Home → simulizi
→ STORY YA KUSIKITISHA
3 weeks ago
Mwanzoni sikumpenda kutoka moyoni, nilimpenda kwa kuwa tu alikuwa mrembo haswa..kwa kifupi nilimtamani tu….yaani nilitegemea akinivulia nguo zake tukashiriki tendo hamu yangu itaisha na nitaachana naye. Ndio ningeachana naye kwa sababusikuona umuhimu wa kudumu na msichana ambaye sijui hata kama nitamuoa. Nilipomwambia tutaoana hakika nilidanganya Alinipenda sana, kadri siku zilivyokwenda alizidisha upendo wake kwangu. Hakuna nilichohitaji kwake akaninyima, aliwahi kumdanganya baba yake kuwa anaumwa akatumiwa pesa ilimradi anipatie mimi nilipomwambia kuwa kuna mtu ananidai na abananisumbua kwelikweli. Alisikitika kusikia vile, akaahidi kunipigania. Haikuwa kweli nilichomwambia juu ya kudaiwa, pesa ile aliyonipa niliitumia kulipia chumba nikafanya uzinzi na Fatuma. Alihadithiwa habari hiyo na marafiki walioniona nikiingia kule, akalia kwa uchungu mbele yangu, lakini neno lake la mwisho likabaki kuwa ‘NAKUPENDA SANA…..WEWE NI MWANAUME WA MAISHA YANGU’……..Nilij isikia vibaya lakini nafsi nyingine ikanikumbusha kuwa nilikuwa katika mahusiano na msichana yule kwa sababu moja tu…NGONO… na katu hakutaka kushiriki ngono na mimi. Alinikwepa sana hadi nikajisikia vibaya. Nikahisi huenda ana mtu mwingine. Hakika nilidhani kuwa anajihusisha na mtu mwingine ambaye hushiriki naye tendo hilo la ngono ambalo kwangu mimi kilikuwa kitu pekee ambacho kingeweza kuniaminisha kuwa ananipenda kweli. Msichana mrembo kama huyo kamwe asingeweza kuishi bila kufanya mapenzi. Hakika haikuniingia akilini. Wangapi wenye ,ali zao wanamtongoza, yeye ni nani hadi asiingie majaribuni?? Hapana ni uongo mtupu ananiongopea mimi. Nikaendelea na vimbwanga vya hapa na pale. Hakuchoka kunibembeleza, hakuchoka kunipenda na hakuchoka kunikumbusha kuwa ni mimi pekee nilikuwa katika moyo wake wa nyama. “Nikipotea jumla nd’o utajua kuwa nilikuwa nakupenda..” aliwahi kunambia neno hilo. Japo lilinigusa lakini sikulitilia maanani. Hatimaye tukamaliza shule, nikategemea kuwa ule muda wa kumfaidi msichana yule kingono ulikuwa umewadia. Lakini haikuwa hivyo, akaendelea kuwa mgumu huku akijitetea kwa sababu zisizokuwa na kichwa wala miguu. Mwanzoni nilidhani kuwa aliogopa kufanya mapenzi kabla hajamaliza shule, lakini ajabu hadi tulipomaliza bado alisimamia msimamo. Sasa nikajikuta katika pepo mbaya, nikaanza kumwonyesha hadharani kuwa nina wanawake wengine. Japo chozi lake liliniumiza sana lakini sikujali. Kwa nini ananinyima penzi binti huyu? Nilijiuliza. Hatimaye nikafikia uamuzi wa kuachana naye. Lakini siwezi kuachana naye bila kumjua ladha yake. Nilijiapia kuwa jambo hilo haliwezekani hata kidogo, mimi kama mwanaume kamili atanitangazaje kwa marafiki zke, kuwa sijawahi kulala naye tukafanya tendo??? Aibu kubwa!!! Nikampangia shambulizi moja la mwisho na kama ni ubaya uwe ubaya tu. Ilimradi nilishapanga kuachana naye….haitanidh uru lakini lazima nifanye naye tendo Nilimuita nyumbani kwangu, ilikuwa mida ya jioni. Alipofika nilimlaghai hapa na pale nikamgusa matiti yake madogo yaliyosimama wima yakijitahidi kunidhihaki. Na yalifanikiwa hasa hasa kunikebehi. Nikamgusa huku na kule..nilipotak a kumvua nguo akanizuia. Nilikuwa nimekunywa pombe kiasi hivyo sikuwa na aibu, nikaamua kutumia nguvu, niliamua KUMBAKA…..nikai chana sidiria yake, kisha nikaiondoa chupi yake sasa akabaki yu uchi wa mnyama. Alihaha huku na kule asiamini kile kinachotokea mbele yake. Nikamrukia ili niweze kutimiza lengo… Kamwe sikuwahi kumwona binti huyu akiwa katika uoga namna ile…alikuwa amekodoa macho yake….na alikuwa anatetemeka… Akataka kukimbia uchi, nikamdaka mkono nikamvutia pale nilipokuwa. Sikuwa nahuruma hata kidogo, nilichotaka ni itu kimoja tu..NGONO KISHA AKINICHUKIA NA ACHUKIE. Mara akatokwa na kelele kubwa sana zilizonishtua sana. Amakweli sikuzitegemea. Sikudhani kama amnaweza kufanya tendo lile “ANANIBAKAAAAA, NISAIDIEENI ANANIBAAAKA…..” ilikuwa kelele kubwa haswa, na alifanya kwa kurudia rudia Kelele zikawafikia wasamalia wema, binti akaendelea kupiga kelele. Hatimaye mlango ukavunjwa, wasamaria wakanivagaa n
STORY YA KUSIKITISHA 3 weeks ago Mwanzoni sikumpenda kutoka moyoni, nilimpenda kwa kuwa tu alikuwa mrembo haswa..kwa kifupi nilimtamani tu….yaani nilitegemea akinivulia nguo zake tukashiriki tendo hamu yangu itaisha na nitaachana naye. Ndio ningeachana naye kwa sababusikuona umuhimu wa kudumu na msichana ambaye sijui hata kama nitamuoa. Nilipomwambia tutaoana hakika nilidanganya Alinipenda sana, kadri siku zilivyokwenda alizidisha upendo wake kwangu. Hakuna nilichohitaji kwake akaninyima, aliwahi kumdanganya baba yake kuwa anaumwa akatumiwa pesa ilimradi anipatie mimi nilipomwambia kuwa kuna mtu ananidai na abananisumbua kwelikweli. Alisikitika kusikia vile, akaahidi kunipigania. Haikuwa kweli nilichomwambia juu ya kudaiwa, pesa ile aliyonipa niliitumia kulipia chumba nikafanya uzinzi na Fatuma. Alihadithiwa habari hiyo na marafiki walioniona nikiingia kule, akalia kwa uchungu mbele yangu, lakini neno lake la mwisho likabaki kuwa ‘NAKUPENDA SANA…..WEWE NI MWANAUME WA MAISHA YANGU’……..Nilij isikia vibaya lakini nafsi nyingine ikanikumbusha kuwa nilikuwa katika mahusiano na msichana yule kwa sababu moja tu…NGONO… na katu hakutaka kushiriki ngono na mimi. Alinikwepa sana hadi nikajisikia vibaya. Nikahisi huenda ana mtu mwingine. Hakika nilidhani kuwa anajihusisha na mtu mwingine ambaye hushiriki naye tendo hilo la ngono ambalo kwangu mimi kilikuwa kitu pekee ambacho kingeweza kuniaminisha kuwa ananipenda kweli. Msichana mrembo kama huyo kamwe asingeweza kuishi bila kufanya mapenzi. Hakika haikuniingia akilini. Wangapi wenye ,ali zao wanamtongoza, yeye ni nani hadi asiingie majaribuni?? Hapana ni uongo mtupu ananiongopea mimi. Nikaendelea na vimbwanga vya hapa na pale. Hakuchoka kunibembeleza, hakuchoka kunipenda na hakuchoka kunikumbusha kuwa ni mimi pekee nilikuwa katika moyo wake wa nyama. “Nikipotea jumla nd’o utajua kuwa nilikuwa nakupenda..” aliwahi kunambia neno hilo. Japo lilinigusa lakini sikulitilia maanani. Hatimaye tukamaliza shule, nikategemea kuwa ule muda wa kumfaidi msichana yule kingono ulikuwa umewadia. Lakini haikuwa hivyo, akaendelea kuwa mgumu huku akijitetea kwa sababu zisizokuwa na kichwa wala miguu. Mwanzoni nilidhani kuwa aliogopa kufanya mapenzi kabla hajamaliza shule, lakini ajabu hadi tulipomaliza bado alisimamia msimamo. Sasa nikajikuta katika pepo mbaya, nikaanza kumwonyesha hadharani kuwa nina wanawake wengine. Japo chozi lake liliniumiza sana lakini sikujali. Kwa nini ananinyima penzi binti huyu? Nilijiuliza. Hatimaye nikafikia uamuzi wa kuachana naye. Lakini siwezi kuachana naye bila kumjua ladha yake. Nilijiapia kuwa jambo hilo haliwezekani hata kidogo, mimi kama mwanaume kamili atanitangazaje kwa marafiki zke, kuwa sijawahi kulala naye tukafanya tendo??? Aibu kubwa!!! Nikampangia shambulizi moja la mwisho na kama ni ubaya uwe ubaya tu. Ilimradi nilishapanga kuachana naye….haitanidh uru lakini lazima nifanye naye tendo Nilimuita nyumbani kwangu, ilikuwa mida ya jioni. Alipofika nilimlaghai hapa na pale nikamgusa matiti yake madogo yaliyosimama wima yakijitahidi kunidhihaki. Na yalifanikiwa hasa hasa kunikebehi. Nikamgusa huku na kule..nilipotak a kumvua nguo akanizuia. Nilikuwa nimekunywa pombe kiasi hivyo sikuwa na aibu, nikaamua kutumia nguvu, niliamua KUMBAKA…..nikai chana sidiria yake, kisha nikaiondoa chupi yake sasa akabaki yu uchi wa mnyama. Alihaha huku na kule asiamini kile kinachotokea mbele yake. Nikamrukia ili niweze kutimiza lengo… Kamwe sikuwahi kumwona binti huyu akiwa katika uoga namna ile…alikuwa amekodoa macho yake….na alikuwa anatetemeka… Akataka kukimbia uchi, nikamdaka mkono nikamvutia pale nilipokuwa. Sikuwa nahuruma hata kidogo, nilichotaka ni itu kimoja tu..NGONO KISHA AKINICHUKIA NA ACHUKIE. Mara akatokwa na kelele kubwa sana zilizonishtua sana. Amakweli sikuzitegemea. Sikudhani kama amnaweza kufanya tendo lile “ANANIBAKAAAAA, NISAIDIEENI ANANIBAAAKA…..” ilikuwa kelele kubwa haswa, na alifanya kwa kurudia rudia Kelele zikawafikia wasamalia wema, binti akaendelea kupiga kelele. Hatimaye mlango ukavunjwa, wasamaria wakanivagaa n
Artikel Terkait
*MWAGIA HUM HUMO EP 01* ```NEW NEW NEW NEW NEW``` V. _BY ADMIN MODDY_ Sehemu Ya Kwanza (1) Toka nimezaliwa nimekuwa mwanamke mwenye mkosi kila mpenzi wangu mwanzo wa mapenzi yalikuwa motomoto. Lakini baada ya muda fulani mwanaume alinimwaga bila sababu za msingi. Kila siku ya Mungu nilishindwa kuelewa nina matizo gani mtoto wa kike miye. Kibaya zaidi ndoa niliyofunga miezi minne iliyopita ilivunjika huku mpenzi wangu akipagawa na penzi la nje. Jamani mbona makubwa, huyo mwanamke aliyenivunjia ndoa yangu hata mkonioni hajai, hanizidi kwa lolote si kwa sura wala umbile. Niliamini maneno ya watu huenda yule mwanamke ni mchawi. Kitendo cha ndoa yangu kuvunjika na historia yangu ya nyuma ya kuachwa kwenye mataa na wanaume kiasi cha kugeuzwa jina ubao wa shabaha kila mwanaume kujifunza kulenga kwangu na akichoka hiondoka bila kwaheri. Bahati niliyokuwa nayo mwanaume yeyote aliyenitaka, yupo radhi kunihonga hata milioni ili mradi anipate, Mungu alijilalia umbile na sura lakini niliamini kuna kitu kikubwa kimepungua kwangu kinachofanya wanaume wanikimbie. Kwani moto anaoanza nao mwanaume kama maji ya moto lakini baada ya muda hupoa. Lakini hachelewi kupoa, wapo niliokaa nao mwezi mwili, mitatu , wiki na wengine wakionja hawarudi tena. Kuna watu walionifuata na kunieleza labda niende kwa waganga wa kienyeji ili nisafishwe nyota yangu. Ushauri ule niliufuata baada ya kutumia dawa zile sikuchelewa kupata bwana aliyetangaza ndoa kabisa. Lakini baada ya miezi minne ndoa yangu ilivunjika, kitendo kile kilinitia aibu, yote ya kuchezewa na wanaume na kuachwa ilikuwa tisa, kumi ilikuwa kuachwa bila sababu huku mume wangu akizama kwenye penzi ya kinyago msela mwanamke asiye na mbele wala nyuma. Kitendo kile kilinidhalilisha sana, sikuweza kuvumilia bila kujieleza siku ya pili nilipanda gari mpaka Dar na kufikia kwa rafiki yangu niliyekuwa nasomanaye shule moja ambaye baada ya kumaliza shule alikwenda Dar kutafuta maisha na baadaye alinieleza amepata chumba tena anafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi. Kwa vile nilikuwa na siku yake nilipomjulisha nakwenda Dar hakunikatalia Nilipanda basi hadi Dar. Baada ya kufika nilikaa mwa muda wa mwezi mmoja na kunitafutia kibarua katika kiwanda kimoja, ajabu msimamizi alinizimikia na kuanzisha mahusiano na mimi. Kwa vile kila mmoja alikuwa na ujiko kuwa na uhusiano na bosi basin a mimi nilimkubalia. Kama kawaida haikuchukua hata mwezi akanimwaga na kashfa nyingi kwamba heri atembee na mwanaume mwenzake kuliko kulala na mimi. Kwa kweli kitendo kile kilizidi kunidhalilisha na kuniweka kwenye wakati mgumu, kibaya kila mwanaume niliyekuwa nakutana naye na kuniacha hakunieleza tatizo langu. Kwa kweli niliumia sana na kuamua kuacha kazi, niliapa sitakuwa tayari kufanya kazi wala kuanzisha uhusiano na mwanaume yeyote. Baada ya shoga yangu kupata bwana ilinibidi nihame kwa kutafutiwa chumba sehemu za uswahili kwa bibi mmoja maarufu pale mtaani Bi Shuu, ni bibi wa miaka 55 lakini mambo yake temea chini. Bibi yule alinilea kama mwanaye wa kuzaa hata kodi yangu hakuitaka. Kuhamia kwa Bi Shuu nilijikuta nikiingia dunia nyingine kabisa, kweli nimekubali tembea uone mambo, ningekaa Arusha ningeyajua haya. Nazidi kukubali kweli vikiungwa vitamu, tena mtu ataomba aongezwe na akimaliza kula lazima ajilambe vidole. Najua una hamu kuvijua hivyo vitamu vilivyo ungwa mpaka watu wakajilamba, Naomba twende pamoja tuipate wote faida ya kuwa karibu na makungwi kama Bi Shuu. ******** Katika mambo niliyokuwa siyapendi katika maisha yangu ni pamoja na kusumbuliwa na mwanaume wakati wa kilimo cha mhogo. Ooh! Inama, mara jipinde hivi, mara geuka hivi. Siku zote nilijiuliza kwani bila kukusumbua hivyo mwanaume hawezi kufikisha mzigo wake. Kitendo cha kijana huyu ambaye alinipata kupitia kwa Bi Shuu kutaka kunisumbua kilinikera sana. “Manka mbona hivyo sasa raha ya mapenzi ipo wapi?” “Nimesema sifanyi unavyotaka, sipo kwenye mazoezi ya yoga hapa kama huwezi hivi, vaa nguo zako ondoka, ” nilisema kwa ukali bila kumuangalia nyuma yangu alipokuwa amekaa. “Lakini Man…,” “Ee..ee..eeh, nasema hivi kwani tatizo nini bila hivyo unavyotaka hufiki safari yako?” Nilimkata kauli Edward. “Manka raha ya chakula ubadili mapishi mchele mmoja lakini una mapishi zaidi ya kumi.” “Kwani huo mchele ukipika bila kubadili mapishi hauivi?” “Lakini Manka kuna tatizo gani kufanya ninavyotaka, sema niongeze kiasi gani ukubaliane na mimi ili nami nifaidi raha ya mapenzi?” “Kaka eeh! Mimi sio chombo cha mazoezi, mlango huoo, unaweza kuondoka hukuitwa na mtu chumba changu mwili wangu eeh.” Yule kijana alipandwa na hasira, alinyanyuka na kupitia suruali yake na kutoka bila kuaga, nilifyonza na kujilaza huku nikinyanyuka na kupitia upande wa kanga na kujifunga kisha nilirudi kujilaza kitandani. Nilijikuta nikipandwa na ghadhabu kitendo cha Bi Shuu kunitafutia wanaume na kugawana kitakacho patikana. Nilijikuta nikijiona nimekataa nini na ninafanya nini. Sikuwa na tofauti na wale wanawake wanaojiuza kwenye vyumba vyao kwa wanaume kupanga foleni. Japo kwangu haikuwa hivyo, mimi ilikuwa naitwa na Bi Shuu na kuelezwa juu ya kijana kunipenda na kuwa mtu wangu wa karibu wakati mambo yangu hayajawa mazuri. Lakini kila mvulana aliyekuja baada ya kunionja hakurudi tena, lakini wa leo yeye alikuwa tofauti na waliotangulia, alikuwa mwanaume msumbufu ambaye sikukubaliana naye. Baada ya kuondoka nikiwa bado nimejilaza katika vazi la kanga moja Bi Shuu aliingia chumbani kwangu kama askari aliyevamia chumba cha jambazi. Sikushtuka niligeuza shingo na kumtizama, mama mtu mzima asiye na haya wala kujua vibaya kunigeuza kitega uchumi chake. Japo alinisaidia vitu vingi kama chakula na matumizi madogo madogo ninapokwama kipindi kila nilipoacha kazi bila kujua hatima ya maisha yangu. Akiwa amenisimamia pembeni ya kitanda changu kama jini la kutumwa huku akinikata jicho kali ambalo hakuwahi kulionesha kwangu. Nilijikuta nikishtuka na kujiuliza kulikoni kuniijia kama shetani wa kutumwa. “Manka,” aliniita jina langu. “Abee.” “Unataka msaada gani kwangu?” “Upi huo?” nilimuuliza huku nikaa kitako. “Kila kijana ninayemleta kwako anaondoka bila kuaga tatizo nini?” “Kwani wao wamekueleza nini?” “Hakuna hata mtu wa kuelezea kitu zaidi ya kuondoka bila kuaga, kwani kuna tatizo gani?” “Kwangu sina, labda wao.” “Kwa mtindo huu, hali itakuwa ngumu si muda utageuka mzigo wa moto usioshikika wala kubebeka.” Mmh! Nilijua nimenyea kambi, nilijiuliza kama Bi Shuu kama ataniona mzigo sikujua nitakwenda wapi. Kurudi Arusha sikuwa tayari, kuendelea kulipiwa chumba na shoga yangu niliona aibu baada ya kujitoa kwake, lakini ningefanya nini katika mji wa watu. “Kwa mtindo huo kuanzia mwezi ujao utalipa kodi,” Bi Shuu aliniambia kwa sauti kavu. “Bi Shuu, nitatoa wapi pesa za kodi nami kazi sina.” “Kazi huna au hutaki kazi.” “Kazi za kudhalilishana hata siwezi.” “Kipi cha ajabu dunia ya leo, Mungu amekupa vitumie.” “Navitumia lakini sina bahati.” “Basi habari ndiyo hiyo, mwezi ujao utalipa kodi, la huna rudisha chumba changu.” “Bi Shuu, lakini si wewe ndiye uliyemkataza shoga yangu kuwa aache kulipia kodi nitaishi nawe kama mwanao?” “Mwanangu gani asiye na msaada, mimi na mzee wangu ninatulia na mwanaume akionja lazima arudie na akimaliza sharti ajilambe.” “Sasa mimi nimekataa mwanaume gani, wenyewe ndiyo wananikataa.” “Basi utakuwa na kasoro ambayo unaificha, lakini nitaijua muda si mrefu.” Bi Shuu alisema huku akitoka nje, nilibakia nimejilaza kitandani nikiwa na mawazo mengi juu ya mapungufu yangu kwa wanaume, kufikia hatua kila mwanaume akionja harudii tena. Kingine kilichonichanganya ni kulipa kodi na kazi sina, nilishangaa Bi Shuu kunigeuka kama kinyonga. Nikiwa katikati ya mawazo nilisikia hodi ikigongwa chumbani kwangu. “Pita mlango u wazi,” nilipaza sauti kumruhusu anayegonga aingie. Mlango ulifunguliwa na mtu aliingia, ha! Kumbe alikuwa shoga yangu Mage. “Aah, Mage umenikumbuka leo.” “Ni kweli Manka, vipi mbona ka.a.maaa?” Nilijua kuna hali ilimfanya aingie wasiwasi, nilishukuru Mage hakumkuta yule mwanaume alikwisha nionya nisikubali kuugeuza mwili wangu kitega uchumi na kunieleza ninapozidiwa kimaisha nikimbilie kwake. Lakini niliona aibu motto wa kime niliye kamilika kuomba kwa mtu kila siku. “Hamna kitu, nilikuwa nataka kwenda kuoga,” nilidanganya. “Ni hivi shoga yangu, shemeji yako amekupatia kazi kwenye kampuni moja kama secretary, si bado unakumbuka kutaipu kwa computer?” “Mmh muda, lakini sijasahau, labda wepesi.” “La muhimu uipate hiyo kazi, mengine yatajulikana humo humo.” “Nitashukuru shoga yangu.” “Na kazi yenyewe ni kesho asubuhi jiandae shemeji yako atakupitia, kesho asubuhi na kukupeleka kwenye hiyo kazi kisha atakwenda kazini kwake.” “Nashukuru shoga yangu kweli wewe ni ndugu wa damu” Nilimkumbatia Mage huku nikimuomba Mungu asitokee mwanaume atakaye nitaka kimapenzi. Niliamini hata kama nitamkataa huo utakuwa mwanzo wa kuchukiwa na mwisho wa siku kufukuzwa kazi. Lakini nilimuomba Mungu kabla ya kuianza hiyo kazi, aniepushe ni matamanio ya wanaume japo kila vazi nililovaa liliwaweka katika wakatii mgumu wanaume. Lakini nilimuomba Mungu usiku na mchana ili aniepushe na mataanio ya wanaume. &&&& Japo nilikuwa na furaha ya kupata kazi kwenye ofisi, lakini bado moyo wangu ulikosa raha kutokana na kuwa na bahati ya kupendwa lakini mkosi wa kuachwa. Lakini nilijipiza moyoni kuwa na msimamo wa kutojirahisi kwa wanaume yoyote. Baada ya taarifa zile shoga yangu aliondoka na kuniacha nikijipanga kwa ajili ya siku ya pili. Niliapa tena kutomkubalia mwanaume yoyote kimapenzi kutokana na kujijua nina kasoro ambayo sikuifahamu. Mwanzo nilikuwa nikisimama mbele ya kioo na kujiangalia niliona mwanamke mzuri kuliko wote. Hata nilipotipa mbele za watu, watu waliumia shingo kunitazama, wenye pesa waligongana. Nilimchagua niliyempenda lakini mwisho wa siku walinitema kama ganda la mua. Lakini sasa hivi hata kusimama mbele ya kioo naona udhia sikuwa na kipya, sikujua sababu ya mimi kugeuzwa mpira wa kona kila mmoja anataka kufunga na akifunga hana hamu tena na mimi. Nikiwa katika lindi la mawazo mara aliingia Bi Shuu bila hodi kama kawaida yake. Alipofika alisimama mbele yangu kama jini wa kutumwa, kwa sauti ya nyodo alisema. “Hivi Manka utaendelea kuwa tegemezi mpaka lini?” “Mbona sikuelewi Bi Shuu, mbona leo umenishupalia hivyo mtoto wa mwenzio?” Nilijikuta namtolea uvivu maana toka asubuhi amekuwa na mimi huku akizidi kunikosesha raha bila kosa. “Hujui?” Aliniuliza kwa jicho la kukata. ”Kujua nini Bi Shuu?” “Baada ya kukueleza ujitume katika maisha yako unaona nakuonea, badala yake unampigia simu shoga yake. Hujisikii aibu mwenzio ana maisha yake utaendelea kuomba mpaka lini?” Mmh, makubwa nilijikuta nikimshangaa Bi Shuu kwa kunishupalia kwa maneno bila sababu, hata bila kujua Mage alikuja kufanya nini yeye ananibwatukia. Au sababu nipo kwake kanigeuza mtoto wake. “Bi Shuu leo naona umeniamkia.” “Sijakuamkia bali nakupa makavu, chungu lakini dawa.” “Unajua shoga yangu kaniletea nini?” Nilimuuliza huku nikumtazama jicho kali. “Kuna kingine zaidi ya kukuletea ya pesa za kodi, hivi hujiulizi mwenzako anaishi vipi na mumewe muda wote na wewe kwa nini umekuwa kama ubao wa shabaha kila mwanaume akionja arudi una tatizo gani mtoto wewe wa kike?” “Lakini Bi Shuu, shoga yangu hakuleta pesa alikuja na mengine kabisa.” “Mankaaaa weweee, unataka kunidanganya mtu mzima mimi niliyeona jua kabla yako.” “Bi Shuu unanionea, shoga yangu hakuniletea hela.” “Haya nieleze amekuletea nini?” “Taarifa ya kazi.” “Kazi! Wapi?” “Kwenye kampuni ya rafiki ya mumewe.” “Mmh, kazi gani?” “Ya secretary wa bosi.” “Mmh, kama nakuona vile, kama kweli chumba utaendelea kukaa bure sitaki hata senti tano yako. Shida yangu kubwa ujishughulishe si kingine ndiyo maana hata hao wanaume niliwatafuta ili upate chochote na ikiwezekana upate mume miongoni mwao.” “Nashukuru Bi Shuuu, niombee niipate hiyo kazi.” “Si umesema kila kitu tayari?” “Eeh, pamoja na dua zako ni muhimu wewe ni mama yangu.” “Dua zangu zote kwako wala usiihofu utaipata.” Tulijikuta nimekuwa kitu kimoja tena kwa kuondoa tofauti za mwanzo, Bi Shuu alikenua mpaka gego la mwisho lilionekana baada ya taarifa zangu za kupata kazi. “Manka kaoge basi tuje tupate kifungua kinywa.” Nilikwenda kuoga na kuungana na Bi Shuu kupata kifungua kinywa, moyoni nilijiuliza bila kupata taarifa za kazi Bi Shuu angenifanya nini. Lakini nilimshukuru Mungu kwa muujiza alionifanyia wakati nilikuwa nimeisha kata tamaa. ******* Usiku kabla ya kulala nilitafuta nguo nzuri yenye heshima itakayofaa mbele ya macho ya watu. Kuhusu umbile na sura Mungu alinipendelea lakini sijui alininyima nini mwilini kiasi cha kuonekana Big G za Kichina ukitafuna kidogo utamu umekwisha. Baada ya kuchagua suti rangi ya bluu, niliinyoosha vizuri na viatu vyangu ambavyo nilivipiga kiwi tangu mchana niliviweka vizuri na kupanda kitandani. Saa kumi na mbili nilikuwa tayari nipo bafuni naoga, baada ya kuoga wakati najipamba mlango uligongwa. Nilijua shemeji amefika, kumbe alikuwa Bi Shuu nilipomuona nilitabasamu na kumkaribisha. “Bi Shuu karibu, mbona asubuhi?” “Hakuna cha ajabu, umeamkaje?” “Mmh, salama shikamoo.” “Marahaba, umeisha jipamba?” “Ndiyo Bi Shuu.” “Njoo mara moja.” Nilitoka hadi chumbani kwake, nilipofika nilikutana na kitezo kilichokuwa kikifuka moshi uliokuwa na harufu nzuri. Nilijiuliza vitu vile alivifanya wakati gani na alimfanyia nani au mimi. Nikiwa nimesimama nisijue alichoniitia aliniambia. “Manka chutama kwenye kitezo hicho,” mmh, makubwa madogo yana nafuu, nilifanya kama alivyoniagiza. Baada ya kuchutaka alitoa udi kwenye karatasi na kuuongeza kwenye makaa ya moto, baada ya kuuweka ulianza kutoa moshi wenye manukato mazuri. Alinipa shuka nijifushe, niliuinamia ule moshi ulionifanya ninukie kila kona ya mwili. Baada ya kujifusha alinieleza niufunike ule moshi na sketi kwa kuchutama moshi wote uliingia chini. Mtoto wa kike nilinukia kama malkia wa Kihindi, baada ya kuhakikisha nanukia kila kona alinipa pafyumu ambayo sikuwahi kuiona na kunipulizuia kidogo na mwisho alinipa wanjaa mwembamba kwa kunisaidia kunipaka. Kwa kweli nilipendeza mtoto wa kike. “Manka leo mwanangu umependeza,” Bi Shuu alinisifia. “Asante.” Wakati huo shemeji alikuwa amefika kwa kupiga hoi, kabla ya kuondoka Bi Shuu alinipa usia. “Manka Mungu kakujalia kila kitu alichotakiwa kuwa nacho mtoto wa kike, kama ningekuwa mtoto wa kiume ningekupata kwa gharama yoyote. Sasa usiwe macho juu. Hii inaweza kuwa nafasi ya pekee kupata bwana aliye bora ambaye atakuwa mumeo. Itumie nafasi yako vizuri, kazi njema.” “Asante, pia nimekusikia Bi Shuu yote nitayafanyia kazi.” “Basi kazi njema mmmwa.” Kwa mara ya kwanza Bi shuu alinibusu kuonesha furaha ya ajabu moyoni mwake. Baada ya kuachana na Bi Shuu alikwenda chumbani kwangu kupitia mkoba wangu kisha niliifuata gari aliyokuja nayo shemeji. Shemeji aliponiona tu alitanguliza sifa. “Hakika mke wangu umependeza.” “Asante mume wangu.” “Kwa mtindo huu nisije ibiwa tu.” “Ni wewe tu mume wangu, haya ni mapambo lakini upendo wangu kwako upo moyoni.” Nilijibu shemeji huku nikiingia ndani ya gari. Gari liliondoka huku utuli niliojinyunyizia ukitalawa ndani ya gari, baada ya kujuliana hali na shemeji aliniuliza maswali mawili matatu. “Mmh, shemu ulikuwa unaishije bila kazi maana mwenzio aliniambia siku hizi huchukui huduma?” “Bi Shuu kwa kweli alinilea kama mtoto wake.” “Sasa ungekaa kumtegemea mpaka lini?” “Ndiyo hivyo kazi zenyewe kila mtu anakutaka kimapenzi ukiwanyima inakuwa kero, nitawakubali wangapi?” “Ooh, pole.” “Sasa ni hivi kampuni ni ya rafiki yangu kipenzi hivyo nakuomba ujiheshimu ili kunilindia heshima yangu.” “Nakuahidi shemeji kujiheshimu.” “Itakuwa vizuri.” Tulipofika kwenye kampuni ya rafiki ya shemu tulitelemka na kuingia ndani, tulipofika tulipokelewa. Muda ule Mkurugenzi alikuwa hajafika tulikaribishwa kwenye makochi. Baada ya dakika kumi aliingia alipomuona shemeji walisalimiana kwa kukumbatiana. “Ooh, Aloys karibu sana.” “Asante Mr Shaka .” “Samahanini kwa kuchelewa.” “Bila samahani hatujafika muda mrefu.” “Basi karibuni ofisini.” Tuliongozana naye hadi ofisini kwake, mmh lilikuwa bonge la ofisi ambalo sikuwahi kuwaza kuingia katika ofisi kama ile. Nilibakia nang’aa macho mtoto wa kike kwa ushamba. Lakini niliuficha ushamba wangu, baada ya kutulia tuli kitini mwenyeji wetu ambaye nilimfahamu jina kwa kumsikia akiitwa na shemu Mr Shaka alikuwa akipitia vitu muhimu mezani kabla ya kutugeukia. “Mhu, Mista lete habari?” “Habari nzuri, huyu ndiye shemeji yangu,” alisema huku akinigeukia. “Ooh, mrembo kwanza nilisahau kukusalinia, za asubuhi?” “Nzuri tu.” “Pia hongera umependeza” ‘Asante.” “Basi kama ulivyoelezwa kazi ipo na unatakiwa kuianza mara moja, wala usihofu ugeni ila nitakuwa nawe pamoja muda wote.” “Nitashukuru kwa hilo.” Baada ya kupokelewa kazini shemeji aliaga na kuniacha kwenye kazi yangu mpya, baada ya kuondoka nilibaki nimeinama chini kama mwanamwali. Pamoja na ukali wa Bi Shuu bado alinipa mafunzo kwa mtoto wa kike kuinamisha macho mbele ya mwanaume. “samahani mrembo unaitwa nani” “Manka” “Manka nani Kileo” “Jina zuri” “Asante.” Mr Mateja alinyanyuka na kunishika mkono huku akisema. “Hebu njoo uanze kazi mama.” Alinipeleka katika computer iliyokuwa nje ya ofisi yake ilikuwa imekaa vizuri sana. “Basi hapa kuanzia leo ndio ofisi kwako.” “Nashukuru sana” Alinionesha kazi za kufanya siku ile, kabla ya kuanza nilijitetea. “Lakini bosi ni muda mrefu sijafanya kazi hivyo lazima nitakuwa mzito.” “Usihofu kwa hilo fanya kwa uwezo wako,” pia alinielekeza kutumia simu nikiwa nana shida ame nimelaliza kazi bila kumfuata ofisini kwake. “Asante bosi,” nilishukuru kwa upole na ukarimu wa bosi “Niite Mr Mateja” “Sawa Mr Mateja” “Nakutakia kazi njema.” “Nawewe pia” Baada ya kuondoka niiliingia kwenye kazi ya kuchapa kazi zilizokuwa wenye meza yangu. Hazikuwa kazi ngumu sana nilizifanya kwa muda mfupi sikuwa nimepoteza kasi ya mikono kihivyoo. Baada ya kuchapa kazi niliyopewa, niliziprinti kwenye karatasi na kuzipiga pini kisha nilimpelekea ofini. Nilimkuta bosi macho yapo kwenye monitor ya computer, nilimuona alinyanyua macho kunitazama. Aliponiona aliachia tabasamu pana, nakiri kuwa bosi wangu Mr Shaka alikuwa mwanaume mtanashati tena mwenye umbile la mvuto kwa mwanamke yoyote. Kule kutabasamu kwake kuliniweka katika wakati mgumu sana kwa kumuomba Mungu aniepushe na shetani wa upendo. Niliamini kama akinitaka kimapenzi jibu la sitaki litakosekana mdomoni mwangu, lakini nilipiga moyo konde kufuata kilichonipeleka ofisini kwa bosi. “Manka karibu.” “Asante bosi, kazi iliyokuwa na haraka nayo tayari.” “Ooh, vizuri sana sikutegemea ungeifanya kwa muda mfupi hivi.” “Najitahidi japo nilikuwa na muda mrefu sijagusa computer,” nilimjibu huku nikimkabidhi kalatasi, nami nikiachia tabasamu pana ambayo huogopa kuitoa kwa wanaume ili kuepusha ungongano wa mawazo. Ilikuwa ugonjwa wa wanaume kila ninapotabasamu mashavu huweka visima ‘dimples’ wanaume wengi ulikuwa uchawi mkubwa kwao. Kila mwanaume niliyekutana naye alipenda kunifurahisha ili aone madhari mantashau ya mashavu yangu. ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA SABA (7) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita nikaingia zangu ndani ile nafika sebureni sikukuta mtu nika nyoosha mpaka mezani nika kuta chakula changu nikala nilivyo maliza nika ingia zangu chumbani.niliwasha taa ya chumbani nilishangaa kuona......... Endelea nayo ........ mtu akiwa amelala kitandani kwangu tena kajifunika mwili mzima.nikasogea mpaka pale kitandani.nikafunua lile blanketi nilistaajabu kumuona dada binamu akiwa mtupu tana hana hata nguo nika mwamsha lakini akajifanya amelala nikaona nisimsumbue acha nikalale sebureni. wakati nataka kutoka nje nilishangaa naitwa na binamu "we Kenny unaenda wapi njoo unikune bwanaaah mwenzako nawashwa" nilimjibu siwezi kufanya hivyo tambua wewe ni ndugu yangu nilishangaa sana kuona kauli aliyo nijibu binamu ni nyama ya hamu we njo hata usiogope ujue nilikua nakupenda sana toka kipindikile mdogo nilikua naogopa kukuambia. na toka nimetolewa bikra yangu sijawai kukutana na mwanaume mwingine hivyo hapa nilipo nina ugwadu hatari. nilitamani sna kumuuliza nani aliye kutoa bikra ila nili sita nika kausha.basi kidume nika mwambia kwa leo nimechoka sana labda kesho ndo tutafanya nikaenda kitandani nikajifunika shuka nikalala.usiku wakati tumelala nilishanga kujikuta tume kumbatiana na binamu na hapo ndipo tulipoingia kwenye mahaba mazito. yani hakukuwa na muda wa kupoteza kwa kweli, mapenzi hakuna muda wa kufanya, popote kambi mnapojisikia, inabidi dozi itembee,yani binamu alinikumbatia kwa nguvu huku midomo yetu ikibadilishana juice, tayari Suruali ilishavuliwa muda mrefu na kumwacha Askari Kipara aliyesimama kama Mnara Dole lilizama kwenye kitumbua laini cha errycah na kukichezea kama napiga kinanda. Tena kwa vidole vitatu, basi errycah kwake ilikuwa kama kitu kigeni kuchezewa kiarage chake kwa vidole vitatu. “aaaaaaaaaaaaaaaaah,,, ,aaaaaaaaaaasssssssssssss,,,,m mmmmmmmmmh,,,,oooooh,,j,,,,aaa aaaaaaaaah,," Alilalamika huku akijilamba midomo yake kama ilipakwa asali,nilitumia mda mwingi kumnyonya Chuchu zake zilizosimama, basi mtoto wa watu alilegea kabisa, hapo sikuremba,wapi Askari Kipara ngoto a.k.a Dudu Mshedede,kwa mkono wake alilishika dudu na kuliingiza kwenye kitumbua chake. “aaaaaaa aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaas sssssssssssssssssss,,,,,mmmmh, ,,ooooooooouushiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaa aaaaaaaah,,," Alizidi kulalamika pale dudu lilipokuwa likiingia kwenye kitumbua chake kilichobana, taratibu mpaka likazama lote,ilikuwa ni utamu tupu Ujue wanawake wengi hupenda pale mwanaume unapoingiza dudu kwenye kitumbua chake,aanze kwa kasi ndogo sana kama hataki,yani aisikilizie mashine kama hatua za mtoto katika ukuaji. Aanze na kutambaa,kusima ma kutembea kisha kukimbia. Ndivyo ambavyo nilifanya, nilikua nampa maneno matamu huku nikimsugua taratibu, alikizungusha kiuno chake juu chini,kulia kushoto ili mradi afanikishe zoezi la kukikuna kiarage chake “aaaaaaa aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaaaa aaaaaaah,,,,oooooooooooh,,,,,m mmmh,," Alilalamika hivyo kimahaba huku akiwa hana hali,hata naye alijaribu kujibu mapigo. Akaanza kuongeza kasi kama anaingiza gia za scania ,hapo ndipo utamu ulipoongezeka kwa bibiye aliyehisi anataka kupaa. nilendelea kumsugua kwa kasi mpaka akaanza tuongea kama mtoto mdogo aliye pewa uji wa moto “aaaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiyuuuuuuuuuuuushuu uuuuuuuuuuuuu,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaas sssssssssssssss,,,,oooooooooooooh, aaaaaaaah," Alilalamika hivyo binamu, Dudu lilivyokuwa likimsugua vyema,alihisi utamu mpaka ndani kabisa kule utamu ulikojificha,dudu lilichokonoa kila aina utamu mpaka bibiye alimwaga bao lake,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,mmmm mmmmmmmmmh,," Alimalizia kulalamika hivyo baada ya kumwaga bao lake, akanipa sapoti Mwanaume mpaka nami nika ana kuweweseka huku maneno yakinitoka ooooohhhhh....,,,,, na.......ko,,,,,,,joooo sikumalizia maneno nikajikuta na mwagia ndani ya kitumbua cha binamu.kutokana na utamu ulio kolea. ila nilijipa matumaini mimba haiwezi kutokea mana nilianza mechi kwa sethi.tuliingia bafuni tukaoga kisha akaludi chumbani kwake nilijitupa kitandani nikapitiwa na usingizi mpaka pale nilipo kuja kuamshwa na na nasma. kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa "nitangulie wapi na Mimi nataka uni............... usikose ya 8 share kwa wingi nitume sehemu ya nane CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA NANE (8) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyopita........ kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa........... endelea sasa....... "nitangulie wapi naomba unikune kama ulivyo mkuna binamu yako Jana mpaka kashindwa kuamka mpaka mda huu" alinichukiza sana nikamjibu kwa hasira "sikia siwezi we dem sijaja kufanya mapenzi kwenye hii nyumba kwanza hapa nilipo Nina matatizo kibao mpaka saizi sijui wazazi wangu na mdogo wangu wamezikwa wapi alafu unaniletea ujinga wako sepa ukoo......." "eeeeh unasemaje kumbe unijui eeeeh kwa taalifa yako mjomba ako akifika tu nampa ubuyu wote tena exclusive yani kama unasikiaga shilawadu shilawadu hapa ndo kwake. sasa chagua moja utakuna au aunikuni"aliongea huku akijitikisa tikisa wowowo lake. nilishindwa nifanye nini kwa mkwala mzito alio nichimba ukiangalia nasma alivyo umbika nikaona acha nimtulize mjomba wangu alie vimba kwa hasira mvuta karibu yangu lakini ile nataka nianze kunyonya chuchu zake tulisikia kishindo mlangoni nilikimbilia bafuni moja kwa moja nasma akatoka nje kuangalia kwa mbali nilisikia maongezi yao,,,,,,,,,,!!!!! "we unatafuta nini huku" binamu alimuuliza nasma "nimekuja kumuamsha kaka Kenny" "yani kuja kumuamsha Kenny ndo umvalie kanga moja alafu nilisha anza kukushtukia toka mwanzo" "kha jamani Dada kwani unataka upa........" hakumalizia sentesi yake ali pigwa Kofi na errycah """paaaaaaaaaaah,,,,,,,,,!!!!""""" "shenzi tena nikusikie ukitamka huo ujinga wako utahama hapa ooohoo naona umenisahau malaya mkubwa we potea hapaaa" nasma aliondoka zake na binamu akaingia ndani nasha ngaa baada ya kunisubiri pale nje alikuja moja kwa moja hadi bafuni.niliinamisha kichwa changu chini kwa aibu kwa kitendo tulichofanya fanya jana.ilikua tofauti kwa errycah yeye aliona ni kitu cha kawaida tena ndo kwanza akataka tuendeleze gem. nilisikia mlinzi akiiniita kwa nje nikawai haraka kutoka kwenda kumsikiliza nilipofika aliniambia yule dereva wako yupo nje anakusubiri nilifurahi sana kusikia vile mana huyu dereva ana siri nyingi sana nikawai haraka nilipo mkuta nika mkalibisha ndani lakini cha ajabu alikataa kata kata kuingia ndani na alisema "kwa madhambi na machafu yanayo fanyika kwenye hiii nyumba siwezi nikatia mguu wangu hata Siku moja " machafu gani hayo yaliyo fanyika kwenye hii nyumba mpaka una zungumza ivyo....... janja nikianza kukupa story nitatengeneza sumu kubwa sana kati yako na huyo mjomba wako sasa sikia nimekuja kukuaga naenda mwanza nikirudi tukutane nikupe story nzima ila naomba iwe siri yako wewe na Mimi tena hata mjomba wako akikuuliza nani aliye kupeleka pale horena hotel naomba usinitaje mana nilisha wai kufanyanae kazi mwisho wa siku aliniwekea.......... tulikatishwa maongezi yetu na binamu aliye kuja "mbona humkalibishi mgeni ndani" hamna amekuja kunisalimia tu kasema anaharaka sana na anaotaondoka sasa ivi.kitu kilicho nishangaza zaidi ni kumuona dereva akigeuza sura yake na kuificha ili errycah asimuone aliingi ndani ya gari haraka na kuondoka kwa speed kubwa.kitu kilicho nifanya nibaki na mawali mengi nikiwa bado najiuliza nilitupiwa swali na binamu """huyu rafiki yako anaitwa nani""" nilibaki kimya mana hata jina lake simfahamu na sijawai kumuuliza.nika baki namtumbulia macho tu. "ila mbona kama kafanana na marehemu kaka john tulikua tunaishi nae hapa nyumbani alifariki kwa ajari ya gari." mmmmh..... binamu utakua ume mfananisha bwana ila nilianza kupata picha kichwani kwangu kwa nini kila mtu nina yesikia amefariki kafariki kwa ajali ya gari.nikabaki na maswali kichwani nikasema kuna namna tu hapa haiwezekani........ "tuingie ndani basi" ilikua ni sauti ya binamu ikiniambia wakati tunaingia ndani nilishangaa kumuona mlinzi akitikisa kichwa nilishindwa kumuelewa ila alionekana kuna kitu anataka kuzungumza.acha nikanywe chai niludi kwa huyu mzee nipige nae stori mbili tatu. nikafika sebureni nikaa kwenye kochi nikisubiri nitengewe chai kutupa macho kwenye korido nili mwona husna akiwa anapiga deki huku akiwa amevalia kanga hisia zilinipeleka mbali sana na kujikuta naanza kumtamani kusema ukweli husna ni mschana mzuri sana sema tu hajapata matunzo sura yake utasema yule msanii aliye imba "nagusagusa" nandy yani Siku ya kwanza kumuona nikasema naishi nyumba moja na superstar nilizama kwenye dimbwi la mawazo huku macho yangu yakitazama wowowo la husna jinsi lilivyo kua linatikisika nikajikuta napata ujasiri wa kusimama na kuanza kumfata. nilimsogele mpaka pale nika mshika kalio lake mtoto ali shtuka na kunitazama. nili tabasamu na kumbembeleza ili atulie na akaanza kuni lembulia .sikulemba mtoto wa kiume nika msogele karibu nika mkumbatia na kuanza kumpa maneno matamu "nandy oooh,,,,,,,,,,!!! eti nandy husna nakupenda sana please naomba unikubali mana toka nilivyo kuona moyo wangu ulitokea kukukubali sana ndio mana nimeshindwa kujizua" niliongea maneno machache ya kisomi sio unaongea maneno mengi mpaka una mchosha mwenzako.kama kuna jamaa yangu mmoja utamsikia swagger zake "mi mtoto baba yangu gavana wa bank kuu BOT hela zote yeye ndo anatia saini yake" Ukiangalia anapokaa tuachane na hayo tuendelee na stori yetu.... basi mtoto alikaa kimya sikumwelewa kama amekubali au laa nikaamua kumvutia chumba kimoja kilichokua karibu yetu nilipo tazama mlangoni nilishangaa kuona namba #966 juu ya mlango siku wekea maanani sana.nikataka kufungua ili nimuingize husna tufanye yetu......... _Kesho tutaendelea na sehem ya 9_ *usiku mwem* ... Read More
*LOVE BITE EP 03* ILIPOISHIA………. Mawazo yalirudi tena kwenye ile picha na kuamua kuificha bila kuichoma moto kama alivyotaka mwanzo kufanya. Badala yake alienda sehemu ambayo kulikuwa na hati ya nyumba yake na kuiweka ile picha katikati. Ni kweli Prisza alikuwa anampenda na hawakuwahi kuachana. Ni muingiliano tu wa maisha ndi uliowatenganisha. Moyo wake aliona kama si haki kuichoma ile picha kwakua bado alikua na nafasi ndani ya moyo wake japokuwa kuonana na msichana huyo ni ngumu sana. Hata alipomaliza chuo alijitahidi kumtafuta bila mafanikio. Mpaka muda huu anajitegemea ni kipindi kirefu cha miaka sita tuko walipokutana na Prisca kwa mara ya mwisho. Mawazo ya msichana huyo wa kwanza katika maisha yake yalimchanganya kichwa na hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokea na kuanzisha ukurasa mwengine wa maisha yake kwenye mapenzi na shani Baada ya usafi huo wa kabati lake, aliamua kujilaza kitandani na usingizi ukamchukua. SONGA NAYO………… Siku ya pili yake Jothan alienda kazini kama kawaida. Alifanya kazi zake na baada ya kurudi kazini alimkuta Shani amejaa tele nyumbani kwake. “karibu mume wangu “ alikaribisha Shani na kumfuata Jothan na kumpokea mizigo yake. “ahsante.” Aliongea Jothan na kumkabidhi mizigo yake Shani. “una oga kwanza au unakula ndio uende kuoga?” aliuliza Shani baada ya kurudi pale alipokuwa Jothan. “vyovyote tu mke wangu. Maana nahisi joto na hata njaa pia ninayo.” Aliongea Jothan na kumfanya Shani atabasamu. “kaoge kwanza, maana ukiwa vizuri hata chakula kitashuka barabara.” Alishauri Shani na mawazo yake yakapitishwa moja kwa moja na Jothan. Alipotoka kuoga Jothan, alirudi mezani na kukuta Shani ameshaandaa mapocho pocho ya kila aina yaliyochafua meza. “unajua mke wangu, hata niwe na njaa vipi, kama wewe upo nyumbani basi hudiriki kuitunza hiyo njaa kwa sababu unajua sana kupika mke wangu. Muda mwengine naomba nipate na njaa ya ajabu ili nikifakamie kisawasawa chakula chako.” Aliongea Jothan na Shani akabaki anatabasamu na kumuangalia Jothan kwa mapozi. Mapenzi moto moto kutoka kwa Shani yalizidi kupamba moto. Muda wote Shani alijitahidi kumuweka Jothan kwenye kundi la wanaoyafurahia mapenzi. Jothan alijisikia raha kutokana na Shani kila wakati kutokana na mauzo anayoyapata kuwa na msichana High classic. Walitamani kila saa wawe karibu na kulishana ndio style iliyowavutia watu wengi waliowashuhudia wawili hao walionyesha kupendana sana. Siku moja Jothan akiwa anatoka kazini, ghafla aliona gari likiwa limepaki pembeni na kuna msichana akihangaika kulishughulikia lile gari. Jothan alipaki gari lake pembeni na kushuka kwa ajili ya kutoa msaada. Alipomfika eneo la tukio, yule dada aligeuka kumuangalia Jothan na wote wakajikuta wanapigwa na butwaa. “JOTHAN!!” aliita yule dada kwa sauti kubwa iliyoambata na mshangao mkuu. “PRISCA!!” hata jothan naye alilitaja jina la yule msichana na kumfanya Prisca kujiachia na kupitisha mikono yake mgongoni mwa Jothan kupitia kweye makwapa yake kama ishara ya kumkumbatia. Jothan naye akampokeaa vizuri kwa kuzungusha mikono yake kwenye kiuno namba 6 cha Prisca. Baada ya kusalimiana, wakaona haitoshi. Waliacha gari zao pale pale na kutafuta sehemu tulivu na kukaa kwa ajili ya kupigiana story mbili tatu kutokana na kukumbukana kupita kiasi. “ ahsante mungu kwa kunikutanisha na kipenzi changu jamani,.. jothan milima haikutani ila binaadamu tunakutana. Leo hii kauli hiyo ndio naikubali kwa asilimia zote.” Aliongea yule dada huku akionyesha furaha ya wazi juu ya Jothan ambaye wakati huo alikua na tabasamu la usoni lakini kichwani alikua kwenye msongo wa mawazo. Anampenda Prisca lakini kwa sasa Shani amechukua nafasi kubwa kwenye moyo wake kutokana na kumpa kila anachokihitaji tena kwa wakati. Alikiri kuwa kwa sasa Prisca alizidi uzuri na kumfunika hata Shani. Maana Shani alikuwa ameridhika na kuzidi kuwa mnene kiasi japokuwa sio kigezo cha kupunguza uzuri wake. Ila Prisca alikuwa mwembaba lakini aliyekuwa na figa iliyojichonga kama glasi ya wine. Kwenye kiuno alikuwa mnene na kufaya hipsi zake kuonekana sana. Pia kijungu cha wastani kilichotupiwa huko nyuma ndio kilizidi kumpa maksi zaidi na kumfanya azidi kuonekana special na wanaume wote wanaojua viwango vya wanawake wazuri na wenye mvuto katika muonekano wa macho ya marijali. Kiuno kilichoingia ndani na muinuko wa kibinda ndio kilitengeneza namba 6. kiuno hicho mungu kawapendelea wasichana wachache sana. Hata wachina wameshindwa kutengeneza dawa ya kutengeneza kiuno hicho. Sura ya mviringo iliyokuwa na macho yenye kilevi bila ya kunywa kileo chochote ndio kilikuwa kivutio kingine. Ukiachana na weupe halisi ambao ulikuwa kiasi na kufanana na maji ya kunde, pia vijisima vidogo mashavuni vilivyojitokeza kila akifanya tendo lolote liliousumbua mdomo wake vilimfanya mtu yeyote kutamani kumuangalia usoni. Uso uliombwa na haya mbele ya mwanaume ndio ulikuwa kivutio hasa kwa mvulana mwenye kutafuta mtu wa kuweka ndani na kuoa kabisa. Mambo yote hayo ndiyo aliyokutana nayo Jothan baada ya kukutana na Prisca kwa mara nyingine baada ya muda mrefu. Hata yeye mwenye alikutana na majaribu hayo aliyoyafananisha na majaribu ayapatayo mwanamke mjane baada ya kusikia sauti ya mwanaume tajiri aliyekuja kumfariji na kwa kumuahidi kumuoa na kuwa tayari kuwalea watoto wake. Alijikaza kiume na kujaribu kuyaficha madhaifu yake yaliyomkumba na kujifanya yupo kawaida. “Hata mimi nimefurahi kukuona, za miaka?” aliongea Jothan na kumuangalia Prisca ambaye alikua na furaha wakati wote huo toka wameonana. “vipi, leo maaskari hawaji??” aliuliza Prisca na kucheka. “leo hakuna mwanafunzi hapa..au wewe mwanafunzi?..maana siku ile nilikataa kuwa mimi ni mwanafunzi halafu wewe ukajitambulisha kuwa mwanafunzi.” Aliongea Jothan na kufanya kicheko kitawale kwa sekunde kadhaa kati yao. “tumetoka mbali sana Jothan, leo naona kabisa kuwa mungu katufanya tusahau kipindi chote ambacho hatukua pamoja.” Aliongea Prisca huku akionyesha wazi kuwa bado alikuwa na mawazo ya mapenzi juu ya Jothan. “hata mimi naona kama vile hatukuonana siku mbili kwa jinsi siku ya leo ilivyofukia mashimo ya miaka mingi niliyoishi bila kuiona sura yako.” Aliongea Jothan na kumuangalia Prisca aliyekuwa na kila kitu cha kutalii umuangalipo usoni. “nikuulize swali Jothan?” Aliongea Prisca na kumfanya Jothan kushangaa kidogo baada ya kuombwa ruhusa ya kuulizwa kitu. Alifikiria kwa nukta kadhaa kisha akaruhusu kusikia kitu alichotaka kuuliza Prisca. “umeshaanzisha uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwengine zaidi yangu?” Aliuliza Prisca swali hilo huku akiwa kawaida na kuonyesha wazi kuwa lile swali linahitaji majibu sahihi na yenye utashi juu yake. Jothan hakuamini kama swali lile lingekuja mapema kabla hajaliandalia maandalizi yoyote ya kujibu. Ubongo wake ulikimbia kwa kasi kutafuta jibu la kumpa kati ya ukweli au kumuongopea kwakua wakati huo swala la kumuepuka au kumpotezea msichana huyo aliyeonja penzi lake toka hajakuwa sister du kama hivi sasa. Elimu ya msichana huyo na maisha mazuri anayoishi pia vilikuja kwenye ubongo wake na kufanya machaguo kuwa mengi. Yaani kama ni mtihani, basi lile swali lilikuwa katika mfumo wa matiple choice tena lililokuwa na mfumo wa A,B,C,D,E na F.. “sina.” Alijibu Jothan huku moyo wake ukimuuma kumkana Shani. “wooh… ni wazi hii couple Mwenyezimungu amekuwa akiismamia kwa kipindi kirefu. Unajua kuwa hata mimi nilikuwa naamini kuwa kuna siku tutakuja kuonana tena. Ndio maana sikuona uzito wowote kuwakataa wanaume wengi huku nikiwa sijui ni lini tutakutana. Roho ingeniuma sana ungeniambia kuwa kuna mwengine umeshampa moyo wako.” Aliongea Prisca bila kujua kuwa huo ndio ulikuwa ukweli wenyewe. Maneno hayo yalimfanya Jothan ajione kuwa hakuwa na makosa kumuongopea kwa sababu angemwambia ukweli chochote kingeweza kutokea na kusababisha maongezi ya amani kati yake na Prisca kutoweka. “unataka kuniambia kuwa mpaka hivi sasa hauna mtu mwengine aliyerithi mikoba yangu?” aliuliza Jothan kimitego. “hakuna… yaani toka uliponiacha sijaguswa na mtu mwengine. Yaani hata kama ungekuwa umenifunga luku basi zingesoma unit zile zile ulizoziacha.” Aliongea Prisca na kumfanya Jothan kutabasamu. Waliongea mengi na kila mmoja alifurahia uwepo wa mwenzake pale. Waliachana baada ya kumrekebishia Prisca gari lake na kila mmoja kupata mawasiiliano yote ya mwenzake. Waliachana na ahadi ya kukutana naye tena walikubaliana kuwa watapeana taarifa kwenye simu. Siku hiyo iliwekwa kwenye Diary ya Jothan ambaye alikuwa anatemba nayo kwenye mkoba wake wa kazini. Usingizi ulikuja ukiambata na ndoto iliyojirudia kuanzia mwanzo hadi pale walipoachana. Aliamka asubuhi na kukuta Shani ameshamuandalia maji ya moto kwa kuwa asubuhi hiyo ilikuwa na kiubaridi kidogo. Alipoamka tu aliletewa nguo za bafuni pamoja na mswaki ambao ulisha wekwa dawa kabisa. Alipokuwa bafuni mawazo yaligeuka upande wa pili na kumfanya amuwaze pia Shani kwa jinsi alivyokuwa akitimiza wajibu wote kama mke bora anavyotakiwa kufanya. Kila aliloliwaza kutendewa na msichana basi Shani alikuwa wa kwanza kufanya hata kabla hajaambiwa fanya. Hayo na mengine mengi ndio yalimfunga Jothan na kuyatuliza macho yake kwa wasichana wengine na kumfanya kuwa mtiifu kwa kurudi nyumbani mapema. Na kama anataka kupata moja moto maja baridi basi hutoka na mpenzi wake huyo ambaye alimfanya kuinjoy kwa kuwa sehemu nyigi walizoingia hakukua na mtu mwenye demu mkali kama wake. Alimaliza kuoga huku kichwani hakujua jibu nini kati ya A au B. kuna wakati alitamani kuyaweka kuwa yote ni majibu. Kuna wakati alitamani arushe shilingi ila alishindwa kumjua nani amuweke mwenge na nani amuweke bichwa. Prisca ndio msichana waliyebikiriana kwakua yeye hakuwahi kufanya mapenzi kabla kutokana na ulinzi thabiti wa wazazi wake alipokuwa anasoma. Na Prisca ndiyo yeye aliyekata utepe. Shani ndio mpenzi wake wa ukubwani ambaye anamuonjesha matamu ya ndoa hata kabla hajafikia maamuzi ya kuoa. Hata sasa anaanza kuonekana na kitambi kidogo kwa sababu ya raha azipatazo kwa mpenzi wake huyo. Japokuwa walikuwa wapenzi kwa kipindi kirefu, lakini hawakuwahi kukaa pamoja hata wiki moja kwa sababu kila mmoja alikuwa anaishi na wazazi wake. Ila Shani na yeye wamekuwa wakilala pamoja mara tatu kwa wiki. “itakavyokuwa ndio hivyo hivyo.” Aliongea Jothan baada ya kuona anaisumbua akili yake bila majibu sahihi. Siku waliyo ahidiana kukutana kati ya Jothan na Prisca iliwadia huku kila mmoja akiwa amewasili bila kukosa huku wakiwa wamejitupia vitu vya thamani kila mmoja. Make up na mpangilio wa nguo alizovaa Prisca zilimfanya kuonekana katika muonekano mwengine wa kuvutia zaidi. Jothan hakuamini kuwa ndiye yeye alikuwa analala kwenye kifua cha yule msichana zamani. Pia hakuamini kuwa huyo msichana ndiye aliyekuwa akilipigania penzi lake miaka yote japokuwa walikuwa hawajaonana miaka mingi. Walikutana huku kila mmoja akiwa ameshuka kwenye gari lake na kwenda kwenye hotel moja yenye hadhi hapa Dar. Walipata chakula cha mchana na baadae wakaenda kwenye swimming pool kuogelea. Hamadi !, Macho yalimtoka Jothan baada ya Prisca kuvua nguo zake na kubaki na nguo ya ndani huku juu kukiwa na sidiria ndogo iliyobana maziwa yake na kuyafanya yapande juu na kuonekana sehemu kubwa ya maziwa iliyoteganishwa na msitari mmoja kati kati kuwa wazi. Jothan hakuona ubaya kuvua nguo na yeye na kubaki na boxer na kujumuika naye kwenye swimming pool huku wakiwa peke yao eneo hilo lililokuwa na mabwawa mengi ya kuogelea. Waliogelea na kujikuta michezo yote wanacheza. Kuanzia bembea, mpira wa pete na mwisho wakamaliza na mchezo usio hitaji kocha wala mashabiki japo kuwa unapendwa na watu wengi hapa duniani. Ukiwa mtoto unaambiwa kuwa mchezo huo ni mmbaya lakini ukikuwa bila kufundishwa unajikuta unacheza huku ukijilaumu kwa nini hukuanza kucheza toka mwanzo. Hawakujua walitumia muda gani kwakua taa za ile hotel ziliwaka muda wote na kufanya mtu asitambue wakati kama hajaangalia saa. Mndinyo wa kitanda murua cha hotel hiyo ndio sababu iliyowafanya kudumu muda mrefu huku kila mmoja akiwa ame miss raha za mwenzake. Mechi hiyo ya marudiano ilikuwa kali na kila mmoja alikiri kuwa walihitaji kuwa karibu na kucheza kila mara. Baada ya muda, Jothan aligutuka kuwa hiyo siku ndio siku Shani alikuwa analala kwake. Aliamka fasta na kutupa macho yake kwenye saa ya ukutani “MUNGU WANGU…. SAA SABA USIKU?” Alishtuka kimoyo moyo na kutaja alichokiona kwenye saa. Aliamka ili aenda kuoga kwa ajila ya kwenda nyumbani kwake. “vipi darling, unaenda wapi tena… mwenzio nahitaji kimoja tu cha mwisho.” Alidakwa mkono kimahaba na Prisca aliyekuwa ameyarembua macho yake na kuonyesha ishara zote za kuhitaji kipindi cha pili baada ya mapumziko. “najisikia uchovu ndio maana nilikua nataka kwenda kuoga.” Aliongea Jothan huku akiwa na wasiwasi mkubwa juu ya Shani kugundua usaliti alioufanya siku ile. “twende wote babie, tukirudi mpango mzima au…” aliongea Prisca na kumfanya Jothan azidi kuchoka. “poa.. twende.” Alikubali kishingo upande na wote wakaenda kuoga na uchokozi alioufaya Prisca huko bafuni ikiwafanya mchezo huo kuanzia huko huko bafuni na kumalizikia kitandani wakiwa hoi na usingizi wa muda wote waliokuwa wakicheza cheza ulikuja na kuwafanya wapate usingizi mnono. Saa nne asubuhi ndio waliachia kitanda na kwenda kuoga. Walipofungua mlango walikutana na wahudumu waliokuwa wakigonga kwa ajili ya kufanya usafi. Walieda kupata supu kutokana na kupotelewa na nguvu nyingi masaa kadhaa yaliyopita. Baada ya hapo. Walijiandaa na kila mmoja akapanda kwenye gari lake huku Prisca akionyesha wazi kuwa aliufurahia uzinduzi wa uhusiano yao uliofanyika kwenye kitanda cha hotel ya SERENA. Jaothan akiwa kwenye gari lake, aliiona simu yake aliyoiacha makusudi kwa ajili usumbufu pindi awapo na Prisca. Alikuta missed call zaidi ya kumi na tano na sms sita zote zikiwa za Shani na zikionyesha kuwa na wasi wasi juu ya usalama wake. Alihuzunika sana kwa kosa alilolifanya japokuwa hakupanga kulala nje. Maisha ya kuendesha mioyo miwili hakuwahi kuishi na tayari kwa siku hiyo aliona adha yake na kutamani kuchuja na kuwa na mmoja tu. Ni nani ambaye angestahili kubaki na ni nani atoke ndio swali lililokosa majibu kwakua wote alikuwa anawakubali kwa wakati wao. Alivyolala na Prisca alikuwa kama alikuwa anamfungua kwa mara ya kwanza hali iliyomfanya aamini kuwa hakutumika muda mrefu. Aliona sio sawa kumuacha msichana huyo mwenye ndoto naye nyigi za maisha yao toka walipokuwa wanasoma. Na Shani hakustahili kutendewa unyama wowote kwakua hata yeye hajawahi kumfanyia unyama wowote zaidi ya kumfariji anapokuwa ana huzuni na daima aliisimamia furaha yake hata ikibidi kuenda kinyume na matakwa ya dini kwa kukubali kuishi nae bila ndoa. Akiangalia kila mmoja alionyesha kumpenda kwa wakati wake na hawakuwa tayari kumuachia. Ila yeye swali la NIMPENDE NANI lilimsumbua kuliko hata DIAMOND. Aliamua kuwasha gari lake na kuelekea nyumbani. “oooh.. ahsante mungu. Umekumbwa na nini kipenzi changu?.” Aliongea Shani baada ya kuupokea mkoba wa Jothan. Hali hiyo ilimshangaza Jothan kwakua hakutegemea mapokezi kama yale. “samahani mke wangu, sikukupa taarifa kuwa ofisini kuliandaliwa warsha na nikaenda kwa kudhani itaisha siku hiyo. Hata hivyo simu yangu niliisahau kwenye gari na kunifanya nisizione missed call zako mapema.” Aljiuma uma Jothan mbele ya Shani ambaye wakati huo ndio kwanza alikuwa anamvua viatu baada ya kukaa kwenye moja ya masofa yaliyokuwa pale sebuleni. “sawa mpenzi wangu. Nimefarijika tu wewe kurudi salama.. maana nilikuwa na wasi wasi juu ya uzima wako tu.” Aliongea Shani na kumuonyesha Jothan jinsi anavyomjali. “samahani sana mpenzi wangu, nitajaribu kukupigia simu kwa kila siku nitakayochelewa kurudi nyumbani.” Aliongea Jothan na kukiri kuwa amefanya makosa makubwa ambayo hata yeye mwenyewe hakuyategemea. Siku hiyo ilipita kwa Jothan kulala muda mrefu kutokana na uchovu wa jana yake. Asubuhi aliamka na kukuta ameandaliwa nguo za kuvaa kwa ajili ya kwenda kazini zikiwa zimepigwa pasi kabisa. Aliwekewa maji ya uvugu vugu kwa ajili ya kuoga kisha kifungua kinywa matata kilikuwa tayari mezani kinamsubiria yeye tu. “ashante mke wangu.” Alishukuru Jothan baada ya kumaliza kunywa chai. “usijali mume wangu, nakutakia safari njema. Take care honey.” Aliongea Shani na kumfungulia mlango wa gari Jothan. Jothan alifika kazini mapema na kufanya kazi zake kama kawaida. Saa nane alitoka kazini na kurudi nyumbani. Alikuta ameandaliwa chakula cha mchana mezani lakini Shani hakuwepo kwakua ilikuwa ni siku ya kwenda kwao. Alijihisi mpweke na alitamani Shani angekuwepo kwake moja kwa moja. Alikata shauri baada ya kula chakula na kuamua kumtafuta mpenzi wake kwenye simu. “hallow” alipokea Shani kwa mapozi. “I miss u babie, unaweza kuja tutoke baadae kidogo tukale mbuzi maeneo ya Facebook pub?” aliongea Jothan. “noo babie, leo nimeenda kwa mama. Sio vizuri kuonyesha tabia mbaya mbele yake ya kurudi usiku. We vumilia babie. Kesho tutakuwa wote.” Aliongea Shani kwa pozi zilizomfanya Jothan kushindwa kukata simu hata kama maneno ya msingi ya kuongea nae yameisha. “basi sawa. Sijui lini utanipeleka kwa mama.” Aliongea Jothan huku anatabasamu. “si wewe mwenyewe tu hujaamua. Ukiamua hata leo nakuleta huku.” Aliongea Shani huku akionyesha wazi kuwa alikua anacheka. “nitakuja tu mine, si unajua mambo mazuri hayahitaji haraka.” Aliongea Jothan na kukata simu. Siku ya pili yake walitoka pamoja na kwenda kula bata maeneo hayo na kurudi mida ya saa tano usiku. Alipokuwa kazini, alisikia simu yake ikiita kwa mlio tofauti. Kabla hata hajasoma jina la mpgaji wa hiyo simu. Tayari alishamtambua kwakua aliihifadhi namba ya mtu huyo kwa mlio tofauti kwa makusudi. “haloo.” Aliipokea ile simu. “haloo babie, I miss u.” sauti nyororo ya kike ilisikika upande wa pili. “I miss u too Prisca, niambie.”aliongea Jothan huku akiangalia wafanya kazi wenzake waliokuwa bize wakifanya shughuli zao. “hata kunitafuta wangu,.. yaani kama uliniroga mwenzako siku ile. Yaani sijielewi mpaka hivi leo.” Aliongea Prisca kwa sauti ya mahaba. Jothan aliangalia na kuona soo kuendelea kuongea maneno yale mbele ya wafanyakazi wenzake. “sema nini babie, nitakupigia nikiwa free. Now nipo kazini halafu nina kazi nyingi.” Aliongea Jothan kwa sauti ya chini. “sawa wangu, baadae.” Aliitkia Prisca na kukata simu. Jothan alifanya kazi zake na kurudi nyumbani kwake. Baada ya kupata chakula cha mchana, alijitupa kitandani na kuchukua simu yake na kumpigia Prisca. “haya lete maneno.” Aliongea Jothan baada ya Prisca kupokea simu. “nina hamu ya kuonana na wewe babie… sihitaji kuwa mbali na wewe hata kwa dakika moja kwa jinsi nillivyozimika mbaya.” Aliongea Prisca kwa sauti iliyomshinda mwana dada wa kipindi cha ala za roho kinachoruka usiku kwenye kituo cha clouds fm. Sauti ilipenya vizuri kwenye masikio ya Jothan na kuhisi labda Prisca alichanganya sauti ya Loveness love (Diva) na wema sepetu. “tupange week end, sababu katikati ya wiki ni majanga.” Aliongea Jothan. “poa, ijumaa si ulisema unatoka mapema. Unaonaje kama tukikutana siku hiyo.” Aliongea Prisca na wazo lake likapitishwa moja kwa moja na Jothan. Siku ya ijumaa ilipofika. Jathan alimpa taarifa Prisca na wakakutana maeneo ya Peacock hotel iliyopo maeneo ya mnazi mmoja. Jothan alifika na kumkuta Prisca alishafika muda mrefu kidogo na tayari alishaagiza kinywaji na alikua anakunywa taratibu. Alipofika, alipokelewa kwa kukumbatiwa na Prisca na kupewa mabusu matatu matakatifu kwenye mashavu yake na moja likiwa sawia mdomoni mwake. Baada ya salamu hiyo adhimu. Walimuita muhudumu aliyekuja haraka na kumpa oda yao. “tuchukue chumba sasa hivi au baadae?” aliuliza Prisca baada ya kumaliza kula. “hapana, leo sijisikii vizuri kabisa na sipo tayari kushiriki tendo lolote Prisca.” Aliongea Jothan na kumfanya Prisca apigwa na butwaa. Maana alijiandaa kabisa kupata mechi nyingine siku hiyo. “kwanini babie….unaumwa???” aliuliza Prisca kwa mshangao. “siumwi, ila mayo wangu unanisuta kila siku nikiongea na wewe kwenye simu au nikikutana na wewe. Najihisi sifanyi fair kwa nikitendacho.” Aliongea Jothan huku sura yake ikionyesha wazi kuwa hakuwa na furaha ingawaje aliingia kwa muonekano wa mtu aliyefurahia uwepo wao pale. “jamani, tatizo ni nini wangu, mbona una nifumba fumbo ambalo sijui nitalifumbua vipi?…naomba uniambie ukweli kuliko kuniweka mwenzako kwenye uzio wa alama ya kuuliza.” Aliongea Prisca huku akionyesha wazi kubadilika kutoka katika hali ya furaha aliyokuwa nayo mwanzo na kuungana na Jothan. “Prisca, hivi bado unanipenda?” aliuliza swali Jothan lililomfanya Prisca apigwe na bumbuwazi kwakua hakulitegemea lile swali. “nakupenda sana tena zaidi ya niwezavyo kuelezea kwa ulimi wangu. Ndio maana nikaweza kukaa kipindi kirefu bila ya kuwa na mtu mwengine japokuwa ni wengi walikuwa wanakuja kunitongoza na bado sikuona umuhimu wa kuanzisha mapenzi mapya kabla mapenzi yako wewe na mimi kufa.” Aliongea Prisca na kumuangalia Jothan aliyekuwa makini kumsikiliza. “hata mimi nakupenda Prisca, ila mimi ni msaliti na sio mwema kwako hata kidogo. Cha kwanza nimekuwa muongo kwa kukuongopea toka siku ya kwanza tulipokutana kwa mara ya pili ukubwani. Cha pili sistahili kuwa wako kwakua tayari nimeshakuharibia mipango na malengo yako kwa kipindi krefu Prisca.” Aliongea Jothan huku akionyesha wazi kuwa alikuwa katia wakati mgumu kufunguka yale yaliyomjaa moyoni. “sikueliwi Jothan.. naomba nidadavulie uyasemayo.” Aliongea Prisca huku akionyesha kuchaganyikiwa. “kwanza naomba unisameha Prisca kwa haya nitakayokuambia. … nilifanya makosa makubwa siku ile kwa kutokuambia ukweli kuwa tayari nina msichana na ninaishi naye. Nampenda sana ingawaje sikuweza kutoka kwenye mitego yako siku ile kwakua wewe ndio wa kwanza kukaa moyoni mwangu na chembe chembe za upendo juu yako ndizo zilizonisukuma mpaka kukuongopea na kukuambia kuwa sina mtu. Siwezi kuweka mafahari wawili kwenya zizi moja. Na kumuacha Shani ni kitu kisichowezekana kwakua ananionyesha mapenzi zaidi ya niliyowahi kufikiria mapenzi kuwa hivyo. Maamuzi yangu ni kwamba. Kuanzia leo sahau kuwa na mimi ni mpenzi wako…. Niwie radhi kwa hili.” Aliongea Jothan huku machozi yakimlenga lenga. Hakika ni uamuzi mgumu aliouchukua kwakua aliamini ilikuwa ni mtihani mkubwa katika mapokezi ya mlengwa. Alipoinua macho yake kumtazama Prisca, tayari mashavu ya prisca yalishalowana kwa machozi huku macho yakiwa mekundu. Kilio cha kwiki kilianza kusikika na kumfanya Jothan kuingiwa na imani baada ya kumtaza mpenzi wake huyo anaye amua kumuacha bila kosa lolote. ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA (26) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia ndo icho tu au kuna kingine nikamjibu hamna nilishangaa kuona kanikubalia kwa haraka sana huku akiniambia tuwahi bank tukachukue hela kisha kesho tupige mechi moja matata kama ya leo ile nataka kumjibu nilipo tazama kwenye kioo nilimwona mdada akiwa anatu record na simu ila uzuri wake sauti haiwezi kuwepo ila vitendo vitaonekana niliwai kufungua mlango na kumkuta yule mdada bila ya wasiwasi akaniambia tuingie kwenye gari ana maongezi na sisi.............. endelea sasa alinaza kwa kughuna kwanza huku akituangalia alikua amekaa siti ya nyuma ya gari na sisi tupo mbele. "we errycah wewe ni wakufanya mapenzi kwenye gari la baba yako tena barabarani sasa nampelekea ushahidi wote baba yako na utaona atakacho kufanya mana Alisha wai kuniambia Siku akisikia kuna mtu anamchezea binti yake atawamwaga ubongo hapo hapo" "kwani we nani"errycah alimuuliza swali bila ya wasiwasi wowote "unijui eeeh baba yako akiondokaga unajua anaendaga wapi.sasa kwa taarifa yako anakuja kwangu Mimi ni mama yako mdogo.na wewe kijana naona unayachezea maisha yako"alipo maliza kusema Yale akachukua simu na kumpigia mjomba "hallo" "yes Darling niambie"ilikua ni sauti ya mjomba hapo hapo tukampa ishara asizungumze chochote alimkatia simu na kutuuliza "si mnajifanya amniamini sasa mkitaka niifute hii video na nisimweleze wewe kijana leo usiku njoo ulale kwangu mana nime penda dozi yako.na wewe errycah kwanzia leo sitaki nikuone ukiwa karibu na huyu kijana." sikua na lakupinga ila nilijisemea moyoni mwangu ivi kwa nini kila mwanamke anaye niona anataka nifanye nae mapenzi lilikua swali ambalo halina majibu kimya changu kilionyesha kukubaliana na lile na akaniambia "jioni SAA 1:30 toka nje ya geti nitakufata na gari twende kwangu na usipo tokea mtaniona mbaya." alishuka yule mdada na kuondoka zake ukimwangalia analipa mana tako analo sema yeye mrefu kuliko Mimi.errycah hakua na la kusema zaidi ya kuniambia ukienda naomba utumie mpira alafu mkomoe mpe dozi mpaka atoke kizazi mana anaonekana Malaya sana yule mchiiiiuuuuuuu......" alimaliza kwa kumsonya yule mdad tukaweka siti vizuri na kuliondoa gari kuelekea bank uzuri wa pale tuliingia ndani kabisa na kukutana na kiongozi tuka mwelekeza akatupa na fomu tukajaza akatuambia tusuburi nje kwa mda atatuita tuje kuchukua mzigo. tulisubiri nje kwa dakika kama 20 hivi tukaitwa ndani kisha tuka hakikisha imetimia na kumuambia atu tenganishie.hela ikapakiwa kwenye briefcase mbili maana moja yangu moja ya mjomba ilibidi tupate lunch mana ilikua mida kama ya SAA 9 ivi.nilishindwa kumficha errycah kwamba yule mgeni wa jana ni mdogo wangu merry.errycah hakushtuka sana zaidi ya kusema "nilihisi ni yeye ila sikua na uhakika"mana alikua mchafu sana.nikamwambia na hizi hela naenda kumnunulia nyumba na Mimi nitaondoka pale kwenu..... "nini uwezi kuondoka pale kama bado hatuja jua ukweli wowote na utaondokaje ? uniache Mimi ? nani atanikuna ? au unaona raha Mimi kufanya mapenzi na baba ? tutaondoka wote baada ya kukamilisha mambo yote na kama tutamkuta na hatia basi tumdoshe chini na aishi kama shetani.mana si kwa madhambi ya baba.ila naomba uniahidi utanioa mana nakupenda sana hata kama sisi ni ndugu naomba tuweke undugu pembeni I love you Kenny..... sawa nilimwitikia kwa kichwa kuonyesha nimekubaliana naye kwa 100% kwamba Nita mwoa ila dhumuni langu ni kuhalikisha maisha yangu yana kaa vizuri.niliemdesha gari mpaka horena hotel na kumkuta merry akiwa amekaa alionekana ana mawazo sana tulipata lunch wote kwa pamoja kidogo alionekana mchangamfu tukiwa pale errycah alipigiwa simu ma mjomba na kutuambiwa tuwahi kutudi anatusubiri sisi ilibidi tufanye upesi nilimwachia hela kidogo merry na kumuahidi kesho nitakufanyia surprise kubwa mdogo wangu. nili mkumbatia na tukaagana ile naelekea kwenye gari nilishangaa kusikia sauti ikiniita alikua ni yule muhudumu niliye sex nae nilimpa ishara Nina haraka Sana na kumwambia atanipigia tuongee vizuri nilitoa gari kwa speed ya ajabu mpaka errycah akaniuliza nani aliye kufundisha Ku drive gari kwa kasi namna hiii.nikamwambia ni utundu tu na kujiongeza tulipiga kona ya kwanza ya pili tulifika nyumbani na kumkuta mjomba akiwa na wasiwasi mwingi tulimpa document zote na hela zake alifurahi sana na kuniambia atanipa zawadi.tuliendelea kupiga story huku tukiangalia mpira ilikua mechi kati ya liverpool na manchester city ambapo liva alishinda 4 kwa 3 nilisikitika sana mana nilikua nashabikia man city kibaya zaidi niliweka mkeka wangu wa 50000 nikaliwa. (ipate simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 500 tu) 0744204283 mjomba aliagiza nikamwite mlinzi kuna maagizo anataka ampe nikatokanje kwenda kumuita nilishangaa kumkuta mlinzi akiwa nje.nilipotoka nje kabisa ya geti nilimkuta yule mdada aliye tufumania kaja kunifata nika mpe dozi naka mwita mlinzi nika mwelekeza anaitwa ndani nikampa ishara yule mdada anisubiri dakika 5.niliingia ndani na kumuomba mjomba ruhusa rafiki zangu wamekuja kunipitia tunaenda kwenye mkesha wa kuliombea taifa litakalo fanyika st peter.kwa sababu mjomba na mambo ya kanisani sukari na chumvi aliniruhisu haraka haraka nika waaga nikaondoka zangu huku nikimwacha mlinzi ndani akiwa anaongea na mjomba.nilifika moja kwa moja nikaingia kwenye gari na safari ya kuelekea kwake ikaanza alikua anaishi masaki ile ile na hapakua mbali na nyumbani kitendo cha dakika 10 tu tukafika kwake.geti lilifunguliwa tukaingia lakini kabla ya kushuka aliniambia utalala mpaka asubuhi kisha Nita kurudisha ilikua nyumba kubwa kama ile ya mjomba kidume nika zama ndani na yule mdada ukimwangalia anacheza kwenye miaka 25-26 ni saiz yangu kabisa. sema kanizidi kidogo tu nilipofika sebreni nilikutana na ma binti wawili akanitambulisha huyu anaitwa rose ni mdogo wangu na huyu ni Dada yetu wa kazi anaitwa tekla.walinipa salamu nikawaitikia kisha aka muagiza yule Dada wa kazi atuandalie chakura kisha akamwambia rose kama umesha kula nenda kalale usiku huu kesho shule. "jamani Dada bado sijamalizia kuandika essay tuliyo pewa leo tuition na kesho wanakusanya"nilipo sikia vile nikajua huyu yupo secondary tena kama sio form 3 basi 2 alafu kulika ana lika kabisa mana ana shepu flani kama la Dada yake nilijikuta namtamani na kujiapiza lazima nimpitie nilisahau kile kiapo nilicho jiapiza.tuliletewa kuku aliye kaaangwa na ka ugali kadogo sikufichi mtu wangu nilishindilia nyama mana kibarua kilichopo mbele yangu kizito huku tukisindikiza na wine. tulivyo maliza kupata dinner wote wawili tulikua kama tume lewa vile tulikokotana mpaka chumbani huku tukiwaacha rose na tekla pale sebreni.yule Dada aliwaambia mkimaliza naomba mkalale na msije mkamwambia shemeji yenu.wote waliitikia kwa pamoja "sawa" tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA (27) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... endelea sasa nilimsogelea yule dada ambae hakunitajia jina lake mpaka mda huu.nika mweka sawa lakini nilishangaa aliziba papa yake kwa mkono kuashiria hayupo teali kwa mechi.nilianza kusikia maumivu kwa mbali akaniambia nimuandae na yeye ili tuienjoy wote nika kubari nikaanza kumnyonya chuchu zake nika mwona anaanza kujikunja kunja kama nyoka anaye vua gamba lake huku akitoa miguno nilishindwa kuendelea kutokana na maumivu niliyonyasikia nilisha ngaa kuona dude likikaka maa nilimtanua mapaja yake na kuanza kupitisha mashine yangu kwenye kitumbua cha bibie “aaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiii,,ooooooooh,.,aaashiiiii,,,ashiiiiiiii,,"alitoa miguno kwa sauti hata walio kua nje wanaisiki niliendelea kupampu mpaka bibie akaanza kutoa kilio cha kuonyesha yupo karibu kukujoa “aaaaaahhh,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,nakojoaaaaaaaaaaaaaaa,,"Alitangaza kukojoa ambapo alijinyonganyonga huku akifanya kama anataka kujichomoa mana alihisi moto kwenye kitimbua chake kidume sikujali niliendelea kutembeza dozi tena nika mbananisha kwenye kona ya kitanda mtoto aliendelea kutoa miguno oooooooooohh.......mamaweeeeee........ tupumzikeeee kidogooooooohh aiiiiiishhhhiiii taaaamuuuuuu,......... nilipo taka kuchomoa alinivuta na kuniambia usichomoeeeee endeleaaa nakaribia cha piliiiiii nitiiiiiieeeeee yani kile kidonge safi sana kidume nilikua bado sna hata dalilii nilimpampu mpaka k yake ilikauka majii akaanza kusikia maumivu bahati nzuri niliwaona wazungu wakija nilimwagia humo humo aaaaaaaishhhhiiiiii asante baby......... endeleeaaaaaa........ mzigo hauku lala nilendelea kumpeleka puta tulishtushwa na sauti ya mdogo wake rose ilija kutugongea aliamka yule Dada na kwenda kumsikiliza mlangoni...... "we vipi" ,"dada shemeji kaja yupo getini mlinzi anamzubaisha zubaisha mtoe haraka Huyo mtu," "mungu wangu Fanya haraka mjomba wako kaja nitafanyeje mimi " mda huo pombe zote ziliisha nika okota nguo zangu na boxa nikiwa uchi nilipo toka kwenye korido waliniambia niingie chumba cha rose huku dude likiwa lime kakamaa vile vile lenyewe halijui hatari linataka kitumbua tu. niliingia ndani na kujibanza nyuma ya mlango huku nikiwa natetemeka mana mjomba akinikuta hapa lazima anilambe shamba kwa nje nilimsikia mjomba akionge ongea akielekea chumbani kwa yule mdada kidogo nikawa na amani nikaanza kuvaa boxa yangu lakini sikuweza kutokana na maumivu niliyo yasikia dawa yake nipate show niifanyie kazi kwa bahati nzuri aliingia rose akiwa na daftari zake huku akiwa amevalia kanga moja sikutaka kumlemba nika msogelea na kumwomba tafadhari naomba unisaidie mwenzako nakufa Dada yako kanipa vidonge vya kuongeza nguvu bado ninahamu naomba unisaidie. sikufichi mtu wangu ukitumia vibaya hivi vidonge tuna kuzika.sasa sikia Mimi hiyo shughuli siiwezi mana hapo mpaka ipungue nguvu inabidi uwe umepiga kama bao 5 hivi uko ulipotoka umepiga ngapi nikamjibu moja heheeee leo lazima ufe kwaiyo mda wrote huo umepiga moja izo NNE unimalizie Mimi hata nyege zangu lazima ziishie mwenye bao LA pili njoo unipige izo mbili zitakazo baki utakua pa kuzipeleka usije ukanitoa kizazi Bure...mtoto wa watu. kitendo cha kunipa ruhusa tu lilikua ni kosa kubwa sana ni sawa na nyoka kaku ng'ata alafu unamkanyaga tena mkia nilimsogelea rose kuanza kumpa romance mtoto alikua anamate matamu yule nilizidi kuchanganyikiwa pale nilipo mtoa kanga yake aliyo jifunga mtoto alikua mweupe peeee na chuchu ndogo zilizo simama Dede swali nililo muuliza ushawai Ku sex mtoto alinijibu kwa ishara ndio kutoka na kuzidiwa na utamu wa denda alilegea kama teja aliye piga vitu vyake.nika Pima oil kwenye kitumbua chake na kukuta mtoto kajichafua zamani sana.nikaona ndo mda muafaka wa kutuliza hasira za nyoka wangu aliye pandishwa mizuka na dada yake.nika mnyakua na kumbwaga kitandani huku mtoto akiwa ajielewi kumbe nyege zake ukimpa ulimi tu umesha mmaliza.kika mkunja saba mtoto kisha kitumbua chake kikaja kwa nyumba nakwambia hawa watoto wadogo watamu bwana.ila sikushauli mana mtaanza kuwaalibu bure na kusema tumesoma story ya chas360 imetuambia wadogo watamu LA hasha hii ni stori ya kutunga tu. ok twendelee mzigo ulizama wote tena ndani kulikua na joto balaa lililo nifanya nisikie utamu ambao sikuwai kuupata hapo mwanzo kwa dada mtu nilimsugua taratibu taratibu ili niendelee kuusikia ule utamu na rose akaanza kutoa miguno “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," huku akiibana midomo yake kwa kuusilizia utamu ulivyo kua unapenya kwenye kitumbua chake, macho nayo yalikuwa kama teja mana aliyalegeza huku akiyafumba na kufumbua kwa utamu uliopo kwa mwendo ule ule nilijikuta mashindwa kujizuia na kuanza kucheua kabla yake mmmmmmmmmmmhhhh..............aaaaaaaaaaahhhh........... niliwaachia askari wangu waende kwenye kitumbua cha rose.huku rose akionyesha kufurahishwa kwa kitendo kile na kuanza kuzungusha kiuno chake kidogo kama nyigu nilipiga nje ndani kwa mwendo wa madaha na mtoto na yeye akatoa askari wake ili wakutane wafanye mazungumzo nakojooooooooooooooo........!!!! alishindwa kumalizia sentesi akabaki kimya huku speed ya kuzungusha kiuno ikiongezeka zaidi ya Mara ya kwanza kidume niliendelea na safari ya kulitafuta bao la pili kwa rose.mtoto alionekana kuchoka kutokana na mashine yangu kuonekana ipo imara rose alifulia kimya kama hayupo kwenye mechi nikaaanza kupampu haraka haraka ili kuuwai ute ute ulio kwepo mle ndani usikauke.alizidisha miguno baada ya mashine kwenda kwa speed aaaaaaah....... ooooooohhhh.... aiiiiiiiiiii...... yessssssa......aaaaaaahhhhh woooooww.......lugha zote zilikua zake nilijikakamua mpaka tukafika wote mlima Everest aaaaaaahhhhh......!!!!! “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 01* Sehemu Ya Kwanza (1) KWA UFUPI: Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry). Ni nini hatma ya penzi hilo jipya na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA? Ungana na GIFT KIPAPA katika chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi. SIMULIZI YENYEWE: Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao. “Kidogo tu mume wangu jamani” No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!” Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over. “jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.” Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu. Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo. Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo. Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde. “jamani Honey njoo basi!” Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba, Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake. “Oh, Dear haraka basi!” Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga. “uh!” Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli. “Ah, honey!” lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake. “ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!” Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table. “no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please” ( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari ) Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo. Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja. “jamani , honey kidogo tu” Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho. Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake. “mwaa” Alafu akampulizia mkewe. “Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi ) Kisha akatoka nje. “Honey!!” lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile. Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka. ITAITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 02* Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama. Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple. Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake. Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae mapenzi. “ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?” Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani. “Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?” Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani. Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua. “ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii” aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo. “fyonz” Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke . “sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu” Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa. “nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.” Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake. Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita. “MAZI….” Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao. “Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?” Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake. “sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“ Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa. Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea. “samahani” Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi. Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja ndogo. “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?” Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika. Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kui busu midomo yake. Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba. “Twende ndani basi” Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu. “Ni huku” Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe. Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake. “Aaaa, assii, muuza maziwa!” Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba. “Aaaa, assii!” Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu. “Utani_uua wee muu…” Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa. “Anza basiiiii…” “Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake” Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network. Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa. “Oh, honey anza basi sweety” Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu. “Auuh, Asii, Muuza maz….” Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa. “Auuh, Taratibu basiiiiii!” Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “Ngo, ngo, ngo” Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana. Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha . Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe? Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa. “Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?” Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa . “ngo, ngo , ngo” Ilisikika tena hodi ya mlango.. Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja. “fyouz” Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. ITAENDELEA MUUZA MAZIWA EP 03 ILIPOISHIA….. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. MUENDELEZO WAKE : Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa. Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto. “Eti dada hauchukui maziwa niondoke?” Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote. “Subiri nakuja!” Lisa aliitikia haraka haraka “haraka basi” Muuza maziwa aliongea Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga. “nitamnasa tu!” Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu. “karibu!” Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni. “asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“ Muuza maziwa aliongea “Oh pole sana lakini usijali” aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego huku macho yake akiyarembua. “ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi” Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa. “njoo ndani basi unipimie” Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake. “funga mlango!” Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga. Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa. Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu akijua tayari samaki ameingia kwenye wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa. Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili. Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali. “Ahayaaaaa!!!!!!” Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona. Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa. “Mwaaa!” Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika bakora. Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu. “Asssii!” Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine. “Aauuuu!!!!” Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake. Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake. Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu. “Assiii!!, we muu….” Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka . Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo. “Assii, ahh sisss!” Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia kama vile amempania. “sibakishi kitu leo na hakikisha patupu” Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake “aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”. Lisa aliongea kwa kigugumizi huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi , Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho. Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. wa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. MUENDELEZO WAKE : “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani. Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata.. Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu. “Asiiii” Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa. “asiiii, auh, aauuh!!!” Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu. Asiiii” Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno. Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake. Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka. “Auuh, taratibu, muu-za ma……..” ITAENDELEA. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: