Ndele  Hii ni dawa Kali sana inatumika kwenye mapenzi biashara mvuto wa upendo  kupendwa nk bila shaka umesikia ndele ndele ili ni jina la kitanga mara nyingi wao utengeneza mafuta au tunguri  ila hii ni powder nzuri Sana Kwa kuoga kuchoma kupuliza Inafanya kazi zote za mivuto  Ukitaka mtu akupende Chukua unga unga huu weka kwenye mkono wako wa kushoto nuia lamba kidogo puliza Kisha piga makofi mara tatu Biashara. Puliza oga pakaa kwenye mafuta Mapenzi  Dawa hii unaweza kumlisha umpendaye Kwa manuizi ya unayotaka Toka kwake  choma na chumvi mawe Kwa manuizi utakayo  Lakini dawa hii unaweza kutega njia anayopenda kupita uyo mtu utamshika kimapenzi hii ndio ndele na miujiza yake 0785158385

Ndele Hii ni dawa Kali sana inatumika kwenye mapenzi biashara mvuto wa upendo kupendwa nk bila shaka umesikia ndele ndele ili ni jina la kitanga mara nyingi wao utengeneza mafuta au tunguri ila hii ni powder nzuri Sana Kwa kuoga kuchoma kupuliza Inafanya kazi zote za mivuto Ukitaka mtu akupende Chukua unga unga huu weka kwenye mkono wako wa kushoto nuia lamba kidogo puliza Kisha piga makofi mara tatu Biashara. Puliza oga pakaa kwenye mafuta Mapenzi Dawa hii unaweza kumlisha umpendaye Kwa manuizi ya unayotaka Toka kwake choma na chumvi mawe Kwa manuizi utakayo Lakini dawa hii unaweza kutega njia anayopenda kupita uyo mtu utamshika kimapenzi hii ndio ndele na miujiza yake 0785158385

🌐DOCTOR BINGWA WA TIBA ZA ASILIA HAYMAR     PIGA & WhatsApp+255785158385Je? nyota zako za kufanikiwa zimefungwa? Yaani kila unachokifanya hakifanikiwi? Unafanya kazi / Biashara na unapata pesa lakini hazikai? Yaani zinaisha tu bila kujua sababu? Mpigie kwa matibabu zaidi 👇Nafungua nyota zako za kufanikiwa zilizofungwa kichawi na kukufanya usifanikiwe katika maisha yako, Kukuwezesha UTAJIRI inayoendana na NYOTA ZAKO, Mazindiko ya nyumba, shamba,gari,pesa mifugo duka nk+255785158385👇 JE  Unamdai mtu PESA ZAKO / HAKI ZAKO LAKINI HATAKI KUKULIPA? jE Umeibiwa, Kudhulumiwa au Kutapeliwa mali yako yoyote? Je Umepotelewa na PESA, GARI, PIKIPIKI, MIFUGO, AU UMEVUNJIWA NYUMBA AU DUKA LAKO NA KUIBIWA? 👉USIHOFU NIPIGIE HARAKA NIKUSAIDIE UWEZE KUPATA MALI YAKO, HATA KAMA UMEIBIWA MUDA MREFU ZITARUDI NA WALE WOTE WALIOKUIBIA WATAJULIKANA, HUWA NATUMA NYUKI KWA MTU YOYOTE ALIYE IBA pANDISHWA CHEO KAZINI NDANI YA SIKU 3 HADI 7 KULUDISHWA KAZINI NDANI YA SIKU 3 KWAALIE SIMAMISHWA KAZI AU KUFUKUZWA KAZI KUSHINDA KESI YOYOTE WASILIANA NA DR  HAYMAR TATIZO LAKO LITAISHA+255785158385Mvuto wa mapenzi, Kumrudisha Mpenzi, Mke au Mme wako aliyekuacha ndani ya muda mfupi na kumfanya atulie na akutimizie kila unachokitaka, Kumpata mpenzi wako unayemtaka, Kumtuliza aliye mkorofi ndani ya ndoa / Mahusiano.👇Nawezesha kushinda bahati nasibu yoyote unayoshiriki, Kushinda shindano lolote, Kupata madini kwa wachimbaji migodini kwa haraka.PATA MALI AU UTAJILI USIO NAKAFARA WALA MASHRITI YOYOTE KUTOKA KWADAKTAR MZee au kijana Dr HAYMAR Mtabibu ASILIA                    Whatsapp                        Au call 0785158385Mzee kijana Dr HAYMAR-TibaAsiliaPata tiba mujarabuAsili tibaKiwanja Cha tibaPigo la MajiniTiba ASILIARuqiya ya kisheriaTiba mujarabuIzo nikundi zawateja wangu popote utaisikia uangalie number +255785158385 Dr HAYMAR MTABIBU ASILIA Fahamu vema:maswala ya ndagu au pesa za kijini paje MTU mkamilifu ameeamua sio KUJA MTU WA kujalibu

🌐DOCTOR BINGWA WA TIBA ZA ASILIA HAYMAR PIGA & WhatsApp+255785158385Je? nyota zako za kufanikiwa zimefungwa? Yaani kila unachokifanya hakifanikiwi? Unafanya kazi / Biashara na unapata pesa lakini hazikai? Yaani zinaisha tu bila kujua sababu? Mpigie kwa matibabu zaidi 👇Nafungua nyota zako za kufanikiwa zilizofungwa kichawi na kukufanya usifanikiwe katika maisha yako, Kukuwezesha UTAJIRI inayoendana na NYOTA ZAKO, Mazindiko ya nyumba, shamba,gari,pesa mifugo duka nk+255785158385👇 JE Unamdai mtu PESA ZAKO / HAKI ZAKO LAKINI HATAKI KUKULIPA? jE Umeibiwa, Kudhulumiwa au Kutapeliwa mali yako yoyote? Je Umepotelewa na PESA, GARI, PIKIPIKI, MIFUGO, AU UMEVUNJIWA NYUMBA AU DUKA LAKO NA KUIBIWA? 👉USIHOFU NIPIGIE HARAKA NIKUSAIDIE UWEZE KUPATA MALI YAKO, HATA KAMA UMEIBIWA MUDA MREFU ZITARUDI NA WALE WOTE WALIOKUIBIA WATAJULIKANA, HUWA NATUMA NYUKI KWA MTU YOYOTE ALIYE IBA pANDISHWA CHEO KAZINI NDANI YA SIKU 3 HADI 7 KULUDISHWA KAZINI NDANI YA SIKU 3 KWAALIE SIMAMISHWA KAZI AU KUFUKUZWA KAZI KUSHINDA KESI YOYOTE WASILIANA NA DR HAYMAR TATIZO LAKO LITAISHA+255785158385Mvuto wa mapenzi, Kumrudisha Mpenzi, Mke au Mme wako aliyekuacha ndani ya muda mfupi na kumfanya atulie na akutimizie kila unachokitaka, Kumpata mpenzi wako unayemtaka, Kumtuliza aliye mkorofi ndani ya ndoa / Mahusiano.👇Nawezesha kushinda bahati nasibu yoyote unayoshiriki, Kushinda shindano lolote, Kupata madini kwa wachimbaji migodini kwa haraka.PATA MALI AU UTAJILI USIO NAKAFARA WALA MASHRITI YOYOTE KUTOKA KWADAKTAR MZee au kijana Dr HAYMAR Mtabibu ASILIA Whatsapp Au call 0785158385Mzee kijana Dr HAYMAR-TibaAsiliaPata tiba mujarabuAsili tibaKiwanja Cha tibaPigo la MajiniTiba ASILIARuqiya ya kisheriaTiba mujarabuIzo nikundi zawateja wangu popote utaisikia uangalie number +255785158385 Dr HAYMAR MTABIBU ASILIA Fahamu vema:maswala ya ndagu au pesa za kijini paje MTU mkamilifu ameeamua sio KUJA MTU WA kujalibu

❤💢💞UNAYAJUA MATUMIZI YA PIPI KIFUA YA KUMDATISHA BABY DADY WAKO?????? 🍬🍬⏩Kama nilivyosema mapenzi ni sanaa shoga na ubunifu piaaa💞👌👌👌kupeana mautam ndio habari ya town ama neneee👌💢💢💞💞⏩ matumizi mengine ya pipi haswa hizi za kifua, unaambiwa pipi za kifua🍬 bibi ni dawa ya mume ya kumpa raha, sasa wewe kujifanya pipi za watoto tu shoga yangu hapa mjini kuna habari mpya shoga ile pipi ni muhimu isikose nyumbani kwako. 👌⏩Ukiwa mwenye hamu kwamba unataka siku hiyo ukutane na mwenzio shoga nenda kaoge,💞🚿 jitawaze vizuri maana siunaelewa mwanamke unaringa nje 💞ukifunuliwa chini unanuka shombo kaa samaki.❤..hehe heiya ndio siye babu tulivyooumbwa na kujisafisha tunaweza..chezea siye👌👌👌habari ndio hiyoooo❤❤⏩Wakati unajiandaa, utaoga ujitawaze vizuri sana huko kwa bibi🚿 halafu ukishakuwa umejifuta unajiandaa sasa kwenda kitandani ili ukachume tunda chutama vizuri miguu ikiwa umeitanua tia ile pipi yako ya kifua ukeni ,🍬kaa muda kidogo kisha Mwite mzee akupe maraha tena ukimsihi kwa mahaba mpenzi leo huku bwana.💏.basi kijana wa watu huku anakupa maraha huku anapata raha yake ya mdomo kwa ule utamu wa pipi walahi atanyonya mpaka iishe basi wee mpaka amelize utamu wa pipi ushafika kileleni mara ngapi sijui..hehe heiyaEeenhee aka mwenzangu mapenzi kila mtu aone utamu 💞❤💢sio yeye anyonye tu huko, apige chafya ukimletea pumu mtoto wa watu inahusu👌, raha anyonye kusafi, kunanukia na kutamu.👌pia pipi kifua inatumika ktk kufanyia romance yaani imumunye mdomoni kisha ile hewa mpulizie ktk kitundu cha kukojolea weeeeeee kichina lazima kihusike sana hapo hayo ndio matumizi ya pipi kifua sio kula tu mpaka mapenzini ina kazi yake......NB PIPI INAWEKWA JUU JUU TU YA KUMA KAMA SWAGA FULANI HAIDUMBUKIZWI NDANI KABISA🍬🍬🍬🍬🍬🍬🍬🍬 KWENYE SEX SHURTI UWE MBUNIFU KWA MMEO👌🏾SIO KILA SIKU DIZAIN ILE ILE UTACHOKWA 👌🏾 PIPI KIFUA HIYO MWALI TUMIA KUMPAGAWISHA MMEO NA WEWE MWENYEWEPIPI KIFUWA UNAWEZA KUNYONYEA KIMSTARI KILE CHA PUMBU HATAR MWALI PIPI KIFUWA NYONYEA MBOO HATARI PIPI KIFUWA KULA NAE NDENDA HATARI KAMA MNATEMEANA PIPI KIFUWA NYONYEA MASIKIO VICHUCHUU VYAKE VIDOGO RAHAAAA ❤💢💞NI NZUR SANA MUME LAZIMA ASISIMKE NA ATAULIZA HIZI ULIKUWA WAPI CKU ZOTE USINIPE 👌🏾KILE KIMSTARI CHA PUMBU UKIMNYONYA IPASAVYO YAANI UMEMROGA HAJAWAHI NYONYWA IVYO ATAKAA KAZIN ANAKUWAZA WEWE TU 👌🏾 NUNUWA PIPI KIFUWA WEKA NDANI USIKOSE PIPI KLA CKU MBADILISHIE MAPIGO MZEE MKISHA KULA MPO WASAFI MTT UNANUKIA VIUDI AU VIPFYUM VYAKO CHUKUA PIPI WEKA MDOMON IMUNGUNYE KIDOGO NENDA KAMPE MZEE DENDA HUKU UNAMTEMEA PIPI MWEEE NI NZURI ZAID INARUDISHA UPENDO HATA ULOPOROMOKA

JINSI YA KUONGEZA SHAPE🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹UKITAKA SHEPU YAKO NA HIPSI NA MAKALIO IONEKANE ONDOA HILO TUMBO 😂 ANGALIA WAREMBO WOTE WENYE HIPSI NA MAKALIO HAWANA VITAMBI KWAHYO UNAPASWA UONDOE HAYO MAFUTA TUMBONI🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌲🌲🌲🌲🌲JINSI YA KUONGEZA SHAPE KWA NJIA ASILI💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮MAHITAJIMISKAMIRAUGORONDIZI MBIVUMAFUTA YA SAMAKI (OMEGA3VITAMIN EMATUMIZICHANGANYA VITU VYOTE KWA PAMOJA UKIHAKISHA IMECHANGANYIKA VIZURI OGA KISHA PAKAA MCHANGANYIKO WAKO VIZURI HUKU UKIJIMASAGE KWA DAKIKA3   THEN  OSHA BAADA YA NUSU SAA FANYA HIVI KWA SIKU 90 NA MATOKEO UTAYAPATA🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀JINC YA KUTOA KIGIMBI🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅TUMIA OLIVE OIL CHUPA YA SODAMAJI UVUGUJINC YA KUFANYAOSHA MIGUU YAKO KISHA PAKAA OLIVE OIL.CHUKUA CHUPA YAKO ANZA KUJICHUA TARATIBU KUTOKA JUU KUSHUKA CHINI FANYA HIVI KILA CKU NA UTALETA MREJESHO🍓UREMBO ASILIA NA MALIMBWATA🍓

JINSI YA KUONGEZA SHAPE🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹UKITAKA SHEPU YAKO NA HIPSI NA MAKALIO IONEKANE ONDOA HILO TUMBO 😂 ANGALIA WAREMBO WOTE WENYE HIPSI NA MAKALIO HAWANA VITAMBI KWAHYO UNAPASWA UONDOE HAYO MAFUTA TUMBONI🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌲🌲🌲🌲🌲JINSI YA KUONGEZA SHAPE KWA NJIA ASILI💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮💮MAHITAJIMISKAMIRAUGORONDIZI MBIVUMAFUTA YA SAMAKI (OMEGA3VITAMIN EMATUMIZICHANGANYA VITU VYOTE KWA PAMOJA UKIHAKISHA IMECHANGANYIKA VIZURI OGA KISHA PAKAA MCHANGANYIKO WAKO VIZURI HUKU UKIJIMASAGE KWA DAKIKA3 THEN OSHA BAADA YA NUSU SAA FANYA HIVI KWA SIKU 90 NA MATOKEO UTAYAPATA🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀JINC YA KUTOA KIGIMBI🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅TUMIA OLIVE OIL CHUPA YA SODAMAJI UVUGUJINC YA KUFANYAOSHA MIGUU YAKO KISHA PAKAA OLIVE OIL.CHUKUA CHUPA YAKO ANZA KUJICHUA TARATIBU KUTOKA JUU KUSHUKA CHINI FANYA HIVI KILA CKU NA UTALETA MREJESHO🍓UREMBO ASILIA NA MALIMBWATA🍓

MAFUTA YA PEPE NI DAWA KWA KILA UGONJWA ISIPOKUWA KIFO(0658247651 whsp)Hii ni orodha ya magonjwa 89 kwanzaInapotokea wafalme wa Misri, Malkia wa Ulaya, Mitume na wanasayansi wa kisasa wanakuja na kukubaliana katika jambo moja, ni mhimu kudadisi juu ya jambo hilo. Ingawa nyakati za sasa tunazungukwa na taarifa na elimu nyingi kuliko katika wakati mwingine wowote, bado tunahitaji kujifunza vitu kutokana na historia na maisha ya kale.Kutoka kwa baba wa sayansi ya matibabu katika nchi za magharibi Hippocrates kwenda mpaka kwa kiongozi wa mfumo wa mwisho wa kifarao Cleopatra hadi kwa mfalme Tut na jamii iliyofuata, kitu cha pekee ambacho walikuwa wakifanana viongozi hawa kwa pamoja ilikuwa ni thamani waliyoiona katika mtishamba fulani.Mtishamba au mmea huo ambao viongozi hao walikutana pamoja si mwingine bali ni  Pepe. Pepe ndilo jina linalotumika zaidi mashariki ya kati na huko ulaya hujulikana zaidi kama ‘black seeds’.0658247651 whsp)Kwahiyo niliamua kuchukua muda kusoma na kupeleleza zaidi kuhusu PEPE kwa ajili yangu mwenyewe na ya wasomaji wangu ili hatimaye niweze kukuletea mwanga kamili juu ya mengi yanayosemwa kuhusu mafuta ya PEPE.Unaweza kuwa umesikia majina tofauti tofauti ya PEpe kutegemea na sehemu gani ya dunia ulipo. Haya ni moja ya majina yake:*Kalonji Oil*Black Cumin Seed Oil*Nigella Seeds*Graine De Nigelle*Black Onion Seeds*SchwarzkummelMafuta ya PEPE yanatokana na mbegu za Pepe na mbegu hizi huwa ni nyeusi na ndiyo maana kwa kiingereza wanaita ‘black seed’. Kuna mashine nyingi za nyumbani unazoweza kutumia kutengeneza mafuta yako mwenyewe kutoka katika mbegu za Pepe ingawa bado nakushauri ununuwe yale ambayo yameandaliwa tayari.PEPE ina sifa hizi:*Huondoa bakteria mwilini*Huondoa uvimbe*Huondoa sumu mwilini*Inaondoa fangasi*Inatibu kansa*Inatibu pumu*Inadhibiti kazi za histamini*Inaua virusi*Inazuia damu kugandaVitu viwili mhimu zaidi ambavyo mafuta haya yanavyo ni ‘thymoquinone’ na  ‘thymohydroquinone’.Vimeng’enya hivi viwili ndivyo vinaweza kusemwa kuwa ndiyo sababu ya mafuta haya kuwa ni dawa kwa kila ugonjwa. Vinaimarisha moja kwa moja kinga yako ya mwili na kuifanya ipatikane wakati wowote itakapohitajika na mwili. Vimeng’enya hivi viwili ndivyo inaaminika ndiyo sababu mfalme Tut alipatikana na chupa ya mafuta ya Pepe kwenye kaburi lake akitumaini kuyachukua na kuyatumia atakapofufuka!Mtume Muhammad (S.A.W) amewahi kunukuliwa akisema ‘Mafuta ya PePe ni dawa kwa kila ugonjwa isipokuwa kifo’Mbegu za PEPe zinatoka katika majani ya mmea ujulikanao kama ‘Nigella Sativa’ na unalimwa karibu katika kila pembe ya dunia kwa sasa. Asili yake ni Afrika kaskazini, mediterania/ulaya na Asia na kutoka hapo umesambaa kila sehemu ya dunia. PEPE inachukuliwa kama moja ya dawa za asili bora zaidi kuwahi kutokea.Nini yanachoweza kufanya mwilini haya mafuta ya Pepe? kuna matumizi mengi ya PEpe katika kutibu na kukinga magonjwa mbalimbali. Hapa nimejaribu kukusanya baadhi ya magonjwa 89 ambayo unaweza kujitibu kwa kutumia PEPE.Kama kawaida unapewa angalizo kutotumia dawa yoyote bila uangalizi wa karibu wa daktari Majani ya PEPEMagonjwa 89 yanayoweza kutibika na habbat soda ni pamoja na:1. Yanaimarisha afya ya moyoAfya mbovu ya moyo inaweza kuwa ni matokeo ya sababu nyingi lakini sababu zote chanzo chake kikuu ni matokeo ya kutokuupa moyo virutubishi unavyovihitaji.Mafuta ya PEPE yana asidi mafuta safi na yenye Omega 6 na 9, pia yana kirutubishi kingine mhimu zaidi kijulikanacho kama “phytosterols” ambacho husaidia kulazimisha kusinyaa na kutanuka kwa mishipa ya damu na hivyo kusaidia kuzuia damu kuganda na kujikaza katika ateri. Viinilishe hivi pia husaidia kushusha lehemu kwenye damu na kiasi cha damu sukari.Kwa karne nyingi mafuta ya PEPE yamekuwa yakitumika kutibu matatizo mengi yanayohusiana na moyo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili2. Hupigana na maambukizi ya fangasiMaambukizi ya fangasi yanatokea wakati bakteria wanapozidi juu ya ngozi yako na kupelekea kutokea kwa magonjwa mengi ikiwemo miwasho, upele na ukurutu. Tafiti zinaonyesha mafuta ya PEPE ni mazuri kwa tiba karibu kwa kila aina ya fangasi kitu kinachopelekea wanasayansi wengi kuamini kuwa PEPe ni dawa ya asili na mbadala mhimu zaidi kwa kila mtu kuwa nayo nyumbani.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja. Mengine pakaa kama mafuta yako ya kupakaa sehemu yenye muwasho kutwa mara 2 hadi 3.3. Hudhibiti Aleji (mzio)Wengi wetu tunapatwa na aleji na kutokewa na chafya au mafua yasiyoisha na kupelekea kushuka kwa kinga yetu ya mwili. Kutumia mafuta asili ya PEPE kwa ajili ya kutibu aleji kunaweza kuleta matokeo mazuri bila gharama kubwa. Na siyo kwamba mafuta haya yatakupa nafuu kwa haraka sana dhidi ya aleji tu, bali pia yatakufanya kujisikia nafuu haraka zaidi kuliko dawa nyingine nyingi za kutibu aleji za viwandani zilizopo sokoni leo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili.4. Ni mafuta mazuri kwa ajili ya ngozi yakoIwe ni muonekano au afya ya ngozi kwa ujumla, ipo sababu kwanini watu wanapenda kuwa na ngozi ya kupendeza na yenye afya. Mafuta ya PEpE yana asidi mafuta mhimu zaidi, yana vitamini nyingi, yana viondoa sumu vya kutosha na asidi amino mhimu ambazo miili yetu huzihitaji. Mafuta ya PEPE ni mafuta safi ya ngozi kwa nyakati zote za siku na kwa siku zote. Mafuta haya pia yanasaidia ngozi kutokuungua moja kwa moja na miale ya jua huku yakizuia usizeeke haraka kwa kuondoa mikunjo yoyote kwenye ngozi yako.Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku5. Hutibu kansa ya ngozi (Melanoma)Kansa ni matokeo ya kinasaba cha damu (DNA) kujizidisha au kujizalisha mara nyingi na kwa haraka zaidi dhidi ya uwezo wa kinga ya mwili. Mara nyingi kansa hutokeza vivimbe sehemu mbalimbali mwilini. Mafuta ya PEPE yana virutubishi vingine viwili ambavyo ni ‘thymoquinone’ na ‘thymohydroquinone’ ambavyo utafiti unaonyesha huwa vina uwezo wa kudhibiti kansa kwenye ngozi na kansa nyingine mbalimbali mwilini. Hii ni kutokana na sifa yake ya haya mafuta katika kuzuia uvimbe na bakteria, sifa kuu mbili za habbat soda.Pepe  hufanya hivyo kwa kuzilenga seli zako nyeupe za damu kwa kuziongezea kinga ya mwili na hivyo kuua seli za kansa.Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku.6. Hutibu chunusiChunusi ni matokeo ya moja kwa moja ya vivimbe kwenye ngozi hasa ya paji la uso na usoni kwa ujumla. Mafuta haya yanaondoa uvimbe wa aina yoyote kwenye ngozi na kuitengeneza upya ngozi huku yakiiacha nyororo na muonekano wake wa asili. Mafuta ya PEPE yamekuwa yakitumika kwa ajili hii ya kutunza na kutibu maradhi mbalimbali ya ngozi na wafalme na malkia wengi katika historia yote ya dunia.Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku. Unaweza pia kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku kusafisha mwili ndani7. Hutibu maambukiziMaambukizi ya aina yote hupigwa na kinga ya mwili hasa na seli nyeupe za damu ndizo zinazohusika na kazi hiyo. Kwa kuiongezea nguvu kinga ya mwili moja kwa moja, PEPe soda yanausaidia mwili wako kupigana na maambukizi kutoka kwenye nywele kichani mpaka kwenye kucha. Hii ni sifa ya pekee ya PEPE ambayo imekuwa ikijulikana kuwa nayo katika historia yote ya dunia tangu enzi hata leo bado ni moja ya dawa za asili zenye nguvu ya kupigana na maambukizi ya aina nyingi ya mwili.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili8. Hutibu tatizo la ugumbaUgumba unaweza kutokea kutokana na sababu nyingine nyingi, ingawa imethibitishwa pasipo na shaka kwamba mafuta ya PePe yamewasaidia wengi kuimarisha afya zao za uzazi. Kwa wale wote wenye tatizo la uzazi au ugumba tambueni kuwa mafuta ya  PEPe yamekuwa yakitumika kutibu matatizo ya ugumba kwa zaidi ya miaka 2000 sasa. Mpaka leo bado mafuta ya Pepe yanaendelea kuripotiwa kama ndiyo dawa bora zaidi ya asili kwa ajili ya kurekebisha tatizo la ugumba kwa watu wa jinsia zote mbili.Wakati huo huo mafuta ya asili ya PEPe yamethibitika kuwa dawa bora zaidi ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na hutibu tatizo la nguvu za kiume hata kama mwanaume utakuwa na umri wa miaka 120.Unachohitaji ni kuyatumia kwa kipindi kirefu hata miezi miwili au hata zaidi mfululizo kama tatizo limekuwa sugu sana.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja mpaka mitatu.9. Huotesha nyweleMoja ya matumizi makubwa ya mafuta haya ni kuotesha nywele. Bidhaa nyingi sokoni zinazotumika kwa ajili ya kuotesha nywele zinaacha madhara makubwa zaidi kwa mtumiaji kuliko faida zake. Kwahiyo kwa wale wenye tatizo la upala, nywele zisizokuwa na kwa wale ambao nywele zao hazina afya mnashauriwa kuchagua mafuta haya kwa matatizo haya yote. Ingawa haieleweki ni kwa namna gani mafuta haya yanakuza nywele lakini wanasayansi wanaamini haya yanaweza kuwa ni matokeo ya uwezo wake mkubwa wa kuondoa sumu na protini nyingi ndani yake. Mafuta ya PEpE kwa ajili ya nywele yenyewe ni meusi kabisa kabisa na huwa mazito kidogo tofauti na yale ya kunywa na kupakaa mwilini.Matumizi: Sugulia kipande cha limao fresh eneo ambalo nywele zimenyonyoka na kisha pakaa kijiko kikubwa kimoja cha mafuta ya PEPE ya nywele na uache kama dakika 15 hadi 20, unaweza kuacha hivyo hivyo au ujisafishe na maji safi, unaweza kufanya kutwa mara 1 au 2 kwa mwezi mmoja hadi miwili10. Hutibu mafua na homaMafua na homa ni matokeo ya kushuka kwa kinga ya mwili na kadri unavyoendelea kuyavumilia magonjwa kama haya ndivyo unavyozidi kuidhoofisha zaidi kinga yako ya mwili. Kama tulivyoona kabla kuwa mafuta ya  PEPE huongeza kwa haraka sana kinga ya mwili, huondoa haraka sumu mwilini na bakteria mbalimbali na hivyo kufanya kuwa ndiyo dawa nzuri ya asili dhidi ya mafua na homa za mara kwa mara.Chukua kijiko kikubwa kimoja cha mafuta haya na vijiko vitatu vikubwa vya asali changanya katika glasi moja (ml 250) ya maji ya uvuguvugu na unywe kutwa mara moja kila siku. Kitendo hiki hakitakuondolea mafua na homa pekee bali pia kitaimarisha afya yako kwa ujumla. Fanya kwa siku 7 hadi 1411. Hutibu majipuLiwe ni jipu moja au majipu mengi kwa pamoja, mafuta ya PEpE ndiyo dawa nzuri kukupatia nafuu ya haraka. Hii ni kwa sababu kwa sehemu kubwa majipu ni matokeo ya maambukizi ya bakteria na mchafuko wa damu. Na mafuta ya pEPE ni wakala mzuri wa kuondoa bakteria na kusafisha damu na hivyo kuwezesha majipu kuwa chini ya ulinzi.Unaweza kupakaa mafuta haya juu ya jipu moja kwa moja na wakati huo huo mengine unywe kama ilivyoelezwa kwenye namba 9 hapo juu. Hata hivyo ikiwa jipu ni kubwa sana na huoni nafuu hata baada ya kujaribu mafuta haya muone daktari kwa msaada zaidi.12. Hutibu kikohozi na PumuIle sifa yake kuu ya kuondoa vivimbe kwenye tyubu za koo, kitendo chake cha kuongeza kinga ya mwili, kuua bakteria na virusi ndiyo sababu za mafuta haya kutumika kutibu kikohozi na pumu.Imeandikwa katika historia kuwa mababu wa zamani wa Misri walikuwa wakitumia mafuta ya PEpE hasa kwa ajili ya kuimarisha afya ya mfumo mzima wa upumuwaji.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPE kutwa mara 1 kwa wiki 3 hadi 4 hivi13. Hutibu kuharishaMara nyingi kuharisha ni matokeo ya maambukizi ya virusi na bakteria na kama tulivyoona mafuta ya PEPe hudhibiti bakteria na virusi mbalimbali mwilini na hivyo kufanya ndiyo dawa nzuri mbadala kwa ajili ya kutibu au kuzuia kuharisha. Huweka sawa mfumo wa umeng’enyaji wa chakula na tumbo kwa ujumla na hivyo kuzuia mwili wako kupatwa na tatizo la kufunga choo. Inashauriwa kuchanganya kijiko kidogo kimoja cha chai au viwili vya mafuta ya PEPE na kikombe kimoja cha mtindi na utumie asubuhi na usiku kwa siku mbili hivi na kuharisha kutasimama.14. Hutibu shinikizo la juu la damuMafuta ya PEPe kwa ajili ya shinikizo la juu la damu ni moja kati ya matumizi makubwa ya mafuta haya kwa sasa. Ingawa haijathibitishwa rasmi kama dawa ya kutibu shinikizo la juu la damu lakini wagonjwa wengi wa shinikizo la juu la damu wameripoti kushuka kwa kiwango kikubwa cha mashinikizo yao ya damu wakati wanapotumia mafuta haya ya PEpETafiti kadhaa zimepelekea wengi kuanza kutumia mafuta ya PEPe kama dawa ya asili kwa ajili ya kutibu shinikizo la juu la damu.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPE kutwa mara 1 kwa wiki 3 hadi mwezi mmoja. Pia hakikisha unakuwa na uzito sawa kulingana na urefu wako. BP ya juu inaweza kuchelewa kupona ikiwa uzito wako upo juu ya inavyotakiwa uwe nao.15. Huondoa tatizo la kukosa usingiziTafiti zinaonyesha mafuta ya PEpE ni dawa nzuri ya asili dhidi ya tatizo la kukosa usingizi na matatizo mengine kama hayo ya kuvuruga utulivu wa usingizi kwa ujumla. Watu wengi wameripoti kupata usingizi mororo na utulivu kwa ujumla kwa kutumia  PePe oil.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.16. Huzuia mishtuko na kukakamaa kwa mishipaMafuta ya Pepe ni dawa nzuri ya kuzuia kukakamaa na mishtuko mbalimbali kwenye mishipa. Unaweza kuyanywa mdomoni au unaweza kupakaa na kuchua moja kwa moja sehemu ya mishipa yenye matatizo kwa ajili ya matokeo mazuri ya haraka.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa. Pakaa na ujichuwe pia sehemu ya mishipa yenye matatizo17. Huondoa kichefuchefu na mvurugiko wa tumboMafuta ya PEpE kwa ajili ya kuondoa kichefuchefu na kuvurugika wa tumbo ni moja ya sifa nyingine kubwa ya mafuta haya.Uwezo wa mafuta haya kutibu haya matatizo mawili unatokana na nguvu yake kuhamasisha vimeng’enya vyakula vya mwili wako na kuondoa gesi tumboni.Matumizi: Kwa ajili ya kuondoa kichefuchefu changanya kijiko kidogo kimoja cha mafuta ya pEPE na glasi moja ya juisi ya tangawizi na unywe glasi moja asubuhi na nyingine jioni kila siku kwa siku mbili tatu.18. Dawa bora kwa matatizo ya menoDawa nyingine nzuri kwa matatizo ya meno kama jino kuuma, kuoza, kutoboka, kulegea nk ni mafuta ya asili ya Pepe. Kuondoa maumivu ya jino unachohitaji kufanya ni kunyunyiza matone kadhaa ya mafuta haya juu ya hilo jino na utulie tuli kama dakika mbili hivi kutwa mara mbili.19. Huua seli za kansa ya damuTafiti zinaonyesha mafuta ya PEpE yanacho kitu mhimu sana kiitwacho kwa kitaalamu kama “thymoquinone” ambacho huziua seli za kansa ya damu (leukemia HL-60 cells).Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa20. Hutibu saratani ya matitiMafuta ya PePe yana uwezo wa kuzuia seli za saratani ya titi kuendelea kujizalisha na inashauriwa kwa ajili ya kutibu saratani ya titi yatumike kwa kipindi kirefu miezi hata miwili au zaidi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku21. Hutibu saratani ya utumbo mpanaKimeng’enya kiitwacho ‘thymoquinone’ kilichomo kwenye mafuta ya PEpE na sifa yake kubwa ya kuondoa sumu ndivyo vitu viwili vinavyoyawezesha mafuta ya Pepe kuzishambulia na kuziua seli za saratani ya utumbo mpana (colon cancer). Yanabaki kuwa ndiyo dawa mbadala bora zaidi kwa saratani ya utumbo mpana inayosumbua watu wengi miaka ya karibuni.PEpe oil si dawa ya magonjwa mengine mengi tu bali pia ni moja ya vitu mhimu sana katika kuzuia kukua, kujizidisha au kujizalisha upya kwa seli mbalimbali za kansa.Uwezo wa mafuta ya Pepe kudhibiti uongezekaji wa seli za kansa unashawishi sana kiasi kwamba madaktari wengi wamekiri kuwa ni dawa moja bora sana mbadala dhidi ya saratani ya kwenye utumbo mpana.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone22. Hutibu fangasi ya ngozi na mapunyeFangasi, mapunye, ukurutu na magonjwa mengi ya ngozi yanaweza kutibika kwa kutumia mafuta ya pepe. Fangasi na mapunye ni tatizo linalowapata watu wengi karibu kila sehemu katika nchi tajiri hata katika nchi maskini pia.Unaweza kuyanywa mdomoni na wakati huo huo ukapaka moja kwa moja juu ya ngozi sehemu yenye tatizo kwa majuma kadhaa. Kama ni kunywa basi kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kila siku mpaka upone23. Husaidia kupunguza uzitoUwezo wa mafuta ya PEpe kushusha uzito unatokana na sifa yake ya kuweza kupunguza sukari katika damu. Zaidi ya kuwa ni wakala muondoa sumu mwilini wa asili, mafuta ya Pepe husaidia pia kuongeza nguvu katika mfumo wa umeng’enyaji wa chakula na kupunguza kiasi chako cha njaa. Hii ya kudhibiti kiasi cha njaa ni mhimu sana hasa wakati unataka kudhibiti mfumo wa vyakula unavyokula.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa, usisahau pia kufanya mazoezi ya kukimbia (jogging kila siku)24. Hutibu KisukariKitu gani kimeyafanya mafuta ya PEPe kuwa ndiyo dawa nzuri ya asili dhidi ya Kisukari? Ni ule uwezo wake mkubwa wa kushusha shinikizo la damu na kusaidia wagonjwa wa Kisukari wote ambao ni tegemezi au si wategemezi wa insulin. Ni dawa nzuri kwa watu wote wenye kisukari aina ya kwanza na kisukari aina ya pili kwa wakati mmoja. Pia huboresha kwa ujumla AFYA ya damu yako.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 2 kila siku kwa mwezi mmoja hadi miwili25. Hutibu kifafa na mishtuko ya moyoDawa nyingi za kisasa zinazotumika kutibu kifafa na mishtuko ya moyo huwa zina orodha ndefu ya madhara mabaya (negative side effects) pia. Bahati nzuri kwa upande wako wewe unayesoma makala hii ni kuwa mafuta ya asili ya PEpe (black seed oil) ni dawa nzuri ya kutuliza kifafa na matokeo yaletwayo na kifafa.Baadhi ya tafiti zimeonyesha watu wenye kifafa na mishtuko ya moyo waliacha kuonyesha tabia au dalili za kifafa au mishtuko ya moyo walipotumia mafuta ya PEPe kwa wiki 4 hadi 6 huku wakitumia sambamba na dawa walizopewa hospitalini. Watafiti wengi wanasema hii ni kutokana na kiinilishe mhimu kilichomo kwenye mafuta haya kijulikanacho kama ‘thymoquinione’. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.26. Hutibu vidonda vya kooniMafuta ya PEPe yamethibitishwa kutibu vidonda vya kooni (tonsils) na kuondoa kila aina ya maumivu kooni na kuondoa uhitaji wa dawa za kuondoa maumivu (pain killers).Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa27. Hutibu kidonda ndugu (MRSA)Kidonda ndugu au kama kinavyojulikana kwa kitaalamu kama ‘Methicillin resistant Staphylococcus aureus (MSRA)’ ni ugonjwa unaoendelea kuwasumbua wataalamu wengi katika mahospitali maeneo mengi duniani. Mara nyingi hutokea kama matokeo ya kudhoofika kwa kinga ya mwili. Uwezo wa kuondoa uvimbe na sumu wa mafuta haya unayafanya kuwa dawa mbadala yenye ufanisi zaidi katika kutibu kidonda ndugu.Mafuta ya PEpe yatakusaidia kutibu kidonda cha aina hii bila shida yoyote, yatazuia pia kuendelea kuongezeka au kusambaa zaidi kwa kidonda hiki.Kama kuna matumizi mhimu sana ya dawa hii basi ni hili la kutibu vidonda mbalimbali ikiwemo kidonda ndugu kidonda ambacho huletwa na bakteria na kuwa sugu kutibika kwa dawa nyingi za kawaida.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku na upakae sehemu yenye kidonda mara 2 kila siku kwa majuma kadhaa.28. Huondoa utegemezi wa madawa ya kulevyaKutumia mafuta ya PEpe kuondoa utegemezi (uteja) kwa madawa ya kulevya na vilevi vingine ni moja ya kazi nyingine zilizothibitika kufanywa na mafuta haya.Katika majaribio, mafuta ya PEpE yameonyesha kuwa msaada mkubwa kutuliza hali ya kujisikia vibaya na mauzauza mengine yatokanayo na kuacha kutumia dawa za kulevya na wakati huo huo yameonyesha kudhibiti hamu ya kutaka kurudia tena matumizi ya madawa ya kulevya baada ya mtu kuamua kuacha.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja na nusu mpaka miwili29. Huondoa makovuIwe ni makovu ya upasuaji uliopita au ni makovu mengine yoyote, mafuta ya  PEpe ndiyo dawa nzuri kwa ajili ya kuondoa makovu. Ni moja kati ya dawa mbadala chache ambazo zimethibitishwa kuondoa na kutibu makovu moja kwa moja.Matumizi: Pakaa mafuta haya sehemu yenye makovu mara 2 mpaka 3 kila siku kwa majuma kadhaa.30. Hutibu kansa ya mlango wa kizaziKansa nyingine ambayo mafuta ya  PEPe yamethibitika kuitibu ni kansa ya mlango wa kizazi (cervical cancer). Hii tena inawezekana kutokana na kimeng’enya ‘thymoquinione’ kipatikanacho kwenye haya mafuta, tafiti zinaonyesha kuwa husaidia pia kwa kuziongezea nguvu na idadi seli nyeupe za damu na kuzidhibiti seli za kansa kuendelea kujizalisha.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.31. Huzuia madhara ya miale ya juaTafiti zinaonyesha kuwa watu waliokuwa wakitumia mafuta ya PEpe na kukaa kwenye jua masaa mengi walipatwa na madhara machache ya miale ya jua kulingalisha na wale ambao walikaa juani muda mrefu bila kutumia Kiasi kikubwa cha kinga ya mwili kilionekana kwa watu waliokuwa wakitumia mafuta ya PEPe. Kuna tafiti pia zinazothibitisha PEPe  kuwa msaada mkubwa kwa wagonjwa wa kansa walio kwenye matibabu ya mionzi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPE kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa kama mafuta yako ya PEpe kupakaa kwenye ngozi kila siku32. Huzuia na kutibu athari za sumu ya risasiSumu ya risasi (lead) ndiyo moja ya sumu zinazowapata watu wengi dunia nzima sababu ya maendeleo ya viwanda na matumizi ya madawa ya mashambani. Risasi inaweza kuleta shida na mambo mengi kuhusiana na kazi za mwili wako kwa ujumla na kuleta matatizo katika moyo, tumbo, figo, mfumo wa fahamu, mifupa na hata katika mfumo wako wa uzai.Tafiti zimeonyesha kwamba mafuta ya PEPE kuwa na uwezo mkubwa kuzuia na kurekebisha madhara katika ubongo yaliyotokana na sumu ya risasi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPe kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa kichwani kila siku yale ya nywele nayo yamethibitika kuwa yanatibu maumivu ya kichwa na matatizo mengine mengi kuhusiana na kichwa33. Huimarisha ukuwaji wa ndevuTafiti zimeonyesha mafuta ya PEPE yanaweza kuhamasisha ubora na ukuwaji wa ndevu kidevuni. Ingawa hii siyo kazi yake hasa ya msingi, unaweza kupakaa moja kwa moja mafuta ya PEPe ya nywele juu ya kidevu chako na utaona ndevu zinakuwa na afya nzuri, zinakuwa haraka na kuziacha zenye unyevunyevu pia.34. Hutibu maumivu ya kuumwa na nyuki na nyiguUnga wa pEPe ukichanganywa na maji kidogo ni dawa nzuri kabisa ya asili kwa maumivu au uvimbe kutokana na kuumwa na wadudu kama nyigu na nyuki. Chua sehemu iliyoathiriwa na mchanganyiko huu kutwa mara mbili kwa siku 2 au 4 hivi.35. Huondoa msongamano kifuaniMwagia na uchue kwa dakika kadhaa juu ya kifua chako na mafuta ya pEPe kuondoa msongamano (makohozi, gesi nk) kifuani. Utapata matokeo mazuri zaidi kama utachanganya mafuta haya na asali kwa ajili ya hili zoezi. Unaweza pia kuamua kunywa mdomoni kijiko kidogo kimoja cha chai kila siku badala ya kupaka juu ya kifua.36. Hutibu maumivu ya sikioMafuta ya PEpE yakichanganywa na mafuta ya zeituni yanaweza kutibu maumivu ya sikio na miwasho mingine masikioni. Changanya nusu kijiko kidogo cha mafuta ya PePe na nusu kijiko kidogo kingine cha mafuta ya zeituni, pasha moto kidogo mchanganyiko huu na kuweka matone mawili matatu sikioni sehemu iliyoathirika.Unaweza kuweka skafu au kofia juu ya sikio dakika 2 baada ya kunyunyiza matone ya mchanganyiko huu na utulie sehemu moja kwa dakika kadhaa.37. Dawa nzuri ya magonjwa ya macho na kuonaMafuta ya PEPe yanaweza kutumika pia kutibu maambukizi ya kwenye macho na wakati huo huo kuongeza uwezo wa macho kuona (eyesight and vision).Yametumika pia na watu wengi kutibu maambukizi ya kwenye macho yao ambayo hupelekea macho kuwa mekundu.Ili kutibu hayo unaweza pakaa mafuta haya sehemu zinazozunguka jicho lako kabla ya kwenda kulala na unaweza kufanya zoezi hili kila siku kwa matokeo ya haraka zaidi.38. Hutibu kiharusiUnapougua kiharusi hasa usoni, mafuta ya habbat soda yanaweza kuleta nafuu haraka. Weka kiasi cha mafuta ya PEpe kwenye bakuli au sahani na usogeze pua yako karibu na mafuta na unuse nuse mafuta hayo. Chukua sekunde 10 mpaka 20 kuvuta pumzi ndani kwa nguvu na urudie zoezi. Fanya zoezi hili kila siku mpaka upone.39. Huondoa msongamano puaniPEPe oil pia hutumika kuzibua na kuondoa msongamano puani. Hii ni moja ya kazi ambayo mafuta haya yanazifanya vizuri zaidi. Unaweza kuyanywa na wakati huo huo kuyanusa puani kama nilivyoeleza kwenye namba 38 hapo juu.40. Huondoa mawe kwenye kibofu cha mkojoKutumia mafuta ya PEpe kwa ajili ya kuondoa mawe kwenye kibofu cha mkojo ni njia nzuri ya kuondoa maumivu na mawe katika kibofu cha mkojo kwa pamoja. Uwezo mkubwa ulionayo mafuta haya katika kuondoa vivimbe na sifa yake ya kuondoa sumu ndivyo vitu vinavyoyafanya mafuta haya kuwa dawa bora ya asili ya kuondoa mawe katika kibofu cha mkojo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.41. Huondoa mawe katika IniKama ilivyo kwa mawe katika kibofu cha mkojo, mawe katika ini pia yanaweza kusababisha maumivu na madhara mengine makubwa wakati ukijitibu kwa kutumia dawa za viwandani. Sifa za mafuta ya PEpe huondoa mawe katika ini kwa hali ya mwendelezo mpaka yatakapoondoka yote. Kunywa mafuta haya yakichanganywa na asali kwa matokeo mazuri zaidi. Kijiko kidogo kimoja unaongeza na asali kijiko kidogo kimoja. Tumia kwa mwezi mmoja hivi Mbegu za PEPe42. Huondoa gesi tumboniMafuta ya PEPe huusaidia mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula na hivyo kukusaidia kuondoa gesi. Pia yamethibitika kuondoa mvurugiko wa tumbo na takataka nyingine tumboni kwa haraka zaidi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku mpaka upone kabisa43. Hutibu bawasiriDawa nyingi zinazotumika kutibu bawasiri zina madhara mengine mabaya na nyingi ya hizo hazitibu kabisa bawasiri na kulazimisha wengine kufanya upasuaji.Mafuta ya PEPe kwa upande wake yanatoa suluhu ya haraka katika kutibu bawasiri zote ya nje nay a ndani na tafiti zinaonyesha yanao uwezo wa kuzuia kusambaa au kuongezeka kwa ugonjwa huu.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa sehemu yenye tatizo nje na ndani kutwa mara 2 kwa majuma kadhaa44. Huondoa maumivu ya kichwaFaida nyingine mhimu ya mafuta ya Pepe ni uwezo wake katika kutibu maumivu ya kichwa na kipanda uso. Kwa karne nyingi Waarabu na Wazungu wamekuwa wakitumia mafuta haya kwa kupaka maeneo ya karibu na pua, macho na sehemu ya mbele ya kichwa ili kuondoa maumivu ya kichwa. Hata ukiyanywa kijiko kidogo kimoja kila siku maumivu ya kichwa yatapotea.Pia yale meusi kwa ajili ya nywele nayo yanaondoa maumivu ya kichwa na hili nimelishuhudia mimi mwenyewe nilikuwa na tatizo la kuumwa kichwa mara kwa mara sababu ya kukaa kwenye computer masaa mengi lakini tangu nianze kutumia mafuta haya sijawahi kuumwa kichwa tena.45. Huongeza kinga ya mwiliUnaweza kutumia mafuta ya PEpe kuimarisha kinga yako ya mwili kwa ujumla na hivyo kuongeza ulinzi wa mwili wako dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo dhidi ya bakteria na virusi. Mafuta ya PEpe ndiyo bidhaa pekee ya asili iwezayo kuimarisha kinga yako ya mwili kwa muda mfupi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku mpaka kinga yako imeimarika. Unaweza kutumia pia mafuta haya hata kama huumwi chochote.46. Husaidia mama anayenyonyeshaMafuta ya PEpe yakitumika na mama anayenyonyesha husaidia kuongezeka kwa uzalishwaji wa maziwa. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku.47. Huongeza kumbukumbuUtafiti unaonyesha kuwa mafuta ya PEpe yana uwezo wa kuongeza uwezo wako wa kumbukumbu, ufahamu na umakini. Karibuni imethibitika PePe yanaweza kuongeza uwezo wa kukumbuka vitu kwa haraka vikiwemo vya muda mfupi na hata vile vya muda mrefu.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPe kutwa mara 1 kila siku mpaka hali yako ya kukumbuka vitu imekaa sawa.48. Huondoa madoa meusi kwenye ngoziMoja ya kazi za mafuta ya PEpe ambazo wengi hawazijuwi ni hii ya kuondoa madoadoa au mabaka meusi juu ya ngozi. Unachohitaji ni kuyatumia kama mafuta yako ya kupakaa kila siku na hutachelewa kuona matokeo.49. Huondoa maumivu ya kung’atwa na waduduWadudu kama mbu na wengine wanapokuuma huacha pia maumivu fulani na hata uvimbe. Kupaka mafuta haya juu ya eneo lililoathirika kutasaidia kuondoa maumivu na uvimbe au muwasho wowote sababu ya wadudu hao.50. Hutibu kukauka kwa midomo (Lips)Tatizo hili la midomo ya nje (lips) kukauka limepelekea kutengenezwa kwa bidhaa nyingi za viwandani kwa ajili hiyo na wanawake ndiyo wanaonekana kuzitumia zaidi huku baadhi ya bidhaa hizo zikiripotiwa kusababisha baadhi ya saratani.Mafuta mhimu (essential oils) yapatikanayo katika mafuta ya PEpe yanaweza kuzuia kukauka kwa mdomo na kuzalisha upya ngozi kwenye sehemu za nje ya mdomo (lips) na kukuachia rangi safi ya asili ya lips zako bila madhara yoyote mabaya hapo baadaye.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa sehemu ya lips zako kila siku.51. Yanatibu kufunga chooKama vile yanavyokusaidia katika mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula ndivyo yanavyokusaidia pia kwa tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu sana. Kuna watu wengine asipopata choo hata siku mbili haoni kama ni tatizo kwake na mwingine amezoea kupata choo kigumu kila siku na anaona ni kawaida tu.Kufunga choo au kupata choo kigumu sana kila mara ni ishara mbaya kuhusu afya yako. Ni dalili ya moja kwa moja kuwa huna maji ya kutosha mwilini au maji unayokunywa hayabaki mwilini na yanapitiliza kwenda nje bila kutumika na mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula.Mafuta ya PEpe yanatibu tatizo la kufunga choo (constipation) bila shida yoyote. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha mafuta haya kila baada ya chakula cha mchana na baada ya chakula cha usiku kwa matokeo ya haraka.52. Hutibu maumivu ya mgongo na mishipaUnaweza kupunguza mahitaji ya dawa za kuondoa maumivu ya mgongo na mishipa kwa kupaka au kujichua na mafuta ya PEPe sehemu yenye maumivu moja kwa moja. Hutakawia kuona nafuu kwa haraka.53. Husaidia kuondoa maumivu ya tumboKwa matatizo mengi ya tumbo, mafuta ya PePe yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kukupa nafuu kwa haraka. Kuondoa maumivu ya tumbo ni moja ya kazi kubwa inayotambulika na wengi ya mafuta ya pepe. Kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku baada ya kula chakula cha usiku kwa matokeo ya haraka.54. Huondoa maambukizi kwenye fiziMaumivu na maambukizi kwenye fizi za meno vinaweza kuondolewa kwa kutumia mafuta ya PEPe.Uwezo wake wa kuondoa sumu na uvimbe ndiyo sababu ya madaktari wengi kupendekeza itumike kutibu maambukizi kwenye fizi. Unaweza kutumia kama dawa yako ya mswaki pia uyanywe kijiko kidogo kimoja kila siku.55. Hutibu U.T.IMaambukizi na matatizo mengi kwenye kibofu cha mkojo na njia ya mkojo kwa ujumla yanatibika na mafuta ya habbat soda ikiwemo ugonjwa wa U.T.I (yutiai) unaowasumbua watu wengi miaka ya karibuni.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.56. Huzuia mdomo kukaukaKutibu tatizo la mdomo kukauka chukua kijiko kidogo kimoja cha mafuta haya na weka mdomoni kwa sekunde 30 hivi. Jigeuzegeuze kichwa na mdomo kuhakikisha mafuta yanagusa kila sehemu za mdomo wako kabla ya kutema au unaweza hata kuyameza. Kisha safisha mdomo na kinywaji kingine kitamu kama juisi hivi au asali kuondoa radha yake ya ukakasi.57. Huzuia pua kuvuja damuHaya ni moja ya matumizi ya asili ya mafuta ya PEpe nyakati za joto katika majira ya kiangazi katika jamii nyingi mashariki ya kati. Kama unapata tatizo la pua kuvuja damu unachotakiwa kufanya ni kuweka matone mawili au matatu ya mafuta haya ndani ya pua zako na ukae utulie uone kazi ya mafuta ya Pepe kuzuia damu kuvuja puani.58. Huondoa majeraha ya kuungua motoKupaka mafuta ya PEpE juu ya majeraha ya kuungua kwa moto au maji ya moto kumethibitika kuponya majeraha hayo na kuzalisha upya ngozi.Kuondoa majeraha hayo chua eneo lenye athari ukitumia mafuta ya asili ya PEpe kwa kuondoa maumivu haraka na kuizalisha upya ngozi yako.59. Hutibu mba kichwaniMafuta haya si mazuri kwa ajili ya kukuza au kuotesha nywele zako tu, bali pia huhamasisha ukuwaji wa vinyweleo vya ngozi na hata kuzuia na kutibu mba. Unachohitaji kufanya ni kupaka mafuta ya kutosha ya PEPe ya nywele kichwani kwako na uache kama dakika 30 hadi 60 hivi na unaweza kujisafisha au kuacha hivi mpaka utakapoenda kuoga tena.Na mafuta haya unapoweka kichwani yanadondoka kidogo kidogo hadi kwenye ubongo na utaona vitu kama maumivu ya kichwa vinaanza kuisha taratibu.60. Huondoa maumivu kwenye maungioMoja ya matumizi yanayojulikana na wengi zaidi ya mafuta ya PEpe ni kutibu maumivu ya kwenye maungio (joints) mbalimbali mwilini. Utapata nafuu ya haraka ukitumia mafuta haya kuondoa maumivu katika maungio.Unaweza kujichua ukitumia mafuta haya moja kwa moja sehemu yenye maumivu kwa matokeo ya haraka zaidi. Pia kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku kwa matokeo mazuri zaidi.61. Huzuia kudhurika kwa figo kama matokeo ya KisukariUkiacha ukweli kwamba mafuta ya PEpe ni dawa mbadala nzuri kabisa ya kutibu Shinikizo la juu la damu na Kisukari pia ni dawa ya kuzuia kudhurika kwa figo kama matokeo ya kuugua ugonjwa wa kisukari.Sababu ya hili ni kutokana na viinilishe mhimu sana vilivyomo kwenye PEpe ambayo hujulikana pia kama ‘nigella sativa’ au ‘black seeds’.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku62. Huweka sawa mzunguko wa hedhiMafuta haya yana kazi mhimu sana linalopokuja suala la kulinda na kutibu matatizo mbalimbali ya uzazi. Matatizo karibu yote ya uzazi kama maumivu ya tumbo chini ya kitovu, siku za mwezi zisizoeleweka au kutokuwa na mzunguko maalumu, kukosa hedhi, matatizo katika mfuko wa uzazi na hata maumivu wakati wa tendo la ndoa.Ni dawa nzuri kutumika hata kwa wamama wakubwa wanaopatwa na matatizo kutokana na kusimama kuona siku zao. Unaweza kuyanywa kijiko kidogo kimoja kila siku na hata kupaka ndani ya uke mara kwa mara kwani hutumika pia kutibu .U.T.I na fangasi za ukeni.63. Mazuri wakati wa ujauzitoInasisitizwa kuwasiliana na daktari wako wakati wa ujauzito kabla ya kuamua kutumia dawa yoyote. Hata hivyo mafuta ya PEpE yameonyesha matokeo chanya hata yakitumika wakati wa ujauzito ingawa bado hakuna hitimisho la jumla ikiwa yatumike kwa mama mjamzito au yasitumike sababu katika baadhi ya kesi yanaonyesha kupunguza kukazika kirahisi kwa misuli ya mfuko wa nyumba ya uzazi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku64. Hutibu baridi yabisi (Arthritis)Mafuta ya PEpe yamethibitika kuwa dawa bora dhidi ya ugonjwa wa baridi yabisi, maumivu kwenye mishipa na hali ya mwili kuwaka moto kwa ujumla.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.65. Hutibu vidonda vya tumboNi moja ya dawa za asili chache zinazoweza kutibu vidonda vya tumbo moja kwa moja PePE oil yanatibu aina zote za vidonda vya tumbo!Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hadi siku 60. Vidonda vya tumbo pia upate unga wa asili wa majani ya mlonge na unga wa mbegu za maboga kwa matokeo mazuri na ya uhakika.Kumbuka pia kunywa maji mengi ya kutosha kila siku, epuka pia vinywaji na vyakula vyenye asidi nyingi.66. Yanaondoa maumivu mbalimbaliMafuta ya PEpe yanaondoa mahitaji yako kwa dawa nyingi za kuondoa maumivu (painkillers) mbalimbali mwilini. Katika kesi nyingi mafuta ya Pepe yanaweza kuondoa kabisa mahitaji ya dawa za kuondoa maumivu.Uwezo wake wa kuondoa vivimbe unayafanya kuwa chaguo zuri zaidi katika kutibu maumivu yote ya mwili wako kutoka kwenye nywele mpaka kwenye kucha.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.67. Hutibu kansa ya UbongoMafuta ya PepE ni msaada mkubwa katika kudhibiti na kusambaratisha vivimbe kwenye ubongo na seli za kansa kwenye ubongo wako. Makundi kadhaa ya watafiti wamehitimisha kuwa mafuta ya PEPE ni dawa halali ya asili kwa ajili ya kutibu kansa ya ubongo na uvimbe katika ubongo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa. Pia pakaa kichwani moja kwa moja ama mafuta ya PEPe ya kawaida au hata yale ya nywele kila siku.68. Yanapunguza wasiwasi (Anxiety)Tafiti zimeonyesha mafuta ya PEPe kuwa msaada mkubwa katika kudhibiti tabia za kuhamaki na wasiwasi na hivyo kukuwezesha kujisikia vizuri kila mara. Na utaona matokeo haya baada ya matumizi ya PEPe kwa siku 30 hivi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku 69. Huondoa huzuni na mfadhaiko (stress)Tafiti kadhaa zimeonyesha watu waliokuwa wakitumia mafuta ya PEPe wanakuwa ni watu wenye furaha ya asili na kuwa si wepesi kuwa na huzuni au kufadhaika. Kazi hii ya mafuta ya PEpe ndiyo mhimu kuliko zote sababu mamilioni ya watu wanakabiliwa na tatizo la kuwa na huzuni au stress na mifadhaiko ya akili kitendo ambacho kinaweza kuharibu kinga zao za mwili na maisha kwa ujumla.Ni vigumu sana kupata mtishamba ambao unaweza kutibu matatizo yanayohusiana na saikolojia moja kwa moja lakini mafuta ya Pepe yanaweza kutumika kwa dhumuni hili la kutuliza, kupunguza na kutibu tatizo la huzuni au kufadhaika kwa akili.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku na kwa matokeo mazuri pata pia unga wa mbegu za maboga zilizokaangwa kidogo na chumvi ya mawe ya baharini, tumia muda mrefu hata miezi miwili hata zaidi ikibidi.70. Hutibu kizunguzunguHistoria nyingine katika matumizi ya mafuta ya PePe ni katika kutibu kizunguzungu. Mafuta ya Pepe yanatambulika kwa kutibu kizunguzungu na kile unachotakiwa kufanya ni kujichua shingoni na mashavuni kwa kutumia mafuta ya PePe na dalili za kizunguzungu zinatakiwa zianze kupotea mara moja. Fanya zoezi hili kwa wiki 2 hivi71. Hutibu KiunguliaFaida nyigine kubwa ya mafuta ya PEpe ni kuwa ni dawa ya asili dhidi ya kiungulia. Ingawa kuna tafiti chache zinazoweza kuthibitisha hili, bado historia inaonyesha mafuta ya PEpe yamekuwa yakitumika kutibu kiungulia kwa karne nyingi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa72. Huzuia na kutibu tatizo la kupoteza kumbukumbuKumekuwa na tafiti nyingi hivi karibuni ambazo zimeonyesha mafuta ya Pepe kuwa msaada mkubwa kwa kuzuia na kupunguza kuongezeka kwa dalili za ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (Alzheimer). Matokeo yalionyesha kwamba yakitumika kila siku kijiko kidogo kimoja hadi viwili vya chai huleta matokeo mazuri zaidi.73. Hutibu homa ya uti wa mgongoNguvu za mtishamba huu zimethibitika kuwa msaada mkubwa katika kutibu homa ya uti wa mgongo (meningitis). Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa mafuta ya pepe ni moja ya tiba asili nzuri zaidi kwa ajili ya homa ya uti wa mgongo inayoaminiwa hadi sasa. Kunywa kijiko kidogo kimoja hadi viwili vya mafuta haya kila siku kwa majuma kadhaa.74. Huongeza afya ya figoKuanzia kwenye ugonjwa wa figo hadi kwenye mawe ya kwenye figo, mafuta ya PEPe yamethibitika kuwa msaada mbadala kwa matatizo ya figo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa75. Huimarisha afya ya mbegu za kiumeUkiacha uwezo wake katika kuongeza stamina na nguvu kwa wanaume na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake, mafuta haya pia hutumika kutibu tatizo la afya dhaifu la mbegu za kiume na kuongeza wingi wake kwa ujumla (semen count). Kwa mjibu wa tafiti mbalimbali, mbegu za kiume zinaonekana kuimarika na kuwa nyingi za kutosha baada ya kutumia dawa hii kwa miezi miwili kila siku.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku76. Huimarisha mifupaTafiti zimeonyesha kuwa mafuta ya PEpe yanaongeza ukuwaji wa seli za uboho wa kwenye mifupa kwa asilimia 150 yanapotumika. Hii ni kwa mjibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa kwa watu wengi mbalimbali. Kile kinashangaza zaidi ni kuwa mafuta haya yameonekana kuwa na uwezo wa kuzuia uongezekaji wa vivimbe mbalimbali walau kwa zaidi ya asilimia 50.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja hata miwili.77. Tiba asili ya chango kwa watotoUkiwa na mtoto anayesumbuliwa na chango au msokoto wa tumbo linaweza kuwa ni jambo linalokupa msongo wa mawazo maishani. Ingawa visababishi vya chango kwa watoto bado havijulikani bayana, kile ambacho kimethibitishwa ni kuwa mafuta ya habbat soda ni tiba asili kwa chango au msokoto wa tumbo kwa watoto.Ni mhimu kuanza na kiasi kidogo sana kama matone matatu hadi matano na uendelee kuongeza kiasi cha dawa kidogo kidogo kila siku.78. Hurekebisha matatizo katika tezi dumeAfya ya tezi dume ni ishu kwa wanaume wengi duniani kote na kupata dawa ya asili nzuri kwa ajili hiyo inaweza kuwa mtihani kwa wengi. Kwa bahati nzuri mafuta ya PEPe yamekuwa yakitumika kwa ajili ya kuimarisha afya ya tezi dume kwa karne nyingi sasa. Tafiti zinaonyesha kuwa ni dawa nzuri hata kwa saratani ya tezi dume.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 6.79. Huondoa udhaifu wa mwili kwa ujumla (lethargy)Wengi wetu tunapatwa na kupungukiwa na nguvu za mwili na wakati fulani nguvu zote za mwili kwa ujumla na nguvu za ubongo na za kiroho pia. Kwa ajili ya matatizo ya udhaifu wa mwili iwe kimwili, kiakili na hata kiroho hakuna dawa nyingine ya asili iwezayo kurekebisha hali hizo kama yawezavyo kufanya hivyo mafuta asili ya PEpe.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku80. Huondoa uchovu suguKutoka kwenye maelezo yaliyotangulia hapo juu, mafuta haya pia yamethibitika kuondoa uchovu sugu wa aina zote na kuupa nguvu mpya mwili. Matumizi yake ni kama kwenye namba 79 hapo juu.81. Huhamasisha uzalishwaji wa mkojoFaida nyingine kubwa ya mafuta ya PEpE  ni uwezo wake wa kuhamasisha uzalishwaji wa mkojo. Matatizo mengi ya kibofu cha mkojo na tezi dume yamekuwa yakitibiwa kwa kutumia mafuta ya PEpe kwa zaidi ya miaka 2000 sasa na tafiti zimethibitisha hivi karibuni faida hizi za mafuta ya PePe katika majaribio ya kimaabara yakionyesha kuimarisha sana kwa afya ya tezi dume na kazi zake kwa ujumla.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.82. Huzuia madhara yatokanayo na shambulio la moyoKama tulivyoona pale mwanzo kabisa kuwa mafuta ya PEPe yamekuwa yakitumika miaka mingi kutibu matatizo mbalimbali ya moyo, vivyo hivyo yameonekana kuzuia madhara ya pili yatokanayo na shambulio la moyo (heart attack) na magonjwa mengine kwenye mfumo wa upumuwaji kwa ujumla.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.83. Husaidia kuongeza damu mwiliniWengi wetu tunakumbwa na tatizo la kupungukiwa damu (anemia) na hili linaweza kuiweka miili yetu katika hali ya hatari zaidi. Kwa mara nyingine tena mafatu ya Pepe yanaonek kuokoa tatizo hili baya la kiafya.Yamethibitika kutibu tatizo la upungufu wa damu moja kwa moja.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa84. Huondoa vimelea vya magonjwaMafuta ya PEpe ni kinga dhidi ya vimelea (parasites) vingi vya magonjwa na huvitafuta na kuviua vimelea hivi popote vitakapokuwa ndani ya mwili. Hufanya kazi hii kwa kuvilevya hivyo vimelea na kuupa urahisi mwili kuviangamiza.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa85. Husaidia kupunguza uzitoKwa sababu uzito na unene kupita kiasi huhusiana pia na matatizo mengine ya kutofanya kazi kwa kinga ya mwili, ukaidi wa insulin, kansa na matatizo mengi katika mfumo wa upumuwaji, ndipo mafuta ya Pepe yanapokuja kuwa mhimu kwa ajili ya kupunguza uzito na unene kupita kiasi.Mafuta ya PEpe yamethibitika na watafiti wengi kote duniani kuwa msaada mkubwa kwa wale wanaotaka kupunguza uzito.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 6.Usisahau pia kufanya mazoezi ya kukimbia (jogging) kila siku dakika 60, epuka kukaa kwenye kiti masaa mengi na ubadili chakula unachokula kila mara hasa uepuke vyakula vya wanga na vile vyenye mafuta mengi na unywe maji ya kutosha kila siku.86. Huziua seli za kansa za aina nyingiHutibu na kuziua seli za karibu kansa za aina zote, kansa ya mdomoni, kansa ya ini, kansa ya kongosho nk. Tafiti zimeonyesha mafuta ya PEpe kuwa dawa nzuri dhidi ya kansa mbalimbali mwilini kwa kuzuia uongezekaji wa seli za kansa na kusambaratisha kansa zenyewe katika baadhi ya kesi.Hufanya kazi hii kwanza kwa kuiimarisha kinga yako ya mwili na kuziua seli zenyewe za kansa moja kwa moja.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja hadi miwili.87. Huongeza afya ya iniMafuta ya Pepe yanaimairisha afya ya ini kwa ujumla na kuimarisha kinga ya mwili. Ni dawa nzuri kutibu matatizo mengi ya ini hata kama familia yenu wote mna historia ya kuugua ugonjwa wa ini.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa88. Huondoa sumu mwiliniTatizo la mwili kuwa na sumu ni tatizo kubwa kwa watu wengi miaka ya karibuni na kupata mtishamba au dawa ya asili kwa ajili ya kuondoa sumu bado ni mtihani kwa watu wengi. Kwa bahati nzuri kwa upande wako umepata mafuta ya PEPE. Mafuta ya PePe yamethibitika kuondoa sumu kila sehemu ya mwili yanapotumika.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 689. Huondoa hali ya kuchanganyikiwa (Schizophrenia)Kutokana na sifa yake ya kuondoa vivimbe na sumu mwilini mafuta ya PEpe yanaweza kutumika pia kutibu ishara na dalili za kuchanganyikiwa. Tafiti zimeonyesha mafuta ya PEpe yakitumiwa na watu wenye kuchanganyikiwa wanapata nafuu haraka ya tatizo hilo ukilinganisha na wale wasiotumia mafuta haya. Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.Hitimisho:Ni rahisi kuelewa kuwa faida nyingi ambazo mafuta ya Pepe inazo zinawashangaza bado watu wengi. Unaweza kudhani hayo hayawezekani kwa mtishamba wa asili kutoa tiba kwa magonjwa mengi namna hiyo! Kile ninachojuwa ni kuwa ukweli hujieleza wenyewe.Kiasi cha faida kinachopatikana katika mafuta haya ukilinganisha na bei yake ndicho kinachowafanya watu wengi wabaki na mshangao usioisha!Watu wengi wanashangaa ni kwanini makampuni mengi ya madawa yatumie mabilioni ya pesa kutengeneza dawa mbalimbali kwa magonjwa mengi ambayo yangeweza kutibika kwa kutumia mafuta ya PePe tu kama tulivyoona hapo juu.Ukiacha hayo, kupata hospitali na ukapata matibabu sahihi na kwa gharama nafuu bado ni changamoto katika nchi nyingi maskini na nyingi ya dawa zinakulazimu kuendelea kuzitumia kwa kipindi kirefu na pengine bila hata uhakika wa wewe kuja kupona.Bahati nzuri kwa wewe ambaye umebahatika kupata habari hizi za Pepe na umeweza kuona ni magonjwa mangapi unaweza kutumia kujikinga na kujitibu nayo.Na jambo zuri kuliko yote ni kuwa huhitaji kutoka hata jikoni kwako ili kupata nafuu ya ugonjwa wowote ukiwa na mafuta ya habbat soda karibu yako.Mtishamba huu wa ajabu utaendelea kubaki kwenye vitabu vizazi na vizazi vingi vijavyo kama moja ya tiba asili mhimu zaidi iliyowahi kujulikana na binadamu.

MAFUTA YA PEPE NI DAWA KWA KILA UGONJWA ISIPOKUWA KIFO(0658247651 whsp)Hii ni orodha ya magonjwa 89 kwanzaInapotokea wafalme wa Misri, Malkia wa Ulaya, Mitume na wanasayansi wa kisasa wanakuja na kukubaliana katika jambo moja, ni mhimu kudadisi juu ya jambo hilo. Ingawa nyakati za sasa tunazungukwa na taarifa na elimu nyingi kuliko katika wakati mwingine wowote, bado tunahitaji kujifunza vitu kutokana na historia na maisha ya kale.Kutoka kwa baba wa sayansi ya matibabu katika nchi za magharibi Hippocrates kwenda mpaka kwa kiongozi wa mfumo wa mwisho wa kifarao Cleopatra hadi kwa mfalme Tut na jamii iliyofuata, kitu cha pekee ambacho walikuwa wakifanana viongozi hawa kwa pamoja ilikuwa ni thamani waliyoiona katika mtishamba fulani.Mtishamba au mmea huo ambao viongozi hao walikutana pamoja si mwingine bali ni Pepe. Pepe ndilo jina linalotumika zaidi mashariki ya kati na huko ulaya hujulikana zaidi kama ‘black seeds’.0658247651 whsp)Kwahiyo niliamua kuchukua muda kusoma na kupeleleza zaidi kuhusu PEPE kwa ajili yangu mwenyewe na ya wasomaji wangu ili hatimaye niweze kukuletea mwanga kamili juu ya mengi yanayosemwa kuhusu mafuta ya PEPE.Unaweza kuwa umesikia majina tofauti tofauti ya PEpe kutegemea na sehemu gani ya dunia ulipo. Haya ni moja ya majina yake:*Kalonji Oil*Black Cumin Seed Oil*Nigella Seeds*Graine De Nigelle*Black Onion Seeds*SchwarzkummelMafuta ya PEPE yanatokana na mbegu za Pepe na mbegu hizi huwa ni nyeusi na ndiyo maana kwa kiingereza wanaita ‘black seed’. Kuna mashine nyingi za nyumbani unazoweza kutumia kutengeneza mafuta yako mwenyewe kutoka katika mbegu za Pepe ingawa bado nakushauri ununuwe yale ambayo yameandaliwa tayari.PEPE ina sifa hizi:*Huondoa bakteria mwilini*Huondoa uvimbe*Huondoa sumu mwilini*Inaondoa fangasi*Inatibu kansa*Inatibu pumu*Inadhibiti kazi za histamini*Inaua virusi*Inazuia damu kugandaVitu viwili mhimu zaidi ambavyo mafuta haya yanavyo ni ‘thymoquinone’ na ‘thymohydroquinone’.Vimeng’enya hivi viwili ndivyo vinaweza kusemwa kuwa ndiyo sababu ya mafuta haya kuwa ni dawa kwa kila ugonjwa. Vinaimarisha moja kwa moja kinga yako ya mwili na kuifanya ipatikane wakati wowote itakapohitajika na mwili. Vimeng’enya hivi viwili ndivyo inaaminika ndiyo sababu mfalme Tut alipatikana na chupa ya mafuta ya Pepe kwenye kaburi lake akitumaini kuyachukua na kuyatumia atakapofufuka!Mtume Muhammad (S.A.W) amewahi kunukuliwa akisema ‘Mafuta ya PePe ni dawa kwa kila ugonjwa isipokuwa kifo’Mbegu za PEPe zinatoka katika majani ya mmea ujulikanao kama ‘Nigella Sativa’ na unalimwa karibu katika kila pembe ya dunia kwa sasa. Asili yake ni Afrika kaskazini, mediterania/ulaya na Asia na kutoka hapo umesambaa kila sehemu ya dunia. PEPE inachukuliwa kama moja ya dawa za asili bora zaidi kuwahi kutokea.Nini yanachoweza kufanya mwilini haya mafuta ya Pepe? kuna matumizi mengi ya PEpe katika kutibu na kukinga magonjwa mbalimbali. Hapa nimejaribu kukusanya baadhi ya magonjwa 89 ambayo unaweza kujitibu kwa kutumia PEPE.Kama kawaida unapewa angalizo kutotumia dawa yoyote bila uangalizi wa karibu wa daktari Majani ya PEPEMagonjwa 89 yanayoweza kutibika na habbat soda ni pamoja na:1. Yanaimarisha afya ya moyoAfya mbovu ya moyo inaweza kuwa ni matokeo ya sababu nyingi lakini sababu zote chanzo chake kikuu ni matokeo ya kutokuupa moyo virutubishi unavyovihitaji.Mafuta ya PEPE yana asidi mafuta safi na yenye Omega 6 na 9, pia yana kirutubishi kingine mhimu zaidi kijulikanacho kama “phytosterols” ambacho husaidia kulazimisha kusinyaa na kutanuka kwa mishipa ya damu na hivyo kusaidia kuzuia damu kuganda na kujikaza katika ateri. Viinilishe hivi pia husaidia kushusha lehemu kwenye damu na kiasi cha damu sukari.Kwa karne nyingi mafuta ya PEPE yamekuwa yakitumika kutibu matatizo mengi yanayohusiana na moyo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili2. Hupigana na maambukizi ya fangasiMaambukizi ya fangasi yanatokea wakati bakteria wanapozidi juu ya ngozi yako na kupelekea kutokea kwa magonjwa mengi ikiwemo miwasho, upele na ukurutu. Tafiti zinaonyesha mafuta ya PEPE ni mazuri kwa tiba karibu kwa kila aina ya fangasi kitu kinachopelekea wanasayansi wengi kuamini kuwa PEPe ni dawa ya asili na mbadala mhimu zaidi kwa kila mtu kuwa nayo nyumbani.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja. Mengine pakaa kama mafuta yako ya kupakaa sehemu yenye muwasho kutwa mara 2 hadi 3.3. Hudhibiti Aleji (mzio)Wengi wetu tunapatwa na aleji na kutokewa na chafya au mafua yasiyoisha na kupelekea kushuka kwa kinga yetu ya mwili. Kutumia mafuta asili ya PEPE kwa ajili ya kutibu aleji kunaweza kuleta matokeo mazuri bila gharama kubwa. Na siyo kwamba mafuta haya yatakupa nafuu kwa haraka sana dhidi ya aleji tu, bali pia yatakufanya kujisikia nafuu haraka zaidi kuliko dawa nyingine nyingi za kutibu aleji za viwandani zilizopo sokoni leo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili.4. Ni mafuta mazuri kwa ajili ya ngozi yakoIwe ni muonekano au afya ya ngozi kwa ujumla, ipo sababu kwanini watu wanapenda kuwa na ngozi ya kupendeza na yenye afya. Mafuta ya PEpE yana asidi mafuta mhimu zaidi, yana vitamini nyingi, yana viondoa sumu vya kutosha na asidi amino mhimu ambazo miili yetu huzihitaji. Mafuta ya PEPE ni mafuta safi ya ngozi kwa nyakati zote za siku na kwa siku zote. Mafuta haya pia yanasaidia ngozi kutokuungua moja kwa moja na miale ya jua huku yakizuia usizeeke haraka kwa kuondoa mikunjo yoyote kwenye ngozi yako.Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku5. Hutibu kansa ya ngozi (Melanoma)Kansa ni matokeo ya kinasaba cha damu (DNA) kujizidisha au kujizalisha mara nyingi na kwa haraka zaidi dhidi ya uwezo wa kinga ya mwili. Mara nyingi kansa hutokeza vivimbe sehemu mbalimbali mwilini. Mafuta ya PEPE yana virutubishi vingine viwili ambavyo ni ‘thymoquinone’ na ‘thymohydroquinone’ ambavyo utafiti unaonyesha huwa vina uwezo wa kudhibiti kansa kwenye ngozi na kansa nyingine mbalimbali mwilini. Hii ni kutokana na sifa yake ya haya mafuta katika kuzuia uvimbe na bakteria, sifa kuu mbili za habbat soda.Pepe hufanya hivyo kwa kuzilenga seli zako nyeupe za damu kwa kuziongezea kinga ya mwili na hivyo kuua seli za kansa.Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku.6. Hutibu chunusiChunusi ni matokeo ya moja kwa moja ya vivimbe kwenye ngozi hasa ya paji la uso na usoni kwa ujumla. Mafuta haya yanaondoa uvimbe wa aina yoyote kwenye ngozi na kuitengeneza upya ngozi huku yakiiacha nyororo na muonekano wake wa asili. Mafuta ya PEPE yamekuwa yakitumika kwa ajili hii ya kutunza na kutibu maradhi mbalimbali ya ngozi na wafalme na malkia wengi katika historia yote ya dunia.Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku. Unaweza pia kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku kusafisha mwili ndani7. Hutibu maambukiziMaambukizi ya aina yote hupigwa na kinga ya mwili hasa na seli nyeupe za damu ndizo zinazohusika na kazi hiyo. Kwa kuiongezea nguvu kinga ya mwili moja kwa moja, PEPe soda yanausaidia mwili wako kupigana na maambukizi kutoka kwenye nywele kichani mpaka kwenye kucha. Hii ni sifa ya pekee ya PEPE ambayo imekuwa ikijulikana kuwa nayo katika historia yote ya dunia tangu enzi hata leo bado ni moja ya dawa za asili zenye nguvu ya kupigana na maambukizi ya aina nyingi ya mwili.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili8. Hutibu tatizo la ugumbaUgumba unaweza kutokea kutokana na sababu nyingine nyingi, ingawa imethibitishwa pasipo na shaka kwamba mafuta ya PePe yamewasaidia wengi kuimarisha afya zao za uzazi. Kwa wale wote wenye tatizo la uzazi au ugumba tambueni kuwa mafuta ya PEPe yamekuwa yakitumika kutibu matatizo ya ugumba kwa zaidi ya miaka 2000 sasa. Mpaka leo bado mafuta ya Pepe yanaendelea kuripotiwa kama ndiyo dawa bora zaidi ya asili kwa ajili ya kurekebisha tatizo la ugumba kwa watu wa jinsia zote mbili.Wakati huo huo mafuta ya asili ya PEPe yamethibitika kuwa dawa bora zaidi ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na hutibu tatizo la nguvu za kiume hata kama mwanaume utakuwa na umri wa miaka 120.Unachohitaji ni kuyatumia kwa kipindi kirefu hata miezi miwili au hata zaidi mfululizo kama tatizo limekuwa sugu sana.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PePe kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja mpaka mitatu.9. Huotesha nyweleMoja ya matumizi makubwa ya mafuta haya ni kuotesha nywele. Bidhaa nyingi sokoni zinazotumika kwa ajili ya kuotesha nywele zinaacha madhara makubwa zaidi kwa mtumiaji kuliko faida zake. Kwahiyo kwa wale wenye tatizo la upala, nywele zisizokuwa na kwa wale ambao nywele zao hazina afya mnashauriwa kuchagua mafuta haya kwa matatizo haya yote. Ingawa haieleweki ni kwa namna gani mafuta haya yanakuza nywele lakini wanasayansi wanaamini haya yanaweza kuwa ni matokeo ya uwezo wake mkubwa wa kuondoa sumu na protini nyingi ndani yake. Mafuta ya PEpE kwa ajili ya nywele yenyewe ni meusi kabisa kabisa na huwa mazito kidogo tofauti na yale ya kunywa na kupakaa mwilini.Matumizi: Sugulia kipande cha limao fresh eneo ambalo nywele zimenyonyoka na kisha pakaa kijiko kikubwa kimoja cha mafuta ya PEPE ya nywele na uache kama dakika 15 hadi 20, unaweza kuacha hivyo hivyo au ujisafishe na maji safi, unaweza kufanya kutwa mara 1 au 2 kwa mwezi mmoja hadi miwili10. Hutibu mafua na homaMafua na homa ni matokeo ya kushuka kwa kinga ya mwili na kadri unavyoendelea kuyavumilia magonjwa kama haya ndivyo unavyozidi kuidhoofisha zaidi kinga yako ya mwili. Kama tulivyoona kabla kuwa mafuta ya PEPE huongeza kwa haraka sana kinga ya mwili, huondoa haraka sumu mwilini na bakteria mbalimbali na hivyo kufanya kuwa ndiyo dawa nzuri ya asili dhidi ya mafua na homa za mara kwa mara.Chukua kijiko kikubwa kimoja cha mafuta haya na vijiko vitatu vikubwa vya asali changanya katika glasi moja (ml 250) ya maji ya uvuguvugu na unywe kutwa mara moja kila siku. Kitendo hiki hakitakuondolea mafua na homa pekee bali pia kitaimarisha afya yako kwa ujumla. Fanya kwa siku 7 hadi 1411. Hutibu majipuLiwe ni jipu moja au majipu mengi kwa pamoja, mafuta ya PEpE ndiyo dawa nzuri kukupatia nafuu ya haraka. Hii ni kwa sababu kwa sehemu kubwa majipu ni matokeo ya maambukizi ya bakteria na mchafuko wa damu. Na mafuta ya pEPE ni wakala mzuri wa kuondoa bakteria na kusafisha damu na hivyo kuwezesha majipu kuwa chini ya ulinzi.Unaweza kupakaa mafuta haya juu ya jipu moja kwa moja na wakati huo huo mengine unywe kama ilivyoelezwa kwenye namba 9 hapo juu. Hata hivyo ikiwa jipu ni kubwa sana na huoni nafuu hata baada ya kujaribu mafuta haya muone daktari kwa msaada zaidi.12. Hutibu kikohozi na PumuIle sifa yake kuu ya kuondoa vivimbe kwenye tyubu za koo, kitendo chake cha kuongeza kinga ya mwili, kuua bakteria na virusi ndiyo sababu za mafuta haya kutumika kutibu kikohozi na pumu.Imeandikwa katika historia kuwa mababu wa zamani wa Misri walikuwa wakitumia mafuta ya PEpE hasa kwa ajili ya kuimarisha afya ya mfumo mzima wa upumuwaji.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPE kutwa mara 1 kwa wiki 3 hadi 4 hivi13. Hutibu kuharishaMara nyingi kuharisha ni matokeo ya maambukizi ya virusi na bakteria na kama tulivyoona mafuta ya PEPe hudhibiti bakteria na virusi mbalimbali mwilini na hivyo kufanya ndiyo dawa nzuri mbadala kwa ajili ya kutibu au kuzuia kuharisha. Huweka sawa mfumo wa umeng’enyaji wa chakula na tumbo kwa ujumla na hivyo kuzuia mwili wako kupatwa na tatizo la kufunga choo. Inashauriwa kuchanganya kijiko kidogo kimoja cha chai au viwili vya mafuta ya PEPE na kikombe kimoja cha mtindi na utumie asubuhi na usiku kwa siku mbili hivi na kuharisha kutasimama.14. Hutibu shinikizo la juu la damuMafuta ya PEPe kwa ajili ya shinikizo la juu la damu ni moja kati ya matumizi makubwa ya mafuta haya kwa sasa. Ingawa haijathibitishwa rasmi kama dawa ya kutibu shinikizo la juu la damu lakini wagonjwa wengi wa shinikizo la juu la damu wameripoti kushuka kwa kiwango kikubwa cha mashinikizo yao ya damu wakati wanapotumia mafuta haya ya PEpETafiti kadhaa zimepelekea wengi kuanza kutumia mafuta ya PEPe kama dawa ya asili kwa ajili ya kutibu shinikizo la juu la damu.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPE kutwa mara 1 kwa wiki 3 hadi mwezi mmoja. Pia hakikisha unakuwa na uzito sawa kulingana na urefu wako. BP ya juu inaweza kuchelewa kupona ikiwa uzito wako upo juu ya inavyotakiwa uwe nao.15. Huondoa tatizo la kukosa usingiziTafiti zinaonyesha mafuta ya PEpE ni dawa nzuri ya asili dhidi ya tatizo la kukosa usingizi na matatizo mengine kama hayo ya kuvuruga utulivu wa usingizi kwa ujumla. Watu wengi wameripoti kupata usingizi mororo na utulivu kwa ujumla kwa kutumia PePe oil.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.16. Huzuia mishtuko na kukakamaa kwa mishipaMafuta ya Pepe ni dawa nzuri ya kuzuia kukakamaa na mishtuko mbalimbali kwenye mishipa. Unaweza kuyanywa mdomoni au unaweza kupakaa na kuchua moja kwa moja sehemu ya mishipa yenye matatizo kwa ajili ya matokeo mazuri ya haraka.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa. Pakaa na ujichuwe pia sehemu ya mishipa yenye matatizo17. Huondoa kichefuchefu na mvurugiko wa tumboMafuta ya PEpE kwa ajili ya kuondoa kichefuchefu na kuvurugika wa tumbo ni moja ya sifa nyingine kubwa ya mafuta haya.Uwezo wa mafuta haya kutibu haya matatizo mawili unatokana na nguvu yake kuhamasisha vimeng’enya vyakula vya mwili wako na kuondoa gesi tumboni.Matumizi: Kwa ajili ya kuondoa kichefuchefu changanya kijiko kidogo kimoja cha mafuta ya pEPE na glasi moja ya juisi ya tangawizi na unywe glasi moja asubuhi na nyingine jioni kila siku kwa siku mbili tatu.18. Dawa bora kwa matatizo ya menoDawa nyingine nzuri kwa matatizo ya meno kama jino kuuma, kuoza, kutoboka, kulegea nk ni mafuta ya asili ya Pepe. Kuondoa maumivu ya jino unachohitaji kufanya ni kunyunyiza matone kadhaa ya mafuta haya juu ya hilo jino na utulie tuli kama dakika mbili hivi kutwa mara mbili.19. Huua seli za kansa ya damuTafiti zinaonyesha mafuta ya PEpE yanacho kitu mhimu sana kiitwacho kwa kitaalamu kama “thymoquinone” ambacho huziua seli za kansa ya damu (leukemia HL-60 cells).Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa20. Hutibu saratani ya matitiMafuta ya PePe yana uwezo wa kuzuia seli za saratani ya titi kuendelea kujizalisha na inashauriwa kwa ajili ya kutibu saratani ya titi yatumike kwa kipindi kirefu miezi hata miwili au zaidi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku21. Hutibu saratani ya utumbo mpanaKimeng’enya kiitwacho ‘thymoquinone’ kilichomo kwenye mafuta ya PEpE na sifa yake kubwa ya kuondoa sumu ndivyo vitu viwili vinavyoyawezesha mafuta ya Pepe kuzishambulia na kuziua seli za saratani ya utumbo mpana (colon cancer). Yanabaki kuwa ndiyo dawa mbadala bora zaidi kwa saratani ya utumbo mpana inayosumbua watu wengi miaka ya karibuni.PEpe oil si dawa ya magonjwa mengine mengi tu bali pia ni moja ya vitu mhimu sana katika kuzuia kukua, kujizidisha au kujizalisha upya kwa seli mbalimbali za kansa.Uwezo wa mafuta ya Pepe kudhibiti uongezekaji wa seli za kansa unashawishi sana kiasi kwamba madaktari wengi wamekiri kuwa ni dawa moja bora sana mbadala dhidi ya saratani ya kwenye utumbo mpana.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone22. Hutibu fangasi ya ngozi na mapunyeFangasi, mapunye, ukurutu na magonjwa mengi ya ngozi yanaweza kutibika kwa kutumia mafuta ya pepe. Fangasi na mapunye ni tatizo linalowapata watu wengi karibu kila sehemu katika nchi tajiri hata katika nchi maskini pia.Unaweza kuyanywa mdomoni na wakati huo huo ukapaka moja kwa moja juu ya ngozi sehemu yenye tatizo kwa majuma kadhaa. Kama ni kunywa basi kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kila siku mpaka upone23. Husaidia kupunguza uzitoUwezo wa mafuta ya PEpe kushusha uzito unatokana na sifa yake ya kuweza kupunguza sukari katika damu. Zaidi ya kuwa ni wakala muondoa sumu mwilini wa asili, mafuta ya Pepe husaidia pia kuongeza nguvu katika mfumo wa umeng’enyaji wa chakula na kupunguza kiasi chako cha njaa. Hii ya kudhibiti kiasi cha njaa ni mhimu sana hasa wakati unataka kudhibiti mfumo wa vyakula unavyokula.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa, usisahau pia kufanya mazoezi ya kukimbia (jogging kila siku)24. Hutibu KisukariKitu gani kimeyafanya mafuta ya PEPe kuwa ndiyo dawa nzuri ya asili dhidi ya Kisukari? Ni ule uwezo wake mkubwa wa kushusha shinikizo la damu na kusaidia wagonjwa wa Kisukari wote ambao ni tegemezi au si wategemezi wa insulin. Ni dawa nzuri kwa watu wote wenye kisukari aina ya kwanza na kisukari aina ya pili kwa wakati mmoja. Pia huboresha kwa ujumla AFYA ya damu yako.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 2 kila siku kwa mwezi mmoja hadi miwili25. Hutibu kifafa na mishtuko ya moyoDawa nyingi za kisasa zinazotumika kutibu kifafa na mishtuko ya moyo huwa zina orodha ndefu ya madhara mabaya (negative side effects) pia. Bahati nzuri kwa upande wako wewe unayesoma makala hii ni kuwa mafuta ya asili ya PEpe (black seed oil) ni dawa nzuri ya kutuliza kifafa na matokeo yaletwayo na kifafa.Baadhi ya tafiti zimeonyesha watu wenye kifafa na mishtuko ya moyo waliacha kuonyesha tabia au dalili za kifafa au mishtuko ya moyo walipotumia mafuta ya PEPe kwa wiki 4 hadi 6 huku wakitumia sambamba na dawa walizopewa hospitalini. Watafiti wengi wanasema hii ni kutokana na kiinilishe mhimu kilichomo kwenye mafuta haya kijulikanacho kama ‘thymoquinione’. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.26. Hutibu vidonda vya kooniMafuta ya PEPe yamethibitishwa kutibu vidonda vya kooni (tonsils) na kuondoa kila aina ya maumivu kooni na kuondoa uhitaji wa dawa za kuondoa maumivu (pain killers).Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa27. Hutibu kidonda ndugu (MRSA)Kidonda ndugu au kama kinavyojulikana kwa kitaalamu kama ‘Methicillin resistant Staphylococcus aureus (MSRA)’ ni ugonjwa unaoendelea kuwasumbua wataalamu wengi katika mahospitali maeneo mengi duniani. Mara nyingi hutokea kama matokeo ya kudhoofika kwa kinga ya mwili. Uwezo wa kuondoa uvimbe na sumu wa mafuta haya unayafanya kuwa dawa mbadala yenye ufanisi zaidi katika kutibu kidonda ndugu.Mafuta ya PEpe yatakusaidia kutibu kidonda cha aina hii bila shida yoyote, yatazuia pia kuendelea kuongezeka au kusambaa zaidi kwa kidonda hiki.Kama kuna matumizi mhimu sana ya dawa hii basi ni hili la kutibu vidonda mbalimbali ikiwemo kidonda ndugu kidonda ambacho huletwa na bakteria na kuwa sugu kutibika kwa dawa nyingi za kawaida.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku na upakae sehemu yenye kidonda mara 2 kila siku kwa majuma kadhaa.28. Huondoa utegemezi wa madawa ya kulevyaKutumia mafuta ya PEpe kuondoa utegemezi (uteja) kwa madawa ya kulevya na vilevi vingine ni moja ya kazi nyingine zilizothibitika kufanywa na mafuta haya.Katika majaribio, mafuta ya PEpE yameonyesha kuwa msaada mkubwa kutuliza hali ya kujisikia vibaya na mauzauza mengine yatokanayo na kuacha kutumia dawa za kulevya na wakati huo huo yameonyesha kudhibiti hamu ya kutaka kurudia tena matumizi ya madawa ya kulevya baada ya mtu kuamua kuacha.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja na nusu mpaka miwili29. Huondoa makovuIwe ni makovu ya upasuaji uliopita au ni makovu mengine yoyote, mafuta ya PEpe ndiyo dawa nzuri kwa ajili ya kuondoa makovu. Ni moja kati ya dawa mbadala chache ambazo zimethibitishwa kuondoa na kutibu makovu moja kwa moja.Matumizi: Pakaa mafuta haya sehemu yenye makovu mara 2 mpaka 3 kila siku kwa majuma kadhaa.30. Hutibu kansa ya mlango wa kizaziKansa nyingine ambayo mafuta ya PEPe yamethibitika kuitibu ni kansa ya mlango wa kizazi (cervical cancer). Hii tena inawezekana kutokana na kimeng’enya ‘thymoquinione’ kipatikanacho kwenye haya mafuta, tafiti zinaonyesha kuwa husaidia pia kwa kuziongezea nguvu na idadi seli nyeupe za damu na kuzidhibiti seli za kansa kuendelea kujizalisha.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.31. Huzuia madhara ya miale ya juaTafiti zinaonyesha kuwa watu waliokuwa wakitumia mafuta ya PEpe na kukaa kwenye jua masaa mengi walipatwa na madhara machache ya miale ya jua kulingalisha na wale ambao walikaa juani muda mrefu bila kutumia Kiasi kikubwa cha kinga ya mwili kilionekana kwa watu waliokuwa wakitumia mafuta ya PEPe. Kuna tafiti pia zinazothibitisha PEPe kuwa msaada mkubwa kwa wagonjwa wa kansa walio kwenye matibabu ya mionzi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPE kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa kama mafuta yako ya PEpe kupakaa kwenye ngozi kila siku32. Huzuia na kutibu athari za sumu ya risasiSumu ya risasi (lead) ndiyo moja ya sumu zinazowapata watu wengi dunia nzima sababu ya maendeleo ya viwanda na matumizi ya madawa ya mashambani. Risasi inaweza kuleta shida na mambo mengi kuhusiana na kazi za mwili wako kwa ujumla na kuleta matatizo katika moyo, tumbo, figo, mfumo wa fahamu, mifupa na hata katika mfumo wako wa uzai.Tafiti zimeonyesha kwamba mafuta ya PEPE kuwa na uwezo mkubwa kuzuia na kurekebisha madhara katika ubongo yaliyotokana na sumu ya risasi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPe kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa kichwani kila siku yale ya nywele nayo yamethibitika kuwa yanatibu maumivu ya kichwa na matatizo mengine mengi kuhusiana na kichwa33. Huimarisha ukuwaji wa ndevuTafiti zimeonyesha mafuta ya PEPE yanaweza kuhamasisha ubora na ukuwaji wa ndevu kidevuni. Ingawa hii siyo kazi yake hasa ya msingi, unaweza kupakaa moja kwa moja mafuta ya PEPe ya nywele juu ya kidevu chako na utaona ndevu zinakuwa na afya nzuri, zinakuwa haraka na kuziacha zenye unyevunyevu pia.34. Hutibu maumivu ya kuumwa na nyuki na nyiguUnga wa pEPe ukichanganywa na maji kidogo ni dawa nzuri kabisa ya asili kwa maumivu au uvimbe kutokana na kuumwa na wadudu kama nyigu na nyuki. Chua sehemu iliyoathiriwa na mchanganyiko huu kutwa mara mbili kwa siku 2 au 4 hivi.35. Huondoa msongamano kifuaniMwagia na uchue kwa dakika kadhaa juu ya kifua chako na mafuta ya pEPe kuondoa msongamano (makohozi, gesi nk) kifuani. Utapata matokeo mazuri zaidi kama utachanganya mafuta haya na asali kwa ajili ya hili zoezi. Unaweza pia kuamua kunywa mdomoni kijiko kidogo kimoja cha chai kila siku badala ya kupaka juu ya kifua.36. Hutibu maumivu ya sikioMafuta ya PEpE yakichanganywa na mafuta ya zeituni yanaweza kutibu maumivu ya sikio na miwasho mingine masikioni. Changanya nusu kijiko kidogo cha mafuta ya PePe na nusu kijiko kidogo kingine cha mafuta ya zeituni, pasha moto kidogo mchanganyiko huu na kuweka matone mawili matatu sikioni sehemu iliyoathirika.Unaweza kuweka skafu au kofia juu ya sikio dakika 2 baada ya kunyunyiza matone ya mchanganyiko huu na utulie sehemu moja kwa dakika kadhaa.37. Dawa nzuri ya magonjwa ya macho na kuonaMafuta ya PEPe yanaweza kutumika pia kutibu maambukizi ya kwenye macho na wakati huo huo kuongeza uwezo wa macho kuona (eyesight and vision).Yametumika pia na watu wengi kutibu maambukizi ya kwenye macho yao ambayo hupelekea macho kuwa mekundu.Ili kutibu hayo unaweza pakaa mafuta haya sehemu zinazozunguka jicho lako kabla ya kwenda kulala na unaweza kufanya zoezi hili kila siku kwa matokeo ya haraka zaidi.38. Hutibu kiharusiUnapougua kiharusi hasa usoni, mafuta ya habbat soda yanaweza kuleta nafuu haraka. Weka kiasi cha mafuta ya PEpe kwenye bakuli au sahani na usogeze pua yako karibu na mafuta na unuse nuse mafuta hayo. Chukua sekunde 10 mpaka 20 kuvuta pumzi ndani kwa nguvu na urudie zoezi. Fanya zoezi hili kila siku mpaka upone.39. Huondoa msongamano puaniPEPe oil pia hutumika kuzibua na kuondoa msongamano puani. Hii ni moja ya kazi ambayo mafuta haya yanazifanya vizuri zaidi. Unaweza kuyanywa na wakati huo huo kuyanusa puani kama nilivyoeleza kwenye namba 38 hapo juu.40. Huondoa mawe kwenye kibofu cha mkojoKutumia mafuta ya PEpe kwa ajili ya kuondoa mawe kwenye kibofu cha mkojo ni njia nzuri ya kuondoa maumivu na mawe katika kibofu cha mkojo kwa pamoja. Uwezo mkubwa ulionayo mafuta haya katika kuondoa vivimbe na sifa yake ya kuondoa sumu ndivyo vitu vinavyoyafanya mafuta haya kuwa dawa bora ya asili ya kuondoa mawe katika kibofu cha mkojo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.41. Huondoa mawe katika IniKama ilivyo kwa mawe katika kibofu cha mkojo, mawe katika ini pia yanaweza kusababisha maumivu na madhara mengine makubwa wakati ukijitibu kwa kutumia dawa za viwandani. Sifa za mafuta ya PEpe huondoa mawe katika ini kwa hali ya mwendelezo mpaka yatakapoondoka yote. Kunywa mafuta haya yakichanganywa na asali kwa matokeo mazuri zaidi. Kijiko kidogo kimoja unaongeza na asali kijiko kidogo kimoja. Tumia kwa mwezi mmoja hivi Mbegu za PEPe42. Huondoa gesi tumboniMafuta ya PEPe huusaidia mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula na hivyo kukusaidia kuondoa gesi. Pia yamethibitika kuondoa mvurugiko wa tumbo na takataka nyingine tumboni kwa haraka zaidi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku mpaka upone kabisa43. Hutibu bawasiriDawa nyingi zinazotumika kutibu bawasiri zina madhara mengine mabaya na nyingi ya hizo hazitibu kabisa bawasiri na kulazimisha wengine kufanya upasuaji.Mafuta ya PEPe kwa upande wake yanatoa suluhu ya haraka katika kutibu bawasiri zote ya nje nay a ndani na tafiti zinaonyesha yanao uwezo wa kuzuia kusambaa au kuongezeka kwa ugonjwa huu.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa sehemu yenye tatizo nje na ndani kutwa mara 2 kwa majuma kadhaa44. Huondoa maumivu ya kichwaFaida nyingine mhimu ya mafuta ya Pepe ni uwezo wake katika kutibu maumivu ya kichwa na kipanda uso. Kwa karne nyingi Waarabu na Wazungu wamekuwa wakitumia mafuta haya kwa kupaka maeneo ya karibu na pua, macho na sehemu ya mbele ya kichwa ili kuondoa maumivu ya kichwa. Hata ukiyanywa kijiko kidogo kimoja kila siku maumivu ya kichwa yatapotea.Pia yale meusi kwa ajili ya nywele nayo yanaondoa maumivu ya kichwa na hili nimelishuhudia mimi mwenyewe nilikuwa na tatizo la kuumwa kichwa mara kwa mara sababu ya kukaa kwenye computer masaa mengi lakini tangu nianze kutumia mafuta haya sijawahi kuumwa kichwa tena.45. Huongeza kinga ya mwiliUnaweza kutumia mafuta ya PEpe kuimarisha kinga yako ya mwili kwa ujumla na hivyo kuongeza ulinzi wa mwili wako dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo dhidi ya bakteria na virusi. Mafuta ya PEpe ndiyo bidhaa pekee ya asili iwezayo kuimarisha kinga yako ya mwili kwa muda mfupi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku mpaka kinga yako imeimarika. Unaweza kutumia pia mafuta haya hata kama huumwi chochote.46. Husaidia mama anayenyonyeshaMafuta ya PEpe yakitumika na mama anayenyonyesha husaidia kuongezeka kwa uzalishwaji wa maziwa. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku.47. Huongeza kumbukumbuUtafiti unaonyesha kuwa mafuta ya PEpe yana uwezo wa kuongeza uwezo wako wa kumbukumbu, ufahamu na umakini. Karibuni imethibitika PePe yanaweza kuongeza uwezo wa kukumbuka vitu kwa haraka vikiwemo vya muda mfupi na hata vile vya muda mrefu.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEPe kutwa mara 1 kila siku mpaka hali yako ya kukumbuka vitu imekaa sawa.48. Huondoa madoa meusi kwenye ngoziMoja ya kazi za mafuta ya PEpe ambazo wengi hawazijuwi ni hii ya kuondoa madoadoa au mabaka meusi juu ya ngozi. Unachohitaji ni kuyatumia kama mafuta yako ya kupakaa kila siku na hutachelewa kuona matokeo.49. Huondoa maumivu ya kung’atwa na waduduWadudu kama mbu na wengine wanapokuuma huacha pia maumivu fulani na hata uvimbe. Kupaka mafuta haya juu ya eneo lililoathirika kutasaidia kuondoa maumivu na uvimbe au muwasho wowote sababu ya wadudu hao.50. Hutibu kukauka kwa midomo (Lips)Tatizo hili la midomo ya nje (lips) kukauka limepelekea kutengenezwa kwa bidhaa nyingi za viwandani kwa ajili hiyo na wanawake ndiyo wanaonekana kuzitumia zaidi huku baadhi ya bidhaa hizo zikiripotiwa kusababisha baadhi ya saratani.Mafuta mhimu (essential oils) yapatikanayo katika mafuta ya PEpe yanaweza kuzuia kukauka kwa mdomo na kuzalisha upya ngozi kwenye sehemu za nje ya mdomo (lips) na kukuachia rangi safi ya asili ya lips zako bila madhara yoyote mabaya hapo baadaye.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya PEpe kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa sehemu ya lips zako kila siku.51. Yanatibu kufunga chooKama vile yanavyokusaidia katika mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula ndivyo yanavyokusaidia pia kwa tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu sana. Kuna watu wengine asipopata choo hata siku mbili haoni kama ni tatizo kwake na mwingine amezoea kupata choo kigumu kila siku na anaona ni kawaida tu.Kufunga choo au kupata choo kigumu sana kila mara ni ishara mbaya kuhusu afya yako. Ni dalili ya moja kwa moja kuwa huna maji ya kutosha mwilini au maji unayokunywa hayabaki mwilini na yanapitiliza kwenda nje bila kutumika na mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula.Mafuta ya PEpe yanatibu tatizo la kufunga choo (constipation) bila shida yoyote. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha mafuta haya kila baada ya chakula cha mchana na baada ya chakula cha usiku kwa matokeo ya haraka.52. Hutibu maumivu ya mgongo na mishipaUnaweza kupunguza mahitaji ya dawa za kuondoa maumivu ya mgongo na mishipa kwa kupaka au kujichua na mafuta ya PEPe sehemu yenye maumivu moja kwa moja. Hutakawia kuona nafuu kwa haraka.53. Husaidia kuondoa maumivu ya tumboKwa matatizo mengi ya tumbo, mafuta ya PePe yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kukupa nafuu kwa haraka. Kuondoa maumivu ya tumbo ni moja ya kazi kubwa inayotambulika na wengi ya mafuta ya pepe. Kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku baada ya kula chakula cha usiku kwa matokeo ya haraka.54. Huondoa maambukizi kwenye fiziMaumivu na maambukizi kwenye fizi za meno vinaweza kuondolewa kwa kutumia mafuta ya PEPe.Uwezo wake wa kuondoa sumu na uvimbe ndiyo sababu ya madaktari wengi kupendekeza itumike kutibu maambukizi kwenye fizi. Unaweza kutumia kama dawa yako ya mswaki pia uyanywe kijiko kidogo kimoja kila siku.55. Hutibu U.T.IMaambukizi na matatizo mengi kwenye kibofu cha mkojo na njia ya mkojo kwa ujumla yanatibika na mafuta ya habbat soda ikiwemo ugonjwa wa U.T.I (yutiai) unaowasumbua watu wengi miaka ya karibuni.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.56. Huzuia mdomo kukaukaKutibu tatizo la mdomo kukauka chukua kijiko kidogo kimoja cha mafuta haya na weka mdomoni kwa sekunde 30 hivi. Jigeuzegeuze kichwa na mdomo kuhakikisha mafuta yanagusa kila sehemu za mdomo wako kabla ya kutema au unaweza hata kuyameza. Kisha safisha mdomo na kinywaji kingine kitamu kama juisi hivi au asali kuondoa radha yake ya ukakasi.57. Huzuia pua kuvuja damuHaya ni moja ya matumizi ya asili ya mafuta ya PEpe nyakati za joto katika majira ya kiangazi katika jamii nyingi mashariki ya kati. Kama unapata tatizo la pua kuvuja damu unachotakiwa kufanya ni kuweka matone mawili au matatu ya mafuta haya ndani ya pua zako na ukae utulie uone kazi ya mafuta ya Pepe kuzuia damu kuvuja puani.58. Huondoa majeraha ya kuungua motoKupaka mafuta ya PEpE juu ya majeraha ya kuungua kwa moto au maji ya moto kumethibitika kuponya majeraha hayo na kuzalisha upya ngozi.Kuondoa majeraha hayo chua eneo lenye athari ukitumia mafuta ya asili ya PEpe kwa kuondoa maumivu haraka na kuizalisha upya ngozi yako.59. Hutibu mba kichwaniMafuta haya si mazuri kwa ajili ya kukuza au kuotesha nywele zako tu, bali pia huhamasisha ukuwaji wa vinyweleo vya ngozi na hata kuzuia na kutibu mba. Unachohitaji kufanya ni kupaka mafuta ya kutosha ya PEPe ya nywele kichwani kwako na uache kama dakika 30 hadi 60 hivi na unaweza kujisafisha au kuacha hivi mpaka utakapoenda kuoga tena.Na mafuta haya unapoweka kichwani yanadondoka kidogo kidogo hadi kwenye ubongo na utaona vitu kama maumivu ya kichwa vinaanza kuisha taratibu.60. Huondoa maumivu kwenye maungioMoja ya matumizi yanayojulikana na wengi zaidi ya mafuta ya PEpe ni kutibu maumivu ya kwenye maungio (joints) mbalimbali mwilini. Utapata nafuu ya haraka ukitumia mafuta haya kuondoa maumivu katika maungio.Unaweza kujichua ukitumia mafuta haya moja kwa moja sehemu yenye maumivu kwa matokeo ya haraka zaidi. Pia kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku kwa matokeo mazuri zaidi.61. Huzuia kudhurika kwa figo kama matokeo ya KisukariUkiacha ukweli kwamba mafuta ya PEpe ni dawa mbadala nzuri kabisa ya kutibu Shinikizo la juu la damu na Kisukari pia ni dawa ya kuzuia kudhurika kwa figo kama matokeo ya kuugua ugonjwa wa kisukari.Sababu ya hili ni kutokana na viinilishe mhimu sana vilivyomo kwenye PEpe ambayo hujulikana pia kama ‘nigella sativa’ au ‘black seeds’.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku62. Huweka sawa mzunguko wa hedhiMafuta haya yana kazi mhimu sana linalopokuja suala la kulinda na kutibu matatizo mbalimbali ya uzazi. Matatizo karibu yote ya uzazi kama maumivu ya tumbo chini ya kitovu, siku za mwezi zisizoeleweka au kutokuwa na mzunguko maalumu, kukosa hedhi, matatizo katika mfuko wa uzazi na hata maumivu wakati wa tendo la ndoa.Ni dawa nzuri kutumika hata kwa wamama wakubwa wanaopatwa na matatizo kutokana na kusimama kuona siku zao. Unaweza kuyanywa kijiko kidogo kimoja kila siku na hata kupaka ndani ya uke mara kwa mara kwani hutumika pia kutibu .U.T.I na fangasi za ukeni.63. Mazuri wakati wa ujauzitoInasisitizwa kuwasiliana na daktari wako wakati wa ujauzito kabla ya kuamua kutumia dawa yoyote. Hata hivyo mafuta ya PEpE yameonyesha matokeo chanya hata yakitumika wakati wa ujauzito ingawa bado hakuna hitimisho la jumla ikiwa yatumike kwa mama mjamzito au yasitumike sababu katika baadhi ya kesi yanaonyesha kupunguza kukazika kirahisi kwa misuli ya mfuko wa nyumba ya uzazi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku64. Hutibu baridi yabisi (Arthritis)Mafuta ya PEpe yamethibitika kuwa dawa bora dhidi ya ugonjwa wa baridi yabisi, maumivu kwenye mishipa na hali ya mwili kuwaka moto kwa ujumla.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.65. Hutibu vidonda vya tumboNi moja ya dawa za asili chache zinazoweza kutibu vidonda vya tumbo moja kwa moja PePE oil yanatibu aina zote za vidonda vya tumbo!Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hadi siku 60. Vidonda vya tumbo pia upate unga wa asili wa majani ya mlonge na unga wa mbegu za maboga kwa matokeo mazuri na ya uhakika.Kumbuka pia kunywa maji mengi ya kutosha kila siku, epuka pia vinywaji na vyakula vyenye asidi nyingi.66. Yanaondoa maumivu mbalimbaliMafuta ya PEpe yanaondoa mahitaji yako kwa dawa nyingi za kuondoa maumivu (painkillers) mbalimbali mwilini. Katika kesi nyingi mafuta ya Pepe yanaweza kuondoa kabisa mahitaji ya dawa za kuondoa maumivu.Uwezo wake wa kuondoa vivimbe unayafanya kuwa chaguo zuri zaidi katika kutibu maumivu yote ya mwili wako kutoka kwenye nywele mpaka kwenye kucha.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.67. Hutibu kansa ya UbongoMafuta ya PepE ni msaada mkubwa katika kudhibiti na kusambaratisha vivimbe kwenye ubongo na seli za kansa kwenye ubongo wako. Makundi kadhaa ya watafiti wamehitimisha kuwa mafuta ya PEPE ni dawa halali ya asili kwa ajili ya kutibu kansa ya ubongo na uvimbe katika ubongo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa. Pia pakaa kichwani moja kwa moja ama mafuta ya PEPe ya kawaida au hata yale ya nywele kila siku.68. Yanapunguza wasiwasi (Anxiety)Tafiti zimeonyesha mafuta ya PEPe kuwa msaada mkubwa katika kudhibiti tabia za kuhamaki na wasiwasi na hivyo kukuwezesha kujisikia vizuri kila mara. Na utaona matokeo haya baada ya matumizi ya PEPe kwa siku 30 hivi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku 69. Huondoa huzuni na mfadhaiko (stress)Tafiti kadhaa zimeonyesha watu waliokuwa wakitumia mafuta ya PEPe wanakuwa ni watu wenye furaha ya asili na kuwa si wepesi kuwa na huzuni au kufadhaika. Kazi hii ya mafuta ya PEpe ndiyo mhimu kuliko zote sababu mamilioni ya watu wanakabiliwa na tatizo la kuwa na huzuni au stress na mifadhaiko ya akili kitendo ambacho kinaweza kuharibu kinga zao za mwili na maisha kwa ujumla.Ni vigumu sana kupata mtishamba ambao unaweza kutibu matatizo yanayohusiana na saikolojia moja kwa moja lakini mafuta ya Pepe yanaweza kutumika kwa dhumuni hili la kutuliza, kupunguza na kutibu tatizo la huzuni au kufadhaika kwa akili.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku na kwa matokeo mazuri pata pia unga wa mbegu za maboga zilizokaangwa kidogo na chumvi ya mawe ya baharini, tumia muda mrefu hata miezi miwili hata zaidi ikibidi.70. Hutibu kizunguzunguHistoria nyingine katika matumizi ya mafuta ya PePe ni katika kutibu kizunguzungu. Mafuta ya Pepe yanatambulika kwa kutibu kizunguzungu na kile unachotakiwa kufanya ni kujichua shingoni na mashavuni kwa kutumia mafuta ya PePe na dalili za kizunguzungu zinatakiwa zianze kupotea mara moja. Fanya zoezi hili kwa wiki 2 hivi71. Hutibu KiunguliaFaida nyigine kubwa ya mafuta ya PEpe ni kuwa ni dawa ya asili dhidi ya kiungulia. Ingawa kuna tafiti chache zinazoweza kuthibitisha hili, bado historia inaonyesha mafuta ya PEpe yamekuwa yakitumika kutibu kiungulia kwa karne nyingi.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa72. Huzuia na kutibu tatizo la kupoteza kumbukumbuKumekuwa na tafiti nyingi hivi karibuni ambazo zimeonyesha mafuta ya Pepe kuwa msaada mkubwa kwa kuzuia na kupunguza kuongezeka kwa dalili za ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (Alzheimer). Matokeo yalionyesha kwamba yakitumika kila siku kijiko kidogo kimoja hadi viwili vya chai huleta matokeo mazuri zaidi.73. Hutibu homa ya uti wa mgongoNguvu za mtishamba huu zimethibitika kuwa msaada mkubwa katika kutibu homa ya uti wa mgongo (meningitis). Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa mafuta ya pepe ni moja ya tiba asili nzuri zaidi kwa ajili ya homa ya uti wa mgongo inayoaminiwa hadi sasa. Kunywa kijiko kidogo kimoja hadi viwili vya mafuta haya kila siku kwa majuma kadhaa.74. Huongeza afya ya figoKuanzia kwenye ugonjwa wa figo hadi kwenye mawe ya kwenye figo, mafuta ya PEPe yamethibitika kuwa msaada mbadala kwa matatizo ya figo.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa75. Huimarisha afya ya mbegu za kiumeUkiacha uwezo wake katika kuongeza stamina na nguvu kwa wanaume na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake, mafuta haya pia hutumika kutibu tatizo la afya dhaifu la mbegu za kiume na kuongeza wingi wake kwa ujumla (semen count). Kwa mjibu wa tafiti mbalimbali, mbegu za kiume zinaonekana kuimarika na kuwa nyingi za kutosha baada ya kutumia dawa hii kwa miezi miwili kila siku.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku76. Huimarisha mifupaTafiti zimeonyesha kuwa mafuta ya PEpe yanaongeza ukuwaji wa seli za uboho wa kwenye mifupa kwa asilimia 150 yanapotumika. Hii ni kwa mjibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa kwa watu wengi mbalimbali. Kile kinashangaza zaidi ni kuwa mafuta haya yameonekana kuwa na uwezo wa kuzuia uongezekaji wa vivimbe mbalimbali walau kwa zaidi ya asilimia 50.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja hata miwili.77. Tiba asili ya chango kwa watotoUkiwa na mtoto anayesumbuliwa na chango au msokoto wa tumbo linaweza kuwa ni jambo linalokupa msongo wa mawazo maishani. Ingawa visababishi vya chango kwa watoto bado havijulikani bayana, kile ambacho kimethibitishwa ni kuwa mafuta ya habbat soda ni tiba asili kwa chango au msokoto wa tumbo kwa watoto.Ni mhimu kuanza na kiasi kidogo sana kama matone matatu hadi matano na uendelee kuongeza kiasi cha dawa kidogo kidogo kila siku.78. Hurekebisha matatizo katika tezi dumeAfya ya tezi dume ni ishu kwa wanaume wengi duniani kote na kupata dawa ya asili nzuri kwa ajili hiyo inaweza kuwa mtihani kwa wengi. Kwa bahati nzuri mafuta ya PEPe yamekuwa yakitumika kwa ajili ya kuimarisha afya ya tezi dume kwa karne nyingi sasa. Tafiti zinaonyesha kuwa ni dawa nzuri hata kwa saratani ya tezi dume.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 6.79. Huondoa udhaifu wa mwili kwa ujumla (lethargy)Wengi wetu tunapatwa na kupungukiwa na nguvu za mwili na wakati fulani nguvu zote za mwili kwa ujumla na nguvu za ubongo na za kiroho pia. Kwa ajili ya matatizo ya udhaifu wa mwili iwe kimwili, kiakili na hata kiroho hakuna dawa nyingine ya asili iwezayo kurekebisha hali hizo kama yawezavyo kufanya hivyo mafuta asili ya PEpe.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku80. Huondoa uchovu suguKutoka kwenye maelezo yaliyotangulia hapo juu, mafuta haya pia yamethibitika kuondoa uchovu sugu wa aina zote na kuupa nguvu mpya mwili. Matumizi yake ni kama kwenye namba 79 hapo juu.81. Huhamasisha uzalishwaji wa mkojoFaida nyingine kubwa ya mafuta ya PEpE ni uwezo wake wa kuhamasisha uzalishwaji wa mkojo. Matatizo mengi ya kibofu cha mkojo na tezi dume yamekuwa yakitibiwa kwa kutumia mafuta ya PEpe kwa zaidi ya miaka 2000 sasa na tafiti zimethibitisha hivi karibuni faida hizi za mafuta ya PePe katika majaribio ya kimaabara yakionyesha kuimarisha sana kwa afya ya tezi dume na kazi zake kwa ujumla.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.82. Huzuia madhara yatokanayo na shambulio la moyoKama tulivyoona pale mwanzo kabisa kuwa mafuta ya PEPe yamekuwa yakitumika miaka mingi kutibu matatizo mbalimbali ya moyo, vivyo hivyo yameonekana kuzuia madhara ya pili yatokanayo na shambulio la moyo (heart attack) na magonjwa mengine kwenye mfumo wa upumuwaji kwa ujumla.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.83. Husaidia kuongeza damu mwiliniWengi wetu tunakumbwa na tatizo la kupungukiwa damu (anemia) na hili linaweza kuiweka miili yetu katika hali ya hatari zaidi. Kwa mara nyingine tena mafatu ya Pepe yanaonek kuokoa tatizo hili baya la kiafya.Yamethibitika kutibu tatizo la upungufu wa damu moja kwa moja.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa84. Huondoa vimelea vya magonjwaMafuta ya PEpe ni kinga dhidi ya vimelea (parasites) vingi vya magonjwa na huvitafuta na kuviua vimelea hivi popote vitakapokuwa ndani ya mwili. Hufanya kazi hii kwa kuvilevya hivyo vimelea na kuupa urahisi mwili kuviangamiza.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa85. Husaidia kupunguza uzitoKwa sababu uzito na unene kupita kiasi huhusiana pia na matatizo mengine ya kutofanya kazi kwa kinga ya mwili, ukaidi wa insulin, kansa na matatizo mengi katika mfumo wa upumuwaji, ndipo mafuta ya Pepe yanapokuja kuwa mhimu kwa ajili ya kupunguza uzito na unene kupita kiasi.Mafuta ya PEpe yamethibitika na watafiti wengi kote duniani kuwa msaada mkubwa kwa wale wanaotaka kupunguza uzito.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 6.Usisahau pia kufanya mazoezi ya kukimbia (jogging) kila siku dakika 60, epuka kukaa kwenye kiti masaa mengi na ubadili chakula unachokula kila mara hasa uepuke vyakula vya wanga na vile vyenye mafuta mengi na unywe maji ya kutosha kila siku.86. Huziua seli za kansa za aina nyingiHutibu na kuziua seli za karibu kansa za aina zote, kansa ya mdomoni, kansa ya ini, kansa ya kongosho nk. Tafiti zimeonyesha mafuta ya PEpe kuwa dawa nzuri dhidi ya kansa mbalimbali mwilini kwa kuzuia uongezekaji wa seli za kansa na kusambaratisha kansa zenyewe katika baadhi ya kesi.Hufanya kazi hii kwanza kwa kuiimarisha kinga yako ya mwili na kuziua seli zenyewe za kansa moja kwa moja.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja hadi miwili.87. Huongeza afya ya iniMafuta ya Pepe yanaimairisha afya ya ini kwa ujumla na kuimarisha kinga ya mwili. Ni dawa nzuri kutibu matatizo mengi ya ini hata kama familia yenu wote mna historia ya kuugua ugonjwa wa ini.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa88. Huondoa sumu mwiliniTatizo la mwili kuwa na sumu ni tatizo kubwa kwa watu wengi miaka ya karibuni na kupata mtishamba au dawa ya asili kwa ajili ya kuondoa sumu bado ni mtihani kwa watu wengi. Kwa bahati nzuri kwa upande wako umepata mafuta ya PEPE. Mafuta ya PePe yamethibitika kuondoa sumu kila sehemu ya mwili yanapotumika.Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 689. Huondoa hali ya kuchanganyikiwa (Schizophrenia)Kutokana na sifa yake ya kuondoa vivimbe na sumu mwilini mafuta ya PEpe yanaweza kutumika pia kutibu ishara na dalili za kuchanganyikiwa. Tafiti zimeonyesha mafuta ya PEpe yakitumiwa na watu wenye kuchanganyikiwa wanapata nafuu haraka ya tatizo hilo ukilinganisha na wale wasiotumia mafuta haya. Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.Hitimisho:Ni rahisi kuelewa kuwa faida nyingi ambazo mafuta ya Pepe inazo zinawashangaza bado watu wengi. Unaweza kudhani hayo hayawezekani kwa mtishamba wa asili kutoa tiba kwa magonjwa mengi namna hiyo! Kile ninachojuwa ni kuwa ukweli hujieleza wenyewe.Kiasi cha faida kinachopatikana katika mafuta haya ukilinganisha na bei yake ndicho kinachowafanya watu wengi wabaki na mshangao usioisha!Watu wengi wanashangaa ni kwanini makampuni mengi ya madawa yatumie mabilioni ya pesa kutengeneza dawa mbalimbali kwa magonjwa mengi ambayo yangeweza kutibika kwa kutumia mafuta ya PePe tu kama tulivyoona hapo juu.Ukiacha hayo, kupata hospitali na ukapata matibabu sahihi na kwa gharama nafuu bado ni changamoto katika nchi nyingi maskini na nyingi ya dawa zinakulazimu kuendelea kuzitumia kwa kipindi kirefu na pengine bila hata uhakika wa wewe kuja kupona.Bahati nzuri kwa wewe ambaye umebahatika kupata habari hizi za Pepe na umeweza kuona ni magonjwa mangapi unaweza kutumia kujikinga na kujitibu nayo.Na jambo zuri kuliko yote ni kuwa huhitaji kutoka hata jikoni kwako ili kupata nafuu ya ugonjwa wowote ukiwa na mafuta ya habbat soda karibu yako.Mtishamba huu wa ajabu utaendelea kubaki kwenye vitabu vizazi na vizazi vingi vijavyo kama moja ya tiba asili mhimu zaidi iliyowahi kujulikana na binadamu.

💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 👰💍MBINU ZA KUFANYA ILI MPENZI WAKO AKUOE👰💍💍💍 💍Mwali kuolewa katika maisha ni jambo muhimu sana,ndio maana inaelezwa matukio muhimu katika maisha ni kuzaliwa,ndoa na kifo  💍Ndoa ni heshima mwali na ni fahari ya mwanamke hata kama usome hadi mwisho lkn swala la ndoa ni muhim sana hata kama umezeeka👌👌hakuna asiotamani kuolewa mwali wangu upoo👌japo siku hiz watu wanajifariji kwa kauli zao eti waowaji hawapo😤nyoo kakudanganya nani??waoaji wapo sana na hakijabadilika kitu👌 💍💍Leo ntashare tips kadhaa zitakazokusaidia kumuweka boy wako sawa hatimae aone wewe ni wife material,unafaa kuwa mama watoto wake ndani ya nyumba yake upo mwali👌👌👌  💍💍💍Unapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au kakutamani tu. Kitu ambacho watu hua wanasahau ni kwamba hata mtu aliyekutamani tu unaweza ukampa mwongozo/sababu mpaka mwenyewe akajikuta anakupenda kuliko ambavyo angeweza kutarajia kwamba angewahi kupenda. 👌👌  💍💍💍💧MAMBO UNAYOTAKIWA KUFANYA👇👇👇💍👰👰  1. Usiigize. Maigizo waachie wasanii wetu, kuwa vile ulivyo kweli kimaisha/kitabia,mwache akupende hivyohivyo ulivyo sio unaweka maigizo alafu mwisho wa siku unajisahau unaweka tabia zako halisi hii inaweza fanya kidume afikilie upya uamuz wa kukuoa au la. 💕💕💕 2. Don't move too fast/act desperate. Usitumie ule muda wa mwanzo kabisa wa mahusiano yenu kutaka kujua "una malengo gani na mie?" "utanioa?" "Kanitambulishe/nataka nikakutambulishe." n.k Mpe nafasi ya kukusoma na kupata kujua wewe ni mtu wa aina gani, je unafanania na mwanamke ambae angependa kuwa nae kwa muda mrefu, possibly hata ndoani? Na wewe nawe tumia muda huo kufanya kitu hicho hicho. 💕💕💕 3.Don't be too demanding. Huyo sio baba yako wala sio mume just yet, hivyo chochote atakachokufanyia kinatokana na yeye kutaka/kupenda kufanya hivyo na sio kwakulazimishwa na wewe,mwache aamue mwenyewe japo kumweleza shida zako au mambo unayotaka ni Haki yako lkn angalia vilivyo ndani ya uwezo wake,ila usiwe omba omba sana ndio maana siku hiz wanaume wanaoa wanawake wenye shughuli zao kuepuka hili,sasa ili kuondoa hilo jishughulishe usimtegemee sana yeye kwa kila kitu 💕💕💕 4. Kuwa na shukurani. Learn to appreciate all that he does for you, that way ataona umuhimu wa hayo anayokufanyia, yawe makubwa au madogo hii ni kitu muhimu sana 💕💕💕 5. Be real. Badala ya kufika kwake na kuanza kushangaa anaishije bila ya mfanyakazi wa ndani huku ukitamba kuwa wewe huwezi, shangaa anawezaje weka nyumba yake katika hali nzuri mwenyewe bila ya msaada. Hii itaonyesha fika wewe utakua mke wa aina gani hapo baadae, kama ni wale wakukaa miguu juu huku wakiagiza hata maji waliyoombwa na mume au la. 💕💕💕 6. Learn to cook if you don't know how to. Waliosema "the way to a man's heart is through his stomach" hawakukosea. Ukiachilia mbali wale watu wachache wanaokula ili kushiba wengi hua wanajali ladha. Hiyo ndio hua inawaongezea hamu ya kula na kuwarudisha nyumbani mapema pia kuwafanya wakumiss pale inaposhindikana kula chakula chako . Kwakumwonyesha mwanaume kwamba hata tumbo lake unaweza kuliridhisha unamwongezea sababu za kukuweka kwenye maisha yake. 💕💕💕💕💕 7. Mheshimu. Mpe heshima yake kama mwanaume wako ila usimwogope. Wengine wote usiwape nafasi kumfanya ajisikie kwamba haheshimiki. 💕💕💕💕 8. Kuwa ngao yake. Inapotokea anakumbwa na matatizo yoyote yale onyesha utayari wa wewe kuwa pamoja naye kwa hali na mali mpaka yatakapoisha. Pia usikose kumjali kumpa moyo pale unapoona inahitajika.hili litamfanya akuone wife material 💕💕💕 9. Kuwa muwazi. Kama kuna mambo ambayo unajua moja kwa moja yatakuwa sehemu ya mahusiano yenu (watoto) mweleze mapema ili aamue kama yuko tayari kudeal nayo au la.sio kujibebesha mimba bila kuamua na mchumba wako,ndomaana wazee wa zamani ndoa zilidumu kwasababu wengi wao walisubir ndoa ndio wakazaa watoto 💕💕💕  10. Usiwe na chuki. Kikifika kipindi cha yeye kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake onyesha ushirikiano. Usionyeshe chuki wala kujiona kana kwamba wewe ndio wewe. 💕💕💕💕 11. Give your all. Kama na nyie mtaamua kuonjeshana tunda kabla (kama ambavyo wengi wanafanya karne hii) basi kuwa mbunifu hasa mkiwa chumbani,mpe vitu adimu hadi akumis sehemu yeyote anapokua kwa ujuzi wako chumbani mpe yote bila kumbania wala aibu, kuwa mtundu na usiwe mvivu usiokua na faida 💕💕💕💕💕 12.Pendeza. Vaa/onekana vizuri unapokuwa nae nje  hata ndani pia. Usisahau kuzingatia/jali hisia zake kuhusu mavazi yako kiasi kwamba hatoona tabu kukutambulisha kwa rafiki zake,vaa mavaz kuendana na wakati mkiwa nje ila yasiwe ya nusu uchi,mwanamke stara👌👌hakuna mwanaume anaependa mwanamke asiejiheshim, wakati mwinginemavaz hutambulisha tabia zako  13. Onyesha interest kwa yale ayapendayo yeye. Usiwe mbinafsi kila siku unataka kusikilizwa wewe tu na story/mambo utakayo wewe. Uliza/jua kuhusu yale anayopenda yeye mf. mpira/siasa. 💕💕💕💕 14.Kuwa mtulivu. Usiwe mtu ambae kila saa simu yako inapigwa pigwa na wanaume wasio ndugu wala marafiki wakaribu na wanaoeleweka. Discpline ni muhimu sana. 💕💕💕💕 15.Usimzonge. Usiwe mmoja wa wale watu wanaofuatilia wenzi wao masaa yote wanapokuwa hawapo pamoja. Mpe nafasi ya kuwa na marafiki zake bila kuhitaji kuzima simu ama ku-ignore simu/text zako. 💕💕💕💕 16. Mfurahishe/chekeshe. Joke around sio muda wote yeye ndio awe wakukufurahisha wewe. 💕💕💕💕 17. Jifunze kusamehe. Mambo madogo madogo yanapoombewa msamaha samehe na uache yapite. 💕💕💕💕 18.penda sana ndugu zake Mwali unatakiwa uwapende ndugu wa huyo boy wako na wazazi wake wape heshima zote,jipendekeze kwao hao ndo watakaokusaidia pale mpenz wako atakapowashirikisha maamuz yake ya kukuoa 💕💕💕💕 19.kuwa mshauri wake  Mwali watakiwa uwe mshauri wake ,tena tumia busara na hekima ktk kumshaur jambo lolote lile linalomuhusu na linalohusu mahusiano yenu bila kupayuka payuka 💕💕💕  20Kuwa msiri wake Unatakiwa utunze siri za mpenz wako sio kitu kidogo tu ushaenda kusimulia watu,atakuona wewe hufai pindi atakapoyasikia huko nje,mwanamke shurti uwe na kifua cha kumvumilia mpenz wako kwa shida na raha 💕💕💕 Mwisho kabisa Mshirikishe Mungu wako. Ukishaona kwamba huyo ndie basi mshirikishe yule unayemwamini ili upate mwongozo wa kiroho.🙏🏾hili ni jambo kubwa sana sanaaa.  Timiza yote hayo👆🏽na wallah ndoa itakua halali yako👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼 💍💍💍💍💍chuo cha mahaba 💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍

💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 👰💍MBINU ZA KUFANYA ILI MPENZI WAKO AKUOE👰💍💍💍 💍Mwali kuolewa katika maisha ni jambo muhimu sana,ndio maana inaelezwa matukio muhimu katika maisha ni kuzaliwa,ndoa na kifo 💍Ndoa ni heshima mwali na ni fahari ya mwanamke hata kama usome hadi mwisho lkn swala la ndoa ni muhim sana hata kama umezeeka👌👌hakuna asiotamani kuolewa mwali wangu upoo👌japo siku hiz watu wanajifariji kwa kauli zao eti waowaji hawapo😤nyoo kakudanganya nani??waoaji wapo sana na hakijabadilika kitu👌 💍💍Leo ntashare tips kadhaa zitakazokusaidia kumuweka boy wako sawa hatimae aone wewe ni wife material,unafaa kuwa mama watoto wake ndani ya nyumba yake upo mwali👌👌👌 💍💍💍Unapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au kakutamani tu. Kitu ambacho watu hua wanasahau ni kwamba hata mtu aliyekutamani tu unaweza ukampa mwongozo/sababu mpaka mwenyewe akajikuta anakupenda kuliko ambavyo angeweza kutarajia kwamba angewahi kupenda. 👌👌 💍💍💍💧MAMBO UNAYOTAKIWA KUFANYA👇👇👇💍👰👰 1. Usiigize. Maigizo waachie wasanii wetu, kuwa vile ulivyo kweli kimaisha/kitabia,mwache akupende hivyohivyo ulivyo sio unaweka maigizo alafu mwisho wa siku unajisahau unaweka tabia zako halisi hii inaweza fanya kidume afikilie upya uamuz wa kukuoa au la. 💕💕💕 2. Don't move too fast/act desperate. Usitumie ule muda wa mwanzo kabisa wa mahusiano yenu kutaka kujua "una malengo gani na mie?" "utanioa?" "Kanitambulishe/nataka nikakutambulishe." n.k Mpe nafasi ya kukusoma na kupata kujua wewe ni mtu wa aina gani, je unafanania na mwanamke ambae angependa kuwa nae kwa muda mrefu, possibly hata ndoani? Na wewe nawe tumia muda huo kufanya kitu hicho hicho. 💕💕💕 3.Don't be too demanding. Huyo sio baba yako wala sio mume just yet, hivyo chochote atakachokufanyia kinatokana na yeye kutaka/kupenda kufanya hivyo na sio kwakulazimishwa na wewe,mwache aamue mwenyewe japo kumweleza shida zako au mambo unayotaka ni Haki yako lkn angalia vilivyo ndani ya uwezo wake,ila usiwe omba omba sana ndio maana siku hiz wanaume wanaoa wanawake wenye shughuli zao kuepuka hili,sasa ili kuondoa hilo jishughulishe usimtegemee sana yeye kwa kila kitu 💕💕💕 4. Kuwa na shukurani. Learn to appreciate all that he does for you, that way ataona umuhimu wa hayo anayokufanyia, yawe makubwa au madogo hii ni kitu muhimu sana 💕💕💕 5. Be real. Badala ya kufika kwake na kuanza kushangaa anaishije bila ya mfanyakazi wa ndani huku ukitamba kuwa wewe huwezi, shangaa anawezaje weka nyumba yake katika hali nzuri mwenyewe bila ya msaada. Hii itaonyesha fika wewe utakua mke wa aina gani hapo baadae, kama ni wale wakukaa miguu juu huku wakiagiza hata maji waliyoombwa na mume au la. 💕💕💕 6. Learn to cook if you don't know how to. Waliosema "the way to a man's heart is through his stomach" hawakukosea. Ukiachilia mbali wale watu wachache wanaokula ili kushiba wengi hua wanajali ladha. Hiyo ndio hua inawaongezea hamu ya kula na kuwarudisha nyumbani mapema pia kuwafanya wakumiss pale inaposhindikana kula chakula chako . Kwakumwonyesha mwanaume kwamba hata tumbo lake unaweza kuliridhisha unamwongezea sababu za kukuweka kwenye maisha yake. 💕💕💕💕💕 7. Mheshimu. Mpe heshima yake kama mwanaume wako ila usimwogope. Wengine wote usiwape nafasi kumfanya ajisikie kwamba haheshimiki. 💕💕💕💕 8. Kuwa ngao yake. Inapotokea anakumbwa na matatizo yoyote yale onyesha utayari wa wewe kuwa pamoja naye kwa hali na mali mpaka yatakapoisha. Pia usikose kumjali kumpa moyo pale unapoona inahitajika.hili litamfanya akuone wife material 💕💕💕 9. Kuwa muwazi. Kama kuna mambo ambayo unajua moja kwa moja yatakuwa sehemu ya mahusiano yenu (watoto) mweleze mapema ili aamue kama yuko tayari kudeal nayo au la.sio kujibebesha mimba bila kuamua na mchumba wako,ndomaana wazee wa zamani ndoa zilidumu kwasababu wengi wao walisubir ndoa ndio wakazaa watoto 💕💕💕 10. Usiwe na chuki. Kikifika kipindi cha yeye kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake onyesha ushirikiano. Usionyeshe chuki wala kujiona kana kwamba wewe ndio wewe. 💕💕💕💕 11. Give your all. Kama na nyie mtaamua kuonjeshana tunda kabla (kama ambavyo wengi wanafanya karne hii) basi kuwa mbunifu hasa mkiwa chumbani,mpe vitu adimu hadi akumis sehemu yeyote anapokua kwa ujuzi wako chumbani mpe yote bila kumbania wala aibu, kuwa mtundu na usiwe mvivu usiokua na faida 💕💕💕💕💕 12.Pendeza. Vaa/onekana vizuri unapokuwa nae nje hata ndani pia. Usisahau kuzingatia/jali hisia zake kuhusu mavazi yako kiasi kwamba hatoona tabu kukutambulisha kwa rafiki zake,vaa mavaz kuendana na wakati mkiwa nje ila yasiwe ya nusu uchi,mwanamke stara👌👌hakuna mwanaume anaependa mwanamke asiejiheshim, wakati mwinginemavaz hutambulisha tabia zako 13. Onyesha interest kwa yale ayapendayo yeye. Usiwe mbinafsi kila siku unataka kusikilizwa wewe tu na story/mambo utakayo wewe. Uliza/jua kuhusu yale anayopenda yeye mf. mpira/siasa. 💕💕💕💕 14.Kuwa mtulivu. Usiwe mtu ambae kila saa simu yako inapigwa pigwa na wanaume wasio ndugu wala marafiki wakaribu na wanaoeleweka. Discpline ni muhimu sana. 💕💕💕💕 15.Usimzonge. Usiwe mmoja wa wale watu wanaofuatilia wenzi wao masaa yote wanapokuwa hawapo pamoja. Mpe nafasi ya kuwa na marafiki zake bila kuhitaji kuzima simu ama ku-ignore simu/text zako. 💕💕💕💕 16. Mfurahishe/chekeshe. Joke around sio muda wote yeye ndio awe wakukufurahisha wewe. 💕💕💕💕 17. Jifunze kusamehe. Mambo madogo madogo yanapoombewa msamaha samehe na uache yapite. 💕💕💕💕 18.penda sana ndugu zake Mwali unatakiwa uwapende ndugu wa huyo boy wako na wazazi wake wape heshima zote,jipendekeze kwao hao ndo watakaokusaidia pale mpenz wako atakapowashirikisha maamuz yake ya kukuoa 💕💕💕💕 19.kuwa mshauri wake Mwali watakiwa uwe mshauri wake ,tena tumia busara na hekima ktk kumshaur jambo lolote lile linalomuhusu na linalohusu mahusiano yenu bila kupayuka payuka 💕💕💕 20Kuwa msiri wake Unatakiwa utunze siri za mpenz wako sio kitu kidogo tu ushaenda kusimulia watu,atakuona wewe hufai pindi atakapoyasikia huko nje,mwanamke shurti uwe na kifua cha kumvumilia mpenz wako kwa shida na raha 💕💕💕 Mwisho kabisa Mshirikishe Mungu wako. Ukishaona kwamba huyo ndie basi mshirikishe yule unayemwamini ili upate mwongozo wa kiroho.🙏🏾hili ni jambo kubwa sana sanaaa. Timiza yote hayo👆🏽na wallah ndoa itakua halali yako👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼 💍💍💍💍💍chuo cha mahaba 💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍

🎀🎀JINSI YA KUMSISIMUA MWANAUME NA UMUPATIE PENZI TAMU NA LENYE KUKUFANYA AKUKUMBUKE DAIMA🎀🎀  *🅱  professional love*  (1) Ili kumsisimua mwanaume wako kwanza kabla ya yote kua mtu wa kumtega mtega kwanza..nadhani unajua mitego ilivyo...Yaani uwe unapenda kumvalia nguo laini laini ambazo zinaonyesha chupi kwa mbali Sio michoro ya chupi..hapana bali ionekane mpaka rangi..Huwa mwanaume alie rijali akiona ukanga mmoja tu...hua damu zinamkimbia na kujihisi kama ana duu vile...  (2) Muwapo faragha usiwe mvivu katika maandalizi ya kumuandaa boy wako...sisi wanaume huwa hatuna sehemu nyingi za kusisimua kama mlivyo ninyi wanawake...maana ninyi wanawake mna sehemu nyingi zaidi ya 12 ilA WANAUME NIKIASI  tu... lakn nao pia huzidiana muimu uzijuwe SEHEMU KUU ZAMUMEO SHOGAEE 🎀🎀🎀 1:Kunyonyana  pale mnaponyonyana denda hupaswi kujirudisha nyuma au kua mvivu PALE MUNAPODENDEKA MKIWA WATUPU KIKUBWA ZAIDI UNACHOTAKIWA KUFANYA HAKIKISHA MATITI YAKO YANAMSUGUA KIFUANI KWAKE ALAFU PAJA LAKO LIFANYE KAMA UNATAKA KUMPIGA KIGOTI CHA MAPUMBU SASA UNAKUA UNAINGIZA PAJA LAKO KATIKA YA MAPAJA YAKE 🎀🎀 CHUCHU ZA MATITI  Sehemu ya pili ni vichuchu vyake Vile vichuchu uvione tu vile kama vilivyo ila vimebeba shehena ya utamu kweli kweli...Sasa pale mnapodendeka hakikisha mikono yako haikosi kupita maeneo za chuchu yaani unazifanya kama unaziminya minya na kuzinyonya  MASIKIO  sehemu ya tatu ni maskio yake pia...Asikudanganye mtu kukwambia kua eti sikio ni kwa mwanamke tu ndio analisikia hilo ni uongo mtupu..... Pale mnapodendeka pia ni nafasi yako wewe mtoto wa kike kumsapraizi sikioni...usiingize kidole akiwa anajua kua utaingiza kidole...fanya kumshtukiza....ukifanya vizuri afu uume wake ukiwa umeubana na mapaja yaani sehemu ya joto...afu ukamshtukiza kidole cha skio...basi anaweza hata kupizi papo hapo  STAILI YA MAPENZI  Sehemu ya NNE na ya mwisho Ni staili za JIMAI unapokua katika ile hali ya kukata miuno ile...hasa ile staili ya mwanamke kumkalia mwanaume juu....Yaani mwanaume alale chali afu mwanamke aje juuu Staili ile ni jukumu la mwanamke kukatika...Na hio hio ni stali ambayo asilimia 80% ya wanawake hawaipendi hasa hasa wanawake wanene hua inawachosha kwa haraka na hio hio ndio ya kumpizisha mwanaume kwa haraka 🎀🎀🎀 MKALIE VIZURI NA UHAKIKISHE ILE NDUDE IMEINGIA YOTE KATIKA KITUMBUWA  CHAKO ...KISHA UTAKUA UNAPANDA NA KUSHUKA KWA UTARATIBU AFU UKISHA SHUKA CHINI JIMINYE YAANI KAMA VILE NDIO UNAZIDI KUIINGIZA NDANI HALAFU ANZA KUKATIKA KWA KUZUNGUSHA KIUNO HUKU MIKONO YAKO IKIMPAPASA MAENEO YA NDANI YA MAPAJA YAKE...AFU SAA HIO KIUNO HUKIAMSHI KWANZA ILA UNAKUA UNAKATIKIA PALE PALE NDANI....NA UNAJUA NI KWANINI???👌👌👌  MWANAUME NI KWASABABU YA KUMKUSANYIA JOTO PALE NA LILE JOTO HALIPASWI KUTOKA...MAANA UUME UKIPOKEA BARIDI TU BASI UJUE ILE BARIDI INARUDISHA MBEGU NYUMA (NYEGE) NA KUMPA NGUVU YA KUKUKATIKIA VIZURI.. ..NA UKIONA MWANAUME ANASEX ALAFU KWA PEMBENI KUNA FENI BASI UTAJIJU LABDA UWE NA AKILI YA ZIADA YA KUMDANGANYA ITOKE AU IZIMWE SASA NDIO UJUE KUA JOTO NI DHANA KUBWA SANA YA KUMTEKETEZA MWANAUME  👌👌👌  VIONJO VYA KUMTEKA KWA STAILI ZA MAPENZI  SIO HIO STAILI TU NDIO UTAWEZA KUMTEKETEZA MUMEO ILA NI STAILI YEYOTE ILE KIKUBWA NI JOTO KALI NA KUMBANA KIDOGO KAWAIDA WANAWAKE WENGI HUPENDA KUCHANUKA SAEA TUKICHANUKA SA NA  UJUWE NIMAUMIVU BADAE  MPAKA MNAUMIA MWANAUME AKIKUPANUA SANA UJUE KAJIVUTIA UPANDE WAKE ILA WE MWANAMKE HULIJUI HILO KWANI UNAJUA NI STAILI STAILI ZOTE MBUZI GAGOMA, DOGGY STYLE, KIFO CHA MENDE, KALELO, KIUNO FENI, KICHUMA MBOGA, MFUNGE KANIKI, KIINUA MGONGO, MLEVI HADONDOKI, NA NYINGINE NYINGI TU....HUA ZINAWAPIZISHA WANAUME KWA HARAKA PINDI UTAKAPOKATAA KUPANULIWA SANA.... UUME KAMA UUME HUYO MTU AWE RIJARI AU ASIWE RIJARI LAKINI AKIKUTANA NA SEHEMU ILIOBANA NI LAZIMA ATAPIZI KWA HARAKA 👌👌👌👌  KWASABABU YA MIBANO NI TOFAUTI KWAIO WE MWANAMKE UNAPOPANULIWA USIKUBALI KUPANUKA TUUU KAMA CHURA MZEE UNAJUA UTAKATAAJE? USIMUAMBIE STAKI HUA PALE ANAPOKATIKA BASI WEWE BANISHA MAPAJA YAKO TARATIBU NA KUKIFANYA KI$HIMO CHA NANII YAKO KIWE KIDOGO....NA NDIO UUME UTAKOSA KUPUMUA AU KUSHEKI SHEKI NA KUJISABABISHIA JOTO NA MBANO WA KUIKUSANYA NYEGE KWA WINGII🎀🎀 KWAIO KUA MBUNIFU WA MAPAJA YAKO

🎀🎀JINSI YA KUMSISIMUA MWANAUME NA UMUPATIE PENZI TAMU NA LENYE KUKUFANYA AKUKUMBUKE DAIMA🎀🎀 *🅱 professional love* (1) Ili kumsisimua mwanaume wako kwanza kabla ya yote kua mtu wa kumtega mtega kwanza..nadhani unajua mitego ilivyo...Yaani uwe unapenda kumvalia nguo laini laini ambazo zinaonyesha chupi kwa mbali Sio michoro ya chupi..hapana bali ionekane mpaka rangi..Huwa mwanaume alie rijali akiona ukanga mmoja tu...hua damu zinamkimbia na kujihisi kama ana duu vile... (2) Muwapo faragha usiwe mvivu katika maandalizi ya kumuandaa boy wako...sisi wanaume huwa hatuna sehemu nyingi za kusisimua kama mlivyo ninyi wanawake...maana ninyi wanawake mna sehemu nyingi zaidi ya 12 ilA WANAUME NIKIASI tu... lakn nao pia huzidiana muimu uzijuwe SEHEMU KUU ZAMUMEO SHOGAEE 🎀🎀🎀 1:Kunyonyana pale mnaponyonyana denda hupaswi kujirudisha nyuma au kua mvivu PALE MUNAPODENDEKA MKIWA WATUPU KIKUBWA ZAIDI UNACHOTAKIWA KUFANYA HAKIKISHA MATITI YAKO YANAMSUGUA KIFUANI KWAKE ALAFU PAJA LAKO LIFANYE KAMA UNATAKA KUMPIGA KIGOTI CHA MAPUMBU SASA UNAKUA UNAINGIZA PAJA LAKO KATIKA YA MAPAJA YAKE 🎀🎀 CHUCHU ZA MATITI Sehemu ya pili ni vichuchu vyake Vile vichuchu uvione tu vile kama vilivyo ila vimebeba shehena ya utamu kweli kweli...Sasa pale mnapodendeka hakikisha mikono yako haikosi kupita maeneo za chuchu yaani unazifanya kama unaziminya minya na kuzinyonya MASIKIO sehemu ya tatu ni maskio yake pia...Asikudanganye mtu kukwambia kua eti sikio ni kwa mwanamke tu ndio analisikia hilo ni uongo mtupu..... Pale mnapodendeka pia ni nafasi yako wewe mtoto wa kike kumsapraizi sikioni...usiingize kidole akiwa anajua kua utaingiza kidole...fanya kumshtukiza....ukifanya vizuri afu uume wake ukiwa umeubana na mapaja yaani sehemu ya joto...afu ukamshtukiza kidole cha skio...basi anaweza hata kupizi papo hapo STAILI YA MAPENZI Sehemu ya NNE na ya mwisho Ni staili za JIMAI unapokua katika ile hali ya kukata miuno ile...hasa ile staili ya mwanamke kumkalia mwanaume juu....Yaani mwanaume alale chali afu mwanamke aje juuu Staili ile ni jukumu la mwanamke kukatika...Na hio hio ni stali ambayo asilimia 80% ya wanawake hawaipendi hasa hasa wanawake wanene hua inawachosha kwa haraka na hio hio ndio ya kumpizisha mwanaume kwa haraka 🎀🎀🎀 MKALIE VIZURI NA UHAKIKISHE ILE NDUDE IMEINGIA YOTE KATIKA KITUMBUWA CHAKO ...KISHA UTAKUA UNAPANDA NA KUSHUKA KWA UTARATIBU AFU UKISHA SHUKA CHINI JIMINYE YAANI KAMA VILE NDIO UNAZIDI KUIINGIZA NDANI HALAFU ANZA KUKATIKA KWA KUZUNGUSHA KIUNO HUKU MIKONO YAKO IKIMPAPASA MAENEO YA NDANI YA MAPAJA YAKE...AFU SAA HIO KIUNO HUKIAMSHI KWANZA ILA UNAKUA UNAKATIKIA PALE PALE NDANI....NA UNAJUA NI KWANINI???👌👌👌 MWANAUME NI KWASABABU YA KUMKUSANYIA JOTO PALE NA LILE JOTO HALIPASWI KUTOKA...MAANA UUME UKIPOKEA BARIDI TU BASI UJUE ILE BARIDI INARUDISHA MBEGU NYUMA (NYEGE) NA KUMPA NGUVU YA KUKUKATIKIA VIZURI.. ..NA UKIONA MWANAUME ANASEX ALAFU KWA PEMBENI KUNA FENI BASI UTAJIJU LABDA UWE NA AKILI YA ZIADA YA KUMDANGANYA ITOKE AU IZIMWE SASA NDIO UJUE KUA JOTO NI DHANA KUBWA SANA YA KUMTEKETEZA MWANAUME 👌👌👌 VIONJO VYA KUMTEKA KWA STAILI ZA MAPENZI SIO HIO STAILI TU NDIO UTAWEZA KUMTEKETEZA MUMEO ILA NI STAILI YEYOTE ILE KIKUBWA NI JOTO KALI NA KUMBANA KIDOGO KAWAIDA WANAWAKE WENGI HUPENDA KUCHANUKA SAEA TUKICHANUKA SA NA UJUWE NIMAUMIVU BADAE MPAKA MNAUMIA MWANAUME AKIKUPANUA SANA UJUE KAJIVUTIA UPANDE WAKE ILA WE MWANAMKE HULIJUI HILO KWANI UNAJUA NI STAILI STAILI ZOTE MBUZI GAGOMA, DOGGY STYLE, KIFO CHA MENDE, KALELO, KIUNO FENI, KICHUMA MBOGA, MFUNGE KANIKI, KIINUA MGONGO, MLEVI HADONDOKI, NA NYINGINE NYINGI TU....HUA ZINAWAPIZISHA WANAUME KWA HARAKA PINDI UTAKAPOKATAA KUPANULIWA SANA.... UUME KAMA UUME HUYO MTU AWE RIJARI AU ASIWE RIJARI LAKINI AKIKUTANA NA SEHEMU ILIOBANA NI LAZIMA ATAPIZI KWA HARAKA 👌👌👌👌 KWASABABU YA MIBANO NI TOFAUTI KWAIO WE MWANAMKE UNAPOPANULIWA USIKUBALI KUPANUKA TUUU KAMA CHURA MZEE UNAJUA UTAKATAAJE? USIMUAMBIE STAKI HUA PALE ANAPOKATIKA BASI WEWE BANISHA MAPAJA YAKO TARATIBU NA KUKIFANYA KI$HIMO CHA NANII YAKO KIWE KIDOGO....NA NDIO UUME UTAKOSA KUPUMUA AU KUSHEKI SHEKI NA KUJISABABISHIA JOTO NA MBANO WA KUIKUSANYA NYEGE KWA WINGII🎀🎀 KWAIO KUA MBUNIFU WA MAPAJA YAKO

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top