®HADITHI PICHA® Mussabhai & YuYuShortstory 👙👙👙 DADA VUA👙👙👙 PICHA NO:_8 LIKE PAGE UWE WA KWANZA KUIPATA HII KILA SIKU. https://www.facebook.com/YuYuTzHotStory ..........ilipoishia Ulikuwa utani mara utani ukazaliana kupelekea watu kushindwa kuzuia hisia zao,Sule alijisemea kimoyo moyo "Yaani kitu namfanyia huyu hatokaa anisahau" Sule alifungua zipu ya Helena wakati huo Helena alimpa Sule uhuru afanye anachotaka,Basi zipu ilifunguka huku taaratibu Sule aliuzamisha mkono mule ndani.Aiupitisha mkono wake pale juu ya chitumbua huku akimeza mate kwani kitumbua kilikuwa kimepikika haswaa.Basi Helena naye aliamua kujipimia ili ajue kama ni kibamia au laa!!,Basi kwa utaratiiibu Helena alianza kupapasa pale juu ya suruali kisha akaanza kuufungua mkanda wa Sule. Songa nayo......DONDOSHA LIKE SASA ACHA UCHOYO... Wakati hayo yanaendelea kumbe saa nyingi shangaziye na Helena alikuwa kashafika eneo lile na alikuwa amejificha sehemu akiangalia nini kitaendelea.Aliona kila kitu"Hivi huyu kijana ana akili kweli sasa ngoja ataenda kuadisia huko aendako"Yalikuwa ni maneno ya Shangazi huku kina Sule wao walikuwa wamekolea haswa.Helena alikuwa anaifungua suruali ya Sule lakini Sule alimuwahi mkono na kumwambia"Ladies first kwa hiyo natakiwa mi nianze kukutolea wewe"Sule aliongea kisha akachuchumaa na kuivutua kile kikaptula alichokivaa bidada Helena.Basi taaratibu kidume aliivuta na kuishusha mpaka saizi ya magoti kisha akaupeleka mkono wake pale juu ya chitumbua akipapasa kwa ufundi wa hali ya juu.Wakati huo Helena alikuwa amefumba hadi macho kusikilizia raha anazopewa na Sule.Sauti za Helena zilizidi kumuhamasisha kidume kuifikia swagrati.Kumbe saa nyingi Shangaziye Helena alikuwa ameshafika karibu kabisa na kina Sule lakini hawakumuona kwani walikuwa bize kupeana utamu. Shangazi akiwa ameshika kiuno aliongea kwa hasira"Naona mnachota maji!!!?".Helena alishtuka sana na haraka aliipandisha kaptula yake na kujizuia matiti yake kwa mikono.Shangazi alisema"Endeleeni si mnajifunya nyie wajuaji"...Sule alinyanyuka na kukimbilia kofia yake kisha akaanza kurudi nyuma taratiibu akiangalia njia ya kukimbilia.Sule alipopata upenyo alitoka nduki balaa.Shangazi alimwambia "We umbwa njoo hapa!!!! na utanikoma punguani wewe!!! Na wewee kunguuru ebuu njoo! njoo haraka kikaragosi wewe!!" Shangazi alimuita Helena,Helena alienda kwa woga sana huku mkono mmoja akiwa umeyakumbatia matiti na mwingine uko pale kwenye kaptula.Shangazi alimpokea kwa kumvuta masikio"Hivi wewee uuuna! akili kweli!!?". Wakati huo Sule alifikiria namna ya kwenda pale nyumbani kwa kina helena na kuchukua kibegi chake kwani tayari kashaharibu"Sasa mkosi gani tena huu mbona laana hii!!?" Alijisemesha kwa kulaumu kile alichokifanya.Wakati huo Lucy alikuwa anamuhangaikia yule mbuzi ambaye alikuwa mgonjwa na hakujua kilichotokea. TURUDI HUKU NYUMBANI KWA KINA SULE. Mama yake sule ilifika mahali kaanza kumkumbuka mwanae,Pamoja na unyama wake wote lakini hakuweza kabisa kuvumilia swala la mwanae kuondoka bila kujua ni wapi kaelekea.Mama aliamua kumuita mumewe ambaye ni mzee Nassor ili ajaribu kumshawishi kama atakubali wamtafute na kumrejesha nyumbani,Alimuita kwa jina ambalo huwa akimuita mumewe hujisikia raha sana"My passion!!?"........Wakati huo mzee alikuwa anaapangilia mambo yake kwenye laptop,Basi mzee alistop kufanya kile anachokifanya"Yees!! mamy nambie??"......."Sory kama nimekuvurugia mambo yako ila nikuombe kitu"......."Be free honey".Basi Mama wa Sule alimsogelea karibu kabisa na kumkumbatia kwa nyuma mzee wake ili amshawishi kwa maneno"Unajua nimeshindwa kuvumilia suala la Sule kuondoka nyumbani fanya kitu basi juu ya hilo baby wangu"......Mzee alicheka kisha akamwambia"Yaani kabla hujaongea nilishakuona kitambo na tayari nimeshafanya utaratibu wa jinsi ya kumpata kwa hiyo ondoa shaka" Kwa ufupi mzee huyu pamoja na mkewe huwa wanaamini sana mambo ya kiahirikina,asilimia kubwa ya mali zao wamezipata kwa njia hiyo ya kishirikina huwa wana mtaalamu wao special ambaye huwa anawarekebishia mambo pale yanapoenda kombo.Kwa hiyo mzee Nassor aliamini kupitia huyu mtaalamu wao watampata Sule kwa hiyo alimuelezea mkewe vile alivyoongea na mtaalam wao"Nimeongea na Bi kidako hivyo hakuna litakaloshindikana mke wangu".Mama baada ya kusikia hivyo alifurahi sana kwani anamuamini sana mtaalam wao"Waoooh!! yaani umefanya vile nilikuwa nawaza asante mume wangu".......Ailimpiga busu moja matata. 📝UNAJUA UKIAMINI MAMBO YA KISHIRIKINA KILA KITU UTAKIHUSUSHA NA USHIRIKINA HATA KAMA NI JAMBO LA KAWAIDA TUU.HII NI SAWA NA TEJA ANAAMINI BILA KUJIDUNGA KIDOGO MAMBO HAYATAENDA SAWA.KUPITIA HII SIMULIZI UTAJIFUNZA MENGI KAMA UKIISOMA NA KUELEWA DHIMA YAKE📝 HUKU KWA KINA HELENA MAMBO YALIKUWA HIVI:- Sule alivizia taratibu kuingia ndani ili achukue lile begi lake ili aendelee na safari yake.Kweli alifanikiwa kuingia ndani lakini alishangaa kuona begi lake zipu ilifungwa nusu.Kumbe Lucy alivyokutwa na Shangazi yake alilifunga haraka haraka hakulifunga vizuri,Basi alichungulia ndani ya begi akakuta picha zake ziko juu juu wakati aliziweka chini kabisa.Kwa kuwa alishaharibu kule hakutaka kuremba alifunga begi lake kisha akatoka kwa kunyata,Lakini kumbe Lucy hakuwa mbali sana na nyumba.Sule alimuona Luchy akiwa amemkamatia mbuzi kama vile anamchinja,Sule alipigwa butwaa kwani ni kitendo kigeni kwake kuona mwanamke anachinja.Katika harakati za kushangaa Mara Lucy si akamuona Lucy alimtupia bonge ya tabasamu huku mkononi akiwa amekamata kisu kile alichokitumia kumchinja Mbuzi yule...........Itaendelea. SASA HAPA NAOMBA TUWE MAKINI KWANI STORY YETU INAANZIA HAPA. PATA SIMULIZI 4 TOFAUTI KWA SIKU UWAPO KATIKA GROUP LA KIJANJA KULE WHATSAPP.STORY ZOTE NI HOT NA UNAZIPATA MAPEMA YAANI ZIKIWA ZAMOTO KABISA KAZI KWAKO,JIUNGE NA WENZAKO KWA TSH 3000/-TUU ZA KITZ Kwa wewe unayehitaji kuungwa group nicheki kupitia 0678641147 au 0688911112 whatsapp ni kuhusu simulizi tuu mambo mengine nicheki fb inbobo KAMA HUJALIKE PAGE FANYA IVO SASA ILI UWEZE KUPATA VITU MUBASHARA. #MussaBhai & #YuYuTz_ ®Newvission_2017

at 10:57 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top