Home → simulizi
→ ®HADITHI PICHA®
Mussabhai & YuYuShortstory
👙👙👙 DADA VUA👙👙👙
PICHA NO:_17(A)
LIKE PAGE UWE WA KWANZA KUIPATA HII KILA SIKU.
https://www.facebook.com/YuYuTzHotStory
HAYA HAYAAA ZILE SIDIRIA AMBAZO KWA SASA NDO HABARI YA MUJINI TUNAZO
KAZI KWENU MASTISA DUU
UKIVAA MUGONGO WAZI KWA AJILI YA MTOKO NDO ZENYEWE HAZINA MIKANDA
NZURI KWA MABIBI HARUSI PIA
UKINUNUA LEO UTAUZIWA KWA BEI YA OFA
30000
WAHII KABLA OFA HAIJAISHA
TUPO DAR
MIKOANI TUNATUMA ILA BAADHI YA MIKOA TUNA MAWAKALA
mawasiliano
0711462866
0711462866 WhatsApp
TUNAUZA JUMLA PIA
Bonyeza link hapo chini kuangalia jinsi ya kuzivaa
👇👇👇👇
https://youtu.be/oWwe9rFZaxo
..........ilipoishia
Dereva kwa kuwa alishajua huyu ni Sule aliamua kumfuata.Wakati huo Bi kidako alikuwa anarejea kwenye nyumba yake akiwa na kina Lucy,Wakiwa wanatembea Lucy aliona begi la Sule"Heee!! Shangazi nini kimetokea mbona begi la sule liko hapa na linaonekana limetupwa!!?"......Kina helena wakibadilika huwa hawajui kilichoendelea hivyo hawajui nini kimeendelea baada ya kugezwa wanyama labda shangazi yao awasimulie,Shangazi alijibu"Achaneni na huyu kichaa"Lucy alibeba begi hilo kaenda nalo mpaka ndani.Kwa kuwa Lucy na Helena wanalala chumba kimoja basi walianza kupekua begi lile kwa pamoja na kukuta mapicha mengi Sule akiwa katika majumba ya kifahari na warembo.Walikuta business card yenye anwani na namba za simu zenye jina SULEIMANI.Helena alichukua ile business card na kwenda kuichukua simu ya shangazi yao ili wajaribu kupiga ile namba.
ENDELEA NA NAOMBA UDONDOSHE LIKE YAKO MAANA NI MUHIMU.
Wakina Helena baada ya kuchukua simu waliipiga ile namba lakini haikuwa hewani.Walitamani kutuma ujumbe lakini kwa kuwa hawakusoma basi hawakuwa na uwezo wa kuandika,Helena na dada yake Lucy walitoa zile kondom kwenye begi la sule na kuanza kuzicheze mara waingize vidole mara michezo ya ajabu ajabu ilimradi tuu wafurahi.Wakati huo Sule tayari alishapanda kwenye gari kwani dereva alijaribu kumuelewesha kuwa ametumwa na mama yake na si vinginevyo.Mama yake sule alifurahi sana kuisikia sauti ya mwanae,Aliwaambia wakifika philips wasimame kwanza kwani yeye yuko hapo.Baada ya dakika kama 15 walifika maeneo ya philips,Mama alishangaa kuona mwanae yuko rafu rafu,hana kiatu kimoja,Manywele yako hovyo hovyo.Mama yake sule alimtazama mwanae akaanza kumuone huruma.Alimchukua na kumuingiza kwenye gari yake kisha akalipia ile tax na kuondoka akiwa na mwanae.
Walienda mpaka NAKUMATT SHOPPRITE kisha akamchukulia nguo na viatu kisha akampeleka hoteli alikomchukulia chumba kwa ajili ya kulala.Mama alipofika akamuagizia chakula VEGETABLE TOSTADA chakula safi sana.Wakati wanaendelea kusubiri chakula Sule alianza kumsimulia mama yake mkasa wote kule alikokuwa,Mama aliposikia majina ya watoto wake alianza kutamani kuwarejesha ili wafurahie pesa na mali atakazokuwa nazo bila kufikiria kuwa chanzo cha pesa hizo ni hao watoto.Mama alimwambia sule"Kwanza pole sana mwanangu halafu nia na madhumuni ya kukufikisha hapa ni"..Mama aliongea huku akizitoa hati na nyaraka zote za mali ya familia"Tazama hizi mwanangu"Alimpa mwanae azione.Basi sule alizitazama huku akionyesha mshangao kwani hakuwahi kufikiria suala la kumiliki vitu vingi hivyo.Sule kakopi tabia ya mama yake yaani wana tamaa hakuna mfano.Basi sule alimuuliza mama yake"Kwanini umekuja nazo huku"Mwanangu kusoma hujui hata picha huoni!!? hizi siku si nyingi zitakuwa chini yetu,Naomba upumzike kesho asubuh nakujua tuongee vizuri.
SIKU ILIYOFUATA
Mzee Nassor aliamka asubuhi na mapema ili awahi airport ya KILIMANJARO INTERNATIONAL AIRPORT(KIA) Tayari kabisa kuanza safari yake.Hakuenda mwenyewe bali aliongozana na wanae pamoja na mama.Mama alipofika tuu airport alimpigia simu Bi kidako na kumpa kinachoendelea"Bi kidako tayari tuko airport na mzee kashapanda ndege kwa hiyo muda mfupi tuu wanaondoka"........"Mwanangu mimi hapa nawaona na nawafuatilia kwa kila hatua na nimeshaanza kazi hivyo muda wowote utapata majibu"Bi kidako aliongea huku akijiamini sana.Ndege iliruka na wakati huo watoto wa mzee Nassor pamoja na mama yao wa kambo walikuwa njiani kurejea nyumbani.Walipofika tuu nyumbani kabla hawajakaa Simu ya wedi iliita namba ni ya mzee wao,Wedi alishangaa "Inawezekana vipi mzee kupiga simu na yuko kwenye ndege muda huu!!!?" Wedi aliipokea lakini kitu alichokisikia alishtuka na simu ikadondoka chini.Wote walishangaa kuona Wedi kajitwika mikono kichwani,Wakati huo mama alikuwepo hapo na alishajua tuu tayari mission complete!!.Wedi aliongea maneno matatu tuu"BABA AMEFARIKI DUNIA".Ni kweli Wedi alipewa taarifa za mzee wake kuwa amefariki akiwa kwenye siti yake ya ndege walisema na inawezeka ni Presha.Ndege ilisimama kwa dharura Nairobi ili kuushusha mwili.
Nyumba ilikuwa chungu watoto walilia sana hakuna aliyeamini kuwa mzee nassor kafariki.Mama akiwa pale pale Bi kidako alipiga simu,Mama yake sule aliipokea huku akilia kwa nguvu na kusema"Muuuume wangu amefariiikiiii!!!!"Ilikuwa ni zuga tuu ila ukweli ni kwamba alikuwa anampa taarifa kuwa mpango umeenda kama walivyopanga na Bi kidako alimwambia"Nimekuelewa ila nawe fanya mpango mzigo wangu uje"Bibi aliongea akimaanisha anataka pesa aliyoahidiwa na Mama yake sule.Mama yake Sule alijifanya amepaniki kisha akatoka kwa jazba na kuchukua gari yake na kuondoka,Alienda mpaka Hotelini aliko Sule Alifika hotelini lakini alishangaa kumkuta Sule yuko na kidemu"Heeee!!! we sule huyu nani!??"........"Mama huyu ni rafiki yangu tuu hana shida"......."Ok ila take care,Hujambo dada"Alimsalimia kisha akamwambia sule"Naomba niongee na wewe pale chini garden"Aliongea kisha akashuka.
Sule alimfuata mama yake nyuma kisha mama akamwambia"Mwanangu yaani mimi nahangaika kwa ajili yako,Namkosea mungu ili wewe upate maisha bora lakini wewe umeamu kufanya ujinga kama huu"Sule alikaa kimya lakini mama aliongeza"Yaani ungejua kitu nafikiria kwenye akili yangu ungetuliza na kuitumia akili yako,kwanza wewe ni msomi mzuri kwa nini unajishusha hivyoo,Na nimepata taarifa zako juu ya kile ulichokifanya huko ulikokuwa.Halafu Baba yako amekufa akiwa kwenye ndege"Aliongea kama hataki na hajali kabisa,Mama yake Sule alishtuka kusikia "puuuuh," Sule alidondoka chini kwani mama alimshtukiza kwa taarifa ile......Usikose sehemu ya 17(B).
HAKIKISHA UNALIKE PAGE MWANAWANE.
PATA SIMULIZI 4 TOFAUTI KWA SIKU UWAPO KATIKA GROUP LA KIJANJA KULE WHATSAPP.STORY ZOTE NI HOT NA UNAZIPATA MAPEMA YAANI ZIKIWA ZAMOTO KABISA KAZI KWAKO,JIUNGE NA WENZAKO KWA TSH 3000/-TUU ZA KITZ
Kwa wewe unayehitaji kuungwa group nicheki kupitia 0678641147 au 0688911112 whatsapp ni kuhusu simulizi tuu mambo mengine nicheki fb inbobo
KAMA HUJALIKE PAGE FANYA IVO SASA ILI UWEZE KUPATA VITU MUBASHARA.
#MussaBhai & #YuYuTz_ ®Newvission_2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: