Home → simulizi
→ [10/3, 04:17] +255 714 435 449: NO 5:
ILPO ISHIA...... alichokiona kilimfanya asisimkwe na mwili kama mjamzito kaona embe bichi, aliiona dudu ya Edgar ikikuwa imesimama kiasi cha kuinua kabisa bukta aliyokuwa ameivaa, utazana mshika kibendela anaonyesha off side "mh! Samahani… kwa ..a..kuku amsha..maana" aliongea Suzana akiinua usowake nakutazama kifua cha Edgar, kisha usoni kwamalanyingine macho yao yana gongana wana chekeana "husijari mama, nimimi mwenyewe, ndiyo nimechelewa kuamka" ENDELEA ........
Maneno hayo ya Edgar hayakusikika masikioni kwa Suzana maana mawazo yake yalikuwa kwenye dudu "HOOO! Nilikuwaaa.. nataka nikujulishe kuwa, natokakidogo naelekea kazini, tutaongea nikirudi" alisema Suzana, huku akiya kwepesha macho yake, yasikutane tena na macho ya Edgar, piaalijitaidi ku kwepa hasi tazame tena kwenye bukta ya huyu mpangaji wake mpya, “sawa mama, nitakuona baadae” hapo Suzana alijichekesha kidogo, akageuka nakuondoka zake, kuelekea alipo acha gari lake toyota la 4, akaingia nakuliwasha, kisha akashuka nakwenda kufungua geti, wakati anafungua geti, ilimlazimu kuinama ilikutowa lock za chini zageti hilo, sasa kitendo hicho chakuinama, kilisababisha makalio yake kuonekana vyema zaidi ndani ya suruali yake ya kitambaa chepesi, pia hips zilitanuka zaidi huku kishati chake, kikipanda kwajuu na kusababisha sehemu ndogo ya kimkanda cha chupi kuonekana, ikifwatia na mfreji uliogawa makalio yake makubwa, kuonekana kidogo, hapo ndani ya bukta ya kijana huyu kulitibuka Zaidi, alipo maliza Suzana aliingia kwenye gari, nakulitoa nje, akashuka tena kwaajili yakwenda kurudisha geti, lakini akamwona tayari Edgar amesogea, nakumsaidia kufunga geti, kitu ambacho Suzana hakukitegemea, akajikuta amesha peleka macho yake kwenye bukta ya Edgar, nakutazama tena dudu ya kijana huyu, ambayo bado ilikuwa imetuna nakusimama aswaaa! "hoooo! asante sana Eddy, ok baadae" aliingia kwenye gari lake na kuondoka zake, huku Edgar akirudi ndani, wakati ana katiza kuelekea kwake akapishana na dada mmoja ambae ni mke wa mpangaji mwenzie "shikamoo dada" Edgar alisalimia kwa heshima, ndivyo alivyo zowea, "hoo!..mambo Eddy, naona jana umechelewa kurudi hen?" aliongea yule dada, huku macho yakiibia kutazama bukta ya Edgar, dada huyu licha ya kumzidi umri Edgar, lakini mwonekano wake ulivutia, na angetosha kabisa kupeana dudu na kijana huyu, ambae kiasi kikubwa cha mawazo yake, kilitawaliwa na kutamani kamchezo hako, "nikweli nilichelewa uwa nabaki chuo kujisomea" alisema Edgar, kabla hajaendelea yule dada “naona ulikuwa unaongea na mama mwenye nyumba” na sasa walikuwa wamesimama kabisa wakiongea ili nalile, lakini Edgar aka gundua kuwa macho ya yule dada, mke wa mpangaji mwenzie, ya naangalia sana sehemu ya mbele ya bukta yake, hapo ndipo alipo stuka na kujiangalia, du! hapo moja kwamoja akaondoka nakuingia chumbani akimwacha yule dada akicheka, moja kwamoja Edgar akaingia bafuni nakuoga, kabla ya kujilaza tena kitandani, maana ilimlazimu kupoteza muda kwalengo la kubana matumizi, akiamka saa tano aende kwa mama ntilie, akapate chai na chapati mbili kwa mia nane, kisha asubili mpaka saa kumi nambili, ndipo ale chips kavu pengine na soda ndogo ya jero, hapo angekuwa ametumia elfu mbili mia tatu siku ingekuwa imepita, wakati akiwa hapo kitandani, akapata wazo, akachukua simu yake, na kukagua kitabu cha majina, mpaka alipo pata jina la dada Selina, huyu ni dada yake wapili kuzaliwa, kwakutumia salio lake dogo alilokuwanalo, kwenye simu yake, akaipiga ilenamba, ya dada yake, baada ya kuita kidogo ikapokelewa , “unasemaje, ?” kauli yakwanza kabisa ya dada yake Edgar, iliyo onyesha ukali wawazi kabisa, baada tu, yakupokea simu, lengo lilikuwa ni kumwomba fedha kidogo, “shikamoo dada” alisalimia Edgar ilikumtuliza dada yake, lakini haikusaidia kitu, dada akaja juu, “weee! Ebu sema shida yako ninakazi zangu hapa” hapo Edgar akapatwa na kigugumizi, na kabala ajasema shida yake , akasikia kiashilio cha simu yake kukatika, akajaribu kuipiga tena, ikasikika sauti ikimwambia, hakuwa nasalio lakutosha kupiga simu, hapo akatafuta namba ya dada yake mkbwa , nakutuma ujumbe wa tafadhari nipigie,**** baada ya kutoka nyumbani, Suzana mahips alielekea mbezi, ambako zipo ofisi zao za tawi la Benk ya wananchi ubungo, njiani alifanya zoezi lakuangalia sehemu za mbele za suluali za wanaume, lakini hakuona anacho taka kukiona, alitalajia kuona dudu ikiwa ime tuna kama ya Edgar, hakuchelewa kufika, alipo fika alitoa taarifa ya udhulu, kwamba baadae ataenda kumwangalia mgonjwa tumbi hospitali, baada ya kuingia ofisini, kitu cha kwanza aliongea na Sophia, ambae alimwambia kuwa yupo njiani anakuja na watu wake, baada ya hapo alikaa ofisini, nakuanza kufungua account feck, baada ya kumaliza , akaaakimsubiri Sophia na watu wake, hakukaa hivi hivi, muda wote ofisini aliendelea na kazi zake kama afanyavyo siku zote, lakini hakuhacha kumtazama kila mwanaume alie ingia ofisini kwake iwe mteja au mfanya kazi mwenzie, lakini hakufanikiwa kuona mwenye dudu iliyo tuna, japo hakujuwa sababu ya yeye kufanya vile, lakini alijisikia tu! kufanya hivyo, huku hamu ya kupata dudu tamu, iki zidi kumkamata alihisi taratibu kitumbua chake kina anza kutekenya akatamani apeleke mkono ili jichezee kikunde chake lakini akashindwa kutokana na camera za ulinzi zilizotegwa kila kona pale bank akajikuta amechukuwa simu nakuandika sms nakuituma sehemu NISIKUCHOSHE MDAU TUONANANE SAA SITA KUISOMA SEHEMU YA SITA weunazani Suzana anamtumia nani sms, je atafanikiwa kukamata mkwanja,
[10/3, 04:20] +255 714 435 449: ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO alihisi taratibu kitumbua chake kina anza kutekenya akatamani apeleke mkono ili jichezee kikunde chake lakini akashindwa kutokana na camera za ulinzi zilizotegwa kila kona pale bank akajikuta amechukuwa simu nakuandika sms nakuituma sehemu ENDELEA…
Mzee Mashaka ndiyo kwanza alikuwa ametoka kuamka, kichwa chake kilikuwa kizito sana,kutokana na pombe, alizokunywa jana usiku, maana ile jana alipo toka nyumbani kwa Suzana, alielekea moja kwamoja Full dose pub, ambapo alilkuwa anamihadi na rafiki yake mzee Haule, kwaajiri ya biashara, usiku ule kabala ya kwenda nyumbani, alifika pale Full dose nakuku tana na mzee Haule, ambae alitkea Songea kwaajili ya mambo ya kibihashara, aliongea sana na mzee huyu, wakakubariana kukutana kesho yake, kwaajiri ya kukabidhiana mzigo ambao ungesafilishwa jumapili, kwenda songea ambapo ofisi za mzee Haule zipo, baada ya hapo wakaendelea kukata maji, wakati wanaendelea kupiga mtungi mzee Mashaka akamwona binti mmoja mrembo sana, alievalia ki gauni kifupi sana, kilisho hacha sehemu kubwa ya utamu , ukiwa wazi asa pale counter alipo kaa juu ya sturi ndefu nakuchanua miguu yake, akiwa na wenzie wawili, nao walikuwa, wamevaa, kama mwnzao, wote walikuwa wakinywa pombe, pale pale mzee Mashaka, akamtamani, nakuanza taratibu za kuongea nae, mwisho wakajikuta wapo meza moja, wakaendelea kunywa pombe mpaka saa saba usiku, ndipo mzee Mashaka akachukuwa jukumu la kumpeleka yule binti nyumbani kwake, kwakutumia usafiri wake NISSAN SAFARI, nikaribu na maeneo hayo ya bar, huku mzee Haule akimchukua binti mmoja kati ya wale wawili waliobakia, na yule mwingine alipotelea mulemule bar, baada yakunywa sana pombe, ndani ya nissan safari mzee Mashaka na yule binti, hawakwenda mbali nikama mita miatatu toka pale bar, kisha yule binti akamwabia mzee mashaka "baby simama hapo hapo" mzee Mashaka akasimamisha gari "vipi tumesha fika?" aliuliza mzee Mashaka kwa sauti ya kilevi "hapana baby, guest ilepale unaipiata, mimi nyumbani na kaa na dada yangu, hatuwezi kulala wote" alijibu yule mwanamke kwa sauti yakilevi, akimaanisha waende guest akampe mambo "hapana mrembo, leo sijisikii vizuri, nazani kesho tutakuwa namuda mzuri wakuenjoy, nilikuwa nakupeleka nyumbani tu!" aliongea mzee mashaka, lakini akashangaa kuona yule binti anamfungua mkanada wa suluwali, "hapana bwana, kesho ni kesho na leo ni leo" mzee Mashaka kabla haja mzuwia, alishangaa kuona yule binti akimalizia kumfungua zipu, na kuingiza mkono ndani ya boxer, nakuitoa dudu yake, kisha akaidumbukiza mdomoni, nakuanza kuinyonya. kilikuwa ni kitendo mabacho mzee Mashaka hakukitengemea, nakutokana nakuwa, alitokakufanya mapenzi mda mfupi uliopita, alijikuta hakishindwa kusimamamisha dudu, ilikufurahia tendo lile, licha ya binti yule kuangaika kwa muda wa nusu saa, akitumia mbinu za kikahaba, akijaribu kuamasha dude, lakini wapi, ndipo yule binti akamwelekeza mzee Mashaka anapo kaa, ikiwa nipamoja nakumpatia namba za simu kisha yule binti akaondoka zake, wakipeana mihadi kwamba, kesho mapema waliamshe dude, mzee Mashaka akaanza safari yakurudi nyumbani kwake, mbezi msakuzi ambapo alifika saa nane usiku, akajitupa kitandani nakupitiwa na usingizi, akaanza kukoroma akimwacha mkewake akikunja sura kwa hasira, mpaka asubuhi alipo amka nakuingia bafuni, kisha kukaa mezani kwaajili ya soup, vitendo vyake mkewe alisha vizowea, maana walisha gombana sana, siku za nyuma ikafikia kipindi akaamua kukaa kimya, japo mala chache alinusulika kuingia majaribuni, maana alikuwa anaweza kukaa ata miezi minne, haja lionja dudu, masikini mama wawatu bado alikuwa anavutia sana, kutokana na umbo lake zuri nasura, pia alikuwa anajipenda nakutunza urembo wake kwa ghalama kubwa, wakati Mzee Mashaka akiwa mezani anafakamia soup ya ngombe, kukata mning’nio, vijana wana ita lock, mala ikaingia sms kwenye simu yake, akaiangalia jina la mtumaji ni Suzana, akaifungua nakuisoma "shikamoo, vipi ulifika salama?" naye akajibu “malahaba mpenzi wangu, nashukulu nilifika salama” Suzan baada ya kuisoma naye akatuma nyingine “vipi bado hupo nyumbani” mzee mashaka akaisoma nakujibu "nipo home napata soup karibu" akaisend na kusubiri jibu, "kwahiyo hupo karibu na mama?" "hapana nipo mwenyewe, vipi kuna inshu?" "ndiyo kama unaweza kuja kwangu leo" “poa husijari nitakuja mchana" "poa nakusubiri kwa hamu" ***** wakati suzana anamalizia kujibu sms yamwisho na mlango ukafunguliwa, akaingia Sophia akiwa ameongozana na wanaume wawili, "hooo! karibu mwaya, naona umewai" aliwakaribisha Suzana "weee! mbele ya mawe, ebu! tufanye yetu kabla muda haujaenda, siunajuwa leo weekend inaendelea" baada yakusalimiana, bila kusaahau kuwakagua sehemu zao za mbele za suluali Suzana aka tafuta account moja kwenye kwenye computer,niile aliyo kuwa ameiandaa na kuanza taratibu za kuamisha fedha, JE? SUZANA ATA KATWA KIU YAKE NA MZEE MASHAKA, VIPI KIJANA EDGAR, ATAFANIKIWA KUPATA PESA KWA DADA YAKE MKUBWA,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: