NIPE BHANA Sehemu ya 15 Mwandishi Mmaka Jumaa ...........ilipoishia.......... Niliishika mashine yangu na kuiingiza ndani ya tunda la Shalha lakini iligoma kabisa kuingia , yaani hata kichwa kilikataa... Wakati huo Shalha alikuwa akijinyonga nyonga kwa utamu wa kulisugua sugua tunda lake na hogo langu lenye joto "ashhhhhh!!!!!!owhhh!!!!nipe...bhna" yalikuwa ni maneno yaliyo tamkwa kwa sauti laini ya msichana yule wa kihindi wakati huo nimesha choka kulazimisha mchuma wangu uzame , walakini ilikuwa ni sawa na mwaga maji kwenye kinu hali iliyo nifanya nianze kuingiza vidole viwili vya kati katika tunda laini la Shalha.. ""ashhhhh!! unaniumiza wewe!!""aliniambia Shalha huku akiutoa mkono wangu. "vipi bebi mbona una kuwa mkali wakati ume kutana na mtaalamu , tulia nikupe haki yako"nilimwambia huku na tabasamu, na yeye alinirudishia tabasamu na kuniambia kwanini na chelewesha wakati tayari hamu zimesha mpanda ilibidi nimuulize kama alisha fanya mapenzi akanijibu hapana yaani hakuwahi kufanya mapenzi lakini nikabaki na maswali kichwani iweje msichana bikra akubali kuvuliwa nguo kirahisi vile bila hata kuona aibu. "mpenzi si uingize bhana , ujue mi unaniumiza!"aliniambia Shalha kwa mara nyingine lakini ilibidi nimwonyeshe vizuri mtarimbo wangu na kumweleza ukweli juu ya udogo wa tunda lake "ina kataa kuingia naniliu yako ndogo sana"nilimwambia "jamani bebi na wewe si ujaribu tu kuingiza yaani hapa nguvu zimeniisha nahisi kuna waka moto"alisema Shalha . Nilijaribu kwa mara nyingine tena kuingia nikagandamiza kichwa cha mjomba kwa nguvu ,Shalha akatoa ukelele wa maumivu makali ili bidi nimwambie tuahirishe zoezi la kwichi kwichi nikamuomba turidhishane kwa kunyonyana ambapo nilifanya utundu mpaka nikahakikisha msichana yule bikra amefika kunako takiwa naye aliinyonya koni yangu mpaka nikavunja dafu mbili kidogo wote tukawa hoi lakini Shalha alionesha kahuzuni kutokana na lililo tokea, ikiwa na maana kwamba hakufurahishwa na kitendo kile hata ule uchanga mfu wake ulipungua Nilivaa nguo zangu na kumuaga mpenzi wangu huyo nikimwacha bado yupo uchi kalegea kitandani , nilijikuta hata hamu ya kuwa naye karibu ime potea nikafungua mlango na kutoka lakini nilipigwa na butwaa baada ya kumkuta mfanyakazi wao wa ndani amesimama kando ya mlango akiwa ameuingiza mkono wake ndani ya kabukta kafupi alicho vaa kwa huku akipumua kwa hisia na kufumba macho yake. Alipo niona alionesha kustuka na kutaka kukimbia lakini nikamu wahi kwa kumvuta mkono na kumtaka anyamaze nikitumia staili ya kuweka kidole mdomoni, naye kwa hofu alinyamaza huku ameangalia chini kwa aibu ,alinishika mkono tukaenda mpaka chumbani kwake kisha akaniambia. "samahani kaka kama nime kuuzi lakini yote haya nimefanya kutokana na kubanwa sana na familia hii , kama unavyojua mimi ni mwanamke na nina hisia nivigumu kuvumilia kukaa miezi saba bila kukutana na mwanaume, yaani huku siruhusiwi kutoka hata kwenda sokoni huduma zote zina tolewa humu humu na hata huyo masai hapo ningeweza kuwa naye lakini anatoka na mama mwenye nyumba kwa hiyo alisha nikanya nisi jaribu kumsogelea."aliniambia msichana yule kwa upole kisha akaniomba tuende sebuleni maana Shalha anaweza kutoka na akitukuta katika hali ile angeweza kuleta mtafaruku. Tulipo fika sebuleni tulimkuta Shalha ame jilaza kwenye kochi kichovu alipo tuona alionyesha mshtuko wa kutoamini alicho kiona. "hehehe!!!!! mpenzi mme toka wapi huko "alisema Shalha baada ya kunyanyuka kwenye kochi na kusimama huku akituangalia kwa ghadhabu "alinionyesha peleka choo tu mpenzi kwani kuna lipi?"nilimwambia na kumuliza swali "choo gani hicho mnakaa muda wote na kwanini ulitoka usiniambie nikupeleke mpaka umchukue huyu, kumbe wewe mwanaume ndiyo ulivyo yaani baada ya kuona sijakuridhisha umeamua kufanya na huyu chokoraa"alisema Shalha kwa hasira huku machozi yakiilowanisha sura yake iliyo anza kuwa na wekundu "maneno gani hayo unaongea mpenzi , sijafanya hivyo na siwezi nakupenda sana Shalha"nilimwambia huku nikimfuata na kumkumbatia lakini alinisukuma kwa hasira "koma kabisa na usirudie kuniita mpenzi, ngozi nyeusi nyani wakubwa nyie sasa kuanzia leo sitaki kujuana na wewe , pia Cath kuanzia leo huna kazi hapa chukua matambara yako yote uondoke na huyu nyani mwenzio sitaki kuwajua kabisaa"alisema Shalha kwa hasira maneno yaliyo nishangaza na yaliyo ibua kilio cha Cathy akiomba msamaha huku akikiri hakufanya alicho dhania Shalha lakini hakuweza kubadili maamuzi ya Shalha aliyetoka na kurudi na begi kubwa la nguo na kuanza kuzitoa akimtupia Cathy na alipomaliza aliondoka na begi lile huku akimwambia Cathy hakuja na chochote zaidi ya matambara tena alimfanyia wema kumpa baadhi ya nguo . Tuli baki tuna tazamana na Cathy aliye kuwa akilia kwa uchungu alikuwa msichana mrembo ambaye kwa mwanaume yoyote rijali angegeuza shingo endapo ange pishana naye lakini yaliyo tokea pale yalini fanya nipate uchungu na majuto juu yake kwani mimi ndiyo chanzo cha yote,sikuumizwa sana na tukio la kuachana na Shalha tena katika hali ya kuzalilishwa maana kama ni wasichana nilikuwa nao wengi na wazuri , nilimsogelea Cathy na kumfuta machozi kisha nikamkumbatia akawa ana lilia kwenye mabega yangu , Ghafla Shalha alirejea pale sebuleni na kutukuta katika hali ya kukumbatiana hali ili yozidisha ghadhabu ya wivu juu yetu ambapo alikuja na kumzaba Cathy kibao cha mgogo na kunivuta nimuache Cathy, "kwahiyo mmeshindwa kuyamalizia chumbani mmeamua myafanye mbele yangu, hivi Sam mbona unanifanyia hivi ?? ,kipi nilichokosea mpaka unitende hivi tena kwa malaya na chokoraa kama huyu"alisema Shalha kwa hasira maneno yaliyo zidisha ghadhabu yangu nilimvuta Cathy na kumfuta machozi pale pale mbele yake kisha kisha nikamwambia Shalha "si ume sema tusijuane mama , sasa mimi kumkumbatia huyu kuna kuhusu nini, tuache manyani na maisha yetu wewe malaika endelea na ya kwako"nilimwambia huku Cathy akiendelea kukusanya nguo zilizo kuwa zime zagaa chini baada ya kutupwa na Shalha kisha nika mshika mkono tukatoka nje akiwa amezikumbatia mkononi nguo zile na kumuacha Shalha akituangalia huku akilia kwa kwikwi. Tulifika getini tukakutana na mlinzi aliye shangazwa na aliyo yaona akahitaji kutuhoji kabla ya kuturuhusu kutoka lakini sauti ya Shalha ilisikika ikimtaka aturuhusu kutoka lakini mlinzi yule alibaki na maswali mengi juu ya kuondoka kwamfanyakazi wa ndani pamoja na mimi mgeni niliye tambulishwa kama shemeji. Tulitoka na Cathy huku bado akiwa ame vaa kibukta kile kilicho yafanya makalio yake yaliyo umbika kuyumba yumba huku na kule , tulifika dukuni na kununua mfuko tuliyo weka nguo zile kisha nikamweleza Cathy mimi naishi peke yangu katika nyumba ya kupanga na sikuwa nime oa hivyo kama asinge jali tunge kaa pamoja ni msitiri mpaka mambo yatakapo mkawia sawa naye hakuwa na kipingamizi tuliondoka pamoja mpaka Uswazi nilipo ishi tukaingia ndani huku majirani wakitutolea macho na kuyashangaa mavazi aliyo kuwa amevaa Cathy, walisema maneno mengi sikujali tukaingia ndani nikamuonesha Cathy kila kitu ndani ya nyumba ile ambapo siku hiyo mchana mzima tulishinda ndani huku tuki panga mipango juu ya maisha mapya tulio kwenda kuyaanza akini pikia chakula kizuri na kweli alionekana mwanamke aliye fundwa kwani alijua jinsi ya kumtunza mwanaume , usiku wa siku hiyo hali ilikuwa tete kwani mambo aliyo nipa Cathy yalinifanya niwasahau wote nilio cheza nao kabla... itaendelea.....Jumapili ijayo

at 11:12 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top