Home → Love sms
→ *JINSI YA KUMSAHAU MPENZI WA ZAMANI PASINA GHARAMA KUBWA.*
_*Mahusiano ni sehemu kubwa sana katika kufanikiwa au kutokufanikiwa kwenye maisha yako, kama hauko kwenye mahusiano mazuri unaweza kukuta ndoto zako zinakufa na unashindwa kuwa yule mtu ambae umepanga kuwa kwenye maisha yako, lakini pia kama ukiweza kuyatumia mahusiano vizuri pia yanaweza kuwa sehemu ya kufanikiwa kwenye maisha yako.*_
_*Watu wengi sana hasa vijana wako kwenye mahusiano yasiokuwa na tija, lakini wanashindwa kujinasua huko kwa kuogopa kuumia au kumuumiza mwenzake, na ni kweli unajua muda fulani kwenye maisha unaweza kuwa na mtu ambae umemzoea kabisa anakufanyia mambo ambayo yanakurudisha nyuma lakini unashindwa kumuacha kwasababu unaogopa maumivu.*_
_*Leo nitakufundisha jinsi ya kumuacha mpenzi wako ambae hana tija kwenye maisha yako bila kumsababishia maumivu.*_
_*Yawezekana upo katika Mahusiano yasiyo na tija kwako na unashindwa kuvunja mahusiano hayo.*_
*Tumia njia zifuatazo kuvunja uhusiano huo:-*
*1. PUNGUZA MAWASILIANO NAE.*
_*Njia ya kwanza kabisa ya kuacha mahusiano yasio na tija bila kusababisha maumivu ni kupunguza mawasiliano, kama mlikuwa mnawasiliana mara tano kwa siku anza kufanya mara tatu kwa siku, baada ya muda fanya mara mbili, baadae tena mara moja, najua utapokea maswali mengi mara ooh mbona siku hizi hunipigiii jibu rahisi tu niko busy au sina vocha, mwisho wa siku atazoea.*_
*2. PUNGUZA MUDA WA KUKUTANA NAE.*
_*Kama mlikuwa mnaonana mara mbili kwa wiki anza kumpa nafasi ya kuonana mara moja kwa wiki, halafu ongeza kazi za kufanya ili hata akisema akutafute yeye atakukuta tu uko kwenye kazi nyingine najua utapokea maswali mengi sana, cha msingi ongea naye vizuri mwambie kuna majukumu yameongezeka, mwanzo itakuwa ngumu lakini mwisho wa siku atazoea tu.*_
_*wewe umeshaona kuwa hayo mahusiano hayakufikishi kwenye ndoto zako.*_
*3. FANYA MAZOEZI SANA.*
_*Kama ulikuwa huna tabia ya kufanya mazoezi ya viungo anza kufanya mazoezi ya viungo, mazoezi yanakufanya uwe busy muda mwingi na yanakuondolea mawazo yote, hii itakufanya uwe mtulivu sana siku zote.*_
*4. PUNGUZA MATUMIZI KWAKE NA ANZA KUWEKA AKIBA.*
_*Hapa inabidi uwe mtu wa sina hela, punguza kabisa matumizi kwake halafu anza kuweka akiba, kama ulikuwa unamfanyia manunuzi mara kwa mara punguza halafu weka akiba, ili ikusaidie baadae.*_
*5. MFANYE AWE RAFIKI YAKO.*
_*Ukitaka kuachana na mahusiano yasio na tija haina haja ya kumfanyia visa mwenzako, au kumuonyeshea kuwa humtaki tena hapana inaweza kukuumiza wewe zaidi au ikamuumiza yeye zaidi, maisha siku zote hayaeleweki, unaweza kuona leo mtu hana msaada kwako lakini siku nyingine akawa msaada kwako, sasa msiachane vibaya hata kama umegundua kuwa mahusiano hayo hayakufikishi kwenye ndoto zako, cha msingi wewe mfanye awe rafiki yako, tena ikiwezekana kama ulikuwa unamuita majina ya kimapenzi muda wote anza kumuita rafiki.*_
_*Itakuwa ngumu mwanzo lakini atazoea tu.*_
*6. ANZA KUMSHAURI SANA KUHUSU MAISHA KULIKO MAPENZI.*
_*Tumia muda wako mwingi kila mnapokutana kuzungumzia maisha na ndoto zenu, mshauri sana kuhusu maisha kuliko mapenzi utaona kuna nguvu fulani hivi ambayo ilikuwa imezoeleka itaanza kupungua siku hadi siku na mwisho wa siku mnaachana kirafiki kabisa na kila mtu anaendelea na maisha yake huku mkiwa mnaongea kama kawaida.*_
_*Kwenye maisha usikubali kabisa mahusiano yavuruge ndoto zako na malengo yako ya kimaisha, ukiona tu uko kwenye mahusiano ambayo unaona yanapokupelekea ni kupoteza ndoto zako anza kuyaacha mapema sana.*_
*JINSI YA KUMSAHAU MPENZI WA ZAMANI PASINA GHARAMA KUBWA.* _*Mahusiano ni sehemu kubwa sana katika kufanikiwa au kutokufanikiwa kwenye maisha yako, kama hauko kwenye mahusiano mazuri unaweza kukuta ndoto zako zinakufa na unashindwa kuwa yule mtu ambae umepanga kuwa kwenye maisha yako, lakini pia kama ukiweza kuyatumia mahusiano vizuri pia yanaweza kuwa sehemu ya kufanikiwa kwenye maisha yako.*_ _*Watu wengi sana hasa vijana wako kwenye mahusiano yasiokuwa na tija, lakini wanashindwa kujinasua huko kwa kuogopa kuumia au kumuumiza mwenzake, na ni kweli unajua muda fulani kwenye maisha unaweza kuwa na mtu ambae umemzoea kabisa anakufanyia mambo ambayo yanakurudisha nyuma lakini unashindwa kumuacha kwasababu unaogopa maumivu.*_ _*Leo nitakufundisha jinsi ya kumuacha mpenzi wako ambae hana tija kwenye maisha yako bila kumsababishia maumivu.*_ _*Yawezekana upo katika Mahusiano yasiyo na tija kwako na unashindwa kuvunja mahusiano hayo.*_ *Tumia njia zifuatazo kuvunja uhusiano huo:-* *1. PUNGUZA MAWASILIANO NAE.* _*Njia ya kwanza kabisa ya kuacha mahusiano yasio na tija bila kusababisha maumivu ni kupunguza mawasiliano, kama mlikuwa mnawasiliana mara tano kwa siku anza kufanya mara tatu kwa siku, baada ya muda fanya mara mbili, baadae tena mara moja, najua utapokea maswali mengi mara ooh mbona siku hizi hunipigiii jibu rahisi tu niko busy au sina vocha, mwisho wa siku atazoea.*_ *2. PUNGUZA MUDA WA KUKUTANA NAE.* _*Kama mlikuwa mnaonana mara mbili kwa wiki anza kumpa nafasi ya kuonana mara moja kwa wiki, halafu ongeza kazi za kufanya ili hata akisema akutafute yeye atakukuta tu uko kwenye kazi nyingine najua utapokea maswali mengi sana, cha msingi ongea naye vizuri mwambie kuna majukumu yameongezeka, mwanzo itakuwa ngumu lakini mwisho wa siku atazoea tu.*_ _*wewe umeshaona kuwa hayo mahusiano hayakufikishi kwenye ndoto zako.*_ *3. FANYA MAZOEZI SANA.* _*Kama ulikuwa huna tabia ya kufanya mazoezi ya viungo anza kufanya mazoezi ya viungo, mazoezi yanakufanya uwe busy muda mwingi na yanakuondolea mawazo yote, hii itakufanya uwe mtulivu sana siku zote.*_ *4. PUNGUZA MATUMIZI KWAKE NA ANZA KUWEKA AKIBA.* _*Hapa inabidi uwe mtu wa sina hela, punguza kabisa matumizi kwake halafu anza kuweka akiba, kama ulikuwa unamfanyia manunuzi mara kwa mara punguza halafu weka akiba, ili ikusaidie baadae.*_ *5. MFANYE AWE RAFIKI YAKO.* _*Ukitaka kuachana na mahusiano yasio na tija haina haja ya kumfanyia visa mwenzako, au kumuonyeshea kuwa humtaki tena hapana inaweza kukuumiza wewe zaidi au ikamuumiza yeye zaidi, maisha siku zote hayaeleweki, unaweza kuona leo mtu hana msaada kwako lakini siku nyingine akawa msaada kwako, sasa msiachane vibaya hata kama umegundua kuwa mahusiano hayo hayakufikishi kwenye ndoto zako, cha msingi wewe mfanye awe rafiki yako, tena ikiwezekana kama ulikuwa unamuita majina ya kimapenzi muda wote anza kumuita rafiki.*_ _*Itakuwa ngumu mwanzo lakini atazoea tu.*_ *6. ANZA KUMSHAURI SANA KUHUSU MAISHA KULIKO MAPENZI.* _*Tumia muda wako mwingi kila mnapokutana kuzungumzia maisha na ndoto zenu, mshauri sana kuhusu maisha kuliko mapenzi utaona kuna nguvu fulani hivi ambayo ilikuwa imezoeleka itaanza kupungua siku hadi siku na mwisho wa siku mnaachana kirafiki kabisa na kila mtu anaendelea na maisha yake huku mkiwa mnaongea kama kawaida.*_ _*Kwenye maisha usikubali kabisa mahusiano yavuruge ndoto zako na malengo yako ya kimaisha, ukiona tu uko kwenye mahusiano ambayo unaona yanapokupelekea ni kupoteza ndoto zako anza kuyaacha mapema sana.*_
Artikel Terkait
🎀🎀UKIWA NA MAMBO HAYA MUMEO ATAKUPENDA SANAA🎀🎀 Ni sifa 7 ambazo mwanamke anatakiwa kujipamba nazo ili azidi kumteka mwanaume, hasa mume anayejitambua... Ni muhimu kutambua kuwa suala la uchaguzi wa mwenza ni jambo la kwanza kabisa kwa sababu ndio dira ya maisha yako ya ndoa... Je, unapaswa kuwa vipi ili mumeo akupende? 🌺🌺🌺🌺 1. MWENYE HISIA ZA UCHESHI: Ikiwa unafurahishwa na utani wake, ni jambo litakalomvutia sana. Lakini ukiwa mwepesi wa kuchukia na kukasirika, yumkini mumeo asivutike nawe. Jitahidi kuwa na hisia za utani na ucheshi... 🌺🌺🌺 2. MWENYE KUSAMEHE: Unapoelewa kuwa mumeo sio mtu mkamilifu na unapokuwa na uwezo wa kumsamehe kwa dosari zake, hii itamaanisha kuwa unamiliki mojawapo ya sifa muhimu sana ambazo wanaume wanazitaka kwa udi na uvumba. Ukiwa na mchezo wa kumrukia kwa kila kosa dogo analolifanya au ukawa na ukosoaji uliopitiliza, tambua kuwa mumeo hatakuwa mwenye kukufurahia, hata kama ni miongoni mwa wale wasiosema. Niliwahi kumnasihi memba wangu mmoja wa Ndoa Maridhawa kuwa: “Kama wamtafuta mume asiyekosea, hutampata na utaishi bila mume”. 🌺🌺🌺 3. MWENYE SUBIRA: Sifa hii inakaribiana na sifa ya kusamehe niliyoielezea hapo juu. Ninapozungumzia subira hapa ninamaanisha uwezo wa mwanamke wa kuwa na uhusiano na mumewe bila kumshinikiza kuchukua maamuzi ambayo hajajiandaa kuyachukua. Mwanamke anaye anamuonesha mwanaume kuwa yuko tayari kusubiri humvutia zaidi mwanaume kuliko yule anayetoa picha inayoonesha kuwa si mwenye subira. 🌺🌺🌺 4. MWENYE ASHIKI: Mwanamke ambaye sio romantic huwa hamvutii mwanaume. Ili mwanaume avutike unatakiwa kumfanya ahisi raha na uwe mwepesi wa kumchokoza. Ikiwa unadhani kuwa mwanaume ndiye tu anayepeswa kukuchokoza, basi hapo unajitesa na haitakuwa na faida kwako. Boresha uwezo wako wa uchokozi na kuwa romantic utaona namna mumeo atakavyokuwa akikutamani. 🌺🌺🌺 5. MKWELI: Wanaume wanavutiwa sana na mwanamke mkweli, mwaminifu. Ikiwa wewe ni mwanamke unayosema ukweli, usiyeficha ukweli, basi sifa hii itamfanya mwanaume avutike nawe. Ifanye kauli mbiu ya maisha yako iwe ni: “Sema unachofanya, na ufanye unachosema”. Kama ambavyo mwanamke anampenda sana mwanaume mkweli, vivyo hivyo mwanaume anavutiwa na mwanamke mkweli na mnyenyekevu ambayo hapendi makuu. 🌺🌺🌺🌺 6. ALIYEFUNGUKA KIAKILI: Raghba ya ugunduzi wa fikra na mawazo mapya ni sifa nyingine ambayo mwanaume anapenda kuiona kwa mwanamke anayetaka kuangukia katika penzi lake. Ninachokusudia hapa ni ule uwezo wa kuona mbali, kutambua na kuheshimu mtazamo mwingine, hata kama utakuwa kinyume na mtazamo wake. Aidha, miongoni mwa mambo ambayo wanandoa wengi wanakosa ni dira (vision). Hakika iwapo mwanamke ana sifa ya kuwa na dira atamvutia sana mwanaume. 🌺🌺🌺 7. UELEWA WA KIAFYA: Mwanamke ambaye anajitunza humvutia sana mwanaume kuliko mwanamke asiyejitunza. Muonekano wa kimwili humvutia mwanaume. Mume huvutiwa na mwanamke anayefanya mazoezi, anayekula chakula chenye afya, anayezitunza nywele zake na mwili wake kwa ujumla, na anayevaa mavazi maridhawa. Jitahidi sana kumvutia mumeo kwa kuonekana mpya kila siku. mtoto wa kishirazi mwenye kujiamini na kujitambua ... Read More
💘💘💘💘 *🅱 professional love*💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘HATUA ZA KUZUNGUMZA NA MPENZI WAKO ALIEKASIRIKA💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 👩👧Kwenye mapenzi kuna nyakati za kutofautiana, kukasirishana. Katika hali ya kawada kipindi hiki huwa ni za hatari kwa sababu husababisha nyufa kubwa za uhusiano na kulifanya penzi kukosa ladha. 👩👧Sote tunajua, watu hupigana, huachana, hujeruhiana, hutukanana, hudhalilishana wakiwa na hasira. Hata hivyo si wote wanaojua wafanye nini wanapojikuta wameingia kwenye hatua hiyo mbaya. 👩👧 hebu jaribu kukumbuka ugomvi mmoja uliotokea kati yako na mpenzi wako na ikiwezekana jikumbushe mlivyoanza! Utabaini kuwa mlianza kama utani na mkajikuta mmefura kwa hasira, mkatwangana makonde, mkatamkiana maneno makali ya kuudhi na pengine mkaamua kuachana. Yote hii ni kwa sababu mlikosa elimu ya mazungumzo. Ingekuwa mmoja wenu hasa yule aliyekuwa wa pili kukasirika anafahamu hatua za kuzungumza na mtu aliyekasirika angechukua jukumu la kutuliza machafuko na kuleta amani kwenye mapenzi. 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 Tazama hatua tano za kuzungumza na mpenzi aliyekasirika. 💘 💘 MPUNGUZE MHEMKO Hasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano. Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara za kutaka kumgeuza haraka haraka hawezi kumuelewa. Muhimu hapo ni kuacha kumwadama, kujibizana naye, kumshawishi asikilize badala yake mpe nafasi ya kusema atakavyo, abwate ajuavyo huku wewe ukimuitikia na kumkubalia lawama zake. “Basi mpenzi mwenye makosa ni mimi.” Kauli za aina hii zitampunguza hasira kwani atajiona msindi. 💘 💘 MSOME SAIKOLOJIA YAKE Kwa kuwa unamfahamu mpenzi wako kwa kina itakuwa rahisi kwako kumtambua kuwa amepunguza hasira na kurudi katika hali yake ya kawaida. Ukisha fahamu hilo chukua jukumu la kumsoma kisaikojia ili kujua kama yuko kwenye hali nzuri ya kusikiliza yale uliyotaka kumwambia wakati alipokuwa na hasira. Zoezi hili linaweza kuchukua saa kadhaa na wakati mwingine hata siku mbili. Lengo ni nini? Ni kupata matokeo sahihi ya kuondoa chuki za mwenza wako na kumfundisha madhara ya kukasirika kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi. “J, nakupenda sana, lakini juzi uliniumiza, uliniambia mimi malaya kwa kosa ambalo sikufanya?” Bila shaka muda huo atakusikiliza zaidi kuliko ungebishana naye alipokuwa na hasira. 💘 💘 MRUHUSU AKUJIBU Pamoja na kumsoma kisaikojia na kumwambia kinagaubaga makosa yake, usimzuie kujitetea, mpe nafasi ya kuzungumzia kilichomkasirisha. “Unaona bado unanitukana, sasa naamini siku ile ulikuwa umedhamilia.” Usisiseme hivyo, mwache ajibu hoja hata kama atakuwa anakukandamiza na kuzidi kujijengea ushindi. Mvumilie aoshe ubongo wake 💘 💘. EPUKA MARUMBANO Kama nilivyosema kwenye hapo juu, wapenzi wengine huwa wagumu kuelewa, ni watu wa kuficha udhaifu wao na kutopenda kuonekana wamekosea. Watu wa namna hii unapowarejeshea mazungumzo wanaweza kujikuta wanahamaki tena. “Kwa hiyo ulikuwa unasemaje…nilifanya ndiyo,… wewe unaamuaje?” Mkifika kwenye alama hiyo usikubali kurumabana naye mwache aseme halafu wewe ingia kwenye hatua ya tano. 💘 💘 MUOMBE MSAMAHA Hata kama atakuwa yeye ndiye mwenye makosa na amekataa kukiri, usijali, chukua jukumu la kumuomba msamaha na kueleza tena nia yako ya mazungumzo ilikuwa ni kuelewana si kugombana. Kumbuka hata kama amekiri kosa, bado unatakiwa kumuomba radhi kwa kurejea yaliyopita. “Mpenzi inawezekana nikawa nimekuudhi kwa niliyosema, nakuomba sana tusameheane.” 💘💘💘💘💘💘💘💘💘 Bila shaka kwa haya machache utakuwa umejifunza na kuchukua hatua za kuzuia migogoro mikubwa inayotokana na hasira za mpenzi wako. 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘chuo cha mahaba 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 ... Read More
*🌹🌹🌹YAI🌹🌹🌹* 🌹mwali wangu kwa vile ushavunja ungo nimekuletea yai lichukue harooooo👌🏿 🌹zoezi la kwanza embu lipasulie yai mdomoni na umeze haroo👌🏿 🌹Ariiiiriiiiiiriiiiiii mwali wangu umeweza kula yai bichiii ariiiiriiiiiiiii mwali basi vigeregereeeee aruuuuuuuuuuuuariiiiiiiariiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🌹hapo mwali sasa utaweza kunyonya kula na kufyonza shahawa za mume kwa ustadiiii harooooooo🔥🔥🔥👌🏿(km unashindwa kula shahawa za mumeo Anza kujifunzia katika yai bichi mwali wangu) 🌹shahawa za mume hupokelewa mdomoni upoooooo👌🏿. 🌹acha mumeo akukojolee mdomoni mwali wangu. Umenielewa kungwi wako???? Jibu ndio nione 🔥🔥🔥 🌹🌹🌹 ... Read More
🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 *Mapenzi Sio Kujifungia Chumbani tu na Kufanya Tendo* Mapenzi ni ubunifu, unaweza ukaona kitu kidogo lakini kitu hiko ukikifanya kwa mlango wa mapenzi kinakuwa kikubwa na hakiwezi kusahaulika kirahisi kwa mwenza wako. ukizungumzia mapenzi watu weusi wengi tunajua mapenzi ni kujifungia chumbani na kutiana tu, hapa ndo wazungu wanapotupiga bonge la gepu pale wakiwakamata dada zetu. Basi ili kufanya mapenzi yako yaonekane mapya kila siku si lazima kila siku mjifungie chumbani kufanya staili mpya au sio lazima kila siku mtoke kwenda kula dina sehemu nzuri. Unaweza ukamchukua mpenzi wako ukaenda nae sehemu ilio tulivu kisha mkaanza kusoma vitabu(hii inategemea na nyie wawili mnapendelea vitabu vya aina gani ila sio vya kemia au physics Inapendeza sana mkiwa mmekaa pamoja mkisoma vitabu, mkabadilishana mawazo kwa kile kilichoandikwa kwenye kitabu. inaweza mkaenda beach(tulivu) au sehem ambayo unahisi mtakaa mtatulia bila usumbufu, mkasoma vitabu vyenu taratiiibu. 🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 Dr Luv🤓🤓🤓 ... Read More
🎀🎀JINSI YA KUMSISIMUA MWANAUME NA UMUPATIE PENZI TAMU NA LENYE KUKUFANYA AKUKUMBUKE DAIMA🎀🎀 *🅱 professional love* (1) Ili kumsisimua mwanaume wako kwanza kabla ya yote kua mtu wa kumtega mtega kwanza..nadhani unajua mitego ilivyo...Yaani uwe unapenda kumvalia nguo laini laini ambazo zinaonyesha chupi kwa mbali Sio michoro ya chupi..hapana bali ionekane mpaka rangi..Huwa mwanaume alie rijali akiona ukanga mmoja tu...hua damu zinamkimbia na kujihisi kama ana duu vile... (2) Muwapo faragha usiwe mvivu katika maandalizi ya kumuandaa boy wako...sisi wanaume huwa hatuna sehemu nyingi za kusisimua kama mlivyo ninyi wanawake...maana ninyi wanawake mna sehemu nyingi zaidi ya 12 ilA WANAUME NIKIASI tu... lakn nao pia huzidiana muimu uzijuwe SEHEMU KUU ZAMUMEO SHOGAEE 🎀🎀🎀 1:Kunyonyana pale mnaponyonyana denda hupaswi kujirudisha nyuma au kua mvivu PALE MUNAPODENDEKA MKIWA WATUPU KIKUBWA ZAIDI UNACHOTAKIWA KUFANYA HAKIKISHA MATITI YAKO YANAMSUGUA KIFUANI KWAKE ALAFU PAJA LAKO LIFANYE KAMA UNATAKA KUMPIGA KIGOTI CHA MAPUMBU SASA UNAKUA UNAINGIZA PAJA LAKO KATIKA YA MAPAJA YAKE 🎀🎀 CHUCHU ZA MATITI Sehemu ya pili ni vichuchu vyake Vile vichuchu uvione tu vile kama vilivyo ila vimebeba shehena ya utamu kweli kweli...Sasa pale mnapodendeka hakikisha mikono yako haikosi kupita maeneo za chuchu yaani unazifanya kama unaziminya minya na kuzinyonya MASIKIO sehemu ya tatu ni maskio yake pia...Asikudanganye mtu kukwambia kua eti sikio ni kwa mwanamke tu ndio analisikia hilo ni uongo mtupu..... Pale mnapodendeka pia ni nafasi yako wewe mtoto wa kike kumsapraizi sikioni...usiingize kidole akiwa anajua kua utaingiza kidole...fanya kumshtukiza....ukifanya vizuri afu uume wake ukiwa umeubana na mapaja yaani sehemu ya joto...afu ukamshtukiza kidole cha skio...basi anaweza hata kupizi papo hapo STAILI YA MAPENZI Sehemu ya NNE na ya mwisho Ni staili za JIMAI unapokua katika ile hali ya kukata miuno ile...hasa ile staili ya mwanamke kumkalia mwanaume juu....Yaani mwanaume alale chali afu mwanamke aje juuu Staili ile ni jukumu la mwanamke kukatika...Na hio hio ni stali ambayo asilimia 80% ya wanawake hawaipendi hasa hasa wanawake wanene hua inawachosha kwa haraka na hio hio ndio ya kumpizisha mwanaume kwa haraka 🎀🎀🎀 MKALIE VIZURI NA UHAKIKISHE ILE NDUDE IMEINGIA YOTE KATIKA KITUMBUWA CHAKO ...KISHA UTAKUA UNAPANDA NA KUSHUKA KWA UTARATIBU AFU UKISHA SHUKA CHINI JIMINYE YAANI KAMA VILE NDIO UNAZIDI KUIINGIZA NDANI HALAFU ANZA KUKATIKA KWA KUZUNGUSHA KIUNO HUKU MIKONO YAKO IKIMPAPASA MAENEO YA NDANI YA MAPAJA YAKE...AFU SAA HIO KIUNO HUKIAMSHI KWANZA ILA UNAKUA UNAKATIKIA PALE PALE NDANI....NA UNAJUA NI KWANINI???👌👌👌 MWANAUME NI KWASABABU YA KUMKUSANYIA JOTO PALE NA LILE JOTO HALIPASWI KUTOKA...MAANA UUME UKIPOKEA BARIDI TU BASI UJUE ILE BARIDI INARUDISHA MBEGU NYUMA (NYEGE) NA KUMPA NGUVU YA KUKUKATIKIA VIZURI.. ..NA UKIONA MWANAUME ANASEX ALAFU KWA PEMBENI KUNA FENI BASI UTAJIJU LABDA UWE NA AKILI YA ZIADA YA KUMDANGANYA ITOKE AU IZIMWE SASA NDIO UJUE KUA JOTO NI DHANA KUBWA SANA YA KUMTEKETEZA MWANAUME 👌👌👌 VIONJO VYA KUMTEKA KWA STAILI ZA MAPENZI SIO HIO STAILI TU NDIO UTAWEZA KUMTEKETEZA MUMEO ILA NI STAILI YEYOTE ILE KIKUBWA NI JOTO KALI NA KUMBANA KIDOGO KAWAIDA WANAWAKE WENGI HUPENDA KUCHANUKA SAEA TUKICHANUKA SA NA UJUWE NIMAUMIVU BADAE MPAKA MNAUMIA MWANAUME AKIKUPANUA SANA UJUE KAJIVUTIA UPANDE WAKE ILA WE MWANAMKE HULIJUI HILO KWANI UNAJUA NI STAILI STAILI ZOTE MBUZI GAGOMA, DOGGY STYLE, KIFO CHA MENDE, KALELO, KIUNO FENI, KICHUMA MBOGA, MFUNGE KANIKI, KIINUA MGONGO, MLEVI HADONDOKI, NA NYINGINE NYINGI TU....HUA ZINAWAPIZISHA WANAUME KWA HARAKA PINDI UTAKAPOKATAA KUPANULIWA SANA.... UUME KAMA UUME HUYO MTU AWE RIJARI AU ASIWE RIJARI LAKINI AKIKUTANA NA SEHEMU ILIOBANA NI LAZIMA ATAPIZI KWA HARAKA 👌👌👌👌 KWASABABU YA MIBANO NI TOFAUTI KWAIO WE MWANAMKE UNAPOPANULIWA USIKUBALI KUPANUKA TUUU KAMA CHURA MZEE UNAJUA UTAKATAAJE? USIMUAMBIE STAKI HUA PALE ANAPOKATIKA BASI WEWE BANISHA MAPAJA YAKO TARATIBU NA KUKIFANYA KI$HIMO CHA NANII YAKO KIWE KIDOGO....NA NDIO UUME UTAKOSA KUPUMUA AU KUSHEKI SHEKI NA KUJISABABISHIA JOTO NA MBANO WA KUIKUSANYA NYEGE KWA WINGII🎀🎀 KWAIO KUA MBUNIFU WA MAPAJA YAKO ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: