Home → simulizi
→ [10/3, 04:22] +255 714 435 449: No 07
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA.. wakati suzana anamalizia kujibu sms yamwisho na mlango ukafunguliwa, akaingia Sophia akiwa ameongozana na wanaume wawili, "hooo! karibu mwaya, naona umewai" aliwakaribisha Suzana "weee! mbele ya mawe, ebu! tufanye yetu kabla muda haujaenda, siunajuwa leo weekend inaendelea" baada yakusalimiana, bila kusaahau kuwakagua sehemu zao za mbele za suluali Suzana akatafuta account moja kwenye kwenye computer, niile aliyo kuwa ameiandaa na kuanza taratibu za kuamishia fedha, ENDELEA......
Huku nako, Edgar baada ya kulala sana, akaamka saa nne, nakujiandaa kisha akaelekea chuoni, ambako alikaa kwamuda, huku akijaribu kuwaza namna yakupata fedha, zitakazo mfanya aweze kutumia kwa kula, pamoja na kupata japo mwanamke mmoja, wakumpunguzia hamu, akiwa amekaa ndani ya darasa moja peke yake, akiwaza ili nalile ikiwa pamoja nakusubiri simu, toka kwa dada yake aliekuwa amemtumia ujumbe wa, tafadhari nipigie kwa dada yake mkubwa, akiamini kuwa kutokana na shemeji yake, kuwa nakazi nzuri, angeweza kumsaidia fedha kidogo za matumizi, zitakazo msaidia kwenye mipango yake, japo alihiifahamu vyema tabia ya dada zake, yakutokusaidia wazazi wala yeye mwenyewe, ila alijipa moyo, kuwa kwasababu kwa sasa anasoma mbali, nakilakitu kinitaji fedha, ange msaidia "mambo anko?, zatoka jana" alistushwa na sauti yakike, sauti iliyo mfanya ageuke nakumtazama muongeaji, naam alikuwa ni mschana mrembo kiasi, alievalia kinguo cha kubana kwelikweli wenyewe wanaita tait, iliyoishia kwenye magoti nakuonyesha jinsi alivyo jaliwa kuwa nakaumbo potabo, juu alivalia tishert lililo ishia kwenye mapaja, nakumfanya apendeze kidogo, bint huyu hakuwa mgeni machoni mwake, ni binti mmoja kati ya wale wawili, ambao walikuwa wakitazama video yangono jana usiku, akiwa amenyoosha mkono kwa Edgar, akiitaji wasalimiane kwa kushikana mikono, naye akampa wakwake "poa tu!" alijibu kwa kifupi Edgar "naitwa Nancy nipo mwaka wapili, mwenzangu unaitwa nani?" alijitambulisha yule mwanamke “naitwa Edgar nipo mwaka watatu" kiukweli Edgar aliweza kumtazama vizuri binti huyu, ni mrembo mwenye kuvutia nakutamanisha “Edgar unaonekana ni mgeni hapa chuo?” aliuliza yule binti Nancy, huku usowake umepambwa kwa tabasamu laini, “yah! Nina week moja tu hapa” hapo Edgar alishuudia tabasamu likizidi kuchanua usoni kwa Nancy "ok! me nipo singo, kama hutojari unaweza kunitowa dinner, kabla ya darasa la usiku, ilituongee zaidi" alisema Nancy na kuondoka zake akimwacha Edgar ana msindikiza kwa macho, “mh dinner? Mimi mwenyewe dinner” alijisemea Edgar, licha yakuwa kweli alikuwa anaitaji sana mwanamke, hapo Edgar hakuchukuwa muda mrefu akaamua akatafute sehemu ambayo anaweza kupata chai, maana njaa ilianza kushambulia, akiwa njiani aliwaza nivipi amnge weza kutoka na yule binti, maana ana wajuwa waschana wa chuo, kwa siku chache, alizokaa hapa chuo, aliona jinsi wanavyo penda kula vinono sasa bajeti yake yeye buku mbili jero itawezekana vipi, wakati akiwaza hayo akasikia simu yake ikiita alipo itazama alikuwa ni dada yeke,***** Wakati huo suzana naye alikuwa amesha maliza kufanya mchongo wake na wakina Sophia, wakagawana chao, kila mmoja yeye na Sophia, akiondoka na million kumi, kasha wakaagana na kilammoja akashika njia yake, Suzan aliaga, ofisini kuwa anaenda kumwona mgonjwa, hospital ya Tumbi kibaha, kisha akatoka nakuelekea kwenye maegesho ya magari, ya wafanyakzi wabenk, akiwa anatembea nje ya jingo la bank, pembezoni mwa mauwa yaliyo pandwa kwa lengo la kupendezesha eneo lile, mala akamwona mjusi, kiukweli Suzan ni mwoga sana wa wadudu kama hawa, alijikuta akijaribu kuruka kwa uoga, kiasi cha kuji stua mguu, kitendo kilicho sababisha, hashindwe kukanyaga vizuri, nakuyumbakidogo na kujigonga, kwenye nguzo moja ya maegesho yamagari, kitendo hicho kili mfanya ajisikie maumivu kwenye paja alilo jigonga kwenye nguzo, na sehemu ya kisigino, iliyo stuka mwanzo, basi akajikongoja mpaka kwenye gari lake, nakuingia ndani, safari ikaanza, huku maumivu akiendelea kuya sikia,****
Hukunako baada ya kuiona kuwa dada yake anapiga simu, Edgar akasogea pembeni ya barabara nakuipokea simu "shikamoo dada" alisalimia baada tu! yakupokea "ebu! ongea haraka unanimalizia vocha" alijibiwa kwasauti yaukari na dada yake "mh! dada lakini ata salamu hutaki" alisema Edgar lakini dada yake akaja juu “salamu kitugani, huna lolote zaidi yakutaka kuomba ela, ungekuwa na heshima husinge fukuzwa upadre" hapo simu ikakatwa, Edgar aliuzunika sana, moyo ulimuuma, nusu atowe machozi kwa uchungu lakini akajikaza kiume, ***** wakati huo huo Suzana naye ndiyo alikuwa anaingia kibamba, akitokea mbezi, lakini licha yakuwa na vimaumivu kwenye kisigino, na pajani, bado nia yakeilikuwa ni kumfanyia mzee Mashaka utundu , ambao utamfanya ape dudu kiuakika, pia njiani aliendelea nakamchezo kake, kakutazama nyeti za wanaume, kama zimetuna, kamaalivyoona kwa mpangaji wake, lakini hakufanikiwa, “au kunakitu anaficha yule” swali la kijinga, hapo Suzan alijicheka kidogo, wakati anakatisha njia ya kuelekea magengeni, akamwona kijana mpangaji wake Edgar akiwa mwenye mawazo mengi anakuja upande wake, moyo ulimlipuka, wakati huo nayeye alisha fikia karibu na bucha la nyama yang'ombe, kwa Ras, nisikuchoshe kwa hadithindefu, tuonane jioni, ilikujuwa kilicho endelea, maana Suzan amepania kuliamsha dude la mzee Mashaka, je ataweza na vipi kuhusu Edgar,
[10/3, 04:23] +255 714 435 449: ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA akamwona kijana mpangaji wake Edgar, akiwa mwenye mawazo mengi, anakuja upande wake, moyo ulimlipuka, wakati huo nayeye alisha fikia karibu na bucha la nyama yang'ombe, kwenye bucha la Ras SASA ENDELEA…nakusimama pembeni yake, muuzabucha Ras alisha juwa tabia ya Suzana ya kununua maitaji akiwa ndani ya gari, alipo mwona akatoka buchani na kumfwata kwenye gari” ngapi leo dada yangu?” Ras aliuliza akionyesha kufahamiana na Suzan "naomba kilo mbili, steck" aliagiza nyama nyingi akiwa namaana kesho hasingeweza kutoka, akamkabidhi na fedha, baada ya hapo akamtazama tena Edgar sasa, aliwona akikoswakoswa na pikipiki (bodaboda) huku mnwndesha pikipiki akiachia tusi la nguoni, lililo muusisha mama yake Edgar moja kwamoja, japo pikipiki ile iliyo kuwa mwedo wakasi ilimfwata pembeni kabisa ya barabara, huku yule mwendesha pikipiki akimwachia Edgar tusi zito la nguoni, bado pikipiki ilikuwa ikija kwa kasi usawa wa gari lake, huku yule mwendesha pikipiki, akijaribu kushika brek, kujiokoa hasiligonge gari la Suzan, ambalolilikuwa limepaki pembeni kabisa ya barabara, nakufanya pikipiki isote nakwenda kusimama atua chache mbele ya gari lake, alafu yule mwendesha pikipiki akashuka akiwa amekunja sura kwahasira na kumfwata Suzana, "hivi we malaya unalingia hili gari lakuongwa, unapaki hovyo hovyo njiani " kauli hiyo ili muumiza sana Suzana, lakini hakuwa na lakufanya akabaki kimya, huku watu wengine, wakisogea nakuanza kumlaumu yule kijana kwa lugha chafu, aliyomtolea Suzan, naukizingatia yeye ndie alievunja sheria ya kuendesha mwendo wakasi, "hapana bwana, hawa wenyemagari wanatunyanyasa sana, alafu magari yenyewe, wanayapata baada yakugawa kum...." kauli hiyo hakuweza kuimalizia, kwani watu wote akiwepo Suzana, walishangaa kumwona yule kijana akiwa juu analea kama gunia lililo shushwa toka kwenye loli, nakjibwaga chini bwaa, Suzan alimwona yule mwendesha pikipiki, akijiinua araka nakumfwata mtu alie mpiga mtama, lakini kilamtu alishuhudia yule kijana mwendesha pikipiki akipokea ngumi nzito ikituwa kwenye shavu, kasha ziki fwatia nyingine sita mfululizo zilizo tuwa usoni,nakumfanya ayumbe na kujibwaga chini kama anaugua kifafa, hapo ndipo walipo weza kushuhudia, akikandamizwa na teke tumbo kama mtu anae kanyanga nnge au mende, kisha akafwatiwa na ngumi mfurulizo za usoni zisizo na idadi, zilizo zidi kuuchafua uso wa kijana yule mkosa heshima, zilizo sababisha damu isambae usoni kwa yule mwendesha pikipiki, hakuna alie amulia zaidi watu walishangilia, mpigaji alipo lizika akamuacha nakuondoka zake, wakati anaondoka ndipo Suzana alipo gutuka na kutaka kumwita, maana alisha mjuwa kuwa ni mpangaji wake mpya, na kitu kilicho mchanganya Zaidi, niuwezo wakijana yule, hakuamini kijana yule mpole anaweza kumfumua yule mwendesha pikipiki namna hile, hakuwa na lakufanya, akamsindikiza kwa macho mpaka alipo potea machoni kwake, akirudi alikotokea upande wa chuoni kwao, hapo Suzana akanunua maitaji yake, huku akisikia jinsi watu pale wakimsifia yule kijana kwakumshikisha adabu, mwendesha pikipiki mjinga, nakabla hajaondoka alishuhudia polisi wakifika pale na kumchukuwa yule kijana, ni baada yakuhoji kilicho tokea, muda mfupi baadae Suzana alikuwa amesha fika nyumbani kwake, akabadirisha nguo zake, nakuvaa nguo nyepesi ambazo upenda kuvaa akiwa mwenyewe nyumbani, au anapokuwa na mpenzi wake mzee Mashaka, ni kigauni chepesi kifupi kinachoishia juu ya magoti, katikati ya mapaja, nakusababisha mapaja yake ma nene na makalio yake makubwa kuonekana vizuri, tena leo hakuvaa nguo za ndani, kuanzia sidilia mpaka chupi, kitu licho sababisha kila kitendo alicho fanya kiliutikisa mwili wote, kuanzia hips makalio na matiti yake makubwa, hapo akaingia jikoni , akanza kupika, ******saa sita kasolo mzee Mashaka alikuwa amesha malizana na mzee Haule, baada ya hapo akaelekea mbezi pale pale full dose, nia ikiwa moja tu! kwenda kumtafuta yule binti alie mnyonya dudu jana usiku, alifika full dose nakukaa kwenye meza moja iliyo jificha, akaagiza bia, baada yakunywa bia mbili, akampigia simu yule binti ambae alimsevu kwajina la WAJANA, alipata hewani na wakakubaliana aje mala moja pale full dose, haikuchukuwa mda mrefu bint wa jana alikuwa amesha wasili, kwanza aliingia kwambwembwe, alimpiga busu lamdomo, mzee Mshaka baadaya hapo, akakaa nakuagiza bia huku akiagiza aitiwe mtu wa jikoni, baada ya muda mfupi bia ilikuwa imesha letwa na muuza chips alisha agizwa, walitumia saa limoja, kabla mzee Mashaka ajarudisha mawazo kwa Suzana, akijiuliza kwamba atakuwa na shidagani, hakuwaza juu ya ngono, maana haikuwai kutokea Suzana akadai dudu ata sikumoja, mawazo hayo alikuwa akiyawaza toka anatoka nyumbani, hivyo alishajiandaa kwalolote, ikiwa ni kubeba kiasi cha shilingi milioni saba, akijuwa pengine Suzana alikuwa nashida ya fedha, waliendelea kupiga pombe, muda wote binti huyu Wajana, aliakikisha anaegesha mkono wake juu ya mapaja ya mzee Mashaka, nakuchezea dudu ikiwa ndani ya suluali, ilikuakikisha ina simama, nakweli akaishuhudia ikisimama, hapo kazi ikamwa moja tu! kuzidi kumkoleza na kuakikisha mambo hayaharibiki kama jana, walikaa hapo kwamuda mrefu wakinywa pombe, ndipo mzee Mashaka alipo pokea sms toka kwa Suzana akimkumbusha kuwa anamwitaji mchana ule, hapo mzee Mashaka akamwambia binti Wajana, amsindikize mala moja kibamba kunamtu anataka akamwone, safari ikaanza, nusu saa baadae nissan safari lilikuwa limesha simama nje ya nyumba ya Suzana mahips namzee Mashaka yupo ndani ya nyumba hiyo, ni baada ya kumwacha binti wajana kwenye bar moja ya jilani, akimwambia amsubiri kidogo, huku ndani ya nyumba ya Suzana, suzana alikuwa amejilaza kwenye kochi huku kiguochake kifupi kikihacha wazi sehemu kubwa ya mapaja ya Suzana, ni baada yakumaliza kupika, na kuandaa chakula mezani, tayari kula na mzee mashaka, lakini mambo hayakuwa mazuri, licha ya Suzana kuonyesha dalilizote zakuitaji dudu, lakini mzee Mashaka hakuwaonyesha kuitaji kitumbua kwa muda huo, huku akijifanya ana araka sana, alimsogelea Suzana ambae alikuwa amelala juu ya kochi huku kile kinguo chake cha mtego, kikihacha mautamu njenje, “niambie mama, una shida gani?” aliuliza mzee Mashaka, akiwa bado amesimama, karibu na kochi alilo lala Suzana, “baba si ukae kwanza baba” aliongea Suzana, akimshika suluali mzee Mashaka na kumvutia kwake, “hapana mama, hujuwe nime mwacha mzee Haule ananisubiri, wacha nikamalizane nae,” aliongea mzee Mashaka, huku akijitoa kwa Suzana, kasha akafungua mkoba wake wa mkononi, (begi) akatowa maburungutu saba ya noti za elfu kumi kumi, nakuweka kwenye meza, kisha akamwambia Suzana "najuwa hauna tabia yakuniomba fedha, atakama unashida, ebu chukuwa hii itakusaidia, mimi nawai maana mzee Haule ananingoja" aliongea mzee Mashaka huku akijiandaa kuondoka "asante baby" aliitikia Suzana akijifanya kutabasamu, wakati moyoni alichukia sana, hapo Suzana aliinuka na kusindikiza mzee wake ambapo aliishia mlangoni akimsindikiza kwa macho, mpaka mzee Mashaka alipoondoka na gari lake, suzana akarudi kwenye kochi na kujilaza, huku roho ikimuuma sana, lakini dakika chache baadae akasikia hodi, mlango uligongwa na sauti ya kiume ikiita, “hoodiii” akaisikiliza kwa makini ikaita tena akaigunduwa kuwa ni ya Edgar, mpangaji wake mpya, akainuka araka nakuufwata mlango nakuufungua, nikweli alikuwa Edgar, licha ya kuonyesha kuwa kijana huyu alikuwa amechoka na uo husio na Amani, lakini alipo shusha machoyake chini kwenye suluali yajinsi usawa wa zip, suzan alishuhudia, alama ya mtuno ikionyesha sehemu ambayo dudu imelala, hapo Suzana alijikuta akiuma midomo ya chini, “karibu ndani, nani vileeee”..
HAYA SASA NINI KITATOKE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: