Jothan baada ya kusalimiana na mzee huyo aliyemzoe kwa muda mrefu akiwa pale nje na kufanya shughuli zake za udalali wa nyumba,viwanja na vyumba vya kupangisha. “hivi hauna habari?” aliongea mzee Sadi na kumshangaa sana Jothan kwakua alikua anajua kila kitu. “sina habari yoyote mzee wangu. Nimeingia jana tu kutoka Arusha, hivyo sina habari yoyote mie!!.” Aliongea Jothan kwa mshangao mkuu. Alianza kuhisi jambo baya linaweza kuwa lilimkumba Shani kipindi ambacho alikuwa hayupo. “mbona hii nyumba imeshauzwa miezi miwili iliyopita?… tena matangazo yalibandikwa muda mrefu. Sema wenye nyumba bado hawajahamia. Si unajua watu wenye fedha zao bwana?.” Aliongea yule dalali na kumfanya Jothan apigwe na bumbu wazi. “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA ... Read More
NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Sehemu ya kwanza(01) Naitwa Naomi Charles,katika maisha yangu sikuwahi kuamini haswa mambo yanayohusiana na nguvu za giza,kitu pekee nilichojua ni kwamba hivi vitu huwa vipo midomoni mwa watu tu,lakini kadri nilivyozidi kukua na kuingia katika maisha ya ndoa hapo ndipo nilipokuja kushuhudia kwa macho yangu kwamba haya mambo si ya kwenye midomo ya watu,bali yanafanyika na kuishi katika jamii mwa watu. Ndugu yangu amini nakuambia,kama kuna mwanga basi elewa hata giza lipo,na siku zote lengo la kuwepo mwanga ni kwasababu ya kukimbiza giza,kusingekuwa kuna ulinzi wa Mungu endapo kama mambo ya giza yasingekuwepo,nilichokuja kuamini ni kwamba siku zote uwepo wa mwanga wa Mungu wa wanadamu ni kwasababu ya kukimbiza giza linalowanyemelea wanadamu. Niliwahi kusoma vitabu na kama vile "Dollo,Mama yangu anakula nyama za watu" na kitabu cha "Jini lilivyonilelea mwanangu kimiujiza",waliandika na kusema hiyo ni mikasa ya ukweli lakini bado nilisema kwamba huu ni utashi tu wa utunzi wa watu. Ni miaka takribani 15 imepita tangu niamue kuachana na safari ya ndoa na John mume ambae nilipenda kumuita J...Alinioa ndoa ya halali kabisa,nakumbuka kipindi naonana nae alikuwa na miaka 40 wakati huo mimi nilikuwa na miaka 28,alikuwa ameniacha mbali ki umri lakini haikuwa sababu ya penzi letu kufa. Lakini kuna mambo mawili ambayo yalinishangaza kwake,alikuwa na umri mkubwa sana na majukumu ya kumuingizia pesa lakini cha ajabu bado alikuwa anaishi na Mama yake mzazi,cha pili ni kwamba aliniambia kwamba alipokuwa na umri wa miaka 30 alipataga mke ambae walipanga kuoana lakini aliamua tu kuishi nae nyumbani kwao kama mke wake,baada ya miaka mitano kupita John aliniambia mwanamke yule aliamua kukatish safari ya mahusiano na yeye,alibahatika kuzaa nae watoto wawili lakini wote walifariki. John hakuniambia ni sababu ipi iliyomfanya hasa aachane na yule mwanamke. Nakumbuka baada ya ndoa yangu mimi na John nilimshawishi na kumwambia kwamba mimi staki tuendelee kukaa pale na mama yake,tuondoke tukaanzishe maisha yetu na kama Mama tutaendelea kumjali maana si kwamba amezeeka kufikia kipimo cha kuweza kukaa nae na kumlea. John alinikubalia na kusema tutahama lakini tukae kae kwanza pale kwao wakati anajipanga. Miezi miwili ilipita tangu ndoa,hatimae nilishika ujauzito tukiwa bado tunakaa na palepale kwa Mama yake,ambae ni mama mkwe wangu,wote walifurahi baada ya kuona mimi nimekamata ujauzito. Wanasema kulea Mimba sio kazi bali kulea mtoto,miezi tisa si mingi kama ukiwa na subira,hatimae nilishusha mtoto wa kiume,furaha kubwa ilitawala baina ya familia zetu pamoja na mimi na mume wangu,ilikuwa ni furaha isiyo na kifani,wajirani na marafiki wa kutembelea hawakukosekana,taratibu kazi ya kulea mtoto ilianza. Hatimae miezi sita ilipita,mtoto alizidi kuchangamka,kilichobaki kinaniumiza ni kwamba kila nikimuambia mume wangu tuhame kwa mama yake tukaanzishe maisha yetu alikuwa ananijibu bado hajajipanga,likikuwa linaniumiza sana kichwa swala hili na nilijikuta nakata tamaa ya kuwa namuuliza mara kwa mara. Katika safari yangu ya ndoa sintakuja kuusahau usiku,usiku ambao vindumbwe ndumbwe na maajabu vilianza katika maisha yangu,nakumbuka nilikuwa nimelala mimi na mume wangu pamoja na mtoto wangu huyo wa miezi sita,ambae tulimpa jina la Grey,niliota tumezunguukwa na wanawake wanne mimi na mume wangu kwenye kitanda ambacho tulikuwa tumelala,wanawake hao walikuwa wamevalia shuka nyeupe ambazo wamejifunga rubega,nilitaka kupiga kelele lakini moja ya wanawake wale aliniziba mdomo kisha mmoja wao akanyoosha mikono yake na kumchukua mwanangu,nilikodoa macho na kutamani kupiga kelele lakini nilishindwa kwasababu nilishikwa,nilimkazia macho yule mwanamke aliemchukua mwanangu na ndipo niliposhikwa na bumbuwazi baada ya kugundua kwamba ni mama mkwe wangu.Alianza kuondoka na mwanangu huku akifuatiwa na wale wanawake watatu waliobaki,nilianza kupiga kelele za kumlilia mwanangu mpaka nalia huku nikiinuka kitandani kuwafuata,ghafla nilishtushwa na mume wangu huku akiniambia"we Naomi unaenda wapi huko na kupiga kelele na wakati mtoto huyu hapa,umepatwa na nini".Nilianza kuhema huku nikimwangalia mwanangu kama yuko salama,wakati huo nikawa namwaga jasho. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... JE NINI KITAENDELEA Je Grey atapona...? Je ndoto aliyoota Naomi inauhalisia wowote katika maisha yao..? tukutane sehemu ya pili kesho jioni panapo majaaliwa. Ruksa kushare,pia toa maoni yako ili watu wajifunze zaidi. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(02) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Ilipoishia. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... Sasa endelea... Nilijikuta nalia tu huku nikiita"Greeeey....Greeey",wakati huo sasa mume wangu nae ndipo alipomtazama mtoto wetu na kugundua kwamba mdomoni anatoka povu,nilimuona ameshtuka ghafla na kuinuka kutoka kitandani huku akiuliza"Naomi,mtoto amekuwa na nini,inamaana alikuwa anaumwa harafu hukuniambia mpaka amezidiwa hivi..?". Moja kwa moja Mume wangu alijua labda huenda nimemficha sikumwambia kama Grey alikuwa anaumwa kitu ambacho hapana. Grey alizidi kulia zaidi na wakati huo povu jeupe liliendelea kumtoka,wote tulikuwa tumechanganyikiwa hatujui tufanye nini,ndipo Mume wangu alienda sebureni na kuchukua maji haraka haraka kisha kumnywesha Grey,wakati anakunywa maji alitulia kwanza kulia lakini baada ya kumaliza tu kunywa maji kilio kiliendelea tena,nilimchukua na kuanza kumnyonyesha lakini alikataa ziwa,mara muda haukupita Bibi yake ambae ni mama yake na Mume wangu akawa ametugongea mlango"nyie kuna nini tena humu?,mbona mtoto analia hivi".Mume wangu alimfungulia mlango kisha akaingia ndani,alifika na kuanza kumtazama mtoto ambae alikuwa bado analia,mimi nilijikuta naacha kumtazama mwanangu badala yake nilianza kumtazama huyu mkwe wangu huku nikikumbuka nilichoota,nilitamani nijue zaidi hivi nilichoota kina uhalisia au ilikuwa ndoto tu. Ghafla nilimuona Mama mkwe wangu akimuweka mwanangu kitandani na kusema"huyu mtoto mbona ameumwa ghafla hivi kulikoni,au alianza toka mchana lakini hukutuambia,hebu mwangalieni na mwili wake ulivyobadilika na kuwa mwekundu"aliposema hivyo moyo ulinilipuka na kuacha kumtazama yeye kisha kumtazama mwanangu,sikuamini kuona mwili wa mwanangu aliekuwa mweupe umekuwa mwekundu rangi ya damu kabisa,kulia nako kukazidi,nilimchukua na kuanza kumbembeleza lakini haikusaidia kitu,matokeo yake na mimi nilijikuta naanza kulia huku nikisema"Baba Grey mwanangu anakufa,Mwanangu anakufaaa"Nililia sana wakati huo Baba Grey nae anawaza afanye nini. Mama mkwe alitoka ghafla kisha kuelekea sebureni,alikaa huko kwa dakika kadhaa kisha akarudi na maji kwenye kikombe akasema"Hebu mnyweshe haya maji nimeyachanganyia chumvi na sukari huenda yakamsaidia",kweli niliyachukua haraka haraka kisha nikamnywesha,kweli duniani kuna maajabu,kwani baada tu ya kumnywesha yale maji Grey aliacha kulia na kukubali kunyonya lakini mwili wake uliendelea kuwa mwekundu. Ilikuwa mida ya saa kumi usiku na ndipo Baba Grey alisema sasa tumpeleke Grey hospitali,kweli juhudi za kujiandaa kwenda hosipitali zilianza na hatimae safari ilitimia,tulifika kwenye Zahanati moja hivi iliyokuwa jirani na sisi na kumkuta daktari wa zamu,walitupokea kisha wakamuangalia mtoto kitendo kilichofanya daktari ashtuke baada ya kumuona ni jinsi gani Grey alivyokuwa mwekundu,harakati za vipimo na matibabu vilianza,juhudi zilifanyika na wapimaji wakati sisi tukiendelea kusubiri,majibu yalikuja ya kushangaza kwani tuliambiwa kwamba Grey hana ugonjwa wowote,hapo ndipo nilipoanza kuona kwamba huenda kweli kuna mauza uza. Tulipewa kitanda ili mwanangu alale kwa ajiri ya kukicha aendelee na matibabu zaidi,nilikaa na mwanangu pale kitandani wakati huo Baba Grey aliniacha huku akisema kwamba anaenda kutoa taarifa na kufanya mchakato wa chakula asubuhi ili aniletee.Nilibaki na mwanangu mle wodi ya watoto akiwa amelazwa,nilipomnyonyesha alikuwa akinyonya kama kawaida.lakini ghafla alianza kukataa ziwa,hali ya kulia ilizidi,alianza kulia toka saa kumi na moja na nusu ya alfajiri,wauguzi walikuja tena kwa ajiri ya vipimo lakini majibu ni yale yale kwamb hamna ugonjwa,walimpa dawa za kutuliza maumivu lakini hazikuzaa matunda.Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... JE NINI KITAENDELEA Je ni nini kipo nyuma ya pazia katika kifo hicho cha Grey. Usikose sehemu inayofuata kesho muda na wakati kama huu. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(03) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Tulipoishia .... Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... Sasa endelea... Kilio changu kizito kilitawala ndani ya chumba kile katika wodi ya watoto,uchungu mzito wa uzazi na kuondokewa na mtoto ulitawala ndani ya moyo wangu,mawazo yangu yote nilijua na kufahamu kwamba mwanangu hajafa katika kifo salama,bali ameondolewa Duniani kwa kulazimishwa.Wauguzi na akina mama wengine ambao walikuwa wanauguza watoto zao walijitahidi sana kunituliza lakini ndio kama walikuwa wanazidisha maumivu moyoni mwangu. Mwisho mume wangu alikuja akiwa ameleta chai,alipofika kwenye chumba ambacho ndicho tulikuwa tumelazwa na mwanangu moja kwa moja alijua tayari mtoto wetu hayupo duniani,kwani alinikuta bado nalia lia japo sio kama mwanzo kwasababu Wamama wenzangu walikuwa wakijitahidi sana kunipoza na kunituliza,hapakuwa na kingine zaidi ya mchukua mtoto wetu Grey ambae alikuwa tayari ni marehemu kwa ajiri ya kuanza safari ya kurudi nyumbani kuweka msiba,tulichukua gari huku mimi njia nzima nikienda nalia. Grey alikuwa bado mdogo,alikuwa na miezi sita hivyo hata mazishi yake yalipangwa yafanyike siku hiyo hiyo,kila mara nilikuwa nauchungulia mwili wa mwanangu,sikuamini kama kweli amenitoka,nilikuwa nimemzoea,alikuwa na afya nzuri na mwenye kuchangamka,lakini kilichokuja kunitisha zaidi Grey baada ya kufariki mwili wake uliirudia hali yake kwa maana ya kwamba ile hali ya mwili kuwa mwekundu utafikiri kalowekwa kwenye damu ilitoweka.Nilibaki najiuliza huu ni ushirikina wa namna gani,sikutaka kumtuhumu mama mkwe moja kwa moja kwasababu sikuwa na ushahidi wowote,ndoto pekee huwezi ukaitumia kumuhukumu mtu,japo ilikuwa ni ndoto ya mashaka. Hatimae saa kumi ya jioni ilifika muda ambao ulipangwa kwa ajiri ya mwanangu Grey kuzikwa,watu mbalimbali,majirani ndugu na marafiki walikusanyika kwa ajiri ya kutoa heshima zao za mwisho kwa kichanga changu kile,pale nilijifunza kitu kimoja kwamba siku zote ukiishi na watu vizuri basi utakuwa mtu wa watu,mwanangu alikuwa ni mdogo na asiejulikana sana mbele za watu,lakini watu waliohudhuria walikuwa ni wengi kiasi kwamba ni msiba wa mtu mzima na umaarufu wake. Basi jioni iliisha kwa kumpumzisha mwanangu katika nyumba yake ya milele. Hatimae maisha ya upweke bila kulea bila kunyonyesha yalirudi,tulikaa wiki moja na baada ya hapo ndugu jamaa na marafiki waliokuwa wamekuja kututembelea nao waliondoka na hatimae tulibaki tukiishi watu wanne kama mwanzo yaani mimi,mume wangu,mama mkwe wangu pamoja na mdada wa kazi aliekuwa akiitwa Rhoda. Sikujiskia tena kuendelea kukaa na pale pamoja na mama mkwe wangu,hatimae niliamua kuanza kumsumbua mume wangu kwamba inatupasa tuhame pale tukaanzishe maisha yetu,lakini bado juhudi za mume wangu kujaribu kukataa ziliendelea,na mimi pia neno kuhama nililigeuza wimbo wa taifa mdomoni mwangu kila mara nilipokaa nae.Hatimae siku moja aliniambia kwamba amenielewa na atakaa kuongea na mama yake ili tuweze kuondoka na kwenda kuanzisha maisha yetu. Moja kati ya siku nyingine ambayo sintakuja kuisahau katika maisha yangu ni siku ambayo nilikuwa natokea chumbani naelekea sebureni,nilichungulia kidogo nikaona mtu na mama yake wamekaa wanaongea,yaani mume wangu na mama yake,kwakweli nilinyata taratibu taratibu mpaka karibu na ukuta wa kukatizia kuingia sebureni ili niweze kusikia wanazungumza nini,nilitamani sana kusikia wanazungumzia swala la mimi na mume wangu kuhama,nilikuwakuta wameshaanza mazungumzo ambayo sikujua wanaanzia wapi lakini tumbo lilikuja kushtuka baada ya kumsikia mama mkwe wangu akitoa kauli kwa mume wangu na kumwambia"Sawa kama mnataka kuhama hapa nyinyi hameni lakini ukumbuke kwamba bado una deni kubwa sana kwangu,bado hujakamilisha kile kinachohitajika kwahiyo wewe hama lakini ukae unajua kwamba deni langu ni lazma ulipe"Tumbo lilinikata na kuanza kujiuliza ni aina gani ya deni ambalo mime wangu anadaiwa na mama yake,nilitamani niendelee kusikia mazungumzo zaidi lakini nilimuona mama mkwe wangu akinyanyuka na kushika njia ya mlango kuelekea nje. JE NINI KITAENDELEA Je ni aina gani ya deni ambalo anadaiwa John na mama yake..? Usikose sehemu inayofuata hapa hapa kesho panapo majaaliwa. ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU! Nilikua mgeni katika ile nyumba, ingwa haikua mara yangu ya kwanza kufanya kazi za ndani lakini bado nilikua ninaogopa ogopa Dada (Mama mwenye nyumba) alionyesha mkali sana kwani ile kuingia tu alishanipa mashariti elfu kidogo. Nilishaambiwa sehemu ambazo siruhusiwi kukanyaga, vitu ambavyo siruhusiwi kugusa na majina ya kuwaita wote mule ndani. “Sitaki unite Mama unanizeesha unafikiri mimi naweza kuzaa kinyago kama wewe!” Hiyo ndiyo ilikua kauli yangu ya kwanza kukaribishwa nayo mara tu baada ya kumsalimia na kumuita Mama. Kweli hakua mtu mzima, lakini kwakua katika nyumba niliyoondoka nilikua nimezoea kumuita bosi wangu Mama nilijua ni heshima nayeye atapenda kuitwa hivyo. “Huko ulikotoka kwanini ulifukuzwa?” Aliniuliza kwa hasira, sijui hata nilimfanya nini lakini alionekana na kisirani chake tu. “Sikufukuzwa dada niliamua tu kuondoka, walikua …” “Eeeeh! Mimi si shoga yako kuanza kuniambia matatizo yako, nyamaza nishakuambia sitaki kukusikia, nenda jikoni huko! Unajua kupiga au niwakufundishwa kila kitu!” Alinikatisha kabla ya kujielezea kisha kuendelea kufoka. Nilimuambia najua akaniambia niingie jikoni kuanza kazi. Ulikua mchana kwani niliondokea kwa Shangazi yangu (si Shangazi kweli ni mtu ambaye alinilete tu mjini). Niliingia jikoni na kukuta lundo la vyombo, sikua na haja ya kuelekezwa, nilishakua House Girl mzoefu hivyo nilijua nini cha kufanya. Nilianza kuosha na ulipofika wakati wa kupika nilimuuliza tunapika nini. Nashukuru safari hii alinijibu vizuri hivyo nilichukua kile nilichelelekezwa na kumpikia. Kutokana na kelele za nyumba niliyotoka na uzungu wa Bosi wangu wa zamani nilikua najua kupiga si kitoto, ile milenda milenda yangu ya kijijini niliiacha huko huko hivyo nilipompikia tu na kuweka chakula mezani, alikifurahia ingawa hakusema chochote lakini hakulalamika, hiyo ilikua dalili njema kwangu. Katika nyumba niliyotoka baada ya kuwatengea chakula nilikua nasubiri mpaka wamalize kula, hii ni kwasababu kama kikitokea kitu cha kutumwa basi niwepo kuwasikiliza. Huwa nasimama pembeni kama wale madhouse girl wa kwenye TV kusubiria mpaka mabosi wangu wamalize kula ndiyo huingia jikoni na kujitengea chakula changu. Nilishazoea hivyo na kwakua ilikua ndiyo nyumba yangu ya kwanza nilijua labda mjini kote ndiyo hali ilivyo. “Unasubiri nini hapo si uende jikoni huko ukajipikie au wewe huli?” Aliniuliza kwa hasira, nilitaka kumjibu kumuelezea nilivyozoea lakini hakutaka kusikiliza, jicho alilonikata niliondoka kama chizi nikikimbia. Nilifika jikoni na kupakua chakula, nilikaa chini ili kula. Lakini kabla hata sijafikisha tonge mdomoni alikuja, alikua kasimama pembeni yangu. “Ndiyo unafanya nini?” Aliniuliza, macho yake yalikua katika chakula. “Nakula ma…dada…” Kidogo nisahau na kumuita Mama. “Pumbavu unakula nini? Yaani unakula chakula ambacho ninakula mimi! Hivi una akili kweli unataka kuwa sawa na mimi, nikulipe elfu thelathini na chakula ule kama mimi!” Aliongea kwa hasira, alikipiga teke chakula kisha kutoka, alirudi na ndoo ya dagaa na kunirushia. “Kuna ndoo ya dona iko hapo, pika ugali wako ule. “Aliongea kwa hasira huku anaondoka, alienda kwa sekunde kadhaa na kurejea. “Upike mwingi kuna mwenzako anatoka shule atakuja kula na wewe!” aliondoka na kuniacha pale. Nilianza kuchambua Dagaa ambao wengi walikua wameoza, unakutana na wadudu kabisa. “Haya mapya! Nimeruka mkojo nimekanyaga mavi!” Niliendelea kujiongelesha huku nikichambua dagaa ambao walishaanza kunitia kichefuchefu. Huko nilikotoka nilikua nanyanyaswa lakini angalau nilikua nakula chakula cha mabosi wangu hata kama nilikua nalia jikoni! *** Jioni jioni hivi kama saa kumi na nusu watoto wake walikuja, walikua watatu. Mmoja mkubwa kuliko wenzake Jackline na wengine wadogo Joan na John, hawa walilingana kwani walikua mapacha. Baada ya kubadilisha nguo niliambiwa niwatengee chakula, nilifanya hivyo kwa kuweka sahani tatu mezani. Lakini Jackline ambaye alikua na miaka kumi hakukaa mezani, alikuja jikoni ambapo nilikua naandaa chakula cha usiku. “Wewe ndiyo Dada mpya, shikamoo…” Alinisalimia tena kwani alishanisalimia wakati nawafungulia geti ili waingie. Niliitikia kwa wasiwasi kwani nilishaambiwa nisiongee na wanae hivyo niliogopa hata kumjibu salamu. “Chakula changu kiko wapi?” Aliuliza, huku akikaguakagua vyombo. “Chakula si nimeshawatengea sebuleni?” Niliuliza kwa mshangao, hasira zilinipanda kidogo kwani nilishajua kuwa kumbe mbali na kudili na Bosi kichomi basi ningedili na mtoto mdogo kama yule ambaye ana kisirani. “Baba amesafiri mimi siruhusiwi kula sebuleni nnatakiwa kula na wewe!” Sikumuelewa niliuliza mata mbilimbili ndipo kwa utulivu kabisa alinieleza kuwa yule hakuwa Mama yake mzazi bali ni Mama wa kambo hivyo kila Baba yake anaposafiri yeye haruhusiwi kula chakula sebuleni na wengine mpaka anaporejea. Chakula anachokula ni cha Dada wa kazi. Kusema kweli hilo lilikua jingine jipya, labda kwakua nilikua sijafanya kazi katika nyumba ambayo Bosi ana mtoto wa kambo. Niliwaza kile chakula ambacho nilipika kwaajili yangu, nikawaza wale dagaa kisha nikamuangalia yule mtoto na kumuambia. “Jack, si unaitwa Jack… “Nilimuuliza. “Ndiyo Dada!” Alijibu kwa upole. “Huwezi kula kile chakula, hata mimi kimenishinda, hembu ngoja nikutengee kingine, mbona kiko kingi tu watamwaga hawa!” Niliongea huku nikimtafutia sahani ili kumpakulia chakula lakini alikataa katakata, aliniambia nitapigwa sana kama nikila chakula kingine. Alinionea huruma mimi pia nakuniambia hata Dada mwingine alifukuzwa kazi kwakua alikua ananipakulia chakula cha wengine. Alionyesha kuogopa mpaka na mimi nikaogopa kwa namna alivyokua anaogopa. “Huyu ni mwanamke wa namna gani mbona yuko hivi!” Niliwaza nikimuangalia Jackline, alikua kachoka lakini alijitahidi kuonyesha yuko sawa, mara kwa mara alikua akitabasamu huku akijilazimisha kucheka. Aliniongelesha ongelesha kutaka urafiki, kweli nilimuonea huruma machozi yalinilengalenga. Kwangu ule ulikua ni mtihani mpya ambao sikujua nitaumalizaje. *** Siku mbili baadaye Baba mwenye nyumba alikuja, huyu yeye niliambiwa nimuite Baba na nilifanya hivyo bila kuuliza maswali. Alikua ni kijana tu wa makamo au sijui niseme mtu mzima mwenye muonekano wa kijana. Alikua mchangamfu na alipokuja kila mtu alikua na furaha, si Jackline au watoto wake wengine nyumba ilikua kama imemwagiwa gunia la furaha. Hakukua na kupika mara mbilimbili, hata mimi niliambiwa nikae kwenye meza kubwa, hakukua na kutumwa tumwa kwani Baba akiwepo wakati wa kula ni kula na wote alituchukulia kama wanae. Ilikua ni kama unaishi katika nyumba nyingine tofauti kabisa, Dada alikua mchangamfu akiongea kwa kucheka mara kadhaa akimkumbatia Jackline. Hata mimi alinitambulisha kwa bashasha akinisifia kwa ufanyaji kazi wangu. Kweli nilishangaa “Mbona sielewe, huyu Mama yako wa kambo mbona kama anabadilika sana kama si yeye?” Nilimuuliza Jackline, alijiibaiba kukaa jikoni wakati wenzake wakiangalia TV, Baba yake akiwepo alikua haruhusiwi kufanya kazi yoyote. “Nimeshamzoea, anaigiza tu Baba akiwepo?” “Kwahiyo Baba yako hajui chochote?” “Hapana, nilishamuambiaga zamani lakini hakuniamini, niliishia kupigwa tu. Nilimuambia Mama kwanza aliposema kwa Baba akaambiwa nina wivu hivyo kukatazwa hata kuja kuniona, ilileta ugomvi mkubwa siku hizi kila nikilalamika naambiwa nimetumwa na Mama kuja kumfitinisha Mama Mdogo…” “Mama yako wewe yuko wapi? Kwanini huendi kuishi na Mama yako?” Yuko kijijini, waligombanaga na Baba zamani, hawakuoana, Baba alinichukua nikiwa mdogo na kunileta hapa, mimi sijui mambo hayo ila Mama yangu naongea naye tu kwenye simu mara moja moja lakini simkumbuki hata sura, hata sijui mimi mambo yao.” Aliongea kana kwamba ni mtu mzima, alionyesha kupitia mambo mengi na hakukua na mtu wa kumsikiliza. Nilipokuja kufuatilia nilikuja kugundua kuwa Mama yake na Baba yake hawakua wapenzi, ni watu tu walikutana na mimba ilipotokea basi Mama yake alivyokua akidai matumizi kipindi hicho ashaoa aliamua kumnyang’anya mtoto kwa nguvu. Kwao ni Iringa hivyo alimnyang’anya na kumchukua kipindi akiwa na miaka minne na tangu wakati huo alikua akiwasiliana naye kwa simu tu. Ana Mama yeka mkubwa, Dada wa Mama yake ambaye yuko Dar lakini naye haruhusiwi kumuona kwani ndiyo alimuambia kuhusu manyanyaso na kumuambia Mama yake ambaye alipoongea na Baba yake ukawa ugomvi mkubwa. Sikua na la kuongea zaidi ya kunyamaza tu kwa namna alivyokua akiongea ni kama alishakata tamaa ya maisha muda mrefu, sikujua ni kwa namna gani naweza kumsaidia kwani hata mimi nilikua na matatizo yangu. Usiku wakati wa kulala sikuolazwa stoo kama kawaida, hapana, niliambiwa natakiwa kulala katika chumba kimoja na Jack. Ulikua ni utaratibu wao, Baba akiwapo na mimi nakua mtoto na lala chumba kimoja na Jack. Usiku baada tu ya kuingia Jack alizima taa, nilishangaa kwani hata kitandani nilikua sijafika, nilimuuliza kwanini anazima, nikihisi labda ni Mama yake hapendi. Nilisogea na kuwasha, alishtuka, ni kitu amcho hakukitegemea. Alikua anavua nguo ili kuvaa nguo za kulalia, nilipowasha taa tu alianza kujificha kama vile anaona aibu. Nilishangaa kwani mimi ni mwanamke mwenzake, “Dada zima taa, zima taaaa!” Alipiga kelele, alionyesha kushtuka akijificha, lakini badala ya kuficha hata sehemu za siri alikua anaficha mgongo wake. Nilitaka kuzima lakini kabla ya kufanya hivyo macho yangu yalitua katika mgongo wake, ulikua kama ramani ya Tanzania, ulijaa makovu mengi ya fimbo, mengine mabichi kabisa kama vidonda. Sikuzima, sasa nilijua sababu ya yeye kuzima taa hakutaka nione makovu. Nilisogeza macho mpaka kwenye mapaja na sehemu za siri huko ndipo kuliharibika zaidi. Hapo ndiyo nilijua ni kwanini mara kwa mara huwa anakunja uso hata akiegemea sehemu au kugusa mapaja yake. Nilimsogelea na kumkalisha chini, alianza kulia kabla ya kusema chochote. “Kwanini humuambii Baba yako, kwanini humuonyeshi haya makovu? Akiona atakuamini!” Niliongea kwa hasira, sikua na muda pale lakini kwa upendo aliokua nao yule Baba sidhani kama angeweza kumuona mwanae katika hali ile na kunyamaza kimya. “Namuambia Baba yako, hii kazi ishanishinda, ngoje nifukuzwe lakini niondoke na huyu Sherani!” Niliongea huku nikinyuka kwenda kumgongea Baba yake, tayari walishaingia chumbani kulala. Jack alinifuata akilia kunibemebeleza ili nisiende akiogopa kuwa atamuua lakini sikujali, nilijua ni uoga ambao mimi kama mtu mzima nisingeweza kuuruhusu. Ushahidi alikua nao na hakukua na haja ya kuendelea kuteseka hata siku moja katika nyumba ya Baba yake. Alinisihi sana lakini sikumsikiliza, nilitoka mpaka sebuleni, alinifuata akiwa vilevile uchi kasahau kuvaa nguo, analia, nilielekea mpaka mlangoni kwa wazazi wake. Bado alikua analia, huku akiongea kwa kunong’ona. “Dada Raya, Dada Raya usimuambie, usiongee chochote, mimi niko sawa niliumia Shuleni, sio Mama aliyenipiga, ni ukorofi wangu tu!” Alipiga kelele kuniomba nisiseme. ITAENDELEA… (Hiki ni kisa cha kweli ingawa majina yaliyotumika hapa hayahusiani na wahusika. Hii ni sehemu tu ya simulizi kutoka kwa wadada wakazi “House girls” ambazo nitakua nikiwaletea. Je unadhani kama Raya atagonga mlango na kumshitaki Mama wa kambo, je Baba Jack akiambiwa atachukua hatua gani, kesho si mbali sana tukutane kwa sehemu ya pili hapahapa kwenye ukurasa huu…” ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: