®HADITHI PICHA® Mussabhai & YuYuShortstory 👙👙👙 DADA VUA👙👙👙 PICHA NO:_5 ..........ilipoishia Lakini wakati wanatoka Shangazi alionekana akiendelea na shughuli zake za kuhudumia mifugo,Macho ya shangazi yaliashiria kuwa kuna kitu ndani ya nafsi yake eidha hajapenda ujio wa kijana huyu au anamjua kwa namna moja au nyingine.Je kuna uhusiano gani baina ya huyu kijana na Bibi huyu???....Sule alimwambia Helena"Madam Hellen nimeacha kibegi changu pale kwani kuna shida??"........"Bright usiwe na shaka hakuna shida".Huku nyuma shangazi alimfuata Lucy na kumwambia"Hivi nyie watoto mnataka kunipanda kichwani si ndio!!?,Kwa nini mnapokea watu msiowajua mnajuahuyu ni nani?? Siku moja mtapokea mashetani ndio mkome maumbwa nyie!!!".Shangazi aling'aka sana na kumuacha Lucy akijichekea kwani amemzoea shangazi kwa kuongea.Lucy alilitazama lile begi la Sule kisha akaingiwa na tamaa ya kutaka kujua huyu ni nani,Kwanza alitoka na kuchungulia kama kina Helena wameenda ili aanze kupekua.Alihakikisha wamefika mbali kisha akarudi ndani tayari kabisa kupekua..... endele........MSIWE WAVIVU KULIKE UKIISOMA LIKE ILI UNIPE MZUKA WA KULETA KALI KULIKO. Lucy alikuwa tayari keshafika ndani na taratibu akalifungua begi lile,Kitu cha kwanza kukutana nacho ni pakiti ya kondom.Kwanza kabisa akili ikafika mbali kwani alijua tuu jamaa ni rijali kidume haswa,Lucy alianza kuuma uma lips zake kuashiria kutamani japo amkumbatie Sule.Hakuishia pale aliifungua ile pakiti lakini alishtuka kuona kondom ziko mbili badala ya tatu,Kwa akili yake alijua kuwa Helena atakuwa kashafanya ngono na Sule"Huyu mshenzi helena kashatoa tamu tamu kwa Bright!!?".Aliamua kuachana na habari ya kondom alizama tena ndani ya begi kupekua alikuta picha ya Sule/Bright akiwa na msichana mkali sana tena wanaonekana walikuwa sehemu nzuri na ya kifahari.Lucy aliitazama picha ile akatamani nafasi hiyo angeipata yeye. Wakati huo safari ya sule na helena kuelekea kisimani ilikuwa imepamba moto,Wakiwa njiani helena alimuuliza Sule"Samahani Bright?"........."Bila samahani"........Helena alisimama kitendo kilichomfanya Sule kusimama pia,Aliposimama aliuliza"Hivi Bright mbona unaonekana kama mtu mwenye mawazo sana kipi kimekusibu kaka yangu?"........"Heee!! we hellen!!! mbona mi niko normal sana sina hata chembe ya mawazo".......Sule alijibu huku akijichekesha ili kumpotezea Helena,Lakini helena hakuishia hapo"Najua unanificha kwa kuwa hunijui wala sikujui lakini tambua ya kuwa mtu yule unayedhani ndio msaada kwako siku atakufanya ulie kilio kikubwa na utafutwa machozi na mtu usiyemjua hata kidogo"........Sule alinyamaza kwa muda kwani neno lilimuingia haswa,Helena alitoa tena neno "Bright usiogope kuniambia kwani utazidi kuumia tuu bila kupata hatma ya tatizo huenda sina uwezo wakukusaidia lakini hata ushauri pia ni msaada tosha"........"Madam hellen kiukweli nina shida lakini naomba unipe muda kidogo nitakueleza tuu"Yalikuwa ni mazungumzo baina ya Helena na Sule,Walipomaliza kuongea waliendelea na safari. Helena aliamua kumuacha Sule huru mpaka pale atakapo kuwa tayari kusema kile kinachomsibu.Basi Helena aliona kama Sule bado hajachangamka,Alifikiria ni njia gani ya kumfanya yeye arudi katika hali ya uchangamfu.Helena alimuangalia sana Sule kisha akamwambia" Bright ebu simama!!"....Helena aliichukua kofia ya sule kisha akakimbia nayo,Sule naye akagundua kitu"Kumbe huyu anataka nifrai niondokane na mawazo ok nshajua!!".Sule alicheka"Heheee! ina unadhani utanishinda kwa mbio umejidanganya wee mtoto".Sule alitimua mbio kumfuata helena na Helena hakufika mbali Sule alimshika.Helena aling'ata lips zake kisha jicho akalilegeza,Wakati huo Sule aliing'ng'ania kofia huku akiivuta ili helena aiachie.Lengo la Helena ni kumfanya Sule aondokane na mawazo,Sule alihisi hali ya utofauti kwani uso wa Mrembo helen ulikuwa umejaa taswira ya kimahaba kwa jinsi alivyojiweka weka. Basi sule aliachia taaratibu ile kofia kisha akasema"Hellen unamaanisha nini??",Helena hakujibu ila alimsogelea kwa karibu kabisa kidume Sule kisha akaipeleka kofia pale kichwani tayari kabisa kumvalisha.Kweli hellen alimsogelea kwa ukaribu hali iliyosababisha mboni za macho yao kugongana,Mara kila mmoja alianza kusikiliza mapigo ya moyo yanavyobadilika kuashiria mwili umepokea hisia ya tofauti kabisa.Basi Hellen alimvisha ile kofia kisha akaushusha mkono taaratibu kupitia kwenye shingo ya Sule.Kwa kuwa walikuwa wenyewe basi hakuna aliyepata hofu kwa kile kinachoendelea.Hellen alishusha mkono wake kisha akaongea kwa sauti ya upole kabisa"Bright kwanini lakini,Mbona hujachangamka bwana!!".Sule alivyoambiwa hivyo kichwa chake kilianza kuload mithili ya simu inavyowaka,Akili ya Sule iliathirika kiasi fulana kwa kile kilichomkuta,Basi Sule alifumba macho kisha akafumbua.Sule taaratibu aliivua ndoo kwenye mkono wa binti na kuiweka chini. Wakati huo Hellen alikuwa amejiachia,hajiwezi jicho lege kama kala kungu,Hellen alinyanyua shingo yake juu kwa ufundi wa hali ya juu kisha akaizungusha shingo yake huku akigugumia kisauti kitaaaam eheeeee!!! kitamu haswaaa!!!"Aaaaammh!!! ihhiiiiiinsiiiiaaaa!!!,Briiiiiight!! mi staaaaaki uuuuukoo!!!!",Sule saa nyingi alisha mshika Helena kiunoni na kutomasa tomasa kama nyanya vile.........Kitakachotokea ni nini usiache kudondosha like kwani bila like mimi sipati mizuka yakuleta vitu adimu. ALIKA RAFIKI ZAKO KWA KUSHARE ILI NAO

at 10:56 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top