Home → simulizi
→ Pumzika Kwa Amani Mwanangu Fred, Damu Yako Bado Imeganda Viganjani Mwangu
Nilirudi nyumbani nikiwa nimechelewa sana na kama kawaida nilijua siku hiyo ilikuwa ni kipigo tu, kusema kweli nilikuwa nimechoka, sikuchoka kwa kipigo bali nilichoka kutokana na kazi nilizokuwa nimefanya siku hiyo. Nikisema kazi simaanishi kazi zile za ofisini, hapana, mimi si mfanyakazi, si kwamba si kusoma hapana, nina shahada yangu mfukoni ambayo niliisotea mika mingi darasani.
Baada ya kuolewa na kupata mimba nikiwa bado sijapata kazi basi niliamua kumlea mwanangu kwanza na baada ya mtoto kuwa mkubwa nilipotaka kutafuta kazi mume wangu alikataa. Kama wanaume wengi aliniuliza “Kwani unakosa nini hapa? Au unataka uende ukafanye umalaya wako huko?” Kusema kweli sikuwa nikikosa chochote kwani mume wangu ni mtu mkubwa sana serikalini.
Kwakuwa nilikuwa nikipata kila kitu basi hata sikusisitizia sana kuitafuta hiyo ajira, nilivumilia tu na Mungu akajaalia nikapata mtoto wapili na watatu. Miaka kumi na mbili kwenye ndoa sasa na tangu siku ya kwanza kuna vitu vingi vimebadilika kasoro kitu kimoja tu, kupigwa karibu kila siku ya Mungu.
Nilivumilia kupigwa mpaka kufikia hatua ya kuona kama kitu cha kawaida, nikaanza kuona kama sehemu ya majukumu ya ndoa, kupigwa. Mpaka sasa bado naona hata aibu kuvua nguo mbele za wanawake wenzangu kutokana na mistari ya mikanda, fimbo na makovu ya maumivu ya kila siku. Lakini kama walivyo wanawake wengi ambao wako kwenye hali kama yangu nilikuwa navumilia kila siku nikikesha nikiomba labda Mungu atambadilisha lakini wapi?
Sitaki kuelezea sana niliyopitia lakini niseme tu Mume wangu hakuanza tu kunipiga baada ya ndoa, hapana alikua akinipiga hata kipindi cha uchumba. Yaani kila nilipokuwa nikimfumani alinipiga na kuniomba msamaha. Hapa pia naomba mnielewe ninaposema kupigwa simaanishi kupigwa makofi mawili matatu, namaanisha kupigwa kama mbwa.
Lakini nilikuwa nampenda na nilivumilia na kila mara aliniahidi kubadilika lakini ilimchukua muda sana kubadilika na kuacha kunipiga. Tuachane na hayo turudi katika siku ambayo sitakuja kuisahau katika maisha yangu yote na siku ambayo naijutia na iliyonilazimisha kuandika hiki ninachoandika ili kama na wewe uko kwenye hali kama yangu usisubiri ya kukute ndiyo ujutie.
******
Siku hiyo nilikuwa nimechoka sana kwani baada ya kumkaliza shughuli za pale nyumbani nilipigiwa simu kuwa Mama anaumwa, alikuwa amelazwa Muhimbili akishindwa kupumua. Alikuwa na pumu ya muda mrefu hivyo harakaharaka nilienda kumuangalia. Mchakato wa kuhangaika na madaktari, mchakato wa kuenda kutafuta dawa mji mzima ulinifanya kuchoka sana.
Nilijaribu kumpigia simu mume wangu ili kumuambia lakini hakupatikana hivyo nilimtumia meseji kuwa Mama anaumwa na kalazwa Muhimbili. Sikukumbuka tena kumtafuta kwani akili haikuwepo, mpaka usiku ule wa saa tatu natoka Muhimbili mume wangu alikuwa bado hajanipigia simu na kila nikimtafuta kwenye simu yake alikua hapatikani, sijui kwanini lakini laini zake zote mbili zilikuwa hazipatikani.
Kwa maana hiyo nilijua kua alikuwa hafahamu kuhusu Mama hivyo nikifika nilikuwa na kazi ya kujielezea na kama asingeelewa nilishajiandaa kwa kipigo. Nilifika nyumbani na kufunguliwa na mfanyakazi wa ndani, mume wangu alikuwa chumbani, tangu saa kumi na mbili aliporejea na kunikosa aliingia chumbani na hakukuwa na mtu wa kumsemesha.
Mtoto wangu wa mwisho wa miaka mitatu ambaye bado alikuwa hajaanza kumuogopa Baba yake ndiyo alikuwa anaweza kuingi chumbani lakini naye alikuwa ameshalala hivyo alikuwa apeke yake tu huko chumbani. Niliingia kwa uoga na kumsalimia lakini hakujibu. “Nilikuwa muhimbili Mama anaumwa kalazwa…” Ilibidi nijiongeleshe tu ili ajue asbabu ya mimi kuchelewa.
Image result for black woman funeral
Lakini haikusaidia aliendelea kukaa kimya akisoma kitabu chake ambacho hata sikumbuki kilikua kitabu gani. Nilivua nguo harakaharaka ili kuingia bafuni kuoga, lakini nikiwa nimefunga khanga moja nilimuona akisimama.
“Huyo Mama yako ndiyo amekuoa, inamaana unaweza kuondoka humu ndani bila ruhusa yangu? Umefundwa wewe? Unajifanya sijui ujinga unaofanya unajifanya umetoka Hospitali! Hospitali kitu gani?” Alianza kuongea kwa hasira, nilianza kujitetea lakini ndiyo nilikua nimeuwasha moto, alianza kunipiga makofi na kunisukuma, nilidondoka chini alinifuata kulekule na kunishika nywele zangu ndefu akaanza kuzivuta kunisimamisha.
Maumivu niliyoyapata siwezi simulia, kama ni mwanamke unasuka rasta unajua ni namna gani kcihwa kinauma na kuvuta unaposuka tu sasa hembu vuta picha mtu anashika nywele zako na kukunyanyua juu juu kama karatasi. Nilishindwa kuvumilia, nilipiga kelele huku nikimsukuma, ingawa ikumsukuma kwa nguvu lakini aliteleza na kudondokea kitandani.
“Unanipigaee! Yaani unanirudishia! Umeota mapembe eeeh! Sasa ngoja nikuonyeshe!” Aliongea kwa hasira akiwa bado palepale kitandani, alianza kuvua mkanda huku akiangalia ni kitu gani kingine rahisi cha kuokota na kunipiga nacho, sijui kwanini lakini nilijikuta naanza kukimbia kuelekea sebuleni. Haikuwa kawaida yangu mara zote huwa akinipiga nakimbilia chumbani ili watoto wasione lakini siku ile nilikuwa nimechoka na nilijua kipigo chake kitakua cha mbwa.
*******
Alinifuata kule kule sebuleni na wakati nikipita nikiijaribu kufungua mlango wa nnje ilinitoke alishanifikia, alianza kunipiga makofi na kunichapa kwakutumia mkanda. Nilikua nikipiga kelele lakini hakukuwa na mtu wa kunisaidia. Nilikuwa na mfanyakazi wa ndani ambaye ni binti mdogo alikua anogopa, mwanangu wa kiume Fred ndiyo kwanza alikua na miaka kumi akifuatiwa na kabinti ka miaka sita, wote walikwa wamesimama wanaangalia tu huku wakilia.
Alinivuta na kunidondoshea kwenye kochi, kanga moja niliyokuwa nimejifunga ilivuka na kubaki kama nilivyozaliwa hakujali, aliendelea kunipiga makofi akiniinamia pale huku akipiga kelele kuwaambia watoto waingie ndani lakini Fredrick mtoto wangu hakukubali. Namaani alishachoka ile hali ya mimi kupigwa pigwa kila siku, sijui alipata wapi ujasiri lakini alienda na kuokota blenda ambayo ilikuwa juu ya meza ya chakula alikuja nayo kwa kasi na kumpiga Baba yake mgongoni.
“Muache Mama! Utamuua Muache…” Alionge akwa hasira huku akitaka tena kunyanyua kumpiga Baba yake, lakini Baba yake alishageuka aliikamata ile Blenda na kwa hasira alimrudishia kumpiga na moja kwa moja ilimdondokea kichwani. Kimya Fred alidondoka chini na damu kuanza kutiririka, mume wangu alibaki ameduwaa, nikiwa uchi vilevile nilinyanyuka na kwenda kumuangalia, alikuwa hatikisiki, macho yamemtoka, damu zinamtoka puami na mdomoni.
“Mume wangu umeua! Mume wangu umeua!” Nilianza kupiga kelele kujaribu kumuamsha mwanangu lakini hakuamka. Mume wangu nguvu zilimuishia na kukaa chini, hakusogea hata kumshika mtoto kuuangalia mapigo ya moyo, machozi yalianza kumtoka kama mtoto mdogo. Mfanyakazi alitoka nilimuamsha mume wangu ili tumpeleke mtoto hospitalini ndipo alipozinduka na kunaynyuka kwenda kuwasha gari.
Nilitaka kutoka vilevile nikiwa uchi mpaka mfanyakazi nitolea nguo nikavaa. Tulifika hospitalini na kuambikuwa ameshafariki. Hospitalini sijui nini kilifanyika kwani hakukuwa na cha PF3 wala nini, wakati huo akili yangu haikuwa sawa hivyo sikujali mambo hayo lakini nilijua wakati tunajiandaa na mazishi. Kila nilipowaambia watu kilichotokea waliniona kama kichaa kwani maelezo yaliyotolewa kua mwanangu alifariki kwa ajali ya gari.
Sio maelezo tu bali pia mfanyakazi wa ndani alisema hivyo hivyo, mashahidi wapekee niliokua nao ni mtoto wangu wa miaka sita na mwingine wa miaka mitatu. Haiishii hapo gari lililopata ajali lilikuwepo, sijui mume wangu alifanya nini lakini gari lake alilokuwa akitumia lilikuwa limeboindekabondeka kama vile limegonga mti.
Ili kuwaaminisha watu badala basi hata ya kupelekwa gereji lilivutwa mpaka nyumbani na ndani kulikuwa na damu zimegandia sijui hata zilitoka wapi kwani zilikuwa ni nyingi tena siti ya mbele wakati tulitumia gari jingine kwenda hospitali. Ilinibidi tu kunyamaza kwani nilijua hakuna namna ambavyo ningeweza kumfanya mume wangu kulipa kwa aliyoyafanya. Hakuomba msamaha zaidi yua vitisho kuwa nikisema ataniua huku akinitishia kwa kuwadhuru watoto.
Bado niko kwenye ndoa na sina pakwenda, sipo kwaajili ya pesa bali kwaajili ya wanangu. Sijui ni nini kitatokea kama nikiondoka kwani ameshakataa katakata kuniruhusu niondoke nao. Nimwaka wa pili sasa tunaishi kama kaka na dada, sina furaha na sitegemei kuipata. Nalea tu wanangu na nimeshakata tamaa ya maisha.
Nimeamua kuandika kisa changu hiki ili wanawake wengine kujua kuwa unapokubali kupigwa na mwanaume hubebi maumivu peke yako. Wanao wanaona hata kama unaficha vipi na unawaathiri, wanakupenda na wanaumeia unavyoteswa kwani wewe ni Mama yao. Hembu wewe fikiria mtu anampiga Mama yako halafu huwezi kumtetea utajisikiaje.
Image result for black woman funeral
Simlaumu mume wangu kwa kifo cha mwanangu, halikuwa Kosa Lake. Kosa lilikuwa la kwangu kuvumilia mateso, kuona kipigo kama sehemu ya ndoa. Ningeondoka mapema, ningekataa kipigo tangu siku ya kwanza haya yote yasingetokea. Nimejaribu sana kumlaumu mume wangu lakini wapi, mkosaji ni mimi kwani mimi ndiyo nimevumilia na kumlea.
Ingawa alianza kunipiga tangu kipindi cha uchumba lakini hakuanza tu ghafla, alianza taratibu makofi ya hapa na pale na kwakua nilikuwa nikimchekea na kujaribu kumtetea huko kichwani mwangu, alizoea mpaka ikawa kitu kidogo tu haongei ni makofi. Kama ambavyo wewe kila siku unavumilia, unasema ndiyo ndoa zilivyo, unasema ipo siku atabadilika na mimi ndiyo hivyo hivyo nilikuwa navumilia kabla na baada ya ndoa.
Siku hizi hanipigi, ameshabadilika lakini haisaidii tena, haina maana tena kwangu kwani sina hisia tena za mwanaume mwili nikama umepigwa ganzi. Pumzika kwa amani Fred wangu, shujaa wangu uliyekufa ukinitetea, umekufa kifo ambacho hukustahili na yote hiyo ni kwasababu ya mimi Mama yako. Naomba unisamehe, unisamehe kwa kuvumilia ujinga, unisamehe kwa kujiangalia mimi bila kujua kuwa nilikuwa nakuumiza wewe na wadogo zako, natumaini huko uliko utanisikia na utanisamehe.
****MWISHO****
Comments
S
Pumzika Kwa Amani Mwanangu Fred, Damu Yako Bado Imeganda Viganjani Mwangu Nilirudi nyumbani nikiwa nimechelewa sana na kama kawaida nilijua siku hiyo ilikuwa ni kipigo tu, kusema kweli nilikuwa nimechoka, sikuchoka kwa kipigo bali nilichoka kutokana na kazi nilizokuwa nimefanya siku hiyo. Nikisema kazi simaanishi kazi zile za ofisini, hapana, mimi si mfanyakazi, si kwamba si kusoma hapana, nina shahada yangu mfukoni ambayo niliisotea mika mingi darasani. Baada ya kuolewa na kupata mimba nikiwa bado sijapata kazi basi niliamua kumlea mwanangu kwanza na baada ya mtoto kuwa mkubwa nilipotaka kutafuta kazi mume wangu alikataa. Kama wanaume wengi aliniuliza “Kwani unakosa nini hapa? Au unataka uende ukafanye umalaya wako huko?” Kusema kweli sikuwa nikikosa chochote kwani mume wangu ni mtu mkubwa sana serikalini. Kwakuwa nilikuwa nikipata kila kitu basi hata sikusisitizia sana kuitafuta hiyo ajira, nilivumilia tu na Mungu akajaalia nikapata mtoto wapili na watatu. Miaka kumi na mbili kwenye ndoa sasa na tangu siku ya kwanza kuna vitu vingi vimebadilika kasoro kitu kimoja tu, kupigwa karibu kila siku ya Mungu. Nilivumilia kupigwa mpaka kufikia hatua ya kuona kama kitu cha kawaida, nikaanza kuona kama sehemu ya majukumu ya ndoa, kupigwa. Mpaka sasa bado naona hata aibu kuvua nguo mbele za wanawake wenzangu kutokana na mistari ya mikanda, fimbo na makovu ya maumivu ya kila siku. Lakini kama walivyo wanawake wengi ambao wako kwenye hali kama yangu nilikuwa navumilia kila siku nikikesha nikiomba labda Mungu atambadilisha lakini wapi? Sitaki kuelezea sana niliyopitia lakini niseme tu Mume wangu hakuanza tu kunipiga baada ya ndoa, hapana alikua akinipiga hata kipindi cha uchumba. Yaani kila nilipokuwa nikimfumani alinipiga na kuniomba msamaha. Hapa pia naomba mnielewe ninaposema kupigwa simaanishi kupigwa makofi mawili matatu, namaanisha kupigwa kama mbwa. Lakini nilikuwa nampenda na nilivumilia na kila mara aliniahidi kubadilika lakini ilimchukua muda sana kubadilika na kuacha kunipiga. Tuachane na hayo turudi katika siku ambayo sitakuja kuisahau katika maisha yangu yote na siku ambayo naijutia na iliyonilazimisha kuandika hiki ninachoandika ili kama na wewe uko kwenye hali kama yangu usisubiri ya kukute ndiyo ujutie. ****** Siku hiyo nilikuwa nimechoka sana kwani baada ya kumkaliza shughuli za pale nyumbani nilipigiwa simu kuwa Mama anaumwa, alikuwa amelazwa Muhimbili akishindwa kupumua. Alikuwa na pumu ya muda mrefu hivyo harakaharaka nilienda kumuangalia. Mchakato wa kuhangaika na madaktari, mchakato wa kuenda kutafuta dawa mji mzima ulinifanya kuchoka sana. Nilijaribu kumpigia simu mume wangu ili kumuambia lakini hakupatikana hivyo nilimtumia meseji kuwa Mama anaumwa na kalazwa Muhimbili. Sikukumbuka tena kumtafuta kwani akili haikuwepo, mpaka usiku ule wa saa tatu natoka Muhimbili mume wangu alikuwa bado hajanipigia simu na kila nikimtafuta kwenye simu yake alikua hapatikani, sijui kwanini lakini laini zake zote mbili zilikuwa hazipatikani. Kwa maana hiyo nilijua kua alikuwa hafahamu kuhusu Mama hivyo nikifika nilikuwa na kazi ya kujielezea na kama asingeelewa nilishajiandaa kwa kipigo. Nilifika nyumbani na kufunguliwa na mfanyakazi wa ndani, mume wangu alikuwa chumbani, tangu saa kumi na mbili aliporejea na kunikosa aliingia chumbani na hakukuwa na mtu wa kumsemesha. Mtoto wangu wa mwisho wa miaka mitatu ambaye bado alikuwa hajaanza kumuogopa Baba yake ndiyo alikuwa anaweza kuingi chumbani lakini naye alikuwa ameshalala hivyo alikuwa apeke yake tu huko chumbani. Niliingia kwa uoga na kumsalimia lakini hakujibu. “Nilikuwa muhimbili Mama anaumwa kalazwa…” Ilibidi nijiongeleshe tu ili ajue asbabu ya mimi kuchelewa. Image result for black woman funeral Lakini haikusaidia aliendelea kukaa kimya akisoma kitabu chake ambacho hata sikumbuki kilikua kitabu gani. Nilivua nguo harakaharaka ili kuingia bafuni kuoga, lakini nikiwa nimefunga khanga moja nilimuona akisimama. “Huyo Mama yako ndiyo amekuoa, inamaana unaweza kuondoka humu ndani bila ruhusa yangu? Umefundwa wewe? Unajifanya sijui ujinga unaofanya unajifanya umetoka Hospitali! Hospitali kitu gani?” Alianza kuongea kwa hasira, nilianza kujitetea lakini ndiyo nilikua nimeuwasha moto, alianza kunipiga makofi na kunisukuma, nilidondoka chini alinifuata kulekule na kunishika nywele zangu ndefu akaanza kuzivuta kunisimamisha. Maumivu niliyoyapata siwezi simulia, kama ni mwanamke unasuka rasta unajua ni namna gani kcihwa kinauma na kuvuta unaposuka tu sasa hembu vuta picha mtu anashika nywele zako na kukunyanyua juu juu kama karatasi. Nilishindwa kuvumilia, nilipiga kelele huku nikimsukuma, ingawa ikumsukuma kwa nguvu lakini aliteleza na kudondokea kitandani. “Unanipigaee! Yaani unanirudishia! Umeota mapembe eeeh! Sasa ngoja nikuonyeshe!” Aliongea kwa hasira akiwa bado palepale kitandani, alianza kuvua mkanda huku akiangalia ni kitu gani kingine rahisi cha kuokota na kunipiga nacho, sijui kwanini lakini nilijikuta naanza kukimbia kuelekea sebuleni. Haikuwa kawaida yangu mara zote huwa akinipiga nakimbilia chumbani ili watoto wasione lakini siku ile nilikuwa nimechoka na nilijua kipigo chake kitakua cha mbwa. ******* Alinifuata kule kule sebuleni na wakati nikipita nikiijaribu kufungua mlango wa nnje ilinitoke alishanifikia, alianza kunipiga makofi na kunichapa kwakutumia mkanda. Nilikua nikipiga kelele lakini hakukuwa na mtu wa kunisaidia. Nilikuwa na mfanyakazi wa ndani ambaye ni binti mdogo alikua anogopa, mwanangu wa kiume Fred ndiyo kwanza alikua na miaka kumi akifuatiwa na kabinti ka miaka sita, wote walikwa wamesimama wanaangalia tu huku wakilia. Alinivuta na kunidondoshea kwenye kochi, kanga moja niliyokuwa nimejifunga ilivuka na kubaki kama nilivyozaliwa hakujali, aliendelea kunipiga makofi akiniinamia pale huku akipiga kelele kuwaambia watoto waingie ndani lakini Fredrick mtoto wangu hakukubali. Namaani alishachoka ile hali ya mimi kupigwa pigwa kila siku, sijui alipata wapi ujasiri lakini alienda na kuokota blenda ambayo ilikuwa juu ya meza ya chakula alikuja nayo kwa kasi na kumpiga Baba yake mgongoni. “Muache Mama! Utamuua Muache…” Alionge akwa hasira huku akitaka tena kunyanyua kumpiga Baba yake, lakini Baba yake alishageuka aliikamata ile Blenda na kwa hasira alimrudishia kumpiga na moja kwa moja ilimdondokea kichwani. Kimya Fred alidondoka chini na damu kuanza kutiririka, mume wangu alibaki ameduwaa, nikiwa uchi vilevile nilinyanyuka na kwenda kumuangalia, alikuwa hatikisiki, macho yamemtoka, damu zinamtoka puami na mdomoni. “Mume wangu umeua! Mume wangu umeua!” Nilianza kupiga kelele kujaribu kumuamsha mwanangu lakini hakuamka. Mume wangu nguvu zilimuishia na kukaa chini, hakusogea hata kumshika mtoto kuuangalia mapigo ya moyo, machozi yalianza kumtoka kama mtoto mdogo. Mfanyakazi alitoka nilimuamsha mume wangu ili tumpeleke mtoto hospitalini ndipo alipozinduka na kunaynyuka kwenda kuwasha gari. Nilitaka kutoka vilevile nikiwa uchi mpaka mfanyakazi nitolea nguo nikavaa. Tulifika hospitalini na kuambikuwa ameshafariki. Hospitalini sijui nini kilifanyika kwani hakukuwa na cha PF3 wala nini, wakati huo akili yangu haikuwa sawa hivyo sikujali mambo hayo lakini nilijua wakati tunajiandaa na mazishi. Kila nilipowaambia watu kilichotokea waliniona kama kichaa kwani maelezo yaliyotolewa kua mwanangu alifariki kwa ajali ya gari. Sio maelezo tu bali pia mfanyakazi wa ndani alisema hivyo hivyo, mashahidi wapekee niliokua nao ni mtoto wangu wa miaka sita na mwingine wa miaka mitatu. Haiishii hapo gari lililopata ajali lilikuwepo, sijui mume wangu alifanya nini lakini gari lake alilokuwa akitumia lilikuwa limeboindekabondeka kama vile limegonga mti. Ili kuwaaminisha watu badala basi hata ya kupelekwa gereji lilivutwa mpaka nyumbani na ndani kulikuwa na damu zimegandia sijui hata zilitoka wapi kwani zilikuwa ni nyingi tena siti ya mbele wakati tulitumia gari jingine kwenda hospitali. Ilinibidi tu kunyamaza kwani nilijua hakuna namna ambavyo ningeweza kumfanya mume wangu kulipa kwa aliyoyafanya. Hakuomba msamaha zaidi yua vitisho kuwa nikisema ataniua huku akinitishia kwa kuwadhuru watoto. Bado niko kwenye ndoa na sina pakwenda, sipo kwaajili ya pesa bali kwaajili ya wanangu. Sijui ni nini kitatokea kama nikiondoka kwani ameshakataa katakata kuniruhusu niondoke nao. Nimwaka wa pili sasa tunaishi kama kaka na dada, sina furaha na sitegemei kuipata. Nalea tu wanangu na nimeshakata tamaa ya maisha. Nimeamua kuandika kisa changu hiki ili wanawake wengine kujua kuwa unapokubali kupigwa na mwanaume hubebi maumivu peke yako. Wanao wanaona hata kama unaficha vipi na unawaathiri, wanakupenda na wanaumeia unavyoteswa kwani wewe ni Mama yao. Hembu wewe fikiria mtu anampiga Mama yako halafu huwezi kumtetea utajisikiaje. Image result for black woman funeral Simlaumu mume wangu kwa kifo cha mwanangu, halikuwa Kosa Lake. Kosa lilikuwa la kwangu kuvumilia mateso, kuona kipigo kama sehemu ya ndoa. Ningeondoka mapema, ningekataa kipigo tangu siku ya kwanza haya yote yasingetokea. Nimejaribu sana kumlaumu mume wangu lakini wapi, mkosaji ni mimi kwani mimi ndiyo nimevumilia na kumlea. Ingawa alianza kunipiga tangu kipindi cha uchumba lakini hakuanza tu ghafla, alianza taratibu makofi ya hapa na pale na kwakua nilikuwa nikimchekea na kujaribu kumtetea huko kichwani mwangu, alizoea mpaka ikawa kitu kidogo tu haongei ni makofi. Kama ambavyo wewe kila siku unavumilia, unasema ndiyo ndoa zilivyo, unasema ipo siku atabadilika na mimi ndiyo hivyo hivyo nilikuwa navumilia kabla na baada ya ndoa. Siku hizi hanipigi, ameshabadilika lakini haisaidii tena, haina maana tena kwangu kwani sina hisia tena za mwanaume mwili nikama umepigwa ganzi. Pumzika kwa amani Fred wangu, shujaa wangu uliyekufa ukinitetea, umekufa kifo ambacho hukustahili na yote hiyo ni kwasababu ya mimi Mama yako. Naomba unisamehe, unisamehe kwa kuvumilia ujinga, unisamehe kwa kujiangalia mimi bila kujua kuwa nilikuwa nakuumiza wewe na wadogo zako, natumaini huko uliko utanisikia na utanisamehe. ****MWISHO**** Comments S
Artikel Terkait
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi (10) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp...... 0769673145 Ilipoishia...... Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ***********Endelea ********* Mlango ulifunguliwa na mama yake Frank na kukutana uso kwa uso na Penina. "ooh mwanangu hujambo?" akauliza mama yake Frank. "sijambo mama shikamoo." akasalimia Penina "marahaba karibu ndani." mama yake Frank akamkaribisha Penina. "Asante mama ila nataka nikufanyie surprise." Penina akamwambia mama yake Frank. "hii ipi tena mwanangu usije ukaniue kwa presha." akaongea mama yake Frank, na Muda huo huo baba yake Frank naye akajitokeza sehemu pale na kuungana na mama yake Frank. Penina alisogea pembeni na hapo hapo Frank akajitokeza mbele ya Wazazi wake. Mama yake Frank alijikuta akishindwa kuongea na kumrukia Frank kwa furaha isiyo na kifani. Frank pamoja na Wazazi waliingia ndani huku wakiwa na furaha tele kwa kumuona tena Frank ambaye alitoweka kwa siku kadhaa. Lakini kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kujua ni nini kilimtokea Frank. Frank ilibidi awaeleze kilichomtokea mwanzo mpaka mwisho. Kila mtu alihuzunika kwa hicho kilichomtokea Frank. Lakini pia Penina aliwaeleza pia kilichomkuta kaka yake Nolan na Mpaka Muda ule kaka yake alikuwa bado yupo hospitalini. Lakini hata hivyo furaha ilirejea upya usoni mwa Penina pamoja na Wazazi wake Frank baada ya kumuona Frank kwa Mara nyingine tena. Frank alienda kuoga na kubadilisha nguo Zake zile zilizochakaa na kuvaa nguo zingine nzuri ambazo ziliendana vizuri na yeye. Frank aliondoka na Penina na kuelekea moja kwa moja mpaka Katika hospital aliyopo Nolan kwa ajili ya kumjulia hali. * Lakini kumbe Katika hospital ile, Nolan baada ya kujua kuwa baba yake ndio alimfanyia mchezo ule. Nolan hakubaki tena pale hospitalini alitoroka bila hata kuruhusiwa na daktari na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwao. Penina na Frank baada ya kufika hospitalini pale. Walistaajabu kuambiwa kuwa Nolan hayupo pale hospitalini na hawajui alipoelekea. Penina na Frank waliondoka na kuelekea nyumbani kwa kina Penina wakihisi labda Nolan ameelekea huko. Na kweli baada ya kufika nyumbani kwa kina Penina walimkuta Nolan akiwa ameketi nje ya geti lao huku akionekana kuwa na mawazo tele. "Nolan vip ndugu yangu mbona mawazo tele?" alikuwa Frank akimuuliza Nolan baada ya kumkaribia. Nolan alinyanyua kichwa chake na hakuamini baada ya kumshuhudia Frank akiwa amesimama mbele ya macho yake akiwa pamoja na Frank. "oooh Frank ni wewe?" akauliza Nolan kama vile haamini, Kisha akanyanyuka na kumkumbatia Frank kwa furaha Sana. "nimefurahi Sana kukuona tena Frank, hakika wewe ndio furaha ya mdogo wangu Penina karibu tena Frank." akaongea Nolan kumuambia Frank. Na hapo hapo Nolan akamtaka Frank amueleze ni nini kilichomkuta mpaka akatoweka Muda wote ule. Frank Bila kusita alimuelezea Nolan mkasa mzima uliomkuta wa kutekwa na watu asiowafahamu. Nolan alimhurumia akampa moyo na kumtaka ajikaze kwasababu wana vita nzito mbele yao. Lakini pia Nolan akawaelezea jinsi baba yake mzee Joel alivyomtumia watu waje wamuue kwasababu ya kutetea penzi La Penina na Frank. "ina maana baba anataka akuue?" Penina akamuuliza Nolan kwa mshangao. "ndio nadhani ndio nia yake kwasababu ameona mimi ndio niliyeamua kusimama na kulitetea penzi lenu." akaongea Nolan kwa huzuni Sana. Penina pia alihuzunika Sana mpaka machozi yakaanza kutiririka usoni mwake baada ya kugundua baba yake ndio alipanga njama ya kummaliza Nolan. "lakini msijali kuweni na amani mimi nawakikishia lazima mtaoana na kuwa mume na mke." akaongea Nolan kwa kujiamini. "tunashukuru kusikia hivyo hata sisi tutakuwa pamoja na wewe kwa lolote lile." akaongea Frank naye kwa kujiamini. "Sasa sikilizeni niwaambie, nataka niwasafirishe muende mkakae nchi nyingine kwa miezi miwili alafu mimi nitabakia hapa Tanzania nikifanya taratibu za nyie kufunga ndoa na kila kitu kikiwa tayari nitawajulisha na mtarejea Tanzania kwa ajili ya kufunga ndoa yenu." akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Bila kipingamizi chochote Penina na Frank walikubaliana na wazo la Nolan na kilichotakiwa ni kwenda kujiandaa na kuondoka. "ngoja bas nikajiandae Mara moja." akaongea Penina, lakini Nolan akamzuia na kumwambia. "usiingie ndani tena, sitaki uonane na baba kuanzia Sasa kila kitu utakachahitaji nitakutimizia mimi, katafuteni hoteli yoyote mkae hapo mkijianda na kama na pesa au kitu chochote mtaniambia mimi." aliongea Nolan kwa msisitizo. "ok tumekuelewa tupo pamoja." akajibu Frank Kisha wakaondoka pamoja na Penina. Nolan alinyanyuka pale chini akagonga geti na kufunguliwa na mlinzi na bila kusema kitu Nolan akaelekea moja kwa moja mpaka sebuleni ambapo alimkuta baba yake mzee Joel akiwa ameketi huku akionekana kuwa na mawazo. "Niko sambamba na wewe kwa chochote kile utakachokifanya, sitajali kama wewe ni baba yangu au nani wangu lakini nachotaka utambue Frank lazima amuoe Penina." akaongea Nolan kumwambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake bila kusikiliza baba yake atasema nini. "wewe lazima nikuue wewe hata kama mimi ni baba yako huwezi kuniingilia Katika mambo yangu." akajisemea mzee Joel na kutoka nje kwa kasi mpaka kwenye gari Lake. Mlinzi alifungua geti na moja kwa moja mzee Joel akatoka kwa kasi mpaka Katika hospital waliyolazwa wakina Zaza. Mzee Joel alishuka kwa kasi kwenye gari Lake na kuelekea mpaka Katika chumba walicholazwa wakina Zaza. "Zaza mlifanya nini mbona mmeniangusha kias hiki?" akaongea mzee Joel kwa jazba. "mzee Joel yule mwanao ni hatari Sana hebu ona tulivyovunjwa vunjwa." akaongea Zaza huku akionesha jinsi walivyopigwa na Nolan . "ni bora mlivyopigwa kuliko hichi kingine kilichoibuka." akaongea mzee Joel na kushika kiuno. "nini tena mzee wangu?" akahoji Zaza huku akiwa anajinyanyua pale kitandani alipokuwa amelala. "Frank amerudi" akajibu mzee Joel na kuwafanya wakina Zaza washangae. "yaani kwa kweli mmeniangusha Sana alafu isitoshe Nolan ameshaanza kuota mapembe na kama nyie mmemshindwa bas itabidi nitafute wababe wengine zaidi yenu na nyie lazima nitawaua pesa niliyowapa ni nyingi Sana lakini hakuna cha maana mlichokifanya pumbavu nyie. " akaongea mzee Joel kwa hasira Kisha akageuka na kuondoka. * Penina na Frank waliwasili kwenye hoteli moja ya kifahari na kufanya taratibu zote na kuchukua chumba kwenye hoteli Ile na kulipia kukaa hapo kwa siku tatu. Lakini Frank aliwapa taarifa Wazazi wake ya jinsi mipango inavyofanyika hivyo akawataka wasiwe na hofu yoyote kuhusu yeye.* Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. ............. Itaendelea ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA 28 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. endelea sasa nilitoka pale kitandani na kuelekea mlangoni ile nafungua tu nilikuatana na yule Dada wa kazi tekla akiwa hoi yaani kazidiwa na nyege mana nilimuona akiwa ana jitia vidole kwenye ikulu yake kitendo cha kuniamsha mashetani yangu.nika mwambia atangulie chumbani kwake nakuja mana nilikua uchi na nguo zipo chumbani kwa rose.nililudi chumbani na kumwambia rose tekla alikua natupiga chabo inabidi na yeye nikampe dozi ili asitangaze kama kawaida natembeza formula yangu.alinikubalia nika mpe dozi na yeye mpaka akome kuchungulia wakubwa wakifanya yao mana tekla alikua anacheza kwenye range ya 16-17. huku akinishukuru sana mana nimemkwangua nyege zote.nilichukua nguo zangu ila sikuweza kuzivaa kutokana na maumivu ya dude langu lililo kakamaa likiwa bado lina hasira.niliamini Yale maneno ya rose aliyo niambia ile dawa inabidi nipige bao tano.nilitoka chumbani kwa rose na luelekea chumba cha yule Dada wa kazi tekla nayeye kumkuna kitumbua chake kinacho muwasha nilipo toka kwenye korido nilimwona tekla akinipa ishara nimfate chumbani kwake. wakati naenda nilisikia kurupushani ikiendelea chumba cha yule Dada na mjomba ni mwendo wa miguno tu.nilifika mpaka chumba cha tekla na kumkuta mtoto kajilaza kitandani huku mguu mmjoja kautupa huku na mwingine huku sikutaka kumlemba sana mana maumivu niliyo kua nayasikia kama kawada yangu cha kwanza ni kupima oil lakini safari hii sikupima na kidole nilipima na mashine yangu niliisogeza kwenye kitumbua chake mzigo ukapitiliza moja kwa moja mpaka tekla akarudi kwa nyuma mana mzigo haukua saizi yake na kuanza kutoa kilio cha mahaba. “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,,,,,,,tia yote oooooooh ........ashiiiiiiii tamuuuuuu" niliendelea kumpampu nilishangaa kuona tofauti kwa telka nilianza kupiga bao kabla ya yeye.sasa nikabakina wazo moja tu nimalizie hicho cha tano nitulie zangu mana nitakufa si kwa kutom** huku kidume nili mbadilisha style na kumweka chuma mboga heee asikwambie MTU hii style kiboko bwana mtoto alikua mbishi kukuojoa alianza kutoa miguno “a,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,weweeeeeeeeeewww,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,chomoaaaa nataka kujoaaaaaaaaaaaaa kwanzaaaaa,," nilimwambia kojoa humo humo.nikaendelea kutembeza dozi.nilishangaa kumuona tekla akinivuta kwa nguvu na kunibana kiasi kwamba kama tunagombana vile alinibana kisawasawa huku akizungusha kiuno nami nilikua nakaribia kukojoa nika mbana kwa nguvu huku wote tukilia kilio cha furaha ooooooooooooooohhhhh............mmmmmmmmmmhhhh aaaaaaiiiiiiiiiii........!!!!! nilimaliza ule mchezo nilivyo taka kuchomoa dude langu tekla alinizuia na kuniambia usichomoe tuendelee nikaona huyu anataka iue kutembeza mb** nyumba nzima masiara nilichomoa na kuona mzigo ukianza kurudi kwenye hali yake ya kawaida.sikua na hata mda wa kuoga nilivaa zangu nguo na kumuaga naludi nyumbani mana mjomba akiamka asije akanikuta hapa ilikua mida ya SAA 10 usiku.nilipofika getini mlinzi alianza kunizingua kwa kunikatalia kufungua geti nika mdanganya naenda kuchukua tax kuna mgonjwa ndani sijui alidanganyika vipi wakati mle mdani kuna gari zaidi ya mbili.alinifungulia na nikaanza safari ya kuelekea nyumbani uzuri wa jiji la dar watu awalali niliona boda boda zimepaki nikawafata nikawapa hi na kuwaelekeza wanipeleke nyumba namba 116. hicho ndio kilicho niokoa mana ningesema nimwelekeze angenipeleka nyumba gofuti.nilipanda kwenye pikipiki na safari ikaanza.yule boda boda aliniuliza swali moja. "mtoto wa kishua usiku huu unatoka wapi ?." si unajua tulikua tuna patty alafu gari limenizimikia njiani.sikumaliza kumdanganya tulikua tumesha fika uzuri mfukoni linikua na 20000 nikamwachia 10000 nikampa tu abaki nayo mana aliniambia 2000 mpaka home.jamaa alishukuru sana nikabisha hodi na kumkuta babu akiwa macho huku akinywa kahawa. "aaaa kijana jiangalie mana maisha yako yapo hatarini mjomba wako akijua mchezo unayo ifanya"poa poa babu nimechoka sana acha nipumzike tutaongea vizuri kesho...... nilimwacha mzeee na kuingia ndani.miguu ilikua inatetemeka kiasi kushindwa kupiga hatua nikaanguka chini huku nikipiga kelele waje wanisaidie alitoka manka na errycah............. nilikua nimeishiwa nguvu kabisa mana ile dawa ilimaliza nguvu zangu zote.errycah alipo niona aligundua nimeishiwa nguvu.sikutambua nini kilitokea zaidi ya kujikuta hospitani niliwa nime tundikiwa drip ya maji.nilipo jaribu nilizuiwa na nurse.huku akiniambia "subiri mpaka drip hili liishe mana uletwa hapa ulikua hoi hata ujielewi hivi hao ulio lala nao walikubaka au ? mana hatujawai kupata mgonjwa namna hii na unaonekana upo vizuri.kizazi cha sasa mtu kupiga mechi mpaka kuishiwa kabisa nguvu ni ajabu walikua wangapi hao ?" nilimtazama yule nesi sikumpa jibu nikamuuliza walio nileta wapo wapi ? "wameenda kukuchukulia nguo na chakura" "wanajua Nina umwa tatizo gani ?" "apana bado atujawaambia tulisubiri uamke tuwape taarifa na wewe ukiwepo" naomba uniitie doctor nitaka niongee nae.akaenda nje kuniitia doctor alikua ni doctor wa kike tena mzuri balaa alafu mweupe yupo kama shombe shombe hivi sema umri wake unacheza kwenye 30-31.nilipo mwona tu nilihisi kupata nafuu nilimwomba yule nesi atoke nataka kuongea na doctor.tulisalimiana na kunipa pole. "samahani doctor Nina ombi moja naomba unifichie siri yangu kwa ugonjwa huu nilio upata wakija ndugu zangu naomba uwaambie niliishiwa maji mana itakua aibu kama mjomba akisikia nilikua kwa wanawake ilibidi nitumie na kauongo licha ya hivyo familia yetu INA msimamo mkali wa kidini please doctor nitakupa kiasi chochote cha fedha ukitakacho." "alicheka sana kisha akaniambia we we kijana una nichekesha sana kwa hela gani uliyo kua nayo utanipa.Mimi ni doctor bingwa tena hapa nimekuja kwa mda wa mwezi mmjo tu kwa ajiri ya kutibu maradhi ya wanaume natembea nchi zote za Africa mashariki naishi Kigali nina familia yangu kiufupi sina shida na hela.alafu huo umalaya wako wa kufanya mpaka uishiwe nguvu ni nyege au tamaa na kama ulilala na msichana mmoja ukampiga izo bao 5 sijui yupo kwenye hali gani uko ya nini kujiumiza mtoto mdogo kama wewe tafuta mtu mmoja tulia nae alafu hata kama una pepo basi walau Mara moja kwa wiki sio kila Siku mana nilivyo kuona umeishiwa kabisa sperm/shahawa na cell zake zinaweza kufa kabisa mana zilikua zikijizalisha wewe unazitoa nataka nikusaidie nitakupa dawa utatumia kwa Siku tano ili uzijaze ziludi kwenye hari yake ya kaida na ndani ya sikuizo tano usikutane na mwanamke.na utabaki hapa hapa hospitali nitaendelea kukusimamia mpaka umalize dozi.dawa yenyewe ni sindano tano kila siku nitakua nakuchoma moja." sikua na lakusema zaidi ya kumwambia asimwambie mjomba asije akanijazia vibaya kwenye report yangu ya kurudisha shirikani. aliniuliza "kwani wewe ni mseminali ?" "ndio" "mbona una Fanya mambo ya ajabu sana.upo shirika gani ?." "nipo st Vincent ya pale Rwanda" yani kwa nidhamu mbovu uliyo onyesha siwezi kika kusaidia tena nitaenda kuku report mana hatutaki mapadri wasio kua na maadili. nilihisi kupalalaizi mana doctor alizidisha ukari Mara mbili zaidi.nilishangaa baada ya kuona manka na errycah wanakuja huku wakiangua kilio. "mbona mnalia" errycah alinijibu huku akibubujikwa na machozi "ba...........ba ame.......farikiiiiiii" "what kafa kwa nini" ""amefumaniwa na mke wa mtu amekatwa sehemu zake ya siri amevuja damu nyingi sana ndio sababu iliyo pelekea kupoteza maisha ila police wamesha mkamata aliye fanya unyama huu wa kumuondoa mumewangu "" manka alijalibu Ku nyoosha maelezo ambayo bado yalikua na maswali mengi sana kwangu "na huyo mwanamke aliye fumaniwa nae yupo kwenye hari gani"niliuliza kinafiki huku nikijifanya kama sielewi "mwanamke aliye fumaniwa nae kachomwa chomwa visu yupo muhimbili sijui kama atapona sijui baba alikosa nini mpaka kutembea na mkewamtu" kweli mungu bado ananipenda nilijisemea moyoni mwangu mana hili zali linge nikuta mimi nilijiapiza kwa Mara nyingine sitokuja kufanya mapenzi tena mpaka mwisho wa uhai wangu. manka aliongea "inabidi uamke tuanze kufanya maandalizi ya msiba"wakati huo doctor alikua pembeni anatusikiliza aliamua kutoa la moyoni mwake "poleni sana wadogo zangu naombeni mjipange upya mana maisha bado yapo yanendelea cha umuhimu mtumainini mungu na mumuombee marehemu apumzuke kwa amani." hakuimaliza sentesi aliingia merry huku akicheka kwa kwa dhalau.niliamua kumuuliza merry "unacheka nini hauoni tupo kwenye matatizo makubwa." "yametimia mwisho wa ubaya ni aibu hatimaye mwenyezi Mungu kaamua kutenda haki.na kufichua mabaya yake na bado sasa tutaona mengi baada ya msiba huu mficha maradhi kifo humuumbua.... PUMZIKENI KWA AMANI BABA. NA MAMA YANGU."maneno ya Merry yalikua ukweli mtupu hakukua na mtu wa kumpinga mana kila mtu alikua najua madhambi ya mjomba.nilijikaza kiume huku doctor akinifungua ile mipira ya maji niliyo tundukiwa na kuanza safari ya kwenda nyumbani kufanya kikao cha familia kwa ajiri ya kuzika msiba wa mjomba doctor aliniambia nikimaliza msiba niludi ili anipe matibabu mana mfumo wangu wa shahawa unamatatizo inabidi niwai nipate matibabu nisije nikawa mgumba.nika mwitikia kwa ishara mana nilikua nusu ya chizi mambo kibao yana nichanganya kifo cha wazazi wangu sijui wamezikwa wapi dereva aliye niambia atanipa siri zote kawa kichaa.nikipata matumaini baada ya kukumbuka chumba cha siri lazima nika kifungue ili nijue ukweli wa mambo yote. tuliingia kwenye gari na safari ya kwenda nyumbani ikaanza tukiwa njiani errycah yeye alikua anaangua kilio tu asikwambie mtu msiba ni msiba tu hata akifa mbaya wako kama ume share naye damu lazima uumie.ila msiba wa shoga sizani kama kuna mtu atatoa machozi yake. nilitumia busara yangu kumpa maneno matam matam ya kumpooza huku moyoni nikiwa na amani mana mbaya wangu kashavuta kamba. manka ali drive kwa mwendo wa kawaida mpaka nyumbani.tuliposhuka kwenye gari tulisikia taarifa ya kifo cha mjomba kwenye radio ya mlinzi aliyo kua ameifungulia kwamba (BHG) brotherhood gang ""inasikitika kutangaza kifo cha member no #966.x.112 bwana Theophile .s. mluku kilichotokea leo majira ya SAA 2 asubuhi.mwili wa merehemu utasafirishwa mpaka makao makuu yao nchini Nigeria.Taalifa iwafikie wafuasi wote wa (BHG) waliopo Tanzania na nchi nyingine""" wote tulisikia tangazo hilo lililo tangazwa na shirika LA utangazaji nchini TBC. Tulizidi kushtuka zaidi pale tuliposikia mwili utasafirishwa kuelekea makao yao makuu nchini Nigeria. hatukua na mda wa kufanya kikao ilibidi tuelekee monchwari moja kwa moja ili tuuzuie mwili wa mjomba usije ukachukuliwa na (BHG).Tunataka mwili uzikwe hapa hapa. Tulitoka wote nyumba nzima hadi mlizi na kuelekea muhimbili.tulipo kua tuna karibia tulikutana na msafara wa magari ya kifahari yakiingia pale hospitalini tulishtuka zaidi kuona watu wamevalia suti za blue na miwani mwekundu ilibidi tupaki gari pembeni nakuelekea ndani wale watu walinikazia sana macho huku wakino ng'onezana wengine wali diriki hata kuninyooshea vidole nilipo watazama kwa umakini niliwakumbuka ndio wale nilio waonaga horena hoteli.kama unavyojua seminarini tunafundishwa mbinu nyingi hasa ujasiri.nilipita karibu yao na kuelekea monchwari.tulipofika tulieleza tulishangaa walivyo tujibu.mbona mnatuchanganya huyu mtu anakuja kuchukuliwa na (BHG) na wamesha jaza kila kitu na malipo wamesha yafanya pia tumeonyeshwa na mkataba wake kwamba akifa asizikwe na familia yake azikwe na kikundi chake tulionyeshwa baadhi ya copy za mkataba alio ingia mjomba. ""why daddy.........!!! kwanini umeamua kufanya hivi tungekua masikini tusinge ishiii ona sasa yaliyo kukuta sita kuona tena baba yang....uuuu please nisaidieni......jamani baba azikwe hapa hapa nyumbaniiii ......."" aliongea errycah kwa uchungu mkubwa. akachukua simu yake na kumpigia mwanasheria wa mjomba simu haikuita.na baada ya mda mfupi tuliwaona wale (BHG) wakiingia ndani huku wakiwa wamepanga foreni walikua wengi sana.wake kwa waume nilipo jaribu kuwachunguza wengine niliwafahamu kabisa.kuna baadhi ya wasanii wa dini,bongo fleva,hiphop wa hapa nchini wachungaji matajiri wakubwa wandishi wa habari watangazaji wanasiasa hata baadhi ya wanafunzi wa vyuo walikwepo.tuliwekwa pembeni na police ili kuwapisha wale (BHG) kufanya ibada ya kumtoa ndugu yao jeneza la dhahabu lilitolewa mle ndani na likawa linapita mikononi mwao huku kila aliye libeba alilitemea mate.sikuelewa wana maanisha nini ila mlinzi alituambia ile ndo ibada yao ya mwisho ya kumuaga mwenzao na wakioka hapa wanapanda ndege na kwenda kuzika. errycah na manka wao ulikua ni mwendo wa kilio tu.Mimi na merry hatukuumia hata kidogo kutokana na madhambi aliyo tufanyia mjomba.kwa kutuondolea wazazi wetu.walipeleka jeneza kwenye gari na wote kwa mstari ulio nyooka waliingia kwenye magari yao na safari ya kuelekea airport iliianza tulibaki na viulizo kichwani huku mlizi akiendelea kutupa stori "wote unao waona hapo wanaenda Nigeria moja kwa moja hiyo ndio sheria yao lazima mwenzao akifariki wamzike na hao wote watazikwa Nigeria cha msingi nacho washauri wanangu. kaeni meza moja muongee myamalize na mjue mtaanza vipi maisha ""ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO."" "ama kweli mshahara wa dhambi ni mauti"alimalizia errycah huku tukielekea kwenye gari.tulipokua njiani tuliendelea kukumbushana mambo tuliyo yaona kule hospitali.mpaka tukaanza kubishana na Merry.ubishi wenyewe merry alisema kwenye ule msafara amemuona mwandishi wa story ya utamu wa kitumbua chas360tz nilimkatalia kwa sababu chas360 namfahamu vizuri Jamaa hapendi mambo ya kijinga kwanza saizi yupo zake studio anaanda kitabu chake.ubishi ule uliisha pale mlizi alipo ingilia kati na kusema chas360 ni baba yangu mdogo msimsingizie mambo ya ajabu ajabu.tushuka kwenye gari na kuingia ndani moja kwa moja huku wote nia ikiwa moja kwenda kufungua chumba cha siri.kabla ya kwenda kufungua simu ya mezani iliita tulitazamana huku tukisakiziana kila mtu apokee.kidume nikajitosa nika pokea na kuanza kusikiliza maelezo unaongea na OLOMO IGWE kutoka (BHG) samahani naongea na KENNY .J. SIMBULI nilishanguu kuona kalijuaje jina langu nika mjibu ndio. "nadhani unatambua mjomba wako kafariki kuna baadhi ya document zake tumezipitia na tumeona kakuandika wewe ndie mrithi wake.unatakiwa kufika Nigeria kesho ili tukufanyie usajiri na kama ukikataa basi ukoo mzima mtakufa na Mali zote mtanyang'anywa mana ni Mali ya brotherhood gang (BHG). kuhusu usafiri na kupata utaratibu wote nenda horena hotel chumba namba #966 utakutana na agent wetu atakuelekeza kila kitu." uzuri simu niliweka loudspeaker kila mtu akasikia nili mjibu kwa dhalau "sikia bro nikwambie siogopi kufa mana hamna uwezo wa kuondoa maisha yangu hamuwezi kuiteteresha imani yangu.na kuacha kumua budu mungu wangu aliye juu.kama Mali njoeni mchukue bora nife masikini kuliko kua na Mali nyingi sio halali.kwa imani ya Mwenyezi Mungu hii vita nitaishinda na hamniwezi kwa chochote kile." "sikia kijana naona ume panic sana bora uishi naisha mafupi yenye raha kuliko maisha marefu yenye shida.kama umekataa cha moto utakiona wewe na ndugu zako nikimaliza kuzungumza na wewe nakupa masaa 48 mkusanye kilicho chenu wewe na ndugu zako na mtoke kwenye nyumba.ila kitu chochote cha mjomba wako naomba chumba namba #966 msikifungue........nadhani nimeeleweka."alikata simu tulianza kujadiliana kutokana na ile simu iliyo pigwa.nikaonyesha msimamo wangu kama mwanaume hapa tunaenda kufungua kile chumba ili tujue kuna kitu gani tukitoka hapo tubebe kilicho chetu tuhame uzuri wa Mali za kishirikina kama ukichukua kabla ya marehemu ajafariki hiyo Mali ni yako ila ukichukua baada ya marehemu kasha kufa utakacho kutana nacho ni juu yako.zile million hamsini ndo zitakua Mali yetu ya uhalali mana tulichukua kabla ya mjomba hajafariki ukiangalia erycah na yeye alikua amewekewa hela toka utotoni mwake kuyumba hatuto weza.maumivu yalikua kwa manka yeye hakulipwa chochote kibaya zaidi alicho jiharibia ni ile tabia yake ya kutoa Tigo ningeweza kumuoa alijiharibia CV alicho kiomba yeye ni nauli arudi Rwanda akaanze maisha.mlizi hatuwezi kumuacha tumezoeana naye sana hata tukisema arudi kijijini tuta mtesa tu. errycah alileta ufanguo wa chumba cha siri nikauchukua na kwenda kukifungua.nilifika mlangoni wote walikusanyika pale kutaka kushuhudia kitu gani kipo kwenye chumba kile.nilianza kufungua kufuri la kwanza nikatekenya kitasa kitu kikajibu.nilifungua taratibu na kuona chumba kipo tupu tena kuna Giza Nene nilitangulia kwanza peke yangu nikawapa ishara waje ndani waliingia hatukufanikiwa kuona kitu chochote nisogea kwenye ukutu nilishangaa kuona kama mlango ukutani nilipo ugusa ulifunguka.kumbe kule ndio chumba chenyewe namba #966 tulipo ingia tuliona vitu vya ajabu tulikuta kabati mikufu ya dhahabu vibuyilu chungu na kiti cha kifalme errycah alifungua lile kabati tukaanza kusikia harufu mbaya nilipo mulika na vizuri na tochi ya simu yangu.oooooooh mungu wangu sikuamini nilicho kiona niliona mafuvu ya vichwa nilipo mulika vizuri niliona fuvu LA kwanza likiwa likeandikwa jina la baba na lingine jina LA mama nilianza kutokwa na machozi niliumia sana..hakukua na mtu wa kuvumilia wote tulianza kuangua kilio.hiyo ilikua ni flem ya kwanza. flem ya pili ya kabati tulikuta fuvu moja kuangalia pale juu kwenye paji LA uso lilikua limeandikwa jina LA shangazi mama yake mzazi errycah. errycah baada ya kuona vile aliishiwa nguvu kabisa alikaa kimya huku akitoa kilio... huku akisema ""baba kumbe ulimuua mamaaaaa....."" nikafungua flem ya 3 tukakuta mafuvu ma tano yaliyo wekwa pamoja kumulika vizuri tuliona majina kwenye mafuvu yale lilikua fuvu la vannesa nasma husna yule shangazi na dereva....... ""mungu wangu huyu dereva kafariki lini nakumbuka sikuile tulimkuta mwanza akiwa anaokota makopo.jamani duniani kuna watu wabaya.""aliongea manka kwa majonzi tukaendelea na fkemu ya 4 tutakuta viperushi vya majina yetu inaonesha na sisi tulikwepo kwenye list. mlinzi alituamuru tuvichukue kisha tukavichome moto ili hata wenzake wakija kuchukua madude yao majina yetu yasiwepo... uwezi kuamini nilisahau utamu wa vitumbua nilivyo kula na kujuta kuzaliwa mana si kwa vitu hivi. kutupa macho pembeni niliona nyele zikiwa kwenye kindoo na hapo ndipo nilipo gundua kwa nini mjomba hakua na nywele na sikuwai kumuona akienda saloon kunyoa.nilisogea mpaka pale kwenye kiti cha kifalme nikakuta bahasha niliichukua na tukatoka kwenye kile chumba.nilikifunga kama nilivyo kikuta tukaenda sebreni kuifungua ile bahasha na kukutaa ma dhambi yote aliyo yafanya mjomba kama kafara ya kuongeza Mali ameyaandika.kweli mjomba amewaua wazazi wangu mkewake (mapacha) husna na nasma na dereva ......... karatasi ya pili tulikuta majina yetu yakiwa yameandikwa kwa rangi nyekundu.........niliumia sana ila nilijikaza kiume tukiwa bado tunasoma zile karatasi.walikuja ma agent wa (BHG) wakatumbia tubebe kila kilicho chetu na tuondoke la sivyo tujisajiri na chama chao wote tuligoma kila mtu akaingia chumbani kwake na kupaki nguo.nilifika ndani na kuanza kupanga kila kilicho changu nilipofungua kabati LA chumbani kwangu nilishangaa kuiona ile bahasha niliyo achiwa na sethi kule horena hoteli.sikupata mda wa kuifungua niliweka kwenye begi na kutoka nje kuwapisha wale ma agent wa BHG.kibaya zaidi tulimwona na yule wakili wa mjomba akiwa nao sambamba wale ma agent. alijifanya kama hamjui errycah.ama kweli MWISHO WA MAWINDO MBWA HANA THAMANI. hatuweza kuondoka na gari tulipotoka nje nilimwona yule boda boda aliye nileta juzi.tuka salimiana nika muulizia hamna nyumba inayo uzwa ? "bro hapa umefika Mimi ndo dalali wa mijengo sema ikifika mida kama hii napiga boda boda jina langu naitwa dalali kiongozi kuna mjengo masaki hii hii unauzwa million 450 kama upo vizuri unaingia leo leo." nilidata kuisikia ile bei.nilishangaa kuona errycah akidakia ok twende hela ipo.ndo ikawa nafuu yetu alimwita mwenye nyumba baada ya lisaa limoja tulikamilisha kila kitu na kuingia kwenye nyumba mpya huku zile million 50 tulizo mwibiaga mjomba alikua Nazo merry.niliingia ndani na kufungua begi langu ili nipange vitu vyangu niliiona tena ile bahasha nilipo ifungua sikuamini macho yangu nilikuta majibu ya hospitali ya sethi ya kipimo cha damu na kuonyesha ni mwathilika nilihisi Ku data mana yeye alikua msichana wangu wa kwanza Ku lala nae ukiangalia sikutumiaga condom. """ina maana na mimi nimeathilika Mungu nionee huruma Mimi sito ludia tena kwaiyo kama Nina HIV inamaana wote nilo lala nao na wenyewe wanao oooohh mungu wangu nimekwisha nikianza kulia kwa sauti mamaaaaaaaa.........nimekwishaaaaaa.............sethi..........umeniponza........ .kwanini...........Mimi.....nimesha......upoteza u padri........na nimewaua ndugu zangu..........nime muua mpaka mdogo wangu..........bora nife siwezi kuendelea kuishi kama nimewaua ndugu zanguuuuuu""" kumbe kina merry walikua wana nisikiliza lakini hawakuelewa walipo fika waliniuliza sikua na mengi ya kuongea zaidi ya kuwaonyesha Yale matokeo na kuwaambia Huyo ndo alikua msichana wangu wa kwanza kutembea nae........ "Kenny kwaiyo umetuua woteeee"wote watatu waliniuliza kwa Mara moja niliumia sana niliwaomba samahani ila mlinzi alitushauri twende hospitali tuka hakikishe hatukua na mda wa kupoteza tulienda hospitali kwa yule doctor wa Rwanda bahati nzuri tulimkuta yupo zamu ya usiku nilimwelezea akachukua vipimo vyetu.akatuambia turudi baada ya wiki tatu hapo ndo tutapata majibu ya uhakika alinichana ukweli mda ule ule na kuniambia hauto kua na uwezo wa kumpa mimba mwanamke yoyote yule labda muujiza wa mwenyezi mungu niliona dunia ngumu na kujilaumu sana kwa kunogewa na UTAMU WA KITUMBUA............... ************** MWISHO WA SIKU KENNY NA WALE WOTE ALIO FANYA NAO MAPENZI WALIPATA UKIMWI (NGOMA) ILA MAISHA HAYAKUISHIA HAPO YALISONGA MBELE KENNY HAKU BAHATIKA KUPATA MTOTO ALISHINDWA KURUDI SEMINALINI ALIMRUDIA MUNGU ALIFUNGUA KANISA LAKE NA KUA MCHUNGAJI.......!!!! ERRYCAH NA MERRY WALIOLEWA MANKA ALILUDI NCHINI KWAO NA MLINZI ALIRUDI KIJIJINI KUANZISHA BIASHARA YAKE *************MWISHO********** ... Read More
Story - - - - - NI WEWE TU PENINA. BY GIVAN IVAN PHONE & WHATSAPP____0769673145 Karibuni tuianze story yetu hii mpya yenye kusisimua iliyojaa visa mbali mbali kuhusu mapenzi. Sehemu ya kwanza (1) Mapenzi ya vijana wawili walionza kupendana toka wakiwa wadogo mpaka Sasa wakiwa na umri wa miaka 25 kila mmoja, yalikuwa yakizidi kukolea kila siku na kuwa matamu zaidi na zaidi. Vijana Hawa ni Frank pamoja na Penina. "nahisi kuvurugwa nahisi kufa kufa yaani najiona kama napepea juu juu kwa jinsi navyompenda mpenzi wangu Penina." alikuwa frank akiongea maneno hayo mbele ya wazazi wake pamoja na mdogo wake Wa kike aitwaye Angel. "na siku si nyingi utakuwa chizi wewe sio kwa kupenda huko kaka yangu." akaongea Angel kumuambia Frank. "acha niwe chizi tu mdogo wangu, lakini sio chizi wa kutembea uchi barabarani bali chizi wa kupenda." akaongea Frank maneno hayo na kuwafanya wazazi wake wacheke sana. "lakini mwanangu Sasa inabidi mfanye taratibu mfunge ndoa Sasa." aliongea baba yake Frank. "Hamna shida baba usijali yote hayo yatafanyika muda mfupi ujao. " Akaongea Frank ambaye muda wote furaha ilijaa usoni mwake. *wakati huo huo Penina mpenzi wake Frank naye alikuwa katika moja saloon akitengeneza nywele zake ikiwa ni maandalizi ya kwenda kukutana na mpenzi wake Frank. " Dada nitengeneze vizuri tafadhali maana napenda muda wote niwe navutia mbele ya mpenzi wangu." aliongea Penina kumwambia mwanadada aliyekuwa akimtengeneza nywele. "usijali dada nitakutengeneza vizuri mpaka mwenyewe ufurahi." Dada yule akamjibu Penina na kumfanya atabasamu. Baada ya dakika kadhaa Penina alimaliza kutengenezwa nywele zake na moja kwa moja akazama kwenye pochi yake na kutoa simu yake, kisha akatafuta Jina lililoandikwa my love Frank na moja kwa moja akazipiga namba hizo. * Frank akiwa bado anaongea na wazazi wake ghafla simu yake ilianza kuita, akatoa na kuangalia mpigaji ni Nani. Frank alianza kutabasamu baada ya kukuta mpigaji ni Penina kipenzi cha moyo wake. "haloo mke wangu mtarajiwa mambo vip?" akaongea Frank baada ya kupokea simu. "poa tu mpenzi wangu nimekumiss hadi nahisi kizunguzungu." akajibu Penina. "Asante mpenzi wangu yaani kuachana Jana tu ndio kunimiss hivyo?" " yeah nimekumis sana hebu jiandae nakupitia Sasa hivi tukale bata kidogo. " akaongea Penina kumwambia Frank. " waoow ok najiandaa Sasa hivi utanikuta tayari my love." akajibu Frank na simu ikakatwa. Frank aliwaacha wazazi wake pale sebuleni kisha yeye akaenda kujiandaa kwa ajili ya kutoka na mpenzi wake. Penina naye baada ya kukataa simu aliingia kwenye gari yake nyeupe aina ya rava4 na kuanza kuelekea nyumbani kwa Frank. Tumfahamu Penina vizuri. Penina ni mwanamke mrembo sana aliyebarikiwa na Mungu kuwa na kila kitu kizuri katika mwili wake. Popote pale Penina alipopita aliacha gumzo kwa wanaume ambao walikuwa wakimmezea mate. Penina ametoka katika familia ya kitajiri yenye watoto watatu, wawili wa kike na mmoja wa kiume ambao ni Nolan, Penina na Irene. Penina amefanikiwa kusoma mpaka elimu ya juu kabisa na kufanikiwa kuwa mfanyabiashara mdogo anayechipukia kwa kasi sana. Penina alianza uhusiano wa kimapenzi akiwa kidato cha tatu, na alianza uhusiano na kijana aliyeitwa Frank ambao mpaka Sasa wapo pamoja. Lakini kitu kimoja ambacho kanalitia dosari penzi tamu kabisa la Penina na Frank, ni baba yake Penina kutopenda mwanawe aolewe na Frank. Baba yake Penina hakutaka kabisa mtoto wake aolewe na Frank, yeye alitaka mtoto wake aolewe na mzungu kutokana na uwezo wao wa kipesa. Mama yake Penina pamoja na Nolan kaka yake Penina ndio Watu pekee waliokuwa wanayaunga mkono mapenzi ya Penina na Frank katika familia yao. Lakini Irene mdogo wake Penina pamoja na baba yake Penina ndio watu pekee ambao walikuwa hawataki kabisa kuyaona mapenzi ya Penina na Frank yakiendelea. * Frank yeye anatoka katika familia yeye hali ngumu kimaisha, hawakuwa na uwezo hata wa kuwa na nyumba nzuri kama wenzao. Frank aliishia kidato cha pili kutokana na wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumuendeleza zaidi. Kadhalika pia Angel mdogo wake Frank naye aliishia darasa La saba kutokana na Wazazi wao kutokuwa na uwezo wa kuwaendeleza zaidi. * Baada ya dakika kadhaa Penina aliwasili nyumbani kwa kina Frank, akapaki gari yake pembeni na kushuka Kisha akaingia katika nyumba ya kina Frank ambayo ilikuwa imechoka Sana. "waoow mkwe wetu karibu Sana." mama yake Frank ndio alimpokea Penina kwa furaha Sana. "Asante Sana mama yangu nimekaribia." akajibu Penina huku akiketi pembeni ya mama yake Frank. "eeh mwanetu lete habari." akaongea mama yake Frank. "Sina hata mpya nimekuja kumchukua mtoto wenu." akajibu Penina. Na Muda huo huo Frank akajitokeza akiwa tayari ameshajiandaa. Licha ya umaskini uliopo katika familia Yao, bado Frank alijitahidi Sana katika kuupendezesha mwili wake ili aweze kuendana na mpenzi wake Penina ambae Muda wote alikuwa mtu wa kupendeza tu. "waoow my love mwaaa." Penina ndio alinyanyuka na kumkumbatia Frank na kumuachia busu Zito la shavu. Frank naye hakuwa nyuma alimpokea mpenzi wake kwa furaha pia. Penina pamoja Na Frank waliaga na kutoka nje, wakaingia kwenye gari na kuondoka. "tunaelekea wapi Sasa mpenzi wangu?" akahoji Frank. "surprise my love sikuambii tunaelekea wapi." Penina akamjibu Frank huku akitabasamu. "haya bhana bas nafunga macho mpaka tufike." akaongea Frank na kumfanya Penina azidi kutabasamu.* Katika bar moja iliyopo maeneo ya sinza kikao kimoja kilikuwa kikiendelea, na huku kilichokuwa kikipangwa Katika kikao kile ni namna ya kulivunja na kuliharibu penzi la Penina na Frank. Mzee Joel ambaye ni baba yake Penina, pamoja na Angel ambaye ni mdogo wake Penina pamoja na vijana wengine watatu wa kiume na mmoja wa kike, ndio waliokuwa wahusika wakuu wa kikao kile. .... Itaendelea ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Tatu (3) BY GIVAN IVAN Ilipoishia........ Baada ya Penina kuondoka tu, Frank kabla hajapiga hata hatua moja kuondoka pale, ghafla alishtukia amezungukwa na vijana watatu wa kiume waliokuwa wamevalia miwani nyeusi kila mmoja. Na hata Frank alipowaangalia hakuweza kuwafahamu. .......... .. Endelea............ "tulia hivyo hivyo na sikiliza tunachokuambia." akaongea kijana mmoja huku akiwa ametoa kisu na kumuwekea Frank shingoni. Frank naye alikuwa kimya na kuwasikiliza walichokuwa wanataka kumuambia. "sikiliza wewe kijana wewe bado mdogo Sana, hivyo bas tunakusihi uachane na Penina haraka iwezekanvyo, hili ni onyo tu tunakupa na ukikaidi bas shingo yako tutaikata kama ya kuku." akaongea kijana ambaye alikuwa kiongozi wa wenzake, kijana huyo aliitwa Zaza. Baada ya Zaza kumwambia Frank maneno yale ya kumtisha aliondoka na wenzake na kuingia kwenye gari moja nyeusi iliyokuwa imepaki pembeni Yao, Kisha gari likaondolewa kwa kasi ya ajabu huku dereva wao akiwa ni mwanamke anayejulikana kwa Jina la Melissa, moja Kati ya vijana waliopewa kazi nzito ya kuliharibu penzi la Frank na Penina. Frank alianza kuingiwa na hofu na kujiuliza "ni nini tena kinaendelea juu yake? " Frank alijivuta na kuondoka sehemu Ile na kuingia nyumbani kwao akiwa mnyonge kuliko kawaida yake. " eeh kaka vip mbona mnyonge hivyo kulikoni tena? " akauliza Angel mdogo wake Frank. " aah kuna vijitu vinataka kuniharibia siku hapo nje." akajibu Frank na kuketi kwenye kigoda. "watu gani tena hao mwanangu?" akauliza pia mama yake Frank. "mama kuna watu hapo nje wamenisimamisha na kunitishia niachane na Penina la sivyo wataniua." akaongea Frank kuwaambia wazazi wake wakiwa wamepigwa na butwaa. "haa mwanangu katoe taarifa haraka polisi kwa usalama wa maisha yako." akaongea baba yake Frank kumpa ushauri mtoto wake. "Polisi siendi baba nachojua mimi Penina ni mpenzi wangu nampenda na yeye ananipenda, yoyote atakayeingilia penzi langu na Penina ama zake ama zangu na kukuonesha mfano naanza na hawa walionitisha leo." akaongea Frank kwa jazba Kisha akanyanyuka na kuondoka kuelekea chumbani kwake. "kuwa makini mwanangu tusije tukakupoteza mapema." akaongea baba yake Frank, lakini Muda huo Frank alikuwa ameshatoweka mbele ya macho yao. "Mimi ni mwanaume rijali nitakubalije kutenganishwa na Penina kirahisi hivi?" alikuwa Frank akijiuliza swali hilo huku akizunguka zunguka chumbani kwake. "naamini hakuna mwenye uwezo wa kunitenganisha mimi na Penina isipokuwa Mungu tu." akaongea Frank huku sasa akiwa amejilaza chali kitandani kwake.* Hatimaye Penina naye aliwasili nyumbani na Muda huo ikiwa ni majira ya saa tatu usiku. Geti lilifunguliwa na taratibu Penina akaingiza gari ndani na kulipaki sehemu yake, Kisha yeye akashuka na kuanza kuelekea ndani Katika jumba la kifahari kwa mwendo madaha kama kinyonga. Lakini kabla hajaingia ndani alikutana na baba yake mlangoni ambaye alionesha wazi kuwa alikuwa anamsubiri Penina. "shikamoo baba!" akasalimia Penina, lakini baba yake badalaa aitikie salamu ile akamuuliza Penina, "umetoka wapi usiku huu?" "nilikuwa na mpenzi wangu Frank kuna sehemu tulienda ndio narudi Sasa hivi." Penina akamjibu baba yake bila uoga. "wewe ni Mara ngapi nimekukataza kurudi nyumbani kwangu usiku? Na si nimeshakuambia uachane na huyo chokora wako?" akauliza baba yake Penina huku akiwa amezira. "Kwa kosa la kurudi nyumbani usiku naomba unisamehe baba yangu, Lakini muda si mrefu nitakuondolea hii kero ya kurudi nyumbani usiku kwasababu mimi na huyo mpenzi wangu unayemuita chokora tumeshaanza harakati za kufunga ndoa na tutahamia kwetu muda si mrefu." akaongea Penina kumuambia baba yake bila uoga wowote. "hivi wewe mpumbavu unajua unaongea na nani? Maana naona unaropoka ropoka tu kama umekunywa maji machafu." akaongea baba yake Penina. "ndio najua naongea na nani, najua naongea na wewe hapo baba yangu kipenzi tena nakupenda Sana lakini najua wewe hunipendi." akaongea Penina maneno hayo ambayo yalimfanya baba yake apoe kidogo. "hapana mwanangu sio kwamba sikupendi, nakupenda sana tena Sana Ila huyo unayemuita Frank mi ndio ananikera kupita maelezo yaani nikimuona nahisi hata kutapika." akaongea baba yake Penina kwa upole kidogo. "Baba unataka niachane na Frank?" akauliza Penina. "ndio mwanangu tena nitafurahi Sana na nitakupa zawadi kubwa Sana." akaongea baba yake Penina. "ok bas subiri kidogo." akasema Penina Kisha akaondoka kwa Kas mpaka jikon ambapo alichukua kisu na kurudi nacho mpaka kwa baba yake. Wakati hayo yote yanatendeka Noel ambaye ni kaka yake Penina alikuwa akiyashuhudia yote hayo. "kama unataka niachane na Frank niue kwasababu hiyo ndio njia pekee." akaongea Penina huku akimkabidhi baba yake kisu kile. "haa mwanangu Sasa huu utoto gani unaleta mbele yangu?" akauliza baba yake huku akikitupa kisu kile pembeni. "sio utoto baba bali namaanisha ninachokiongea, na kama umeshindwa kutekeleza nilichokuamuru bas tambua hakuna wa kunitenganisha na Frank na siku si nyingi tutafunga pingu za maisha, na sitojali kama wewe utaudhuria ama hutoudhuria." akaongea Penina kumuambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. Nolan naye alitoka sehemu aliyokuwepo akisikiliza malumbano ya Penina na baba yake na kumfuata Penina chumbani kwake. Huku nyuma baada ya Penina kuondoka, baba yake alitoa simu yake na Mara moja akampigia Zaza. "hallow mzee Joel.!" akaongea Zaza baada ya kupokea simu. "Zaza nisikilize kwa makini, Penina na yule chokora wapo Katika mipango ya kufunga ndoa, Sasa nachotaka mfanye ni kuwatenganisha kwa namna yoyote ile, mnachotakiwa kufanya ni kumteka nyara huyo chokora alafu mkamtupe mbali kabisa sehemu ambayo mnajua anaweza chukua hata mwaka mmoja Kuja kuonana na Penina tena. " akaongea mzee Joel kwa kusisitiza (mzee Joel ni baba yake Penina) " Sawa hamna shida mzee wetu tutafanya hivyo." akajibu Zaza. "ok bas fanyeni haraka iwezekanavyo kama mtahitaji pesa zaidi mtanijulisha." mzee Joel akamwambia Zaza na kukataa simu. * Penina baada ya kuingia chumbani kwake ghafla kaka yake naye akaingia pamoja naye. "hee kaka kumbe ulikuwa nyuma yangu?" akahoji Penina kwa mshangao. "ndio na pia nilikuwa nasikiliza malumbano yenu mzee." akaongea Nolan ambaye ni kaka yake Penina. "yaani kaka wewe acha tu, baba angejua navyompenda asingenifanyia hivi anavyonifanyia." akaongea Penina kwa huzuni kumuambia Nolan. "Ila mdogo wangu usijali wewe simamia kile unachokiamini na mimi nitakuwa nyuma yako kukusaidia." akaongea Nolan kumtia moyo Penina. "nashukuru kaka kusikia hivyo angalau wewe ndio uko upande wangu." akaongea Penina kumshukuru kaka yake. "usijali mdogo wangu wewe lala kwa amani tutaonana kesho." akaongea Nolan na kuondoka chumbani kwa Penina.* Kwa upande wa kina zaza usiku ule ule walianza kupanga mikakati ya kumteka Frank na kwenda kumtupa mbali kabisa na jiji la dar es salam. Lakini hii ilikuwa kazi ngumu Sana ambayo walihitaji pesa za kutosha na pia wachore ramani ya sehemu watakayoenda kumtupa Frank. ....... Itaendelea ... Read More
*MWAGIA HUM HUMO EP 01* ```NEW NEW NEW NEW NEW``` V. _BY ADMIN MODDY_ Sehemu Ya Kwanza (1) Toka nimezaliwa nimekuwa mwanamke mwenye mkosi kila mpenzi wangu mwanzo wa mapenzi yalikuwa motomoto. Lakini baada ya muda fulani mwanaume alinimwaga bila sababu za msingi. Kila siku ya Mungu nilishindwa kuelewa nina matizo gani mtoto wa kike miye. Kibaya zaidi ndoa niliyofunga miezi minne iliyopita ilivunjika huku mpenzi wangu akipagawa na penzi la nje. Jamani mbona makubwa, huyo mwanamke aliyenivunjia ndoa yangu hata mkonioni hajai, hanizidi kwa lolote si kwa sura wala umbile. Niliamini maneno ya watu huenda yule mwanamke ni mchawi. Kitendo cha ndoa yangu kuvunjika na historia yangu ya nyuma ya kuachwa kwenye mataa na wanaume kiasi cha kugeuzwa jina ubao wa shabaha kila mwanaume kujifunza kulenga kwangu na akichoka hiondoka bila kwaheri. Bahati niliyokuwa nayo mwanaume yeyote aliyenitaka, yupo radhi kunihonga hata milioni ili mradi anipate, Mungu alijilalia umbile na sura lakini niliamini kuna kitu kikubwa kimepungua kwangu kinachofanya wanaume wanikimbie. Kwani moto anaoanza nao mwanaume kama maji ya moto lakini baada ya muda hupoa. Lakini hachelewi kupoa, wapo niliokaa nao mwezi mwili, mitatu , wiki na wengine wakionja hawarudi tena. Kuna watu walionifuata na kunieleza labda niende kwa waganga wa kienyeji ili nisafishwe nyota yangu. Ushauri ule niliufuata baada ya kutumia dawa zile sikuchelewa kupata bwana aliyetangaza ndoa kabisa. Lakini baada ya miezi minne ndoa yangu ilivunjika, kitendo kile kilinitia aibu, yote ya kuchezewa na wanaume na kuachwa ilikuwa tisa, kumi ilikuwa kuachwa bila sababu huku mume wangu akizama kwenye penzi ya kinyago msela mwanamke asiye na mbele wala nyuma. Kitendo kile kilinidhalilisha sana, sikuweza kuvumilia bila kujieleza siku ya pili nilipanda gari mpaka Dar na kufikia kwa rafiki yangu niliyekuwa nasomanaye shule moja ambaye baada ya kumaliza shule alikwenda Dar kutafuta maisha na baadaye alinieleza amepata chumba tena anafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi. Kwa vile nilikuwa na siku yake nilipomjulisha nakwenda Dar hakunikatalia Nilipanda basi hadi Dar. Baada ya kufika nilikaa mwa muda wa mwezi mmoja na kunitafutia kibarua katika kiwanda kimoja, ajabu msimamizi alinizimikia na kuanzisha mahusiano na mimi. Kwa vile kila mmoja alikuwa na ujiko kuwa na uhusiano na bosi basin a mimi nilimkubalia. Kama kawaida haikuchukua hata mwezi akanimwaga na kashfa nyingi kwamba heri atembee na mwanaume mwenzake kuliko kulala na mimi. Kwa kweli kitendo kile kilizidi kunidhalilisha na kuniweka kwenye wakati mgumu, kibaya kila mwanaume niliyekuwa nakutana naye na kuniacha hakunieleza tatizo langu. Kwa kweli niliumia sana na kuamua kuacha kazi, niliapa sitakuwa tayari kufanya kazi wala kuanzisha uhusiano na mwanaume yeyote. Baada ya shoga yangu kupata bwana ilinibidi nihame kwa kutafutiwa chumba sehemu za uswahili kwa bibi mmoja maarufu pale mtaani Bi Shuu, ni bibi wa miaka 55 lakini mambo yake temea chini. Bibi yule alinilea kama mwanaye wa kuzaa hata kodi yangu hakuitaka. Kuhamia kwa Bi Shuu nilijikuta nikiingia dunia nyingine kabisa, kweli nimekubali tembea uone mambo, ningekaa Arusha ningeyajua haya. Nazidi kukubali kweli vikiungwa vitamu, tena mtu ataomba aongezwe na akimaliza kula lazima ajilambe vidole. Najua una hamu kuvijua hivyo vitamu vilivyo ungwa mpaka watu wakajilamba, Naomba twende pamoja tuipate wote faida ya kuwa karibu na makungwi kama Bi Shuu. ******** Katika mambo niliyokuwa siyapendi katika maisha yangu ni pamoja na kusumbuliwa na mwanaume wakati wa kilimo cha mhogo. Ooh! Inama, mara jipinde hivi, mara geuka hivi. Siku zote nilijiuliza kwani bila kukusumbua hivyo mwanaume hawezi kufikisha mzigo wake. Kitendo cha kijana huyu ambaye alinipata kupitia kwa Bi Shuu kutaka kunisumbua kilinikera sana. “Manka mbona hivyo sasa raha ya mapenzi ipo wapi?” “Nimesema sifanyi unavyotaka, sipo kwenye mazoezi ya yoga hapa kama huwezi hivi, vaa nguo zako ondoka, ” nilisema kwa ukali bila kumuangalia nyuma yangu alipokuwa amekaa. “Lakini Man…,” “Ee..ee..eeh, nasema hivi kwani tatizo nini bila hivyo unavyotaka hufiki safari yako?” Nilimkata kauli Edward. “Manka raha ya chakula ubadili mapishi mchele mmoja lakini una mapishi zaidi ya kumi.” “Kwani huo mchele ukipika bila kubadili mapishi hauivi?” “Lakini Manka kuna tatizo gani kufanya ninavyotaka, sema niongeze kiasi gani ukubaliane na mimi ili nami nifaidi raha ya mapenzi?” “Kaka eeh! Mimi sio chombo cha mazoezi, mlango huoo, unaweza kuondoka hukuitwa na mtu chumba changu mwili wangu eeh.” Yule kijana alipandwa na hasira, alinyanyuka na kupitia suruali yake na kutoka bila kuaga, nilifyonza na kujilaza huku nikinyanyuka na kupitia upande wa kanga na kujifunga kisha nilirudi kujilaza kitandani. Nilijikuta nikipandwa na ghadhabu kitendo cha Bi Shuu kunitafutia wanaume na kugawana kitakacho patikana. Nilijikuta nikijiona nimekataa nini na ninafanya nini. Sikuwa na tofauti na wale wanawake wanaojiuza kwenye vyumba vyao kwa wanaume kupanga foleni. Japo kwangu haikuwa hivyo, mimi ilikuwa naitwa na Bi Shuu na kuelezwa juu ya kijana kunipenda na kuwa mtu wangu wa karibu wakati mambo yangu hayajawa mazuri. Lakini kila mvulana aliyekuja baada ya kunionja hakurudi tena, lakini wa leo yeye alikuwa tofauti na waliotangulia, alikuwa mwanaume msumbufu ambaye sikukubaliana naye. Baada ya kuondoka nikiwa bado nimejilaza katika vazi la kanga moja Bi Shuu aliingia chumbani kwangu kama askari aliyevamia chumba cha jambazi. Sikushtuka niligeuza shingo na kumtizama, mama mtu mzima asiye na haya wala kujua vibaya kunigeuza kitega uchumi chake. Japo alinisaidia vitu vingi kama chakula na matumizi madogo madogo ninapokwama kipindi kila nilipoacha kazi bila kujua hatima ya maisha yangu. Akiwa amenisimamia pembeni ya kitanda changu kama jini la kutumwa huku akinikata jicho kali ambalo hakuwahi kulionesha kwangu. Nilijikuta nikishtuka na kujiuliza kulikoni kuniijia kama shetani wa kutumwa. “Manka,” aliniita jina langu. “Abee.” “Unataka msaada gani kwangu?” “Upi huo?” nilimuuliza huku nikaa kitako. “Kila kijana ninayemleta kwako anaondoka bila kuaga tatizo nini?” “Kwani wao wamekueleza nini?” “Hakuna hata mtu wa kuelezea kitu zaidi ya kuondoka bila kuaga, kwani kuna tatizo gani?” “Kwangu sina, labda wao.” “Kwa mtindo huu, hali itakuwa ngumu si muda utageuka mzigo wa moto usioshikika wala kubebeka.” Mmh! Nilijua nimenyea kambi, nilijiuliza kama Bi Shuu kama ataniona mzigo sikujua nitakwenda wapi. Kurudi Arusha sikuwa tayari, kuendelea kulipiwa chumba na shoga yangu niliona aibu baada ya kujitoa kwake, lakini ningefanya nini katika mji wa watu. “Kwa mtindo huo kuanzia mwezi ujao utalipa kodi,” Bi Shuu aliniambia kwa sauti kavu. “Bi Shuu, nitatoa wapi pesa za kodi nami kazi sina.” “Kazi huna au hutaki kazi.” “Kazi za kudhalilishana hata siwezi.” “Kipi cha ajabu dunia ya leo, Mungu amekupa vitumie.” “Navitumia lakini sina bahati.” “Basi habari ndiyo hiyo, mwezi ujao utalipa kodi, la huna rudisha chumba changu.” “Bi Shuu, lakini si wewe ndiye uliyemkataza shoga yangu kuwa aache kulipia kodi nitaishi nawe kama mwanao?” “Mwanangu gani asiye na msaada, mimi na mzee wangu ninatulia na mwanaume akionja lazima arudie na akimaliza sharti ajilambe.” “Sasa mimi nimekataa mwanaume gani, wenyewe ndiyo wananikataa.” “Basi utakuwa na kasoro ambayo unaificha, lakini nitaijua muda si mrefu.” Bi Shuu alisema huku akitoka nje, nilibakia nimejilaza kitandani nikiwa na mawazo mengi juu ya mapungufu yangu kwa wanaume, kufikia hatua kila mwanaume akionja harudii tena. Kingine kilichonichanganya ni kulipa kodi na kazi sina, nilishangaa Bi Shuu kunigeuka kama kinyonga. Nikiwa katikati ya mawazo nilisikia hodi ikigongwa chumbani kwangu. “Pita mlango u wazi,” nilipaza sauti kumruhusu anayegonga aingie. Mlango ulifunguliwa na mtu aliingia, ha! Kumbe alikuwa shoga yangu Mage. “Aah, Mage umenikumbuka leo.” “Ni kweli Manka, vipi mbona ka.a.maaa?” Nilijua kuna hali ilimfanya aingie wasiwasi, nilishukuru Mage hakumkuta yule mwanaume alikwisha nionya nisikubali kuugeuza mwili wangu kitega uchumi na kunieleza ninapozidiwa kimaisha nikimbilie kwake. Lakini niliona aibu motto wa kime niliye kamilika kuomba kwa mtu kila siku. “Hamna kitu, nilikuwa nataka kwenda kuoga,” nilidanganya. “Ni hivi shoga yangu, shemeji yako amekupatia kazi kwenye kampuni moja kama secretary, si bado unakumbuka kutaipu kwa computer?” “Mmh muda, lakini sijasahau, labda wepesi.” “La muhimu uipate hiyo kazi, mengine yatajulikana humo humo.” “Nitashukuru shoga yangu.” “Na kazi yenyewe ni kesho asubuhi jiandae shemeji yako atakupitia, kesho asubuhi na kukupeleka kwenye hiyo kazi kisha atakwenda kazini kwake.” “Nashukuru shoga yangu kweli wewe ni ndugu wa damu” Nilimkumbatia Mage huku nikimuomba Mungu asitokee mwanaume atakaye nitaka kimapenzi. Niliamini hata kama nitamkataa huo utakuwa mwanzo wa kuchukiwa na mwisho wa siku kufukuzwa kazi. Lakini nilimuomba Mungu kabla ya kuianza hiyo kazi, aniepushe ni matamanio ya wanaume japo kila vazi nililovaa liliwaweka katika wakatii mgumu wanaume. Lakini nilimuomba Mungu usiku na mchana ili aniepushe na mataanio ya wanaume. &&&& Japo nilikuwa na furaha ya kupata kazi kwenye ofisi, lakini bado moyo wangu ulikosa raha kutokana na kuwa na bahati ya kupendwa lakini mkosi wa kuachwa. Lakini nilijipiza moyoni kuwa na msimamo wa kutojirahisi kwa wanaume yoyote. Baada ya taarifa zile shoga yangu aliondoka na kuniacha nikijipanga kwa ajili ya siku ya pili. Niliapa tena kutomkubalia mwanaume yoyote kimapenzi kutokana na kujijua nina kasoro ambayo sikuifahamu. Mwanzo nilikuwa nikisimama mbele ya kioo na kujiangalia niliona mwanamke mzuri kuliko wote. Hata nilipotipa mbele za watu, watu waliumia shingo kunitazama, wenye pesa waligongana. Nilimchagua niliyempenda lakini mwisho wa siku walinitema kama ganda la mua. Lakini sasa hivi hata kusimama mbele ya kioo naona udhia sikuwa na kipya, sikujua sababu ya mimi kugeuzwa mpira wa kona kila mmoja anataka kufunga na akifunga hana hamu tena na mimi. Nikiwa katika lindi la mawazo mara aliingia Bi Shuu bila hodi kama kawaida yake. Alipofika alisimama mbele yangu kama jini wa kutumwa, kwa sauti ya nyodo alisema. “Hivi Manka utaendelea kuwa tegemezi mpaka lini?” “Mbona sikuelewi Bi Shuu, mbona leo umenishupalia hivyo mtoto wa mwenzio?” Nilijikuta namtolea uvivu maana toka asubuhi amekuwa na mimi huku akizidi kunikosesha raha bila kosa. “Hujui?” Aliniuliza kwa jicho la kukata. ”Kujua nini Bi Shuu?” “Baada ya kukueleza ujitume katika maisha yako unaona nakuonea, badala yake unampigia simu shoga yake. Hujisikii aibu mwenzio ana maisha yake utaendelea kuomba mpaka lini?” Mmh, makubwa nilijikuta nikimshangaa Bi Shuu kwa kunishupalia kwa maneno bila sababu, hata bila kujua Mage alikuja kufanya nini yeye ananibwatukia. Au sababu nipo kwake kanigeuza mtoto wake. “Bi Shuu leo naona umeniamkia.” “Sijakuamkia bali nakupa makavu, chungu lakini dawa.” “Unajua shoga yangu kaniletea nini?” Nilimuuliza huku nikumtazama jicho kali. “Kuna kingine zaidi ya kukuletea ya pesa za kodi, hivi hujiulizi mwenzako anaishi vipi na mumewe muda wote na wewe kwa nini umekuwa kama ubao wa shabaha kila mwanaume akionja arudi una tatizo gani mtoto wewe wa kike?” “Lakini Bi Shuu, shoga yangu hakuleta pesa alikuja na mengine kabisa.” “Mankaaaa weweee, unataka kunidanganya mtu mzima mimi niliyeona jua kabla yako.” “Bi Shuu unanionea, shoga yangu hakuniletea hela.” “Haya nieleze amekuletea nini?” “Taarifa ya kazi.” “Kazi! Wapi?” “Kwenye kampuni ya rafiki ya mumewe.” “Mmh, kazi gani?” “Ya secretary wa bosi.” “Mmh, kama nakuona vile, kama kweli chumba utaendelea kukaa bure sitaki hata senti tano yako. Shida yangu kubwa ujishughulishe si kingine ndiyo maana hata hao wanaume niliwatafuta ili upate chochote na ikiwezekana upate mume miongoni mwao.” “Nashukuru Bi Shuuu, niombee niipate hiyo kazi.” “Si umesema kila kitu tayari?” “Eeh, pamoja na dua zako ni muhimu wewe ni mama yangu.” “Dua zangu zote kwako wala usiihofu utaipata.” Tulijikuta nimekuwa kitu kimoja tena kwa kuondoa tofauti za mwanzo, Bi Shuu alikenua mpaka gego la mwisho lilionekana baada ya taarifa zangu za kupata kazi. “Manka kaoge basi tuje tupate kifungua kinywa.” Nilikwenda kuoga na kuungana na Bi Shuu kupata kifungua kinywa, moyoni nilijiuliza bila kupata taarifa za kazi Bi Shuu angenifanya nini. Lakini nilimshukuru Mungu kwa muujiza alionifanyia wakati nilikuwa nimeisha kata tamaa. ******* Usiku kabla ya kulala nilitafuta nguo nzuri yenye heshima itakayofaa mbele ya macho ya watu. Kuhusu umbile na sura Mungu alinipendelea lakini sijui alininyima nini mwilini kiasi cha kuonekana Big G za Kichina ukitafuna kidogo utamu umekwisha. Baada ya kuchagua suti rangi ya bluu, niliinyoosha vizuri na viatu vyangu ambavyo nilivipiga kiwi tangu mchana niliviweka vizuri na kupanda kitandani. Saa kumi na mbili nilikuwa tayari nipo bafuni naoga, baada ya kuoga wakati najipamba mlango uligongwa. Nilijua shemeji amefika, kumbe alikuwa Bi Shuu nilipomuona nilitabasamu na kumkaribisha. “Bi Shuu karibu, mbona asubuhi?” “Hakuna cha ajabu, umeamkaje?” “Mmh, salama shikamoo.” “Marahaba, umeisha jipamba?” “Ndiyo Bi Shuu.” “Njoo mara moja.” Nilitoka hadi chumbani kwake, nilipofika nilikutana na kitezo kilichokuwa kikifuka moshi uliokuwa na harufu nzuri. Nilijiuliza vitu vile alivifanya wakati gani na alimfanyia nani au mimi. Nikiwa nimesimama nisijue alichoniitia aliniambia. “Manka chutama kwenye kitezo hicho,” mmh, makubwa madogo yana nafuu, nilifanya kama alivyoniagiza. Baada ya kuchutaka alitoa udi kwenye karatasi na kuuongeza kwenye makaa ya moto, baada ya kuuweka ulianza kutoa moshi wenye manukato mazuri. Alinipa shuka nijifushe, niliuinamia ule moshi ulionifanya ninukie kila kona ya mwili. Baada ya kujifusha alinieleza niufunike ule moshi na sketi kwa kuchutama moshi wote uliingia chini. Mtoto wa kike nilinukia kama malkia wa Kihindi, baada ya kuhakikisha nanukia kila kona alinipa pafyumu ambayo sikuwahi kuiona na kunipulizuia kidogo na mwisho alinipa wanjaa mwembamba kwa kunisaidia kunipaka. Kwa kweli nilipendeza mtoto wa kike. “Manka leo mwanangu umependeza,” Bi Shuu alinisifia. “Asante.” Wakati huo shemeji alikuwa amefika kwa kupiga hoi, kabla ya kuondoka Bi Shuu alinipa usia. “Manka Mungu kakujalia kila kitu alichotakiwa kuwa nacho mtoto wa kike, kama ningekuwa mtoto wa kiume ningekupata kwa gharama yoyote. Sasa usiwe macho juu. Hii inaweza kuwa nafasi ya pekee kupata bwana aliye bora ambaye atakuwa mumeo. Itumie nafasi yako vizuri, kazi njema.” “Asante, pia nimekusikia Bi Shuu yote nitayafanyia kazi.” “Basi kazi njema mmmwa.” Kwa mara ya kwanza Bi shuu alinibusu kuonesha furaha ya ajabu moyoni mwake. Baada ya kuachana na Bi Shuu alikwenda chumbani kwangu kupitia mkoba wangu kisha niliifuata gari aliyokuja nayo shemeji. Shemeji aliponiona tu alitanguliza sifa. “Hakika mke wangu umependeza.” “Asante mume wangu.” “Kwa mtindo huu nisije ibiwa tu.” “Ni wewe tu mume wangu, haya ni mapambo lakini upendo wangu kwako upo moyoni.” Nilijibu shemeji huku nikiingia ndani ya gari. Gari liliondoka huku utuli niliojinyunyizia ukitalawa ndani ya gari, baada ya kujuliana hali na shemeji aliniuliza maswali mawili matatu. “Mmh, shemu ulikuwa unaishije bila kazi maana mwenzio aliniambia siku hizi huchukui huduma?” “Bi Shuu kwa kweli alinilea kama mtoto wake.” “Sasa ungekaa kumtegemea mpaka lini?” “Ndiyo hivyo kazi zenyewe kila mtu anakutaka kimapenzi ukiwanyima inakuwa kero, nitawakubali wangapi?” “Ooh, pole.” “Sasa ni hivi kampuni ni ya rafiki yangu kipenzi hivyo nakuomba ujiheshimu ili kunilindia heshima yangu.” “Nakuahidi shemeji kujiheshimu.” “Itakuwa vizuri.” Tulipofika kwenye kampuni ya rafiki ya shemu tulitelemka na kuingia ndani, tulipofika tulipokelewa. Muda ule Mkurugenzi alikuwa hajafika tulikaribishwa kwenye makochi. Baada ya dakika kumi aliingia alipomuona shemeji walisalimiana kwa kukumbatiana. “Ooh, Aloys karibu sana.” “Asante Mr Shaka .” “Samahanini kwa kuchelewa.” “Bila samahani hatujafika muda mrefu.” “Basi karibuni ofisini.” Tuliongozana naye hadi ofisini kwake, mmh lilikuwa bonge la ofisi ambalo sikuwahi kuwaza kuingia katika ofisi kama ile. Nilibakia nang’aa macho mtoto wa kike kwa ushamba. Lakini niliuficha ushamba wangu, baada ya kutulia tuli kitini mwenyeji wetu ambaye nilimfahamu jina kwa kumsikia akiitwa na shemu Mr Shaka alikuwa akipitia vitu muhimu mezani kabla ya kutugeukia. “Mhu, Mista lete habari?” “Habari nzuri, huyu ndiye shemeji yangu,” alisema huku akinigeukia. “Ooh, mrembo kwanza nilisahau kukusalinia, za asubuhi?” “Nzuri tu.” “Pia hongera umependeza” ‘Asante.” “Basi kama ulivyoelezwa kazi ipo na unatakiwa kuianza mara moja, wala usihofu ugeni ila nitakuwa nawe pamoja muda wote.” “Nitashukuru kwa hilo.” Baada ya kupokelewa kazini shemeji aliaga na kuniacha kwenye kazi yangu mpya, baada ya kuondoka nilibaki nimeinama chini kama mwanamwali. Pamoja na ukali wa Bi Shuu bado alinipa mafunzo kwa mtoto wa kike kuinamisha macho mbele ya mwanaume. “samahani mrembo unaitwa nani” “Manka” “Manka nani Kileo” “Jina zuri” “Asante.” Mr Mateja alinyanyuka na kunishika mkono huku akisema. “Hebu njoo uanze kazi mama.” Alinipeleka katika computer iliyokuwa nje ya ofisi yake ilikuwa imekaa vizuri sana. “Basi hapa kuanzia leo ndio ofisi kwako.” “Nashukuru sana” Alinionesha kazi za kufanya siku ile, kabla ya kuanza nilijitetea. “Lakini bosi ni muda mrefu sijafanya kazi hivyo lazima nitakuwa mzito.” “Usihofu kwa hilo fanya kwa uwezo wako,” pia alinielekeza kutumia simu nikiwa nana shida ame nimelaliza kazi bila kumfuata ofisini kwake. “Asante bosi,” nilishukuru kwa upole na ukarimu wa bosi “Niite Mr Mateja” “Sawa Mr Mateja” “Nakutakia kazi njema.” “Nawewe pia” Baada ya kuondoka niiliingia kwenye kazi ya kuchapa kazi zilizokuwa wenye meza yangu. Hazikuwa kazi ngumu sana nilizifanya kwa muda mfupi sikuwa nimepoteza kasi ya mikono kihivyoo. Baada ya kuchapa kazi niliyopewa, niliziprinti kwenye karatasi na kuzipiga pini kisha nilimpelekea ofini. Nilimkuta bosi macho yapo kwenye monitor ya computer, nilimuona alinyanyua macho kunitazama. Aliponiona aliachia tabasamu pana, nakiri kuwa bosi wangu Mr Shaka alikuwa mwanaume mtanashati tena mwenye umbile la mvuto kwa mwanamke yoyote. Kule kutabasamu kwake kuliniweka katika wakati mgumu sana kwa kumuomba Mungu aniepushe na shetani wa upendo. Niliamini kama akinitaka kimapenzi jibu la sitaki litakosekana mdomoni mwangu, lakini nilipiga moyo konde kufuata kilichonipeleka ofisini kwa bosi. “Manka karibu.” “Asante bosi, kazi iliyokuwa na haraka nayo tayari.” “Ooh, vizuri sana sikutegemea ungeifanya kwa muda mfupi hivi.” “Najitahidi japo nilikuwa na muda mrefu sijagusa computer,” nilimjibu huku nikimkabidhi kalatasi, nami nikiachia tabasamu pana ambayo huogopa kuitoa kwa wanaume ili kuepusha ungongano wa mawazo. Ilikuwa ugonjwa wa wanaume kila ninapotabasamu mashavu huweka visima ‘dimples’ wanaume wengi ulikuwa uchawi mkubwa kwao. Kila mwanaume niliyekutana naye alipenda kunifurahisha ili aone madhari mantashau ya mashavu yangu. ITAENDELEA ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: