*TAFSIRI YA SHUKA KITANDANI* 🏘 KWA MWANAMKE ALIYEFUNZWA SHURTI SHUKA LIONGEE KITANDANI....,SI WAJITANDIKIA TU KITANDA KAMA MSUNGO HAPANA........TUANGALIE ZILE SHUKA ZENYE MAANA KUNA ZENYE MAANA NA NYINGINE NI SHUKA TU KAMA PAMBO HAZINA MAANA YOYOTE TUANZE NA SHUKA NYEUPE,au la cream Shuka hili maana yake ni kwamba Mumewangu Leo nimejiandaa vya kutosha.......nimekamilika kila idara wewe tu uje mpenzi ujilie vyako......yaani ukiweka hili haswa hii siku ya shughuli uwanjani Shuka jekundu............Mumewangu Niko Tayari kukupa mambo..........but tukae tuongee kwanza kwani mwenzako hali si shwari Leo......Niko kwenye siku za hatari......ukikosea tu utanipa ujauzito ilhali hatujajiandaa kupata mtoto kwasasa......shuka hili tumia siku za hatari Shuka jeusi au la rangi udongo.. .Mumewangu Leo lisijikii kabisa........tulale tu nimechoka sana Leo tusifanye kabisa Shuka la Kijani......blue bahari.....au green apple'au blue Mumewangu Niko radhi najisikia hamu Leo tujiachie baby Tena Niko kwenye siku nzuri za kupata ujauzito......baby Leo mechi ieleweke kwani tukicheza vizuri Leo ntapata ujauzito Shuka la pink au orange Baby sijisikiii,naumwa Leo tusifanye kabisa naumwa mpenzi .....tukumbatiane tu Shuka la njano Baby umenikosea........Nina hasira Leo sikosawa........nitake radhi yaishe tuendelee kuenjoy penzi letu Shuka la zambarau Baby naomba unisamehe najuta kwakosa nlilokufanyia..... Shuka la mchanganyiko wa ranginyingi yaani rangizaidi ya tatu zikiwa kwenye shuka moja Baby Leo naomba tufanyiane USAFi.......hapo ni siku unayoona kichaka chahitaji jambia antizangu cjui tumeelewana..... Tutazidi kueleweshana kadri tutavyojaaliwa kwaleo tuishie hapa KUMBUKA Si shukazote zina maana.....waweza weka tu ukiwa huna maana yoyote,ila kwawadada waliofundwa,ni vema kufanya mamboyao tofauti na wasungo,pia waweza mfunda mumeo ili ukimwekea shuka Fulani isimlazimu mazungumzo basi yawe ni mahojiano na utekelezaji tu wa kile shuka inachosema Haya Kazi kwenu Madada

at 12:53 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top