®HADITHI PICHA® Mussabhai & YuYuShortstory 👙👙👙 DADA VUA👙👙👙 PICHA NO:_17(B) FIN LIKE PAGE UWE WA KWANZA KUIPATA HII KILA SIKU. https://www.facebook.com/YuYuTzHotStory Wahi mapema sidiria wanazigombania gusa link/maandishi ya bluu kuangalia ni jinsi gani zinavyovaliwa 👇👇👇👇👇👇👇👇 https://youtu.be/oWwe9rFZaxo Kokote ulipo tanzania mzigo utakufikia tupo dar 0674024564 0674024564 whatsapp pia .......Ilipoishia Sule alimfuata mama yake nyuma kisha mama akamwambia"Mwanangu yaani mimi nahangaika kwa ajili yako,Namkosea mungu ili wewe upate maisha bora lakini wewe umeamu kufanya ujinga kama huu"Sule alikaa kimya lakini mama aliongeza"Yaani ungejua kitu nafikiria kwenye akili yangu ungetuliza na kuitumia akili yako,kwanza wewe ni msomi mzuri kwa nini unajishusha hivyoo,Na nimepata taarifa zako juu ya kile ulichokifanya huko ulikokuwa.Halafu Baba yako amekufa akiwa kwenye ndege"Aliongea kama hataki na hajali kabisa,Mama yake Sule alishtuka kusikia "puuuuh," Sule alidondoka chini kwani mama alimshtukiza kwa taarifa ile.. Mama yake sule alipata kiwewe kwani hasira zake na kupaniki kwake kumepelekea kuongea bila kujua ile ni taarifa ya kushtua.Walinzi wa hoteli walipata taarifa kisha haraka wakawahi kutoa msaada na kumpeleka hospitali.Wakati huo Lucy na Helena walikuwa ndio wanaamka amka na ilikuwa ni mida ya saa 4 asubuh.Helena alitangulia kuamka kisha akamuamsha mwenzake Lucy,Helena alimwambia Lucy"Dada unajua kuna kitu kinanijia kwenye ufahamu wangu sasa sijui ni ndoto au nilivyobadilishwa kuwa mnyama ilitokea kweli!!"......."Kitu gani mdogo wangu?"......"Kama vile nimeota kuwa wewe na sule mlikuwa mnafanya mapenzi halafu mimi nikaenda kumuita shangazi ili msifanye hicho kitu halafu tena iko kama baada ya shangazi kuwakurupua mimi na wewe tulimkimbiza Sule na nakumbuka jana tuliokota begi la sule tena linaonekana alikuwa akikimbizwa".......Lucy alikumbuka kweli shangazi alikuja kumkurupua alipokuwa akitaka kusex na Sule na pia hali ya kumkimbiza Sule hata yeye inamjia kwa mbali lakini hakumbuki vyema.Lucy aliongea"Hilo la kumkimbiza Sule Inaweza kuwa hivyo lakini mimi na Sule hatukufanya mapenzi hiyo ni ndoto tuu"Helena Alimwambia Lucy"Tuachane na hayo ebu tumpigie Sule tena"......."Sawa lakini shangazi aliichukua simu yake usiku". Lucy alienda kuichukua simu ya shangazi.Wakati Lucy anarudi Helena alipata Line ya simu kwenye begi lile la sule"Yees tukimkosa hewani humu hatutakosa namba ya mtu anayemfahamu"Aliongea Helena.Lucy aliingia huku akionekana kuweka simu masikioni"Oooh my god simu ya sule inaita".....Mara simu ya sule ikapokelewa,Lakini Lucy alikata kwani alisikia sauti ya mwanamke"Mmmmmh!! au hizi namba sio za sule"Aliongea hivyo bila kujua kuwa yule aliongea ni mama yake Sule na ni mama yao.Helena alimwambia"Sasa kuna line ya simu hii hapa tuangalie majina yaliyoko tunaweza kupata mtu anayemjua sule"Waliiweka ile line kwenye simu kisha wakaingia sehemu ya majina,Line haikuwa na majina mengi sana lakini waliona jina (MY MOM) Wakajua moja kwa moja huyu ni mama yake sule.Waliinakili ile namba pembeni ili wapige kwa line ya shangazi yao.Wakati wanajiandaa kupiga meseji iliingia ikisema "Samahani sule amefiwa na baba yake na amepata mshtuko kwa hiyo hawezi kuongea na simu" Kwa kuwa kina lucy hawajui kusoma hawakuhangaika na sms.Lucy alipiga simu kwenda kwa mama yake Sule,Ilipokelewa lakini Lucy alishtuka kuisikia sauti ile ile aliyoisikia kwenye simu ya Sule,Mama yake sule aliongea akiwa na jazba bila kujua anaongea na watoto wake na sio bi kidako"Haloo mama afadhali umepiga simu,Yaani huku ni balaa sule aliposikia taarifa za msiba amezimia dakika ya 10 sasa.Lucy na Helena walidata kwani hawakujua nini kinaendelea baina ya Sule,Shangazi na mama yake Sule. Wakati huo watoto wa Mzee Nassor walianza kumtilia shaka mama yao.Kwani dalili zinaonyesha kuna utata kulingana na mazingira ya kifo cha baba yao.Waliamua kumpigia yule mtaalam wao wa nigeria na na kitu walichoambiwa ni kama walivyohisi.Na mtaalamu aliwaambia"Mimi siwezi kumfufua baba yenu kitu ninachoweza kufanya ni kuwaadhibu wote walihusika.Watoto walimpa mtaalamu wao uhuru wa kufanya chochote ilimradi waone adui yao akiteseka. Upande wa pili Sule alizinduka akiwa hospital pembeni yuko mama yake.Baada ya muda mfupi waliruhusiwa,Lakin mama alionekana kuumia kwa sule alivyozimia ila suala la kifo cha mumewe hakuwaza kabisa kwani ilikuwa ni mipango yake.Walirudi hotelini,Walipoingia ndani waliona vitu vimekaa shaghala baghala,Mama alipovuta picha akakumbuka ndani walimuacha yule binti na hayupo,Mama alianza kuingiwa na hofu.Kwanza kabisa alienda pale walipohifadhi zile documenti na hati za mali walizotaka kuiba,Kiukwelie hawakukuta kitu binti yule aliondoka na makaratasi yote mama alimgeukia sule"Wewe sule huyu msichana uliyekuwa naye hapa ulimtoa wapi".......Sule aliongea kwa unyonge kwani mwili ulikuwa umechoka kwa kilichomkuta"Mama bwana maswali gani hayo huyu mi simjui vizuri nimekutana naye tuu".......Mama alimfuata akiwa na hasira tele"We mbwa umefanya niiini!!!? Hati zangu ziko wapi!!??" mama alianza kulia sule naye alinyanyuka na kuanza kupekua kila mahali lakini hati hazikuonekana.Wakiwa wanatapatapa pale ndani simu ya mama iliita na aliyepiga ni Wedi,Wedi aliongea"MAMA UMEAMUA KUFANYA HIVI KWELI,HAKIAMUNGU SIAMINI SAWA TUU LAKINI UJUE YA KWAMBA DOCUMENT TUNAZO SISI NA BABA TUTAMZIKA KESHO HALAFU WEWE TUTAKUZIKA KESHO KUTWA"Aliongea wedi kwa hisia kali sana,Mama aizidi kuchanganyikiwa kwa maneno aliyoyapata. Kumbe wakati mama amemtuma dereva amfuate sule kina Wedi walikuwa wanafuatilia kupitia yule dereva kwani wanafahamiana vema tuu.Na waliamua kumtuma msichana ili wapate taarifa nini kitaendelea kwani kitendo cha mama kumficha Sule kiliwapa mashaka japokuwa hawakujua mipango iliyopangwa kumuua baba yao laiti wangejua mwanzo wangeweza kuzuia.Lakini waliamua kumtumia mganga wao wa kule Nigeria ili mambo yaende sawa. Wakati mama anaendelea kuduwaa simu iliingia tena kutazama ni Bi kidako"Haloo mwanangu,Kazi yako nimeshaimaliza mzee nimeshamuondosha sasa unatakiwa unilipe pesa yangu kama ulivyoniahidi"Mama hakuongea alikata simu ya bi kidako kwani aliamini kuwa misheni zote zimefeli.Mama aliwaza ni wapi atatoa pesa ya huyu bibi na alimuahidi hela nyingi sana kama milioni 20.Mara Sule alimuuliza mama yake"Hivi mama mbona yule bibi kule aliniambia kuwa wale ni dada zangu inawezekanaje sasa".Sule alianza kutamani kuwasaidia lakini anataka kujjua ukweli kwanza kama kweli lile alilosema bi kidako ni la kweli au laa.Mama hakujibu kitu bali alionekana kuanza kushangaa mazingira ya pale ndani kama vile ni mgeni.Sule alimtazama mama yake hakuelewa nini kinamsibu.Mara mama alianza kucheka cheka hovyo huku akivuruga vitu pale ndani,Mama alitoka mpaka nje ya hoteli,Ukweli ni kwamba mama yake sule aliingiwa na uwendawazimu ghafla. Sule alitoka kumfuata mama yake,Watu walishangaa kuona mama msafi kabisa akiongea kama kichaa,Masikini wa mungu mama wa watu kichaa kilimuanza ghafla tuu lakini hii yote inasababishwa na tamaa,Aliongea hovyo hovyo.Wakati anatembea aliingia barabara ya Moshi,Arusha na kwa bahati mbaya kulikuwa na gari ya tours inakuja kwa kasi sana dereva alijitahidi kumkwepa lakini kwa bahati mbaya mama yake sule aligongwa huku sule akishuhudia.Damu ilitapakaa barabarani hakuna aliyeweza kuutazama mwili wa mama yake sule mara mbili kwani uliharibika vibaya mno.Sule hakuamini macho yake alihisi kama ni ndoto lakini ndio hivyo mama kashafariki. WIKI KADHAA BAADA YA VIFO VYA WAZAZI WA SULE. Sule aliamua kujichanganya stand angalau awe mpiga debe wa mabasi yaendayo mikoani.Lakini akili yake ilijutia bahati aliyoipoteza kwani saivi angekuwa Tajiri mkubwa hapa mjini.Mbali ni hayo alianza kupanga mikakati ya namna ya kuwarejesha wadogo zake katika hali ya kawaida na mara kadhaa amekuwa akihudhuria nyumba ya ibada na kuwashirikisha viongozi wa dini ili kufanikisha jambo hilo.Lakini aliamini mbele za mungu hakuna kitakachoshindikana maana mungu anasema"NIAMINI MIMI NAMI NITAKUVUSHA KWENYE MAMBO YALIYOSHINDIKANA"..........NA HUO NDIO MWISHO WA SIMULIZI YETU LAKINI MWISHO WA SIMULIZI HII NDIO MAANDALIZI YA SIMULIZI IJAYO. SHUKRANI KWA #Km_Music #Perfect_entertaiment #Adam_kim #Moon_vission #Duka_kubwaonline #Arushamovie TUNAHITAJI WADHAMINI ILI SIMULIZI ILI TUZIDI KUANDAA VITU ADIMU KAMA HIVI NA PIA TUTAITANGAZA BIASHARA YAKO ITAWAFIKIA WATU 150K KWA SIKU YAANI WATU 150,000/ KARIBUNI SANA HASWA WAFANYABIASHARA.FANYA BOOKING 0688911112 MLIOKO WHATSAPP TUTAENDELEA NA SIMULIZI MPYA YA #MACHOKODO NAMBA YA KUJIUNGA NI HIZI 0678641147 AU 0688911112 KWA SH 2000/ TUU NA HII NI OFA YA SIKU 5 BAADA YA HAPO NI SH 3000 KAMA KAWAIDA. KAMA HUJALIKE PAGE FANYA IVO SASA ILI UWEZE KUPATA VITU MUBASHARA. #MussaBhai & #YuYuTz_ ®Newvission_2017

at 11:01 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top