Home → simulizi
→ [9/27, 15:20] +255 714 435 449: NIPE BHANA
Sehemu ya 13
Mwandishi:Mmaka Jumaa
...............ilipoishia..............
"usijali ila usiache kuwasiliana na mimi "alinijibu na kuondoa gari
aliniacha pale nikiitazama gari yake mpaka ilipoishilia huku moyoni nikiwa na furaha sana kwani ningeweza kulipa madeni niliyo kopa nilipo chukua mzigo, lakini nilihisi huenda msichana yule kanizimikia nikaona nisipoteze bahati...
Nilirudi kijiweni na kuendelea na bishara jioni nika funga kazi nikarejea geto kwangu nika sevu namba ya Shalha na kumtumia messege , mara nilijibiwa kwa zaidi ya messege tano
endelea..........
"mambo baby, uko pouwa,nimeku miss , mbona kimya,jaman wangu natamani tuwe wote hata sa hivi"hizo ni message alizonitumia msichana yule wa kihindi
"pouwa mamy , sijui pande hizo u hali gani"nilimjibu
"nina afya tele sema naumwa kuku miss"
"mhhh!!, kweli"
"yani 'i don't know why' (yani sijui kwanini) mpaka najishangaa nahisi umeniroga wewe " alinijibu
"haha!!! unanifurahisha, ok 'i miss you too' kwaida tu hiyo inatokeaga ukizoeana na mtu alafu ukafika mda mkawa mbali kidogo, so usihofu mamy nipo kesho ukija kazini utanikuta na tutaongea mpaka ufurahi" nilimjibu
"ila mi nahisi kitu katika moyo wangu"aliniambia
"kitu gani hicho tena mrembo"
" yani 'in a short time' (ndani ya muda mfupi) nimetokea kukupenda sana Sam , please naomba unikubalie
moyo wangu unahofu sana juu yako mpaka najishangaa , please Sam naomba utambue hisia zangu kwako "
alinitumia ujumbe ulionipa mshangao kidogo
"Shalha kwa kweli sijui kama hili litawezekana maana hadhi yangu haiendani na yako, mimi ni maskini maisha yangu yenyewe ndio haya ya kuunga unga , tena mwenzangu wewe jamii nyingine tofauti na mimi muafrika, hivi unazani hili litawezekana kweli , vipi wakijua ndugu zako si watanifunga kabisa... im sorry for this Shalha asante kwa kunipenda lakini sisi ni watu tofauti sana nakushauri tu dada yangu, zingatia masomo yako baadae utapata mwanaume utakaye endana naye muwe pamoja"
nilimjibu huku nikiwaza itakuaje iwapo ndugu zake wakijua nina uhusiaono naye na wahindi walivyo kuwa na roho mbaya kwa watu weusi niliona wangeweza kuniletea matatizo mapya ambayo sikutaka yajirudie, lakini upande mwingine roho ilikuwa inanisuta kumkatalia msichana mzuri kama yule nilijikaza kiume nikamtumia ule ujumbe
Maskini msichana yule wa kihindi alipanda hewani (alinipagia) huku akitoa kilio cha kwikwi
"Sam kwa nini una nifanyia hivi nakupenda mimi familia yangu inawezaje kuingilia , Sam amini siwezi kuishi bila wewe hata ninacho soma shuleni hakina faida kwangu kama nakosa amani ya moyo , wewe ndio kila kitu kwangu , sijawahi kupenda tena hii ndio mara yangu ya kwanza kwanini unifanyie hivi??? , nipo tayari tufanye mahusiano yawe ya siri na nitakupa chochote utakacho taka hata kama ni nyumba nipo tayari kukununulia..
Please.... baby nipo chini ya miguu yako moyo wangu ndio unanisukuma kusema haya juu yako naomba usinionjeshe maumivu ikiwa ndio naanza kupenda , tafadhali sana naomba uzitambue hisia zangu"aliongea maneno mengi msichana yule huku akiangua kilio ambacho kilinishangaza,yani mtu nionane naye ndani ya siku hiyo hiyo anililie kwa mapenzi
"usilie Shalha, nafanya haya kwa sababu ya usalama wangu mengi nimeshayaona katika mapenzi, but naomba unipe muda kidogo ntakujibu "nilimwambia
"hapana mimi nataka tuyamalize hapahapa naomba jibu lako tu hapa ili nijue tumefika wapi nione la kufanya"alijibu
"nimekubali ila naomba tufanye kwa siri lakini si kwamba sikukupenda bali ni hofu niliyo nayo juu ya ndugu zako"nilimjibu
" nashukuru sana mpenzi kwa kutambua hisia zangu naahidi kukupenda siku zote na wewe naomba uniahidi hilo"
"usijali Shalha wangu nitakupenda zaidi ya unavyo jipenda lakini chonde naomba siri hii ibaki kati yetu mimi na wewe"
"usihofu Sam tutafanya siri , ulikuwa hujui mengi kuhusu mimi
nyumbani naishi na mfanyakazi wetu tena mwafrika tu wakawaida wazazi wangu wameenda India na watakaa huko mwaka mzima wakimuuguza bibi yangu, kwa hiyo sasa hivi nipo likizo na huyo mfanya kazi wetu wa ndani"aliniambia maneno ambayo sasa yalinipa ujasiri hapo nikajua basi kisu ninacho kazi iliyopo ni kula nyama tu..
"Nime kuelewa mpenzi wangu hofu yangu sasa imeisha usijali tutakuwa pamoja na tutaonana mara kwa mara mpaka utanichoka, kwani ni mbali sana nisiweze kufika saa hivi?"nilimwambia nikiweka utani
"na wewe kukuvujishia ubuyu tu , unataka kupagawa subiri mpenzi, kesho im sorry sitakuwepo kuna safari ya kumtembelea mamdogo wangu fulani anaishi Moshi ila kesho kutwa asubuhi nitakupitia na gari hapo kazi na tutatumia hiyo siku nzima kula raha pamoja na usijali kuhusu biashara kwani nitakupa mara kumi ya faida unayo pata kwa siku
'I LOVE YOU' mwaaaaaa!!!!!"alimaliza msichana mrembo Shalha na kukata simu..
Siku ya pili nili kwenda kazini nikiwa nime tupia viwalo vya nguvu kama kawaida na kupanga bidhaa zangu na haikupita muda mrefu wateja walianza kumiminika nami niliwapa huduma walio stahili huku wengi wakiridhishwa na bidhaa zangu na pia ukarimu nilio waonesha
Jioni kabla ya kufunga kazi alikuja dada mmoja mkali aliye kuwa na wowowo au chura la maana akiwa amefuatana na mwenzake wakionesha walikuwa marafiki waliofanya kazi sehemu moja ambaye naye alikuwa mzuri huku wote wakinukia marashi niliyo yapenda puani mwangu
"karibuni warembo"niliwakaribisha kwa uchangamfu nikiweka tabasamu usoni
"asante kaka"walijibu wote
"wewe ndiyo Sam mandevu"waliniuliza
"mwenyewe karibuni hapa ndio kazini , kama mnavyoona mali ndio hizi hapa kwenye ubora wake ni nyie tu kuchagua"
"mhhh!!!!haya bhana" alisema yule msichana mwenye chura huku akikitazama kwa uchu kifua changu kilicho jaa vizuri
"hivi hapa nime vipenda na pia nime penda muonekano wako"alisema yule msichana mwingine huku akinionesha sendo flani hivi nzuri ambazo na mimi nilizipenda
"mbona kawaida dadangu si unajua mjini lazima kun'gaa...
hivyo nakupa kwa buku tano .. bei sawa na bure"nilimwambia wakati huo yule mwenye chura naye alipata vya kwake
Niliwa toza bei moja wote wakanipa hela huku wote wakihitaji namba yangu ya simu ,nami sikuwa na ajizi niliwapatia wakaondoka lakini wakati namalizia kufunga mzigo alirudi yule mdada mwenye chura kubwa akadai kuna kitu alitaka kuniambia nikamruhusu kusema chochote alichotaka akaniambia kwa muda mrefu alikuwa akiadithiwa na mfanyakazi mwenzake wa kike kuhusu mimi Sam juu ya utanashati wangu na ubora wa sendo ninazo uza hivyo akaona aje ajionee mwenye na alipofika baada ya kunitia tu machoni kwake alijikuta mwili una msisimka hasa baada ya kukitazama kifua changu na ndevu zilizooteana vizuri..
Kisha mdada yule akaniambia kama nisinge jali tutoke wote usiku ule, ambapo sikumkatalia nilihifadhi mali yangu na kuondoka na mdada yule aliye kodi tax na kumuagiza dereva atufikishe Kilimanjaro hotel moja kati ya hotel kubwa sa kitalii pale mjini
Tulifika akaagiza chipsi kuku , mimi nikaagiza mchemsho wa mkia wa ng'ombe na ndizi tulikula huku tukipiga stori mbalimbali na dada yule ambaye naye alikuwa na maneno mengi huku niki iingiza katika maongezi stori mbalimbali za mapenzi hasa za kwichi kwichi, dada yule mwenye umbo matata alijikuta akicheka huku akiniambia stori zangu zilimfanya alowanishe chupi yake na kwa kuwa tulikuwa tumakaa meza moja tuna angaliana ambapo alikuwa amevaa sketi fupi niliipitisha mikono yangu chini ya meza na kuanza kuya papasa mapaja yake laini kama naya kanda vile , mtoto akaanza kulalama
huuuu!!!!!ohhhhh!!! huku ameyalegeza macho akanishika mkono na kuniambia pale haikuwa sehemu salama bora tukachukue chumba
Cha kushangaza wakati huo wote sikuwa na mawazo ya kutaka kumjua hata jina tayari tamaa ya ngono ilinijaa
Tuliondoka pale mezani huku tume shibana kama wapenzi wa muda mrefu akaenda kulipia chumba first class tukazama ndani wakati huo damu zime tuchemka hasa mdada yule ambaye baadaye alijitambulisha kwa jina la Zainabu au Zai
Kabla hata ya kufunga mlango tulianza kuvuana nguo kwa pupa na kubaki kama tulivyo zaliwa huku nikipata wasaa mzuri wa kulipapasa na kuli pigapiga kalio kubwa la Zai huku yeye akiu shikashika mshedede wangu kwa mkono mmoja huku mwingine ukipapasa kifua changu
"kweli Sam umekamilika yani hadi raha!!" alisema Zai tukajikuta tumeshikana kwa nguvu tukipiga romance hatari pale pale Zai akanyanyua mguu mmoja juu kidogo nikaupakata na mkono wangu kisha akautumbukiza mdude wangu kwenye pango lake laini lililo jaa ute na joto kisha akaanza kunizungushia kiuno nilianza kupata raha ajabu hapo ndio nikajua siri iliyo nyuma ya wanawake wenye chura kubwa
'wanakuwa walaini na uke unakuta unanyama sana ukiingiza mashine mwenyewe unaisikilizia inavyo suguana na nyama laini huko ndani alafu ukipata ambaye uke hauna maji unakuta ndani kuna joto sana na uteute wa kutosha'
"oooshhhhh!!!!!!!!! yeeeeeessssss!!!!!!!!kee .....on....!!!fuck!!!!!me!!!!!yeah goood!!!!!!!!!!!"ni miguno aliyotoa Zai msichana aliye fanya kazi katika benk ya baclays pale Arusha kwa lugha ambayo kwa kipindi kile sikuweza kuielewa kutokana na elimu ndogo niliyokuwa nayo..
Tulibadili staili ya chuma mboga hapo mimi nikawa dereva huku nikiufurahia ulani wa kalio lake kubwa
nilianza kuisukumiza nanii yangu yote haraka haraka huku Zai akiendelea kutoa vilio vya furaha mpaka pale tulipo vunja dafu kama kawaida ya wasichana wanene tayari Zai alishaanza kuchoka ikabidi nisimtese nika muweka stail ya kifo cha mende na kuitanua miguu yake vizuri kisha nikakunja ngumi kama napiga push up na kuiza misha mashine yangu huku mdomoni tukiendelea kubadilishana kinyaji asilia mdomoni
Wakati huo mtarimbo wangu ulipata nafasi nzuri ya kujaa damu hivyo unene ukaongezeka mara dufu mpaka ikaanza kugoma kuingia niliingiza taratibu mpka ilipozama yote nikaanza kuchochea huku nikiendelea kupata romance ya nguvu kutoka kwa Zai
Kwa kweli nilishangaa mara baada ya Zai kuanza kutoa machozi huku akizidi kuhema kwa kasi na kunisisitiza niongeze mwendo, mara kitumbua chake kilianza kuibana nanilii yangu naye Zai akazidi kunikumbatia kwangu na kunibana katikati ya miguu yake , kutokana na msuguano mkubwa uliokuwepo kati yetu tulijikuta wote tuki mwaga ujiuji mzito huku tume kamatana vilivyo ndimi zetu zikizidi kupambana
"Asante Sam wewe kweli ni mwanaume wa shoka , umenifanya nitoe machozi kutokana na raha nilizo pata sijawahi kufika kileleni kwa stili hii alafu nichoke hivi , kweli wewe sikuachi nipo unioe kabisaa"aliniambia Zai huku amejilaza katika kifua changu kipana huku nikiyapapasa makalio yake laini ambayo kila nilipo yatazama nilizidi kupata hamu ya kuendelea....
Mara ghafla mlango uligongwa.....
Kutokan na majukuwa nilio kuwa nayo hii ntakuwa na tuma weak end ....
itaendelea.....
[9/28, 14:34] +255 714 435 449: NIPE BHANA
Sehemu ya 14
Mwandishi:Mmaka Jumaa
..............ilipoishia..............
"Asante Sam wewe kweli ni mwanaume wa shoka , umenifanya nitoe machozi kutokana na raha nilizo pata sijawahi kufika kileleni kwa stili hii alafu nichoke hivi , kweli wewe sikuachi nipo unioe kabisaa"aliniambia Zai huku amejilaza katika kifua changu kipana huku nikiyapapasa makalio yake laini ambayo kila nilipo yatazama nilizidi kupata hamu ya kuendelea....
endelea..........
Nilitaharuki lakini Zai alinituliza na kuniambia tusikilize vizuri ambapo tuligundua uligongwa mlango wa jirani na chumba chetu ...
"na wewe mbona una paniki hivyo"aliniambia Zai
"cha mtu sumu , ange kuwa mumeo ninge fanyaje"nilimuuliza
"mume wake nani , hebu nitole habari hizo kabisa nina mume mmoja ambaye ni wewe , maana kwa haya mambo umenizika kabisaa"aliniambia Zai huku akicheka nikataka kumuuliza kwa hiyo yupo mwingine ambaye haya wezi nakaona halitakuwa swala la msingi kwa wakati ule.
Nilimashika nikamlaza ubavu japo alionekana mchovu sana nikauzamisha msumari wangu kunako na kuanza kusugua kitumbua laini cha Zai huku yeye kazi yake ikawa kutoa miguno ...
00000hhhhh!!!!!!!Mtamu!!!!!!wewe!!!!
Nilihakikisha nasafisha kila pande ndani ya kitumbua kile nilicho kipata bure kabisa , sikuacha kulichezea kalio lile lenye nyama za kutosha na laini , nili mgeuza staili nyingine bayo sasa tukawa tuna tazamana yani nakula mzigo huku natazamana na Zai aliye kuwa ame yalegeza macho yake kama mlevi wa pombe kali tuakaendelea kupeana utamu huku midomo yetu iki pashana joto , hakika ili kuwa starehe sana , japo kwa sasa hatuku kamiana sana ilikuwa ni mechi fulani hivi kila mmoja akicheza fair play yaani hakukuwa na mshike mshike , mpaka tunakuja kufunga goli wote tulikuwa hoi miili ime lowa kwa jasho .
Niliamka pale kitandani nikaingia bafuni kujimwagia maji niki mwacha Zai aliye kuwa hoi kwa penzi mubashara nililo mpatia kausingizi kakimpitia , lakini nilivyo rudi pale chumbani mkao aliokuwa ame lala Zai tena akiwa mtupu ukichangia tena umbo alilokuwa nalo vilini fanya ni pandwe na mahamu nikajikuta nime sogea na kulishika shika kalio lile nikamtaya risha mjomba wangu aliye kuwa tayari ame simama kama mwanajeshi wa korea ya kaskazini na kumgusisha kwenye mashavu ya ikulu ya Zena aliye kuwa bado ame lalia ubavu nikaanza kuchomeka lakini Zai akanitoa na kuniambia alikuwa hoi asingeweza kuendelea, pia akaniambia nifungue pochi yake nichukue kiasi cha hela nitakayo
Mate ya tamaa ya hela yalini jaa nikafungua pochi ile , kweli nili pigwa na butwaa baada ya kuona mafungu makubwa ya noti za shilingi elfu kumi kumi yame jaa ndani ya pochi ile , nilitamani niyachukue yote lakini nikaona nita poteza uaminifu kwa mrembo yule niliye mfanya chizi kwa penzi la siku moja .
Nilichukua ma bunda kama sita ya hela zile na kuyatia ndani ya begi langu la mgongoni nikijiwekea malengo kibao kichwani nikaona nimesha toka kimaisha.., nilivaa nguo zangu nikamuaga mpenzi wangu huyo ambae ndani ya siku moja tulishibana kama wapenzi wa miaka kumi niki weka ahadi kibao juu ya kulilinda penzi letu hilo jipya huku na yeye akinieleza hisia zake kwamba asinge penda anione na mwanamke mwingine zaidi yake na akaahidi kunipa vingi vikubwa iwapo ningeweza kutimiza ahadi yangu , sikuwa na lingine zaidi ya kuonesha kukubaliana naye tukaagana kwa mabusu motomoto nikaondoka kuelekea geto kwangu..
Nilipo fika geto kitu cha kwanza kilikuwa kuhesabu hela zile ambapo nili hesabu na kukuta kila fungu lina shilingi milioni tatu hivyo kwa mafungu sita nikawa na milioni kumi na nane , kweli kwa furaha niliyo pata nilijikuta naruka ruka pale chumbani kama chizi hata simu yangu iliyo ita ikipigwa na Shalha sikuweza kuiona , sikuamini kama Sam mimi niliye tandika magunia barabarani kuuza sendo leo hii nili miliki milioni kumi na na nane , siku hiyo kwa kweli siku pata usingizi nikiwaza ni njia gani ningeweza kuwekeza ile hela izalishe na sio kuitumia kwa starehe ije itoweke bila mafanikio yeyote asubuhi yake nili panga niipeleke benki na kubaki na kiasi kidogo ambacho ningetumia kwa matumizi mengine
Kweli nilikuja kupata usingizi saa kumi na moja asubuhi kumesha kucha kabisa , nilikuja kushtushwa na honi ya gari nje ya geto langu mida ya saa mbili nikachungulia dirishani kuona ninani alipiga honi ile kweli nika muona Shalha akiwa kapendeza akitoka ndani ya gari lile na kuanza kuzungumza na wapangaji wenzangu huku karibia wapangaji wote wakitoka kumuangalia msichana yule mrembo wa kihindi nalo kundi la watoto halikuacha kumzunguka wote wakishangaa msichana mrembo anayeonekana matawi ya juu kama yule alifuata nini kwenye vijumba vyetu vya Uswazi
Walimaliza mazungumzo nikiwa bado nawachungulia kwa dirishani maana siku taka kumwaga mchele kwa kuku wengi kila mtu ajue yule ni mpenzi wangu maana uswahilini kuna mambo sana
Niliona Shalha ana kuja na moja kati ya wapangaji wenzangu wa kike ambapo waliufikia mlango wangu na kugonga
Nilifungua mlango nikijifanya ndio nime toka usingizini na kuwatazama kichovu
"mambo zenu warembo"niliwaambia
"safi" aliitikia msichna yule mpangaji mwenzangu lakini Shalha alivuta mdomo na kuangalia pembeni kwa kudeka
"kaka nime mleta huyu mgeni wako , ngoja niwaache"alisema dada yule na kuondoka akiniacha na Shalha bado na mtazama lakini kaninunia
Nikaona watoto wanatutazama sana nikamshika mkono na kumwingiza ndani ya geto langu , tulivyo fika ndani aliutoa mkono wake niliokuwa nimeushika huku bado ame nuna na kwenda kukaa kitandani kwangu..
"Mpenzi mbona hivyo jamani , yani hata hutaki salamu yangu kwani tume kosana"nilimwambia wakati huo nikienda kukaa pembeni yake pale kitandani
"hivi Sam unani penda "aliniuliza
"jamani kwani hilo ni jambo la kuuliza malikia wangu mpaka mbingu na ardhi zina tambua hilo" nilimjibu huku nime ushika mkono wake niki papasa kiganja chake laini
"sasa kwa nini naku pigia upokei simu yangu "aliniambia
"ume nipigia lini mpenzi nikaacha kupokea labda umekosea namba ukampigia mtu mwingine"
"jamani jana usiku si nime kupigia wewe hebu angalia simu yako tuone kama hakuna missed call"aliniambia kwa sauti ya unyonge kama alitaka kulia
Nilitoka na kuchukua simu yangu iliyo kuwa juu ya stuli na kufungua nikakuta messege kama ishirini za Shalha na missed call kumi na tano nika mwonesha na yeye
"ina maana mpenzi zote hizi hukuziona , kama hauni pendi bora uniambie tu usije ukauumiza moyo wangu"
"ila mpenzi si unaona ndio nazifungua saa hivi jana nili patwa na uchovu sana nika wahi kulala nisamehe mpenzi wangu halitajirudia tena"niliji tetea
Naye Shalha hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali ombi langu kwani alishani penda zaidi ya chochote chini ya jua, akanieleza nia ya kuja pale ni kunichukua nikakae nyumbani kwao nirudi kesho yake , sikuwa mbishi nilijiandaa tukaanza safari ya kuelekea nyumbani kwao huku muda wote ndani ya gari tuki chombezana kwa maneno matamu ya mapenzi nikijitahidi kufurahisha msichana yule mrembo.
Tulifika kwenye nyumba ya kifahari ambapo geti lili funguliwa na masai huku akimtania Shalha kwa kumuambia ame leta shemeji nyumbani
Tuli paki gari na kushuka tuki kutana na bustani nzuri ya kisasa yenye maua ya rangi mbalimbali pembeni kukiwa na swimmning pool na sehemu ya kivuli ya kupumzikia iliyo tengenezwa vizuri
Kisha tukaingia ndani ya jumba kubwa la kifahari ambapo katika sebule nzuri ya kisasa tuli mkuta msichana mmoja mzuri sana ame kaa kwenye kochi akichati kwenye simu yake aliye tambulishwa kwangu kama mfanya kazi wa ndani wa nyumba ile , kweli nilishangaa msichana mzuri kama yule aajiriwe kufanya kazi za ndani ukizingatia na kabukta kafupi na kakubana alicho kuwa amevaa na umbo lake matata basi nilijikuta namtumbulia macho kwa uchu mpaka Shahla aliniona na kuniambia
"mpenzi vipi mbona una mtazama shemeji yako hivyo , na wewe Caty nenda kavae vizuri hujui huyu mwanaume" alimwambia msichana yule aliye toka na kutuacha tunaangaliana pale sebuleni
"muone kazi kutoa toa macho tu niangalie mimi"aliniambia Shalha na kuanza kunitingishia kalio lake la wastani lakini naye alijaliwa umbo zuri na kwa kuwa alikuwa ame vaa suruali ya kubana niliweza kuliona vizuri..
"na wewe wacha wivu bhana mi naku penda wewe yule nime mwangalia maana macho hayana pazia "nilimwambia wote tukacheka akanishika mkono tukaingia chumbani.
Ambako tulianza vimichezo vya kimahaba mara kutupiana mto mara kutekenyana kweli nikaona tofauti ya penzi la mbongo na mzungu , naam nasema mzungu maana msichana yule muda mwingi katika maisha yake aliishi uzunguni, tilifurahi wote na kupunguza mawazo kichwani huku nikipata nafasi ya kuzi chezea na kushika nywele na ngozi laini ya msichana yule
Michezo ile ili endelea mara tukajikuta hisia za mapenzi zime tupanda tukavamiana na kuanza kuvuana nguo kwa pupa na kubaki na nguo za ndani tu
Tulianza kunyonyana ndimi kwa ufundi na madoido ya kizungu kutoka kwa msichana yule tukaanza kunyonyana sehemu mbali mbali za miili yetu nikivamia matiti ya Zai na kuanza kuyanyonya kiufundi huku naye akiji zungusha pale kitandani na kulala mika utamu , nikaamia kitovuni napo nikapitisha ulimi na kuanza kulamba taratibu na kupumulia hapo kwa ufundi nikatoa ulimi tena na kuanza kumramba kuanzia kifuani nikishuka mpaka kitovu
yeah!!!!!!! opsssss!!!!!!there!!!!!!oshhhh!!!!! ilove !!!yiu!!!! babe!!!!
Ni sauti za utamu alizotoa shalha huku nikiburudika kuishika shika ngozi yake nyeupe yenye vinyweleo vidogo laini nilimvua chupi yake na kulishuhudia tunda lake safi lililokuwa na vinyweleo kiasi na laini likiwa tayari lime lowa ambapo nilianza kulinyonya kama pipi nikaongeza kelele za msichana yule wa kihindi , ikafika wakati akaanza kuipapasa mashine yangu akiomba nimuingilie ..
Niliishika mashine yangu na kuiingiza ndani ya tunda la Shalha lakini iligoma kabisa kuingia , yaani hata kichwa kilikataa...
"imegoma tena"
Usikose sehemu inayo fuata..
Jumamosi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: