πŸŽ€πŸ“ŽπŸŽ€πŸ“ŽπŸŽ€πŸ“ŽπŸŽ€πŸ“ŽπŸŽ€πŸ“ŽπŸŽ€ *πŸŽ€HII NI KWA WANAUMEπŸŽ€* ..... Mbona mama Fulani au mke wa fulani, ikifika jioni anapendeza...? ....... Hayo ni Maneno ya wanaume Wengi kwa wake zao. πŸŽ€ *Vichekesho Kweli* : mnatarajia kuvuna wakati hamjapanda ? Mnatarajia vielee nakati hamjaviunda...? Hivi ni Lini umemnunulia Mkeo ivyo ambavyo akivaa (Mkiwa ndani) atapendeza ...? πŸŽ€Wewe ukisha nunua roba la mchele, mafuta, unga, na mkaa unahisi ndio Ushamaliza , Halafu eti unamlaumu mke hapendezi... πŸŽ€ Kubwa zaidi unarudi kwako bila ya taarifa , Sasa ajipambe saa ngapi ? πŸŽ€Hembu mume jijengee mazowea Kabla hujatoka kazini mpigie Simu mwenza wako Mwambie *mke wangu kipenzi, my sweety, my love, mama watoto wangu* saivi ndio natoka kazini baada ya mda Fulani ivi nitakuwa nishafika nyumbani... πŸŽ€ Uone ukirudi kama hujamkuta mke kesha oga , kajipamba , ananukia na anapendeza kwa ajili yako.. *Ugonjwa wakujitakia hau ambiwi pole* 🎀Wanaume badikikeni, andaa mazingira ya mke kupendeza alafu kama ajajipamba na vitu vipo ndio uanze mlaumu... Shukra πŸŽ€πŸ“ŽπŸŽ€πŸ“ŽπŸŽ€πŸ“ŽB

at 10:59 PM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top