Home → simulizi
→ ®HADITHI PICHA®
Mussabhai & YuYuShortstory
👙👙👙 DADA VUA👙👙👙
PICHA NO:_6
..........ilipoishia
Wakati huo Hellen alikuwa amejiachia,hajiwezi jicho lege kama kala kungu,Hellen alinyanyua shingo yake juu kwa ufundi wa hali ya juu kisha akaizungusha shingo yake huku akigugumia kisauti kitaaaam eheeeee!!! kitamu haswaaa!!!"Aaaaammh!!! ihhiiiiiinsiiiiaaaa!!!,Briiiiiight!! mi staaaaaki uuuuukoo!!!!",Sule saa nyingi alisha mshika Helena kiunoni na kutomasa tomasa kama nyanya vile.......
Endelea.........MKIWA WAVIVU KULIKE NAMI NTAKUWA MVIVU KUPOST,LIKE NIPOST.
Wakati huo Helena ufaham ulimtoka kabisa na kujikuta anasahau kwamba alitakiwa kumfurahisha tuu Sule na sio kumpa kabisa chitumbua.Sule tayar alikuwa ameshajiwekea asilimia 100 ya kuwa anamega tunda la mrembo huyu ambaye wamefahamiana muda si mrefu.Hapo ndipo akili inapomjia Helena kuwa walipofika sipo kabisa,Helena alimtazama Sule usoni kisha akamwambia kwa upole kabisa"Bright naomba uniachie"......Sule kwa kuwa alikuwa hatanii alizidi kumtomasa helena kitendo kilichomfanya helena kuchoropoka na kukimbilia kule wanakotekea maji.Sule alifuata nyuma huku akionekana kushindwa kukimbia vizuri kwani tayari hisia zilipanda hivyo dudu lilishaamka na kusimama kama ngongoti.
📝WANAUME MNAJUA KABISA LIJAMAA LIKIAMSHA MADUDE HATA KUTEMBEA INAKUAGA NI SHIDA.ILA KWA WENYE VIBAMIA HALI HII HAIWAHUSU/SORY📝
Wakati hayo yanaendelea huku nyumbani Lucy aliipekue begi la Sule na kugundua kuwa Sule alikuwa si mtu wa mchezo mchezo,Alijua baada ya kupitia picha kwani picha zilionesha ni mtu wa matawi sana.Wakati anajishauri ni nini afanye mara shangazi alikuja na kumkuta Lucy akiwa amekaa tuu"Wewe leo hufanyi kazi eeee!!! sawa habari yako utaijua"........Shangazi aliongea kisha akachukua kigaloni kwa hasira sana na kuelekea kule walikoelekea kina Helena.Basi Lucy alinyanyuka na kwenda kwenye banda la kuku ili kuangalia angalia kwani hao kuku ni wa kwake.Aliwapa chakula kisha akaelekea kwenye banda la mbuzi aliwahudumia lakini aligundundua kuwa mmoja kati ya mbuzi hayuko sawa kama anaumwa vile.
Wakati huo Helena na Sule walifika mpaka sehemu wanapotekea maji,Sule aliyashangaa mazingira yale kwani yalimshawishi sana kupiga picha"heeee!! mbona pazuri hivi!!? Tazama maji yanavyotiririka kutoka juu hadi raha".Sule aliongea mwenyewe huku Helena akimtazama na kutabasamu"Heheee!! umepapenda eeeh!!?"......."Yah nimevutiwa na mandhari hii"......"Basi nami nimefrahi kuona unaenjoy maana ulikuwa una mawazo sana lakini,Naomba uniambie nini kilikusibu maana ulinipromise kuwa utaniambia".Kwa kuwa Sule alianza kumuamini msichana huyu kwa ukarimu wake aliona haina budi kumuelezea japo kwa ufupi tuu.
"MADAM HELLEN SIKUTAKA KUKUMBUKA KILICHONISIBU LAKINI KADRI MUDA UNAVYOZIDI KWENDA NAONA KUNA UMUHIMU WA WEWE KUJUA HILI.UNAJUA HELLEN HUMU DUNIANI UNAWEZA KUFANYA KOSA HALAFU UKALIJUTIA MAISHANI MWAKO(Wakati huo helena anamtazama Sule kwa umakini sana).....NILITAMANI KUISHI MAISHA YA KIFAHARI LAKINI NIMEIKOSA NAFASI HIYO KWA TAMAA ZANGU.KATIKA FAMILIA YETU TUMEZALIWA WATOTO 3 LAKINI KWA BAHATI MBAYA WADOGO ZANGU WAWILI WA KIKE WALITANGULIA MBELE ZA HAKI.WAKATI HUO MIMI NILIKUWA NA UMRI WA MIAKA KAMA 10 HIVI,NILISHANGAA SIKU MOJA MAMA YANGU ALIAMUA KUMTIMUA BABA YETU KWA KUWA ALIKUWA HANA KAZI,BABA ALIKUWA HATOI PESA YA MATUMIZI HADI MAVAZI ALIKUWA AKINUNULIWA NA MAMA.NA SIKUWAHI KUJUA SHUGHULI ANAYOIFANYA MAMA YANGU KWANI ALIKUWA ANAAGA TUU ANAKWENDA KAZINI NA MARA NYINGI ALIKUWA ANARUDI USIKU NYUMBANI".
Sule aliongea na kwa mbali machozi yalianza kumtoka,Helena aliamua kuitumia mikono yake kumfuta chozi Sule" Pole sana Bright ikawaje baada ya hapo"Sule alimwambia Helena"Kweli nikikumbuka huwa nalia nahisi kama nitakuliza na wewe tuishia hapa tuu"........"Hapana Bright naomba nifahamu kwani mficha maradhi huumbuliwa na kifo"........Walisogea pembeni kisha wakaketi chini Helena akiwa amemkalia Sule mapajani.Sule aliendelea.
"SASA IKAFIKIA MAHALI ANAMTUHUMU BABA KUWA YEYE NDIYE ALIYEWAUWA WATOTO YAANI WADOGO ZANGU.BABA YANGU KUTOKANA NA STREES ZA MAISHA ALIANZA KUONEKANA KAMA KAPURWA MBELE ZA WATU KWANI HATA MAVAZI HAKUNUNULIWA TENA NA MAMA,IKAFIKIA MAHALI HATA CHAKULA HAKURUHUSIWA KULA NYUMBANI MIMI NILIANZA KUMFICHIA BABA CHAKULA NA AKIJA NAMPA KWA SIRI SANA MAANA MAMA ALIKUWA MKALI NILIOGOPA.SIKU MOJA BABA YANGU ALINIAMBIA MANENO AMBAYO MPAKA LEO HUWA YANANIRUDIA NILALAPO,BABA ALINIAMBIA(MWANANGU JAPO WE BADO MDOGO LAKINI SINA BUDI KUKUELEZA HUYU NI MAMA YAKO MZAZI LAKINI MUANGALIE SANA ANAJALI MAISHA YAKE TUU NA HAPENDI KUONA MIMI NINAFANIKIWA NA HALI HII UNAYOIONA KWANGU SABABU NI YEYE NA TAYARI NILISHAMUONA NA MWANAUME MWINGINE LAKINI SIWEZI KUSEMA CHOCHOTE ILA KUWA MAKINI"HAYO NI MANENO ALIYOYATAMKA BABA YANGU NA KILICHONIUMA ZAIDI NI PALE BABA YANGU ALIPOAMUA KUONDOKA NYUMBANI NA KWENDA KUWA OMBA OMBA MJINI,NILIJUA BABA ATARUDI NYUMBANI BAADA YA SIKU KADHAA LAKINI KUANZIA SIKU HIYO BABA YANGU HAKUONEKANA TENA NA SIJUI KAMA YU HAI MAANA MPAKA SASA NI MIAKA MINGI IMEPITA.ACHILIA HAYO KUBWA ZAIDI NI SIKU AMBAYO MAMA YANGU ALIAMUA KWENDA KUISHI KWA KWA HUYO MWANAUME ALIYENIAMBIA BABA NI TAJIRI MMOJA ANAYEITWA NASSORO,NA NIKAKUMBUKA ILE SIKU BABA ANANIELEZA HABARI ZA MAMA KUWA MAMA ANA MWANAUME MINGINE NDIO NAPATA PICHA KAMILI KUWA MAMA SI MTU MZURI"
Helena alijikuta anatoa machoz na kulia kuliko hata Sule kwani kilichozungumzwa kinamchoma.Lakini Sule aliendelea kumuhadisia sababu za yeye kuondoka nyumbani.Na kumbe Sule alishawahi kukabidhiwa baadhi ya biashara azisimamie ila kwa kuwa alikuwa ni mtu wa tamaa na kupenda starehe alijikuta anapoteza nafasi nzuri maishani mwake.(Msikilize kitu alichokizungumza hapa kwa Helena)."BASI MAMA YANGU ALIHAMIA KWA TAJIRI HUYO ALINICHUKUA NA MIMI NA INAONEKANA ALIJUANA NAYE SIKU NYINGI KWANI HATA BAADHI YA MAVAZI YA MAMA NILIYAKUTA HUKO.YULE TAJIRI ALINIPENDA SANA,TAJIRI HUYO ALIKUWA NA WATOTO WATATU ILA WALIKUWA NJE YA NCHI KIMASOMO HIVYO ALINICHUKULIA KAMA MWANAE,ALINISOMESHA MPAKA CHUO NA NILIPOMALIZA ALINIKABIDHI BAADHI YA SHUGHULI ZAKE NIZISIMAMIE KWANZA KABISA ALINIACHIA SHELI 3 NIZISIMAMIE ILA KWAKUWA NILIKUWA NAPENDA STAREHE NILIJIKUTA NADAIWA PESA NYINGI SANA NA SERIKALI YAANI KODI HII ILIPELEKEA SHELI ZOTE KUFUNGIWA ,MZEE WA WATU HAKUKATA TAMAA ALINIPA SUPERMARKET LAKINI NAYO HAIKUCHUKUA MUDA ILIFIA MIKONONI MWANGU.MWEZI ULIOPITA WATOTO WAKE WALIRUDI NCHINI NA WOTE ALIWAGAWIA MALI KASORO MIMI.SIJUI MAMA YANGU KAPEWA NINI NA HUYO BABA MAANA ALIONEKANA KUNICHUKIA PIA ILA NILIPOONA HIVYO NILIONA NI BORA NIONDOKE ZANGU KWANI NISINGEWEZA KUISHI NDANI YA ILE NYUMBA,SASA LEO NDIO NIMEONDOKA RASMI NYUMBANI.NA PIA UNISAMEHE KWANI HATA JINA NILIKUDANGANYA KWANI SIKUJUA KAMA TUTAKUWA NA UKARIBU KIASI HICHI MIMI NAITWA SULE(Helena alilia sana lakini kadri Sule alivyozidi kumsimulia alijikuta machozi yanakauka kwani Sule aliichezea bahati na hana wa kumlaumu).
Helena alimpa pole nyingi kisha akamwambia "Inabidi ukae ujifikirie kwani miaka inakwenda jua ya kuwa hakuna anayeishi kwa niaba yako wewe ndio hakimu wa maisha yako,Umekua unatakiwa kujenga familia sasa kwani ukiwa mtu wa kuhangaika utajikuta umefika miaka 50 huna hata pa kukaa sawa Bright aaiishi! jina lako nani tena!!!"........."Naitwa Sule"......." Ahaaa!! Sawa sule halafu usipende uongo siku moja ntakuhadisia kitu ili ujue athari za uongo".Basi mazungumzo yalikuwa marefu sana ila pamoja na udhaifu wa Sule Helena hakuonesha kumchukia Sule alimwambia "Ulisha wahi kuogelea"........" Yah najua ila ni kwenye swimingpool".Helena alisimama kisha akamshika Sule mkono na kumnyanyua,Alimvuta karibu kabisa kisha akamwambia "Sitaki uwe na mawazo maadamu umeshaniambia ntakuambia kitu ila sio sasa hivi". Basi Sule aliipata faraja ya kweli kwani ni mara ya kwanza kukutana na msichana anayeongea maneno ya hekima kiasi hichi.Sule taratibu alisimama kwa msaada wa bibie helena.Walipo simama Helena alimuonyesha kule yanakotiririka maji yaani WATER FALLS" Unaona pale Twende tukacheze pale katikati yanapotiririka maji ni raha we acha tuu"........Kama hujui raha ya maji nenda kaoge na mpenzi wako kwenye bafu ya maji yanayotiririka?Nini kitatokea mimi na wewe hatujui tusubiri kesho muda kama huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: