®HADITHI PICHA® Mussabhai & YuYuShortstory 👙👙👙 DADA VUA👙👙👙 PICHA NO:_15 LIKE PAGE UWE WA KWANZA KUIPATA HII KILA SIKU. https://www.facebook.com/YuYuTzHotStory HAYA HAYAAA ZILE SIDIRIA AMBAZO KWA SASA NDO HABARI YA MUJINI TUNAZO KAZI KWENU MASTISA DUU UKIVAA MUGONGO WAZI KWA AJILI YA MTOKO NDO ZENYEWE HAZINA MIKANDA NZURI KWA MABIBI HARUSI PIA UKINUNUA LEO UTAUZIWA KWA BEI YA OFA 30000 WAHII KABLA OFA HAIJAISHA TUPO DAR MIKOANI TUNATUMA ILA BAADHI YA MIKOA TUNA MAWAKALA mawasiliano 0711462866 0711462866 WhatsApp TUNAUZA JUMLA PIA Bonyeza link hapo chini kuangalia jinsi ya kuzivaa 👇👇👇👇 https://youtu.be/oWwe9rFZaxo ..........ilipoishia Wakati huo Sule alikuwa anatembea huku hofu na mashaka vikiwa vimemtawala kwani giza lilikuwa limetanda na isitoshe ni porini.Wakati anaendelea na safari zake alihisi mchakacho kwa mbali kama vile kuna kitu kinakuja kwa kasi ,Aligeuka nyuma kuangalia ni nini kinakuja,Aliona wanyama kama chui wanakuja kwa kasi tena wawili,Sule alivuta pumzi akatupa begi lake kisha akaanza kutimka mbio. Shuka nayo.......GONGA LIKE MTU WANGU ILI NIKULETEE VITU MURUA Ilikuwa ni kama ndoto kwa sule kwani alichokiona ilikuwa ni hatari hatari.Alijuta hata kukimbia nyumbani kwao,Sule alianza kuikumbuka sala ya toba maana aliiona njia ya kuzimu imefunguliwa.Wakati huo bi kidako alikuwa akicheka tuu kwani alianza kuisikia sauti ya sule ikiomba msaada"Ndio ukome mshenzi wewe yaani unataka kuzini na ndugu zako!!?"Bi kidako alijisemea maneno hayo.Kumbe huyu bi kidako anamjua vizuri sana Sule na amejuana siku nyingi sana mama yake Sule na yeye ndio aliyemleta mumewe kwa huyu bi kidako.Kwahiyo Bibi huyu anamsikiliza zaidi mwanamke na sio mwanaume. Upande wa pili huku watoto wamzee Nassor walikuwa wamekaa meza moja huku wakishauriana jinsi ya kuendesha biashara zao.Shukuru alinyanyuka na kuongea"Mnajua nyie ni kaka zangu ebu naomba niwaambie kitu"Wote walitega masikio kumsikiliza Shukuru ambaye ndiyo kijana mdogo kuliko wote kwa mzee Nassor.Shukuru aliongea"Naomba tusiamini hizi chale tulizochanjwa kule nigeria,Sawa labda zinasaidia lakini tuna uhakika gani kuwa hii ni kinga dhidi ya wabaya wetu"Sudi alimkatisha Shukuru"Shukuru sikia nikuambie Hivi unadhanji baba ni mjinga kutupeleka Nigeria kutusafishia nyota!?Jaribu kufikiria umeishi miaka mingapi ukiwa masikini na hujiulizi kwa nini baba yetu ni zaidi ya tajiri hapa mtaani??,Ukikuua utaelewa ila kwa sasa wewe angalia tuu na usifikiri hawa matajiri unaowaona wamepata mali kama unavyofikiria wewe"Sudi aliongea huku akicheka cheka. Kumbe siku ile wakina Sudi wanarudi kutoka masomoni walipitishwa Nigeria na mzee wao.Nia na kusudi la mzee huyu kuwapitisha huko ni kuwaweka vizur kwanguvu za kishirikina.Mzee Nassor baada ya kuona watoto wanafanikiwa kwa haraka aliona ni bora naye abadili mganga kwani aliona kama bi kidako bado yuko chini kiutaalamu ni bora aende Nigeria.Na hakumwambia mkewe kuwa anakwenda Nigeria kwani hata safar yenyewe kaipanga ghafla hivyo alimwambia anasafiri kikazi.Basi Mzee alikuwa akiwaza namna ya kuendeleza mali zake na mama aliwaza namna ya kumfilisi mumewe mali zote.Unahisi nini kitatokea?? Endelea.... Huku aliko Sule mambo yalizidi kuwa magumu zaid kwani wale wanyama walikuwa wanazidi kumkimbiza.Ghafla wakati anakimbizwa alishangaa kuona barabara inajaa maji na hakuna hata mvua.Kutokana na yale maji sule alishindwa kabisa kukimbia,Cha ajabu zaid alivyogeuka nyuma alishangaa kuona wale wanyama wanakimbia juu ya maji.Masikini wa mungu sule alikiona kifo kile kinakuja,Hakuwa na njia nyingine ya kujisaidia.Wakati mguu uko ndani ya maji alihisi kama kuna kitu kimemshika mguuni,Sule alijitahidi kuutoa mguu lakini alishachelewa tayari wale wanyama wakali walishafika pale na walikuwa wameachama midomo kama wanataka kummeza.Sule alifumba macho ishara ya kukata tamaa kwani aliamini huo ndio mwisho wa maisha yake.mara alipofumbua macho alimuona shangazi yake na Helena na hakujua kafika vipi pale. Wakati Sule anasubiri kifo Huku mama yake alikuwa anakusanya hati zote nia yake ni kuzitoa pale ndani ya nyumba na kumpelekea mwanae pindi atakapofika Mount meru hotel.Mama alimpigia simu yule dereva akiamini tayari kashafika na kumchukua Sule"Habari yako dereva umeshamuona??"........"Hapana mama ndio niko Usa hapa naelekea hapo uliponielekeza mama".Basi Mama alimuharakisha dereva kwani aliona kama anachelewa kufika.Wakati huo huo Mzee alikuwa tayar kashapanga vitu vyake na anakuja pale alipo mkewe,Mama alikuwa bize kama vile anaiba kwani alikuwa na harakati za kuhamisha hati za umiliki wa nyumba na mali zingine.Basi mzee alifika mlangoni kwa bahati alikohoa kabla hajaingia ndani,Mama alishtuka na alikuwa na makaratasi mkononi,Aliwaza pa kuficha kwa haraka haraka alizikusanya na kuziweka ndani ya nguo ya ndani/Chupi"Hahaaa! karibu mume wangu"Alijichekesha pale kiuongo uongo,Mzee alimuangalia mkewe na kuona kama kuna utofauti lakini akachukulia poa"Aaaamh!! nilikuwa nakusisitizia hakikisha unakuwa makini na kazi niliyokuachia mke wangu. Basi mzee aliongea kisha akamwambia"Sasa mke wangu unajua nitakumiss eti"Aliongea huku akimsogelea karibu na kutaka kumkumbatia,Mwanamke aliogopa sana kwani alikuwa ameficha zile karatasi pale kwenye chupi,Mama aliamua kumpotezea"Baby sory leo sijisikii vizur"......."Sasa mke wangu nitasafiri vipi na ukata huu nakuomba sana mke wangu".Mwanamke alifikiria sana na kuona ni haki mumewe kupata Sunnah kwani safari ni ndefu,Basi mama alimuomba kitu"Sawa nakupa lakini naomba niende bafuni mara moja nikajiweke vizuri"Baba hakuwa na kipingamizi bali alifurahi kwani kweli mzee alikuwa na ukata wa kweli alimiss chitumbua cha mkewe sana.Basi mama alitoka na hakuelekea bafuni kama alivyomwambia mumewe aliingia kwenye chumba cha Sule na kuzihifadhi zile karatasi kisha akaingia bafuni na kutoa nguo zake akabaki na khanga tuu.Mzee alikuwa ndani alisubiri ujio wa mkewe,Mwanamke aliingia kisha akaufunga mlango.Taaratibu aliifungua khanga ile na kuitupa chini,mzee alianza kufungua mkanda wa suruali yake.Basi mama alimfuata mumewe huku akimuangalia kwa kurembua rembua na kumlaza baba watoto wale kitandani naye kufuatia kwa juu.Lengo la mama ni kuzidi kumchanganya kabisa mzee wa watu.Basi mzee alimega tunda lake lakini kama unavyojua umri umeenda sana hivyo hakutumia mda mrefu sana babu aliomba poo!!. Wakati baba na mama walikuwa wakiagana kwa kupeana mautamu vitu urojo urojo.Huku sule huku sule mambo yalikuwa magumu balaa.Lakini alipomuona Shangazi yake na helena alishtuka sana kwani alitokea ghafla tuu.Hali hiyo ilimpa mashaka sana Sule.Wakati anaduwaa alishangaa kuona shangazi anawazuia wale wanyama ambao ni kina Helena.Shangazi aliongea kwa sauti ya kutisha"Tabia yako ndio imekusababisha uko hukuuuu!!! na ulivyo na tamaa ulitaka kuzini na dada zako mbwa wewe............"Usikose sehemu inayofuata hapo kesho PATA SIMULIZI 4 TOFAUTI KWA SIKU UWAPO KATIKA GROUP LA KIJANJA KULE WHATSAPP.STORY ZOTE NI HOT NA UNAZIPATA MAPEMA YAANI ZIKIWA ZAMOTO KABISA KAZI KWAKO,JIUNGE NA WENZAKO KWA TSH 3000/-TUU ZA KITZ Kwa wewe unayehitaji kuungwa group nicheki kupitia 0678641147 au 0688911112 whatsapp ni kuhusu simulizi tuu mambo mengine nicheki fb inbobo KAMA HUJALIKE PAGE FANYA IVO SASA ILI UWEZE KUPATA VITU MUBASHARA. #MussaBhai & #YuYuTz_ ®Newvission_2017

at 11:00 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top