Home → simulizi
→ RIWAYA: HIGH SCHOOL
SEHEMU YA TISA.
Chuki ya Candy ilizidi juu yangu pamoja na faraja niliyokuwa naipata kutoka kwa wanafunzi na kwa baadhi ya marafiki zangu, Martin akiwa mmoja wapo haikutosha kunifanya nisiogope, niliingiwa na woga sana kwa sababu alikuwa akinitisha mara kwa mara nilipokea meseji za vitisho kutoka kwake mara nyingi akiniambia kwamba atanifanyia kitu kibaya, nilianza kuogopa sana.
Martin aliweza kunitia moyo na mara nyingi alikuwa akinisisitizia kuwa makini, nilijaribu kujiweka busy na masomo na kumtoa Candy katika akili yangu, sikutaka kurudia makosa niliyoyafanya hapo kabla, nilitamani kufanya vizuri katika mitihani yangu ya mwisho hivyo sikupaswa kurudi nyuma tena.
Siku moja niliitwa ofisini kwa mwalimu Maloya niliogopa sana kwenda ingawa sikuwa na jinsi kila nilipokuwa nikipiga hatua moyo wangu ulikuwa mzito nafsi ilinishauri sana nisiende ingawa upande mwingine uliniambie niende laiti ningejua nisingeusikiliza upande huu.
Nilipiga hatua zangu za kinyonge hadi ofisini kwa Maloya nilipoingia hakunikaribisha kama ilivyokuwa siku zote, niliingia na kubaki nimesimama,
“shikamoo mwalimu” nilimsalimia hakunijibu
“nimeitikia wito” nilimwambia bila kujali jinsi ambavyo alikuwa amechukia, alisimama
“karibu binti mrembo, mrembo ambaye unajisikia unajiona mzuri kuliko wote hapa shuleni” aliongea kwa dharau,
Unamaanisha nini mwalimu
“Hivi we unafikiri ni mzuri sana kiasi cha kinikatalia mimi?, wasichana wenzio wazuri wazuri kabisa kama wakina Candy hawaringi kama unavyoringa wewe, wewe ni nani hasa?”
Nilishindwa kumwelewa.
Akili ilianza kuniambia kuwa tukio baya litatokea, miguu iliniwia mizito sana kuondoka , nilitamani kukimbia lakini nguvu zilinishia.
“Wewe ni mtoto mdogo sana huwezi kunishinda mimi alaaa!”
Alisema na kusogea pale nilipokuwa, nilisimama kujizatiti kwa ajili ya kile kilichokuwa mbele yangu. Alikuja hadi mbele yangu akasonya kisha akinipita alielekea mlangoni nilijua alikuwa akienda kuchukua fimbo kwa ajili ya kuniadhibu .
Adhabu nilishazizoea nilikuw tayari aniadhibu, maloya alifika mlangoni na kujifanya kama anachukua fimbo akafunga mlango na kisha akanigeukia
“Leo utaongea na mimi” akanisogelea,
“Unanikubali hunikubali? aliongea kwa ghadhabu,
“Hapana mwalimu siko tayari” Niliongea kwa sauti ya chini sana.
“Utanipa hunipi nilishituka”
“Hapana mwalimu siwezi kukupa”
“Siwezi kukupa unachotaka naomba niruhusu niondoke”
“Huendi popote leo Cathe ama zako ama zangu”
Alinishika kwa nguvu na kufanya kile ambacho alitarajia kufanya.
Nilihisi maumivu makali sana ndani ya moyo wangu.
Sikutegemea mtu ambaye nilikuwa nikumheshimu kama mwalimu na mlezi wangu katika mazingira kama haya angenitendea kitendo hicho.
Maloya alinibaka bila huruma nililia sana, alinizidi nguvu nilishindwa kujiokoa nilijaribu kupiga kelele aliniziba mdomo.
Baada ya kutekeleza unyama huo alivaa nguo zake
“Vaa uende bwana, unaringa nilijua unajitunza kumbe na wewe hamna kitu ondoka” aliniongea kwa dharau,
Moyoni mwangu niliumia sana,
“Unajifanya mlokole kumbe huna lolote wajanja washa kuchezea wewe toka bwana” aliongea.
Nilivaa nguo zangu kiunyonge sana na kupiga hatua za kinyonge kuelekea mlangoni
“Cathe” aliniita,
“Ole wako unyanyue mdomo kumwambia mtu yoyote nitakuua” alisema.
Niliondoka kinyonge kuelekea bwenini nilifunga mlango na kuanza kulia
Nililia sana “kwanini matukio haya yote yananitokea mimi tu ina maana hamna mtu mwingine wa kushea na mimi shida hizi kwa nini mimi peke yangu”
Nililia sana
“kwanini haya yote” nililia,
Nililia mpaka nilipopitiwa na usingizi nilikuja kushtuka ilikuwa jioni sana. Sikusikia hamu ya kula wala kutoka kwenda sehemu yoyote .
Nilibaki hapo kitandani hadi siku ya pili yake. Sikujisikia kuingia darasani, nilobaki tu nimelala sikuwa na hamu ya kula nilikula tu pale nilipohisi njaa, hali hiyo iliendelea kwa wiki nzima.
Martin alikuwa akinitafta kila kona huku walimu wakiulizia ni wapi nilipo.
Nikiwa bwenini niliwaza haya yote yatakwisha lini ndani ya nafsi yangu niligundua
Ni lazima niyachukulie kama sehemu ya maisha yangu. Lazima niwe na amani sasa.
Kujua kwamba nimezaliwa ili niteseke, nilizaliwa ili nipate uchungu, kamwe haikuniumiza katika maisha yangu.
Nilijitia moyo sana kwamba hayo yote ni maisha yangu ambayo nimeletwa nije niishi.
Hakika nilipata faraja kubwa sana na kwa wakati huo niliapa sitolia tena, kwa sababu hayo ni maisha yangu Mungu amenileta ili niyaishi.
Nilitoka bwenini na kisha kuelekea nyuma ya shule Martin aliniona na kunifuata, alikuja
Cathe kwanini huingii darasani wiki nzima , una nini? Una unaumwa? Kwanini uko hivyo Cathe kwanini lakini? Aliuliza maswali mfululizo ambayo nilishindwa kujibu.
“Aaah Martin uwe na amani niko sawa kabisa”
“Nakujua vizuri kama una tatizo ni bora uniambie ili nijue ni nini naweza kukusaidia.”
Sikutaka kumwambia sikutaka ajue, ningewezaje kwanza kumwambia.
Hapana hakuna kitu nilihisi machozi yanaanza kunitoka nilinyanyuka pole pole na kumwacha Martin peke yake pale. Niliondoka na kuelekea bwenini jioni ya siku hiyo niliamua kuingia darasani.
Nikiwa na furaha kwa kujua kwamba matatizo ni sehemu ya maisha yangu nilingia darasani kwa bashasha zote. Nilikutana na Martin tukasalimiana kwa uchangamfu tukaketi,
“Nilikumis sana Cathe, ingawa hutaki kuniambia tatizo lilikuwa ni nini” nilicheka,
“Martin sina tatizo lolote uwezi kuniamini mimi mpenzi wako” alitabasamu.
“Nakuamini mke wangu wangu mtarajiwa” alisema, nilicheka, tukacheka kwa pamoja kisha tukaendelea kusoma.
Siku hiyo ilipita kana kwamba hakuna kilichotokea, maisha yaliendelea.
Watu walihisi uhusiano wangu mimi na Maloya na hiyo ikawa habari mpya shuleni, kwakuwa Maloya alikuwa akihofu kitendo chake alikuwa akiniuliza mara kwa mara nimwambie kuhusu mahali nilipo na maendeleo yangu.
Candy alichukia sana hivyo nilipokea ujumbe wa vitisho nilipoamka kitandani kwangu
“We Malaya naona sasa unataka kuniingilia katika anga zisizofaa, nakuhakikishia ama zangu ama zako hii wiki haitopita lazima nikufanyie kitu cha kihistoria.”
Yalikuwa ni maneno mafupi na mazito, niliogopa sana “huyu anataka kunifanyia nini?” Niliishi kwa uwoga mno nilipoteza furaha tangu asubuhi ya siku hiyo, ilikuwa ni jumatatu, niliingia darasani kiunyonge, Martin aliweza kugundua kuwa sipo sawa,
“Cathe uniamini, umuamini mme wako mtarajiwa?” Aliniambia
“namuamini sana” niliongea ingawa sio kiuchangamfu.
“Kwanini hutaki kuniambia tatizo linalokusibu?”
Nilijitahidi kuonesha kwamba niko kawaida ingawa najuwa kuwa nilishindwa
“Martin niko kawaida” niliongea huku nikitazama pembeni,
“Hauko kawaida”
Niliamua kunyanyuka na kuondoka ili kumkwepa
“Unaenda wapi?”
“Aaah” nilishikwa na kigugumizi.
“Naenda toilet mara moja”
Aliachia tabasamu na kisha akaniambia nenda.
Niliondoka na kuelekea chooni, vyoo vilivyokuwa bwenini kwetu, niliingia kule nikabaki nimesimama sikuwa najua ni nini nifanye.
“Nimwabie nini Marti ili aelewe sitaki kukosana naye wala sitaki kumkosesha amani” niliwaza.
“Nilikwambia leo ni ama zangu ama zako” sauti ya candy ilipenya kwenye masikio yangu.
<<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA
RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA TISA. Chuki ya Candy ilizidi juu yangu pamoja na faraja niliyokuwa naipata kutoka kwa wanafunzi na kwa baadhi ya marafiki zangu, Martin akiwa mmoja wapo haikutosha kunifanya nisiogope, niliingiwa na woga sana kwa sababu alikuwa akinitisha mara kwa mara nilipokea meseji za vitisho kutoka kwake mara nyingi akiniambia kwamba atanifanyia kitu kibaya, nilianza kuogopa sana. Martin aliweza kunitia moyo na mara nyingi alikuwa akinisisitizia kuwa makini, nilijaribu kujiweka busy na masomo na kumtoa Candy katika akili yangu, sikutaka kurudia makosa niliyoyafanya hapo kabla, nilitamani kufanya vizuri katika mitihani yangu ya mwisho hivyo sikupaswa kurudi nyuma tena. Siku moja niliitwa ofisini kwa mwalimu Maloya niliogopa sana kwenda ingawa sikuwa na jinsi kila nilipokuwa nikipiga hatua moyo wangu ulikuwa mzito nafsi ilinishauri sana nisiende ingawa upande mwingine uliniambie niende laiti ningejua nisingeusikiliza upande huu. Nilipiga hatua zangu za kinyonge hadi ofisini kwa Maloya nilipoingia hakunikaribisha kama ilivyokuwa siku zote, niliingia na kubaki nimesimama, “shikamoo mwalimu” nilimsalimia hakunijibu “nimeitikia wito” nilimwambia bila kujali jinsi ambavyo alikuwa amechukia, alisimama “karibu binti mrembo, mrembo ambaye unajisikia unajiona mzuri kuliko wote hapa shuleni” aliongea kwa dharau, Unamaanisha nini mwalimu “Hivi we unafikiri ni mzuri sana kiasi cha kinikatalia mimi?, wasichana wenzio wazuri wazuri kabisa kama wakina Candy hawaringi kama unavyoringa wewe, wewe ni nani hasa?” Nilishindwa kumwelewa. Akili ilianza kuniambia kuwa tukio baya litatokea, miguu iliniwia mizito sana kuondoka , nilitamani kukimbia lakini nguvu zilinishia. “Wewe ni mtoto mdogo sana huwezi kunishinda mimi alaaa!” Alisema na kusogea pale nilipokuwa, nilisimama kujizatiti kwa ajili ya kile kilichokuwa mbele yangu. Alikuja hadi mbele yangu akasonya kisha akinipita alielekea mlangoni nilijua alikuwa akienda kuchukua fimbo kwa ajili ya kuniadhibu . Adhabu nilishazizoea nilikuw tayari aniadhibu, maloya alifika mlangoni na kujifanya kama anachukua fimbo akafunga mlango na kisha akanigeukia “Leo utaongea na mimi” akanisogelea, “Unanikubali hunikubali? aliongea kwa ghadhabu, “Hapana mwalimu siko tayari” Niliongea kwa sauti ya chini sana. “Utanipa hunipi nilishituka” “Hapana mwalimu siwezi kukupa” “Siwezi kukupa unachotaka naomba niruhusu niondoke” “Huendi popote leo Cathe ama zako ama zangu” Alinishika kwa nguvu na kufanya kile ambacho alitarajia kufanya. Nilihisi maumivu makali sana ndani ya moyo wangu. Sikutegemea mtu ambaye nilikuwa nikumheshimu kama mwalimu na mlezi wangu katika mazingira kama haya angenitendea kitendo hicho. Maloya alinibaka bila huruma nililia sana, alinizidi nguvu nilishindwa kujiokoa nilijaribu kupiga kelele aliniziba mdomo. Baada ya kutekeleza unyama huo alivaa nguo zake “Vaa uende bwana, unaringa nilijua unajitunza kumbe na wewe hamna kitu ondoka” aliniongea kwa dharau, Moyoni mwangu niliumia sana, “Unajifanya mlokole kumbe huna lolote wajanja washa kuchezea wewe toka bwana” aliongea. Nilivaa nguo zangu kiunyonge sana na kupiga hatua za kinyonge kuelekea mlangoni “Cathe” aliniita, “Ole wako unyanyue mdomo kumwambia mtu yoyote nitakuua” alisema. Niliondoka kinyonge kuelekea bwenini nilifunga mlango na kuanza kulia Nililia sana “kwanini matukio haya yote yananitokea mimi tu ina maana hamna mtu mwingine wa kushea na mimi shida hizi kwa nini mimi peke yangu” Nililia sana “kwanini haya yote” nililia, Nililia mpaka nilipopitiwa na usingizi nilikuja kushtuka ilikuwa jioni sana. Sikusikia hamu ya kula wala kutoka kwenda sehemu yoyote . Nilibaki hapo kitandani hadi siku ya pili yake. Sikujisikia kuingia darasani, nilobaki tu nimelala sikuwa na hamu ya kula nilikula tu pale nilipohisi njaa, hali hiyo iliendelea kwa wiki nzima. Martin alikuwa akinitafta kila kona huku walimu wakiulizia ni wapi nilipo. Nikiwa bwenini niliwaza haya yote yatakwisha lini ndani ya nafsi yangu niligundua Ni lazima niyachukulie kama sehemu ya maisha yangu. Lazima niwe na amani sasa. Kujua kwamba nimezaliwa ili niteseke, nilizaliwa ili nipate uchungu, kamwe haikuniumiza katika maisha yangu. Nilijitia moyo sana kwamba hayo yote ni maisha yangu ambayo nimeletwa nije niishi. Hakika nilipata faraja kubwa sana na kwa wakati huo niliapa sitolia tena, kwa sababu hayo ni maisha yangu Mungu amenileta ili niyaishi. Nilitoka bwenini na kisha kuelekea nyuma ya shule Martin aliniona na kunifuata, alikuja Cathe kwanini huingii darasani wiki nzima , una nini? Una unaumwa? Kwanini uko hivyo Cathe kwanini lakini? Aliuliza maswali mfululizo ambayo nilishindwa kujibu. “Aaah Martin uwe na amani niko sawa kabisa” “Nakujua vizuri kama una tatizo ni bora uniambie ili nijue ni nini naweza kukusaidia.” Sikutaka kumwambia sikutaka ajue, ningewezaje kwanza kumwambia. Hapana hakuna kitu nilihisi machozi yanaanza kunitoka nilinyanyuka pole pole na kumwacha Martin peke yake pale. Niliondoka na kuelekea bwenini jioni ya siku hiyo niliamua kuingia darasani. Nikiwa na furaha kwa kujua kwamba matatizo ni sehemu ya maisha yangu nilingia darasani kwa bashasha zote. Nilikutana na Martin tukasalimiana kwa uchangamfu tukaketi, “Nilikumis sana Cathe, ingawa hutaki kuniambia tatizo lilikuwa ni nini” nilicheka, “Martin sina tatizo lolote uwezi kuniamini mimi mpenzi wako” alitabasamu. “Nakuamini mke wangu wangu mtarajiwa” alisema, nilicheka, tukacheka kwa pamoja kisha tukaendelea kusoma. Siku hiyo ilipita kana kwamba hakuna kilichotokea, maisha yaliendelea. Watu walihisi uhusiano wangu mimi na Maloya na hiyo ikawa habari mpya shuleni, kwakuwa Maloya alikuwa akihofu kitendo chake alikuwa akiniuliza mara kwa mara nimwambie kuhusu mahali nilipo na maendeleo yangu. Candy alichukia sana hivyo nilipokea ujumbe wa vitisho nilipoamka kitandani kwangu “We Malaya naona sasa unataka kuniingilia katika anga zisizofaa, nakuhakikishia ama zangu ama zako hii wiki haitopita lazima nikufanyie kitu cha kihistoria.” Yalikuwa ni maneno mafupi na mazito, niliogopa sana “huyu anataka kunifanyia nini?” Niliishi kwa uwoga mno nilipoteza furaha tangu asubuhi ya siku hiyo, ilikuwa ni jumatatu, niliingia darasani kiunyonge, Martin aliweza kugundua kuwa sipo sawa, “Cathe uniamini, umuamini mme wako mtarajiwa?” Aliniambia “namuamini sana” niliongea ingawa sio kiuchangamfu. “Kwanini hutaki kuniambia tatizo linalokusibu?” Nilijitahidi kuonesha kwamba niko kawaida ingawa najuwa kuwa nilishindwa “Martin niko kawaida” niliongea huku nikitazama pembeni, “Hauko kawaida” Niliamua kunyanyuka na kuondoka ili kumkwepa “Unaenda wapi?” “Aaah” nilishikwa na kigugumizi. “Naenda toilet mara moja” Aliachia tabasamu na kisha akaniambia nenda. Niliondoka na kuelekea chooni, vyoo vilivyokuwa bwenini kwetu, niliingia kule nikabaki nimesimama sikuwa najua ni nini nifanye. “Nimwabie nini Marti ili aelewe sitaki kukosana naye wala sitaki kumkosesha amani” niliwaza. “Nilikwambia leo ni ama zangu ama zako” sauti ya candy ilipenya kwenye masikio yangu. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA
Artikel Terkait
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA NANE (08) ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA: Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. endelea........ Niram alishindwa kuamini alichokionaa, kwa muda ule kiukweli alitoa macho kama ndubwi, spidi ya moyo kwenda mbio vilizidi kuongezea. Hakuamini kuona mtu aliyekuwa anamuhitaji kwa muda huo ndo alikuwa anampigia.basi alichukua simu yake na kuipokea. "hellow vicent".ilikuwa ni sauti tamu yenye kusisimua mwili.hakika hata vicent alipata kigugumizi cha gafla na wakati yeye ndie aliepiga. "aaaghahg!! Niambie niram umeshindaje kipenzi? ".aliongea vicent kwa sauti ya upole na ya kiume,kiasi niram alijisikia raha sana kuisikiliza. "nipo poa kulikuwa na wageni leo basi kulikuwa na kazi kweli".aliongea niram kwa sauti yake ile nzuri na ya upole, kama ya Madeko hivi. "oooh pole mamy si ungeniita nije nikusaidie".aliongea vicent, kwa utani huku akisubiri jibu. "ahhhhah! Uongo tu ungekuwa kweli wewe".alijichekesha ki kikekike niram huku anabadili mikao ya kukaa pale alipokuwa. "yaap ningekuja kwanini nisije kwa rafiki yangu kumsaidia jamani?".alijiongelesha kama anauliza hivi huku ikiwa sauti fulani inayoonyesha hali ya kujali. Niram alifurahi sanaa kusikia vile. "mmh! Basi nashukuru kwakunijali kipenzi".aliongea niram kwa madeko. "usiliongelee hilo ni wajibu wangu kama rafiki".aliongea vicent. "basi wifi anapata raha sana".aliongea niram huku akitia kijineno cha mtego. "sina mama yangu, bado sijabahatika".aliongea vicent kwa utulivu wa hali ya juu, kwa hakika ungesema kweli mwanaume ndiyo huyu. Alijua sana kuongea na mwanamke na akaelewa. "ooh usijali Mungu atakupa my"aliongea niram. "sawa nashukuru sana na mimi ntajiona ni mwenye bahati".alijibu vicent,basi waliongea mengi sana mpaka walipoagana, kwa maana kesho ilikuwa ni siku ya shule. **** Ilikuwa ni siku ya pili, watu walikuwa na pilikapilika zao kama kawaida. Huku kila mmoja akiwa katika harakati za utafutaji. Magari yakikuwa yanapishana kila wakati. Basi muda huo shuleni niram, alikuwa ni mtu wa tabasamu muda wote,alikuwa kachangamka sana hata marafiki zake wakimshangaa, ila aliyejua tofauti ya niram ni hajra peke yake. Alimtazama kwa muda kisha akamuuliza "vipi dada mbona huko happy hivyo?".aliuliza kwa sauti ya chini hajra, huku wengine wakiwa bize kufanya yao. "mmh kwani nikoje jamani!?".akiuliza niram,huku akiachia tabasamu pana sana usoni mwake. "we mwenyewe ujioni kama upo tofauti leo?".aliongea hajra huku akapachika na swali. "hamna bwana mama jana alinifurahisha sana ".aliongea niram, huku akionyesha kuwa hakuwa akiongopa. "oooh!! Sawa".alijibu hajra, huku anageuka kujumuika na wengine. Niram yeye muda wote alikuwa ni kutabasamu alijishangaa hata kwanini, anajiona ni mwenye amani sana. Basi akachukua kitabu na kuanza kujisomea kwa umakini wa hali ya juu. **** Na huku shuleni kwa akina vicent mambo yalikuwa hatari. Maana suma alikuwa ana mchecheto wa hali ya juu halikuwa kwenye stori za kufa mtu. "basi jana niwaambie si somoe akanipigia bwana unajua nilichokifanya nikamchunia mi nilikuwa na miadi na hadija ye ananiletea kiwingu".akanyamaza kidogo kisha akaendelea. "basi jana nikakutana na hadija weeeeeh!!mtoto fundi mtoto anakata uno kama feniii we acha, yule mtoto balaaa".aliongea suma huku richard na vicent wakiwa wanamuangalia.ila rachard mbavu alikuwa hana kwa kicheko, huku vicent akiwa kutabasamu tu. "umemaliza? ".aliuliza vicent. "daah!huyu kashaanza ulokole wake".aliongea suma. "siyo ulokole uwo ni ushamba, we mwenyewe unaona sifa alafu ukigongewa dada yako unawaka kama pilipili ".aliongea vicent akionyeshwa kuchukizwa na rafiki yake huyo. "yani kwakuwa wewe upendo kwahiyo sisi tusiongee? "alihoji suma, huku kama alishaanza kupaniki hivi maana sura ilichenji. "yani hakuna kusema chochote hapo tabia zako azituvutiii unawazalilisha dada zetu tusikuambie".aliongeara Richard huku amemkazia macho bila chembe ya uoga. "mwambie huyoo huo ni ujinga broo".aliongea tena vicent huku anamtazama. "eeh basi yaishe ,tuongee mengine vipi yule mtoto wa Kihindi nipe stori basi".aliongea tena suma. "aisee suma ukoje mbona hupendeza kuwa mmbea".aliongea richard. "aaah! Kausha mi si nishabadili mada, nauliza mambo mengine".alijitetea suma huku akikaa vizuri kuambiwa yaliyojiri. "hivi unajua kwanini jana nilikukatia simu? Coz lisilokuhusu usilikingie kifua, kila mtu apambane na hali yake mambo ya mahusiano yangu hayakusu"aliongea vicent huku akinyanyuka,na kuanza kutoka nje, richard akamfuata, maana vicent alionyesha kuchukia. Suma akabaki katulia kanywea vibayaaaa, kama kamwagiwa maji.*** Mama vicent alikuwa sebuleni, alikuwa amekaa na mama wa makamo kama yeye kwakweli walionekana ,kama wapo kwenye maongezi mazito, maana vilisikika vicheko vya hali ya juu. Ila gafla wakaacha kucheka macho yote yakageuka kutazama........ Itaendelea. ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA SABA (7) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita nikaingia zangu ndani ile nafika sebureni sikukuta mtu nika nyoosha mpaka mezani nika kuta chakula changu nikala nilivyo maliza nika ingia zangu chumbani.niliwasha taa ya chumbani nilishangaa kuona......... Endelea nayo ........ mtu akiwa amelala kitandani kwangu tena kajifunika mwili mzima.nikasogea mpaka pale kitandani.nikafunua lile blanketi nilistaajabu kumuona dada binamu akiwa mtupu tana hana hata nguo nika mwamsha lakini akajifanya amelala nikaona nisimsumbue acha nikalale sebureni. wakati nataka kutoka nje nilishangaa naitwa na binamu "we Kenny unaenda wapi njoo unikune bwanaaah mwenzako nawashwa" nilimjibu siwezi kufanya hivyo tambua wewe ni ndugu yangu nilishangaa sana kuona kauli aliyo nijibu binamu ni nyama ya hamu we njo hata usiogope ujue nilikua nakupenda sana toka kipindikile mdogo nilikua naogopa kukuambia. na toka nimetolewa bikra yangu sijawai kukutana na mwanaume mwingine hivyo hapa nilipo nina ugwadu hatari. nilitamani sna kumuuliza nani aliye kutoa bikra ila nili sita nika kausha.basi kidume nika mwambia kwa leo nimechoka sana labda kesho ndo tutafanya nikaenda kitandani nikajifunika shuka nikalala.usiku wakati tumelala nilishanga kujikuta tume kumbatiana na binamu na hapo ndipo tulipoingia kwenye mahaba mazito. yani hakukuwa na muda wa kupoteza kwa kweli, mapenzi hakuna muda wa kufanya, popote kambi mnapojisikia, inabidi dozi itembee,yani binamu alinikumbatia kwa nguvu huku midomo yetu ikibadilishana juice, tayari Suruali ilishavuliwa muda mrefu na kumwacha Askari Kipara aliyesimama kama Mnara Dole lilizama kwenye kitumbua laini cha errycah na kukichezea kama napiga kinanda. Tena kwa vidole vitatu, basi errycah kwake ilikuwa kama kitu kigeni kuchezewa kiarage chake kwa vidole vitatu. “aaaaaaaaaaaaaaaaah,,, ,aaaaaaaaaaasssssssssssss,,,,m mmmmmmmmmh,,,,oooooh,,j,,,,aaa aaaaaaaaah,," Alilalamika huku akijilamba midomo yake kama ilipakwa asali,nilitumia mda mwingi kumnyonya Chuchu zake zilizosimama, basi mtoto wa watu alilegea kabisa, hapo sikuremba,wapi Askari Kipara ngoto a.k.a Dudu Mshedede,kwa mkono wake alilishika dudu na kuliingiza kwenye kitumbua chake. “aaaaaaa aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaas sssssssssssssssssss,,,,,mmmmh, ,,ooooooooouushiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaa aaaaaaaah,,," Alizidi kulalamika pale dudu lilipokuwa likiingia kwenye kitumbua chake kilichobana, taratibu mpaka likazama lote,ilikuwa ni utamu tupu Ujue wanawake wengi hupenda pale mwanaume unapoingiza dudu kwenye kitumbua chake,aanze kwa kasi ndogo sana kama hataki,yani aisikilizie mashine kama hatua za mtoto katika ukuaji. Aanze na kutambaa,kusima ma kutembea kisha kukimbia. Ndivyo ambavyo nilifanya, nilikua nampa maneno matamu huku nikimsugua taratibu, alikizungusha kiuno chake juu chini,kulia kushoto ili mradi afanikishe zoezi la kukikuna kiarage chake “aaaaaaa aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaaaa aaaaaaah,,,,oooooooooooh,,,,,m mmmh,," Alilalamika hivyo kimahaba huku akiwa hana hali,hata naye alijaribu kujibu mapigo. Akaanza kuongeza kasi kama anaingiza gia za scania ,hapo ndipo utamu ulipoongezeka kwa bibiye aliyehisi anataka kupaa. nilendelea kumsugua kwa kasi mpaka akaanza tuongea kama mtoto mdogo aliye pewa uji wa moto “aaaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiyuuuuuuuuuuuushuu uuuuuuuuuuuuu,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaas sssssssssssssss,,,,oooooooooooooh, aaaaaaaah," Alilalamika hivyo binamu, Dudu lilivyokuwa likimsugua vyema,alihisi utamu mpaka ndani kabisa kule utamu ulikojificha,dudu lilichokonoa kila aina utamu mpaka bibiye alimwaga bao lake,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,mmmm mmmmmmmmmh,," Alimalizia kulalamika hivyo baada ya kumwaga bao lake, akanipa sapoti Mwanaume mpaka nami nika ana kuweweseka huku maneno yakinitoka ooooohhhhh....,,,,, na.......ko,,,,,,,joooo sikumalizia maneno nikajikuta na mwagia ndani ya kitumbua cha binamu.kutokana na utamu ulio kolea. ila nilijipa matumaini mimba haiwezi kutokea mana nilianza mechi kwa sethi.tuliingia bafuni tukaoga kisha akaludi chumbani kwake nilijitupa kitandani nikapitiwa na usingizi mpaka pale nilipo kuja kuamshwa na na nasma. kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa "nitangulie wapi na Mimi nataka uni............... usikose ya 8 share kwa wingi nitume sehemu ya nane CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA NANE (8) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyopita........ kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa........... endelea sasa....... "nitangulie wapi naomba unikune kama ulivyo mkuna binamu yako Jana mpaka kashindwa kuamka mpaka mda huu" alinichukiza sana nikamjibu kwa hasira "sikia siwezi we dem sijaja kufanya mapenzi kwenye hii nyumba kwanza hapa nilipo Nina matatizo kibao mpaka saizi sijui wazazi wangu na mdogo wangu wamezikwa wapi alafu unaniletea ujinga wako sepa ukoo......." "eeeeh unasemaje kumbe unijui eeeeh kwa taalifa yako mjomba ako akifika tu nampa ubuyu wote tena exclusive yani kama unasikiaga shilawadu shilawadu hapa ndo kwake. sasa chagua moja utakuna au aunikuni"aliongea huku akijitikisa tikisa wowowo lake. nilishindwa nifanye nini kwa mkwala mzito alio nichimba ukiangalia nasma alivyo umbika nikaona acha nimtulize mjomba wangu alie vimba kwa hasira mvuta karibu yangu lakini ile nataka nianze kunyonya chuchu zake tulisikia kishindo mlangoni nilikimbilia bafuni moja kwa moja nasma akatoka nje kuangalia kwa mbali nilisikia maongezi yao,,,,,,,,,,!!!!! "we unatafuta nini huku" binamu alimuuliza nasma "nimekuja kumuamsha kaka Kenny" "yani kuja kumuamsha Kenny ndo umvalie kanga moja alafu nilisha anza kukushtukia toka mwanzo" "kha jamani Dada kwani unataka upa........" hakumalizia sentesi yake ali pigwa Kofi na errycah """paaaaaaaaaaah,,,,,,,,,!!!!""""" "shenzi tena nikusikie ukitamka huo ujinga wako utahama hapa ooohoo naona umenisahau malaya mkubwa we potea hapaaa" nasma aliondoka zake na binamu akaingia ndani nasha ngaa baada ya kunisubiri pale nje alikuja moja kwa moja hadi bafuni.niliinamisha kichwa changu chini kwa aibu kwa kitendo tulichofanya fanya jana.ilikua tofauti kwa errycah yeye aliona ni kitu cha kawaida tena ndo kwanza akataka tuendeleze gem. nilisikia mlinzi akiiniita kwa nje nikawai haraka kutoka kwenda kumsikiliza nilipofika aliniambia yule dereva wako yupo nje anakusubiri nilifurahi sana kusikia vile mana huyu dereva ana siri nyingi sana nikawai haraka nilipo mkuta nika mkalibisha ndani lakini cha ajabu alikataa kata kata kuingia ndani na alisema "kwa madhambi na machafu yanayo fanyika kwenye hiii nyumba siwezi nikatia mguu wangu hata Siku moja " machafu gani hayo yaliyo fanyika kwenye hii nyumba mpaka una zungumza ivyo....... janja nikianza kukupa story nitatengeneza sumu kubwa sana kati yako na huyo mjomba wako sasa sikia nimekuja kukuaga naenda mwanza nikirudi tukutane nikupe story nzima ila naomba iwe siri yako wewe na Mimi tena hata mjomba wako akikuuliza nani aliye kupeleka pale horena hotel naomba usinitaje mana nilisha wai kufanyanae kazi mwisho wa siku aliniwekea.......... tulikatishwa maongezi yetu na binamu aliye kuja "mbona humkalibishi mgeni ndani" hamna amekuja kunisalimia tu kasema anaharaka sana na anaotaondoka sasa ivi.kitu kilicho nishangaza zaidi ni kumuona dereva akigeuza sura yake na kuificha ili errycah asimuone aliingi ndani ya gari haraka na kuondoka kwa speed kubwa.kitu kilicho nifanya nibaki na mawali mengi nikiwa bado najiuliza nilitupiwa swali na binamu """huyu rafiki yako anaitwa nani""" nilibaki kimya mana hata jina lake simfahamu na sijawai kumuuliza.nika baki namtumbulia macho tu. "ila mbona kama kafanana na marehemu kaka john tulikua tunaishi nae hapa nyumbani alifariki kwa ajari ya gari." mmmmh..... binamu utakua ume mfananisha bwana ila nilianza kupata picha kichwani kwangu kwa nini kila mtu nina yesikia amefariki kafariki kwa ajali ya gari.nikabaki na maswali kichwani nikasema kuna namna tu hapa haiwezekani........ "tuingie ndani basi" ilikua ni sauti ya binamu ikiniambia wakati tunaingia ndani nilishangaa kumuona mlinzi akitikisa kichwa nilishindwa kumuelewa ila alionekana kuna kitu anataka kuzungumza.acha nikanywe chai niludi kwa huyu mzee nipige nae stori mbili tatu. nikafika sebureni nikaa kwenye kochi nikisubiri nitengewe chai kutupa macho kwenye korido nili mwona husna akiwa anapiga deki huku akiwa amevalia kanga hisia zilinipeleka mbali sana na kujikuta naanza kumtamani kusema ukweli husna ni mschana mzuri sana sema tu hajapata matunzo sura yake utasema yule msanii aliye imba "nagusagusa" nandy yani Siku ya kwanza kumuona nikasema naishi nyumba moja na superstar nilizama kwenye dimbwi la mawazo huku macho yangu yakitazama wowowo la husna jinsi lilivyo kua linatikisika nikajikuta napata ujasiri wa kusimama na kuanza kumfata. nilimsogele mpaka pale nika mshika kalio lake mtoto ali shtuka na kunitazama. nili tabasamu na kumbembeleza ili atulie na akaanza kuni lembulia .sikulemba mtoto wa kiume nika msogele karibu nika mkumbatia na kuanza kumpa maneno matamu "nandy oooh,,,,,,,,,,!!! eti nandy husna nakupenda sana please naomba unikubali mana toka nilivyo kuona moyo wangu ulitokea kukukubali sana ndio mana nimeshindwa kujizua" niliongea maneno machache ya kisomi sio unaongea maneno mengi mpaka una mchosha mwenzako.kama kuna jamaa yangu mmoja utamsikia swagger zake "mi mtoto baba yangu gavana wa bank kuu BOT hela zote yeye ndo anatia saini yake" Ukiangalia anapokaa tuachane na hayo tuendelee na stori yetu.... basi mtoto alikaa kimya sikumwelewa kama amekubali au laa nikaamua kumvutia chumba kimoja kilichokua karibu yetu nilipo tazama mlangoni nilishangaa kuona namba #966 juu ya mlango siku wekea maanani sana.nikataka kufungua ili nimuingize husna tufanye yetu......... _Kesho tutaendelea na sehem ya 9_ *usiku mwem* ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Tano (5) By GIVAN IVAN PHONE & WHATSAPP_____0769673145 Ilipoishia........... Na wakati huo huo taratibu Frank alianza kurudiwa na fahamu Zake. Milango ya gari Ile aliyowekwa Frank ilifungwa, na Kisha gari likaanza kuondoka kwenda kumtupa Frank sehemu ambayo kamwe hatoweza kuonana tena na Penina. ********Endelea ******* Zaza pamoja na wenzake walipongezana kwa kazi waliyoifanya na kuamini tayari wameshampoteza Frank. Zaza alitoa simu yake na kumpigia mzee Joel na kumpa taarifa Ile. Mzee Joel alifurahi Sana na akaamini sasa tayari anakaribia kutimiza lengo Lake kumtenganisha Penina na Frank. "hahahaaaa ninachokitaka mimi lazima nikitimize mtoto ni wangu lazima aolewe na mtu ninayemtaka mimi." alisikika mzee Joel akijitambaa mwenyewe. * Masaa manne yamepita Sasa bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Baba yake Frank, mama yake Frank pamoja na Angel wakiwa na Penina walishindwa kuelewa Frank amepatwa na nini ghafla hivyo. Penina ndio alihuzunika Sana hakujua afanye nini kwa wakati ule. "mama ngoja mimi nirudi nyumbani tu maana nahisi kuchanganyikiwa." aliongea Penina kumuambia mama yake Frank. Kisha akaingia kwenye gari yake na kuondoka huku akiwa hana furaha kabisa. Wazazi wake Frank walihisi kuchanganyikiwa kwa mtoto wao kupotea ghafla, lakini walijipa moyo na kuamua kusuburi labda pengine atarejea baada ya Muda. Penina alifika nyumbani na kuanza kupiga honi kwa fujo afunguliwe geti. Hii ilikuwa sio kawaida ya Penina kufanya hivyo, ikabidi Wazazi wake pamoja na Nolan pamoja na Irene watoke nje ili kujua kwa nini Penina amefanya vile. Geti lilifungjliwa Penina akaingiza gari ndani kwa kasi na kulipaki sehemu yake, Kisha akashuka huku akiwa amenuna na kuingia ndani bila kumsemesha mtu yoyote. "kulikoni tena huyu mbona haeleweki?" akauliza mama yake Penina kwa mshangao. "Nenda kamuulize unatuuliza sisi kwani tulikuwa naye." mzee Joel akamjibu mama Penina. Mama yake Penina aliondoka na kumfuata Penina chumbani kwake. Nolan naye akaungana na mama yake kwenda chumbani kwa Penina ili kujua tatizo ni nini. Mzee Joel alibaki akiwa anatabasamu tu kwasababu yeye alijua kila kitu kuhusu Penina. "Penina ni nini tena mwanangu?" akahoji mama yake Penina baada ya kufika chumbani kwa Penina na kumkuta akiwa analia. "Frank mama." akasema Penina huku akizidi kulia, na wakati huo huo Nolan naye aliwasili chumbani kwa Penina. "Frank kafanya nini tena mwanangu hebu nyamaza unieleze vizuri." akaongea mama yake huku akimbebeleza. Penina alimwelezea mama yake pamoja na Nolan mkasa mzima wa jinsi Frank alivyotoweka kimaajabu. Mama yake Penina pamoja na Nolan kaka yake Penina, walipigwa na butwaa kwa maelezo ya Penina. Lakini hata hivyo Nolan akamwambia Penina, "usijali mdogo wangu kwa Sasa wewe tulia mimi nitalifuatilia hili swala hapa nahisi kuna kitu." "kaka mimi naumia Sana sikutegemea kitu hichi tena ghafla hivi." akaongea Penina huku akizidi kulia. "najua unaumia ila nipe Muda nilifuatilie hili swala, naomba uwe mvumilivu." akaongea Nolan kumtuliza Penina. "nyamaza mwanangu usilie tena, mwachie kaka yako hii kazi atakusaidia." akaongea mama yake pia kumtuliza Penina. * Frank taratibu alianza kurudiwa na fahamu akiwa Katika gari Ile aliyowekwa, Frank alianza kujikagua na kugundua kuwa amefungwa miguu mikono pamoja na usoni, hivyo hakuweza kuona chochote zaidi alihisi yupo kwenye gari ambalo lipo kwenye mwendo wa kasi sana. Frank alipiga kelele lakini alitulizwa kwa kupigwa na kitu kizito cha uso na kuzimia tena. Baada ya safari ya masaa ishirini na nne, hatimaye Frank alifikishwa Katika misitu fulani inayopatikana huko tabora. Mida ya usiku usiku Frank alitolewa kwenye gari na kutupwa pembeni ya misitu Ile Kisha wao wakaingia kwenye gari na kuondoka kwa kasi sehemu ile na moja kwa moja wakaanza safari ya kurudi dar es salam na kumuacha Frank akiwa Katika hali mbaya Katika misitu Ile. Baada ya masaa kadhaa mbele Frank alizinduka na kujihisi yupo sehemu ambayo hakuweza kuilamba. Frank alipojaribu kunyanyuka aligundua kuwa amefungwa miguu, mikono pamoja na usoni hivyo hakuweza kufanya lolote. Frank aliamua kupiga kelele ili aweze kupata msaada lakini hakuweza kufanikiwa kupata msaada. Baada ya kupiga kelele kwa Muda mrefu bila kupata msaada, Frank aliamua kutulia na kusubiri chochote kitakachotokea huku akimuomba Mungu amsaidie.* Wazazi wake Frank walihangaika usiku na mchana bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Ilifika sehemu Sasa wakaamua kumuachia Mungu kwasababu wao wameshachoka kumtafuta bila mafanikio yoyote. * Kaka yake Penina aitwaye Nolan yeye hakuamini kama Frank amepotea bali aliamini kuna mchezo unafanyika, Nolan alianza kuchunguza juu ya upoteaji wa Frank. Kwanza Nolan alianza kumchunguza baba yake ambaye Muda wote alikuwa pamoja na Irene mdogo wake Penina. "Baba wewe unalichukuliaje hili swala la kupotea kwa Frank mpenzi wake Penina?" akauliza Nolan. "hahahaaaa! wewe nani amekwambia Frank amepotea? Frank hajapotea kashapata mwanamke mwingine akatoroka naye wewe unasema amepotea, acha kujisumbua mwanangu." akaongea mzee Joel baba yake Penina kumuambia Nolan. "Kaka sikia nikuambie, mimi Nina uhakika Frank yupo na mwanamke mwingine nyie mnahangaika tu tena mwambie Penina aache kuhangaika na mwanaume ambaye hajatulia." akaongea Irene mdogo wake Penina kuunga mkono maneno ya baba yake. "Irene mdogo wangu huko unakoelekea unapotea, wewe una uhakika gani na maneno unayoongea?" akauliza Nolan kwa upole. "ana uhakika na anachokiongea wewe unafikiri yupo kwenye ndoto?" akadakia baba yake Penina kumtetea Irene. "Mbona mnateteana kama kuna kitu ndani yenu mbona siwaelewi?" akaongea Nolan kwa mshangao. "huwezi kutuelewa kwasababu upo nyuma Sana kama mkia wa ngombe." akaongea mzee Joel maneno hayo ambayo kidogo yalimfanya Nolan apandwe na hasira, lakini akajitahidi kuzishusha. "ok nashukuru kwa maneno yenu lakini nawaahidi lazima ukweli utajulikana." akaongea Nolan Kisha akanyanyuka na kuondoka. Penina Sasa alikuwa mtu wa kushinda ndani tu huku akiwa hana furaha kabisa kutokana na kutoweka kwa mpenzi wake Frank. Mzee Joel naye Sasa kumbe alikuwa tayari ameshamtafutia Penina mwanaume mwingine wa kutoka Norway na ndio alitaka amuoe mtoto wake Penina. * Hatimaye kulipambazuka Katika misitu ile aliyotupwa Frank. Frank alizidi kuhangaika bila kupata msaada wowote. Njaa pamoja na kiu vilimtesa Sana Frank pale msituni, alipiga kelele mpaka sauti ikaisha bila kupata msaada wowote. "Eeh Mungu Kwanini unaniacha niteseke hivi? Kama huu ndio mwisho wa maisha yangu bas naomba unichukue haraka usiniache nife Katika mateso makali kiasi hiki." akajisemea Frank kwa sauti ya chini akimuomba Mungu wake. Lakini hata hivyo baada ya masaa mawili mbele, aliweza kupita mzee mmoja aliyekuwa akichunga ngombe, karibu na sehemu Ile aliyotupwa Frank na pia akaweza kumuona Frank akiwa amelala pale chini akiwa hajiwezi kwa lolote. ....... Itaendelea Tukutane JUMATATU ... Read More
Story......... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Nne (4) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp... 0769673145 ilipoishia....... Kwa upande wa kina zaza usiku ule ule walianza kupanga mikakati ya kumteka Frank na kwenda kumtupa mbali kabisa na jiji la dar es salam. Lakini hii ilikuwa kazi ngumu Sana ambayo walihitaji pesa za kutosha na pia wachore ramani ya sehemu watakayoenda kumtupa Frank. .......... Endelea........... Zaza pamoja na wenzake waliumiza kichwa, na hatimaye mmoja wao akapata wazo ambalo moja kwa moja aliliweka hadharani kwa wenzake ili waweze kulifikiria kama ni wazo zuri. " mimi nina watu wangu nawafahamu, ni watu wazuri sana Katika kazi hizi hata kuua kwao ni kitu kidogo tu, hivyo naona tuwape hili dili warusaidie. " aliongea kijana huyo akiwasilisha Wazo Lake. " Wazo zuri Sana mi naungana na wewe moja kwa moja Sasa inabidi utueleze tunawapataje hao watu. " akaongea zaza kumuuga mkono kijana yule. " ninafahamu makao yao kama vip tuongozane mpaka kwao." akaongea kijana yule, na moja kwa moja zaza pamoja na wenzake wakanyanyuka na kuingia kwenye gari Lao na kuanza safari ya kuelekea kwa watu hao. Hapakuwa mbali Sana na sehemu waliyokuwepo, hivyo baada ya dakika chache waliwasili sehemu hiyo. Wakashuka kwenye gari na kubisha hodi kwenye nyumba kubwa iliyokuwa mbele yao. Hakuna mtu aliyewaitikia ndani ya dakika tano wakiwa bado wapo pale mlangoni, lakini ghafla walishtukia wamezungukwa kila sehemu na watu wasiopungua kumi huku wakiwa na bunduki kila mmoja. "mko chini ya ulinzi mikono juu na mjitambulishe nyie ni nani." ikasikika sauti ikiwaamuru wakina zaza. "zaza pamoja na wenzake walitiii na kuweka mikono juu, Kisha zaza akajitambulisha kwa niaba ya wenzake. Zaza pamoja na wenzake walieleweka vizuri Kisha wale watu wakashusha silaha zao chini na kuwakaribisha wakina zaza Katika jumba Lao. " Elezeni shida yenu hatuna muda wa kuangaliana hapa." ikasikika sauti ikiwaambia wakina zaza. Zaza bila kusita alianza kuelezea mipango ya kumteka Frank na kuwataka wao wakawasaidie tu kumtupa mbali na jiji la dar es salam. "hiyo ni kazi ndogo Sana lakini inahitaji pesa kiasi cha shilingi million kumi." ikasikika tena Ile sauti ikiwaambia wakina zaza. "pesa si tatizo pesa Zipo za kutosha." akajibu zaza. "bas vizuri Sana tutawaelekeza namna ya kutupatia hizo pesa alafu mtatuletea huyo kijana mtuachie tumfanyie kazi." ikasema sauti ile. "hamna shida." akajibu zaza. Na muda huo wakapewa maelekezo namna ya kuwaingizia pesa zao, na bila kupoteza muda. Zaza pamoja na wenzake waliondoka usiku ule ule na kuwasiliana mzee Joel na kuwajulisha kias cha pesa wanachohitaji kulitimiza zoezi la kumteka Frank. Mzee Joel wala hakujali kama pesa ile ni nyingi kias gani, yeye alichotaka ni kuwatenganisha Frank na mtoto wake Penina . Usiku ule ule mzee Joel aliweza kuwakabidhi wakina zaza pesa zile na kuwataka wakina zaza wampoteze kabisa Frank lakini wasijaribu kumuua. Zaza pamoja na wenzake nao walizifikisha pesa zile kwa kikosi kile ambacho waliwapa kazi ile ya kumpoteza Frank. Baada ya kuwakabidhi pesa zile, walikubaliana kuwa siku inayofuata wataifanya kazi hiyo kama ipasavyo.* Asubuhi na mapema siku iliyofuata Frank akiwa bado yupo kitandani alishtushwa na mlio wa simu yake ikiita. Frank aliichukua simu yake na alipoangalia mpigaji akakuta ni kipenzi chake Penina. Bila kusita Frank akaipokea simu ile. "my love umeamkaje?" ilisikika sauti nyororo ya Penina ikimuuliza Frank. "nimeamka salama mpenzi wangu sijui wewe?" akajibu Frank na kumuuliza Penina pia. "mimi pia nimeamka salama kabisa mpenzi, na nimekupigia simu asubuhi na mapema kwasababu nataka leo tukanywe Chai wawili." akajibu Penina na kumuambia Frank. "ooh usijali my dear nipo kwa ajili yako kwa lolote lile." akajibu Frank. "ok nakupitia sasa hivi." Penina akamwambia Frank na kukataa simu. Frank muda huo huo alitoka kitandani na kuanza kujiandaa haraka haraka. * Lakini wakati huo huo zaza akiwa na kikos chake walikuwa tayari wameshawasili nyumbani kwa kina Frank kwa ajili ya kutekeleza kazi waliyoagizwa. Frank akiwa tayari ameshajiandaa aliwaaga wazazi wake na kutoka nje ya kwa ajili ya kumsubiri mpenzi wake Penina. Baada ya Frank kutoka nje Bila kutarajia alijikuta anapigwa chuma ya kichwa na kudondoka chini na kuzimia. Na waliofanya kitendo kile hawakuwa wengine bali ni zaza pamoja na wenzake. Haraka haraka Frank alibebwa na kuwekwa kwenye gari yao Kisha gari likaondolewa sehemu ile kwa kasi ya ajabu. Na wakati huo huo Penina ndio alikuwa anawasili na akapishana na gari la kina zaza likiwa Katika mwendo mkali, lakini yeye Penina hakufahamu chochote kinachoendelea. Penina alipaki gari mbele ya nyumba ya kina Frank Kisha akashuka kwa mwendo wa madaha huku tabasumu tamu likiupamba uso wake na kuanza kuelekea ndani kwa kina Frank. "hodi hodi jamani mpaka ndani." ilisikika sauti ya Penina ikibisha hodi lakini muda huo akiwa tayari ameshaingia ndani. "baba na mama shikamooni." akasalimia Penina. "marahaba karibu uketi ." wakaitikia kwa pamoja wazazi wake Frank. "hata sikai jamani nimekuja kumchukua mtoto wenu." akajibu Penina. "yupo nje mbona anakusubiri hujamuona?" akauliza mama yake Frank kwa mshangao huku akitoka nje. "yupo nje mbona sijamuona?" Penina naye akauliza huku akiongozana na mama yake Frank mpaka nje. "mhhh yuko wapi Sasa hebu ngoja nimpigie simu." akasema Penina huku akitoa simu yake na kumpigia Frank. Simu ya Frank iliita bila kupokelewa na alipopiga Mara ya pili akakutana na sauti hii, "simu unayopiga haipatikana kwa sasa tafadhali jaribu tena baadae." Taratibu Penina alianza kunyongonyea na kupoteza tabasumu Lake zuri usoni mwake. "simu haipatikani mama hebu sikiliza." Penina akamwambia mama yake Frank huku akimuwekea simu sikion. "hee mbona makubwa jamani kaenda wapi Sasa huyu Mara hii tu katoka ndani? ." akauliza mama yake Frank huku akiwa ameshika kiuno. Penina naye alizidi kupiga simu bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Ilibidi mama yake Frank amwite baba yake Frank pamoja na Angel mdogo wake Frank ili wamtafute Frank kwa pamoja. * Gari ya kina zaza ikiwaa Katika mwendo mkali, zaza pamoja na wenzake walimfunga Frank miguu pamoja na mikono Kisha wakachukua kitambaa cheusi na kumfunga Frank usoni ili hata atakapozinduka asiweze kufanya chochote na pia asiweze kugundua sehemu anayopelekwa. Na Kisha simu yake ilipasuliwa kule ndani ya gari pale tu waliposikia ikipigwa na Penina. Moja kwa moja gari ile iliyombeba Frank iliwasili Katika jumba la kikosi kile ambacho wakina zaza walikubaliana nao kwenda kumtupa Frank mbali kabisa na jiji la dar es salam na kamwe asiweze kurudi tena. Baada ya kufikishwa hapo Frank alitolewa kwenye gari la kina zaza na kuwekwa kwenye gari lingine la kikosi kile kingine huku ndani ya gari lile kukiwa na vijana wengine wanne. Na wakati huo huo taratibu Frank alianza kurudiwa na fahamu Zake. Milango ya gari Ile aliyowekwa Frank ilifungwa, na Kisha gari likaanza kuondoka kwenda kumtupa Frank sehemu ambayo kamwe hatoweza kuonana tena na Penina. ........ Itaendelea ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SITA (06) ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Siku ya pili, vicent alitoka mapema nyumbani, aliwahi shule kabla hata ya rafiki zake. Hii yote ni kutokana hata usingizi haukupatikana,kutokana na mawazo aliyo nayo. Alikuta baadhi ya wanafunzi wapo darasani, Alifika akakaa kwenye kiti na kufungua begi,kuchukua kitabu na kuanza kusoma. Ila hata sijui nini kilimtuma kutazama mbele maaana alijikuta anatoa macho. ENDELEA....... Alijikuta Anatoa macho, baada ya kuona,marafiki zake nao wamewahi shule. Aiseeee vicent alichekaaaa sana, mpka akajishika tumbo. "hadi nyinyi mmewahi leo aaah kweli mtihani siyo poa".aliongea vicent huku anawatazama kwa zamu. "mimi mwenyewe sijaamini nilivyo kuona ndo maana nikasimama mlangoni nihakikishe ni wewe au hahhhhhah".aliongea Richard huku anaelekea kule alipo vicent.ila cha kushangaza suma akuchangia neno zaidi ya kuachia tabasamu na kutembea kwenda walipokuwa wenzake. "aiseeee kama tuliambizana yani"aliongea tena vicent. Hapo suma ndo na yeye akanyanyua,mdomo wake na kuongea. " hivi unajua kwanini nimeshindwa kuongea chochote?,nikwasababu naona uchuro hapo nje nimekutana na rich, hapa nakuona wewe, nikawa najiuliza hivi hawa waliambizana nini mimi wamenichunia ila nimewabamba".aliongea suma,huvu anavuta kiti anakaa. "hii ili iweje sasa imetokea tu"alijibu richard. "sisi hatuwezi kukufanyia hivyo kwasababu sote ni wamoja". Alisema vicent, suma hakuwa na neno. " oyaa tusomeni basi kabla muda wa kwenda mstalini aujafika"aliongea tena vicent. "poa mwanangu umeongea point" alijibu suma.basi kikapita kimyaa,kila mtu alifanya yakeee kwa muda huo. ******* Mwezi ulipita,hatimae miezi, na si vicent, wala niram aliye kumbuka kama walishawahi kuonana. Basi ilikuwa weekend, moja walionekana marafiki, watatu wakiwa wamesimama stendi ya mabasi,si wengine bali ni vicent, richard na suma wakiwa wamevalia nguo za nyumbani.ilibaki kama wiki mbili wafanye mtihani. Ilionyesha kuwa walikuwa wamelewa kwenye maongezi sasa sijui vicent, walikuwa wanasubiri usafiri maana vicent hakuwa na gari siku hiyo. Mara gaflaa walishtushwa na sauti, nyororo iliotokea,barabarani. "vicentiiiiiiiiiiiii" ilikuwa sauti ya niramu, aliekuwa ndani ya range nyekundu, huku akiwa amependa,kupindukia wanasemaga kadamshi, ile mbayaaaa. Wote macho yalikuwa mbele,ila hakuna mtu alieshtuka kama vicent, maana akutegemea kuonana na binti yule ana muwaza siku zote. Na ilikuwa muda Awajaonana. Kiukweli vicent, moyo ulikuwa unampenda mbio vibaya.ila alijikaza, huku nyuma suma pamoja na richard, aisee!! Macho yaliwatoka maana walishindwa kuelewa, wanae muona machoni mwao, ni jini au malaika. Vicent alijikongoja mpaka kwenye dirisha la gari, na kumsababishia niram. " mambo niram siamini kama ni wewe, kumbe unani nakumbuka? ".alijikuta anaongea mfululizo vicent huku akiuliza, swali humohumo. "poa vicent, nakukumbuka sana vp leo huna usafiri? Maana naona kama mpo wenyewe mnasubiri usafiri? ".aliuliza niram,huku macho akiwaelekezea wakina rich. "aaah ndiyo tunamsubiri dereva tax mmoja hivi,katuambia hayupo mbali".alijibu vicent huko akiangalia huku na kule kama anaetafuta kitu. "haah kwani mnaelekea wapili niwape lifti?maana mimi naelekea mbezi"aliuliza niram. Vicent akapiga mahesabu ya haraka,alafu akaongea. "aaah! Wale wanarudi nyuma ila mimi naenda kunduchi" alijibu vicent. Ila wadau ngoja niwaambie kitu, vicent ameongopa, kwasababu wenzie wanaenda kawe sawa yeye anaenda kunduchi, ila njia ni ileile wameachwa wakina suma, yeye angeendelea mbele, ila aliamua kusema vile ili aweze, kutupa ndoano Kiulaini. Tuendelee, basi niram akamwambia "basi twende nikupe lifti waage wenzio".vicent akachomoka na kuwafata, wenzie alimkuta suma anashauku si mchezo. " vipi yule ndo yule demu uliesema? Na anaelekea wapi ili atupe lift basi kama vipi" alijikuta anaongea maneno,mfululizo na swali juu. "hamna aendi huko kaniambia nimsindikize kariakoo".aliongea vicent huku anageuka nyuma, akagongana macho na niram,wote wakatabasamu. "duuuh mwana kwahiyo umetuacha? ".aliongea richard huku anakazia macho kwenye gari. "aaah aina jinsi ila chukueni hii mpande tax".alisema vicent huku anazamisha mkono mfukoni na kutoa noti tatu za elfu kumi akamkabidhi suma. Suma alizichukua na kuzitia mfukoni. "oyaaa Usikose kutupigia ukifika home"alisema rich. Na suma akadakia. "ndiyo utupe data zote maana duuuh! Mpaka nakuonea wivu".vicent hakutia neno aliishia kutabasamu huku Anaendelea kutembea, basi aliingia ndani ya gari, huku ukimya mwingi ulitawala.vicent akaona avunje ukimya, "basi nilijua utanisahau kabisa".aliongea Vicent Huku ametoa tabasamu hafifu usoni mwake, Huku macho yanatazama mbele. "Ooooh!!Hapana siwezi kukusahau,mtu muhimu Kama wewe Kwa ule Msaada wako ".aliongea Niram,huku anamwangalia Vicent, macho yakakutana, wote wakatabasamu, Niram akageuka mbele na kuendelea, kuushika usukani akizidi kukanyaga mafuta. "hahhhhah!! Ni kweli niram lakini Siyo wote wanao kumbuka fadhila".aliongea Vicent ,Huku kimoyomoyo akiomba wasifike haraka. "haaahhh sawa bwana Wala ujaongopa, ".aliongea niram,huku akizidi kuuchapa mwendo, na bahati nzuri hakukuwa na foleni. "niram nikuombe kitu Kama hutojali? ".aliuliza Vicent Huku amemgeukia kabisa, aliongea Kwa sauti nzito, tens yakubembeleza. "usijali Kama kipo Ndani ya uwezo wangu ntakupa".alijibu niram. Vicent hakaona asizubae Sana, akasema alilokusudia."nilikuwa naomba unisaidie namba yako ya simu ili niwe nawasiliana nawe hata kukujulia Hali,maana tushakuwa marafiki".aliongea Vicent,kwa umakini wa hali ya juu ili asije kukosea step,akamkwaza Niram. " Ooooh!! Wala usijali Kwa hilo".alisema niram, huku anamtajia namba zake. Vicent aliziandika kwenye simu yake. " asante sana".alishukuru vicent. "asante nawe kwa kushukuru".alijibu niram, mara ikawa kama vituo viwili vicent ashuke. "sasa niram mie nashuka hapo kituo kinachofuata utaniacha hapo" aliongea vicent, lakini kama ungemuona moyoni mwake, alichukia kupita kiasi, alitamani wazunguke mpaka alfajiri. Duuuuh kweli mapenzi siyo poa wadau. "haaah ni hapo oky sawa"alijibu niram, na alipofika, akakanyaga break, na kusimamamisha gari. "oooh!!asante sana umenifaa mungu akufikishe salama".aliongea vicent huku anafungua mlango wa gari na kushuka. "haya asante ufike salama pia".alijibu niram, akawasha gari na kuishia, vicent alibaki anampungia mkono, mpaka alipo ishia. Kiukweli ile siku aliiona ya bahati sana kwake, hakika alikuwa na furaha mno. Alifika kwao. Akagonga geti likafunguliwa, alikuta mlinzi akamsalimu, na kuingia ndani hakumkuta yeyote ndani zaidi ya house girl. Alimsalimia akajitupa kitandaniii , pwaaaaaaah!! Aliangalia sana juu vicent, hakika kuwa na namba ya niram,kwake ilikuwa ni furaha tupu. ********* Vanessa alikuwa mezani wakipata chakula cha usiku, maana leo ilikuwa weekend kwahiyooo alikuwa mwenyewe jikoni, ila leo mawazo yalipungua kwani mawasiliano yalikuwa kama zamani na hadi asubuhi ya siku hiyo, vicent alimuaga kuwa atatoka na wakina richard. Mara ghafla alishtukia, akizibwa macho. "mmmh juliana nini bwana,ebu acha mzaha njoo ule"aliongea vanessa. " mmmh dada kwahiyo wewe mtu wako wa karibu ni Vanessa tu? ".aliuliza kwa manung'uniko Clara. Mdogo wake wa nne akitoka huyo ndo juliana, kumbuka wakiume ni wawili kwenye familia yao na ndio wakwanza na wapili. "hamna mamy wote nawapenda ila nilijua yeye, kaa chini ule mdogo wangu".aliongea Vanessa kwa sauti ya kubembeleza,huku akimvuta akae. Basi mambo yakaisha,walikula kwa furaha, wazazi na kaka zao hawakuwepo, walibaki wenyewe. ********* Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita...... Itaendelea CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SABA (07) ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA: Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita. endelea........ Mara gafla akaona simu inaanza kuita. Niram akaangalia mpigaji, akaona namba ngeni. " mmh! Atakuwa Nani huyu?".alijiuliza niram, alitafakari Sana maana sikawaida kupigiwa na namba ngeni, baada ya kutafakari kwa muda.akaamua kupokea. "hellow".aliitika niram. "hallow Niram huko poa?, Vicent hapa". Ilisikika sauti upande wa pili."oooh! Vicent nashukuru mungu niko poa sijui wewe ulifika salama? ".alijibu niram nakupachika swali. "nilifika salama niram hofu ilikuwa kwako".alisema vicent. "namimi nashukuru mungu nimefika salama".alijibu niram kwa sauti nyororo kabisa. ****** Vanessa alikuwa ndani kwake akaona mbona muda unaenda sana,na ajaona msg wala simu kupigwa kutoka kwa vicent. Alikaa akasubiri na kusubiri weeeeh lakini ikawa kimya. "mmmh!! Ina maana itakuwa ajarudi bado huko alipoenda"alijisemea mwenyewe, akaona muda unaenda lakini simu aipigwi. "mmh ngoja nipige"aliamua apige yeye, akachukua simu yake na kuipiga. Jibu alilokutana nalo ni NAMBA UNAYOPIGA INATUMIKA KWA SASA.. "mmmh saa tano hii au ndo amerudi hivyo anaongea na wenzie kuwa julisha kuwa amerudi?".alijiuliza jibu akakubaliana kuwa anawasiliana na rafiki zake. ****** Huku vicent akiwa anaongea, akaona kama kuna mlio wa simu nyengine kuingia akaiangalia , alipoona mpigaji kuwa ni Vanessa akaendelea kuongea. Simu iliita mpka ikakata. Waliongea mengi na baadae niram akaaga kuwa anahitaji kupumzika. Basi waliagana na simu ikakatwa. Baada ya hapo alipiga simu kwa Vanessa,huku Akiwa ameshaupanga uongo wa kumwambia. "hellow baby mbona kimya, na napiga unatumika?".aliongea vanessa mara baada ya kupokea simu. "aaah amna nilikuwa naongea na mzee maana mchana,hakuwa na nafasi ndo kunitafuta sasahivi".alijibu vicent kwa ujasiri wa hali ya juu,bila kubabaisha maneno. "oooh kumbe haya niambie mizunguko ilikuwaje? ".Aliuliza Vanessa huku alibadili mikao ya kila aina Hapo kitandani. "ilikuwa poa sema nimechoka sana".alijibu vicent huku akijifanya anapiga mihayo. "oooh basi pumnzika baba angu tutaongea kesho".aliongea Vanessa kwasauti fulani hivi ya madeko. "sawa mama ntakuchek kesho ulale salama"alimaliza kuongea vicent akakata simu. Alienda moja kwa moja bafuni akaoga, maana choo kilikuwa ndani kwake humohumo. Alipomaliza alitoka sebleni muda ulikuwa umeenea sana ila alikuwa bado ajala, alikuta msichana ameshaenda kulala,aliwasha taa ya sebuleni akachukua sahani jikoni nakuenda kula chakula. Mara ghafla akasikia mlango unafunguliwa alikuwa mama yake, "yani wewe Bwana mi nilivyorudi nikaambiwa upo ndani nikajua ushakula".aliongea mama yake vicent,huku anavuta kiti pale sehemu ya kulia chakula akakaa. "hapana mama uwezi amini yani nilipitiwa na usingizi nikalala ndo nimeshtuka sasa hivi".aliongopa vicent, aisee huyu jamaa hatari."ooooh pole baba ni uchovu tu huo"aliongea kwa huruma mama yake. "asante mama".alijibu vicent huku anafakamia wali kwa maini. Basi waliongea mengi mama mtu alinyanyuka, na kuenda kulala. "ukimaliza usisahau kuzima taa baba".aliongea mama yake. "sawa mama ntaizima".vicent alikula akashushia juisi, akaelekea kwenye swichi akazima taa na kuenda kulala. ******* Pilikapilika zilikuwa zinaendelea, katika nyumba ya kina niram.ilikuwa Jumapili kulikuwa na ugeni mkubwa kwao, kuna ndugu zao walikuja.basi yalipikwa masontojoo siyo ya kawaida. Zilisagwa juisi za matunda basi ilikuwa tafrani. Niram akutulia alikuwa bize vibaya. "niram ebu kuongezeae chumvi kwenye biriani kule".ilikuwa sauti ya mama yake. "sawa mama".alijibu huku anaacha alichokuwa anafanya na kwenda kuweka chumvi kwenye chakula. Kila kitu kilikuwa sawa sasa niram alikuwa chumbani anajiandaa akaoge. ******** Suma alipoona ajapigiwa jana, akaona isiwe kesi ngoja amchek yeye maana umbea ulikuwa unamuwasha mtoto wa kiume huyu. Akukubali kitu kimpite hivihivi,yani alikuwa tofauti na richard mwenzie hakuwa mpenda kufuatilia yasiyo muhusu. Basi aliweka vocha akampigia "oyaaa mwanangu unayumba"haliongea suma ."hamna nilichoka sana yani uwezi amini ".alijibu vicent. "eeeh ilikuwaje jana na yule mtoto mzuri?".aliongea suma huku akitegesha masikio vizuri kupata udaku "hahhhhah suma eeh nna kazi kama unataka kuhusu hiyo stori ntakupigia baadae " "ok poa basi usisahau ".alijibu suma huku anakata simu. Ila suma akakumbuka kitu ayaaaaaah!! Daaah!!.Nimesahau kumuuliza Kitu, yeye na haraka zake mpaka nimesahau".aliongea suma huku anamlaumu vicent,kwa uamuzi wa kukata simu haraka. "anyway nitamchek baadae".aliongea suma, mara kisimu chake kikaanza kuita."duuuh huyu somoe ana mpya gani nae mi leo nnampango wa kuonana na hadijaa".alijiseme suma kimoyomoyo ,huku anaangalia ile simu bila kuipokea. Labda niwafafanulie vijitabia vya huyu ismail au kwa ufupi ndo unaweza kumuita suma. Yani suma yupo tofauti na wenzake, suma kwanza ni mwingi wa habari,anapenda kujua mambo ya watu ni mwongeaji mno kuliko wenzake.ajatulia hata kidogo isimpitie sketi mbele yake lazima amfate tu, ila richard na vicent wapo tofauti sana na yeye, richard ana mahusiano na binti mmoja anasoma, shule tofauti na yao. Na ni huyohuyo tu ndo yupo nae. Lakini suma weeeeeeh!! Mwiko mkubwa tena uchuro, kutulia na mwanamke mmoja. Basi baada ya simu kukata akaizima na kuendelea na mambo mengine. ******* Ilikuwa ni mida ya jioni. Wageni wameshaondoka, nyumbani kwa kina niram. Na mama yake kama unavyomjua mtu wa pilikapilika usiseme, alikuwa ameshaenda kuzurura muda mrefu. Aaaaah ahhh!!,sijui muhindi gani huyu mwenye tabia za Kiswahili.ok tuachane nae tuendelee. Basi niram alikuwa amekaa sebuleni peke yake, maana mdada wa kazi hupendelea kukaa ndani kwake kama kazi ameshazimaliza. Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. Itaendelea.... ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: