*💛💛LIMBWATA LA KUOLEWA💛💛* *Heeeeeeeeiiiiiyaaaaa mwali weeeee kuolewa ndio bahati ila miundo mbinu muhimu upoooooo👌🏻* *Ukijituma Mungu atakushika mkono mwaliiii sasa kaa hapo km kimba la asubui ukisubiri bahati wakat wenzio kila wiki wanafunga ndoa upoooooo👌🏻* *Mwali mwanaume umpendae mvizie akianika nguo yake yoyooteee kachomoe kauzi tu mwaliiiii👌🏻* *Chukua ako kauzi kakionganishe na kinyuzi chochote cha chupi yako* *Kisha kila ukitaka kulala unaivaa hiyo chupi na kabla ya kulala ukishaivaa tamka majina ya huyo mwanaume mala saba* *Tamka majina yake matatu mwaliii* *Fanya hiyo dozi siku 7* *Ulete mrejesho wa kadi humu upoooooo👌🏻* *

at 3:05 AM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top