®HADITHI PICHA® Mussabhai & YuYuShortstory 👙👙👙 DADA VUA👙👙👙 PICHA NO:_7 LIKE PAGE UWE WA KWANZA KUIPATA HII KILA SIKU. https://www.facebook.com/YuYuTzHotStory ..........ilipoishia Helena alimpa pole nyingi kisha akamwambia "Inabidi ukae ujifikirie kwani miaka inakwenda jua ya kuwa hakuna anayeishi kwa niaba yako wewe ndio hakimu wa maisha yako,Umekua unatakiwa kujenga familia sasa kwani ukiwa mtu wa kuhangaika utajikuta umefika miaka 50 huna hata pa kukaa sawa Bright aaiishi! jina lako nani tena!!!"........."Naitwa Sule"......." Ahaaa!! Sawa sule halafu usipende uongo siku moja ntakuhadisia kitu ili ujue athari za uongo".Basi mazungumzo yalikuwa marefu sana ila pamoja na udhaifu wa Sule Helena hakuonesha kumchukia Sule alimwambia "Ulisha wahi kuogelea"........" Yah najua ila ni kwenye swimingpool".Helena alisimama kisha akamshika Sule mkono na kumnyanyua,Alimvuta karibu kabisa kisha akamwambia "Sitaki uwe na mawazo maadamu umeshaniambia ntakuambia kitu ila sio sasa hivi". Basi Sule aliipata faraja ya kweli kwani ni mara ya kwanza kukutana na msichana anayeongea maneno ya hekima kiasi hichi.Sule taratibu alisimama kwa msaada wa bibie helena.Walipo simama Helena alimuonyesha kule yanakotiririka maji yaani WATER FALLS" Unaona pale Twende tukacheze pale katikati yanapotiririka maji ni raha we acha tuu".. Endelea.........DONDOSHA LIKE YAKO Mchezo ule ulianza Helena aliingia ndani ya maji kisha akamuita Sule"Ingia basi mbona unaogopa" .....Kwanza Sule aliyagusa maji kiukweli maji yalikuwa baridi sana kwani ni maji yanayotoka mlima meru hivyo huwa yana baridi kama yametoka kwenye jokofu"Mmmmmh!! wee hellen unataka nizimie nini,Mwenzako sijazoea kuchezeamaji baridi eti".Helena aliona huyu kumforce,Alichota maji kwa mikono miwili kisha akammwagia "Hwaaaa!!".Helena alifungua kikaptula chake kisha akawa anajichungulia pale kati huku akijisemea " Kuna kitu kinanikera huku sijui ni kimchanga"Aliongea huku mkono wakewa kushoto ukipekua ndani ya chupi yake.Wakati huo Sule alikuwa anatazama kwa kuibia na kujifanya haoni kinachoendelea kumbe anapiga chabo ya maana.Sijui Helena alimaanisha nini kufanya hivyo.Basi Sule alijikuta anazama kwenye maji yale pamoja na yalikuwa ya baridi sana. Sule alizama lakini kawoga kwa mbali ila aliamua kujitoa ufahamu.Helena alimwambia"We naye unaingia na likofia lako si utoe"......Sule alicheka "Hahaaa kwani nani kakuambia nataka kuoga!??" Walitaniana pale wakati huo Helena alikuwa anacheza na maji kwa ufundi haswaa.Sijui huyu dada alimaanisha nini kujiachia mbele za Sule.Sule aliamu kufunguka tuu kwa mrembo huyu"Hivi hellen mbona unanifanyia makusudi hivo kwanini lakini,Ujue hata mimi nina moyo eti"......."Haaa!! We Sule wewe!! unamaana gani kusema hivyo".....Sule hakuongea alichofanya aliamua kufanya kwa vitendo maana kachoka mitego mitego.Sule alimsogelea karibu kabisa kisha akamshika Helen kwenye lips huku akizitanua na maneno laini yenye hubba iliyopitiliza.Helen aliongea kwa sauti ya chini huku akiangalia chini kwa aibu.Sule alimwambia "Niangalie basi jamani mrembo"......"Aaaah! Sule ndio nini mi sitaki bwana " Helen aliongea huku akimuangalia Sule kwa kuibia ibia.Hawakuwa na hofu kwani wako peke yao. Sule alijua tuu Helen alikua tayar keshaiva kazi kwake kupakua.Helen aliupeleka mkono wake kiunoni kwa Sule kisha akamvutia karibu kabisa,Sule aliona maajabu kwani ni wanawake wachache sana wanaojiachiaga kwa mwanaume ila Helen yuko tofauti sana.Basi Sule alisogea karibu kabisa na Mrembo huyu,Helen aliipandisha blauz yake juu na Sule live aliona chuchu za Helen zinavyoita.Sule taaratibu alianza kuupeleka mkono wake pale kunoko kifua cha helen,Helen aliuikilizia mkono ule mara alihisi msisimko kama vile mwili umepigwa shoti.Wakati huo Sule mkono wake tayari ulikuwa unapapasa kichuchu cha Helen.Mara helen alianza kuhema kwa kasi kwani mwili ulipata mshtuko baada ya kuguswa,Sule aliitoa kofia yake kisha akaiweka juu ya jiwe ili isilowe.Alimvuta helen kwa karibu zaidi kisha akamkumbatia huku maji yaliyokuwa yanatiririka kutoka juu yakizidi kuwa hamasisha zaidi. Huku nyumbani Lucy alifika kwenye banda la mbuzi kuwahudumia.Alishtuka kusikia sauti ya mbuzi akiwa anakoroma hali iliyomfanya Lucy kukimbilia ndani ili aone ni kipi kinaendelea.Nikweli mbuzi alikuwa anakoroma huku akiwa anagaragara chini.Lucy alimtoa mbuzi yule hadi nje wakati akifikiria ni njia gani aitumie ili amsaidie,Akiangalia yupo mwenyewe kabisa nani atamsaidia. Wakati huo Sule alikuwa tayar kashamuweka karibu Helena na wanapeana maraha,Sule alianza kumpamba pamba Helena"Hivi unajijua kuwa we ni mzuri sana? Laiti ungejijua we acha tuu"......Helena alicheka kisha akamwambia"Ujue Sule nashindwa kujua tumefikiaje hapa,Umenifanya nini?"Aliongea huku akishusha kichwa chake kifuani mwa Sule.Basi sule hakutaka kuchelewa,Aliushusha mkono wake wa kulia taratiibu kufuatisha uti wa mgongo akielekea kule kwenye chura.Kweli ngozi ya Helena ilikuwa soft sana ukichanganya na yale majimaji basi Sule alijikuta mkono umepitiliza kwenye kipensi cha Helena na mkono ukaanza kuyapapasa hayo eeeeh!! hayo hayo!!.Kulikuwa na baridi lakini kadri muda unavyozidi kwenda miili yao ilipata kijoto licha ya kuwa walikuwa kwenye maji.Basi Helena kwa jinsi alivyopata hisia alinyanyua Kichwa chake pale kifua na kuzifuata lips za Sule"Suuuuu!!!leee!!! usinishike uko jomouny"Aliongea kwa sauti nzuri kisha akamfakamia Sule mdomoni tayari kabisa kupata shurubati........haya sasa mtu anapata juice nini kitaendelea?? usikose episod inayofuata Ulikuwa utani mara utani ukazaliana kupelekea watu kushindwa kuzuia hisia zao,Sule alijisemea kimoyo moyo "Yaani kitu namfanyia huyu hatokaa anisahau" Sule alifungua zipu ya Helena wakati huo Helena alimpa Sule uhuru afanye anachotaka,Basi zipu ilifunguka huku taaratibu Sule aliuzamisha mkono mule ndani.Aiupitisha mkono wake pale juu ya chitumbua huku akimeza mate kwani kitumbua kilikuwa kimepikika haswaa.Basi Helena naye aliamua kujipimia ili ajue kama ni kibamia au laa!!,Basi kwa utaratiiibu Helena alianza kupapasa pale juu ya suruali kisha akaanza kuufungua mkanda wa Sule.......Je nini kitaendelea usikose kesho muda kama huu PATA SIMULIZI 4 TOFAUTI KWA SIKU UWAPO KATIKA GROUP LA KIJANJA KULE WHATSAPP.STORY ZOTE NI HOT NA UNAZIPATA MAPEMA YAANI ZIKIWA ZAMOTO KABISA KAZI KWAKO,JIUNGE NA WENZAKO KWA TSH 3000/-TUU ZA KITZ Kwa wewe unayehitaji kuungwa group nicheki kupitia 0678641147 au 0688911112 whatsapp ni kuhusu simulizi tuu mambo mengine nicheki fb inbobo KAMA HUJALIKE PAGE FANYA IVO SASA ILI UWEZE KUPATA VITU MUBASHARA. #MussaBhai & #YuYuTz_ ®Newvission_2017

at 10:56 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top